text
stringlengths 43
182k
| timestamp
timestamp[s] | url
stringlengths 16
3.37k
|
---|---|---|
zitto kabwe ahoji viwango vya ubora wa ndege inayonunuliwa na serikali aina ya dreamliner adai zilikataliwa na mashirika mengine | tuangaze bongo
home » unlabelled » zitto kabwe ahoji viwango vya ubora wa ndege inayonunuliwa na serikali aina ya dreamliner adai zilikataliwa na mashirika mengine | 2017-08-19T09:20:59 | http://www.tuangazebongo.com/2017/04/zitto-kabwe-ahoji-viwango-vya-ubora-wa.html |
utata dhamana ya lwakatere wa chadema | politiksi kurunzini
home habari kijamii politiksi utawala utata dhamana ya lwakatere wa chadema
mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) wilfred lwakatare akipelekwa kizimbani katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam jana picha na venance nestory
hatma ya dhamana ya mkurugenzi mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) wilfred lwakatare na joseph ludovick imebaki kuwa kitendawili baada ya hakimu anayesikiliza kesi hiyo kuwa na udhuru
lwakatare na ludovick joseph wanakabiliwa na kosa la kula njama baada ya mahakama kuu kuwafutia mashtaka ya ugaidi
kesi hiyo ilitajwa mahakamani hapo jana mbele ya hakimu mkazi sundi fimbo baada ya hakimu mkazi alocye katema anayeisikiliza kesi hiyo kutokuwapo mahakamani
kabla ya kuahirishwa kwa kesi hiyo wakili wa utetezi peter kibatara aliomba mteja wake apatiwe dhamana kwa kuwa kosa hilo lina dhamana kwa mujibu wa sheria
hata hivyo wakili mwandamizi wa serikali prudence rweyongeza aliomba ombi hilo litupwe kwa kuwa mahakama haiwezi kutoa dhamana kwa kesi isiyokuwepo
alidai kilichopo mahakamani ni jalada la tuhuma zinazowakabili washtakiwa ambazo ziko hatua ya uchunguzi na kwamba mwisho wa siku itafunguliwa kesi rasmi mahakama kuu ambayo ndiyo yenye mamlaka ya kuisikiliza
shauri liko katika hatua za uchunguzi na bado dpp (mkurugenzi wa mashtaka nchini) hajafungua kesi rasmi mahakama kuu sasa tunashangaa mawakili wa washtakiwa wanawasilisha ombi la dhamana leo alidai
hivyo aliiomba mahakama itupilie mbali maombi hayo kwa kuwa hakuna kesi rasmi iliyofunguliwa na dpp mahakama kuu
baada ya kuwasilishwa kwa hoja hizo hakimu fimbo aliahirisha kesi hadi mei 27 mwaka huu na kusema hakimu katemana ndiye atakayetolea uamuzi maombi hayo
washtakiwa hao wanadaiwa kuwa desemba 28 mwaka jana huko kimara kingongo stop over walikula njama kwa kutaka kumdhuru denis msaki ambaye ni mhariri wa habari wa gazeti la mwananchi kwa kutumia sumu
mei 8 mwaka huu mahakama kuu kanda ya dar es salaam iliwafutia mashtaka matatu washtakiwa hao likiwemo la ugaidi
chanzo happiness katabazi tanzania daima | 2017-10-18T05:38:10 | https://arusha255.blogspot.com/2013/05/utata-dhamana-ya-lwakatere-wa-chadema.html |
della media production simulizi nimepata njia sehemu ya pili
simulizi nimepata njia sehemu ya pili
dada kwanini baba amekuwa hivyo inamaana hawezi tena kuongea dada baba aliniambia atanipeleka shule inamaana hanipeleki tena kwanini baba yangu anatoka damu halafu wanambeba na kumuweka kwenye gari dada mimi namtaka baba yangu aliongea rony kwa uchungu sana dada yake alishindwa kumjibu chochote alimkumbatia na kuendelea kulia kwa uchungu
ritha alikuwa ni msichana mdogo ambapo kwa wakati huo alikuwa kidato cha tatu na alikuwa na wadogo zake wawili mapacha ambaye ni rony na mwingine anaitwa rosada siku zote walikuwa wakiishi na baba yao kwani mama yao mzazi aliwaacha rony na rosada wakiwa wadogo sana kipindi mama ritha anaondoka walikuwa na miezi tisa wakati ritha alikuwa anasoma darasa la nne
mzee jengo alikuwa ni mfanyabiashara wa vifaa vya kilimo na mkulima ambapo kwa namna moja au nyingine alikuwa ni mzee mwenye uwezo kifedha siku zote za maisha yake alikuwa ni mchapa kazi alijituma sana katika kufanya kazi kwa bidii na ndiyo maana aliweza kufanikiwa na kuwa na maisha mazuri alikuwa anafahamika na watu wengi kwasababu alikuwa akiishi na watu vizuri na aliwasaidia watu mbalimbali wakiwemo ndugu jamaa na marafiki na hata wale asiowafahamu alikuwa ni mcheshi na mkarimu sana
hivyo taarifa za kifo chake ambacho kilitokea ghafla kiliwashtua watu wengi sana ambao walikusanyika katika kuomboleza kwenye nyumba ya mzee jengo simanzi na vilio viliendelea kutawala akina mama na akina baba na watoto walilia kwa uchungu sana taratibu za mazishi ziliendelea baada ya ndugu wa marehemu kufika na siku ya kumpumzisha mzee jengo katika makazi yake ya milele ilifika siku hiyo ritha alikuwa kimya asiyeongea chochote ila alionekana kuwa mwenye mawazo mengi sana na alikuwa amechoka kutokana na kupoteza fahamu mara kwa mara
rony na rosada walikuwa wameketi na shangazi yao anayeitwa mama sara ambaye alikuwa akiwabembeleza wasilie ulifika muda wa kwenda kumuaga marehemu kwa mara ya mwisho ambapo walianza ndugu wa marehemu na baadaye watoto wa marehemu ritha alipofika karibu na jeneza alisimama na kumshika baba yake kwenye paji la uso huku akilia kwa uchungu baba baba amka baba embu tizama sisi tutabaki na nani baba amka baba inamaana kweli huwezi kuongea jamani baba yangu uwiiiiii jamani baba yangu uwiiii baba ulisema nikifaulu utaninulia zawadi sasa mbona umeondoka baba
ritha alikuwa akiongea kwa uchungu huku machozi yakiendelea kumbubujika shangazi yake alimshika na kumsogeza pembeni huku akiendelea kumfariji mwanzangu ritha nyamaza usilie haya yote ni mapenzi ya mungu baba amepumzika mahali pema peponi tafadhali nakuomba ujikaze mwanangu alimfariji mama sara lakini ritha aliendelea kulia bila ya kupumzika na wakati huo rony alipofika kumuona baba yake kwa mara ya mwisho masikini aliishiwa nguvu na kuanguka chini
ndugu walimbeba na kumlaza pembeni huku wakimpatia huduma ya kwanza kwa upande wa rosada alipomuona baba yake akiwa amelala usingizi wa milele alianza kulia huku akisema mtoeni baba yangu kwanini mmemuweka huku baba amka baba amka jamani mtoeni baba yangu namtaka baba yangu aliongea rosada huku akilia sana
watu wengi walilia sana kwa namna wavyokuwa wakiwatizama wale watoto walivyokuwa wakilia na kuongea kwa uchungu mmoja kati ya waliohuduria msibani alisikika akisema jamani hawa watoto wanasikitisha sana embu tizama wanavyolia na baba yao alikuwa akiwalea peke yake yaani mama yao sijui yuko wapi halafu yule mama ni mjinga sana inamaana hata taarifa za msiba hajazipata au inakuwaje inaumiza sana kwakweli
alizungumza dada mmoja huku akimgeukia rafiki yake ambaye walikuwa wamekaa pamoja na kuendelea kunongona mwenzangu yaani mama yao sijui ni mtu wa namna gani anawezaje kuwaacha watoto wanaishi na baba yao pekee yaani hawa watoto hawajui mapenzi ya mama kabisa kwani aliwaacha wadogo sana ila huyu baba mungu ampunzishe mahali pema peponi jamani amehangaika sana na hawa watoto aliongea yule dada ambaye alionekana kuifahamu vizuri familia ya mzee jengo
taratibu ziliendelea na hatimaye mzee jengo alipumzika katika makazi yake ya milele na huo ndiyo ukawa mwisho wa maisha ya baba ritha maisha yaliendelea huku familia ikiwa imebaki na simanzi kubwa na baada ya matanga watoto waliendelea kuishi na baba yao mdogo ambaye alikuwa anaitwa ndama
hali ya maisha ilibadilika kwa upande wa ritha kwani muda mwingi alikuwa akionekana kuwa mwenye mawazo mengi sana siku moja alikuwa ameketi chumbani kwake huku akiwa anawaza baba umetuacha peke yetu yaani sisi ni kama yatima ijapokuwa tunaishi na baba mdogo lakini ni tofauti na tulivyokuwa tunaishi na wewe hata kama baba mdogo anatuonyesha upendo wa dhati lakini kamwe pengo lako halizibiki baba natamani ungekuwepo
aliwaza ritha huku akiendelea kulia na kutafakari nikifikiria mama alituacha tukiwa wadogo tena bila hata ya huruma na hata sijui yuko wapi angalau mama angekuwa anatupenda tungepata faraja lakini ametutupa na kutuacha peke yetu wakati mwingine huwa najiuliza hivi kweli ni mama yangu mzazi kwani nikitizama marafiki zangu wanavyopata mapenzi ya dhati kutoka kwa mama zao siamini kama mama yetu alitutekeleza eeh mungu naomba utusaidie moyo wangu unaumia sana najiona kama nina kidonda ambacho hakiwezi kupona hata nikipewa dawa yoyote ile alikuwa akiwaza ritha huku machozi yakimtoka je nini kitaendelea usikose sehemu ya tatu itaendelea siku ya jumanne
imechapishwa na adela kavishe kwa 1130 am | 2018-02-22T05:02:28 | http://adeladallykavishe.blogspot.com/2015/02/simulizi-nimepata-njia-sehemu-ya-pili.html |
funmilayo sokoya said
loretha amajuoyi said
obianuju amalochi said
chimdinma frank said
eva aguele said
ik okechukwu said
oluwakemi adeyemi said
lola ola said
ketime umah said
kingsley igweh said
katuka maria said
chioma okonkwo said
omotayo rola ebony said
sharon juliet said
ashidoon keghku said
etinosa hendrix said
slim yeancah said
viv shola said
frank michael said
cindies k said
sunday amos said
benita benish said
belle abiodun said
lynda james said
stella obeten said
subair kudirat said
vera dacosta said
godwin alex said
musa isa said
ngozi ugochukwu said
ujunwa susan said
the hanifah emerald said
ogechi nnadozie said
ikurusi timi said
ayodeji delano said
blessing kings said
esther chinemerem said
rita howard said
olaniyi adebalogun said
inyang idaraobong said
arinze ezenwa said
oluchi sampson said
maad haus pro maadhaus said | 2019-12-10T16:09:30 | http://lindaikeji.blogspot.com/2015/04/graphic-pics-woman-in-critical.html?showComment=1429875261624 |
daktari kortini kwa kuiba moyo wa marehemu msumba news blog
home matukio daktari kortini kwa kuiba moyo wa marehemu
daktari kortini kwa kuiba moyo wa marehemu
mkuu wa zamani wa uchunguzi wa chanzo cha vifo nchini kenya ameshtakiwa kosa la kuiba moyo kutoka kwenye maiti iliyokuwa inafanyiwa upasuaji
dkt moses njue alikanusha shitaka hilo aliposomewa mashitaka yake katika mahakama ya hakimu mkuu nairobi ambapo alikuwa ameshitakiwa yeye na mwanae pamoja msaidizi wake
walidaiwa kuiba moyo wa timothy mwandi muumbo wakifanyia mwili wake upasuaji juni 25 2015 katika chumba cha kuhifadhia maiti cha 'lee funeral home'
hakimu mkuu francis andayi aliagiza watuhumiwa wengine wafike mahakamani na kujibu mashitaka kabla ya kesi kuanza kusikilizwa julai 3
dkt njue alikanusha pia shitaka jingine la kuuharibu moyo ili kuficha ushahidi akifahamu kwamba ripoti ya uchunguzi wa maiti hiyo ingetumiwa kwenye kesi iliyokuwepo mahakamani | 2019-07-22T10:23:02 | http://www.msumbanews.co.tz/2018/05/daktari-kortini-kwa-kuiba-moyo-wa.html |
ethiopia yajichomoa cecafa senior challenge cup dar24
6 months ago comments off on ethiopia yajichomoa cecafa senior challenge cup
shirikisho la soka nchini ethiopia (eff) limethibitisha timu ya taifa ya nchi hiyo haitoshiriki michuano ya afrika mashariki na kati (cecafa senior challenge cup) itakayoanza mwishoni mwa juma hili nchini uganda
hatua ya kutangaza kuiondoa timu kwenye michuano hiyo inadhihirisha mchezo dhidi ya majirani zao eritrea hautokuwepo kwa mwaka huu baada ya kupangwa kundi moja
mbali na kuthibitisha kuiondoa timu ya taifa ya wanaume kwenye michuano hiyo pia eff haitopeleka timu ya taifa ya wasichana chini ya umri wa miaka 17 ambayo ilitakiwa kushiriki michuano ya ukanda huo itakayofanyika uganda
hata hivyo hadi eff wanathibitisha kuziondoa timu zao kwenye michuano ya cecafa walikua hawajatoa sababu maalum za kufanya hivyo
chanzo cha habari hizi kimeeleza kuwa huenda matatizo ya kifedha yakawa sababu kwa viongozi wa eff kuridhia timu zao zisishiriki michuano ya ukanda wa afrika mashariki na kati
ethiopia na eritrea hazijawahi kukutana katika ngazi ya timu za taifa za wakubwa tangu mataifa hayo yalipoingia katika vita vya uhasama mwaka 1998
mahusiano baina ya nchi hizo yalianza kurejea katika hali ya kawaida mwaka jana na endapo zingekutana katika mchezo wa soka kupitia michuano ya cecafa mwaka huu ingekua mara ya kwanza na huenda ingetumika kuhamasisha ushirikiano mwema
mwakinyo amvaa mzee rashid matumla amtangazia vita
mwanzoni mwa mwaka huu ethiopia pia walitangaza kuiondoa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 15 ya cecafa iliyofanyika nchini eritrea
kujiondoa kwa ethiopia katika michuano ya (cecafa senior challenge cup) kunadhihdirisha kundi a linasaliwa na timu tatu ambazo ni wenyeji uganda burundi na eritrea | 2020-05-28T00:04:10 | http://dar24.com/ethiopia-yajichomoa-cecafa-senior-challenge-cup/ |
ureno silaha mauzo
urari wa biashara ya 163125 183915 355 252487 eur milioni [+]
sasa akaunti 856 32471 110517 259060 eur milioni [+]
sasa akaunti ya pato la taifa 060 050 310 1470 asilimia [+]
uagizaji 725777 683332 725777 000 eur milioni [+]
mauzo ya nje 562652 499417 562652 169 eur milioni [+]
ya nje madeni ya 41440979 41276599 42113240 5639207 eur milioni [+]
capital mtiririko 6368 36182 185705 236647 eur milioni [+]
uwekezaji wa moja 120020 34308 628810 330752 eur milioni [+]
fedha kutoka nje 35730 31645 51540 15366 eur milioni [+]
utalii mapato 142505 105172 219602 19998 eur milioni [+]
utalii waliofika 318671300 227367700 597237200 8800000 [+]
sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi ureno silaha mauzo | 2019-07-15T18:07:43 | https://sw.tradingeconomics.com/portugal/weapons-sales |
cuf chaibuka na waraka mpya wa elimu mwanahalisi online
profesa joyce ndalichako waziri wa elimu
posted by kelvin mwaipungu february 7 2020 0 2060 views
chama cha wananchi (cuf) kimeitaka serikali kuufuta waraka mpya wa elimu na 4 wa mwaka 2020 kwa maelezo kwamba utekelezwaji wake utapelekea walimu kushindwa kuwaanda vyema wanafunzi kwa ajili ya mitihani yao ya kuhitimu masomo anaripoti martin kamote dar es salaam (endelea)
taarifa hiyo imetolewa leo tarehe 7 februari 2020 na mhandisi mohamed ngulangwa mkurugenzi wa habari uenezi na mahusiano na umma cuf
cuf kinatoa wito kwa serikali kuufuta au kusimamisha utekelezaji wake kwa kuwa una hasara nyingi kuliko faida cuf kinaamini kinachostahili kufanyika awali ni maboresho ya mitaala kabla ya utekelezaji wa marufuku iliyomo ndani ya waraka tajwa hapo juu inaeleza taarifa ya mhandisi ngulangwa
kwa mujibu wa taarifa ya mhandisi ngulangwa waraka huo unapiga marufuku ratiba za masomo ya ziada ratiba za masomo ya mwisho wa wiki na vipindi vya likizo kitendo kitakacho athiri zaidi shule za kutwa za serikali na binafsi
cuf kimeupitia waraka huo kimsingi umeelekeza kwamba muda wa masomo ya darasani ni kuanzia saa 130 asubuhi hadi saa 930 mchana waraka umepiga marufuku ratiba za nje ya muda huo ratiba za mwisho wa wiki na wakati wa likizo hata kwa madarasa ya mitihani ya kitaifa inaeleza taarifa ya mhandisi ngulangwa
mhandisi ngulangwa amesema cuf kimebaini kwamba waraka huo una mapungufu makubwa yenye hasara nyingi kuliko faida
kwanza mitaala yetu ya elimu ni mirefu kuliko muda halisi wa kukamilisha mitaala hiyo na ni shule chache sana zinazokamilisha mitaala hata kwa kutumia huo muda wa ziada uliopigwa marufuku pili masomo kwa vitendo kwa masomo ya sayansi yanahitaji muda mrefu sana na haiwezekani kutumia muda wa kawaida wa darasani amesema mhandisi ngulangwa
chama cha wananchi (cuf) kimeitaka serikali kuufuta waraka mpya wa elimu na 4 wa mwaka 2020 kwa maelezo kwamba utekelezwaji wake utapelekea walimu kushindwa kuwaanda vyema wanafunzi kwa ajili ya mitihani yao ya kuhitimu masomo anaripoti martin kamote dar es salaam (endelea) taarifa hiyo imetolewa leo tarehe 7 februari 2020 na mhandisi mohamed ngulangwa mkurugenzi wa habari uenezi na mahusiano na umma cuf cuf kinatoa wito kwa serikali kuufuta au kusimamisha utekelezaji wake kwa kuwa una hasara nyingi kuliko faida cuf kinaamini kinachostahili kufanyika awali ni maboresho ya mitaala kabla ya utekelezaji wa marufuku iliyomo ndani ya waraka tajwa&hellip
previous viongozi chadema wazuiwa kwenda nje ya nchi
next sensa kubaini wasio na ajira yaja | 2020-04-09T20:52:32 | http://mwanahalisionline.com/cuf-chaibuka-na-waraka-mpya-wa-elimu/ |
mgombea ubunge wa kinondoni kwa tiketi ya ukawa afunika | keronyingi
home / siasa / mgombea ubunge wa kinondoni kwa tiketi ya ukawa afunika
mgombea ubunge wa kinondoni kwa tiketi ya ukawa afunika
mkala fundikira 90900 pm siasa edit | 2018-06-24T04:58:33 | http://keronyingi.blogspot.com/2015/09/mgombea-ubunge-wa-kinondoni-kwa-tiketi.html |
makosa 3 uyafanyayo wakati wa kutumia beauty blender | afroswagga
beauty blander ni zile sponge zinazo tumika ku blend make up yako ikae sawa una weza ukaziona ukaona rahisi kutumia lakini kuna namna ya kuzitumia ukapata matokeo mazuri zaidi haya ni makosa ambayo wengi wetu tuna yafanya wakati wa kutumia beauty blender
1)unaitumia ikiwa kavu
kutumia beauty blender ikiwa kavu ina leta zile alama kama za michirizi ya kukatika usoni wakati wa ku apply faundation au kipodozi chochote ni vizuri ukailowesha ikaushe mara mbili tatu halafu paka foundation yako na upake usoni kwa matokeo mazuri zaidi ukimaliza hakikisha una iosha papo hapo na kuiacha ikauke kabisa ndipo uje kuitumia tena siku nyingine
2) una palaza
hili ni kosa kubwa ambalo wengi wana fanya una paka kama foundation usoni halafu una ipalaza na beauty blender kama una paka mafuta ya mgando hapana unatakiwa kuibounc ile beuty blender usoni fanya kama una dundisha dundisha kitenesi
3) una paka foundation kwenye sponge
usipake foundation kwenye sponge halafu ndio uanze kubounce usoni hapana chukua kiasi cha foundation paka kwenye ngozi yako usoni kama puani utosini kidevuni mashavuni una paka kidogo kidogo kisha pitisha sponge yako kwa mtindo wa kudunda dunda | 2018-09-19T18:13:18 | http://afroswagga.com/urembo/makosa-3-uyafanyayo-wakati-wa-kutumia-beauty-blender/ |
nani mwenye akili kati ya makamba na mzee kisumo | jamiiforums | the home of great thinkers
nani mwenye akili kati ya makamba na mzee kisumo
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by lokissa dec 30 2010
wanajf hebu tutizame busara na akili za hawa watuhivi nani mwenye akili na busaranani mzalendo wa kweli
mimi kama makamba siwezi kusema lolote ila kamati kuu ya ccm ndio pekee inayoweza kukaa na kujadili mapungufu yaliyopo katika katiba na kutoa ushauri kwa serikali''alisema na kuongeza lakini serikali ni ccm na ccm ndio serikali hivyo kukiwa na lolote lazima chama kijadili kwanza kiundani na baadaye kupeleka mapendekezo serikalini kwa ajili ya utekelezaji
makamba alitoa kauli hiyo kujibu hoja la mdhamini wa ccm peter kisumo ambaye alitaka ccm itolee kauli suala hilo na isiogope kuongoza mjadala wa katiba kwani suala hilo sasa limeshakuwa la jamii
tunaheshimu mawazo ya mzee wetu kisumo kwani ikilazimika ccm tutakaa na kujadili hili suala kiundani na kama vipi ndugu yangu tutatoa tamko kama tulivyoshauriwa alisema makamba juzi mwenyekiti wa baraza la wadhamini la chama cha mapinduzi (ccm) kisumo alikitaka chama hicho kutoa tamko linaloonyesha msimamo wake kuhusu mjadala huo
kisumo alisema ccm haipaswi kuogopa kuongoza mchakato wa mabadiliko ya katiba kwa kuwa mabadiliko ya kiuchumi na kisiasa yaliyotokea nchini tangu mwaka 1977 yanalazimisha kuwapo kwa katiba mpya
kisumo aliitahadharisha ccm na kuitaka iitazame vizuri agenda ya mabadiliko ya katiba vinginevyo itaonekana ni agenda ya chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) na kukipa umaarufu wa bure chama hicho
tusiogope suala la kuleta mabadiliko ya katiba na mimi naitahadharisha ccm kama haitakuwa msitari wa mbele kuongoza agenda hii basi itaonekana ni agenda ya chadema kama ilivyotokea katika suala la vita ya ufisadialisema kisumo
wote inaonekana hawana idea na nini kinatakiwa kufanyika
kinachotakiwa ni katiba inayoendana na mazingira ya sasa hivi ya tanzania na itakayokuwa na manufaa kwa wananchi wote
suala la chama gani kinaongoza au chama kipi kipo juu ya mwenzake mchakato wa majadiliano hayo halina msingi
wananchi tungependa ushirikiano baina ya vyama vya siasa ktk mchakato mzima wa katiba mpya | 2018-01-19T00:31:36 | https://www.jamiiforums.com/threads/nani-mwenye-akili-kati-ya-makamba-na-mzee-kisumo.98799/ |
ay aingia katika orodha ya 2013hip hop heavyweights ya jarida la heshima | ubuyu
ay aingia katika orodha ya 2013hip hop heavyweights ya jarida la heshima
kwenye jarida la mwezi november la bongo5 ay alikuwa mmoja ya wasanii tuliowaweka kwenye orodha ya bongo kings hivyo si jambo la kushangaza kuona jarida la heshima la kenya kumweka kwenye orodha yake ya 2013 hip hop heavyweights ay ambaye jina lake halisi ni ambwene yessaya ana mengi aliyoyafikia na kumfanya apate heshima
tukianza na tuzo ya channel o aliyoipata mwaka jana (video bora ya afrika mashariki) kwa wimbo wake i dont wanna be alone ay ndiye msanii wa tanzania ambaye video zake zinachezwa zaidi kwenye tv za kimataifa speak with your body party zone money na list inaendelea
pia anangara kwenye video aliyoshirikishwa na msanii wa nigeria goldie harveyskibono tayari ana wimbo uliokamilika aliofanya na sean kingstone so bado tu una wasiwasi na uheavy weight wa ambwene
kampuni yake ya unity entertainment imeendelea kukua na sasa ikiwa na wasanii kama ommy dimpoz feza kessy na stereo kwenye roaster yake
posted by juma mpekuzi at 31300 pm
labels ay habari za kitaifa | 2018-01-16T07:31:32 | http://www.ubuyublog.com/2013/01/ay-aingia-katika-orodha-ya-2013hip-hop.html |
kaka wa kambo wa kiongozi wa korea kaskazini aliyeuawa alikuwa jasusi wa cia mbukuzi
date june 11 2019author mbukuzi blog 0 comments
kaka wa kambo wa kiongozi wa korea kaskazini aliuawa baada ya kubainika kuwa ni jasusi wa shirika kuu la kijasusi la marekani cia
kwa mujibu wa gazeti la wall street journal kim jongnam kaka wa kambo wa kiongozi wa korea kaskazini kim jongun aliuawa kwa sumu akiwa safarini nchini malaysia mwaka 2017
gazeti hilo limechapisha ripoti hiyo jumatatu na kusema limedokezewa hayo na mtu mwenye taarifa kamili kuhusu tukio hilo gazeti hilo limedokeza kuwa kulikuwa na mawasiliano baina ya cia na kim jongnam
uchunguzi uliofanywa na malaysia kuhusu kesi hiyo mwaka jana uligundua kuwa kaka wa kambo wa kiongozi wa korea kaskazini alikutana an raia mmoja wa marekani aliyeshukiwa kuwa ni jasusi katika hoteli moja nchini malaysia siku nne kabla ya kuuawa tarehe 9 februari 2019
kabla ya hapo raia mmoja wa indonesia siti aisyah na raia mmoja wa vietnam doan thi huong walikuwa wamekamatwa kwa tuhuma za kumpa sumu kim jongnam katika uwanja wa ndege wa kuala lumpur lakini waliachiliwa huru mapema mwaka huu nchini malaysia baada ya kukosekana ushahidi
marekani na korea kaskazini zina historia ndefu ya uhasama na uadui mwaka jana rais donald trump wa marekani alikutana na kiongozi wa korea kaskazini kim jongun nchini singapore kwa ajili ya mazungumzo ya nyuklia
walifanya mkutano wa pili mjini hanoi vietnam mapema mwaka huu lakini mazungumzo hayo yaligonga mwamba baada ya korea kaskazini kuituhumu washington kuwa imepoteza fursa nadra ya kupunguza uhasama
previous previous post rais magufuli ataja sababu za kumtumbua kamishna mkuu wa mamlaka ya mapato tanzania (tra) charles kichere
next next post polisi kenya wamjeruhi vibaya kwa risasi kijana aliyetaka kuingia ikulu kwa nguvu | 2019-06-20T01:42:17 | https://mbukuzihuru.com/2019/06/11/kaka-wa-kambo-wa-kiongozi-wa-korea-kaskazini-aliyeuawa-alikuwa-jasusi-wa-cia/ |
kumbukumbu ya miaka 5 ya ndg john s shilatu ~ g sengo
kumbukumbu ya miaka 5 ya ndg john s shilatu
ilikuwa dakika saa siku mwezi na sasa ni miaka 5 tangu rafiki yetu baba yetu na babu yetu ndugu john s shilatu ututoke ghafla mnamo julai 23 2013
unakumbukwa na mkeo wanao wajukuu ndugu jamaa marafiki zako na ukoo wa shilatu na makere ambao kamwe hawatakaa wausahau ucheshi upendo na huruma zako kwa kila mtu
tunazidi kumuomba mwenyezi mungu akupumzishe mahali pema peponi
jina la bwana lihimidiwe amen | 2019-01-19T02:35:04 | https://gsengo.blogspot.com/2018/07/kumbukumbu-ya-miaka-5-ya-ndg-john-s.html |
matukio uk uchaguziccm2015com
kamati kuu ya halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi (ccm) taifa imefanya uteuzi wa kamati ya kampeni kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa oktoba 2015 ambayo itaongozwa na katibu mkuu wa ccm ndugu abdulrahman kinana | 2018-06-23T21:20:36 | http://matukiouk.blogspot.com/2015/08/uchaguziccm2015com.html |
box office filimi fifty shades freed yatunguranye iza ku mwanya wa mbere jumanji isubira inyuma cyane | ibyamamarecom
home amakuru mashya box office filimi fifty shades freed yatunguranye iza ku mwanya wa mbere jumanji isubira inyuma cyane
box office filimi fifty shades freed yatunguranye iza ku mwanya wa mbere jumanji isubira inyuma cyane
box office yo muri iki cyumweru kuri ubu iyobowe na filimi yitwa fifty shades freed ya company ya universal picturesiyi ni filimi yagaragayemo abakinnyi nka james foley dakota johnson na jamie dornan iyi filimi ishingiye ku nkuru yanditse mu gitabo gifite izina nkiri cyitwa fifty shades free cyanditswe na eljames mu mwaka 2015
inkuru yurukundo ivugwa muri iyi filimi ikomeje kuyiha amahirwe yo kwinjiza akayabo
1fifty shades freed ni filimi ya company ya universal pictures mu muri iki cyumweru kimwe isohotsemo imaze gucuruza amadorari $38560195 mu mpera zicyumweru twasoje iyi filimi yerekaniwe mu byumba byerekanirwamo filimi 3768iyi filimi isa naho izanye ubukana bukomeye kuko habura amadorari make ngo ayayishowemo yose iyagaruze dore ko yakozwe hifashishijwe amadorari miliyoni 5
2peter rabbit iyi ni filimi yakozwe na company ya sony iyi yo yacurujwemo miliyoni $25010928 mu gihe kingana nicyumweru kimwe gusa imaze ku isokoiyi filimi yerekaniwe mu mazu asaga gato 3700iyi filimi kandi mu kuyikora yatwaye miliyoni 50 zamadorari ya amerika
3the 1517 to paris iyi i filimi yakozwe na company ya wb iyi filimi nayo kimwe nizi za mbere ni icyumweru cyayo cya mbereiyi filimi yerekanwe bwa mbere mu byumba 30042 yinjirizamo akayabo ka $12554286iyi filimi ikorwa hifashisgijwe ingengo yimari ingana na miliyoni 30 zamadoari ya amerika
4jumanji welcome to the jungleiyi niyo filimi imaze igihe kitari gito yarigaruriye mitima yabakunzi benshi ba cinema haba muri amerika no ku isi hoseiyi filimi imaze ibyumweru 8 hanze ikaba yarinjije angana na $365855215 muri icyo gihe cyosekuri ubu muri iki cyumweru imaze kwinjiza miliyoni $10023344iyi filimi ni filimi iya sony yatunganijwe hifashishjwe ingengo yimari ya miliyoni 98
5the greatest showman iyi ni filimi ya fox imaze igihe cyibyumweru 8 kuri uru rutonde rwa filimi icumi ziba zikunzwe cyane ku isimuri iki cyumweru imaze kugira $6443343 mu gihe cyose imaze ku isoko yinjije $146579213sony itunganywa ryiyi filimi yifashishije miliyoni 84 zamadorari y amerika
6maze runner the death cure iyi i filimi ya company ya fox iyi filimi imaze igihe kingana nibumweru 3 ku isoko ikaba imaze kwinjiza $49240432 yose hamweiyi filimi muri iki cyumweru honyine imaze kwijiza angana na $6222303 bihita biyishyira ku mwanya iriho ubu ngubu wa 6
7winchester iyi filimi ni iya company ya lgfiyi yo imaze igihe kingana nibyumweru bibiri gusaimaze kwinjiza 17338575mu gihe iki cyumweru cyonyine ifite 5211217 zamadorari ya amerika
8the post yo ni filimi ya company ya fox iyi nao sinshya muri uru rutonde dore ko imazemo ibyumweru 8iyi filimi imaze kwinjiza angana na $72968518 mu gihe mu kuyikora hari hifashishijwe ingengo yimari ya miliyoni 50 zamadorari ya amerika muri iki cyumweru ije ku mwanya wa 8 na miliyoni $3631998
9the shape of water iyi nayo ni filimi yakozwe na company ya fox iyi filimi niyo ikuze kuri uru rutonde dore ko imaze ibyumweru 11 isohotsekuri ubu imaze kwinjiza amadorari $49942946 muri icyo gihe cyose imaze harimo na $3177255 yinjije muri iki cyumweru
10den of thievesiyi filimi yakozwe inatunganywa na stx iyi filimi kandi ni filimi imaze ibyumweru 4 muri box office na miliyoni zayo $41070702 imaze kwinjizaigituma iza ku mwanya wa 10 ariko ni uko muri iki cyuwmeru yinjije $2999379 ari nabyo biyiha ayo mahirwe
previous postmenya byinshi kumunsi mukuru wa saint valentin twizihiza uyu munsi next postareruya joseph ari ku isonga mu bakinnyi beza bogusiganwa ku magare muri afurika | 2018-05-25T14:53:12 | http://ibyamamare.com/box-office-filimi-fifty-shades-freed-yatunguranye-iza-ku-mwanya-wa-mbere-jumanji-isubira-inyuma-cyane/ |
global voices in swahili · habari za uandishi wa kiraia kuhusu azerbaijan
kumbukumbu kwa miezi novemba 2009 2 jumbe
habari kuhusu azerbaijan 23 novemba 2009
azerbaijan baada ya hukumu ya wanablogu wa video imeandikwa na onnik krikorian · haki za binadamu siku chache baada ya hukumu ya vijana wanaharakati wawili wa blogu za video huko azerbaijan wanablogu wengine wanaanza kuongea kwa sauti juu ya kifungo cha
kuhusu habari zetu za azerbaijan azərbaycan
kama ungependa kuungana nasi tafadhali jaza fomu hii ya kujiunga au wasiliana na mhariri kwa barua pepe christianbwaya [at] gmail [dot] com muhtasari wa habari kuhusu azerbaijan
4 novemba 2009mawazoazerbaijan bikra
onyesha vyote muhtasari wa habari kuhusu azerbaijan »msaada sauti za dunia
maoni kuhusu azerbaijan | 2014-11-27T05:21:13 | http://sw.globalvoicesonline.org/category/world/central-asia-caucasus/azerbaijan/ |
zec yakusudia kupandikiza wapiga kura 2000 magogoni | menu
zec yakusudia kupandikiza wapiga kura 2000 magogoni
hakinaumma / march 13 2009 taarifa kwa vyombo vya habari 13 machi 2009
njama za zec kuongeza idadi ya wapiga kura jimbo la magogoni
leo ni tarehe 13 machi 2009 siku tano baada ya kumalizika uadikishaji wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi mdogo wa jimbo la magogoni kwa nafasi ya uwakilishi na pia uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura licha ya siku hizo kupita tume ya uchaguzi ya zanzibar (zec) imeshindwa kutoa hadharani takwimu za walioandikishwa na hivyo wanaotarajiwa kupiga kura katika uchaguzi huo wa jimbo moja tu tayari sisi chama cha wananchi (cuf) tumeshapokea taarifa za uhakika kwamba zec ina njama za kuandikisha wapiga kura wengine ili wafikie idadi ya watu 7000 kwa makusudi ya kukinufaisha chama cha mapinduzi (ccm) taarifa tulizonazo ni kwamba bado zec imekuwa ikiendelea kutoa vipande vya kupiga kura kwa watu wasiohusika hadi leo hii
ili kuweka rekodi sawa na kujenga tahadhari ya mapema kwa wazanzibari watanzania na walimwengu wote sisi cuf tumeamua kuziweka hadharani takwimu hizo kama zilivyokusanywa na zec mawakala wetu na wa vyama vingine vya siasa tukio kituo tarehe walioandikishwa
uandikishaji mpya v/vidogo 28 feb 2009 187
1 machi 2009 157
2 machi 2009 49
jumla ndogo ia 393
sk/kinuni 28 feb 2009 66
1 machi 2009 74
jumla ndogo ib 189
hosp/welezo 28 feb 2009 43
1 machi 2009 28
jumla ndogo ic 120
sk/welezo 28 feb 2009 202
1 machi 2009 267
2 machi 2009 174
jumla ndogo id 643
tukio kituo tarehe walioandikishwa
ubadilishaji vipande v/vidogo 3 machi 2009 435
4 machi 2009 437
5 machi 2009 346
6 machi 2009 158
jumla ndogo iia 1376
sk/kinuni 3 machi 2009 343
4 machi 2009 270
5 machi 2009 159
6 machi 2009 43
jumla ndogo iib 815
hos/welezo 3 machi 2009 40
4 machi 2009 79
5 machi 2009 29
6 machi 2009 9
jumla ndogo iic 157
sk/welezo 3 machi 2009 442
4 machi 2009 367
5 machi 2009 312
6 machi 2009 200
jumla ndogo iid 1321
uhamisho v/vidogo 7 machi 2009 164
sk/kinuni 7 machi 2009 62
hos/welezo 7 machi 2009 11
sk/welezo 7 machi 2009 125
jumla ndogo iii 362
waliopoteza v/vidogo 8 machi 2009 45
sk/kinuni 8 machi 2009 25
hos/welezo 8 machi 2009 6
sk/welezo 8 machi 2009 52
jumla ndogo iv 128
ufupisho i (kwa mujibu wa siku)
siku walioandikishwa vituo vyote vinne
siku ya kwanza = 28/02/09 498
siku ya pili = 01/03/09 526
siku ya tatu = 02/03/09 321
siku ya nne = 03/03/09 1260
siku ya tano = 04/03/09 1153
siku ya sita = 05/03/09 846
siku ya saba = 06/03/09 410
siku ya nane = 07/03/09 362
siku ya tisa = 08/03/09 128
jumla kuu 5504
ufupisho ii (kwa mujibu wa kituo)
kituo walioandikishwa kwa siku zote tisa
viwanda vidogo vidogo 1978
skuli ya kinuni 1091
hospitali ya welezo 294
skuli ya welezo 2141
kwa hivyo takwimu halisi ya hadi saa 1000 alasiri ya tarehe 8 machi 2009 vituo vya uandikishaji vilipofungwa katika jimbo la magogoni zinaonesha kuwa walioandikishwa kuwa wapiga kura ni watu 5504 tu vile vile zec ilitangaza majina ya watu wasiozidi 33 ambao mwanzoni walikuwa wamekataliwa kuandikishwa lakini baadaye rufaa zao zikapita kwenda ofisi yake ya wilaya kujiandikisha hii maana yake nyongeza haitofikia watu 50 juu ya ile 5504 iliyoandikishwa vituoni wapendwa wanahabari taarifa ambazo tunazo ni kwamba zec imekusudia kuongeza wapiga kura 2000 ili kufikia hisabu ya wapiga kura 7000 ambao walipiga kura mwaka 2005 kwa upande mmoja hatua hiyo inakusudiwa kuziba aibu ya 2005 ambapo zec ilipandikiza wapiga kura zaidi katika jimbo la magogoni mara hii kutokana na umakini wa mawakala na viongozi mbalimbali wa vyama vya siasa utatu usio mtakatifu wa zec ccm na smz (kupitia masheha) ulishindwa kupandikiza idadi hiyo na sasa wanataka kuona kwamba aibu yao inasitirika kwenye takwimu kwa upande wa pili uongezaji huo wa wapiga kura unakusudiwa kuibeba ccm kwani zec imepanga kutokubandika orodha ya wapiga kura kwa ajili ya pingamizi hadi siku za mwisho mwisho ambapo orodha hiyo haitawekwa kwa mfumo wa alfabeti na wala kwenye vituo husika na hivyo kufanya iwe vigumu kwa watu kuwabaini mapandikizi na kuwawekea pingamizi itakumbukwa kuwa mbinu kama hiyo ndiyo iliyotumiwa na tume ya taifa ya uchaguzi (nec) katika chaguzi ndogo za tarime na mbeya vijijini
kwa ufafanuzi huo hapo juu na kwa taarifa hii sisi cuf chama cha wananchi tunatamka yafuatayo
1 kwa madhumuni ya uwajibikaji tunaitaka zec ichapishe na itoe hadharani takwimu za uandikishaji wa magogoni kama ilivyosikusanya kutoka vituoni haraka ni jambo la kushangaza kwamba hadi tunatoa taarifa hii mtandao wa zec http//wwwzecgotz haujapachikwa takwimu za siku mbili za mwisho za uandikishaji (7 8 machi 2009) tunaweka wazi kwamba hatutakubaliana na idadi nyengine yoyote ya wapiga kura wa jimbo la magogoni itakayokiuka takwimu hizi zilizokusanywa vituoni na nyongeza hiyo isiyofikia watu 100 baada ya rufaa kumaliza kusikilizwa na kupita
2 kwa madhumuni ya kujengeana imani tunaitaka zec ikabidhishe haraka daftari la kudumu la wapiga kura lenye picha kwa vyama vyote vya siasa kama ilivyokuwa imeahidi hapo kabla
3 tunaukumbusha utatu usio mtakatifu wa ccm zec na smz (kupitia masheha wao) kwamba zanzibar na tanzania ni zetu sote kwa hivyo waache mara moja fitina zao za kisiasa ambazo zinahatarisha utangamano wa nchi ni wao ndio watakaondelea kubeba lawama ikiwa wataitumbukiza tena nchi hii katika maafa
4 kwa wazanzibari na watanzania wote tunawatanabahisha tena kuwa hizi ndizo serikali za ccm na tume zake za uchaguzi na huu ndio mchezo wao wa kuchezea amani ya nchi kwa manufaa ya kitambo ya kisiasa zanzibar na tanzania ni kubwa kuliko ccm zec smz masheha wao na hata kuliko cuf tusaidiane kuijenga nchi yetu na sio kuibomoa
5 kwa ulimwengu tunatoa indhari tena na tena kwamba taasisi zilizoaminiwa kusimamia chaguzi huru za wazi na za haki nchini mwetu ndizo hizo hizo zinazosimamia uchafuzi na ufisadi katika uchaguzi ulimwengu una jukumu la kusaidia demokrasia ichukuwe mkondo wake zanzibar na tanzania kwa ujumla maana demokrasia ndio msingi wa maendeleo bila ya demokrasia misaada inayotolewa kwetu itaendelea kuishia kwenye midomo ya viongozi wasiowajibika kwa wananchi kwa kuwa sio wanaokuwa wamewaweka madarakani
6 mwisho tunaendelea kusisitiza imani yetu siasa za kistaarabu za kushindana bila kupigana tunatarajia wenzetu wa ccm wanaacha utamaduni wao wa kutumia fujo kama njia ya kuendelea kusalia madarakani
mkurugenzi uenezi na mahusiano na umma
s l p 3637 makao makuu zanzibar
s l p 10979 ofisi kuu dar es salaam
simu +255 777 414 112
email cufhabari@yahoocom
weblog https//hakinaummawordpresscom
website http//wwwcufortz
share thisredditemailprintfacebooktwitterlike thislike loading march 13 2009 in habari mbalimbali related posts
dalili za ushirikiano wa smz na zec kuharibu uchaguzi
njama za smz kwa tarehe 7 machi 2009
← isemavyo cuf kuhusu muhunzi mzee mloo afariki dunia → | 2017-07-22T04:51:06 | https://hakinaumma.wordpress.com/2009/03/13/zec-yakusudia-kupandikiza-wapiga-kura-2000-magogoni/ |
mradi wa tasaf nchini umwsaidia kujenga umoja wa wazanzibar bila ya kujali itikadi na imani za kidini zanzinews
home habari matukio mradi wa tasaf nchini umwsaidia kujenga umoja wa wazanzibar bila ya kujali itikadi na imani za kidini
mradi wa tasaf nchini umwsaidia kujenga umoja wa wazanzibar bila ya kujali itikadi na imani za kidini
othman maulid 1039 pm
naibu katibu mkuu ofisi ya makamu wa pili wa rais wa zanzibar nd abdallah hassan mitawi akitoa neon la shukrani kwa ujumbe wa wakurugenzi wa benki ya dunia baada ya kukamilika kwa tafrija waliyoandaliwa hapo sea cliff kama
baadhi ya wakurugenzi wa benki ya dunia pamoja na wale wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar serikali ya muungano wakiwa katika tafrija ya pamoja ya kupongezana baada ya kumalizika kwa ziara ya ujumbe huo wa benki ya dunia
naibu waziri ofisi ya makamu wa pili wa rais wa zanzibar mh mihayo juma nhunga akibadilishana mawazo na mmoja wa wakurugenzi wa benki ya dunia wakipata chakula baada yakumaliza ziara ya siku tatu kukagua miradi ya maendeleo visiwani zanzibar( picha na ompr znz)
naibu katibu mkuu wizara ya nchi ofisi ya makamu wa pili wa rais wa zanzibar nd abdallah hassan mitawi alisema kwamba uwepo wa mradi wa tasaf nchini umesaidia kujenga umoja wa wazanzibari bila ya kujali itikadi na imani zao za dini
hayo yameelezwa na naibu katibu mkuu ofisi ya makamu wa pili wa rais wa zanzibar nd abdallah hassan mitawi wakati akitoa shukrani kwa ujumbe wa wakurugenzi wa benki ya dunia katika hafla iliyohudhuriwa pia na makamu wa pili wa rais wa zanzibar balozi seif hapo hoteli ya sea cliff kama
