text
stringlengths 43
182k
| timestamp
timestamp[s] | url
stringlengths 16
3.37k
|
---|---|---|
je ndege haziwezi kurudi nyuma( reverse) | jamiiforums | the home of great thinkers
je ndege haziwezi kurudi nyuma( reverse)
discussion in 'tech gadgets & science forum' started by zing feb 22 2011
nikiwa uwanja wa ndege huwa naona ndege zikitaka kutoka kwenye terminal kwa kurudi nyumza zinasukumwa na vigari vidogo
je ina maana ndege hazina mechanism ya reverse gear or reverse motion
kama ndio ni kwa nini na kama zinayo kwa nini zinasukuwa na vigari zikiwa terminal
can planes go in reverse | komw
swali zuri sana
1kuna ndege za aina mbili ambazo ni jet engine na propeller engine
2ndege za je huwa hazina reverse gear
ieleweke kuwa tunaposema reverse gear kwenye ndege tunaongelea direction ya suction ya hewa
kawaida ndege ya jet ili iende mbele inavuta upepo kwa mbele kuuingiza kwenye injini na kuu'pressurizekisha kuutoa kwa nguvu kubwa ambapo nguvu hiyo ya kuutoa ndiyo huisukuma ndege mbeleumbo la injini ya jet limetengenezwa kiasi kwamba ina eneo kubwa la kuvuta upepo kwa mbele lakini ina eneo dogo lakuutolea upepo huo huo ili kuzalisha force au kani kubwa ya kuipeleka mbele
kwa jinsi hiyo umbo la ndege ya jet haliruhusu eneo la kutolea upepo libadilishwe kuwa la kuvutia upepo ili ndege iende kinyume
ndege ya propeller inaweza kabisa kupiga reverse na huwa zinafanya hivyo mara nyingi tu
kawaida ndege ya propeller huwa inavuta upepo kwa kutumia mapangaboi na kuurudisha nyuma na kitendo hicho kinapofanyika kwa mzunguko wa kasi husababisha ndege kusonga mbele
kitendo cha kuuvuta upepo mbele na kuurudisha nyuma kinakuwa achieved kwa kuyaweka mapangaboi katika engo' fulani ambapo jambo hilo hufanywa na rubani
sasa ukitaka upepo uvutwe kutoka nyuma kwenda mbele ni kiasi cha kubadilisha engo au uelekeo wa mapangaboi yale tuna unakuta ndege inarudi reverse kinyume na uelekeo wa upepo
kwa hiyo ndugu hii inawezekana kwa ndege za propeller tu japo umakini wa juu sana huhitajika wakati huo maana kutokana na umbo la ndege rubani haoni chochote nyuma yake na ndege kawaida haina site mirror
nenda google kwa msaada zaidi lakini kwa uzoefu wanguna kwa lugha ya kiswahili ni kama hivyo nilivyokusimulia
ndio zinarudi nyuma niliona ya bush alipokuja hapa niliona ikirudi nyuma pale uwanja wa ndege
ndege zinaweza kurudi nyuma ila ni hatari kwa kuwa inabidi engine ziwe zimewashwa first thrust reversers on jets the same thrust reversers that are used in landing to slow a plane down can be used to back it up however at civilian airports it is safer and cheaper to use a vehicle to push the plane backwards from the gate second adjustable pitch propellers such as on the c130 they can reverse the pitch so instead of the normal backwards thrust they get forward thrust moving the plane backward
using reverse when stationary is very dangerous especially near a gate where the trust could cause injury to civilians or damage to objects near the aircraft even if the reverse was to be used pilots won't have much control on what direction they are moving in as there view of what's behind them is restricted
hii inawezekana kwa ndege za propeller tu
hata jet engine inawezekana sio prop engine tu jet engine ina kitu kinaitwa thrust reversersclick to expand
wakuu ni turbine engines tu ndio zinaweza kurudisha ndege nyuma
kuna aina mbili ya aircraft engines
1 piston engines
only turbine powered aircraft can reverse by using thrust reversers
ps turbine engines zimegawanyika kwenye makundi yafuatayo
1 turbo jet za kizamani sana kama dc9
2 turbo prop kama atr za pw
3 turbo shaft helicopters with turbine engines kama eurocopters na bell agustas
4 turbo fan this is the modern engine zina high bypass ratio mfano kama b777click to expand
mtaalam wa mechanics na aerodynamics kwa nini hizo turbine engine tu ndo ziweze kurudi na sio hizo zenye piston
na kwa sie tusijua sana haya mambo ya mehanics unaweza kumuelezeaje mtu akikuuliza nini hasa maana ya neno turbo ebu nifafanulie turbo ni nini au ni kifaa kikoje | 2017-04-27T20:58:10 | https://www.jamiiforums.com/threads/je-ndege-haziwezi-kurudi-nyuma-reverse.112521/ |
waziri mkuu serikali kufufua mazao makuu matano ruvuma tv
ijumaa agosti 11 2017
← previous story majaliwa ataka waliopewa uraia kuheshimu sheria
next story → dokta mpango awasimamishakazi watumishi 4 wa tra mpakani tunduma | 2017-08-21T08:24:36 | http://ruvumatv.com/waziri-mkuu-serikali-kufufua-mazao-makuu-matano/ |
happy home magazine makosa katika upambaji namba moja
makosa katika upambaji namba moja
above image courtesy of myhomeideas
above 2 images courtesy of bhg
kuna baadhi ya makosa katika upambaji leo nitazungumzia moja kosa tusilotakiwa kufanya katika upambaji ni kumechisha kila kitu kama hiyo picha ya kwanza juu kabisahapo unaona kuna mbili rangi ya njano na brown katika vitu vyote ukiangalia picha ya pili na ya tatu kutoka juu unaona ambavyo kuna rangi nyingi tofauti mfano hiyo picha ya katika kati kuna viti vyeupekabati la kijaniukuta wa njanotaa ya orangemaua ya njanovimito vya bluu na vya draft mradi tu mchanganyiko wa rangihivyo hivyo na picha ya tatunamna hii chumba kina kinavutia na kuburudisha macho nitaandika makosa mengine baada tu ya kupata picha za mifano yakesiku njema
posted by sophie b at 16609
anonymous june 16 2009 at 847 pm
ama kweli kachumbari | 2020-02-27T20:03:50 | https://www.happyhomemagazine.com/2009/06/makosa-katika-upambaji-namba-moja.html?showComment=1245210439265 |
swahili na waswahili chaguo la mswahili leo kagera mpoo ngojatatunane wawasaidie
posted by rachel siwa isaac at 0940
mapenzi kizunguzungu halafu umeniwahi hizo nymbo mbili za kwanzajumamosi njema kachiki) | 2017-11-21T15:50:51 | http://swahilinawaswahili.blogspot.com/2012/07/chaguo-la-mswahili-leo-kagera-mpoo.html |
posted by countryfm iringa posted on 1258 am with no comments
kufulu kubwa 5 za messi
4 mwaka 2012 lionel messi alifanikiwa kuvunja rekodi ya muller ambaye alikuwa amefunga jumla ya goli 85 kwa mwaka rekodi ambayo ilidumu toka mwaka 1972 ila lionel messi mwaka 2012 amevunja rekodi hiyo kwa kufunga jumla ya magoli 91 katika mechi za mashidano yote na kuvunja rekodi iliyodumu kwa miaka 40 bila kuvunjwa
3 staa huyo wa argentina ndio mchezaji pekee mwenye rekodi ya kufunga magoli katika mechi 21 mfululizo za ligi kuu rekodi ambayo aliiweka msimu wa 2012/2013 | 2018-07-21T22:53:58 | http://radiocountryfm.blogspot.com/2015/12/kufulu-kubwa-5-za-messi-lionel-messi-ni.html |
rais trump aendelea kushinikiza kuogeza ushuru kwa bidhaa kutoka mexico amerika rfi
marekani donald trump mexico
imechapishwa 06062019 • imehaririwa 06062019 saa 0855
rais wa marekani donald trump reuters/joshua roberts
rais wa marekani donald trump amesema hakuna hatua kubwa iliyopigwa katika mazungumzo kati ya nchi yake na mexico kuhusu uwezekano wa kuondoa vikwazo vya kibiashara alivyotangaza hivi karibuni akitaka nchi hiyo idhibiti wimbi la wahamiaji
kupitia mtandao wake wa kijamii wa twitter rais trump amesema mazungumzo hayo yataendelea tena siku ya alhamisi hatua inayokuja wakati huu takwimu zikionesha kuwa idadi ya wahamiaji kutoka mexico wanaoshikiliwa nchini humo imefikia kiwango cha juu kuwahi kurekodiwa tangu mwaka 2006
katika mazungumzo ya juma hili utawala wa rais trump uliweka masharti magumu kwa mexico ikiwa inataka iondolewe tozo kwenye bidhaa zake utawala wa washington ukitaka mexico idhibiti wahamiaji wanaovuka mpaka
ikiwa mazungumzo ya juma hili yatagonga ukuta inamaanisha kuwa tozo ya asilimia tano itaanza kutozwa na ifikapo october mosi tozo hiyo itaongezeka hadi kufikia asilimia 25
trump anasema wahamiaji kutoka nchini mexico wamekuwa hatari kwa usalama na uchumi wa taifa lake | 2019-11-13T17:54:51 | http://m.sw.rfi.fr/amerika/20190606-rais-trump-aendelea-kushinikiza-kuogeza-ushuru-kwa-bidhaa-kutoka-mexico |
neno la man
ahadi huwafanya wale tu ambao wanawapokea () siasa hupigwa kwenye mipira () sisi ni waaminifu zaidi kwa maumbile yake kuliko maslahi yake soma zaidi
baada ya kudhalilisha kwa dharau na fally ipupa na kujivunia picha hii na marafiki zake nini msichana huyu alipata nini leo soma zaidi
rd kongo mwanamke wa mfano wa zamani kuna tofauti gani kati ya yule anayejulikana wa zamani wa mwanamke wa dr kongo (zamani zaire) na mwana poto hapa
imetumwa na kongolisolojuu ya mei 31 2020 00 22 hakuna maoni
ndugu zangu angalia jinsi yule mama wa zamani wa zamani olive lembe kabila alivyokuwa amevaa wakati huo ni karibu miaka ya 2009 ni mbaya sana soma zaidi | 2020-06-03T19:31:14 | https://sw.kongolisolo.co/category/menu-principal/bonasavoir/evangile/ |
sare ya 22 dhidi ya nakumatt yatamausha mashabiki wa ingwe taifa leo
sare ya 22 dhidi ya nakumatt yatamausha mashabiki wa ingwe
mashabiki wa afc leopards hawana raha kabisa baada ya timu yao kukabwa 22 na nakumatt na kumaliza mechi ya nane bila ushindi kwenye ligi kuu uwanjani kenyatta mjini machakos jumamosi
wakizungumzia matokeo ya mchuano huu ambao ingwe iliongoza 20 kupitia kiungo whyvonne isuza kabla ya kuruhusu nakumatt kusawazisha kupitia eugene ambulwa na brian nyakan dakika 15 za mwisho mashabiki wamesema wachezaji hawana ari kabisa
huu ni mzaha njia ambayo timu ilitupa uongozi inatuwacha na maswali mengi hawa wachezaji wana ari kweli wanalenga kutimiza malengo gani kutokana na matokeo nixon mahasi alichemka
kamwaro kamwaro pia alielekeza lawama kwa wachezaji niliposema kocha hawezi kupata ushindi ikiwa wachezaji hawajitolei watu walisema nina kiburi hadi wale waliofukuza (kocha robert) matano waondoke utovu wa nidhamu bado utasalia hapa hakuna timu alisema
maggy asiko alitaka mashabiki wenzake kugoma kuhudhuria mechi za ingwe akisema wachezaji wanachezea hisia zetu
mashabiki wengi wamesikitishwa na matokeo haya baadhi yao wametaja kocha mpya rodolfo zapata kama mtalii anayestahili kutimuliwa huku sehemu kubwa ikionekana kutaka matano ambaye aliachishwa kazi kighafla miezi michache iliyopita arejeshwe hata hivyo matano anaendelea kufanya vyema katika klabu yake mpya ya tusker baada ya kushinda mechi tatu zilizopita kwa kulaza wazito 10 sony sugar 32 na bandari 20 tusker itapiga mechi yake ya 15 hapo jumapili dhidi ya kariobangi sharks
mechi kati ya mathare united na bandari iliyotanguliwa kusakatwa uwanjani kenyatta ilimalizika bila mshindi 00
sofapaka ilikuwa na siku nzuri mjini narok baada ya kutoka chini bao moja na kulipua zoo kericho 21 mwanasoka bora wa kenya mwaka 2017 michael madoya aliweka zoo mbele dakika ya 12 humphrey okoti alisawazisha dakika tano baadaye kabla ya stephen waruru kuongeza bao la ushindi dakika ya 53
ingwe nakumatt sare
mshindi kati ya gor na ingwe kuumiza nyasi dhidi ya hull city mei 13
kenya yalazimishwa sare tasa na ethiopia u17 | 2018-05-24T13:57:26 | http://taifaleo.nation.co.ke/index.php/sare-ya-2-2-dhidi-ya-nakumatt-yatamausha-mashabiki-wa-ingwe/ |
somatropin genotropin kutoka pfizer nchini thailand tiba ya hgh huko bangkok
bei ya kawaida 000 ฿ 8100000 ฿ chumvi | 2018-05-24T21:18:26 | https://sw.buyhghthailand.com/products/genotropin-goquick-pen-12mg-36iu-x-6 |
anc chajitetea kuhusu picha yao na mandela bbc news swahili
anc chajitetea kuhusu picha yao na mandela
https//wwwbbccom/swahili/habari/2013/05/130501_anc_defence
image caption nelson mandela alilazwa hospitalini kwa siku kumi alipokuwa anatibiwa homa ya mapafu
chama tawala nchini afrika kusini cha african national congress anc kimetetea kitendo chake cha kumpiga picha kiongozi wa zamani wa nchi hiyo nelson mandela wakati viongozi wa chama hicho walipomtembelea
kimesema kitendo hicho si cha kujitafutia umaarufu
hizo zilikuwa picha za kwanza za rais huyo wa zamani wa afrika kusini tangu alipotoka hospitali mnamo aprili 6 mwaka huu baada ya kulazwa kwa takriban wiki moja akisumbuliwa na ugonjwa wa homa ya mapafu
bwana mandela alionekana kushangaa huku akiwa amezungukwa na viongozi wa anc na watu waliokwenda kumjulia hali msemaji wa anc amesema chama hicho kimefurahi kuionesha dunia picha za kiongozi huyo wa zamani mwenye umri wa miaka 94 hata katika hali yake tete
picha za video nadra za bwana mandela ambaye anafahamika kwa jina lake la ukoo kama madiba zilionyeshwa na kituo cha televisheni cha taifa cha afrika kusini sabc
mwandishi wa bbc mjini johannesburg milton nkosi anasema kumekuwa na malalamiko kwenye mitandao ya kijamii hasa wa twitter ambako mjadala huo unaendelea kuhusu kuoneshwa kwa video hiyo
wengi wanaona hatua hiyo kama ukandamizaji na kuingilia maisha binafsi ya rais huyo wa zamani
katika picha hizo bwana mandela anaonekana akiwa hatabasamu amekaa wima kwenye kochi na miguu yake imefunikwa na blanketi huku watu wakimpiga picha kwa kutumia kamera zao
mara kadhaa vyombo vya habari nchini humo vimekuwa vikionywa na anc na serikali ya afrika kusini kuhusu kuheshimu maisha binafsi ya madiba na sasa tunajua jinsi wanavyomchukulia ameandika mtu mmoja kwenye mtandao wa twitter
rais jacob zuma na naibu rais wa anc cyril ramaphosa walikuwa miongoni mwa viongozi waandamizi wa anc waliomtembelea bwana mandela nyumbani kwake jijini johannesburg siku ya jumatatu na walipewa maelezo kuhusu maendeleo ya afya yake na jopo la madaktari
image caption rais jacob zuma alipomtembelea mzee nelson mandela
rais zuma amesema bwana mandela aliwashika mikono watu na hata kutabasamu
msemaji wa anc jackson mthembu amekaririwa akisema kuwa wale wanaolalamika kwamba picha za hivi karibuni za madiba ni njia ya kujipatia umaarufu kwa chama cha anc wanakula zabibu chungu
akaongeza kuwa watu wetu hawajamuona madiba miaka mingi na sasa wamemuona akifungua na kufunga macho yake tunafurahia afya yake na sasa sio kijana mdogo tena
afya ya bwana mandela imekua ikiendelea kuzua wasiwasi katika siku za hivi karibuni matatizo ya mapafu ya kiongozi huyo mkongwe yalianza miaka 27 iliyopita tangu alipokuwa mfungwa wa kisiasa
alikaa gerezani kwenye upepo mkali katika kisiwa cha robben kwa miaka 18 ambako alipatwa na amradhi ya kifua kikuu
disemba mwaka jana alilazwa hospitalini kwa zaidi ya wiki mbili akipatiwa matibabu ya mapafu na mawe kwenye mfuko wa nyongo na februari mwaka huu madaktari walimpatia tiba ya matatizo ya tumbo
bwana mandela ambaye aliondoka madarakani kama rais mwaka 1999 anaheshimika nchini afrika kusini kutokana na mchango wake wa kumaliza mfumo wa ubaguzi ama utawala wa wazungu wachache
alistaafu kushiriki shughuli za kijamii mwaka 2004 baada ya kuwa kama balozi mwenye hadhi ya juu wa nchi hiyo
bwana mandela alikuwa rais wa kwanza mwafrika katika miaka ya tisini na anaonekana na wengi kama baba wa taifa hilo alitunukiwa nishani ya amani ya nobel mwaka 1993 pamoja na rais wa zamani fw de klerk kwa kumaliza ubaguzi wa rangi na kuleta demokrasia nchini afrika kusini | 2018-06-22T17:34:36 | https://www.bbc.com/swahili/habari/2013/05/130501_anc_defence |
diplomasia yashika kasi ukraine | matukio ya kisiasa | dw | 13052014
diplomasia yashika kasi ukraine
ulaya imezidisha juhudi za kidiplomasia kuutatua mgogoro wa ukraine leo huku waziri wa mambo ya kigeni ya ujerumani frankwalter steinmeier akiushinikiza utawala mjini kiev na waasi wa mashariki kufanya mazungumzo
waziri mkuu wa muda wa ukraine arsene yatsenyuk na rais wa halmashauri ya ulaya jose manuel barroso
juhudi za waziri steinmeier zimeanza wakati kukiwa na matumaini baada ya shirika la usalama na ushiriano la bara la ulaya osce kusema kuwa urusi imeunga mkono mpango wake wa kuutatua mgogoro wa ukraine kwa njia ya majadiliano unyanganyaji silaha na uchaguzi
haya yanajiri baada ya waasi mashariki mwa ukraine kuomba siku ya jumatatu kujiunga na urusi kufuatia kile walichodai kuwa ni ushindi wa kishindo katika kura za maoni za uhuru maafisa waasi mjini donetsk walisema asilimia 89 ya wapigakura waliunga mkono jimbo hilo kujitenga na ukraine katika uchaguzi uliyofanyika siku ya jumapili wakati wanaotaka kujitenga jimboni luhanski walisema asilimia 94 waliunga mkono uhuru
waziri steinmeier akiwa na mwenzake wa ukraine andriy deshchytsia mjini kiev siku ya jumanne
msisitizo wa majadiliano
uidhinishwaji wa urusi uliyopooza wa matokeo hayo uliondoa hofu kwa rais vladmir putin kuchukuwa hatua za haraka kuyameza majimbo hayo katika shirikisho la urusi kama alivyofanya kwa jimbo la crimea mapema mwaka huu
lakini moscow imeendeleza shinikizo kwa serikali ya kiev ikisisitiza kuwa mazungumzo kuhusu haki za majimbo hayo yanapaswa kufanyika kabla ya uchaguzi wa rais wa mei 25 na kuituhumu serikali hiyo inayoungwa mkono na mataifa ya magharibi kwa kukataa majadiliano ya kweli
halmashauri ya ulaya imemkaribisha waziri mkuu wa muda wa ukraine arsene yatsenyuk mjini brussels kuonyesha uungaji wake mkono na kujadili hatua inayofuata katika jitihata za kuumaliza mgogoro ambao umeufikisha uhusiano wa mataifa magharibi katika kiwango cha chini kabisaa tangu kumalizika kwa vita baridi
baada ya kufanya mazunguzo na yatsenyuk waziri steinmeier alisema hali nchini ukraine inaendelea kuwa kutisha lakini alielezea matumaini kwamba hatua zinapigwa kuutatua mgogoro huo kwa njia za amani
steinmeier alisema anatumai kuachiwa mara moja kwa wafungwa wote kuyaachia majengo ya serikali na alisitiza umuhimu wa uchaguzi wa rais wa mei 25 sasa hivi macho yetu yameelekezwa tarehe 25 mei na natumai kuwa uchaguzi wa rais unafanyika ili hatimaye tuweze kurejesha hali nzuri nchini ukraine alisema steinmeier
bango la kampeni ya uchaguzi wa rais mjini donetsk
urusi yaukaribisha mpango wa osce
steinmeier alitarajiwa kukutana na rais wa muda oleksander turchynov na baadae asafiri kwenda mji wa kusini wa odessa katika ziara hii ambayo ililenga kuanza utekelezaji wa mpnago wa kuutatu mmgogoro huu uliopendekezwa na osce mjini moscow urusi ambayo pia ni mwanachama wa osce imekabirisha juhudi za shirika hilo na imezungumzia kuunga mkono mpango wake
wizara ya mambo ya kigeni ya urusi imesema leo kuwa inataraji wasi wanaoiunga mkono nchi hiyo wataheshimu mpango wa osce ikiwa serikali ya kiev itasitisha operesheni ya kijeshi mashariki na kuondoa wanajeshi wake taarifa ya wizara hiyo imesema ni muhimu kwa mpango huo kuanza kutekelezwa haraka iwezekanvyo
wakati huo huo urusi imejibu hatua ya marekani kuiwekea vikwazo vya kiteknolojia ambapo naibu waziri mkuu wa nchi hiyo dmitry rogozin amesema kuwa urusi itaipiga marufuku marekani kutumia injini zilizotengenezwa nchini humo kuyatulia makombora na pia urusi haitarefusha mkataba ya matumizi ya kituo cha kimataifa cha angani zaidi ya mwaka 2020
mwandishi iddi ssessanga/apeafpe
steinmeier asisitiza majadiliano ukraine
ujerumani yakaribisha kauli ya putin kuhusu ukraine
tarehe 13052014
maneno muhimu ukraine russia kiev moscow putin steinmeier dw ssessanga iddi
kiungo http//pdwcom/p/1bz0j
ukraine na urusi zawekeana vikwazo vya biashara 24122015
bunge la ukraine alhamisi (24122015) limepiga kura kuipa serikali haki ya kuiwekea urusi vikwazo vya kiuchumi baada ya nchi hiyo kusema kwamba itaisitisha kanda ya biashara huru na ukraine kuanzia januari mosi | 2017-08-16T16:20:55 | http://www.dw.com/sw/diplomasia-yashika-kasi-ukraine/a-17632447 |
dc mwanga aanza kuelekeza nguvu zake kukabiliana na upungufu wa madarasa kamera yangu ' '' var month = [123456789101112] var month2 = [janfebmaraprmayjunjulaugsepoctnovdec] var day = postdatesplit()[2]substring(02) var m = postdatesplit()[1] var y = postdatesplit()[0] for(var u2=0u2
dc mwanga aanza kuelekeza nguvu zake kukabiliana na upungufu wa madarasa
posted by sheila simba on 555 am in kitaifa | comments 0
viongozi mbalimbali wakionekana kushirikiana na wananchi wa kijiji cha kibindu chalinze wilayani bagamoyokatika ujenzi wa madarasa mawili ya shule ya msingi kibindu akiwemo mkuu wa mkoa wa pwani mhandisi evarist ndikilomkuu wa wilaya ya bagamoyo alhaj majid mwanga na kamanda wa polisi mkoani pwani boniventure mushongi(picha zote na mwamvua mwinyi)
serikali wilayani bagamoyomkoani pwaniimeanza kuelekeza nguvu zake katika kukabiliana na uhaba wa vyumba vya madarasa kwenye shule za msingi na sekondari wilayani humo baada ya kukamilisha zoezi la madawati
mkuu wa wilaya ya bagamoyoalhaj majid mwanga aliyasema hayo wakati baadhi ya viongozi wa wilaya walipoweka kambi katika shule ya msingi kibindu jimbo la chalinzekushirikiana na wananchi kwenye ujenzi wa madarasa mawili
alisema zoezi hilo ni la kata zote zilizopo wilayani bagamoyo lengo ni kuhakikisha wanamaliza tatizo la upungufu wa madarasa lililopo kwasasa
alhaj mwanga alisema lengo jingine ni kuhakikisha wanafunzi wanaofaulu kujiunga na kidato cha kwanza na wanaoandikishwa darasa la kwanza mwakani wasikose madarasa ya kusomea
aidha alieleza kuwa kila kata sasa hivi ina siku yake maalum ya kujitolea kufanya shughuli za serikali nje ya siku ya kufanya usafi
tunachokifanya kwasasa ni kuhakikisha tunamaliza tatizo la madarasa wilayani bagamoyohaiwezekani wanafunzi wakasoma kwenye mazingira yasiyo bora hata kidogokwa pamoja tutaweza kuboresha sekta ya elimualisema alhaj mwanga
alhaj mwanga aliomba wananchi wawaunge mkono kumaliza adha ya uhaba wa majengo hasa ya madarasa na vyoo katika shule za msingi na sekondari
nae mkuu wa mkoa wa pwani mhandisi evarist ndikiloalifika katika shule hiyo kutembelea kujua namna ujenzi unavyoendelea na kushirikiana na wananchi katika ujenzi huo
mkuu huyo wa mkoa alimpongeza mkuu wa wilaya hiyo kwa hatua ya kuhamasisha ujenzi wa kuongeza majengo ya madarasa wilayani humo kwani ni jitihada nzuri na ya kuigwa katika wilaya nyingine
mhandisi ndikilo alisema tatizo la upungufu wa madarasa wilayani hapo limebaki historia hivyo ni wakati wa kuunga mkono jitihada za mkuu wa wilaya kuelekeza nguvu katika kutatua changamoto ya uhaba wa madarasa
alisema viongozi wanapaswa kujitoakuwa wabunifu badala ya kujibweteka wakisubiria kufuatwa na wananchi maofisini hali ambayo inapaswa ibadilike
mhandisi ndikilo aliiomba jamii kujenga tabia ya kushirikiana na serikali kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo pasipo kuiachia serikali pekee
aliahidi kuendelea kutafuta wadau watakaoweza kuwezesha vifaa vya ujenzi vitakavyosaidia kumaliza ujenzi uliobakia na kukarabati baadhi ya shule zilizo kwenye zoezi lililoanzishwa na wilaya hiyo
diwani wa kata ya kibindu ramadhani mkufya alisema shule ya msingi kibindu inakabiliwa na changamoto ya madarasa lakini wanashukuru wananchi wamejitolea nguvu kazi ili kukamilisha ujenzi huo
mkufya alisema kwa kushirikiana na mbunge wa jimbo la chalinze ridhiwani kikweteamesaidia mifuko ya saruji 200 na mabati 120 ambayo ndio wameanzia kazi ya ujenzi hivyo wanamshukuru kwa msaada huo
shule hii itakapomalizika itakuwa na madarasa saba na anaomba wadau wa elimu waweze kujitolea misaada mbalimbali ikiwemo nondombao ili kumaliza tatizo la majengo katika shule zilizopo kata ya kibindu alielezea mkufya
mwalimu mkuu wa shule ya msingi kibindu furaha funga alisema mwaka 2014 baadhi ya madarasa katika shule hiyo yaliezuliwa na mvua zilizonyesha kipindi hicho
alisema msaada alioutoa mbunge wa jimbo la chalinze umesaidia kuanza kwa ujenzi wa madarasa hayo ili yaweze kusaidia kuondoa adha iliyopo
mwalimu funga alibainisha kwamba hivi karibuni ridhiwani pia alitoa mabati 800 na mifuko ya saruji 1110 vyenye thamani ya sh26 kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa madarasa ya shule za msingi za machalamalivundo na kwaikonje ikiwemo kibindu
alimshukuru mkuu wa wilaya alhaj mwanga mbunge ridhiwani na mkuu wa mkoa wa pwani mhandisi ndikilo kwa kuonyesha moyo wao wa kuhamasisha nguvu kazi na wadau | 2018-12-19T14:13:49 | http://www.kamerayangu.co.tz/2016/11/dc-mwanga-aanza-kuelekeza-nguvu-zake.html |
ichinomiya car hire quote
ginan (62 miles)
gifu hashima (65 miles)
gifu (80 miles)
kasugai takayamacho (84 miles)
nagoya rail station (99 miles)
kamimaezu station (99 miles)
nagoya nakamura (100 miles) | 2017-10-18T16:54:36 | http://www.elephantcarhire.net/japan/car-hire-ichinomiya.htm |
lowassa akutana na mbowe kumpa mrejesho wa ikulu malunde 1 blog
home siasa lowassa akutana na mbowe kumpa mrejesho wa ikulu
lowassa akutana na mbowe kumpa mrejesho wa ikulu
by malunde tv thursday january 11 2018
waziri mkuu wa zamani edward lowassa amekutana na mwenyekiti wa chadema freeman mbowe ili kumpa mrejesho ya alichozungumza na rais john magufuli
taarifa iliyotolewa leo alhamisi na msemaji wa lowassa imeeleza kuwa kumekuwa na waraka na taarifa nyingi za kupotosha umma kuhusu ziara ya lowassa kwenda ikulu na nyingine zikisemwa zimetoka kwa msemaji wake
taarifa zote hizo siyo kweli na wala siyo rasmi kutoka ofisini kwa mh lowassa baada ya ziara ile mhe lowassa alikutana na mwenyekiti wa chama chake mhe freeman mbowe na kumpa mrejesho wa yaliyojiri ikulu
kumekuwa na taarifa nyingi kwenye mitandao zikiwemo kufunguliwa kwa akaunti mbalimbali feki taarifa zote hizo zipuuzwe kwani zina lengo la kupotosha kwa malengo wanayoyajua wapotoshaji hao pamoja na mawakala wao
taarifa rasmi zitatolewa kwa njia rasmi na watu wenye mamlaka hiyopoleni kwa usumbufu wote
mapema leo asubuhi januari 112018 katika mtandao wa twitter kuna account yenye jina la edward ngoyai lowassa
imepost kuhusu ziara ya mheshimiwa edward lowassa ikulu hivi karibuni
tweet hiyo inasomeka
edward ngoyai lowassa @lowassangoyai
followfollow @lowassangoyai
naheshimu msimamo wa mwenyekiti wangu baada ya mimi kwenda ikulu kuonana na rais magufuli yote aliyoyasema ni malalamiko yetu siku zote lakini mabaya hayawezi kuwa ukuta wa kuzuia mazuri yanayofanywa na serikali hiyo hiyo yasionekane tukosoe lakini pia tupongeze
1004 pm 10 jan 2018
lowassa akutana na mbowe kumpa mrejesho wa ikulu reviewed by malunde tv on thursday january 11 2018 rating 5 | 2018-01-21T12:07:03 | http://www.malunde.com/2018/01/kuhusu-ziara-ya-lowassa-ikulu.html |
afya ya miili yetu | jamiiforums | the home of great thinkers
afya ya miili yetu
discussion in 'jf doctor' started by evarm oct 4 2011
epuka ulaji wa sukari kama kuna kitu kinapendawa sana na watu wengi ni sukari lakini siyo nzuri kwa afya yetu inapotumiwa kupita kiwango kiwango cha kawaida cha sukari kinachoruhusiwa kutumiwa ni kijiko kimoja kidogo (teaspoon) kinapozidi hapo huwa kinachangia kudhoofisha mfumo wa kinga ya mwili inaelezwa kuwa chupa moja ya soda ina karibu vijiko 6 vya sukari hivyo kama wewe ni mnywaji mkubwa wa soda na vinywaji vingine vya aina hiyo utaona ni kiasi gani unaharibu kinga yako ya mwili kadri unavyotumia kila siku
epuka unywaji wa kahawa kirutubisho kiitwacho caffeine kilichomo kwenye kahawa kinaweza kuondoa virutubisho muhimu katika mwili kama vile calcium magnesium na potassium kahawa huweza pia kuathiri mfumo wetu wa fahamu na kusababisha wasiwasi na ukosefu wa usingizi
usinywe kilevi unywaji wa pombe kupita kiasi ni sumu kwa miili yetu kitu cha kwanza kuathirika na ulevi wa kupita kiasi ni ini halikadhalika mfumo wa fahamu nao huathirika hali hiyo hudumaza pia uzalishaji wa seli za damu mwilini (blood cells)
epuka chips vyakula vya kukaanga na kuoka vyakula vya kukaanga kama vile chips na vinginevyo pamoja na vyakula vya kuoka huwa na mafuta mabaya ambayo huwa na tabia ya kutengeneza magonjwa mwilini (fee radicals) ambayo huathiri mfumo wa kinga ya mwili pamoja na chembechembe za nasaba (dna) vyakula hivi ni vya kuliwa kwa nadra sana au kuepukwa kabisa
epuka vyakula vya makopo epuka ulaji wa vyakula vya kwenye makopo na badala yake pendelea kula vyakula fresh na vya asili ulaji wa vyakula vya asili hasa vyakula vitokanavyo na nafaka zisizokobolewa huwa na idadi kubwa ya vitamini madini na kambalishe ambazo ni muhimu sana katika kuimarisha mfumo wa kinga ya mwili
kula kwa wingi mboga mboga kula kwa wingi mboga za majani na matunda zabibu ni miongoni mwa matunda yanayotajwa kuwa na virutubisho vingi vyenye uwezo wa kuzuia mlaji asipatwe na ugonjwa wa saratani aidha inashauriwa kutokula kwa wingi matunda yenye kiwango kikubwa cha sukari kama vile ndizi na maembe ulaji wa matunda haya uwe ni kwa uchache
tumia viungo hivi kila siku vitunguu maji vitunguu saumu tangawizi uyoga nk ni viungo muhimu vya mboga ambavyo vinasaidia sana kuimarisha kinga ya mwili hivyo inashauriwa kuvitumia kila siku katika milo yetu
kunywa maji vuguvugu mengi kila siku unapokunywa maji usinywe maji yaliyoganda au ya baridi sana unapokunywa maji baridi unaupa kazi mwili wako wa kuyachemsha tena hadi kufikia nyuzi joto 986 hivyo pendelea kunywa maji ya uvuguvugu kiasi cha lita moja hadi tatu kwa siku
pata muda wa kulala kutegemeana na umri wa mtu binadamu anatakiwa kupata usingizi kwa muda wa saa 6 hadi 10 kwa siku usingizi hujenga uwiano mzuri wa homoni mwilini na hujenga uzito sahihi wa mwili na kujenga ngozi nyororo yakizingatiwa kwa vitendo mambo yaliyotajwa katika makala haya kinga yako itaimarika na kamwe hutasumbuliwa mara kwa mara na magonjwa ya kawaida
mmh maisha yanazidi kua magumu bila chips yai thenx @evarm
sukari wengi tunaingalia kwa mtazamo tofauti lakini inamadhara makubwa mwilini mwetu tunashukuru mkuu kwa makala haya
sukari wengi tunaingalia kwa mtazamo tofauti lakini inamadhara makubwa mwilini mwetu tunashukuru mkuu kwa makala hayaclick to expand
thank you too fb
nilikuwa natafuta elimu ya huu ugonjwa wa kisukari nashukuru sana kuipata hapa | 2016-12-04T10:35:25 | http://www.jamiiforums.com/threads/afya-ya-miili-yetu.179198/ |
swahili passive tense marker foreign language flashcards cramcom
swahili passive tense marker
by auderosel9 mar 2007
subjects grammar passive swahili
tengenzwa
chemshwa
nunuliwa
ondelewa
shati langu lilitengezwa na mamangu
my shirt was made by my mother
maji yalichmshwa kwa chai
water was boiled for tea
kitabu kilinunuliwa jana
the book was bought yesterday
takataka ziliondelewa
the trash was removed
kukata shauri
kunimbusha
to remind (make remember)
kufungua bao/mabao
to score a goal/goals
kungoja
kusibiri
kuchunga ng'ombe
to care for cattle
kufanya bidii
to work with effort
kutimua mbio
to run/to take off
better/preferably
to disregard/ignore
to rip/tear
kukasirika
kupiga mbinja
kupiga pasi
kukataza
kustaajabu
kufaula
saw (n)
{cdnassetsurlsite_dot_captioncramcompremium_userfalsepremium_setfalsepayrefererclone_setpayreferer_set_titleswahili passive tense markerpayreferer_url\/flashcards\/copy\/swahilipassivetensemarker443561isguesttruega_idua2729091facebook{clientid363499237066029versionv29languageen_us}} | 2017-10-23T08:18:09 | http://www.cram.com/flashcards/swahili-passive-tense-marker-443561 |
karibuni nyasa uhaba wa samaki
uhaba wa samaki
mwandishi wetu vitus matembo amezoea kula samaki huko nyasa lakini kwa sasa analalamika kuwa kuna uhaba wa samaki katika hali ya kawaida miezi ya septemba oktoba mpaka novemba kunakuwa na uhaba wa samaki wa aina fulani kwa wanyasa kuna samaki wanawapenda sana lakini wanapotoweka basi inakuwa tatizo
hivyo kwa sasa samaki wanaopatikana zaidi ni maarufu kama mchukwa lakini samaki aina ya kambale upatikanaji wake ni mgumu kipindi hiki labda kuanzia januari na kwakuwa wanyasa wamezoea kula samaki wanono basi tusmishangae ndugu yetu matmebo akilalamikia kukosekana kwa samaki anaowapenda
ndiyo nyasa yetu raha na changamoto
kwa sasa ununuzi wa kambale unaweza kuuziwa kipande badala ya kambale mzima hapo ni kipande cha kambale akiwa tayari kwa kuuzwa karibuni nyasa
madhumuni amani na upendo familia hisia za moyo kwambe maisha nyasa | 2017-11-24T01:40:52 | http://lundunyasa.blogspot.com/2013/12/uhaba-wa-samaki.html |
mkalimani feki aliyedaiwa kumpotosha mtalii kwa tafsiri aomba radhi tanzania bongoswaggzcom
home / news / mkalimani feki aliyedaiwa kumpotosha mtalii kwa tafsiri aomba radhi tanzania
mkalimani feki aliyedaiwa kumpotosha mtalii kwa tafsiri aomba radhi tanzania
bongo swaggz 1134 am news
mwelekezi huyo wa watalii amesema walikuwa wanafanya utani
mkalimani anayedaiwa kutafsiri maneno yasiyo sahihi kutoka kwa mmoja wa watalii aliyetembea hifadhi ya ngorongoro hatimaye ameibuka na kuomba radhi kutokana na video hiyo iliyosambaa kwa madai kuwa alikuwa katika mazingira ya kufanya utani
awali mkalimani huyo anayeitwa simon sirikwa aliwekwa chini ya ulinzi kutokana kile kilichokuwakinatafsiriwa kudaiwa kuwa kilikuwa kinapotosha uhalisia wa maneno yaliyokuwa yakizungumzwa na mtalii aliyekuwa akisifia kile alichokiona baada ya kutembelea eneo hilo la utalii
hata hivyo katika video mpya aliyoitoa akiwa na mtalii yule yule aliyeonekana katika video ya kwanza amesikika akizungumza kwa lugha ya kiswahili akiomba radhi kwa kile alichokuwa amezungumza kwenye video ya awali
kama mlivyoona video yangu niliyopitisha mimi ni tour guide kwa zaidi ya miaka kumi sasa siwezi kuichafua hii nchi hata kidogo hata aliyetoa hiyo video kwenye facebook kwenda kwenye whatsapp na kuisambaza kwenye makundi ya kijamii atakuwa amekosea amesema sirikwa
lakini ilikuwa ni comedy ilikuwa ni utani na najua kuna watu wamekwazika ila naomba samahani kwa waliokwazika ila kwa mafansi wangu wafuasi wangu endeleeni kupata burudani ila mfahamu sijafanya hichi kitu kwa serious wala sikuwa na makusudio yoyote mabaya asanteni
baadhi ya watu wanaomfahamu sirikwa walipohojiwa na bbc wamemuelezea alivyo mtu wa utani na kwamba anajulikana kwa jina la utani kama mpondamali
haijabainika iwapo sirikwa aliachiliwa huru bila masharti au aliachiliwa huru kwa dhamana
mbuga ya taifa ya serengeti ni maarufu sana kwa watalii
mwanamke mtalii kwenye video hiyo ya pili anasikika akisema hamjambo tena sehemu ya pili ya video yetu tunacheza tu simon alikuwa anafanya ucheshi tu na tulikuwa tunafanya utani tu kidogo kwenye facebook
ijumaa kamanda wa polisi wa kanda hiyo jaffari mohammed aliambia bbc kwamba mwelekezi huyo alikuwa amempotosha mtalii huyo na kwamba polisi walikuwa wakifanya uchunguzi kubaini iwapo alisambaza video hiyo mitandao ya kijamii kinyume na sheria za uhalifu wa kimitandao
sheria hiyo inatoa faini ya kuanzia $1300 (£1000) na kifungo cha kuanzia miezi mitatu jela kwa anayepatikana na kosa la kuchapisha habari za uongo za kuhadaa au za kupotosha kwa kutumia kompyuta
sheria hiyo ilianza kutekelezwa mwaka 2015
mwelekezi huyo alikamatwa kwa azigo la waziri wa utalii jumanne maghembe
mwandishi wa bbc mjini dar es salaam anasema kuwa huenda waziri alihisi kuwa mkalimani huyo alikuwa akimsuta mtalii au alikuwa akimuiga rais john magufuli
kwenye video hiyo asili mtalii anasema
watalii wengi huzuru tanzania kuona wanyamapori
hi ziara yangu nchini tanzania imekuwa nzuri watu ni wazui na wenye urafiki salamu kwa kawaida ni jambo nina furaha kuwa hapa ardhi ni nzuri
mkalimani anatafsiri hivi
anasema watanzania mnalia sana njaa kila siku mnalia nja wakati mna maua nyumbani si mchemshe maua mnywe anasema si vizuri kulia njaa
aina nyingi ya wanyama na watu unaona ni wazuri kinyume na sehemu zingine ni nzuri
anasema mnamuomba rais wenu awapikie chakula kwani rais wenu ni mpishi angahikeni mfanye kazichemsheni hata nguo mnywe
ni kitu mabacho utakikumbuka katika maisha yako yote ni nzuri na ni ya kupendeza
anasema mhangaikeni pembezoni za nchi muache rais hawezi kutoka ikulu akuje kuwapikia chakula hivyo mjipikie wenyewe
mkalimani feki aliyedaiwa kumpotosha mtalii kwa tafsiri aomba radhi tanzania reviewed by bongo swaggz on 1134 am rating 5 | 2017-12-12T21:51:13 | http://www.bongoswaggz.com/2017/02/mkalimani-feki-aliyedaiwa-kumpotosha.html |
jinsi ya kutoa salamu baada ya swalah | firqatu nnajia
jinsi ya kutoa salamu baada ya swalah
swali anapomaliza mwenye kuswali swalah yake na akataka kutoa salaam je aseme assalaam ´alaykum wa rahmatullaahi wa barakatuh kuliani kisha kushotoni au niseme assalaam ´alaykum wa rahmatullaahi tu na ni ipi hukumu ya mwenye kufanya hivyo kwa kuzidisha wa barakatuh
jibu lililothibiti katika sunnah ni kusema wa barakatuh tu hii ndio iko katika shari´ah kusema assalaam ´alaykum wa rahmatullaah tu hili ndilo liko katika shari´ah nako ni kusema assalaam ´alaykum wa rahmatullaahi kuliani na kushotoni ama kuzidisha wa barakatuh wanachuoni wametofautiana na kapokea ´alqamah (radhiya allaahu ´anhu) kutoka kwa baba yake kutoka kwa mtume (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) ya kwamba amesema namna hii assalaam ´alaykum wa rahmatullaahi wa barakatuh lakini riwaayah hii ya ´alqamah ina tofauti kuna wanachuoni ambao wameisahihisha kutoka kwake na kuna wanachuoni ambao wamesema kuwa imekatika (isnadi yake) muislamu anatakiwa asizidishe aula na bora zaidi aishie kwa kusema wa rahmatullaah na mwenye kuzidisha kwa kudhani kuwa ni sahihi au hajui mambo haya hakuna neno na swalah yake ni sahihi lakini bora zaidi ni kutozidisha hivi ndivyo walivyosema wanachuoni na kufanyia kazi jambo lililothibiti na lenye nguvu
jinsi ya kutoa salamu baada ya swalah swali anapomaliza mwenye kuswali swalah yake na akataka kutoa salaam je aseme assalaam ´alaykum wa rahmatullaahi wa barakatuh kuliani kisha kushotoni au niseme assalaam ´alaykum wa rahmatullaahi tu na ni ipi hukumu ya mwenye kufanya hivyo kwa kuzidisha wa barakatuh jibu lililothibiti katika sunnah ni kusema wa barakatuh tu hii ndio iko katika shari´ah kusema assalaam ´alaykum wa rahmatullaah tu hili ndilo liko katika shari´ah nako ni kusema assalaam ´alaykum wa rahmatullaahi kuliani na kushotoni ama kuzidisha wa barakatuh wanachuoni wametofautiana na kapokea ´alqamah (radhiya allaahu ´anhu) kutoka kwa baba yake kutoka kwa mtume (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) ya kwamba amesema namna hii assalaam ´alaykum wa rahmatullaahi wa barakatuh lakini riwaayah hii ya ´alqamah ina tofauti kuna wanachuoni ambao wameisahihisha kutoka kwake na kuna wanachuoni ambao wamesema kuwa imekatika (isnadi yake) muislamu anatakiwa asizidishe aula na bora zaidi aishie kwa kusema wa rahmatullaah na mwenye kuzidisha kwa kudhani kuwa ni sahihi au hajui mambo haya hakuna neno na swalah yake ni sahihi lakini bora zaidi ni kutozidisha hivi ndivyo walivyosema wanachuoni na kufanyia kazi jambo lililothibiti na lenye nguvu mhusika imaam ´abdul´aziyz bin ´abdillaah bin baaz mfasiri firqatunnajiacom marejeo nuur ´alaaddarb imechapishwa 30/03/2018 http//firqatunnajiacom/jinsiyakutoasalamubaadayaswalah/ | 2018-07-16T04:56:58 | http://firqatunnajia.com/jinsi-ya-kutoa-salamu-baada-ya-swalah/ |
mguu uliopotea kwa ajali ya nguvu hasisehemu ya mwisho utambuzi na kujitambua
mguu uliopotea kwa ajali ya nguvu hasisehemu ya mwisho
posted by shaban kaluse on 4/11/2010 123400 pm email pinterest
nilihisi kama wepesi fulani huko chini nilipokaguia niligundua kwamba sikuwa na mguu wa kushoto
ilinichukua muda kabla sijakumbuka kilichotokea polepole nilikumbuka kutoka iringa morogoro bado mlandizi sikukumbuka tena kitu ilinichukua muda kukumbuka ajali na kumkumbuka waridi nisingeweza kumuuliza mke wangu au yeyote pale kuhusu waridi lakini nilikuwa na uhakika kwamba alikuwa amekufa
nilianza kububujikwa na machozi nilijaribu kusema lakini sikuweza ni midomo tu iliyokuwa ikicheza
amekufa amekufa uso wangu sasa naupeleka wapi nauweka wapi jamani mke wangu alisema na kuangua kilio nilimwelewa wale watumishi wenzangu walimtuliza`tuangalie na kujali hali ya mgonjwa kwanza` walimwambia
ni kweli waridi alikufa palepale kwenye tukio la ajali na mimi ni bahati tu kupona na kukatwa mguu mmoja badala ya miguu miwili na mikono nilikuwa na uhakika kwamba makovu ya mwilini baada ya kupono yangekuwa yanatisha
kila kitu kilifahamika baada ya siku ya tatu tu mume wa marehemu waridi alirejea safarini na kusimuliwa kila kitu aliahidi mbele za watu kwamba angenimaliza na mimi iwe kwa mvua au jua nilipopata taarifa hizo nilicheka kwa sababu niliona akifanya hivyo angekuwa amenitua mzigo mzito labda aliambiwa baadaye nilivyokuwa nasema ndiyo maana hakunifanya lolote
nilitoka hospitalini nikiwa na mguu mmoja baada ya miezi mitatunilikuwa na nafuu kidogo mke wangu alishaanza uhusiano na yule mfanyabiashara na hakunificha ilibidi nifikie mahali niombe talaka talaka ilitolewa na kuwaacha waendelee hatimaye mwaka 1985 walioana ingawa ndoa yao ilivunjika mwaka 1990 kwa makeke na vurugu kubwa
mimi nimepunguzwa kazi mwaka juzi na hivi sasa nina shughuli zangu nilikuja kuoa mwaka 1987 mke ambaye tunaelewana sana na amekuwa ndiye kiongozi wangu kwa mambo mengi tuna watoto wanne kuna watu wanapenda kuniita zubeir kaguu kwa siri nawaomba waniite kabisa kwa nguvu kwa sababu ninastahili
tunajifunza kutoka kwa wengine kama tumeemua kujifunza ka wale ambao wameamua kujifunza kupitia habari hii ni wazi watakuwa wamejifunza kitu kikubwa na cha maana sana
wataalamu wa uhusiano wanadai kwamba mtu anapotoka nje ni lazima atafumaniwa kama hatafumaniwa mwaka wa tatu tangu uhusiano wake na huyo mpenzi wake kuanza basi ni lazima atafumaniwa kabla ya mwaka wa sita wa uhusiano huo haramu
kinachofanya mtu afumaniwe ni ule ukweli kwamba baada ya kuzoea mtu hujisahau na kuweka ngao yake ya kujikingia chini badala ya kwenda mbali kufanya mapenzi watu watafanyia karibu badala ya kuwaficha watu ataambiwa mmoja ambaye anaitwa rafiki yangu wa kufa na kuzikana na hisia za umiliki badala ya wizi hujijenga
