text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
ayatullah dastaghayb dhambi kuu la kutokulipa zaka khums na sadaqah by ayatullah dastaghayb wala wasione wale ambao wanafanya ubakhili katika yale aliyowapa allah swt katika fadhila zake kuwa ni bora kwao la ni vibaya kwao watafungwa kongwa za yale waliyoyafanyia ubakhili siku ya qiyamah yaaani wale ambao wanamiliki mali kwa kipindi kifupi tu ambayo hatimaye watakufa na hakuna shaka kuwa hakuna kitakachobakia kingine isipokuwa ufalme wa allah swt hivyo inatubidi sisi tutumie mali hii vyema iwezekanavyo katika njia ya kutuletea baraka na uokovu siku ya qiyamah kabla mali hii haijatutoka na tukaiacha humu humu duniani imeandikwa katika minhajussadiqiin kuwa imeelezwa katika hadith kuwa na anayemuogopa ( mwenyezi mungu mwingi wa kurehemu na hali ya kuwa humuoni na akaja kwa m oyo ulioelekea ( kwa mwenyezi mungu) (5033) je umejingamua una nafsi ya aina gani undani mwako (jitahadharishe) naye alimjibu zipo dinar arobaini tu imam as alimwambia dinar zote hizo zigawe sadaqah abdullah ibn maimun almaktubfasiil bin 'iyaar na malik bin jawza wamenakiliwa wakiripoti kutoka kwa baba yao kuwa bifatimah azzahra as alimwambia abubakr kuwa mtume saww alimpatia zawadi na hivyo amrejesheena katika kuthibitisha hivyoimam ali as alitoa uthibitisho wake na hapo ndipo abubakr alitaka kuletwa mashahidi wengineo ummi aiman alitoa shahada katika dai la bifatimah as hapo abubakr alimwambia bifatimah as kuwa unaelewa vyema kuwa ushahidi haukubaliki hadi kuwepo na ushahidi wa wanamme wawili au mwanamme mmoja na wanawake wawili hapo bifatimah as alirudi na kunijulisha hayo kumsaidia msafiri ambaye amekumbwa na matatizo akiwa safarini ambaye hawezi kuchukua deni au kuuza kitu alichonacho kwa ajili ya kurudi nyumbani kwake hata kama yey prev il khums una tassa islamica next visa vya wachamungu
2020-05-25T02:47:42
https://en.rafed.net/article/dhambi-kuu-la-kutokulipa-zaka-khums-na-sadaqah
kata ya naumbu kata ya ziwani kata ya libobe kata ya mayanga kata ya ndumbwe kata ya dihimba kata ya mkunwa (hq) wanawake vijana walemavu wapatiwa milioni 675 posted on june 12th 2020 vikundi vya ujasiriamali vya akina mama vijana na watu wenye ulemavu katika halmashauri ya wilaya ya mtwara wamepatiwa zaidi ya jumla ya tzs milioni mia tano kuanzia kipindi cha 2015 hadi mei 2020 ikiwa ni utekelezaji wa kuwezesha kiuchumi kwa makundi hayo kupitia 10 ya mapato ya ndani ya bajeti akitoa taarifa mbele ya waheshimiwa madiwani mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya mtwara amesema kuwa maboresho yaliyofanyika katika sheria na kanuni za mikopo inayotokana na asilimia 10 ya mapato ya ndani imesaidia sana kuratibu usimamizi na ufuatiliaji wa walengwa pia imesaidia kuongeza uelewa mpana wa lengo kuu la uwezeshaji kiuchumi katika kuongezea hilo mwenyekiti wa halmashauri ameeleza kuwa ufuatliaji uendelee ili kuhakikisha marejesho yanafanyika kwa wakati kwaajili ya kuongeza kiwango cha fedha kinachotakiwa kukopeshwa amewataka waheshimiwa kutumia ushawishi wao kuongea na vikundi vilivyopo katika kata zao kufanya marejesho kwa wakati taarifa ilieleza kuwa kwa kipindi cha kuanzia 2015 hadi juni 2020 jumla ya wanufaika 932 kutoka vikundi vya akina mama vijana na watu wenye ulemavu wamepatiwa mikopo yenye thamani ya tzs 67575425753 wengi wao wanajishughulisha na ufugaji na uvuvi wa samaki kuku kilimo cha mwani alizeti na ufuta ushonaji na mama lishe imeelezwa kuwa thamani ya mkopo huo na idaidi ya wanufaika inatarajiwa kuongezeka kwa sababu mwezi ujao watakopeshwa wanavikundi wengine huku rai ikiendelea kutolewa kuwa wananchi wanatakiwa kuchangamkia fursa hizo kwakuwa mikopo inayotolewa haina riba na inalipwa ndai ya miezi 12 orodha ya waliopangiwa kujiunga kidato cha kwanza 2019 wavulana december 16 2018 orodha ya waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2019 wasichana december 17 2018 changamkia fursa ya viwanja vilivyopimwa kwa bei nafuu december 27 2018 wanaoanzisha migogoro ardhi wapigwa stop naumbu msangamkuu zanufaika ziara ya dc halmashauri yapewa wiki mbili kukamilisha madarasa 15 halmashauri yapaa kimapato rc mtwara ataka mabadiliko ligula hospitali
2020-07-10T07:10:56
http://mtwaradc.go.tz/new/wanawake-vijana-walemavu-wapatiwa-milioni-675
ireland gold akiba sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi ireland gold akiba
2019-10-20T10:13:42
https://sw.tradingeconomics.com/ireland/gold-reserves
polisi yazuia operation sangara ya chadema morogoro kisa hakuna askari | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'jukwaa la siasa' started by dosama aug 3 2012 jeshi la polisiccm liko kwa ajili ya kuzuia cdm sio kulindaclick to expand polisi wakusimamia hawapo lakini mkutano ukifanywa polisi wakuwasambaratisha wapo tanzania ni zaidi ya tuijuavyoclick to expand chadema hawana kazi nyingine ya kufanya zaidi ya hizo operationmbuziclick to expand acha uzushini operation sangara sio mbuziclick to expand kwani wewe ulichokusudia ni kutujuza agizo la polisi au ktoa concern yakoclick to expand nadhani yuko sahihi kuuliza hinvyo is too much wakumbuke kibaya chajitembeza na kizuri chajiuzaclick to expand chadema hawana kazi nyingine ya kufanya zaidi ya hizo operation mbuziclick to expand hebu toa mapendekezo yako kwamba wafanye kazi gani tofauti na iyo izo ni opereshen sangara tu sangara akiwa mkubwa kama mbuzi wewe utazikwa ukiwa haia sbaby [td] mkutano wao wapigwa marufukuwenyewe wasema lazima ufanyike pamoja na zuio hilo chadema wanasema lazima mkutano huo ufanyike kwa maelezo kwamba sababu zilizotolewa na polisi siyo za msingi na zina ajenda ya kuhujumu kampeni yao waliyoiita &#8216vua gamba vaa gwanda' kama wengine wakipanga eneo fulani basi sheria inataka chama kingine kifanye mkutano wake mita 500 kutoka walipo wenzao alisema kulingana na taarifa hiyo (ambayo mwananchi limeona nakala yake) sehemu yake inasomeka rejea barua yako ya julai 30 2012 ya kutoa taarifa na kuomba ulinzi kwa ajili ya maandamano na mikutano ya hadhara mliyokusudia kufanya k/ndege agosti 4 2012 na agosti 5 kwa kata 28 kwa mantiki hiyo kamanda wa polisi mkoa wa morogoro amesitisha mikutano ya hadhara na maandamano hayo kwa mujibu wa kifungu namba 43 (16) cha sheria za polisi na polisi wasaidizi sura 322 kama ilivyorekebishwa mwaka 2002 inabainisha barua hiyo [/td] [td=class modifydate][/td]
2017-04-25T22:52:10
https://www.jamiiforums.com/threads/polisi-yazuia-operation-sangara-ya-chadema-morogoro-kisa-hakuna-askari.302263/
leggi e culto corano e dagli hadith (narrazioni) spiritualitá e filosofia wafuasi halisi wa ahlulbayt as na sifa zao je inatosheleza kwa mtu kujiita shia na mfuasi wetu ati kwa kudhihirisha mapenzi yetu ahlul bayt kamwe sivyo hivyo kwa kiapo cha allah swt huyo mtu kamwe hawezi kuwa mfuasi wetu isipokuwa yule ambaye amejawa khofu ya allah swt na kumtii ipasavyo ewe jaabir wafuasi wetu hawawezi kutambuliwa isipokuwa kwa sifa zifuatazo watakazo kuwanazo unyenyekevu kujitolea uadilifu kumsifu allah kupita kiasi kufunga saumu na kusali kuwatii wazazi kuwasaidia masikini wenye shida wenye madeni na mayatima wanaoishi karibu naye kusema ukweli kusoma quran kuuzuia ulimi kusema chochote kuhusu watu isipokuwa kwa mapenzi na kuwa mwaminifu kwa majamaa kwa maswala yote 88 amesema alimam jafar assadiq as alkafi j 2 uk 56 kwa hakika sisi huwapenda wale walio na busara wenye kuelewa wenye elimu wenye kufanya subira waaminifu na wenye imani kwa hakika allah swt aliwajaaliwa mitume as kwa tabia njema kwa hivyo yeyote yule aliye na sifa hizo basi amshukuru allah swt lakini yule ambaye hana hayo basi amlilie allah swt aliye mkuu na mwenye uwezo na amwombe hayo jaabir kwa unyenyekevu alimwuliza imam as ndiyo yapi hayo na imam as alimjibu nayo ni uchaallah swt kutosheka subira kushukuru kuvumilia tabia njema furaha hima bidii shauku ukarimu ukweli na uwaminifu katika amana 89 amesema alimam muhammad albaqir as alkafi j 2 uk75 yeyote yule anamtii allah swt basi ni mpenzi wetu na yeyote yule asiyemtii allah swt basi ni adui wetu (sisi ahlulbayt)
2017-03-27T23:42:55
https://www.al-islam.org/it/node/24364
wajumbe wa un watembelea beni drc | matukio ya afrika | dw | 14112016 wajumbe wa un watembelea beni drc wawakilishi wa baraza la usalama la umoja wa mataifa wakiongozwa na balozi wa angola kwenye baraza hilo wamekutana na wanasiasa mjini beni jamhuri ya kidemokrasi ya congo kujadili hali ya usalama ripoti ya john kanyunyu kutoka beni ujumbe huo ulikutana kwa mazungumzo na gavana wa mkoa wa kivu ya kaskazini pamoja na meya wa beni mkuu wa wilaya ya beni kamanda wa jeshi la serikali katika eneo la mashariki mwa drc pamoja na makamanda wa polisi katika mji na wilaya ya beni ujumbe huo ulikutana pia kwa mazungumzo na wajumbe wa mashirika ya kiraia wabeni maneno muhimu drc jamhuri ya kidemokrasia ya kongo beni kivu ya kaskazini baraza la usalama la umoja wa mataifa kiungo https//pdwcom/p/2sf8s wanajeshi wa congo na uganda wakabiliana ziwa edward 06072018 mapigano kati ya majeshi ya wanamaji wa jamhuri ya kidemokrasia ya kongo na wale wa ugada kwenye ziwa edward wilayani beni katika mkoa wa kivu kaskazini yanaripotiwa kuuwa watu wapatao sita watu 35 wauawa krismasi drc 27122016 mapigano yaliyofanyika kati ya makundi ya wanamgambo katika vijiji vya kivu kaskazini yameua watu 35 wakati wa kipindi cha krismasi ni eneo lenye idadi kubwa ya wakiristo katika jamhuri ya kidemokrasia ya kongo umoja wa mataifa kufunga kambi tano drc 21072017 kikosi cha umoja wa mataifa cha kulinda amani katika jamhuri ya kidemokrasia ya kongo monusco kimetangaza kuzifunga kambi tano katika mkoa wa kivu kaskazini sambamba na mpango wa kupunguza walinda amani nchini humo
2018-08-14T07:51:35
https://www.dw.com/sw/wajumbe-wa-un-watembelea-beni-drc/a-36383984
nyumbani > bidhaa > bidhaa za animial (jumla ya 24 bidhaa kwa bidhaa za animial) ningbo cland medical instruments co ltd ni moja ya bidhaa za bidhaa za animial zinazoongoza nchini china ni kiwanda na muuzaji aliye maalumu katika viwanda bidhaa za animial toa ubora wa juu bidhaa za animial kwa bei ya bei nafuu bidhaa za animial jumla kutoka china direct buy kutoka china wazalishaji wa kuongoza kwa bei nafuu kiwanda pata bidhaa bidhaa za animial jumla kwenye ningbo cland medical instruments co ltd na kupata ubora wa juu bidhaa za animial moja kwa moja kutoka kwa wauzaji wa jumla wa china bidhaa za animial na wasambazaji tuma mahitaji yako ya kununua & pata majibu ya haraka
2019-08-18T09:15:59
http://sw.cland-med.com/dp-bidhaa-za-animial.html
rais barack obama atia saini amri ya kufungwa kwa gereza la guantanamo | wafanyakazi wa idhaa ya kiswahili | dw | 22012009 rais barack obama atia saini amri ya kufungwa kwa gereza la guantanamo rais barack obamasiku ya tatu tangu kuapishwa rais wa marekani nitalifunga gezera la guantanamo ni kiwa rais na kweli ahadi hiyo sasa imetimia pale rais barack obama hii leo kutia saini amri ya kulifunga gereza hilo hii ambalo limekuwa kero kwa wengi duniani tangu lifunguliwe mwaka wa 2002 tangu atoe tangazo la kusimamishwa kwa muda wa siku 120 kwa mashtaka yote ya watuhumiwa wanaozuiliwa katika gereza hilona hatimaye kutiwa saini kwa amri hiyo hivi leo maswali mengi yameibuka kuhusu nini hatima ya watuhumiwa hao ambao wamekuwa wakizuiliwa kwa miaka kadhaa bila kufikishwa mahakani sara mendeleson ni mtaalam katika kutio cha mikakati na masuala ya kimataifa mjini washington sara mendelson anasema ``katika mfumo wa sheria ya uhalifu nchini marekani tangu mwaka wa 2001 kuna jumla ya watu 145 waliohukumiwa katika kesi za ugaidi wa kimataifa ingawa hakuna ushahidi lakini taarifa zilizokusanywa kuwemo utesaji wa watuhumiwa katika mfumo wa sheria hivyo basi panahitajika kamati mpya za waendesha mashtaka na maafisa wa upelelezi wa fbi kufanya uchunguzi na kukusanya ushahidi mpya´´ robert gates anasema ``kwangu mimi nahisi tunahitaji sheria mpya ili mtu anapoachiliwa kutoka gereza la guantanamo asiweze kuomba hifadhi ya ukimbizi nchini marekani´´ ponda/ reuters/ ni siku ya tatu tangu kuanza kazi yake katika ikulu ya white house kama rais wa marekani na tayari rais barack obama amekuwa na shughuli nyingi tangu kuapishwa kwake siku ya jumanne (22012009) rais obama ameanza vipi kazi ikulu nini hatima ya gereza la guantanamo na wafunga wake (22012009) kiungo http//pdwcom/p/geqf
2017-12-12T00:22:41
http://www.dw.com/sw/rais-barack-obama-atia-saini-amri-ya-kufungwa-kwa-gereza-la-guantanamo/a-3968661
waziri ummy mwalimu afungua mkutano wa dunia wa masuala ya kudhibiti kifua kikuu maendeleo vijijini home / afya / waziri ummy mwalimu afungua mkutano wa dunia wa masuala ya kudhibiti kifua kikuu waziri ummy mwalimu afungua mkutano wa dunia wa masuala ya kudhibiti kifua kikuu maendeleo vijijini 2/15/2017 094700 pm afya waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsiawazee na watoto mheummuy mwalimu akihutubia wadau (hawapo pichani) wa kifua kikuu toka nchi mbalimbali walioshiriki mkutano wa dunia wa 12 wa masuala ya kudhibiti kifua kikuu unaofanyika kwenye ukumbi wa hoteli ya hyatt regency jijini hapa mganga mkuu wa serikali prof mohammad bakari kambi akiwasilisha mada mada kwenye mkutano huo ambao unafanyika kwa siku tatu na umewashirikisha serikalisekta binafsimashirika binafsi na wadau mbalimbali wa afya waziri ummy mwalimu akionesha kitabu cha mapambano dhidi ya kifua kikuu chenye mikakati mbalimbali ya kudhibiti ugonjwa huo waziri ummy mwalimu akifuatalia mada iliyokuwa ikiwasilishwakulia ni mganga mkuu wa serikali prof mohammad kambi washiriki mbalimbali wa mkutano huo wakifuatilia mada zinazowasilishwa kwenye mkutano huo picha ya pamoja ya washiriki wa mkutano wa dunia wa 12 wa masuala ya kudhibiti kifua kikuu dunianinchi zilizohudhuria mkutano huo afrika (tanzania ethiopiakenya malawi namibia uganda zambia na afrika kusini) nchi za asia ni (indiapakistanbangladesh) picha zote na rayson mwaisembawizara ya afya)
2018-01-23T15:39:06
http://maendeleovijijini.blogspot.com/2017/02/waziri-ummy-mwalimu-afungua-mkutano-wa.html
china abckibanda cha maua ya peony majira ya spring yalifika chun xiang alimwambia du liniang kuwa nyuma ya nyumba kuna bustani nzuri kwa kuwa na du liniang alikuwa anafuata maadili ya umwinyi kila siku ya mwaka mzima alikuwa anajifungia chumbani kusoma na kutaziri tu kutokana na kushawishiwa na chun xiang kisirisiri alikwenda kwenye bustani mandhari ya bustani ilikuwa nzuri kweli maua ya aina mbalimbali yalikuwa yamechanua miti mikubwa mikubwa na ndege wa kila aina walikuwa wanalia lia na kuruka ruka mbele ya mandhari hiyo nzuri du liniang alifikiri kila siku alijifungia tu ndani ya nyumba ujana wake utakuwa kama mandhari ya bustani hiyo kwamba itapotea baada ya majira maua yatasinyaa majani yatapukutika kama uzuri haukumfurahisha mtu yeyote basi uzuri huo hauna maana yoyote du liniang akiwa na wazo hilo alirudi chumbani kwake na kutokana na uchovu mara alipata usingizi wa mang'amung'amu
2020-07-02T22:54:32
http://swahili.cri.cn/chinaabc/chapter19/chapter190304.htm
wizkid aweka wazi mradi mpya atakaoufanya tanzania wiki hii dar24 9 months ago comments off on wizkid aweka wazi mradi mpya atakaoufanya tanzania wiki hii wizkid ayo amepanga kuiweka tanzania kwenye mradi wake mpya wa muziki akitumia mazingira warembo na watalaam kutoka ardhi ya nyerere mkali huyo wa joro ambaye jana alikuwa miongoni mwa wasanii waliopanda kwenye jukwaa la wasafi festival jijini dar es salaam amesema kuwa atarekodi video ya wimbo wake mpya kabla hajarudi nchini nigeria nitafanya video ya wimbo wangu nikiwa hapa na nitafanya na muongozaji anaitwa kenny itakuwa video maalum na nitakuwa na wasichana maalum kutoka tanzania kwenye hiyo video kwahiyo mjiandae kwa hilo alisema wizkid alipowasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere wizkid ameongozana na tiwa savage ambaye mbali na kufanya naye miradi kadhaa ya muziki wamekuwa washirika wanaoaminika kuwa ni wapenzi wasiotaka kukiri kwa kinywa chao mbele ya umma ingawa wanaonesha mara kadhaa kwa vitendo kenny ndiye aliyepika video ya wimbo mpya wa diamond baba lao ambayo ubora wake umeakisi ubora wa kimataifa na huenda ndio sababu wizkid ameamua kuwekeza pia kupitia mkono wake wizkid ni miongoni mwa wasanii wachache wa afrika walioweza kushika masikio ya mkondo a wa muziki nchini marekani na sehemu nyingine duniani endapo atakamilisha video yake nchini itakuwa sehemu nzuri ya nyongeza katika juhudi za kuitangaza ardhi ya tanzania hata hivyo huenda kuna balaa lingine litapikwa kati ya diamond na wizkid kwa kuzingatia historia ya diamond anapokutana na wasanii wenye ukubwa kama huo hapa nchini mwaka 2014 alikutana na davido aliyekuja kwa ajili ya fiesta jijini dar es salaam na ikazaliwa remix ya number one ambayo ilimfungulia diamond mlango mkuu wa kuingia kwenye kiwanda cha muziki duniani burudani 4 days ago burudani/habari 1 month ago afya/ajira/burudani 1 month ago
2020-08-06T12:54:23
http://www.dar24.com/wizkid-aweka-wazi-mradi-mpya-atakaoufanya-tanzania-wiki-hii/
wiki hii pata burudani mubashara na videos ackyshine blog👍kali🐨😂2017💯 [video] angalia huyu jamaa anachofanya usijaribu utaumbuka bofya play kwenda kwenye video hii ya angalia huyu jamaa anachofanya usijaribu utaumbuka [video] ajali ya gari ya ajabu bofya play kwenda kwenye video hii ya ajali ya gari ya ajabu [video] kwa mbwembwe zote wageni waalikwa wameanguka wakati wakipanda jukwaani bofya play kwenda kwenye video hii ya kwa mbwembwe zote wageni waalikwa wameanguka wakati wakipanda jukwaani [video] angalia huyu dada wa watu kitu alichofanyiwa bofya play kwenda kwenye video hii ya angalia huyu dada wa watu kitu alichofanyiwa [video] angalia huyu nyani anachomfanyia huyu dada bofya play kwenda kwenye video hii ya angalia huyu nyani anachomfanyia huyu dada [video] cheki huyu alivyopigwa bonge la kabari bofya play kwenda kwenye video hii ya cheki huyu alivyopigwa bonge la kabari [video] ukisikia mtaalamu wa baisikeli ndio huyu baisikeli inapaishwa yani bofya play kwenda kwenye video hii ya ukisikia mtaalamu wa baisikeli ndio huyu baisikeli inapaishwa yani [video] angalia hawa watu wanavyofanya mchezo na nyuki jaribu wewe uone usipolazwa hospitali bofya play kwenda kwenye video hii ya angalia hawa watu wanavyofanya mchezo na nyuki jaribu wewe uone usipolazwa hospitali [video] angalia hii ajali mwenzake kakoswa koswa bofya play kwenda kwenye video hii ya angalia hii ajali mwenzake kakoswa koswa [video] angalia huyu mbwa anayeweza kuendesha gari bofya play kwenda kwenye video hii ya angalia huyu mbwa anayeweza kuendesha gari [video] angalia huyu jamaa anachofanya na huyu nyoka wake bofya play kwenda kwenye video hii ya angalia huyu jamaa anachofanya na huyu nyoka wake [video] angalia huyu mwanamke alichokifanya sasa kawa kama mtoto bofya play kwenda kwenye video hii ya angalia huyu mwanamke alichokifanya sasa kawa kama mtoto [video] angalia huyu alivyo mtaalamu wa kucheza pool table bofya play kwenda kwenye video hii ya angalia huyu alivyo mtaalamu wa kucheza pool table [video] hii ndiyo kwa nini usiwaachie watoto wadogo mtoto bofya play kwenda kwenye video hii ya hii ndiyo kwa nini usiwaachie watoto wadogo mtoto [video] mwangalie huyu bwana harusi mshamba alivyo muoga bofya play kwenda kwenye video hii ya mwangalie huyu bwana harusi mshamba alivyo muoga [video] cheki huyu alivyomtishia mwenzake na karai bofya play kwenda kwenye video hii ya cheki huyu alivyomtishia mwenzake na karai [video] dawa ya wanafunzi wanaosinzia na kulala darasani bofya play kwenda kwenye video hii ya dawa ya wanafunzi wanaosinzia na kulala darasani [video] huyu ndiyo mbuzi mwenye kipaji maalumu cha masikio bofya play kwenda kwenye video hii ya huyu ndiyo mbuzi mwenye kipaji maalumu cha masikio soma zaidi kuhusu foleni ndeeeeefu soma zaidi kuhusu angalia alichojibu huyu mwanafunzi ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje soma zaidi kuhusu jinsi ya kupika wali wa sosi ya tuna soma zaidi kuhusu niliona kitoroli kidogo kimepaki kina matairi mawili soma zaidi kuhusu sababu za magonjwa ya figo soma zaidi kuhusu mmasai alivyochafua hali ya hewa kwenye mazishi soma zaidi kuhusu hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani soma zaidi kuhusu alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani soma zaidi kuhusu kila mtu dunia hii anahistoria yake soma zaidi kuhusu jinsi ya kupika mboga za majani makavu (aina yoyote) soma zaidi kuhusu hii pete bei gani soma zaidi kuhusu ushauri kwa wanaume soma zaidi kuhusu madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya usikose jarida la kilimo bora cha hoho kwa tsh 0/= (bure) 0/= tuu kilimo cha hoho kimeelezewa <<bofya hapa kuoda>> usikose jarida la kilimo bora cha vitunguu maji na vitunguu twaumu (swaumu) kwa tsh 0/= (bure) 0/= tuu linatoa elimu ya kulima vitunguu
2017-03-24T10:09:31
http://www.ackyshine.com/featured-videos:wiki-hii-pata-burudani-mubashara-na-videos
genuine fast charger in dar es salaam | zoomtanzania je wewe ni miongoni mwa wanaohitaji charger original kama ndio njoo nikupatie charger ambayo itakuwa na suluhisho la tatizo lako charger hii ni ya kipekee yenye uwezo mkubwa 24a wa kujaza chaji kwa haraka ni charger ambayo ina ports mbili za kuchaji simu na datacable (android) ambayo ni imara inatumika kuchaji simu ama kuhamisha data kutoka kwenye simu na computer inapatikana kwa kuchangia 25000tzs + freedelivery zinapatikana pia kwa jumla 18000tzs (kuanzia 3pcs) tunapatikana daressalaam qualitycentremall
2018-05-20T10:11:42
https://www.zoomtanzania.com/phone-chargers-batteries/genuine-fast-charger-985124
zahera uzembe ndio tatizo kwa wafungaji wangu gazeti la dimba home habari zahera uzembe ndio tatizo kwa wafungaji wangu kocha mkuu wa klabu ya yanga mwinyi zahera amesema sababu kubwa inayoiponza timu yake kushindwa kufunga magoli ni uzembe unaosababishwa na mastraika wake kwa kushindwa kumalizia mashambulizi yanayozalishwa na safu nzima ya ushambuliaji akizungumza jana baada ya mchezo wao dhidi ya ndanda fc ya mtwara zahera amesema hayo baada ya timu hiyo kukosa magoli mengi ya wazi kupitia kwa mshambuliaji wake haritier makambo hali iliyosababisha timu hiyo kutoka sare ya goli 11 magoli yaliyofungwa na vitalis mayanga (ndanda fc) dakika ya 15 na jaffar mohamed (yanga) dakika ya 24 siwezi kusema tatizo ni safu ya ushambuliaji mechi nyingi tunazocheza tunatengeneza nafasi za kutosha lakini tunashindwa kufunga kama alivyofanya makambo leo (jana) kama angekua mama yangu pale angefunga goli kwa kichwa alisema zahera licha ya sare hiyo ya pili kwa yanga katika uwanja wa taifa baada ya ile ya 00 na simba sc kocha huyo amesema timu yake haijapoteza ujasiri wa kuendelea kusaka ubingwa kwakua hakuna mchezo aliopoteza katika michezo 10 walizocheza hatuwezi kupoteza kujiamini kwani tumefungwa tungekua tumefungwa magoli 61 ningesema tumepoteza kujiamini sisi si barcelona wala psg useme hatuwezi kufungwa tumecheza mechi 10 na hatujafungwa nimewaambia wachezaji wangu walale vizuri mechi zizayo watashinda alisema zahera previous articlehuyo bieber mwacheni tu next articlesimba sasa ni motoo
2019-07-18T05:31:42
http://www.dimba.co.tz/zahera-uzembe-ndio-tatizo-kwa-wafungaji-wangu/
news alert waziri mwakyembe aagiza ney wa mitego kuachiwa huru dewjiblog news alert waziri mwakyembe aagiza ney wa mitego kuachiwa huru waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo dk harrison mwakyembe ameliagiza jeshi la polisi kumuachia huru msanii ney wa mitego aliyekuwa akishikiliwa na jeshi hilo waziri mwakyembe ameishauri pia basata kuondoa zuio lake dhidi ya wimbo huo na badala yake uendelee kupigwa tu kama nyimbo nyingine akiongea na wandishi wa habari muda mchana wa leo mjini dodoma wakati wa uzinduzi tovuti za halmashauri zote nchini dk mwakyembe amebainisha hata rais magufuli amefurahishwa na wimbo huo wa wapo na kumshauri msanii huyo kama inawezekana aendelee kutaja watu wengine kama vile wakwepa kodi wauza unga wabwia unga wezi pamoja na watu wengine wasio na maadili mema katika jamii taifa stars kamili kuwavaa intamba murugamba hapo video fupi rais magufuli akizungumza na wananchi wa muleba picha rais magufuli akimuapisha doto biteko kuwa naibu waziri wa madini pongezi za rais magufuli kutoka uwasa
2018-01-21T14:39:56
http://dewjiblog.co.tz/news-alert-waziri-mwakyembe-aagiza-ney-wa-mitego-kuachiwa-huru/
yajayo yanafurahisha zaidi simba habari za michezo swahilihubcom http//wwwswahilihubcom/image/view//4706506/medres/1578060//12ffyjh//shabikijpg yajayo yanafurahisha zaidi simba washabiki wa timu ya simba na olipa assa imepakiwa friday august 10 2018 at 1209 mashabiki hawatakaukiwa na tabasamu
2019-02-20T06:56:16
http://www.swahilihub.com/habari/HABARI-ZA-MICHEZO/Yajayo-yanafurahisha-zaidi-Simba/1310206-4706504-7vebrq/index.html
makamu wa rais samia suluhu azindua kampeni ya takukuru ya 'longa nasi' jijini dar leo maganga one blog home »unlabelled » makamu wa rais samia suluhu azindua kampeni ya takukuru ya 'longa nasi' jijini dar leo makamu wa rais samia suluhu azindua kampeni ya takukuru ya 'longa nasi' jijini dar leo
2017-11-22T21:49:58
https://magangaone.blogspot.com/2016/05/makamu-wa-rais-samia-suluhu-azindua.html
bongo urembo ondoa weusi kwenye magoti na mikono magoti weusi kwenye magoti ngozi nyeusi katika magoti na nyuma ya mikono hutokana na mkusanyiko wa cells zilizokufa na hata unavyoweka pressure kwenye magoti na vipepsi vya mikono yako kama ukiwa unaweka mikono kwenye meza ukiwa kazini ule msuguano unafanya ngozi iwe nyeusi kama una magoti myeusi na nyuma ya mikono pia ni peiusi tumia hizi njia asili kuweza kuondoa weusi huo tumia aloe vera juice juice ya aloe vera inasaidia kuondoa weusi all you have to do ni kupaka juice hiyo kwenye sehemu yenye weusi na uache kwa nusu saa kisha nawa na upake moisturizer rudia kufanya hivi mara mbili kila siku tumia binzari manjano asali na maziwa changanya vyote hivi utapata mchanganiko mzito paka kwenye magoti na kwenye mikono yako palipo na weusi kaa nayo kwa dakika 30 nawa na paka moisturizer rudia hii kila siku kwa wiki 34 utapata matokeo mazuri tumia ndimu chukua pamba na uitumie kupaka juice ya ndimu katika sehemu zenye weusi au unaweza kuikata tu ndimu na kuipaka directly kwenye sehemu zenye weusi kaa nayo kwa lisaa 1 kisha nawa rudia hivi kila siku hadi weusi utakapopotea tumia olive oil na sukari changanya vizuri hii itakuwa kama exfoliation/scrub kwa ajili ya magoti na mikono paka katika hizo sehemu zenye weusi kisha kuwa kama unamassage polepole nawa kwa maji ya uvuguvugu kisha paka moisturizer
2017-06-23T03:31:00
http://www.bongouzuri.com/2016/06/ondoa-weusi-kwenye-magoti-na-mikono.html
watumishi wa wizara ya habari wapewa mafunzo ya kujikinga na covid19 | mpekuzi watumishi wa wizara ya habari wapewa mafunzo ya kujikinga na covid19 watumishi wa wizara ya habari utamaduni sanaa na michezo wamepata mafunzo kuhusu namna ya kujikinga na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya corona (covid19) katika mazingira yao ya kazini pamoja na maeneo mengine wanayokuepo akizungumza na watumishi hao leo katika ofisi za wizara hiyo mtumba jijini dodoma afisa afya kutoka idara ya kinga wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto bw yusuph seif amesema kuwa serikali ipo mstari wa mbele kuhakikisha watumishi na wananchi wanapata elimu ya namna ya kujikinga na ugonjwa huo ili kuliweka taifa na watu wake katika hali ya usalama dhidi ya ugojnwa huo virusi hivi ni kabila jipya la virusi vya corona ambavyo vimegunduliwa mwaka 2019 ambavyo vinasababisha homa kali ya mapafu kila mtu aendelee kuchukua tahadhari kwa kujikinga na ugonjwa huu alisema bw yusuph bw yusuph ametaja baadhi ya dalili ambazo zinapelekea mtu kushukiwa kuwa ameambukizwa ugonjwa huo ni pamoja na kuwa na homa kali zaidi ya nyuzi joto 38 kukohoa kikohozi kikavu pamoja na mwili kuuma na kuishiwa nguvu ameongeza kuwa ili kujikinga na ugonjwa huo mtaalamu ni vyema kila mtu awe umbali wa zaidi ya mita moja kutokusalimiana kwa kushikana mikono kunawa mikono ipasavyo kwa maji tiririka kwa sabuni ya kutosha yenye kutoa povu jingi angalau kwa zaidi ya sekunde 20 sehemu zote za kiganja cha mkono aidha amesema kuwa matumizi ya vitakasa mikono (sanitizer) ni njia mojawapo ambayo mtu anaweza kuitumia ili kujikinga na ugonjwa huo ikiwa ni njia sawa na mtu aliyenawa vizuri kwa kutumia maji tiririka na sabuni kuhusu matumizi ya barakoa bw yusuph amesema kuwa barakoa zinatumiwa na watu wenye dalili za covid19 watoa huduma za afya wanapowahudumia wagonjwa ama mtu yeyote anapokuwa kwenye eneo la hatari ya kuwepo au kuwa na maambukizi ya ugonjwa huo akimkaribisha mtoa mada mkurugenzi wa idara ya utawala na rasilimali watu bwbernard marceline amewataka watumishi hao kutumia fursa hiyo kujifunza namna ya kujikinga na ugonjwa huo ili waweze kutunza afya zao na wawe wajumbe wa kutunza afya za wengine pamoja na familia zao ili kuwa salama na hatimaye nchi nzima iwe salama na kujikinga na ugonjwa huo akishukuru kwa niaba ya watumishi bwjohanssen kaimukirwa ameishukuru wizara ya afyamaendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto kwa kazi nzuri wanayoifanya ili watu wote waelewe hatua ambayo itasaidia kujikinga zaidi mwisho trump awaita ' vibaka ' waandamanaji wanaopinga mauaji ya mmarekani mweusi yaliyofanywa na polisi blog archive june (46) may (485) april (459) march (494) february (514) january (447) december (360) november (451) october (466) september (491) august (548) july (506) june (453) may (497) april (506) march (470) february (682) january (714) december (596) november (589) october (651) september (570) august (635) july (677) june (638) may (684) april (711) march (611) february (486) january (506) december (438) november (426) october (440) september (398) august (446) july (390) june (354) may (375) april (317) march (291) february (307) january (371) december (366) november (351) october (363) september (340) august (403) july (384) june (421) may (486) april (499) march (478) february (404) january (444) december (375) november (317) october (335) september (271) august (250) july (284) june (352) may (325) april (345) march (383) february (339) january (341) december (246) november (239) october (310) september (289) august (369) july (313) june (322) may (333) april (260) march (294) february (251) january (205) december (262) november (240) october (262) september (278) august (226) july (284) june (256) may (262) april (245) march (238) february (168) january (236) december (164) november (134) october (219) september (303) august (376) july (539) june (551) may (827) april (562) march (258) february (149) january (146) december (127) november (173) october (269) september (205) august (734) july (411) june (241) may (8) april (20)
2020-06-03T10:24:53
http://www.mpekuzihuru.com/2020/04/watumishi-wa-wizara-ya-habari-wapewa.html
makaliery tabbym stay in truth chademakauli ya viongozi ccm kuhusu posho ni unafiki chademakauli ya viongozi ccm kuhusu posho ni unafiki kauli ya ccm juu ya nyongeza ya posho za vikao kwa wabunge ni ya kinafiki haionyeshi uongozi thabiti na inalenga chama tawala kujikosha kutokana na hasira ya umma dhidi ya viongozi waandamizi wa chama hicho na wabunge wake kutaka nyongeza ya posho za vikao kinyemela aidha kauli hiyo ni muendelezo wa kauli za ccm za kujikosha mbele ya umma baada ya wananchi kupinga maamuzi ya serikali inayoongozwa na chama hicho katika masuala ambayo chama hicho kilikuwa na taarifa nayo kabla lakini kikashindwa kutoa muongozo unaostahili kwa serikali kama ilivyokuwa kwenye suala la kupandisha kupindukia kwa ushuru wa mafuta ya taa na kuongeza bei na gharama za maisha kwa wananchi wa kipato cha chini au kuhusu malipo ya fidia kwa dowans kauli kwamba ccm iliwaomba na kuwasihi wabunge na mamlaka zinazohusika na mchakato wa swala la nyongeza ya posho za vikao kuliangalia upya na kutumia busara ikiwezekana kuachana nalo kwasasa inadhihirisha kwamba kimsingi chama hicho kimepoteza uwezo wa kuwa chama tawala kauli kama hii ni kama agizo lililotolewa na kamati kuu ya ccm katika kikao chake cha tarehe 31 agosti 2011 ya kutaka serikali ipunguze bei ya mafuta ya taa baada ya kuona wananchi wanaungana na msimamo wa chadema uliotolewa bungeni na wabunge wake wakati wa kupitishwa kwenye muswada wa sheria ya fedha mwezi juni 2011 na kujadiliwa kwa bajeti ya wizara ya nishati na madini tarehe 15 julai 2011 hata hivyo mpaka sasa agizo hilo ambalo limetokana na kikao kilichoongozwa na mwenyekiti wa chama hicho rais jakaya kikwete halijatekelezwa hali ambayo inadhihirisha ulegelege wa ccm na serikali yake katika kusimamia masuala ya msingi ya taifa hali ambayo athari zake zinathibitika hivi sasa katika mjadala huu wa posho za vikao ambapo ombwe na uongozi linaonekana bayana katika chama hicho na serikali kauli ya ccm ya kumpongeza rais kikwete ambaye pia ni mwenyekiti wa chama hicho kwa kushindwa kuonyesha uongozi na badala yake kutupa mzigo wa wabunge kwenye suala ambalo kwa mujibu wa sheria rais ndiyo mwenye mamlaka nalo ni ishara ya ccm kulea misingi ya kutowajibika miongoni mwa viongozi wakuu wa serikali na chama hicho iwapo ccm ingekuwa na dhamira ya kweli ya kukataa posho za vikao ingefanya maamuzi ya kukataa kupitia vikao vya chama hicho vya kamati kuu na halmashauri kuu ambavyo viliongozwa na mwenyekiti wa chama hicho rais kikwete kwa nyakati mbalimbali wakati ambapo mjadala wa posho za vikao ukiwa tayari umekolea katika taifa baada ya chadema kuibua suala husika ndani na nje ya bunge kuanzia wakati wa bunge la bajeti kupitia pia maoni ya kambi rasmi ya upinzani bungeni chadema inaitaka ccm kama kweli inajali maslahi ya wananchi kufanya maamuzi ndani ya vikao vya chama hicho na kuandaa mapendekezo kwa serikali ya kufuta posho zote za vikao kwenye mfumo wa utumishi wa umma kama ilivyoelezwa katika ilani ya chadema ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 na mpango wa taifa wa miaka mitano uliopitishwa na bunge mwaka 2011 aidha badala ya kumpongeza rais kikwete kwa kauli iliyotolewa na ikulu ya kuhamisha lawama kuhusu suala hilo kwa wabunge ccm itoe mwito kwa rais kikwete ambaye pia ni mwenyekiti wa chama hicho kutoa kauli yake mwenyewe ya kufanya uamuzi wa kufuta posho za vikao katika mfumo wa utumishi wa umma na kutoa kauli ya wazi ya kukataa nyongeza ya posho za wabunge pia ccm badala ya kutaka tu wabunge kwa ujumla kutafakari ieleze inachukua hatua gani kwa viongozi wa serikali na bunge wanaotaka na chama hicho kunukuliwa na vyombo vya habari wakieleza kwamba rais kikwete ambaye pia ni mwenyekiti wa chama hicho kuwa amebariki nyongeza ya posho hizo na hivyo kukosekana kwa uwajibikaji wa pamoja katika serikali na chama hicho kushindwa kwa ccm kuchukua hatua za kichama dhidi ya viongozi hao ambao ni wajumbe wa kamati kuu ya chama hicho kunadhihirisha kwamba pamoja na kuwa rais kikwete hajasaini masharti mapya ya kazi za wabunge ameshakubaliana nao kinyemela kuhusu kuanza kutoa nyongeza ya posho za vikao kinyume na hapo kauli za ccm zitaendelea kudhihirika kuwa ni za kinafiki na za kujikosha chadema inaendelea kusisitiza kauli yake kwamba ongezeko la posho ya vikao lilofanyika linapaswa kusitishwa kwa kuwa limefanyika kinyume na taratibu na pia halina uhalali wowote kimantiki na halijazingatia uhalisia wa maisha ya wananchi na uchumi wa nchi kwa ujumla nyongeza hiyo ya posho ya vikao ni haramu (illegitimate) aidha kauli iliyotolewa kwamba nyongeza hiyo ya posho za vikao ni kwa sababu ya kupanda kwa gharama za maisha mkoani dodoma haina ukweli wala mantiki na ina mwelekeo wa upendeleo chadema inarejea kuukumbusha umma kwamba sheria ya utawala wa bunge (national assembly administration act) ya mwaka 2008 kifungu cha 19 kinataja aina ya posho ambazo zinaweza kutolewa kwa wabunge kama ambavyo rais ataeleza kwa maandishi katika kipengele (d) sheria imetaja orodha (i) mpaka (iii) ya posho ambazo wabunge wanastahili kulipwa za usafiri kujikimu na wasaidizi katika orodha hiyo hakuna posho ya kikao (sitting allowance) ambayo inalipwa hivi sasa kwa kuwekwa kwenye akaunti za wabunge moja kwa moja ambayo kamati ya wabunge wa chadema tunataka ifutwe mara moja kama sehemu ya mchakato wa kubadili mfumo mzima wa malipo ya posho kwa watumishi wa umma hivyo badala ya rais kikwete kukwepa wajibu huo wa kisheria na kuhamisha mzigo kwa wabunge anapaswa yeye mwenyewe kufanya uamuzi wa kukataa nyongeza ya posho za vikao na kufuta posho za vikao katika mfumo mzima wa utumishi wa umma kama ilivyopendekezwa na chadema pamoja na kambi rasmi ya upinzani bungeni chadema kwa kurejea tamko la mwanzo wa mwaka 2012 lililotolewa na katibu mkuu dr wilbroad slaa ambalo limetaka kipaumbele kiwe ni kunusuru uchumi wa nchi na kupanda wa gharama za maisha kwa wananchi tulitarajia kwamba ccm na serikali yake watoe kwa umma mpango wa kukabiliana na hali hiyo badala ya kurushiana mpira kuhusu nyongeza ya posho za vikao huku mwelekeo wa uchumi na utekelezaji wa mipango ya maendeleo ukiwa kwenye hali tete na nchi ikiwa kwenye migogoro ya kijamii kuhusu maslahi ya madaktari wanafunzi na makundi mengine katika jamii chadema inasisitiza msimamo wake kwamba posho za vikao zifutwe kwa kuzingatia kuwa ilani ya chadema ya mwaka 2010 imeeleza kwamba lengo la msingi ni kuondoa posho za vikao (sitting allowance ) hatua ambayo itaambatana na nyongeza ya mishahara kwa watumishi wa umma kuendana na ujuzi nafasi wajibu ili wafanyakazi walipwe kwa haki kwa kile wanachofanya kwa haki uamuzi ambao utawezesha pia kuelekeza fedha zaidi katika miradi ya maendeleo
2017-05-23T05:07:04
http://makaliery-t.blogspot.com/2012/02/chademakauli-ya-viongozi-ccm-kuhusu.html
