text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
03 hadiyth kuleni daku | firqatu nnajia 03 hadiyth kuleni daku hadiyth ya tatu 3 anas bin maalik (radhiya allaahu ´anh) amesimulia kwamba mtume wa allaah (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) amesema kuleni daku kwani katika kula daku kuna baraka mtume (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) anaamrisha kula daku kula daku ni kula kula chakula na kunywa kabla ya kuingia alfajiri na mtu kujiandaa kwa ajili ya swawm kumetajwa hekima ya kiungu ambayo ni kupatikana kwa baraka baraka ndani yake mna manufaa ya kidunia na ya aakhirah katika baraka za daku ni ule msaada anaoupata mtu juu ya kumtii allaah (ta´ala) mchana kwani hakika yule ambaye yuko na njaa na kiu wanakuwa na uvivu juu ya ´ibaadah katika baraka za daku ni kwamba yule mfungaji hachoki kule kutekeleza swawm tofauti na yule ambaye hakula daku mtu kama huyu anapata uzito na ugumu wa kuiendea miongoni mwa baraka za daku ni kupata thawabu kwa kumfuata mtume (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) miongoni mwa baraka zake vilevile ni kwamba yule mla daku anaamka mwishoni mwa usiku ambapo anamdhukuru allaah (ta´ala) anamuomba msamaha kisha anaswali swalah ya fajr kwa mkusanyiko hilo ni tofauti na yule ambaye hakuamka kula daku hili ni jambo limeonekana idadi ya watu wengi wanaoswali fajr katika mkusanyiko ramadhaan wengi wao ni kwa ajili ya daku miongoni mwa baraka pia ni ´ibaadah ikiwa mla daku atanuia kujisaidia juu ya kumtii allaah (ta´ala) na kumfuata mtume (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) hakika allaah katika shari´ah yake ana hekima na siri nyingi 1 kupendekezwa kula daku na kutekeleza maamrisho ya kishari´ah kwa kufanya hivo 2 haitakikani kuacha kula daku kutokana na zile baraka zinazopatikana ndani yake baraka inafasiriwa kwa kile kitendo cha kula na kile kinacholiwa daku hili halihesabiwi ni kulifasiri tamko moja juu ya maana nyingi tofauti bali hilo linafahamika kutokana na siyaaq ya الفتح والضم 3 udhahiri wa amri hii ni uwajibu lakini kule kuthibiti mtume (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) kufunga mpaka wakati wa daku kunapelekea amri hii kwenda katika mapendekezo 4 suufiyyah wanaona kuwa muda wa kula daku ni kama muda wa futari jambo ambalo ni kuiondosha ile hekima ya funga nayo ni kuvunja yale matamanio ya chakula na kitendo cha ndoa hilo halipatikani isipokuwa kwa kupunguza chakula wako wengine ambao wamewajibu kwamba hekima ya funga sio kupunguza chakula na kinywaji bali hekima yake ni kutekeleza maamrisho ya allaah (ta´ala) marejeo taysiyrul´allaam sharh ´umdatilahkaam uk (01/317318) 03 hadiyth kuleni daku hadiyth ya tatu 3 anas bin maalik (radhiya allaahu ´anh) amesimulia kwamba mtume wa allaah (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) amesema kuleni daku kwani katika kula daku kuna baraka maana ya kijumla mtume (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) anaamrisha kula daku kula daku ni kula kula chakula na kunywa kabla ya kuingia alfajiri na mtu kujiandaa kwa ajili ya swawm kumetajwa hekima ya kiungu ambayo ni kupatikana kwa baraka baraka ndani yake mna manufaa ya kidunia na ya aakhirah katika baraka za daku ni ule msaada anaoupata mtu juu ya kumtii allaah (ta´ala) mchana kwani hakika yule ambaye yuko na njaa na kiu wanakuwa na uvivu juu ya ´ibaadah katika baraka za daku ni kwamba yule mfungaji hachoki kule kutekeleza swawm tofauti na yule ambaye hakula daku mtu kama huyu anapata uzito na ugumu wa kuiendea miongoni mwa baraka za daku ni kupata thawabu kwa kumfuata mtume (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) miongoni mwa baraka zake vilevile ni kwamba yule mla daku anaamka mwishoni mwa usiku ambapo anamdhukuru allaah (ta´ala) anamuomba msamaha kisha anaswali swalah ya fajr kwa mkusanyiko hilo ni tofauti na yule ambaye hakuamka kula daku hili ni jambo limeonekana idadi ya watu wengi wanaoswali fajr katika mkusanyiko ramadhaan wengi wao ni kwa ajili ya daku miongoni mwa baraka pia ni ´ibaadah ikiwa mla daku atanuia kujisaidia juu ya kumtii allaah (ta´ala) na kumfuata mtume (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) hakika allaah katika shari´ah yake ana hekima na siri nyingi faida zinazochukuliwa kutoka katika hadiyth 1 kupendekezwa kula daku na kutekeleza maamrisho ya kishari´ah kwa kufanya hivo 2 haitakikani kuacha kula daku kutokana na zile baraka zinazopatikana ndani yake baraka inafasiriwa kwa kile kitendo cha kula na kile kinacholiwa daku hili halihesabiwi ni kulifasiri tamko moja juu ya maana nyingi tofauti bali hilo linafahamika kutokana na siyaaq ya الفتح والضم 3 udhahiri wa amri hii ni uwajibu lakini kule kuthibiti mtume (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) kufunga mpaka wakati wa daku kunapelekea amri hii kwenda katika mapendekezo 4 suufiyyah wanaona kuwa muda wa kula daku ni kama muda wa futari jambo ambalo ni kuiondosha ile hekima ya funga nayo ni kuvunja yale matamanio ya chakula na kitendo cha ndoa hilo halipatikani isipokuwa kwa kupunguza chakula wako wengine ambao wamewajibu kwamba hekima ya funga sio kupunguza chakula na kinywaji bali hekima yake ni kutekeleza maamrisho ya allaah (ta´ala) mhusika ´allaamah ´abdullaah bin ´abdirrahmaan albassaam mfasiri firqatunnajiacom marejeo taysiyrul´allaam sharh ´umdatilahkaam uk (01/317318) imechapishwa 15/05/2018 http//firqatunnajiacom/hadiythkulenidaku/
2018-09-19T01:14:16
http://firqatunnajia.com/hadiyth-kuleni-daku/
diva kujipatia watoto watatu uturuki msikae na vitu moyoni dar24 diva kujipatia watoto watatu uturuki msikae na vitu moyoni 3 months ago comments off on diva kujipatia watoto watatu uturuki msikae na vitu moyoni mtangazaji wa kipindi cha ala za roho loveness love maarufu kama divathebawse ambaye siku chache zilizopita aliweka wazi juu ya tatizo lake la mirija ya uzazi kuziba hali iliyopelekea kwa kipindi kirefu kushindwa kupata mtoto amesema tayari amefanya taratibu zote za kupata mtoto na anatarajia kupata watoto watatu na tayari amepata mbegu za mwanaume huko nchini uturuki sio kwamba nakuwa na mtoto na mwanaume ambaye nina mahusiano naye ananipa tu sperm zake zinaunganishwa na zangu napata mtoto nilicheki uturuki japan na marekani nikaona uturuki bei yao ni nafuu zaidi niliongea na daktari nikamwambia sina mahusino lakini nahitaji mtoto atakuwa wangu ningependa nipate mtoto wa kitanzania lakini hapa nchini hakuna sperm bank amesema diva hadi hivi sasa amechangiwa kiasi cha pesa shilingi milioni tano kupitia instagram na kusema kuwa hakutegemea upendo huo ulioneshwa na watanzania kwani tayari anaona ndoto yake ya kupata mtoto inakaribia kutimia na ameshafanya mawasiliano na daktari wa kumfanyia taratibu hizo za kumpandikizia mbegu hadi sasa hivi zimepatikana milioni tano waliochanga kupitia instagram wadau waliokuwa nje ya nchi wamenitumia akina mama kutoka kampuni moja ya simu sijategemea upendo walionionyesha watanzania wamekuwa wakinipigia simu wengine wanasema kuna dawa wanataka kunipa za kuzibua mirija na kiweza kuzaa kwa njia ya kawaida lakini nimeshatumia sana dawa ni tatizo nililoumwa kwa muda mrefu kwahiyo nimeona ili tuzipoteze tena hela za madawa ni bora kusafiri nje ya nchi kwenda kufanya hicho kipimo cha ivf diva aomba kuchangiwa dola 7000 kujitibu nimelia sana hata hivyo mtangazaji huo hakusita kutoa shukrani zake kwa uongozi wa clouds media na boss wake sheba kusaga kwa kuwa naye katika kipindi hiki cha mpito ambacho wamekuwa wafariji wakubwa na kumuahidi kuwa kila kitu kitakuwa sawa na atapata mtoto wake mwenyewe tena sio mmoja hata wawili au watatu ameongezea diva aidha diva amesema ameamua kutumia njia ya ivf yaani ya upandikizaji mbegu kutokana na kwamba tayari amefanya vipimo vyote na kwa kuwa tatizo hili ni la muda mrefu haoni haja ya kuendelea kupoteza hela kununua dawa ambazo ametumia kwa muda mrefu bila mafanikio young dee afunguka ukaribu wake na rosa ree hatujaachana nimeshaumwa sana tumbo kwa muda mrefu niliambiwa ninaweza kupata mtoto kwa njia ya kawaida lakini itakuwa kama ni maajabu ya mungu ndivyo alivyosema daktari lakini ili niwe na uhakika ni bora ni save ili nitumie njia ya ivf sasa hivi nimeanza kuwa na matumaini ya kupata mtoto pia ametumia nafasi hiyo kutoa ushauri kwa wanawake ambao wanapata maumivu makali wakati wa siku zao amewaomba kujenga tabia ya kwenda hospitali kuangalia afya zao kwani wengi wao hudhani maumivu ya tumbo kipindi cha siku zao ni tatizo la kawaida ambalo hukoma mara tu baada ya mtu kujifungua jambo ambalo sio kweli kidaktari lakini pia amegundua tatizo alilonalo yeye ni wanawake wengi wamekumbwa na tatizo hilo hivyo ameshauri watu kwenda hospitali kwani uzazi limekuwa ni tatizo kubwa sana hapa nchini na hii inaweza kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na mfumo wa maisha ambayo watu wanaishi pamoja na vyakula pia ameshauri watu wasikae na vitu moyoni na kuwataka waseme ili wasaidiwe makala kwa mwendo huu rich mavoko kazi anayo (video) habari kubwa katika magazeti ya tanzania leo agosti 23 2018 mnangagwa alivyoishawishi mahakama kutokubali ya chamisa burudani/maisha 22 hours ago comments off on mama watoto wa diddy akutwa amekufa kitandani polisi wateta na diddy burudani 3 days ago comments off on video shtuka piga vita dawa za kulevya kinasa burudani 3 days ago comments off on young killer afichua siri ya kuachana na wanene
2018-11-17T03:01:50
http://dar24.com/diva-kujipatia-watoto-watatu-uturuki-msikae-na-vitu-moyoni/
tgif this is iti mean this is what life is all about | jamiiforums | the home of great thinkers tgif this is iti mean this is what life is all about discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by quemu sep 5 2008 jana usiku wakati najiandaa kwenda kulala kuna kitu kimenigusa akilini hicho kitu sio kwamba kimenigusa kwa mara ya kwanza ila tu jana kimenigusa tofauti kidogo na siku zingine kwenye mida ya saa nne usiku baada ya kumaliza kuflip flip channels nikafungua kalenda kuangalia ni bills zipi ziko past due ili nijitutumue nilizipe kabla sijakatiwa huduma muhimu baada ya hapo nikajizungusha zungusha kibandani kwangu mpaka nikaishia maliwatoni kwenda kufanya ‘usafi’ wa mwisho kabla sijajitupa kitandani… then something struck me…this is it this is so called life…wake up in the morning go to work spend all day sweating to make someone else rich come back home flip channels put kids to bed (for those with kids) go thru bills brush teeth and jump to bed at 630am the following day the f#*@ ‘cuckoo’ clock makes the lousiest muthatapen sound……time ya kwenda kubeba boksi imewadia tena… i mean is there anything else out there other than ‘same ole’ routine garlee…… pole sana qm and welcome to middleage crisis solution mojawapo ni kuhamia vijijini na kuachana na maisha ya mijini if anybody told you life has meaning they lied to you big timeand by the way this is not because of bills and your lifestyle life has no meaning period except for the futile and fruitless attempt to look for the meaning of life in case you are doubting my ability check with king solomon supposedly the wisest man ever solution mojawapo ni kuhamia vijijini na kuachana na maisha ya mijiniclick to expand hivi kweli unafikiri hali hii inasababishwa na midlife crisis mimi naona tatizo ni kwenda thru the same boring routine every single day yaani it's so hard to find excitement wakati tayari unajua siku yako ya kesho itaendaje to be honest mimi ndo maana wakati mwingine nawafagilia wale wanao careless about tomorrow/futurewale wa ponda mali kufa kwaja kwa sababu kwao kila siku ni sikukuu tuhakuna cha kesho keshokutwa wala mtondogoo the holy bible king james version 2000 ecclesiastes or the preacher 1 all is vanity 1 the words of the preacher the son of david king in jerusalem the experience of the preacher 12 ¶ i the preacher was king over israel in jerusalem 16 ¶ i communed with mine own heart saying lo i am come to great estate and have gotten more wisdom than all they that have been before me in jerusalem yea my heart had great experience of wisdom and knowledge 1 kgs 42931 17 and i gave my heart to know wisdom and to know madness and folly i perceived that this also is vexation of spirit to be honest mimi ndo maana wakati mwingine nawafagilia wale wanao careless about tomorrow/futurewale wa ponda mali kufa kwaja kwa sababu kwao kila siku ni sikukuu tuhakuna cha kesho keshokutwa wala mtondogooclick to expand miye ndiyo maana i envy bums in the streets they don't give a s**t about bills or flippin' accommodation all they need in their hands ni kopo la beer yenye 15 alcohol in case you are doubting my ability check with king solomon supposedly the wisest man everclick to expand i think there has to be something meaningful about lifethough it may be tough to point out maybe i can pull up one love gives life a meaningisn't it think about the love we get from our parents and siblings throughout our livesor the love we earn from our betterhalves king solomon's philosophy may be countered king solomon's philosophy may be counteredclick to expand people are having a hard time defining love let alone it's contribution to the meaning of life the beauty of king solomon's nihilism is in the pointing out of the follies of sensory illusions such as love love ultimately is about gratification whether the receipt of or giving of but king solomon goes further than that and points out gratification is illusive unless you want to lead the unexamined life which socrates deemed as not worth living we want to prove king solomon wrong because we are afraid of the reality that life like evolution or the position of man and earth in the cosmos is an incogrous insignificant and of infinitesimally importance chance event don't end it though we may discover the meaning of life in some superfluous serendipity akin to reading thhgttg according to douglas adams the meaning of life is 42 it was nice to read what you've written qm what are your hobbies qm and how much time do you reserve for it &#8230then something struck me&#8230this is itclick to expand siku moja jaribu kuwatizama watoto wadogo wanaocheza pamoja wale wenye umri usiozidi miaka 4 waangalie kwa muda mrefu then find the similarities between them and you i mean is there anything else out there other than ‘same ole’ routine garlee……click to expand mkuu labda inabidi uongeze quality ya maisha yako onana na marafiki mara kwa mara jifunze vitu vipya safiri sehemu za ng'ambo mara kwa mara na utaona uelewa wako unapanuka na utakuwa na sababu nyingi zaidi za kuishi don't end it though we may discover the meaning of life in some superfluous serendipity akin to reading thhgttg according to douglas adams the meaning of life is 42click to expand is that the answer to everything what are your hobbies qm and how much time do you reserve for itclick to expand duhhobby yangu kubwa ni kusmoke that 'good stuff'lol ndugu yangu haya mambo ya hobbies yanakoroga mno kuna hali na mambo ya kuzingatia kabla ya kuikota hobby muda mfuko umri majukumu na kharaha nyingine nyingi tu sasa ukifikiria haya yote hizo hobbies zitahobika kweli siku moja jaribu kuwatizama watoto wadogo wanaocheza pamoja wale wenye umri usiozidi miaka 4 waangalie kwa muda mrefu then find the similarities between them and you click to expand duh lazydog mbona wataka nitia matatizoni mwenzio hivi kweli huku ughaibuni unaweza kutumia hata dakika tano kuwa kodolea watoto wa jirani (sija jaliwa watoto wa kwangu bado) wakicheza si ndo mambo ya kuitiwa polisi na wazazi wao wakidhani kuwa wewe ni predator hata sithubutu kufanya kitu kama hicho mkuu labda inabidi uongeze quality ya maisha yako onana na marafiki mara kwa mara jifunze vitu vipya safiri sehemu za ng'ambo mara kwa mara na utaona uelewa wako unapanuka na utakuwa na sababu nyingi zaidi za kuishiclick to expand changamoto ya hizo quality za maisha ulizozitaja zinafanya kazi kama mifuko imetuna nilipozungumzia mambo ya pastdue bills nilimaanisha jinsi mifuko ilivyotoboka muda wote is that the answer to everythingclick to expand 42 is the answer to everything according to deep thought even 6 x 9 = 42 some say pipe smoking is a hobby but isn't smoking a selfindulgence habit the human instinct to seek mindaltering substances has so much force and persistence that it functions like the human drives for hunger thirst and shelterclick to expand life can either be a daring adventure or nothing at all hellen keller i used to think that life has a plan for me until i realize that life had to be planned by me once again it is nice reading you qm there is a bit of similarities between you and mchongoma i think (apart from your avatars) may i point out one 'similarity' that you might find between you and babies unlike you they have dreams once again it is nice reading you qm there is a bit of similarities between you and mchongoma i think (apart from your avatars)click to expand mchongoma is my brother from another mother hata hivyo sijui kama kuna similarities zozote kati yetu yeye anapenda sanaile naniii ileimenitoka kidogo just from reading your recent posts it seems you are not content with life the way i see it you have two choices do something to change it or learn to live with it hamna njia nyingine but i'm sure you are not sailing alone there others might be thinking the same thing but have decided to settle for what is rather than what could be what a world hey c'est la vie i remember casually talking with my father on my first trip to college and somewhere in the conversation he said mtu ambaye hajui ni nini anafanya/anatakiwa kufanya hapa duniani hana tofauti na mfu or something along those lines he might have been stating his take on life and didnt mean for those words to stick in my head but for some reason they did i dont remember more than two thirds of the coversation that day but i always remember that line the whole picture is clear in my head it made/makes my life harder but i am thankful nonetheless unajua qm tulipokuwa tunasikia ulaya marekani ughaibuni dhana ilikuwa raha raha tu kuukata tena hakuna kufa la kukuepusha na huo mfadhaiko na mkandamizo wa mawazo ni kupanda pipa kwenda bongo for few days ku refresh mind ukifika kule unakuta washkaji weshaoa na wana nyumba gari na shughuli zao za hapa na pale almuradi maisha mazuri tu the choice is yours kubakia ughaibuni na bills zinazodondoka mlangoni kila kukicha )zangu huwa nazitia kwenye fridge zipoe mpaka mwisho wa mwezi mambo yakikaa sawa) au ukubali kushindwa meaning urudi bongo ukajiajiri/uajiriwe na kusahau maraha ya macdonalds starbucks kfc nandos etc raha ya bongo hakuna bills ila adha tu ndogo ndogo kama vile michango ya harusi besidei nk na madhahma kibao ya kukuweka busy ie misiba vikao vya harusi mikutano ya kampeni za udiwani ubunge na urais etc etc pole bro 0 people likes frustration za kijijini si ataishia kula mbegu badala ya kuzipanda usifanye mchezo na kilimo cha jembe la mkono ewe steved imagine anakuja mfanyabiashara hataki lumbesapotelea mbali tukose sote 0 people likes
2016-10-28T18:28:19
http://www.jamiiforums.com/threads/tgif-this-is-it-i-mean-this-is-what-life-is-all-about.17629/
bia ya chibuku super sasa kupatikana katika chupa mpya ya glasi dewjiblog ni kinywaji pekee chenye ubora na kinachorahisisha maisha kampuni ya tbl group imezindua chibuku super kwenye chupa ya bia ya glasi yenye ujazo wa ml500 chupa hii ni nzuri na ya kuvutia ya glasi inayorudishwa (returnable) ina ujazo wa nusu lita na itauzwa kwa bei ya shilingi 700/ tu kwa chupa akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi huo uliofanyika katika ukumbi wa kiwanda kilichopo eneo la pasiansi mwanza meneja masoko wa tbl group bw oscar shelukindo alisema leo ni siku ya furaha kubwa sana kwetu tbl na kwa watumiaji wote wa bia yetu hi ya asili kwani tumeweza kuzindua bia hii ya chibuku super kwenye chupa ya glasi ambayo inatarajiwa kuleta mapinduzi makubwa katika soko la bia hapa nchini bia hii imetengenezwa kwa utaalamu wa hali ya juu na kwa kutumia mitambo ya kisasa kabisa hivyo kuwahakikishia wanywaji ubora wa hali ya juu shelukindo alisema bia hii inatengenezwa kwa kutumia malighafi za hapa nyumbani ikiwemo nafaka ya mahindi na mtama bora toka kwenye ardhi yetu haya yote yanatupa kila sababu sisi watanzania kujivunia kilicho chetu na kukumbuka asili yetu kwani hii ni bia yetu ya asili chibuku super ina kilevi cha asilimia 4 kinachokufanya uweze kuitumia kwa muda mrefu ukiwa na marafiki lakini pia inakupa lishe nzuri kutokana na virutubisho vinavyopatikana katika nafaka zinazotumika kutengeneza bia hii meneja masoko wa tbl group oscar shelukindo akionyesha chupa mpya ya chibuku super katika mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafla ya uzinduzi wa chupa mpya akizungumzia juu ya usambazaji wa bia hii meneja mauzo wa tbl bw fred kazindogo amesema baada ya uzinduzi huu unaofanyika leo bia hii ya chibuku super kwenye chupa ya ml 500 na kwa bei ya 700/tu itaanza kupatikana kesho kwa wasambazaji wakubwa na katika baa mbliimbali na sehemu nyinginezo zinazouza vileo tunatarajia wateja na wapenzi wa bia wataifurahia bia hii mpya itakayouzwa kwa bei ya shilingi 700/ tu kwa chupa kreti itauzwa kwa 14000/ kwa wasambazaji alisema kwa sasa bia hii itaanza kupatikana katika mikoa 15 ikiwemo mwanza kagera mara shinyanga geita tabora singida kigoma simiyu manyara kilimanjaro arusha katavi mbeya na rukwa maofisa waandamizi wa masoko na mauzo wa tbl group wakionyesha kinywaji cha chibuku super katika chupa mpya wakati wa hafla ya uzinduzi jijini mwanza na kwa wauzaji wa jumla tunatarajia watahamasika kuuza bia ya chibuku super kwani ina faida nzuri na bia hii inadumu kwa miezi 4 kwenye soko ambao ni mrefu sana kulinganisha na products zetu nyingine alisema kazindogo tuna imani kubwa wapenzi wa bia wataipokea chupa hii mpya kwa kwa bei ya 700/ kwa shangwe na furaha kubwa na pia watatumia bia hii kuonyesha kuwa wanajali asili yao alisema kazindogo timu ya taifa ya kuogelea yatamba kutwaa iga yatoa mafunzo ya usimamizi wa miradi benki ya kcb tanzania yatoa mafunzo ya ujasiriamali kwa wanawake wajasiriamali zanzibar rais magufuli amteua profesa museru kuwa mkurugenzi wa hospitali ya taifa muhimbili rais magufuli azindua barabara ya 26 km ya kiamererani mkoani manyara
2018-01-21T14:32:39
http://dewjiblog.co.tz/bia-ya-chibuku-super-sasa-kupatikana-katika-chupa-mpya-ya-glasi/
madawati yawatoa jasho ma rc dc maganga one blog » madawati yawatoa jasho ma rc dc madawati yawatoa jasho ma rc dc mkuu wa mkoa wa songwe chiku galawa viongozi wa serikali hususan wakuu wa mikoa na wilaya wako katika heka heka za kutekeleza kutengeneza madawati lengo ni kuhakikisha hakuna mwanafunzi atakayekaa sakafuni kabla ya muda wa ukomo waliopewa rais john magufuli wakati zikiwa zimebaki siku 39 kabla ya muda huo wa ukomo ambao ni juni 30 mwaka huu miongoni mwa maeneo ambayo gazeti hili limefanya ufuatiliaji imeshuhudiwa mikakati mbalimbali ikitumika kwa ajili ya kupata fedha za utekelezaji wa agizo ikiwamo kuangukia wahisani baadhi ya wakuu wa mikoa wameelekeza halmashauri zao kuhakikisha mapato ya vyanzo vya ndani yanaelekezwa kwenye utengenezaji wa madawati huku wengine wakishawishi wananchi kuchangia kwa hiari kutekeleza agizo hata hivyo katika mchakato huo wa kutekeleza matakwa ya agizo baadhi ya maeneo yamebainika kufanya uchakachuaji kwa kutengeneza madawati kwa kutumia mabanzi badala ya mbao ambao hata hivyo umeshtukiwa na viongozi wa serikali wa maeneo husika uchakachuaji vitendo vya matumizi ya mabanzi badala ya mbao kutengeneza madawati vimebainika mkoani tabora ambako mkuu wa mkoa aggrey mwanri amebaini hilo na kuagiza halmashauri zote zenye kufanya hivyo kuacha mara moja mwanri alibaini hayo hivi karibuni alipofanya ziara katika wilaya za igunga na nzega ambako aliagiza viongozi kufuatilia na kuhakikisha fundi yeyote atakayebainika kutengeneza madawati kwa kutumia mabanzi asilipwe fedha mwanri alisema ni jambo la aibu kuona madawati yakitengenezwa kwa mabanzi wakati mbao zipo aliahidi kurudi wilayani igunga na nzega kupiga kambi kuhakikisha utengenezaji madawati unakamilika muda uliopangwa aidha aliagiza kaimu mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya igunga alois kaziyaleli kuhakikisha fedha zote zitokanazo na makusanyo ya vyanzo vya halmashauri zinapelekwa katika utengenezaji wa madawati mkuu wa wilaya ya igunga zipporah pangani mwenyekiti wa halmashauri peter onesmo na mkuu wa wilaya ya nzega jackilin liana na mwenyekiti wa halmashauri ya mji mdogo wa igunga jeremia jomanga kwa nyakati tofauti walimhakikishia mwanri kuwa ifikapo mei 30 watakuwa wamekamilisha utengenezaji madawati katika shule zote za wilaya ya igunga kulingana na taarifa ya mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya nzega iliyotolewa kwenye kikao cha baraza la madiwani halmashauri imeidhinisha sh milioni 100 kwa ajili ya kutengeneza madawati kabla ya muda wa ukomo mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo ya nzega emanueli kitundu alisema januari mwaku huu kulikuwa na upungufu wa madawati 40000 lakini mwezi huu upungufu ni madawati 10000 wahisani waokoa jahazi miongoni mwa maeneo ambayo wahisani mbalimbali wamejitolea kuokoa jahazi la upatikanaji madawati ni mkoani manyara ambao ni moja ya mikoa 19 inayopakana na hifadhi 16 za taifa iliyopokea fedha kutoka shirika la hifadhi za taifa (tanapa) tanapa ilitoa madawati 16500 yenye thamani ya sh bilioni moja kuunga mkono mkakati wa serikali hundi za fedha hizo zilitolewa kwa wakuu wa mikoa 19 mkoani arusha mbele ya makamu wa rais samia suluhu hassan madawati hayo yatasambazwa katika shule za msingi za wilaya 55 zinazopakana na hifadhi hizo vile vile hivi karibuni kampuni za tanzania bundu safaris na rungwa game safaris zilikabidhi madawati 90 kwa shule ya msingi loiborsiret wilayani simanjiro akipokea madawati hayo juzi mkuu wa wilaya ya simanjiro mahmoud kambona alishukuru kampuni hizo na kusema huu ni wakati wa jamii ya wafugaji kupata elimu halmashauri ya manispaa ya morogoro pia imepata wahisani wakiwemo ubalozi wa japan ambao wamewatengenezea madawati 212 akitoa taarifa hivi karibuni kwa mkuu wa mkoa wa morogoro dk kebwe steven mkurugenzi wa manispaa hiyo theresia mahongo alisema wamejipanga kukamilisha utengenezaji wa madawati 6672 kabla ya juni 30 mwaka huu alisema mahitaji ya madawati katika shule za msingi ni 16244 yaliyopo ni 12 572 na upungufu ni madawati 6672 sawa na asilimia 34 tumepata wahisani wa kututengenezea madawati 212 kutoka ubalozi wa japan na wengine ili kukamilisha madawati alisema mahongo vile vile manispaa imepata kibali cha kuvuna miti sita itakayowezesha kupasua mbao 9000 zitakazotengeneza madawati 300 aidha alisema pia imetengwa bajeti ya fedha kwa ajili ya madawati manispaa ya moshi mkurugenzi wa manispaa ya moshi mkoa wa kilimanjaro jeshi lupembe alisema halmashauri imetenga sh milioni 20 zitakazotengeneza madawati 500 na kufanya madawati yaliyotengenezwa na halmashauri kuwa 750 na yaliyobaki 600 yatatolewa na wadau mbalimbali alisema wadau mbalimbali waliojitokeza kusaidia kuchangia madawati na idadi kwenye mabano ni kampuni ya vinywaji baridi ya bonite walioahidi kutoa madawati 100 benki ya ushirika mkoa wa kilimanjarokcbl (100) chama cha walimu na chama cha wafanyakazi wa serikali za mitaa madawati 20 na wadau wengine alisema halmashauri imeshatoa sh milioni 10 na kuomba kibali cha kukata miti mitano kwa ajili ya utengenezaji wa madawati 250 na vitanda 150 katika shule ya moshi ufundi ambayo ndiyo ilikuwa na upungufu mkubwa dar yaandaa uchangishaji kwa upande wa mkoa wa dar es salaam ofisa elimu wa mkoa raymond mapunda alisema mkoa huo umejitahidi kupunguza uhaba wa madawati kwa kushirikiana na wadau mbalimbali ingawa bado upo upungufu alisema ili kumaliza tatizo hilo wako kwenye maandalizi ya mwisho ya kualika wadau kwenye chakula cha jioni hafla iliyopangwa kuzinduliwa kati ya juni 2 na 3 mwaka huu ili kuwashirikisha wadau na wahisani mbalimbali kama mkoa tuna mambo makubwa matatu tunayafanya ili kuhakikisha tunamaliza tatizo la miundombinu ya elimu hasa kwa upande wa madawati na vyumba vya madarasa na jambo mojawapo ni hilo la kuzindua uchangiaji wa vitu hivyo kupitia chakula cha jioni tunachoandaa alisema mapunda alisema mkoa una upungufu wa madawati 94030 kwa shule za msingi na sekondari kwa upande wa vyumba vya madarasa kuna upungufu wa vyumba 8317 akichanganua mapunda alisema katika shule za msingi madawati yaliyopo ni 102175 na upungufu ni 66301 huku upande wa sekondari kuna viti na meza 99189 na upungufu ni viti na meza 27729 hata hivyo alisema mwitikio wa wadau kuchangia miundombinu hiyo ni mkubwa hivi karibuni umoja wa watoa huduma ya usafiri wa daladala jijini hapo wameahidi kuchangia madawati 100 mgawanyo huo ni kama ifuatavyo wilaya ya ilala wamepata sh milioni 323 temeke 391 na kinondoni 391 halmashauri zenyewe zimetakiwa kujitengea fedha kutoka vyanzo vyao kwa ajili ya kununua madawati wananchi wachangishana mkoani simiyu wakazi wa kijiji cha luguru wilayani itilima katika kuunga mkono mkakati huo wameamua kuchangishana sh 10000 kila kaya kwa ajili ya kutengeneza madawati 380 ya shule ya msingi kijijini hapo mwenyekiti wa kijiji dolnad aloyce alisema waliwahamasisha wananchi kupitia mkutano wa hadhara kwa ajili ya kufanikisha lengo hilo kwa upande wa wilaya ya bariadi katibu tawala wa wilaya ya bariadi albert rutahiwa alisema tumebakiza siku 42 (sasa 39) kukabidhi madawati hivyo wote kwa ujumla wetu jukumu letu ni moja tuhakikishe upatikanaji wa mawadati ifikapo juni 30 taarifa kutoka mkoa wa pwani zinasema wilaya ya mkuranga hadi sasa imefanikiwa kutengeneza madawati 5043 kwa ajili ya shule za msingi na sekondari mkuu wa wilaya ya mkuranga abdalla kihato alitoa taarifa hiyo kwa mkuu wa mkoa wa pwani evarist ndikilo aliyekuwa ziarani humo kihato alimhakikishia mkuu wa mkoa kwamba hadi juni 30 hawana wasiwasi tatizo la wanafunzi kukaa chini litakuwa limekwisha kwani wanashirikiana na wadau mbalimbali kutengeneza madawati kwa mujibu wa mkuu wa mkoa huo wa pwani ndikilo mkoa huo ulikuwa una upungufu wa madawati 43047 kwa shule za msingi lakini kwa jitihada zilizopo tatizo limepungua kwa kiwango kikubwa vile vile mkuu wa mkoa wa songwe chiku galawa ameuhakikishia umma kuwa tatizo la uhaba wa dawati kwenye halmashauri zilizopo mkoani kwake litamalizika kabla ya juni 30 alisema kwa mkoa mzima wa songwe mahitaji ya madawati ni 63537 ambapo yaliyopo ni 49692 hivyo pungufu ni madawati 11804 imeandikwa na lucas raphael igunga john gagarini kibaha joachim nyambo mbozi kareny masasy itilima john nditi morogoro ikunda erick dar es salaam na arnold swai moshi
2016-12-04T01:54:29
https://magangaone.blogspot.com/2016/05/madawati-yawatoa-jasho-ma-rc-dc.html
bongo voice kweli kuigiza holywood hakuna masihara mdada lupita nyong'o akiwa matiti wazi katika scene ya movie iliyompa tuzo ya oscar kweli kuigiza holywood hakuna masihara mdada lupita nyong'o akiwa matiti wazi katika scene ya movie iliyompa tuzo ya oscar uigizaji kaazi kweli kweliunaambiwa ukienda kuigiza movie hollywood hakuna masikhara hata kidogo unapoambiwa huu ni muda wa scene ya mapenzi na lazima uwe mtupu ni lazima ufanye hivyo no way outhivyo ndivyo ilivyomkuta star wa dunia anayetoka hapa east africa katika nchi ya kenya mdada lupita nyong'o ambaye ni mshindi wa tuzo ya oscar ambazo ndio kubwa zaidi ulimwenguni lupita katika scene mojawapo ndani ya movie iliyompa tuzo hiyo iitwayo 12 years a slave ilimpasa acheze akiwa hajavaa kitu juu (matiti wazi) kma inavyoonekana pichani chinikwa waliongalia movie hiyo watakuwa wameliona hili na wewe ambaye hujaangalia bado tafadhali kuwa makini kama waangalia na watoto wadogo picha hiyo hapa chini posted by
2016-12-07T14:21:25
https://bongovoice.blogspot.com/2014/03/kweli-kuigiza-holywood-hakuna-masihara.html
simba sc yaigonga al ahly 10 na kufufua matumaini ya robo fainali ligi ya mabingwa bin zubeiry sports online simba sc yaigonga al ahly 10 na kufufua matumaini ya robo fainali ligi ya mabingwa bin zubeiry sports online mwanzo > simba > simba sc yaigonga al ahly 10 na kufufua matumaini ya robo fainali ligi ya mabingwa meddie kagere (katikati) akikimbia kushangilia baada ya kufunga bao pekee leo item reviewed simba sc yaigonga al ahly 10 na kufufua matumaini ya robo fainali ligi ya mabingwa rating 5 reviewed by bin zubeiry sports online
2019-02-21T10:19:18
http://www.binzubeiry.co.tz/2019/02/simba-sc-yaigonga-al-ahly-1-0-na.html
karibuni nyasa kiangazi mambo huwa bomba sana kiangazi mambo huwa bomba sana kipindi hiki ziwa nyasa huamabatana na dhoruba kali sanawakati mwingine inategemea hali ikoje maana dhoruba inaweza kuvuka hata mwezi septemba kutokana na mabadiliko ya hali ya hewalakini matajaio kuanzia septemba mambo huwa bomba sana hali inamkuna kila mmojawatu huogelea sana ndiyo msimu wa wanyasa kupumzika kidogoni kipindi safi sana ambacho kila mmoja anakifurahiaiwapo hakuna mabadiliko ya hali ya hewahakika ni kipindi chetu hicho ndipo tunapoona mambo bomba sanainakuwa kama hivi na markus mpangala saa 1906 madhumuni chinula kumbukumbu nyasa
2018-02-25T06:03:43
http://lundunyasa.blogspot.com/2008/07/kiangazi-mambo-huwa-bomba-sana.html
mtakatifu simon kitururu mawazoni february 2009 swala la kama huna papara usihofie tusi wakati unaendelea kupenda sehemu za siri za mwenzi lini tanzania kutakuwa na chama cha mapinduzi kama kuna busara za kujilaumu labda basha ni msenge inasemekana kuna siri ya kujua kama ugali umeiva jinsi ya kumbembeleza waziri mkuu akilia katika kutembelea shule ya vidudu staili ya kuongea imsaidiayo mhubiri wa dini lab sina majibu kama wewe huandiki historia yako kama uijuavyo wew mbwa mwitu aliyeshiba kaonekana akicheza na mbuzi mr kibeberu ndani ya siku (hadithi ya kijinga ni kazi yako au chaguo lako nimecheki jana na ukweli ni kwamba nina ukimwi baada ya kuamka na kabla ya kwenda kukojoa bado nina wasiwasi na uraia wa rais nyerere( twendeni kumtukana rais kama nikiendelea kukuomba ninyime au mnyime tu ka samahani kama bado sijafanikiwa kukukosea mpenzi udhaifu wa utakatifu wa mtakatifu simon kitururu tatizo la kuogopa kuongelea nanihii hakuna kiletacho maana kama hudhani kinaleta maana kama hulii sasa hivi kunauwezekano kuna kitu umesa nimechacha katika kushughulikia shughuli kwa mpenzi sura ya malaika tupande kibajaji mwen busara zikizidi ni ujinga na akili zikizidi ni uki labda yule ni mjanja kwa kuanza juzi na sio mwaka labda amini tu kama huwezi kuhakikisha labda mpaka leo kila afaye na aishiye kashindwa swala la wewe ni mzuri sana na nakupenda wewe tu kuhusu uwiano wa uchapakazi uhodari na umadhubut cheka basi usitukasirikie wakati aliyekukasirisha tangazo na kijulisho zens in da house kama hupendi magimbi jaribu viazi ingawa magimbi y utamu wa kuonja na govi hivi mheshimiwa mdau uko hai labda ni kweli mshindi kajamba labda kama huna papara tusi utukanwalo kama kweli ni tusi na sio sifa tusi utukanwalo hununa zaidi bado unamshangaa apaparikaye na tusi wakati nyuma ya tusi kuna sifa ya mtu wikiendi njema tutulie na aaliyah at ur best au ngojea inner circle wazungumzie sweat aliyetonesha kidonda unknown muda friday february 27 2009 3 komenti aka maoni ( wakati unaendelea kupenda sehemu za siri za mwenzio la afanyaye siri ni kufikiri au kudhania kifikiriwacho ni siri ni kweli ni siri au labda ni siri wakati unaficha siri kumbuka unawaficha wasio na juhudi za kutaka kujua siri yako ni ni nini au tu unajaribu kuficha ambacho si siri kwako ili kiwe kwa wengine siri kunauwezekano siri yako wanajua ambao hawajui unafikiria kuwa hiyo ni siri labda siri yako si siri ndio maana wewe mwenyewe umeistukia na kuipa jina siri au kufikiria labda kweli ni siri wakati unaficha sehemu za siri kumbuka kuwa ni ukweli asilimia kubwa ya ambao hujui sehemu zao za siri unajua wanazaa au kuzalisha na labda unajua watoto wao na si siri ukiona watoto wa mwenye siri si unajua kuna mtu anajua sehemu zake za siri unauhakika una siri au hujui ajuaye yako siri naacha hebu twende tena gabon kwa oliver n'goma katika bane au ngojea tu will smith azungumzie miami nipo na kama upo stockholm labda tutakutana nipo kama baadhi za picha zisemavyo nipo na usafiri upo kama wewe sio mnene aliyetonesha kidonda unknown muda thursday february 26 2009 8 komenti aka maoni ( inasemekana tanzania ina wanamapinduzi tanzania kuna wanamapinduzi unajua chama chao unauhakika wanamapinduzi wanahitaji chama tulia twende brazil kutulia na zé renato na milton nascimento au ngojea bugle aseme what we gonna do aliyetonesha kidonda unknown muda wednesday february 25 2009 2 komenti aka maoni ( labda kama bado unakumbuka kujilaumu kuna uwezekano una utu kama unajilaumu si lazima lakini kuwa ni wewe wa kulaumu lakini wakati unalaumiwa labda ni kweli kuna kilichofanyika tokea uzaliwe unafikiri umesahau kujilaumu mara ngapi wakati unalaumiwa ni mara ngapi unajua ukweli si wewe ustahilie lawama au kama una muda tulia na faya tess katika kibao gina aliyetonesha kidonda unknown muda tuesday february 24 2009 0 komenti aka maoni ( basha msenge kwa sababu anakula unacho onja kumbuka ukionja maana yake umekula inawezekana unakumbuka bado basha na msenge wanakula ugali kama tu asiye talibani unafikiria kwanini msenge hajaoa basha kuna uwezekano unafikiri unajua ndoa kunauwezekano kama umefikia kujua ndoa ni nini basi ndoa yako imeanza kuharibika au imeshaharibika ndio maana una utaalamu wa ndoa kabla basha hajaonja bado ni basha msenge anapendwa kulalamikiwa kwa sababu ya roho nzuri ya kutoa ila ukweli ni kwamba hakuna basha kama msenge hayupo si unakumbuka kuna watu wanahangaikia sana kitu wakati labda wahangaikiacho kama hakijaoshwa labda kinanuka mkojo au mavi unakumbuka padre shekhe na msenge ni watu ambao wamebobea kwenye zao wafikiriazo waziweza fani kumbuka nawaza tu tumtembelee mtoto wa bob marley kwa jina steve marley azungumzie rebel in disguise au ngojea snoop dogg na butchy cassidy wamalizie kwa kusema loosen control asanteni wadau wote asante pia kwa wadau ambao tulikuwa wote juzi ya jana na kamera yangu ilibahatika kuwadaka kama hawa papaa ray aka raymond mutafungwa aka mkuu wa kikao asante papaa ronaldo asante aliyetonesha kidonda unknown muda monday february 23 2009 2 komenti aka maoni ( inasemekana kuna siri ya kujua kama ugali umeiva kabla ya kuutomasatomasa kuubonyeza au kuuonja binadamu ni malimbukeni( baada ya binadamu kugundua kuna uwezekano wa kupika wamesahau kuwa mbichi nyingi hulika( inasemekana ugali hujisikia vizuri ukiliwa kwa mkono na maswala ya kula kwa umma au kijiko yana uparura tu ugali na kuutia majeruhi ya dondoshayo njiaani utamu katika safari ya utamu wa ugali kutoka kwenye sinia kwenda mdomoni wakati unajiandaa kufinyanga tonge la ugali ni muhimu ujue unaunyemelea ugali wa aina gani kila aina ya ugali kuanzia wa mahindi muhogo ulezi bila kuusahau ugali wa unga wa magimbi kumbuka unahitaji mbinu tofauti ya mashambulizi hata katika kuutomasatomasa kuushikashika au tu katika kuutumbulia macho ugali hata kama safari hii ni katika kutaka kujua tu kama ugali umeiva au bado bila kuuonja nisikudanganye kwa kukataa kuwa hakuna wazoefu wa ugali hata wa mbatata ambao wanajua ugali wa mbatata umeiva bila kuushikashika kuutomasa au hata kuuonja na sina uhakika kama hawa wazoefu huwa wanatumia harufu au ni mbinu gani zaidi katika utaalamu na labda hiyo ndio siri ya uzoefu katika taaluma na tatizo la wote wahangaikiao staili za kutaka kujua imeiva au bado mara nyingi wamesahau tu kuwa wahangaikiavyo vinalika vikiwa vibichi ni kweli kabisa nakwambia kuwa kuanzia nyanya mshumaa nakadhalika kadhaaa vyote huweza kulika vibichi hata kama huna ujazo wa njaa wakutosha si kuna uwezekano bikira mdogo yuko tayari ingawa mkubwa ndio inaaminika kaandaliwa na yuko tayari ingawa naye hayuko tayari ingawa yuko tayari unakumbuka kuna mpaka wataalamu wajawazito walao mpaka udongo sikukatazi endelea tu kutomasatomasa kubonyeza au kuonja kama ni kweli huzijui mbivu hizi kuwa ni mbivu hata ukiwa kona ya saba kule katika mkao wa kunyemelea huku ukiwa na wasiwasi labda ni mbichi kumbuka kijiweni kuna kipindupindu lakini kabla hujafinyanga tonge na nimesikia kuna wenye busara wadaio ukinawa mikono kabla inasaidia hata kwa kuonyesha umejaribu kujiandaa angalau kwa kunawa kabla ya mashambulizi ya tonge tutumie tu kijiko si labda ni kweli ukila vibichi utaumwa tumbo hivi sijui tutumie tu kijiko si utaumwa tu tumbo au kuharisha kama vibichi vinakuumiza hata ukitumia kijiko labda endelea kula vibichi kama vilivyoiva hujazoea usijeumwa tumbo buuure mimi simo kumbuka nawaza tu hapa twende kidogo kwa wakyuba kukutana na orishas wakidai 537 cuba au tu tupitie tena jamaica kwa admiral tibet shabba ranks & ninja man enzi hizo watupunguzie spidi kwa kitu serious times aliyetonesha kidonda unknown muda friday february 20 2009 7 komenti aka maoni ( wakati katibu mkuu au mtoto analia kumbuka kufarijika kwa kujua kwa vyovyote vile hawawezi kulia daima hata kama hawatapewa nyonyo tukumbuke pia kuna watu wako kimya ila wanalia kwa ndani( pamoja na mwiko wa jamii usababishao kubwa zima kuogopa kulia hadharani kulia ni muhimu na usidanganyike kuwa sababu za watu kulia msibani ni kweli wanasikitika marehemu katutoka kuna watu walikuwa wanatembea na kilio tokea jana na msiba wa leo umewawezesha kuangua kilio hadharani au nyuma ya mbuyu na wala walikuwa hawamjui marehemu na kama walikuwa wanamjua marehemu walikuwa hawampendi( unafikiri kubwa zima wakati linalia msibani ni dakika ngapi wakati linalia ndani ya dakika linafikiria jambo jingine lisilo husiana na kilio msibani unafikiri toto wakati linalilia pipi likiona lawalawa nyama halianzi kufikiria labda ligeuze kilio cha pipi kielekee kwenye lawalawa nyama unafikiri wakati mtu analia anakuwa ameshaanza kufikiria jinsi atakavyo malizia gia ya kulia kumbuka wakati katibu mkuu analia bado kunyonya kidole ni ruksa na daima kumbuka watu wanatembea na visirani vyao na wanaonekana wanatembea kwa maringo tu na vilio vyao ingawa unaweza usistukie na ukiwapa sababu ya kukulilia wewe wanaweza wakachukua nafasi hiyo kujililia wao na ya kwao na usipoangalia unaweza kupigwa kibao kwa kumchekea mtu halafu usielewe kwa nini kumbe mwenzio alikuwa anavisirani vyake anavifuga tokea mwaka juzi na siku hizi kwake kutabasamu kwa wengine na kung'ong'a ni saresare maua hivi unafikiri hakuna kitu ambacho wewe ni rais au angalau ni waziri mkuu kabla hujalia jaribu kujipa ruhusa kulia leo kama unachakulia leo utafaidika kwa kulenga kulilia kilichokuliza na kinachohusika katika ulizi leo ukitunza kilio cha leo unaweza kujikuta unachanganya vilio na unalia ya marehemu wa leo na yakuaibishwa mwaka juzi wakati sasa hivi unatakiwa ulie kwa sababu ya utamu wa penzi na ikibidi kukasirika leo kasirika leo yaishe leo usije ukaanza kutukasirikia na sisi leo wakati hasira zako zilipewa ujauzito na bosi wako juzi na pia na limpenzi lako mwaka juzi na sisi hatuhusiki( na ni kweli mila desturi na miiko mingine mingi hata ya kijinga inatusaidia kusababisha tunatunza maumivu na vilio mpaka inakuwa vigumu mambo yakiwa magumu kujua tulilie lipi wakati unamalizia kulia jaribu kukumbuka kujiangalia kama ulifanikiwa kutoa kamasi ili ulifute kamasi kama lilikutoka katika miondoko yako ya kulia topiki imenishinda( hebu tubadili hali ya hewa kwa kukutana na michael leahy labda na kwa mbaaali mtaalamu ron jeremy ili kuulizahow did you get hooked on porn au turudi tu congo na kukutana na tshala muana atukumbushe mbombo aliyetonesha kidonda unknown muda friday february 20 2009 2 komenti aka maoni ( shikamooo watoto swali kwa wakubwa hivi kwenye shule ya vidudu umeshawahi kuona watu hivi kwenye shule ya watu kukiwa na vidudu mwalimu mkuu atatoa uamuzi gani leo nimebanwa kidogo kujazia muda ndani ya siku iliojaa mambo mengi kwa kuandika kirefukifupi ujingabusara kama kawaida) kesho basi kama hatujafa ngojea tupumzike kwa kupata mtazamo na swali katika fantasi ya mwanadada katikawoman's fantasy(tahadhari kama mtoto au mtoto mkubwa na utakwazika katika topiki) au ngojea faya tess atukumbushe kwenda kenya katika kibao nairobi aliyetonesha kidonda unknown muda thursday february 19 2009 0 komenti aka maoni ( staili ya kuongea imsaidiayo mhubiri wa dini labda ina msaada pia kwa mtongozaji katika kila fani wanafani wanastaili zao za kuongea au kushusha kauli katika fani kama wewe mkristu mkristo mlokole muislamu au unatumia tu waganga wa kienyeji nafikiri unajua staili ya waheshimiwa wasikilizwa katika kumwagia wafuasi kauli zao hasa za vitisho kabla ya kuahidi tamutamu katika fani mimi binafsi napenda staili ya uongeaji wa kitakatifu wa mapapa wa kikatoliki ndani ya fani na nakiri kuwa huwa wananifanya nijaribu kusikiliza wasemacho ingawa sielewi kilatini kiitali au hata lugha yoyote watumiayo katika kumwaga kauli kutokana na staili za kumwaga neno kitakatifu zitumikazo katika fani katika staili ya kumfanya msichana ajikute anavuta majani au anajikanyaga katika mkao wa natakasitaki wa kusikilizia kauli tamu anazopatiwa na mtongozaji inasemekana ukimrekodi anayetongoza utastukia haongei kwa sauti yake ya kawaidayuko katika fani na katika fani hata ukiwa mbali lazima utajua nini kinaendelea watu wawili wakiwa wanapeana kauli hata kama mara hii ni kijeba anacheza mchezo wa natakasitaki wakati mwanadada anamwaga kauli ya mtongozo ndani ya fani binadamu tuko tofauti( wengine tumezaliwa tunapenda mdundiko wakati wengine wamezaliwa wanasikia kelele tu kwenye mdundiko nawasiwasi staili ya wahubiri wa kilokole hata kabla ya kusikia wanaongelea nini kuna watu inawatuliza roho na hao kuna uwezekano wakaokoka kirahisi labda kwa kuogopeshwa zaidi kutokana na staili ya mzungumzaji iwaingiavyo au kwa kuelewa zaidi kutokana na mhubiri kuto waboa kwa staili na kabla ya kwa neno na kwa hilo labda mhubiri anakuna kipele kwa kauli kwenye fani kuna wengine ni staili ya mashekhe ya kushusha neno aka kauli iongezayo uelewa wao wa kitabu kitakatifu na ya allah tukirudi kwa mganga wa kienyeji au hata mtongozaji staili yake inaweza kumfanya mtu akubali jambo ingawa aliyepewa kauli wakati amejilaza kwenye kitanda chake cha teremka tukaze baadaye atakuwa bado haelewi ni kwanini mambo kama ya mtongozaji yaaisee dada nakupenda sana na kila nikikuona nabanwa mkojo au ya mganga yalete kijambio cha njiwa jike msenge na mzizi wa jiwe vilikuwa vinaleta maana sana wakati anapokea kauli bado tatizo ni tunaamini staili ya ashushavyo kauli mmarekani ni tofauti na ya ashushavyo mfaransa na labda ni kweli lakini ukweli ni kuwa kuna mgogo wa dodoma anayeweza akawa anakuna mfaransa kwa staili na kauli za kigogo kuliko mfaransa akunavyo mfaransa mwenzake kama tu mmarekani awezavyo kuvutia mpare wa mwanga kwa msuya kwa staili na ung'eng'e labda kuliko awezavyo kulainisha mmarekani mwenzake mtaa wa jirani kwa kauli kisa anaongea na ana staili za mmarekani mweusi katika kumwaga kauli ya fani ushastukia hata mjinga akiwa anaongea kwa sauti au staili uioanishayo na mwerevu mjinga haonekani mjinga sana ingawa unajua pointi zake zote hazikuni pointi ingawa anamwaga kauli ushawahi kutofautisha staili na sauti yako ya kuombea msamaha ilivyotofauti na ya kutongozea ingawa zote ni za utulivu na zinamwaga kauli si unajua kutongoza maana yake kuomba kwa kubembeleza na sio lazima uwe unaomba nanihii labda ni kweli staili ya kuongea imsaidiayo mganga wakienyeji ina msaada kwa mtongozaji na labda staili ya muhubiri huyu uaminiye anahubiri ya nabii wa uongo haiwezi kutumika kukuokoa kwa kutumiwa na muhubiri mwingine kukuokoa wewe hata kama inashusha ya nabii wa kweli yenye ukweli katika staili ya kukugawia kauli hata kama hutaki ukweli ni kwamba mtongozaji na mtongozwaji wapo na staili za kumwaga kauli zipo na zina afya kama mnyoo na binamu yake finyofinyo( kumbuka nawaza tu hapa( tulia na harry belafonte katika man smart woman smarter au ngojea turudi tena guadeloupe kukutana na fuckly katika kibao doudou aliyetonesha kidonda unknown muda wednesday february 18 2009 8 komenti aka maoni ( katika hali halisi ya kuumbwa kibinadamu simon kitururu kama chakubanga tu bado ni mtu chakusikitisha katika ubinadamu wa baadhi ya binadamu kutafuta mkao wa kuheshimika katika jamii ya kibinadamu mheshimiwa mtu huweza hata kuahidi majibu yawezwayo na malaika kama si mungu pekee mie sina majibu ingawa napenda kuuliza( hivi mungu kama yuko pekee na hapendi dhambi unafikiri sio mpweke sana kwa kuwa pekee na labda kwa miaka milioni kadhaa kanuna kutokana na kujua ataumba binadamu halafu watafanya dhambi hivi wewe unajua mangapi kama mjuaji yaliyokufanya uwehai jana sina majibu lakini si kuuliza ruksa hebu tubadili hali ya hewa kwa kucheki uhusiano wa binadamu katika kufuatilia mapping migration with genes katika phonecian gene au ngojea tena billy taylor duke ellington and willie the lion wajazzfai katika kibao perdido aliyetonesha kidonda unknown muda wednesday february 18 2009 0 komenti aka maoni ( kama wewe huandiki historia yako kama uijuavyo wewe labda hatujui hata usahihi wa historia ya juhudi za binadamu kugundua choo cha shimo hata baada ya miaka yote hii baada ya baadhi ya binadamu kuchoshwa na safari za kwenda kichakani ambako ukikosea unaweza kujikuta kichaka kimoja na mama mkwe mnachimba dawa na historia yako kama si wewe uiandikayo inaweza kusimuliwa na ajuaye chembe kuhusu wewe akiwa katika mkao wa kudai anajua mwili wako mzima hata ile chunusi yako kunako tatizo pia ni kwamba chochote kisemwacho juu yako hukutana mpaka na masikio yenye udhaifu wa kuvumilia uongo uliopo kwa kutopenda kuhangaikia ukweli mpaka ujitokeze