kufumwa kunaweza kusababishwa na chochote kati ya hayo au mangine kwa mfano ajali ambayo imewatoa hadharani marehemu waridi na zubeir inatokana na kuzoeana ambako kumeondoa hofu ya wizi wa `mali ya mtu`na kuwafanya wote kila mmoja kuamini kwamba huyo mwenzake ni mali yake
unaweza ukaamini kwamba wewe ni mjanja na una maarifa mengi sana katika kukanusha katika kuteleza usifumaniwe lakini kwa sababu ni nguvu mbovu unazozippanda ni lazima utazilipia kwani zitakurudia tu utake usitake
unapotoka nje jiandae kunaswa siku isyo na jina kama utaacha kabla hujanaswa siyo kwa sababu ni mjanja bali ni kwa sababu hiyo nguvu uliyopanda ilikuwa haijakamilishwa mzunguko wake
unapoonywa na mpenzi wako unapooneshwa wasiwasi kwamba unatoka nje kama ni kweli inabidi uache kama utaendelea jua tu kwamba utapata shida utaumia baadaye
**************mwisho******************
chacha o'wambura aka ng'wanambiti monday april 12 2010
na kufumaniw si lazima uwe ktk tendo hata sms tu yaweza kukutoa udenda na hapo fumanizi likawa kama vile umebambwa livelol
kweli hujafa hujaumbika ( | 2018-01-20T08:53:01 | http://kaluse.blogspot.com/2010/04/kila-kitu-kilikuwa-peupe-ilipoishia.html |
wafanyabiashara watakiwa kufanya kazi kwa bidii
imetumwa october 10th 2018
naibu waziri wa viwanda biashara na uwekezaji mhandisi stella martin manyanya amewataka wafanya biashara kufanya kazi kwa bidii ili kujiletea maendeleo yao binafsi na nchi kwa ujumla
akizungumza na wafanya biashara wa mji wa nachingwea jana katika ukumbi wa mondlane amewataka wafanyabiashara hao kutambua biashara yeyote ina changamoto nyingi kwani ni sawa na maisha ya binadamu
niwapongeze sana wafanyabiashara kwa kuacha shughuli zenu na kujitokeza kwa wingi wizara yetu ni walezi na tunawashukuru wananchi kuitikia wito wa kuelekea katika tanzania ya viwanda alisema mheshimiwa manyanya
aidha katika risala yao kwa naibu waziri wafanyabiashara hao walimueleza naibu waziri kuwa wanashindwa kufanya biashara kwa tija kutokana na uwepo wa kodi nyingi holela mfano kodi za zimamoto kodi ya mapato isiyoendanda na wanachozalisha
akijibu malalamiko yao amewataka wafanyabiashara kulipa kodi kwani ndizo zitakazosaidia wao kupata huduma bora amedai kuwa wafanyabiashara na serikali wanategemeana hivyo ni wajibu wa kila mmoja kushirikiana mwenzie
naibu waziri amefanya ziara ya siku moja katika wilaya ya nachingwea ambapo pamoja na kuongea na wafanyabiasha amekagua viwanda vya mafuta iulu na kiwanda cha kubangua korosho cha lindi famers ambavyo vyote havifanyi kazi kwa sasa
tangazo la mkutano wa baraza la madiwani july 20 2018
tangazo la kuitwa kazini june 19 2018
vijana watahadharishwa kujihari na wanafunzi
wananchi wampongeza rais magufuli
soko kuu nachingwea kukarabatiwa
msimu wa ununuzi zao la korosho kwa mwaka 2018/2019 wazinduliwa rasmi | 2018-11-21T00:31:54 | http://www.nachingweadc.go.tz/new/wafanyabiashara-watakiwa-kufanya-kazi-kwa-bidii |
rudisha rasilimali kwa wananchi september 2010
uzinduzi wa ilani ya uchaguzi ya wapiga kura 2010 kwa maandishi ya nukta nundu
po box 8921 dar es salaam tanzania gender resource centre mabibo road adjacent to the national institute of
transport (nit) tel 255 22 2443450/ 2443205/ 2443286 mobile 255 7 0754 784050/ 0754 788706 fax 255 22 2443244 email
tgnp@tgnpcotz website wwwtgnpcotz
uzinduzi wa ilani ya uchaguzi ya wapiga kura 2010 kwa maandishi ya
nukta nundu
mtandao wa jinsia tanzania (tgnp) unatarajia kuzindua ilani ya uchaguzi ya wapiga kura 2010 kwa maandishi ya nukta nundu maalum kwa ajili ya wasioona kesho jumatano tarehe 29 septemba 2010 kuanzia saa nne asubuhi katika viwanja vya tgnp barabara ya mabibo karibu na chuo cha usafirishaji
ilani ya uchaguzi ya wapiga kura 2010 ilizinduliwa rasmi mwezi juni mwaka huu kutokana na madai ya wapiga kura na kwa kutambua umuhimu wa ushiriki wa wenzetu wasioona tgnp ikishirikiana na sauti ya wanawake wenye ulemavu tanzania ( swauta) wametoa nakala za ilani ya wapiga kura 2010 kwa maandishi ya nukta nundu ili nao waweze kutoa sauti zao washiriki na kuchangia mijadala mbalimbali ya uchaguzi inayoendelea nchini kote
kuzinduliwa kwa ilani kwa maandishi ya nukta nundu kutasaidia kuboresha ufikiaji na kufahamika kwa madai ya wapiga kura katika uchaguzi mkuu ujao hususan kwa makundi ya walemavu wasioona
aidha ilani hii itawezesha wenzetu wasioona kutumia haki yao ya msingi kuweza kushiriki kikamilifu katika mchakato wa uchaguzi mkuu ujao mwezi oktoba kwa kuhoji sera za wagombea kutoa madai yao katika kampeni na midahalo inayoendelea nchini kote na kuweka mikakati ya kufuatilia na kudai uwajibikaji wa serikali na viongozi watakaoingia madarakani katika kuhakikisha haki usawa na kuboresha huduma kwa watu wenye ulemavu wa aina zote
tgnp inakuwa mojawapo ya mashirika machache sana kuandaa nyaraka muhimu kama hizi katika mfumo wa maandishi ya nukta nundu ukiacha vitabu vya kufundishia vinavyoandaliwa na serikali kwa ajili ya kutumika mashuleni aidha huu ni mwendelezo wa mipango ya tgnp ya kuyafikia na kushirikiana zaidi na makundi yaliyoko pembezoni katika ujenzi wa tapo la harakati za ukombozi wa wanawake kimapinduzi
wanajamii wote wanahamasishwa kushiriki katika tukio hili la kihistoria
imendaliwa na mtandao wa jinsia tanzania (tgnp)
na kusainiwa na mkurugenzi wa tgnp usu mallya
wanamtandao wampa dk slaa ushindi 76
daily news walimkubali kwa 60
synovate wakana madai ya chadema kumpa 45
ingekuwa jf (jamiiforums) inasomwa na asimilia 50 tu ya watanzania wote basi dk slaa angepita kiurahisi sana lakini kwa kuwa wengi hawapiti humu inabidi juhudi za ziada zifanyike kushinda
kura za maoni zilizokuwa zikiendeshwa na daily news zikiwa na swali will dr slaa win the presidential race (je dk slaa atashinda urais) zilionyesha kwamba kati ya watu 161 wa mwanzo waliopiga kura walionyesha kumpa dk slaa asilimia 6087 na hapana walikuwa asilimia 2857 kabla ya kura hizo kusitishwa kutokana na taarifa za kuwapo hofu ya uchakachuaji uliodaiwa kufanywa na wafuasi au wapinzani wa dk slaa
mwazilishi wa mada hiyo ya kura za maoni aliweka swali jemtanzania gani anafaa kuwa rais wetu 2010 kabla hata ya majina ya wagombea kutangazwa na yeye mwenyewe kutangaza kuwania nafasi hiyo dk slaa alikuwa akitajwa kuwania nafasi hiyo na orodha ya majina kubandikwa mtandaoni badaa ya tume ya taifa ya uchaguzi (nec) kutangaza orodha ya wagombea hao
wanachotakiwa kukifanya sasa hivi ni kumchagua mtu tofauti kabisa ccm hawawezi kubadilika rais ni nafasi ya slaa sasa kwa ajili ya kusafisha na kuziba mianya ya ufisadi mkubwa baada ya hapo tunaweza kuchagua rais mchumi ili ajenge uchumi wa nchi kwa sasa lazima tuondoe ufisadi kwanza ccm hawawezi kuuondoa
kikwete alisema anawajua wala rushwa wauza madawa ya kulevya wezi wa epa waliorudisha fedha na wale wahujumu wa bandarini lakini kashindwa kuwataja wala kuchukua hatua ilhali yeye tumempa mamlaka yote kikatiba ili ailinde nchi hii na mali zake
slaa ni mzalendo wa kweli maana pamoja na kuwa hana mamlaka ya kuwafanya lolote mafisadi lakini kawataja hadharani bila woga au kuumauma maneno ingawa anajua hatari inayomkabili kupambana na watu wa aina hiyo huyu akipewa mamlaka ya kuongoza nchi mafisadi wezi wa mali za umma nk itabidi wakajichimbie makaburi wajizike wenyewe slaa ndio rais anayefaa kwa wakati huu tulionao anasema mchangiaji mmoja wa jamiiforums
cuf chadema vyafanya mdahalo wa wagombea vijana
mdahalo wa wagombea wa ubunge vijana wa vyama vya cuf na chadema umefanyika na kufana bila kuwepo kwa wagombea ubunge wa ccm
mdahalo huo ulioongozwa na mwanaharakati jenerali ulimwengu ulitoa nafasi kwa wagombea hao kuonesha uwezo wao wa kutetea ilani za vyama vyao tofauti na ilivyokuwa ikidaiwa na ccm ambayo imekataza wagombea wake wasigombee
katika mdahalo huo wagombea hao walipewa nafasi ya kuelezea sera za vyama vyao na ahadi zilizopo katika ilani za vyama vyao kuhusu changamoto kadhaa za kijamii na kiuchumi kabla ya wananchi kupewa fursa ya kuwauliza maswali
ccm katika maelezo yake ya kukataa kushiriki katika midahalo yote ya wagombea moja ya sababu za kufikia uamuzi huo ilisema kuwa ni kutokana midahalo hiyo na kutawaliwa na malumbano na matusi kuliko fursa ya wagombea kutangaza sera
lakini jana katika mdahalo huo uliorushwa moja kwa moja na kituo cha televisheni cha itv kila chama kilipewa muda sawa na kingine kujibu hoja kwa kueleza ahadi zilizoko katika ilani zao za uchaguzi kwa wananchi na kuonesha uwezo wa vijana hao kujibu hoja
katika hoja ya muungano mgombea wa chadema katika jimbo la kigoma kaskazini zitto kabwe ambaye aliongoza upande wa chama hicho alisema chama hicho kitaimarisha muungano ili utumike kama mfano katika kujenga muungano wa afrika mashariki na hatimaye muungano wa afrika
alisema lengo la kuimarisha muungano ni kutimiza ndoto za waasisi wa dhana ya muungano wa afrika kwame nkrumah na mwalimu julius nyerere
kwa upande wa cuf mgombea wa ubunge wa ubungo kupitia chama hicho julius mtatiro ambaye alionekana kuongoza upande wa chama hicho alisema wamedhamiria kuanzisha serikali tatu ili kuondoa malalamiko ya kero za muungano
kuhusu serikali zao zitakavyotekeleza sera za kutoa elimu na afya bure mtatiro aliwataka watanzania wawape kura wagombea wa cuf ili waoneshe namna ya kubana matumizi na kupeleka fedha zinazopotea katika kutoa huduma hizo
alisema katika serikali ya cuf ikibidi mawaziri watapanda teksi ili kubana matumizi
kwa upande wa chadema zitto alisema kama nyerere aliweza kutoa elimu na afya bure kwa kutumia fedha za katani na kahawa chama hicho kitatoa huduma hizo bure kwa kutumia fedha za dhahabu gesi na tanzanite
umahiri wa kujibu hoja wa wagombea hao ambao cuf walikuwepo wawakilishi watatu na chadema wawakilishi watano ulimfanya msimamizi wa mdahalo huo ulimwengu kuhitimisha kwa kauli kuwa vijana wanaweza
mdahalo huu umeonesha vijana wanaweza kutetea taifa laowao ni taifa la leo kesho na kesho kutwa wakati wazee ni taifa la leo jana na juzi alisema
unfpa executive director thoraya ahmed obaid today called on world leaders to increase funding for reproductive health including family planning and place womens health at the centre of their national plans
posted by gdss at 1001 am no comments links to this post
synovatembowe muongo
taasisi ya utafiti ya synovate imesema haijafanya utafiti wowote kuhusu wagombea wa nafasi za urais unaoonesha kuwa mgombea wa chadema dk willibrod slaa anakubalika zaidi na wananchi
baadhi ya vyombo vya habari (si gazeti hili) jana vilimnukuu mwenyekiti wa chadema freeman mbowe akisema kuwa chadema ina matokeo ya kura za maoni za synovate yanayoonesha kuwa dk slaa anakubalika kwa asilimia 45 akifuatiwa na rais kikwete mwenye asilimia 41
kwa mujibu wa taarifa hizo mbowe anadaiwa kusema kuwa takwimu hizo hazikutolewa septemba 14 walipotoa taarifa za namna vyombo vya habari vinavyoripoti kampeni za uchaguzi mkuu
akizungumza na waandishi wa habari jana dar es salaam meneja wa synovate aggrey oriwo alisema taarifa hizo ni za kughushi hazina ukweli wowote na zinaupotosha umma kwa kuwa hawajawahi kufanya utafiti wowote unaohusu kukubalika kwa wagombea wa urais
kauli ya mbowe imetukera sana na magazeti yalioandika pia yametukera hakuna ukweli wowote na sisi ni kampuni huru hatuwezi kubania taarifa yoyote hatuegemei upande wowote tayari tumewasiliana na vyombo husika vya habari na tumeandika barua kwa baraza la habari tanzania (mct) kulalamikia suala hilo alisema oriwo na kumtaka mbowe kuweka bayana ushahidi kuhusu takwimu hizo
kwa mujibu wa vyombo vya habari vya jana mbowe alitoa kauli hiyo katika mkutano wa kampeni uliofanyika sanya juu mkoani kilimanjaro
alidai sababu za kutotolewa utafiti huo zinatokana na ccm kuikataza taasisi hiyo kufanya hivyo meneja huyo hakuwa tayari kuweka bayana kama watafanya utafiti kuhusu wagombea hao kwa madai kuwa wakati huu wa kampeni utafiti kama huo una hatari
alisema kazi zao zina mipaka na utafiti kama huo ukifanyika watautoa kwa jamii kupitia vyombo vya habari kama ambavyo wamekuwa wakifanya
posted by gdss at 253 pm no comments links to this post
kampeni pemba kuwa za kitanda kwa kitanda
mgombea mwenza wa urais wa tanzania kupitia ccm dk mohammed gharib bilal amewaomba wananchi wa pemba wampigie kampeni ya kitanda kwa kitanda nyumba kwa nyumba na mtaa kwa mtaa mgombea wa kiti cha urais zanzibar dk ali
mohammed shein ili aingie ikulu kwani uwezo wa kuongoza anao
naye dk shein amewaambia wananchi hao kuwa safari yake ya kwenda ikulu imeanza huku akidai wakimchagua atahakikisha anaweka sawa yale ambayo yamekuwa yakiwatatiza
kauli hizo zilitolewa jana kwenye uwanja wa gombani ya kale mjini hapa ambapo chama hicho kilikuwa kinazindua kampeni za mgombea huyo wa urais upande wa kisiwa cha pemba baada ya juzi kufanya hivyo viwanja vya kibandamaiti upande wa kisiwa cha unguja
huku akishangiliwa na wananchi waliofurika kwenye viwanja hivyo kutoka maeneo mbalimbali ya pemba dk shein alisema safari yake ya kwenda ikulu ilianza jana kwenye viwanja hivyo upande wa pemba kama ilivyokuwa kwa rais wa zanzibar amani karume mwaka 2000 alipoanzia safari yake ya kwenda ikulu kwenye viwanja hivyo
safari yangu ya ikulu imeanza leo gombani ya kale sasa ni pakubandika pa kubandua moja mbili wahedi thinina (kiarabu) na kiingereza onetwo mpaka ikulu
nasema mambo ya pemba sasa yatakuwa bomba alisema dk shein na kufafanua kuwa mwaka 2000 rais karume alifika kwenye eneo hilo na kuwaomba wananchi wampe kazi ya urais awatumikie naye pia amefanya hivyo
aliwaomba wakazi wa pemba wamuombee dua ashinde na pia aweze kuwatumikia wazanzibari kwani uwezo huo anao na ataendeleza yote yaliyofanywa na rais karume
alisema huu si wakati wa wazanzibari kufanya makosa kwani nchi imefikia hatua nzuri kimaendeleo hivyo wasirudi nyuma badala yake wampe yeye nafasi afanye mambo mazuri zaidi na kama wapo wanaohitaji kunong'onezwa ili wampigie kura lifanyike wanaohitaji kupigiwa hodi vyumbani nao pia wafanyiwe hivyo
alieleza kuwa kwa jinsi alivyofanya kazi na rais jakaya kikwete na anavyomfahamu dk bilal wakishinda itakuwa ni mteremko tu ni kama maji kushuka kwenye mlima
naye rais karume akizungumza kabla ya kumkaribisha dk shein alisema ccm imemteua kuwania nafasi hiyo kwa vile inamuamini kwamba anaweza kutekeleza ilani ya uchaguzi ya chama hicho kwa ufanisi
aliwaeleza wananchi kuwa dk shein ni mtu mzuri muungwana shupavu hodari na ana uwezo wa kufanya kazi jambo ambalo ndilo kubwa na kuwakumbusha wananchi wa pemba jinsi mwaka 2000 rais mstaafu wa tanzania ali hassan mwinyi alivyosimama kwenye viwanja hivyo kumpigia debe yeye akisema ni mtu makini na mwenye uwezo
mzee mwinyi alisema maneno mazito na namnukuu alisema namfahamu vizuri karume ni mtu mzuri anaweza kusuluhisha nyoyo za wazanzibari
nawauliza nyie hapa leo tumefanya hilo au hatukufanya alihoji na kuitikiwa na kauli ya ndiyo hivyo kuongeza kuwa naye ana imani na dk shein
alisema mambo mbalimbali yaliyofanywa na serikali yake anaamini dk shein ndiye anayeweza kuyaendeleza hivyo ni jukumu la kila mmoja kutimiza wajibu wake na kufanya kampeni ili dk shein amiminiwe kura
posted by gdss at 342 pm no comments links to this post
cuf ikishinda chenge kukamatwa
chama cha wananchi (cuf) kimesema kikichaguliwa kuingia ikulu ndani ya siku 11 watamkamata mgombea wa ubunge wa bariadi magharibi andrew chenge na kumuweka chini ya ulinzi
mkurugenzi wa siasa na naibu meneja wa kampeni wa chama hicho mbarala maharagande aliyasema hayo juzi wakati akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika katika eneo la kituo cha basi cha zamani mjini hapa
aliilaumu serikali kwa kile alichodai kuwa imewaacha watuhumiwa wa rushwa kuwania nafasi za uongozi za kisiasa jambo linaloisumbua jamii
tayari tumekubaliana kama chama kwamba hatutawavumilia wala rushwa ambao majina yao yameorodheshwa tutavalia njuga suala hili na kwa kuanza tutamkamata chenge katika siku kumi na moja baada ya uchaguzi tukiingia madarakani alisema
maharagande pia alizungumzia hali duni ya maisha ya wananchi sambamba na huduma mbovu za jamii katika jimbo la bariadi magharibi ambako mgombea mwenza wa urais wa chama hicho juma duni haji alikuwepo akifanya kampeni katika vijiji vya manemhi na mihango
alisema watamshitaki chenge kwa matumizi mabaya ya madaraka aliyoyafanya wakati akiwa mwanasheria mkuu wa serikali (ag) na waziri wa maendeleo ya miundombinu kwa kuingia mikataba mibovu ikiwa ni pamoja na ule wa ununuzi wa rada
ni aibu kujua kuwa nusu ya watu wa bariadi magharibi hawana viatu hasa katika wakati huu wa maendeleo ya sayansi na teknolojia na mbunge wenu hafanyi jitihada zozote kuwakwamua katika hili alisema maharagande
katika hatua nyingine maharagande alimkosoa spika wa bunge samuel sitta kwa maoni yake aliyodai hayakuwa na busara kuhusu baadhi ya ahadi zilizotolewa na wagombea wa urais wa upinzani
maharagande alidai sitta aliidhinisha matumizi ya fedha nyingi katika ujenzi wa ofisi yake na hakutarajiwa kutoa maneno hayo na kulalamika kuwa nchi ni masikini na hakupaswa kutumia kiasi chote hicho cha fedha
tatizo pekee hapa ni matumizi mabaya ya rasilimali za taifa na kutokuwa na vipaumbele lakini kama tukitumia hekima katika matumizi ya rasilimali zetu tungefanya makubwa
haileti maana ni kwa namna gani sitta aliridhia kiasi hicho cha fedha kwa ujenzi wa ofisi yake wakati barabara ya kwenda jimboni humo imejaa vumbi alisema
posted by gdss at 114 pm no comments links to this post
slaa amuweka pabaya salma
atumia nyenzo za serikali kumkampenia mumewe
kinana amtetea
mwenyekiti wa kampeni za chama cha mapinduzi (ccm) abdulrahaman kinana amekiri kuwa mke wa rais salma kikwete hutumia ndege za serikali wakati wa kumfanyia kampeni mume wake rais jakaya kikwete na wagombea wengine wa chama hicho katika nafasi za ubunge na udiwani
hata hivyo kinana amemtetea salma kikwete kwa kusema kwamba hakuna sheria iliyovunjwa kwa kuwa ndege hizo hukodishwa
kwa mujibu wa kinana hata mgombea urais wa ccm kikwete wakati mwingine hutumia ndege za serikali kwa kukodi pindi inapotokea ndege za mashirika binafsi zinazoaminika kwa usalama zimekodiwa na watu wengine
ufafanuzi huo wa kinana unatokana na tukio la mke wa rais salma kuwasili mkoani mara kwa ndege ya serikali aina ya focker 50 yenye namba 5htgf na kupokewa na viongozi wa serikali akiwamo mkuu wa mkoa enos mfuru kamanda wa polisi mkoa wa maram robert boaz mkuu wa wilaya ya musoma geofrey ngantuni na viongozi wengine wa mkoa na ngazi ya wilaya wote wakifika uwanjani hapo kwa kutumia magari ya serikali
baada ya kuwasili na kupokewa na wanaccm uwanjani hapo tofauti na ziara nyingine ambazo zimekuwa zikitangazwa ili wananchi wajitokeze kumpokea wakati huu haikutangazwa na hivyo alipokewa na watu wanaoaminika wafuasi wa ccm waliopewa taarifa kwa masharti ya kutotangaza ujio huo
kiongozi huyo baada ya kupokewa na kukagua vikundi vya ngoma alipanda katika gari lililokuwa na namba za kiraia aina ya vx v8 land cruiser t206 bjy lakini linaloaminika kuwa ni la serikali huku ujumbe wake ukitumia pia magari ya serikali kuelekea ikulu ndogo mjini musoma
akizungumzia hali hiyo kinana alikiri salma kutumia ndege ya serikali na kwamba si katika safari yake ya musoma tu bali hata alipokwenda mwanza alitumia ndege ya serikali alisema ndege hiyo imekuwa ikikodiwa kutoka kwa wakala wa ndege wa serikali na kwamba mtu yeyote anaruhusiwa kukodi ndege hizo
tumekuwa tunatumia ndege za serikali kwa kukodi hasa pale ndege za mashirika binafsi ambazo tunaziamini kwa maana ya usalama wake zinakuwa zipo kwenye matumizi mengine kwa hiyo hatuwezi kutumia ndege nyingine tusizoziamini kiusalama na kwa hivyo tunakodi ndege hizo tunazo risiti za malipo na mtu yeyote anaweza kukodi ndege hizo
kuna upotoshaji tu unafanywa na watu ambao wanajua ndege hizo zinaweza kukodiwa na yeyote kwa hiyo mgombea wetu wa urais aliwahi kutumia ndege hiyo katika baadhi ya kampeni na mama salma ameitumia mara kadhaa alisema kinana na kusisitiza kuwa ccm inatambua vyema masharti ya sheria zote za uchaguzi mkuu na haiwezi kufanya kinyume kwa kuwa sheria hizo zimepitishwa chini ya serikali ya chama hicho
hata hivyo kinana hakufafanua matumizi ya magari ya serikali katika mikutano ya kampeni ya kikwete ambayo mama salma anaifanya akiandamana na viongozi wa mikoa
wakati ccm ikitoa ufafanuzi huo wa matumizi ya salma kikwete ya ndege ya serikali taarifa zaidi kutoka mkoani mara kuhusu ziara ya mama huyo zinaeleza kuwa alizuru wilaya ya bunda baada ya kumaliza shughuli zake wilayani musoma
akiwa wilayani bunda alifanya mkutano wa ndani wa umoja wa wanawake wa ccm (uwt) na pia ratiba ilimuelekeza kwenda jimbo la mwibara jumatatu wiki hii lakini alishindwa kufanya hivyo kutokana na eneo hilo kuwapo mgombea wa urais wa chadema dk willbrod slaa
taarifa hizo zinabainisha kuwa pamoja na kuwapigia debe wagombea wa ccm akiwamo mumewe rais jakaya kikwete salma amekuwa akijitahidi kufanya usuluhishi wa makundi ili kuvunja kambi zilizoibuka wakati wa mchakato wa kura za maoni ndani ya ccm
hoja ya ufisadi inayotumiwa kumtambulisha dk slaa ikionekana kumbeba katika taswira ya kukubalika zaidi kwa wapiga kura imekuwa pia ikitolewa ufafanuzi na salma kikwete katika ziara zake hizo
kwa mujibu wa taarifa zilizotufikia salma amekuwa akizungumzia hoja ya ufisadi kwa maelezo kuwa serikali ya ccm imefanya na inaendelea kufanya kazi kubwa kupambana na vitendo hivyo ambavyo alidai vilikuwapo tangu enzi za tanu tanu ndiyo moja ya chama kiasisi cha ccm kikiwa na rekodi ya kuongoza mapambano ya kudai uhuru
jamani hata nyumba haiwezi kujengwa kwa siku moja nawaomba sana kuvunja makundi na kuwa pamoja na walioshindwa kura za maoni ili kuhakikisha ccm inashinda na hili ndilo lengo kuu la ziara yangu hapa muende nyumba hadi nyumba kueleza mafanikio ya serikali ya rais kikwete ili wananchi watambue pumba na mchele ni upi alisema
slaa awasha moto upya
ataka majibu ya kagoda tangold
asisitiza hatanyamaza hadi kieleweke
mgombea urais kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) dk willibroad slaa ameibua mzimu wa kampuni ya kagoda inayodaiwa `kukwapua sh bilioni 40 katika akaunti ya madeni ya nje (epa) ya benki kuu ya tanzania (bot)
dk slaa amemtaka mgombea wa nafasi kupitia ccm rais kikwete kutafuta suluhu dhidi ya kashfa ya kagoda ili awatendee haki watanzania
alikuwa akihutubia katika mkutano wa hadhara kwenye viwanja vya shule ya msingi mukendo mjini hapa
dk slaa alisema kikao kilichofanikisha kuchotwa fedha hizo katika benki ya crdb kilifanyika chini ya uenyekiti wa rais wa awamu ya tatu benjamin mkapa
kwa mujibu wa dk slaa kikao hicho kilihudhuriwa pia na mbunge wa igunga aliyemaliza muda wake rostam aziz
alidai kuwa chadema imeshatoa ushahidi wa kina kuhusiana na wizi wa epa lakini katika hali ya kushangaza rais kikwete amekuwa na kigugumizi kwa kampuni ya kagoda
kukaa kwako kimya kunamaanisha kuwa fedha hizo ndizo zilikuingiza madarakanitunataka kujua kagoda ni kampuni ya nani mbona unapata kigugumizi alihoji
dk slaa alisema hawezi kufunga mdomo bila asizungumzie kashfa hiyo mpaka hatua zitakapochukuliwa dhidi ya kagoda na kampuni ya tangold
tangold ambayo tulielezwa ni ya serikali ilisajiliwa mauritius na mmoja wa wanahisa ni andrew chenge lakini tunaambiwa mwenye hisa anaweza kuzimilikisha kwa mke mtoto au mpwahivi mpwa wa serikalini nani alihoji
dk slaa alifafanua kuwa sh bilioni 155 zilizopelekwa katika mgodi wa buhemba kupitia tangold zingeweza kuboresha sekta ya elimu nchini
sitta ashutumiwa kulindana pia dk slaa alimshukia mgombea ubunge wa jimbo la urambo mashariki (ccm) samuel sitta na kumwita mnafiki katika masuala yanayohusu maslahi ya umma
alidai kuwa sitta aliyekuwa spika wa bunge lilimaliza muda wake alitumia cheo hicho vibaya kuizima kashfa ya richmond bungeni
pia alidai kuwa sitta alimkataza (dk slaa) kuzungumzia mishahara minono ya wabunge
niliposimama bungeni kuhoji ni sehemu gani tanzania petroli inauzwa sh 2500 sitta alinitaka nikae kimya na akasema taarifa yangu isiingie kwenye hansard wabunge wanaelea kwenye anasa sitta anataka posho iongezwe alisema
alidai kumpigia simu sitta lakini hakupokea hivyo akalazimika kumwandikia ujumbe mfupi kumkumbusha namna elimu ilivyokuwa bure enzi za mwalimu julius nyerere
akizungumzia mabango ya ccm alidai kuwa na ushahidi kwamba yametengenezwa kwa fedha ya ikulu ambazo ni kiasi cha dola za marekani milioni 15
makamba alipuliwa
dk slaa alidai kuwa katibu mkuu wa ccm yusuf makamba ndiye aliyesaini mkataba huo na kampuni ya mediapix ya canada chini ya uratibu wa mkurugenzi wa mawasiliano wa ikulu salva rweyemamu
jimbo la musoma mjini ni moja kati ya majimbo yenye ushindani mkubwa hasa kwa kuzingatia kuwa mgombea ubunge kwa tiketi ya chadema vincent kiboko nyerere ni mwanafamilia ya baba wa taifa hayati mwalimu julius nyerere
tutaboresha gongo iwe halali
wakati huo huo dk slaa ameahidi kuruhusu matumizi ya teknolojia itakayoboresha pombe ya gongo ili itambuliwe kisheria
dk slaa alisema hatua ya kuiweka gongo katika matumizi halali ya binadamu itakuwa na manufaa kwa taifa na kusaidia kuwapunguzia askari polisi kazi ya kufukuzana na watumiaji wa kinywaji hicho ambacho hivi sasa ni haramu
alisema hayo wakati akihutubia mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu uliofanyika katika uwanja wa getrude mongela uliopo mjini nansio ukerewe
licha ya gongo kuwa bidhaa haramu kwa mujibu wa sheria watu wengi katika maeneo mbalimbali nchini hasa wa kipato cha chini wanaitumia kama kiburudisho
pia dk slaa alisema pombe hiyo ikiboreshwa itawaongezea kipato watanzania wanaoitegemea kama biashara kuu na kuliingizia taifa mapato yatakayotokana na kodi
alisema zipo pombe kali kama konyagi ambayo kiwanda chake kilianzishwa na rais wa kwanza wa tanzania hayati nyerere ambayo hivi sasa bei yake ni kubwa ikilinganishwa na bia
dk slaa alisema ikiwa atashinda katika uchaguzi huo serikali yake itatafuta na kugawa bure kwa watengenezaji wa pombe hiyo mashine za kisasa na kusimamaia viwango vyake ili watengeneze kinywaji kinachokubalika
akizungumzia mauaji ya watu 14 yaliyatokea usiku wa januri 17 mwaka huu katika kisiwa cha izinga dk slaa aliwapa pole wafiwa na kusema kwa kiasi kikubwa tukio hilo lilichangiwa na uzembe wa serikali ya ccm
alisema serikali inawajibika kuwalinda raia wake jambo ambalo si hisani bali limeanishwa miongoni mwa wajibu wa serikali
dk slaa alisema suala la ulinzi wa raia lina maslahi kwa umma hivyo akawataka wananchi kuondokana na tofauti za itikadi zao ili wamuunge mkono na kumchagua kuwa rais wa tanzania
habari hii imeandikwa na restuta james musoma na jovither kaijage ukerewe
posted by gdss at 1251 pm no comments links to this post
mbatia kampeni za kashfa hazina tija kwa umma
unyumba wa dkslaa walipua siri za vigogo
baadhi ya siri za unyumba wa vigogo zaanikwa
gumzo la unyumba wa mgombea urais wa chadema dkwillibrod slaa na josephine mushumbusi limeibua utata ndani ya familia za vigogo wa chama cha mapinduzi (ccm) na hali si shwari baada ya baadhi ya mambo kuanikwa hadharani raia mwema limebaini
suala hilo ambalo tayari limeingia katika mikono ya kisheria limeelezwa kuwakera baadhi ya wafuasi wa dk slaa wakiwamo baadhi ya viongozi ambao sasa wamebainisha wazi kwamba viongozi wa ccm wanaishi nyumba za vioo wasirushe mawe
baadhi ya viongozi wa chadema wakiwamo wanasheria na wanasiasa wamelieleza raia mwema kwamba taarifa na matukio yanayoendelea kuhusiana na maisha unyumba wa dk slaa ni ishara tosha ya ccm kukosa hoja dhidi ya mgombea wao na hivyo kutafuta hoja dhaifu zisizo na maana
akizungumza na kwa simu kutoka singida alipo na dk slaa mwanasheria wa chadema na mgombea ubunge wa chama hicho singida magharibi tundu lissu alisema ni utamaduni wa ccm wanapoona wamezidiwa kutafuta hoja dhaifu kushambulia wagombea wenye nguvu na kwamba chadema watajibu mapigo ikibidi
lissu ambaye amekuwa na historia ya kupambana na serikali kuhusiana na masuala ya madini alisema hawaoni sababu ya kujibizana na propaganda za ccm pamoja na kuwa wana taarifa nzito kuhusiana na uchafu wa viongozi wa ccm ikiwa ni pamoja na uchafu huo kuhusisha matumizi ya fedha za umma
hatutaki kujibizana na propaganda zao chafu ambazo wamezizoea tangu kuanza tena kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1995 walipomtafuta angelina kumchafua mrema (augustine mrema) wakati ule mrema akiwa na nguvu lakini lazima tujiulize wana uhakika gani na maisha binafsi na afya za wagombea wao
alisema baada ya kumchafua mrema mwaka 1995 mwaka 2005 waliibuka na mkakati wa kwamba chama cha wananchi (cuf) kilichokuwa kina nguvu kilikuwa kimeingiza nchini kontena la visu katika taarifa ambayo ilitangazwa na aliyekuwa inspekta jenerali wa polisi omari mahita
alisema pia kwamba ni mambo ya aina hii yaliyoibuka pia mwaka huohuo walipoanza kuchafuliwa wagombea wa urais katika uchaguzi wa ndani ya chama pale mwanadiplomasia dk salim ahmed salim na aliyekuwa waziri mkuu frederick sumaye walipochafuliwa na wana ccm wenzao
lissu alisema ni viongozi wachache ndani ya ccm wanaoweza kujitokeza hadharani kuzungumzia mahusiano yao ya unyumba na kwamba baadhi yao hawajawahi kuweka wazi kuhusiana na idadi ya wake na watoto walio nao nje ya ndoa zinazofahamika hadharani
je wako tayari kutueleza idadi ya wake na watoto ambao hawataki wajulikane je wako tayari kutueleza jinsi viongozi wanavyothubutu kuchangia mahusiano bila aibu na baadhi yao kuhusishwa hadi katika uteuzi katika nafasi za chama na serikali wanatutaka tuanze kuwataja hadharani alihoji
akizungumzia kesi inayofunguliwa dhidi ya dk slaa na josephine mwanamke aliyeibua mjadala alisema kisheria hawezi kuzungumzia suala ambalo halijamfikia rasmi na kwamba anachoweza kuzungumza ni masuala ya kisiasa tu hadi hapo mawasiliano ya kisheria yakapomfikia
lakini habari zilizovuja kutoka chadema zinasema josephine mwenyewe anajiandaa kufungua kesi mahakamani kudai sh bilioni mbili kwa kuchafuliwa jina na lissu alikataa jana jumanne kuzungumzia suala hilo kwa maelezo kwamba hana taarifa hizo
uchunguzi wa raia mwema wiki hii umebaini kuwapo kwa mijadala mizito miongoni mwa watu baadhi ikiwa katika mitandao kuhusiana na maisha binafsi ya viongozi wa juu wa ccm huku majina na picha za wahusika vikianikwa
maoni ya baadhi ya waliozungumza na raia mwema ni kwamba habari za mahusiano ya unyumba wa watu hazina tija wakati huu kwa vile kwa hakika hakuna atakayesalimika miongoni mwa viongozi wengi zikianza kutangazwa hadharani wanatoa mwito kwamba vyombo kama tume ya uchaguzi na msajili wa vyama viingilie kati kurejesha kampeni katika masuala ya msingi yaani kero za kweli za watanzania na tanzania ijayo
akizungumzia hali hiyo mkurugenzi wa tume ya taifa ya uchaguzi rajabu kiravu alisema ofisi yake haiwezi kuchukua hatua wala kukemea hadi itakapopata malalamiko rasmi kutoka kwa vyama ama wagombea na kwamba hakuna malalamiko yoyote yaliyokuwa yamewasilishwa kwake
kwa upande wake msajili wa vyama vya siasa john tendwa alisema baraza la ushauri la vyama vya siasa limetolea kauli suala hilo bila kufafanua
tendwa ambaye ni katibu wa baraza hilo amenukuliwa akisema kwamba baraza hilo limekemea tabia ya baadhi ya vyama kuchafuana badala ya kutangaza sera za vyama husika
kwa upande wake mwenyekiti wa timu ya kampeni ya chadema profesa mwesiga baregu ameliambia raia mwema kwamba mgombea wao (dk slaa) anaendelea na kampeni bila kujali propaganda chafu zinazoenezwa na ccm dhidi yake
sisi kwa upande wa mgombea wetu hana muda wa kampeni chafu na badala yake anaendelea kuchanja mbuga na kutangaza sera kwa wananchi na kuwalezea ufisadi wa ccm na serikali yake na jinsi atakavyowashughulikia mafisadi atakapoingia madarakani alisema profesa baregu
profesa baregu alisema chama cha siasa ama mgombea anayeanza kujadili mambo binafsi ya mshindani wake anakuwa amepoteza mwelekeo na kwamba ni dalili za kuishiwa kwa hoja
akitoa mifano ya rais mstaafu wa marekani bill clinton na rais wa sasa wa afrika kusini jacob zuma baregu amesema ccm wameishiwa hoja na kwamba wanazidi kusaidia kumuinua kisiasa dkslaa badala ya kumharibia
wanadhani wamchafua lakini kwa kweli wanatusaidia sana kumpigia kampeni mambo binafsi hayana nafasi katika siasa za sasa na muliona mfano wa clinton na lewinsky (monica) na juzi juzi kule afrika kusini zuma aliibuliwa kashfa ya ngono lakini matokeo yake ndiye rais na sisi tunaamini dk slaa ndiye ataibuka mshindi alisema
tayari mtu anayejitambulisha kuwa mume wa ndoa wa josephine aminiel mahimbo ameibuka na kulifikisha katika vyombo vya sheria suala hilo akidai fidia ya sh bilioni moja
akizungumzia suala hilo na kunukuliwa na vyombo vya habari dk slaa alisema hana wasiwasi na kufunguliwa kesi na kutaka mahimbo aulizwe wakati anaporwa mkewe yeye alikuwa wapi
dk slaa aliliambia gazeti moja la kila siku kwamba hizo ni kampeni chafu za kutaka kumharibia katika kipindi hiki na kwamba zinafanywa na ccm na kudai kuwa chama hicho kimemnunulia gari mahimbo ili amchafue
tayari dk slaa amekwisha kubainisha kwamba josephine ndiye mke wake mtarajiwa baada ya kuishi na rose kamili na kuzaa naye watoto bila ndoa na kwamba hana tatizo naye hali iliyojidhihirisha kwa wanawake wote wawili kupanda jukwani kumpigia kampeni
rose ambaye alikuwa diwani wa ccm amekihama chama hicho na kujiunga na chadema ambako ameamua kugombea ubunge jimbo la hanang kupitia chama hicho cha upinzani dhidi ya mgombea wa ccm dk mary nagu
rose mwanaharakati na mwanasiasa aliyeiongoza ccm katika kata ya basotu hanang akiwa diwani kwa miaka 16 ameelezwa kutoa upinzani mkali dhidi ya dk nagu
rose alikaa jukwaa moja na josephine katika kampeni za dk slaa hadi mgombea huyo wa urais alipoondoka hanang kwenda mbulu kuendelea na kampeni
habari kutoka kwa watu walio karibu na josephine wameliambia raia mwema kwamba mke huyo mtarajiwa wa dk slaa amebeba siri nzito kuhusu vigogo wa ccm ambao wamekuwa wakifanya naye mawasiliano kadhaa katika siku za karibuni
josephine ana siri nzito ambayo atalazimika kuianika hadharani kwa ushahidi pale itakapobidi na hapo hakutakuwa na wa kulaumiwa anasema kwa ufupi mtu huyo wa karibu na josephine ambaye hakutaka kutajwa jina gazetini
suala la unyumba wa dk slaa lilianza mara baada ya chadema kuzindua kampeni zake katika viwanja vya jangwani na kutaja viongozi wa ccm kuwa wanahusika na wizi wa fedha za epa kauli ambazo katibu mkuu wa ccm yussuf makamba alidai kwamba ni matusi dhidi ya viongozi wa chama chao makamba ndiye aliyeanza kwa kusema kwamba dk slaa anasumbuliwa na ndoa yake kabla ya yeye kudaiwa kwamba alifukuzwa ualimu kwa aibu
posted by gdss at 1230 pm 1 comment links to this post
dr slaa afunguliwa mashtaka mahakama kuu
mgombea urais kwa tiketi ya chadema dk willbrod slaa (pichani) amefunguliwa kesi katika mahakama kuu ya tanzania kanda ya dar es salaami akidaiwa fidia y ash bilioni moja kwa madai ya kunyanganya mke wa mtu
kesi hiyo namba 122 ya mwaka 2010 ilifunguliwa jana mahakamani hapo na aminiel mahimbo kwa kupitia ofisi ya mawakili ya amicus
mahimbo anadai kuwa dk slaa kamnyanganya mkewe wa ndoa josephine mushumbusi
kwa kupitia nakala ya hati ya madai mahimbo anadai fidia ya sh milioni 200 kutokana na hasara alizozipata baada ya mdaiwa huyo kumtangaza mkewe wa ndoa josephine kuwa mchumba wake na sh milioni 800 ikiwa ni hasara ya jumla aliyopata
mlalamikaji huyo anadai septemba 7 2002 alifunga ndoa na mwanamke huyo katika kanisa la kiinjili la kilutheri tanzania (kkkt) ushirika wa kijitonyama na kuishi maeneo mbalimbali ikiwemo kimara baruti dar es salaam
pia anadai katika maisha yao ya ndoa wamebahatika kuwa na watoto wawili ambao ni upendo aliyezaliwa mei mosi 2003 na precious aliyezaliwa machi 14 2007
mahimbo alidai ndoa kati yake na josephine haijavunjwa na chombo chochote na kwamba bado ni mke wake halali
kwa mujibu wa hati hiyo mahimbo alidai hivi karibuni mkewe alikuwa na safari za mara kwa mara na aliamini ni za kikazi josephine ni mfanyabiashara ambaye anaendesha kampuni iitwayo green world clinic
alidai katika tarehe na mahali tofauti dk slaa alimtambulisha mwanamke huyo kuwa ni mkewe suala ambalo si kweli
mlalamikaji huyo alidai uhusiano uliopo kati ya watu hao wawili umemfanya adhalilike na kunyanyasika katika jamii na anaiomba mahakama kumzuia dk slaa kuendelea kujihusisha kimahusiano na mkewe
anaiomba mahakama kumwamuru dk slaa kumlipa bilioni moja na kulipa gharama za kuendeshea kesi
mahimbo amedai ameambatanisha na cheti cha ndoa na josephine picha za harusi vyeti vya kuzaliwa vya watoto na nakala za vipande vya magazeti zilizopigwa wakati dk slaa akimtambulisha mwanamke huyo kuwa ni mkewe
posted by gdss at 156 pm 1 comment links to this post
takukuru yageuka `bubu` kwa vigogo waliohusishwa rushwa kura za maoni
utata umetanda kuhusu hatima ya watuhumiwa wa kashfa za rushwa katika mchakato wa kura za maoni za chama cha mapinduzi (ccm)
idadi kubwa ya watu wakiwemo viongozi wa serikali katika ngazi tofauti waliojitokeza kuomba ridhaa ya kuwania ubunge walikamatwa ama kuhojiwa kutokana na rushwa
wagombea wa ubunge na udiwani kupitia chama hizo walishiriki kampeni zilizofanyika kati ya julai 22 hadi 31 mwaka huu na kura zikapigwa agosti mosi mwaka huu
wakati wa mchakato huo makamanda wa taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa (takukuru) wa mikoa mbalimbali walitoa taarifa za kukamatwa ama kuhojiwa kwa wanaccm waliotuhumiwa kwa rushwa
miongoni mwa waliotajwa ni aliyewahi kushika nafasi ya uwaziri kwa nyakati tofauti joseph mungai na katibu mkuu wa shirikisho la soka (tff) david mwakalebela ambao walifikishwa mahakamani
pia alikuwepo katibu wa umoja wa vijana wa ccm (uvccm) mkoa wa iringa fadhili ngajilo aliyefikishwa mahakamani kutokana na tuhuma za rushwa
mkoani kilimanjaro mkanganyiko umeibuka katika ofisi ya takukuru baada ya kamanda wa taasisi hiyo aliyehamishiwa hapa hivi karibuni kutoa taarifa tofauti na zile za awali kuhusu wagombea waliotuhumiwa kwa rushwa
kamanda wa takukuru mkoani hapa laurance swema ambaye amehamishiwa mkoani alisema hana taarifa rasmi kuhusu kukamatwa kwa wagombea watatu wa nafasi za ubunge na udiwani makada wa ccm na viongozi wengine wakati wa kura za maoni
alisema suala hilo analisikia na kulisoma kupitia vyombo vya habari na kwamba hana taarifa za kiofisi
kamanda huyo aliyasema hayo mwishoni mwa wiki wakati akiongea na nipashe kwa njia ya simu
nipashe ilitaka kujua hatua zilizofikiwa ikiwemo kufikishwa mahakamani dhidi ya watuhumiwa waliokamatwa na takukuru wakati wa mchakato wa kura za maoni ndani ya ccm
alisema ana muda mfupi tangu ahamishiwe mkoani hapa akitokea dar es salaam na kati ya mambo aliyokabidhiwa ofisini hajaelezwa juu ya watuhumiwa wa rushwa wakati wa kura za maoni
mimi ndio nimehamishiwa hapa kutokea dar es salaam na kwa sasa nipo likizo nimekuja kuchukua familia yangusijasikia jambo hilo ofisini kwangu zaidi ya kusoma kwenye vyombo vya habari ambavyo mmeandika nyiealisema
hivi karibuni aliyekuwa kamanda wa takukuru mkoani hapa na ambaye amehamishiwa mkoani manyara alexanda budigila alikaririwa akisema kuwa bado wanaendelea na upelelezi wa matukio hayo
budigila alisema watuhumiwa waliokamatwa ama kuhojiwa watafikishwa mahakamani ikiwa uchunguzi utawezesha kupatikana kwa ushahidi
bado tunaendelea na uchunguzi wetu baada ya kukamilika watafikishwa mahakamani na kushtakiwa kwa mujibu wa sheria siku tunayowapeleka mahakamani tutawajulisha wanahabarialisema
waliokamatwa wakidaiwa kutoa rushwa ni pamoja na aliyeibuka mshindi wa pili kwenye ubunge wa viti maalum mkoani hapa betty machangu ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya kasulu mkoani kigoma
wengine ni katibu wa umoja wa wanawake wa ccm (uwt) mkoani hapa mariam kaaya katibu wa uwt wilaya ya moshi hadija ramadhanimfanyabiashara wa moshi mjini hawa sultani na dereva wa gari alilokuwa akilitumia mbunge huyo swalehetwalibu
watuhumiwa hao walikamatwa katika nyumba ya kulala wageni ya safari resort ambapo kwa mujibu wa takukuru walikuwa wakigawa rushwa ya fedha na vitu kwa wajumbe kwa kila mmoja kuingia ndani
tarifa zilidai kuwa mgombea huyo na wafuasi wake walikuwa wakigawa kati ya sh 50000 na 100000 kanga asali vipeperushi na kadi za wajumbe wa mkutano mkuu wa uwt mkoa
hata hivyo mkuu huyo wa wilaya alikanusha madai ya kutoa rushwa na badala yake alisema walikwenda kwenye hoteli hiyo kwa ajili ya kupata chakula
machangu alidai kuwa walipokosa mahali pa kukaa waliamua kuchukua chumba kimoja ili wakae kwa utulivu
akasema kuna dalili kwamba maadui zake wa kisiasa walihusika katika kutoa taarifa zilizosababisha kuzingirwa na maofisa wa takukuru
pia takukuru iliwakamata wagombea udiwani wa kata ya shirimatunda elines mwacha na watu saba kati ya 30 waliodaiwa kuwa mabalozi wajumbe wa vijiji na makatibu wa ccm katika kata ya hiyo ambao wanadaiwa walikuwa wakila na kunywa na mgombea huyo
takukuru ilimkamata pia mgombea udiwani wa kata ya majengo idd juma wakati akiwa na wanachama wa ccm na wenyeviti wa mitaa ya kata hiyo zaidi ya 15 katika baa ya peters club iliyopo eneo la majengo kando kando mwa barabara kuu ya moshi tanga
