text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
mar 2 | `yml | step | 'aiata 'ifwaidi i 'a'ava mulieta iesu i vilai i nago kafaneomi i luku vanuge tomotoga fuedi valana i nogai bega i va'auta vanuga i veadagi kebu tamu 'awasasaga wata bani'odi vanuga 'awana mulieta iesu yaubada yana vona i lu'ageyeni 'waidie iesu tomogo bwalobwalokona i 'ive'atumaia 1'aiata 'ifwaidi i 'a'ava mulieta iesu i vilai i nago kafaneomi i luku vanuge tomotoga fuedi valana i nogai bega i va'auta vanuga i veadagi kebu tamu 'awasasaga wata bani'odi vanuga 'awana mulieta iesu yaubada yana vona i lu'ageyeni 'waidie 3tutuyanina iesu i lalau'age tomotoga 'ifwaidi i maia 'adi 4 iadi bwalobwalokona ma 'evo'evona i mieni iesu 'waineye 4i le'weni 'aila'a bwaikina i 'isedi kebu 'adi fata i na lukuga begaidi i laka vanuga 'ubunega ava'aibe bei iesu i tovotovoi 'ana saila'a 'ifwaidi i 'ewadi bega 'anibwekaneamo ma 'evo'evona i ve'ioyoi i obu 5iesu i 'iseni i 'asetai ma yadi vetumagana bega tomogo bwalobwalokona i voneni i vo natuku yamu sakona a nuatavunidi 6'ifwaidi ve'etoboda 'adi tovevo i nogai iesu yana vona nuadiega i vo iesu awale yaubada i vonauvi'agali kebu tamu aitoi 'ana fata sakona i na nuatavunidi yaubada 'aisena 'ana fata 8iesu 'akonadi i 'asetai yadi nuanua begaidi i vonedi i vo awale bani'odi 'wa nuanuayedi 9yau a vetomotogaotoga ma yaku veimea fwayefwayeye bega 'aku fata tomotoga yadi sakona a na nuatavunidi tomotoga 'adi 'ive'atumai vitana fai 'ai'edi a na vona siwe kebu i na ve'atumaiga 'wa na 'asetai kebu ma yaku veimea a vona'avo'avovo siwe toviga de'e a na 'ive'atumaia 'wa na 'iseni bega 'wa na 'asetai kebu a da vona'avo'avovo 'aku fata sakona a na nuatavunidi 11bega iesu tomogo bwalobwalokona i voneni i vo 'u tovoi 'amu 'evo'evo 'u evai 'u nago yamu vanuge 12i tovoi fuedi i 'iseni yana sita i 'ewai i tauya matatabudi nuadi i voganidi bega yaubada i subiai i vo kebu tamu tutuya bani'odi ta da 'iseniga s5 luk 748s67 1 ion 19 ais 4325s12 mad 933 iesu livai i goleni 13iesu wata i vilavaitugani i nago lavuye 'aila'a bwaikina i maia 'waineye bei wata i ve 14'akonadi yana ve i 'a'ava i nunagoga takesi 'ana tolaugogona i 'iseni 'eba takesi 'waineye i miamia 'ana wagava livai alefasi natuna iesu i voneni i vo taiadi ta na nago yaku tovetutuyama nika livai i tovoi iesu mulineye i nago 15mulieta iesu ma yana tovetutuyamavo i 'ani'ani livai yana vanuge 'ifwaidi tolaugogona wata 'ifwaidi tosakona taiadi i 'ani'ani tomotoganidi iesu i yoyogo'wai'waili 16'ifwaidi ve'etoboda 'adi tovevo siwe taunidi diu totafalolo falisi i 'iseni i nagoi iesu yana tove tutuyamavo 'waidie i velutoliedi i vo awale tolaugogona vivinagodi wata tosakona taiadi i 'ani'ani kebu 'ana 'isa 'atumainaga 17iesu i nogai i vonaawatabai 'waidie i vo egavo 'atumaidi kebu nuanuadi viga 'adi to'ive'atumai 'aisedi toviga mogitana wata bani'odi yau a maiga kebu taunidi i awave'atumaiediga faifaidi a maiga wata tosakona a na 'ita'ita'iedi s16 mad 1119 luk 1512s17 luk 1910 1 tim 115 18ioni tobafitaiso yana tovetutuyamavo wata totafalolo falisi i veve'udigana 'ani matatabuna bega yadi velu'ui yaubada 'waineye i na vetoketoke tomotoga 'ifwaidi i maia iesu i velutolieni i vo awale ioni yana tovetutuyamavo wata falisi i veve'udigana i na velu'ui faifaina we'e yamu tovetutuyamavo kebu i da ve'udiganaga 19iesu yadi vona i tutuli taunina faifaina i vonaawatabai i vo tonagi yana sosoana 'waineye kebu tamu aitoi 'ana fata i na talabodedi bega enavo 'ani'ani i na baileni 20we'e tamu 'aiata tomotoga 'ifwaidi i na maia tonaginina i na 'ive'avini i na naweni i lubwainedi enavonidi ma yadi nuavita i na ve'udigana s19 ion 329 sauluva tuatuaina wata iesu yana ve 'ivauna 'adi luwanawana faifaina 21wata iesu i awatalatutula 'waidie yana ve sauluva 'ivauna faifaina wata me diu yadi sauluva tuatuaina 'adi luwanawana faifaidi i vo kaleko tuatuaina i na 'anilabu'i we'e 'ivaunega ta na bwadia kebu i da lubwaineniga fai bola ta na lekoai bwadi 'ivauna i na vesiai bega i na vefato'ai'ai tuatuaina i na 'ivesakoi 22wata bani'odi oine 'ana 'eba iwaga 'aisaya bunudiega faifaina iesu i vona i vo 'ai'edi oine 'ivauna 'eba iwaga tuatuaina 'waineye i na iwagi i na yuvefuai i na iwaga 'ana ve'amubwadodo fai totolina wata 'eba iwaga 'akonadi i sako we'e 'ai'edi oine 'ivauna wata 'eba iwaga 'ivauna nika bikabikana i na lubwaineni kebu i na yuvefuai 'ailugana 'atumaidi s2122 1 kol 1021 2 kol 616 23tamu 'aiata veawai 'waineye iesu ma yana tovetutuyamavo i nunagoi bakula 'waineamo yana tovetutuyamavo i lase bega vuaga i kadidi i 'ani fai 'akonadi tonibakula i tauyedi 24we'e 'ifwaidi diu totafalolo falisi i 'isedi iesu i voneni i vo awale me diu yada ve'etoboda yamu tovetutuyamavo i geugeuya vuaga i kadikadidi bani'odi folova yada 'aiata veawai 'waineye 25iesu falisi yadi vona i tutuli i vo 'wa da vo kebu bani'odi yaubada yana buki 'wa da lu'iawawaiga basenadiotoga kini devida ma enavo i lase faifaina 26i luku yaubada yana vanuga 'eba velu'ui nageneye beledi tamu yaubada 'ana 'anivelena abiada tovelomu bwaikina i veledi ma enavo i 'ani de'e wata yada ve'etoboda kebu tamu aitoi 'ana fata beledinina i na 'ania tovelomu 'aisedi faifaidi i 'ania kebu i da sakona fai i lase 27yaubada 'aiata veawai i yatoi tomotoga 'ada 'aivaita ta na veawai faifaina kebu i da yatoi bega 'aiatanina i na veimeyeda 28yau a vetomotogaotoga tomia fwayafwaya matatabuna 'adi to'isave'avina wata 'aiata veawai 'ana toveimea 'aku fata 'aiatanina 'waineye tomotoga yadi sauluva faifaidi a na veimeyedi s23 vel 2325s25 1 sam 2116s27 vel 514
2020-01-19T10:49:46
https://www.stepbible.org/?q=version=YML%7Creference=Mar.2
hatua tano za uhakika za kutatua tatizo lolote ulilonalo « amka mtanzania browse home mbinu za maisha hatua tano za uhakika za kutatua tatizo lolote ulilonalo posted by makirita amani | at wednesday march 30 2016 no comments
2017-08-18T02:58:03
http://www.amkamtanzania.com/2016/03/hatua-tano-za-uhakika-za-kutatua-tatizo.html
darvel forum soma hapa madhara ya kufanya mapenzi mara kwa mara soma hapa madhara ya kufanya mapenzi mara kwa mara wengi hasa wale ambao uhusiano wao ni mchanga hupenda sana kufanya mapenzi kila wanapokutana au wanapohisi wamehemkwa na miili yako katika hali ya kawaida kufanya mapenzi kuna faida nyingi lakini linapokuja suala la kuzidi kiasi tunapata matatizo ya msingi ambayo huleta madhara kwa watu wanaoendekeza sana ngonokuna watu ambao hawezi kulala bila kufanya mapenzi na huku wengine wakikosa uwezo wa kuvumilia hata kwa siku mbili au tatu mtu anaweza kuwa na mke na kujikuta kila siku anatumia chakula cha usiku kwa sababu tu hakuna wa kumkataza na kwamba ana haki ya kufanya hivyo kwa sababu amelipa maharihilo linaweza kuwa jambo jema kwa upande mwingine lakini uchunguzi unaonyesha kuwa watu wengi kati ya watu wanaolalamika kupoteza hisia za kimapenzi hutoka katika kundi la watu wapenda ngono pamoja na tatizo hilo yapo madhara mengine mengi ambayo mtu asiyekuwa na kiasi katika tendo la ndoa anaweza kukabiliana nayo hivyo ni vema tukajifunza ili tusiwe watu wa kuendekeza miili kiasi cha kulazimika kufanya mapenzi kila tunapokutana hata kwenye nguzo ya umeme na chini ya miti kwa vile tu miili imetaka kufurahika kupoteza hamu ya tendo wenye pupa za kufanya mapenzi hupoteza haraka hisia za kimapenzi kwa wapenzi wao kutokana na sababu za kisaikolojia zinazoweza kujitokeza wakati wa ufanyaji wa tendo la ndoa mara kwa mara aidha kukinai haraka staili za kimapenzi kunatajwa kujitokeza kutokana na kukutana mara kwa mara kwa aina zile zile za mapenzi na pengine sehemu moja kitanda kimoja na chumba kile kile jambo ambalo linaweza kumfanya mhusika asione jipya kutoka kwa mwenza wake na hivyo kupoteza hamu naye na kuhisi kama hawezi tena kushiriki tendo la ndoa kikamilifu ya kufanya mapenzi mara kwa mara huongeza uzalishaji wa homoni mwilini na kuufanya mwili uwe na msukumo mkubwa wa kutaka kuridhishwa kwa tendo la ndoa bila kukosa na hivyo kumfanya mhusika asiwe mtu mwenye uwezo wa kuzuia tamaa na kukosa chaguo la nani wa kufanya naye mapenzi na kwa wakati gani watu wanaojiendekeza katika kufanya mapenzi mara kwa mara ndiyo wale ambao kila wanayemtazama barabarani humtamani bila kujali hadhi yake hawa ndiyo wanaobaka kusaliti ndoa zao hata kwa watumishi wa ndani au kufanya mapenzi na watoto wao wa kuwazaa kwa vile akili zao huwa zimeathirika kwa tamaa ya mapenzi unapokuwa mtu wa kufanya mapenzi mara kwa mara huwezi kuwa na uwezo wa kuzuia tamaa yako mumeo akiondoka siku mbili unatamani kuwa hata na houseboy ili akukate kiu ya penzi kupoteza raha kamili ya tendoraha ya tendo hutegemea sana hisia iliyokuzwa kutokana na mapenzi sahihi na kiu ya kufanya mapenzi hivyo basi ukiwa mtu wa kufanya mapenzi kila mara unaweza kupoteza msisimko wa tendo na kujikuta unapata furaha ambayo haikutoshi kumaliza tamaa yako madhara mengine yanayoweza kupatikana kwa kufanya mapenzi mara kwa mara ni pamoja na kupoteza nguvu nyingi za mwili kama tujuavyo tendo la ndoa hasa kwa wanaume huwafanya watumie nguvu nyingi hivyo kuufanya mwili uchoke aidha lishe inapokuwa ndogo kwa wafanya mapenzi mwili hukosa nguvu za kutosha kuhimili misukosuko ya kimaisha kupata magonjwakama tulivyojifunza kuwa watu wanaofanya mapenzi mara kwa mara huwa na tamaa na hujikuta wanafanya mapenzi holela ambayo huweza kuwasababishia magonjwa ya zinaa ukiwemo ukimwi ufanyaji wa mapenzi usiokuwa na msukumo wa kutosha hasa kwa wanawake huwafanya waishiwe msisimko na kuzifanya sehemu zao za siri kutotoa ute unaoweza kuwakinga na michubuko wakati wa kujamiiana na hivyo kuwasababishia michubuko itakayoweza kuleta maambukizi ya haraka ya magonjwa ya zinaa ukiwemo ukimwi picha huyu ndiye mume halisi wa zari the bosslady soma zaidi hapa soma hapa tekno alivyomchamba gigy money kwa kiswahili anavyozusha kuwa amelala nae #newaudio nikki mbishi pumzisha mwili wako
2017-04-28T11:56:19
http://darvel-kardashian.blogspot.com/2014/09/soma-hapa-madhara-ya-kufanya-mapenzi.html
malengo na umuhimu wa safari ya amir wa kuwait nchini iraq pars today jun 21 2019 0710 utc swabah alahmad aljabir asswabah amir wa kuwait siku ya jumatano alifanya safari nchini iraq ambapo alilakiwa na kufanya mazungumzo na rais barham swaleh wa nchini hiyo kuzungumzia uhusiano wa pande mbili na masuala ya kieneo ni lengo muhimu la safari ya amir asswabah nchini iraq uhusiano wa nchi mbili hizi umekuwa ukiimarika katika miaka ya hivi karibuni moja ya dalili za hamu ya nchi hizo kuimarisha uhusiano wao ni kutembeleana viongozi wa nchi hizi jirani safari hizo zimekuwa zikifanyika katika ngazi za juu kidiplomasia adil abdul mahdi waziri mkuu wa iraqi aliitembelea kuwait tarehe 22 mei mwaka huu baada ya rais barham swaleh wa iraq kuitembelea mwezi novemba mwaka jana 2018 muda mfupi baada ya kuapishwa kuwa rais wa nchi hiyo hivi sasa amir wa kuwait amefanya safari yake ya pili huko iraq baada ya kuapishwa kuwa amir wa kuwait alifanya safari yake ya kwanza huko iraq mwaka 2012 kwa lengo la kushiriki kikao cha wakuu wa jumuiya ya nchi za kiarabu kilichofanyika mjini baghdad malengo ya safari hizo yamekuwa ni kuimarisha uhusiano wa pande mbili na pia kuondoa mivutano inayoharibu uhusiano huo kuhusiana na suala hilo khalid aljarullah naibu waziri wa mambo ya nje wa kuwait ameisifu safari ya hivi karibuni ya amir wa kuwait huko baghdad kuwa ni ya kihistoria na kuongeza kuwa imefanyika katika kivuli cha uhusiano wa kidugu uliopo baina ya nchi hizo amir wa kuwait pia amesema kuwa nchi yake ina nia ya kuisaidia iraq kupambana na makundi ya kigaidi na katika ukarabati wa nchi hiyo amir wa kuwait akilakiwa nchini iraq safari ya amir wa kuwait nchini iraq pia ina umuhimu mkubwa katika mtazamo wa kieneo safari hiyo imefanyika katika hali ambayo eneo la asia magharibi linashuhudia mvutano ambao haujawahi kushuhudiwa kwa miaka mingi mvutano huo unajiri kati ya madola makubwa ya kieneo na pia kati ya nchi za kiarabu mvutano mwingine unaendelea kuongezeka kati ya jamhuri ya kiislamu ya iran na marekani wakati huohuo vitendo vya uharibifu na kushambuliwa meli za kubebea mafuta vinavyofanywa na pande zisizojulikana vinaendelea kushuhudiwa jinai zinazotekelezwa na muungano wa kijeshi unaoongozwa na watawala wa saudia dhidi ya taifa la yemen jinai za utawala haramu wa israel dhidi ya watu wasio na hatia wa palestina na mpango hatari wa mualama wa karne ni mambo yanayoendelea kufuatiliwa na maadui kwa madhara ya mataifa ya asia magharibi (mashariki ya kati) katika mazingira hayo ambapo nchi kama vile saudia na imarati zinatekeleza njama za kuibua tuhuma zisizo na msingi dhidi ya jamhuri ya kiislamu ya iran kwa madhumuni ya kuzidisha mvutano kati yake na marekani nchi kama kuwait na iraq zinafuatilia sera za kupunguza mvutano katika eneo hili rais barham salih wa iraq akiwa katika kikao cha wakuu wa jumuiya ya nchi za kiarabu mjini makka amir wa kuwait daima amekuwa akifuatilia siasa za kupunguza mvutano kati ya nchi za mashariki ya kati zikiwemo juhudi zake za kupunguza mvutano kati ya iran na saudia qatar na saudia na vilevile kati ya iran na marekani katika umri wake wa miezi minane pekee serikali ya baghdad pia imekuwa ikifanya juhudi kubwa za kuimarisha usalama na kujitawala kisiasa eneo hili muhimu duniani nchi hiyo pia imekuwa ikifanya juhudi za kupunguza mvutano kati ya jamhuri ya kiislamu ya iran na saudia na kati ya iran na marekani katika kutekeleza siasa zake huru za nje serikali ya baghdad si tu kwamba inajiepusha kutoa tuhuma zisizo na msingi dhidi ya nchi nyingine bali imekuwa ikipinga vikali siasa za nchi tofauti kutoa tuhuma kama hizo dhidi ya nchi nyingine mfano wa jambo hilo ulionekana wazi kupitia hotuba ya rais barham swaleh katika kikao cha 30 cha wakuu wa nhi za kiarabu huko makka katika kujibu tuhuma zisizo na msingi zilizotolewa na mfalme wa saudia dhidi ya jamhuri ya kiislamu ya iran na badala yake kuashiria siasa imara za iran katika kuimarisha amani na usalama wa eneo kama stratijia muhimu ya siasa zake za kieneo
2020-05-31T23:15:20
https://parstoday.com/sw/news/middle_east-i54251-malengo_na_umuhimu_wa_safari_ya_amir_wa_kuwait_nchini_iraq
ofa ligi kuanza kesho ligi kuanza kesho vijana wa oranje football academy wanaendelea na mazoezi kama kawaida kujitayarisha na ligi inayoanza kesho tarehe 12032011 chipukizi hao ofa wapo katika hali nzuri na wanatarajiwa kuanza vizuri katika michuano ya ligi ya msimu huu
2018-07-20T10:56:36
http://oranjefootballacademy.blogspot.com/2011/03/ligi-kuanza-kesho.html
iga njia alizotumia yesu kupinga vishawishi | maisha ya yesu soma katika chitonga (malawi) kiajemi kialur kiamhara kiarabu kiarmenia kiaymara kiazerbaijani kiazerbaijani (cha kisirili) kibassa (cha kamerun) kibatak (cha karo) kibatak (cha toba) kibemba kibikoli kibulgaria kichewa kidachi kidangme kidenishi kiebrania kiefik kiestonia kiewe kifaransa kifiji kifon kiga kiganda kigeorgia kigiriki kiguarani kigujarati kiguni kihiligaynoni kihispania kihungaria kiigbo kiiloko kiindonesia kiingereza kiisako kiitaliano kijaluo kijapani kijavanese kijerumani kijula kikabiye kikambodia kikaonde kikatalan kikazakh kikazakh (cha kiarabu) kikikongo kikiluba kikirghiz kikiribati kikongo kikorea kikreoli cha haiti kikreoli cha mauritius kikreoli cha ushelisheli kikroatia kikuyu kikwechua (cha ancash) kikwechua (cha ayacucho) kikwechua (cha bolivia) kikwechua (cha cuzco) kilingala kilomwe kiluvale kimakedonia kimakua kimalagasi kimalay kimalayalamu kimalta kimaya kimoore kimyanmar kindau kinorwei kinyarwanda kinyungwe kioromo kiosetia kiotetela kipangasinani kipapiamento (cha curaçao) kipende kipijini cha nigeria kipijini cha visiwa vya solomon kipolishi kireno kirumania kirundi kirusi kisamoa kisango kisebuano kisena kisepedi kiserbia kiserbia (cha roma) kishona kisilozi kisinhala kislovenia kisonge kisranantongo kiswahili kiswahili (cha kongo) kiswedi kitagalogi kitahiti kitajiki kitamili kitatar kithai kitigrinya kitok pisin kitonga kitshiluba kitshwa kiturkmen kituruki kituvalu kitwi kitzotzil kiukrania kiumbundu kiurdu kiuruund kiuzbek kivietnam kiwallisi kiwaraywaray kiboulou kichitumbuka jifunze kutokana na jinsi yesu alivyokabiliana na vishawishi mathayo 4111 marko 112 13 luka 4113 shetani amjaribu yesu mara tu baada ya kubatizwa na yohana roho ya mungu inamwongoza yesu kwenda kwenye nyika ya yudea ana mambo mengi ya kufikiria yesu alipobatizwa mbingu zilifunguliwa (mathayo 316) kwa hiyo anaweza kukumbuka mambo aliyojifunza na kufanya akiwa mbinguni kwa kweli ana mambo mengi ya kutafakari yesu anakaa nyikani kwa siku 40 mchana na usiku katika kipindi hicho hali chakula chochote ndipo yesu akiwa na njaa sana shetani ibilisi anakuja kumjaribu anasema ikiwa wewe ni mwana wa mungu yaambie mawe haya yawe mikate (mathayo 43) yesu anajua ni kosa kutumia nguvu zake za kufanya miujiza ili kutosheleza tamaa zake za kibinafsi hivyo anapinga kishawishi hicho ibilisi anaendelea kumshawishi anajaribu njia nyingine anamshawishi yesu ajitupe chini kutoka juu ya mnara wa hekalu lakini yesu hakubali kujionyesha kwa njia hiyo yenye kustaajabisha akinukuu maandiko yesu anaonyesha kwamba ni kosa kumjaribu mungu kwa njia kama hiyo kisha katika kishawishi cha tatu kwa njia fulani ibilisi anamwonyesha yesu falme zote za ulimwengu na utukufu wazo na kumwambia nitakupa vitu hivi vyote ukianguka chini na kunifanyia tendo la ibada tena yesu anakataa kabisa na kumwambia nenda zako shetani (mathayo 4810) hashawishiki kufanya makosa kwa kuwa anajua kwamba utumishi mtakatifu unapaswa kutolewa kwa yehova peke yake naam anachagua kuendelea kuwa mwaminifu kwa mungu tunaweza kujifunza kutokana na vishawishi hivyo na jinsi yesu alivyokabiliana navyo vishawishi hivyo vilikuwa halisi na hilo linaonyesha kwamba ibilisi si uovu tu kama watu fulani wanavyosema yeye ni mtu halisi asiyeonekana simulizi hili linaonyesha pia kwamba serikali za ulimwengu ni mali ya ibilisi yeye ndiye anayeziongoza ikiwa serikali hizo hazingekuwa zake je kishawishi cha kumpa kristo kingekuwa halisi isitoshe ibilisi alisema kwamba alikuwa tayari kumthawabisha yesu kwa ajili ya tendo moja la ibada hata kumpa yesu falme zote za ulimwengu ibilisi anaweza kutujaribu kwa njia kama hiyo labda kwa kuweka mbele yetu nafasi zenye kushawishi za kupata mali za ulimwengu huu mamlaka au cheo tunatenda kwa hekima tunapofuata mfano wa yesu kwa kuendelea kuwa waaminifu kwa mungu hata iwe tumepata kishawishi cha aina gani lakini kumbuka kwamba ibilisi alimwacha yesu kwa muda mpaka wakati mwingine unaofaa (luka 413) inaweza kuwa hivyo pia kwetu kwa hiyo tunahitaji kuendelea kuwa macho nyakati zote huenda yesu anatafakari mambo gani akiwa nyikani kwa siku 40 ibilisi anatumia njia gani kumjaribu yesu tunaweza kujifunza nini kutokana na vishawishi hivyo na jinsi yesu alivyokabiliana navyo jinsi ya kupinga vishawishi wanaume na wanawake wa kweli wana uwezo wa kupinga vishawishi soma madokezo sita yanayoweza kukusaidia kuimarisha azimio lako la kuepuka mahangaiko yanayotokana na kukubali kushawishiwa je ibilisi ni kiumbe halisi
2018-11-18T18:33:50
https://www.jw.org/sw/machapisho/vitabu/yesu/mwanzo-huduma/kupinga-vishawishi/
diary yangu haki ya mja haipotei bure2 mama mimi nimechelewa kikaoninikasema sasa nikianza kufunga funga vitu vyangu ili niweze kuondoka lakini yule mama ni kama hakunisikiana pale ofisi kulishajaa harufu ya jasho lakenikasogea kwenye kipozoe na kukiwasha sikuwa na nia mbaya ya kumzaraulakini ofisi ni ofisi huyo mama alipoona hivyo akasema najua unakerwa na jasho langu jasho hilo lina thamani kubwa mbele ya mungu na ni ushahidi kwako ili ujue ninavyoteseka uone kuwa nimetembea maili nyingi hadi kufika hapa sina nauli nitafanyaje'akasikitika kwa kutikisa kichwa 'lakini hayo hayana maana kwako maana utafikiria nimekuja kukuomba hapana ninachotaka ni haki yangu haki ya mtoto wangu na najua imeshachelewa kama ulivyosema lakini hata kama imechelewa nataka wewe usikie hii kauli yangu kwako muda huo mimi nimeshakasirikasikutaka hata kumsikiliza nilitaka atoke ili nione nitafanya nini maana nilishachelewa hata hicho kikaonitafute namna ya kumdanganya bosi wangu kama atanielewanamfahamu sana huyo bosi mkuu kwake muda ni kitu muhimu sanahapotezi hata sekunde moja ukichelewa dakika moja tu keshafunga kikao kitakachofuata hapo ni barua nisikilize kwa makini najua sana kuwa sisi watu wa chini hatuna maana kwenu tunanuka mijasho na tutasema nini ndio maana hatutakiwi kuja kwenye ofisi zenu sawa nashukuru lakini hata hivyo tuna sehemu ya kimbilio letu huyu hawezi kamwe kututupa na kauli yangu na ujumbe wangu ni kituma kwake yeye asiyeangalia mwili au mijasho yetu mola kwa mola wangu akanikazia macho na huku anainua mikono juu wakati huo nilishasimama mlango kumuashiria atoke nifunge mlango yeye akawa kasimama pale pale na kuendelea kuongea `kauli yangu ni hii kama kweli barua hiyo haikuwahi kufika kwako wewe ni mzazi kama mimi wewe ni mama kama mimi unazaa kama mimi mungu anaonahakuna anayefahamu uchungu wa mtoto zaidi ya mzazi hasa mamaakaweka mikono hivi kama atafanyaje nasema hivi kama kweli haijafika kwako basi nisamehelakini kama kweli ilifika kwako ukafanya uzembe ukadharau maana unaona huyo ni kilema tu anafaa ninimungu anakuonamimi sasa naondokasamahani sana kwa kukupotezea muda wako hayo ndio maneno aliyatamka huyo mama kabla hajaondoka halafu alipomaliza taratibu akaanza kuondoka kwanza nilibaki nimeduwaa nikakumbuka kikao nikakurupuka lakini kabla sijafungua mlango mara katibu muhutasi wangu ananijia kwa kasi akisema samahani bosi mimi sikumuona huyo mama akiingiaalipitia wapi ooh nilikuwa nimekwenda maliwatoni samahani bosiakasema na mimi sikumjibu kituila aliposema nabosi mkuu amepiga simu anasema anakujaaliposema hivyo mwili mzima ukanywea maana hicho kikao kilikuwa kinakwenda kufanyikia ofisi kwake sasa nimechelewalishapita nusu saa sijafika huko niliangalia simu yangu nikakuta missing call tano simu nilikuwa nimezima kutoa sautinikajua sasa kimenuka ajira haipo tena nikataka nitoke tu nimuwahi huyo bosi kabla hajafikana kabla sijafunga mlango mara mlango wan je ukafunguliwa na aliyeingia alikuwa bosi mkuu kakunja uso utafikiri sio yeyealikuja moja kwa moja kwangu pale nilipokuwa nimesimama kwanini hujafika kwenye kikao akaniuliza na kabla sijamjibu vyema akasukuma mlango wangu ukafunguka akawahi kuingia ofisini kwangu na hakukaa akanibwagia barua mezani nilijua ni barua ya nininikashika kichwa huyo bosi hakusema zaidi akatoka na hakuaga akatoka nje kuondoka zakesikuisoma ile barua kwanzaakili yangu ilinituma kuhakikisha jambo fulani kwanza kwahiyo nikaliendea trei langu la barua zinazotoka na kuingia nikawa nakagua sehemu ninapoweka barua za kuja kwanguhaikuwa mbali nikaiona ile barua ohnikaguna hapo ndio nikaikumbuka tatizo la huyo mama na barua iliyotumwa kwangu kumbe ndio huyo mama kiukweli ile barua niliwahi kuisoma kukawa na ucheleweshaji fulani katika kufuatilia kumbukumbu zake hazikuwa zimekamilika na ilifika ikiwa imechelewa mezani kwanguna mimi nilitingwa na kazi nyingine mpaka muda ukapita nilipoiona tena muda ulishapitahatungeliweza kufanya lolote kwahiyo tukaacha kama ilivyoleo hii huyu mama amekuja na maneno kama hayoilinipa wakati mgumu sana lakini sikuwa na la kufanya nikageukia mezani barua aliyoleta bosi ipo mezani huenda ndio ya kufukuzwa kazisasa nikaanza kukumbuka mbali unajua kwanza niliwazia watoto wanguile kauli ya huyo mama ililenga haswaamimi kama mama ilinigusa pale palemama ukitaka kumpata gusia watoto wakelaana ya huyo mama imeshaanza kufanya kazi kwanza nimeshafukuzwa kazi ya pili sijui itakuwajemimi nina imani sana ya dinilakini hapo nilitikisika kiimani nilijikuta nikalianilifikiria sina nitawakleaje hao watoto nikasogea mezani na kuchukua ile barua taratibu nikaitoa kwenye bahasha na maandishi ya kwanza niliyoona nininasikitika kichwa kikaanza kuuma nikawa sioni maandishimara gizanilichokumbuka ni kauli nisamehe mama sikufanya makusudi nikazama kwenye giza nilipoteza fahamu nb kwa wale wanaotaka kujua ni nini duwa ya mja inafanya kazi soma kisa hiki tuonane sehemu nyingine mungu akipenda wazo la leo usimdharau mja wa molahata kama kakosea hata kama wewe ni mubwa namna gani kipato chako cheo chako hakina thamani mbele ya muumba ambaye anajua ni kwanini kamuumba mja wake hivyo imetumwa na emu three at 346 pm labels matukio/ushauri ndani ya diari yangumateso ya usafiri ndani ya diari yanguriwaya visa vyenye mafundisho
2017-10-22T22:36:10
http://miram3.blogspot.com/2017/02/haki-ya-mja-haipotei-bure-2.html
rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=yerusalemu_ya_mashariki&oldid=878510 last edited on 8 machi 2013 at 2257
2019-11-21T01:25:28
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Yerusalemu_ya_Mashariki
waziri mkuu kassim majaliwa afanya ziara bandarini dar posted on thursday 30 november 2017 0600 written by mjengwablog waziri mkuu kassim majaliwa amemuagiza mkuu wa jeshi la polisi nchini igp simon sirro kumkamata wakala wa kampuni ya wallmark anayefahamika kwa jina la samwel pamoja na mfanyabiashara anayefahamika kwa jina la bahman kutoka kampuni ya nas kwa kosa la kutaka kutoa bandarini magari makubwa 44 aina ya semi tela bila ya kulipa kodi kwa kutumia jina la waziri mkuu waziri mkuu majaliwa ametoa agizo hilo leo novemba 29 2017 alipofanya ziara ya kushtukiza bandarini jijini dar es salaam baada ya kupata taarifa za mfanyabiashara huyo aliyetaka kutorosha magari hayo yanayodaiwa kuingizwa nchini tangu mwaka 2015 kutoka nchini uturuki mtu asije hapa aseme amepewa kibali na rais magufuli makamu wa rais mama samia au waziri mkuu cha kuruhusu kutoa mzigo wake bila kufuata taratibu akija mtu na taarifa hizo akamatwe mara moja na achukuliwe hatua kwa mujibu wa sheria alisema waziri mkuu bahman wa kampuni ya nas anadaiwa kutaka msamaha wa kodi kwa kuidanganya mamlaka ya usimamizi wa bandari nchini (tpa) kuwa amewasiliana na waziri mkuu na kwamba tpa wasipotekeleza agizo hilo watapata matatizo katika hatua nyingine waziri mkuu majaliwa ameitaka tpa kufanya kazi kwa mujibu wa sheria na kutowasikiliza wafanyabiashara wanaotaka kukwepa kodi kwa madai ya kupewa vibali vya msamaha wa kodi kutoka viongozi wa juu serikalini more in this category makamu wa rais samia suluhu hassan amjulia hali tundu lissu mahakama kuu kanda ya dar yatupilia mbali mapingamizi ya prof lipumba
2017-12-17T10:07:25
http://mjengwablog.com/jamii/item/32520-waziri-mkuu-kassim-majaliwa-afanya-ziara-bandarini-dar.html
simulizi ya televisheni ya wenge wa urefu wa kati wima china manufacturers & suppliers & factory simulizi ya televisheni ya wenge wa urefu wa kati wima mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china (jumla ya 24 bidhaa kwa simulizi ya televisheni ya wenge wa urefu wa kati wima) simulizi ya televisheni ya urefu wa kati urefu wa kati sura ya chuma sio tu kubuni muundo lakini pia inahakikisha utulivu wa msimamo wa runinga droo 3 hutoa uhifadhi mwingi na kuainisha mambo kwa utaratibu mzuri maswali 1 wewe ni kiwanda au mfanyabiashara wa fanicha sisi ni kiwanda tunashughulika na biashara fulani ya biashara kusambaza huduma za kuacha moja mwanga oak na white colour stylish wall kitengo iliyotokana na mchanganyiko wa kuni na chuma ukuta huu huleta sura tofauti na dhamana kwa mteja imewekwa na droo 6 na rafu 3 za glasi sehemu hii ya ukuta hutoa uhifahishaji wazi na umefungwa cabient upande wa kulia inaweza kupachikwa ukutani au kusanikishwa kwenye nafasi ya runinga maswali 1 wewe ni kiwanda au kifurushi cha wenge cha wooden mwanga kabati za kisasa za jikoni ya wooden rafu ya kitabu cha walnut iliyorekebishwa na dawati mwanga walnut kamili mafuta ya kahawa mango mbichi mwanga wa walnut mango ya udongo ya kudumu ya wood nyumba kamili ya kubuni design sebule baraza la mawaziri la mango nyeusi la mango nyeusi simulizi ya televisheni ya wenge wa urefu wa kati wima simulizi ya televisheni ya wenge wa urefu wa kati wima simama ya televisheni ya urefu wa kati simulizi za televisheni nne simiti za televisheni mango sebuleni ya televisheni ya chumba mwangaza wa televisheni ya walnut wood tv mpira wa televisheni ya rubber wood stand 2
2020-07-14T15:26:29
https://sw.taihuafurniture.com/dp-simulizi-ya-televisheni-ya-wenge-wa-urefu-wa-kati-wima.html
dc kigamboni awaondolea taharuki wananchi wa kibada kubolewa nyumba zao | gazeti la jamhuri mkuu wa wilaya ya kigamboni mhhashim mgandilwa ameondoa hali ya taharuki iliyokuwa imetanda miongoni mwa wananchi wa kata ya kibada waliowekewa alama ya kubomoa majengo yao na wakala wa barabara (tanroads) mbali na kununua viwanja hivyo kihalali kutoka wizara ya ardhi akizungumza na wananchi hao kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jana kwenye ofisi za kata ya kibada mhmgandilwa amesema kuwa ofisi yake na wataalamu hawapo tayari kuona wananchi wao wanaonewa aliongeza kuwa mgongano huo umebainika kwenye mradi wa ujenzi wa barabara uliopo kwenye hatua za awali na ubainishaji wa mipaka wa tanroads unaolenga kujenga barabara kiwango cha lami kuanzia kibadasomangila hadi kimbiji mgandilwa alisema kuwa wizara ya ardhi ilikuwa na mradi wa viwanja ishirini elfu vilivyouzwa kwa wananchi kihalali ambapo baada ya tanroads kubainisha mipaka yake ndipo ilipobainika kuwa wizara ya ardhi iliuza viwanja vyake hadi kwenye hifadhi ya barabara viwanja hivi vilinunuliwa wizara ya ardhi ambapo wananchi walikuwa na uhakika wa usalama wa viwanja vyao kutokana na kununua kwene wizara husika leo hii kuja kuwawekea alama ya kubomoa sio haki mwananchi anakuwa anawajibishwa kwa kosa ambalo si lake ndiomaana tumekutana hapa ili tuweze kuona namna gani tunaweza kufikia muafaka alisema mkuu wa wilaya aliongeza kuwa wao kama serikali wameona ni bora kuzungumza na wananchi kwasababu serikali haipaswi kukinzana na sheria badala yake inaangalia mahali ambapo pamekosewa na kurekebisha aidha mkuu wa wilaya aliwataka wananchi wote waliowekea alama za kubomoa majengo yao ndani ya siku 90 kufika ofisini kwake siku ya jumamosi tarehe 5/5/2018 ambapo kutakuwa na wataalamu kutoka wizara ya ardhi na tanroads ili kuona namna bora ya kufikia muafaka wakati huohuo mkuu wa wilaya amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kwenye hamasa na kuthaminiwa hususani wananchi ambao watapitiwa na ujenzi wa mradi wa kituo cha kupoozea umeme ambapo italazimika kusimika nguzo za umeme ambazo hazitaruhusu uwepo wa makazi ya aina yeyote mkuu wa wilaya alisema kuwa ni vyema wakajitokeza ili kuondoa malalamiko na adha zinazazoweza kuzuilika kwenye hatua za utambuzi na uthamini ili kulipwa fidia kwasababu nishati ya umeme inahitajika kwa kiwango kikubwa kutokana na wilaya ya kigamboni kukosa umeme wa uhakika na kuwa waathirika wa kwanza pindi inapotokea hitilafu kidogo kwenye vituo vinavyotegemewa kwa sasa nawaomba ndugu zangu mjitokeze pindi mtakapohitajika kwenye zoezi la utambuzi na uthamini wilaya ya kigamboni tunahitaji umeme wa uhakika ili tuweze kuwa na viwanda na uwekezaji wenye tija kutokana na kuwepo kwa umeme wa uhakika alisema mhmgandilwa mradi wa kituo kidogo cha kuupozea umeme kinajengwa dege kata ya somangila ambapo hadi kufikia mwaka 2020 unatarajiwa kuwa umeanza kazi huku kata tatu za kibadakisaraweii na somangila kwenye mitaa 6 inatarajiwa kupitiwa na nguzo hizo zenye umeme mkubwa ambao hauruhusu kuwepo kwa makazi yeyote kwa usalama wa wananchi wa maeneo hayo dc kigamboni 20180503 previous rais magufulimbunge mavunde na dc ndejembi watimiza ahadi yao ya kuchangia shule ya msingi veyulajijini dodoma next ggm na tacaids kuzindua kilimanjaro challenge 2018
2018-05-24T19:49:24
http://www.jamhurimedia.co.tz/dc-kigamboni-awaondolea-taharuki-wananchi-wa-kibada-kubolewa-nyumba-zao/
microsoft corporation inasema msaada mpya wa wingu kwa porta ya azure | yake 9 desemba 2016 microsoft corporation inaripoti wingu mpya kuhakikishia kwa bandari ya azure faida za wingu huongozana na mambo mawili ya kawaida kuna ama interface ya kielelezo ya umeme au interface ya malipo ya mstari wa malipo kama wateja wa sheria wanaendesha na wote wawili bado wanabadilishana kati yao maana ya kubadilishana kati ya maombi na interfaces terminal na katika baadhi ya kesi gadget ni tu unrealistic kama ilivyoonyeshwa na blogu ya hivi karibuni kutoka kwa microsoft goliath ya bidhaa imefikiria jibu mfumo mpya wa microsoft azure cloud console unaambatana na mchakato wa kazi unaoboreshwa ambayo inawawezesha wateja kufanya utendaji kwenye programu ya azure kutumia vifaa vya graphical au vifaa vya mstari wa malipo hifadhi imeingizwa ndani ya bandari ili wateja waweze kuacha haraka kuingilia mstari wa mkutano wakati huo huo wanaona mali zao za wingu kwenye interface ya kivutio cha kielelezo hii inakabiliana na suala la msingi iliyotajwa hapo juu na inatoa wateja fursa ya kufanya kazi na vifaa vya gadgets kama vyenye mchanganyiko au kibao au matangazo ambapo vyombo vya mstari wa malipo haujaanzishwa hii inafanya kuunda fujo la kificho rahisi ambapo hakuna kubadilishana ikiwa ni pamoja na vipengele muhimu vya uzoefu huu ni imethibitishwa kwa uthibitisho wa vyombo vya utaratibu kutoka kwenye akaunti yako ya sasa ya wavuti vipengele vyote vya mstari wa malipo ya azure na pia huduma muhimu za mstari wa awali zinazotolewa iliyoboreshwa nafasi ya kazi ya mara kwa mara ambayo hutumia msimbo wako kubuni na harakati kwa njia ya juu juu ya vikao vya ganda la wingu the terminal ni kukutana wazi kabisa ikiwa ni pamoja na vifaa azure line line kama vile wahariri kiwango na vyombo ungependa kukuza jamu la jam la kuweka kwa wewe linajumuisha brendan burns mshirika wa washirika katika blogu zaidi ya hayo kumbukumbu zilizohifadhiwa kwenye sahani zinashikilia katika wingu la azure ili wateja waweze kuendelea ambapo waliondolewa katika kikao kinachofuata cha wingu kwa kushangaza wateja hawahitaji kuwa kwenye gadget sawa au mfumo wa kuendelea na kikao
2018-07-23T01:37:50
https://itstechschool.com/sw/microsoft-corporation-declares-new-cloud-support-for-azure-portal/
makampuni ya ulinzi yasiyosajiliwa kwenye mfumo wa psgp kufungiwa dar24 1 month ago comments off on makampuni ya ulinzi yasiyosajiliwa kwenye mfumo wa psgp kufungiwa jeshi la polisi nchini limesema askari wote wa kampuni binafsi za ulinzi nchini ambao watakuwa hawajapatiwa mafunzo na kusajiliwa kwenye mfumo wa uboreshaji wa sekta ya ulinzi binafsi (psgp) hawataruhusiwa kujihusisha na kazi za ulinzi baada ya desemba 31 2020 hayo yamebainishwa leo februari 28 2020 na kamishna msaidizi mwandamizi wa jeshi la polisi narsis msama katika kikao cha wamiliki na wakurugenzi wa makampuni binafsi ya ulinzi nchini amesema endapo wahusika hawatafanikisha suala la kuwapatia mafunzo wafanyakazi wao na kuwasajili kwenye kanzi data ya psgp jeshi la polisi litawazuia kufanya kazi kwani itakuwa ni kinyume na maelekezo ya jeshi hilo na maazimio ya kikao hicho kampuni ya ulinzi isiyotoa mafunzo kwa wafanyakazi wake na kuwasajili kwenye mfumo [wa psgp] ina maana sisi tutamzuia mlinzi wake kufanya kazi na hii ina maana kuwa kampuni itakuwa imezuiwa pia kufanya kazi mpaka pale watakapokamilisha taratibu husika amefafanua kamishna msama awali akiongea katika kikao hicho mkurugenzi wa miradi wa kampuni ya data vision international macmillan george amesema kwa ushirikiano wa wadau wa sekta binafsi ya ulinzi na jeshi la polisi wamebuni mfumo wa kusimamia sekta ya ulinzi nchini ili kuhakikisha kuwa wadau kwenye sekta hiyo wanafaidika na wananchi wanapata huduma ya ulinzi yenye uhakika zaidi wa usalama amesema mbali na hatua hiyo ambayo inakumbusha juu ya umuhimu wa utunzaji wa taarifa za makampuni pia mkutano huo umezindua rasmi utaratibu huo kwa kukutana na wakurugenzi hao wa makampuni binafsi 60 yanayotoa huduma za ulinzi jijini dodoma mfumo huu ni wazi kuwa utaratibu utunzaji wa kumbukumbu na taarifa mbalimbali katika sekta binafsi ya ulinzi kwa kushirikianana jeshi la polisi na ndio maana leo tumekutana hapa dodoma na wamiliki wa kampuni binafsi za ulinzi amesema goerge aidha george amebainisha kuwa mfumo huo pia utasaidia kuhifadhi taarifa za watumishi wa sekta ya ulinzi binafsi ili kupunguza vitendo vya walinzi kuacha kazi kiholela na matukio ya uhalifu hakikiwemo masuala ya taarifa za afya na kifedha kama mnavyojua nchi haiwezi kuendelea au kupata maendeleo iwapo hakuna sekta ya ulinzi ambayo ni imara na ili uwe imara unahitaji mipango thabiti ya kimkakati ili kujiimarisha na kuleta matokeo chanya amefafanua mkurugenzi george amesema mradi huo ambao pia ni wa kuwasajili askari na watumishi katika sekta binafsi sio tu utawasajili na kutunza kumbukumbu bali pia utasaifia kuondoa dhana ya watumishi kuacha kazi kiholela na kuhama kampuni utunzaji huu wa kumbukumbu na usajili utawafanya askari kutambulika na hata kukopesheka na taasisi mbalimbali za kifedha kwakuwa taarifa zao zitakua ni halali na zenye uthibitisho wa mamlaka mbalimbali za kiserikali amefafanua andala afya/habari 2 hours ago comments off on kizimbani kwa kuzalisha na kupelekea kifo cha mama na vichanga afya/habari 3 hours ago comments off on mtwara ruksa kunywa gongo ya mabibo
2020-04-02T11:52:18
http://dar24.com/makampuni-binafsi-ya-ulinzi-yasiyosajiliwa-kwenye-mfumo-wa-psgp-kupigwa-stop/
mbuta nanga blogmagazine/ since 2011 top in town' *in you been snap blog * happy first holy communion to kerry & christina malongo2012 jamani mwaikumbuka siku yenu yakupokea komunyo ya kwanza send me photos na habari to flo1974@btinternetcom *in you been snap blog * happy first holy communion to kerry & christina malongo2012 jamani mwaikumbuka siku yenu yakupokea komunyo ya kwanza send me photos na habari to flo1974@btinternetcom gorgeous kerry with her cute brother kerry's shoes so pretty nimevipenda sana na vyanikumbusha wakati wangu wakupokea komunyo yani nilipokea na kiatu changu cha kimoka nilicholetewa kutoka dar na dada yangu mkubwa blandinaaniguse nani hahahhaaajamani mwakumbuka vimoka na machachacha kutoka kenye the blessing cake watoto walokomunyika wakipigwa picha ya pamoja huku wakijiandaa kuikata cake yao bora huku ulaya kanisani wanawapa cake kule moshi kilema sijawahi kuona yani mnatoka kanisani na njaa zenu mkikimbilia nyumbani kwa aliye wakwanza kula kwake katika kundi lenu mlojichagua kusherekea pamoja siku hiyokwani sisi tulikuwa tunajichagua kimakundi basi tulikuwa tunajichagua wale wenye uwezo uwezo ama kweli yawezakuwa (dhambi) kwani wale wenyeuwezo kwao ndo tulikuwa tunajichagua tukijua huko tutakula kunywa masoda na kuzawadiwa kwa hali ya juunakumba miaka ya 80 ndiyo mimi nilipata komunyo ya kwanza na tulikuwa kundi la watoto 6 yani tulikula mpaka tukataapika tukachangiwa mahela bila kusahau sodayani unapata soda siku hiyo mpaka unatamani siku zigandeeuendelee kunywa soda tusi mwajua enzi zile kupata soda kwa watoto vijijini ni kama ndoto so pretty christina malongo jamani kapendezajesiamini vile nilivyokumbuka wakati wangu wakukomunyika na kupokea kipaimarayani naandika hapa najiona kabisa vile tulivyokuwa tunasimama kanisani pale kilema parokeani na kupiga mapicha kibao huku tukiimba nyimba za bikira maria tukiingia kanisani wimbo tumsifu mwanao yesu maria asamehe makosa yetu atuondoe mashaka yote maria yaliyomo moyoni mwetu x2 the prettys of mr malongo alokomunyika christina na dada yake mkubwa cherelle anonymous 21 may 2012 at 1945 thanks for wishing kerry well on her day x wwwmissfbknitwearlyimocouk 21 may 2012 at 2208 your welcome my dearstay bless always xx
2018-05-26T15:54:12
http://missfbknitwearlyimo.blogspot.com/2012/05/in-you-been-snap-blog-happy-first-holy.html
unapaswa kujua kuwa mungu wa vitendo ni mungu mwenyewe 29 july 2019 shuhuda kwa neema ya mungu home » 2019 » july » 29 » unapaswa kujua kuwa mungu wa vitendo ni mungu mwenyewe views 55 | added by flickrpinquorettfb | tags kazi ya mungu kazi ya roho mtakatifu kupata mwili mungu mwenyewe | rating 00/0
2020-08-05T12:44:39
https://praise-god.ucoz.net/news/kujua_ni_mungu_mwenyewe/2019-07-29-111