kuhusu hata ubikira wa bikira maria baada ya kujifungua yesu kumbuka nawaza tu hapa mkuu tulia na moja ya bendi nizipendazo sana kwa jina nuttin but stringz katika kibao thunder au ngojea wamalizie na broken sorrow aliyetonesha kidonda unknown muda tuesday february 17 2009 4 komenti aka maoni ( mbwa mwitu aliyeshiba kaonekana akicheza na mbuzi (hadithi ya kijinga kisogo cha pili) hapo zamani kulikuwa na mbuzi aitwaye kibezi dume na mbwa mwitu aitwaye binti titi kibezi na titi walikuwa marafiki wakubwa wapendao kucheza katika kijiwe cha jamii bila viatulakini jamiii iliishi na hofu ya ukweli kuwa binti titi anaweza kumla kibezi dume hofu ya jamii ilizidi kukua hasa mbwa mwitu binti titi alivyo kuwa anazidi kukua na mbuzi kibezi dume alivyozidi kunawili katika safari ya kukua pamoja na ilivyozidi kuwa vigumu kuwatenganisha wasicheze pamoja bila viatu jamii ilikuwa roho juujuu kwa kuamini mbuzi wa jamii ataliwa tu akiachiwa aendelee kucheza na mbwa hivi chui si huwinda akiwa na njaa tu ni kweli labda mbwa mwitu huwa na hamu na mbuzi tatizo hatujui apitaiti au mshawasho wa hamu ya mbwa mwitu huyu ya kula katika kumuachia mbuzi huyu achezee mpaka gololi zake si kuna chui walafi hivi si nasikia kuna mbuzi wapendao kuliwa lakini mbwa mwitu kama anaendelea kuishi maeneo yenye mbuzi labda kuna ukweli mbuzi wanaendelea kuliwa( tatizo kubwa katika swala hili la msichana na mvulana linaweza likawa linajengwa zaidi na hofu ya jamii ifanyayo mbuzi ajisikie kuliwa zaidi na mbwa mwitu ajisikie kula zaidi kwa sababu jamii imekaa mkao wakufikiri chakula kiko tayari kila wakati( hadithi imeisha hadithi imeisha na ujumbe hakuna( sasa jamii itafanyaje wakati jamii lazima iwe na mbwa mwitu na mbuzi katika jamii hivi katika stori hii ya kijinga mbuzi anaweza akawa ndiye mbwa mwitu eeh hivi wewe hujawahi kutaka kula wakati umeshiba tutulie na just for laughs don juan au ngojea benny benassi acheze na wimbo wa eurythimics watukumbushe kila mtu kuna kitu anatafuta katika sweet dreams aliyetonesha kidonda unknown muda tuesday february 17 2009 0 komenti aka maoni ( mr kibeberu ndani ya siku (hadithi ya kijinga kisogo cha kwanza) ilikuwa jumamosi kama jumamosi nyingine kwa mr kibeberu na siku ilianza kwa chai na kiporo cha wali na maharage cha juzi pamoja na kwamba kiporo kilikuwa kimeanza kuchacha kwa mbali hii haikuacha kumfanya kibeberu ale huku akiachia tabasamu kwa mbaaaaali huku akisema kimoyomoyo hii ni siku ya kujirusha hasa kwa mtu kama mimi niaminiye katika dini ya kazi kwa sana na baada ya kazi ni kutoa stimu kwa sana tu wakati anamalizia kufunga zipu ya suruali na wakati akijiuliza kuwa kwa nini suruali yake ina zipu badala ya vifungo kibeberu aliendelea kutabasamu kwa kukumbuka kuwa jioni hii bendi aipendayo ya ochestra msuli pekechapekecha ndio itamiliki mirindimo ya mioyo ya watu mjini katika kupekecha kama kawaida saa za kikubwa hazikawii kuwadia na jioni ikamkuta kibeberu akitumia kujulikana katika mchezo aliozoea wa kutaka kuingia kwenye shoo bure ingawa leo hii bila mafanikio lakini kwa uzoefu wa nyoka alijikuta akijinyonganyonga katika foleni na kwa uzoefu alifanikiwa kuwa miongoni mwa washabiki wa ochestra msuli pekechapekecha waliokuwa ndani ya ukumbi mapeeema kibeberu ndani ya nyumba alienda na miondoko ya kusalimia awajuao na kuchekea vimwali wazuri asiowajua katika kujaribu kuweka jeduali likae katika mtindo wa kurahisisha mtongozo hapo baadaye yote ni katika kuandaa matibabu ya kujihami na upweke ujao baada ya shoo ili kidume asijejikuta yuko pekee ghetto kibeberu kwa unyenyekevu aliisogelea baa yenye kuonekana kuvutiwa na ushabiki wa wajao kula kilaji na kuipunguzia bugudha ya kujaa pombe wakati kibeberu anatafakari bei za pombe mawazo ya pombe si chai na uharamu wa pombe yalimkatiza akilini mara mbili na nusu kwa kukumbuka makaripio ya shekhe na hata mchungaji wa kanisa la kijiweni kuhusu madhara ya ulevi wakati anaanza kukumbuka pia maoni ya wazazi kuhusu mambo ya anasa kimwana mwanana aliyekaa kwenye stuli ndefu pembeni ya baa akifyonza kilaji akafanikiwa kurudisha ari mpya ya kimiminika na kilaji kikaagiziwa huku akikumbuka lakini sasa hivi ni kwa mbaali kuwa pombe si chai dakika chache baada ya kuwa akijaribu kutatua swala la hivi kigoli aliyempita yuko nusuuchi au uchinusu akasikia sauti ya papaa msuli ambaye ni kiongozi wa bendi ya msuli pekechapekecha akifoka kwenye kifokeo kwa msemo wake uliopo kwenye wimbo wake maarufu mpya alisikika akisema ''grisi kiunoni weka mbinuko pakua'' na umati ukasikika ukijibu ''msuli pekechapekecha na makalio binua''' mr kibeberu akatabasamu mtabasamu wa kujua sasa shughuli imeanza mr kibeberu alifumbua macho na kuiona silingibodi anayoitambua kitu ambacho kilimfanya akenue meno kwa tabasamu la kujua alifanikiwa kurudi nyumbani shwari baada ya kimiminika aka kilaji cha kutosha jana usiku wakati anajaribu kukumbuka jinsi alivyofurahia jana usiku akashtuliwa na sauti ya kijambo pembeni yake na ndipo alipo kumbuka hakuja nyumbani peke yake kwa haraka alistukia mpaka yuko uchi na kwa kawaida huwa halali uchi kwa mbali akakumbuka jana alikuwa anadansi na kimwana mwenye mwanya wenye ujazo mwananana tabasamu likarudi baada ya akili yake kurudi katika mkao wa tamaa za fisi lakini alipofunua shuka kumshuhudia kigoli alipigwa na butwaa kugundua aliyelala pembeni yake bila nguo ni bibi kizee na hana meno wakati anajaribu kutafakari imekuaje yuko uchi na bibi kizee akastukia gauni jekundu lililoko sakafuni linafanana na la yule kigoli aliyekuwa naye kwenye taa dimu mwenye bonge la mwanya mwanana na denda lenye uzito wa fresh mtindi ghafla moyo ukaanza kumdunda kwa spidi za sungura wafanyao mapenzi kwa kukumbuka jana usiku hakuwa hata na condom huku akishindwa kuelewa ilikuwaje mapengo yalikuwa yanaonekana kama mwanya mwanana jana usiku( hadithi imeisha unakumbuka pombe si chai unakumbuka kumlinda na kujilinda ingawa wote tumekusikia ukitangazia umati hufanyi uasherati bado huongelei ngono na kondomu kwa sababu si utamaduni wetu ingawa uwapendao wanaendelea kufa kwa kutokujua unauhakika kama umesoma mpaka hapa huu sio ujinga ulioandikwa hapa baadaye hebu tutulie kwa kushuhudia mtazamo wa harusi ya dada na dada katika soap's first lesbian wedding au ngojea cypress hill wazungumzie wao mtazamo katika under mi sleng teng najua uko kazini hata kama huna kazi wakati unafikiria hiyo kazi ya kuwazia kazi kuna uwezekano bado kuna chaguo la kuendelea nayo au kuendelezwa nayo kuna uwezekano kabisa ni kazi inakufanya wakati wewe unafikiri unaifanya kazi( narudia swali hiyo ni kazi yako iliyokuchagua au ni chaguo lako la kazi labda hiyo kazi sio chaguo lako kama tu lisivyokuwa chaguo lako kuwa wewe ni mtoto wa rais mandela na lingekuwa chaguo lako ungetaka uwe mtoto wa rais lowasa( lakini kama sio chaguo lako katika mkao wa hali halisi uliyonayo bado naomba tena kukuuliza swali unauhakika hiyo ni kazi yako au haikua chaguo lako na ni kazi kwako unauhakika ingekuwa ni chaguo lako ungetaka uzaliwe katika dunia hii yenye mpaka gono ngojea mory kante aendeleze tena katika yeke yeke aliyetonesha kidonda unknown muda monday february 16 2009 0 komenti aka maoni ( ukweli ni kwamba sijacheki jana ingawa nacheki mara kwa mara labda kwa kuhisi nipewavyo katika kupakua mara nyingine labda ninapakua zaidi kama wewe katika staili ya kujijazia( hivi kama kesho nikicheki tena halafu ikawa ni kweli kuwa nina ukimwi kama mheshimiwa nanihii utajiandaa kukataa kunipa ingawa sitarajii kukuomba unisaidie nanihii si unakumbuka kuwa ukimwi ni ugonjwa tu kama beriberi na kwa ujanja wako unaweza ukawa umeishi sana kwa kukwepa mpaka ugonjwa wa mdondo halafu ukawa huoni nishai kujinyea ingawa ni kweli kwa ujanja wako umeishi mpaka ukazeeka sana na hukumbuki choo wakati unajinyea na si mjanja hivi ulikumbuka kucheki jana nakushauri ucheki hasa kama umepata limpenzi jipya na unahisi mnaweza kutaka kuishughulikia shughuli bila viatu cheki pia kama ulishakuwa hata katika ajali ya mkokoteni ambayo ulijeruiwa wakati uko na majeruhi cheki pia kama katika uteja wako wa magonjwa unawasiwasi na sindano zilizotumiwa kukupa ugoro wakati unacheki kumbuka mtoto wa mjini hiv ukimdaka leo kwa kawaida hata mwezi ujao na mbili haonekani kwa hiyo rudia tena kabla hujajinoma bila viatu angalau baada ya miezi mitatu cheki tu ila jiandae kabla ya kucheki kwa sababu jamii imezoea hata kutisha watu kuhusu kifo mpaka imetisha watu kucheki mdudu wakati ukijua mapema unaweza mpaka kupanga maisha yako vizuri na labda badala ya kuhangaika na maboksi ungeweza kurudi kijijini kwenu mvomero ukacheze mkulanga katika kufurahia maisha kivyako inasemekana wengi wasambazao ukimwi kwa makusudi ni kutokana na kwamba hawakujiandaa na baada ya kujua wanafanya yao ya udhaifu ambayo ni kufikiri inalipa kufa na watu kumbuka aliyedaka ukimwi sio lazima maana yake kafikia mwisho wa maisha na hajinomi unafikiri kwanini kuna aogopaye kucheki mdudu kwa kudhani atajua atakufa wakati kuna wajitoleao kufa kwa ajili ya dini ambazo cha maana zifanyazo ni kuahidi yasiyojulikana unajua inawezekana unao kama ni kweli bado hujacheki baadaye basi kama sijafa au hujafa au ngojea tena tender mavundla atusaidie tena aliyetonesha kidonda unknown muda sunday february 15 2009 10 komenti aka maoni ( kabla hujatoa si lazima ulipata wakati unafikiria labda unipe( wakati unatoa ni kweli ulikuwa nacho ndio maana unanipa na sio kweli unanipa kwa ukarimu tu wakati unanipa ukweli chakusikitisha ni kwamba hakuna uhakika unanipa nini na kwamba ni kweli ni ukweli kama siamini ni ukweli na ni kweli labda wakati unafikiri unanipa kitengo labda ni kweli unatembea huku umebeba mzigo wa maungo kitumbua kumbuka kuna busara za kutua mzigo hata kama mzigo wako ni moja ya kiungo kwenye mwili hivi ni kweli unafikiri damu inahitaji kuchangamshwa wakati damu inachangamka jaribu kuwa na uhakika uko na watu wenye undugu na adamu na eva katika ya kibinadamu na ya mungu muachie mungu uchangamke jumakumi njema ngojea michael jackson na britney spears waseme au tu richie spice amzungumzie ghetto girl samahani ngojea basi shabba ranks amalizie na cool cool asanteni tena wadau wote au ngojea niwaache tena na picha zangu na baadhi ya wadau niliofanikiwa kuwadaka hivi karibuni ya juzi ya jana aliyetonesha kidonda unknown muda sunday february 15 2009 0 komenti aka maoni (
2019-10-23T01:18:32
http://simon-kitururu.blogspot.com/2009/02/
azimio la balfour sio mnasaba wa kusherehekea mzalendonet video muungano naujuwa kama jina langu hassan nassor moyo
2018-12-17T17:06:04
https://www.mzalendo.net/habari/azimio-la-balfour-sio-mnasaba-wa-kusherehekea.html
habari na matukio mbunge mwamoto asema kazi yake ni kuwaletea maendeleo wananchi kilolo sio kwenda kusinzia bungeni skip to main skip to sidebar mbunge mwamoto asema kazi yake ni kuwaletea maendeleo wananchi kilolo sio kwenda kusinzia bungeni mbunge wa jimbo la kilolo mkoani iringa bw venance mwamoto amesema kuwa lengo la wananchi wa kilolo kumchagua kuwa mbunge wao ni kutaka kuona analeta maendeleo jimboni na sio kuwavunjia heshima wapiga kura wake kwa kuwa mbunge bingwa wa kusinzia bungeni ama kushirikia vurugu zisizo na tija akizungumza leo katika mkutano wake wa hadhara katika kata ya ng'ang'ange mkutano wa kuwashukuru wananchi wa kilolo kwa kumchangua kuwa mbunge wao kwa ajili ya kutaka kuona wilaya hiyo ya kilolo inapiga hatua katika maendeleo na si vinginevyo hivyo alisema kuwa mbali ya kuwa wapo baadhi ya watu wachache hasa wapinzani wake katika siasa ambao wanazunguka maeneo mbali mbali ya jimbo hilo na kumchafua kuwa amefungiwa kwa muda wa miezi sita kushiriki vikao vya bunge kwa madai ya kuuliza swali la kupigania maendeleo ya kilolo alitaka wananchi wa kilolo kupuuza maneno hayo kwani hakuna jambo kama hilo na yeye hajapata kufungiwa wala kuonyo bungeni naomba mtambue huu si wakati wa kampeni ni wakati wa mimi kama mbunge wenu kwa kushirikiana na rais dr john magufuli na madiwani kuona kazi ya kuwaletea maendeleo wananchi inafanyika ila wapo wapinzani wachache ambao wanazunguka katika minada na kueleza uzushi usio na kichwa wa miguu kuwa eti mbunge wa kilolo amefungiwa na rais dr magufuli kushiriki vikao vya bunge kwa madai kuwa kwanini nataka kujenga chumba cha kuhifadhia maiti hospitali teule ya wilaya ya kilolo iliyopo ilula mbunge mwamoto alisema maneno hayo yasiwakatishe nguvu wananchi wa kilolo kweani hakuna kitu kama hicho na rais hausiki na kumwajibisha mbunge wala diwani pia hata sipika hajapata kumnyoshea kidole wala kumpa onyo lolote na kuwa siku zote mti unaopigwa mawe ndio wenye matunda na yeye atazidi kuwaletea maendeleo wananchi wake kama alivyoanza na kuwataka wapinzani na wana ccm kuachana na siasa za majukwaani kwa sasa ni muda wa kazi hata hivyo mbunge mwamoto alisema kuwa lengo lake ni kufanya kazi kwa moyo wote ili kuifanya wilaya ya kilolo isonge mbele zaidi kimaendeleo na katika kuonyesha kwa vitendo kuwa yeye si mbunge wa kulala ni mbunge wa kazi ataomba diwani wa kata hiyo kuandaa ukumbi wa kijiji ili alete runinga kwa ajili ya wananchi wakitoka shamba kufuatilia vikao vya bunge ili kuona kama ni mbunge wa kusinzia bungeni ama kazi alisema iwapo wananchi wake watabahatika kuona anasinzia bungeni pindi atakaporejea kutoka bungeni wasisite kumuuliza sababu ya yeye kusinzia bungeni
2016-12-11T07:57:45
http://www.kajunason.com/2016/03/mbunge-mwamoto-asema-kazi-yake-ni.html
swahili time chama cha ukuzaji wa kiswahili duniani (chaukidu) posted by chemi chemponda at 1053 pm duuh hii imekaa vyemajamani tusaidie hili ili lugha yetu iwe miongoni mwa lugha za kimataifa maana moja ya kitu kinachopunguza nguvu ya elimu hasa huku kwetu ni lugha kumbuka mtoto ana lugha yake ya asili anatakiwa ajifunze kiswahili na bado ili aonekane kasoma anatakiwa akijue kiingilishikazi kweli kweli kujiunga unafanyaje nataka sana na niko huku kwa obama ni suala zuri sanaje kujiunga unafanyaje mimi ni igirafrank emwanafunzi wa chuo kikuu cha dar es salaam june 09 2012 1229 pm chama kikubwa kama hiki kina undwa wakati sisi walengwa hatujuibasi si wote hata sisi wasomi wa lugha hiikingine kwa nini makao makuu ya chama hiki yawe marekani wakati lugha hii ni ya taifa la tanzaniakuna mambo hapa hayaendi sawatunaomba udhibitisho wa swala hili sisi kama wenye lugha hii
2018-04-26T09:35:55
http://swahilitime.blogspot.com/2012/05/chama-cha-ukuzaji-wa-kiswahili-duniani.html
hierofante usomaji wa saikolojia wa mtandaoni online masomo ya akili > psychics live > hierofante megan machi 23 2017 psychics live23 maoni kwenye hierofante kuhusu hierofante psychic hierofante ana uzoefu wa miaka 2530 kwa kutumia uwezo wa psychic kusaidia wengine na kupata majibu ya maswali yao ya kibinafsi psychic hierofante hivi karibuni imewasaidia washiriki wa 92 na usomaji wa kisaikolojia na ufunuo wa anga katika oranum ushuhuda hapa chini unaonyesha kile wengine wamesema juu ya usahihi na usikivu wa hierofante kama saikolojia mkondoni kweli tu na zaidi nina suluhisho bora zaidi usipate tena nunua mkopo na utumie chumba cha kibinafsi mimi ni kutoka cuba na kwa kweli ninaishi kwa bwana mzuri wa bogotá colombia ambaye alisoma tangu miaka yangu ya 14 njia ya utabiri wa zamani kabbalah na tábula máxima hiperbórea nzuri mimi ni reiki master maisha yako yatabadilika na mwongozo wangu ninaweza kukusaidia kupata nuru ya kweli na ufungue egos zote na mashindano katika maisha yako nilisoma pia tarot ya misri mimi ni mtaalam wa mtaalam wa usomaji na ninafanya kazi kiafya chakras umbali ninaweza kukusaidia kupata njia sahihi katika maisha yako na kukuonyesha njia ya kupata uvumbuzi wa kiroho usifungue nafasi nzuri ya kupata nuru na kupata majibu yote katika maisha yako naweza kufanya safari ya astral nina uzoefu wa miaka zaidi ya 25 upendo pesa roho maarifa ¡yote utapata pamoja nami matatizo ya ndoa husaidia kupunguza mkazo ninakupa ushauri juu ya maswala ya elimu ya watoto mahusiano yote ni nyakati ngumu lakini kusikiliza kila mmoja na upendo kupenda kuzitatua kuja kwa ulimwengu wangu na kuchunguza ulimwengu wako wa ndani kuwa katika kazi yako kama vile ulivyo katika mawazo yako upepo na mawimbi daima ni kwa ajili ya wale ambao wanaweza kupitia kuoka ni kitanzi chako vitambaa vyako vya vitambaa na vitambaa ambavyo haifai kutumia kazi ya mikono yako huleta baraka na fikira huweka moyo kutoka kwa masikitiko nilikusikia lakini sasa jicho langu linakuona na unajisikia moyo wangu bwana nipe kazi lakini kwa nguvu zao wakati sayansi inapoingia moyoni mwako na hekima inapendeza roho yako omba na utapewa jenga madhabahu moyoni mwako lakini usiifanye moyo wako kuwa madhabahu panda mlima na utafakari ardhi ya ahadi lakini nakuambia usiingie ujuzi ni mkubwa kuwa uzoefu wa ununuzi na ghali zaidi kununua unakosa furahi katika tumaini subira katika dhiki uwe wa sala kwa ukawaida ingawa jua litakua la mchana na unahuzunika mwezi usiku usichukue mguu wako au kulala wakati unapoangalia usiku umepita na siku mpya inafika vaa basi silaha ya mwanga usiwe kama makapi kabla ya upepo au kama majani mbele ya upepo walinifanya niwe mlinzi wa shamba la mizabibu na shamba langu la shamba la mizabibu sijalilinda nuru ya alfajiri taa ya adhuhuri taa ya jioni cha muhimu ni kwamba ni nyepesi wanaume wengine wanahitaji ishara ya kuamini na wengine huuliza hekima ya kuchukua hatua lakini moyo wenye matumaini una yote katika tumaini labda upendo wako usio na kipimo na uvumilivu wako hauwezekani isipokuwa unapenda chukua ngao yako ya imani na kuamua kusonga mbele na roho au upepo wowote maua katika tunda la apple katika shamba la mizabibu lililopandwa kwa ukomavu jua linapoibuka na kuona jua na tena inakuwa mahali palipozaliwa katika siri yao sio kati ya roho yangu na meli yangu bandarini inakusanya kinu changu unga na unga kwa jirani yangu mesh baada ya matundu kuweka kitanzi changu vitambaa na vitambaa kwa heshima yangu kwa heshima vinjari mashua yangu safiri kwenda kugombana meli usiku navigna mchana ilikuwa wakati wa kubomoa na wakati wa kushona ilikuwa wakati wa kuongea na wakati ni kimya sio asali nyingi mno ya kutoshea au vainglory kufanikiwa usiangalie mwingine aliye ndani yako au uangalie kilicho katika wengine macho ya ujana senna macho yako na neno lako ni hekima ya zamani unalima shamba lako kwa uangalifu lakini haifai shamba yako kwa uchoyo usifanye uamuzi bila huruma wala kuwa na huruma bila hukumu inasafisha rasilimali ya akili yako lakini haifadhai mioyo yako furahini na upendo wa ujana wako na ufurahie zaidi na upendo wa ukomavu wako kwa maana urefu wa siku uko katika mkono wako wa kulia na kazi ya kushoto na heshima baada ya sasa ndivyo ilivyokuwa zamani na kabla ya hapo itakuwa sasa utamu ni kupigia kuimba tamu kusikiliza kwa tamu ardhi ya ahadi mbele ya macho yangu nisaidie juu kufikia hapo mwanamke mzuri sio kila mtu anayeona vitendo vyako ni sifa zako weka nia yako ya kujishuhudia mwenyewe lakini kwa wengine washuhudie matendo yako usiwe mtu ambaye macho yake wazi kwa uchoyo na sikio la wazi la kike kwa kufurahisha pinde za mashujaa zimevunjwa na hao waliokujikwa wamefungwa kwa nguvu nyumbani kwa heshima na sifa ya nguvu kuwa sifa kuu furaha ya moyoni inafurahisha uso wangu kwa tuhuma za busara kwa busara na ufurahie yako ni tumaini kila kitu ni nzuri kwa wakati wake na kila kitu ni kitamu wakati huo kuridhika katika vitu kidogo kufungua mlango wa mengi kuwa mwangaza katika nuru na joto kwenye moto ni dhamira yako mara kwa mara kunywa tone la tank yako au maji ya bomba kutoka kwenye kisima chako tamu ni kazi ya wale wanaofanya kazi kwa raha na kupumzika kwa yule anayestahili blight wako kwenye moto mwanamke na upepo wako wa kiume unaoushawishi moto neno la fedha ni ushauri wa sage na neno la dhahabu la wale wanaomtafuta na kumfuata weka moyo wako kwa maneno yako lakini usiweke maneno yote moyoni mwako hakuna upanga wa kulipiza kisasi upanga au matengenezo unakusanya shamba lako la mizabibu na kukusanya matunda yaliyoanguka lakini sio malalamiko ya kunung'unika au kuchukua malalamiko usipande mchanganyiko katika bustani yako au usilime moyoni mwako anima na anawafariji wanaoteseka na ushikilie mchezo wako kwenye shida mara saba chini kulia na ikiwa ni hivyo saba fanya tena ikiwa jirani yako anakuacha amechanganyikiwa angalia tukio hilo kwa moyo wako mwenyewe vyuma vinajaribiwa kwa moto na inastahili kwa kinywa cha mtu huyo anayesifu au anashuku yeye anayepanda na anaye anywesha ni moja ya mbegu inakulipa ambaye deni lake ni la deni deni lake ni la nani ikiwa heshima basi heshima yeye ambaye hulinda ulimi wake huhifadhi roho yake inatoa mbegu kwa mmea na haitaki na ushauri unataka kugonga na haujui nguvu ni hekima na nguvu hamu inayotembea anayeongeza maarifa huongeza huzuni anaongeza mchana au usiku kwa uzuri mawe ambayo hukomaa itafanya kazi na yeye atakayekata kuni wakati wa kukata atakuwa hatari nipe mkono mapema kutoa tembea haraka kukutana na wewe niko kwenye mlima au wazi angalia macho yako na mikono yako bila woga kwa upendo katika kazi yote kuna matunda na matunda yote hufanya kazi hakuna mtu asiye na maarifa au sayansi bila mwanadamu uchoyo ni uchoyo hujaa shida nyingi na huzuni sikiza maagizo ya baba yako na usidharau anwani ya mama yako tulia kiunoni mwangu ukifunga kitambaa cha kunifurahisha sadaka ya unga katika sahani bora ni zawadi yako kwa moyo mzito matunda mazuri tamu kupokea kama kutoa njoo nje ya nchi ukala mkate wetu na mchuzi wangu mwenyewe pathways anauliza mguu bidii zana mkono ngumu siku za jua mwezi shukrani kwa bahati nzuri au mbaya karibu katika chumba changu mtu mkarimu sana na mwenye subira na hekima nyingi ) imeandikwa na tash1921 ajabu ) imeandikwa na lesliecortes08 kusoma vizuri imeandikwa na maygirl utamu sana bora na sahihi 🙂 utapendekeza hautasikitishwa imeandikwa na dabeyra ungekuwa na usomaji mzuri wa haraka utangojea kuona kinachotokea nadhani alikuwa mzuri sana asante imeandikwa na sapnasharma100 well a positive reading and i truly enjoyed talking to him hopefully it was correct written by maria50t hes a straight shooter wont just tell you what you want to hear you gotta respect that written by joecool0510 very interesting written by anniekins he is awesome a must try written by anniekins wonderful person tells it as it is very accurate written by sycammer781 very good written by darling1 very thorough and helped endlessly told me how it was not what i wanted to hear and will surely follow through with this and everything written by sarahjoyce83 thanks written by cammyboo sometimes hard to understand the accent but an insightful reading written by afcsher i got a lot of positive energy i am grateful for your honesty thank you written by praveet thank you x written by clairejane33 very interesting and insightfuo reading i enjoyed talking to him and will check back in again thank you written by geoff007 very truthfulthank you written by av he brought a smile to my face ) written by d2k1000 very good written by jessy20 insightful and fun very good reading written by hijinks hes awesome very precise and direct he tells you what you need to know not what you want to hear he reassured me about some stuff what i like most about him is his kind and gentle spirit =d written by palony91 este hombre me ayudó mucho y fue muy directo con lo que necesitaba saber y no lo que yo quería escuchar 🙂 si quieren que alguien sea veraz hablar a este hombre written by ana101
2019-12-12T09:26:00
https://sw.psychicbonus.com/hierofante/
diary yangu toba ya kweli6 toba ya kweli6 unajua unapofanya kosa hata kama upo peke yako utakuwa unajihami hujiaminindivyo ilivyotokea kwangu japokuwa nilijua nipo ndani kwangu nimefunga mlango lakini bado nilihisi kama kuna mtu kaniona kwa yale niliyoyafanyanilijua nimefanya kosa nilijua nimeuana zaidi ni kuwa niliyemuua ni mke wangu mwenyewemke niliyempenda sana kiukweli nilimpenda mke wangu sana niliweza kufanya mabaya kwa wengine huko nje lakini nikirudi kwa mke wngu nilikuwa najitahidi kuonekana tofautinazikunjua kunyazi zote za usonina zaidi nilikuwa na wivu sana kwa mke wangu lakini sikujijua upande wa pili wa shilingi ninajua kila kituilikuwa sauti iliyonifanya nigwayesauti iliyozidisha hasira na chuki moyoni sauti iliyonifanya harufu ya damu isikike kwenye hisia zangu sauti iliyoniondoa kwenye ubinadamu ninajua kila kituanajua nininikajiuliza kwanza niligeuza kichwa kwa tahadhari lakini nilipojua kuwa huyo aliyekuwa nyuma yangu ni adui lakini nina uhakika hana silaha nilipoligundua hilo nikageuka mzima mzima na kwa haraka nikajitutumua nikijiweka tayarii kwa mapigo ya kumaliza ninajua kila kituna kila kitu kipo tayarikama lolote likinitokea mimiau familia yangu polisi watajua kuwa ni weweakasema na kauli hiyo ilinifanya nianze kusinyaani kama puto lililokuwa na upepo ghaflalikatoboka na kuanza kusinyaa pamoja niliwahi kuwa askari lakini sikupenda sana kukabiliana na polisi kwangu mimi hao watu niliona kama vizingiti vya kuyafikia malengo yangu na kwenye shughuli zangu nilijaribu sana kuwa mbali naoikibidi imebidi lakini mara nyingi nilikuwa nikimtumia wakili wangu apambane na hao watusasa huyu jamaa ananitamkia hilo umeingiaje humu ndani ilikuwa kauli yangu ya kwanza huku nikijitahidi kurejesha hali yangu lakini sikuweza kilichoanza hapo ikawa ni kwikwi nilijiwa na kwikwi ya ghaflanaye alipoiona hiyo hali akasema chukua maji kunywa na utulie maana hasira hazitakusaidia lolotekiukweli ilivyo sivyo ilivyo kihalisiakuna makosa yamefanyikana hata mkeo halijui hiloakasema usiusiusikwiikwi ikawa imenibana sanana jamaaakazidi kunishauri ninywe majiyeye mwenyewe akayafuata maji na kunipatianikanywa huku nikitetemeka hasiranilijua bila kufanya jambo sitaweza kutuliaile ile gilasi nikaivurumisha ikaenda kupiga ukutanimlio uliotokea hapo ulikuwa kama bomu jamaa akashtuka na kubakia mdomo waziakajua sasa kaingia kwenye choo cha kike na ndani kamkuta mama mkwe nikaanza kupiga kila kilichokuwa mbele yanguvitivunja vunja ilichukua robo saakila kitu kilikuwa chinivitu nikavunja vunjavilivyopona nikatupia chini damu zikawa zinanitoka utafikiri nilikuwa napigana na mtu mwenye silahana baadaye nikawa nimechoka nikapiga magoti na kuanza kulia nililia kwa nguvu mpaka hamu ikaisha halafu nikatulia jamaa alikuwa kasimamaanatetemekahaamini anachokionana hata alipoona nimetulia bado hakujiamininilimuona kama anataka kukimbia lakini hakuweza alikuwa na mkoba wake kasimama tu na alipoona nimetulia akahema na kabla hajasema neno mimi nikasema nataka uniambie ukwelije ni kweli hivyo mke wangu alivyoniambia nikasema mimi sijui kakuambia nini ila kiukweli kuna makosa yaliyofanyika na sijui ni nani alifanya hivyo na kwa nia ganina sijui mkeo kakuambia nini na kwa kiasi gani maana hata yeye haufahamu ukweli wotendio maana nikaja kwa harakaakasema nakuuliza tena ni kweli alivyosema mke wangu kuwa yeye ndiye aliyeitoa hiyo mimba nikauliza hiyo ni kweli kwa jinsi alivyonielezea na hakutaka ukweli ujulikaneakasema ni wewe uliyemsaidia kuitoa hiyo mimbakama sikosei nikauliza hapana mimi nilimsaidia pale alipoona ana tatizo sijui na hakuwahi kuniambia kabla kuwa ana mimbaakasema je ni kweli kuwa mtoto huyo sioalikuwa sio wangu nikamuuliza hilo sijui sina uhakika nalo sanalakini kuna kitu nilikuja kugunduandio maana nilitaka nionane na wewe kwanzanahisi hapo kuna makosa yalifanyika sijui ni nani alifanya hivyo na hata mkeo hakunielewa vyema na kuna uvumi mbaya dhidi yangu sio kweliakasema akijiuma uma uvumi mbaya mhh kwanini wakuseme wewe wewe si unajijua bwana kuwa wewe kidume mbegu mtaalamu wa mapenzi au sio niambie ukweli kabla sijauchana uso wako vipande viwili nitatakuraruanikawa nashindwa hata kuongea ngoja nikuambie kitu wewe ni mwanaume kama mimijapokuwa ni kweli sihitajiki kujiingiza huko lakinisijafanya makosa kama wanavyosema watu hayo yaliyotokea ni hata wewe usingeliwezanimejitahidi sananaomba unielewe hayo ya ndani zaidi siwezi kukuelezea akajitetea hujafanya makosa wewe eeh hivi kuzini na mke wa mtu hujafanya makosahahaha kweli wewe ni kidume kidume mbegu sioeti kwa vileunapendeza una umbile zuriunajua mapenzi sana au siomtaalamu wa mapenzi hahaha sasa nikuambie kitu mimi leo nitaviharivu hivyo vyoteila nataka uniambie ukweli kwanzanikatulia nikijizuia nisianze uharibifu wangu ndugu nielewe kwanza tusipoteze muda kuna matibabu yanahitajika kwa mkeo ndio maana nimepitia hapa na mengine nikuambie ukweli ni katika hali ya kuharibiana tu kibiasharamimi sijahata nimesikia na wewe na mke wangu lakini sikuaminajua ni fitina tuakasema na mimi nikamnyoshea ishara ya ngumi kuashiria sasa naweza kufanya lolote je ni kwelikuwa unautumia udakitari wako kama mtego wa kutimiza tama zako za kimwilikuwa wakija akina mama na matatizo yao wewe unawarubuni kimapenzi ili wapate watotonikamuuliza huku nikimsogelea sio kwelisijawahi kufanya hivyo mimi natumia udakitari wangu ipasavyo mengine ni maswala binafsi sijawahi kumlazimisha yoyote yule au kutumia ujanja wowote ule wengi wao wameniomba tu wamenitaka wao wenyewe kwa ridhaa yaonanawengine nawakataliaakatulia unasema nini nikamuuliza huku nikijaribu sana kujizuia sijui siku hizi nimepatwa na nini maana kwa muda huo huyo jamaa angeshaliharibika sura nikajitutumua niambie ukwelisema harakanikatoa sauti ya nguvu iliyomfanya ashutule na kusema mimi kama dakitari siwezi kukuambia zaidi mambo ya ndani maana hiyo ni siri yangu kati yangu na wateja wanguila ninakuhakikishia kuwa mengine sio kwelinilikuwa nimeshamkaribia unasema nini nikamuuliza sasa tukiwa tunaangaliana uso kwa usoniliona kwa jinsi alivyokuwa kachanganyikiwa kwa uwoga wananisingizia tuakasema hapo nilishindwa kujizuia kwa haraka nikarusha ngumi iliyomuingia barabara jamaa huyu dakitari usoni akarushwa na kudondoka chini kama gunia moja ya sifa zangu ni kuwa ngumi yangu ilikuwa na nguvu sana ikikupata ni lazima uende chini nikamuuendea pale chini nikitaka kuanza kumsindilia mingumina mara nikasikia sauti ya kugugumiailikuwa sauti ya mtu kama anahema huku akigugumia mwanzoni nilijua sauti hiyo inatokea nje lakini niliposikiliza kwa makini nikajua inatokea ndani chumbani alipokuwa kalala mke wangu hapo nikasita ina maana mke wangu bado yupo haihata kama yupo hai huenda ndio anaishianikawaza hivyo docta alikuwa kalala sakafuni akiwa hoi hakutarajia kipigo hicho na yeye aliweza kuiskia hiyoa sauti na kwa sauti yenye uwoga na maumivu akasema huhuyo ni mkeo aasi sio mkeo anahitajia huduma yangu tafadhali kuna dawa natakiwa nimpatie ndio maana nimekuja hapa kwa harakaakasema najua umekuwa ukitumia mbinu hizo ili mfanye uchafu wenunikasema sio kwelimkeo anaumwaakasema anaumwa eeh hahaha kweli anaumwa hebu niambieanaumwa niniuzinzi aunikasema sio hivyo mkeo anaumwa sanaakasema unanijua mimi lakiniyaani sijui leo nimekuwaje mpaka sasa unapumuaok okhaya inuka nenda kamtibie huyo malaya mwenzakonendana mkimalizana huko'nikasema huku moyoni nikimuwazia mke wangu 'kama anaumwa haya kama kafa hayaila ukitoka huko ama zako ama zangu huenda mkafungia hiyo ndoa kuzimunihilo nawaahidinikasema na dakitari akiwa anatoka damu puani akasimama unafanya makosa sana sio kweli kama unavyofikiria weweakasema huyo dakitari niniunataka kunitibua tenanikasema nikimuendea na yeye kwa haraka akaelekea chumbani yaani nilianza kujilaumu kwanini nimekuwa mrahisi kihivyo nikageuka nikitaka kuwaendea huko ndani lakini sijui ni kitu ganinikajaribu sana kujizuia baadaye nikaona nikiendelea kukaa hapo nitaua nikageuka na kuanza kutembea kulekea mlangoni kutoka nje kiukweli nilipotoka pale sikuwa na jingine zaidi ya kutokomea kokote nilihisi kama nikirudi hapo sizani kama kuna mtu atapona nikawa natembea kwa mwendo wa haraka na ole wake mtu angepita mbele yangu mbio mbionikawa natembea tu kumbe akili yangu ilikuwa ikinisukuma niende mahali fulani nikajikuta nipo mbele ya nyumbani moja nikagonga mlango na aliyenifungulia alikuwa mwanamkemwanamke yule aliponiona akapiga ukulele akijaribu kushika mdomo kujizuia asiendelee kupiga ukelelesikujua ni kwanini na haraka akakimbilia ndani baadaye akajitokeza mwanaume vipi kuna nini kimetokea akaniuliza huyo mwanaume akiniangalia kwa mashaka jamaa huyo amekuwa rafiki yangu wa muda na ndiye mtu anayenisaidia sana kiushauri na ndiye aliyenishauri nikamuone mtu wa dini ili niweze kupata ushauri nasaha wa kiroho japokuwa na yeye mambo hayo anayajua kidogo aliponiona nipo kwenye hiyo hali akangalia huku na kulenahisi alijua nafukuzwa na polisi au sijui kumetokea nini ninaomba unisaidia ndugu yangunikasema na yeye akafungua mlango na kunipisha niingie ndani nilihisi mwili ukinilegea mwili uliisha nguvu kabisa na kitu kama giza kikatanda usoni mwangu na kudondoka sakafuni nikazama kwenye giza sijui ilichukua muda gani kwani nilipozindukana nilijikuta nimelala kwenye mkeka na pembeni yangu kuna beseni la majiniliona yale maji yana rangi kama nyekundu hivi yalikuwa kama yana rangi ya damu kwa haraka nikajaribu kujiinua na nikahisi mkono ukinizuia niendelee kulala endelea kupumzika utajitoneshasauti ikasema oh kumetokea nini nikauliza umeumia sanani kama uligongwa na gari auhata hatujui kwani ilikuwaje sisi tulitaka kumuita dakitari lakini tukaona kwanza tukufanyie huduma ya kwanza hebu niambie kama unakumbuka vyema kulitokea nini ilikuwa sauti ya huyo jamaa yangu na pembeni yangu kulikuw na mtu mwingine hata sijuimimi nahisi nimeua mtunikasema umeua mtu kwa vipiulikuwa unapigana au akaniuliza huyo jamaa mwingine nimepigahatujapiganahata sijui kwaninihata sitaki kukumbukanikasema sasa unajuaje kuwa umeua mimi sijakuelewaakaniuliza huyo jamaa mwingine tuyaache hayo nasubiria matokea lakini kwasasa sijutii na ikiwezekana naweza kuua tenanikasema ni hivi ninajua una hasira sanana ulichokifanya huko ulipotoka sizani kama ni sahihisiku ile ulikuja kwangu nikajaribu kukusaidia kiushauri akasema nimeshindwa mkuu wangu wa imani nisemehe sanasiwezinikasema nilijua tunilijua hatua ya kwanza kwako utaiona ni rahisi kuomba kusamehewa ni rahisi kwa namna moja au nyingine maana unataka utendewe kila mtu anajipenda atendewa yale yatakayomridhisha nafsi yake au siolakini hata hivyo mimi nakufahamu sana nilishakuona wewe ni mtu uliyetawaliwa na jazbakiburi cha pesana hiyo ni hatariakasema pesa hazina maana tena kwangunikasema nikisita maana sio kweli mimi na pesa ilikuwa kama pete na kidole ukiniambia kuna kazi ya pesa umenifanya kinywa kibakie wazi kwa tabasamu nilikuambia nini kwanza anza tabia ya kuchunga hasira zako pili tubia makosa yako mpaka moyo wako ulainike halafu waendee uliowakosea uwaombe msamaha utubu yale uliyowafanya mbele yao usiwafiche je uliweza kufanya hivyo akaniuliza ndiolakininikataka kujitetea hiyo ilikuwa hivyo ili uone wenzako walivyo mbele yakoni rahisi au sio unaomba unaipiga magotiwengi watakuonea huruma lakini hatua hii ya tatu ndio hiyo imekushinda hiyo ni hatua ambayo na weweunatakiwa uwasamehe wale waliokukosea nilikuambia wazi kwa jinsi nilivyooteshwa mimi ssiwezi kukuhakikishia lakini mara nyingi njozi zangu huwa ni kwelina kama ungelifanya hivyo ungelifanikiwa matatizo yote uliyokuwa nayo yangelimalizika sasa umeharibu akasema nimeharibukwanini kwahiyosisi wezi kufanikiwa tena nikauliza na kabla sijapata jibu simu yangu ikawa inaiita niliangalia na kukuta namba nisiyoifahamu nikataka kuizima lakini nikashikwa na shauku kuichunguza vyema niliona kuna miito mingi ambayo haikipokelewa na kabla sijaizima yule jamaa yangu mwenyeji aliyenisaidia akasema samahani sana simu yako iliita sana na mimi nikaamua kuipokeaakasema sitaki kuongea na mtu kwa hivi sasa nikasema huku nikiizima kabisa hiyo simu sasa sisi tunakushauri urejee nyumbani kwako usije kutuletea matatizo mengineakasema huyo jamaa aliyenisaidia na yule mshauri wangu wa kidini akasema ni kweli unatakiwa upambane na matatizo yako wewe mwenyewe na kamwe usiyakimbie matatizo yako kumbuka hilona kwa vile ulishaanza ni muhimu sana kwako kukamilisha kazi uliyokwisha kuianza kama kweli una nia njema ni ngumu na huenda ukaingia matatani lakini baada ya dhiki huwa inakuja faraja kama nia yako ilikuwa kama ulivyoniambiaakasema huyo mtu wa dini nia ilikuwa hivyo lakinihapana na leo kama nikirudi huko sizani kama kutakuwa na usalamasizani kama nitaweza kujizuia ni lazima nitaua tena sitaki kabisa kurudi hukonikasema kuua tena hapana wewe sio mungunakusihi ichunge nafsi yako isikutawale kama utaiachia nafsi yako ikutawale hutafanikiwa sasa ni hivi nimeongea na huyu jamaa rafiki yako yeye anaweza kukuhifadhi hapa kwake kwa hii leo iwe hii leo tu lakini kesho ni bora urudi kwako ukapambane na mambo yakoakasema huyo jamaa baada ya kunielewa basi siku hiyo nikalala hapo hadi asubuhi mtu tajiri mwenye nyumba zake mali leo naishi kwa ufadhili hatimaye kukapambazuka na mambo yakaanza nb je mambo gani hayo yalianza wazo la leo kuyakimbia matatizo yako mwenyewe sio suluhisho la matatizo hayo wapo watu wanazikimbia hadi familia zao eti kwa vile maisha ni magumu kuna wengine wanakimbia eneo walilokuwa wakiishi au kufanyia kazi kwa vile wamefanya makosa je hilo ndilo suluhisho la tatizo je ukifanya hivyo ndio tatizo limekwisha imetumwa na emu three at 1235 pm
2017-10-17T16:51:41
http://miram3.blogspot.com/2016/07/toba-ya-kweli-6.html
makole wikipedia kamusi elezo huru makole ni jina la kata ya dodoma mjini katika mkoa wa dodoma tanzania yenye msimbo wa posta 41105[1] wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012 kata ilikuwa na wakazi wapatao 10504 [2] waishio humo rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=makole&oldid=1013140 last edited on 30 septemba 2017 at 0934
2020-01-18T08:15:50
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Makole
mubarak mahututi | matukio ya afrika | dw | 20062012 mubarak mahututi wakati aliyekuwa rais wa misri hosni mubarak akiwa yu mahututi katika mojawapo ya hospitali ya kijeshi nchini humo bado taifa hilo lipo kwenye hali ya mashaka ambapo tangu jana maelfu ya waandamanaji wamekusanyika katika uwanja wa tahrir mjini cairo dhidi ya utawala wa kijeshi watu walikusanyika tangu jana katika uwanja huo kuupinga vikali utawala wa kijeshi kwa kile kinachoonekana kusudio lake la kubaki madarakani hata baada ya uchaguzi wa rais mohammed mursi mgombea urais kutoka chama cha udugu wa kiislamu tangazo la baraza la kijeshi tangazo la jumapili la baraza la kijeshi ambalo lilisema wanajeshi wanajitwalia madaraka baada ya bunge kufutwa na mahakama ya kikatiba ndio msingi wa maandamano hayo chama cha udugu wa kiislamu ambacho kilikuwa kinashikilia nusu ya viti kwenye bunge hilo kimejiunga na waandamanaji hao ´tunatamka bayana kuwa tunapinga kifungu cha ziada cha katiba na tunalitaka baraza kuu la kijeshi kukabidhi madaraka mara moja kwa rais aliyechaguliwa aiman sadek msemaji wa chama hicho alisema matokeo yasiyo rasmi ya uchaguzi wa duru ya pili yanasharia kuwa mohammed mursi wa udugu wa kiislamu huenda akatangazwa mshindi wakati matokeo rasmi yatakapotolewa hapo kesho afya ya mubarak wakati hali katika medani ya siasa ikiwa hivyo hali ya afya ya aliyewahi kuwa rais wa taifa hilo hosni mubarak imezorota baada ya kuhamishiwa kutoka gerezani na kupelekwa kwenye hospitali ya kijeshi uvumi umeenea kuwa kiongozi huyo wa zamani ambaye sasa anatumikia kifungo cha maisha amekwishafariki dunia mubarak akiwa na rais obama enzi akiwa rais wa misri hata hivyo wakili wake farid al deed amesema licha ya afya mubarak kuwa mbaya mno baada ya kupata ugonjwa wa kiharusi kutokana na hali mbaya ya gerezani bado angali hai mkewe suzanne mubarak ameripotiwa kwenda kwenye hospitali hiyo ya kijeshi kuangalia hali ya mumewe mubarak alipelekwa gerezani kuanza kifungo chake cha maisha hapo juni 2 baada ya mahakama kumtia hatiani kwa tuhuma kadhaa zikiwemo za kuhusika na mauaji ya waandamanaji katika maandamano yaliyomuondoa madarakani yeye na aliyekuwa waziri wake wa mambo ya ndani walitiwa hatiani matukio ya kumuua afya ya mubarak aliyewahi kukoswakoswa kuuwawa mara10 akiwa madarakani ilianza kuwa ya mashaka kutokana na ugonjwa wa moyo aliingia madarakani oktoba 6 mwaka1981 mara baada ya kuuwawa kwa rais wa pili wa misri anwar sadat aliyepigwa risasi na wanamgambo wa kiislamu wenye misimamo mikali miongoni mwa matukio aliyoponea kuwawa ni lile la mwaka 1993 nchini mwake na mwaka 1995 alipofurumishiwa risasi akiwa katika gari huko addis ababa ethiopia mwandishi adeladius makwega/dpae/afpe tarehe 20062012 maneno muhimu hosn mubarak kiungo http//pdwcom/p/15ihi viongozi wa kiarabu wakutana mauritania 26072016 ni viongozi saba pekee kati ya 22 ndiyo waliofanikiwa kuhudhuria mkutano wa kilele wa jumuiya ya nchi za kiarabu ambao umefanyika nchini mauritania kwa mara ya kwanza
2018-04-24T18:47:46
http://www.dw.com/sw/mubarak-mahututi/a-16038266
wataalam wa afya kutoka marekani watembelea hospitali ya taifa ya muhimbili (mnh) mwanaharakati mzalendo | presstz your number 1 source of aggregated online content akizungumza katika mapokezi hayo mkurugenzi mtendaji wa hospitali ya taifa muhimbili prof lawrence mus continue reading >
2019-04-19T03:05:03
http://presstz.net/wataalam-wa-afya-kutoka-marekani-watembelea-hospitali-ya-taifa-ya-muhimbili-mnh-41153643
msanii nuh mziwanda ampamakavu petit man(soma hapa) ~ blogu ya wananchi msanii nuh mziwanda ampamakavu petit man(soma hapa) msanii wa bongo fleva nuh mziwanda kwa sasa ameingia katika mgogoro na aliyekuwa meneja wake petii man kutokana na madai kuwa petii man amekuwa akitumia jina lake vibaya kupiga hela nuh alitumia dakika 4 akiiambia enewz kuwa petii man alikuwa ni mpigaji na hakuwa na mchango wowote katika kuuendeleza muziki wake huku akimkumbuka mpenzi wake wa zamani kwa kusema mtu wa kumshukuru katika muziki wangu ni shilole na si petit man nuh aliongeza nilishapoteza miaka mitatu kwa ishu za mapenzi sasa siwezi kupoteza mwezi mmoja kwa mtu ambaye hana mchango wowote kwangu na kanikuta tayari nimeshakuwa star siwezi kufanya kazi na yeye kwa sababu hatuendani na anachukua hela kupitia mgongo wangu bila mimi kujua na pia ni meneja ambaye yeye anahangaika zaidi yeye mwenyewe kuwa star pia nuh alitambulisha studio yake mpya aliyoipa jina la lb records huku akijibu watu wanaosema kuwa studio hiyo ndiyo imefanya angombane na meneja wake (petii man) kwa kusema studio hii ni jasho langu na haihusiani na ugomvi wetu
2017-02-22T19:55:48
http://www.williammalecela.com/2016/09/msanii-nuh-mziwanda-ampamakavu-petit.html
zanu pf na mdc kuanza mjadala kuhusu mkwamo wa kisiasa | matukio ya kisiasa | dw | 21072008 zanu pf na mdc kuanza mjadala kuhusu mkwamo wa kisiasa je muafaka kupatikana kuanzia leo morgen tsvangirai kushoto na robert mugabekulia vyama viwili vikuu vya kisiasa nchini zimbabwechama tawala cha zanu pf na kile cha upinzani cha mdc vinatarajiwa kutia saini mkataba wa kukubaliana kuanza mazungumzo kamili kuhusu mgogoro wa kisiasa unaoikumba nchi hiyo japo chama cha upinzani kinaweka msharti hii inafutaia juhudi mbalimbali za kutaka pand hizo mbili kuzungumza taarifa kutoka zimbabwezikimnukuu afisa mmoja wa umoja wa mataifa zinasema kuwa chama cha rais mugabe cha zanu pf pamoja na cha mpinzani wake mkuu kisiasa morgen tsvangirai cha mdc kimsingi vimekubaliana kuhusu mazungumzo yenye nia ya kumaliza mgogoro wa kisiasa makubaliano hayo ni kuhusu kuanza mazungumzo rasmitaarifa zilizotolewa awali zilionyesha kama hati ya kukubali kuanza mazungumzo hayo yaweza ikatiwa saini leo jumatatu lakini chama cha upinzani kilisema kuwa hakitatia saini makubaliano hayo hadi mpatanishi afrika kusini atakapo shughulikia manunguniko yao hapo awali mjumbe maalum wa umoja wa mataifa kuhusu zimbabwehaile menkeriosalinukuliwa kusema kuwakama hatua ya kwanza kuelekea hilo muswada jaribio umeshakubaliwa na pande zote mbili yaani rais mugabe na bw tsvangirai ingawa pande husika katika mazungumzo zimeonyesha matarajio yao ya makubaliano hayo kutiwa saini leolakini msemaji wa bw tsvangirai pamoja na cheo somo wake wa mpatanishi wa mzozo huo rais wa afrika kusini thabo mbeki hawakutoa hakikisho la kutokea hilo hata hivyo taarifa za hivi punde kutoka zimbabwe zinasema kuwa pande hizo mbili zitatia saini makubaliano hayo hii leo mchana saa za zimbabwe kwa mujibu wa shirika la habari la afp waziri wa sheria wa zimbabweambae pia ndie kiongozi wa ujumbe wa chama cha rais mugabe katika mazungumzo hayopatrick chimasamakubaliano yatatiwa saini leo jumatatu makubaliano ya leo jumatatuikiwa yatafikiwa ni ya kukubaliana kuanza rasmi mazungumzo ili kutafuta muafaka wa mgogoro ambao umekuwa ukiendelea kwa mda sasa shinikizo limekuwa likiongezeka la kutaka kufikia muafaka kuhusu uchaguzi tatanishi wa juni 27 ambao ulimpatia ushindi rais mugabe bila ya kushiriki kwa mpinzani wake tsvangirai ambae alijiondoa akidai wapinzani wake walikuwa wakinyanyaswa chama cha mdc kimekataa kumtambua mugabe kama mshindi wa uchaguzi huokikishikilia msimamo wa kuwa kiongozi wao tsvangirai alishinda duru ya kwanza ya ucnaguzi uliofanyika machihata hivyo takwim rasmi zilionyesha kama hakupata idadi ya kumpa ushindi wa moja kwa moja na hivyo ikabidi kufanyika kwa duru ya pili wasiwasi ulijitokeza baada ya kura hiyo ya marudio na umevuruga zaidi uchumi wa nchi hiyo ambapo mfumuko wa bei umepanda kupita asili mia millioni 2kusababisha uhaba wa mahitaji muhimu mkiwemo chakula na pia ukosefu wa ajira kupanda kwa asili mia 80 tarehe 21072008 kiungo https//pdwcom/p/eg98
2019-09-20T03:30:52
https://www.dw.com/sw/zanu-pf-na-mdc-kuanza-mjadala-kuhusu-mkwamo-wa-kisiasa/a-3498606
ruhuhu (mto) wikipedia kamusi elezo huru rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=ruhuhu_(mto)&oldid=1031307 ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 12 mei 2018 saa 1035
2019-11-22T02:46:38
https://sw.wikipedia.org/wiki/Ruhuhu_(mto)
hodi hodi wanajamii forums na kisa chakweli naomba mawazo yenu | jamiiforums | the home of great thinkers hodi hodi wanajamii forums na kisa chakweli naomba mawazo yenu discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by mkulasabo apr 9 2012 kama una mpenzi mke mchumba kisha ukangudua ametoka kumegwa bila ya wewe kumfumania lakini kukawa na mazingila ya kukufanya uhisi hilo jambo na baada ya kumbana mhusika akakili kweli nimetoka kumegwa ungekuwa wewe ungechukua hatua gani naomba mawazo yenu hatua zinatofautiana kwa wote uliowatajakuwa specific na muwazi mchumba mpenzi unamsamehe tuuila lazima akafanye blood test kwanza na akili mbele ya marafiki zako na marafiki zake kwamba hatarudia tenaakigoma piga chini samehe nane mara themanini na nane itategemea niko ktk mood gani kwa hasira na wewe unammega huku ukimw3ambia kuwa unampenda sana kama una mpenzi mke mchumba kisha ukangudua ametoka kumegwa bila ya wewe kumfumania lakini kukawa na mazingila ya kukufanya uhisi hilo jambo na baada ya kumbana mhusika akakili kweli nimetoka kumegwa ungekuwa wewe ungechukua hatua gani naomba mawazo yenuclick to expand kama ni mke achana nae maana uzinzi hauruhusiwi ila kama ni demu na wewe tafuta mnyonge ummegee ili muende sawa upo hapo mkuu mke nitaweka mjadala kidogo lakini lazima aipatepate mpenzi nampiga kibuti au namtolea mbavuni ukishagundua ujue we ndo chanzo cha tatizo kama sio hulka yake unatakiwa kujifunza kufanya mapenzi not all people are gifted to be good lover kujitambua mwili wako kuutambua mwili wa mwenzio pindi mkiwa faraga ili umridhishe ni kitu muhimu sanayaani wapi ukimgusa anajiskia raha kutoka nje kunatokana na yeye kutokuridhika vile vile sio wanawake wote wanaoweza kudhubutu kuwambia wapenz wao kuwa hawawaridhishi kwa hiyo kaa nae muulize ufanye nini ili kuondoa hili tatizokumpiga chini au kumlulu hakusaidii utawalulu wangapi samehe nane mara themanini na naneclick to expand na ili kuonyesha kuwa umesamehe nane mara themanini na wewe unammega itategemea niko ktk mood ganiclick to expand kama uko kwenye mood ya kumega inakuwaje namwambia akaogethen tunaanza upya ili achoke siku nyingine asirudie mimi ningempongeza kwani k si bado anayo ningemwambia 'duh ' afu nikaondoka zangu kwa hasira na wewe unammega huku ukimw3ambia kuwa unampenda sanaclick to expand du so stimu ni imagination kuwa wenzio wamemmega we mkali nina uhakika hatarudia tena ukishagundua ujue we ndo chanzo cha tatizo kama sio hulka yake unatakiwa kujifunza kufanya mapenzi not all people are gifted to be good lover kujitambua mwili wako kuutambua mwili wa mwenzio pindi mkiwa faraga ili umridhishe ni kitu muhimu sanayaani wapi ukimgusa anajiskia raha kutoka nje kunatokana na yeye kutokuridhika vile vile sio wanawake wote wanaoweza kudhubutu kuwambia wapenz wao kuwa hawawaridhishi kwa hiyo kaa nae muulize ufanye nini ili kuondoa hili tatizokumpiga chini au kumlulu hakusaidii utawalulu wangapi[/qu hapo umenena mkuu ila ujue si wote wanaomegwa nje ni kwamba hawatoshelezw kimapenz tamaa inatuponza wanawakeclick to expand kajifukuza mwenyewe kama ni mke jitazame wewe umeshamega wangapi nje kama wapo mpige mkwala kisha msamehe endeleza game haisomi kilometa hiyo na usiendelee kuchunguza chunguza sana mi ningemsukuma kama lulu alivyomsukuma kanumba pwaaaaaaa
2016-10-21T09:13:33
http://www.jamiiforums.com/threads/hodi-hodi-wanajamii-forums-na-kisa-chakweli-naomba-mawazo-yenu.247686/
