text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
dk shein wanaotaka uongozi kabla ya wakati kukiona | mtanzania home slideshow dk shein wanaotaka uongozi kabla ya wakati kukiona na mwandishi wetu zanzibar | makamu mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (ccm) zanzibar dk ali mohamed shein amefanya ziara ya kikazi yenye lengo la kuzungumza na mabalozi wa shina na matawi ya chake huko unguja na pemba ziara hiyo iliyoanza mei 2 mwaka huu na kumalizika jana dk shein aliwasisitiza viongozi hao kutowaunga mkono wale wote walioanza kutangaza nia ya kugombea nafasi za uongozi katika majimbo kabla ya muda uliowekwa na chama hicho kufika na badala yake aliwataka waendelee kuyaimarisha mashina yao ili kuipa ushindi ccm katika ukumbi wa ccm mkoa wa mjini unguja dk shein aliwaeleza mabalozi hao kuwa wapo baadhi ya wanachama wa chama hicho wameanzisha makundi ya watu wachache na kujipanga katika kutafuta nafasi za uongozi ndani ya chama hicho kabla ya muda kufika alisema baadhi yao wanavunjiana heshima na kukivunjia heshima chama chao na kusisitiza kuwa huo si mtindo mzuri na si utaratibu wa chama hicho makamu mwenyekiti huyo alionya wanachama hao kuacha tabia hiyo mara moja na iwapo wataendelea ccm haitosita kuwachukulia hatua kali za nidhamu kwani tayari imeshatoa maelekezo kwa viongozi wake wote wa ngazi za juu aidha dk shein alitumia fursa hiyo kuwaeleza mabalozi hao kutangaza mafanikio ya serikali na chama chao yaliyofikiwa katika maeneo yao na kusisitiza haja ya viongozi hao kujitolea alitumia fursa hiyo kueleza miradi mbalimbali ya maendeleo inayotarajiwa kutekelezwa zanzibar na ambayo tayari imeanza kutekelezwa ukiwamo mradi wa mji wa fumba na kueleza nia ya serikali kushirikiana na wawekezaji kujenga mji wa kisasa maeneo ya chumbuni kwahani kisima majongoo na sehemu nyingine aliwapongeza viongozi wa ccm wa wilaya na mkoa kwa kufanikiwa kuvuna wanachama wapya 1457 na kueleza haja ya kuzisoma na kuzirejea ahadi zinazotolewa na wanachama wa chama hicho wakati wakila viapo vya kujiunga katika chama hicho ili waweze kukitumikia vyema chama chao dk shein pia aliahidi ujenzi wa barabara ya mboriborini kumalizika na kuwashukuru wanaccm kwa kuwapigia kura nyingi viongozi wote wa chama hicho katika mkutano mkuu wa ccm uliopita miongoni mwa wanachama wapya waliojiunga na ccm na kukabidhiwa kadi na makamo mwenyekiti huyo ni pamoja na aliyekuwa mgombea ubunge wa chama cha cuf mwaka 2015 jimbo la gando salim mussa omar kisiwani pemba akiwa katika ukumbi wa skuli ya sekondari ya mohamed juma pindua iliyopo mkanyageni wilya ya kusini pemba dk shein alisema kazi kubwa ya viongozi wa chama cha mapinduzi (ccm) kuanzia shina hadi taifa ni kuhakikisha chama hicho kinashinda uchaguzi mkuu na ule wa serikali za mitaa na hatimaye kukamata dola ya zanzibar na tanzania bara aliwaambia mabalozi hao kuwa kuchaguliwa kwao ni kwa lengo la kukitumikia chama cha ccm ili kushinda uchaguzi na kuongoza dola kwani ccm ni chama kinachopendwa na wananchi wenyewe na chenye wafuasi wengi sana na hayo ni maelekezo ya katiba ya ccm kuwa chama hicho ni lazima kishinde chaguzi zake zote alisema kuwa ccm ni chama halisi cha watanzania halisi na wazanzibari halisi wanayoipenda nchi yao na hakina mbadala kwa tanzania huku akisisitiza kuwa suala la ushindi katika uchaguzi ni lazima kwani ni maelekezo ya katiba na kanuni ya chama hicho na kuzingatia historia ya tanu na asp dk shein alieleza kuwa kuwa kazi kubwa ya viongozi wa ccm ni kusimamia ilani ya uchaguzi ya chama hicho huku mabalozi pamoja na viongozi wengine wa ngazi mbali mbali ndio wenye jukumu la kuhakikisha ilani hiyo inatekelezwa kwa vitendo alieleza kuwa ccm ni chama chenye mtandao mkubwa sana wa utumishi na uongozi unaokwenda kwa kasi na kusisitiza haja ya kila kiongozi kutekeleza wajibu wake na kuwa makini katika utekelezaji wa majukumu yake alisisitiza haja ya kuwa makini na kutekeleza vyema majukumu yao na kukiimaraisha chama cha mapinduzi na kutumia fursa hiyo kueleza wajibu wa mabalozi kwani ni watu wakubwa sana ndani ya chama hicho aidha alisisitiza haja ya kujengwa kwa majengo ya chama na kueleza umuhimu wa mashina na kusisitiza kuwa mabalozi ndio mhimili mkuu wa chama hicho kwani wao ndio wawakilishi wa ccm katika nyumba zao wanazoziongoza alieleza kuwa hakuna mkataba kuliko hati za muungano ambayo ndio makubaliano makubwa waliyosainiwa kati ya marehemu mzee abeid karume na mwalimu julius nyerere na kuwataka mabalozi yatakayowapotezea mwelekeo dk shein alisema wanaccm wapo macho na wapo tayari kuulinda na kuutetea muungano wa tanganyika na zanzibar pamoja na mapinduzi ya januari 12 1964 pia aliwataka viongozi hao kutoogopa kuwataja watoaji na wapokeaji wa rushwa na wala wasinungunike pembeni kwani hata vitabu vyote vya dini vinakataza rushwa huku akiwataka mabalozi hao kushirikiana na viongozi wa ccm wa majimbo wilaya na hatimaye viongozi wa ngazi za juu katika kuwataja watoaji na wapokeaji rushwa akizungumzia maendeleo ya elimu dk shein alisema serikali imetangaza kuwa elimu ya msingi kuwa ni bure na ifikapo julai katika bajeti ya 2018/2019 elimu ya sekondari itakuwa bure huku akisisitiza suala la pesa si tatizo na kuwataka wale wote watakaotoza pesa kuanzia muda uliowekwa serikali itapambana nae akizungumzia afya dk shein alisema kuwa serikali inao uwezo mkubwa wa kutekeleza huduma za afya bure kwa wananchi kwa kutekeleza azma ya marehemu mzee karume akiwa katika skuli ya micheweni dk shein aliwahakikishia mabalozi wa wilaya ya micheweni kuwa ccm itashinda kwa kishindo katiks uchaguzi mkuu ujao wa 2020 kwani hakuna mbadala wa ccm alieleza kuwa ccm imefanya mambo mengi na uongozi wa ccm ndio ulioleta amani ya kudumu na wengine hawawezi kuleta amani hiyo kama ilivyoletwa na chama hicho kikubwa alisema kuwa ccm lazima ishinde ili ipate kuendelea kuyalinda mapinduzi matukufu ya januari 12 1964 ambayo alisema yamemnufaisha kila mzanzibar na kuwataka kuanza kuandaa mazingira ya ushindi huo akizungumzia udhalilishaji wa kijinsia dk shein alisema tayari sheria mpya ya udhalilishaji wa kijinsia ameisaini hivi karibuni ambayo itafanyiwa kazi na kuonya watakaopatikana na tuhuma hizo watahukumiwa kwa mujibu wa sheria hiyo ili kuifanya zanzibar kuendelee kuwa na heshima yake kama ilivyokuwa siku za nyuma aliwahakikishia mabalozi hao kuwa changamoto ya huduma ya umeme katika kijiji cha kijangwani micheweni itapatiwa ufumbuzi pamoja na kujengwa kwa bweni la skuli ya chwaka tumbe na ujenzi wa barabara ya michewenikiuyu na kiuyu maziwangombe pamoja na kuendelea kuwaajiri walimu naye naibu katibu mkuu wa ccm zanzibar abdalla juma mabodi aliwapongeza mabalozi wa wilaya ya micheweni kwa uvumilivu mkubwa walionao hatua ambayo imewafanya kuendelea kupata mafanikio makubwa katika maeneo yao akizungumza na mabalozi wa wilaya ya chake chake katika ukumbi wa skuli ya fidel castro dk shein aliwataka kusimamia ilani ya uchaguzi ya ccm sambamba na kueleza mafanikio makubwa yaliyopatikana ndani ya serikali ya mapinduzi ya zanzibar kwenye sekta za maendeleo ikiwamo elimu afya miundombinu ya barabara mawasiliano maji na umeme akiwa katika ukumbi wa jamhuri dk shein aliwaeleza mabalozi kuwa uchumi wa zanzibar umeendelea kuimarika kutokana na uongozi thabiti wa chama cha mapinduzi (ccm) na kuonya hatokuwa na msamaha kwa yeyote atakaebainika kufanya ubadhirifu wa fedha za umma dk shein alisema kuwa uchumi wa zanzibar umezidi kuimarika kwa kiasi kikubwa na kutumia fursa hiyo kuendelea kusisitiza kauli yake aliyoitoa katika maadhimisho ya kilele cha mei mosi mwaka huu kwa wale wote wanaodiriki kufanya ubadhirifu wa fedha za umma alisema kutoka na uwezo huo wa fedha serikali yake imeweza kuongeza mishahara mara nne katika uongozi wake sambamba na kuimarika kwa sekta za maendeleo dk shein aliendelea kusisitiza kauli yake kuwa ataendelea kuiongoza zanzibar kwa uadilifu mkubwa akiwa katika ukumbi wa chuo kikuu cha taifa zanzibar (suza) kilichopo tunguu wilaya ya kati mkoa wa kusini unguja dk shein alisema serikali yake barabara ya kisasa katika eneo la mwanakwerekwe na daraja la kisasa katika eneo la kibondemzungu alisema serikali imetenga fedha kwa ajili ya ujenzi huo katika maeneo hayo ambayo hayapitiki wakati wa mvua kubwa na kuleta usumbufu kwa wananchi hasa wa mkoa wa kusini na wale wa wilaya ya magharibi dk shein alisema kuwa ujezi huo unatarajiwa kuanza mwishoni mwa mwaka huu na tayari fedha zimetengwa katika bajeti ya 2018/2019 kwa ajili ya ili ujenzi huo ili uanze mara moja aliongeza kuwa tayari wataalamu wako katika mchakato wa kuangalia namna ya ujenzi utakavyotekelezwa katika maeneo yote hayo mawili ambayo yamekuwa yakileta usumbufu mkubwa kwa wananchi katika kipindicha mvua hasa za masika dk shein alisisitiza kuwa kuwa kuanzia bajeti ya 2018/2019 hakuna mzazi atakayetozwa ada ya mtoto wanaosoma skuli ya sekondari na msingi na serikali imeamua kwa makusudi kutekeleza azma ya marehemu mzee abeid karume ya elimu bure akiwaeleza wajibu wao kwa mujibu wa katiba ya ccm dk shein aliwaeleza viongozi hao kuendelea kusimamia amani na kuongeza kasi katika suala hilo kwani ccm ndio inayosimamia amani utulivu na mshikamano alisema kuwa ndani ya ccm kuna kundi moja tu na kuwataka mabalozi kuendelea kuwafahamisha wana ccm na kuwataka kutoruhusu wale wanaoingia ndani ya chama hicho kutaka uongozi na baadaye kutowatendea majukumu yao wananchi waliowachagua previous articlepalestina yazitaka amerika kusini kutohamishia balozi yerusalem next articletrump anapolaumu watangulizi wake waliomtajirisha
2018-09-20T16:16:54
http://mtanzania.co.tz/dk-shein-wanaotaka-uongozi-kabla-ya-wakati-kukiona/
muasi 'kabila' afikishwa mahakani afrikak bbc swahili muasi 'kabila' afikishwa mahakani afrikak http//wwwbbccom/swahili/habari/2013/02/130213_drc_safrica image caption etienne kabila alijikabidhi kwa polisi afrika kusini mwishoni mwa wiki mtu anayesema kuwa yeye ni mwanawe aliyekuwa rais wa jamuhuri ya kidemokrasia ya congo laurent kabila ameshtakiwa mahakamani nchini afrika kusini kwa njama ya kutaka kumng'oa mamlakani rais joseph kabila etienne taratibu kabila anadaiwa kuwa kiongozi wa watu wengine kumi na tisa waliofikishwa mahakamani wiki jana aidha etienne kabila anasema kuwa rais kabila sio mwanawe wa kweli aliyekuwa rais laurent kabila madai yake kuhusu rais kabila na kuwa yeye ni mwanawe kiongozi wa zamani wa nchi hiyo laurent kabila yamepuuziliwa mbali na serikali ya drc etienne kabila alijikabidhi mwenyewe kwa polisi mwishoni mwa wiki hakuombwa na mahakama kukubali au kukataa mashtaka dhidi yake na kesi hiyo imeakhirishwa hadi jumanne ambapo itajumlishwa na mashtaka dhidi ya washukiwa wengine kumi na tisa viongozi wa mashtaka walisema kuwa etienne na wenzake ni wanachama wa kundi la waasi la (democratic republic of congo's union of nationalists for renewal (unr) wanajeshi wa kupambana na ugaidi waliwakamata washukiwa wiki jana katika mkoa wa limpopochini ya sheria ya jeshi kuingilia maswala ya kigeni na ambayo wanawapa nguvu kukabiliana na shughuli za mamluki dr congo imekumbwa na uasi mkubwa wakati wote wa utawala wa kabila alichukua uongozi mwaka 2001 baada ya mauaji ya babake laurent kabila na ameshinda uchaguzi mara mbili
2017-12-15T09:01:51
http://www.bbc.com/swahili/habari/2013/02/130213_drc_safrica
rais dkt magufuli azindua mpango wa ugawaji wa madawaji kwa majimbo mbalimbali nchini | kamanda wa matukio
2017-10-18T10:58:09
http://richard-mwaikenda.blogspot.com/2016/07/rais-dkt-magufuli-azindua-mpango-wa.html
maalim seif prof lipumba jeshi la polisi msajili wa vyama wanaihujumu cuf maganga one blog » maalim seif prof lipumba jeshi la polisi msajili wa vyama wanaihujumu cuf maalim seif prof lipumba jeshi la polisi msajili wa vyama wanaihujumu cuf katibu mkuu wa chama cha wananchi (cuf) maalim seif sharif hamad amesema aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho prof ibrahim lipumba jeshi la polisi na msajili wa vyama vya siasa wamekuwa wakishirikiana kufanya hujuma dhidi ya chama chao maalim seif ameyasema hayo leo wakati akiongea na wanahabari katika ukumbi wa mikutano wa peacock hotel jijini dar es salaamkama mnavyofahamu chama cha wananchi (cuf) kinapitia wakati mgumu kutokana na mambo yanayofanywa na msajili wa vyama pamoja na lipumba lipumba na jeshi la polisi wamekuwa wakishirikiana kufanya hujuma dhidi yetu jeshi la polisi limekua likivamia na kuvuruga mikutano halali ya chama cha cuf kwa kushirikiana na msajili wa vyama vya siasa prof lipumba akiwa na kundi lake la wahuni walivamia hoteli ya blue pearl na kuvuruga mkutano huku polisi wakishuhudia uongozi wa chama ulifungua kesi kituo cha magomeni lakini mpaka sasa hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa na kumekuwa na matukio ya utekaji wa wanachama yanayofanywa na makundi ya prof lipumba pamoja na kuripotiwa bado hakuna kilichofanywa amesema maalim seif aidha maalim seif ameongeza kuwampaka muda huu gari lililokuwa polisi kama ushahidi limeondolewa na watuhumiwa wameachiwa huru na jeshi la polisiwafuasi wa prof lipumba wamekuwa wakitoa vitisho kwa wanachama na viongozi huku wakidai jeshi la polisi ni sehemu yao yafuatayo ni mengine aliyoyatolea ufafanuzi maalim seif maalim seif makundi ya prof lipumba yamekuwa yakivamia ofisi za chama na kuharibu mali pamoja na kuwapiga walinzi wakiwa na askari maalim seif wafuasi wa prof lipumba wakiwa na askari walikwenda ofisi za chama bagamoyo ambapo walivunja ofisi na kuharibu nyaraka za chama maalim seif msajili wa vyama vya siasa jaji mutungi amekua akitoa maelekezo ya kuvuruga mikutano ya cuf kwa kutumia jeshi la polisi maalim seif jaji mutungi alimuandikia barua prof lipumba na kuinakili kwa igp ili watoe ulinzi wa jeshi la polisi wanapovuruga mikutano maalim seif jeshi la polisi limempa kibali prof lipumba kufanya mikutano maeneo mbalimbali ya nchi huku akiwa na ulinzi wa askari maalim seif wakati huo jeshi la polisi limezuia viongozi halali wa cuf kufanya mikutano sehemu yoyote nchini pamoja na kuwaweka ndani wabunge maalim seif pamoja na kutolewa taarifa za matukio yote ya utekaji na uharibifu unaofanywa na wafuasi wa lipumba bado jeshi limekaa kimya maalim seif niliwaandikia barua kamanda wa polisi mkoa wa mtwara na lindi kuwaomba kibali cha mkutano ili kufata sheria walitupa kibalimaalim seif siku ya mkutano ocd wa mtwara alituma askari waliovuruga mkutano wangu na viongozi na waliwachukua wasaidizi wangu mpaka polisi maalim seif tulifanya mazungumzo na jeshi la polisi mtwara na wabunge wa cuf na wakasema wao hawana majibu na wamepata agizo kutoka juu maalim seif orodha ya matukio ya uhalifu kwa chama cha cuf kati ya msajili wa vyama jeshi la polisi na prof lipumba ni mengi sana maalim seif jeshi la polisi nchini limekuwa likitumika kisiasa na kuungana na makundi ya wahalifu ili kutekeleza matakwa ya viongozi maalim seif wote tunafahamu prof lipumba aliamua kujiuzulu mwenyewe pamoja na kushauriwa sana na viongozi wa chama na dini alikataa maalim seif prof lipumba alisema nafsi yake inamsuta kuendelea na vuguvugu la ukawa wakati kuna mambo hajaafikiana nayo maalim seif pamoja na prof lipumba kujiuzulu bado chama kilifanikiwa kutetea na kuongeza majimbo ya ubunge kwenye uchaguzi mkuu maalim seif vyama vya upinzani vilivyoungana ukawa viliingia kwenye uchaguzi mkuu vikiwa na mshkamano na kuweka upinzani mkubwa maalim seif mimi nilishinda uchaguzi mkuu zanzibar lakini tume na serikali zilifuta matokeo ili kutaka kupotosha ukweli maalim seif chaajabu prof lipumba amekuwa na urafiki mkubwa na viongozi wa serikali wakati alikuwa na tofauti nao ikiwemo waziri nape maalim seif mpaka leo hatuna barua wala taarifa ya sababu zilizomfanya prof lipumba ajiuzulu nafasi yake na kutaka kurudi tena maalim seif kutokana na kuonesha msimamo dhidi ya dhuluma inayofanywa na prof lipumba na serikali dhidi ya chama cha cuf amezuia ruzuku maalim seif cuf ina taratibu zake ikiwemo kuonywa kusimamishwa na kufukuzwa uanachama ingawa sio lazima hatua zote zipitiwe maalim seif kuanzia august 2016 msajili wa vyama hajatoa ruzuku ya chama cha cuf kwa maelezo kuwa chama kina mgogoro wakati alitaka kumpa lipumba maalim seif mimi kama katibu mkuu wa chama niko tayari kufanya mdahalo na lipumba ingawa yeye alikimbia kikao na mimi
2017-03-25T07:42:56
https://magangaone.blogspot.com/2016/11/maalim-seif-prof-lipumba-jeshi-la.html
wananchi 300 wa kitongoji cha kinacherehanang waanza ujenzi wa kisima na tenki la kuhifadhia maji ya mvua habari za jamii home / habari / wananchi 300 wa kitongoji cha kinacherehanang waanza ujenzi wa kisima na tenki la kuhifadhia maji ya mvua wananchi 300 wa kitongoji cha kinacherehanang waanza ujenzi wa kisima na tenki la kuhifadhia maji ya mvua wananchi 300 wa kitongoji cha kinacherekata ya siroptarafa ya simbaywilayani hanangmkoani manyara kwa kushirikiana na halmashauri ya wilaya ya hanang wameanza ujenzi wa kisima na tanki la kuhifadhia maji ya mvua ili waweze kuondokana na adha ya kufuata huduma hiyo umbali wa zaidi ya mita 400 kutoka kwenye makazi yao mwenyekiti mstaafu wa kijiji hichopeter qwendo alisema mradi huo utakapokamilika unatarajia kugharimu zaidi ya shilingi milioni 49 na kwamba kati ya kiasi hicho cha fedha nguvu za wananchi ni asilimia kumi ya gharama za mradi huo kwa kufanyakazi ya kukusanya mawemchangakokotokuchota maji na kumwagilia aidha qwendo ambaye pia ni mmoja wa watu waliokwenda nchini kenya kupata mafunzo juu ya usimamizi wa shughuli hiyoalisema wananchi hao wanaoishi katika kaya 107 wamekuwa wakiifuata huduma hiyo katika kitongoji cha ghata kilichopo umbali wa takribani kilomita 14 kwenda na kurudi kwa upande wake msimamizi wa mpango wa afya wa kijiji cha nangwaapolei wilbrod aliweka bayana kwamba wafadhili wa mradi huo ni medical missionary of mary nangwa wanaoendesha huduma za kliniki ya mama na mtoto katika wilaya ya hanang kwa mujibu wa wilbrod mradi huo ulioanza tangu mwaka 2014 kwa miradi ya aina nnekabla ya kuanza kwa mradi huo wa tano na madhumuni yake yalikuwa kuwasaidia wananchi waliopo kwenye maeneo hayo na kwamba unaotarajiwa kukamilika katika kipindi cha mwezi mmoja na utagharimu jumla ya shilingi milioni 49700000/= hata hivyo msimamizi huyo wa mradi alitumia pia wasaa huo kutoa wito kwa wadau wengine kujenga utamaduni wa kushirikiana wakati wote na jamii kwa kufurahia miradi husika ili iweze kuwasaidia wananchi mbunge wa jimbo la hanangdkmary nagu aliyetembelea mradi huo kwenye ziara yake inayoendelea katika jimbo hilo alibainisha kuwa utaratibu mzuri waliojiwekea ni kwamba wananchi wanalazimika kuchangia asilimia kumi na halmashauri asilimia kumi hata hivyo mbunge huyo aliunga mkono wananchi hao kwa kuwaahidi kuwapatia malori matano ya mchanga na atawasiliana na halmashauri ili kufahamu imechangia kitu gani katika mradi huo mradi umechelewa hela zimekuja zikakaa sasa basi tuonyeshe kwamba na sisi tunataka maji kwani maji ni uhaihamtaki majimmenionyesha mnataka kwa sababu mmejitolea na kazi inaenda kwa kasi sanaalisisitiza mbunge huyo wa jimbo la hanang ramadhani hamisi ni fundi wa kujenga kisima na tenki la maji katika mradi huo anaweka bayana kwamba tenki hilo litakapokamilika litakuwa na uwezo wa kujaza lita laki moja za maji na wanatarajia kukamilisha kujenga katika kipindi cha mwezi mmoja ananchi wa kitongoji cha kinacherekata ya siroptarafa ya simbay wakifanya kazi za mikono kuhakikisha mradi huo unakamilika katika kipindi cha mwezi mmoja na kuanza kunufaika na huduma ya maji safi na salama bunge wa jimbo la hanangdkmary nagu akiungana na wananchi wa kitongoji cha kinachere kufanyakazi za kukusanya na kusomba mchanga wa kujengea kisima pamoja na tenki la kuhifadhia maji ya mvua na kuahidi kuchangia lori tano za mchanga mbunge wa jimbo la hanangmkoani manyaradkmary nagu(wa kwanza kutoka kushoto) akikagua ujenzi wa tenki la kuhifadhia maji ya mvua linalojengwa juu ya mawe mafundi wa kujenga kisima wakiendelea na kazi ya kusuka nondo za kisima kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wake katika kipindi cha mwezi mmoja(picha zote na jumbe ismailly) ni mbunge wa jimbo la hanangmkoani manyaradkmary nagu(wa kwanza kutoka kushoto) akipata maelezo mafupi ya mradi wa ujenzi wa kisima na tenki la kuhifadhia maji ya mvua kutoka kwa msimamizi wa mradi huoapolei wilbrod
2019-02-17T03:25:28
http://www.habarizajamii.com/2018/02/wananchi-300-wa-kitongoji-cha.html
mchezo perfect outfit kwa akikabidhi oscar online kucheza kwa huru mchezo perfect outfit kwa akikabidhi oscar kucheza mchezo perfect outfit kwa akikabidhi oscar online maelezo ya mchezo perfect outfit kwa akikabidhi oscar leo utaenda uwasilishaji wa oscar haraka kutafuta gorgeous chic outfit kwa sababu ya sherehe itakuwa mengi ya watu na wote utakuwa kuangalia wewe kuwa juu kucheza mchezo perfect outfit kwa akikabidhi oscar online kiufundi na tabia ya mchezo perfect outfit kwa akikabidhi oscar mchezo perfect outfit kwa akikabidhi oscar aliongeza 24022012 michezo kama mchezo perfect outfit kwa akikabidhi oscar fashionistas chumba top model onyesha dressup download mchezo perfect outfit kwa akikabidhi oscar embed mchezo perfect outfit kwa akikabidhi oscar katika tovuti yako perfect outfit kwa akikabidhi oscar kuingiza mchezo perfect outfit kwa akikabidhi oscar kwenye tovuti yako nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako pia kama wewe kama mchezo perfect outfit kwa akikabidhi oscar nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote kushiriki mchezo na dunia pamoja na mchezo perfect outfit kwa akikabidhi oscar pia alicheza katika mchezo
2018-01-21T08:27:46
http://sw.itsmygame.org/999970244/red-carpet-perfect-dress-up_online-game.html
kenya facts july 2012 posted by tuambiane ukweli at 2258 no comments links to this post posted by tuambiane ukweli at 1904 no comments links to this post apa ni walio jiokoa mwanzo mwanzo picha zinazo fuata utaona vile wamekusanyika pamoja posted by tuambiane ukweli at 1232 no comments links to this post meli hii iliza kabisa 5pm kuazia 2pm ajali ilipo tokea posted by tuambiane ukweli at 1219 no comments links to this post posted by tuambiane ukweli at 1216 no comments links to this post capsize(hii ni meli ilio zama juzi ikitoka dar salam tanzania kuelekea zanzibar posted by tuambiane ukweli at 1213 no comments links to this post posted by tuambiane ukweli at 1549 no comments links to this post tuna polis ambae sote twajua alikuwa hana maadili meme utotonilakini kwakua familia yake iko uongozini anapewa dhamana ya kulinda usalama wetu baada yakufanya kautafiti kangu nimekuja kungundua sijamii yote kuwa imeoza kama ndani ya wakikuyu paliishi mtu na utu jm kariuki na kwa wahindi mtu kama pio gama pinto basi wasomi tunawategemea tuelimishe jamii ukweli ulivyo tusiwachie vyombo vya habari japo tunao wanahabari walio bobea kwa fani zao za uandishi wa habari lakini mwana habari haweza kuwa mzuri lakini posted by tuambiane ukweli at 1528 no comments links to this post posted by tuambiane ukweli at 1152 no comments links to this post posted by tuambiane ukweli at 1128 no comments links to this post posted by tuambiane ukweli at 1114 no comments links to this post posted by tuambiane ukweli at 1059 no comments links to this post posted by tuambiane ukweli at 1020 no comments links to this post posted by tuambiane ukweli at 1010 no comments links to this post posted by tuambiane ukweli at 1434 no comments links to this post jasiah mwangi kariuki murderd by first kenyan president jomo kenyattatorturedcut his private parts and killed in 1975born in 1929 killed1975the corrupt till today kills in our countrylast week a female student was murderd in universty for speaking of corrupt way's in kenya posted by tuambiane ukweli at 1410 no comments links to this post 10cannot be bribed 11don't kill innocent life posted by tuambiane ukweli at 1435 no comments links to this post i am going to explain mysteries from past not to make you hate kikuyu's but to know them better and be careful when dealing with them if you are married to a kikuyu don't panic don't divorce her/him but be careful and don't show anything bad to her for you can not change her/him it's in their gene this not that they are taught this is natural even your own son can kill you posted by tuambiane ukweli at 1417 no comments links to this post posted by tuambiane ukweli at 1349 no comments links to this post posted by tuambiane ukweli at 1340 no comments links to this post posted by tuambiane ukweli at 1322 no comments links to this post posted by tuambiane ukweli at 1259 no comments links to this post