alisema tokea kuanza kwa miradi hiyo wa kaya maskini mfuko wa maendeleo ya jamii tanzania awamu ya tatu umesaidia kujenga umoja na kuleta mwamko mpya wa maendeleo chini ya program ya uwezeshaji wa kaya hizo
akizungumzia umuhimu wa mradi huo naibu katibu mkuu huyo ofisi ya makamu wa pili wa rais wa zanzibar alisema mfuko huo umesaidia kupunguza umaskini na kutoa fursa pana kwa jamii kujiajiri wenyewe
ujumbe wa wakurugenzi 80 kutoka benki ya dunia ulikuwepo nchini tanzania kwa ziara ya siku tatu kukagua miradiinayotekelezwa nchini ambapo wameeleza kuridhika kwao na jinsi miradi hiyo inavyosimamiwa | 2018-11-15T08:41:05 | http://www.zanzinews.com/2018/06/mradi-wa-tasaf-nchini-umwsaidia-kujenga.html |
mashindano ya mchezo wa mieleka ya ridhaa ya kuwania kombe la mwal nyerere yameanza leo
mashindano ya mchezo wa mieleka ya ridhaa ya kuwania kombe la mwal nyerere yameanza leo mashindano ya mchezo wa mieleka ya ridhaa ya kuwania kombe la mwalimu nyerere yameanza leo ambapo wachezaji kutoka vilabu vinne vya jijini dar es salaam wamechuana vikali katika mzunguko wa kwanza uzito wa kilogramu 55 bashiru athumani ameibuka mshindi baada ya kumchapa mohamed kumwembe kwa point 31
wakati katika mchezo uliofuata mohamed kumwembe amemchapa william zingira kwa point 31 huku subiri newton naye akimshinda hassan zaharani kwa point 50 na kwa upande wa uzito wa kg 74 selly ally naye amemchapa benjamini soko kwa point 50
nae mchezaji gervas chilikwely nae amemchapa hashim zongo kwa point 52 na kwa uzito kg 120 habibu lema amemfunga boniface tugala kwa point 50
mashindano hayo yamezinduliwa na naibu kamishna jenerali wa jeshi la zima moto na uokoaji lodwino mgumba ambaye ameahidi kulipa deni la chama cha mieleka la shilingi milioni walizokuwa wanadaiwa na shirikisho la kimatifa la mchezo wa mieleka la ridha na kusababisha chama hicho kufungiwa kushiriki katika michezo ya kimataifa kwa kipindi kirefu
[db_insert_placeholder_0] => u4olrlaas9ametlg1quim6luvtzl_jmjf_nmxzlgnkq
[db_insert_placeholder_5] => messages|a1{s5"error"a2{i0s353"<em class="placeholder">deprecated function</em> mysql_connect() the mysql extension is deprecated and will be removed in the future use mysqli or pdo instead in <em class="placeholder">mysql&gtconnect()</em> (line <em class="placeholder">51</em> of <em class="placeholder">/home/itv/public_html/classes/db_explorer/fh3/yadal/classmysqlphp</em>)"i1s316"<em class="placeholder">deprecated function</em> mysql_connect() the mysql extension is deprecated and will be removed in the future use mysqli or pdo instead in <em class="placeholder">include()</em> (line <em class="placeholder">14</em> of <em class="placeholder">/home/itv/public_html/config/db_connphp</em>)"}}oweb_conf|a1{s9"module_id"s2"40"}levels|a6{i1a4{s5"title"s4"root"s2"id"s1"1"s9"parent_id"s1"0"s5"level"s1"1"}i2a4{s5"title"s9"40 root"s2"id"s2"18"s9"parent_id"s1"1"s5"level"s1"2"}i3a4{s5"title"s4"news"s2"id"s2"20"s9"parent_id"s2"18"s5"level"s1"3"}i4a4{s5"title"s5"sport"s2"id"s2"41"s9"parent_id"s2"20"s5"level"s1"4"}i5a4{s5"title"s15"week 1 oct 2013"s2"id"s3"533"s9"parent_id"s2"41"s5"level"s1"5"}s7"current"a4{s5"title"s15"week 1 oct 2013"s2"id"s3"533"s9"parent_id"s2"41"s5"level"s1"5"}}oweb_url|s152"cd1uzxdzl3nwb3j0lzuzmy00nti4l01hc2hpbmrhbm9fewffbwnozxpvx3dhx21pzwxla2ffewffcmlkagfhx3lhx2t1d2fuawffa29tymvfbgfftxdhbf9oewvyzxjlx3lhbwvhbnphx2xlby5odg1s"
[db_insert_placeholder_6] => 1488185711 | 2017-02-27T08:55:15 | http://www.itv.co.tz/news/sport/533-4528/Mashindano_ya_mchezo_wa_mieleka_ya_ridhaa_ya_kuwania_kombe_la_Mwal_Nyerere_yameanza_leo.html |
pro mech ltd kampuni inayoficha uhalifu wa matraffic tazara | jamiiforums | the home of great thinkers
pro mech ltd kampuni inayoficha uhalifu wa matraffic tazara
wapendwa kuna kampuni moja ukiwa tazara kuelekea mjini kushoto kuna hii kampuni wamefanya kama sehemu ya kukatia vichwa vya ngombe na mbuzi kule vingunguti nasema hivi nikimaanisha imekuwa sehemu ya matraffic wa pale tazara kuanza kukuomba pesa utakapokamatwa
nilishangaa nikiwa namsubiri mke wangu kuchukua chei ya nssf twende loliondo kwa babu wakaingia kama watu 5 na traffic 3 dada 2 na kaka mmoja
nilipoona hivyo gafla nikaijfanya nasogelea nikakuta madada wawili wanakunywa redbull na mmoja anakunywa savannah akiwa na jezi mwili ulisisimka mno
nikaona gafula msurur wa makondanikamuuliza muuza maji akasema kaa ile ndio central ya mjininilisikitika sana gafla akanionyesha gari ya suzuki nyekundu it774 abf inayomilikiwa na mwanamama mmoja mwenye nyotana t188 aek na mark two t420aet zote n maliza hawa polisi nikiwa nasubiri kidogo nkaona konda anakuja mama mmoja akatoka kwenda gari nyekundu konda akamfwata akampa hela liveeeeee yaani hata aangalii pemben kama kuna mtu niliogopa sana
sitoi lawama kwa hawa wah najua serikali ndio imeafikisha mlipo hapo na ndio maana mmechelewa kila mtu anafait kutembea naa gari safi kama wakina mahita tibaigana na sio wao pekeewanakalia mashangangi
wazo langu si kuwakataza bali kuomba mh lukuvi awaboreshe waweze kuchukua hizi hela kwa amani bila kificho na pia wawekewe hata ffu kuwalinda zile hela wanazochukuakama babu aanapelekewa ulinzi wa 500 hawa wanaokula laki kwa siku si muhmu zaid
serikali tuwaboreshe maafande wetu waishi hata kama si pepon basi ufalme wa babu uwakaribie
maama mmoja jj kinawa anaweza kutusaidia hali halisi ya pale
pole kaka pdidy hii ndio hali halisi ya bongo kila sehemu matrafik wanakula vichwa kama hawana akili nzuri ni kweli ni bora serikali ikaruhusu tu na ikiwezekana wakatwe kodi katika mapato yao tanzania nchi yangu imekuwa kama gheto la mateja hamna hata kimoja kilicho kwenye mpangilio mbele giza nyuma giza sijui tutafika
chukuwa chako mapema nchi imeshauzwa tunasubiria risiti | 2018-01-17T11:26:10 | https://www.jamiiforums.com/threads/pro-mech-ltd-kampuni-inayoficha-uhalifu-wa-matraffic-tazara.122251/ |
homez deco kreative homez february 2012
dining room sizes decorating a dining room area depends on a casetocase basis
dining room sizesone of the most important factors to determine when building a dining room area is the size as mentioned dining room sizes vary widely depending on the need and requirements of a household
place sitting room furniture in a group to encourage relaxed conversation which enough surfaces within reach for lamps glasses and books your main aim here is to create a welcoming space that's perfect for both relaxing and for entertaining
leave enough space for guests to sit down easily
make the furniture accessible from the door
place coffee or side tables no more than 45 cm(18 inch) away from the sofa and chairs to ensure they are within reach when you're seated
place all the furniture against the walls your room will look institutional and the space between the furniture will inhibit relaxed conversation
uwaga tunapata kazi maeno tofauti tofauti inaweza ikawa to mowing the lawans kukata majani kwa kutumia tractor au inaweza kupanda maua sehemu za maofisini so or to prun to cut down the tree limbs or twigsso inakuwa rahisi kwa kuwa tuna vifaa vyote ukiwa huna vifaa wapendwa inachukuwa muda mrefu sana unachoka na hilo jua la dar joto kazi inakuwa ngumu ila polepole tutafika tuu pia jambo lingine linalokera ambalo wapanda maua wengi walinilalamikia ni wateja kutojali kazi za magardeners wanawalipa kidogo sana au mtu atoe nusu kumalizia nusu inakuwa taabu sisi ktk kazi zetu hatuitaji usumbufu sitaki kabisaa kitu cha kwanza ukiitaji huduma toka kwetu lazima tufike nyumbani kwako au kazini au sehemu ya bihashara tufanye tathimini ya kazi itagarimu kiasi gani tupange kabisa budget maana ni muhimu anayefanyia kazi ajuwe kabisaa ni kiasi gani itagarimu siyo tena tuanze kulaumiana kuna baadhi ya vitendea kazi havinaga bei maalum pia tuangalia suala la umbali suala la maji na umwagiliaji ni suala ambalo ni mteja tutakuelekeza ni wakati gani umwagilie na saa ngapi maana wengi wenu amjui umwagilia saa ngapi so tutazidi kuelimisha wadau asanteni
kwa wakazi wa dar ningewashauri kama una mpango wa kuanda maua ya aina yoyote ile udongo ni muhimu mbolea na umwagiliaji siku za mwanzo pia panda maua pindi mvua zinapoanza maua miti au vichaka vinavyostahili hali ya hewa ya dar ni maua ya lilies gadenians black tiger eyes bouganivillia ibisicus(pls google haya majina ya maua na utayaona) haya maua yanasahimili sana jua joto au magnolia stellata maua haya yanapenendezesha sana bustani za majumbani au makazini au sehemu za bihashara ninahamasisha sana wadau wa mazingira kutafuta watu ambao ni wataalum wa gardens unapokuwa na kazi hii kazi ni ya landscaping wapo ambao pia wanafanya local gardens wanafanya kazi nzuri nilitembelea maeneo mbalimbali hapo dar i was very impressed by many local gardeners wanafanya kazi nzuri tuu ila mkijigipanga mnaweza kuweka professional landscapers ndio ni aghali ila utafurahia matokeo
haya hii ndivyo ilivyokua kwenye interview na capital radio leo
interview ilikuanza saa sita mchana na nilihojiwa na sara ilikua ni kuhusu kupamba living room yenye space ndogo so maelezo yakawa kama yafuatavyo
katika kupamba living room yenye space ndogo kwenye upande wa rangi inatakiwa tupake rangi zilizoko kwenye group ya cool colors ambazo ni blue green violet ziwe light rangi hizi zinafanya chumba kidogo kua kikubwa
kwa upande wa fanicha hapa inabidi tuweke fanicha ambazo ni mult purpose nikiwa na maana kua kama ni tv shelf liwe linaweza kuweka magazine tv vyombo kiasi etc ukija kwenye sofa ni lshape pekee ndio itakayopendeza hapo stools zile za sets yaani zinakua zinaingiliana kama mnazijua zinakuaga ni 3 size tofauti carpet unaweza kuweka wall to wall carpet ama kama kuna tiles basi weka carpet za round ama pembe nne etc ziwe ni ndogo
tukamalizia na mapambo kua weka picha za ukutani za wastani kama ni 1 ama kama ziko tatu basi zipange vizuri zikifuatana
nb kuna kitu tunakiita focal point kwenye interior design & landscaping maana yake ni kua ni kitu chochote kinacho attract macho cha kwanza kukiona uingiapo mahali sasa yaweza kua ni garden picha za ukutani pazia sofa music system etc
nawashukuru sana sara na hawa wa capital radio kwa kunipa chance hii ya kuongea na watanzania wenzangu na kuwaelekeza nini cha kufanya na living room zao na hapo ndipo tulipoishia nitawajulisha ni lini tena tutaendelea na mafunzo hayacapital radio
radio interview with capital radio 1014 fm @1100am today
goodmorning people natumai weekend ilikua nzuri na tumeanza wiki vizuri weekend kwangu ilikua nzuri tuuu leo nina interview na radio capital saa 1100 asubuhi hii karibuni msikilize nini kitaongelewahapa niko tayari nimejiandaa ndio naelekea huko
nawatakiwa siku njema
step 1 utayarishaji naupandaji wa maua bushes and shrubs hatua ya kwanzakuondoa magugu majani ambayo yahatakiwi ktk bustani kama mnavyoona hapo ni kama shamba tu unalimia unaondoavisiki magugu na majani ambayo hayatakiwi so iwe ni kwenye shamba au bustanini step 2 ikiishaondoa magugu na kusafisha bustanikwa huku usa uwaga tunatumia plastic garden tarp hii ni envromnental friendly ina fyonza maji inavifadhi unyevu unyevu so inasadia mimea kukua vizuri kama mvua zikinyesha inahifadhi maji kwa muda mrefu pia siyo kama mifuko ya rambo ambayo hat aukifukia bado utakuwepo ardhini kwa muda mrefu hii ni maalum kwa gardens za aina zote ziwe za mboga mboga matunda au maua miti au vichaka vifupi na cha msingi zaidi hizi plastic tarp zinazuia magugu ambayo mara nyingi yanauwa mimea au maua kama mnavyoona hapa hiyo ndio plastic tarp kwa hapo tanzania uwaga hatutumii hizo tarps pia hatuna hizo plastic garden tarp kama zitakuwepo ni wachache wanaojua kuzitumia step 3 bado tuko kwenye uandaji wa bustani za aina mbalimbalini vizuri landscapers wenzangu kuwa na vifaa tunaita landscapers gears inakurahisishia kazi na muda wengi wenu hamna vifaa basi kazi inachua muda mrefu kumalizika step ya tatu ni kuweka mbolea hapa usa kuna mbolea za aina nyingi tu kuna za wanyama pia kuna hizi ambazo zinatengenezwa kutoka na miti majani mpaka mabaki ya wanyama ninaposema wanyama ni kwamba roads kills wanyama wanaogongwa barabarani hasa deers yaani swala uwaga wanachukua wanawachanga na miti majani wanatengeneza mbolea inaitwa mulch wenzetu wamepiga sana hatua ktk suala la mazingira na pia wanayapa kipaumbele siyo sisi kuvaa magari ya kifahari ila ukiangalia majumbani tunapoishi na mazingira yanatuzunguka ni hatari tupuwadau tuyapende mazingira yetu kwa ujumla na kuyalinda kama mnavoona hapo kwenye picha ukiwa na vifaa ni inakurahisishia kazi ni mimi hapo nikiweka hiyo mbolea aina ya mulch kwenye bustani ambayo tuliianda na hiyo mulch ni kama wengi wenu mnavyochanga mbolea na udongo na sisi huku uwa tunaweka mulch juu ya hiyo tarp plastic then una fanya laking unasawadhisha mpaka iwe leved nadhani wadau ambao mnapenda kujifunza na kuelimika jifunzeni tutaendelea tena asante posted by
homez deco inapenda kuwatakia weekend njema
founders of homez deco
hapa ni nyumbani kwa mteja wetubaada ya kuona hii nafasi iko wazi hapo ni dinning na pembeni kuna makabatiakaja kwetuakanun
homez deco tunayo furaha kuwajulisha kua tuna huduma ya kutengeneza maua ya maofisini iwe ni reception ama kwenye kumbi za mikutano | 2014-09-21T08:03:52 | http://homezdeco.blogspot.com/2012_02_01_archive.html |
breaking news kocha wa samatta atimuliwa genk | boiplus
» breaking news kocha wa samatta atimuliwa genk
breaking news kocha wa samatta atimuliwa genk
timu ya krc genk inayoshiriki ligi kuu nchini ubelgiji imesitisha mkataba na kocha wake peter maes muda mfupi uliopita
habari za ndani kutoka klabuni hapo zinasema uongozi umewatangazia wachezaji juu ya uamuzi huo huku sababu ikielezwa kuwa ni kushuka kwa kiwango cha timu hiyo inayowakilisha nchi kwenye michuano ya kombe la europa
taarifa zaidi zinasema maes ambaye mkataba wake ulikuwa umalizike mwishoni mwa msimu huu alikataa kuongeza mkataba ikiwa ni ishara kuwa alikuwa ameshapata timu nyingine jambo lililowafanya viongozi wahisi ndicho chanzo cha matokeo mabovu ya timu hiyo
maes ameitumikia genk kwa kipindi cha mwaka mmoja na miezi mitano tu tangu ajiungenao huku mtanzania mbwana samatta akiwa ni katika wachezaji wake wa mwanzo kabisa kuwasajili kikosini humo posted by | 2017-01-23T04:28:08 | http://boiplus.blogspot.com/2016/12/breaking-news-kocha-wa-samatta.html |
kauli ya ahluldhikri kuhusu baadhi yamasahaba
imam ali (as) amesema akiwazungumzia masahaba hawa wanaohesabiwa kuwa ni miongoni mwa (watu) wa mbele niliposimamia ukhalifa kuna kundi lililotengua (kiapo chake) na kundi jingine lilitoka na wengine wakafanya ujeuri kama kwamba wao hawakuyasikia maneno ya mwenyezi mungu aliposema hayo ni makazi ya akhera tunawapa wale wasiotaka ukubwa katika nchi wala uovu na marejeo (mema) ni kwa ajili ya wamchao mwenyezi mungu bila shaka wallahi wallahi waliyasikia maneno hayo na wakayafahamu lakini dunia imewapendeza machoni mwao na mapambo yake yamewafurahisha (nahjulbalagha uk90) na amesema tena (imam ali as) kuwahusu hao masahaba wamemfanya shetani kuwa ndiyo msimamizi wa mambo yao naye amewafanya wao kuwa ni washirika (wake) basi ametaga (mayai) na kuyaangua ndani ya nyoyo zao na anatambaa ndani ya akili zao basi (shetani) anaona kwa kutumia macho yao na anazungumza kwa kupitia ndimi zao akawapoteza na kuwapambia maovu yakawa ndiyo matendo ya yeyote aliyeshirikishwa na shetani ndani ya utawala wake na akazungumza batili kwa ulimi wake (nahjulbalagha uk96)
na amesema tena imam (as) juu ya sahaba mashuhuri amri ibn al'as anashangaza mwana wa nnabighah hakika amesema (mambo) batili na ametamka uovu ama (na ifahamike kwamba) kauli mabaya ni kusema uongo hakika yeye akizungumza husema uongo na akiahidi huenda kinyume na ahadi na akiomba (kitu) hulazimisha (apewe) na anapoombwa ni bakhili ana hiyana kwenye ahadi na anakata udugu (nahjulbalagha uk200) mtume wa mwenyezi mungu amesema (saw) alama za mnafiki ni tatu akizungumza husema uongo na akiahidi huenda kinyume na ahadi na akiaminiwa hufanya khiyana (ewe msomaji fahamu kwamba machafu yote haya na zaidi kuliko haya yanapatikana kwa amru ibn al'as na amesema imam ali (as) akimsifu abudharri alghifari na wakati huo huo akamshutumu uthman ibn affan pamoja na washirika wake ambao walimfukuza abudharri na kumpeleka mahala paitwapo arrabdhah kisha kutomruhusu kurudi madina mpaka akafa huko akiwa peke yake ewe abudharri hakika wewe umechukizwa kwa ajili ya mwenyezi mungu basi mtarajie huyo ambaye kwa ajili yake umechukizwa bila shaka jamaa hawa walikuogopa juu ya dunia yao nawe uliwachelea kwa ajili ya dini yako kwa hiyo viache mikonini mwao vitu ambavyo kwavyo walikuogopa na uwakimbie ukiwa na kile ambacho wewe uliwachelea wao kwa ajili yake hakika wanakitaka mno hicho ulichowazuwia nawe umetosheka mno na hicho waliochokuzuwilia na hivi karibuni utajua ni nani atakayepata faida kisha (ni nani) mwingi wa husuda na lau mbingu na ardhi zingekuwa zimeshikana juu ya mja kisha (mja huyu) akamcha mwenyezi mungu basi mwenyezi mungu angemjalia mja huyo njia katika mbingu na ardhi usiwe na kiliwazo kingine isipokuwa haki na kisikufanye mpweke chochote isipokuwa batili basi lau ungeikubali dunia yao wangekupenda na lau ungekata sehemu (katika dunia) wangekupa amani (nahjulbalagha u 299)
amesema imam ali (as) kuhusu mughirah ibn alakhnas ambaye naye ni miongoni mwa masahaba wakubwaewe mwana wa aliyelaaniwa aliyekatikiwa na (ewe mwana wa) mti ambao hauna mizizi wala matawi wallahi mwenyezi mungu hajamtukuza yule ambaye wewe unamtetea na wala hatosimama yule ambaye wewe unamnyanyua hebu tuondokee mwenyezi mungu ayaangamize makazi yako kisha azidishe mashaka yako kamwe mwenyezi mungu asikubakishie muda wa kubakia kwako (nahjulbalagha uk 306) na amesema imam (as) kuwahusu talha na zubair ambao ni masahaba mashuhuri waliompiga vita imam ali baada ya kuwa wamempa baia na hatimaye wakatengua baia yaowallahi hawakunikuta na aibu ya aina yoyote ile na wala hawakufanya uadilifu kati yangu na wao na kwa hakika wao wanaitetea damu ambayo wao ndiyo walioimwagahapana shaka hilo ndilo kundi lililoasi ndani yake yumo jamaa (wa karibu yangu (yaani zubair) na yumo nyoka madai yao si kweli bali kuna jambo walitakalo hapana shaka mambo yako wazi na hakika uovu umeondoka toka mahala pake na ulimi wake umekatika kutoka mahala pake pa uchochezi ni nyie mlionijia mbio mbio kama mwanamke mwenye watoto anavyowakimbilia wanawe na huku mnasema baia baia lakini mimi nikakikunja kiganja changu ninyi mkakinyoosha nikautoa mkono wangu nanyi mkauvuta ewe mwenyezi mungu hakika wawili hawa wameniasi na wamenidhulumu wametengua kiapo chao kwangu wamewavuruga watu dhidi yangu nakuomba uyafungue waliyoyafunga na wala usiwakubalie waliyoyaamua na uwaoneshe ubaya wa waliyoyategemea na kuyafanya niliwataka wajirekebishe kabla ya mapambano na hapo vitani niliwataka wawe mbali wakanipinga na kuukataa msamaha wangu
na amesema imam ali (as) ndani ya barua aliyowaandikia zubair na talha enyi masheikh wawili badilisheni maoni yenu (mujisahihishe) kwani sasa hivi jambo kubwa litakalowafika ni aibu kabla ya fedheha na moto havijakutana wassalaam nahjulbalagha uk 626) na amesema kuhusu marwan ibn alhakam wakati alipomteka katika vita ya jamal kisha akamwachia huru na huyu marwan ni miongoni mwa watu waliombai imam ali kisha akatengua baia yake anasema imam ali sina haja na baia yake hakika kiganja chake ni kiganja cha kiyahudi lau atanibai kwa kiganja chake hatimaye atatengua kimya kimya ama huyu (marwan) atamiliki uongozi kama mbwa arambavyo pua yake (muda mchache) naye ni baba wa watawala wanne na kutokana naye na wanawe hao umma (wa kiislamu) utakumbana na siku nyekundu matatizo na umwagaji damu na amesema imam (as) kuhusu masahaba ambao walitoka pamoja na bibi aisha kwenda basrah katika vita ya jamal na katika hao walikuwemo talha na zubair wakatoka hali ya kuwa wanaikokota heshima ya mtume wa mwenyezi mungu (saww) kama akokotwavyo mjakazi anaponunuliwa wakaielekeza basra wao wakawazuwia wake zao majumbani mwao na wakamtoa nyumbani kwa ajili yao na wasiokuwa wao mtu ambaye mtume wa mwenyezi mungu (saww) alimzuwia asitoke wakiwa ndani ya jeshi ambalo hapana mwanaume yeyote aliyekuwa ndani ya jeshi hilo isipokuwa (hapo kabla) alikuwa amenitii na kunipa kiapo cha utii kwa hiyari yake mwenyewe bila kulazimishwa
wakamshambulia muwakilishi wangu na muweka hazina wa nyumba ya mali ya waislamu hapo basra na wengineo miongoni mwa wakazi wa mji huo wakauwa watu kadhaa hali yakuwa wamefungwa na wengine wakawauwa baada ya kuwahadaa basi wallahi lau wasingemuuwa miongoni mwa waislamu isipokuwa mtu mmoja ambaye kumuuwa kwake iwe kuwa ametenda kosa lolote hakika ingenihalalikia mimi kulipiga jeshi hilo lote kwani walipomfikia hawakupinga (kuuawa kwake) wala hawakumtetea kwa ulimi wala kwa mkono achilia mbali ile hali ambayo wao wamewauwa waislamu kwa kiasi cha idadi ambayo waliyoingia nayo dhidi yao (nahjidbalagha uk370) na amesema imam (as) kuhusu bibi aisha na wafuasi wake miongoni mwa masahaba katika vita ya jamal ninyi mmekuwa askari wa mwanamke na wafuasi wa mnyama akipiga kelele ninyi mnaitikia na akijeruhiwa mnakimbia tabia yenu ni mbaya ahadi yenu ni yenye kuvunjika na dini yenu ni unafiki (nahjulbalagha uk98)
ama fulani umemtangulia mtazamo wa wanawake wenziwe anayo chuki inayotokota kifuani mwake mfano wa chungu kinachotokota lau angeitwa ili atende kwa mwingine kama haya yaliyomleta kwangu asingefanya na kwangu mimi anayo heshima yake ile ile ya mwanzo (kwa kuwa ni mke wa mtume) na malipo (yake) yapo kwa mwenyezi mungu (nahjulbalagha uk 334) pia imam ali (as) alisema kuhusu maquraishi wote na hapana shaka alikuwa akiwakususudia masahabaama sisi kuwekwa kando kuhusiana na cheo hiki (cha ukhalifa) wakati sisi ndio watukufu kwa nasaba na watu wa karibu mno na mtume kimafungamano yote hayo ni kwa sababu ya choyo na chuki katika nafsi za watu lakini hukumu ya yote hayo iko kwa mwenyezi mungu na marejeo ni kwake siku ya kiyama kwa hakika mambo ya dunia hii yananichekesha na kuniliza hasa kuhusu huyu mwana wa abu sufiyan hapana shaka ametenda mambo yanayoshangaza na kuzidisha mashaka jamaa hawa walitaka kuizima nuru ya mwenyezi mungu kutoka kwenye taa yake na kuziba mbubujiko toka kwenye asili yake na wakanichanganyia kinywaji kibaya iwapo yataondoka matatizo kwetu na kwao nitawapasha ukweli halisi vinginevyo basi usiwajutie kwani hakuna shaka mwenyezi mungu anayajua wayatendayo (nahjulbalagha uk348)
na alisema katika maana kama hii maneno yafuatayo alipokuwa akimzika bibi fatma hali yakuwa akimwambia mtume wa mwenyezi mungu binti yako atakueleza namna umma wako walivyosaidiana kuubomoa (ukhalifa) basi muulize akueleze jinsi ya hali (ilivyokuwa) hali hii (imetokea) hata haujapita muda mrefu (toka kufariki kwako) na wala utajo wako haujatoweka (nahjulbalagha uk460) na amesema imam ali (as) ndani ya barua aliyomuandikia muawiya wewe bila shaka neema zimekupa kiburi na shetani amechukua sehemu ya kwako wewe na amefikia malengo yake kupitia kwako anazunguka (mwilini mwako) mzunguko wa roho na damu tangu lini enyi kina muawiyah mmekuwa viongozi wa raia na watawala wa mambo ya umma pasina kuwa kuna unyayo uliotangulia wala heshima tukufu tunajilinda kwa mwenyezi mungu kutokana na kushikilia mwenendo wa waovu waliotangulia nakuonya kuwa wewe ni mwenye kuendelea kudanganyika kwa matamanio umekuwa tofauti kati ya nje yako na ndani yako kwa hakika wewe muawiyah umeitaka vita basi hebu waache watu pembeni unitokee mimi na yaache makundi haya mawili (langu na lako) yasipigane (utoke wewe na mimi) ili apate kutambulikana ni yupi kati yetu aliyemzoefu moyoni mwake na ambaye macho yake yamefumbwa basi (fahamu ya kwamba) mimi ndiye baba hasan ndiye niliyemuua babu yako mjomba wako na nduguyo nikawavunja vunja siku ile ya badri na ule upanga (niliowavunjia bado) ninao na moyo ule ule (wa siku ile) nilipopambana na adui yangu (bado ni ule ule) kamwe sijabadili dini wala sijazusha mtume mwingine (zaidi ya muhammad) na ni bila shaka nipo kwenye dini ambayo mliikataa kwa hiyari yenu na mkaingia bila kupenda (nahjulbalagha uk 526)
imam (as) anaendelea kusema ama kauli yako (kusema) kwamba sisi ni kizazi cha abdu manafi ni kweli sisi ndio wao lakini umayyah halinganishwi na hashim na wala harbu (babu yake muawiyah) yeye si kama abdulmutalib na wala abusufiyan si (sawa kwa ubora) kama abu talib wala muhajir (aliyetoka maka mwanzoni anajikusudia yeye mwenyewe imam as) si kama muachwa huru (anamkusudia muawiyah) wala mwenye nasaba takatifu si kama mwenye nasaba ya kubandikizwa wala atendaye haki si sawa na mpotoshaji wala muumini si sawa na muovu kwa kweli badali mbaya ni ya yule anayefuata waliomtangulia ambao wameporomokea ndani ya moto wa jahannam
mikononi mwetu (tumeshika) utukufu wa utume ambao kwao tumemuinamisha mwenye nguvu na tukamnyanyua mnyonge na pale mwenyezi mungu alipowaingiza waarabu ndani ya dini yake kwa wingi basi umma huu ulijisalimisha kwa hiyari yake na wengine kwa kulazimika hivyo ninyi mlikuwa miongoni mwa walioingia katika dini ima kwa matumaini fulani au kwa kuogopa na (kwa kweli) wamefaulu wale waliotangulia kwa sababu ya kutangulia kwao na muhajirina wa mwanzo wamejichukulia ubora wao (nahjulbalagha uk533)
kwa hakika umetuita kwenye usuluhishi wa qur'ani na wewe si miongoni mwa watu wa qur'ani (fahamu kwamba) sisi hatukukuitikia wewe (matakwa yako) lakini tumeiitika qur'ani katika hukumu yake wassalaam (nahjulbalagha uk595) waambie ukweli umekwisha fika na bila shaka uongo ni wenye kuondoka (qur'ani 1781) | 2017-11-25T07:46:11 | http://www.alhassanain.com/swahili/book/book/beliefs_library/fundamentals_of_Religion/general_books/waulize_wanaofahamu/12.html |
simba yamuondoa kocha mkenya shilton achukua nafasi kuwanoa makipa bin zubeiry sports online simba yamuondoa kocha mkenya shilton achukua nafasi kuwanoa makipa bin zubeiry sports online
mwanzo > simba > simba yamuondoa kocha mkenya shilton achukua nafasi kuwanoa makipa
simba yamuondoa kocha mkenya shilton achukua nafasi kuwanoa makipa
simba imeachana na kocha wake wa makipa mkenya iddi salim na kumchukua kipa wake wa zamani muharami mohammed shilton
taarifa ya simba sc leo imesema kwamba muharami aliyekuwa kocha wa makipa wa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17 serengeti boys amefikia makubaliano na klabu kwa kazi hiyo
na kwa sababu hiyo wazi simba inachana na mkenya salim aliyekuwa anafanya kazi msimbazi kwa mara ya pili baada ya awali miaka miwili iliyopita kuwa chini ya muingereza dylan kerr
muharami mohammed shilton ndiye kocha mpya wa makipa simba sc
na hakuna kingine ambacho kinaifanya simba ibadilishe kocha wa makipa zaidi ya kuteteraka kwa kwa viwango vya udakaji wa makipa msimu uliopita
simba imemsajili kipa wa azam fc aishi manula na inasemekana ina mpango wa kuachana na kipa wake namba moja daniel agyei baada ya miezi sita tangu imsaili kutoka medeama sc ya kwao ghana akiwa katika kiwango cha juu
imemsajili pia aliyekuwa kipa wa akiba wa mbaao fc emmanuel mseja na inasemekana inataka kumuacha kipa wa pili peter manyika naye sababu ya kushuka kiwango
kwa ujumla ubora wa makipa wa simba umekuwa si wa uhakika tangu kuondoka kwa iddi pazi father aliyekuwa kocha wa makipa wa timu hiyo
inaaminika pazi kipa wa zamani wa kihistoria simba sc ni miongoni mwa maakocha watatu bora wa makipa pamoja na juma pondamali wa yanga na manyika peter ambaye kwa sasa hana timu baada ya kufanya kazi hiyo timu ya taifa taifa stars
muharami alikuwa kipa wa simba sc mwaka 1999 na 2000 kablaa ya kwenda msumbiji ambako alicheza kwa muda mrefu wa maisha yake hadi kustaafu miaka mitano iliyopita na kuwa kocha
item reviewed simba yamuondoa kocha mkenya shilton achukua nafasi kuwanoa makipa rating 5 reviewed by bin zubeiry sports online | 2018-07-21T07:25:03 | http://www.binzubeiry.co.tz/2017/07/simba-yamuondoa-kocha-mkenya-shilton.html |
waziri mkuu awatetea masheikh uamsho wanaosota gerezani kwa miaka minne | mtanda blog
home / kitaifa / slider / waziri mkuu awatetea masheikh uamsho wanaosota gerezani kwa miaka minne
waziri mkuu awatetea masheikh uamsho wanaosota gerezani kwa miaka minne
juma mtanda 426 pm kitaifa slider edit
mwaka 2011 viongozi hao wa uamsho wakiongozwa na sheikh farid hadi ahmed (41) walikamatwa na kufunguliwa mashitaka ya kusababisha uharibifu wa mali za watu na serikali na kuhatarisha usalama wa taifa
mara kadhaa wamekuwa wakifikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu chini ya ulinzi mkali wa askari wenye silaha za moto wakishitakiwa kwa ugaidi
mbali na kina farid kesi za ugaidi zaidi ya 20 zinaendelea mahakamani zikiwahusisha washtakiwa zaidi ya 60
viongozi hao walioshtakiwa ni masheikh farid hadi ahmed (41) msellem ali msellem (52) mussa juma issa (37) azzan khalid hamdan (48) na suleiman juma suleiman (66) | 2018-07-18T14:34:22 | http://jumamtanda.blogspot.com/2017/06/waziri-mkuu-awatetea-masheikh-uamsho.html |
faiza ally asema kumpenda diamond ni amri sio ombi dodoshablog
muigizaji wa filamu nchini faiza ally ameamua kujitokeza hadharani na kumkingia kifua diamond platnumz kwa kuwachana makavu wabaya wote ambao wamekuwa wakimchukia msanii huyo
faiza ambaye pia ni mzazi mwenzake na mbunge wa mbeya mjini joseph mbilinyi ameandika ujumbe katika mtandao wa instagram kwa kudai kuwa kumpenda diamond ni jambo la lazima na sio ombi kutokana na mengi mazuri aliyofayanya katika muziki wa bongo flava
kupitia mtandao huo faiza ameandika
hivi mnajua kwamba tanzania nzima na east africa tunatakiwa tumpenda diamond sana hivi hamjawaji kujiuliza kwamba toka zamani kabla ya diamond kulikua na mziki mzuri lkn hakujawahi kuwa na ushindani kama changamoto alio leta diamond kwenye game sasa nasema hivi mziki mzuri peke yake hautoshi na akili kubwa inahusika unapo kuwa huna akili ktk unalo lifanya ni sawa na mwanamke mzuri hlf hajielewi leo hii kwa u star wenye akili alio uleta naseeb wazazi wengi wanaona fursa ya mziki kupitia diamond tofauti na miaka ya zamani mziki ulikua unaonekana kama sio kazi lkn leo mziki unaendesha familia nyingi hata mm ningependa mwanangu awe mwanamziki mwenye mafanikio kama diamond sasa nasema hivi ku mpenda diamond ni amri sio ombi diamond ni kama obama marekani kwa watu weusi yeye alionyesha kuwa mtu mweusi ana uwezo kwenye siasa na diamond tanzania kaonyesha mziki unalipa na msisahau katoa vijana wengi na bado wengine wamepata ajira kupitia yeye na naona watapata wengi zaidi sasa nakuomba d ufungue music school basi tuwalete watoto wetu na wenyewe wapate mkwanja kama wako maana shule sio maisha pekee mention town na vipaji navyo ni sehemu ya mafanikio ktk maisha a special kwa maisha tunayo elekea mm nakupendaga sana na zaidi ni jitihada zako kwenye kazi keep it up dogo 😉 #zilipendwa
a post shared by faiza ally 🇹🇿 (@faizaally_) on sep 3 2017 at 1211am pdt
entertainment habari mkononi
diamond platnumz faiza ally | 2017-09-19T17:13:25 | https://dondosha.blog/2017/09/04/faiza-ally-asema-kumpenda-diamond-ni-amri-sio-ombi/ |
mimi ni malkia wa nguvu
by millard ayo | wed 29 mar 2017 1602
mpaka hapa nilipofikia nina uwezo wa kujiita malkia wa nguvu shilole amesema
shilole alianza kufahamika baada ya kuingia kwenye tasnia ya uigizaji kwenye bongo movies tanzania lakini jina lake lilizidi kufahamika baada ya kuingia rasmi kwenye bongofleva
tazama bongo movie zinda siku ya ijumaa 31 march saa 2000 kwenye maisha magic bongo (160)
shilole amekuwa akifanya mziki wa aina yake na utofauti katika mziki wake ndo umepelekea kupata mashabiki wengi na shangwe kubwa anapokuwa kwenye stage
muziki umempatia shilole jina lakini pia maendeleo ambapo ameweza kufungua biashara ya chakula aliyoipa jina la shishi trump food delivery ambayo kwenye hiyo biashara shilole anapika vyakula vya kiafrika kama ugali samaki wali pilau ndizi na vingine vingi
kupitia kampeni ya malkia wa nguvu iliyoanzishwa na kampuni ya clouds media group kwa lengo la kutambua umuhimu wa mwanamke na jitihada za kuwainua wanawake shilole alisema kwa kiwango alichofikia akilinganisha na alipotokea anaweza kujiita mwanamke wa nguvu
nilianza sikuwa na uwezo nikaona niingie bongomovie baadae niona naweza kufanya muziki na utaniongezea kipato leo hii ninamiliki mgahawa wa chakula ukiangalia safari yangu kuanzia nilipotoka mpaka nimefika hapa aisee mimi ni malkia wa nguvu bwana shilole alisema | 2018-09-26T15:03:57 | https://www.dstv.com/en-bi/news/mimi-ni-malkia-wa-nguvu-20170329 |
prof lipumba na bajeti ya 2011/2012 | jamiiforums | the home of great thinkers
prof lipumba na bajeti ya 2011/2012
discussion in 'jukwaa la siasa' started by kilimasera apr 27 2011
mwenyekiti wa chama cha wananchi (cuf) profesa ibrahim lipumba amesema bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha wa 2011/2012 inayotarajiwa kusomwa katika mkutano ujao wa bunge itakuwa ngumu
aliyasema hayo jana alipozungumza katika mahojiano maalum na nipashe ofisini kwake jijini dar es salaam juzi
alisema ugumu wa bajeti hiyo unatokana na viashiria kuonyesha uwezekano mkubwa wa nchi wafadhili na taasisi wahisani duniani wanaosaidia bajeti ya serikali kupunguza misaada yao katika bajeti ya mwaka huu
bajeti ya mwaka huu itakuwa ngumu ngumu ngumu sana alisema profesa lipumba alipotakiwa na nipashe kutoa maoni yake kwamba nini kifanyike ili hali iwe nzuri katika bajeti ya mwaka huu
profesa lipumba alisema nchi wafadhili na taasisi wahisani zinazosaidia bajeti ya serikali zitapunguza misaada yao kutokana na baadhi yao kukabiliwa na matatizo ya kiuchumi na nyingine kuchukizwa na mambo kadhaa yanayofanywa na serikali ya tanzania baadhi ya mambo hayo ni pamoja na usimamizi mbaya wa fedha ambazo serikali hupata
nchi za ulaya zinapunguza misaada kwa mfano kama ireland wana matatizo sasa kama walikuwa wakikusaidia dola milioni 6 hawawezi kukusaidia tena kiasi walichokuwa wakikusaidia alisema profesa lipumba alisema uholanzi ni miongoni mwa nchi wafadhili ambazo hazifurahishwi na serikali inavyosimamia fedha inazopata
alisema kielelezo kimojawapo kinachothibitisha usimamizi mbaya wa fedha za umma ni upotevu wa mabilioni ya shilingi kwa mwezi unaosababishwa na vitendo vya uchakachuaji ubora wa mafuta vilivyokithiri nchini kwa mujibu wa mwenyekiti wa kamati ndogo ya kamati ya kudumu ya bunge ya nishati na madini charles mwijage kumekuwa na takwimu tofauti za kiasi cha fedha ambazo serikali hupoteza kwa mwezi kutokana na vitendo vya uchakachuaji ubora wa mafuta nchini
mwijage ambaye pia ni mbunge wa muleba kaskazini (ccm) alisema tofauti hiyo inaonekana katika taarifa ya mamlaka ya mapato tanzania (tra) ambayo inaeleza kuwa fedha ambazo serikali hupoteza kwa mwezi kutokana na uchakachuaji ubora wa mafuta ni sh bilioni 25
huyu mjinga hajanyamaza tu yale aliyomshauri rais mwinyi ikulu ndio bado anatuletea yeye na mwinyi walifanya lipi zuri kuondoa umaskini
baada tu ya waziri mkulo kumaliza kuwasilisha bajeti ya mwaka huu bungeni mwandishi wa tbc1 akiwa anawahoji wadau nje ya bunge akakutana na prof lipumba (mchumi)
mbali na kukosoa mambo kadhaa lipumba kasema moja ya mapungufu ya bajeti hii ni kuwa tofauti na ile ambayo serilkali iliwasilisha imf
hii mi sijaelewa inakuwaje ina maana huwa bajeti za nchi zote duniani huwa zinawasilishwa kwanza imf kabla hazijasomwa katika mabunge ya nchi husika
updated (9th june 2011)
mwenyekiti wa cuf bw lipumba ameichambua bajeti na kubainisha mapungufu kadhaa yakiwemo
matumizi ya kawaida ya serikali (trilioni 8) ni makubwa kuliko mapato ya ndani ya serikali (trilioni 6) kwa maana hiyo serikali itakuwa inakopa fedha kugharamia matumizi ya kawaida
bajeti haijaainisha mapato yatokanayo na sekta ya madini ambapo kwa mujibu wa bw lipumba wakati mauzo ya madini nje ni zaidi ta trillion moja mapato ya serikali katika sekta hiyo ni bilioni 40 tu
bajeti imeshindwa kuonyesha utekelezaji wa mpango wa maendeleo wa miaka mitano uliozinduliwa juzi na raisi kwa maana hiyo ama mpango huo ni usanii au bajeti haitatekelezwa kama ilivyowasilishwa
e j magarinza said
baada tu ya waziri mkulo kumaliza kuwasilisha bajeti ya mwaka huu bungeni mhandishi wa tbc1 akiwa anawahoji wadau nje ya bunge akakutana na prof lipumba (mchumi)
hii mi sijaelewa inakuwaje ina maana huwa bajeti za nchi zote duniani huwa zinawasilishwa kwanza imf kabla hazijasomwa katika mabunge ya nchi husikaclick to expand
unauliza jibu
ndio maana ya kuwa nchi tegemezi duniani wakati una rasilimali za kukufanya uwe mtegemewa
on the red yes serikali wanapeleka kwa wafadhili wote kabla ya kusomwa bungeni kumbuka december mwaka jana kulikuwa na malumbano kati wa serikali na wafadhili wanaochangia kwenye bajeti ya serikali (gbs) na chanzo ilikuwa ni huu usanii wa kuwa na different versions za budget maandalizi ya bajeti iliyosomwa leo yalianza mwaka jana wafadhili waligundua 'holes' kwenye numbers nadhani wakina mkullo walijisahau kuwa wenzetu sio wavivu wa kusoma wao wanaangalia kila nukta na koma nahisi hata hii version ya bajeti aliyosoma mkullo itawaletea serikali matatizo kwa sababu iko kisiasa zaidi wakati ukweli vianzo vya mapato vya ndani ni 'matatizo'
bajeti hii inategemea imf word bank na lundo la wafadhiliwasipofanya hivyo hizo pesa nyingine watazipata wapihawatakuwa na kiburi bila imfkwani hawajafanya home work yao kama watawala
obvious bajeti iliyosomwa leo ukiwakabidhi wachumi waliobobea imf watakuona zoba maana huku wananchi wako wakiwa na njaa katikati ya utajiri( kuwa na maisha duni wakati tuna raslimali nyingi na za kutosha) wewe unangangania kipato kitokane na kodi za pombe