re dr kafumu amkataa jaji mary shangali jamiiforums re dr kafumu amkataa jaji mary shangali thread starter karikenye 565 2 35 [td]dk kafumu amkataa jaji [td]katika hali isiyo ya kawaida jana mbunge wa jimbo la igunga dk peter kafumu alimkataa jaji mary nsimbo shangali kuendelea kusikiliza kesi ya kupinga matokeo yaliyompatia ushindi mbunge huyo katika uchaguzi mdogo wa igunga uliofanyika mwishoni mwa mwaka jana akisoma barua ya kafumu mbele ya mahakama hiyo wakili wake antony kanyama alisema kuwa mteja wake hana imani na jaji huyo kwa kuwa baadhi ya maamuzi yanakwenda visivyo alisema imani na jaji huyo imetoweka kwa madai kwamba amekuwa akiwadhalilisha na kuwatukana mashahidi wa upande wa utetezi na kutoa mfano wa shahidi (dw14) ambapo amedai alichukua nafasi ya mawakili wa mdai kwa kuwahoji maswali mashahidi wake badala ya kutaka ufafanuzi juu ya maelezo yao aliitaja sababu nyingine kuwa ni tabia ya jaji huyo ya ukali pasipo sababu dhidi ya mawakili wa utetezi kila walipohoji mashahidi wa upande wa mdai aliitaja sababu nyingine kuwa ni kile alichodai kuwa ni kitendo cha jaji huyo kuwanyima mawakili wa upande wa utetezi waliomba kupewa nakala ya mwenendo wa shauri hilo mara tu usikilizaji wa kesi kwa pande zote ulipokamilika ili kuwasaidia kuandaa hoja za majumuisho wakili kanyama alidai kuwa kutokana na hali hiyo mashahidi wake muhimu wamekataa kuja kutoa ushahidi kwa kuogopa kudhalilishwa hata hivyo wakili prof abdallah safari anayemtetea mlalamikaji joseph kashindye anayepinga ushindi wa kafumu alisema kuwa maombi hayo si ya msingi na akatoa mifano mbalimbali ya kesi kama hizo na kuongeza kuwa kama wanaona hali ni mbaya wasubili wakate rufaa mara baada ya kesi hiyo kuhukumiwa baada ya kupitia pande zote mbili na kusoma kwa muda jaji huyo alitupilia mbali ombi hilo la kafumu na kusema kuwa kesi hiyo inaendelea kusikilizwa kwa kufuata taratibu na kanuni za kimahakama jaji mary alisema hakuna sababu za msingi zilizotolewa na kwamba maelezo yanayolalamikiwa yanaweza kufanywa katika rufaa pamoja na kutupilia mbali ombi hilo wakili kanyama aliiomba mahakama hiyo kuahirisha kesi hiyo mpaka aongee na mteja wake kama ataendelea ama vipi katika hatua nyingine jaji mary ametaka mahakama iachwe uhuru na isiingiliwe katika mwenendo wake kwa vile hadi sasa haijabainika nani atakuwa mshindi katika kesi hiyo kwani bado ushahidi unaendelea kusikilizwa kwa mujibu wa madai na upande wa serikali “naomba muiachie mahakama iendelee kusikiliza kesi hii na mheshimu mahakama kama jinsi tulivyoapishwa’’ alisema jaji mary 3231 1095 280 safi sana nimeipenda hii kekuwetu 327 10 35 mh tatizo ni jaji au njia ulizopata kuiba ushindi threads 1274992 posts 30529819
2019-03-26T10:38:42
https://www.jamiiforums.com/threads/re-dr-kafumu-amkataa-jaji-mary-shangali.266619/
muongozo wa rasilimali watu mywageorg/tanzaniasw muongozo wa rasilimali watu muongozo wa rasilimali watu ni majumuisho ya kanuni na taratibu za kiutendaji katika kampuni au ofisi zinazowekwa na mwajiri kwa ajili ya kutoa muongozo wa kiutendaji wa mfanyakazi katika mazingira ya kazi husaidia kuboresha amani na utulivu mahali pa kazi https//mywageorg/tanzaniasw/mahali20pa20kazi/usalamawaajira/muongozowarasilimaliwatu https//mywageorg/tanzaniasw/@@sitelogo/wageindicatorpng muongozo wa rasilimali watu ni majumuisho ya kanuni na taratibu za kiutendaji katika kampuni au ofisi zinazowekwa na mwajiri kwa ajili ya kutoa muongozo wa kiutendaji wa mfanyakazi katika mazingira ya kazi husaidia kuboresha amani na utulivu mahali pa kazi ni upi muongozo wa rasilimali watu muongozo wa rasilimali watu unaweza kua na majina mengi kama vile kitabu cha muongozo kwa mfanyakazi au muongozo kwa wafanyakazi muongozo huu ni majumuisho ya kanuni za kampuni zinazowekwa na mwajiri kwa ajili ya kuongoza utendaji wa mfanyakazi katika mazingira ya kazi husaidia kuboresha amani na utulivu mahali pa kazi je ninabanwa na kanuni na sheria zilizowekwa na muongozo wa rasilimali watu pale muongozo huu wa rasilimali watu unapokua rasmi kwa maana kwamba umekubaliwa kwa sahihi ya pande zote mbili yaani mwajiri na mfanyakazi basi unakua na nguvu ya kisheria muongozo huu unaongoza pande zote mbili za mwajiri na mfanyakazi inapotokea ukiukwaji wa muongozo huu upande utakaokua umefanya ukiukwaji huu utalazimika kupata adhabu inayohusiana na ukiukwaji huo inapotokea kuna utata katika kanuni hizo basi itadadafuliwa dhidi ya upande uliotengeneza kanuni hizi ambao ni mwajiri je muongozo huu wa rasilimali watu unaweza kua na nguvu kuliko masharti na vigezo vilivyowekwa na sheria sheria ya ajira na mahusiano ya kazi 2004 imeweka viwango vya chini vya ajira hii inamaanisha kwamba nyaraka za ndani kama muongozo wa rasilimali watu au mkataba wa ajira hauwezi kutoa kiwango cha chini zaidi ya kilichowekwa na sheria lakini zinaweza kuboresha au kutoa sawa na sheria ilivyosema muongozo wa rasilimali watu hautakiwi kukinzana na sheria ila unaruhusiwa kutoa vigezo vizuri zaidi ya vile vilivyoko kwenye sheria kwa mfano sheria imetoa siku 28 za likizo ya mwaka yenye malipo kila mwaka hivyo muongozo wa rasilimali watu hauwezi kutoa siku 20 za likizo ya mwaka lakini unaweza kuboresha na kutoa siku zaidi ya 28 au kutoa siku 28 hizo hizo kama zilivyotolewa na sheria je ni haki yangu mimi kama mwakilishi wa chama cha wafanyakazi au mwakilishi wa wafanyakazi kuhusishwa katika zoezi la kuandaa muongozo wa rasilimali watu kutokana na kwamba muongozo wa rasilimali watu ni nyaraka za ndani za kampuni basi ni maamuzi ya mwajiri kuamua nani ahusishwe katika uandaaji wa nyaraka hii hata hivyo muongozo huu ni lazima utayarishwe na watu wenye ujuzi na uzoefu katika masuala ya ajira na rasilimali watu kama mwajiri ataamua kuhusisha chama cha wafanyakazi au mwakilishi wa wafanyakazi kama hakuna chama anaweza kuamua ni katika hatua ipi awahusishe watu hawa kama ni toka mwanzo wa maanadalizi aua katika hatua ya mwisho ya kurejea kabla muongozo huo haujawa rasmi ili aweze kupata maoni yao hata hivyo kwa urahisi wa utekelezaji wa muongozo huu wa rasilimali watu inashauriwa kuwahusisha chama cha wafanyakazi au wawakilishi wa wafanyakazi katika hatua ya mwisho ya kurejea nyaraka hii kabla haijawa rasmi hii itasaidia kupata maoni yao na kiapo chao cha kuiheshimu nyaraka hiyo je mwajiri wangu anaweza kubadilisha muongozo wa rasilimali watu baada ya kua umetiwa sahihi na pande zote mbili ndio vipengele vya muongozo huu vinaweza kubadilishwa lakini kutokana na sababu kwamba muongozo huu ni wa pande zote mbili basi mpango wowote wa kubadili chochote katika nyaraka hii unatakiwa kuhusisha pande zote mbili hii inamaanisha kwamba mfanyakazi ni lazima ahusishwe katika ubadilishaji ili kuweza kutoa maoni yake na ruhusa ya mabadiliko kama mabadiliko haya yatafanyika bila kuhusisha wafanyakazi au chama chao hiyo itakua ni ukiukwaji wa vigezo vya muongozo huo uliofanywa na upande mmoja na mwajiri atawajibika na ukiukwaji huo ni kwanini kunakua na muongozo wa rasilimali watu katika eneo langu la kazi sheria inamtaka mwajiri kuonyesha haki za mfanyakazi katika sehemu iliyoko wazi au yenye urahisi wa kuiona katika mahali pa kazi kwa kuzingatia haya basi muongozo huu ni muhimu sana vile vile inashauriwa kua na huu muongozo kwani unapunguza uvunjifu wa amani na utulivu katika mahali pa kazi kwa kuonyesha masharti yote na adhabu itolewayo panapotokea ukiukwaji wa aina yoyote pia sheria haijitoshelezi katika kila suala linalohusu kazi kwa kiasi fulani ipo kimya kwenye masuala kadha wa kadha muongozo huu wa rasilimali watu unaweza kusaidia kutoa ufafanuzi wa vipengele muhimu vilivyoacha na sheria kwa mfano masuala ya huduma za matibabu fedha za kujikimu unapokua nje ya eneo la kazi kikazi masuala ya kunyonyesha nk jaza tafiti ya mishahara usaidie upatikanji wa taarifa za mishahara katika fani tofauti fahamu kuhusu kima cha chini cha mishahara tanzania cite this page © wageindicator 2019 mywageorg/tanzaniasw muongozo wa rasilimali watu
2019-11-21T00:11:06
https://mywage.org/tanzania-sw/Mahali%20Pa%20Kazi/usalama-wa-ajira/muongozo-wa-rasilimali-watu
soma katika chitonga (malawi) kiajemi kialbania kiamhara kiarabu kiarmenia kiaymara kiazerbaijani kiazerbaijani (cha kisirili) kibemba kibengali kibikoli kibulgaria kicheki kichewa kichina (kilicho rahisi) kichina (cha kitamaduni) kichuvash kidachi kidenishi kiebrania kiefik kiestonia kifaransa kifiji kifini kiganda kigeorgia kigiriki kiguarani kigujarati kiguni kihausa kihiligaynoni kihindi kihiri motu kihispania kihungaria kiiceland kiigbo kiiloko kiindonesia kiingereza kiisako kiitaliano kijaluo kijapani kijerumani kikamba kikanada kikaonde kikatalan kikazakh kikiluba kikirghiz kikiribati kikongo kikorea kikreoli cha haiti kikreoli cha mauritius kikreoli cha ushelisheli kikrio kikroatia kikuyu kikwechua (cha bolivia) kikwichua (imbabura) kilatvia kilithuania kilunda kiluvale kimakedonia kimalagasi kimalay kimalayalamu kimambwelungu kimarathi kimaya kimongolia kindebele (zimbabwe) kinepali kinorwei kinyanja kinyarwanda kioromo kiosetia kiotetela kipangasinani kipapiamento (cha aruba) kipapiamento (cha curaçao) kipolishi kipunjabi kireno kirumania kirundi kirusi kisamoa kisango kisebuano kiserbia kiserbia (cha roma) kishona kisilozi kisinhala kislovaki kislovenia kisonge kisranantongo kiswahili kiswahili (cha kongo) kiswedi kitagalogi kitajiki kitamili kitatar kitelugu kithai kitigrinya kitiv kitok pisin kitonga kitshiluba kiturkmen kiturkmen (kisirili) kituruki kituvalu kitzotzil kiukrania kiurdu kiuzbek kivietnam kiwaraywaray kiwolaita kiyoruba kizande kizapoteki (mlangobahari) tetun dili kichitumbuka mnara wa mlinzi (toleo la funzo) | februari 2015 tunaweza kufanya nini ili kuwasaidia ndugu na dada wanaoathiriwa na marashi yeyote anayeathiriwa na marashi anakabili hali ngumu inaelekea kwamba katika shughuli zao za kila siku hawawezi kuepuka kuchangamana na watu wanaotumia marashi hata hivyo baadhi yao wameuliza ikiwa ndugu na dada wanaweza kuombwa wasitumie marashi wanapokuja kwenye mikutano na makusanyiko ya kikristo bila shaka hakuna mkristo anayeweza kwa makusudi kufanya iwe vigumu kwa mtu mwingine kuhudhuria mikutano ya kikristo sisi sote tunahitaji kitiamoyo tunachopata kwenye mikutano yetu (ebr 1024 25) kwa hiyo yeyote ambaye anaathiriwa sana na marashi hivi kwamba anakosa kuhudhuria mikutano anaweza kuzungumza na wazee kuhusu jambo hilo ingawa hakuna msingi wa kimaandiko na haingefaa kuweka sheria inayowakataza wahudhuriaji kutumia marashi mikutanoni wazee wanaweza kuwaeleza washiriki wa kutaniko kwamba wahudhuriaji fulani wanaathiriwa na marashi ikitegemea hali wazee wanaweza kuamua kutumia sehemu ya mahitaji ya kutaniko katika mkutano wa utumishi kuzungumzia habari zilizochapishwa kuhusu jambo hilo au wanaweza kuamua kutoa tangazo kwa busara * hata hivyo wazee hawawezi kutoa matangazo kama hayo kila wakati wageni na watu wapya wanaopendezwa ambao hawajui tatizo hilo huhudhuria mikutano yetu nasi tunataka wahisi wamekaribishwa hatupaswi kumfanya mtu yeyote anayetumia marashi kwa kiasi ahisi vibaya mahali ambapo pana tatizo hilo baraza la wazee linaweza kufanya mipango ili wanaoathiriwa na marashi waketi mahali walipotengewa katika jumba la ufalme ikiwa hali zinaruhusu kwa mfano huenda kuna chumba kidogo cha mikutano kilicho na mfumo wa sauti ambamo wanaweza kuketi na kufaidika na mikutano ikiwa tatizo hilo haliwezi kusuluhishwa kwa njia inayofaa na bado wengine wanaathiriwa sana na marashi kutaniko linaweza kurekodi mikutano na kuwapa wenye tatizo hilo au wanaweza kufanya mpango ili wasikilize mikutano nyumbani kupitia simu kama tu inavyofanywa kwa wale ambao hawawezi kutoka nyumbani kwa sababu ya ugonjwa katika miaka ya karibuni huduma yetu ya ufalme imewatia moyo ndugu na dada kuonyesha ufikirio wa pekee kuhusiana na jambo hilo wanapohudhuria makusanyiko ya eneo kwa kuwa makusanyiko mengi hufanywa ndani ya majumba wahudhuriaji wameombwa kutotumia marashi makali wanapohudhuria makusanyiko wahudhuriaji wameombwa kuzingatia sana jambo hilo hasa wanapohudhuria makusanyiko ya eneo kwa kuwa kwa kawaida haiwezekani kutenga sehemu kwa ajili ya wanaoathiriwa na marashi hata hivyo mwongozo huu haukusudiwi kamwe kuwa sheria kwenye mikutano ya kutaniko na haupaswi kueleweka hivyo maadamu tunaishi katika mfumo huu wa mambo sote tunaathiriwa na matokeo ya hali ya kutokamilika tuliyorithi tunathamini sana wengine wanapojitahidi kupunguza mateso yetu huenda wengine wakajidhabihu kwa kutotumia marashi ili iwe rahisi kwa ndugu au dada kuhudhuria mikutano ya kikristo hata hivyo upendo unaweza kutuchochea tuchague kufanya hivyo je vyanzo visivyo vya kidini vinathibitisha kwamba pontio pilato aliishi jina la pilato katika kilatini lilichongwa kwenye jiwe hili wasomaji wa biblia wanamjua pontio pilato kwa sababu alihusika katika kesi ya yesu na kuuawa kwake (mt 271 2 2426) hata hivyo jina lake linaonekana pia mara kadhaa katika rekodi nyingine za historia za wakati huo kulingana na kamusi moja (the anchor bible dictionary) rekodi za historia zisizo za kidini zinazomrejelea pilato ni nyingi sana na zina habari nyingi kuliko habari kumhusu gavana mwingine yeyote mroma wa yudea jina la pilato linapatikana mara nyingi zaidi katika maandishi ya mwanahistoria myahudi yosefo ambaye alitaja matukio matatu hususa yanayohusiana na matatizo ambayo pilato alikabili alipokuwa gavana wa yudea tukio la nne lilirekodiwa na mwanahistoria myahudi philo mwandishi mroma tasito ambaye alirekodi historia ya maliki wa roma alithibitisha kuwa pontio pilato aliagiza yesu auawe wakati wa utawala wa tiberio mnamo mwaka wa 1961 wachimbuaji wa vitu vya kale waliokuwa wakichimbua jumba la kale la maonyesho la waroma lililokuwa kaisaria nchini israel walipata jiwe lililotumika linaloonyesha waziwazi jina la pilato katika kilatini maandishi hayo (katika picha iliyoonyeshwa) si kamili lakini inadhaniwa kwamba zamani yalisomeka hivi pontio pilato liwali wa yudea aliliweka wakfu (jengo hili) la tiberieum kwa miungu inayoheshimika jengo linalorejelewa huenda lilijengwa kwa heshima ya mtawala mroma tiberio je mhubiri wa ufalme mwanamke anahitaji kufunika kichwa anapoongoza funzo la biblia mhubiri mwanamume akiwepo makala maswali kutoka kwa wasomaji katika gazeti mnara wa mlinzi la julai 15 2002 ilisema kwamba dada anapaswa kufunika kichwa anapoongoza funzo la biblia akiwa na mhubiri mwanamume ambaye amebatizwa au hajabatizwa baada ya kufikiria zaidi suala hilo inaonekana kwamba mwongozo huo unahitaji kurekebishwa ikiwa mhubiri mwanamume ambaye amebatizwa anaambatana na dada katika funzo la biblia ambalo tayari lilianzishwa bila shaka dada angehitaji kufunika kichwa kwa njia hiyo anaonyesha kwamba anaheshimu mpango wa yehova wa ukichwa katika kutaniko la kikristo kwa sababu anatimiza daraka ambalo kwa kawaida ni la ndugu (1 kor 115 6 10) au akipenda anaweza kumwomba ndugu aongoze funzo hilo ikiwa anastahili na anaweza kufanya hivyo kwa upande mwingine ikiwa dada anaambatana kwenye funzo la biblia na mhubiri mwanamume ambaye hajabatizwa na si mume wake hakuna msingi wa kimaandiko unaoonyesha kwamba anahitaji kufunika kichwa hata hivyo dhamiri za dada wengine zinaweza kuwaongoza kufunika kichwa hata katika hali kama hizo ^ fu 4 unaweza kupata habari zaidi kuhusu jambo hili katika makala yenye kichwa kuwasaidia walio na mcs katika gazeti amkeni la agosti 8 2000 ukurasa wa 810 maswali kutoka kwa wasomajifebruari 2015
2017-09-21T20:42:56
https://www.jw.org/sw/machapisho/magazeti/w20150215/maswali-kutoka-kwa-wasomaji/
balija jakkula in india | joshua project home peopeople groups balija jakkula balija jakkula in india the balija jakkula have only been reported in india people name general balija jakkula people name in country balija jakkula alternate names gajula gazula jakkula kamata kampa kampo बलिजा जक्कुला people id 21093 rop3 code 117917 people group balija jakkula 40000 andhra pradesh odisha 40000 odia 14000
2019-09-23T13:05:08
https://joshuaproject.net/people_groups/21093/IN
siku ya alhamisi kenya ilitangaza kuwaachilia huru wafungwa 3837 ili kuzuia kuenea ugonjwa wa covid19 katika magereza taaarifa ya idara ya magereza kenya imesema uamuzi huu unalenga kuhakikisha kuwa kila mtu anakaa umbali wa mita moja na mwenzake kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa kimataifa katika vita dhidi ya janga la covid19 aidha jaji mkuu wa kenya david maraga ameamuru kuwa wanaofanya makossa madogo madogo na makossa ya trafiki wasikae katika seli za vituo vya polisi kwa zaidi ya masaa 24 kwa upande wake rais wa somalia ametoa msamaha kwa wafungwa 148 ikiwa ni juhudi za kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona rais mohamed farmajo wa somalia ametoa msamaha kwa wafungwa 148 ikiwa ni sehemu ya hatua za kudhibiti kuenea kwa virusi vya corona nchini humo rais huyo amesema kuachiwa kwa wafungwa hao waliofanya makosa madogo kunafuatia ripoti iliyowasilishwa kwake na mwanasheria mkuu wa serikali kuhusu hali ya wafungwa nchini humo wakati huu wa mlipuko wa virusi vya corona pia rais farmajo amezielekeza mamlaka za magereza na wizara ya afya kuchukua hatua mwafaka kuzuia mgogoro wa kiafya kwa wafungwa waliobaki gerezani mpaka sasa kesi zilizothibitishwa kuwa na maambukizi ya virusi vya corona nchini somalia zimefikia tano zikiwa ni raia watatu wa somalia na raia wawili wa kigeni hadi sasa watu 110 wameambukizwa corona nchini kenya na miongoni mwao watatu wamefariki huku katika nchi jirani ya somalia walioambukizwa wakiwa ni watano
2020-05-27T16:23:03
https://www.mzunguko.com/single-post/2020/04/03/Kenya-Somalia-zawaachilia-huru-wafungwa-ili-kuzuia-kuenea-corona
vigogo watatu wa hal watumbuliwa baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya songea vijijini mkoani ruvuma limewasimamisha kazi vigogo watatu wa halmashauri hiyo kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka yao kwa kubadilisha matumizi ya fedha bila kufuata taratibu baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya songea vijijini mkoani ruvuma kati ya waliosimamishwa yumo mweka hazina wa halmashauri hiyo mwajuma sekelela wengine ni ofisa maendeleo ya jamii wa halmashauri hiyo wenisalia swai na ofisa ugavi na manunuzi amina njogela akitoa tamko la kuwasimamisha kazi vigogo hao juzi kwenye kikao maalum cha baraza hilo mwenyekiti wa halmashauri hiyo rajabu mtiula alisema baraza limefikia uamuzi huo baada ya kutambua kuwa watumishi hao ambao ni wakuu wa idara walikiuka taratibu za matumizi ya fedha ndani ya idara zao mtiula alisema walifanya hivyo bila kushirikisha kamati ya mipango na fedha jambo alilosema ni kinyume cha sheria naye mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo simon bulenganija alifafanua kuwa watumishi hao walibadilisha matumizi ya fedha ya miradi mingine na kumlipa mkandarasi aliyejenga jengo la makao makuu la halmashauri hiyo lililopo katika kijiji cha nje kidogo ya mji mdogo wa peramiho bulenganija alisema swai ambaye kipindi hicho alikaimu ukurugenzi wa halmashauri hiyo na sekelela (mweka hazina) wana tuhuma zinazofanana ya kuidhinisha fedha za ukarabati wa kituo cha afya cha mhukuru na fedha za mradi wa umwagiliaji wa bonde la nakauga pia wanatuhumiwa kumlipa mkandarasi bila kamati ya fedha na mipango na kuhusishwa alisema kuwa kwa mtumishi njogela (ofisa ugavi na manunuzi) anatuhumiwa kuchelewesha zabuni za mradi wa umwagiliaji wa bonde la nakauga bila sababu za msingi hata hivyo alisema baadaye iligundulika kuwa mradi huo fedha zake zimetolewa kwa kubadilisha matumizi kwenda kumlipa mkandarasi mkurugenzi huyo alisema kuwa moja ya sababu zilizokuwa akizitilia shaka kuipokea ofisi kwa kwa haraka kwa makabidhiano tangu alipoteuliwa na rais john magufuli ni pamoja na taratibu za miradi hiyo ambayo ilikuwa haijawa wazi matumizi yake alisema atawaandikia barua watumishi hao kwa mujibu wa kanuni pamoja na kuunda kamati itakayofanya uchunguzi wa jambo hilo kisha kutoa majibu sahihi ya fedha zinazodaiwa kubadilishwa matumizi yake walimu watakaokimbia nyumba kushushwa vyeo simbachawene atoa siku 90 tsc kuwaondoa wala rushwa
2020-08-07T15:34:50
https://www.ippmedia.com/sw/habari/vigogo-watatu-wa-hal-watumbuliwa
actwazalendo waomba kujiunga ukawa | sunday shomari home karibu actwazalendo waomba kujiunga ukawa mwenyekiti wa chama cha actwazalendo anna mgwira amesema chama hicho hakina matatizo na umoja wa katiba ya wananchi (ukawa) na hata sasa kinasubiri majibu ya barua yao waliyoituma kwa umoja huo kuomba kuunganishwa mgwira alitoa kauli hiyo wakati chama hicho kilipofanya ziara ya kutembelea hospitali ya mkoa ya mt meru kugawa zawadi mbalimbali katika wodi ya kinamama ikiwa ni njia ya kuadhimisha mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwake alisema actwazalendo wanaunga mkono muungano wowote wa vyama vya upinzani nchini ulio halali hatuna matatizo na ukawa tunaunga mkono muungano wowote wa upinzani ulio halali alisema kiongozi huyo alisema tangu waandike barua ya kuomba mwongozo wa namna ya kujiunga na ukawa bado hawajapata mrejesho tunatamani kuunganisha nguvu katika siasa za vyama vya upinzani na sasa tunasubiri majibu ya barua yetu ya kuomba kuingia ukawa alisema alisema kuwa chama hicho kimepokewa vizuri na wananchi wa mikoa mbalimbali nchini na katika ziara ya awamu ya kwanza walifanikiwa kuingiza jumla ya wanachama wapya 700 tumepokewa vizuri mikoani tumefanikiwa kuingiza wanachama wapya na hoja ya umoja na uzalendo watu wameipokea vizuri alisisitiza mgwira akipokea misaada katika hospitali hiyo muuguzi mfawidhi sifael masawe alisema kwamba misaada hiyo itasaidia kupunguza shida za wagonjwa waliofika hospitalini hapo na kuwataka wengine kujitokeza kuwaunga mkono previous articlevigogo ccm watangaza kutogombea tena ubunge next articlekatibu mkuu tamisemi sagini asisitiza uimarishaji elimu nipo tayari kumwambia rais ukweli kuhusu vita ya dawa za kulevya yamoto band jaya na single yao mpya tume ya kurekebisha sheria tanzania yafanya kikao chake cha baraza la
2018-01-17T20:16:39
http://sundayshomari.com/act-wazalendo-waomba-kujiunga-ukawa/
rais dkt magufuli na mkewe mama janeth magufuli wasali ibada ya jumapili mkoani ruvuma habari na matukio home dini habari habari na matukio habari za kijamii magufuli rais dkt magufuli na mkewe mama janeth magufuli wasali ibada ya jumapili mkoani ruvuma kajunason at april 07 2019 dini habari habari na matukio habari za kijamii magufuli
2019-04-23T18:33:46
http://www.kajunason.com/2019/04/rais-dkt-magufuli-na-mkewe-mama-janeth.html
wanawake tanzania ni duni/dhaifu kiongozi kama si duni/dhaifu na wana uwezo sawa na wanaume viti maalum vya nini | jamiiforums wanawake tanzania ni duni/dhaifu kiongozi kama si duni/dhaifu na wana uwezo sawa na wanaume viti maalum vya nini dhaifu kiongozi tanzania uwezo nimeiangalia hii picha ya wanawake hawa wa wenzetu na age zao nikajiuliza sana kuhusu sisi tanzania na wanawake wetu katika nafasi za uongozi wa kisiasa tatizo ni nini jee wanawake wetu tanzania ni duni au dhaifu kiongozi wa siasa kama wanawake wetu si duni na si dhaifu na wana uwezo wa uongozi sawa na wanaume hizi nafasi za viti maalum ni za nini je tanzania tumefika mahali nafasi hizi za viti maalum zifutwe hivi hawa baadhi ya wanawake wetu wenye nafasi za juu za uongozi wa kisiasa wamepata nafasi hizo by deserving au kwa kubebwa na affirmative action kama watu wawili mna uwezo sawa kwa nini mmoja afanyiwe upendeleo wa kijinsia kwasababu tuu ya jinsia yake wanawake ni mama zetu shangazi zetu wake zetu wapenzi wetu dada zetu watoto wetu ni wenzetu na tunawapenda sana lakini huu upendeleo kwa wanawake lengo lake ni nini haswa jee hapa tulipofika bado wanawake wetu wanahitaji upendeleo siku ya wanawake duniani je tuna wanawake wenye sifa za presidential material wanabodi leo ni siku ya wanawake duniani katika safari ya kuelekea usawa wa kijinsia kuna wanawake wengi wenye sifa na uwezo lakini wamenyimwa fursa za kushika nafasi za juu kisiasa kutokana na nyingi ya nafasi hizo kuhodhiwa na wanaume katika kitu kinachoitwa mfumo dume swali ni siku ya wanawake duniani tuwakumbuke top ten wanawake wakurugenzi wakuu wa taasisi kubwa wanabodi leo ni siku ya wanawake duniani katika safari ya kuelekea usawa wa kijinsia kuna wanawake wengi wenye uwezo lakini wamenyimwa fursa za kushika nafasi za juu katika taasisi mbalimbali kutokana na nyingi ya nafasi hizo kuhodhiwa na mfumo dume hivyo kushikwa na wanaume swali ni kwa mtazamo wa kawaida tu kama pande mbili zina uwezo unaofanana katika kutekeleza majukumu hususani hayo ya kiuongozi basi hakuna ulazima wowote wa kufanyika kwa upendeleo kwa upande mmoja dhidi ya mwingine kwahiyo hayo yote yanafanyika kutokana na huo mtazamo kwamba upande mmoja ni dhaifu kuliko mwingine tujikumbushe maneno ya mwanafalsafa aristotle aliyewahi kusema reactions abamukulu ciril pseudodar186 and 2 others kwa sababu uwa sio wachoyo wakiombwa na vingine na vingine uwa wanatoa kirahisi sana reactions nyambiza jr ciril and pascal mayalla hiv viti vmeitwa maalumu huenda wanatoa vitu maalum pia kama tetec znavyoonesha viti maalumu vikitutwa huku chadema itakuwaje hatuta baki na wabunge 2020 asikudanganye mtu hata hao wa finland hawajafikia hapo by merit ni quota system na mara nyingi hizo nchi hufanya hivyo ili kutafuta sifa kama unayowapa ili waonekane wamefikia usawa wa kijinsia ni kama barack obama tu usa from mrnobody to senator temu moja to potus kila kitu kiko planned tunalishwa matango pori tu reactions pascal mayalla nyambiza jr and nyenyere viti maalum ni matokeo ya mfumo dume jamii yetu inaamini mwanamke ni mtu au kitu dhaifu wakati mwingine tunatumia maandiko ya dini tulizoletewa kuamini dhana hii bahti mbaya sana hata baadhi ya wanawake wenyewe haukosi kuwasikia wakibwabwaja mwanaume ndiyo kichwa cha familia kupigilia msumari wa moto kukomesha suala hili kwanza lazima afrika ijikomboe kiutawala wanawake wagombee nafasi za uongozi na washinde chaguzi za kidemokrasia vilevile afrika lazima iachane na siasa za ubabe na vita viongozi takataka kama museveni paul biya kagame nkurunzinza and the like wakome kutawala wawaache wananchi wachague viongozi wanaowataka afrika ikijiongoza kidemokrasia siasa za mabavu na vita vitakoma kwa kuwa mambo haya huchochea dhana kwamba pakitokea vurugu wanaoteseka ni wanawake na watoto bullying hili nalo ni tatizo jingine matukio ya kubakwa kwa watoto wa kike kusifiwa au kubezwa sababu ya maumbile yao all this sort of shit must stop for africa women to prosper sisi wabunge wetu wanawake wa ccm wanadai kuwe na mashine bungeni ya kukagua wabunge wanaume wenye magovi reactions pascal mayalla ciril rebeca 83 and 2 others 1893 1225 wameshapendelewa vya kutosha inatosha sasa wajitegemee 20040 2000 vipi uchaguzi wenu wa wanyeviti wa mitaa wa kuteuliwahaahaa mikorogo inafanya ngozi iwe nyepesi kwa hiyo magovi yanawaumiza ukitaka kuelewa kwa usahihi jambo hili unatakiwa uangalie maisha kwa ujumla wake na kihistoria tangu zamani sana wanawake hawakutendewa haki kijamii waliachwa nyuma sana kiuchumi ndani ya familia zao na kijamii wa ujumla na hili ni jambo ambalo halipo kwetu tu bali hadi leo ulaya na marekani bado wanapambana na hili tatizo vipato vya wanawake ulaya bado viko chini sana hata pale ambapo kitaalam kazi wanazofanya zinafanana kabisa ukiliangalia kwa undani sana utaona kuwa hizi tofauti zilikuwa kubwa sana wakati wa vita kuu za dunia na hata mpaka leo hii nchi yoyote ikiwa kwenye vita wanawake huwa hawaonekani kwenye uongozi wa nchi iliyokosa amani lakini pindi kipindi cha utulivu kikiisha rejea na kuwepo kwa muda ya kutosha basi wanawake huwa wanaanza kuonekana kwenye juhudi za kimaendeleo kinachofanyika sasa hivi kuweka kiasi fulani cha upendeleo ni juhudi za makusudi ili kuwahamasisha kushiriki zaidi katika uongozi na uchumi wa nchi lazima pia kutafakari na kukubali mipango ya mwenyezi mungu kwamba katika hali ya kawaida karibu katika kila taifa idadi ya wanawake huwa kidogo ni kubwa zaidi ya wanaume kwahiyo kutokuwahusisha katika ujenzi wa taifa ni kupoteza nguvu kazi inathibitika wazi katika nchi kadhaa duniani kuwa pale wanaposhiriki na kupewa nafasi hufanya vizuri sana haswa katika uongozi wa kisiasa na kukuza uchumi katika jamii hata kupita wanaume tumesikia watu wakisema ukimuelimisha mwanamke uwe na hakika kuwa familia yote itaelimika na hapo ndipo ilipo strength ya wanawake taifa lolote linavyoendelea kustaarabika huzinduka na kuanza kuukiri ukweli huo na kuweka mikakati ya makusudi kabisa ya kuwa encourage wanawake kushika nafasi za uongozi reactions pascal mayalla sueismael and rebeca 83 nje ya mada kidogouna uhusiano wowote na memba humu jf anaitwa jingalao au ndio ww mwenyewe view attachment 1290764 wanawake wa tanzania hovyo kabisa kwenye uongozi si unaona ndalichako anavyoigeuza mfumo wa elimu yetu kama shuka la kulalia leo hivi kesho vile hujui hata asili ya viti maalum umekalia majungu ya chadema tu mpuuzi wewe kwa taarifa tu hayo ni makubaliano ya un kwamba kuongeza idadi ya wanawake kwenye uwakilishi pawe na viti maalumu kwa kujua hilo ndo maana rwanda wao wanatenga majimbo kabisa kwamba hayagombewi na mwanaume wanashindana wanawake tuu we kwa akili zako kama sio viti maalumu wale kina vulu wangemshinda nani jimboni i think recognizing how hard kuwa mwanasiasa kusimama majukwaani ku convince watu wakukubali sio kazi rahisilol plus wider public misconception that ubunge ni complex job wengi katika jimbo lako wanataka maendeleo wakati kuna limited resourcesyou need to be strong both mentally and physically fitlol sasa sisi wanawake tuko vulnerable to be underpresented in parliamentso ku bring up equality ndio tunapewa viti maalumutukaringishie mashosti pasko nipigie pande niwe mbunge wa viti maalumu basi 7022 2000 akili zilizoishi kwenye kuvaa mawigi na kupaka wanja unafikiri zinaweza kuwa sawa na hawa hivi ndivyo tunavyowatayarisha vijana wetu hasahasa mabinti zetu kuwa viongozi bora shinyanga mabinti waogeshwa dawa inayodaiwa kuvutia wanaume serikali yaombwa kupiga marufuku serikali imeombwa kupiga marufuku vitendo vya baadhi ya wazazi kuwapeleka mabinti wao wenye umri kati ya miaka 10 hadi 15 kuogeshwa dawa la kuvutia wanaume maarufu samba kwa kuwa vinachochea maambukizi ya virusi vya ukimwi na mimba za utotoni ombi hilo limetolewa na mkurugenzi mtendaji wa zaidi ya wanafunzi 350 wamekatisha masomo kutokana na utoro na mimba machweocomltdblogspotcom wanafunzi 103 wapata mimba ndani ya mwaka mmoja | mtanzania serikali ya tanzania yatoa sababu kutetea ndoa za utotoni serikali ya tanzania sasa imeiachia mahakama ya rufani hatima ya uamuzi wa umri wa kuolewa baada ya kumaliza kuwasilisha sababu zake za kupinga hukumu ya mahakama kuu iliyobatilisha kifungu cha wanafunzi 585 wakatisha masomo kwa kupata ujauzito ruvuma nk nk nk reactions pascal mayalla and rebeca 83 viongozi bora wanaanza na ubora wa wananchi hatuwezi kutegemea kuvuna machungwa wakati tunapanda mananasi viti maalum ni kama shock therapy ili kutatua tatizo tunaanza na malezi elimu lishe mazingira na ubunifu wenzetu wamefikaje finlands new government is young and led by womenheres what the country does to promote diversity ukisha kuwa ccm lazima akili ife tu ile lack of independent thinking ni tatizo kubwa hao wazungu hali unayoisifia haikuja overnight it took centuries kufikia ukombozi wa wanawake kama ilivyo sasa in the whole of western europe and americakama unavyoona jiwe anafanya mambo ya ajabu na wewe mnakuwa praise team the same applies to our women in the male dominated society as jiwe dominates the constitution and you celebrate what he is doing the same scenario ihamishie katika hali ya wanawake nchini mwetu wajasiriamali wanawake wahofia usimamizi wa jeshi katika sakata la korosho tanzania jukwaa la siasa 1 nov 13 2018 tanzania nchi ya ajabu badala ya wanawake kutongozwa ni wanaume wanawake wanaotongozeka kirahisi ni malaya je hawa wa'ume tuwawaiteje jukwaa la siasa 130 oct 8 2018 uwt ni umoja wa wanawake tanzania au umoja wa wanawake wa ccm tanzania jukwaa la siasa 19 apr 28 2018 benki ya wanawake tanzania(twb) inamilikiwa na wanawake tanzania au uwtccm jukwaa la siasa 25 dec 9 2017 k mama gaudensia d kabaka achaguliwa mwenyekiti umoja wa wanawake tanzania ( uwt) taifa jukwaa la siasa 60 dec 9 2017 wajasiriamali wanawake wahofia usimamizi wa jeshi katika sakata la korosho tanzania tanzania nchi ya ajabu badala ya wanawake kutongozwa ni wanaume wanawake wanaotongozeka kirahisi ni malaya je hawa wa'ume tuwawaiteje uwt ni umoja wa wanawake tanzania au umoja wa wanawake wa ccm tanzania benki ya wanawake tanzania(twb) inamilikiwa na wanawake tanzania au uwtccm mama gaudensia d kabaka achaguliwa mwenyekiti umoja wa wanawake tanzania ( uwt) taifa
2020-01-21T04:44:20
https://www.jamiiforums.com/threads/wanawake-tanzania-ni-duni-dhaifu-kiongozi-kama-si-duni-dhaifu-na-wana-uwezo-sawa-na-wanaume-viti-maalum-vya-nini.1666059/
ufufuo na uzima gctc december 2014 jumapili ya tarehe 28/12/2014 ikawa baada ya kufa kwake sauli hapo daudi aliporudi katika kuwaua waamaleki naye daudi amekaa siku mbili katika siklagi hata siku ya tatu ikawa tazama akaja mtu kutoka kambi ya sauli nguo zake zimeraruliwa tena ana mavumbi kichwani mwake basi ikawa alipomfikia daudi akaanguka chini akamsujudia daudi akamwambia umetoka wapi akamwambia nimeokoka katika kambi ya israeli daudi akamwambia yalikwendaje tafadhali uniambie akajibu watu wamekimbia vitani tena watu wengi wameanguka wamekufa hata sauli naye na yonathani mwanawe wamekufa daudi akamwambia yule kijana aliyempa habari umejuaje ya kuwa sauli na yonathani mwanawe wamekufa yule kijana aliyempa habari akasema nalikuwapo kwa nasibu juu ya kilima cha gilboa na tazama sauli alikuwa ameegemea fumo lake na tazama magari na wapanda farasi wanamfuatia kwa kasi naye alipotazama nyuma akaniona akaniita nikajibu mimi hapa akaniambia u nani wewe nikamjibu mimi ni mwamaleki akaniambia tafadhali simama karibu nami ukaniue maana shida imenipata kwa sababu roho yangu ingali hai ndani yangu basi nikasimama karibu naye nikamwua kwa sababu nalijua hakika ya kuwa hawezi kupona baada ya kuanguka kisha nikaitwaa ile taji iliyokuwa kichwani mwake na kikuku kilichokuwa mkononi mwake nami nimevileta hapa kwa bwana wangu ndipo daudi akashika nguo zake akazirarua na kadhalika watu wote waliokuwa pamoja naye wakaomboleza wakalia wakafunga hata jioni kwa ajili ya sauli na kwa ajili ya yonathani mwanawe na kwa ajili ya watu wa bwana na kwa ajili ya nyumba ya israeli kwa sababu wameanguka kwa upanga naye daudi akamwambia yule kijana aliyempa habari watoka wapi wewe akajibu mimi ni mwana wa mgeni mwamaleki daudi akamwambia jinsi gani hukuogopa kuunyosha mkono wako umwangamize masihi wa bwana ndipo daudi akamwita mmoja wa vijana akamwambia mwendee ukamwangukie basi akampiga hata akafa daudi akamwambia damu yako na iwe juu ya kichwa chako mwenyewe maana umejishuhudia nafsi yako ukisema nimemwua masihi wa bwana 2 samweli 1116 daudi alikuwa mwenye umri wa miaka 16 tu alipomuua goliathi naye mfalme sauli akapata hisia kwamba huyu kijana kwa nguvu zake anaweza akawa mfalme badala yake hivyo akaanza kumwinda daudi ili amuue hivyo daudi akawa mtu wa kutangatanga akimikimbia sauli daudi akiwa porini akijificha sauli akaenda vitani na wafilisti daudi hakuwa sehemu ya vita hii kwa kuwa alikuwa mafichoni baada ya vita kuwa imeisha daudi akamuona huyu kijana mmaleki ambaye alikuja kumjuza taarifa za yaliyojiri vitani kijana huyu anaeleza na kusema kuwa mfalme sauli pamoja na mwanae yonathani wameuawa vitani na anakiri kuwa yeye ndiye aliyemuua na kisha anatoa sababu kuwa alijua asingepona mbele ya wafilisti inaonekana kijana mmaleki alijua kuwa daudi na sauli ni maadui hivyo alitegemea daudi afurahi lakini mambo yalikuwa tofauti kidogo daudi aliposikia hayo akararua mavazi yake akayatupa chini pamoja na mashujaa wake wakaacha kula mpaka jioni wakiumwombolezea sauli masihi wa bwana masihi wa bwana ni mtu ambaye amepakwa mafuta na mungu ili atengwe kwa ajili ya kazi ya bwana katika agano la kale watu waliopakwa mafuta ni mfalme kuhani na nabii vilikuwepo vyombo ambavyo vilipakwa mafuta pia kwa ajili ya kazi ya bwana neno masihi ni sawa na neno kristo yaani aliyetengwa kwa ajili ya bwana ndio maana biblia katika ufunuo inasema kuwa katika siku za mwisho watatokea makristo wa uongo haisemi mayesu wa uongo kwa desturi za kiyahudi mtu hawezi kuitwa masihi mpaka amwagiwe mafuta maalum na nabii hii ndio sababu iliyowafanya wayahudi wamkatae yesu kwasababu alijiita kristo masihi wa bwana bila kuwa amepakwa mafuta na nabii yoyote waliyemfahamu wao umasihi ni uungu wa mungu juu ya mwadamu mwanadamu anakuwa ana vipande viwili uwanadamu wake na uungu ulioko ndani yake katika agano jipya mtu anakuwa masihi wa bwana si kwa kumwagiwa mafuta tena bali kwa kujazwa roho mtakatifu ndivyo ilivyokuwa kwa yesu alipokuwa anabatizwa lilishuka wingu zito kutoka juu nah ii ndio ilikuwa ishara kuwa amemwagiwa roho mtakatifu lakini wayahudi hawakuelewa mambo haya akisema msiwaguse masihi wangu wala msiwadhuru nabii zangu zaburi 10515 daudi aliliifahamu jambo hili vizuri sio kwamba hakupata nafasi ya kumuua sauli lakini mara zote hakufanya hivyo kwa kuwa alijua kuwa pamoja na uovu wote anaomfanyia bado sauli ni masihi wa bwana na hapaswi kuguswa ikawa sauli aliporudi baada ya kuwafuatia wafilisti aliambiwa ya kwamba daudi yuko katika nyika ya engedi ndipo sauli akatwaa watu elfu waliochaguliwa katika israeli wote akaenda kumtafuta daudi na watu wake juu ya majabali ya mbuzimwitu akafika penye mazizi ya kondoo kando ya njia na huko kulikuwa na pango sauli akaingia ndani ili kuifunika miguu na daudi na watu wake walikuwa wakikaa mle pangoni ndani sana nao watu wa daudi wakamwambia tazama hii ndiyo siku ile aliyokuambia bwana angalia nitamtia adui yako mikononi mwako nawe utamtenda yo yote utakayoona kuwa mema basi daudi akainuka akaukata upindo wa vazi lake sauli kwa siri lakini halafu moyo wake daudi ukamchoma kwa sababu amekata upindo wa vazi lake sauli akawaambia watu wake hasha nisimtendee bwana wangu masihi wa bwananeon hilikuunyosha mkono wangu juu yakekwa maana yeye ni masihi wa bwana 1 samweli 2416 daudi akasema aishivyo bwana bwana atampiga au siku yake ya kufa itampata atashuka kwenda vitani na kupotea hasha nisiunyoshe mkono wangu juu ya masihi1 samweli 261011 hasha nisiunyoshe mkono wangu juu ya masihi basi daudi akalitwaa lile fumo na lile gudulia la maji kichwani pa sauli nao wakaenda zao wala hapana mtu aliyeliona jambo hili wala kulijua wala kuamka maana wote walikuwa wamelala kwa kuwa usingizi mzito kutoka kwa bwana umewaangukia 1samweli 2811 hizi zote zilikuwa ni nyakati tofauti ambazo daudi aliweza kumuua sauli lakini hakufanya hivyo kwa kuwa alijua ni masihi wa bwana na kwa sababu ya hili mungu alimpenda sana daudi katika biblia ni watu wawili tu ambao mungu alitamka waziwazi kuwa alipendezwa nao na daudi ni mmoja kati ya watu hao mwingine akiwa ni yesu baada ya kuomboleza kwa ajili ya sauli na yonathani daudi alimgeukia yule kijana mmaleki na kumuuliza jinsi gani hukuogopa kuunyosha mkono wako umwangamize masihi wa bwana kumbe mungu anategemea tuwe na hofu kunyoosha mikono na midomo yetu kuwaangamiza masihi wake kisha daudi aliamuru kijana mmaleki auawe kwa sababu alikiri kwa nafsi yake kuwa alimuua masihi wa bwana lakini ukweli ni kwamba kijana huyu hakumuua sauli alikuta amekwishauawa naye kwa kutaka sifa mbele ya daudi akadanganya na kuishia kuuawa ipo laana itokanayo na wewe kuwaongelea vibaya watumishi wa mungu haijalishi ni watumishi wa kanisa lako au lingine ubaya wa laana ni kuwa madhara yake hayataonekana leo au kwa wakati mmoja itakutafuna wewe familia yako biashara polepole mpaka vyote vimeisha kabisa biblia iinayo mifano ya namna watu walivyobeba laana katika maisha yao kwa kuwainukia masihi wa bwana kwa maneno au matendo kisha miriamu na haruni wakamnenea musa kwa sababu ya mwanamke mkushi aliyekuwa amemwoa maana alikuwa amemwoa mwanamke mkushi wakasema je ni kweli bwana amenena na musa tu hakunena na sisi pia bwana akasikia maneno yao basi huyo mtu huyo musa alikuwa mpole sana zaidi ya wanadamu wote waliokuwa juu ya uso wa nchi bwana akanena ghafula na musa na haruni na miriamu na kuwaambia tokeni nje ninyi watatu mwende hemani mwa kukutania basi hao watatu wakatoka nje bwana akashuka katika nguzo ya wingu akasimama pale mlangoni pa hema akawaita haruni na miriamu nao wakatoka nje wote wawilikisha akawaambiasikizeni basi maneno yanguakiwapo nabii kati yenumimibwananitajifunua kwake katika maononitasema naye katika ndoto sivyo ilivyo kwa mtumishi wangu musa yeye ni mwaminifu katika nyumba yangu yote kwake nitanena mdomo kwa mdomo maana waziwazi wala si kwa mafumbo na umbo la bwana yeye ataliona mbona basi ninyi hamkuogopa kumnenea mtumishi wangu huyo musa hasira za bwana zikawaka juu yao naye akaenda zake kisha hilo wingu likaondoka kutoka pale juu ya hema na tazama miriamu akawa mwenye ukoma mweupe kama theluji haruni akamwangalia miriamu na tazama yu mwenye ukoma kisha haruni akamwambia musa ee bwana wangu nakusihi sana usituwekee dhambi juu yetu kwa kuwa tumefanya ya upumbavu na kufanya dhambi nakusihi asiwe kama mmoja aliyekufa ambaye nyama ya mwili wake nusu imelika hapo atokapo tumbo la mama yake hasira za bwana zikawaka juu yao naye akaenda zake kisha hilo wingu likaondoka kutoka pale juu ya hema na tazama miriamu akawa mwenye ukoma mweupe kama theluji haruni akamwangalia miriamu na tazama yu mwenye ukoma kisha haruni akamwambia musa ee bwana wangu nakusihi sana usituwekee dhambi juu yetu kwa kuwa tumefanya ya upumbavu na kufanya dhambi nakusihi asiwe kama mmoja aliyekufa ambaye nyama ya mwili wake nusu imelika hapo atokapo tumbo la mama yake musa akamlilia bwana akasema mpoze ee mungu nakusihi sana bwana akamwambia musa je kama baba yake angalimtemea mate usoni tu hangaliona aibu muda wa siku saba na afungwe nje ya kambi muda wa siku saba kisha baada ya hayo ataletwa ndani tena basi miriamu alifungwa nje ya kambi muda wa siku saba wala watu hawakusafiri hata miriamu alipoletwa ndani tena baada ya hayo watu wakasafiri kutoka haserothi wakapanga kambi katika nyika ya parani hesabu 12116 miriamu na haruni walikuwa ndugu wa damu kabisa wa musa miriamu alikuwa ndiye dada mkubwa wa musa aliyehusika kumficha musa farao alipotoa amri ya watoto wa kiume kuuawa katika misri miriamu na haruni pia walikuwa watumishi wa mungu miriamu akiwa mwimbaji na haruni kuhani kwa hiyo walikuwa wamemzoea sana musa na wakashindwa kuuona umasihi wake hata wakaanza kumsema juu ya mke aliyemuoa aliyekuwa mkushi yaani mwafrika walichosahau kina miriamu ni kuwa mtu anapochaguliwa kuwa masihi wa bwana mara moja anabadilika na kuwa si mtu wa kawaida tena kwa kuwa mungu anakuwa anafanya kazi kupitia yeye hii haimaanishi kuwa atakuwa mtakatifu asiyetenda dhambi kabisa hapana anaweza akakosea kabisa kwa sababu ile sehemu ya uanadmu bado imo ndani yake pia ni kweli haiikuwa sahihi kwa musa kuoa mwanamke mkushi kwa sababu mungu mwenyewe ndiye aliyeweka sheria hiyo kati ya waisraeli lakini haikuwa sehemu ya kina miriamu kuhukumu jambo hilo kama ambavyo leo sio nafasi yako kuwahukumu na kuwasema watumishi wa mungu hata kama wamekosea kweli acha mungu mwenyewe liyewachagua ashughulike nao ni muhimu sana ufahamu kuwa watu hawawi watumishi wa mungu kwa sababu wametaka au kwa kuwa wanaweza bali ni kwa sababu wamechaguliwa na mungu tunaona jinsi laana ya ukoma ilivyompata miriamu kwa kumsema musa masihi wa bwana musa hakuwa ameyasikia haya maneno lakini biblia inasema mungu alisikia inawezekana kweli maneno yako unayasemea mbali kabisa na mtumishi husika lakini kumbuka mungu anasikia wakati mwingine unamsema mtumishi wa mungu vibaya halafu unapofika mbele yake unajifanya kuwa mnyenyekevu naye hutamka baraka juu yako na wewe unaitikia amina zile baraka hugeuka na kuwa laana katika maisha yako kama ambavyo ilibidi miriamu atengwe kwa siku saba hata baada ya musa kumuombea msamaha kwa bwana ndivyo inavyokuwa kwenye maisha yetu hata leo wakati mwingine safari ya kiroho ya mtu inaweza kukwama kwasababu ya kuwasema watumishi wa bwana basi kora mwana wa ishari mwana wa kohathi mwana wa lawi akatwaa watu pamoja na dathani na abiramu wana wa eliabu na oni mwana wa pelethi waliokuwa wana wa reubeni nao pamoja na watu kadha wa kadha wa wana wa israeli watu mia mbili na hamsini wakuu wa mkutano waliokuwa wateule wa mkutano watu wenye sifa wakainuka mbele ya musa kisha bwana akanena na musa na haruni na kuwaambia jitengeni ninyi mkaondoke kati ya mkutano huu ili nipate kuwaangamiza mara moja nao wakapomoka kifudifudi wakasema ee mungu mungu wa roho za wenye mwili wote je mtu mmoja atafanya dhambi nawe utaukasirikia mkutano wote bwana akasema na musa na kumwambia nena na mkutano na kuwaambia ondokeni ninyi hapo karibu na maskani ya kora na dathani na abiramu basi musa akainuka na kuwaendea dathani na abiramu na wazee wa israeli wakaandamana naye akasema na mkutano na kuwaambia nawasihi ondokeni penye hema za hawa watu waovu wala msiguse kitu chao cho chote msiangamizwe katika dhambi zao zote basi wakaondoka hapo karibu na maskani ya kora na dathani na abiramu pande zote nao kina dathani na abiramu wakatoka nje wakasimama mlangoni mwa hema zao pamoja na wake zao na wana wao na watoto wao wadogo musa akasema kwa jambo hili mtajua ya kwamba bwana amenituma ili nifanye kazi hizi zote kwa kuwa mimi sikuzifanya kwa akili zangu mwenyewe kama watu hawa wakifa kifo cha sikuzote kama watu wote wafavyo au kama wakipatilizwa kwa mapatilizo ya watu wote hapo basi bwana hakunituma mimi lakini bwana akiumba kitu kipya na hiyo nchi ikifunua kinywa chake na kuwameza pamoja na wote walio nao nao washukia shimoni wali hai ndipo mtatambua ya kwamba watu hawa wamemdharau bwana basi ilikuwa hapo alipokwisha kusema maneno haya yote nchi iliyokuwa chini yao ikapasuka nchi ikafunua kinywa chake na kuwameza na watu wa nyumba zao na wote walioshikamana na kora na vyombo vyao vyote basi wao na wote waliokuwa nao wakashukia shimoni wali hai nayo nchi ikawafunika wakaangamia kutoka mle mkutanoni nao israeli wote waliokuwa kandokando yao wakakimbia kwa ajili ya kilio chao kwa kuwa walisema nchi isije kutumeza na sisi kisha moto ukatoka kwa bwana ukawateketeza hao watu mia mbili hamsini waliofukiza uvumba hesabu 16135 huu ni mfano mwingine wa watu ambao waliinuka kinyume na mtumishi wa mungu musa na laana ya mauti ikawakumba si wao tu bali familia zao pia kuna sehemu katika maisha yako sio maombi au kusoma neno au kutoa kwako sadaka kutaweza kukuvusha bali neema tu ya mungu lakini mungu naye anaweza akakumbuka yale maneno yako mabaya juu ya watumishi wake uliyoyanena naye akanyamaza kama ambavyo dhabihu na maombi hukumbukwa mbele za bwana ndivyo yatakavyokumbukwa maneno yako ni kweli bwana kasema nasi kuwa mwaka 2015 ni mwaka wa kutiisha kumiliki na kutawala lakini tusipoangalia tutaishia kusema bila kupokea kwa nini laana ya kuwasema masihi wake kuwasema watumishi wa mungu au wakuu wa watu wako kunaleta laana iwe ulisema kwa kutokujua au kwa kurubuniwa na watu sio lazima itokee leo lakini hakika yake itakupata hata kama ni miaka kumi ijayo basi leo kwa kadri ambavyo unahukumiwa ndani yako fanya toba ya kweli biblia inasema aziungamaye dhambi zake na kuziacha atasamehewa baada ya toba dhamiria kabisa kutoka ndani yako kutokuwasema watumishi wa mungu wawe wa kanisa lako au lingine utakapokutana na mtu au watu ambao wametengeneza kikao cha kuwasema watu wa mungu hakikisha unawataarifu kuwa si sawa na pia ujitenge nao usikubali kuishi ndani ya laana kwa kushindwa kukizuia kinywa chako kusema yasiyostahili tutakuwa na mfungo wa siku 30 kuanzia 1/1/2015 mpaka 30/1/2015 mfungo huu utaambatana na maombi yatakayofanyika kuanzia saa tisa alasiri katika viwanja vya tanganyika packers pia maombi haya yataambatana na mafundisho juu ya serikali ya shetani na mapepo yanayotawala siku karibu tuuanze mwaka 2015 kwa nguvu mfungo huu ni kwa ajili ya kila mtu hivyo wakaribishe ndugu jamaa na marafiki zako hakitakuwa kitu rahisi lakini mungu akutie nguvu uweze kufunga na kuhudhuria ibada hizi za maombi na hakika baada ya tarehe 30/1/2015 utakuwa mtu wa ofauti kwa jina la yesu karibu tutiishe tumiliki na kutawala posted by glory of christ tanzania church nyumba ya ufufuo na uzima at 842 pm no comments the word of today spiritual transfer by bishop josephat gwajima all the generations therefore from abraham to david were fourteen generations and from david until the carrying away of babylon fourteen generations and from the carrying away of babylon unto the christ fourteen generations matthew 171 jehoiachin was eighteen years old when he began to reign and he reigned three months in jerusalem and his mother's name was nehushta daughter of elnathan of jerusalem and he did evil in the sight of jehovah according to all that his father had done at that time the servants of nebuchadnezzar king of babylon came up against jerusalem and the city was besieged and nebuchadnezzar king of babylon came against the city while his servants were besieging it and jehoiachin king of judah went out to the king of babylon he and his mother and his servants and his princes and his chamberlains and the king of babylon took him in the eighth year of his reign and he brought out thence all the treasures of the house of jehovah and the treasures of the king's house and cut in pieces all the vessels of gold that solomon king of israel had made in the temple of jehovah as jehovah had said and he carried away all jerusalem and all the princes and all the mighty men of valour ten thousand captives and all the craftsmen and smiths none remained but the poorest sort of the people of the land and he carried away jehoiachin to babylon and the king's mother and the king's wives and his chamberlains and the mighty of the land he led into captivity from jerusalem to babylon and all the men of valour seven thousand and the craftsmen and smiths a thousand all strong men apt for war and the king of babylon brought them captive to babylon and the king of babylon made mattaniah his uncle king in his stead and changed his name to zedekiah zedekiah was