2018-04-26T16:54:44
http://kenya8888.blogspot.ru/2012/07/
matukiomichuzi tanzania yapata mkopo wenye masharti nafuu wa zaidi ya shilingi bilioni 300 kutoka benki ya maendeleo ya afrika (afdb) na serikali ya korea tanzania benki ya maendeleo ya afrika (afdb) na korea ya kusini zimetiliana saini makubaliano ya pamoja kutekeleza mradi wa ujenzi wa njia ya umeme gridi ya kaskazini magharibi inayoanzia mkoani mbeya nyakanazi hadi kigoma yenye msongo wa kv 400 mbapo serikali ya korea imeahidi kutoa dola za marekani milioni 50 sawa na zaidi ya shilingi bilioni 10018 kwa ajili ya kugharamia mradi huo hali kadhalika tanzania na benki ya exim ya korea zimesaini mkataba wa mkopo wenye masharti nafuu wa dola za marekani milioni 90092 sawa na zaidi ya shilingi bilioni 194 za tanzania kwa ajili ya mradi wa upanuzi wa miundombinu ya mfumo wa maji taka jijini dar es salaam kwa upande wa tanzania makubaliano pamoja na mkataba vimesainiwa na mhe dkt philip mpango (mb) waziri wa fedha na mipango kwa niaba ya serikali oktoba 25 2016 jijini seoul nchini korea kusini huku upande wa afdb aliye saini ni rais wa benki hiyo adesina akinwumi na kwa upande wa benki ya exim mkataba huo umesainiwa na mwenyekiti ambaye pia ni rais wa benki hiyo lee dukhoon akizungumza mara baada ya kutia saini makubaliano na mkataba huo dkt mpango amesema makubaliano na mkataba vilivyosainiwa vina manufaa makubwa kwa wananchi wa tanzania pause ( kwa tv) waziri mpangoakizungumza kuhusu umeme wananchi wa upande ule waanze kufurahia kwamba maendeleo yanakuja na hasa tunaposema maendeleo ya viwanda ambavyo ni lazima vitumie umeme na kwamba mradi huu unatarajia kupelekwa hadi mbeya amesisitiza dkt mpango dkt mpango amesema kuwa mradi huo una umuhimu mkubwa pia kwa kuwa serikali imedhamiria kuufungua ukanda wa magharibi mwa tanzania kwa upande wa viwanda vya aina mbalimbali kwa upande wake naibu mkurugenzi mtendaji (uwekezaji) wa shirika la ugavi wa umeme nchini tanzaniatanesco decklan mhaiki amesema mradi wa umeme wa nyakanazi hadi kigoma utakuwa na urefu wa kilometa 280 na utakapo kamilika utaondoa changamoto ya shirika hilo kuzalisha umeme unatumika katika ukanda huo wa magharibi hususan kigoma kwa kutumia majenereta ambayo uendeshaji wake ni ghali na umeme wake si wa uhakika kuleta laini kama hii kwanza itapunguza gharama kubwa na umeme wa ziada utakao zalishwa tunaweza kuuza nchi jirani ya jamhuri ya kidemokrasia congo upande wa pili wa ziwa tanganyika lakini kikubwa ni kuwahakikishia wananchi wa mkoa wa kigoma kuwa na umeme wa uhakika ameongeza bw mhaiki akizungumzia mkataba wa ujenzi wa miundombinu ya maji taka jijini dar es salaam dkt philip mpango amebainisha kuwa mradi huo unatarajia kuwa na tija kwakuwa utatatua changamoto ya majitaka kutuama mitaani hasa wakati wa mvua na kusababisha magonjwa ya mlipuko kikiwemo akifafanua kuhusu mradi huo mchumi ambaye pia ni afisa anayeshughulika na utafutaji wa fedha za nje kutoka wizara ya fedha na mipango melckzedek mbise amesema kuwa mradi wa maji wa ruvu unatarajia kuongeza wingi wa maji jijini dar es salaam utakaosababisha uzalishaji wa maji taka pia kuongezeka hivyo mradi huo wa kuondoa maji taka umekuja wakati muafaka mradi huu umekuja wakati muhimu na mkopo una masharti nafuu sana amesisitiza bw mbise
2016-12-08T11:55:06
http://michuzi-matukio.blogspot.com/2016/10/tanzania-yapata-mkopo-wenye-masharti_25.html
home > bidhaa > maji ya nishati ya jua ya moja kwa moja ya sasa (jumla ya 24 bidhaa kwa maji ya nishati ya jua ya moja kwa moja ya sasa) maji ya nishati ya jua ya moja kwa moja ya sasa mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china sisi ni maalumu maji ya nishati ya jua ya moja kwa moja ya sasa wazalishaji na wasambazaji / kiwanda kutoka china ya jumla maji ya nishati ya jua ya moja kwa moja ya sasa na ubora wa juu kama bei ya chini / bei nafuu mojawapo ya maji ya nishati ya jua ya moja kwa moja ya sasa bidhaa za kuongoza kutoka china zhejiang fizz new energy coltd maji ya nishati ya jua ya moja kwa moja ya sasa jumla kutoka china direct buy kutoka china wazalishaji wa kuongoza kwa bei nafuu kiwanda pata bidhaa maji ya nishati ya jua ya moja kwa moja ya sasa jumla kwenye zhejiang fizz new energy coltd na kupata ubora wa juu maji ya nishati ya jua ya moja kwa moja ya sasa moja kwa moja kutoka kwa wauzaji wa jumla wa china maji ya nishati ya jua ya moja kwa moja ya sasa na wasambazaji tuma mahitaji yako ya kununua & pata majibu ya haraka
2020-05-29T09:34:09
http://sw.ywfizz.com/dp-maji-ya-nishati-ya-jua-ya-moja-kwa-moja-ya-sasa.html
mkuu wa mkoa wa mtwara mheshimiwa gelasius byakanwa akizungumza na walimu wa shule za msingi na sekondari wilayani masasi katika vinjwa vya ikulu ndogo masasi na joina nzali mkuu wa mkoa wa mtwara mhe gelasius gasper byakanwa amewataka walimu wa shule za msingi na sekondari wilayani masasi kuwa na mipango madhubuti itakayo pandisha ufaulu wa elimu hayo ameyasema leo katika kikao kazi na walimu wote wa wilaya ya masasi kilichofanyika katika viwanja vya ikulu ndogo mjini masasi amesema mkoa wa mtwara umekuwa ukishika nafasi za mwisho katika matokeo ya mitihani ya taifa ya darasa la saba kidato cha pili na nne kwa miaka mitatu mfululizo jambo ambalo walimu wanapaswa kujiuliza na kutoka mbinu bora ili kuhakikisha ufaulu unapanda mimi ninaamini walimu mkiamua kupandisha ufaulu mnaweza siri kubwa ni kuweka mkakati wa pamoja wa namna ya kuhakikisha mitaala kwa madarasa ya mitihani yaani darasa la nne la saba kidato cha pili na cha nne inamalizika mapema ili watoto waweze kupata muda wa kufanya mitihani ya kujipima yenye hadhi ya kitaifa kabla ya mtihani wa taifa alisema byakanwa kuhusu changamoto ya mwamko mdogo wa elimu mkuu huyo wa mkoa amewashauri walimu kuwa na vibao vilivyoorodhesha majina ya wanafunzi waliowahi kufanya vizuri katika ngazi mbalimbali kuanzia ngazi ya shule hadi taifa ili kuwapa ari ya ufaulu watoto wengine walioko shuleni aidha mheshimiwa byakanwa ameelekeza kuwa shule itakayokuwa ya mwisho kiwilaya katika matokeo ya mitihani ya taifa ya mwaka 2018 viongozi wa shule hiyo watatoa maaelezo mbele ya mkuu wa mkoa kwa nini wameshika nafasi hiyo mkoa wa mtwara umekuwa haufanyi vizuri mitihani ya taifa ambapo katika matokeo ya kidato cha nne mwaka 2017 mkoa umeshika nafasi ya 22 kati ya mikoa 26
2019-01-19T09:09:18
http://www.mtwara.go.tz/new/walimu-wilayani-masasi-watakiwa-kujipanga-kuongeza-ufaulu-2018
hisia zangu aussems achanganye za mourinho na pep akizingatia nidhamu mwanaspoti | presstz your number 1 source of aggregated online content hisia zangu aussems achanganye za mourinho na pep akizingatia nidhamu simba ikifungwa leo jumanne imekwisha kwahiyo watakaa nyuma na kucheza kwa nidhamu kama jose mourinho wa zamani au watashambulia na kushinda mechi kama pep guardiola wa sasa au watachanganya vyote ili kusaka matokeo mazuri
2019-02-19T09:25:31
http://presstz.net/hisia-zangu-aussems-achanganye-za-mourinho-na-pep-akizingatia-nidhamu-46668353
amani idumishwe asema papa huko israel | wafanyakazi wa idhaa ya kiswahili | dw | 11052009 amani idumishwe asema papa huko israel papa benedict wa xv1 amewasili mjini tel aviv israel akiwa katika ziara yake ya siku nane katika eneo la mashariki ya katikiongozi huyo wa kanisa katoliki ulimwenguni alikuwa akitokea nchi jirani ya jordan papa benedict wa xv1 akiwasili tel avivisrael papa benedict wa xv1 alitua katika uwanja wa ndege wa ben gurion ulioko nje ya mji wa tel aviv alikolakiwa na maafisa wa ngazi za juu wa serikali pamoja na viongozi wakuu wa kidinipunde baada ya kuwasili kiongozi huyo wa kanisa katoliki aliusisitizia umuhimu wa kudumisha amani katika eneo hilo ''ninaomba kuwa uwepo wenu israel pamoja na maeneo ya palestina utafanikiwa kudumisha amani na heshima kwa wakazi wote wa eneo hili lililotajwa katika biblia'' papa akiwa na viongozi wakuu wa serikali ya israel israel ilichukua hatua zote kuchukua tahadhari za kiusalama kabla ya kuwasili kwa kiongozi huyo wa kanisa katoliki ulimwengunimaelfu ya maafisa wa usalama walishika doria katika eno hilo vilevile mji wa jerusalem ulifungwa na ndege zote zilipigwa marufuku kutua israel kiongozi huyo aliyesisitiza kuwa anahubiri amani kote ulimwenguni hakusita kuwahakikishia waliomlaki kuwa nia yake ni njema ''nimekuja kama wale wote walionitangulia kuzuru maeneo takatifu na kuombea mahsusi amaniamani katika mataifa tukufu na amani kote ulimwenguninawashukuruni nyote tena kwa kunialika na niwahakikishia nia yangu njemamungu awape nguvumungu awape amani'' alisistiza papa papa benedict hakuchelea kuutilia mkazo msimamo wa vatican unaosisitiza kuwa unaunga mkono hatua ya kuwa na madola mawili ya palestina na israel kama njia ya kuutatua mzozo wa mashariki ya katimsimamo huo umezua mitazamo tofauti na serikali mpya ya israelkiongozi huyo wa kanisa katoliki alitoa wito wa kupatikana kwa suluhu itakayowawezesha wakazi wote wa eneo hilo kuishi kwa amani katika nchi zao zilizo na mipaka inayotambulika kimataifahata hivyo papa benedict hakulitaja neno taifa jambo ambalo serikali mpya ya israel imekuwa ikijizuia kuwaahidi wapalestinajamii ya kimataifa kwa upande wake imekuwa ikiishinikiza israel kulitathmini jambo hilo waziri mkuu wa israel benjamin netanyahu alikuwako katika uwanja wa ndege kumlaki papa benedictbwana netanyahu anatarajiwa kukutana na rais wa misri hosni mubarak kwa lengo la kufanya mazungumzo ya amani kati yao na palestina itakumbukwa kuwa mfalme abdala wa jordan aliyekutana na papa benedict katika kipindi cha siku tatu zilizopita amenukuliwa akisema kuwa uongozi mpya wa marekani unashirikiana na nchi yake wakiwa na azma ya kufikia makubaliano ya amani na mataifa ya kiislamu mji wa bethlehem kiongozi wa kanisa katoliki ulimwenguni alitoa wito wa kuwaruhusu watu wote wa dini yoyote ile kuyazuru maeneo takatifu mjini jerusalemisrael imekuwa ikidhibiti maeneo mengi ya mji huo tangu vita vilivyotokea mwaka 1967hata hivyo israel iliitenga sehemu ya mji huo ukiwemo mji wa kale mipaka isiyotambulika kimataifa papa benedict anatazamiwa kukutana na viongozi wakuu wa serikali ya israel viongozi wa kidini pamoja na wakimbizi wa palestina wakazi wa eneo lililo na uzio uliowekwa karibu na eneo linaloaminika kuwa mahala alipozaliwa yesu kristo mjini bethlehemkiongozi huyo pia atazuru makumbusho ya mauaji ya holocaust ya yad vashem atakakoweka shada la maua kwa ajili ya kuwakumbuka wayahudi milioni sita waliouawa wakati wa vita vikuu vya pili vya dunia mwandishithelma mwadzaya rtre/afpe kiungo https//pdwcom/p/hnjg
2019-09-19T21:39:07
https://www.dw.com/sw/amani-idumishwe-asema-papa-huko-israel/a-4242764
kikwete awataka vijana kutojihusisha na madawa ya kulevya mtaa kwa mtaa blog home habari kikwete awataka vijana kutojihusisha na madawa ya kulevya na shushu joelchalinze vijana wengi nchini wamejikuta wakikumbana na changamoto nyingi katika utafutaji wa maisha katika jamii zao na kupelekea kundi jingine kujiunga katika matumizi hatari ya utumiaji wa madawa ya kulevya na hivyo hata taifa kukosa vijana wa kuitumikia serikali yao alisema kuwa vijana wengi wamekuwa wakishawishiwa na watu wenye nia mbaya na vijana ili kuwaona tu na wao wanaharibika kwa kufuata matendo mabaya wanayoyafanya kwenye mitaa ikiwemo ubakajiuvutaji wa madawa ya kulevya na hata kwenye wizi kikwete aliongeza kuwa serikali inawategemea kwa kiasi kikubwa ili muweze kuja kuisaidia katika nyanja mbalimbali pindi mtakapokuwa wakubwa kwani uongozi ni mchezo wa kupokezana mimi mbunge wenu nawahakikishieni serikali ya awamu ya tano imekuwa imejiwekea mikakati mikubwa ya kuhakikisha vijana wote wanamaliza masomo yao na wanafaulu ni lazima waende shule bila cha kusingizia kukosekana kwa adahivyo nawatakeni wanafunzi wote katika jimbo la chalinze kuhakikisha kila mmoja wenu anafaulu ili kuja baadae kuisaidia serikali na taifa kwa ujumla serikali ya awamu ya tano chini ya rais john pombe magufuli imrvutakila aina ya michango mashuleni kwa madhumuni ya kuona watoto wanapata elimu ya kutosha pia kuongeza ufaulu kwa watoto alisema kikwete shaabani husein ni mmoja wa wahitimu katika shule hiyo alisema kuwa anampongeza mbunge wa jimbo hilo kwa mchango mkubwa anaoufanya kwa vijana wa shule hiyo kwa lengo la kuhakikisha vijana wanasoma kwa bidii bila matatizo ya aina yeyote ile aliongeza kuwa ushauri uliotolewa ni mkubwa sana hivyo tunamuhakikishia mbunge kuwa hakuna kijana atakaye potea katika na kujiingiza katika mambo maovu ya uvutaji wa bangiwizi na utumiaji wa madawa ya kulevya kutokana na wengi wetu kutambua madhara yake aidha alisema kuwa wazazi walio wengi wamekuwa wakichangia watoto kujiingiza katika utumiaji wa madawa ya kulevya kutokana na kutokutumia muda wao wa ziada kutuelimisha majumbani kwetu na badala yake kazi kubwa kuwaachia walimu tu naye mriamu patrik alisema kuwa madawa ya kulevya yanachangia kwa kiasi kikubwa kupoteza nguvu kazi ya vijana wetu ambao mara baada ya kujidunga madawa hayo ulala tu hivyo kupelekea watu hao kutokuwa na nguvu za kufanya kwani miili yao uzoefu nampongeza mbunge ridhiwani kikwete kwa ushauri alioutoa kwa vijana juu ya kutambua jinsi gani ijana na kumhakikishia kuwa vijana hao wa shule hiyo wanazingatia kila ushuri wa viongozi wao wa dini na wale wa serikali kwani wanahitaji tuwe kwenye maisha yanayositahilialisema kwa upande wake mkuu wa shule hiyo emanuel kahabi amewapongeza wanafunzi wake wanaotarahiwa kufanya mtihani wa kidato cha nne mwaka huu kwa nidhamu kubwa wanayoionyesha shuleni na mitaani hii ni kutokana na ushirikiano mkubwa uliopo kati ya walimu na wazazi katika kuwajengea watoto hao maisha yao ya baadae aliongeza kuwa wanafunzi watakao maliza kidato cha nne mwaka ni 307 hivyo kulingana na vile walivyowaandaa wanatarajia matokeo mazuri yatakayofurahisha zaidi ya mwaka jana aidha amempongeza mbunge wa chalinze ridhiwani kikwete kwa misaada mbalimbali anayoitoa katika shule hiyo kwa lengo la kuhakikisha shule hiyo inakuwa miongoni mwa shule za kisasa na za kuvutia katika jimbo lake mbunge wetu katusaidia vitu vingi katika kuhakikisha shule hii inakuwa ya kipekee kwani katuwesheza komputamabatisarujimbao na vitu vingine vingi nab ado anaendelea kutusaidia kweli huyu ni kiongozi wa kipekee sana alisema mkuu wa shule hiyo mbunge wa jimbo la chalinze ridhiwani kikwete akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari chalinze katika mahafari ya shule hiyo baadhi ya wananfunzi
2019-02-23T14:04:08
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2018/10/kikwete-awataka-vijana-kutojihusisha-na.html
i accept agreement extension to all those requiring me to press an i accept button if i press an i accept button for your agreement by default you have accepted my i accept agreement extension and you will be held accountable until i explicitly release you from your commitment this is a fully retroactive and infinitely reflexive extension to any previouslysigned or tobesigned i accept web page agreement you/your (the perpetrator) designates those responsible for the original agreement this includes company officers board of directors members corporate or hired attorneys complicit employees together with their spouses siblings progeny ancestors or any close acquaintances thereof i/me/my (the perpetratee) designates the person asked to sign your 20000word often unprintable gobbledygook agreement displayed in a tiny scrollable window together with all the similar documents linked to from it you are required to read the following text thoroughly and completely including any modifications included in the translation section by incomprehensibilis leges et vanitas verba this entire document is considered to be an extension of your unintelligible service agreement membership agreement privacy policy etc document that you required to be signed electronically via an i accept button this extension is subject to change it is recommended that you review it at least daily any files linked from this extension are considered to be incorporated in the base document your inability to access such linked documents or to notice their possible occasional ephemeral appearance does not invalidate them in any way spyware or other malware may be included in this extension you have been duly warned privacy considerations will be described in the privacy considerations document if/when it becomes available privacy is considered overrated by the unnamed thirdparty participants to whom your data has been or will be given warranty disclaimer the submitted i accept is a use at your own risk signature which can be discontinued without notice or obligation for replacement as with your product the signature is not suitable for anything probably does not work and there is absolutely no liability incurred by me if you try to use it should any dispute arise you agree (by acceptance of my i accept) to have this settled by an arbitration panel of my choosing (that panel consists of my brother) you are allowed only one copy of this extension which can be viewed on only a single pc i am not saying which one this document is copyrighted and its accessibility is timelimited however any legal obligations on your part will autorenew at your expense penalties apply they will be determined at the time of any failure on your part to abide by the terms of this extension you should now hire a levelfive exorcist just in case hii ni ugani kikamilifu retroactive na infinitely reflexive yoyote hapo awalisaini au kwakuwasaini mimi kubali mtandao ukurasa mkataba wewe/yako (mkosaji) designates wale waliohusika kwa mkataba awali hii ni pamoja na maafisa wa kampuni bodi ya wakurugenzi wanachama wanasheria wa kampuni au mshahara wafanyakazi makosa pamoja na wenzi wao ndugu kizazi mababu au marafiki wa karibu yake yoyote mimi/mimi/yangu (perpetratee) designates mtu aliuliza kusaini yako 20000neno mara nyingi unprintable gobbledygook mkataba visas katika dirisha dogo scrollable pamoja na nyaraka zote sawa wanaohusishwa na kutoka humo wewe wanatakiwa kusoma maandishi yafuatayo kabisa na kabisa ikiwa ni pamoja na marekebisho yoyote pamoja na katika sehemu ya tafsiri kwa incomprehensibilis leges et vanitas verba waraka huu mzima anahesabiwa kuwa ugani wa yako unintelligible huduma ya mkataba mkataba uanachama privacy policy nk hati kwamba wewe required kuwa saini umeme kupitia mimi kubali button ugani hii ni kubadilika inapendekezwa kwamba wewe mapitio yake angalau kila siku files yoyote zinazoungwa ugani hii ni kuchukuliwa kwa kuingizwa katika hati ya msingi yako na kukosa uwezo wa kupata hati hizo wanaohusishwa au kwa taarifa za mara kwa mara yao iwezekanavyo ephemeral kuonekana haina kubatilisha yao kwa njia yoyote spyware au zisizo nyingine inaweza kuwa ni pamoja na katika ugani hii wewe wamekuwa duely alionya eusebio privacy itakuwa ilivyoelezwa katika mazingatio eusebio privacy hati ikiwa/wakati inakuwa inapatikana privacy ni kuchukuliwa overrated na washiriki unnamed tatu ambaye yako data imekuwa au atapewa udhamini kanusho in mimi kubali ni matumizi katika hatari yako mwenyewe signature ambayo inaweza imekoma bila taarifa au wajibu kwa ajili ya uwekaji kama na yako bidhaa saini si mzuri kwa kitu chochote pengine hana kazi na kuna kabisa hakuna dhima inayodaiwa mimi kama wewe kujaribu kuitumia je mgogoro yoyote kutokea wewe kukubaliana (kwa kukubali yangu mimi kukubali) kwa kuwa na makazi na jopo la upatanishi wa yangu kuchagua (jopo kwamba lina ndugu yangu) wewe wanaruhusiwa nakala moja tu ya ugani hii ambayo inaweza kutazamwa kwenye pc tu moja mimi sisemi ambayo moja waraka huu ni copyrighted na upatikanaji wake ni muda mdogo hata hivyo yoyote majukumu ya kisheria juu ya yako sehemu mapenzi autoupya katika yako gharama adhabu kuomba wao itajulikana wakati wa kushindwa yoyote juu ya yako sehemu kukaa na suala la ugani hii unapaswa sasa kuajiri primo roho mbaya extractor tu katika kesi the agreement extension cannot be printed for nondiscloseable security reasons (if you have to ask you don't have a need to know just trust us we have your best interests at heart)
2020-01-26T14:01:53
http://jgkhome.name/Misc/Agreement_Extension_X.htm
harry kane anaamini atamshinda mohamed salah kwa ufungaji wa mabao spoti tv home uncategorized harry kane anaamini atamshinda mohamed salah kwa ufungaji wa mabao harry kane anaamini atamshinda mohamed salah kwa ufungaji wa mabao mshambuliaji huyo wa england amefunga mabao 24 msimu huu hata hivyo ameachwa nyuma na salah ambaye ni raia wa misri kwa mabao matano kane 24 anapigania kuwa mchezaji wa kwanza tangu thierry henry kuongoza kwa ufungaji wa mabao ligi kuu ya england kwa misimu mitatu mtawalia lazima niendelee kuangazia uchezaji wangu siwezi kudhibiti anachofanya yeye bila shaka kama mshambuliaji itakuwa vyema sana kuishinda buti ya dhahabu tena na nitaendelea kutia bidhii kuanzia sasa hdi mwisho wa msimu kane ambaye amekuwa akiuguza jeraha la kifundo cha mfuu amerejea kucheza baada ya kupona mshindani wake salaha 25 hata hivyo hakucheza debi ya merseyside jumamosi kutokana na jeraha la mtoki alilopata akichea liverpool mechi ya ligi ya klabu bingwa ulaya jumatano ambapo waliwalaza manchester city mechi ya mkondo wa kwanza robo ainali na huenda bado akafaidika zaidi katika kupunguza mwanya kati yake na salah iwapo atahesabiwa bao la ushindi dhidi ya stoke jumamosi ingawa kituo cha wasimamizi wa mechi cha ligi ya premia siku hiyo kiliamua kwamba christian eriksen ndiye aliyefunga bao hilo spurs walilaza stoke 21 mabao yote mawili yalihesabiwa kuwa ya eriksen spurs wamepanga kukata rufaa uamuzi huo wa kumpa kiungo huo wa kati kutoka denmark bao hilo na badala yake wanataka lihesabiwe kuwa la kane naapa kwa uhai wa binti wangu kwamba niliuguza mpira huo lakini hakuna jambo jingine ninaloweza kulifanya kane amesema wakiamua kubadilisha watabadilisha wakiamua kuamini msimamo wangu watakuwa wameusikia msimamo wangu mambo ni vile yalivyo muhimu zaidi ni kwamba tulishinda mechi wafungaji 10 mabao epl mpaka sasa hivi previous articlekesi ya zuma kusikilizwa tena mwezi june next articletetesi za soka ulaya mpango wa kumchukua fellaini fred atafutwa na man utd na city cresswell ribery robben mourinho
2018-08-20T18:39:46
https://spoti.co.tz/2018/04/harry-kane-anaamini-atamshinda-mohamed_80.html
asilimia 74 ya wajawazito wanajifungulia kwenye vituo vya afya | masama blog home » news and updates » asilimia 74 ya wajawazito wanajifungulia kwenye vituo vya afya from michuzi blog https//ifttt/2r8jtqu thanks for reading asilimia 74 ya wajawazito wanajifungulia kwenye vituo vya afya
2020-04-07T23:11:03
https://www.masamablog.com/2020/01/asilimia-74-ya-wajawazito.html
mac rihanna na unaids waungana kuwafikia vijana milioni 2 wanaohitaji dawa za hiv | habari za un shirika la umoja wa mataifa linaloshuighulika na masuala ya ukimwi unaids limetangaza alhamisi upanuzi wa mradi wake wa tiba ya hiv wa mwaka 2015 baada ya kupewa dola milioni mbili na fuko la kampuni ya kimataifa ya vipodozi mac fedha hizo zimepatikana baada ya mauazo ya rangi ya kupuka mdomo maarufu kala lip stick aina ya viva glam na lipglas kwa msaada mkuvbwa wa mwanamuziki wa kimataifa rihana ambaye anatumia umaarufu wake kuchagiza mauzo ya urembo huo na pia kuelimisha kuhusu maambukizi ya hiv kwa fedha hizo unaid itapanua wigo wa mradi wa 2015 kimataifa kikanda na katika ngazi ta taifa ikihamasisha uwepo wa sera na mipango ya kuongezxa upimaji na tiba kwa vijana duniani kote rais wa bidhaa za mac john demsey amesema wateja rasilimali za unaid na kumtumia rihanna kuunga mkono kampeni hii kunasaidia kuokoa maisha ya maelfu watu inakadiriwa kuwa duniani kote vigori barubaru na vijana milioni 54 wanaishi na virusi vya hiv na milioni 18 ndio wanaopata dawa huku mamilioni hawajuikamawameambukizwa virusi kwa mujibu wa mkurugenzi mkuu wa unaids michel sidibe kila siku takribani vigori barubaru na vijana 2100 wanapata maambukizi mapya ambao ni sawa na asilimi 39 ya maambukizi yote mapya mradi wa tiba 2015 una lengo la kufikia watu wazima na vijana milioni 15 ifikapo mwaka 2015 africa|americas|asia|economic development|europe|habari za wiki|hapa na pale|health|middle east|women children population mkataba mpya kupambana na matumizi ya tumbaku waafikiwa um wataka kutekelezwa kwa uzazi wa mpango wa hiari brazil yachukua urais wa mkutano wa maendeleo wa rio+20