mkoani arusha kamanda wa takukuru mkoani hapa ayub akida amesema watuhumiwa waliokamatwa ama kuhojiwa kutokana na rushwa wakati wa kura za maoni bado hawajafikishwa mahakamani
akihojiwa hivi karibuni akida akasema uchunguzi bado unaendelea na kwamba utakapokamilika atatoa maelezo kwa umma
waliokamatwa ama kuhojiwa kutokana na tuhuma za rushwa wakati wa kura za maoni mkoani arusha ni mbunge aliyemaliza muda wake felix mrema pamoja na wanachama 21 wa ccm
tukio hilo lilitokea usiku nyumbani kwa mwanachama mmoja eneo la olamuriaki kata ya sombetini mjini hapa baada ya maofisa wa takukuru kuivamia nyumba hiyo
watuhumiwa hao walihojiwa na takukuru siku moja baadaye kisha kuachiwa kwa dhamana
akizungumzia tukio hilo akida akasema walipata taarifa ya kuwepo kwa mkutano wa wanachama hao muda wa usiku na kwamba walikuwa wakiutilia shaka
alisema maafisa wake waliizingira nyumba hiyo na kufanikiwa kuwatia mbaroni ingawa wanachama wengine walikimbia
mkoani dodoma kukamatwa kwa mkazi mmoja wa wilaya ya kondoa ibrahim mfala akigawa fulana na kofia bure
naibu kamanda wa takukuru mkoani hapa sosteness kibwengo alikaririwa wakati wa mchakato akisema kuwa ibrahim alikamatwa akigawa fulana hizo zilizokuwa na nembo ya ccm
aidha takukuru waliwakuta watu zaidi ya 40 ndani ya nyumba ya balozi eneo la msalato lililopo halmashauri ya manispaa ya dodoma mjini wakidai kuwa wanamsubiri mgeni kutoka mjini
kamanda wa takukuru mkoani hapa eunice mmari alikiri kupata taarifa za kuwepo kwa mpango wa mgombea mmoja wa ubunge jimbo la dodoma mjini aliyeandaa sh 470000 kwa ajili ya kuwagawia wanachama 47 wa mtaa wa nduka uliopo kata ya chamwino
alipoandikiwa ujumbe mfupi wa maneno ukitaka aelezee wamefikia wapi kuhusiana na uchunguzi huo ujumbe ulionyesha kupokelewa lakini haukujibiwa
alipoulizwa afisa uhusiano wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (takukuru) doreen kapwani juu ya uchunguzi wa tuhuma za wagombea wanaodaiwa kutumia rushwa wakati wa kura za maoni za ccm alisema kwa mujibu wa sheria ya taasisi hiyo hawaruhusiwi kuzungumzia mwenendo wa uchunguzi unaofanywa na taasisi hiyo kabla ya suala husika kufikishwa mahakamani
habari hii imeandikwa na waandishi wetu kutoka kilimanjaro dodoma na arusha
posted by gdss at 154 pm no comments links to this post
makamba aambiwa hajui maana ya matusi
kashfa ya epa bado mwiba kwa ccm
posted by gdss at 421 pm 1 comment links to this post
unifem kuwapatia wagombea wanawake mbinu za kushinda uchaguzi
na mwandishi maalumnew york
wakati kampeni za kuwania nafasi za urais ubunge na udiwani zikiwa zinaendelea kushika kasi nchini tanzania mfuko wa umoja wa mataifa kwaajili ya maendeleo ya wanawake (unifem) umetangaza kuendesha mafunzo ya uwezeshaji kwa wanawake waliojitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi octoba
kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na naibu mkurugenzi wa unifem kwaajili ya maendeleo ya kikanda afrika ya mashariki na pembe ya afrika ni sha inaeleza kuwa mafunzo hayo yatakayoendeshwa katika kanda saba za uchaguzi yatafanyika mwezi huu wa septembalengo likiwa ni kuwajengea uwezo na kuwapa wanawake mbinu na mikakati ya kushinda uchaguzi
mafunzo haya yanalenga kuwawezesha wanawake wanaowania nafasi za uongozi na uwakilishi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika nchini tanzania mwezi octoba kuboresha mbinu za uzungumzaji katika mikutano ya hadhara namna bora ya kushirikiana na kuwasiliana na vyombo vya habari uratibu wa kampeni zao namna ya kujieleza uhamasishaji wa jamii na mbinu za ushawishi anafafanua ni sha katika taarifa yake kwa vyombo vya habari
wagombea hao wanawake pia watajifunza kuhusu nafasi ya mwanamke katika siasa za tanzania masuala mbalimbali ya kisiasa yanayohusiana na uchaguzi wa mwaka huu majumu ya bunge baraza la wawakilishi halmashauri sheria na taratibu mbalimbali zinazohusu uchaguzi
taarifa hiyo ya unifem inabainisha pia kwamba pamoja na katiba ya tanzania kutenga asilimia 30 ya viti vya ubunge kwaajili ya wanawake katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2005 ni wanaweke 17 waliojitokeza kuwania nafasi za ubunge kati ya wagombea 232
unifem imekwisha kuwapatia mafunzo wakufunzi 30 watakao endesha mafunzo hayo ambayo mbinu zake za ufundishaji tayari zimekwisha kufanyiwa majaribio na kukubalika mafunzo ya wakufunzi hayo yalifanyika jijini dar es salaam kati ya tarehe 12 na 14 mwezi wa uliopita (wa nane)
katika hatua nyingine unifem kwa kushirikiana na unesco katika mwezi huu wa tisa pia itatoa mafunzo kwa waratibu wa vituo vya radio za jamii katika miji ya arusha unguja na pemba kwa lengo la kutoa ufahamu na uelewa kuhusu taarifa za wagombea wanawake katika maneo yao waandishi pia watafundishwa mbinu za kuandika habari zenye kutoa nafasi sawa na haki kwa wagombea wanawake
uzinduzi wa ilani ya uchaguzi ya wapiga kura 2010
unfpa head asks world leaders to put womens healt
takukuru yageuka `bubu` kwa vigogo waliohusishwa r
unifem kuwapatia wagombea wanawake mbinu za kushin | 2018-06-21T17:50:02 | http://gdss2008.blogspot.com/2010/09/ |
mashine ya kuingiza mafuta ya universal china manufacturers & suppliers & factory
mashine ya kuingiza mafuta ya universal mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china
(jumla ya 24 bidhaa kwa mashine ya kuingiza mafuta ya universal)
mashine ya kuingiza mafuta ya universal mashine ya kuingiza mafuta ya universal mashine ya kuingiza mafuta ya radinn8824a mashine ya kuingiza auto kwa uuzaji mashine ya kuingiza moja kwa moja mashine ya kuingiza ufungashaji mashine ya kuingiza paneli mashine ya kuingiza mashine | 2020-07-07T11:34:07 | https://www.aismtks.com/sw/dp-mashine-ya-kuingiza-mafuta-ya-universal.html |
mchezo kufanya pony online kucheza kwa huru
mchezo kufanya pony
unachezwa 6152
kucheza mchezo kufanya pony online
maelezo ya mchezo kufanya pony
hello wasichana sisi kutoa kucheza na ndoto na kujenga gppony pretty fabulous ni hii kuhusu nini wewe daima nimeota ya sisi tayari kwa ajili yenu tupu ndogo na unaweza kuyatumia kwa kuteka gppony ajabu na kuchagua grivka yake mkia na mwili favorite rangi chagua vifaa na sura ya macho na mdomo kuwa ubunifu wako na kuwa na furaha kucheza mchezo kufanya pony online
kiufundi na tabia ya mchezo kufanya pony
mchezo kufanya pony aliongeza 25082014
mchezo unachezwa 6152 mara
mchezo rating 451 nje 5 (75 makadirio)
michezo kama mchezo kufanya pony
download mchezo kufanya pony
embed mchezo kufanya pony katika tovuti yako
kuingiza mchezo kufanya pony kwenye tovuti yako nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako pia kama wewe kama mchezo kufanya pony nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote kushiriki mchezo na dunia
pamoja na mchezo kufanya pony pia alicheza katika mchezo | 2018-11-20T18:44:24 | http://sw.itsmygame.org/1000030824/make-a-pony_online-game.html |
waziri mkuu kassim majaliwa apiga marufuku bei ya tumbaku | matukio na vijana
home » »unlabelled » waziri mkuu kassim majaliwa apiga marufuku bei ya tumbaku
waziri mkuu kassim majaliwa apiga marufuku bei ya tumbaku
waziri mkuu kassim majaliwa amesema kuanzia sasa ni marufuku kuweka bei ya tumbaku kwa dola za marekani kwa sababu imechangia kuwaumiza wakulima wa zao hilo
amesema wanunuzi wa zao hilo wana uhuru wa kuweka bei zao kwa dola lakini bei hiyo itafsiriwe kwa shilingi za kitanzania ili wakulima waweze kutambua bei elekezi tangu mwanzo wa msimu
waziri mkuu ametoa kauli hiyo leo jioni (jumatano agosti 9 2017) wakati akizungumza na wadau wa zao la tumbaku zaidi ya 600 wakiwemo wabunge viongozi wa dini chama na serikali kwenye mkutano uliofanyika kwenye ukumbi wa isikemwanakiyungi mjini tabora
hivi sasa bei elekezi kwa msimu huu wa tumbaku ni dola mbili za marekani kwa kilo moja ya tumbaku sawa na sh 4400 hadi sh 4500 za tanzania
kwa mfano mkulima anapouza tumbaku anaambiwa kilo zake zina thamani ya dola za marekani 90 wakati anapokuja kulipwa bei ya shilingi inakuwa imebadilika kwa hiyo kama aliuziwa wakati thamani ya dola moja ikiwa ni sh 1500/ na wakati wa kulipwa imefikia sh 2000/ hatalipwa kwa bei ya sasa bali atalipwa kwa bei ileile ya zamani jambo ambalo linamuumiza mkulimaamesema waziri mkuu | 2017-08-21T08:05:25 | http://www.matukiotz.co.tz/2017/08/waziri-mkuu-kassim-majaliwa-apiga.html |
mgogoro wa kifedha cyprus wachacha | matukio ya kisiasa | dw | 21032013
benki za cyprus zaathirika na mgogoro wa fedha
benki hiyo kuu imesema inaendelea kuziokoa benki za cyprus ambazo zimekumbwa na msukosuko wa kiuchumi kutokana na hatari ya kufilisika lakini imesema itawalazimu kukatiza usaidizi iwapo hakuna mapatano ya jinsi nchi hiyo itakavyojikwamua kutoka kwa mzozo wa madeni
ecb leo imesema kuwa baraza lake limeamua kuendeleza kiwango kilichoko kwa sasa cha usaidizi kutoka mfuko wa uokozi wa dharura lakini hilo litaendelezwa tu iwapo kutakuwa na mpango uliodhinishwa na umoja wa ulaya na imf utakaoepusha benki za cyprus kutotangazwa kufilisika
mpango mbadala wazungumziwa
wanasiasa nchini humo hii leo wanajadili mpango mpya wa uokozi utakaopunguza asilimia itakayatozwa akiba za wateja wa benkiuuzaji wa mali za benki na mkopo mpya kutoka kwa urusi na badala yake cyprus kuipa gesi asilia
wateja watoa pesa katika mtambo wa atm
mpango huo mbadala unaotarajiwa kupigiwa kura na wabunge leo unanuia kuchangisha euro bilioni 58 ili kuiwezesha kupata mkopo wa euro bilioni 10 kutoka kwa umoja wa ulaya na hazina ya fedha ya kimataifa imf
mpango wa awali wa kutoza kodi akiba za wateja wa benki kwa aslimia 10 uliozua ghadhabu kutoka kwa raia na wanasiasa ulipingwa na bunge na kuzua hali ya taharuki miongoni mwa wawekezaji na wasiwasi kuwa benki za nchi hiyo zitaporomoka
mpango huo mpya inasemekana kuwa utapunguza kodi hiyo kutoka asilimia 10 hadi 3 kwa akaunti za wateja walio na euro laki moja na zaidi pekee benki nchini humo zimefungwa hadi jumanne wiki ijayo ili kupunguza maafa zaidi kiuchumi hadi mpango makhususi utakapopatikana
shughuli za biashara zakwama
mitambo ya atm hata hivyo bado inatoa huduma kwa wateja licha ya taarifa kuwa vituo vya mafuta ya petrol hazikubali kadi za benki kwa malipo na kuna uhaba wa madawa kwani wafanyibiashara nao wamekataa malipo kwa kutumia kadi kutoka kwa wateja wao
waziri wa fedha wa cyprus michael sarris
mgogoro huo wa kifedha umekwamisha shughuli nyingi za kibiashara nchini humo na sasa cyprus imegeukia mshirika wake wa muda mrefu urusi wakitumai kupata msaada utakaowaepusha kufilisika waziri wa fedha wa cyprus michael sarris yuko mjini moscow ambako amesema atasalia mpaka apate ufumbuzi wa tatizo
rais wa umoja wa ulaya jose manuel barosso amesema mgogoro huo wa fedha wa cyprus unamtia wasiwasi lakini anatumai kuwa suluhisho litapatikana hivi karibuni kwani umoja huo umekabiliwa na matatizo makubwa katika kipindi cha nyuma kushinda hilo la cyprus
mwandishi caro robi/dpa/ap/reuters
maneno muhimu cyprus russia ecb imf
kiungo https//pdwcom/p/181ds | 2019-01-23T02:19:21 | https://www.dw.com/sw/mgogoro-wa-kifedha-cyprus-wachacha/a-16687638 |
polisi hatuna sheria ya viboko kwa madereva wazembe | eddy blog | edwinmoshi official blog
polisi hatuna sheria ya viboko kwa madereva wazembe
kaimu kamanda mkuu wa kikosi cha trafiki tanzania sacp fortunatus musilimu amekanusha kauli ya naibu waziri wa mambo ya ndani hamad masauni kuhusu adhabu ya viboko kwa madereva na kusema alimaanisha adhabu kali sana itolewe kwa madereva wazembe
kamanda musilimu amesema kwamba kama jeshi la polisi ulinzi na usalama barabarani hawataweza kuendelea kushuhudia ajali nyingi zikiendelea barabarani kutokana na madereva wazembe hivyo watahakikisha maadhamio waliyoyapanga yanatekelezwa kwa asilia zote
tutakuwa wakali sana kwa madereva wazembe hatutawachapa kwa viboko maana hakuna sheria inayosema hivyo lakini adhabu tutakazokuwa tukizitoa ni sawa na adhabu ya viboko mwenyekiti wa baraza la taifa la usalama barabarani naibu waziri wa mambo ya ndani massauni alisema inabidi kuchukua hatua kali dhidi ya madereva wanaokiuka sheria za usalama barabarani ikibidi hata kuwachapa viboko akimaanisha adhabu na sivyo kama watu walivyomnukuu musilimu alifafanua | 2017-12-11T03:44:35 | http://edwinmoshi.blogspot.com/2017/06/polisi-hatuna-sheria-ya-viboko-kwa.html |
zambia | page 2 | habari za un
jaridani hii leo flora nducha anaanza na suala la huduma ya afya kwa wote bila kujali mtu alipo hadhi yake na rangi yake ananukuu ujumbe wa katibu mkuu wa un pamoja na mfano halisi kule mantapala nchini zambia wakimbizi na wenyeji wanapata huduma ya afya eneo moja | 2020-07-15T00:15:28 | https://news.un.org/sw/tags/zambia?page=1 |
wordpress / widgetsadvanced search form addon kwa worldwidescriptsnetkujiunga na kulisha wetu kukaa hadi tarehempya kufuata yetu kama unataka★★★★sehemu hii inapatikana katika 37 lugha nyinginearabicbengalicatalan/valenciandanishdutchenglishesperantofinnishfrenchgermangreekgujaratihindiindonesianitalianjapanesekannadakoreanmalaynorwegianpersianpolishportugueseromanian/moldavian/moldovanrussiansimplified chinesespanish/castilianswedishtagalogtamilteluguthaitraditional chineseturkishukrainianurduvietnamesekuishi previewviwamboads
mpya toleo 13 (2013/05/11) + kuongeza theme override kipengele kuruhusu mandhari override search widget & shortcode html + kuongeza chaguzi mpya katika asf kuweka kwanza + kurekebisha baadhi ya mende madogo na kuboresha search sasa plugin ni uwezo wa kufanya search ajax wakati watumiaji ni kuandika katika kutafuta kisanduku cha maandishi wewe ni uwezo wa kujenga orodha ya maneno desturi katika admin hivyo plugin wanaweza kupendekeza maandiko maarufu kwa ajili ya kutafuta
mpya toleo 11 (2013/11/03) ajax search / search pendekezo kipengele sasa plugin ni uwezo wa kufanya search ajax wakati watumiaji ni kuandika katika kutafuta kisanduku cha maandishi wewe ni uwezo wa kujenga orodha ya maneno desturi katika admin hivyo plugin wanaweza kupendekeza maandiko maarufu kwa ajili ya kutafuta mapema search kidato (asf) widget ni kuboresha wordpress ya rahisi search widget asf widget anaongeza makala haya yafuatayo kutafuta posts zote na desturi baada aina search katika makundi maalum tu filter matokeo ya utafutaji kwa makundi na vitambulisho uwezo kwa ajili ya wageni order tafuta matokeo uwezo kwa mgeni matokeo kuonyesha kuingiza search fomu popote kutumia shortcode ajax search / search pendekezo kikamilifu configurable angalia bidhaa zetu nyingine downloadvipengele vingine katika jamii hiikila sehemu ya mwandishi huyumaonimara kwa mara kuulizwa maswali na majibumalikuundwa22 februari 13badiliko4 novemba 14high azimiohakunasambamba browsersie8 ie9 ie10 firefox safari opera chromefiles pamojajavascript js html css phpkeywordsecommerce ecommerce all items search ya juu ajax search fomu search search pendekezo wordpress widget | 2017-06-26T12:02:55 | https://sw.worldwidescripts.net/advanced-search-form-42466 |
naibu waziri injinia stella manyanya ziara mkoani dodoma pamoja blog
home > habari > matukio > naibu waziri injinia stella manyanya ziara mkoani dodoma
naibu waziri injinia stella manyanya ziara mkoani dodoma
10/14/2017 115000 am habari matukio
naibu waziri wizara ya viwanda biashara na uwekezaji mhe injinia stella manyanya amefanya ziara yake ya kwanza ya kikazi akiwa kwenye wizara ya viwanda kwa kutembelea kiwanda cha ngozi na bidhaa za ngozi katika eneo la zuzu mkoani dodoma
aidha mhe waziri amewaagiza watendaji wa wizara kufanya juhudi za haraka za uendelezwaji wa eneo hilo kwa kuwa hakuna sababu ya kuchelewa ambapo naibu waziri ametoa muda wa miaka miwili eneo hilo liwe limeanza kuwekewa miundombinu na huduma nyingine
pia injinia stella manyanya alitembelea eneo la sido lililotengwa kwa ajili ya kiwanda cha alizeti ambapo pia amewaagiza watendaji kufanya juhudi za haraka kuharakisha mchakato wa uendelezwaji wa eneo hilo mhe naibu waziri alihitimisha ziara yake kwa kutembelea ofisi za sido na kutembelea ajasiliamali walioko chini ya sido na kujionea shughuli za ujasiriamali zinazofanywa katika eneo hilo
mhe naibu waziri ataendelea na ziara ya kutembelea taasisi zilizo chini ya wizara kuanzia wiki ijayo na kujionea utendaji wa kila taasisi
naibu waziri wizara ya viwanda biashara na uwekezaji mhe injinia stellah manyanya akizungumza na watendaji wa sido dodoma alipowatembea na kukaguashughuri zinazofanywa wajasiriamali wa mkoani humo
darasa maalumu la mafunzo ya uzalishaji na utengezaji wa bidhaa za ngozi lililopo kizota mkoani dodoma
naibu waziri wizara ya viwanda biashara na uwekezaji mhe injinia stellah manyanya akishuhudia bidhaa mbalimbali zinazotengezwa na wanafunzi wanaojifunza utengezaji wa bidhaa za ngozi kushoto ni meneja wa mafunzo sido mkoani dodoma stephano ndunguru
baadhi ya bidhaa za ngozi zinazotengezwa na wanafunzi wanaojifunza utengezaji wa bidhaa za ngozi katika kiwanda cha sido mkoani dodoma
naibu waziri wizara ya viwanda biashara na uwekezaji mhe injinia stellah manyanya akiangalia bidhaa zinazotengezwa na wajasiriamali wa sido
baadhi ya bidhaa za zilizotengenezwa na wajasiriamali wa sido mkoani dodoma
naibu waziri wizara ya viwanda biashara na uwekezaji mhe injinia stellah manyanya akichomelea alipowatembelea wajasiriamali wa vyuma sido dodoma
naibu waziri wizara ya viwanda biashara na uwekezaji mhe injinia stellah manyanya akizungumza na waamdishi wa habari alipotembelea sido dodoma kujionea shughuri mbalimbali zinazofanywa na sido
naibu waziri wizara ya viwanda biashara na uwekezaji mhe injinia stellah manyanya akikagua eneo maalumu kwa ajili ya kongano la ngozi zuzu mkoani dodoma | 2018-08-19T05:45:30 | http://www.pamoja.co.tz/2017/10/naibu-waziri-injinia-stella-manyanya.html |
mwanza maeneo ya makao makuu ya polisi na ccm kunani jamiiforums
mwanza maeneo ya makao makuu ya polisi na ccm kunani
thread starter manning
3527 117 160
kwa muda sasa kuna sauti za mabomu au risasi maeneo ya polisi central karibu na ccm walioko jirani tujuzeni kuna nini kwa maana asubuhi kulikuwa na misululu mirefu ya waislam wakielekea maeneo hayo
5919 45 0
kama vijana wa bavicha hawata zuiliwa sana nchi inaingia machafuko kwa umwagaji wa damu
28179 33207 280
tetesi ni kuwa sheikh ilunga amekamatwa ni yule aliyekuwa na kesi ya uchechezi
likes uliza_bei
4891 200 160
natamani iwe hivyo
wazuiliwe kufanya nini
217 30 45
napta maana niko karb lakn sjaskia bundk
munabusule
978 131 60
nani wa kumkamata sheikh ilunga kwani hujui anajua analofanya na wanajua pia
jambo jema ni kuwa watu humu jf wameshakuona mpuuzi na mshamba unayetumia muda wako mwingi katika mambo ya kijinga hizi ni dalili kuwa huna shughuli ya kufanyahujastarabikahuna uelewa wala elimu walao ya kukutosha wewe tuu na sababu nyingi nyinginezo ambazo hazifai kuzitaja hapa maana tutakuwa tunakuweka uchi na kukufedhehesha
hili ni jukwaa la hiari jaribu kujitahidi kutoharibu thread za watu ambao wametumia muda wao adimu kutuletea habari humu
inaweza kuwa kweli mkuu kwani asubui imebidi tusimame zaidi ya dakika tano kuwapaisha wakatishe kuelekea jingo la ccm mkoa watu waliovaa kama waislamu wa rika na jinsia zote
9577 11953 280
dec 17 2013 #10
vipi unakaribia kuingia kwenye siku zako nini
34229 14226 280
dec 17 2013 #11
hakika unakaribia kuwa kichaaa
mkuu huenda kuna mtu amekeloga au umeaschiwa laana za wazazi wakonenda kijijini kwenu ukaombe radhi au utambikesoon utakuwa kichaaa
nakuonea huruma
peter jaluo
1755 14 135
mkuu 2pia picha
mkuu mimi nafikiri anakaribia kuwa punguani
truth guy
401 44 0
dec 17 2013 #14
huyu m23 bila shaka atakuwa na matatizo ya ubongo kama c laana ya wazazi au ya munguau vyote pamojakwa muda mrefu nimekuwa namfuatilia jinsi anavyotumia muda mwingi kuvuruga threadhajui kuwa jf is for great thinkers onlywengi walio ccm huwa wana matatizo ya akilimtu analeta ishu ya maanayeye anasema habari ya bavichavitu viwili tofautithis person must be crazymi keshanichoshaningekuwa najua alipo ningemtia adabumjinga sana huyu
likes chakaza
threads 1264248
members 486221
posts 30176883 | 2019-02-23T19:46:06 | https://www.jamiiforums.com/threads/mwanza-maeneo-ya-makao-makuu-ya-polisi-na-ccm-kunani.570583/ |
dk magufuli sikustahili urais mwanahalisi online
posted by mwandishi wetu may 3 2019 0 1399 views
rais john magufuli amesema kuwa hakustahili kuwa rais wa tanzania bali watanzania wenyewe ndio waliomchagua anaripoti mwandishi wetu (endelea)
amesema wananchi wa mbarali mkoani mbeya na maeneo mengine ya nchi ndio walimuona anafaa kushika wadhida huo kati ya wale waliokuwa wanagombea
rais magufuli ametoa kauli hiyo tarehe 2 aprili 2019 wakati akituhutubia mkutano wa hadhara mjini mabarali akiwa kwenye mwendelezo wake wa ziara ya siku nane
akihutubia kwenye mkutano huo rais magufuli amesema hakustahili kuwa rais bali wananchi wa tanzania walikuwa na sababu za msingi za kumchagua
na kwamba watanzania waliamua kumchagua kwa kuwa waliamini anaweza kutatua matatizo yao hasa ya wanyonge
mlinichagua kuwa kiongozi wenu sikustahili kuwa rais mliamua kuwa magufuli tunampa urais sasa tuna miaka mitatu kwenye uongozi na tuliahidi kutekeleza ilani ya ccm mawaziri wameeleza tuliyofanya na ambayo bado hayajafanyika wameeleza changamoto zake amesema rais magufuli
rais john magufuli amesema kuwa hakustahili kuwa rais wa tanzania bali watanzania wenyewe ndio waliomchagua anaripoti mwandishi wetu (endelea) amesema wananchi wa mbarali mkoani mbeya na maeneo mengine ya nchi ndio walimuona anafaa kushika wadhida huo kati ya wale waliokuwa wanagombea rais magufuli ametoa kauli hiyo tarehe 2 aprili 2019 wakati akituhutubia mkutano wa hadhara mjini mabarali akiwa kwenye mwendelezo wake wa ziara ya siku nane akihutubia kwenye mkutano huo rais magufuli amesema hakustahili kuwa rais bali wananchi wa tanzania walikuwa na sababu za msingi za kumchagua na kwamba watanzania waliamua kumchagua kwa kuwa waliamini anaweza kutatua matatizo yao&hellip
previous ratiba ya msiba wa dk mengi kesho makonda rungwe watoa neno
next spika ndugai amwaga wasifu wa dk mengi | 2020-01-23T16:26:13 | http://mwanahalisionline.com/dk-magufuli-sikustahili-urais/ |
tra mkoani lindi yagawa mifuko 5319 ya sukari ya magendo kwa wahitaji | pamoja blog
» tra mkoani lindi yagawa mifuko 5319 ya sukari ya magendo kwa wahitaji
tra mkoani lindi yagawa mifuko 5319 ya sukari ya magendo kwa wahitaji
5/09/2016 110500 am
mamlaka ya mapato tanzania tra imegawa sukari yote ya magendo mifuko 5319 yenye thamani ya zaidi ya shilingi million 3735 kwa taasisi mbali mbali mkoani lindi baada ya kuthibitishwa na mamlaka ya chakula na dawa tfda kuwa ni salama kwa matumizi ya binadamu
akizungumza wakati wa ugawaji wa sukari hiyo mkurugenzi wa huduma na elimu kwa mlipakodi tra bw richard kayombo alisema baada ya kukamatwa kwa bidhaa hizo tra kwa kushirikiana na taasisi nyingine za serikali akiwemo mkuu wa mkoa wa lindi waliamua kuigawa sukari hiyokwa watuwenye uhitaji katika mkoa wa lindi pamoja na wilaya zake
aidha bw kayombo alitoa wito kwa watu wote wanaofanya biashara za magendo haramu na ukwepaji kodi kuacha mara moja kwani sasa tra ina mikakati thabiti na endelevu ya kudhibiti biashara za magendo pamoja na ukwepaji kodi kwa ujumla | 2016-12-04T14:16:00 | http://www.pamoja.co.tz/2016/05/tra-mkoani-lindi-yagawa-mifuko-5319-ya.html |
hasheem thabeet afanya mazungumzo na naibu waziri mambo ya ndani ya nchi jiachie hasheem thabeet afanya mazungumzo na naibu waziri mambo ya ndani ya nchi jiachie
home > habari mbalimbali > hasheem thabeet afanya mazungumzo na naibu waziri mambo ya ndani ya nchi
item reviewed hasheem thabeet afanya mazungumzo na naibu waziri mambo ya ndani ya nchi rating 5 reviewed by ahmad michuzi | 2018-07-19T03:48:09 | http://michuzijr.blogspot.com/2017/08/hasheem-thabeet-afanya-mazungumzo-na.html |
tamko la serikali kuhusu utaratibu wa utowaji wa leseni za machapisho zanzinews
home habari tamko la serikali kuhusu utaratibu wa utowaji wa leseni za machapisho
tamko la serikali kuhusu utaratibu wa utowaji wa leseni za machapisho
kuanza utoaji wa leseni kwa magazeti na majarida
dar es salaam agosti 23 2017
serikali kupitia idara ya habari (maelezo) inapenda kuutaarifu umma kuwa katika utekelezaji wa matakwa ya kifungu cha 5(e) cha sheria ya huduma za habari 2016 itaanza kutoa leseni za machapisho mbalimbali ikiwemo magazeti na majarida yote nchini
utoaji wa leseni hizo pia ni kwa mujibu wa kanuni ya 7 ya kanuni za sheria ya huduma za habari za mwaka 2017 zilizochapishwa kwa mujibu wa tangazo la serikali na 18 la februari 3 2017
kwa mujibu wa sheria utaratibu wa sasa unafuta mfumo wa awali wa utoaji wa hati za usajili wa magazeti na majarida uliokuwa ukitumika kwa mujibu wa sheria ya magazeti ya mwaka 1976 ambayo kwa sasa imefutwa
aidha utaratibu huu mpya utawahusu wamiliki wote wa magazeti (newspapers) majarida (journals magazines na newsletters) na wamiliki wapya ambao hawakuwa wameyasajili machapisho yao aidha leseni hizi zitahuishwa kila mwaka kwa mujibu wa kanuni za 8(3) na 12(1)(2) za kanuni za sheria ya huduma za habari 2017
fomu za maombi pamoja akaunti ya kulipia na orodha ya nyaraka zinazohitajika kwa ajili ya usajili vinapatikana kuanzia leo katika ofisi za maelezo dar es salaam na dodoma au katika sehemu ya huduma zetu katika tovuti yetu wwwmaelezogotz
kwa wamiliki wa magazeti na majarida ambao wana usajili wa zamani serikali inatoa fursa kuanzia leo mpaka oktoba 15 2017 wawe wamekamilisha taratibu na kupatiwa leseni mpya za uendeshaji na uchapishaji wa majarida na magazeti na baada ya muda huo hawataruhusiwa kuyachapisha kwani watakuwa wametenda kosa kisheria
kwa ufafanuzi zaidi kuhusu utaratibu wa usajili wasiliana nasi katika namba 0622 664606 na 0717 312417 tembelea tovuti yetu au wasiliana nasi kupitia maelezo@habarigotz
mkurugenzi mkuu idara ya habarimaelezo na msemaji mkuu wa serikali | 2018-05-25T04:58:22 | http://www.zanzinews.com/2017/08/tamko-la-serikali-kuhusu-utaratibu-wa.html |
azania kuwakilisha afrika mashariki england mtaa kwa mtaa blog
home habari michezo azania kuwakilisha afrika mashariki england
pamoja blog march 05 2017 habari michezo
mwakilishi wa balozi wa kenya nchini george alande (kushoto) akiwasili kwenye viwanja vya jk youth park na kupokelewa na mkuu wa uhusiano na masoko wa benki ya standard chartered juanita mramba (katikati) wakati wa fainali za mashindano ya standard chartered road to anfield mwaka 2017 yaliyomalizika jana jijini dar es salaam(picha zote na thebeautycotz)
azania group of companies ambayo ilikuwa inawakilisha tanzania ilijikusanyia pointi saba kama ilivyokuwa capital fm kutoka kenya lakini waliweza kupata nafasi kutokana na kujipatia magoli matatu zaidi dhidi ya kenya ambao walikuwa na magoli mawili mpira huo ambao ulichezwa kwa dakika tano kila upande ulikuwa mkali na ambao ulishindwa kutoa utabiri wa wazi nani ataibuka mshindi na hivyo kupata nafasi ya kuingia uwanja wa anfield mei mwaka huu kuangalia mechi za liverpool baada ya kila timu kuicheza mechi tatu katika raundi ya kwanza na kila mmoja kujipatia pointi tatu waliingia katika raundi ya pili mwakilishi wa balozi wa kenya nchini george alande (mwenye kofia) akizungumza na timu ya capital fm baada ya kuwasili kwenye viwanja vya jk youth park jijini dar es salaam
katika michuano hiyo coca cola ya uganda ilicheza dhidi ya azania group of companies na kuondolewa mapema katika michuano hiyo pamoja na watu wake kuwa na miili ya soka kutokana na uganda kuondolewa mapema azania waijikuta wakikabiliana na washindi wa mwaka uliopita mabingwa wa kenya kenya walicheza mpira ambao ulileta taabu sana mpira wa kujihami na hivyo kutibua mbinu waliyokuwa nayo azania ambao walitaka kumaliza game mara moja unaweza kusema kwamba kipa wa capital fms shafi sudi ndiye alikuwa staa wa mechi kutokana na kufanikiwa kuzuia kasi ya mashambulizi kutoka azania yaliyokuwa yakiongozwa na nahodha shabaka hamis balozi wa uganda nchini mh dorothy samali hyuha (mwenye tisheti nyeupe) akizungumza na timu ya coca cola kutoka uganda mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya jk youth park kushuhudia fainali za mashindano ya standard chartered road to anfield 2017 yaliyomalizika jana jijini dar es salaam
kutokana na fainali hizo kutokuwa na mfumo wa penati timu ambayo inamaliza gemu ikiwa na pointi zaidi huwa ndio washindi na katika hilo watanzania ndio wawakilishi wa timu za afrika mashariki katika uwanja wa anfield kutokana na ushindi huo capital fm wanakuwa wa pili na nafasi ya tatu inashikwa na coca cola ya uganda akizungumza baada ya gemu kumalizika rajab ali ambaye ndiye aliyeibeba azania group alisema kwamba alikuwa na furaha kubwa kwenda kuishuhudia liverpool fc ikikipiga katika uwanja wa anfield kwani ndilo ilikuwa nia yao kubwa gwiji wa soka duniani kutoka klabu ya liverpool nchini uingereza john barnes (katikati) akiwasili pamoja na mtendaji mkuu wa benki ya standard chartered nchini sanjay rughani (kushoto) na kupokelewa na mkuu wa uhusiano na masoko wa benki hiyo juanita mramba walipowasili kwenye viwanja vya jk youth park jijini dar es salaam[/caption] naye nahodha wa capital fm lassie atrash alisema kwamba wameshindwa kufanya vyema kwa kuwa uwanja ulikuwa mdogo hata hivyo alisema ulikuwa ni mchezo safi na mshindi ilikuwa lazima apatikane na kusema kwamba ana matumaini kuwa azania itawawakilisha vyema afrika mashariki huko england awali mchezaji john barnes akizungumza kabla ya michezo hiyo alisema anafurahishwa na kutambua kwamba soka linatengenezwa afrika mashariki na hivyo kuondoa dhana potofu kwamba soka katika afrika linapatikana afrika magharibi pekee gwiji wa soka duniani kutoka klabu ya liverpool nchini uingereza john barnes akitambulishwa kwa mwakilishi wa balozi wa uingereza daniel rathwell alipowasili kwenye viwanja vya jk youth park jijini dar es salaam kulia ni mkuu wa uhusiano na masoko wa benki ya standard chartered juanita mramba
posted by pamoja blog at march 05 2017 | 2018-07-23T11:59:58 | http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2017/03/azania-kuwakilisha-afrika-mashariki.html |
yekuno walters said
kea pene said
simin soltani said
devi maharaj said
carly reez said
brittany dao said
xinke ching said
tammy casey said | 2018-02-21T18:39:29 | http://foodwishes.blogspot.ca/2012/10/pumpkin-cinnamon-rolls-least-scary.html |
fununu inasemekana kuwa star justine bieber ndie atakae fanya muendelezo wa fast&furious7 katika mwaka huu music255
fununu inasemekana kuwa star justine bieber ndie atakae fanya muendelezo wa fast&furious7 katika mwaka huu
baada ya kufaliki kwa ajari mbaya the late paul walker sasa kunafununu kuwa eti singer justine bieber ndio mtu atakae malizia movie ya fast & furious 7 ndani ya 2014 ingawa haija fahamika kua katika movie ata act kama ni mtoto wa paul walker au ata act kama mdogo wa actor paul walker ambae kwa sasa ni marehemu
poldavyblognews 10 mar 2014
previous previous post reblon james kusaidia childhood zake katika 2k14 the album tazama video ya rapper sian cotton almost home (official music video) on youtube
next next post check hapa jinsi sebure ya psquare ilivyo jazwa dhahabu (picha)
90877 7 | 2018-08-19T18:49:58 | https://baadaesana.wordpress.com/2014/03/10/fununu-inasemekana-kuwa-star-justine-bieber-ndie-atakae-fanya-muendelezo-wa-fastfurious7-katika-mwaka-huu/?shared=email&msg=fail |
home | temesa
tanzania electrical mechanical and electronics services agency (temesa)
quality services for development opportunities
ministrial advisory board
units/sections
procurement management unit (pmu)
production & maintenance works
electronics/icts works
auxiliary and miscellaneous services
ferry & equipment
electronics/icts services
mtendaji mkuu temesa atembelea na kukagua karakana mpya ifakara
mtendaji mkuu wa wakala wa ufundi na umeme (temesa) mhandisi japhet y maselle ametembelea na kukagua karakana mpya ya temesa iliyopo katika halmashauri ya mji wa ifakara wilayani kilombero mkoani morogoro karakana hiyo ambayo imefunguliwa juni mosi mwaka huu sasa itahudumia wilaya zote za karibu ikiwemo wilaya ya ulanga na wilaya ya malinyi ambazo awali zilikuwa zikitegemea kupata huduma za matengenezo ya magari na mitambo kutoka morogoro mjini
akiwa kwenye karakana hiyo mtendaji mkuu alipata wasaa wa kuzungumza na wasimamizi wa karakana hiyo ambapo alipewa muhtasari wa kazi ambazo zimefanyika wakati wa kuanza kuikarabati karakana hiyo na mhandisi jairos nkoroka ikiwemo usafi wa eneo la karakana hiyo kwa ujumla ikiwemo kurekebisha paa la karakana hiyo kupaua ujenzi wa choo kipya pamoja na uwekaji wa mifumo ya maji safi na maji taka pamoja na uwekaji wa mifumo mipya ya umeme ambao ulifanywa na ofisi ya temesa morogoro
mhandisi nkoroka pia alimueleza hatua mbalimbali walizozichukua ikiwemo kutembelea ofisi zote za serikali zinazopatikana katika wilaya ya kilombero pamoja na wilaya za ulanga na malinyi ambapo waliweza kuzungumza na viongozi wa wilaya hizo kuanzia ngazi ya juu mpaka chini kuwakumbusha kuanza kupeleka magari yao mitambo pikipiki kangavuke pamoja na kuleta kazi zote za elektroniki na umeme katika ofisi za wakala huo kama ambavyo sheria ya manunuzi na matengenezo ya magari inayvotamka
mhandisi maselle aliwapongeza kwa kazi nzuri waliyoifanya mpaka kuwezesha kuanza kazi rasmi kwa karakana hiyo ambapo wameweza kusaidia kupungua kwa gharama za kufata huduma ya karakana ambazo mara nyingi zimekuwa zikitumiwa na baadhi ya taasisi za serikali kufata huduma hizo mjini morogoro
awali mhandisi maselle alipata wasaa wa kukagua vifaa vya karakana hiyo vilivyonunuliwa mwanzoni mwa mwaka huu ambapo aliwaagiza kuvitunza na kuvitumia vizuri ili viweze kuwaletea mapato ya kuweza kujiendesha
aidha mtendaji mkuu alipata pia fursa ya kukagua kivuko cha mv kilombero ii pamoja na kivuko cha mv kilombero i ambavyo vimehifadhiwa katika karakana hiyo baada ya huduma za kivuko kufungwa katika mto kilombero kutokana na kukamilika kwa daraja vivuko hivyo vinatarajiwa kuanza kufanyiwa ukarabati tayari kwa hatua ya kupelekwa katika eneo la kikove malinyi kwa ajili ya kutoa huduma katika maeneo hayo baadae mwaka huu
temesa singida yaagizwa kutumia vizuri rasilimali watu
mameneja temesa wahimizwa kuboresha utendaji kazi wa karakana
pre bid minutes garage ac ict and electrical pre qualification
monday 29th apr 2019
ict electronics engineering services 2019
monday 15th apr 2019
waraka maalumu kuhusu taratibu za matengenezo ya magari ya umma
wednesday 10th apr 2019
pre qualifications ac and refrigeration 2019 temesa
monday 8th apr 2019
off keko/ mwanga darajani
nyerere road dar es salaam
po box 70704
email address info@temesagotz
fax +255 22 2865835
telephone +255 22 28662796/97
what'sapp +255 655 360181
tanzania building agency
ministry of works transport and communication (works sector)
temesa forum
customer/staff corner
all rights reserved © 2019 tanzania electrical mechanical and electronics services agency (temesa) all rights reserved designed and developed by egovernment agency (ega) contents managed by tanzania electrical mechanical and electronics services agency (temesa) | 2019-06-17T20:02:22 | http://temesa.go.tz/news/mtendaji-mkuu-temesa-atembelea-na-kukagua-karakana-mpya-ifakara |
makamu wa rais awaonya makatibu mahsusi wanaotoa siri za serikali | zotekali blog
makamu wa rais awaonya makatibu mahsusi wanaotoa siri za serikali
makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan amewaagiza makatibu mahsusi nchini kufanya kazi kwa kuzingatia
sehemu ya wajumbe waliohudhuria mkutano mkuu wa chama cha makatibu mahsusi tanzania (tapsea) ambao mgeni rasmi alikuwa makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan (picha na ofisi ya makamu wa rais)
zotekali blog makamu wa rais awaonya makatibu mahsusi wanaotoa siri za serikali
https//1bpblogspotcom/iulxbtpiqww/wr7mx7ezkmi/aaaaaaaabhu/ei2ccppmzbigbpwi3xxkj4fwadrvb1hjaclcb/s1600/x28750x375jpgpagespeedicjzpdnxjbttwebp
https//1bpblogspotcom/iulxbtpiqww/wr7mx7ezkmi/aaaaaaaabhu/ei2ccppmzbigbpwi3xxkj4fwadrvb1hjaclcb/s72c/x28750x375jpgpagespeedicjzpdnxjbttwebp
http//wwwzotekalicom/2017/05/makamuwaraisawaonyamakatibumahsusihtml | 2017-11-23T09:02:11 | http://www.zotekali.com/2017/05/makamu-wa-rais-awaonya-makatibu-mahsusi.html |
second selection results for 2011/2012 | jamiiforums | the home of great thinkers
second selection results for 2011/2012
discussion in 'jukwaa la elimu (education forum)' started by mwambene sep 11 2011
mwambene
ndugu zangu angalie profile zenu muangalie ktk kipengele cha selection result ni kama matokeo tayari kwani mie nimeandikiwa 'sorryyou are not selected' nimemuuliza rafiki yangu arusha kaniambia kuwa yeye ameishatumiwa matokeo yake kwa njia ya email na ameishapata chuo sasa sijui wengine lini au sisi tena tusubili 3rd application
subirin 3rd round of application
listener92
subirin 3rd round of applicationclick to expand
kuna 3rd round of application tena
mwambene said
ndugu zangu angalie profile zenu muangalie ktk kipengele cha selection result ni kama matokeo tayari kwani mie nimeandikiwa 'sorryyou are not selected' nimemuuliza rafiki yangu arusha kaniambia kuwa yeye ameishatumiwa matokeo yake kwa njia ya email na ameishapata chuo sasa sijui wengine lini au sisi tena tusubili 3rd applicationclick to expand
hapo kwenye red umejibiwa nni na unatuuliza nni
listener92 said
kuna 3rd round of application tenaclick to expand
inaonesha ipo ukiangalia kwenye website yao http//castcugotz said
tanzania commission for universities (tcu) in collaboration with the national council for technical education (nacte) and higher education institutions hereby informs prospective applicants for academic year 2011/2012 that the 2nd selection is now closed the system will be opened for the 3rd round applications in the near futureclick to expand
sioni sababu ya kuwa na 3rd round of applications wkt vijana wananyimwa mkopo | 2016-12-11T02:49:24 | http://www.jamiiforums.com/threads/second-selection-results-for-2011-2012.171712/ |
prof mwamfupewanaonyanyasa wanawake watoto 'kusakwa'
imewekwa tarehe february 20th 2019 shirika la wanawake la umoja wa mataifa (un women) kwa kushirikiana na jumuiya ya serikali za mitaa tanzania (alat) wanatekeleza mradi wenye lengo la kutokomeza ukatili na unyanyasaji wa kijinsia kwa
madarasa 44 yaandaliwa kidato cha kwanza
imewekwa tarehe february 16th 2019 halmashauri yatii agizo la waziri tamisemi bil 1313000000 zatumika kujenga madarasa mapya 37 kukarabati madarasa 7 na ukamilishaji wa maabara katika shule 8 wanafunzi 2610 waliokosa nafasi
imewekwa tarehe february 15th 2019 wafanyabiashara na wawekezaji kutoka jiji la linz nchini austria wamealikwa kuwekeza katika kilimo cha zao la zabibu ili kukuza uchumi wa wananchi wa jiji la dodoma na tanzania kwa ujumla wito huo | 2020-07-07T10:06:47 | http://dodomamc.go.tz/news/156 |
urusini ramos vs ronaldo taarifa zote muhimu za ureno vs hispania | shaffihdauda
home world cup urusini ramos vs ronaldo taarifa zote muhimu za ureno vs hispania
mpambano huu utapigwa kayika kiwanja cha fisht olympic stadium kule sochi
wachezaji wanne wa kocha mkuu wa ureno bwana fernando santos wamevunja mikataba yao na klabu ya sporting lisbon baada ya msimu wa kusuasua
william carvalho gelson martins bruno fernandes na bas dost waliungana na rui patricio and daniel podence walifungua jalada lao wakitaka kulipwa hela zao
swali ambalo ningetamani kumuuliza hassani kessy ambaye aliniambia kwamba yeye ataishabikia timu ya wapiga pasi na yenye beki katili je fernando hierro atakamilisha safari yao
cristiano ronaldo bila shaka huu ni wakati wake wa kuwatambia pele na maradona ureno haiwajahi kubeba kombe la dunia waliwahi kuwa na mchezaji bora kama eusebio lakini mambo yalikwenda mrama
ronaldo akili yake ni kujenga cv yake kubwa duniani wala sio kuhusu mkataba wake na madrid
inahitaji moyo wa ziada kuamini kwamba ureno inaweza kutwaa ubingwa dunia hata kama ina ronaldo
hata hivyo rafiki yangu hassan masinde anaamini ureno inaweza kuishangaza hispania na dunia kwa ujumla kama ilivyofanya kule ufaransa miaka miwili iliyopita
ronaldo ana miaka 33 sasa si haba hasa kwa uwezo wake mkubwa alio nao bado ana uwezekano mkubwa mchezo wa huu kwake ni kamari kushinda kwake kutatoa onyo kwa wale mabingwa wengine ni ngumu kuamini kama ronaldo atacheza kombr la dunia qatar mwaka 2022hivyo kila mchezo kwake katika michuano hii ni sawa na fainali
kila ombi la muargentina ni kuiombea ureno ifungwe
waargentina wapo tayari kuona saudia arabia au hata panama kubeba ubingwa wa dunia kuliko ureno kama ronaldo atabeba medali hii ya dhahabu niamini mimi hakuna mshabiki wa messi atakayethubutu kufungua mdomo na kuongea chochote mbele ya mashabiki wa ronaldo
tunafahamu kuwa ramos ni swahiba mkubwa wa ronaldo sina shaka na utendaji kazi wao wala siamini kama ramos atacheza chini ha kiwanfo ili swahiba wake azidi kumpa nafasi ronaldo ya kufanya vyema zaidi kuliko mess bila shaka ramos atahitaji kujenga rekodi yake yeye ni nahodha wa timu ya taifa hawezi kuleta usela kazini
karata yangu ni ipi