twentyone years old when he began to reign and he reigned eleven years in jerusalem and his mother's name was hamutal daughter of jeremiah of libnah 2 kings 24818 king jehoiachin was taken captive because of his rebellion he offended god and that is why god allowed the king of babylon to win over his kingdom and turn him and all his mighty men of valour into captives king jehoiachin saw no chances of winning the war because of his disobedience which is why he surrendered and this teaches us when someone is in sin he will never get out of his chains even if he consoles himself the only way is to repent king nebuchadnezzar took ten thousands captives including the kings mother and only the poorest were left behind the question is why king nebuchadnezzar only took the mighty and left the poor behind why did he took the kings mother and made her a captive while she didnt have anything to offer this is because even the women who give birth to kings and rulers are blessed because not every womb can deliver kings that is why the king took her he knew she can be give him rulers the king of babylon symbolizes satan the devil usually takes captive all people who are potential and gifted but not the weak because the weak has nothing to offer or challenge him he can see ones gifts in the spiritual realm even before hes born he knows how that person will be in the future that is the reason he takes such people captives same applies in families a child who is highly gifted and expected to save the family from poverty is the one encountering many problems and misfortunes why because the devil has captured him and he is using his gifts and abilities to build his kingdom you are going through sufferings and torments in your life its because you have something great inside in you that can destroy the devil and that why the he cant not allow you to prosper the devil can see your prosperity in the spiritual realm he knows if he leaves free one you will destroy him as a servant of god the word of god says before you are kept in your mothers womb you were known from heaven that you are sent to earth to build gods kingdom through your gifts that god gave you satan saw you since the time you were descending as a spirit from heaven to your mothers womb he also saw how gifted you are and that is why he took you into captivity god is a spirit and they who worship him must worship him in spirit and truth john 424 but everyone who is born of spirit wins the world we are spirits but it pleased god for us to have flesh we have a flesh father and mother have given us the flesh body and our spiritual father is the father of our spirits once we die our flesh goes back to the earth because our flesh is dust but our spirits dont die because they resemble our heavenly father we should rejoice for we carry the labels of jesus christ in us we rejoice because for our spirits and not flesh because the flesh will perish any flesh without christ has meaningless once you accept jesus he lives in you and you will die but you will live we are spirits because our heavenly father is a spirit although it pleased for to us to have flesh and hence we are not of this world we came from heaven i have given them thy word and the world has hated them because they are not of the world as i am not of the world john 1714 satan witchcrafts witches and star readers can see you in the spiritual realm when they look at the spiritual realm they can see your star your mission and your purpose in this world and that is why they take your abilities and use it to build the devils kingdom which in the last days we simply not work and after the carrying away of babylon jechonias begat salathiel and salathiel begat zorobabel and zorobabel begat abiud and abiud begat eliakim and eliakim begat azor and azor begat sadoc and sadoc begat achim and achim begat eliudand eliud begat eliazar and eliazar begat matthan and matthan begat jacoband jacob begat joseph the husband of mary of whom was born jesus who is called christ matthew 11216 we have been spiritually transferred and that is why the miracles which happened then are not happening anymore if you ask the people why such miracles have disappeared they say that was in the past and now we live in the future but this is not true because god is the same yesterday today and forever even pastors today are not preaching like how they are supposed to preach in in the kingdom of god because even they are spiritually transferred and become captive but they are not aware of it we must return back home now that we know of the spiritual transfer the question is where have we been transferred to there are spiritual cities which are built in the spiritual realm and a person can be taken to live there and the wall of the city had twelve foundations and on them twelve names of the twelve apostles of the lamb revelation 2114 and i saw no temple in it for the lord god almighty is its temple and the lamb and the city has no need of the sun or of the moon that they should shine for it for the glory of god has enlightened it and the lamp thereof is the lamb revelation 212223 in that day shall there be five cities in the land of egypt speaking the language of canaan and swearing by jehovah of hosts one shall be called the city of heres isaiah 1918 mine eyes are consumed with tears my bowels are troubled my liver is poured upon the earth because of the ruin of the daughter of my people because infant and suckling swoon in the streets of the city lamentations 211 these scriptures reveal to us that there are cities in the spiritual realm some of these are cities belong to god and some of them belong to the devil though these cities cannot be seen by our flesh eyes they do exist these cities need no sun nor moon for gods glory is the light of his city and as for the devil darkness is the light his city which is called the city of heres this is the city where the devil has kept people captive he has transferred them from their native place by taking their abilities and uses them for his kingdom the devil may not take you whole it may be your eyes your mind attitude confidence or ability which you are blessed with that is taken to the city of heres to serve the devil like how the king of babylon took ten thousand people of judah captive with different abilities to serve him when i speak of attitude i mean a personal interpretation of things it is how you look at things and give their proper names it is your personal judgement over matter and confidence is knowing beyond the shadows of guts if these things are taken from what remains is arrogance and now why hast thou not reproved jeremiah of anathoth who maketh himself a prophet to you for as much as he hath sent unto us in babylon saying it will be long build houses and dwell in them and plant gardens and eat the fruit of them and zephaniah the priest read this letter in the ears of the prophet jeremiah and the word of jehovah came unto jeremiah saying send to all them of the captivity saying thus saith jehovah concerning shemaiah the nehelamite because that shemaiah hath prophesied unto you and i sent him not and he hath caused you to trust in falsehood jeremiah 292731 during the 1st century christianity totally disappeared only the catholics remained and many pentecostal christians were searched and killed by the roman dollar for example peter and others were hanged on the cross and some were smashed by the roman chariots the remaining christians ran and hid themselves in the dungeons of the country later these christians received news about the death roman king the one who used to kill them and the rise of the new king king constantine who was a christian this king unlike the previous one he summoned all the christians who were hiding he united them and from there roman catholic began because the king was catholic and so the pentecostal christians had no option than to turn into romans later martin luther arose and turned against catholic and he started he own group called the lutherans king james also came up his view of allowing bishops to marry and from him arose anglicans the word anglican came from the word anglo which means english which meaning the congregation established by the british later others who protested against some of the things followed by the catholics formed their congregation which is today called protestants till then no one was speaking in tongues until in the 18th century god caused a problem in the city of azusa which assembled people to pray and that is when they started speaking in tongues again americans thought these people have gone mad and from there miracles started happening and the flames of fire which is the holy spirit was back again i have given this history for you to realize that we are captives and the devil tried to take away our christianity our fire and our gifts that why we have to return back home to our nature and refuse to be captives in the name of jesus king koresh was raised by the lord to allow the children of israel to return back home although they met enemies on their way who were stopping them from moving forward but in the end they overcame this was the transfer started by god himself so his people could return to their homes and get out their captivity that is what happened in life whenever you want to prosper the devil blocks your way to stop from going after your success in the name of jesus i return back home i return back to my nature and attitude in the name of jesus i return back from my transfer in the name of jesus whoever is holding me from going back i slay you in the name of jesus today i destroy all those who have planted evil thoughts and attitude in me by the fire of god in the name of jesus i pull down all mountains that have stood in front me i destroy all the witches who are withholding my transfer by the fire of god i pull you down by the blood of jesus i open the passage of my freedom from captivity and return back home in the name of jesus i am shifting from where i was kept captive in the spiritual realm i return back to life in the name of jesus i return from death to life in the name of jesus i return from failure to victory in the name of jesus i return from sadness fear to my nature of confidence power ability stability wealthy and success by the blood of jesus i diminish anyone who is blocking me in the name of jesus i destroy anyone who is preventing me from getting out of my captive the name of jesus i return back to my nature of multidisciplinary ownership and control in the name of jesus amen posted by glory of christ tanzania church nyumba ya ufufuo na uzima at 1252 am no comments posted by glory of christ tanzania church nyumba ya ufufuo na uzima at 648 am no comments
2018-02-24T23:59:37
http://ufufuonauzima.blogspot.com/2014/12/
siri ya utauwa namna ya kujua kwamba kristo ni ukweli njia na uzima | swahili gospel movie clip 5/6 | injili ya kushuka kwa ufalme gawa 181 tazama filamu nzima
2020-01-27T08:52:47
https://sw.kingdomsalvation.org/videos/movie-the-mystery-of-godliness-5.html
winga christian eriksen wa tottenham mbioni kutua italia anakowaniwa na juventus inter milan | saluti5 ')+else if(null=(o=rmatch(/(youtube\/|youtubecom\/(watch\(*&)v=|(embed|v)\/))([^\&\\'>]+)/gi))){var v=o[0]match(/^*((youtube\/)|(v\/)|(\/u\/\w\/)|(embed\/)|(watch\))\v=([^#\&\]*)*/)v&&11==v[7]length&&(s='')}else s=''i=''l=rreplace(/<(*)>/g)replace(/[\n\r]+/g )uinnerhtml=s+''+d++lsubstring(0gsummarylength)+''+i+} » winga christian eriksen wa tottenham mbioni kutua italia anakowaniwa na juventus inter milan winga christian eriksen wa tottenham mbioni kutua italia anakowaniwa na juventus inter milan winga kutoka denmark christian eriksen huenda akaihama klabu yake ya tottenham hotspurs na kwenda nchini italia ambako anawaniwa na timu za juventus na inter milan mchezaji huyo alijikuta akifungiwa vioo na viongozi wa timu hiyo baada ya kuomba alipwe pauni 150000 kwa wiki katika mkataba wake mpya
2017-04-26T02:06:39
http://www.saluti5.com/2016/08/winga-christian-eriksen-wa-tottenham.html
free zanzibar people from mkoloni mweusi videoccm na cuf nani mwenye matusi balozi mdogo wa nchi ya tanganyika alalamika kwa kupewa majina videoccm na cuf nani mwenye matusi balozi mdogo wa nchi ya tanganyika alalamika kwa kupewa majina balozi mdogo wa nchi ya tangnyika aliye nchini zanzibar balozi seif ali idd amehadharisha kuwa serikali ya umoja wa kitaifa inaweza kumeguka iwapo viongozi wataendelea kutumia vibaya majukwaa ya kisiasa kwa kutoa kauli za chuki na matusi na kukashifu serikali kwa maslahi binafsi ingawa balozi idd alisema uhusiano wa viongozi wakuu watatu wa nchi ni mzuri rais wa zanzibar dk ali mohamed shein makamu wa kwanza wa rais maalim seif sharif hamad na yeye balozi seif ali idd wanafanya kazi vizuri balozi huyo mdogo wa nchi ya tanganyika alikishutuma chama cha cuf kwa kutumia majukwaa ya kisiasa vibaya alidai kinatumia lugha za matusi dhidi yake na kumpa majina mabaya alisema kasoro kubwa zinajitokeza katika majukwaa ya kisiasa ambako viongozi wamekuwa wakitoa kauli za chuki zenye kutia wasiwasi mkubwa wananchi na kuhoji uhusiano wa viongozi hao kiasi cha kutukanana hadharani akifanya majumuisho na kujibu hoja za wajumbe wa baraza la wawakilishi waliyochangia bajeti ya ofisi ya makamu wa pili wa rais kwa mwaka ujao wa fedha juzi balozi idd alilaumu hususan viongozi wa cuf maalim seif ni katibu mkuu wa chama hicho alisema katika mikutano yao yote wanayofanya wamekuwa wakitumia vibaya majukwaa kumtukana yeye binafsi na kumchonganisha na wananchi na serikali iliyopo madarakani napenda kuwaambia wananchi uhusiano wa viongozi wakuu wa serikali ni mzuri sanalakini majukwaa ya kisiasa yanatumiwa vibaya kutukananatukiendelea hivyo hatufiki pahala na tutarudi tulikotoka alisema balozi huyo wa nchi ya tanganyika balozi ali iddi kwa mujibu wa balozi huyo wa nchi ya tanganyika alisema amekuwa akipewa majina mabaya na viongozi wa cuf katika mikutano ya kisiasa likiwemo laanatullahi wakimaanisha kumlaani jambo ambalo alisema anawauliza amewakosea nini ulicho wakosa wazanzibari nikuwalazimisha kubaki na muungano feki wa mkoloni mweusi tanganyika na kuwafitinisha ili waanze kukosana ili wewe uwatawale na usha anza kuwafitinisha na kusema utawarudisha waliko toka kama sio fitina ni nini pia kujijegea maisha mazuri na kuiba pesa za wavuja jasho na kuzipeleka tanganyika kwa masultani wako na lamwisho ukatia fitina mpaka masheikh wakashikwa na kutupwa jela unafikiri hatujuwi kama hujuwi leo tunakuambia fitna zako mwaka huu zimepiga mbizi kwenye maji ya ugoko balozi idd aliwahadharisha viongozi hao kwamba lengo la serikali ya umoja wa kitaifa ni kuleta mshikamano kwa wazanzibari wote(masheikh wa uamsho ni wazanzibari watoweni basi jela kama kweli mnataka kuleta mshikamano kwa wazanzibari wote na wao pia ni wazanzibari lakini nyinyi ni kusema tu nyoyo zenu zimeja kutu za kutaka kuuwa na kutesa watu ili mudumu milele kwenye madaraka asiye juwa nini) alionya kwamba watu wanaweza kurudi ambako walikuwa hawazikani wala kushirikiana katika matukio kutokana na siasa za chuki na uhasama kutawala tangu ulipoingia mfumo wa vyama vingi vya siasa mwaka 1992 tuache kutukanana katika hadhara za majukwaa ya kisiasahawa cuf sijui nimewakosea nini na kama majina yanachuna basi tayari ngozi yangu ingeathirika alisema balozi idd alikumbusha viongozi na wananchi kwamba kilichounganishwa ni serikali yenye muundo wa umoja wa kitaifa lakini vyama vya siasa na sera ni tofauti na hakuna sababu ya kulumbana katika hilo awali waziri wa nchi ofisi ya makamo wa pili wa rais mohamed aboud alisema tume ya uchaguzi ya zanzibar (zec) iko kwenye mchakato wa kuboresha daftari la wapiga kura nchini kote alitaka wanasiasa kujenga tabia ya kuwaamini watendaji wa taasisi hiyo na kuacha kuwahukumu kwa kuwashutumu kitendo ambacho kinaweza kuzorotesha utendaji wa kazi hiyo tume hii imefanya kazi vizuri sana tangu mchakato wa kura ya maoni mwaka 2010 pamoja na kusimamia uchaguzi mkuu ambao ulikwenda vizuri na vyama vyote kuridhika alisema aboud serikali ya umoja wa kitaifa zanzibar iliundwa baada ya uchaguzi mkuu wa oktoba 31 2010 kutokana na matakwa ya wananchi kupitia kura ya maoni na kushinda kwa zaidi ya asilimia 64 muundo wa serikali ya umoja wa kitaifa unajumuisha vyama vya ccm na cuf ulifikiwa ili kuondoa siasa za chuki na uhasama katika visiwa vya zanzibar wewe balozi ndogo wa tanganyika hebu angalia hizi video kesha jiulize ni nani na nani anayefanya mkuutano na kutukanawewe ni moja kati ya watu ambao mulipingaa kwa guvu zote kusiwe na serekali ya umoja wa kitaifa lakini ikaja na guvu za mola na wazanzibari wenyewe sio ccm wala cuf wala huwo muungano wako feki unao ukazania ubaki wala wazanzibari hawatarudi walikotoka wazanzibari wataungana na kupigana mpaka tupate nchi yetu na wewe balozi mdogo wa watanganyika ukitaka ungana nasi au hama zanzibar ukaishi tanganyika uliko ekeza lakini hapa ni zanzibar tu kwanza shengesha baadayee posted by free zanzibar people from mkoloni mweusi at 655 am
2018-07-23T13:42:17
http://free-zanzibar.blogspot.com/2013/06/video-ccm-na-cuf-nani-mwenye-matusi.html
msomi wa kiislamu anasema bitcoin unatimiza chini ya sheria ya sharia blockchain news msomi wa kiislamu anasema bitcoin unatimiza chini ya sheria ya sharia tamko hivi karibuni kwa msomi wa kiislamu kwamba bitcoin inatii sheria ya sharia inaweza kuwa sababu ya nyuma leo $1000 bei kuongezeka kufungua soko kwa wawekezaji muislamu ambaye hapo awali uhakika kama cryptocurrency waliohitimu kama fedha chini ya sheria ya sharia bitcoin iko chini ya ufafanuzi fulani cha fedha katika sheria sharia chochote ambacho inakuwa kukubalika sana kama sarafu na jamii au mamlaka ya serikali mufti muhammad abu bakar sharia mshauri na afisa kufuata katika blossom fedha katika jakarta kuchapisha karatasi tawala kuwa katika hali fulani bitcoin inaweza kweli kuwa halal (ruhusa) dondoo kusoma kwa kijerumani bitcoin ni kutambuliwa kama sarafu ya kisheria na kwa hiyo anastahili kama fedha ya kiislamu nchini ujerumani katika nchi kama vile marekani bitcoin haina rasmi kisheria hali ya fedha lakini ni kukubaliwa kwa ajili ya malipo katika aina ya wafanyabiashara na kwa hiyo anastahili kama islamic fedha za kimila zaidi ya hayo bitcoin na teknolojia blockchain align vizuri na sharia itikadi za sehemu ya hifadhi ya benki ambapo umiliki wa fedha husika ni matokeo ya unethical mkopo (riba) ni haramu kwa sababu blockchain undeniably inathibitisha umiliki kwa kweli ni zaidi inatii sharia ya benki na hii yote ilikuwa ni pamoja na katika karatasi kuchapishwa na mufti muhammad abu bakar mkondoni wakuu se playboy tv kukubali cryptocurrency playboy tv ni uzinduzi canada tech imara manunuzi cryptocurrency kampuni ya madini baada uliopitabaidu yazindua blockchain makao hisa photo jukwaa post nexthindi crypto kubadilishana coinsecure kuvamiwa
2018-04-24T20:59:49
http://traynews.com/sw/news/islamic-scholar-says-bitcoin-is-compliant-under-the-sharia-legislation/
ay aingia katika orodha ya 2013hip hop heavyweights ya jarida la heshima dj cashmizo home / unlabelled / ay aingia katika orodha ya 2013hip hop heavyweights ya jarida la heshima ay aingia katika orodha ya 2013hip hop heavyweights ya jarida la heshima kwenye jarida la mwezi november la bongo5 ay alikuwa mmoja ya wasanii tuliowaweka kwenye orodha ya bongo kings hivyo si jambo la kushangaza kuona jarida la heshima la kenya kumweka kwenye orodha yake ya 2013 hip hop heavyweights ay ambaye jina lake halisi ni ambwene yessaya ana mengi aliyoyafikia na kumfanya apate heshima pia anangara kwenye video aliyoshirikishwa na msanii wa nigeria goldie harveyskibono songstress goldie harvey drops visuals for her track skibobo on which she features tanzanian rapper ay the video was shot in south africa by godfather productions and features cameos from denrele edun tayari ana wimbo uliokamilika aliofanya na sean kingstone so bado tu una wasiwasi na uheavy weight wa ambwene ay aingia katika orodha ya 2013hip hop heavyweights ya jarida la heshima reviewed by djcashmizo on 718 am rating 5
2018-12-19T07:08:15
http://www.djcashmizo.com/2013/01/ay-aingia-katika-orodha-ya-2013hip-hop.html
swahilivilla dada jamila awatakia timu ya bongo real kujitahidi katika mechi ya tatu dada jamila awatakia timu ya bongo real kujitahidi katika mechi ya tatu sio kama wameshinda ila wametae game yani wametoa drow kwenye mchezo wa mwazo mmeshinda bao 32 mechi ya marudiano wametae 61 mchezo umekuwa sawa sawa hakuna mshindi sasa subirini mechi ya tatu atakaeshinda hapo ndio atajulikana nani zaidi kati ya bongo real na unyarugusu ndivyo asemavyo mrembo wa timu hiyo pale ulipomaliza mchezo wa jumamosi dhidi ya bongo real vs unyarukusu siku ya jumapili ya wiki iliyopita mchezaji wa bongo real winger ya kulia khalid londa akipata flash ya pamoja na mwana dada jamila kwenye mechi ya marudiano katia unyarugusu vs bongo real ndani ya kiwanja cha meadowbrook park maryland nchini marekani wakati huo huo tumepata habari hivi punde kutoka kwa captain wa bongo real ali tumbo ya kwamba ile (nyama choma ndizi kwa chachandu) itakuwa siku ya jumapili hii julai'31/2011 mida ya 4 pm mpaka juaa kuzama vile vile kwawale wachezaji waliojaliwa kuwa na familia zao pia mnakaribishwa kuja kujumuika pamoja kuchoma nyama kwenye park ya meadowbrook park watanzania nyote mnakaribishwa tule nyama choma
2013-05-22T01:23:22
http://swahilivilla.blogspot.com/2011/07/dada-jamila-awatakia-timu-ya-bongo-real.html
ataba tukufu yatoa zawadi kwa wanafunzi mayatima na yawahimiza kuongeza juhudi katika masomo sehemu ya utoaji wa zawadi kwa yatima wa taasisi y imamu ali (as) alikua karibu sana na mayatima ndio maana akapewa jina la baba wa mayatima (abul aitaam) hakika alikua na uhusiano mkubwa na mayatima kiasi kwamba hauwezi kumtenganisha nao bila shaka sifa hiyo tukufu walikua nayo pia watoto wake watakatifu (as) hivyo kamati ya maandalizi ya kongamano la amirul muminina (as) haikutaka kukosa kipengele cha kuonyesha kuwajali mayatima katika ratiba ya kongamano linalo endelea hivi sasa katika mji wa karkal kwa kutembelea taasisi zinazo lea mayatima kwani kufanya hivyo kunawajenga kisaikolojia na kuacha athari kubwa katika nafsi zao ugeni ulitembelea shule ya jawaadiyya alkhairiyya ambayo ni taasisi ya kielimu na kimalezi ya kidini inayo toa huduma za kimalezi na kielimu kwa mayatima baada ya kukutana na viongozi wa taasisi hiyo mkuu wa taasisi hiyo shekh muhammad baaqir alitoa tamko la ukaribisho ambapo alitoa shukrani nyingi kwa kutembelewa na ugeni ambao hajawahi kupokea ugeni kama huo hii inamaanisha umuhimu na heshima kubwa ya ataba tukufu za iraq kwa kundi hili la mayatima pamoja na hivyo wanafunzi hao wamefanya vizuri katika masomo yao wamefaulu kwa daraja za juu na kuingia katika vyuo vikuu kwenye michepuo tofauti kisha ukafuata ujumbe wa wageni ulio wasilishwa na sayyid ihsaani gharifi alionyesha kufurahishwa kwa wageni kutokana na juhudi nzuri za wanafunzi hawa ambao wanapambana na hali ya uyatima na wameishinda kwa kufaulu katika masomo yao na kuendelea na elimu ya juu wanafunzi walio kuwa wanapewa zawadi pia walikua na ujumbe ulio wasilishwa na mwanafunzi shaukat ali nao pia walitoa shukrani nyingi kwa ugeni huu na kusema kua umewapa msukumo mkubwa wa kuendelea na masomo rais wa ujumbe wa atabatu abbasiyya sayyid aqiil abdulhussein yasiri alielezea furaha waliyo nayo wageni hususan baada ya kuona mabinti wenye maisha magumu likiwemo la uyatima ndio walio shika nafasi za kwanza na akawahimiza wenzao kuiga mfano huo akawahimiza wote kwa pamoja waongeze juhudi ya kutafuta elimu na wamfanye mtume (saww) kua kigezo chao kituo cha pili walitembelea taasisi ya zaharaa (as) ya kulea mayatima wa kike ambayo ipo chini ya ofisi ya marjaa dini mkuu sayyid ali husseini sistani na inazaidi ya mayatima (50) taasisi inawagharamia kila kitu maisha masomo na vinginevyo kwa ajili ya kuwaandaa kua wanawake watakao weza kubeba majukumu katika tamko la ukaribisho rais wa kamati kuu ya uongozi wa taasisi hiyo shekh ridhwa ridhwani aliwashukuru wageni kwa kusafiri umbali mkubwa kwa ajili ya kuja kuitembelea taasisi hii akasema kua taasisi hii imeanzishwa mwaka (2004) chini ya ufadhili wa marjaa dini mkuu muda wa masomo ni miaka (12) wanaanza hatua ya awali hadi sekondari miongoni mwao wapo waliofika elimu za juu mjumbe wa kamati inayo simamia taasisi hii profesa naadhir shabani alifafanua selebasi wanayo tumia katika masomo na akamalizia kwa kushukuru ziara hii akasema anaomba itokee tena siku za mbele akasisitiza kua ugeni huu utawapa msukumo mkubwa walimu na wanafunzi katika kutekeleza majukumu yao bila kuhisi uyatima wowote mwisho kabisa wageni nao wakazungumza neno lao lililo wasilishwa na sayyid ihsaani gharifi kutoka katika atabatu abbasiyya tukufu ammaye alitoa shukrani kwa viongozi wa taasisi hii kuanzia kamati kuu ya uongozi na walimu kutokana na kazi wanayo fanya ya kuwalea mayatima na kuwawezesha kuishi maisha ya kawaida na kuchanganyika na makundi mengine ya jamii baada ya hapo mayatima wakapewa zawadi pamoja na walimu wao huku wakishangilia sana na kuwaahidi wageni kua wataendelea kutekeleza mradi huu wa kibinadamu
2020-04-01T02:00:47
https://alkafeel.net/news/index?id=6632&lang=sw
mwalimu wa sayansi wa kenya peter tabichi ameshinda tuzo ya dunia bbc news swahili https//wwwbbccom/swahili/habari47689652 image caption brother peter tabichi amesifiwa kama mwalimu wa kipekee ambaye hugawa sehemu kubwa ya mshahara wake mwalimu wa sayansi kutoka eneo la kijijini nchini kenya ambaye hutoa sehemu kubwa ya mshahara wake kwa ajili ya kuwasaidia wanafunzi maskini zaidi ameshinda tuzo la dola milioni moja ($1m ) kwa kuwa mwalimu bora zaidi duniani peter tabichi ambaye anatoka katika shirika la kidini la francisco alishinda tuzo ya dunia la mwaka 2019 la mwalimu bora brother peter amesifiwa kwa mafanikio yake katika shule yenye madarasa yenye watoto wengi pamoja na vitabu vichache anataka kuwaona watoto wa shule kuiona sayansi kama njia ya kufuata kwa ajili ya siku zao zijazo tuzo hilo lilitangazwa katika sherehe iliyofanyika mjini dubai ambapo alitambuliwa kama mwalimu aliyejitolea kuhfanya kazi isiyo za kawaida kwa watoto katika eneo lisiloweza kufikiwa kwa urahisi la bonde la ufa nchini kenya hutoa 80 ya mshahara wake kuwasaidia watoto katika shule ya kutwa ya sekondari ya wasichana na wavulana ya keriko iliyopo katika kijiji cha pwani village kaunti ya nakuru ambao vinginevyo wasingeweza kupata sare za shule na vitabu kuboresha sayansi la muhimu si pesa alisema brother peter ambaye wanafunzi wake karibu wote wanatoka katika familia zisizojiweza wengi ni yatima au hawana mzazi mmoja mwalimu huyo mwenye umri wa miaka 36anataka kuwa mfano na kusaidia kuinua sayansi si kwa kenya tu bali kote barani afrika kuhusu ushindi wake wa tuzo brother peter alielezea mafanikio ambayo vijana wa afrika wanaweza kufikia kama mwalimu ninaefanya kazi nao nimeona matumaini ya yale ambayo wanaweza kuyafanya udadisi wao vipaji uwezo wao wa kiakili na imani yao vijana wa afrika hawatabakizwa nyuma na matarajio ya chini'' afrika itaweza kutoa wanasayansi wahandisi wajasiliamali ambao majina yao yatakuwa miongoni mwa watu maarufu katika kila kona ya dunia na wasichana watakuwa sehemu kubwa ya historia hii image caption wengi mingoni mwa wanafunzi husafiri zaidi ya maili nne kwenda shule katika eneo la bonde la ufa nchini kenya katika tuzo hilo lililotolewa kutokana na shindano lililoandaliwa na wakfu wa varkey brother peter aliwapiku washiriki wengine 10000 waliochaguliwa kutoka nchi 179 ni mtawa wa shirika la mtakatifu francisco la dini ya katoliki lililoanzishwa na mt francis wa assisi katika karne ya 13 brother peter anasema kuna changamoto ya ukosefu wa vifaa katika shule yake ukiwemo uhaba wa vitabu na waalimu na wengi wa wanafunzi hutembea zaidi ya maili nne kwenye barabara mbovu kufika shuleni wanafunzi wake wamekuwa wakifanikiwa katika mashindano ya kitaifa na kimataifa ya sayansi ikiwemo zawadi waliyoipata kutoka taasisi ya kemia ya uingereza ya royal society of chemistry in the uk majaji walisema kuwa kazi yake katika shule iliboresha kwa kasi kubwa mafanikio ya wanafunzi huku wengi sasa wakijiunga na vyuo vikuu licha ya uhaba mkubwa wa raslimali'' za masomo hali yamafunzo brother peter anasema moja ya changamoto imekuwa ni kuishawishi jamii kutambua umuhimu thamani ya elimu kutembelea familia ambazo watoto wao wamo katika hatari ya kuacha shule hujaribu kubadili mitizamo ya familia ambazo zinatarajiwa mabinti zao waolewe mapema akiwashauri kuwaacha wasichana wao waendelee na masomo image caption hii ni mara ya kwanza kwa afrika alisema mwalimu aliyeshinda tuzo brother peter tabichi brother peter amesema tuzo alilopewa ni ishara ya matumaini mema ni asubuhi afrika anga liko wazi siku bado ni changa na kuna ukurasa mtupu unaosubiri kuandikwa huu ni wakati wa afrika alisema brother peter alipongezwa na rais wa kenya uhuru kenyatta peter hadithi yako ni hadithi ya afrika bara changa linalolipuka kwa kipaji wanafunzi wako wameonyesha kuwa wanaweza kushindana miongoni mwa wanafunzi bora duniani katika sayansi teknolojia na katika nyanja zote za jitihada za binadamu alisema rais wa kenya shindano hilo lililenga kuinua kiwango cha taaluma ya ualimu mshindi wa tuzo hilo mwaka jana alikuwa ni mwalimu wa sanaa kutoka kaskazini mwa london andria zafirakou na miongoni mwa waalimu wa kwanza mwaka huu ni andrew moffat mwalimu mkuu wa birmingham ambaye amekuwa katika mzozo na walimu juu ya somo linalohusu haki ya mapenzi ya jinsia moja pamoja na watu wenaobadilisha jinsia zao lgbt muasisi wa tuzo hilo sunny varkey anasema anatumai hadithi ya brother peter itawatia msukumo wale wanaotaka kuingia kwenye taaluma ya ualimu na kutoa mwangaza mkubwa wa kazi nzuri wanayoifanya waalimu kote nchini kenya na kote duniani kila siku kupokelewa kwa maelfu ya maombi na kuchaguliwa kwa washiriki wa shindano kutoka kila kona ya sayari ni ushahidi wa mafanikio ya waalimu na mafanikio makubwa waliyonayo katika maisha yetu sote alisema
2019-04-21T20:14:01
https://www.bbc.com/swahili/habari-47689652
serikali ya scottish 'karibu sana' na wakulima wa lax bitly/2yeg8tm pictwittercom/bjbhwiq2nu serikali ya scottish 'karibu sana' na wakulima wa lax bitly/2htqglg pictwittercom/01j60xwrv1 serikali ya scottish 'karibu sana' na wakulima wa lax bitly/2yeg4dw pictwittercom/fyk9xwvhol uhalifu wa kihistoria 'mbili ya miaka kusubiri' kwa malipo ya fidia bitly/2jqfspk pictwittercom/wlyctoqzv4 serikali ya scottish 'karibu sana' na wakulima wa lax bitly/2yeg8tm serikali ya scottish 'karibu sana' na wakulima wa lax bitly/2htqglg serikali ya scottish 'karibu sana' na wakulima wa lax bitly/2yeg4dw acpeu bunge la pamoja 'je si kuzuia haki za binadamu katika jina la utamaduni' anasema louis michel eu reporter mwandishi | juni 16 2015 | 0 maoni hakuna relativism utamaduni ambapo haki za binadamu ni wasiwasi alisema louis michel (alde be) (pichani) siku ya jumatatu (15 juni) mwanzoni mwa 29th mkutano wa acpeu bunge la pamoja katika suva fiji alisema haki za binadamu inaweza kuwa breached kwa jina la utamaduni na kuongeza kwamba suala hili [] eu na fiji kutekeleza pacific mpito ya ushirikiano wa kiuchumi mkataba serikali ya fiji kujulishwa umoja wa ulaya jana kuhusu uamuzi wake wa kuomba mpito ya ushirikiano wa kiuchumi mkataba (epa) na umoja wa ulaya mpito ya ushirikiano wa kiuchumi mkataba (epa) kati ya eu na fiji hiyo ni tayari kwa ajili ya utekelezaji epa hutoa kwa ajili ya bure upatikanaji katika eu kwa bidhaa zote kutoka nchi []
2019-05-22T01:06:36
https://sw.eureporter.co/tag/fiji/
namna ya kujikinga na makelele ya miguno ya mapenzi | jamiiforums | the home of great thinkers namna ya kujikinga na makelele ya miguno ya mapenzi discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by boflo oct 25 2012 [h=1]how to stop your neighbors from having loud sex[/h] bora huyu kamrekodi so manake kuna wengine utafikir wanazama kwenye mto lolest dawa unawarekodi tu kama huyu dawa unawarekodi tu kama huyuclick to expand ni kwelilakini yataka moyo sana kukumbuka kurecord wengi wanaishia puchu kumekucha naomba nipite teheteh alikuwa na ujasir wa kurecordmie ningevaa headphones then nalala unono weeeemtu anirecord aone view attachment 69227 how to stop your neighbors from having loud sexclick to expand is that an audio or visual record i prefer visual to audio boflo looooooh unafikiri ndo tutapunguzaaaa naomba waiplay hiyo cd tuiskie naomba waiplay hiyo cd tuiskieclick to expand acha uroho mkuu mi mwenzenu nikiwa kwenye majamboz ndio maana naamua kulala kama gogo maana nikisema niweke makashkash kelele zinakuwa nyingi yaani kama honi za mabasi ya zamani ya kwenda mombasa kwa hiyo kitu nikikichomeka tu ndio unakuwa mwisho wa ku pump haaaaaaaaaaaaaaa boflooooooooooooooooooo ni hapo sasa unawarekodi huku na wewe unapiga puchu sauti yako inachanganyika na yao sorry ama puchu ni silent lol ni kwelilakini yataka moyo sana kukumbuka kurecord wengi wanaishia puchuclick to expand hii ndiyo kiboko ya wanaopiga kelele wakati wa chakula cha usiku mmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhh// hizo ndio changamoto za upangaji hakuna jinsi maana tunakaa kwenye nyumba ambazo wakati mwingine hazina privacy kama mtu unakaa nyumba haina ceiling board unategemea nini (uvumilivu tu ndio unatakiwa hapa maana kelele zingine ni za kawaida ila nyumba tunazoishi ndio zinasababisha tusikie yale yasiyotuhusu) ha haaa mh kwani hakuna cieling board kwa hiyo nyumba enzi hizo niliwahi kwenda kwenye mechi za ugenini nakukuta nyumban haini cieling hizo kelele sasa alizokuwa akipiga huyo demu mpaka nakasema anawakomoa jirani zake asubuhi nilitoka jogoo la kwanza sikutaka ushahidi lazima nimpelekee mke wangu maana kuna mtu anatukera kupita maelezo yaani ile nyuma isngekua na ukuta hata sijui ingekuaje maana hapo ni ukuta na ukuta na kuna upenyo mkubwa tu kati ya nyumba moja na nyingine lakini kila siku saa nane hadi kumi asubuhi lazima ushtukekweli usiombe da thic is person defamation
2017-07-27T13:24:57
https://www.jamiiforums.com/threads/namna-ya-kujikinga-na-makelele-ya-miguno-ya-mapenzi.344144/
njia 3 za kuweka app kwenye android bila kutumia google play store mediahuru apps za simu maujanja njia 3 za kuweka app kwenye android bila kutumia google play store google play store inajulikana kama soko la android jukwaa la usambazaji wa digitali kwa ajiri ya mifumo ya uendeshaji ya android na digital media store inayoendeshwa na google google imewezesha kuwepo kwa uhifadhi mkubwa wa apps games na vitu vingine na karibu chochote unachokitaka kinaweza kupatikana huko hata hivyo kuna nyakati ambapo unahitaji kuweka programu za android kutoka nje ya google play store google haifanyi kazi kama apple linapokuja swala la kile kinachouzwa katika app store lakini bado inaweza kupima viwango au labda unataka kuweka toleo la zamani la programu ambalo tayari unalimiliki kwa sababu linafanya kazi vizuri kwenye kifaa chako hebu tuangalie baadhi ya njia unazoweza kuzitumia kuweka apps za android bila kutumia google play store ruhusu uwekwaji wa apps kutoka sehemu zisizo rasmi (enable unknown sources) android app zilizo katika faili za apk pia zinaweza kupakuliwa kutoka nje ya play store (kama vile kupitia kivinjari chako cha wavuti) hata hivyo kabla ya kujaribu kuinstall apk lazima kwanza uidhinishe simu ili kuwezesha unknown sources (yaani programu haipo kwenye play store) ili kufanya hivyo nenda kwenye settings > security na kubali sehemu iliyoandikwa unknown sources kisha bofya ok na trust tafuta faili la app ya android (apk) unalolitaka kutoka kwenye intaneti unaweza kuwa tayari una tovuti inayoaminika ya kupakua apk ikiwa bado hujajua wapi unaweza kupakua apps zaidiunaweza kutumia tovuti ya apkmirror ambayo ni bora kwa apk zinazopatikana kisheria za matoleo ya programu za zamani za play store app programu za bure na zaidi unaweza kushusha apk moja kwa moja kwa njia ya kivinjari cha simu yako hapa utapokea ujumbe ukisema this file may harm your phone usijali ikiwa umepata faili kutoka apkmirror au faili nyingine kutoka kwenye tovuti unayoamini simu yako itakuwa salama pia pakua faili kisha ufungue apk kisha sakinisha (install) programu yako mpya unaweza pia kupakua apk kupitia kivinjari kwenye kompyuta yako ila utatakiwa kuhamisha faili kwenda kwenye simu yako kupitia microusb au mtandao wa wireless na uiweka kutoka hapo mipangilio kwa kutumia google drive dropbox na cloud services zingine pia ukipakua apk kwenye kifaa kingine unaweza kupakia (upload) kwenye cloud service kama google drive au dropbox mara baada ya kukamilika unaweza kuipata kupitia google drive or dropbox kwenye simu yako na kuifungua moja kwa moja kutoka kwenye huduma ya clouds ili kuanzia kufanya installation je ushawahi kutumia njia ipi kati ya hizi na je makala hii imekusaidia toa maoni yako kumbuka kusambaza makala hii kwenye mitandao ya kijamii na kundelea kusoma mediahurucom android appsapps za androidgoogle play jinsi ya kuangalia movie na tv shows kwenye simu ya android bure jinsi ya kuzuia simu ya android kujua eneo ulilopo apps bora za android kwa ajiri ya blogger mwaka 2018
2018-04-26T02:12:13
https://mediahuru.com/kuweka-app-kwenye-android-bila-kutumia-google-play-store/
baba wa kijana huyu bingwa wa dunia ajitokeze | jamiiforums | the home of great thinkers baba wa kijana huyu bingwa wa dunia ajitokeze discussion in 'celebrities forum' started by leornado may 4 2011 kwa wapenzi wa figure skating bila shaka mtakuwa mnampata kijana robin szolkowy wikipedia the free encyclopedia baba yake inasemekana ni mtanzania ila hawajawahi kuonana wazee wa jf kama kuna aliyewahi kutembelea ujerumani miaka ya 1978 na kutoka na nesi basi ajue kaacha mtoto ambaye kwa sasa anatisha katika mchezo wa figure skating binafsi kama mtanzania huwa najisikia faraja sana kwa jinsi anavyoumudu mchezo huu bila kulewa sifa za kuwa bingwa wa dunia wazee kazi kwenu kuvuta kumbukumbu zombi jfexpert member baba yake yupo wameshaonana mwaka 2008 vienna alikuwa ni mwanafunzi medical doctor na mama yake nurse wakati wamekutana na mama yake miaka hiyo alitokomea na kujitokeza mwaka 2008 bahati yake kampata baba'ke wengi wengine hutafuta mpaka hukata tamaa na wengine hukutana na baba zao na kujuta kwa nini wamepoteza muda wote huu kukutana na such an 'idiot' man anyway la msingi kamjua baba yake atulie kuendelea na maisha yake msizae na kuacha watoto wenu jamani tunazaa lakini hatujui tunazaa ninii usikute unaemwacha ndio atakae kuwa president wako baadaye
2018-01-18T10:42:12
https://www.jamiiforums.com/threads/baba-wa-kijana-huyu-bingwa-wa-dunia-ajitokeze.132120/
ubarikiwe mkuu tumeelimika wengi hii ni tabia ya sisi watanzania mtu anakurupuka na kusema tu billion mbili wala hajui kama kuna categories za vituo ukubwa wa tank mode of operation etc tunapenda kijifanya tunajua kila kitu na kukatishana tamaa kimsingi kuna two category filling station au kituo kidogo eneo lake lazima liwe so chini ya 600sqm walau liwe na pump mbili ukubwa wa tank itategemea na uwezo wa mmiliki lakini so chini ya 30000 liters kuna kituo kikubwa petrol service station ambacho eneo lake sio chini ya 2000sqm pump zaidi ya nne kuna car service restaurant/kiosk kituo kikubwa kinagharimu kati ya 300 400ml kukijenga kidogo ni kati ya 90m 150m kulingana na upatikanaji wa eneo na material matenk ni kama 15m lenye ujazo wa 20000 pump 10 15m mafuta unaweza kuingia ubia na wasambazaji ama ukanunua na kuuza kila lita ina margin kati ya 65 130 hivyo unaweza kufanya hesabu zako hapo tusikashinane tamaa kama hujui kaa kimya like unachokijua hata kama ni kidogo sema lakini kukatishana tamaa kiwanja inatevemeana na eneo unaweza pata hata 10m 22891 2000 uwanja mil600 halafu hapohapo paap bil12 jamani mbona fedha kiasi cha billion mnakifedhehesha sana kama fedha za kutupatupa chini ovyo kutuza ma harusi wa kwenye maigizo ya kinaigeria hapo tayari kiwanja umepata sasa matenki pampu na mtaji wa mafuta ya kuanzia ndiyo ifike millioni elfu moja(1000000000000/=) acheni kudharau pesa nyie kwani kutoka 600ml inabaki ml ngapi kufika bl moja mkuu asante kwa mchangi wako hiyo mbona inatosha kabisa inabaki millioni mia4 lakini kwa muktadha wa 'komenti' yako inabakia millioni mia6 kwanza millioni1 pekee kuifanyia kazi mpaka iishe kwa manunuzi ya pampu na tanki yahitaji ufafanuzi na mchanganuo pesa nyingi sana hizo jamani hasa tunapozungumzia ujenzi just kisima cha mafuta siyo lelemama sasa sh ngapi hasa ndiyo anachotaka kufahamu mtoa mada yaani hadi mda huu nashindwa kuelewa kama pesa yangu inatosha ama hamna maana kila mtu na lake embu soma vizuri post#101 inaweza ikakusaidia pa kuanzia 100 million inatosha kabisakama uneshapata eneo designing mantaki ya mafuta pump etc usitishe watu kwamba 700 million or 2 billion reactions cmp and emmyguy post #48 au #101 uwakala wa hizi kampuni unapataje sory sir i mean post#48 it's cost a billions of money andika kiswahili mwaka 2013 gharama za kuanzisha kituo kidogo ilikua ni roughly 500m hiyo iwe ni maeneo ya porini au vijijini kwasasa ukiadjst na inflation ongeza m kadhaa hapo then ingia porini fafanua vizuri mkuu ebu pata picha mtu uweke kituo cha mafuta mbezi beachtena pembeni ya barabara hicho kiwanja utauziwa bei gani au kule masaki kiwanja pemben ya barabara usiogope mkuu hata ujenzi mwingine kama wa ghorofa moja kwenye eneo la square meter 70 kuna wanaosema inajengwa kwa milion 300 lakini ukweli ni kwamba hata milion 100 haiishi reactions kikukuu emmyguy and erythrocyte eneo lipo tayari
2019-07-16T10:11:59
https://www.jamiiforums.com/threads/gharama-za-kuanzisha-kituo-cha-mafuta-sheli.1601787/page-6
vijimambo jela miaka 30 kwa kumbaka bibi kizee jela miaka 30 kwa kumbaka bibi kizee mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa kigoma imemhukumu omari mzuzu (25) mkazi wa kijiji cha ilagala wilayani uvinza kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la ubakaji mzuzu ametiwa hatiani baada ya kumbaka bibi mwenye umri wa miaka 70 na kumsababishia maumivu makali sehemu zake za siri hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama hiyo sylvester kainda alisema mahakama inatoa adhabu hiyo baada ya upande wa mashtaka kuthibitisha kuwa mshtakiwa alitenda kosa hilo hakimu kainda alisema mahakama hiyo inatoa adhabu kali dhidi ya mshtakiwa ili iwe fundisho kwake na vijana wengine wenye tabia ya kikatili kama yake alisema upande wa mashtaka ulipeleka mahakamani mashahidi wane ambao walithibitisha pasina kuacha chembe yoyote ya shaka kuwa mshtakiwa alimbaka bibi huyo jambo ambalo ni kinyume cha sheria hakimu kainda alisema bibi huyo alikuwa amelala na mjukuu wake usiku mjukuu wake alitoka nje kwenda chooni na aliporudi alimkuta mshtakiwa huyo akimbaka bibi yake alisema baada ya kuona bibi yake anabakwa mjukuu huyo alipiga kelele na wasamaria wema walifika na kumkamata mshtakiwa kisha kumpeleka kwa mwenyekiti wa kitongoji cha ruguda baada ya kumfikisha kwa mwenyekiti wa kitongoji walimpeleka kituo cha polisi ilagala na kumhoji hatimaye walimfikisha mahakani ili sheria ichukue mkondo wake kabla ya hukumu kutolewam mahakama ilimpa nafasi mshtakiwa kujitetea na ndipo alipodai kuwa alifanya tendo hilo si kwa utashi wake bali shetani alimdanganya na ni kosa lake la kwanza hivyo kuomba apunguziwe adhabu hakimu kainda alitupilia mbali utetezi huo na kusema kitendo ulichokifanya mshtakiwa ni kikatili kwa kuingia ndani ya nyumba usiku na kumbaka bibi huyo na kwamba huo ni unyama kwa hiyo atakwenda jela miaka 30 ili akajifunze namna ya kuishi na jamii awali akisoma hati ya mashtaka wakili wa serikali shaaban masanja alidai kuwa mshtakiwa alitenda kosa hilo febuari 28 mwaka huu majira ya usiku
2018-03-21T05:22:46
http://lukemusicfactory.blogspot.com/2016/09/jela-miaka-30-kwa-kumbaka-bibi-kizee.html
wakulima wa miwa wakopeshwa mil 550/ | jamiiforums wakulima 17 wa mashamba ya miwa wilayani kilosa wamenufaika na urasimishaji mashamba kwa kutumia hatimiliki za kimila kukopa sh milioni 550 kutoka benki ya maendeleo ya wakulima imeelezwa mkuu wa wilaya ya kilosa adam mgoyi amesema hayo mjini hapa alipozungumzia manufaa ya urasimishaji ardhi na mashamba wilayani hapa unaoratibiwa na mpango wa kurasimisha rasilimali na biashara za wanyonge tanzania (mkurabita) alisema kupitia mkurabita na wadau wengine wilaya ya kilosa inanufaika na urasimishaji mashamba na ardhi kwa kuwa umekuwa chachu ya maendeleo na kilimo chenye tija kinachoongeza pato la wananchi na halmashauri kwa jumla kwa kipindi cha miaka miwili wakulima 17 wa miwa huko luhembe wametumia urasimishaji wa ekari zao 6000 za miwa kupata fursa ya kukopa na hivyo wameongeza uzalishaji wa mavuno alisema na kuongeza kama mtu alikuwa anavuna tani 15 hadi 20 sasa anavuna tani 35 hadi 40 na haya ni matokeo ya mitaji yao kukua kutokana na fursa ya ukopaji waliyoipata baada ya mkurabita kuratibu urasimishaji wa mashamba yao na kwa msingi huo pato lao limekua na hata pato la halmashauri yetu linaongezekaamesema mkuu wa wilaya huyo wa kilosa alitoa mwito kwa taasisi za fedha zikiwamo benki wilayani humo kuendelea kuzitambua hati za hatimiliki za kimila na kuzitumia kama dhamana ya mikopo kwa kuwa ni hati halali za kisheria zinazotolewa na serikali shukrani sana sasa kazeni buti vizuri hii benk nilisha wai kuiandika vibaya mno na niliandika ukweli hawajielew hiv wanadhani hayo mashamba waliyo kopesha ni ya kweli hayo mashamba ni dhamana kwa benki nyingime na hiyo miwa inaenda kulipa kwingine mm nipo hapa mtaona wakulima wa miwa waanza kufurahi habari na hoja mchanganyiko 4 jun 21 2017
2020-08-09T05:55:38
https://www.jamiiforums.com/threads/wakulima-wa-miwa-wakopeshwa-mil-550.1473663/
very good condition front left seat its movable 11 apr 1415 11 apr 1328 toyota grande mark ii price/bei mil 77 neg gari nzuri sana engen 1g vvti year 2001 cc 1990 full ac auto new toyota 2007 automatic kinondoni kinondoni dar es salaam 10 apr 1609 toyota crown athlet in good condition pearl white full ac documents zote zipo haina tatizo lolote used toyota 2002 automatic kinondoni mwananyamala dar es salaam toyota carina bnq 0754710271 used toyota 2003 automatic kinondoni mwananyamala dar es salaam 10 apr 0940 toyota allion namba c 9 apr 0206 toyota crown for sale in good condition 8 apr 1526 toyota vitz low mileage 37400 km power windows excellent condition mechanically very sound nice clean car first registered in tanzania in january 2020 and used by 8 apr 1159 toyota ist nzuri sana inauzwa sh8800000 tuu gari imetunzwa vizuri sanailinunuliwa moja kwa moja kutoka japancc 1290km 87000mwaka 2003njoo kagua gari iwe yakofull service unawasha na kuondoka haina haja ya kufanya servicegari iko lushoto tanga 360 dar es salaam
2020-06-07T06:05:11
https://www.zoomtanzania.com/sedans?transmission=automatic&p=27
wababe wa man united wachezea kichapo toka kwa pep guardiola seetheafricanlink home / sports / wababe wa man united wachezea kichapo toka kwa pep guardiola wababe wa man united wachezea kichapo toka kwa pep guardiola mchezo wa kirafiki kati ya borussia dortmund na man city umemalizika kwa timu ya man city kuibuka na ushindi wa penati 65 kutokana dakika 90 timu hizi zilikuwa zimefungana bao 10 hivyo mwamuzi alipoamua kuongeza dakika 20 nazo mshindi hakupatikana dortmund kabla ya kukutana na vijana wa pep guardiola walikuwa wametoka kucheza mechi na mashetani wekundu timu man united chini ya meneja mpya wa timu hiyo jose mourinho na vijana toka ujerumani waliibuka na ushindi wa maagoli 41 hivyo mechi ya leo wababe wa mourinho wameangukia pua toka kwa kocha wa kihispanyol
2018-02-19T14:18:51
http://www.seetheafrica.com/2016/07/wababe-wa-man-united-wachezea-kichapo.html
mkutano mkuu maalum wa uchaguzi wa mgombea wa urais kwa tiketi ya ccm wafanyika usiku mjini dodoma ~ uvccm blog thumbnails===nvarscontrolnav&&0===nvarsthumbcaptions){var c=sattr(datathumbcaption)==c&&void 0==c&&(a+=''+c+)}ncontrolnavscaffoldappend( jumapili 12 julai 2015 home » » mkutano mkuu maalum wa uchaguzi wa mgombea wa urais kwa tiketi ya ccm wafanyika usiku mjini dodoma mkutano mkuu maalum wa uchaguzi wa mgombea wa urais kwa tiketi ya ccm wafanyika usiku mjini dodoma aliyekuwa muomba kuteuliwa na ccm kuwania urais waziri mkuu wa zamani edward lowassa akimsikiliza mbunge wa kigoma mjini ambaye anaelezwa kuwa mdau wake wa karibu peter serukamba wakati akimweleza jambo wakati wa mkutano huo mmoja wa waomba ridhaa ya ccm kugombea urais fatma said ally akisindikizwa na wapambe kuomba kura kwa wajumbe baadhi ya wajumbe kutoka dar es salaam wakiwa ukumbini wakati wa mkutano huo muomba kuchaguliwa kuwania urais kwa tiketi ya ccm fatma said ally akijieleza na kuwaomba kura kwa wajumbe wakati wa mkutano huo makamu mwenyekiti wa ccm philip mangula akipiga kura yake wakati wa mkutano huo hadi tunakwenda mitamboni matokeo yalikuwa hayajatangazwa
2017-08-19T03:27:43
https://uvccmtz.blogspot.com/2015/07/mkutano-mkuu-maalum-wa-uchaguzi-wa.html