ukiomba mkopo ktk financial institution yeyote wanaweza kudai upeleke financial statement yako na business plan hivyo sii jambo la ajabu kwani hata ukiomba visa tu wanaweza omba kuona account na mengineyo ukisha kuwa taifa tegemezi bajeti sio siri tena na wala haijawa siri
bajeti kimeo wee toka enzi za nyerere kila mwaka ushuru wa bia na sigara juuayaani hakuna altenative sources za revenueimagine recurrent exp ni 8tril wakati uwezo wetu wa mapato ni 7tril manake ata kulipana mishahara twangoja wahisani none sense kabsaaani vyema ukatembeza kapu kwa ajili ya development expenditures not otherwise
ndugu yangu hili kama linafanyika itakuwa kwa nchi zetu masikini hasa za kiafrica ambazo bado hatujapata uhuru
tumezidi kuwanyenyekea akina imfwb kwa uvivu na ubinafsi wa viongozi wetu
tumezidi kuwanyenyekea akina imfwb kwa uvivu na ubinafsi wa viongozi wetuclick to expand
unaonaje mkuu tukiungana kama egypt hatuwezi kumpata kiongozi atakayeweza kupigania maslahi yetu kama watanzania na kuondokana na huu ubinafsi uliopo na pia tukiwaelimisha askari wetu kuwa tunapodai maslahi ya nchi ni pamoja na wao si watatuelewa waache kupiga watu watakapoandamana mimi naamini inawezekana mkuu ni hayo tu
bajeti ya kipumbavu wakati tunamadini tumebaki kutegemea pombe kama mbadala
gaddafi put an end to these futile pleas and offered us$ 300 million the african development bank with us$50 million and the west african development bank with us$27 million contributed to the project which was brought to fruition in december 2007 africas gain was europes loss no wonder gaddafi has become a villain for france britain and other imperialists though he is a hero for africa
gaddafi had also pledged to fund three ambitious african projects the creation of an african investment bank an african monetary fund and an african central bank africa felt that these africacentred institutions were necessary to end its dependence on the imf and the world bank institutions that prescribe unrealistic and unpopular measures to qualify for loans these conditions which include measures to privatize natural resources and allowing unlimited access to foreign companies are designed to keep africa eternally poor or dependant on the west libya had pledged funds for these projects from its investments in the united states the us$ 30 billion which the barack obama administration froze (or robbed) at the first signs of the orchestrated troubles in the libyan town of benghazi was meant to finance these three african projects which would have given africa some economic freedom
soma hapa gaddafi's refusal of the world bank imf western multinationals & africom the real casus belli obscured by 'humanitarian' deceits | empirestrikesblack
binafsi nimependa sana comments za prof lipumba juu ya bajeti km mtaalamu wa mambo ya uchumi amesema bajeti hii inamapungufu mengi na makubwa sana kwani ktk bajeti hii utekelezaji wa ule mpango wa maendeleo uliosomwa juzi na jk hauonyeshwi then bajeti imeshindwa kuweka bayana mchango wa sekta ya madini ktk maendeleo kubwa zaidi hii bajeti kwa asilimia kubwa inategemea kuchangiwa toka kwa wahisani sio busara kujivunia budget tegemezi ngoja akaipitie vyema then a ataiweka bayana
source tbc1
lipumba ni prof not bwana
kuhusu mada ni kwamba lipumba amefafanua vizuri sanana kila mwaka huwa anachambua kuhusu mambo hayoila sasa watengenezaji wa bajeti mbona hawaeleweki
hazina kuna upungufu mkubwa sana wa wataalam wa uchumi kwa muda wafadhili wamekuwa wanashauri wizara ya fedha wakope wataalam toka bank kuu ambapo walau kuna watu wanaolewa mambo lakini hakuna kilichofanyika nahisi hata magogoni kuna udhaifu kwenye kitengo cha ushauri wa mambo ya kiuchumi inawezekana waliopo wana vyeti vizuri na hata kinadharia wanaelewa uchumi lakini hawana concrete/creative ideas za kukabili changamoto za uchumi wa 'nchi zinazoendelea'
nilimuona rais juzi anasema tanzania ni mojawapo ya nchi 20 duniani zilizo na uchumi uanokuwa kwa kasi kubwa statistically anaweza kuwa sawa lakini inabidi akumbuke how big is the tanzania's economy yaani ni hivi unaweza kuwa na mwanafunzi mmoja darasani leo then kesho yake akaongezeka mwingine mmoja statistically hapo utasema number ya wanafunzi imedouble viongozi wetu wajifunze kuona vitu in 'relative' terms si vyote ving'aavyo ni dhahabu | 2016-10-28T22:06:06 | http://www.jamiiforums.com/threads/prof-lipumba-na-bajeti-ya-2011-2012.143863/ |
kwa wanaoifahamu kampuni ya'gnld'
registered members 131713
current users online 25577
topic kwa wanaoifahamu kampuni ya'gnld'
8th august 2011 1703
habari zenu tha great thinkes
naomba wanaifaham vizuri kampuni ya gnld wanieleweshe kama ni kweli inawasaidia members wakekwani kwa sasa kumekua na ushawishi mkubwa kwa watu ili wajiunge nayoninaomba ni ufafanuzi zaidi kwani hata mimi nimepigiwa simu kushawishiwa kujiunga
mkosoaji and serio like this
9th august 2011 1432
re kwa wanaoifahamu kampuni ya'gnld'
wewe uliwahi kuwa memmber wa deci
hilo ni jina lingine la deci
msitafute utajiri wa rahisi pesa haitengezwi hivyo kiujanjaujanja tuu
9th august 2011 1453
posts 2461 rep power
hiyo gnld kwa hakika ni pyramid scheme nyingine
pia hakuna uhakika wa madawa yao kufanya kazi bali yana gharama za kuua mtu
10th august 2011 0751
location la perla del sur
gnld na forever living products ni kampuni za kimataifa zinazojihusisha ni uuzaji na ununuaji wa madawa katika maradhi na mapungufu mbalimbali kiafya products zake zinasifika lakini kibiashara zimekaa kimtindo wa kiunyonyaji kwani zina mfumo wa piramid na kuna ushawishi wa kutengenza pesa kwa haraka lakini wafanikiwao ni wachachekifupi ni umachinga fulani hivi wa kumfanyia kazi aliye juu yako internationally their system of bussiness is quetioned and highly criticised kwa maelezo ya kirefu ingia wikipedia utapata maelezo ya kina kabisa i dont encourage you to havehigh expectation whwn joining coz u may fail
lufunzo
3rd december 2012 2317
tatizo tumekubali uharibifu wa mazingira yanayoweza kutupa vitu asilia so no way kwa upande wangu bidhaa zinanisaidia sana na kitambo sasa sijaonana na daktari mtaponda saaana lakini siku mtakumbuka bidhaa lakini itakua too late kama kilichotokea kwa marehemu bingu wa mutharika rais wa zaman wa malawi siku ikikupata hiyo kansa utakumbuka tu usemi wako sasa hivi hata masuala ya mapenzi full migogoro kisa nini mnadhani tunapata kila kitu katika chakula
4th december 2012 0637
by pmwasyoke
tatizo bei kali
last edited by don kamanga 4th december 2012 at 0734
pmwasyoke likes this
4th december 2012 0647
what about 4life iliyopo mwenge jengo la nakiete nimeambiwa hawa wana bidhaa bora katika haya makampuni
4th december 2012 0654
posts 4355 rep power
likes received1451
by babu mchumi
bwana wee product zao za ukweli bwana hilo sio lakubisha mie mtumiaji na nimzikubali sema pesa ndefukizuri gharama
kuhusu kufanikiwa this is a business like any other businness inabitaji commitment na dedication sasa tatizo kuvwa ni kwamba watu wana angalia tuu oh nitapata mamilionforgeting kwamba inahitaji juhudi ya kufa mtu na ata ukienda kwebye semina zao wanakwambia kabisa kuwa its not easy na muwa its a real business andd success comes after struggle
4th december 2012 0656
by salanga
they call it gamble take care its more than hazard
5th december 2012 1530
nashauri msimpotoshe mleta mada hizo product zina ubora mzuri na kampuni zote tatu gnld forever living na 4life wanafanya biashara ya network marketing na si pyramid scheme
tofauti ya mlm (multi level marketing) kulinganisha na pyramid scheme ni kuwa ili uweze kufaidika na hayo 'mamilioni' lazima ufanye kazi inayoonekana (kutokana na taratibu za wazi kampuni ilizojiwekea) faida hiyo ni sehemu tu ya pesa ulizotengeneza katika biashara ya jumla (aidha kwa kuuza bidhaa kuingiza watu wapya au kutumia binafsi) na inapanda na kushuka kutokana na juhudi yako ya biashara ya kila siku katika mlm hakuna kulala nyumbani miezi sita bila kufanya kazi halafu utengeneze pesa unatengeneza kulingana na kazi uliyofanya mlm haiangalii nani kaanza mwanzo bali yule anayefanya kazi kwa bidii kuitengenezea kampuni husika biashara
'pyramid scheme' ni tofauti maana inashawishi uingize pesa mwanzo halafu ukachape usingizi ukisubiri pesa na faida yake inaangalia aliyewahi mwanzo na wengine wote wanaoingia baadaye ni kumtajirisha wa mwanzo au aliye juu
nashauri msome zaidi ili kutofautisha hizi biashara mbili
hongera wizara ya mali asili na utalii
utumiaji wa gnld na forever living products ni hatari
by shapu in forum jf doctor
last post 24th march 2013 0421
by kaniki1974 in forum business & economic forum
last post 28th april 2012 1707
ccm siyo chama tena hili ni kampuni la watu fulani wachache wenye hisa zao ndani ya kampuni hili
by binti ashura in forum jukwaa la siasa
last post 16th october 2011 1550
hii kampuni vp
by good boy in forum habari na hoja mchanganyiko
last post 22nd may 2011 2113
mkulo atupe majina ya kampuni hizo na kiasi cha pesa toka kila kampuni
last post 25th june 2008 1749 | 2013-05-25T19:07:37 | http://www.jamiiforums.com/business-and-economic-forum/162073-kwa-wanaoifahamu-kampuni-yagnld.html |
matokeo ya mitihani ya kidato cha pili 2016 zanzinews
home habari matokeo ya mitihani ya kidato cha pili 2016
matokeo ya mitihani ya kidato cha pili kwa mwaka 2016 kiwilaya
mjini magharibi a magharibi b kusini unguja
kati kaskazini a kaskazini b mkoani
chake chake wete micheweni skuli za michepuo
skuli za binafsi
kwa ufafanuzi wa suala lolote linalohusu matokeo ya mitihani tafadhali wasiliana na ofisi za baraza la mitihani zanzibar unguja na pemba ahsanteni | 2020-02-28T03:03:54 | http://www.zanzinews.com/2017/02/matokeo-ya-mitihani-ya-kidato-cha-pili.html |
wavuruga kesi za dawa za kulevya kikaangoni
uko hapa home/habari za kitaifa/wavuruga kesi za dawa za kulevya kikaangoni
imeandikwa na sophia mwambe imechapishwa 14 februari 2017 kuchapa barua pepe view comments
kamishna mkuu wa mamlaka ya kuzuia na kupambana na dawa za kulevya (dcea) rodgers sianga ameanza kazi rasmi baada ya kutangaza kuwashughulikia mahakimu na majaji wanaotuhumiwa kudhoofisha vita dhidi ya dawa za kulevya pamoja na maofisa wa serikali walioshiriki kuingiza viuatilifu vya dawa za kulevya
sianga alitoa kauli hiyo jana wakati wa mkutano ulioandaliwa na mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda kuhusu kutangazwa kwa awamu ya tatu ya kutangaza orodha ya majina ya watu wanaosadikiwa kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya
kamishna mkuu huyo aliyeteuliwa mwishoni mwa wiki iliyopita na kuapishwa juzi na rais john magufuli alisema mambo anayoanza nayo katika vita dhidi ya dawa za kulevya amemuagiza kamishna wa operesheni mihayo msikhela kuwatafuta maofisa wa serikali walioisaidia nchi kupitisha tani 21000 za viuatilifu vya dawa za kulevya mwaka jana
mwaka jana maofisa wa serikali waliisaidia nchi kupitisha tani hizo
nataka kamishna wa operesheni watu hawa watafutwe wakamatwe na wahojiwe wakipatikana na hatia wafunguliwe mashitaka kama watu wengine wanaoingiza dawa la kulevya alisema sianga ambaye kabla ya uteuzi wake alikuwa mkuu wa usalama wa taifa mkoa wa kilimanjaro
pia sianga alisema wanaandaa orodha ya mahakimu na majaji ambao kwa makusudi wamekuwa wanavuruga kesi za dawa za kulevya kwa makusudi na watakaobainika wanahusika watawekwa ndani kwa kuwa hakuna aliye juu ya sheria
tutaanzia hapa kwa sababu kesi zetu nyingi zimekuwa zikichukua muda bila sababu mtu anakaa anajua kwa sababu yeye ni jaji anasema katika kesi yake ataamua anachotaka
kuna kesi moja tanga mtu kakutwa na kilo 50 jaji anasema anamuachia kwa kuwa hakuna uthibitisho alisema sianga na kuongeza mtu mwingine alikutwa na dawa alibeba kete 180 tumboni lakini jaji anasema huyu mtu nikimuangalia naona ana vidonda vya tumbo lakini si daktari
hakuna aliye juu ya sheria
hawa lazima tuwaimpreach
alisema ari ya mapambano ya dawa za kulevya aliyoanzisha rais magufuli na makonda watakwenda nayo ili kuhakikisha mapambano yanafanikiwa na kuwaondoa wafanyabiashara wa dawa hizo ambao wamekuwa wakitamba na wengine kuwadhalilisha watu kwa sababu ya fedha zao wanazopata kupitia dawa hizo
kuna mtu mmoja yeye ilikuwa ikifika jioni anawaita wanaume anawaambia wakimbie atakayeshinda anampa dola mia moja wanaume wanavaa bukta zao wanakimbia hii ni udhalilishaji
hatutamuacha mtu atakayebainika kuhusika alibainisha kamishna mkuu sianga
wauzaji wa dawa za kulevya wametesa familia kwa sababu mtumiaji anaondoa akiba na samani iliyokuwa ndani ya nyumba wengi ambao hamjapata madhara hamjui mateso ya dawa
wafanyabiashara hawa wameleta huzuni ndani ya nyumba hatuna msamaha na mtu tutawashughulikia
aidha alifafanua kuwa biashara ya dawa za kulevya imekuwa ikichangia mfumuko wa bei kwa kuwa wafanyabiashara wa dawa za kulevya wana fedha wamekuwa wakinunua vitu kwa bei ya juu na kwa kuwa mfanyabiashara anataka fedha anaamua kupandisha bei na kusababisha watu wa hali ya chini kushindwa kununua vitu
unakuta mfanyabiashara anauza samaki pale feri na anauza kwa bei ndogo tu lakini akitokea mfanyabiashara wa dawa za kulevya kwa kuwa ana fedha zake za dawa basi samaki wa elfu moja atanunua kwa elfu tano alieleza akionesha madhara ya dawa za kulevya
aidha sianga alizitaja athari mbalimbali zinazotokana na matumizi ya dawa za kulevya kwa kubainisha kuwa mtu anapotumia mirungi anaharibu mfumo wa chakula na kusababisha kansa kwenye tumbo koo na mdomo na kumfanya akose hamu ya kula na kumfanya mwanamume asiwe mwanamume
aliongeza kuwa athari za matumizi ya bangi yanatafuna kichwa cha mtu mtu anakuwa na mawenge na hawezi kufikiria tena pia alisema heroine nayo ina athari kubwa kwa kuwa inaharibu akili na mwili
tulikutana na mtu mmoja ambaye ni muathirika tukazungumza naye lakini yeye anasema msinisemeshe naongea na rais mkapa na clinton wakati hapo alipokaa hakuna mtu kwa hiyo utaona ni kiasi gani dawa hizi zina madhara hatuwezi vumilia alieleza zaidi
alisema nchi imekuwa ikipitisha kiasi kikubwa cha dawa mwaka jana eneo la kusini pekee lilipitisha tani 20 za dawa hivyo kwa kuwa wanapambana na uingizwaji wa dawa za kulevya wanazitambua njia zote zinazotumika kupitisha
pia alisema suala la dawa sio la mkoa wa dar es salaam pekee bali ni kwa mikoa yote hivyo watafanya kikao na mikoa yote waandae orodha ya wahusika wa biashara hizo katika mikoa yao na watafanya hivyo kwa zanzibar ili kuondoa mwanya wa watu hao kuhamishia biashara zao huko baada ya kuondolewa nchini
baada ya kumaliza mkutano huo kamishna sianga alitangaza kusakwa na kufikishwa mbele ya mamlaka hiyo mshukiwa aliyemtaja kwa majina ya ayub kiboko
aidha alisema kwamba wapo watu ambao wako nchi za nje nao watawafuata huko waliko
alitaja nchi hizo ni pamoja na ambao wanajulikana wakiwa nchini china na afrika kusini | 2017-02-21T12:26:25 | http://habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/20766-wavuruga-kesi-za-dawa-za-kulevya-kikaangoni |
mama na mwana lishe ya mtoto baada ya maziwautajuaje yuko tayari
lishe ya mtoto baada ya maziwautajuaje yuko tayari
thierry mukanda anataka atumbukize vidole vyote mdomoni dalili ya kutaka chakula kipya
utajuaje kama mwanao yuko tayari kwa vyakula vingine
mwanao atakupa dalili za wazi kabisa akiwa tayari kuanza kula vitu vingine zaidi ya maziwa tu kama
· kukaza shingo ili uweze kumlisha vitu vingine zaidi ya maziwa tu lazima mtoto awe na uwezo wa kukaza shingo na kusimamisha kichwa vizuri
· kuacha kutema chakula kwa waliowahi kuwapa chakula watoto wao watalijua hili mtoto akiwa mdogo sana huwa hana control ya viungo vyake vingi kama ulimi ukimpa chakula unatoa chakula nje badala ya kupeleka ndani so kuweza kupeleka chakula ndani ni dalili kuwa anaweza akaanza kula
· kukaa vizuri akiwa anashikiliwa au ameegemea mwilini kwa mtu aliyemshika ni kitu muhumu kuhakikisha kuwa ataweza kula na kumeza akianza kulishwa
· kutafuna tafuna mtoto mwingina utakuta anatafuna tafuna tu kila saa wakati yeye anakunywa maziwa tu ujue huyo anakuonyesha kuwa anataka vyakula vizito kama uji
· kuongezeka uzito watoto waliozaliwa kwenye uzito wa kawaida wanakua tayari kula wanapokua na uzito mara mbili ya ule aliozaliwa nao mfano kama alizaliwa na kilo tatu sasa ana kilo sita maana yake mwili wake unahitaji zaidi ya maziwa peke yake
· mjaa kali hata umnyonyesha usiku kucha na mchana kucha hadi maziwa yanakauka mtoto hashibi mmmh hapo ujue hiyo hoteli yake unayotembea nayo haimtoshelezi tena
· kutamani mnachokula wakubwa mtoto akiwa anawaangalia angalia wakati mnakula kama anatamani hicho chakula maan yake anatamani kweli maana ameshaanza kujua harufu za vitu vitam
xchylers experience
x alikua ametimiza mengi ya hayo masharti mapeema maana alidouble birth weight yake akiwa na mwezi mmoja na wiki alizaliwa na kilo 28 clinic ya mwezi wa kwanza alikua na 54 ila kushiba alikua anashiba mama yake nilikua na maziwa mengi sana alikua ananyonya na mengine ilibidi nimwage ili nisielemewe na uzito na maumivu
labels lishe
mwanangu ametimiza miezi kumi hivi sasa lakini katika kipindi cha wiki mbili sasa amekuwa akikataa kula sababu sielewi na ila kiafya yupo bomba leo asubuhi wakati mama yake anampa uji katapika kidogo sijui atakuwa na tatizo gani baba big psalm
tue mar 24 035200 pm gmt+3
pole baba big psalmbaby anaweza kuwa ni meno tu yanamsumbua ndio walivyo watoto wako on and off kwenye maswala ya milo kutapika anaweza kuwa alikuwa ameshiba mama nae analazimishia hivyo ikachukula psalm kutapika kingine ni kwakuwa watoto age hiyo wanataka kutia kila kitu wakionacho mdomoni labda alitia mdomoni kitu ambacho kichafu hivyo akawa amepata kainfection kadogo au pia kutapika pia labda ajisikii vizuri (homa)
mon mar 30 035200 pm gmt+3
thanx ni kweli psalm meno mawili yale ya mbele ndio yametoka inawezekana hizo zote ni sababu hasa kula viti vichafu ila psam ni mjanja na wakati mwingine kumdhibiti inakuwa ngumu unaweza ukawa unmekaa nae akazunguka akapita chini ya meza akahamia upande wa pili then mbio hapo anatambaa na kusimama sijajua akianza kutembea i love my baby boy thanx for advice
tue mar 31 014600 pm gmt+3 | 2017-10-22T12:05:32 | http://mamanamwana.blogspot.com/2009/03/lishe-ya-mtoto-baada-ya-maziwa-utajuaje.html |
kumtaja mtume (swalla allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) katika swalah kwa kusema sayyidina | alhidaayacom
ukurasa wa kwanza /kumtaja mtume (swalla allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) katika swalah kwa kusema sayyidina
kumtaja mtume (swalla allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) katika swalah kwa kusema sayyidina
kuna ndugu zetu wakiwa katika sala hasa wakati wa kuleta kunuti imma iwe ile ya uzushi au ya kisheria ya maafa humtaja mtume saw kwa sifa ya seyyidina na pia kumtaja mtume saw kuwa ni awwarina wal'akhirina {wa mwanzo na wa mwisho} ina dalili na nini maana yake allah awalipe kwa kushughulikia mambo matukufu
sifa zote njema anastahiki allaah (subhaanahu wa ta'ala) aliyetukuka mola wa walimwengu wote swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu mtume muhammad (swalla allahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na swahaba zake (radhiya allahu 'anhum jamiy'an) na watangu wema mpaka siku ya qiyaamah
shukran kwa swali lako zuri kuhusu masala ya ibadah ambao ndiyo msingi mkubwa wa dini yetu na hasa ibadah ya swalah ambayo ndiyo itakaokuwa ya mwanzo kukaguliwa siku ya kiyama katika masala ya swalah mtume (swalla llaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema swalini kama mlivyoniona mimi nikiswali (albukhaariy)
na katika masala ya hijjah akasema chukueni kutoka kwangu amali hiyo (manaasik) ya hija (muslim)
ikiwa hivyo ndivyo inavyotakiwa kuwa itabidi tuangalie alivyofundisha mtume (swalla llaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) kuhusu masala ya kumswalia jambo hili lipo wazi kabisa katika dini yetu allah anasema wazi katika suratulahzaab
hakika allah na malaika wake wanamswalia nabii enyi mlioamini mswalieni na mumsalimu kwa salamu (33 56)
imaam albukhaariy anatueleza tafsiri ya aayah hiyo ni kuwa maswahaba walimuuliza mtume kuwa washajua namna ya kumtakia amani (salaam) juu yake lakini hawakujua namna gani wamswalie mtume akawaambia waseme 'allahumma swalli 'alaa muhammad wa 'alaa aali muhammad hadi mwisho kama ilivyo kwenye tashahhud katika huku kumswalia alikotufundisha hakutia sayyidna katika jina lake wala jina la nabii ibraahiym (alayhis salaam)
na ukitazama katika vitabu vya fiqhi vyote vinapotaja kumswalia mtume (swalla allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) havitii sayyidna la katika tamko la nabii muhammad wala nabii ibraahiym anasema shaykh abdallah saleh farsy kitabu pekee ambacho kimeongeza tamko hilo ni kile kinachoitwa babu nacho kimetungwa pande hizi za afrika mashariki wala hakijulikani huyo aliyekitunga hivyo nyongeza hiyo ya sayyidna haifai ndani ya swalah ikiwa ni katika qunuti au tashahhud na pia nje ya swalah zipo hadithi ambazo mtume (swalla allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) ametumia neno hilo kama pale aliposema mimi ni sayyid katika watoto wa adam lakini hizo hazihusiani na ibadah kwa kawaida katika mazungumzo unaweza kumuita mtume (swalla allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) au hata swahaba mwengine kwa tamko hili hii inapatikana katika athar pale umar ibn alkhatwaab (radhiya allaahu anhu) aliposema abu bakr ni (sayyiduna) bwana wetu naye alimuacha huru (sayyiduna) bwana wetu (yaani bilaal ibn rabaah)
na kuhusu sifa hii ya awwaalina wa akhirina (wa mwanzo na wa mwisho) ni sifa ambayo haifai kupewa mtu yeyote kwani sifa hizo ni za allah (subhaanahu wa ta'ala) allah (subhaanahu wa ta'ala) anasema
((هُوَ الْأَوَّلُ وَالْآخِرُ وَالظَّاهِرُ وَالْبَاطِنُ وَهُوَ بِكُلِّ شَيْءٍ عَلِيمٌ))
yeye ndiye wa mwanzo na ndiye wa mwisho naye ndiye wa dhaahiri na wa siri naye ndiye mjuzi wa kila kitu (57 3) | 2020-06-06T08:57:47 | http://www.alhidaaya.com/sw/node/889 |
> ofisi ya makamu wa rais yapongezwa na kamati ya kudumu ya bunge ya viwanda biashara na mazingira msumba news blog
home matukio ofisi ya makamu wa rais yapongezwa na kamati ya kudumu ya bunge ya viwanda biashara na mazingira
in matukio published on march 29 2019 leave a reply
waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais muungano na mazingira january makamba (katikati) akiongea na mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge wa viwanda biashara na mazingira suleiman murad sadick katika moja ya ziara za kikazi za kamati hiyo hivi karibuni
waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais muungano na mazingira january makamba ameyasema hayo hii leo jijini dodoma wakati wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2018/2019 na makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2019/2020 kwa kamati ya kudumu ya bunge ya viwanda biashara na mazingira
amesema tanzania ni mwanachama kwenye mifuko na mikataba mbalimbali duniani hivyo kuna fursa za kunufaika na fedha zitolewazo na mifuko hiyo akitoa mfano wa green climate fund
kwa upande mwingine mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya viwanda biashara na mazingira suleiman sadick amepongeza uongozi wa ofisi ya makamu wa rais kwa jitihada za kuhifadhi mazingira nchini kamati inatambua jitihada za ofisi yenu katika kuhifadhi mazingira sisi tunawaunga mkono alisisitiza sadick | 2019-04-18T14:48:46 | http://www.msumbanews.co.tz/2019/03/ofisi-ya-makamu-wa-rais-yapongezwa-na.html |
the co blog news alert watu nane wakamatwa uwanja wa ndege wa mwlnyerere wakiingia nchini kwa paspoti bandia za mataifa tofauti ya ulaya
news alert watu nane wakamatwa uwanja wa ndege wa mwlnyerere wakiingia nchini kwa paspoti bandia za mataifa tofauti ya ulaya
maofisa uhamiaji katika kituo hicho baada ya kuwatilia mashaka na kuwafanyia ukaguzi wa kina waligundua kuwa wageni hao ni raia wa iraq wakijaribu kuingia nchini tanzania na pasipoti za bandia kukamatwa kwa wageni hao ni jitihada za idara ya uhamiaji kupambana na uhamiaji haramu nchini ambapo suala la udhibiti wa mipaka linapewa kipaumbele akizungumzia tukio hilo kaimu msemaji mkuu wa idara ya uhamiaji tatu burhan anasema kwa kutumia ujuzi na weledi walionao maofisa uhamiaji wanaendelea kufanyakazi usiku na mchana kuhakikisha sheria na taratibu za uhamiaji zinafuatwa idara ya uhamiaji iko macho hatulali kuhakikisha ulinzi na usalama wa nchi ikiwa ndio jukumu letu namba moja unaimarika kwahivyo kila mtu awe raia wa kigeni na watanzania wanapaswa kufuata sheria na taratibu zilizopo za kuingia na kutoka nchini
8 ali hussein oleiwi iraq ppt no g 1111623 p | 2017-06-23T05:02:08 | http://calvin-obeld-blog.blogspot.com/2014/08/news-alert-watu-nane-wakamatwa-uwanja.html |
huu ndi muda sahihi wakuachiwa kwa filamu mpya ya chemical na wema sepetu | chimbuko letu
home » burudani na michezo » huu ndi muda sahihi wakuachiwa kwa filamu mpya ya chemical na wema sepetu
huu ndi muda sahihi wakuachiwa kwa filamu mpya ya chemical na wema sepetu
female rapper chemical anatarajia kuachia filamu yake mpya iliyopewa jina la mary mary aliyofanya na msanii mkongwe wa filamu nchini na aliyewahi kuwa miss tanzania mwaka 2016 wema sepetu
kuna movie nimeshoot na wema sepetu watu wengi wanasema itatoka lini itatoka lakini nasubiri muda ambao nitakuwa free zaidi chemical amesikika amesikika katika kipindi cha the splash kinachosikika kupitia redio ebony fm kinachoongozwa na chris bee na fredoo mbunji
kwa sababu nahitaji advertisement tunahitaji promotion i have to be free na vito kama shule yah kwa hiyo nikiwa na muda mwingi ndio itatoka pale kwa sababu namaliza shule mwaka huu wa 2017 nafikiri mwezi wa 7 ameongeza chemical
hata hivyo filamu hiyo ilitakiwa kutoka mwezi disemba mwaka 2016 na walianza kuishoot mwezi novemba na ikielezea adha wanayokabiliwa nayo watoto wa mitaani | 2018-10-23T21:36:59 | http://www.chimbukoletu.com/2017/03/huu-ndi-muda-sahihi-wakuachiwa-kwa.html |
wanaoishi maeneo hatarishi chemba kuhamishwa | jamhuri ya muungano wa tanzania
wanaoishi maeneo hatarishi chemba kuhamishwa
news january 18 2018 0 comment
na mwandishi maalum
serikali wilayani chemba mkoani dodoma imesema kuwa imepanga kuwahamisha watu wanaoishi maeneo hatarishi ya kupata mafuriko kutokana na zaidi ya kaya 2000 kuzungukwa na maji katika kata ya mrijo hadi hivi sasa
akiongea wakati akitoa taarifa kwa waratibu wa maafa kutoka ofisi ya waziri mkuu waliokwenda kufanya tathmini ya maafa yaliyotokana na mafuriko ya mvua zinazoendelea kunyesha wilayani humo mkuu wa wilaya ya chemba simon odunga alibainisha kuwa mkakati wa muda mrefu walionao ni kuwatafutia wakazi hao maeneo salama
odunga alisema kuwa kwa sasa kamati za maafa zimechukua hatua ya kukabili maafa ya mafuriko kutokana na idadi ya nyumba zilizozungukwa na maji kuongezeka siku hadi siku kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha hivyo wameanzisha kambi maalum kwa watu ambao nyumba zao zimeanguka kutokana na maafa hayo
aliongeza kuwa msaada wa haraka unahitajika kutokana na waathirika hao wa mafuriko kutumia baadhi ya majengo ya madarasa ambayo yanapaswa kutumiwa na wanafunzi ambao wanajiunga na masomo mwaka huu
kwa sasa tunahitaji sana mahema mataulo mashuka chakula pamoja na madawa kwajili ya kuwahudumia hawa watu ambao tunao hapa na tukipata vifaa hivyo basi tutaondoka hapa na kwenda kutengeza kambi sehemu nyingine ambayo tumeiandaa maaluum kwajili ya kuwahifadhi hawa watu na kuacha haya madarasa kwajili ya matumizi ya wanafunzi alisema odunga
odunga aliongeza kuwa tayari wilaya imeshaunda kamati mbalimbali ambazo zinahusika katika kusaidia wahanga hao kuwa salama kiafya kwa kuchukua tahadhari zinazoweza kuibuka kwa magonjwa ya mlipuko
naye mratibu wa maafa kutoka ofisi ya waziri mkuu ally mwatima alisema kuwa mahitaji yote ambayo yameanishwa na mkuu huyo wa wilaya wameyachukua na watayawasilisha ili hatua ziweze kuchukuliwa mapema iwezekanavyo
kwanza niwapongeze kwa kukabili maafa kwa mujibuwa sheriakanuni namiongozo ya menejimentiya maafa hali hii imesaidia kuokoa maisha ya hawa wenzetu na mahitaji yote mliyobainisha ni ya msingi sana hivyo tutakwenda kuonana pia na kamati ya maafa mkoa ili kuweza kuona na sisi tunaongeza nguvu katika vitu gani vya msingi ambavyo vitawasadia hawa wenzetualisema mwatima
← wadau wajadili mtaala wa mafunzo kwa vyuo vya ustawi
rais dkt magufuli amuapisha luteni jenerali yakubu hassan mohamed kuwa mnadhimu mkuu wa jwtz february 15 2018
rais mhe dkt magufuli amuapisha luteni jenerali yakubu hassan mohamed kuwa mnadhimu mkuu wa jwtz february 15 2018
wizara ya maji yaanza kutekeleza agizo la jpm february 15 2018
wizara ya maji yaanza kutekeleza agizo la rais magufuli february 15 2018
rais magufuli afanya uteuzi wa mnadhimu mkuu wa jwtz february 14 2018
rais dkt magufuli akutana na kufanya mazungumzo na makamu mkuu wa chuo kikuu cha bagamoyo february 14 2018
rais magufuli katika ibada ya jumatano ya majivu katika kanisa la mtakatifu joseph jijini dar es salaam february 14 2018
rais magufuli ahudhuria ibada ya jumatano ya majivu kanisa la st joseph jijini dsm february 14 2018
waziri mkuu azindua mpango mkakati wa afya moja february 13 2018
fursa za ufadhili wa masomo kwa watanzania na tuzo ya utalii february 13 2018
maafisa utumishi waaswa kuzingatia weledi katika kutekeleza majukumu yao february 12 2018
makamu wa rais aendelea na ziara wilayani kilolo february 10 2018
serikali kuendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini february 10 2018
usalama wa chakula umeimarika nchinimajaliwa february 10 2018
hotuba ya waziri mkuu mhe kassim majaliwa wakati wa hoja ya kuahirisha bunge february 9 2018 | 2018-02-20T09:28:31 | http://blog.maelezo.go.tz/wanaoishi-maeneo-hatarishi-chemba-kuhamishwa/ |
mapitio ya biashara ya kushiriki uchaguzi 2019
mapitio ya biashara ya kushiriki 201910
20190310 081824
com ili kushiriki ujuzi wake hii ni kweli hasa linapokuja biashara ya tovuti ya kuhudhuria
majeshi mengine mapitio ya wavuti yanaweza kuwa nzuri katika maeneo fulani kama kasi na teknolojia ya kisasa wakati wengine wanaweza kuzingatia kutoa seva imara na kiwango cha bei nafuu this video is unavailable
unaweza kushiriki kama mdhamini au mfanyakazi wa kujitolea alifanya kazi zaidi ya miaka 10 katika maendeleo ya biashara ya kimataifa ukamilifu wa ugavi wa kimataifa ufanisi wa kifedha kupelekwa kwa mradi wa sap erp na msaada wa biashara wa
mapitio ya biashara ya kushiriki ' msaidizi mzuri wa wavuti' haimaanishi daima watumiaji wa 100 100 kuridhika
najeeb mohammed al ali wakiweka saini mkataba wa ushiriki wa tanzania katika maonesho ya biashara ya dunia ( dubai expo michuzi blog at thursday january 17
kama mfanyabiashara njia mojawapo rahisi ya kuifanya jamii ikutambue ni pamoja na kushiriki katika shughuli mbalimbali zinazoendelea katika jamii skip navigation sign in
tasisi ya sekta binafsi nchini tpsf wameaandaa safari ya kibiashara nchini china ili kushiriki maonyesho ya biashara ya canton zaidi ya wanachama 500 wa mtandao wa kijani kibichi tanzania ( mkikita) wanatarajiwa kushiriki mafunzo maalum ya kufungua msimu wa kilimo cha papai salama
mapitio ya biashara ya kushiriki e habari saa 1 nov 7 biashara
uwekaji saini huo ulifanyika dubai jana januari mapitio 16 kama biashara yako ni ya uchuuzi fafanua juu ya bidhaa zako taarifa ya kampuni zinazokupa huduma pamoja na upatikanaji wa bidhaa pamoja na stoo
anafurahia katika kubuni kuboresha kubadilisha kuunda na kufanya kazi za ufumbuzi ili kukidhi wateja wengi wajitokeza kushiriki mafunzo ya mkikita kilimo biashara cha papai salama tanzania na kilimo
mapitio share on facebook share on twitter tanzania kushiriki maonyesho ya biashara china
mapitio ya biashara ya kushiriki balozi mdogo wa china xie xiaolon akisalimiana na makamu wa pili wa rais wa zanzibar balozi seif ali iddi
tanzania kushiriki maonesho ya biashara ya dunia ya expo watch queue queue
mapitio by patricia richard huduma kwa wateja
mkakati wa mahusiano na wateja kama vile kushiriki kwenye tamasha mabalimbali nk kujisajili katika mitandao mbalimbali nk d tanzania kushiriki maonesho ya biashara ya dunia ya expo taarifa kwa vyombo vya habari
tanzania itashiriki maonesho ya dunia ya biashara ( expo yatakayofanyika dubai kuanzia mwezi oktoba na kumalizika mwezi april
/indexphp/news/item/1419 /page_id=809 /newsphpaction=show&id=628 /newsphpsubaction=showfull&id=1207 /bcf98cd8f/option=com_content&view=article&id=237 /3883be8a306d/20190326133052cherylcoleparachutebuzzjunkiesremixmp3/ /1142/newsid=1142
ni binary biashara halal islam qa mcb seychelles viwango vya fedha za kigeni | 2019-10-20T20:56:36 | https://natur-motor.com/2019-03-10-081824/d7f64eae975-mapitio-ya-biashara-ya-kushiriki-2019-03-10-081824/ |
amissi tambwe kuwavaa medeama kesho | ishi kistaa
home news amissi tambwe kuwavaa medeama kesho
amissi tambwe kuwavaa medeama kesho
mshambuliaji wa klabu ya yanga amissi tambwe yupo fiti kuwavaa medeama katika mchezo wa mzunguko wa tatu wa kombe la shirikisho barani afrika baada ya kupona majeruhi yaliyokuwa yanamsumbua
tambwe ambaye alikosekana katika mechi dhidi ya tp mazembe kutoka jamhuri ya congo kutokana na kuwa majeruhi ambapo katika mechi hiyo iliyofanyika katika uwanja wa taifa jijini dar es salaam yanga ilifungwa 10
mshambuliaji huyo alianza mazoezi mepesi ya binafsi katika uwanja wa boko veterani jijini dar es salaam ambapo timu yake pia inafanya mazoezi katika uwanja huo
yanga hapo kesho italazimika kushinda mechi hiyo ili kuwa na nafasi ya kuweza kusonga mbele baada ya kupoteza mechi mbili za nyuma ambapo mechi ya kwanza ilifungwa dhidi ya mo bejaia ya algeria na ya pili dhidi ya tp mazembe
tambwe akishangilia moja ya goli lake alilofunga katika mezi ya ligi kuu
previous articlesobhi wa misri kujiunga na stoke city
next articlehatma ya pogba julai 31
walichosema chadema baada ya mbowe kutajwa kwenye orodha ya wanaohusika na
tra yaendelea kufunga vituo vya mafuta kisa mashine za efds | 2019-12-09T05:37:10 | http://www.ishikistaa.com/amissi-tambwe-kuwavaa-medeama-kesho/ |
serikali yakiri upendeleo katika ajira | zanzibar ni njema atakaye na aje
serikali yakiri upendeleo katika ajira
mwanasheria mkuu wa serikali othman masoud othman
serikali ya zanzibar imekiri kufanyika kwa ajira upendeleo na kujuana katika wizara mbali mbali za serikali jambo ambalo limelazimisha kufanyia marekebisho katika sheria zake za utumishi hayo yameelezwa na mwanasheria mkuu wa serikali othman masoud othman alipokuwa akifanya majumuisho na kujibu masuala mbali mbali katika mswada wa sheria mbali mbali na mambo yanayohusiana na hayo katika kikao cha baraza la wawakilishi jana
hoja ya uajiri ni kweli hilo hatuwezi kukataa kwa kweli mfumo wa utumishi ni mfumo ambao tumetoka nao huko nyuma wapo wanaobadilisha vyeti ikiwa umri wao umepita wapo wanaoajiriwa kwa urafiki na ukaribu hilo hatuwezi kulikataa yalikuwepo huko nyuma kabla ya sheria hii lakini ndio tunasema hivi sasa tunajipanga katika hilo kuondosha malalamiko hayo alisema mwanasheria mkuu
kauli hiyo ya serikali imekuja kufuatia baadhi ya wajumbe hao kulalamikia mfumo uliopo ambapo walisema wapo baadhi ya wafanyakazi wamekuwa wakipata ajira kutokana na kujuana huku watendaji wenye kufanya hivyo katika chombo cha utumishi ambacho kinachotegemewa na wananchi kutoa ajira kikiwa kinakiuka misingi ya haki na uadilifu
mwakilishi wa jimbo la wete (cuf) asaa othman hamad alisema katika mawizara kumekuwepo na mkanyagano mkubwa ambao mara nyingi wanaofanya hivyo ni wale wafanyakazi wasio na ufanisi wa kazi lakini pia ajira zimekuwa zikitolewa kwa ubinafsi bila ya kuzingatia sifa zinzostahiki
tunachukua watumishi wa umma na kuwapa mikataba ya kazi ya muda tu serikali inawafundisha vijana na kuwasomesha lakini wanashindwa kufanya kazi hapa kutokana na sheria za utumishi zilivyo alisema
alisema ipo haja ya kufanywa tathmini ya kila mwaka kwani watendaji na wafanyakazi wamekuwa wakitekeleza majukumu yao isivyo sahihi ambapo wapo walioajiriwa bila ya sifa na kutaja vitendo vya ubadhirifu wa fedha za umma ukifanyika chini ya kivuli cha wafanyakazi hewa
kuna matatizo katika sekta hii ya utumishi wa umma wapo watu wanataka kuajiriwa wenye sifa lakini badala yake wanachukuliwa wengine na kuachwa wenye sifa mheshimiwa spika wafanyakazi hewa wapo kila siku lakini wanaonekana upande mmoja tu pemba ndio inayoonekana kuwa kuna wafanyakazi hewa lakini hapa unguja wapo lakini hilo halifanyiwi uchunguzi alisema asaa
naye mwakilishi wa ziwani (cuf) rashid seif suleiman kwa mujibu wa katiba kamisheni ya utumishi ndio chombo kikuu lakini inaonesha kwamba serikali inarudi tena katika utawala wa mu binafasi na mwengine ambao mamlaka anapewa katibu mkuu kiongozi hivyo alishauri maamuzi yatokane na chombo kuliko maamuzi kutokana na mtu mmoja
wizara ya utumishi na utawala bora atafanya kazi gani ikiwa maamuzi kama hayo anapewa katibu mkuu kiongozi kwa kuwa yeye ni kiongozi basi ni bora akaendelea kuwa kiongozi wa wizara zote lakini kumuweka katika wizara moja tu ni kumuongezea msongamano alisema mwakilishi huyo
nashauri utafiti mkubwa ufanyike kuhusiana na utumishi wa umma kwani ubinafsi umetawala umimi unatawala na ni bora kufanya uchunguzi mapema kuliko kusikia kuna ajira zimetolewa tunataka maeendeleo lakini bado tunaendelea kutoa ajira kwa upendeleo tu utasikia anatakiwa mtu mwenye digree lakini wanachukuliwa mtu mwenye diploma wakati wenye degree wapo mitaani alisistiza