2018-03-22T08:06:09
https://news.un.org/sw/story/2014/01/370602-mac-rihanna-na-unaids-waungana-kuwafikia-vijana-milioni-2-wanaohitaji-dawa-za
*kamera ya mafoto kutoka boda to boda ya loitokitok sufianimafoto home habari picha *kamera ya mafoto kutoka boda to boda ya loitokitok *kamera ya mafoto kutoka boda to boda ya loitokitok huku kwetu inaruhusiwa tu dereva wa garo dogo akipakia mikungu ya ndizi kwenye gari lake kama alivyonaswa na kamera za sufianimafoto mpakani mwa tanzania na kenya katika boda la loitokitok akipakia mikungu hiyo ambayo hutoka mkoa wa kilimanjaro nchini tanzania dereva huyo akizdi kupanga mikungu hiyo kwa umakini ili iweze kuenea na kuanza safari ya kuelekea jijini nairobi mzigo umeshakaa tayari kwa safari dereva wa baiskeli ya kubebea abiria aliyejitambulisha kwa jina la abdul abdi mussa akisubiri wateja katika boda hiyo ambapo alisema kuwa hubeba abiria kwa sh 50 ya kenya na huweza kujipatia kiasi cha sh 215 kwa siku lakini abdi alisema kuwa ukihitaji baiskeli hiyo anaweza kukuuzia kwa sh 6800 ya kenya pozi la kusubiri wateja eneo hili pia yapo magari madogo madogo yanayosubiri abiria kama daladala na dereva hukusanya nauli yake kabisa kabla ya kuanza safari kama anavyoonekana dereva huyu picha (kulia) akiwa na hela zake mononi magari hayo yakisubiri abiria akitembea kusaka wateja wa suluali za jeansi akitembea kusaka wateja wa sweta na makoti
2018-04-24T09:01:43
http://www.sufianimafoto.com/2016/08/kamera-ya-mafoto-kutoka-boda-to-boda-ya.html
soma katika chinese cantonese (simplified) kiafrikana kicheki kichina (kikantoni) kichina (kilicho rahisi) kichina (cha kitamaduni) kidenishi kigreenlandi kihiligaynoni kihungaria kiingereza kiitaliano kikorea kilithuania kireno kirumania kirusi kislovaki kislovenia kiswahili kitswana kiukrania nyumba ya pam ilikuwa katika eneo la makao lililozungukwa na mashamba ya pamba kwa kawaida ndege ziliyanyunyizia mashamba dawa za kuzuia magugu au kuwaua wadudu na mara nyingi upepo uliyapeperusha mabaki ya kemikali hizo hadi nyumba zilizokuwa karibu kutia ndani nyumba ya pam pam alianza kuhisi maumivu makali ya kichwa na kichefuchefu na afya yake ikaharibika hatimaye aliathiriwa na vitu visivyokuwa na uhusiano wowote na dawa za mimea marashi viondoaharufu mafuta ya kujipaka sabuni rangi zulia jipya moshi wa tumbaku viondoaharufu za hewa na vinginevyo dalili za pam ni dalili za hali mbaya ya afya isiyoeleweka vizuri iitwayo katika lugha ya kiingereza multiple chemical sensitivity (mcs) yaani hali ya kuathiriwa na kemikali mbalimbali * ninapokuwa katika mazingira yenye kemikali za kawaida naanza kuhisi kwamba nimechoka sana au hata mwenye kuchanganyikiwa mawazo mwenye kizunguzungu au kichefuchefu pam alimweleza mwandishi wa amkeni mwili wangu huvimba na mara kwa mara naanza kuhema au napatwa na hofu ya ghafula pamoja na kulia kusikoweza kudhibitiwa moyo wangu hupigapiga au napatwa na ongezeko la kipigo cha mshipa wa damu au majimaji yakusanyika mapafuni mwangu hali hiyo imesababisha hata nimonia ingawa dalili za mcs hutofautiana katika watu mbalimbali baadhi ya dalili za tatizo hilo ni maumivu ya kichwa uchovu maumivu ya misuli au viungo ukurutu vipele dalili za homa ya mafua ugonjwa wa pumu mchochota wa uwazi wa mfupa wa fuvu wasiwasi kushuka moyo tatizo la kumbukumbu kutoweza kukaza fikira kupoteza usingizi pigo lisilo la kawaida la moyo kuvimba kichefuchefu kutapika matatizo ya matumbo au mtukutiko wa maungo bila shaka magonjwa mengine pia yaweza kusababisha dalili kama hizo mcstatizo linaloongezeka uchunguzi uliofanywa miongoni mwa jamii mbalimbali ya watu huko marekani waonyesha kwamba asilimia 15 hadi 37 ya watu wanajiona kuwa wenye kuathiriwa au wenye mzio wa kemikali za kawaida au harufu zake kama vile moshi wa magari au wa tumbaku rangi iliyopakwa juzi zulia jipya au marashi hata hivyo asilimia 5 tu au wachache zaidi ikitegemea umri wa wale waliohojiwa walisema kwamba wamepimwa na kupatikana kuwa na tatizo la mcs robo tatu ya hao walikuwa wanawake wengi walio na tatizo la mcs wanasema kwamba dawa za kuua wadudu au viyeyushi vilisababisha hali yao kemikali hizo mbili zimo katika mazingira yetu kwa wingi hasa viyeyushi viyeyushi ni vivukivu (huvukiza kwa urahisi sana) navyo hutawanyisha na kuyeyusha vitu vingine viyeyushi hutumiwa kwa kutengeneza rangi vanishi gundi dawa za kuua wadudu sabuni za maji katika makala yafuatayo tutachunguza tatizo la mcs kwa kindani zaidi tutazungumzia msaada unaopatikana kwa wale walio na tatizo hilo na kuona jinsi walio na tatizo hilo na wale wasio na tatizo hilo wanavyoweza kushirikiana kufanya maisha yawe yenye kufurahisha zaidi kwa wale wenye mcs ^ fu 3 katika makala haya tumetumia jina multiple chemical sensitivity kwa sababu jina hilo lajulikana sana hata hivyo kuna majina mengine mengi kama vile ugonjwa unaosababishwa na mazingira au dalili ya ugonjwa wa kuathiriwa sana na kemikali kuathiriwa huku kwamaanisha kuathiriwa na kiasi kidogo cha kemikali kisichowaathiri watu walio wengi
2020-02-28T15:57:40
https://www.jw.org/sw/maktaba/magazeti/g20000808/Kuathiriwa-na-Kemikali-Mbalimbali-Ugonjwa-Usioeleweka/
micharazo mitupu liverpool asikuambie mtu baba'ake imepania si utani klabu ya liverpool ambayo ilikaribia kutwaa taji la uefa europa league kama sio kuteleza kwa sevilla ya hispania imedaiwa inaongoza mbio za kuwania saini ya chipukizi wa kimataifa wa uturuki na klabu ya nordsjaelland emre mor mor mwenye umri wa miaka 18 anatajwa kama mmoja wa wachezaji bora wanaochipukia ulaya kwasasa baada ya kuonyesha kiwango bora katika ligi kuu ya denmark na kumfanya kuitwa katika kikosi cha uturuki kwa ajili ya michuano ya euro 2016 inayoanza juni 10 nchini ufaransa klabu za manchester united borussia dortmund na ajax amsterdam nazo zinatajwa kuwa zinamwania chipukizi huyo anayemudu kiungo mshambuliaji lakini liverpool ndio inaelezwa kuwa inaongoza mbio hizo dogo huyo amefunga mabao mawili na kusaidia mengine mawili mechi 13 alizoichezea klabu yake msimu huu
2017-10-20T21:34:14
http://micharazomitupu.blogspot.com/2016/06/liverpool-asikuambie-mtutu-babaake.html
habari mifugo na uvuvi wizara ya mifugo na uvuvi yapongezwa kwa nia ya kuanzisha ushirika wa wafugaji wa asili imechapishwa na information unit ministry of livestock and fisheries development kwa 1313
2020-07-11T05:19:35
http://habarimifugouvuvi.blogspot.com/2019/07/wizara-ya-mifugo-na-uvuvi-yapongezwa_1.html
punguza changamoto za kufanikiwa kwa kutafuta taarifa sahihi amka mtanzania punguza changamoto za kufanikiwa kwa kutafuta taarifa sahihi makala hii imeandikwa na john matiku(johnmatiku1@gmailcom) kwenye mada hii nataka nijaribu kukumbusha au kugusia taarifa kadhaa muhmu ambazo kama kweli wewe nimtafutaji wa mafanikio makubwa nilazima kwa vyovyote vile uzipate na uzielewe vyema hivyo hapa nitakuandikia chache ambazo huenda huduma au biashara yako ikahitaji zaidi ila kwa mwanga utakaoupata hapa nina imani haitakua ngumu tena kutafuta taarifa hizo dunia tunayoishi sasa inakumbwa na uhalifu wa kiwango cha juu sana (hasa wizi) na ukiangalia kwa makini uhalifu huu unapata nafasi sana kutokana na tamaduni zetu za kuaminiana bila tahadhari wezi na matapeli wanatumia mwanya huo kuwaibia watu wengi na kwa bahati mbaya watu wanaotafuta mafanikio na hasa ya kuwa na fedha kama wewe ndio walengwa wa uhalifu huo uhalifu huu unaweza kukutana nao hasa katika mambo yafuatayo 1 kwenye kununua mali au huduma mbali mbali mfano viwanja mashamba vyombo vya usafirishaji kulipa pango la chumba au nyumba ya biashara 2 mikataba mbali mbali kama mikopo kutoka kwa watu binafsi taasisi za fedha huduma za bima 3 kwenye kununua na kuuza bidhaa ikiwa biashara yako ni ya muundo huo nk sasa ulimwengu wetu tunaoishi ni ulimwengu wa sheria na hivyo hakuna jinsi ya kuwa salama bila kuwa makini na kuegemea sheria yaani kila jambo unalotaka kufanya hasa kama linahusisha biashara au mabadilishano ya mali kwa mali au mali kwa fedha kwa lengo la kibiashara ni muhmu kwanza kujua wajibu na haki zako kwa mujibu wa sheria za nchi juu ya jambo hilo kabla ya kujiingiza kwenye kushiriki wa jambo hilo kwani kwa kutofanya hivyo unaweza kujikuta kwenye migogoro ya kisheria na hivyo ukajikuta unapoteza fedha mali na hata muda wako ambao ungeweza kuutumia kwenye mambo mengine ya msingi zaidi ukiachana na hilo hapo juu sehemu nyingine unayoweza kupata mgongano na mvutano mkubwa ikiwa hutatafuta taarifa hasa kuhusu matakwa ya sheria za nchi ni kutotambua wadau mbali mbali wa biashara yako au huduma unayoanzisha unayofanya au unayotarajia kufanya mfano unapotaka kuanzisha biashara au huduma yoyote kuna vyombo ambavyo vina mamlaka juu ya biashara au huduma hiyo baadhi ya vyombo hivyo ni 1 mamlaka ya biashara na leseni 2 mamlaka za kodi na mapato 3 taasisi za ulinzi na usalama 4 vitengo vya dharura na uokozi kama zimamoto 5 mamlaka za chakula na dawa (tfda) 6 mamlaka za udhibiti wa ubora wa bidhaa (tbs) na nyingine zenye mamlaka zilizopo kwa mujibu wa sheria za nchi ziko faida kubwa za kutafuta taarifa muhimu kuhusu wadau mbalimbali mfano tra 1 utajifunza namna nzuri ya ukokotozi wa kodi unayotakiwa kulipa badala ya kukadiriwa 2 utapata taarifa kuhusu sheria ya kodi ya mapato 3 utafahamu maana ya biashara kwa tafasili lasmi ya kisheria ni vyema ukazitambua na ukatambua wajibu na uhusiano wako kisheria na kuzingatia uhusiano huo hivyo ukawa umejiepusha na mgongano wa kisheria na wadau hao muhimu wa biashara au huduma yako kwani kwa kutofanya hivyo unaweza kujikuta kwenye matatizo kama kufungiwa kusimamishwa kuendelea na biashara au huduma kutozwa faini na kadhalika bila shaka baadhi yetu tutakua tumeshaona au kusikia migogoro hii mfano ni kufungwa kwa baadhi ya shule zahanati viwanda vya kutengengeneza mikate viwanda vikubwa na kadhalika (vyote hivi vikiwa ni vya watu binafsi) hii yote ikiwa ni kutozingatia uhusiano na ushirikiano na baadhi ya mamlaka tajwa hapo juu au nyingine kama hizo hii yote kwa hakika inaweza fifisha ukamilifu ndoto yako kwa vyovyote vile jiepushe na migogoro na mamlaka za umma kadri iwezekanavyo zingatia kupata pesa ni kitu kimoja na kulea pesa ziendelee kuishi na wewe ni kazi nyingine kubwa zaidi
2018-11-20T16:16:31
https://amkamtanzania.com/2014/05/20/punguza-changamoto-za-kufanikiwa-kwa-kutafuta-taarifa-sahihi/
sserikali yarejesha asilimia 49 za uda | | maisha ya kiimani home / habari za kitaifa / sserikali yarejesha asilimia 49 za uda sserikali yarejesha asilimia 49 za uda komaji january 26 2017 habari za kitaifa leave a comment 48 views wanabishana wengine wataka kila manispaa ipewe mgawo wengine wanataka wajenge vituo vitatu ya mabasi ya mikoani lakini hawajapata muafaka wanaendelea kubishanahaya ni majungu tu nimeamua kuyasema hapa lakini wakishindwa tutaomba mheshimiwa rais utoe maelekezo mengine juu ya namna ya kutumia fedha hizo alisema simbachawene alisema deni hilo ndio ulikuwa mtego wake aliokuwa ameutega kama ingeshindwa kulipa deni lake la ununuzi wa hisa za jiji la dar es salaam alisema kwa kweli simon group wameonesha uwezo wa kuendesha mradi huo na hivyo mpango wake wa kuitumbua ameufuta previous tmaa yazuia kutoroshwa kwa madini ya mil 200/ next askari wa suma jkt waua 4 arusha dk malewa alifua jeshi la magereza mtibwa mambo safi kilosa wanawake wanapata ujauzito gerezani
2018-11-13T04:40:15
http://www.maishayakiimani.or.tz/?p=6909
mwakilishi wadi ya machewa apiga shule jeki | cloud digital wanafunzi wa shule ya chekecheapicha maktaba wanafunzi wa shule ya chekechea katika wadi ya machewa eneo bunge la saboti kaunti ya transnzoia wamefaidi zaidi ya madawati 400 kama njia moja wapo ya kuimarisha masomo ya chekechea katika shule za umma kwenye eneo hilo mwakilishi wadi ya machewa jeff wambalaba amesema kwa muda mrefu wanafunzi katika shule za chekechea haswa za umma wametelekezwa licha ya kuwa ni msingi wa masomo kwa mwanafunzi jambo ambalo limepelekea kubuni mbinu mwafaka ya kupiga jeki miundo msingi na vifaa kwa shule hizo akiongea na cloud digital media wambalaba amesema ameweka mikakati kuhakikisha wanafunzi wanapata msingi bora wa elimu kupitia kwa ujezi wa madarasa bora kwa shule za chekechea mbali na kupigwa jeki kwa utoaji wa mafunzo ya kiufundi katika vyuo vya anwai katika wadi hiyo previous articledrama as mca arrested with heroin next articlehow tuwani mca was shut down by kwanza mp before the public rais kenyatta awasuta wandani wa ruto workers union verses governor khaemba in court over the new employment
2019-09-19T23:29:29
http://www.clouddigital.co.ke/featured/mwakilishi-wadi-ya-machewa-apiga-shule-jeki/
shoga uonjwe we pombe ya kienyeji global publishers shoga uonjwe we pombe ya kienyeji jamani hebu nitumieni basi mvuke salama hivi muoaji wa kweli humuonja mwanamke ndipo amuoe kweli mmh simpendi jamani mwanamke kugeuzwa chungu cha mboga kuingiza mkono na kuonja utaonjwa na wangapi mwisho wa siku unabaki kituko cha mtaa najua utashangaa kuona nimeanza na gia kubwa bila hata kutanguliza salamu kwa kweli jambo linaloniudhi salamu kwangu si muhimu kama kulizungumzia lililouchefua moyo wangu juzi nilipata malalamiko msichana mmoja aliyefuatwa na mwanaume mtu mzima ambaye ni mume wa mtu na kumuomba awe mkewe kutokana na mkewe kuwa na matatizo ambayo siwezi kuyaweka gazetini kwa kweli mwari huyu alitatizika kuolewa ukewenza kuhofia kujiingiza katika vita ya ndani lakini yule mwanaume alimuhakikishia kuwa kuoa mke mwingine alipata ruksa kutoka kwa mkewe mtoto wa kike kiguu na njia mpaka kwangu na kuniuliza akubali au akatae kwa vile najua ukewenza si dhambi nilimweleza akubali baada ya hapo tulipoteza na kuonana juzi akiwa anatokwa na michozi tikwatikwa he mwari kulikoni nilimuuliza jibu eti tangu wakati ule ndoa imekuwa kitendawili kauli ile ilinishtua na kuuliza bado anaye jibu ndiyo nilishangaa kasi ya awali na kuamini ndoa ingekuwa ndani ya wiki lakini umevuka mwaka mmh mtoto wa kike niliinama chini kuwaza na kuwazua ili kutaka kujua sababu ya mwari wangu kuiona ndoa kama daladala inayopita mbele yake kwenda na kurudi kazi iliyomshinda alawa kwa vile mimi ni nyani mzee niliyepita mapori mengi nilipata jibu na kumuuliza swali tangu wakati ule umeshamuonjesha mwili wako jibu lilikuwa lilelile nililowaza kuwa alimpa baada ya msimamo wa muda mrefu na kuamini kumvulia nguo ya ndani ingeharakisha ndoa kumbe siyo siku zote huwa sipendi kumlaumu mtu kwa kosa alilolifanya kwa bahati mbaya lakini huwa simpendi mtu anayerudia kosa moja mara mbili kama mnyama na mwisho wa siku aombe ushauri haipendezi jamani wari wangu mimi anti yenu nimeamua kutoa elimu ya bure kupitia gazeti hili kwa nini msiichukue usiniangalie mimi angalia ninachokueleza ambacho huwa ni faida kwenu jamani hebu basi tuwe na msimamo kujitoa kimwili si njia ya kuharakisha ndoa bali kujidhalilisha mwanaume kama kweli anakupenda na kutaka uwe mwenza wake kwa nini awe na haraka ya kutaka kukuonja kwanza sasa umeonjwa na kuonekana si mtamu ndiyo uachwe kwa mtindo huo utaonjwa na wanaume wangapi mila na desturi yetu waafrika ni kuchunguza tabia ya mtu si kuujua utamu wake jamani haya yametoka wapi kuonjwa ndipo uolewe umekuwa pombe ya kienyeji nawaasa wanawake wanaojiandaa kuolewa au kuwa na wachumba wasitoe miili yao ovyo kama wanataka kuitumia wataipata baada ya ndoa lakini wakijiroga kuitoa basi wajue itakula kwao watatumiwa na mwisho wa siku kutupwa kama mpira wa kiume uliotumika leo inatosha ni mimi anti nasra shangingi mstaafu
2019-08-25T02:50:47
https://globalpublishers.co.tz/shoga-uonjwe-we-pombe-ya-kienyeji/
mp3nyimbozakiparetanzania videos watch any format videos posted 4 year ago by chrispinus nyukuri kipare video watch and learn with mp43gp formatyou can watch online kipare video to free learn this movie is based on the conflict that existed between the traditional african beliefs and practices and christianity posted 2 year ago by m m sebene la kipare sebene la kipare video watch and learn with mp43gp formatyou can watch online sebene la kipare video to free learn posted 2 year ago by fanuel mazze kipare posted 3 year ago by lucas risper ni upendo (kipare) ni upendo (kipare) video watch and learn with mp43gp formatyou can watch online ni upendo (kipare) video to free learn posted 12 month ago by wapare online kikosi cha akudo (ngoma za kipare/ijanj kikosi cha akudo (ngoma za kipare/ijanja) video watch and learn with mp43gp formatyou can watch online kikosi cha akudo (ngoma za kipare/ijanja) video to free learn hiki ni kikosi cha vijana wakipare wakicheza na kuimba ngoma za utamaduni wa kipare maarufu kama #ijanja #usisahau kusubscribe kugusa alama ya posted 2 year ago by ikedigital tv sendoff ya wapare shangwe lake sio la nc sendoff ya wapare shangwe lake sio la nchi hii angalia mpaka mwisho by ike digital video watch and learn with mp43gp formatyou can watch online sendoff ya wapare shangwe lake sio la nchi hii angalia mpaka mwisho by ike digital video to free learn sendoff ya wapare shangwe lake sio la nchi hii angalia mpaka mwisho by ike digital sendoff iliyofanyika hapo ukumbi wa deluxe sinza ya posted 4 year ago by mc kitunguu mc kitunguu sakame (gospel song) nk mc kitunguu sakame (gospel song) nk alamo video watch and learn with mp43gp formatyou can watch online mc kitunguu sakame (gospel song) nk alamo video to free learn subscribe mziiki for best african music | http//bitly/1unjixi #listen | #love | #share for latest updates visit mziikitube channel for unlimited posted 5 month ago by tz asilia wazigua kufunda mwali video watch and learn with mp43gp formatyou can watch online wazigua kufunda mwali video to free learn posted 10 month ago by catholic songs ninamkabidhi kwako nyimbo za ndoa ninamkabidhi kwako nyimbo za ndoa video watch and learn with mp43gp formatyou can watch online ninamkabidhi kwako nyimbo za ndoa video to free learn safari ya mbalamo by mzee kibaja (wimbo safari ya mbalamo by mzee kibaja (wimbo wa kipare) video watch and learn with mp43gp formatyou can watch online safari ya mbalamo by mzee kibaja (wimbo wa kipare) video to free learn marehemu mzee kibaja ni miongoni mwa manguli na legend wa utamaduni wa kabila la wapare na mtunzi wa nyimbo nzuri za kipare #safari ya mbalamo ni posted 4 year ago by tzbiz vidarchive 'mkwajungoma' nyati group new 'mkwajungoma' nyati group new video watch and learn with mp43gp formatyou can watch online 'mkwajungoma' nyati group new video to free learn tanzania economics news report posted 3 year ago by gift urio kichaga video watch and learn with mp43gp formatyou can watch online kichaga video to free learn video from gifturio405 mp3nyimbozakiparetanzania this paragraph mp3nyimbozakiparetanzania is totally about mp3nyimbozakiparetanzania related videos for mp3nyimbozakiparetanzania you have look for videos mp3nyimbozakiparetanzania especially most relevant thousands videos results according to your search mp3nyimbozakiparetanzania videos are available on these pages perfect results of mp3nyimbozakiparetanzania videos and clipsconvert mp3 audio mp4 video mp3nyimbozakiparetanzania free with anyformat convertor view and download mp3nyimbozakiparetanzania with hd format video repeat a paragraph again please read carefully mp3nyimbozakiparetanzania real topic related videos for mp3nyimbozakiparetanzania you have look for videos mp3nyimbozakiparetanzania especially most relevant thousands videos results according to your search mp3nyimbozakiparetanzania videos are available on these pages perfect results of mp3nyimbozakiparetanzania videos and clipsconvert mp3 audio mp4 video mp3nyimbozakiparetanzania free with anyformat convertor view and download mp3nyimbozakiparetanzania with hd format video many of people search related videos for mp3nyimbozakiparetanzania you have look for videos mp3nyimbozakiparetanzania especially most relevant thousands videos results according to your search mp3nyimbozakiparetanzania videos are available on these pages perfect results of mp3nyimbozakiparetanzania videos and clipsconvert mp3 audio mp4 video mp3nyimbozakiparetanzania free with anyformat convertor view and download mp3nyimbozakiparetanzania with hd format video videos some internet user want to listien music related related videos for mp3nyimbozakiparetanzania you have look for videos mp3nyimbozakiparetanzania especially most relevant thousands videos results according to your search mp3nyimbozakiparetanzania videos are available on these pages perfect results of mp3nyimbozakiparetanzania videos and clipsconvert mp3 audio mp4 video mp3nyimbozakiparetanzania free with anyformat convertor view and download mp3nyimbozakiparetanzania with hd format videoother people want to download videos about related videos for mp3nyimbozakiparetanzania you have look for videos mp3nyimbozakiparetanzania especially most relevant thousands videos results according to your search mp3nyimbozakiparetanzania videos are available on these pages perfect results of mp3nyimbozakiparetanzania videos and clipsconvert mp3 audio mp4 video mp3nyimbozakiparetanzania free with anyformat convertor view and download mp3nyimbozakiparetanzania with hd format video you can listen related videos for mp3nyimbozakiparetanzania you have look for videos mp3nyimbozakiparetanzania especially most relevant thousands videos results according to your search mp3nyimbozakiparetanzania videos are available on these pages perfect results of mp3nyimbozakiparetanzania videos and clipsconvert mp3 audio mp4 video mp3nyimbozakiparetanzania free with anyformat convertor view and download mp3nyimbozakiparetanzania with hd format video music download related videos for mp3nyimbozakiparetanzania you have look for videos mp3nyimbozakiparetanzania especially most relevant thousands videos results according to your search mp3nyimbozakiparetanzania videos are available on these pages perfect results of mp3nyimbozakiparetanzania videos and clipsconvert mp3 audio mp4 video mp3nyimbozakiparetanzania free with anyformat convertor view and download mp3nyimbozakiparetanzania with hd format video videos and conver related videos for mp3nyimbozakiparetanzania you have look for videos mp3nyimbozakiparetanzania especially most relevant thousands videos results according to your search mp3nyimbozakiparetanzania videos are available on these pages perfect results of mp3nyimbozakiparetanzania videos and clipsconvert mp3 audio mp4 video mp3nyimbozakiparetanzania free with anyformat convertor view and download mp3nyimbozakiparetanzania with hd format video video to mp3 on anyformatnet mp3 nyimbo za kipare tanzania mapmp3 nyimbo za kipare tanzania safarismp3 nyimbo za kipare tanzania postal bankmp3 nyimbo za kipare tanzania institutemp3 nyimbo za kipare tanzania portsmp3 nyimbo za kipare tanzanianmp3 nyimbo za kipare tanzania safarimp3 nyimbo za kipare tanzania revenuemp3 nyimbo za kipare tanzania africamp3 nyimbo za kipare tanzania related videos for mp3nyimbozakiparetanzania you have look for videos mp3nyimbozakiparetanzania especially most relevant thousands videos results according to your search mp3nyimbozakiparetanzania videos are available on these pages perfect results of mp3nyimbozakiparetanzania videos and clipsconvert mp3 audio mp4 video mp3nyimbozakiparetanzania free with anyformat convertor view and download mp3nyimbozakiparetanzania with hd format video
2019-04-19T14:45:21
http://www.anyformat.net/videos/mp3-Nyimbo-Za-Kipare-Tanzania/
chiranjeevi and ramya krishna dance in alluda majaka movieui654564 picxy stock photo id# ui654564 digital usage (1200x797) ₹ 50000
2019-05-20T16:29:09
https://www.picxy.com/photo/62354/