alvin collections laanamwanadada wakibongo ajirekodi picha na video chafu sana nakuzisambaza kwa wanaume aaaaa laanamwanadada wakibongo ajirekodi picha na video chafu sana nakuzisambaza kwa wanaume ukistaajabu ya musa ni lazima uyaone ya firahanikupitia blog inayoendelea kufichua maovu yaliyo jificha sana ndani ya jamii ya kitanzania ambayo yanaifanya nchi ya tanzania kuonekana bado yenye maadili wakati vyombo husiki vikiendelea kuleta propaganda na kushindwa kufuatilia kiundani mmong'onyoko wa maadili haswa kwa vijana wa rika zote wa levo zote za elimumtandao nyetimtandao nyeti kupitia wadau wake nyeti tunazinasa tena picha na video chafu za mwanadada huyu wa kitanzania ambaye yeye mwenyewe alijirekodi (video) akiwa anakatika mauno akiwa mtupu wa mnyama huku wenzake wakishadadia na kwakudhamilia akiwa anaangalia kamerapicha na video yenyewekupitia mdau wetu makini aliyetutonya na kutupatia video mbili za mwanadada huyu na picha zake na kutudadavulia kiufupi kuwa mwanadada huyu(pichani) anayafahamika kwa jina salshaa anaishi sinzamsicha huyu ambaye anasumbua wanaume za watuna na kuwatumia picha(yeye mwenyewe) picha zake za utupu na video zake za utupu tabia mbaya sanakupitia video zake mbili mwanadada huyu anaonekana akijirekodi maungo yake ya siiri akiwa akiangalia kamera(haijatambulika) na kufanya zoezi hilo akiwa chumbani yeye mwenyeweaibu kupitia video yake ya pili ambayo anajionesha akiwa ametegesha kamera na kukatika mauno akiwa na utupu huku amevaalia shanga kiunoni na huku hakifanya majibishano na wenzieangalia video kwa uthibitishomtazamo wa mwandishiwewe kama kijana wakitz jua thamani yako kabla ya watu hawajakuthaminishayaliyomkuta mwanadada salshaa yanaweza kumkuta mtu yeyote ambaye anatabia ya kujirekodi utupu wake yeye mwenyewematokeokama umeshidwa kujua thamani yako maana yake watu waache wakuthaminisheiwe fundisho kwa wanaojirekodi wakiwa watupu richa ya msichana salshaa kusambaza picha na video zake kwa watu tahadhali kuangalia video hizo 2 na picha bofya hapo chini ila uwe zaidi ya miaka 20 <<bofya hapa kuangalia picha na video zake>>
2017-05-25T14:16:54
http://alvincollections.blogspot.com/2014/02/laanamwanadada-wakibongo-ajirekodi.html
marekani yaendelea na mashambulizi iraq | matukio ya kisiasa | dw | 19082014 marekani yaendelea na mashambulizi iraq rais barack obama ameahidi kuisaidia serikali ya iraq kupambana na waasi wa dola ya kiislamu ama is wakati huo huo maelfu ya watu wanayakimbia makaazi yao kwa kuogopa kuuliwa na wapiganaji hao ndege za kijeshi za marekani zimeshambulia ngome kadhaa za wapiganaji wa kundi linalojiita dola ya kiislamu kaskazini mwa iraq linalotawaliwa na serikali yenye utawala wa ndani ya kurdistan wapiganaji wa kimarekani wanaripoti kwamba wamefanikiwa kulikomboa bwawa la mosul ambalo ni kubwa zaidi nchini iraq pamoja na hayo mashambulizi yalilenga pia magari na nyumba za wapiganaji wa is akizungumza na waandishi wa habari jijini washington rais barack obama aliahidi kushirikiana na serikali ya iraq mapambano haya yatachukua muda tutakutana na changamoto nyingi alisema obama lakini hakuna shaka kwamba marekani itaendelea na operesheni za kijeshi nilizoziidhinisha maelfu wakimbilia milimani obama ameahidi pia kushirikiana na nchi washirika kama vile uingereza canada na ufaransa kufikisha misaada ya kibinadamu inayohitajika kwa haraka umoja wa mataifa unakisia kuwa wairaq zaidi ya laki sita wameyakimbia makaazi yao kwa kuogopa mapigano wengi wao wamekimbilia kwa ndugu wanaoishi katika maeneo yaliyo salama wengine wametafuta hifadhi katika kambi za umoja wa mataifa mmoja wao ni kijana zidan ana miaka 12 na alikimbia nyumbani baada ya wapiganaji wa is kuuvamia mji aliokuwa akiishi tuliacha kila kitu na kukimbilia mlimani tumeacha nyumba yetu tulilala chini ya miti hatukuwa na nguo za kuvaa anaeleza zidan hatukuwa na kitu chochote mpaka tulipofika hapa tulikutana na watu wengi waliogaragara barabarani kwa sababu walikuwa na kiu walituomba maji ya kunywa lakini hatukuwa na maji hivi sasa yapo makundi makuu matatu yanayopambana na waasi wa is wanajeshi wa marekani wanajeshi wa iraq na wapiganaji wa kikurdi mwaka uliopita is ilijitenga na kundi la kigaidi la alqaida nia ya is ni kuanzisha utawala wenye kufuata msimamo mkali wa kiislamu nchini iraq na syria kinachofanya is kuwa tishio kubwa ni kwamba kundi hilo limekuwa likiuwa raia kikatili bila sababu yoyote ukatili huo umewafanya hata wanajeshi wa iraq waweke silaha chini katika baadhi ya miji na kukimbia baadhi ya mataifa ya magharibi yanajadili uwezekano wa kutuma silaha kwa wapiganaji wa kikurdi ili waweze kukabiliana na is mada zinazohusiana abu bakar albaghdadi barack hussein obama iraq benki kuu ya marekani chama cha republican donald trump mike pence cia nafta wakurdi maneno muhimu iraq is marekani obama wakurdi kiungo https//pdwcom/p/1cwqj
2019-11-17T12:54:14
https://www.dw.com/sw/marekani-yaendelea-na-mashambulizi-iraq/a-17862493
stephanomangoblogspotcom mahojiano ya gazeti la jamhuri na acp msangi kuhusu dkt ulimboka mahojiano ya gazeti la jamhuri na acp msangi kuhusu dkt ulimboka askari anayetuhumiwa kumteka mwenyekiti wa jumuiya ya madaktari tanzania dk stephen ulimboka kamishna wa polisi msaidizi (acp) ahmed msangi amehojiwa na kuzungumzia kilichotokea kuhusiana na tuhuma kwamba aliambiwa arejeshe simu ya mkononi na pochi ya dk ulimboka akizungumza acp msangi alikiri kwenda katika wodi ya wagonjwa mahututi katika taasisi ya mifupa muhimbili (moi) kwa nia ya kumhoji dk ulimboka ila akaeleza mshangao wake kutokana na habari zilizochapishwa mwishoni mwa wiki kuwa aliambiwa arejeshe pochi na simu ya dk ulimboka kwa maana kuwa alivipora walipomteka vyombo vya habari mwishoni mwa wiki vilichapisha taarifa bila kutaja jina la askari anayetuhumiwa lakini pia ukawa unasambazwa ujumbe mfupi kupitia simu za mkononi ambao ulisema hivi kamanda msangi aliyemkamata na kumtesa dr ulimboka yuko katika jopo la kuchunguza nini kilimtokea dk ulimboka alipofika kumhoji dk ulimboka alimwambia nirudishie simu na wallet yangu kamanda msangi taratibu akaondoka wodini kichwa chini kama wewe ni mpenda haki na unapinga ujinga na dhuluma watumie ujumbe huu watu wengi kadri uwezavyo ili wamjue dhalimu aliyeongoza unyama huu ulisema ujumbe huo unaosambazwa kupitia simu za mkononi tume ya jeshi la polisi iliyoundwa kuchunguza tukio la dk ulimboka kutekwa nyara kwa mujibu wa kamanda polisi wa kanda maalumu ya dar es salaam suleiman kova inaongozwa na kamanda msangi kamanda msangi azungumza jamhuri afande umetangazwa kuongoza hii tume ya polisi kuchunguza suala la dk ulimboka lakini taarifa zilisosambaa zinaonyesha ulimboka alikwambia umerejeshee simu na wallet yake unalizungumziaje hili kamanda msangi hata mimi nimesikia hizi taarifa na zimenisikitisha mno naamini taarifa hizi zina malengo ya ziada si kweli kwamba nilishiriki kumteka dk ulimboka na wala sijawahi kuwa na wazo hilo jamhuri ikiwa hukushiriki kumteka iweje wodini akwambie nirudishie simu yangu msangi kwanza ifahamike mimi huyu dk ulimboka na mwenzake dk deo nimewafahamu siku nyingi sana kwa maana hiyo ni mtu anayenifahamu vizuri tu kuna upotoshaji wa makusudi umefanywa ambao mimi nadhani una msukumo wa kisiasa alichosema dk ulimboka nilipozungumza naye ni kwamba simu moja ilidondoka nyingine wale watu waliomteka wameichukua pamoja na wallet yake hivyo alikuwa ananitajia vitu vilivyopotea nilipomuuliza iwapo anakumbuka namba ya simu aliniambia nikamuulize dk deo sasa nashangaa mtu aliyepenyeza uongo huu kwamba alisema mimi ndiye niliyempora hivyo vitu sielewi ni nani na ana malengo gani jamhuri haya unayasema wewe hivi unadhani jamii itakuamini kwa kauli hizi haitaonekana unajitetea tu msangi wakati anazungumza maneno haya alikuwapo profesa museru ambaye ni mkurugenzi wa moi sina cha kuficha kamuulize tu atakwambia alichosema dk ulimboka yupo pia dk deo huyu ananifahamu na dk ulimboka anasema walikuwa wote wakati anatekwa dk deo ananifahamu akaulizwe iwapo mimi ndiye niliyemteka dk ulimboka jamhuri tuhuma hizi zilianza kusambaa mapema tu ijumaa je wewe hukuwa na hofu kwenda pale moi kumhoji dk ulimboka msangi ndugu yangu nchi hii ina askari wengi mno hivi mimi kwa akili ya kawaida naweza kushiriki kumteka dk ulimboka kisha nikaenda wodini kumhoji hata katika akili ya kawaida ya binadamu hilo haliwezekani jamhuri hizi tuhuma zilizoelekezwa kwako ni nzito wewe ndiye uliyeteuliwa kuongoza tume ya uchunguzi wa tatizo hili je unadhani uchunguzi utakaofanya utaaminiwa na wananchi ukitoa ripoti msangi mimi ninachokuhakikishia sikushiriki kumteka na si kweli kwa kila hali mambo kama haya yanakatisha tamaa kama tunaanza kuzushiana uongo kwa kiwango hiki nchi hii sijui inaelekea wapi kimsingi imenikatisha tamaa mno wapo wanaosema nijiuzulu katika tume hii lakini mimi nasema wakubwa wangu wamenipa kazi hii na watakaloamua nitalipokea hivi wewe gazeti lako likituhumiwa unaacha kuendelea kutafuta habari nitaendelea kufanya kazi hii kama nilivyoapa siku nilipohitimu mafunzo kwamba nitalitumikia taifa kwa uadilifu na uaminifu wa hali ya juu katika kiapo changu cha utii na hilo ndilo nitakaloendelea kufanya watu wanapenda kuharibiana maisha tu profesa museru asema alichokisikia mkurugenzi wa taasisi ya mifupa muhimbili profesa lawrence museru akizungumza na jamhuri kuhusiana na sakata kwamba dk ulimboka alimweleza kamanda msangi arejeshe simu na wallet yake jamhuri profesa nimezungumza na kamanda msangi juu ya tuhuma zinazomkabili kuwa aliambiwa na dk ulimboka amrejeshee simu na wallet yake na akakutaja wewe kuwa ulikuwapo wakati wa mazungumzo hayo wewe nini ulichokisikia kuhusiana na tuhuma hizi profesa museru mimi ndiye niliyempeleka pale wodini ni bwana mzuri tu nilimuintroduce (nilimtambulisha) akaanza mahojiano mimi hilo sikulisikia kwamba ameambiwa arejeshe simu na wallet hilo sikulisikia jamhuri kuna habari kuwa kamanda msangi baada ya kuambiwa kauli hiyo alitoweka wodini bila kuaga akikwepa kipigo kama ilivyomtokea askari mwenzake siku mbili kabla je unalizungumziaje hilo profesa profesa museru nini kwamba alikimbia jamani nchi hii inakwenda pabaya mimi nilimsindikiza hadi nje ya wodi akapanda gari lake na kurejea ofisini kwake sasa hilo la kukimbia limetokea wapi jamani ehee mimi niseme katika hali kama hii sintofahamu zipo nyingi ni vyema kuchuja taarifa tunazozipata posted by stephano mango at 435 am live merkel speaks to press day after german federal election deux choses font tourner le monde selon françoishenri désérable citation du 25092017 kubenea kabwe in hot water over utterances mahojiano ya gazeti la jamhuri na acp msangi kuhus
2017-09-25T20:41:53
http://stephanomango.blogspot.com/2012/07/mahojiano-ya-gazeti-la-jamhuri-na-acp.html
barafu aanza kujing'arisha bongounit barafu aanza kujing'arisha gomesa tv 654 am baada ya kuachana na kampuni ya liba production mwigizaji selemani barafu amesema filamu ya dont tray ndiyo filamu yake ya kwanza kutoka katika kampuni yake mpya ambayo hatotaka kushare na mtu yeyote alisema hivi sasa anasimama katika kazi zake mwenyewe wakati huo akijipanga kutoa kazi nyingi zaidi ya hizi
2017-11-17T23:03:26
http://bongounit.blogspot.com/2012/11/barafu-aanza-kujingarisha.html
operesheni ya kusaka wahamiaji haramu itende haki | mtanzania home kitaifa operesheni ya kusaka wahamiaji haramu itende haki operesheni ya kusaka wahamiaji haramu itende haki serikali imetangaza kuanza operesheni ya kuwakamata wahamiaji haramu katika nyumba za kulala wageni vituo vya mabasi stesheni za reli mahoteli mialo ya uvuvi pia imesema itapita maeneo yote yenye mwingiliano wa shughuli za kibiashara kutokana na watu wengi kujificha au kufanya kazi zao za kila siku kinyume cha sheria maeneo hayo uamuzi huu umetangazwa na naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi hamad masauni akiwa mkoani kigoma baada ya kufanya kikazo kizito cha ndani na wakuu wa vyombo vilivyopo chini ya wizara yake vyombo hivyo ni polisi uhamiaji zimamoto na uokoaji magereza mamlaka ya vitambulisho vya taifa (nida) na idara ya wakimbizi tunakubaliana na uamuzi wa serikali kuja na mkakati huu kutokana na ukweli kuwa nchi yetu ndiyo imekuwa kimbilio la wakimbizi kutoka nchi jirani kama tunavyojua mkoa wa kigoma umekuwa ukipokea wakimbizi wengi ambao wanaingia ama kwa njia halali au njia za porini na mwisho wa siku wamekuwa vinara wakubwa wa masuala ya uhalifu tunatambua namna ambavyo kumekuwapo na matukio mengi ya halifu katika mikoa ya pembezoni wapo wakimbizi ambao wanaingia wakiwa na silaha na vitu vingine vya hatari mwaka huu nchi yetu inaelekea kufanya uchaguzi mkuu lazima vyombo vya ulinzi na usalama vitimie majukumu yake sasa kwa kuwa vyombo hivi vimepewa dhamana ya kusimamia ulinzi na usalama ndani ya nchi vinapaswa kushirikiana kwa kila katika msako huu ambao unatarajia kuanza kama tulivyosema hapo juu mikoa iliyopo mipakani huathirika zaidi lakini suala la kuimarisha vizuizi vya barabarani nchi nzima na kutatoa elimu kwa wananchi jinsi ya kuwatambua watu wasio raia ni la msingi mno pia tunagetemea serikali itafanya ukaguzi kwenye makampuni binafsi na mashirika yasiyo ya kiserikali ili kubaini watu ambao wanachomekwa kimya kimya na waajiri wao tumeshtushwa mno kusikia masauni akikiri wazi kuwa kumekuwapo na wimbi kubwa la watu kuingia nchini bila kufuata utaratibutunajiuliza wimbi hili limeanza lini imekuwaje kumekuwapo na mwanya mkubwa kiasi hiki hadi kusababisha watu kuingia kwa kasi ya ajabu nchi ya nchi tunatambua kila mtu kwa kada yake anayetaka kuingia nchini hufuata utaratibu zilizowekwa na serikali kwa sababu hatujawahi kusikia serikali raia yeyote wa kigeni anayefuata taratibu ananyimwa fursa ya kuingia nchini aliwataka wananchi kutowahifadhi au kuwasafirisha watu wasio raia kwani ni kinyume na sheria na adhabu yake ni kifungo cha miaka 20 au faini ya milioni 20 au vyote kwa pamoja masauni alisema katika adhabu hizo pia chombo cha usafiri kilichohusika kuwasafirisha washtakiwa kitataifishwa na kwa mwananchi atakayekutwa akimhifadhi mhamiaji haramu adhabu yake ni kifungo kisichozidi miaka mitatu na faini isiyozidi laki tano au vyote kwa pamoja takwimi zinaonyesha januari hadi desemba mwaka jana walikamata wahamiaji haramu 3992 mkoani kigoma idadi ambayo ni kubwa sisi mtanzania tunatoa rai kwa vyombo vya dola kuendesha msako huu bila kumuonea mtu wala kumdhulumu kitu chochote tunasema haya kutokana na kumbukumbu za nyuma za operesheni zilizofanyika kama vile operesheni tokomeza ambayo ilidaiwa kukiuka taratibu nyingi na kusababisha mawaziri kadhaa kupoteza vibarua vyao moja ya malalamiko makubwa yalikuwa wananchi kuchomewa makazi yao kupigwa ovyo na kuporwa mali zao tunasema katika hili hatupendi kusikia malalamiko haya yanajirudia previous articletcra waja na tuzo za tehama next articlehapi akataa ombi la wananchi kumegewa ardhi ya magereza
2020-05-28T12:47:10
http://mtanzania.co.tz/operesheni-ya-kusaka-wahamiaji-haramu-itende-haki/
mitindo na urembo mwanza 25 jan 1535 jezz mpya kwa bei nafuu kabisa wai tuwai bila kukosa jezi za samata 22 jan 1919 jezi og kabisa track nzur kwa bei nafuu kabisa mzigo mpya bei za zamani shirt nzuri bei nafuu 6 nguo za kiume 1 viatu vya kiume
2020-02-24T10:36:33
https://www.zoomtanzania.com/sw/mitindo-na-urembo/mwanza
singo cd jakaya kikwete 2010 kutoka kwao ngoma africa band imeshatua nchini kwa kishindo na nguvu zaidi pata kopi ya cd kwa kwa ankal michuzi hayawi hayawi yamekuwa hile cd inayozungumziwa na washabiki wengi kila kona duniani sasa imeshatua nchini cd hiyo yenye jina jakaya kikwete 2010 kutoka kwao the ngoma africa band yenye maskani yake uko ujerumanisasa unaweza kupata kopi za cd hiyo kwa ankal muhidin issa michuzi aka mzee wa libenekekwa simu 0754271266 wa blog ya kimataifa ya jamii pia kwa yeyote yule anayetaka atumiwe mp 3 au kuweka nyimbo hizo katika mlio wa simu za viganjani tafadhali usisite kuwasiliana na ankal michuzi kwa simu namba 0754271266 cd hiyo yenye mziki mtamu unaosindikiza ujumbe muhimu kwa watanzania zaidi ya milioni 40 sasa cd hiyo ipo nchini na unaweza kupata kopi yake kwa kupiga katika sherehe mitaanikatika biashara yakondani ya mabasiharusinisokoni nk hili upate raha na ujumbe uliomo katika cd jakaya kikwete 2010 utunzi wake ebrahim makunja aka kamanda ras makunja wa ffu wa ngoma africa band pia jumamosi ya 31072010 saa 4 hasubui ras makunja atahojiwa na radio free africa ya mwanza tafadhali tega sikio
2018-11-13T23:01:02
http://fundirkombo.blogspot.com/2010/07/singo-cd-jakaya-kikwete-2010-kutoka.html
ongezeko la bajeti isiyoendana na mahitaji ya lishe kuathiri afya za watoto nchini | fikrapevu licha ya kuongezeka kwa bajeti inayoelekezwa katika sekta ya lishe nchini bado haijafanikiwa kutokomeza tatizo la udumavu kwa watoto walio chini ya umri wa miaka 5 jambo ambalo linaathiri maendeleo ya kiafya kwa watoto hao kwa mujibu wa ripoti ya mapitio ya bajeti ya lishe inayotolewa na shirika la watoto duniani (unicef2015/2016) nchini tanzania inaeleza kuwa bajeti iliyotengwa kwenye shughuli za lishe ya taifa imeongezeka hali iliyochochea ongezeko la matumizi mara mbili zaidi katika sekta hiyo ya mwaka wa fedha wa 2011/2012 na 2014/2015 matumizi ya bajeti ya lishe yanaelekezwa katika maeneo matatu makuu ambayo ni kuhimiza ulaji wa chakula bora kwa watoto wachanga na watoto wadogo kuzuia na kupambana na utapiamlo na kuboresha mazingira kuiwezesha serikali kutoa huduma bora za lishe nchini shughuli zote hizo zinaratibiwa na sekta za afya na ustawi wa jamii maendeleo ya jamii jinsia na watoto elimu kilimo usalama wa chakula maji na usafi mifugo na uvuvi biashara na viwanda na taasisi za fedha mathalani mwaka 2011/2012 sekta ya lishe ilitenga bajeti ya bilioni 121 kutekeleza miradi mbalimbali lakini zilizopatikana ni bilioni 105 na makisio hayo ya bajeti yamekuwa yakiongezeka kila mwaka kutokana na ongezeko la watoto walio chini ya miaka 5 na ilipofika mwaka 2014/2015 makisio yalikuwa bilioni 183 lakini matumizi halisi yalikuwa 225 pekee hii ni kwa mujibu wa mapitio ya takwimu za lishe hata hivyo sehemu kubwa ya bajeti hiyo inategemea fedha za wafadhili katika mwaka wa fedha wa 2014/2015 ufadhili wa washirika wa maendeleo kutoka nje kwenye lishe ulikuwa asilimia 558 ya matumizi yote ya sekta hiyo na utegemezi huo uliongezeka kutoka asilimia 445 mwaka 2013/2014 ambapo asilimia 442 ilikuwa ni mapato ya ndani bajeti ya lishe inavyotumika ripoti ya unicef inaeleza kuwa utekelezaji wa bajeti ya lishe umekuwa ukitofautiana kila mwaka kutokana na mabadiliko yanayojitokeza katika ofisi ya hazina tangu mwaka 2011/2012 hadi 2014/2015 wizara ya afya imetumia chini ya nusu ya bajeti yake iliyoelekezwa katika sekta ya lishe inaelezwa kuwa tangu 2011/2012 hadi 2014/2015 zilitengwa bilioni 155 kwenda sekta ya lishe lakini ni bilioni 67 tu ndio zilipokelewa na kutumika katika sekta hiyo hii inashiria kuwa juhudi za kuboresha lishe kwa watoto bado zinahitaji utashi wa kisiasa na uwekezaji mkubwa ikizingatiwa kuwa fedha zinazoelekezwa katika sekta husika hazitimizi mipango iliyowekwa na kuathiri watoto walio chini ya miaka mitano watoto wanahitaji viini lishe na mlo kamili ili wakue vizuri lakini kutokana na changamoto ya bajeti na umaskini wa kaya hujikuta wakipata utapiamlo na kudumaa jambo linaloathiri afya na uelewa masomo darasani hali ya udumavu nchini emmanuel john (2) ngozi yake imekunjamana tumbo kubwa na anaonekana mwenye huzuni akiashiria ana matatizo ya kiafya akiwa karibu na mama yake janeth elias ambaye anauza chakula eneo la kijitonyama wilaya ya kinondoni emmanuel anaonekana kuwa na tumbo kubwa na urefu wake hauendani na umri alionao mtoto huyo amekumbwa na udumavu tangu akiwa mdogo emmanuel ni miongoni mwa asilimia 24 ya watoto wote duniani waliodumaa ambapo kati ya watoto wanne walio chini ya umri wa miaka mitano mmoja amedumaa na inakadiriwa zaidi ya watoto milioni 165 duniani wana udumavu shirika la afya duniani (who) linaeleza kuwa matatizo ya kudumaa ni miongoni mwa majanga makubwa yanayokwamisha maendeleo ya binadamu tanzania inatajwa kuwa miongoni mwa nchi zenye viwango vya juu vya udumavu ikiungana na nchi nyingine za afrika ambazo zinakumbwa na ukame ukosefu wa chakula na huduma mbovu za afya ya mama na mtoto kwa kutambua changamoto za lishe serikali iliamua kusogeza huduma za lishe karibu na wananchi wa kawaida kwa kuajiri wataalamu wa lishe ambao wako kila halmashauri kutoa miongozo ya utekelezaji wa mpango wa taifa wa lishe (nns) na kuhakikisha kunakuwa na matumizi mazuri ya rasilimali za afya hata hivyo mpango huo umetekelezwa kwa sehemu na jambo linalohitajika ni kuongeza bajeti ya lishe ili kuwanusuru watoto dhidi ya utapiamlo na udumavu mafuriko shuleni yanavyokwamisha wanafunzi kuelimika
2019-09-16T00:09:31
http://www.fikrapevu.com/ongezeko-la-bajeti-isiyoendana-na-mahitaji-ya-lishe-kuathiri-afya-za-watoto-nchini/
marekani yahamishia ubalozi wake jerusalem rais wa drc joseph kabila kuwania muhula wa tatu kura ya maoni burundi rfi imetangazwa tarehe 19052018 imehaririwa 19052018 saa 0857 waziri mkuu wa israeli benjamin netanyahu wakati wa uzinduzi wa ubalozi wa guatemala jijini jerusamu mei 16 2018 reuters/ronen zvulun/pool makala hii imeangazia kuhamishwa kwa ubalozi wa marekani kutoka tel aviv hadi mjini jerusalem chama tawala cha nchini jamhuri ya kidemokrasia ya congo cha pprd kumpendekeza rais joseph kabila anayemaliza muda wake kugombea kiti cha urais kwa muhula wa tatu wakati kimataifa kauli ya rais wa marekani donald trump akisema kuwa maandalizi ya mkutano wake na kiongozi wa korea kaskazini kim jong un yako palepale ceni yaendelea na kampeni kuhusu mashine zitakazotumiwa katika uchaguzi drc kenyavyombo vya habari kenyatta atia saini muswada tata kuhusu makosa ya mtandao trump tunajiandaa kwa mazungumzo na korea kaskazini jumamosi 17 novemba 2018 wapinzani wawili drc waondoa saini zao kuunga mgombea mmoja waganda watakiwa kulinda wachina moto waua watu california makala ya wiki hii imeangazia hatua ya wanasiasa wawili wa upinzani felix tshisekedi wa udps na vital kamerhe kiongozi wa chama cha unc kuondoa saini zao kuhusu uteuzi wanaharakati wanavyokabiliana na dhamira ya george weah kulipa
2018-12-11T04:12:24
http://sw.rfi.fr/afrika/20180519-marekani-yahamishia-ubalozi-wake-jerusalem-rais-wa-drc-joseph-kabila-kuwania-muhula-
risasi michezo play risasi michezo online michezo search michezo risasi jumla ya michezo 102 results found katika mchezo huu kuhusu penguins itaonekana hamu ya kuwa na furaha wakati risasi kutoka juu ya slide una kupata yao kwa fimbo kuzamisha kubwa na kuchagua rangi yako wakati wote fimbo squad 2 ni hapa na inatoa 20 ujumbe mpya na ya awali sniping kukamilisha 60 mpya risasi malengo na hadithi mpya na zetu mbili mashujaa kupambana hadithi inaendelea ambapo sisi kushoto mbali katika fimbo mr kisasi upgrade kisasi ni kuhusu kuanza kwa mwisho mwema hii mpya kwa risasi mchezo ambapo una kumaliza kwa risasi riddick wote kupata njia yako wakati maendeleo kuwa inazidi haraka kiwangonarisasi vyumba na dalili kufuata katika risasi na wengine wengi ni bora katika wote wewe d kuwa kama red baron katika vita kuu ya ii mchezo huu unaweza kupata ndege inzi juu ya eneo katika kutafuta maadui na kujaribu kubisha yao chini na risasi hii ​​haitakuwa rahisi kwa sababu kujifunza kwa riddick kuja kuwa na uhakika kuwaua wote kuwa sniper halisi katika hii risasi mchezo na maendeleo zaidi katika ngazi zaidi magumu una kuzingatia kasi ya upepo na riddick mapenzi weka beat kuwa na uhakika wa kuua riddick wote kuja saa wewe na wanataka kula ubongo na moyo wako wala kuacha risasi yao na kata yako mpaka kupata kuwaua haitakuwa salama kabisa kukusanya bazookas na a risasi mchezo kuundwa kwa unity3d ramprogrammen shooter katika ambayo wewe kuwa katika nafasi ya askari wa vikosi vya maalum amri una alimtuma kwa rafiki maumbile taasisi ya utafiti na kupata bloodthirsty kwamba anapata katika njia yako anarudi stickman kwa ofisi kweli hasira na silaha hadi kwenye meno kutekeleza mipango yake ya kulipiza kisasi dhidi ya wafanyakazi wenzake wa zamani wanaanza risasi kuua adui yako yote kwa kutumia mwisho line ya ulinzi 2 riddick hawa wanataka kuharibu mji wako cosigue silaha mpya katika kuhifadhi akizungumzia risasi vizuri dhidi yao na silaha bora unaweza kupata kuua riddick zaidi kupata fedha zaidi kwa updates mpya lengo la ricochet unaua 4 shooter ambayo una kupata angle haki ya kuondokana na maadui yako ama risasi au kwa kutumia mabomu kwa kutumia baadhi ya vitu kwenye screen wakati maendeleo aparecenran kupitia ngazi tank mchezo ambapo lengo yako recorer idadi ya ngazi na kuharibu vikwazo kukutana na maadui wengi na risasi na lasers kwamba risasi kukusanya nyota wote mkali kupata pamoja w kufa kwa ajili ya lie risasi mchezo ambapo hii ujumbe kitty ni kuhakikisha ulinzi wa keki yao damn mende kwamba kujaribu kula yao kununua silaha bora na updates bora kwa ajili ya paka kutupa mabomu na kitu chochote ili kulinda 4 alitangaza furaha hii risasi mchezo gibbets anarudi lengo la mchezo ni kuwaokoa watu kunyongwa kwamba wanakufa wakati huu pia utakuwa na kuua muuaji isiyo ya kawaida hunoa lengo uhakika wako na sh risasi mchezo ambao una salama na kulinda maeneo ya kimkakati au mambo kwa vita kusimamia hii amri wasomi gestionalos kumaliza misioni zote risasi maadui wote kwamba kujaribu kuua hii zombies mauaji ya mchezo kwa kura ya hatua risasi na majukwaa ambayo itabidi kuwa na haraka na smart virusi vya ajabu kuambukizwa moja ya vituo nafasi kwa ajili ya majaribio ya kisayansi matokeo katika hii risasi mchezo wewe ni sniper wasomi na lengo lako ni kusaidia shujaa wetu kusafisha njia kwa ajili ya mitego ili kuepuka hai kutoka msitu wa afrika ni kamili ya mitego mauti road trip baiskeli mchezo kwa kura ya hatua na risasi hits barabara kwa ajili ya wafu na kupambana na baadhi magari risasi wewe kupata petroli kuendelea chini ya barabara pia una nafasi ya kununua upgrades kwa ajili yako boxhead fadhila wawindaji acction na risasi mchezo ambapo machafuko mfalme katika mji kujaribu kuishi kwa muda mrefu iwezekanavyo kuondoa adui yako na washirika wako kupata pesa ya kununua silaha mpya na bora kwa kuwapiga wachezaji wengine artillery kukimbilia 2 lengo na risasi mchezo kuweka katika vita kuu ya dunia ya pili ambapo utakuwa malipo ya kusimamia majaliwa ya arsenal kuimarisha lengo lako ni itategemea maendeleo ya washirika wako kwa bahati nzuri unaweza kuacha start awali 1 2 3 4 5 6 next mwisho
2017-09-25T04:29:31
http://sw.flashgames312.com/s/shooting/
handeni kwetu soma waraka wa absalom kibanda kwa rais jakaya kikwete na watanzania kwa ujumla sijafikisha ujumbe ambao nimeubeba kwa mfano wa mzigo mzito moyoni napenda kwanza kupitia fursa hii kuanza kwa kumshukuru mwenyezi mungu mwingi wa rehema na neema kwa kuniwezesha kuuona mwanga wa siku hii njema ya leo ambayo kama si kwa kudra na mapenzi yake yumkini ingeongeza hesabu za siku ambazo kiwiliwili changu kingekuwa katika kaburi la sahau ambalo kila kukicha linameza roho za makumi kama si mamia ya watanzania wasio na hatia wanaopoteza maisha kutokana na kazi za mikono ya majahili miungu watu waliojitwalia haki ya kuchagua aina ya maisha na vifo vya watu wengine baada ya hilo kwa niaba ya mamilioni ya watanzania wenzangu ambao hawana fursa ya kuwasiliana nawe kwa njia kama hii ya waraka niliyoitumia napenda kutumia pia wasaa huu kukushukuru wewe binafsi kwa namna ulivyojitoa usiku na mchana pasipo kuchoka kuliongoza taifa hili katika mazingira magumu yaliyojaa changamoto za kila namna ambazo wakati mwingine sina shaka hata kidogo kwamba zimekuwa zikikunyima raha na kukosa usingizi nikikuandikia ujumbe huu picha na taswira yako inayonijia ni ile ya machi 8 mwaka huu siku uliponitembelea kando ya kitanda nilichokuwa nimelazwa katika hospitali ya milpark johanesburg kule afrika kusini ikiwa ni siku mbili tangu nilipovamiwa nikajeruhiwa na kupewa ulemavu na majahili ambao hadi leo hii wameweza kuukwepa mkono mrefu wa vyombo vya dola unavyoviongoza rais japo nilikuwa nina maumivu makali na machungu ya kupoteza jicho kidole na kupasuliwa kwa mifupa ipatayo minane katika paji langu la uso ukiacha taya lililoachanishwa kikatili na watesi wangu wale bado ninaweza kukumbuka kwa ufasaha namna ulivyozungumza nami ukionyesha jinsi ulivyokuwa ukiguswa na kuumizwa sana na tukio lile ni jambo la bahati mbaya sana kwamba tangu niliporejea nchini miezi sita iliyopita sijapata kukutana nawe ana kwa ana ingawa nilipata fursa ya kukutumia salamu zangu za shukrani kupitia kwa marafiki zako kadhaa akiwamo msaidizi na mshauri wako nambari moja makamu wa rais dk mohammed gharib bilal ambaye siku zote wakati nikiwa katika matibabu nchini afrika kusini na hata baada ya kurejea nchini alionekana kuwa mtu wa kukosa amani kabisa pasipo kunijulia hali kwa njia ama ya simu wasaidizi wake na mwisho kwa kuonana nami ana kwa ana nayarejea haya yote huku nikitambua kwamba wakati ninapoandika waraka huu ndiyo kwanza umerejea kutoka nchini marekani ambako ulikwenda kuchunguzwa afya yako ambayo nina matumaini makubwa ni njema hasa kwa kuzingatia ukweli kuwa ulikwenda huko siku chache tu baada ya kuiwakilisha vyema nchi yetu katika msiba mzito wa shujaa wa mapambano ya ubaguzi wa rangi nchini afrika kusini mzee wetu nelson mandela ninapoyatafakari matibabu ghali niliyopata nchini afrika kusini kwa msaada wa mwajiri wangu na safari yako nchini marekani vinanikumbusha swali la mmoja wa wasaidizi wangu hapa ofisini aliyetaka kujua ni sababu gani hasa ambazo zimekuwa zikisababisha wasomi na viongozi wetu kuchunguzwa na kutibiwa katika hospitali za nje tofauti na ilivyokuwa kwa madiba ambaye kwa nyakati zote tangu afya yake ianze kumtatiza alikuwa akipata matibabu huko huko kwao afrika kusini kweli japo nilikuwa na jibu au majibu ya swali lake sikuwa na maelezo ya kutosheleza yaliyokuwa na mwelekeo wa kukata kiu ya swali lake ingawa kwa kupapasa nilifanya kila juhudi kuutetea utaifa wangu na viongozi wake ilhali miye mwenyewe nikiendelea kukosa raha kwa namna nilivyokuwa nikitoa majibu ambayo yalikuwa yakionyesha hali ya kuukubali unyonge kukiri ufukara kuficha udhaifu wetu kama taifa na kutetea makosa ambayo aghalab ninyi viongozi wetu na wale wa kabla yenu mngeweza kuwa watu mliostahili kuwa na majibu halisi wangu swali na majibu vilisababisha kimoyomoyo nijiulize maswali mengi mengine na moja ya maswali hayo yakiwa ni wapi tulipopotea njia hata tukafikia hatua ya kusababisha kuwa na kundi kubwa la watu waliokata tamaa wanaoteswa na ufukara ukosefu wa ajira na kila aina ya kero na karaha zinazozonga maisha yao ya kila siku rais hali hiyo ilinipeleka moja kwa moja nchini afrika kusini na hususan katika hospitali ya milpark ambako huko ndiko miye mwenyewe na watanzania wenzangu wengine tulikonusuru maisha yetu huku baadhi kama ilivyo kwa dk sengondo mvungi wakipoteza maisha yao baada ya kukimbizwa huko mheshimiwa rais naomba unisamehe kwa kulisema hili nitakaloliandika hapa kwamba jibu nililolipata haraka haraka kuwa moja ya chagizo la matukio ya namna hii kutokea halikuwa jingine bali ni kushindwa kuwajibika ipasavyo kwa viongozi wetu hususan wale tuliowapa dhamana ya kuongoza sekta kadhaa nyeti kama ya afya na ustawi wa jamii wa kupwaya huko kwa viongozi hususan wale walio chini yako ndiko huko huko ambako kumedhihirika pia wiki iliyopita bungeni dodoma ambako tulishuhudia zahama nyingine iliyowangoa madarakani mawaziri wako muhimu wanne kwa sababu kama hizo hizo za mkwamo wao au watendaji wa chini yao katika kusimamia ipasavyo na kuchukua hatua kwa wakati kila yatokeapo matatizo yanayogusa maeneo wanayoyaongoza sijaitendea haki nafsi yangu mheshimiwa rais iwapo nitaficha shauku ya moyo wangu ambayo ilikwenda sambamba na tukio lile la dodoma lililowagusa baadhi ya mawaziri ambao anguko lao linaweza likaelezwa kuwa ni ajali ya kisiasa nikitumia msamiati ulioutumia wewe mwenyewe kwa mara ya kwanza ulipozungumzia tukio la kujiuzulu kwa waziri wako mkuu wa kwanza edward lowassa ya moyo wangu nikiwa mhariri mwanahabari mwenyekiti wa jukwaa la wahariri tanzania (tef) na mdadisi wa kawaida tu wa mambo ilikuwa kuona anguko la namna hiyo hiyo likimfika waziri wa habari ambaye amethibitisha pasipo na shaka kuwa pamoja na kuwa msomi wa shahada ya falsafa (phd) ni kiongozi asiyejua anachofanya kwa kiwango cha kuwa mtu ambaye vichwa vya watu wengine ndivyo vinavyofikiri kwa niaba yake nilitamani afikwe na zahama hiyo si kwa sababu ya kuwa na hasira au kumchuria mabaya bali kwa kuzingatia ukweli kwamba yeye ni mtu ambaye bado anasongwa na matongotongo ya mfumo wa kibabe wa zama za magazeti ya serikali na yale ya chama tawala ambayo yanalazimika kuandika yale tu yanayofurahisha nyoyo na akili za watawala rais ingawa natambua na kuheshimu ukweli mchungu kwamba suala la nani awe waziri na nani asiwe ni jambo la wewe mwenyewe kupenda na kuchagua na kwamba ulishasema mapema kabisa mbele yetu kwamba urais wako hauna ubia bado naamini pia kwamba wewe ni mtu msikivu na mkweli uliye tayari kusikia na kustahimili mambo mengi machungu unayokabiliana nayo kila siku sababu hiyo basi napenda kukueleza kwa kuweka kumbukumbu sahihi ili mbele ya safari kabla na baada ya kumaliza urais wako uje kuyatafakari na kuukumbuka ushauri huu kwako kwamba waziri uliyempa dhamana ya kulea na kuendeleza vyombo vya habari ni mtu wa kuhofiwa jeuri mwenye kiburi asiyeshaurika na dikteta asiyekutakia mema wewe binafsi vyombo vya habari serikali yako na taifa kwa ujumla mheshimiwa rais sijui kama unajua kwamba tangu umteue amefanya kazi na vyombo vya habari vya umma na hata baada ya sisi kufanya juhudi kubwa ya kuwa karibu naye kikazi kwa makusudi na kwa ujeuri mkubwa amekataa wito na kupuuza maoni na ushauri wetu na kwa namna ya kusikitisha amesikika akitamba waziwazi kwamba anao uwezo wa kulifungia au kulifutia usajili gazeti lolote ambalo ataliona linakwenda kinyume cha maadili ya uandishi wa habari waziri huyu ambaye alitarajiwa kuwa na silika za kuwa mlezi bora kutokana na jinsia yake na historia yake ya kupata kuwa mwanaharakati kabla ya kuingia serikalini ndiye ambaye mamlaka makubwa uliyomtwisha ameyageuza na kuwa mwavuli wa kuvisulubisha vyombo vya habari vyenye uthubutu wa kukosoa serikali na kuandika ukweli mchungu ambao asingependa kuona ukiripotiwa rais pengine baya zaidi kwa tasnia hii ni kwamba waziri huyo ana bahati mbaya ya kuwa na mmoja wa wasaidizi na washauri wake katika sekta yetu ya habari ambaye naye hulka zake tangu aingie katika tasnia ya habari amekuwa ni mtu wa kujipendekeza kupenda makuu kuzusha na kutokuwa na mawazo huru huyu si mwingine bali mkurugenzi wa idara ya habari (maelezo) ni jambo la bahati mbaya kwamba waziri huyu msomi pengine kwa sababu ya kutojua vyema rekodi na historia ya msaidizi wake huyo ambaye japokuwa naye pia ni mteule wako amejikuta akiwa mhanga wa fikra pandikizi zinazopenyezwa wizarani chini ya uratibu mahususi unaofanywa na baadhi ya wateule wako ambao wameshaanza kujipanga kusaka urais baada ya wewe kustaafu rais nimelazimika kuyasema yote haya baada ya kula kiapo cha moyoni huku nikirejea mafunzo tuliyokuwa tukikaririshwa utotoni chini ya imani ya wana tanu ambayo hata sisi ambao hatukuwa wanachama wa chama hicho tulilazimika kuikariri kwa kuitamka kila kukicha nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko wangu gazeti la mtanzania limerejea tena mitaani japokuwa ni rahisi kuhesabu miezi napenda kukueleza kwamba ilikuwa ni miezi mitatu michungu sana kwetu kihisia na katika hali halisi mzushi sawa sawa na hao ninaowashangaa leo iwapo nitasema kulikuwa hakuna hitilafu au makosa ya kiuandishi ambayo yaliwapa kisingizio cha mikakati waliyoipanga mapema kabisa wasaidizi wako hao kwa kulifungia gazeti letu hili rais nasema haya kwa sababu ni ukweli ulio bayana kabisa kwamba habari zilizoandikwa na kutoa mwanya kwa serikali yako kutuadhibu gazeti hili hazikulenga kuchochea na wala hazikuchochea kabisa chuki yoyote dhidi ya yeyote na mamlaka unazoziongoza kwa namna na kwa njia yoyote ile siri hata kidogo mkurugenzi aliyetangaza uamuzi huo alifanya hivyo akijua watu wengi hawajui mapito na dhamira yake tunajua yeye alimshauri vibaya waziri na serikali huku akijua vyema kwamba yuko hapo alipo kwa maelekezo mahususi ya kundi la watu wenye malengo binafsi ambao mheshimiwa rais niko tayari wakati wowote na mahali popote kukueleza kwa kina na kwa undani ili wakati utakapotaka kuchukua maamuzi ya haki na kweli ujue undani halisi wa mambo haya leo hii wakati tukirejea tena sokoni tayari tumeshasikia kuendelea kuwapo kwa mikakati ile ile ya kuhakikisha gazeti hili na jingine ambalo halipendwi na watu hao hao kwa sababu binafsi yakiinaingizwa tena mtegoni na kufungiwa kifungo kingine kama hiki tulichomaliza au kinachofanana na kile kilichoifika mwanahalisi mheshimiwa rais naandika waraka huu nikikumbuka semi zako mbili unazotumia tunajenga nyumba moja kwanini tugombee fito na ile ya akili za kuambiwa changanya na zako ambazo kwa muktadha wa waraka wangu huu kwako zinaweza zikawa za msaada sana kwako na pengine kwetu sisi wa mtanzania ambao tunashangilia kurejea mtaani kwa gazeti letu lililodhulumiwa fursa ya kuchapwa kwa muda wa siku 90 kukutumia wewe rais si kwa lengo la kuchosha akili zako au kukupotezea muda isipokuwa kwa kutambua hadhi heshima na mamlaka makubwa uliyonayo juu ya wateule wako hao ambao wameamua kwa sababu ya jeuri za kimamlaka walizonazo kuumiza watu na kutupa sifa na majina mabaya tusiyostahili hakika wazungu walikuwa sahihi waliposema power currupts mheshimiwa rais lingekuwa ni jambo la kheri kwa serikali na kwa taifa letu zima iwapo kusudi la kufungia magazeti linalopangwa na wateule wako kuwa utamaduni wa kudumu lingekuwa ni kujenga mustakabali mwema kwako wewe binafsi chama chako serikali unayoiongoza na nchi yetu kuliko hili la sasa lenye dhamira ya kufunga watu midomo kutesa kuzusha na kuharibu taswira yetu kama watu binafsi taasisi na taifa kwa sababu hizo mheshimiwa rais ndiyo maana baada ya kusukwasukwa na moyo na kuumizwa mno kifikra nikaona nitakuwa sijaitendea haki nafsi yangu na haki za maelfu ya watanzania ambao tunaamini wanahitaji huduma ya magazeti haya katika kukidhi mahitaji yao muhimu ya kimaisha kielimu na kiufahamu kila kukicha na kuacha dhamira hizi za kishetani zikiendelea kuongoza sekta yetu rais siyo siri hata kidogo kwamba ingawa mawazo hasi dhidi ya uhuru wa kikazi na kiwajibikaji wa vyombo vya habari na wanahabari yanaonekana kutawala kauli na maamuzi ya baadhi ya viongozi na washauri wako kwa kiwango cha kukushawishi hata wewe binafsi kukubaliana nayo ukweli ni kwamba nyuma ya maneno matamu wanayotumia kutupaka matope kutujeruhi na kutupa kila aina ya sifa mbaya kuna ajenda za kutuharibia sisi kukuharibia wewe kukomoa kuumiza na zaidi kulikwamisha taifa mhariri nisiyewajibika iwapo nitakaa kimya ilhali nikijua fika kwamba leo hii ndani ya wizara iliyopewa dhamana ya kulea vyombo vya habari baadhi ya wateule wako na watendaji wake wamekalia viti walivyonavyo si kwa sababu ya kuwa kwao na uwezo kustahimili ukosoaji au upeo wao wa kuchochea maendeleo ya kitaaluma bali kwa kuendeleza na kuyatumikia matakwa ya utarishi wa kifikra na kimatendo kwa waraka huu mheshimiwa rais wakati tukikuahidi kwa dhati kabisa wewe binafsi na watanzania wenzetu kwamba tutaendelea na kazi kwa kuzingatia miiko na maadili ya uandishi wa habari sambamba na kuheshimu sheria zilizopo tunapenda kuliweka hili bayana kwamba tutakuwa wa mwisho kuwatii viongozi dhalimu madikteta waliokosa utu na ambao kwao hila ndiyo msingi mama wa kupotosha na kupindisha mambo kwa sababu tu ya kulinda maslahi na malengo yao binafsi au yale ya makundi yenye hila wangu nimeona nitakuwa mtu nisiyekutakia mema wewe binafsi na taifa kwa ujumla iwapo nitakaa kimya na kuruhusu fikra za kikaburu zikijijenga vichwani mwa viongozi wetu mheshimiwa rais tutakuwa tumeshindwa kutimiza wajibu wetu kama wanahabari wahariri na viongozi iwapo tutahalalisha kwa sababu ya ukimya wetu majina mabaya tunayoitwa leo na wateule wako kama wasaliti wachochezi na wazushi binafsi naamini kwa dhati kabisa kwamba iwapo wewe utaamua kwa moyo na nia njema kulinusuru taifa letu na majahili hao walio ndani ya serikali yako basi siku moja historia itakuja kuandika kwa usahihi na ufasaha jina lako na letu
2017-03-30T18:26:47
http://handenikwetu.blogspot.com/2013/12/soma-waraka-wa-absalom-kibanda-kwa-rais.html
usajili kagera sugar juma nyoso kurejea ligi kuu kutua kagera sugar vyankendecom home kitaifa michezo usajili usajili kagera sugar juma nyoso kurejea ligi kuu kutua kagera sugar usajili kagera sugar juma nyoso kurejea ligi kuu kutua kagera sugar vyankende media 085400 kitaifa michezo usajili baada ya kumaliza kifungo chake beki wa zamani wa mbeya city juma nyoso atajwa kurejea ligi kuu tanzania bara baada ya kuripotiwa kufukia makubariano na klabu ya kagera sugar akiongea na kipindi cha michezo na burudani cha kasibante fm mratibu wa kikosi cha kagera mohamed hussein amesema tayari mchezaji huyo yupo katika mazungumzo na keo ataanza safati ya kueleakea katika mashamba ya miwa pale misenyi mkoani kagera hata hivyo nyoso aligungiwa miaka miwili na faini ya shilling millioni 2 baada ya kumfanyia kitendo kisichokua cha kinidhamu mchezaji wa azam john bocco huku akitajwa kufanya kitendo hicho mara kadhaa by vyankende media at 085400
2017-09-19T15:17:28
http://www.vyankende.com/2017/06/usajili-kagera-sugar-juma-nyoso-kurejea.html
serikali imetangaza mwongozo mpya wa elimu | emmanuel shilatu breaking news blog home » unlabelled » serikali imetangaza mwongozo mpya wa elimu serikali imetangaza mwongozo mpya wa elimu mafunzo ya vitendo sasa sio mbadala ni lazima na yatafanywa kama sehemu ya masomo na wanafunzi wote watalazimika kuyafanya kwa vitendo ili wawe na uelewa wa walichosoma kwa manufaa ya taifaalisema profesa ndalichako
2017-09-24T21:01:41
http://ndgshilatu.blogspot.com/2016/08/serikali-imetangaza-mwongozo-mpya-wa.html
wasanii nchini wametakiwa kusajili vikundi vyao ili kufaidika na fursa zitakozojitokeza baraza la sanaasensa ya filamu na utamduni zanzibar limewataka wasanii mbalimbali nchini kusajili vikundi vyao ili kufaidika na fursa zitakazojitokeza ndani na nje ya nchi katika kukuza kazi zao akizungumza na wasanii wa wilaya ya kati katika mafunzo kwa wasanii hao katibu mtendaji wa baraza la sanaa sensa ya filamu na utamaduni zanzibar dk omar abdallah adam amesema ili msanii au kikundi cha wasanii kufikia mafanikio anawajibu wa kujisajili katika taasisi husika kwa ajili ya kunufaika na fursa zinazojitokeza kwa wasanii hao amesema miongoni mwa fursa ambazo msanii anaweza kuzipata baada ya kujisajili ni kushiriki katika matamasha mbali mbali ya ndani na nje kukuza kipato cha wasanii na kuweza kupatiwa elimu kwa mujibu wa mabadiliko yatekenolojia duniani nao baadhi ya washiriki wa mafunzo wameelezea kufurahishwa na mafunzo waliopatiwa kwani yatawajengea uwezo wa kujiamini wakati wa uwasilishaji wa kazi zao kwa jamii 95277jumla ya waliotembelea 358waliotembelea leo 6902wiki iliyopita
2019-04-25T07:43:48
http://zbc.co.tz/wasanii-nchini-wametakiwa-kusajili-vikundi-vyao-ili-kufaidika-na-fursa-zitakozojitokeza/
tunafanya nini forvac sehemu kuu za programu ya forvac forvac inakusudia kuongeza faida za kiuchumi kijamii na kimazingira kutokana na misitu kwenye eneo la programu kupitia utekelezaji wa sehemu kuu nne kama ifuatavyo uanzishaji na uhamasishaji wa hifadhi za misitu ya vijiji (vlfrs) na uwezeshaji wa maendeleo ya mnyororo kujenga uwezo kuongeza uwezo wa wadau kutekeleza na kukuza maendeleo ya mnyororo wa thamani ya misitu huduma za ugani mawasiliano mifumo ya ufuatiliaji mfumo wa kisheria na kisera katika mnyororo wa thamani wa mazao ya misitu na usimamizi endelevu uanzishaji na uhamasishaji wa hifadhi za misitu ya vijiji (vlfrs) ni sehemu ya kwanza katika maendeleo ya mnyororo wa thamani wa mazao ya misitu mipango ya matumizi bora ya ardhi ni hatua muhimu katika kuhakikisha umiliki wa kudumu na usimamizi endelevu wa hifadhi za misitu ya vijiji misitu ya vijiji ipo katika hatua mbalimbali za maendeleo mingine imedhinishwa katika ngazi ya wilaya kwa kuidhinishiwa mipango ya usimamizi wa misitu pamoja na sheria ndogo ndogo aidha misitu mingine imekamilisha sehemu tu ya hatua zinazohitajika katika uanzishwaji mfano vijiji vingine havina mipango bora ya matumizi wa ardhi forvac inafanya kazi ya kuandaa na kurejea hatua za uandaji wa mipango ya usimamizi wa misitu ya vijiji jamii na ushiriki wa sekta binafsi mbali na uanzishwaji na uhamasishaji wa hifadhi za misitu ya vijiji jamii zinahitaji uwezeshwaji kwa maendeleo ya minyororo ya thamani wa mazao ya misitu ambayo iko chini ya usimamizi wa jamii na vijiji forvac itasaidia vikundi vya wazalishaji ndani ya vijiji husika na pia ushiriki wa sekta binafsi katika ngazi yoyote ya mnyororo wa thamani jukumu la sekta binafsi ni muhimu katika programu mbali na jamii mashirika ya sekta binafsi haswa wajasiriamali wanaojishughulisha na uvunaji wa bidhaa za misitu usindikaji usafirishaji na uuzaji wana jukumu muhimu katika utekelezaji wa programu hii kampuni binafsi na taasisi zisizo za kiserikali zinajihusisha na utekelezaji wa programu chini ya mikataba ya utoaji wa huduma au kama watendaji au wadau katika mnyororo wa thamani kampuni binafsi na wafanyabiashara wa ndani kwa mfano viwanda vya kupasua mbao wapasua mbao wadogo wafanyabiashara wa mkaa kampuni za usindikaji asali na kampuni ya masoko ni miongoni mwa wanufaika wa programu hii kupitia ushiriki wao katika kuendeleza minyororo ya thamani ya mazao ya misitu vijiji vyote vinavyolengwa vinahitaji kujengewa uwezo na ujuzi katika kusimamia hifadhi ya misitu ya vijiji (vlfrs) na maendeleo ya mnyororo wa thamani ndani ya jamii pia ikihusisha vikundi vya wazalishaji wanavijiji na wanachama wa kamati za maliasili za viijiji na halmashauri za vijiji zinatarajiwa kujihusisha zaidi katika maendeleo ya mnyororo wa thamani hii inajumuisha kukuza uwezo na ujuzi wao kwa mfano kwenye masuala ya masoko ya uuzaji mbao kamati za maliasili zinahitaji mafunzo juu ya mchakato wa kutafuta wazabuni na namna mijadala ya makubaliano kwenye mikataba inavyofanyika shughuli za uvunaji na usimamizi na pia katika uuzaji wa bidhaa za mbao pamoja na ufikiaji bora wa bei na taarifa zingine za soko ili kuwezesha taasisi kupanga kusimamia na kufuatilia usimamizi shirikishi wa misitu ya jamii na maendeleo ya mnyororo wa thamani wadau wanahitaji kujengewa uwezo kuanzia ngazi ya vijiji wilaya mkoa na kitaifa katika kuendeleza maendeleo ya mnyororo wa thamani na faida zake kwa ajili ya usimamizi endelevu wa misitu ikihusisha masuala ya kijamii kimazingira na namna ambavyo jamii na wadau wengine wanaweza kufaidika kwa kuongeza kipato na ajira wadau watajengewa uwezo ujuzi na uelewa katika dhana ya mnyororo wa thamani na adhari zake ukuzaji wa uwezo ni pamoja na kusaidia elimu ya ugani huduma za mawasiliano na kuunganisha mafunzo ya mnyororo wa thamani wa mazao ya misitu mifumo ya masoko na maendeleo ya ujuzi wa biashara na mitaala katika taasisi za mafunzo ukuzaji wa uwezo ni pamoja na kusaidia huduma za ugani na huduma za mawasiliano katika kuanzisha mifumo iliyoboreshwa ya ufuatiliaji forvac inafanya kazi ili kuongeza usimamizi wa taarifa na mwamko wa umma juu ya utekelezaji wa sera ya misitu kwa kuzingatia mpango wa ugani na huduma ya mawasiliano ulioandaliwa utawezesha usambazaji wa taarifa ya sera ya misitu na maelekezo yanayohusu usimamizi shirikishi wa misitu na mnyororo wa thamani wa mazao ya misitu majadiliano ya sera hufanyika pia katika ngazi ya kitaifa kwa mfano mikutano ya kitaifa ya misitu katika usambazaji wa taarifa msisitizo unawekwa katika kuingiza maswala ya usawa wa kijinsia na kuhakikisha upatikanaji wa taarifa kwa makundi tofauti mfano kwa watu wasiojua kusoma na kuandika forvac imeanzisha mfumo wa usimamizi wa taarifa (mis) ili kupata usimamizi mzuri wa programu na kusaidia katika ukusanyaji na usambazaji wa taarifa kwa wadau mfumo huo utaunganishwa na mfumo wa taarifa za idara ya misitu na ufugaji nyuki ya wizara ya maliasili na utalii forvac pia inachangia maboresho katika sera na mifumo ya kisheria ya ukuzaji wa thamani ya mazao ya misitu inayolenga kuoanisha mfumo wa kisheria na kisera ili kuongoza na kuboresha usimamizi endelevu wa misitu na biashara programu hii inasaidia idara ya misitu na nyuki katika kuendeleza kuboresha na kusambaza utaratibu na miongozo muhimu ya kiufundi ili kusaidia usimamizi wa misitu ya jamii kwa kuongezea forvac inahakikisha uandaaji na marejesho ya sheria ndogo ndogo katika ngazi ya uwandani iendane na sera na sheria za kitaifa maendeleo endelevu ya usimamizi wa sheria za misitu na nyuki yanajumuishwa kwenye majukumu ya wizara ya maliasili na utalii (mnrt) na wakala wa huduma za misitu tanzania (tfs) serikali ya tanzania pia inafanya kazi ya kuweka na kutekeleza sera ya taifa ya misitu na nyuki na sera zingine mfano kuhusiana na biashara forvac inasaidia kuandaa sheria za misitu na sera zinazoelekeza majukumu ya jamii na ushiriki wa sekta binafsi katika misitu sekta ndogo ya misitu na nyuki na biashara za ndani na nje ya nchi
2020-08-03T14:23:29
https://forvac.or.tz/what-we-do/?lang=sw