nyumba ya de gea mnadani tanzania sports home / all articles / nyumba ya de gea mnadani 12th december 2017 last update at 315 pm *manchester wapandisha dau lake *city sasa wamgeukia fabian delph wakati kukiwa na dalili za kipa chaguo la kwanza wa manchester united david de gea kuhamia real madrid nyumba aliyoishi na familia yake manchester inapigwa mnada de gea mzaliwa wa madrid na aliyepata kuchezea atletico madrid alikuwa akiishi kwenye nyumba iliyo eneo la altrincham kwa malipo ya pauni milioni 275 na tangazo la mnada huo wakati mwenyewe akiwa likizo linakoleza habari za kuhama kwake tangazo la mnada wa kasri hilo lilianza kutundikwa kwenye mtandao wa rightmove jumatano hii na tangu hapo manchester united wameonesha kushikilia mpini dhidi ya real kwani wanasema wapo tayari kumwona de gea akiondoka bure msimu ujao wanasema kwamba ikitokea watamuuza de gea 24 itabidi real wavunje rekodi ya makipa wote duniani mkataba wake unamalizika msimu wa kiangazi mwakani na hajaamua kuzungumzia hatima yake old trafford licha ya klabu kumpa ofa ya mkataba mnono kipa anayeshikilia rekodi ya kuuzwa kwa dau kubwa zaidi ni yule wa juventus na timu ya taifa ya italia gianluigi buffon waliyemnunua kwa pauni milioni 326m kutoka parma miaka 14 iliyopita united pia wanajaribu kuwatega real ili wakitoa ofa ya kumtaka de gea nao wawaite mezani ili beki wa kati wa real sergio ramos aingizwe kwenye makubaliano baina ya klabu mbili hizo hasa wakati huu ambapo ramos anataka kuondoka real klabu hiyo imekataa dau la pauni zaidi ya milioni 30 lililotolewa na united na sasa kuna habari kwamba wakazi hao wa santiago bernabeu wanafanya kila njia kumshawishi ramos abaki ikiwa ni wiki kadhaa tangu aeleze waziwazi kukasirishwa kwake na kufukuzwa kwa kocha wao carlo ancelotti kwingineko mshambuliaji wa kati wa man united na nahodha wa zamani wa arsenal robin van persie 31 amesema kwamba hatima yake katika klabu hiyo itaamuliwa na mkewe bouchra rvp naye amebakiza msimu mmoja tu kwenye mkataba wake na kocha louis van gaal amemwambia itabidi apandishe kiwango chake zaidi ili afikiriwe kupata namba msimu ujao amekuwa akihusishwa na kuhamia ama italia au uturuki manchester city wanaandaa pauni milioni 10 ili kumsajili kiungo wa fabian delph 25 kwani mkataba wake unasema anaweza kusajiliwa na klabu nyingine ikiwa itatoa kima hicho cha fedha wakati huo huo villa wamekataliwa dau lao dogo kumsajili kipa wa stoke asmir begovic wafinyanga vyungu hao wakisema kwamba kipa wao thamani yake ni kuanzia pauni milioni nane kwenda juu tottenham hotspur wanafikriia kutoa dau la pauni milioni saba kwa everton ili kumnasa winga wao kutoka ubelgiji kevin mirallas 27 aliyebakiza mwaka mmoja kwenye mkataba wake na ni bora everton wakamuuza kuliko aondoke bure msimu ujao kwa upande wao everton wanaendelea kumfuatilia kwa karibu kiungo wa manchester united adnan januzaj 20kiangazi hiki baada ya kuulizia juu ya uwezekano wa kumpata kwa mkopo januari mchezaji huyo wa kimataifa wa ubelgiji alicheza mechi 21 tu msimu uliopita arsenal wanapanga kumnyakua kinda wa chelsea charly musonda 18 anayedhaniwa kuwa na thamani ya pauni milioni saba hata hivyo vyanzo vya ndani vya arsenal vinaonesha wasiwasi kwamba watazidiwa nguvu na manchester united kwenye mbio za kumnasa mfaransa ambaye ni kiungo wa southampton morgan schneiderlin 25 spurs wameanza mazungumzo na chelsea juu ya uwezekano wa kumsajili kiungo wao victor moses 25 anayetarajiwa kuondoka chelsea majira haya baada ya kutolewa kwa mkopo msimu uliopita swansea wanahusishwa na mchezaji wa kimataifa wa ureno eder 27 aliyefunga mabao 10 akiwa sporting braga msimu uliopita sunderland wanataka kurudi west ham na dau kubwa zaidi ili kumnasa winga stewart downing 30 baada ya kudaiwa kwamba dau la awali la pauni milioni tano lilikataliwa sunderland wametoa dau la pauni milioni nane kwa mshambuliaji wa dynamo kiev jeremain lens 27 aliyepata kufanya kazi chini ya kocha wa sasa wa sunderland dick advocaat enzi za psv klabu ya uturuki galatasaray wameonesha nia ya kumsajili mshambuliaji mjerumani wa arsenal lukas podolski 30 aliyeshindwa kuwika emirates na kumalizia msimu uliopita italia kwa inter milan kiungo wa manchester city yaya toure 32 amebadilika tena safari hii akisema kwamba nataka kumalizia maisha ya soka akiwa etihad ili awe na hadhi kubwa kama alivyo paolo maldini huko ac milan maldini alicheza hadi akafikisha umri wa miaka 40 toure na wakala wake wamepata mara kadhaa kueleza nia ya kuondoka man city tags david de gea epl man utd real madrid cf
2017-12-12T19:53:08
https://www.tanzaniasports.com/2015/06/27/nyumba-ya-de-gea-mnadani/
je jina kuleta tabasamu kwenye uso wako bila shaka jina hilo kila mara anafanya joker pro ni mahiri na wenye kuambukiza mchezo wa ujuzi na moyo kuponda redio ni maonyesho ya rangi bombastic the msisimko hakika kukimbia yako mapigokiwango cha juu kwa nini isiwe hivyo netent imefanya hii hali halisi ya kusisimua juu ya desktop yako kutibu kweli kuwa tayari itakuwa mtego kwa makala yake yenye tete dhidi ya kila hoja hii ni bila shaka ubunifu bora iliyoandaliwa na netent ya mashine yanayopangwa tete majivuno maonyesho uwezo na teknolojia ya juu ya mwisho na kuchanganywa bora ya kura netent imeunda kushangaza jukwaa simu na inafanya kuwa rahisi kucheza inafaa online timu ina utafiti na kuweka pamoja kuongeza chaguzi betting cha pamoja hakika kushinda nafasi kwa kweli uwezekano kwa joker pro mchezo ni rahisi na wazi joker pro ni ya tatu ya yanayopangwa mchezo kwenye mahitaji ya mtandao wa dunia nzima makali juu ya wengine mashine si tu jadi yanayopangwa mchezo lakini ina 1000 wakati kushinda nafasi ya wachezaji wake hii ya kipekee slot inatoa mchezaji wake wa jadi 5 reel na 10 reel chaguzi yanayopangwa mchezo wachezaji wanaweza kutumia seti ya alama pori ambayo inaonekana katika 2 reel 3 reel na 4 reel hizi substitutes ishara nyingine ila alama kuwatawanya kuwatawanya ishara inatoa joker pro respin ishara marungu na reel mpaka joker pro re spins mchezo huu ina sifa kipaji kushinda na anasimama mbele ya washindani wake wote kama mchezaji kuchagua maximum betting kifungo moja kwa moja spin reels katika 'kupewa thamani kiwango cha juu betting inakuwa 10 yeye anaweza pia kuchagua kifungo habari ili kuona mistari ya kushinda zinazopatikana kwao mchezaji anaweza kufungua makala reverse reel mchezaji anaweza kuchagua hadi hadi 1000 spins thamani ya juu alama ni almasi wachezaji lazima kupata hii kwa ajili ya maendeleo tuzo mchezo huu tantalizing anatoa mchezaji yake nzima nafasi kubwa kwa alama wins mega the gamer wanaweza kupata kidogo aliwasihi kwa sababu ya mandhari pingamizi na kwa nini tahadhari grabber hakika inahitaji umakini na hii ni sehemu ya haki njoo kufurahia thrill na ukarimu moto doa ushindi kutoka master mchezo wetu joker pro jackpot jumla £18855186 jackpot jumla £8804704 jackpot jumla £4059760 jackpot jumla £1753533 jackpot jumla £1589925 jackpot jumla £1025303 jackpot jumla £940024
2017-08-21T12:17:52
https://www.slotjar.com/sw/mchezo/rununu/bure-huzunguka-hakuna-download/
kitu kimoja kinachowatofautisha waliofanikiwa na walioshindwa na jinsi unavyoweza kukitumia kufikia mafanikio makubwa « amka mtanzania posted by makirita amani | at wednesday april 06 2016 jitoe kufanya kazi kazi kubwa kwa kutumia maarifa na nguvu zako zote chagua lile eneo ambalo unataka kufikia mafanikio makubwa kama ni biashara sawa kama ni ajira sawa kama ni familia yako au shughuli nyingine ya kijamii sawa ukishachagua kile unachotaka kufanikiwa sasa jiambie ya kwamba unakwenda kuweka kazi mpaka ukifikie amua ya kwamba hakuna kitu chochote kitakachokurudisha nyuma katika kufikia kile ulichochagua na weka kazi funga mdomo acha kupiga kelele na fanya kazi tags mbinu za kazi success
2017-01-24T04:57:47
http://www.amkamtanzania.com/2016/04/kitu-kimoja-kinachowatofautisha.html
homematukio picha taswira picha rais dkt magufuli awasili kagera katika sherehe za ufunguzi wa barabara mjini biharamulo
2019-05-23T00:53:23
http://www.radiokwizera.co.tz/2017/07/taswira-picha-rais-dkt-magufuli-awasili.html
msikilize snura na wimbo wake uko nyuma sana styles pangilia mavazi yako na utokelezea namna hii rais kikwete amwapisha igp mpya na naibu wake leo ikulu rais jakaya mrisho kikwete akiwa katika picha ya pamoja na igp mpya afande ernest mangu naibu inspekta generali wa polisi (igp) mpya afande abdulrahman kaniki katika viwanja vya ikulu jijini dar es salaam jioni hii happy new year wadau wote wa rainbowtz blog kibamba hatutakubali bunge la katiba kutoonyeshwa live mwenyekiti wa jukwaa la katiba deus kibamba mwenyekiti wa jukwaa la katiba deus kibamba ametahadharisha kuwa hawatakubaliana na mpango unaosukwa wa kutaka bunge maalum lisionyeshwe moja kwa moja kauli hiyo aliitoa jana mjini hapa katika mkutano wa kuchagua wawakilishi wa asasi zisizo za kiserikali ili majina yao yapelekwe kwa rais kwa ajili ya kuyateua kushiriki kwenye bunge maalum la katiba linalotarajia kufanyika februari mwakani jk bunge wananchi wataamua katiba rais jakaya kikwete amesema hatua inayofuata baada ya kukamilika kwa rasimu ya katiba ni maamuzi ya wananchi na bunge la katiba ambayo yataifanya ipitishwe na kuwa katiba kamili kadhalika rais kikwete alisema katika maamuzi hayo viongozi wa kijamii na siasa wana nafasi kubwa ya kuhakikisha mchakato wa katiba mpya unafanikiwa kwa kukwepa maslahi ya vyama vyao na makundi wanayotokea na kinyume chake katiba ya sasa itaendele kutumika shikamoo promo top 12 hottest tanzanian actors in 2013 this year this vesertile actor performed well in movies like mimi na mungu wangu and kisate tino is one of great actors in our industry 2 hashim kambi kambi appears mainly in supporting roles although sometimes he plays lead characters and in those movies with strong supporting roles heroes and heroine get hard times from king kambi in terms of performances this year the actor crossed borders and starred in a ghananian movie day after death with van vicker and john dumelo he will be seen again with van vicker in a tanzanian movie in 2014 this year king kambi looked fresh in movies like fisadais foolish age boss tony in short kambi is one of tanzanian actors who can essay hollywood roles duniani kuna mambo shabiki wa chelsea aliyeishi kwenye handaki miaka minne jijini dar chacha makenge akikaribisha wageni chacha akiongea na wageni wake saleh ally (kulia) na makongoro oging' (kushoto) • yanga simba zamvutia lakini ashindwa kuchagua aipende ipi • asisitiza kama vipi bora ziwe zinatoka sare kila mechi chacha makenge (36) ameishi katika handaki lililo katika eneo la chuo kikuu cha dar es salaam kwa miaka minne unia ina maajabu yake ndiyo maana wakasema tembea uone katikati ya jiji la dar es salaam binadamu ameamua kuishi ndani ya handaki kwa miaka minne breaking news rais jakaya kikwete amteua kamanda ernest mangu kuwa mkuu mpya wa jeshi la polisi tanzania mkuu mpya wa jeshi la polisi tanzaniakamanda ernest mangu pichani rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania jakaya kikwete amemteua kamanda ernest mangu kuwa mkuu mpya wa jeshi la polisi tanzania kamanda mangu anachukua nafasi ya inspekta jenerali said mwema ambaye anastaafu uteuzi wa kamanda mangu unaanzia januari 1 2014 rais kikwete dk shein wakabidhiwa rasimu ya pili ya katiba mpya mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba jaji warioba akimkabidhi rais jakaya kikwete (kulia) rasimu ya pili ya katiba mpya leo jaji warioba akimkabidhi rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkalimohamed shein (kushoto) rasimu ya pili ya katiba mpya leo picha ya leoje unajifunza nini hapa styles upangiliaji wa mavazi kwa wanaume styles onekana mtanashati kwa kupangilia mavazi yako namna hii the bedroom mpangilio katika chumba cha kulala jukwaa la katiba lampongeza jk jukwaa la katiba tanzania limempongeza rais jakaya kikwete na tume ya mabadiliko ya katiba kwa kuamua kufanya makabidhiano ya rasimu ya pili ya katiba hadharani akizungumza na nipashe jana kwa njia ya simu akiwa mjini dodoma mwenyekiti wa jukwaa la katiba deus kibamba alisema styles loafers za wanawake styles onekana nadhifu kwa kupangilia nguo namna hii wastara na waigizaji wengine wa filamu wamsomea dua marehemu sajuki msanii wa filamu wastara leo ameungana na wadau mbalimbali wa filamu makaburini kisutu jijini dar es salaam kusoma dua kwaajli ya marehemu mume wake juma kilowoko aliyekuwa maarufu kwa jina sajuki hata hivyo wastara alisema baada ya shughuli ya leo(jana) dua rasmi ya marehemu sajuki itafanyikia nyumbani kwao songea january 2 2014 polisi yanasa meno ya tembo ya 25m/= kwenye treni kaimu kamanda wa kikosi cha polisi cha tazara (ssp) inocent mgaya (katikati) akiwa na ocd wa kituo hicho sp bakari makuka (kushoto) na sp shaaban hussein wakionesha meno ya tembo meno ya tembo yenye thamani ya sh milioni 255 yamekamatwa ndani ya treni ya tazara katika stesheni ya kisaki wilaya ya morogoro vijijini yakisafirishwa kuelekea jijini dar es salaam wazaramo kabila lenye sherehe lukuki usipochangia kushiriki unatengwa watoto wakipongezwa na wazazi baada ya kutoka jandoni katika mkoa wa pwani picha ya maktaba tanzania ni nchi iliyojaliwa kuwa na makabila zaidi ya 120 yaliyounganishwa na lugha moja ya taifa ambayo ni kiswahili miongoni mwa makabila hayo ya tanzania limo kabila la wazaramo ambalo linapatikana katika mikoa ya pwani na dar es salaam wazaramo wametapakaa katika wilaya za kisarawe bagamoyo kibaha mkuranga na mafia jijini dar es salaam wengi wanaishi katika maeneo ya buguruni magomeni ilala kariakoo na msasani burudani ya leoc inderella na lionel richie stylesmikoba maridhawa ya wanawake styles upangiliaji wamavzai ya jioni
2018-05-26T17:23:18
http://rainbow-tz.blogspot.com/2013/12/
katika hili siyo siri mh jk hapa umechemsha | jamiiforums | the home of great thinkers katika hili siyo siri mh jk hapa umechemsha discussion in 'jukwaa la siasa' started by mbaga michael may 3 2012 tuna wabunge takribani 300 na ushee na 80 ya wabunge hawa hawana umuhimu kwa wananchi wao leo unatuongezea wengine huku unalia kila siku serikali haina fedha tunahitaji baraza jipya la mawaziri siyo wabunge wapya japo tunatambua wengi si wasafi wabunge wapya ni sehemu ya baraza jipya la mawaziri wabunge wapya ni sehemu ya baraza jipya la mawaziriclick to expand ili wafike wangapi unanikumbusha hadith ya lukman punda na mtoto wake mie nangojea mzee mtei amkosoe kuwa jk ni mdini ameteua watu wa dini moja tuna wabunge takribani 300 na ushee na 80 ya wabunge hawa hawana umuhimu kwa wananchi wao leo unatuongezea wengine huku unalia kila siku serikali haina fedha tunahitaji baraza jipya la mawaziri siyo wabunge wapya japo tunatambua wengi si wasaficlick to expand ndugu yangu soma katiba ya inchi iliyopo uelewe kwa mamlaka aliyopewa rais anateua wabunge 10 kwa taarifa yako bado 4 usiseme kachemka wewe ndo bogas unanikumbusha hadith ya lukman punda na mtoto wake mie nangojea mzee mtei amkosoe kuwa jk ni mdini ameteua watu wa dini mojaclick to expand ahh mzigo huu bila kujua mlala hoi anabebeshwa tena ndugu yangu soma katiba ya inchi iliyopo uelewe kwa mamlaka aliyopewa rais anateua wabunge 10 kwa taarifa yako bado 4 usiseme kachemka wewe ndo bogasclick to expand sawa yawezekana mimi kweli nikawa bogas lakini nilichokipos mantiki yake umeielewa ahsante jk anataka nzige wengi zaidi wa kulishambulia shamba la bibi sipati picha mbatia na kafulila watakaaje bungenihii pia imedhihirisha wapinzani mamluki si kila king'aacho ni dhahabu mkuu unaweza ukawa unabadirisha wapangaji lakini mwisho wa siku nafasi ndani ya nyumba bado ile ilehakuna jipya hapo ndio umuhimu wa mawaziri kutokuwa wabunge unaonekana si kila king'aacho ni dhahabu mkuu unaweza ukawa unabadirisha wapangaji lakini mwisho wa siku nafasi ndani ya nyumba bado ile ilehakuna jipyaclick to expand mwambie bana haijasema lazima ateue imesema atateua so hata hasipoteua atakuwa hajavunja katiba the issue is hv kwa sasa tanzania inaitaji mbunge mwingine wa kuteuliwa ba rais hii ni kumuongezea mzigo mwananchi bila sababu si wasaficlick to expand anaongeza nguvu ya 'upepo' wa kisiasa ili 'upite' haraka nadhani malengo yake hapa achilia mbali uwezo wake mdogo wa kutambua kuwa kuongeza wabunge ni gharama kwa serikali anataka watu wasijadili hoja za ufisadi bali wajadili watu aliowateua uraisi umekuwa rahisi zaidi sasa leo sijaona yale maneno jk ni mdini kachaguwa wote wa dini mmoja kama ndo hivi wabunge wote ateue yeye kuepuka hizi kesi za kupinga ushindi wa mbunge tuwe na mfumo kama wa marekani waziri sio mbunge na mbunge sio waziri mbunge akichaguliwa kua waziri basi inabidi aachie ubunge na vile vile waziri akitaka kua mbunge inabidi aachie uwaziri wake hiyo inafanya waziri ana concentrate kwenye shuhuli zake kwenye wizara na serikali na mbunge anaconcentrate kwenye jimbo lake hapa kwetu waziri nae ni mbunge na mara nyingin mbunge akishakua waziri anakua yuko busy sana na shuhuli za kiserikali mara nyingi anasahau hata jimbo lakeunakuta miaka yote mitano waziri hajakanyaga kwenye jimbo lake katika hii katiba mpya oni langu ni hili kwamba ipitishwe sheria kua mbunge ni mbunge na waziri ni waziri and not both mtu analipwa mshahara kama waziri na pia anapata mshahara na marupurupu kama mbungeno wonder serikali inasema haina helahela zote zinaishia kwenye mifuko ya hawa watu disapointed vitu vingine ni common sensi tu hizo hela si mkawape wazee wa eac eti katiba inaruhusu nimejaribu kupima hoja hii na ya mwenzio nimegundua umekurupuka na cjui hukumuelewa au umefanya tu makusudi bt kimsingi wewe ndio bogas tena bogas kwelikweli mwacheni aiue ccm
2017-01-17T21:29:15
https://www.jamiiforums.com/threads/katika-hili-siyo-siri-mh-jk-hapa-umechemsha.261494/
utunzaji wa madini ya huffington kwa mtoto bomba la mananasi linalosema 'hauko peke yako' ivfbabble na samantha walsh mtangazaji wa kusafiri lakini kuna safari moja sitakuwa narudia tena ninapenda kusafiri wakati mwingine mimi hupenda kusafiri peke yangu nimerudisha solo karibu na thailand hakuna shida mimi ni mwanamke mzimapunda baada ya yote kubwa ya kutosha ya kutosha eh na mbaya sana kujitunza kweli kulikuwa na wakati wa upweke hafla ambapo ningependa kutazama jua lenye kupumua sana na ninatamani kungekuwa na mtu mwingine aliyeketi kando yangu akiteleza kwenye chang na kutazama waziwazi baharini lakini kwa kiasi kikubwa nimeona kusafiri peke yangu kuwa ya kukomboa na kufurahisha kabisa lakini kuna safari moja ambayo nimeifanya ambayo ilikuwa ya upweke na ya kutenganisha roho safari yangu ya ivf ingawa ilikuwa safari zaidi kuliko safari kweli mbaya dawa uliyopewa wakati wa mzunguko wa ivf ni karibu na akili kama lsd kwa kuanza halafu kuna kungojea kwa hivyo mengi kusubiri kusubiri mwaka kwa rufaa ya gp kwa kliniki hapo kwanza kisha mwaka mwingine (ikiwa una bahati) kwenye orodha ya kusubiri ya kliniki kungojea vipimo halafu matokeo kungojea mzunguko uanze utaftaji wa yai wakisubiri habari za mbolea basi subiri ya wiki mbili ili kujua ikiwa imefanywa kazi kusubiri kungojea kungojea hata ndege ndefu zaidi ambayo nimewahi kuchukua kwenda australia ambayo inaonekana haina mwisho ni kama sekunde ikilinganishwa na uchungu wa kutazama saa wakati wa kungojea habari wakati wa kila hatua ya kuchanjaa ya mchakato wa ivf na kwa kupitia mchakato huo kuna hisia hii ya upweke ambayo inakufanya uhisi kana kwamba wewe ndiye mwokaji wa meli iliyoharibiwa ikishangaa na kushangazwa na jua kuoshwapeke yake kwenye kisiwa cha jangwa ukishangaa ni nini siku zijazo kushangaa ikiwa utawahi kuokolewa kutoka kwa ujanja wa utasa ambao kwa namna fulani hufanya wakati usimame ni mimi sikuwa peke yangu vizuri sio kimwili hata kidogo ningependa kutoka katika hospitali ya st barts wapinzani wa machozi yaliyotiwa na mascara baada ya kutekelezwa kwa matibabu mengine na kumezwa na bahari ya wageni wanaoingia kwenye bomba kwenye kituo cha benki ni jambo la kuchekesha jinsi unavyoweza kuzungukwa na watu puakwapua katika jiji lililojaa watu kama london lakini bado unahisi peke yako wakati mwingine ningeona beji ya 'baby kwenye bodi' ikicheza kwa kiburi na mama anayeng'aa kanzu ikizunguka kwa gongo na kufikiria je nitawahi kuvaa moja ya hizo (jibu ambalo baadaye lilikuja baadaye alikuwa hapana) kwa kushangaza dawa za ivf hufanya tumbo lako liweze kutokwa na damu kwa hivyo nina hakika watu wengine walidhani vibaya kwamba nilikuwa tayari 'kwenye kilabu' nilifikiria kutengeneza baji yangu mwenyewe na kuongeza nyekundu kubwa hapa mbele ya maneno 'mtoto kwenye bodi' na ulimikwashavu ' lakini je ninaweza kuwa na kiti chako' baada yao ikifuatiwa na ufahamu mdogo wa 'utasa' lakini basi nilifikiria bora zaidi ingehitajika kuwa beji nzuri sana kwa kuanza kutoshea yote waziwazi saizi kubwa angalau sio hila nadhani wazo langu la beji lilikuwa ni kilio cha msaada tumaini kwamba wanawake wengine katika hali kama hizo wangeiona na kuanzisha mazungumzo nami wanawake halisi wa kweli badala ya marafiki wa kawaida tu (waliyokuwa na msaada) ambao nilitengeneza mkondoni kwenye tovuti kama marafiki wa uzazi kwani tulifarijiana na kuungwa mkono usiku wa manane kupitia skrini ya kompyuta kwa hivyo nilipokuja kwenye pini ya mananasi akili rahisi na ya ujinga ya wanawake juu kwenye gazeti la uzazi la ivi babble mimi kiakili nilimpa watoto watano na njia yao ya maridadi ya busara (kinyume na kitabu changu cha kwanza) na mara moja tukaelekea amazon kupata yangu wakati mwaka huu unaadhimisha miaka 40 ya mafanikio ya ivf ivf babble alizindua kampeni yao ya #strongerhilo kabisa wakati wa wiki ya uhamasishaji ya uzazi ya mwezi uliopita mananasi kwa muda mrefu tangu ishara ya urafiki joto na kuwakaribisha imekuwa ishara inayotambuliwa ulimwenguni kwa bahati nzuri katika jamii ya ttc (kujaribu kujaribu) ivf babu wote wawili sara marshallukurasa na tracey bambrough kutoka kwa ivf babble ni mama wenye kiburi cha wasichana mapacha kufuata matibabu yao ya uzazi kwa hivyo wanajua kikamilifu rollercoaster ya hisia ambazo haziepukiki wakati wa safari kama hiyo ya kibinafsi na ya maisha ingawa mimi si sehemu ya jumuiya ya ttc mwenyewe baada ya kuachana na matibabu ya kuzaa miaka kadhaa iliyopita mimi ni msaidizi wa sauti wa wale wanaopita kwenye matibabu na zaidi ninatosha katika safari yangu kuweza kusaidia wengine kwenye blogi yangu maisha kutazama kwa jicho la ndege kwenye makala za magazeti na majarida na kikundi changu cha facebook kwa watoto wasio na watoto (au watoto kulingana na mtazamo wako) wanawake wanaoitwa wasio mumtandao pini ya mananasi ni ya mtu yeyote anayetaka kutoa msaada kwa wale walio na maswala ya uzazi na vile vile vile kwenye mmoja kwenye wanandoa sita wanaopata shida zenyewe na faida zote zinakwenda kwenye mtandao wa uzazi uk wafuasi maarufu ni pamoja na wanaokua pamba kate thornton na izzy judd mke wa mcfly drummer harry na sasa mama wa watoto wawili kufuatia mapambano yake ya uzazi kwa kuwa nimepitia safari yangu ya kawaida ya kusafiri kwa ivf kuchukua njia ya kufurahisha kwenda kwa furaha lakini bila kutembelea kimbari kutoka kwa nguruwe mwishoni naweza kusema kuwa kitu chochote kinachotoa msaada kwa watu hao wanaume na wanawake kupitia matibabu ya uzazi kuwa kitu kizuri viwango vya mafanikio ya ivf ya uingereza kwa sasa vinasimama karibu moja kwa tatu kwa kila mzunguko kwa wanawake chini ya miaka 35 na watoto zaidi ya 250000 wamezaliwa nchini uingereza ingawa ivf katika miaka 25 iliyopita kwa hivyo ikiwa umekaa kwenye kituo cha basi au kwenye bomba na unaona mtu amevaa pini wape tabasamu unaweza kuwa katika safari moja kwa njia zaidi ya moja je ungependa kuonyesha msaada wako kwa kampeni hii agiza mapema pini yako ya mananasi sasa kutoka amazon hapa tags huffington post ivfbabble pini za mananasi
2020-07-15T12:01:45
https://sw.ivfbabble.com/2017/12/huffington-post-pining-baby-pineapple-pin-says-youre-not-alone/
ufufukaji wa bani umayyah | usahihi wa historia ya uislamu na waislamu | books on islam and muslims | alislamorg ufufukaji wa bani umayyah bani umayya walikuwa ni ukoo mmojawapo wa makuraishi wa makkah kama ilivyoelezwa kabla walikuwa ni maadui wa jadi wa bani hashim ukoo mwingine wa makuraish wakati muhammad mtu wa ukoo wa bani hashim alipotangaza kwamba alikuwa ni mtume wa allah swt na akawataka waarabu kutelekeza uabudu masanamu wao na kuamini katika mungu mmoja bani umayya walimpinga na walipigana dhidi yake kwa miaka ishirini ushindi wa uislamu hata hivyo uliwasha mioto mipya ya chuki katika nyoyo za bani umayya dhidi ya walezi wake muhammad na ali kama ilivyoonyeshwa katika mlango mmoja uliopita walikuwa waangalifu vya kutosha katika kuficha chuki yao kwa muhammad lakini hawakujaribu kuficha chuki yao juu ya ali alikuwa ni ali aliyeharibu sio tu zile nembo zenye kuonekana za dini ya bani umayya bali pia alileta kifo kwenye heshima zao lakini mara wakaonyesha kwamba wanaweza kuwa chini lakini walikuwa hawajatoka nje wao kwa hiyo walivuta subira kwa miaka thelathini hadi mwaka 661ad wakati walipokuwa hatimaye na uwezo wa kuikamata ile zawadi iliyotafutwa kwa muda mrefu ukhalifa wa waislamu bani umayya walikuwa ndio maadui wabaya sana kati ya maadui wote wa uislamu kufanikiwa kwao kukamata ukhalifa wa waislamu kwa hiyo kumeleta mshangao mkubwa miongoni mwa wanahistoria yafuatayo ni maoni ya baadhi yao juu ya ukweli huu wenye mashaka kuaminika katika historia ya waislamu wale watesaji wa muhammad walipora urithi wa watoto wake na mabingwa wa uabudu masanamu wakawa ndio viongozi wakuu katika dini na dola yake upinzani wa abu sufyan ulikuwa mkali na sugu kusilimu kwake kulikuwa kwa kuchelewa na kusiko na ari imani yake mpya ilitiwa nguvu na haja na manufaa alitumikia alipi gana huenda aliamini na madhambi ya nyakati za ujahilia yalifidiwa na sifa za hivi karibuni za familia ya umayya muawiyah mtoto wa abu sufyan na yule katili hind alikwezwa mwanzoni mwa ujana wake kwa cheo au jina la mwandishi wa mtume uamuzi wa umar ulimkabidhi serikali ya syria na alilitawala jimbo hilo kwa zaidi ya miaka arobaini ama katika cheo cha chini au cha juu kazi iliyotukuzwa ya kuwatafuta wauaji wa uthman ilikuwa ndio kichwa na kisingizio cha tamaa yake (the decline and fall of the roman empire) sababu nyingine zilichangia kuchochea manunguninko ya jumla ukuaji wa haraka wa anasa na vitendo vya kifisadi katika miji mitakatifu na vilevile kwenye makazi mapya ulikuwa ni chukizo kwa waislamu wachamungu wale waislamu wabora wa kweli masahaba wa mtume wakiongozwa na ali talha na zubeir walijitahidi kuuchimba ule uungwana wa kiadui ambao uliwatishia kuwaangamiza kikundi kilichojitenga kijeshi kilikuwa tayari kwa uasi dhidi ya kiburi na uroho wa bani umayya maasi yalizuka ghafla na mwishowe khalifa huyu mzee aliuawa ndani ya nyumba yake mwenyewe (a literary history of the arabs uk 190 1969) muawiyah na warithi wake wakiwa wapagani wasiotubia katika yote bali majina tu (isipokuwa kwa muislamu halisi mmoja tu khalifa umar ii) walifikia uamuzi wa kuupinga uislamu kwa kujiingiza katika karaha mbaya sana katika ustaarabu walikuwa walevi wa pombe na walipamba makasiri yao kwa nakshi na michoro ya rangi katika mtindo wa kiyunani ambao ulikuwa umeenea huko syria kwa miaka 1000 iliyopita walifurahia katika kuvunja miiko ya kiislamu katika taswira ya miundo ya maisha waliajiri wasanii wa kikristo ambao walikuwa mahodari katika nyanja hii na hawakupendezewa na taswira za wanyama na wanaume maagizo yao waliyoyapendelea sana yalikuwa ni picha za wanawake bora zaidi wakiwa uchi au angalau uchi mpaka kwenye kiuno toynbee anaweza kudai kwamba ni mwanahistoria mashuhuri lakini madai hayo hayalazimishi kufanya maoni yake ambayo ameyaeleza kifahari sana katika dondoo iliyopita ama kuwa ni sahihi au hata yenye akili kwa kujitia kumdhihaki muhammad (saww) na ali anasaliti tu dosari katika jicho lake mwenyewe bainifu sana la wamisionari wa kiingereza wa karne ya 19 katika makoloni maoni yake yak
2015-02-02T02:43:51
http://www.al-islam.org/node/25084
jane john redds miss tanzania 2013 happiness watimanywa aalikwa nchini uganda kushiriki maonyesho ya mavazi
2017-11-19T06:59:18
http://janejohn5.blogspot.com/2013/11/redds-miss-tanzania-2013-happiness.html
the way you see the problem is the problem nyakati hizi nyumbani nyakati hizi nyumbani vielekezi vya kunyumba safi sana hapa ndo penyewe senene ufugaji nao sijui yapi ni maembe sindano ila matamu ukulima nao na haya ya kuchoma ukiwa ndani ya basi je inapofika tarehe kama hizi unajua ni wakati wa likizo nyumbani ama wewe ama ndugu watarejea nyumbani na kisha nyumba mtaa kijiji na kata vyafurika watu wakati wa kupeana habari wakati wa ndugu kukumbukana na kukumbushana mambo ya shule kukutana na wale uliosoma nao ambao wanafanya kazi mbali nawe na pia kwa wale tulio mbali kidogo tunapata fursa ya kurejea kwenye vile ambavyo tukiwa huku twavikosa saaaana binafsi nawakumbuka wazazi ndugu jamaa na marafiki nayakumbuka mazingira ya kijijini na mfumo mzima wa nguvukazi pia misosi yake hasa matoke na senene labda nisindikize hisia hizi na luciano ambaye anajiuliza ni lini atakwenda tena nyumbani kujumuika na waafrika wenzake kufurahia maisha matamu ya afrika msikilize katika kibao chake hiki when will i be home du umenitamanisha kweli msosi mzuri na unavutia ama kweli watu wa bk wanafaidi dah kaluse pole kwa kutamani lakini naamini sehemu zote wana vyakula vizuri na vyavutia basi tu hatuweki kumbukumbu ila kaka mpangala huwa ananitamanisha saana na dagaa wake na mapochopocho ya lundunyasa duh haya mambo si mchezo maana kuna ndizi maembe mahindi senene nk hivi vyakula fresh kabisa toka shamba na utakuta vimelimwa bila mbolea wala madawa na mbegu zake ni za asili mzee wa changamota tabia mbaya sana kutamanisha watu vyakula kama hivyo yaani mate yanandondoka ooohhh hapa nimetamani kweli kweli nyumbani kaluse anatamani sennene hii masai vp teh teh teh umenikumbusha tulipo kuwa wadogo msimu wa senene tulikamata tulisimamisha masomo kwa ajili yao tulikula kwa furaha wachumba waliganuzana kama ishara la engagement tuliwatunzia wenzetu walioko mbali senene walifungwa kwenye kakamba fualani na kuwekwa juu ya eneo la kupikia ili wasioze wala kuliwa na panya hicho kibao cha bukoba biharamulo na muleba ukifuata cha muleba unakutana na kilichoandikwa izimbya katerero basi huwa kinachekesha watuuuu umenikumbusha kulalila kwa enkoko engemu pamoja nekicholi very soon ntakwenda bukoba na kupiga picha nzuri na tamu zaidi kumbe hawa jamaa wanaitamani tanzania eee nimemsikia huyo kwenye wimbo akijiuliza kama asili yake ni tanzania wimbo bomba saaana huuu nimeupenda da sophie said mzee wa changamoto una mambo umenikumbusha nyumbani hasa kwa hiyo picha ya senene na ndizi harafu hiyo picha ya direction umeipata wapikwetu huko nimefurahi sana kuiona asante sana karibu tena da sophie hiyo picha niliipiga majira kama haya mwaka mmoja uliopita nilipokwenda kuwatembelea wazazi nilifurahishwa na mabadiliko kiasi niliyoyaona na naamini yatazidi kuwa bora zaidi nz zaidi hasa kwa manufaa ya wananchi kuhusu vyakula kwa hakika nimevikumbuka saana unajua ndizi yenye harufu ya omwika na kashweko yaani ni tofauti na hizi tufunikiazo manylon huku ili kukeep steam lakini kama wasemavyo kuwa if you don't have what you like like what you have hivyo twalazimika kuweka psychological tastes ili kujihisi tuko nyumbani karibu tena na asante kwa kazi nzuri jamvini mwako dada kaka senene hao duuu udenda wantoka yani dah wankumbusha mbali sana na safari sijaenda likizo basi taabu kweli kweli yaaani hapo namwona bibi ma buruke anantengea ktk kiibo na mbwembwe kibao yani dah we acha tu lakini wewe si waweza wekewa kwenye precionair zikaja sie sasa mpaka aje mtu na sio leo ama kesho twala kwa taswira tu kaka bernard
2017-10-17T11:39:22
http://changamotoyetu.blogspot.com/2008/12/nyakati-hizi-nyumbani.html
you are athome»habari360»trump anatarajiwa kutangaza mpango mpya kwa wahamiaji marekani rais wa marekani donald trump anapanga kutangaza alhamis pendekezo lake lililosubiriwa kwa muda mrefu la uhamiaji mpango ambao unalengo la kuondoa utaratibu wa wahamiaji kuidhinishwa kutoka mahusiano ya kifamilia na mahitaji ya kibinadamu katika mazungumzo na waandishi wa habari ofisa mwandamizi wa utawala alieleza kwamba mpango huo utaimarisha usalama wa mpaka na kuunda mfumo utakaozingatia sifa za mtu akisisitiza kwamba ni suala la ushindani wa uwezo wa mtu pendekezo la trump litaendelea kuweka idadi ya kadi za ukaazi halali marekani maarufu green cards inayotolewa kwa takribani watu milioni 11 kila mwaka lakini itabadilisha malengo ya namna wahamiaji watakavyopatiwa ikitoa kipaumbele kwa wenya ujuzi wa juu na watu wasomi wenye ajira au matarajio ya uwekezaji badala ya mahusiano ya kifamilia kwa raia wa marekani au mahitaji ya kibinadamu mfano wa visa ya marekani hivi sasa asilimia 12 ya wahamiaji wanapewa ruhusa ya kuja marekani kulingana na ujuzi wao na asilimia 66 kwa sababu ya uhusiano wao na familia ambazo tayari zipo marekani kihalali chini ya mpango huo asilimia 57 ya visa za wahamiaji zitatolewa kwa watu wenye ujuzi au zinatolewa kwenye ajira na asilimia 33 pekee ya watu wenye uhusiano wa kifamilia visa zinazotolewa kulingana na mahitaji ya kibinadamu zitapunguzwa kutoka asilimia 22 hadi asilimia 10 previous articletumia android au ios kama mouse katika kompyuta next article magazeti ya leo alhamisi mei 162019
2019-05-26T10:56:28
https://habarimpya.com/featured-2/habari360/trump-anatarajiwa-kutangaza-mpango-mpya-kwa-wahamiaji-marekani
2011 august 30 mo blog home / 2011 / august / 30 mo blog team is wishing you all eid mubarak 30 august 2011 by admin events & promotions featured 0 comments vodacom miss sports lady loveness flavian akipongezwa na warembo wenzake wa vodacom miss tanzania waliofanikiwa kuingia tano bora ya kuwania taji hilo la michezo baada [] 30 august 2011 by admin featured singida yetu 1 comment kamanda wa polisi mkoa wa singidacelina kalubaakitoa taarifa yake ya kuthibiti ajali za barabarani kwa waandishi wa habari (hawapo kwenye picha) mkuu wa kitego cha [] 30 august 2011 by admin events & promotions featured 0 comments urban pulse creative wakishirikiana na miss jestina blog wanakuletea matukio katika picha ya notting hill carnival iliyofanyika jumapili tarehe 28 agosti 2011 hii ilikuwa siku [] 30 august 2011 by admin featured uncategorized 0 comments naibu spika mh job ndugai taarifa ambayo imeibuka kuhusu spika na naibu spika kutofautiana kuhusu maamuzi ya kuunda kamati maalum ya kumchunguza katibu mkuu wa [] 30 august 2011 by admin featured uncategorized 0 comments khamis gaddafi anayedaiwa kuuwawa na waasi namo blog team maafisa wa uasi nchini libya wamesema wanaelekea kuwa na uhakika kuwa wamemuua mkuu wa upelelezi wa [] 30 august 2011 by admin featured uncategorized 0 comments mkuu wa jeshi la polisi nchini (igp) said mwema 1 katika kuhakikisha kwamba amani usalama na utulivu vinadumishwa hapa nchini na hasa katika kipindi hiki cha [] 30 august 2011 by admin featured uncategorized 17 comments what is hypertension hypertension or high blood pressure is a common condition that will catch up with most people who live into older age blood [] continue reading » matukio ya kuwazawadia washindi wa tennis kwa vijana wadogo 30 august 2011 by admin featured sports 0 comments mgeni rasmi mkurugenzi maendeleo ya michezo leonard thadeo akizungumza katika hafla ya kukabidhi zawadi kwa washindi wa mchezo wa tennis uliodhaminiwa na simba cement kwenye [] continue reading » redds miss tanzania watoa zawadi hospitali ya mwananyamala ya eid el fitri 30 august 2011 by admin featured uncategorized 0 comments warembo wakiwa katika pozi mara baada ya kuwasili katika hospitali ya mwananyamala mganga mfawidhi wa hospitali ya mwananyamala dkt sophinias ngonyani akiongoza msafara wa warembo [] continue reading » taarifa kutoka shirikisho la soka nchini (tff) 30 august 2011 by admin featured sports 0 comments ofisa habari wa tff bw boniface wambura viingilio stars v algeria viingilio kwa ajili ya mechi ya mchujo kutafuta tiketi ya kucheza fainali za kombe [] continue reading » chante moore kuwasha moto eid mosi katika hotel ya movenpick 30 august 2011 by admin events & promotions featured 0 comments continue reading » eid mubarak from mustafa hassanali & team 30 august 2011 by admin featured uncategorized 0 comments continue reading » search
2013-06-20T11:06:42
http://dewjiblog.com/2011/08/30/
bajeti ya nishati na madini kusomwa bila muhongo leo bongo leaks bajeti ya nishati na madini kusomwa bila muhongo leo makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya nishati na madini kwa mwaka wa fedha 2017/18 yanatarajiwa kuwasilishwa bungeni leo huku ikiwa haina waziri hata hivyo kwa mujibu wa katibu wa bunge dk thomas kashilillah pamoja na kwamba hakuthibitisha waziri anayesoma leo bajeti hiyo alisema taarifa alizokuwa nazo awali zilionesha mwenye dhamana ya wizara hiyo ni waziri wa viwanda biashara na uwekezaji charles mwijage bajeti hiyo ambayo ni ya mwisho baada ya wizara zote kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi yake bungeni ilitarajiwa kuwasilishwa tangu wiki moja iliyopita lakini iliahirishwa kutokana na sababu mbalimbali mara ya kwanza iliahirishwa baada ya aliyekuwa waziri wa wizara hiyo profesa sospeter muhongo kupata matatizo ya kifamilia (alifiwa na dada yake) lakini hata baada ya kusogezwa mbele ilishindikana kusomwa baada ya rais john magufuli kutengua uteuzi wa waziri huyo profesa muhongo alitenguliwa uteuzi wake baada ya dk magufuli kupokea ripoti ya uchunguzi wa makanikia iliyowasilisha mwenyekiti wake profesa abdulkarim mruma ambaye iliibua madudu mengi likiwemo la kuibiwa kwa makinikia hayo kwa mujibu wa kanuni za bunge bajeti hiyo inatakiwa iwasilishwe na waziri kamili na wanaotajwa kuweza kuwasilisha bajeti hiyo ni waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa george simbachene na waziri wa katiba na sheria profesa palamagamba kabudi mwingine ni mwijage simbachawene aliwahi kuwa waziri wa nishati na madini katika serikali ya awamu ya nne kwa sasa wizara hiyo iko chini ya naibu waziri ambaye ni dk medard kalemani alipotengua uteuzi wa profesa muhongo rais magufuli alisema nafasi yake itajazwa baadaye awali jenista alipoulizwa kuhusu anayehusika kusoma bajeti hiyo alisema tayari amewasilisha barua katika ofisi ya katibu wa bunge bila kutaja jina ni la waziri gani