aidha alisema kuna haja ya kutathimiwa kwa wafanyakazi kila mwaka pamoja na wakurugenzi makatibu wakuu na hata mawaziri wanaoteuliwa watizamwe kutokana na viwango vyao vinavyokubalika
rais anatizama kusini sijachukua anateuliwa mmoja kaskazini sijateuwa anachukua mmoja na hachagui kwa kiwango na vigezo mpaka lini tutatumia utaratibu huo bila ya kuzingatia utumishi wa umma alihoji mwakilishi huyo
naye mwakilishi wa jimbo la micheweni (cuf) subeit khamis faki alisema mikataba ya muda inayotolewa na serikali ni vyema ikawa inazingatia vigezo na kada maalumu na watu maalumu na sio kuacha kuwachukua vijana ambao wamesoma na hawana kazi za kufanya na kuwapa wastaafu mikataba jambo amablo linawakosesha vijana fursa za ajira
serikali iwaache wastaafu na iwape fursa vijana maana kuwarudisha wastaafu ni kuwanyima fursa vijana kufanya kazi hasa kwa kuzingatia serikali inao vijana wengi wenye elimu na waliosoma katika fani mbali mbali
kwa nini kila siku serikali inawachuklua wastaafu na kuwapa nafasi serikali wakati kuna vijana tele ambao wana elimu ya kutosha na wanaweza kufanya kazi alisema subeit
aidha mwakilishi huyo ameitaka serikali kuwa makini katika suala zima la kutoa uajiri wa mikataba kutokana na kufanya hivyo kuwakosesha vijana wenye uwezo wa kupata ajira
alisema wapo baadhi ya wastaafu ambao wanapewa mikataba ya kazi wakati utendaji wao hauna rekodi nzuri huko nyuma lakini pia kufanya hivyo ni kuwakosesha vijana kupata ajira serikalini na kuzalisha wafanyakazi wavuvi
alisema sheria nyingi zinatunga lakini haziwasaidii waajiri na kumekuwa na ujanja wa wamiliki wa mahoteli wanawafukuza wafanyakazi bila ya sababu za msingi kutokana na marekebisho ya sheria ile ya mishahara kwa wafanyakazi
kwa hivyo ipo haja kwa serikali kurekebisha sheria zetu ili ziwabane wale wote ambao watafanya vitendo kama hivi vya kuwadhulumu wafanyakazi wao na kuwanyima haki zao
aliomba serikali kuchukua hatua za kisheria kama zinavyozitungwa barazani hasa kwa hao wamiliki wa mahoteli ambao wanaofanya vitendo hivyo sheria zifanye kazi na zisimamiwe kikamilifu kama zinavyotungwa maana kutungwa kwa sheria na kusifanyiwe kazi kwa ukamilifu
sheria zetu ni nzuri lakini mara nyingi tunashindwa kuzisimamia na kuzitekeleza na ingekuwa tunasimamia vyema sheria zetu basi isingekuwa mara kwa mara tunazipitia na kuzifanyia marekebisho hapa alisema mwakilishi huyo
akizungumzia suala la mishahara alisema licha ya marekebisho hayo ya mishahara imepitiwa lakini bado mishahara midogo vijana wanapomaliza kidatu cha sita na akichukua diploma utumishi unachelewa kumfanyiwa marekebisho zaidi ya mwaka na hayo ndio mambo ambayo huwavunja moyo zaidi na kukimbia nchini na kukimbilia sehemu nyengine kufuata maslahi zaidi
mwanasheria mkuu alisema alisema kuna haja ya kuiangalia katiba ya hapa nchini ingawa kuiangalia katiba na utekelezaji wake ni mambo tofauti kwani tabia zilizojengeka ni kuona kwamba wingi wa ukursa ndio muhimu
katiba ya marekani ina page 30 tu lakini sisi page 35 lakini tuna matatizo kwa hivyo ni kujitathimini sisi wenyewe tunavyoendesha mambo yetu tusubiri hili kubwa la kurekebisha katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania halafu mambo mengine tatakaa sawa lakini tukitizama katiba yetu sasa haitakuwa mwafaka kwa sasa lakini sote tuanze kutizama hiyo katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania kwanza alisisitiza mwanasheria mkuu
akijibu hoja ya majukumu ya kamisheni mwanasheria mkuu alisema mukumu ya kamisheni kwanza ni kumshauri waziri na waziri mwenyewe anatakiwa kama kujibu hoja au kusawazisha basi ajisawazishe kwani ni nzuri kumuwezesha waziri ili aweze kusawazisha kabla ya kufika kwa rais na ndio maana sheria iweke bayana hilo
akijibu mamlaka ya katibu mkuu kiongozi ambapo wajumbe wengi walisema majukumu hayo yanaingiliana na tume ya utumishi alisema tume ya utumishi kila mmoja anafanya kazi yake na mamlaka aliyopewa
vijana wa zanzibar kusomeshwa
juhudi za makusudi zimeanza kuchukuliwa kwa vijana wa zanzibar kusomeshwa masuala ya diplomasia ili kuweza kuchukua nafasi ya kibalozi zinazotokea nchini
hayo yameelezwa na waziri wa nchi afisii ya makamo wa pili wa rais mohammed aboud mohammed alipokuwa akijibu suali la mwakilishi wa jimbo la kojani (cuf) hassan haamd omar aliyetaka kujua idadi ya wazanzibari waliopo katika ofisi za kibalozi na uwiano ukoje kati ya pande mbili hizo
waziri huyo alijibu kwamba jumla ya mabalozi waliopo ni 32 kati yao mabalozi wanne wanatoka zanzibar na kuna maafisa wa mambo ya nje 35 kwneye balozi za nje ya nchi ambapo kati ya hao 10 ni wazanzibari
utaratibu huu utasaidia kupunguza pengo liliopo na kuleta uwiano unaotarajiwa lakini jambo la msingi ni kuwaandaa vijana wetu pamoja na kufanya bidii katika masomo yao ili kukidhi vigezo na sifa katika soko la ajira alisema aboud
awali mwakilishi huyo alisema baada ya malalamiko mengi kutoka kwa wajumbe wa baraza la wawakilishi na wananchi kuhusu kutokuwepo kwa uwiano katika kushika nafasi za ubalozi baina ya zanzibar na tanzania bara kulikuwa na matarajio katika teuzi mpya za mabalozi kungekuwa na wazanzibari wengi zaidi ili kupunguza tatizo hilo ambapo pia alitaka kujua kama suala hilo limepokewa vipi na viongozi wa tanzania bara
akijibu suala hilo waziri aboud rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania ndiye mwenye mamlaka ya kikatiba kufanya uteuzi wa mabalozi wa tanzania na uteuzi uliofanywa ni sehemu tu ya kujaza nafasi zilizowazi za mabalozi
alisema hakuna jitihada zilizochukuliwa kwani bado kuna nafasi takriban 14 zinazotarajiwa kuwa wazi kutokana na mabalozi hao kutarajiwa kustaafu wakati wowote kuanzia sasa ambapo ni vyema wazanzibari wakavuta subira ili kuangalia busara za rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania
akizungumzia suala la kupuuzwa katika suala hilo aboud alisema serikali zote mbili zimekuwa zikifanya kazi kutatua changamoto hizo katika kuongeza wigo wa watumishi wa zanzibar kufanya kazi katika taasisi za muungano ikiwemo wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa ambapo tayari imeshachukua hatua mbali mbali
akizitaja hatua hizo ni pamoja na usajili wa maafisa wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa uliofanyika hapa zanzibar unaohusiana na wazanzibari peke yao ambapo hatua hiyo ni hutoa fursa zaidi kwa wazanzibari kujiunga na utumishi wa mambo ya nje
jembo jengine alilolitaja mbele ya wajumbe wa baraza hilo ni wazanzibari 10 wenye shahada ya kwanza waliopelekwa chuo cha diplomasia (cfr) kwa ajili ya kuandaliwa na kuajiriwa na wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa mara watakapomaliza masomo yao
uteuzi wa ramadhan muombwa ambaye ni mzanzibari kuwa balozi na naibu mwakilishi wa tanzania katika umoja wa mataifa ni miongoni mwa kilio cha mda mrefu cha zanzibar uwakilishi wa tanzania katika umoja wa mataifa pia ni faraja
wanaume waogopa kupima kongosho
waziri wa afya zanzibar juma duni haji amesema wanaume wengi wamekuwa na khofu ya kwenda kufanya vipimo vya afya zao hasa katika kupima kongosho dume (cancer ya kibofu cha mkojo) kutokana na kuogopa
ni kweli kila mwanamme mwenye umri unaofikia miaka 40 na kuendelea anatakiwa afanye uchunguzi wa kongosho dume angalau mara moja kwa mwaka alisema duni
waziri duni alikuwa akijibu suali la mwakilishi wa jimbo la mpendae (ccm) mohammed said mohammed aliyetaka kujua serikali inawafanya utaratibu gani kuwafanyia uchunguzi wanaume wenye umri mkubwa ili kubaini kama wamepata saratani ya kongosho dume na kupatiwa matibabu
amesema wanaume wengi hivi sasa wamepata matatizo ya saratani ya vipofu vya mkojo lakini pia hakuna utaratibu wa wa kuwapima kwa hiyari hadi hapo wanapokwenda katika vipimo vyengine
kwa hapa zanzibar hatuna utaratibu maalumu maalumu wa kuwachunguza waume kwa khiyari yao isipokuwa wale wanaokuja hospitali kwa matatizo ya kuziba njia ya mkojo ndio wanaopimwa kongosho dume na kwa sababu tu ni moja ya maradhi yanayofanya wanaume wengi washindwe kupata haja ndogo alisema duni
aidha alisema sio kawaida wanaume kukubali kupimwa kongosho kabla ya tatizo la kuziba mkono halijatokeaza na iwapo ikijitokeza anapima kwa tahadhari kubwa na ni kwa sababu tu hana jinsi ya kufanya zaidi ya hilo
akitaja sababu ya wanaume wengi kutopenda kupima kama hawaumwi ni aina ya kipimo chenyewe kinavyofanyika ambapo vipimo vyovyote vya kidaktari lazima vianzie na mkono ili upate uhakika wa jambo ni lazima vianzie na mikono kwa kugusa sehemu husika alisema duni
alisema baada ya kutoka hapo ndipo hupelekwa katika maabara mbali mbali na kufuatiwa na vipimo vyengine vya kutumia vyombo vya aina ya x ray kipimo cha kongosho kinahitaji kupitia kwenye njia ya haja kubwa
wanaume wengi wakiambiwa hukimbia na kurudi kwa daktari pale tu hali inapokuwa mbaya pindipo mwanamme akikubali kupimwa mapema au kuchunguzwa kila mwaka anaweza kugunduliwa tatizo mapema kutibiwa na hatimae akapona kabisa na pindipo akikataa tatizo hukuwa na mara nyingi huishia saratani ya kongosho kwa sabbau ya mabadiliko yanayotokea ndani yake alisema waziri huyo
awali mwakilishi huyo wa mpendae alisema serikali ya tanzania kupitia wizara ya afya na jumuiya ya madaktari wanawake (mewata) imefanya kazi kubwa ya kuwachunguza akina mama wenye matatizo ya matiti ili kubaini dalili za ugonjwa wa saratani na alitaka kujua iwapo madaktari hao wamefika zanzibar na kufnaya uchunguzi kama huo
akijibu suali hilo waziri duni alisema madaktari wa mewata hawajawahi kutembelea kuja kwa madhumuni ya kuchunguza saratani ya matiti hapa zanzibar lakini uchunguzi wa saratani ya matiti ulifanyika mara moja kwa ushirikiano wa hospitali ya mnazi mmoja na hospitali ya agakhan ambapo wanawake walijitokeza kupima afya zao
waziri huyo akiwataja watu waliopatikana na dalili za kensa alisema kati ya hao wane walikuwa na dalili hiyo wakafanyiwa vipimo na upasuaji na wanane walikuwa na kensa iliyokuwa imefikia hatua kubwa na baadae wote walipewa rufaa na kupelekwa hospitali ya ocean road
zanzibar ni mdau katika bot
serikali ya mapinduzi zanzibar imesema serikali ya zanzibar ni mbia katika uanziswaji wa benki kuu ya tanzania (bot) na ndio maana ikawa inapewa gawio lake katika benki hiyo
kauli imetolewa na waziri wa nchi afisi ya rais fedha uchumi mipango ya maendeleo omar yussuf mzee alipokuwa akijibu suali la ngongeza lililoulizwa na mwakilishi wa jimbo la mji mkongwe (cuf) ismail jussa ladhu ambaye alisema kwa mujibu wa sheria ya bot zanzibar haitambuliwi kama ni mbia
mzee alisema zanzibar inatambuliwa kama ni mbia na ndio maana ikawa inatengewa gawio lake la asilimia 45 katika benki hiyo kwani huwezi kupewa gawio kama sio mdau katika benki hiyo
akijibu suali la msingi la mwakilishi wa jimbo la ziwani (cuf) rashid seif suleiman aliyetaka kujua msimamo wa serikali kuhusu atahari ya kuporomoka kwa shilingi ya tanzania
akijibu suali hilo mzee alisema sababu za kuporomoka kwa thamani ya shilingi ni uzalishaji mdogo wa ndani ambao hauendani na mahitaji hivyo kusababisha uagizaji kutoka nje na hasa wa vyakula muhimu kuwa mkubwa na kupelekea mahitaji ya fedha za kigeni kuwa makubwa
akitaja mambo mengine mzee alisema kupandamara kwa mara kwa bei ya mafuta duniani kuchafuta kwa masoko ya fedha duniani kunakosababishwa hasa na matatizo ya kifedha yanayoendelea ndani ya bara la ulaya kunakopelekea thamani ya dola kuimarika dhidi ya sarafu nyengine duniani ikiwa ni pamoja na shilingi ya tanzania
sababu nyengine imetajwa ni utegemezi mkubwa wa fedha zilizotoka kwa wafadhili hasa zile zilizotengwa kwa ajili ya miradi ya kitaifa zinapochelewa kunfanya mahitaji ya fedha za kigeni na hasa dola kuwa makubwa na hivyo kupelekea kushuka kwa thamani ya shilingi
akijibu suali la kitu kinahcochangia kushuka kwa thamani ya shilingi wziri mzee alisema kushuka kw ashilingi ya tanzania kunamuathiri sana mwananchi wa kawaida hasa kwa kutilia mkazo kuwa bei za bidhaa mbali mbali na hasa vyakula pamoja na usafiri hupanda bila ya kujali vipato vya wananchi
akijibu suali la msimamo wa serikali waziri huyo alisema zanzibar kuendelea kuwa nchi ya amani na utulivu kuendelea kuwa na sera nzuri za kuitangaza zanzibar zitakazovutia watalii zaidi na kuipatia fedha nyingi za kigeni
aidha kuwakaribisha wawekezaji kuwekeza katika uvuvi wa bahari kuu pamoja na wananchi kuanzisha mashamba ya samaki na majongoo ya baharini pamoja na kuzalisha zaidi mazao ya vyakula nay ale ya bishara kama karafuu hiliki pilipili na viungo vyengine vinavyopatikana hapa nchini
alisema kuhakikisha vyakula vinavyozalishwa ndani haviuzwi nje ya nchi hadi pale litakapopatikana soko la ndani na kupunguza kwa viwango vya kodi kwa baadhi ya bidhaa muhimu hasa za vyakula na kupunguza manunuzi ya lazima kwa bidhaa zinazotoka nje
← ngos zisizo na sifa tutazifuta naibu waziri aangua kilio barazani →
one response to serikali yakiri upendeleo katika ajira moses april 4 2012 at 600 am
reply → serikali kushindwa kuendeleza tabia ya kua mwajiri mkuu ndio chanzo cha matatizo zanzibar inahitaji kubadilika na kuelekea ajira nje ya serikali ambako manunguniko ya upendeleo hakuna kwa kuwa mwenye sifa ndie anaechaguliwa tabia hii ya serikali kuajiri ina changia kupunguza kiwango cha elimu kwa kuwa mtu moja moja hafanyi juhudi ya kupata zaidi ya kinachihitajika kwa kuwa serikali inajali unamjua nani si unajua nini watu wanatumia nyuso za baba zao asili zao na sehemu wanazotoka kupata ajira hii inawafanya hawa kusoma kiasi kidogo tu kwa kuwa inatosha kuingia serikalini kumega sehemu ya cake ya taifa wakati fulani nikiwa serikalini mhasibu mkuu wa wizara alikuwa na elimu ndogo na alipokea mshahara mdogo kuliko wangu mtu huyu hatahivyo alikuwa na mimali ya kupita kiasi nilikuwa najiuliza mshahara wake wa mbuzi unamtosha apate mali zote zile rafiki zangu walinambia nisiende mbali kwa kuwa huyu ama alikuwa ibni kniana au khuzaima na haya ni makabila ashraf miongoni mwa makureish wa unguja ina sikitisha pia jamaa zangu wawakilishi kutoka pemba ambao wanataka vijana wapate ajira serikalini na hawafikiriii kuunganisha nguvu zao na kuanzisha mfuko wa kuendeleza ajira kule pemba wao kazi wengi ni kufungua viduka vya kuuza vibakuli na vyetezo hapa unguja ivo hawaoni kuwa pemba in mito mingi ya bahari ambayo wakiunganisha nguvu waweza kuanzisha ufugaji wa samaki na mazao mengine ya bahari kwa wakati huu kufikiria kupitisha sheria ya kuratibu ajira serikalini ni kupoteza wakati kwa kuwa hili litatokea na hakuna kitachobadilika serikali hajiajiri jamaa zangu serikali inaweka mazingira mazuri ya ajira kutokea ajira hazitatokea kama hakutakuwa na watu jasiri wa kuanza kisha serikali kwa kuona haya akjitune kuelekea huko mazingiira yanakotaka ivo sisi tunaingalia dunia kwa perspective ipi ya kidunia au ya kipopeni ambako kila kitu kitakuja automatically ukweli unatufundisha kuwa humam society has always been in motion tutumie maelekezi kama haya kuelekea kwengine si kuangalia kisichoweza kututalia shida zetu serikali haiwezi kabisa ivo hatuoni kuwa kila mtu akiingia serikalini apate mshahara mwisho wa mwezi kunapunguza uwezo wake wa kulipia development project na ndio maana unaenda taasisi za serikali kupeleka msaada wanakudai hata pesa za kupiga rangi darasa ivo kuna kzai gani serikalini za kuwa makatibu wakuu wana masekerati wawili wawili na hivo kwa wakurugenzi na hadi wengine unaowajua watu hawa waili ukienda hawajui hata kupokea mgeni au kuweka miadi ya bosi wao na siku bosi hayupo wote huondoka ivo kuna mahitaji gani kwa mahali ambapo kuna rcs na dcs kuongezwa nafasi ya mshauri katika hali ya kawaida moja wa mawaziri asie wizara maalumu kutoka sehemu hii angekuwa mshauri kama rcs na dcs hawatoshi mtindo huu wa kuifanya serikali shamba la bibi au dala dala iwe pand shuka hatusaidii tubadilike watoto wetu wanahita utuuuzima wao uwe bora kuliko wetu na hili halitawezekana kwa kutumia budget kulipana mishahara tu | 2017-05-24T11:41:36 | https://zanzibarkwetu.wordpress.com/2012/04/03/serikali-yakiri-upendeleo-katika-ajira/ |
tanzania imepiga hatua katika kuendeleza hifadhi na maeneo tengefu ya bahari
thursday august 13 2020 0915 gmt
imepiga hatua katika kuendeleza hifadhi na maeneo tengefu ya bahari
mara nyingi watu wanaposikia neno hifadhi mawazo yao moja kwa moja hukimbilia kwenye hifadhi za taifa zilizopo nchi kavu kama vile mbuga za wanyama za serengeti ngorongoro mikumi na nyinginezo lakini ni nadra mno kusikia watu wakitaja hifadhi zinazopatikana katika bahari
dar es salaam aprili 19 (ips) wakati hali ikionyesha hifadhi za bahari kutokuwepo akilini na midomoni mwa watu wengitanzania inajulikana kuwa miongoni mwa mataifa duniani ambayo yamejizolea sifa kubwa katika kusimamia vizuri hifadhi za bahari
hifadhi za bahari na maeneo tengefu ni nini kwa mujibu wa meneja wa kitengo cha hifadhi za bahari na maeneo tengefu dk adilian chande kitengo hicho kilikuwa chini ya idara ya uvuvi kwa mujibu wa sheria ya maeneo tengefu ya bahari na 29 ya mwaka 1994 kutokana na kwamba kwa sasa sekta ya uvuvi imegawanyika katika idara mbili ufugaji wa samaki na maendeleo ya uvuvi kitengo sasa kipo chini ya idara ya maendeleo ya uvuvi hivyo sheria iliyounda kitengo kwa sasa ipo redundant (imepitwa na wakati) kwani idara ya maendeleo ya uvuvi haijatajwa kwenye sheria ya wakati huo na sasa tupo katika mchakato wa kurekebisha sheria alisema dk chande
akizungumza mwaka jana wakati wa kupokea ujumbe wa watendaji wa mradi wa kuhifadhi mazingira ya ziwa victoria (lvemp) uliokuwa kwenye ziara ya kujifunza kutoka kwenye miradi inayotekelezwa kuhifadhi mazingira ya ukanda wa pwani na hasa mradi wa pwani wa mpango wa kusimamia mazingira ya ukanda wa pwani (tcmp) unaofadhiliwa na usaid dk chande alisema kitengo kilianzishwa baada ya idara kugundua kuwa kulikuwa na uharibifu mkubwa wa mazingira hasa katika maeneo yenye bayoanuai kubwa na viumbe ambao ni adimu baharini kama vile nguva pomboo kasa papa na wengine ikiwa ni pamoja na uoto wa asili ambapo mikoko ilikatwa ovyo na matumbawe kuharibiwa kwa kupigwa mabomu
matumbawe yalivunjwa ovyo ovyo kwa kutumia mabomu shida kubwa ni mabomu ambayo yanaangamiza matumbawe ambayo ndiyo uhai wa bahari hakuna bahari bila matumbawe hakuna uhai kabisa alisema dk chande
ndipo idara ikaona kuna haja ya kuanzisha kitengo kuweza kubainisha maeneo husika ili yaweze kuhifadhiwa kwa njia mbili hifadhi za bahari au maeneo tengefu
kwa kutofautisha hifadhi ya bahari ni eneo kubwa ambalo hata watu wanaishi ndani yake shughuli za eneo hilo husimamiwa na mpango wa usimamiaji ujulikanao kama general management plan ambao kwa mujibu wa dk chande maandalizi yake yanashirikisha wadau wote
mpango unashirikisha wanajamii ambao wanaishi ndani ya hifadhi halmashauri husika ambazo ziko ndani ya hifadhi na wadau wengine ikiwa ni pamoja na wanasayansi kwa kushirikiana na uongozi wa kitengo kukubaliana kuwa baadhi ya maeneo yatengwe kabisa ambapo hakuna uvuvi wowote utakaoruhusiwa kutenga maeneo ya matumizi ya jumla ambapo uvuvi unaruhusiwa kwa wavuvi wa ndani na nje ya hifadhi na maeneo ya matumizi maalum ambayo pamoja na kwamba wavuvi wa ndani ya hifadhi wanaruhusiwa kuvua kwa kutumia zana maalum zinazoruhusiwa kisheria wavuvi wa nje hawaruhusiwi kabisa kuvua katika maeneo hayo
kwa upande mwingine maeneo tengefu ni maeneo madogo madogo ya visiwa ambayo yanazungukwa na matumbawe katika maeneo haya watu hawaruhusiwi kuishi wala matumizi ya rasilimali hayaruhusiwi shughuli zinazoruhusiwa katika maeneo hayo ni zile zinazohusiana na utalii tu kwa mujibu wa dk chande maeneo hayo ni pamoja na visiwa vya bongoyo na mbudya mjini dar es salaam ambapo ndani yake kitengo kimetengeneza njia vinjari (nature trails) kwa ajili ya watalii kupita
je unazijua hifadhi za bahari tanzania
kwa mujibu wa dk chande ni mpango wa dunia nzima kuwa asilimia 10 ya maji ya bahari na maziwa yanakuwa chini ya hifadhi na tanzania ina asilimia 45 tu ya hifadhi alisema kama kitengo chake kitaingia katika kuanzisha hifadhi kwenye maji ya ziwa anatarajia asilimia hiyo itaongezeka hadi 7 na hivyo nchi kupiga hatua kubwa
asilimia hiyo 45 inahusisha hifadhi za bahari 3 na maeneo tengefu 15 tuna hifaddhi za bahari 3 nchini tanzania alisema dk chande
akizitaja kwa majina alisema hifadhi ya kwanza ni ile ya kisiwa cha mafia katika mkoa wa pwani ambayo ilianzishwa kati ya mwaka 1995/96 hifadhi hii ina ukubwa wa kilomita za mraba 822
katika hifadhi hii huwezi kusikia bomu linalia kwani tumeshadhibiti hali na wananchi wengi wameshakuwa na uelewa na hivyo kusaidia katika kazi za uhifadhi alisema na kuongeza kuwa pia wananchi wanafaidika kutokana na kuongezeka kwa utalii katika eneo hilo
kuna geti la kuingilia kwenye hifadhi na kiingilio ni dola 20 kila mwaka wanakijiji wanapata asilimia 20 na halmashauri asilimia 10 ya mapato yatokanayo na utalii alibainisha na kuongeza kuwa kila mwaka wanakijiji wanaandaa mpango wao wa shughuli za maendeleo ambao unapitishwa na halmashauri husika mpango huo unabainisha vijiji vya kufaidika na fedha za hifadhi mwaka hadi mwaka na unaweza kuhusisha shughuli za uchimbaji visima kujenga zahanati madarasa na shughuli nyingine
pia kitengo hicho kinasomesha baadhi ya watoto wa wanajamii katika hifadhi katika kiwango cha elimu ya sekondari ili kuhamasisha jamii hizo kupenda kupeleka watoto wao shule
kwa hiyo wameona faida ya hifadhi ila hapo kabla walikuwa hawajaelewa alisema dk chande wameona umuhimu wa kutunza hizi rasilimali hakuna mwananchi wa mafia ndani ya hifadhi ambaye sasa anapenda kusikia bomu
hata hivyo kwa mujibu wa dk chande kuna aina ya uvuvi wa kutumia nyavu za mitando ambazo haziruhusiwi kutokana na kuwa na macho madogo uvuvi huu bado unatumika katika vijiji viwili kwenye hifadhi ya mafia lakini alisema kitengo chake kinafanya jitihada za kudhibiti uvuvi huo hifadhi ya pili ni ya mnazi bay ambayo imeanzishwa mwaka 2000 hifadhi hii inahusisha eneo lenye gesi la mnazi bay na ina ukubwa wa kilomita za mraba 650 hapa uvuvi haramu ni mkubwa kutokana na kuwepo mpakani mwa tanzania na msumbiji katika mkoa wa mtwara
doria imekuwa ngumu kutokana na kuwa wavuvi haramu wanapofukuzwa upande mmoja wa nchi wanakimbilia upande mwingine alisema dk chande akiongeza kuwa hata hivyo hali imeweza kudhibitiwa baada ya kuongeza nguvu ya doria katika hifadhi hiyo
kwa sasa hali imekuwa nzuri ilibidi usimamiaji wa sheria uwe mkali zaidi ili kupunguza upigaji wa baruti na wavuvi haramu wamepungua kwa kiasi kikubwa kwa mujibu wa dk chande
hata hivyo anasema bado kuna vijiji viwili ambavyo vinasumbua katika kuendesha uvuvi haramu kwenye hifadhi hiyo lakini wamekuja wenyewe na kujisalimisha kwa mkuu wa wilaya na kula kiapo mbele ya mwanasheria mkuu wa serikali wakiahidi kuwa hawatarudia tena vitendo vyao vya uvuvi haramu alisema dk chande pia tumewaanzishia vikundi vyao vya doria ili wao wenyewe washiriki katika kusimamia hifadhi
akifafanua zaidi juu ya hifadhi hiyo dk chande alisema ina rasilimali nyingi na vivutio viko vingi ikiwa ni pamoja na msitu mkubwa wa mikoko ambao usingekuwa katika maji hata wanyama wakubwa wangeweza kuishi humo pia kuna maingilio ya mto ruvuma ambayo yana viboko wengi na kuanzia mwezi wa nane kuna mapitio ya nyangumi watu wanavutiwa kuangalia nyangumi wakipita na ili kukuza utalii wa kuangalia nyangumi ofisi ya hifadhi sasa imejengwa katika mapitio ya nyangumi ni kivutio kikubwa
pia kuna viota vya kasa ambavyo vinavutia watalii wengi wakati wa kuanguliwa kwa kasa na kuna vivutio vya matumbawe
hata hivyo kwa mujibu wa dk chande utalii wa eneo hilo unakabiliwa na changamoto ya kukosekana kwa miundombinu vivutio viko vingi lakini utalii bado haujakua kutokana na kukosekana kwa miundombinu barabara yetu ya kibiti hadi lindi haijaisha hata usafiri wa kutoka (mtwara) mjini kwenda eneo tulilojenga ofisi kilomita 45 ni barabara mbaya ambayo inahitaji uwekezaji alielezea dk chande
hata hivyo kuna watalii ambao wanapita vikwazo hivyo vyote kutokana na kupenda kufikia vivutio adimu vinavyopatikana katika hifadhi hiyo
hifadhi ya tatu ni ile ya tanga coelacanth ambayo ilianzishwa mwaka 2009 ambayo ina ukubwa wa kilomita za mraba 552 ilianzishwa kwa shinikizo la rais dk jakaya mrisho kikwete kutokana na umuhimu wake wa kuwepo kwa samaki adimu duniani aina ya silikanti (coelacanth) pia ni kutokana na wananchi wenyewe wa tanga ambao tayari wamehamasika kutunza mazingira na hivyo kuwasukuma kufika kwenye kitengo kuomba kuanzishwa kwa hifadhi
mbali na samaki aina ya silikanti vivutio vingine vinavyopatikana katika hifadhi ya tanga ni pamoja na matumbawe kasa na ni eneo lenye samaki wengi
kuanzia mwaka 2009 mpaka sasa hivi wananchi wenyewe wameanza kushuhudia kuwa samaki wameongezeka kwa kiasi kikubwa alisema dk chande
maeneo tengefu
kuna maeneo tengefu 15 nchini tanzania huku dar es salaam pekee ikiwa na maeneo tengefu 7 ambayo yanapatikana upande wa kaskazini na kusini kwa upande wa kaskazini kuna kisiwa cha bongoyo mbudya na eneo tengefu la fungu la mchanga lijulikanalo kama fungu yasin na pangamin maeneo haya tengefu yalianzishwa kabla ya kitengo hakijaanza mwaka 1975 wakati idara ya uvuvi ilipokuwa inaanza maeneo hayo yalipitishwa kwa kutumia sheria ya idara ya uvuvi visiwa vya kusini ni pamoja na kisiwa cha finda kenda na makatobe ambavyo vimeanzishwa na kitengo cha hifadhi za bahari
ukiacha hifadhi ya bahari mafia pia ina maeneo tengefu katika visiwa vya shungimbili nyororo na mbarakuni
kwa upande wa tanga kuna kisiwa cha maziwe katika wilaya ya pangani hiki kilipitishwa mwaka 1975 kuwa eneo tengefu ambapo wakati huo kilikuwa ni kisiwa lakini sasa kutokana na uharibifu wa mazingira kimegeuka na kuwa fungu la mchanga kisiwa hiki kina mazalia makubwa ya kasa ambapo kuna utalii mkubwa unaoendelea wa kushuhudia jinsi kasa wanavyoanguliwa katika fukwe za ushongo na kikokwe
maeneo mengine tengefu yanaanzia tanga mjini kwenda mpakani mwa kenya maeneo hayo ni pamoja na mwewe kilui ulenge na kwale kisiwa cha kilui kiko mpakani kabisa mwa kenya hali hii imesababisha kitengo kuona haja ya kuanzisha usimamiaji wa pamoja wa maeneo tengefu na nchi za jirani hii itasaidia kudhibiti uvuvi haramu na kuhifadhi viumbe wanaohama kama vile kasa
tofauti ya hifadhi za bahari na hifaddhi za taifa
kuna tofauti kati ya hifadhi za bahari na hifadhi za taifa zilizopo chini ya mamlaka ya kusimamia mbuga za taifa tanzania (tanapa)
wakati hifadhi zinazosimamiwa na tanapa haziruhusu wanajamii kuishi katika hifadhi za taifa kitengo cha kusimamia hifadhi za bahari kinaruhusu wanajamii kuishi ndani ya hifadhi
kwa mujibu wa dk chande mpangilio huu unafanya kazi ya kuwashirikisha wanajamii katika uhifadhi kuwa rahisi zaidi mafanikio ya hifadhi na maeneo tengefu ya bahari
moja ya mafanikio ni kuongezeka kwa akiba ya samaki baharini na kuhifadhiwa kwa rasilimali na viumbe bahari walio katika hatari ya kutoweka kama vile mikoko matumbawe kasa nguva silikanti nk
pia kuna ongezeko la utalii katika maeneo ya hifadhi tunajaribu kuhamasisha utalii alisema dk chande
pamoja na kuwa lengo letu la msingi ni kuhifadhi mazingira lakini baada ya kuhifadhi mahitaji ya uwekezaji katika utalii yanazidi kuongezeka
changamoto za kuendeleza hifadhi za bahari na maeneo tengefu
changamoto kubwa ya kusimamia hifadhi za bahari na maeneo tengefu ni ulipuaji wa mabomu kutokana na kuongezeka kwa samaki katika maeneo hayo
tunapata shida sana na uvuvi haramu katika maeneo hayo baada ya kuyatunza samaki wamekuwa wengi wengi sana kwa hiyo wahalifu wakilipua bomu na samaki kuelea wanachota samaki wengi kazi kubwa ni kusukuma utekelezaji wa sheria kwa kufanya doria za mara kwa mara ambazo ni za gharama kubwa hii kwa kiasi kikubwa imepunguza uvuvi haramu alisema dk chande (end/2012) | 2020-08-13T06:15:31 | http://www.ipsinternational.org/africa/sw/print.asp?idnews=4051 |
kona ya habari redds miss tanzania awataka redds miss sinza kulinda heshima 2013
redds miss tanzania awataka redds miss sinza kulinda heshima 2013
redds miss tanzania 2012 ambaye pia ni redds miss sinza brigitte alfred amewataka warembo wanaowania taji la mwaka huu la kituo cha sinza kutomuangusha kwa kufauata nyayo zake katika shindano lililopangwa kufanyika juni 8 kwenye ukumbi wa meeda club
brigitte alisema hayo juzi alipotembelea warembo wanaowania taji la mwaka huu katika kinyanganyiro hicho kilichodhaminiwa na bia ya redds origional dodoma wine clouds media group chilly willy energy drink fredito entertainment cxc africa saluti5com na sufiani mafoto blog
alisema kuwa warembo wa kituo hicho wanakazi kubwa ya kushinda taji hilo na baadaye miss kinondoni na miss tanzania kama yeye alivyofanya
alifafanua kuwa siri kubwa ya mafanikio ni kujituma na kuwa na nidhamu ya hali ya juu kwani hata yeye alifundishwa na matroni wa sasa mwajabu juma na waandaaji ni wale wale
sioni sababu ya kushindwa kufanya vyema katika mashindano haya redds miss sinza ndiyo inatetea taji la miss kinondoni na miss tanzania pia hivyo macho ya wadau wote wa urembo yatakuwa kwenu na ndicho kitongoji kinachofunga mashindano ya ngazi ya chini mnatakiwa kujituma na kuwafanya majaji kuwa na kazi ya ziada kumpata mshindi alisema brigitte
alisema kuwa wadau wa masuala ya urembo wanaangalia sinza mwaka huu itafanya nini baada ya mafanikio makubwa ya mwaka jana sisi tumejenga msingi mkubwa na kuleta heshima kwa wakazi wa sinza kinondoni na tanzania kwa ujumla nanyi mna jukumu hilo alisema
mratibu wa mashindano hayo majuto omary alisema kuwa maandalizi yamekwisha kamilika na kiingilio ni sh 10000 kwa viti vya kawaida na shs 20000 kwa viti vya vip alisema kuwa wanakamilisha maandalizi ya burudani ya siku hiyo ambayo itakuwa ya aina yake
posted by mkojera at 0642 | 2017-11-23T20:05:36 | http://mkojera.blogspot.com/2013/05/redds-miss-tanzania-awataka-redds-miss.html |
rais magufuli aridhishwa uchunguzi wa dna sampuli mwananchi
nape asema uendeshaji wa siasa unatokana na ilani ya ccm
mbowe ashauri kuundwa kikosi kazi cha corona
waliougua corona tanzania wafika 24
vita vya kagera vilivyombakisha nyerere madarakani
rais magufuli ameipongeza mamlaka ya maabara ya mkemia mkuu wa serikali huku akiitaka isimamie vizuri fedha wanazopata ili kuleta mafanikio kiutendaji
dar es salaam rais wa tanzania john magufuli leo jumanne agosti 20 2019 amemuagiza mwenyekiti wa bodi ya mamlaka ya maabara ya mkemia mkuu wa serikali profesa ester hellen jason na mkemia mkuu wa serikali dk fidelice mafumiko kusimamia vizuri matumizi ya fedha zinatumika kununua mahitaji mbalimbali vikiwemo vitenganishi vitumikavyo maabara
rais magufuli amesema hayo alipotembelea ofisi ya mkemia mkuu wa serikali iliyopo kivukoni jijini dar es salaam ambapo ameona jinsi mitambo ya uchunguzi vya kisasa inavyofanya kazi
miongoni wa uchunguzi uliokuwa ukifanywa ni pamoja na uchunguzi wa vinasaba vya miili ya watu waliopoteza maisha katika ajali ya moto iliyotokea mkoani morogoro agosti 10 2019 baada ya lori lililobeba mafuta kupinduka na kisha kulipuka moto
akizungumza na wafanyakazi wa ofisi hiyo rais magufuli amesema serikali iliamua kuchukua hatua madhubuti za kuimarisha ofisi ya mkemia mkuu wa serikali kwa kununua vifaa vipya na vya kisasa kuongeza wafanyakazi na kuibadili kutoka kuwa wakala wa serikali na kuwa mamlaka ya maabara ya mkemia mkuu wa serikali
akiwa katika maabara hiyo rais magufuli amejionea mitambo mipya ya uchunguzi wa vinasaba vya binadamu sumu dawa za kulevya kemikali na dawa inavyofanya kazi kwa haraka ambapo uchunguzi wa sampuli moja huchukua muda wa dakika 45 na unafanywa na vijana wa tanzania
nafahamu kuna wakati mlikuwa mnachunguza jambo na mnaandika ripoti ya uchunguzi wenu lakini hizo ripoti zilikuwa zinazimwa kwa sababu mlikuwa hamna nguvu sasa mna nguvu nataka mfanye kazi amesema rais magufuli
pia amewataka wafanyakazi wa mamlaka hiyo kuendelea kufanya kazi kwa uadilifu mkubwa kutopokea rushwa kutotoa siri na ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha watumishi wa ofisi hiyo wanaofanya uchunguzi wa masuala mazito wanakuwa salama na hawaingiliwi katika majukumu yao
mapema katika taarifa yake dk mafumiko amemshukuru rais magufuli kwa serikali ya awamu ya tano kutoa sh53 bilioni kwa ajili ya kununulia mitambo na kuongeza wafanyakazi kutoka 110 hadi 294 hali iliyoongeza ufanisi
mafanikio hayo kwa kipindi cha miaka minne tangu 2015 ni pamoja na vielelezo 204974 kuchunguzwa sawa na wastani wa vielelezo 51244 kwa mwaka kiwango ambacho ni ongezeko la asilimia 510 ikilinganishwa na rekodi za mwaka 2015/16
amebainisha ufanisi wa mamlaka hiyo pia umesaidia kuongeza mahudhurio mahakamani kutoka kesi 35 kwa mwezi (2015) hadi kufikia kesi 220 kwa mwezi mwaka huu (2019) na imeongeza ofisi nyingine 2 za kanda ya kati na kanda ya kusini hali iliyorahisisha upatikanaji wa huduma kwa wananchi
1 michezo mama mzazi wa guardiola afariki kwa corona
2 kitaifa nape asema uendeshaji wa siasa unatokana na ilani ya ccm
3 kitaifa mbowe ashauri kuundwa kikosi kazi cha corona
4 kitaifa waliougua corona tanzania wafika 24
5 kitaifa vita vya kagera vilivyombakisha nyerere madarakani
6 kitaifa mbunge wa cuf amchongea waziri wa zanzibar kwa pm
7 kimataifa vifo vya corona vyafika sita kenya
8 kitaifa mabadiliko baraza la upinzani gumzo
9 kitaifa madereva makondakta waandaliwa mtihani
10 kitaifa corona yapangua utaratibu wa misa alhamisi ijumaa kuu | 2020-04-06T15:50:51 | https://www.mwananchi.co.tz/habari/kitaifa/Rais-Magufuli-aridhishwa-uchunguzi-wa-DNA--sampuli/1597296-5242812-awqrtgz/index.html |
tetemeko jingine latokea chile | wafanyakazi wa idhaa ya kiswahili | dw | 01032010
tetemeko la ardhi lenye kipimo cha richta 62 limetokea usiku wa jana siku moja baada ya kutokea tetemeko jingine lililokuwa na kipimo cha richta 88
mwanamke akiangalia majengo yaliyoanguka huko talcahuano chile kufuatia tetemeko la ardhi lililoikumba nchi hiyo siku ya jumamosi
tetemeko jingine la ardhi lenye kipimo cha richta 62 limetokea kati kati mwa chile usiku wa jana siku moja baada ya kutokea tetemeko jingine la ardhi lililokuwa na kipimo cha richta 88 na kusababisha vifo vya watu 700 taasisi ya ukaguzi wa jiologia nchini marekani imesema kitovu cha tetemeko hilo la ardhi kilikuwa kilometa 35 chini ya bahari na umbali kilometa 160 kaskazinimashariki mwa mji wa talca
kufuatia matetemeko hayo ya ardhi serikali ya chile imeomba radhi kwa kushindwa kutoa onyo la kutokea mawimbi ya tsunami kutokana na tetemeko la ardhi la siku ya jumamosi lililosababisha vifo vingi katika eneo la pwani mwa nchi hiyo aidha serikali ya nchi hiyo imetangaza amri ya kutotembea katika maeneo mawili yaliyoathiriwa zaidi na tetemeko hilo la ardhi katika mkoa wa maule na mji mkuu wa pili wa concepcion pamoja na majimbo yake ambako wasi wasi wa hali ya usalama umeongezeka kufuatia polisi kutumia mabomu ya kutoa machozi kuwatawanya baadhi ya watu waliokuwa wakipora katika maduka
idadi ya waliokufa huenda ikaongezeka
rais michelle bachelet wa chile amesema anatarajia idadi ya waliouawa na tetemeko hilo la ardhi ikaongezeka na kufikia 708 huku serikali yake ikikiri kushindwa kutoa onyo kwa wananchi kuhusu hatari ya kutokea mawimbi ya tsunami meya wa mji wa concepcion jacqueline van rysselberghe ameomba msaada wa dharura wakati waokozi wakiendelea na zoezi la kuwatafuta watu waliokwama katika majengo yaliyoanguka hasa katika mji huo
rais bachelet anayetarajiwa kukabidhi madaraka kwa mrithi wake sebastian pinera tarehe 11 ya mwezi huu amesema vikosi vya jeshi la anga vitaanza kugawa chakula na mahitaji muhimu katika maeneo yaliyoathiriwa vibaya na tetemeko hilo la ardhi kiasi watu milioni mbili wameathiriwa na tetemeko hilo la ardhi televisheni ya taifa imetangaza kuwa maiti 300 zimepatikana hadi sasa tetemeko hilo la ardhi ambalo ni kubwa na baya zaidi kuwahi kutokea nchini humo tangu miaka 50 limeteketeza nyumba milioni 15 kituo cha kihistoria cha mji wa curico kimeharibiwa kwa asilimia 90 na tetemeko la ardhi rais barack obama wa marekani ametoa salamu za pole kwa rais bachelet na kuelezea nia yake ya kuisaidia nchi hiyo rais obama alisema''marekani iko tayari kusaidia katika jitihada za uokozi na tuna vifaa kwa ajili ya uokozi kama serikali ya chile itaomba msaada wetu chile ni rafiki na mshirika wa karibu wa marekani na nimemfahamisha rais bachelet tupo kwa ajili yake endapo wananchi wa chile watahitaji msaada wetu''
kitovu cha tetemeko hilo la ardhi kilikuwa maili chache kaskazini mwa tetemeko kubwa la ardhi kuwahi kurekodiwa la mei mwaka 1960 lililokuwa na kipimo cha richta 95 ambalo lilisababisha vifo vya kati ya watu 2200 na 5700 nchi za eneo la pacific na mataifa yote 53 katika eneo la pwani ya magharibi ya kusini na amerika ya kati yameondoa onyo la kutokea kwa tsunami ukilinganisha na tetemeko lililotokea haiti mwezi januari lililokuwa kipimo cha richta 70 watu 217000 waliuawa
clinton kuzuru santiago
wakati huo huo waziri wa mambo ya nchi za nje wa marekani hillary clinton aliyepanga kufanya ziara amerika ya kusini kabla ya kutokea janga hilo kesho jumanne atazuru santiago na anatarajiwa kukutana na rais bachelet na pinera china kwa upande wake imesema itachangia dola milioni moja kwa ajili ya kusaidia juhudi za dharura za kibinaadamu nchini chile
kiungo https//pdwcom/p/mejg
theresa may atoa wito kwa wapinzani kuhusu mpango wa brexit 17012019 | 2019-01-17T12:16:06 | https://www.dw.com/sw/tetemeko-jingine-latokea-chile/a-5299838 |