jambo limezua jambo | jamiiforums | the home of great thinkers jambo limezua jambo discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by uporoto01 aug 24 2010 wakuu muda flani hapo nyuma nilikuwa na gf ambaye tulipendana tukakosana kwa mambo ya kitoto tu sasa kuna muda akapata mtu wa kumuoa kwakuwa bado tulikuwa marafiki wa kawaida akaja kwangu na jambo la ajabu kidogohuyo jamaa anaetaka kumuoa alishapima akajua hawezi kuzaa yaani mbegu zake zina matatizowakawa wameelewana apatikane mtu wa kumpa mimba ili aolewe na mimba ndogo jamaa ijulikane anawezaalinionyesha picha ya jamaa ambaye kwa mbaali tumefanana kidogo nikamwambia nitafikiria na pia nikikubali nataka nisikie kauli ya jamaa na pia sitaki kuhusika na kitu chochote baada ya hapozoezi lilifanyika mimba ikapatikana na mtoto wa kike kuzaliwa tukapoteza mawasiliano kama tulivyoelewanajuzi kati bibie kanifata(baada ya miaka mitano) mumewe alifariki mwanzoni wa mwaka huu na yeye hana uwezo wa kumtunza mtoto peke yakemtoto ana matatizo ya kiafya kibao asthmatumbo nk kwa kifupi ni high maintenance kila wiki hospitalifamilia ya mumewe wamechukua kila kitu na hana nguvu wala muda wakupigania malikapata kazi zambia anadai hawezi kwenda na mtoto na kwakuwa mimi ni baba nimchukue nimemweleza wife kila kitu kasema hana tatizo la mimi na yeye kumsaidia kifedha lakini swala la kubwagiwa mtoto mgonjwa hataki kulisikia na maelewano si yalikuwa tusijuwane tenatusaidiane mawazo wakuu yaani hapa itakubidi tu ufungue account ya mtoto tumchangie malaika wa mungu hana kosa huyo jamani nyie wazazi wa kileo 5yrs old mama hamtaki ndugu hawamtaki baba mzazi hamtaki wacha kukimbia majukumu bro asante mkuu tatizo sio uwezowife anadai bibie hamtaki mtoto kwa sababu ya ugonjwanaye hayuko tayari kuchukua dhamana hiyowife pia kasema yuko tayari kumtafutia kazi hapa hapa ili aendelee kumtunza mtoto wake na tumsaidie atakapokwamamama wa mtoto anadai kazi aliyopata zambia ni ya hela nyingi na akifanikiwa atamfata mtoto jambo ambalo wife haliamini anasema akiondoka na kumuacha mtoto imetoka hiyo na hatutamuona tena mimi niko tayari kumtunza mtoto lakini niko kwenye wakati mgumu ukizingatia maelewano yetu kabla na wife kukubali kumsapoti mtoto kwa mama yake na sio kubwagiwa na bibie kukimbilia zambia binafsi dhamira ingenishtaki kwa kuwa huyo ni mtoto wangu sahau hayo mengine focus kwenye kuokoa maisha ya mtoto wako there is no way you will be peace at yourself na wala hakuna mtu mwenye akili timamu ata hoji kitendo chako wewe kuokoa maisha ya mtoto wako men go get her sasa hapo ndio unatakiwa utumie uanaume wako uanaume sio kuvaa suruali tuina maana maiwaifu wako akikataa utakatelekeza hako kamalaika sio lazima ukae nae hapo kwako maana ukweli ni kwamba hata ukimleta hapo kwa mama wa kambo hatapendwa na unaweza mpoteza kabisa kama unakubali kuchukua jukumu la kutunza hata akiwa zambia it doesnt matter cha msingi awe mahali you can reach her na apate huduma inayostahili kaka ukirejea maelezo yangu pale juu nilikuwa 'sperm donor' tu na bibie na mumewe walinihakikishia sitahusika tenasawa yametokea matatizo namsifu wife kwa kunielewa nilipo mueleza na hata sasa anahusika kumpeleka mtoto hospitali na kukidhi mahitaji yao kwa kuwatembelea kila wikiuanamme gani unataka niutumie kwa mtu muelewa hivo huyu mama wa mtoto nahisi lengo lake kuu ni mtoto afike kwangu manake msaada wa fedha au kumtafutia kazi hapa haridhiki na hili linampa wife wasiwasi kaka ukirejea maelezo yangu pale juu nilikuwa 'sperm donor' tu na bibie na mumewe walinihakikishia sitahusika tenasawa yametokea matatizo sawa namsifu wife kwa kunielewa nilipo mueleza na hata sasa anahusika kumpeleka mtoto hospitali na kukidhi mahitaji yao kwa kuwatembelea kila wikiuanamme gani unataka niutumie kwa mtu muelewa hivo usperm donor ni huko ughaibuni bongo you are a sole father muzee nazungumzia from moral point of view kisheria sijui nachojaribu kuelewa hapa ni wewe kama unasubiri kuambiwa kutimiza wajibu wako yaani unasubiri uambiwe kuchukua uamuzi uamuzi wa kuchukua upo mikononi mwako u can't compromise maisha ya hicho kiumbe kwa sababu yeyote ile kama wife hataki kuachiwa huyo mtoto amtunze tafuta slot yeyote iliyo wazi kama upo na dada au akina bibi shangazi etc wewe mwenyewe unajua utafanya vipiikishindiakana sana itabidi uforce kingi mbanane hapohapo na wife ndugu zangu wanamjua huyu mama wa mtoto kwa sababu alikuwa gf wangu zamani na wanajua aliolewa na kuzaa mtoto sasa leo nitaanzaje kuwaeleza mimi ndio baba wa huyo mtoto nitaanzaje kuwaambia nilimpa mimba huku mumewe akijua na kuafiki kwa mazingira yetu ndugu yangu mi nilidhani mtu wa kwanza wa kumuogopa alikuwa mkeo kama amekuelewa sielewi kwa nini ndugu uwaogope ndio maana niko macho saa hizisina amani na mtoto anajua babake kafariki ni dilemma wife ni mtu mwenye exposure ana maduka yake kariakoo alianzishiwa na baba yake nilimkuta tayari ana maisha yakefamilia ni watu conservative nikiwaambia wataniona mchafuzi na kunitenga hapo mwambie akiwaachia mtoto mwende kwa lawyer mtoto mumchukue nyie moja kwa moja mke wako haonekani kuwa atamchukia huyo mtoto (si dhani kama kuna mtu anachukia mtoto wa ready made) tafuteni lawyer hakikisheni mtoto anakuwa wenu moja kwa moja gaijin mtoto nilizaa na my ex while she was married to another man(now dead) with his knowledge/approval ndio sasa tatizo kitu gani mama mtoto si yuko tayari kuthibitisha kuwa mtoto ni wako na kuna dna tests ambazo zitathibitisha kuwa mtoto ni wako kama mama mtoto anataka kuwatupia mtoto na yeye ende zambia basi mumu adopt kabisa kabisa na asiwe na uwezo wa kurudi na kudai mtoto wake ubini wa mtoto hauna tatizo mimi na wife hatuoni sababu ya yeye kwenda zambia kama tutamsaidia kupata kazi hapa na kumpa msaada wowote atakaohitaji amtunze mtoto wake ambaye ni mgonjwa na anahitaji kuwa karibu naye na anafahamu matatizo/mahitaji ya mtotopia wife ana mimba ya miezi kadhaa anatapika tapika hawezi kuchukua jukumu hilo kwa sasa bro naona unasitasitatafuta namna ya kumsitiri huyo mtoto kwanza huyo mamaye si mali kitu tena na ameshaonesha anabwaga manyangakama gaijin alivyokushauri wewe fanya taratibu za kisheria uangalie ustaarabu mwinginehata kama wife wako hayupo tayari kwa sasa anaonesha ana roho nzuri basi angaza macho angalia kwene empty slot kokote umsitiri huyo mtototatizo ulilipanda mwenyewe pengine kwa nia njema lakini sasa huezi kumuadhibu huyo malaika tena cha msingi ni kufikiri kwa undani utamleaje huyo mtotokwa muda huu halafu baadae wife anaweza kubadili mawazo taratibu pale utakapoonesha nia ya kumlea
2018-01-16T10:10:59
https://www.jamiiforums.com/threads/jambo-limezua-jambo.70791/
waziri mkuu amwakilisha rais kwenye maadhimisho ya miaka 80 ya kanisa la (tag) | mpekuzi pia amewapongeza viongozi wa kanisa hilo kwa mafanikio yaliyopatikana katika kipindi chote cha miaka 80 pia nikupongeze baba askofu kwa kuchangia mifuko 1000 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa shule za sekondari hapa arusha natambua kwamba ulishachangia mifuko mingine 500 asante sana alilishukuru kanisa hilo kwa kuendesha maombi maalum kwa ajili ya taifa yaliyoongozwa na mchg titus mkama niliguswa sana wakati maombi ya taifa yalipokuwa yakiendelea mchungaji aligusia masuala ya muhimu kwa taifa hili alimpongeza rais magufuli kwa miradi mikubwa ya maendeleo anayoisimamia kama vile umeme wa stiegler's gorge reli ya sgr ununuzi wa ndege ujenzi wa hospitali mpya 67 za wilaya ujenzi wa vituo vya afya 370 na ununuzi wa dawa za hospitali nina umri wa kutosha lakini katika miaka yangu yote hii sijawahi kuona hospitali 67 zikijengwa kwa pamoja tena mwaka huu wa fedha mmetenga hela kwa ajili ya ujenzi wa hospitali nyingine 27 hongera sana kwa ujasiri huo alisema dkt mtokambali
2019-12-05T20:39:16
http://www.mpekuzihuru.com/2019/07/waziri-mkuu-amwakilisha-rais-kwenye.html
zari the boss ajianda na kumzalia diomond platnum mtoto wa pili ona picha alizopiga akionyesha mimba live | masama blog » zari the boss ajianda na kumzalia diomond platnum mtoto wa pili ona picha alizopiga akionyesha mimba live zari the boss ajianda na kumzalia diomond platnum mtoto wa pili ona picha alizopiga akionyesha mimba live sio siku nyingi kunzia sasa zari the boss mpenzi wa msanii diamond platnum panapo majaaliwa anataraji kujifungua mtoto atakaykeuwa ndugu wa tiffazari atajifungua mtoto wake wa pili na diamond ambapo ataongoza idadi ya watoto kwa zari ambaye anawatoto watano na dimond atakuwa anawatoto wawili kujua mbinu za kumfikisha kileleni mwanamke kwa haraka bonyza hpa chni
2016-12-04T12:10:04
http://www.masamablog.com/2016/11/zari-boss-ajianda-na-kumzalia-diomond.html
mhe zambi apokea msaada wa mashuka ya hospitali kutoka pspf posted on april 6th 2017 mkuu wa mkoa wa lindi mhe godfrey zambi leo tarehe 6/4/2017 amepokea msaada wa mashuka 50 toka kwa mkurugenzi mkuu wa pspf akiwakilishwa na meneja wa pspf mkoa wa lindi ndg mtumwa</p> <p>mashuk utafiti wa viashiria na matokeo ya ukimwi wazinduliwa mkoani lindi posted on april 1st 2017 <strong>utafiti wa viashiria na matokeo ya ukimwi kwa mwaka 2016/2017 wazinduliwa mkoani lindi</strong></p> <p>mkuu wa wilaya ya lindi mhe shaibu ndemanga kwa niaba ya mkuu wa mkoa amezindua zoe uboreshaji na uendeshaji wa tovuti za kiserikali posted on march 20th 2017 <strong><em>katibu tawala mkoa wa mtwara alfred luanda akifungua mafunzo ya siku 8 juu ya uanzishaji na uendeshaji wa tovuti kwa maafisa habari na tehama yalioanza jana mkoani mtwara na kushirikisha nachingwea kutoka kaburi la mbwa kilimo na harakati za ukombozi
2019-03-20T22:12:06
http://lindi.go.tz/news/15
bima | kifltd 957820 hits hapo ni maeneo ya posta dar es salaam hapo ni maeneo ya posta katikati ya jiji la dar es salaam leo asubuhi mpan twittercom/i/web/status/1http//wwwmasterkifblogspotcom 1 month ago hebu cheki kingkifblogspotcom facebookcom/permalinkphphttp//wwwmasterkifblogspotcom 1 month ago miaka tisa ya king kif blogu hapa nipo na ali kiba na diamond ni ndani ya club bilicanas kati ya 20092010 king kif twittercom/i/web/status/9http//wwwmasterkifblogspotcom 2 months ago miaka tisa ya king kif blogu hapa nipo na ali kiba na diamond ni ndani ya club bilicanas kati ya 20092000 king kif twittercom/i/web/status/9http//wwwmasterkifblogspotcom 2 months ago kim kardashian flaunts her massive cleavage and thigh in stunning versace gown at business of fashion dinner (photo twittercom/i/web/status/9http//wwwmasterkifblogspotcom 2 months ago miaka tisa ya kingkifblogspotcom jana blogu hii ilitimiza miaka tisa tangu kuanzishwa kwake mheshimiwa sugu twittercom/i/web/status/9http//wwwmasterkifblogspotcom 2 months ago nipo na david sigfred kimasatusome zaidi kingkifblogspotcom facebookcom/permalinkphphttp//wwwmasterkifblogspotcom 2 months ago kuelekea miaka tisa ya king kif blogu kuandika ni kufundisha na kuelimisha zimebaki saa chache blogu hiiikingk twittercom/i/web/status/9http//wwwmasterkifblogspotcom 2 months ago rais dkt magufuli eac tunanaweza kujitegemea akitaja baadhi ya mafanikio yaliyopatikana na jumuiya hiyo rais magu twittercom/i/web/status/9http//wwwmasterkifblogspotcom 2 months ago hili ni bingwa la leo lakini tayari yanga chali kingkifblogspotcom fbme/hyxfojk4http//wwwmasterkifblogspotcom 4 months ago bingwasimba yafichwa misri kingkifblogspotcom fbme/99r7iqxqlhttp//wwwmasterkifblogspotcom 4 months ago spoti leoyangwa sp hawatanii botswana kingkifblogspotcom fbme/2gb4tyddzhttp//wwwmasterkifblogspotcom 4 months ago fbme/iliwgvmrhttp//wwwmasterkifblogspotcom 4 months ago rais mhedkt john pombe magufuli akisalimiana na mkuu wa mkoa wa mwanza john mongella mara baada ya kuwasili fbme/8939onkhihttp//wwwmasterkifblogspotcom 4 months ago hapo ni maeneo ya posta dar es salaam hapo ni maeneo ya posta katikati ya jiji la dar es salaam leo asubuhi mpan twittercom/i/web/status/1http//wwwkingkifblogspotcom 1 month ago hebu cheki kingkifblogspotcom facebookcom/permalinkphphttp//wwwkingkifblogspotcom 1 month ago miaka tisa ya king kif blogu hapa nipo na ali kiba na diamond ni ndani ya club bilicanas kati ya 20092010 king kif twittercom/i/web/status/9http//wwwkingkifblogspotcom 2 months ago miaka tisa ya king kif blogu hapa nipo na ali kiba na diamond ni ndani ya club bilicanas kati ya 20092000 king kif twittercom/i/web/status/9http//wwwkingkifblogspotcom 2 months ago kim kardashian flaunts her massive cleavage and thigh in stunning versace gown at business of fashion dinner (photo twittercom/i/web/status/9http//wwwkingkifblogspotcom 2 months ago miaka tisa ya kingkifblogspotcom jana blogu hii ilitimiza miaka tisa tangu kuanzishwa kwake mheshimiwa sugu twittercom/i/web/status/9http//wwwkingkifblogspotcom 2 months ago nipo na david sigfred kimasatusome zaidi kingkifblogspotcom facebookcom/permalinkphphttp//wwwkingkifblogspotcom 2 months ago kuelekea miaka tisa ya king kif blogu kuandika ni kufundisha na kuelimisha zimebaki saa chache blogu hiiikingk twittercom/i/web/status/9http//wwwkingkifblogspotcom 2 months ago rais dkt magufuli eac tunanaweza kujitegemea akitaja baadhi ya mafanikio yaliyopatikana na jumuiya hiyo rais magu twittercom/i/web/status/9http//wwwkingkifblogspotcom 2 months ago hili ni bingwa la leo lakini tayari yanga chali kingkifblogspotcom fbme/hyxfojk4http//wwwkingkifblogspotcom 4 months ago bingwasimba yafichwa misri kingkifblogspotcom fbme/99r7iqxqlhttp//wwwkingkifblogspotcom 4 months ago tag / bima november 6 2014 by kifltdkif enterprises afya bima kaimu mkuu taifa watu kutoka kulia ni meneja wa chf bw costantine makala ali othman mkuu wa kitengo cha mifumo ya mawasilianomkurugenzi wa uendeshaji (nhif)eugen mikongoti kaimu mkurugenzi mkuu na mkurugenzi wa utawala na rasilimali watu wa mfuko wa taifa wa bima ya afya (nhif) beatus chijumba athman rehani mkurugenzi wa mfuko wa afya ya jamii (chf) mkurugenzi wa masoko na utafiti nhifraphael mwamoto na dr frank lekei (mkurugenzi wa tiba na masuala ya kiufundi nhif)chanzowwwglobalpublishersinfo
2018-07-16T22:18:24
https://kifltd.wordpress.com/tag/bima/
kulikoni ughaibuni45 ~ kulikoni ughaibuni kulikoni ughaibuni45 kulikoni ughaibuni46 wiki hii ilianza vizuri kwa watanzania wanaoishi hapa uingereza kutokana na ziara ya rais kikwetekama nilivyoonyesha wasiwasi wangu katika makala iliyopita kuhusu iwapo ningehudhuria mkutano wa jk na wabongo hapo londonndivyo ilivyotokeakwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu sikubahatika kuhudhuria mkutano huo uliofanyika jumapili iliyopitalabda ntabahatika atakapokuja tena mwezi ujao kama alivyoahidikwa mujibu wa waliohudhuria na kama nilivyotabiri katika makala iliyopitakulikuwa na umati mkubwa uliojitokeza kumsikiliza kiongozi mkuu wa nchi yetunimeambiwa kuwa ukumbi ulicheuajapo mkutano huo ulimalizika bila wahudhuriaji kuuliza maswali kutokana na majukumu mengine alivyokuwa nayo raiswengi wa waliohudhuria walivutiwa na hotuba ya jkpengine jambo ambalo lilionekana kuwagusa baadhi ya watu ni kitendo cha baadhi ya wanaccm tawi jipya la london walioonekana kama walitaka kuiteka shughuli hiyobinafsi sidhani kama hilo ni tatizo hasa ikizingatiwa kuwa nchi hii inathamini uhuru wa watu kuonyesha hisia na ushabiki wao katika kile wanachokipendakwa mantiki hiyowanaccm hao waliochangamka chapchap kufungua tawi la chama hicho siku chache zilizopita waliokuwa na kila sababu ya kujimwayamwaya na ujio huo wa mwenyekiti wa chama chao ambaye pia ni rais wetunapenda kuamini kuwa vuguvugu la ukereketwa wa chama tawala litakuwa ni la kudumu na sio la kupita tu kwa malengo ya watu wachache kupata nafasi ya kutambulishwa kwa jkkama wasemavyo waswahilikupata ujauzito si kazi bali kazi ni kumtunza mtoto hadi akuevilevileufunguzi wa matawi ya chama si kazi bali shughuli ipo katika kudumisha na kumarisha matawi yanayofunguliwa mwaka huu muungano kati ya england na scotland (ambao unatengeneza sehemu ya kitu tunachokijua kama the united kingdom) unatimiza miaka 300 tangu uzaliwe bethdei ya muungano huo inafika wakati vuguvuru la scotland kutaka uhuru wake linazidi kupamba motokwa mara ya kwanzahivi karibuni kura ya maoni ilionyesha zaidi ya asilimia 50 ya waskotishi walikuwa wanataka uhuru wao nje ya united kingdommuda mfupi kabla sijaandaa makala hii nilikuwa naangalia mjadala uliokuwa unaendeshwa na bbc scotland kuhusu suala hilo la uhuru wa scotlandkuna matukio mawili makubwa yanayotarajiwa hivi karibuni ambayo kwa namna flani yanachochea mjadala huukwanza ni uchaguzi mkuu wa scotland ambapo kiongozi wa chama cha scottish national party (snp) alex salmond anaelekea kufanya vizuri kwenye kura za maoni dhidi ya waziri mkuu (first minister) wa scotlandjack mcconnellambaye anatoka chama cha labourmoja ya sera kuu za snp ni kudai uhuru wa scotlandna ingawaje siku za nyuma sera hiyo imekuwa ikipata mwamko mdogohivi sasa inaelekea kupata wafuasi wengi zaidiwachambuzi wa mambo ya siasa za uingereza wanatabiri kuwa iwapo salmond na snp yake watashinda basi ndoto ya scotland kuwa taifa linalojitegemea nje ya united kingdom inaweza kutimia kwa upande mwinginetony blair anatarajiwa kungatuka mwezi juni mwaka huu na kila dalili zinaonyesha kuwa mrithi wake atakuwa kansela gordon brownbrown ni mskotishi na hivi karibuni ameanzisha jihad dhidi ya wale wenye fikra za uhuru wa scotlandamekuwa akisisitiza kuwa scotland inanufaika zaidi ikiwa sehemu ya uk kuliko itapotokea kuwa nje ya muungano huohivi majuzi alikishambulia chama cha upinzani cha conservative kuwa kimekuwa kikisapoti madai ya uhuru wa scotlandkimsingibaadhi ya wanasiasa wa england hawafurahishwi kuona wabunge kutoka scotland wakipiga kura katika baadhi ya mambo ambayo yanaihusu englandilhali hakuna mbunge kutoka england anayeweza kufanya hivyo katika bunge la scotlandkadhalikabaadhi ya wanasiasa wa england wanaona influence ya wanasiasa wa kiskotishi inakuwa kwa kasi katika serikali ya muunganohapa wanapointi watu kama gordon brownwaziri wa mambo ya ndani john reedwaziri wa usafiri alistar darling na waziri wa ulinzi des brownewote wanaonekana kushika nafasi nyeti katika serikali ya uingerezana kwa namna flani wanaonekana kama waskotishi wenye uwezo wa kutoa maamuzi kuhusu mambo ambayo pengine ni ya england pekee ambayo kwa namna nyingine yangepaswa kutolewa maamuzi na wanasiasa kutoka england tuna suala la gordon brown kumrithi tony blair ambalo kwa kiasi kikubwa si la mjadala tena bali linasubiri muda tulinaangaliwa kwa mtizamo huohuowaziri mkuu mskotishi ambaye atakuwa na mamlaka katika mambo ambayo baadhi ya watu wanayaona ni ya england pekeeeneweindio mambo ya miungano hayo jinsi yalivyokila kwenye muungano huwa hapakosekani wale wanaoona kama wanaburuzwa au kupunjwa kingine kinachoonekana kuwashtua wachambuzi wa siasa za ulaya ni kukua kwa kasi kwa nguvu ya wanasiasa na vyama vyenye mrengo mkali kabisa wa kuliakatika uchaguzi wa bunge la ulayawanasiasa kutoka vyama hivyo wamefanikiwa kufanya vizuri zaidi kuliko hata ilivyotarajiwana kama hiyo hazitoshiujio wa nchi za ulaya ya mashariki kwenye jumuiya hiyo ya ulaya (ambayo kimsingi imejaa nchi za ulaya magharibi) unaelekea kuchochea zaidi nguvu za wanasiasa na vyama vyenye mrengo mkali wa kitaifa (far right nationalist parties)inafahamika kwamba siasa zanye mwekeleo mkali wa kitaifa zimetawala sana miongoni mwa nchi za ulaya mashariki na kuruhusiwa kwa baadhi yao (mfano bulgaria na romania zilizojiunga januari mosi mwaka huu) kujiunga na jumuiya hiyokunaonekana kuwanufaisha zaidi mafashisti na wengineo wenye mrengo wa kibaguzitayari wanasiasa 20 kutoka vyama hivyo ambao ni wabunge wa bunge la ulaya wameunda kikundi kinachojiita identitytradition and sovereignity ambacho kimsingi kinataka kuweka shinikizo dhidi ya sera wanazoona kuwa zinavutia wahamiaji kutoka nje ya nchi zao pamoja na kutilia mkazo sera zao za ubaguzi wa rangimiongoni mwa wanasiasa hatari zaidi wanaotishia kurejea kwa siasa za kinazi na kifashisti ni pamoja na alessandra mussolini (mjukuu wa fashisti wa italia benito mussolini) na jeanmarie le pen wa ufaransahuyu le pen ni mbaguzi sugu mno kiasi kwamba mwaka jana wakati wa fainali za kombe la dunia aliwataka wafaransa kuisusa timu ya taifa ya nchi hiyo kwa vile eti haiwakilishi utaifa halisi wa nchi hivyokisaasilimia kubwa ya wachezaji wa timu hiyo waliokuwa weusi na wengi wao wakiwa na asili ya nchi nyingine kabla ya kuhamia ufaransa mwishoni vuguvugu la uchaguzi wa rais wa marekani hapo mwakani ambapo kwa sasa wanasiasa mbalimbali wameanza kuitangaza dhamira zao za kugombea kwenye ngazi za vyama kabla hawajapitishwa kuingia ngazi ya kitaifakuna mtu anaitwa barack obamamweusi ambaye ana asili ya kenyakwa kweli obama ametokea kuwa na mvuto mkubwa sana miongoni mwa watu wanaotajwa kuwania urais mwakanitayari condeleeza ricemwamerika mweusi wa kwanza kuwa waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo na swahiba wa karibu kabisa wa joji bushiameshasema kuwa nchi hiyo iko tayari kuwa rais wa kwanza mweusiniliwahi kuandika makala za nyota kwenye magazeti ya kasheshe na komesha kwa jina la ustaadhi bongena hapa nakumbushia enzi zanguhawa watu hawako tayari kumwona mtu mweusi akiongoza marekanindio maana hivi majuzi baadhi ya wahafidhina walileta hoja eti obamaprofesa wa sheria na seneta pekee mweusialishawahi kubwia unga (cocaine) katika ujana wake na wanahoji kama nchi hiyo iko tayari kuongozwa na teja mstaafu
2019-05-27T06:30:50
http://www.chahali.com/2007/01/kulikoni-ughaibuni-45.html
semalt jinsi ya kuondoa spam ya rufaa vidokezo rahisi trafiki ya uhamisho wa taka imekuwa kukutana kila siku kwa watumiaji wengi wa wavuti kuondoa aina hii ya trafiki ni muhimu kwa kila mmiliki wa tovuti au operator wa seo chombo cha google analytics kina njia nyingi za kuondoa spam ya rejea kutoka ripoti yako ya rufaa pachamama e juice mint trafiki ya spam ilikuwa dhana ya zamani ya kofia nyeusi teknolojia ya utafutaji watu watatumia njia hii kusema uwongo kwa wateja wao kwa kufanya tovuti zao ziwe na kasi ya haraka aidha inaweza kusababisha hisia za uongo na kusababisha hasara kubwa kwa wateja wao wasio na maoni kuelewa spam ya uhamisho ni muhimu kwa kila mtu anayefanya ecommerce nik chaykovskiy meneja mfanikio mteja mwandamizi wa semalt anaelezea hapa juu ya masuala yanayofaa katika suala hili kuelewa trafiki ya rufaa referrer trafiki ni wageni ambao bonyeza viungo kwenye tovuti yako kutoka tovuti nyingine wakati tovuti zilizounganishwa na tovuti yako kuna uhusiano wa moja kwa moja wa kikoa ambayo inaweza kusababisha mtiririko wa wageni kwa mfano mtu anaweza kubofya kiungo kwenye tovuti yako kutoka kwenye kikoa kama website ya national geographic taarifa yako ya kikoa itakuwa kwenye tovuti ya nat geo kwa sababu umekuwa mwamuzi wa nat geo spam ya uhamisho ni trafiki inayotoka kwenye mada ambayo yanaweza kuunganishwa au kwenye tovuti yako baadhi ya mbinu zinaweza kuhusisha usafiri halisi wa halali kutoka kwa watu halisi katika matukio mengine spam ya kurejea hujaribu kudanganya code yako ya kufuatilia gg katika kurekodi kutembelea ukurasa ambao ni uongokatika matukio hayo yote ga yako inatazama ziara za ukurasa ambazo huenda au zisizoonekana kuwa sehemu ya wageni wako katika matukio mengi spam ya kurejea yanaweza kutokea kama ruhusa za roho au kurudi kwa mamba marejeleo ya kukwama wao ni hasa bots trafiki inayotoka kwa bots ikiwa pia haijaswi wanakuja kwenye tovuti yako wakati wa vikao vya trafiki vyema mwongozo wa roho hawa hawatembelea tovuti yako hata hivyo wao huweza kudanganya google analytics yako katika kusajili kutembelea bandia kila webmaster anahitaji zana muhimu ili kukabiliana na trafiki ambayo haikuja kutoka kwa wateja halisi kwa mfano baadhi ya zana ambazo webmasters hutumia kufanya huduma za backlinking zinaweza kusaidia watu kuondoa spam ya kuruhusu kwa mfano unaweza kuamsha baadhi ya haya katika kichupo cha mipangilio ya admin katika tab ya admin unaweza kuamsha huduma za kuchuja bot kuna data ya taka pamoja na buibui ambayo huwa na kutambaa tovuti kwa sababu mbalimbali kujenga filters za desturi za boti zinaweza kusaidia kuweka mbali baadhi ya vyanzo vya trafiki hivi ambavyo huenda halali kuwa halali baadhi ya vikoa kama semalt wana historia inayojulikana ya kutupa mashambulizi ya spam ni muhimu kutumia mtoa huduma wa barua pepe ambao ni watoa barua pepe salama wanaweza kuchuja trafiki ya rufaa kutoka kwenye tovuti wanaweza kufanya safu nzima ya kuvinjari na salama pia kama kulinda wateja wako kutoka mashambulizi ya spam iwezekanavyo referrer spam ni shida kubwa inakabiliwa na watumiaji wengi wa intaneti baadhi ya mashirika ya nyeusi ya seo huwa na kutumia mbinu za uhamisho wa spam ili kutoa matokeo yao ya haraka trafiki hii haina msingi wa kuomba kwake unaweza kukabiliana na adhabu wakati unapojaribu cheo ukitumia trafiki taka mwongozo huu unaweza kukusaidia kuepuka trafiki ya rufaa
2019-04-25T20:20:32
http://nadiadigilov.com/semalt-jinsi-ya-kuondoa-spam-ya-rufaa-vidokezo-rahisi
kumbuka watoto wa mtaa katika mapenzi yako katika consortium for watoto wa mtaa (csc) tunafanya kazi bila bidii kuhakikisha kuwa sauti za watoto wa mitaani zinasikika na kwamba haki zao zinaheshimiwa tunafanya hivyo kwa njia nyingi tofauti mifano ya kazi yetu ni pamoja na kuwakilisha haki za watoto wa mitaani katika ngazi za kitaifa na kimataifa (serikali za kitaifa na mashirika ya kimataifa kama un) tunatetea haki za watoto na tunasaidia washiriki wetu kushawishi serikali zao kutekeleza sheria na mikakati ambayo inasaidia watoto wa mitaani na kuacha mazoea ambayo yanawadhuru kati ya mambo mengine csc na washiriki wao wanapigania acha kuadhibu watoto na kumtia kizuizini kwa kinachoitwa 'makosa ya hali' kama vile kuomba na ukweli acha watoto waondolewe barabarani na polisi kwa njia inayoitwa 'duruups' ondoa vizuizi ambavyo vinazuia watoto kupata huduma wanayo haki tunasomesha misaada ya msingi na watoto wa mitaani wenyewe juu ya jinsi ya kutetea haki za watoto kwa wao wenyewe katika mazingira yao tunatoa na kulinganisha utafiti juu ya suala la watoto wa mitaani kuhakikisha kuwa maamuzi yoyote juu yao yanatokana na ujuzi mzuri na kwamba watoto wa mitaani wanayo sheria juu ya sheria zinazowasimamia kwa kushirikiana na washirika wetu wa mtandao tunaendesha miradi tukifanya kazi moja kwa moja na watoto wa mitaani unaweza kusoma juu ya miradi yetu ya hivi karibuni hapa pauni 50 inaweza kulipia vifaa ambavyo vinasaidia watoto kuelewa haki zao pauni 500 inaweza kulipa csc kutoa mafunzo kwa washiriki wa mtandao katika kutetea haki za watoto pauni 1000 inaweza kulipia kampeni za dijiti kubadili jinsi watoto wa mitaani wanavyozingatiwa na kutibiwa ulimwenguni kote kwa nini ninakumbuka watoto wa mitaani katika utashi wangu watoto wa mtaani ni mmoja wa watoto walio hatarini zaidi kwenye sayari ndio sababu wanahitaji mashirika yenye nguvu kama consortium ya watoto wa mitaani (csc) ambao hufanya kazi kwa bidii kwa niaba yao kama mtoto nilishuhudia ukatili na nikapata usumbufu mbaya katika amsterdam iliyokuwa inachukuliwa na nazi mara moja nakumbuka mvulana mdogo alifika katika maiti ya usiku akiwa amebeba koti ndogo ujumbe wa ndani unasoma tafadhali chunga paul wetu mdogo ana miaka 4 yeye hapendi karoti maisha yake yalitegemea mitaa na kuishi kwake kulitegemea kulindwa badala ya kukataliwa au kuteswa vita kwangu ilimalizika muda mrefu uliopita lakini sio ahadi yangu ya kulinda watoto kama paul katika siku zijazo watoto wa mitaani ambao wanaishi au hutegemea mitaa kwa kuishi bado wapo nasi wanaweza kuita mitaani nyumbani kwa sababu tofauti migogoro uhamiaji kuvunjika kwa familia unyanyasaji au ugonjwa nadhani hii lazima ni aibu kuu ya sayari yetu ya nyakati zetu sehemu moja ya ahadi yangu kwa watoto hawa ni kwamba ninaacha urithi katika nia yangu ya kusaidia csc nataka kuhakikisha kuwa csc inaendelea kuongea na kuboresha maisha ya watoto wa mitaani je utaungana nami katika kuacha urithi ili kuendelea na kazi hii muhimu balozi wa csc kwa watoto wa mtaa maswali yanayoulizwa mara kwa mara kwa nini ninahitaji utashi unapoandika hati unataja nini kitatokea kwa pesa na mali yako baada ya kufa ni muhimu sana ikiwa una watoto au ungependa kuhakikisha kuwa mali yako inasimamiwa kulingana na matakwa yako ikiwa unataka kugawa pesa katika utashi wako kwa sababu ya hisani utahitaji kusema kwamba katika mapenzi yako pia kuandika zabuni kunaweza kupunguza kiwango cha kodi ya urithi ambayo wapendwa wako wanaweza kulipa baada ya kupita kwako tuambie ikiwa umesalia pesa kwa watoto wa mitaani kwa mapenzi yako au ikiwa unazingatia ongeza mchango kwa csc kwako (codicil fomu) ni nini kitatokea ikiwa nitakufa bila kuandikiwa dhamira ikiwa utafa bila kuwa na maandishi ya kuandikiwa sheria itaamua nini kinatokea kwa mali yako hii inaitwa sheria za utumbo kulingana na sheria hizi wenzi tu wa ndoa au wa kiraia na jamaa wengine wa karibu wanaweza kurithi mali yako kutoa kwa hisani na ushuru wa urithi kulingana na huduma ya ushauri ya pesa ikiwa utaacha kitu cha kutoa misaada katika mapenzi yako basi haitahesabu jumla ya dhamana ya ushuru wako hii inaitwa kuacha 'urithi wa hisani' unaweza pia kukata kiwango cha ushuru wa urithi katika mali yako yote kutoka 40 hadi 36 ikiwa utaacha angalau 10 ya 'mali yako ya jumla' kwa ufadhili je ninawezaje kujumuisha csc katika utashi wangu katika kuandaa kuandaa yako unahitaji kufanya orodha ya mali yako yote ambayo ni vitu unamiliki kama vile mali isiyohamishika magari na vitu vyovyote vya thamani kisha fanya orodha ya madeni yako ambayo ni vitu unavyodaiwa kama rehani au mikopo yoyote ambayo unahitaji kulipa mwishowe andika orodha ya watu wote ambao ungetaka kuacha pesa hii inaweza kuwa familia marafiki lakini pia mashirika ya hisani na sababu unazoziunga mkono ili kuandaa ombi utahitaji kuajiri huduma za wakili jamii ya sheria inaweza kukusaidia kupata wakili katika eneo lako kwa habari zaidi piga 020 7320 5650 au tembelea wavuti ya law society je ni njia gani ninaweza kuacha zawadi kwa csc katika mapenzi yangu kuna njia tatu ambazo unaweza kumbuka csc katika mapenzi yako unaweza kuchagua kuacha jumla ya pesa kutoka kwa mali yako hii inajulikana kama zawadi ya kipekee vinginevyo unaweza kuchagua kutoa sehemu ya mali yako ya mabaki kwa hisani hii ndio hisa ya mali mara moja familia yako na watu wengine uliowataja kwako watapokea hisa zao unaweza kuchagua kuacha mabaki yote kwa csc au kutaja kushiriki kama 10 au 20 mwishowe unaweza pia kuchagua kuacha kitu cha thamani kama vile vito vya vito mchoro au sanaa ya kale unaweza kuchagua kuchagua mali hii yote italazimika kuelezewa kwa kina katika utashi wako tayari nina dhamira ninawezaje kuibadilisha ili kuacha zawadi kwenda csc unaweza kutaka kuandaa mapenzi mpya kabisa watu wengi hata hivyo huchagua kuongeza codicil kwa utashi uliopo unaweza kupakua fomu ya codicil hapa
2020-07-10T22:25:03
https://www.streetchildren.org/donate/leave-a-gift-in-your-will/?lang=sw
kazi nzuri huaniu apple china manufacturers & suppliers & factory kazi nzuri huaniu apple mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china (jumla ya 24 bidhaa kwa kazi nzuri huaniu apple) kazi nzuri huaniu apple kazi nzuri huaniu apple ubora bora huaniu apple fresh huaniu apple red fresh huaniu apple sweet fresh huaniu apple bei nzuri ya dhahabu apple kazi nzuri gala gala
2019-10-22T11:15:53
http://sw.fuyuanfv.com/dp-kazi-nzuri-huaniu-apple.html
tiba za kisukari chakula na mazoezi kwa mgonjwa wa kisukari | top wellness products in tanzania hapo zamani kabla ya uvumbuzi wa insulin (1921) ugonjwa wa kisukari type 1 diabetes ulikuwa ni ugonjwa ulioua watu wengi sana miaka michache tu baada ya mtu kuupata ugonjwa huo lakini sasa mambo yamebadilika kwa kiasi kikubwa sana mtu mwenye ugonjwa huu anaweza kuishi maisha ya kawaida kabisa ili mradi anakuwa na mpango mzuri wa chakula mazoezi ya kutosha na anatumia insulin kuwa mgonjwa wa kisukari maaana yake ni kukubali namna ya kuishi na siyo kushindwa kufanya jambo lo lote lile ulilokusudia unaweza kufanya biashara zako kushiriki michezo na kufikia malengo yako bila tatizo lo lote kuna orodha ya watu wengi waliokutwa na kisukari na wakafanya vizuri katika michezo siasa uigizaji wa filamu muziki uandishi wa habari nk kinachotakiwa ni kuwa na mpango mzuri wa kula mazoezi ya kutosha na kuzingatia tiba unayopewa na daktari wako hakuna sababu kamwe ya kushindwa kufikia malengo yako mfano mzuri ni sir steven redgrave mwanamichezo aliyeweza kunyakua medali za dhahabu katika michezo ya olympiki kwa miaka mitano mfululizo akiwa mwathirika wa type 1 diabetes kuanzia mwaka 1997 mgonjwa wa kisukari anapaswa kuchukua vipimo mara kwa mara ili kujua kiwango cha sukari alicho nacho anapaswa vilevile kuhakikisha kuwa anapima blood pressure na kudhibiti kiwango cha cholesterol kwani vinaweza kumsababishia magonjwa ya moyo kisukari cha juu na kisukari cha chini mgonjwa anatakiwa ahakikishe kiwango chake cha sukari katika damu hakibadiliki sana kuwa na kiwango kidogo cha sukari katika damu (hypoglycemia) kuna madhara mengi katika mwili wa mgonjwa kama vile ilivyo kwa mgonjwa kuwa na kiwango kikubwa cha sukari katika damu (hyperglycemia) mpango wa chakula kwa mgonjwa wa kisukari mgonjwa wa kisukari hana masharti ya ajabu kuhusu chakula anachotakiwa kula kimsingi anaweza kula chakula cho chote anachopenda kuna mambo matatu ambayo yanabidi kuangaliwa katika kuweka kiwango cha sukari cha mgonjwa kwenye kiwango kinachofaa mambo hayo ni ni chakula gani chakula hicho kinaliwa kwa kiasi gani chakula hicho kinaliwa muda gani watalaamu wa afya na mambo ya chakula wanabainisha kwamba chakula kinachotakiwa kuliwa kwa wingi zaidi ni chakula chenye wanga (carbohydrates) kikifuatiwa na mboga na matunda kisha chakula chenye protini na mwisho ni chakula chenye mafuta (fats) wataalamu na washauri wa magonjwa ya kisukari wanamshauri mgonjwa wa kisukari kupata chakula kwa mpango huo huo chakula chenye wanga chakula chenye wanga hupatikana zaidi kutoka kwenye nafaka mboga maziwa ya mgando na matunda mwili wa binadamu huhitaji chakula chenye wanga hatuwezi kuishi bila chakula cha aina hii mwili hubadilisha wanga na kuwa glucoseaina ya sukari ambayo hutumiwa na seli za mwili kwa ajili ya kupata nguvu na kukua imeonekana kuwa mtu akila kiasi kile kile cha chakula chenye wanga na muda ule ule kila siku anakuwa na nafasi kubwa sana ya kudhibiti kiwango chake cha sukari katika mwili ni muhimu kuhakikisha kuwa mgonjwa haruki mlo wo wote kwani kufanya hivyo kutasababisha badiliko kubwa la kiwango cha sukari katika damu yake kitu ambacho kinatakiwa kikwepwe kwa mgonjwa wa kisukari kuwa na ongezeko la glucose katika damu ambalo ni la kawaida kunasaidia kuweza kujua namna ya kuweka uwiano kati ya chakula dawa na mazaoezi ya mwili na hivyo kudhibiti kiwango cha sukari katika mwili wa mgonjwa uwiano mzuri wa chakula chenye wanga protini na mafuta umeonekana kuwa wanga asilimia 4565 protini asilimia 1520 mafuta asilimia 2035 kuchanganya aina tofauti tofauti za nafaka matunda na mboga kumeonyesha kusaidia zaidi na mboga zinasidia kupunguza sukari mwilini kwa sababu ya nyuzinyuzi zake hilo pia ni sahihi kwa nafaka ambazo ni nzima zile ambazo hazikukobolewa mazoezi ya mwili kwa mgonjwa wa kisukari mazoezi ya mwili kwa mtu anayeishi na tatizo la kisukari ni muhimu kwa sababu zifuatazo yanasaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari katika mwili yanasaidia kupunguza uzito wa mwili yanasaidia kudhibiti blood pressure yanasaidia kuweka cholesterol kwenye kiwango kizuri pamaoja na faida hizi hapo juu mazoezi pia yanasaidia kupata usingizi mzuri na kupunguza msongo wa mawazo inashauriwa kufanya mazoezi angalau kwa siku tano katika wiki na mazoezi hayo yawe ya kawaida siyo ya nguvu ambayo yatafanywa kwa muda usiopungua nusu saa kila siku mazoezi ambayo unaweza kuyafanya ni pamoja na kutembea kwa mwendo wa haraka kuogelea kuendesha baiskeli kwenye sehemu ya tambalale au milima ya kadri kucheza muziki au hata kukata majani kwenye bustani kama hujafanya mazoezi kwa muda mrefu anza na mazoezi madogo na kuongeza viwango taratibu zingatia kuwa mazoezi yawe kama ya nusu saa kila siku na yafanywe angalau kwa siku tano katika wiki na siyo mazoezi ya saa mbili mara moja kwa wiki unaweza kujiunga na gymn sehemu ambayo utapata mtaalamu wa kutoa mazoezi kwa watu wenye matatizo mbalimbali kupata mtu wa kukusaidia na kukuelekeza katika mazoezi kutakupa ari ya kufanya mazoezi kwa umakini zaidi isitoshe gymn zina vifaa vya kisasa vya kukupa vipimo vya mazoezi yako na maendeleo yako katika ukurasa mwingine tutaona tiba ya kisukari kwa kutumia insulin tafadhali usisite kuuliza maswali au kutoa maoni yako kuhusu mada yetu ya leo tatafurahi sana kuona kuwa tumekujibu vizuri na kwa wakati
2018-04-21T00:26:35
http://topantiagingproducts.sagalawebs.com/tiba-za-kisukari-chakula-na-mazoezi-kwa-mgonjwa-wa-kisukari/
wawili mbaroni kwa wizi wa miundombinu ya tanesco yenye thamani ya milioni 61 | mishe mishe media » wawili mbaroni kwa wizi wa miundombinu ya tanesco yenye thamani ya milioni 61 wawili mbaroni kwa wizi wa miundombinu ya tanesco yenye thamani ya milioni 61 a+ wawili wa manispaa ya kinondoni wanashikiliwa na polisi wakituhumiwa kukutwa na miundombinu ya shirika la umeme tanzania (tanesco) yenye thamani ya sh milioni 61 walikutwa na miundombinu ya shirika hilo ikiwemo vifaa kwa ajili ya kuunganishia umeme dar es salaam jana kaimu kamanda wa polisi kanda maalumu ya dar es salaam lucas mkondya alisema watuhumiwa hao walikamatwa juzi saa 10 jioni katika maeneo tofauti ya manispaa hiyo katika tukio la kwanza maeneo ya makumbusho polisi wakishirikiana na kikosi kazi cha kuzuia uharibifu wa miundombinu ya tanesco walipata taarifa kutoka kwa raia wema kuhusu kuwepo kwa watu wanaohujumu miundombinu ya shirika hilo kikosi kazi walifika eneo hilo katika nyumba ya wilfred baruti (45) mkazi wa makumbusho na kufanya upekuzi katika nyumba hiyo na vilipatikana vifaa mbalimbali vinavyotumika kuunganisha umeme vya tanesco alisema mkondya alisema pia polisi walikwenda katika nyumba nyingine ya beatrice emmanuel (42) mkazi wa salasala mabanda mengi walikofanya upekuzi na kufanikiwa kukamata vifaa ambavyo ni nyaya aina ya drums mbili rola ya nyaya aina ya aicc ya umeme wa milimeta 50 ambazo hutumiwa na tanesco kituo cha kilimahewa cha kawe wilayani kinondoni alisema upelelezi ukikamilika watafikishwa mahakamanimkuu wa kitengo cha mawasiliano leila muhaji akizungumza na waandishi wa kuhusu wizi huo wa vifaa vya umeme vyenye thamani ya milioni 61kulia ni kaimu kamishna wa polisi kanda maalum ya dar es salaamlucas mkondya
2016-12-04T18:16:59
http://www.africanmishe.com/2016/10/wawili-mbaroni-kwa-wizi-wa-miundombinu.html
raha za pwani blog msanii wa muziki wa kizazi kipya h baba aendeleza mashambulizi kanda ya kaskazini msanii wa muziki wa kizazi kipya h baba aendeleza mashambulizi kanda ya kaskazini msanii wa muziki wa kizazi kipya h baba akiwapa raha ya burudani ya muziki wake wakazi wa tarakea rombo kwenye akiwa kwenye ziara ya promosheni mbalimbali za kampuni ya simu za mkononi ya tigo h baba akiwapa zawadi za t shirt watoto kabla nao hawajacheza pamoja nae akihamasisha mashabiki wake kucheza hapa sasa anaonyesha uwezo wake mbele ya mashabiki
2018-03-18T09:25:46
http://saidpowa.blogspot.com/2012/05/msanii-wa-muziki-wa-kizazi-kipya-h-baba.html
tunaandaa nyaraka za kusajili kampuni kwa tshs laki 1 (memorandum na articles of association) | jamiiforums | the home of great thinkers tunaandaa nyaraka za kusajili kampuni kwa tshs laki 1 (memorandum na articles of association) discussion in 'biashara uchumi na ujasiriamali' started by kulwa12 jan 21 2012 kulwa12 senior member wadau salamuu tunatoa huduma kwa wajasiliamali wanaotaka kufungua limited company/firm kwa kuwaandalia nyaraka mbili muhimu za usajili nazo ni the memorandum of the company na articles of association gharama ya huduma hii ni tsh laki mmoja (100000)ambayo pia itaambatana na ushauri wa kitaalamu (consultancy) kuhusu hatua zote za kusajili kampuni tunafanya kazi kwa njia ya mtandao kwa wale walioko nje ya mkoa wa morogorokwahiyo tunaweza kukuhudumia popote ulipo tanzania kwa wanaoitaji huduma hii tupe maitaji yako kwa email kulwa12@gmailcom nb tunaandaa nyaraka zote hizi kwa siku moja tu ya kazi na kwa ufanisi mkubwa wamoro member ahsante sana mdaunimehangaika sana juu ya hili sualanakutumia email soon kwa kutumia template moja right vp kuhusu usajili mtanisaidia kufuatilia kwa hiyohiyo laki unamaana nikitoa laki moja mtafanya kazi zote za uasjili mpaka kupata cheti cha usajili kutoka brela nahisi hizo docuements (memorundum and articles of association) mtakuwa mnacopy na ku paste tu vinginevyo hauwezi kuandika na kukamilisha kwa siku moja njaa hizi zitawauwa haki ya mungu narudia hiyo si kopi na pesti wakuu mngejaribu kuwapunguzia watu pressure kwa kufanya paperwork yote kumbuka kinachowasumbua watu sana si hizo memarts tu kwani watumiaji wengi wa jf (ambao umewatarget kwenye bandiko lako) wanaweza kuomba kwa wadau wa jamvi hii template za memarts na wakapata kisha wakazicustomize kuendana na mahitaji yao tatizo ni lawyering procedures za usajili na zaidi ya yote ufuatiliaji wa pale brela mpaka certificate zitoke tengeneza package moja kwa kufanya yote hata kama utapandisha bei until you do the needful ndio utapata wateja wa ukweli (msisahau kutoa guarantee ya pesa za watu location yenu na status yenu kama ni registered au la) watu hawapendi longolongo siku hizi kuu nazani hauko sahihi kusema kucopy na kupaste bila kujua uwezo wetu ukojeili ufanikiwe katika biashara unatakiwa utoe huduma bora na kuboresha kama lawyers wengine wanatumia miezi kuaanda haina maana kwama kila mtu anaitaji mieziinategemea idadi ya wataalamu na uzoefu piaahsante kwa mawazo yako huwezi ukafanya copy and pest wakati kila mteja namaitaji tofauti na kampuni hazifanani uduma zakeinategemea mteja nanataka firm ya kitu gani mnaanza utapeli kwenye jamvi la jf nashukuru sana mdau kwa mawazo yako na mchango wako makini na ndi manaa tuko hapa jamvinitutafanyia kazi suala lako na tutakuja na package mmoja yenye huduma zote kwa pamojaahsante sana mkuu sio utapeliwapo wengi wanaitaji na hawajui pa kuanziatusiwe watu wa mtazamo chanya katika kila kituau unaona fahari wakenya wanapoishia tanzania na kuanzisha firms na kubeba kazi zetu zote si tupo tunakalia kuitana matapelibadili mawazo ndio mwanzo wa maendeleo mkuu hii ni taaluma ya watu na wala sio njaana huduma kama huiitaji huwezi ukajua maana yakeahsante hatutumii template mmoja inakua customized kwa kadri ya maitaji ya mteja na standard format ya brela pia kulwa12 said ↑ nbtunaandaa nyaraka zote hizi kwa siku mmoja tu ya kazi na kwa ufanisi mkubwa not all people go for cheap services specific example is application form for joining secondary school if two schools are selling application forms first school for tshs 5000 and the second school attshs 10000 most parents will go for school selling form at tshs 10000 why because the price of anything reflect quality my advice to you is that you should advertise what you can do and leave fees for case to case negotiation i am a selft practitioner too company formation is not not a matter of editing someone memarts and change name alone and proud yourself to be consultant it requires searching or name clearance with brela obtaining lawyers signature having memarts signed by subscribers presenting the same to brela following with brela until certificate of incorporation is out mtazamo hasi () sounds accurate there @ndachuwa kwani kitu kikiwa cheap inamaanisha low quality unajidanganya na kama una mawazo hayo kuna vitu vingine utakuwa unalanguliwa wafanyabiashara kwenye kuset price wanaangalia costs walizotumia wapo ambao huuza bei juu ila quality ndogo ili wapate super normal profit wapo ambao wametumia gharama kubwa hivyo bei zao lazima ziwe kubwa hata kama quality ni ile ile pia inawezekana mtoa mada ameset low price ikiwa ni mojawapo ya strategies za kupenetrate kwenye market mi imeshanikuta hii wakaniwekea memarts za ajabu kweli copy paste nachoelewa ni kuwa article zaweza kufanana lakini si memorandum na mnavyosema kwa siku moja bado ina shaka mnawezaje kujua object za kampuni husika au mteja anakuleta object zote na kama anakuletea zote kashindwa nini yeye kuandaa we mwanamke wewewallah ur gift talented
2018-01-19T20:00:14
https://www.jamiiforums.com/threads/tunaandaa-nyaraka-za-kusajili-kampuni-kwa-tshs-laki-1-memorandum-na-articles-of-association.214636/
yeye ndiye ukweli njia na uzima | kanisa la mwenyezi mungu 1 hakuna mtu mbali na yeye anayeweza kujua mawazo yetu yote au kufahamu asili yetu na kiini chetu kwa dhahiri na ukamilifu ama kuhukumu uasi na upotovu wa binadamu ama kusema nasi na kufanya kazi kati yetu kama hivi kwa niaba ya mungu aliye mbinguni hakuna mtu isipokuwa yeye ambaye amepewa mamlaka hekima na heshima ya mungu tabia ya mungu na kile mungu anacho na alicho yanatoka kwa ukamilifu wao ndani yake hakuna mtu mbali na yeye ambaye anaweza kutuonyesha njia na kutuletea mwangaza hakuna yeyote ila yeye anayeweza kutufichulia siri ambazo mungu hajatufunulia tangu uumbaji hadi leo hamna yeyote isipokuwa yeye ambaye anaweza kutuokoa kutokana na utumwa wa shetani na tabia yetu potovu 2 yeye humwakilisha mungu yeye huonyesha moyo wa ndani zaidi wa mungu ushawishi wa mungu na maneno ya hukumu ya mungu kwa wanadamu wote ameanzisha enzi mpya nyakati mpya na kuleta mbingu na nchi mpya na kazi mpya na ametuletea matumaini akimaliza maisha ambayo tuliishi katika hali isiyo dhahiri na kuwezesha nafsi yetu nzima kuona njia ya wokovu kwa udhahiri kamili ameshinda ubinadamu wetu wote na kupata mioyo yetu tangu wakati huo na kuendelea akili zetu zimepata ufahamu na nafsi zetu huonekana kufufuka huyu mwanadamu wa kawaida asiyekuwa na umuhimu ambaye huishi kati yetu na ambaye amekataliwa na sisi zamanije huyu si ni bwana yesu ambaye daima huwa kwa mawazo yetu tukiwa tumeamka au kuota na ambaye tunamtamani usiku na mchana ni yeye ni yeye kweli yeye ni mungu wetu yeye ndiye ukweli njia na uzima umetoholewa kutoka katika kutazama kuonekana kwa mungu katika hukumu na kuadibu kwake katika neno laonekana katika mwili iliyotangulia:mungu ameshuka miongoni mwa kundi la washindi inayofuata:jinsi ya kutafuta nyayo za mungu
2020-01-22T23:13:15
https://sw.godfootsteps.org/He-is-truth-way-life-lyrics.html
sababu za kupanda kwa bei ya nyaya tanzania | zotekali blog sababu za kupanda kwa bei ya nyaya tanzania gharama ya bidhaa za vyakula imezidi kupanda kadri siku zinavyozidi kusonga huku bei ya nyaya ikionekana kupanda zaidi wafanyabiashara w gharama ya bidhaa za vyakula imezidi kupanda kadri siku zinavyozidi kusonga huku bei ya nyaya ikionekana kupanda zaidi wafanyabiashara wa zao hilo katika masoko tofauti tofauti hapa dar es salaam wamesema kuwa wakati uliopita nyaya zilikuwa nyingi sana ila kwa sasa zimekuwa adimu miongoni mwa sababu hasa zilizofanya kupotea kwa zao hilo ni uwepo wa mvua nyingi zilizoathiri usafirishaji pamoja uzalishaji mwingi uliofanyika msimu uliopita hivyo watu wengi wakaambulia hasara sanduku moja ilikuwa ni tsh 30000 mpaka 28000 kilo moja tsh 1500 na nusu kilo tsh 800 ila kwa sasa bei ya sanduku moja ni tsh 75000 mpaka 60000 sadolini moja tsh 14000 kilo moja tsh 3000 na nusu kilo tsh 1500 wateja wa bidhaa hizi za vyakula wamesema kuwa siyo nyaya peke yake zilizopanda bei ila ni kwa vitu vingine pia ikiwemo maharage na unga wa mahindi mtaalamu wa uchumu dkt hosiana lunogelo amesema kuwa tatizo ni kushindwa kupishanisha uzalishaji wa mazao ya msimu hasa yale yanayoharibika kwa muda mfupi kama nyanya vinginevyo yanatakiwa yasindikwe na bado hatujawekeza vya kutosha katika usindikaji zotekali blog sababu za kupanda kwa bei ya nyaya tanzania https//4bpblogspotcom/tj9vd4nlmg8/wm146a8fg7i/aaaaaaaayiu/rt36zwj5u_csjzwuljsp8cxm3uof83wegclcb/s1600/image600x375jpg https//4bpblogspotcom/tj9vd4nlmg8/wm146a8fg7i/aaaaaaaayiu/rt36zwj5u_csjzwuljsp8cxm3uof83wegclcb/s72c/image600x375jpg http//wwwzotekalicom/2017/03/sababuzakupandakwabeiyanyayahtml
2017-11-19T19:43:36
http://www.zotekali.com/2017/03/sababu-za-kupanda-kwa-bei-ya-nyaya.html