la roja walifanya maajabu mwaka 2010 ureno nao walitwaa kombe la ulaya mwaka 2016 yaani tunaweza kusema kwamba wareno ile harufu harufu ya pilau lao la ubingwa mwaka jana baso wanalo tunaweza kusema hata yale masufuria bado hawajayaosha
ureno wapoje
kwangu naona kama ireno walishinda uchaguzi wa ubunge na kiabarua ni huu uchaguzi wa uraisi ule uchaguzi wa ubunge hawakupewa nafasi kubwa ya kushinda lakini waliwashangaza wafaransa
fernando santos anna uzoefu mkubwa kwani tayari amewahi kuvifundisha vilabu vya porto benfica na sporting lisbon na amepoteza michezo miwili tu kati ya 29 ukijuisha ushindi wa chile kwa mikwaju ya penati kwenye kombe la shirrkissho la fifa kichapo kikubwa cha hivi karibuni kilitoka kwa switzerland ureno imefunga magoli 32 na kuruhusu magoli manne katika michezo 10 ya mwisho
msururu wa matokeo dwlddw
kocha mkuu wa ureno
hispania nao vipi
nimemsikia hierro amesema hakuna muda wa kupoteza kupeana pole wala kulaumiana
je kuna faida yeyote kwa kocha wao mpya
ndio ila ndogo sana kwanza hierro ni mzoefu na ni mhispania anaijua hispania pamoja na ligi kwa ujumla amekuwa mkurugenzi wa ufundi wa soka la timu ya taifa
changamoto ni kwamba hajawahi kuwa kocha wa timu kubwa au mashindano makubwa sio mbaya sana maana hata zidane alishtukiziwa kazi na hakuwahi kuwa kocha mkubwa hapo awali lakini alifanya makubwa
ramos amesema haoni kama kuna sababu ya kuangalia kama hierro anafaa au hafai maana haoni ambaye anafaa zaidi ya hierro ambaye yupo sokoni kwa sasa hakuna muda wa kupoteza
nimewaambia wachezaji kuwa wameshafanya makubwa na kazi iliyobakia mbele yao ni kuwekeza zaidi kwa kile kilichwapeleka urusi
fernando hierro ameifundisha tu oviedo na amepewa la roja nimeangalia kwa makini uchambuzi wa daniel lewis yeye amesema hierro amepewa mzigo mkubwa sana kwenye lori amepewa kikundi cha wachezaji bora duniani huku uzoefu wake yeyeni dereva taksi
kimsingi hakuna timu yenye ulinzi imara kama timu ya taifa ya hispania wakiwa wamefunga mabao 36 huku wakishikilia rekod ya kucheza michezo 20 bila kufungwa je ureno watavunja chungu
msururu wa matokeo wddwdw
dani carvajal bado ana wasiwasi kuanza kwemye mchezo huu kinda alvaro odriozola ambaye amecheza michezo 4 kwa timu yake ya taifa huenda akapewa mafasi ya kuziba pengo lake
hierro atakuwa na uchaguzi mpana zaidi kati ya andres iniesta na sergio busquets kuanza kama viungo wa kati atakuwa na akiba ya thiago alcantara au koke
santos kwa wachezaji wake wawili goncalo guedes na bruno fernandes
fernandes anaweza kuwa na pepe kuhakikisha safu yao ya ulinzi inaimarika guedes atapata upinzani kutoka kwa andre silva ambaye amekuwa na uelewano mzuri na ronaldo ronaldo ndiye mchezaji hatari zaidi katika mpambano huu akiwa amefunga mabao 81 kwenye michezo 150 ya kimataifa magoli 15 akiwa amefunga katika hatua ya kufuzu huku msimu huu akitenga mabao mengine 43 kwa real madrid msimuu huu
utabiri wa kikosi ureno
utabiri wa kikosiuhispania
makalla hii imeandaliwa na privaldinho unaweza kunifollow instagram kwa jina hilo hilo utabiri wangu kuna uwezekano mkubwa sana suluhu licha ya kwamba naipa nafasi kubhispania zaidi ya ushindi kuliko ureno
previous articlekipigo walichotoa urusi chaweka rekodi hizi kombe la dunia
next articlemambo na vijimambo ufunguzi kombe la dunia 2018 | 2018-09-21T12:26:24 | http://shaffihdauda.co.tz/2018/06/14/urusini-ramos-vs-ronaldo-taarifa-zote-muhimu-za-ureno-vs-hispania/ |
kangi lugola amkwaza rais magufuli hamfai kwenye hizi nafasi na sikutegemea kuwakuta adi sasa | udaku special blog
home siasa kangi lugola amkwaza rais magufuli hamfai kwenye hizi nafasi na sikutegemea kuwakuta adi sasa
udaku special january 23 2020 siasa
kangi lugola amkwaza rais magufuli hamfai kwenye hizi nafasi na sikutegemea kuwakuta adi sasa reviewed by udaku special on january 23 2020 rating 5
anonymous 23 january 2020 at 1815
hata mimi kangi ni rafiki yangu na ninampenda ila magunampenda zaidi
yeye ni performance driven presida
ukivurunda au umefumbia macho hana simile long live magu | 2020-02-24T13:09:57 | https://www.udakuspecially.com/2020/01/kangi-lugola-amkwaza-rais-magufuli.html |
tembo faru hatarini kutoweka | gazeti la jamhuri
jamhuri june 22 2016 tembo faru hatarini kutoweka20160622t061339+0000 habari za kitaifa
machafuko ya kisiasa katika nchi za afrika na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe kumechangia kuzagaa kwa silaha za kivita katika baadhi ya nchi ikiwamo tanzania hatua iliyotajwa kuwa kichocheo kikubwa cha mauaji ya tembo nchini
kauli hiyo imetolewa hivi karibuni na mkurugenzi wa kituo cha utafiti wa tembo duniani (world elephant centre) dk alfred kikoti katika mkutano wa mwaka wa hifadhi za taifa uliowakutanisha wahariri na waandishi waandamizi kutoka vyombo mbali mbali vya habari nchini
mkutano huo uliofanyika mjini morogoro kwa siku tatu uliandaliwa na shirika la hifadhi za taifa tanzania (tanapa) na kufunguliwa na waziri wa maliasili na utalii profesa jumanne maghembe huku ukibeba kaulimbiu ya tuzilinde hifadhi za taifa ili kukuza uchumi wa taifa
dk kikoti mtafiti wa tembo na faru anasema kuzagaa kwa silaha kumechangia silaha nyingi kuingia kwenye mikono isiyo salama yakiwamo makundi ya kigaidi ya alshabaab linaloendesha mapigano katika nchi ya somalia
mapigano katika nchi ya somalia yaliyodumu kwa kipindi kirefu baina ya wanamgambo hao wa alshabaab yamechangia kwa kiasi kikubwa kuzagaa kwa silaha nyingi za kivita kutokana na kutokuwapo kwa udhibiti wowote
dk kikoti amesema kuwa migogoro iliyoikumba nchi jirani ya burundi jamhuri ya kidemokrasia wa kongo (drc) sudan kusini na uganda imekuwa kichocheo ya kuzagaa kwa silaha zinazohatarisha usalama wa tembo nchini
anasema kama hatua madhubuti hazitachukuliwa kuwalinda tembo na faru utalii utatoweka
anabainisha kuwa soko la tembo limepanuka hata kwa nchini ambazo zilikuwa hazijihusishi na biashara hiyo ikiwamo nigeria ambako pembe hizo za tembo zinauzwa kama nguo sokoni
nchi nyingine zilizotajwa katika soko la uuzwaji wa pembe za tembo duniani ni china marekani hong kong thailand ethiopia japan jamhuri ya kidemokrasia ya kongo (drc) india singapore vietnam kenya na nchi za bara la asia ambako uuzwaji wake hufanywa kwa uwazi bila kificho
dk kikoti anaeleza kuwa miaka mitano iliyopita idadi ya tembo hapa nchini ilipungua kwa kiwango cha asilimia 60 kutoka tembo 109051 mwaka 2009 na kufikia tembo 50000 mwaka 2014
anasema kuwa ni lazima jamii ishirikishwe kuhakikisha inawalinda tembo na faru kutokana na kuwa katika tishio la kutoweka kutokana na kuwindwa na majangili
tishio jingine la kutoweka kwa tembo ni kuvamiwa kwa mapito yao ya asili maarufu kama shoroba kulikotokana na shughuli za kibinadamu hatua ambayo imesababisha mgongano mkubwa baina ya wanyama na binadamu
dk maurus msuha kutoka tawiri anasema migogoro baina ya wanyama na binadamu inazidi kuongezeka huku shoroba zikitumiwa na wananchi kwa ajili ya kuweka mitego ya kunasa wanyama
dk msuha anasema umuhimu wa kuwapo na shoroba ni kuwawezesha wanyama kupita kutoka eneo moja kwenda jingine bila bughudha huku akiitaja tanzania kama nchi ya sita duniani yenye viumbe walioko hatarini kutoweka
hifadhi ya taifa ya tarangire iliyoanzishwa mwaka 1970 kwa tangazo la serikali namba 160 ni moja ya hifadhi ambazo mapito ya wanyama yamevamiwa kwa kiwango kikubwa huku kukiwapo na tishio la kutoweka kwa nyumbu
mbali na shoroba hizo kuvamiwa pia mto tarangire unaobeba jina la hifadhi hiyo nao upo hatarini kutoweka kutokana na shughuli za kibinadamu zinazochangia uvamizi wa vyanzo vya maji ndani ya mto huo
dk msuha anasema kuwa shoroba nyingine zilizovamiwa ni manyarangorongoro tarangiremanyara (kwa kuchinja) tarangiresimanjiro kilimanjaroamboseli (kenya) udzungwaruaha udzungwaselous gombekwitanga gombemukungurukamabasi katavimahale katavirukwalukweti na saadaniwami mbiki
dk msuha anasema kuwa zipo shoroba tano zilizoko katika hatari ya kutoweka kabisa kutokana na kuvamiwa na wananchi wanaoendesha shughuli za kibinadamu ikiwamo kilimo na ufugaji
« mifugo kuua hifadhi ya katavi
mawaziri wakikwepa kiwanda cha saruji » | 2020-03-30T06:50:15 | http://www.jamhurimedia.co.tz/tembo-faru-hatarini-kutoweka/ |
raila odinga je majukumu mapya yatambana kwenye siasa za kenya bbc news swahili
hezron mogambi mhadhiri chuo kikuu cha nairobi
https//wwwbbccom/swahili/habari46028038
makubaliano yetu na bw odinga ya kusahau tofauti zetu na kufanya kazi pamoja yametambuliwa kote duniani umoja wa afrika umemteua raila odinga kama mwakilishi wake wa ngazi za juu kuhusu muundo msingi na maendeleo barani afrika rais kenyatta alisema
image caption odinga aliapishwa kuwa 'rais wa wananchi' mapema mwaka huu
ni watu wangapi ambao wamezitumia kazi kama hizi za kimataifa ili kujitayarisha kwa majukumu ya kisiasa humu nchini ni nini kinachoweza kumzuia raila odinga kuwania kiti chochote cha kisiasa bw murathe ambaye pia ni naibu mwenyekiti wa chama tawala cha jubilee nchini kenya aliuliza
kuteuliwa kwa raila odinga kunamfanya kuwa mkenya wa kwanza kuteuliwa katika wadhifa wenye ngazi za juu kama hiyo itakumbukwa kuwa mwaka wa 2014 mwanajeshi mstaafu katika jeshi la kenya jenerali jackson tuwei aliteuliwa na umoja wa afrika kuwa mwakilishi maalum kuhusu kundi la uganda la lord's resistance army
image caption kenyatta na odinga walikutana machi mwaka huu na kuahidi kuwaunganisha wakenya
image caption bw odinga akiwa na kiongozi wa chama cha upinzani cha movement for democratic change (mdc) nchini zimbabwe nelson chamisa
wahusika wakuu mpango wa kumuapisha odinga kuongoza kenya | 2019-10-15T00:06:27 | https://www.bbc.com/swahili/habari-46028038 |
pata viwanja na nyumba jamiiforums
pata viwanja na nyumba
nyumba nzuri ipo bunju umbali wa mita mia tatu kutoka bagamoyo road ina vyumba vinne na frame sita kwa mbele bei ni sh milioni 180 nyumba nzuri ipo tegeta stand ina vyumba sita maji na umeme bei sh milioni 85
viwanja mapinga karibu kabisa na barabara yaani kinatazamana na lami ukubwa ni mita za eneo 1150 au mita 50 urefu na upana mita 23 bei ni sh milioni 80 kiwanja kipo bunju ukubwa ni mita za eneo 1000 au urefu mita 40 na upana mita 25 bei ni sh milioni 12
shamba lipo mianzini lina ukubwa wa ekari moja na lipo kilomita moja kutoka bagamoyo road bei ni sh milioni 30 shamba lina ukubwa wa ekari mbili lipo mapinga umbali wa kilomita moja kutoka bagamoyo road bei ni sh milioni 40
kwa mawasiliano 0765 117 199 0752 774 355 0713 631 313
0653 061 886 0786 046 484 0713 897 069
mmmhhhh kwa mzikihuu kazi ipo
madalali hawabei wanazopewa wanazidisha mara tano hadi kumiusiogope viwanja na mashamba bado vina bei nzuri tu
ndio maana tumeweka namba za simu hapo mkuu sisi sio madalali uchwara ni kampuni inayofanya shughuli nyingi ikiwamo hiyo hii ya uuzaji wa wa viwanja mashamba na nyumba
kawauzie wawekezaji wa kigeni kwa hizo bei lazima utakuwa dalali | 2019-05-25T03:07:42 | https://www.jamiiforums.com/threads/pata-viwanja-na-nyumba.357518/ |
rais uhuru kenyatta amejitenga na baadhi ya wanasiasa jubilee wanaompinga naibu wake bbc news swahili
https//wwwbbccom/swahili/habari46850576
dhoruba hii inatokana na matamshi ya hivi karibuni yaliyotolewa na aliyekuwa naibu mwenyeketi wa kitaifa wa chama cha jubilee david murathe kuwa alikuwa ameanzisha juhudi za kuhakikisha kuwa naibu rais wa kenya william ruto angefaulu katika juhudi zake za kupata uongozi wa nchi katika uchaguzi ujao 2022
martin fayulu apinga matokeo ya uchaguzi drc
rais uhuru kenyatta ambaye pia ni kiongozi wa chama tawala cha jubilee alimejitenga na baadhi ya wanasiasa katika chama chake cha jubilee wanaompinga naibu wake bwana ruto kuchukua hatamu za uongozi wa nchi badala yake akisema kuwa chama chake cha jubilee kina mipango yake kuhusiana na siasa za urithi wa kiti cha urais mnano mwaka wa 2022
hata hivyo cheche za matamshi ya hisia kali kutoka kwa wendani wa naibu rais william ruto ambaye pia ni naibu kiongozi wa chama tawala cha jubilee nchini kenya kwa upande mmoja na wale wanamuunga rais kenyatta kwa upande mwingine zimeendelea
bwana murathe alijiuzulu wadhifa wake na kudai kuwa hangeweza kufanya kazi kwenye chama tawala pamoja na aliyekuwa akimpinga na kueleza kuwa angekwenda mahakama ya juu zaidi kuhakikisha kuwa amezima azma ya naibu rais wa kenya bwana william ruto
majibizano yaliyotokana na matamshi ya bwana murathe na shutuma za pande mbali mbali zimepelekea kuonekana kufanya chama cha jubilee kutokuwa imara kwa sababu ya tofauti kuhusiana na uongozini chamani
image caption makamu wa rais william ruto (mwenye kofia)
huku haya yakiendelea baadhi ya wendani wa naibu rais william ruto walitisha kuleta hoja ya kutokuwa na imani na rais kenyatta wakidai kuwa alikuwa amekwenda kinyume na makubaliano ya viongozi hao wawili kusaidiana katika kuhakikisha kuwa kila mmoja wao anaiongoza kenya kwa miaka kumi kila mmoja
hata ingawa baadhi ya viongozi hao walidai kutia saini kuhakikisha kuwa hatua hiyo ingefaulu huenda wasifaulu kwa sababu idadi inayohitajika kuunga mkono mswaada kama huo bungeni huenda wasiipate aidha wengi wa wabunge wa upinzani huenda wasiwaunge mkono katika hatua hiyo
mwanamke apewa dawa ya kusimamisha uume hospitali
ujumbe kutoka anga za juu
yanayoendelea kwenye vyama vya kisiasa nchini kenya yanatilia shaka misingi ya vyama hivyo na iwapo muundo na usimamizi wa vyama vya kisiasa nchini kenya unasaidia katika kushiriki kwa vyama hivyo katika kuendeleza demokrasi nchini kenya kwa kuzingatia maoni na maono ya wakenya ni jambo la kutiliwa shaka
ni dhahiri kuwa malengo ya vyama hivi na wananchi wa kawaida ni mambo yaliyo katika dunia mbili tofauti vyama vya kisiasa vikitafuta uungwaji mkono kushika hatamu za uongozi na kwa upande mwingine wananchi wa kawaida wakijitafutia mahitaji yao ya kila siku
kwa kuwa uchaguzi mkuu huwa kama kufa kupona nchini kenya wanasiasa wamekuwa wakivitumia vyama vya kisiasa kuhakikisha wanaendeleza malengo yao ya kisiasa na kinafsi sababu moja inayoeleza ni kwa nini huwa kuna ghasia kila mara katika teuzi za vyama wakati wa uchaguzi mkuu na wakati mwingine baada ya uchaguzi mkuu
image caption upigaji kura kenya
wengi wanakubaliana kuwa ghasia za kisiasa ndani na nje ya vyama vya kisiasa zina misingi yake katika siasa za rais mstaafu daniel moi ambaye alishikilia hatamu za uongozi hadi mwaka wa 2002 na aliyetumia mbinu ya tenga utawale sana wakati aliposhinikizwa kuanzisha mfumo wa vyama vingi nchini kenya
tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyuama vingi nchini kenya wataalamu wa siasa za kenya wanaeleza kuwa vyama vingi vilivyoundwa wakati huo na hata sasa vimekuwa na misingi ya kikabila jambo ambalo limekuwa likitatiza maendeleo ya demokrasia ya vyama nchini kenya
kwa hakika chama kikuu cha upinzani nchini kenya orange democratic movement(odm) kiliundwa kutokana na kura ya maamuzi ya mwaka 2005 ambapo wale wote waliopinga kura ya maamuzi akati huu walijumuika na kukiunda
hii ndiyo sababu sasa kuna hofu kuwa wale wanaopigania kura ya maamuzi kufanywa nchini kenya kabla ya uchanguzi wa mwaka wa 2022 wana njama ya kuhakikisha kuwa kuna chama kipya cha kisiasa nchini kenya ili kukitumia kwenye uchaguzi wa 2022
wanasiasa wanacheza karata mjadala wa mageuzi ya katiba kenya
hata hivyo ikukumbukwe kuwa katiba na sheria inayosimamia vyama vya kisiasa nchini kenya inavipa fursa vyama vya kiasa kupokea fedha kutoka kwa mfuko wa serikali ili kuendeleza shughuli zao ingawa vyama hivi havijakuwa vikifanya hivi baada ya katiba mpya ya mwaka wa 2010
ingawa chama tawala cha jubilee na chama cha upinzani cha orange democratic (odm) ndivyo vyama vikuu vya kisiasa nchini kenya havijawahi kuwa na uchaguzi
chama kikuu cha upinzani odm kilipojaribu kufanya uchaguzi wake miaka ya nyuma kilikumbwa na migawanyiko mikubwa ambayo ilipelekea kuwekwa afisini kwa viongozi wasimamizi hadi leo
kiongozi wa odm ambaye pia ni kiongozi wa upinzani nchini kenya raila odinga amewahi kushikilia kuwa vyama vya upinzani vinafaa kuwa na uwezo wa kuamua jinsi ya kuwachagua wanachama wake watakaongangania nafasi mbali mbali za kisiasa nchini kenya bila hata kufanya uchaguzi chamani
kando na kutokuwepo na uchaguzi kwenye vyama vya kisiasa ambako kunapelekea kuyumbayumba kwa vyama hivyo baada ya uchaguzi mkuu baadhi ya vyama hivyo huwa vinaanzishwa katika misingi ya kikabila kutokana na ukweli kwamba wanaovinzisha huwa na misingi hiyo
haki miliki ya picha musalia mudavadi
image caption musalia mudavadi
hali hii inawaacha wanachama na chama chenyewe katika hali ngumu ya maisha ya kisiasa
hali hii labda inaweza kueleza ni kwa nini vyama hivi huwa havina matawi katika sehemu na kaunti mbali mbali nchini kama sheria ya vyama inavyohitaji vyama kufanya
kwa sababu ya kuwa vyama vyenyewe vina wasimamizi na maafisa ambao hawakuchaguliwa mshikamano wa kuuza sera ya chama ni suala ambalo halijawahi kuonekana nchini kenya isipokuwa kusikika tu wakati tarehe ya uchaguzi mkuu inapotangazwa
acacia yalimwa faini ya milioni 300 tanzania
maana ya mswada wa juma nkamia tanzania
haya yanakwenda sambamba na kukosekana kwa nidhamu katika vyama vya kisiasa na viongozi wake kwani misingi ya kuundwa vyama vyenye malengo na maono ya vyama ni maadili ambayo hayana mguso miongoni mwa wanachama
hii ndio sababu wakati mwingine hata viongozi wa vyama nchini kenya hutofautiana hadharani kuhusiana na sera ambali mbali kwa sababu ya misingi ya uundwaji wake isiyo dhabiti
hali kama hii inaonekana katika ushirikiano kati ya chama tawala cha jubilee na muungano wa upinzani nasa unaonyesha dalili kama hizi maana ni wakuu wa vyama ambao wanaonekana kufanya maamuzi bila kuwasjhirklisha wanachama wake
image caption kalonzo musyoka(kulia) na raila odinga(kushoto
kwa mfano ushirikiano kati ya kiongozi wa jubilee rais uhuru kenyatta na kiongozi wa upinzani raila odinga ulipoanza baadhi ya viongozi wa muungani wa nasa kama vile moses wetangula musalia mudavadi na kalonzo musyoka hawakuunga mkono kwa kuwa walidai kutojulishwa malengo yake hata ingawa baadaye wameonekana kuunga mkono ushirikiano huo
lililo bayana ni kuwa vyama vya kiaisa nchini kenya kwa sasa vimebaki vyombo vya kutumiwa na viongozi wa kisiasa katika kufikia malengo yao ya kibinafsi na itachukua muda mrefu kwa mfumo wa vyama vingi kuchukua mkondo wa kuendeleza vyama hivyo ili kuchangia ukuaji wa demokrasi na kujali maslahi ya walio wengi | 2019-01-19T02:49:51 | https://www.bbc.com/swahili/habari-46850576 |
asanteni kwa kutambua dharura ya tabianchi ni vita vya maisha kwa ajili ya mutakabalki wetuguterres | habari za un
akizungumza wakati wa kufunga mkutano huo wa ngazi ya juu mjini new york marekani jioni hii guterres amesema tumekuwa tukidemadema katika mbio hizi dhidi ya mgogoro wa mabadiliko ya tabianchi lakini sasa dunia inaamka shinikizo linaongezeka kasi inaongezeka na hatua kwa hatua mwelekeo unabadilika leo hii katika ukumbi huu dunia imeshuhudia hamasa na mipango thabiti
katibu mkuu ameitaja baadhi ya mipango hiyo kuwa ni pamoja na nchi 77 nyingi zikiwa zilizoendelea kiviwanda duniani zimeahidi kutozalisha kabisa hewa chafuzi ya ukaa ifikapo 2050 pia zikiungwa mkono na kanda 10 na miji zaidi ya 100 ikiwemo mingi kutoka sehemu kubwa ya dunia pia nchi 70 zimetangaza zitapiga jeki mchango wake wa kitaifa ifikapo 2020
guterres ameongeza kuwa viongozi zaidi ya 100 kutoka sekta binafsi wameahidi kuchapuza mchakato wa kuhamia kwenye uchumi wa kijani unaojali mazingira
na kundi kubwa la wamiliki wa mali duniani ambao wamechangia zaidi ya dola trilioni 2 wameahidi kuhamia kwenye uwezezaji uusiozalisha hewa ukaa ifikapo 2050 na benki za ushirika na maendeleo zimeongeza ahadi zao
nayo klabu ya ufadhili wa maendeleo ya kimataifa imetangaza itakusanya dola trilioni 1 za ufadhili wa nishati salama ifikapo mwaka 2025 katika nchi 20 zenye maendeleo duni
pia amesema benki 130 ambazo ni theluthi moja ya selkta ya kimataifa ya benki zimetia saini kwenye sanjari na malengo ya mkataba wa paris na malengo ya maendeleo endelevu sdgs katika bishara zao
ikiwa ulikosa yaliyojiri jumatatu kwenye #unga basi angalia video hii kwa mukhtasari mijadala ya nchi wanachama za #umojawamataifa kuhusu #climateaction na #afyakwawote
usipitwe pictwittercom/bzb5bpvvgd
umoja wa mataifa (@umojawamataifa) september 24 2019
amesema na wengine leo wamekwenda mbali zaidi na kuongeza mara mbili ahadi za ufadhili wa jumla wa mabadiliko ya tabianchi ni muhimu tuhakikishe utekelezaji wa ahadi za nchi zilizoendelea wa kukusanya dola bilioni 100 kwa mwaka kutoka kwa sekta binafsi na sekta za umma ifikapo mwaka 2020 na hasa katika kuzuia na kukabiliana na mabadiliko hayo katika nchi zinazoendelea
pia mkutano wa leo umeshuhudia mikakati mipya ya kutumia uwezo wa mali asili ikiwa ni pamoja na kuhifadhi asilimia 30 ya ardhi ya dunia na maji ifikapo mwaka 2030 pia kulinda misitu ya afrika ya kati na watu milioni 60 wanaoitegemea pia suluhu zaidi ya 150 za asili za kupunguza utoaji wa hewa ukaa zimetangazwa
zaidi ya miji 2000 imeahidi kuweka hatari za mabadiliko ya tabianchi katika kitovu cha maamuzi yao kwa kuanzisha miradi 1000 inayojali mazingira mijini
nchi nyingi kote duniani kuanzia pakistan hadi guatemala colombia mpaka nigeria new zealand mpaka barbados zimeweka ahadi kubwa leo ya kupanda miti zaidi ya bilioni 11
amesema mmefanya mengi kuongeza kasi ushirikiano na hamasa lakini bado safari ni ndefu na hatujafika bado kazi kubwa inahitajika ili kufikia lengo la kutozalisha kabisa hewa ukaa ifikapo 2050 na kuhakikisha kiwango cha joto kinasalia katika nyuzi hoto 15 ifikapo mwisho wa karne hii
na katika kusonga mbele katibu mkuu amesema ninaumba mfumo mzima wa umoja wa mataifa kuzisaidia zaidi nchi biashara na mashirika kujiunga na mikakati ya aleo na kuongeza hatua na hamasa kwani tuko pamoja katika suala hili
climate action|antónio guterres|hatua dhidi ya mabadiliko ya tabianchi|unga74|hewa ukaa|sdgs | 2019-11-22T22:27:41 | https://news.un.org/sw/story/2019/09/1068792 |
#tafakari ya asubuhi shinda vitu hivi leo kisima cha maarifa
#tafakari ya asubuhi shinda vitu hivi leo
by dr makirita amani | march 30 2020
try to be the master over greed sloth lechery and rage leo tolstoy tulijifunza ushindi mkubwa na udumuo ni ushindi juu yako mwenyewe je ni vitu gani unavyopaswa kuvishinda kwako ili uwe na maisha bora vipo vingi lakini muhimu vya kuanzia ni hivi ishinde tamaa na ulafi hivi vinakuangusha
← 1915 wataondoka kama walivyokuja 1916 ni kama vile hakuna kifo → | 2020-05-30T02:13:31 | https://www.kisimachamaarifa.co.tz/2020/03/30/tafakari-ya-asubuhi-shinda-vitu-hivi-leo/ |
used kia cadenza for sale in charlotte nc | echopark® charlotte
used kia cadenza in charlotte nc
geozip=20146&georadius=3500& 0 autousedcharlottekiacadenza /usedcars/charlotte/kiacadenzahtm
used kia vehicles by model
kia cadenza kia optima kia sorento
kia forte kia optima hybrid kia soul
kia forte5 kia rio kia sportage
kia k900 kia rio5
kia niro kia sedona
used kia vehicles by body style
kia crossovers kia minivans kia wagons
kia hatchbacks kia sedans
kia hybrid vehicles kia suvs
used kia vehicles by region
used kias in charlotte
used kias in colorado springs
used kias in denver used kias in houston
used kias in san antonio | 2020-06-01T09:01:40 | https://www.echopark.com/used-cars/charlotte/kia-cadenza.htm |
dembele arejea barcelona ikitoa sare na celta vigo bin zubeiry sports online dembele arejea barcelona ikitoa sare na celta vigo bin zubeiry sports online
mwanzo > habari za ulaya > dembele arejea barcelona ikitoa sare na celta vigo
dembele arejea barcelona ikitoa sare na celta vigo
ousmane dembele akiburuza mpira baada ya kuingia zikiwa zimebaki dakika 20 kwa mara ya kwanza baada ya kuwa nje kwa muda mrefu kwa sababu ya maumivu barcelona ikitoa sare ya 11 na wenyeji celta vigo kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 bora kombe la mfalme usiku wa jana uwanja wa balaidos mjini vigo barca walitangulia kwa bao la jose arnaiz dakika ya 15 kabla ya pione sisto kuwasawazishia wenyeji dakika ya 31 picha zaidi gonga hapa
item reviewed dembele arejea barcelona ikitoa sare na celta vigo rating 5 reviewed by bin zubeiry sports online | 2018-08-20T18:36:15 | http://www.binzubeiry.co.tz/2018/01/dembele-arejea-barcelona-ikilazimishwa.html |
perezida kagame yitabiriye inama yiga ku bufatanye bwa afurika nu bushinwa mu guhashya covid19 kigali today
perezida kagame yitabiriye inama yiga ku bufatanye bwa afurika nu bushinwa mu guhashya covid19
17062020 1834' | ibitekerezo ( )
perezida wa repubulika yu rwanda paul kagame kuri uyu wa gatatu tariki 17 kamena 2020 yitabiriye inama yahuje abakuru bibihugu bya afurika nu bushinwa
iyo nama idasanzwe yabaye hifashishijwe ikoranabuhanga ikaba yigaga ku ngingo nyamukuru yubufatanye bwu bushinwa na afurika mu guhangana nicyorezo cya covid19
iyi nama yayobowe na perezida wa afurika yepfo cyril ramaphosa akaba ari na we uyoboye umuryango wa afurika yunze ubumwe yayiyoboye afatanyije na perezida xi jinping wu bushinwa ndetse na perezida macky sall wa senegal
u bushinwa ni cyo gihugu cya mbere cyavuzwemo icyorezo cya covid19 ariko gifata ingamba zatumye nyuma yigihe gito icyo cyorezo kigabanya ubukana ku buryo bugaragara ugereranyije nuko cyibasiye mu buryo bukomeye ibindi bihugu cyane cyane ibyo ku mugabane wa amerika nu burayi
hari icyizere ko u bushinwa bushobora gusangiza afurika ubunararibonye bwafasha uyu mugabane wa afurika guhangana niki cyorezo cya covid19 gikomeje kugaragaza ubukana mu bihugu bitandukanye bya afurika
earlier today president kagame joined heads of state from across africa for the extraordinary chinaafrica summit on solidarity against #covidー19 hosted by president ramaphosa president xi jinping and president macky sall pictwittercom/jepqik79tc
presidency | rwanda (@urugwirovillage) june 17 2020
mu ijambo rye perezida kagame yashimye ubufatanye bukomeje kurangwa hagati ya afurika nu bushinwa muri ibi bihe bikomeye
yagize ati guverinoma yu bushinwa nabikorera bo muri icyo gihugu bahaye afurika inkunga yari ikenewe yibikoresho byo kwifashisha mu gusuzuma no kuvura covid19
ati ibyo bikoresho byahawe afurika byatabaye ubuzima bwa benshi kandi nubu bikomeje kubatabara
mu bindi umukuru wigihugu cyu rwanda yashimiye u bushinwa harimo inkunga ya miliyari ebyiri zamadolari ya amerika u bushinwa buherutse kwemerera afurika azifashishwa mu kurwanya covid19
yashimye numusanzu wu bushinwa kuri afurika binyuze muri gahunda ya g20 yibihugu bikize kurusha ibindi ku isi byiyemeje gukuriraho imyenda bimwe mu bihugu bya afurika bikennye kugira ngo bibone uko bihangana nicyo cyorezo
the solidarity we have seen during this difficult time has once again demonstrated the productivity of the forum on chinaafrica cooperation president kagame remarks during the extraordinary chinaafrica summit on solidarity against #covidー19 full speech below pictwittercom/6m77zfuix9
reba inkuru zose nanditse ( 2122 )
inkuru bijyanye na coronavirus
urugendo rwa covid19 mu mezi ane igeze mu rwanda
#covid19 abarwayi bashya 38 barimo 29 babonetse i kigali
guhangana na covid19 bizatuma impfu zituruka kuri vih sida zikuba kabiri
u bwongereza minisitiri wintebe yahamagariye abaturage gusubira mu kazi niba babishoboye
umuntu wa kane mu rwanda yishwe na #covid19 haboneka abarwayi bashya 47
#covid19 habonetse abarwayi bashya 42 biganjemo abi kigali na nyabihu
kigali imidugudu itatu muri itandatu yari iri muri #gumamurugo yakomorewe
insengero nizikomorerwa hari abateganya kuzongera gutanga igaburo ryera nyuma ya covid19
ibihugu birashakira hamwe uko byoroshya ubucuruzi bwambukiranya imipaka perezida kagame
perezida kagame yavuze ku mubano wu rwanda nu burundi
abigisha nabiga gutwara ibinyabiziga bafunganywe nabacika polisi amasaha yo gutaha yarenze
#covid19 abantu 13 bakize haboneka 16 bashya barwaye
abari batorotse aho bavurirwa covid19 uko ari bane bose bafashwe
polisi yafashe babiri muri bane batorotse aho bavurirwa coronavirus
abagore bo muri psf bashyizeho uburyo bwo guhumuriza bagenzi babo bahombejwe na covid19
i kigali hongeye kuboneka abarwayi benshi ba #covid19 kurusha ahandi mu gihugu
madamu wa perezida wu bushinwa yahaye u rwanda ibikoresho byo kurwanya covid19
sinzi ko uyu mwaka tuzawurangiza dj pius utaka ubukene
#covid19 abarwayi bashya 59 barimo 49 babonetse i kigali
#covid19 abarwayi bashya umunani barimo babiri babonetse i nyamagabe
ganira na rtd maj david rwabinumi wazahaje inzirabwoba arashisha iyi mbunda
inkongi yumuriro yatwitse inzu nibyarimo harakekwa batiri yumurasire wizuba yaturitse
menya uko wakwivura kugona mu buryo bwumwimerere
sura umusambi utangaje witwa mutesi ufite umwihariko wo gukunda abagabo
imodoka zitwara nta mushoferi ziragezwa mu mihanda vuba
ubumenyi | 20 minutes ago
rusizinyamasheke kwitwa abanyarwanda byatumye bakora biteza imbere
iterambere | 1 hour ago
indwara | 11 hours ago | 2020-07-13T07:45:33 | https://www.kigalitoday.com/amakuru/amakuru-mu-rwanda/article/perezida-kagame-yitabiriye-inama-yiga-ku-bufatanye-bwa-afurika-n-u-bushinwa-mu-guhashya-covid-19 |
nalinganisha majengo na uchumi wetu
nawaza kwa sauti tu kulingana na uchumi na uhitaji wa wahitaji wa nchi hizi ni nchi ipi ilistahili kuwa na jengo lipi la bunge la nchi yake
posted by mzee wa changamoto at 240 pm
ponda mali kufa kwaja maisha bongo kwa sandakalawe na kombolela tu | 2018-05-20T23:39:27 | http://changamotoyetu.blogspot.com/2009/11/nalinganisha-majengo-na-uchumi-wetu.html |
siku 481 tff bila kufanya mkutano mkuu mwanaspoti
siku 481 tff bila kufanya mkutano mkuu
tangu uongozi mpya wa shirikisho la soka nchini (tff) uingie madarakani ni zaidi ya mwaka sasa bila kufanya mkutano mkuu na walipanga kuufanya mwishoni mwa mwezi huu lakini umesogezwa mbele hadi februari sambamba na uchaguzi mdogo wa shirikisho
shirikisho la soka tanzania (tff) lilipanga kuitisha mkutano mkuu wa mwaka desemba 29 lakini ghafla mkutano huo umeyeyuka hadi februari 2 mwakani ili kwenda sambamba na uchaguzi mdogo wa kuziba nafasi zilizo wazi
huo ungekuwa mkutano wa kwanza wa tff iliyopo chini ya rais wallace karia aliyeingia madarakani na wenzake agosti 12 mwaka jana ambao ungetumika kujadili bajeti mpya ya mwaka mapato na matumizi ya mwaka uliopita na mambo mengine lakini kuahirishwa kwao umefanya leo alhamisi kutimiza siku 481 bila mkutano mkuu
siku hizo 481 ni sawa na mwaka mmoja na miezi mitatu na siku 24 bila tff kuitisha mkutano mkuu huku lenyewe likiwa mbele kuzikomalia klabu kutekeleza mwongozo wa katiba zao
mkutano huo upo kwenye katiba ya tff inayoelekeza kamati ya utendaji inapaswa kuitishwa mkutano mkuu unaohudhuriwa na klabu wanachama pamoja na vyama vingine ambavyo ni wanachama wa shirikisho hilo
mapema wiki hii kamati ya uchaguzi ya shirikisho hilo chini ya mwenyekiti wake ally mchungahela alitangaza uchaguzi mdogo wa shirikisho ambao ni kujaza nafasi za wajumbe walioenguliwa kwenye nafasi hizo ama kujiuzulu kwa nafasi mbalimbali kutoka mikoani na kamati ya utendaji
katika ratiba ya uchaguzi huo inaonyesha kuanzia desemba 49 itakuwa mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu za wagombea
imeelezwa kwa kawaida mkutano mkuu kikatiba ni lazima uendane na uchaguzi mdogo na hiyo ndiyo sababu ya kusogeza mbele mkutano huo uliopangwa kufanyika jijini arusha
tff wenyewe bado haijatangaza kusogeza mbele mkutano huo ila mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi wakili mchungahela aliliambia mwanaspoti kwamba mabadiliko hayo yapo kwani ni maelekezo ya kikatiba | 2019-04-24T02:51:03 | https://mobile.mwanaspoti.co.tz/soka/Siku-481-TFF-bila-kufanya-mkutano-mkuu/2481686-4883382-format-xhtml-g30nfiz/index.html |
uhusiano wa nchi za afrika na ujerumani ya mashariki | mada zote | dw | 02102015
uhusiano wa nchi za afrika na ujerumani ya mashariki
ujerumani ya mashariki ilitafuta uhusiano na mataifa ya kiafrika kama vile angola ethiopia msumbiji na tanzania lakini uhusiano ulimalizika baada ya kuungana tena ujerumani ya mashariki na magharibi miaka 25 iliyopita
wafanyakazi wenye ujuzi kutoka nchi za kiafrika zilizokuwa na siasa za kijamii za marxist na leninist walipata mafunzo ya ufundi ujerumani ya mashariki ambayo ilikuwa na siasa za kikomunisti hadi pale ilipoungana tena na ujerumani ya magharibi oktoba 3 mwaka 1990 waangola hawa walikuwa wakipata mafunzo ya miezi sita katika taasisi ya usalama wa viwanda mjini dresden
harakati za ukombozi wa nchi za afrika
ndege iliyokuwa ikimilikiwa na shirika la ujerumani ya mashariki interflug ikiwa imetuwa katika uwanja wa ndege wa luanda nchini angola ilibeba vifaa vya shule walengwa wengine wa kamati ya mshikamano ya ujerumani ya mashariki mwaka 1978 ni chama cha ukombozi cha zimbabwe (zanu) chama cha ukombozi wa namibia (swapo) pamoja na chama tawala cha afrika kusini cha african national congress (anc)
mafunzo kwa waandishi habari
ujerumani ya mashariki ilitoa mafunzo kwa mamia ya waandishi habari kutoka kila kona ya bara la afrika walihudhuria 'shule ya mshikamano' iliyokuwa ikiendeswa na shirikisho la waandishi habari la ujerumani ya mashariki mafunzo hayo waliyopewa waandsihi habari kutoka nchi kama guineabissau cape verde na sao tome na principe yalifanyika disemba mwaka 1976
'shule ya urafiki'
margot honecker waziri wa elimu na mke wa kiongozi mkuu wa ujerumani ya mashariki erich honecker akiwa anasalimiana na samora machel rais wa kwanza wa msumbiji wakiwa katika shule ya urafiki mjini straßfurt mwaka 1983 msumbiji na ujerumani ya mashariki walikubaliana mwaka 1979 kwamba wanafunzi 899 kutoka msumbiji watahudhuria shule hiyo ya ujerumani ya mashariki kwa muda wa miaka minne
shule ya sekondari ya dr agostinho neto
rais wa angola eduardo dos santos akiwa ziarani ujerumani ya mashariki wanachama wa tawi la vijana la chama cha kikomunisti cha ujerumani ya mashariki fdj walimpokea rais wa angola huku wakiwa wamebeba mabango yaliyoandikwa upande wa umoja wa kisovieti kwa amani na ujamaa
rais wa angola akiwa katika ukuta wa berlin
rais wa angola dos santos pia aliutembelea ukuta wa berlin ulioko mbele ya lango la brandenburg berlin ya mashariki ujerumani ya mashariki ilijenga ukuta huwo kuitenga ujerumani ya magharibi agosti mwaka 1961 ili kuwazuia wajerumani wa mashariki wasikimbilie upande wa magharibi ujerumani ya mashariki iliuita ukuta huwa kuwa ni kizuizi dhidi ya ufashisti
mkutano wa chama cha kikomunisti
chama tawala cha kikomunisti cha ujerumani ya mashariki (sed) kikiwakaribisha wageni kutoka nchi za nje wenye itikadi za kisiasa zinazolingana na zao katika mikutano yao miongoni mwa wageni wa mwaka 1981 ni ambrosi lukoki mwanachama wa chama cha mpla kutoka angola pamoja na berhanu bayeh (mstari wa mwisho wapili kutoka kushoto) waziri wa nje wa ethiopia wakati wa uongozi wa kidikteta wa derg
viongozi wa chama cha kikomunisti cha ujerumani ya mashariki (sed)
viongozi wa ngazi za juu wa kiafrika wenye itikadi kali za mrengo wa kushoto za kimarxist na leninist waliitembelea ujerumani ya mashariki na wenzao wa ujerumani mashariki waliitembelea afrika mwanachama wa politburo wa ujerumani mashariki konrad naumann alihudhuria mkutano wa tatu wa chama cha afrika kwa ajili ya uhuru wa guinea na cape verde (paigc) nchini bissau mwezi novemba mwaka 1977
watoto wa shule wa ujerumani ya mashariki na wa afrika
kasumba za ´kikomunisti kwa watoto wa shule wa ujerumani mashariki ziliendelea hata wakati wa likizo ambapo walihudhuria kambi za vikundi vya viajana vya young pioneers and thälmann pioneers mgeni huyu kutoka jamhuri ya watu kongo anaoneshwa gazeti la die trommel la kikundi cha thalmann mjini berlin ya mashariki
wikiendi na familia ya ujerumani ya mashariki
vijana wa kiafrika waliohudhuria kambi ya majira ya joto ya mwaka 1982 ambao walifikia katika familia za ujerumani mashariki kwa wikiendi nzima treni maalum iliwapeleka schwedt mji wa viwanda karibu na mpaka na poland sandra maria bernardo kutoka angola akiwa anakaribishwa na mwenyeji wake ingeborg scholz na binti yake petra
matrekta kwa udugu wa mataifa ya siasa za ujamaa
mwaka 1979 kiwanda cha matrekata cha ujerumani ya masharikimjini schönebeck kiliifadhili ethiopia matrekta kadhaa lilipokuwa taifa la itikadi kali za mrengo wa kushoto za kimarxist na leninist matrekta hayo ya chapa ya zt 300c yalisafirishwa kwenda nchi 26 ikiwa ni pamoja na angola na msumbiji
mashine za kutengenezea nguo ethiopia
kiwanda hiki cha nguo kilichopo kombolcha katika jimbo la ethiopia la amhara (picha novemba 2005) kinazalisha shuka na taulo kilijengwa mwaka 1984 kwa msaada wa ujerumani ya mashariki na chekoslovakia (sasa jamhuri ya czech na slovakia) karibu mashine zote zilitengenezwa na kiwanda cha combine textima mjini karlmarxstadt (sasa chemnitz)
majengo ya 'michenzani' visiwani zanzibar
muasisi wa taifa latanzania ni julius nyerere mwaka 1964 na ujerumani ya mashariki ilimsaidida nyerere katika kuanzisha siasa za ujamaa nchini humo kwa kujenga majengo haya marefu katika visiwa vya zanzibar majengo haya yalitengenezwa viwandani ujerumani na kusafirishwa hadi zanzibar ambapo hapo yalisimamishwa tu yangali yapo na yanajulikana kama majumba ya 'michenzani'
wasumbiji wangoja malipo ya kazi baada ya miaka 25
takriban wafanyakazi 15000 raia wa msumbiji walifanya kazi za mikataba ujerumani ya mashariki katika miaka ya 1980 wengi walirudi nyumbani baada ya kuungana ujerumani ya mashariki pamoja na ujerumani magharibi oktoba 3 1990 serikali ya msumbiji kamwe haikuwalipa mishahara yao kwa kazi waliyoifanya ujerumani ya mashariki wanaandamana mara kwa mara mjini maputo mpaka leo
mwandishi johannes beck / mc
maneno muhimu ddr afrika beziehungen volksrepublik mosambik angola guineabissau äthiopien sozialismus freundschaft
kiungo https//pdwcom/p/1ghzw | 2019-04-24T02:02:57 | https://www.dw.com/sw/uhusiano-wa-nchi-za-afrika-na-ujerumani-ya-mashariki/g-18757078 |
matukio @ michuzi blog maandalizi mkutano wa mawaziri tanzania na uganda ujumbe wa tanzania wakagua maeneo itakapotekelezwa miradi ya umeme ya ushirikiano
na veronica simba kagera
kutoka kushoto ni naibu katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini anayeshughulikia nishati dkt mhandisi juliana pallangyo balozi wa tanzania nchini uganda grace mgavano na meneja wa sheria anayeshughulikia mikataba kutoka shirika la umeme tanzania (tanesco) mwesiga mwesigwa wakitoka kukagua eneo la nsongezi utakapotekelezwa mradi wa ushirikiano baina ya tanzania na uganda wa kuzalisha umeme wa megawati 35
sehemu ya viongozi na wataalam mbalimbali kutoka tanzania wakiongozwa na naibu katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini anayeshughulikia nishati dkt mhandisi juliana pallangyo (wa pili kutoka kushoto) wakitoka kukagua eneo utakapotekelezwa mradi wa kuzalisha umeme wa megawati 14 kwa ushirikiano baina ya tanzania na uganda unaojulikana kama murongokikagati
naibu katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini dkt mhandisi juliana pallangyo (katikati) akisaini kitabu cha wageni katika kituo cha forodha murongo kilichopo mpakani mwa tanzania na uganda alipokuwa katika ziara ya kazi kukagua maeneo itakapotekelezwa miradi ya umeme kwa ushirikiano baina ya nchi hizo mbili kushoto ni meneja wa shirika la umeme tanzania (tanesco) mkoa wa kagera mhandisi francis maze na kulia ni ofisa mfawidhi wa kituo hicho cha forodha ezekia nonkwe
kutoka kushoto ni balozi wa tanzania nchini uganda grace mgavano ofisa uhamiaji wa kituo cha murongo mnubi mtaka na naibu katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini anayeshughulikia nishati dkt mhandisi juliana pallangyo wakijadiliana jambo wakati ujumbe wa naibu katibu mkuu ulipopita mpakani hapo wakiwa katika ziara kukagua maeneo itakapotekelezwa miradi ya umeme kwa ushirikiano baina ya nchi za tanzania na uganda
kutoka kushoto ni balozi wa tanzania nchini uganda grace mgavano meneja wa shirika la umeme tanzania (tanesco) mkoa wa kagera mhandisi francis maze naibu katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini anayeshughulikia nishati dkt mhandisi juliana pallangyo na meneja uwekezaji kutoka tanesco rwabangi luteganya wakiangalia eneo utakapotekelezwa mradi wa kuzalisha umeme wa megawati 14 wa murongokikagati kwa ushirikiano baina ya nchi za tanzania na uganda | 2017-12-17T12:06:26 | https://michuzi-matukio.blogspot.com/2017/07/maandalizi-mkutano-wa-mawaziri-tanzania.html |
wahitimu wa mafunzo ya mgambo gairo watakiwa kuishi kiapo chao cha utii kwa matendo mtazamo newshabari bila mipaka
home habari wahitimu wa mafunzo ya mgambo gairo watakiwa kuishi kiapo chao cha utii kwa matendo | 2018-01-23T00:21:23 | http://www.mtazamonews.com/2017/12/wahitimu-wa-mafunzo-ya-mgambo-gairo.html |
grand malt watoa vifaa vya michezo | zanzibar ni njema atakaye na aje
grand malt watoa vifaa vya michezo
meneja wa kinywaji cha grand malt consolata adam akitowa maelezo ya kampuni yake kuhusu vifaa vya michezo kwa timu ya wajumbe wa baraza la wawakilishi baada ya kukabidhi vifaa hivyo kwa uongozi wa timu hiyo