nani anaelekeza taifa hili kwenye maangamizi haya by mwandishi maalum 28th june 2012 mgomo wa madaktari umeingia katika sura mpya na mbaya zaidi hali hii inajidhihirisha katika mkanganyiko mkubwa ambao hakika hauna maelezo ya kuweka bayana ni nini hasa kinaendelea wakati leo ni siku ya saba tangu mgomo huu uanze jumamosi iliyopita licha ya kuweko kwa amri ya mahakama ya kuusitisha hali imezidi kuwa ya kizungumkuti mno mvutano huu wa serikali na madaktari ulilipuka mapema mwaka huu hali iliyosababisha mgomo uliotanda kwa takribani mwezi mmoja kati ya januari na februari serikali iliingilia kati kwa njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na kupeleka madaktari wa jeshi pale muhimbili kuokoa jahazi lakini baadaye hali ilikuwa mbaya zaidi mwishowe serikali na madaktari wakaamua kukaa meza moja na kupatana jinsi ya kutatua madai ya madaktari yaliyokuwa yamesababisha mvutano na hatimaye mgomo wakati hali hii ikiendelea kuwa tete hivyo jana habari za kusikitisha zimeibuka kwamba aliyekuwa mwenyekiti wa jumuiya ya madakati katika kadhia yote hii tangu januari/februari dk stephen ulimboka ametekwa nyara na watu wasiojulikana akapigwa na kwa kweli ameumizwa sana habari hizi zilienea kama moto wa nyika na habari za kipolisi zinasema kuwa uchunguzi wa tukio hilo unaendelea ingawa hakuna aliyetiwa mikononi mwa dola hadi sasa kuhusiana na kadhia hiyo ukitafakari kwa kina sana hali hii inaibua hisia mbaya na shuku mbaya kwamba taifa letu sasa linaelekea kubaya pamoja na ukweli kwamba hatuungi mkono madaktari kugoma kwa sababu ya ukweli halisi wa nafasi yao katika kuokoa maisha ya wanadamu wanaosumbuliwa na maradhi mbalimbali na tukiwa wakati wote tunalalamika na kuiasa serikali itafute suluhu ya madai ya madaktari lakini pia hatuwezi pia kuunga mkono matukio ya kuteka watu na kuwapiga kwa nia yoyote ile iwe kuwakomesha au kutaka kukatisha maisha yao au kuwatisha madaktari ili waache mgomo ni kwa kutambua ukweli huu tunaitaka serikali ichukue hatua za haraka kujisafisha dhidi ya hisia hizi kwa kusimamia uchunguzi madhubuti ili kujua ni nani hasa alihusika katika kumteka nyara dk ulimboka kumpiga na kisha kwenda kumtupa porini bila hata kumpora chochote tunajua serikali imejiweka mbali na kuhusika kwake lakini katika mazingira ya tukio la hili hali inakuwa ngumu na ya mchanganyiko sana tunajua kila raia wa nchi hii ana uhuru wa kufanya atakalo kwenda atakako endapo kwa sababu yoyote ile ya kizembe ya bahati mbaya au ya kujitakia tu atavunja sheria yoyote ile basi mahali pekee pa kupelekwa ni mahakamani taifa hili haliwezi kuruhusiwa kuendekeza na kulea tabia ya vikundi vya kihuni vya kupanga au kutumwa kuwafanyia wengine uhalifu kama huu aliofanyiwa dk ulimboka kwa hakika hata hawa wanaotumwa kutekeleza ushenzi huu wajue tu damu wanazomwaga zitakuwa juu ya vichwa vyao na vizazi vyao haijalishi ni kwa kutii nguvu gani za giza au vinginevyo unasikitika kwamba tunaelekea kubaya kama taifa tunataka kuona uwajibikaji katika hili
2013-05-24T08:44:53
http://www.ippmedia.com/frontend/index.php/hl=23tion=com_content.com/3apps/pbcs.dll/c/62881-nasil-bir-kaza-bu/?l=43101
maisha bora kitabu trip lee tovuti rasmi kwa miaka nimekuwa kufanya muziki kuwa changamoto yetu maoni dunia na pointi kristo lakini kuna zimekuwa mapungufu muziki kwa sababu kuna kiasi tu unaweza kuwasiliana katika wimboanasema safari albamu alitoa wasikilizaji snapshots ya maisha bora na kitabu itakuwa zaidi kama mwongozo wa jinsi ya kuishi hivyo mimi nina kuomba kwamba kitabu hiki itasaidia msomaji kugeuka kutoka uongo na kuishi kwa njia tuliumbwa kuishi kwa kutumia ushuhuda binafsi ya maisha yake mwenyewe safari inahusu uongo kwamba wameambiwa na rangi mpya biblia picha ya maisha mema kuchunguza zote za maisha ikiwa ni pamoja na furaha mafanikio and morality in light of gods truth bora maisha redefines the term as not living to please yourself but living by faith in a good god maisha mema si kupanda hadi juu ya ngazi ya ushirika maisha mema ni si maisha yasiyo na wajibu wowoteanasema safari maisha mema ni wanaoishi katika sync na mungu na kumuunga yote ambayo ina kutoa kwetu katika kristo hakuna mgeni katika christian muziki eneo la tukio albamu safari ya kwanza laiti wangeli jua hit stores nationwide a few days after his high school graduation that same year yeye pia alishirikishwa kwenye dove awardkuteuliwa timeless classic yesu muzik na studio mate lecrae albamu sophomore safari ya20/20 ilitolewa katika 2008 na imefanikiwa mafanikio mengi kuvunja katika billboard top 200 kufikia #11 kwenye billboard christian albamu chati na kutua katika #4 injili chati pamoja albamu yake ya tatu studio kati ya walimwengu wote wawili trip offered a collection of reflections on life in a fallen world those reflections resonated with listeners as b2w debuted at #1 juu ya kikristo na injili chati za billboard #5 juu ya hip hop / rap itunes chati na #9 juu ya albamu bora itunes chati albamu pia wameteuliwa dove mbili na tuzo stellar kwa best gospel rap / hip hop album wa mwaka safari ya karibuni kutolewa albamu maisha bora ilipata kushika nafasi ya #2 wote juu ya jumla na hip hop itunes chati za wakati garnering #3 msimamo juu ya billboard ya hip hop chati kutua katika #17 juu ya juu 200 billboard chati na kuchukua #1 yanayopangwa kwenye kikristo na injili billboard chati safari amesafiri dunia maonyesho kwa maelfu ya wasikilizaji in conjunction with maisha bora trip is currently on a promotional nationwide tour and will be a featured msanii katika mbalimbali 2012 sherehe ikiwa ni pamoja na roho west coast atlanta fest na rock the maziwa miongoni mwa wengine kuhusu moody publishers kwa zaidi ya 115 miaka moody publishers amechapisha kuaminika substantive material that focuses on the most important issues in life they continue to meet the needs of a growing and changing marketplace with products of the highest quality njia ya vitabu jadi kuchapishwa njia ya bidhaa za redio na video and now through ebooks for select electronic readers kwa habari zaidi please visit http//wwwmoodypublisherscom/ kuhusu reach records na reachlife ministries kufikia records na reachlife ministries kujitahidi kuziba pengo kati ya ukweli wa biblia na mazingira ya mijini ilianzishwa mwaka 2003 reach records ni mkristo muziki studio wakfu kwa kutumia muziki kama njia ya kufikia jamii ya mijini kwa njia bibilia sauti wakati reach records kutoa ajira kwa muziki kufunua ukweli wa biblia reachlife ministries aims to empower ministry leaders with this music in order to grow the urban church kwa habari zaidi na orodha ya matukio yanayokuja reach records na reachlife ministries please visit http//reachrecordscom for more information about reachlife please visit http//reachlifeorg/ sabahspsalm777 • agosti 19 2013 katika 851 am • jibu michael glaze • agosti 19 2013 katika 852 am • jibu ajabu you should come out to moody bible institute spokane for a release concert )
2020-02-21T18:27:05
https://builttobrag.com/the-good-life-the-book/?lang=sw
wwwbukobasportscom droo ya europa leayafanyika hii leo ijumaa liverpool wapangwa na manchester united droo ya europa leayafanyika hii leo ijumaa liverpool wapangwa na manchester united manchester united wamepangwa kucheza na liverpool kwenye raundi ya mtoano ya timu 16 ya uefa europa ligi droo ya raundi hii imefanyika leo mjini nyon uswisi mechi za kwanza za raundi hii zitafanyika alhamisi machi 10 na marudiano ni machi 17 man united wataanzia ugenini huko anfield na kumalizia kwao old trafford msimu huu man united na liverpool zishakutana kwenye ligi kuu england na man united kushinda mechi zote mbili 31 ndani ya old trafford na 10 huko anfield timu nyingine ya england ambayo ipo hatua hii ni tottenham ambayo imepangwa kucheza na borussia dortmund ya germany round of 16 ties to be played march 10 and 17
2017-11-24T00:10:30
http://www.bukobasports.com/2016/02/live-europa-league-draw.html
michuzi blog magazeti ya jumamosi leo agosti 192017 ' if(imglength>=1) { imgtag = ' saturday august 19 2017 ~ copyright michuzi blog ~ mtumie rafiki yako maoni 0
2018-03-22T21:35:24
https://issamichuzi.blogspot.com/2017/08/magazeti-ya-jumamosi-leo-agosti-192017.html
(showing articles 4021 to 4040 of 37949) 01/10/141000 _naibu katibu mkuu w 01/10/141130 _askari polisi na as 01/10/142302 _mdau bushiri kauban 01/10/142308 _bongo movies ya joy 01/11/140925 _safari ya mwisho ya 01/11/141222 _kampuni ya vijana w 01/11/141224 _wafanyabiashara wa 01/11/141227 _benki ya nmb yakabi 01/11/141229 _rais kikwete apokea 01/11/141241 _matembezi ya hiyari 01/11/141244 _zanzibar photogarph 01/11/142345 _mkuu wa mkoa wa ruk 01/12/140358 _tumejifunza mengi 01/12/140430 _wanawake viongozi w 01/12/140522 _wema sepetu in my 01/12/140629 _sherehe za miaka 50 01/12/140632 _miaka 50 ya mapindu 01/12/141130 _rais kikwete atang 01/12/141135 _tanzania joins forc 01/12/141141 _chadema yatoa taari older | 1 | | 200 | 201 | (page 202) | 203 | 204 | | 1898 | newer 01/10/141000 naibu katibu mkuu wizara ya habarivijanautamaduni na michezo amaliza ziara yake katika mkoa wa pwani mkurugenzi mtendaji halmashauri ya wilaya ya kisarawe bimwanamvua mrindoko akimweleza naibu katibu mkuu wizara ya habarivijanautamaduni na michezo profelisante ole gabriel(mwenyeshati jeusi) mpango wa kuendelea kuwawezesha vijana katika halmashauri yake kwa kutekeleza mipango mbalimbali iliyowekwa ikiwamo kutoa mafunzo kwa vijana na kuongeza bajeti hadi kufikia shilingi milioni 40 kutoka milioni 10 iliyokuwa inatolewa hapo awali kwa mwaka wa fedha 20142015wakati wa ziara ya naibu katibu mkuu wizara ya habarivijanautamaduni na michezo kuangalia shuguhuli mbalimbali za vijana zinazoratibiwa na wilaya hiyo naibu katibu mkuu wizara ya habarivijanautamaduni na michezo profelisante ole gabriel(mwenyeshati jeusi) akiongea na vijana wa kikundi cha bodaboda wakati wakati wa ziara ya naibu katibu mkuu wizara ya habarivijanautamaduni na michezo kuangalia shuguhli mbalimbali za vijana leo katika wilaya ya kisarawe naibu katibu mkuu wizara ya habarivijanautamaduni na michezo profelisante ole gabriel(mwenye suti jeusi) akiwa katika picha ya pamoja na vijana wa kikundi cha bodaboda kutoka katika wilaya ya kisarawe wakati wa ziara yake ya kuangalia shuguhuli mbalimbali za vijana zinazoratibiwa na wilaya hiyo afisa maendeleo ya jamii ya vijana toka wilaya ya mkuranga bisafina msemo akimweleza naibu katibu mkuu wizara ya habarivijanautamaduni na michezo profelisante ole gabriel(kushoto) mafanikio yaliyotokana na utoaji wa asilimia tano(5) katika pato la halmashauri kwa ajili ya shughuli za vijanapia uandaaji wa kambi ya vijana ya siku 40 watakayoshirikiana na shirika la nyumba la taifa(nhc) kwa ajili ya kutoa mafunzo mbalimbali hasa katika sekta ya ujenzi wakati wa ziara ya naibu katibu mkuu wizara ya habarivijanautamaduni na michezo mkoani pwani naibu katibu mkuu wizara ya habarivijanautamaduni na michezo profelisante ole gabriel akimsisitiza afisa maendeleo ya jamii ya vijana toka wilaya ya mkuranga bisafina msemo(kulia) kuendelea kusimamia na kuratibu shughuli zinazotekelezwa na vijana katika wilaya hiyo ili kuweza kuwasaidia kuleta maendeleo kwa vijana naibu katibu mkuu wizara ya habarivijanautamaduni na michezo profelisante ole gabriel akisaini kitabu cha wageni alipotembelea kikundi cha mwamko farm group katika wilaya ya mkurangakulia kwake ni katibu tawala wa wilaya ya mkuranga bi joyce nampesya na mbele yake ni mwenyekiti wa kikundi hicho bwhemed kassim wanakikundi cha mwamko farm group toka wilaya ya mkuranga eneo la kimanzichana wakimsikiliza naibu katibu mkuu wizara ya habarivijanautamaduni na michezo profelisante ole gabriel wakati wa ziara yake mkoani pwani sehemu ya miradi wa kikundi cha mwamko farm group toka wilaya ya mkurangambali na ufyatuaji wa matofali pia wanajishughulisha na ulimaji wa miti ya miembe na uuzaji wa maji kwa wanakijiji wa eneo hilo kutokana na visima viwili wanavyovimiliki naibu katibu mkuu wizara ya habarivijanautamaduni na michezo profelisante ole gabriel akiwa katika picha ya pamoja na wanakikundi cha mwamko farm group na baadhi ya maafisa toka wilaya ya mkuraga mwanakikundi cha nampula carvings bwsteven mwidumbi akimuonesha naibu katibu mkuu wizara ya habarivijanautamaduni na michezo profelisante ole gabriel(mwenye suti nyeusi) kinyago mfano wa nyani wanaodandia mitiwakati alipowatembelea leo katika wilaya ya mkuranga (picha zote na hassan silayomaelezo) 01/10/141130 askari polisi na askari magereza wafikishwa mahakamani kwa ujambazi wa kutumia silaha mbeya ulinzi ukiimarishwa baada ya watuhumiwa wa ujambazi kufikishwa mahakamani mbele ni mshitakiwa wa nne mbaruku hamis akiingia mahakamani kutoka kushoto ni mshitakiwa wa pili elinanzi eliabu mshana mshtakiwa wa nne mbaruku hamis mshitakiwa wa tatu juma mussa ambaye aliyekuwa askari magereza kwa cheo cha sajini anaefuatia ni mshtakiwa wa kwanza pc james aliyekuwa askari polisi wilaya ya mbeya na wa mwisho ni mshitakiwa wa tano amri kihenya wa kwanza kushoto aliye vaa shati la draft ni dereva ezekia matatila (34) pamoja na wasikilizaji moja ya gari lililotumika kufanya uharifu wa unyang'anyi wa kutumia silaha washitakiwa wanne kati ya watano kutoka kushoto juu hadi wa nne wakiwa wanatoka mahakamani chini ya ulinzi mkali mwenye jaketi la njano ndiye mshitakiwa namba moja pc james katikati ni mke wa mshitakiwa wa tatu ambaye ni askari magereza sajini juma mussa hata hivyo mwanamke huyo alizirai mahakamani wakati mumewe akiwa kizimbani askari wawili wa jeshi la polisi na magereza pamoja na watu watatu ambao ni raia wa kawaida wamefikishwa katika mahakama ya wilaya ya mbeya wakituhumiwa kwa ujambazi wa kutumia silaha watuhumiwa hao watano kwa pamoja walifikishwa jana mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya mbeya michael mteite wakituhumiwa kwa kosa moja la unyanganyi wa kutumia silaha kinyume cha sheria kifungu cha 287 sura ya 16 kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002 mwendesha mashtaka wa serikali archiles mulisa aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni mshitakiwa namba moja ambaye ni askari polisi pc james mwenye namba f8302 wa wilaya ya mbeya ambaye kabla ya kufikishwa mahakamani alivuliwa uaskari baada ya kuhukumiwa kijeshi aliwataja wengine kuwa ni mshtakiwa namba mbili kuwa ni elinanzi mshana(22)mkazi wa iyela jijini mbeya askari magereza mwenye namba b 500 sajenti juma mussa(37) wa gereza la ruanda mbeyambaruku hamis(29) mkazi wa iyela na amri kihenya(38) mkazi wa iyela akisoma mashtaka yao mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo michael mteite mulisa alisema watuhumiwa hao walitenda kosa hilo januari 3 mwaka huu majira ya saa 11 jioni katika eneo la mlima kawetere barabara ya mbeya chunya aliongeza kuwa mbinu iliyotumika ni watuhumiwa ni watuhumiwa hao kutega magogo barabarani huku wakiomba msaada kwa madai kuwa magari yao yameharibika na ndipo baada ya wahanga kusimama waliwapora vitu vyao wakiwa na mapanga ambavyo ni pesa shilingi milioni 35 mabegi matatu yenye nguo mbali mbali yenye nguo kompyuta mpakato simu aina ya sumsung yenye thamani ya shilingi laki mbili pamoja na simu ya dereva aina ya tekno ambayo aliitambua mahakani na kutumika kama kielelezo hata hivyo watuhumiwa wote kwa pamoja walikana kuhusika na matukio hayo ambapo upande wa mashtaka ulileta shahidi mmoja ambaye ni dereva wa pick up ezekia matatira ambaye aliwatambua washtakiwa wote watano na kuiambia mahakama kuwa siku hiyo ya tukio aliagizwa na bosi wake kwamba awapeleke wageni chunya na ndipo alipotekwa katika eneo hilo huku watekaji wakiagizwa na maaskari na yeye kufungwa pingu na kutishiwa na panga aidha kutokana na kesi hiyo hakimu mteite aliahirisha kesi hiyo hadi januari 15 mwaka huu ambapo upande wa mashtaka utaleta mashahidi wengine huku watuhumiwa wakirudishwa rumande baada ya dhamana yao kufungwa ezekiel kamanga mbeya yetu blog 01/10/142302 mdau bushiri kaubanika na mwatabu tamarawe wameremeta bwana bushiri kaubanika akiwa na nyuso ya furaha baada ya kufunga pingu za maisha na mwatabu tamarawe bwana bushiri kaubanika akiwa na nyuso ya furaha baada ya kufunga pingu za maisha na mwatabu tamarawe arusi iliyofungwa gongolamboto mwisho wa lami na kufuatiwa na tafrilija iliyofanyika kigogo dampo dar es salaam maharusi wote ni walimu wa shule 01/10/142308 bongo movies ya joyce kiria yarudi upya katika luninga yako msanii pastor myamba akiwa na crew ya bongo movies wakionesha alama ya 5 kama ishara ya kutua eatv hivi karibuni ilikuwa inaongozwa na super woman joyce kiria safari hii inarudi ikiwa na watangazaji wapya kabisa je unawafahamu usikose kuiona studio mpya full red carpert kauli mbiu ya msimu mpya ni wasanii tuwe mifano bora katika jamii unachotakiwa kufanya ni kuendelea kutazama luninga yako kupitia kituo bora cha vijana ting'a namba moja eatv hivi karibuni bongo movies inatua tena yes ni very soon tuwe pamoja katika kuhakikisha tunanyanyua na kuendeleza tasnia ya sanaa na wasanii hapa nchini bongo movies inachonga barabara wengine wanafuata msanii anayefanana na marehemu kanumba lutazwa akiwa na crew ya bongo movies lutazwa selina na hagai 01/11/140925 safari ya mwisho ya maheremu sultan sekilo jeneza lenye mwili wa marehemu sultan sikiloaliekuwa mweka hazina wa chama cha waandishi wa habari za michezo tanzania (taswa) na mchezaji wa timu ya waandishi wa habari za michezo taswa fc ambaye pia alikuwa mtangazaji wa radio aboud ya mjini morogoroukitolewa ndani ya nyumba yaoeneo la mbagala maji matitu kwa ajili ya kusaliwa na kuanza kwa safari ya kwenda mashikoni waumini wa kiislam wakiswalia mwili wa marehemu sultan sikilo jeneza lenye mwili wa marehemu sultan sikilo likiwa limebebwa tayari kwa safari ya kwenda kwenye nyumba ya milele wadau mbali mbali wakishirikiana kubeba jeneza lenye mwili wa marehemu sultan sikilo taratibu za mazishi wadau mbali mbali wakishiriki kwenye mazishi la marehemu sultan sikilo leo kwenye makaburi ya kibadakigamboni jijini dar es salaam 01/11/141222 kampuni ya vijana wa kitanzania ya (china word buz) kuwakomboa wafanyabiashara wadogo na wa kati ofisa mtendaji mkuu wa kampuni ya china word buz na mwakilishi wa wamiliki wa viwanda 45 nchini china vilivyoingia mkataba wa kibiashara na kampuni hiyo china bwana cheng wang wu kushoto akiwasili kwenye uwanja wa ndege wa mwalimu jknyerere huku akiwa ameongozana na meneja mkuu wa kampuni hiyo nchini china justin luvanda wakilakiwa na ofisa mtendaji mkuu wa kampuni hiyo hapa nchini bw shafii mwaijande kampuni hiyo imeanzishwa nchini ikiwa na lengo la kuwakomboa na kuwasaidia wafanya biashara wadogo na wa kati nchini tanzania ili kutafuta masoko na kuwapa taarifa sahihi za masoko na biashara nchini china ambapo wanatarajia kuendesha semina kwa wafanya biashara katika mikoa ya dar es salaam arusha mwanza na mbeya meneja mkuu wa kampuni hiyo nchini china justin luvanda akizungumza na waandishi wa habari kwenye uwanja wa ndege wa mwalimu jk nyerere mara baada ya kwasili akitokea nchini china na ujumbe wa wafanya biashara wenzake kushoto ni ofisa mtendaji mkuu wa kampuni ya china word buz nchini china bwana cheng wang wu na kulia ni mtendaji mkuu wa kampuni hiyo hapa nchini bw shafii mwaijande ofisa mtendaji mkuu wa kampuni hiyo hapa nchini bw shafii mwaijande wa pili kutoka kulia meneja mkuu wa kampuni hiyo nchini china justin luvanda wa tatu kutoka kulia na ofisa mtendaji mkuu wa kampuni ya china word buz nchini china bwana cheng wang wu wa tatu kutoka kushoto wakiwa na wafanya biashara wenzao meneja mkuu wa kampuni hiyo nchini china justin luvanda akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari 01/11/141224 wafanyabiashara wa stendi ya daladala ya jamatini wanafanya kazi kwenye mazingira magumu kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha mkoani dodoma muuza chipsi akiendelea kuwaaandalia wateja wake huku maji machafu yakiwa yametuama kibandani hapo hali inayotishia afya za wateja wao huku kilio cha wafanyabiashara hao kikielekezwa ofisi ya mhandisi wa manispaa kwa wanaotoza kodi wateja wakiendelea kupata huduma ya chakula kwa mama lishe bila kujali maji machafu yaliyotuama katika eneo hilo lililopo katika kituo cha daladala jamatini dodoma iliyisababisha na kukosekana kwa miundombinu maji yakiwa yamezagaa katika vibanda vya wafanya biashara wa chakula (mama na baba lishe) kutokana na kukosekana na miundombinu ya kupitishi maji pindi mvua zinaponyesha na john banda dodoma wafanyabiashara wa chakula (mama lishe) wamo hatarini kupata magonjwa ya kuambukiza yakiwemo kipindupindu kutokana na maji ya mvua kutuama kwenye vibanda vyao ikiwemo kutengeneza harufu mbaya kutokana na kukaa kwa muda mrefu mvua hizo zilizoanza kunyesha tangu mwishoni mwa mwezi uliopita zimekuwa zikisababisha kutuama kwa maji katika vibanda vya mama lishe wanaotoa huduma ya chakula katika kituo cha daladala jamatini dodoma wakiongea kwa niaba ya wenzao martha mboma zuhura salumu na doris rebman walisema maji hayo yamewasababishia kuishi kwa hofu ya afya zao kudhurika kutokana na uchafu unaosukumwa kutoka maeneo tofauti na kisha kuishia kwenye vibanda vyao walisema hali hiyo imewasababishia kupoteza wateja ambao wanashindwa kwenda kupata huduma hiyo kutokana na kuhofia afya zao na wakati wao wamekuwa wakilipa manispaa kodi kila mwisho wa mwezi ona mwenyewe ndugu mwandishi kuna vinyesi vinaletwa na maji lakini pia watu wasio wastaarabu wamekuwa wakijisaidia haja ndogo kwenye chupa na kuzitupia kwenye maji hayo unadhani afya zetu zitakuwaje na hata hao wateja watakujaje au hawajipendi alisema mboma aidha alisema mvua hizo zilizoanza kunyesha tarehe des 23 2013 usiku zilijaza maji hayo na yakaa kwa muda mrefu kiasi cha kutengeza harufu kali iliyosababisha usumbufu kwa wafanyabiashara japo wengine wameonekana hawaijali hali hiyo na kuendelea kutoa huduma bila kutafuta ufumbuzi alisema tatizo hilo linatokana na ujenzi wa stendi hiyo mpya ambao haukuzingatia maji pindi mvua zitakapo nyesha ndiyo sababu ya walitengeneza bonde ambalo linaonekana kupokea maji toka pande zote wakati hakuna njia ya kuyatolea na wao kuruhusu mama lishe wapewe maeneo katika eneo hilo kwa upande wake mwenyekiti wa wafanyabiashara hao haji kulaya alisema tatizo hilo ni kubwa na tayali wameshawaona ofisi ya mhandisi wa manispaa zaidi ya mara nne kwa siku tofauti lakini wameshindwa kuchukua hatua yoyote zaidi ya kuishia kufika na kuangalia na kisha kutokomea kwa upande wake mhandisi wa manispaa john kitilla akiongea kwa njia ya simu alisema bado hajapata taarifa hiyo lakini atatuma watu kwenda kuona hali iliyopo na kisha watajua chakufanya baada ya kuona hali halisi iliyopo chanzo pamoja blog 01/11/141227 benki ya nmb yakabidhi tisheti za miaka 50 ya mapinduzi kwa vijana wa mkoa wa kusini pemba naibu katibu wa makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mohamed hamis akipokea sehemu ya tisheti maalum kwa niaba ya makamu kutoka kwa meneja wa nmb tawi la zanzibar town bakari hamis mohamed kwa ajili ya vijana wa mkoa wa kusini pemba zitakazotumika katika sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya mapinduzi matukufu ya zanzibar zinazofanyika kesho kwenye uwanja wa amani mjini zanzibar katikati ni meneja wa huduma kwa wateja wa benki hiyo abuu msagula picha na omr 01/11/141229 rais kikwete apokea hati za utambulisho toka kwa balozi mpya wa comoro nchini tanzania leo rais jakaya mrisho kikwete akipokea hati za utambulisho kutoka kwa balozi wa comoro mhe ahamed el badaoui mohamed fakih ikulu jijini dar es salaam leo january 11 2014 rais jakaya mrisho kikwete akimtambulisha waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa mhe bernard membe kwa balozi wa comoro mhe ahamed el badaoui mohamed fakih ikulu jijini dar es salaam leo january 11 2014 rais jakaya mrisho kikwete akiangalia ngao aliyopewa zawadi baada ya ku[okea hati za utambulisho kutoka kwa balozi wa comoro mhe ahamed el badaoui mohamed fakih ikulu jijini dar es salaam leo january 11 2014 rais jakaya mrisho kikwete akiongea na balozi wa comoro mhe ahamed el badaoui mohamed fakih baada ya kupokea hati zake za utambulisho ikulu jijini dar es salaam leo january 11 2014 aliyeketi kushoto ni mkalimani picha na ikulu 01/11/141241 matembezi ya hiyari kwamiguu dar mpka moro yaanza rasmi leo mratibu wa matembezi ya hiyari kwamiguu yajulikanayo kwa jina la matembezi ya nchi yangu wajibu wangu utaifa kwnzabw matukio chuma (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na washiriki wa matembezi hayo kabla yakuanza matembezi kueleke mkoa wa morogoro yalionzia mbezi jijini dar es salaam leo januariy 11 2014 ya kilometa 200 yatakayochua siku kumi(kushoto) mwanakikundi kutoka umoja wa vijanabw athumani ali ambae anawakilisha wanachama wenzie wapatao 80 (kulia) mwanafunzi kutoka shule ya st joseph univerty bw joseph serengeta akiwakilisha wanafunzi wa shule hiyo kwa mujibu wa muandaaji bw matukio chuma lengo la matembezi hayo yamelenga kuenzi mchango mkubwa na kuthamini kujitoa mhanga kwa waanzilishi wa utaifa wetu (hayati) mwl julius kambarage nyerere abeid amani karume edward moringe sokoine na wengineo ambao walisimama kidete na leo tukawa na taifa likaitwa tanzania hapa safari imepambamba moto dar mpaka moro eneo la kibaha mratibu wa matembezi ya hiyari matukio chuma 01/11/141244 zanzibar photogarphic journey presented to former prime minister edward lowassa javed jafferji tanzania top photogarpher and film maker had a pleasure to present a copy of his new book zanzibar photographic journey 50 years of the revolution to former prime minister of united republic of tanzania edward lowassa in zanzibar prior to revolution day in zanzibar today the book consistd of 328 pages and it took almost one year to publish 01/11/142345 mkuu wa mkoa wa rukwa injinia stella manyanya ashiriki mkutano wa kuchagua viongozi wapya wa kanisa la kkkt sumbawanga mkuu wa mkoa wa rukwa injinia stella manyanya akizungumza kwenye mkutano mkuu wa 8 wa kanisa la kiinjili na kilutheri tanzania kkkt la mjini sumbawanga ambapo utafanyika uchaguzi mkuu wa kanisa hilo na kuzaa dayosisi mpya ya ukanda wa ziwa tanganyika katika hotuba yake hiyo aliwaasaviongozi na waumini wa kanisa hilo kuepukana na vitendo vya rushwa katika kuweka uongozi kanisani hapo pamoja na kuepukana na mambo maovu na machafu ikiwemo kudumisha amani ya nchi mkuu wa mkoa wa rukwa injinia stella manyanya akiimba moja ya wimbo wa maubiri na baba askofu mkuu wa kanisa katoliki jimbo la sumbawanga askofu damian kiaruzi wakiwa miongoni mwa wageni waalikwa katika mkutano huo kwaya ya kanisa hilo sehemu ya waumini na waalikwa katika mkutano huo mkuu wa mkoa wa rukwa akiagana na viongozi wa kanisa hilo na baadhi ya wageni waalikwa (picha ofisi ya mkuu wa mkoa rukwa) 01/12/140358 tumejifunza mengi kutoka tanzania algeria mkurugenzi mkuu wa nishati katika wizara ya nishati na migodi wa algeria bw bourraondj mohamed tawar amesema serikali ya algeria imejifunza mambo mengi katika sekta ya madini kufuatia ziara yao nchini tanzania aliyasema hayo jana wakati wakihitimisha ziara yao nchini kwa kutembelea maeneo mbalimbali ikiwemo ya uchimbaji na uzalishaji wa madini ya tanzanite katika migodi ya tanzaniteone mererani na katika kiwanda cha kuzalisha mbolea ya kupanda ya minjingu mkoani arusha aliongeza kuwa ziara hiyo imekuwa ya manufaa kwa serikali yao kutokana na kwamba pamoja na kufanikiwa katika sekta ya gesi lakini wamejifunza mengi katika sekta ya madini na katika mbolea ya kupandia ya minjingu hatua ambayo imewawezesha kujifunza na kuona namna serikali ya tanzania inavyoshughulikia sekta hizo kuanzia uchimbaji teknolojia zinazotumika uuzaji na mambo yote yanayohusu sekta hizo aidha alieleza kuwa wamekutana na mambo mengi mapya likiwemo la uchimbaji wa mbolea ya kupandia ya minjingu inayochimbwa kutokana na masalia ya ndege aina ya flamingo ambayo masalia yake yamekuwepo kwa miaka mingi nilikuwa nikisoma tu katika vitabu lakini sasa nimeona mwenyewe kwa macho ni furaha sana na funzo kwetu kwasababu tunatumia njia nyingine kuzalisha mbolea ya kupandia na si kama hii ya masalia ya ndege aina ya flamingo inayotumiwa na tanzania alisema aidha aliongeza kuwa anaamini kuwa ushirikiano ulioanzishwa na nchi hizi mbili utakuwa wa manufaa kwa nchi zote na kuongeza kuwa anaamini kuwa ushirikiano huo utaharakishwa ili utekelezaji wake uanze haraka kwa upande wake mkurugenzi mtendaji wa kiwanda cha kuzalisha mbolea ya minjingu bw tosky hans alisema kuwa ziara hiyo ya wataalamu hao kutoka algeria ni mafanikio kwao kwasababu ushirikiano huo utasaidia kujifunza mambo mengi kutoka algeria ambao wamepiga hatua kubwa kiteknolojia na kitaaluma tutaangalia upande wa teknolojia wanatumia nini na kuzalisha nini kwasabababu nia yetu ni kuongeza uzalishaji kuwafikia wananchi wengi zaidi na kukidhi mahitaji ya mbolea kwa nchi za afrika mashariki alisema hans akielezea kuhusu kupata fursa ya kutembelea katika mbuga za wanyama katika bonde la ngorongoro bw bourraondj mohamed tawar alisema imekuwa ni furaha kwao kuona makundi makubwa ya wanyama mbalimbali na ndege katika mbuga hizo wakiwemo simba ambao walipata nafasi ya kuwaona vizuri vilevile alieleza kufurahishwa kwao kufika katika eneo la boma wanapoishi watanzania jamii ya maasai ambapo walishangazwa kuona namna maasai hao wanavyoishi jirani na wanyama wa porini wakati huo huo kamishna msaidizi kanda ya kaskazini mhandisi bw benjamini mchwampaka anayesimamia shughuli za utafutaji na uchimbaji wa madini amewataka wachimbaji na wamiliki wa migodi kufuata sheria na taratibu za leseni ikiwemo kulipa kodi aliongeza kuwa serikali haina ubaguzi kwa wachimbaji wakubwa au wadogo wote wanapewa fursa sawa tunawaangalia wachimbaji wote kwa usawa wafuate sheria wachimbe kwenye maeneo yao bila kuingiliana alisema mchwampaka vilevile aliwataka wachimbaji kuwa wazalendo kwa kulipa kodi kama inavyowapasa bila kufuatiliwa na maafisa madini na kuwataka wakumbuke kuwa tanzania itajengwa na watanzania wenyewe pale wanapotimiza wajibu wao kikamilifu 01/12/140430 wanawake viongozi wa kitaifa na mkoa wa dar es salaam waombwa kujitokeza kuungana na wanawake wengine sherehe ya maulid 01/12/140522 wema sepetu in my shoes episode 11 the finest show 01/12/140629 sherehe za miaka 50 ya mapinduzi zanzibar yafana rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mheshimiwa ali mohamed shein akikagua gwaride la heshima wakati wa kilele cha sherehe za miaka 50 ya mapoinduzi ya zanzibar katika uwanja wa amani abeid karume leo january 12 2014 vijana wakiachia njiwa kama alama ya amani wakati wa kilele cha sherehe za miaka 50 ya mapoinduzi ya zanzibar katika uwanja wa amani abeid karume leo january 12 2014 rais jakaya mrisho kikwete na rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mheshimiwa ali mohamed shein wakimpongeza rais yoweri kaguta museveni aliyeongea machache wakati wa kilele cha sherehe za miaka 50 ya mapoinduzi ya zanzibar katika uwanja wa amani abeid karume leo january 12 2014 rais jakaya mrisho kikwete akimpongeza rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mheshimiwa ali mohamed shein kwa hotuba nzuri aliyotoa wakati wa kilele cha sherehe za miaka 50 ya mapoinduzi ya zanzibar katika uwanja wa amani abeid karume leo january 12 2014 rais jakaya mrisho kikwete na rais yoweri kaguta museveni wakiongea wakati wa kilele cha sherehe za miaka 50 ya mapoinduzi ya zanzibar katika uwanja wa amani abeid karume leo january 12 2014picha na ikulu 01/12/140632 miaka 50 ya mapinduzi ilivyofana zanzibar leo rais wa zanzibar dkali mohamed shein akiwapungia wananchi wa zanzibar wakati akiingia kwenye uwanja wa amani na gari la wazi kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya mapinduzi rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkjakaya mrisho kikwete akiwapungia mamia ya wakazi wa zanzibar wakati akiwasili kwenye uwanja wa amani kwenye kilele cha sikukuu ya miaka ya 50 ya mapinduzi rais wa uganda yoweri kaguta museveni akisalimiana na baadhi ya viongozi waandamizi wa jeshi kwenye uwanja wa amani wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya mapinduzi ya zanzibar sehemu ya umati uliofurika wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya mapinduzi ya zanzibar rais wa serikali ya mapinduzi zanzibar dkali mohamed shein akikagua vikosi vya gwaride kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya mapinduzi ya zanzibar kwenye uwanja wa amani maandamano mbali mbali kutoka kwenye mikoa na taasisi za serikali na zisizo za serikali yalipita mbele ya jukwaa kuu na kutoa heshima kwa rais wa zanzibar na viongozi wengine wakina mama hawakuwa nyuma kwenye maandamano ya mika 50 ya mapinduzi kwenye uwanja wa amani zanzibar kikosi cha mbwa kikiingia uwanjani tayari kuonyesha umati wa watu jinsi mbwa wenye mafunzo wanavyoweza kufanya kazi zao vizuri askari wakionyesha jinsi askari waliokuwa chini ya mkoloni walivyokuwa wanafanya mambo yao ikiwa kila amri kutoka kwa lugha ya kiingereza kikosi cha makomandoo wakionyesha namna ya kupambana na maadui bila kutumia silaha za moto kwenye uwanja wa amani wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya mapinduzi ya zanzibar kikosi cha kifaru kinaonyesha kifaru cha kivita vijana wa halaiki wakionyesha ushiriki wao kwenye miaka 50 ya mapinduzi mapinduzi daima kikosi cha mapinduzi kilichopambana na kuleta mapinduzi ya zanzibar kikipita mbele ya jukwaa kuu na kutoa heshima kwa rais wa zanzibar dkali mohamed sheinkwenye kikosi hicho amebaki mwana mama mmoja anayefahamika kwa jina la fatma abdalla mussa watatu kutoka kulia sehemu ya jukwaa kuu la uwanja wa amani likiwa limefurika wakati wa sherehe za miaka 50 ya mapinduzi picha na adam mzee 01/12/141130 rais kikwete atangaza jumatatu januari 13 2014 siku ya mapumziko yalikuwa ni mapinduzi ya zanzibar yaliyofungua njia ya kuzaliwa kwa muungano wa tanganyika na zanzibar miezi mitatu baada ya mapinduzi hayo aprili 26 1964 naye rais wa zanzibarna mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mheshimiwa ali mohamed shein ametangaza kuwa kesho itakuwa siku ya mapumziko tanzania visiwani kusheherekea miaka 50 ya mapinduzi ya zanzibar rais shein alitangaza mapumziko hayo wakati alipohutubia wananchi kwenye uwanja wa michezo wa amaan mjini zanzibar katika kusherehekea miaka 50 ya mapinduzi naye rais wa zanzibarna mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mheshimiwa ali mohamed shein ametangaza kuwa kesho itakuwa siku ya mapumziko tanzania visiwani kusheherekea miaka 50 ya mapinduzi ya zanzibar 01/12/141135 tanzania joins forces with britain's no 1 school to unearth football talent by jestina george tanzania has taken the first step towards producing their first premier league player thanks to eton college englands premier public school eton coach glen pierce speaking at the press conference on friday 10 jan 2014 at tanzania house london together with safarihub and charity organisation ace africa eton are sending glen pierce head of sports plus ali lyon 19 nicholas zafirios 18 and tom pearson18 who are on a gap year before starting university to tanzania to teach local children the finer arts of football ali has already passed his level 1 football association coaching badge and the quartet cannot wait for the challenge ahead of them coach glen pierce with eton students who will be travelling to tanzania nicolas zafiriou ali lyon and tom pearson pierce said we are about to embark on a wonderful trip i have taught at eton for 27 years and was offered the opportunity to take a sabbatical this is an chance to see a new country with boys i tutored we shall be going into schools to coach and to encourage kids to attend school through football if they do not go to school they will not have this opportunity we want to attract them to go to school and football is the icing on the cake i hope the boys will be an encouragement to local kids eton was founded in 1440 and among the colleges more recent famous old boys are prime minister david cameron mayor of london boris johnson the archbishop of canterbury plus prince harry and prince william who pierce taught minister counsellor amos msanjila speaking freddy macha & urban pulse amos msanjila minister counselor of the high commission did not hide his pride about the venture he said we are honoured to have the boys going because eton is not a normal school in tanzania we do not have a culture of different schools but i have been in england long enough to know which school you attend matters eton has produced 19 prime ministers so as i said it is not a normal school the boys could have gone to any country in africa indeed in the world and we have so much pleasure that they chose tanzania director of safari hub dilip navapurkar speaking at the press conference on friday 10 jan 2014 at tanzania house london dilip navapurkar from safarihub said i recently formed the company and one aim is to set up a pilot scheme to play football we hope to see tanzania qualify for the world cup for the first time and produce some topclass premier league footballers but it will not happen overnight tanzania has the raw talent it is our belief that we will one day produce players who will perform on the world's biggest stage john collenette chairman of ace africa and future stars academy said i have been in tanzania for five years and i am particularly excited about this venture children have different problems to confront in their daily lives and we are committed to help them high commissioner peter kallaghe speaking at the press conference on friday 10 jan 2014 at tanzania house london peter kallaghe the high commissioner hosted a reception in london on friday to announce the collaboration with eton college and sent the football party away with his best wishes he saidwe are greatly honoured by this initiative we are fully behind a wonderful plan eton has produced 19 british prime ministers maybe we have the 20th travelling to tanzania this weekend high commissioner pete kallaghe poses with guests after the press conferenceimages by urban pulse 01/12/141141 chadema yatoa taarifa kuhusu tuhuma dhidi ya mwenyekiti wake wa taifa freeman mbowe kuhusu tuhuma dhidi ya mwenyekiti wa taifa freeman mbowe 1 kwamba mwenyekiti wa chadema taifa mwaka 2005 eti alichukua fedha kutoka kwa mbunge wa musoma vijijini (ccm) nimrod mkono kiasi cha shmilioni 40 ili mwenyekiti mbowe asifanye kampeni katika jimbo hilo
2019-12-13T17:15:47
http://jiachie1.rssing.com/chan-7007640/all_p202.html
rais kagame alipokea waziri mkuu wa ethiopia swahili home habari mpya rais kagame alipokea waziri mkuu wa ethiopia rais kagame alipokea waziri mkuu wa ethiopia tarehe ya april 28 2017 65831 amndani habari mpyahakuna maoni rais wa jamhuri ya rwanda paul kagame akiwa pamoja na mke wake walipokea waziri mkuu wa ethiopia hailemariam desalegn akiwa pamoja na mkeo roman tesfaye walio kuja rwanda katika ziara kikazi siku tatu tangu tarehe 27 april 2017 inatarajiwa kuwa waziri mkuu desalegn atatembelea mambo tofauti ya maendeleo katika wilaya ya rwamagana rais kagame alikua ethiopoa mwezi februari katika mkutanao wa 28 wa nchi zinazo unda umoja wa afrika katika maongezi ya rais kagame pamoja na waziri mkuu desalegn wakati huo walijali siasa ya wilaya na afrika rais alisema kwamba ushirikianao kati nchi hizi itatatua mambo mengi kuhusu maisha mema na uchumi kati yao rwanda pamoja na ethiopia hushirikiana katika ngazi tofauti pakiwemo ya kijeshi biashara usafirisaji wa anga elimu na mengine 1612 total views 14 views today
2017-05-23T05:02:38
http://swahili.bwiza.com/blog/2017/04/28/rais-kagame-alipokea-waziri-mkuu-wa-ethiopia/
st aggrey college of health sciences mbeya st aggrey college of health sciences mbeya published 27 march 2013 | by mshauri st aggrey college of health sciences mbeya reg/has/116p chuo cha ufundi cha binafsi kilichopata usajili wa muda mbeya imeorodheshwa kupata uhakiki kamili walioona ni (230) posted in vyuo vya afya 6 responses to st aggrey college of health sciences mbeya peter on 24 april 2013 at 436 am hello ninge penda kufahamu fee structure ya clinical medicine ngazi ya cheti pamoja na chakula na makazi kwa mwaka huu ahsante matisulukaspiono on 10 december 2013 at 907 am natamani kujiunga na chuo chenu hapo mbeya(saint aggreyschool) nimekuwa wa pili kuuliza kwamba kwa mwaka katika kozi ya laboratory science nishilingi ngapije sisi tunaotoka iringa form tuta pata sehemu gani nawasilisha maria t kiswaga on 1 april 2014 at 351 pm natamani kujiunga na chuo chenu hapo mbeya ( staggrey ) nqaomba kuuliza kozi ya laboratory technique ni shilingi ngapi na kama kuna hosteli ni shilingi ngapi kama utaishi hosteli na kama unatokea iringa fomu zinapatikana wapi stephano on 11 january 2015 at 551 pm jinsi ya kujiunga na chuo chenuvigezo kwa diploma maabarafomu za kujiunga na chuo chenuna liniwatu wataanza kuaplyada sh ngapinilimaliza six2009 nikapata s flat katika combi ya pcb caytanus raymond on 2 november 2015 at 1123 am i want to know fee structure for diploma of clinical medicine is it included with mealandaccomodation mary gabriel on 21 february 2016 at 1246 pm mnaanza lini kutoa form za kujiunga na uuguzi na je mnapokeaje nikiwa na maana mnachukua wenye sifa zp mim ni mary wa dar nina d4 ikiwemo na biology je mtanipoksa ndungu school of environmental health sciences ndungu 9676 wametembelea leomatokeo ya sekondari kidato cha nne 20158531 wametembelea leos0397 rulenge secondary school6923 wametembelea leochuo kikuu cha mandela 6476 wametembelea leostella maris university college5922 wametembelea leochuo cha madini dodoma5535 wametembelea leomvumi clinical officers training centredodoma 5254 wametembelea leomatokeo ya taqwa secondary school p0578 20144365 wametembelea leoadem development of educational management bagamoyo4198 wametembelea leo
2016-10-01T18:51:52
http://bora.co.tz/st-aggrey-college-of-health-sciences-mbeya/
viatu viatu toka italy na uk vya ofisini na vya out ni vya madizaina wa ukweli kama robat cavallijust cavalliroberta farcguessgriffe di padovan nkwahi nawe uwe mmoja kati ya wanaojuwa kupendeza ndani ya darrrrrrrr | jackzcosmetics viatu viatu toka italy na uk vya ofisini na vya out ni vya madizaina wa ukweli kama robat cavallijust cavalliroberta farcguessgriffe di padovan nkwahi nawe uwe mmoja kati ya wanaojuwa kupendeza ndani ya darrrrrrrr august 3 2011jackzcosmetics advertisements
2017-06-26T03:41:21