khameneiir hotuba ya kiongozi muadhamu wa mapinduzi ya kiislamu alipoonana na wanafunzi wa vyuo vikuu hotuba ya kiongozi muadhamu wa mapinduzi ya kiislamu alipoonana na wanafunzi wa vyuo vikuu ifuatayo ni matini kamili ya hotuba ya ayatullah udhma sayyid ali khamenei kiongozi muadhamu wa mapinduzi ya kiislamu aliyoitoa tarehe 06/08/2012 mbele ya hadhara kubwa ya wanafunzi wa vyuo vikuu hapa nchini karibuni sana makaka madada na vijana azizi kwa hakika kikao hiki kilikuwa kizuri mno tab'ani baada ya kutangazwa kwamba muda wa wanachuo kutoa hotuba zao umefikia tamati walijitokeza kama watu kumi hivi ambao walinyanyua juu mikono yao wakiwa tayari kabisa kuzungumza nilivyotazama kwa haraka haraka nimeona takribani watu kumi hivi waliinuka vizuri kwanza kabisa mimi sio kiongozi na msimamizi wa kikao bali mimi ni mmoja wa washiriki wa kikao hiki kuna wahusika wanaosimamia na kuongoza kikao hiki kwa msingi huo hampaswi kuomba wakati kutoka kwangu pili ni kuwa kama mimi ningelikuwa ndiye ninayetoa wakati na muda wa watu kuzungumza basi bila ya shaka yoyote ningewapatia wakati watu wote wale kumi ili wazungumze yaani mimi nisingelitilia mkazo kwamba lazima nizungumze kwani sisitizo langu mimi hasa ni kufanyika kwa kikao hiki tab'an baada ya ndugu wale kumi kumaliza mazungumzo yao yamkini wangejitokeza watu wengine saba au nane ambao nao wangenyanyua juu mikono yao wakitaka kuzungumza hakuna tatizo lakini ninadhani kwamba makaka na madada wengi walioko hapa wanapenda hili lisiendeelee hivyo basi mimi naanza kuzungumza kile ambacho nimepanga kukizungumza leo mambo yaliyozungumzwa hapa kwa hakika yalikuwa mambo mazuri mno baadhi ya matamshi ya ndugu wanachuo hapa yaliingiliana yaani watu kadhaa walitilia mkazo nukta maalumu jambo ambalo linaonyesha upana wa nukta hizo au matilaba hayo baadhi ya mambo yalizungumwa na watu maalumu hapa na hakuna mtu mwingine aliyezungumzia mambo hayo ila watu hao na kwa hakika hili ni jambo zuri mno mimi nimeomba nipatiwe (kimaandishi ) yale yaliyozungumzwa hapa na ndugu hawa ambapo nimeshapatiwa inshallah nitataka yatizamwe na kuchunguzwa waheshimiwa maafisa na viongozi wa serikali wapo hapa bila ya shaka wameyasikia haya yaliyozungumzwa hapa ninawaomba wayape uzito na wayape umuhimu matamshi ya wanafunzi ni kweli kwamba kwa sasa anayezungumza ni mwanachuo lakini kile kilichosemwa kutokana na mtu kufahamu anga na mazingira ya kiuanachuo anafafahamu kwamba maneno haya si ya mtu mmoja hivyo kuna haja ya matamshi haya kuzingatiwa na kupewa umuhimu mkubwa fauka ya hayo katika mazungumzo haya ya wanachuo kuna nukta zenye faida ambazo ni ufunguo (wa mambo mengi sana) mimi nimenukuu baadhi ya nukta zilizozungumzwa hapa nimehisi kwamba kuna ulazima wa kutoa ufafanuzi wa mambo makubwa ya kisiasa kwa wanachuo hili ni jambo ambalo halina uhusiano na maafisa wa serikali na wakuu wa vyuo vikuu hili ni jambo ambalo linahusiana na jumuiya za wanachuo mimi ninaunga mkono fikra kwamba kuweko ulazima wa kutoa ufafanunuzi wa mambo makubwa ya kisiasa hakukinzani na kufungamana kikamilifu na misingi pamoja na kuchunga kwa umakini muelekeo wa kisiasa miongoni mwa mambo mengine yaliyozungumzwa hapa ni suala la kwenda maafisa na viongozi wa serikali katika vyuo vikuu kwa hakika hili ni jambo sahihi kabisa mimi ninaamini kwamba maafisa na viongozi wa serikali wanapaswa kutembelea mara kwa mara vyuo vikuu wakuu wa mihimili mikuu mitatu ya dola (serikali bunge na mahakama) maafisa wa daraja za kati mkuu wa shirika la utangazaji la sauti na televisheni la jamhuri ya kiislamu ya iran irib viongozi wa jeshi la ulinzi wa mapinduzi ya kiislamu sepah na vikosi vingine vya ulinzi wote hawa wanapaswa kwenda katika vyuo vikuu na kuwa na vikao na wanachuo na kusikiliza maneno ya wanachuo na mimi napenda kuwaleza hapa kwamba wao nao wana mengi ya kuwaambia wanachuo hakuna kitu ambacho kinaweza kuziba pengo na kuchukua nafasi ya mazungumzo hayo ya ana kwa ana na uso kwa uso hii ni kama ilivyokuwa ada ya kale ya masheikh wetu ambao walikuwa wakipanda juu ya mimbari na kuzungumza na watu ana kwa ana kwa hakika katika hili kuna taathira kubwa mno mambo mengi shubha na masuali ambayo leo yapo katika fikra za vijana na kizazi chetu kipya yatajibiwa iwapo maafisa na viongozi nchini watajenga tabia ya kutembelea mara kwa mara vyuo vikuu na kuzungumza uso kwa uso na wanachuo na bila ya shaka yoyote shubha na utata uliopo utaondoka mimi katika kile kipindi nilichokuwa na nguvu zaidi za mwili nilikuwa nikishiriki sana kwenye vikao vya vyuo vikuu na hivi sasa pia kwa hakika kila ninapoweza nikawa na fursa na wakati huwa ninapenda kushiriki mara kwa mara katika vikao vya vyuo vikuu isipokuwa kwa sasa ni kama anavyosema mwenyezi mungu mwenyezi mungu haikalifishi nafsi yoyote ila kwa kadiri ya iwezavyo kwa hivyo kwa umri wangu mimi na watu mfano wangu sidhani kama vijana watakuwa wanatumai kutuona tuna harakati sana lakini maafisa wa serikali wanaweza kufanya jambo hilo na kwa msingi huo wanapaswa kutenga wakati maalumu kwa ajili ya kutembelea vyuo vikuu ili kwa njia hiyo waweze kutoa majibu kwa maswali mbali mbali wanayokuwa nayo vijana wanachuo hapa nchini miongoni mwa mambo yaliyosemwa hapa pia ni kuhusiana na hatua zinazochukuliwa na mahakama kuhusu vyama mitandao ya intaneti na weblog mbali mbali za wanafunzi wa vyuo vikuu kwa hakika hivi karibuni mimi nilitaka nipatiwe ripoti ya jambo hili na alhamdulilahi nimepokea ripoti hiyo tab'an mahakama ina sababu zake katika kuchukua hatua hizo ambapo kama sababu hizo zitaelezwa wazi basi zitaondoa maswali na utata unaojitokeza hata hivyo mimi ninaamini kwamba si sahihi kuchukua hatua kali dhidi ya kijana wa chuo kikuu anayeonesha radiamali kali kuhusu jambo fulani bila ya shaka kuna tofauti baina ya mtu anayepinga mfumo (wa jamhuri ya kiislamu) ambaye ana lengo la kufanya uadui dhidi ya jamhuri ya kiislamu na mtu ambaye yeye hapana yeye hapingani na mfumo lakini anabainisha jambo fulani kwa hisia kali hata kama wakati mwingine mambo anayoyabainisha si kweli au aina ya ubainishaji wake si mzuri au ikawa mtu fulani kwa mfano haupendi utaratibu wake huo wa kubainisha mambo inshallah kama kutakuwa na wakati nitabainisha mambo na nukta zinazohusiana na hili lakini pamoja na hayo kuamiliana na vijana hawa hakupaswi kuwa kwa ukali jambo jingine lililokuwemo katika mazungumzo ya wanachuo hapa ni suala la kuyapa kipaumbele maeneo ya vijijini na kutazama mambo kwa uhakika wake yaani fikira ya uchumi uliosimama juu ya misingi ya uadilifu mimi nimezingatia nukta moja katika mambo yaliyosemwa na wanachuo hapa kuhusu suala hili na kwa hakika nukta hii kwangu mimi na nyinyi pia imekuwa ibra na funzo kubwa kijana huyu mpendwa aliyekuja hapa na kuzungumzia suala la uchumi uliosimama juu ya misingi ya uadilifu amesema mambo mazuri hapa na alipotambulishwa hapa ilielezwa kwamba anatoka katika majimui ya vijana wanaosafiri na kwenda maeneo ya mbali kwa ajili ya kufanya kazi za kujitolea naam jambo hili liko wazi sasa wakati mtu anapokuwa katika kikundi cha vijana wanaosafiri na kwenda maeneo ya mbali vijijini kwa ajili ya kufanya kazi za kujitolea hujionea uhakika wa mambo kwa karibu na kwa macho yake mwenyewe tab'an fikra ya kufuatilia uchumi uliosimama juu ya misingi ya uadilifu huhuika namna hii katika uwepo wake kwa hakika hii ni darsa na funzo kwetu sote ni lazima kuwa na mawasiliano na matabaka mbali mbali ya jamii ili kuweza kudiriki mambo yao hili jambo ambalo huwa na taathira katika utoaji wetu wa maamuzi na katika mtazamo wetu kuhusiana na masuala mbali mbali ya nchi tab'an kwa uoni wangu ni kuwa mtazamo wa kiuchumi nchini iran unapaswa kusimama juu ya misingi ya uadilifu na kwamba jambo hilo halikinzani kivyovyote vile na sera za kiuchumi za iran zilizoainishwa kwenye kifungu cha 44 cha katiba ya jamhuri ya kiislamu endapo sera na siasa za kifungu cha 44 cha katiba ya jamhuri ya kiislamu zitatekelezwa kama tulivyosema kama tulivyotaka na kama tulivyobainisha na mimi nimewahi kulizungumzia hili wakati fulani kwa mapana na marefu basi bila ya shaka yoyote uchumi wa iran hautakumbwa na balaa la mfumo mbovu wa kibepari na wala mfumo huo wa kibepari hautaweza kuwa na nafasi katika maamuzi makuu ya nchi tab'an nikuambieni hapa kwamba kile ambacho kiko leo duniani ni mfumo wa kibepari ambao dhati yake ni kuwafanya mabepari wawanyonye na kuwakalia juu watu wengine kwa hakika asili ya kuwa na mtaji na kuwekeza kwa ajili ya maendeleo ya nchi si kitu kibaya ni kitu cha kusifiwa na kupongezwa na kwa namna yoyote ile jambo hilo si kitu kibaya na kisichopendeza kile ambacho ni kibaya na kisichopendeza ni kuufanya mfumo wa ubepari kuwa mhimili wa maamuzi yote muhimu na makubwa ya nchi na ya kijamii na dhati ya mfumo huo ya kutaka kuvutia kila kitu upande wake ndio maana nchi inayofuata mfumo wa kibepari lazima hukumbwa na balaa kama lile lililoikumba hivi sasa kambi ya mfumo wa kibepari yaani nchi za magharibi na kila mtu leo hii anayaona matokeo yake mabaya matatizo na mashinikizo yanayoongezeka kila leo kwa wananchi na katika uchumi wa nchi za magharibi na ulaya hivi sasa yanatokana na dhati ya mfumo wenyenye wa kibepari yaani mfumo wa kuwafanya mabepari wawanyonye na kuwakalia juu watu wengine kila siku na kwa hakika huu ndio ule mfumo unaochukiza na usiopendeza lakini kama mambo yatafanyika kinyume chake yaani kama watu ambao wana mitaji watachukua mitaji yao na kuwekeza kwa ajili ya ustawi wa jamii na tab'an kwa kuzingatia pia kwamba muwekezaji naye apate faida yake ya halali basi jambo hilo ni zuri lina faida na hakuna tatizo hata kidogo katika hilo kama mambo hayo yatazingatiwa kama kazi itafanyika namna hii na katika fremu hii yaani kama utakuweko mtazamo wa misingi ya uadilifu wa kiislamu na kuelekea katika maana hii basi hakuna tatizo lolote kwa hivyo basi maneno haya ya utajiri na mwenye utajiri si mabaya hata kidogo tujitajidi kuhakikisha kuwa mitazamo ya kisoshalisti na kimaksi haitawali katika fikra zetu za kiuchumi wao wana mitazamo yao mingine mfumo wa kisoshalisti unapinga kikamilifu suala la watu kuwa na mitaji na kuwekeza (yaani mfumo wa watu kuwa matajiri bali mfumo huo unataka watu wote wawe katika daraja sawa katika umiliki wa vitu) lakini katika mfumo wa kiislamu hali ya mambo haiko hivi uislamu haupingi watu kuwa na mitaji na utajiri bali linalopingwa ni kutumiwa vibaya mitaji na utajiri inawezekana kuweka mipango mizuri na usimamizi bora na hivyo utajiri ukaelekezwa na kuongozwa katika njia sahihi ***kwa msingi huo basi kile ambacho sisi tumekizungumzia katika sera za kifungu cha 44 cha katiba ya jamhuri ya kiislamu katu havikinzani na uchumi ambao una misingi ya uadilifu bali kimsingi ni kuwa kuna maana ya ukamilishaji katika uwanja wa masuala ya kiuchumi kumezungumziwa suala la uchumi wa kimashambulizi hakuna tatizo mimi sikufiria hilo kama kwa hakika kuna ubainishaji wa kichuo kikuu na kiakademia kuhusiana na uchumi wa kimashambulizi kama alivyosema mzungumzaji kwamba hilo ni kamlisho la uchumi wa kimuqawama kuna tatizo gani hilo nalo tulizungumzie kile ambacho mimi kilinipitikia ni uchumi wa kimapambano na kimuqawama tab'an uchumi wa kimuqawama hauna upande wa kukataa tu hii haina maana kwamba uchumi wa kimuqawama ni kujizungushia mzingiro na hivyo kufanya tu kazi za kuzuia hapana maana ya uchumi wa kimuqawama si kuchukuliwa hatua za kujihami na kuvunja vikwazo zinazozunguka papo kwa papo bali uchumi wa kimuqawama ni uchumi ambao kwa taifa huweza kuimarika na kustawi hata katika mazingira ya vikwazo na mashinikizo hii ni fikra na ni takwa la watu wote nyinyi ni wanachuo nyinyi ni wahadhiri nyinyi ni wanauchumi ni vyema mno mkabainisha fikra hii ya uchumi wa kimuqawama kwa lugha ya kichuo kikuu ainisheni mipaka yake yaani ule uchumi ambao katika mazingira ya mashinikizo katika mazingira ya vikwazo katika mazingira ya (kuandamwa na) uadui na uhasama mkubwa wenyewe unaweza kuwa ni dhamana ya ustawi na uchanuaji wa nchi fulani mmoja wa wanachuo azizi hapa amesema tunaambiwa tusisaidie kujaza fumbo la jedwali la maadui halafu amehoji akiuliza sasa hatima ya ukosoaji itakuwaje ina maana tusikosoe tena mimi sina mtazamo kabisa wa watu kuzuiwa kukosoa bali msimamo wangu ni kinyume kabisa kwani katika nukuu zangu hapa nilizoziandika inshallah kama muda utaruhusu nitalibainisha hili siku zote nimekuwa nikisisitiza kuwa jumuiya za wanafunzi wa vyuo vikuu zihifadhi wakati wote sifa yao ya kukosoa kila pale mambo yanapokwenda kombo katu mimi siungi mkono kwamba nyinyi msikosoe je tufanye nini ili ukosoaji huu usiwe ni katika kumsaidia adui lifikirieni vizuri suala hilo sio tuseme kwamba kumsaidia adui ni jambo hasi hivyo linakinzana na jambo chanya ambalo ni kukosoa hapana bali nyinyi wenyewe mumesema mimi nimekosoa na ukosoaji wangu ukanukuliwa katika kila kona ya dunia lakini hakuna mtu katika dunia ambaye atajitokeza na kudai kwamba fulani anachukua hatua ambayo iko dhidi ya mfumo wa kiislamu au dhidi ya kikundi cha uongozi na utekelezaji mambo ya nchi naam huo ndio ukweli wa mambo na nyinyi pia fanyeni ukosoaji wa namna hii kwa msingi wa maneno hayo ni kuwa ukosoaji wenu huo inabidi uwe kwa namna ambayo hautafanikisha malengo ya adui au kwa maneno tuliyosema sisi yaani isiwe ni kumsaidia adui na kujaza fumbo la jedwali imeelezwa kwamba kuna baadhi ya watu wanatoa nadharia za kitaalamu ambazo zinakinzana na nadharia ya kiongozi muadhamu hivyo hujitokeza watu na kusema huku ni kukinzana na utawala wa fakihi (wilayatul faqih) kwa hakika kuweko mtazamo wowote ule wa kiutaalamu usiokubaliana na mtazamo wa kiongozi muadhamu hakuna maana kuwa ni kupinga utawala wa fakihi kazi yoyote ya kiutaalamu iliyofanyika kwa uzingatiaji wa hali ya juu wa kielimu inapoibuka na natija fulani mtazamo wa mtu huyo huwa ni wenye kuheshimiwa na si sahihi kusema kuwa huko ni kuupinga mfumo wa jamhuri ya kiislamu je kuna kuliweka wazi jambo hili zaidi ya huku tab'an kuna wakati inatokea kwamba binafsi ninakuwa na nadharia ya kitaalamu katika uga fulani ni jambo lisilo na shaka kuwa sisi pia katika uga fulani tuna utaalamu yamkini nadharia hii ya kitaalamu ikawa ni tofauti na nadharia nyingine ya kitaalamu naam hakuna tatizo lolote hapo kwani inapokuwa hivyo huwa kuna nadharia mbili za kitaalamu watu ambao wanataka kuchagua waje na kuchagua nadharia wanayoipenda katika upande wa masuala ya kiutamaduni katika uwanja wa masuala ya kielimu katika sekta makhsusi sisi pia kwa namna fulani tuna utaalamu tumefanyia kazi kwa kiwango fulani nyuga hizo hivyo hii huwa ni nadharia ya kitaalamu ala kulli haal haipaswi hata siku moja kuhesabiwa kwamba nadharia ya kitaalamu na kielimu ni upinzani mapambano kupingana na kutangaza kujitenga na mfumo wa utawala wa fakihi na fakihi mtawala hilo halipaswi kuruhusiwa kuweko naam kikawaida katika mikutano yetu na wanachuo nasi hupata fursa pia ya kuzungumzia baadhi ya mambo je huku ni kuwa na matarajio makubwa hili ni swali kama mtu atakuja na kukusanya majimui ya hotuba zangu nilizozitoa wakati ninapozungumza na wanachuo iwe ni katika miezi ya ramadhani (ambapo kila ramadhani hukutana na wananchuo) iwe ni katika vyuo vikuu vya mikoani au katika vyuo vikuu vya hapa tehran bila shaka atapata faharasa ndefu ya matakwa ya mimi mja dhaifu kwa wanachuo wapendwa yamkini akaja mtu na kusema bwana wee haya ni matarajio makubwa sana kwa hakika mimi siamini kama kufanya hivi ni kuwa na matarajio makubwa kwa nini uzingatiaji wa watu wengi katika vyuo vikuu unapinga na kuondoa dhana hii ya kuwa na matarajio makubwa endapo nyinyi mtamtaka kijana mwanamichezo mwenye nishati na nguvu anyanyue mzigo mzito kutoka hapa na kuupeleka sehemu nyingine kwa hakika hilo litakuwa si jambo la matarajio makubwa lakini endapo takwa hilo mtataka lifanywe na mtu ambaye ni mkondefu mzee na dhaifu kufanya hivyo kutakuwa ni sawa na kutarajia jambo kubwa kwa mtu dhaifu na huwa ni matarajio ambayo si ya mahala pake lakini wakati uwezo unapokuweko ni sawa tu litakeni hilo hakuna tatizo chuo kikuu ni sehemu ambayo imejaa nguvu na uwezo uwezo mkubwa unaoshuhudiwa katika mazingira ya wanachuo unatokana na sifa mbili kuu mosi ujana na uwezo wa wimbi kubwa la nguvu za vijana ambapo mimi ninaamini kwamba vijana walio wengi hawafahamu kiwango cha nguvu za ujana walizo nazo yaani mpaka sasa bado hawajagundua kwamba wana uwezo usio na mpaka na wa kipekee ambao uko katika mazingira ya ujana wao kwa hakika ujana ni chimbuko la chemchemu ya nguvu na nishati isiyokwisha pili ni suala lenyewe la elimu na kuzingatia uwezo unaotokana na kutafuta elimu na maarifa kwa hakika vyuo vikuu nchini vinaweza kutoa majibu ya matarajio yote kupitia nishati na kujiamini kulikopata nguvu kubwa baada ya ushindi wa mapinduzi ya kiislamu nchini iran kwa mantiki hiyo kila kile ambacho sisi tuna matarajio kutoka kwa wanachuo tukiwataka wafanye kazi ngumu na kuwapatia matarajio yetu tuliyonayo kuhusu wao kwa mtazamo wangu huko si kuwa na matarajio makubwa kuna kazi nyingi ambazo zinawezekana kufanywa kwa hakika sisi tuna harakati inayoambatana na nguvu isiyokwisha endapo nguvu hii itapatiwa uhuru na kuongozwa vizuri inaweza kuleta ufanisi mkubwa na kamili kwa ajili ya nchi naam moja ya vitu ambavyo sisi tunavitaraji kutoka kwa wananchi ni jambo hilo ambalo katika hali ya kawaida lipo katika chuo kikuu na katika mazingira ya kijana na mimi nimekuwa nikisisitiza kwamba hali hii ihuishwe na kutiwa nguvu katika vyuo vikuu sambamba na kuzingatiwa suala la kuwa na malengo maalumu tab'an mimi nilibainisha kwa kiwango fulani suala la malengo matukufu na kutazama mambo kwa uhakika wake wakati nilipokutana na maafisa na wafanyakazi wa mfumo wa kiislamu mwanzoni mwa mwezi huu hivyo basi baadhi ya hayo mumeshayasikia suala la kutazama mambo kwa uhalisia wake limehifadhiwa mahala pake na mimi nitaashiria jambo hilo baadaye lakini malengo maalumu yanapaswa kuweko katika siasa shabaha maalumu inapaswa iwepo katika elimu na malengo maalumu yanapaswa yawepo katika umaanawi na maadili mema malengo maalumu katika elimu maana yake ni kuweko harakati katika uga wa elimu ambayo lengo lake litakuwa ni kufikia katika kilele na natija ya hilo inapaswa kupatikana katika kusoma kwenu na kufanya hima kubwa katika masomo ninawaambia hapa kwamba leo hii kusoma kutafuta elimu kufanya utafiti na kuwa makini na kuyapa uzito wa hali ya juu masuala ya masomo ndiyo kazi ya msingi ya wanachuo na kwa hakika hii ni jihadi kwa wanachuo na inshallah kama kutakuwa na wasaa hili litabainika na kuwa wazi katika mwendelezo wa mazungumzo yangu katika uga wa maadili na umaanawi vile vile kuna haja ya kuweko malengo makuu kutokana na kuwa mazingira ya chuo kikuu ni mazingira ya vijana kuna ulazima wa mazingira hayo kutakaswa na kuwa masafi baadhi ya watu wanadhani kwamba chuo kikuu maana yake ni mazingira ambayo ndani yake hakuna ulazima wa suala la kufungamana na dini maadili na akhlaqi na kwamba si jambo linalotakiwa sana kwa hakika huu ni mtazamo mgando na ghalati kikamilifu na unahusiana na wakati wa kuanzishwa mfumo wa vyuo vikuu nchini iran yaani makumi ya miaka kabla ya ushindi wa mapinduzi ya kiislamu katika kipindi hicho kuna watu ambao walileta chuo kikuu ambacho hakikuwa na asili na msingi wa dini umaanawi na akhlaqi (maadili) ni kweli wakati wa kuanzishwa mfumo wa vyuo vikuu nchini iran miongo kadhaa kabla ya ushindi wa mapinduzi ya kiislamu baadhi ya watu walifanya juhudi za kulea kizazi cha wasomi dhaifu waliojisalimisha kikamilifu kwa magharibi lakini si baada ya ushindi wa mapinduzi ya kiislamu hapa nchini iran leo hii mazingira ya kidini na kimaadili pamoja na usafi wa nafsi na umaanawi yanashuhudiwa katika vyuo vikuu vya iran na inatarajiwa kwamba vyombo husika vifanye kazi kwa namna ambayo kila anayeingia kwenye mazingira ya chuo kikuu azidi kushikamana na mafundisho wa dini na maadili bora yaani avutiwe na mazingira yanayotawala katika maeneo hayo hivyo ilikuwa imepangwa kwamba watu hawa wakiwa hapa nchini waweke mipango na ratiba ambapo katika kipindi cha utawala wa qajar walikuwa na udhibiti kwa namna fulani katika kipindi cha utawala wa kifalme wa kipahlavi wakawa na udhibiti na satwa hiyo hiyo ingawa kwa namna fulani satwa hiyo iliongezeka hivyo basi jukumu lilikuwa ni kuwaandaa wasomi na wanafikra ambao watakuwa na mitazamo na fikra za kimagharibi mhusika kwa mfano ni muirani kiasili lakini kifikra ni mfaransa muingereza na mmarekani matumaini na matarajio yake ni matumaini na matarajio ya kimarekani hatua na amali yake pia ni ya kimarekani au kiingereza licha ya kuwa yeye kiasili ni muirani (ana uraia wa kiirani) na anaishi hapa nchini iran lakini kimtazamo na kifikra awe na fikra za kimagharibi kwa hakika baadhi walifanya njama za kulea kizazi cha wasomi dhaifu waliojisalimisha kikamilifu kwa magharibi lakini si baada ya ushindi wa mapinduzi ya kiislamu nchini iran leo hii mazingira ya kidini na kimaadili pamoja na usafi wa nafsi na umaanawi ni mambo ambayo yanashuhudiwa katika vyuo vikuu vya iran na inatarajiwa kwamba vyombo husika vifanye kazi kwa namna ambayo kila anayeingia kwenye mazingira ya chuo kikuu azidi kushikamana na mafundisho wa dini na maadili bora kwa hakika mimi sitilii shaka na alama ya suali (mfumo jumla wa) chuo kikuu uwepo wa wahadhiri waumini na watakasifu katika kipindi cha utawala wa kitaghuti kwa namna yoyote ile sitilii alama ya suali vizuri kulikuweko na watu ambao sisi tulikuwa tukiwafahamu walikuwa watu wazuri na watakasifu sana watu kama hao walikuweko baina ya wahadhiri na vile vile baina ya wanachuo walikuweko watu wa aina hiyo ingawa kwa wanachuo kwa kiwango kidogo zaidi ikilinganishwa na wahadhiri lakini kiujumla lengo la chuo kikuu lilikuwa namna hii hivyo basi wahadhiri hao walikuwa katika duara maalumu na hawakuwa na uwezo wa kuwa na taathira na kwa muktadha huo harakati ya chuo kikuu ilikuwa harakati ghalati na isiyo sahihi watu ambao mtazamo wao ni ule wa mazingira ya kipindi kile wanadhani kwamba kwenda chuo kikuu kunakwenda sambamba na suala la kutofungamana na maadili akhlaqi hijabu usafi na utakasifu wa kidini na kimaadili kwa hakika hili ni jambo ambalo halina ukweli kabisa mtazamo huu sio sahihi hata kidogo chuo kikuu ni kitovu cha umaanawi kwani elimu ni jambo la kimaanawi elimu iwe elimu yoyote ile ina thamani ya kimaanawi na thamani ya kiroho mazingira ya chuo kikuu ni mazingira ya ujana na mazingira ya kiumini katika nchi hii watu wetu ambao wameshikamana sana na dini wapo baina ya vijana wetu watu wetu ambao ni wenye kujitolea mno pia nao wapo baina ya vijana hivyo basi kuna sababu gani mazingira ya vijana ambao ni watu wa elimu yawe ni mazingira yasiyo ya kidini hapana mazingira hayo (mazingira yanayotawala katika vyuo vikuu) ni ya kidini mimi ninataraji kwamba mtu anayeingia katika chuo kikuu kama itakuwa kwamba mfungamano wake na masuala ya dini ulikuwa dhaifu kabla ya kuingi katika chuo kikuu basi mara baada ya kuingia katika mazingira yake mfungamno wake na utekelezaji wake wa masuala ya kidini utaimarika na kuongezeka zaidi kwa hivyo basi malengo maalumu katika umaanawi na maadili ni jambo lenye itibari kama ilivyo suala la malengo maalumu katika siasa elimu na katika mambo yote ya maisha vizuri katika suala la malengo maalumu kuna nukta moja mbili hivi ambazo ninataka kuzizungumzia tusikosee kuhusiana na suala la kuwa na fikra na malengo maalumu na suala la ugomvi na ushari haya ni mambo mawili tofauti kabisa kuwa na fikra na malengo maalumu hakuna maana ya kufanya uchokozi na ushari bali inawezekana kama kufanikisha malengo maalumu na wakati huo huo mtu kushikamana vilivyo na kwa njia bora na mambo yake ya thamani na misingi yake mitukufu mwenyezi mungu mtukufu anasema katika kitabu cha qur'ani wana nguvu mbele ya makafiri na wanahurumiana wao kwa wao ( fat'hi 4829) lafudhi ya kiarabu ya ashiddau ni wingi wa neno la kiarabu la shadidi yaani ngumu na yenye nguvu na isiyopenyeka kila mwili ambao ambao ni imara na una nguvu na mgumu unapokutana na mwili mwingine huacha athari lakini mwili ule mgumu wenyewe hauachiwi athari sote tuwe namna hii yaani tuwe ni wenye nguvu na wagumu na imara na madhubuti hata hivyo kuwa na nguvu na madhubuti hakuna maana ya kuwa mtu mgomvi kuna wakati mtu anashindwa kudhibiti (kuzuia) hisia zake na wakati huo anataka kufanya jambo fulani kuna haja ya kudhibiti hisia na kujiepusha na kuchukua maamuzi ya pupa na chini ya hisia kali kipindi hiki ni zama zenu za hisia kipindi cha ujana sisi pia tulikuwa vijana wenye hisia kali hivyo tunafahamu kipindi hiki ni kipindi cha aina gani hivyo kuna mahala hisia kali zipo la msingi ni kudhibitiwa na kuzuiwa hisia hizo tab'an mimi ninashukuru sana jumuiya hizi za wanafunzi mwaka jana mimi au mwaka juzi nilisema katika kikao kama hiki nikiwahutubu wanafunzi ya kwamba kwa nini hamuonyeshi msimamo katika masuala ya kijamii na hamuingii katika uwanja huu kwa bahati nzuri katika kipindi hiki cha miaka miwili mitatu hivi ninaona wazi kuna misimamo ya wanachuo katika masuala mbali mbali katika mazingira ya wanachuo na vijana wanachuo vizuri hili ni jambo zuri sana hili ni jambo ambalo mimi ninalipongeza na kulitolea shukurani isipokuwa kuna wakati kwa mfano jaalieni kwamba kunajitokeza suala la gaza linajitokeza kundi la wanafunzi fulani na kusema kwamba kumetokea hili na hili na kwamba wazayuni makhabithi wanafanya unyama dhidi ya watoto wa kipalestina kwa kuwadondoshea mabomu hivyo twendeni tukawape somo wanaondoka na kwenda uwanja wa ndege vizuri kwa hakika hisia hizi ni hisia takatifu na za usafi wa nafsi mfano wa watu kama mimi ambao tumekaa kando na tunalitazama hili kwa hakika mtu anatamani kufidia roho yake kwa ajili ya hisia kama hizi kwa hakika hili ni jambo lenye thamani kubwa hii kwamba imam (imam khomeini radhiallahu anhu) amesema kwamba ninabusu mikono ya mabasiji mahala pake ni hapa wakati mtu anapoona kwamba kijana fulani yuko nyumbani kwao na wakati wa msimu wa joto ana kiyoyozi na jokofu na wakati wa msimu wa baridi ndani kwao kuna mashine na suhula za kutia joto nyumba anakwenda chuo kikuu anasoma na ana mafanikio mara ghafla kunajitokea suala la gaza na kumfikisha katika hatua ya mlipuko na hivyo hujitokeza na kusema ninataka kwenda gaza (na yuko tayari kuacha raha zote anazopata nyumbani kwao) hisia kama hii kwa hakika ni hisia ambayo ina thamani mno lakini kwenda ni kufanya makosa hisia ni nzuri lakini hisia hii haipaswi kutufanya sisi tufunge safari na kuondoka kuelekea gaza kwenda gaza katika kipindi kile lilikuwa ni jambo ambalo haliwezekani na wala halikuwa jambo linaloruhusiwa na hata kama lingekuwa linawezekana isingeruhusiwa vizuri hapa kunajitokeza hali ya mkinzano baina ya malengo maalumu na uhakika wa mambo pamoja na amri ambayo ilinukuliwa kwamba ni kutoka kwa kiongozi muadhamu katika fikra za kijana huyu ambayo ilikuwa inawakataza wanafunzi wasiende gaza hapana kwa hakika hakuna mkinzano wowote ule hisia zile zilikuwa hisia nzuri tu hivyo basi ushiriki wa vyama vya wanachuo katika kipindi cha miaka ya hivi karibuni kwenye masuala tofauti ya kijamii na kisiasa ni hatua nzuri na inayostahiki kupongezwa lakini pamoja na hayo kuna baadhi ya maamuzi na hatua zilizochukuliwa na wanafunzi ambazo hazikuwa sahihi kwani inabidi kuweko na maamuzi yanayotokana na uchunguzi wa kina na wa umakini wa hali ya juu na si hisia na hamasa kuchukua maamuzi katika hali ya hisia wakati mwingine hupelekea uamuzi huo kutokuwa sahihi inabidi kutambua pia kuwa hakuna migongano wala ukinzani wowote baina ya wajibu wa wanachuo wa kutekeleza majukumu yao ya kufanikisha malengo matukufu na wakati huo huo kuzingatia maslahi ya nchi kupitia kutekeleza na kuheshimu sheria yaani inawezekana mtu akawa kijana mwenye hamasa na hisia kubwa zinazojenga na wakati huo huo akafanya mambo yake bila ya kugongana na masuala ya kuendesha nchi na maslahi ya taifa hivyo haipaswi kusemwa katu kwamba bwana ee kuna mkinzano na mgongano daima baina ya uhakika na maslahi hapana kwani uhakika wenyewe ni moja ya maslahi na maslahi yenyewe ni moja ya uhakika endapo kutazama maslahi kutakuwa sahihi ni lazima kuchunga maslahi kwa nini haipaswi kuchungwa maslahi ni lazima kuona maslahi jaalieni kwamba kwa upande wa msimamo wa mfumo tunapinga harakati fulani na kambi fulani kwa mfano ya kitaghuti na majimui ya udikteta na uimla hatuko pamoja nao na wala hatusaidii katika hilo mwenyezi mungu anasema katika kitabu kitakatifu cha qur'ani kwamba hakika nyinyi mna mfano mzuri kwenu kwa ibrahim na wale walio kuwa pamoja naye walipowaambia watu wao hakika sisi tumejitenga nanyi na hayo mnayoyaabudu badala ya mwenyezi mungu tunakukataeni na umekwisha dhihiri uadui na chuki baina yetu na nyinyi mpaka mtakapo muamini mwenyezi mungu peke yake (almumtahinah 6004) ni jambo lililo wazi kwamba misimamo yetu kuhusiana na baadhi ya mirengo ya kisiasa ambayo leo iko duniani au katika eneo (mashariki ya kati) iko wazi hata hivyo pamoja na kuwa misimamo ya iran kuhusu mifumo hiyo iko wazi kikamilifu lakini si sahihi kufuata hisia na hamasa katika jambo hilo na kusahau udiplomasia unaojulikana (uliozoeleka) ulimwenguni na ulioenea hivi sasa duniani yaani kazi ya kidiplomasia inapaswa kufanyika isipokuwa muelekeo uwe ni huu kama ambavyo maadui zetu wao wanafanya hivi maadui zetu wanafanya mambo katika uadui wao lakini wakati huo huo wanafanya pia ada (zilizozoeleka) za udiplomasia tab'an sisi hatuhadaiki katika ada na miamala hiyo ya kidiplomasia tunafahamu vyema kwamba nyuma yake kuna nini kwa msingi huo basi inabidi kutilia maanani maana na ukubwa wa suala hilo zima la kuwa na malengo makuu matukufu na wakati huo huo kuchukua maamuzi na hatua mbali mbali kwa kujiepusha na misimamo mikali kwa kuzingatia uhalisia wa mambo na maslahi ya taifa inabidi kuzingatia wakati wote kwamba kuwa na malengo makuu matukufu maana yake ni kushikamana na misingi na matukufu ya taifa sambamba na kuuathiri vizuri upande wa pili na mtu kutokubali kuharibiwa na wala kuathiriwa vibaya na upande huo nukta nyingine ni ushiriki wa kivitendo na kifikra wa wanafunzi katika masuala mbali mbali ya nchi ambapo hili ni jambo la lazima ushiriki wa kifikra ni jambo la lazima kushiriki kifikra kupitia kazi za kiutamaduni kwenye vyombo vya habari vya wanachuo na kutoa mitazamo na fikra na mawazo mazuri ni jambo linalowezekana kama ambavyo inawezekana pia kufanyika mikusanyiko ya wanachuo iliyosimama juu ya misingi sahihi sambamba na kushiriki kivitendo katika harakati mbali mbali na kutumia fursa hiyo kutoa nadharia zenu kwa vyombo husika vilivyoko chini ya wizara kama ni watu wa uchumi toeni nadharia zenu kwa vyombo husika katika uga wa masuala ya kiuchumi kama nyinyi ni watu wa masuala ya kiutamaduni basi andikeni barua toeni nadharia mapendekezo na maoni yenu na mueleze mtazamo wenu na vile vile mahudhurio na ushiriki wa kivitendo nalo ni jambo la lazima kuna wakati inakuwa ni lazima mshiriki katika mijumuiko na mikutanio ya wanachuo kwa hakika kwa namna yoyote ile mimi sipingi na kukataa bali ninaunga mkono kwamba inafaa kuweko baadhi ya mikusanyiko ya wanafunzi ambayo itajadili masuala mbali mbali kwa mfano suala la bahrain na kadhalika tab'an ninapinga kuchukuliwa misimamo mikali katika mikusanyiko hiyo na ninapinga kuchukuliwa au kufanywa mambo ambayo hayajapimwa vizuri katika mikusanyiko hiyo kwa hakika kuchukua maamuzi chini ya hisia kali za hamasa katika mikusanyiko kama hiyo kuna madhara mabaya kwani yamkini kukafanyika makosa ya watu kadhaa na ghafla moja hilo likaungwa mkono na wanachuo wengine chini ya hamasa mimi siafikiani na hili sasa tiba ya hili ni nini nini kinapaswa kufanyika mimi binafsi ninadhani kwamba ili kuepusha kuchukuliwa hatua na maamuzi ya namna hiyo kuna haja ya vyama vya wanachuo kuwa ni chombo kimoja cha kuchukua maamuzi na hatua mbali mbali na kuhakikisha kwamba chombo hicho kinachukua maamuzi mamoja katika masuala tofauti kupitia mashauriano na uangalifu wa hali ya juu iwapo hilo litatendeka basi kutaondoka uwezekano wa wanachuo kuchukua maamuzi na hatua zinazotokana na hisia kali na hamasa zisizo na umakini ndani yake kwa maana kwamba kufanya hivyo kutapelekea maamuzi yanayochukuliwa kuwa ni ya kimantiki na yaliyopimwa vyema jaalieni kwamba katika kadhia fulani ambapo nimetoa mifano kadhaa hapa katika kadhia fulani itakuwa bora wanafunzi wafanye nini kundi la wanachuo hao ambao lina kipawa likae chini na kutafakari kisha baadaye maamuzi yachukuliwe kwa sura ya pamoja yaani katika fremu ya mjumuiko wa kundi la wanachuo ieleweke na kubainishwa wazi kwamba endapo mtu atakiuka hilo na kuchupa mipaka kitakachotokea litakuwa jambo ambalo si katika maamuzi ya wanachuo na harakati ya wafunzi wa chuo kikuu vizuri mimi hapa nimenukuu kwamba hakuna migongano wala ukinzani wowote baina ya wajibu wa wanachuo wa kutekeleza majukumu yao ya kufanikisha malengo matukufu na wakati huo huo kuzingatia maslahi ya nchi kupitia kutekeleza na kuheshimu sheria yaani inawezekana mtu akawa kijana mwenye hamasa na hisia kubwa zinazojenga na wakati huo huo akafanya mambo yake bila ya kugongana na masuala ya kuendesha nchi na maslahi ya taifa kwa msingi huo kwa mtazamo wangu matarajio (waliyonayo watu) kwa wanachuo sio matarajio makubwa kupita kiasi bali inawezekana kuwa na matarajio kama haya kutoka kwa wanafunzi na wanachuo vizuri katika suala la maadili (akhlaqi) ninapenda kusema nukta hii pia nilitaka kulisema na kulibainisha hili baadaye lakini kwa kuwa nahofia muda yamkini ukatubana nimeamua kulisema sasa hivi na kulitanguliza kwani ni miongoni mwa mambo ya kimsingi na muhimu kabisa yaani kusema mambo bila ya kuwa na ujuzi wa kitu hicho kusengenya na kutuhumu ninakuombeni nyinyi vijana azizi mlizingatie na kulipa umuhimu jambo hili kama ambavyo katika nyuga mbali mbali mnalipa uzito wa hali ya juu suala la utakasifu katika amali mnaipa umuhimu ibada ya sala na saumu basi ninakuombeni mlipe uzito wa hali ya juu pia hili suala la kujiepusha na kusengenya kutuhumu watu na kusema mambo ambayo hamna elimu nayo endapo sisi tutamnasibisha mtu na kitu ambacho hajakifanya au hanacho hii huwa ni tuhuma ya wazi kabisa endapo tutasema kitu ambacho hatuna elimu na ujuzi nacho kwa mfano tetesi fulani mtu fulani amesema jambo fulani naye amenukuu tu kutoka kwa mtu na kisha sisi kuja na kulikariri jambo hilo tena kwa hakika kufanya hivi ni kusaidia kueneza uvumi na tetesi na kusema kitu pasina ya kuwa na elimu nacho kwa hakika kusema kitu bila ya kuwa na elimu nacho lenyewe jambo hilo lina mushikili mwenyezi mungu anasema wala usiyafuate usiyo na ujuzi nayo (al israai 1736) neno la taqif lililotumika katika aya hii maana yake ni kwamba usifuate kitu ambacho huna elimu au ujuzi nacho kufuata kulikokusudiwa hapa ni katika uwanja wa amali na vile vile katika uga wa maneno mwenyezi mungu anaendelea katika aya hiyo kwa kusema hakika masikio na macho na moyo hivyo vyote vitasailiwa (al israai 1736) ushindani katika cheo na madaraka tab'an kuna kipindi fulani vyama na taasisi zinazopigania malengo makuu matukufu za wanachuo zilikuwa zimetengwa lakini hivi sasa hali si hiyo tena na inawezekana kukajitokeza suala la nyadhifa na uongozi kwa ajili ya baadhi ya majimui na wanachama wa taasisi hizo hivyo nyinyi vijana mnapaswa kuwa macho na kuchukua tahadhari kubwa ili msije mkatumbukia kwenye mtego wa kujiweka mbali na malengo yenu matukufu moja kati ya maeneo ya kuteleza sisi wanadamu ni katika masuala haya ya ushindani wa cheo na madaraka ambapo wakati mwingine huwaangusha watu wenye nguvu na satwa tab'an mimi ninaamini kwamba vijana kama ambavyo wana nguvu kuliko wazee wana irada uwezo na udhibiti wa nafsi pia kuliko wazee endapo kijana atafanya hima na idili namna hii awe na shauku na msukumo na kisha atake kufanya kazi basi bila shaka kijana huyu atakuwa imara na madhubuti katika uga wa kimaanawi na kiroho na katika uwanja wa kupambana na nafsi kuliko hata watu wazee na wenye umri mkubwa kama sisi na hata kiuwezo bila shaka uwezo wake utakuwa ni mkubwa zaidi kwa msingi huo basi nyinyi mnaweza sasa hapa nataka kusema machache kuhusiana na vita laini kwa hakika hapa kuna nukta kadhaa ambazo zimeziandika ingawa naona wakati wa adhana nao unakaribia na sitaki wakati (wakati wa sala) utupite kutokana na itikadi zenu nzuri ninaona wamo kati yenu maafisa wa vita laini na ni kwa sababu hiyo ndio maana nasisitiza kuwa liangalieni kwa umakini na kwa tahadhari kubwa lengo kuu la adui katika vita vyake laini yaani (lengo ni) kutaka kuwalazimisha wananchi na viongozi nchini mwetu wabadilishe misimamo na mahesabu yao kwa faida ya adui hii leo kwa bahati nzuri hatuna vita vya kijeshi na endapo itafikia wakati tukawa na vita vya kijeshi bila shaka watakaokuwa mstari wa mbele (kupigana na adui) ni vijana (wa taifa hili) hii leo kuna suala la vita laini sio leo bali vita hivi vimekuweko kwa muda wa miaka thelathini sasa katika vita laini kitu ambacho kinapaswa kuzingatiwa ni hiki kwamba katika vita laini na vita vya kisaikolojia ambapo vita vya kisaikolojia ni sehemu ya vita laini lengo la adui ni kubadilisha mahesabu ya upande wa pili vita laini sio kama vita vya kijeshi katika vita vya kijeshi lengo la adui ni hili kwa mfano ni kuja na kushambulia kambi za kijeshi za nchi husika na kuisambaratisha au kuzikalia kwa mabavu ardhi za nchi hiyo katika vita vya kiuchumi lengo la adui ni kusambaratisha na kutokomeza miundo mbinu ya kiuchumi katika vita laini lengo sio mambo haya mambo haya baadhi ya wakati ni wenzo tu (wa maadui) kwa ajili ya lile lengo la vita laini katika vita laini lengo ni kile kitu ambacho kiko katika mioyo yenu katika fikra zenu na katika akili (bongo) zenu yaani irada yenu (ndiyo yenye kulengwa na adui katika vita laini) adui anataka irada yenu ibadilike tab'an haya sio maneno ya siri mwanzoni (maadui) hawakuwa wakiyasema (wazi) haya lakini (hivi sasa) ni muda sasa ambapo maaduyi zetu wanayasema haya na kuyatamka bayana na kinagaubaga maadui wanasema wazi kuwa lazima wafanye mambo yao kwa namna ambayo itawafanya wairani kubadilisha misimamo na mahesabu yao yaani wawafanye wairani wafike mahala wahisi kuwa si kwa faida yao kuendelea kusimama kidete na imara mbele ya waistikbari na mabeberu wa dunia hivyo maafisa wa vita laini nchini wanapaswa kulitambua vizuri lengo hilo la adui na kupambana nalo kwa njia sahihi na inayofaa moja ya njia za kupambana kwa njia sahihi na lengo hilo la adui ni kuongeza kiwango cha welewa na mwamko na kwa hakika hii ni nukta muhimu sana kwa hakika sisi tumechagua mahesabu na njia fulani mapinduzi ya kiislamu yamekuja na kuleta mabadiliko makubwa na ya kimsingi katika nchi hii yakabadilisha mfumo wa kifalme na kuufanya kuwa utawala wa wananchi yaani utawala ambao ndani yake wananchi wana sauti yakabadilisha utawala tegemezi uliokuwako na kuleta utawala unaojitegemea yakabadilisha (yaani mapinduzi ya kiislamu) hali ya kubaki nyuma (kimaendeleo) na kuleta ustawi na maendeleo kama ambavyo mnaona mapinduzi haya yakabadilisha ile hali ya kudhalilika na kuleta hali ya kujiamini na kujihsi kuwa na izza na utukufu haya ni mambo na kazi ambazo zimefanywa na mapinduzi vizuri maadui zetu yaani vile vyombo vyenye nguvu vya kimaada ambavyo kabla ya kupata ushindi mapinduzi ya kiislamu hapa nchini vilikuwa na satwa na udhibiti katika uchumi katika siasa za nchi utamaduni wa taifa hili pamoja na vyanzo vya utajiri wa nchi na vilikuwa na sauti na udhibiti hata katika maamuzi ya viongozi wa nchi hii sasa vimekasirishwa mno na hali ya hivi sasa inayotawala hapa nchini vinataka kubadilisha hali hii adui huyu kwa sasa afanye nini kwa hakika yeye amebakiwa na njia moja tu ambayo ni kuwafanya viongozi na wananchi wa taifa hili wafikie mahala na kuhisi kwamba kuendeleza njia hii sio kwa maslahi wala manufaa yao kwa hakika adui anataka kuyatia kwa nguvu mambo haya katika fikra zenu anataka mimi na nyinyi tufikie natija hii kwamba sio maslahi kusimama mkabala na marekani sio kwa manufaa yetu kusimama kwa ajili ya kukabiliana na ubeberu kwa hakika (sisi tunasema kwamba) kuna haja ya kusimama kidete na kupambana sambamba na kudumisha muqawama dhidi ya mabeberu kuna haja pia ya kuacha kusema baadhi ya mambo kuna kipindi kulikuweko baadhi ya watu ambao walikuwa wakisema bwana wee achaneni na kadhia ya israel achaneni na kadhia ya palestina achaneni na kadhia ya uadilifu katika kiwango cha dunia na acheni kuyaunga mkono mataifa yenye kupigania uadilifu achaneni na haya yanakuhusuni nini nyinyi jizingatieni nyinyi wenyewe na mambo yanayokuhusuni kwa hakika hii ndio ile hali ya kubadilisha mahesabu ukweli wa mambo ni kuwa adui analitaka hili mkabala na hili kuna haja kwa maafisa wa vita laini kusimama kidete na kufanya muqawama muqawama na kusimama kidete huku kufanyike vipi kwanza kabisa ongezeni maarifa yenu ndugu zanguni wapendwa msiongeze kiwango chenu cha maarifa kwa kutegemea mitandao ya intaneti weblog magazeti mitandao ya kisiasa na vitu kama hivyo kwa hakika kiwango chenu cha maarifa sio mambo haya kwa hakika mimi nimesladhi na kuburudika na maneno yaliyozungumzwa hapa leo maneno yaliyosemwa hapa ni maneno mazuri yanayoonyesha ukomavu kwa hakika hili ni jambo linalofurahisha mno mimi ninataka kusema kwamba fanyeni hima katika uwanja huu kadiri mnavyoweza ongezeni kiwango chenu cha maarifa na jitahidi kadiri mnavyoweza kushikamana na mafundisho ya qur'ani tukufu na maandishi ya wanafikra kama vile shahid (ayatullah) mutahhari na shakhsia wengine wakubwa na muhimu katika masuala ya dini na vifanyeni vitu hivyo kuwa chanzo kikuu cha kuongeza welewa na kiwango chenu cha maarifa alhamdulilahi hii leo watu kama hao wanapatikana leo katika vyuo vikuu vya kidini (hawza) fanyeni juhudi na muwafahamu hii leo mafudhalaa vijana wapo katika chuo kikuu cha kidini (hawza) ambao wanaweza kusaidia majimui ya vijana katika vyuo vikuu kama ambavyo kuna kazi nzuri ambazo zimekuwa zikifanyika kiwango cha maarifa na ufahamu wa dini kiongezeke hizi ni miongoni mwa kazi ambazo bila shaka ni lazima zifanyike kwa uoni na mtazamo wangu ile kazi ambayo ni muhimu kufanyika ni mutwalaa wa kiislamu usimamiaji na kuzingatia masuala na hali ya nchi kutazama mambo kwa kutaka ufafanuzi na kisha kutafuta ukweli sanjari na kukosoa niliwahi kusema huko nyuma kwamba hakuna tatizo katika ukosoaji hakuna tatizo kutazama mambo kwa mtazamo wa ukosoaji isipokuwa la muhimu ni kufanya ukosoaji ambao ni sahihi na wa mahala pake yaani usifanyike ukosoaji ambao si wa kiadilifu na ambao hauzingatii ukweli na uhakika wa mambo kwa hakika kuongeza muda wa kutwalii na kusoma athari za kiislamu kuyaangalia kwa tabasuri na mtazamo mpana masuala ya nchi kukosowa kiinsafu na kusimamia mambo bila ya kuchoka tena kiuadilifu ni miongoni mwa majukumu makuu ya wanachuo na vyama na taasisi za wanafunzi wa vyuo vikuu nchini iran wakati mwingine tunashuhudia ukosoaji usio wa kiinsafu sasa nyinyi kwa namna fulani mna msimamo mkali na ni vijana na bila shaka mtu hana matarajio sana lakini kwa wale ambao ni watu wazima na wenye mvi kuna wakati mtu anaona kwamba wanafanya mambo ambayo si ya kiinsafu katika kubainisha mambo na wamekuwa wakizingatia katika kuzungumza juu ya huyu na yule tafadhalini kuweni makini na mjichunge kusije kukatokea hali ya kutokuweko insafu kwa msingi huo ukosoaji wa kuendelea usimamizi mtawalia wenye uwiano na hali ya nchi pamoja na uongozi ni miongoni mwa kazi ambazo ni lazima kufanywa tab'an hayo yanapaswa kufanyika yakiambatana na akili na umakini bila ya kufurutu ada lakini wakati huo huo kuweko na mtazamo wa ukosoaji mambo kwa uoni na mtazamo wangu ni kuwa hizi nazo ni kazi ambazo ni za lazima kufanywa kuweko mawasiliano baina ya vikundi na jumuiya za wanachuo na ulimwenguni wa kiislamu nazo ni kazi ambazo ni za lazima kufanywa ambapo mmoja wa ndugu aliyezungumza hapa amelizungumzia hilo nami naliunga mkono hili kikamilifu hii leo katika ulimwengu wa kiislamu kupitia mwamko wa kiislamu majimui na jumuiya za wanachuo sasa ni jumuiya na vikundi vya aina yamkini vyote vikawa sio vya aina moja ni majimui amilifu huko nyuma pia majimui hiyo ilikuwa amilifu baadhi yake vimekuwa na nafasi muhimu na ya kuzingatiwa katika harakati hii hali ya mambo nchini iran inaongeza matumaini nyoyoni mwa watu hivyo jitahidini kadiri mnavyoweza kuhakikisha kuwa mwanga huu unaong'ara wa matumaini unazidi kupata nguvu na kung'aa zaidi ndani ya nafsi zenu na ndani ya nyoyo za wananchi vyombo mbali mbali vya sekta tofauti vinapaswa kukusaidieni katika uga huu tab'an sisi pia tutaagiza hilo lifanyike mmoja wa ndugu hapa amesema kwamba imepita miezi mitano tangu kuundwa baraza kuu la mawasiliano ya mawasiliano ya mtandao lakini hadi sasa baraza hilo halijafanya kazi yoyote kwa hakika mimi napenda kusema kwamba kadhia hii sio kitu cha miezi minne au mitano kadhia hii ni jambo la miaka kadhaa kazi hii ambayo sisi tumeanza kuifanya matarajio yangu pia mimi ni kwamba tuone natija yake baada ya miaka minne au mitano inshallah sasa hii kwamba ninyi mnatarajia kwamba baada ya miezi mitano au sita mtu aone masuala ya intaneti na mawasiliano ya mtandao wa kompyuta yamefanyiwa mabadiliko na kujitokeza kanali ya intaneti ya taifa na kadhalika hapana hili ni jambo ambalo haliwezi kuwa na natija kwa kipindi kifupi namna hii vyovyote itakavyokuwa ni lazima kutumia suhula hizi hizi ambazo zipo ndugu zanguni wapendwa msingi mkubwa wa kazi hii ni matumaini mimi ninapenda kuwaambia kwamba miongoni mwa kazi ngumu zinazofanywa dhidi yangu na yenu ni kuua hali ya matumaini katika moyo na ujudi wetu hivyo fanyeni hima na kuhakikisha kwamba mnahuisha hali ya matumaini katika ujudi wenu inawezekana kupata ustawi maendeleo na kusonga mbele kwa kuwa na matumaini fanyeni kadiri mnavyoweza ili kuwasha mwenge wa matumaini katika nyoyo zenu na katika nyoyo za mnaozungumza nao tab'an yawe ni matumaini ya mahala pake na sio matumaini yasiyo ya mahala pake yaani matumaini ambayo yanatufanya sisi kuelekea katika uhakika wa kweli ewe mwenyezi mungu kwa haki ya muhammad na aali za muhammad kwa mapenzi huba na rehma zako tunakuomba uwape hidaya na uongofu wanachui na ushushe hidaya katika mkusanyiko huu na kwa taifa zima la iran ewe mwenyezi mungu kile ambacho tumekisema na tumekisikia kifanye kiwe kwa ajili yako na ukiweke katika njia yako na uwape baraka yafanye maisha yetu yawe ni maisha ambayo yanaridhiwa na walii asr imam wa zama (roho zetu ziwe fidia kwake)
2018-01-21T22:35:09
http://swahili.khamenei.ir/index.php?option=com_content&task=view&id=1270&Itemid=62
chelsea fc (the blues) | special thread jamiiforums chelsea fc (the blues) | special thread first prev 3163 of 3191 1984 2000 founded 10 march 1905 website chelseafccom ground stamford bridge (capacity 41663) pitch 103m x 67m chelsea trophies league tittles 6 premier league champions 5 (2016/17 2014/15 2009/10 2005/06 2004/05) first division championship 1 (1954/55) uefa champions league 1 (2011/12) uefa europa league 2 (2012/13 2018/19) uefa super cup 1 (1998) uefa cup winners' 2 (1997/98 19970/71) fa cup trophies 8 (2018 2012 2010 2009 2007 2000 1997 1970) league cup 5 (2014/15 2006/07 2004/05 1997/98 1964/65) fa community shield 2 (2009 2005) fa charity cup 2 (2000 1955) second division championship 2 (1988/89 1983/84) full members cup 2 (1989/90 1985/86) chelsea football club celebrate as they crowned the emirate fa cup winners(2018) chelsea football club celebrate as they crowned europa league champions (2018/19) chelsea fc premier league fixture for 2019/20 reactions kung fu panda john rasul troublemaker and 114 others #63241 ulikuwa sahihi king ngwaba jana de gea karudi golini na kaweka cleansheet huwezi mfananisha de gea na magarasha de gea is the best chichariton top 3 ya wapi kepa lini kani prove wrong usimfananishe kepa na leno mikono buku hivi mara ya mwisho kupata cleansheet kepa ni lini kepa ndio kipa ambaye hata chelsea ikicheza na gwambina ya pasta athanas ina uhakika wa kuondoka na goli view attachment 1202790 11752 2000 #63243 will jr said de gea had 69 in worst ever season for united kepa actually had 68 last season and faced less shots #63244 kepa anazungumzwa sana kwa sababu katika umri wake amefanya makubwa huwezi kukuta watu wakijadili takataka kama leno kwa sababu they aren't spectacular reactions cash money forever and southern highland 2718 2000 #63245 kumbe unabishana ndio maana hunaga hoja chelsea ni timu ndogo ndio maana sasa inarejea ilipotoka chelsea hata kimafanikio humkuti astonvilla nakupa homework katafute most succesfull teams in the world chelsea haipo hata 20 bora arsenal ilisharejea siku nyingi hongera reactions cash money forever #63246 huyu huwa anavuta kwanza ndio anakuja kuchafua kambi mwacheni hivyo alivyo #63247 hili katu hawatalisemea kuwa lilitokea kepa alipogaiwa kagemu kamoja walianza kelele kuwa ameshampokonya namba de gea lakini mwenye timu aliporudi mjengoni wameufyata wote wanasubiri siku nyengine kepa agaiwe tena kijigemu wanze kubwabwaja kabla kepa hakupewa goli degea alifululiza kutobolewa na mojawapo kubwa ni pale spain walipofungwa 32 na england pamoja na croatia mnaongea kama vile wazee wa 140yo waliopoteza network poleni sana #63248 leno ni level ya alisson na king ngwaba hili analiafiki kabisa #63249 statistically leno hayuko hata kwenye 10 bora ya 2018/19 hata kwenye zile blogu za porojo hayupo hata etheridge wa cardiff city iliyoshuka daraja kamshinda leno kwa cleansheet 10 leno akiwa ana 6 tu shame on you aroon epl goalkeepers with most clean sheets 2018/19 allison liverpool 21 kepa chelsea 14 pickford everton 14 lloris tottenham 12 dubrawka newcastle united 11 etheridge cardiff city 10 schmeichel leicester city 10 de gea manchester united 7 foster watford 7 reactions kyatile cash money forever and southern highland #63250 nawahakikishia kwa asilimia 101 kepa hatomueka bench de gea kugaiwa game ya juzi aanze haimaanishi kuwa ndiyo kipa namba moja hata pepe reina kuna game alikuwa akigaiwa aanze mbele ya casilas then de gea wewe huwa ni nani na claims zisizo na ushahidi moreno mwenyewe kasema kwa sasa hana no 1 makipa wote watacheza kulingana na mechi sio degea wala kepa japokuwa kepa kadaka mechi nne mfuluylizo wakati wewe uansema kagemu kamoja hizi comments zako ndizo zinazokufanya usomeke ulivyo i don't have a starting goalkeeper he told a media conference it may or may not change i keep the same message all three are of the top level and i really want them to make my decision difficult the three have trained at a very high level i will not say if one is my preferred goalkeeper or not 12430 2000 lembu said basi tukubaliane kuuwachia muda uongee 5489 2000 #63252 akijibu kwa hoja hii point naomba nitag #63253 huyo leno mikono buku msimu uliopita alikua wapi hata top ten asiwepo hebu shirikisha bongo zako usipende kucomment kishabiki ndugu #63254 wajionaje hali ukiziona picha hizi #63255 hivi leno huwa anadakia nchi gani vile maana taarifa zake hazipo kabisa unpopular gk #63256 ni swala la muda tu neur atamuachia milingot mitatu kwan hujui germany ndio kisiwa cha kuzalisha best gk in ze world #63257 top 10 ya nini eleweka kwanzakama cleansheet hata kaseja anazo #63258 cleansheet haziamui ubora wa goli kipa goalkeeper pekee mwenye ballon d'or levy yashin aliwahi kusema mwaka 1966 a good enough goalkeeper is measured through his task which is only goalkeeping fifa hawajaangalia kigezo cha clean sheets as a priority bali wameangalia total saves pamoja na save percentage () kwa ujumla ambazo ndio moja ya task kubwa kwenye goalkeeping wengi wa mashabiki wa chelsea wanaamini kwamba jan oblak na de gea kuwekwa bora au juu ya kepa wamependelewa kwa kuwa hawakushinda kombe lolote last season tofauti na kepa kitu ambacho si kigezo cha fifa kilichotumika kuwapata kama mnayo kumbukumbu nilishawahi kusema kepa sio golikipa bali tumeuziwa muanzisha mashambulizi #63259 casper schmeichel(leicester) vicente guaita(crystal palace) na jordan pickford(everton) kwa pamoja wameruhusu magoli 6 tu ndani ya mechi 3 jumla ya thamani yao ni €49 millions kepa ameruhusu magoli 9 ndani ya mechi 4 na ikumbukwe tuliuziwa kwa thamani ya €80 millions hii ni habari njema kwa wanaobeti wana uhakika kila mechi lazima kepa ataruhusu goli 15(2) + kweli wajinga ndio tuliwao #63260 leo cleansheet ndo unaziona si muhimu umeshikwa pabaya ndo ujue hasara ya kununua magolikipa wa mafungu threads 1336600 posts 32544869