timu ya soka ya baraza la wawakilishi zanzibar imefanikiwa kupata mdhamini katika bonanza linalotarajiwa kufanyika septemba 8 mwaka huu huko mkoani arushawatunga sheria hao wa zanzibar wamepata udhamini huo kutoka kwa watengenezaji wa kinywaji baridi cha grand malt ambapo kampuni hiyo ilikabidhi vifanaa mbali mbali vyenye thamani ya shilingi milioni kumi
akikabidhi vifaa hivyo meneja wa kinywaji hicho consolata adam huko katika ukumbi wa baraza la wawakilishi chukwani visiwani zanzibaramesema kuwa wamefurahishwa sana kupata nafasi ya kuidhamini timu hiyo ingawa udhamini huo umekuja kwa haraka haraka
consolata amesema kuwa ni matumaini kuwa bonanza hilo litatoa burudani ya kutosha kwa wale wote watakaohudhuria shughuli hiyolakini pia kwa wazee wanaotoka kenye kazi nzito ya kuwakilisha bajeti
udhamini huo ambao umetokana na vifaa vya michezo ambavyo ni viatusoksijezi na track sut vilikabidhiwa kwa waziri wa habari utamaduni na michezo abdilah jihad hassan
kampuni ya kinywaji baridi ya grand maltimefurahi sana kupata nafasi ya kuidhamini timu hii na tunatarajia kwamba bonanza hilo litatoa burudani kwa wataofikaalisema
nae waziri wa habari utamaduni utalii na michezoabdilah jihad hassanameishukuru kampuni hiyo kutokana na kuona umuhimu wa kuisaidia timu hiyo
alisema kuwa msaada walioutoa wanauthamini kwa wali na mali na kuutaka uongozi wa kampuni hiyo uwe unatoa mashirikiano ya mara kwa mara katika kusaidia nyanja mbali mbali za kijamii visiwani humu
natoa shukurani zangu za dhati kwa garand malt kutokana na msaada wenu mlioutoa kwetuhivyo naomba mara hii isiwe mwisho kwenu bali muwe mnaendelea kutusaidia katika nyajnja mbali mbalialifahamisha jihad
nae katibu wa wawakilishi sports clubhaji omar kheir amesema kuwa msaada walioupata watautumia kama ilivyokusudiwa kutokana na hivi sasa wapo katika mazoezi makali ya kujifua kushiriki katika bonanza hilo
kheir alifahamisha kwamba huu ni mwanzo na timu hiyo inatarajia kuwa na grand malt bega kwa bega kila wakati kwa ajili ya kusaidia timu hiyo
viongozi mbali mbali wakiwemo wawakilishimawaziri na manaibu mawaziri walishiriki katikahafla hiyo ya ukabidhiwaji wa vifaa hivyo vya michezo
← vijana kujadili malaria marekani yafurahishwa na vijana znz → | 2017-03-24T02:02:35 | https://zanzibarkwetu.wordpress.com/2011/07/19/grant-malt-watoa-vifaa-vya-michezo/ |
wondershare data recovery for mac [rasmi] mac faili ufufuzi
data recovery for mac kina kufufua data
4 modes kuokoa umepoteza au umefuta faili kutoka mac haraka salama na kabisa
jaribu ni bure mac os x 1061010 kununua sasa
100 salama na rahisi data ahueni
wondershare data recovery for mac salama na ufanisi data ahueni programu anarejesha yako waliopotea video picha muziki nyaraka barua pepe nk kutoka diski yako mac pamoja kutoka diski usb viendeshi vikuu vya nje na vifaa vingine kuhifadhi
aina za faili
warakawaraka / docx xls / xlsx ppt(ppt/ pptx) pdf cwk html (htm) indd eps kurasa ufunguo namba vsd odt odp ods odg odf rtf plist kodi kitanda
pichapg tiff(tif) png bmp gif psd crw cr2 nef orf raf sr2 mrw dcr wmf dng erf mbichi ai xcf dwg x3f wanakimbilia
videoavi mov mp4 m4v 3gp 3g 2 wmv asf flv swf mpg(mpeg) rm(rmvb) mkv mxf
sautiaif (aiff) m4a mp3 wav wma katikati (midi) ogg aac
barua pepepst dbx emlx eml msg
nyarakaposta rar kukaa sitx bzip2 7z
takataka mac/laptop/handy
kadi ya kumbukumbu sd sdhc microsd minisd cf smartmedia mmc xd
kulingana na mac diski kuu dell ibm hp toshiba sony
viendeshi chomekezilango kuu ya kuingia wd apple samsung toshiba
flash anatoaviendeshi vya usb kuruka viendeshi kalamu viendeshi gumba viendeshi
digital kamera/kamkoda kanoni kodak nikon sony jvc
kufufua data just & amp kabisa
tarakilishi kugonga faili muhimu kufutwa kuumbizwa kimakosa hakuna haja ya hofu sasa
kujua chochote kuhusu jinsi ya kuokoa
kwenda kina mwongozo wa mtumiaji
soma mwongozo kamili na fuata maagizo ili kufanya ahueni na clicks chache na kupata nyuma yako data iliyopotea mara moja
kujua hasa kabrasha/diski ambapo umepoteza faili yako
kwenda faili waliopotea ufufuzi
okoa kuumbizwa na kufutwa faili na majina ya faili ya awali na njia zao
kujua una matatizo na kuhesabu
kwenda ufufuzi wa kuhesabu
ufanisi kurejesha faili zako kuhesabu vilivyofutwa kupotea kuharibiwa kubadilishwa ukubwa na iliyoumbizwa katika mifumo yote ya faili [hfs + (mac os refushi) / hfsx (mac os kupanuliwa vinavyoathiriwa na herufi) / fat32 (msdos) / fat16 (msdos) / exfat/ntfs (windows nt faili mfumo]
kujua kupoteza data inaweza kusababishwa na virusi/torjan shambulio au uharibifu mantiki
kwenda ufufuzi mbichi
inakuwezesha tambaza partitions diski mbichi na kutoa papo hapo kihakiki awali cha faili zote hakitazidi basi inachukua bofya mara moja tu kupata faili waliopotea nyuma
kiolesura cha halikuwa
teua ahueni mode teua ahueni mode kulingana na jinsi umepoteza data yako
tambaza kifaa/tarakilishi yako teua njia/mahali ambapo kupoteza data limetokea na bofya kuanza kuendelea
ahueni kuchagua awali kufufua na kuhifadhi faili
kitaalam wateja wetu upendo data recovery for mac na wewe pia
52 kitaalam
septemba 222015 1719 pm
septemba 022015 1030 am
kazi kikamilifu mimi kuwa amekata tamaa kuhusu ufufuaji wa faili kuwa katikati ya kufagia picha ya ubunifu ni kubwa mpaka hit ukuta wa matofali imara ya haifanyi kazi ipasavyo katika diski msomaji au diski yako g
mswada huo quinby
soma zaidi kitaalam
unaweza kurejesha faili fichamishi
unaweza kurejesha faili kufutwa muda mrefu uliopita
mimi kurejesha faili kutoka ipod iphone au ipad
programu ya kusaidia aina gani ya maunzi
mac ikachomwa juu faili ahueni hatua ya 3 kuokoa faili kuandikwa juu kutoka mac
jinsi ya kufufua mafaili kutoka usb flash drive katika mac
hfs data recovery kupata nyuma data kutoka mfumo wa faili ya hfs
kiongozi wa mwisho kuokoa faili vilivyofutwa kutoka yalitiririka takataka katika mac os x
njia 3 kufanya data kuwaokoa mac kwa urahisi
huduma ya msaada
wawakilishi wenye elimu inapatikana kwa kukusaidia kupitia papo kuishi chat na barua pepe ndani ya masaa 24
wonderhshare bidhaa ilipendekeza
fufua faili katika umbizo la 550 + kutoka hifadhi ya tarakilishi yako haraka salama na kabisa jifunze zaidi
kitaalamu chombo hasa iliyoundwa kuokoa picha video na faili sikizi kutoka vifaa kibohari jifunze zaidi
fufua picha zako video na faili sikizi kutoka mac na vifaa vingine kuhifadhi chomekezi jifunze zaidi | 2020-05-27T03:12:28 | http://sw.wondershare.com/data-recovery-mac/ |
hc dk jakaya kikwete usipowawajibisha hawa tutathibisha kwamba uliwaagiza | jamiiforums | the home of great thinkers
hc dk jakaya kikwete usipowawajibisha hawa tutathibisha kwamba uliwaagiza
discussion in 'jukwaa la siasa' started by albedo jan 8 2011
mauaji ya kinyama yaliyotokea katika jiji la arusha hayawezi kupita bila watu fulani kuwawajibisha watu kadha wa kadha
1 ocd wa arusha huyu alipaswa kuwajibishwa mapema kabisa kwani alihusika kwa kiasi kikubwa kuharibu uchaguzi wa meya katika jiji la arusha na kushirikiana na vijana wake kumpiga na mpaka kuzirai mbunge wa arusha bwana godbless lema
2 rpc andengenye huyu ndiye imediate boss wa ocd naye anapaswa kuwajibishwa mara kwa damu za watanzania wasio na hatia waliokuwa wana exercise haki yao ya kikatiba ya kuandamana kwa amani
3 igm mwema huyu ndiye muuaji kabisa ambaye kama haitoshi aliamua kulihamishia jeshi la polisi kutoka pande zote za nchi kwenda kupambana na wananchi wa arusha matokeo yake wameua watu wamejeruhi raia wamedhalilisha vongozi wameharibu mali za watu mwema damu za watanzania wa arusha zi juu yako na ili wakusamehe ni lazima uombe radhi na ujiuzulu
4 waziri nahodha ambaye jeshi la mauaji ( maana limeshapoteza sifa ya kuwa jeshi la kulinda raia) la polisi liko katika wizara yako unapaswa kujiuzulu na kufikihswa katika vyombo vya sheria kwa kuamuru jeshi linalolopwa kwa kodi za wananchi kuua wananchi linaliposwa kuwalinda
ndugu rais hc dk jakaya kikwete nakupa benefit of daught kwamba hukuwatuma hao wauajai niliowaorodhesha hapo juu kwamba wao kwa kukosa busara na ulevi wa madaraka uliyowatunuku waliamua kushika mtutu dhidi ya raia wema waliokuwa wanaandama kwa amani kuelekea kwenye mkutano kwamba umeguswa na damu za watanzania wasio na hatia walipouawa na ocd angengenye mwema na nahodha pamoja na mkurugenzi wa jiji la arusha
mh rais hc dk jakaya kiwete hawa wote ni wateule wako ili kuonesha kwamba hukuwatuma kwenda kufanya yale mauaji ninakupa siku saba uwe umeshawawajibisha hawa watu la sivyo nitauambia ukoo wangu na wao wawaambie rafiki na ndugu zao kwamba rais wao ni muuaji
poleni sana wana arusha ila damu ya ndugu na marafiki zetu haijamwagika bure maana kama arusha ndio mama wa azimio la arusha basi kwa damu yenu kokote mliko mmeifanya arusha kuwa kitovu cha madadiliko na kukataa kila aina ya udhalimu na uonevu wa watawala dhidi ya watanzania
ninakubaliana na wewe 100
i disagreenafikiri na yeye atoke kama unataka uwajibikajiwhats the point of giving him benefit of doubt and not those who were more likely doing what they have bn ordered to doa sconfused1uwajibikaji ungeanza kwake aliye wateua wote hao na wanaofuata maamuzi yakeau unaona vile yeye yuko juu sana basi unaamua kudeal na wateule wake he does not care if the whole of your clan call him muuajiif he care less about you and many of us in the decision that he makes dailydo you think he will care if you call him muuaji welli respect your opinion
i disagreenafikiri na yeye atoke kama unataka uwajibikajiwhats the point of giving him benefit of doubt and not those who were more likely doing what they have bn ordered to doa sconfused1uwajibikaji ungeanza kwake aliye wateua wote hao na wanaofuata maamuzi yakeau unaona vile yeye yuko juu sana basi unaamua kudeal na wateule wake he does not care if the whole of your clan call him muuajiif he care less about you and many of us in the decision that he makes dailydo you think he will care if you call him muuaji welli respect your opinionclick to expand
nimempa siku saba za kuwawajibisha na kuwapeleka katika vyombo vya sheria asipofanya hivyo siyo kama nitamuita muuaji bali atakuwa maeprove kwamba yeye ndiye aliyemwagiza mwema akawaue wale waandamanaji
nadhani yeye awajibike kwanza ili mengine waone njia tangu oct31 ngemuona wa busara kama angekubali kuishi mkoa wa pwani akipishana na chaguo la wanainchi chanzo cha matatizoi think to cure a source than treating early outcome
inasemekana side na jk ni mtu ni shemeji yake sasa je wanaweza kuwajibishana
poleni sana wana arusha ila damu ya ndugu na marafiki zetu haijamwagika bure maana kama arusha ndio mama wa azimio la arusha basi kwa damu yenu kokote mliko mmeifanya arusha kuwa kitovu cha madadiliko na kukataa kila aina ya udhalimu na uonevu wa watawala dhidi ya watanzaniaclick to expand
hatutacompromise haki za msingi za wananchiukiua kwa upanga utauwawa kwa upangaukiua kwa risasi utauwawa kwa risasinikiwa mmojawapo wa waandamanaji waliopigwa na kuuwawa na polisi au kwa maagizo ya juu ama vinginevyodamu hii haitarudi bure lazima wapate kwa kipimo kile kile walichofanyani mwanzo wa safari ndefu ya ukombozi wa kweli na hakuna wa kuzuiaor for bullet or for blood we must win
natumai mh rais anasoma hapa haitoshi kusikitika inabidi watu hata ikiwezekana yeye awajibike maana huwezi kuwafuta machozi wahanga kwa kusema kwamba umesikitika
ukimya wako umenifanya niamini damu za wana mapinduzi zinakusuta sana unaona hata aibu kulizungumzia hili jambo najua uliamua kuwaua baada ya kukunyima kura sasa mheshimiwa sijui utaua wangapi katika kipindi cha safari ya kuelekea utumwani kama hasira za kunyimwa kura zinakufanya uagize vyombo vyako viue wapinzani wako napata wasiwasi maana siri ya ushindi wako unaijua wewe na usaalama wa taifa na waliokunyima kura unawatambua vilevile | 2016-12-11T06:44:51 | http://www.jamiiforums.com/threads/hc-dk-jakaya-kikwete-usipowawajibisha-hawa-tutathibisha-kwamba-uliwaagiza.101111/ |
yaubada yana vona'awaufaufa 'ivauna 1 ioni 2
☰ 1 ioni 2 ◀ ▶
keliso taunina ꞌada toꞌaivaita
1 ✡ekwavo ꞌomi ꞌwa vetumagana iesu ꞌwaineye begaidi a veꞌawanatuna ꞌwaimie wata a nuakalikaliemi a vonevonemi bega kebu ꞌwa na sakonaga weꞌe ꞌaiꞌedi tamu aitoi i na sakonaga yada toꞌaivaita i miamia i veveluꞌui faifaida tamada ꞌwaineye bega yada sakona i na nuatavunidi toꞌaivaitanina iesu keliso yana sauluva matatabuna tonovidi 2 ✡taunina yaubada yana nuasako ꞌwaideye i tovibodeni bega ta veiana yaubada taiadi wata ꞌwainega yaubada yada sakona i nuatavunidi siwe kebu ꞌaiseꞌavadaga wata tomia fwayafwaya matatabudi
3 ꞌaiꞌedi yaubada yana veimea matatabuna ta na vevematayakeyakediga ta ꞌasetai mogitana ꞌida yaubada taiadi ta veiana 4 ✡ꞌaiꞌedi tamu tomogo i na vo yau yaubada taiadi a veiana siwe yana veimea kebu i na vevematayakeyakediga taunina tovekali wata yaubada yana nuanua tonovidi kebu yana nuanua ꞌwaineye i da ꞌenoꞌenovi 56 ✡weꞌe ꞌaiꞌedi aitoi yaubada yana vona i na vevematayakeyakediga yana nuakalikali yaubada ꞌwaineye nuakalikali mogitana ꞌaiꞌedi aitoi i na vo yau a tauyeku yaubada ꞌwaineye a miamia i lubwaineni ꞌasaꞌaiana baniꞌodi iesu keliso yana sauluva i na vevetutuyamedi ꞌaiꞌedi i na vetutuyamediga ta na ꞌasetai tomogonina mogitana yaubada taiadi i miamia
veimea ꞌivauna
7 ✡ekwavo a na vonemi veimea deꞌe kebu ꞌivaunaga tuatuaina kumanina basenadi ꞌwa ꞌasetai tutuyanina iesu valana ꞌwa nogai side baniꞌodi ma emiavo ꞌwa na venuakalikali veimeanina tuatuaina ma ꞌana ꞌaseta ꞌwaimie 8 ✡siwe tutuya fuedi veimeanina baniꞌodi i veveꞌivau wata ta ꞌasetai veimea mogitana fai iesu keliso i vematayakeyakeni ꞌomi wata baniꞌodi veimeanina ta na vematayakeyakeni ma edavo ta na vevenuakalikaliga sakona ꞌwaideye baniꞌodi dudubala i mweamwea maꞌitufa keliso yana mageta mogitana i ꞌaꞌawaiaia
9 ✡aitoi i na vo yau keliso yana mageta nageneye a miamia weꞌe enavo ma fuedie keliso ꞌwaineye i miamiani i vedumweꞌaiꞌaiediga taunina bola dudubala ꞌwaineye i miamia 10 ✡weꞌe aitoi enavo i nuakalikaliedi taunina keliso yana mageta ꞌana tomia kebu ꞌana fata tamu nani ꞌwaineye i na beꞌu 11 ✡aitoi enavo ma fuedie keliso ꞌwaineye i miamiani i na vedumweꞌaiꞌaiediga taunina dudubala ꞌana tomia fai dudubalanina nuana i ꞌivegaugauya bega avaꞌaibe bei i nunagoga kebu i da ꞌasetaiga
12 ✡natukwavo a vonevonemi fai yaubada yami sakona i nuatavunidi iesu keliso yana wafa ꞌwainega
13 ꞌomi tama a vonevonemiga fai kumanina ꞌeba velamuyega i miavagata ꞌakonadi ꞌwa ꞌasetai mogitana
weꞌe ꞌomi tubuvauvau iavetami a vonevonemi fai seitani taunina tosakona ꞌwainega ꞌwa vetoketoke
14 natukwavo a vonevonemi fai tamada ꞌwa ꞌasetai mogitana
weꞌe ꞌomi tama a vonevonemi fai kumanina ꞌeba velamuyega i miavagata ꞌakonadi ꞌwa ꞌasetai mogitana
ꞌomi tubuvauvau iavetami a vonevonemi fai ꞌomi toketokemi wata fai yaubada yana vona nuamie i ꞌenoꞌenovi wata fai seitani taunina tosakona ꞌwainega ꞌwa vetoketoke
fwayafwaya ꞌana nuanua kebu nuami i na ꞌewadi
15 ✡kebu nuanuaku ꞌaiꞌaiwabu nuami i na ꞌewadiga wata tomotoganidi fwayafwaya ꞌana nuanua ꞌwaidie bwaikina yadi sauluva kebu ꞌwa na vetutuyamediga ꞌaiꞌedi aitoi fwayafwaya ꞌana nani i na nuakalikaliediga tamada ꞌana nuakalikali kebu ꞌwaineye i da ꞌenoꞌeno 16 nani fuedi fwayefwayeye kebu tamada ꞌwainega i da maiga baniꞌodi bunu ꞌana nuagiva sakoidi naninidi i ꞌiseꞌisediga nuanuadi bwaikina wata nualaka taunidi yadi ꞌaiꞌaiwabu faifaidi naninidi kebu i da maia tamada ꞌwainega i mai deꞌe fwayafwaya sakoina ꞌwainega 17 ✡fwayafwaya deꞌe saiꞌafoga i na ꞌaꞌava wata naninidi sakoidi tomotoga nuanuadi taiadi i na ꞌaꞌava siwe egavo yaubada yana nuanua i vevematayakeyakedi i na miavagata
keliso ꞌana gavia
18 ✡natukwavo tutuya ꞌeba veꞌaꞌava saiꞌafoga i na souyeni ꞌakonadi ꞌwa ꞌasetai nagami keliso ꞌana gavia i na mai igodi i na vo yau tauniku keliso mulieta tutuya ꞌana ꞌeba veꞌaꞌava tutuya deꞌe ꞌakonadi keliso ꞌana gaviavo i sousouyedi begaidi ta ꞌasetai fwayafwaya deꞌe saiꞌafoga i na ꞌaꞌava 19 ✡keliso ꞌana gavianidi basenadi ꞌada ꞌailaꞌa nageneye i miamiani siwe kebu mogitana keliso i da nuakalikalieni begaidi i baileda ꞌaiꞌedi tomotoganidi keliso i da nuakalikalieniga taiadi ta da miamiani ꞌada ꞌailaꞌa nageneye siwe i baileda bega ta ꞌasetaꞌatumaia matatabudi kebu ꞌada ꞌailaꞌaga
20 tobailanidi kebu nuanuadi keliso weꞌe ꞌomi keliso yana ꞌanivelena ꞌanuꞌanunu ꞌatumaina ꞌakonadi i agemi begaidi matatabumi yaubada yana nuanua tonovidi ꞌwa ꞌasetadi 21 kebu ꞌwa da bavuyedi faifaina a da vonevonemi fai ꞌwa ꞌasetadi yaubada yana nuanua tonovidi begaidi a vonevonemi yana nuanuananidi ꞌwaidiega kebu tamu vekali i da sousouyeni
22 ✡aitoi i vonaga i vo iesu kebu yaubada ꞌana venuaꞌivinaga taunina mogitana tovekali wata keliso ꞌana gavia fai tamada wata natuna i vedumweꞌaiꞌaiedi 23 ✡fai yaubada natuna i vedumweꞌubuꞌubuseni tamada kebu i da labilabini weꞌe ꞌaiꞌedi aitoi ma yana vetumagana taunina i tauyeni yaubada natuna ꞌwaineye tamada i labilabini
ꞌanuꞌanunu ꞌatumaina ꞌasaꞌaiana yada tove
24 iesu valana ꞌwa nogaiga ꞌeba velamuyega bega i lubwainemi ꞌwa na nunuaveꞌavini ꞌaiꞌedi valanina ꞌwa na nunuaveꞌaviniga tamada wata natuna taiadi ꞌwa na miaveꞌitubama 25 ✡keliso taunina basenadi i vonaꞌawaufaufa ꞌwaideye tamu nani i na veleda naninina mia ꞌatumaina wata miamiavagaina
26 keliso ꞌana gaviavo igodi nuanuadi i na vekaliemi begaidi deꞌe faifaidi a kilukiluma ꞌwaimie 27 ✡weꞌe ꞌomi kebu tovenidi baniꞌodi basenadi ꞌanuꞌanunu ꞌatumaina i agemi keliso yana ꞌanivelena keliso ꞌanuꞌanununa nagemie i na miamiaga kebu ꞌwa na vo aitoi i da ve ꞌwaideye ꞌanuꞌanununina nani matatabuna i veve ꞌwaimie yana ve tonovidi kebu tamu saiꞌafo i na vekaliemiga fai yana ve matatabuna tonovidi begaidi i lubwainemi ꞌwa na vevematayakeyakedi keliso taiadi ꞌwa na miaveꞌitubama
28 ✡natukwavo vona mogitana nuanuaku keliso taiadi ꞌwa na miaveꞌitubama bega tutuyanina i na souyeniga kebu ta na bunumayaga ma yada venuafoufaꞌala ta na tovoi mataneye 29 ✡ꞌakonadi ꞌwa ꞌasetai keliso yana sauluva tonovidi wata ꞌatumaidi begaidi i lubwainemi ꞌwa da ꞌasetai egavo yadi sauluva tonovidi wata ꞌatumaidi taunidi yaubada natunavo
✡ 21 ibu 924 ✡ 22 lom 325 ion 129 1152 ✡ 24 1 ion 168 ✡ 256 ion 142123 1 ion 41217 53 ion 1315 ✡ 27 2 ion 156 ✡ 28 ion 19 lom 1312 ✡ 29 1 ion 31015 420 ✡ 210 lom 1413 ✡ 211 ion 1235 ✡ 212 1 kol 611 ✡ 215 lom 87 iem 44 ✡ 217 mad 721 ✡ 218 mad 24524 2 ion 17 ✡ 219 fol 2030 ✡ 222 mad 103233 1 ion 43 2 ion 17 ✡ 223 mad 103233 ion 523 2 ion 19 ✡ 225 ion 315 640 ✡ 227 ion 1426 ✡ 228 1 ion 417 ✡ 229 1 ion 310 | 2019-11-21T15:47:11 | https://ebible.org/study/content/texts/yml/J12.html |
mpiganaji tbc yawaduwaza nssf
tbc yawaduwaza nssf
timu ya soka ya tbc iliyowaduwaza nssf kwa bao 10 kwenye viwanja vya tcc chang'ombe dar es salaam leo na kutinga nusu fainali ya michuano ya 12 ya nssf media cup 2015
timu ya soka ya nssf iliyofungwa bao 10 na tbc na kuaga mashindano
mshambuliaji wa timu ya nssf ali chuu akipishana na kipa wa tbc nalinga mkumila wakati wa mchezo wa mtoano kuwania kombe la nssf 215 dar es salaam leo
winga mahadh mahamoud wa nssf akichuana vikali na mlinzi wa tbc hamis dankota wakati wa mchezo wa mtoano kuwania kombe la nssf leo
patrick gandye wa timu ya soka ya nssf akitafuta mbinu za kumtoka mlinzi wa tbc shaaban kasimu timu hizo zilipochuana kwenye viwanja vya tcc dar es salaam leo tbc wameshinda 10
washambuliaji wa nssf ali chuu (kushoto na mahadhi mahamoud wakihaha kutafuta bao la kusawazisha huku walinzi wa tbc wakiwa makini kuwalinda
mahadhi mahamoud wa nssf akilindwa vilivyo na mlinzi wa tbc hamis dankota ili asilete hatari kwenye lango lao tcc dar es salaam leo
mlinzi wa tbc walter sembuli akiondoa mpira kwenye lango lake huku mshambuliaji wa nssf patrick gandye akiumezea mate tbc imeshinda 10
imechapishwa na maseypr kwa 1119 am | 2017-12-17T19:31:24 | http://nyakasagani.blogspot.com/2015/03/tbc-yawaduwaza-nssf.html |
nani awaoe mashoga wa tanzania | jamiiforums | the home of great thinkers
nani awaoe mashoga wa tanzania
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by ground zero nov 1 2011
kitendo cha waziri mkuu wa uingereza kutulazimisha tuwe mashoga kimenitia kichefuchefu hivi cameroun anataka watanzania au waafrika wawe mashoga ili nani awaoe jamani hawa wazungu wametudharau kiasi kwamba wameona wanaweza kumuoa yeyote afrika hata kama ni mwanaume pumbavu kabisa mimi najiuliza kama kweli cameroun aliwaeleza viongozi wa afrika akiwemo kikwete je raisi wetu alilipokeaje kwanza kitendo cha mwanaume mwenzako kukaapproach na kuanza kukushawishi ukubaliane na habari za kugongwa ni dharau kubwa na pili kitendo cha wewe kukubali kusikiliza upumba​vu wa namna hii kinampa matumaini ya kwamba hata wewe unaweza kuja kuwa shoga kama sio shoga haya ndiyo madhara ya kujitembeza kwenye majukwaa ya kimataifa kama mwalimbwende tukihubiri umasikini wetu
nawatahadharisha viongozi wetu hasa wale wanaopenda sana kuwatembelea hawa jamaa wasishangae siku wakiombwaau kwa sababu sisi ni nchi ya kununuliwa mpaka suti ndio wanatufikiria kipumbavu hivisht
naona david cameroon ameamua kushika masaburi ya waafrika kwa kupenda penda misaada
chagueni moja mwendelee kutembeza bakuri kwao au mruhusu waje wawashikishe ukuta watoto wenu wa kiume
ground zero anataka wewe uwaoe
mwenyekiti wa chama cha kijani sijui anasemaje kujitetea na ubaradhuli huu
chagueni moja mwendelee kutembeza bakuri kwao au mruhusu waje wawashikishe ukuta watoto wenu wa kiumeclick to expand
hahahha nimecheka hadi basi hapa underlined inabidi aanze na masaburi ya huyo huyo anayependa kusaafiri safiri kuomba misaada
mwenyekiti wa chama cha kijani sijui anasemaje kujitetea na ubaradhuli huuclick to expand
huyo kwa jinsi tunavyo mjua atapitisha tu la sivyo itabidi apunguze kuzurura majuu
lakini alisha sema mwenyekiti kuwa **^^+ukikubali kula kubali kuliwa+^^**cheer2
@gaijin wanaume wakiolewa wanawake watafanyaje
hakika tunaishi katika kipindi cha siku za mwisho hii yote ni kazi ya shetani shetani anataka kuwashika watu wote waenende sawa sawa na ushetani wake umasikini wetu utatuponza maana tutaburuzwa kufanya yale tusiyoyataka bado tunauwezo wa kujitegemea nchi yetu ni tajiri sana tufunguke tufanye kazi kwa bidii kwa maslahi ya wananchi kipindi cha kukumbatia viongozi wanaotupeleka na kutudidimiza kwenye umaskini kimekwisha watanzania tuamke sasa bado hatujachelewa
eeeee mungu tuwezeshe watu wako
@gaijin wanaume wakiolewa wanawake watafanyajeclick to expand
ground zero pole ndugu yangu hii miwatu lazima ifurahie kwamba sasa itaolewa hadharani na kupigiwa kiduku tena yawezekana ukoo wao wote was shenz type
hahahha nimecheka hadi basi hapa underlined inabidi aanze na masaburi ya huyo huyo anayependa kusaafiri safiri kuomba misaadaclick to expand
hahasi ajabu tayari kashamaliza na siyo kuanzajiulize kwanini kila kukicha yuko ng'ambo
hahaha mkuu umenifanya nicheke dah kuna ukweli ndani yake
hahaha mkuu umenifanya nicheke dah kuna ukweli ndani yakeclick to expand
ndo maanake viongozi wetu wanatia aibu kila siku misaada misaada alafu misaada yenyewe inawaneemesha wao sisi wanyonge tunaendelea kuwa maskini sasa wameamua kuja na gia ya kuwashika masaburi kwa ujinga wao watakubali wewe subiri
ubatili mtupu pumbavu zenu wa uk mnaopenda ushoga
hivi kumbe hii ishu ni siriaz jamanimi nlidhani chai
huyo kamerun aanze yeye kushika ukuta
asituletee ufirauni wake hapa
kama tumeshindwa kujitegemea na midhahabu yote hii nadhani tumeumbwa kushika ukuta baaaaasi
hiyo misaada wakae nayo na ushoga wao hukohukosehemu za kutolea mavi mnataka ziwe halali kwa tendo la ndoawasenge wakubwaeti hakikulawiti au kulawitiwa ni hakimnataka mtuharibie vijana we2 wawe wanatutingishia matako mtaanimnawatafutia soko eehkwa vle mnajua kuna viafrika vinapenda watasha
cdm itisheni maandamano ya kulaani uingereza kwa kutoa masharti yasiyokuwa ya kibinadamu
naona hawa wazungu walikuwa wanagongwa mashuleni na wanataka kuhalalisha ujinga huu kwa pesa walizo nazo
wakiwapenda mashoga wape uraia huko huko kwao
sikuogopi
kuna siku niliwahi kuandika neno kamili kama biblia ilivyoandika kwenye kitabu cha 1 wakorinthomlango wa 6 mstali wa 9au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa mungu msidanganyike waasherati hawataurithi ufalme wa mungu wala waabudu sanamu wala wazinzi wala wafiraji wala walawiti
hivyo neno wafiraji ni neno halali na kama jf ni zaidi ya biblia sawa | 2016-10-24T12:27:13 | http://www.jamiiforums.com/threads/nani-awaoe-mashoga-wa-tanzania.188028/ |
swahili time chalene
posted by chemi chemponda at 121 pm
mmmh haya hayafai kabisa afunike kabisa maana yanatisha huu ni ugonjwa nadhani ni matende au kitu kama hicho anahitaji matibabu matako mazuri huwa ni makubwa halafu mviringo yanajaa vizuri kama maputo yaliyojaa vizuri mororo bila hayo manundunundu hayapaswi pia kutepweta (sagging) kama magunia yaliyopangwamo viazi nusu hapo tako linapoishia unaanzia mguu mwororo usio na nundu mabaka wala mipauko na wenye shepu kama mgomba uliogeuza juu chini ukiona mzuri wa aina hiyo kama nilivoeleza piga picha yake weka hapa utaona tutakavyochangamka
mhits my 1st time to see such kind of buttock anyway ahahitaji ushauri wa daktari may be ana matende kama alivosema kithuku
november 27 2007 350 am
da chemi mi huwa napenda sana wanawake wanene kwa sababu nafahamu siri ya urembo waliyo nayo lakini kwa huyu hapana bwana nafikiri huu ni aina ya ugonjwa achilia mbali obesite maana hii minundunundu si ya kawaida
chemi njoo usafishe laptop yangu haraka sana nimeitapikia yote kwa sababu ya picha hii
november 27 2007 1046 am
sasa hapo sijui utapakua kitu gani maana hiyo k kuiona lazima uwe nakurunzi
kinyaaaa
staili gani kwa wazinzi wanaume waweza chomeka hapo sawasawa mbona kazi hata ukimbenua miguu kwa kutoka nyuma kwenda mbele waweza mvunja bila kuona katikati ya dunia
november 28 2007 536 am
kassuwi said
hii ni moja tu katika ishara kadhaa ambazo mwenyezi mungu anatutaka tuzitazame na kisha kumshukuru na kujua utukufu wakekaumba wanaadamu wa rangi sura na maumbile mbalimbalikla uonapo umbo tofauti na ulowahi kuyaona basi mshukuru mungu na uzidi kumtukuza
december 02 2007 842 am
mhhh hii kali
december 17 2007 417 am
papa mutombo said
nipeni mm ndamtomba
october 13 2014 113 pm
njo huku napenda mitako mikubwa | 2019-10-18T11:19:55 | http://swahilitime.blogspot.com/2007/11/chalene.html?showComment=1196178360000 |
matukio na jamii blog taarifa ya mkuu wa mkoa wa dodoma mhe chiku gallawa kuhusu uchaguzi mkuu wa oktoba 25 2015 mkoani dodoma
taarifa ya mkuu wa mkoa wa dodoma mhe chiku gallawa kuhusu uchaguzi mkuu wa oktoba 25 2015 mkoani dodoma
· wananchi wale wenye sifa za kupiga kura wanahimizwa kwenda kupiga kura kwa amani na utulivu kwa kuzingatia muda na kisha kurejea makwao/majumbani baada ya kumaliza kupiga kura
· viongozi wa vyama vya siasa na wagombea wa nafasi mbalimbali wawaandae wanachama na wafuasi wao kwenda kupiga kura bila kuvunja sheria za uchaguzi taratibu na kanuni zilizowekwa wakidumisha hali ya amani na utulivu
· hairuhusiwi kwa mtu yeyote siku ya uchaguzi kufanya kampeni ya aina yoyote wala kuvaa mavazi ya chama chochote cha siasa
· hairuhusiwi kwa mtu yoyote kutoa rushwa kwa lengo la kumshawishi mtu kupiga kura au kumshawishi asipige kura
· kila mtu aliyejiandikisha kupiga kura atunze shahada yake ya kupigia kura na asiitoe kwa mtu mwingine wala yeye kutumia shahada ya mtu mwingine kwani ni kosa la jinai kutumia shahada ya mtu mwingine kupigia kura vilevile ni kosa kutumia shahada bandia
· ni vizuri kila mmoja akahakikishe jina lake kwenye kituo alichojiandikishia ili kupata uhakika wa kuwepo kwenye orodha na kupiga kura kabla ya siku ya kupiga kura oktoba 25
· wananchi wote wakae katika hali ya utulivu wasiwe na hofu wala woga jeshi la polisi litafanya doria mbalimbali zenye lengo la kuhakikisha kunakuwa na hali ya utulivu na hali ya amani ili kila mtu apate fursa ya kushiriki zoezi la uchaguzi
kabla sijahitimisha salamu zangu narudia kuwasisitiza wananchi wote wa dodoma wale wenye sifa za kupiga kura wajitokeze kwa wingi kupiga kura siku ya jumapili serikali imejiandaa vya kutosha na kuwahakikishia wananchi uchaguzi mkuu kufanyika kwa amani utulivu na kuwa uchaguzi wa huru na haki
nawaomba wananchi wote wajiepushe na vitendo vyovyote vinavyosababisha vurugu na uvunjifu wa amani tuendeleze sifa yetu ya mkoa wa dodoma kufanya uchaguzi tukiwa katika hali ya usalama
mwisho kabisa nawatahadharisha wale wote wenye nia mbaya au wanaojipanga kutaka kujaribu kuvuruga zoezi la uchaguzi au kuleta vurugu ya aina yoyote hapa mkoani dodoma kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vimejipanga imara na vitamshughulikia mara moja mtu huyo wananchi mnaombwa kutoa taarifa kwa vyombo vya ulinzi na usalama au kwa kiongozi yoyote wa eneo husika
oktoba 23 2015 | 2017-08-24T06:51:35 | https://fredynjeje.blogspot.com/2015/10/taarifa-ya-mkuu-wa-mkoa-wa-dodoma-mhe.html |
#1 18 06 2012 1819
♥ ♥
141371
♥
( ) ( ) ♥
18 06 2012 1859
superbe vraiment ya3tik sa7a
dejeuner 100 100
19 06 2012 1107
~
19 06 2012 1304
( ) 2014 [] ( ) ( ) ( ) ( 2014 ) 2014
20 06 2012 1444
#5 ♥ ♥
♥
20 06 2012 1722
10 8 2009
113470
2010 2010
20 06 2012 2321
#7 djoudjoumkalcha
16 6 2012
143736
18 08 2012 0828
#8 jojo bisk
143907
*
100 maher zain ya nabi maher zain ya nabi maher zain number one for me
09 11 2009 1053
04 10 2009 2059
31 08 2009 0030
06 02 2009 0906 | 2014-04-25T07:16:00 | http://www.4algeria.com/vb/4algeria.340610/ |
kile vijana hawana budi kufuatilia | kanisa la mwenyezi mungu
macho yanayochukiza na udanganyifu
sivyo wanavyofaa kuvimiliki vijana
njia za kuogofya na haribifu
sizo wanazofaa kuzitenda vijana
wanafaa kuwa na malengo
kwa shauku wajitahidi kuendelea
sio kukata tamaa juu ya matarajio yao
wadumishe imani katika maisha katika wakati ujao
vijana wanafaa kuwa na azma ya utambuzi
wakitafuta haki na ukweli
fuatilieni mambo yote mazuri
pateni ukweli wa mambo ya hakika
wajibikeni juu ya maisha
lazima msichukulie hili kwa mzaha
vijana wanapaswa kushikilia katika njia ya ukweli
hivyo wajitolee maisha yao kwa ajili ya mungu
hawapaswi kukosa ukweli
wala kuhifadhi uongo uovu
wanapaswa kuchukua msimamo sahihi
hawapaswi kuzurura wakisonga tu
wanapaswa kuthubutu kujitolea
kupigania haki na ukweli
vijana hawapaswi kukubali kushindwa
na ukandamizaji wa nguvu za giza
wanapaswa kuwa na ujasiri
kubadilisha maana ya maisha yao
vijana hawapaswi kujisalimisha
kwa taabu
wanapaswa kuwa makini na wazi
kuwasamehe waumini wenzao
umetoholewa kutoka kwa maneno kwa vijana na wazee katika neno laonekana katika mwili
iliyotangulia:kuishi kutekeleza mapenzi ya mungu ni jambo la maana zaidi
inayofuata:stahimili mzigo zaidi ili ukamilishwe kwa urahisi zaidi na mungu | 2020-02-17T04:07:42 | https://sw.godfootsteps.org/what-the-young-must-pursue-txt.html |
rasilimali za misitu zinavyosukiwa mkakati wa kubeba uchumi wa taifa makala | mwananchi
25 minutes ago tra yateketeza bidhaa feki za sh23 milioni
wakala wa huduma za misitu tanzania (tfs) ni miongoni mwa mikakati ya kuhakikisha rasilimali hizi zinatunzwa kisheria na kukabiliana na uharibifu
kwa miaka kadhaa sasa rasilimali za misitu zimekuwa katika hatari ya kuangamia lakini serikali imesimama kuhakikisha uendelevu wake unalindwa ikiwa ni pamoja na kuanzisha maeneo ya kiutendaji na udhibiti dhidi ya waharibifu
kuanzishwa kwa tfs kwenye kanda saba za kati yenye mikoa ya dodoma singida na manyara kaskazini inayojumuisha arusha kilimanjaro na tanga kusini ilipo mikoa ya lindi mtwara na ruvuma na mashariki yenye dar es salaam pwani na morogoro
nyingine ni nyanda za juu kusini yenye mikoa ya songwe mbeya rukwa na njombe magharibi ikiwa na tabora katavi kigoma na shinyanga huku kanda ya ziwa ikiwa na mwanza mara na kagera kwa sasa wakala huo unajiandaa kuanzisha kanda nyingine ili kusogea karibu zaidi katika baadhi ya maeneo yenye uhitaji mkubwa wa udhibiti
hata hivyo tfs katika utekelezaji wa majukumu yake imeanza kuzishirikisha mamlaka za serikali kuwabana wanaoharibu misitu kwa njia mbalimbali ikiwamo ukataji miti uchomaji mkaa uchimbaji madini katikati ya misitu uchomaji moto na ufyekaji wa miti kwa visingizio vya aina tofauti ikiwamo kuanzisha mashamba mapya
mtendaji mkuu wa tfs profesa dos santos silayo anasema serikali za mitaa zipo karibu zaidi na wananchi
akizungumza na wakuu wa wilaya na wakurugenzi watendaji wa halmashauri za mikoa ya kanda ya magharibi silayo alisema uhifadhi wa misitu unasaidia kubeba baoanuai muhimu kiuchumi kwa nchi yoyote duniani kwa kuwa kila kitu kina uhusiano wa karibu na mimea
profesa silayo aliwaambia wadau waliohudhuria kikao hicho kuwa maelekezo yote ya serikali yanapaswa kutekelezwa katika kulinda rasilimali ya misitu ili maisha ya wananchi yasiathirike
hata hivyo anasema misitu inakabiliwa na changamoto kiasi cha kuathirika kwa kasi kutokana na uharibifu unaotokana na tabiachi na shughuli za binadamu kama ukataji wa miti kwa ajili ya nishati mbao kilimo cha kuhamahama na kadhalika
tunapaswa kuweka mikakati ya kutokomeza ufugaji na uvamizi wa misitu na uchimbaji madini anasema profesa silayo vilevile anasema kumekuwapo pia na tabia ya baadhi ya watendaji kuwalazimisha wananchi wanaomiliki misitu vijijini kuifyeka kwa kisingizio cha kuendeleza maeneo yao kupitia kilimo
hili tunapaswa kulikemea kwa nguvu zote na tuchukue hatua maana linachangia kuharibu misitu yetu hatuna budi kuilinda maana ndiyo uhai wetu na katika kupambana na haya yote lazima tushirikiane misitu yetu ni ya thamani anasisitiza
anasema ushirikiano na kujituma kwa watendaji na watumishi wa ngazi mbalimbali wa serikali ni jambo muhimu kwa kuwa ni jukumu lao katika kulinda rasilimali za taifa
kwa mujibu wa utafiti wa tfs uliofanyika kati ya novemba 2016 hadi januari 2017 ofisa leseni za huduma za misitu ali maggid anasema bajaji na baiskeli zimekuwa zikitumika kusafirisha mazao ya misitu kupitia njia za panya hasa kwa wanaovuna kinyume na sheria
maggid anasema kutokana na hali ilivyo licha ya kuwa unafanyika kinyume cha sheria ukiathiria mazao ya misitu serikali inapoteza ushuru unaofikia sh11 bilioni kwa mwezi au sh135 bilioni kwa hesabu za mwaka jana jijini dar es salaam pekee
tayari tfs imeanza kupambana na watu wanaotumia vyombo hivyo kwa shughuli haramu kwa kuwakamata na kuwatoza faini
tukiwa karibu na watendaji wakuu wa wilaya mambo yatakuwa mazuri mapambano haya yatakuwa na mafanikio anasema profesa silayo
kwa upande wake mkuu wa mkoa wa tabora aggrey mwanri anawataka watendaji wa halmashauri kutoliona jukumu la ulinzi wa rasilimali za misitu kuwa lipo mikononi mwa tfs pekee akiwaagiza kuanza kukabiliana na waharibifu wa miti katika maeneo yao mara moja
mwanri anawataka wakuu wa wilaya hizo kuongoza harakati za ulinzi wa misitu katika maeneo yao kwa kutenga muda mwingi wa ziada kushughulikia rasilimali hiyo ili iwe endelevu na kwamba tabora hatawaacha salama wale wataolitelekeza jukumu hilo
mimi nitazingatia maelekezo ya serikali na kama kuna mtu anadhani atapona ajue hilo halipo niwambie kitu mikakati ni ile mbinu ya kuwa na mpango wa pamoja lakini huku nyuma lazima uanze na lengo ukiwa na mikakati unaweza kufika mbali katika shughuli zako anasema mwanri
anawataka wawakilishi hao wa rais katika ngazi ya wilaya kuwa na misingi imara ya utendaji katika usimamizi wa rasilimali ya misitu badala ya kufanya kazi katika hali ya mazowea kwa kuwa hata wale waharibifu wa misitu wataogopa na kisha kuacha
pia mwanri anawasihi wakuu hao wilaya kutotumia muda mwingi kujadili utunzaji wa misitu kwa kuwa sayansi haihitaji kuijadili isipokuwa wajielekeze katika misingi na usimamizi wa sheria ili kuhakikisha kuwa wananchi hawaendelei kuiathiri
mnajua nini misitu ikiharibika maji hayatakuwepo na maji yasipokuwepo hata watu hawatasubiri kufukuzwa isipokuwa wataondoka wenyewe maana kile kitu muhimu wanachokitegemea hakitakuwepo hivyo ni wajibu wenu kusimamia hili anasema
anaongeza kuwa tatizo la wafugaji kuvamia mikoa ya tabora kigoma na katavi ni kubwa kutokana na mikoa mingine kuisukumia mifugo hiyo katika mikoa hiyo
si hilo tu tatizo jingine ni kilimo cha kuhamahama watu wanahama wakifika mahala wanafyeka misitu wanalima wakiona hakuna wanaondoka wanahamia sehemu nyingine kwa hiyo huku kwetu kuna tatizo anasema na kuongeza
nenda sikonge pale kilimo cha tumbaku kinatuathiri sana watu wanakata miti (kwa ajili ya ukaushiaji wa tumbaku) wanakata hata mininga miti yenye thamani kubwa
hata hivyo mkuu huyo wa mkoa anaishauri serikali kuangalia uwezekano wa kupunguza bei ya gesi ili kukabiliana na matumizi ya mkaa jambo ambalo pia litaipa ahueni jamii
kama misitu inaendelea kuharibika na gesi bado ipo juu itakuwa ngumu kuwashawishi wananchi anasema huku akitoa mfano kuwa wakuu wa wilaya hawawezi kuwa na sauti ya kushawishi wananchi kupunguza matumizi ya mkaa kama nishati mbadala haitakuwapo
vilevile anasema msukumo huo uelekezwe katika majeshi shule na taasisi zingine zikiwamo binafsi kupunguza matumizi ya mkaa na kuni
mwanri anawataka watendaji wa serikali kuwahamasisha wananchi kupanda miti na kuwafahamisha endapo hawatofanya hivyo basi watakosa kuni za kutumia
na huu ndiyo ujumbe tunaoupeleka kwa watu wa tumbaku kama hawatapanda miti hakuna kuni pia kwenye vyanzo vya maji tuwaeleze watu wasikae karibu navyo tuwaambie hawapaswi kukaa kwenye chanzo chochote cha maji anasema mkuu huyo wa mkoa
mkuu wa wilaya ya tabora queen mlozi anasema maeneo mengi ya mkoa huo yana misitu lakini yamekuwa yakivamiwa na wafugaji ingawa hawatakubali hali hiyo iendelee
hatutakubali kwa sababu misitu ni mali na ni uhai wetu tutailinda ipasavyo anasema mlozi | 2018-05-24T19:40:40 | http://www.mwananchi.co.tz/Makala/Rasilimali-za-misitu-zinavyosukiwa-mkakati-wa-kubeba-uchumi/1597592-4095462-126kv2a/index.html |
je ni sawa vyombo vya dola kuharamisha zinaa bbc swahili
je ni sawa vyombo vya dola kuharamisha zinaa
http//wwwbbccom/swahili/habari/2014/03/140317_zinaa_afrikamashariki
image caption ndoa nyingi zimekuwa zikivunjika kutokana na zinaa
zinaa imeharamishwa na dini nyingi karibu zote kama sijakosea lakini je umewahi kutafakari kama zinaa iharamishwe na vyombo vya dola
mwishoni mwa wiki nchini kenya mwanamume mmoja alimpata mkewe akila uroda na mwanamume (mpango wake wa kando) katika chumba kimoja cha hoteli mjini nairobi
hasira na ghadhabu zilimsababisha mwanamume huyo wapeleka mkewe pamoja na mwanamume aliyemkamata naye katika kituo cha polisi kuwashitaki kwa kosa hilo
taarifa hii iliwaacha wengi wakipiga gumzo katika mitandao ya kijamii nchini kenya
baadhi wakisema kuwa zinaa ni mbaya sio katika ndoa tu bali hata kama hujaolewa basi ikiwa imefikia kiwango cha kuhusisha polisi basi iharamishwe kisheria na ikiwa mtu atapatikana akishiriki zinaa ashitakiwe na kuchukuliwa hatua za kisheria
je vyombo vya dola vina jukumu lolote katika kurekebisha maadili ya watu
mnamo mwaka 2007 uganda ilifutilia mbali sheria yake dhidi ya zinaa baada ya wanaharakati kusema kuwa iliwaonea zaidi wanawake kuliko wanaume mwanamke ambaye angpetikana akizini angefungwa jela
nchini kenya katika siku za hivi karibuni visa vya wanandoa kukamatwa wakishiriki zinaa vimeongezeka sio mapasta sio wahubiri visa hivi vimekuwa vingi tu
mhubiri mmoja aliyepatikana akishiriki zinaa na mke wa mtu mjini kisimu magharibi mwa kenya alitembezwa uchi pamoja na mwanamke na wananchi waliochukua sheria mikononi mwao na kulazimisha polisi kuingilia kati
kwani hili swala ni la kuwahusisha polisi
je nini maoni yako kuhusu hoja hiizinaa iharamishwe na vyombo vya dola au la tuma maoni yako kupitia ukurasa wetu wa facebook https//wwwfacebookcom/pages/bbcswahili/160894643929209ref=hl | 2017-12-15T17:07:07 | http://www.bbc.com/swahili/habari/2014/03/140317_zinaa_afrikamashariki |
mkutano wa watanzania wanaoishi ujerumani na wafadhili kufanyika jumapili 28102012 mjini mainaschaff | politiksi kurunzini
home uncategories mkutano wa watanzania wanaoishi ujerumani na wafadhili kufanyika jumapili 28102012 mjini mainaschaff
mkutano wa watanzania wanaoishi ujerumani na wafadhili kufanyika jumapili 28102012 mjini mainaschaff
seriajr monday october 15 2012 edit
union of tanzanians in germany (utu)
kukutana na wafadhili na wahisani zaidi ya 150
world mission sunday 28oct 2012
umoja wa watanzania ujerumani (utu) unapenda kuwakaribisha watanzania wote wanaoishi ujerumani katika hafla ya world mission sunday itakayofanyika katika ukumbi uliopo hauptstr 30 d63814 mainaschaff jirani sana na mji wa aschaffenburg siku ya jumapili tarehe 28102012 kuanzia saa 0400 za asubuhi ambapo wasamaria wema na wafadhili wapatao zaidi ya 150 kutoka sehemu mbali mbali za ujerumani watakutana na umoja wa watanzania ujerumani (utu) juu ya kuitakia mema tanzania na kuanzisha harambee ya kuchangia maendeleo ya miradi mbali mbali itakayosimamiwa na umoja wa watanzania ujerumani (utu)