tanzania bila kikwete inawezekana | gazeti la mwanahalisi methali ni kongwe hakuna miongoni mwa watumiaji wa sasa ambaye anaweza kutamba kwamba amebuni methali fulani au msemo fulani ndiyo maana watumiaji huanza kwa kusema “wahenga walisema…” chama cha mapinduzi (ccm) kimekamata methali moja na kuishikilia kwa nguvu zote kwa vile inawatia ujinga wananchi ili kiendelee kutawala usalama wao ni katika methali hiyo isemayo “alalaye usimwamushe ukimwamsha utalala wewe” au msemo “wajinga ndio waliwao” ccm wanajua madhara ya kuwapa wananchi elimu ya uraia ili wajue haki zao matumizi ya raslimali ya nchi yao wajibu wao kwa taifa na wizi mkubwa unaofanywa na viongozi wa serikali yao wanataka wabaki wajinga maana wajinga ndio waliwao ccm inataka wananchi wabaki washangiliaji na kuimba nyimbo zisizo na tija wakati viongozi wanahujumu uchumi kwa ushirikiano na wafanyabiashara ccm inataka wabaki walalamikaji wa uporwaji wa mali na viwanja vyao wabaki wakilishwa uongo na ahadi zisizotekelezeka maana wakiwaamsha watalala wao kampeni zao ni za uongo mei mwaka jana ulifanyika uchaguzi mdogo wa ubunge katika jimbo la busanda wilayani geita kujaza nafasi iliyoachwa na mbunge faustin lwilomba katikati ya kampeni ccm ikiwa imeelemewa ilifanya usanii ikashinikiza serikali ipeleke ‘migogo’ ikisema inatekeleza ahadi za kupeleka umeme katika jimbo hilo kama ilivyoahidi mwaka 2005 safari hii mgombea urais wa ccm jakaya kikwete alisahau kuwa watu wake waliahidi uongo alipoenda geita alilzimika kumwita waziri wa madini na nishati william ngeleja afanye usanii tenaâ€wakazomewa kila mmoja wenu atakuwa anakumbuka tukio baya la kuvamiwa ofisini na kushambuliwa vibaya mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya halihalisi saed kubenea na mhariri mshauri wa taaluma ndimara tegambwage rais jakaya kikwete alimtembelea kubenea hospitalini muhimbili alikokuwa amelazwa na akaahidi kumlipia gharama za matibabu ya nje we alisubiri akasubiri weeeeee alipokaribia ‘kuozea’ muhimbili akisubiri mteremko wa matibabu muuguzi mmoja akamshauri atafute pesa aende india kwani aliona dalili za ahadi hiyo kutotekelezeka ndivyo ilivyotokea ahadi haikujatekelezeka badala yake alitafuta pesa kutoka kwa marafiki na wasamaria wema akaenda india ambako alilazwa kwa matibabu na bado anakwenda huko kila baada ya miezi kadhaa kufanyiwa uchunguzi si hivyo tu jk aliahidi kuua mchwa unaokula pesa za umma kwenye halmashauri lakini ni kinyume chake umeshamiri na umejenga siyo vichuguu bali mahekalu ya ajabu nenda wilaya za korogwe lushoto na muheza waulize kama wametekelezewa ahadi ya kujengewa kiwanda cha matunda usanii mtupu ccm haitaki haya yaanikwe kwa sababu yatawaamsha wananchi na wakierevuka ccm watalala na kutoweka katika ulingo wa siasa ccm hawataki kusikia vyama vya upinzani vikihubiri ukombozi wa nchi kutoka kwenye ukoloni wa chama tawala hawataki kusikia chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kikiwataja wazi wezi wa mali za umma vilevile hawataki wananchi wasikie ufunuo wa chama cha wananchi (cuf) kwamba katika miaka mitano iliyopita viongozi wa serikali wametafuna sh trilioni 11 takriban sawa na bajeti ya mwaka huu serikali ya ccm inafanana sana na serikali ya nchi ya kusadikika kitabu kilichotungwa na mwandishi mahiri hayati shaaban robert katika riwaya hiyo shaaban robert aliweka wazi ubaya wa serikali hiyo chini ya mfalme jeta na waziri mkuu majivuno mtunzi huyo mahiri wa riwaya nyingine za ‘kufikirika’ ‘utu bora mkulima’ ‘maisha yangu baada ya miaka 50’ alisema mfalme jeta alikuwa anakula kila kitu tena bila kusaza na hashibiâ€maji ya mito na bahari yalimiminika kinywani lakini alijisikia kiu alitafuna miamba miti wanyama na samaki lakini alijisikia njaa shaaban robert alikusudia kuisema serikali ya kikoloni iliyokuwa inachota raslimali za nchi kama vile mito (samaki) bahari (mafuta) miamba (madini) hewa (gesi) miti (mbao) wanyama (vipusa) na kuiacha nchi maskini shaaban robert anaeleza namna wajumbe sita jasiri (wana mapinduzi) walivyosafiri nchi za mbali kuchota ujuzi na kurudi nao kusadikika kila mjumbe alitumwa na serikali kupeleleza(kusoma) jamii za nchi nyingine zilizokuwako ng’ambo ya mipaka yao ili wawaletee wasadikika mawazo mapya yenye kufaa kutoka kwa mataifa yaliyofanikiwa kimaendeleo miongoni mwa mashujaa hao ni karama aliyesimulia hila uonevu manyanyaso waliyopata wenzake watano na kufungwa wajumbe wote walikuwa watu wenye uhodari ujasiri na vipawa vingi na walijitolea ili walihudumie taifa lao kwa kadiri walivyoweza na wawe mashujaa halisi wa nchi yao ya kusadikika mashujaa hao walikuwa buruhani fadhili kabuli auni ridhaa na amini (ambao leo wanaweza kuwa kina augustine mrema prof ibrahim lipumba seif sharrif hamad freeman mbowe dk sengodo mvungi) walivumilia majaribio mengi wakisafiri katika nchi ngeni na wakarejea kusadikika na mbinu nzuri kutoka nchi walizozitembelea lakini licha ya habari nzuri waliyowaletea wasadikika walishtakiwa kila mara kwa ajili ya mawazo mageni haya na kufungwa mpaka sasa yaani wakati wa hukumu ya karama sababu kubwa ni kwamba watu wa serikali waliogopa kubadilisha desturi zao na kujifunza kutoka kwa jamii nyingine (upinzani) baada ya mfalme na wanabaraza kusikia maelezo ya karama waliupata ufahamu mpya wa hali ilivyokuwa mabadiliko yalifanywa na wajumbe wote wakafunguliwa tanzania ya leo ina mashujaa kama dk willibrod slaa wa chadema na prof ibrahim lipumba wa cuf ambao wanapita nchi nzima kueleza udhalimu wa serikali ya ccm dk slaa na prof lipumba wanawaambia wananchi “amkeni” ccm wanakula nchi bila kusaza kama mfalme jeta kwa njia ya mikataba mibovu ya madiniâ€tanzanite mererani dhahabu bulyanhulu buzwagi na nyamongo (north mara) walivyonenepa kutokana na rushwa ya rada na ndege na wanavyochukua posho mbili kwa kazi moja wanasema amkeni mshuhudie walivyojigawia migodi ya kiwira meremeta na walivyoingiza dude richmond/ dowans ambalo liliruhusiwa kufyonza sh 152000000 kwa siku prof lipumba na dk slaa wanawaambia mmepuuzwa na ccm kiasi cha kutosha mmenyanyaswa kiasi cha kutosha mmeonewa kiasi cha kutosha unyonge wenu ndio uliofanya muonewe mnyanyaswe na mpuuzwe sasa wanataka mapinduzi mapinduzi yatakayowaondoa katika kuonewa kupuuzwa na kunyanyaswa na mkoloni mzalendo ccm kama tanzania imewezakana bila mwasisi wa taifa mwalimu nyerere inawezekana pia bila ccm na bila kikwete cuf makamba pinda chadema richmond slaa dowans kikwete chenge sitta ccm lowassa uchaguzi mkapa rostam
2019-01-20T16:13:43
http://mwanahalisi.co.tz/tanzania_bila_kikwete_inawezekana
asmaul husna nama bayi perempuan '+g+ home » asmaul husna » asmaul husna 2 ya rahman 3 ya rahim 4 ya malik 5 ya quddus 6 ya salam 7 ya mumin 8 ya muhaimin 9 ya 'aziz 10ya jabbar 11 ya mutakabbir 12ya khaliq 13ya baarii' 14ya musawwir 15ya ghaffaar 16ya qahhaar 17 ya wahhaab 18 ya razzaq 19 ya fattah 20 ya 'aalim 21 ya qaabidhu 22 ya baasithu 23 ya khaa'fidh 24 ya raafi 25 ya mu'izz 26 ya mudzill 27 ya samii' 28 ya bashiir 29 ya hakam 30 ya adllu 31 ya lathiif 32 ya khabiir 33 ya haliim 34 ya 'aziim 35 ya ghafuur 36 ya syakuur 37 ya 'aliy 38 ya kabiir 39 ya hafiiz 40 ya muqiit 41 ya hasiib 42 ya jaliil 43 ya kariim 44 ya raqiib 45 ya mujiib 46 ya waasi 47 ya hakiim 48 ya waduud 49 ya majiid 50 ya baa'ith 51 ya shahiid 52 ya haq 53 ya wakiil 54 ya qawiyyu 55 ya matiin 56 ya waliyy 57 ya hamiid 58 ya muhshiy 59 ya mubdi 60 ya mu'id 61 ya muhyi 62 ya mumiit 63 ya hayyu 64 ya qayyuum 65 ya waajid 66 ya maajid 67 ya waahid 68 ya samad 69 ya qaadir 73 ya awwal 74 ya aakhir 75 ya zaahir 76 ya baathinu 77 ya waaliy 78 ya muta'aliy 79 ya barr 80 ya tawwaab 81 ya muntaqim 82 ya 'afuww 83 ya rauuf 84 ya maalikul mulki 85 ya dzul jalaali wal ikraam 86 ya muqsith 87 ya jaami' 88 ya ghaniy 89 ya mughniy 90 ya maani' 91 ya dhaarr 92 ya naafi' 93 ya nuur 94 ya haadiy 95 ya baadii 96 ya baaqy 97 ya waarith 98 ya rashiid 99 ya shabuur
2018-11-15T12:20:05
http://www.namabayiperempuan.web.id/2012/09/asmaul-husna-arti-keutamaan-dan-cara.html
katika huzuni ya kumbukumbu ya kifo chake haram ya mtumishi wake imewekwa mapambo meusi haram ya abulfadhil abbasi (as) imewekwa mapambo meusi yanayo ashiria huzuni kwa ajili ya kumbukumbu ya kifo cha aqilah twalibina na jabali wa subira mama wa misiba bibi zainabu binti ali (as) ambaye tarehe ya kifo chake inasadifu jumatano ya kesho mwezi (15 rajabu 1441) sawa na (11 machi 2020m) kutokana na tukio hilo tumeandaa ratiba maalum ya maombolezo yenye vipengele vingi miongoni mwa vipengele hivyo ni kwanza kufanya mihadhara ya kidini ndani ya haram ya abulfadhil abbasi (as) kwa ajili ya kuongea historia ya maisha ya mwanamke huyu mtukufu pili kujiandaa kupokea mawakibu za waombolezaji zinazo kuja kumpa pole abulfadhil abbasi (as) kutokana na msiba huu tatu kuwasha taa nyekundu zinazo ashiria huzuni ndani ya haram tukufu na kupandisha pendera nyeusi zinazo ashiria msiba nne kufanya majlisi ya kuomboleza ndani ya ukumbi wa utawala katika atabatu abbasiyya na kutoa mihadhara wa kidini na mashairi kuhusu utukufu wa bibi zainabu (as) tano kufanya matembezi ya pamoja kati ya wafanyakazi wa ataba mbili tukufu husseiniyya na abbasiyya kwa ajili ya kumpa pole imamu hussein na ndugu yake abulfadhil abbasi (as) yatakayoanzia ndani ya atabatu abbasiyya tukufu sita kuandaa vipindi maalum vya kumzungumzia mama huyu mtakatifu katika redio ya wanawake alkafeel ambayo ipo chini ya kitengo cha habari na utamaduni cha atabatu abbasiyya tukufu saba kufungua mlango wa kujisajili ziara kwa niaba katika mtandao wa kimataifa alkafeel kupitia link ifuatayo https//alkafeelnet/zyara/ kwa lugha zote zilizopo kwenye mtandao huo ili kuwafanyia ziara kwa niaba watakao jisajili kwenye malalo yake tukufu katika mji mkuu wa sirya damaskas kumbuka kua bibi zainabu (as) alikufa na kupumzika matatizo ya duniani mwezi (15 rajabu 62h) baada ya jina lake kuandikwa kwa nuru katika orodha ya wanawake bora wapenzi na wafuasi wa ahlulbait (as) hufanya majlisi za kuomboleza kila mwaka katika tarehe ya kifo chake
2020-04-04T15:42:56
https://alkafeel.net/news/index?id=10266&lang=sw
kilimo kuongeza thamani yako kama mkulima(agrovalue spec) | jamiiforums kilimo kuongeza thamani yako kama mkulima(agrovalue spec) thread starter techtania techtania kilimo ni sekta ambayo imekuwa ikitambulisha bara la africa kwenye dunia inayo tuzunguka kitu cha ajabu ni kuwa watu wachache sana hupata thamani halisi ya sekta hii pana na yenye faida kwanza kabisa mimi ni blogger na ecom entreprenurila bado ni mkilima pia sawa naweza kuwa siendi shamba kushika jembe ila bado ni mmiliki wa shamba hivyo bado ni mkulima kilimo ni kitu amnacho tumerithi kwa karnenkadhaa kutoka kwa wazazi wetu maana kimekuwa kikitupatia chakula na baadae kuibuka kuwa biashara pia baada ya mkoloni kuleta mazao ya biashara kitu kinacho zidi kukera ni kwamba kati ya watu wanao dharauliwa na kuonwa wa kawaida ni mkulima hii ni kwa kuwa thamani yake imefichwa na hajali maana anachukulia hiyo kama sehemu ya maisha wapo wakulima wengi tu amabo wanatambua kuwa mkulima inamaanisha nini kwa familia majirani watu wa mijini viwanda na hata taifa kwa ujumla na kwa kufahamu hivyo wanafurahia kilimo kuliko baadhi ya waajiriwa wa serikali ili linaweza kuwa swali la kitoto ila je uliwahi kujiuliza nini kingetokea endapo wakulima wangeacha kuuza mazao yao wangepata chakula cha kutosha kwa ajili ya familia zao ila kwa upande wa pili viwanda vingekosa raw materials hivyo kuanza kupata raw materials nje hiyo ingesababisha bei ya bidhaa kupanda hivyo watu mjini kushindwa kumudu mahitaji na hivyo ukwepaji wa kodi ungeongezekahivyo taifa zima kurudi nyuma kimaendeleo kwa asilimia kubwa hii yote ni kwa sababu ya mkulima na ndo thamani yake na ndo maana serikali itafanya vyovyote iwezavyo kuhakikisha mkulima analimakwa kumpa motisha iwe hasi au chanya ukifahamu kuwa huku kwenye 2nd na 3rd world countries kilimo ndo kinabeba mataifa ndipo utajuamkulima sio mtu wa kawaida ila kama umefuatilia kiumakinibaada ya kufahamu hayo yote bado hujafahamu thamani halisi na jinsi ya kuitumia kufanikiwa na ninataka kukuonesha kitu hicho jinsi ya kutumia thamani yako kama mkulima kama fursa kiufupi mi ni mfanya biashara(namiliki ecommerce store tatu) ni mkulima na pia ni blogger nyingine humu zinaonekana kama sio kaziila mimi nazichukulia serious na zimebadili maisha yangu kati ya hizo model tatukilimo ni moja ya kitu ambacho nakipenda na naelewa thamani yake na nikisema thamani namaanisha 1umoja ni nguvu utengano ni udhaifu ili kufanikiwa haupaswi kufanikiwa kivyako vyako ili uyaite hayo mafanikiokuna hawa jamaa huwa wanakuja wakati wa mavuno( kipindi tukianza kuuza) wanaanza kuja na bei zaoukiwagomea wataenda kwa sababu sio wewe mkulima pekee wa zao husikaukigomea bei yake ataenda kwa jirani na jirani hawezi kugomaakigoma ataenda kwa mwingine ila piga picha kuwa kwenye kijiji chenu/wilaya mnafahamika kwa zao fulani mkakutana na mkajiwekea bei kuendana na hali fulanmteja akija nanbei yake kwako ukagomea ukamwambia ni bei fulani akaenda kwa jirani ikawa hivyo na jirani mwingine atafika hatua akubaliane na bei yenuna hapo mtaonesha mnaheshimu kazi yenu na mnaitambua thamani 2 wewe ndiye mwenye kuchagua bei sio mteja kama nilivyosema utasikiakuna mashirika ya mazao fulani na ni mengi kibao mashirika haya hujipangia bei kuendana na matakwa yao na wakilenga faida kuanzia kwao na watakayemuuziaila sio wewe shida zisikufanye ukubali kushushiwa thamani na kila mkulima kwenye wilaya yenu akikubaliana na bei kadhaana wilaya nyinginwe zikafanya hivyo kikawepo chama hadi cha manispaathamani haitashuka tenana kilamka wakifanya hivifaida itaomgezekakwa wakulimana serikali kupitia kodi na pia wanunuzi watazoa bei ow ulivyokuwa ukizoeleshwa 3fikiria zaidi ya mipaka mkitumia hizo njia za kwanza wateja wanaweza kupunguana saa nyinhine kupanga vikao vyao kujifanya hawatonunua ili mradi mpunguze bei hili jambo lilitokea mwaka jana kagera nilisaidia kuunda kikundi cha wakulima wa maharage (frozen) na wanunuaji wakagoma tulichokifanya ni kwamba tuli mpa offer yule mmiliki wa kampuni wale wanunuaji walio kuwa wanauziatukapunguza 15 na akaanza kununua mazao bila shida maana bei yetu ilikuwa cheap kuliko ya wale jamaa na hali ikitokea kama hii mtabidi mtumiembinu hii kuhakikisha thamani yenu haishuki mnaweza kuwa wakulima hata 20 tumkapunguza bei na kumuuzia yule end user ambao wateja wenu wnamuuziamtapata faida kubwamno nina mpango wa kuanzisha network ya wakulima amabako wanaweza wakakutana na kushare mazao yao na ambako wataweza kukubaliana bei watakayo iweka kwenye zao husika kwenye msimu husikabaada ya hapo kuwakutanisha na wanunuaji wa kuaminika kutoka nje/ndani ya nchi nakaribisha maswali na maoni pia mawazo yenu kuhusu idea hii nimeitengenezea hati miliki kwa hiyo usifikirie kuitumia ahsante kama makala hii imekufungua soma nyingine kwenye kitengo cha ujasiliamali reactions python newbie ntajaribu kufupisha (summarize) post zangu ili ziwe fupi kwenye thread zijazo binafsi nimeipenda mno kwa nini tusifanye kilimo biashara cha konokono kama nigeria biashara uchumi na ujasiriamali 8 jul 22 2020 msaada kwa wanaofanya biashara ya mazao ya kilimo biashara uchumi na ujasiriamali 1 jun 21 2020 msaada kwa anayefahamu gharama za kodi endapo nikiagiza tractor ya kilimo nje ya nchi biashara uchumi na ujasiriamali 15 may 12 2020 wakala wa pembejeo za kilimo biashara uchumi na ujasiriamali 0 mar 15 2020 kwa nini tusifanye kilimo biashara cha konokono kama nigeria msaada kwa wanaofanya biashara ya mazao ya kilimo msaada kwa anayefahamu gharama za kodi endapo nikiagiza tractor ya kilimo nje ya nchi wakala wa pembejeo za kilimo
2020-08-13T11:03:36
https://www.jamiiforums.com/threads/kilimo-kuongeza-thamani-yako-kama-mkulima-agro-value-spec.1464230/
samweli doe ni nani | jamiiforums | the home of great thinkers samweli doe ni nani discussion in 'jukwaa la siasa' started by mshikachuma jan 30 2011 try to consult wikipedia any time you have kind of those questionsclick to expand its true what you say lakini sometimes labda kuna mtu anainformation ambazo haziko wikipedia mfano huenda kuna aliyekuwa girlfriend au bodyguard wake humu jf you never know until you ask lakini from the answears mpaka sasa nadhani hakuna hao watu humu 0 people likes its true what you say lakini sometimes labda kuna mtu anainformation ambazo haziko wikipedia mfano huenda kuna aliyekuwa girlfriend au bodyguard wake humu jf you never know until you ask lakini from the answears mpaka sasa nadhani hakuna hao watu humu click to expand magreat thinker naomba mnisaidie kwa hili na faida kwa watu wengine ndani ya jfclick to expand https//wwwjamiiforumscom/internationalforum/106165mwamkowamabadilikomisrinahatimayahosnimubarakpost1557401htmlhighlight=#post1557401 mwa mafisadi samuel kanyon doe (may 6 1951 &#8211 september 9 1990) was the 21st president of liberia serving from 1986 until his assassination in 1990 he had previously served as chairman of the people's redemption council from 1980 to 1986 he was the first indigenous head of state in liberian history doe was an ethnic krahn part of a rural tribe in inland liberia the krahn are a minority ethnic group but part of the large majority of the liberian population that are of indigenous descent these groups faced economic and political domination by the americoliberian elites who were descended from freeborn and formerly enslaved blacks from america who founded liberia in 1847 a civil war began in december 1989 when rebels intent on toppling doe entered liberia doe's forces were defeated and in september 1990 he was captured tortured and killed on april 12 1980 doe led a military coup killing president william r tolbert jr in the executive mansion many claim that doe and some of his men disemboweled president tolbert in his bed while he slept twentysix of tolbert's supporters were also killed in the fighting thirteen members of the cabinet were publicly executed ten days later hundreds of government workers fled the country while others were imprisoned the early days of the regime were marked by mass executions of members of tolbert's deposed government one of doe's first acts after seizing power was to order the release of about 50 leaders of the opposition progressive people's party who had been jailed by tolbert during the rice riots of the previous month shortly after that doe ordered the arrest of 91 officials of the tolbert regime within days eleven former members of tolbert's cabinet including tolbert's brother frank were brought to trial to answer charges of high treason rampant corruption and gross violation of human rights[1] suspension of the constitution allowed these trials to be conducted by a commission appointed by the state's new military leadership with defendants being refused both legal representation and trial by jury the spectacle was videotaped and seen on news reports around the world the video shows johnson sipping a budweiser as doe's ear is cut ukiuwa kwa upanga nawe utakufa kwa upanga doe alikuwa patriot doe alichukiwa kwa sababu tu alikuwa muislaam na ndiyo maana wakamuuwa na mwili wake kuwekwa hadharani na tena uchi kama hapo juu kwenye picha si unaona hata picha ya kikwete inawekwa hapo pamoja jamaa alikuwa na mpango wa kueneza dini nchini na wakamuona ni adui mkubwa sana watu wa west ni watu hatari sana na wanapigana usiku na mchana na waislaam jamaa alikuwa kama idd amin kabisa mtu safi kabisa na mwamini dini kama alivyokuwa doe hata tanzania kila akija rais muislaam wanamwandama hivyohivyo ona sasa kikwete anaandwama kila kona kwa dini yake umeme ukikosekana ingawa waziri ni mkristo lawama anabebeshwa rais kwa sababu tu ni muislaam hii sijui imekaaje nipo katika kufanya utafiti maana nimeambiwa kuwa hitler pia alikuja kuwa muislaam na ndiyo maana akaanza vita na wayahudi alipoanza kueneza dini basi alianza kula kibano cha nguvu na akafukuzwa mbali kabisa wenzake wakaenda egypt na kuisaidia ile nchi kijeshi na wakawa na ndege za kijeshi kali sana tayari kuishambulia izrael ila kama kawaida wakristo na wayahudi wakaja na kuzishambulia zote kabla hazijaruka hawa maaskofu jamani soma vizuri utaelewa kwa ulivyouliza swali naona upo karibu are u serious mkuuclick to expand doe alichukiwa kwa sababu tu alikuwa muislaam na ndiyo maana wakamuuwa na mwili wake kuwekwa hadharani na tena uchi kama hapo juu kwenye picha si unaona hata picha ya kikwete inawekwa hapo pamojaclick to expand wacha uzushi wewe samuel muislamu huyu jamaa alikuwa katili sana na kuua wale wafuasi wa william tolbert kivibaya vibaya william tolbert mwenyewe inasemekana walimkata vipande vipande na kumtembeza hadharani bila ya aibu na hivyo ndivyo walivyomfanyia wale supporters wa tolbert ili kulipiza kisasi kwa kweli hii ya doe inaonyesha kwamba mwenyezi mungu alimuhukumu hapa hapa duniani bitimkongwe mbona unakuwa kama wanawake blonde mambo meupe kabisa lakini bado hawaelewi wee ni great thinker soma uelewe mambo yako wazi kabisa na wee bado huelewi namkumbuka huyu jamaa na afro lake raizon na mchezaji mpira mzuri sana captain doe kwa kweli hii ya doe inaonyesha kwamba mwenyezi mungu alimuhukumu hapa hapa dunianiclick to expand soma vizuri utaelewa kwa ulivyouliza swali naona upo karibuclick to expand mkuu naona umeamua kuwafurahisha kina malaria suguzubedazawadi ngoda and the likes kwa kweli jamaa alifanyiwa ukatili wa hali ya juu hivi ndivyo samuel doe alivyochukua madaraka ukiangalia post 17 video basi william tolbert alitwangwa risasi hadharani na wenzakekama walimkata vipande basi ni baadae ninayo muvi nzima ya jinsi huyu jamaa alivyouawa hewalla nimeelewa ijapokuwa nywele zangu ni nyeupe kwa sababu ya uzee na siyo rangi yake ya asiliclick to expand hapa utapata sehemu ndogo ya mateso aliyopata samuel doe akihojiwa kabla ya kifo chake
2017-04-29T04:11:12
https://www.jamiiforums.com/threads/samweli-doe-ni-nani.106830/
kocha mayanga wa taifa stars kaongea baada ya sare ya 11 na malawi millardayocom kocha mayanga wa taifa stars kaongea baada ya sare ya 11 na malawi kutokana na taifa stars kumaliza game dhidi ya malawi sare ya 11 dhidi ya malawi inamfanya kocha mayanga kufikisha sare ya sita toka aaanze kuitumikia taifa stars ngambi robert ndio aliifungia malawi goli la uongozi dakika ya 35 lakini simon msuva akaisawazishia taifa stars dakika 57 kutokana na kujaribu kubadilisha shida ambazo zimejitokeza kipindi cha kwanza na tulivyorudi kipindi cha pili tumejaribu ndani ya dakika 17 au 18 tukamudu kusawazisha goli na baada ya hapo tulirudi chini kidogo walitubana>>> salum mayanga ← previous story video dakika moja ya magoli ya taifa stars vs malawi fulltime 11 next story → kipindi cha pili game ya stars na malawi haikuwa nzuri kuitazamaron van geneugden
2018-04-23T07:18:50
http://millardayo.com/mayng0-1/
video ya harmonize rayvanny ni mshikemshike mtandaoni mwananchi dpp tutazishtaki benki zitakazokiuka sheria masharti na taratibu za waumini wa kikristo watakiwa kuchukua tahadhari sikukuu ya pasaka wagonjwa wa corona waongezeka kenya rc aagiza karantini zilindwe kuepusha wanaotoroka wachezaji southmpton waachia mishahara kupambana na corona video ya nani kali ndio mjadala ulioshika kasi katika mitandao ya kijamii mashabiki wakihoji video ipi kali kati ya wimbo kushoto kulia wa msanii harmonize na tetema remix wa rayvanny dar es salaam video ya nani kali ndio mjadala ulioshika kasi katika mitandao ya kijamii mashabiki wakihoji video ipi kali kati ya wimbo kushoto kulia wa msanii harmonize na tetema remix wa rayvanny jana jumatatu desemba 2 2019 harmonize aliachia video hiyo katika mtandao wa youtube na siku hiyohiyo rayvanny naye alitoa video ya tetema remix akimshirikisha diamond platnumz pantoranking na zlatan hadi leo jumanne desemba 3 2019 saa 900 alasiri wimbo kushoto kulia ulikuwa umetazama mara 446 313 na tetema mara 60876 kushoto kulia umeingia katika orodha ya video zinazotazamwa zaidi katika mtandao huo ukiwa nafasi ya nne wafuatiliaji wa muziki wa kizazi kipya nchini wamekuwa na maoni tofauti kuhusu video hizo mmoja wa wachangiaji the_kid_rich_48 amesema nataka kuona nani atakuwa number one on trending youtube maana harmonize katoa kushoto kulia diamond platnumz kaachia behind the scenes ya babalao rayvanny kaachia remix tetema huu mwaka unaisha pazuri sivikson lubogo4 naona upande wa pili wameachia remix ya tetema ili watudhoofishe but hawatoweza mambo ni kwa upande wake nguya mtwartz7 amesema ndugu zetu washaanza fitina konde boi jeshi unawindwa pambana sana tupo nyuma yako h matta kimbunga amesema kwa hiyo hamtaki mmakonde akakae no1 on trending au maana sijawaelewa kabisa dhamila yenu mkurugenzi wa mashtaka tanzania (dpp) biswalo mganga amesema ofisi yake haitasita kuzichukua kigwangalla asema haogopi kutumbuliwa akijibu hoja matumizi ya sh258 bilioni joto la ripoti ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali ya tanzania (cag) limesababisha cag afichua matatizo kwenye sekta ya maji sakata la mameya wa chadema kuondolewa madarakani latinga bungeni video polisi yapiga marufuku mikusanyiko ya ufukweni baa jijini dar sikukuku ya pasaka 1 kitaifa dpp tutazishtaki benki zitakazokiuka sheria masharti na taratibu za kazi 2 kitaifa waumini wa kikristo watakiwa kuchukua tahadhari sikukuu ya pasaka 3 kimataifa wagonjwa wa corona waongezeka kenya 4 kitaifa rc aagiza karantini zilindwe kuepusha wanaotoroka 5 kitaifa mtoto wa miezi miwili apona corona 6 michezo wachezaji southmpton waachia mishahara kupambana na corona 7 kitaifa kigwangalla asema haogopi kutumbuliwa akijibu hoja matumizi ya sh258 bilioni 8 kitaifa cag afichua matatizo kwenye sekta ya maji 9 kitaifa video polisi yapiga marufuku mikusanyiko ya ufukweni baa jijini dar sikukuku 10 kitaifa sakata la mameya wa chadema kuondolewa madarakani latinga bungeni