2018-04-20T10:43:39
http://www.frankleonard.info/2017/06/bajeti-ya-nishati-na-madini-kusomwa.html
jibu wengine wanakataa kuhifadhi katika biashara ya fedhawakisingizia kuwa ni uwizi fulani mazungumzo yanafululika kwamba kwa maana uwekezaji huo hulenga hulimbikizaji wa pesani wizi na si lazimakupata tikiti za nasibu na kucheza kamari na kupata mauzo ninatofautiana pakubwawanakamari huwa hatarini kupoteza helaingali wanafahamu vivyo hivyokwa mujibu kuwa watapata hela mara moja uwekezaji mwafaka ni kupendelea kushiriki katika kumiliki sehemu katika kampuni na hiyo itawezesha kupata manufaa kwa mda mrefu kwa muda kunakuwa na njia mbadala njia zingine za kujihifadhia huwa karibu sana na kamariikiwapo na soko la hisa kinachohusisha bahati dhidi ya kuamua kwa hekima na muda inafaa kuepukwa iwapo na madhara uwekezaji wa muda mrefu huwa na matokeo baadayekuiwezesha kuwa na maana sana kama kupata faida ya uwekezaji katika kucheza kamari wengi wanaofanya kuwekeza kwa mujibu wa baadaye uzeenimasomo kwa wanaona umilikaji kwa familia zao baadaye maandiko yanafafanua zaidi jinsi ya kua na mali ifaavyo nyingine ni kama kuhifadhi matumizi ya sasa kutengeneza utajiri siku za usonimipango ya mungu katika kutumia mali yetu yamefafanuliwa katika bibilia baadhizo ni zifuatazo mithali 2820 inasema mtu mwaminifu atakuwa na baraka tele lakini afanyaye haraka kuwa tajiri hakosi ataadhibiwa hapa dhana ya kuwa tajiri haraka inakemewakujaribu kupata utajiri mara moja haifai ila kujipanga kwa muda ufaaondio mwafaka 2wakorintho 9 6 inasema lakini nasema neno hiliapandaye haba atavuna habaapandaye kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu maneno haya yanasema kuhusu kuhifadhi mahusiano yetu na munguila inadhihirisha vile tunafaa kujinyima kwa ajili ya kesho piamithali 3 910 inasema mheshimu bwana kwa mali yako na kwa malimbuko ya mazao yako yotendipo ghala zako zitakapojazwa kwa wingi na mashinikizo yako yatafurika divai mpy maelezo kadhaa ya maandiko kuhusu urithi ni maonyo kwa sababu ya kutumainia mali badala ya mungu (kwa mfano 1 timotheo 6 1718) ama kunyanyasa wanaotuegemea (ilivyo mhubiri 5 1314) ikiwa tutathamini mungu kwa mioyo yetu na jamii kwamapato yetuna kuweka moyo wa upole na heshimakuhiadhi si maana katika muumini kusisitiza
2019-05-26T05:58:35
https://www.gotquestions.org/Kiswahili/soko-hisa-kikristo.html
chunguza rotterdam uholanzi world tourism portal chunguza rotterdam uholanzi nini cha kuona vivutio bora vya juu katika rotterdam uholanzi tovuti rasmi za utalii za rotterdam tazama video kuhusu rotterdam chunguza rotterdam manispaa na jiji katika jimbo la uholanzi kusiniholland lililoko magharibi mwa uholanzi na sehemu ya randstad manispaa hiyo ni ya pili kwa ukubwa nchini (nyuma amsterdam) na idadi ya watu takriban wa 601300 na zaidi ya wakazi milioni 29 katika eneo lake la jiji bandari ya rotterdam ni kubwa zaidi ulaya kutoka 1962 hadi 2004 ilikuwa bandari ya busara zaidi duniani basi ilibatizwa na shanghai sasa rotterdam ni bandari ya nne kubwa duniani rotterdam inajulikana kama mji wa usanifu kilomita za mraba chache za kituo cha jiji hutoa muhtasari kamili wa kile karne ya ishirini imezalisha katika suala la usanifu wa kisasa kwa sababu ya hali hii ya kisasa zaidi na uwepo wa majengo kadhaa ya juu jiji hilo linavutia sana kwa watu wa uholanzi kutembelea makazi mwisho wa chini wa fen mkondo tarehe rotte tarehe angalau 900 karibu 1150 mafuriko makubwa katika eneo hilo yalimaliza maendeleo na kusababisha ujenzi wa mabwawa ya kinga na mabwawa bwawa kwenye rotte au 'rotterdam' lilijengwa katika 1260s na lilipatikana kwa hoogstraat ya leo ingawa rotterdam alifanya vizuri baada ya miaka ya kati na katika 'karne ya dhahabu' takriban kati ya 1650 na 1750) haikuwa kabla ya sehemu ya pili ya karne ya kumi na moja ambapo mji ulianza kujiendeleza haraka iliyosaidiwa na kuchimba kwa bahari mpya (nieuwe waterweg) rotterdam iliepuka shida za kusababishwa na kuteleza kwa mto na kuanza kupokea meli kubwa zaidi na mizigo kwa / kutoka ruhrgebiet inayoingia germany biashara inayohusiana na bandari na tasnia iliongezeka na jiji likaanza kuteka wahamiaji wengi kutoka jimbo lililokuwa maskini la brabant ambalo sehemu ya kusini ya mji ilijengwa mwanzoni mwa karne ya ishirini rotterdam alikuwa akiendelea kuwa kituo kikuu cha uchumi huko uholanzi ilikuwa kati ya wakati huo na vita vya pili vya ulimwengu ambapo kazi kubwa za ujenzi wa kifahari zilifanywa kwa sehemu kuonyesha kiburi kipya cha uchumi huko uholanzi rotterdam ina asilimia kubwa ya wageni kutoka mataifa yasiyokuwa na uchumi karibu 50 ya watu sio wazawa wa uholanzi au wana mzazi mmoja tu aliyezaliwa nje ya nchi takwimu za hivi karibuni zinaonyesha kuwa waislamu wanaunda karibu na 25 ya wakazi wa jiji jiji pia ni nyumbani kwa moja ya jamii kubwa kutoka cape verde ulimwenguni na pia jamii kubwa kutoka kwa antilles ya uholanzi mazingira ya rotterdam ni tofauti kabisa na miji mingine ya uholanzi akili inaweza kuelezewa vizuri kama 'inaweza kufanya' kutoka kwa walezi unaokutana na wafanyibiashara na watu ambao wamefika tu kama wahamiaji wote wanapumua matumaini ya kusonga mbele na mambo na mji wao rotterdam ina hali ya hewa ya bahari kama maeneo yote ya pwani ya uholanzi jua huwa joto kidogo mawingu na ukungu wakati mwingine spring kawaida huanza katikati ya aprili tangu machi na wiki za kwanza za mwezi bado ni baridi na zina wastani wa siku za 6 za theluji msimu wa juu huanza mei wakati mji unapoanza kuishi hai na wenyeji na watalii wanaanza kwenda nje na kufurahiya majira ya joto ni baadhi ya mazuri zaidi katika bara zima la ulaya hague uwanja wa ndege upo 6km kaskazini mwa kituo cha jiji kwa kuwa karibu kila mtu ndani uholanzi anasema kiingereza kingereza kuzunguka kunapaswa kuwa rahisi sana kwa watalii ambao wanaweza kuongea lugha hii tu markthal (ukumbi wa soko) d jan scharpstraat 29 monthu sat 10am8pm fri 10am9pm sun 12am6pm markthal ni soko kubwa la chakula cha ndani / korti ya chakula na makumi ya maduka kadhaa huuza mboga mboga nyama samaki jibini karanga na chakula kingine pamoja na eateries ndogo maduka makubwa maduka ya pombe markthal ilifunguliwa mnamo agosti 2014 na jengo lenyewe ni mfano mzuri wa usanifu wa kisasa wa rotterdam inapendwa sana na wenyeji na watalii sawa kwa hivyo inaweza kuzidiwa haswa mwishoni mwa wiki makumbusho makaburi milima ya vilima huko rotterdam zoos sehemu za kihistoria za ibada vivutio katika rotterdam pwani nzuri kabisa ni safari fupi ya treni (32 min) mbali hook ya holland hapa utapata pwani nzuri ya mchanga na kuogelea nzuri na burudani ya kutosha ondoka katika mji wa hoek van holland kando hakuna kitu huko kwa kichwa cha uzoefu wa pwani zaidi ya jiji la scheveningen ambapo unaweza kupata kila kitu walala wa chama cha pwani wanaota juu safu zisizo na mwisho za baa za karibu na pwani mikahawa na disco na boulevard kando ya pwani nzuri ya mchanga inaweza kujaa sana hapa rotterdam hucheza mwenyeji wa matukio mengi mengi yao ya mwaka licha ya hizi kuna ndogo zaidi ambazo zinaweza kuwa nzuri sana kwa hivyo uliza kuzunguka na uangalie tovuti ya vvv matukio machache ya mwaka huu kwa jina mashindano ya siku sita ya baiskeli mnamo januari tamasha la filamu ya kimataifa rotterdam ambayo ina filamu huru kutoka ulimwenguni kote kwa wiki mbili mwishoni mwa januari sanaa rotterdam mnamo februari ungeweza kuona (na kununua) kazi bora za sanaa za kisasa mashindano ya tenisi ya kidunia motel mozaique muziki sanaa na utendaji pamoja na mradi wa kulala unaowezesha kulala kwenye sanaa au kwenye maeneo maalum huko rotterdam (aprili) marathon mwezi aprili ilijulikana kimataifa kama mbio ya haraka sana tamasha la kimataifa la ushairi mnamo juni rotterdam ukomo wa gwaride kubwa lenye mwelekeo wa karibi na sherehe katikati mwa jiji mnamo juni sherehe ya zamani ya dunya na summer carnival tamasha kuu la bahari ya north jazz mwezi julai na mizigo ya wasanii maarufu duniani racesalon mnamo agosti tukio la mbio za barabara ya 1 heerlijk rotterdam hafla ya siku tatu ambapo unaweza sampuli za sahani kutoka kwa mikahawa ya nyota ya michelin kwa bei iliyopunguzwa (tarehe hutofautiana toleo la majira ya joto kawaida mwishoni mwa agosti toleo la kwanza la msimu wa baridi huko 2010 mwezi januari) siku za bandari za ulimwenguni wikendi kamili ya shughuli zilizozingatia bandari kubwa ya rotterdam (mapema septemba) tamasha la muziki la classical gergiev mnamo septemba lililoongozwa na bwanaconductor valery gergiev kuwa bandari kubwa na kuwa na barabara nyingi na maziwa rotterdam ina mengi ya kutoa kwa washirika wa maji kuendesha mashua kuna maziwa makuu manne huko rotterdam plas za kralingse plas mbili za bergse plaza za zevenhuizer wote wana jamii zinazofanya kazi kwa kasi na wakati mwingine mbio za baharini zinaweza kuonekana plasta ya zevenhuizer ina watu wengi sana na windsurf boti za kupandameli na meli zinaweza kukodishwa kwa windmill mwishoni mwa rottekade mashariki mwa van viet's wakati wa kutembelea rotterdam na yacht yako mwenyewe utagundua kuwa bandari nyingi za yachting ziko kwenye barabara za mashambani kulikuwa na mengi yao kwenye mto maas utapata tu marina ya jiji nyuma ya daraja la bonde kwenye benki ya kusini na veerhaven katikati mwa jiji kwenye benki ya kaskazini isipokuwa unahitaji makao bora ya marina isiyo na tabia ya jiji nenda kwa marina anayeridhika kuwa msemaji mdogo wa veerhaven marina katikati sana na ya kuvutia sehemu kuu za ununuzi katikati ni lijnbaan na hoogstraat zote mbili ni za watembea kwa miguu lijnbaan ambayo inaelekea moja kwa moja kutoka weena (karibu na rotterdam centraal) ilikuwa barabara ya kwanza ya ununuzi wa miguu ulimwenguni wakati ilijengwa katika 1953 sasa ni zaidi ya barabara ya wastani ya ununuzi na maduka ya wastani katika wikendi kunaishi sana kuunganisha lijnbaan na hoogstraat ni beurstraverse inayoitwa koopgoot (kununuagutter) kifungu cha chini ya bahari kikiunganisha na kituo cha metro beurs ni vizuri badala kubwa na ya kushangaza kwa mji wa uholanzi lakini inafaa kabisa ndani ya hamu ya rotterdam ya kuwa tofauti ikiwa unatafuta uliza koopgoot kama jina rasmi linajulikana kidogo uzoea mbadala zaidi wa ununuzi unaweza kupatikana katika botersloot na pannekoekstraat ambazo zina maduka mengi huru mengine wazi barabara zote mbili zinaendana na mashariki kutoka kwenye soko la soko ambalo blaak metro na kituo cha gari moshi iko kuna karibu 12 kubwa na ndogo masoko ya wazi ya dotot kuzunguka rotterdam wengi wao ni sehemu za kufurahisha za kupitia mahali pazuri kutembelea ni soko la jiji la ndani (tue na sat katika msimu wa joto pia kwenye jua toleo ndogo) ambayo ni soko kubwa (kuhusu maduka ya 450) chakula cha nje cha soko na vifaa vya soko ni mwisho wa mashariki wa hoogstraat kwenye binnenrotte zaidi ya kuvutia na ya kupendeza ni soko la afrikaanderplein (kusini mwa mto) soko hili limelenga sana kuelekea wenyeji wa rotterdam wa antillean amerika ya kusini au asili ya kiafrika (wengi ambao wanaishi karibu) wed na sat kuhusu duka za 300 de bijenkorf hifadhi hii ya alama inapeana mengi katika suala la mavazi bora manukato vifungu vya mitindo vito vya mapambo na mengineyo duka hutoa ubora lakini inakuja kwa bei kila mwaka mnamo oktoba kuna uuzaji maalum (siku za wazimu wa 3) wakati ambao unaendesha hatari ya kukanyagwa kwa kukanyaga wawindaji wa biashara hema nyota hii ya ununuzi wa bajeti ya uholanzi ina anuwai ya mavazi chakula na vifaa hema ina sifa ya kupeleka bidhaa bora kwa bei za ushindani sana sehemu kubwa ya inauza ni muundo mpya na mkali ununuzi endelevu wa de groene pasifiki ni mkusanyiko wa duka endelevu pamoja na duka la mboga mkahawa duka la vitabu na ujuaji vitu vya kununua jibini la uholanzi ni maarufu sana unaweza kupata duka la mboga au aina pana sokoni vitu vingine vya kawaida vya uholanzi ni stroopwafels hagelslag na tone (barafu ya pombe) sehemu inayozunguka kituo cha metro blaak inayoitwa oude bandari (bandari ya zamani) haifai kuona tu lakini pia ina baa nyingi na mikahawa sehemu ya dining ya rotterdam inaendelea haraka sana na kufungua mikahawa mpya mara nyingi sana wakati uangalifu mwingi unazingatia maeneo mapya ya nyota ya michelin kuna mwelekeo sana kuelekea migahawa ya hali ya juu inayotoa vyakula vya ufaransa / kiholanzi nini cha kunywa katika rotterdam kituo cha kihistoria cha schiedam pamoja na upepo wa hewa mrefu zaidi wa 6 katika kituo cha kihistoria unaweza pia kupata jumba la kumbukumbu la stedelijk na maonyesho mazuri ya sanaa ya kisasa kufikiwa kwa urahisi na baiskeli au kuchukua jiji la kihistoria la delft dakika ya 15 safari ya treni kutoka kituo cha rotterdam centraal kihistoria sana na ya kushangaza lakini kitalii kidogo jiji la kihistoria la dordrecht dakika ya 20 safari ya treni au bora zaidi chukua waterbus mji mzuri wa kihistoria na utalii kidogo na jumba la sanaa bora la zamani tembelea kadi ndogo ya posta ya mji wa gouda na uone madirisha mazuri ya glasi kwenye kanisa la st johns mnara wa unesco pia dakika ya 20 kwa gari moshi kuna kilima kidogo huko carnisselande karibu na mwisho wa njia ya tram 25 ni urefu wa futi 30 tu lakini ikiwa unapanda juu hukupa maoni ya kupendeza ya mji mzima wa rotterdam na mashambani kuelekea kusini mwa hiyo karibu ni carnisse g shamwarien nzuri kwa kutembea kwa njia ya marshland na msitu wa msituni kando ya mto meuse delta inafanya kazi kazi ya delta inajumuisha anuwai ya kazi kubwa katika utetezi wa pwani ambayo kizuizi cha upasuaji cha oosterschelde ndicho cha kuvutia zaidi neeltje jans hifadhi ya mandhari ya maji kwenye kizuizi cha dhoruba cha oosterschelde windmill ya kinderdijk ambapo 19 vilima bado vinasaidia kudhibiti kiwango cha maji nambari ya windmill 2 imefunguliwa na umma hukuruhusu kuona utendaji wa ndani tembelea mji wa zamani wa maboma wa brielle kituo hicho ni mkusanyiko mzuri wa nyumba na makanisa ya zamani yaliyofungwa na ukuta wa kwanza wa ukuta wenye kinga kuna majumba kadhaa ya kumbukumbu na jumba katoliki katoliki la wanahistoria wa gorcum kutembea karibu na mji na ngome ni matibabu unaweza kutumia siku kwa urahisi huko brielle
2020-05-30T07:31:19
https://sw.worldtourismportal.com/chunguza-netherlands-za-rotterdam/
mrisho's blog paul mashauri kutoa mikopo kwa wajasiriamali lengo kuzalisha ajira mil 3 hadi 2020 paul mashauri kutoa mikopo kwa wajasiriamali lengo kuzalisha ajira mil 3 hadi 2020 posted by mrisho's photography at 1029 am
2017-08-22T05:31:44
http://abdallahmrisho.blogspot.com/2016/09/paul-mashauri-kutoa-mikopo-kwa.html
matangazo international bure weka bure tangazo katika sehemu moja 58 lugha katika matangazo yetu rahisi iliyoingia matangazo na sisi kwa ajili ya bure moja kwa moja kutafsiri na matangazo ya kuonyesha kwa watumiaji katika lugha yao ya kuingiza tangazo mpya jamii matangazo binafsi na ya kibiashara bure classified matangazo bila usajilibure tangaza online bazaar advertising server jamii na matangazo ya burematangazo server my4u ni iliyoundwa si tu kwa ajili bure binafsi na ushirika online matangazo katika makundi yote tunatoa nafasi ya kuwasilisha yoyote bure online tangazo kwa jamii yako mteule matangazo server my4u huduma standard ni classifieds bure asante kwa kutumia huduma zetu online classifieds tovuti my4u automoto vyanzo mbadala audio video picha bidhaa white umeme usafiri anakaa kampuni annonce ifauna animal tangaza vitabu muziki sinema samani na samani bazar nguo na viatu kompyuta laptops kazi ajira viwanda uzalishaji mali isiyohamishika collectibles antiques dating kwa furaha huduma na ufundi tangazo private wanaokimbilia ushauri michezo na hobby jengo nyumba bustani mashine vyombo zana za mkononi urambazaji kila kitu kwa ajili ya watoto elimu silaha na risasi bila ya malipo punguzo na zawadi health & beauty bazosu bazaar erotic matangazo jamii overview matangazo rssfeed top matangazo kwa ajili ya matangazo katika ukurasa wa nyumbani 14012017 kujitia alifanya ya chuma cha pua kujitia alifanya ya chuma cha pua au kujitia chuma si tu kuvutia kisasa kubuni lakini pia sifa ya kipekee kama vile ugumu hasa ya juu upinzani kutu fastness uimara na hypoalergennost tunatoa mbalimbali ya 06012017 erotic dating jinsia 14012017 gold minyororo na gold vito kusisitiza charm ya utu hisia ya ukamilifu na hasa timelessness ni kurithiwa kutoka kizazi hadi kizazi na kila mmoja ana hadithi yake mwenyewe na kuanza kumwambia wakati mawazo yake kuchagua na kununua all dhahabu vito eduka la njano 04012017 online telefonuvowcz ngono moto wasichana kwa ajili yako tu juu ya bei nafuu ya simu ngono nonstop sisi ni kusubiri kwa ajili yenu kila mmoja wetu ni tofauti kidogo lakini jambo moja sisi katika kawaida mimi upendo ngono katika yote hata njia nyingi kilichopotoka sex kufikiria ni zawadi sehemu ya asili ya maisha yetu kitu shukrani top maelezo ya jumla ya matangazo yote matangazo ( ) sasa na kuthibitishwa bazaars portal company máte nějaký problém volejte věštce nevíte si s něčím rady naše astroložky vám poradí a pomohou uchaguzi wa lugha chagua lugha yako shule zote nchini marekani albanian arabic armenian azerbaijani basque belarusian bulgarian kibengali catalan kichina (kilichorahisishwa) kichina (cha jadi) croatian czech danish dutch english estonian philippine finnish kifaransa galician gujarati georgian kn german greek haitian creole kiyahudi hindi hungarian icelandic indonesian ireland italian japanese korea latvian lithuanian macedonian malay maltese norwegian kiajemi polish portuguese romanian russian serbian slovak slovenian spanish kiswahili swedish tamil telugu thai turkish kiukreni kiurduvietnamese welsh yiddish kushiriki ukurasa huu jumatano / středa 18012017 23 12leo kiwango cha czk
2017-01-18T22:12:22
http://www.inzerce-bazar.my4u.cz/sw/
kwa nini watu kusherehekea nyeusi ijumaa | ijumaa nyeusi 2017 coming 24 novemba mujeer novemba 10 2017 0 maoni kwa nini watu kusherehekea nyeusi ijumaa black ijumaa ni siku ya ununuzi kwa mchanganyiko wa sababu za kila mtu inakwenda ununuzi kama siku ya kwanza baada ya likizo kubwa ya mwisho kabla ya krismasi inafanya mwanzo rasmi wa krismasi ununuzi msimu hii ndiyo sababu ni muhimu kwa kununua yao ina mara kwa mara wamekuwa shughuli nyingi zaidi siku ya ununuzi ya mwaka tangu 2005 katika 2014 matumizi ya kiasi juu ya black ijumaa akaanguka kwa mara ya kwanza tangu 2008 uchumi $509 bilioni hasara zilitumika wakati wa soma zaidi [] milan fashion week ratiba septemba 2017 mujeer septemba 20 2017 0 maoni milan ratiba ya vipindi milan fashion week ujao tarehe alberta ferretti | milan fashion week live stream 500 pm · alberta ferretti milan fashion fashion week tarehe ya milan spring na fall februari na septemba ujao tukio hii wiki hii je mtindo itakuwa kama katika maisha yako ya kila siku tovuti rasmi mtiririko woman s / s 2018 inaonyesha namna kalenda muda halisi picha na inaonekana mtiririko wa kijamii na habari jungsis ni kwenda na milan fashion soma zaidi [] 100+ best collection ujao uingereza marekani women dresses style mujeer agosti 31 2017 0 maoni 100+ best collection ujao women bora design imekuwa chakula cha mchana marekani uingereza habari njema mnara looking bora rahisi ukusanyaji ndogo lakini mitindo nzuri ya ujao katika marekani uingereza watu wengi wanatarajiwa kuchukua mtindo mpya wala kudhibiti bei kabla ya kuchagua basi unapaswa kupata pia kulipa kwa nini style kuangalia bora hapa hali chache kutupa 2017 ujao mpya styling jaribu kuchukua hakuna mtu kuchanganya hili je mtu yeyote unataka soma zaidi [] 30+ maalum eid female dresses collection katika 2017 mujeer agosti 29 2017 1 maoni nini mpya collection wasichana ni hamu sana katika eid wasichana na wanawake mara zote wanataka kuonyesha kwamba hizi kuangalia nzuri kuliko wengine daima hivyo ni kutafuta nguo mpya na viatu mpya hivyo i na kupewa mpya 2017 nguo picha mimi ni kukusanya mengi ya nguo miundo juu ya makala hii hivyo wanawake wanatumia mengi ya msaada katika makala hii ya kuchagua yake eid mavazi kama kwa ajili ya mema au kama kwa mavazi mazuri ambayo mechi yake ni nguo nzuri katika makala hii natumaini kwamba wewe kama hayo soma zaidi [] news yajayo
2018-01-24T09:22:55
https://wikiwon.com/sw/category/upcoming/
msemaji wa serikali serikali imeelekeza imeonya na kusamehe vya kutosha sasa kuvichukulia hatua vyombo vya habari vinavyosambaza taarifa za uongo | jamiiforums habari serikali vyombo vya habari msemaji wa serikali ya tanzania dkt hassan abbas kupitia ukurasa wake wa twitter ndio ametoa onyo hilo kwa kusema katika siku za karibuni kumeibuka tena tabia ya baadhi ya vyombo vya habari hapa nchini kushabikia kutumika na kuwa mawakala wa kusambaza habari za uongo uzushi na propaganda dhidi ya nchi yetu kutoka mashirika ya kimataifa au wawakilishi wa mataifa ya nje bahati mbaya katika habari hizo misingi ya taaluma ya habari husiginwa hasa kanuni ya kujiridhisha na ukweli wa tuhuma husika kwa sababu hiyo serikali imeelekeza vya kutosha imeonya vya kutosha na imesamehe vya kutosha sasa tutachukua hatua kali za kisheria vyombo vya habari vya ndani na nje ya nchi vilivyosajiliwa kupewa ruhusa ya kutekeleza majukumu yao hapa nchini vinakumbushwa tena kwamba uandishi wa habari ni taaluma ina haki zake wajibu wake misingi yake na zaidi sheria zake sheria zilindwe zisibanangwe government spokesman and director general of information services dr hassan abbas warns that legal actions will be taken against media outlets that share false news and propaganda from international organizations or representatives on his twitter dr abbas goes on to say that the government has spoken warned and forgiven enough on this matter and now it is time to take strict legal measures he insists that all registered media outlets (local and international) should remember that journalism is a profession it has its rights its responsibilities its fundamentals and most importantly its laws the public has had different opinions on this announcement some say the government cannot target international media outlets and this can only be effective locally others have pointed out that its too late now the government should have taken this measure sooner reactions tundali battery misasa and 12 others mtawafunga midomo akina itv ila akina dw bbc aljeezera etc hamtawaweza kamwe reactions moj6 mina cute residentura and 37 others 33359 2000 naunga mkono hoja ya dr abbas uandishi wa habari ni fani ni kipaji na pia ni taaluma ina miiko yake haki zake wajibu wake misingi yake na zaidi sheria zake sheria taratibu na kanuni za uandishi zifuatwe na maadili yazingatiwe na yalindwe wanabodi naangalia kipindi cha baragumu ambacho kiko live on channel ten mkurugenzi wa idara ya habari maelezo dr hassan abbas afafanua mambo mbalimbali ya habari tanzania amesema tanzania tuna uhuru mkubwa wa habari na uhuru mkubwa wa kujieleza ila pia amefafanua usajili wa mitandao uhuru wa habari tanzania je vyombo viko huru je waandishi wa habari wako huru wanathaminiwa wanabodi leo ni siku ya kimataifa ya kuadhimisha uhuru wa habari kwa tanzania maadhimisho rasmi yanafanyikia jijini mwanza katika kuadhimisha siku hii kwa tanzania tunaadhimisha nini haswa wakati tukiadhimisha hicho tunachoadhimisha hakuna ubaya tukitafakari baadhi maswali haya 1jee wanabodi japo dunia nzima inafahamika nchi kuendeshwa kwa mihilimili mitatu ya the executives the legislature and the judiciary si wengi wanaotambua kuwa kuna mhilimili wa nne the media media ni mhimili the forth protocol or the forth estate waandishi wa habari ni mhimili wanapaswa vyombo vya habari vya tanzania havina uwezo wa uchambuzi wa habari news analysisjicho letu wanabodi kama kawaida ya jumamosi asubuhi star tv kipindi cha jicho letu ndani ya habari leo kipindi kimeiponda media ya tanzania kuwa vina uwezo duni wa kufanya uchambuzi wa kina yaani news analysis kazi kubwa media ya tanzania inayofanya ni kuhabarisha tuu jamii kuhusu matukio lakini reactions muchetz kifaurongo aaron arsenal and 17 others 7714 2000 huyu jamaa bure kabisa ni wazi kaandika hii twit akitumaini magufuli ataisoma maana sidhani kama haya yeye mwenyewe ndani ya moyo wake anakubaliana na alichosema ndicho kilichobaki kwa hawa viongozi wa tanzania reactions prs mina cute residentura and 7 others hawa wakina fyatu wamegeuza media kuwa vijiwe vya propaganda ovu reactions chikwuemeka misasa magu2016 and 1 other person naunga mkono hoja ya dr abbas kweli mkuu pascal hasa kwa vyombo vya habari vinavyotoa habari kipropaganda badala ya kitaaluma na kupotosha mambo kimakusudi kwa manufaa binafsi ya watu fulani fulani vinastahili adhabu vingekuwa trump tunge viimpeach na wa kenya rwanda na burundi ugandaamerika na trump wake je acheni ujinga vijana wa kibongo nguvu kazi yoote inawaza fiesta na tweeter tu mbona katiba inavunjwa kila siku huku baadhi ya raia wakinyimwa haki zao mbalimbali reactions douglas sallu mapito mwanza danny jully and 5 others naunga mkono hoja ya dr abbas uandishi wa habari ni taaluma ina haki zake wajibu wake misingi yake na zaidi sheria zake sheria taratibu na kanuni za uandishi zifuatwe na maadili yalindwe tangu ulipoanza kupongeza na kushabikia mambo ya hovyo nami nikashusha credibility zako kabisa kabisa reactions devijoy mina cute agogo jr and 14 others naunga mkono hoja ya dr abbas uandishi wa habari ni fani ni kipaji na pia ni taaluma ina miiko take haki zake wajibu wake misingi yake na zaidi sheria zake sheria taratibu na kanuni za uandishi zifuatwe na maadili yazingatiwe na yalindwe kwa hiyo anamaanisha akina dw bbc aljeezera hawana taaluma reactions devijoy douglas sallu kinyungu and 5 others aanze na vyombo vya habari vya musiba reactions devijoy prs baba ndumbwi and 6 others mkuu nakuheshimu sanasiwezi kuongea jambo baya litakalokukwazaila nikushauri kitu kimojawewe ni mtu unayeheshimika sana humuila tabia hii mpya uliyokuwa nayo siku hizi hapa jukwaaniya kila lifanywalo na mamlaka liwe baya au zuri wewe kwako yote yanakuwa mema sio njema simamia hakipigania kweliutashi binafsi unapozidiwa na tamaa ya malimadaraka au hata wadhifa unaharibu personality yako just be paschal who we used to know heri sifa njema kuliko marijani ushauri kutoka kwa mdogo wako reactions devijoy douglas sallu worms and 10 others hata wayahudi walishusha credibility ya masiya na wakamsulubisha itakuwa kapuku mimi kushushwa credibility na bibi kalamba reactions mambio chikwuemeka and kinyungu uzushi wa tanzanite na jamvi la habari dhidi ya wapinzani huwa hauoni reactions douglas sallu allineando mapito mwanza and 3 others reactions tau 1 gwankaja and invigilator naye kajiunga chama cha waimba mapambio sikuhizi reactions migugo allineando mapito mwanza and 3 others 2298 2000 samahani kakahivi una degree ya mass communications kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na serikali reactions mapito mwanza zumbe mtana and pascal mayalla hizo kanuni na miiko plus upawa havimuhusu musiba mkuu punguza unafki reactions douglas sallu mapito mwanza invigilator and 3 others hapana mkuu kubali mashauri usikatae maonyohaijalishi umeambiwa na nanihii abrupt change inaacha walakini kwa watu wenye imani na wewesimaanishi usiunge mkono wala kupingaila simamia kweli kwa dhati kabisahaijalishi nani atakwazikamasihi hakulamba miguu ya watawala dhalimukina herodepilato anasi na kayafa reactions mnasihi zumbe mtana ndikwega and 1 other person kwa hiyo wewe ni masiya reactions douglas sallu fenestra rotunda invigilator and 1 other person a pascal mayalla anafaa kuwa msemaji wa serikali jukwaa la siasa 76 feb 10 2020 c i have a dream paschal mayalla kuwa msemaji wa serikali kumrithi dr abbas jukwaa la siasa 26 feb 9 2020 ijengwe nidhamu ya kujibu masuala ya nchi kimataifa kila mtu amekuwa msemaji wa serikali jukwaa la siasa 78 feb 3 2020 msemaji wa serikali uchumi wa tanzania umekua kwa 69 jukwaa la siasa 12 jan 31 2020 pascal mayalla anafaa kuwa msemaji wa serikali i have a dream paschal mayalla kuwa msemaji wa serikali kumrithi dr abbas ijengwe nidhamu ya kujibu masuala ya nchi kimataifa kila mtu amekuwa msemaji wa serikali
2020-02-25T18:23:32
https://www.jamiiforums.com/threads/msemaji-wa-serikali-serikali-imeelekeza-imeonya-na-kusamehe-vya-kutosha-sasa-kuvichukulia-hatua-vyombo-vya-habari-vinavyosambaza-taarifa-za-uongo.1658658/
msikie zari the boss lady akiongea kiswahili utra video city look video with us msikie zari the boss lady akiongea kiswahili author bongo swaggz tv 3 год назад 52 like 5 dislike jinsi ya kupika maini ya n'gombe malaini kiswahili mahitaji maini ya n'gombe 15 lb/ 680gms kwa kuroweka unga wa giligilani kjk 1 cha chai unga wa bizari nzima kjk 1 cha chai pilipili ya unga nyekundu kjk 1 cha chai pilipili manga ya unga kjk 1 cha chai chumvi kiasi kitunguu thom na tangawizi mbichi kjk 1 kikubwa maji ya ndimu au limao mafuta ya hali zetu au yoyote ya kupikia kjk 1 na nusu mahitaji ya mchu mafuta ya kupikia vjk 2 vikubwa vitunguu maji vilokatwa kiasi kikombe 1 tomato zilokatwa kiasi kikombe 1 bizari ya nzima (uzile) ya unga 1/2 kjk bizari ya unga wa giligilani 1/2 kjk kitunguu thom na tangawizi mbici vjk 2 vidogo pili pili boga za rangi kama utapenda majini ya dhania/kotmiri kwa mapambo kama utapenda video intro zanzibar spice market by farhat abbas https//wwwyoutubecom/resultssearch_query=farhat+yummy video intro mombasa spice market by chef farouk amboka https//wwwinstagramcom/faroukamboka/hl=en music courtesy https//soundcloudcom/beatoj/contemplativemiddleeastoudimprovisation this is english and kiswahili channel where you will find cuisine from around the world biriani/biriyani ya zanzibar kiswahili ingredients kwa kiasi watu 68 for marination 5 lb vipande vya miguu na mapaja 12 pcs au kuku mzima alokatwa vijiko vikubwa 3 mtindi mzito vijiko vikubwa 4 tomato paste nusu 1/4 kikombe tomato ilosagwa vitunguu vikubwa 4 vijiko 3 vikubwa vya thom & tangawizi ilosagwa ndimu/limao 12 1/2 nusu kifungu majani ya kotmiri/gilgilani 1/4 kifungu majani ya nanaa pilipili za kijani 2 au zaidi vijiko 3 vikubwa bizari ya biriani ya kinyumbani au 2 garam masala vijiko 2 vikubwa chumvi vikombe 3 mafuta ya kukangia vitunguu nusu 1/2 kikombe mafuta ya ( kwa kuroeka kitoeo) zaafarani kidogo mbatata 23 kubwa kama utapenda mataarisho ya wali mchele mrefu wa basmati vikombe 5 mdalsini mzima vijiti 2 hiliki nzima 5 pods bay leaves 2 karafuu nzima 3 star anise 1 kijiko 1 kikubwa pilipili manga nzima robo 1/4 kikombe vitunguu vilokaangwa chumvi kiasi zaafarani kiasi robo 1/4 kikombe maji ya mawardi ( sio lazima kama utapenda) vikombe 78 maji ya kuchemshia wali mafuta ya moto vijiko vidogo 68 kumwagia kwenye wali mchuzi wa nyama ya n'gombe kiswahili nyama/kuku pound 1 /535gms mafuta ya kupikia vijiko 2 na 1/2 kitunguu maji kiasi kikombe 1 kitunguu thom/tangawizi kijiko 1 kikubwa bizari ya mchuzi vjk 2 vidogo nyanya 3 za kiasi kikombe 1 nyanya ya kopo (paste) vjk 2 vidogo ndimu/limao 1 mbatata kiasi 2 majani ya kotmiri kiasi ( kama utapenda) chumvi kiasi viungo vya unga vya bizari ya mchuzi 1/4 tsp bizari ya manjano 1 tsp giligilani 1 1/2 tsp bizari nyembamba 1 tsp mdalasini 1 tsp tangawizi kavu 1/2 tsp hiliki 1/4 tsp karafuu 1/4 tsp kungumanga 1/4 tsp pilipili manga kwanini diamond platnumz hataki kushika simu ya mpenzi wake diamond platnumz ni mwimbaji wa bongofleva tanzania hii interview aliifanya exclusive na ayotv july 2015 south africa akiongelea kolabo yake na staa wa marekani mauzo ya nyimbo zake nchi za afrika mafikizolo simu ya mpenzi wake na mengine jinsi ya kupika pizza kiswahili sosi ya pizza mahitaji mkebe mmoja wa nyanya 280z/794 gms nyanya za kawaida mbichi kiasi gram 800 vitunguu thom kiasi chem 4/5 mafuta ya halizeti vinjiko 2 vikubwa sukari kijiko 1 kikubwa au zaidi chumvi kijiko 1 kidogo pilipili mannga 1/2 kijiko kidogo majani ya zaatari/saatari makavu na mabichi kama utapenda kwa unga wa pizza unga wa ngano vikombe 3 1/2 437gm maji ya vuguvugu kikombe 1 250ml sukari vijiko 2 vikubwa chumvi kijiko 1 kidogo hamira vijiko 2 1/2 vidogo ( gms 7) mafuta ya halizeti vijiko 2 vikubwa oka pizza mara ya kwanza moto 400f/260c kwa dakika 5 halafu endeles kwa dakika 7/8 jinsi ya kupika nyanya mbichi (blanching)https//youtube/sdhen2prj0c share pia usisahau ku subscribe ili usipitwe na chochote udaku wa mastaa na burudani kibao nenda hapa http//bitly/1bvdug5 jinsi ya kupika maini ya n'gombe malaini kiswahili 9 час назад author aroma of zanzibar 9 час назад biriani/biriyani ya zanzibar kiswahili 3 год назад author aroma of zanzibar 3 год назад kwanini diamond platnumz hataki kushika simu ya mpenzi wake 3 год назад author millard ayo 3 год назад sharo mbwembwe akamatwa na polisi 12 мес назад author shamsi tv 12 мес назад zari buys a house worth 2 million dollars asks wema sepetu t 2 год назад author ugmovies44 boston usa 2 год назад mabinti kumi na wawili wa mfalme | hadithi za kiswahili | ka 9 мес назад author swahili fairy tales 9 мес назад lowassa agusia kwa ufupi suala la rwanda na tanzania 5 год назад author swahili villa 5 год назад cute american baby girl speak swahili words 5 год назад author obyjr byeyombo 5 год назад diamond platnumz aongea ukweli kuhusu mwanae tiffah ommy di 3 год назад author tigo music tanzania 3 год назад jinsi ya kupika pizza kiswahili 12 мес назад author aroma of zanzibar 12 мес назад
2018-09-20T20:19:04
http://ulcity.info/watch/75j4zZA4F1s
ukurasa wa 143 wewe ni sumaku kisima cha maarifa ukurasa wa 143 wewe ni sumaku by makirita amani | may 23 2015 wewe ni sumaku inayoishi nafikiri unaijua sumaku na unajua tabia za sumaku kama umesahau sumaku ni chuma ambacho kina uwezo wa kuvuta vyuma vingine sumaku haiwezi kuvuta kila kitu ila inaweza kuvuta vile vitu ambavyo vinatabia za kufanana na sumaku sumaku itavuta chuma lakini haiwezi kuvuta plastiki wewe ni sumaku ← hili ndio jibu unalotakiwa kumpa anayekwambia huwezi muda mzuri wa kufanya kile unachotaka ni huu →
2017-12-11T20:50:20
http://www.kisimachamaarifa.co.tz/2015/05/23/ukurasa-wa-143-wewe-ni-sumaku/
changamoto ya zao la vanilla ni soko au uzalishaji mtazamo wetu maruk vanilla farming and processing ltd | bukoba wadau changamoto ya zao la vanilla ni soko au uzalishaji mtazamo wetu maruk vanilla farming and processing ltd vanilla inapanda na kushuka kama zao mbadala la kibiashara mkoani kagera historia ya zao hili mkoani kagera inaenda nyuma kuanzia miaka ya 1940 lakini ni miaka ya hivi karibuni ndipo vanilla imepata kutambulika na kulimwa kibiashara miaka ya 90 wakati bei ya mapodo ilipofika mpaka tzs 60000 kwa kilo watu wengi walihamasika kujiunga na kilimo cha zao hili baada ya soko la kimataifa kufulikishwa na uzalishaji mkubwa kutoka madagascar bei iliharibika sana katika nchi nyingi wakulima walikata tamaa na wengi walingoa miche na kuhamia kwenye mazao mengine mkoani kagera kwa muda mrefu mayawa wamejitahidi kuwa watetezi na mabalozi wa vanilla wamenufaika pia kwa kuwa wanunuzi pekee wa zao hili kagera mpaka miaka ya hivi karibuni nje ya jitihada za mayawa na wadau wao wa maendeleo bado mchango wa serikali haujatoshereza kuonyesha kutoa kipaumbele kwenye zao hili ziko changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta ndogo ya zao la vanilla kila mdau ana mtazamo wake juu ya ipi kweli ni shangamoto inayostahili kupewa kipaumbele kwa wakati huu wako wanaodhani soko ndiyo changamoto kuu na wako pia wanaoamini kuwa changamoto ni uzalishaji mdogo na usiokidhi viwango maruku vanilla tunaamini katika hii ya pili na daima tumekuwa tayari kuonyesha jinsi uzalishaji ulivyo changamoto na namna gani unaweza kupatiwa ufumbuzi wa kudumu imani yetu imejengwa juu ya uzoefu tuliokusanya awali kama wakulima kisha wanunuzi na wasindikaji na sasa wauzaji wa vanilla ndani na nje ya nchi tukiwa kama wakulima tunatambua kuwa miche mingi kwenye mashamba ya wakulima ni mizee na haipati matunzo mazuri pia tunatambua kuwa baadhi ya wakulima wamengoa miche mizuri na kuachana na zao hili kutokana na mifumo isiyo rafiki katika manunuzi mathalani mkulima kumkopesha mnunuzi kwa mwaka mzima tena bila riba kwa uchache hizi ndizo sababu za msingi za uduni katika uzalishaji kwa kuzitambua changamoto hizi sisi kama mvfp ltd toka mwaka jana tumekuwa katika programme endelevu ya usambazaji wa miche mipya kwa wakulima wa zamani vijijini mpaka sasa tumewafikia zaidi ya wakulima 400 tumeweza pia kuwaunganisha wakulima wapya na wazoefu ili kujifunza kwa vitendo ili kuhakikisha wakulima wanajenga mapenzi ya kudumu na hawavunjwi moyo tena na mfumo wa manunuzi mvfp ltd imekuwa na sera ya malipo ya papo kwa papo katika manunuzi ya vanilla sera hii imetekelezwa kikamilifu mfululizo bila kuvunjwa toka tulipoanza kujishughulisha na ununuzi takribani miaka mitatu iliyopita programme yetu na sera yetu ya manunuzi tayari vimeonyesha kuleta matokeo chanya wakati programme itaonyesha matokeo makubwa baada ya miaka mitatu ijayo sera tayari imeonyesha kufufua moyo wa wakulima kulipenda kulijali na kulithmini zao la vanilla hatuamini kwamba tatizo la zao la vanilla ni masoko kwa sababu masoko yapo ni mengi ila yana vigezo ambavyo kimojawapo ni usambazajistahimilivu na kwa bahati mbaya sharti la mwisho bado ni gumu sana kwa wazalishaji wa kagera na tanzania kwa ujumla mwaka 2011 mvfp ltd ilishiriki maonyesho ya biofasch ujerumani mwakilishi wetu alikutana na wanunuzi na wauzaji mbalimbali wa viungo vya chakula (spices) miongoni mwao ni magwiji wa uujuzaji wa vanilla kama nielsen massey sampuli za vanilla yetu ziliwavutia sana wanunuzi na kila mmoja alikwenda hatua moja zaidi kutaka kukamilisha mkataba wa manunuzi na kampuni yetu kwa mnunuzi wa kiwango cha chini tulihitajika pamoja na kukidhi vizego vingine (kama organic certification traceability nk) kuthibitisha kwamba tutaweza kuwa tunapeleka tani 1520 za vanilla kavu ya dalaja la i&ii kwa mwaka kwa miaka mitatu mfululizo hii ni sawa na tani 100 za mapodo uzalishaji ambao haujapata kufikiwa miaka ya karibuni mkoani kwetu hata kama mvfp ltd ndiye angekuwa mnunuzi pekee kwa kuwa tulijitangaza katika maonyesho haya na tumeendelea kuonekana kwenye mitandao ya vyama vya kisekta katika taifa na katika kanda ya afrika na vilevile tunapatikana katika mitandao mikubwa ya biashara ya mazao kwenye intanei tumekuwa tukipata orders zilizothibitika kuwa za kweli kutoka kila pembe ya dunia kuanzia turkey dubai german pakistan south africa mpaka amerika changamoto inayotufanya tushindwe kunufaika na orders hizi imekuwa ile ile uzalishaji duni uzoefu huu ndivyo msingi wa hoja yetu kwamba tatizo siyo soko bali uzalishaji katika masoko haya haya pia kunapatikana wanunuzi wadogowadogo lakini haina tija kwa muuzaji kutuma kilo 100 kutoka tanzania mpaka labda urusi itabidi muagizaji awe tayari kulipa bei kubwa maradufu ili muuzaji aweze kurejesha ghalama zake na kupata faida ya kawaida sana kutokana na mtazamo huu rai yetu kwa wadau na wale wote wenye mapenzi mema ya kukuza zao la vanilla ni kwamba tuunganishe nguvu katika kutatua changamoto ya uzalishaji duni kama ni masoko mvfp ltd siku zote tumekuwa tayari kugawa masoko na orders ambazo ziko nje ya uwezo wetu na hakuna hata mmoja miongoni mwa wale tuliowapasia orders ameweza kupata mzigo wa kutosheleza mahitaji ya wanunuzi isipokuwa jirani zetu uganda tunaamini kwamba katika sekta ndogo ya vanilla yapo maeneo tunapaswa kushindana na yapo pia yale tunayopaswa kushirikiana kwa ustawi wa sekta uzalishaji si eneo la kushindania bali kushirikiana pia kwa sasa masoko siyo eneo la kushindania maana ni mengi kuliko uwezo wetu wa uzalishaji na usambazaji murshid hassan maruk vanilla farming and processing (mvfp) ltd po box 1361 bukoba mob 0717972957/0684627030 email marukuvanilla@gmailcom