katika hafla hiyo kuanzia saa 9 mchana watayarishaji wa hafla hiyo ''world mission sunday'' itatoa nafasi kwa umoja wa watanzania ujermani (utu) kuitambulisha tanzania kwa wahisani hao na kuelezea ni mradi gani unahitaji ufadhili kupitia umoja huu mmoja wa wageni rasmi walio alikuwa ni balozi wa tanzania nchini ujerumani mhe ahmada ngemera dr lippert na mkewe kutoka scheinfurt' dr lippert ni mtaalamu ambaye aliwahi kufanya kazi tanzania hafla hii inategemewa kuisha saa 1200 za jioni baada ya hapo watanzania watapata muda wao wa kufanya mazungumzo na mhe balozi wa tanzania nchini ujerumani bw ahmada ngemera
umoja wa watanzania ujerumani utu umeramba bingo kwa kupewa nafasi hii ya pekee na world mission sunday kuiwakilisha jamii ya watanzania na kuwashawishi wafadhili na wahisani nchini ujerumani ili waweze kuchangia miradi mbali mbali ya huduma za jamii nchni tanzania ikiwemo sekta ya elimu na afya
tunawaomba watanzania wote na marafiki wa tanzania wanaoishi ujerumani na jirani mwa ujerumani kuhudhuria kwa wingi katika hafla hii muhimu kwa jamii ya watanzani kama wasemavyo wahenga ''chereko chereko na mwenye mwana'' kwa maelezo zaidi wasiliana na kamatiutu@googlemailcom au unaweza kuwasiliana na mwenyekiti wa utu moja kwa moja kupitia simu ya mkononi 01734298997
karibuni sana umoja ni nguvu | 2018-03-18T19:28:02 | https://arusha255.blogspot.com/2012/10/mkutano-wa-watanzania-wanaoishi.html |
dk sinare aula tena | jamiiforums | the home of great thinkers
dk sinare aula tena
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by ngoshwe jul 4 2012
pamoja na madai ya mhe zambi kuwa aliteuliwa na rais kuwa mwenyekiti wa bodi ya wakurungenzi ya kahawa kimtindo mtindo wakati kampuni yake ya uwakili ikiwakilisha benki ya exim mahakamani kwenye kesi ya kutaka kulipiga mnada jengo la kahawa (kahawa house) [table=width 100]
mwanasheria mtanzania ambaye kwa miaka zaidi ya 12 amekuwa akiwasilisha maslahi ya taasisi kadhaa za fedha nchini kimataifa dk eve hawa sinare amechaguliwa kuingia katika bodi ya world services group (wsg) yenye makao makuu yake nchini marekani kwa mujibu wa taarifa iliyopatikana mjini dar es salaam dk sinare atakuwa katika bodi hiyo yenye makazi yake mjini texas nchini marekani kwa miaka minne dk sinare atakuwa anawasilisha maslahi ya afrika na mashariki ya kati
akizungumzia uteuzi wake katika wsg ulioanza juni mwaka huu dk sinare ambaye ni mshiriki mwandamizi wa moja ya kampuni kubwa za sheria nchini rexattorneys alisema anajisikia heshima kubwa kuteuliwa katika nafasi hiyo kubwa alisema uteuzi wake katika bodi hiyo unaonesha ni kwa kiasi gani kampuni ya rexattorneys inavyoaminika miongoni mwa kampuni zinazowakilisha maslahi ya wadau mbalimbali katika sekta ya sheria wsg ni shirikisho la wanasheria wanaotukuka na hutoa huduma mbalimbali za kisheria kwa watu tofauti zikiwamo benki na taasisi za kifedha
kwa kawaida wanachama wa shirikisho hilo huwa wazi na husaidiana kuhudumia wateja wao popote pale duniani wsg ina wanachama 10000 kutoka nchi 90 na wamejikita zaidi katika masuala ya kampuni kubwa aidha ina wataalamu wa kada mbalimbali wapatao 19000 wakiwamo wanasheria wahasibu na wataalamu wa masuala ya kibenki na wana ofisi 400 duniani kote kabla ya kuingia katika kazi ya sheria dk sinare alikuwa mshauri wa serikali katika masuala ya ubinafsishaji pia alishawahikuwa mkurugenzi wa masuala ya kisheria katika soko la pamoja la kusini na mashariki mwa afrika (comesa) pia amekuwa mhadhiri msaidizi chuo kikuu cha dar es salaam
na mwandishi wetu imechapwa 15 june 2012
mbunge wa mbozi mashariki (ccm) godfrey zambi amepinga uteuzi wa mwenyekiti wa bodi ya kahawa tanzania (tcb) uliofanywa na rais jakaya kikwete
[td=class contentheading]mbunge ccm kuburutwa kortini[/td]
[td=class createdate]sunday 17 june 2012 0928[/td]
daniel mjema moshi
mbunge wa mbozi mashariki godfrey zambi (ccm) ameingia matatani baada ya kampuni moja ya ununuzi wa kahawa kumshtaki mahakamani ikimdai fidia ya sh24 bilioni
kesi hiyo namba cc7/2012 ilifunguliwa mahakama kuu ya tanzania kanda ya moshi na kampuni ya lima ltd inayonunua kahawa maeneo mbalimbali nchini ikiwamo mbozi
kwa mujibu wa hati ya madai iliyowasilishwa kortini na mkurugenzi na mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya lima ltd eric ng'maryo zambi amewasababishia hasara ya sh18 bilioni kutokana na matamshi ya kuikashifu
katika hati hiyo ambayo mwananchi jumapili imeona ng'maryo analalamika kuwa katika kipindi cha miaka mitatu mfululizo zambi ameanzisha kampeni chafu dhidi ya lima ltd
mdaiwa ameanzisha kampeni za kuchafua kampuni yetu ili kuua ushindani ili vikundi vya wakulima anavyodai kuviwakilisha visiweze kupata ushindani amedai ng'maryo
ng'maryo ambaye ni wakili mashuhuri nchini amedai kuwa lengo la zambi ni kuwakandamiza wakulima wa mbozi na mkoa wa mbeya ili wasipate bei nzuri ya kahawa
msingi wa kesi hiyo ni makala yaliyochapwa katika gazeti moja chini ya kichwa cha habari mbunge ccm apinga uteuzi wa jk
katika makala hayo zambi amekaririwa akipinga uteuzi wa mwenyekiti mpya wa bodi ya kahawa tanzania (tcb) dk eve hawa sinare na baadhi ya wajumbe wa bodi hiyo ng'maryo pia ni mmoja wa wajumbe wa bodi hiyo ya wakurugenzi
kupitia taarifa hiyo mbunge huyo anadaiwa kuituhumu kampuni ya lima ltd yenye makao yake mjini moshi kushawishi wakulima kuuza kahawa mbivu kwa bei ndogo
uhalisia na tafsiri ya kawaida ya kauli hiyo ya zambi ni kwamba lima ltd ni walanguzi wanaopata faida kubwa kwa kuwanyonya wakulima wa kahawa amelalamika ng'maryo
kutokana na kauli hizo za kashfa za mbunge huyo heshima ya kampuni hiyo imedaiwa kushuka machoni mwa wakulima na inatarajia kupata hasara ya sh600 milioni mwaka huu
kampuni hiyo inadai kuwa katika kesi hiyo itathibitisha kwamba mbunge huyo ana masilahi katika biashara ya kahawa na anaua ushindani ili kuvipa faida vikundi vya wakulima alivyo na masilahi navyo
zambi ni mbunge wa bunge la jamhuri lakini anafanya mambo kinyume na sheria za nchi anazopaswa kuzilinda zikiwamo kanuni zinazosimamia sekta ya kahawa amedai
kampuni hiyo inaiomba mahakama kumwamuru mbunge huyo awalipe sh24 bilioni kama fidia na iwe fundisho kwa wengine
pia kampuni hiyo inaiomba mahakama kuu kutoa zuio dhidi ya mbunge huyo kuendelea kuchapisha taarifa za kuikashifu kampuni hiyo
zambi alipoulizwa alisema hajapata taarifa ya kushtakiwa lakini kama ataarifiwa rasmi na mahakama atakaa na wanasheria wake kujua nini cha kufanya
kesi hiyo iliyofunguliwa jumatano wiki hii na kupewa nambari cc7/2012 sasa iko kwenye mchakato wa kupangiwa jaji atakayeisikiliza[/td]
mbunge ccm kuburutwa kortini
ni familia iliyojaaliwa
[td=width 80]he mrs mwanaidi sinare maajar is a leading lawyer in tanzania with exceptional expertise in mining law her pioneer work in the field of reviewing regulatory regimes was the review of the mining sector policy and the drafting of the mining act 1998 another similar assignment was the review of the business licensing regime and the drafting of the now proposed new business licensing law mrs maajar is now serving as the tanzanian ambassador to the united states of america after having served for four (4) years as the tanzanian high commissioner to the united kingdom from 2006 mrs maajar still retains her seat as a partner at the firm and is still involved in the activities and the development of rex she imprinted on rex her expertise in reviewing regulatory legal frameworks by setting up and leaving behind a powerful and wellmanned portfolio in this regard which is now headed by dr eve hawa sinare[/td]
du huyu mama anatisha naomba cv yake tafadhali
kuna utata kuhusu huyo sinare kwani kampuni yake ya uwakili ndiyo ilikuwa inaitetea tanesco na wakati huo huo kuidhamini dowans kupata mkopo kwenye mabenki kutokana na maelezo yako kuna mchezo unafanywa na watu makusudi kwa sababu kwa issue ya tanesco nilitegemea serikali wangeichukulia hatua kampuni hiyo kwani ndio walioshauri mkataba uvunjwe na baadae wakasema tanesco haina jinsi inabidi ilipe madeni
mbona mnafuatilia sana mambo ya watu huyu mama ni kichwa na anatembea kwenye reli za opportunity sasa ukiwana akili kubwa katikati ya akili ndogo unategemea nini mama ana akili kubwa na magamba yote yana akili ndogo huyo zambi sio mzima hata akiongea anaonekana ana kautindio ka kichwa
jk huwa anaziona familia ya sinare na migiro tu udini mtupu
kuna utata kuhusu huyo sinare kwani kampuni yake ya uwakili ndiyo ilikuwa inaitetea tanesco na wakati huo huo kuidhamini dowans kupata mkopo kwenye mabenki kutokana na maelezo yako kuna mchezo unafanywa na watu makusudi kwa sababu kwa issue ya tanesco nilitegemea serikali wangeichukulia hatua kampuni hiyo kwani ndio walioshauri mkataba uvunjwe na baadae wakasema tanesco haina jinsi inabidi ilipe madeniclick to expand
yaani serikali ya magamba kweli ni dhaifu kampuni ya rexattorney ndo mawakili wa tanesco mpaka leo kama ulivyosema hawa ndo walishauri tanesco wavunje mkataba na dowans wakisema hakuna tatizo kufanya hivyo kwa kuwa dowans ilikuwa ni kampuni feki hao hao ndo waliwapigia chapuo dowans kwa mabenki kuwa ni kampuni nzuri tu na inastahiki kupewa mkopo hao hao ndo walipeleka ushahidi dhaifu kwenye mahakama ya kimataifa ya usuluhishi wa masula ya biashara ili tanesco washindwe kesi na ikawa hivyo hao hao ndo walisema hamna haja ya kuka rufaa na hmna jinsi inabidi tanecso tu walipe cha kushangza ni kuwa pamoja na hayo maovu yote kuwa wazi bado kampuni hiyo inaendelea kuwa wakili wa tanesco lol hii nchi imeuzwa kwa kweli
dr hawa sinare ni msomi mzuri na naamini ana uwezo wa kufanya kazi nzuri (kama system iko clean) hata hivyo promotion yake haijatokana na uwezo wake peke yake naamini 'techinical know who nayo imembeba sana after all huko marekani ndiko aliko ndugu yake kama balozi majaar
sio kila habari ni habari
katika kusakamwa sana kwa rexattorneys hata website yao huwezi ku access huii firm inabidi ichukuliwe hatua kali sana manake wamejipatia pesa nyingi sana kwa ushauri wao mbaya wa kisheria
karibu ukawa mama tunahitaji uwepo wako
msaada wake ni mdogo kwa ukawa
na zambi akapata uwaziri
msaada wake ni mdogo kwa ukawaclick to expand
hawezi kukosa watu 100 nyuma yake wanatosha saaaanaaaa
bado makandokando ya lowasa yanazidi kukimbia ccm naona ccm mpya inakuja kwa mbali ingawa bado kuna virusi vingi
ukawa mnaota kupata urais ni kura si maneno matupu watanzania wameamua kuibakiza ccm kwa iaka mingine 5 ccm hapa kazi tu porojo peleka ukawa
kuna utata kuhusu huyo sinare kwani kampuni yake ya uwakili ndiyo ilikuwa inaitetea tanesco na wakati huo huo kuidhamini dowans kupata mkopo kwenye mabenki kutokana na maelezo yako kuna mchezo unafanywa na watu makusudi kwa sababu kwa issue ya tanesco nilitegemea serikali wangeichukulia hatua kampuni hiyo kwani ndio walioshauri mkataba uvunjwe na baadae wakasema tanesco haina jinsi inabidi ilipe madeni[/quo
na leo kamfuata lowassa chadema baada ya kumsaidia sana kupiga deal richmond iliyokuwa baadae dowansclick to expand
yaani serikali ya magamba kweli ni dhaifu kampuni ya rexattorney ndo mawakili wa tanesco mpaka leo kama ulivyosema hawa ndo walishauri tanesco wavunje mkataba na dowans wakisema hakuna tatizo kufanya hivyo kwa kuwa dowans ilikuwa ni kampuni feki hao hao ndo waliwapigia chapuo dowans kwa mabenki kuwa ni kampuni nzuri tu na inastahiki kupewa mkopo hao hao ndo walipeleka ushahidi dhaifu kwenye mahakama ya kimataifa ya usuluhishi wa masula ya biashara ili tanesco washindwe kesi na ikawa hivyo hao hao ndo walisema hamna haja ya kuka rufaa na hmna jinsi inabidi tanecso tu walipe cha kushangza ni kuwa pamoja na hayo maovu yote kuwa wazi bado kampuni hiyo inaendelea kuwa wakili wa tanesco lol hii nchi imeuzwa kwa kweliclick to expand
na huyu mwenye kampuni hii ya uwakili leo kajiunga rasmi na lowassateh teh teh
na huyu mwenye kampuni hii ya uwakili leo kajiunga rasmi na lowassateh teh tehclick to expand
hawa ndio wanadai wanataka kuleta mabadiliko wakati wameifikisha nchi hii pabaya na chadema wanawafurahia
hajasema anajiunga na ukawa
bado makandokando ya lowasa yanazidi kukimbia ccm naona ccm mpya inakuja kwa mbali ingawa bado kuna virusi vingiclick to expand | 2016-10-28T10:49:47 | http://www.jamiiforums.com/threads/dk-sinare-aula-tena.287795/ |
machi 2017 nab onyesha habari na broadcast beat mtangazaji rasmi wa nab show nab onyesha live
nyumbani » 2017 » machi
kila mwezi archives machi 2017
ex machina katika pre # nabshow mazungumzo @sprockit4glory
geert faber wa ex machina kuzungumza na ryan salazar wa nab onyesha live kabla ya nab onyesha majadiliano
snell advanced media katika pre # nabshow majadiliano @snelladvmedia
david tasker of snell mazungumzo ya juu ya vyombo vya habari na ryan salazar ya nab onyesha live kabla ya nab onyesha majadiliano
utafiti wa kisasa katika maandalizi ya # nabshow @contempresearch
matthew sittloh makamu wa rais wa mauzo katika majadiliano ya utafiti wa kisasa na ryan salazar wa nab onyesha live kabla ya nab
video ya osprey katika pre #nabshow majadiliano @ospreyvideo
shelby smith mhandisi mafanikio ya wateja katika mazungumzo ya video ya osprey na ryan salazar wa nab onyesha live kabla ya nab show
joe balsam meneja mkuu wa masoko wa professional media katika mazungumzo ya sony na ryan salazar wa nab onyesha live katika
uzinduzi wa 'genius digital data spotlight' unaonyesha kuboresha kuboresha kwa vod inaweza kuendesha mapato ya kimataifa kwa $ 375m
genius digital wataalam katika analytics watazamaji kwa tv leo alitangaza uzinduzi wa kampuni ya kuanzisha 'genius digital data spotlight' karatasi ya utafiti kupitia kufanya kazi na watoa huduma za televisheni ulimwenguni kote genius digital imeweza kukusanya na kuchambua kiasi kikubwa cha data ya watazamazamaji ya kuangalia na kusaidia waendeshaji kuunganisha data hii ili kufanya maamuzi bora ya biashara hii ina
habari za cbs zinasaidia mkataba wa leseni na digital wazee
denver machi 30 2017 cbs habari na wazee digital mtoa huduma inayoongoza wa usimamizi wa video na huduma za leseni leo alitangaza upya mkataba wao wa muda mrefu ambapo wazee digital itaendelea kusimamia na kuwakilisha cbs news 'thamani archive kwa usambazaji wa leseni cbs news imekuwa ikizidi uwezo wake wa leseni ya maktaba yake ya kina katika hivi karibuni
video ya osprey inaongeza nakala mpya ya vifaa vya matumizi ya vifaa vya bei nafuu utoaji wa video na uwezeshaji wa matumizi maximum
dallas machi 31 2017 katika hatua ya kupanua safu yake ya talon ya encoders ya vifaa vya kusimama iliyozinduliwa katika nab show ya mwaka jana na tangazo la kushinda tuzo la tangazo la tangazo la talon g1 osprey video leo ilitangaza mifano mitatu mpya ya talon vifaa encoders mbili na decoder moja kuchanganya urahisi wa matumizi na utoaji wa video quality quality katika
mfumo wa video za sanaa nia ya kuongeza ufanisi katika huduma za usafiri wa ip kwa digilink na infinitylink
mwezi wa 29 2017 systems video video mtoa darasa duniani ya ubunifu halisi wakati multimedia ufumbuzi wa utoaji leo alitangaza mipango ya kuonyesha vipengele ip bora na utendaji katika kampuni ya digilink na infinitylink vyombo vya habari usafiri majukwaa katika 2017 nab onyesha kama sekta inaendelea kuhamia kwenye mitandao yote ya ip majukwaa ya digilink ya artel na infinitylink huendelea kutoa
kituo cha media media cha marin inachukua cobalt digital crossconverter kwenye nonprofit marin tv
mwezi wa 29 2017 cobalt digital leo ilitangaza kuwa jumuiya ya media media ya marin (cmcm) operator wa marin tv inatumia cobalt bbg1002udx kusimamamsalabakubadilisha fedha ili kuhakikisha programu zake zinazoingia kucheza kwenye mchanganyiko wa vituo vya mkondoni vya hd na vifungo vya cable wakati wa kudumisha muundo sahihi wa picha cmcm ni shirika lisilo la faida linalopa
wanachama wanaohusika wanachangia mafanikio ya interop kwa vidtrans17
bothell osha machi 29 2017 kipindi cha interop kilichofadhiliwa na forum ya huduma za video (vsf) na kumalizika katika vidtrans17 februari 28 machi 2 huko los angeles ilionyesha uwezekano wa rasimu ya smpte 2110 na amwa is 04 kama mpango wa uundaji wa ip kwa uangalifu umoja wa ip media solutions (aims) leo ulitangaza muhtasari wake wa
msaada wa teknolojia ya ufundi
nafasi kampuni ya teknolojia ya usaidizi kampuni archion technologies mahali los angeles ca us summarized job description msaada wa teknolojia ya ufundi msaada wa msingi kila mfanyakazi ni balozi mtumishi kama mstari wa kwanza wa msaada wa kiufundi kwa watumiaji wa mwisho wauzaji na wauzaji na kutumia mifumo ya kuhifadhi kwa usahihi na kutoa msaada wa tech hakikisha wasambazaji kufunga na kufanya vitengo vya kuhifadhi
msaada wa maombi ya maombi
nafasi msaada wa maombi ya kampuni ya usaidizi eneo la nxt level seattle wa majukumu ya marekani kuendeleza uelewa wa kina wa usanifu wa bidhaa tata ya kukata programu kuchunguza masuala ya utendaji yaliyotokana na vipengele vingi vya programu tumia mbinu za ufanisi za ufanisi ili ufanyie matukio ya msaada wa 3 kwa ufanisi shamba kusimamia mchakato wa kuongezeka kwa tiketi na ufanyie kazi karibu na timu ya uhandisi katika taarifa na
muumba wa wavuti (ngazi zote)
nafasi kampuni ya waumbaji (viwango vote) vin65 mahali nchini marekani ikiwa una shauku ya kuunda na kujenga tovuti barua pepe vifaa vya kuandika kampuni ya mauaji na upendo wa kufanya kazi katika timu tunataka kufanya kazi na wewe tunataka wewe kucheza sehemu ya kazi yetu katika kampuni yetu ya niche na nimble saas kama mtengenezaji / designer utakuwa
nafasi mtaalamu wa teknolojia ya msaada kampuni ya nxt level seattle wa majukumu ya marekani kuendeleza uelewa wa kina wa usanifu wa bidhaa tata ya kukata programu kuchunguza masuala ya ufanisi ya utendaji yanayotokana na vipengele vingi vya programu tumia mbinu za ufanisi za ufanisi kwa ufanisi kutatua matukio ya msaada wa 3 katika shamba kuingiliana kitaaluma na wateja kutoka kwa waamuzi wa ngazi ya juu kwa wafanyakazi wa it chanya
mshirika wa 2 msaidizi wa maombi ya maombi
nafasi tier 2 kampuni ya msaidizi wa msaidizi mkuu focus technologies inc eneo culver city ca marekani tunatafuta mtu binafsi mwenye nguvu mwenyeji wa wateja anayehusika na kutoa kiwango cha pili na cha tatu cha msaada wa bidhaa kwa jukwaa la programu sekta ya vyombo vya habari na burudani utakuwa kazi kama mwanachama wa timu ya msaada kutumia ujuzi wako wa kiufundi na utaalamu wa bidhaa kwa
kwanza 1 44 ya12345 » 102030mwisho » | 2019-09-17T14:25:43 | https://sw.broadcastbeat.com/2017/03/ |
upandaji wa gharama za maisha | jamiiforums | the home of great thinkers
upandaji wa gharama za maisha
discussion in 'biashara uchumi na ujasiriamali' started by malsa mar 6 2012
nomba tuchangie hili na vipi tuta ipress serekali kuingilia kati katika biashara hii huria
jana nimetoka kazini nikipita sehemu kununua gas ajili ya matumizi ya nyumbaninilinunua gas kwa tsh 52000 na yule muuzaji akaniambia kuanzia jumatano gas itakua inauzwa tsh 58000 roho iliniuma sana na kutamani kulia maana maisha yanazidi kua magumuvitu vya msingi ambazo ni basic needs zinapanda bei na serekali ipo kimya tumishahara ni midogo na uongezekaji kwake ni kugumu piamwaka 2009 ile gas ya klo 15 ilikua inauzwa tsh 12000 leo ni tsh 52000 hivi hii ni sawa kwelifree market inapaswa kuoperate lakini katika uchumi wowote duniani hamna 100 free market cse kuna vitu vingine lazima serekali iingilie kati ili watu waweze ku afford gharama za masihabei ya mkaa kwa gunia sasa ni tsh 45000 kusema kweli maisha ni magumu sana nchi zilizoendelea vitu kama gas na vyakula ni rahisi sana sababu hivi ni basic lakini kwetu inakua tofautijamani serekali ipo wapiau haya ndo maisha bora kwa kila mtanzania inauma na kutia hasira
tulikuwa na nafasi ya kuleta mabadiliko miezi kama 15 iliyopita na tukaichezea sasa ngoja kwanza somo liwaingie vizuri anyway dawa ni rahisi sana kwa kuwa sisi (wananchi) ndio waajiri wa serikali basi dawa yake ni kuiondoa madarakani lakini wakati tunasubiri hiyo 2015 ni lazima tuwe na mipango ya muda mfupi
mipango hii ipo mingi sana but nitajikita kwenye miwili tu
njia moja wapo ni kuwasilisha malalamiko yetu kwa wabunge wetu ili wayasemee bungeni (sijui nao bado wanasimamia maslahi yetu) na ikiwezekana wasiunge mkono budget ya serikali mpaka kodi kwenye vitu vya msingi kama hivyo itakapoondelewa kama si kupunguzwa njia ya pili na rahisi zaidi ni kuingia barabarani mpaka kieleweke unakumbuka kilichotokea zambia kipindi mkate ulivyopanda bei (tatizo watanzania ni watu wa ajabu sana)
[font=&]malsa hebu niambie sisi tulijifunza nini kwa hawa wenzetu[/font]
[font=&]zambia maandamano (sio ya vyama vya siasa) kupinga kupanda kwa bei ya mkate [/font]
[font=&]uganda walk to work
congo maandamano na mishumaa ya usiku
nigeria maandamano kupinga ongezeko la kodi kwenye mafuta[/font]
[font=&]halafu angalia tanzania sasa[/font]
[font=&]mgao mkuu wa umeme watu kimyaa[/font]
[font=&]kupanda kwa bei ya mafuta (gasolin) watu kimyaa[/font]
[font=&]kupanda kwa gharama za maisha watu kimyaa[/font]
kupanda kwa mafuta ya taa watu kimyaa
[font=&]kupanda kwa gharama za umeme watu kimyaaaa[/font]
[font=&]kuporomoka kwa thaman ya shilingi watu kimyaaaa[/font]
[font=&]matumizi mabaya ya rasilimali na ufisadi watu kimyaaa[/font]
[font=&]na hapa niwashukuru cdm kwa kuonyesha njia lakini maandamano yale yangekuwa na nguvu zaidi kama yasingekuwa na chembe ya siasa (si mnawaona mat) tatizo watanzania hawaoni uhusiano wa mambo haya na serikali iliyapo madarakani until then mambo yatazidi kuwa magumu sana
[font=&]na hapa niwashukuru cdm kwa kuonyesha njia lakini maandamano yale yangekuwa na nguvu zaidi kama yasingekuwa na chembe ya siasa (si mnawaona mat) tatizo watanzania hawaoni uhusiano wa mambo haya na serikali iliyapo madarakani until then mambo yatazidi kuwa magumu sana
watanzania sisi ni waoga
watanzania sisi ni waogaclick to expand
bora umeliona hilo mkuu in life we dont get what we want but we get in life what we are na sasa ndio tunapata matunda ya uoga wetu serikali inajua uoga wetukwa namna tunavyoreact kwenye issues na ndio maana wanafanya watakavyo kuna msemo unasema you can discover what your enemy fears most by observing the means he uses to frighten you by eric hoffer
kwa nini kwenye saga la mat serikali iliufyata ni baada ya kuona madaktari hawaogopi chochote even if it cost their employments or the lives of our fellow tanzanians oooh my god kumbe bado hawajamalizana sasa tusubiri tena kile ambacho kesho itatuletea the clock is ticking my friend
ni kweli unalolizungumza mkuuhapa inabdi kuandamanakukaa kwentu kimya ndo kunasababisha kuzidi kuumiainabidi wananchi tuandamane kushinikiza serekali ijali wnanchi wake na gharama za maisha zishukekila kitu kipo juu mishahara midogo tutafika wapijamani watanzania tuamke tuache uwoga gata middleeast changes zimetokana na wanachi wenyewe ss tunaumia ila kuna watu wanachezea pesa hapa hapa bongo
kuna mtua aliwahi kuniambia tanzania na india ndo nchi pekee ambazo wanachi wake ni waoga kama nini india huwezi kuta maandamano wahindi ni waoga sana na bongo ndo hivyo hivyo
back to the poin
1 hili la maisha kuwa magumu nalo ni fundisho kwetu wewe unazania ni kwa nini nchi za ulaya population yao inashuka mfano urusi imeamua kutoa motisha kwa wamama watakao jifungua serikali itale ni kwamba wazungu baada ya maisha kuwa magumu wameamua hata kuzaa hawazai tena mzungu anazaa mtoto mmoja basi
2 saa zingine sisi wenyewe ndo tunafanya maisha yawe magumu wala si serikali
simu ya mkononi wazungu hawawezi kupigia mtu simu kama hana ishu ya muhimu sana na kama ni swala la ndugu wanasalimiana kila hata baada ya miezi 3 na siku hiyo wanaweza ongea kwenye simu saa nzima
sisi wabongo kila dakika ni kusalimiana tu mtu ulimsalimia jana na leo tena tena just kumpa hai tu haya ni matumizi yasiyo kuwa na maana maswala ya tafadhali niongezee credit yako huku east africa tu tena kwa wingi tanzania
kuhusu bajeti yako
1 watanzania hauwezi kupanga bajeti kama wazungu mzungu anapanga bajeti ya mwezi mmoja na anastick kwenye bajeti yake hiyo so wabongo
ni wangapi wanaenda supermarket au shoping sehemu yoyote ile na list ya vitu vya kununua na unstick wkenye hiyo listi watanzania tunaamka asubuhi kwenda kazini lakini jioni mtu anarud na viatu na havikuwa kwenye bajeti yake kisa tu amekuta vinatembezwa
maswala ya kutoana lunch breakfast na dinner yako huku kwetu tunapenda sana sifa kwa wazungu hakuna free lunch wakuu na hii ni kutokana na bajeti zao
vitu vingine vinavyo changia kuwa na matumizi makubwa ni
1 kutashindana kula mtaani hasa waliopanga make huwa kuna mashindano ya nani anapika chakula cha ghalama
2 simu kama bilivyo sema
3 ndugu jamaa na marafiki hapa napo ndo tatizo lilipo extende famally
4 kampani za kusaidiana kwenda viwanja kampani za kusaidiana kwenda viwanja ni tatizo sana na mimi huwa naziepuka mno make historia haitakumbuka kmpani zako bali umefanya nini kinacho onekana
kampani za makazini nazo ni shida
5 sherehe zisizo isha hizi sherehe zinakula sana pesa na mimi hapa nimeamua moja kukubali lawama tu usipo angalia unaweza kuwa unatumia hadi 4 milioni kwa mwaka kwenye kuchangia harusi ubalikio kipa imara sherehe za kuaga na graduation now day hadi wale wa baby class wanafanyiwa sherehe
uliweza kustick kwenye bajeti yako ya kila mwezi hutaona maisha magumu ila maisha yanakuwa magumu kwa sababu ya sifa zetu mtaani na kwa washikaji na wafanyakazi wenzetu
mkuu kwa upande wa kupanda gharama za gesi za majumbani ni kwamba inaonekana hii biashara ina mikono ya wakubwa serikalini hasa pale wizara ya nishati na mafisadi wanaowaendesha watendaji wake watu wa tpdc walishasema wanauwezo wa kupaki gesi inayopatikana hapa nchini kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na ikauzwa kwa bei nafuu kabisa lakini serikali imewakatalia bila kutoa sababu ya msingi na kuwaacha oryx wakimonopolize soko wakubwa wana bahasha zao huko oryx
population inaingiaje kwenye mfumuko wa bei
mie nimepanga bajeti ya mwezi mzima lakini kila nikienda dukani nakuta bei imepandatatizo ni system na sio wananchiclick to expand
malsa said
ni kweli unalolizungumza mkuuhapa inabdi kuandamanakukaa kwentu kimya ndo kunasababisha kuzidi kuumiainabidi wananchi tuandamane kushinikiza serekali ijali wnanchi wake na gharama za maisha zishukekila kitu kipo juu mishahara midogo tutafika wapijamani watanzania tuamke tuache uwoga gata middleeast changes zimetokana na wanachi wenyewe ss tunaumia ila kuna watu wanachezea pesa hapa hapa bongoclick to expand
mkuu napingana na ww kwenye hiliwazungu wenzetu wameshaendelea sana na sio ugumu wa misha ambao umewafanya waache kuzaahuko ulaya na chi nyingi zilizoendelea vyakula na vitu kama gas ni rahisi sanahapa kwetu serekali inapiga kampeni ya watu kunywa maziwa wakti mtanzania wa kawaida kunywa maziwa ni issueyaani hapa kwetu kula chakula kitu ni issue ajili ya bei zilivyo juu ss hivi sukari bei ni tsh 2300 kilo mojakila bidhaa unayoiona ipo juudagga nazo kilo mpka elfu nne zile za mwanza na za kigoma ndo hazishikiki je mtanzania akimbilie wapinina msupport mchangia mada pale anaesema watanzania ni waogauwoga unatupeleka pabaya kwani kila siku tunazidi kuumia tunanyamaza kimya
wanachi inabidi tusemame na kuihinikiza serekali itazame jambo hili kwa kinakama gas tunaweza kuzalisha hapa kwetu kwa nn inunuliwe kutoka sehemu inginekama gas bei kubwa basi acheni tutumie mkaa tupange namna yakutunza mazingira na mkaa tutumie na sio kukutoa kwenye mkaa wakati huko tunakokimbilia hamna wepesi
wanachi inabidi tusemame na kuihinikiza serekali itazame jambo hili kwa kinakama gas tunaweza kuzalisha hapa kwetu kwa nn inunuliwe kutoka sehemu inginekama gas bei kubwa basi acheni tutumie mkaa tupange namna yakutunza mazingira na mkaa tutumie na sio kukutoa kwenye mkaa wakati huko tunakokimbilia hamna wepesiclick to expand
nani ka kwambi gesi kule kwao ni rahisi mkuu huko ufaransa london na kwingineko wanao mudu kununua ges ya kutosha ku warm nyumba zao ni wale wenye pesa
1 kampeni ya maziwa unashindwa kunywa maziwa ila unaweza kunywa bia simu yako haikosi vocha tena kwa kuwasiliana na mademu/mameni na kwa ishu zisizo kuwa na maana unaweza kuwatoa washikaji aut na kuwapiga ofa unaweza kununua pamba za bei mbaya
2 bei za sukari na dagaa ni kweli ziko juu ndo maana nasema ni lazima na sisi tujifunze kubana matumizi hapa mtaani kwangu kuna jamaa amekuja kunikopa pesa et akatoe mchango wa harusi sh 50000 unatarajia nini hapa
hivi unaweza lia masha magumu wakati wewe unaendelea kuchangia harusi na kuwapiga watu ofa
wewe unzani ni kwa nini wahindi hawaendagi baa au ni pesa hawana
matumizi makubwa sana ya watanzania ni kwenye anasa na si kitu kingine
kila kitu bei ni juu
hata kitunguu bei imepanda lol
niliwahi kusema hapa siku moja tunahitaji kuingia zaidi ya barabarani nkuu wetu ambaye tulimtegemea walau akemee na kutoa mwongozo yuko kimya na siku akiongea utamsikia akilalamika mie nahisi tunahitaji kufanya jambo amabalo hata hao wakuu wenyewe hatawalisahau na watakapolikumbuka watakumbushwa kuwa hii nchi ni yetu sote na sote tuna haki ya kuishi kwa neema by the way mie naona tunaongea sana na keyborad with no sparks sie ni kama majibwa yanayobweka saana bali hayana meno ya kung'ata ni wazi kuwa kuorganise maandamano ndio issue kubwa kila mtu ni mwoga wa maandamano eti tunaogopa kuuawa kuna njia moja inayoweza kusaidia hapa sie ambao tuna uwezo wa kukutana walau hapa twaweza initiate kitu na wengine wakafuata ingawa tuko katika sehemu tofauti za tz ni wazi twaweza fanya jambo tushauriane ni kipi tufanye twaweza andaa vipeperushi na kila mmoja wetu mwenye uwezo wa kuptint na kupata kopi walau 50 avitumie hivyo kutoa elimu kwa jamii iliyo nje ya mitandao hii huo utakuwa mwanzo mzuri elimu kwanza mengine huja automatically
niliwahi kusema hapa siku moja tunahitaji kuingia zaidi ya barabarani nkuu wetu ambaye tulimtegemea walau akemee na kutoa mwongozo yuko kimya na siku akiongea utamsikia akilalamika mie nahisi tunahitaji kufanya jambo amabalo hata hao wakuu wenyewe hatawalisahau na watakapolikumbuka watakumbushwa kuwa hii nchi ni yetu sote na sote tuna haki ya kuishi kwa neema by the way mie naona tunaongea sana na keyborad with no sparks sie ni kama majibwa yanayobweka saana bali hayana meno ya kung'ata ni wazi kuwa kuorganise maandamano ndio issue kubwa kila mtu ni mwoga wa maandamano eti tunaogopa kuuawa kuna njia moja inayoweza kusaidia hapa sie ambao tuna uwezo wa kukutana walau hapa twaweza initiate kitu na wengine wakafuata ingawa tuko katika sehemu tofauti za tz ni wazi twaweza fanya jambo tushauriane ni kipi tufanye twaweza andaa vipeperushi na kila mmoja wetu mwenye uwezo wa kuptint na kupata kopi walau 50 avitumie hivyo kutoa elimu kwa jamii iliyo nje ya mitandao hii huo utakuwa mwanzo mzuri elimu kwanza mengine huja automaticallyclick to expand
tatizo ni kwamba sisi watanzania hatujawahi pita maisha magumu kama kenya
na watnzania ni waoga sana na hii vilevile inasababishwa na historia ya nchi yetu na cheki hata nchi zingine za kijamaa walivyo waoga kuandamana
2 urusi wanaandamana watu 400 tu
na ili mandamano yafanikiwe yanahitaji sapoti ya wadau wengi kama vile
1 wafanyakazi wagome kwenda makazini
2 watu wa tanesco wakate umeme bila sababu
3 watu wa maji wakate maji
4 wanafuzi wasiingie madarasni
hapa mandamano ya aina hii hayawezo dumu siku 2 kabla ya mkuu hajasalimu amri
ila hili la kuandamana wakati shughuli zingine zinaendelea kama kawa wala halina impact sana kwa watawala wetu
maisha ja watazania ajawezi kupungua makali ata akija nani madarakani pesa yetu iko weak sana kila mwezi $ inapanada dhamani ikipanda vitu vinapanda na anatuna export capacity kwanza pili utalii tanzania ni ghali sana watalii wanakimbia chumba kulala unaambiwa $300 ni ghali kuliko nchi nyingi za ulaya sidhani kama kutakua na nafuu
mwanatz mbabe
njia moja wapo ni kuwasilisha malalamiko yetu kwa wabunge wetu ili wayasemee bungeni (sijui nao bado wanasimamia maslahi yetu) na ikiwezekana wasiunge mkono budget ya serikali mpaka kodi kwenye vitu vya msingi kama hivyo itakapoondelewa kama si kupunguzwa njia ya pili na rahisi zaidi ni kuingia barabarani mpaka kieleweke unakumbuka kilichotokea zambia kipindi mkate ulivyopanda bei (tatizo watanzania ni watu wa ajabu sana)click to expand
nimekubali mawazo yako inaonesha unauchaji wakutosha ila naomba niongeze jambo hapa tz hakuna uwiano wa mishahara k2 ambacho kinajenga matabaka kwa kasi kubwa hapa nachosema mishahara yetu haitoshi kukidhi maitaji yetu muhumu na maitaji muhimu ya kijamii lazma yawe ktk mafungu haya basic needs investiment&businesssavings na entertainment jamii yoyote inayomudu mafungu hayo manne ndio jamii endelevu lakin cc tunaishia ktk fungu la kwanza na yani basic needs na hatuli kidhi ataivyo mishahara ipande haswa ile iliyo ya kima cha chini na kodi ziondolewe ktk mambo muhimu ya kijamii kama nilivyo bainisha
wadau kupanda kwa gharama za maisha kumeongezwa zaidi na serikali yetu kutokuwa na vipaombele katika maendeleo ya nchi hii inajionyesha wazi kwa nchi yetu
kuendeshwa na matukio
kuwa na sera ambazo hazitekelezwi ipasavyo
kutokua na utaalamu wa kutosha na kama upo hautekelezwi vizuri wadau mtakubaliana na mimi kwamba kwa kiasi kikubwa mfumuko wa bei umesasabishwa na kupungua kwa uzalishaji hasa katika kilimo ambapo ndio nyenzo kubwa ya mtanzania wakati huo huo hamna juhudi kubwa za kitaalamu kuhakikisha tunakuwa na kilimo cha kisasa chenye tija kwa mtanzania
aidha mfumo wetu uliopo unawafanya vijana wetu kuwa ni watu wa kuajiriwa maofisini na kutafuta fedha tubila kujua bila kujikita katika sekta hii nyeti uzalishaji utaendelea kupungua matokeo yake unaweza kuwa na fedha nyingi zenye thamani kidogo
wadau ni ajabu nchi yetu ina ardhi nzuri bahari maziwa makubwa mito na mabonde lakini bado wananchi wake wanalia njaa
nakubaliana na usemi huu ukiwa na njaa ni ngumu kuwaza maendeleo
watanzania tuamke tuige mfano ya nchi zinazoendelea na zilizoendelea kama kikwazo ni serikali chama kabila dini au kikundi cha watu ni wakati wa kufanya mabadiliko
by mcrt | 2017-01-18T00:02:13 | https://www.jamiiforums.com/threads/upandaji-wa-gharama-za-maisha.230513/ |
tra yataifisha tena gari na bidhaa mpakani namanga | mpekuzi
na veronica kazimoto arusha
meneja msaidizi wa forodha mkoani hapo edwin iwato alisema bidhaa hizo zimekamatwa usiku wa kuamkia jana na ni mali ya mfanyabiashara paul swai ambaye alitumia gari namba t 496 afe nissan carravan mali ya christian nko ambalo limetaifishwa pamoja na bidhaa husika
blog archive april (597) march (611) february (486) january (507) december (438) november (427) october (440) september (399) august (446) july (390) june (354) may (375) april (317) march (291) february (307) january (371) december (366) november (351) october (363) september (340) august (403) july (384) june (421) may (486) april (499) march (478) february (404) january (444) december (375) november (317) october (335) september (271) august (250) july (284) june (352) may (325) april (345) march (383) february (339) january (341) december (246) november (239) october (310) september (289) august (369) july (313) june (322) may (333) april (260) march (294) february (251) january (205) december (262) november (240) october (262) september (278) august (226) july (284) june (256) may (262) april (245) march (238) february (168) january (236) december (164) november (134) october (219) september (303) august (376) july (539) june (551) may (827) april (562) march (258) february (149) january (146) december (127) november (173) october (269) september (205) august (734) july (411) june (241) may (8) april (20) | 2018-04-25T04:56:11 | http://www.mpekuzihuru.com/2018/02/tra-yataifisha-tena-gari-na-bidhaa.html |
sigara inavyoathiri nguvu za kiume na afya zephania life herbal clinic sababu za kupungua nguvu za kiume sigara inavyoathiri nguvu za kiume na afya
sigara inavyoathiri nguvu za kiume na afya
madhara ya sigara ni mengi na makubwa sana kila sekunde nane mtu mmoja hufariki kutokana na matumizi ya tumbaku wanaovuta sigara kwa muda mrefu hufupisha maisha yao kwa miaka 20 hadi 25 sigara ina kemikali zaidi ya 4000 ambazo zina uwezo wa kudhuru afya ya binadamu madhara yanayosababishwa na uvutaji sigara ni mengi na husambaa mwilini kote
wanaume wanaovuta sigara wana hatari kubwa ya kuishiwa nguvu za kiume na kadiri wanavyovuta sigara nyingi ndivyo hatari inavyokuwa kubwa zaidi nikotini iliyo ndani ya sigara huzuia damu kuingia kwenye uume na hivyo kusababisha kupungua nguvu za kiume
madhara ya sigara ni makubwa sigara huleta madhara kwenye mishipa ya ateri na hivyo (mishipa hiyo) hushindwa kutiririsha damu katika utaratibu wake wa kawaida na pia hudhuru ateri zilizo katika uume na hivyo kupunguza mtiririko wa damu ambao ni muhimu katika kusimamisha uume nikotini huifanya mishipa ya damu kubana jambo ambalo ndiyo sababu ya kuishiwa nguvu za kiume kwa wavutaji wengi wa sigara wanaume wanaovuta sigara kwa muda wa miaka 20 huziba kabisa mishipa ya ateri
pia sigara hupunguza kiwango chako cha utungaji mimba hupunguza kiwango cha kufika kileleni sumu zilizo ndani ya sigara hudhuru shahawa ikiwa ni pamoja na kupunguza kiwango cha mbegu na kuifanya mbegu kuwa na umbo lisilo la kawaida
kama tunavyoona hapo juu sigara inaua nafsi ya mtu na kuharibu kabisa siha yake sigara vilevile inaleta maudhi makubwa na karaha kwa watu wengine walio karibu na mvutaji baadhi ya nchi ni marufuku kuvuta sigara katika mkusanyiko wa watu
haya ni baadhi ya madhara ya sigara na kwa uchache hivyo achana na sigara kwa sababu haina faida yoyote mwilini zaidi ya hasara | 2019-02-18T11:55:04 | https://www.nguvuzakiume.com/sigara-inavyoathiri-nguvu-za-kiume-na-afya.html |
matukio @ michuzi blog matumizi ya tovuti yazidi kupanua wigo wa utoaji wa huduma za serikali kwa wananchi
mkurugenzi wa idara ya habari maelezo bw hassan abbas akizungumza na
waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu taasisi za serikali kutekeleza agizo la
kuhuisha taarifa na huduma katika tovuti zao mapema kabla ya mwisho wa mwezi huu
katika mkutano uliofanyika ofisi za wakala ya serikali mtandao (ega) hivi karibuni
jijini dar es salaam kulia ni meneja wa habari elimu na mawasiliano wa wakala ya
serikali mtandao bibi susan mshakangoto
meneja wa habari elimu na mawasiliano wa wakala ya serikali mtandao bibi
susan mshakangoto akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wakati wa mkutano na
waandishi hao hivi karibuni jijini dar es salaam kuhusu taasisi za umma kuhuisha
taarifa katika tovuti zao kushoto ni mkurugenzi wa idara ya habari maelezo bw
mkurugenzi wa idara ya habari maelezo bw hassan abbas akiwaonyesha
waandishi wa habari mwongozo wa utengenezaji wa tovuti za serikali wakati wa
mkutano wake na waandishi hao hivi karibuni jijini dar es salaam kulia ni meneja wa
habari elimu na mawasiliano wa wakala ya serikali mtandao bibi susan mshakangoto | 2017-04-24T01:41:28 | https://michuzi-matukio.blogspot.com/2016/11/matumizi-ya-tovuti-yazidi-kupanua-wigo.html |
jarida la kilimo endelevu afrika mashariki habari njema books pdf
jarida la kilimo endelevu afrika mashariki habari njema books pdf
17 nov 2019 | 121 views | 0 downloads | 8 pages | 195 mb
share pdf jarida la kilimo endelevu afrika mashariki habari njema
download and preview jarida la kilimo endelevu afrika mashariki habari njema
report copyright/dmca form for jarida la kilimo endelevu afrika mashariki habari njema
toleo la 16 januari 2014fuga kondoo kisasa uboreshe pato lako katika eneo letu idadi ya wafugajiwa kondoo imepungua sana wakati idadi ya wanohitaji imeongezeka hasaraia wa kigeni na bei iko juu naomba maelezo namna ya ufugaji bora wakondoo ester qwang msomaji wa mkm babatimsuya amanikwa siku za nyuma jumla ya idadi
ya kondoo wanaofugwa hapa nchinitanzania ilikaribiana kuwa sawa na idadi ya mbuzi nchini kote kwa sasa idadi ya kondoo imepungua kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na idadi kwa kawaida kondoo hupenda kujilisha kwenye makundi ya mbuzi hii imetokana na wafu gaji kuhamishia mapenzi yao kwenye kuezekwa vizuri skwea mita 2 kuchunga ufugaji wa mbuzi kwa kawaida kondoo wanapenda kama walivyo mbuzi kondoo pia kufanya malisho kuwa safi na kupun kulisha kwa kula ardhini lakini
wanaweza kufugwa na wafugaji guza uharibifu wanakula aina tofauti za majani wadogo wadogo na kwenye eneo dogo kondoo na ng ombe wanakuwa na ambalo hutumika kwa kilimo pia kondoo kutembea tenga walau skwea muunganiko na kundi zuri la kujilisha kinachotakiwa ni namna ya kuongeza mita 3 kwa kila kondoo kila mwana kwa kula majani yaliyomo ardhini hii mazao na kuwa na ufanisi kwa kuz kondoo anahitaji eneo la kutosha kwa inatokana na kuwa wanyama hawa ingatia yafuatayo mfugaji wa kondoo ajili ya kukimbia na kucheza hushambuliwa na wadudu na magon ataweza kuwa na ufanisi mzuri jwa tofauti na hakuna anayedhuru jika kuwepo wakati wote mwingine kondoo hawaogopi mvua banda la kondoo kama walivyo mbuzi lakini kusimama banda na malazi ni lazima yawe ama kwa muda kwa ajili ya kondoo kwenye matope husababisha ugonjwa mazuri na lenye nafasi ya kupitisha wenye mimba kuzalia na kwa ajili wa miguu na kuoza kwato hewa vizuri linaloweza kuwakinga ya wanakondoo pia kwa kondoo ili kuepuka kulisha kupitiliza katika mifugo dhidi ya mvua jua na upepo wanaoumwa eneo moja jambo linaloweza kuten sakafu iliyo nyanyuka ni nzuri zaidi geneza na kusababisha vimelea usi lakini sehemu ya mbele ya banda iwe unaweza kuwa rahisi zaidi kwa kuwa waache kondoo wako kula sehemu na uwazi inashauriwa sakafu iwe na kondoo hawaruki wala kupanda juu moja kwa muda mrefu zaidi ya wiki 2 mwinuko kidogo kila kipande cha uwanda kinat virutubisho kwa ajili ya kondoo akiwa kuachwa bila kulishiwa kondoo