https://jackzcosmetics.wordpress.com/2011/08/03/viatu-viatu-toka-italy-na-u-k-vya-ofisini-na-vya-out-ni-vya-madizaina-wa-ukweli-kama-robat-cavallijust-cavalliroberta-farcguessgriffe-di-padovan-nkwahi-nawe-uwe-mmoja-kati-ya-wanaojuwa-kup/
what is the world's bast proffesion | jamiiforums | the home of great thinkers what is the world's bast proffesion discussion in 'jukwaa la elimu (education forum)' started by architect em mar 6 2011 nimekua nikijiuliza hili swali kwa muda mrefu sana na pia niwewahi kuwauliza watu mbali mbali wanaonizunguka ninapoishi wengine husema udaktari wengine engineering law ualimu nk je wewe unaonaje changia with a concrete reason bastwhat is this erotic masseur reason utajaza mwenyewe hiyo profession inajieleza vya kutosha bila further reasons reason utajaza mwenyewe hiyo profession inajieleza vya kutosha bila further reasonsclick to expand that is harsh brother una ugomvi na mtoa mada au amekubore kwa vile kaandika bast bastwhat is thisclick to expand it was meant to be best proffession not bast sorry 4 the spelling mistake hili ni jukwaa la elimu ndugu yangu wapo wanafunzi wengi wanaopitia humu na wanataka kujua kuhusu profession mbali mbali sasa nashindwa kuelewa unachojibu hivyo una maana gani for example ni mwanao akapata kujua mzazi wake akiulizwa swali la best proffession aanajibu hivyo kwahiyo ndoo na yeye achukue ushauri huo think b4 u talk u r a great thinker au amekubore kwa vile kaandika bastclick to expand hapana sina tatizo kabisa na mtowa mada kama imeonekana niko harsh nisamehewe ni lugha tu hili ni jukwaa la elimu ndugu yangu wapo wanafunzi wengi wanaopitia humu na wanataka kujua kuhusu profession mbali mbali sasa nashindwa kuelewa unachojibu hivyo una maana gani for example ni mwanao akapata kujua mzazi wake akiulizwa swali la best proffession aanajibu hivyo kwahiyo ndoo na yeye achukue ushauri huo think b4 u talk u r a great thinkerclick to expand kujifunza kwa mwanafunzi aneingia humu sidhani kama anahitaji basics hapa kama ulivyosema kuna ma thinkers great i doubt it neither me nor them so that was my answer na atakae sababu za why its a great job atumie ka brain kake ku think ni vigumu kujua kwa sababu zinatofautiana kati ya nchi profession moja inaweza kuwa best nchi moja wakati nchi nyingine haina mpango kwa mfano tanzania inaonekama kama politics as the best wakati haina deal huko china pia kuna umuhimu wa kutofautisha kati ya best profession and best profession to work in also one could say the best profession is the one you love going to every day it really depends on your criteria of measurement one person might say the best profession is the one that earns you the most money another could decide what would you love doing every day despite the income the bottom like ni kurespect professions zote the fact that one profession is the best haina maana kuwa others are crap what matters ni respect muhimu pia kujua kuwa professions depends on each other in many areas one may not work without the other my experience is that you will live and work happily thereafter if you respect others professionals hata kama ni mamantilie ni vigumu kujua kwa sababu zinatofautiana kati ya nchi profession moja inaweza kuwa best nchi moja wakati nchi nyingine haina mpango kwa mfano tanzania inaonekama kama politics as the best wakati haina deal huko china pia kuna umuhimu wa kutofautisha kati ya best profession and best profession to work in also one could say the best profession is the one you love going to every day it really depends on your criteria of measurement one person might say the best profession is the one that earns you the most money another could decide what would you love doing every day despite the income the bottom like ni kurespect professions zote the fact that one profession is the best haina maana kuwa others are crap what matters ni respect muhimu pia kujua kuwa professions depends on each other in many areas one may not work without the other my experience is that you will live and work happily thereafter if you respect others professionals hata kama ni mamantilieclick to expand thanku soo much brother umechangia vizuri sana kiasi kwamba hakuna mtu ambaye atashindwa kuelewa that shows how intelligent u r tunahitaji watu kama ninyi humu jf na kwenye jamii zetu kwa ujumla it was meant to be best proffession not bast sorry 4 the spelling mistakeclick to expand profession is spelled with a single 'f' inategemea na ulipokwetu sisi tanzania inaonekana accountancy ndio ina vyuo vingi zaidi ya kada zinginesasa sijuimkama ni best profession au ni profession rahisi zaidi kusoma na kupata kazi na huko duniani soma hapa the 50 best careers of 2010 us news and world report
2017-04-27T11:43:17
https://www.jamiiforums.com/threads/what-is-the-worlds-bast-proffesion.115477/
kufungua swawm kwa kula ili mtu aweze kufanya jimaa na kuepuka kafara | firqatu nnajia swali tulikuwa katika kikao na baadhi ya ndugu na maongezi yetu yalikuwa yakizungumzia kuhusu swawm na baadhi ya mambo yenye kufunguza mmoja katika ndugu akasema kuwa amemsikia mtu akisema kwamba mtu akilazimika kufanya jimaa na mke wake mchana wa ramadhaan ambapo akatanguliza kabla ya hapo kufungua kwa kula au kunywa basi anasalimika kutoa kafara kwa kufululiza kama ambaye amefanya jimaa mchana wa ramadhaan je haya yaliyosemwa na ndugu huyu ni sahihi jibu maneno haya ni batili na sio sahihi ni wajibu kwa muislamu kutahadhari kufanya jimaa katika ramadhaan midhali ni si mwenye kusafiri na mwenye afya njema vivyo hivyo linamuhusu mwanamke maadamu ni mwenye si mwenye kusafiri na mwenye afya njema kuhusu msafiri hapana dhambi kumwingilia mke wake ambaye naye ni msafiri kadhalika mume mgonjwa akifanya na mke mgonjwa [hawana dhambi] ikiwa swawm ni yenye kuwatia uzito marejeo majmuu´ulfataawaa (15/309) kufungua swawm kwa kula ili mtu aweze kufanya jimaa na kuepuka kafara swali tulikuwa katika kikao na baadhi ya ndugu na maongezi yetu yalikuwa yakizungumzia kuhusu swawm na baadhi ya mambo yenye kufunguza mmoja katika ndugu akasema kuwa amemsikia mtu akisema kwamba mtu akilazimika kufanya jimaa na mke wake mchana wa ramadhaan ambapo akatanguliza kabla ya hapo kufungua kwa kula au kunywa basi anasalimika kutoa kafara kwa kufululiza kama ambaye amefanya jimaa mchana wa ramadhaan je haya yaliyosemwa na ndugu huyu ni sahihi jibu maneno haya ni batili na sio sahihi ni wajibu kwa muislamu kutahadhari kufanya jimaa katika ramadhaan midhali ni si mwenye kusafiri na mwenye afya njema vivyo hivyo linamuhusu mwanamke maadamu ni mwenye si mwenye kusafiri na mwenye afya njema kuhusu msafiri hapana dhambi kumwingilia mke wake ambaye naye ni msafiri kadhalika mume mgonjwa akifanya na mke mgonjwa [hawana dhambi] ikiwa swawm ni yenye kuwatia uzito mhusika imaam ´abdul´aziyz bin ´abdillaah bin baaz mfasiri firqatunnajiacom marejeo majmuu´ulfataawaa (15/309) imechapishwa 01/06/2018 http//firqatunnajiacom/kufunguaswawmkwakulailimtuawezekufanyajimaanakuepukakafara/
2018-08-21T10:07:44
http://firqatunnajia.com/kufungua-swawm-kwa-kula-ili-mtu-aweze-kufanya-jimaa-na-kuepuka-kafara/
china yaipatia tanzania msaada wa sh bilioni 294 kwa ajili ya miradi ya maendeleo habari za jamii home / unlabelled / china yaipatia tanzania msaada wa sh bilioni 294 kwa ajili ya miradi ya maendeleo picha na kitengo cha mawasiliano serikali wizara ya fedha na mipango
2017-10-18T00:07:42
http://www.habarizajamii.com/2017/09/china-yaipatia-tanzania-msaada-wa-sh.html
gospel habari askofu shoo viporo escrow vinaumiza tumbo askofu shoo viporo escrow vinaumiza tumbo askofu mkuu wa kanisa la kiinjili la kiluther tanzania (kkkt) dk alex malasusa (kushoto) akimsimika mchungaji dk fedrick shoo kuwa askofu mpya wa kkkt dayosisi ya kaskazini katika ibada iliyofanyika jana katika usharika wa moshi mjini akitangaza uamuzi wake kuhusu maazimio ya bunge la muungano rais kikwete alitangaza kumwondoa kazini profesa anna tibaijuka aliyekuwa waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi lakini akasema amemweka kiporo waziri wa nishati na madini profesa sospeter muhongo
2017-10-21T06:48:50
http://gospelhabari.blogspot.com/2015/01/askofu-shoo-viporo-escrow-vinaumiza.html
chuo cha utumishi wa umma tanzania (tpsc) kuwajengea uwezo watumishi wa umma jimbo la puntland nchini somalia habari za jamii home / habari / chuo cha utumishi wa umma tanzania (tpsc) kuwajengea uwezo watumishi wa umma jimbo la puntland nchini somalia dotto mwaibale 701 pm habari aliyekuwa waziri wa nchi ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora angellah kairuki (wa pili kulia) na waziri wa kazivijana na michezo wa puntland abdurahman ahmed abdulle wakisaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa kuboresha sekta ya utumishi wa umma jimboni puntland ambapo serikali kupitia chuo cha utumishi wa umma tanzania (tpsc) itaendesha mafunzo hayo kwa kushiriakana na chuo kikuu cha puntland kulia mkuu wa tpsc dk henry mambo kazi hiyo inafanyika kwa ushirikiano kati ya chuo cha utumishi wa umma tanzania na chuo kikuu cha taifa cha puntland kilichopo jimbo la puntland nchini somalia mkuu wa chuo dkt henry mambo alisema kwamba watumishi hao waliondoka nchini tarehe 3 mwezi machi mwaka huu na wanatarajia kurejea chini tarehe 11 mwezi huu dkt mambo alisema mafunzo hayo yanafanyika ikiwani ushirikiano kati ya chuo cha utumishi wa umma tanzania na chuo kikuu cha taifa cha puntland kilichopo jimbo la puntland nchini somalia alifafanua kuwa ushirikiano huo ni matokeo ya hati ya makubaliano iliyosainiwa mwezi mei 2017 makao makuu ya chuo cha utumishi wa umma jijini dar es salaam na wakuu wa vyuo hivyo viwili dr henry mambo ambaye ni mkuu wa tpsc na bw mohamud hamid mohamed ambaye ni mkuu wa chuo kikuu cha taifa cha puntland makubaliano hayo yalishuhudiwa na aliyekuwa waziri wa nchi ofisi ya rais menejiment ya utumishi wa umma na utawala bora mhe angellah kairuki na waziri wa kazi vijana na michezo wa puntland mh abdirahman ahmed abdulle kwa mujibu wa makubaliano hayo chuo cha utumishi wa umma tanzania kitashirikiana na chuo kikuu cha puntland kuandaa na kuendesha mafunzo mbalimbali ya muda mfupi na mrefu ili kuwajengea uwezo watumishi wa umma wa puntland maeneo yaliyopewa kipaumbele katika uandaaji wa mafunzo ni pamoja narasilimali watu (human resources management) utawala wa fedha (financial management) masuala ya manunuzi (procurement management) mengine ni tekonolojia ya habari na mawasiliano (ict) mipango tathmini na ufuatiliaji (planning monitoring and evaluation) seratafiti pamoja na utunzaji wa kumbukumbu mpango huo wa puntland unafadhiliwa na benki ya dunia ambao unatarajiwa kufadhili zoezi zima la uandaaji wa mafunzo hayo
2018-10-23T19:14:12
http://www.habarizajamii.com/2018/03/chuo-cha-utumishi-wa-umma-tanzania-tpsc.html
ccm ilijiandaa kushindwa kuliko kushindi | abdulnoorblog katika uchaguzi mkuu mwaka 2015 ccm ilikuwa imejiandaa zaidi kwa ajili ya kushindwa kuliko ushindi kama chama hawakutarajia kushinda na ni wazi hawakuwa na agenda ya ushindi zaidi ya kuokoteza hoja kutoka kwa wapinzani hii imenikumbusha filamu iliyochezwa mwaka 1972 inayoyojulikana kama the candidate kibongobongo tuite mgombea bwana robert redford aliigiza kama bill mckay kihiyo wa kisiasa ambaye alijikuta anaingia kwenye kinyanganyiro cha seneti ya marekani na kushinda akiwa hajui nini kinafuata baada ya uchaguzi akiwa hana nafasi yoyote na hatarajii kushinda bali kushiriki akajikuta anapita katika hatua mbalimbali za kinyanganyiro bila kutarajia mckay anapewa mkono huru kusema lolote atakalo juu ya kisiki kilichokua mbele yake kwakua hakujiandaa na ushindi alianza kupumua kwa kutweta hata hivyo kama matokeo ya mfululizo wa maendeleo asiyotarajia kura zake ziliendelea kupanda katika uchaguzi huo na kumpa matuaini siku ya uchaguzi kwa mshangao wa kila mwananchi yeye (mckay) alimuacha mbali mpinzani wake wa karibu alipata ushindi wa kimbunga na kuchaguliwa kuwa seneta wa marekani utamu wa filamu ni usiku wa siku ya uchaguzi wake baada ya kusikia ameshinda mckay alichanganyikiwa na kujiona kama hakustahili kwa hakika ushindi haukuwa sehemu ya mpango wake kama kawaida vyombo vya habari na watu wengi waliofuatilia kwa karibu walikuwa na hamu ya kutaka kujua amepokeaje majibu ya ushindi wake wa kishindo akiwa mbele yao alichofanya alimuita meneja wa kampeni zake ndani ya chumba na akamuuliza kutoka moyoni mwake marvin tunafanya nini sasa kabla marvin hajajibu vyombo vya habari vya karibu vilivyokua vinaonyesha vikawatoa nje ya chumba na filamu ikafika mwisho utamu wa filamu hii uliifanya kupokea tuzo za oscar kama best screenplay ya 1972 inawezekana kuwa mckay alifanikiwa kwa kuwafanya wapiga kura wajinga na kumpigia kura kwa wingi hakuwa na fununu nini cha kufanya kama seneta wa marekani alichukulia kama utani na kutimiza alichotaka lakini utani ukamgeukia yeye hakutarajia kushinda na hakuwa na mpango wa dharura wa ushindi wake ukimfikiria mgombea bwana mckay inawezekana ni mzaliwa au alipata wazo hilo kwa urahisi kutoka tanzania maana uchaguzi wa 2015 hauna tofauti na mgombea ya mwaka 1972 katika muktadha wa mckay ccm ukiitafakari kwa undani unaona ushindi kwao haikua dhamira kuu bali janga dhidi yao hii inadhihirisha hali inayoendelea kwa sasa tanzania ukitaka kuitafakari serikali ya ccm na majibu ya matatizo yetu kwa sasa ni kwamba utagundua serikali inaona kuna mdororo wa kiuchumi lakini haina majibu ya nini kifanyike ccm haikuwa na mpango baada ya ushindi baadhi ya wanachama walizunguka sana kwa watanzania kuwaomba ridhaa ya kuwaongoza na waliona wanayo mawazo mapya yaliyotarajiwa kuongozwa na daktari magufuli lakini wengi wao pia walishapoteza dira na walishakuwa watu wakujiona wao ni wao sambamba walitegemea serikali ingeweza kuanzisha labda tuite muelekeo mpya wa kujiondoa kwenye tope la muda mrefu la kuona na kuwaza kama tuko karne ya kumi na sita lakini katika serikali hadi sasa hakuna ufumbuzi juu ya jinsi gani wanaweza kushughulikia matatizo ya dharura ya uchumi wa tanzania pengine mtu anaweza kueleza ukweli kwamba katika mazingira ya mtikisiko wa kudorora kiuchumi ccm wamekua wapiga zumari wazuri wa kutetea hoja za kiongozi wao hata kama wanaona tunakoelekea ni shimoni kuna marafiki zangu wana ccm ambao huwa tunabishana nao ila napenda misimamo yao baadhi hawaongozwi na kunywa maji ya bendera mfano serikali ilipokuja na nahamia dodoma wakijua haikuwa katika ilani yao wala katika sera zao na wakijua bajeti ya mwaka 2016/17 imepitishwa bila kugusia je mwana ccm anaekuja na hoja hii mufilisi anakushawishi vipi kuwa wanaweza kutekeleza yale waliyoahidi kama hawajui kipaumbele ni nini naamini nia ya kuhamia dodoma ni njema na toka utoto tumekua tunaisikia na kuiunga mkono lakini kila kitu kitimizwe kwa wakati wake tukitaka kujua kuwa ajenda ya kuhamia dodoma ni kaa la moto naomba uniambie waziri mkuu alipotangaza kuhamia dodoma na akafanikiwa mwishoni mwa septemba kama alivyoahidi je pale ofisini kwake magogoni ni akina nani wamefuatana nae (kwa wana ccm mkinitajia kwa majina au vyeo vyao nitafurahi japo naamini hakuna hata mmoja) hajaambatana na watendaji wa ofisi yake kwa sababu ya fedha kutokuwepo tujihoji kila siku tunatangaziwa makusanyo yanaongezeka zile hewa zimeondolewa kila mahala kwa nini pm ahamie dodoma peke yake bila watendaji ofisi ya waziri mkuu imefanywa kama duka la mangi akiamua kufunga yeye akiamua kufungua yeye kwa sababu ni jeshi la mtu mmoja ujinga wetu wapiga kura wa tanzania tunashindwa kuuliza wapi ccm wana matumaini ya kupata fedha kwa ajili ya kutimiza ahadi zao kwetu matokeo yake tunawapa kura mwisho wa siku kila kitu kinakuwa kimesimama kwa sababu ccm hawakuwa na uhakika wa kuongoza serikali hakuna maandalizi yaliyofikiwa na chama namna ya kurithi jinsi ya kutekeleza mipango iliyanzishwa na mtangulizi wake kwa sababu ccm hawakuwa wanatarajia kutawala tena na hawakuwa wamejiandaa kutawala tena ilimchukua rais magufuli miezi miwili ya kuchagua baraza lake la mawaziri miezi miwili ya mipango ilitakiwa kuwa imezaa matunda yanayoonekana kwa wananchi hadi sasa wakati watanzania wakitafakari kuchelewa kutangaza baraza la mawaziri wengine tulidhani alifanya hivyo akihitaji kupata watu makini watakatifu na malaika katika taifa hili lakini watakatifu na malaika wakageuka kuwa wale wale washindani wake kwenye kinyanganyiro cha urais katika chama chake wakati rais akijisifu kusimamia serikali inayokusanya makusanyo makubwa zaidi uchumi polepole unatoka kuwa wa kawada kuelekea mbaya na wawekezaji wanapiga mahesabu namna bora ya kutuacha katika hali ambayo tanzania imekua ya kodi kila kitu kimekua kinakatwa kodi hata vitu ambavyo havistahili amenikubusha #simcardtax tulipoipigania hadi kutopitishwa sasa naiona inakuja kwa njia nyingine wasaidizi wa rais sasa ni dhahiri watanzania tunakabiliwa na ukweli kwamba tuna wasaidizi hewa kwenye wasaidizi wa karibu wa rais wanahitajika wasaidizi wa rais kufanya kazi kwa kujitoa inasikitisha hata sehemu ambayo mawaziri wanaweza kumulika na kupashughulikia rais ndio anaenda na kutumbua siamini kama baadhi ya mawaziri wanafaa kuendelea kua kwenye nafasi zao tumepoteza rasilimali nyingi kwa watangulizi wao ambazo zingetufanya tusiwe hapa tulipo leo ukilinganisha thamani ya rasilimali iliyopotea na umri wa taifa hili utaona kuwa badala ya kwenda mbele tulizoea kurudi nyuma mawaziri wa sasa wasiturudishe huko tusisubiri rais kugundua mabaya yaliyopo kwenye taasisi na idara za serikali muda wa kulindana tuuone kama uliondoka na awamu iliyopita tusimpe rais kazi ya kuteua na kutengua baada ya kuona mtu hafai kwa muda mfupi wajaribu kushughulikia kwa haraka masuala kwa karibu kwa ajili ya kuweka utofauti wao na watangulizi wao pia wanamuangusha rais ni wote wanaopenda kumsifia badala ya kumwambia ukweli kuna wasaidizi wanafiki wasiofikisha ukweli bali kumwambia yale ambayo hupenda kuyasikia na kufurahisha nafsi yake badala ya kuwa wakweli kuwa kiongozi mwenye dhamana ya watu ni zaidi ya kuwa kada mtiifu wa ccm kuna haja ya kupima vigezo vya uteuzi kwa wasaidizi au wateule wa rais siamini kama ukada unatosha tu kumfanya mtu kiongozi imefikia hatua ambayo viongozi hawaaminiani kati yao unakuta mkurugenzi wa wilaya na mkuu wa wilaya hawaelewani mkuu wa mkoa na kamanda wa polisi mkoa wanavita ya madaraka sabotage haiwezi kukosa kama tunao watu wa aina hii huko mikoani hali si shwari wapo wakuu wa wilaya wamejifanya kuwa wanajeshi kwa kofia ya mwenyekiti wa ulinzi na usalama na kutamba na silaha mchana kweupe utawala wa magufuli wa kuteua makada umeleta ombwe kubwa la kiuongozi kati wa vongozi wa kisiasa na wateule wa rais imefikia mahala wapo makada wa ccm wanaochukizwa na kuomba nafasi za kisiasa zisingekuepo hasa zile zinazoongozwa na wapinzani na teuzi zake zilikua maalum kwa ajili ya kudhibiti wapinzani ila niachokiona mtaani ni kuwa kuendelea kukimbizana na wapinzani kuwafunga kwa kesi zisizo na kichwa wala miguu wakidhani wanawadhoofisha ni kujidanganya maana wanazidi kuwaimarisha tanzania ni mgonjwa mgonjwa ambaye kwa sasa amelazwa katika wodi ya hospitali kwa ajili ya matibabu ya dharura hali yake ni mbaya upasuaji wa haraka unahitajika kwake hata hivyo inaonekana daktari wa zamu hayupo muuguzi wa zamu wa usiku katika hospitali hufanyakazi kwa muda (part time) mchana anavipaumbele vyake kwa ajili ya kuhudumia anaowataka wauguzi wengine pia ni sehemu ya wafanyakazi wa muda wao ni mkusanyiko wa wapishi mafundi washonaji na wauzaji wa karanga mama lishe machinga na boda boda hii inaibua wasiwasi mkubwa juu ya hatima ya mgonjwa ni nini kinaenda kutokea kwa tanzania kama hatutakuwa makini mgonjwa huyu anaweza kupata madhara wakati rais magufuli anateua mawaziri wake aliamua kuchagua alioona wanamfaa hasa wapiga zumari noise maker ambao hadi sasa pamoja na mapambano wengi hawaonyeshi udhati wa kasi inayoridhisha kumekuwa na vita ya maneno na miongozo mingi wakati wote imekuwa kawaida kupuuza wachumi na wachumi hao hao wamejiingiza kwenye propaganda za kisiasa zisizo na uhalisia moja ya mambo ya ajabu kuhusu serikali hii ni kwamba inakataa kukaribisha hoja za wengine hasa wapinzani ili ziweze kutengeneza mazingira ya kujifunza ccm wanakataa kukubali kwamba baada ya miongo kadhaa madarakani hawawezi kujinasua kwenye hali mbaya za wananchi wao wamewafanya rasilimali ya kutimiza matakwa yao rais magufuli hakuwa na mpango maalum baada ya ushindi wa kuiongoza serikali baada ya uchaguzi mwaka 2015 watanzania wanaweza kuona na kutathmini kuwa pamoja na mambo mengine wanatambua na hasa baada ya kutokua na kauli ya kupinga ufinyangaji wa demokrasia kule zanzibar pia hakuna njia inayoonyesha ufumbuzi wa jinsi gani anaweza kushughulikia matatizo ya uchumi wa tanzania nah ii inaonyesha dhahiri kuwa ccm ilikuwa imejiandaa zaidi kwa ajili ya kushindwa kuliko ushindi kama chama hawakutarajia kushinda na ni wazi hawakuwa na agenda ya ushindi zaidi ya kuokoteza hoja kutoka kwa wapinzani thobias wolstani says niukweli nando mahana akuna cha kujivunia ktk maisha toka umeisha uchaguzindo mazara asi ya kuiga sera za mtu pasipo kujua wapi utapata ili utimize ulicho haidi kwa watu walo kuchagua katiba na kujimilikishwa vyama chanzo cha migogoro
2018-01-17T20:15:30
https://abdulnoorblog.wordpress.com/2016/11/25/ccm-ilijiandaa-kushindwa-kuliko-kushindi/
upendeleo kwa wanawake | jamiiforums | the home of great thinkers upendeleo kwa wanawake discussion in 'jukwaa la siasa' started by juja wa majuja nov 6 2009 juja wa majuja member sera hii iliyoshikiwa bango na ccm ndio ninayotaka kuijadili hapa kwa nia ya kuonyesha jinsi inavyohitaji umakini mkubwa katika kuitekeleza yakifanyika makosa nchi itaingia matatani kwelikweli hebu tuchukue mifano michache ambayo inaweza kuchukuliwa kama mwongozo wa kufanya maamuzi mazito kwa taifa tunapata picha gani kwa matukio/vituko vilivyofanywa na akina mama wanaoonekana ni wenye heshima zao tena mbele ya hadhara jenista mhagama vs hawa ghasia ilibaki kiduchu wangechaniana magauni pale mjengoni kwenye uchaguzi wa uwt ccm watu almanusura wavaane maungoni ya sasa nayo kali sophia simba vs anne kilango malecela yameingia hata ya maisha binafsi halafu tunazungumzia maadili ya jamii hiyo ni mifano michache tu mnaweza kuwa mmpeleka ujumbe uno mkastukia wajumbe wenu wamegaragazana kwenye makoridooo aibuuuu wana jf wenye mifano mingine changieni pamoja na hoja zenu lakini mimi nasema bado tunahitaji kuwa makini zaidi tukifanya kazi kwa kubebana tutaliangamiza taifa anayestahili na apewe kulingana na sifa na uwezo wake haiwezekani kazi za taifa zikagawiwa kishkaji hiyo ni hujuma na ufisadi kukosana kupo lakini sikumbuki hivi na wanaume wamekwisha fikishana hivyo hadharani wana jf karibuni tuchangie kwa hiyo hiyo mikwaruzo ndiyo upendeleo kwa wanawake au una maanisha nini kwa kweli mimi sio muumini wa upendeleo usiokuwa na tija kwa wanawakenatambua kuna wanawake wengi tu wajinga kama wanaume wengi walivyo wajinganashauri wanawake na wanaume wenye akili wapate fursa sawa kupambana na si kubebana mi sikuzote huw anasema watanzania tunaumizwaaa kwa kuaminishwa kuwa promo ndio njia sasa hii ya kumuwezesha tu yaani kila sehem mijitu inapiga promo watu wanashangilia na ukihoji unaonekana hupendi mabadiliko kuanzia ngazi ya elimu huwezi kutenga alama za kufaulu tofauti kwa wanawake na wanaume (sina hakika kama hili bado lipo mwenye data anijuze) haya ukija kwenye maswala ya ajira utasikia zitolewe nafasi wka ajili ya wanawake thats bullshit mtu anachukuliwa kwa kigezo cha uwezo sio kwa sababu ya jinsia kwasababu kama mnataka twende kiuwiano kitendo cha kutangaza nafasi flani kwa ajili ya wanawake wkanza huko ni kwadhaklilisha wenyewe kwa kuwafanya watu wasiojiweza na kutaka kubebwa na pili ni kutopata mshindani sahihi huwezi ukanisimamisha mimi na mtu liyewekwa pale kwa sababu ya udhaifu wake mi napinga swalal la wabunge w akuteuliwa hao wanawake bora wangetengewa walemavu nawao pia ingewekwa misngi ya kuwapata wale walio bora sio kwasababu tu mlemavu tatizo kua kundi la watu wachachache wanajifanya mastermind na kucontrol mindset zetu na chakusikitisha hakuna anayehoji mbona jeshini upuuzi huo hakuna swala la haki sawa kwa wanawake na wanaume hakunahata mungu aliliona hilo its smthing natural kuanzia nyanja ya sayansi mpaka kidini kwa kifupi huo ndio msimamo wangu nimegoma kubadilika no gender balance never and it will never happenna wanawake wasisapoti hilo (no offence)lakini ni moja ya udhalilishaji wenye degree kubwa kuliko niliowahi kuuona ahaa(nina hasira)
2018-01-21T13:08:29
https://www.jamiiforums.com/threads/upendeleo-kwa-wanawake.42967/
jeanmarie guehenno wa umoja wa mataifa amaliza muhula wake | masuala ya jamii | dw | 30072008 jeanmarie guehenno wa umoja wa mataifa amaliza muhula wake ameongoza idara ya kikosi cha kulinda amani kwa miaka minane askari wa kikosi cha kulinda amani cha umoja wa mataifa wakiwa katika kazi ya ulinzi barani afrika mkuu wa kikosi cha umoja wa mataifa cha kulinda amanijeanmarie guehenno anamaliza muhula wake mwezi huuwakati akiwa na wasiwasi wa askari wa umoja wa mataifa kutumwa nchini somalia wasiwasi wake unatokana na kutojua nani anaedhibiti wapiganaji wa chini kwa chini nchini humo bwana jeanmarie guehenno mwanadiplomasia wa ufaransa amekuwa akiingoza idara ya kikosi cha kulinda amani ya umoja mataifa kwa kipindi cha miaka minanena wakati wake wa kustaafu ndio umefika lakini anaondoka wakati idara hiyo ikitaka kutuma vikosi vyake nchini somalia ambayo imekuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe vya mda mrefu jeanmarie gueheno alisema jana kuwa ana wasiwasi na kutumwa kikosi nchini somalia wakati haujulikani nani anadhibiti makundi kadhaa ya wapiganaji huko mapigano kati ya vikosi vya serikali ya mpito dhidi ya wapiganaji wa kiislamu yamesababisha vifo vya watu kawaida zaidi ya 8000 katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita huku wengine millioni moja kuachwa bila ya makazi pande mbili muhimu katika mgogoro wa somalia yaani serikali ya mpito na wapinzani walioko uhamishoni ziliafikiana nchini djibout mwezi jana miongoni mwa mengine kutaka kutumwa vikosi vya umoja wa mataifa na pia kuahidi kusitisha hujuma dhidi ya upande mwingine baada ya mwezi mmoja hata hivyo makubaliano yalipingwa na kiongozi mmoja wa kisomali mwenye msimamo mkali sheikh hassan dahir aweys sheikh aweys hivi juzi alidaiwa kuchukua uongozi wa chama cha upinzani cha ushirika wa kuikomboa tena somalia ars jeanmarie guehennoamesema kuwa mwelekeo wa siasa nchini somalia haueleweki aliongeza kwa kujuliza wale wanaotia saini mikataba huko wanaushawishi upi na wanadhibiti silaha kiasi gani bila kupewa jibu aliendelea kuwa ikiwa udhibiti wa silaha wa kundi moja ni mdogo sana hii ina maana mikataba inayatiwa saini haiwezi kuwa imara na msingi tosha kwa kuwezesha kutuma kikosi cha kulinda amani huko baraza la usalama la umoja wa mataifa limekuwa linasitasita kutuma vikosi vya kulinda amani vya umoja wa mataifa nchini somalia mababe wa kivita wapiganaji wa kiislamu wamekuwa wakipigana dhidi ya serikali ya somalia inayosaidiwa na ethiopia nao umoja wa afrika unasema kuwa vikosi vyake vya kulinda amani huko hawiwezi peke yake kutuliza hali ya mambo na hivyo kuomba msaada wa vikosi vya umoja wa mataifa licha ya shaka zake kuhusu somalia hata hivyo jeanmarie guehenno amesema kuwa ni vigumu kukataa kutuma vikosi vya kulinda mani huko kwani haiwezekani kusema hapana ikiwa wewe tu ndie silaha ya mwisho tarehe 30072008 kiungo http//pdwcom/p/emzh viongozi wa eu wajadili mlipuko wa kisiasa kuhusu wahamiaji 24062018 viongozi kadhaa wa umoja wa ulaya wameunga mkono mipango ya kuwakagulia wahamiaji nje ya kanda hiyo kuona kama wanastahili kupewa hifadhi wakati mzozo kuhusu suala hilo ukitishia mshikamano ndani ya kanda hiyo kroos ayafufua matumaini ya ujerumani 23062018 kiungo wa kati wa ujerumani toni kroos alifunga goli katika dakika ya tano ya muda wa ziada na kuwapa ujerumani ushindi wa 21 walipokuwa wakicheza na sweden katika mechi yao ya pili ya kundi f kwenye kombe la dunia mnangagwa anusurika jaribio la mauaji 23062018 picha za televisheni ya shirika la utangazaji la zimbabwe zimeonesha mripuko mkubwa kwenye mkutano wa hadhara uliokuwa ukihutubiwa na rais emmerson mnangagwa katika kile kinachotajwa kuwa jaribio la mauaji dhidi yake
2018-06-24T16:59:26
http://www.dw.com/sw/jean-marie-guehenno-wa-umoja-wa-mataifa-amaliza-muhula-wake/a-3524929
8 na yehova akasema na musa na kumwambia 2 sema na haruni nawe utamwambia wakati wowote unapowasha taa zile taa saba zitaangaza eneo lililo mbele ya kinara+ 3 naye haruni akaanza kufanya hivyo akawasha taa zake kwa ajili ya eneo lililo mbele ya kinara cha taa+ kama vile yehova alivyokuwa amemwamuru musa 4 sasa huu ndio uliokuwa ufundi wa kinara cha taa kilikuwa cha dhahabu iliyofuliwa kuanzia sehemu zake za kando na mpaka kwenye maua yake kilikuwa kimefuliwa+ kulingana na maono+ ambayo yehova alikuwa amemwonyesha musa ndivyo alivyokuwa amekitengeneza kinara cha taa 6 wachukue walawi kutoka kati ya wana wa israeli nawe uwatakase+ 7 na hivi ndivyo unavyopaswa kuwafanyia ili kuwatakasa tapanya maji ya kutakasa dhambi juu yao+ na wapitishe wembe juu ya mwili+ wao wote nao wayafue mavazi+ yao na kujitakasa+ 8 kisha wachukue ngombedume+ mchanga na toleo lake la nafaka+ la unga laini uliotiwa mafuta nawe utachukua ngombedume mwingine mchanga kwa ajili ya toleo la dhambi+ 9 nawe utawasimamisha walawi mbele ya hema la mkutano na kukutanisha kusanyiko lote la wana wa israeli+ 10 nawe utawasimamisha walawi mbele za yehova nao wana wa israeli wataweka+ mikono yao juu ya walawi+ 11 na haruni atawasogeza walawi huku na huku mbele za yehova kama toleo la kutikisa+ kutoka kwa wana wa israeli nao wataendeleza utumishi wa yehova+ 12 kisha walawi wataweka mikono yao juu ya vichwa vya wale ngombedume+ baada ya jambo hilo mtoe mmoja awe toleo la dhambi na yule mwingine awe toleo la kuteketezwa kwa yehova ili kufanya upatanisho+ kwa ajili ya walawi 13 nawe utawasimamisha walawi mbele ya haruni na wanawe na kuwasogeza huku na huku kama toleo la kutikisa kwa yehova 14 nawe utawatenga walawi kutoka katikati ya wana wa israeli nao walawi watakuwa wangu+ 15 na baadaye walawi wataingia ndani ili kutumikia katika hema la mkutano+ kwa hiyo utawatakasa na kuwasogeza huku na huku kama toleo la kutikisa+ 16 kwa maana wao ni watu waliokabidhiwa niliokabidhiwa mimi kati ya wana wa israeli+ badala ya wale wote wanaofungua tumbo la uzazi wazaliwa wote wa kwanza kati ya wana wa israeli+ nitawachukua kwa ajili yangu mwenyewe 17 kwa maana kila mzaliwa wa kwanza kati ya wana wa israeli ni wangu kati ya mwanadamu na kati ya mnyama+ katika siku niliyompiga na kumuua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya misri+ niliwatakasa hao kwa ajili yangu+ 18 nami nitawachukua walawi badala ya wazaliwa wote wa kwanza kati ya wana wa israeli+ 19 nami nitamkabidhi haruni na wanawe hao walawi wakiwa watu waliokabidhiwa katikati ya wana wa israeli+ ili kuendeleza utumishi wa wana wa israeli katika hema la mkutano+ na kufanya upatanisho kwa ajili ya wana wa israeli ili pigo lolote lisitukie katikati ya wana wa israeli+ kwa sababu wana wa israeli wanapakaribia mahali patakatifu 20 naye musa na haruni na kusanyiko lote la wana wa israeli wakawafanyia walawi hivyo kulingana na yote ambayo yehova alikuwa amemwamuru musa kuhusu walawi hivyo ndivyo wana wa israeli walivyowafanyia 21 basi walawi wakajitakasa+ na kufua mavazi yao kisha haruni akawasogeza huku na huku kama toleo la kutikisa mbele za yehova+ halafu haruni akafanya upatanisho kwa ajili yao ili kuwatakasa+ 22 mara tu baada ya jambo hilo walawi wakaingia ndani ili kuendeleza utumishi wao katika hema la mkutano mbele ya haruni na wanawe+ kama vile yehova alivyokuwa amemwamuru musa kuhusu walawi ndivyo walivyowafanyia 23 sasa yehova akasema na musa na kumwambia 24 jambo hili linawahusu walawi kuanzia umri wa miaka 25 na zaidi ataingia katika ushirika katika utumishi wa hema la mkutano 25 lakini baada ya umri wa miaka 50 atatoka katika ushirika wa utumishi naye hatatumikia tena 26 naye atawahudumia ndugu zake katika hema la mkutano kwa kutimiza wajibu huo lakini hatatoa utumishi wowote utawafanyia walawi hivyo katika wajibu wao mbalimbali+ https//wwwjworg/finderdocid=1011452&book=4&chapter=8&wtlocale=sw&srcid=share mailtobody=soma biblia kwenye mtandao0a0ahttps3a2f2fwwwjworg2ffinder3fdocid3d101145226book3d426chapter3d826wtlocale3dsw26srcid=share⊂ject=soma biblia kwenye mtandao
2017-02-26T17:03:13
https://www.jw.org/sw/machapisho/biblia/bi12/vitabu/hesabu/8/
taarifa kuhusu mali za cuf zilizopatikana baada ya agizo la mwenyekiti la kurejeshwa kwa mali zilizo nje ya ofisi swahili times taarifa kuhusu mali za cuf zilizopatikana baada ya agizo la mwenyekiti la kurejeshwa kwa mali zilizo nje ya ofisinyingineby mwandishinovember 27 2016820share share thischama cha wananchi cuf chini ya uongozi wa prof lipumba kimefanikiwa kuyakamata magari sita kati ya saba iliyokuwa inayatafuta ambayo wamiliki wake walikaidi agizo la mwenyekiti wa chama hicho la kurejeshwa kwa mali zote zilizo nje ya ofisi akizungumza na wanahabari katika makao makuu ya ofisi hizo buguruni jijini dar es salaam naibu mkurugenzi wa habari na uenezi wa cuf taifa bw abdul kambaya amesema magari hayo yamekutwa yamefichwa nyumbani kwa kada mmoja wa chama kimoja maarufu nchini pasipo sababu zinazoeleweka kukamatwa kwa magari kunafuatia mpasuko unaotokana na tofauti ya kiuongozi ndani ya chama hicho ambapo upande mmoja unamtii katibu mkuu wake maalim seif sharif hamad huku upande mwingine ukimtii mwenyekiti wake profesa ibrahim lipumba tofauti hiyo ndiyo iliyozaa wazo la kurejeshwa kwa mali zote za chama hasa baaada ya kubainika kuwa sehemu kubwa ya mali hizo ipo mikononi mwa viongozi waandamizi mapema mchana leo katibu mkuu wa cuf maalim seif sharif hamad amewaambia wanahabari kuwa chama hicho kinapitia msukosuko mkubwa wa kiuongozi na kuwataka wanachama wake waimarishe umoja kwani mwisho wa yote chama hicho kitaendelea kuwa imara kama ilivyokuwa miaka iliyopita comments tagschama cha wananchi cuf chini ya uongozi wa prof lipumbakatibu mkuu wa cuf maalim seif sharif hamadnaibu mkurugenzi wa habari na uenezi wa cuf taifa bw abdul kambaya previous articleinazunguka whatsapp vitu 10 ambavyo wanawake wamewazidi next articletaarifa kutoka ikulu rais magufuli awapokea marais nyingine rais mstaafu kikwete aongoza maelfu mazishi ya mama lucy kibaki kenya may 7 2016 siasa sababu ya freeman mbowe kutozungumzia suala la kutoweka msaidizi wake ben saanane december 24 2016 michezo mbwana samatta atajwa kuwani tuzo afrika hawa ndio anaochuana nao october 15 2016 swahili times live swahilitimes live
2017-01-21T04:23:53
http://swahilitimes.com/taarifa-kuhusu-mali-za-cuf-zilizopatikana-baada-ya-agizo-la-mwenyekiti-la-kurejeshwa-kwa-mali-zilizo-nje-ya-ofisi/
sauti na maneno ya roho mtakatifu | mungu ndiye bwana wa viumbe vyote | injili ya kushuka kwa ufalme usomaji wa maneno ya mungu 1082 mwenyezi mungu anasema kwa kweli mungu ni bwana wa mambo yote yeye ndiye mungu wa viumbe vyote yeye si mungu wa waisraeli pekee na yeye si mungu wa wayahudi pekee yeye ni mungu wa viumbe vyote kazi yake ya awali ilifanywa yudea ndani ya eneo la israeli katika mataifa yasiyo ya kiyahudi hakufanya kazi yoyote ya uzinduzi wa enzi hata kidogo hatua ya mwisho ya kazi yake haifanywi tu miongoni mwa watu wa mataifa yasiyo ya kiyahudi hata zaidi ya hayo inafanywa miongoni mwa watu waliolaaniwa jambo hili moja ndio ushahidi unaoweza zaidi kumwaibisha shetani hivyo mungu anakuwa mungu wa viumbe vyote ulimwenguni na kuwa bwana wa vitu vyote anayeabudiwa na kila kiumbe mwenye uhai
2019-06-17T05:28:04
https://sw.kingdomsalvation.org/videos/God-is-the-Lord-of-all-creation-word.html
dore ibyagufasha kugabanya umubyibuho winda yanditswe na pastor desire habyarimana kuwa 6 04 2017 0508 ibitekerezo 0 hari ubwo usanga umuntu afite ikibazo cyumubyibuho winda ugasanga ahora ameze nkutwite kandi ari ibinure byinshi biba ku gice cyinda yebigahora bimubangamiye ariko hano hari ibiribwa warya bikagugabanyiriza ibyo binure bituma inda igenda iba nini umunsi ku wundi 1watermelon iki ni ikiribwa gikungahaye ku mazi kuko kigizwe na 82 byamazi afasha igifu cyumuntu gusha ibiryo nezaumuntu ufite ikibazo cyumubyiguho winda aba agomba kurya nibura igisate kimwe ku munsi cya watermelon 2 ibishyimbo ibishyimbo bigira umumaro ukomeye mu kugabanya umubyibuhonubwo abantu benshi usanga badakunda kubirya ndetse babifata nkindyo igayitse umuntu ugira ikibazo cyo kubyibuha inda rero aba agomba kubirya nibura rimwe ku munsi ku mafunguro yandi agiye gufata 3 kokombure kokombure igizwe namazi menshi agera kuri 96 byamazi na 45 bya karoricaloriesiyo ushaka kugabanya umubyibuho winda rero ugomba kujya urya salade ya kokombure inshuro nibura inshuro eshatu mu cyumweru 4pommes kurya pomme nibura imwe ku munsi buri gitondo uko umaze gufata amafunguro ya mugitondo ni byiza cyane ku muntu ufite ikibazo cyumubyibuho winda kuko igizwe na potassium ndetse na vitamin nyinshi zituma inda inanuka 5amagi kurya amagi ni byiza cyane ku muntu ufite ikibazo cyo kubyiguha inda kuko agizwe na calcium zinc iron phosphorus omega3 nizindi vitaminibyose bikaba bifasha inda gusubira uko yari imeze nta kubyibuha 6 icyayi cyicyatsi green tea ubusanzwe icyayi cyicyatsi cyirwanya umubyibuho ukabije ku muntu harimo nindaniyo mpamvu umuntu aba agomba kukinywa buri munsi kugira ngo arwanye umubyibuho winda 7 ubuki kunywa ubuki bufunguje amazi ashyushye nindimu ni ingenzi cyane ku muntu ushaka kugabanya umubyibuho windaufata ikirahuri cyamazi ashyushyeugashyiramo ikiyiko kimwe cyubuki nindimu imwemaze ukajya ubinywa buri gitondo uko ubyutse nta kindi kintu urafata 8 amazi yakazuyazi kunywa amazi yakazuyazi nabyo bifasha kugabanya umubyibuho windaku muntu ufite icyo kibazougomba kunywa nibura litiro imwe yamazi ashyushye buhoro ku munsi 9 imineke umuneke ugira umumaro umwe nuwa pomme kuko ugira intungamubiri zimwe zigabanya umubyibuho harimo ninda 10 amazi menshi kunywa mazi menshi buri munsi ni ingenzi cyane mu gufasha kigabanya umubyibuho windaumuntu aba agomba kunywa nibura ibirahuri 8 byamazi ku munsimaze mu gihe cyukwezi kumwe uhita ubona itandukaniro kuko inda iba maze gusubirayo ibi nibyo biribwaigihe ufite ikibazo cyo kubyibuha inda maze bikagufasha guhita isubirayo mu gihe gito cyane kuko rimwe na rimwe abantu bafite inda ibyibushye usanga bagira ipfunwe ryayo si ngombwa ko ibi byose ubikoresha ariko wahitamo ibikoroheye gukoresha maze ukarena impinduka nkuko tubikesha ikinyamakuru elcremacom
2017-07-24T08:44:16
http://agakiza.org/?Dore-ibyagufasha-kugabanya-umubyibuho-w-inda
rais mpya wa zambia avalishwa na sheria ngowi katika sherehe za kuapishwa kwake | larrybway91 larrybway91 / january 25 2015 rais mpya wa zambia edgar lungu ameapishwa baada ya kumshinda mwenzake kwa kura chache katika uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo bwana lungu aliwaambia maelfu ya wafuasi wake katika sherehe hiyo kwenye uwanja wa michezo mjini lusaka kwamba yeye ni mtumishi wa watu alipata asilimia48 ya kura ikilinganishwa na asilimia47 za mgombea wa upinzani hakainde hichilema tume ya uchaguzi imekanusha malalamiko ya upinzani kwamba kumefanywa udanganyifu katika sherehe za kuapishwa kwake rais edgar lungu alikuwa amevalishwa na mbunifu wa mavazi wa kimataifa kutoka tanzania sheria ngowi katika sherehe za kuapishwa kwake rais mpya wa zambia edgar lungu akiwa amevaa suti maalum (presidential suit)iliyobuniwa na mbunifu wa mavazi wa kimataifa kutoka nchini tanzania sheria ngowi akiwa na mkewe eshter lungu muda mfupi baada ya kuapishwa katika sherehe za kuapishwa kwake janaaliandika sheria ngowi kwenye mtandao wa instagram rais edgar lungu akiwa ameketi akisubiria kuapishwa rais mpya wa zambia edgar lungu akiwa ameshika kitabu kitakatifu akisubiria kuapa mbele ya umati wa watu rais edgar lungu baada ya akiapo akipigiwa mizinga rais lungu akikagua msafara wa kikosi cha jeshi huku akiwa ametinga suti ambayo imebuniwa na sheria ngowi mbunifu wa kimataifa kutoka tanzania sheria ngowi akifuatilia kwa makini sherehe za kuapishwa wa rais mpya wa zambia january 25 2015 in fashion news tags ''picha za kuapishwa kwa rais wa zambia'' ''rais mpya wa zambia aapishwa'' ''rais mpya wa zambia avalishwa na sheria ngowi'' 'edgar lungu' sheria ngowi zambia homa ya matokeo ya kura za urais nchini zambia ← wakazi homa ya dengue ilinifanya niitungie wimbo kichupa kipya yamoto band nitakupwelepweta [official video] →
2018-04-21T03:58:29
https://larrybway91.wordpress.com/2015/01/25/rais-mpya-wa-zambia-avalishwa-na-sheria-ngowi-katika-sherehe-za-kuapishwa-kwake/