nelly kamwelu anunua lipstik kwa milioni 6 global publishers
nelly kamwelu anunua lipstik kwa milioni 6
mrembo aliyewahi kunyakua taji la dunia la miss universe nelly kamwelu juzikati alionesha jeuri ya pesa baada ya kutoa shilingi milioni 6 za kitanzania kwa ajili ya kununua rangi ya mdomo (lipstick) katika mnada uliofanyika wakati wa sherehe ya bethidei ya miss tanzania 2006 wema sepetu
mrembo aliyewahi kunyakua taji la dunia la miss universe nelly kamwelu
tukio hilo lilijiri usiku wa kuamkia novemba 2 mwaka huu ndani ya ukumbi wa wema sepetu uliopo ndani ya jengo jipya la millennium tower kijitonyama jijini dar es salaam ambapo nelly aliwatikisa baadhi ya waalikwa kwa kufikia dau hilo wa mnada ulioendeshwa na meneja wa mrembo huyo martin kadinda
baadhi ya mastaa wengine waliojaribu kupimana ubavu na msichana huyo linah vanessa mdee esher buheti na waalikwa wengineo walijikuta wakitoa ahadi ya fedha kidogo hivyo kumfanya kuwa mtu wa mwisho baada ya kutamka kutoa donge hilo
huo ulikuwa ni uzinduzi wa bidhaa mpya za muigizaji wema hafla iliyofanyika sambamba na sherehe ya bethidei yake ambayo ilihudhuriwa na mastaa mbalimbali walioalikwa wakiwemo wanafamilia yake | 2019-10-21T08:57:09 | https://globalpublishers.co.tz/nelly-kamwelu-anunua-lipstik-kwa-milioni-6/ |
tohe wikipedia kamusi elezo huru
(elekezwa kutoka forhi)
rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=tohe&oldid=983269
ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 12 oktoba 2016 saa 1924 | 2019-08-23T08:59:21 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Forhi |
tolea la ivf la bure la amerika ivfbabble
kuingia kwa bure us ivf ya kutoa iko wazi
ivfbabblecom imeunda siku hizi za bure za ivf kukumbuka miaka 40 ya ivf na siku ya kuzaliwa ya louise brown tangu wakati huo tumewapa ivf za bure 27 na sasa tunayo watoto 5 na kuzaliwa 4 zaidi sisi ni shauku ya kuendelea kutoa hizi za bure za ivf kutoka kliniki zinazoongoza za ulimwengu tracey na sara waanzilishi mwenza wa ivfbx x | 2020-04-06T09:02:18 | https://sw.ivfbabble.com/usa-free-ivf-offer/ |
chuo cha maendeleo ya jamii (cdti) chamwaga misaada kwa kituo cha kulelea watoto yatima na waishio mazingira hatarishi ~ chimbuko letu | 2017-10-17T11:22:01 | http://chimbukoletu.blogspot.com/2012/01/chuo-cha-maendeleo-ya-jamii-cdti.html |
sura ya 30 baada ya shahada ya husein | shahidi kwa ajili ya ubinadamu | books on islam and muslims | alislamorg
sura ya 30 baada ya shahada ya husein hata baada ya husein na wapenzi wake wote na ndugu zake walipokuwa wamekutana na vifo vyao vya kishahidi uonevu wa yazid bin ziyad na vibaraka wao haukufikia mwisho ni zile namna tu za ukandamizaji na uonevu ndizo zilipata mabadiliko mauaji yalibadilishwa na unyanganyi kuchoma mali moto na kuninginiza vichwa vya mashahidi kwenye ncha za mikuki wanawake wa familia ya husein iliyokuwa salama kutokana na ufedhuli na kushushiwa heshima wakati wa uhai wa husein walikuwa sasa wanaondolewa hata stara za nguo walizozitumia kufunika vichwa vyao na wanaachwa kukutana na matusi mengi na walichukuliwa kutoka sehemu na kupelekwa sehemu nyingine kama wafungwa wa kawaida tu
maiti ya husein iliibiwa kilemba chake shati lake shuka yake kutoka yemen na nguo zake za ndani ambazo alikuwa amezivaa kwa mara ya mwisho upanga wake pia ulichukuliwa kisha jeshi lilifanya uporaji na unyanganyi kwenye mahema yaliyokuwa na wanawake wa familia1 ya husein ambao kutoka kwao walinyanganya hata nguo ambazo zilifunika vichwa vyao2 kisha mahema yaliwashwa moto na askari kumi waliopanda farasi walikanyaga juu ya maiti ya husein chini ya kwato za farasi wao3 kichwa cha husein kilichokatwa kilikuwa cha kwanza kupelekwa kwa ibnu yazid kupitia kwa khawali bin yaziud alasbahi 4
kisha vichwa vya baadhi ya mashahidi wengine vilipelekwa kwake pia miongoni mwa watu wa alhusein waliopona alikuwa ni mwanawe aliye kuwa mgonjwa ali bin husein baadhi ya wanawake na baadhi ya watoto
tarehe 11 muharram 61 ah umar bin sad aliizika miili ya watu wa jeshi lake baada ya kukamilisha taratibu zote za mazishi hata hivyo aliziacha maiti za husein na wafuasi wake bila kuzikwa na bila kushughulikiwa kwa jambo lolote wakati wa jioni aliwachukua watu waliobakia wa familia ya husein kama wafungwa kuwapeleka kufa na vile vichwa vya mashahidi ambavyo vilikuwa bado havijapelekwa kwa ibn ziyad vilichukuliwa pia na majeshi ilikuwa ni baada tu ya majeshi ya yazid yalipoondoka kwenda kufa kwamba maiti za mashahidi zisizokuwa na vichwa zilizikwa na baad hi ya watu wa kabila la banu asad ambao waliishi karibu ya karbala
vichwa vya mashahidi vilikabidhiwa kwa ubaydullah bin ziyad huko kufa na kwa dharau na jeuri aliichokoachokoa midomo na meno ya husein kwa fimbo hili lilimuudhi sana zayd bin arqam sahaba wa mtume ambaye alikumbuka kuwahi kumuona mtume akiibusu midomo hiyo na meno hayo kisha zayd alianza kulia ubaydullah bin ziyad alisamehe kutokumtolea amri ya kuuawa kwa sababu ya uzee wake
kabla ya kuwasili hapo kufa kwa msafara huo wenye kuhuzunisha wa watu wa husein waliobaki na kuporwa ilitolewa ilani kwamba mtu yeyote asije akatoka nje ya nyumba yake na askari doria walipelekwa kwenye sehemu mbalimbali kwa sababu ya wasiwasi fulani maalum wengi wa watu waliamini kwamba wafungwa ambao kwa ajili ya kuwasili kwao sehemu ya sokoni ilipambwa walikuwa wanawake wa maadui wa uislamu walioshindwa na idadi kubwa ya watazamaji walikuwa ni wenye furaha hata hivyo baadhi yao walikuwa wamejawa na huzuni kwani walikwishaujua ukweli
vichwa vya mashahidi vilivyotungikwa juu sana kwenye ncha za mikuki viliwaongoza wafungwa wanaotokana na familia ya mtume wakati msafara ulipoingia kufa mwanamke mmoja ambaye alikuwa akilishuhudia hadhara hii kutoka juu ya ghorofa ya nyumba yake aliwauliza wafungwa kuhusu familia zao na alipotambua kwamba walikuwa dhuria wa mtume yeye na watu wote wa kundi la watazamaji walilia na kuomboleza kwa sauti kubwa ali bin husein kwa sauti dhaifu na ya kutetema aliwaambia watu ni nyinyi ndiyo ambao mmemwaga damu yetu na sasa wanawake wenu wanalia machozi juu ya msiba wetu mwenyezi mungu ataamua kati yenu na sisi umati huo uliposikia maneno haya walishusha pumzi na wakalia sana kwa sauti za juu zaidi
katika hatua hii zainab aliuhutubia mkusanyiko wa wanaume wengi akise ma enyi watu wa udanganyifu na utapeli nyinyi mnalia kamwe mwenyezi mungu asikatishe machozi yenu nazisinyamazishwe sauti za vilio vyenu vya maombolezo
je mnalia na kupiga mayowe kikweli katika kuomboleza kwa kweli ni vyema kwenu nyinyi kwamba mngelia zaidi na kucheka kidogo zaidi je mlijaribu kamwe kugundua ni kiasi gani mmeupasua moyo wa mtume wa mungu mlivyowaweka wanawake waheshimiwa wa familia yake katika sura ya wageni na kuwatukana je mnastaajabishwa kwamba mbingu ilimwaga machozi hili si chochote kabisa ikilinganishwa na adhabu katika maisha yajayo ambayo kwa kweli itakuwa kali sana kisha hakutakuwepo mtu yeyote yule wa kukusaidieni msifurahie muhula huu mfupi mwenyezi mungu hana haja ya kufanya haraka kwani hatambui kwamba angekosa nafasi ya kukuadhibuni bila shaka yeyote ile atakuachieni wenyewe mlivyo kwa muda kidogo
imeelezewa kwamba wakati wa kutolewa hotuba hii yenye kugusa hisia wote waliokuwepo walibakia wametingishwa mno na wote walikuwa wanalia kwa hotuba ya zainabu bashir bin huzaym alasad alisema kamwe sijawahi kumwona mwanamke ambaye ameishi katika faragha akatoa hotuba yenye nguvu kama hii ilionekana kana kwamba baba yake ali bin abi talib ndiye alikuwa anatoa hotuba fasaha aliunyamazisha umati wa watu kwa ishira ya mkono wake na utulivu wa dhati ukapatikana hapo
kisha watu walihutubiwa na fatimah bint husein na umm kulthumu bint ali na ali ibn husein hutuba hizi zilifungua macho ya wenyeji wa kufa na kuvunjavunja udanganyifu wa kuduwaza wa bani umayyah walioumwaga kwa watu wa kufa kisha ibn ziyad aliamuru kwamba wale wanusurika wa husein waletwe kwenye baraza lake ile tabia ya kijeuri na dharau ambayo kwayo amekitendea kichwa cha husein na uathirikaji wa zayd bin arqam kuhusu hilo umekwisha elezewa tayari baada ya kuuliza kwake zainab alitambulishwa kwa ibn ziyad na majibizano yafuatayo yalitokea baina yao
ibnu ziyad mwenyezi mungu ashukuriwe kwamba amekudhalilisheni amekuuweni na kuufichua uwongo wenu
zainab sifa zote njema zinamstahiki mwenyezi mungu swt ambaye ametunuku heshima juu yetu sisi pamoja na muhammad mteuliwa na ambaye ametutangaza sisi kuwa tohara kama tohara yenyewe iwezavyo kuwa madai ya haki sisi hatuko kama usemavyo ameaibika na kudhalilika yule ambaye ni mwenye dhambi na mchafu uwongo umefichuliwa wa yule ambaye siku zote haiweki haki mbele kama lengo lake ni wengine na siyo sisi ndiyo watu wa namna hiyo
ibnu ziyad je umeona ni kitu gani mungu amekifanya kwa ndugu yako (husein) na ndugu wengine
zainab nimeona kwamba mwenyezi mungu amewafanyia upendeleo tu walikuwa ni watu wateule wa mwenyezi mungu ambao walikuwa wamepangiwa kupata shahada walikwenda kwenye madhabahu ya kuji toa mhanga maisha yao kwa miguu yao wenyewe siku haiko mbali sana ambapo mtakapokuja kukabiliana nao mbele ya mwenyezi mungu kujibu makosa yenu mabaya na maovu
ibn ziyad mungu ametimiza matakwa ya moyo wangu kwa kumuangamiza ndugu yako mpinzani na ndugu zako wengine wasiotii amri na walio waasi
zainab ndiyo kwa hakika umewaua jamaa zangu ndugu na marafiki kama hili limetosheleza matamanio yako basi jifurahishe nalo
kisha ubaydullah aligeukia kwa ali bin husein na alipokuwa hakupata lolote lile lililokuwa zuri zaidi katika mahojiano aliamuru auawe zainab akamngangania mpwa wake na akataka auawe pamoja naye ibnu ziyad alitulia na akamuacha ali bin husein ambaye alitoa hotuba ifuatayo yenye maneno ya kukumbukwa kwake
usijaribu kunitishia kwa kifo je hujui kwamba kuuawa ni katika njia yetu na kwamba shahada (kujitoa mhanga) ndiyo sifa yetu
akijisikia kuabika sana ibn ziyad alivunja baraza kwa siku hiyo akaamuru wafungwa wawekwe katika hali ya umateka mpaka kurudi kwa mjumbe wake kutoka damascus na kwamba raia wote wa hapo kufa wakusanyike ndani ya msikiti mkuu wa mji ambamo humo alipopanda katika mimbari alifanya rejea za kumuumbua na kumshushia mno hadhi yake ali bin abi talib abdallah bin afif mmoja wa shia wa kufa ambaye alipoteza macho yake yote mawili wakati akipigana kwa ajili ya ali katika vita mbalimbali alisimama na akampinga ibn ziyad na akamkemea kwa ukali aliamuriwa kukamatwa lakini askari mia saba watokanao na kabila lake walimwokoa na wakamchukua na kumpeleka nyumbani kwake hata hivyo bila ya huruma aliuawa usiku uleule
siku iliyofuatia kichwa cha husein kilitembezwa katika eneo la sokoni kikatundikwa na kuninginizwa katika mlango uingiao katika jumba la utawala wa ibn ziyad5
amri zililetwa kwa yazid kwamba wafungwa wapelekwe damaski ubaydullah bin ziyad alielekeza kwamba kichwa cha husein kinyanyuliwe na kuwekwa juu sana katika ncha ya mkuki kizungushwe katika mji na halafu vichwa vyote vya mashahidi vipelekwe damascus wanawake walipandishwa juu ya ngamia na ali bin husein bila kuridhika au kutaka na akiwa ametwikwa mnyororo mzito wa chuma kuzunguka shingo yake yote aliwafuata chini ya ulinzi na uangalizi wa shimr na muhaffiz bin thalaba alaidhi6
katika safari yake ya kwenda damascus msafara huu wenye bahati mbaya wa familia ya mtume ulipitia katika miji mingi na maeneo mengine yanayokaliwa na watu na katika sehemu chache sana maandamano ya watu wenye hasira yalifanyika kutokana na udhalilishaji waliofanyiwa wanusurika wa alhusein na hisia nzito za huzuni zilionyeshwa juu ya mauaji ya husein na ndugu na wasaidizi wao
baada ya kupatwa na mateso makubwa sana wanusurika wa husein wali ingia mjini damascus wakati wa alfajiri maduka makubwa ya mji yalipambwa makusudi kwa jambo hilo na umati wa watazamaji ulikuwa mkubwa kiasi kwamba haikuwezekana mpaka wakati wa mchana ndipo msafara huu wenye kusikitisha ulipofikia jengo kubwa la kiutawala la yazid
ibn alqiftii ameandika kwamba wakati vichwa vya mashahidi pamoja na familia ya mtume walipokuwa wakisindikizwa kwenda kuiingia mji wa damascus yazid alikuwa anawangalia kuingia kwao kwenye mlango wa jumba la kiutawala akiwa sehemu iitwayo yahrum na mara tu alipoviona vichwa vya mashahidi alikariri aya ambazo kwazo fikra au wazo muhimu lilikuwa kwamba alifikiria ameyaweka mambo sawa na mtume
ukumbi wa hadhara wa yazid ulikuwa umepambwa makhususi kwa ajili ya jambo hilo na alikuwa anajishughulisha na uchezaji bao watu wa famil ia ya mtume walifikishwa kwa yazid kama watumwa na wajakazi kutoka nchi ya uhabeshi (ethiopia) au dailam au kutoka miongoni mwa waturuki maelezo ya kupotosha kabisa ya vita vya karbala yalitolewa na sahr ibn qays wakati ambapo yazid alikuwa akisoma katika hali ya kuwa amelewa beti zenye maana ya ingekuwa kwamba wahenga wangu waheshimiwa waliopigana vita vya badr wangeshuhudia jinsi gani vile wafuasi wa imani (dini) ya muhammad walivyotupwa katika kuchanganyikiwa kwa michomo ya mikuki hapo tena wangenisalimu kwa kunibariki na pengine wangesema tunaomba kamwe yazid asipatwe na ugonjwa wa kupooza
watu wa ukoo wa bani hashim walitumia kucheza mchezo wa hila kuupata utawala kwa kweli hakuna habari za pepo au moto zilizokuja kwao wala hakuna wahyi wowote ule uliteremshwa
alipoyasikia maneno haya zainab alianza kutoa hotuba nzito ya kuvutia kufichua unyonge wa misingi ambamo juu yake utawala na mamlaka ya yazid yalimojengewa alisema ukweli ulioje ambao mungu wangu ameueleza kwamba watenda mabaya hatimaye huja kubatilisha na kudhihaki alama za mwenyezi mungu ewe yazid unafikiria kwamba kwa vile umetuzuia sisi milango yote katika mbingu na juu ya ardhi na umetushusha kwenye hali ngumu ya wafungwa basi hata mbele ya macho ya mwenyezi mungu sisi pia tumedharaulika na wewe ni mheshimiwa au kwamba kufaulu huku kusiko na mashiko halisi umekupewa kutokana na kuwa uko karibu na mungu
ukiwa mwenye furaha kwa fikra hii huwa umetazama mabegani mwako kwa vile kwa sasa hivi unaona tu kwamba ulimwengu unanyenyekea chini ya amri zako mambo ya nchi yako yakiwa katika mpango na hali nzuri na utawala wako na serikali yako imewekwa katika usalama kutokana na hatari zote je umesahau onyo la mwenyezi mungu lisemalo makafiri wasilichukulie hili kwamba muhula tunaowapa utawafaa chochote tunawapa muda ili kwamba waweze kujitumbukiza wenyewe katika kutenda dhambi mpaka kutosheka kwa mioyo yao kwani mwishowe adhabu yenye kufedhehesha imekwishaandaliwa kwa ajili yao je ubora wa hali ya taadhima ya kiislamu inakutaka wewe kuhifadhi faragha ya wanawake wenu na hata vijakazi wenu na kuwafunga wajukuu wa kike wa mtume wako na kuwafanya wakimbie huku na huko na kupenda wapigwepigwe mabegani na wahenga wenu makafiri
usijisahau kwani kipindi kifupi sana kijacho na wewe pia yatakutokea haya kisha utatamani sana kwamba mikono yako ingelikuwa imeondolewa uwezo wa kufanya kazi na ulimi wako kunyimwa uwezo wa kuongea kwamba usingefanya yale ambayo umeyafanya na kwamba usingesema yale ambayo umeyasema ni kipi kitakachokuwa kibaya zaidi kuliko kitu kingine katika siku ya hukumu mwenyezi mungu atakuwa msuluhishi wa suala lako hili muhammad mteule atakuwa ndiye mlalamikaji (kwa mwenyezi mungu) na (malaika) jibril atakuwa shahidi yake kisha watafuatia pia wale ambao wamewasaida na wakashirikiana pamoja nanyi katika matendo yenu maovu na wakakuungeni mkono katika kuyapora madaraka (utawala) juu ya waislamu tambua jinsi kilivyo kikali kisasi kinachochukuliwa na waislam juu ya madhalimu na wakandamizaji
ingawaje mabadiliko yaliyosababishwa na wakati yamenishusha hadi kwenye hali isiyotamanika ya kufanya nikuhutubie mtu kama wewe usiye na maana kabisa kama ulivyo mbele ya macho yangu naliona hili kama sehemu ya balaa kubwa hata kule kukukemea tu lakini nashindwa kujizuia mwenyewe huruma kubwa iliyoje kwamba wale ambao wanamwabudu mwenyezi mungu wapaswe kukutana na vifo vyao kwenye mikono ya makundi ya watu mashetani ewe yazid kama unakula kiapo cha kufanya juu chini au kutoacha juhudi yoyote ile bila kufanywa naapa kwa mwenyezi mungu hutaweza kufunika kumbukumbu zetu wala kufutilia mbali kuwepo kwetu duniani wala kufanikiwa katika kuharibu lengo letu halisi doa la umwagaji damu huu wa dhulma litabakia kwako mpaka siku ya mwisho na kamwe hutaweza kulisafisha kabisa
uamuzi wako hapana shaka yoyote ni ukaidi maisha yako ni mafupi sana na kundi la wale wanaokuzunguka kila upande litatoweka kabisa hivi karibuni siku imekaribia wakati itakaponadiwa laana ya mwenyezi mungu iko juu ya madhalimu shukurani zote ni kwa mwenyezi mungu ambaye amehukumu kwamba mwisho wa watangulizi wetu watukufu wa kuheshimika upaswe kuwa katika wema na wenye baraka nyingi na ile roho ya muadhama wetu wa mwisho kutoka katika shahada na rehema zake yeye peke yake anatutoshelezea sisi na ndiye nguzo yetu bora na msaada wetu
kisha yazid aligeukia kwa ali bin husein na ili amuumize hisia zake alikariri aya ya qurani yenye maana msiba wowote ule unakutokeeni ni kutokana na matendo yenu wenyewe ali bin husein akamwambia yeye kwamba aya hiyo haikumhusu yeye na kundi lake na kwamba aya ya qurani ambayo ilimhusu yeye na wafuasi wake ilikuwa ni tofauti na hii nayo ina maana ya kwamba msiba ambao uliwapata ulikuwa ni katika kutimiza neno lililowekewa ahadi ambalo lilikuwa limeandikwa tokea mwanzo wa kuumbwa ulimwengu na ambalo kutimizwa kwake kulikuwa ni lazima
akichukulia kwamba hakuna mtu yeyote ambaye angekuwa na ujasiri wa kuudhishwa na utovu wa adabu wowote ule ambao angeuonyesha kwenye kichwa cha husein hapo damascus aliyarudia yale ibn ziyad aliyoyafanya kule kufa aliigusa midomo na meno ya husein kwa fimbo abu barza alaslami mara moja akamkumbusha yazid kwamba mtume wa mwenyezi mungu alitumia kuibusu midomo na meno ya husein na akaongeza kusema kwamba katika siku ya hukumu ni ibn ziyad tu pekee ndiye ataomba shifaa kwa niaba ya yazid
hatua ilifikia wakati yazid alitambua kwamba kila mtu katika baraza lake mwenyewe alimfikiria kwamba ana hatia katika jaribio lake la kujitetea mbali na kuufichua uharibifu wake mwenyewe wa tabia na upotofu alikubali kujifanya ameguswa sana na ulevi wa mafanikio kiasi cha kutoka kwenye sera za tangu zamani za bani umayyah za kuwaficha watu na kuwasahaulisha juu ya familia ya mtume aliwauliza watu je mnajua kwa nini janga limempata husein ni kwa sababu tu husein alifikiria kwamba baba yake mama na babu yake walikuwa bora zaidi kuliko baba yangu mama na babu yangu sasa masuala haya yamewekwa sawa na ukweli wa kwamba wakati baba yake alipopigana dhidi ya baba yangu ulimwengu unajua ni kwa manufaa ya upande wa nani uamuzi wa vita ulipotangazwa ni kweli hata hivyo kwamba mama yake alikuwa bora zaidi kuliko mama yangu na pia kwamba babu yake alikuwa bora zaidi kuliko babu yangu kwani hakuna mwislamu awezaye kumfikiria mwingine yeyote yule kuwa sawa na mtume hata hivyo walipotosha maana ya aya ya qurani wakimaanisha kwamba mwenyezi mungu ni mola wa ufalme na utawala humpa ufalme yeyote amtakaye na kumnyima ufalme yule amtakaye humtukuza amtakaye na humtweza yule amtakaye hakika yeye ni mwenye uwezo juu ya kila kitu
ingeonekana kutoka kwenye hotuba hii kwamba kuwa na sifa ambazo humtunukia heshima yazid aliikubali hali ya udhalili wake kwa husein aliegemeza hoja yake ya mwisho kuthibitisha ubora wake juu ya ule wa husein kwa kigezo cha kushinda na kuchukua madaraka hoja hii pia ingetumika kwa madhalimu na watesaji wengine wa wanadamu wenye kufahamika kuthibitisha uadilifu wao na kutokuwa na hatia kwao aya hiyo haifanyi mafanikio ya ushindi na kuchukua madaraka (utawala) kuwa vigezo vya uadilifu
yahya bin alhakam mmoja wa bani umayyah alikuwa amesikitishwa mno kwa maovu yaliyofanywa dhidi ya husein na watu wengine wa famil ia ya mtume kiasi kwamba alianza kuonyesha huzuni yake waziwazi kutokana na kifo cha kishahidi cha husein na kumsema vibaya ubaydullah bin ziyad pale hadharani yazid alimpiga yahya kifuani mwake kwa mkono wake na akasema je hutanyamaza kimya7 mke wa yazid hind bint abdallah bin amir aliingia haraka sana mle barazani kwake huku akilia na kuomboleza akisema ole kichwa cha kipenzi cha fatimah binti ya mtume katika hali mbaya ya kuhuzunisha hivi
watu wa husein waliosalimika vitani hawakupelekwa haraka nyumbani kwao madina bali walibakia kwa muda mrefu katika hali ya umateka hapo damascus
yazid aliwaachia huru na aliwapatia nyumba wakati tu alipoona dalili za kuongezeka kwa hali ya wasiwasi na kutoridhishiwa na utawala wake kulipojidhihirisha katika nchi na bani umayyah wakagundua makosa yao ya kisiasa kisha wanawake wa familia zilizochaguliwa wali waendea wanawake wa familia ya husein kwenda kuwapa pole na kuwafariji kutokana na vifo vya mashahidi na maombolezo yakafanyika kwa muda wa siku tatu
alnuman bin bashir alansar ambaye alikuwa ameondolewa kwenye ugavana wa kufa kwa kutokumtendea muslim bin aqil ukatili baada ya kuwasili kwake pale kufa sasa alielekezwa kupanga kuwapeleka madina watu wa husein waliosalimika vitani kwa uangalizii unaostahili na kwa taadhima yazid aliwapeleka watu wake thelathini pamoja na alnuman bin bashir ambaye aliwatendea jamaa wa familia ya mtume kwa heshima taadhima na wema katika safari yote ya kwenda madina
hii ilikuwa ni sehemu ya jaribio la yazid lisilofanikiwa la kujaribu kutaka kujikosha na kosa la mauaji ya husein na sahaba zake na ndugu zake akiongea na ali bin husein katika faragha alisema mungu amlaani mwana wa marjana kama ningewahi kukutana na baba yako moja kwa moja ningelikubali kila jambo ambalo alikuwa amelipenda na kamwe nisingeridhia kifo chake vyovyote vile lile ambalo limekadiriwa na mungu limetokea sasa waweza kwenda madina fanya mawasiliano na mimi na nijulishe nijue ni kitu gani unahitaji 8
jambo ambalo halijawahi kutokea katika uzito na urefu wa muda wake lilikuwa ni vilio na maombolezo ambayo yalitokea katika mji wa madina wakati wa kuwasili kwa msafara wa watu wa husein waliosalimika katika vita mwanamke atokanaye na familia ya abdul muttalib nywele zake zikiwa timtim alikuwa akikariri ibara zenye maana jibu gani mtakalotoa kwa mtume wa mwenyezi mungu wakati atakapokuulizeni katika siku ya hukumu vipi mliwatendea dhuria wangu baada yangu wao sasa hivi wameshushwa katika hali kama hii kwamba baadhi yao ni mateka na wengine katika wao damu yao ilimwagwa chini na wamefunikwa na vumbi je haya yalikuwa ndiyo malipo ya huduma zangu kwamba mpaswe kuwatendea kizazi changu katika mtindo huu9
1 akhbar altawal uk 256
2 tabari juz 6 uk 260
3 tabari juz 6 uk 261262 na irshad uk 258
4 akhbar altawal uk 256
5 alirshad uk 260
6 tabari juz 6 uk 264 alirshad uk 260
7 tabari juz 6 uk 265
8 tabari juz 6 uk 269/alirshad uk 263
9 tabari juz 6 uk221
‹ sura ya 29 jihad ya mwisho na kifo cha kishahidi cha husein
sura ya 31 mazingatio ya kina juu ya umateka wa wanawake wa familia ya husein › | 2016-02-11T05:24:11 | http://www.al-islam.org/node/25350 |
kibadeni simba itajuta kwa tambwe mtanzania
home michezo michezo kitaifa kibadeni simba itajuta kwa tambwe
kibadeni simba itajuta kwa tambwe
kocha mkongwe nchini na mshauri wa ufundi wa timu ya taifa taifa stars abdallah kibadeni king amesema kuwa simba itajutia sana kitendo cha kumuacha mshambuliaji amissi tambwe na kusajiliwa na yanga akidai ni mmoja wa washambuliaji bora kwa sasa katika ligi kuu ya vodacom (vpl)
kibadeni ametoa kauli hiyo ikiwa ni siku chache mara baada ya tambwe kungara kwenye mechi ya watani wa jadi kwa kuifunga timu yake hiyo ya zamani kwenye ushindi wa yanga wa mabao 20 jumamosi iliyopita
mimi nilisema na nitaendelea kusema kuwa tambwe ni mshambuliaji mzuri wa kutupia mabao nyavuni simba ilikosea sana kumuacha tambwe hafanyi makosa akipata nafasi hata ile mechi ya yanga uliona alivyofunga alisema
tokea aachwe na simba msimu uliopita tambwe alifunga mabao 13 akiwa yanga na msimu huu mpaka sasa amefunga mabao manne na kutoa pasi za mabao manne akimkaribia mshambuliaji wa simba hamis kiiza aliye kileleni kwa mabao matano
kocha huyo na mchezaji wa zamani wa simba alisema simba ilitawala sana mchezo huo lakini kutokuwa na mshambuliaji bora namba 10 wa kusumbua ngome ya yanga kulichangia wasipate matokeo ya ushindi
simba ilitengeneza nafasi kadhaa lakini hakukuwa na umakini hata mabao tuliyofungwa yalitokana na uzembe wa mabeki kutowakaba vema washambuliaji wa yanga alisema
hata hivyo licha ya maandalizi ya makubwa waliyofanya timu zote visiwani zanzibar kuelekea mechi hiyo kibadeni amedai haukuwa mchezo mzuri kama ilivyotarajiwa
simba na yanga kioo kwa timu nyingine walifanya maandalizi makubwa lakini ukubwa wa mchezo huo ulikuwa hauendani na kile kilichoonyeshwa na pande zote mbili alisema
kibadeni ndiye anayeshikilia rekodi ya kufunga mabao matatu hat trick kwenye mchezo wa watani wa jadi julai 19 1977 kwenye ushindi wa simba wa 60 rekodi ambayo haijavunjwa mpaka sasa
previous articleazam fc yamshukia juma nyosso
next articleg nako aeleza sababu za weusi kutokufa | 2020-08-03T23:23:21 | https://mtanzania.co.tz/kibadeni-simba-itajuta-kwa-tambwe/ |
16509 8818 280
likes kadagala1 ruwaikunda pascal mayalla and 7 others
1369 705 280
friday at 619 pm #1621
kwa wale ambao hawajui phase 2 ya ethiopia sgr masterplan imefika mbali sehemu hio ya reli inajengwa na yepi merkezi kwahivyo watz mnaeza mkaangalia finished product mkingojea yenu iishe
view attachment 959017
systra team in ethiopia akh railway project an important milestone has been achieved with the laying of the last track panel completing the track connection between awash and kombolcha the 270km of the project's first phase congratulations to systra md team and to the contractor yapi merkezi
sgr ya kenya ni very superior by far
usicheze na chinesehawa waturkey ni bure sana
friday at 1035 pm #1622
sgr doing more harm than good says kam
likes lusematic simon and bantugbro
1912 2039 280
saturday at 1100 am #1623
what a punch its a knock out
likes lusematic geza ulole and bantugbro
4103 6674 280
saturday at 1118 am #1624
sgr viaduct
likes avo28 tameer kadagala1 and 6 others
3915 3345 280
saturday at 1124 am #1625
washed away during construction nyinyi sgr yenu mliwacha kujenga kwa miezi mitatu sababu ya mvua wachina huendelea kujenga hata mvua ikinyesha
saturday at 1141 am #1626
no it was already working mind u that section had already been launched now show me any collapse for ethiopia's sgr by yapi merkezi
saturday at 1147 am #1627
ww vp mbona unayumba taharifa zote zipo kwani ww hizo picha ulitumiwa na mkandarasi wewe tafuta habari za speed na axle load mbona zote zipo online ata taharifa ulizo post hujazi soma maana kwenye moja ya picha zako wameandika speed itakua kama yenu halafu una niambia speed huezi ona kwa kuangalia picha miradi kama hii kabla haijaanza specs zote zinakua zinajulikana ilikua haina haja kuleta mradi wa sgr ya ethiopia coz specs ni tofauti tz tunajuwa tutakacho kipata coz sisi ndiyo tume wapa kazi acha kuranda randa mitandaoni na kujifurahisha halafu utasemaje tz peke yake ndiyo tumewapa kazi ya heavy rail wewe jamaa haupo makini kabisa ebu wafuatilie vizuri yepi kwa kuanzia pitia vizuri hizo picha ulizotuma maana kwa mujibu wa details za hiyo project ya ethiopia ni heavy rail labda ungesema siyo heavy kama wanayo jenga tz ila ata tungempa mchina aliewajengea nyie bado tungempa masharti ambayo hajawahi kutana nayo kabla kama kuto tumia nondo nyembamba kama alizo tumia kenya kuweka systems kwa kizungu siyo kichina ku install mifumo ya kisasa ya umeme (european standard) workers more than 90 wawe wazawa material more than 65 itoke ndani na itakayo toka njee iwe the best siyo kupeana tender na wachina wenzao kama walivyo fanya kenya ku train wazawa etc
you just sit and take notes from us on the advantages of following the procurement regulations and skipping tenderpreneurship kenyans you missed this lesson
wdewe haujui unachokiongelea taarifa zako unaziyoa kwa pr speeches ndo maana
reli ya 120km/he na reli ya 160km/hr hauwezi ukatofautisha kwa kuangalia picha intact kama zimejengqa na kampuni hip hio pia huko yepi anafwata same procurement standards za locol content kwahivyo pia hapo pana tofauti
alafu speed au axle load si kitu pekee kinacho angaliwa kwa reli kuna city kama designed capacity na carrying capacity ambavyo pia ni muhimu just because speed ya reli yao itakua kama yeti haimaanishi reli yao no kama yetu na just because reli yenu ni 40km/hr faster au iko na axle kubwa haimaanishi reli yenu superior reli kuwait superior ni all about striking the right balance between speed axle load frequency capacity availability durability na hapo ndo yepi anachomolewa nachinatena mbali sana
mchina ako na more rail network than china ako na standard guage kuliko europe anabeba mizigo mingi na abiria wengi kuliko eu combined ako na reli modern kuliko nchi yoyote sasa sijui unanisifia nini na european standard
saturday at 1157 am #1628
maimahiu is in phase 2a where suddenness strong winds forced an sgr pillar that hadnt been renforced in to position fell on workers abnormal winds to blame for collapse of sgr wall in naivasha kr » capital news
there have been two floods ever since msanrb was finished show me any incidents on this completed section
saturday at 1204 pm #1629
sasa naona huelewi nakujibu kitu kile kile mara 3 bado huelewi tufanye hivi your sgr is the best in whole of africa and europe tz sgr ikiisha nguzo ambazo zinajengwa kwa zege ghafla zitabadika nakua za chuma na speed badala ya 160 itaenda 100 na itakua inabomoka mvua ikinyesha happy now
likes lusematic simon and geza ulole
saturday at 1212 pm #1630
peleka upumbavu design differs from cant and gradient angle to curvature diameters for a rail that can support a 160km/h can never be the same as a rail that support 120km/h hata embankment has to be different usifikirie sisi ni wapumbavu kama wewe
likes thisdayes
saturday at 1214 pm #1631
from specifications alone one can see our sgr is completely different from ethiopia's the speed for ethiopian sgr is 120km/h pax while tanzanian sgr is over 160km/h second none of our bridges will be steel structures alone pretty sure ours will be superior to ethiopia's
and their rail in that route is cheaper per km than yours now you should be starting to get the idea of how different specifications like in this case bridge structures can alter the overall costs of a project
just like in the kenyan section we have bridges spanning across national parks and higher embarkments that significantly affect overall costs
saturday at 1218 pm #1632
saturday at 1218 pm #1633
hahaha manake 120km/he ni tofauti sana na 160km/hr
saturday at 1221 pm #1634
saturday at 1228 pm #1635
stop being bitter already yapi has started kuchoronga the tunnels that will look like that on the picture btw there are plenty of bridges on sgr including overpases in every town they cross wait for month november update
saturday at 1236 pm #1636
that tunnel picture was taken before completion see the difference in the clip below
saturday at 132 pm #1637
yap n the other thing is a consideration of speed above 160km/h has already been in the works from onstart therefore with slight improvements especially on the corners our sgr can go over 200 km/h a reason our sgr is pretty straight with no sharp corners n flat embankment
saturday at 153 pm #1638
as the debate about the standard gauge railway (sgr) in kenya continues a review of the facts and figures raises more questions than answers
why the sh134bn nairobi to naivasha sgr line may not give
saturday at 549 pm #1639
tz was getting a better deal from china but magufuli wanted the best deal and he got it from yapi markez kenyas story is a sad one how does a km costs $107m excluding rolling stock and free of equipment mobilisation costs only an insane mind or a benefecial of this graft can justify this kafrican i expect you to be living in a mansion in karen i should pay you a visit some time if i find you living in korogocho or somewhere else of that status i will pray for you so as the spirit of stupidity to free you
saturday at 705 pm #1640
huhuh rail cheap inayojengwa kama tarmac roadflat tena outdated 19th century
posts 29218240 | 2018-12-10T11:10:50 | https://www.jamiiforums.com/threads/cost-comparison-sgr-kenya-vs-sgr-tanzania.1085737/page-82 |
waziri jafo awapongeza wakazi wa dar es salaam bongo5com
mkoa wa dar es salaam umekuwa kinara katika zoezi la uandikishaji wa orodha ya daftari la wapiga kura ambalo uandikishaji wake umefikia kilele alhamis oktoba 17
waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa tamisemi mh selemani jafo
waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa tamisemi mh selemani jafo akizungumza na waandishi wa habari jijini dodoma amesema awali mkoa huo ulianza kwa kusuasua lakini baada ya hamasa wameweza kufanya vizuri na kufikisha asilimia 108
niwapongeze wakazi wa dar es salaam wakati natangaza kwa mara ya kwanza mkoa huo ulikuwa na hali mbaya lakini viongozi wa ngazi zote wamehamasishana na kufikia kiwango kikubwa amesema mh jafo
ameongeza kuwa kwa mujibu wa ofisi ya takwimu wananchi wenye sifa ya kupiga kura ni 26960485 lakini lengo la kuandikisha wapiga kura lilikuwa milioni 229 sawa na asilimia 85 ya wananchi wenye sifa ya kupiga kura wanaume wakiwa 10924479 na wanawake 11991933
aidha amesema hadi kufikia octoba 17 mwaka huu jumla ya wapigakura 19681259 walikuwa wamejiandikisha katika orodha ya daftari la wapigakura mwaka huu kati yao wanaume ni 9529992 na wanawake 10151267 sawa na asilimia 86 ya lengo la wapigakura 22916412 ukiwa na mafanikio zaidi ukilinganisha na mwaka 2014
licha ya kila mkoa kuvuka lengo kwa asilimia 50 mikoa mitano iliyoongoza ni dar es salaam 108 pwani 96 mwanza 95 tanga 90 na singida 90 na kuzawadiwa kombe maalam
mikoa mitano ya mwisho licha ya kuvuka lengo ni kigoma 65 njombe 75 simiyu na shinyanga 76 ambayo jumla ya mkoa yote ni 86
idris sultan amuomba radhi rais magufuli nia yangu ilikuwa ni njema (+video)
upelelezi wa kihistoria ushahidi dhidi ya trump sasa ni hadharani
tetesi za soka barani ulaya guardiola kurudi bayern munich mchezaji nyota wa spurs kuvunja mkataba wake
habari zilizopita select month november 2019 (129) october 2019 (380) september 2019 (286) august 2019 (296) july 2019 (258) june 2019 (260) may 2019 (291) april 2019 (301) march 2019 (354) february 2019 (332) january 2019 (368) december 2018 (328) november 2018 (368) october 2018 (420) september 2018 (396) august 2018 (469) july 2018 (562) june 2018 (717) may 2018 (906) april 2018 (748) march 2018 (973) february 2018 (956) january 2018 (976) december 2017 (680) november 2017 (868) october 2017 (823) september 2017 (986) august 2017 (1006) july 2017 (1113) june 2017 (1030) may 2017 (1091) april 2017 (704) march 2017 (814) february 2017 (718) january 2017 (928) december 2016 (853) november 2016 (827) october 2016 (817) september 2016 (879) august 2016 (821) july 2016 (706) june 2016 (734) may 2016 (751) april 2016 (684) march 2016 (668) february 2016 (585) january 2016 (511) december 2015 (602) november 2015 (628) october 2015 (726) september 2015 (684) august 2015 (480) july 2015 (417) june 2015 (386) may 2015 (298) april 2015 (347) march 2015 (340) february 2015 (372) january 2015 (377) december 2014 (410) november 2014 (447) october 2014 (609) september 2014 (507) august 2014 (474) july 2014 (492) june 2014 (363) may 2014 (541) april 2014 (490) march 2014 (499) february 2014 (425) january 2014 (415) december 2013 (437) november 2013 (448) october 2013 (458) september 2013 (441) august 2013 (451) july 2013 (439) june 2013 (390) may 2013 (342) april 2013 (240) march 2013 (258) february 2013 (257) january 2013 (256) december 2012 (272) november 2012 (213) october 2012 (254) september 2012 (231) august 2012 (174) july 2012 (184) june 2012 (201) may 2012 (125) april 2012 (90) march 2012 (92) february 2012 (50) january 2012 (49) december 2011 (56) november 2011 (30) october 2011 (58) september 2011 (47) august 2011 (47) july 2011 (44) june 2011 (51) may 2011 (48) april 2011 (44) march 2011 (36) february 2011 (53) january 2011 (49) december 2010 (60) november 2010 (65) october 2010 (62) september 2010 (61) august 2010 (68) july 2010 (66) june 2010 (59) may 2010 (38) april 2010 (33) february 2010 (5) january 2010 (58) december 2009 (73) november 2009 (53) october 2009 (52) september 2009 (39) august 2009 (43) july 2009 (21) june 2009 (26) may 2009 (23) april 2009 (33) march 2009 (32) january 2009 (13) december 2008 (20) november 2008 (49) october 2008 (36) september 2008 (48) august 2008 (45) july 2008 (41) june 2008 (63) may 2008 (75) april 2008 (93) march 2008 (63) february 2008 (67) january 2008 (81) december 2007 (135) november 2007 (125) october 2007 (99) september 2007 (110) august 2007 (67) july 2007 (62) june 2007 (31) may 2007 (22) april 2007 (76) march 2007 (69) february 2007 (26) january 2007 (6) december 2006 (4) november 2006 (4) october 2006 (9) september 2006 (3) august 2006 (3) july 2006 (9) june 2006 (8) may 2006 (9) april 2006 (10) march 2006 (15) february 2006 (8) | 2019-11-14T10:13:40 | http://bongo5.com/waziri-jafo-awapongeza-wakazi-wa-dar-es-salaam-10-2019/ |
dunia ya michezo marefa simba yanga wala milioni moja
marefa simba yanga wala milioni moja
makamu wa pili wa rais wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania (tff) ramadhan nassib ametoa sh milioni moja kwa waamuzi waliochezesha mechi ya simba na yanga iliyochezwa wikiendi iliyopita jijini dar es salaam