usafi kondoo hutumia muda mwingi wakati au mbuzi kwa kipindi cha wiki sita ni lazima kinyesi kiondolewe kila siku wa mchana kula majani na baadaye ili kuweka banda katika hali ya usafi hucheua na kutafuna wanapendelea vya uwanda kwa ajili ya kuchungia na ukavu kila wakati hii itasaidiazaidi kula majani na vichaka ambavyo kwa mzunguko kuzuia magonjwa ambayo hushambu vina mchanganyiko wa madawa ya hekari moja yenye malisho mazuri ni lia kondoo mara kwa mara kama vile asili wanakondoo hujifunza kutoka lazima itoe malisho ya kutosha walau pneumonia na kuoza kwato pamoja kwa mama zao ni nini chakula kama kwa kondoo wanne na watoto wao na kupunguza uwezekano wa kuwepo unawaanzishia aina mpya ya chakula gawanya eneo unalohitaji kwa ajili ya wadudu nyemelezi lisha kwa kiasi kidogo na uweke kondoo wako mara nne kisha ulishe kwa kondoo wanaochungwa wakati kwenye sehemu walikozoea kulishiwa kwa mzunguko katika eneo hilo wa mchana banda la kawaida lili kuwa makini na ukumbuke kuwa kwenye eneo lenye malisho duni loezekwa linatosha kuwasitiri kondoowanyama wanaopata lishe duni ni unahitaji kuwapatia kondoo eneo nyakati za usiku tenga walau skwea rahisi kushambuliwa na magonjwa kubwa zaidi na pengine kuwaongezea mita 1 5 kwa kila mnyama ili kuzui na hawana uwezo wa kukabiliana chakula chenye virutubisho uwezekano wa magonjwa yanayoto na vimelea vya magonjwa kondoo tumia majani ya malisho yanayozidi kana na msongamano wakati wa mvua kutengeneza hay kwa jike asiyelishwa vizuri hawezi kubeba ajili ya kulishia wakati wa kiangazi kwa kondoo wanaolishwa huwa kidogo kiasi cha kufanya watoto ndani inatakiwa wake kuwa dhaifu na kukua kwa itaendelea toleo lijalo feb 2014 mkulima mbunifu ni jarida huru kwa jamii ya wakulima sustainable agriculture tanzania sat mpangilio i a v k 254 720 419 584 afrika mashariki jarida hili linaeneza habari za www kilimo org morogoro wahariri ayubu s nnko john cheburet kilimo hai na kuruhusu jarida hili linasambazwa kwa wakulima caroline nyakundi majadiliano katika nyanja bila malipo anuani mkulima mbunifu zote za kilimo endelevu mkulima mbunifu linafadhiliwa na biovision makongoro street s l p 14402 arusha jarida hili linatayarishwa www biovision ch swiss development agency sdc www swiss corporation kila mwezi na mkulima ujumbe mfupi pekee 0785 496 036 0753 admin ch na usaid tapp www fintrac com mbunifu arusha ni moja 963 165
wachapishaji african insect science for foodwapo ya mradi wa mawasiliano ya and health icipe s l p 30772 00100 piga simu 0717 266 007 0785 133 005 wakulima unaotekelezwa na biovision nairobi kenya simu 254 20 863 2000 barua pepe info mkulimambunifu org www biovision ch kwa ushirikiano na icipe icipe org www icipe org www mkulimambunifu org toleo la 16 januari 2014dhibiti visumbufu vya mimea kiasili kilimo hai ni njia iliyo sahihi zaidi lipenda hii ni kwa sababu wata kwa sababu huipa dunia uwezo wa likosa kwa msimu unaofuata mfano kuwa na afya njema hii inamaani msimu huu ukiotesha kabichi msimu sha mimea mazingira wanyama na unaofuata otesha karoti wadudu binadamu wanaoshambulia kabichi hawasham bulii karoti hivyo wadudu wengi wa ayubu nnko kabichi watakufa katika msimu wa kilimo hai ni mfumo usiotumia kemi c usafi wa shamba kali za viwandani katika uzalishaji wadudu walio wengi hukamilisha hali hii hufanya mazingira yetu na mzunguko wao wa maisha katika vyakula kuwa salama zaidi kuna mabaki ya mazao baada ya kuvuna sababu nyingi zinazotufanya tufikirie bangi mwitu hivyo ni vyema mabaki ya mazao kutumia mbinu za kilimo hai yakafukiwa ardhini au kutumika miongoni mwa sababu hizo ni katika kutengeneza mbolea vunde pamoja na mazingira hii ni mbinu ya kuweka vikwazo
wakulima wadogo walio wengi vipingamizi au vizuizi vya kuzuia wanashindwa kumudu gharama za wadudu pembejeo hizo mfano kuwa kubwa huku eneo linalofaa ya miti kwa ajili ya wadudu wanaot kwa kilimo likizidi kupungua ni ambaa wazi kuwa tunapaswa kuangalia ni mfumo gani tutumie ili kukidhi mahi taji ya ongezeko kubwa la watu njia kuzuia wadudu wanaotoboa matunda moja ni kuwa na mashamba ambayo maji moto
yataweza kuzalisha chakula kingi na kwa muda mrefu ili kutosheleza mahi kama vivutio vya kuvuta wadudu taji hayo njia hii ni kilimo hai kwa marafiki watakaoshambulia wadudu kuwa hufanya udongo kuwa na rutuba waharibifu muda wote pamoja na mazao wadudu wengi katika maeneo mengi nchini tanzania hawapendi harufu kali mfano mibangi na duniani kwa ujumla kilimo kime mwitu marigold na kadhalika kuwa chanzo cha uharibifu wa mazin gira madawa na mbolea za viwandani kutumia wanyama wadudu vinapotumika mashambani vinaha marafiki ribu mazingira na hata kuhatarisha pilipili kali mbinu hii ni ya asili na ilikuwepo
maisha ya watu na wanyama nchi tangu zamani kuna aina ya wadudu zilizoendelea hawatumii tena madawa bali za asili zinazotumika katika kuzuia wanyama ambao wameumbwa kujili ya viwandani kwa wingi katika visumbufu vya mimea mbinu hizo ni sha kwa kupitia wadudu wengine mashamba yao ingawa wana dawa jambo lililo muhimu hapa ni nyingi wanazoendelea kutengeneza mbinu za kilimo kuweka mazingira ambayo yatawa hizi ni mbinu za kawaida zinazotu vutia wanyama wadudu hao marafiki tukila vitu vingi visivyohitajika mika ili kuzuia wadudu na magonjwa kuwemo shambani marafiki hao mwilini matokeo yake ni kukumbwa ambazo hazihitaji vifaa au mbinu za ni pamoja na ndege chura nyoka na magonjwa hatari kama vile kensa ziada buibui mijusi vunjajungu nyigu na pumu shinikizo la damu kisukari na mbinu itakayotumika itasababisha wadudu kobe kadhalika mazingira kutoruhusu kukamilika kwa mzungunguko wa maisha ya wadudu dawa za asili zifuatazo ni nguzo za kilimo hai ukuaji wao na pia kuwanyima chakula hizi ni dawa zinazotokana na mimea zinazoweza kusaidia kupambana mbinu hizi ni kama ambayo hupatikana katika maeneo ya na visumbufu vya mazao a muda wa kuotesha wakulima matumizi ya dawa hizi ni kuc njia moja wapo ya kuepuka matu pale wadudu wanapowahi kujitokeza mizi ya dawa za viwandani ambazo matuta ya kina kirefu wakati wa msimu kwa njia hii wadudu huathiri udongo mazingira afya za watakufa kwa kukosa chakula binadamu na wanyama
mazuri ya mimea na wanyama mimea ni muhimu kutengeneza dawa inayosaidiana na mzunguko wa mazao wanaochelewa kujitokeza wakati hizi vizuri na kutumiwa inavyo takiwa kwani zisipotengenezwa na kulitatua kwa njia za asili mimea itakuwa imekuwa mikubwa kutumiwa vizuri zinaweza zisifanye kiasi kwamba wadudu watashindwa kazi ipasavyo hivyo kuwa vigumu visumbufu kwa njia za asilia kufanya mashambulizi hivyo wadudu kuwashawishi wakulima kuzitumia wengi hufa inashauriwa kutumia dawa hizi kama kutunza kumbukumbu b kubadili mazao kinga kabla mimea hayajashamiri ifa zoezi la kubadilisha mazao shambani hamike kuwa dawa za asili zinafanya
mbinu za kilimo hai dhidi ya visum kutoka msimu mmoja kwenda mwing kazi taratibu lakini zikianza kutumika bufu vya mimea ine husaidia kutoruhusu wadudu na katika kilimo hai kuna mbinu mbalim magonjwa kushambulia zao wanalo inaendelea uk 6 toleo la 16 januari 2014kuweka kumbukumbu ni muhimu kwa ufu inaendelea kutoka toleo lililopita jedwali 3 kumbukumbu za chakula katika jedwali hili kutakua na kumbukumbu za chakula cha kuku kila huu ni mwendelezo wa taarifa kinapochanganywa hivyo basi ni vizuri kuandika jedwali jipya unapochang muhimu tulizoanza katika toleo anya chakula pia andika kulingana na makundi ya kuku ulio nao la novemba mwaka jana juu ya tarehe aina ya chakula kiasi kg kg jumla umuhimu wa kutunza kumbukumbu tsh katika ufugaji wa kuku 01 01 2014 mashudu 10 250 2 500ayubu nnko na mwangoko milamo pumba ya mahindi 20 200 4 000katika toleo lililopita tuligusia namna
chenga za nafaka 10 600 6 000ya ufugaji kibiashara namna ya kufa hamu gharama na jinsi ya kutunza dagaa 5 1800 9 000 kumbukumbu katika toleo hili tunahitimisha namna ya utunzaji wa chokaa 2 5 150 375 kumbukumbu na hapa tunaanza najedwali namba 3 mifupa 2 500 1 000 jumla ya gharama katika jedwali hili premix 0 25 1500 375 hamishia katika jedwali la mapato na matumizi katika upande wa matu chumvi 0 25 600 150 kwa wafugaji ambao wananunua usafiri 1 500chakula kilicho changanywa kabisa
bei ya mashineni kwa 50 20 1 000hao wataandika gharama katika jedwali la mapato na matumizi moja kuchanganya chakula kwa moja upande wa matumizi jumla 50 25 900 manufaa yatokanayo na zingatia kuwa hii si gharama halisi kwa kuwa gharama hutofautiana kulingana kumbukumbu hizi na mahali ulipo fadhika kwa muda mrefu chakula kinahitajika na kwa muda upi ni bora kwa kuku wako gani ni muhimu kuwa mwangalifu dhidi 8 kununua chakula kwa wingi mfano ya dawa za kuzuia wadudu kwenye hununuliwa kwa bei ndogo na wakati mahindi pumba na mashudu bei mahindi kwani yakitumika kabla ya gani huwa juu inapokua chini na inawezekana kuhi muda wake kwisha itawadhuru kuku ni muhimu kuzingatia utunzaji wa vifaranga kwa karne na miaka mingi ufugaji yokuwa na vimelea
wa kuku imekuwa ni kazi muhimu na inayokubalika katika jamii nyingi ni chanjo ya mahepe mareks siku ya kazi isiyohitaji gharama kubwa sana kwanza ambayo imekuwa na mafanikio kwa kiasi kikubwa kwa wanaiofanya kibi dhidi ya ugonjwa wa kideri ashara 9 tatizo ambalo limekuwa sugu na wachanjwe dhidi ya ugonjwa wa kusababisha hasara kwa wafugaji walio gumboro wengi ni kutofahamu namna bora ya kuwatunza vifaranga kuanzia siku ya ya ishirini na moja kwanza wanapoanguliwa hadi kuwa kuku wakubwa hali hii imekuwa chanjo ya gumboro
ikiwasababishia wafugaji hasara na kuwakatisha tamaa vifaranga wako wanapata chanjo ya hii inatokana na wafugaji kuzingatia ndui kuwa na banda na chakula tu bila vifaranga wanapotunzwa vizuri kama kwa kuzingatia mtiririko huo kuzingatia aina nyingine ya matunzo hawa juu hukua vizuri na kuku wenye utakuwa na uhakika kuwa kuku muhimu yanayohitajika kwa ajili afya kama hawa chini wako ni salama watakuwa bila tatizo ya kuwafanya vifaranga waishi na jambo ambalo litakupa uhakika wa kukua wakiwa na afya kuwa na mazao bora na hatimaye haya ni baadhi ya mambo muhimu kupata faida kuanzia siku ya kwanza ili vifaranga pamoja na hayo hakikisha kuwa wako wasipate madhara na hatimaye unazingatia lishe bora hii itasaidia kuwapa kuku afya njema na kuzali ada ya kuanguliwa vifa sha kwa kiwango kinachotakiwa ranga wawekwe sehemu yenye joto kamwe usiwape kuku vyakula vilivyo kwa wastani unaohitajika oza hii inaweza kusababisha madhara makubwa kwa kuku na kusababishiaowaweka vifaranga ni kavu na isi hasara
toleo la 16 januari 2014ugaji wa kuku ili kujua kama umepata faida ama utaweza kupanga bei ya mazao yako jedwali hili linaonesha idadi ya utagaji ya kuku na hapo itakusaidia kujibu wa mayai na matumizi yake iwe kwa faida ni mapato makubwa kushida maswali haya biashara kuhatamiwa kuharibika matumizi gharama ama kutumika kama chakula jedwali hasara ni matumizi makubwa kush q o hili litakua la kila mwezi peke yake inda mapato 8 hivyo utakua na majedwali 12 kwa mapato matumizi faida mwaka jumla ya mapato 54 800 kiasi gani unapata kwa siku wiki jumla ya matumizi 44 000 mwezi mwaka hii itakusaidia yafuatayo
faida 10 800 ni nini umuhimu wa hesabu hizi unaendeshwa kwa hasara au faida na wako kwa kila siku wiki na kwa kila kwa kujua gharama za uendeshaji kwa kiasi gani mapema kwa kuangalia ongezeko ama tarehe jumla yaliyoliwa yaliyo yaliyoat yaliyobaki kupunguza kwa utagaji vunjika uzwa amiwa 1 3 3 taga mfano una kuku 50 wanao taga ni kuku 47 kwa siku kuku 3 2 5 8 3 6 14 mapato na matumizi 4 5 1 18 mapato ni kiasi ambacho mtu hupata baada ya kuuza kitu fulani au kutokana 5 7 15 10
na malipo ya kazi fulani hivyo kwa 6 6 13 3 mfugaji wa kuku mapato yanaweza kutokana na kuuza kuku vifaranga 7 6 9 mayai mbolea watu kuja kujifunza na 8 5 14 kadhalika matumizi ni gharama ambazo 9 4 18 mfugaji anatumia kuendeleza mradi 1 5 1 22 wake kuna matumizi mengi mfano 11 7 29 manunuzi ya kuku vifaranga chakula vifaa dawa kulipa mishahara kwa wafanyakazi usafiri na kadhalika
mfano bei ya yai la kienyeji ni tsh 400 jumla 174 7 145 22 kuku ni kila kitu kwangu ni shu wa siku moja bei hiyo hutegemeana ghuli ninayoifanya kwa nia na uan na aina ya kuku galifu mkubwa ndiyo ajira yangu ndiyo maisha yangu kinachotakiwa ni kuzingatia kanuni za watu walio wengi katika jamii huchu ufugaji bora kuangalia soko linahitaji kulia ufugaji wa kuku kama kazi ya nini na kuweza kufanyia kazi mahitaji ziada mara nyingi huchukuliwa kama hayo kazi ambayo mtu hawezi kuitegemea mfugaji huyu amekuwa akifuatilia na kwa ajili ya kipato au kuwa ajira kutafuta aina bora zaidi za kuku kutoka mtazamo huu ni tofauti kwa bw nchi mbalimbali kwa sasa anafuga na kuzalisha zaidi kuku wanaojulikana mkoani arusha mfugaji huyu wa kama kapro israel black astrolop siku nyingi anaeleza kuwa kazi hii r u v x ameifanya kwa takribani miaka kumi aina zote hizi ni chotara na zimekuwa
ombeni urio na ufanisi mkubwa katika nyanja ya na imekuwa na faida kubwa hii ni kazi anayoitegemea kumpatia kipato sha kutotoa vifaranga wengi zaidi na ufugaji wa kuku cha kila siku na kumuwezesha kuishi kumudu soko kwa wakati huo pamoja na mafanikio makubwa maisha mazuri sawa na watu wanao mradi huu ulimwezesha kuendelea ambayo mfugaji huyu amepata fanya kazi na biashara nyinginezo na masomo ya kidato cha tano na sita anasema kuwa changamoto iliyopo ni kisha chuo kikuu baada ya kuhitimu kukosekana kwa umeme wa uhakika kufuga katika mazingira ya kawaida elimu ya masoko katika chuo kikuu jambo ambalo mara nyingine husa kabisa baada ya kumaliza kidato hakuona haja ya kuhangaika kutafuta babisha mayai kuharibika wakati wa cha nne lakini akiwa amedhamiria ajira kama ilivyo kwa vijana wengi bali kutotosha na kusababisha hasara moyoni kufanya ufugaji wa kuku kibi alijikita zaidi katika ufugaji wa kuku anatoa wito kwa wafugaji kuhakiki ashara sha kuwa wanafuata kanuni za ufugaji mfugaji huyu ameweza kutanua wigo tofauti na ilivyo kwa watu wengine bora ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wa shughuli hii zaidi kiasi cha kuweza yeye alianza kwa kutotoa vifaranga kuku wanapata chanjo zote wanazos kuuza vifaranga kwa wastani wa elfu kwa kutumia kuku kisha kuuza tahili pamoja na lishe kamili moja mpaka elfu mbili kwa wiki kifa baadaye aliweza kukusanya fedha na ranga kimoja huuza kwa wastani wa unaweza kuwasiliana na ombeni
kununua mashine ambayo ilimuweze shilingi 2 500 3 000 kikiwa na umri urio kwa simu namba 255 756 641 810 toleo la 16 januari 2014 nina shamba maeneo ya bunju dar es salaam ningependa kufuga samakikibiashara maji ya uhakika ni ya kisima na yana chumvi kiasi napendakupata maelezo zaidi yatakayoniweze sha kuanza ufugaji huu angela dar es salaam ayubu nnko wanaweza fugaji wa samaki kama ilivyo shu kuongezaghuli nyingine yoyote ya kiuchumi ina kipato
hitaji usimamizi mzuri ili uweze kuwa kutokanana faida mbali na hilo mfugaji wa na ufugaji samaki anatakiwa kuzingatia vigezo wa samakivingi kabla ya kuanza ufugaji moja katika ya vigezo hivyo ni soko si jambo la maeneo yaobusara kuanza shughuli yoyote kabla haujafanya uchunguzi na kujua kama ulishaji kuna mahitaji ya bidhaa unayokusudia wafugaji walio wengi wamekuwa kuzalisha wafugaji wengi wameanzi hawazingatii kanuni za ulishaji wa sha ufugaji wa samaki lakini wakaishia samaki kwa kawaida inatakiwa kupata hasara kutokana na ukosefu wa kuwalisha samaki mara mbili hadi soko na wengine wameanguka kuto mara tatu kwa siku kana na utunzaji mbovu wa mabwawaya samaki aina ya chakula
samaki wanaweza kulishwa kwamaji kutumia pumba ya mahindi mashudu ya pamba na alizeti soya mabaki ya ni kigezo muhimu katika ufugaji wa dagaa haishauriwi kulisha chakula samaki mtiririko wa maji ni njia rahisi kilichoko kwenye mfumo wa vumbi kwa mfugaji maji machafu hayatakiwi bali kiwe mabonge madogo madogo kwa ufugaji wa samaki wafugaji ni kiwango kinachoshauriwa kitaalamu kwa wastani wa tambi lazima wasaidiwe na maafisa kilimo basi samaki wanaweza kustahimili na katika eneo lao kama maji yanayopa kukua vizuri tika yana ubora kwa ajili ya ufugaji kwa kawaida samaki hawana magon wa samaki kwa wakazi wa dar es bwawa jwa mengi sana yanayowashambulia salaam inawezekana pia kufuga bwawa la samaki linahitaji nafasi ila kuna baadhi ya yaliyozoeleka kama samaki kwenye bwawa endapo maji kubwa ya ardhi yenye mwinuko vile magonjwa ya ukungu fangasi yana chumvi ya wastani na kwa pamoja na eneo la samaki kukimbilia magonjwa yatokanayo na virusi hii ni njia rahisi ya ufugaji endapo pamoja na minyoo ardhi na maji havina gharama kubwa samaki wanaposhambuliwa na kutoka uk 3 eneo kubwa zaidi linaruhusu uzalish fangasi huonekana kwa macho kwa aji usiohitaji nguvu ya ziada na wenye kuwa huwa na madoa madoa samaki visumbufu vya mimea tija aina ya kambale hushambuliwa zaidi mapema matokeo yake ni mazuri kuliko perege hivyo ni vizuri kuzitumia kama maeneo yenye udongo wa kichanga pia unaweza kutambua kuwa samaki kinga kuliko tiba kama dar es salaam mfugaji atalaz ni mgonjwa kwa kuwa huzubaa imika kuchimba na kuweka karatasi ya sehemu moja kwa muda mrefu sifa za dawa za asili nailoni hii itasaidia kuzuia upotevu magonjwa kwa samaki pia yanaweza wa maji pamoja na kuzuia bwawa kutokana na mrundikano kwenye isiwe na ushindani wa virutubisho na kuporomoka bwawa hivyo ni muhimu kuwapun mazao ni vyema upande mmoja wa bwawa guza kila wanapoongezeka ukawa na kina kirefu kuliko mwing maandalizi ya kiteknolojia na isichu
kue muda mrefu kutengeneza kina cha mita moja na nusu na mwing tiba iliyozoeleka kwa samaki ni kwa ine mita moja hii itamsaidia mfugaji kuweka chumvi kwenye maji kisha mara nyingi dawa hizi hufukuza zaidi kuweza kulihudumia bwawa vizuri kuwatumbukiza samaki unaowaona wadudu kuliko kuua hata kama ni kuingia na kufanya usafi kuwa ni wagonjwa kisha kuwatoa na kuwarudisha bwawani hupatikana bure ila utayarishaji wake utunzaji wa bwawa ni lazima upimwe kulingana na inashauriwa kufanyia bwawa usafi upatikanaji gharama zitakazojitokeza kulingana mara kwa mara hasa kwa kuondoa na mgongano wa mazingira ukilin majani ili kuepusha wadudu kufanya kutoka katika kituo cha kuzalisha na ganisha na madawa yaliyokwisha makazi na hatimaye wakawadhuru kufuga samaki kingolwira morogoro kutengenezwa samaki pia ukiacha mimea bwawani bei ya kifaranga cha perege ni shilingi itatumia virutubisho kwa kiasi 50 na kambale ni shilingi 150 lengwa tu bila kudhuru viumbe hai x kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana marafiki hivyo kila unapoona uchafu safisha na bwana kalinga kwa simu namba 0757 mara moja 891 761 0787 596 798 toleo la 16 januari 2014 mimi nategemea kulima zao la ufuta ila ningependa nilime kwa kilimo
chenye tija baada ya kuvuna niwena uwezo wa kuchuja mafuta mimi mwenyewe naomba msaada wenuwa kujua namna ya kulima pamoja na mashine nzuri ya kuchuja mafutaya ufuta mkulima william msi ayubu nnko mbegu za ufutazao la ufuta ni moja ya mazao jamii ya nafaka zao hili hutumika zaidikwa ajili ya uzalishaji wa mafuta kwa
matumizi ya binadamu pia makapiyake huweza kutumika kama chakula cha mifugo mbali na uzalishaji wamafuta mbegu zake hutumika kwa kuandaa aina mbalimbali za vitafunwa ambavyo huweza kuliwa pamoja na aina tofauti za vinywaji kulingana napendekezo la mtumiaji mmea wa zao la ufuta baadhi ya bidhaa zinazotokana na ufuta ardhi hupandwa kwenye nafasi ya sentimita hali inayotakiwa hakikisha kuwa una zao la ufuta hustawi kwenye ardhi 50 kwa 10 mahali salama pa kuhifadhi pamoja na ya kichanga isiyotuhamisha maji na vifaa vya kutosha kuhifadhia kabla ya
isiwe bondeni eneo ufuta unapo hadi 3 2 kusindika na kupata mafuta pamoja na pandwa ni lazima lisafishwe vizuri na bidhaa zingine yatokanayo na ufuta kulimwa ili kulainisha udongo kupandia ufuta ardhi ina rutuba ya kupanda kutosha au uweke mipango ya kuru guzi uwapo shambani ili kupanda kwa ufanisi unatakiwa tubisha udongo huo kwa kiwango kuchanganya mchanga kilo saba na kinachotakiwa wako kwa wakati ili kuepuka upotevu kilo moja ya mbegu za ufuta kisha unaweka kwenye kifaa kinachotu kana na miamba kwa ajili ya kukuzia yapo mahali salama kusipokuwa na mika kupandia hii itasaidia kuzui hii inaweza kuwa kwa uwiano wa kilo wanyama waharibifu upotevu wa mbegu za ufuta kwa kuwa 45 kwa hekta moja mbolea hii inaweza ni ndogo sana kutumika katika wiki ya nne baada ya mbegu tofauti na nafaka nyinginezo ni muhimu kupanda mbegu ambazo ufuta kuchipua zimetoka kwenye vyanzo vinavyo kwa kawaida mbegu za ufuta huota madhara pale inapohitajika kufanya aminika kwa mfano kutoka kwenye baada ya siku 3 au 4 endapo udongo hivyo mashamba ya kuzalishia mbegu au kwa wakala walioidhinishwa kusam kua siku 120 sawa na miezi 4 tangu matumizi ya ufuta
baza mbegu hizo kupandwa hadi kuvuna wakati wa kupanda unapaswa kuz lisha mafuta ambayo hutumika kwa ingatia mambo muhimu yafuatayo ili ng oa mimea dhaifu na matumizi ya binadamu isiyohitajika 9 hauriwa kuondoa mimea iliyo geneza aina mbalimbali za vitafunwa muafaka hii itasaidia kuepuka dhaifu au iliyozidi shambani hii ita ukosefu wa unyevu ambao husaidia saidia mimea itakayobaki kupata viru baada ya kukamua mafuta hutumika hatua muhimu kama vile kuota kukua tubisho vya kutosha na kukua vizuri kulishia mifugo na kuchanua na kutoa mbegu kwa maelezo zaidi juu ya kilimo cha ufuta fanyika kwa wakati muafaka hii ita na usindikaji wasiliana na bw costa kwa inayopendekezwa kawaida ufuta saidia uwepo wa ufanisi katika uzal simu namba 255 754 098 902 ishaji wa ufuta q jafikia kuchanua pia hakikisha una ondoa mimea inayoonekana kuwa na dalili za magonjwa
inashauriwa kupata ushauri kutoka kwa wataalamu wa kilimo walio karibu na wewe kabla ya kung oa hii ni hatua muhimu sana kwa mkulima ambayo humuwezesha kujua ni nini alichopata kutoka sham bani mwake ni muhimu kuhakikishazana inayotumika kupanda zao la ufuta kuwa umefanya maandalizi muhimu mashine ya kukamua ufuta kwa ajili ya kuweka ufuta wako katika toleo la 16 januari 2014 0717 266 007 0785 133 005 0785 496036
hatua muhimu za wakulima wanaelimishana kupitia tovuti ya mkm kilimo cha migomba huu ni mwendelezo wa mazun gumzo ya wasomaji wa tovuti ya www mkulimambunifu org na njia nyingine za mawasiliano kwenye mimi ni msomaji wa jarida la mkm kuhusu ufugaji wa kuku mkulima mbunifu ninaomba kufa wa kienyeji habari hii inaonekana hamu hatua muhimu za kilimo cha kuwavutia wasomaji na wafugaji migomba elibariki mushi kili neema mbisemigomba ni zao muhimu sana chini tanzania ambapo hutegemewa naasilimia 30 50 ya watanzania kama
chakula kikuu na kama tunda zifuatazo ni hatua muhimu kwenye kilimo cha migomba udongo migomba hustawi kwenye udongo kuchangia maoni mawazo na maoni mzuri wenye rutuba ya kutosha yako juu ya utaalamu au ufahamu udongo wenye kina kirefu udongo ulionao kuhusu kilimo ufugaji na tifutifu usiotuhamisha maji udongo mazingira usiokuwa na tindikali chachu nyingi mukaruka dar es salaam anauliza mvua jamani hamjambo natafuta mbegu migomba hustawi vizuri sehemu ya kuku aina ya kuchi wale halisi zenye mvua nyingi ambayo hufanya nitawapata wapi jamani hebu nisaidieni udongo kuwa na unyevunyevu kwamwaka mzima mwang oko milamo anasema
brother mukaruka watu wanasema mwinuko na halijoto kuchi halisi wapo mikoa ya singida migomba hupendelea hali joto maandalizi mazuri ya shamba na utunzaji na tabora lakini wasilana na 0768 na uchepechepe migomba hutoa wa migomba huleta matokeo mazuri qqx xq mavuno mazuri inapopandwa kwenye ipo hapo dar niliongea nao wakasema mwinuko wa kati kiasi cha mita 1800 wana kuchi kutoka usawa wa bahari ni muhimu unapochagua eneo kwa ajili ya kilimo willibroad justine anauliza jamani cha migomba uhakikishe kuwa hivi kuna dawa ya kuzuia kuku kudono sehemu hiyo haina upepo mkali na ana huwa haina tabia ya kunyesha mvua mwang oko milamo anasema wil za mawe hii ni kwa sababu upepo libroad ndio 1 weka viota vingi mkali na mvua ya mawe huharibu sehemu zilizo jificha hii hupunguza majani ya migomba kudonoana wanapotaga mayai 2 angalia mchanganyo wako kama
utayarishaji wa shamba ulikua unawapa damu punguza taratibu usiache ghafla kuitumia 3 wape majani mbogamboga muda wa mchana kuchimba mashimo abuu anauliza nimevutiwa sana na mada hii ya ufugaji wa kuku naomba sha kuwa unajenga makingo kuzuia kuuliza hivi kama huna chochote na ndo mmomonyoko unataka kuanza mradi huu wa ufugaji unapaswa uwe na kama kiasi gani cha mashimo fedha migomba hustawi vizuri endapo mkulima atachimba mashimo matunzo ya migomba toka ikiwa midogo chasha anasema hakuna kiwango
makubwa maalumu cha mtaji unaweza anza husababisha uzalishaji mzuri hata na kuku wawili na mwisho wa siku ukaja kujikuta una kuku 10 000 migomba kutumia virutubisho ipas kikubwa ni uvumilivu na ubunifu kupanda avyo na kuruhusu migomba kukua wako tu ni muhimu kutumia mbolea ya vizuri na hatimaye kuwa na uzalishaji mwang oko milamo anasema abuu mboji au samadi wakati wa kupanda mzuri kiasi cha fedha kinatokana na wewe na hakikisha kuwa unachagua kwa maelezo ya kina kuhusiana na kilimo unataka uwe na kuku wangapi ila machipukizi yenye afya cha migomba unaweza kusoma toleo namba unaweza kuanza na kuku mmoja tetea tisa la jarida hili la mkulima mbunifu lili na kufikia kiwango unachotaka bei za palizi chapishwa novemba 2012 pia unaweza kuku nadhani zinafanana hivyo jaribu ni muhimu kuhakikisha kuwa shamba kuwasiliana na bw suleiman mpingama kutafuta soko kwa hapo singida mjini lako ni safi wakati wote hii itasaidia kwa simu namba 255 765 428 877 itakua na faida zaidi
a brief overview of signal reconstruction via sampleddata
digitization of analog information such as voice images and video is a ubiquitous feature of modern communications and information technology therefore reconstruction of the original analog signal from its digital version is a problem of great interest and importance these recon
02apr2020 0 views 335 pages
hvac pocket programming guide honeywell
hvac pocket programming guide this guide provides a single reference document for the user of nxl hvac (product codes starting with hvac) and nxs (product codes starting with nxs) inverters when using basic speed control and pid control in hvac applications contents introduction 03 nxl hvac inverter connections 04
02apr2020 0 views 36 pages
green building hvac resource guide trane
this pocket guide is intended to provide quick reference on various hvac design practices and technologies so that building professionals can make sound decisions in meeting or exceeding the technical requirements of a green building green options are provided along with the corresponding criteria and bene ts references for further
02apr2020 1 views 83 pages
final project report govuk
revolution the penetration of the open source software movement in the developing world has seeded innovation that is adding to the sense of possibilities for the least advantaged open source information crowdsourcing platforms like ushahidi and open mapping and data initiatives like
the international standard for reinforcing bar specification is iso 6935 it has been adopted by the na
compulsory ethiopian standards
1 compulsory ethiopian standards 2015 how to use the catalogue the main section of this catalogue is the list of ethiopian compulsory standards classified
proprietary to carrier corporation a nd shall not be used
cross reference index description installation drawing no kit no led light bar installation instructions 9803246 760200000 notes 10 complete installation includes and is not limited to 11 unit installation 12 battery installation including drain hose 13 completion of predelivery inspection (pdi) per model 131 unit prep and
02apr2020 0 views 224 pages
use professional edition to build internet and develop applications quickly and create solutions that span any device and integrate with any platform visual studio net enterprise developer (vsed) edition contains all the features of professional edition plus has additional capabilities for enterprise development the features include things
master of nursing nurse practitioner clinical support
glass and process development for the next generation of
curriculum for slaughter house technician ctevt
your wedding the dunloe killarney hotels
the forensic and transformational aspects of justification
comand mercupgrades com
basic geological mapping download e bookshelf de
m tech computer science and engineering department of
a guide to residential life programs for higher education | 2020-04-03T01:08:09 | https://backarticles.info/jarida-la-kilimo-endelevu-afrika-mashariki-habari-njema-_OTU3Nw.html |
matukio @ michuzi blog rc gambo azindua mradi wa utaoji mitego kwa wanyamapori (de snaring project) kwa mbuga ya wanyama ya serengeti jijini arusha | 2018-08-14T23:14:14 | https://michuzi-matukio.blogspot.com/2017/10/rc-gambo-azindua-mradi-wa-utaoji-mitego.html |
dodoma waadhimisha wiki ya unyonyeshaji dunianisave the children yataka mashirikataasisi kutenga vyumba vya kunyonyeshea | malunde 1 blog
home » afya habari » dodoma waadhimisha wiki ya unyonyeshaji dunianisave the children yataka mashirikataasisi kutenga vyumba vya kunyonyeshea
dodoma waadhimisha wiki ya unyonyeshaji dunianisave the children yataka mashirikataasisi kutenga vyumba vya kunyonyeshea
soma pia save the children yatambulisha mradi wa lishe endelevu dodoma | 2020-01-26T17:51:18 | https://www.malunde.com/2019/08/unyonyeshaji.html |
michuzi blog rc ruvuma watakao haribu vyanzo vya maji kukiona cha moto ' if(imglength>=1) { imgtag = '
rc ruvuma watakao haribu vyanzo vya maji kukiona cha moto
mkuu wa mkoa wa ruvuma dkt mahenge amewataka viongozi hao kuongeza ulinzi katika maeneo hayo kwa kuwashirikisha viongozi wa mitaa waozungukwa na vyanzo hivyo
thursday september 14 2017 ~ copyright michuzi blog michuzi tv ~ mtumie rafiki yako maoni 0 | 2017-11-20T07:33:51 | https://issamichuzi.blogspot.com/2017/09/rc-ruvuma-watakao-haribu-vyanzo-vya.html |
makamu wa rais mama samia suluhu hassan amewasili jijini kampala uganda kwa ajili ya kushiriki mkutano wa mwaka 2019 wa africa now summit unaotarajiwa kufanyika kesho na kesho kutwa channel ten
makamu wa rais mama samia suluhu hassan amewasili jijini kampala uganda kwa ajili ya kushiriki mkutano wa mwaka 2019 wa africa now summit unaotarajiwa kufanyika kesho na kesho kutwa
makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania samia suluhu hassan amewasili jijini kampala uganda kwa ajili ya kushiriki mkutano wa mwaka 2019 wa africa now summitunaotarajiwa kufanyika kesho na keshokutwa makamu wa rais atamwakilisha rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe joseph magufuli kwenye mkutano huo
katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa ndege wa entebbe makamu wa rais amelakiwa na naibu waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo philemon mateke pamoja na balozi wa tanzania nchini uganda dkt aziz mlima
makamu wa rais amefuatana na naibu waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki dkt damas ndumbaro
mkutano wa mwaka 2019 wa africa now summit 2019 utafunguliwa kesho na rais wa uganda yoweri kaguta museveni ambapo viongozi mbalimbali wa afrika wanakutana ili kupata majibu ya changamoto za afrika katika masuala ya kiuchumi
viongozi wengine watakaotoa mada kwenye mkutano huo ni rais wa misri ambaye pia ni mwenyekiti wa umoja wa afrika (ua) abdel fattah el sisi rais wa afrika kusini cyril ramaphosa makamu wa rais wa kenya william ruto na waziri mkuu wa ethiopia ahmed abiy pamoja na rais paul kagame wa rwanda
← serikali ya wilaya ya micheweni mkoa wa kaskazini pemba imewatoa hofu wananchi kwamba dawa za malaria zinazopigwa majumbani mwao hazina madhara kwao bali zimelenga kuangamiza mbu wanaoeneza malaria
kamati ya saa 72 inayosimamia ligi kuu tanzania bara yailima faini ya milioni sita yanga pamoja na kutoa onyo kali kwa makocha wa vilabu vinavyoshiriki ligi kuu bara kwa utovu wa nidhamu → | 2019-06-19T17:18:15 | http://www.channelten.co.tz/makamukesho/ |
ajali mkoani arusha yaua wa5 papo hapo
ajali iliyotokea jana saa 12 as eneo la usa river mkoani arusha iliyolihusisha lori aina ya scania lenye namba kbh 742c la kenya na toyota land cruiser yenye namba t366 ajl iliyokuwa imebeba wafanyakazi wa kampuni ya uchimbaji madini ya tanzanite ya tanzanite one ya mkoani hapo imesababisha watu 5 kupoteza uhai papo hapo na wengine tisa kujeruhiwa
kamanda wa polisi mkoa wa arusha bw basilio matei amethibitisha kutokea ajali hiyo kwa kusema kuwa chanzo cha ajali ni mwendo kasi wa scania iliyokuwa imebeba maua ikiendeshwa na hamis maulid aliyekuwa anajaribu kuyapita magari mawili yaliyokuwa mbele yake
huyu dereva wa scania ndiye chanzo cha ajali wakati alipokuwa 'aki overtake alikuwa akitokea moshi kuja arusha ndipo alikutana uso kwa uso na toyota land cruiser iliyokuwa ikitokea arusha kuelekea mererani kwenye machimbo ya tanzanite' matei
majeruhi walipelekwa hospitali za selian na mount meru kwa matibabu zaidi
waliokufa ambao wote walikuwa ni wafanyakazi wa tanzanite one wametwajwa kuwa ni
bw mathayo mushi (32) mkazi wa sakina na dereva wa toyota land cruiser
bw judica mollel
bw omar makuka (36) mkazi wa majengo
bw uswege mwapanga (27) mkazi wa sakina
bw frank mwakatobe (33) mkazi wa sakina majeruhi na ambao ni wafanyakazi wa tanzanite one ni
bw boni mutaba (28) mkazi wa ngaramtoni
bw daimoni kingdom (34) mkazi wa majengo
jacob peter (27)
bwlucas massawe( 30) mkazi wa sanawari
bwdavid makame mkazi wa sombetini
bw gideon zacharia (33) mkazi wa sakina
bw amani julius (25) mkazi wa kambi ya fisi
bw mtunigwa mwaibuja (35)
bw desder mbowe (32) mkazi wa sakina
pole kwa wafiwa na kwa ndugu jamaa na rafiki wa marehemu mwenyezi mungu awapumzishe pema
afya njema na nguvu tena kwa waliojeruhiwa katika ajali ugueni pole
mwanamuziki mkongwe john kitime kitime atahadharisha bendi kupiga kwenye bar
lulu diva | 2017-02-27T18:02:02 | http://nukta77.blogspot.com/2009/05/ajali-mkoani-arusha-yaua-wa5-papo-hapo.html |
may 21 2017 full shangwe blog
jeshi la polisi mkoa wa mbeya linawashikilia watu 68 kwa tuhuma za kufanya uharibifu wa miundombinu
mhe spika amjulia hali waziri wa maliasili na utalii katika hospitali ya taifa ya muhumbili alikolazwa kwa ajili ya matibabu
waziri wa mifugo na uvuvi atembelea benki kuu ya tanzania (bot) taasisi ya sekta binafsi tanzania (tpsf) na kufanya mazungumzo na balozi wa japan hapa nchini jijini dar es salaam
majaliwa atembelea kiwanda cha nyuzi cha tabora na hospitali ya rufaa ya mkoa huo ya kitete
waziri mkuu aagiza mhasibu aliyehamishwa arudishwe
home / 2017 / may / 21
taarifa kutoka kurugenzi ya mawasliano ya rais ikulu leo
may 21 2017 mchanganyiko 0
waziri wa nishati na madini profesa sospeter muhongo amekutana na rais wa kampuni ya tbea ya china zhang xin kwa ajili ya kujadili masuala ya uwekezaji kwenye sekta ya nishati nchini mkutano huo wa waziri muhongo na rais huyo ambaye ameongozana na ujumbe wake umefanyika mei 21 2017 jijini dar
may 21 2017 michezo 0
sherehe za tuzo ya mchezaji bora wa ligi kuu ya vodacom (vpl) inatarajiwa kufanyika mei 24 mwaka huu ukumbi wa mlimani city dar es salaam kamati maalum iliyoundwa kusimamia tuzo hiyo imefanya mabadiliko kiasi kwa kuongeza baadhi ya tuzo ambazo hazikuwepo msimu uliopita lengo ikiwa ni kuboresha tuzo tuzo zilizoongezwa
shirikisho la mpira wa miguu tanzania (tff) limepokea kwa masikitiko taarifa za kupata ajali kwa msafara wa timu ya ruvu shooting fc iliyotokea leo barabara ya manyoni mkoani singida wakati kikosi hicho kikitokea shinyanga kwenda pwani taarifa kutoka singida zinasema gari hilo lilipata ajali baada ya kupasuka tairi moja la
makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe samia suluhu hassan akihutubia wakati wa uzinduzi wa kampeni ya mimi na wewe uliofanyika kwenye uwanja wa mnara wa kumbukumbu ya mapinduzi kisonge mkoa wa mjini magharibi zanzibar (picha na ofisi ya makamu wa rais) bila kujali mvua iliyokuwa inanyesha
tea yakabidhi mradi wa ukarabati wa shule ya sekondari pugu
kaimu mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya elimu tanzania (tea) graceana shirima akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya mradi wa ukarabati wa shule ya sekondari pugu iliyopo wilaya ya ilala dar es salaam (katikati) kaimu mkurugenzi tea dk erasmus kipesha na kaimu mwanasheria tea igenge edwin (picha na francis dande)
mkuu wa mkoa wa mwanza mh john mongella akishiriki katika maulid iliyofanyika jijini mwanza
mwenyekiti wa jumuiya ya kuendeleza quraan na sunna tanzania (jaqusuta) sheikh hassan kabeke (kushoto aliyesimama) akizungumza kwenye maulid iliyofanyika jijini mwanza juzi waliokaa kushoto ni katibu wa baraza kuu la waislamu tanzania mkoa wa mwanza (bakwata) sheikh salum mohamed balla mkuu wa mkoa john mongella kulia wa kwanza ni sheikh
mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya ardhi maliasili na utalii mheshimiwa mhandisi atashasta ndetiye akiongoza semina ya wabunge wote inayohusu umuhimu wa uhifadhi wa maliasili malikale na maendeleo ya utalii nchini tanzania iliyofanyika leo ukumbi wa bunge mjini dodoma kushoto kwake ni waziri wa maliasili na utalii mhe
wapo concert nay wa mitego shilole aandika historia dar live
may 21 2017 burudani 0
tazama shoo nzima ya nay wa mitego wapo concert dar live mbagala onesho kabambe la wapo concert lililofanyika usiku wa kuamkia leo ndani ya ukumbi wa burudani wa taifa wa dar live hakika liliacha historia kwa mashabiki wengi waliojitokeza kushuhudia onesho hilo ambalo ni la aina yake kufanyika ndani
majaji na mahakimu watakiwa kuwa na mtazamo chanya wanapotekeleza majukumu yao
na magreth kinabo mahakama ya tanzania jaji kiongozi wa mahakama ya tanzania mhe ferdinand wambali amewataka majaji na mahakimu kuzingatia maadili ya uhakimu na utumishi wa umma na kutenda haki wakati wanapotimiza majukumu yao aidha jaji huyo alisema majaji na mahakimu wanaptimiza majukumu yao wanapaswa kuzingatia kanuni za utendaji wao
dktmabodi asema atalinda mali za ccm kwa gharama yoyote
may 21 2017 siasa 0
afisa milki wa ccm zanzibar nd mwenemzi omar said aliyevaa fulana ya njano akionyesha ramani na mipaka ya shamba hilo kabla ya kuanza ziara hiyo (katikati) ni naibu katibu mkuu wa ccm dkt abdalla juma saadala mabodi na kushoto aliyevaa kanzu na kofia ni kaimu mkuu wa utawala afisi
rais dkt john pombe magufuli na rais wa uganda mhe yoweri museveni wakitia saini tamko la pamoja la kukamilika kwa majadiliano na vipengele vya mkataba wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka hoima nchini uganda hadi tanga nchini tanzania katika hafla iliyofanyika ikulu jijini dar
majaliwa amtembelea rais mstaafu mkapa
waziri mkuu kassim majaliwa akisalimiana na rais mstaafu benjamin mkapa wakati alipomtembelea rais huyo mstaafu nyumbani kwake jijini dar es salaam mei 20 2017 (picha na ofisi ya waziri mkuu) waziri mkuu kassim majaliwa akizungumza na rais mstaafu benjamin mkapa wakati alipomtembelea rais huyo mstaafu nyumbani kwake jijini dar es
ushirika wa wauza madagaa wa tusiyumbishane waomba jeki ya tadb
may 21 2017 biashara 0
wajumbe wa kikao cha pamoja kati ya chama cha ushirika cha wauza madagaa cha tusiyumbishane kilichopo eneo la maruhubi mjini unguja na ugeni wa benki ya maendeleo ya kilimo tanzania (tadb) kikao kilijadilia changamoto zinazozikabili ushirika huo na namna tadb inavyoweza kuwasaidia katika kuendeleza ushirika huo mtaalamu wa ushirika kutoka
live mapokezi ya timu ya yanga wakitua na kombe la ubingwa 2017
rais wa zanzibar dk ali mohamed shein aongoza hafla ya uchangiaji vifaa vya michezo skuli za serikali (1)
rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein akisalimiana na waziri wa elimu na mafunzo ya amali mheriziki pembe juma alipowasili katika viwanja vya ukumbi wa zamani wa baraza la wawakilishi mnazi mmoja mjini unguja jana katika hafla ya uchangiaji wa vifaa vya michezo katika skuli za
kutoka shahiri hadi kuwa kinywaji cha balimi extra larger
wakulima mbalimbali wakionyesha mashamba ya shahiri mkoani arusha shahiri ni moja ya malighafi muhimu katika kutengeneza bia uzalishaji wake unakuza uchumi na kuleta maendeleo endelevu kwa jamii safari yenye historia ya kuvutia ya zao la shahiri hadi kuwa kinywaji cha bia ya balimi extra lager inaanzia mbali na
bilionea wa urusi kuinunua arsenal
bilionea wa urusi aliyezaliwa nchini uzbekistan alisher usmanov amewasilisha ombi la pauni bilion moja kuinunua arsenal kutoka kwa mmiliki wake stan kroenke huku kroenke akiwa hana hamu ombi hilo limekataliwa ijapokuwa usmanov hajapata uthibitisho woote kupitia maandishi gazeti la the financial times limeripoti kamba usmanov aliwasilisha ombi hilo mwezi uliopita