kilimo bora cha nyanya maandalizi ya mbegu shamba na upandaji wa miche magonjwa kilimo na mifugo kilimo bora cha nyanya maandalizi ya mbegu shamba na upandaji wa miche magonjwa kilimo na mifugo home > makala > kilimo bora cha nyanya maandalizi ya mbegu shamba na upandaji wa miche magonjwa kilimo bora cha nyanya maandalizi ya mbegu shamba na upandaji wa miche magonjwa imeandaliwa mathias lekundayo wwwkilimonamifugocom • hali ya hewa • udongo 1 aina ndefu ( intermediate) kwa mfano anna f1 tebgeru 97 aina hizi hufanya vizuri zaidi zinapopandwa ndani ya greenhouse uvunaji wake ni wa muda mrefu zipo ambazo zinavunwa hata zaidi ya miezi 6 yaani hiyo miezi 6 ni ya uvunaji 2 aina fupi (determinate) kwa mfano tanya cal j mwanga onyx roma vf (nyanya mshumaa) • kitalu kiwe karibu na maji ya kutosha na ya kudumu • kiwe sehemu iliyowazi na yenye udongo ulio na rutuba ya kutosha • eneo la kitalu kama ni kubwa liwe tambarare au na mwiinuko kidogo ili kuepuka maji yasituame kwenye kitalu mtelemko ukiwa mkali sana nao sio mzuri kwani husababisha mmomonyoko wa udongo • kitalu kiwe sehemu ambayo haikuwa na zao la nyanya au viazi mviringo (au mazao ya jamii ya nyanya km mnavu biringanya nk) • kiwe sehemu ambayo ni rahisi kupata huduma zote muhimu kwa urahisi ikiwa ni pamoja na uhamishaji wa miche kwenda sehemu nyingine pia kurahisisha usambazaji wa miche kwenda sehemu nyingine • tuta liwe na upana kati ya sentimita 90120 na urefu wowote [ili mradi muhudumu anaweza kutoa huduma nyingine zote kitaluni bila kukanyaga miche] • kwatua/lima kina kirefu cha kutosha kiasi cha sentimita 1520 ili mizizi iweze kusambaa vizuri ardhini • choma takataka juu ya kitalu au funika tuta kwa nailoni majuma 48 ili kuua vimelea vya magonjwa na wadudu • wakati wa kuandaa kitalu ongeza mbolea aina ya samadi/vunde au mboji kwenye udongo kisha kwatua ili ichanganyike vizuri na udongo • changanya kiasi cha debe 1 hadi 2 kila baada ya mita moja (hatua moja) mraba • tuta lisiwe na mabonde mabonde au mawe mawe ambayo yanaweza kuzuia usambaaji mzuri wa mbegu kwenye tuta lisawazishwe vizuri ili kuhakikisha usambazaji mzuri wa mbegu na kuepuka mbegu kufukiwa chini mno kiasi ambacho hazitaota matuta ya namna hii huruhusu maji hewa na mizizi kupenya kwenye udongo kwa urahisi zaidi mazao ya mizizi hupata nafasi ya kutosha kutanuka haraka zaidi matuta haya hayatuamishi maji kama mengine hivyo hutumika zaidi kwenye maeneo yanayokuwa na mvua mara kwa mara · matuta haya ni rahisi kutengeneza · hutumika wakati wa kiangazi ili kuhifadhi maji na unyevu · nyevu mdogo unaopatikana ardhini · ni rahisi kumwagilia kwa kutumia maji ya mfereji au bomba · huhifadhi unyevu nyevu kwenye ardhi kwa muda mrefu · huzuia mmomonyoka wa ardhi · matuta ya aina hii hayawezi kutumika kwenye maeneo yenye · mvua nyingi · ni rahisi sana kutengeneza kwani udongo ukisha kwatuliwa · na kusambazwa mbegu huoteshwa · ni rahisi kutumia eneo kubwa kuotesha mbegu • hakikisha ubora na uotaji wa mbegu kabla ya kuzipanda kitaluni (germination test) • weka mistari kwenye tuta kulingana na ukubwa wa tuta lakini mistari isiwe chini au zaidi ya sentimita 1520 toka mstari hadi mstari • kina cha mistari kisiwe cha kutisha bali kiwe kati ya sentimita 12 • matuta yapate maji ya kutosha siku moja kabla ya kusia mbegu ni vizuri kutumia chombo cha kumwagilia (watering can) • mbegu ziatikwe kwenye mistari na zisambazwe vizuri ili kufanikisha usambaaji mzuri wa mbegu kwenye tuta changanya mchanga laini na mbegu kisha sambaza kwenye mistari iliyoandaliwa kwenye tuta • weka matandazo kiasi cha kutosha ambacho hakitazuia kuota kwa mbegu • mara baada ya kuatika mbegu mwagilia maji kiasi cha kutosha kulingana na unyevu nyevu ulioko ardhini • mwagilia maji kwenye kitalu baada ya kuotesha kulingana na unyevu nyevu uliopo kwenye udongo • miche yote ikisha ota ondoa matandazo kisha weka chanja ili kupunguza mionzi ya jua ambayo inaweza kuunguza miche michanga (kipindi cha baridi si muhimu sana) • punguzia miche (thinning) ili ibakie kwenye nafasi ya kutosha hivyo miche ibakie kwenye umbali wa sentimita 25 4 hii itapunguza magonjwa ya ulemavu na mnyauko pia itasaidia kupata miche bora na yenye nguvu • endelea kumwagilia hadi miche ifikie kimo kinachofaa kuhamishia shambani • punguza kiwango cha umwagiliaji maji siku chache kabla ya kuhamishia miche shambani yaani siku 710 • mwagilia miche masaa machache kabla ya kuhamishia miche shambani ili wakati wa kungoa miche mizizi ishikamane vizuri na udongo • kabla ya kuhamisha miche mashimo yawe yamekwisha andaliwa katika nafasi zinazo stahili huko shambani • miche ihamishwe wakati wa jioni ili kuepuka madhara yanayoweza kusababishwa na jua • kwa ujumla karibu mazao yote ya mboga mboga huwa tayari kuhamishiwa shambani yakiwa na majani kamili kati ya 26 pamoja na mizizi mingi iliyostawi vizuri • mche lazima uwe na afya nzuri uwe umenyooka vizuri hivyo miche yote iliyonyongea au myembamba kupita kiasi isichukuliwe wakati wa kupeleka shambani • ngoa miche kwa uangalifu hasa pamoja na udongo wake kwa kutumia vifaa husika ili mizizi isidhurike • miche ihamishiwe shambani mapema mara baada ya kungolewa toka kitaluni • wakati wa kuhamisha miche uangalifu mkubwa utumike ili kutoharibu miche/mizizi • shamba la nyanya liandaliwe mwezi 12 kabla ya kupanda miche • mara baada ya kulima choma nyasi juu ya udongo au ondoa magugu yote yanayoweza kuhifadhi wadudu na magonjwa ya nyanya • siku moja au mbili kabla ya kuhamishia nyanya shambani mwagilia sehemu iliyoandaliwa kwa ajili ya kuhamishia nyanya • nafasi kati ya mche hadi mche ni wastani wa sentimita (5060) x (5075) kutegemeana na aina au hali ya hewa kama ni kipindi cha baridi ni vyema nyanya zikapandwa mbalimbali ili kuruhusu mzungungo wa hewa na kuzuia magonjwa ya fangasi • hamisha miche toka kitaluni pamoja na udongo wake • sambaza mizizi vizuri kwenye shimo bila kukunja • fukia miche kina kile kile ambacho shina lilikuwa limefukiwa bustanini • mwagilia maji ya kutosha kulingana na unyevunyevu uliopo kwenye udongo kasha weka matandazo na kivuli ili kupunguza uharibifu unaosababishwa na mionzi ya jua • kagua shamba mara kwa mara ili kujua maendeleo au matatizo yaliyoko shambani mapema • hakikisha shamba ni safi wakati wote palilia shamba na hakikisha magugu yote hasa yale ya jamii ya nyanya yamelimiwa chini • ondoa mimea iliyoshambuliwa na magonjwa au ondoa sehemu zilizoshambuliwa kisha zifukiwe chini au kuunguza moto • punguza matawi na vikonyo ili kuongeza mwanga wa kutosha kwenye nyanya pamoja na kuruhusu mzunguko wa kutosha wa upepo na kusababisha mazingira magumu ya wadudu maadui kwenye nyanya hasa wale wanaopenda kiza na magonjwa yanayopendelea unyevunyevu pamoja na umuhimu wa zao hili wadudu waharibifu na magonjwa huathiri uzalishaji na ubora wa matunda ili mkulima aweze kupata faida na kuongeza pato la kaya yake ni vema kuzingatia udhibiti wa magonjwa na wadudu wa zao hili kipeperushi hiki kinatoa maelezo ya udhibiti wa magonjwa na wadudu muhimu ya zao la nyanya bakajani chelewa (late blight) ugonjwa huu huenenzwa na vimelea vya fangasi husababishwa na hali ya hewa hasa ya unyevunyevu na huenezwa na upepo majani shina matunda hushambuliwa majani huwa na ukungu mweupe na kijivu na baadaye hukauka matunda huwa na mabaka ya kikahawia na baadaye kuoza mashina pia huwa na mabaka ya kikahawia · nyunyiza dawa ya kuzuia ukungu hasa wakati wa masika dawa zinazopendekezwa ni ridomil dithane 45 bravo funguran milraz · fanya mzunguko wa mazao usipande nyanya sehemu moja kila msimu au palipolimwa mazao jamii ya nyanya km viazi mviringo bilinganya aina zote za pilipili na nyanya chungu · tumia mbegu safi · panda aina za nyanya zinazovumilia ugomjwa bakajani tangulia (early blight) huenezwa na vimelea vya fangasi husababishwa na kuenezwa na hali ya hewa pamoja na mbegu zenye ugonjwa mabaka ya kahawia yenye mistari ya mviringo huonekana kwenye majani na shina baka jeusi hutokea sehemu ya tunda inayoshikana na kikonyo · nyunyiza dawa ya kocide funguran · teketeza mabaka ya mazao baada ya kuvuna · tumia mbegu safi na bora mnyauko fusari (fusarium wilt) huenezwa na mbegu zenye ugonjwa husambazwa na vimelea vya fungasi vinavyoishi kwenye udongo ugonjwa hujitokeza zaidi wakati wa kiangazi vimelea hushambulia sehemu au mirija ya mmea ya kupitishia maji na chakula mmea hukosa maji na chakula na hatimaye hunyauka shina la mmea likipasuliwa ndani huonekana rangi ya kikahawia · tumia mzunguko wa mazao nyanya zisizungushwe na mazao jamii yake · teketeza masalia ya mimea wwwariuyolegotz · choma kitalu cha nyanya kabla ya kusia mbegu mnyauko bacteria (bacterial wilt) ugonjwa husababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoishi kwenye udongo huenezwa na kusambazwa na mbegu na udongo wenye vimelea mirija ya mimea ya kupitishia maji na chakula hushambulia na mimea hunyauka ghafla mmea hukauka na kufa · panda mbegu safi · panda nyanya sehemu ambayo haijawahi kupandwa viazi mviringo bilinganya au nyanya chungu · hakikisha mfereji wa maji ya kumwagilia hayapiti kwenye shamba lenye historia ya ugonjwa huu mnyauko vetisili (verticillum wilt) hakuna dawa inayozuia au kutibu ugonjwa huu kwa sasa ugonjwa husababishwa na ukungu (fangasi) kwenye udongo ukungu huu huishi kwenye udongo kwa muda mrefu bila kudhurika ugonjwa huongezeka ikiwa mizimizi ya nyanya imeshambuliwa na minyo fundo au kukiwepo na hali ya ubaridi au ukame ugonjwa husababisha hasara kubwa ugonjwa hushambulia sehemu ya ndani ya shina na kusababisha sehemu hiyo kuwa na rangi ya kijivu majani hugeuka njano na mimea kunyauka na kufa · tumia mzunguko wa mazao usiopungua miaka mine · ondoa mabaki ya nyanya shambani bakadoa (bacterial spot) ugonjwa huu huenezwa na vimelea vya bacteria vinavyoishi kwenye mbegu pia kwenye hewa huenezwa kwa kasi sana wakati wa masika madoa ya rangi kahawia huonekana kwenye majani na matunda · panda mbegu bora na safi · nyunyizia dawa ya funguran kocide101 cobox bravo makovu bakteria (bacterial canker) ugonjwa huenezwa na vimelea vya bacteria vinavyoishi kwenye mbegu na hewani hutokea zaidi wakati wa masika majani hukauka nchani na makovu yaliyodidimia hutokea kwenye shina matunda huwa na makovu yenye rangi ya kahawia sehemu ya katikati wwwariuyolegotz 2 rasta (yellow leaf curl) ugonjwa huu husababishwa na virusi na huenezwa na nzi wadogo weupe hutokea zaidi wakati wa kiangazi mimea hudumaa na majani yaliyoshambuliwa huwa na rangi ya manjano na pengine rangi ya zambarau nyanya hupasuka batobato (tomato mosaic virus) ugonjwa husababishwa na virusi na hueezwa na mbegu na kugusana majani huwa na mchanganyiko wa rangi hasa kijani kibichi na kijani kilichofifia (majano) majani hujikunja na manjani machanga huwa na maumbile yasiyo kawaida ukifikisha jani huwa linavinjikavunjika viwavi matunda (fruit worm) viwavi hawa hutokana na wadudu nondo viwavi hutoboa matunda na kuacha matundu na hatimaye matunda huoza hupunguza ubora wa matunda nyunyizia dawa ya kuua wadudu dawa hizo ni pamoja na actelic 50ec selectron dursbaan maji ya majani ya mwarobaini au utupa pia huua wadudu utitiri wekundu (red spider mites) hawa ni wadudu wekundu wadogo sana wanaoweka utando chini ya majani hasa wakati wa kiangazi wadudu hawa hufyonza utomvu kwenye majani na kusababisha majani kukauka · nyunyizia dawa za sumu dawa hizo ni pamoja na actellic selecron dursbarn na thionex · mwagilia maji mara kwa mara wwwariuyolegotz 3 inzi weupe (white flies) hawa ni inzi weupe wadogo sana hujitokeza sana wakati wa kiangazi hueneza ugonjwa wa virusi ujulikanao kama rasta nyunyizia dawa za sumu za kuulia wadudu kama selecron actellic dursban na thionex pia maji ya majani ya mwarobaini na utupa vidukari au wadudu mafuta (aphids) ni wadudu wenye rangi nyeusi au kuijani au kahawia hukaa chini ya majani na kufyonza utomvu kwenye majani machanga hudumaza mmea na kushindwa kuzaa nyunyizia dawa za sumu za kuulia wadudu kama rogor actellic selecron dursban maji ya majani ya mwarobaini na utupa maji ya pilipili minyoo (nematodes) ni minyoo midogomidogo ambayo hushambulia mizizi na kuweka vifundo mizizi hushindwa kuchukua maji na chakula kwenye udongo mimea hudumaa na kushindwa kuzaa · choma udongo wa kitalu kabla ya kusia mbegu kwa kutumia karatasi la plastiki jeusi na nishati ya jua · choma masalia ya mazao sota (cutworms) hushambulia miche ya nyanya hasa baada ya kupandikizwa shambani wakati wa mchana hujificha kwenye udongo na usiku hujitokeza na kukata miche kwenye shina usawa wa udongo · nyunyiza dawa za kuua wadudu kwenye shina usawa wa udongo · hakikisha miche inapata maji ya kutosha item reviewed kilimo bora cha nyanya maandalizi ya mbegu shamba na upandaji wa miche magonjwa rating 5 reviewed by kilimo mifugo
2018-11-13T15:49:37
http://www.kilimonamifugo.com/2016/02/kilimo-bora-cha-nyanya-maandalizi-ya.html
ibiyaga binini muri afurika friday 21 june 2019 1532 afurika ni umugabane wa gatatu mu migabane minini igize isi ugizwe nubutaka namazi bigize umurage kamere wa afurika mu biyaga binini biboneka muri afurika biri mu gace bita akarere kibiyaga bigari ni agace kari munsi yumurongo ugabanya isi mo kabiri muri afurika yiburengerazuba akaba ari n agace gaturukamo amazi abyara inzuzi nini muri afurika ari zo uruzi rwa nili na congo dore ibiyaga binini muri afurika 15 ikiyaga cya kyoga ni ikiyaga gifite ubuso bwa km2 1720 gifite ubujyakuzimu bureshya na metero 57 14 ikiyaga cya eduard ni ikiyaga gifite ubuso bwa km2 2150 gifite ubujyakuzimu bureshya na metero 117 13 ikiyaga cya kivu ikiyaga cya kivu gifite ubuso bwa km2 2 700 giherereye hagati yigihugu cyu rwanda na repuburika iharanira demokarasi ya congo ikiyaga kiri ku butumburuke bwa metero 1460 uvuye ku nyanja ni ikiyaga kireshya na km 90 zuburebure na km 50 zubugari ubujya kuzimu bureshya na metero 480 12 ikiyaga cya tana ikiyaga gifite ubuso bwa km2 3 650 giherereye muri ethiopia gifite uburebure bwa km 85 nubugari bwa km 66 ni ikiyaga kiri mu karere ka amhara gituruka ku iruka ryibirunga yatumye habaho kubyimba ku butaka maze bubyara imisozi ibiri hashize imyaka igera kuri miliyoni 11 ikiyaga cya moreo ikiyaga cya moreo ni ikiyaga cya karindwi gifite ubuso bwa km2 5 120 uburebure bwa km 131 nubugari bwa km 56 ubujyakuzimu bureshya na metero 27 amazi yikiyaga cya moreo giherereye hagati ya repuburika iharanira demokarasi ya congo na zambia irindi zina ryikiyaga ni mweru 10 ikiyaga cya nasser (ikiyaga cyurugomero) ni ikiyaga kiri ku mupaka wigihugu cya misiri na sudani gifite ubuso bwa km2 5250 uburebure bwikiyaga ni km 550 ubujyakuzimu ni m 14 9 ikiyaga cya albert ni ikiyaga cya cyenda mu biyaga binini bya afurika ikiyaga cya albert ni ikiyaga giherereye muri uganda albert gifite ubuso bwa km2 5300 uburebure bwa km 160 na km 30 zubugariubujyakuzimu muri rusange ni metero 25 ikindi gice cyikiyaga cya albert giherereye muri repuburika iharanira demokarasi ya congo aribyo bituma bagiha akabyiniriro k ikiyaga cya mobutu ni ikiyaga gifite ubukungu bwinshi harimo peteroli namafi menshi ku buryo bituma kiberamo ibikorwa byinshi byuburobyi 8 ikiyaga cya caria ni ikiyaga giherereye hagati ya zambia na zimbabwegifite ubuso bwa km2 5400 uburebure bwa km 220 nubujyakuzimu bwa metero 78 7 ikiyaga cya rukwa ni ikiyaga giherereye muri tanzania gifite ubuso bwa km2 5760 ni ikiyaga gifite ubujyakuzimu buto gusa kizwiho kugira umubare munini wingona kujya mu kiyaga byemerwa mu gihe cyizuba kugera kuri iki kiyaga wanyura mu gace ka chunya 6 ikiyaga cya turkana (ikiyaga cya rodolph) ikiyaga cya turkana kiri ku mwanya wa gatandatu giherereye ku mupaka wa kenya na ethiopia gifite ubuso bwa km2 6 405 uburebure bwa km 290 nubugari bwa km 32 ubujyakuzimu bwa metero 110 bitandukanye nibindi biyaga byinshi ni ikiyaga gifite ibirwa bitatu binini ni ahantu hagiye havumburwa amagufa ya kera amaze imyaka igera kuri miliyoni 5 ikiyaga cya volta( ikiyaga cyurugomero) ni ikiyaga gifite ubuso bwa km 2 8502 4 ikiyaga cya bangwelo ni ikiyaga gifite ubuso bwa km2 9 840 3 ikiyaga cya malawi ni ikiyaga gifite ubuso bwa km2 30 900 ni ikiyaga gifite ubujyakuzimu bunini muri afurika bugera kuri metero 704 muri rusange bugera kuri metero 290 2 ikiyaga cya tanganyika ni ikiyaga giherereye hagati yibihugu bine burundi tanzania zambia na repuburika iharanira demokarasi ya congo ni ibihugu bikikije ikiyaga cya tanganyika ni ikiyaga gifite ubuso bwa km2 32 900 kikagira uburebure bwa km 677ubugari bwa km 72kiri ku butumburuke bwa metero 775 naho ubujyakuzimu bunini ni metero 1 471uburi rusange ni metero 570 1 ikiyaga cya victoria ikiyaga cya mbere kinini muri afurika gifite ubuso bwa km2 68 100 giherereye hagati ya uganda kenya na tanzania kiri mu gace bita rift valley niho isoko ya nil blanc ikomoka kandi nil blanc niyo ifite amazi mezi mu zigize uruzi rwa nili ikiyaga cya victora gifite uburebure bwa km 337 ubugari bwa km 240 ubujyakuzimu rusange bwa metero 40 kikaba kiri ku butumburuke bwa metero 1 133 zubutumburuke uvuye ku nyanja hakaba hari utuyaga tugera ku bihumbi 3000 turi kuri iki kiyaga amazi menshi ari muri iki kiyaga niyo atuma kiza mu biyaga icumi binini ku isi ifoto y'ikiyaga cya kivu mu rwanda last modified on friday 21 june 2019 1559
2020-02-24T02:55:48
http://igicumbi.com/index.php/ubukerarugendo-mu-rwanda/ibidukikije/item/526-ibiyaga-binini-muri-afurika
kama katiba ya ghana ndio bora afrika | jamiiforums | the home of great thinkers kama katiba ya ghana ndio bora afrika discussion in 'jukwaa la siasa' started by the fixer jul 26 2012 kumekuwa na habari katika nyingi nyingi tu kwenye vyombo mbali mbali vya habari kuwa katiba ya ghana ndio katiba bora kuliko zoote afrika mi naomba mumwambie kaka mkubwa akienda kwenye msiba wa marehemu rais wa ghana prof mills kama kawaida yake achukue flash hata gb 8 kama hii yangu ili amwambie huyu aliyeapishwa juzi amnyonyee kwenye flash tuje tui edit tu mambo madogo madogo ya majina then tuizindue kama yetu kwani hata vitu vizuri hatuwezi kuiga jamani jamani enyi mlio karibu na kaka mkubwa msifanye masihara maana tayari udini umeshika kasi nchini tumieni muda huo kuiokoa tanzania yetu unataka achukue katiba ya ghana ili ccm isirudi madarakani unataka achukue katiba ya ghana ili ccm isirudi madarakaniclick to expand mimi nataka awaombe soft copy ili na sisi tuwe na katiba swaafi na hata kama ccm isiporudi madarakani wala sijali maana hao ccm kwani wanahati miliki ya kuitawala hii nchi waitakavyo maisha yao yoote katiba ya ghana ina serikali moja na amri jeshi mkuu mmoja katiba ya ghana haina wabunge wa vitu maalum katiba ya ghana haina mahakama ya kadhi katiba ya ghana tume ya uchaguzi haiteuliwi na rais hayo ni machache ambayo kwa hapa tanzania kamwe ccm hawatakaa wayakubali kwenye katiba mpya hayo ni machache ambayo kwa hapa tanzania kamwe ccm hawatakaa wayakubali kwenye katiba mpyaclick to expand naongezea tu mkuu katiba ya ghana rais hana madaraka makubwa kama ya jk katiba ya ghana spika hapatikani kama wananyofanya magamba mimi nataka awaombe soft copy ili na sisi tuwe na katiba swaafi na hata kama ccm isiporudi madarakani wala sijali maana hao ccm kwani wanahati miliki ya kuitawala hii nchi waitakavyo maisha yao yoote click to expand http//wwwpoliticsresourcesnet/docs/ghanaconstpdf dear jf members please find attached is an electronic copy of the constitution of ghana nawatakia reference njema ili ifikapo kuchangia kwenye katiba mpya mujimwage mwage ghana constitution_ year 1992pdf kwanza utangulizi wake tu unakuvutia kuwa kilichomo ndani kina maslahi ya wananchi the constitution ​of the republic of ghana​in the name of the almighty god ​we the people of ghana ​in exercise of our natural and inalienable right to establish a framework of government which shall secure for ourselves and posterity the blessings of libertyequality of opportunity and prosperity ​in a spirit ​of friendship and peace with all peoples of the world and in solemn ​declaration and affirmation of our commitment tofreedom justice probity and accountabilitythe principle that all powers of government spring from the sovereign will of the peoplethe principle of universal adult suffragethe rule of lawthe protection and preservation of fundamental human rights and freedoms unity andstability for our nation ​do hereby adopt enact and give to ourselves this​constitution the constitution of the unitedrepublic of tanzania 1977preamblefoundations of theconstitution ​whereas we the people of the united republic of tanzania have firmly and solemnly resolved to build in our country a society fraternity on the principles of freedom justice founded and concord and whereas those principles can only be realised in ademocratic society in which the executive is accountable to a legislature composed of elected members and representative of the people and also a judiciary which is independent and dispensesjustice without fear or favour thereby ensuring that all human rightsare preserved and protected and that the duties of every person arefaithfully discharged now therefore this constitution is enacted bythe constituent assembly of the united republic oftanzania on behalf of the people for the purpose of buildingsuch a society and ensuring that tanzania is governed by a government that adheres to the principles of democracy and socialism​ kweli mkuu utangulizi unavutia mpaka kuusoma na naamini kwa utangulizi ouliotolewa hapo unaendana na kile kilichomo ndani mwake kweli mkuu utangulizi unavutia mpaka kuusoma na naamini kwa utangulizi ouliotolewa hapo unaendana na kile kilichomo ndani mwakeclick to expand yaani ni maneno mazito mno 63 (1) a person shall not be a candidate in a presidential election unless he is nominated for election as president by a document which (b) is signed by not less than two persons who are registered voters resident in the area of authority of each (c) is delivered to the electoral commission on or before the day appointed as nomination day in relation to hebu angalia mtu anayefaa kuwa mgombea urais huko ghana 1 people likes jamani enyi mlio karibu na kaka mkubwa msifanye masihara maana tayari udini umeshika kasi nchini tumieni muda huo kuiokoa tanzania yetuclick to expand mkuu haina haja ya kubeba flash ukigoogle utaipata katiba ya ghana bila mikwaruzo natamani chadema kwenye hiyo m 4 c yao wangetembea na sofy copy hiyo ili jamaa zetu wa ccm waone tofauti na iwe ni issue hata mpaka bungeni iwe gumzo maana hawa jamaa ukisema tu kitu jimboni mwao wanaipeleka mpaka bungeni ikiingia humo ndio mambo yoote yataanzia huko so kama soft copy inapatikana jf basi kaka mkubwa aje na flash yake humu ainyonyee na atuachie hii maana kwahili tu ndio tutamkumbukaa tatizo la tanzania au afrika sio katiba tatizo ni sisi watz na utamaduni wetu kwa hiyo hata katiba nini ya ghana leta ya marekani au hata greenland hakuna kitachobadilika kwa maana nilishasema utamaduni wetu hautoi nafasi ya kuendelea vile wengine walivyoendelea kuna umuhimu wa kuiga mambo kadha wa kadha kwayo no we should fight to build it virtually & own it actually watu wa ghana walipata uhuru wa kweli walipomwondoa mkoloni hapa tanganyika mkoloni mzungu alimkabidhi madaraka mkoloni mweusi(tanu na sasa ccm) ipo siku tutapata uhuru wa kweli wakuu hii katiba imeenda shule na imeshiba kila nyanja hebu cheki hapa (1) parliament shall have no power to enact a law establishing a oneparty (2) any activity of a person or group of persons which suppresses or seeks to suppress the lawful political activity of any other person or any class of persons or persons generally is unlawful jamaa wako makini sana kuhakikisha mfumo wa vyama vingi unalindwa hata bunge haliruhusiwi kuuchezea mtu yeyote (bila kujali madaraka yake) haruhusiwi kwa namna yoyote kuzuia shughuli zozote halali za kisiasa yale mambo ya mwema na kova kuhusu intelijensia za kufikirika katiba ya ghana imezuia polisi na watawala (wakuu wa wilaya nk) wanapaswa kutimiza wajibu wao kulinda shughuli za kisiasa badala ya kuleta visingizio visivyo na mbele wala nyuma inapendeza (2) a person shall not be discriminated against on grounds of gender race colour ethnic origin religion creed or social or economic status (3) for the purposes of this article discriminate means to give different treatment to different persons attributable only or mainly to their respective descriptions by race place of origin political opinions colour gender occupation religion or creed whereby persons of one description are subjected to disabilities or restrictions to which persons of another which are not granted to persons of another description halafu kuna wengine wanataka tuweke mahakama ya kadhi kwenye katiba ivi mnikulu si yumo humu kwa id tofautibasi aonyenye hiyo pdf hakuna atakae mchekani ushujaa pia http//wwwpoliticsresourcesnet/docs/ghanaconstpdfclick to expand safi sana mkuuyou are very great thinker
2016-12-08T00:21:45
http://www.jamiiforums.com/threads/kama-katiba-ya-ghana-ndio-bora-afrika.298288/
mtangazaji wa taarifa ya habari (tbc1) na tai ya chadema | jamiiforums | the home of great thinkers mtangazaji wa taarifa ya habari (tbc1) na tai ya chadema discussion in 'chaguzi ndogo' started by ndegeulaya apr 1 2012 habari waungwana i must be honest with myself kwa kweli leo nimeshangazwa sana na mtangazaji wa tbc1 habari ya saa 1 asubuhi kwa kitendo chake cha kujitabanaisha na chama makini kwa kuamua kuvaa tai yenye rangi za bendera ya chadema ndani ya studio za tbc1 nimeshangazwa na hilo hasa nikizingatia kwamba kwanza leo ni siku ya uchaguzi mdogo wa ubunge katika jimbo la arumeru mashariki na kwamba mbio za kampeni zilifungwa rasmi saa 12 jioni jana na pili kwamba kwa jinsi inavyoaminika na wengi hapa jamvini ni kwamba kituo cha televisheni cha tbc1 kinaonekanaga kuwa na mtazamo hasi dhidi ya vyama vya upinzani nchini na hasa dhidi ya chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) karibuni wachambuzi wa mambo mtoe tafsiri zenu kwa kitendo hiki cha mtangazaji wetu wa leo source tbc1 habari (jambo tanzania) vaa kama mavaz mengine hana taarifa kama ni rangi za chama fulani hata hivyo ungeweka link yake tukajadili kwa kitu tumekiona ustake kumharibia mtu kazi ustake kumharibia mtu kaziclick to expand kwa namna gani mkuu em tufafanulie kidogo uchambuzi wako weka picha mkuu chadema ni kama maji usipoyanywa basi utayaoga tu kwani ka kavaa kweli atavufukuzwa kazi sishangaiyeye ni kioo cha jamiihivyo anawaambia wana arumeru nini cha kufanya leo karibuni wachambuzi wa mambo mtoe tafsiri zenu kwa kitendo hiki cha mtangazaji wetu wa leo source tbc1 habari (jambo tanzania)click to expand alikuwa anajaribu kuwakumbusha waliojisahau wasije wakapoteza haki zao zamsingi foolish dayclick to expand like (ni via mobaile mkuu kitufe husika sina aksesi nacho) mi sijamuona huyo mtangazaji na sijui unamuongelea nani ila jua kuna watu wengi tu mle tbc akiwepo mmoja ambae ni rafiki yangu wa karibu ambao hawasupport ccm infact in wanacdm isipokua kwa ajili ya ajira hawajiweki wazi kuna tofauti kubwa kati ya taasisi na watu wanaofanya kazi katika taaisisi hiyo wapo hata polisi wanajeshi na usalama wa taifa ambao wanasupport vyama shindani source tbc1 habari (jambo tanzania)click to expand kwanza hakatazwi na masharti ya ajira kuwa mwanachama wa chama chochote kikiwemo chadema pili pale studio siyo karibu na kituo cha kupigia kura kwa hiyo kuvaa vazi la chama hamshawishi mtu yeyote kukipigia kura chama fulani na tatu jana moleli aliaibika kwa kutangaza habari ya ccm halafu picha ikatoka ya cdm nadhani ndani ya tbc1 wanajuana sana na wanahujumiana huyu moleli nadhani ametumwa na ccm hata kwenye kipindi cha magazeti akiona habari ya cdm anaificha au anasoma bila kuonesha picha yake sasa wenzake hasa mafundi mitambo wameshamstukia jana wakaamua kumfanyia walichofanya heko tbc1 hatuwezi kuendesha tv kwa kodi zetu halafu ikawa ni sehemu ya mfumo kandamizi kwa walipa kodi wake ni sawa na kukata tawi ulilokalia ukiwa juu ya mti karibuni wachambuzi wa mambo mtoe tafsiri zenu kwa kitendo hiki cha mtangazaji wetu wa leo makumira c chadema 92 ccm 50click to expand asee we unaumwa ugonjwa wa zinaa kitendo chake cha kujitabanaisha na chama makini kwa kuamua kuvaa tai yenye rangi za bendera ya chadema ndani ya studio za tbc1 hakuna mtu au taasisi duniani yanye hati miliki ya rangi
2016-10-23T18:15:39
http://www.jamiiforums.com/threads/mtangazaji-wa-taarifa-ya-habari-tbc1-na-tai-ya-chadema.242625/
wananchi waandamana kupinga mgao wa umemeofisi za shirika la umeme zachomwa moto | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'jukwaa la siasa' started by margwe jun 28 2011 my take kuna nchi yenye mgao unaozidi wetu maana tukiwa tunakula wa about twelve hours tanesiko watangaza rasmi wa masaa kumi usio na kikomo (12+10=) nimekimbilia nikijua ni hapa kwetu nikajumuike nao kumbe senegalsijui hapa kwetu lini mkuu na mimi nilikimbia ili nipate geografia ya eneo fasta niwahi na bango langu dah yaani nilikuwa nawaza cha kuandika kwenye bango langu kumbe senegal sasa si muanzishe ninyi hapa home mnasubiri nani sasa aanze hilo la kujadili mkuu itabidi tuifanye iwe siku ya j2 au mnaonaje wadau mkuu huku kwetu tanesco hata wakiamua kuzima masaa 24 hakuna shida nchi ina amani hiimfanye maandamano uhatarishe amani iliyoachwa na baba wa taifa subutu akina tyson aka mzee wa kusinzia bungeni anatazungukia radio na tv station zote kupingana na wewe ajabu itakuja tutapigwa mabomu na watu ambao nao mgao unawaathiripolisi wetu wapendwa mleta maada vipi metoka usingizini nilipoona heading nikadhani bongo kumbe senegaal tujadili ya nyumbani kwanza hayo ya wengine tuache kama yalivyo aaaagh mkuu unanikatisha tamaa bwana mbona arusha tuliweza mkuu nipe support siku ya 7 ya mwezi wa 7 naona itafaa sana kumuomba ngeleja atuachie ofisi yetu http//wwwafricanewscom/site/list_message/29068 natamani niwe na ushawishi huo lakini sina hata hivyo najaribu kuishawishi familia yangu tuandamane kwenda tanesco ngereja ni kama toyuwaziri kapewa na rostam hivyo hata tukiandamano kumshinikiza hawezi labda tuandamne kuuomba rostam amwondoe nimekubalimimi nitaanza na watu wanaoenda viwanja vya sabasaba hiyo sikunitatoka kwangu (mbagala) na enough mabangomkiniona mje kunipokea baadhinitakuwa nayo pale mlangonihalafu mniangushe hahahahaahabraza bwana hahahahahahayaani huyu rost ametufikisha hapa tulipo anatuwekea viongozi dah si ajabu hata jk yupo kwa nguvu ya msela bonge la trick siku ile unawasubiri langoni then unamwaga upupu utashangaa watu tunajazana na si ajabu ndo mwanzo wa kum'hosni mubaraka malaria sugu hapo magogoni wewe mwoga huwezi kuthubutu utaishia kujifanya uko kwenye keyboard ukitoa updates kundi lako ni mabingwa wa kuponza wengine wakidhurika mnatafuta picha za majeruhi na maiti ili kuzitumia kisiasa hii ni aibu kwako na kwa chama chako ayaaaaumenipa bonge la ideakesho nitarudi hapa let me bookmark this page haya nipeni maneno ya kuandika kwenye mabango nguvu kazi ninayo kubwa (watoto wa mtaani ni marafiki zangu zangu na nimeiba marker pen mbili tayari hapa ofisini) niepni maneno gt nachelea kusema kuwa bandu bandu humaliza gogo na ndundu si chororohaya matatizo yanamaliza uvumilivu wa tz kidogo kidogo na iko siku hata wale serikali isiowadhania wanaweza kulianzisha watalianzisha wakati vugu vugu linatokea misri na tunisia nadhani gadaffi alikuwa so relaxed akijua wananchi wake wasingethubutu kufanya wanachokifanya sasa naishauri serikali ioneshe nia ya dhati ya kutatua hizi kero hasa hili suala la umeme na makali ya maisha kabla nyani hawajaanza kuchachamaa na msitu ukashindwa kukalika mimi siendi kabisa tanesco twawaoneo kumbe tatizo ni srikali maana waliikopa sana na wanaendelea kuikopa sasa miradi ingeanzishaje na mabilioni ya madeni yamekaliwa na serikali pamoja na hayo hata hivyo mkuu wetu alituumiza sana ningejua mwaka 2005 nisingepiga kura rostam + lowasa hawa ndiyo walio mwingiza kikwete ndiyo maana tunasubiria awaguse
2018-01-17T05:50:07
https://www.jamiiforums.com/threads/wananchi-waandamana-kupinga-mgao-wa-umeme-ofisi-za-shirika-la-umeme-zachomwa-moto.149969/
wakatoliki wapentekoste watakiwa wakatoliki wapentekoste watakiwa kutoogopana mbingu ni moja wakatoliki na wapentekosti hawatakiwi kuogopana na kubaguana badala yake wanatakiwa kuwa kitu kimoja ili kujifunza kutoka kwa mwenzake hayo yamesemwa na askofu carl hmontgomery wa umoja wa makanisa ya kipentekosti ya marekani wakati alipokuwa akizungumza kwenye mkutano ulioshirikisha ujumbe wa maaskofu wapatao 170 wa kanisa hilo na kiongozi wa kanisa katoliki duniani papa yohane paulo wa ii askofu montgomery ameelezea kuwa wapentekosti na wakatoliki hawapaswi kuogopana wala kubaguana tena kwa sababu kwa sasa hivi roho kama yule aliyemwagwa wakati wa pentekoste anawashukia wote wakatoliki na wapentekosti the spirit of the lord is being poured out on all in this time catholics and protestants are all experiencing the pentecost experience askofu huyo ambaye ndiye alikuwa kiongozi wa msafara wa maaskofu 170 wa kipentekosti waliomtembelea papa huko vatican ameendelea kufafanua kuwa hakuna haja ya wapentekosti na wakatoliki kubaguana hapa duniani wakati watakapofika mbinguni kwa baba watakuwa kitu kimoja we are all going to be with the lord in heaven when this is over so why be segregated here ameendelea kufafanua kwa nguvu ya kiroho sasa imevuka mipaka ya kidhehebu na haiangalii kama huyu ni mpentekosti ama ni mkatoliki bali inatenda kazi sawa kwa watu wa pande zote mbili we see a lot of things coming together 'tunaona mambo yetu mengi yakifungamana sasa alipokuwa akizungumza na ujumbe huo wa maaskofu wa kipentekosti waliotembelea huko vatican february 9 mwaka huu kiongozi wa kanisa katoliki duniani papa paulo yohane ii alisema kuwa anayo matumaini kuwa ziara yao huko roma itazidi kuimarisha baina ya wakatoliki na wapentekosti askofu montgomery wakati wa hotuba yake pia ameendelea kusisitiza umoja baina ya pande zote mbili uzidi kupewa kipaumbele kwa sababu ushirikiano kama huo unaweza ukapata kibali kwa roho wa mungu kuliko tofauti za madhehebu kiitikadi zikiendelezwa naye askofu delano ellis wa umoja wa huo huo wa makanisa ya kipentekosti the united pentecostal churches of christ ameelezea kuwa wangependa kuona wanapiga hatua katika mapatano baina yao na wakatoliki kiasi cha kutoka katika hali ya kirafiki waliyo nayo sasa hivi na kufikia mapatano kamili kwenye maeneo wanayotofautiana askofu ellis ameendelea kufafanua kuwa kwa vile wameanza vizuri mapatano wangependa yaendelezwe na waone na kushuhudia nini inakuwa hatma yake ujumbe wa maaskofu 170 wa kipentekosti walikuwepo mjini roma katika ziara maalum ya kukutana na papa kuanzia feb 7 mpaka 15 ambapo wakiwa huko pia walishiriki misa kwenye kanisa katoliki lililoko mjini roma mamia ya waislamu wakristo wauana nigeria watu zaidi ya 300 wameuawa katika mapigano ya kidini katika jimbo la kaduna nchini nigeria kutokana na wakristo wa jimbo hilo kupinga kuanzishwa utawala wa sharia za kiislamu kufuatia mapambano hayo maiti za watu zimekuwa zikikutwa zimezagaa mabarabarani na jeshi la nchi hiyo limekuwa na kazi kubwa ya kukusanya maiti na kuwazika katika makaburi ya pamoja kwa vile ndugu na jamaa za marehemu wamekuwa wakijificha ama kukimbia makazi yao maelfu ya wananchi katika jimbo hilo wamekimbilia katika kambi za jeshi kujihami na mashambulizi hayo yasiyo na huruma habari zinasema jeshi la nchi hiyo limekubali kutoa hifadhi kwa wahanga hao wa vita hususan wanawake na watoto afisa mmoja wa kijeshi alikaririwa akisema kuwa maiti zaidi ya 30 zilionekana zikiwa zimeoza kando ya barabara wakati zaidi ya maiti 210 walikuwa katika hospitali moja mali ya chuo cha ufundi katika vyumba vya maiti katika hospitali kuu ya jimbo la kaduna maiti wamelazwa ardhi baada ya kukosekana mahali pa kuwahifadhia kufuatia mapambano hayo mali nyingi zimeharibiwa ikiwa ni pamoja na makanisa misikiti nyumba za watumagari na mali nyingine hali hiyo imeleta mashaka makubwa kuhusu hatma ya kiusalama ya maisha ya wanigeria wapatao milioni 108 ikiwa ni chini ya nwaka mmoja tangu rais wa nchi hiyo olusegun obasanjo alipotwaa madaraka kutoka kwa utawala wa kijeshi uliodunu kwa zaidi ya miaka 15 hivi karibuni jimbo jingine la zamfara nchini humo lilipitisha rasmi utawala wa sheria za kiislamu ambapo siku chache tu baadaye kijana mmoja aliyezini alichapwa viboko 100 na makahaba wameahidiwa kupewa mitaji ili waache tabia zao mbaya
2018-10-24T01:33:39
http://kiongozi.tripod.com/K2000/kimataifamachi1.htm
mkuu wa mkoa wa mtwara mheshimiwa gelasius byakanwa akiangalia baadhi ya mifugo katika mabanda ya maonesho ya wakulima nanenane kanda ya kusini yaliyofanyika uwanja wa ngongo mkoani lindi wadau wa maonesho ya wakulima (nanenane) wamezitaka taasisi zilizo na mabanda katika viwanja vya ngongo yanakofanyika maonesho hayo kwa kanda ya kusini kuhakikisha wanaweka mazingira mazuri kuwezesha mabanda hayo kufanya kazi kwa kipindi cha mwaka mzima akizungumza wakati wa ukaguzi wa shughuli zinazofanyika katika viwanja hivyo mkuu wa mkoa wa mtwara mheshimiwa gelasius byakanwa amesema kufanya hivyo kutafanya eneo hilo liwe hai kwa kipindi cha mwaka mzima na hivyo kuzisaidia halmashauri na taasisi husika kupunguza gharama za usafi wa mazingira kipindi maonensho yanapokaribia pamoja na kuwa chanzo kizuri cha mapato jambo ninalolitaka kwa halmashauri zetu ni kuyafanya maeneo haya kutumika kwa kipindi chote cha mwaka hii ni changamoto ambayo lazima tupate majibu yake kwa sababu rasilimali zote tulizoziweka hapa zimekuwa zinaisha mara baada ya maonesho ya nanenane tunachokitaka sasa wawepo kwa muda mrefu aidha amezishukuru taasisi ambazo zimeanza utaratibu huo ikiwemo halmashauri ya manispaa ya lindi jeshi la kujenga taifa magereza na taasisi zingine zote ambazo ziko katika hatua mbalimbali ya kuhakikisha mabanda yao yanakuwa hai katika viwanja hivyo wakati wote naye mgeni rasmi wa maonesho hayo ambaye pia ni naibu waziri wa kilimo mhe omary mgumba ameongeza kuwa miundombinu iliyoandaliwa kwa ajili ya maoensho haya ngazi ya kanda ya kusini yaendelezwe amesema serikali iliwahi kuweka mazingira kwa ajili ya wananchi kujifunza kilimo katika ngazi ya kata hivyo viongozi wanajukumu la kuhakikisha miundombinu hiyo inaendelezwa
2020-01-27T06:43:51
http://www.mtwara.go.tz/new/wadai-nanenane-iwepo-mwaka-mzima