2018-01-20T15:16:12
http://www.bukoba-wadau.com/2014/02/changamoto-ya-zao-la-vanilla-ni-soko-au.html
nukuu za jk | jamiiforums | the home of great thinkers nukuu za jk discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by gama jul 27 2011 wana jf naomba tuorodheshe nukuu mbali mbali kutoka kwa hotuba na mazungumzo ya rais wetu jk nukuu hizi zitzsaidia kurejea siku zijazo naanza na hizi chache unaweza endeleza au kunikosoa pale nitakapo kosea 1 urais wangu hauna ubia 2 tatizo la umeme ni ukame mimi siwezi kuilazimisha mvua inyeshe 3 hawa wanaopata mimba ni kiherehere chao 4 kama hawa watuhumiwa wa epa wanasema fedha hizo walizitumia katika uchaguzi watuenyeshe walizitumiaje(stakabadhi) tafhadhari endleza gama umetoa the above quotes zinaongea in volumes hizo tu zinafaa kum define raisi wetu ku determine hali ya nchi yetu na nafasi ya mtanzania kwa jk ''vyama vya upinzani tanzania ni vyama vya msimu tu'' teheteheteheteheteheeeeeeeee ''vyama vya upinzani tanzania ni vyama vya msimu tu''click to expand nitaleta uchumi unaopaa dec 2005 ukitaka kula na wewe uliwe'' jk akili za kuambiwa changanya na zako wafanyakazi wote nchini ni mbayuwayu wanafunzi wanapata mimba kutokana na kiherehere chao 'kelele za mlango' teheteheteheteheteheeeeeeeeeclick to expand unaweza kutusaidia nukuu hii aliitolea wapi labda unamaanisha kuwa anacheka bila kujali kuwa yuko msibani au nchi iko gizani hata mimi sijui kwa nini tanzania ni maskini tafhadhari endlezaclick to expand waacheni watoke watarudi tu mimi ni rais wao wakipata matatizo watakimbilia wapi kura za wafanyakazi sizitaki ukitaka kula na wewe uliwe'' jkclick to expand hii naikumbuka sana alisema hivi usipotaka kuliwa kidogo huli sasa we unataka kula tu hutaki kuliwa (watu aha haha haa) jk akadakia simaanishi hivyo (watu wakacheka kwa nguvu zaidilol) kumsikiliza gonga hapa hii naikumbuka sana alisema hiviusipotaka kuliwa kidogo huli sasa we unataka kula tu hutaki kuliwa (watu aha haha haa) jk akadakia simaanishi hivyo (watu wakacheka kwa nguvu zaidilol) kumsikiliza gonga hapaclick to expand asante kaka hii kauli ina utata sana ndio maana wabunge karibu wote walicheka sana hata yeye alipogundua ameongea pumba nae akacheka sana jk kweli ni zaidi tumjuavyo kura za wafanyakazi sizitaki hata wasiponichagua nitashinda kwa kishindo hatuko tayari kuendeleya kuona wafugaji wanaendeleya mifugo mingi isiyokuwa na tija huku ng'ombe hanenepi na mwenye ng'ombe hanenepi by jk akihutubiya wananchi wa wilaya ya ngorongoro katika kata ya olbalbal 2009 wakati wa ukame ndugu zangu walijuta kwani walidhani jamaa atawasaidiya wapate maji kwa ajili ya mifugo na fidiya kwa mifugo waliokufa matokeo yake akatumiya hiyo nafasi kuwakejeli daa walitamani kuliya bbc swahili habari kikwete atoa ufafanuzi wa umeme vasco na bbc mitambo ya umeme sio kama jaketi lako hilo ulilovaa siwafahamu dowans
2016-12-08T22:13:10
http://www.jamiiforums.com/threads/nukuu-za-jk.158642/
shirika la umoja wa wa mataifa waandaa mkakati wa kitaifa wa kusimamia taka nchini mtaa kwa mtaa blog home mazingira shirika la umoja wa wa mataifa waandaa mkakati wa kitaifa wa kusimamia taka nchini shirika la umoja wa wa mataifa waandaa mkakati wa kitaifa wa kusimamia taka nchini unknown november 28 2018 mazingira shirika la umoja wa mataifa linalojishugulisha na mazingira (agenda) limezitaka nchi zilizopo katika ukanda wa jangwa la sahara kutunga sera zakusimamia ukusanyaji wa taka ngumu ili kulinda afya ya mazingira wito huo umetolewa leo jijini dar es salaam katika mkutano wapili wa wadau wa kuandaa mkakati wa kitaifa wakusimamia taka tanzania(agenda) ambapo imewashirikisha taasisi wizara na mamlaka mbalimbali za serikalimakampuni binafsi na wawakilishi wa asasi za kirai akizungumza na wanahabari kiongozi wa shirika hilo kwa ukanda wa nchi za kusini mwa jangwa la sahara prof abdrahman bary amesema kushindwa kuhifadhi takataka kumeleta madhara mengi kwa nchi zinazoendelea na kwa sasa mapambano yanaendelea katika kudhibiti uzalishaji wa taka aidha bary ameeleza kuwa usimamizi bora wa taka ngumu ni muhimu kwa afya ya jamiiusalama na mazingira bora kwa ujumla hata hivyo amefafanua kuwa baadhi ya matatizo yanayolikabili jiji la dar es salaam ni pamoja na ongezeko la kiwango cha juu cha idadi ya watu pamoja na uwezo mdogo kifedha wa kudhibiti taka kwa upande wa msimamizi wa mradi kudhibiti takataka ngumu prof jamidu katima kutoka chuo kikuu cha dar es salaam amesema linakadiriwa kuzalisha tani 4600 za taka kwa siku huku taka nyingi zikiwa hazipelekwi sehemu za kuhifadhia takataka (dampo) hivyo kuhimiza mamlaka husika kusimamia taratibu za uhifadhi kusafirisha na kutupa taka ili kulinda mazingira katima amesema mkakati huo unalenga kuona nchi zinazoendelea zinapambana katika kudhibiti taka ngumu pamoja na uzalishaji wa taka ngumu kutumia taka kama vyanzo vya uzalishaji mbolea taka zinazoweza kurejelewa zirejelewe huku wakizalisha ajira kwa vijana wao kupitia uhifadhi taka wakisasa vilevile katima amewapongeza shirika la mazingira un kutupatia msaada wa kifedha kuwezesha uandaaji wa mkakati wa kusimamia taka msimamizi wa mradi kudhibiti takataka ngumu prof jamidu katima kutoka chuo kikuu cha dar es salaam akizungumza na wanahabari jijini dar es salaam wakati wa ufunguzi wa mkutano wa pili wa wadau wa kuandaa mkakati wa kusimamia takataka washiriki katika mkutano wa pili wa wadau wa kuandaa mkakati wa kitaifa wa kusimamia taka nchini uliofanyika jijini dar es salaam ulioandaliwa na shirika la kudhibiti na kusimamia taka (agenda) tags # mazingira
2019-05-24T14:20:04
https://www.mtaakwamtaa.co.tz/2018/11/shirika-la-umoja-wa-wa-mataifa-waandaa.html
habari njema kutoka jerusalem films kwa wapenzi na waigizaji wachanga wa filamu habari zao november 6 2015 alli matala entertainment habari njema kutoka jerusalem films kwa wapenzi na waigizaji wachanga wa filamu kampuni ya filamu za kiswahili tanzania jerusalem films imetoa nafasi kwa wasanii wachanga wa filamu wapenzi na wadau wa jerusalem films tunapenda kuwajulisha kuwa uchukuaji picha wa tamthilia yetu utaanza mwishoni wa mwezi wa 11 hii nikutokana na kuingiliwa kwa ratiba kutokana na uchaguzi waigizaji wengi tutakao wapa nafasi ni wapya tutatoa utaratibu wa usaili tayari tumepata mkataba mzuri na moja ya television ya kulipia vile vile tunajipanga kuwatangazia siku za kuzitoa chungu cha tatu chale mvuvi na kalambati lobo endelea kufurahia kazi za jerusalem films jacob stephen jb mkurugenzi na mmiliki wa jerusalem films company @jb_jerusalemfilms on tagged featured jerusalem films published by alli matala rapa eminem awekeza kwenye mtandao wa rap geniusmahakama yafuta nyongeza ya mishahara ya walimu kenya
2017-04-24T11:20:06
https://habarizao.wordpress.com/2015/11/06/habari-njema-kutoka-jerusalem-films-kwa-wapenzi-na-waigizaji-wachanga-wa-filamu/
incamake yamakuru yiwacu yo ku wa 27 kigarama 2017 iwacu incamake yamakuru yiwacu yo ku wa 27 kigarama 2017 27/12/2017 raymond nzimana 0 • ubushikiranganji bujejwe umutekano bwemezako ubwicanyi bwagabanutse cane muruyu mwaka wa 2017 ugereranije no mu mwaka uheze wa 2016 umushikiranganji alain guillaume bunyoni ajejwe umutekano agasigurako ubwicanyi bwavuye kurugero rwa 400 mu mwaka uheze buja kurugero rwa 277 ivyo yabishikirije kuruyu wa 3 igihe ubushikiranganji arongoye bwariko burashikiriza ivyo bwaranguye muruyu mwaka turiko turasozera wa 2017 kubwa alain guillaume bunyoni akemezako ibikorwa vyubwo bushikiranganji vyarangutse kugera kurugero rurenga ibice 90 kwijana kuruhande rwa bamwe mubaharanira agateka kazina muntu babonako umushikiranganji ajejwe umutekano atarakwiye kwemezako ubwicanyi bwagabanutse mugihe buharura ubwicanyi burenga 200 anshaire nikoyagize umwe mubaharanira agateka kazina muntu yemezako mumatohoza yakoze hamenyekanye ko abantu 397 aribo bishwe nayo 99 baraburwa irengero agahamagarira abajejwe umutekano gukora ibishoboka vyose mugukingira abanyagihugu • ishirahamwe ryishinze kugwanya isesagurwa ryamatungo ya leta olucome ririyamiriza ikoreshwa ryuburyo bwa leta mu gikorane cumuryango wumukuru wigihugu kiriko kibera mu ntara ya kayanza gabriel rufyiri arongoye olucome avuga ko amahera angana nimiliyoni 120 ko ariyo ariko arakoreshwa mur ico gikorane kandi igihugu cugarijwe nubukene agasaba ko iminsi yibikorane ko yogabanywa hagashigwa imbere ibikorwa amasengesho nitunganywa neza ryubutunzi bwigihugu • kuruyu wa gatatu niho umurwi wigihugu ujejwe guunganya amatora ceni warangiza igikorwa co gushiraho imirwi yintara ijejwe amatora cepi mu ntara ya cibitoke umukuru wumurwi ceni ujejewe gurtunganya amatora niwe yashikirije abagize uyo murwi mu ntara pierre claver ndayicariye yemeza ko harabwe ibice 60 kwijana vyabahutu ivbice 40 kwijana vyabatutsi haamwe na 30 vyabakenyezi uyo arongoye umurwi ceni yemeza ko abashikirijwe bataremezwa burundu niyo bemezwa ngo bazoca barahira kugira batangura akzi ukuri kwamye ko gushiraho imirwi ijejwe amatora mu ma komine ceci mu ntara ya cibitoke abantu 8 nibo bagize cepi bakaba bagizwe nabahutu 5 bane abatutsi 2 numutwa umwe mugihe hari nkuwuserukira idini ryaba adventiste hamwe nuwuri mu bwoko bwabatwa bafiswe ko amakenga ko batazwi mu ntara ya cibitoke pierre claver ndayicariye arongoye ceni yemeje ko hagiye kuba amatohoza kugira hafatwe ingingo ibereye kurabo bantu babirri • urwaruka rwinshi rwuburundi rubona yuko abahungu nabakobwa batotorana co kimwe ku bijanye nibikorwa vyo mu rugo hari abategera ko bobikora ku rugero rumwe nabandi batarabitegera ku vyo kuzezwa amabanga naho abenshi mu bahungu nabatari bake mu bakobwa babona ko abahungu ari bo bakwiye kuzezwa amabanga menshi ivyo bikaba biri mu cirwa ikigo cishinze gukinga no kubura amatati cenap cakoze ku vyofuzo vyurwaruka • urunani rwamashirahamwe yabunguruza abantu ku makinga rumenyeshako bazi abo bita aba sécurité abo nabo ngo bajejwe gutoza amahera abatwara amakinga kubituro bitandukanye kubwa emmanuel nimbona arongoye urunani coatavebu ruhurikiyemwo amashirahamwe yabunguruza abantu ku makinga ngo abo bita aba sécurité batorwa nabo nyene bunguruza abantu nayo kubijanye nikibazo cumwambaro wabo(gilet) ngo barazi ko yaheze ariko ngo ico kibazo kiraba ubushikiranganj bubijejwe gutwara abantu nibintu hamwe nigisagara ca bujumburaivyo akaba abivuze inyuma yaho hari abasanzwe bunguruza abantu ku makinga mu gisagara ca bujumbura bidogeye abo bita aba sécurité bakabagiriza yuko baguma babafata babaka imyambaro ibaranga kandi nayo yaraheze hamwe nuko babatoza amafaranga menshi yihadabu batazi iyo aja kuko atanicemeza ko bayatanze bahabwa
2020-02-24T14:47:36
https://www.iwacu-burundi.org/incamake-yamakuru-yiwacu-yo-ku-wa-27-kigarama-2017/
mhe zuberi m kuchauka mheshimiwa mwenyekiti naomba nianze mchango wangu kwa maandishi kwanza kwa kumshukuru mwenyezi mungu kwa kuniwezesha kufanya kazi hii ya kuwawakilisha wapiga kura wangu mheshimiwa mwenyekiti upimaji ardhi ili kuiona tanzania ya viwanda ni lazima upimaji wa ardhi upewe umuhimu wa kutosha kwani hivi sasa uwekezaji wa mashamba makubwa ni mgumu sana kwani vijiji vingi hivi sasa bado havijaingia kwenye mpango wa matumizi bora ya ardhi jambo linalofanya halmashauri kukosa wawekezaji kwenye mashamba makubwa ya mazao ya kilimo na ufugaji wa kisasa mheshimiwa mwenyekiti mfano katika halmashauri ya liwale yuko mwekezaji mmoja toka japan huyu ni mzaliwa wa liwale mwaka 2015 aliamua kurudi nyumbani na mradi wa kilimo cha alizeti lakini hadi leo anahangaika kupata shamba japo halmashauri ilishafanya maamuzi ya kumpatia ardhi mwekezaji huyu mzawa hatua ya uhaulishaji ardhi ndio kikwazo kikuu kilichobakia katika kukamilisha mradi huu namwomba mheshimiwa waziri mwenye dhamana kuhakikisha mwekezaji huyu anapata ardhi kwa ustawi wa wanaliwale mheshimiwa mwenyekiti nashauri serikali isiziachie halmashauri shughuli za upimaji wa vijiji ili kuviingiza katika matumizi bora ya ardhi kwani halmashauri nyingi hazina mapato ya kutosha kumudu kazi hii hivyo kuvifanya vijiji vingi kukosa wawekezaji kwani kigezo cha kwanza cha uwekezaji vijijini ni kijiji kuwa na matumizi bora ya ardhi mheshimiwa mwenyekiti uhaba wa watumishi wizara hii ina tatizo kubwa sana la upungufu wa watumishi hasa kwenye halmashauri zetu jambo hili linaongeza makazi holela katika halmashauri nyingi kutokana na uhaba wa viwanja na halmashauri kushindwa kupima viwanja kwa wakati na jambo linaloongeza rushwa kwa ugawaji wa viwanja na makazi yasiyopimwa mfano katika halmashauri ya liwale hatuna afisa ardhi mwenye taaluma ya kutosha na hatuna wapimaji wa ardhi tunategemea toka katika halmashauri ya nachingwea jambo hili linafanya gharama kubwa za upimaji wa viwanja mheshimiwa mwenyekiti gereza la liwale limechukua ardhi ya wananchi tangu mwaka 1982 lakini hadi leo wananchi wenye mashamba yaliyotwaliwa bado hawajalipwa fidia ya mashamba yao naomba wizara ya ardhi wakishirikiana na wizara ya mambo ya ndani wamalize mgogoro huu mheshimiwa mwenyekiti vile vile mgogoro wa mpaka kati ya wanakijiji cha kikulyungu na wizara ya maliasili na utalii ni bora sasa wizara zote mbili wakashirikiana katika kutatua mgogoro huu mgogoro wa kikulyungu na hifadhi ya selous ni wa muda mrefu sana
2020-05-25T12:18:33
http://www.parliament.go.tz/polis/index.php/contributions/7627
coronavirus na athari zake kwa uzazi ivfbabble coronavirus na athari zake kwa uzazi coronavirus nyumbani pamoja na habari ya virusi vya corona kubadilika dakika kwa dakika inaweza kuwa kubwa na hata kutisha kuendelea hadi sasa pamoja na idadi ya kesi zilizothibitishwa kuongezeka kila siku shule zikifunga watu wanapoteza kazi baa na mikahawa wakifunga duka rafu kubwa za maduka tupu watu wanapigana juu ya safu hizo na tishio la kuporomoka kwa uchumi duniani inahisi kama tunakaribia ingiza amharoni wakati wa janga la ulimwengu hautawahi kuwa sawa lakini kwa wale walio katikati ya mzunguko wa ivf au karibu kuanza matibabu ya uzazi wakati wa kweli unasisitiza kusema kidogo imeacha maelfu ya wanaume na wanawake ulimwenguni kote wakiwa na wasiwasi na wasiwasi juu ya matarajio ya kuwa mzazi unapokuwa unajaribu kupata mimba huwahi kuogofya sana ushauri wa kiafya je nitahitaji kupumzika matibabu yangu nitaweza kuanza tena lini natarajiwa kuhamisha wiki ijayo je ninaweka hatari ya kiinitete haya ni baadhi tu ya maswali yanayoulizwa tangu virusi vya corona riwaya inayojulikana kama covid19 ilipoibuka mwishoni mwa mwaka wa 2019 karibu kesi 200000 zimeripotiwa kote ulimwenguni who imeainisha kuwa ni gonjwa na wanasiasa wanauliza kwa watu kufanya mazoezi ya umbali wa kijamii virusi vinatarajiwa kujitokeza katika kila nchi bado kuna kutokuwa na uhakika na kutokujulikana kuhusu athari za virusi kwa vikundi tofauti katika idadi ya watu kiwango cha kufariki kwa sasa ni juu sana kati ya watu ambao ni wazee zaidi ya 60 na / au ambao wameathirika kinga haijulikani kwa sasa ni nini athari ya covid19 ni juu ya uzazi na ujauzito jumuiya ya amerika ya tiba ya uzazi (asrm) ilitoa taarifa fupi ya mwongozo mnamo machi 12 2020 kwa msingi wa habari ambayo wamekusanya kwa sasa asrm imependekeza kwamba wagonjwa wote wanaopanga kutumia wafadhili wai wafadhili wa manii au wabebaji wa surrogate waepuke kuwa mjamzito wanapokuwa mgonjwa kwa wakati huu wagonjwa wowote ambao kwa sasa wanafanya matibabu ya utasa kwa kazi wanapaswa kuzingatia kufungia mayai yao na / au viini na wasubiri kufanya uhamishaji wao hadi wawe huru covid19 catherine racowsky rais wa phd wa asrm alisema kama ilivyo kwa wataalamu wa afya ulimwenguni kote tunachukulia sana mlipuko wa covid19 tunakusanya jopo la mtaalam na kukagua data zote zinazopatikana ili tuweze kuwasaidia washiriki wetu na wagonjwa wao katika kuzunguka safari ya ujenzi wa familia zao mbele ya milipuko hii tutafanya kazi haraka iwezekanavyo ingawa tunauliza uelewaji tunapotafuta data bora ambayo msingi wetu unahitajika kwa sasa tunawahimiza kila mtu aoshe mikono yao asiguse uso wao na afanye mazoezi ya mbali sana ya kijamii iwezekanavyo huko uropa jumuiya ya ulaya ya uzazi wa binadamu na embryology (eshre) imeimarisha taarifa hii katika tweet eshre inashauri wagonjwa wa uzazi wanapaswa kuzuia kuwa mjamzito wakati huu kwa wagonjwa hao ambao tayari wana matibabu eshre inashauri kuzingatia ujauzito uliochukuliwa na mayai au kufungia kwa kuhamisha kiinitete baadaye kwa kweli kuna mambo mengi ya kufikiria na kupanga kwa wakati wa janga hili linaloendelea ambalo linatabiriwa kudumu kwa miezi ijayo na uwezekano mkubwa zaidi kwa mtu yeyote anayepambana na maswala ya uzazi kutokuwa na uhakika huu ni kwa kuongeza kuongeza msongo na wasiwasi lakini ni muhimu pia kukumbuka kuwa hauko peke yako ikiwa una wasiwasi wowote au wasiwasi tafadhali usitupe mstari kwa info@ivfbabblecom na usisahau wataalam wetu daima wako tayari kukupa msaada na mwongozo shiriki mawazo yako kwa fumbo@retsfbabblecom au kwenye kurasa zetu za media za kijamii @ivfbabble sisi sote tuko hapa kusaidiana katika wakati huu mgumu tags virusi vya corona na uzazi coronavirus coronavirus na ivf covid 19
2020-04-02T21:26:17
https://sw.ivfbabble.com/2020/03/corona-virus-impact-fertility/
pendulum ya ulimwengu katika 1671 anga kifaransa richer alisafiri kutoka paris (latitudo φ = 488°) ili cayenne (latitudo φ = 49°) katika kifaransaguyana katika cayenne yeye aliona kwamba saa yake pendulum ambayo alibeba pamoja naye alionyesha kuchelewa ya kuhusu 2 min kwa siku
2020-01-29T01:28:45
https://www.golabz.eu/sw/labs?age_range=5&big_idea=10&language=40
winga mghana wa yanga sc bernard morrison awashauri makocha kusajili wachezaji watakaoiongezea makali timu bin zubeiry sports online winga mghana wa yanga sc bernard morrison awashauri makocha kusajili wachezaji watakaoiongezea makali timu bin zubeiry sports online mwanzo > yanga > winga mghana wa yanga sc bernard morrison awashauri makocha kusajili wachezaji watakaoiongezea makali timu winga mghana wa yanga sc bernard morrison awashauri makocha kusajili wachezaji watakaoiongezea makali timu winga mghana wa yanga sc bernard morrison ameshauri uongozi wa yanga na benchi la ufundi kufanya usajili mzuri utakaoongeza thamani kwenye kikosi ili kujenga yanga itakayotwaa mataji ya ndani na nje ya nchi pamoja na kutingisha kwenye michuano mbalimbali kwa mujibu wa tovuti ya yanga morrison amesema japo hawezi kushauri moja kwa moja nani na nani wasajiliwe lakini angependa kuona wanaongezeka wachezaji watakaoleta tija kwenye kikosi kikosi sio kibaya lakini tunahitaji maboresho naamini uongozi na benchi la ufundi wanayaona zaidi maeneo ya kuboresha natamani tuwe na kikosi tishio baada ya usajili anasema anasema amekubali kuongeza mkataba wa miaka miwili kuitumikia yanga ili walau katika kipindi hicho aweke historia ya kutwaa mataji akiwa na yanga ambayo anasema ni timu yenye hadhi na thamani kubwa sana tanzania na afrika item reviewed winga mghana wa yanga sc bernard morrison awashauri makocha kusajili wachezaji watakaoiongezea makali timu rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry
2020-08-13T20:27:11
http://www.binzubeiry.co.tz/2020/05/winga-mghana-wa-yanga-sc-bernard.html
abdukiba afunguka kuachana na mkewe | east africa television jumanne 4th dec 2018 staa wa bongo fleva abdukiba amekanusha ndoa yake kuvunjika na yeye kutengana na mke wake mpaka kumrudisha kwao na kusema mke wake aliumwa na ilibidi arudi kwao ili kupata matunzo bora zaidi na wana familia submitted by martha on jumanne 4th dec 2018 abdu kiba amefunguka kwenye enewz ya eatv na kusema kwamba yeye na mke wake hawajawahi kugombana wala kupishana kauli kwa kuwa wao ni watu wazima na yupo na mke wake mpaka sasa mimi na mke wake hatujawahi kugombana wala kupishana kauli kwa kuwa wao ni watu wazima siwezi kumuacha kwa kuwa nampenda sana mke wangu amesema abdulkiba katika hatua nyingine abdukiba ameeleza kwanini alikiba hajatokea akiimba katika video ya king music 'toto' na kusema kuwa yeye ametuonyesha njia ya kupita na nyimbo ya kwanza wakati tunaiachia alikuwa anatuonyesha njia na sasa tumeshaifaham njia hivyo ameamua kutuacha ili sisi tufanye wenyewe hivi karibuni katika mitandao ya kijamii zilizagaa taarifa zikidai kuwa ndoa ya mwanamuziki huyo imevunjika ikiwa ni baada ya kuonekana katika video fupi na mwanadada wakiimba kipande cha wimbo wao mpya wa 'toto'
2019-04-20T06:34:59
https://www.eatv.tv/news/entertainment/abdukiba-afunguka-kuachana-namkewe
samsung galaxy s7 in tanzania for sale | price on jijicotz 24 results for samsunggalaxys7 mobile phones in tanzania samsung galaxy s7 in tanzania usedalmost like new haina tatizo lolote fully boxed #no exchange locationdar es salaam haina tatzo lolote zaid ya crek pata simu kal kutoka samsung s7edge zenye ubora zaid good condition except finger id hapana maybe kw pc iringa kilolo nov 26 mobile phones simu ni used ila iko katika hali nzuri haina tatizo lolote am selling this samsung s7 at a good price please dont hestate to reach me out if you are interested its a fullbox with all its accessories nauza simu hii ya samsung s7 kwa bei nzuri ya maelewano kama unauhitaji usisite haina ttzo lolote na ni imara zaidi ila ina creck kwa upande wa chuma dar es salaam ilala yesterday 1004 mobile phones brand new sealed free delivered top3 premium products from this category in jiji samsung galaxy s7 32 gb gold samsung galaxy s7 edge 32 gb black samsung galaxy s7 edge 32 gb silver top 3 products from this category in jiji new samsung galaxy s7 edge 32 gb black new samsung galaxy s7 edge 32 gb gold new samsung galaxy s7 edge 32 gb gold
2019-12-11T10:15:00
https://jiji.co.tz/mobile-phones/samsung-galaxy-s7
ccm yajipanga kufufua vyuo vyake vya mafunzo ya uongozi | azam | habari | swahili ccm yajipanga kufufua vyuo vyake vya mafunzo ya uongozi azamnews | 28 nov 2018 1002 am katibu mkuu wa ccm tanzania bara dkt bashiru ally chama cha mapinduzi (ccm) kimejipambanua kufufua vyuo vya mafunzo ya uongozi kwa vijana kimojawapo kikiwa ni chuo cha ihemi ambacho kilikuwa kikihusika na utoaji wa mafunzo ya itikadi na uongozi na kuimarisha jumuiya za chama katibu mkuu wa ccm tanzania bara dkt bashiru ally ameyasema hayo mkoani iringa katika ziara ya siku moja ya kikazi na kuzitaka jumuiya zote kushirikiana na vijana kuhakikisha chuo hicho cha ihemi kinafufuliwa na kuanza kutoa mafunzo ya itikadi na uongozi pamoja na ufundi stadi chuo hicho cha ihemi kinachotazamiwa kutoa mafunzo ya itikadi na uongozi pia kitahusisha miradi mbalimbali kama ya ufugaji wa samaki kilimo cha mazao na ufugaji wa ngombe huku mjumbe wa halmashauri kuu ya ccm taifa salim abri asas akatangaza neema ya kuwasaidia cherehani za kisasa pamoja na ngombe wawili kama kianzio katibu mkuu amemaliza ziara yake kwa kutembelea maeneo ya ufugaji maeneo ya kilimo madarasa ya ufundi stadi pamoja na kuzuru majengo yote yaliyopo eneo la ihemi ambayo yapo chini ya umoja wa vijana na kuwataka kuhakikisha maeneo hayo wanayakatia hati ili wayamiliki kihalali na kuepuka migogoro ya ardhi
2019-05-22T08:01:34
http://news.azamtv.com/sw/news/ccm-yajipanga-kufufua-vyuo-vyake-vya-mafunzo-ya-uongozi-28197
itikadi za ushia kutoka katika vitabu vyao 4 itikadi zao kwa maswahaba watukufu ukurasa wa kwanza > itikadi za ushia kutoka katika vitabu vyao 4 itikadi zao kwa maswahaba watukufu (imani yao juu ya maswahaba wa mtume swalla allaahu 'alayhi wa sallam) 1 wanasema maswahaba wote waliritadi ila watatu baada ya kifo cha mtume (swalla allaahu 'alayhi wa sallam) 2 abu bakr umar na uthmaan walimpora aliy cheo chake cha ukhalifa 3 umar alikuwa kafiri wa asili na mzandiki 4 abu hurayrah alikuwa mwanachuoni wa fiqhi lakini ni allaah peke yake anayejua uongo alioutunga kwa ajili ya kumtetea muawiya na wengine kama yeye na madhara aliyofanyia uislamu 5 abu hurayrah alikuwa akitunga hadiyth 6 muawiya alimpa sumu alhasan 7 muawiyah alikuwa kiongozi dhalimu 8 qaadhi shuray alikuwa akitoa hukumu katika kesi alizokuwa akiletewa kwa ajili ya uongozi uliopo alikuwa fedhuli aliyepewa cheo cha hakimu 9 mtu anatakiwa kujiweka mbali na masanamu wanne abu bakr umar uthmaan na muawiya na wanawake aaishah hafsa 10 mtu anatakiwa kuwalaani hao (waliotajwa katika kipengele 9) baada ya kila swalah 11 waliokusudiwa kama firaun na hamaan waliotajwa katika quraan ni abu bakr na umar 12 abu bakr na umar ni makafiri 13 abu bakr ni ngombe wa bani israaiyl (aliyetajwa katika suratul baqarah) 14 zuleikha wa makkah aaishah alikuwa na uzuri gani kiasi kwamba mtume mwenye miaka hamsini alivutiwa nae 15 mtume (swalla allaahu 'alayhi wa sallam) alikubali kumuoa mshenzi kama hafsa pamoja na kwamba alikuwa mjane na uso wake ulikuwa umeharibika 16 kusudio (katika surat hujuraat) la imaan ni ali la kufr ni abu bakr la fisq (kutotegemewa) ni 'umar la 'iswyaan (uasi) ni 'uthmaan 17 umar alikuwa mtoto wa zinaa 18 abu bakr na umar ni wabaya kuliko hata shetani na ni wakazi wa jahannam 19 nitakapoingia makkah na madina kama mshindiwajibu wangu wa kwanza utakuwa ni kwenda kwenye kaburi la mtume (swalla allaahu 'alayhi wa sallam) na kuchimbua makaburi ya masanamu wawili (yaani abu bakr na umar) imam wa 12 mahdi 20 sisi mashia tunawajua maswahaba watatu (abu bakr umar na uthmaan) kuwa hawana imani hata chembe (1) anwaarun nuumaniyah uk 245 juzuu 2 nimatullah jafaari/ furu al kafi kitaabul rawdah 15 mullah muhammad bin yaqoob kulaini juzuu 3 uk 115/ usuul al kaafi juzuu 2 uk 246 rijaalul kashi uk 504 (2) al ihtijaaj tibrasi 83 84/ haqqul yaqeen uk 157 (3) haqqul yaqeen 551/kashful asraar uk 119 (4) uk 143 hukuumat al islamiyah (serikali ya kiislamu) (5) hukuumat al islamiyah (serikali ya kiislamu) (6) alanwaarun numaniyah juzuu 2 uk 88 87 jazaari (7) ibid (8) uk81 serikali ya kiislamu (9) haqqul yaqeen juzuu 2 uk 519/ furu al kaafi uk 342 juzuu3/ jilaa ul uyoom uk 45 46/ hayaatul quluub uk 375 (10) ainul hayaa uk 559 (11) haqqul yaqeen uk 342 (12) haqqul yaqeen uk 552 (13) haqqul yaqeen tafseer qummi uk 160 (14) haqeeat fiqh hanafi uk 64 / ghulaam hussain naqui (15) ibid uk124 (16) usul al kaafi uk 229 juzuu 2 (17) tazkiratul aimmah uk 103 4 (18) haqqul yaqeen uk 509 510 (19) kitaab be noujawanaan uk 8 (20) tajalliyaaresadaqaat uk 201 muhammed hussain dhelvi source url http//wwwalhidaayacom/sw/node/3469 [2] https//wwwaddtoanycom/share#url=http3a2f2fwwwalhidaayacom2fsw2fnode2f3469&amptitle=itikadi20za20ushia20kutoka20katika20vitabu20vyao2020420itikadi20zao20kwa20maswahaba20watukufu
2019-09-23T09:14:58
http://www.alhidaaya.com/sw/print/3469
harinath prajapati's submission of mahasena | codechef home » practice(school) » mahasena » harinath prajapati » submissions harinath_123's submissions for amr15a 23625500 0757 pm 19/03/19 2★harinath_123 000 149m c++14
2020-01-21T11:04:24
https://www.codechef.com/status/AMR15A,harinath_123
marafiki wa chadema friends of chadema ni maafa kuichagua ccm dk slaa mgombea urais kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) dk willibrod slaa amesema kuwa ni maafa kwa watanzania iwapo watakichagua chama cha mapinduzi (ccm) katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika oktoba 31 mwaka huu kauli hiyo aliitoa jana jijini dar es salaam alipokuwa kwenye mdahalo uliokuwa ukirushwa moja kwa moja na televisheni ya itv ambapo alisema kuwa chama hicho kimewafanya watanzania wawe maskini kimeendekeza ufisadi na kimeshindwa kutumia rasilimali za nchi kwa manufaa ya walio wengi dk slaa alisema hakuna sababu ya wananchi kuwa waoga wa kuwachagua viongozi wapya kutoka upinzani kwa kuwa hakuna chuo kinachofundisha urais bali kinachoangaliwa ni busara hekima kuwashirikisha wananchi na kuweka mbele masilahi ya taifa kuichagua ccm ni kutafuta maafa zaidi ya haya tuliyonayo tuache woga wa kuwachagua viongozi wapya bila ccm tanzania inawezekana hata mwalimu nyerere alikuwa mpya wakati huo lakini tulimpa uongozi kwa sababu tulimuamini atatuongoza vizuri alisema dk slaa alimtupia lawama rais kikwete ambaye ni mwenyekiti wa ccm kwa vijana wa chama hicho kufanya fujo kwenye mikutano ya kampeni ya wagombea wa chadema alisema vijana hao wa ccm maarufu kama green guard wamekuwa wakipata mafunzo ya kijeshi kinyume cha katiba na sheria za nchi na baadaye huenda kufanya vurugu katika mikutano ya chadema pasipo askari kuwachukulia hatua zozote alisema rais kikwete ana jukumu kubwa la kukomesha kundi hilo la vijana kwa sababu yeye ni amiri jeshi mkuu na mwenyekiti wa ccm ambayo inawalea na kuwapa mafunzo vijana hao dk slaa alisema wananchi wasidanganywe kuwa vyama vya upinzani vinaweza kuyumbisha au kuleta machafuko hapa nchini bali hali hiyo itaweza kuletwa na chama tawala ambacho kinakuwa kimeshikilia serikali na vyombo vya ulinzi na usalama mimi sitaki kwenda ikulu huku damu ya wananchi wangu ikiwa imemwagika au wengine wakiwa na vilema nataka niende ikulu kwa amani na furaha ya wananchi wangu walioshiriki kwenye kampeni na uchaguzi uliokuwa na mazingira bora alisema dk slaa alibainisha rais kikwete na ccm wameshindwa kuwashughulikia mafisadi kwa sababu wametokana na zao hilo kwani hata fedha zilizotumika kumuingiza ikulu zilipatika kwa wizi uliofanyika katika akaunti ya malipo ya madeni ya nje (epa) alisema ana ushahidi wa nyaraka wa kampuni ya kagoda ambayo ilikwapua zaidi ya sh bilioni 40 na benki zilizohusika katika malipo hayo zinajulikana lakini mpaka sasa wahusika hawajafikishwa mahakamani alibainisha kuwa rais kikwete anahusika na wizi huo ndiyo maana mpaka sasa hajaweza kumfikisha mahakamani yeye (dk slaa) ambaye alitaja hadharani orodha ya watuhumiwa wa ufisadi akiwamo rais kikwete ninachokisema mimi huwa nina uhakika nacho kwa sababu nyaraka ninakuwa nazo mpaka leo hii nadunda mitaani kwa sababu najua kikwete hawezi kunifikisha mahakamani alisema alibainisha kuwa rais kikwete hana ubavu wa kupambana na ufisadi kwa sababu hata wale wanaotuhumiwa kushiriki vitendo hivyo huku wengine kesi zao zikiwa mahakamani amewanadi katika mikutano yake ya kampeni kwa kuwaeleza wananchi wawachague kwa madai ni wachapa kazi alisema ni jambo la kusikitisha serikali iliyopo madarakani inabariki wizi wa sh bilioni 155 kupitia kampuni ya meremeta ambayo inadaiwa kuwa ilikuwa ya jeshi la wananchi wa tanzania (jwtz) alisema waziri mkuu mizengo pinda alisimama bungeni kutetea wizi huo kuwa fedha hizo zilitumika kwa masuala ya jeshi ilhali jambo hilo si la kweli bali zililiwa na wajanja wachache ambapo fedha hizo zilipitia benki moja ya afrika kusini katika hatua nyingine dk slaa alisema elimu bure kwa watanzania ni jambo linalowezekana kwa sababu serikali inazo rasilimali za kutosha lakini kutokana na kutozigawanya inavyotakiwa jambo hilo limeshindikana alisema tanzania kamwe haitaweza kujikwamua katika lindi la umaskini kama wananchi wake hawatapata elimu bora kama wanayoipata watoto wa vigogo au wa nchi za uganda na kenya alibainisha kuwa hivi sasa hapa nchini kuna matabaka matatu katika sekta ya elimu ambapo tabaka la kwanza lina uwezo wa kuwasomesha watoto wao nje ya nchi huku lile la pili likiweza kuwasomesha katika shule za kata zilizojengwa hivi sasa tabaka la tatu ni lile ambalo halina uwezo wa kusomesha watoto wao hata katika shule za kata alisema iwapo atapewa fursa ya kuwa rais ataipitia mikataba yote ya madini na kuirekebisha ili iweze kuwanufaisha zaidi wananchi kama ilivyo kwa wenzao wa botswana aliongeza kuwa alikwisha kufanya mazungumzo na watu kutoka nchi za nje ambao walimwambia ni jambo la ajabu kwa tanzania kupata mrabaha wa asilimia tatu katika sekta ya madini wakati wawekezaji wakipata asilimia 97 alibainisha kuwa katika miaka yake mitano ya mwanzo kwa kushirikiana na wadau mbalimbali atahakikisha anaifanyia mabadiliko katiba ya nchi ili kumpunguzia madaraka rais ambaye amekuwa akiteua watendaji wengi alisema haoni kazi za manaibu mawaziri hivyo akiingia madarakani atahakikisha hawateuwi na fedha zilizokuwa zikitumika kuwahudumia zitapelekwa kusaidia ujenzi wa shule zahanati barabara na huduma nyingine za kijamii alisema serikali yake itajitegemea katika matumizi ya kawaida ikiwemo kulipana mishahara na shughuli nyingine lakini itaendelea kushirikiana na wafadhili na wahisani ili wasaidie miradi mikubwa aliongeza kuwa serikali yake haitakuwa na kisasi na mtu yeyote lakini pia haitakuwa na huruma na wanaotumia rasilimali za taifa kwa masilahi binafsi masilahi ya wafanyakazi wazee alisema ataboresha masilahi ya wafanyakazi kwa kupandisha mishahara kulinga na taratibu watakazoziweka lakini pia atashusha gharama za sementi (saruji) na bati ili wafanyakazi waweze kujenga nyumba kuhusu suala la wazee alisema ataanzisha utaratibu wa kutoa pensheni bila kujali kama walifanya kazi au la kwani jambo hilo lilifanyiwa utafiti na watu wa help age international tanzania na likaonekana linawezekana kukubali matokeo ya uchaguzi alisema atawaandaa wanachama wake kukubali matokeo iwapo mazingira ya kufanyika kwa uchaguzi yatakuwa huru na haki lakini hawezi kufanya hivyo ikiwa hujuma zitafanyika alisema kocha yeyote ambaye atasema kabla ya kuanza kwa mchezo kuwa timu yake itatoka sare au atayakubali matokeo atakuwa na matatizo kwani inawezekana akiingia uwanjani refarii akaipendelea timu pinzani kulinda kura alisema jukumu kubwa la kulinda kura ni la mwananchi mwenyewe kwa sababu kura yake ndiyo maji barabara na huduma nyinginezo hivyo ni vema kila mmoja akazilinda kama wakazi wa kigoma karatu mpanda kati moshi mjini na kwingineko aionya nec alisema anashangazwa na majibu ya mkurugenzi wa tume ya taifa ya uchaguzi (nec) rajabu kiravu kuwa yeye (slaa) ni muongo kwa kumpa tuhuma za kuwapo kwa kontena la kura lililokamatwa tunduma likiwa na kura za mgombea wa ccm alisema alichopaswa kufanya kiravu ni uchunguzi si kukurupuka lakini ni vema akaelewa kuwa watanzania wa mwaka 2000 si wa sasa mambo yamebadilika alibainisha kuwa kiravu alipaswa awaeleze wananchi imekuwaje karatasi hizo zichapwe nje ya nchi wakati waziri anayeshughulikia masuala ya uratibu na bunge philip marmo alisema zitachapishwa na mpiga chapa mkuu wa serikali lakini hivi sasa zinachapishwa uingereza posted by marafiki wa chadema at 247 am email this blogthis share to twitter share to facebook
2017-11-18T08:17:07
http://marafikiwachadema.blogspot.com/2010/10/ni-maafa-kuichagua-ccm-dk-slaa.html