wahitimu wa kidato cha sita wa shule ya sekondari ya al haramain wakiingia kwenye ukumbi wa mahafali wakati wa mahafali yao ya 29 jijini dar es salaam jana(picha zote na kassim mbaroukwwwbayanablogspotcom) mwanafunzi wa kidato cha tatu wa shue ya sekondari ya al haramain hairat hashim akisoma quran katika mahafali
tadb atakaye na aje kukopa
kaimu mkurugenzi mtendaji wa tadb bw francis assenga (kushoto) akimsikiliza katibu na mwanasheria wa shirika la taifa la biashara zanzibar (zstc) bw ali hilali vuai (kulia) wakati wa kikao cha wadau wa karafuu ambapo tadb ilialikwa kuwasilisha mada mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa shirika la taifa la biashara zanzibar
pitia vichwa vya habari katika magazeti ya leo mei 212017
may 21 2017 magazeti 0
news select category biashara (1677) blog (64) burudani (811) filamu (27) magazeti (475) mchanganyiko (14910) michezo (3004) mitindo (5) siasa (1065) teknolojia (167) tv (146) uncategorized (1122)
archives select month august 2018 (596) july 2018 (962) june 2018 (859) may 2018 (849) april 2018 (753) march 2018 (652) february 2018 (937) january 2018 (969) december 2017 (871) november 2017 (1050) october 2017 (1125) september 2017 (978) august 2017 (1117) july 2017 (930) june 2017 (936) may 2017 (982) april 2017 (801) march 2017 (921) february 2017 (801) january 2017 (964) december 2016 (956) november 2016 (1013) october 2016 (1039) september 2016 (885) august 2016 (787) july 2016 (12) june 2016 (21) may 2016 (17) april 2016 (11) march 2016 (10) february 2016 (9) january 2016 (6) december 2015 (19) november 2015 (13) october 2015 (9) september 2015 (17) august 2015 (17) july 2015 (14) june 2015 (17) may 2015 (19) april 2015 (23) march 2015 (19) february 2015 (29) january 2015 (19) december 2014 (41) november 2014 (13) october 2014 (13) september 2014 (11) august 2014 (14) july 2014 (8) june 2014 (11) may 2014 (8) april 2014 (9) march 2014 (6) february 2014 (6) january 2014 (8) november 2013 (1) july 2013 (1) june 2013 (3) april 2013 (1) march 2013 (1) january 2013 (2) december 2012 (2) october 2012 (1) september 2012 (4) june 2012 (1) february 2012 (1) june 2011 (1) january 2011 (1) december 2010 (1) september 1998 (1) june 1998 (1) july 1997 (1) november 1996 (1) august 302 (1) | 2018-08-19T01:33:56 | https://fullshangweblog.com/home/2017/05/21/ |
marekaniujerumani zataka mursi aachiliwe | matukio daima
home » » marekaniujerumani zataka mursi aachiliwe
marekaniujerumani zataka mursi aachiliwe
written by mzee wa matukiodaima habari bila uoga on sunday july 14 2013 | 942 am
kundi la udugu wa kiislamu limeitisha maandamano makubwa ya umma nchini misri siku ya jumatatu huku marekani ikiungana na ujerumani kutaka kuachiliwa huru kwa rais aliyepinduliwa na jeshi mohamed mursi
wito wa udugu wa kiislamu umetolewa masaa kadhaa baada ya maelfu ya wafuasi wa mursi kuingia mitaani kwenye maandamano ya amani ya kudai kuachiliwa kwa kiongozi wao mjini cairo
jumatatu ijayo mungu akipenda umma mkubwa utakusanyika kwenye viwanja vyote vya misri dhidi ya mapinduzi haya ya kijeshi misri huamua kupitia kura na maandamano maandamano ya amani hakuna yeyote kundi lolote au taasisi ya kijeshi itakayolazimisha maamuzi yake kwa watu wa misri amesema essam elerian wa chama cha uhuru na haki ambacho ni tawi la kisiasa la udugu wa kiislamu
kundi la udugu wa kiislamu limekataa aina yoyote ya mazungumzo ya kisiasa tangu wakati huo likishikilia kwamba ni lazima mursi arejeshwe madarakani
marekani ujerumani zataka mursi aachiliwe
maandamano ya kumuunga mkono mohamed mursi mjini cairo siku ya tarehe 12 julai 2013
siku ya ijumaa marekani ilitoa wito kwa jeshi la misri kumuachia rais mohamed mursi ikisema inaungana na ujerumani ambayo ilitangulia kutoa wito kama huo
msemaji wa wizara ya mambo ya nje jen psaki alisema nchi yake inakubaliana na ujerumani katika hilo na kwamba ilitoa ombi hilo hadharani licha ya serikali ya mpito kusema kwamba mursi yuko salama lakini hajaonekana hadharani tangu alipopinduliwa na jeshi tarehe 3 julai
psaki alisema marekani inataka kuondolewa kwa usiri juu ya taarifa za wapi alipo mursi ambapo ujerumani ilipendekeza kwamba taasisi inayoaminika kama vile shirika la msalaba mwekundu ipewe fursa ya kumuona na kumuhudumia mursi
maandamano yapamba moto
maandamano tafauti ya kumuunga mkono na kumpinga mursi yalifanyika mjini cairo siku ya ijumaa (tarehe 12 julai) kwa njia ya amani licha ya hofu za awali kwamba yangelikumbwa na machafuko
magharibi ilipoingia maelfu ya wafuasi wa mursi kwenye mitaa kadhaa ya cairo waliswali na kukata swaumu zao ikiwa ni ijumaa ya kwanza tangu kuanza mwezi mtukufu wa ramadhani ambapo katika uwanja maarufu wa tahriri na nje ya kasri ya rais ya ittihadiyya mamia ya waandamanaji wanaompinga mursi walifutari pamoja
wafuasi wa mursi wamekuwa wakiandamana pia nje ya msikiti wa rabaa aladawiya katika mji wa nasr ambako wakiwa wamebeba qur'an na bendera za misri wanasikikana wakipiga mayowe ya kuyalaani mapinduzi ya kijeshi yaliyomuondoa rais wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia
tutaendelea kupambana kiongozi wa ngazi za juu wa udugu wa kiislamu safwat hegazi aliuambia umma siku ya ijumaa tutakaa hapa kwa mwezi mmoja au miwili au hata mwaka mmoja au miwli hatutaondoka hadi rais wetu mohamed mursi arudi
hayo yanatokea katika wakati ambapo waziri mkuu wa serikali ya mpito hazem elbeblawi anatarajiwa kuliapisha baraza jipya la mawaziri wiki ijayo
baraza hilo lina jukumu la kuutekeleza mpango wa jeshi kuelekea utawala wa kiraia baada ya jeshi kumpindua rais wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia hapo tarehe 3 julai
scdw | 2017-10-17T01:56:28 | http://matukiodaima.blogspot.com/2013/07/marekaniujerumani-zataka-mursi-aachiliwe.html |
mchezo mshono online kucheza kwa huru
mchezo mshono
unachezwa 1835
kucheza mchezo mshono online
maelezo ya mchezo mshono
kupitia maze hii inatisha na nje ya giza na ya hatari lakini doll nzuri alifanya ya vipande vipande kucheza mchezo mshono online
kiufundi na tabia ya mchezo mshono
mchezo mshono aliongeza 20032012
mchezo unachezwa 1835 mara
michezo kama mchezo mshono
download mchezo mshono
embed mchezo mshono katika tovuti yako
kuingiza mchezo mshono kwenye tovuti yako nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako pia kama wewe kama mchezo mshono nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote kushiriki mchezo na dunia
pamoja na mchezo mshono pia alicheza katika mchezo | 2018-06-24T13:04:32 | http://sw.itsmygame.org/999970823/guysutures_online-game.html |
viwanjani (nini kimejiri leo maximo) mabondia baina mazola na fransic miyeyusho kuzipiga agost 26 kinondoni
posted by amri massare (maximo) at 914 am | 2018-07-21T15:39:16 | http://viwanjani.blogspot.com/2017/08/mabondia-baina-mazola-na-fransic.html |
viingilio simba na yanga kwa walalahoi 7000 kwa mashefa 30000 bin zubeiry sports online viingilio simba na yanga kwa walalahoi 7000 kwa mashefa 30000 bin zubeiry sports online
mwanzo > habari za nyumbani > viingilio simba na yanga kwa walalahoi 7000 kwa mashefa 30000
viingilio simba na yanga kwa walalahoi 7000 kwa mashefa 30000
item reviewed viingilio simba na yanga kwa walalahoi 7000 kwa mashefa 30000 rating 5 reviewed by bin zubeiry sports online | 2017-10-22T08:13:02 | http://www.binzubeiry.co.tz/2016/02/viingilio-simba-na-yanga-kwa-walalahoi.html |
bexy wamusic atoa ya moyoni dogo janja kumuoa uwoya tanzania burudani/entertainment | hivisasa blog
home › burudani/entertainment › bexy wamusic atoa ya moyoni dogo janja kumuoa uwoya
bexy wamusic msanii wa muziki wa bongo fleva
msanii wa mziki wa bongo fleva nchini tanzania anayetamba na ngoma yake mpya ya yolanda ametoa ya moyoni kuhusu ndoa ya dogo janja na irene uwoya
akizungumza na sasa tv leo bex wamusic amesema ifike wakati maamuzi ya moyo yasiingiliwe na mtu kwani mapenzi ni jambo la makubaliano ya watu wawili
binafsi siwezi sema chochote juu ya ndoa ya dogo janja na irene uwoya kwani wamependana ndio maana wamefunga pingu za maisha na sio jambo geni maana wapo wasanii wengine kama diamond na zari iyobo na aunt ezekielamesema bex
ndoa ya dogo janja na irene uwoya imezua gumzo katika mitandao ya kijamii kufuatia msanii dogo janja kutofautiana umri na mwigizaji wa filamu bongo irene uwoya
bexy wa muziki ametumia fursa hii pia kuwaomba mashabiki zake waendelee kumuunga mkono kwa kuzidi kusapoti kazi zake kwani anaamini hato waangusha | 2018-03-21T15:09:53 | http://hivisasa.co.tz/burudani/bexy-wamusic-amuunga-mkono-dogo-janja |
matukio @ michuzi blog tume ya mipango yaendesha mafunzo ya miradi kwa ajili ya ufadhili wa washirika wa maendeleo kwa mkoa wa kigoma
baadhi ya wadau wa mafunzo wakimsikiliza mkufunzi (hayupo picha ni) wakati wa mafunzo mjini kigoma | 2017-01-24T21:19:41 | https://michuzi-matukio.blogspot.com/2016/11/tume-ya-mipango-yaendesha-mafunzo-ya.html |
tulipiga hela ccm wakatuonea wivu nyauloso ~ yuvinusm
» tulipiga hela ccm wakatuonea wivu nyauloso
tulipiga hela ccm wakatuonea wivu nyauloso
msanii nyauloso amefunguka juu ya kile kilichotokea baada ya kuisha kwa kampeni za urais ambazo rais dkt john magufuli aliibuka mshindi
huyo ambaye alikuwa miongoni mwa wasanii waliokuwa wakiipigia kampeni ccm chama ambacho kipo madarakani alisema ingawa walipata hela nzuri lakini walipata tabu sana kipindi hicho cha kampeni kutoka kwa jamii na wasanii wenzao lakini baadaye walikuja kujuta na kutamani nao wangeipigia kampeni ccm
tumepata mkwanja mrefu kwa kweli na tulikuwa tunapata shida ila baada ya dkt magufuli kutangazwa mshindi tukapongezwa wengine wakawa wanasema bora nyinyi mlikuwa huku yani mpunga tulichukua wa uhakika alisema nyauloso akiongea kwenye kipindi cha planet bongo kinachorushwa na east africa radio
mwaka jana kipindi cha kampeni kulikuwa na mvutano mkubwa kwa wasanii
waliokuwa wakipigia kampeni vyama vya siasa huku wengi wakilaumiwa kufanya hivyo kutokana na njaa ya pesa na sio mapenzi ya dhati kwa chama husika
eatv share ← newer post | 2017-01-20T05:51:44 | http://www.yuvinusmblog.com/2016/05/tulipiga-hela-ccm-wakatuonea-wivu.html |
mrembo nimesali bila nguo freemason | habari za walimwengu
home » » mrembo nimesali bila nguo freemason
mrembo nimesali bila nguo freemason
written by bewith jeddy on monday january 26 2015 | 1110 am
mrembo happiness wilfred nassari (27) anayedai kushiriki imani ya kifreemason
inatosha mrembo happiness wilfred nassari (27) ameibuka na kudai kuwa amekuwa akisali bila nguo kwenye ibada ya imani ya freemason inayosifika kwa ushirikinakatika mahojiano yaliyofanyika hivi karibuni ndani ya chumba cha habari makao makuu ya gazeti hili bamaga mwenge jijini dar happiness alisema kuwa alianza kuingia kwenye imani hiyo kwa kwa kupitia kaka yake mmoja (jina tunalo) ambaye ni tajiri wa kupindukia kutokana na kuwa
mshiriki wa freemason
nilipojiunga ilikuwa si kwa matakwa yangu kwani nilianza kwa kupata matatizo ya kuumwa magonjwa ya ajabuajabu ikiwemo kutokwa na wadudu usoni kiasi cha kunitoa vidonda alisema mrembo huyo huku akionesha makovu ya vidonda hivyo
hali ilipokuwa mbaya ilibidi niende kwa mganga mmoja wa kienyeji ambaye aliniambia nimetupiwa majini ya kunuka ambayo yanabadilika harufu kila mara lakini alitaka nimlipe shilingi milioni 5 ili anitibie nikashindwa nikaondoka
kuna wakati vile vidonda vilisababisha nianze kufuatwa na nzi wengi hadi watu wengine wakawa wanadai kusikia harufu ndipo nikaenda kwenye kanisa la tanzania assemblies of god (tag) arusha kwa mchungaji olduvic kuombewa ndipo nzi wakatoweka na harufu kupungua alisema | 2018-01-21T02:47:52 | http://www.bewithjeddy.com/2015/01/mrembo-nimesali-bila-nguo-freemason.html |
ugonjwa wa vitiligo sasa wawashambulia watoto wa kike ukeni dodoma one
october 27 2016 hash uncategorized 212
ngozi ni sehemu muhimu ya mwili ambayo ina jukumu la kuukinga mwili na viungo mbalimbali
ngozi ina kazi nyingi kama vile kufunika vifaa vingine vilivyo ndani ya mwili na kusaidia kuvilinda visidhurike ni kizuizi cha vijidudu kama vile bakteria na pia huzuia mwili kupoteza maji na vimiminika vingine
hata hivyo ngozi inaweza kudhurika na magonjwa na wataalamu wanaeleza kwamba yako magonjwa takribani 6000 ya ngozi ambayo humpata binadamu na mengine pia huwapata wanyama
vitiligo ni aina ya ugonjwa unaoshambulia ngozi na ni kati ya magonjwa yanayowakabili watu wengi ambapo husababisha ngozi kubabuka katika sehemu mbalimbali za mwili
ugonjwa huo hushambulia nywele ngozi sehemu ya kinywa bomba la mkojo maeneo yanyozunguka mfumo wa chakula njia ya uke na viungo vya ndani
ingawa unawashambulia watu wote lakini ugonjwa huo huonekana waziwazi kwa watu wenye ngozi nyeusi na huenea polepole
kwa muda mrefu ugonjwa huo umekuwa ukiwakabili vijana na watu wazima lakini hivi sasa unaonekana kuwashambulia watoto wa kike
daktari bingwa wa magonjwa ya ngozi katika hospitali ya rufaa temeke claud mango anasema ugonjwa huo ambao pia huitwa leukoderma husababishwa na ukosefu wa chembe zinazotokeza rangi ya ngozi
rangi ya ngozi ya kawaida huwa inatengenezwa na chembechembe zinazojulikana kama melanocyte ambazo mtu anazaliwa nazo hivyo ukizikosa ngozi inapoteza rangi yake
sababu zingine ni za urithi lakini maana hasa ya ugonjwa huu ni kwamba wale askari waliokabidhiwa mwili waulinde wanakuwa hawalindi badala yake wanautafuna anasema dk mango
anasema ugonjwa huo hauna dalili yoyote hausababishi maumivu na wala hauambukizwi bali mtu huanza kuona madoa na mabaka meupe kwenye ngozi
ugonjwa huu hautabiriki leo unaweza kuja na mabaka machache lakini kesho vikasambaa unaweza kuwa nab aka upande mmoja pande mbili au pembezoni mara nyingi huwa unapendelea sana kushambulia kwenye viungo kuliko sehemu zingine za mwili anasema
dk mango anasema pia yako baadhi ya magonjwa ambayo yana uhusiano na ugonjwa wa vitiligo na kwamba mtu mwenye moja ya magonjwa hayo akipata vitiligo huwa haishangazi sana
anayataja magonjwa hayo kuwa ni goita upungufu wa damu watu wenye vipara na pumu ya ngozi
mfano ukiwa na ugonjwa wa pumu ya ngozi unaweza kukufanya upate vitiligo ngozi inakuwa na vipele vinavyowashwa mfululizo na unawapata watu ambao kwenye koo zao kuna pumu anasema
tofauti na miaka ya nyuma ambapo ugonjwa huo ulionekana kuwashambulia hasa vijana au watu wazima hivi sasa watoto wengi wa kike wamekumbwa na ugonjwa huo huku wakishambuliwa zaidi katika sehemu za siri
dk mango anasema katika hospitali hiyo wana kliniki ya magonjwa ya ngozi mara mbili kwa wiki lakini wagonjwa wengi anaowaona sasa ni watoto wa kike
kulingana na daktari huyo watoto wa kike wanaoshambuliwa na ugonjwa huo wana umri kati ya miaka mitatu hadi 10 na kwa kila siku ya kliniki amekuwa akiona watoto kati ya watatu hadi watano wenye ugonjwa huo
watoto wengi wa kike ambao wana umri chini ya miaka 10 wanapata sana ugonjwa huu kwasasa wanaletwa watoto hapa ukiwafunua tu unaona mashavu yote ya uke yamebadilika rangi yamekuwa meupe tunashindwa kujua sababu hasa ni nini
huenda unasababishwa na mambo mengi tunajiuliza pengine wanapata uambukizo uchafu uti au suala la mazingira lakini tungefanya utafiti tungeweza kujua sababuhakuna fungu la kufanya utafiti anasema dk mango
daktari huyo anasema ugonjwa huo una tiba nyingi lakini haziponyeshi bali zinazuia kusambaa kwa ugonjwa
anasema kuna dawa za kupaka na kumeza ambazo mara nyingi huagizwa kutoka nje na kwamba wakati mwingine dawa hizo husaidia kurudisha rangi ya ngozi kwenye sehemu zilizoathiriwa
kila ugonjwa una tiba lakini tatizo huja kwenye kuponyesha na sisi hatuwezi kuacha kuwatibu eti kwa sababu tumeambiwa hauponi
mtu anaweza akatumia dawa kwa miezi minne na kama zile za usoni wakati mwingine zinaweza kusaidia ngozi ikabadilika anasema dk mango
anasema tiba nyingine pia ni jua la asubuhi kabla ya saa nne na jua hafifu la jioni ambalo husaidia kupata mionzi inayosaidia ugonjwa huo usisambae sana
ugonjwa ukiwa sehemu ambazo zinakabiliana na jua tiba hii nzuri kwa sababu kwenye jua kuna kitu fulani kinaitwa vdl hiki kinasaidia ugonjwa usisambae
wagonjwa wengine huchagua matibabu yanayoondoa rangi ya ngozi kwa kuchuna ngozi yote kama sehemu kubwa itakuwa imeathirika lakini kwa hapa kwetu maadili yetu hayaruhusi kufanya hivyo anasema
ugonjwa wa vitiligo unaweza kumfanya mtu afadhaike hasa unapoenea usoni
huu ugonjwa unaondoa haiba ya mtu hivyo anaweza akajinyanyapaa mwenyewe au akawa hajiamini ni ugonjwa unaomfanya mtu asijikubali utakuta wengine wanafunika mikono au mdomo wake kutokana na ngozi kubabuka anasema dk mango
josephine andrew (37) mkazi wa buza dar es salaam ambaye amepata ugonjwa huo uliosababisha viganja vyake kubabuka ngozi anasema mimi nimeamua kujifunika tu mikono yangu kwa sababu unaweza kukutana na mtu unataka kumsalimia kwa kumpa mkono anasita kuupokea wanafikiri kwamba nina ugonjwa wa kuambukiza
dk mango anashauri mtu anapoona baka lolote ambalo si la kawaida mwilini mwake ni vizuri akafika kwa wataalamu wa magonjwa ya ngozi
ni vizuri ukafika kwa wataalamu wakueleweshe na kukutofautishia kwa sababu kuna magonjwa mengine kama ya fangasi ukoma na mengine hata kwenye biblia wagonjwa wengi walioandikwa sana kwamba wana ukoma walikuwa na vitiligo anasema
na nora damian mtanzania
ñuñoa abogado arrendamiento
http//viagrafeminin18com le premier viagra fг©minin bientгґt commercialisг©
http//globalpharmacyrx24com canamerica global pharmacy
http//xuemedellinunaleduco/grupois/wiki/indexphp/we_will_direct_you_to_web_marketing_achievement
cool info interesting tips over this web its pretty worth enough for me personally if all site owners and bloggers made good content as you did the net will be a lot more useful than ever before| i could not resist commenting i have spent 3 hours looking for such informations ill also share it with some friends interested in it ive just bookmarked this web done with the task done i going to watch some model cams thank you very much greetings from catalonia
what i do not realize is actually how you are not actually much more wellliked than you may be now youre so intelligent you realize thus significantly relating to this subject produced me personally consider it from so many varied angles its like women and men arent fascinated unless it is one thing to do with lady gaga your own stuffs excellent always maintain it up
what i dont understood is if truth be told how you are not really a lot more wellfavored than you may be right now youre very intelligent you understand thus significantly in the case of this subject produced me personally consider it from so many various angles its like women and men are not fascinated until it is one thing to accomplish with girl gaga your own stuffs excellent always handle it up
my coder is trying to convince me to move to net from php i have always disliked the idea because of the costs but hes tryiong none the less ive been using movabletype on numerous websites for about a year and am concerned about switching to another platform i have heard very good things about blogenginenet is there a way i can transfer all my wordpress content into it any kind of help would be greatly appreciated
my programmer is trying to convfince me to move to net from php
but hes tryiong none the less ive been usiong movabletype on a number off websites
foor about a year and am worried about switching to another
the following time i learn a weblog i hope that it doesnt disappoint me as a lot as this one i mean i do know it was my option to learn however i truly thought youd have one thing attentiongrabbing to say all i hear is a bunch of whining about one thing that you could possibly fix in the event you werent too busy in search of attention
good interesting information over this website its pretty worth enough for me in my view if all web owners and bloggers made good content as you did the web will be a lot more useful than ever before| i couldnt refrain from commenting i have spent some time looking for such tips i will also share it with a couple of friends interested in it i have just bookmarked this web right now with the search done i will visit some russia model cams thank you regards from mundial 2018
how can i subscribe for a blog wweb site
the account aide me a acceptable deal i had been tiny bit acquainted of this your broadcast offered bright clear concept
cool article interesting information over this website its pretty worth enough for me in my opinion if all site owners and bloggers made good content as you did the internet will be a lot more useful than ever before| i couldnt resist commenting i have spent 3 hours trying to find such infos i will also share it with a couple of friends interested in it i have just bookmarked this web done with the task done ill visit some russia model webcams thanks regards from russia wm
ali ostwinkle | 2018-07-18T02:55:05 | https://mwendokasi.000webhostapp.com/index.php/2016/10/27/ugonjwa-wa-vitiligo-sasa-wawashambulia-watoto-wa-kike-ukeni/ |
mwanahamisi yanga nimewafunga kwa makosa yao global publishers
mwanahamisi yanga nimewafunga kwa makosa yao
january 17 2019 by global publishers
mshambuliaji wa simba queens mwanahamisi omary gaucho (kulia)
mshambuliaji wa simba queens mwanahamisi omary gaucho ameweka rekodi mpya katika medani ya soka la wanawake kufuatia kuwa mchezaji wa kwanza kufunga mabao manne katika mchezo wa simba na yanga nchini mwanahamisi alifunga mabao hayo katika mchezo wa ligi kuu ya wanawake maarufu kama serengeti lite womens premier league kati ya simba queens dhidi ya yanga princess
mwanahamisi omary (kushoto) akifanya yake
katika mchezo huo uliopigwa juzi kwenye uwanja wa karume ambao umekuwa wa kwanza katika soka la wanawake tangu kuanzishwa kwake huku simba ikiibuka na ushindi wa mabao 70
ushindi huo umesababisha simba kufi kisha pointi 13 nyuma ya ligi hiyo jkt queens kabla ya mchezo wa jana jioni dhidi ya simba walikuwa wanaongoza wakiwa na pointi 15 baada ya wote wakiwa wamecheza mechi tano kabla ya jumatano kukutana kwenye ligi hiyo
spoti xtra linalotoka kila alhamisi na jumapili limefanya mahojiano maalum na mwanahamisi maarufu kama gaucho akifananishwa na mshambuliaji wa zamani wa brazil na klabu ya barcelona ronaldinho gaucho juu ya mabao hayo
unazungumziaje kuwa mchezaji wa kwanza kuifunga yanga hat trick
binafsi naona kuwa na simba na yanga kwenye soka la wanawake hili limekuwa ni jambo zuri kwa kuwa tunahamasisha kesho kuwepo na lipuli azam ya wanawake itakuwa ni kitu kikubwa lakini kwenye upande wa kilichotokea kwenye mchezo kwangu ni historia tayari ikiwa kucheza simba pamoja na kuifunga yanga naamini imekuwa ni furaha kwa kuwa nimefanikiwa kufunga hat trick lakini inakuwa changamoto kubwa kwangu kuendeleza kiwango hiki katika kila mchezo
ulitarajia utafunga hat trick
unajua yanga ni timu nzuri halafu kila timu inayoingia kwenye ligi kuu ni bora ila tu ni suala la maandalizi kwa sababu mpira wa wanawake una changamoto nyingi mno lakini kuhusu kufunga hat trick sikuwa na wazo hilo ila nilijua kwamba naweza nikafunga pengine bao moja au mawili lakini sasa nimeweza kufunga mabao manne kwangu siyo jambo dogo
ligi ya wanawake ina changamoto gani
changamoto ni kubwa ila hakuna anayejua kwa kuwa watu wanatuona tu uwanjani tukicheza ila niwashukuru tff (shirikisho la soka tanzania) licha ya changamoto zilizokuwepo lakini bado w a m e k u w a wakiendelea kuandaa ligi hii kwa udhamini wa serengeti ukiangalia upande wetu bado kuna tatizo kubwa la udhamini kwa kuwa makampuni mengi yamekuwa yakizitolea macho ligi za wanaume tofauti na sisi hali ambayo imepelekea timu zinazoshiriki ligi zikiwa kwenye mazingira magumu
hii ni hat trick yako ya ngapi kiukweli katika msimu huu hii ndiyo hat trick yangu ya kwanza ila natarajia mengi zaidi huko mbele kadiri mungu atakavyonijalia kwenye ligi hii
unamzungumziaje kinara wa ufungajii kutoka jkt queens
kwanza msimu huu nimeshafunga mabao saba tayari lakini ukija upande wa fatuma mustapha ambaye ndiyo anaongoza kwa kufunga msimu huu kwangu ni mchezaji mzuri sana na siyo yeye peke yake hadi asha rashid mwalala namuheshimu pia unajua fatuma ndiyo alikuwa role model wangu namuheshimu kwa sababu timu yao ni nzuri na wapo sehemu mmoja kwa muda mrefu
lakini kwa upande mwingine ukiziondoa simba na yanga hizi timu nyingine bado zipo kwenye wakati mgumu kutokana na changamoto kibao ndiyo maana wanapokutana na jkt wanakuwa wameshachoka wanapigwa bao nyingi
yanga unawapa nafasi gani msimu huu
kufungwa kwao bao saba leo (juzi) kusiwafanye washushe morali yao chini kwa sababu wanatakiwa kuongeza juhudi zaidi katika kupambana na wajipange wao na uongozi wao ili waboreshe pale wanapokosea ukiangalia hata simba msimu uliopita
haikuwa bora kama msimu huu kwa sababu ilikuwa inafungwa hadi mabao tisa sasa na wao wakijua mapungufu yao watakuwa bora na siyo kukata tamaa
mpira uliopewa unakwenda kutumia
hapana huu mpira utabakia sehemu ya kumbukumbu ya maisha yangu nitauweka ndani kwangu na kila atakayekuja atauona hata mwenzangu akiona ataridhika kwa kile ninachokifanya
umepanga kufunga mabao mangapi msimu huu siwezi sema nitafunga mabao mangapi kwa kuwa ligi ni ngumu na ukiangalia kuna mechi zaidi ya 24 bado hatujacheza ila hapo kuna majeruhi halafu suala la namba
kuwafunga yanga bao nne peke yako walikuwa wanakuogopa hapana siyo kwamba wao walikuwa wananiogopa ila nimefanikiwa kuwafunga yanga ni kwa sababu ya makosa yao madogomadogo ndiyo yamepelekea kuwagharimu anasema gaucho
usikose kutazama kipindi cha spoti hausi kwenye global tv online leo saa 10 jioni
makala na ibrahim mussa | 2019-08-19T22:26:03 | https://globalpublishers.co.tz/mwanahamisi-yanga-nimewafunga-kwa-makosa-yao/ |
shambulizi la bomu la kutegwa somalia mamlaka za usalama zaendelea kutafuta miili ya waliofunikwa na vifusi magic fm tanzania
shambulizi la bomu la kutegwa somalia mamlaka za usalama zaendelea kutafuta miili ya waliofunikwa na vifusi
mamlaka za usalama nchini somalia zimesema kwamba idadi ya watu waliouawa baada ya bomu kulipuka kwenye lori katika mji mkuu wa nchi hiyo mogadishu mwishoni mwa wiki huenda ikawa zaidi ya tatu
shambulizi hilo linaelezewa kuwa baya zaidi kuwahi kutokea kwenye eneo lote la afrika kusini mwa jangwa la sahara ambapo takribani watu 400 walijeruhiwa na wengine 70 hawajulikani walipo baada ya kufukiwa na vifusi kufuatia mlipuko huo uliolengwa dhidi ya umati wa watu
kundi la kigaidi la alshabaab lenye kufungamana na alqaida linatajwa kuhusika ingawa halijatoa tamko
kukiri kundi hilo limekuwa na historia ya kufanya mashambulizi nchini humo
kufuatia shambulizi hilo rais wa marekani donald trump ameapa kuongeza mapambano dhidi ya kundi hilo la kigaidi huku rais wa somalia mohamed abdullahi mohamed akitangaza operesheni mpya ya kijeshi dhidi ya al shaabab
somalia imetangaza siku tatu za maombolezo kufuatia mauaji hayo huku ikiomba wananchi kujitolea damu ili kusaidia majeruhi wenye uhitaji | 2020-07-10T03:11:57 | http://www.magicfm.co.tz/sham34/ |
shangazi akujibu ukatili wa mpenzi kunitema na kuhama wanishtua taifa leo
hujambo shangazi nimekuwa nikiishi na mpenzi wangu ambaye tumezaa mtoto pamoja amekuwa akiahidi kunioa lakini kitendo chake kwangu kimenishangaza juzi alinishauri niwatembelee wazazi wangu na akanipa pesa niwapelekee nilirudi baada ya siku mbili nikapata amehama kutoka kwa nyumba ambamo tumekuwa tukiishi nilipompigia simu aliniambia ameoa mwanamke mwingine na wakahamia mahali pengine sina kazi na nimelazimika kurudi kwa wazazi wangu pamoja na mtoto wangu nifanye nini
mpenzi wako amekuchezea akili ingawa mmekuwa mkiishi pamoja huku akiahidi kuwa atakuoa inaonekana aliamua kwamba hilo halitawahi kutokea na amekuwa akipanga jinsi ya kukutenga hatimaye alikuwekea mtego na akafaulu sasa ameoa mwanamke mwingine kwa kiwango fulani unafaa kujilaumu mwenyewe pia kwa kukubali kuzaa na kuishi naye kabla ya kuhalalisha uhusiano wenu kwa sababu hiyo hakuna unachoweza kufanya kwa sababu hukuwa mke wake
simpendi na simtaki
kwako shangazi kuna mwanamume ambaye tumekuwa wapenzi kwa mwaka mmoja sasa nilikubali ombi lake baada ya kunifanyia hisani wakati fulani nilipokuwa taabani ukweli ni kwamba simpendi na sitaki kuendelea kupoteza wakati kwake nikijua uhusiano wetu hautatupeleka popote lakini nahofia kumwambia kwa sababu ninajua ananipenda kwa dhati na sijui itakuwaje akijua ukweli huo tafadhali nishauri
mapenzi ni suala la moyoni na hayafai kuingizwa mzaha kuna watu wengi ambao wamejitoa uhai kwa sababu ya mapenzi wewe unajua kuwa uliingia katika uhusiano huo kwa sababu ya wema ambao mwanamume huyo alikufanyia lakini yeye hajui hivyo anaamini ulikubali ombi lake kutokana na mapenzi ya dhati bila shaka ataumia sana moyoni akijua ukweli lakini itabidi umwambie kwani sio wewe tu unayepoteza wakati wako bali yeye pia fanya hivyo haraka iwezekanavyo
anihangaisha na sms
vipi shangazi kuna mwanamke tuliyekuwa wapenzi lakini nikamuacha nilipogundua alikuwa akinicheza na mwanamume mwingine licha ya kumuacha ameendelea kuniandama akiniambia ni mimi anayependa lakini mimi simtaki sasa nimepata mwingine na huyo wa awali anaendelea kunipigia simu na kunitumia sms za kimapenzi nifanye nini
vitendo vya mwanamke huyo vinaonyesha kuwa anakupenda kwa dhati na huenda kitendo chake cha kukucheza na mwanamume mwingine kilitokana na tamaa tu hiyo ndiyo sababu ameendelea kukufuata kwa matumaini kwamba utamrudia kutokana na hali hiyo ni rahisi sana kwake kukuharibia uhusiano wako akipata nafasi na hiyo hasa inaweza kuwa nia yake ni muhimu umwambie ukweli mpenzi wako kisha ubadilishe nambari yako ya simu ili kuepuka kero zake
pato limetugawanya
kwako shangazi nimependana na mwanamke ambaye ameajiriwa kazi nzuri na analipwa mshahara mkubwa mimi pia ninafanya kazi lakini mapato yangu ni duni yakilinganishwa na yake tunapendana kwa dhati tatizo ni kuwa mpenzi wangu anatumia hali yake hiyo kunitawala kimawazo wakati mwingine pia huwa ananionyesha dharau mbele ya marafiki zetu nifanye nini
uwezo wa kifedha na mamlaka haufai kuwa kikwazo katika uhusiano wa kimapenzi mapenzi ya dhati ni kumheshimu mwenzako awe maskini au tajiri tabia ya mpenzi wako ya kutaka kukudhalilisha kwa sababu ana pesa nyingi kukushinda ni dalili mbaya katika uhusiano wenu itakuwa vyema uketi naye chini mshauriane kuhusu jambo hilo kama anathamini uhusiano wenu ni lazima ajirekebishe asipojirekebisha sasa hali itakuwa hiyo hiyo utakapomuoa
hawajali nimeolewa
mimi nimeolewa lakini wanaume wengi wananifuata na wanajua nimeolewa nifanyeje kwani nimejaribu kuuwapuuza lakini hakuna mabadiliko
kuwapuuza pekee hakutoshi bali wakabili na waeleze bayana kwamba haitatokea kamwe uwagawie tunda lako sio ajabu kwamba wanaendelea kukuandama hata baada ya kuwapuuza yawezekana bado wanayo matumaini lakini wakiona hutetereki hayo matumaini yatadidimia | 2020-02-28T16:16:37 | https://taifaleo.nation.co.ke/?p=44080 |
nyumbani > bidhaa > putzmeister forged concrete pump screw clamp
(jumla ya 24 bidhaa kwa putzmeister forged concrete pump screw clamp)
hebei shengdebaolong international trading coltd ni moja ya bidhaa za putzmeister forged concrete pump screw clamp zinazoongoza nchini china ni kiwanda na muuzaji aliye maalumu katika viwanda putzmeister forged concrete pump screw clamp toa ubora wa juu putzmeister forged concrete pump screw clamp kwa bei ya bei nafuu
putzmeister forged concrete pump screw clamp jumla kutoka china direct buy kutoka china wazalishaji wa kuongoza kwa bei nafuu kiwanda pata bidhaa putzmeister forged concrete pump screw clamp jumla kwenye hebei shengdebaolong international trading coltd na kupata ubora wa juu putzmeister forged concrete pump screw clamp moja kwa moja kutoka kwa wauzaji wa jumla wa china putzmeister forged concrete pump screw clamp na wasambazaji tuma mahitaji yako ya kununua & pata majibu ya haraka | 2019-07-18T12:56:14 | http://sw.sdblpumpparts.com/dp-putzmeister-forged-concrete-pump-screw-clamp.html |
profesa kitila amwandikia barua mkuu wa kkkt
you are athome»habari360»profesa kitila amwandikia barua mkuu wa kkkt
by habari360 on march 31 2018 habari360
dar es salaam katibu mkuu wa wizara ya maji profesa kitila mkumbo amemwandikia barua mkuu wa kanisa la kiinjili la kilutheri (kkkt) askofu frederick shoo akitoa maoni yake binafsi kwa kanisa hilo kuhusu maudhui ya waraka wa maaskofu wa kanisa hilo uliotolewa hivi karibuni
soma barua yote katika gazeti la mwananchi kesho jumapili
previous articletanzania yanusurika kuwekewa vikwazo na donald trump
next article tafadhali saidia kurejesha tanzania (arusha) mwili wa marehemu leyla mtumwa kutoka london england | 2019-08-18T08:37:03 | https://habarimpya.com/featured-2/habari360/profesa-kitila-amwandikia-barua-mkuu-wa-kkkt |
mar 13 | `bdd | step | eeta yesu ma'ana tomuliyao hada he'asisi 'oinega silatuwa ma 'ana tomuliya 'aigeda hada he'asisi 'ana hadao yesu 'ihe'itaeya 'igwae bada 'u'ita hadaedi 'adi paihowa bwebwe'ana hedada da'ule madoudi 'oidiyega si'abidiya
1eeta yesu ma'ana tomuliyao hada he'asisi 'oinega silatuwa ma 'ana tomuliya 'aigeda hada he'asisi 'ana hadao yesu 'ihe'itaeya 'igwae bada 'u'ita hadaedi 'adi paihowa bwebwe'ana hedada da'ule madoudi 'oidiyega si'abidiya
2ma yesu 'igwae hadaedi madoudi 'u'itediya 'i'iunamo ma mabwaiyadi siligeha yahuledi ma geya'abwa wete 'eta tupwa wa'ita'ita hila
3muliyetega yesu 'itauya olibe 'oyana 'oina ta 'imiyatoiya ma 'oinega hada he'asisi yelusalema 'oina 'i'e'ebubuna ma pita ta yemesa ta yoni ta andulu sinaoma ma siboidimo yesu ba'idadiu eema sihegwaeya sigwae 4bada 'uhegwaemai to tuta 'oina hada he'asisi siligehi ma to 'ila'ilala 'adi 'ita 'oidiyega 'ada sanapu 'abehega ginauledi 'i'iunamo silatuma
5coinega yesu 'ihe'ale 'oidiya 'ihepwaila ma 'igwaeya wa'ita yahigomi tabu ma tomota tupwadi si'abowegomi 6weyahina 'abwa tomota baibaiwadi saniguwega sinaonaoma ma 'abehega sihanugeta puigomi ma 'aigeda 'aigeda 'oidiyega sigwae taugu kelisoina ma tomota baibaiwadi simuliyedi 7wete wasa 'abwa wahesagohedi 'alehao deimiya ma wete bwaga taudimo si'ale'aleha hiladi ma hesi sahena wa'ate'ateyoho ginaula bewa nata silatu nugeta ma hesi bale'u 'ana 'ebelosaloha 'ana tuta 'abwa hedada 8weyahina 'abwa hali boda ma hali boda si'aleha hiladi ma wete hali 'ebeloina ma hali 'ebeloina silo'aleha hiladi ma wete mwani'ini'i sipilipili hali tupwa ma hali tupwa 'oidiya ma gomale madoudi sihapwehapwesa ma ginaulaedi bewa tuta mwauna 'ana 'ebehegaina tuwa
9ta 'omi hesi wa'itayahigomi weyahina tomota 'abwa si'abiyahigomi ma sitauyegomi yatala weyahina ta hada tapwalolo 'oidiya sisapigomi ta wete 'abwa toloinao ma kiniyao matadiya sitoegomi ma watoholo ma siheyatalaegomi beno weyahina 'omi 'abehega taugu 'igu bodao ta saugaina 'oina teteligu wahepwaile 'oidiya 10ma teteligu bwebwe'ana 'i'elelewana nugeta tupwa mabwaiyana 'oidiya ma muliyetega tuta 'ana 'ebelosaloha 'ihapwesa
11ma 'eguma toloinao matadiya sihetohologomi yatala weyahina sahena wa'ate'ateyoho togidega wagwae 'esa ma hesi ma'imi 'atepatu tuwa wagwae weyahina geya 'abehega 'omi 'imi gwae wahehepwaile ma hesi yaluyaluwa tabuna nata gwae 'i'ebwaegomi ma wahepwaila latuhe
12ta wete tuta sinaonaoma 'oidiya tomota 'idi susu 'alodiya 'aleha 'ihapwesa weyahigu beno loheya tasina 'itebae ma silohe'amasi ma wete gide tamana natuna 'itebae ma silohe'amasi ma wete gwagwama sinadiyao ta tamadiyao sitebaedi ma silohe'amasidi 13ta tomota mabwaiyadi 'abwa silo'alehegomi weyahina 'omi 'abehega 'agu tohemisao ma hesi taiyawedi 'omi weyahigu wa'atepatu ee 'ana siga tuta 'ana 'ebelosaloha 'oina nata 'ebe yaliyaya waloba
14cabwa 'eguma 'omi wa'itadi hali tomota ginaula gala hedadedi ma didigadi sihetoholodi tupwa he'ahe'asisina 'oina (ceguma taiya nage gwaeina 'ihasili 'abwa 'isanapu) tuta nage 'oina yudiya 'ana tomiyao 'ilobwainediya ma 'oya 'oidiya sidena 15ma 'eguma taiya wagahata 'imiyamiya 'idena mwayamwayau ma sahena 'iluhuluhu hila 'ina hada 'alona 'ina tobwatobwa sabi 'ewadi 16ma 'eguma taiya wete tanoha 'ipaipaihowa geya'abwa wete 'ihilahila 'ana 'ale'o hali tupwa 'ilaguya 'i'ewa
17ma tuta nage 'oina togamwa ma tohesusuwao sihenuwa'ole'ole 18coinega wa'ahwanoi waiwai ma tuta bwebwe'ana yehoba 'i'ebwaegomi 'imi tuta dena 'oina ma sahena gogai 'ana tuta
19moisa tuwa tuta nage 'oina mwau hedada weyahina tutaina yehoba bale'u 'ihemasaleheya 'oinega ma 'ana siga nige geya 'aigeda wete mwau nage gide 'ida latuwa ma 'abwa geya sowana wete mwau bewa gide 'ida latu hila 20mwau nina 'ana sabwelowao 'eguma yehoba sahena 'i'abi'abi hetoto'upe beno tomota mabwaiyadi si'amasa ma hesi yehoba sabwelowedi 'abwa 'i'abi hetoto'upadi tauna 'ina tomotaiyao hesihesinuwaidi weyahidi
21tutaina 'oina 'eguma taiya 'ihegwaegomi 'igwae keliso bewa nuwana nage sahena wahehemisaedi 22weyahina keliso 'abo'abodi ma palopita 'abo'abodi beno silatulatuma ma 'ila'ilala waiwaidi tomota 'oidiya sihe'itaedi ma 'oidiyega 'eguma sawasawahidi yehoba 'ina bodao hesihesinuwaidi si'abowedi 23coinega wa'ita yahigomi weyahina ginaulaedi bewa yahepwaila pwaiya 'oimiya
24ma tuta mwauwedi 'igumwala ma muliyetega sinala 'iguguyou ma wete wai'ena 'ina maedana 'igibo 25ma 'ipwala galewa sigubagubala ma ginaulao galewa mabwaiyadi simiyamiya 'idi waiwai si'elo we'a 26tuta nage 'oina mebale'u taugu loheyaiguina si'itegau yaloha 'oidiyega yasulusuluma ma'igu waiwai ta ma'igu wasawasa madouna 27'oinega 'igu aneloseyao yahetunedi 'igu bodao hesihesinuwaidi sihegogonedima bale'u ta galewa ta yaumai mabwaiyadi 'idi tupwa 'oidiyega
28cebe'ita saido* 'oinega yahe'itegomi 'abehega 'eguma saido nabaina hauhaudi 'ilagulagudi beno wasanapuya 'esihe 'ana tuta 'abwa 'ilatu 29ma wete 'ila'ilalaowedi 'oimiya yahepwailediya 'eguma to tuta ma wa'ita lobadi beno wasanapuya 'abehega 'igu tuta hilama 'ana tuta 'i'ehohoya 30moisa tuwa yaso bewa geya sowana wagumwagumwala ma 'ana siga ginaulaedi mabwaiyadi silatu
31cabwa galewa ma bale'u sisawala ma hesi 'igu gwae geya sowana 'isawasawala
cina hilama 'ana tuta geya 'ana tosanapumo
32ma hesi geya 'eta taiya 'isanapu to tuta nuwana to sabwelo 'oina yahilama ta wete aneloseyao galewa geya sisanapu ma taugu wete geya yasanapu ta tamagu 'iboinamo 'isanapuya 33coinega walomatayahi weyahina 'igu tuta hilama geya wasanapu
34cebe'ita wete yesu 'i'ebwaediya 'igwae ceguma 'aigeda bada 'abehega 'ina hada 'abwa 'ipilisine ma 'itautau hali tupwa 'ina topaihowa 'aigeda 'aigeda 'idi paihowa 'iheguyaidi ma 'iloinedi ma 'abehega 'ina hada si'itayahi ma wete hada 'ana 'ahwa'eda 'ana to'itayahina 'ihegwae 'igwae geya'abwa 'u'eno'eno ma hesi 'ulomatayahi bwaibwaini 35coinega 'ilobwainegomiya ma walomatayahi ma wayamweyamwegau weyahina toni hadaina 'ina latu 'ana tuta geya wasanapu nuwana lahilahiya nuwana nihuwana gamwana nuwana gona 'ada'adale nuwana gonagona 36geya'abwa yalatulatuma ma 'eno'enowega 'atemi yaloheyoho
37cigu hemataluwa bewa 'oimiya ma wete tomota mabwaiyadi 'oidiya 'abehega walomatayahi bwaibwaini | 2020-08-06T06:56:51 | https://www.stepbible.org/?q=version=BDD%7Creference=Mar.13 |
uchaguzi zanzibar wafutwa mwanahalisi online
posted by jabir idrissa october 28 2015 0 3873 views
mwenyekiti wa tume ya uchaguzi wa zanzibar (zec) jecha salim jecha ametangaza kufuta matokeo ya uchaguzi wa kisiwani humo bila kutoa sababu za kufanya hivyo anaandika jabir idrissa zanzibar (endelea)
jecha ametangaza tangazo hilo kupitia shirika la habari la zanzibar (zbc) na kuacha sintofahamu kwa wananchi wa zanzibar wasijue nini cha kufanya
jecha hakuwepo katika ukumbi wa kufanya majumuisho ya kura za urais wa zanzibar bila kutoa taarifa yoyote
majukumu ya kufanya majumuisho ya kura yalikuwa yakisimamiwa na makamo mwenyekiti wa zec jaji adbulhakim issa ameir ambaye naye alitekwa muda mchache kabla ya tangazo hilo kutolewa
jaji ameir alikuwa akisimamia majumuisho hayo lakini aliitwa nje na kuchukuliwa na askari wa ffu na kupelekwa pasipojulikana na muda mchache ujao ikatangazwa taarifa hiyo
mwanahalisi online inafuatiliwa kwa karibu tukio hilo na itawaletea taarifa kamili
mwenyekiti wa tume ya uchaguzi wa zanzibar (zec) jecha salim jecha ametangaza kufuta matokeo ya uchaguzi wa kisiwani humo bila kutoa sababu za kufanya hivyo anaandika jabir idrissa zanzibar (endelea) jecha ametangaza tangazo hilo kupitia shirika la habari la zanzibar (zbc) na kuacha sintofahamu kwa wananchi wa zanzibar wasijue nini cha kufanya jecha hakuwepo katika ukumbi wa kufanya majumuisho ya kura za urais wa zanzibar bila kutoa taarifa yoyote majukumu ya kufanya majumuisho ya kura yalikuwa yakisimamiwa na makamo mwenyekiti wa zec jaji adbulhakim issa ameir ambaye naye alitekwa muda mchache kabla ya tangazo hilo kutolewa jaji ameir alikuwa&hellip
previous mahakama yawangangania vijana chadema
next ukawa wagomea matokeo ya nec | 2018-09-23T16:01:56 | http://mwanahalisionline.com/uchaguzi-zanzibar-wafutwa/ |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.