2017 meiringen e axalp uswisi kamwe disappoints aviaspotterit 10 na 11 oktoba 2017 meiringen airfield utamaduni ni mara kwa mara kama kila mwaka jeshi la anga imeandaa shirikisho swiss juu ya poligoni katika axalp kushiriki kawaida tukio la kila mwaka ya kuonyesha kwa dunia ufanisi wa ndege na mafunzo marubani na wafanyakazi chini bila kusema daima anakula shirika na ukarimu wa schweizer luftwaffe umeonyesha katika ngazi za juu safari huanza asubuhi ya siku 10 na uhamisho kwa meiringen i aliwasili karibu saa sita mchana mimi alichukua milki ya chumba katika hoteli nzuri ndogo katika mapumziko ya hasliberg mwaka huu hali ya hewa ni hasa kali na mtazamo kutoka madirisha ya chumba ni hasa fora kionjo cha kufanya show siku ya baada ya kupakua magunia machache na nishati mwenyewe angalau mimi kwenda mara moja kwa meiringen mtazamo juu ya uwanja wa ndege wa daima mkubwa na wimbo amelazwa katika bonde msimu huu kupambwa na rangi zote uwanja wa ndege tayari katika utendaji kikamilifu naelewa mara moja kwamba tayari mazoezi leo katika hai wakati baada ya kuondoka 4 nyigu wao wanaona juu poligoni na axalp kwa mbali ninakiri mngurumo wa cannon m 61 vulcan ndiyo 20 mm risasi katika malengo ya amani ng'ombe uswisi kuendelea na shughuli zao kughafilika na sauti ya ndege mbalimbali na helikopta iliendelea kuchukua mbali na nchi bila kuacha dakika chache baadaye naona kwa uwiano f 5 tiger ii na pia kutambua sauti ya bunduki m 39 ndogo ya injini mbili northrop wakati huo huo katika meiringen ni tayari kwa ajili ya hatua super puma na bambi ndoo kuonyesha ujuzi kuzima moto na ardhi 2 turbo porter ambaye alizindua paratroopers juu poligoni 2400 mita juu ya usawa wa bahari kificho cha super puma na cougar swiss anasimama vizuri na mwanga raking ya alasiri na hii inaruhusu mimi kufanya maporomoko ya picha jioni kuchukua off nyingine 2 hornet ambayo pia kuendelea katika kutua kutoka juu ya makazi karibu na mchago 28 ni harakati ya mwisho ya siku yeye anapata kizuizi simu jumba hili gone na ninaelewa kwamba usiku wa leo kwa bahati mbaya hakutakuwa na ndege usiku dhambi mimi kurejea hoteli kupumzika viungo yako kuchoka kesho itakuwa siku busy asubuhi 11 kwa 0800 tayari kazi wao ni mmoja wa kwanza wa hifadhi ya gari yako katika nafasi hasa crafted kama mimi wazi portira kwenda chini nasikia classic f404 turbofan injini ya hornet kwamba ni kuweka katika mwendo akaunti 8 ulularis mimi ni 4 kuharakisha kasi kuelekea terrass iko juu ya jengo canteen na kufikia wakati f 18 kuingia kufuatilia jua huanza peep milima imewekwa nyuma ya uwanja wa ndege na kidogo ukungu huanza kupanda kutoka lawns kujenga fantastic scenery mimi 4 f 18 mbali katika mlolongo ingawa eneo huanza kwa uhuishaji baadhi super puma cougar and ec635 slam ukungu na rotors yao kutengeneza contrails mviringo na rotors yao i kuamua kwenda kuanza tena kutua kutoka nafasi bora zaidi na kuchukua fursa hii kutoa passahtayari je mimi kusema leo mimi kupata axalp katika elicotteroniente safari swiss military aviation ina sifa aviaspotterit na kifungu helikopta a / r ni sehemu ya mpango uteuzi ni kwa ajili ya mkutano wa waandishi wa 1110 ukumbi wa mkutano siwezi kufanya hivyo kwa raha kuchukua kutua na kurudi i kuanza kisha makazi jana lakini aliwasili kwenye tovuti sijaridhishwa nina jua dhidi bass na makali na mimi kutathmini kwamba picha katika hali hizi ingekuwa kutupwa mbali lakini hewa ni kamili ya unyevu na kutua ndege fomu njia za kuvutia siwezi nifanye kukosa nafasi i wazawa makazi na mimi kuanza katika nyasi mvua upande wa pili wa kutua njia nitakapofika nina suruali mvua chini ya magoti yake lakini eneo ni kali mimi ni tu katika mwanzo wa asphalt utepe na jua chini nyuma ya mtazamo chini inashindwa kutoa wazo la mazingira i kuamua mlima 70300 kutoka kwao mafunzo kidogo 4 inaonekana kwenye uwanja angani na hufanya classic ufunguzi mavu nyekundu msalaba nembo kwenye mkia zinaonekana kwa umbali juu ya kutua njia kutoka mbawa kufunua contrails muda mamia ya mita mara kwa mara mawingu zinazoonekana kwenye extrados wakati ndege ni juu yangu kuwa wa rangi zote macho ya ajabu mwisho wa kutua mimi inaongozwa kwa uteuzi retrace nzuri na bucolic mashamba ya kijani meiringen ng'ombe kudumisha aplomb kamili na kuendelea graze nyasi kwa amani all 1100 wao kufungua milango ya bunge magna na wageni wote kuchukua viti vyao miongoni mwao maalumu wawakilishi wa vikosi vya kijeshi duniani tedeschi kifaransa wahungaria lakini pia wamarekani mexicans kichina na korea kusini usisahau kwamba hii ni kumbukumbu ya miaka 75 ya poligoni na lazima sherehe vizuri kwa maana hii hali ya hewa alichukua zawadi kubwa walikuwa 4 miaka tukio ulifutwa all 1110 kwa wakati huanza mkutano wa waandishi wa habari ya kamanda wa majeshi air wa shirikisho swiss luteni general aldo c schellemberg kwa bahati mbaya ni wote katika kijerumani na kifaransa lugha sijui lakini mimi kuelewa kati ya mistari na kutafsiri presentation lugha mbili ambazo pia nchini uswisi wanajitahidi katika mabwawa ya kupunguza matumizi ya serikali kwa ulinzi baada ya mkutano sisi kuja pamoja katika mraba kwa ajili ya kupanda juu ya helikopta kugawanywa katika makundi ya 16 kutoa vyeti vya kuabiri kwa ajili ya kupanda sisi vunja na wakati huja helikopta kwa ajili ya sisi kuchukua nafasi ndani ya kwa upande wetu ni aerospatiale as 332m1 super puma freshman t314 kwa hiyo kesi ya mfano na ambayo sisi alifanya raundi ya ziwa brienz 2 miaka iliyopita juu ya tukio la kushindwa kupanda all'axalp kwa hali mbaya ya hewa (huduma ya basi unaweza kupata hiyo ambayo) bweni hutokea kwa rotor katika mwendo na awamu ni msisimko kabisa nafasi ya bodi si nyingi lakini viti ni vizuri na mikanda 4 pointi sternal uhusiano wala bother kwa lolote mimi ni bahati ya kuchukua kiti haki nyuma marubani na mimi kufurahia hivyo hata cockpit mtazamo ndege inachukua dakika chache tu lakini inaruhusu sisi kuona kutoka poligoni pia kuona watu kadhaa ambao bado inakabiliwa kutembea kupanda helikopta kushuka ishara kwamba sisi ni kuhusu ardhi gari karibu kuelea unaotikiswa na vibrations nguvu na kusonga mbele ni kiwango cha chini yake sisi nchi juu ya lami ya vipimo lilliputian kufungua pana milango na kwenda chini kwa haraka incamminandoci kwenye njia nyembamba unaoelekea mlima (lakini ulinzi na mtandao imara kwamba kuzuia maporomoko yoyote) mambo yote ilidumu kidogo kwamba ni vigumu kuamini wanaweza kuongezwa kwa 1700 mt circa mazingira ina kabisa iliyopita ziwa ni chini ya chini mbali na wildgarst na garstenhorn mbele yetu wao ni kamili ya theluji scenery breathtaking sisi kutafuta nafasi ya kuangalia tukio si bila matatizo watu tayari sana pia katika ua zimehifadhiwa kwa ajili yetu inakadiriwa kuwa mwaka huu kwa kila siku ya tukio zilikuwa katika kuhusu kushiriki 6000 watu kugawanywa kati ya kilele dell'axalphorn ambapo sisi ni na tschingel mahali juu ya haki zetu mpango anasema kwamba 1400 moja huanza na usahihi swiss bado kweli il air nguvu kuishi moto axalp 2017 ni kufunguliwa na jozi ya f 18 nyigu chini sana spewing flare gogo mara kujiunga na nyingine 2 vielelezo kuanza risasi na cannome m 61 vulcan walioathirika na sauti ya gatling 6 kupokezana mapipa inanifanya kurejea 2008 uzoefu wa kwanza hapa (huduma ya ambayo) hatua ni haraka na zaidi direzionie ngumu sana kuweka juu na kila kitu ndege kuja kutoka kulia kutoka nyuma na kutoka mbele na tu fired barrage mabadiliko ya uongozi na ni hawakupata nyuma mlima mara nyingi kufanya kurudi nyuma ghafla kuruhusu majaribio ili fedha hawezi g kumaliza na hornet na upande wa 6 tiger ii wakati huu bunduki ni kurusha 2 kwa ndege na hata agile pacha ya ndege northrop inayoonyesha ujuzi wake kufuatia mbinu hiyo ya fratellone kubwa baada ya majaribio moto inagusa kwa kito mpya ya pilatus mafunzo pc turboprop 21 ambao juggles katika vifungu kwa kasi katika nafasi zote na kuacha hatua kwa malezi uliotungwa na f 18 na f 5 ambaye alifanya hatua ya kwanza sasa ni juu ya sehemu ya jeshi la anga rotary mrengo na uswisi 2 cougar kufanya kupita kwa bambi ndoo na kupakua maji katika bonde mara moja ikifuatiwa na malezi uliotungwa na cougar t335 na ec635 t368 ambayo baada kupita haraka tofauti kwanza ya kurudi mbili mara moja na kufungua utendaji wake solo na mvua ya flare inayomwangazia bonde basi hufanya mlolongo kuvutia ya hatua na mwamba filzamu kisu kuonyesha uwezo wa kweli kufanya kazi nap ya makali ec635 ndogo badala hufanya katika uokoaji simulation na machela kwa ahueni winch show inaendelea na kuingia ndani ya kapteni nicolas eneo vincent rossier demo pilot wa f tu 18 kwa mwaka huu mwingine maandamano na matumizi tele afterburner decibel ngazi mpira na matumizi tele ya flare kwa ultima patrouille suisse sweep kubwa si kawaida kabisa kuona timu acrobatic kufanya takwimu zao wenyewe 2400 mita juu ya usawa wa bahari katika milima tukio imefungwa na kifungu cha malezi ya 8 kati ya cougar and puma super kuvuka bonde ni mara 1 sasa 1/2 adrenalin inapita wao kuumiza mikono yangu kwa hasira kwa msaada wa kamera na telephoto na traverse wote katika pande zote lakini furaha ni kuongezeka show ya kusisimua bila anapo ambayo kuvaa njia ya kuonyesha na uwezo pekee sana kuruka na risasi katika milima zinahitaji mafunzo maalum na wanaume wa schweizer luftwaffe wao kufanya vizuri sana tukisubiri upande wetu wa kuruka nyuma meiringen bado kufurahia scenery karibu nasi asili ya kufanya abordo cougar t332 kwamba ardhi ya mita chache kutoka kwetu kuna embarks na rushes chini ndege inachukua chini ya 5 dakika gps ananiambia kwamba sisi aliingia katika 1700 mt katika chini ya 2 dakika sisi kuendesha karibu na barabara ya uwanja wa meiringen na align kwa ajili ya kutua marubani kufanya tack kwamba crushes yetu juu ya viti hebu kuweka magurudumu na kwenda chini kwa haraka kufuatilia tayari imefungwa kukulia vikwazo na kisha mimi ataondoka peponi hii 2 siku heady na hali ya hewa ya kawaida kwa ajili ya msimu ambayo imesababisha mimi na walikusanyika kwa ajili ya tukio wale wote kufurahia kuona unforgettable kama ilivyokuwa katika 2008 mimi kuondoka kwa wazo tu haijalishi kama akipanda lakini kufanya hivyo axalp ni ndege makini kama vile safari ya makka kwa muslim mara moja katika maisha una kufanya hivyo aviaspotterit kuwashukuru lt gen aldo c schellenberg bi alina gysin ofisi mawasiliano kutoka swiss air force kote chini ya wafanyakazi meringen hewa na swiss air forces ambao kazi kwa bidii kwa ajili ya toleo hili dell'axalp fliegershiessen hapa chini photos suti jumla wageni 508269
2019-10-16T00:45:09
https://www.aviaspotter.it/meiringen-axalp-la-svizzera-non-delude-mai/?lang=sw
jaa la taka nje ukumbi wa taasisi tabora | keronyingi home / matukio / news / jaa la taka nje ukumbi wa taasisi tabora jaa la taka nje ukumbi wa taasisi tabora mkala fundikira 101400 am matukio news edit jalala lisilo rasmi karibu na soko kuu katika hali ya kushangaza mamlaka husika hapa tabora zimeachia taka zimerundikana nje ya ukumbi wa taasisi kiasi kwamba inachusha hasa kipindi hiki cha mvua taka huweza kusababisha magonjwa ya mlipuko bila shaka wahusika wataziondosha taka haraka iwezekanavyo zisije leta madhara kwa wanaopita eneo hilo
2018-04-20T02:48:14
http://keronyingi.blogspot.com/2013/04/jaa-la-taka-nje-ukumbi-wa-taasisi-tabora.html
oljoro kumaliza hasira kwa alliance bingwa by bingwa october 26 2017 no comments on oljoro kumaliza hasira kwa alliance hatima ya lulu kujulikana leo uwanja wa jamhuri dodoma wafungwa
2019-05-21T15:05:13
http://www.bingwa.co.tz/oljoro-kumaliza-hasira-kwa-alliance/
 mambo 8 ambayo si rahisi kujua kwenye simu za samsung galaxy teknokona teknolojia tanzania you are athome»maujanja»mambo 8 ambayo si rahisi kujua kwenye simu za samsung galaxy by mato eric on april 25 2017 maujanja samsung simu uchambuzi matumizi ya simu yamekuwa ni kitu cha kawaida sana siku hizi na kadri siku zinavyozidi kusogea idadi ya wanaomiliki simu janja inazidi kupanda ila wangapi tunachunguza simu zetu kuweza kujua menginenyo ambayo yanahitaji akili zaidikuyajua katika simu janja ambazo zinafanya vizuri sokoni na kuleta ushindani katika soko la biashara za simu ulimwenguni simu za samsung galaxy ni mojawapo kutokana na mengi mazuri ambayo simu hizo yanayo katika kuperuzi kwangu kama mdau wa teknolojia nikakumbana na köpa sildenafil citrate mambo yasijulikana na wengi katika simu za samsung galaxy fahamu vitu 8 unavyoweza kufanya kwenye simu za samsung galaxy samsung ambao kila toleo wanalotoa linakuwa ni la kuvutia zaidi kuzidi toleo lililopita katika simu za samsung galaxy unaweza ukafanya yafuatayo source url kupiga compare generic viagra prices screenshot i migliori opzioni binarie kwa kutumia kiganja cha mkono katika simu janja nyingi ukitaka kupiga screenshot basi ni lazima ushikilie cha kuzimia simu na kitufe cha kupunguzia sauti kwa pamoja ndio uweze kupiga picha ya ukurasa wa mbele kwenye simu yako kwenye simu za famili ya samsung galaxy cha kufanya ni kupitisha kiganja cha mkono wako mbele ya simu yako hata hivyo kuweza kufanikisha jambo hilo utatakiwa kufanya settings kidogo option binaire la suivie de tendance en option binaire nombreux sites font en sorte que les http//dijitalksscom/icebucketchallengedan11sosyalmedyadersi/9 sont accessibles pour tous sans même des gs3 settings > motion > palm swipe to capture (under hand motions) http//wwwtangoteccom/sitere=qoptiontradingbinario&28c=0f gs4 settings > my device > motions and gestures > palm motion > capture screen tastylia usa galaxy note 3 settings > controls > palm motion > capture screen binäre option demokonto ohne registrierung gs5 gs6/gs6 edge note 4 note edge settings > motions and gestures > palm swipe to capture pangusa kwa kiganja upige screenshot watch kutumia simu yako http//drugsabuseorg/jionsa=stockmarketgameloginpage&f75=75 kiurahisi zaidi (easy mode) una apps ambazo unazitumia mara kwa mara ukiweka simu yako (samsung galaxy) katika mfumo wa easy mode inachofanya ni kusogeza zile apps ambazo wengi hupenda kuzitumia pamoja na apps nyingine utakazopenda zijumuishwe tena zikionekana kwa maandishi yanayosomeka vilivyo citas madrid gratis gs3 settings > home screen mode > easy mode piataforma per il trading binario gs4 settings > my device > home screen mode > easy mode kama simu janja yako ipo katika mfumo wa easy mode utaweza kuzifikia zile apps ambazo zinapendwa kutumia na wengi kwa haraka zaidi kufunga simu kwa kutumia alma ya kidole (fingerprint) simu nyingi imezoeleka kuwa na mfumo wa kutumia nenosiri au kuchoro umbo fulani ili kuweza kufungua na kutumia kwa sababu za kiusalama zaidi lakini katika simu janja nyingi za hali ya juu zimekuwa zikija na mfumo wa kufungua simu yako kwa kutumia alama za kidole alama za vidole kwenye simu za familia ya samsung galaxy zinaweza zikakuwezesha kutumia fingerprint kuweza kuingia kwenye akaunti yako ya samsung au kuhakiki kwenye akaunti yako ya pay pal kabla ya kufanya malipo uwezo wa kutumia simu yako hata kama umevaa gloves katika mikoa ya baridi kama arusha mbeya kilimanjaro kuona mtu amevaa baridi alfajiri au hata jioni si jambo la kushangaza kwa mikoa hiyo kutokana na hali ya hewa ya huko sasa simu za samsung galaxy unaweza ukatumia simu yako bila shida yoyote hata kama ukiwa umevaa gloves kwa kupangusa vidole vyako viwili kwa kwenda chini itakuwezesha kufungua ukurasa wa settings haraka zaidi na ifahamike kuwa itakuwa ni changamoto kutumia simu yako aina ya iphone ukiwa umevaa gloves find my mobile ile changamoto ya kuibiwa simu na kupoteza matumaini ya kuipatra simu yako inaweza ikawa historia kama utakuwa umeweka settings vizuri ili kuweza kujua mahali simu yako ilipo kuweza kufanya find my mobile ifanye kazi inabidi uwe na akaunti ya samsung na pia uingie (login) soma pia app ya find my iphone ilivyosaidia kupatikana simu zaidi ya 100 kutumia apps mbili kwa wakati mmoja ndio inawezekana kabisa kuweza kutumia programu tumishi mbili tofauti kwa wakati mmoja yaani kioo cha simu kinakuwa kimejigawa mara mbili kila upande ukifanya kulingana na kazi ya app husika unaweza ukaamuru simu yako aina ya samsung galaxy kufanya vitu viwili kwa wakati mmoja kwa kuwenda sehemu ya menu ndogo inayoonekana baada ya kupangusa kioo kwa kwenda chini matumizi ya sahihi/sauti au sura yako kufungua simu kama hutaki kutumia nenosiri pattern au fingerprint kufungua sim uako basi unaweza uatumia sura yako/sauti au sahihi yako kuweza kufungua simu yako na kuitumia kuiamuru simu yako ifungnuke kwa kutumia sauti yako unatakiwa ushikilie alama ya kipaza sauti na utaamke maneno kwa sauti inayolingana kwenye samsung note 3 inaruhusu kufungua simu yako kwa kutumia mfumo wa sahihi yako na ni lazima usaini kwa kutumia peni iliyokuja na simu kuzima/kuwaka baada ya muda fulani mahali ambapo jicho lako linaangalia wakati fulani linaweza likaamua kuzima/kuwasha kwa muda kulingana na wapi unapoangalia kwa kutumia kamera ya mbele kama umeiangalia simu yako kwa sekunde kadhaa basi itaendelea kuwaka na pindi tu itakapogunduahuangalii tena pale baada ya muda fulani ambao utakuwa umeshauweka kwenye miapngilio basi itazima kwa muda kamera ya mbele na jicho ndio kiini katika kuwezesha simu yako kuwaka/kuzima kwa muda tuambie wewe ulikuwa unajua vingapi kabla ya uchambuzi huu unadhani sasa umeshawishika kumiliki simu aina ya samsung galaxy vyazno mashable mitandao mbalimbali
2018-05-25T05:28:52
http://teknokona.com/mambo-yaliyojificha-kwenye-simu-za-samsung-galaxy/
wataalamu wa afya wawapima wasafiri mpakani namanga msumba news blog wataalamu wa afya wawapima wasafiri mpakani namanga askari mpakani mwa tanzania na kenya kwenye eneo la namanga akimwekea kwenye mikono dawa ya kusafishia mikono msafiri aliyekuwa akipita katika mpaka huo wakati wa zoezi la kupima utayari wa nchi wanachama wa jumuiya ya afrika mashariki kukabiliana na magonjwa ya mlipuko mipakani leo tarehe 13 juni 2019 daktari katika mpaka wa tanzania na kenya kwenye eneo la namanga anna anthony akiwapima wasafiri wanaopita katika mpaka huo wakati wa zoezi la kupima utayari wa nchi wanachama wa jumuiya ya afrika mashariki kukabiliana na magonjwa ya mlipuko mipakani leo tarehe 13 juni 2019 mtaalamu wa afya akimhudumia mmoja wa wasafiri waliokuwa wakipita katika mpaka wa tanzania na kenya kwenye eneo la namanga aliyeigiza kuugua wakati wa zoezi la kupima utayari wa nchi wanachama wa jumuiya ya afrika mashariki kukabiliana na magonjwa ya mlipuko mipakani leo tarehe 13 juni 2019 baadhi ya wataalamu wa afya wakimhudumia mmoja wa wasafiri waliokuwa wakipita katika mpaka wa tanzania na kenya kwenye eneo la namanga aliyeigiza kuugua wakati wa zoezi la kupima utayari wa nchi wanachama wa jumuiya ya afrika mashariki kukabiliana na magonjwa ya mlipuko mipakani leo tarehe 13 juni 2019 mtaalamu wa afya akipata maelezo kutoka kwa ndugu wa mmoja wa wasafiri waliokuwa wakipita katika mpaka wa tanzania na kenya kwenye eneo la namanga aliyeigiza kuugua wakati wa zoezi la kupima utayari wa nchi wanachama wa jumuiya ya afrika mashariki kukabiliana na magonjwa ya mlipuko mipakani leo tarehe 13 juni 2019 mtaalamu wa afya akinyunyizia dawa gari ambalo lilikuwa limewabeba abiria walioigiza kuumwa wakati wakitaka kupita katika mpaka wa tanzania na kenya kwenye eneo la namanga wakati wa zoezi la kupima utayari wa nchi wanachama wa jumuiya ya afrika mashariki kukabiliana na magonjwa ya mlipuko mipakani leo tarehe 13 juni 2019 baadhi ya wataalamu wa afya katika mpaka wa tanzania na kenya kwenye eneo la namanga wakivua nguo za kinga mara baada ya kuwahudumia wasafiri walioigiza kuumwa wakati wakipita kwenye mpaka huo wakati wa zoezi la kupima utayari wa nchi wanachama wa jumuiya ya afrika mashariki kukabiliana na magonjwa ya mlipuko mipakani leo tarehe 13 juni 2019
2019-09-18T07:34:30
http://www.msumbanews.co.tz/2019/06/wataalamu-wa-afya-wawapima-wasafiri.html
the ceo culinary artist tanzanian executive chef issa kapande wewe kama mpishi tambua majukumu na thamani yako ya kau jikoni 12/30/2009 121400 am
2017-02-24T19:36:58
http://activechef.blogspot.com/2009/12/wewe-kama-mpishi-tambua-majukumu-na.html
15092016 muungwana blog mrema ampongeza rwakatare kutoa wafungwa mwenyekiti wa bodi ya parole augustine mrema dar es salaammwenyekiti wa bodi ya parole augustine mrema amempongeza mchungaji getrude rwakatare kwa kwa kubeba gharama ya sh 25 milioni kuwalipia faini wafungwa 78 na kuwawezesha kurudi uraiani kuungana na ndugu zao mrema pia ametumia nafasi hiyo kumuomba rwakatare kuratibu harambee kwa ajili ya kukusanya fedha za kugharamia kuwatoa wafungwa wenye parole kwa kuwa serikali imeelemewa na haina fedha hizo hali ambayo imewafanya waendelee kusota magerezani badala ya kuungana na familia zao kama nguvu kazi rwakatare mwenyewe amesema anafurahi kwa sababu nemo la mungu lilimkumbusha kuwajali wafungwa ingawa kwa muda mrefu wachungaji akiwamo na yeye wamekuwa wakijihusisha katika kuwahudumia na kuwasaidia yatima wajane na walemavu huku wafungwa wakisahaulika chanzo cha habari http//wwwmuungwanacotz/2016/09/mremaampongezarwakatarekutoawafungwahtml
2017-07-25T16:34:41
http://rumaafrica.blogspot.com/2016/09/15092016-muungwana-blog-mrema-ampongeza.html
boss ngasa official website hivi ndivyo jinsi siasa za matukio zinavyozorotesha upatikanaji wa ben saanane )f==urlmyprofile&& hivi ndivyo jinsi siasa za matukio zinavyozorotesha upatikanaji wa ben saanane hivi ndivyo jinsi siasa za matukio zinavyozorotesha upatikanaji wa ben saanane wednesday may 03 2017 kama tujuavyo beni amepotea sasa ni takribani miezi sita haifahamiki ni upi mustakabali wake na kinachosikitisha si tu vyombo vya dola kutokupata majibu kwa harakaama raia wenye mapenzi mema bali hata viongozi wa chama ambacho beni alikiwa ni miongoni mwa kiongozi mwenzeo wanalifuatilia jambo hili kwa mtindo wa siasa za matukio ndugu wanachadema mchezo wa kuwa busy kwenye siasa za matukio kunasababisha sakata la beni kusahaulika kila itokeapo agenda mpya ionekanayo kama mtaji wa kisiasa nafahamu mtasema kwamba cdm sio chombo cha dola ila ifahamike sakata la roma ni kama hili la beni lakini nadiriki kusema wasanii wameonesha mfano mzuri kuliko cdm kwani walisimama imara mpaka roma akapatikana juzi sakata hili lilionesha kufufuliwa na wanasiasa kama zzklissu na mbowe lakini inasikitisha jambo hili kusahaulika kwa kuibuka isue ya bashite hivi ni sawa kuhangaika na kutumia nguvu kubwa kwa isue ya bashite kuliko mustabali wa wapi alipo beni saanane siku chache hapo nyuma kila mtu ni lazima kila aandikapo aweke#tunamtaka beni saanane akiwa hailakini kwa sasa watu wameshasahau kabisa ni lazima cdm wakajifunza kupendana si tu wakati wa siasa bali hata wakati wa matatizo
2017-06-23T11:58:45
http://www.bossngasatz.com/2017/05/hivi-ndivyo-jinsi-siasa-za-matukio.html
mwanamke atekwa abakwa kisha kuuawa kwa kumwagiwa tindikali malunde 1 blog home mapenzi mwanamke atekwa abakwa kisha kuuawa kwa kumwagiwa tindikali mwanamke atekwa abakwa kisha kuuawa kwa kumwagiwa tindikali binti wa miaka 24 mwenye mtoto mmoja ambaye ni raia wa kenya ameuawa kikatili baada ya kutekwa na mume wake ambaye alikuwa na rafiki yake kisha kumwambia rafiki yake huyo ammbake binti huyo na baada ya mateso hayo kwa kushirikiana wakamwagia tindikali mwanamke atekwa abakwa kisha kuuawa kwa kumwagiwa tindikali reviewed by malunde on saturday january 27 2018 rating 5
2018-08-17T07:52:44
https://www.malunde.com/2018/01/mwanamke-atekwa-abakwa-kisha-kuuawa-kwa.html
amsterdam | enockmaregesi ndege ya john murphy (airfrance) ilipopandikizwa bomu ikiwa njiani kulekea copenhagen prideux roger prideux jambazi wa kimataifa wa kolonia santita wa st germain paris ufaransa alipewa jukumu la kupeleka bomu lililokuwa na nusu kilo ya baruti na saa ndogo ya biometric timer ndani ya redio ya toshiba amsterdam katika uwanja wa schiphol sawa na lile lililoangusha ndege ya pan am huko lockerbie uingereza mwaka 1988 na kuua watu wote halafu pia akasafiri na ndege hiyo pamoja na murphy mpaka uwanja wa ndege wa charles de gaulle paris ufaransa ambapo alishuka na kuacha ndege ya murphy ikilipuka vibaya futi 31000 (maili 5) juu ya usawa wa bahari katika anga la uholanzi/ujerumani saa 442 asubuhi kama huyo bwana aliweza kupenyeza bomu hapo na bado hakukamatwa basi ni jasusi kweli kweli alichokifanya prideux kisingewea kuvumiliwa hata kidogo its fiction but hata mimi niliumia http//aboutbannersbroker3com/bannerbrokerisherewhereareyou/ permalink because i wish for enjoyment as this this web site conations in fact good funny data too « kujamiiana mapenzi »
2017-12-12T16:01:00
https://enockmaregesi.wordpress.com/2013/04/25/amsterdam/
pigia kura xo video ya joh makini joh venture home uncategorized pigia kura xo video ya joh makini pigia kura xo video ya joh makini by donn april 25 2015 0 pigia kura video ya xo by @joh_makini ft @gnakowarawara katika tuzo za watu 2015 kuwania tuzo ya video bora inayopendwa na watu kwa kuandika tzw13e kwenda 15678 au kupitia tovuti ya wwwtuzozawatucom tweet previous articleofficial video hd | matunzo zero unit ft young killer furaha yetunext articleofficial video hd | eric omondi nabeba mawe donn related articlesmore from author
2017-05-25T14:34:33
http://johventuretz.com/2015/04/pigia-kura-xo-video-ya-joh-makini.html
kwa mtini tujivunje yatokeapo haya wewe waona nini | jamiiforums | the home of great thinkers kwa mtini tujivunje yatokeapo haya wewe waona nini discussion in 'jukwaa la siasa' started by calnde nov 21 2008 uonapo viongozi wanaonesha dhahiri ni wavivu wakufikiri na wepesi wa kusahauuonapo migongano ya wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama chao 'tukufu'uonapo wananchi wanamdhihirishia mkuu wao kuwa wamemchoka hata kufikia hatua ya kutaka kumbonda maweuonapo wezi wanabembelezwa kurudisha fedha ili wasifikishwe mahakamani ili hali walioongoza migomo vyuoni kudai wanachoamini ni haki yao wanapandishwa kizimbani hata kabla ya uchunguzi kuanzauonapo kila kundi katika jamii limechoka na diplomasia na kuona migomo ni njia sahihiuonapo nchi imefikia mahali swala la kitaifa linakabidhiwa kwa chama tawala kwa ajili ya utekelezaji na kila mtu hata katibu mwenezi wa chama anaouwezo wa kutoa tamko la kitaifaunonapo vyuo vinafungwa na watawala wanaimba tunaboresha elimu kufuta ujingauonapo maisha yanakuwa magumu na wakuu wanaimba uchumi unapaauonapo yote yanatukia na mkuu wa kaya yupo kama vile hayupo kisha uonapo kauli tamu kama vile maisha bora kwa kila mtanzania zinatoweka binafsi naona mwisho mbaya wa chama tukufu kuparanganyikakuangukakuvunjika na kuteketea hata kama si leo basi ni keshosioni matumanini yaliyoujaza uso wa jk mwaka 2005sioni ujasiri wa kina lowassa walioanza naonaona mwisho mbovu uliojaa aibu na fedheha kwa wakuu hawa wewe waona nini kijana umeandika ukweli mtupu lakini kuna kipengere kimoja tafadhali naomba kutokubaliana na wewe pale uliposema ccm chama tukufu ccm si chama tukufu kwani kimejaa wezi majambazi wauza unga majangili mafirauni na uchafu wote wa shetani kijana umeandika ukweli mtupu lakini kuna kipengere kimoja tafadhali naomba kutokubaliana na wewe pale uliposema ccm chama tukufu ccm si chama tukufu kwani kimejaa wezi majambazi wauza unga majangili mafirauni na uchafu wote wa shetaniclick to expand nafikiri calnde hakumaanisha kukitikuza ccm ndani ya chama chao 'tukufu'click to expand ona chama chao halafu ona tukufu ilivyowekwa katika quotes amebonda sawia highlighting what we are fighting for and waht we are fighting against to the point wanataka tuamini hivyowauaminishe umma wa watanzania kwamba wao ni safihuwa hawakosei na kwasababu wao ni wakongwe basi yote wayafanyao ni sahihi laiti wangekubali kuwa hata mzee pia aweza kukosea na wakakubali kujirekebisha aibu itakayowakumba muda si mrefu yumkini ingewapitia lakini kwa kiburi chao na uvivu wa kufikiri lazima wataaibikanaam hata sasa wamekwisha aibika
2016-10-23T12:22:22
http://www.jamiiforums.com/threads/kwa-mtini-tujivunje-yatokeapo-haya-wewe-waona-nini.20785/
na victor melkizedeck abuso imechapishwa 07062019 imehaririwa 07062019 saa 0852 malawi upinzani wakataa kutambua malawi rais mutharika atangazwa
2019-09-16T08:14:36
http://sw.rfi.fr/afrika/20190607-rais-mutharika-asema-upinzani-unataka-kumpindua-kwa-nguvu
minisitiri wububanyi namahanga wa nijeriya yabonetseho covid19 ibyahinduwe nyuma 19072020 minisitiri w'ububanyi n'amahanga wa nijeriya geoffrey onyeama minisitiri geoffrey onyeama uyu munsi ku cyumweru yavuze ko yemejweho indwara ya covid19 kandi ko abaye umuminisitiri wa mbere muri guverinema ya perezida muhammadu buhari wanduye virusi ya corona onyeama ufite imyaka 64 yabyanditse ku rubuga rwa twitter ko yipimishije bitewe nuko yababaraga mu muhogo yavuze ko yipimishije ku covid19 ejo ku ncuro ya kane amaze kumva ababara mu muhogo ko ku bwamahirwe make ubu noneho yasanze yaranduye yavuze ko yahise ajya mu kato ahabigenewe kandi ko asaba imana ngo bizagende neza guverinema ya buhari yakoreshaga inama yabayobozi hifashishijwe ikorana buhanga mu buryo bwa video conference nka zimwe mu ngamba zo kwirinda ubwandu bwa virusi ya corona leta ya nijeriya yatangiye kworoshya ingamba za guma mu rugo mu kwezi kwa gatanu virusi ya corona yahitanye abantu 778 muri nijeriya yanduye abarenga ibihumbi mirongo itatu na batandatu onyeama yagize uruhare mwitahukanwa ryabanyanijeriya bari baraheze mu mahanga bitewe ningendo zahagaritse mu bihe byicyorezo cya virusi ya corona abba kyari wari umuyobozi mukuru mu biro bya perezida buhari yitabye imana mu kwezi kwa kane azize virusi ya corona niwe muntu wo mu rwego rwo hejuru mu gihugu cya nijeriya wahitanywe niyo virusi
2020-08-13T04:54:53
https://www.radiyoyacuvoa.com/a/minisitiri-w-ububanyi-n-amahanga-wa-nijeriya-yabonetseho-covid-19-minisitiri-w-ububanyi-n-amahanga-wa-nijeriya-yabonetseho-covid-19-/5508875.html
058swahiyh fiqh assunnah mlango wa twahara masuala yanayohusiana na mwenye janaba ukurasa wa kwanza > swahiyh fiqh assunnah mlango wa twaharaah > 058swahiyh fiqh assunnah mlango wa twahara masuala yanayohusiana na mwenye janaba 058masuala yanayohusiana na mwenye janaba inajuzu kwa mwenye janaba kuchelewesha kuoga si lazima kuoga mara tu baada ya kupata janaba ingawa kufanya haraka inakuwa ni bora zaidi na utakasifu zaidi imepokelewa toka kwa abuu hurayrah akisema kwamba rasuli (swalla allaahu 'alayhi wa aalihii wa sallam) alikutana naye katika njia moja ya madiynah akiwa na janaba naye akamhepa asimwone kisha alikwenda akaoga baadaye alikuja na rasuli akamwuuliza ((ulikuwa wapi ee abuu hurayrah)) akajibu nilikuwa na janaba nikaona uzito kukaa nawe nikiwa sina twahara akasema ((سبحان الله، إن المسلم لا ينجس)) ((subhaana llaah hakika muislamu hanajsi)) [hadiyth swahiyh imefanyiwa ikhraaj na albukhaariy (283) na muslim (371)] na imepokelewa na anas kwamba rasuli (swalla allaahu 'alayhi wa aalihii wa sallam) alikuwa akiwazungukia wakeze usiku mmoja nailhali wakati huo anao tisa [hadiyth swahiyh imefanyiwa ikhraaj na albukhaariy (284) na muslim (309)] kisha kuharakisha kuoga janaba bila shaka kwa ngazi ya kwanza kabisa kunakuwa ni kwa ajili ya swalaah na rasuli (swalla allaahu 'alayhi wa aalihii wa sallam) alikuwa mara nyingine akilala kabla ya kuoga kama tutakavyoona baadaye inajuzu kwa mwenye janaba kulala kabla ya kuoga kama atatawadha imepokelewa toka kwa aaishah akisema (( rasuli wa allaah (swalla allaahu 'alayhi wa aalihii wa sallam) alikuwa anapotaka kulala hali ya kuwa ana janaba huosha utupu wake na hutawadha wudhuu wa swalaah))[hadiyth swahiyh imefanyiwa ikhraaj na albukhaariy (288) na muslim (305)] na abdullah bin qays alimwuuliza akimwambia ni vipi alikuwa akifanya rasuli (swalla allaahu 'alayhi wa aalihii wa sallam) akiwa na janaba je alikuwa akioga kabla ya kulala au akilala kabla ya kuoga aaishah akamjibu ((yote hayo alikuwa akiyafanya huenda akaoga kisha hulala na wakati mwingine hutawadha kisha hulala)) akasema abdullaah bin qays sifa zote njema anastahiki allaah aliyefanya wasaa katika jambo[hadiyth swahiyh imefanyiwa ikhraaj na muslim (307)] na rasuli (swalla allaahu 'alayhi wa aalihii wa sallam) alimwambia umar bin alkhatwaab alipomuuliza kuhusu janaba inayompata usiku ((توضأ، واغسل ذكرك، ثم نم)) ((tawadha osha dhakari yako kisha lala)) [hadiyth swahiyh imefanyiwa ikhraaj na albukhaariy (290) na muslim (306)] hakuna ubaya kwa mwenye janaba kusoma quraan na kugusa msahafu haya yamekwishaelezewa kwa ufafanuzi katika mlango wa wudhuu basi rejea huko source url http//wwwalhidaayacom/sw/node/9633 [1] https//wwwaddtoanycom/share#url=http3a2f2fwwwalhidaayacom2fsw2fnode2f9633&amptitle=058swahiyh20fiqh20assunnah3a20mlango20wa20twahara3a20masuala20yanayohusiana20na20mwenye20janaba
2019-10-19T23:27:17
http://www.alhidaaya.com/sw/print/book/export/html/9633
mhe mch peter s msigwa mheshimiwa spika nikushukuru kwa kunipa nafasi niungane na mheshimiwa nsanzugwanko kuhusiana na barabara ya nyakanazi tokea nimekuwa mbunge hapa nasikia kigomanyakanazi toka nimekuwa mbunge kipindi cha kwanza kwa kweli watu wa kigoma mnaonewa inabidi tuwasaidie mpigiwe debe mpo porini sana mmetengwa nadhani wizara watasaidia kidogo ilikuwa mara ya kwanza kufika kigoma kwa kweli mko nje ya tanzania mheshimiwa spika nikirudi kwenye wizara hii naamini wizara hii ya fedha na mipango ni wizara ya fedha na mipango lakini kwa mtazamo wangu naona wamejikita zaidi kwenye fedha kuliko kwenye mipango na kwa kuwa wao ni wizara ya fedha na mipango walipaswa wawe ni dira kubwa ya taifa ili kuliongoza namna gani ya kupata hizo fedha halafu kisha wakusanye lakini wizara hii katika utendaji wao wamekuwa kama vile ambavyo wanataka wamkamue ngombe ambaye hawamuandalii mazingira mazuri ya kutoa maziwa mheshimiwa spika wizara hii ndiyo inayosimamia dira ya taifa wizara hii ndiyo inasimamia mpango wa miaka mitano wa taifa lakini kwa bahati mbaya toka serikali ya awamu ya tano imeingia madarakani kuna mipango mingi ambayo inatekelezwa na wizara hii ni ile ambayo haipo kwenye mpango wa miaka mitano wa taifa mheshimiwa spika sasa mimi siyo mchumi i am theologian by professional inanichanganya kidogo kwamba sasa hiyo mipango ni ipi wanayoisimamia kwa sababu tunakuwa na priorities tunaweka mikakati lakini mwisho wa siku tunapokuja kwenye utekelezaji wanaleta vitu vingine kabisa ambavyo havikuwepo kwenye mpango wa nchi wanaanza kufanya vitu ambavyo havipo mheshimiwa spika mfano mzuri hakuna mtu anayekataa move ya kuhamia dodoma lakini haikuwepo kwenye mpango wa miaka mitano it was more of a political than economical imetulete shida tunahangaika hatukuwa na ofisi imechanganya mambo mengi sana katika kuendesha nchi yetu mheshimiwa spika nirudie tena hatukatai kuhamia dodoma lakini hatukuwa na mpango huo hela tumeitoa wapi natoa mifano kama hiyo mheshimiwa spika mpango mwingine ambao naweza kusema mipango hii ambayo inafanywa ambayo haikuwepo kwenye mpango wa nchi inaleta tabu katika nchi yetu nitoe mfano mmoja wa haraka haraka kwa wastani tra wanasema kwa sasa hivi wanakusanya wastani wa trilioni 13 mapato kwa mwezi hata hivyo mapato haya ukiangalia wao wamekuwa kama wakala tu hela nyingi wanazokusanya siyo za kwao mheshimiwa spika kwa mfano wanachukua wharfage wanachukua hela zote za halmashauri property tax kwa mfano za majengo wamechukua wamechukua zile vat refundable wamechukua mpaka zile levy za korosho wamechukua hela nyingi ambazo siyo za kwao halafu wanapita mitaani barabarani kwa wananchi kisiasa wanasema sasa hivi tumedhibiti mapato yanakuwa mengi wakati huo huo hizo hela walizotunyanganya kwenye halmashauri zetu mnaziground halmashauri hazifanyi kazi vizuri yaani hadi hela za rea nazo wanasema za kwao (makofi) mheshimiwa spika wameziground halmashauri sasa leo hiyo mipango unamatch vipi mipango na jinsi ambavyo wanakusanya hizo pesa matokeo yake katika halmashauri wameshindwa kupeleka wataalam wazuri wameamua tena kucentralize ambapo ni mipango iliyoshindikana toka tumepata uhuru tulijaribu tukakwama mheshimiwa spika kwenye majukwaa wanasimama kwamba wanakusanya pesa nyingi lakini zile pesa ambazo wametunyanganya kwenye halmashauri hazirudi kwa sababu hakuna mipango mizuri nilitegemea mheshimiwa waziri katika mipango yake angeishauri serikali hii kwamba kupeleka watendaji katika halmashauri ambao hawana weledi ambao wameenda kisiasa kunaharibu utendaji wa kazi kwa sababu nchi hii mtu akiwa mwanasiasa anaaminika kwamba anajua kila kitu mheshimiwa spika nakumbuka siku moja katibu aliyeondoka dkt kashilillah alisema hapa wabunge tukianza hapa kuzungumzia masuala ya nuclear tutataka tuchangie hata kama hatuyajui pia tunaamini kwamba mtu akiwa mwanasiasa anajua kila kitu na nategemea wizara ya mheshimiwa waziri mheshimiwa dkt mpango ingekuwa ndiyo dira ya kuishauri serikali hii tumekuwa na mipango mingi ambayo iko nje ya bajeti mheshimiwa spika ukiangalia wakati wa dkt kikwete dkt kikwete ameondoka hapa tunakusanya 9000 billion 9000 ambazo hakukusanya hizi hela za wengine inaonesha yeye system zake zilikuwa zinafanya kazi vizuri lakini wao wameintefere maeneo mengine yote wanataja pesa kubwa hii lakini bado utekelezaji haupo sasa wanatangaza hizo pesa zote zipo zinakusanywa kwa nini kwenye pesa za maendeleo pesa hazirudi kwenye maeneo yetu tunapotoka kama hizi pesa zote wanazikusanya mfano mzuri kwenye kitabu cha kamati wamezungumza mpaka disemba 2017 serikali ilikuwa imekusanya 76 trillion na mpaka februari 2018 walilipa deni la nje trilioni 55 maana yake tulibakiwa na trilioni mbili mheshimiwa spika sasa tunaendeshaji hii nchi kwa utaratibu huo kama hela zote tunazokusanya tunalipa madeni na bado kwenye kitabu cha hotuba cha mheshimiwa waziri ukisoma ukurasa wa 96 amezungumza na hawa wamesema anasema kwamba deni bado linahimilika lakini mzigo mkubwa bado anabeba mwananchi wa tanzania wakitoka nje kisiasa wanasema kila kitu kipo safi tunapongezana hapa mtumbwi unazidi kuzama kiuhalisia tunasuffocate hakuna oxygen katika nchi hii bado tunazama kila mtu anaamua anavyotaka tutapigiana makofi hapa lakini hela hamna (makofi) mheshimiwa spika ukienda kwenye kila wizara kama ni wizara zipo zimepata pesa zaidi ya asilimia 50 na kitu ni chache sana zote ziko chini ya kiwango kama tunakusanya mapato hayo waziri mheshimiwa dkt mpango kwa nini wizara zote zinapata pesa chini ya kiwango haya ni masuala ambayo anatakiwa atujibu na ningeomba katika suala hili anijibu hela halisi ambayo anakusanya kodi ya tra bila kuchanganya na hizi nilizomtajia wharfage zile za halmashauri sijui vat refundable za watu wengine ambazo wanashika ni shilingi ngapi tujilinganishe na serikali iliyopita na ya sasa kama tunakwenda pamoja (makofi) mheshimiwa spika suala lingine kama nilivyozungumza mipango mingi anayotekeleza sasa hivi mheshimiwa waziri haikuwepo kwenye mpango wa miaka mitano hatukuwa kwenye mpango wa miaka mitano kwamba we will move from dar es salaam to dodoma kwenye mpango wa miaka mitano hatukuwa na standard gauge where are we getting the money mheshimiwa spika hata hivyo hizi hela ukiangalia kiutaratibu wamekopa mikopo ya commercial ambayo ni very expensive tunakopa mkopo kwa sababu commercial unakopa mkopo unaanza kulipa mkopo huo mapema kabla ya ule mradi wa longterm haujaanza kuzalisha sasa ku service huu mkopo tutaservice kupata hela itatoka wapi (makofi) mheshimiwa spika mheshimiwa waziri atupe majibu hapa ukiangalia ethipoia au kenya wao walipata concession loan ambayo ukikopa wale watu watamaliza ule mradi halafu wakishamaliza ule mradi unapoanza kufanya kazi ndipo unaanza kulipa ni kitu gani kimesababisha wasiende kwenye mikopo hiyo wameenda kwenye mikopo hii ya commercial loan mheshimiwa waziri dkt mpango ningeomba anijibu kwa hiyo kuna mipango mingi ambayo tunafanya lakini haikuwepo kwenye utaratibu mheshimiwa spika tumeenda kwenye mambo ya stieglers gorge hapa tatizo la tanzania siyo kwamba tuna tatizo la umeme tatizo ni kuuhamisha umeme ulipo kwenda kwa walaji hizo megawatts zote tunazozitaka tunataka tuzifanyie nini ambapo tutachukua hela ya sasa kwenye longterm loan ambazo zinakuwa ni mzigo kwa watanzania wakija hapa wanasema mkopo bado unabebeka haya ni mambo siyo suala tuje tushangiliane hapa bado nam challenge mheshimiwa mpango yeye ndiye dira ya nchi yetu hii mamlaka inatoka wapi ya kwamba wanaleta mipango ambayo haipo kwenye mipango ya miaka mitano haya ndiyo yanayotuchanganya yanatuchanganya kama taifa hatuelewi tushike lipi (makofi) mheshimiwa spika yote yaliyofanyika sasa hivi nimezungumza hapo mwanzo kwamba tumefika mahali tunacentralize kila kitu ambapo hayo mambo yalishindikana hapo mwanzoni sasa hivi halmashauri zote tumeziground tunarudi kule kule ambako tulishindwa ilitumika pesa nyingi sana kuunda serikali za mitaa kuziempower serikali za mitaa tulitumia pesa nyingi sana hizi d by d leo tena tumerudi kule kule kitu kinafanyika dar es salaam kila kitu wanataka kifanyike sijui dodoma ambako tumeziground halmashauri mheshimiwa spika hii mipango inekuwa inaempower watu wa kule chini ingeempower watu wa chini waone kama wanaown wamecomplicate naamini na elimu yangu ndogo hii niliyonayo elimu haicomplicate mambo elimu inasimplify mambo lakini ukiangalia mipango yote tunapiga mapambio mengi kwenye vyombo vya habari (makofi) mheshimiwa spika jana wakati nasoma report hapo nimesikia kwenye report wenzangu walifanya siwachallenge lakini nilishangaa wanashangaa mtu analipwa milioni 96 (dola 40000) tunashangaa mtu analipwa eti dola 40000 this is poverty mentality yule mtu kwanza ameingia mkataba na wale watu zile hela siyo za kwetu akilipwa milioni 96 kwanza atalipa kodi milioni 30 si zitakuja hapa nchini tuna hasara gani sisi kodi milioni 30 zitakuwa hapa nchini tutawaaminisha watanzania kwamba mtu akilipwa milioni 40 kama ni laana that is poverty mentality mheshimiwa spika watu wangelipwa hela zaidi ya hizo ilimradi hawavunji sheria sasa kwa mfano wakiimport expert ambaye huwezi kumpata tena ni wa gharama utamlipa sh200000 tunazolipana lipana hapa wachezaji wa mpira wanalipwa hela nyingi kwa sababu ya professionalism walizonazo sasa tusifike mahali tunakuwa sadist tunawachukia watu wanapolipwa hela nyingi badala ya kuencourage watu walio chini walipwe zaidi sisi tunasema analipwa zaidi kwa hiyo ashuke chini are we serious mheshimiwa spika kwa hiyo nataka niseme kwa ujumla i am theologian anyway i am not an economist lakini nataka kusema mheshimiwa mpango atuongoze atusaidie
2020-08-12T06:56:45
http://www.parliament.go.tz/polis/index.php/contributions/9956