2020-04-09T20:10:43
https://www.mwananchi.co.tz/Michezo/burudani/Video-ya-Harmonize--Rayvanny-ni-mshikemshike-Youtube/1597574-5371566-t0ccryz/index.html
namibia pato la taifa kutoka mamlaka ya udhibiti sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi namibia pato la taifa kutoka mamlaka ya udhibiti
2019-08-21T04:56:10
https://sw.tradingeconomics.com/namibia/gdp-from-utilities
mkuu wa wilaya ya ilalaraymond mushi (kushoto) akiwa na mmmoja wa wakufunzi katika chuo hicho dkt kaleshu wakipozi katika picha ya pamoja na mbunge wa viti maalum ccm sharry raymondna dixon busagaga wa globu ya jamii kanda ya kaskazini (0755659929)
2017-04-30T22:22:35
http://ayoubmzee.blogspot.com/2015/12/mkuu-wa-chuo-kikuu-cha-ushirika-moshi.html
tusemezane je ni kitu gani ndani ya maisha yako umekipa kipaumbele zaidi ya afya yako | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'jf doctor' started by precious clinic mar 1 2012 &#10146 health consultation &#10146 diseases diagnosis – high tech equipment &#10146 natural treatments &#10146 detoxification &#10146 therapeutic massage &#10146 beautification &#10146 nutritional consultation &#10146 family programs &#10146 health seminars to cooperate companies our clients &#10146 diabetes patient will get natural medicine the medication will help the performance of pancreas and hence the insulin production &#10146 people living with hiv virus (plwh) &#10146 people who experience chronic fatigue &#10146 people who experience chronic headaches &#10146 overweight &#10146 people who suffer from liver problems etc karibu kwangu nikupe dozi ya alovera ni kibokoclick to expand kwani umewaandikia watu ganiclick to expand manuu uko sahihi kabisa ndg yangu hawa watu pesa kwao ndio kitu cha kwanza hawaangalii hata kipato cha mtanzania wao wanadhan wote waendao kwao ni mafisadi wako sahihi sana kusema madawa ya kizungu mengi ndo yaongezayo magonjwa na kwa kigezo hicho wanafanya jitihada nyingi kutueleza madhara yaliyomo kwenye dawa za kizungu ili tukimbilie kwao lkn mwisho wa siku kuingia tu mlangoni lzm uache laki hapo bado tiba na uchunguzi pamoja na madawa ya kwenda nayo nyumbani hivi tukiwaita ni mafisadi waliokuja kwa njia ya kujifunika ngozi ya kondoo tutakuwa tumekosea mbona walio walisisha kazi hiyo hawakuwa na charges za namna hiyo isitoshe malighafi watumiazo nyingi ni zilezile tunazo zimiliki kwa pamoja roho inauma watanzania tunakosa kimbilio anyway ni mualovera na muarobaini kwa kwenda mbele mungu ndiye anajua kama itatutibu au laa na hapa nilipo mi nshaanza kutengeneza vidonge vya mualovera tena simple tuclick to expand sijui kisheria hili likojeclick to expand kwa hiyo hiyo alovera iko cheap au ndo walewale tunaowaongelea mko kiofisi zaidiclick to expand 17170828
2016-08-29T19:51:17
http://www.jamiiforums.com/threads/tusemezane-je-ni-kitu-gani-ndani-ya-maisha-yako-umekipa-kipaumbele-zaidi-ya-afya-yako.229137/
matukiomichuzi dc ilalasophia mjema aongoza wafanyabiashara kariakoo kuchangia waathiriwa na tetemeko la ardhi mkoani kagera dc ilalasophia mjema aongoza wafanyabiashara kariakoo kuchangia waathiriwa na tetemeko la ardhi mkoani kagera mkuu wa wilaya ya ilala mh sophia mjema akipokea kiasi cha shilingi milioni zaidi ya milioni 6 kutoka kwa mmoja wa wafanyabiashara wa kariakoo bw deo senya wakati jumuiya ya wafanyabiashara wa kariakoo (jwk) walipofanya harambee ya kuchangia wahanga wa tetemeko la ardhi kule bukoba mkoani kagera ambapo mkuu wa wilaya hiyo aliongoza harambee hiyo kuliani ni katibu tawala wa wilaya ya ilala bw edward mpogolo na katikati ni mwenyekiti wa jumuiya ya wafanya biashara kariakoo bwphilimin lomano chonde wafanyabiashara wa raha square kariakoo wakikabidhi mcahngo wao wa fedha kwa mkuu wa wilaya ya ilala mh sophia mjema raha square wakikabidhi magodoro nguo vikoi mashuka na vitu vingine mbalimbali katika harambee hiyo wakikabidhi suti na vitengi pamoja na mashuka katika harambee hiyo mkuu wa wilaya ya ilala akipiga picha ya pamoja na viongozi wa jumuiya ya wafanyabiashara kariakoo mara baada ya harambee hiyo mkuu wa wilaya ya ilala mh sophia mjema akiwahutubia wafanyabiashara na wananchi mbalimbali waliohudhuria katika harambee hiyo mfanyabiashara mohammed abdallah nofa akizungumza mara baada ya kukabidhi mchango wake wa shilingi 500000 kwa mkuu wa wilaya ilala mh sophia mjema wa pili kutoka kulia katika picha kulia ni edward mpogolo katibu tawala wa wilaya ya ilala na kushoto ni katibu wa jwk bw abdallah mwinyi kiongozi wa wafanyabiashara wauza simu za mkononi bwstanley mwakipesile akizungumza machache mara baada ya kukabidhi mchango wao zaidi shilingi milioni 1500000 kwa mkuu wa wilaya ya ilala katika harambee hiyo
2016-12-05T20:41:21
http://michuzi-matukio.blogspot.com/2016/09/dc-ilalasophia-mjema-aongoza.html
mchezaji wa ndanda gideon benson akiangalia ampasie nani mpira wakati wa mechi yao na coastal union mpambano uliofanyika katika uwanja wa mkwakwani tanga coastal ilishinda 21 mchezaji wa timu ya ndanda nassoro kapama akikimbilia mpira uliokufa kwa ajili ya kurusha nyuma ni abdallah mfuko wa timu ya coastal union mchezo huo ndanda walifungwa goli mbili kwa moja mchezaji wa ndanda gideon benson akitafuta mbinu ya kumtoka mchezaji wa timu ya coastal union ya tanga rama salim wakati wa mechi yao iliyofanyika jijini tanga coastal walishinda bao 21 picha mashabiki wa coastal wakiangalia mpira posted by super d (mnyamwezi) at 704 pm
2017-10-22T00:57:48
http://burudan.blogspot.com/2014/10/ndanda-yafugwa-goli-2-kwa-1-na-coastal.html
vyama vikubwa vya kisiasa tanzania | jamiiforums | the home of great thinkers vyama vikubwa vya kisiasa tanzania discussion in 'jukwaa la siasa' started by bantugbro aug 29 2009 nilikuwa nimelala na ndo nimeamka sasa hivi wagombea wetu wa uchaguzi ujao watapita kwa chama lipi chaccm chadema chanccr chacuf ama nadhani sasa hivi vyama vikuu vipya ni wakatoliki na shura ya waislamu sasa ngoma iliyopo ni je vyama hivi vitawasupoti akina nani/wagombea gani tuombe sana ccm itavuna inachopanda maana wameshindwa kusimamia uchaguzi wa haki na kuleta uchaguzi wa mafisadi wakiambiwa wabadilishe katiba hawataki wakiambiwa wabadilishe tume ya uchaguzi hawataki wakiambiwa waendeshe uchaguzi wa haki pia hawataki sasa wanalolitaka litokee katika nchi hii watalipata na wao walioko madarakani ndio watakao beba lawama na pindipo yakitokea ya kutokea wao ndio watakaosakwa kama omar albashir jews4ever member vyama vikubwa vya siasa ni ccm na chadema vingine vikiongozwa na cuf ni vya kidini cuf ni chama cha kiislamu wakatoliki na shura ya maimamu sio vyama vya siasa hawa wametoka mwongozo kwa waumini wao ili waweze kufanya maamuzi sahihi wakati wa uchaguzi ili wasije wakawachagua viongozi wasio waadilifu sijasoma waraka wa hawa maimamu ila nasikia haujakaa vizuri kwa upande mwingine sio suala la chama mtu atakachaguliwa kwa uwezo wake na uadilifu bila kujali anatoka chama gani dini gani na kabila gani chadema nacho ni cha kabila ukoo na wakwe wao
2018-01-16T10:24:25
https://www.jamiiforums.com/threads/vyama-vikubwa-vya-kisiasa-tanzania.37493/
nuh mziwanda amtupia 'dongo' shilole | raha za walimwengu home » »unlabelled » nuh mziwanda amtupia 'dongo' shilole nuh mziwanda amtupia 'dongo' shilole baada ya kuenea kwa picha katika mitandao ya kijamii za muingizaji na msanii zuwena mohamedmaarufu kama shilole zikionyesha kuwa amefunga ndoa na mpenzi wake uchebejana usiku aliyekuwa mpenzi wa shilole nuh mziwanda ametuma dongo nuh mziwanda ameandika ujumbe katika ukurasa wake wa instagram ambao unatafsiriwa kama amebeza ndoa hiyo mpenzi huyo wa zawadi wa shilole nuh mziwanda ameandika aliyelala na bibi harusi wiki moja kabla ya harusi na wala sio bwana harusi bado mnanishauri harusi (all girls are pretenders ) siku chache zilizopita shilole alisisitiza kuwa atafunga ndoa kabla ya mwaka huu kuisha japo watu walimbeza hayawi hayawi yamekuwa
2017-12-14T02:32:02
http://www.rahatupu.us/2017/12/nuh-mziwanda-amtupia-dongo-shilole.html
watano wa familia moja wako hoi baada ya kunywa dawa waliyopewa na mganga wa kienyeji ~ bongojunior watano wa familia moja wako hoi baada ya kunywa dawa waliyopewa na mganga wa kienyeji 723 am matukio no comments watu watano wa familia moja katika kitongoji cha benaco kata ya mtandi halmashauri ya mji wa masasi mkoani mtwara wamelazwa katika hospitali ya mkomaindo huku hali zao zikiwa mbaya baada ya kunywa dawa ya kienyeji waliyopewa na mganga wa tiba za asili dawa hiyo ya kienyeji inaitwa nyungu ambayo hutokana na mchanganyiko wa majani tofauti ambayo hupondwa kwenye kinu na kuchanganywa na maji na kuchemshwa mgonjwa hufunikwa kwa nguo nyeupe na kufukizwa na mvuke wa maji hayo kisha huyanywa mkuu wa polisi wa wilaya ya masasi azaria makubi alitaja wanafamilia waliolazwa hospitalini ni baba wa familia hiyo geofrey evance (43) mke wake hadija salumu (30) dada yake fidea evance (40) pamoja na watoto wake wawili husna zuberi (8) na godfrey geofrey (10) imeelezwa baada ya wanafamilia hao kunywa dawa hiyo wote hali zao zilibadilika ghafla huku baadhi wakitokwa mapovu vinywani na baadae walipoteza fahamu na kukimbizwa katika hospitali ya mkomaindo ambako wamelazwa hadi sasa makubi alithibitisha tukio hilo na kusema ni la juzi saa 1230 jioni katika eneo la makondeko halmashauri ya mji wa masasi nyumbani kwa mganga huyo alisema wana familia hao walikumbwa na kadhia hiyo baada ya kuitwa na mganga huyo msichana mwenye umri wa miaka 17 (jina tunalihifadhi) kwa lengo la kwenda kumalizia dawa hiyo ya kinga kwa wanafamilia hao kutokana na watoto wao wawili kupewa matibabu na mganga huyo wiki mbili zilizopita mkuu wa kituo alisema kwa mujibu wa maelezo aliyoyatoa mganga alitoa dawa hiyo kwa wanafamilia hao waitumie kwa kuoga na kupaka kwenye miili yao na si vinginevyo alijieleza kwamba baada ya kuwapa aliingia ndani ya nyumba yake lakini wanafamilia hao walidanganywa na jirani yao (aliyetajwa jina) kuwa ili kinga hiyo iwe ya kudumu na muda mrefu ni lazima waoge na wanywe maji yake kwa upande wao wauguzi wa zamu prisca mirumba wa wodi namba moja b ya wanaume na sophia erasto wa wodi namba sita ya wanawake walisema waliwapokea wagonjwa hao juzi usiku saa 230 wakiwa wamepoteza fahamu huku baadhi yao wakitokwa na mapovu vinywani ilielezwa walibaini watu hao walipewa kimiminika kinachosadikika kuwa ni sumu walipewa matibabu ya awali ingawa hadi sasa kwa mujibu wa wauguzi hao hali za wanafamilia hao si ya kuridhisha chanzo cha dawa akizungumza kwa tabu akiwa amelazwa kwenye wodi namba sita hospitali ya mkomaindo mjini masasi baba wa familia hiyo geofrey evance alisema chanzo cha yeye na familia yake kwenda kwa mganga huyo kupata tiba ni baada ya watoto wake kukumbwa na ugonjwa wa degedege alisema baada ya kufika kwa mganga walipewa dawa hiyo ya nyungu na kisha kushawishiwa na jirani yao wainywe dawa hiyo na kwamba mara baada ya kunywa walipoteza fahamu na walijikuta wakiwa hospitalini mkomaindo mjini masasi
2018-07-22T08:44:42
http://bongojunior.blogspot.com/2015/03/watano-wa-familia-moja-wako-hoi-baada.html
mtakuwa mashahidi wangu | gobible translations home › mtakuwa mashahidi wangu mtakuwa mashahidi wangu (matendo 1) utangulizi je umewahi kukabiliana na hali ya wasiwasi mkubwa maishani mwako ambapo mtu fulani alikuangusha ulikuwa na mpango fulani kwa ajili ya siku zijazo lakini ghafla mipango yako yote ikabadilika je unaukumbuka msukosuko uliokutinga mawazoni mwako hukujua uamini nini na hukujua mustakabali wako nadhani hapo ndipo tunapokutana na wanafunzi katika somo hili hebu tuzame kwenye somo letu la biblia na tujifunze zaidi mtazamo potofu soma marko 103536 je mtu amewahi kukwambia kuwa utanitendea jambo fulani au una nafasi siku ya jumanne usiku je unayajibu maswali hayo au badala yake unauliza swali lako mwenyewe kwa nini (ninafahamu maswali hayo kwa kiwango kikubwa huwa yanataabisha hivyo siyajibu isipokuwa tu kama nimegundua wanachokiwaza tunaona kwamba yesu pia anachukua tahadhari) soma marko 103739 yesu anawaambia kuwa hawajui wanachokiomba hii ni kweli pasipo na shaka yoyote unadhani kwa nini waliamini kile walichokiomba (walizungumzia utukufu walidhani yesu atakuwa mfalme na walitaka kuwa na nafasi za juu kwenye ufalme wake hapa duniani) soma matendo 167 je yakobo na yohana ndio wanafunzi pekee wanaodhani kuwa yesu ataurejesha ufalme israeli (hapana hata katika hizi nyakati za mwisho muda mfupi kabla ya yesu kurudi mbinguni bado wanafunzi wana mtazamo potofu juu ya mustakabali wao) soma matendo 145 na marko 103234 hiki ndicho alichokisema yesu kabla yakobo na yohana hawajauliza swali lao na wanafunzi hawajauliza swali lao unaelezeaje kushindwa kwao kuwa makini (wangepaswa kujikita kwenye ujio wa roho mtakatifu au ukweli ambao yesu ameusema kwamba anakaribia kuuawa badala yake walizingatia kile walichotaka kitokee na inaonekana hawakuzingatia kile ambacho kimsingi yesu alikisema) soma matendo 189 yesu alikuwa na mustakabali gani kwa ajili ya wanafunzi (watakuwa mashahidi duniani na si watawala) kama ungekuwa mwanafunzi ungefanyaje kwenye hayo mabadiliko ya mipango yesu anaweka mpango gani wa jumla kwa ajili ya kushuhudia (mahala pao pa kushuhudia palikuwa pakubwa sana kiasi cha kujumuisha ulimwengu wote) wanafunzi walipouliza kuhusu kurejesha ufalme kwa yerusalemu unadhani walimaanisha israele pekee au kwamba israeli itautawala ulimwengu soma matendo 11011 wanafunzi walikuwa wanafikiria nini yesu alipopaa kwenda mbinguni walikuwa na mawazo gani malaika walipowaambia kuwa yesu atarejea soma luka 244452 huu ni mwonekano mwingine wakati yesu aliporejea mbinguni inataarifiwa kuwa wanafunzi walijawa furaha kuu hilo lilitokeaje tukichukulia kwamba muda mfupi hapo kabla walikuwa wamechanganyikiwa kuhusu mustakabali wao kitendo hicho kilitokeaje wakati nina uhakika lazima walikuwa wamesikitika sana kwa kutokuwa watawala hapa duniani (sina uhakika kama walielewa kikamilifu ila nafikiri walidhani kuwa ikiwa walitimiza malengo yao ya kushuhudia yesu angerudi na kuusimika ufalme wake hilo liliwapatia furaha ilikuwa tu ni furaha iliyocheleweshwa) ulimwengu halisi soma matendo 11214 ikiwa maisha yanakwenda mrama au ikiwa unachanganyikiwa kuhusu mustakabali wako unapaswa kufanya nini (sali hicho ndicho walichokifanya wanafunzi na marafiki wa karibu wa yesu pamoja na familia yake) soma matendo 11517 tafakari maneno ya petro hebu niambie unadhani mada ya maombi katika chumba cha orofani ilikuwa ni ipi (petro anazungumzia maandiko na unabii anazungumza kuhusu roho mtakatifu nadhani walikuwa wanapitia unabii kumhusu yesu na kuomba mwongozo wa roho mtakatifu bila shaka ndio maana walitaka kufahamu walikosea mahala gani katika mipango yao ijayo bila shaka anguko la yuda lilikuwa ni onyo makini kuhusu kukosa kuuzingatia mpango wa mungu) soma matendo 11820 biblia inatoa mwongozo gani kuhusu uongozi ujao (inasema kuwa mtu fulani anapaswa kuchukua nafasi ya yuda) soma matendo 12122 mwanafunzi wa kuchukua nafasi ya yuda anapaswa kuwa na vigezo gani (mtu ambaye ni shahidi wa kazi yote ya utume wa yesu ikiwemo kufufuka kwake) tafakari jambo hili kwa nini hiki ndio kile walichokihitaji kwa mwanafunzi mbadala (hii inaonesha wamepata maono sahihi kwa ajili ya mustakabali wao wanamtafuta shahidi sio kiongozi wa kisiasa sasa wanauelewa mustakabali wao hapa duniani) soma matendo 12326 kwa nini roho mtakatifu anatakiwa kuchagua kati ya watu wawili ambao hapo awali walikuwa wamechaguliwa na kundi la waumini kwa nini wasimwache roho mtakatifu afanye uchaguzi kutoka miongoni mwa waumini wote 120 bado baadhi ya makanisa yanawachagua viongozi kwa njia hii kwa nini isiwe kwa makanisa yote hii inatufundisha nini kuhusu kufanya uamuzi maishani mwetu (tunaona kwamba katika taswira pana tunaweza kukosea na mungu ataturekebisha lakini pia tunaona kipengele kikubwa cha uamuzi na uchaguzi wa kibinadamu tunachokiona hapa ni mpango wa pamoja kati ya roho mtakatifu na wanadamu) soma matendo 1313 kwa nini roho mtakatifu anafanya uchaguzi wa upande mmoja hapa soma matendo 16610 hapa tunamwona roho mtakatifu akimzuia paulo kivitendo (inaonekana hivyo) asihubiri katika maeneo fulani kwa nini asifanye uamuzi wa pamoja na paulo matendo 1610 inaposema kuwa paulo na wainjilisti wenzake walikuwa wanahitimisha kwamba mungu aliwaita wakahubiri makedonia hiyo inazungumzia nini kuhusu uhakika wa uamuzi wao (hii inafanana sana nasi hatuna uhakika wa nini cha kufanya tunataka kuyafanya mapenzi ya mungu baadhi ya njia tunazotaka kupita zimezibwa lakini hatimaye tunaona ishara kwamba tunapaswa kupita kwenye njia fulani tunahitimisha kwa kadri tuwezavyo kile ambacho mungu anakitaka hatuna uhakika tutakaokuwa nao na mambo ya mungu au roho mtakatifu kutupatia ujumbe maalum) vifungu hivi vinatupatia mwongozo gani katika suala la kuchagua viongozi wa kanisa na kuweka mipango ya baadaye kwa ajili ya kanisa (ikiwa tunamtazamia mungu ataongoza mipango yetu ni sawa kwetu kutokana na maombi na mantiki ya kawaida kuweka mipango lakini tunatakiwa kumkaribisha roho mtakatifu kufanya mabadiliko madogo au makubwa kwenye mipango yetu ili kuutangaza ufalme wa mungu) rafiki je unasikitika juu ya mustakabali wako je mipango yako haikufanya kazi kama ulivyotarajia je uliomba na kumkaribisha roho mtakatifu ili auongoze mustakabali wako ikiwa ulifanya hivyo basi unapaswa kuanza na kile unachodhani kuwa unapaswa kukifanya na umtafute roho mtakatifu ayaongoze mapito yako juma lijalo pentekoste
2020-02-19T06:50:56
http://www.gobibletranslations.org/node/1865
chadema kuchunguza tukio la kunyanysawa mwamdishi wa tbc | mtanda blog home / kitaifa / slider / chadema kuchunguza tukio la kunyanysawa mwamdishi wa tbc chadema kuchunguza tukio la kunyanysawa mwamdishi wa tbc juma mtanda 820 pm kitaifa slider edit salaam wahariri na waandishi wa habari pokeeni reaction ya chadema kwa hatua za awali tunafanyia uchunguzi tukio hilo ili kuweza kubainisha nini hasa kilitokea katika siku hiyo na tunategemea kupata ushirikiano kutoka kwa mwandishi husika katika uchunguzi wetu tunapenda kuwahakikishia waandishi wote wa habari kuwa wataendelea kuwa salama katika matukio yote ambayo yatakuwa yakifanywa na chadema na watapata ushirikiano unaostahili
2017-12-15T12:19:20
http://jumamtanda.blogspot.com/2017/07/chadema-kuchunguza-tukio-la-kunyanysawa.html
das malinyi azindua zoezi la kusajili namba ya utambulisho wa mlipa kodi posted on june 20th 2018 katibu tawala wilayani malinyi lameck lusesa &nbspamefungua uzinduzi wa kusajili watu wenye mahitaji ya namba ya utambulisho wa mlipakodi tin namba uzinduzi huo umefanyika leo na kuendeshwa na s posted on june 15th 2018 waumini wa dini ya kiislam wilayani malinyi &nbspwameaswa kuyatenda yale yaliyo mema hata mara baada ya mwezi mtukufu wa ramadhan yemeelezwa hayo na shekhe wa wilaya karume katika ibada ya idd el maadhimisho ya siku ya wakulima posted on june 12th 2018 wakulima katika vijiji kumi wilayani malinyi wameadhimisha siku yao wilayani humo kwa mwaka wa fedha 2017/2018 maadhimisho hayo ambayo yameadhimishwa kwa kwenda katika mashamba ya mpunga itete na
2020-07-02T11:17:21
http://www.malinyidc.go.tz/news/10
kampeni ya usafi kitaifadc ngara ahimiza usafi wa mazingira na usafi binafsi mwana wa makonda home matukio kampeni ya usafi kitaifadc ngara ahimiza usafi wa mazingira na usafi binafsi kampeni ya usafi kitaifadc ngara ahimiza usafi wa mazingira na usafi binafsi mohamed ramadhan makonda tuesday december 08 2015 matukio mkuu wa wilaya ya ngaramkoani kagera bi honoratha chitanda akizungumza na baadhi ya wananchi wa kata ya kabangamjini kabanga jana december 072015 wakati wa kampeni ya usafi wa mazingira na usafi binafsi iliyoizindua december 052015 mjini ngara ambayo inaendelea wilayani humo na taifa zima kwa ujumla amewahimiza wananchi kufanya usafi wa mazingira ikiwa ni njia ya kuendeleza afya bora kwa kuzuia mlipuko wa magonjwa unaoletwa na athari za taka pia aliambatana na viongozi wengine wa wilaya kutembelea kata ya kabanga eneo la mji mdogo kwa lengo la kusikiliza kero za wananchi mara alipowasili eneo la kabanga alianza na zoezi la kuokota takataka zilizo zagaa akishirikiana na wananchi ikiwa sehemu ya kuendeleza kampeni ya usafi aliyoizindua siku ya jumamosi ya tarehe 05/12/2015 katika eneo la kojifa mjini ngara aidha pia mkuu huyo wa wilaya ya ngarabichitanda mara baada ya zoezi la usafi alifanya mkutano wa hadhara ili kusikiliza kero mbalimbali za wananchi ambapo baadhi ya wakazi wa mji wa kabanga wameeleza kero zao mbalimbali zinazo wakabili ikiwemo mgogoro kutumia stendi ya magari ambayo ipo eneo lenye mgogoro wa ardhibofya hapa kusoma na kutazama picha zaidi by mohamed ramadhan makonda at tuesday december 08 2015
2018-02-25T21:27:02
http://mwanawamakonda.blogspot.com/2015/12/kampeni-ya-usafi-kitaifa-dc-chitanda.html
nec yahamisha baadhi ya vituo vya kupigia kura ~ mzee wa matukio daima home » » nec yahamisha baadhi ya vituo vya kupigia kura nec yahamisha baadhi ya vituo vya kupigia kura mkurugenzi wa uchaguzi kailima ramadhaniakiwa na kitabu cha wageni kwenye ofisi ya serikali ya mtaa wa malindi estate ambayo ipo kwenye nyumba ya mmoja wa wagombea wa uchaguzi mdogo wa madiwani kata ya mbwenipicha na nec tume ya taifa ya uchaguzi (nec) imejiridhisha kuwa uamuzi wa kuvihamisha vituo 21 vya kupigia kura katika kata ya mbweni jimbo la kawe katika halmashauri ya manispaa ya kinondoni umezingatia sheria na kanuni za uchaguzi nec imetoa msimamo huo baada ya kupokea taarifa kutoka kwa baadhi ya wananchi na vyama vya siasa wakilalamika kuwa tume ya uchaguzi imehamisha vituo vinane (8) vya kupigia kura na kuvipeleka kwenye kituo cha polisi hatua waliyoeleza kuwa ni kuwanyima haki wapiga kura katika kutimiza haki ya msingi malalamiko mengine yaliyoifikia nec ni kwamba tume ilivihamisha vituo vingine 15 kutoka maeneo ya awali na kuvipeleka maeneo mengine jambo ambalo baadhi ya vyama havikukubaliana na uamuzi huo kutokana na malalamiko hayo jana jumanne mkurugenzi wa uchaguzi wa nec kailima ramadhani akiambatana na watendaji wengine wa tume walitembelea maeneo hayo na kujiridhisha kuwa mabadiliiko ya vituo yaliyofanywa na msimamizi wa uchaguzi yamekidhi matakwa ya kisheria nimefika hapa jimbo la kawe kata ya mbweni baada ya mwananchi mmoja kunitumia ujumbe akiniambia kuwa kuna chama kimoja kinachoshiriki uchaguzi mdogo wa madiwani wa kata ya mbweni kinalalamika kwamba tume imehamisha vituo vya kupigia kura kiholela alisema ramadhani mkurugenzi wa uchaguzi aliongeza kuwa chama hicho kimelalamika kuwa vituo hivyo vimepelekwa kwenye eneo la kituo cha polisi kwa hiyo huenda wapigakura wakanyimwa haki yao ya kupiga kura alisema alipowauliza watendaji wa halmashauri ya manispaa ya kinondoni majibu yao hayakumridhisha ndipo alipoamua kufika eneo la tukio kwanza wanalalamika kwamba vituo vilivyohamishwa ni 27 lakini ukweli ni vituo 21 vituo hivyo vimehamishwa kwa mujibu wa sheria kwa sababu novemba mosi 2017 msimamizi wa uchaguzi ngazi ya kata aliviita vyama vinne na kufanya mkutano na aliwaambia tunavihamisha vituo hivyo kwa sababu mbalimbali sababu alizozitoa msimamizi wa uchaguzi ni kwamba vituo vinane vilikuwa shule ya sekondari new era na vituo saba7 vilikuwa jirani na nyumbani kwa mgombea ambaye ni mwenyekiti wa serikali ya mtaa na vituo sita vilikuwa kwenye eneo la kanisa alifafanua kailima alibainisha kuwa kifungu cha 20 (2) cha kanuni za uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura za mwaka 2015 na kifungu cha 21 cha kanuni za uchaguzi mkuu wa 2015 vinabainisha kuwa vituo vya kupigia kura havipaswi kuwa kwenye maeneo ya watu binafsi kwenye maeneo ya ibada na kwenye kambi za jeshi kutokana na msingi wa kanuni hizo kailima alithibitisha kuwa uamuzi wa kuvihamisha vituo hivyo kwenye maeneo hayo ambao umefanywa na msimamizi wa uchaguzi wa jimbo la kawe ulikuwa sahihi naye mkurugenzi wa halmashauri ya manispaa ya kinondoni ambaye ndiye msimamizi wa uchaguzi wa jimbo la kawe ilipo kata ya mbweni aron kagurumjuri alisema malalamiko kuhusu kuhamishwa kwa vituo hivyo yalitolewa na chama kimoja kati ya vyama vinne ambavyo vitashiriki kwenye uchaguzi mdogo wa diwani wa kata hiyo alisema uchaguzi mdogo wa kata hiyo unafanyika baada ya mahakama kutengua uchaguzi wa awali kutokana na ukiukwaji wa baadhi ya taratibu za uchaguzi tuko hapa kwa sababu chama kimoja kati ya vyama vinne vinavyoshiriki uchaguzi huu mdogo kulalamika kwamba tumehamisha vituo na kuvipelekea kwenye maeneo ambayo sio rafiki kwa wapiga kura alisema kagurumjuri alifafanua kuwa hali halisi inaonesha kwamba kanuni na taratibu za kupigia kura haziruhusu kuweka kituo kwenye jengo la mtu binafsi na shule hiyo ambayo ilikuwa na vituo kadhaa ni shule ya mtu binafsi kwa hiyo kwa uchaguzi huo wa mwakaa 2015 kanuni hizo zilikiukwa sasa kwa uchaguzi huu kwa sababu tunataka tufanye uchaguzi kwa kufuata kanuni na sheria hatukutaka kuingia kwenye uvunjaji wa kanuni na taratibu baada ya kuhamisha vituo na kuvipeleka eneo hilo ikazua sintofahamu kwa chama kimoja na vyama vitatu vilivyoridhia ambapo tulikuwa na mashaka inawezekana kilifaidika na vituo kuwepo maeneo hayo alisema kagurumjuri alisema vituo vingine vimehamishiwa kwenye eneo la wazi na lenye usalama zaidi kwa wapiga kura pamoja na vitu vingine na kwamba wanaona halina shida