nassib ambaye alichaguliwa katika nafasi hiyo akiwakilisha klabu amesema ametoa fedha hizo ili kuwapongeza waamuzi hao kwa kuchezesha vizuri mechi hiyo iliyomalizika kwa sare ya mabao 33
waamuzi wanapofanya vibaya tunawaadhibu hivyo wakifanya vizuri wanastahili kupongezwa pia vilevile kuwapongeza ni kuwaongezea ari ya kuchezesha vizuri zaidi amesema
israel nkongo ndiye aliyeongoza jopo hilo ambapo mwamuzi msaidizi namba moja alikuwa hamis changwalu wakati namba mbili alikuwa ferdinand chacha mwamuzi wa mezani alikuwa oden mbaga
waamuzi wote hao wana beji za shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu (fifa) na watoka dar es salaam ukiondoa chacha ambaye maskani yake ni bukoba mkoani kagera
child struck by foul ball sent to hospital | 2017-09-20T21:44:45 | http://duniayamichezo.blogspot.com/2013/10/marefa-simba-yanga-wala-milioni-moja.html |
princbert archives | 8020fashions blog
all posts in princbert
ofa ya delivery kwa buku tu kutoka princbert
by 8020fashionsblog|in biashara|last updated march 26 2019
ofa ya buku@princbert@princbertmi nimesema nikukumbushe tu juu ya hii #ofayabuku kutoka @princbert •ambapo wewe kama ni mjariliamali wa kuuza vitu mtandaonimuuza chakulaunasambaza mizigo/vifurushicheki nao upate hii ofa mengine mnaongea @princbert@princbert#tulipebillz#8020ads (0 comment)
safirisha mzigo kwa buku tu only kupitia princbert
by 8020fashionsblog|in biashara|last updated march 19 2019
afirisha bidhaa kwa buku eee 1000 tuspecial offer•je una biashara ambayo unawatumia wateja wako bidhaa kila siku@princbert@princbertwanakupa bonge la offer mwezi huu wa kukusafirishia mizigo yako kwa 1000 tu kuanzia trip 10 na kuendelea umbali wa kilometa 15•haya wewe mjasiriamali wachakulaonlineshopgiftshopvipodozimsambaza document nkwasiliana na @princbert 📲 0745 111141 (0 comment)
pricbert offer je una mgahawa una sambaza matunda au vyakula maofisini
by 8020fashionsblog|in biashara|last updated march 12 2019
@princbert using offer offer offerje una mgahawa una sambaza matunda au vyakula maofisini au kwa watu sehemu tofauti •wasiliana na princbert express tukurahisishie usambazaji na kukuza biashara yako ndani ya muda mfupiiiii 1000 (buku) kwa kila sahani endapo zinatimia sahani 10 nakuendelea na zinaelekea umbali wa ndani ya 15km wapi umewahi kuona gharama nafuu namna hiionly@princbert@princbertoffer (0 comment)
pricbert kwa usafirishaji wa vifushi salama
by 8020fashionsblog|in biashara|last updated february 19 2019
je unahitaji huduma ya kusafirishiwa mzigo au document kwa uhakika na harakanaomba nikutambulishe kwako kampuni ya #princbertexpress itowayo huduma ya usafirishaji wa mzigo ndani ya jiji na nje ya nchi kwa haraka na uhakika1usafiri uhakika2wanatrack mzigo 3bei nafuu4wako na stoo ( wanje ya nchi mzigo utapokelewa na atapelekewa5wakala wa dhl piaspecial offer #valentineoffer punguzo la kudeliver mzigo wa zawadi kwa (0 comment) | 2019-05-22T21:05:14 | http://www.8020fashionsblog.co.tz/tag/princbert/ |
hili la emmanuel okwi na mashabiki wa simba limenichekesha sana | jamiiforums
hili la emmanuel okwi na mashabiki wa simba limenichekesha sana
leo nilikiwa napitia pitia mitandao ya kijamii kutazama nani kamuongeza nani kwenye orodha yake ya usajili
sana sana nilikiwa nikihitaji kutambua hivi vilabu vya chini kabisa
ila kwa bahati nzuri/mbaya nikakutana na mjadala mzito sana kuhusu usajili wa emmanuel okwi mengi yakawa yanaongelewa kuhusu uwezo wake kwa sasa na kipindi chote alichowahi kuwa na simba
jambo la kushangaza zaidi ni pale nilipoanza kufuatilia mafanikio yake akiwa hapa tanzania hasa alipokuwa anachezea klabu yake ya simba nilichokuja kugundua ni kwamba okwi ni mchezaji asiye na mafanikio makubwa sana ya kujivunia na hata kuwafikia wachezaji baadhi wa yanga kama dida yondani msuva tambwe niyonzima abdul kamusoko hawa ni nusu ya kikosi cha kwanza cha yanga
pia nilichokuja kugundua ni kwamba mafanikio yake yako sawa na vijana chipukizi kama wakina mwashiuya na kessy
nilipo jaribu kudodosa swali kwa shabiki nguli wa simba naye hakuweza kuainisha mafanikio ya okwi aliyoyapa na kuisaidia timu yake kupata
mashabiki wengi wa simba sc wameonekana kuzingatia magoli ambayo okwi amewafunga yanga kama ndio mafanikio yake kwa misimu yote minne aliyoichezwa klabu yake simba
ikumbukwe kuwa kwa kipindi chote alichochezea simba okwi ameifungia simba mabao 4 tu dhidi ya yanga
nikijaribu kuvuta maktaba ya twakimu naona misimu 4 ambayo yote aliyopata kuichezea simba na kushindwa kuisaidia klabu yake kuwa bingwa na misimu yote minne aliyoichezea simba (chakishangaza zaidi) yanga amebeba ndoo mara 3
rekodi za misimu minne (4) akicheza simba yanga kabeba ndoo mara nyingi zaidi
msimu 2010/11 alikuwepo simba yanga akbeba vpl
msimu 2011/12 alikiwepo simba simba akabeba vpl
msimu 2012/13 alikiwepo simba yanga akabeba vpl
msimu 2014/15 alikiwepo simba yanga akabeba vpl
wengi wamekuwa wakisema ohh okwi mkali kumbe ukali wake sio kama wa amis tambwe ama saimon msuva ( ukali wa kuiwezesha klabu kutwaa mataji makubwa ya vpl)
bali ukali wake ni kuifunga yanga magoli 4 tu kwa misimu yote aliyowahi kuichezea simba
reactions kuruta dragoon milangomitatu and 6 others
umeamka nazo bila shaka
hzo ni akili za kibashite tu hata hjielewi
kodian said
kama uongo weka fact mkuu mipasho ya akina hadija kopa tusiipe nafasi humu
reactions powder blance86 song 16 and 4 others
dumesuruali said
takwimu za misimu kama hizo hiweza ukaamka nazo
lazima ukazichimbue mahala fulani ambako watu fulani awapenda ukazichimbue
reactions blance86 herry msagati and mgibeon
rage hakukosea kuwaita mbumbumbu fc
kikosi cha mwaka huu cha simba wasiposhuka daraja sijui
reactions mr mtui mitogwa jembekillo and 12 others
nyie thimba mbona mapovu
labda niseme
nilivyofanya kautafiti kadogo
washabiki wa simba au yanga huwa
wanafurahi zaidi timu zao zikiifunga timu pinzani kuliko hata kuchukua ubingwa wa taifa
simba ikiifunga yanga ndio tukio pekee linalo pandisha fulaha hadi washabiki wanakufa
pia tukio la timu kufungwa na mpinzani husababisha huzuni kubwa hadi washabiki kufa
ukisikia gooooujue yanga kafa mtu na simba kafa mtu
simba ikifungwa na timu za nje kama tp mazembe ni jambo la kawaida tu
yanga nao wakipoteza kimataifa hua hakunaga shida kabisa
jambo hili linafanya hizi timu kuweka nguvu kubwa ilimuradi wanfunge mpizani wao
kwa timu ya simba emmanueli okwi ni muarubaini wa kufikia lengo la kuifunga yanga
nakumbuka enzi za ngasa akichezea yanga simba ilifungwa goli tatu mshabiki wa simba akakata roho dakika za mwisho simba ikasawazisha goli zote tatu mshabiki wa yanga akaaga dunia
mechi ya mwisho simba iliifunga yanga goli 2 1 goli la ushindi la kichuya liliua mshabiki wa simba huko kilosa morogoro
mshabiki alifurahi sana hadi pumzi ikakatika
furaha ya hizi timu ni moja kuifunga nyingine na ndio lengo la usajiri tunaouona
reactions the boss a k a and kim jong jr
yani mimi ipo siku yanga itaniua jamani hasa pale tunapofikia hatua ya matuta huwa nidhohoful khali
reactions pricaso usiniguse nas mapesa and 1 other person
utawaweza hawa majirani zetu
habari za fifa zimeisha sasa usajili wa kutafutia kiki
reactions sangomwile and demigod
huu muda unaohangaika na masuala ya simba sc nadhani ungeutumia kwa kuanza kutembeza bakuli la harambee kwa wana yanga fc wenzio ili muweze kupata hela za kuwalipa mishahara wachezaji wenu ambao hadi sasa wanaidai yanga mishahara ya miezi mitatu na hata simon msuva amethibitisha hili ungekuwa umefanya jambo moja la maana mno kuliko kila mara unakuja na uzi humu jf za kumuongelea mtu ambaye miaka mitatu minne nyuma alikufanya vibaya sana pale taifa ambapo alikubandua goli zake mwenyewe 2 kati ya zile zingine 3 ulizobanduliwa nazo na ambazo kimahesabu zilihitimisha jumla ya magoli matano kwa bila yaani 5 0 ( simba sc 5 na yanga fc 0 )
reactions saidy hamidu and motoyambongo
simba banaa wanamleta boko huku ajibu anasepa akili zao anajua rage
reactions nas mapesa and watu8
unafikiri alikosea basi hakukose
si umeona manara alivyo waimbisha mziki wa rufaa fifa
wenyewe wamekesha wiki nzima humu wakitegemea kuna rufaa fifa
juzi yule popo kasema anaenda mwenyewe fifa mwisho wa siku nimekutana naye kwenye migahawa ya masaki
sasa hivi wamepewa danganya toto nyingine(emmanuel okwi) ili walisahau mazima suala la fifa
mashabiki wa simba wanajua kwenda na mdundo wa viongozi wao
reactions mr mtui sangomwile song 16 and 4 others
wamekusanya rejects pale ili baadae waepuka lawama kwa kuwa ohhmbona viongozi tumesajili
tangu nianze kushabikia yanga miaka ya 90's sijawahi ona shabiki wa yanga akiwa na furaha bila kunyanyua vpl
hizo nyingine ni story zako
reactions song 16 nyenyere aiyola and 2 others
huu muda unaohangaika na masuala ya simba sc nadhani ungeutumia kwa kuanza kutembeza bakuli la harambee kwa wana yanga fc
endelea kuanzisha zile uzi ambazo zinasema yanga sc hawana pesa za usajili
maana tangu ajibu aote mabawa mmepunguza sana zile uzi za yanga kukosa pesa
reactions aiyola usiniguse mgibeon and 2 others
huu muda unaohangaika na wana yanga fc wenzio ili muweze kupata hela za kuwalipa mishahara wachezaji wenu ambao hadi sasa wanaidai yanga mishahara ya miezi mitatu na hata simon msuva amethibitisha hili ungekuwa umefanya jambo moja la maana
nakumbuka nimeshawahi kukuquote kukujibu hoja ya dolale pale jangwani
nikasema kuwa kwa caliber ya wachezaji wa yanga sc hata usipo wapa mishahara yao ya miezi 8 wanauwezo wa kufanya perfect deliverance ya matokeo uwanjani
hili limethibitishwa last season
mlivyomnyima mshara mkude wa mwezi 1 wachezaji wenu decided to blow that 8 points lead
suala letu la dolale ni tofauti sana na huko mikiani fc
reactions blance86 aiyola and nas mapesa
kumuongelea mtu ambaye miaka mitatu minne nyuma alikufanya vibaya sana pale taifa ambapo alikubandua goli zake mwenyewe 2 kati ya zile zingine 3 ulizobanduliwa nazo na ambazo kimahesabu zilihitimisha jumla ya magoli matano kwa bila yaani 5 0 ( simba sc 5 na yanga fc 0 )[/font]
hapo ndipo tunasema kuna tofauti kubwa sana kati ya mabingwa wa kihistoria wa ligikuu tanzania bara na wasakatonge wa pale msimbazi
kwa jinsi tu ulivyoitaja hiyo miaka mitatu au minne na kuyataja mafanikio yenu kwa kipindi hiko una reflect nilichokijadili kwenye uzi mkuu
wakati hiyo miaka 3 4 uliyoitaja hapo juu unaonekana kujivunia kwa goli 5 tu ambazo simba kaifunga yanga
ila mwana jangwani atakuhesabia ndoo 3 za vpl alizobeba kwenye muda huo
kubari tu mkuu kuna tofauti kubwa sana kati yangu na wewe
siko kwenye hadhi ya kujivunia goli 5 wakati mimi ndio wa kwanza kabisa kukutandika bao 5
reactions blance86 aiyola guasa amboni and 1 other person
ukitaka kujua ni jinsi gani gsm wanavyoanza kuhatarisha amani ndani ya klabu ya yanga kwa usanii wao juu ya mchezaji bernard morrison fuatilia hili sports 34 jun 24 2020
a hili draft la dalmax la google play limenishinda aisee hii app ina mchezo mkubwa sana sports 502 may 2 2020
nani analikumbuka tukio hili vizuri sports 24 apr 13 2020
i nawapongeza sport arena ya wasafi fm kwenye hili sports 2 feb 24 2020
i wamuzi kwenye hili mjitafakari sports 5 feb 5 2020
ukitaka kujua ni jinsi gani gsm wanavyoanza kuhatarisha amani ndani ya klabu ya yanga kwa usanii wao juu ya mchezaji bernard morrison fuatilia hili
hili draft la dalmax la google play limenishinda aisee hii app ina mchezo mkubwa sana
nani analikumbuka tukio hili vizuri
nawapongeza sport arena ya wasafi fm kwenye hili
wamuzi kwenye hili mjitafakari | 2020-07-15T04:52:36 | https://www.jamiiforums.com/threads/hili-la-emmanuel-okwi-na-mashabiki-wa-simba-limenichekesha-sana.1269849/ |
zitto kabwe apinga wabunge kuongezewa siku 10 | hisia za mwananchi
by hisia june 19 2015 0
zitto kabwe apinga wabunge kuongezewa siku 10
kiongozi wa chama cha actwazalendo zitto kabwe amesema kitendo cha rais jakaya kikwete kuongeza muda wa bunge kwa siku 10 kwa ajili ya miswada 10 inalenga kupitisha miswada isiyojadiliwa kwa kina
amesema uamuzi huo utaiathiri nchi kwa kuwa wakati huu wabunge wengi wameelekeza akili zao katika majimbo wanayoongoza hivyo hawatakuwa na muda mzuri wa kujadili kwa kina miswada hiyo kwa maslahi ya taifa
zitto alitoa kauli hiyo juzi mjini kigoma wakati alipofanya mikutano miwili ya hadhara katika kata ya nguruka jimbo la kigoma kusini na baadaye kigoma mjini katika uwanja wa centre
alisema kwa sasa wabunge wana wasi wasi na majimbo yao hivyo kutaka wajadili na kupitisha muswada wa sheria ya mafuta na sheria ya matumizi yafedha za mafuta haiwezi kupewa umuhimu na wabunge hao
badala yake zitto aliitaka serikali isitishe miswada hiyo mpaka bunge lijalo wakati wabunge watakapokuwa wametulia act tunasema miswada hii isubiri bunge jipya kwani ni miswada muhimu kwa nchi yetu miswada inayohusu rasilimali za nchi haiwezi kukimbizwa haraka haraka bungeni
alisema wasi wasi wa wabunge kwa wakati huu utachangia muswada huo kukosa umakini alisema gesi na mafuta yamekaa ndani ya ardhi kwa muda mrefu na kwamba uharaka wa kujadili miswada hiyo haupo
alikumbusha kuwa azimio la tabora lililohuisha azimio la arusha linasema wazi sekta ya madini mafuta na gesi ni muhimu na zinaweza kuzalisha mapato ya kutosha ya serikali ili kuboresha sekta zingine kama kilimo na uwekezaji katika afya
tunaitaka serikali kuchochea mabadiliko makubwa katika sekta hizi za uvunaji wa maliasili ya nchi kwa kuchukua hatua maliasili zote za madini mafuta na gesi ni mali ya wananchi kikatiba na uchimbaji wake lazima uwe na kibali cha wananchi mikataba yote iwe wazi kwa wananchi alisema zitto
alisema bunge lilitakiwa kumalizika juni 27 mwaka huu kabla ya rais jakaya kikwete kuliongezea siku kumi zaidi kwa ajili ya kujadili miswada hiyo
akiwa katika kata ya nguruka zitto alitumia muda huo kuwatahadharisha watu wanaotaka kugombea nafasi hiyo nje ya chama cha actwazalendo kuwa wajitafakari mara mbili kama wataweza kupata ridhaa hiyo kwa wananchi
aliwaambia wakazi wa kata ya nguruka kama kuna watu wanaona wanakidhi kuwa wabunge wao watumie jukwaa la actwazalendo vinginevyo wasiwape nafasi hizo aliwatahadharisha wananchi juu ya watu wanaowafikia na kuwaeleza kuwa watapambana na ufisadi pasipo kuwa na misingi ya kusimamia utekelezaji huo
sisi actwazalendo tukisema tunapambana na rushwa tunamaanisha kwa kuwa tumeweka jambo hili mpaka katika katiba yetu na kisha tukaliweka katika azimio kwa ajili ya utekelezaji alisema zitto
awali wananchi waliohudhuria mkutano huo waliupokea msafara wa kiongozi huyo kilomita tano kabla ya kufika kigoma mjini huku wengi wao wakiwa wanatembea kwa miguu na wengine wakiwa katika vipande mbalimbali
vijana wa mjini kigoma walimlazimisha zitto kushuka katika gari la wazi katika eneo la gungu na kumtaka atembee kwa miguu kwa ajili ya kutoa fursa kwa watu kumsalimia
jeshi la polisi liliimarisha ulinzi katika misafara hiyo kuanzia mapokezi hadi kufika uwanjani katika eneo la uwanja baadhi ya watoto walipotezana na wazazi wao kutokana na umati mkubwa wa wananchi walioshiriki mapokezi ya viongozi wa chama hicho
by hisia june 19 2015
labels bungeni kitaifa siasa | 2018-09-22T11:40:10 | http://rashidijuma.blogspot.com/2015/06/zitto-kabwe-apinga-wabunge-kuongezewa.html |
kaa tuzungumze june 2008
wakulima wetu
picha kwa hisani ya charahani
nimepitia blogu ya charahani leo nikakuta picha ya kuvutia sana
picha hii inaonyesha moja ya vijana wanajitahidi kujenga afya zetu kwa kutumia akili zao katika kilimo inafurahisha sana kuona kwamba kuna vijana katika nchi hii wenye uwezo wa hali ya juu katika kilimo na kuzingatia wanaanzia bila mtaji wowote lakini wanafanikiwa kutunza bustani katika hali hii
hii inaonyesha jinsi tusivyohitaji wawekezaji toka nje katika sekta ya kilimo kama inavyosemwa na wachache kati yetu ikiwamo waheshimiwa wetu waliopo pale bungeni sijui hawa wanatoa wapi owoga walionao nashangaa jinsi wasivyojiamini na kutodiriki kufanya uchunguzi wa kina ili watambue uwezo tulionao katika kilimo miongoni mwa vijana wa tanzania naona hawa wachache bado hawajua faida ya kilimo kama biashara na kuainisha matatizo wanayopata wakulima wetu hata kushindwa kukiendeleza
ninasema kwa majigambo kuwa wakulima wetu wanafanya kazi kubwa sana na wanamafanikio mazuri sana ukiangalia mazingira wanayofanyia kazi mitaji wanayoanza nayo na teknologia wanayotumia kiasi wanachozalisha ni kikubwa sana na bado kuna uwezekano wa kuzalisha zaidi kama tunataka wafanye hivyo jana kwenye luninga wakulima wa mbinga walisema kwa mafunzo ya shamba darasa waliopata toka kwa mtaalamu wa kilimo katika wilaya yao wamefanikiwa kuzalisha kahawa nyingi kuliko walivyotegemea na walivyowahi kuzalisha
sijui kama hao wawekezaji katika kilimo watatoka kwa mungu ambako hatuwezi kuhoji uwezo wao au watatoka bara jingine ambao tukienda jifunza nao huwa tunaonyesha uwezo wa hali ya juu kuliko wao ndio waje walete mapinduzi ya kilimo nchini mwetu kichekesho kikubwa sana hiki
uwekezaji unaingia kwa kishindo katika kila sekta sijui kama wananchi watapata nafasi huru ya kuwekeza katika sekta yeyote tutaishia kushindana vita ya kushindwa na bunge ltd toka marekani wakati sisi tunanyimwa fursa ya kupata mitaji
sijui hizo sekta zinazopewa kipaumbele kama kusamehewa kodi kwa kipindi fulani kutengewa maeneo maalumu na vituo maalumu vya kuwasaidia wanafaida gani kwetu kama kilimo kilivyo
sioni tutakachopoteza kama tunachopoteza kama hatutafanya chaguzi au tunavyofuga uzembe katika tanesco tukiweka pesa zetu kwenye kilimo ambacho ninakipa umuhimu wa hali ya juu kuliko sekta zote hapa nchini tunahitaji mapinduzi ya kilimo kama tunataka maisha bora kwa kila mtanzania mapinduzi ya kilimo yatapatikana kwa njia zifuatazo
kuweka wananchi katika vikundi/ushirika wa kilimo
kupatia hivi vikundi/ushirika uweza wa kukopa dhana za kisasa za kilimo
kutoa mafunzo ya kilimo cha kisasa kwa vikundi/ushirika wa kilimo
kuhakikisha masoko yenye kutoa bei halali kwa mazao ya kilimo kama wafanyakazi wengine wanavyolipwa mishahara halali
kuhakikisha matendo ya ufisadi katika sekta ya kilimo yanakemewa kwa adhabu kali sana hata kifo kwa atakayepatikana na kosa la kuhujumu kilimo
hakuna maisha bila kilimo
posted by mloyi at 112 am 17 comments | 2018-05-26T00:07:40 | http://motowaka.blogspot.com/2008/06/ |
hotuba ya sugu yasababisha bunge kusitishwa ghafla leo soma hotuba yote hapa | politiksi kurunzini
home burudani habari politiksi hotuba ya sugu yasababisha bunge kusitishwa ghafla leo soma hotuba yote hapa
hotuba ya sugu yasababisha bunge kusitishwa ghafla leo soma hotuba yote hapa
seriajr monday may 20 2013 burudani habari politiksi edit
spika wa bunge mh anna makinda leo alilazimika kusitisha shughuli za bunge mwanzoni tu mwa hotuba ya kambi rasmi ya upinzani iliyokuwa ikisomwa na waziri kivuli wizara ya habari vijana utamaduni na michezo mh joseph mbilinyi maarufu kama sugu (pichani)
kauli iliyoleta mtafaruku ni ile inayosomeka
tanzania imegeuka chini ya usimamizi wa wizara ya serikali hii ya ccm kuwa taifa linaloteka nyara wanahabari kuwatesa kuwangoa kucha na meno kuwatoboa macho kuwamwagia tindikali na hata kuwaua
matukio bungeni wakati wa uwasilishaji wa bajeti ya wizara ya habari vijana utamaduni na michezo
mbunge wa ubungo mhejohn mnyika akizungumza na mbunge wa mbeya mjini mhe joseph mbilinyi ndani ya ukumbi wa bunge leo
mbunge wa mafia mhe abdulkarim shah akiuliza swali la nyongeza bungeni
naibu waziri wa kilimo chakula na ushirika mhe adam malima akizungumza na waziri mkuu mstaafu mhe edward lowassa ndani ya ukumbi wa bunge
waziri wa habarivijanautamaduni na michezo mhe dkt fenella mukangara akizungumza na naibu wake mhe amos makalla bungeni kabla ya kusomwa kwa bajeti ya wizara hiyo
waziri wa habari vijana utamaduni na michezo dk fenella mukangara akiwasilisha hoja bungeni leo
fuatilia hotuba hiyo hapa chini
hotuba ya msemaji mkuu wa kambi ya upinzani mheshimiwa joseph o mbilinyi (mb) kuhusu makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya habari vijana utamaduni na michezo kwa mwaka wa fedha 2013/2014 | 2018-01-24T05:51:34 | https://arusha255.blogspot.com/2013/05/hotuba-ya-sugu-yasababisha-bunge.html |
suguti raha papazi yaja kuokoa vipaji vya wasanii wa filamu nchini
papazi yaja kuokoa vipaji vya wasanii wa filamu nchini
baada ya kimya cha muda mrefu hatimaye wadau wa sanaa wameanza kuchukua hatua za kusaidia kuibua na kukuza vipaji vya wasanii wachanga katika uigizaji ili kusaidia jitihada wanachofanya katika kujiendeleza kisanii
baadhi ya wadau hao ni kampuni ya papazi ambayo imengaza mkakati kabambe wa kusaidia wasanii chipukizi jinsi ya kufuatilia hisia zao kisanii na kurekodi kazi zao na mwisho wa siku kusambaza ili kuwahakikishia soko
tayari kampuni hiyo imejipanga na kuweka wazi mikakati yake inayolenga kusimamia kazi zote za wasanii wachanga na hata wenye majina ili kila mmoja anufaike kupitia jasho lake
ili kuhakikisha kwamba kampuni hii inatimiza malengo yake tayari imeshafanya kongamano kubwa kwa kushirikisha wadau wa filamu na kuelezea bayana kile ambacho inapanga kufanya katika fani ya filamu
katika kongamano hilo pia lilihamasisha wasanii waliokata tamaa ili warejee kwenye ulingo wa sanaa ili wapige kazi ya filamu kwa ajili ya kuelimisha kuburudisha na kufundisha jamii kwa njia hiyo ya sanaa
kongamano hilo pia liliibuka na mawazo mapya ya kubadilisha taswira ya filamu nchini baada ya kuzoeleka kwa majina ya wasanii wakubwa huku wale wanaochipukia wakiendelea kusota bila kutambulika
meneja masoko wa kampuni hiyo issa kipemba alisema papazi imekuja kwa sura nyingine inayolenga kuwasaidia zaidi wasanii tangu wachanga na wale wenye majina makubwa
kila kukicha katika filamu hakuna jipya utaona wasanii ni wale wale tuliozoea kuwaona au kuona kazi zao hali inayosababisha mawazo yao kuwa ni yaleyale maeneo ya kuigiza ni yaleyale na zaidi ya hapo utaona wazi kwamba tunaiga zaidi anasema kipemba
mbali na hilo anasema kampuni yake inakuja na mabadiliko ikiamini kwamba kuna wasanii zaidi ya yeye (kipemba) na pia wapo wasambazaji wa kazi zaidi ya watu wenye asili ya kiasia wanaofanyakazi kazi hiyo kwa kiwango kikubwa sasa
anasema kuwepo kwa wasambazaji wachache kumechangia wasanii wa vijijini wilayani na hata mikoani wenye vipaji tofauti kukosa soko kwa vile imezoeleka kwamba inapotoka filamu mpya msambazaji anahoji juu ya msanii aliyeshiriki
kama filamu ikikosa msanii mwenye jina utakuta inanunuliwa kwa bei ndogo hali ambayo inachangia kuua vipaji vya wasanii ambavyo sasa kampuni ya papazi imebaini hilo na imeamua kujitosa kuviokoa kwa kusambaza kazi zao
kwa mfano inatokea mtu unatumia zaidi ya sh milioni 5 kuandaa filamu halafu msambazaji anahoji kama msanii fulani yumo au hayumo na kama hayumo basi anasema atanunua kwa chini ya sh milioni 2 au 3 utabaini hizo ni dharau ukiritimba ambao kampuni ya papazi imepania kuufuta kabisa anasema
ili kufanikiasha malengo papazi itafanya utafiti zaidi ili filamu zitakazochezwa na wasanii watakaowaibua na hata wenye majina zisambazwe kwa ubora wa kazi na sio umaarufu wa jina ambao wengi kuiga filamu kutoka india au nigeria
papazi inasema hata wasanii wenye majina wameanza kudharauliwa na wasambazaji na wanyonyaji wengine wa kazi za wasanii na kwamba zipo filamu hazijamaliza mwezi tangu zitoke lakini video zake zinauzwa kwa sh 1000 barabarani
kutokana na hali hiyo kampuni ya papazi imeazimia kufanya kila njia ili kuhakikisha kwamba wasanii waliokata tamaa wanaendelea na kazi hiyo bila kuzibiwa riziki na wale wanaojiona kama bila wao filamu tanzania haiwezekani
posted by mzee wa suguti musoma at 239 am | 2018-08-16T02:03:10 | http://sugutiraha.blogspot.com/2011/07/papa-zi-yaja-kuokoa-vipaji-vya-wasanii_06.html |
wabunge wanawake waliobaguliwa na trump wajibu mapigo | mtanzania
home kimataifa wabunge wanawake waliobaguliwa na trump wajibu mapigo
wabunge wanne walioshambuliwa na rais donald trump katika mfululizo wa maandishi ya tweeter yanayodaiwa kuwa ya ubaguzi wamepuuza maneno yake wakisema ni kujaribu kuwaondoa katika umakini wao
wawakilishi hao alexandria ocasiocortez ilhan omar ayanna pressley na rashida tlaib wakizungumza na waandishi wa habari wamewataka wananchi wa marekani kutoyatilia maanani maneno ya trump
trump alisema wanawake hao wanne waondoke marekani huku akitetea kauli zake na kukataa shutuma kuwa ni mbaguzi
wanawake hao walisema hivi sasa watu waweke akili zao kwenye sera za marekani na si maneno ya trump
kwa pamoja ilhan na rashida wamerejea wito wa kutaka trump apigiwe kura ya kutokuwa na imani naye
kikosi chetu ni kikubwa kikosi chetu kinahusisha mtu yeyote aliye tayari kujenga ulimwengu wa usawa na haki alisema ayanna
ilhan alisema maneno ya trump yanadhihirisha mashambulizi ya ubaguzi wa rangi dhidi ya wanawake wanne maneno ambayo hayana maana yeyote isipokuwa kuigawanya nchi
awali trump alisema kuwa ilhan alikuwa akiunga mkono kundi la wanamgambo wa alqaeda
ninajua kila muislamu aliyeishi nchini humu na duniani kote amesikia kuhusu kauli hiyo hivyo sitaipa nafasi kwa kuijibu alisema ilhan
aliongeza kuwa hakutegemea jumuia ya watu weupe kujibu baada ya mtu mweupe kuua kwenye shule au jumba la sinema msikiti au sinagogi
alexandria alisimulia kuhusu alipotembelea washington dc akiwa mtoto akisema watu wawaambie watoto wao kuwa chochote kile atakachosema rais nchi hii ni yenu
wanawake wote wanne wamesisitiza kuwa huduma za afya matumizi mabaya ya silaha kushikiliwa kwa wahamiaji katika mpaka kati ya marekani na mexico ni masuala ya kutazamwa
spika wa bunge nancy pelosi alinukuu ujumbe wa trump na kutaja maneno yake ya kibaguzi
wakati donald trump anawaambia wabunge wanne wa marekani warudi nchini mwao anathibitisha mpango wake wa make america great again unahusu kuifanya marekani liwe taifa la watu weupe kwa mara nyingine
utofauti wetu ndio nguvu yetu na umoja wetu ndio nguvu zetu alisema pelosi
previous articlemrema ataka marekebisho sheria bodi ya parole
next articleguinea wamfukuza kocha wao | 2019-11-22T02:24:55 | http://mtanzania.co.tz/wabunge-wanawake-waliobaguliwa-na-trump-wajibu-mapigo/ |
dereva wa msafara wa jk afariki | jamiiforums | the home of great thinkers
dereva wa msafara wa jk afariki
discussion in 'jukwaa la siasa' started by lucchese decavalcante sep 27 2010
dereva wa msafara wa jk anayeendesha gari aina ya freelander amefariki dunia juzi baada ya kile kinachodaiwa ni laana za mpemba mmoja
dereva huyo (kwa sasa ni marehemu) hivi karibuni aligonga gari ya mpemba huyu kule singida na kumtia hatiani jamaa wa watu ambaye hakuwa na kosa
inasemekana madereva wenzie ambao ni polisi walimkava mwenzie ili aendelee na ulaji wa misafara ya jk na kumtia ndani mpemba huyu ambaye alilalamika kwa kusema yaani kugongwa nigongwe mimi halafu nawekwa ndani inshallah mungu anaiona hii
basi baada ya siku mbili yule dereva wa msafara alibadilishiwa gari na kupewa ya matangazo kwenye msafara na wakiwa njiani alianza kijisikia vibaya hadi kushindwa kuendesha gari na kusaidiwa na mwenzie na hali yake ilikuwa mbaya hadi alipokimbizwa hospitali ya mission itigi kabla ya kuletwa muhimbili kwa ndege ambapo alifariki dunia juzi usiku
ama kweli malipo humu humu duniani
habari ndo hiyo maana kama umetendewa kosa halafu mhalifu anakufunga wewe hii dunia imekwisha kabisa mungu atawapigania wasio na watetezi
dereva wa msafara wa jk anayeendesha gari aina ya freelander amefariki dunia juzi baada ya kile kinachodaiwa na laana za mpemba mmoja
dereva huyu (marehemu) hivi karibuni aligonga gari ya mpemba huyu kule singida na kumtia hatiani jamaa wa watu ambaye hakuwa na kosa
jamaa hawajakata insurance ya sheikh yahaya
nafikiri insurance ya sheikh yahya inamcover kikwete tu
ukiua kwa upanga
rip dereva ila inasikitisha kuona watu fulani kama jk an kikundi chake kuwa ndo wanaona wana haki ya kuishi na kuiongoza tanzania kuliko wengine
inaelekea insurance ya mnajimu inacover mkulu peke yake sio wapambe wake kama ni hivyo basi wataondoka wengi
kama ndio hivyo mbona mafisadi wanadunda mpaka leo au mungu maombi yangu anaya treat kama spam
mhhhhh ray2
hiyo al badr si wangepelekewa wanowanyonya watz aka mafisadi
wamezoea kukaa juu ya sheria sasa yatawatokea puani sasa naamini hata babu seya atatoka jerezani na yote yatafunuliwa
naomba kama kuna mwenye namba ya huyo mpemba anitumienataka kukomesha hawa wanyanyasaji please mfunyukuzi
mfunyukuzi malipo gani hayo yasiyo na majuto unajua mimi huwa sioni kama kifo ni adhabu nzuri kwa mkosaji manake ndo hayupo tena wala hana muda wa kujuta juu ya yale aliyoyafanya adhabu nzuri ni kuishi muda mrefu kwa mateso makali ili ajutie kabla ya kufa sasa huyu kaugua siku mbili na kufa kalipwa nini hapo zaidi ya kujipatia pumziko la milele
jk kamtoa kafara huyo watakufa wengi mwaka huu walinzi wa sheikh yahya wanahitaji kulishwa na hiyo ndio chakula yao
likes received 22068
mungu aiweke roho ya marehemu mahali panapostahili
kwa wema wake aende paradiso na kwa maovu yake aende jehunum
kama ni kweli mpemba kafanya mambo katoa adhabu isiyostahili ingetakiwa apate mateso japo kidogo
rip dereva wa jk
angalizo death is a serious matter kifo sio kitu cha mchezo tusikifanyie dhihaka
nae alimkuta ile ya aiseeeee then akakatikarip dereva | 2018-01-18T14:44:05 | https://www.jamiiforums.com/threads/dereva-wa-msafara-wa-jk-afariki.75514/ |
ubuntu platform march 2015
3/25/2015 020900 pm
mbunnge wa monduli na waziri mkuu mstaafu edward lowassa akimkaribisha mratibu wa msafara wa wachungaji mbalimbali wa makanisa ya pentekoste kutomaeneo mbalimbali nchini mchungaji bernedict kamzee kutoka kanisa la glory of crist la mkoani katavi akizungumza mchungaji benedickto kamzee kutoka kanisa la glory of christ la katavi alisema wamefikia uamuzi huo wa kuja dodoma kuonana na edward lowassa bila kushinikizwa wala kushawishiwa na mtu yeyote
hakuna aliyetushawishi hata siyo maaskofu wetu hili suala halina msukumo wowote zaidi ya msukumo wa mungu alisema kamzee
kamzee alisema wachungaji hao wanatoka kwenye madhehebu ya eagt tag pefa klpt kutoka maeneo mbalimbali nchini
mbunge wa monduli edward lowassa akizungumza na ujumbe huo wa wachungaji waliofika nyumbani kwake pamoja na mambo mkengine ni kumuombea baraka za mungu katika safari yake ya matumaini
mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (ccm) mkoa wa shinyanga na mjumbe wa halmashauri kuu ya ccm taifa khamis mgeja akizungumza jambo wakati kuwapokea wageni hao
wachungaji hao wakiwa nyumbani kwa waziri mkuu mstaafu na mbunge wa monduli mjini dodoma
maombi yalifanyika na mchungaji bernedict kamzee aliwaongoza wachungaji wote katika maombi hayo
lowassa akiagana na wachungaji hao leo
3/23/2015 053100 pm
mbunge wa monduli na waziri mkuu mstaafu edward lowassa akiwasalimia mamia ya wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu mkoa wa dodoma waendesha boda boda na wamachinga wa mkoa huo walioandamana hii leo hadi nyumbani kwake area d mjini dodoma kumuomba pindi wakati ukifika kwa mujibu wa taratibu za chama cha mapinduzi (ccm) asisite kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya urais lowassa amesema anazidi kuhamasika kufuatia maombi ya watu wa makundi mbalimbali ya jamii wanao muomba kugombea urais mwaka huuaidha na yeye amewaomba vijana hao na makundi mengine kuwahimiza wenzao vyuoni na hata mitaani kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la wapiga kura ili siku ya uchaguzi wawe na sifa za kuweza kushiriki katika uchaguzi kwa kupiga kura kiongozi wa machinga mkoa wa dodoma alisema haya
3/22/2015 045300 pm | 2017-07-22T14:56:56 | http://ayoubmzee.blogspot.com/2015/03/ |
ccm hadi kwenye maji | jamiiforums | the home of great thinkers
ccm hadi kwenye maji
discussion in 'uchaguzi tanzania' started by vakwavwe oct 15 2010
ktk pitapita yangu leo dsm nimeshangazwa kukuta mtu amebeba maji yenye nembo ya jembe na nyundokiukweli nimeshangazwa kwa kuwa mwenye kiwanda ameamua kujikomba na kutupilia mbali risk zinazoambana na kukampenia chama fulani wakati watu wengi tunakic
hukia chama hicho kuliko kawaida kwa jinsi nilivyo siwezi kunywa maji hayo hata iwejemaji yenyewe ni aquasomethingsikumbuki jina vizuri
yes haya ni maji ambayo ccm wanayagawa bure kwenye kampeni kote nchini juzi nikiwa zanzibar kwenye kampeni za jk mimi na wageni wetu tulibahatika kukirimiwa maji hayo kutokana na kiu tukajiwahi haraka haraka kupokea tukijua ndizo takrima ndogo ndogo zinazokubalika ndipo nikanotice ni maji ya takrima kampeni nikawajulisha wageni wangu na sote tukayarudisha maji yao na kuwashukuru tukaendelea kufuatilia na kiu zetu
kura yako mpe dr slaa 0 people likes
msinywe hayo maji yamewekewa pepo na syahaya
amua moja kura yako kwa dk slaa
view attachment 15336
duu hawa mabwana si mchezo ndo watatoka madarakani kwa amani kweli hawa kazi ipo
taja kampuni ili tusinunue tenaso simple
nilisikia kuna kampuni moja ya mwanza sijui ni ipi hiyo lakini nakumbuka kumsikia mwekezaji huyo akijisifia kuwa ni biashara na ujasiliamali ili maji yake yatoke kwake yeye ccm ilikuwa na wapenzi wengi hivyo wangenunua hayo maji
jamani mbona tunaweza kumfilisi kwa kususia maji yake | 2017-04-26T21:44:02 | https://www.jamiiforums.com/threads/ccm-hadi-kwenye-maji.78807/ |
imetumwa october 8th 2018 style=textalign center><strong>mkuu wa wilaya ya kiteto mhe tumaini magessa akizungumza na wakazi wa kata za kibaya kaloleni na bwagamoyo katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika mji mdogo
imetumwa october 5th 2018 <strong>mkuu wa wilaya ya kiteto mhe tumaini magessa akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha chekanaokata ya kiperesa wilayani kiteto</strong></p> <p><img class=frd
imetumwa september 27th 2018 style=textalign center><strong>kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa ndg charles francis kabeho akipokea taarifa ya ujenzi wa bweni la wavulana ( mhe john pj magufuli) lililojengwa  
ziara ya mbunge papian matumaini mapya kwa wana ngabolo
mbigiri wahimizwa kuchangia ujenzi wa zahanati
kiteto watakiwa kudumisha amani | 2019-11-15T08:43:52 | http://www.kitetodc.go.tz/news/14 |
ramani ya nyumba id16416 vyumba 4 yenye tofali 5005+1869 na bati 95
homeramani za nyumbaramani id16416 vyumba 4 tofali 5005+1869 na bati 95
ramani id16416 vyumba 4 tofali 5005+1869 na bati 95
my dream houseadded to wishlistremoved from wishlist 12
nyumba ya vyumba vinne contemporary quantity
ukubwa wa nyumba (sqm)210sqm
idadi ya tofali za block (6') kwa kuta5005
idadi ya tofali za block (6') kwa msingi1869
idadi ya bati za kawaida (mita 3 urefu)95
category ramani za nyumba tags contemporary drinks bar four bedrooms laundry upper balcony vyumba 4
nyumba ya kisasa ya vyumba 4 vya kulala 1 master bedroom 1 self contained room 2 normal rooms sebule dining jiko stoo & public toilet
be the first to review ramani id16416 vyumba 4 tofali 5005+1869 na bati 95 cancel reply
tunakupigia paa la vigae vya decra ktk nyumba yako kwa unadhifu wa kupendeza $108000 $103680
idadi ya tofali za block (6′) kwa kuta5005
idadi ya tofali za block (6′) kwa msingi1869 | 2020-06-03T19:43:14 | https://makazi.ne.tz/designs/item/nyumba-ya-vyumba-vinne-contemporary/ |
recategorization | teachers' service commission
walimu katika utumishi wa umma wamegawanyika katika kada/ makundi makuu matatu kama yalivyoainishwa katika waraka na 1 wa mwaka 2014 unaohusu miundo ya utumishi wa kada za walimu makundi hayo ni
i) walimu daraja a hawa ni walimu wa ngazi ya cheti
ii) walimu daraja b hawa ni walimu wa ngazi ya stashahada na
iii) walimu daraja c hawa ni walimu wa ngazi ya shahada
1 kuwabadilishia cheo walimu
mwalimu anapojiendeleza kutoka ngazi moja ya elimu kwenda ngazi nyingine atatakiwa kubadilishiwa cheo kwa kuzingatia waraka wa katibu mkuu utumishi na 1 wa mwaka 2014 unaohusu miundo ya utumishi wa kada za walimu sambamba na waraka wa utumishi na 1 wa mwaka 2011 wenye kumb na cac44/45/01/a/121 wa tarehe 20 desemba 2011 kuhusu utaratibu wa kuwabadilishia kazi/cheo walimu waliojiendeleza
2 mambo muhimu ya kuzingatiwa katika kuwabadilishia kazi /cheo walimu
i) mwalimu husika ataandika barua ya kuomba kubadilishiwa cheo ikiwa imeambatishwa nakala ya cheti cha kuhitimu mafunzo kwa ngazi husika (stashahada / shahada) barua hiyo itawasilishwa kwa katibu msaidizi wa wilaya kupitia kwa mwajiri wake
ii) mwalimu aliyejiendeleza kielimu atabadilishiwa cheo/kazi kwa kuzingatia ngazi ya mshahara (horizontal) mfano mwalimu daraja ia ngazi ya mshahara tgts d mwenye astashahada atabadilishwa kuwa mwalimu daraja la ii b ngazi ya mshahara tgts d akijiendeleza kwa ngazi ya stashahada au atabadilishwa kuwa mwalimu daraja la iii c ngazi ya mshahara tgts d akijiendeleza kwa ngazi ya shahada
iii) mwalimu atabadilishiwa kazi/cheo baada ya kuwekwa kwenye ikama katika mwaka wa fedha husika bila kujali kuwa kubadilishwa huko kutakuwa/hakutakuwa na athari katika mshahara wake kwa kuwa cheo atakachokuwa nacho baada ya kubadilishiwa ni cheo tofauti na cheo alichokuwanacho awali ( job code tofauti)