muswada wa marekebisho ya katiba kupigwa chini | jamiiforums | the home of great thinkers muswada wa marekebisho ya katiba kupigwa chini kwa kile kinachoaminika ni kutoelewana kati ya wabunge wa ccm na uongozi wa juu wa nchi wabunge hao wameamua kufanya mb inu zote muswada uletwe ijumaa badala ya kesho wala keshokutwa kwa kisingizo cha kuwa wabunge wengi wapo mikoani kwa ajili ya sherehe za maadhimisho ya miaka 35 ya kuzaliwa chama cha mapinduzi taarifa za kiitelijensia ni kwamba hawakubaliani na mapendekezo yaliyopelekwa ikulu na chadema kwa maana yana dalili zote za kuwachonganisha wabunge(ccm) na wananchi ni kubwa kwani walishabikia kwa nguvu zote kuwa sheria hiyo ipite ili itumike wakati wa mchakato wa katiba kwa nyakati tofauti kumekuwa na upashanaji wa habari za siri kwa wabunge hao ili kuupiga chini kwa kuondoa kwa kumteua mbunge mmoja ambae ataomba kutoa hoja kuuondoa muswada na ataungwa mkono na wabunge wengi ili wakajipange upya baada ya kuona kuwa kuzidiwa ujanja na wenzao wa chadema kwa upande mwingine kambi ya wabunge wa chadema ambao wamejipanga kwa mbinu mbadala ambao mtoa taarifa amesema bado siri leo(jumapili) wameahirisha kikao chao kwa kuhofia ratiba t ya shughuli za bunge kubadilishwa ghafla ili kufanikisha mpango wa wabunge wa ccm kumekuwa na maisha ya timing technics kati ya wabunge wa chadema na ccm ambapo inaonesha wabunge wote wa chadema kuwa makini sana katika timing politics na strategy plan ya pamoja pia ni wasiri wa hali ya juu katika upangaji wa mikakati bungeni hawana wabunge wa ccm ni wafa maji tu hawana uwezo wa kumdindia mwenyekiti wao ambaye pia ana mamlaka ya kulivunja bunge wanatikisa kiberiti tu mwisho wa siku ni ndiyoooooooooooooooooooo hhahahahah nyinyi endeeleni kuzozana sisi wazanzibari hatutaki tena kuwepo kwa muungano hiyo katiba yenu feki hatutaki na tutaikataa parwanja muhimu ni kuwa muungano umepitwa na wakati ifanywe kura ya maoni kuhusu muungano kabla ya kujadili katiba sababu mchakato wote huu ni njia ya kuiburuza zanzibar haya waungwana john 832 then you will know the truth and the truth will set you free wakati mwingine kuna mambo yanakufanya uchukie tz kwani ni lazima kupinga kila kinachoungwa mkono na cdm hata kama kina manufaa kwa taifa hizi njaa zitatupeleka pabaya badala ya kurekebisha katiba ili tupndokane na ombwe la uongozi tupate viongozi wenye uchungu na nchi hii tupate viongozi wanaoweza kulinda na kutumia rasilimali yetu vizuri tumengangania uccm na ucdm kisa kulinda tumbo la leo hawa ndio watu ambao wako tayari kuuuza nchi hii kwa takrima ya kusomeshewa mtoto au suti mingu ibariki tanzania wabunge wa ccm wakubali tu kwamba wamezidiwa maarifa na hata uchambuzi na uwajibikaji wa moja kwa moja katika taifa letu la tanzania cdm tunashukuru sana kwa mambo yote mnayoibua na kuyasimamia huko mjengoni tunafuatilia kwa umakini sana ccm tafadhali wakinywe tu hiki kikombe hiki sisi hatutawacheka kwani tumeshawazoea kikwete ataelekea huko dodoma kujadili na wabunge wakewaliopangwa kukutana nae(massele)mbunge wa shinyanga mjini na chenge(wa bariadi)nao wameamua kutomuona kwa kuhofia kuwasaliti wenzao dawa yao hao wabunge ni 2015 tutaanzisha operation ambayo inaitwa piga chini mgombea wa ccm hii mibunge ya chama cha magamba vipiyaani hawa vihiyo wanaona cdm tu ndiyo imeleta mabadiliko kwenye muswada wao bomu waliouptisha mbona hata cuf na nccrmageuzi nao walipeleka mawazo yao achilia asasi nyingine na wananchi kwa ujumla wao hii inadhihirisha kuwa wabunge wa ccm wana chuki binafsi na chadema lakini pia wabunge wa ccm wanahofu ya kupoteza ubunge na hivyo kupoteza uiongozi wa taifa hili come 2015 mimi nashauri rais wao kiwete awe tough kwenye issue hii ni utovu wa nidhamu kwa wabunge kutaka kumgomea rais na m/kiti wao wa chama kwa interest zao huu ni uhuni na ulimbukeni wa kuonyesha kuwa ccm wana chuki binafsi na chadema mimi ninajiuliza hivi hii katiba mpya tunayokusudia ni ya wana ccm au wana cdm pekee yao na si ya watanzania wote mbona vyama vimeteka hii agenda ya katiba mpya prof shivji alituonya kuhusu wanasiasa kuteka hii hoja ya katiba mpya kweli imeanza kuonekana hata kabla ya mchakato wenyewe kuanza naililia nchi yangu tanzania we are doomed nimeamini cdm ni moto wa kuotea mbali hawa jamaa wanaintelijensia ya hali ya juu sana kuna watu walidai cdm walienda kufunga ndoa kama ya cuf angalia sasa jinsi wanavyo wamwaga mapovu wabunge wa ccm guys are so smart kuna watu walidai cdm walienda kufunga ndoa kama ya cuf angalia sasa jinsi wanavyo wamwaga mapovu wabunge wa ccmclick to expand mbunge mmoja kutolewa kafara na ccm kama mfano wa kuwatisha wengine
2017-07-27T01:04:27
https://www.jamiiforums.com/threads/muswada-wa-marekebisho-ya-katiba-kupigwa-chini.220324/
dubai kimbunga chaua watu 12 | habari za ulimwengu | dw | 07062007 dubai kimbunga chaua watu 12 kimbunga gonu kimepungua nguvu na kuwa upepo mkali kidogo tu wakati kikipita katika njia kuu za kusafirisha mafuta kuelekea iran leo lakini kimesababisha vifo vya watu 12 nchini oman na kusitisha mauzo yote ya nje ya mafuta na gesi kwa siku ya tatu wataalamu wamesema kuwa kimbunga gonu ambacho kilikuwa katika kiwango cha tano cha kimbunga juzi jumanne na kufikia katika kiwango cha kwanza jana hivi sasa ni kimbunga cha kawaida tu cha maeneo ya tropiki kasi ya upepo hivi sasa wa kimbunga hicho ni kiasi cha kilometa 45 kwa saa kituo cha pamoja cha tahadhari kuhusu vimbunga cha jeshi la marekani kimesema na kuongeza kuwa hivi sasa kinaelekea kupungua zaidi kimbunga hicho ambacho hivi sasa kinaelekea iran kilisababisha mawimbi makubwa baharini mvua na upepo pamoja na mafuriko kwa jumla kiungo http//pdwcom/p/cbub
2017-08-22T23:24:16
http://www.dw.com/sw/dubai-kimbunga-chaua-watu-12/a-2905703
igihecom abakobwa 20 nibo batsinze ikizamini cya mbere cyubusifuzi abakobwa 20 nibo batsinze ikizamini cya mbere cyubusifuzi yanditswe kuya 27012013 saa 1018' na izuba rirashe kuwa gatanu tariki ya 25 ukuboza 2013 kuri sitade amahoro habereye ibizamini bibanza ku bashaka kuba abasifuzi bumupira wamaguru muri 79 batsinze 20 ni abagore mu kiganiro nikinyamakuru izuba rirashe nkubito athanase uyobora komisiyo yabasifuzi muri ferwafa yatangaje ko bishimiye umubare wabaje gukora ibizamini ati haje abantu benshi barenga ijana gusa nyuma yo gusuzuma twasanze abari bujuje ibyangombwa byo gukora ibizamini ari 106 harimo abagore 29 nyuma yibizamini abatsinze () kuwa gatanu tariki ya 25 ukuboza 2013 kuri sitade amahoro habereye ibizamini bibanza ku bashaka kuba abasifuzi bumupira wamaguru muri 79 batsinze 20 ni abagore mu kiganiro nikinyamakuru izuba rirashe nkubito athanase uyobora komisiyo yabasifuzi muri ferwafa yatangaje ko bishimiye umubare wabaje gukora ibizamini ati haje abantu benshi barenga ijana gusa nyuma yo gusuzuma twasanze abari bujuje ibyangombwa byo gukora ibizamini ari 106 harimo abagore 29 nyuma yibizamini abatsinze igitsina gore ni 20 nabagabo 59 nkubito yakomeje atangaza ko aba batsinze aribo bazakomeza gukurikirana amahugurwa asanzwe bigishwa amategeko nibindi byose bigendanye nimisifurire mu mupira wamaguru ko nyuma bazongera bagakora ikizamini abagitsinze akaba aribo bazaba abasifuzi bazakomeza gukurikiranwa kwinjiza abasifuzi bashya ngo bizafasha umupira wu rwanda kugira abasifuzi benshi kandi bakiri bato kuko ubu hari amarushanwa nimikino myinshi igomba gusifurwa nababizi nsengiyumva jean de dieu umwe mu bakoze ibizamini uzwi ku izina rya inzaghi yavuze ko ibizamini bitari byoroshye ati twakoze ibizamini birimo kwiruka ahantu harehare tuzenguruka ikibuga cya sitade amahoro inshuro 7 mu minota 12 nyuma twakoze icyo kwiruka twihuta ahantu hareshya na metero mirongo 40 nkaba mbona nubwo ibi bizame byari bikomeye biba bicyenewe kuko gusifura ari ibintu biba bigomba gukorwa nubishoboye ngo ejo nejo bundi bitazabyara ibibazo wasifuye nabi iki kizamini gikozwe nyuma yaho ferwafa yatanze itangazo isaba abifuzi kuba abasifuzi bumupira wamaguru mu rwego rwo kongera umubare wabasifuzi mu rwanda imikino | football apr fc yirukanye abakinnyi icyenda barimo kapiteni kodo na ndoli jean claude 20160725 160814 imikino | football davis kasirye ashobora kurara asinyiye dcmp yi kinshasa 20160725 120015 imikino | football emery mvuyekure yagiye muri apr fc yigomwa icyo yakundaga mu myaka umunani ishize 20160725 070443 imikino | football mashami vincent yemejwe nkumutoza wa bugesera fc 20160724 203507 imikino | football cristiano ronaldo agiye kwitirirwa ikibuga cyindege cya madeira ku busabe bwa perezida 20160724 161539 kwamamaza umukino wa mbere wagombaga kuzahuza pep guardiola na mourinho ushobora gukurwaho ruremesha wahawe gutoza etincelles arashaka gusinyisha igikurankota mbarushimana abdou yasabye isezerano akarere ka muhanga kugira ngo amanukane nikipe cristiano ronaldo agiye kwitirirwa ikibuga cyindege cya madeira ku busabe bwa perezida kwamamaza kwamamaza kwamamaza igihe network
2016-10-28T13:59:40
http://www.igihe.com/imikino/football/abakobwa-20-nibo-batsinze-ikizamini-cya-mbere-cy-ubusifuzi
bei ya unga wa mahindi nchini yatarajiwa kupanda hata zaidi lulu fm kenya bei ya unga wa mahindi nchini yatarajiwa kupanda hata zaidi wakenya wanaendelea kuhimizwa kujitayarisha kwa kipindi kigumu cha maisha na bei ya bidhaa ikitrajiwa kupanda bei maradufu baada ya ongezeko la bei ya mafuta nchini wadau katika sekta ya kilimo wanasema hali ya kupanda kwa gharama ya maisha inatarajiwa kuzidi kushuhudiwa katika miezi ijayo na bei ya unga wa mahindi nayo ikisemekana huenda ikapanda bei hata zaidi kuliko ilivyo kwa sasa ingawa serikali imesisitiza kuwa nchi ina mahindi ya kutosha ambayo yamehifadhiwa na kuwatosheleza wananchi hadi mwezi julai ukosefu wa mvua na kiangazi cha muda mrefu kumechangia kwa hali ya maisha kuwa ngumu waziri wa kilimo mwangi kiunjuri anasema kuwa nchi ina jumla ya magunia milioni 213 kutoka kwa wakulima wafanyabiashara wasindikaji na bodi ya taifa ya nafaka na mazao nchini ncpb mtu mmoja kati ya kundi la watu kumi anaugua matatizo ya kiakili jinsia ya kiume yaendelea kuandikisha idadi kubwa ya maambukizi ya covid19 kufunguliwa kwa safari za ndege kunaendelea kuibua hisia mseto kufunguliwa kwa shughuli za kiuchumi huenda kukosa kuzaa matunda viongozi wa kidini na wadau katika jamii wahimizwa kutoa hamasa kwa jamii
2020-07-09T04:05:41
http://www.lulufm.co.ke/bei-ya-unga-wa-mahindi-nchini-yatarajiwa-kupanda-hata-zaidi/
mahali ilipo tanzania mahali ilipo (location) tanzania ipo katika eneo la afrika mashariki kwenye nyuzi 6 00s (kusini) na 35 00e (mashariki) ikipakana na kenya na uganda upande wa kaskazini rwanda burundi na jamhuri ya watu wa congo upande wa magharibi zambia na malawi kwa upande wa kusinimagharibi na msumbiji kusini upande wa mashariki inapakana na pwani ya bahari ya hindi wenye urefu wa kilomita 1424 nchi hii ina jumla ya eneo la kilometa za mraba 945087 zikijumuisha visiwa vya unguja pemba na mafia kati ya hizo kilometa za mraba 886037 ni nchi kavu urefu wa mipaka na nchi jirani ni kama ifuatavyo burundi kilometa 451 drc km 676 kenya km 769 malawi km 475 msmbiji km 756 uganda km 396 na zambia km 338 tanzania ina ukanda wa pwani wenye urefu wa kilometa 1424 kufuatana na sheria ya kimataifa jamhuri ya muungano ya tanzania inamiliki kilometa 12 za sehemu ya bahari (territorial waters) na kilometa nyingine 200 kama eneo lake la kuendesha shughuli za kiuchumi (exclusive economic zone eez) hali ya hewa nchini tanzania inatofautiana kulingana na mazingira sehemu ya pwani ina hali ya joto (kitropiki) na sehemu ya nyanda za juu kuna ubaridi kiasi (temperate) hali ya nchi ni tambarare katika ukanda wa pwani na miinuko katikati mwa nchi ambapo kaskazini na kusini imetawaliwa na milima milima mwinuko wa nchi unaanzia kwenye usawa wa bahari ya hindi (0 m) hadi kwenye kilele cha mlima kilimanjaro (5895 m) maliasili ya tanzania ni pamoja na wanyamapori misitu madini (maarufu almasi dhahabu tanzanite chuma mkaa wa mawe gesi asilia) na viumbe wa baharini matumizi ya ardhi tanzania inatumia 423 tu ya ardhi yake kwa ajili ya kilimo na kati ya hizo 116 huzalisha mazao ya kudumu eneo linalotumika kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji ni kilometa za mraba 1840 dokeza za kijiografia mlima kilimanjaro ni mrefu kuliko yote katika bara la afrika ziwa victoria ni la pili kwa ukubwa duniani na ziwa tanganyika ni la pili kwa kuwa kina kirefu duniani ziwa nyasa ambalo liko kusini magharibi mwa tanzania linaaminika kuwa lenye mawimbi makubwa (dhoruba) kuliko maziwa yote duniani
2014-03-07T19:31:07
http://www.tanzaniatouristboard.com/tanzania/mahali-ilipo/?lang=sw
rayvannys girlfriend says she was worried about their future after he got banned by basata priority10news | exclusive east africa newsentertainment and technology home / celebrities & gossip / entertainment / kenya / rayvannys girlfriend says she was worried about their future after he got banned by basata rayvannys girlfriend says she was worried about their future after he got banned by basata tanzanian singer rayvannys girlfriend fahyma fahyvanny has revealed that baraza la sanaa la taifas move to ban rayvanny and his boss diamond platnuzm from performing and recording any music left her disturbed and scared speaking in an interview with a local newspaper fahyma said that after rayvanny was banned for performing mwanza she was worried how theyll survive since music is their main source of income kufungiwa kwa rayvanny kulikuwa kunanipa mawazo sana maana nilikuwa nawaza maisha yetu yatakuwaje na tulikuwa hatujui msamaha utatoka lini lakini tunashukuru mungu wamesamehewa na mwisho wa siku maisha mengine yanaendelea nitaendelea kumhimiza asirudie kosa tena she said baraza la sanaa la taifa (basata) which left the ban just a few days ago had banned a couple of their songs particularly the collaboration with rayvanny titled mwanza which was regarded immoral and not fit for tanzanians consumption
2019-08-19T14:02:47
http://www.priority10.ml/2019/01/rayvannys-girlfriend-says-she-was.html
china ya nje madeni ya sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi china ya nje madeni ya
2019-11-19T20:44:08
https://sw.tradingeconomics.com/china/external-debt
dawa gani hizi | jamiiforums | the home of great thinkers dawa gani hizi discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by columbus mar 28 2011 unakuta mwanaume ana nyumba ndogo na jamaa anaelekea kuitelekeza nyumba kubwa(yaani mke wa ndoa) baada ya kuuliza inakuwaje hivi unaambiwa jamaa kalishwa dawa hivi hizi dawa gani na kweli zipo na wewe mlengwa utagunduaje umeshalishwanaomba kuwasilisha wanajamvi pauline jfexpert member mliowahi kuwa nyumba ndogo leteni maujuziwho knows na sie nyumba kubwa twaweza zitumia mkose soko lol tuko jf bronze member messages 11186 asilimia pengine 99 ya watu kama hao anakuwa amepewa mapenzi mazuri tu sio dawa hilo la dawa nalisikia lakini kwa siku hizi ni malavidavi tu hakuna dawa pauline mapenz tu tuko said ↑ mbona saa nyengine unakuta mtu hata huko nyumba kubwa mapenzi anapata sana tunini kinachomfunga huko nyumba ndogo au kuna kuzidiana kete mie nahisi na dawa zimo sana tu mimi nakaribia kuamini hivi kama mwanaume hana hofu ya mungu yani hachukulii swala kama hilo ni dhambi kwa mungu wake na akawa na mipaka kwa tamaa ya nafsi yake na mwili wake hawezi kuridhika na mwanamke mmoja hata mke wake wanaoa ili maisha yaendelee tu jamii iwatambue apate mahali pakuja kulala na watoto na heshima kwa jamii kwamba ana familia na ni bab lakini wanatoka nje kama kawaida yani mi nakaribia kuamini hivo nakaribia kukubaliana na hiyo nimebaki na lile kundi la wale watu ambao wana hofu ya mungu kweli kweli tu lisemwalo lipoukirogwa unakuwa hujui kama umerogwa ila wengine ndio wanaoweza kuona ya kuwa umerogwa hakuna linaloshindikana chini ya jua msaranga jfexpert member hapo hamna dawa ni mapishi tuu si unajua wanawake wengi wakishaolewa wanajisahau wanazani kwamba wamemaliza kila kitu kumbe ndio wako vitani na ikitokea mmwanaume kaonja nje chakula tu anataka kulinganiasha na mapishi ya mkewe anagundua kwamba mkewe hujui kupika ndipo inakua tabu lakini kama mama atapika vizuri siku baba akila chakula kwa jirani kwa bahati mbaya ikikuta mapishi siyo sawa na ya mkewe lazima atarudi nyumbani tuu wakima dada amkeni kwa hilo likes received 2391 huwa nyumba ndogo wanaweka yule mjusi wa nyumba kwenye chakula basi hutabandukaau nyama ya maini inawekwa kwenye na nihiino siku 7 kisha unawekewa kwenye mboga kuzidiana kete kupo sana unajua baadhi ya wake wanadhani kuwa 'mapenzi ni kumridhisha na kumhudumia' mwanaume kwa nguvu zao zote no vipo vitu vingi na strategies kadhaa hivi unajua kuwa ugomvi ni kiungo fulani katika kukoleza mapenzi baadhi ya wanawake wanadhani styles za kitandani (wengine wanatoa hata tigo) kupika vizuri kuongea vizuri na kwa uchangamfu kukubali kila unachoambiwa eti ni mapenzi tosha kwa mwanaume no akili tumia akili kuomuonyesha mumeo kuwa wewe ni mtu wa maana ali ajivunie kuwa na wewe utamuua tu mumeo na mauchafu hayo mapenzi (sio tendo la ndoa tu) ndiyo dawa shetani yupo na ana nguvu pia kwa wasioenda kwa mataka ya mwenyezi mungu kwa maana hiyo wapo wanaotumia hiyo mittishamba kwa kuwashika waume za watu na kuwafanya kama mandondocha yao na ukifanyiwa hivi wanasema sio rahisi kujijua ni watu wanaokuzunguka ndio watakujua wewe utajiona upo poa sana pia mume akitoka nje na kupata hawara sio lazima awe amelishwa limbwata wengine ni mambo tu ya mahaba yamewachanganya kwa hao mahawara wao unajua mahawara wanakuwa hawana majukumu mengi kama wake muda mwingi wanakaa wakitafuta mbinu za kuwaridhisha wanaume wao huku home mke anakuwa na majukumu kibao watoto labda wanne wamefatana anafuga kuku anafanya kazi anapika kwa ajili ya familia akilala anakuwa mchovu hapa mume akitoka na demu yuko single anaishi mwenyewe nyumba muda wote ipo neat mazingira yale yanamlewesha mume anashinda hukohuko akirudi home ni kulala kw hiyo bwana mkubwa unaweza pewa limbwata likakukolea na unaweza usipewe ukapagawa tu mambo ya mahaba unayofanyiwa na kimwana wa pembeni distazo said ↑ ukilishwa utajua kwa nyongeza kuna bosi wangu mmarekani kabisa amekolea nyumba ndogo ya kiswahili ni balaa hapa ofisini hatumuelewi hata utendaji wake wa kazi umepunguatunamuombea tu asije akadhurika na hayo madawa kiafya hakuna dawa wala nin ni upendo 2 na tamaa za muda mfup ndoa ndoa2 kwan we unawaswas gan kulala nje ndo hawez ataruka we lakn mwsho wa siku anarud mchukulie poa 2 ndo utafka sawa enhee (au anampa ndogo nin ambyo wew utoagi emb fnya ivyo afu tuone) sweetdada jfexpert member msaranga said ↑ na hayo mapishi ya jirani uliyafuatia nini in the first place messages 8457 likes received 3707 dawa zipo na mara nyingi wanawawekea wanaume wenye hela kwa ajili ya kuwasaidia kimaisha unakuta upendo wa kweli hakuna 1wanaume wa dar tulishabugia sana hizo dawa bila kujua ila akili kichwani mwako 2unadhani waganga wa kienyeji nao wakale wapi huwauzia akina mama dawa za namna hiyo 3'dawa nzuri ya mapenzi ni kumpa mwenzio kile atakachokumheshimukumjalikutomuudhi na kumtunza 4hapo kila mtu atasema umempa dawa 4 prince senior member huenda ni kweli kuna dawalakini si vizuri kutoka nje ya ndoa enyi wanandoakama mwenzio ana tatizo mwambieikishindikana muombe mungu kwake hakuna lisilowezekana hahahahah imani hizi huko wanakotoa hizi dawa kuna sharti la kuwa nyumba ndogo ninimaana tangu nimeanza kusikia nyumba kubwa nazo zingekuwa juukuna kitu tunajisahau tu bwana au ni hila za wanaumewashing
2018-01-16T12:17:36
https://www.jamiiforums.com/threads/dawa-gani-hizi.121853/
vijimambo tangazo tangazo tangazo tangazo tangazo tangazo huyu jamaa anasema ni doctor na anasaidia watu georgetown hospital kupata residency mtu wa totoz kama wahaya wengine na anapenda starehe sana mitaa ya dc za mwizi arobaini mwizi mkubwa uwiiiii siamini alikutana na rafiki yangu akamwambia kuna gari la padre amekufa linauzwa chee kwa $30000 hadi leo huyo dada alishagraduate gari halikuonekana wacha mungu aitwe mungu kazi kwako muda wako wa kusota umefika you should be careful what comes from your mouth or post on media it shows how idiot you arewahaya are very civilize and very successful people according to tanzania datageneralizing by tribegives me apicture how behind your with factgoodluck kasha kamatwa huyo yupo mikononi mwa popoooo huyu mwanaume katepeli wanawake wengikila akiopoa mwanamke anasema yeye doctormsomiwahaya wrong info hajashikwa bado na polisi wanamtafuta someni post hii kuna watu wamecopy maelezo bila kuonyesha ilikuwa posted lini online hii link ninya june 2016 as of leo sept 15 bado kuna watu wanazidi kujitokez ambao wametapeliwa kati ya june na end of august 2016 kwani wahaya siyo watu wa totoz msinifanye niwataje kwa majina ) ndukiii) we mhaya hapo juu hebu andika kiswahili hii ni topic ya utapeli au ya wahaya wahaya mbona watu fresh tu wasomi wana maendeleo wakarimu (hahahahahah)
2017-10-19T12:26:47
http://lukemusicfactory.blogspot.com/2016/09/tangazo-tangazo-tangazo.html
video kumi bora zilizofanya vizuri mwezi oktoba 2017 hizi hapa gospo media lads 20171210 10 dec 2017 lads katika mwezi wa kumi tumeshuhudia video mbalimbali za waimbaji wa nyimbo za injili zikiachiwa kutoka ndani na nje ya tanzania na hakika nyingi kati ya video hizo zimekuwa na mguso wa kipekee na viwango vya kuridhisha ikiwemo subiri(wait) iliyomhusisha mercy masika emmy kosgei na evelyn wanjiru ikiwa ni moja ya video iliyotikisa kiwanda cha muziki wa injili afrika mashariki kwa mwezi wa kumi pamoja na video nyingine nyingi ikiwemo ile ya nipokee kutoka kwa j sisters lihimidi jina lake kutoka kwa joyce omondi na nyinginezo ambazo pia zimefanikiwa kuingia kwenye chati hii kupitia tovuti yako pendwa gospomediacom na hizi hapa ni orodha kamili ya video 10 bora za muziki wa injili zilizofanya vizuri zaidi mwezi wa oktoba 2017 1 mercy masika emmy kosgei & evelyn wanjiru subiri(wait) 2 j sisters nipokee 3 joyce omondi lihimidi jina lake 4 rogate kalengo kuna namna 5 eddah mwampagama feat walter chilambo unajuaga 6 bomby johnson hakuna jambo 7 ritha komba nitashinda 8 alphee niyo songa mbele 9 sakina naftali yatakwisha 10 bertha kapufi maombi uongozi na timu nzima ya idara ya muziki ya gospomediacom inatoa pongezi kwa wanamuziki na waimbaji wote ambao video zao zimeonekana kufanya vizuri zaidi mwezi oktoba na kuwabariki watu wengi zaidi mungu awabariki sana tagsalphee niyobertha kapufibomby johnsoneddah mwampagamaemmy kosgeievelyn wanjiruj sistersjoyce omondikumi boramercy masikaritha kombarogate kalengosakina naftalivideo kumi borawalter chilambo music audio jackson josh niongoze yesu music audio nancy henry feat rogate kalengo nina ushuhuda music video | audio ritha kombani rafiki nyimbo kumi bora zilizofanya vizuri novemba 2017 music video | music audio walter chilambo kuna jambo video | music audio bertha kapufi maombi
2018-01-22T00:13:31
https://gospomedia.com/video-kumi-bora-mwezi-oktoba-2017/
upendo wenu wa kindugu na uendeleewaebrania 131 | munara wa mulinzi soma katika afrikaans cakchiquel (de louest) chibemba drehu hmong blanc karen sgaw kiaukan kibassa (kameruni) kibaule kibislama kibulu kichitonga kichua (imbabura) kidangme kiefik kiewe kifaransa kifon kiga kigarifuna kigreenland kihausa kihispania kiiban kiigbo kiingereza kiisoko kiitaliano kijolabal kikabiye kikampuchia kikaonde kikazath kikechua (ancash) kikechua (ayakucho) kikechua (cuzco) kikisi kikol kikongo kikrio kikrioli cha morisi kikrioli cha shelisheli kikwangali kikwanyama kilao kiluba kilunda kiluvale kimabwelungu kimalta kimamu kimazateke cha huautla kimbundu kimikse kimizo kimyama kinahuatl (guerrero) kinahuatl (huasteca) kinahuatl (puebla ya kaskazini) kinahuatl cha kati kindebele kindonga kingabere kinyaneka kinyanja kinzema kireno kisaramakan kisepedi kisetswana kisilozi kisonge kiswahili (congo) kiswati kitahiti kitiv kitlapanek kitotonake kitsonga kitwi kiumbundu kiurhobo kivenda kiwalese kiwalis kiwayuunaiki kixhosa kiyoruba kizulu kongo lingala mende ngangela otetela pidgin camerounais sesotho (lesotho) tshiluba uruund upendo wenu wa kindugu na uendeleewaebrania 131 sababu gani ni jambo la maana sana tuendelee kuonyesha upendo wa kindugu namna gani tunaweza kuonyesha upendo wa kindugu 1 2 sababu gani mutume paulo aliandikia wakristo waebrania katika mwaka wa 61 makutaniko yote ya israeli ilikuwa na amani kwa kadiri fulani hata kama mutume paulo alikuwa katika gereza huko roma alitumaini kwamba ataachiliwa kisha muda mufupi timotheo mwenye walikuwa wanasafiri pamoja naye alikuwa ameachiliwa tu kutoka katika gereza na wote wawili walitumaini kutembelea ndugu na dada wa yudea (waebrania 1323) kulikuwa kunabakia tu miaka tano ili wakristo wa yudea zaidi sana wale wenye kuishi katika yerusalemu wafanye haraka sababu gani kwa sababu yesu alikuwa ameambia wafuasi wake kwamba wakati tu wangeona maaskari wanazunguka muji wa yerusalemu walipaswa kukimbialuka 212024 2 miaka 28 ilikuwa imepita tangu yesu atolee wafuasi wake onyo hilo wakati huo wakristo katika israeli walibakia waaminifu hata kama walipatwa na magumu na majaribu mengi (waebrania 103234) lakini mutume paulo alipenda kuwatayarisha juu ya mambo yenye ingetokea wakati unaokuja walikuwa karibu kupata jaribu kubwa zaidi la imani yao (mathayo 2420 21 waebrania 124) kuliko wakati mwingine wowote walipaswa kuonyesha uvumilivu na imani ili kutii onyo la yesu la kukimbia ili kuokoa uzima wao (soma waebrania 103639) kwa hiyo yehova alitumia roho yake takatifu ili kumuongoza mutume paulo aandikie ndugu na dada hao wapendwa barua hiyo inaitwa kitabu cha waebrania iliandikwa ili kuwatia nguvu wavumilie mambo yenye ingetokea 3 sababu gani leo tunapaswa kupendezwa na kitabu cha waebrania 3 sisi watu wa mungu tunapaswa kupendezwa leo na kitabu cha waebrania sababu gani kwa sababu hali yetu inafanana na ile ya wakristo wa yudea tunaishi katika nyakati za hatari zilizo ngumu kushughulika nazo na ndugu na dada wengi wamevumilia kwa uaminifu majaribu ao mateso makali (2 timotheo 31 12) lakini wamoja kati yetu wanaishi kwa amani na hawapatwe na mateso ya moja kwa moja kwa hiyo tunapaswa kukesha kama vile wakristo wa wakati wa mutume paulo sababu gani kwa sababu hivi karibuni tutapata jaribu kubwa zaidi la imanisoma luka 213436 4 andiko letu la mwaka wa 2016 ni gani na sababu gani andiko hilo linafaa 4 ni nini itatusaidia tujitayarishe kwa ajili ya tukio hilo la wakati unaokuja katika kitabu cha waebrania mutume paulo alizungumuzia mambo mengi ya kutusaidia kutia nguvu imani yetu jambo moja la maana sana linapatikana kwenye waebrania 131 andiko hilo linatutia moyo hivi upendo wenu wa kindugu na uendelee andiko hilo limechaguliwa ili kuwa andiko letu la mwaka wa 2016 andiko letu la mwaka wa 2016 upendo wenu wa kindugu na uendelee waebrania 131 5 upendo wa kindugu ni nini neno la kigiriki lenye mutume paulo alitumia linamaanisha moja kwa moja kumupenda ndugu upendo wa kindugu ni upendo wenye nguvu ao upendo muchangamufu kati ya watu wa familia moja ao kati ya marafiki wa sana (yohana 1136) hatujiite tu ndugu na dada lakini tuko ndugu na dada (mathayo 238) mutume paulo alisema hivi katika upendo wa kindugu mukuwe na upendo mwororo kwa mutu na mwenzake katika kuonyeshana heshima mukuwe wa kwanza (waroma 1210) maneno hayo inaonyesha kwamba upendo wetu kwa ndugu na dada ni wenye nguvu sana upendo huo wa kindugu pamoja na upendo wenye kuongozwa na kanuni za maandiko unasaidia watu wa mungu wakuwe marafiki wa sana na wakuwe na umoja 6 wakristo wa kweli wanaelewa namna gani maneno upendo wa kindugu 6 maneno upendo wa kindugu inapatikana sana katika maandiko ya kikristo wayahudi wa zamani walitumia neno ndugu kwa ukawaida ili kuzungumuzia mutu wa jamaa na wakati fulani ili kuzungumuzia mutu mwenye haiko wa jamaa yao lakini hawakutumia hata kidogo neno hilo ili kuzungumuzia watu wenye hawakuwa wayahudi lakini kwa sababu sisi ni wakristo wa kweli ndugu yetu ni kila mukristo wa kweli hata kama ni wa inchi ingine (waroma 1012) yehova ametufundisha tupendane kama ndugu na dada (1 wathesalonike 49) lakini sababu gani ni jambo la maana tuendelee kuonyesha upendo wa kindugu 7 (a) ni sababu gani kubwa zaidi yenye kutuchochea tuonyeshe upendo wa kindugu (b) toa sababu ingine yenye kuonyesha kwamba ni jambo la maana kutia nguvu upendo wetu wa kindugu 7 sababu kubwa zaidi yenye kutuchochea tuonyeshe upendo wa kindugu ni kwamba yehova anatuomba tufanye hivyo hatuwezi kabisa kumupenda yehova ikiwa tunakataa kupenda ndugu na dada zetu (1 yohana 47 20 21) sababu ingine ni kwamba kila mumoja wetu iko na lazima ya mwengine zaidi sana wakati wa magumu wakati mutume paulo aliandikia wakristo waebrania alijua kwamba wamoja kati yao walikuwa karibu kuacha nyumba zao na vitu vyao vingine yesu alikuwa ameeleza magumu yenye ingetokea wakati huo (marko 131418 luka 212123) kwa hiyo mbele wakati huo ufike wakristo hao walipaswa kutia nguvu upendo waowaroma 129 tunapaswa kutia nguvu upendo wetu wa kindugu leo kwa sababu upendo huo utatusaidia kuvumilia majaribu yenye tunaweza kupata wakati unaokuja 8 mbele ziki kubwa ianze tunapaswa kufanya nini leo 8 ziki kubwa yenye haijatokeaka katika historia yote ya wanadamu itafika hivi karibuni (marko 1319 ufunuo 713) tutakuwa na lazima ya kutii amri hii muende watu wangu ingia katika vyumba vyako vya ndani na ufunge milango nyuma yako ujifiche kwa kitambo [muda] kidogo mupaka hukumu itakapopita (isaya 2620) vyumba hivyo vya ndani vinaweza kumaanisha makutaniko yetu tunakusanyika humo pamoja na ndugu na dada zetu ili kumuabudu yehova lakini tunapaswa kufanya mengi zaidi kuliko tu kukusanyika kwa ukawaida mutume paulo aliwakumbusha wakristo waebrania kwamba walipaswa kuchocheana ili kuonyeshana upendo na kutendeana mema (waebrania 1024 25) tunapaswa kutia nguvu upendo wetu wa kindugu leo kwa sababu upendo huo utatusaidia kuvumilia majaribu yenye tunaweza kupata wakati unaokuja 9 (a) tuko na nafasi gani za kuonyesha upendo wa kindugu (b) toa mifano yenye kuonyesha namna watu wa yehova wameonyesha upendo wa kindugu 9 mbele ziki kubwa ianze tuko na nafasi nyingi za kuonyesha upendo wa kindugu leo ndugu na dada zetu wengi wanateseka kwa sababu ya mambo kama vile matetemeko ya inchi mafuriko ao maji mengi yenye kubeba nyumba na vitu na tsunami ndugu na dada wanaendelea kuvumilia mateso (mathayo 2469) pia maisha katika ulimwengu huu muovu inafanya ikuwe vigumu kupata feza (ufunuo 65 6) hata hivyo kadiri ndugu na dada zetu wanaendelea kupata magumu mengi tunakuwa na nafasi nyingi za kuonyesha kwamba tunawapenda sana watu wa ulimwengu huu hawapendane lakini sisi tunapaswa kuendelea kuonyesha upendo wa kindugu (mathayo 2412) [1]soma maelezo kwenye mwisho wa habari hii namna gani tunaweza kufanya upendo wetu wa kindugu uendelee 10 tutazungumuzia nini sasa 10 hata kama tuko na magumu namna gani tunaweza kuhakikisha kwamba tunaendelea kuonyesha upendo wa kindugu namna gani tunaweza kuonyesha ndugu na dada zetu upendo huo kisha kusema upendo wenu wa kindugu na uendelee mutume paulo alitaja njia mbalimbali zenye wakristo wanaweza kutumia ili kuonyesha upendo huo tuzungumuzie sasa njia sita kati ya njia hizo 11 12 kukaribisha wageni kunamaanisha nini (ona picha kwenye mwanzo wa habari hii) 11 musisahau ukaribishajiwageni (soma waebrania 132) maneno ukaribishajiwageni inamaanisha nini maneno yenye mutume paulo alitumia inamaanisha moja kwa moja kuonyesha wageni wema pengine maneno hayo inatukumbusha abrahamu na loti wanaume hao wawili walionyesha wema watu wenye hawakuwa wanajua kisha abrahamu na loti walitambua kabisa kwamba watu hao walikuwa malaika (mwanzo 1825 1913) mifano hiyo ilitia moyo wakristo waebrania waonyeshe upendo wa kindugu kwa kukaribisha wageni 12 namna gani tunaweza kuonyesha wengine ukaribishaji tunaweza kualika ndugu na dada nyumbani kwetu ili kula chakula pamoja ao kutiana moyo hata kama hatufahamie muzuri mwangalizi wa muzunguko na bibi yake tunaweza kuwaalika wakati wanatembelea kutaniko letu (3 yohana 58) haiko lazima kupika chakula mingi ao kutumia feza nyingi sana kusudi letu ni kutia ndugu na dada zetu moyo lakini hatutafute kuwashangaza na vitu vyenye tuko navyo tena hatutaalika tu wale wenye kuwa na uwezo wa kutualika pia (luka 1042 141214) jambo la maana zaidi ni kuhakikisha kwamba hatuhangaikie mambo mengi sana mupaka tufikie kusahau kuonyesha wengine ukaribishaji 13 14 namna gani tunaweza kuwakumbuka wale walio katika gereza 13 muwakumbuke wale walio katika gereza (soma waebrania 133) wakati mutume paulo aliandika maneno hayo alikuwa anazungumuzia ndugu wenye walifungwa kwa sababu ya imani yao mutume paulo alipongeza ndugu na dada wa kutaniko hilo kwa sababu waliwasikitikia [waliwasikilia huruma] wale waliokuwa gerezani (waebrania 1034) ndugu fulani walimusaidia mutume paulo kwa muda wa miaka ine yenye alifungwa katika gereza lakini wengine walikuwa wanaishi mbali sana namna gani wangemusaidia mutume paulo kwa kuendelea kusali kwa bidii kwa ajili yakewafilipi 11214 waebrania 1318 19 tunaweza kusali kwa ajili ya ndugu dada na watoto wenye wamefungwa katika gereza huko eritrea 14 leo mashahidi wengi wa yehova wamefungwa katika gereza kwa sababu ya imani yao ndugu na dada wenye kuishi karibu nao wanaweza kuwasaidia moja kwa moja lakini wengi kati yetu tunaishi mbali nao namna gani tunaweza kuwakumbuka na kuwasaidia upendo wa kindugu utatuchochea tusali kwa bidii kwa ajili yao kwa mufano tunaweza kusali kwa ajili ya ndugu dada na watoto wenye wamefungwa katika gereza huko eritrea kati yao kuko ndugu paulos eyassu isaac mogos na negede teklemariam wenye wamefungwa zaidi ya miaka 20 15 namna gani tunaweza kuheshimia ndoa yetu 15 ndoa iheshimiwe kati ya wote (soma waebrania 134) tunaweza pia kuonyesha upendo wa kindugu kwa kuwa na mwenendo safi (1 timotheo 51 2) kwa mufano ikiwa tunafanya uasherati na ndugu ao dada fulani tutamuumiza yeye na familia yake hilo linaweza kufanya tukose kutumainiana (1 wathesalonike 438) fikiria pia namna bibi anaweza kujisikia ikiwa anavumbua kwamba bwana yake anaangaliaka pornografia je atajisikia kuwa bwana yake anamupenda kabisa na anaheshimia mupango wa ndoamathayo 528 16 namna gani kutosheka kunatusaidia tuonyeshe upendo wa kindugu 16 murizike [mutosheke] na vitu vya sasa (soma waebrania 135) kumutegemea yehova kutatusaidia tutosheke ni kusema kufurahia vitu vyenye tuko navyo namna gani kufanya hivyo kunatusaidia tuonyeshe upendo wa kindugu ikiwa tunatosheka tutakumbuka kwamba ndugu na dada zetu ni wa maana zaidi kuliko feza ao vitu (1 timotheo 668) hatutanungunikia ndugu na dada zetu ao hali yetu katika maisha tutaepuka pia kusikilia wengine wivu ao kuwa wenye pupa (tamaa kubwa) lakini ikiwa tunatosheka tutakuwa wakarimu1 timotheo 61719 17 namna gani kuwa hodari kunatusaidia tuonyeshe upendo wa kindugu 17 mukuwe hodari (soma waebrania 136) kumutegemea yehova kunatupatia uhodari ao nguvu ya kuvumilia majaribu nguvu hiyo inatusaidia kuwa na maoni mazuri na wakati tunakuwa na maoni mazuri tunaweza kuonyesha upendo wa kindugu kwa kutia moyo na kufariji ndugu na dada zetu (1 wathesalonike 514 15) hata wakati wa ziki kubwa tunaweza kuwa na ujasiri kwa sababu tunajua kwamba wokovu wetu unakaribialuka 212528 tunaweza kuwa na ujasiri kwa sababu tunajua kwamba wokovu wetu unakaribia 18 ni nini inaweza kutuchochea tuendelee kuwapenda wazee 18 muwakumbuke wale ambao wanaongoza katikati yenu (soma waebrania 137 17) wazee wa kutaniko wanatumia sana wakati wao ili kutusaidia wakati tunafikiria mambo yote yenye wanatufanyia hilo linatuchochea tuendelee kuwapenda na kuwaonyesha shukrani hatupendi hata kidogo matendo yetu iwafanye wapoteze furaha yao ao wakasirike lakini tunapenda kuwa tayari kutii kwa kufanya hivyo tunawafikiria kwa njia inayozidi ile ya kawaida katika upendo kwa sababu ya kazi yao1 wathesalonike 513 unaonyesha shukrani juu ya kazi yenye wazee wanatufanyia(picha hizi zinapatana na fungu la 18) muendelee kufanya hivyo kwa njia kubwa zaidi 19 20 namna gani tunaweza kuendelea kuonyesha upendo wa kindugu kwa njia kubwa zaidi 19 watu wa yehova wanajulikana kwa sababu ya upendo wao wa kindugu ilikuwa hivyo pia wakati wa mutume paulo lakini mutume paulo alichochea ndugu na dada waonyeshe upendo kwa njia kubwa zaidi alisema hivi muendelee kufanya hivyo kwa kipimo kamili zaidi [njia kubwa zaidi] (1 wathesalonike 49 10) ni wazi kwamba tungali na mengi ya kufanya ili kuonyesha upendo kwa njia kubwa zaidi 20 kwa hiyo katika mwaka huu wakati tutakuwa tunaona andiko letu la mwaka katika jumba letu la ufalme tunapaswa kufikiri sana juu ya maulizo haya ninaweza kuonyesha ukaribishaji kwa njia kubwa zaidi namna gani ninaweza kusaidia ndugu na dada wenye kufungwa katika gereza ninaheshimia ndoa mupango wa mungu ninaweza kufanya nini ili nitosheke kabisa namna gani ninaweza kumutegemea yehova zaidi namna gani ninaweza kutii kabisa wale wenye kuongoza tukifanya mabadiliko katika mambo hayo sita andiko letu la mwaka halitakuwa tu alama katika jumba la ufalme lakini litatuchochea kutii maneno haya ya mutume paulo upendo wenu wa kindugu na uendeleewaebrania 131 ^ [1] (fungu la 9) ili kujua namna mashahidi wa yehova wanaonyesha upendo wa kindugu wakati wa misiba soma munara wa mulinzi wa tarehe 15 mwezi wa 7 2002 ukurasa wa 89 na kitabu mashahidi wa yehovawapigambiu wa ufalme wa mungu sura ya 19 upendo wa kindugu upendo wenye nguvu ao upendo muchangamufu kati ya watu wa familia ao kati ya marafiki wa sana sisi mashahidi wa yehova hatujiite tu ndugu na dada lakini tuko ndugu na dada
2018-02-25T22:31:58
https://www.jw.org/swc/vichapo/magazeti/munara-wa-mulinzi-gazeti-la-funzo-15012016/Upendo-wa-kindugu-na-uendelee/
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by kijakazi aug 10 2012 moja kati ya vitu nilivyogundua katika utafiti wangu ambao ulinichukua katika nchi mbalimbali za kiafrika zilizo chini ya jangwa la sahara (project) ni kwamba katika nchi zote hizo nimegundua kwamba tanzania ndio nchi pekee ambayo ina nafasi kubwa sana ya kupiga hatua kubwa mbele ya kimaendeleo ukifananisha na nchi nyingi kama sio zote nitaelezea kwa nini na mimi nilijikita sana ktk maswala ya mawasiliano tulipokuwa nigeria tulisafiri sehemu kubwa ya nchi na tumegundua kwamba lugha ya mawasiliano ktk nchi hiyo ni kiingereza lakini ni chini ya asilimia 20 ya watu wa nchi hiyo wanaweza kuitumia hiyo lugha na kati hao wengi wanatumia kitu wanaita pidgin english kwa hiyo kama ukija kwenye english proper namba inashuka zaidi chini ya hapo nikaenda ghana nako stori ni hiyo hiyo uganda nako nikapata kama asilimia 8 kenya nako ni chini ya asilimia 10 sasa nataka kusema nini ni kwamba hizi nchi zote ikumbukwe kwamba lugha ya taifa ni kiingereza kwa maana kama hujui hiyo lugha you are cut off kabisa kwenye real economy au shughuli za kiuchumi ina maana huwezi kufungua akaunti benki kwa maana fomu ni kiingereza huwezi elewa mbunge wako anaongea nini bungeni kwa maana anatumia kiingereza bungeni huwezi kosoma gazeti na kujua nini kinaendelea kwa kifupi hali ya maisha kwa mtu wa kawaida ni mbaya sana na nimegundua kwamba mtu wa kawaida hata hajui nini kinaendelea nchini mwake kwa sababu hawezi kupata habari (access of information) mfano mdogo uganda tulifika mji unaitwa mbarara tukiwa pamoja na mganda tuliyetoka naye kampala (mji mkuu) lakini cha ajabu ili tuweze kuwasiliana na kufanikisha kazi ilibidi tutafute mtu ktka mbarara anayejua kiingereza na lugha ya hapo ili aweze kutafsiri yaani huyu mganda mwenzetu hakuweza kuwasiliana na waganda wengine ambao hawajui kiingereza na hali hapa tanzania ni tofauti kabisa utafiti ulikwenda vizuri tumefika mpaka vijijini watu wengi sana na ilinishangaza wanauelewa mkubwa sana kuhusu nini kinaendelea (kulinganisha na nchi zingine) wanasikiliza bunge wanaelewa mbunge wao anaongea nini anaweza akajaza fomu ya benki anaweza kuandika barua na kuendelea kwa kifupi hata mafanikio ambayo chadema inayapata leo yasingewezekana katika nchi ambazo tumepita kwani ni ngumu sana kufikisha ujumbe na hivyo watu kubakia tu kushabikia kikabila badala ya sera hayo ndio moja ya matokeo ya project yangu hakuna utafiti wowote uliofanya ni ngonjera tu mimi nimeishakaa ghana kwa muda wa kutosha literacy rate yao ni kubwa kushinda ya tz kiingereza wanakimudu sana kwa sababu kinafundishwa vizuri toka shule ya msingi kwa hiyo mtoto wa shule ya msingi wa ghana anaweza kuongea kiingereza kumshinda msomi wa chuo kikuu wa tz kwa uganda ukweli ni kwamba lugha ya mawasiliano inayowaunganisha si kiingreza bali luganda (lugha ya kabila la baganda) makabila mengine yanelewa na kuongea luganda kwa kiasi kikubwa hata uganda mtu yeyote aliyepitia shule kidogo anaelewa na kuongea kiingereza cha kuridhisha si ajabu kuingia vijijini na kukuta bibi kikongwe anaongea kiingreza tena kwa kujiamini sasa hoja yako kuwa tz ndiyo ina nafasi kubwa ya kupiga hatua kuliko wengine haina mashiko kama umeingia duka la vitabu lolote siku za karibuni utagundua kuwa kuna vitabu vichache sana vya maarifa mbali mbali vilivyoandikwa kwa kiswahili hiyo elimu na maarifa yanahamishwaje kama haviko kwenye maandishi/vitabu na hapo sijaongelea uvivu wa watz wa kusoma ni ajabu hata wasomi wa chuo kikuu wana allergy na vitabu huu ndio ukweli watoto wa nyerere hatutaki tuache propaganda nashukuru sana kwa kusema ukweli
2016-12-07T08:36:58
http://www.jamiiforums.com/threads/matokeo-ya-utafiti.306077/
asia bibi mkristo aliyefutiwa adhabu ya kifo nchini pakistan 'kwa kuukashifu uislamu' bbc news swahili https//wwwbbccom/swahili/habari46046405 image caption asia bibi alifungwa mwaka 2010 baada ya kushutumiwa kumkashifu mtume muhammad mahakama ya juu zaidi ya pakistan imebatilisha hukumu ya kifo kwa mwanamke mmoja wa kikristo aliyekutwa na hatia ya kuikashifu dini ya kiislamu mahakama hiyo imeamuru kuachiwa huru kwa mwanamke huyo katika kesi ambayo imeigawa nchi mapigano ya waandamanaji hao na polisi yaliripotiwa image caption maandamano yamefanyika katika maeneo mbalimbali nje ya mahakama hiyo katika mji mkuu wa islamabad kuna kizuizi cha polisi na wanajeshi ambao wamejipanga kuwazuia waandamanaji hao kuingia ndani jaji mkuu saqib nisar ambaye alisoma hukumu hiyo alisema asia bibi anaweza kuachiwa huru kutoka gereza la sheikupura lililokuwa karibu na lahore ikiwa hatahusishwa na kesi nyingine yeyote mwanamke huyo hakuwepo mahakamani kusikiliza hukumu yake lakini hakuamini maamuzi hayo yaliyotolewa dhidi yake alipoelezwa akiwa gerezani siamini ninachokisikia kuwa nitaweza kutoka sasa kweli kabisa wataniachia huru shirika la habari la afp lilimnukuu akisema hayo kupitia njia ya simu trump adai pakistan imeihadaa marekani muda mrefu mahakama kuu ilisemaje majaji walisema kuwa mashtaka yaliyotolewa hayajajitosheleza kuthibitisha suala hilo kesi hiyo ilikuwa ina ushahidi mdogo walisema kuwa hakukufuatwa utaratibu katika kufuatilia kesi hiyo inasemekana tu kuwa mshtakiwa alikiri mbele ya kundi la watu wengi waliotaka kumuua hukumu hii ambayo imeangalia koran na historia ya dini ya kiislamu iimalizika na nukuu kutoka kwa hadithi inayosema kuwa mtume muhammad alitaka usawa kwa hata wale ambao sio waislamu kwa nini kesi hii imezua makundi uisilamu ndiyo dini ya taifa la pakistan na umeathiri pakubwa mfumo wa kisheria wa nchi hiyo uungwaji mkono wa sharia za kudhibiti kukashifu dini ni mkubwa baadhi ya wanasiasa wenye msimamo mkali wamekuwa wakipigia chapuo adhabu kali zitolewazo kwa watu wanaokutwa na hatia ya kukashifu dini kama njia ya kujinufaisha kisiasa wakosoaji wengi wanasema sharia hizo mara kadhaa zimekuwa zikitumika kulipiza kisasi baada ya malumbano binafsi na hukumu zimekuwa zikitolewa kwa kutegemea ushahidi finyu jamii ndogo ya wakristo imekuwa ikilengwa na kushambuliwa kwa tuhuma za kukashifu uislamu na wakristo wengi wamekuwa wakilalama na kuishi kwa hofu ya kubambikiwa kesi hakuna mtu ambaye amenyongwa na serikali kwa kutumia sharia hizo lakini baadhi ya watu wameuawa mitaani na watu waliojichukulia sharia mkononi baada ya kutuhumiwa kuukashifu uisilamu asia bibi ambaye ni mzaliwa wa mwaka 1971 na mwenye watoto wanne ndio mwanamke wa kwanza kuhukumiwa kifo kwa mashtaka hayo nchini pakistan hukumu yake ya wali ilipingwa vikali kimataifa kuwa ni kinyume cha haki za binadamu kuna hofu kubwa kuwa asia bibi na familia yake wanaweza kushambuliwa na watu wenye hasira kali baada ya kuachiwa huru tayari kuna nchi kadhaa ambazo zimejitolea kumpa hifadhi yeye na familia yake na inategemewa kuwa watakubali kuihama nchi yao binti yake eisham ashiq alishawahi kuliambia shirika la habari la afp kuwa endapo ataachiliwa huru nitamkumbatia na nitalia kukutana naye na pia nitamshukuru mungu kwa kuwezesha kuachiliwa huru familia hiyo tayari imeshaeleza juu ya hofu yao na mipango ya kuikimbia pakistan