2018-02-20T18:57:20
http://www.matukiodaima.co.tz/2017/11/nec-yahamisha-baadhi-ya-vituo-vya.html
wadau samahani | madish technology wadau samahani kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu na umuhimu wa hii kitu kwenu tumeshindwa kuimaliza kurekebisha hii blog on time hivyo chochote ambacho mtakiona kipo tofauti na hii blog ni katika jitihada za kuboresha na soon itakuwa vizuri zaidi katika muonekano mpya na bora zaidi unaweza kushiriki nasi kwa chochote ambacho unadhani tunaweza kufanya pamoja kupitia hii blog na mengineyo pia kama unahitaji huduma yeyote katika kipindi hiki waweza wasiliana na muhusika kama si wahusika kwa njia zifuatazo kwa no+255 659161111 kwa emailmustaphamadish@gmailcom popote ulipo tupo nawe ahsante n karibu sana fanya hima tupate ambacho tunastahili inaonekana ipo up2date sanahongera sana inaoekana ipo up2date sanahongera sana nimejaribu kupiga simu yako inaita tu time hiivipi nipo sumbawanga unaweza nipatia services zako kaka nashukuru umenifanyia kazi nzuri sana umeniafanyia good sana ngoja nikutengenezee mtandao mbona hujibu text zangu
2017-07-22T14:32:57
http://mustaphamadish.blogspot.com/2012/01/wadau-samahani.html
mgonjwa wa ebola azua taharuki ~ uhuru online mgonjwa wa ebola azua taharuki 0103 na rodrick makundi na willium paul moshi wananchi wa kata ya shirimatunda katika manispaa ya moshi kilimanjaro wamepatwa na taharuki kutokana na taarifa za kuwepo mgonjwa anayedhaniwa kuwa na ebola mgonjwa huyo ambaye amelazwa katika zahanati iliyoko kwenye kata hiyo amesababisha huduma kusitishwa na zahanati kufungwa kwa muda huku wagonjwa waliokuwa wakipatiwa matibabu wakihamishiwa katika ofisi ya mtendaji wa kata habari zaidi zimeeleza kuwa mgonjwa huyo aliwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa kilimanjaro (kia) ambapo alisafirishwa hadi kwenye zahanati hiyo baada ya kudai kusikia maumivu makali ya kichwa taarifa hizo zilisema mgonjwa huyo (jina halikufahamika) anayedaiwa ni mzaliwa wa marangu wilayani moshi mwenye makazi yake dar es salaam ameendelea kutibiwa hospitalini hapo na wataalamu wa afya walioko katika zahanati hiyo tayari wataalamu wamechukua sampuli kutoka kwa mgonjwa huyo kwa ajili ya vipimo ili kujiridhisha huku huduma zingine za matibabu zikiendelea kutolewa kwa mgonjwa huyo anayedaiwa kusafiri kutoka nchini senegal hata hivyo waandishi wa habari waliofika eneo la tukio walishuhudia watoa huduma za afya katika zahanati hiyo wakiingia na kutoka ndani ya jengo alikolazwa mgonjwa huyo ingawa baadhi yao hawakuwa na mavazi rasmi ya kujikinga jopo la wataalamu wa afya likiongozwa na mganga mkuu wa mkoa dk mtumwa mwako mganga mkuu wa manispaa ya moshi dk christopher mtamakaya na watendaji wengine akiwemo mkurugenzi wa manispaa shaban mtarambe walikutana kwa dharura katika zahanati hiyo mtarambe alipoulizwa kuhusu hali hiyo alisema hawezi kuzungumza kwa maelezo kuwa suala hilo ni la kitaalamu zaidi linalohitaji wataalamu husika kulizungumzia jitihada za kumpata dk mwako kutolea ufafanuzi suala hilo hazikuzaa matunda mwenyekiti wa mtaa wa kigongoni juma sambeke alithibitisha kuwepo kwa mgonjwa huyo baada ya kupokea taarifa kutoka viongozi wa wenzake alisema licha ya mgonjwa kufikishwa kwenye zahanati hiyo uongozi wa kijiji haukuwa na taarifa huku akipokea majibu kutoka ngazi ya manispaa kuwa suala hilo linaratibiwa na mkoa diwani wa kata ya shirimatunda felix mushi alilaumu uongozi wa manispaa kwa uamuzi wake wa kutenga eneo hilo kwa ajili ya wagonjwa wanaohisiwa kuwa na ebola alisema eneo hilo limezungukwa na huduma zote za kijamii ambapo baadhi ya wazazi wamekuwa na shaka na kuwazuia watoto wao kwenda shuleni zahanati hiyo inakadiriwa kutoa huduma kwa zaidi ya wagonjwa 5000 kwa mwezi ambapo takribani wagonjwa 100 walihamishiwa katika ofisi za ofisa mtendaji kata wakiwemo wale wanaofika kwa ajili ya chanjo ya surua na rubella
2017-07-24T06:42:13
http://uhurunewspaper.blogspot.com/2014/10/mgonjwa-wa-ebola-azua-taharuki.html
makavulive picha chafu alizopiga bobby valentino zabambwa picha ya msanii boby valentino iliyo enea ktk mitandao tofauti ikimuonyesha mwanamuziki huyo akiwa na wasichana wawili ktk chumba kimoja cha hotel picha hii iliyoeditiwa ktk kulinda maadili ni moja ya picha nyingi za boby na hao mademu ziliwekwa ktk mitandao bila ya wao kujua check moja ya comment za maana kwa dada zetu zilizotumwa 'ladies it is time for us to wake up and see these men for who they are this is one of many emails to come remember in life you must make choices love the one you are with and stop thinking people will never find things out cause your actions always come to the light posted by makavulive dar at 1345 judge dawg january 28 2013 at 1111 am stupid women keep falling for the same trick over and over again celebrities will always use women
2017-08-19T13:07:12
http://makavulive.blogspot.com/2010/02/picha-chafu-aliyopiga-bobby-valentino.html
aneth david msomi wa chuo kikuu dsm tanzania ashinda tuzo za mwanasayansi afrikamsikie hapa rumafrica for all nations » aneth david msomi wa chuo kikuu dsm tanzania ashinda tuzo za mwanasayansi afrikamsikie hapa aneth david msomi wa chuo kikuu dsm tanzania ashinda tuzo za mwanasayansi afrikamsikie hapa tanzania imepata headlines nyingine baada ya kupata mshindi msomi kutoka chuo kikuu cha dar es salaam aneth david ambaye pamoja na waafrika wengine wameshinda tuzo ya mwanasayansi mkubwa ajaye duniani tuzo inaitwa next einstein forum ambassador na imeandaliwa na taasisi ya next einstein forum ambao wanaamini kwamba einstein anaekuja ambaye alikua mwanasayansi mkubwa wa marekani atatoka afrika mwanasayansi huyu aliweza kutabiri mambo yaliyokuja kutokea miaka 100 baadae next einstein forum wanaamini kuna wanasayansi wanaofanya mambo makubwa na mazuri na yanasaidia jamii zao lakini wamefichika wapo vichakani kinachojulikana zaidi kutoka afrika ni vita njaa na magonjwa aneth aneth amesema alipeleka maombi ya kushiriki tuzo hii july 2015 na baadae akapata majibu kulikua na watanzania kama watano aliowaona walioshiriki kama yeye lakini yeye ndio akatajwa mshindi kulikua na wawakilishi 54 kutoka nchi mbalimbali za afrika ambapo kila nchi imepata mwakilishi wake yeye kashinda kuiwakilisha tanzania march 2016 washindi walikutana senegal kwenye mkutano mmoja na mawaziri wa sayansi afrika na marais akiwemo rais paul kagame wa rwanda na kuwaleta pamoja na wadau wa sekta binafsi hii ni kama kuileta dunia pamoja na washindi hawa wanapata nafasi ya kuonyesha project zao za kuleta mabadiliko kwenye kizazi hiki kufahamu zaidi kutoka kwa aneth david bonyeza play kwenye hii video hapa chini
2017-03-30T06:46:59
http://rumaafrica.blogspot.com/2016/04/aneth-david-msomi-wa-chuo-kikuu-dsm.html
msuva ainusuru yanga sc kulala kwa prisons asawazisha kwa penalti sare 22 bin zubeiry sports online msuva ainusuru yanga sc kulala kwa prisons asawazisha kwa penalti sare 22 habari motomoto msuva ainusuru yanga sc kulala kwa prisons asawazisha kwa penalti sare 22 na gwamaka mwankota mbeya yanga sc imezidi kupoteza matumaini ya kutetea ubingwa wa ligi kuu ya vodacom tanzania bara baada ya jioni ya leo kulazimishwa sare ya 22 na prisons uwanja wa sokoine mbeya matokeo hayo hayaiondoi kileleni yanga sc ikifikisha pointi 40 baada ya kucheza mechi 17 mbele ya azam fc na simba sc wenye pointi 39 kila mmoja lakini azam fc wana viporo wawili wakati simba sc ndiyo wamecheza mechi 17 kama yanga yanga sc walikuwa wa kwanza kupata bao dakika ya 35 kupitia kwa mshambuliaji wake mrundi amissi tambwe aliyefunga kichwa akimalizia krosi ya kiungo mnyarwanda haruna niyonzima kikosi cha yanga sc kilichoanza leo mbeya dhidi ya prisons uwanja wa sokoine prisons wakasawazisha bao hilo kupitia kwa jeremiah juma mgunda aliyefunga kwa kichwa pia dakika ya 40 akimalizia krosi ya mohammed mkopi mkopi akaifungia prisons bao la pili dakika ya 62 kwa kichwa pia akimalizia mpira wa adhabu uliopigwa na kiungo wa zamani wa yanga sc juma seif kijiko mfungaji bora wa ligi kuu msimu uliopita simon msuva aliyetokea benchi kipindi cha pili kuchukua nafasi ya deus kaseke aliisawazishia yanga kwa penalti dakika ya 84 baada ya beki meshak suleiman kuunawa mpira kwenye boksi kikosi cha yanga sc kilikuwa deo munishi dida juma abdul oscar joshua vincent bossou mbuyu twite said juma makapu/salum telela dk59 deus kaseke/simon msuva dk54 haruna niyonzima na donald ngoma amissi tambwe na issoufou boubacar prisons benno kakolanya benjami asukile laurian mpalile james mwasota nurdin chona jumanne fadhil lambert sadianka freddy chudu/juma seif dk48 mohammed mkopi jeremiah juma na leonce mutalemwa/meshack suleiman dk51 wednesday february 03 2016 item reviewed msuva ainusuru yanga sc kulala kwa prisons asawazisha kwa penalti sare 22 rating 5 kyle edmund into the second round winning 62 75 63 mike dickson in melbourne kyle edmund has buckled under the australian sun before but there was no danger of that as he powered his way into the second r pitchers and catchers with a predilection for preplanning (say that five times fast) have already begun packing their bags for florida and arizona spri african bar association appoints osa director special adviser notice undefined index layout_id in /var/www/vhosts/sunnews/wpcontent/themes/fastnews/library/frontphp on line 1663 the african bar association (afba) can 2017bertrand traoré«cétait un peu difficile pour moi» reçu cet après midi lors de la deuxième séance dentraînement des étalons du burkina faso après le nul samedi dernier contre le camerounbertrand traoré
2017-01-17T06:53:14
http://www.binzubeiry.co.tz/2016/02/msuva-ainusuru-yanga-sc-kulaka-kwa.html
azam mtilah blog home / michezo / azam kocha msaidizi wa klabu bingwa ya afrika mashariki na kati azam fc idd nassor cheche amefunguka na kudai watahakikisha mechi zote mbili zilizosalia mkononi mwao wanapata alama tatu ili waweze kujiweka vizuri katika msimamo wa ligi ambapo kwa sasa wanashikilia nafasi ya pili kwa alama 52 cheche amebainisha hayo wakati alipokuwa anazungumza na mwandishi wa habari hii kuelekea mchezo wao wa raundi 29 ya ligi kuu tanzania bara dhidi ya tanzania prisons utakaopigwa jumapili katika dimba la azam complex nje kidogo ya jiji la dar es salaam kuanzia majira ya saa 100 usiku hali ya kikosi ipo vizuri kabisa na kila mtu anaonyesha ari ya kutaka kucheza wa mwanzo kwa hiyo tupo katika ushindani kwasababu tunategemea tushinde mechi hiyo ili tuweze kuongeza pointi zetu mbele majeruhi waliokuwepo kwenye kikosi ni wale ambapo yupo yakubu pamoja na daniel amesema cheche pamoja na hayo cheche ameendelea kwa kusema kwa hiyo tunajipanga tofauti na vile tulivyojipanga mwanzo kwa sababu mwanzoni tulicheza uwanja tofauti na tulikuwa na baadhi ya wachezaji ambao sasa hivi hawapo lakini sasa hivi tunajipanga kivingine kuhakikisha tunaendeleza ubabe wetu mbali na hilo cheche amesema kwa sasa hawezi kuzungumza lolote kuelekea mechi yao ya mwisho dhidi ya yanga kwa kuwa akili zao zote wamezielekezea katika mechi yao na tanzania prisons ila watahakikisha kila mechi wanapata ushindi msikilize hapa chini kocha msaidizi wa klabu bingwa ya afrika mashariki na kati azam fc idd nassor cheche akifunguka zaidi
2018-08-14T14:03:35
http://www.mtilah.com/2018/05/azam.html
kwanini naamini usajili wa ronaldo man united sio sahihi | shaffihdauda home ligi epl kwanini naamini usajili wa ronaldo man united sio sahihi kwanini naamini usajili wa ronaldo man united sio sahihi wakati fulani msimu uliopita katika tukio la hisani kocha wa manchester united louis van gaal alipewa listi ya wachezaji ambao kijana mmoja shabiki wa united alitaka wasajiliwe katika dirisha la usajili lilopita van gaal alitabasamu na kupokea karatasi hiyo kuna tofauti kati ya wachezaji ambao ni wazuri na wachezaji ambao unaweza kuwapata kwa bei yenye kueleweka ni ngumu kuamini kwenye listi ya yule mtoto jina la mchezaji kipenzi cha old trafford cristiano ronaldo halikuwemo ronaldo amekuwa kwenye mawazo ya kila shabiki wa united tangu siku alipoondoka kujiunga na madrid na sasa mambo yakiwa yameanza kubadilika ndani ya santiago bernabeu inataarifiwa kwamba ronaldo anaweza kuwa njiani kurejea old trafford kwa mara nyingine tena kocha van gaal nae ameonekana kulikuza jambo hilo wakati alipoulizwa juu ya mreno huyo wikiendi iliyopita angewezaje kuacha kulikuza jambo hilo kwa kocha wa man united kulikataa wazo la ronaldo kurejea nyumbani ni kosa la jinao mbele ya mashabiki wa klabu hiyo inawezekana akawa na mapungufu mengi katika utawala wake lakini van gaal sio mpumbavu wa kupinga ujio wa ronaldo hadharani lakini kurudi kwa ronaldo old trafford kunaweza kuwa sio sahihi kwa pande zote mbili kwa kuanzia raisi yoyote anayetaka kumuuza ronaldo inabidi ajihakikishie anafanya biashara ya kueleweka upande wake ikumbukwe hii ni biashara ambayo itakuwa inamhusisha mchezaji ambaye atakuwa na umri wa miaka 31 mwakani mwezi wa pili dili la aina hii likiwa zuri ni ngumu kulikataa kiasi cha £60million kimetajwa na kinaonekana kuwa sahihi ukizingatia dili itahusisha muda wa miaka mitatu au minne united wana fedha za kutosha lakini je watataka kufanya biashara hii watu matajiri hawanaga utaratibu wa kununua bidhaa ambayo itakuwa haina faida kubwa ya kuuza baadae hata kama kurudi kwa ronaldo kutamaanisha labda kushinda ubingwa wa ligi then kuna upande wa pili wa ronaldo katika usajili huu anasema kila mara kwamba anaipenda united klabu yenyewe na mashabiki wake lakini tunafahamu kwamba sababu ya kweli ya mapenzi haya ni sir alex ferguson baba yake kwenye soka ronaldo hatorejea na kumkuta ferguson carrington atarudi na kumkuta louis van gaal meneja ambayo staili ni tofauti kabisa na iliyokuwepo wakati ronaldo alipokuwa ot chini ya van gaal united hawana mfumo mzuri wa uchezaji na wachezaji nao inabidi wafuate maelekezo ya mwalimu wao ukiangalia kwamba moja ya sababu zinazotajwa kuwa sababu ya kumfanya ronaldo atake kuondoka ni mfumo wa kocha rafael benitez sasa atakuwaje na furaha old trafford ambako hakueleweki zaidi ya santiago bernabeu ya benitez inaonekana ni jambo lisiloingia akilini kuzungumzia kurudi kwa ronaldo kunaweza kusiwe uamuzi sahihi ikiwa ronaldo atafunga magoli japo nusu ya anayoyafunga akiwa na madrid united watashinda ubingwa wa epl lakini timing ni kila kitu katika soko la usajili ukiangalia masuala ya kiuchumi na vitu vingine vyote suala la kurudi kwa kipenzi cha ot linaweza kuwa sawa lakini ni kamari kubwa na safari hii siamini kama italipa kwa pande zote mbili previous articlehabari kubwa kwa sasa kuhusu pep guardiola na manchester city next articletuanzie wapi ili kuwapata samatta ulimwengu kwa ajili ya taifa stars ya kesho
2018-09-21T07:41:47
http://shaffihdauda.co.tz/2015/11/27/kwanini-naamini-usajili-wa-ronaldo-man-united-sio-sahihi/
heslb | second batch of loan allocated successful candidates for academic year 2017/18 | unistoretz october 26 2017 unistoretz media universities 16 download all full list below through>>> the higher education students loans board (heslb) on wednesday october 25 2017 released the second batch of 11481 successful applicants for the academic year 2017/18 here is the full list for the first batch of 11481 successful applicants for the academic year 2017/18 view the full list of students allocated for loans for 2017/18 click here to download the pdf or use the box below to view the list second batch of loan allocated successful candidates for academic year 2017/18 | download pdf click here to view heslb names updated universities inasikitisha sana wengine tunaumia tumekosa majina na hakuna sababu za msingi mi nadhani serikali ijitoe tu kugharamia elimu tunakomea darasa la saba tuwe wakulima wote sababu serikali haioni uthamini wa watanzania maskini sitasahau serikali isiokuwa na macho kama hii rasilimali za nchi ya damu ya wazalendo inashikiliwa na wachache mnatubana kulipa kodi huku mnakula jasho letu kimakusudi tanzania nakupenda nchi yangu ila wachache wanatufanya tuchukiane i love my country i hate those mad leaders who want to mislead our nation dah mwaka jana nilikosa kwenda chuo kisa nilikosa mkopo nihc mwaka huu kma inawez tokea tenatusaidieni jamani tupeni hyo mikopo uwezo hatuna sisi alfred baganda mkopo unalipwa je baada ya mwanafunzi kumaliza masomo yake jaman inasikitisha sana has a kwa sisi tuliosoma kwa shida toka darasa la kwanza had kidato cha sit a kuon hatujapata mkop kweli inauma yaani najilaumu na ninakosa wa kumuhukumu kwa nin baba mzazi alifarik nakuniacha nahangaika na shida hizi tcu na loans board naomben mtuangalie hivi ina maana sereikali ya tz haitoi mikopo kwa wale waliomaliza diploma wenye vigezo na wamechaguliwa kuendelea na masomo ya vyuo vikuu mbona jamani hatuwaelewi kila mwaka halafu kama hawatoi mikopo kwa nini wasiwatangazie watanzania wakalifahamu hilo kwa nini heslb inaendelea kusaga hela za watu hao kila mwaka na serikali ya magufuli imelifumbia macho swala hili tumechoka tumechoka tumechoka jamani nani aliyeiloga tanzania magufuli tunakuomba majibu utwambie hao bodi ya mikopo heslb kwa nini wanakula hela ya watu maskini walio na diploma na wanaomba mikopo kila mwaka lakini hatupati mikopo je sisi sio watanzania halali kwa nini haya majitu ya heslb yanazidi kuwafanya watz waishi katika nchi ya tz kama wakimbizi tunajutia kuzaliwa tz walio na diploma tunakosa mikopo kila mwaka lakini hawatangazi kwamba hawatupi mikopo sisi ili tuachane na kusoma vyuo vikuu kwa nini nyie bodi ya mikopo mnakula hela ya watz maskini halafu mnatuacha tukilia mitaani mtalaaniwa nyie siku ya kiama kama umekosa mkopa kuna taasisi binafsi inatoa mikopo kwa wanafunzitssf kwa mawasiliano zaidi 255 (0) 624 700 666 +255 (0) 685 554 729 rosa kibasa tunaomba kujua na kwa wanaoendelea na masomo na waliapply mkopo majina yao yatatumwa chuo ama maana ni batch ya pili hatuoni majina mussa selemani msonga i mussa s msongai need loan to continuous with educationmy form four index nos1741/0235/2014 upuuuuzi si kweli tufanye research alafu tuongeemimi na ndugu zangu wametoka diploma na wamepata mikoposwala hapa ni vigezo vicky robert mrema samahani kwanini wengine wanavigezo vyote na waliomba mkopo on time na kikamilifu na maombi yakatumwa sehemu husika alafu hawajaona majina yao akiwemo mimi mgeni othman jamani inaumiza sana mtu kujitahidi kusoma kwa kutarajia kupata usaidizi lkn inaonekana haizingatiwi jitihada yako naweza kutoka na division ya kwanza ukakosa mkopo akapata yule wa three kwa nini hii ni haki tunawafunza nini walioko form six wajitahid au wabakie hivo hivo haki ndio kitu cha ku zingatiwa mimi heslb isiponipa mkopo nitajua tu kuna mtu anapewa badala yangu lakini poa tu nitakuwa mkulima
2020-07-04T20:50:02
https://www.unistoretz.com/magazine/heslb-second-batch-of-loan-allocated-successful-candidates-for-academic-year-201718/
wannne waongezwa kesi ya che mundugwao fukuto la jamii home unlabelled wannne waongezwa kesi ya che mundugwao wannne waongezwa kesi ya che mundugwao by mshappiness katabazi 320 pm hatimaye wahudumu wa wawili wa idara ya uhamiaji jana walifikishwa kalifikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam nakuunganishwa katika kesi ya wizi wa paspoti 26 inayomkabili mwanamuziki wa muziki wa asili nchini chingwele che mundugwao na wenzake ambapo hadi kufikia jana kesi hiyo imefanya kuwa na jumla ya washitakiwa tisa akiwemo raia mmoja wa uingereza wakili wa serikali lasdsalaus komanya mbele ya hakimu mkazi sundi fimbo alidai kuwa kesi hiyo jana ilikuja kwaajili ya kujatwa lakinipia upande wa jamhuri imekusudia kufanya mabadiliko ya hati ya mashitaka ambapo jana imeweza kuwaunganisha washitakiwa wawili wapya ambao ni wahudumu wa idara ya uhamiaji adam athuman na abdallah salehe na washitakiwa wengine wawili ambao walifikishwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza julai 18 mwaka huu ambao ni rajab momba na haji mshamu katika kesi hiyo ya che mundugwao ambao inawashitakiwa watano na hivyo kufanya sasa kuwa na jumla ya washitakiwa tisa washitakiwa wengine ni che mundugwao raia wa uingereza ahsan iqbal au ali patel ofisa ugavi wa idara ya uhamiaji shemweta kiluwasha injinia keneth pius wa kikosi cha zimamoto na uokoaji na mfanyabiashara ally jabir hata hivyo washitakiwa hao walikanusha mashitaka hayo na kudai kuwa upelelezi bado haujakamilika na hivyo hakimu fimbo aliarisha kesi hiyo hadi agosti 5 mwaka huu itakapokuja kwaajili ya kutajwa na akaamuru washitakiwa hao warejeshwe rumande kwasababu bado mkurugenzi wa mashitaka(dpp) dkeliezer feleshi hajaondoa hati yake ya kuwafungia dhamana mahakamani akiwasomea mashitaka wakili komanya alidai kuwa tarehe isiyofahamika washitakiwa walikula njama ya kutenda kosa aidha tarehe tofauti dar es salaam momba aliiba hati ya kusafiria yenye namba ab 651926 mali ya serikali alidai washitakiwa hao wa nne na wanadaiwa tarehe isiyofahamika dar es salaam walighushi hati ya kusafiria yenye namba hiyo kuonesha ni halali na imetolewa na idara ya uhamiaji ya tanzania jambo ambalo si kweli juni 3 mwaka huu chemundugwao na wenzake walifikishwa kwa mara ya kwanza mahakamani hapo wakikabiliwa na makosa mbalimbali yakiwemo kosa la wizi wa paspoti 26 ambapo hata hivyo dpp aliwasilisha hati ya kuwafungia dhamana ambapo hadi sasa wapo gerezani chanzogazeti la tanzania daima la alhamisi julai 25 mwaka 2013 wannne waongezwa kesi ya che mundugwao reviewed by mshappiness katabazi on 320 pm rating 5 polisi kortini kwa pembe za ndovu mahakama kuendelea kuboresha mahakama zake lwakatare kwenda nje kutibiwa wako wapi waliokuwa wakipinga gesi isije dsm kesi ya che mundugwao yazidi kusomba washitkiwa ofisa jkt kortini tena kwa pembe za ndovu mramba kwenda kutibiwa nje ya nchi raia wa uingereza aunganishwa kesi ya che mundugwa upelelezi kesi ya lwakatare bado happiness katabazi vs balozi costa mahalu kadatta kkadatta aomba fedha za matibabu
2017-09-22T13:35:59
https://katabazihappy.blogspot.com/2013/07/wannne-waongezwa-kesi-ya-che-mundugwao.html