soma katika chinese cantonese (simplified) kiajemi kibikoli kicheki kichewa kichina (kikantoni) kichina (kilicho rahisi) kichina (cha kitamaduni) kidenishi kiewe kiga kihiligaynoni kihungaria kiigbo kiingereza kiitaliano kikorea kikreoli cha haiti kilithuania kimalagasi kiosetia kireno kirumania kishona kisilozi kislovaki kislovenia kiswahili kitsonga kitswana kituruki kiukrania tunapochunguza maisha na shughuli zetu upesi tunatambua kwamba karibu matendo na tamaa zetu zote zinahusiana na wanadamu wengine akasema mwanasayansi maarufu albert einstein aliongeza hivi tunakula chakula kilichozalishwa na wengine tunavaa mavazi yaliyoshonwa na wengine tunaishi katika nyumba zilizojengwa na wengine sifa za mtu na umuhimu wake hazitokani naye binafsi bali zatokana na kuwa mshiriki wa jamii kubwa ambayo huunda maisha yake kimwili na kiroho tangu kuzaliwa hadi kifo katika jamii ya wanyama ni kawaida kuwaona wakishirikiana kisilika ndovu hutembea katika vikundi wakiwalinda watoto wao kwa makini simbajike hushirikiana kuwinda nao hula pamoja na simbadume pomboo hucheza pamoja na hata wamewalinda wanyama wengine au waogeleaji walio taabani hata hivyo wanasayansi wa jamii wameona kwamba kati ya wanadamu kuna mwelekeo fulani unaozidi kuleta hali ya wasiwasi kulingana na gazeti fulani linalochapwa nchini mexico baadhi ya wanasayansi hao wanasema kwamba watu wa marekani wameathiriwa sana kwa sababu ya watu fulani kujitenga na wengine kwa muda mrefu na pia kuharibika kwa maisha ya jamii gazeti hilo linasema kwamba hali nzuri ya taifa inategemea badiliko kubwa la kijamii ambalo linahusisha kurudia maisha ya kutegemeana tatizo hilo limeenea hasa kati ya watu wanaoishi katika nchi zilizoendelea watu wengi wanazidi kuwa na mwelekeo wa kujitenga wanataka kujitegemea nao hawataki kabisa wengine waingilie maisha yao imesemekana kwamba mtazamo huo umefanya iwe rahisi kwa wanadamu kupatwa na matatizo ya kihisia moyo kushuka moyo na kujiua kuhusiana na hilo dakt daniel goleman alisema kujitenga na jamii yaani wazo la kwamba mtu hahitaji kuwa na mwingine wa kumweleza hisia zake za moyoni au kushirikiana naye kwa ukaribu huongeza maradufu uwezekano wa kupatwa na ugonjwa au kifo ripoti ambayo ilichapishwa katika gazeti la science ilifikia mkataa kwamba kujitenga na jamii kunaweza kusababisha kifo kama vile tu kuvuta sigara msongo wa damu kuwa na mafuta mengi mwilini kuwa mnene kupita kiasi na kukosa kufanya mazoezi ya kimwili basi ni kweli kwamba kwa sababu mbalimbali tunawahitaji wengine hatuwezi kujitegemea kabisa kwa hiyo tatizo la kujitenga linaweza kutatuliwaje ni nini ambacho kimefanya maisha ya wengi yawe na maana halisi makala ifuatayo itajibu maswali kama hayo karibu matendo na tamaa zetu zote zinahusiana na wanadamu wenginealbert einstein
2020-02-18T22:45:53
https://www.jw.org/sw/maktaba/magazeti/w20030715/Je-Kweli-Tunawahitaji-Wengine/
radiamali ya ofisi ya rais wa afghanistan kwa hatua ya taliban ya kusitisha mazungumzo pars today apr 09 2020 0823 utc ofisi ya rais wa afghanistan imelikosoa kundi la taliban kwa hatua yake ya kusitisha mazungumzo yake na serkali hiyo siddiq siddiqi msemaji wa ofisi ya rais wa afghanistan ameandika ujumbe kwenye ukurasa wa twitter akilituhumu kundi la taliban kuwa linazusha visingizio kwa ajili ya kuanzisha mazungumzo na akatangaza kuwa hakuna sababu wala kisingizio chochote ambacho kundi la taliban linaweza kukitumia ili kuakhirisha mazungumzo kati yake na serikali ya afghanistan siddiq siddiqi ameongeza kuwa ikiwa kundi la taliban lina nia ya dhati ya kufikia suluhu hakuna sababu nyingine yoyote ya kuakhirisha mazungumzo kwa sababu serikali ya afghanistan imechukua hatua muhimu kadhaa kwa ajili ya kufikia suluhu tangu wiki iliyopita wawakilishi wa kundi la taliban walikuwa kwenye mazungumzo na serikali mjini kabul ya kujadili namna ya kuwaachia huru wafungwa wa pande mbili lakini msemaji wa ofisi ya kisiasa ya taliban suhail shaheen amenukuliwa akisema mazungumzo baina yao na serikali ya afghanistan kuhusu kuachiwa huru wafungwa yamesimamishwa msemaji wa taliban suhail shaheen kusimamishwa mazungumzo ya serikali ya afghanistan na kundi la taliban yanayojadili ajenda ya kuachiwa huru wafungwa wa pande mbili kumejiri baada ya kundi hilo kuituhumu serikali ya kabul kuwa inakwamisha mpango wa kuwaachia huru wafungwa wake kwa lengo la kulishinikiza katika mchakato wa mazungumzo hayo baada ya marekani na taliban kufikia makubaliano mnamo februari 29 huko mji mkuu wa qatar doha rais muhammad ashraf ghani aliahidi kuwaachia huru wafungwa wa taliban ambapo kwa mujibu wa ahadi hiyo wafungwa 1500 miongoni mwa wafungwa wote wa kundi hilo ilikuwa waachiwe huru kabla ya kufanyika mazungumzo baina ya waafghani na wengine waliosalia ilikuwa waachiliwe huru wakati mchakato wa mazungumzo hayo utakapokuwa ukiendelea uamuzi huo wa ashraf ghani ulikabiliwa na radiamali kali na ya haraka ya upinzani wa jamii ya afghanistan hususan wa shakhsia wa kisiasa wakosoaji waliuelezea uamuzi huo kuwa ni utoaji fursa na upendeleo usio na hoja ya kuutetea uliofanywa hata kabla ya mazungumzo baina ya waafghani na ambao unaweza kupelekea kudhoofiika nafasi ya serikali katika mchakato wa mazungumzo hayo makutano na vyombo vya habari baada ya mazungumzo ya doha ahadi ya ashraf ghani ya kuwaachia huru wafungwa wa taliban ambayo ilikuwa moja ya mambo yaliyoahidiwa na marekani katika mkataba wa suluhu wa doha iliosaini na kundi hilo ilitangazwa na rais wa afghanistan kwa mashinikizo ya washington ijapokuwa siku moja tu baada ya kusainiwa maafikiano ya doha ashraf ghani alitamka kuwa marekani haina ustahiki wa kujipa mamlaka ya kutoa ahadi ya kuachiwa huru wafungwa wa taliban na akapinga suala hilo lakini kwa mashinikizo ya ikulu ya washite house mwishowe alikubali kipengee hicho kiambatanishwe kwenye makubalinao hayo kutokana na kuongezeka ukosoaji wa ndani kwa uamuzi wa ashraf ghani wa kuafiki kuachiliwa huru wafungwa wa kundi la taliban katika anga ya mivutano mikali iliyoibuka ndani ya afghanistan baada ya yeye na abdullah abdullah kila mmoja kula kiapo cha urais kulikoshadidisha mgogoro wa kisiasa nchini humo hata zoezi la kuwaachia huru wafungwa 1500 wa taliban lililokuwa litekelezwe kabla ya kuanza mazungumzo baina ya mirengo ya waafghani nalo pia liliakhirishwa ashraf ghani (kulia) na abdullah abdullah kwa kutilia maanani hali ilivyo hivi sasa nchini afghanistan inavyoonekana ashraf ghani amekabidhi uamuzi wa kuwaachia huru wafungwa wa taliban kwa ujumbe unaoiwakilisha serikali katika mazungumzo na kundi hilo ili kwa njia hiyo aweze kupunguza sehemu ya mashinikizo ya ndani yanayomwandama na hivyo kuubebesha ujumbe huo dhima ya athari zozote hasi zinazoweza kusababishwa na uamuzi huo kubadilika mbeba dhima ya maamuzi kuhusu kuwaachia huru wafungwa wa taliban na kuwa ni ujumbe wa wawakilishi wa serikali ya afghanistan badala ya ashraf ghani kumewafanya maafisa waandamizi wa kundi hilo waichukulie hatua ya kuakhirisha kutekeleza ahadi ya mwanzo iliyotolewa na ashraf ghani kuwa ni aina fulani ya upotezaji wakati na ukwamishaji wa mchakato wa kufikia suluhu ni kutokana na dhana hiyo ndipo kundi la taliban na kwa lengo la kuishinikiza serikali ya afghanistan likaamua kusimamisha mazungumzo ya kujadili mpango wa kuwaachia huru wafungwa baina yake na wawakilishi wa kabul/
2020-06-06T02:06:23
https://parstoday.com/sw/news/middle_east-i60263-radiamali_ya_ofisi_ya_rais_wa_afghanistan_kwa_hatua_ya_taliban_ya_kusitisha_mazungumzo
mwamuzi alitunyima ushindi tanzania tanzania sports 16th july 2019 last update at 143 pm jana kulikuwa na mechi ya timu ya taifa ya tanzania pamoja na timu ya taifa ya benin mechi ambayo timu yetu ya taifa ilikuwa na idadi kubwa ya wachezaji wenye majeraha kwenye kikosi chao kiliwakosa watu muhimu kama nahodha wa timu ya taifa mbwana samatta je kulikuwepo pengo la mbwana samatta kukosekana kwa samatta kulikuwa na hasara na faida yake pia kwenye mechi ya jana hasara ilikuwa wapi kukosekana kwa samatta kulimlazimu kocha mayanga kutumia mshambuliaji mmoja ambaye ni maguli huku nyuma yake akiwepo raphael daudiraphael daudi hakuwa na uwezo mkubwa sana wa kumlisha mipira maguli kipindi cha kwanza nafasi hii ndiyo ilionesha pengo la mbwana samatta samatta angeweza kucheza kama mshambuliaji wa pili ili atoe huduma stahiki kwa maguli kuingia kwa mbaraka yusuph na kumwacha nje ajib nje haukuwa uamuzi wenye tija kwenye timu kuingia kwa ajib kucheza kama mshambuliaji wa pili kungeongeza tija kubwa kwa sababu ajib ana uwezo mkubwa kutengeneza nafasi za magoli na kumwingiza ajib kama mbadala wa kichuya kiliondoa uwiano kwenye timu kwa sababu kipindi cha pili kichuya alianza kuingia katikati uwanja akitokea pembeni hii ilikuwa inaleta idadi kubwa ya wachezaji katikati ya uwanja hivo kuleta uwiano mkubwa mzuri eneo la katikati ambapo ongezeko la watu wa eneo hilo la katikati lilileta nguvu kubwa sana eneo lile mchezo wa kirafiki kati ya tanzania na benin baada ya ajib kuingia hakuwa na uwezo wa kuingia katikati ya uwanja kuongeza idadi ya watu katika eneo hilo mabadiliko yenye tija kubwa yangeonekana kama ajib angekuwa mbadala wa raphae l daudi na kichuya kuendelea kuwepo ndani ya uwanja faida ya kutokuwepo kwa samatta ilikuwa ipi timu ilicheza kitimu bila kuwa na mawazo ya kumtegemea mchezaji mkubwa ilikuwa sahihi kwa himid mao kucheza kama beki wa kulia mechi ilimwihitaji himid mao kama kiongozi na mchezaji mwenye kiwango kikubwa lakini haikimwihitaji katika sehemu ya beki wa kulia mwalimu mayanga alikuwa na maganga boniface kama beki namba mbili ambaye alitakiwa kumwamini kuliko kumpeleka himid mao upande wa beki wa kulia hali iliyomfanya aonekane katika kiwango kikubwa himid mao alifaa kuanza kama kiungo wa kati kwa kuchukua sehemu ya hamis abdalahambaye alionekana kutokuwa na hali ya kuiamrisha team kwenda mbele kumweka maganga boniface pamoja kama beki wa kulia na kumwanzisha himid mao na mudhathir yahaya katika eneo la katikati ya uwanja kungekuwa na tija kubwa sana tags afica football benin taifa stars
2019-07-24T07:39:03
https://www.tanzaniasports.com/2017/11/13/mwamuzi-alitunyima-ushindi-tanzania/
msumbiji kifo cha mradi mkubwa wa mazao nishati · global voices in swahili msumbiji kifo cha mradi mkubwa wa mazao nishati tafsiri imetumwa 9 januari 2010 1112 gmt mwishoni mwa mwezi disemba baraza la mawaziri la msumbiji lilitoa tamko muhimu kibali cha kutumia hekta 30000 za ardhi kwa kampuni ya mazao nishati (biofuels) procana kimebatilishwa sheria ya ardhi ya msumbiji iliyopitishwa katika 1997 ni ya kipekee ardhi ilitaifishwa wakati wa uhuru na sheria ya ardhi haikubadilisha jambo hilo inaipa serikali zana wazi kwa ajili ya kudhibiti matumizi ya ardhi wawekezaji wa sekta binafsi wanalazimika kuomba mkataba wa kutumia ardhi kwa miaka 50 ambao unajulikana kama duat au haki ya kutumia ardhi na manufaa yake mikataba hiyo ya duat haina nguvu kwa muda wote wa miaka 50 mpaka pale kipindi cha kwanza cha miaka miwili kitakapopita wakati wawekezaji wanapopaswa kuthibitisha kuwa wanaitumia ardhi hiyo kuzalisha shauri la mradi wa procana ulipo kwenye eneo kubwa linalopakana na mbuga ya taifa ya limpopo ambayo imetanda mpaka nje mpaka wa nchi lilikuwa na utata pamoja na mvutano mkubwa tangu (shauri hilo) lilipoanza mwanzoni mwa mwaka 2007 jamii zilikuwa zihamishwe kutoka kwenye eneo la mbuga kwenda kwenye eneo ambalo kabla ya hapo lilikuwa limetolewa kwa procana kwa ajili ya kuzalisha miwa jamii hizi ziliitaji ardhi kwa ajili ya kulisha mifugo kwani jamii hizo hujikimu kutokana na ufugaji wa ngombe inaonekana kuwa hapakuwa na mipango yoyote ya kukabiliana na mgogoro ambao ulikuwa unatokota na zaidi ya hilo kulikuwa na hofu kuwa mahitaji ya maji ya procana yangetibua uzalishaji wa chakula wa sehemu hiyo vikundi vya jamii za kiraia viliziunga mkono jamii katika majadiliano yao na maofisa wa mbuga kwa kupitia mradi unaoitwa lhuvuka lakini inaonekana kuwa hapakutokea maendeleo yoyote kati yao na procana picha ya shule ya massingir iliyopigwa na ralph pina na kuchapishwa kwa idhini ya creative commons tovuti ya lhuvuka ina makala ambayo imekusanya madai kati katika mgogoro huo [pt] [] na ausência de uma decisão firme por parte do governo face ao processo de reassentamento das comunidades vivendo no pnl politização do processo de reassentamento das comunidades vivendo no pnl sem respeitar todos seus direitos e interesses uso abusivo da força por parte dos investidores não respeitando os direitos básicos das comunidades previstos nas legislações moçambicanas por saberem que por detrás deles há sempre pelo menos um membro do governo que os protege e predominância de gestores mais virados para yes mans por temerem perder os cargos que actualmente ocupam [] kutokana na kukosekana kwa uamuzi dhabiti kutoka kwa serikali wakati ilipokabiliwa na mchakato wa kuzihamisha jamii zinashoishi kwenye mbuga mchakato huo uligeuzwa kuwa wa kisiasa bila ya kujali haki na maslahi ya watu wanaishi kwenye mbuga matumizi mabaya ya nguvu yalifanywa na wawekezaji bila kujali haki za msingi za jamii kama ilivyowekwa na baraza la kutunga sheria la msumbiji kwa sababu wanafahamu kuwa nyuma yao huwa kuna japo mwanachama mmoja wa serikali ambaye anawalinda na kwamba mameneja wanaotawala ni wa aina sawa mkuu ambao wanahofu kupoteza nafasi wanazozishikilia picha ya miwa na denn iliyochapishwa kwa idhini ya creative commons tovuti ya kibrazili reporter brasil ambayo inatilia makini athari za mazao nishati kijamii na kimazingira ilichapisha makala mwanzoni mwa mwezi disemba ambayo ilitamka [pt] cerca de 30 mil hectares de savana nativa deve rão ser convertidos em canaviais em massingir a região mais seca do país africano provocando perda de biodiversidade e consumo excessivo de água (aproximadamente 409 bilhões de litros por ano para irrigação) e 38 mil moradores do entorno do parque nacional do limpopo serão obrigados a deixar suas terras kiasi cha hekta 30000 za mbuga za asili zitabadilishwa kuwa mashamba ya miwa huko massingir eneo kame zaidi katika nchi hii ya afrika na kusababisha kupotea kwa utofauti (biodiversity) na matumizi ya maji ya kupita kiasi (takriban lita bilioni 409 kwa mwaka kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji) na wakazi 38000 wa eneo linalozunguka mbuga ya taifa ya limpopo watalazimika kuhama katiba ya msumbiji inasema kuwa ardhi yote nchini ni mali ya taifa ambalo linaweza kutoa kibali cha matumizi kwa makampuni kwa kipindi cha miaka 50 kibali hiki hata hivyo kinategemea kutokuwepo kwa jamii asili katika eneo hii in maana pale (msumbiji) kama ilivyo brazil sheria nzuri hazihakikishi utekelezaji mzuri (jarida la reporter brasil linaivulia kofia makala katika jarida la mother jones la mwezi machi 2009 kuhusu procana) mwanablogu wa msumbiji anayeandika sana carlos serra alichapisha habari ya procana tangu mwanzo mnamo mwisho wa 2007 awali nusu ya kampuni hiyo ilikuwa inamilikiwa na kampuni ya kimataifa camec inayojulikana kama kampuni ya migodi/uchimbaji waanzilishi wa camec wanajulikana kwa mikataba yao kwenye nchi zenye matatizo kama vile sudani kusini drc na zimbabwe serra aliandika miaka miwili iliyopita mas convinha este é um recado especial para o ministro da agricultura erasmo muhate também estudar a trajectória de phil edmonds chairman da camec itakuwa ni jambo la maana huu ni ujumbe maalum kwa waziri wa kilimo erasmo muhate kadhalika kuangalia njia aliyopita phil edmonds mwenyekiti wa camec serra kwa mara nyingine alidhihirisha umuhimu wake kama mchambuzi wa siasa na uchumi wakati alipoonekana kuonya mwanzoni mwa mwezi disemba 2009 kuwa serikali imeigeuka procana baadhi ya habari katika wavuti zinadai kuwa wawekezaji wakuu ndani ya procana walipoteza imani katika kampuni mwanzoni mwa 2009 serikali ilibatilisha rasmi kibali cha ardhi kutokana kutokuwa na uzalishaji wamesafisha hekta 800 tu za jumla ya hekta 30000 katika miaka miwili ya kwanza ya uendeshaji na kushindwa katika kutengeneza ajira kama ilivyo katika mkataba wowote wa ukubwa wa kiasi hiki mwanzoni ulikadiriwa kuzidi dola za kimarekani milioni 500 tunaweza kusema kuwa kulikuwa na masuala lukuki ya kisiasa na kiuchumi katika mchezo katika tathmini yake ya hali ya kiuchumi ya msumbiji mwanablogu basilio muhate aligundua kuwa shauri la procana lilikuwa la kipekee [pt] [] as medidas de política económica levadas à cabo para fazer face as crises alimentar e financeira recentes que incluiram subsídios aos pequenos agricultores e instalação de silos os projectos da área de biocombustíveis iniciados em 2008 (a procana foi uma excepção na medida em que pouco ou nada alcancou em relação às previsões) estão a ter impactos positivos no sector da agricultura hatua za sera ya uchumi zilizochukuliwa ili kudhibiti matatizo ya chakula na fedha ya hivi karibuni ambazo zilijumuisha ruzuku kwa wakulima wadogo na usimikaji wa maghala miradi ya mazao nishati ilianza katika 2008 (procana ilikuwa tofauti katika maana kuwa hakuna chochote au ni kidogo kilichofanywa kuhusiana na kile kilichotabiriwa) na inatoa manufaa chanya katika sekta ya kilimo ni vigumu kubaini kama kisa cha procana kinawakilisha mfano mpya wa udhibiti wa ardhi nchini kama serikali ya msumbiji itachunguza idadi inayoongezeka kila wakati ya mikataba ya ardhi na wawekezaji wa nje katika namna hii hii au kama kisa hiki kinawakilisha tu tukio la kipekee na utendaji mbaya wa kipekee kwa upande wa wawekezaji wa nje au vyote mwandishi anapenda kueleza kuwa anafanya kazi kwa shirika la maendeleo la kimataifa ambalo lilidhamini kazi ya lhuvuka lakini hajafanya kazi moja kwa moja katika mradi huo anaandika kwa ajili ya global voices kwa kujitolea na katika nafasi binafsi imeandikwa najanet gunter juma 1 lililopitanaijeria juma 1 lililopitaisrael majuma 2 yaliyopitaguinea februari 2019 10 jumbe
2019-02-24T05:59:28
https://sw.globalvoices.org/2010/01/msumbiji-kifo-cha-mradi-mkubwa-wa-mazao-nishati/
mike pence | matukio ya kisiasa | dw | 21022017 michael richard mike pence ni mwanasiasa wa marekani mwanasheria na makamu wa 48 wa rais wa marekani aliwahi pia kuhudumu kama gavana wa 50 wa jimbo la indiana kuanzia 2013 hadi 2017 pence alizaliwa na kukulia mjini columbus katika jimbo la indiana ambalo alichaguliwa na kuwa gavana wake januari 2013 novemba 8 2016 pence alichaguliwa kuwa makamu wa rais baada ya kuachana na kampeni yake ya kuchaguliwa tena ugavana wa indiana ili kuwa mgombea mwenza wa donald trump ambaye aliwania na kushinda nafasi hiyoukurasa huu ni mkusanyiko wa maudhui karibuni za dw kuhusu mike pence mada zinazohusiana marekani benki kuu ya marekani chama cha republican donald trump cia nafta nra chama cha wamiliki wa bunduki cha marekani kiungo https//pdwcom/p/2xxl8
2019-07-22T01:37:51
https://www.dw.com/sw/mike-pence/t-37645602
sheria leo121 dhamira ya kijinai mens rea | uliza sheria sheria leo121 dhamira ya kijinai mens rea february 11 2018 posted by ulizasheria in category sheria leo 2 comments karibu sana ndugu msomaji wa makala za sheria leo ambapo umekuwa ukipata maarifa juu ya sheria mbali mbali na dhana kadhaa za kisheria kila siku katika makala iliyopita kwenye tuliangalia kwa kiashiria kimojawapo cha kosa la kijinai yaani kitendo cha kijinai actus reus tumeona kuwa kitendo cha kijinai kinaweza kuwa suala la kutenda tendo lililokatazwa na sheria au kutokutenda kile ambacho sheria inakutaka utende leo tunakwenda kuangalia kiashiria kingine cha kosa la jinai yaani dhamira ya kijinai mens rea dhana kuu za viashiria vya kosa la jinai kama tulivyojifunza katika makala zilizotangulia kuwa msingi wa kudhibitisha kosa la kijinai linahusisha kukamilishwa kwa viashiria vikuu vya kosa husika yaani kitendo na dhamira ya kutenda kosa dhana hii kama inavyoelezwa katika lugha ya kiingereza kwa maneno haya tumeona dhana hii ikidhibitishwa na sheria ya kanuni ya adhabu sura ya 16 kifungu cha 10 kinachoeleza kwamba kulingana na masharti yaliyotajwa katika kanuni hii kuhusiana na vitendo vya uzembe na kuacha kufanya mtu hatawajibika kwa kosa la kijinai kwa kutenda au kuacha kutenda jambo ambalo limetokea bila ya idhini yake au kwa tukio lililotokea kwa bahati mbaya maana ya dhamira ya kijinai dhamira ya kutenda kosa la kijinai ni pale mtu anakuwa amekusudia ndani ya fikra zake kutenda kitendo kinyume cha sheria hii ina maana kwamba mtenda kosa tayari amewaza/kutafakari na kufanya uamuzi kwenye fikra zake kutenda au kuacha kutenda kitendo ambacho ni kinyume cha sheria katika kudhibitisha juu ya uwepo wa dhamira ya kijinai kwa mtuhumiwa wa kosa la kijinai ni muhimu kuzingatia mambo matatu kwamba mtuhumiwa alifanya kitendo husika bila ya kulazimishwa dhamira ya kijinai kudhibitisha inabidi ionekane kuwa hapakuwa na kulazimishwa kwa mtuhumiwa kutenda jambo ambalo ni kosa na kwamba amelitenda kwa ridhaa yake mwenyewe pasipo kulazimishwa na mtu au mazingira yanayomzunguka kutenda jambo hilo kwa lugha ya kiingereza inaitwa voluntariness kitendo chochote kinachotendwa kinyume na utashi wa mtu au nje ya uwezo wake hakiwezi kudhibitisha dhamira ya kijinai kwamba mtuhumiwa alikuwa anajua kile anachokitenda mtuhumiwa anapaswa kujua kile anachokitenda kujua huku hakumaanishi kwamba lazima ajue kuwa anachokitenda ni kosa au la bali kujua kuwa anatenda tendo fulani wengi wanajitetea kuwa nimefanya jambo hili lakini sikujua kuwa ni kosa haina maana ya kujua kile unachofanya ni kosa bali kujua huku kuna maana ya kufahamu ni kitendo gani unachokitenda kwamba mtuhumiwa alikuwa anatarajiwa kufahamu madhara ya kitendo alichokifanya hapa mtuhumiwa anatarajiwa kufahamu au kuaminika kuwa anafahamu madhara yatokanayo na kitendo anachokitenda mfano mtu anampiga mwenzake ina maana ndani yake tayari anafahamu kuwa madhara yatokanayo na kitendo chake cha kumpiga mtu ni kuumia kwa mwenzake katika shauri kati ya antony mhikwa vs jamhuri (1968) hcd460 mtuhumiwa alitiwa hatiani na mahakama ya chini kwa kosa la kuidharau mahakama kwa kucheka na kutoa sauti za kukera akiwa mahakamani kinyume cha kifungu 114(1) (a) cha sheria ya kanuni ya adhabu mtuhumiwa alikata rufaa na kutoa hoja kwamba nzi aliingia katika pua yake na kusababisha kutoa sauti ya ajabu na kupiga chafya mfululizo mahakamani mahakama kuu ya tanzania ilibatilisha uamuzi wa mahakama ya chini na kueleza kuwa vitendo vya mtuhumiwa vilikosa dhamira ya kijinai kwani havikutona na utashi wake mwenyewe leo tumejifunza juu ya dhamira ya kijinai na namna ambavyo inaweza kuonekana kwa kupimwa na mahakama kutokana na ushahidi utakaowasilishwa kwa kuwa suala la dhamira ni suala la ndani ya mtu si rahisi kuliona lakini linapimwa kutokana na vitendo vya mtuhumiwa na kwa namna vilivyotekelezwa anzisha na fuata mchakato wa kisheria katika kushughulikia masuala ya uhalifu katika jamii frank felix february 11 2018 at 857 pm kazi njema mnafanya mimi nazidi kuwaombea zaidimafankio mengi zaid ahsante ulizasheria february 12 2018 at 1158 pm asante sana ndugu yetu frank felix tuendelee kuwa pamoja
2020-02-26T04:33:31
http://ulizasheria.co.tz/2018/02/11/sheria-leo-121-dhamira-ya-kijinai-mens-rea/
nyumbani2020mei18 (jumatatu) siku mei 18 2020 baada ya mkutano wa baraza la mawaziri dakika ya mwisho kutoka kwa rais recep tayyip erdoğan ambaye alitoa taarifa alizuiliwa wakati wa kutawaliwa katika majimbo 81 wakati wa sikukuu 232425 na 26 mei 2020 (pamoja na 23 na 26) [zaidi ] alizaliwa karamürsel mnamo 1970 baada ya kuhitimu kutoka shule ya upili ya imamhatip alianza masomo yake ya chuo kikuu katika kitivo cha biashara cha chuo kikuu cha anadolu mnamo 1989 baada ya kuhitimu alimaliza masomo yake ya ushauri wa kifedha kitivo cha chuo kikuu cha eskişehir osmangazi [zaidi ] profesa wa utafiti wa kiasi katika chuo kikuu cha maltepe dk afif sıddıki na timu yake wameunda baraza la mawaziri la disinawon kulinda watoa huduma ya afya na wagonjwa kutokana na maambukizi kwa kupambana na janga la coronavirus uhandisi wa chuo kikuu cha maltepe na sayansi asili [zaidi ] mzigo wa uturuki (thy) chapa ya mizigo ya airlines ya kituruki ambayo imepata kiwango cha juu zaidi cha ukuaji kati ya wabebaji 25 wa juu wa shehena ya ndege husafiri kwenda i̇zmir mnamo mei 28 kama ndege kila siku [zaidi ] usafirishaji wa vifaa vya mars kutoka mei 15 wa usafirishaji wa mizigo ya kimataifa uliyotekelezwa nchini uturuki ulianza kama ulivyopangwa kama matumizi ya kwanza ya marmaray mjumbe wa bodi ya vifaa vya mars gökşin günhan alisema kuwa mstari wa marmaray [zaidi ] uchina mapema kwa uchunguzi wa covid19 china tayari imetangaza kuwa ni mapema kuanza uchunguzi wa covid19 wizara ya mambo ya nje ya china sözcüsü alisema kuwa tayari ni mapema kuanza uchunguzi juu ya asili na kuenea kwa virusi vya ugonjwa wa corona ambao uliwauwa zaidi ya watu 300000 ulimwenguni [zaidi ] mstari wa ankaray utaongezwa kwa mamak na vituo 8 tangazo la zabuni imechapishwa tahadhari za kovid19 zilizochukuliwa katika usafiri wa abiria wa barabara waziri karaismailoğlu katika taarifa yake anatambua usafiri wa barabarani kwa wakati halisi na mfumo wa usafirishaji na udhibiti wa usafirishaji wa elektroniki (uetds) ambao hutoa ufuatiliaji wa elektroniki wa bidhaa mizigo na harakati za abiria zilizofanywa na kampuni zinazoendesha katika usafirishaji [zaidi ] tumekuandalia nambari za simu za tcdd nambari za simu kwako kwanza kabisa tunakupendekeza kupiga simu ya jumla ya simu ya tcdd 444 8 233 ili kuweka nambari akilini kutoka 444 hadi skrini ya simu kwenye simu yako [zaidi ] tahadhari za kovid19 zilizochukuliwa katika usafiri wa abiria wa reli waziri wa uchukuzi na miundombinu adil karaismailoğlu ametoa taarifa hiyo kwa wanahabari huko lapseki ambapo alienda kwa hafla ya kuiweka kizuizi cha mwisho katika minara ya chuma ya çanakkale bosphorus bridge karaismailoğlu akielezea miradi ya wizara yake kwa kipindi kipya na reli [zaidi ] kauli ya tekirdağ taarifa ya manispaa ya metirol mipango ya utoaji wa bandari ya tekirdağ ilipitishwa kwanza mnamo 1997 na wizara ya kazi za umma na makaazi baadaye bandari hii ilibinafsishwa na iliendelea na shughuli zake kwa jina la akport port mnamo 2006 [zaidi ] mikasi iliyorekebishwa katika line ya konya tram manispaa ya konya metropolitan inaendelea kufanya maeneo ambayo yatapunguza trafiki katika jiji lote kwa kugeuza siku za kukwepa fursa kuwa fursa meya wa metropolitan meya wa ugorur i̇brahim altay barabara ambayo raia wako nyumbani [zaidi ] mapato ya kodi yaliongezeka kwa 5 kwa mwaka katika istanbul ambayo asilimia 455 ya mapato ya jumla ya mapato yaliyokusanywa nchini uturuki huko istanbul mapato ya kodi yaliongezeka kwa asilimia 5 ikilinganishwa na mwaka uliopita sehemu ya kodi ya matumizi ya kibinafsi katika mapato ya jumla ya bajeti ni asilimia 21 katika mapato ya kodi [zaidi ] vipuli vya dhahabu vitakavyorudisha trafiki katika kizuizi cha siku 4 huko izmir meya wa metropolitan meya wa metropolitan tunç soyer alichunguza kazi za kutengeneza kasi za lami katika siku ambazo wakati wa kutekelezwa umetumika soyer pia alitoa habari njema na barabara mbele ya kituo cha ununuzi huko gaziemir kuelekea mwelekeo wa konak [zaidi ] kituo cha usafirishaji cha mkoa wa baadaye huko uturuki katika hotuba yake katika hafla ya kukamilika kwa ukumbi wa bridge ya çanakkale 1915 rais erdoğan alisema tuna miradi mingi ya barabara reli hewa na bahari bado inajengwa wakati haya yamekamilika uturuki [zaidi ] barabara mpya zinatengenezwa kwa matumizi ya baiskeli ambayo itaongezeka baada ya gonjwa katika izmir meya wa manispaa ya izmir metropolitan tunç soyer anaharakisha shughuli za barabara za baiskeli dhidi ya uzi wa trafiki unaotarajiwa kuongezeka na mchakato wa kuhalalisha soyer ambaye anasafiri kwa njia na baiskeli yake kukagua miradi hiyo hapo alisema baada ya kuenea kwa janga hilo kupungua [zaidi ] katika wakala wa maendeleo ya mevlana wa jamhuri ya uturuki sheria namba 5449 juu ya huduma za wakala wa maendeleo sheria ya wakala wa wakala wa maendeleo na taasisi zinazoshirikiana na mashirika na taasisi zingine na asasi zinazohusika na wizara na 4 [zaidi ] iliyoundwa na kukuzwa kwa kushirikiana na tübi̇tak sage na aselsan risasi za usongo wa uongozi wa kitengo ziliongezwa kwa kichwa cha mtaftaji wa laser ili kuongeza usikivu wa mabomu ya kusudi la jumla katika taarifa iliyotolewa kwenye akaunti ya media ya kijamii ya tübi̇tak sage [zaidi ] malipo ya msaada wa mbolea ya kikaboni ilianzishwa kwa wakulima waziri wa kilimo na misitu bekir pakdemirli alitoa taarifa kuhusu msaada unaotumika kwa wakulima wanaotumia mbolea ya kikaboni na kikaboni mnamo 2019 kauli ya waziri pakdemirli ni kama ifuatavyo vitu vya kikaboni vya chanjo ya mchanga wa nchi yetu [zaidi ] uzalishaji wa umeme unaanza kesho katika bwawa la ilısu uturuki moja ya mradi mkubwa zaidi wa umeme wa bwawa la ilisu ni ya kwanza kwa familia sita mei 19 atatürk maadhimisho na siku ya vijana na michezo ilizinduliwa na njia ya mkutano wa video ya rais recep tayyip erdoğan [zaidi ] vipimo vya baskentray vituo na bei za tikiti başkentray ankara ni moja ya miradi ambayo ilichangia sana katika safari ya mijini ankaraistanbul ankara sivas na ankara miradi ya treni ya kasi ya juu ya konya huko ankara [zaidi ] haki ya biashara na mchango wa programu ya kitaifa na ya kitaifa itafanya stampu waziri wa biashara ruhsar pekcan alisema kwamba ataanza maonyesho ya kweli yaliyoandaliwa kwa utambuzi wa maonyesho mapya ya coronavirus (kovid19) na kiatu na ngozi haki shoedexpo mnamo juni 13 [zaidi ] ngome ya bodrum itafunguliwa mwishoni mwa juni sumela monasteri kama mwanzoni mwa julai waziri wa utamaduni na utalii mehmet nuri ersoy alisema kwamba hatua za pili za ukarabati kazi katika jumba la bodrum zilikuwa zikikaribia mwisho na kwamba wanapanga kufungua uwanja huo kutembelea mwishoni mwa juni mwishowe waziri ersoy marejesho katika bodrum castle [zaidi ] wakati wa kuripoti wa vituo vya r&d vimeongezwa kipindi cha utoaji wa ripoti za shughuli za vituo vya r&d na muundo wa wizara ya viwanda na teknolojia na ripoti za ukaguzi wa kifedha wa makampuni ya biashara katika kanda za maendeleo ya teknolojia kwa kipindi cha mwezi mmoja hadi 30 juni 2020 [zaidi ] waziri selçuk tumetoa kurudishwa kwa watoto 17 elfu 273 kwa wazazi wao waziri wa huduma za familia kazi na jamii zehra zümrüt selçuk kama matokeo ya kipaumbele tunapeana huduma zinazoelekeza familia tulihakikisha kurudi kwa watoto 2019 kwa familia zao mnamo 17 kupatikana katika maelezo ya huduma kwa watoto [zaidi ]
2020-06-04T13:17:49
https://sw.rayhaber.com/2020/05/18/
diamond reveals how much he charges per show and its enough to buy you a bungalow in syokimau priority10news | exclusive east africa newsentertainment and technology home / celebrities & gossip / entertainment / kenya / diamond reveals how much he charges per show and its enough to buy you a bungalow in syokimau diamond reveals how much he charges per show and its enough to buy you a bungalow in syokimau baraka michael 11/14/2018 0 wcb president diamond platnumz is one paid kid while some artists are struggling to make money in the industry the singer is really making a killing from his music diamond recently had to remind the tanzanian government how much he makes per show after they banned rayvannys new hit mwanza because of its explicit lyrics on instagram diamond said that his music targets a bigger fan base than just tanzanians therefore he puts a lot in consideration when making the songs he went on to explain that hes called for performances in other countries and they pay him at least $70000 for a performance which is same as tsh168 300000 or ksh 7 million how much does a 3 bedroom bungalow in syokimau cost again he added that banning of his songs would not only affect his career but also the government in terms of taxes wazee wetu vijana wenu ama wasanii wenu sasahivi tumefanikiwa kuingia kwenye masoko mbalimbali hivyo sio kila nyimbo ni kwajili ya soko la nyumbani tanzania tu mfano uganda kuna tamasha linaitwa nyege festivalna kwa nafasi niliyonayo uganda na kwajinsi nyimbo hii ilivyovuma kwa kishindo kila kona ndani ya siku tatu tu viewers 15+ millions youtube basi naamini kabisa mwakani lazima nyege fetival waniite kutumbuizana kama mnavyofahamu bei zangu huwaga si chini dola elf sabini za kimarekani ( $70000) kwa show sawa na milioni (160300000 za kitanzania)mbazo kwa show moja tu ningeweza kuchangia pato la kodi si chini ya milioni (48090000 ya kitanzania)hivyo naomba mlitazame na hapo balaza letu pendwa wrote diamond
2019-02-18T19:07:19
http://www.priority10.ml/2018/11/diamond-reveals-how-much-he-charges-per.html
mashimo aibuka na kifo cha mugabe homenewsmashimo aibuka na kifo cha mugabe mchungaji wa taifa 'nabii mashimo' ametolea ufafanuzi kifo cha aliyekuwa rais wa kwanza wa nchi ya zimbabwe na utabiri kuhusu vurugu za afrika kusini nabii mashimo akizungumza na eatv & ea radio digital kuhusu kifo amesema kuwa nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha aliyekuwa rais wa zimbabwe robert mugabe ikumbukwe kwamba kifo chake nilikitolea unabii tangu tarehe 20/8/2017 nikiwa katika ubalozi wa kenya nilimwambia atengenezee nyumba yake na hatoweza kupata urais kwenye uchaguzi wa mwezi wa 12 nchini zimbabwe nabii huyo ameendelea kueleza baada ya kutoa utabiri huo alikwenda ubalozi wa zimbabwe uliopo tanzania ili kuomba kibali cha kwenda ikulu ya nchi hiyo kumueleza marehemu robert mugabe kuhusu maono ya unabii huo ambao umedhibitika leo hii aidha nabii mashimo ametoa utabiri kuhusu vurugu zinazoendelea nchini afrika kusini ambapo amesema jicho la kinabii limeona maono ya rais wa nchi hiyo na kila analolifanya kuhusu waafrika wanaoishi nchini kwake pia amesema mungu amemtuma amwambie rais wa afrika kusini kuwa afanye toba amalize ghasia hizo ndani ya siku 3 la sivyo damu zilizoangamia zitakuwa juu yake na atatolewa madarakani mapema sana
2020-02-29T02:47:18
https://news.bongoex.com/2019/09/mashimo-aibuka-na-kifo-cha-mugabe.html
watu wenye ulemavu wa ngozi wanapaswa kusaidiwa kwa hali yoyote ili kuweza kuondokana na changamoto mbalimbali zinazo wakabili ikiwemo maradhi | kareny blog home » uncategories » watu wenye ulemavu wa ngozi wanapaswa kusaidiwa kwa hali yoyote ili kuweza kuondokana na changamoto mbalimbali zinazo wakabili ikiwemo maradhi posted by kareny sungwa on thursday june 26 2014 add comment
2017-08-18T20:17:38
http://sungwakareny.blogspot.com/2014/06/wat-wenye-ulemavu-wa-ngozi-wanatakiwa.html
yanga sc | gazeti la jamhuri july 24 2018 comments off on baada ya mkwasa na sanga kuachia ngazi uongozi yanga watoa tamko juu ya watakaorithi nafasi zao baada ya viongozi wa yanga kuzidi kuachia ngazi akiwemo kaimu mwenyekiti wa klabu hiyo jana clement sanga kutangaza kujiuzulu wadhifa wake mwenyekiti wa kamati ya usajili hussein nyika ameitisha kikao na wahabari leo nyika ameitisha kikao hicho kuzungumzia mustakabali mzima wa yanga juu ya kujaza nafasi za viongozi wake walioachia ngazi namna utakavyokuwa ikumbukwe yanga imekuwa haina mwenyekiti kwa muda july 18 2018 comments off on yanga sc dimbani leo dhidi ya gor mahia ya kenya yanga sc leo inashuka dimbani kupambana na gor mahia ya kenya katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa kombe la shirikisho afrika mchezo huo unatarajiwa kupigwa majira ya saa moja jioni jijini nairobi kenya tutarajie matokeo ya aina gani kwenye mchezo huo may 16 2018 comments off on yanga yashindwa kutamba nyumbani yatoka sare na rayon sports timu ya yanga imeshinwa kuutumia vema uwanja wake wa nyumbani kwenye michuano ya kombe la shirikisho barani afrika baada ya kutoka sare tasa ya bila kufungana na rayon sports ya rwanda katika mchezo huo ambao ulipigwa kwenye dimba la taifa yanga watajiraumu wenyewe baada ya kukosa nafasi nyingi za wazi kwa upande wa rayon sports wamepoteza nafasi mbili ambazo walifunga april 22 2018 comments off on kundi la yanga kombe la caf ni la vibonde tupu kufuatia droo ya timu zitakazokutana katika hatua ya makundi ya kombe la shirikisho afrika kufanyika jana uongozi yanga wafurahia kupangwa na timu za ukanda wa afrika mashariki ukiachana na usm alger inayotokea algeria yanga imepangwa na timu za rayon sports kutoka rwanda pamoja na gor mahia fc ya kenya mwenyekiti wa kamati ya mashindano kutoka klabu hiyo hussein nyika ameeleza april 21 2018 comments off on yanga yajiandaa kuiadhibu mbeya city kesho kikosi cha yanga kinaendelea na mazoezi kujiandaa na mchezo wa ligi kuu bara dhidi ya mbeya city kikiwa mjini mbeya leo tayari kikosi hicho kimeshaondoka jijini dar es salaam kuelekea mbeya kwa usafiri wa ndege ambapo kesho kitakuwa na kibarua hicho yanga inacheza na mbeya ikiwa ina siku moja tangu irejee nchini ikitokea ethiopia kwa ajili ya mchezo wa kombe april 21 2018 comments off on yanga sc kuwa kwenye kundi gani itajulikana leo droo ya upangaji wa timu zitakazokutana hatua ya makundi ya kombe la shirikisho afrika inatarajia kufanyika jumamosi ya leo aprili 21 2018 jumla ya timu 16 zimeshatinga kuingia hatua hiyo baada ya michezo 16 kupigwa ndani ya wiki hii yanga kutoka tanzania ni timu pekee inayotuwakilisha kimataifa nayo imetinga hatua hiyo baada ya kuiondoa wolaita dicha sc kutoka ethiopia kwa april 18 2018 comments off on yanga wapo fiti kuwatupa nje ya mashindano waithiopia leo mmoja wa viongozi wa yanga nchini ethiopia hamad islam amesema kwamba wachezaji wanafanya mazoezi mara mbili kwa siku na tuko tayari kwa mchezo hali ya hewa ni nzuri siyo baridi kali sana inafanana na ya dar ilivyo kwa sasa mechi ni saa 10 jioni tuombeane kwani yanga imebeba bendera ya nchi kwa sasa tunataka tuhakikishe tunapata bao hatujaja hapa february 24 2018 comments off on yanga yaifuata majimaji songea kucheza mchezo wao wa 16 bora kombe la fa kesho jumapili kikosi cha yanga leo kinatarajia kusafiri kuelekea mkoani songea kucheza na majimaji katika mechi yao ya kesho jumapili ya 16 bora ya kombe la fa yanga inakwenda songea ikiwa ni siku moja tu tangu iliporejea kutoka victoria shelisheli ambako ilikwenda kucheza na st louis mechi ya ligi ya mabingwa afrika ambako walitoka sare ya bao 11 hata hivyo yanga january 29 2018 comments off on yanga kukwea pipa alfajiri kesho kuwahi mechi saa 10 jioni kikosi cha yanga kesho kinatarajia kukwea pipa alfajiri na mapema ili kuwahi mechi yao dhidi ya ihefu ikiwa ni mchezo wa kombe la azam sports hd utakaopigwa kwenye uwanja wa sokoine jijini mbeya majira ya saa 10 jioni siku hiyo hiyo timu ya ihefu inayoshiriki ligi darala la pili ilifanikiwa kuwaondoa timu ya mbeya city katika mchezo wao wa january 23 2018 comments off on caf kuzikagua simba yanga miundombinu yao shirikisho la mpira wa miguu barani africa caf litafanya ukaguzi wa mfumo wa leseni kwa vilabu vya ligi kuu hapa nchini(club licencing) kwenye upande wa miundo mbinu caf watafanya ukaguzi huo wa kutembelea na kutazama miundo mbinu ili kuhakikisha mfumo huo unatekelezeka ipasavyo kwa kuanzia na mtazamo wa vigezo vya miundo mbinu simba na yanga ni kati ya timu zitakazokaguliwa january 17 2018 comments off on kikosi cha yanga kitakachoivaa mwadui leo hiki hapa mabingwa wa tetezi wa ligi kuu soka tanzania bara klabu ya yanga hii leo inatarajia kushuka dimbani tayari kuivaa timu ya mwadui fc katika mechi ya vpl itakayo chezwa uwanja wa uhuru jijini dar es salaam kuelekea katika mchezo huo yanga sc imeanika wachezaji wake huku akiwemo mshambuliaji amis tambwe ambaye amekosekana katika kikosi cha timu hiyo kwa muda mrefu kutokana january 16 2018 comments off on mzee akilimalinitapinga yanga kumilikiwa na mtu mmoja hadi kaburini mwanachama mkongwe wa klabu ya yanga ibrahim akilimali amesema kuwa ataendelea kupinga suala la ukodishwaji wa klabu hiyo hadi atakapoingia kaburini mzee akilimali amedai kuwa amekuwa na bahati mbaya kwa baadhi ya wanachama na viongozi wa klabu ya yanga kutokana na kupinga suala la yanga kumilikiwa na mtu mmoja nimekuwa na bahati mbaya kwa baadhi ya wanachama na viongozi