iv) mwalimu anapobadilishiwa kazi / cheo baada ya kujiendeleza cheo anachokuwa nacho wakati huo kitahesabika kuwa ni cheo kipya na hivyo kwa mujibu wa ufafanuzi uliotolewa na katibu mkuu (utumishi kwa barua kumb na cac45/257/01/e/83 ya tarehe 992013 ) atapaswa kutumikia cheo hicho kwa kipindi kisichopungua miaka mitatu kabla ya kufikiriwa kupandishwa cheo kingine hii ni katika kulinda ukubwa (seniority) kwa walimu waliopata sifa awali katika kada husika ikilinganishwa na wale wanaopata sifa hizo baadaye mfano mwalimu aliyeanza kazi mwaka 2010 akiwa na shahada (md iiic ngazi ya mshahara tgts d) ikichukuliwa kuwa alipandishwa vyeo kila baada ya miaka mitatu (ukiondoa mwaka mmoja wa matazamio) mwaka 2018 atapandishwa na kuwa md ic ngazi ya mshahara tgts f cheo hicho kitakuwa sawa na cheo cha mwalimu wa astashahada ambaye alipandishwa vyeo kwenye kada yake na kufikia cheo cha mwalimu mwandamizi b ngazi ya mshahara tgts f mwalimu huyu kwa mfano akiwa amejiendeleza kwa ngazi ya shahada na kuhitimu mwaka 2018 na akabadilishiwa cheo atakuwa na cheo cha md i tgts f tafsiri yake ni kuwa mwalimu aliyeanza kazi mwaka 2010 akiwa na shahada atakuwa analingana cheo na mwalimu aliyepata sifa hiyo miaka 8 baadaye
3 uhusiano uliopo kati ya kubadilishiwa kazi / cheo na kupandishwa cheo mwalimu aliyejiendeleza
i) mwalimu aliye masomoni kwa muda mrefu hataweza kupandishwa cheo kwa wakati huo kwani kupandishwa cheo ni kupewa tuzo kutokana na utendaji kazi mzuri mwalimu aliye masomoni hatekelezi majukumu ya kazi yake
ii) mwalimu aliyebadilishwa kazi/cheo atatakiwa kutumikia cheo hicho kwa muda usiopungua miaka mitatu au zaidi kadri ya maelekezo yatakavyokuwa yakitolewa kabla ya kupandishwa kwa kuwa mwalimu huyo atakuwa ameingia kwenye kundi lenye cheo tofauti na kundi alilotoka hata kama mshahara utabaki kuwa ule ule hivyo atawakuta walimu waliokuwa kwenye kundi hilo jipya kabla yake
mwalimu hataweza kubadilishwa na kupanda cheo hapo hapo na kuonekana kwamba ameingia kwenye kundi muda mrefu na kuwaacha/kuwazidi aliowakuta tayari kwenye kundi hilo walio kwenye ngazi ile ya mshahara | 2019-10-23T17:55:58 | http://tsc.go.tz/kubadilisha-cheo-walimu-waliojiendeleza-kielimu |
ovakulupe vomodibo omapendafule kundana oshiwambo newspaper
home oshigwana ovakulupe vomodibo omapendafule
ovakulupe vomodibo omapendafule
ongwediva nonande kavefi vepata limwe ovakulupe vavali vomodibo moshitukulwa shahangwena ova longa nova longelwa oilonga yeli fa mefimbo lekondjelomanguluko
meekulu ndalyatapeni taleinawa yananghama nameekulu ndeipala ndelefina yaabraham yanghiyalahamba oohaukwe ovo va kwafela mekondjelomanguluko lanamibia aveshe ova li modolongo nova kanifila ovana mekondjelomanguluko mefimbo loukoloni ovakulupe ava ova kala momukunda wa vo oo wa ama keengaba danamibia naangola modibo tava longo moukumwe novanangeshefa moshilongo mokukwafela ovakwaita voplana mokukondjela emanguluko lanamibia
efimbo nefimbo ova telekela ovakwaita voo tave va holeke ve va djaleka no va holeka yoo oilwifo noilongifo yopaukwaita
meekulu nanaghama wepipi lomido 88 ta ti meumbo lange omwa li onduda yoshipeleki omo mwa kala mwa holekwa oikutu noikwafifo yovakwaita voplan onda ya modolongo lwoikando o12 oshikando shimwe onda idililwa mokanduda kokapeleki ke li mofuka ofamili yange kaya li ishi kutya ondili peni naame mwene nghi shii po ongerki oyo yaka konga nge fiyo ya mona nge
nonande eli mepupi loukulupe lela meekulu nanghama natango ota dimbulukwa nawa ashishe osho a ningilwa naashi a ninga pefimbo lekondjelomanguluko lanamibia
eshi a li modolongo yomofuka puye okwali ashike ha pe uya omulumenhu omutilyane nomukulukadi waye novalumenhu vavali umwe owomu hoko wovasan na mukwao womuherero ovanhu ava oheva mono nande okonima yoshivike
ngee ta va i ohave mu fiile oshiyaxa omo he li yakulile ongokandjuwo voo tave mu pe oumbishikiti vatatu ovo ha li efiku alishe omafiku amwe ohaa piti po ina lya ina nwa ina uda elinyengo lomunhu kakele kelinyengo loudila mofuka nande a li a tila momufitu okwe ke li twa omukumo pakudilaadila ovo vali va idililwa yo konhunu yaroben island kosouth africa
meekulu nanghama ta hokolola kutya okwa djoina oswapo mo1960 no kwa hongwa opolitika kunetumbo nandindaitwa oo eli paife oministeli yoshikondo shoikwapondje yanamibia pamwe namonica namweya nomonakadona penny hashoongo oo a fila moita pefimbo olo ava vatatu ovali ovanafikola post mary podibo
modolongo okweli xula mo mo1988 konima eshi okatokolifo 435 ka ya moilonga efimbo olo okwa li a kwatwa pamwe napetrus naukushu nahandjaba a dile kouhongo no vali va idililwa modolongo yomotavi
molwa omahepeko modolongo okwa kwatelwa mo kelondolohonde osho sha etifa ovakwaita vokoevoet va kale have mu twala koshipangelo oule womafiku mahapu ashike oufiku ohaka nangala kodolongo yee ta etwa ongula inene
meekulu wa nanghama ota dimbuluka nghee a panga oukahewa nomukainhu omudamara oo a shakeneka manga ali ha twalwa kovakwaita vokoevoet koshipangelo omukainhu okwe mu hololele kutya yee okaume yoo kajoel namundjebo omukainhu ou ali ha popi yoo oshiwambo okwe mu pa a lye oshihakautu shahawiishu osho sha kwafela ohonde i kuluke diva
nonande ovo va kwatelwe pamwe naye va mangululwa mo modolongo motavi vaye komaumbo avo meekulu nanghama okwa kufwa mo mongudu yavakwao ndee ta lundululilwa ashike kodolongo yokapeleki yali kosire oko aka mangululilwa konima yomafiku ekufombinga laye mekondjelomanguluko ole mu kwatakanifa novanangeshefa vahapu vokombinga yokolundume lwoshilongo ngaashi eliakim namundjebo nomumwaina joel namundjebo aveshe oonakufya paife oshoyo ngolonea woshitukulwa shahangwena paife usko nghaamwa ovo va kala haave mu pe oinima i holekwe meumbo laye meekulu nanghama ta ti omafimbo mahapu okwali ha tumwa aka lande oikutu yomahombolo aavo vali moupongekwa
eshi namibia la manguluka ovakulupe ava vavali ova pewa olupandu nova talika pambelewa ongovakondjelimanguluko meekulu nanghama ota ti paife ohandi kofa handi mbonyoka shaashi lotauka vali medina lomakakunya no nda valulwa ndimukondjelimanguluko efyo shapo tali tu tukula noswapo
haukwe waye meekulu ndeipala nghiyalahamba womido 74 oo eumbo laye li li popepi no lameekulu nanghama oye yoo umwe womomapendafule oo a dana onghandangala mekondjelomanguluko
meekulu nghiyalahamba okwati oilonga yaye nayo oi shiivike kovakondjelimanguluko voomartin shali noocharles namholo naye okwa tuvikilifwa oilwifo noinima ihapu yovakwaita voplan osho she mu hepekifa neeghono noshe mu tulifile modolongo ovana ovamati vatatu ova ile moupongekwa umwe okwa fila ko na mukwao okwe ya a lemana
ota ti opolitika okwe i uda kumumwainamati opamwe nomupresidende hifikikepunye pohamba naeliaser tuhadeleni oo ali a shivika nawa kaxumba kandola ta ti ehokololo lange mekufombinga lekondjelomanguluko lanamibia oli le neennghono
previous articlelarry horaeb a ya kuamazulu
next articleomhepo youdano weengonyo womtc sunshine otayi pepe moshikango | 2018-09-20T21:56:00 | https://kundana.com.na/2013/08/23/ovakulupe-vomodibo-omapendafule/ |
dogo janja atoa maneno haya baada picha za benpol mtandaoni ~ blogu ya wananchi
dogo janja atoa maneno haya baada picha za benpol mtandaoni
labda brother alijiuliza akivaaje atapendeza akaamua asivae kitu tu mbona freshi lakini mimi sidhani kama nitaweza kufanya jambo kama lile kuwaonyesha watu 'too much' hapana aisee vitu kama vile vinaishi milele unaweza kufanya leo ukapata maslahi lakini kesho kikawa na athari katika maisha yako alisema ben pol email thisblogthisshare to twittershare to facebook | 2017-05-28T20:26:59 | http://www.williammalecela.com/2017/05/dogo-janja-atoa-maneno-haya-baada-picha.html |
zlatan adhulumiwa na baba amfukuza mino raiola | shaffihdauda
home kimataifa zlatan adhulumiwa na baba amfukuza mino raiola
next articlesamatta kichuya waiua dr congo ya mastaa | 2018-09-24T15:53:34 | http://shaffihdauda.co.tz/2018/03/27/zlatan-adhulumiwa-na-baba-amfukuza-mino-raiola/ |
burudan mwanzo mwisho mazoezi ya karama yamtisha thomas mashali
mabondia karama nyilawila kushoto na said mbelwa wakitambiana wakati wa utambulisho wa mpambano wao wa kugombania ubingwa
wa ubo may 24 katika ukumbi wa frende corner manzese katikati ni katibu
mkuu wa chama cha ngumi za kulipwa nchini pst antony rutta picha na wwwsuperdboxingcoachblogspotcom
ni bondia anayetegemea kupanda ulingoni jumamosi ya tarehe 24 may kuzichapa na
said mbelwa kuwania ubingwa wa ubo (universal boxing organisation) katika
ukumbi wa friends corner manzese hapo awali karama alikuwa azipige na thomas
mashali alievunja mkataba wa pambano kwa kutokuwa vema kwa pambano hilo na
badala yake nafasi hiyo ikadondokea kwa said mbelwa ambaye ana vigezo vyote vya
kugombania ubingwa karama nyilawila akiwa katika mazoezi ya mwishomwisho
alisema mashali ananiogopa baada ya kusikia mazoezi ninayofanya ni magumu na
hatari kwa bondia atakae katiza mbele yangu kwani kila siku asubuhi lazima
nikimbie kutoka sinza ilipo gym yetu mpaka kibaha maili moja kwenda na kurudi na
jioni napiga mfuko wa mazoezi(bag) raundi sita za dakika kumikumi na nacheza sparing
raundi 15 aliposikia hivyo mdogo wangu mashali ikabidi achomoe kwa kutafuta
visingizio mbalimbali na pambano limekuwa likibadirishwa tarehe kwa ajili yake
na mwishowe akaweka wazi kuwa ananiogopakarama aliendelea kwa kusema huyu
mbelwa kavamia adhabu ambayo sio yakeasuburi tarehe ifike apate cha
kumuhadithia mashali
nae kiongozi
na mratibu wa pambano hilo ibrahim kamwe amesema siku hiyo pia kutakuwa na
mapambano mengi makali ya utangulizi yakiwemo ya suleiman tall akizipiga na abdala pazi
ramadhan kumbele akimvaa morobest zumba kukwe wakioneshana ubabe na kamanda wa makamanda idi athuman na
julias kisarawe
ndio tunamalizia makubaliano ya mwisho ya bondia chipukizi na mwanamuziki mashuhuri wa bendi ya mapacha watatu halid
chokoraa ambae amekubali kuzipiga na abdul manyenza katika pambano la raundi
nne kilogram 63 chokoraa kwa sasa yupo vizuri sana kwa mchezo wa ngumi na ana
uwezo wa kumkabili bondia yoyote wa uzito wake | 2017-07-22T04:40:32 | http://burudan.blogspot.com/2014/05/mazoezi-ya-karama-yamtisha-thomas.html |
matukio @ michuzi blog mkazi wa kivule dar aondoka na 10m/za jigiftishe
mkazi wa kivule dar aondoka na 10m/za jigiftishe
mshindi wa zawadi ya shilingi milioni kumi katika promosheni ya tigo igiftishe jane jisandu (wa pili kushoto) akifurahia mfano wa hundi kutoka kwa mkurugenzi wa tigo kanda ya pwani joseph mutalemwa (wa pili kulia) wanaoshguhudia wa kwanza kushoto ni mtangazaji wa radio clouds fm mina ally na wa kwanza kulia ni deogratius david kutoka tigo
mshindi wa zawadi ya shilingi milioni kumi katika promosheni ya tigo igiftishe jane jisandu (wa pili kushoto) akifurahi jambo na mmoja ya rafiki zake wa karibu alyefika kushuduia akikabidhiwa zawadi yake mwishoni mwa wiki kivule jijini dar es salaam
mshindi wa zawadi ya shilingi milioni kumi katika promosheni ya tigo igiftishe jane jisandu (wa tatu kushoto) akiwa kaika picha ya pamoja na washindi wa shilingi milioni moja moja na wafanyakazi wa tigo muda mfupi baada ya kukabidhiwa zawadi yake kivule jijini dar es salaam
mshindi wa zawadi ya shilingi milioni moja katika promosheni ya tigo igiftishe anna lyimo (wa tatu kushoto)akifurahi jambo na mkurungenzi wa tigo kanda ya pwani joseph mutalemwa (wa pili kulia) pamoja na mtamgazaji wa radio clouds fm mina ally (wa pili kulia) muda mfupi baada ya kukabidhiwa zawadi yake wengine ni wafanyakazi wa tigo alex msigala (wa kwanza kushoto) na deogratius david(wa kwanza kulia )
mshindi wa zawadi ya shilingi milioni moja katika promosheni ya tigo igiftishe anna lyimo (wa tatu kushoto)abrahaman kasimu (wa pili koshoto) akitoa ushudumua namna alivyoshinda muda mfupi baada ya kukabidhiwa zawadi yake wa kwanza kushoto ni mtangazaji wa radio clouds mina ally na wa kwanza kulia ni deogratius david kutoka tigo
mkazi wa kivule jijini dar es salaam bi jane jisandu ameibuka mshindi wa zawadi ya wiki ya shilingi milioni kumi katika promosheni inayoendelea ya jigiftishe na tigo
jane anakuwa mshindi wa tano wa zawadi ya shilingi milioni kumi baada ya david mmuni iyaka muinga wote wa dar es salaam mbwana mbela mkazi wa wmpwapwa mkoani dodoma na flora somba wa morogoro
akizungumza muda mfupi baada ya kukabidhiwa zawadi yake kivule jijini dar es salaam jane alisema zawadi hiyo ni muujiza na kuongeza kuwa itasaidia kuokoa maisha ya mwanaye ambaye anatakiwa kwenda india kwa ajili ya matibabu
kwangu huu ni muujiza mkubwa sana nina mtoto mgonjwa na ambaye nimeambiwa anaweza kutibiwa lakini mpaka nchini india gharama za matibabu yake ni kubwa nilikuwa nikiwaza wapi ningepata fedha za matibabu lakini mungu amenitendea muujiza kupitia tigo naishukuru tigo kwa kuokoa maisha ya mwanangu alisema
jane alisema amefanikiwa kushinda zawadi hiyo baada ya kuwa antumia huduma za tigo kama kuweka kuma wa maongezi kununua vifurushi mbali mbali pamoja na kutuma pesa kwa njia ya tigo pesa huku akiwataka watu kutumia huduma za tigo ili kujishidia zawadi za fedha taslimu
akimkabidhi zawadi kwa mshindi wa shiligi milioni kumi na wengine wa shilingi milioni moja mojamkurugenzi wa tigo kanda ya pwani joseph mutalemwa alisema anayofuraha kuona zawadi za fedha zinazotolewa katika promosheni ya jigiftishe zinagusa na kubadilisha maisha ya wateja wa tigo
mutalemwa aliwataka wateja wa tigo kuendelea kutumia huduma za kampuni hiyo ili kujishindia zawadi za fedha taslimu na kuongeza kuwa zawadi za fedha bado ni nyingi ikiwa ni pamoja na zawadi kubwa za shilingi milioni 5025 na 15 anbazo zitaolewa mwishoni mwa promosheni
posted by michuzi blog at sunday december 23 2018 | 2020-07-12T04:08:14 | https://michuzi-matukio.blogspot.com/2018/12/mkazi-wa-kivule-dar-aondoka-na-10m-za.html |
jinsi masele alivyotibuana na ndugai leo bungeniaeleza hujuma za kutaka angolewe pap
you are athome»habari360»jinsi masele alivyotibuana na ndugai leo bungeniaeleza hujuma za kutaka angolewe pap
mbunge wa shinyanga mjini stephen masele leo tarehe 23 mei 2019 ametibuana na job ndugai spika wa bunge
masele ambaye ni makamu wa rais wa bunge la afrika (pap) ameshutumu mawasiliano ya spika ndugai na roger nkodo dang rais wa bunge la afrika (pap) kwamba yalikuwa na malengo hasi kwake na nafasi yake ya umakamu wa rais wa pap
hata hivyo spika ndugai amepinga kauli hiyo akieleza kilichomfanya kumwita masele nchini ni kuja kuhojiwa utovu wa nidhamu na si mgogoro wa pap
awali kamati ya maadili ya haki kinga na madaraka ya bunge ilimtia hatia masele kwa tuhuma zake za utovu wa nidhamu hata hivyo masele alipinga maelezo ya kamati hiyo
akizungumza bungeni masele ametoa hoja ya kukataa ripoti ya kamati hiyo iliyomtia hatiani kuwekwa wazi ili watanzania wajue nini alichoulizwa na kujibu
masele ametoa kauli hiyo alipopewa nafasi na spika wa bunge job ndugai ya kuomba radhi bunge ndipo alipotumia muda huo kuliomba bunge kuruhusu hansadi ya kikao cha mahojiano yake na kamati ya maadili
kwa namna yoyote ile makosa yaliyorodhoshwa katika shitaka langu ningefurahi hansadi ya kikao ingeletwa kwenye bunge hili ili wabunge na watanzania wajue ukweli
kwa mwenyekiti wa kamati hii kuleta taarifa ambayo ina mapungufu ninaomba nitoe hoja ya kukataa kamati hii na ripoti hii amesema masele
licha ya kuikataa ripoti hiyo masele amesema sakata lake la kuitwa bungeni kwa ajili ya kuhojiwa ni mkakati wa rais wa bunge la afrika (pap) roger nkodo dang wa kutaka kumngoa madarakani kwa kumtumia spika ndugai ili kujinasua katika tuhuma za unyanyasaji wa ngono kwa watumishi wa bunge hilo
mbele ya bunge masele amedai kuwa ana uthibitisho kwamba dang alifanya mawasiliano na spika ndugai kuhakikisha kwamba yeye harudi pap
amesema dang alifanya mawasiliano hayo siku chache tangu alipoanza kusakamwa na tuhuma za unyanyasaji wanawake
ninatambua rais wa afrika anafanya mawasiliano na wewe kuhakikisha mimi nisirudi kule pap mheshimiwa spika nasema haya kwa ujasiri sababu nina uhakika amesema masele
katika hatua nyingine masele amesema dang alitumia madaraka yake vibaya kwa kuwasiliana na spika ndugai ilihali akijua kwamba anafanyiwa uchunguzi
barua aliyokuandikia inayokanusha haki zangu mimi kama mbunge na makamo wa rais wa pap kwamba ilifojiwa ni ile iliyoandikwa na rais ili kwenda kwa makamu wa pili wa rais ilikwenda algeria kuna makamu wa tatu wa rais amesema masele na kuongeza
kwenye contect za barua ile inafanana iweje ya kwangu iwe imefojiwa na zile hazijafojiwa rais yule aliandika barua ya kukanusha barua zake za mwanzo tarehe 11 mei 2019 wakati yeye tulianza naye mgogoro tarehe 2 mei tumemuweka pembeni kwa uchunguzi lakini aliendelea kufanya makosa kuwasiliana na nyumbani wakati yuko katika uchunguzi
masele ameomba radhi huku akisema kwamba hana dhamira ya kumvunjia heshima spika ndugai kwa kutoitikia wito wake mara kadhaa bali mazingira aliyokuwa nayo hayakumruhusu kuitikia wito wake
kwa heshima nimekubali mimi ni kijana ninabeba dhamana nasimama kukuomba radhi na ieleweke sikufanya mambo haya kwa makusudi kukuvunjia heshima sikufanya haya yanayoitwa makosa kwa nia yoyote ya kukudharau amesema masele na kuongeza
nilipokea mualiko wako saa 11 jioni saa za afrika kusini ikinitaka kesho yake nifike dodoma unatambua nilifika afrika kusini pasipokupewa nauli ningepata wapi muda wa kulipa bili za hotelini na kukabidhi majukumu yangu na hususan bunge lilikuwa na mogoro wa rais kutuhumiwa kwa kashfa ya ngono
akijibu madai hayo ya masele spika ndugai amesema masele si mkweli kwa kuwa kuhojiwa kwake hakutokani na mgogoro ulioko pap
si kweli hata kidogo tuache vijitabia vya namna hiyo nimalizie umeitwa nyumbani na unatokaje madaraka waheshimiwa wabunge mimi ni spika wenu mtu mzima niseme tabia za masele za kusema uongo hata kwenye bunge hili amesema uongo amesema spika ndugai
previous articlenarendra modi ashinda uchaguzi mkuu nchini india
next article watuhumiwa 17 watoroka mahakamani mkoani geita | 2019-08-26T09:41:40 | https://habarimpya.com/featured-2/anonymous/jinsi-masele-alivyotibuana-na-ndugai-leo-bungeni-aeleza-hujuma-za-kutaka-angolewe-pap |
marke abarth alfa romeo bmw fiat hyundai jeep kia land rover mitsubishi nissan peugeot seat skoda vw | 2019-11-17T11:54:51 | https://www.neuwagenzentrumaugsburg.de/Angebote/Land-Rover |
waziri mkuu majaliwa aongoza mbio za hapa kazi tu dodoma half marathon lekule blog
waziri mkuu majaliwa aongoza mbio za hapa kazi tu dodoma half marathon
waziri mkuu kassim majaliwa akiongoza mbio za wabunge za hapa kazi tu dodoma half marathon zilizoanzia bungeni hadi uwanja wa jamhuri mjini dodoma januari 30 2016 kushoyo kwake ni waziri wa habariutamaduni sanaa na michezo nape nnauye na kushoto ni naibu spika wa bunge dkt tulia ackson mwansasu (picha na ofisi ya waziri mkuu)
baadhi ya washiriki wa mbio za hapa kazi tu dodoma half marathon wakishiriki mbio hizo mjini dodoma januari 30 2016
mmoja wa wapigapicha walioshiriki mbio za hapa kazi tu dodoma half marathon alilazimika kuomba msaada kwa askari wa usalama barabarani mjini dodoma januari 30 2016
waziri mkuu kassim majaliwa akimkabidhi ufunguo wa pikipiki mshindi wa kwanza wa mbio za hapa kazi tu dodoma half marathon upande wa wanaume emmanuel giriki kwenye uwanja wa jamhuri mjini dodoma januari 30 2016
waziri mkuu kassim majaliwa akimkabidhi zawadi ya pikipiki mshindi wa kwanza upande wa wanawake wa mbio za hapa kazi tu dodoma half marathon angela davile (kulia) kwenye uwanja wa jamhuri mjini dodoma januari 30 2016
waziri mkuu kassim majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa benki ya crdb tawi la dodoma ambao wamedhamini pambano la mpira wa miguu kati ya wabunge na benki hiyo kwenye uwanja wa jamhuri januari 302016 benki hiyo pia ilitoa vifaa vya michezo kwa timu ya bunge (picha na ofisi ya waziri mkuu)
waziri mkuu kassim majaliwa amemtaka waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo kuandaa kikao cha haraka na viongozi wa vyama vya michezo nchini ili wamueleze kila mmoja amejipanga vipi kuinua viwango vya michezo katika chama chake
ametoa agizo hilo leo mchana (jumamosi januari 30 2016) wakati akizungumza na mamia ya viongozi na wakazi mbalimbali wa mkoa wa dodoma ambao walishiriki mashindano ya mbio za nusu marathon (km 21 na km 5) zilizofanyika leo mjini dodoma
mashindano hayo yalijulikana kama hapa kazi tu half marathon yamefanyika ikiwa ni sehemu ya kuhimiza uchapakazi miongoni mwa watanzania lakini pia ni sehemu ya maandalizi ya kuelekea kuadhimisha siku 100 za utendaji kazi tangu rais john pombe magufuli alipoapishwa na kuanza kazi
kuna maboresho yanaendelea ndani ya wizara ya habari utamaduni sanaa na michezo lakini haya yote hayawezi kufanikiwa kama viongozi wa michezo hawajajipanga vizuri ninatakata niandaliwe kikao cha siku moja na viongozi wa vyama vya michezo nchini ili waje wanieleze kila mmoja amejipanga vipi kuinua hali ya mchezo wake alisema huku akishangiliwa
alitumia fursa hiyo kuupongeza uongozi wa shirikisho la riadha tanzania kwa kuandaa mbio hizo muhimu za kuhimiza watanzania kuchapa kazi lakini pia ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kushiriki katika mashindano ya olimpiki yatakayofanyika baadaye mwaka huu huko rio de janeiro brazil
tunataka tuondokane na kauli ya tanzania kuwa ni kichwa cha mwendawazimu na nipende kusisitiza kuwa maandalizi haya yasiwe ya mwisho bali yawe ya muda mrefu kwa sababu tunaenda kushiriki mashindano ya dunia nasema tena tuache utamaduni wa maandalizi ya kukurupuka alisisitiza
aliwataka wadau mbalimbali wajitokeze kusaidia taasisi za michezo
waziri mkuu majaliwa ambaye alishiriki mbio za km 25 kuanzia saa 1 asubuhi alikimbia kutoka eneo la bunge hadi uwanja wa jamhuri na kuzindua mashindano ya km 21 saa 147 asubuhi na yale ya km tano aliyazindua saa 151 asubuhi
katika hatua nyingine waziri mkuu alikabidhi pikipiki aina ya gsm kwa washindi wa kwanza wa nusu marathon mabati 100 kwa washindi wa pili na mabati 40 kwa washindi wa tatu mshindi wa tatu hadi wa 10 kwa wanawake na wanaume walikabidhiwa fedha taslimu
washindi wa kwanza hadi wa tatu waliokabidhiwa zawadi na waziri mkuu upande wa wanawake ni anjelina daniel (pikipiki) fadhila salum (mabati 100) na catherine lange (mabati 40) wote wanatoka mkoa wa arusha
kwa wanaume walioshinda nafasi kama hizo ni emmanuel giniki (katesh babati) aliyeshinda pikipiki gabriel gerald wa arusha (mabati 100) na fabian joseph wa arusha (mabati 40)
wakati huo huo benki ya crdb dodoma ilitoa zawadi za sh 250000/ kila mmoja kwa washiriki watatu ambao ni walemavu walioamua kushiriki mbio hizo mwanzo hadi mwisho waliokabidhiwa zawadi hizo na waziri mkuu ni bw hassan hussein sharif bw christian ally amour na bw shukuru khalfani
benki hiyo ilikabidhi pia vifaa vya michezo kwa ajili ya timu ya wabunge kwa ajili ya pambano la soka linalotarajiwa kufanyika leo saa 10 jioni kwenye uwanja wa jamhuri mjini dodoma baina ya timu ya bunge na timu ya crdb | 2018-05-26T21:39:25 | http://sosteneslekule.blogspot.com/2016/01/waziri-mkuu-majaliwa-aongoza-mbio-za.html |
sumo kawambwa cup
kawambwa cup
kampuni ya tanzania distilleries (tdl) wameweza kufanya michuano ya jimbo la bagamoyo maarufu kama kawambwa cup kuwa ya mafanikio makubwa na kivutio kwa wakazi wa mji huo kutokana na udhamini walioutoa ili kukuza michezo ngazi za chini
1 mbunge huyo wa bagamoyo shukuru kawambwa akikabidhi kikombe kwa mshindi
2 meneja wa mauzo wa tdl kanda ya pwani ka kati bw ngailo (kushoto) akipokea cheti cha shukrani kutoka kwa waziri wa miundombinu dk shukuru kawambwa kama shuklani yake kwa mchango uliotolewa na kampuni hiyo
3baadhi ya wafanyakazi wa tdl wakifuatilia mchezo wa fainali
ila chata la nyuma linatia kiu kwa sisi wa vikali | 2018-07-19T07:21:06 | http://mpoki.blogspot.com/2010/07/kawambwa-cup.html |
kwa nini mkataba wa yanga sc kukodishwa ulisainiwa kizani bin zubeiry sports online
kwa nini mkataba wa yanga sc kukodishwa ulisainiwa kizani
taarifa zilianza kuvujishwa jumatano ya oktoba 5 kwamba klabu ya yanga sc imekodishwa kwa kampuni ya yanga yetu ambayo inaelezwa inamilikiwa na mwenyekiti wa klabu yussuf manji
lakini taarifa yenyewe ilikuwa inasema kwamba mkataba baina ya yanga yetu na baraza la wadhamini wa yanga sc ulisainiwa septemba 3 mwaka huu yaani mwezi mmoja uliopita
bodi ya wadhamini wa young africans sports club (ambayo hapa inajulikana kama mmiliki) imeingia tarehe 3 september 2016 mkataba wa kukodishwa na kampuni ijulikanayo yanga yetu limited (inayojulikana hapa kama mkodishwaji kwa muhtasari wa maazimio yaliyoafikiwa katika mkutano mkuu wa young africans sports club uliofanyika tarehe 6 agosti 2016 ulitambua kuwa young africans sports club (anayejulikana hapa kama yanga)
leo sitaki kuzama ndani kuchambua vipengele vya mkataba huo na mapungufu yake kwa sababu kazi hiyo nitaifanya jumatano kwa jumapili hii ninataka kuzungumzia shaka ya kwanza ya mkataba huu ambayo ni pamoja na kutangazwa zaidi ya mwezi mmoja baada ya kusainiwa kwake
taarifa ya bodi ya wadhamini wa yanga ilimalizia kwa kusema mwisho tumeombwa na bw yusuf manji tutangaze hadharani mkataba huu hata hivyo bado tunajadiliana kama kutangazwa huko kutakuwa kwa manufaa ya klabu kwa kuwa kwa upande mmoja ni vema kuwa na uwazi lakini kwa upande mwingine washindani wa klabu yetu wataiga mkataba wetu kwa manufaa yao
mkanganyiko wa maelezo katika kipengele hiki ni sehemu ya wasiwasi wa kwanza wa mkataba huo lakini kikubwa tu kwa nini baraza na yanga yetu hawakufanya zoezi lao kwa uwazi mbele ya vyombo vya habari
haiyumkiniki mikataba mizito kama hii yenye kubadilisha historia ya klabu kubwa kama yanga ikafanywa kwa siri namna hii
sijui baraza la wadhamini la yanga ambalo linapingwa na baraza la michezo kla taifa (bmt) lilifikiria nini kufanya maamuzi ya ovyo namna hii
yanga ni baba wa soka ya tanzania ndiyo klabu kongwe zaidi labda wajumbe wa baraza la wadhamini wa klabu hiyo hawajui au wamesahau nitawakumbusha
japokuwa historia inasema yanga ilizaliwa mwaka 1935 na simba mwaka 1936 lakini ukizama ndani utagundua kwamba huo ndiyo ulikuwa mwanzo wa utani na upinzani wa jadi baina ya miamba hiyo ya soka nchini
lakini kila ilipokuwa ikibadilisha jina ilikuwa ikifanya vitu pia kwani wakiwa na jina la new youngs waliweza kutwaa kombe la kassum lililoshirikisha timu mbalimbali za dar es salaam hatimaye ukawadia mwaka mbaya kwa new youngs 1938 wakati baadhi ya wachezaji walipojitoa na kwenda kuanzisha sunderland kwa sababu hiyo waliobaki wakaamua kubadili jina na kuwa young africans jina ambalo mashabiki wake wengi walishindwa kulitamka vizuri hivyo kujikuta wakisema yanga
kwa historia hii pamoja na ukweli uliopo kwamba klabu hii ilitumika na waasisi wa taifa hili katika harakati za uhuru unagundua hii si klabu ya mchezo mchezo kama wengine wanavyofikiria
ilikopitia kutoka new youngs navigation taliana hadi young africans maarufu yanga unawezaje kwenda kuikodisha uchochoroni
katika zama hizi za uwazi na ukweli baraza la wadhamini la yanga na mkodishaji wa klabu walikwepa nini kufanya zoezi hili zito mbele ya vyombo vya habari
siku chache zilizotangulia manji alikwenda kuikabidhi yanga kiwanja eneo la geza ulole kigamboni dar es salaam ijenge uwanja wa kisasa na kituo cha kukuza vipaji vya vijana
siku hiyo waziri wa mambo ya ndani mwigulu mchemba aliinuliwa ofisini akawe mgeni rasmi lakini katika shughuli nzito zaidi na ya kihistoria kwa klabu mkataba umesainiwa chemba na kuja kutangazwa mwezi mmoja baadaye mkataba huu ulipaswa kusainiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari kwa uwazi na ingependekeza zaidi kama kiongozi mmoja mkubwa wa serikali angekuwepo kwa ushuhuda siku zote nasema jerry muro na baraka deusdedit ni watoto wadogo mno ambao siyo tu hawaijui yanga bali hata uyanga wao kwa kuwa ulijulikana baada ya kuajiriwa na klabu ni wa mashaka mashaka na hawa sidhani kama wanaweza kuwa na uchungu na klabu
wenye uchungu na klabu ni watu kama akina francis mponjoli kifukwe ambao wamepata nayo tabu hii klabu wakati fulani ila nao imefikia wakati wanachukua maamuzi mazito kizani inawezekana mpango huu ukawa mzuri na umekuja katika wakati mwafaka kwamba yanga inahitaji kubadilika kwa namna yoyote lakini wasiwasi wa kwanza ni mkataba ni kusainiwa kizani (kunako majaaliwa juamatano nitaanza kuuchambua mkataba wenyewe kwa kuanza na hatari ya kuruhusiwa kusajiliwa kampuni ya yanga yetu ambayo ndiyo imeikodisha yanga sc)
item reviewed kwa nini mkataba wa yanga sc kukodishwa ulisainiwa kizani | 2017-02-19T11:49:33 | http://www.binzubeiry.co.tz/2016/10/kwa-nini-mkataba-wa-yanga-sc-kukodishwa.html |
zonta international amelia earhart ushirika 2019 kwa wanawake katika sayansi na uhandisi (us $ 10000 / awardee) | fursa kwa waafrika
nyumbani ushirika zonta international amelia earhart ushirika 2019 kwa wanawake katika sayansi na uhandisi
maombi tarehe ya mwisho 15 novemba 2018
kote duniani wanawake hufanya chini ya asilimia 30 ya wafanyakazi katika fizikia sayansi za kompyuta na uhandisi kulingana na marekani habari na ripoti ya dunia kwa jitihada za kutekeleza lengo lake ambalo wanawake wanapata rasilimali zote na wanawakilishwa katika nafasi za kufanya maamuzi kwa msingi sawa na wanaume zonta international inatoa amelia earhart ushirika
amelia earhart fellowship ilianzishwa katika 1938 kwa heshima ya majaribio maarufu na zontian amelia earhart ushirika wa us $ 10000 unapatiwa kila mwaka hadi wanawake wa 30 wanaotumia digrii za phd/doctoral katika sayansi iliyosaidiwa na aerospace au uhandisi uliotumiwa na aerospace inaweza kutumika katika chuo kikuu chochote au chuo cha kutoa kozi za dhamana zilizopatiwa na shahada katika nyanja hizi
wanawake wa taifa lolote wanaopata shahada ya phd / daktari ambao wanaonyesha rekodi ya kitaaluma ya juu katika uwanja wa sayansi ya kutumia aerospace au uhandisi wa uendeshaji wa aerospace wanastahiki
wanafunzi wanapaswa kusajiliwa katika programu ya phd/doctoral ya wakati wote na kukamilika angalau mwaka mmoja wa mpango huo au wamepokea shahada ya bwana katika uwanja wa kutumia nguvu ya ndege wakati programu inapowasilishwa
waombaji hawapaswi kuhitimu kutoka kwa phd au programu ya udaktari kabla ya aprili 2020 tafadhali kumbuka kuwa mipango ya utafiti wa daktari haifai kwa ushirika
wajumbe na wafanyakazi wa zonta international au zonta international foundation pia hawastahiki kuomba ushirikiano kumbuka kwamba wale wa zamani wa amelia earhart hawastahiki kuomba upya ushirika kwa mwaka wa pili
kamati ya ushirika wa amelia earhart ya zonta kitaalam maombi na inapendekeza wapokeaji kwenye bodi ya kimataifa ya zonta wafanyakazi wote wanapimwa kwa vigezo vilivyowekwa katika sehemu ya mahitaji ya maombi maelezo yote ya tathmini yanawekwa siri tathmini hazifunuliwa kwa waombaji waombaji wote watatambuliwa kwa hali yao mwishoni mwa aprili 2019
maombi ya 2019 amelia earhart fellowship lazima iwasilishwa na 15 novemba 2018 kuchukuliwa
tembelea tovuti ya nje ya zonta international amelia earhart ushirika 2019
makala zilizotanguliampango wa uongozi wa vijana wa dot dash global wa xtum kwa vijana wa vijana wa kimataifa (mfuko wa kimataifa wa amani 2019 huko new york marekani)
makala inayofuataleventis foundation scholarships ya shahada ya kwanza 2019 katika kilimo endelevu katika chuo kikuu cha dunia costa rica (fully funded) | 2018-08-18T11:08:54 | https://sw.opportunitiesforafricans.com/zonta-international-amelia-earhart-fellowships-2019-for-women-in-science-engineering/ |
pakua 4l maji na nyota za sola kwenye fr2 news downloads
download 4l trophy kwa maji na jua katika jt fr2
machi 19 2009 26 mai 2016 christophe
uwasilishaji juu ya habari za trophy ya 4l iliyo na doping ya maji imetolewa 16 machi 2009 kwenye ufaransa2
jifunze zaidi nguvu ya 4l iliyopigwa na maji kwenye fr2
pakua faili (usajili wa jarida inaweza kuhitajika) vipindi vya 4l na maji na jua kwenye jt fr2
← pakua bei ya soko ya mali isiyohamishika kabla ya mgogoro
pakua madirisha na utendaji wa juu wa siku zijazo cstb prebat ademe → | 2018-11-20T22:44:52 | https://sw.econologie.com/telechargement-4l-trophy-eau-solaire-jt-fr2/ |
darvel forum diamond kutumbuiza kwenye tuzo za africa magic viewers choice awards lagos jumamosi hii
diamond kutumbuiza kwenye tuzo za africa magic viewers choice awards lagos jumamosi hii
diamond platnumz amepata shavu lingine la kutumbuiza kwenye sherehe za utoaji wa tuzo za africa magic viewers choice awards (amvca 2015) zitakazofanyika jumamosi hii huko lagos nigeria na kurushwa live kupitia dstv
please don't forget to watch your @africamagic channels on saturday coz your platnumz will be performing live on africa magic viewers choice award in lagos nigeria #amvca2015 (tafadhali usikose kutazama chaneli yoyote ile ya @africamagic kwani kijana wako platnumz nitakuwa naperform live siku ya jumamosi kwenye tunzo za africa magic viewers choice awards nchini lagos / nigeria #amvca2015 )
a photo posted by chibu dangote😷 (@diamondplatnumz) on mar 4 2015 at 929am pst
waliwasiliana na sisi kwa email na show itakuwa ni siku ya jumamosi tarehe 7 amesema mmoja wa mameneja wake salaam kupitia 255 ya xxl ya clouds fm
itakuwa ni live katika channel moja ya africa magic hizi ni tuzo za afrika magic movie awards ambazo zinafanyikaga lagos nigeria kwahiyo diamond ataperform nyimbo ya mdogomdogo
ameongeza kuwa diamond anaweza kufanya video ya wimbo wa iyanya akiwa nigeria
msanii mwingine atakaye perform ni iyanya ndo ambaye meneja wake niliongea naye kwasababu wanataka kushoot video na diamond vilevile kwahiyo kulekule katika nyimbo yake ndo alituambia kuwa naye ana perform
new official video linah ft christian bella hel
new official video barnaba suna download here
new official video diamond ft khadija kopa nase
zari apost picha ya kigauni cha mtoto wa kike ath
picha chaga barbie (muke ya mganda) apost picha z
new official video vanessa mdee ft ko nobody b
new music vanessa mdee ft ko nobody but me d
picha tazama mimba ya zari ilivyokuwa kuwa kubwa
new offical video shetta ft kcee shikorobo dow
picha wema aonesha pete yake ya uchumba
video zari ndani ya ikulu mpya ya diamond akipang
new music shetta ft kcee shikorobo download
bifu hivi ndivyo zamaradi na rayc walivyolianzish
video tazama trailer ya movie mpya day after dea
picha tazama nyumba ya 10 ya diamond platinumz ye
wema sepetu katika uzinduzi wa gari aina ya mitsub
new music jokate ft ice prince leo leo down
picha huyu ndiye mtangazaji wa cnn aliyepanda mli
video wema sepetu na millard ayo katika tangazo j
picha tazama cover nne za mahaba za ommy dimpoz n
new music dj choka ft younglunya country boy de
new music linex ft diamond platnumz salima do
new video ommy dimpoz wanjera download here
lady jay dee sina mimba mniache hawajibu walioku
wema sepetu chaz baba ndiye aliyekuwa mwanaume ha
news picha mbalimbali za ajali iliyotokea mafinga
hatimaye chadema wamvua uanachama zitto kabwe
audio msikilize wema sepetu hakiongea kuhusiana n
alichokisema meninah baada ya kuambiwa katoa mimba
picha studio mpya za azam tv zenye kufananishwa n
new music yamoto band mpaka nizikwe downloa
diamond kutumbuiza kwenye tuzo za africa magic vi
breaking news us ambassador to south korea hacked
wema sepetu aenda kumtambulisha mume nyumbani kwao
picha huyu ndiye mume halisi wa zari the bosslady soma zaidi hapa tazama picha na video ya 40 ya mtoto wa diamond nillan ilivyofana
cyrill kamikaze aeleza kwanini ngoma zake hazifanyi vizuri azitaka media ubadilika (video)
kaburu feb 23 mnyama anaendeleaje jmosi imepangwaje (+video)
new video eddy kenzo jubilation (oficial music video) | 2017-02-23T16:11:31 | http://darvel-kardashian.blogspot.com/2015/03/diamond-kutumbuiza-kwenye-tuzo-za.html |
28 jun 0024
bajaji ipo kwenye hali nzuri inatembea na utaikuta barabarani inafanya kazi njoo ukague
mloje
member since 21 mar '13
+255714901546 | 2017-08-18T08:41:04 | https://www.zoomtanzania.com/motorcycles/2015-tvr-762194 |
drogba azindua kampeni uchaguzi wa haki bbc swahili
drogba azindua kampeni uchaguzi wa haki
http//wwwbbccom/swahili/habari/2010/10/101028_drogba_uchaguzi
mwanasoka nyota didier drogba leo amezindua kampeni ya kuweka bayana suala la demokrasia na uchaguzi wa wazi sehemu mbalimbali duniani kuwa ni chombo muhimu kwa kuziondoa nchi masikini duniani katika lindi hilo la umasikini
drogba aliyeongoza nchi yake ya ivory coast katika fainali za kombe la dunia kwa mara ya kwanza mwaka 2006 amezindua bango lililokuwa na ujumbe usemao teremka uwanjani na umwe mchezaji jisajili piga kura usikilizweili maendeleo yapatikane hatuna budi kuhakikisha uchaguzi wa haki na uwazi amesema drogbas ameongeza ninaamini utawala bora unaweza kusaidia nchi kuondokana na umasikini ikiwa tu wasimamizi wa uchaguzi na wanasiasa watatimiza jukumu laoikiwa nchi nyingi za afrika zikikabiliwa na uchaguzi katika miaka michache ijayo ambako nchi zinazoendelea na masikini zipo drogba amesema matumaini yangu ni kusaidia kuchangia katika suala la demokrasia barani afrika ndio maana ninahubiri ukweli na uchaguzi ulio huru ndio njia pekee kwa afrika kusonga mbelebango hilo alilozindua lina picha ya drogba akijiandaa kupiga mkwaju wa penalti akiwa amevalia fulana ya timu ya taifa ya ivory coast yenye rangi ya machungwa bango hilo litazinduliwa mjini kinshasa jamhuri ya kidemokrasi ya congo ambako uchaguzi aina nane umepangwa kufanyika katika miaka mitatu ijayo ikiwa ni wa urais wabunge majimbo na kiwango cha manispaa | 2018-03-18T11:01:56 | http://www.bbc.com/swahili/habari/2010/10/101028_drogba_uchaguzi |
kombe la kumbukumbu la hayati philip mbogo(mb) | jamiiforums | the home of great thinkers
kombe la kumbukumbu la hayati philip mbogo(mb)
discussion in 'sports' started by munduwakaya mar 16 2011
munduwakaya
kampuni ya active finance imedhamini ligi ya kumbukumbu ya aliyekuwa mbunge wa jimbo la mpanda kati mzee philip mbogo kwa kutoa seti za jezi na mipira zenye thamani ya sh milioni 4500000