2019-12-11T01:22:54
https://www.bbc.com/swahili/habari-46046405
chadema yafungua milango kwa wagombea | politiksi kurunzini home habari politiksi chadema yafungua milango kwa wagombea seriajr tw wednesday may 06 2015 habari politiksi edit hatimaye chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kimefungua milango kwa wanachama wake wenye sifa za uongozi kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa kugombea wa udiwani ubunge na urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu akizungumza na waandishi wa habari leo katibu mkuu wa chadema dk willibrod slaa amesema mwanachama aliye tayari ajitokeze kuchukua fomu hizo kwa kuzingatia makubaliano ya ushirikiano wao na vyama vinavyounda kundi la umoja wa katiba ya wananchi (ukawa) vya cuf nccrmageuzi na nld ratiba ya chadema imejikita zaidi katika kata na majimbo ambayo hawana wawakilishi dk slaa amesema kuwa mei 18 hadi juni 6 mwaka huu wanachama watachukua na kurejesha fomu za udiwani katika kata ambazo hawana madiwani kutoka kwa makatibu kata/ jimbo na wilaya julai mosi hadi 10 watachukua na kurejesha fomu wagombea katika kata ambazo kuna madiwani wa chadema na kati ya julai 15 hadi 20 itakuwa ni uteuzi wa mwisho wagombea udiwani wa kata pamoja na wale wa viti maalumu chini ya kamati tendaji za majimbo kwa mujibu wa ratiba hiyo mei 18 hadi 25 watachukua fomu wagombea ubunge katika majimbo ambayo chadme haina wabunge kwa sasa pamoja na fomu za ubunge wa viti maalum kutoka kwa makatibu wa majimbo wilaya mikoamikoa na makao makuu julai 6 hadi 10 watachukua na kurejesha fomu za ubunge wagombe katika majimbo ambayo yana wabunge wa chadema kwa sasa huku julai 20 hadi 25 itakuwa uteuzi wa awali kwa wagombe hao dk slaa ameongeza kuwa kuanzia tarehe hiyo ya julai 20 hadi 25 milango ya wanachama wa chadema wanaotaka kuwania kiti cha urais itafunguliwa rasmi makao makuu huku uteuzi wa mwisho wa wagombea ubunge ukifanyika kati ya agosti mosi hadi 8 mwaka huu chini ya kamati kuu tarehe 3 agosti baraza kuu taifa litakutana na mkutano mkuu utafanyika siku inayofuata lakini uteuzi wa mgombea wetu wa urais utazingatia makubaliano ya ukawa amesema dk slaa
2017-10-20T06:50:36
https://arusha255.blogspot.com/2015/05/chadema-yafungua-milango-kwa-wagombea.html
india na pakistan zashambuliana tena | mpekuzi india na pakistan zashambuliana tena wanajeshi wa india na pakistan wameshambulia vituo vya kijeshi na vjiji kwenye mpaka wao wenye shughuli nyingi za kijeshi wa jimbo linalogombaniwa la kashmir katika machafuko mapya licha ya nchi hizo mbili kuongeza juhudi za kutuliza mvutano wanajeshi wa nchi hizo wametuhumiana kwa kuanzisha mashambulizi katika eneo hilo hakuna habari zozote zilizotolewa maramoja kuhusu hasara iliyotokea hofu imekuwa kubwa tangu ndege ya india iliporuka katika anga ya pakistan wiki iliyopita ikifanya kile ambacho india ilisema ni shambulizi dhidi ya wanamgambo waliohusika na mlipuko wa bomu wa kujitoa mhanga februari 14 katika eneo la kashmir linalodhibitiwa na india ambalo liliwauwa wanajeshi 40 wa india katika juhudi nyingine za kutuliza mvutano na india pakistan jana iliwakamata watu kadhaa akiwemo kaka wa kiongozi wa kundi la wanamgambo lililopigwa marufuku la jaish e mohammad ambalo lilidai kuhusika na shambulizi la bomu la kujitoa muhanga kashmir
2020-06-07T00:41:57
http://www.mpekuzihuru.com/2019/03/india-na-pakistan-zashambuliana-tena.html
dk bashiru awaonya wana ccm wanaotapika nyongo na matusi 'whatsapp' 'tutawashughulikia' | malunde 1 blog home » siasa » dk bashiru awaonya wana ccm wanaotapika nyongo na matusi 'whatsapp' 'tutawashughulikia' dk bashiru awaonya wana ccm wanaotapika nyongo na matusi 'whatsapp' 'tutawashughulikia' katibu mkuu wa ccm dk bashiru ally amewaonya wanachama wa chama hicho wanaohamishia mijadala ya chama kwenye mitandao ya jamii akisema watawajibishwa ili kukijenga chama hicho ameyasema hayo leo oktoba 10 2018 wakati akichangia mjadala wa kumbukizi ya miaka 19 bila hayati mwalimu julius nyerere uliofanyika katika chuo cha kumbukumbu ya mwalimu nyerere kilichopo kigamboni jijini dar es salaam huku akiutaja mtandao wa whatsapp dk bashiru amesema miongoni mwa mambo ya kumkumbuka mwalimu nyerere ni dhana ya kujisahihisha huku akiwaonya wanachama wa ccm kupeleka malalamiko kwenye mitandao ya jamii sisi kama chama tumeruhusu mijadala kwenye vikao badala ya kukaa kwenye mitandao ya whatsapp atakayejadili masuala ya chama kwenye whatsapp na akatapika nyongo na matusi tutamshughulikia kwa sababu tunataka kujenga amesema dk bashiru amesema hakuna uhuru wa kudharauliana kusema uongo kuchocheana kudhalilishana kwa kisingizio cha kujadiliana hiyo haipo na mimi ndiyo msimamizi mkuu wa taratibu za chama ujumbe umefika amesema na elias msuya mwananchi
2019-04-19T20:19:00
https://www.malunde.com/2018/10/ccm-bashiru.html
malkiory matiya anakukaribisha katika blogu yake | nukta77 malkiory matiya anakukaribisha katika blogu yake watanzania wanashika kasi katika kushiriki nia na mawazo yao kwenye nyanja mbalimbali zikiwemo za siasa uchumi michezo elimu afya utamaduni imani nk ni kwa sababu hii basi ninayo furaha kujumuika katika dunia ya teknohama kwa njia ya kublogu na kumtambulisha kwenu mtanzania mwenzetu malkiory matiya malkiory anasema kuwa blogu yake itakuwa chachu ya kusemea na kukosoa kile ambacho anaona hakijakaa sawa popote pale katika nchi ya tanzania tafadhali changia mawazo yako huru katika blogu ya makiory kupitia http//wwwmalkiorymatiyablogspotcom malkiory ni mmoja wa rafiki zangu katika google connect & follow tizama hapo mwisho wa blogu utamwona katika ulimwengu wa kublogu malkiory said sat feb 28 093000 pm mst mzee wa changamoto nashukuru sana kwa kunikaribisha jamvini na pia kunikumbusha kuhusu sehemu ya comments huru binafsi ni kama nilihisi kitu kama hicho maana sijawahi kupata commments hata siku mojanaomba nikiri kuwa tekelinalokujia imenipiga chenga kidogo ili kuruhusu open comment doesn it mean that i have to remove word verification naomba ushauri wenu hapo mzee wa changamoto na da subi subi nukta said sat feb 28 093700 pm mst malkiory kuruhusu maoni si lazima kuondoa 'word verification' kwani hiyo ni uchaguzi wako ukiwa umelogin kwenye blogu yako sehemu ya 'settings' kisha 'comments' hapo fanya uchaguzi kadiri unavyotaka kwani mengi ni 'yes' na 'no' na unaweza kubadilisha badilisha vyovyote unavyotaka na kwa wakati wowote kadiri unavyopenda mzee wa changamoto said sun mar 01 052800 am mst asante sana da subi nadhani maelezo yamejitosheleza hapo asante melkiory kwa kusikia kilio chetu na tuko pamoja malkiory said sun mar 01 061800 am mst nawashukuru kwa namna ya pekee subi na mzee wa changamoto kwa kunikaribisha kwenye anga za kublog ila nimesikitishwa na baadhi ya owners mashuhuri wa blog kwa kuiipuuzia ombili langu la kiitambulisha blog yangu nimegundua kuna wapiginga maendeleo wengi tanzania siamini kama ni suala tu la ubize maana baada ya kufuatilia hiyo blog wanapublish mambo ambayo yana umuhimu kidogo katika kulijenga taifa mfano kama blogger unapoipa harusi priorty na ukaminya developemental issues hii inauma sana subi nukta said sun mar 01 091100 am mst malkiory usisikitike sana kuhusu kutokukaribishwa ukatetereka songa mbele alimradi umeshaanza kublogu nawe siku moja utawakaribisha wengi watakaotaka kujifunza kutoka kwako haya yote yanatukumbusha kuwa huku ndiko kujifunza katika utofauti wetu karibu sana malkiory said sun mar 01 095200 am mst nashukuru subi kwa kinipa moyo naahidi kusonga mbele nyuma mwiko/ forward ever backward never mzee wa changamoto said sun mar 01 110200 am mst wanasema serikali ya mtu kichwa chake kama hujagundua ni kuwa wengi wenye kuandika developmental things hawana maoni mengi wala hits za kutisha angali na chunguza phabari ya kupinga vita mauaji ya albino inapata maoni machache kuliko ya mtu anayetoka kichakani kukojoa lakini ndivyo ilivyo na kama kila mtu atakaa bila kuweka jitihada za kubadili hilo hakuna atakayebadilika ni lazima kujitoa kuelimisha jua kwamba wengi wanasoma hata kama hawatoi maoni kwa hiyo wewe fanya lililo muhimu na sahihi na wengine wataanza kubadilika kidogpkidogo na baada ya muda tutabadili fikra toka kwenye upuuzi kuelekea kwenye ujenzi s kila la kheri na sante kwa uwepo na nia yako ya kuwepo ssubi asante saaaana malkiory said sun mar 01 111500 am mst mzee wa changamoto nakubaliana kabisana maoni yako hapo juu nimejunza mengi kwenye hizi blogs japo sibahatika kutembelea zote lakini nimefurahishwa na nukta77 na mwanakijiji kwani wemegusa kwa namna moja au nyingine si viruzi kufanya kazi kwa ushabiki au kutafuta sifa bali tunatakiwa kuijenga tanzania tanzania itajengwa na wachache wenye ari na nia ya kuthubutu naimani ipo siku mambo yatabadilika hivi sasa changamoto tuliyonayo ni namna ya kuwaelimisha watanzania waliopo vijinini ni kwa vipi tutaweza kuwapata hata wafadhili wa kuchapisha gazeti japo moja tu ambayo itakuwa ni ya bure na yenye kubeba mambo mengi yahusuyo maendeleo na vita dhidi ya rushwa na ufisadi
2018-01-20T20:49:39
http://nukta77.blogspot.com/2009/02/malkiory-matiya-anakukaribisha-katika.html
hotuba ya mwanachuoni mkubwa ata bin khalil abu rashtah amir wa hizb ut tahrir kuhusu kuanza kwa mwezi wa dhul hijjah 1438 hijria hizb ut tahrir kenya august 23 2017 views 24 kwa jina la mwenyezi mungu mwenye kurehemu kutoka jarida la uqab toleo 8
2020-04-10T05:55:48
http://hizb.or.ke/sw/2017/08/23/hotuba-ya-mwanachuoni-mkubwa-ata-bin-khalil-abu-rashtah-amir-wa-hizb-ut-tahrir-kuhusu-kuanza-kwa-mwezi-wa-dhul-hijjah-1438-hijria/
mashuka ya kigoma | nunuauzacom buy and sell in tanzania for free mashuka ya kigoma fashion & life style kigoma region ad id 4459 phone 0765422273 cotton na zimefumwa na mikono na uzi
2020-05-30T01:19:38
https://www.tanzaniaonlinemarket.com/2018/09/20/mashuka-ya-kigoma/
fighters of life itazame sasa ile video prezoo alivyoanguka stejini akiwa anapiga show itazame sasa ile video prezoo alivyoanguka stejini akiwa anapiga show
2017-06-25T10:36:29
http://folclassic.blogspot.com/2013/06/itazame-sasa-ile-video-prezoo.html
inama zagufasha gukira igikomere watewe no gupfusha uwo wakundaga igihecom kuya 21 nzeri 2018 saa 0919 kubura uwo ukunda birababaza ndetse bikagorana kubyakira byumwihariko kubera ko uba uzi neza ko udateze kuzongera kumubona na rimwe mu buzima bwawe
2019-07-19T15:10:23
https://igihe.com/abantu/kubaho/article/inama-zagufasha-gukira-igikomere-watewe-no-gupfusha-uwo-wakundaga
written by bigie on saturday march 10 2018 | 20300 pm siku moja wakiwa wanacheza na pacha wake ambaye naye nilimfundisha kuishi na ndugu yake akitaraji kuwa kuna siku atakuwa mzima tena na kucheza naye kama mtu mwenye akili japo kwa uangalifu mimi nikiwa jikoni napika alikimbia kareen jikoni akipiga kelele kuwa karitta ameita mama nilimbishia kareen halafu nikajistukia kuwa kwanini nambishia mtoto wakati hilo ni jambo tumekuwa tukimuomba mungu na kuamini kuwa litatokea nilienda sebuleni na kujaribu kumuhamasisha karitta aite tena huku nikiwa sina matumaini kwani mara ya kwanza alisema mara moja tu na hakuwa amerudia tena mpaka baada ya miezi mitatu cha kunishangaza aliita tea mama kabla hata sijamlazimisha muda mrefu huwezi elewa furaha niliyoipata siku ile nilitoa machozi ya msisimko niliona kama mungu amenijibu kwa haraka kuliko niilivyotarajia nafsi yangu iliinuka kwa upya imani yangu kwa mungu ikaongezeka karitta alianza kutamka neno moja moja kuanzia wakati huo tukaanza kumfundisha kusema kama ambavyo mtoto hufundishwa kareen alinipa ushirikiano mkubwa katika kumsaidia dada yake kipindi hicho wakiwa na miaka sita kuelekea saba ndani ya kipindi cha mwaka mmoja na nusu baadaye mwanangu aliweza kuzungumza vizuri ingawa si kwa haraka na hakujua maneno yote lakini kwangu huo ulikuwa muujiza mkubwa sana pia aliweza kutembea mwenyewe kwani tulimuanzishia mazoezi ya kutembea kabla hata hajaanza kusema na namshukuru mungu miguu ilikaza na akaweza kutembea vizuri mpaka sasa ni miaka saba imepita tangu binti yangu augue lakini ugonjwa wake umebaki ni ushuhuda kwa muonekano hana tena tofauti na watoto wengine na ingawa amezidiwa maradasa mawili na pacha wake lakini anafanya vizuri sana darasani na amerudi kwenye uchangamfu wake wa awali zaidi sana katika kipindi kigumu sana nilichopitia cha kumuuguza mwanangu nimejifunza kuwa mama ni nini hasa wengi tunatamani kuwa na watoto mara tu tuingiapo kwenye ndoa zetu na wengine huthubutu kutaka watoto hata pasipo kuwa na ndoa mara kadhaa tumewauliza au kuwazungumza kwa pembeni au hata kuwahurumia wale wasio na watoto imeonekana kama ni sheria kila mtu kuwa na mtoto maadamu ameoa au ameolewa vijana wa sikuhizi wameona fahari kuzalisha na wamefurahia kuwaweka watoto wao kwenye mitandao ya kijamii na kujisifia juu yao jambo moja wengi wetu hatulijui kwamba watoto sio tu zawadi inayotolewa na mungu bali pia ni jukumu mungu anapokupa mtoto uwe baba au mama yake hakupi tu kiumbe bali hukupa nafsi hai hakuna mtengenezaji wa gari anayetengeneza gari zuri asijue ni kwanini amelitengeneza trekta limetengenezwa kwa ajili ya kufanya kazi za shambani kama kulima na kupalilia na ni kulikosea heshima yake ikiwa utanunua trekta ulitumie kuendea ofisini mungu anapokupatia mtoto anajua na kusudi la kumuumba huyo na anatarajia wewe mzazi umsaidie kuishi sawa na ambavyo muumba wake anataka kuna wazazi wengi tutaulizwa habari za watoto wetu mbele ya haki tusiwe na cha kujibu tunawekeza katika kuwafurahisha watoto tunawekeza katika kuwapa elimu bora yote ni mema kabisa lakini ni misingi gani tunaitengeneza kwa ajili ya maisha yao ya kiroho ni kiasi gani tunawalea watoto ili waje kuwa wake na waume bora kwa wenzi wao ni namna gani tunawasaidia kuwa na tabia zinazokubalika katika jamii sijui kama umewahi kufikiri endapo utakufa ghafla mwanao akiwa umri wa miaka 12 13 au chini ya hapo au umri wowote wa kulelewa je ataishi na watu na kupendwa ni rahisi kumwambia binti wa kazi afanye kila kitu kwa ajili ya mwanao na ukafurahi kuwa mtoto anapata muda mzuri wa kucheza kusoma na kuangalia katuni lakini kumbuka kuwa huyo mtoto akilelewa na mtu mwingine kitakachomfanya apendwe sio katuni na elimu bali tabia njema na maadili leo hii tumekuwa wazazi ambao muda pekee tunaowapa watoto wetu ni siku za wikiendi kwenda nao ufukweni hatuna muda wa kujua mambo ya ndani ya watoto wetu hatuna muda kuchunguza na kujua siri za mioyo yao wengine tumethubutu kuwapeleka shule za bweni wakiwa katika umri mdogo na hatuna habari nini hasa kinaendelea wakiwa huko mashuleni tunatengeneza kizazi kisichojua umuhimu wa mahusiano na familia kwa kuwapa watoto simu katika umri mdogo na kuwaruhsu kuwa bize na mitandao ya kijamii michezo ya kompyuta katuni na vipindi vya televisheni hatuna muda wa kufanya ibada na watoto wetu hatuna muda wa kuwa na mazungumzo ya kifamilia kutaniana na kucheka wakiwepo hatuna hata muda kukaa nao kwa ukaribu na kujenga urafiki nao na tunadhani kwa kuwambia tu tunawapenda na kuwanunulia wanachohitaji tutawaonyesha upendo watoto wengi wametafsiri upendo wa mzazi kama kupewa kila anachotaka kwa mzazi jambo ambalo si sahihi hata kidogo hatuwapi nafasi kujifunza kuwa kuna wakati dunia itakupa mahitaji yako ila kuna wakati itakunyima hatuwapi fursa ya kuona kuwa kuna sababu njema ya kutopata kila unachotaka tunajenga kizazi kisichojua kujitafutia kizazi kisicho na uvumilivu wa maisha na kizazi kisichojua maana halisi ya upendo tunadhani katika umri mdogo watoto hawaelewi maisha ni nini bila kujua chini ya miaka mitano ndio umri ambao mtoto hujifunza maana halisi ya maisha kila ninapomuangalia karitta wangu simuoni kama tu mtoto namuona ni mtumishi mkubwa wa mungu ambaye mungu amenipa fursa kubwa ya kumsimamisha katika misingi impasayo lakini hii haimfanyi kuwa bora kuliko kareen kwa namna yoyote ile endapo nitashindwa kumsaidia kareen kuelewa kuwa thamani yake ni sawa kabisa na ya pacha wake ingawa yeye hakuumwa nina cha kujibu pia mbele za mungu kwa sababu tofauti kuna wazazi wameonyesha upendeleo kwa watoto wao wengine dhidi ya wenzao hivyo kuwasabishia watoto chuki kati yao wamewafanya watoto wakue katika kutojiamini na hivyo kutoonyesha karama au thamani zilizo ndani yao sababu tu wenzao wameonekana bora kuliko wao kila mtoto ni tofauti na mwenzake mmoja kuwa na kipaji fulani kinachoonekana haimfanyi kuwa bora kuliko yule ambaye huenda mpaka anakua hujajua kipaji chake wengine vipaji vyao vimesitirika ila vinahitaji kujengewa kujiamini zaidi ili vionekane hata akili za darasani ni tofauti kwa kila mtoto lakini mwingine akipaliliwa vizuri huwa bora katika eneo fulani na atangaa kama nyota katika eneo hilo hakuna mtoto yeyote anayepaswa kuonekana bora kuliko mwenzake kwani hakuna mtoto aliyepatikana kwa bahati mbaya kila mmoja hangezaliwa endapo mungu asingekuwa na kusudi naye haijalishi ni mtoto wa kiume wa pekee wa kike wa mwisho au vyovyote vile kama mzazi daima usimfanye mtoto kuwa bora kuliko mwenzake au wenzake kwa namna yoyote ile huo ni mwiba unaupanda na utakuja kukua na kukuchoma wewe mwenyewe pamoja na watu wengine ni vema kila mzazi ajifunze na hili ndio ombi langu kubwa kwako mzazi na mzazi mtarajiwa jifunze kuwa baba jifunze kuwa mama mama sio tu yule aliyebeba mimba miezi tisa na kuzaa wala baba siye yule tu aliyempa mimba mwanamke na kumzalisha kuwa mzazi ni kuwajibika kuwajibika kwa mahitaji ya mwanao kama ambavyo sote hufanya lakini zaidi sana kuwajibika kwa tabia za mwanao mfanye mtoto wako kuwa mke mwema wa mtu atakayemuoa au mume mwema kwa mwanamke fulani mfanye pia kuwa baba au mama bora kwa atakaowazaa anza jitihada za makusudi za kutengeneza watu sahihi katika jamii yetu ifanye jamii kuwa mahali salama zaidi kwa kuanza kuwekeza katika tabia za mtoto au watoto ambao mungu anakupa neema ya kuwa mama au baba kwao usifanye haraka kutaka kuwa na mtoto ukiona fahari tu ya kuanza kuitwa baba au mama mapema eti sababu umri unasogea basi utafute tu kuzaa watoto au mtoto unayetaka kumzaa anahitaji upendo wa baba na mama yake kwa usahihi usimnyime haki ya kuwa na wazazi wake wote wawili kwa haraka ya kuzaa (vinginevyo labda mungu aamue kumnyima kulelewa na mzazi/wazazi) na mwisho ninawashukuru nyote mliofatilia na kujifunza kutokana na simulizi langu
2018-06-22T22:36:09
https://www.habari24.com/2018/03/nguvu-ya-dhaifu-sehemu-ya-04-simulizi_10.html
maisha wizara ya fedha na mipango yahakiki wastaafu mkoani dodoma wazalendo 25 blog home » habari » jamii » lifestyles » maisha » matukio » news » maisha wizara ya fedha na mipango yahakiki wastaafu mkoani dodoma maisha wizara ya fedha na mipango yahakiki wastaafu mkoani dodoma
2017-08-17T17:19:34
https://wazalendo25.blogspot.com/2016/11/maisha-wizara-ya-fedha-na-mipango.html
canada wanaoishi wage binafsi sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi canada wanaoishi wage binafsi ukosefu wa ajira kiwango cha 560 550 1310 290 asilimia [+] walioajiriwa watu 1918940 1915910 1918940 963670 elfu [+] watu wasio na ajira 113380 112440 174890 69150 elfu [+] sehemu muda ajira 730 120 13630 12790 elfu [+] muda ajira 3760 3570 14840 14510 elfu [+] ajira lugha 3030 3450 9960 12480 elfu [+] nguvu kazi kushiriki kiwango cha 6550 6550 6770 6140 asilimia [+] kiwango cha ajira kwa vijana 1030 1030 2070 1020 asilimia [+] tija 10679 10692 10692 6726 pointi [+] kazi gharama 11079 10995 11079 4375 pointi [+] mshahara 2632 2635 2635 1373 cad / saa [+] mishahara katika viwanda 2692 2739 2739 1496 cad / saa [+] si farm payrolls 1712350 1705860 1712350 1086380 elfu [+] kukuza uchumi mshahara 400 350 550 040 asilimia [+] adp ajira lugha 720 2590 11000 3700 elfu [+] wastani kima mapato 2940 2920 2940 1588 cad [+] kiwango cha ajira 6180 6180 6370 5600 asilimia [+]
2020-04-07T23:33:55
https://sw.tradingeconomics.com/canada/living-wage-individual
habari online na elimtaa tztownblogspotcom tztown tv salamu sa pasaka kutoka kwambunge wenu kipenzi
2017-12-18T12:45:46
http://eliabu.blogspot.com/2017/04/tztown-tv-salamu-sa-pasaka-kutoka_59.html
mjadala wa kina kuhusu ubia baada ya mwaka 2015 waanza um | habari za un msisitizo mwingi umeelekezwa kwenye kujenga ubia mpya katika ngazi ya kimataifa bila shaka hilo ni muhimu lakini kuna mengi ya kuzungumzia ambayo yanaweza kuimarishwa kupitia ngazi ya kitaifa na kikanda ambako kuna mambo mengi ya kufanyika na hatua za kuchukuliwa ili kujenga uwezo mpya viongozi wa dunia na wadau wengine wako katika fursa nzuri wakati huu tunaunda ajenda ijayo ya dunia hii ni fursa ya kuweka dunia yetu katika mwelekeo ambao ni wa mabadiliko wenye usawa na endelevu africa|americas|asia|economic development|europe|general assembly|habari za wiki|middle east|women children population mkutano mkuu wa um juu ya athari za mizozo ya uchumi na kifedha duniani waanza rasmi makao makuu viongozi wa dunia wamekusanyika kweny um kujadili mdg's
2018-02-20T19:09:58
https://news.un.org/sw/story/2014/04/376962-mjadala-wa-kina-kuhusu-ubia-baada-ya-mwaka-2015-waanza-um
mtaalam wa semalt anafafanua spammers ya juu ya dunia 10 2017 kwa wewe kukaa salama mamilioni wa watumiaji wa intaneti wanajali kuhusu spam kila siku kwa mtu mwenye habari vizuri barua pepe yoyote mpya katika kikasha inakaribishwa kwa busara takwimu zinaonyesha kuwa spam imeenea kwa njia ya barua pepe mnamo novemba 2016 ujumbe wa spam ulifikia asilimia 6166 ya trafiki ya barua pepe duniani kote hii ina maana ya barua pepe za barua pepe za spam za bilioni 82 zilizunguka dunia kwa siku novo modelo da ray ban inaweza kukushangaza kwamba karibu asilimia 80 ya spam huzalishwa na kikundi kidogo cha makundi magumu ya msingi ya spam frank abagnale meneja wa mafanikio ya wateja wa semalt anaelezea wapigaji wa 10 wa juu wa dunia mwaka 2017 ili uwe salama 1 pharmacy ya kanada pharmacy ya canada ni pengine jenereta ya spam ya dunia yenye nguvu sana inaaminika kuwa msingi wa ukraine / urusi na hutumia mbinu mbalimbali za botnet na hosting ya kichina ili kuifunga mitandao na kueneza 'pharma spam' katika mamilioni ya spamu hutuma kila siku pharmacy ya canada hujifanya yenyewe kama chanzo bora cha wavulanaji na dawa za kukuza wanaume 2 michael boehm na associates hii ni shirika la muda mrefu la snowshoe spam linalofanya kazi chini ya majina mengi ya kibinafsi na ya biashara inatumia aina mbalimbali za vikoa vya gharama nafuu vya automatiska na ips hosting ips ili kukimbia kiasi kikubwa cha spam spammer hardcore spammer kobeni solutions ni msingi katika florida na anaamini kuwa mpenzikatika uhalifu wa darrin wohl maarufu wa rokso spammer mwaka wa 2014 yair shalev aliamuru kulipa $ 350000 kwa faini na shirikisho la biashara la shirikisho (ftc) katika suti iliyomunganisha kupeleka barua pepe za barua taka kwa watumiaji wakati wa kukamilisha obamacare katika barua pepe alikuwa amewaonya wapokeaji kwamba ikiwa hawakufafanua kiungo kilichotolewa mara moja kununua mpango wa bima watavunja sheria 4 dante jimenez wa aiming invest spammer hii inafanya kazi na baadhi ya spammers mbaya zaidi pamoja na washirika wake dante hutumia seva zilizopigwa na wastaaji wa maovu katika ulaya ya mashariki kutekeleza spotming kubwa ya botnet 5 alvin slocombe (huduma za mtandao wa cyber ​​world) alvin slocombe kwa sasa spams kutumia idadi ya aliases ikiwa ni pamoja na brand 4 marketing site traffic network ad media plus ebox na utoaji wa rcmalitajwa kuwa bulletproof host jeshi na maeneo mbalimbali ya ufuatiliaji wa spam na mashirika imedia networks ni mwenyeji wa lindsay aliyepangwa kwa shughuli za spamming inatumia bulletproof hosting kwa waandishi wa habari maarufu wa rokso wateja wa lindsay na imedia networks hutumia zombies za botnet na kisha hushikilia malipo ya malipo ya spam nje ya nchi spammer na kundi lake huiba anwani ya ip nafasi kutoka kwa mashirika kwa muda mrefu na kutumia nafasi hii kwa spam hii cybercriminal ya urusi inajulikana kuwa kati ya spammers mrefu zaidi ya uendeshaji utaalamu wake unaandika na kuuza spamware na upatikanaji wa botnet pia anashukiwa kushiriki katika kujenga na kutolewa trojans na virusi severa ina ushirikiano na spammers nyingi za marekani na mashariki ya ulaya alikuwa mpenzi wa alan ralsky aliyehukumiwa na spammer wa marekani kulingana na kuaminika kukimbia kutoka huntington beach usa rr media ni jeshi la juu la spam ambalo hutumia majina tofauti kutekeleza shughuli zake za spam matatizo yake yaliyoandikwa ni pamoja na kutumwa kwa barua pepe zisizoombwa kutoka kwa watoto wanaowavutia wakiwa pombe na kamari michael alihukumiwa mwezi februari mwaka huu baada ya kupatikana kuwa anahusika na udanganyifu wa waya wa shirikisho kupitia shughuli zake za spamming hati ya mashtaka imesema kuwa spammer hii ilitumia spamming ya snowshoe (kwa kutumia domains nyingi na ips) kutuma mamilioni ya barua pepe za barua taka juu ya mitandao angalau 9 10 fedha za yambo shirika la aina hii la spam linahusika na kila aina ya spamming inakabiliwa kwenye seva za umma huwachukua na kuwatekeleza ili kukuza programu bandia na dawa na hata kusambaza picha za ponografia za watoto wachanga na wanyama spammer kiukreni pia anadai kutoa huduma za kifedha pamoja na kupanda kwa spam na spammers kutumia mbinu zaidi ya kisasa kama vile botnets kila mtumiaji wa mtandao anahitaji kuwa makini sana wakati wa mtandao ni vyema kuendeleza na kudumisha kiwango cha wasiwasi wakati wa kufungua barua pepe mpya tangu wengi wa barua taka hutumwa kupitia barua pepe hutaki kuathiriwa yoyote ya hapo juu au spammers nyingine yoyote
2018-09-22T20:39:02
http://nadiadigilov.com/mtaalam-wa-semalt-anafafanua-spammers-ya-juu-ya-dunia-10-2017-kwa-wewe-kukaa-salama
michuzi blog rc makonda azitaka taasisi na mashirika ya umma kutumia ttcl ' rc makonda azitaka taasisi na mashirika ya umma kutumia ttcl mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda amezitaka taasisi na mashirika ya umma yaliopo chini ya mkoa wake kuiunga mkono kampuni ya simu ya kizalendo tanzania (ttcl) kwa kuanza kuzitumia bidhaa za kampuni hiyo hasa kwenye shughuli za mawasiliano ili kuonesha uzalendo kwa vitendo makonda ametoa kauli hiyo leo makao makuu ya ttcl jijini dar es salaam alipokuwa akizinduwa wiki ya huduma kwa wateja wa kampuni ya ttcl huku akiahidi kuzishawishi taasisi na mashirika ya umma yanayofanya kazi chini ya utawala wake kuhakikisha wanatumia huduma za ttcl ili kuiunga mkono kampuni hiyo ya kizalendo ya mawasiliano alisema serikali imeonesha nia njema ya kuirejesha ttcl katika hali nzuri baada ya kuirejesha kwa asilimia 100 chini ya umiliki wake hivyo kuyataka mashirika na taasisi za umma kuunga mkono juhudi za rais wa tanzania dk john pombe magufuli kuirejesha kampuni hiyo chini ya umiliki wa serikali kwa asilimia 100 alisema yete kama kiongozi wa mkoa wa dar es salaam atahakikisha ofisi zote za umma zilizopo chini ya mkoa wake zitatumia huduma za ttcl na endapo watendaji wa ttcl sinazosita kutumia watoe taarifa ili yeye ahoji ni kwanini wanapinga agizo hilo kaimu afisa mtendaji mkuu wa kampuni ya simu tanzania (ttcl) waziri waziri kindamba (kulia) na mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda (kushoto) wakigonganisha glasi za mvinyo mara baada ya mkuu huyo wa mkoa kuzinduwa wiki ya huduma kwa wateja wa ttcl leo kwenye duka la huduma kwa wateja na bidhaa za ttcl lililopo makao makuu ya kampuni hiyo jijini dar es salaam mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda akipiga picha na mwenyeji wake huku akionesha alama ya mabadiliko inayotumiwa na ttcl hii alama inayoashiria mabadiliko kama inayotumiwa na ttcl halikadhalika kwa upande mwingine haitofautiani kabisa na alama mojawapo kati ya zile alama za ishara ambapo hiyo ikimaanisha 'time out' (gesture time out sign) sema tu kwa vile hapo imeambatana na maelezo ya khabari husika bila shaka imefahamika kama ya m a b a d i l i k o na si vinginevyo
2017-05-27T10:02:53
https://issamichuzi.blogspot.com/2016/10/rc-makonda-azitaka-taasisi-na-mashirika.html
sehemu ya jamii_kuwatendea wema wazazi wawili na tahadhari ya kuwaasi  9304 haki ya wazazi wawili iko na inaendelea na kukaa nao vyema ni lazima hata kama wao ni makafiri kwani kuwatenda wema haihusiani na kuwa wao ni waislamu uislamu umeonya juu ya kuteta na wao maonyo makali ukafanya kuteta na wazazi wawili ni miongoni mwa makubwa ya madhambi makubwa baada ya kumshirikisha mwenyezi mungu aliyetukuka bali ulifadhilisha kuwatumikia wazazi wawili juu ya kupigana jihadi katika njia ya mwenyezi mungu ambako ndio kilele cha uislamu wazazi wawili wanayo haki kubwa kutoka kwa watoto wao kama walivyo na haki watoto kutoka kwa wazazi wao mwenyezi mungu (subhaanahu wa taala) ameweka wazi kabisa haki za pande zote mbili mwenyezi mungu hakuwaachia wanadamu wajipangie wenyewe haki zao bali yeye mwenyewe amechukua jukumu la kuwapangia kila moja haki yake ili asipatikane na upungufu au dhulma katika kugawa hizo haki wazazi wana nafasi kubwa katika dini ya kiislamu wao ndio sababu ya kupatikana mtoto baada ya kuvumila na kusubiri juu ya shida nyingi kisha kuzaliwa mtoto kwa kuvumilia kwao na kusubiri juu ya shida zote wamepata cheo kikubwa mbele ya mwenyezi mungu (subhaanahu wa taala) enyi waja wa mwenyezi mungu mazungumzo yetu ya leo yataambatana kuhusu haki ambayo amelinganisha mwenyezi mungu (subhaanahu wa taala) haki hiyo na haki yake katika maneno mengi katika kitabu chake kitukufu nayo ni haki ya wazazi wawili jueni kwamba mafungamano makubwa baina ya mja na mola wake ni kuumcha mwenyezi mungu (subhaanahu wa taala) na kusimamia haki za wazazi na kusimamia haki za waja wake قال تعالى) وَاعْبُدُوا اللَّهَ وَلَا تُشْرِكُوا بِهِ شَيْئًا وَبِالْوَالِدَيْنِ إِحْسَانًا وَبِذِي الْقُرْبَى وَالْيَتَامَى) [النساء 36] {{mwabuduni mwenyezi mungu wala msimshirikishe na chochote na wafanyieni wema wazazi wawili na jamaa na mayatima}} jueni waja wa mwenyezi mungu kwamba kuwafanyia wema wazazi wawili ni wajibu hata kama ni makafiri imepokewa na asma amenijia mamangu na yeye ni mshirikina nikamshauri mtume (swalla llahu alayhi wasallam) kwa kumkata akasema mtume (swalla llahu alayhi wasallam) [mfanyie wema mamako] wema kwa wazazi haukatiki hata kama watakuamrisha kumkufuru mwenyezi mungu na kumshirikisha قال تعالى) وَوَصَّيْنَا الْإِنْسَانَ بِوَالِدَيْهِ حَمَلَتْهُ أُمُّهُ وَهْنًا عَلَى وَهْنٍ وَفِصَالُهُ فِي عَامَيْنِ أَنِ اشْكُرْ لِي وَلِوَالِدَيْكَ إِلَيَّ الْمَصِيرُ14 وَإِنْ جَاهَدَاكَ عَلى أَنْ تُشْرِكَ بِي مَا لَيْسَ لَكَ بِهِ عِلْمٌ فَلَا تُطِعْهُمَا وَصَاحِبْهُمَا فِي الدُّنْيَا مَعْرُوفًا وَاتَّبِعْ سَبِيلَ مَنْ أَنَابَ إِلَيَّ ثُمَّ إِلَيَّ مَرْجِعُكُمْ فَأُنَبِّئُكُمْ بِمَا كُنْتُمْ تَعْمَلُونَ) [لقمان 15] {{na tumemuusia mwanadamu kuwafanyia ihsani wazazi wake mama yake ameichukua mimba yake kwa udhaifu juu ya udhaifu na kumnyonyesha na kuja kumuachisha kunyonya katika miaka miwili basi unishukuru mimi na wazazi wako marejeo yenu ni kwangu na wazazi wako wakikushurutisha kunishirikisha na yale ambayo huna ilimu nayo usiwatii lakini kaa nao kwa wema hapa duniani}} na mtume wa mwenyezi mungu alitanguliza haki za wazazi wawili kuliko jihadi imepokewa hadithi na abdillah ibn masoud amesema [nimemuuliza mtume wa mwenyezi mungu amali gani ni bora mbele ya mwenyezi mungu akasema swala katika wakati wake akasema kisha ni amali gani akasema kuwafanyia wema wazazi wawili nikasema kisha amali gani akasema jihadi katika njia ya mwenyezi mungu imepokewa na muawiya bin jahim amesema amekuja mtu kwa mtume wa mwenyezi mungu akasema nataka kwenda jihadi na nimekuja kukushauri akasema mtume (swalla llahu alayhi wasallam) je una mama akasema ndio akasema mtume (swalla llahu alayhi wasallam) jilazimishe na mama yako kwani pepo iko chini ya miguu yake na mtume (swalla llahu alayhi wasallam) anaomba kwa aliyepata wazazi wawili au mmoja wao na hakuingia peponi kwasababu yao basi mtu huyu amekhasirika] na visa vya wale watu watatu waliofunikwa na pango na hawakuweza kutoka akasema mmoja wao angalieni amali njema mliyomfanyia mwenyezi mungu mumuombe mwenyezi mungu kupitia amali hiyo huenda mwenyezi mungu akatufariji akasema mmoja wao nilikuwa na wazazi wawili watu wazima na nilikuwa na watoto wadogo na nilikuwa nikiwachungia na ninapokamua nawanywesha wazazi wangu kabla ya watoto wangu nilipokuja jioni na maziwa nimewakuta wamelala nikaona vibaya kuwaamsha pia nikachukia kumtanguliza mtoto wangu kabla yao na mtoto wangu alikuwa akilia na ilikuwa hivyo mpaka alfajiri ewe mwenyezi mungu ukijua tendo langu hilo nikutaka radhi zako basi tufariji mwenyezi mungu akawafariji mpaka wakawa wanaona mbingu na katika kuwatendea wema ni kuwatii maadamu hujakhalifu amri ya mwenyezi mungu na mtume wake amesema mwenyezi mungu (subhaanahu wa taala) قال تعالى) وَصَاحِبْهُمَا فِي الدُّنْيَا مَعْرُوفًا ) [لقمان 15] {{kaa na wao kwa wema hapa duniani}} na haki yao ni kuwapatia matumizi na kuwavisha ikiwa ni maskini na kuwaombea mwenyezi mungu wakiwa hai na baada ya kufa amesema mwenyezi mungu (subhaanahu wa taala) قال تعالى) وَقَضَى رَبُّكَ أَلَّا تَعْبُدُوا إِلَّا إِيَّاهُ وَبِالْوَالِدَيْنِ إِحْسَانًا إِمَّا يَبْلُغَنَّ عِنْدَكَ الْكِبَرَ أَحَدُهُمَا أَوْ كِلَاهُمَا فَلَا تَقُلْ لَهُمَا أُفٍّ وَلَا تَنْهَرْهُمَا وَقُلْ لَهُمَا قَوْلًا كَرِيمًا 23 وَاخْفِضْ لَهُمَا جَنَاحَ الذُّلِّ مِنَ الرَّحْمَةِ وَقُلْ رَبِّ ارْحَمْهُمَا كَمَا رَبَّيَانِي صَغِيرًا) [الإسراء23 24] {{na mola wako amehukumu kuwa msimuabudu yoyote ila yeye tu na kuwafanyia wema wazazi kama mmoja wao akifikia uzee naye yuko pamoja nawe au wote wawili basi usiwaambie hata ah wala usiwakemee na useme nao kwa msemo wa heshima}} imepokewa na ibn umar kwamba yeye akitoka kuelekea makkah alikuwa na punda na kilemba amejifunga nacho kichwani siku moja alikutana na bedui akasema bedui yule kumwambia ibn umar je wewe si mtoto wa fulani ibn umar akasema ndio pale pale ibn umar akampa punda yule bedui ampande na kilemba ajifunge baadhi ya maswahaba wakasema mwenyezi mungu akusamehe umempatia bedui huyu punda ambaye kwamba ulikuwa ukitembea naye na kilemba uliyokuwa umejifunga nacho akasema amesema mtume (swalla llahu alayhi wasallam) [bora ya wema ni kuunga mtu vipenzi vya babake baada ya kuondoka duniani] kubainisha cheo cha kuwatendea wema wazazi wawili thawabu zake na fadhila zake enyi waislamu kuwatendea wema wazazi wawili ni sababu ya kuingia peponi je umepata kujua kisa cha uweis bin annur alqarni huyu ni mtu aliyesimuliwa na mtume kisa chake na akaamrisha maswahaba zake kutaka dua kutoka kwake na kukurubishwa kwa mwenyezi mungu na haikuwa alama yake isipokuwa kuponya hadithi ambayo ameipokea imam muslim inaeleza kuwa umar alijiwa na pote kutoka yemen akauliza jee kuna uweis kati yenu mpaka alipokuja uweis akasema wewe ndio uwes akasema umar jee ulikuwa na ugonjwa wa ukoma ukapona isipokuwa sehemu kama ya shilingi akasema ndio akasema umar jee una mama akasema ndiyo akasema nimemsikia mtume (swalla llahu alayhi wasallam) akisema [atakujieni uweis na pote kutoka yemen na alikuwa na ukoma na akapona ila sehemu ya shilingi na alikuwa mwema kwa mamake akimuapia mwenyezi mungu huwa jambo hilo ukiweza akuombee msamaha] akasema umar niombee msamaha na akamuombea umar msamaha na muhammad ibn sirin alikuwa akinyenyekea anapozungumza na mamake hassan bin ali ibn hussein zeinul abidin alikuwa akimfanyia wema mamake mpaka akaulizwa siku moja kwa nini hatukuoni ukila sahani moja na mamako akasema naogopa kutangulia mkono wangu sehemu ambao kwamba jicho la mama limekwisha kutangulia na hapo nitakuwa nimemuasi na huyu shureyh alikuwa ni miongoni mwa wanazuoni wakubwa alikuwa akiwafundisha wanafunzi wanaokuja kutoka sehemu mbali mbali na mamake alikuwa akimtuma kwa kumwambia awapatie chakula kuku basi husimama na kuacha kufundisha huu ni mfano wa watu wema waliotangulia vipi hali ya barobaro wetu leo huenda mmoja wao kukosea heshima mzazi wake na kumridhisha rafiki yake nakuusieni kuwafanyia wema wazazi wenu na kwenda mbio kuwaridhisha wao ndugu zangu waislamu kuwaasi wazazi wawili ni katika madhambi makubwa baada ya kumshirikisha mwenyezi mungu amesema mtume (swalla llahu alayhi wasallam) [je sikufahamishieni madhambi makubwa tukasema ndio ewe mtume wa mwenyezi mungu akasema ni kumshirikisha mwenyezi mungu na kuwaasi wazazi wawili] imepokewa na ibn umar (radhiya llahu anhu) akisema amesema mtume (swalla llahu alayhi wasallam) [watu watatu hawatoangaliwa na mwenyezi mungu mmoja wao ni mwenye kuwaasi wazazi wake wawili] kuwaasi wazazi wawili kuna namna nyingi kukunja uso unapokabiliana nao kuinua sauti unapozungumza nao kuwakata maneno yao kwa kuwakemea au kuwalazimisha rai yako kwao kuwatizama kwa jicho la dharau kuchelewesha kukidhi haja zao tahadhari kuwatangulizia wasiokuwa wazazi wawili kwa kuwafanyia wema amesema mtume (swalla llahu alayhi wasallam) [hapana dhambi ambayo adhabu yake huletwa kwa haraka kama kukata kizazi na dhulma] imepokewa kisa cha mtu mkubwa alimchukua babake katikati ya jangwa baba akasema wanipeleka wapi mtoto wangu mtoto akasema umenichosha baba akasema unataka nini mtoto nataka kukuchinja umenichosha babangu baba ikiwa hauna budi basi nichinje katika bonde lile mtoto akasema kwa nini baba nimemchinja babangu katika bonde lile lile niuwe na utaona watoto wako watakuuwa katika bonde lile lile ndugu katika imani tujihadhari sana kutowafanyia wazazi wema adhabu yake ni kali sana na ni ya haraka kuadhibiwa hapa duniani na kesho akhera mtume (swalla llahu alayhi wasallam) aliweka wazi suala hili kwa lengo la kumtahadharisha mwanadamu na maangamivu atakayo pata pindi akiwaasi wazazi wake amesema mtume (swalla llahu alayhi wasallam) [hakuna dhambi ambalo mwenyezi mungu anatanguliza kumuadhibu mja wake hapa duniani kuliko kukata jamaa na kumuwekea adhabu nyingine siku ya kiama] waja wa allah rudini kwa allah kwa kumuomba msamaha kwa makosa yote tuliyo mfanyia na tuweke azma ya kuwafanyia wema wazazi wawili kama tulivyo fundishwa na mtume (swalla llahu alayhi wasallam) tunamuomba allah atukubalie ibada zetu na atuwafikishe kufuata kitabu chake na sunna za mtume muhammad (swalla llahu alayhi wasallam)
2020-05-27T05:25:53
https://www.global-minbar.com/sw/kuwatendea-wema-kwa-wazazi-wawili-na-tahadhari-ya-kuwaasi