2019-05-22T04:53:04
http://www.jamhurimedia.co.tz/tag/yanga-sc/
connectors rectangular vichwa pini za kiume mchanganyiko wa vyombo vya elektroniki | infiniteelectronichk nyumbanibidhaawaunganisho vipindiconnectors rectangular vichwa pini za kiume connectors rectangular vichwa pini za kiume tsw10508fd samtec inc maelezoconn header 10pos 100 dbl ehf11001fdsmptr samtec inc maelezo050 ejector header assembly tfml10502ld samtec inc maelezo050 shrouded terminal ipl111501lsk samtec inc maelezo100 terminal assy 16404535 agastat relays / te connectivity maelezoconn header rt/a 15pos 100 tin 16404536 agastat relays / te connectivity maelezoconn header 16pos r/a 100 tin 13763502 agastat relays / te connectivity maelezoconn rcpt 8pos t/h r/a sn pin 16404458 agastat relays / te connectivity maelezoconn header 18pos vert 156 tin harwin ni mtengenezaji wa kuaminika kwa juu kiwango cha viwanda na vifaa maalum vya kuunganisha maombi tunamuru kote uwezo wa kimataifa wa kukidhi mahitaji ya wateja kwa ngazi ya ndani mtandao wa wasambazaji pamoja na ofisi na vifaa vya utengenezaji huko ulaya marekani na asia hutupa ufahamumaelezo g125mh11605l5p harwin maelezoconn hdr 125mm r/a pcb 16pos m503500742 harwin maelezoconn hdr 127mm vert au 14pos m806670842 harwin maelezo4+4 dil male smt horiz conn m808460442 harwin maelezo4 pos sil horiz pc tail f/lock 1053102210 affinity medical technologies a molex company maelezonanofit hdr vt dlr knk 10ckt 15 877583616 affinity medical technologies a molex company maelezoconn header 36pos 2mm vert gold 0353180820 affinity medical technologies a molex company maelezoconn header 8pos r/a white 1053102314 affinity medical technologies a molex company maelezonanofit hdr vt dlr knk 14ckt 30 09185347904 harting maelezoconn header 34pos t/h 09185266904 harting maelezoconn header 26pos t/h 09185406903 harting maelezoconn header 40pos t/h r/a hif3h26pb254dsa(71) hirose maelezoconn hdr 26pos 254mm df631p396dsa hirose maelezoconn hdr vert 396mm 1pos df1118dp2ds(24) hirose maelezoconn header 18pos 2mm rt ang tin maelezo conn header 20pos str slatch katika hisa 24795 pcs pakua n34286203rbpdf 9297150310i maelezo conn header 100 dual str 20pos katika hisa 13601 pcs pakua 9297150310ipdf hif3h26pb254dsa(71) maelezo conn hdr 26pos 254mm katika hisa 21000 pcs pakua hif3h26pb254dsa(71)pdf maelezo conn hdr 125mm r/a pcb 16pos katika hisa 10872 pcs pakua g125mh11605l5ppdf 09185347904 maelezo conn header 34pos t/h katika hisa 23830 pcs pakua 09185347904pdf m503500742 maelezo conn hdr 127mm vert au 14pos katika hisa 71020 pcs pakua m503500742pdf m806670842 maelezo 4+4 dil male smt horiz conn katika hisa 17942 pcs pakua m806670842pdf m808460442 maelezo 4 pos sil horiz pc tail f/lock katika hisa 29799 pcs pakua m808460442pdf fiw21phfe maelezo conn rcpt 125mm 21pos smd r/a katika hisa 17262 pcs pakua fiw21phfepdf maelezo conn hdr vert 396mm 1pos katika hisa 226061 pcs pakua df631p396dsapdf 1053102210 maelezo nanofit hdr vt dlr knk 10ckt 15 katika hisa 33730 pcs pakua 1053102210pdf maelezo 20 sil horiz pin hdr katika hisa 72182 pcs pakua m222032005pdf maelezo conn header 26pos t/h katika hisa 39468 pcs pakua 09185266904pdf 8301000810001000 maelezo conn header 8pos str 2mm t/h katika hisa 6018 pcs pakua 8301000810001000pdf 877583616 maelezo conn header 36pos 2mm vert gold katika hisa 42604 pcs pakua 877583616pdf maelezo conn header 40pos t/h r/a katika hisa 24811 pcs pakua 09185406903pdf maelezo conn header rt/a 15pos 100 tin katika hisa 49770 pcs pakua 16404535pdf maelezo conn header 16pos r/a 100 tin katika hisa 59108 pcs pakua 16404536pdf maelezo conn rcpt 8pos t/h r/a sn pin katika hisa 23596 pcs pakua 13763502pdf maelezo conn header 100 dual r/a 72pos katika hisa 13434 pcs pakua pbc36dgbnpdf 0353180820 maelezo conn header 8pos r/a white katika hisa 142376 pcs pakua 0353180820pdf maelezo conn header 18pos vert 156 tin katika hisa 55981 pcs pakua 16404458pdf g125mv11605m2p maelezo conn hdr 125mm vert pcb 16pos katika hisa 9529 pcs pakua g125mv11605m2ppdf m808282642 maelezo conn hdr 2mm smt w/latch 26pos katika hisa 15619 pcs pakua m808282642pdf maelezo conn header 18pos 2mm rt ang tin katika hisa 106518 pcs pakua df1118dp2ds(24)pdf 1053102314 maelezo nanofit hdr vt dlr knk 14ckt 30 katika hisa 28951 pcs pakua 1053102314pdf 0430452412 maelezo conn header 24pos 3mm vert tin katika hisa 19829 pcs pakua 0430452412pdf maelezo conn header vert 16pos 100 gold katika hisa 27716 pcs pakua 54999103pdf maelezo conn header vert 20pos 100 gold katika hisa 17185 pcs pakua 54992064pdf maelezo 125mm m vert smt 2x6 pos pakua g125ms11205l3ppdf 23530812 maelezo conn hdr 3pos r/a keyy 15gold katika hisa 10633 pcs pakua 23530812pdf maelezo conn header vert 26pos 100 gold katika hisa 15448 pcs pakua 54991606pdf maelezo conn header vert 100 40pos 30au katika hisa 12732 pcs pakua 11026923pdf maelezo conn header 16pos vert 22mm tin katika hisa 59493 pcs pakua mx34016uf1pdf
2019-10-16T12:26:26
https://tz.infinite-electronic.hk/Connectors,Interconnects/Rectangular-Connectors-Headers,Male-Pins.aspx
abi makoma bakusanyije frw yumuriro aba macye babura nubafasha umuseke abi makoma bakusanyije frw yumuriro aba macye babura nubafasha mu cyaro | yashyizwe ku rubuga na chief editor kuwa 28/07/2017 saa 1648 abatuye ahitwa makoma mu murenge wa zaza mu karere ka ngoma baravuga ko bakusanyije amafaranga yo kuzana amashanyarazi ariko ubushobozi buba buke barasaba leta ko yabunganira kuko ubushobozi bwabo bonyine butagasha kugeza umuriro muri aka gace ubuyobozi bwumurenge wa zaza ngo bugiye kubakorera ubuvugizi abaturahe baha makoma baba baganira uburyo babuze amashanyarazi gusa ngo nabo bihute mu iterambere aba baturage ni abatuye mu kagari ka ruhembe ahitwa makoma bavuga ko bakeneye umuriro wamashanyarazi ngo biteze imbere ariko ngo bakaba barabuze ubushobozi buhagije nkurunziza bonaventure wo mu bahatuye ati twabuze ubushobozi kubera amafaranga yabaye make kereka tubonye imbaraga za leta ikadufasha kuko twari twagize igitekerezo kiza sibomana pierre celestin ati twari twishyize hamwe ngo turebe ko twawukururra ariko twabuze inkunga ya leta ducika intege bamwe batangiye no kuyasubizwa ku bwabo ngo bari bagerageje kwishakamo igisubizo ariko babura ubunganira bacika intege sindikubwabo jean claude uyobora uyu murenge wa zaza yatubwiye ko ubuyobozi bugiye kubakorera ubuvugizi kugirango ikifuzo cyabo gishyirwe mubikorwa ati muri iyi minsi nta mushinga wari uhari ngo wenda babe bawubona aka kanya ariko hari ahantu hari aga centre bazafatiraho tuzagerageza kubakorera ubuvugizi kandi bizakunda ubusanzwe abaturage bagenda basabwa kwishakamo ubushobozi hanyuma leta nayo ikabunganira kutagira amashanyarazi bituma baguma inyuma mu iterambere 11/08/2017 at 513 pm murakoze abagerageje gukorera ubuvugizi aka gace kadatera imbere uko bikwiriye bitewe namashanyarazi ikibabaje ni uko numuhanda wa kaburimbo utazahaca kandi ariko gace kagaragaramo amashuri menshi mu karere kose ka ngoma
2017-10-19T11:06:24
http://umuseke.rw/abi-makoma-bakusanyije-frw-yumuriro-aba-macye-babura-nubafasha.html
siku zote tunasema ccm kuna unafiki na ndiyo wahujumu uchumi namba 1 hapa nchini | jamiiforums siku zote tunasema ccm kuna unafiki na ndiyo wahujumu uchumi namba 1 hapa nchini ccm uchumi 40925 2000 siku zote tunasema ccm kuna unafiki na ndiyo wahujumu uchumi no1 hapa nchini cag alitoa taarifa kuwa kuna ubadhirifu kwenye wizara ya mambo ya ndani mkamkejeliakasema bunge ni dhaifu mkamkejeli kangi akamwita muongo mkamshangilia bungenihaya yako wapi leo mkamuundia zengwe mkamtimua ofisini*ilituuma sana* haya* nani muongo* reactions pythagoras mtuflani official mtwara smart and 24 others 21621 2000 ukoo wa panya ccm mikataba mibovu ccmmatumizi mabovu ya resources ccm uhujumu uchumi ccmmikataba feki ccmmiradi ya hovyo ccmsera mbovu ccm reactions licking wounds mtuflani official mtwara smart and 26 others siku zote tunasema ccm kuna unafiki na ndiyo wahujumu uchumi no1 hapa tanganyika kubadili gia angani sio unafiki leo fisadi kuu kesho anafaa kuwa rais huu sio unafikii reactions sumti mwananyaso ghibuu and 1 other person 20759 2000 vile nyumbu wa lumumba wako njiani speed kuja kupinga reactions mystery licking wounds mtwara smart and 12 others genge la majambazi lililokubalika kisheria reactions warthog gun fabolous lituye and 2 others 20891 2000 ccm ndio inayoongoza nchi sasa ulitegemea kama kuna huo unaouita uhujumu uchumi ufanywe na chadema chadema wanahujumiwa na mbowe & family reactions sumti kubadili gia angani sio unafiki leo fisadi kuu kesho anafaa kuwa rais huu sio ufisadi aiseee chalii yangu acha mambo ya kisoro jamvini jikite kwenye mada wewe mkaldayo acha porojo reactions licking wounds allency and zesh wabunge wa ccm kwa sababu ya wingi wao ndio chanzo cha matatizo yanayolikumba hili taifa wananyamaza hata kwa mambo yaliyowazi kabisa kisa wanamuogopa mwenyekiti wao asijewanyima nafasi za kugombea ubunge mwezi october inshort wanasujudia sana matumbo yao kuliko maslahi ya taifa reactions licking wounds dos2020 mwalubadah and 12 others jibu hoja wewe reactions jon stephano zesh and tweenty4seven magufuli ccm hao wabunge wa ccm wanaijua vyema sera ya siri ya chama chao kuwa ni wizikwa hiyo hawanyamanzi kwa kumuogopa mwenyekiti bali wananyamnza ili kulinda chama chaomaana kwa mwanaccm wa ukweli ccm kwanza then nchi na maisha yake baadae reactions warthog gun and lituye oooh sasa inakuwaje tunawaonea akina rugemalirakabendera and the like popoma kweli ww watu tuko serious kujadili hatima ya taifa we unaendekeza ushabiki wa kisiasa kwani huyo fisadi yuko wapi leo si mnae huko huko useless mind reactions lituye allency mlimangulu and 4 others magufuli naye bana bado anatuchezea sinema za black & white karne huu ya na youtube yeye ndio anasaini viongozi kwenda nje ya nchi alishindwa kuwauliza wanafuata nini ni hatua gani za kisheria amechukua kwa mkataba wa kuhuni hivyo maana tunaona viongozi wa cdm wanakesi zaidi ya miaka miwili kwa kuandamana tu tuone kweli kama atachukua hatua ana anasaka tu kiki za uchaguzi reactions mnyakipyua warthog gun benny haraba and 3 others ccm ukoo wapanya kila mwanachama ni mwizikuanzia mwenyekiti n safu yake 5026 2000 reactions bagamoyo and sky eclat kwa hiyo huko cdm kuna wasafi heti eeh bora shetani umjuaye kuliko malaika usiyemjua view attachment 1332292 view attachment 1332293 kansas ya taifa 21357 2000 hivi huyo aliyemtumbua kangi kwenye mambo yake huwa anapata kibali cha bunge reactions mystery and sky eclat yeye ndiye bunge reactions licking wounds and diasporausa mafikizolo walijimilikisha chama na nchi walikosea kufikiri watammiliki rais magufuli kama walivyozoea siku zote jukwaa la siasa 18 jul 22 2019 msimamo wa maalim seif siku zote ni kuvunja muungano na jino kwa jino huu ndio utakuwa msimamo mpya wa actwazalendo jukwaa la siasa 33 mar 20 2019 dereva wa lissu siku ya shambulio hakukuwa na ulinzi wowote eneo lile linalindwa na askari wenye bunduki siku zote jukwaa la siasa 556 feb 8 2019 w nitaanza kumuamini fatuma karume siku akiwakosoa babu yake (mzee karume) na baba yake (amani)kelele zote ni njaa jukwaa la siasa 68 jan 10 2019 w waziri ummy ametoa siku 60 hospitali zote nchini kufunga mfumo wa kielectroniki wa mahudhulio jukwaa la siasa 8 dec 5 2018 mafikizolo walijimilikisha chama na nchi walikosea kufikiri watammiliki rais magufuli kama walivyozoea siku zote msimamo wa maalim seif siku zote ni kuvunja muungano na jino kwa jino huu ndio utakuwa msimamo mpya wa actwazalendo dereva wa lissu siku ya shambulio hakukuwa na ulinzi wowote eneo lile linalindwa na askari wenye bunduki siku zote nitaanza kumuamini fatuma karume siku akiwakosoa babu yake (mzee karume) na baba yake (amani)kelele zote ni njaa waziri ummy ametoa siku 60 hospitali zote nchini kufunga mfumo wa kielectroniki wa mahudhulio
2020-02-21T21:43:57
https://www.jamiiforums.com/threads/siku-zote-tunasema-ccm-kuna-unafiki-na-ndiyo-wahujumu-uchumi-namba-1-hapa-nchini.1682165/
mdahalo wa umma kuhusu ulingo wa maendeleo mkoani arusha arusha ngo network angonet trending mdahalo wa umma kuhusu ulingo wa maendeleo mkoani arushaposted by angonet | aug 18 2013 | features photo gallery | 0 | like thislike loadingrelatedshare previouswajibu wa makampuni yachimbayo madini kwa jamii nextmdahalo kati ya wagombea ubunge mkoa wa arusha training on how to write a research proposal and statistical analysistue 10 september 2013 wajibu wa makampuni yachimbayo madini kwa jamiisun 18 august 2013leave a reply cancel reply
2017-07-23T01:04:56
https://angonetz.org/mdahalo-wa-umma-kuhusu-ulingo-wa-maendeleo-mkoani-arusha/
week ya lala salama arumeru mashariki | jamiiforums | the home of great thinkers week ya lala salama arumeru mashariki discussion in 'chaguzi ndogo' started by osokoni mar 25 2012 jumapili ijayo tutaenda kwenye vituo husika kupiga kura zetusote wana arumeru tumesikiliza kampeni za vyama na wagombea na ninaamini tumeshafanya maamuzikwa wale ambao bado hawajafanya maamuzi au wamefanya maamuzi mabaya wiki inayooanza kesho ndio fursa pekee iliyobakifuatilia kampeni za lala salama na hakika mpe kura yako mgombea au chama kilichokujibu au kuwekea mkakati kero zifuatazo hapa meru 1uhaba wa ardhi 2 uhaba wa maji 3 elimu ( uhaba wa shulekumbuka shule ya msingi usa river ilifutiwa matokea kwa sababu za kijinga sana) 4uhaba wa hospitali na vituo vya afya kwa meru yote 5 barabara mbovu (kumbuka zilivopigwa greda wakati wa mvua na kutuongezea mateso kutokana na tope) 6 ukosefu wa kituo cha mabasi hapa usa madukani 7 hali mbaya ya soko la usariver tengeru kikatiti( wakati tunalipa ushuru) nakusihi sana usimchague aliyefanya yafuatayo 1 bingwa wa kutukana kukashifu wengine kusambaza nyaraka za kuchafuana 2 bingwa wa kugawa kanga vitenge kofia tshirt pesa taslimu pombe na vyakula 3 aliyekuwa chanzo cha fujo na vurugu kwenye kampeni jimbo la arumeru mashariki lipo nyuma sana kimaendeleo ukizungumzia sekta zotetunatakiwa wakati majimbo mengine wanatembea sisi tukimbie ilituwafikie tunahitaji kamanda mkakamavu wa kuongoza hizi mbio chagua mtu anayeyajua matatizo ya meru na amewahi kuyaisha na kupata adha yake huyo atatusaidia lakini mtu ambaye hayjawahi kuishi meru matatizo yetu anayasikia tu kwa watu hataweza kuongoza mbio hizi za kuyatatua nawatakieni week njema ya lala salama na hatimaye uchaguzi mzuri wa haki na huru you deserve to be called 'a greater thinker' naamini wamekusikia na watazingatia ushauri wako kwani hata sisi tusio wapiga kura wa arumeru mashariki hatupendi mrubuniwe na kampuni ya mwigulu osokoni kula like yangu maana natumia mobile lakini umesema kweli naongezea wasimchague mtu mwa lengo la kumfariji ili alee familia wasichague mtu kwa sababu ni shemeji ya fisadi fulani na ameapa watu hata watu wafe lakini mkwe wake apite hii ndio nafasi ya kipekee ya wana arumeru kufanya maamuzi sahihiwakikosea hakuna rangi wataacha kuona kuichagua cdm ni kufikisha ujumbe kwa serikali kuwa tumechoshwa na uongozi mbovu kuichagua cdm ni kufikisha ujumbe kuwa wanaarumeru tunahitaji maji ardhi na miundominu inayokidhi haja zetu uchaguzi huu mdogo wa arumeru ni kipimo cha akili za wameru by vicent nyerere chagua joshuachagua chadema ondoa mafisadi tanzania you are the master of the conquired land and you deserve 2b respected as a great thinkerwarning chadema is the only and good political party to choosechadema ndo mpango mzima wana arumeru mashariki acheni kudanganywa na mafisadi kama enzi za ukoloninawakubali wameru na naamin tutafanya maamuzi magumu hapo tarehe 1 april 2012 yan jmapilpiga kura linda kura yako mpaka kielewekethanks wachague cdm wachague mabadilikojamaa wamechoka ile mbaya
2018-01-21T09:17:05
https://www.jamiiforums.com/threads/week-ya-lala-salama-arumeru-mashariki.238082/
wanaostahiki kupewa zaaka na kutowa zaaka alfeqh wanaostahiki kupewa zaka ni wale ambao kwamba wanastahiki kupewa zaka nao watu aina nane ambao kwamba mwenyezi mungu u amewahisabu katika kauli yake {sadaka hupewa (watu hawa) mafakiri na masikini na wanaozitumikia na wanaotiwa nguvu nyoyo zao (juu ya uislamu) na katika kuwapa uungwana watumwa na katika kuwasaidia wenye deni na katika (kutengeneza) mambo aliyoamrisha mwenyezi mungu na katika (kupewa) wasafiri (walioharibikiwa) ni faradhi inayotoka kwa mwenyezi mungu na mwenyezi mungu ni mjuzi (na) mwenye hikima} (attwba 60) 1 mafakiri mafakiri ni wingi wa fakiri naye ni yule ambaye hawezi kujitosheleza mahitaji yake ya dharura na mahitaji ya aliyechini yake katika chakula na kunywa na mavazi na makazi na yuwapewa katika zaka kitakachomtosha yeye na familia yake kipindi cha mwaka mzima ni wingi wa masikini naye ni yule ambaye kwamba anapata nusu ya mahitaji yake au zaidi ya nusu kama yule ambaye ana mia moja na anahitaji mia mbili na anapewa mtu kama huyu kiasi kitakachomtosha sawa na mahitaji yake na familia yake kwa mda wa mwaka mzima kutoka katika zaka 3 wanaotumikia zaka wanaotumikia zaka wale ambao kwamba wanakusanya zaka kwa idhini ya viongozi na wanachukua jukumu la kugawa zaka hiyo kwa wanaostahiki kupewa na watapewa katika mali ya zaka kiyasi ya ujira wao na kazi yao hata kama wako nauwezo kwa sababu ameacha kazi yake kwa ajili ya kazi hii isipokuwa kama walipwa na serekali basi hawatopewa zaka na huhisabiwa ni wenye kukusanya zaka kila anae shughulika anaye kusanya na anaye andika na anelinda na anaegawanya wote hawa wanasahiki kupewa zaka kupewa zaka wanaoitumikia zaka anapewa zaka mwenye kukusanya zaka na mwenye madeni hata kama ni matajiri na mwenye uwezo wakufanya kazi ikiwa amejishughulisha nakutafuta ilimu ya kisheria na ikawa hana mali kwa sababu kutafuta ilimu ni jihadi katika njia ya mwenyezi mungu na vile vile mwenye kupigana jihadi na wanaotiwa nguvu nyoyo zao kwa ajili ya kusilimuama mwenye kukaa nakufanya ibada na akacha kufanya kazi hali yakuwa anaweza kufanya kazi huyu hatapewa zaka kwa sababu ibada faida yake ya mrudia yeye mwenyewe tafauti na mwenye kutafuta ilimu{ enyi mlio amini toeni katika vile vizuri mlivyo vichuma na katika vile tulivyo kutoleeni katika ardhi wala msikusudie kutoa vilivyo vibaya hali nyinyi wenyewe msinge vipokea ila ingekuwa mmefumba macho na jueni kwamba mwenyezi mungu ni mwenye kujitosha na msifiwa shetani anakutieni khofu ya ufakiri na anakuamrisheni mambo machafu na mwenyezi mungu anakuahidini msamaha na fadhila zitokazo kwake na mwenyezi mungu ni mwenye wasaa mwenye kujua} [albaqara 267268] 4 waliosilimu wanaotiwa nguvu nyoyo zao juu ya uislamu wanaotiwa nguvu nyoyo zao juu ya uislamu viongozi wanaoheshimika katika jamii yao kwa wanaotarajiwa kwamba kupewa kwao kunaweza kuwa sababu ya kusilimu au kuzuia shari zao au kutia nguvu imani zao au kuwakinga waislamu dhidi ya maadui zao miongoni mwa maadui zao na wanapewa zaka kwa kiwango ambacho kitafikisha kwao kutiwa nguvu nyoyo zao 5 watumwa ili waachwe huru watumwa ili wa achwe huru mtumwa na mukaatib ni yule mtumwa alie andikiyana na bwanake amlipe pesa ili ajikomboe nafsi yake na utumwa huyu atapewa zaka kulipia deni lake walilo andikiyana ili awe huru kila mmoja miongoni mwao kuweza kufanya harakati za kimaisha na awe ni kiungo chenye manufaa kwa jamii na atulizane vizuri katika kumuabudu mwenyezi mungu kiukamilifu na hapa pia inaingia kuwakomboa mateka wa kivita waliotekwa nyara miongoni mwa waislamu 6 wenye kudaiwa madeni wenye kudaiwa madeni wingi wa mwenye kudaiwa madeni naye ni yule anayefaa kulipa deni na wenye kudaiwa madeni wako sampuli mbili ya kwanza ni yule mwenye deni linalomuhusu yeye mwenyewe basi anapewa katika zaka kitakacho kamilisha kulipwa kwa deni lake ikiwa ni fakiri ya pili ni aliye na deni kwasababu ya kuleta suluhisho kati ya makundi mawili ya waislamu basi anapewa katika zaka kitakacho kamilisha deni hilo hata kama ni tajiri 7 kwa njia ya mwenyezi mungu kwa njia ya mwenyezi mungu wale wanaopigana jihadi kwa njia ya mwenyezi mungu watu hawa hupewa kinachowatosha katika jihadi kwa njia ya mwenyezi mungu na inaingia ndani yake mambo mengi katika mambo ya kulingania dini ambayo yanahisabiwa kuwa ni jihadi kwa njia ya mwenyezi mungu na wala hayakupata katika sadaka kitakachosimamia harakati zake 8 msafiri (alioharibikiwa) msafiri (alioharibikiwa) msafiri ambaye kwamba amekatikiwa na safari yake wala hakubakia na chochote katika mali anapewa katika zaka kitakachomfikisha kwao hata kama huko kwao ni tajiri mambo yanayofaa kuzingatiwa 1 zaka haitolewi kwa watu ambao hawako katika makundi haya yaliyotajwa hata kama ni kwa lengo la kufanya wema na hisani kama vile kujenga msikiti na madrasa na mahspitali/zahanati na mengineo katika mambo ya kheri na ambayo kwamba waweza kuyafanya katika sadaka 2 sio lazima kufanya uchambuzi wa kina kwa haya makundi manane yaliyotajwa wakati wa kutoa zaka bali yaruhusiwa kutoa kwa kundi lolote kati ya haya makundi manane wale ambao hawafai kupewa zaka 1 matajiri na watu wenye nguvu nauwezo wa kukidhi mahitaji yao kwa kauli ya mtume (saw) (wala hakuna fungu la kupewa tajiri wala mtu mwenye nguvu anayechuma) [imepokewa na abuu daud] 2 walio asili yako baba na mama na walio vizazi vyako mototo na mke ambao ni jukumu lako kuwalisha haifai kumpa zaka muislamu ambaye ni jukumu lako wewe kumlisha kama vile baba mama babu nyanya watoto na wajukuu kwasababu kuwapa zaka watu hawa kutawatosheleza wao kula kwao ambako ni jukumu lako juu yao hivyo basi kuondosha jukumu la kuwalisha na hatimaye yarudi kutoa faida ya zaka kwako mwenyewe kama kwamba umejipa zaka mwenyewe 3 makafiri wasiotiwa nguvu haifai kuwapa zaka makafiri ikiwa simakusudio kuwatia nguvu katika uislamu kwa kauli ya mtume (saw) (huchukuliwa kutoka kwa matajiri wao na kupewa mafakiri wao) [imepokewa na bukhari] yaani matajiri wa kiislamu na mafakiri wao pasina kuwapa wasiokuwa wao na kwasababu miongoni mwa makusudio ya zaka ni kuwatosheleza mafakiri wa kiislamu na kuzidisha mapenzi na udugu kati ya w jamii ya kiislamu na hivi haifai kwa makafiri anapewa zaka mwenye kukusanya zaka na mwenye madeni hata kama ni matajiri na mwenye uwezo wakufanya kazi ikiwa amejishughulisha nakutafuta ilimu ya kisheri na ikawa hana mali kwa sababu kutafuta ilimu ni jihadi katika njia ya mwenyezi mungu na vile vile mwenye kupigana jihadi na wanaotiwa nguvu nyoyo zao kwa ajili ya kusilimuama mwenye kukaa nakufanya ibada na akacha kufanya kazi hali yakuwa anaweza kufanya kazi huyu hatapewa zaka kwa sababu ibada faida yake ya mrudia yeye mwenyewe tafauti na mwenye kutafuta ilimu{ enyi mlio amini toeni katika vile vizuri mlivyo vichuma na katika vile tulivyo kutoleeni katika ardhi wala msikusudie kutoa vilivyo vibaya hali nyinyi wenyewe msinge vipokea ila ingekuwa mmefumba macho na jueni kwamba mwenyezi mungu ni mwenye kujitosha na msifiwa shetani anakutieni khofu ya ufakiri na anakuamrisheni mambo machafu na mwenyezi mungu anakuahidini msamaha na fadhila zitokazo kwake na mwenyezi mungu ni mwenye wasaa mwenye kujua} [albaqara 267268] 4 aali zake mtume (saw) (aalu nnabiy jamaa za mtume ni baniy haashim) haifai kuwapa zaka aali zake mtume ﷺ kwasababu ya utukufu wao kwa kauli ya mtume (saw) (hakika hii zaka ni uchafu wa watu (unaosafishwa) kwa hivyo haifai kupewa muhammad wala aali ya muhammad) [imepokewa na muslim] 5vijakazi vya jamaa zake mtume (saw) nao ni watumwa ambao kwamba wamewachwa huru na jamaa zake mtume (saw) kwa hadit (hakika ya zaka sio halali kwetu na hakika watumwa wa watu ni miongoni mwao) [imepokewa na tirmidhi] yaani hukumu ya watumwa hao ni kama hukumu ya wenye kuwamiliki hivyo basi ni haramu kupewa zaka watumwa wa bani hashim vijakazi vya aali zake mtume (saw) 6 mtumwa anayemilikiwa haifai kupewa mtumwa zaka kwasababu mali ya mtumwa ni katika milki ya bwana wake hivyo basi akipewa zaka itakwenda kwa bwana wake na kwasababu jukumu na kulishwa kwake ni la bwana wake na imevuliwa kutoka hukumu hio almukataba (mtumwa alioandikana mkataba na bwana wake) kwani wao hupewa zaka kiwango kitakacholipa deni la mkataba wao na mfanyikazi wa kukusanya zaka pia akiwa ni mtumwa anayetumikia zaka atapewa zaka kwasababu ni kama malipo na mtumwa anafaa kuajiriwa kwa ruhusa ya bwana wake kutoa zaka wakati wake ni lazima kutowa zaka kwa haraka inapo fika wakati wakuwajibika kwake pamoja nauwezo wakufanya hivyo na haifai kuichelewesha kutoa iwajibikapo kutolewa ila kwa dharura kama vile mali kuwa mbali na mji wake au mfano amefungwa na mfano wa hayo na dalili ya kuwajibika kuitoa kwa haraka ni kwa neno lake mwenyezi mungu {na toeni haki yake siku ya kuvunwa kwake} [alanaam 141] na kwa neno lake u { na simamisheni swala na toeni zaka na mtiiin mtume ili mpate kurehemewa} [alnnuur 56] na amri yatakikana kutekeleza kwa haraka bila ya kuchelewesha hukumu ya kutoa zaka mapema inafaa kutanguliza kutoa zaka kwa miaka miwili au chini ya hapo ikiwa imefikia nisabu yakutolewa zaka wakati wakuitanguliza kwake sehemu ya kutoa zaka ubora ni kuitoa zaka katika mji ambao ndipo mali yalipo lakini inafaa kusafirisha zaka zake kupeleka mji wakaribu au wambali kwa haja mfano ukawa mji wambali watu wake ni mafukara zaidi au mtu awe ana jamaa zaka mafukara katika mji ule kama mafakiri wa mji wake kwa sababu kuwapatia mafukara ambao ni jamaa zake kuna maslahi na kwake itakuwa ni sadaka na kuunga kizazi na kauli hii ya kufaa kusafirisha zaka ndio kauli sahihi kwa kuenea neno lake mwenyezi mungu {wa kupewa sadaka ni mafakiri na masikini na wanao zitumikia na wakutiwa nguvu nyoyo zao na katika kukomboa watumwa na wenye madeni na katika njia ya mwenyezi mungu na mwenyezi mungu ni mwenye kujua mwenye hikima} [tawba 60] yaani mafakiri na masikini wakila sehemu mali yanayofaa kutolewa zaka na yasiyofaa kutolewa mali yanayo tolewa zaka ni mali ya kati na kati sio mali ya hali ya juu wala mali mbaya haimlazimu kumtoa mnyama aliemnono au mwenye mimba au dume katika wanyama wala tende nzuri isipokua akiridhia kwa jambo hilo na akaridhia nafsi yake kama vilevile hafai kutoa kitu kibovu na kuacha kizuri isipokua mali yake yote yawe ni mbaya na wanyama wake wote wawe ni wagonjwa hapo inafaa kutoa mmoja wao amesema mwenyezi mungu { enyi mlio amini toeni katika vile vizuri mlivyo vichuma na katika vile tulivyo kutoleeni katika ardhi wala msikusudie kutoa vilivyo vibaya hali nyinyi wenyewe msinge vipokea ila ingekuwa mmefumba macho na jueni kwamba mwenyezi mungu ni mwenye kujitosha na msifiwa} [ albaqara 267] na katika hadhithi ( hatolewi zaka mnayama mkongwe [ harim mnyama aliomzee] wala tongo[ mwenye aibu mwenye amabaye hakubaliwi katika mauzo] wala dume [ mbuzi dume ambae hajafikia umri wa kibeberu wala hana manufaa yoyote wala hana kizazi] ila anapotaka mwenye kutoa zaka) [imepokewa na bukhari] na amesema mtume (saw) kumwabia muadh (tahadharini na mali yao matukufu) [imepokewa na bukhari] 1 inampasa kwa mwenye kutoa zaka kuwatafuta wanaostahiki kupewa zaka wala asiwape wasio stahiki kwa neno lake mtume saw (hapana bahati kwa tajiri wala mwenye nguvu za kutafuta) [imepokewa na abuu daud] 2 na mwenye kutoa zaka afanye bidii kumtafuta anaestahiki kupewa zakaa na mwenye haja na kila zinapozidi sifa nyengi kwa mtu kwa anaestahiki kupewa zakaa basi anastahiki zaidi kupewa zakaa kama kua ni fakiri katika jamii yako au fakiri anaetafuta ilimu na mfano wa hao anaestahiki zaidi kupewa zaka inaetaka kutoa zaka afanye bidii kutafuta anaestahiki kupewa zaka na anaekuwa na haja zaidi na kila alie kusanya sifa za kupewa zaka huyo ndie anaestahiki kupewa zaka kama jamaa alie fakiri au mwanafunzi fakiri na kadhalika mambo muhimu katika zaka kima cha kutolewa zaka asili ya zaka ni kutoa kitu asili (chakula) katika kilichowajibika kutolewa lakini yaruhusiwa ikiwa kuna haja au maslahi yanayokubalika kutoa kima chake mahusiano ya serekali na zaka asili ya zaka ya mali ni kazi ya mtawala wala hawaachiwi wanaotoa zaka na watu binafsi kujifanyia vipimo basi utawala ukizembea katika jukumu hili itakuwa jukumu ni kwa mtu mwenyewe binafsi (kuangalia utekelezaji wake wa zaka) kuzalisha mali ya zaka kwa maslahi ya wanaostahiki kupewa zaka yaruhusiwa kuzalisha mali ya zaka kwa miradi yenye manufaa yanayorudi kwa wanaostahiki zaka hiyo ikiwa hakuna umuhimu wa haraka wa kutumia mali hayo unaopelekea matumizi ya mara moja je katika mali kuna haki isiyokuwa zaka kwa mfano kama ushuru zaka ni haki ya mzunguko iliokadiriwa katika mali na ambayo ni lazima wa kutolewa ulazima wa asili ya mali kwa wanaoweza na katika mali kuna haki nyengine isiyokuwa zaka ambayo imejitenga kwa kuwa ni yenye kutokea ghafla wala haikupimwa kwa kiwango maalumu wala si yenye kudumu hali yake kama kudumu kwa zaka nayo haiwajibiki kwasababu ya mali bali inawajibika kwasababu nyenginezo na mali ni sharti ya kuwajibika kwake na mfano wake ni kulisha wazazi wawili na jamaa wa familia na mke na kuondosha madhara wakati wa matatizo ikiwa haitoshi kufanya haya mali yalioko katika hazina ya serikali ya kislamu ushuru hautoshi hata kama itakuwa kiwango sawa na zaka kwa maana zaka ni ibada miongoni mwa ibada na ushuru ni jukumu la kikanuni wala mojawapo haitoshelezi nyengine
2019-08-23T15:43:38
https://www.indo.with-allah.com/sw/wanaostahiki-kupewa-zaaka-na-kutowa-zaaka
mjadala wa katiba mpya | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'katiba mpya' started by manyi jun 7 2012 nimefuatllia kwa karibu sana vipindi vya midahalo ya upatikanaji wa katiba mpya tbc kutoka sehemu mbalimbali nchini kwa sasa na kwa kweli wananchi wanaonyesha ukomavu na ujasiri wa hali ya juu wa kudadavua na kupembua mambo kwa hali jinsi ilivyo kuna wapambanaji wa ukweli sana mikoani wanahitaji kuwezeshwa ili wawe wapiganaji kamili magamba mna hali mbaya sana katika ulimwengu huu wa sasa kumbukeni hii si 1961 na saa ya ukombozi ni sasa makamanda tukaze buti ukombozi uko karibu sana mkuu tuelekeze tujadili nini katiba mpya au hali mbaya ya magamba au saa ya ukombozi kwenye katiba mpya nataka sheria za kazi zibainishwe wazi haki ya mfanyakazi hasa wakati huu kuna makampuni mengi ya kigeni yana exploits wabongo sana tu km hawa erolink kuna kampuni moja ya simu watu waliokuwa customer care waliugua masikio baada ya kupokea simu kwa miaka takriban mitano lkn wakaachishwa kazi kishenzi sana bado mioyo yetu inauma ndugu zetu kuachishwa kazi namna ile hawakulipwa kabisa so napitia sheria zote za kazi halafu ntakuja na draft kamili ya mapendekezo najua kuna akina mnyika lissu zitto wapo humu watafanikisha tuu kuna na ss wengine wa migodini tuna tatizo kama hilo unapo pata matatizo ya kiafya yanayotokana na kazi unayo fanya unatibiwa kidogo tu ikishindikana kupona ndani ya miezi 6 basi kazi ndo hakuna na unaendelea kujitibisha mwenyewe sasa ebu chukulia labda mtu umeufua mgongo na matibabu ya mgongo ni gali mtu kazi ndo hauna vipi utayamudu mi nahisi hawa wawekezaji wa nje wapo juu ya sheria za nchi maana wanafanya mambo kinyemela na hakuna anaye wauliza
2018-01-18T16:45:46
https://www.jamiiforums.com/threads/mjadala-wa-katiba-mpya.275809/
ndugai amtaja tena masele wabunge watofautiana mwananchi ndugai amtaja tena masele wabunge watofautiana mbunge wa iringa mjini (chadema) peter msigwa akiomba mwongozo bungeni jijini dodoma jana kuhusu kusimamishwa kwa uwakilishi wa mbunge wa shinyanga mjini (ccm) stephen masele katika bunge la afrika bila ya kujadiliwa na wabunge picha na ericky boniphace huku akieleza kuwa masele akishahojiwa na kamati hiyo ya bunge ndipo ukweli utajulikana ndugai alisema uhusiano na mtu wa cameroon (rais wa pap) umetoka wapi yeye ni rais na masele yupo naye huko by elias msuya na ibrahim yamola [email protected] dar/dodoma spika job ndugai amesema mbunge wa shinyanga mjini (ccm) stephen masele atahojiwa na kamati ya wabunge ya chama chake na si kamati ya maadili ya chama hicho tawala katika uendeshaji wa mabunge kuna bunge kama bunge na mambo yake pia tuna tambua caucas za vyama tuna uongozi wa vyama vyenye wabunge bungeni na vikao vyao tunaviratibu sisi alisema ndugai jana akijibu swali aliloulizwa na mwananchi kuhusu kauli yake aliyoitoa juzi bungeni akiamuru mbunge huyo arejee nchini kutoka afrika kusini anakohudhuria vikao vya bunge la afrika (pap) baada ya kuzungumza mambo ya aliyosema yanagonganisha mihimili ya dola na kwamba atahojiwa na kamati ya maadili ya ccm na ya bunge wakati ndugai akieleza hayo wabunge na wachambuzi walikuwa na maoni tofauti kuhusu uamuzi huo ndio maana bungeni huwa tunatangaza chadema wakutane ukumbi namba fulani kwa hiyo kuna mawasiliano kati ya vyama na spika katika baadhi ya mambo ninafahamu kutakuwa na kikao cha maadili cha upande wa chama chake cha ccm kwa hoja zao wao nyingine inawezekana si kwa hoja za maadili ya bunge ninachoitisha mimi spika ni cha maadili ya bunge kwenye chama ataitwa na wenye mamlaka ya kufanya hivyo ila si ccm taifa alisema ndugai alifafanua caucas ni chombo kinachotambulika hata ccm watu hawajui kuwa vyama pia huwa vinajiendesha hata humu ndani (bungeni) alipoulizwa kuhusu kuwa na uhusiano na rais wa pap roger nkodo dang aliyeingia katika mgogoro baada ya tuhuma mbalimbali alikana tanzania (rais wa pap) alipokelewa mara moja kuomba kura ambako yeye alipata na masele alikuja dodoma nilionana naye kwa nusu saa akaondoka niliwahi kuhudhuria mkutano rwanda lakini yeye alikuwa mbele mimi nyuma na hatuna uhusiano wowote akizungumzia suala hilo mbunge wa rufiji (ccm) mohamed mchengerwa alisema hakuna tatizo kwa mtu yoyote kupelekwa kamati ya maadili tatizo hatujui kwa undani hasa tuhuma ambazo masele anakabiliwa nazo lakini tuhuma haziwezi kumweka matatani akifika huko kwenye kamati ataeleza undanina kamati itatoa uamuzi mbunge wa tandahimba (cuf) katani katani alisema masele amechaguliwa (pap) na wabunge ambao ndio wapigakura wake kama ana makosa wapigakura wake wanapaswa kujua kwanza si kufichaficha kama anagonganisha mihimili tunapaswa kujua ameigonganishaje hiyo mihimili kwa hiyo spika alitakiwa kutueleza hasa makosa yake ni yapi na sio kutuacha njia panda alisema katani mbunge wa ulanga (ccm) goodluck mlinga alisema alichokosea masele ni kuzungumza mbele ya hadhara kuwa waziri mkuu amemtaka kubaki huko hii inaonyesha huko nje kwamba sisi hapa hakuna maelewano kati ya spika na waziri mkuu au serikali na bunge mbunge wa ndanda (chadema) cecil mwambe alisema kila bunge lina taratibu zake na kabla ya spika ndugai kumtaka kurejea nchini alipaswa kutueleza sisi tuliomchagua mchambuzi wa masuala ya siasa dk marcossy albanie alisema hakuna kosa la moja kwa moja la masele hapo kuna siasa zinachochewa tu hakuna kosa la moja kwa moja ndiyo maana spika hajataja mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya sera za uchumi na utawala (gepc) moses kulaba alisema kuna upungufu katika utaratibu wa kuwapata wabunge wanaoiwakilisha tanzania katika mabunge ya kikanda kwa sababu wanachaguliwa na wabunge wenyewe na baada ya hapo spika anaandika barua ya kuwatambulisha ndipo anapopata nguvu ya kumwita mbunge wakati wowote maana yuko chini yake alisema hata hivyo alisema mbunge anayekwenda kwenye mabunge ya kikanda anaiwakilisha nchi hivyo anapaswa kupeleka kile alichoambiwa na nchi anayotoka alisema faida ambayo tanzania inaipata kwenye mabunge hayo ni pamoja na kujitangaza na kuwa na nguvu ya kupenyeza ajenda itakazotaka
2019-12-15T16:56:44
https://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Ndugai-amtaja-tena-Masele--wabunge-watofautiana/1597296-5120704-123l1hs/index.html
scissor lift hire in naval base wa plantminercomau 13 matches found for scissor lift hire in naval base wa 11 km rockingham wa 27 km maddington wa 25 km south perth wa 39 km malaga wa 154 km donnybrook wa 391 km albany wa 401 km geraldton wa
2019-10-14T08:50:30
https://www.plantminer.com.au/scissor-lift-hire/wa/naval-base
wanaccm kagera wachangia ujenzi wa darasa la sekondari habari na matukio home elimu habari habari na matukio wanaccm kagera wachangia ujenzi wa darasa la sekondari kajunason at february 13 2019 elimu habari habari na matukio mjumbe wa halmshauri kuu ya chama cha mapinduzi (ccm) mkoa wa kagera ramadan kambuga (aliyevaa shati ya rangi ya njano) akiwaongoza makada wenzake wa chama hicho katika ujenzi wa chumba cha darasa katika sekondari ya kalema kata buendangabo ikiwa ni utekelezaji wa ilani ya ccm bw ramadan kambuga akipanda mti katika eneo la shule hiyo chama cha mapinduzi (ccm) kwa kushirikiana na viongozi wa chama hicho ngazi ya wilaya bukoba mjini mkoani kagera wameshiriki zoezi la usombaji mawe kwa ajili ya ujenzi wa chumba cha darasa katika shule ya sekondari ya kalema kata buendangabo na kupanda miti ikiwa ni kuazimisha miaka 42 ya kuzaliwa kwa chama hicho kutokana na msongamano wa manafunzi darasani katika shule hiyo bwana kambuga ametoa kiasi cha shilingi laki moja ili isaidie kuongeza nguvu na kuweza kuondoa adha hiyo ambayo inawakabili wanafunzi wa shule hiyo bwana kambuga pia amesema wao kama wadau wa maendeleo na wasimamizi wa serikali kupitia chama cha mapinduzi wataendelea kuunga mkono jitihada zinazofanywa na serikali ili kuwaletea maendeleo wananchi bw ramadan kambuga akiwa na makada wenzake wakati wa ujenzi wa darasa hilo