ukadirifu dk shein agoma kukutana na ukawa zanzibar rais wa zanzibar dk ali mohamed sheinpicha|maktaba zanzibar rais wa zanzibar dk ali mohamed shein ametupilia mbali maombi ya kumtaka kufungua mazungumzo na viongozi wa ukawa ili kupatikana kwa mwafaka kwa wabunge wa bunge la katiba kutoka zanzibar na kurejea bungeni akizungumza na mwananchi katibu wa kamati ya kuwaunganisha wabunge kutoka zanzibar mohamed yussuf mshamba amesema kamati yake imepokea barua maalumu kutoka ofisi ya rais ikiwataarifu kuwa rais hayuko tayari kufungua mazungumzo hayo tumepokea majibu kutoka ofisi ya rais ikulu zanzibar tumeelezwa kuwa suala hilo ni vyema likabaki mikononi mwa bunge la katiba na suala la usuluhishi imeshauriwa tufanye wenyewe zirpp alisema mshamba aidha alisema kwamba kutokana na msimamo huo wa rais dk shein kazi ya kuwaunganisha wabunge wa zanzibar imekuwa ngumu kwa vile matarajio ya zirpp ilitegemea kazi hiyo ingerahisishwa na rais na kuzika tofauti ya kimsimamo mshamba alisema maombi yao waliyawasilisha agosti mwaka huu baada ya kamati ya kuwaunganisha wazanzibari kukamilisha kazi ya kukusanya maoni ya wananchi kupitia kongamano la wazi juu ya nini kifanyike na kuhakikiisha wazanzibari wanamaliza tofauti zao na kutetea maslahi ya zanzibar kwa ufupi kazi ambayo tumekuwa tukijaribu kuifanya imekuwa ngumu tunachowaomba wabunge wa zanzibar waache tofauti za kiitikadi na kuweka mbele maslahi ya zanzibar njia pekee rahisi na mwafaka warudi bungeni kushirikivikao alisisitiza mshamba alisema kimsingi kuna makosa yaliyofanyika tokea mwanzo ikiwa ni pamoja na utungaji wa sheria yenyewe ya bunge la katiba na kujikuta wakiingizwa wanasiasa kwenye bunge hilo badala ya kuwa la wataalamu na watu wengine wasiotokana na vyama vya kisiasa mshamba alieleza kuwa kuanza kwa mguu huo mbaya kumesababisha kuzuka kwa mivutano na mijadala yenye mitazamozaidi ya itikadi za kisiasa badala ya kuongozwa na nguvu ya hoja ufahamu upembuzi yakinifu na uzoefu wa wabunge wa bunge hilo chadema pekee ndicho ambacho katika ilani yake iliahidi kuwa kikishika madaraka ya uongozi kitabeba jukumu la kuandika katiba mpya si ccm nccrmageuzi tlp wala cuf vilivyoahidi jambo hilo sasa inashangaza kuona vyama hivyo vimekuwa mstari wa mbele kushupalia katiba mpya na kususia bunge la katiba alisema mshamba posted by emmanuel turuka at 1133 pm
2018-03-24T23:10:39
http://ukadirifu.blogspot.com/2014/09/dk-shein-agoma-kukutana-na-ukawa.html
baba na u ndio chaguo la gk ni kiwango 'live' kutoka lagos nigeria gospel kitaa™ home / baba na u / chaguo la gk / chukwu ebuka / lagos community gospel choir / nigeria / paul chisom / baba na u ndio chaguo la gk ni kiwango 'live' kutoka lagos nigeria baba na u ndio chaguo la gk ni kiwango 'live' kutoka lagos nigeria wimbo huu 'baba na u' wimbo ambao umebeba maana kubwa ya kumtafakari mungu kwamba bila yeye tusingeweza lolote maana yupo pamoja nasi kila hatua katika maisha yetu nina uhakika kwamba utakubariki ingawa itabidi ikuchukue muda kuelewa kiingereza cha kinigeria ambacho ndicho kilichotumika katika wimbo huu waliorekodi live katika moja ya tukio jijini lagos nigeria pia unaweza kumuona mwanakaka huyu ambaye tayari alitembelea nchini tanzania mwaka juzi na baadhi wa waimbaji wenzake kutoka nigeria katika mwaliko wa moja ya kanisa lenye watumishi kutoka nchini humo akiwa pia na kwaya ya lcgc katika wimbo maarufu nchini humo uitwao 'chukwu ebuka' ulioimbwa kwa lugha ya kabila maarufu na kubwa nchini nigeria la igbo barikiwa uwe na jumapili njema
2016-12-03T00:15:07
http://www.gospelkitaa.co.tz/2016/10/baba-na-u-ndio-chaguo-la-gk-ni-kiwango.html
mtoto wa kitaa ngoma mpya kutoka noise maker darasa huru ya mekacheka ft nakaaya posted by salum suleiman lyeme at 323 pm
2017-11-22T16:28:43
http://mtotowakitaa.blogspot.com/2012/12/ngoma-mpya-kutoka-noise-maker-darasa.html
kipa coastal union atimkia mbeya city | boiplus » kipa coastal union atimkia mbeya city kipa coastal union atimkia mbeya city golikipa wa coastal union fikirini bakari anatajia kusafiri wikiendi hii kuelekea jijini mbeya kusaini kandarasi ya kuwatumikia wagonga nyundo hao timu ya mbeya city baada ya makubaliano ya pande zote kufanyika firikirini ambaye alikuwa na msimu mzuri licha ya timu yake kushuka daraja atacheza pamoja na golikipa mkongwe juma kaseja ambaye yumo ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na kocha raia wa zambia kinnah phiri katibu mkuu wa mbeya city emmanuel kimbe ameiambia boiplus kuwa makubaliano baina yao na mchezaji huyo yanaendelea vizuri na wikiendi hii kipa huyo atasafiri kuelekea jijini mbeya tayari kusaini kandarasi na wagonga nyundo hao ni kweli tumefikia makubaliano na fikirini na tunatarajia muda wowote kuanzia sasa atakuewepo jijini mbeya kusaini nasi kwa ajili ya msimu ujao alisema kimbe kwa upande wake golikipa huyo ambaye yupo jijini dar es salaam amesema wamefikia makubaliano na mbeya city na kuna uwezekano mkubwa wa kuvaa jezi za zambarau msimu ujao nimeongea nao na tumefikia makubaliano mazuri muda si mrefu kila kitu kitakuwa wazi alisema fikirini boiplus iliwatafuta viongozi wa wagosi wa kaya lakini hakuna aliyepatikana kuzungumzia suala hilo
2017-01-19T14:56:39
http://boiplus.blogspot.com/2016/07/kipa-coastalunion-atimkia-mbeya-cityi.html
dc ikungi amshangaa membe kwa tamko lake | malunde 1 blog home » habari » dc ikungi amshangaa membe kwa tamko lake dc ikungi amshangaa membe kwa tamko lake malunde monday june 22 2020 mkuu wa wilaya ya ikungi edward mpogolo akijaza fomu jana za kumdhamini rais dkjohn magufuli anayeomba ridhaa ya chama chake kugombea urais mwaka huu kulia ni katibu wa chama cha mapinduzi (ccm) wilaya ya ikungi noverty kibaji katibu wa chama cha mapinduzi (ccm) wilaya ya ikungi noverty kibaji akizungumzia mchakato wa kumdhamini anayeomba ridhaa ya kugombea urais mwaka huu kupitia chama hicho rais dk john magufuli wana ccm wakijaza fomu za kumdhamini mgombea wao kulia ni katibu wa jumuiya ya wazazi wilaya ya ikungi bwanga akida tayari wana ccm wakijaza fomu za kumdhamini mgombea wao fomu ikijazwa siku moja baada ya waziri wa mambo ya nje mstaafu bernard membe kuzungumzia suala la mchakato wa kumpata mgombea urais ndani ya chama cha mapinduzi (ccm) mkuu wa wilaya ya ikungi edward mpogolo amejitokeza na kumjibu akizungumza jana wakati wa hafla ya wanachama wa ccm ikungi waliojitokeza kumdhamini rais dkjohn magufuli anayeomba ridhaa ya chama chake kugombea urais alisema membe alipata wapi kibali cha kuitisha mkutano na kuzungumza na wananchi ndugu zangu waandishi wa habari niseme tu kwamba nashukuru kwa kuniuliza swali ili nimeisikiliza hiyo clip zaidi ya mara nne ili nami niweze kujifunza ni alikuwa anataka kusema kwa kweli sikupaswa kuijibu lakini kwa sababu ya baadhi ya vitu katika mazungumzo yake yananiwia na mimi kama kijana kujibu vitu ambavyo vinasababisha na mimi kuwa sehemu ya kujibu kile alicho kisema mzee membe ni mambo machache mpogolo alisema kwanza katika clip yake amewataja vijana tanzania na yeye ni sehemu ya vijana wa tanzania alisema katika clip hiyo amezungumzia suala la kuiambia tanzania na dunia na yeye ni sehemu ya dunia na tanzania lakini sio sehemu ya kujibu kutokana na chama au nini lakini ni kama tu sehemu ya vijana na mtanzania na sehemu ya mkazi wa dunia alisema katika clip hiyo membe amesema amepigiwa simu nyingi sana kutoka kona mbalimbali za tanzania jambo ambalo pia limemfanya aweze kuchangia kujibulakini kauli nyingine ambayo pia inamfanya aweze kusema chochote au kujiuliza ni ile aliyosema chochote kinaweza kikatokea hapa katikati sasa yeye kama mkuu wa wilaya katika eneo lake anaanza kutafakari ni kitu gani hicho kinachoweza kutokea ukizingatia kwamba membe ni mzee aliyekuwa kwenye uongozi kwa muda mrefu anasema hivyo na yeye kama ni mwenyekiti wa kamati ya usalama kwenye eneo lake anajiuliza ni kitu gani hicho kitakachoweza kutokea ndio maana ameona naye awe sehemu ya kumjibu alisema eneo jingine alilo ongea ni kuwa anaogopa kuingia kwenye mitego ni mitego gani hiyo ni maana akaona akiwa kama kijana wa tanzania akaona anapaswa kumjibu badala ya kukaa kimya ambapo linaweza likaenezwa na dunia ikamwamini kabla ya kumjibu nimekuwa na maswali ya kujiuliza nimeona membe amefanya kama mkutano hivi lakini swali langu ambalo najiuliza nani amempa kibali cha kufanya mkutano katika kipindi hiki tuna corona na je kama alipewa kibali nani alimuandalia mkutano na swali lingine ninalo jiuliza je ni nani mzee membe kitendo cha kuandaliwa mkutano je ni mbunge au ni nani na kwanini afanye mkutano wakati hakuna ruhusa ya mikutano ni maswali ambayo yananifanya niwe sehemu ya mjadala alisema mpogolo mpogolo alisema anajiuliza membe anasema pia ana mitego kama kijana alijiuliza ni mitego ipi mzee amesha staafu yupo nyumbani ni mitego gani hiyo ambàyo anaiogopa na ni nani huyo anàye muingiza kwenye hiyo mitego mpogolo aliongeza kuwa swali lingine analo jiuliza ni kuwa membe anazungumzia tume huru ya uchaguzi wakati wote ambao alikuwa kwenye nafasi za uongozi ndani ya chama na serikalini mbona hakuwahi kuzungumzia iweje leo huyo mzee inaonesha anazeeka vibaya anapaswa kuzomewa mpogolo alisema viongozi wa mkoa wa lindi wanapaswa kuulizwa kuhusu mkutano huo ambao inaonesha ulikuwa batili na akahoji kwa nini mpaka sasa membe awe mtaani badala ya kuwa amekamatwa katibu wa chama cha mapinduzi (ccm) wilaya ya ikungi noverty kibaji akizungumzia mchakato wa udhamini wa mgombea urais kupitia chama hicho mhe john magufuli alisema wanaccm wengi wamejitokeza ambapo mpaka jana jioni wamefikia 175 zaidi ya 150 kulingana na takwimu za kitaifa na kuwa bado wanachama wengine wamekuwa wakiendeleankujitokeza kumdhamini mgombea huyo imechapishwa na malunde at monday june 22 2020 igp sirro awapongeza wadau kwa kujenga kituo cha kisasa cha polisi bancabc yashiriki maonyesho ya 44 ya saba saba yajidhatiti kuimarisha huduma za kibenki live rais magufuli anawaapisha wakuu wa mikoa na madc iikulu
2020-07-06T11:05:08
https://www.malunde.com/2020/06/kugombea.html
mfungaji amejikamua mkojo mpaka ametokwa na manii | firqatu nnajia watu wadumu kufanya matendo mema kumjua allaah kwa kumpwekesha na kuachana na shirki matendo mema baada ya ramadhaan mtu atapimwa na matendo yake siku ya qiyaamah imani imeumbwa peponi hakuna kufanya ´ibaadah tahadhari na aljazeera kumchukia swahabah kwa alichokifanya kabla ya uislamu sunnah na bid´ah 13 maamrisho ya kushikamana na quraan na sunnah 12 hukumu za jihaad 11 munaafiquun aswswaff imamu amesoma alfaatihah pekee katika rakaa´ ya pili katika swalah ya kupatwa kwa jua kucheza na kushangilia wakati jua linapopatwa ibn ´uthaymiyn na ibn baaz kuhusu kuwatangazia watu kupatwa kwa jua attaghaabuun mwanafunzi aanze kuhifadhi au kuelewa kwanza kwanini tunaswali swalah ya kupatwa kwa jua kwa sifa moja tu jumu´ah atwtwallaaq tahriym dhikr kwa sauti baada ya swalah haki ya wazazi inatangulia kabla ya jihaad maana ya muwaalaah kwa mujibu wa alfawzaan haijuzu kumpenda kafiri hata kama ni mzazi biashara batili tawassul 10 tawassul na uombezi 09 maswali 07 mfungaji amejikamua mkojo mpaka ametokwa na manii swali kuna mtu ana ugonjwa wa kutokwatokwa hovyo na mkojo ambapo akataka kujikamua dhakari yake na matokeo yake akatokwa na manii ni lipi linalomuwajibikia jibu lililo wajibu kwa huyu mfungaji ni yeye kuepuka kujikamua dhakari yake ikiwa anahisi matamanio kwa sababu inatambulika kuwa pindi matamanio yanapokuwa na nguvu mtu hushusha akiendelea kufanya hivo mpaka akatokwa na manii kwa matamanio basi anapata dhambi na swawm yake inaharibika katika hali hiyo analazimika kujizuia na kula na kunywa siku iliyobaki lakini akitokwa na manii bila ya matamanio swawm yake ni sahihi na wala halazimiki kulipa marejeo majmuu´ulfataawaa (19/237238) mfungaji amejikamua mkojo mpaka ametokwa na manii swali kuna mtu ana ugonjwa wa kutokwatokwa hovyo na mkojo ambapo akataka kujikamua dhakari yake na matokeo yake akatokwa na manii ni lipi linalomuwajibikia jibu lililo wajibu kwa huyu mfungaji ni yeye kuepuka kujikamua dhakari yake ikiwa anahisi matamanio kwa sababu inatambulika kuwa pindi matamanio yanapokuwa na nguvu mtu hushusha akiendelea kufanya hivo mpaka akatokwa na manii kwa matamanio basi anapata dhambi na swawm yake inaharibika katika hali hiyo analazimika kujizuia na kula na kunywa siku iliyobaki lakini akitokwa na manii bila ya matamanio swawm yake ni sahihi na wala halazimiki kulipa mhusika imaam muhammad bin swaalih bin ´uthaymiyn mfasiri firqatunnajiacom marejeo majmuu´ulfataawaa (19/237238) imechapishwa 12/06/2017 http//firqatunnajiacom/mfungajiamejikamuamkojompakaametokwanamanii/ kula au kunywa baada ya kuchomoza alfajiri ya kweli kumbusu mke mchana wa ramadhaan sat 18 ramadan 1439ah 262018ad
2018-06-20T09:15:37
http://firqatunnajia.com/mfungaji-amejikamua-mkojo-mpaka-ametokwa-na-manii/
kiongozi wa upinzani drc afariki dunia ~ kiwale blog home » kimataifa » kiongozi wa upinzani drc afariki dunia kiongozi wa upinzani nchini jamhuri ya kidemokrasia ya kongo etienne tshisekedi amefariki dunia mjini brussels nchini ubelgiji akiwa na umri wa miaka 84 tshisekedi alikwenda mjini brussels mwishoni mwa mwezi january kwa ajili ya matibabu etienne tshisekedi pia alikuwa mpinzani wa rais laurent kabila ambae aliingia madarakani mnamo mwaka 1997 na mwanae rais joseph kabila ambae hivi sasa ndio anatawala nchi hiyo
2019-05-26T15:59:14
https://kiwale11.blogspot.com/2017/02/kiongozi-wa-upinzani-drc-afariki-dunia.html
marekani yafanya shambulizi la makombora syria | tanuru la fikra blognews home uncategories marekani yafanya shambulizi la makombora syria marekani yafanya shambulizi la makombora syria image captionkombora kutoka kwenye meli za kijeshi za marekani katika bahari ya mediterranea image captionbaadhi ya watoto walioathirika na kemikalisyria
2018-06-25T14:18:00
http://www.tanurulafikra24.com/2017/04/marekani-yafanya-shambulizi-la.html
 laghano lya sambi kwe iwanu wose 2 petiri 1 2 petiri ibaluwa ya keli ya ibaluwa ya keli ya petiri yolongeka ka yandikighwa na mtumighwa petiri ila iwasomi wengi leloli ng'awepfikitsa pfipfo bae yakoneka ka imunu yungi kamwapfila petiri ukwandika imunu iyandike ibaluwa ino kolonga ka tsakamwona yesu kwa nenge tsake mwenyegho na kona ahala yesu haghaluke chihanga chake (2 petiri 11718) ka petiri iyo iyandike ibaluwa ino yakoneka kayandika hayang'ali mne isi ya roma mna miyaka ya sitini ahala ng'ana yafe bae mne isula ya 31 petiri koikema ibaluwa ino ibaluwa yake ya keli ibaluwa ino tsakawandikila wakiristu wose petiri kandika ibaluwa ino yawaghume ghumoyo wakiristo wakale ghoya na kawaghoma waleke kuwategheletsa walangulitsi wa ughutsu (2 petiri 2) pfipfila kawalongela wakiristu wawabetse iwanu iwolonga ka yesu kokawa ukuya lekeni kawalongela ghendo imulungu ng'okawa bae ila kobama amkombole chila munu (2 petiri 89) apfi pfipfo pfayowabama iwanu wakale ghoya (2 petiri 314) ghali mchitabu mne isula ya 112 petiri kolonga yeye yali nani na kowandikila tsina nani kuya mne isula ya 1321 kowalongela iwanu wakale ghoya kwaapfila imulungu kobama watende apfo pfipfila mne isula ya 2122 petiri kowaghoma iwanu waleke kuwategheletsa walangulitsi wa ughutsu na kowalongela choni chitsowalawila kuya mne isula ya 117 petiri komalitsila kwa kuwaghuma ghumoyo wakiristu wakale ghoya aku wobeta ukuya kwa yesu 1 nene simoni petiri imtumwa na imtumighwa wa yesu kiristu nomwandikilani mwemwe yambokele ukutoghola kula kunoghile ghendo kwatubokele twetwe kwa ukunogha kwake imulungu wetu na mkombotsi wetu yesu kiristu 2 imulungu yamwikeni tseghamba na yawongetsele uluso wake mna ukummanya yeye na imtwatsa wetu yesu ukukemighwa na ukusaghulighwa ne imulungu 3 kwa uwetso wake we chimungu imulungu katwing'a twetwe ghose ghatubama ili tukale aku twomtoghola imulungu kwa kummanya yeye iyatukemile tukale mne utunitso na wende wake imwenyegho 4 kwa apfo katwing'a malaghano makulu na ighanoghile ili kubitila agho tudahe kwihangila ngupfu tse chimungu na tukale kutali na ghehile ighali muisi ighoghalighwa na tsitamaa tsihile 5 apfo mwiyunde ghendo ukwongetsa ighanoghile mne ukutoghola kwenu na mne wende wenu mwongetse ukumanya 6 mne ukumanya kwenu mwongetse ukwalangitsa mne ukwalangitsa mwongetse ukududumila mne ukududumila mwongetse gha chimungu 7 na mne gha chimungu mwongetse ukwinoghela chindughu na mne ukwinoghela chindughu mwongetse uluso 8 agho ghose ghang'ongetseka mna mwemwe ng'amtsakuwa si chinu bae na mtsokula mna ukutenda ghanoghile kwa ukummanya kwenu imtwatsa wetu yesu kiristu 9 lekeni ka imunu kahela agho ghose ayo ng'odaha kwona ghoya kachifita ghendo na kesemwa ka kadeghetesighwa nzambi tsake tsa ghumwande 10 apfo ndughu tsangu mwiyunde ghendo kuutenda ukukemighwa kwenu na ukusaghulighwa kwenu ne imulungu chiwe chinu ichikala ghamatsuwa ghose mng'akala apfo ng'amtsakughwa mbe 11 na mtsolekelighwa ghendo kwingila mne undewa wa ghamatsuwa ghose we imtwatsa na mkombotsi wetu yesu kiristu 12 apfo ghamatsuwa ghose sitsoleka bae kumkumbusani aghano hata ka mwoghamanya na mwima pfinoghile mna ukweli wambokele 13 nakwona pfinogha kuwalamsa kwa kumkumbusani ghano haning'ali na muisi mno 14 kwaapfila nomanya nahabehi kuhupa ka imtwatsa wetu yesu kiristu pfanongele chinaghanagha 15 apfo nitsotenda chochose chila ili hanitsakufa mghakumbuke ghano ghamatsuwa ghose wakalangama wa utunitso wa kiristu 16 hala hatuwalongele mbuli tse ngupfu tse imtwatsa wetu yesu kiristu na ukutsa kwake ng'atuwinzile simo itsandikighwe ne iwanu iwakengele bae ila twetwe iwenyegho tsatuwona ukulu wake kwa nenge tsetu wenyegho 17 kwaapfila twetwe tsa twabaho ahala hatogholighwe ne kutunyighwa na aba imulungu litsi halilawile kulawa kuna yeye iyali utunitso mkulu tsakalonga hayuno iyo mwanangu iyoninoghela noghelighwa naye 18 twetwe iwenyegho tsatulihulika litsi ililawile kulanga hatukalile hamwe naye mna chidunda chenzeluke 19 kuya tuna chinu cha kutoghola ghendo mna imbuli ye manabii namwe mtsotenda ghoya mng'aitegheletsa kwaapfila ayo yeghala na ghumwanga pfaghumwemwesa mchisi mbaka hakutsakucha na nondo iikuchela haitsong'aika mne mimoyo yenu 20 kubita ghose tanu mmanye pfino kuduhu imunu iyodaha kulonga unabii iuli mna ghamaandiko mahenzeluka ka pfoyobama mwenyegho 21 kwaapfila unabii ng'aulapfighwe bae ka pfobama imunu ila iwanu tsawalonga aghala ighalawile kwe imulungu ka pfawalongotsighwe ne ghumuhe mwenzeluka
2020-04-01T02:56:44
https://ebible.org/ruf/2PE01.htm
ccmtahadhari | jamiiforums | the home of great thinkers ccmtahadhari discussion in 'jukwaa la siasa' started by lole gwakisa jul 8 2011 chama changu cha mapinduzi sasa umefikia wakati sina nguvu ya kukutetea matukio yanayoendelea sasa hivi ni kama mchezo wa kuigiza nilikutetea sana na dhana ya kuvua gamba kwa kifua mbele nilikutetea sana kwa suala la posho ingawaje kwa shingo upande hili la kuwatetea tena na tena kundi la raac na el linaanza kuniondolea uzalendo mbaya zaidi ni la kutomchukulia hatua chenge na rushwa ya rada kwa kifupi ccm sikuelewi lole gwakisa usichoke tuendelee kujitolea kukitetea chama chetu ccm mimi ni mccm sana na napenda sana kuzisoma posts zako ni kweli watendaji wa chama wanatupa wakati mgumu kutembea kifua mbele tafadhali usichoke how on hell did you trust these people i am sick and tired of this drama practiced by the so called ccm pro nape nnauyekuhusu mafisadi i dont know to this very crucial time this pro is still argumentative and nothing new actions have been taken against mafisadis kwa kweli hawa viongozi wa ngazi za juu wa chama wanawapa wakati mgumu sana wanachama wao kujiamini wanapokuwa mitaani na hasa katika mijadala ya kisiasa kaka kaa pembeni rusha jiwe liwapate walioko huko ambao wakati sisi tumekimbia wao kuna maslahi wanayapata huko na wanatetea kitu ambacho kiko wazi mnondio maana tunataka alternative yaani nguvu ya umma utoe maamuzi tu kwa kweli chelewa chelewa hii inazidi kuiangamiza ccm na sijui kama wakubwa wa chama wanaliona hili halafu unajiuliza kama hawakuwa tayari kwa nini walilianzisha halafu sasa linageuka kuwa deni na mzigo kwao kama ccm wanataka tupite mitaani kifua mbele basi waamue kutekeleza maamuzi kama yalivyoamuliwa na chama kwanza kuwavua uongozi mafisadi ndani ya chamakumchukulia hatua mwizi huwezi husubiri kikao na ukaeleweka pili wale wenye tuhuma kama chenge tuhuma zilizo wazi kabisa wapelekwe mahakamani ili wajitetee kama kusafishwa wassfishwe na hekumu ya mahakama tatu ccm yangu unampa umaarufu wa bure nduguyo cdm kwani sasa ndio anakuwa mtetezi wa haki na wanyonge tumetoka mbali ccm nape asilaumiwe kwa hili yeye alidhania mwenyekiti wake alikuwa anamaanisha kumbe sivyo chukulia mfano dowans kwenye symbion ni vipi jk ameshiriki au serikali yake imeshiriki kama hata magwiji wanakata tamaa sijui mwisho wake nini mkuu angalia usije kutwa na ngozi kwani karibia kunapambmodazukawezi wenyewe wanaanza kukusanya vyao hell no kuamini kwamba ccm itabadilika ni sawa na kuamini tanzania itanyakua kombe la wo gwakisa umesema kweli maana kuna hata hoja nyingine tukitupiwa tunashindwa kuzipangua oooh ccm tusaidieni sisi watu wenu tunabananishwa na hizi tuhuma ingawa bado tunakupenda lakini mhhh kuna siku tutashikana mashati wenyewe mmezidi sasa nape porojo zimekuwa nyingi mwa mbie mkubwa mukama na kikwete wafanye kitu ili tuweze kujibu haya matuhuma kweli tuko kwenye wakati mgumu sasa ahsante mtoa hoja namimi nimevua gamba kuna siku tutashikana mashati wenyewe mmezidi sasa kweli tuko kwenye wakati mgumu sasa ahsante mtoa hoja kweli kabisa mkuu tumegeuka kuwa a laughing stock kuwa mwanachama wa ccm siku hizi inataka moyo hoja za kuitetea zinazidi kuyoyoma hongera lole nchi kwanza chama baadaye nafurahi umeliona hilo na umeamua kutoa ushauri labda chenge atafikishwa mahakamani suala la chenge hao wazee wa ccm wasifanye makosa kwa cdm hilo goli la uhakika hata mimi kuandamana ni no sweat dawa ya mjinga jfexpert member pole lole nadhani hujui kupenda walisema wahenga akipenda chongo huita kengeza wewe leo chongo wakiita kwa jina lake kuna kupenda tena hapo wa kule mwambao kaskazini ya dar walikwimba akukataae hakwambii toka bila shaka uzalendo wa kichama umeanza kukulemea kama si kukushinda kabisa wewe ukidhani unapenda na huku unaona chongo ni chongo kweli ajabu maumivu ya kichwa yanaanza taratibu usipowahi shauri lako lakuvunda halina ubani kumeza na kutema (makohozi) kunategemea aliyekohoa nakushauri endelea kuamua kusuka kwani ukisuka unaweza kubadili mawazo na kunyoa wakati wowote lakini punde ukinyoa shurti usubiri nywele ziote ndipo waweza kubadili mawazo na kusuka tena vumilia lole mvumilivu hula mbivu potelea mbali hata kama atakapozifunua zitakuwa mbovu
2018-01-21T13:32:01
https://www.jamiiforums.com/threads/ccm-tahadhari.152979/
augsburg yapata ushindi wa kwanza bundesliga | michezo | dw | 04112013 augsburg yapata ushindi wa kwanza bundesliga kocha wa augsburg markus weinzierl alisema baada ya mechi kama tu ilivyo katika kila mechi tulipigana kweli kweli na kupata nafasi nadhani hicho kinaonyesha tofauti yetu na pia hatukukata tamaa tulicheza mechi tano bila kushinda lakini tulikuwa na ari nzuri katika timu nadhani tunaweza kujivunia andre hahn alitikisa wavu mara mbili wakati augsburg ikipanda kutoka eneo la kushushwa daraja na kutoshana na mainz kwa pointi 13 katika mechi nyingine ya jana sergio garcia alifunga goli katika dakika za mwisho na kuisaidia werder bremen kutoka nyuma na kuwashinda hannover mabao matatu kwa mawili ushindi huo umewaweka bremen katika nafasi ya nane na pointi 15 ikiwa ni mbili mbele ya hannover ambao wamepata pointi moja tu kutokana na mechi zao tano za mwisho wachezaji wa werder bremen wakisheherekea ushindi wao dhidi ya hannover 98 thomas eichin ni mkurugenzi mkuu wa werder bremen nilikuwa na imani na timu ambayo imefanya vyema ulikuwa mchezo mzuri wa bundesliga baina ya timu mbili ulikuwa mchuano mzuri kuutazama na nina furaha kuwa tumeweza kuwapa mashabiki ushindi wa nyumbani na sasa tunaangazia mechi zijazo tukiwa na utulivu jumamosi bayern munich walitokwa jasho katika ushindi wao wa mabao mawili kwa moja dhidi ya hoffenheim ili kusalia kileleni mwa ligi pointi moja mbele ya borussia dortmund ambao siku ya ijumaa waliwachabanga stuttgart magoli sita kwa moja kocha wa hoffenheim markus gisdol alikuwa na haya ya kusema baada ya mechi kuna mchanganyiko wa hisia kwa sababu tulikuwa na mchezo mzuri lakini kwa bahati mbaya mwishowe hatukupata hata pointi bayer leverkusen wanasalia katika nafasi ya tatu na tofauti ya pointi tatu nyuma ya dortmund baada ya kuduwazwa jumamosi kwa kufungwa bao moja bila jawabu na washika mkia eintracht braunschweig maneno muhimu bundesliga werder bremen kiungo http//pdwcom/p/1abnv mahakama yaamua klasnic alipwe fidia 31032017 aliyekuwa kocha wa croatia na werder bremen ivan klasnic ataüokea euro 100000 kama fidia kutoka kwa madaktari wawili ambao mahakama imewakuta na hatia ya kutotambua vizuri matatizo yake ya figo