akizungumza dar es salaam jana wakati akikabidhi jezi na mipira hiyo kwa mwenyekiti wa umoja wa vijana wa chama cha mpinduzi (uvccm) wa mkoa wa rukwa paul mzindakaya mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo kevin mbogo alisema ligi hiyo ni maalumu kwa kuenzi mchango alioutoa mzee philip wakati wa uhai wake
ligi hii ni maalumu kwa kumuenzi mzee philip ambaye alifariki machi mwaka 2007 mzee philip amefanya mambo makubwa kwa watu wa mpanda kati na ndio maana wenyewe wakataka kumkumbuka kwa kuandaa ligi ya mpira wa miguu ambayo kwa sasa iko katika hatua ya robo fainali alisema mbogo
alisema ligi hiyo inashirikisha timu 13 na imeanza tangu februari 26 mwaka huu na inatarajiwa kumalizika machi 22 mwaka huu
kila timu inayoshiriki ligi hiyo itapewa seti moja ya jezi na mpira mmoja alisema mbogo
alizitaja timu zinazoshiriki ligi hiyo kuwa ni mpanda united magereza fc makanyagio fc katavi rangers reli katumba kagera fc mwangaza sekondari nselemwa sekondari bufalo fc small kids fc kazima fc kiboko fc na mpanda stars
katika hatua nyingine alisema ligi hiyo itasimamiwa na chama cha mpira wilaya ya mpanda (mdfa) | 2017-04-23T05:46:22 | https://www.jamiiforums.com/threads/kombe-la-kumbukumbu-la-hayati-philip-mbogo-mb.118355/ |
janabi atoa tahadhari kwa wajtumiaji wa siagara | mtaa kwa mtaa blog
janabi atoa tahadhari kwa wajtumiaji wa siagara
mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya moyo jakaya kikwete (jkci) profesa mohamed janabi akisisitiza jambo mbele ya waandishi wa habari(hawapo pichani) alipokuwa akizungumzia uhusiano wa matumizi ya tumbaku na magonjwa ya moyo jana jijini dar es salaam
picha na frank shija maelezo
na agness moshi maelezo
taasisi ya moyo ya jakaya kikwete (jkci) imetoa taadhari kwa watumiaji wa sigara kujiepusha na matumizi ya sigara kwasababu wapo kwenye hatari ya kuugua magonjwa ya moyo yanayo sababishwa na kuziba kwa mishipa ya damu
akizungumza na waandishi wa habari kwenye mahojiano maalum jijini dar es salaam mkurugenzi mtendaji wa jkci prof mohamed janabi amesema ni vyema wananchi kujiepusha na utumiaji wa sigara kwa sababu moshi unapoingia kwenye moyo huaribu na kuziba mishipa inayopitisha damu kwenye moyo na hivyo kuusababisha kushindwa kufanya kufanya kazi yake vizuri
moyo umezungukwa na mishipa ya damu ambayo inauwezesha kufanya kazi endapo mishipa hii itaharibiwa na moshi wa sigaradamu inayozalishwa kutoka kwenye moyo itakua chache na hivyo kusababisha mtumiaji kupata matatizo ya moyo kama vile mshituko wa moyo kushindwa kupumua vizuri kutokana na kubanwa kwa mishipa ya damualisema profjanabi
profjanabi amesema kuwa kwa kawaida moyo wa binadamu kila unapopiga unatakiwa uzalishe milita 70 ambapo kwa mapigo 70 ni sawa na mililita 4900 ambazo ni sawa na lita 5 kwenye mwili wa binadamu ikitokea mishipa ya damu imezibwa damu itazalishwa kwa uchache hivyo kusababisha mtu kuvimba miguu kushindwa kupanda ngazi au sehemu za miinuko na kupata maumivu makali kama amechomwa na kisu
profjanabi ameongeza kuwa kuziba kwa mishipa ya kupitisha damu kwenye moyo hakuuathiri moyo tu bali mwili mzima ikiwa ni pamoja na ubongo hivyo inapotokea mishipa hiyo imezibwa kunahaja ya kutafuta njia ya kusaidia damu ipite vizuri kwenye moyo kwa kupandikiza mishipa mingine ambayo itatolewa kwenye sehemu nyingine za mwili kama kwenye miguu na mikono au kwa kumuwekea mgonjwa chuma ambacho kitasaidia damu kupita vizuri
profjanabi alisema kuwa gharama zinazotumika kwa ajili ya kusaidia mishipa iliyoharibiwa ni kubwa ukilinganisha na faida mtumiaji wa sigara anayoipta kutokana na utumiaji wa sigara kwa sababu vifaa vyenyewe viavyotumika ni ghali gharama za uchunguzi na matibabu pia muda wa kumuokoa ni muhimu kuzingatiwa endapo mgonjwa ameathirika sana
kama mishipa ya damu imebana kwa asilimia 90 au 100 mgonjwa anatakiwa afike hospitalini ndani ya lisaa limoja na nusu endapo atachelewa hakuna kitakachoweza kufanyika zaidi ya kifo unaweza ukawa na uwezo lakini muda hautakuruhusualisisitiza profjanabi
aidha profjanabi amesema kuwa tatizo la uvutaji wa sigara nchini si kubwa sana ukilinganisha na nchi za magharibi japo linakua kwa kiasi kwenye miji mikubwa ambapo watu watumiaji na watu wanaokaa karibu na mtumiaji kwa muda mrefu wanaathiriwa na moshi unaotokana na sigara ambapo athari zake huonekana kwa nyakati tofauti
wagonjwa wengi tunapokea hapa wanakua na sababu nyingine kama uzito mkubwakisukari na presha na kwa uchache tunapokea wagonjwa wanaumwa kwa sababu ya matumizi ya sigara kwa wingi unakuta wanatumia pakiti moja hadi tatu kwa siku pia mara nyingi tunapowafanyia uchunguzi wa awali wagonjwa ni ni lazima tuwaulize kama wanatumia sigara kwa sababu sigara ni moja ya kisabishi cha ugonjwa wa moyo alisema profjanabi
hata hivyo profjanabi ametoa wito kwa wananchi kuhakiksha wanapima afya zao mara kwa mara ili waweze kugundua matatizo mapema kabla hayajaleta na madhara makubwa kwenye mwili pia amewataka watumiaji wa sigara kujiepusha na matumizi ya sigara kwani madhara yake ni makubwa
othman michuzi wednesday september 06 2017 | 2017-11-25T09:35:35 | http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2017/09/janabi-atoa-tahadhari-kwa-wajtumiaji-wa.html |
dogo janja aendelea kunyanyaswatundaman ataka chorus yake ifutwe na manecky naye amuita snitch | ubuyu
dogo janja aendelea kunyanyaswatundaman ataka chorus yake ifutwe na manecky naye amuita snitch
jumapili na jumatatu hii zilikuwa chungu kama shubiri kwa dogo janja baada ya washkaji zake wa zamani kumpa makavu livejumapili dogo janja alipiga show yake kubwa jijini dar es salaam kwenye ukumbi wa maisha club ya kwanza tangu ajiunge na mtanashati entertainment hata hivyo siku yake iliharibika baada ya kukutana na producer manecky wa am records ambaye tayari alikuwa amechangamka na bia mbili tatu kichwaninilipanda vip nikakutana na manecky manecy producer nikamsalimia akaniambia siongei na masnitch nikamwambia bro kwani kuna nini akaanza kunitukana matusi ya nguoni yaani kanitukana sana mpaka nikajisikia mpweke yaani halafu yeye alikuwa amelewa dogo janja aliambia power jams ya east africa radio janaikabidi nishuke chini nikapanda juu nikakutana na tunda tunda nilikuwa nasalimiana naye vizuri tena manecky akaanza kunitukana nikajua labda ni pombealisema baada ya kuona hivyo alienda kuongea na bosi wake ustadh juma kuhusu tukio hilo ambaye alienda kwa manecky kumuuliza sababu ya kufanya hivyo akiwa amelewa manecky aliendelea kulaumu na kudai kuwa alichukia kitendo cha dogo janja kwenda kufanya wimbo na marco chalikama haitoshi jana alipigiwa simu na tunda man ambaye naye alikuja na lake akimtaka afute sauti zake zote zinazosikika kwenye nyimbo za dogo janja walizofanya collabosasa mimi cha kushangaza leo napokea simu tunda anasema kwamba nifute chorus ya anajua lakini sasa mimi nashangaa sababu ile nyimbo ya anajua nimerekodi na kipindi nafanya kazi ya tip top nilikuwa nafanya kazi kwa moyo mmoja na nilikuwa naithamini kazi yangu nilikuwa na mapenzi na kazi yangu na nilijitahidi nikafanya kazi nzuri watanzania wakaipokea vizuri wakamwelewa dogo janjaamesema hata hivyo hawezi kuzifuta sauti hizo kwakuwa ni haki yakesitofuta ile nyimbo sababu ni mali yangu na tunda mimi nimemshirikisha mbona tunda anafanya collabo na akina shettah ile chorus ya mdananda kapiga nyimbo na pasha mbona hamuambii pasha afute nafasi yake ananiambia mimi nifute sababu mimi mdogo labda alisema dogo janja kwa uchungu | 2017-03-30T14:29:53 | http://www.ubuyublog.com/2012/09/dogo-janja-aendelea-kunyanyaswatundaman.html |
mamia wakamatwa katika maandamano tunisia worldnewscom
taifa hilo la afrika ya kaskazini linaonekana kuwa hadithi yenye
mtu mmoja amekufa na wengine watano kujeruhiwa katika maandamano ya kiuchumi katika mji mkuu wa tunisia tunis maandamano hayo yameenea katika maeneo mengine kumi nchini
maandamano ya ghasia kupinga mfumuko wa bei yaendelea tunisia
kumekuwa na muendelezo wa siku tatu wa ghasia za maandamano nchini tunisia katika mji mkuu wa tunis na miji mingine ya nchi hiyo polisi wamekuwa wakirusha mabomu ya
siku ya alhamis sudan ilionya rasmi juu ya vitisho katika mpaka wake wa mashariki kutoka kwa vikosi vya misri na eritrea mnamo ambapo misri pia imejiingiza katika mgogoro
licha ya maombi hasa kutoka kwa umoja wa mataifa kuheshimu haki ya raia kuandamana wanajeshi walifyatua hewa ya kutoa machozi ndani ya makanisa na risasi za moto hewani
taarifa kamili na sekione kitojo kiongozi huyo ambaye alimshinda mgombea ambaye ni mwenye msimamo mkali wa kupinga mataifa ya magharibi na kushinda uchaguzi mpya mwaka
msemaji wa polisi david misal alisema watu 12 waliuawa wakati watu wasiotambulika waliokuwa na silaha waliposhambulia kijiji cha kabila la fulani siku ya ijumaa shambulizi
tunisia protests 🇹🇳 almost 800 protesters arrested
tunisia 🇹🇳 challenges persist seven years after revolution
msemaji wa polisi david misal alisema watu 12 waliuawa wakati watu wasiotambulika waliokuwa na silaha waliposhambulia kijiji cha kabila la fulani siku ya ijumaa shambulizi la kulipiza kisasi lilifuatia siku ya jumamosi aliongeza wakaazi wa vijiji vilivyoathirika walisema idadi ya waliokufa ni 40 lakini idadi hii haikuweza kuthibitishwa na vyanzo huru mashambulizi hayo
maandamano hayoy alianza alhamisi katika mji wa mashhad kuhusiana na masuala ya kiuchumi na yakasambaa hadi miji mingine huku baadhi ya waandamanaji wakipiga kelele za kuipinga serikali na kiongozi mkuu ayatollah ali khamenei mamia ya watu wamekamatwa televisheni ya taifa imesema watu 10 wameuawa jumapili usiku bila kufafanua waandamanaji wawili waliuawa wakati wa
umati mkubwa wa wafuasi wa serikali ulikusanyika katika mji mkuu wa tehran mashhad na miji mingine kuadhimisha kumbukumbu ya kumalizika kwa uasi ikiwa ni vurugu za mwisho nchini humo zilizozuka baada ya uchaguzi wa 2009 serikali ya iran imewaonya watu dhidi ya kufanya maandamano zaidi hii leo baada ya siku mbili za maandamano yaliyochochewa na hasira kuhusiana na msururu
maandamano yaendelea kuitikisa iran
maandamano hayo ambayo ndiyo makubwa zaidi kuikumba iran tangu uchaguzi wake uliobishaniwa mwaka 2009 yameshuhudia siku sita za machafuko nchini iran kote na vifo vya watu wasiopungua 20 maandamano hayo yalianza alhamisi wiki iliyopita katika mji wa mashhad kupinga hali duni ya kiuchumi na kuongezeka kwa bei za vyakula na yameenea katika miji kadhaa huku baadhi ya
maandamano yaendelea kuitikisa iran zaidi ya 20 wauawa
tunisian authorities have arrested another 150 people including local opposition leaders in addition to those arrested earlier this comes as a response to almost a week of antigovernment protests more than 800 people have now been detained following demonstrations over plans to raise taxes and the price of basic goods al jazeera\'s hashem ahelbarra reports from tunis tunisia subscribe to our channel http//ajeio/ajsubscribe follow us on twitter https//twittercom/ajenglish find us on facebook https//wwwfacebookcom/aljazeera check our website http//wwwaljazeeracom/
tunisia has seen a third consecutive day of violent protests since the first rally on monday more than 600 people have been arrested with one killed & around 50 injured read more https//onrtcom/8wmg rt live http//rtcom/onair subscribe to rt http//wwwyoutubecom/subscription_centeradd_user=russiatoday like us on facebook http//wwwfacebookcom/rtnews follow us on telegram https//tme/rtintl follow us on vk https//vkcom/rt_international follow us on twitter http//twittercom/rt_com follow us on instagram http//instagramcom/rt follow us on google+ http//plusgooglecom/+rt listen to us on soundcloud https//soundcloudcom/rttv rt (russia today) is a global news network broadcasting from moscow and washington studios rt is the first news channel to break the 1 billion youtube views benchmark
the tunisian government is hoping a boost in aid to poorer families will help contain growing discontent over new austerity measures it has pledged an extra $70m after protests swept across the country al jazeera met with iskandar zribi an owner of an ecofriendly hotel in zaghouan a town south of the capital tunis business was booming before the 2011 revolution zaghouane was packed with tourists but in 2015 a gunman killed 38 tourists in the resort town of sousse creating a business crisis for hotel owners like mr zribi who saw his revenues decline by 90 percent al jazeera\'s hashem ahelbarra reports from zaghouan tunisia subscribe to our channel http//ajeio/ajsubscribe follow us on twitter https//twittercom/ajenglish find us on facebook https//wwwfacebookcom/aljazeera check our website http//wwwaljazeeracom/
tunisian authorities have arrested another 150 people including local opposition leaders in addition to those arrested earlier this comes as a response to almost a week of antigovernment protests more than 800 people have now been detained following demonstrations over plans to raise taxes an
tunisia has seen a third consecutive day of violent protests since the first rally on monday more than 600 people have been arrested with one killed & around 50 injured read more https//onrtcom/8wmg rt live http//rtcom/onair subscribe to rt http//wwwyoutubecom/subscription_centeradd
the tunisian government is hoping a boost in aid to poorer families will help contain growing discontent over new austerity measures it has pledged an extra $70m after protests swept across the country al jazeera met with iskandar zribi an owner of an ecofriendly hotel in zaghouan a town sout
it has been seven years since the revolution in tunisia sparked the arab spring uprising in the middle east but many of the issues which brought people to the streets then continue in tunisia al jazeera\'s osama bin javaid reports subscribe to our channel http//ajeio/ajsubscribe foll
protesters took to the streets in towns and cities across tunisia for a fourth day friday as anger grows over price hikes introduced by the government demonstrations in 2011 in tunisia grew into the revolution that overthrew the government and triggered a wave of uprisings across the arab world s | 2018-01-20T05:10:59 | https://article.wn.com/view/2018/01/12/Mamia_wakamatwa_katika_maandamano_Tunisia/ |
makaliery tabbym stay in truth mbunge ahoji bodi ya mikopo kupewa fedha nyingi
mbunge wa viti maalumu christowaja mtinda (chadema) amehoji sababu za serikali kutoa fedha nyingi kwa bodi ya mikopo ya vyuo vya elimu ya juu wakati wa kipindi cha uchaguzi mkuu mbunge huyo alisema wakati wa kuelekea uchaguzi mkuu serikali imetoa fedha nyingi kwa bodi ya mikopo wakati ambao hakuna uchaguzi pesa zinapungua
kutokana na hali hiyo mtinda alitaka kujua ni kuna uwiano gani wa kimapato na kwanini mikopo ya wanafuzi wa vyuo isipitie moja kwa moja kwenye akauti zao badala ya akauti za vyuo ambazo hutumiwa vibaya na wahasibu kwa kutumia majina feki
akijibu swali hilo waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi dk shukuru kawambwa alisema si kweli kuwa mapato ya serikali yanapanda wakati wa uchaguzi mkuu na kusababisha fedha nyingi kupelekwa katika bodi ya mikopo
kawambwa alisema serikali inapeleka fedha kwenye bodi ya mikopo kulingana na mapato yaliyopo na wala si kutegemea kipindi cha uchaguzi kama alivyosema mbunge huyo
alidai kuwa serikali haitabadilisha msimamo wake wa kutuma fedha katika vyuo kwani kwa kufanya hivyo kutapunguza hali ya kutuma fedha kwenye akaunti ya mwanafunzi ambaye aliacha masomo muda mrefu
hata hivyo dkkawamba alisema kuwa serikali itahakikisha inasimamia vema fedha hizo ili zitumike kwa makusudi tarajali na si vinginevyo
posted by makali machechi at 1040 am | 2017-10-19T08:49:21 | http://makaliery-t.blogspot.com/2012/02/mbunge-ahoji-bodi-ya-mikopo-kupewa.html |
huu ni wakati ambao wakenya wanafuatilia kwa ukaribu kampeni za uchaguzi kupitia magazeti
wafanyabiashara matajiri na mawakala wenye nguvu wa makampuni makubwa wameandaa mabilioni ya shilingi za kenya kudhamini kampeni za kisiasa wakati mbio za kugombea urais zikitia kasi jumamosi
wakati ushindani ukichukua sura mpya kuwapambanisha rais uhuru kenyatta na raila odinga wa nasa marafiki wa chama cha taasisi ya jubilee inayomunga mkono rais achaguliwe tena walifanya harambee ya chakula cha usiku kwa ajili ya kusaidia kampeni za chama hicho huko safari park hotel usiku wa ijumaa
jana ilionekana kuwa nasa pia ilikuwa inamalizia matayarisho ya kufanya harambee ya kukusanya fedha katika chakula cha usiku huko nairobi itayofanyika tarehe 19 june ambapo itafanyika sambamba na kuzinduliwa kwa ilani ya mseto wa nasa
kwa upande wa rais kuna mawakili wamiliki wa mabenki makampuni ya bima na mabilionea wafanyabiashara ambao wanajulikana katika duru za kisiasa na kibiashara nchini kenya
katika kambi ya raila kuna katibu uenezi bilionea jimi winjigi ambaye amesifiwa kwa kuwaunganisha uongozi wa nasa kufikia mwafaka gavana wa mombasa hassan johoambaye familia yake inamiliki wakala kubwa kuliko zote ya usimamizi wa mizigo bandarini gavana wa nairobi evans kidero na aliyekuwa mkuu wa bandari kenya brown ondego
nasa imesema kuwa harambee yake itaangaza kwa watu wa kawaida katika chama hicho musalia mudavadi ambaye ni mwenyekiti wa kampeni ya urais ya nasa amesema mkakati wa nasa katika kuchangisha utahakikisha kuwa hauwekwi rehani na matajiri wakubwa endapo watashinda na kuchukua madaraka baada ya uchaguzi wa august 8
repoti ya kpmg | 2019-01-18T02:06:41 | https://www.voaswahili.com/a/kampeni-zavamiwa-na-wafanya-biashara-na-makampuni/3894867.html |
raha za pwani blog mtandao wa kudhibiti malaria (tanam) wajenga ngome mkoani lindi
mtandao wa kudhibiti malaria (tanam) wajenga ngome mkoani lindi
katibu tawala msaidizi huduma za uchumi mkoa wa lindibw john likangoakikabidhi pikipiki kwa viongozi wa asasi za kiraia mkoani lindi kwenye hafla fupi iliyofanyika mkoani humo jana
katibu tawala msaidizi huduma za uchumi mkoa wa lindibw john likango (katikati) akijaribu kuwasha moja ya pikipiki hizo
abdulazizlindi
mtandao wa kudhibiti malaria nchini(tanam) kwa kushirikiana na wizara ya afya chini ya ufadhili wa global fund imekabidhi jumla ya pikipiki 14 kwa asasi mbalimbali za kanda ya kusini ikiwa ni jitihada za
kuelimisha jamii jinsi ya kupigana na adui malaria ambapo tayari asasi hiyo ikiwa imefikisha elimu mpaka ngazi ya kata ikiwa pamoja na utunzaji wa mazingira
pamoja na lengo la serikalila kujenga zahanati katika kila kijiji na kituo cha afya kwenye kila kata nchi nzima imelezwa kuwa elimu ikitolewa ya udhibiti wa ugonjwa huo kwa wananchi itasaidia zaidi kupunguza ugonjwa huo kabla ya kujenga zahanati na vituo vya afya ikiwemo ugawaji wa vyandarua
akizungumza mara baada ya kukabidhi pikipiki kwa asasi za mkoa wa lindi na mtwara pamoja na ya mratibu wa mtandao wa kudhibiti malaria kanda ya kusini katika hafla fupi iliyofanyika leo katibu tawala msaidizi huduma za uchumi mkoa wa lindibw john likango sambamba na kutoa wito kwa asasi hizo juu ya matumizi ya pikipiki hizo alieleza kuwa udhibiti wa malaria utafanikiwa ikiwa elimu itatolewa zaidi kupunguza vyanzo vya ugonjwa huo hapa nchini aidha mwakilishi wa mtandao huo toka makao makuubw sunny kuluvia sambamba na kutoa pikipiki hizo aliwaomba wananchi kutoa ushirikiano
ambapo wakielimishwa kuhusu malaria watafahamu njia sahihi ya kupambana nayo ikiwemo kusafisha mazingira ili kuua mazalia ya mbu wanaoambukiza ugonjwa huo hatari kwa jukumu ni lao kushirikiana na
kwa upande wake katibu wa asasi ya lisawe ya mjini lindi bi prisisca unga alieleza jinsi watakavyo shirikiana na jamii kupitia mawakala wa kata kurahisisha utoaji wa elimu baada ya kupewa usafiri
kupitia mpango jumla ya pikipiki 55 zimenunuliwa kwa ajili ya kanda tatu zilizo katika mpango huo nchini huku tayari pikipiki kwa asasi 13 za mkoa wa lindi na mtwara zimekabidhiwa ambapo asasi hizo ni lisawe ya lindi mjini shikwaukikilwa roparuangwa mukembamtwara vijijinimashamtwara/mikindanifemlindi vijijini naesonachingwealifaliwalelefenanyumbunedanewalashikummasasi na twa ya tandahimba zimekabidhiwa ili kusaidia utoaji wa elimu kwa | 2017-11-23T16:49:02 | http://saidpowa.blogspot.com/2013/02/mtandao-wa-kudhibiti-malaria-tanam.html |
geofemtz haya tena kijana wetu kufunga ndoa usiku
na shakoor jongo mwanamuziki sharobaro naseeb abdul diamond ameianika dhamira yake ya kutaka kuoa ndani ya siku chache zijazo huku akidai tukio hilo litafanyika usiku
diamond ambaye aliwahi kuwa mchumba wa msanii wa filamu bongo wema sepetu aliyasema hayo hivi karibuni akiwa nchini afrika kusini alipokuwa akizungumza na mwandishi wetu kwa njia ya simu juu ya maisha yake ya kimapenzi na kimuziki
alisema mwaka huu hautaisha bila kufanya tukio hilo muhimu ambalo amekuwa akishauriwa na ndugu zake kulitekeleza haraka
huku kukiwa na minongono kuwa huenda msanii huyo akamuoa demu aliyewahi kudaiwa kutoka naye aitwaye natasha au miss tanzania namba 2 2006 wema sepetu diamond alisema
najua wengi wanataka kumjua mchumba wangu ila itakuwa ni mapema mno kumtambulisha wala siyo hao ambao watu wanawatajataja tena mchumba wangu wa sasa siyo staa
kwa nini ndoa usiku
nimeamua tu nitaifunga baada ya swala ya inshah (saa mbili usiku) ishu ya lini nitafanya hivyo nitawaambia baada ya kinyanganyiro cha tuzo za kili kuisha maana sasa hivi nimeelekeza mawazo na nguvu zangu huko
mchumba wangu nitamtambulisha siku ya fainali ya kili awards wadau wangu wanipe tu sapoti katika kipindi hiki ili hata pale nitakapokuwa naoa niwe na furaha ya kupata tuzo alisema diamond
oktoba mwaka jana diamond alimvisha pete ya uchumba wema lakini uchumba wao haukudumu kufuatia kutokea mazingira ya kutokuelewana kati yao
posted by felix wilbard mpozemenya at 1106 am | 2018-03-17T04:27:25 | http://geofemtz.blogspot.com/2012/02/haya-tena-kijana-wetu-kufunga-ndoa.html |
dk mandai maswali 515 kuulizwa mkutano wa 11 wa bunge
maswali 515 kuulizwa mkutano wa 11 wa bunge
mkutano wa 11 bunge la 11 umeanza bungeni dodomaa leo ambapo pamoja na mjadala wa bajeti ya 2018/19 maswali 515 yanatarajiwa kuulizwa na wabunge
kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na kitengo cha habari elimu na mawasiliano ofisi ya bunge jana mkutano huo unatarajiwa kumalizika juni 29 mwaka 2018
taarifa hiyo imesema maswali ya kawaida 515 yataulizwa na kujibiwa bungeni aidha kwa mujibu wa kanuni ya 38 kanuni ndogo ya (1) ya kanuni za kudumu za bunge wastani wa maswali 72 ya papo kwa papo kwa waziri mkuu kassim majaliwa yataulizwa na kujibiwa kwa siku za alhamisi
taarifa hiyo imesema mkutano huo utakuwa ni mahsusi kwa ajili ya mijadala na kupitisha bajeti ya serikali pamoja na kujadili hotuba ya hali ya uchumi wa taifa itakayowasilishwa bungeni na waziri wa fedha na mipango
aidha bunge litajadili utekelezaji wa bajeti za wizara zote kwa mwaka wa fedha 2017/18 na makadirio ya matumizi ya serikali kwa mwaka wa fedha 2018/19
shughuli nyingine zitakazofanyika katika mkutano huo ni kiapo cha uaminifu kwa wabunge wawili waliochaguliwa katika uchaguzi mdogo uliofanyika hivi karibuni
wabunge walioapishwa ni pamoja na maulid mtulia wa jimbo la kinondoni na dk godwin mollel wa siha
halikadhalika katika mkutano huu wa bunge utafanyika uchaguzi wa wenyeviti watatu wa bunge kutokana na wenyeviti waliokuwepo kumaliza muda wao kwa mujibu wa kanuni za kudumu za bunge
vilevile katika mkutano huu miswada ya sheria miwili itawasilishwa ambayo ni muswada wa sheria ya fedha za matumizi wa mwaka 2018 na muswada wa sheria ya fedha wa mwaka 2018
aidha leo bunge linatarajia kujadili na kupitisha azimio la kuridhia makubaliano ya paris kuhusu kuboresha utekelezaji wa mkataba wa abadiliko ya tabianchi | 2018-10-19T12:14:14 | http://www.dkmandai.com/2018/04/maswali-515-kuulizwa-mkutano-wa-11-wa.html |
yosuwa 12 | bibiliya kuri interineti | bibiliya y'ubuhinduzi bw'isi nshya
12 aba ni bo bami bibihugu abisirayeli batsinze bakabyigarurira mu ruhande rwa yorodani rwerekeye iburasirazuba+ kuva ku kibaya cya arunoni+ kugeza ku musozi wa herumoni+ na araba+ yose werekeza iburasirazuba 2 sihoni+ umwami wabamori wari utuye i heshiboni+ wategekaga umugi wa aroweri+ wari ku nkengero zikibaya cya arunoni+ akarere kose kava mu kibaya cya arunoni hagati kakagera mu kibaya cya yaboki+ kari ake yategekaga kimwe cya kabiri cyigihugu cyi gileyadi nanone yaboki yari urugabano rwabamoni 3 yategekaga no kuva kuri araba+ kugera ku nyanja ya kinereti+ werekeza iburasirazuba akageza no ku nyanja ya araba ari yo nyanja yumunyu+ mu burasirazuba werekeza i betiyeshimoti+ naho mu majyepfo akageza munsi yumusozi wa pisiga+ 4 ogi+ umwami wi bashani wari umwe mu barefayimu+ basigaye wari utuye muri ashitaroti+ na edureyi+ 5 yategekaga akarere gakubiyemo umusozi wa herumoni+ ni saleka ni bashani+ hose kugeza ku rugabano rwabageshuri+ nabamakati+ agategeka na kimwe cya kabiri cyigihugu cyi gileyadi akageza ku gihugu cya sihoni+ umwami wi heshiboni+ 6 mose umugaragu wa yehova nabisirayeli barabatsinze+ hanyuma mose umugaragu wa yehova ahaha abarubeni+ abagadi+ nigice cyabagize umuryango wa manase+ ngo habe gakondo yabo 7 aba ni bo bami bibihugu yosuwa nabisirayeli batsinze mu ruhande rwa yorodani rwerekeye mu burengerazuba kuva i bayaligadi+ mu kibaya cyi libani+ kugeza ku musozi wa halaki+ ugenda ukagera i seyiri+ hanyuma yosuwa akahagabanya imiryango yabisirayeli akurikije gakondo yabo+ 8 abaha akarere kimisozi miremire na shefela no muri araba no mu mabanga yimisozi no mu butayu ni negebu+ kandi utwo turere twari dutuwe nabaheti abamori+ abanyakanani abaperizi abahivi nabayebusi+ 9 abo bami ni aba umwe ni umwami wi yeriko+ undi ni umwami wa ayi+ hari hegeranye ni beteli 10 undi ni umwami wi yerusalemu+ undi ni umwami wi heburoni+ 11 undi ni umwami wi yaramuti+ undi ni umwami wi lakishi+ 12 undi ni umwami wa eguloni+ undi ni umwami wi gezeri+ 13 undi ni umwami wi debiri+ undi ni umwami wi gederi 14 undi ni umwami wi horuma undi ni umwami wa aradi 15 undi ni umwami wi libuna+ undi ni umwami wa adulamu 16 undi ni umwami wi makeda+ undi ni umwami wi beteli+ 17 undi ni umwami wi tapuwa undi ni umwami wi heferi+ 18 undi ni umwami wa afeki undi ni umwami wi lasharoni 19 undi ni umwami wi madoni+ undi ni umwami wi hasori+ 20 undi ni umwami wi shimuronimeroni undi ni umwami wa akishafu+ 21 undi ni umwami wi tanaki undi ni umwami wi megido+ 22 undi ni umwami wi kedeshi undi ni umwami wi yokineyamu+ yi karumeli 23 undi ni umwami wi dori mu misozi yi dori+ undi ni umwami wi goyimu yi gilugali 24 undi ni umwami wi tirusa abo bami bose bari mirongo itatu numwe+ | 2017-08-22T19:51:50 | https://www.jw.org/rw/ibyasohotse/bibiliya/bi12/ibitabo/yosuwa/12/ |
lipuli fc yaongeza mikataba kwa wachezaji wake | malunde 1 blog
home » michezo » lipuli fc yaongeza mikataba kwa wachezaji wake
lipuli fc yaongeza mikataba kwa wachezaji wake
mchezaji shabani ada (kushoto) akiwa na moja ya viongozi wa kamati ya usajili ya lipuli fc baada ya kusaini mkataba
baada ya kufanikiwa kupanda ligi kuu msimu wa 2017/18 na kufanya vizuri ikifanikiwa kumaliza katika nafasi ya 7 kwenye msimamo klabu ya soka ya lipuli fc imeanza kujiimarisha kwa ajili ya msimu ujao kwa kuwaongeza mikataba wachezaji wake
mapema leo klabu hiyo yenye makazi yake mjini iringa imewasainisha mikataba mipya wachezaji wake wanne beki emmanuel kichiba viungo shaabani ada yussuf mohamed na mshambuliaji malimi busungu
msemaji wa lipuli fc amesema wachezaji wote walioongezewa mikataba ni muhimu na hatua hiyo imekuja baada ya pendekezo la kocha mkuu suleiman matola kuhitaji huduma ya wachezaji hao kwa msimu ujao
lipuli fc imeondokewa na mchezaji wake adam salamba aliyekuwa tegemeo kwenye msimu uliopita ambaye amejiunga na simba lakini sanga amesema mipango ya kuziba nafasi hiyo inaendelea na hivi karibuni wataweka wazi
aidha sanga pia amekanusha taarifa za kocha matola kuachana na klabu hiyo huku tetesi zikisema anajiunga na mabingwa wa soka nchini klabu ya simba ambayo nayo imeachana na kocha wake mkuu pierre lechantre | 2019-05-19T09:16:30 | https://www.malunde.com/2018/06/lipuli-fc-yaongeza-mikataba-kwa.html |
nabii aliyeitabiria upinzani ushindi afutiwa usajili | mtanzania
home kitaifa nabii aliyeitabiria upinzani ushindi afutiwa usajili
kiongozi wa kanisa la bethel ministry nchini nabii daniel shilla amefutiwa usajili wa huduma hiyo kwa madai ya kujihusisha na siasa
nabii shilla kijana mdogo ambaye kanisa lake limekuwa gumzo kutokana na staili yake ya mavazi nywele na maisha yake kwa ujumla kwa mfano kwenda kwenye kumbi za starehe na kugawa fedha mtaani amefutiwa usajili huo kwa madai ya kumtabiria ushindi mgombea wa chama cha upinzani katika uchaguzi mdogo wa ubunge wa jimbo la kinondoni uliofanyika februari 17 mwaka huu
akizungumza jana na tovuti moja nabii shilla ambaye kanisa lake limesajili chini ya mwavuli wa kanisa la great revival mission christian linaloongozwa na askofu peter mlai alisema taarifa ya kufungiwa huduma hiyo alipatiwa na askofu aliyemfanyia usajili huo kwa malalamiko ya kwamba amekuwa akijihusisha na siasa
nabii shilla pasipo kufafanua alisema kabla ya kupatiwa taarifa hizo alikuwa akifuatiliwa na serikali kwa takribani wiki mbili
askofu wangu aliniambia amesumbuliwa sana na serikali ninajihusisha na siasa nikamwambia nimejihusishaje na siasa mbona sihubiri siasa akaniambia uchaguzi wa kinondoni uliposti kwenye akaunti yako kwamba mshindi atatoka upinzani na ni kweli maana mpaka sasa sijafuta kwa sababu sio binadamu ni mungu ndiye amenionyesha
mimi nasema niliongozwa na mungu kwa sababu sijasema ni uhakika wala sijatangaza kisheria kama wameshinda upinzani ni haki yangu kikatiba kwa sababu mimi nilikuwa mtumishi wa mungu ni mchungaji ni prophet (nabii) kwa wakati ule nilikuwa na kibali kwanini wameenda kumtishia bishop (askofu) alihoji nabii shilla
alisema haamini kama sababu hiyo inatosha kumzuia kutoa huduma hiyo ya kiroho kwa kuwa yeye ni mtu wa maombi na kila anachoongea kinakuwa kimetokana na maombi aliyoyafanya
alisema askofu huyo alimweleza kuwa amechukuwa hatua hiyo ili aweze kuokoa huduma yake kwa kuwa amekuwa akisumbuliwa na serikali
nabii shilla ambaye pia alionyesha vyeti vitatu vya usajili wa huduma yake alisema ameamua kuweka wazi suala hilo ili watanzania wajue kwa sababu pia anahofia usalama wake
nimeweka hivi ni kwa usalama wangu kama nafanyiwa hivi na watanzania wasipojua naweza nife hata kesho nikaokotwa kwenye kiroba katika kitu kibaya ambacho serikali wasiguse watumishi wa mungu mimi sijawahi kuipinga serikali huwa namwombea magufuli (rais dk john magufuli) mkuu wa mkoa chama tawala wapinzani na watanzania wote alisema nabii shilla
alisema yeye ni nabii wa ukweli hivyo hawezi kukaa kimya akiona kama kuna kifo cha mtanzania aliyepigwa risasi na akifanya hivyo atakuwa mtumishi wa uongo
nabii wa ukweli anaitabiria serikali au nabii wa ukweli anaongea kitu anachoongozwa na mungu mimi ni nabii wa mungu simtumikii binadamu ndiyo maana si mwoga alisema nabii shilla
alisema kutokana na hali hiyo amepata taarifa ya wito wa kwenda mkoani dodoma kuonana na msajili wa vyama na jumuiya
gazeti hili lilimtafuta kwa njia ya simu msemaji wa wizara ya mambo ya ndani christina mwangosi ili kuzungumzia suala hilo lakini alisema yupo sehemu mbaya na atapiga chumba cha habari atakapopata nafasi
kanisa la bethel ministry lenye namba ya usajili 14783 lilisajiliwa aprili 19 2008 chini ya mwavuli wa kanisa la the great revival mission christianity church
previous articlenyuma ya pazia kifo cha tajiri wa mabasi
next articlewasomi wachambua uchumi wa viwanda | 2019-03-22T04:26:57 | http://mtanzania.co.tz/nabii-aliyeitabiria-upinzani-ushindi-afutiwa-usajili/ |
alice foundation yawakumbuka watoto ~ wajanja club
alice foundation yawakumbuka watoto
840 am wajanjaclub
taasisi ya alice yenye makazi yao eneo la sinza jana iliandaa hafla kwa watoto waishio katika mazingira magumu waishio katika kata ya ubungo ambapo pia iliwakutanisha watoto hao na wengine waliopo shuleni
akizungumza na elimubora mkurugenzi wa alice foundation alisema kuwa hafla hiyo inalenga kuwaweka pamoja watoto waishio katika mazingira magumu kuwafariji na kuwapati ushauri nasaha
alisema kuwa watoto 400 walishiriki hafla hiyo iliyoshirikisha michezo mbalimbali kama vile kuvuta kamba mbio za mayai katika kijiko kunywa soda kupokezana vijiti kukimbia na magunia
alisema kuwa watoto walifurahia tukio hilo na alisisitiza kuwa litakuwa likifanyika mara kwa mara
taasisi hiyo ya alice inajishughulisha pia na masuala ya utunzaji wa mazingira uwezeshaji wa akina mama haki za wanawake kusaidia watoto waishio mazingira magumu na masuala ya mkukuta | 2017-11-18T17:28:29 | http://wajanjaclub.blogspot.com/2012/04/normal-0-false-false-false-en-us-x-none_27.html |
makamu wa rais znz na kifo cha cuf | jamiiforums | the home of great thinkers
makamu wa rais znz na kifo cha cuf
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by chipanga jun 1 2011
katika pitapita yangu nimekutana na habari hii ya zamani kidogo
makamu wa kwanza wa rais wa zanzibar maalim seif shariff hamad aliwahi kusema na kunukuliwa na gazeti la nipashe la terehe 12/10/2007 kwamba atarejea kwenye chama tawala cha ccm kama atapewa nafasi ya kuwa makamu wa rais
alisema kama ccm itakuwa tayari kumpa nafasi hiyo yuko tayari wakati wowote kuanzia sasa (wakati huo) kurejea kwenye chama hicho kwa vile atatekeleza ahadi aliyoitoa kwa wananchi ya kuwaletea maendeleo
aliyasema hayo wakati akiongea na nipashe kwenye kumbukumbu ya kifo cha nyerere mwaka huo wa 2007 aliendelea kusema kuwa hajui ni lini atajiuzuru siasa maana mpaka sasa hajawatekelezea wananchi aliyohaidi ambayo ni kuleta mabadiliko kiuchumi na kisiasa
mzee aliongea mengi ikiwemo kugombea nafasi ya urais wa muungano baada ya jk sitaki kugusia huko sbb naona km alikuwa anota tu
binafsi hii habari ilivyo na nikiunganisha na matukio yaliyofutia hadi kuja kupata serikali ya umoja wa kitaifa zanzibar napata hofu kidogo je huu ndio mwisho wa chama cha cuf katika uringo wa siasa za zanzibar na pia serikali ya mseto zanzibar ni kiini macho tu ukweli ni kwamba maalim na wenzie walioko serikalini wamerudi ccm kinyemela
naomba mchango wenu wakuu
mwenye macho haambiwi tazama na alianza kutulia tangu walivyomtambua rasmi km w/kiongozi mstaafu wa znz na kumpa marupurupu yake yote
kwani siasa dini hivi siasa munaichukuliaje whatever utakavyokuwa ccm au cufmuhimu ni kwamba unawaletea maendeleo wananchiwaafrica sisi siasa tunaichukulia vibayakiasi ambacho badala ya kiongozi kufuata katiba anafuata chama kinavyosema sera zake hizo sera zenu za compain hatuzitaki katika uwongozitunahitaji mufuate katiba
hapa tanzania na zanzbar viongozi wote hawafuati katiba zinavyosema na ndio maana tunapelekana kama landcruizerpia hata ile articele of union
kumbuka hiyo posti yako alafu useme na wewe si mnafiki | 2017-07-25T00:46:45 | https://www.jamiiforums.com/threads/makamu-wa-rais-znz-na-kifo-cha-cuf.141726/ |
tembea tanzania mwananyika kijiji cha mloka (selous gr)
mwananyika kijiji cha mloka (selous gr)
huyu jamaa anafahamika sana kama mwananyika ambae hupatikana ktk kijiji cha mloka hujishughulisha na shughuli ya kuwatembeza watalii ktk maeneo ya kijiji cha mloka na kuwaonyesha utamaduni wa wanajamii ya kijiji hicho anapokuwa na wageni huwatumbuiza kwa nyimbo anazoimba huku yeye mwenyewe akiongoza kuzicheza
katika matembezi wageni hupata fursa ya kupitishwa ktk vichaka vilivyopo na kuonyeshwa miti mbalimbali ambayo jamii ya kijiji hiki hutumia kwa shughuli mbalimbali ikiwemo dawa
hapa akiwa kamaliza safari na kuwarudisha wageni ktk camp ya hippo iliyopo pembezoni mwa mto rufiji (unaonekana kwenye background) kijiji cha mloka kipo nje kidogo ya pori la akiba la selous na ni kijiji ambacho kuna kambi kadhaa za kufikia wageni (ambazo zipo nje ya hifadhi) ahsante ya picha kwa mdau tom wa kimasafaris
chib december 10 2010 at 517 pm
nafikiri sio utamaduni tu bali pia ni sehemu ya ajira aka kujipatia kipato | 2017-08-19T03:44:42 | http://tembeatz.blogspot.com/2010/12/mwananyika-kijiji-cha-mloka-selous-gr.html |
matukiomichuzi mbunge wa jimbo la vunjojames mbatia aandaa jimbo lake kukabiliana na majanga (ndenga)
mwenyekiti wa mji mdogo wa himo hussein jamal akichangia mada katika kongamano hilo | 2016-12-03T23:53:27 | http://michuzi-matukio.blogspot.com/2016/05/mbunge-wa-jimbo-la-vunjojames-mbatia.html |
divergent perception koyo (autumn colors) of kyoto ii
posted by joe m at 808 am
koyo (autumn colors) of kyoto i
takayama shriakawago hida furukawa gujo and ge
nabana no sato illumination ii
lake kawaguchiko mt fuji
tokyo jr trains | 2017-09-24T22:42:14 | http://divergentperception.blogspot.com/2011/11/koyo-autumn-colors-of-kyoto-ii.html |
rejoice and rejoice welcome to rejoice and rejoice blog
philipina msakiseptember 11 2012 at 955 amthank you so much mama kwanza kwa kunikumbusha hii zabari na pia karibu katika ulimwengu wa blog tuombe mungu ainue watu wengi kwenye huu ulimwengu wa kushare mambo ya kiroho zaidi na experience za maisha replydeleteanonymousseptember 19 2012 at 217 pmamen unitisha mamii sio siri i like it you have really encouraged me to stand on god and not to try to terereka jamani replydeleterejoice alwaysseptember 21 2012 at 1212 amameeen my dearmungu atusaidie tukazane kwakwelireplydeletemark kaayajune 9 2013 at 152 pmbe blessed much for your inspirational idea we are enjoying and being couraged by this blogreplydeleteadd commentload more | 2017-07-22T02:43:20 | http://rejoice-and-rejoice.blogspot.com/2012/09/welcome-to-rejoice-and-rejoice-blog.html |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.