2019-08-19T01:55:08
https://www.kajunason.com/2019/02/wanaccm-kagera-wachangia-ujenzi-wa.html
francis godwin mzee wa matukio daima breaking news naibu waziri afrika mashariki apata ajali jioni hii wananchi wakitazama gari la naibu waziri wa afrika masharikimzimu wa ajali kwa wabunge na viongozi wa taifa umeendelea kushika kasi hapa nchini baada naibu waziri wa afrika masharikiabdullah juma abdalla saddallah na familia yake kupata ajali mbaya eneo la tumbi kibaha wakati akitoka bungeni na familia yakeajali hiyo mbaya ilitokea majira ya jioni hii wakati naibu waziri huyo akitokea bungeni kuelekea jijini d'salaam akiwa na mkewe pamoja na watoto wake wawili na a dereva wake ambaye aliumia vibaya na kukimbizwa hospital yatumbikibahamashuhuda wa ajali hiyo akiwemno abdulaziz video amedai kuwa chanzo cha ajali hiyo inasemekana alikuwa analikwepa lori alilokuwa akipishana nalo na hivyo gari lake kuhama njia na kupinduka imeelezwa baada ya ajali hiyo umati wa wananchi wakiwemo vibaka walifika eneo hilo kutaka kupora mali mbali mbali ila hawakuweza kufanikiwa baada ya raia wema kusaidia kuepusha hali hiyo mkuu wa kikosi cha usalama barabarani taifa mohamed mpinda alithibitisha kutokea kwa ajali hiyo baada ya kuhojia na mwandishi wa habari hizi na kuwa hali ya naibu waziri huyo si mbaya sana zaidi ya dereva wake ambaye ameumia kichwanitaarifa ambayo nimeipata kuwa ajali hiyo imetokea majira ya saa 11 jioni na tayari nimewasiliana na kamanda wa polisi wa mkoa huo na amekwenda eneo la tukuioaliueleza mtandao huu wa wwwfrancisgodwinblogspotcom kwa njia ya simu habari zaidi utaendelea kuipata pindi itakapotufikia kumbuka breaking news hii imekujia kwa hisani ya naf blue view hotel na fan city lodge mtwara imewekwa na
2013-05-19T07:05:52
http://www.matukiodaima.com/2012/08/breaking-news-naibu-waziri-afrika.html
panasonic avk wa cable 304130444104 mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china (jumla ya 24 bidhaa kwa panasonic avk wa cable 304130444104) panasonic avk wa cable 304130444104 panasonic avk wa cable 304130444104 panasonic wh cable 304130348806 panasonic avk cable 304130348807 panasonic ai 104131201001 panasonic ai 1041311101 panasonic ai 104131002202 panasonic ai x02g41102
2020-08-09T14:14:39
https://www.aismtks.com/sw/dp-panasonic-avk-wa-cable-304130444104.html
mbuta nanga blogmagazine/ since 2011 top in town' byflora lyimo~ welcome to flora lyimo mkopo express of london accessories 'in mtaa wa mapesa oxford street london tarehe tano mwezi wa kumi mwaka elfu mbili kumi na tatu''' byflora lyimo~ welcome to flora lyimo mkopo express of london accessories 'in mtaa wa mapesa oxford street london tarehe tano mwezi wa kumi mwaka elfu mbili kumi na tatu''' your flora lyimo fashion police at her shop '' chezea dada la kichagga mji mkuu ulimwenguni ''tena mtaa wa mapesa''' mbuta nanga biashara matangazo jamani natangaza yangu nawe tangaza yako wacha wivu '' the new shoes''everyone miji mikuu want ''want and want''' sexy dogo letu and she knows it'' kaja kumtembelea flora lyimo fashion police '' hapa ndiyo mambo yote ya mji mkuu uingereza''tunatengeneza hela za uhalali kabisa''' hahahhaaaa''what a laugh'' yani alifurahije nilipomuambia hizo boot nampunguzia kwa offer yake aliyonipa'' aaahhh so sweet'' enjoy to wear them dogo langu'' i love hii picha mnaniona kwenye kiyeo eee''yani dogo langu alinifurahisha sana''i love to make people happy ''always ''' the best thin in a woman is accosseries'' hasa shoes and bags'' na ndiyo maana flora lyimo fashion police'' pichani hapa dukani kwake oxford sreet london aka mtaa wa mapesa''anahakikisha watalii wanabeba kutoka london na kupeleka mtaa wao waliko toka'' na kule nyumbani tanzania kuhakikisha wamebeba vya london '' kwa njia ya kujiingiza kwenye biashara ''siku izi maisha ni kujiajiri 'na mwanamke usitegemee mwanaume'' kwani unapomtegemea ndipo anapokufanyia vituko na kujikuta ukivivumilia kwasababu huna namna'' lakini akijua una namna hawezi kukutendea vituko anavyokutendea pale anajua hata nauli yakwenda kwenu vijijini hauna'' what will you do utabakia nyumbani ukilia mpaka machozi yote yanakwisha nae kaenda kwa changudoa yupo hotel analia kwa furaha''akirudi kwako ni mahasira maana kule anajua alichokipata na anachoweza kukipata anytime so wewe hufai tena kwani haona sababu yakukuweka ndani pale nakuja home anakukuta upo kiovyo ovyo ''not looking sexy and unampokea na ''mashida'' leo mme wangu mfanya kazi kasepa na kila kitu nimefanya mimi 'watoto hata hawajala maana hukunifundisha jinsi ya kulitumia jiko 'ulimfundisha yeye mfanyakazi tu'' mamamaaaa''yani alikuowa wewe au kukufuga mle ndani kwa kitu gani''you see hapo ndipo mnakojikuta mashakani'' taabani '' mwanamke kazi mwanamme kazi''jifunze jinsi yakuishi maisha yako kwanza'' my dears tanzania dada/mama 'make a note of my word's '' ''jitegemeeni''na nawahakikishieni mkifanya hivyo mtajikuta hamna muda wakutukanana matusi mitandaoni bali mnafanya yenu ya kuweza kuigwa na kusaidia jamii''tusaidianeni hasa jinsi yakuijenga nchi yetu tanzania''tuwekeze nyumbani kwetu na tuyapende ya kwetu na tuyazingatie ya wenzetu ili tuweze kuigamazuri hata mabaya ili tuweze kujua yapi yakuepuka na yapi yakuweka mfukoni(note) '' tunachukua mkate ulaya tunakwenda kuuza mikoani tanzania'' na kwa kuwasaidia wenzetu wasio na uwezo ''huo ni mfano tu''unaweza kufanya mengi''' flora lyimo hapa akiwa kazini hapa ndiyo shughuli zake zote zinafanyikia za kutengeneza hela'' sasa wale wa matusi hasa bloggers zile zilizoniandika upumbavu wao kwenye my sexy photo's ''ujumbe wao ndiyo huu'' mabaya ndiyo mwajua kunipaka kwenye mazuri yangu '' sasa naombeni muendelee na msiache maana naona mmeacha au mmekufa ok ''good ''haters rip'' now we are on week ya tatu ''mbona sijaona week ya pili na ya tatu kwenye viblognuka vyenu and kama nilivyo waahidi ''kila week nitawapostieni new sexy photo's of flora lyimo how to look sexy at home'' maana hiyo ndiyo dawa ya haters''when you find out haters hate you in something''that something they hate it on you ''wazidishieeee''give them more of it'' and that make it your life to them'' i tell you my friends'' they will wish they never start or born'' don't ever stop it and make them be there to tell you what to do with your life'' only the law to do so'' and that is also if your breaking the law'' habari ndiyo hiyo kwa kizunguchagga zaidi'' mbuta nanga'' mchagga wa darasa la saba mie'' so what bitch kubwa jinga'' big hater la kikedume ''you see i'm bless i'm bless with my life and i can do what i want '' you cant do what you want and that is why you find time to hater on people badala ya kutafuta namna ya kuishi maisha yako na kutoka kwa baba yakolimtu lizima ovyooo''wanaume wenzio wenye ume wakujiamini wametulia hata kuowa siyo lazima au kuwa na watoto siyo lazima but wametulia na wanafanya yao''wewe kucha ni kuchungulia mifuko ya wenzio tu''paka la baa utaishia kurushiwa mifupa with your own dad mpaka kufa''nyookoozakooo'' hahhaaaaaaa''kicheko chako hicho kama siyo chako cha hater's wenzio ''flfp'' jambo dada flora'' nimeipenda sana blog yako uko poa sana na wakilisha sana mamaa''keep it up bila kukatishwa tamaa na binadam wachache wenye wivu na maisha yako ''wanakutamani sana 'na siku zote wapo kukatisha tamaa wenzao ''
2018-06-25T15:40:15
http://missfbknitwearlyimo.blogspot.com/2013/10/byflora-lyimo-welcome-to-flora-lyimo.html
kamishna wa maadili awataka viongozi kutoa ushirikiano wakitakiwa kuwasilisha benk statement | raha za walimwengu home » »unlabelled » kamishna wa maadili awataka viongozi kutoa ushirikiano wakitakiwa kuwasilisha benk statement kamishna wa maadili kutoka sekretarieti ya maadili ya viongozi wa umma jaji (mst) harold nsekela akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu mali zinazotakiwa kutangazwa na viongozi wa umma katika tamko lao ufafanuzi huo umetolewa leo tarehe 11/1/2018 katika ofisi za sekretarieti ya m<aadili jijini dar es salaam picha zote na joseph ishengoma akizungumza na waandishi wa habari leo (11/1/2018) ofisini kwake jijini dar es salaam kamishna nsekela amesema sheria ya maadili ya viongozi wa umma na 13 ya mwaka 1995 inampa mamlaka ya kumuagiza kiongozi kuwasilisha nyaraka za mali anazomiliki zikiwemo hati za mashamba viwanja kadi za magali na benk statement kama sehemu ya tamko la raslimali na madeni ya kiongozi nikiwaandikia barua viongozi kuwataka kuwasilisha benk statement na nyaraka nyingine za mali wanazomiliki watoe ushirikiano kwasababu ni matakwa ya kisheria amesema kamishn nsekela ameeleza kuwa baada ya zoezi la kupokea tamko kukamilika tarehe 31 desemba 2017 zoezi linaloendelea kwa sasa ni kuchambua matamko hayo ili kuona ni viongozi wapi wataanza kuhakikiwa mali zao hatupokei matamko ya viongozi kuwatunzia lazima tuthibitishe waliyoandika ndani vinginevyo hatuna sababu ya kuwepo amesema
2018-01-19T09:28:32
http://www.rahatupu.us/2018/01/kamishna-wa-maadili-awataka-viongozi.html
mzee wa mshitu makamu wa rais samia suluhu hassan aongoza waombolezaji msiba wa karani wa baraza la mawaziri
2017-11-21T09:56:30
http://charaz.blogspot.com/2017/07/makamu-wa-rais-samia-suluhu-hassan.html
kumbukumbu ya miaka 60 ya safari ya nyerere un joel nanauka kumbukumbu ya miaka 60 ya safari ya nyerere un baraza la wazee wa tanu chini ya mwenyekiti wake sheikh suleiman takadir lilichukua mafanikio ya safari ya nyerere kwenda umoja wa mataifa (un) kuwa jukumu lao binafsi sehemu ya kwanza ya maandalizi ilitakiwa ifanyike kwa siri sana uongozi wa tanu ulimkabidhi idd faiz kazi ya kuandaa kukusanya na kusimamia mfuko wa safari ya rais wa tanu kwenda umoja wa mataifa new york safari ilikuwa ifanyike mwezi wa februari 1955 mwaka wa 1953 faiz alikuwa na umri wa miaka arobaini na tatu mwenye ari na nguvu tele alipokuwa katika kamati kuu ya ya tanu mwaka wa 1959 aliteuliwa kuwa mweka hazina wa taifa wa tanu pamoja na kuwa mjumbe wa kamati kuu alikuwa mmoja wa viongozi wa chama walioanzisha tanu press iliyokuwa katika njia panda ya mtaa wa mchikichi na livingstone mjini dar es salaam tanu press ndiyo ilikuwa ikichapisha na kusambaza jarida la tanu sauti ya tanu lililohaririwa na rais wa tanu julius nyerere na baadaye kuchapisha jarida la mwafrika chini ya uhariri wa rashid heri baghdellah na robert makange kampuni hiyo ya kupiga chapa ilimilikiwa na mwananchi development corporation tanu ilimteua abdul faraj kuiongoza kampuni hiyo tanu ilihitaji takriban shilingi elfu kumi na mbili kumwezesha nyerere kusafiri kwenda umoja wa mataifa kamati ya abdu kandoro japhet kirilo na abbas sykes ilikuwa imekusanya kiasi cha fedha kutoka majimboni ambacho kilitumika katika ile safari ya ally sykes na phombeah kwenda kwenye pan african congress mjini lusaka kilichosalia hakikutosha kumpeleka nyerere maekani ilibidi fedha za ziada zitafutwe kutoka kwa wananchi ili kumwezesha nyerere kufanya safari hiyo john rupia alichangia zaidi ya theluthi moja ya fedha zilizotakikana wanachama wengine walichangia kwa uwezo wao wote lakini tanu katika siku zile ikiwa bado changa ilikuwa maskini kiasi hicho kilikuwa bado kiko nje ya uwezo wake ikitambua ule upungufu wa fedha za safari ya nyerere idd faiz aliombwa na uongozi wa al jamiatul islamiyya kutoa fedha katika mfuko wa al jamiatul islamiyya na kuzitia katika hazina ya tanu kukiwezesha chama kumpeleka nyerere new york hata pamoja na fedha zile kutoka al jamiatul islamiyya bado hazikuweza kukidhi haja al jamiatul islamiyya haikuwa na jingine isipokuwa kumuomba idd faiz asafiri kwenda tanga na kupata fedha zaidi kutoka huko mwalimu kihere alikuwa tayari amekusanya fedha hizo na alikuwa anasubiri tu zije zichukuliwe na kupelekwa makao makuu tanu ilipata habari kwamba yeyote ambaye angeenda tanga kuchukua fedha hizo kwa ajili ya safari ya nyerere angekamatwa kabla ya kuondoka oscar kambona katibu mkuu wa tanu na john rupia makamu wa rais wa tanu walikwenda kuonana na idd faiz nyumbani kwake ilala kumuaga kumtakia safari njema na kumpa maelezo kwa ufupi safari ya kwenda tanga haikuwa na tatizo lolote lakini katika wakati wa kurudi basi ambalo faiz alikuwamo lilisimamishwa njiani turiani na makachero idd faiz alikamatwa akavuliwa nguo na kupekuliwa lakini hakukutwa na fedha hili lilimshangaza na kumchanganya yule afisa aliyemkamata kwa sababu walikuwa na taarifa faiz alikuwa amechukua fedha kutoka kwa mwalimu kihere kule tanga faiz aliwekwa chini ya ulinzi na kupelekwa dar es salaam kwa usaili zaidi wakati wote akiwa analindwa na askari wenye silaha baadaye idd faiz aliachiliwa huru zile fedha za tanu zilifika makao makuu ya tanu dar es salaam salama salimini kumbe faiz alikuwa amempa msichana mdogo aliyekuwa abiria ndani ya basi lile alimokuwamo kuzibeba mnamo tarehe 17 februari 1955 nyerere aliondoka kwenda new york kuhutubia baraza la udhamini la umoja wa mataifa nyerere aliiweka wazi nia ya tanu kuwa ametumwa na wananchi wa tangayika kuwasilisha ujumbe ufuatao kuona kanuni ya uchaguzi ikianzishwa na waafrika kujiwakilisha katika taasisi zote za umma hii tunaamini ni kwa mujibu wa masharti ya makubaliano ya udhamini na ibara ya 76 ya mkataba wa umoja wa mataifa mbele ya umoja wa mataifa tanu haikuwa ikidhihirisha tamko lolote jipya yale yote yaliyowasilishwa pale yalikuwa ni maoni ya kamati ndogo ya siasa ya taa yaliyowakilishwa kwa constitutional development committee ya gavana edward twining mwaka wa 1950 gavana twining aliyapuuza mapendekezo ya taa na badala yake aliendelea na mipango yake ya kuwa na wawakilishi wa rangi zote katika baraza la kutunga sheria ili kuupa msukumo msimamo wake huo serikali ilituma ujumbe wake umoja wa mataifa kuipinga tanu uliowakilishwa na i c chopra mwasia sir charles phillips mzungu na liwali yustino mponda mjumbe wa baraza la kutunga sheria wa newala nyerere alirudi kutoka new york jumamosi tarehe 19 machi 1955 na alipokewa uwanja wa ndege na halaiki ya watu dossa aziz anakumbuka kuwa aliruhusiwa pale uwanja wa ndege kuingiza gari yake hadi ndani ya uwanja chini ya ndege ili kumrahisishia nyerere kuingia ndani ya gari na kuepuka msongamano wa watu dossa aziz anasema kama isingekuwa kwa msaada huo nyerere angesongwa sana na watu watu walikuwa kila mahali wakisukumana na kusongamana wakijaribu angalau kumtia nyerere machoni watu walikuwa wakiimba na kucheza ëmgandaí ngoma ya kizaramo wakiimba ëbaba kabwela yunoí jambo la kushangaza ni kwamba hakuna mtu aliyewahi kuusikia wimbo huu kabla ya siku ile na hakuna ajuaye lini ulitungwa ile gari ya dossa aziz aliyopanda nyerere ilisukumwa kutoka uwanja wa ndege hadi nyumbani kwa nyerere magomeni majumba sita kiasi cha kama kilomita ishirini siku iliyofuata ilikuwa jumapili tanu ilifanya mkutano wa hadhara mnazi mmoja ambao ulihudhuriwa na umati ambao kamwe haukupata kuonekana dar es salaam inakisiwa zaidi ya watu 40000 walikuja kutoka kila upande wa mji kumsikiliza nyerere hakuna mtu aliyekuwa na raha ya kuandika kuhusu mkutano ule na safari ya kihistoria ya nyerere kwenda umoja wa mataifa kuliko mashado plantan katika gazeti lake la zuhra mtambo wa gazeti wa mashado uliokuwa mtaa wa ndanda mission quarters ulichapisha nakala za ziada za gazeti hilo na toleo lote liliuzika (makala hii imechukuliwa kutoka katika kitabu cha maisha na nyakati za abdul sykes kilichoandikwa na mohamed said) understanding the 5 levels ofunderstanding7 reasons why you shouldnt gi7 reasons why
2017-12-12T12:21:42
http://joelnanauka.com/kumbukumbu-ya-miaka-60-ya-safari-ya-nyerere-un/
nape amkabidhi rasmi ofisi waziri mwakyembe | pamoja blog » nape nnauye » nape amkabidhi rasmi ofisi waziri mwakyembe nape amkabidhi rasmi ofisi waziri mwakyembe 3/28/2017 011900 pm katibu mkuu wizara ya habari utamaduni sanaa na michezo prof elisante ole gabriel akiwakaribisha waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo mhe dkt harrison george mwakyembe na aliyekuwa waziri wa wizara hiyo mhe nape moses nnauye kwa ajili ya makabidhiano rasmi ya ofisi yaliyofanyika katika ofisi za wizara mjini dodoma naibu waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo mhe anastazia wambura akitoa neno kwa waziri mpya na waziri aliyepita wakati wa makabidhiano rasmi ya ofisi yaliyofanyika katika ofisi za wizara mjini dodoma mhe nape moses nnauye aliyekuwa waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo akitoa shukurani zake kwa watendaji wa wizara kwa muda wote aliotumikia wizara katika makabidhiano rasmi ya ofisi yaliyofanyika katika ofisi za wizara mjini dodoma waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo mhe dkt harrison george mwakyembe akimshukuru aliyekuwa waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo mhe nape moses nnauye kwa kuitumikia wizara kwa muda wote aliokuwepo waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo mhe dkt harrison george mwakyembe na aliyekuwa waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo mhe nape moses nnauye wakitia saini hati za makabidhiano rasmi ya ofisi yaliyofanyika katika ofisi za wizara mjini dodoma akishubudia utiaji wa saini ni katibu mkuu wa wizara hiyo prof elisante ole gabriel waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo mhe dkt harrison george mwakyembe na aliyekuwa waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo mhe nape moses nnauye wakikabidhiana hati za makabidhiano rasmi ya ofisi yaliyofanyika katika ofisi za wizara mjini dodoma waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo mhe dkt harrison george mwakyembe na aliyekuwa waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo mhe nape moses nnauye wakiwa katika picha ya pamoja na naibu waziri mhe anastazia wambura katibu mkuu wa wizara hiyo prof elisante ole gabriel naibu katibu mkuu bibi nuru millao na watendaji wa wizara mara baada ya mkabidhiano rasmi ya ofisi yaliyofanyika katika ofisi za wizara mjini dodoma picha zote na raymond mushumbusi whusm dodoma
2017-04-29T21:28:04
http://www.pamoja.co.tz/2017/03/nape-amkabidhi-rasmi-ofisi-waziri.html
magdallena na hellena wasaidiwa kupata haki yao ya elimu mtaa kwa mtaa blog home elimu magdallena na hellena wasaidiwa kupata haki yao ya elimu michuzi blog february 12 2020 elimu anthony mayunga ni msaidizi wa kisheria kutoka wilaya ya serengeti mkoani mara alisema kuwa shirika la shirika la legal services facility (lsf)limekuwa mstari wa mbele katika kuwawezesha watanzania husasani wasioweza kumudu gharama za wanasheria kupata huduma za kisheria na kutoa msaada katika matatizo mbalimbali ikiwemo miradhi ndoa mimba za utoni kutelekezwa kwa watoto ardhi na mengine mengi shirika la legal services facility (lsf) limekuwa mstari wa mbele katika kuwawezesha watanzania husasani wasioweza kumudu gharama za wanasheria kupata huduma mbalimbali na kufanikiwa kupitia kwa watoa huduma zaidi ya 3000 katika kila wilaya tanzania bara na zanzibar zaidi ya watanzania millioni 5 hufikiwa na kupatiwa elimu ya kisheria na takribani kesi 75 000 zikirepotiwa kwa watoa huduma hao kila mwaka posted by michuzi blog at february 12 2020
2020-07-02T09:44:40
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2020/02/magdallena-na-hellena-wasaidiwa-kupata.html
igp sirro awasili kilimanjaro akiwa njiani kuelekea mkoani arusha kilimanjaro yetu home » » igp sirro awasili kilimanjaro akiwa njiani kuelekea mkoani arusha mkuu wa jeshi la polisi nchini (igp) simon sirro akisalimiana na kamanda wa polisi mkoa wa kilimanjaro acp hamisi issa mara alipowasili katika mkoa huo akiwa njiani kuelekea mkoa wa arusha kwa ziara ya kikazi yenye lengo la kujitambulisha na kuzungumza na askari na maofisa wa jeshi hilo ili kujua changamoto wanazokutananazo wakati wakitekeleza majukumu yao mkuu wa jeshi la polisi nchini (igp) simon sirro (kushoto) akiweka saini kwenye kitabu cha wageni mara alipowasili katika mkoa wa kilimanjaro akiwa njiani kuelekea mkoa wa arusha kwa ziara ya kikazi yenye lengo la kujitambulisha na kuzungumza na askari na maofisa wa jeshi hilo ili kujua changamoto wanazokutananazo wakati wakitekeleza majukumu yao kulia ni kamanda wa polisi mkoa wa kilimanjaro acp hamisi issa mkuu wa jeshi la polisi nchini (igp) simon sirro (kulia) akizungumza na naibu kamishna wa polisi (dcp) ally lugendo na mkuu wa chuo cha polisi moshi (ccp) sacp ramadhan mungi (kushoto) mara alipowasili katika mkoa wa kilimanjaro akiwa njiani kuelekea mkoa wa arusha kwa ziara ya kikazi yenye lengo la kujitambulisha na kuzungumza na askari na maofisa wa jeshi hilo ili kujua changamoto wanazokutananazo wakati wakitekeleza majukumu yao previous post march (2) february (2) january (3) december (2) november (6) october (6) september (5) august (15) july (4) june (1) may (6) april (3) march (2) february (8) january (7) december (7) november (2) october (20) september (8) august (4) july (9) june (4) may (5) april (9) march (5) february (8) january (10) december (6) november (12) october (7) september (4) august (16) july (3) june (12) may (9) april (5) march (7) february (1) january (11) december (9) november (12) october (14) september (9) august (14) july (21) june (13) may (9) april (16) march (15) february (29) january (33) december (24) november (30) october (9) september (6) august (3) july (11) june (4) may (5) april (2) january (5) december (3) november (9) october (32) september (32) august (48) july (16) june (8) may (4) april (3) march (5)
2018-03-24T17:27:13
http://kilimanjaro-yetu.blogspot.com/2017/08/igp-sirro-awasili-kilimanjaro-akiwa.html
mapenzi uhusiano uliopo una manufaa maishani mwako au unapoteza muda tu cheki hapa | masama blog » mapenzi uhusiano uliopo una manufaa maishani mwako au unapoteza muda tu cheki hapa mapenzi uhusiano uliopo una manufaa maishani mwako au unapoteza muda tu cheki hapa ili uhusiano wako uwe na maana lazima uangalie mara mbili na ujiridhishe kuwa una manufaa na wewe kuna mengi tumezungumza katika matoleo yaliyopita lakini leo tunafikia ukingoni marafiki uhusiano usio na amani kuharibu fedha kwa anasa hauna maana katika maisha yako sanasana unazidi kujiongezea matatizo tu kwa mfano si utaratibu mzuri kutumia fedha nyingi kwa kulipia nyumba za wageni taksi na mahitaji mengine kwa ajili ya anasa yupo msomaji mmoja alinitumia meseji wiki iliyopita alinishangaza sana kiukweli sikumjibu lakini nitamjibu kupitia gazeti damu moja na hili risasi jumamosi toleo la wiki hii yeye alisema eti ana mke wake lakini ana nyumba ndogo amempangia nyumba na kumwekea kila kitu ndani amempa mtaji wa biashara ambayo inamsadia kumwendesha bila kumtegemea swali alilouliza ni kwamba je kwa kufanya hivyo atakuwa amefanya ufujaji wa fedha nadhani hata wewe msomaji wangu unaweza kujibu swali hili hebu tuendelee na mada yetu unampa furaha mwenzi wako katika kuangalia ulichokifanya kwa ajili ya mapenzi au mapenzi yalichokufanyia ni lazima ufikirie juu ya jambo hili unamfurahisha mpenzi wako maana kutomfurahisha ni tatizo kubwa katika ustawi wa penzi lenu haiwezekani mkawa mnaishi na mwenzi wako lakini kila siku ugomvi hakuna maelewano unamdharau unamnyanyasa matusi yasiyokauka nk lazima uishe na mwenzako kwa upendo wa hali ya juu onesha jinsi unavyofurahia kuwa na mwenzi wako na unatakiwa kuhakikisha kwamba mwenzi wako anafurahia kuishi na wewe siyo muishi ili mradi siku zinakwenda kumfanya mpenzi wako asononeke au kumnyima raha kwa namna yoyote ile kunakufanya ukose mafanikio kwa sababu ya machozi yake kama ulikubali kufunga naye ndoa kwa nini hutaki kumpa haki yake ya unyumba acha kumnyanyasa mwenzako moyo wako unasemaje suala la kuusikiliza moyo wako si la majadiliano lazima uupe moyo wako kipaumbele kwa kila kitu kinachohusu mapenzi usikubali kuishi katika mapenzi ya kitumwa usikilize moyo wako unavyosema huna sababu ya kuishi na mwenzi ambaye huna mapenzi naye kitu cha msingi ambacho kinapaswa kuzingatiwa mpenzi ni kwamba kabla hujafunga ndoa ni vyema ukauacha moyo wako ukaamua kwa dhati ni kweli upo tayari kuishi naye unampenda kwa mapenzi ya dhati lazima ujiulize na uwe na majibu yakinifu kuwa na ndoa mahali ambapo huna mapenzi napo ni tatizo upe moyo wako haki ya kuamua ni wapi unapoona ni sahihi kukubali kuingia katika ndoa na mwenzi ambaye moyo wako unamtilia mashaka maana yake ni kwamba utakuwa umeingia kwenye gereza la moja kwa moja la mapenzi anza kufikiria upya kuishi katika utumwa au kutokuwa imara katika uhusiano ni safari ndefu inayochosha na yenye maumivu makali kudumu katika uhusiano wenye migogoro ya kila aina kwa muda mrefu kwa hakika ni kipindi kigumu sana anza maisha mapya fikra zako zibadilike amini kwamba hakuna chenye mwanzo kikakosa kuwa na mwisho amini kwamba mungu alivyomuumba adam alimuumba hawa pia kwa ajili ya kumsaidia adamu hicho ni kielelezo tosha kwamba hata wewe unayesoma mada hii yupo aliye maalum kwa ajili yako huna sababu ya kuendelea kuburuzwa katika uhusiano batili kila kitu kinawezekana amua kwa dhati ya moyo wako na ninakuhakikishia kwamba utaanza maisha mapya ya kimapenzi inawezekana kama ukiamua kukubali kwamba kubadili historia ya maisha yako ya kimapenzi kupo mikononi mwako
2016-12-04T20:19:07
http://www.masamablog.com/2016/11/mapenzi-uhusiano-uliopo-una-manufaa.html
msemaji mkuu wa serikali dkt hassan abbasi aonya usambazaji habari za uongo picha zisizo na staha ajali ya moto morogoro | mpekuzi msemaji mkuu wa serikali dkt hassan abbasi aonya usambazaji habari za uongo picha zisizo na staha ajali ya moto morogoro
2019-10-15T06:36:59
http://www.mpekuzihuru.com/2019/08/msemaji-mkuu-wa-serikali-dkt-hassan.html
ali kiba awatupia dongo wasanii wanaonunua views youtube | lemutuz home entertainment ali kiba awatupia dongo wasanii wanaonunua views youtube hii ndio mara ya kwanza kunitokea tatizo hilo ila halijaweza kuniathiri kwa namna yeyote ile ila nashukuru watu wamepata walichokuwa wanastahili nasio kwamba mimi nategemea pesa kutoka youtube views mimi nafanya muziki najua wapi napata pesa katika muziki wangu nilichokuwa nahitaji kiukweli ni mashabiki zangu waridhike na waelewe mimi ni msanii wa aina gani amesema alikiba previous articlelulu michael keshaanza kutumikia kifungo chake cha nje next articleebitoke sitaki kusikia kuhusu ben pol kwa sasa baby madaha adaiwa kushindwa kulipa kodi
2018-05-27T01:38:03
https://lemutuz.com/2018/05/16/ali-kiba-awatupia-dongo-wasanii-wanaonunua-views-youtube/
chat online dating bila ya usajili show yetu ya chumba(kazi tab) utafiti wetu mashamba ya huduma zetu visual smart alec programunguzo kazi shirikishi video hakuna akaunti bandia umakini online dating uzoefu watumiaji ni kubwa kiongozi katika online kutangaza upya na magari ni ufumbuzi kwa ajili ya mtaalamu kutumika gari kuna mengi ya maeneo ya dating huko nje kwenye mtandao kwa sasa lakini huwezi tu kutegemea yoyote oasis kazi free online dating na automatiska vinavyolingana na mtume papo ya mawasiliano ni pamoja na karibu wetu salama na moderated watoto chat chumba ni bure kwa wanunuzi wako single sambamba mechi ni samlar mkanda gurudumu na line adapters kwa ajili ya matumizi mbalimbali best online bila usajili bure online habari utendaji inaweza kubadilika bila ya taarifa berlitz lugha kituo cha frankfurt kujifunza lugha ya kampuni ya mafunzo ya ruzuku kozi ya watoto vijana berlitz semina berlitz kampuni kitabu online upendo roulette ni bure chat rooms na wavulana kufanya akaunti mpya kuzungumza na mtu yeyote unataka juu ya kitu chochote unataka bure wanawake kufanya hoja ya kwanza juu ya iphone na android ushauri nasaha kazi bure online chat na nyingine dating mimi tu ya pili ya kujisajili au matokeo yetu ni bora dalili ya tarehe hiyo mbeguuwezo huntingtin nyuzi ni kweli kuwajibika kwa ajili ya ugonjwa kukaa habari ishara ya juu kwa kuwa taarifa wakati wa usajili inakuwa inapatikana katika novemba katika ios na android toleo programu inaweza pia remotely kudhibiti mbio mpya chat kutoka kettler dunia tours kutoka toleo dating na kutafuta upendo wako kamwe kuwa hii ni rahisi moja tu click kuanza video imefungwa katika dunia nzima remwisho youtube →
2020-02-25T05:46:57
https://sw.videochat.cafe/chat-online-dating-bila-ya-usajili
mberesero na wenziwe wahukumiwa kwa ugaidi garissa weyani media mahakama moja mjini nairobi imewahukumu washukiwa watatu wa ugaidi nchini kenya waliopatikana na hatia ya kufanya shambulio la mwaka 2015 katika chuo kikuu cha garissa rashid charles mberesero raia wa tanzania anayetuhumiwa kuhusika katika shambulio hilo amehukumiwa maisha gerezani wengine wawili hassan edin na mohammed abdi jina jingine mohamned ali abikar wamehukumiwa miaka 41 kila mmoja gerezani wote walipatikana na hatia ya kupanga shambulio hilo chini ya ushirikiano wa wanachama wa kundi la alshabab takriban wanafunzi 148 walifariki katika shambulio hilo kadhalika hukumu hiyo imepitishwa baada ya watatu hao kupatikana na hatia ya kuwa wanachama wa kundi la alshabaab kutoka somalia mwezi uliopita mahakama nchini kenya ilimuachilia huru sahal diriye hussein aliyetuhumiwa kufanya shambulio la 2015 katika chuo kikuu cha garissa lililosababisha vifo vya takfriban watu 150 awali kesi hiyo ilichelewa kuanza leo mchana baada ya wakili wa mmojawapo wa watuhumiwa rashid charles mbeserero raia wa tanzania kushindwa kutokea mahakamani hatua iliyosababisha jaji francis andayi kutoa agizo kwa mawakili na kusukuma mbele kusomwa hukumu hiyo afrika habari/newsrashid charles mberesero sahal diriyeweyani medialeave a comment
2019-08-18T21:49:43
https://weyanimedia.com/2019/07/03/rashid-mberesero-na-wenzake-wahukumiwa-kwa-kuhusuika-katika-shambulio-la-kigaidi-garissa-kenya/
jk apingwa kortini kugombea urais 2010chenge nae akabiliwa na pingamizi ~ kulikoni ughaibuni jk apingwa kortini kugombea urais 2010chenge nae akabiliwa na pingamizi jakaya mrisho kikwete mzee wa vijisenti wakati hayo yakimkumba jkaliyekuwa mbunge wa ccm (bariadi) andrew chenge aka mzee wa vijisenti nae anakabiliwa na tishio la pingamizi kutoka kwa mmoja ya wanaccm waliokuwa wakiwania nafasi ya kupitishwa kugombea ubunge kwa tiketi ya chama hicho bonyeza hapa kusoma zaidi kuhusu chenge emuthree 05/08/2010 0934 watu wengine wanapenda kesi na hii sio gharama kufungua kesi sawa hata hivyo ndio demokrasia hiyo
2020-05-27T05:57:07
http://www.chahali.com/2010/08/jk-apingwa-kortini-kugombea-urais.html
nyufa alizoziona mwalimu nyerere mwaka 1994 zinaelekea kuzibika au ndo zinaongezeka | jamiiforums | the home of great thinkers nyufa alizoziona mwalimu nyerere mwaka 1994 zinaelekea kuzibika au ndo zinaongezeka discussion in 'jukwaa la siasa' started by monasha apr 21 2011 hivi karibuni chama cha mapinduzi kimefanya mabadiliko ya uongozi katika sekretarieti na kamati kuu kwa kile kilichoitwa kujivua gamba tafsiri hii ya kujivua gamba ilianza kutolewa na rais jakaya kikwete alipokuwa akihutubia katika kilele cha sherehe za miaka 34 ya ccm mnamo februari 5 mwaka huu akieleza haja ya ccm kujivua gamba rais ambaye pia ni mwenyekiti wa chama hicho alibainisha kuwapo kwa mchakato wa mageuzi ya ndani ya ccm ili kujiweka katika nafasi nzuri zaidi ya kushindana na kushinda katika uchaguzi ujao kutemwa kwa baadhi ya viongozi wa ccm kunatokana na viongozi hao kuhusishwa na baadhi ya kashfa za ufisadi kitu ambacho kimekuwa kikichafua chama hicho kwa muda mrefu sana kashfa hizi zimekuwa zikileta mpasuko ndani ya chama na hata kama hawatakuwa makini na kuendelea kujivua magamba mpasuko utazidi kuongezeka na hatimaye si ajabu miaka ijayo tusione ccm kashfa ni nyingi kwa kwelikwa mfano sijui richmondi epa dowans nk hizi zooote zinawahusu viongozi wa ccm mwalimu nyerere aliyoana haya hali ya ufisadi ndani ya ccm iliyosababisha kutokea kwa mabadiliko hayo ilitabiriwa na hayati mwalimu julius nyerere alikionya ccm kutoendekeza rushwa katika kitabu chake cha nyufa chenye hotuba aliyoitoa machi 13 1995 mwalimu nyerere ametaja nyufa tano zilizoikumba nchi ambapo alisema kuwa ufa wa nne ni rushwa ndani ya ccm na serikali yake mwalimu nyerere amebainisha kuwa chanzo cha mpasuko ndani ya ccm ni kutokana na viongozi wa chama hicho kukosa maadili na hasa pale kilipoikana misingi ya azimio la arusha kuna miiko ndani ya azimio la arusha… viongozi wetu walikutana zanzibar wakaona azimio la arusha halifai wakatutangazia na hawakuzungumzia kwamba tumekutana zanzibar tumeona azimio la arusha halifai walikuja kimyakimya tukaona wanaanza kufanya mambo ambayo hayafanani na azimio la arusha wenye akili tukajua limekwisha hilo” anasema mwalimu nyerere kwa mujibu wa mwalimu nyerere hakuna serikali popote duniani inayoendeshwa bila miiko anazitaja nchi za marekani uingereza ujerumani ufaransa na japan na kusema kuwa zinaendeshwa kwa miiko “kwa hiyo nchi zote zina miiko hapa sasa hatuna wameacha miiko ya azimio la arusha hawakuweka miiko mingine sasa ni holela tu” anasema kutokana na hali hiyo mwalimu nyerere anasema kuwa imefungua milango ya rushwa ambayo awali ilikuwa imebanwa anakumbushia enzi za tanu ambapo licha ya kuwa na miiko ya uongozi kulikuwa na kanuni za tanu moja kati ya kanuni hizo ni ile iliyorithishwa ccm inayosema “rushwa ni adui wa haki sitatoa wala sitapokea rushwa” “usije ukadhani kwamba wakati wa awamu ya kwanza palikuwa hapana rushwa ilikuwapo lakini tulikuwa wakali sana siku za mwanzo kabisa tulitaka watu wajue hivyo tukapitisha sheria kwamba mtu akila rushwa eh kiongozi wetu anakula rushwa anayetoa aliyepokea … wote wanapata msukosuko” anasema mwalimu nyerere akieleza sifa ya kiongozi anayepaswa kuiongoza tanzania mwalimu nyerere anasema kuwa kiongozi bora si yule anayechukia rushwa tu bali pia awe na uwezo wa kuwaambia rafiki zake kwa kauli ambayo wataiheshimu na hawatarudia tena “sasa tanzania inanuka rushwa tunataka kiongozi atakayesema ‘rushwa kwangu ni mwiko mwaminifu kabisa hawezi kugusa rushwa na watoa rushwa watamjua hivyo “ikulu ni mahali patakatifu mimi sikuchaguliwa na wananchi wa tanzania kupageuza kuwa pango la wanyang’anyi” anasema mwalimu nyerere akizungumzia rushwa katika uchaguzi mwalimu nyerere anakumbushia enzi ya utawala wake ndani ya tanu na ccm akisema kuwa mali ingeweza kumkwamisha mgombea “zamani katika ccm na katika tanu tunapochagua mgombea wetu kama ana mali tunamuuliza ‘hii umeipata wapi’ mali ilikuwa kigezo cha kupoteza sifa ya kuwa mgombea” anasema kwa misingi hiyo kujivua gamba pekee hakutushi tunapaswa kuwa na viongozi wenye uadilifu wa kweli wanaochukia rushwa na jamii iwaelewe hivyo kimsingi rushwa ikiendekezwa italimong’onyoa taifa nimeona niwaletee hili wana jf ili mjue na tujue sote pamoja na kuona maoni yenu pia kumbe nyerere aliwavua gamba tanu na ccm yake miaka hiyolakini ccm ililivaa tena gamba kule zanzibar upanga said ↑ huyu mzee alikuwa na uwezo wa kuona mbali sana just imagine leo hii angekuwa hai haya madudu ya ccm angeyachukuliaje nyerere alitumia muda mwingi kukaa nchini na kusimamia watendaji wake tofauti na jk anasafiri mno nje ya nchi sasa hivi kapunguza baada ya kulalamikiwalakini ccm ya leo hakuna msafi wote wamejichafua nani asiye na kashifa ya rushwajamani tunaposema rushwa ni pamoja na rushwa ya ngono nani ambaye hajatoa au kupokea kwa ccm ya jk ema nyinyi watoto hamkupanga mawe ama hamkukimbiza magari ya ugawaji ndiyo maana mnaandika huu upupu wenu wa kusimamia watendaji leo angekuwa hai huyu mzee na angelikuwa madarakani badala ya kukaa mbele ya kompyuta na kuandika hapa (vingeitwa vitu vya anasa kama ilivyokuwa inaitwa television) mngelikuwa mnalangua sigara na dawa ya mbu mitaani ama mnafukuza mwenge kwenye ofisi za ccm mngeishia kusoma katuni ya abushiri na chakubanga habari pekee nje ya tanzania ingetoka xinhua na amini usiamini kwenye gazeti la james nhende shopping mngekuwa mnaenda kununua viatu vya matairi viatu vya kichina mngeita raba mtoni nyerere mnamjua ama mnamsikia katika hotuba ya mwalimu nyerere aliyoitoa kilimanjaro hotel june 14 1994 ambayo mdau wa libeneke ameipost kwenye you tube (hotuba ya mwalimu nyerere hoteli ya kilimanjaro june 14 1994 (michuzi blog) youtube) mwalimu alizitaja hizi zifuatazo kama nyufa kuu nchini tanzania 1 muunganoaliona kwamba unatikisika na kuna hatari za uzanzibari na utanganyika na alitupa angalizo kwamba hakuna mtanganyika wala mzanzibari huu aliuita ufa mkubwa kabisa ufa wa msingi 2 kupuuza puuza katiba na ambayo ndo sheria ya msingi na 3 uongozi usiofuata sheria hapa alisema viongozi wanajiamulia mambo yao wenyewe bila kufuata sheria akatolea mfano mtu anapata ushauri kwa mkewa katika kuamua mambo watu wanaendesha nchi bila kujali sheria 4 rushwa (“kiongozi wetu unakula rushwa”) alisema nchi ikishakua na wala rushwa maskini hawana kitu na rushwa ya tanzania haina aibu pia alisema serikali corrupt haikusanyi kodi na inatumwa na wenye mali swali ni je mwelekeo wa nchi hii ya tanzania katika kuziba nyufa hizi toka mwaka 1994 tunaonaje je ni nyufa ipi ambayo tunaona tumejitahidi kuiziba au walau kuidhibiti isiendelee ni hatari kwa nchi kama tukijitathmini na kuona bado tupo katika hali ya 1994 au nyufa zimezidi kupasuka mwalimu alitaja nyufa kadhaa hasa rushwa na akasema udini na ukabila vinaanza kuchepuka sina uhakika na uduni ila rushwa nimeona rushwa imeshamiri saana kipindi hiki cha awamu ya nne hadi tukaja na ka msemo 'chukua chako mapema' kusema kweli kama ccm inakufa imefia mikononi mwa mwa kikwete ameshindwa kukemea rushwa na ndani ya ccm ukijionyesha kukemea rushwa wewe ndo unaonekana mbaya ka system kamejengeka kuanzia juu kuweka wagombea wanaowataka wao mpaka serikali za mitaa kwa bahati nzuri wananchi wamebadili wameliona hili sasa ccm hawajiandai kwa ushindi 2015 bali ni jinsi gani watafanya hujuma ili wapate kura za kutosha kwa kutumia jeshi na usalama ccm itafia mikononi mwa jk brightdramx member mwl nyerere alimaanisha nini hapa nchi yetu ni kama nyumba mpya nchi changa sawa sawa na nyumba mpya mmeijenga vizuri mmetayarisha msingi mkaijenga mkaimaliza mnafurahi ndipo mnaridhika nyumba imara inapendeza lakini haijasukumwa haijatikiswa mara unatokea mtikisiko ile nyumba inatikiswa ule mtikisiko utawaonyesheni sehemu mbovu za nyumba ile ilikuwa kwanza mnaiona yote ni nzuri inapendeza lakini kama unakuja msukumo wa mtikisiko wa kutosha kabisa sasa ndipo mtakapoanza kuona maeneo mabovu ya nyumba ile na kutokea nyufa nyingine ndogo katika paa kama ilikuwa ni nyumba imara nyufa nyingine ndogo zaidi katika paa nyingine katika dari hata linta lililokuwako huenda likaanguka chini lakini kama mtikisiko ulikuwa mkubwa mnaweza kukuta nyufa hata katika msingi hata msingi wenyewe nao umepata nyufa sasa mtakachotaka baada ya hapo baada ya kuona hivyo mambo mawili yanaweza kutokea la kwanza ni kwamba ule mtikisiko utakwisha hautakuwapo sasa baada ya hapo mtafanya nini mtaziba zile nyufa mtaziba mtaziona sehemu mbovu mtaziba vizuri sana kama zilikuwapo katika paa mtaziba kwenye dari mtaziba mtatengeneza vizuri eh zilizoharibika haribika hizo mtazitengeneza vizuri zilikuwapo nyufa katika msingi mtatengeneza sana hasa zile katika msingi maana zile ndizo muhimu sana tunaitaka demokrasia yetu tena wafanye haraka makambo zali senior member taifa lina nyufa kwa sasahizi za udsm ni fumbo tu ambalo mwenyezi mungu kaliwekana kama taifa lina manabiibasi wasiishie kuzitafakari nyufa za majengo tubali tuangalie nyufa sehemu mbalimbali katika taifa katika katiba na mengine huo ufa udsm ni kama maandishi aliyoyaona mfalme nebukdreza ukutanina akatafuta wafasirina akammpata nabii mmojaakamtafasiria maandishi hayo ya ukutanisisii nasi tutafute mfasiri kuhusu nyufa hizo naamtaifa lina nyufahatufuati sheria za manunuzindio maana tunapata majengo ya aina hii hata katika kutofata sheria ikiwamo kuzuia bunge live na mikutano ya siasakuna ufa mkubwa japo kwa macho hatututouna kigogo warioba jfexpert member naamtaaofaa lina nyufahatufuati sheria za manunuzindio maana tunapata majengo ya aina hii sheria ya manunuzi inafuatwa wakati wa kununua wapinzani tu ) kigogo warioba said ↑ vupu jfexpert member aliyeyazindua hakatoa kauli mnasihi jfexpert member yote yatapita na hata yeye atapita sina uhakika na utetesi na ujenzi ule kama una lengo la kutoa sadaka ya damu au ni taratibu za ujenzi wa ghorofa zilitekelezwa walizidiwa na sifa hadi zikawatia upofu na sasa ni vipofu wa macho ya nyama na ya rohoni hakika kuna nyufa katika taifa chuki za kisiasa na kidini chuki ya polisi dhidi ya wananchi kwa manufaa ya chama dola chuki ya raisi dhidi ya matajiri hata wale waliopata mali kwa shida sana chuki ya raisi dhidi ya wazalendo wanaoamini kuwa yeye si malaika chuki ya yule was magogoni dhidi ya wale aliowaita vilaza ilhali ni watoto wa wazalendo wanyonge chuki ya ccm dhidi ya wengine wenye itikadi tofauti chuki ya serikali dhidi ya haki ya kuendelea na mchakato wa mabadiliko nyufa ziko wazi na ni pana kupita kiasi zinaonekana katika maneno na matendo ya watawala na wanasiasa masikini na matajiri hata ukabila siku hizi unapata kiki toka magogoni umoja wa kitaifa aliotuachia baba wa taifa uko shakani woga na hofu unaitwa nidhamu kazini utulivu na uvumilivu unaitwa amani hata pale palipo na manyanyaso ya wazi asante kumbusho kwa kutuonyesha nyufa katika hostel za jpm hata hivyo nyufa hizo ni cha mtoto ukilinanisha na zile zilizo halisi katika taifa letu msambwata jfexpert member likes received 1093 nyufaa haziwezi kutafutiwa soln maana uchwara ndio silaha yake