2019-09-23T15:30:55
https://www.jamiiforums.com/threads/chelsea-fc-the-blues-special-thread.20023/page-3163
vyeti vilinifanya nikawa inferior | jamiiforums | the home of great thinkers vyeti vilinifanya nikawa inferior discussion in 'jukwaa la elimu (education forum)' started by lastname apr 18 2012 nilidhani kuwa na vyeti ndio mwanzo mwisho kumbe dunia ilinigeuza vibaya niliogopa hata kuitwa dr (phd holder) katika some instances kwa sababu nili attract attentions za watu na kubadili matarajio yao toka kwangu lakini sikuwa na uwezo wa kuonyesha naweza niliongea vitu ambavyo kila mtu anajua sikuwa na jipya naogopa ninapokuwa na vijana ambao ni bachelor holder ambao wapo proactive kuliko mimi naogopa kungea english kwa sababu ni mbaya sana haivutii ukiisikiliza pia naogopa kuongea kiswahili kwa sababu watu wengi wapo competent kwenye kiswahili hivyo maswali yanakuwa mengi ya kiuhalisia siwezi jibu ‘wishes of my friend” akamalizia hivi ningejua ningekazana na jambo moja niweze kudeliver kuliko kukimbilia vyeti mshaurini wa jf mh mh haujaeleka mkuu ashauriwe nin sasa rafiki yangu kwa kifupi alijaza vyeti na titlle sasa anaviogopa kwa sababu hayuko competent kikazi nina ndugu yangu amesona uingereza yuko hapa tz na vyeti kibao lakini hakuna kitu kabisa anaweza kudeliver nimeona hata ofisini kwangu watu wana mivyeti inatisha lakini/ balaa tupu nina ndugu yangu amesona uingereza yuko hapa tz na vyeti kibao lakini hakuna kitu kabisa anaweza kudeliver nimeona hata ofisini kwangu watu wana mivyeti inatisha lakini/ balaa tupuclick to expand wafanye nini sasa mimi nilimwambia chagua ukipendacho kufa nacho mpaka uwe comppetent aisee umetutisha mkuu mshaurini wa jfclick to expand mwana jf kwanza pole sana kwa fikra hizi ambazo tulikaririshwa na waliotutangulia ukweli ni kwamba watu tulio wengi huwa tunajua kuwa na vyeti vingi vilivyonakishiwa na maneno kama meritexcellent first class ni basi au tukiwa na prefix zinazotangulia majina au vyeo vyetu kama dr ms imetosha maisha hayako hivyokwenye jamii unayotakiwa kuishi kinachokutambulisha wewe ni uwajibikaji bora na uelewa mzuri wa mambo kitu ambacho hakuna anayepewa phd au ms kwa kuwa navyo hivi unatakiwa uwe navyo wewe mwenyewe kama mtu elimu ya shule inakupa uwezo tu kupambanua mambo bali elimu ya uelew unaipata kwa bidii zako binafsi mathalan kwa kupenda kusikiliza wengine wanapoongea kusoma vitabu magazeti na hata kupenda kuandika mfano mzuri kuna mtu anaweza kusema kwanini niingie jf lakini akawa amesahu kuwa hata kuweza kujiregister tu na mod akakujibu amefuta ujinga fulani akilini mwake au pia akasahau kuwa kujadili hoja humu kunahitaji uwe na facts na uwe unayeweza kupangilia mawazo yako mara nyingine kupenda kukaa na watu wana jadili mambo tofauti tofauti yenye mantiki kunaongeza uelewa na unapochangia mada zao unajipa ujasiri nafsini mwako pia kuna kitu ambacho kimejengeka miongooni mwa wasomi wengi nacho ni kuwa na hofu na usomi wao ukitaka kuamni kuwa usomi wako ni kitu kizuri basi utumie katika kujadili mada zilizoko ndani ya elimu yako na siri moja nikupe siku zote tafuta reference ya vitu unavyovijua ambavyo utaweza kuvitetea kamwe usilogwe kuongelea kitu ambacho huna reference yake nzuri ukifanya hivyo itakupunguzia nafasi yako ya kuitetea point yako na mwisho ukajiona kama hujui mambo iwapo mada inayoongelewa siyo ndani ya uwanja wako wa kujidai basi hapo wewe penda kuuliza maswali zaid na kusikiliza na hakikisha kuwa kila swali unaloliuliza linajenga kitu katika ufaham wakokamwe usidharau hata kama anayeongea anaonekana kama vile siyo muelewa sana lakini ata kuongezea ufahamu kwenye fikra zako tabia ya kusoma nayo ni nzuri sana soma as much as possible as you can ukiona unaboreka sana tafuta mada kwenye jamvi zisome kwa makini kisha changia kwa kufuata lead(sijui kama unanielewa vizuri) ila kama hutanielewa sema nikueleweshe zaidi sikiliza na angalia tv kwa ajili ya kujipa exposure hapa utajifunza namna ya kuongea mbele za watu na jinsi unavyotakiwa kuongea watu wengi huwa hawajui kutofautisha namna ya kuongea na watu tofauti mathalani unavyoongea na marafiki ni tofauti na classmate au na mtu anayetaka kujua jambo fulani na pia ni tofauti na unavyoongea na bosi wako au mteja au hata kiongozi wako sasa yakupasa uue kundi unaloongea nalo kwa wakati huo ni lipi na unaongea nalo kitu gani haya ukiyajua utajua uongee vipi kwa mahadhi gani kuhusu lugha huo ni ugonjwa but one thing which i trust in shaping grammer is reading read as much as possible as you can read not only academic materials but also novels journals andmagazines anad news papers while reading try to practice it do not hesitate and while doing it accept corrections a single correction from a knowledgable person will prevent you from hundred mistakes do not feel that you are humiliated when others are correcting you kama wewe ni mwaji wa kahawa au chai ya jioni basi nenda kapate katika mgahawa ambao utakutana na watu wanaojadili mada zitakazo kujenga kiakili na uwapo hapo wewe uwe msikilizaji na muuliza maswali zaid kuliko kuwa masemaji usiogope unapokosea hata kidogo kwani katika maisha mimi huwa ninaiambia nafsi yangu kwamba kila siku mimi huwa nina kosea sana au huwa nina tenda makosa mengi lakin pia kila siku huwa najifunza jambo jipya na huwa kila ninachojifunza kinanikuza kiakili changamoto ni lazima katika maisha usiziogope ila fungua akili yako na kuanza kutafuta maarifa ya uhalisia zaid kuliko yale ya kinadharia uliyoyapata ulipokuwepo shule usione kama ulikosea kusoma lahasha ila tu ulisoma kinadharia zaid kuliko kivitendo jambo ambalo hukuweza kuelewa mambo ya mtaani yakoje nafikiri ulipokuwa shule hukujua kuwa huku mtaani unaweza ukawa unakaa na watu ambao hata shule hawajaenda lakin wana heshima kuliko wewe na elimu yako usione kama ulikosea kusoma lahasha ila tu ulisoma kinadharia zaid kuliko kivitendo jambo ambalo hukuweza kuelewa mambo ya mtaani yakoje nafikiri ulipokuwa shule hukujua kuwa huku mtaani unaweza ukawa unakaa na watu ambao hata shule hawajaenda lakin wana heshima kuliko wewe na elimu yakoclick to expand ushauri umeenda shule thanks de javu i 2 thnk i'm facing the problem to some extent being a holder of best academic achievement in nurseryprimary education n receiving best student in 2 out of 3 subjects in my advanced education + best overall performance n more i fell i can't deliver what the society xpects from me 0 people likes ahsante mdadasomo limetugusa wengimungu akubariki mhh kaka sijui dada umeongea sana bwana na nikweli tupu ahsante mdadasomo limetugusa wengimungu akubarikiclick to expand amen na wewe pia mpendwa namshukuru mungu amenipa muda wa kujinoa kabla ya kuingia kwenye mapambanohii hali nilianza kuiona kibaha wakati huo kama pcb dent i hope during summer will be able to share something with u friends umemaliza kila kitu sokorodar asijali sana ni title tu kama dr kikwete gfsonwin thanx alot true words from a true great thinker gfsonwin thanx alot true words from a true great thinkerclick to expand
2017-04-28T04:37:21
https://www.jamiiforums.com/threads/vyeti-vilinifanya-nikawa-inferior.252486/
rostam bashe watangaza vita na jk wamuita naye fisadi | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'jukwaa la siasa' started by tina apr 13 2011 katika kile kinachoonekana kuwa sasa wanatangaza vita gazeti la mtanzania linalomilikiwa na rostam aziz na kusimamiwa na hussein bashe limemchimba jk kwa kuandika leo kwamba kikwete naye fisadi wakinukuu list of shame iliyotolewa na chadema mwembe yanga huku wakinukuu tuhuma zotte ambazo zilielekezwa kwa jk na huku wakijifanya kuwarushia mpira nape na chiligati kuwa walisema mafisadi wote ccm wajiuzulu akiwamo jk jk mukama chiligati na nape walizungumza wakirejea vikao vya ccm na si list of shame na kama walitambua hilo wangesema mapema si baada ya kufukuzwa katika vikao vya ccm list of shame ya chadema haijajadiliwa bali walijadili richmond dowans kagoda na rada na waliwataja kwa majina lowassa rostam na chenge hii ni sawa na mwizi kukamatwa na kusema tuliiba na mwenzangu mbona hakamatwi maana yake anakiri kuwa ni mwizi acha wafu wazikane wenyewe siye macho yetu tuu chinua achebe things fall apart wewe subiri lowassa hataondoka na akiondolewa lazima aweke uozo wa jk on richmond hadharani nimependa pale mm mwanakijiji aliposema lowassa asijiuzuli kwani ccm hawana la kumfanya wametuibia kura zetu wakizani watakaa kwa amani zambi ya wizi itawatafuna mpaka kaburini vita ya panzi bado tutasikia mengi el ra na chenge hawatakubali kufa peke yao lazima wakibomoe ccm kwa vile ndoto za urais 2015 zimeyeyuka mbaya zaidi akina prof mwandosya dr mwakiyembe six wanatamba yielda scoffeea scoffeea scoffee kazi imeanza mkuu imenikumbusha mbali list of shame remains kilichobakia ni kuitanua nape hakumung'unya maneno wala chiligati wali refer list ya mwembeyanga sasa kosa liko wapi hilo ndilo suala la msingi kabisawamelikoroga tuwaachie walinywe wenyewe ila huu ndo wakati muafaka wa wale wanaotamani kuona nchi yetu inatoka mikononi mwa watu wachafu kuchukua hatua mara moja ccm sasa ni sawa na timu iliyosambaratika na hapa ndipo pa kuifunga magoli ya chap chap na kujichukulia ushindi wa cheee kwempa member chinua achebe no longer at easea skey muda si mrefu mwakyembe atafungua pandora box ili tujue yale mambo yaliyoachwa wakati wa sakata la richmond ili kutoiumbua serikali umeoooonaaaa eeeh mpwa hiyo aituhusu wafa maji hawa sasa we dada ulitaka wazingatie mafisadi waliotajwa kwenye vikao vya ccm ili iweje vikao vya ccm vipi viliwahi kuweka hadharani majina ya mafisadi ccm inataka kujisafisha mbele ya wananchi kutokana na uchafu iliyochafuka pale mwembeyanga ambapo na kikwete alikuwa sehemu ya uchafu huo so hakuna njia ya mkato mnataka kutakasika then anzeni na hilo kubwa kabisa daima mfa maji haishi kutapatapa hivyo nao wanatafuta nani wa kufa nao hiyo list of shame si walishawahi kuikana na kutishia kwenda mahakamaniwalifanya mikutano mingi na waandishi wa habari leo wankiileta tena ina maana wanakubali hizo shutuma dhidi yao ambayo awali waliikana namsikitikia kikwete na utawala wake kwa kuwa kwenye system ya utawala wake wafuasi wengi wa lowassa na rostam akiwatosa hakika mambo mengi hayatofanikiwa kwa kuwa watendaji wake wengi ni watu wa kulipa fadhila kwa hao tunaowaita mafisadi huu ni muda muafaka kwa wanamageuzi kujipanga na sio kushabikia yanayoendelea ndani ya ccm bali kutumia udhaifu huo kuwasha moto zaidi wananchi watazidi kuona pumba zipi na ngano ipi hawawezi kuwafukuza hata kwa dawahivi wakiwafukuza anategemea hela za campaign 2015 ccm watatoa wapi na jk anaogopa kuwa lowasa na rostam wakifutiwa uanachama dili lao ufisadi walioufanya ujulikana kuna jambo linakujasubira huvuta heriyetu macho na masikio tukumbe kuwa mla kuku wa mwenzake miguu humgeukia
2018-01-23T08:29:03
https://www.jamiiforums.com/threads/rostam-bashe-watangaza-vita-na-jk-wamuita-naye-fisadi.126324/
mkurugenzi misitu na nyuki tanzania aula ~ machellah blog ' if(imglength>=1) { imgtag = ' mkurugenzi misitu na nyuki tanzania aula posted by michael machellah on 1230 am mkurugenzi wa misitu na nyuki chini ya wizara ya maliasili na utalii dk felician kilahama (pichani kushoto) amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa shughuli za misitu duniani ambapo ataiwakilisha afrika kwa kutumia bendera ya tanzania chini ya mfuko wa chakula na kilimo akizungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam jana kilahama alisema katika kikao cha 21 kilichohudhuriwa na kamati ya shirika la chakula na kilimo duniani (fao) kilichofanyika nchini italia wiki iliyopita kulingana na kanuni za utaratibu wa kamati ikaamua kumchagua mwenyekiti kutoka miongoni mwa wanachama wake kilahama alisema anajisikia furaha sana kuchaguliwa katika idara hiyo na kwamba watanzania wanapaswa kutambua kuwa hawakufanya makosa kumchagua yeye kwani ana uhakika bendera ya tanzania itapepea vema watanzania inatakiwa mniombee kazi hii sio ndogo kikubwa ambacho tutakuwa tukikifanya ni kuleta maendeleo ya misitu pamoja na kujua tutapunguzaje gharama za matumizi ya nishati kama kuni na mkaa bila kukata miti na kupunguza misitu kitu ambacho kina athiri mazingira alisema kilahama alisema kwa kawaida anayetaka uongozi katika shirika hilo huwa anatuma barua ya maombi kwa uongozi husika kwa kushirikiana na uongozi wa nchi yake jina lake likipitishwa ndio atachaguliwa na wanakamati wa shirika hilo kiukweli ilikuwa kama miujiza aliyekuwa amechaguliwa alikuwa ni mnigeria alishindwa kutokana na sababu ambazo zipo nje ya uwezo wake na mnamibia alikosa viza ya kuingilia nchini italia hapo ndio nikachaguliwa mimi kwa asilimia zaidi ya 120 alisema aliongeza kuwa kazi hiyo ataifanya kwa muda wa miaka miwili na amewataka watanzania wamuombee katika shughuli hizo ambapo anaimani itakuwa ni faida ya nchi nzima kwa ujumla
2018-02-19T05:41:26
http://machellah.blogspot.com/2012/10/mkurugenzi-misitu-na-nyuki-tanzania-aula.html
mourinho amtumia fabregas kushawishi pedro dar24 mourinho amtumia fabregas kushawishi pedro mshambuliaji kutoka nchini hispania pedrito eliezer rodríguez ledesma huenda akaikacha klabu ya barcelona na kutimkia nchini uingereza kujiunga na klabu ya chelsea kwa mujibu wa vyanzo kadhaa vya habari vya nchini hispania pedro amedhamiria kuondoka nchini hispania kutokana na kukabiliwa na mazingira magumu wa kucheza katika kiksoi cha kwanza cha fc barcelona tangu utawala wa meneja luis enrique alipochukua mkondo wake mwaka 2014 mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 27 amekuwa na dhamira ya kucheza kila juma lakini kuboreshwa kwa kikosi cha fc barcelona kwa kusajiliwa kwa neymar pamoja na luis suarez imekuwa sababu kubwa kwake kusubiri katika benchi vyanzo hivyo vya habari vimeendelea kubainisha kwamba mabingwa wa soka nchini uingereza chelsea wanajiandaa kuwasilisha ofa ya euro milioni 30 ambazo ni sawa na paund milioni 216 ili kukamilisha mpango wa kumsajil pedro taarifa nyingine zinaeleza kwamba chelsea wamepata nguvu ya kumsajili pedro baada ya kuzikataa ofa zilizowasilsihwa huko camp nou kutoka kwenye klabu kadhaa barani ulaya kama arsenal psg pamoja na liverpool hata hivyo inaelezwa kwamba kiungo kutoka nchini hispania cesc fabregas amekua mshawishi mzuri kwa pedro ili akubali kujiunga nae stamford bridge jose mourinho mara kadhaa amekuwa akiwasiliana na fabregas hatua ambayo inachukuliwa kama chagizo la kuongeza ushawishi wa kupatikana kwa mshambuliaji huyo pedro amekuzwa na kuendezwa na kituo cha fc barcelona cha la masia na hakuwahi kucheza klabu nyingine tangu alipoanza kucheza soka la wakubwa tagsfabregas mourinho pedro
2020-05-28T00:41:45
http://dar24.com/mourinho-amtumia-fabregas-kushawishi-pedro/
homemakala categories archives makala enyi wajinga fahamuni werevu nanyi wapumbavu mpate moyo wa kufahamu dulla plannet na diamond platnumz june 30 2017 makala comments enyi wajinga fahamuni werevu nanyi wapumbavu mpate moyo wa kufahamu dulla plannet na diamond platnumz ama kweli hakuna shule ya akili bali ufahamu wa kila mmoja kwa upana wake upotoshaji ni mkubwa mno juu ya dulla plannet read more hakuna sababu za msingi za kulalama juu ya ali kiba sehemu ya i june 29 2017 makala comments hakuna sababu za msingi za kulalama juu ya ali kiba sehemu ya i upepo wa lawama kutoka kwa mashabiki lakini hata wale ambao hujivika uchambuzi ilihali hawana hoja ya ujuzi juu ya ujuaji wa muziki namna unavyokwenda wameendelea kulalama juu ya ali ki read more bila umakini mabadiliko ya kimuziki yatampoteza roma mkatoliki june 28 2017 makala comments bila umakini mabadiliko ya kimuziki yatampoteza roma mkatoliki katika muziki wa kizazi kipya ni uwazi ulio wazi kuwa wasanii wengi wa kizazi kipya wapo wawili wawili katika tungo midondoko na mengi yenye kufanana zaidi ila tangu kutokea kwa roma mkatol read more diamond platnumz ndani na nje kwa wakati mmoja june 23 2017 makala comments diamond platnumz ndani na nje kwa wakati mmoja na john simwanza siku zote ukitaka kuijua siri ya mchezo lazima ukubali kujifunza na ndivyo ilivyo kwa msanii na mtumbuizaji wa kimataifa kutoka tanzania diamond platnumz ambaye anaonekana kuyatumia viliv read more makala comments ili muziki ukulipe ewe msanii malalamiko juu ya wasanii ni mengi kuwa muziki haulipi huku wachache wakionekana wakifaidika zaidi na muziki huu wa kizazi kipya tuzungumze muziki ni kauli mbiu yetu na hapa tupo shauri ya bongo fleva na hiphop hivyo read more nguvu iliyotumika kusema mabaya ya chid benz itumike tena kusema mazuri yake sasa june 22 2017 makala comments nguvu iliyotumika kusema mabaya ya chid benz itumike tena kusema mazuri yake sasa hakuna haja ya kuuma maneno katika kupeana ile kweli yenye kuleta uhuru katika maisha yetu ya muziki wa kizazi kipya licha ya uhalisia maisha ya kwenye muziki wa kiz read more mashabiki wa hiphop wakosoaji wasio na faida kwa msanii sehemu ya ii june 21 2017 makala comments soma sehemu ya i hapa chini mashabiki wa hiphop wakosoaji wasio na faida kwa msanii sehemu ya i sehemu ya ii mashabiki wa hiphop wakosoaji wasio na faida kwa msanii sehemu ya ii lakini mashabiki hawa ndiyo wale vinara wa kusifu katika mitanda read more june 20 2017 makala comments muda wa dhihaka hauwezi kumsaidia godzilla bali kumpoteza kabisa naona wapenzi wa hiphop na wale ambao sio wapenzi wakiwa katika kundi moja la furaha kuona namna ya wakazi na godzilla wanavyotupiana maneno kila leo chanzo kikuu cha kutupiana maneno kili read more june 15 2017 makala comments stereo kaangukia kwenye mikono salama ya wcb na john simwanza msanii wa hiphop stereo ambaye ni miongoni mwa marapa bora ambao wamepata kuwepo katika ramani ya muziki wa kizazi kipya chini ya mwamvuli wa hiphop ambaye sasa taarifa za yeye kusaini katika read more june 14 2017 makala comments mashabiki wa hiphop wakosoaji wasio na faida kwa msanii sehem ya i yapasa tusiseme juu ya watu wapumbavu kwa maana watadharau hekima zetu lakini hapana yapasa tuiseme ile kweli yenye kurudisha muziki wetu wa hiphop nyuma lengo ni kujenga sio read more 2345 13 ©2012 tizneez media group all rights reserveddesign by chakwako solutions
2017-07-24T14:56:42
http://tizneez.com/category/makala/?page_id_all=2
dani lyanga anapiga misele dsm singida ikijiaandaa kuwavaa yanga spoti tv home uncategorized dani lyanga anapiga misele dsm singida ikijiaandaa kuwavaa yanga dani lyanga anapiga misele dsm singida ikijiaandaa kuwavaa yanga wakati klabu ya singida united ikijifua kwa mara ya mwisho leo kuelekea mchezo wa kombe la shikisho dhidi ya yanga kesho jumapili mchezaji daniel lyanga ameonekana akiwa mitaa ya jiji la dar es salaam lyanga ameonekana akiwa mitaa ya kinondoni akibadilishana mawazo na washikaji zake wakati klabu yake ikiwa inajiandaa na mchezo wa kombe la fa dhidi ya yanga kesho taarifa zilizotoka hivi karibuni zilieleza kuwa lyanga amefungiwa na shirikisho la soka duniani (fifa) kuitumikia singida united kwa muda wa miezi 6 kutokana na kusaini mkataba na timu hiyo wakati huohuo alikuwa ana mkataba mwingine na fanja sc ya oman licha ya ujio wa taarifa hizo uongozi wa singida united ulikanusha vikali uwepo wa taarifa hiyo ukieleza si kweli wala hajafungiwa uongozi huo kupitia mkurugenzi wa timu festo sanga ulisema kuwa kilichotokea ni kuchelewa kwa itc ambayo bado haijatumwa mpaka sasa kufuatia dirisha dogo la usajili ligi kuu bara kufungwa na hivyo itabidi wasubiri mpaka julai pale itakapowasili lyanga hajaonekana kwenye mechi za mashindano rasmi yanayosimamiwa na tff (ligi kuu tanzania bara na kombe la shirikisho la tff azam sports federation cup) mara ya mwisho kuonekana akicheza mechi za singida united ilikuwa kwenye michuano ya mapinduzi cup 2018 visiwani zanzibar previous articlekifesi ajiengua wcb ana hofu ya mungu pia next articleniyonzima nimerudi lakini sijafurahia
2018-08-19T14:12:21
https://spoti.co.tz/2018/03/dani-lyanga-anapiga-misele-dsm-singida_61.html
ruth fagbe said amber igwe said emmanuel teriza said ezechukwu ndubuisi chinonso said kween hadassah said xandy west said oluwakekz kekelex said tobi adeoti said
2019-12-13T08:25:13
http://lindaikeji.blogspot.com/2013/08/2-brothers-strangled-in-their-sleep-by.html?showComment=1375804812143
(gmt+0800) 20080704 192125 wataalamu wa kilimo wa china waona kuwa uwekezaji kwenye kilimo cha afrika unapaswa kufuata utaratibu kamili naibu mkurugenzi wa zamani wa kampuni ya kuendeleza mashamba ya china bw han xiangshan hivi karibuni alisema makampuni ya china yanatakiwa kuwekeza kwa wingi zaidi kwenye shughuli za kilimo barani afrika na kuanzisha mashamba makubwa yenye uzalishaji wa kiwango cha juu bw han xiangshan alisema afrika ni sehemu inayofaa kuendeleza kilimo na pia inahitaji kuendeleza kilimo ufundi wa jadi wa kilimo wa china unafaa sana hali ya maendeleo ya kilimo barani afrika kiasi cha faida baada ya uwekezaji kwenye kilimo barani afrika ni kikubwa zaidi kuliko kile nchini china kwa mfano nchini zambia kiwango kati ya uwekezaji na upatikanaji wa faida kwenye mashamba ni kati ya asilimia 20 na asilimia 30 bw han aliona kuwa kama mashamba hayo yanayowekezwa na china yanatakiwa kuimarishwa ni lazima kuyafanya yawe makubwa zaidi na yanayozalisha mazao kwa kufuata utaratibu kamili kuanzia mwishoni mwa mwaka 1993 alipokuwa ofisa wa kampuni hiyo hadi mwaka 2005 alipostaafu bw han xiangshan alishughulikia miradi ya kuendeleza kilimo barani afrika baada ya kustaafu alikwenda zambia kuwekeza kwneye shughuli za kilimo mwezi februari mwaka 2007 shamba la huafeng lililoanzishwa na bw han xiangshan pamoja na watu wengine lilizinduliwa hivi sasa shamba hilo lililowekezwa dola za kimarekani milioni 12 limekuwa shamba lenye ujenzi kamili shamba la zhongken la zambia liko umbali wa kilomita mia kadhaa na shamba la huafeng pia linatekeleza kanuni ya maendeleo sawa na shamba la huafeng mkuu wa shamba la zhongken bibi li li alimwambia mwandishi wa habari kuwa mpango wao kuhusu kupata mafanikio ni kwamba wanapaswa kupanua shamba lao na kuliendeleza kwa utaratibu kamili shamba la zhongken lilianzishwa mwaka 1994 sasa lina eneo la hekta 4100 hivi sasa kazi kuu ya shamba hilo ni ufugaji wa mifugo na kazi yake ya pili ni upandaji wa mimea sasa limeendelezwa kuwa shamba kubwa ambalo mali zake zimekuwa na thamani ya dola za kimarekani milioni 543 na mapato kwa mwaka ni zaidi ya dola za kimarekani milioni 3 uzalishaji wa ngano kwa kila mwaka kwenye mashamba hayo ni tani 6 kwa kila hekta kama bei ya ngano kwa kila tani ni dola za kimarekani 500 mapato ya uuzaji wa ngano yatafikia zaidi ya dola za kimarekani elfu 3 kwa kila hekta ikilinganishwa na uwekezaji wa moja kwa moja kwenye mashamba hayo ambayo ni chini ya dola za kimarekani 1300 kwa kila hekta kiasi cha faida ni kikubwa sana baada ya kukata gharam na ushuru mbalimbali wakati huo huo kutokana na gharama za matumizi ya ardhi na vifaa vya kilimo hazitabadilika sana hivyo kama mashamba hayo yataendelezwa kuwa makubwa zaidi yataleta faida kubwa zaidi bibi li li alisema uendeshaji wa kazi ya ufugaji pia hauwezi kutengana na kanuni za kuendelezwa kuwa kazi kubwa zaidi na kufuata utaratibu kamili zaidi mwaka 2002tawi la kiwanda cha ufugaji wa kuku cha shamba la chongken lilizinduliwa rasmi zana na vifaa vya kisasa vya ufugaji wa kuku kwenye tawi hilo la kiwanda vinasaidia tawi hilo kuongeza zaidi uzalishaji wa mayai mwaka 2007 shamba la zhongken lilikuwa na kuku laki 11 ambao walitaga mayai milioni 215 uuzaji wa mayai umechukua asilimia 10 kwenye soko la nchini zambia lakini bibi li li alisema ikilinganishwa na mashamba makubwa yanayoendeshwa na watu wa magharibi shamba la zhongken bado lina nguvu ndogo ana matumaini ya kuongeza zaidi uwekezaji ili kushindana na mashamba mengine makubwa habari nyingine zinasema wataalamu wa kilimo wa china wananaofanya ushirikiano wa tekenolojia wa kupanda mpunga kwenye sehemu ya podor nchini senegal waliwafundisha wakulima wa huko ufundi wa kilimo cha mpunga kutokana na hali halisi ya huko katika nusu mwaka uliopita wamewafundisha wakulima zaidi ya 500 na kupata mafanikio makubwa mku wa kikkundi cha wataalamu wa china bw zheng zheng alisema wataalamu wa china walikwenda vijiji vya huko na kuwafundisha wakulima wa senegal namna ya kupanda mpunga kuwaongoza kutembelea mashamba ya vielelezo kuwafundisha papo hapo na kutoa mafunzo kwenye darasa kuenea ufundi wa kupanda mpunga unaoweza kupata mavuno makubwa na kufanya mawasiliano ya ufundi wa mpunga ni kiini cha ushirikiano wa tekenolojia ya kilimo kati ya china na senegal wataalamu wa mpunga kutoka kampuni ya kimataifa ya yichang ya china walitoa maoni yao kuhusu uzalishaji wa mpunga kwenye sehemu karibu na mto senegal kwenye msingi wa uchunguzi na kutoa mpango wa tekenolojia na mafundisho eneo la podor liko kwenye mto wa senegal ambapo ni sehemu nzuri wa umwagiliaji na kuna ardhi ya eneo lenye mita milioni 24 za mraba lakini hivi sasa ardhi ya eneo hilo linalolimwa ni mita za mraba milioni 05 kama ardhi hiyo ikitumiwa ipasavyo senegal itaweza kujitosheleza kwa mpunga
2019-11-15T07:35:10
http://swahili.cri.cn/1/2008/07/04/1s76633.htm
mo insurance yajipanga kutoa huduma bora | sunday shomari home karibu mo insurance yajipanga kutoa huduma bora by sundayshomari june 29 2015 0 356 share on facebook tweet meneja mwendeshaji wa kampuni ya bima ya mo (mo assurance) ravinshankar venkatrama ( wa pili kushoto) akiwa na timu ya wafanyakazi wa kampuni hiyo watakaokua wanatoa huduma katika banda la mo assurance lilipo ndani ya mabanda ya metl group kwenye maonyesho ya 39 ya biashara ya kimataifa ya daressalaam yaliyoanza kurindima jana kwenye mabanda ya sabasaba katika viwanja vya mwalimu jk nyerere barabara ya kilwa jijini dar es salaam kutoka kulia ni afisa wa kampuni ya mo assurance mariot ndomba ofisa mtendaji masoko wa kampuni ya bima ya mo (mo assurance) tawheeda isaack pamoja na meneja masoko msaidizi wa kampuni ya mo assurance esther moringi kampuni ya mo assurance ni kampuni mama ya metl group ambapo unaweza kuwasiliana nao kupitia barua pepe infomoa@moassurancecotz ama kutembelea mtandao wao kupitia moassurancecotz kutoka kushoto ni meneja mwendeshaji wa kampuni ya bima ya mo (mo assurance) ravinshankar venkatrama meneja masoko msaidizi wa kampuni ya mo assurance esther moringi afisa wa mo assurance mariot ndomba pamoja na ofisa mtendaji masoko wa kampuni ya bima ya mo (mo assurance) tawheeda isaack katika picha ya pamoja wakiwa tayari kutoa huduma kwa wateja mbalimbali watakaotembelea katika banda la metl group lililopo kwenye maonyesho ya 39 ya biashara ya kimataifa ya daressalaam yaliyoanza kurindima jana kwenye mabanda ya sabasaba katika viwanja vya mwalimu jk nyerere barabara ya kilwa jijini dar es salaam ofisa mtendaji masoko wa kampuni ya bima ya mo (mo assurance) tawheeda isaack akipiga selfie na wafanyakazi wenzake muonekano wa nje wa banda la kampuni ya mo assurance ndani ya maonyesho ya 39 ya biashara ya kimataifa yalioanza kurindima katika viwanja vya sabasaba katika barabara ya kilwa jijini dar es salaam share thisclick to share on twitter (opens in new window)click to share on facebook (opens in new window)click to share on google+ (opens in new window) tweet previous articlekongamano la sdg's lafanyika kwa mafanikio dodomanext articlewanaccm 78 500 wa mkowa wa pwani wamdhamini mh lowassa sundayshomari related articlesmore from author akili za ndege mali june 16 2016 october 1 2010 un tanzania statement on tanzania general elections 2015 october 30 2015 happy birthday mo may 8 2015 load more uchaguzi 2015
2017-06-28T07:14:44
http://sundayshomari.com/mo-insurance-yajipanga-kutoa-huduma-bora/
it is what it is and just like that college is half over lifestyle hamburg reporter hamburg ia hamburg ia
2017-07-24T14:44:28
http://www.hamburgreporter.com/lifestyle/20170515/it-is-what-it-is-and-just-like-that-college-is-half-over
egschiglen talin salhi walid essalhi chm7ayar jor7i naam usikose mkasa huu wa kusisimua na kusikitisha sana mawel ya baba live walid salhi share this with your friends via by walid] [new ] ukatokea mpambano wa aina yake gaba ya mzimu wa marehemu mama yangu na kundi kubwa la wachawi exclusive walid salhi salyi salhi delbeelj guitseegui hair chanzo cha hayo yote ilikuwa ni damu ya baba salhi uhaarch amjaagui buhnii chini toloo orgil walid ettounsi 7ata layeli 5ayna live wqlid toufic ya babour kamel messaoudi chemaa walid ukatokea mpambano wa aina yake gaba ya mzimu wa marehemu mama yangu na kundi kubwa la wachawi walid salhi ya sa7bi ya 5lilli mawel dhbel wejihi ma3ad fin nour walid feghali magnum proelium hakim salhi yak ana nabghiha majirani walibaki kushangaa nani angethubutu kupambana na watu wabaya toka ufalme wa giza walid tawfic ghajariyah walid ettounsi mabrouke alike hbibti wakati naanza kujitambua nikajikuta natakiwa kutolewa kafara au kufanya mapenzi na mama kambo walid salhi tnasitni w ha annurul kassayaaf tawasul sayyidil walid al habib abdurrahman bin ahmad assegaf ndugu unayenisikiliza tafadhali ungana nami mwanzo hadi mwisho katika walie huu wa damu ya baba ili ujifunze dunia ilivyo kwani haya niliyashuhudia kwetu yumkini yakatokea kwako au kwa jirani yako walid tawfik neqsim el amar exclusive walid salhi chitana walid salhi ya baba walid salhi dhlemtini walid ettounsi e3awedh rabi walid essalhi chm7ayar jor7i maisha ya mama yalikuwa ya mateso sana alibakwa na wanaume saba babz hatimaye akaaga dunia katika mazingira ya kusikitisha walid ettounsi 7ata layeli 5ayna live kila baya la dunia waalid likaandama familia yetu sound edited by louati walid mawel ya baba live walid salhi nililelewa na mama wa kambo kwa mateso makali nilishuhudia ushirikina wa kutisha uliobadili taswira ya maisha ya baba ndugu pamoja na mimi simulizi hii inapatikana whatsapp kupitia nambari walid tounsi y3awedh rabi share this with your friends via walid tawfik enta gharamy salhi chinii umnu mv salhi uhaarch amjaagui buhnii chini toloo orgil by walid] [new ] salhi delbeelj guitseegui hair egschiglen talin salhi walid al jilani aalamk naam usikose mkasa huu wa kusisimua na kusikitisha sana naam usikose mkasa xalhi wa kusisimua na kusikitisha wakid walid salhi fel bel gharak walid ettounsi 7ata layeli 5ayna
2020-06-06T01:06:50
https://medicalexampreparation.online/walid-salhi-ya-baba-38/
pdf maua mechanics mafuta yasiyo ya mboga ya mafuta pdf maua mechanics februari 8 2006 22 mai 2016 christophe kupitishwa kwa magari ya dizeli kupakia na mafuta ya mboga hati hii ya muhtasari iliyozalishwa na mtandao wa petals inaelezea katika kurasa za 47 jinsi ya kusambaza mafuta ghafi ya mboga pia inajumuisha habari juu ya uchafuzi wa mafuta uchafuzi wa mazingira wakati wa matumizi na anwani nyingi muhimu inapakua waraka inakuja kwenye mafuta ← ekolojia imevunja maendeleo ya utalii nyumba ya saud →
2018-11-19T09:51:10
https://sw.econologie.com/pdf-mecanique-fleurs/
nawaz sharif kugombea uchaguzi mkuu pakistan | matukio ya kisiasa | dw | 26112007 nawaz sharif kugombea uchaguzi mkuu pakistan waziri mkuu wa zamani nawaz sharif amerejea pakistanmiaka 8 baada ya kupinduliwa na rais jemadari pervez musharrafsawa na benazir bhutto sharif pia anatazamia kugombea uchaguzi wa bunge uliopangwa kufanywa tarehe 8 januari mwakani nawaz sharif alitua lahore katika ndege ya mfalme wa saudi arabia jumapili jioni akisema anataka kusaidia kukomesha utawala wa kidikteta nchini pakistansharif aliepinduliwa na jemadari musharraf miaka minane iliyopitaalijaribu kurejea nyumbani mwezi wa septemba lakini alirejeshwa saudia baada ya kutua kwenye uwanja wa ndegelakini safari hii ameruhusiwa kubakia pakistan baada ya rais pervez musharraf aliekwenda saudia arabia juma lililopita kushinikizwa binafsi na mfalme abdullah kumruhusu sharif kurejea nyumbanilakini kurejea kwake kumegubikwa na lawama kutoka chama chake cha muslim leaguekwamba maelfu ya wafuasi wa nawaz sharif walikamatwa ili kuwazuia kumpokea kwa shangwe lakini polisi na serikali zimekanusha lawama hizo na kusema kuwa ni wachache waliokamatwa na ni kwa sababu ya usalama wa uwanja wa ndegehata hivyolicha ya zaidi ya polisi 5000 kusambazwa sehemu mbali mbali za mji wa lahoremaelfu ya wafuasi wa sharif waliobeba bendera na mabango waliweza kujipenyeza hadi kwenye uwanja wa ndege kumpokea mwanasiasa huyo nawaz sharif sawa na benazir bhuttoanatazamia kugombea uchaguzi wa bunge uliopangwa kufanywa tarehe 8 januarihata hivyohaijulikani iwapo vyama vya upinzani vitashiriki kama rais musharraf hatoondosha hali ya hatari kati kati ya juma hili hata serikali za nchi za magharibi zina hofu kuwa utawala wa hali ya hatari wa rais musharraf pamoja na hatua za kukandamiza udemokrasia nchini pakistanhuenda zikawanufaisha wanamgambo wenye itikadi kali za kiislamu katika nchi hiyo yenye nguvu za kinyukliamusharraf anashinikizwa nyumbani na hata na jumuiya ya kimataifa kuondosha utawala wa hali ya hatari aliyotangaza tarehe 3 novembamusharraf ametumia hali hiyo kuwafukuza majaji wa mahakama kuu ambao alihofia kuwa hawatoidhinisha uamuzi wa bunge lililomchagua kuwa rais kwa mara nyingine tena baada ya majaji wapya kumuidhinisha kwa awamu nyingine ya miaka mitanosasa musharraf anatazamiwa kujiuzulu kama mkuu wa majeshi ili apate kuapishwa kama rais wa kiraia katika kipindi cha siku chache zijazo wachambuzi wa kisiasa nchini pakistan wanaamini kuwa bado upo uwezekano kwa musharrafkama rais kugawana madaraka na waziri mkuu kutoka upande wa upinzani kiungo http//pdwcom/p/ctge
2018-01-23T10:01:51
http://www.dw.com/sw/nawaz-sharif-kugombea-uchaguzi-mkuu-pakistan/a-2972418
madaktari bingwa wa moyo wa taasisi ya moyo jakaya kikwete wafanya upasuaji kwa wagonjwa | gazeti la jamhuri madaktari bingwa wa moyo wa taasisi ya moyo jakaya kikwete wafanya upasuaji kwa wagonjwa jamhuri january 17 2018 madaktari bingwa wa moyo wa taasisi ya moyo jakaya kikwete wafanya upasuaji kwa wagonjwa20180117t135115+0000 habari za kitaifa siasa madaktari bingwa wa upasuaji wa moyo na mishipa ya damu wa taasisi ya moyo jakaya kikwete (jkci) wakimfanyia mgonjwa ambaye mshipa mkubwa unaosambaza damu upande wa kushoto wa moyo umeziba upasuaji wa kupandikiza mishipa ya damu kwenye moyo (cabg coronary artery bypass grafting) madaktari bingwa wa usingizi na wagonjwa mahututi wa moyo kutoka taasisi ya moyo jakaya kikwete (jkci) wakiangalia jinsi moyo wa mgonjwa unavyofanya kazi (mapigo ya moyo) kwa kutumia mashine maalum wakati mgonjwa huyo akifanyiwa upasuaji wa kupandikiza mishipa ya damu kwenye moyo (cabg coronary artery bypass grafting) madaktari bingwa wa upasuaji wa moyo kwa watoto godwin sharau wa taasisi ya moyo jakaya kikwete (jkci) na benjamin bierbach wa nchini ujerumani wakimfanyia upasuaji wa kuziba matundu ya moyo mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na mwezi mmoja 1751 total views 3 views today madaktari bingwa taasisi ya moyo jakaya kikwete « ndugu rais tunaichekelea hali ya nchi ilivyo kama mazuzu mafanikio yoyote yana sababu »
2019-11-14T19:55:13
http://www.jamhurimedia.co.tz/madaktari-bingwa-wa-moyo-wa-taasisi-ya-moyo-jakaya-kikwete-wafanya-upasuaji-kwa-wagonjwa/
ushauri unapochagua mtu wa kufanya nae biashara kuwa makini kuliko unavyochagua mke au mume « amka mtanzania browse home ushauri ushauri unapochagua mtu wa kufanya nae biashara kuwa makini kuliko unavyochagua mke au mume ushauri unapochagua mtu wa kufanya nae biashara kuwa makini kuliko unavyochagua mke au mume posted by makirita amani | at monday january 12 2015 no comments habari za leo msomaji wa amka mtanzania karibu tena kwenye kipengele hiki cha ushauri wa changamoto zinatotuzuia kufikia mafanikio kwa kile ambacho tunafanya ni kweli kwamba njia ya kufikia mafanikio ina vikwazo vingi sana na usipokuwa umejiandaa vizuri ni rahisi sana kukata tamaa ndio maana kwenye kipengele hiki tunapeana ushauri kulingana na changamoto mbalimbali ambazo wasomaji mbalimbali wanazipitia siku za hivi karibuni nimekuwa napokea sana ujumbe na simu za watu ambao wamefikia kukata tamaa hasa baada ya kufanya biashara na watu halafu watu hao wakawaingiza kwenye hasara kubwa sehemu kubwa ya changamoto hii inatokana na mtu kumwamini mwenzake ambaye ni ndugu au rafiki wanafanya wote biashara halafu mtu yule anafanya uzembe na wanapata hasara au anatumia vibaya fedha na kusababisha hasara pia wakati mwingine mtu huyo anafiki hatua ya kumtapeli kabisa mwenzake je nini cha kufanya ili kuepuka changamoto hii kabla hatujaangalia ni kitu gani unaweza kufanya ili kuepuka changamoto hii kwanza tuangalie umuhimu wa kuwa na mshirika kwenye biashara ukweli ni kwamba biashara ni ngumu ni ngumu kuanza ni ngumu kufanya na pia ni ngumu kupata mafanikio ndio maana kila siku biashara zinaanzishwa na baada ya muda mfupi zinakufa pia kuna watu ambao wanafanya biashara ile ile kwa ukubwa ule ule kwa zaidi ya miaka kumi sasa moja ya njia ambayo unaweza kutumia kupunguza ugumu huu wa biashara ni kuwa na mtu ambaye utashirikiana nae kwenye biashara mtu huyu anakuja kama mshirika na hivyo mnashirikiana kuanza au kukuz abiashara yenu kwenye kuanza mnaweza kuchangia mtaji kitu ambacho ingekuwa changamoto kwa mtu mmoja kuongeza mawazo na hata kuboresha zaidi mawazo maana vichwa viwili ni bora kuliko kichwa kimoja kwa vyovyote vile ushirikiano kwenye biashara ni wa muhimu sana pamoja na umuhimu huu wa ushirikiano kwenye biashara na faida ambayo mshirika anaileta mtu huyu pia analeta matatizo yake ndio kila mtu ana matatizo yake hivyo atakuja akiwa kama msaada kwenye biashara ila pia matatizo yake au mapungufu yake atakuja nayo pia na hapa ndio changamoto zote za biashara za kushirikiana zinapoanzia ili kuepuka changamoto hii inabidi uwe makini sana wakati unaamua ni mtu gani utafanya nae biashara ni lazima umjue kwa undani na uone kama anafaa kweli kwenda na wewe mpaka ale mtakapofikia mafanikio kwenye biashara hiyo naweza kusema inabidi uwe makini kuliko hata unavyochagua mume au mke hii ni kwa sababu mume au mke unaweza kumchagua kwa hisia za mapenzi amekupenda umempenda mnaoana hata pale inapotokea changamoto mapenzi yanaweza kuwafanya muishinde changamoto ile ila kwenye biashara hisia inabidi zikae pembeni kabisa hata kama mnapendana kiasi gani kupendana kwenu hakuwezi kuokoa biashara inayokufa mtu akifanya makosa mnapata hasara na biashara ndio imekufa ili kupata mtu makini wa kufanya nae biashara fanya mambo haya matatu 1 mchunguze na mjue vizuri mtu unayekwenda kufanya nae biashara hata kama mtu unayekwenda kufanya nae biashara ni ndugu au rafiki una kazi kubwa sana ya kumjua vizuri unahitaji kupata muda wa kumchunguza na kujua tabia za mtu unayetaka kushirikiana nae kwenye biashara jua mtazamo wake kwenye maisha ukoje jua anaamini nini na jua mipango yake ya mbeleni ikoje angalia vitu hivi kama vinaendana na vile ambavyo unavyo wewe kama wewe unafikiria baada ya miaka kumi biashara unayofanya iwe imesambaa dunia nzima na mwenzako anafikiria biashara mnayofanya impatie tu fedha ya kula na kuendesha maisha umeshapotea pia wakati unamchunguza mshirika wako huyo hakikisha ana sifa hizi tatu 1 anapenda kufanya kazi kwa bidii na maarifa 2 ni mwaminifu 3 ni mwadilifu kama amekosa hata sifa moja tu kati ha hizo tatu kimbia haraka sana atakuingiza kwenye matatizo makubwa kujua vizuri kuhusu sifa hizi tatu soma hapa misingi mitatu muhimu ya kujijengea mwaka 2015 usijidanganye kwamba mtu mzima unayekutana naye kwa ajili ya kufanya biashara atabadilika kwa sababu yako hata akikuahidi hivyon ni uongo 2 yajue mapungufu yako na tafuta mtu ambaye anaweza kuyafunika huwezi kufanya kila kitu japokuwa biashara inakutaka ufanye kila kitu kuanzia kupanga wazo zuri la biashara kununua kuuza kufanya mahesabu kutangaza na vingine vingi kuna baadhi ya maeneo ya biashara ambapo unaweza kuwa hafifu sana hakikisha mtu unayeshirikiana nae kwenye biashara yuko vizuri kwenye maeneo hayo hii itawafanya muweze kufikia mafanikio kwa kukusanya nguvu zenu ila kama wote mna mapungufu yanayofanana mnajiandaa kushindwa kwenye biashara hiyo kama wewe ni mtekelezaji mzuri ila sio mbunifu mzuri wa mawazo tafuta mtu ambaye ni mbunifu mzuri wa mawazo ukitafuta mtekelezaji mzuri kama wewe mtatekeleza nini 3 wekeni makubaliano kabla ya kuingia kwenye biashara watu wengi wanaingia kwenye biashara kienyeji sana kwa sababu tu mnajuana mnaona hakuna tatizo tunaaminiana tufanye biashara kosa kubwa sana ni vyema mkakaa chini na kuwekeana makubaliano nyie wenyewe kwa wenyewe ni jinsi gani mnakwenda kuendesha biashara yenu na ni maamuzi gani ambayo hayawezi kufanyika na mtu mmoja lazima muwekeane mipaka na kila mtu aheshimu makubaliano hayo hii itawazuia kuingia kwenye hasara kwa mfano mwenzako anakutana na kitu kizuri kinachohusiana na biashara yenu kinauzwa kwa bei rahisi anaamua kununua halafu anaishia kutapeliwa kama mngekuwa mmewekeana utaratibu wa kwamba mtu hawezi kufanya manunuzi makubwa bila ya kumshirikisha mwenzake hasara kama hii mngeiokoa haya ni mambo matatu muhimu sana unayotakiwa kufanya kabla ya kuingia kwenye ushirikiano wa kibiashara na mtu hata kama tayari upo kwenye ushirikiano huu na unaona kila siku unakusumbua fanya hatua hizi tatu na muhimu sana fanya hatua ya tatu kaa chini na mwenzako kisha wekeni utaratibu ambao utakuwa na faida kwenye biashara yenu kama utaogopa au kuona aibu kumwambia mwenzako muweke mipango upya subiri siku utakayopata hasara na biashara kufa ndio aibu itakuisha maana hakutakuwa tena na biashara na hata ikiwepo utakuwa umeshachoka tags success ushauri
2017-08-24T01:08:41
http://www.amkamtanzania.com/2015/01/ushauri-unapochagua-mtu-wa-kufanya-nae.html
imechapishwa 16/04/2020 0825 vital kamerhe mkuu wa serikali na mshirika mkuu wa kisiasa wa rais wa jamhuri ya kidemokrasia ya kongo félix tshisekedi aliwekwa kwa muda kizuizini katika gereza kuu la kinshasa wakati wa uchunguzi wa kazi ya siku 100 rfi/sonia rolley mkurugenzi katika ofisi ya rais felix tshisekedi vital kamerhe ataendelea kusalia jela kulingana na uamuzi uliotolewa na mahakama ya kinshasa jumatano jioni wiki hii vital kamerhe mshirika wa karibu wa rais wa jamhuri ya kidemokrasia ya congo alikamatwa hivi karibuni kwa madai ya ufisadi baada ya mahakama kukataa kuachiliwa kwake licha ya shinikizo kutoka kwa chama chake cha unc baadhi ya mashirika kama vile odep au amka yanashuku kuwa pesa nyingi zilipitishwa mlango wa nyuma ikiwa vital kamerhe anakabikliwa na mashitaka hayo ni kwa sababu yeye sio tu afisa anayesimamia masuala ya gharama katika opfisi ya rais lakini pia kwa sababu hadi septemba 2019 alikuwa anasimamia kwa mkono wa chuma fedha za mpango huo vyanzo kutoka ofisi ya mashtaka na vile kutoka kambi ya mshirika wake félix tshisekedi vimebaini watu kadhaa walikamatwa mwezi machi mwaka jana kufuatia madai hayo huku viongozi wa makampuni ya kibinafsi na yale ya umma wakiwekwa korokoroni kabla ya kuachiliwa huru kukamatwa kwa vital kamerhe nchini drc kumesababisha mgawanyiko mkubwa ndani ya chama chake cha unc vital kamerhe (alizaliwa 4 machi 1959) ni mwanasiasa wa jamhuri ya kidemokrasia ya kongo na kiongozi wa chama cha unc alikuwa spika wa bunge la jamhuri ya kidemokrasia ya congo tangu mwaka 2006 hadi 2009 kabla ya hapo alikuwa waziri wa habari baada ya kujiuzulu kama spika wa bunge alikuwa mpinzani na kuanzisha chama cha unc alikuwa mgombea katika uchaguzi wa rais wa mwaka 2011 tarehe 8 aprili 2020 vital kamerhe mkuu wa serikali na mshirika mkuu wa kisiasa wa rais wa jamhuri ya kidemokrasia ya kongo félix tshisekedi aliwekwa kwa muda kizuizini katika gereza kuu la kinshasa wakati wa uchunguzi wa kazi ya siku 100 baada ya rais tshisekedi kuchukuwa hatamu ya uongozi wa nchi
2020-07-07T02:31:51
http://www.rfi.fr/sw/afrika/20200416-drc-vital-kamerhe-asalia-kororokoni
all iowa properties iowa single family homes iowa condos iowa townhomes iowa lofts iowa duplexes iowa multifamily homes iowa land iowa mobile homes iowa apartments iowa rentals iowa leases homes for sale in iowa 489 $1150000
2014-09-01T12:48:39
http://www.kw.com/homes-for-sale/68358/NE/Firth/202-E-4th-St/Iowa/stprp-IA-all.html
virtual sex chat roulette kumi na nane pamoja wasichana online | virtual klabu ya ngono chat roulette (chat) kumi na nane plus ambapo kukutana na msichana kwa ajili ya uhusiano mbayafree online usajili kuzungumza roulette kumi na nane pamoja na kupata umaarufu kama kirusi kila siku tembelea kufikia zaidi ya mia mbili elfu mashabiki wa video ya mawasiliano kuanza mawasiliano ni rahisi sana kazi chat roulette bila ya usajili kwa kuanza kuna kifungo «start» na kwa wakati huo huo itaonekana chanzo wengi guys got kukataliwa wakati yeye alijaribu kukutana na msichana juu ya mitaani kwa ajili ya wasichana hukutana kwanza kuchukuliwa kwa ujumla uchafu kuzungumza roulette online kwa wasichana erases mipaka hii kukutana na msichana kwa njia hii unobtrusive mazungumzo rahisi sana kupata rafiki kufanya marafiki au kujenga mahusiano kubwa kila kitu ni iwezekanavyo katika online roulette kama wewe ni mtu si nia kwa ajili ya baadhi ya sababu na wewe kuwa hakuna haja ya kuwasiliana zaidi ya hayo unaweza kubadili mwingine chanzo kwa kubonyeza «ijayo» kifungo miongoni mwa maeneo mengi kwa ajili ya dating tu virtual sex klabu itakuwa na uwezo wa kuwasilisha taarifa sahihi kuhusu wageni kusikia sauti na kuona uso wa interlocutor ni kubainisha wakati katika roulette online katika mitandao ya kijamii maeneo ya dating na maandishi ya mazungumzo vigumu kujua ni nani anaongea na wewe picha ni mara nyingi uwongo si ya kweli na kwamba mtu ni kweli ni vigumu kuelewa mtu yeyote anapata lonely hata na mengi ya marafiki wa karibu wanaweza daima majadiliano ni rahisi kwa kushiriki yako uzoefu au mawazo na mtu random kabisa usio wa kawaida katika maisha ya kila siku hakuna ajabu sisi tuna upendo kwa kuwa mkweli juu ya treni na random wenzake msafiri ambao kuona mara ya kwanza virtual sex roulette online ni kabisa bila majina hivyo hakuna mtu kuwa na uwezo wa kujifunza habari kuhusu wewe kama wewe hawataki kuzungumza kuhusu wao wenyewe video chat roulette ni maarufu kwa ajili ya shughuli katika nchi za magharibi kwa wao kuwasiliana katika video kuzungumza jambo la kawaida sisi kuwa kama mawasiliano ni tu kupata kasi lakini kila siku watu ni kuwa chini ujasiri wa kujaribu kitu mpya na labda maisha yatabadilika na kuwa bora zaidi daima kuna watu tayari kusikiliza na kushiriki wewe tu na kupata yao kuna akisema «maisha ni wote kuhusu » nani anajua labda hii marafiki itakuwa muhimu zaidi katika maisha yako sasa zaidi ya milele muhimu socialization na haja ya «uhusiano» daima itasaidia kufungua up mpya mlango kuna njia nyingi za kukutana na msichana au guy binafsi kukutana marafiki pande zote pamoja na wengine lakini kwa kushiriki katika mjadala moja kwa moja na kwa uwazi si kila mtu anaweza mara nyingi sisi kuanza kuwa na aibu na kujisikia usumbufu kutokuwa na uhakika na hata hofu ya mazungumzo yetu bila shaka pamoja na uvumbuzi wa mtandao sisi kuwa zaidi ya simu katika kukutana na jiografia ya mawasiliano imebadilika mno lakini kuandika kwa mtu juu ya mtandao hi jinsi wewe ni kufanya si kila mtu deems sahihi na busara inaweza kuwa kwamba mtu ni si nia mpya ya watu na si kila mtu ana ujasiri wa kuandika mtu wa kwanza jambo jingine ni virtual ngono ambapo kukutana na wanawake online wao kwa muda mrefu wamekuwa maarufu nje ya nchi na sisi ni sasa kikamilifu mapya ya kupata umaarufu watu hapa kutumia muda wao kutafuta marafiki kupata marafiki katika miji mingine ya usafiri kujaribu mwenyewe katika mwanga hakuna wajibu kutaniana na jinsia na kupata watu kama wenye nia au hata mtu ambaye sisi kutumia mapumziko ya maisha yangu kwamba kupata khabari na random interlocutor kamwe kujua hapa wewe si unakabiliwa na mipaka ya mawasiliano na mtu mmoja hakuna haja ya kujenga mazungumzo kama wewe hawataki kuendelea daima kuna ijayo kifungo na kwamba kabla ya wewe kuwa na mpya rafiki labda mtu mwingine ni kusubiri kwa ajili yenu usikose nafasi ya kupata khabari na msichana au guy kuzungumza katika mazungumzo rahisi zaidi na kuvutia zaidi huwezi kujisikia aibu si blushing kutoka awkward kimya wala kuhisi usumbufu kutoka nyenzo ya fedha tofauti na wote kwamba unahitaji kupata kamera na kipaza sauti na hapa unaweza kuona mpenzi kutathmini muonekano wake tabia na si kwa kuwa kutishwa kutoka mkutano kama katika tarehe «upofu» virtual klabu ya ngono ni halisi kupata kwa ajili ya kufungiwa watu au wale ambao kutumia zaidi ya muda nyumbani hata kama wewe ni si sana sociable daima kuna nafasi unaweza mashaka juu ya nini hasa ni kuangalia kwa baada ya yote katika mwisho ya yote sisi kuwa karibu na kila mmoja ← italia vyumba vya gumzo italia single mikutano ya italia →
2020-04-02T18:51:42
https://sw.videochat.life/virtual-sex-chat-roulette-kumi-na-nane-pamoja-wasichana-online-virtual-klabu-ya-ngono-chat-roulette-chat-kumi-na-nane-plus-ambapo-kukutana-na-msichana-kwa-ajili-ya-uhusiano-mbaya-free-online-usaji
zaidi ya watu 90 wapoteza maisha kutokana na mvua kali nchini thailand ~ g sengo zaidi ya watu 90 wapoteza maisha kutokana na mvua kali nchini thailand kituo cha kuzuia na kupunguza majanga ya kimaumbile nchini thailand kimetangaza kuwa kwa makadirio natakwimu za haraka watu takribani 90 wamepoteza maisha yao kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kali zinazoendelea kunyesha katika mikoa 12 ya kusini mwa nchi hiyo miji ya kusini mwa thailand iliyomezwa na maji
2018-05-25T01:22:04
http://gsengo.blogspot.com/2017/01/zaidi-ya-watu-90-wapoteza-maisha.html