qn why do women stay married to cheating husbands | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by kimbweka jan 5 2012 is it because of desperation stupidityno self confidencemoney fear or otherwise financial repercussions on their children and religious conviction to stay married is it because of desperation stupidityno self confidencemoney fear or otherwise financial repercussions on their children and religious conviction to stay married click to expand it could be bcoz of some of the above reasons or none at all you forgot one important reason which is bcoz most if not all men are cheaters there is no point leaving your current hubby who is a small time cheater only to fall in the arms of a worse cheater of all times 7 people likes click to expand women are wonderful they believe that one day the husband will change for better they total loose marriage comfidence hahahaha its coz most men will cheat sasa hukiondoka utaolewa mara ngapibasi bora watulie kuliko kuongeza mileage if she leaves him will she remain single wakati mwingine hata hawajui au wanahisi tu kwa sababu baadhi ya wanaume wanacheat responsively pia inawezekana nao pia wanacheatso ngoma droo na katika mazungira hayo kwa nini waondoke it could be bcoz of some of the above reasons or none at all you forgot one important reason which is bcoz most if not all men are cheaters there is no point leaving your current hubby who is a small time cheater only to fall in the arms of a worse cheater of all times click to expand hapo umeiweka vizuri bila kumpigia debe yeyote naamini kuna asilimia kama 1 au 2 hivi ya wanaume ambao hawacheat hawajawahi na wala hawatakaa wafanye hicho kitu hadi kufa hata hivyo ni vigumu sana aisee (kwani wengine wanacheat hata kwa mawazo tu) women are wonderful they believe that one day the husband will change for betterclick to expand this can be one of the major reason nimeipenda hii are we men gonna change sometime eeehnerd na katika mazungira hayo kwa nini waondokeclick to expand yah it can be very true kwamba hao wanawake wanaovumilia wanaume cheaters na wao pia wana cheatit makes sense this explains it at large wonderful words from a wonderful point of view ubarikiwe sn kwa jibu lakoni bora kichaa uliemzoea yaani watu hua wachukulia kuelezea cheating as if it is that simple kwanza hili suala lahitaji mtu ambae yupo/alikuwepo katika ndoa kuliongelea hasa kama yupo so convinced that you can avoid it at all cost black rose you hit the mark na too bad si mda mrefu i gave you a reputation na imenigomea usikonklude kuwa wanaobaki kwenye ndoa na wenza sio waaminifu ni desparate stupid or whatever makuzi yako yanaaffect sana attitude na interpretation kwako wewe cheating ni unforgivable kwa mwingine ni tofauti mfano mmasai mtu na kaka wanashea mke na wanaruhusu kuoa wanawake zaidi ya mmoja mwanamke aliyekulia mazingira hayo hata kama kiuchumi na elimu yuko fit kiasi gani mwanamme kuchieat sio sababu tosha ya kumuacha kwa kifupi yunaingia kwenye ndoa kwa mitazamo tofauti na priorities tofauti kingine wanamme wanacheat si kwamba hawapendi wake zao la hasha wanawapenda sana wanacheat kama kula karanga wakati unasubiri chakula cha usiku hawezi lala bila kula cha usiku ila na akikosa karanga hajali ila akizipata kwa nini asile cko ndoan ila nina uelewa kidogokwanza umetumia maneno mabaya na ya dhaiau snhv unayajua waliyokumbana nayo bibi na mama zetu kwenye ndoa zaounafikiri hawakukumbana nayo hayaje km co uvumilivu wao unafikiri kwa umri wetu tungewakuta na ndoa zaokm co uvumilivu wa mkeo (km umeoa)leo ungeweza kuja kuandika hayana km hujaoa una uhakika hutamkwaza mkeo kwa mambo km haya na akiondoka utamwona ndio mwenye akili kuliko wanaovumiliafikiria upya kauli na mtizamo wakoclick to expand angalia na huyu nae unajikurupukia tu na kuanza kuangusha lawamainaelekea unafikiria kwa ufinyu sana na unaanza tu kulalama ilimradi uonekane umechangie tuuu hapo kilichoandikwa si hitimisho kwamba ni hayo ndio sababu nimeandika kama swali na swali lina majibu mengi sasa wewe unajikurupukia kuanza kulaumu kwamba kuna kudhalilishwa wapi mtu kadhalilishwa fikiri na fahamu sentensi imeandikwa vipi na kwa kutumia alama zipi ndipo uanze kuchangia siyo unajikurupukia tuuuuu ndiyo nyie mnaonza kujibu maswali ya mitiahani bila ya kusoma instructions kwanza katika kuperuzi nemekutana na hii hapa embu tuisome halafu tuendelee kuijadili its very interesting ni moja ya mambo ambayo yamekuwa watu wakijiuliza sana [h=1]why women stay with cheating husbands[/h] we see her on the news in the flash of cameras a welldressed attractive women standing beside her husband as he addresses the media with sad haunted eyes she hears her husband state that he has been unfaithful to her even as we watch in curiosity our hearts go out to them as we secretly thank god that it not us standing at the podium having our dirty laundry aired for all to see infidelity is extremely difficult to deal with when only you and your spouse know about it having the complete world know that your spouse cheated is catastrophic to your selfesteem it is humiliating and degrading divorce seems the only real option to this disgrace he cheated you're leaving that's it months later we're shocked that these same women who were so publicly humiliated have decided to remain with the spouse who cheated and yet many women choose to stay with their husbands try to rebuild their marriages and make them stronger it isn't just women whose lives are in the spotlight women from all walks of life remain in a marriage after a cheating husband has confessed his infidelities there are many reasons for this decision some stay for religious reasons they view marriage as sacred a union sanctified by god others stay for the sake of their children still others make this decision because of the length of years they have spent with their spouse then there are those who have a love deep enough to forgive and go forward together whatever the reasons infidelity is not always an automatic step towards divorce can these women really overcome the pain and humiliation of infidelity will their marriages survive to become a workable partnership once more is there married life after the infidelity the answer to these questions is a surprising yes it will take time and understanding marriage in and of itself is a complicated union two people make promises to each other and begin to live a life together add love and trust to the mix and you have a strong bond between a woman and a man most of these unions are successful in that vows are honored and a common ground for living together is planned and accepted infidelity damages the indelible bond of trust on which all relationships most especially marriage is based if a person chooses to stay with the spouse who cheated there are certain issues to be addressed by both partners the cheating spouse must be truly contrite and make a solid commitment to never again be unfaithful there can be no compromise about this trust can never be completely reinstated and the husband who has broken that trust must understand this fact knowledge of his daily whereabouts is no longer simply a matter of courtesy it is a necessity for his wife's emotional health couples counseling is a must there are many therapists who deal specifically with issues of infidelity and are especially helpful in charting a constructive course for the marriage the cheated on spouse needs to rebuild her selfesteem by taking care of herself emotionally and physically an exercise plan to release feelings of anger and despair a healthy diet will contribute to a feeling of wellbeing individual counseling is also needed whether you choose to go to a spiritual advisor or a therapist for counseling it is a necessary part of the healing process for you you need to understand that his cheating was in no way your fault nor that the other woman was in any way better than you you do not have to forgive acceptance of human frailties is what is needed marriages can be repaired after infidelity time and effort on the part of both spouses need to become part of daily life kindness patience and reassurance on the part of the husband who cheated are expected surprisingly the very same infidelity that has the potential to destroy a marriage can also make a couple realize how close they have come to losing all that is important in their life together it can work to rebuild a marriage that may become stronger for having survived this breach of trust @kimbwekanashukuru kwa kunikosea japo nia yako njema but kwa kugha uliyotumia nadhan haikumaanisha kunikosoa tuasante kwa hiloubarikiwe @kimbwekanashukuru kwa kunikosea japo nia yako njema but kwa kugha uliyotumia nadhan haikumaanisha kunikosoa tuasante kwa hiloubarikiweclick to expand the vice versa applies
2016-12-08T22:19:55
http://www.jamiiforums.com/threads/qn-why-do-women-stay-married-to-cheating-husbands.209335/
mbowe waliomuua akwilina wanajulikana lakini wanataka sisi ndo tufungwe | mpekuzi mbowe waliomuua akwilina wanajulikana lakini wanataka sisi ndo tufungwe mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema freeman mbowe amesema tanzania inapitia kipindi kigumu cha viongozi wa kiserikali kutoheshimu sheria na katiba akizungumza na wandishi leo makao makuu ya chama hicho mbowe amesema kumekuepo na uvunjifu wa sheria kwenye kesi inayomkabili yeye na viongozi wengine wandamizi wa chama hicho huku wakiwa wananyimwa haki zao za msingi tunaheshimu mahakama zetu lakini kinachofanyika hivi sasa sio haki kwetu hii ni kesi ambayo inawahusisha wabunge ambao wanapaswa kuwepo katika majimbo yao lakini kesi imekua ikipelekwa pelekwa tu muda mwingine hadi usiku mawakili wetu walipeleka maombi ya kutaka kesi yetu ipelekwe mahakama kuu kutoka kisutu lakini hakimu amekataa na kulazimisha tuingie kwenye shtaka jambo ambalo wakili mtobesya amekataa kukubaliana nalo na kuamua kujitoa mbaya zaidi hakimu ametaka kesi iendelee kesho amesema mbowe mbowe amesema ubabe unaotumika na dola katika kuwakandamiza wapinzani katika kesi yao uonevu wanaofanyiwa katika chaguzi zinazoendelea utishwaji wa viongozi wao kutoka kwa viongozi ambao wanasaidiwa na polisi utapelekea kutokea kile kinachoendelea nchini uganda tunaheshimu mahakama lakini inawezekana mahakimu na majaji kutumika kwa kufanya kazi kwa maelekezo na hii lazima tuzungumze ili dunia na watanzania waelewe kwamba hatuoni haki ikitendeka kwa kesi yetu inayosikilizwa na hakimu mashauri na ndio maana hata tulipoomba ajitoe ameendelea kukataa waliomuua akwilina wapo lakini tunatengenezewa kesi sisi ili tufungwe tunasema hatuogopi kwenda jela lakini tunataka tufungwe pale ambapo tuna haki ya kufungwa waue wengine wapige risasi wengine waumize wengine walioonewa ndiyo wanakuwa washutumiwa amesema mbowe
2018-11-17T19:57:04
http://www.mpekuzihuru.com/2018/08/mbowe-waliomuua-akwilina-wanajulikana.html
amiri wikipedia kamusi elezo huru amiri au emir (ar ‏امير‎ amīr au tur emir) ni cheo cha mtawala mwislamu anayesimamia emirati kiasili maana yake ni mwenye amri kama cheo cha kijeshi au kiserikali katika miaka ya kwanza ya uislamu amiri alikuwa mkuu wa jeshi au sehemu ya jeshi baada ya kutwaa nchi alikuwa na nafasi kama gavana ya khalifa kutokana na upanuzi wa himaya ya kiislamu na ushaifu wa serikali kuu amiri aliweza kutawala mara nyingi kama mfalme mdogo lakini kwa kawaida alitafuta kibali cha khalifa cheo cha kihistoriaedit cheo hiki kilipatikana kwa maumbo mbalimbali kama amir almuminin („mkuu wa waumini) ilikuwa cheo cha heshima kwa makhalifa tangu umar hadi leo ni cheo kimoja cha sultani wa moroko amir alumara („amiri wa maamiri) ilikuwa cheo cha jemadari mkuu wa jeshi la waabasiya baadaye katika milki ya osmani ilikuwa cheo cha gavana wa jimbo kubwa amir albahr (‏امير البحر‎ „amiri wa bahari) ilikuwa cheo cha kiongozi wa jeshi la maji ikaingia katika lugha za kiulaya kama admiral cheo cha mtawala wa emiratiedit nchi kadhaa zinazotumia jina emirati na cheo cha amiri kama mkuu wa dola ziko kwenye bara arabu mfano ni kuwait na qatar pia nchi zilinazojulikana kwa kiswahili kama falme za kiarabu zinajiita emirati chini ya maamiri amiri wa bahrain alijiita mfalme tangu 2002 worldstatesmen religious organisations see also many present muslim countries rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=amiri&oldid=900430 last edited on 11 machi 2013 at 1637
2019-05-21T09:10:51
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Amiri
bismillahir rahmanir rahim assalaamu alaykum warahmatullahi wabarakaatuh tunamshukuru mwenyezi mungu mtukufu kwa kutuwafikisha kukutana tena katika darsa yetu hii sura ya 10 ya yunus ndiyo tunayoizungumzia kwa sasa na hii ni darsa ya 318 tunayoianza kwa aya za 62 63 na 64 ambazo zinasema jueni kuwa vipenzi vya mwenyezi mungu hawatakuwa na khofu (siku ya kiyama) wala hawatahuzunika nao ni wale ambao waliamini na wakawa wanamcha mungu wao bishara njema katika maisha ya dunia na katika akhera hapana mabadiliko katika maneno ya mwenyezi mungu huko ndiko kufuzu kukubwa katika darsa kadhaa zilizopita tulisoma aya zilizozungumzia hali ngumu ya adhabu watakayokabiliana nayo wale waliokufuru na kumshirikisha allah sw aya tulizosoma hivi punde zinabainisha hali watakayokuwa nayo waumini wa kweli waliomcha mwenyezi mungu ili kwa kulinganisha hali za makundi mawili hayo iweze kufahamika ni ipi njia ya saada na ipi yenye mwisho mbaya utulivu wa roho na kutopatwa na ghamu wala hali yoyote ya huzuni ni miongoni mwa neema kubwa ambazo allah atawatunuku waja wake wema waja ambao kutokana na kujiweka mbali na madhambi na maovu waliweza kujikurubisha kwenye chemchemu ya usafi mema na mazuri yote yaani allah sw na kwa taabiri ya quran tukufu kuingia kwenye kundi la mawalii yaani vipenzi vya mwenyezi mungu ni wazi kuwa nafsi za watu kama hao siku zote humiminikiwa na rehma za bishara njema za mola karima na hivyo katu huwa hawapatwi na shaka ugoigoi au hali ya ulegevu katika kutekeleza majukumu yao ya kidini bwana mtume muhammad saw amesema kimya cha mawalii wa mwenyezi mungu ni dhikri kutazama kwao ni ibra maneno yao ni hikima na harakati zao katika jamii ni sababu ya kupatikana baraka naye imam ali as amesema usije ukamdunisha mtu yoyote yule kwani mwenyezi mungu ameficha mawalii wake miongoni mwa watu hivyo si hasha yule umdunishaye akawa ni mmoja wao na wewe usijue baadhi ya mafunzo tunayopata kutokana na aya hizi ni kuwa yule ambaye moyo wake unamkhofu mwenyezi mungu tu hawezi kumkhofu yeyote mwengine aidha aya zinatuonyesha kuwa imani bila taqwa huwa haina athari muumini wa kweli ni yule ambaye kila wakati anajichunga na kujiweka mbali na maovu na mambo machafu zifuatazo sasa ni aya za 65 na 66 za sura yetu ya yunus ambazo zinasema wala yasikuhuzunishe maneno yao hakika utukufu wote ni wa mwenyezi munguyeye ndiye asikiaye na ajuaye jueni kuwa ni vya mwenyezi mungu vyote vilivyomo mbinguni na ardhini na wala hawawafuati hao wanaowaomba badala ya mwenyezi mungu kuwa ni washirika wake wao hawafuati ila dhana tu na hawasemi ila uwongo mushirikina wa makka walikuwa wakimsingizia bwana mtume kila sifa mbovu kama vile kusema kwamba yeye ni mshairi kuhani na mchawi bali hata mwendawazimu na wakisema maneno haya ayasemayo muhammad anafundishwa na watu wengine na wakati mwingine wakisema kuwa yeye ni mtu kama wao tu wala lolote la ubora zaidi yao katika kuyajibu maneno hayo yasiyo na msingi ya mushirikina allah sw anamliwaza mtume wake kwa kumwambia irada ya mola wako imeshakata na kuhukumu kuwa wewe na wafuasi wako muwe na izza na utukufu nao hao mushirikina hawawezi kufanya lolote kukabiliana na irada hiyo na sababu ni kuwa ulimwengu na kila kilichomo ndani yake viko chini ya mamlaka yake mola wako aliyetukuka na kwa hivyo wale wanaowaendea waola ghairi ya mwenyezi mungu mtukufu si wao wenyewe wala hao waungu wao bandia walio na uwezo wa kufanya lolote aya hii pamoja na mambo mengine inatuelimisha kuwa mojawapo ya mbinu zinazotumiwa na maadui wa uislamu ni kuharibu haiba na shakhsiya ya viongozi wa dini hiyo tukufu na hilo halikuishia katika zama za mwanzoni mwa kudhihiri kwa uislamu bali linaendelea kushuhudiwa hata katika zama zetu hizi hata hivyo allah sw ameshaahidi kuwa maadui hao katu hawatofanikiwa kwa kupitia njia hiyo kulifikia lengo lao hilo aya iliyopita imeashiria utawala mutlaki wa allah sw katika ulimwengu na kila kilichomo ndani yake aya tuliyosoma ya 67 inagusia tadbiri yenye hikima kubwa ya mola na kueleza kuwa mfumo wa mabadiliko ya usiku na mchana ni mojawapo ya madhihirisho ya uwezo wa mola mwenyezi katika uendeshaji wa ulimwengu katika aya mbali mbali za quran usiku umetajwa kuwa kitoa utulivu cha mwanadamu ni wazi kwamba wakati ambapo utulivu wa kiwiliwili unayumkinika kwa kulala na kupumzika utulivu wa roho hupatikana kwa dua minong'ono na kushtakia mja hali yake kwa mola na muumba wake aya hii pamoja na mambo mengine inatuelimisha kuwa mfumo tuushuhudiao wa ulimwengu haukutokea kwa bahati tu bali ni kitu kilichoumbwa na kuendeshwa kwa lengo na irada maalumu kwa haya machache wapenzi wasikilizaji tunaifunga darsa yetu ya juma hili inshallah mwenyezi mungu atujaalie kuwa miongoni mwa waja wake washukurivu wa neema zake na wanaozingatia na kuyatafakari maumbile ya ulimwengu ili kuweza kuitambua ipasavyo adhama ya mola wao amin wassalamu alaykum warahmatullahi wabarakaatuh zaidi katika kategoria hii « yunus 6873 yunus 5761 »
2017-12-16T22:33:25
http://kiswahili.irib.ir/darsa-ya-qurani/sura/surat-yunus/item/2113-yunus-62-67
arnie gizzle am the best 2010 comedian mwalubadu from iringa town tanzania goes by the name of athman mussa mwalubadu ambaye anamakeheadline kwenye best leading radio station in southern highland (u know what i mean) ebony fm amenyakua tunzo ya kuwa mchekeshaji bora wa mwaka 2010 kutoka film central awards ambao ni mtandao bora wa kutangaza kazi za filamu hapa bongo hongera sana kaka si tuuu ni mfanyakazi mwenzangu but all da time nikimwona huyu jamaa najisikia kupasuka mbavu aisee kwa wale mnaomfahamu hope u knw what i mean embuu tafuta comedy movie inaitwa inye ndemb'wendemb'we utaniambia kama kweli anafaa kutwaa hiyo tunzo au vipi posted by anold g nyambelwa at tuesday january 18 2011
2018-02-20T23:46:27
http://arniegizzle.blogspot.com/2011/01/am-best-2010-comedian-mwalubadu.html
hehe heiya chezea mafundo weye tuongeemahusiano hehe heiya chezea mafundo weye shoga habari mwenzangu siku yetu imerudi tena tarehe 26/4/2013 kama kawaida yetu tunafundana mambo yote ya chumbani na style pia za kitandani tunaonyeshana na siku hii kwa vile itakuwa sikukuu na kesho yake ni jumamosi utakuwa na muda wa kupumzika basi tutafunda kwa muda mrefu ili wewe usiwe na haraka kuwahi nyumbani kupumzika kwa ajili ya kesho kazini tutapokea na maswali shoga humu aibu hakunaga na watoto hatuwataki lipia nafasi yako upewe dera lako uje kujimwayamwaya kwa raha zakohehe heiya kama wewe unajuwa huwezi kukumbuka yote yaliyofundwa unaruhusiwa kubeba na notebook uandike kumbukeni haturuhusu kupiga picha kinachofanywa hapo kinabaki hapo kama unapenda kuona lipia nafasi yako
2018-10-16T23:22:16
http://rosemarymizizi.blogspot.com/2013/03/hehe-heiya-chezea-mafundo-weye.html
free thinking ukuaji wa uchumi unapokuza umaskini nilifurahi sambamba na kuchukia ni pale runinga ya afrika kusini ilipoonyesha kuwa uchumi wa tanzania utakuwa kwa kasi kuliko chumi zote duniani miaka michache ijayo baada ya kuona hili nilianza kuangalia uzuri na ubaya wa kukua uchumi kwa kasi kwenye taifa linaloongozwa kifisadi je uchumi wetu utakapokuwa nani atafaidi kati ya wananchi na makuwadi wa wawekezaji ambao wamehakikisha kila kitu kinawanufaisha wao na mabwana zao rejea kugundulia utitiri wa madini ambao matokeo yake ni utitiri wa mashimo na kashfa kiasi cha kuwaacha watu wetu maskini na wakimbizi kwenye nchi yao nani amesahau mauaji ya watu wasio na hatia kule mara kwa kosa la kukatisha kwenye mgodi nani amesahau magonjwa ya hatari yanayowasumbua wakazi wa huko huko mara ambao kemikali zimenyiririshwa kwenye vyanzo vyao vya maji kuna haya ya walalahoi kushangilia habari hii au kuomboleza kwani kukua kwa uchumi wa tanzania kwao ni chachu ya kukua kwa umaskini hivi unategemea nini toka kwenye nchi inayogawa raslimali zake bure au kuharibu mali za umma kama vile kuuza mashirika ya umma kwa bei ya kutupwa kama ilivyotokea kwenye uuzaji wa iliyo kuwa kampuni ya usafiri dar es salaam (uda) nbc na mashirika mengi taarifa za ukuaji wa uchumi wa tanzania zilizotolewa mwaka 2012 na mkurugenzi wa takwimu za uchumi wa ofisi ya taifa ya takwimu morrice oyuke zilionyesha kuwa uchumi wa tanzania ungekuwa kwa asilimia 71 hili ni jambo la kujivunia kinachogomba ni kwamba huyu mtakwimu hakueleza ni kiasi gani umaskini utakuwa wapo waliosema kuwa umaskini ungeongezeka kwa asilimia 5 na ushei sambamba na ukuaji huu je hii inatoa picha gani wapo wanaoona kama takwimu tunazoletewa ni za ungo wa kawaida na hii inaweza kuwa kweli hasa tukizingatia jinsi takwimu zinavyoweza kuficha ukweli kama alivyowahi kusema joel best kwenye kitabu chake cha damned lies and statistics mujumuisho ni hatua muhimu katika kufikiri kitakwimu mara chache twaweza kuhesabu matukio haya yote ya kijamii badala yake tunakusanya baadhi ya ushahidi kutokana na sampli na kutoa hitimisho la jumla (uk6) sambamba na hili benjamin disraeli (18041881) waziri mkuu wa uingiereza aliwahi kusema there are three kinds of lies lies damned lies and statistics hatuna tafsiri ya nukuu hii pamoja na kwamba si takwimu zote zinaficha uongo kuna haja ya kuwa makini na takwimu hasa katika kuzilinganisha na ukweli halisi kwa wanaojua udhaifu wa takwimu wanajua ninachoongelea hapa takwimu zinaweza kuonyesha picha tofauti na hali halisi kama ilivyo kwenye suala la kukua uchumi wa taifa ukitaka kujua uongo wa takwimu hebu nenda vijiji uangalie aina ya maisha wananchi wanayoishi huwezi kukuza uchumi kwa takwimu bali uzalishaji na matumizi bora na nidhamu ya pesa na raslimali za umma jambo ambalo ni msamiati mgeni nchini huwezi kukuza uchumi kwa midomo au kisiasa au kwa kupika takwimu mwandishi wa makala hii ni muumini wa dhana tofauti na takwimu anaamini kuwa ukuaji wa kweli wa uchumi hauelezeki kwa takwimu tu bali unaweza kuelezewa vizuri na wakati maskini wa vijijini au mabandani mijini hali za maisha ya makundi haya ya wasio nacho zinaweza kutupa picha nzuri na ya kweli kuhusiana na kukua kwa uchumi je wanapata huduma bora je wanaridhika na mambo yanavyokwenda je wanashirikishwa kikamilifu je wanawezeshwa je wanapewa taarifa muhimu je wana welewa wa taarifa husika kiasi cha kuzichambua na kuzifanyia kazi ikiwamo na kuzikubali au kuzikataa haya ndiyo mambo ya kuzingatia katika kutoa tafsiri ya kukua kwa uchumi je waliotoa taarifa za ukuaji wa uchumi wetu wameyazingatia haya jibu ni hapana tena kubwa tu wanaojua udhaifu wa uwekezaji nchini bila shaka wanategemea ongezeko la wamachinga wanaojiita wawekezaji toka india pakstani bangladesh china na kwingineko pia wanategemea utoroshaji wa mtaji na raslimali kuongezeka kutokana na mamlaka zilizopo kupoteza muda kwenye kusaka rushwa badili ya kukusanya mapato na kubana mianya ya kutorosha mitaji na mali za umma uliza madini kama tanzanite yameisaidia nini tanzania zaidi ya kuwa laana na msaada kwa nchi jirani ya kenya na india uchumi wetu utakuwa kiuchumi au kisiasa kwa wanaojua ukuaji wa uchumi wa kisiasa ambao ulielezewa na rais jakaya kikwete aliposema kuwa ukiona mitaa yetu finyu imejaa misongamano ujue uchumi umekuwa kiasi cha watanzania wengi kuwa na mikangafu tofauti ukuaji wa kisayansi ni ule unaowezesha nchi kuongeza pato lake na kupunguza utegemezi katika misaada au kuagiza zaidi ya unavyouza je tanzania nchi iliyojaa bidhaa zilizo chini ya viwango kutoka india na china kweli inaweza kuwa na ukuaji wa kujivunia kwa watanzania tujalie kuwa uchumi wetu kweli utakua je utafua dafu kwenye matumizi mabaya ya kisiasa ambapo tumezalisha mikoa na wilaya nyingi kukidhi mahitaji ya kisiasa badala ya matakwa ya wananchi je ukuaji huu uliotabiriwa utaondoa au kupunguza uombaomba wa nchi yetu ambapo bajeti yetu hutegemea michango ya wafadhili kana kwamba hatukujaliwa raslimali tukifie mahali tuuangalie ukweli kama ulivyo kwa kujitenga na kujipigia debe kisiasa ili wahusika wachaguliwe tena wafanya madudu tena swali linalopaswa kuulizwa na kujibia kwa utuo ni je uchumi wa tanzania unapimwa na nani na nini katika ukuaji wake je ukuaji kama upo unamnufaisha nani na vipi unaowaacha nje maskini ambao wanaona umaskini na uduni wa huduma vikiongezeka hauna maana watawala wetu wanapaswa kufikiri kabla ya kutuletea takwimu za ajabu ajabu zilizokaa kikampeni zaidi ya sayansi je inakuwaje uchumi wa tanzania unakuwa sambamba na umaskini chanzo dira feb 2014 posted by miaka kumi iliyopita £100 ya uingereza ilikuwa na sawa na thamani tsh 145000 leo hii £100 ni sawa na tsh 270000 je unahitaji kuwa professor au madokota(dr) kutafsiri hizo takwimu zinatolewa kuhusu maendeleo ya uchumi wa tanzaniamimi katika familia yangu miaka nane iliyopita ilikuwa angalau kulikuwa na watu nne wakiwa na ajira ya kudumu leo hii hakuna hata mmoja kwenye ajira ya kudumu kama unavyojua ile kamati yetu iliyoundwa na mr ambaye mara nyingi anawasema watanzania ni wavivu wa kufikiri ambapo yeye amekuwa madarakani katika ngazi tofauti na kupanda vyeo mpaka kufikiwa kuwa rais hivyo udhaifu wa kufikiri ninapozungumzia unaanzia wapi kama si kwake yeye mwenyewe na kuendelea hadi ngazi ya chini ushahidi yeye alikuwa madarakani kipindi kirefu tuu na nchi imeendelea kuwa maskini na huduma duni za kijamii siku hadi siku hata kamati yake aliyounda ni uthibitisho kuwa naye yeye ni mvivu wa kufikiri kamati iliundwa kwa jina la kurekebisha/ubinafsishaji mashirika umma lakini kilichokuwa kinafanyika ni uvivu wa kufikiria kama ambavyo mr msataafu rais anavyofikiri kuhusu uvivu wa kufikiri kwa sisi watanzaniayaani kuuza kila shirika badala ya kurekebisha tena kwa bei chee au buree wakti mwinginekifupi hizo takwimu za maendeleo ya uchumi ni sawa kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa mpaka sasa wagonjwa wanalazwa sakafuni au kutimia kitanda kimoja wagonjwa wawilivyoo vya umma au hospitali imekuwa sehemu ya kuweka uchafu badala kupitisha uchafuau kama bwana jk aliposema hivi karibuni akutukanaye akuchagulii tusi(ingawa yeye alikuwa akijaribu kubishana na ukweli) kuubalisha kimaoni kuwa ni uwongo ingawa kila kitu kilikuwa katika video kuhusiana na mahuaji wanyama pori hasa tembo na faru na wahusika katika hiyo biashara 26 february 2014 at 0056 anonwasomaji wangu wakifumba mimi hufumbua bila shaka huyu unayemaanisha si mwingine ila benjamin mkapa rais wa hovyo aliyesifika kwa majivuno kupayuka na kutawaliwa na kutumiwa na mkewe ni mkapa huyu huyu aliyetuuza kwa wawekezaji hata mafisadi alipoasisi wizi wa epa uliomuwezesha dr zero kuukwaa urais ambao ameugeuza urahisi wa kufanya ufisadi nakubaliana nawe kuwa huyu bwana ni bingwa katika uvivu wa kufikiri na alichosema ni kama alikuwa akijipiga kijembe bila kujua ila kwa vile yu mvivu wa kufikiri hakujua kuwa alikuwa akijisimanga mwenywe
2017-05-27T04:23:30
http://mpayukaji.blogspot.com/2014/02/ukuaji-wa-uchumi-unapokuza-umaskini.html
video dc karatu azindua duka la kisasa la kampuni ya simu ya airtel dar24 makomando wa marekani wawakamata alshabaab 2 mins ago comments off on video dc karatu azindua duka la kisasa la kampuni ya simu ya airtel mkuu wa wilaya ya karatu mkoani arusha theresia mahongo amewataka wakazi wa wilaya hiyo kutumia fursa ya uwepo wa mitandao ya simu za mkononi kupashana habari za maendeleo na kufanya biashara salama kupitia huduma za fedha za mitandao hiyo badala ya kuhamasishana vitendo vya kihalifu ameyasema hayo wakati wa uzinduzi wa duka la kampuni ya simu za mkononi ya airtel wilayani humo ambapo amesema kuwa kumekuwepo na tatizo la matumizi mabaya ya simu za mkononi jambo ambalo linapaswa kukemewa ili mitandao hiyo iweze kuchangia maendeleo aidha katika uzinduzi huo wakazi wa wilaya ya karatu na mkoa wa arusha kwa ujumla wamejitokeza kushuhudia uzinduzi wa duka la kampuni ya simu za mkononi ya airtel linalotarajiwa kusogeza huduma zake kwa wakazi hao kwa upande wake meneja wa airtel mkoa wa manyara polas emmanuel amesema kuwa kufunguliwa kwa duka hilo ni utekelezaji wa mpango wa kampuni yao wa kusogeza huduma kwa jamii nchi nzima(pause) hata hivyo baadhi ya watumiaji wa huduma za airtel wamesema watapata urahisi katika shughuli zao ikiwemo mawasiliano ya simu na miamala ya kifedha yakuweka pamoja na kutuma(pause) habari 56 mins ago comments off on video kamanda mambosasa amshukuru mange kurudi kundini habari 2 hours ago comments off on wafahamu watu 10 wenye ushawishi mkubwa zaidi duniani habari 4 hours ago comments off on makomando wa marekani wawakamata alshabaab habari 4 hours ago comments off on mbunge wa shinyanga mjini alamba dili bunge la afrika habari/maisha 4 hours ago comments off on msichana aliyemuua mumewe aliyekuwa anambaka ahukumiwa kifo habari 4 hours ago comments off on mbunge chadema acharuka bungeni amnyooshea kidole mwijage
2018-06-21T14:11:30
http://dar24.com/video-dc-karatu-azindua-duka-la-kisasa-la-kampuni-ya-simu-ya-airtel/
nukuuzawakristu ackyshine | best👍of😂2019💯 fwatilia website hii kupokea makala kama hii ya nukuuzawakristu endelea kusoma makala hizi za kufanana na hii ya nukuuzawakristu
2019-06-24T17:56:12
http://www.ackyshine.com/katoliki-f:nukuu-za-wakristu
nape nnauye nae kaibukia kanisa la ufufuo na uzima | jamiiforums | the home of great thinkers nape nnauye nae kaibukia kanisa la ufufuo na uzima discussion in 'jukwaa la siasa' started by only83 feb 19 2012 ametoa neno kwenye kanisa la ufufuo na uzima leo kuhusu rushwa na kusema kuwa viongozi wamekosa huruma kwa wananchi na wamekosa mungu ndani yaoamedai yeye sio mgeni kwenye kanisa hili la gwajima na ameonyeshwa kukerwa na rushwa naona siasa na kanisa zinaendelea kupamba motoungemuona nape ungesema kuwa ameanza kuwa mchungajialikuwa anaongea mpaka povu linamtoka mdomoni source tbc 1 anawapinga kina mzee wa theluji wakialikwa makanisani lakini naye kumbe yumo anajaribu kurudisha imani ya wananchi kwa ccm hawa si ndio walisema watumishi wa mungu wanaleta uchochezi imekuache sasa wameanza kukimbilia makanisani kama wakienda huko watubu maovu wanayowatendea watanzania watanzania sasa hivi kimbilio letu ni makanisani tunajaribu kupata faraja ya maisha maana serikali ya ccm imeshindwa kuleta maisha bora nape na wenzake watubu uovu huo hivi huyo gwajima hajamsalisha sala ya toba huyu kijana nahisi hangover hua zinamsumbuahana nidhamuniki relate zile kauli zake za kushikishwa ukuta chadema chama cha wachagamara hutumika kama messenger kwenye vikao vya ndani vya chama na hutumwa tumwa bia yani namuona bonge la tapelina uso wake ulivo kama dalali sasa mimi naishi mikocheni na leo ile ibada ilikua ndefu sana maana nilikkua naskia makelele nna mpango wa kumshitaki gwajima kwa noisy polution kuna mwanamke mmoja hua ana rap palesauti mbayaa kama ana abdala kweli kusoma si kuelimikanafikiri psychology aliosomea haimsaidiihee sikujuakumbe sisqo kawa balozi wa bongo malaysiahatareee ukiwa katibu mwenezi wa ccm unawezakusema lolote hata usiloamini unaweza hata kukana jinsia yako kazi yako si kueneza tuu ndo nape naona siasa na kanisa zinaendelea kupamba motoungemuona nape ungesema kuwa ameanza kuwa mchungajialikuwa anaongea mpaka povu linamtoka mdomoniclick to expand nepi naye aache unafiki rushwa ipi ina mkera hao mabosi wake ndo wala rushwa wakubwa kama inamkera basi asingekua chini yao kama nape au mpambe wake anasoma hapa naomba watafute namna huyu bwana apate voicecouching nape anaongea kama mchiriku public communications iko kushoto kabisa kwa huyu dogo sauti kali sana ataharibu masikio ya watu sielewi moyoni mwa nape nauye huwa kukoje anapozungumzia rushwa matumizi mabaya ya rasilimali viongozi kutokuwa na hofu ya mungu kutokutenda haki nk hivi kweli anayoyazungumza analenga kufikisha ujumbe au ndo funika kombe mwana aondoke ccm basi ukemeaji rushwa uambatane na vitendo kila anayeshiriki akamatwe na kufungwa siasa za bara letu hili ni maneno ya jukwaani tu nape aje humu atuambie hiyo chuki yake dhidi ya rushwa imeanza lini na imezaa matunda gani na je ni chuki ya chama chake dhidi ya rushwa au chuki yake yeye binafsi bila kumsema nape naona huwa mnapungua uzito si mseme na wenezi wenu kila siku mnasema nape aliwakosea nini hamna kitu cha kufanya ni hiyo hivi kichwani mna ubongo au kamasi kakemea maovu ni jambo jema hata kama halikutoka moyoni lakini alitumia jukwaa hilo kuwaasa wasikilizaji kwenda kanisani si kosa labda kama angetumia kanisa kutukana dini nyingine mimi nawaogopa zaidi wanasiasa wanaotembelea makanisa na misikiti kwa kificho wakiwa na mambo mabaya kuliko wanaokwenda wazi na tukasikia wamefanya nini kwenye nyumba za ibada jamani nape nae mtanzania anayo haki ya kwenda jumba lolote la ibada na kusali kutokana na imani yaketusiweke siasa kwa kila jambohongera sana nape kwa kusali hakika mungu yu pamoja nawe na ccm imepata kiongozi mchamungu kinachonishangaza siku zote hadi siwaelewi vizuri hawa watu ni wao ndiyo wameshika/wanatawala nchi chini ya utawala wa sheria na sheria zipo wazi mafisadi wote wapo nao ndani ya chama kila siku wanalalamika sasa sisi tufanyeje (tusiwachague mbona wao wanatuletea na kuwasifia) wao ndiyo wameshika/wanatawala nchi chini ya utawala wa sheria na sheria zipo wazi mafisadi wote wapo nao ndani ya chama kila siku wanalalamika sasa sisi tufanyeje (tusiwachague mbona wao wanatuletea na kuwasifia) click to expand hili ndilo swali nililo nalo moyoni kila siku ninapowasikia majukwaani viongozi wa ccm na watawala wa serkali wakilalamika juu ya rushwa kanisa la ufufuo la bwana gwajima aka kanisa la misukule limegeuka kuwa jukwaa la kisiasa gwajima ana mpango wa kumpeleka mwanasiasa madhabahuni kila jumapili siku ya tarehe 05022012 kanisa lilipambwa na rangi za chama tawala aliwaambia waumini wake kuwa tarehe 12022012 wangekuwa na mheshimiwa rais kanisani gwajima naye kwa uongo yuko juu alianza kwa kusema angemfufua amina chifupa wakati huo kanisa lake lipo pale ubungo kabla ya kuhamia tanganyika packers bila kumsema nape naona huwa mnapungua uzito si mseme na wenezi wenu kila siku mnasema nape aliwakosea nini hamna kitu cha kufanya ni hiyo hivi kichwani mna ubongo au kamasiclick to expand hivi wewe unaweza ukafananisha katibu mwenezi wa cdm bro mnyika na nape yaani kama kufananisha tingatinga na bajaji au man u na jkt oljorohuyu katibu mwenezi wa ccm kabadilika kutoka mwenezi kwenda katibu mropokajijamaa anaongea mno kila siku kwenye media tuakisikia el kaongea nae anatafuta cha kusemahalafu uwa hajui wapi hatumie sauti ya utulivu wapi hatumie nguvuyeye muda wote ni kupiga kelele tu kanisa la ufufuo la bwana gwajima aka kanisa la misukule limegeuka kuwa jukwaa la kisiasa gwajima ana mpango wa kumpeleka mwanasiasa madhabahuni kila jumapili siku ya tarehe 05022012 kanisa lilipambwa na rangi za chama tawala aliwaambia waumini wake kuwa tarehe 12022012 wangekuwa na mheshimiwa rais kanisani gwajima naye kwa uongo yuko juu alianza kwa kusema angemfufua amina chifupa wakati huo kanisa lake lipo pale ubungo kabla ya kuhamia tanganyika packersclick to expand anataka kuiga ya pastor joshua wa nigeriana yeye ataanza kuleta unabii muda si mrefuwanasiasa na dini wapi na wapi bwna yeye hawaalike waje kusikiliza neno na sio kutoa neno source tbc 1click to expand gwajima@ mzee wa misukule feki hivi bado kuna kondoo wanamuamini na kupeleka fungu la 10 wajinga ndio huu ni unafiki mkubwa anachozungumza si anachotenda
2016-12-10T14:47:26
http://www.jamiiforums.com/threads/nape-nnauye-nae-kaibukia-kanisa-la-ufufuo-na-uzima.225342/
njia rahisi za kiasili za kutibu mafua ~ nasaha zetu supu ya kuku wa kienyeji inaelezwa kuwa na virutubisho vinavyosaidia kupunguza utokaji wa makamasi utapata virutubisho vingi zaidi ukitengeneza supu ya kuku kwa kuchanganya na mboga za majani weka chumvi kiasi kidogo katika supu hiyo vitunguu saumu vina kirutubisho aina ya allicin ambacho kina uwezo wa kutoa kinga dhidi ya magonjwa mbalimbali ya kuambukiza kitunguu saumu kinatoa kinga halikadhalika kinapunguza muda wa mtu kuumwa na mafua tumia kitunguu hicho kwa kupika kwenye chakula au kwa kutafuna punje zake chai hasa ya kijani (green tea) ina virutubisho vya kuimarisha kinga ya mwili utafiti wa hivi karibuni uliofanywa na jarida moja la masuala ya virutubisho nchini marekani (journal of the american college of nutrition) umeonesha kuwa watu wanaotumia chai kwa mpangilio maalum hawasumbuliwi mara kwa mara na mafua pamoja na magonjwa mengine ya kuambukiza huwa salama na mafua au siku za kuumwa mafua hupungua kwa asilimia 36 ukilinganisha na wale wasiokuwa na kinga imara utafiti unaonesha kwamba ulaji wa vyakula vyenye vitamin c kwa wingi kila siku husaidia kuondoa au kuzuia ugonjwa wa mafua miongoni mwa vyakula vyenye kiwango kikubwa cha vitamin c ni pamoja na machungwa mboga za majani aina ya brokoli na pilipili kali kama inavyojulikana asali ni tiba ya matatizo mengi ya kiafya miongoni mwa hayo ni pamoja na mafua asali inasaida kuondoa kikohozi na muwasho kwenye koo halikadhalika asali inaweza kutumiwa na watoto wadogo kama dawa kutokana na kiwango kikubwa cha protini ilichonacho mtindi ni chakula kingine kinachofaa kuliwa na mtu mwenye mafua ili kupunduza siku za kusumbuliwa na ugonjwa kukohoa wataalamu wanakubaliana kuwa ulaji wa chocolate nyeusi (dark chocolate) huimarisha kinga ya mwili hivyo inapoliwa na mgonjwa wa mafua huweza kumpa ahueni mgonjwa kwa namna moja ama nyingine halikadhalika huwa kinga kwa maambukizi mengine kirutubisho aina ya betacarotene huimarisha kinga ya mwili kirutubisho hicho huwa ni muhimu kwa ustawi na uimarishaji wa kinga mwilini na kinapatikana kwa wingi kwenye viazi vitamu na vyakula vingine kama vile karoti maboga na mayai (kiini) kwa ujumla suala la kuimarisha kinga ya mwili ni muhimu kwa afya zetu ulaji wa vyakula vilivyotajwa hapo juu na vingine unatakiwa kuwa ni wa mara kwa mara kama siyo wa kudumu kwa sababu mwili unapokosa kinga imara ni rahisi kushambuliwa na maradhi ya kuambukiza
2018-05-23T06:41:20
http://nasahazetu.blogspot.com/2015/08/njia-rahisi-za-kiasili-za-kutibu-mafua.html
mtunzi rosa mistika dunia uwanja fujo bingwa wa kiswahili aliyegeuka kiongozi wa kisiasa profesa euphrase kezilahabi hayupo nasi tena akiaga dunia miezi mitatu kabla ya kufikisha umri wa miaka 77 hapo aprili 13 kwa wanaojua wana tarehe inayofanana na ya kuzaliwa na baba wa taifa mwalimu julius nyerere tofauti yao ni miaka ya vifo akiwa anatofautiana na wenzake wengi katika klabu ya waandishi wa riwaya au hadithi hayati kezilahabi alikuwa msomi aliyefundisha katika chuo kikuu cha dar es salaam na kwingineko kote alikokuwa kati ya wale wenye mvuto wa kipekee zaidi kati ya waandishi wa riwaya alichangia sana katika kutoa tafsiri na tathmini za fasihi barani afrika na akeanda mbali katika uchangiaji ujenzi wa fasihi kwa riwaya kazi zake zikisomwa hapa nchini na kwingineko kuingia kwake katika siasa hapakuwapo kishindo sana kuhimili cha taaluma zaidi atakumbukwa kuwa mmoja wa wabunge wa upinzani walioiona kazi nzuri anayoifanya rais dk john magufuli na kuunga mkono angalau kwa hisia ya maendeleo kutokuwa na vyama anakiri hivyo akimkaribisha au kutoa salamu wakati rais dk magufuli alipotembelea jimbo lake katika mojawapo ya ziara zake mikoani mwaka jana ni kwa njia hiyo pia alifahamika hasa katika kipindi cha ujana wake chuo kikuu cha dar es salaam wakati huo ikiwa inafukuta kwa mikondo tofauti ya kiharakati na kiitikadi lakini alifahamika kwa utunzi siyo harakati maisha ya prof kezilahabi yanaelezwa alizaliwa aprili 13 mwaka 1944 huko wilayani na katika taaluma alipasishwa kuwa profesa mshiriki katika chuo kikuu cha botswana idara ya lugha za kiafrika historia yake inagusa kwamba aliandika kazi zake kitalauma kwa kiswahili na ameshatoa machapisho ya kitaaluma katika fani ya fasihi iwe ni kwa kazi za kiswahili au nyinginezo barani afrika mojawapo inatajwa kuwa ni mkanganyiko wa maudhui katika kiswahili cha kisasa (aesthetic ambivalence in modern swahili) na dhana ya shujaa katika riwaya za kiafrika (the concept of hero in african literature) ni kazi aliyoungana na mhakiki fasihi mwingine ambaye si mwandishi sana wa riwaya za kiswahili profesa fikeni senkoro katika uchambuzi wa kahaba katika fasihi ya kiafrika kazi moja iliyofahamika sana ni dunia uwanja wa fujo iliyochapishwa mwaka 1985 na mshangao wa baadhi ya wakongwe kazi ya ujana wake iitwayo rosa mistika ambayo katika chapisho la awali ilipigwa marufuku baadhi yetu awali katika miaka ya 1970 mwanzoni tulikuta imepigwa marufuku baadhi yetu tunakumbuka wakati tunaingia shule za sekondari tulikuta tangazo ubaoni ikisomwa rosa mistika ni marufuku shuleni ina maana kazi hiyo ilipata ahueni wakati wa chapisho hata ikaanza kusomwa tena kwa mapana zama utandawazi ulipoingia awamu ya pili hiyo ilikuwa mwishoni mwa 1988 ina maana kuwa mwandishi huyo mkongwe alikuwa na utundu katika sanaa ya uandishi kimsingi jamii zinapokuwa katika mawasiliano na uchumi zinakuwa huru zaidi na kutupilia mbali mazingira ya kiimla yenye lengo la kuhakikisha utamaduni na maadili vinalindwa kuna wadadisi wa fasihi ya afrika nchi za nje waliokusanya kazi zake na kuchagua baadhi ya mashairi yake kutoa kitabu wakilishi wa mtiririko wa hisia zake kama mshairi umahiri kazini mwaka 2015 kuna andiko lililoitwa stray truths yaani kweli zilizoko nje ya mstari ambazo kuzitaja inahitaji utundu au uthubutu kwa kiwango fulani ziko tungo kadhaa za hayati kezilahabi zilichapishwa katika miaka ya 1980 na ile ya 1990 kwa mfano karibu ndani (1988) nagona (1990) na mzingile (1991) chapisho la baadhi ya mashairi yake kuwa kitabu wakilishi cha kazi zake lilitolewa na taasisi ya kutafsiri mashairi ya tamaduni tofauti yenye wachangiaji kutoka nchi kadhaa za ulaya kama uingereza na ufaransa kuna maeneo ambako kazi za hayati kezilahabi zilihusishwa katika chapisho la kitabu mtandaoni hakuna uhakika kama mjadala ni wa hapa nchini au bara afrika ambako inawezekana wanaofundisha fasihi na hasa lugha za kiafrika wanapata tabu kuziainisha kazi moja ya fasihi na zile za lugha au fasihi kongwe kama kiingereza kifaransa na kiarabu licha ya kuwa kiarabu kimegawanyika vipande kadhaa hata hivyo unaweza kupata picha sahihi zaidi ya mjadala huo ukitoka katika fasihi ya kiswahili ambayo ina mapana ya kutosha kuwa fasihi kulinganisha na lugha nyingine za kiafrika mfano kisomali kiganda kizulu kikikuyu ambacho anakiandikia mkongwe profesa ngugi wa thiongo nani yuko nyuma ya udanganyaji mitihani
2020-02-20T00:57:59
https://www.ippmedia.com/sw/makala/profesa-kezilahabi-mkongwe-wa-kiswahili-aliyeiaga-dunia