2018-01-18T12:47:26
https://www.jamiiforums.com/threads/nyufa-alizoziona-mwalimu-nyerere-mwaka-1994-zinaelekea-kuzibika-au-ndo-zinaongezeka.165097/
tabia ya haki ya mungu sehemu ya tatu kinachofuata ni hadithi ya biblia ya wokovu wa mungu kwa ninawi yona 112 sasa neno la yehova likaja kwa yona mwana wa amitai likisema amka nenda ninawi mji mkuu na uipigie kelele kwani uovu wao umeenda juu mbele yangu yona 3 neno lake yehova likakuja kwake yona kwa mara ya pili likisema inuka nenda ninawi mji huo mkuu na uuhubirie mahubiri ninayokuambia kwa hivyo yona akainuka na kuenda ninawi kulingana na neno la yehova sasa ninawi ulikuwa mji mkuu wa safari ya siku tatu naye yona akaanza kuingia ndani ya mji huo safari ya siku moja na akatoa sauti kubwa na kusema imebaki siku arobaini na ninawi utashindwa basi watu wa hapo ninawi wakamwamini mungu na wakatangaza mfungo na wakavalia nguo za magunia kuanzia aliyekuwa mkubwa zaidi kwao mpaka aliyekuwa mdogo zaidi kwa kuwa habari ilimfikia mfalme wa ninawi na akainuka kutoka kwa kiti chake che enzi na akaivua nguo yake na kuvaa nguo ya gunia na kukaa chini katika majivu na akafanya kutangazwe ninawi kupitia amri yake mfalme na wakubwa wake ikisema mtu wala mnyama wala kundi la ngombe wala kundi la kondoo wasionje chochote wasikule wala kunywa maji ila mwanadamu na mnyama wavikwe kwa nguzo za magunia na kulia kwa nguvu kwa mungu ndiyo na wawageuze watu wote kutoka kwa njia ovu na kutoka kwa vurugu iliyo mikononi mwao nani anayejua iwapo mungu atabadili na kughairi na kuiacha ghadhabu yake iliyo kali ili tusiangamie naye mungu aliona vitendo vyao kwamba walikuwa wameiacha njia yao ovu na mungu akaghairi lile neno ovu ambalo alikuwa amesema angeliwafanyia na hakulifanya yona 4 lakini lilimwudhi yona mno naye alikuwa na hasira sana na akaomba kwa yehova na kusema nakuomba ee yehova hivi sivyo nilivyonena nilipokuwa bado katika nchi yangu kwa hivyo nilitorokea tarshishi kabla kwa sababu nilijua kwamba wewe ni mungu wa neema na mwenye huruma asiyekasirika haraka na wa rehema kubwa na wewe unaghairi maovu kwa hivyo sasa ee yehova chukua nakusihi uhai wangu kutoka kwangu kwa sababu ni heri nikufe kuliko kuishi kisha yehova akasema je unafanya vizuri kukasirika hivyo yona akatoka nje ya mji na kuketi katika upande wa mashariki wa mji na huko akajitengenezea kibanda na akaketi chini yake katika kivuli mpaka aweze kuona kile kingefanyikia mji huo naye yehova mungu akatayarisha mtango na akaufanya ukuje juu yake yona ili uweze kuwa kivuli juu ya kichwa chake na kumwokoa kutoka katika huzuni yake kwa hivyo yona akawa na furaha sana juu ya ule mtango lakini mungu akatayarisha buu siku iliyofuata wakati kulipopambazuka nalo likaula ule mtango hadi ukanyauka na hivyo ikatimia wakati jua lilipopanda kwamba mungu akautayarisha upepo mkali wa mashariki na jua likapiga kichwa chake yona kiasi kwamba alizimia naye akatamani afe na akasema ni heri mimi nife kuliko niishi mungu akasema kwa yona je unafanya vizuri kukasirika kwa sababu ya mtango na yeye akasema naam nafanya vizuri kukasirika hata mpaka kufa kisha yehova akasema umeuonea mtango huruma ambao hujafanyia kazi wala kuukuza ambao ulimea kwa usiku mmoja na kufa kwa usiku mmoja nami sipaswi kuonea ninawi huruma mji ule mkuu ulio na zaidi ya watu elfu mia na ishirini ndani yake ambao hawawezi kutambua kati ya mkono wao wa kulia na mkono wao wa kushoto na pia mifugo wengi ingawaje hadithi ya wokovu wa mungu wa ninawi ni fupi kwa urefu inaruhusu mtu kuweza kuona kidogo tu ule upande mwingine wa tabia ya haki ya mungu ili kuweza kuelewa haswa upande huo unajumuisha nini lazima turudi kwenye maandiko na kuangalia nyuma katika mojawapo ya matendo ya mungu hebu kwanza tuangalie mwanzo wa hadithi hii sasa neno la yehova likaja kwa yona mwana wa amitai likisema amka nenda ninawi mji mkuu na uipigie kelele kwani uovu wao umeenda juu mbele yangu (yona 112) katika fungu hili kutoka kwenye maandiko tunajua kwamba yehova mungu alimwamuru yona kwenda katika mji wa ninawi kwa nini alimwamuru yona kwenda katika mji huo biblia iko wazi kabisa kuhusu suala hili maovu ya watu walio ndani ya mji huo yalikuwa yamefikia macho ya yehova mungu na hivyo basi alimtuma yona ili kuwatangazia kile alichonuia kufanya ingawa hakuna kitu kilichorekodiwa kinachotwambia yona alikuwa nani jambo hili bila shaka halina uhusiano wowote na kumjua mungu hivyo basi huhitaji kumwelewa mwanamume huyu unahitaji kujua tu kile ambacho mungu alimwamuru yona kufanya na kwa nini alifanya kitu hicho o nyo la yehova mungu lawafikia waninawi hebu tuendelee hadi kwenye fungu la pili sura ya tatu ya kitabu cha yona naye yona akaanza kuingia ndani ya mji huo safari ya siku moja na akatoa sauti kubwa na kusema imebaki siku arobaini na ninawi utashindwa haya ndiyo maneno ambayo mungu alipitisha moja kwa moja kwake yona ili aweze kuwaambia waninawi ndiyo pia kwa kawaida maneno ambayo yehova mungu alipenda kusema kwa waninawi maneno haya yanatwambia kwamba mungu alianza kukerwa na kuchukia watu wa mji huu kwa sababu ya maovu yao yaliyokuwa yamefika machoni pa mungu na hivyo basi alipenda kuuangamiza mji huo hata hivyo kabla ya mungu kuangamiza mji aliwatangazia waninawi na hapo kwa hapo akawapa fursa ya kutubu maovu yao na kuanza upya fursa hii ingedumu kwa siku arubaini kwa maneno mengine kama watu waliokuwa ndani ya mji huu wasingetubu na kukubali dhambi au maovu yao wenyewe mbele ya yehova mungu ndani ya siku arubaini mungu angeangamiza mji huu kama alivyoangamiza sodoma hivi ndivyo ambavyo yehova mungu alipenda kuwaambia watu wa ninawi ni wazi kwamba hili halikuwa tangazo rahisi halikuweza tu kuonyesha hasira ya yehova mungu lakini pia lilionyesha mtazamo wake kwa wale waninawi wakati uo huo tangazo hili rahisi lilitumika kama onyo kali kwa watu waliokuwa wakiishi ndani ya mji huo onyo hili liliwaambia kwamba matendo yao maovu yalikuwa yamewafanya kuchukiwa na yehova mungu na liliwaambia kwamba matendo yao maovu yangewaletea hivi karibuni fedheha kutokana na maangamizo yao wenyewe kwa hivyo maisha ya kila mmoja kule ninawi yalikuwa karibu kuangamia kupinduliwa kunamaanisha nini kwa muktadha wa mazungumzo kunamaanisha kutoweka lakini kwa njia gani ni nani angefanya mji mzima kupinduliwa haiwezekani kwa binadamu kufanya kitendo kama hicho bila shaka watu hawa hawakuwa wajinga mara tu waliposikia matangazo haya walipata wazo hilo walijua kwamba yalikuwa yametoka kwa mungu walijua kwamba mungu angetekeleza kazi yake walijua kwamba maovu yao yalikuwa yamemkasirisha yehova mungu na kumfanya kuwa na hasira kali kwao ili waweze kuangamizwa pamoja na mji wao je watu wa mji huo walichukulia vipi suala hilo baada ya kusikiliza onyo la yehova mungu biblia inafafanua kwa maelezo fafanuzi namna ambavyo watu hawa walivyoitikia kuanzia kwa mfalme wao hadi kwa binadamu wa kawaida kama ilivyorekodiwa kwenye maandiko basi watu wa hapo ninawi wakamwamini mungu na wakatangaza mfungo na wakavalia nguo za magunia kuanzia aliyekuwa mkubwa zaidi kwao mpaka aliyekuwa mdogo zaidi kwa kuwa habari ilimfikia mfalme wa ninawi na akainuka kutoka kwa kiti chake che enzi na akaivua nguo yake na kuvaa nguo ya gunia na kukaa chini katika majivu na akafanya kutangazwe ninawi kupitia amri yake mfalme na wakubwa wake ikisema mtu wala mnyama wala kundi la ngombe wala kundi la kondoo wasionje chochote wasikule wala kunywa maji ila mwanadamu na mnyama wavikwe kwa nguzo za magunia na kulia kwa nguvu kwa mungu ndiyo na wawageuze watu wote kutoka kwa njia ovu na kutoka kwa vurugu iliyo mikononi mwao baada ya kusikia tangazo la yehova mungu watu wa ninawi walionyesha mtazamo uliokuwa kinyume kabisa na ule wa watu wa sodomawatu wa sodoma walimpinga mungu waziwazi huku wakiendelea kutoka kwa maovu hadi maovu lakini baada ya kusikia maneno haya waninawi hawakupuuza suala hilo wala hawakuweza kulipinga badala yake walimsadiki mungu na kutangaza kufunga walisadiki inarejelea nini hapa neno lenyewe linapendekeza imani na unyenyekevu kama tutatumia tabia halisi ya waninawi kuelezea neno hili inamaanisha kwamba walisadiki mungu anaweza na angeweza kufanya vile alivyosema na kwamba walikuwa radhi kutubu je watu wa ninawi walihisi woga mbele ya janga lililokuwa karibu kutokea imani yao ndiyo iliyotia woga katika mioyo yao kwa kweli ni nini tunachoweza kutumia kuthibitisha imani na woga wa waninawi ni sawa na vile biblia inavyosema na wao wakatangaza kufunga na wakavalia nguo ya gunia kuanzia wale walio wakubwa zaidi na hata kwa wale walio wadogo zaidi hivi ni kusema kwamba waninawi walisadiki kweli na kwamba kutoka kwenye imani hii woga uliibuka ambao sasa ulisababisha kufunga na kuvaliwa kwa nguo ya gunia hivi ndivyo walivyoonyesha mwanzo wa toba yao tofauti kabisa na watu wa sodoma waninawi hawakumpinga mungu tu bali walionyesha pia waziwazi toba yao kupitia kwa tabia na matendo yao bila shaka hii haikutumika tu kwa watu wa kawaida wa ninawi hata mfalme wao hakubakizwa wakati mfalme wa ninawi alipozisikia habari hizi aliinuka kutoka kwenye kiti chake cha enzi akavua nguo zake akavalia nguo ya gunia na kukalia jivu kisha akatangaza kwamba hakuna mtu kwenye mji huo ambaye angeruhusiwa kuonja chochote na kuwa hakuna mifugo wanakondoo na ng'ombe ambao wangekunywa maji na kula nyasi binadamu na mifugo kwa pamoja walitakikana kujifunika nguo ya gunia nao watu wangemsihi mungu kwa uaminifu mfalme pia alitangaza kwamba watu wote wangetupilia mbali njia zao za maovu na kukataa udhalimu ulioko mikononi mwao tukifanya uamuzi kutoka kwenye misururu ya vitendo hivi mfalme wa ninawi alionyesha toba yake ya dhati misururu ya vitendo alivyofanyakutoka kwenye kiti chake cha ufalme kulitupa joho lake la kifalme kuvalia nguo ya gunia na kukalia majivukulionyesha watu kwamba mfalme wa ninawi aliweka kando hadhi yake ya kifalme na kuvalia nguo ya gunia pamoja na watu wa kawaida wa nchi hii ni kusema kwamba mfalme wa ninawi hakuweza kushikilia wadhifa wake wa kifalme ili aendelee na njia zake za maovu au udhalimu katika mikono yake baada ya kikao cha tangazo kutoka kwa yehova mungu badala yake aliweka pembeni mamlaka aliyoyashikilia na kutubu mbele ya yehova mungu kwenye kipindi hiki cha muda mfalme wa ninawi hakuwa akitubu akiwa mfalme alikuwa amekuja mbele ya mungu kuungama na kutubu dhambi zake akiwa binadamu wa kawaida wa mungu aidha aliuambia mji mzima kuungama na kutubu dhambi zao mbele ya yehova mungu kwa njia sawa na yeye vilevile alikuwa na mpango mahususi wa namna ya kufanya hivyo kama inavyoonekana kwenye maandiko mtu wala mnyama wala kundi la ngombe wala kundi la kondoo wasionje chochote wasikule wala kunywa maji na kulia kwa nguvu kwa mungu ndiyo na wawageuze watu wote kutoka kwa njia ovu na kutoka kwa vurugu iliyo mikononi mwao kama kiongozi wa mji mfalme wa ninawi alimiliki hadhi na nguvu za kimamlaka na angefanya chochote alichopenda alipokabiliwa na tangazo la yehova mungu angeweza kupuuza suala hilo au kutubu na kuungama tu dhambi zake pekee kuhusiana na kama watu wa mji wangechagua kutubu au la angepuuza suala hili kabisa hata hivyo mfalme wa ninawi hakufanya hivyo kamwe mbali na kuinuka kutoka kwenye kiti chake cha enzi kuvalia nguo ya gunia na kujipaka jivu na kuungama na kutubu dhambi zake mbele ya yehova mungu aliweza pia kuwaamuru watu na mifugo ndani ya mji huo kufanya hivyo aliweza hata kuamuru watu kumlilia mungu kwa nguvu kupitia misururu hii ya vitendo mfalme wa ninawi aliweza kukamilisha kwa kweli kile ambacho kiongozi anafaa kufanya misururu ya vitendo vyake ndiyo iliyokuwa migumu kwa mfalme yeyote katika historia ya binadamu kutimiza hatua na pia hatua ambayo hakuna aliyewahi kutimiza matendo haya yanaweza kuitwa shughuli isiyo na kifani katika historia ya binadamu yanastahili kukumbukwa na kuigwa na binadamu tangu enzi ya mwanadamu kila mfalme alikuwa amewaongoza wafuasi wake kukinzana na kumpinga mungu hakuna yule aliyewahi kuwaongoza wafuasi wake kusihi mungu kutafuta ukombozi kwa ajili ya maovu yao kupokea msamaha wa yehova mungu na kuepuka adhabu kali mfalme wa ninawi hata hivyo aliweza kuwaongoza raia wake kumlilia mungu kuacha njia zao mbalimbali za maovu na kutupilia mbali udhalimu ulio mikononi mwao aidha aliweza pia kuweka kando kiti chake cha enzi na badala yake yehova mungu alibadilisha na kughairi na kugeuza hasira yake na kuruhusu watu wa mji huu kuishi na kuwalinda dhidi ya kuangamia matendo ya mfalme yanaweza kuitwa tu muujiza wa nadra katika historia ya binadamu yanaweza hata kuitwa kielelezo cha binadamu uliopotoka unaoungama na kutubu dhambi zake mbele ya mungu baada ya kusikiliza tangazo la mungu mfalme wa ninawi na raia wake walitekeleza misururu ya vitendo je ni nini asili ya tabia na matendo yao kwa maneno mengine ni nini kiini cha uzima wa mwenendo wao kwa nini walifanya kile walichofanya katika macho ya mungu walikuwa wametubu kwa dhati si tu kwa sababu walikuwa wamemsihi mungu kwa dhati na kuungama dhambi zao mbele yake lakini pia kwa sababu walikuwa wameacha mwenendo wao wenye maovu walichukua hatua namna hii kwa sababu baada ya kusikia matamshi ya mungu walitishika pakubwa na kusadiki kwamba angefanya vile ambavyo alikuwa amesema kwa kufunga kuvalia nguo ya gunia na kukalia jivu walipenda kuonyesha namna walivyokuwa radhi kubadilisha njia zao na kujizuia na maovu kumwomba yehova mungu kuzuia hasira yake kusihi yehova mungu kutupilia mbali uamuzi wake pamoja na msiba mkuu ambao ulikuwa karibu kuwasibu kupitia uchunguzi wa tabia yao yote tunaona ya kwamba tayari walielewa kwamba vitendo vyao vya awali vilimchukiza yehova mungu na kwamba walielewa sababu iliyomfanya kutaka kuwaangamiza hivi karibuni kwa sababu hizi wote walipenda kutubu kabisa kugeuka na kuacha njia zao za maovu na kuacha udhalimu ulio mikononi mwao kwa maneno mengine pindi tu walipotambua tangazo la yehova mungu kila mmoja wao alihisi woga katika mioyo yao hawakuendelea tena na mwenendo wao wa maovu wala kuendelea kutenda vitendo ambavyo yehova mungu alichukia vilevile walimsihi yehova mungu kusamehe dhambi zao za kale na kutowatendea kulingana na vitendo vyao vya kale walikuwa radhi kutowahi kujihusisha tena katika maovu na kutenda kulingana na maagizo ya yehova mungu kama tu wasingewahi kumkasirisha yehova mungu toba yao ilikuwa ya dhati na ya kweli ilitoka kwenye kina cha mioyo yao na haikuwa ya kujidanganya wala haikuwa ya muda baada ya watu wa ninawi kutoka kwa mfalme mwenye mamlaka hadi kwa raia wake kujua kwamba yehova mungu alikuwa amewakasirikia kila mojawapo ya vitendo vyao tabia yao nzima pamoja na kila mojawapo ya uamuzi na machaguo yao vilikuwa wazi na dhahiri mbele ya mungu moyo wa mungu ulibadilika kulingana na tabia yao akili zake mungu zilikuwa zinafikiria nini wakati huo biblia inaweza kukujibia swali hili kama ilivyorekodiwa kwenye maandiko naye mungu aliona vitendo vyao kwamba walikuwa wameiacha njia yao ovu na mungu akaghairi lile neno ovu ambalo alikuwa amesema angeliwafanyia na hakulifanya ingawaje mungu alibadilisha fikira yake hakukuwa na chochote kigumu kuhusu mtazamo wa fikira yake aliweza kubadilika kutoka katika kuonyesha hasira yake hadi kutuliza hasira yake na kisha kuamua kutouleta msiba mkuu katika mji wa ninawi sababu ya uamuzi wa mungu wakuwaokoa waninawi dhidi ya msiba wao mkuuilikuwa ya haraka mno ni kwa sababu mungu aliangalia moyo wa kila mmoja wa wale waninawi aliona kwamba katika kina cha mioyo yao waliweza kuungama na kutubu kwa dhati dhambi zao imani yao ya dhati kwake yeye mtazamo wao wa kina kuhusu vile vitendo vyao vya maovu vilikuwa vimeipa tabia yake hasira kali na woga uliotokana na adhabu ya yehova mungu iliyokuwa inakaribia wakati uo huo yehova mungu aliweza kusikia maombi kutoka kwenye kina cha mioyo yao wakimsihi kusitisha hasira yake dhidi yao ili waweze kuepuka msiba huu mkuu wakati mungu alipoangalia hoja hizi zote kwa utaratibu hasira yake ilitoweka licha ya vile hasira yake ilivyokuwa kuu hapo awali alipoona kutubu kwao kwa dhati ndani ya kina cha mioyo ya watu hawa moyo wake uliguswa na hili na kwa hivyo hakuweza kuvumilia kuwaletea msiba mkuu na alisitisha hasira yake kwao badala yake aliendelea kuwaonyesha huruma yake na uvumilivu kwao na akaendelea kuwaongoza na kuwakimu kubadilisha kwa nia zake mungu kwa watu wa ninawi hakukuhusisha kusitasita au kutoeleweka kokote badala yake kulikuwa ni mabadiliko kutoka kwa hasira tupu hadi uvumilivu mtupu huu ni ufunuo wa kweli kuhusu hali halisi ya mungu mungu hajawahi kusitasita au kufikiria mara mbili kuhusu hatua zake kanuni na makusudio yaliyo katika matendo yake ni wazi na dhahiri yasiyo na kasoro wala hatia yasiyo na njama yoyote kamwe ama mifumo iliyoingiliana kwa maneno mengine hali halisi ya mungu haina giza wala maovu mengine mungu alikasirikia waninawi kwa sababu ya vitendo vya maovu ambavyo vilikuwa vimefikia macho yake wakati ule hasira yake ilitokana na hali yake halisi hata hivyo wakati hasira ya mungu ilipotoweka na akatoa uvumilivu wake kwa watu wa ninawi kwa mara nyingine tena kila kitu alichofichua kilikuwa bado ni hali yake halisi uzima wa badiliko hili ulitokana na badiliko katika mtazamo wa mwanadamu kwa mungu kwenye kipindi hiki chote cha muda tabia ya mungu isiyoweza kukosewa haikubadilika hali halisi ya uvumilivu wa mungu haikubadilika hali halisi ya upendo na huruma ya mungu haikubadilika wakati watu wanapotekeleza vitendo vya maovu na kumkosea mungu atawashushia ghadhabu yake wakati watu wanatubu kwa kweli moyo wa mungu utabadilika na hasira yake itasita wakati watu wanapoendelea kumpinga mungu kwa usumbufu hasira yake kali haitasita hasira yake itaendelea kuwa kwao hatua kwa hatua mpaka watakapoangamizwa hii ndiyo hali halisi ya tabia ya mungu haijalishi kama mungu anaonyesha hasira au huruma na upole mwenendo wa binadamu tabia na mtazamo wake kwa mungu ndani ya kina cha moyo wake vinatoa masharti ya kile ambacho kinaonyeshwa kupitia kwa ufunuo wa tabia ya mungu kama mungu anaendelea kuonyesha mtu hasira yake moyo wa mtu huyu bila shaka humpinga mungu kwa sababu hajawahi kutubu kwa kweli kuinamisha kichwa chake mbele ya mungu au kumiliki imani ya kweli kwa mungu hajawahi kupata huruma na uvumilivu wa mungu kama mtu anapokea utunzaji wa mungu na mara nyingi hupokea huruma na uvumilivu wake basi mtu huyo bila shaka anaamini mungu kwa kweli ndani ya moyo wake na moyo wake haumpingi mungu yeye kwa mara nyingi anatubu kwa kweli mbele ya mungu kwa hivyo hata kama nidhamu ya mungu mara nyingi humshukia mtu huyu hasira yake haitamshukia ufafanuzi huu mfupi unaruhusu watu kuuona moyo wa mungu kuona uhalisia wa hali yake halisi ili kuona kwamba ghadhabu ya mungu na mabadiliko katika moyo wake yana sababu licha ya utofautishaji mkavu ambao mungu alionyesha alipoghadhabishwa na pale alipobadilisha moyo wake jambo ambalo linafanya watu kusadiki kwamba utofautishaji mkavu au nafasi kubwa yaonekana kuwepo kati ya dhana hizi mbili za hali halisi ya mungughadhabu yake na uvumilivu wakemtazamo wa mungu kwa kule kutubu kwa waninawi kwa mara nyingine kunaruhusu watu kuweza kuona ule upande mwingine wa tabia halisi ya mungu mabadiliko katika moyo wa mungu yanaruhusu kwa kweli binadamu kwa mara nyingine kuuona ukweli wa huruma na upole wenye upendo wa mungu na kuona ufunuo wa kweli wa hali halisi ya mungu binadamu hauna budi kutambua kwamba rehema ya mungu na upole wenye upendo si hadithi za uwongo tu wala si ughushi hii ni kwa sababu hisia za mungu kwa wakati huo zilikuwa kweli mabadiliko ya mungu yalikuwa kweli mungu kwa kweli aliupa binadamu kwa mara nyingine tena rehema na uvumilivu wake kinachofuata ni hadithi ya biblia ya wokovu wa mungu kwa ninawi yona 112 sasa neno la yehova likaja kwa yona mwana wa amitai likisema amka nenda ninawi mji mkuu na uipigie kelele kwani uovu wao umeenda juu mbele yangu ingawaje hadithi ya wokovu wa mungu wa ninawi ni fupi kwa urefu inaruhusu mtu kuweza kuona kidogo tu ule upande mwingine wa tabia ya haki ya mungu ili kuweza kuelewa haswa upande huo unajumuisha nini lazima turudi kwenye maandiko na kuangalia nyuma katika mojawapo ya matendo ya mungu hebu kwanza tuangalie mwanzo wa hadithi hii sasa neno la yehova likaja kwa yona mwana wa amitai likisema amka nenda ninawi mji mkuu na uipigie kelele kwani uovu wao umeenda juu mbele yangu (yona 112) katika fungu hili kutoka kwenye maandiko tunajua kwamba yehova mungu alimwamuru yona kwenda katika mji wa ninawi kwa nini alimwamuru yona kwenda katika mji huo biblia iko wazi kabisa kuhusu suala hili maovu ya watu walio ndani ya mji huo yalikuwa yamefikia macho ya yehova mungu na hivyo basi alimtuma yona ili kuwatangazia kile alichonuia kufanya ingawa hakuna kitu kilichorekodiwa kinachotwambia yona alikuwa nani jambo hili bila shaka halina uhusiano wowote na kumjua mungu hivyo basi huhitaji kumwelewa mwanamume huyu unahitaji kujua tu kile ambacho mungu alimwamuru yona kufanya na kwa nini alifanya kitu hicho kupinduliwa kunamaanisha nini kwa muktadha wa mazungumzo kunamaanisha kutoweka lakini kwa njia gani ni nani angefanya mji mzima kupinduliwa haiwezekani kwa binadamu kufanya kitendo kama hicho bila shaka watu hawa hawakuwa wajinga mara tu waliposikia matangazo haya walipata wazo hilo walijua kwamba yalikuwa yametoka kwa mungu walijua kwamba mungu angetekeleza kazi yake walijua kwamba maovu yao yalikuwa yamemkasirisha yehova mungu na kumfanya kuwa na hasira kali kwao ili waweze kuangamizwa pamoja na mji wao je watu wa mji huo walichukulia vipi suala hilo baada ya kusikiliza onyo la yehova mungu biblia inafafanua kwa maelezo fafanuzi namna ambavyo watu hawa walivyoitikia kuanzia kwa mfalme wao hadi kwa binadamu wa kawaida kama ilivyorekodiwa kwenye maandiko basi watu wa hapo ninawi wakamwamini mungu na wakatangaza mfungo na wakavalia nguo za magunia kuanzia aliyekuwa mkubwa zaidi kwao mpaka aliyekuwa mdogo zaidi kwa kuwa habari ilimfikia mfalme wa ninawi na akainuka kutoka kwa kiti chake che enzi na akaivua nguo yake na kuvaa nguo ya gunia na kukaa chini katika majivu na akafanya kutangazwe ninawi kupitia amri yake mfalme na wakubwa wake ikisema mtu wala mnyama wala kundi la ngombe wala kundi la kondoo wasionje chochote wasikule wala kunywa maji ila mwanadamu na mnyama wavikwe kwa nguzo za magunia na kulia kwa nguvu kwa mungu ndiyo na wawageuze watu wote kutoka kwa njia ovu na kutoka kwa vurugu iliyo mikononi mwao baada ya kusikia tangazo la yehova mungu watu wa ninawi walionyesha mtazamo uliokuwa kinyume kabisa na ule wa watu wa sodomawatu wa sodoma walimpinga mungu waziwazi huku wakiendelea kutoka kwa maovu hadi maovu lakini baada ya kusikia maneno haya waninawi hawakupuuza suala hilo wala hawakuweza kulipinga badala yake walimsadiki mungu na kutangaza kufunga walisadiki inarejelea nini hapa neno lenyewe linapendekeza imani na unyenyekevu kama tutatumia tabia halisi ya waninawi kuelezea neno hili inamaanisha kwamba walisadiki mungu anaweza na angeweza kufanya vile alivyosema na kwamba walikuwa radhi kutubu je watu wa ninawi walihisi woga mbele ya janga lililokuwa karibu kutokea imani yao ndiyo iliyotia woga katika mioyo yao kwa kweli ni nini tunachoweza kutumia kuthibitisha imani na woga wa waninawi ni sawa na vile biblia inavyosema na wao wakatangaza kufunga na wakavalia nguo ya gunia kuanzia wale walio wakubwa zaidi na hata kwa wale walio wadogo zaidi hivi ni kusema kwamba waninawi walisadiki kweli na kwamba kutoka kwenye imani hii woga uliibuka ambao sasa ulisababisha kufunga na kuvaliwa kwa nguo ya gunia hivi ndivyo walivyoonyesha mwanzo wa toba yao tofauti kabisa na watu wa sodoma waninawi hawakumpinga mungu tu bali walionyesha pia waziwazi toba yao kupitia kwa tabia na matendo yao bila shaka hii haikutumika tu kwa watu wa kawaida wa ninawi hata mfalme wao hakubakizwa baada ya watu wa ninawi kutoka kwa mfalme mwenye mamlaka hadi kwa raia wake kujua kwamba yehova mungu alikuwa amewakasirikia kila mojawapo ya vitendo vyao tabia yao nzima pamoja na kila mojawapo ya uamuzi na machaguo yao vilikuwa wazi na dhahiri mbele ya mungu moyo wa mungu ulibadilika kulingana na tabia yao akili zake mungu zilikuwa zinafikiria nini wakati huo biblia inaweza kukujibia swali hili kama ilivyorekodiwa kwenye maandiko naye mungu aliona vitendo vyao kwamba walikuwa wameiacha njia yao ovu na mungu akaghairi lile neno ovu ambalo alikuwa amesema angeliwafanyia na hakulifanya ingawaje mungu alibadilisha fikira yake hakukuwa na chochote kigumu kuhusu mtazamo wa fikira yake aliweza kubadilika kutoka katika kuonyesha hasira yake hadi kutuliza hasira yake na kisha kuamua kutouleta msiba mkuu katika mji wa ninawi sababu ya uamuzi wa mungu wakuwaokoa waninawi dhidi ya msiba wao mkuuilikuwa ya haraka mno ni kwa sababu mungu aliangalia moyo wa kila mmoja wa wale waninawi aliona kwamba katika kina cha mioyo yao waliweza kuungama na kutubu kwa dhati dhambi zao imani yao ya dhati kwake yeye mtazamo wao wa kina kuhusu vile vitendo vyao vya maovu vilikuwa vimeipa tabia yake hasira kali na woga uliotokana na adhabu ya yehova mungu iliyokuwa inakaribia wakati uo huo yehova mungu aliweza kusikia maombi kutoka kwenye kina cha mioyo yao wakimsihi kusitisha hasira yake dhidi yao ili waweze kuepuka msiba huu mkuu wakati mungu alipoangalia hoja hizi zote kwa utaratibu hasira yake ilitoweka licha ya vile hasira yake ilivyokuwa kuu hapo awali alipoona kutubu kwao kwa dhati ndani ya kina cha mioyo ya watu hawa moyo wake uliguswa na hili na kwa hivyo hakuweza kuvumilia kuwaletea msiba mkuu na alisitisha hasira yake kwao badala yake aliendelea kuwaonyesha huruma yake na uvumilivu kwao na akaendelea kuwaongoza na kuwakimu ufafanuzi huu mfupi unaruhusu watu kuuona moyo wa mungu kuona uhalisia wa hali yake halisi ili kuona kwamba ghadhabu ya mungu na mabadiliko katika moyo wake yana sababu licha ya utofautishaji mkavu ambao mungu alionyesha alipoghadhabishwa na pale alipobadilisha moyo wake jambo ambalo linafanya watu kusadiki kwamba utofautishaji mkavu au nafasi kubwa yaonekana kuwepo kati ya dhana hizi mbili za hali halisi ya mungughadhabu yake na uvumilivu wakemtazamo wa mungu kwa kule kutubu kwa waninawi kwa mara nyingine kunaruhusu watu kuweza kuona ule upande mwingine wa tabia halisi ya mungu mabadiliko katika moyo wa mungu yanaruhusu kwa kweli binadamu kwa mara nyingine kuuona ukweli wa huruma na upole wenye upendo wa mungu na kuona ufunuo wa kweli wa hali halisi ya mungu binadamu hauna budi kutambua kwamba rehema ya mungu na upole wenye upendo si hadithi za uwongo tu wala si ughushi hii ni kwa sababu hisia za mungu kwa wakati huo zilikuwa kweli mabadiliko ya mungu yalikuwa kweli mungu kwa kweli aliupa binadamu kwa mara nyingine tena rehema na uvumilivu wake
2020-08-09T12:05:21
https://sw.godfootsteps.org/recital-God-Himself-ii-part-three.html
udadisi matokeo ya kituo changu cha uchaguzi posted by chambi chachage at 828 pm subi october 31 2010 at 938 pm wewe kweli umehakikisha unafuatilia atoz yaani mwanzomwisho kura yako na yaliyotukia baadaye asante sana chambi nafurahi kusoma mrejesho kama hivi mungu ibariki tanzania wabariki watanzania mbele october 31 2010 at 952 pm shukrani kwa kubandika matokeo haya ingetakiwa vituo vyote vifanye hivyo wakati huu hii itasaidia sana kuzuia masuali na mizengwe masangu matondo nzuzullima october 31 2010 at 1003 pm demokrasia hiyoooo ni kama wanavyosema wenyewe hakuna kulala mpaka kieleweke asante kwa matokeo ya haraka sulle october 31 2010 at 1012 pm aksante sana kaka chambi nimefurahishwa sana na kazi yako mungu aendelee kulinda shughuli zetu hapo nyumbani tuendelee kutuhabarisha mkunde chachage october 31 2010 at 1030 pm na kweli ndugu masangu hakuna kulala mpaka kielewekeexcitement steve november 1 2010 at 428 am kazi kweli kwelinguvu ya umma hiyosafi sana cc temu abs november 2 2010 at 1252 pm chambi this is good i fail to understand the basis for delaying announcing matokea this creates room for wizi wa kura period naona ndio kunaitwa kuchakachua sijui chadema has done brilliantly well solid foundation and excellent start for the march to real democracy one giant step for democracy in tanzania
2017-11-18T12:03:39
http://udadisi.blogspot.com/2010/10/matokeo-ya-kituo-changu-cha-uchaguzi.html
daily mitikasi blog bulembo ageukwa na wajumbe wake sakata la kwenda kwa lowassa bulembo ageukwa na wajumbe wake sakata la kwenda kwa lowassa mjumbe wa baraza la wazazi taifa na mbunge wa korogwe steven ngonyani 'prof maji marefu' akizungumza na waandishi wa habari mjini dodoma hii leo juu ya tuhuma za yeye kutajwa na mmoja wa wajumbe wa baraza hilo kuwa aliratibu na kulazimisha baadhi ya wajumbe wa baraza hilo kwenda kumuona mbunge wa munduli na waziri mkuu mstaafu edward lowassa viongozi waliotajwa na mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi ya ccmtaifa abdallah bulembo kuratibu safari ya baadhi ya wajumbe wa jumuia hiyo na baraza la wazazi taifa kwenda kumsalimia waziri mkuu mstaafu na mbunge wa monduli edward lowassa leo wamekanusha vikali kuhusika na uratibu wa baraza hilo imechapishwa na john hans badi kwa 826 pm
2017-08-18T10:39:22
http://johnbadi.blogspot.com/2015/03/bulembo-ageukwa-na-wajumbe-wake-sakata.html
dkt tulia aipongeza benki ya crdb kupunguza riba mikopo ya wanawake kutoka asilimia 24 hadi asilimia 14 bongo swaggz mimi ni mmoja wa wanawake waliofungua akaunti ya malkia wakati ikianzishwa mwaka 2009 nimefurahi kuona leo hii benki yetu ya crdb ikifanya maboresho yatakayoweza kumkomboa mwanamke aliongezea dkt tulia dkt tulia alisema jitihada hizi zinazofanywa na benki ya crdb katika uwezeshaji wa makundi mbalimbali ya wananchi zimekuwa na msaada mkubwa katika kuisaidia tanzania kufikia lengo la kuwa nchi yenye uchumi wa kati mpaka kufikia mwishoni mwa mwezi machi mwaka huu benki yetu tayari ilikuwa imekwisha toa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 600 kwa wanawake zaidi ya elfu 55 alisema nsekela huku akibainisha kuwa zaidi ya wanawake 30000 tayari wameshajiunga na akaunti ya malkia nsekela alisema pamoja na mafanikio ambayo benki ya crdb imeyapata katika kumuwezesha mwanamke bado idadi ndogo ya wanawake wamekuwa wakijitokeza kupata huduma kutokana na changamoto ya riba masharti magumu ya dhamana na kukosa uelewa wa huduma za kifedha tukiwa benki ya kizalendo inayothamini mchango wa wanawake katika maendeleo ya taifa letu tukasema ni vyema tukatafuta suluhisho la changamoto hizi ili kuweza kumsaidia mwanamke kufankisha malengo yake zaidi mkurugenzi wa mawasiliano wa benki ya crdb tully esther mwambapa akifafanua jambo katika uzinduzi wa huduma ya crdb malkia ya benki ya crdb inayolenga katika kuwawezesha wanawake wajasiriamali nchini katika uzinduzi huo benki ya crdb imetangaza kupunguza riba ya mikopo kwa wajasiriamali kutoka asilimia 24 hadi asilimia 14nsekela alisema wanawake sasa hivi wataweza kupata mikopo kwa riba ndogo ya asilimia 14 kulinganisha na asilimia 24 iliyokuwa ikitozwa mwanzo huku masharti ya upatikanaji wa mikopo yakirahisishwa kwa kiasi kikubwa
2020-08-13T23:45:41
https://bongoswaggz.co.tz/2020/07/dkt-tulia-aipongeza-benki-ya-crdb-kupunguza-riba-mikopo-ya-wanawake-kutoka-asilimia-24-hadi-asilimia-14.html
video shilole awafungukia mastaa walioshindwa kufika lounge ya uwoya ni wanafiki millardayocom msanii shilole amewatolea uvivu baadhi ya wasanii na mastaa walioshindwa kufika kwenye uzinduzi wa lounge mpya ya mwigizaji irene uwoya ambayo ilizinduliwa rasmi february 22 2019 ikipewa jina la last minute lounge inayopatikana maeneo ya sinza mori dar es salaam bonyeza play hapa chini kutazama alichozungumza shilole ← previous story polisi waibua mapya kuhusu kuvamiwa kwa jussie smollet chicago next story → nilikunywa damu ya kuku na kuuza mali zangu zote hafsa kazinja
2019-09-15T18:01:17
http://millardayo.com/h-fgeo-ktw08/
the way you see the problem is the problem mkutano mkuu wa jumuiya dc mkutano mkuu wa jumuiya dc karibu na mkaribishe na mwanajumuiya mwenzako posted by mzee wa changamoto at 414 am
2018-02-22T01:08:03
http://changamotoyetu.blogspot.com/2012/09/mkutano-mkuu-wa-jumuiya-dc.html
kumbe mazoezi pia yanaweza kuongeza kiwango cha damu daktari mkononi happy william md4on leave a comment on kumbe mazoezi pia yanaweza kuongeza kiwango cha damu damu ni sehemu muhimu ya mwili wa binadamu damu ina seli za aina tofauti zenye shughuli mbalimbali mwilini mojawapo ya seli hizo ni seli nyekundu za damu ambao zina hemoglobin inayoshughulika na usafirishaji wa oksijeni katika mwili wa binadamu upungufu wa hemoglobin hugundulika kwa vipimo vya wingi wa damu hospitalini na mara nyingi upungufu huu humpelekea mtu kupata dalili kama kupata kizunguzungu kushindwa kupumua vizuri kupata uchovu na hali ya udhaifu na hata kuumwa kichwa seli nyekundu za damu zinavyoonekana ndani ya mishipa ya damu seli nyekundu za damu hutengenezwa na mwili wenyewe kwenye mifupa ya mwanadamu na wingi wake na uzalishaji wake hutegemea hali ya lishe ya mtu na afya yake kiujumla habari njema habari njema ni kwamba pamoja na lishe unaweza kuongeza kiwango cha utengenezaji wa seli hizi (na hata kuongeza kiwango cha hemoglobin) kwa kufanya mazoezi mazoezi haya yanayosaidia katika kuongeza kasi ya uzalishaji wa seli hizi huitwa mazoezi ya aerobic haya ni maazoezi yanayohitaji pumzi na hutumia nguvu haya ni kama kuogelea na hata nini hutokea haswa unapofanya haya mazoezi mtu anapofanya mazoezi haya husababisha uzalishaji wa homoni ya ukuaji (growth hormone) kuongezeka hivyo kusaidia ukuaji wa mifupa sambasamba hupelekea kuongezeka kwa uzalishaji wa seli za damu vilevile kwa kuwa mwili hutumia kiwango kikubwa cha oksijeni wakati wa mazoezi hii hupelekea mwili kutengeneza seli zaidi ili kufikia lengo la oksijeni itakayotumika kwa kuhitimisha ni vyema kufanya maozezi kwa malengo zaidi ya miili fit ila pia kwa ajili ya afya ya damu zetu ili kuepuka athari za kuwa na damu ndogo /* style definitions */ tablemsonormaltable {msostylenametable normal msotstylerowbandsize0 msotstylecolbandsize0 msostylenoshowyes msostylepriority99 msostyleparent msopaddingalt0in 54pt 0in 54pt msoparamargintop0in msoparamarginright0in msoparamarginbottom80pt msoparamarginleft0in
2018-07-20T04:59:13
https://daktarimkononi.com/2018/07/12/kumbe-mazoezi-pia-yanaweza-kuongeza-kiwango-cha-damu/