2017-08-19T14:26:42
http://www.dw.com/sw/augsburg-yapata-ushindi-wa-kwanza-bundesliga/a-17203357
afrika iko tayari kuanzisha mfumo wa kidigital wa televisheni | idhaa ya redio ya um umoja wa mataifa 05/09/2013 afrika iko tayari kuanzisha mfumo wa kidigital wa televisheni televisheni ya digitali nchi 47 za afrika kusini mwa jangwa la sahara zimeafikiana masafa ya ushirikiano kwa ajili ya kuhamia kwenye mfumo wa digital wa televisheni ifikapo 2015 flora nducha na taarifa zaidi majadiliano ya mipango ya kitaifa ya utekelezaji wa kuhamia mfumo wa kidigital afrika yamefanikiwa na kuthibitishwa kwa kujiwekea hadi juni 2015 kutekelezwa kwa masafa ya uhf na juni 2020 masafa ya vhf katika nchi 33 malengo ya hatua hii yaliwekwa mwaka 2006 na mkutano ulioandaliwa na itu hatua hii kubwa inalifanya bara la afrika kuwa ni la kwanza kwa mwaka 2015 kuwa na masafa huru ya kuhamia mfumo wa digital wa televisheni maamuzi ya mkutano wa kimataifa wa mawasiliano mwaka 2012 wa kusaidia upatikanaji wa masafa huru kwenda kwenye huduma ya simu yataanza kutekelezwa rasmi mara baada ya mkutano wa kimataifa wa mawasiliano mwaka 2015 katibu mkuu wa itu hamadoun i toure ameshukuru kwa ushirikiano wa hali ya juu katika mchakato mzima ulioonyeshwa na jumuiya ya mawasiliano ya afrika atu na katibu mkuu wake bwana abdoulkarim soumailaamesema lengo kubwa ni kuziwezesha nchi za afrika kuwa na masafa huru ya digital na hivyo kutopitwa saana na maendeleo ya teknolojia ya kisasa
2014-09-21T08:12:24
http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/09/afrika-iko-tayari-kuanzisha-mfumo-wa-kidigital-wa-televisheni/
lupita nyong'o on the late show with stephen colbert | afroswagga september 30 2016 january 31 2018 kwa sasa ni favorite slayer wetu she is winning and queening lupita nyongo doesnt play akiwa ame enda katika show ya the late show with stephen colbert alivalia escada chilla yellow coat from the fall 2016 collection alipendeza mno na ame vaa pumps nyeupe ila haja tufanya tufikirie kuhusu bibi harusi tume penda color combo and the bag is a killer lakini wakati wa kutoka ali switch vazi hapana chezea lupita na wala hataki mumzoee the queen of kantwe alivaa monse black and white houndstooth and stripe print dress with matching belt from the resort 2017 collection | gianvito rossi sandals tumependa jinsi dress ilivyo simple na alivyo istyle first look escada chilla yellow coat from the fall 2016 collection second look monse black and white houndstooth and stripe print dress with matching belt from the resort 2017 collection | gianvito rossi sandals beef ya kifashion kati ya rihanna na kim k
2019-06-19T16:43:16
http://afroswagga.com/mitindo/lupita-nyongo-on-the-late-show-with-stephen-colbert/
kweli uswahilini noumaa wamenikombea ka blackberry kangu usiku | jamiiforums | the home of great thinkers kweli uswahilini noumaa wamenikombea ka blackberry kangu usiku discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by yericko nyerere jul 31 2011 kweli uswahilini noumaa wamenikombea ka blackberry kangu usiku wamechana nyavu ya dirisha wakabeba simu na kuniachia chaji tuyan sijui niende kwa bibi nikamwambie maana wameniharibia siku vibaya sanaaaa kweli uswahilini noumaa wamenikombea ka blackberry kangu usiku wamechana nyavu ya dirisha wakabeba simu na kuniachia chaji tuyan sijui niende kwa bibi nikamwambie maana wameniharibia siku vibaya sanaaaaclick to expand mkuu uswahilini sehemu gani unaishi hama uko ulipo mkuu uswahilini sehemu gani unaishiclick to expand nna uhakika huko sio uswahilini huko ni ushenzini yaan jason bourne wa bourne identity anaibiwa badili id faster nna uhakika huko sio uswahilini huko ni ushenziniclick to expand ehh ushenzini ndo sehemu gan tandale au masak hahah pole ohhhhhhhhh jamani watu wabaya sasa inabidi ununua nyengine hapo sapna ni uswahilini ila mtaa ni wa ushenzini pole sanapole utapata nyingine baba usijalione goes one comesutapata ya ukweli zaidi ya iyopole kwa kupoteza contactsss bt si uswahili tu popote pale watu wanaibaata masak pia wanaibinaoystbayata ny watu wanaibaswala ni kuibiwa simu n not cz ni uswahilinipole sweetie jaman vp beb tufanye mchango wa nokia kitochweka akaunt nambasamsung kitoch buku 30 tumintachangia buku mia 5pole kaka i undstand vile inavyodistab i undstand vile inavyodistabclick to expand nakushukuru kwakweli ngoja ni karudishe line kisha nitaweka namba ya mpesa hapa mama yaan jason bourne wa bourne identity anaibiwa badili id fasterclick to expand fatilia ile series vizuri utaona kunasehemu nilipigwa lisasi nikadondokea kwenye swimming hivyo ndivyo ilivyo leo pole sana itakuwa kimara temboni ndio uswahilini au bonyokwa pole aiseehalafu bb bana ukishazoea ndo inapokuwa tabu zaidi ina addiction fulani ambayo ni ngumu kuicontrolfanya fanya uweke namba ya mpesa hapa tukufanyie mambo nakushukuru kwakweli ngoja ni karudishe line kisha nitaweka namba ya mpesa hapa mamaclick to expand nipo voda shop apareplacememnt ya bb to nokia ktoch imetuliaabt izi sm ni nzuri sana kwa kutunza chagkitu unatumia siku 812 ndo unachaji tena raha tupu ata ngereja akifanya mambo yake we mawasiliano mia mia cheki na jamaa wa mtandao wako kama ulitunza imei ya simu wape wataweza kutrace mtu atakayeitumia cheki na jamaa wa mtandao wako kama ulitunza imei ya simu wape wataweza kutrace mtu atakayeitumiaclick to expand mkuu kwakweli sikumbuki imei vizuri ila najua blackberry curve 8520 bbm yake ni 221912e pole aiseehalafu bb bana ukishazoea ndo inapokuwa tabu zaidi ina addiction fulani ambayo ni ngumu kuicontrolfanya fanya uweke namba ya mpesa hapa tukufanyie mamboclick to expand nashukuru wacha nichangamke niirudishe line mkuu kwakweli sikumbuki imei vizuri ila najua blackberry curve 8520 bbm yake ni 221912eclick to expand sijui niadd hii kwenye bbm anaweza kukubali huyo mwizi halafu nikampata halafu hukuweka mapassword na mazagazaga kama hayohuwa inasaidia maana mwizi hawezi fanya chochote akikuta ina password kibao atajaribu zikifika 10 trials ndo basi kushney full kujiblock sasa kama imei huna apo kwa kweli kuna haja ya kutafuta plan b ebu cheki na babu maeneo ya karibu mweleze lengo lako sio kumdhuru mwizi ila arudishe simu tuu kumbuka kwenda na charger itasaidia kumwona kwenye kioo mwizi wako ambaye bila shaka atakuwa teja tuu
2016-12-10T09:12:08
http://www.jamiiforums.com/threads/kweli-uswahilini-noumaa-wamenikombea-ka-blackberry-kangu-usiku.159793/
sheikh wa dodoma ahimiza amani nchini mwanahalisi online sheikh wa mkuu wa mkoa wa dodoma mustapha rajabu posted by danson kaijage june 6 2019 0 2110 views sheikh wa mkuu wa mkoa wa dodoma mustapha rajabu amewataka watanzania kuishi maisha ya kulinda na kutunza amani anaripoti danson kaijage (endelea) ameyasema hayo wakati akitoa ujumbe wa sikukuu ya eid katika msikiti wa gaddafi jijini dodoma kuwa amani iliyokuwa imetawala kipindi cha mwezi mtukufu wa ramadhani inatakiwa kuendelezwa kila siku aidha amesema watanzania wanatakiwa kumuogopa mwenyezi mungu kwa kuacha kufanya mambo mabaya ikiwemo wizi mauaji kupora na kufanya yale mazuri yanayoleta maendeleo katika ngazi ya familia hadi ngazi ya taifa wakati tunafanya mashindano ya quran pale uwanja wa jamhuri tulimuomba kamanda wa polisi (gilles muruto) ulinzi tukihofia kutokea matukio ya kihalifu lakini chakufurahisha lile gari la polisi lilikuwa sehemu moja mpaka tukamaliza mashindano hayo hiyo ni ishara ya kuwa kila mtu anajua umuhimu wa kufanya yale yanayompendeza mwenyezi mungu amema sheikh rajabu pia aliongeza kuwa waislamu wanatakiwa kuishi maisha ya kusaidiana kama ilivyokuwa kipindi cha mwezi mtukufu wa ramadhani huku akisema wapo ambao baada ya mwezi mtukufu wa ramadhani kuisha watarudia kufanya yale waliyokuwa wakiyafanya kipindi cha nyuma awali akizungumza sheikh alisema maisha ambayo watanzania watanakiwa kuishi maisha ya kutobaguana kwa sababu ya dini au kabila akisema katika kipindi cha mwezi mtukufu wa ramadhani hata wale ambao sio waislamu walishiriki kwenye matukio mbalimbali mfano kufuturisha ikiwa ni ishara ya kuonyesha watanzania ni kitu kimoja akizungumza mmoja ya waamini wa dini ya kiislamu ambae pia ni mkazi wa dodoma alisema watayaenzi yale waliyokuwa wanayafanya katika kipindi cha mwezi mtukufu wa ramadhani kwa kuwasaidia watoto yatima pamoja na watu wengine wenye uhitaji maalumu sheikh wa mkuu wa mkoa wa dodoma mustapha rajabu amewataka watanzania kuishi maisha ya kulinda na kutunza amani anaripoti danson kaijage (endelea) ameyasema hayo wakati akitoa ujumbe wa sikukuu ya eid katika msikiti wa gaddafi jijini dodoma kuwa amani iliyokuwa imetawala kipindi cha mwezi mtukufu wa ramadhani inatakiwa kuendelezwa kila siku aidha amesema watanzania wanatakiwa kumuogopa mwenyezi mungu kwa kuacha kufanya mambo mabaya ikiwemo wizi mauaji kupora na kufanya yale mazuri yanayoleta maendeleo katika ngazi ya familia hadi ngazi ya taifa wakati tunafanya mashindano ya quran pale uwanja wa jamhuri tulimuomba kamanda wa polisi (gilles muruto) ulinzi tukihofia kutokea&hellip previous sakata la uamsho moto masheikh wamvaa jpm kikwete bunge next lukuvi aagiza taasisi wadaiwa pango la ardhi kukutana naye
2020-07-09T02:31:34
http://mwanahalisionline.com/sheikh-wa-dodoma-ahimiza-amani-nchini/
rihama afunguka kuhusu biashara zake kufanya biashara haimaanishi kuwa sanaa ninayofanya hainilipi | lilommy rihama afunguka kuhusu biashara zake kufanya biashara haimaanishi kuwa sanaa ninayofanya hainilipi msanii wa filamu bongo riyama ally amesema msanii anapoamua kufanya biashara haimaanishi kuwa sanaa anayofanya haimlipi kauli ya msan msanii wa filamu bongo riyama ally amesema msanii anapoamua kufanya biashara haimaanishi kuwa sanaa anayofanya haimlipi kauli ya msanii huyo imekuja mara baada kujiingiza katika biashara ya nguo (tshirt) riyama amesea kuwa msanii hapaswi kutegemea sanaa pekee kama njia ya kujiingizia kipato na ndio sababu ya yeye kufanya hivyo hapana sio kweli mtu unatakiwa kufanya vitu mbali mbali ili kuweza kujiongezea kipato lakini movie na tamthilia zinalipa na uzuri tunapiga miguu yote basi mambo mazuri hiyo nimejiongeza tu riyama ally ameiambia bongo5 ukiachilia mbali filamu na biasha ya nguo pia riyama ally ni balozi wa kampuni kubwa mbali mbali za bongo na nje lilommy rihama afunguka kuhusu biashara zake kufanya biashara haimaanishi kuwa sanaa ninayofanya hainilipi https//1bpblogspotcom/uaxesnn51wy/wwvzw5vtssi/aaaaaaaaene/atrsvai6yssafxfzq7jlr9u3wbhzackugclcbgas/s640/maxresdefaultjpg https//1bpblogspotcom/uaxesnn51wy/wwvzw5vtssi/aaaaaaaaene/atrsvai6yssafxfzq7jlr9u3wbhzackugclcbgas/s72c/maxresdefaultjpg http//wwwlilommycom/2018/05/rihamaafungukakuhusubiasharazakehtml
2018-08-20T08:51:16
http://www.lilommy.com/2018/05/rihama-afunguka-kuhusu-biashara-zake.html
cag atoa neno kuhusu uamuzi wa bunge mwanaharakati mzalendo ™ cag atoa neno kuhusu uamuzi wa bunge admin 104100 am bunge cag habari leo jumatano aprili 03 2019 wakati akizungumza na shirika la utangazaji tanzania (tbc) kwa njia ya simu mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (cag) profesa mussa assad amsema suala la bunge kufikia uamuzi wa kutofanya naye kazi ni jambo zito ambalo linahitaji tathimini na kutazama athari zake mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (cag) profesa mussa assad nafikiri ni jambo zito sana hilo na kama nilivyosema tunahitaji tathimini kali kutazama athari zake ni zipi amesema na kuongeza tukifanya maamuzi ambayo hatujatazama athari zake linaweza kuwa tatizo kubwa zaidi badala ya kupata solution mi nafikiri tukae chini tutazame halafu tuone athari ni zipi ili kuepuka matatizo ambayo tunaweza kuyasababisha wasiwasi wangu ni kwamba huenda linaweza likaja kuwa tatizo kubwa zaidi kuliko linavyoonekana sasa hivi profesa assad ametoa rai kuwa hansadi ya maswali na majibu kutoka katika mahojiano yake pamoja na kamati ya bunge ya maadili iwekwe wazi ili kila mtanzania ajue nini kilichozungumzwa baada ya kuitwa na kamati hiyo rai yangu ni kwamba ile hansadi ya kamati ya bunge ya haki maadili na madaraka ya bunge iwekwe wazi kwa kila mtu ili kila mtu ajue nimeulizwa kitu gani na nimejibu kitu gani amesema nakuongeza ili kila mtanzania aweze kuweka tathimini yake halafu aweze kupima kuwa hili lilipofikiwa ni sawa au sio sawa hapo jana aprili 2 2019 bunge limepitisha azimio la kutofanya kazi na mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali (cag) profesa mussa assad bunge laazimia kutofanya kazi na cag halima mdee afungiwa wabunge wa upinzani watoka nje by admin muda 104100 am labels bunge cag habari
2019-08-18T17:41:07
https://www.mwanaharakatimzalendo.co.tz/2019/04/cag-atoa-neno-kuhusu-uamuzi-wa-bunge.html
janet jackson atajwa rasmi kuwa bilionea forbes wabisha sio bilionea (details) bongo5com janet jackson atajwa rasmi kuwa bilionea forbes wabisha sio bilionea (details) bongo5 editor may 24 2013 1145 am dada wa mfalme wa pop marehemu michael jackson janet jackson ametangazwa rasmi na jarida la variety kwenye makala yake ya janet jackson beyond the velvet rope kuwa bilionea kutokana na kuwa utajiri wake binafsi unaozidi dola bilioni moja kwa mujibu wa variety janet mwenye miaka 47 ameweza kutengeneza dola milioni 458 zilizotokana na show za ziara alizofanya dola milioni 304 zilizotokana na ushiriki wake katika movie ikiwemo ile ya eddie murphy the nutty professor 2 na zingine pesa zingine alizotengeneza ni dola milioni 268 kupitia mauzo ya albam na dola milioni 81 kutoka katokana deal za makampuni pamoja na udhamini kwa mujibu wa ripoti hiyo janet amefanikiwa kuifikia status ya ubilionea ambayo haikuwahi kufikiwa na marehemu kaka yake king wa pop michael jackson pamoja na uwezo wote aliokuwa nao enzi za uhai wake na ameingia katika orodha ya watu maarufu ambao ni mabilionea kama queen wa talk show oprah winfrey legendary film director steven spielberg na wengine upande wa pili mtandao wa forbes umepingana na ripoti ya janet jackson kutajwa rasmi kama bilionea kwa sababu kadhaa walizozitoa forbes wanasema habari ambazo zimetolewa hazisemi moja kwa moja kuwa janet ni bilionea zinaonesha tu kiasi cha pesa ambacho ameweza kutengeneza kutokana na kazi zake za burudani kwa mujibu wa tafsiri waliyoitoa forbes ya mtu anaeweza kuifikia status ya ubilionea ni kuwa thamani ya pesa na mali zote anazokuwanazo mtu kwa wakati huo na sio kiasi gani cha pesa mtu kaingiza kutokana na kazi zake za kipindi chote toka aanze kazi wakiendelea kuelezea jinsi ambavyo wao huwatathmini watu wa kuingia katika orodha yao ya watu mabilionea duniani wamesema huangalia vitu kama umiliki wa hisa mali zisizohamishika na mapato yatokanayo na kazi za sanaa forbes walitoa mfano wa kwanini oprah ni bilionea kwa kusema ni sababu ya umiliki wake wa hisa katika network ya discovery na harpo productions na sio kwasababu ya mapato yatokanayo na talk show yake oprah winfrey show waliendelea kusema hii si mara ya kwanza kwa habari za kupotosha kuhusu ubilionea wa watu maarufu wakiongeza mfano wa jessica simpson aliwahi pia kutajwa kuwa bilionea bila kuzingatia vigezo walivyoviorodhesha na kutoa mfano wa madonna kuwa ni tajiri lakini sio bilionea janeth jackson mwaka jana alifunga ndoa ya siri na bilionea wa kiarabu aitwaye wissam al mana kutoka nchini qatar
2018-09-22T08:17:56
http://bongo5.com/janet-jackson-atajwa-rasmi-kuwa-bilionea-forbes-wabisha-sio-billionea-details-05-2013/
waziri mbarawa avunja bodi ya chaliwasa awapa majukumu dawasa chalinze homenewswaziri mbarawa avunja bodi ya chaliwasa awapa majukumu dawasa chalinze katibu mkuu wa wizara ya maji prof kitila mkumbo (kulia) akipata maelezo kutoka kwa afisa mtendaji mkuu wa dawasa mhandisi cyprian luhemeja( wa pili kulia) wakati wa ziara ya kutembelea mradi wa maji uliohusisha ujenzi wa vituo vya kusukumia maji na matenki matano ya kuhifadhia maji waziri wa maji prof makame mbarawa ameziunganisha mamlaka ya maji na usafi wa mazingira chalinze (chaliwasa) na mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira dar es salaam (dawasa) kuanzia januari 11 2020 maamuzi hayo yanapelekea waziri kuvunja bodi ya chaliwasa na kuanzia sasa itakuwa na kuwa chini ya bodi ya dawasa inayoongozwa na jenerali mstaafu davis mwamunyange hatua hiyo imefikiwa baada ya mamlaka ya chaliwasa kushindwa kujiendesha kutokana na kutokuwa na fedha za kutosha akitoa taarifa hiyo kwa vyombo vya habari katibu mkuu wa wizara ya maji prof kitila mkumbo amesema maamuzi hayo yamefanywa na wizara kutokana na chaliwasa kushindwa kujiendesha ikiwemo kununua umeme na kuendeleza miradi iliyopo amesema hivi karibuni dawasa walikabidhi miji ya mkuranga na kisarawe na tayari miradi inaendelea na kisarawe imeshakamilika wakijenga kwa fedha za ndani kutoka kwenye mapato wanayoyakusanya kila mwezi na kwa upande wa chalinze kuna mradi wa chalinze mboga wanaujenga pia kitila amesema serikali inakusanya takribani bilioni 23 kwa mwezi kutoka mamlaka zote na dawasa wanakusanya nusu ya makusanyo hayo na tayari walikuwa wanawasaidia chalinze katika kujenga miradi na hata kuwapatia dawa chalinze wana changamoto kubwa mbili gharama za uendeshaji ikiwemo kununua umeme na madawa hivyo dawasa ni mamlaka ina uwezo wa kujiendesha kutokana na mapato wanayokusanya kwa mwezi na tumeona ni vizuri tukiwakabidhi rasmi mji wa chalinze uwe chini yao ili wasimamie vizuriamesema mkumbo mkumbo amewapongeza dawasa kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kuhakikisha wananchi wanapata maji kwa uhakika na huduma zikiendelea kuboresha sambamba na kupelekea maji kwenye maeneo yenye changamoto kubwa ya maji kwa kipindi kirefu katibu mkuu wa wizara ya maji prof kitila mkumbo akinawa maji kutoka kwa wateja waliounganishiwa huduma hiyo baada ya kukamilika kwa ujenzi wa tenki kuhifadhia maji la salasala na kituo cha kusukumia maji
2020-01-24T20:00:17
https://news.bongoex.com/2020/01/waziri-mbarawa-avunja-bodi-ya-chaliwasa.html
uchawi dunia online usajili kucheza mchezo free online mira magia uchawi dunia online bure multiplayer mchezo katika mtindo fantasy kuchanganya mambo ya kucheza jukumuna mkakatiuchawi dunia mchezo online inapatikana kwa ajili ya kucheza katika karibu kompyuta yoyote wote unahitaji zaidi ya kompyuta ni high speed internet connection na kivinjari uchawi dunia online bure multiplayer mchezo katika mtindo fantasy kuchanganya mambo ya kucheza jukumuna mkakatiuchawi dunia mchezo online inapatikana kwa ajili ya kucheza katika karibu kompyuta yoyote wote unahitaji zaidi ya kompyuta ni high speed internet connection na kivinjarikujiunga katika mchezo wa magic dunia ni rahisi sana kwanza unahitaji kuchagua jina la tabia yako na darasa na kuangalia na kisha kujaza fomu hapa chini • password • login kwa ajili ya mchezo • anuani ya barua pepe yakokujiunga dunia uchawi huna haja yake kama tayari una akaunti katika moja ya michezo ya travian unaweza pia kupata katika mchezo kwa kutumia usajili wao katika mtandao jamii facebook uchawi dunia online usajili ni kamili na unaweza kutumbukiza mwenyewe katika ulimwengu mkali na mzuri kwa graphics awaliuchawi dunia online mchezo bila shaka sana tafadhali wale ambao ni uchovu wa kucheza na vita na jumbe za uokoaji wa dunia ijayo mchezo huu ni nzuri sana hapo utakuwa kuelewa sanaa ya uchawi ili kufanya fun wa majirani utunzaji wa bustani yako au kuongeza jokabaada ya kuanza kucheza mchezo online magic dunia unahitaji kuchagua tabia yako ya hatari • mag • druid • mchawi • mganga katika hatua hii ya mchezo hakuna tofauti kati ya kazi madarasa tabia lakini kila darasa ina mwonekano tofauti ambayo inatofautiana kutegemea jinsiauchawi dunia online mchezo anatoa mchezaji nafasi ya kuendeleza kama tabia maonyesho mbalimbali ya jumuia na kucheza mkakati kuendeleza bustani yake katika bustani hii unaweza kukua kubwa aina ya mimea kuvuna kwa wand uchawi mazao ya ziada yanaweza kuuzwa kama wachezaji wengine na npcskwa njia mchezo ni vizuri sana maendeleo ya sehemu ya jamii utahitaji kuendeleza eneo kuzunguka bustani yake kuwa na uhakika wa kiutendaji na majiranimchezo ina kubwa na vizuri walidhaninje ya dunia katikati ya mji ambayo ni katika mji kuna majengo ambayo kila mmoja ina kazi maalum katika mchezo na kwamba wewe ni moyo kutembelea • academy • town hall • uchawi duka • onyesha emma • sokotabia yako itakua na kuendeleza kwa kutumia mfumo wa mafanikio mafanikio malipo kwa ajili ya kufanya kazi fulani kama vile kujifunza spell mpya au mavuno baadhi kupanda idadi fulani ya nyakati wakati kwamba jinsi wewe kucheza katika dunia uchawi na tabia yako fika ngazi 12 utapata jumuia alchemist jumuia hizo ni kugawanywa katika ngazi tano ya ugumu na si kupata kuchoka hata mchezaji wengi wanadai kwenda ngazi nyingine ya utata una kuchukua mtihani aidha utapewa jitihada za kila siku kwa jumuia utapokea tuzo dutu kichawi ambayo ni muhimu sana kwa maendeleo ya tabia yakowakati wewe kucheza katika uchawi dunia basi utakuwa na uwezo wa kupata mwenyewe pet ndogo joka na huduma nzuri joka hii inaweza kukua katika giant mnyama motokingarasilimali katika mchezo ni • dhahabu ambayo inaweza kulipwa kwa njia nyingi • mana uchawi nishati • marijani kwa ajili ya kununua premium inawezekana kwa kweli fedhaencyclopaedia ya elimu juu ya mchezo tu unatafsiriwa katika urusi lakini maswali yote juu ya gameplay ambayo itabidi kutokea unaweza kuuliza katika jukwaa au katika jamii kubwa na kazi katika facebook ili mafanikio kucheza mchezo magic dunia mpya huna haja ya kutumia masaa kwenye mtandao mchezo wa kutosha kutoa muda kidogo ambayo ni muhimu sana kwa watu busy kuchezauchawi dunia
2017-12-17T02:26:26
http://tz.zazaplay.com/online-miramagia/
wafaransa hupika chapati za maji zinazoitwa crepes raia wa scotland hupika bannock nao wamarekani hupika flapjack kwa hiyo si ajabu kwamba warusi nao wana aina yao ya chapati za maji zinazoitwa blini ambazo wamekula kwa muda mrefu waslav wa zamani walitoa dhabihu za blin katika desturi zao za kipagani nao waliona blin kuwa ishara inayofaa ya jua ambalo ni mviringo lenye joto na la rangi ya dhahabu wanawake waliojifungua karibuni walilishwa blin zililiwa pia katika arusi na mazishi kwa hiyo zilikuwa sehemu ya maisha ya watu kuanzia kuzaliwa hadi kufa kwa kawaida warusi leo hutengeneza blin kwa kutumia unga wa ngano lakini mtu anaweza kutumia unga mwingine kwa kawaida mchanganyiko huo hutayarishwa kwa maziwa au maji au unaweza kutumia vitu vyote viwili lakini pia mchanganyiko huo unaweza kutengenezwa kwa krimu siagi ya maziwa maziwa yaliyochacha krimu iliyochacha au kitu chochote kinachotokana na maziwa unahitaji kuwa stadi ili kukaanga blini kwani kila moja inapaswa kuwa nyembamba sana jambo ambalo si rahisi kufanya inahitaji ustadi mkubwa zaidi kutayarisha kitu cha kutia ndani ya blin unaweza kutumia jemu iliyotayarishwa nyumbani kama vile ya rasiberi stroberi blackberry zabibu kavu nyekundu au nyeusi au cranberry au unaweza kuiandaa pamoja na dagaa heringi samoni sadini samaki wanaoitwa sprat uyoga nyama zilizosagwa au jibini lakini warusi huipenda pamoja na mayai mekundu au meusi ya samaki kumbuka kwamba blini huwa tamu zinapoliwa zikiwa moto kutayarisha blini kwa buckwheat kikombe 1 cha unga wa buckwheat kikombe 1 cha unga wa ngano vijiko 2 vikubwa vya hamira kavu vijiko 3 vikubwa vya siagi iliyoyeyushwa vikombe 3 hivi vya maziwa vijiko 2 vikubwa vya sukari matayarisho changanya unga wa buckwheat na kikombe cha maziwa pasha joto kikombe kingine cha maziwa na ukiongeze kwenye mchanganyiko huo ukikoroga vizuri mchanganyiko huo unapopoa uchanganye na hamira kavu acha mchanganyiko ufure hadi uwe na ukubwa maradufu koroga mchanganyiko huo kwa kijiko cha mbao ukiongeza chumvi na sukari tenganisha sehemu ya katikati ya yai na ile nyeupe tia sehemu hizo za katikati yai kwenye mchanganyiko huo pamoja na siagi iliyoyeyushwa na unga wa ngano kisha ukoroge vizuri koroga sehemu nyeupe ya mayai kando kisha uitie ndani ya mchanganyiko huo pamoja na maziwa mengine kama inavyohitajika acha mchanganyiko huo ufure tena pasha joto kikaangio na ukipake mafuta kidogo au siagi iliyoyeyushwa mwaga kiasi kidogo cha mchanganyiko wa blin ili uenee kwenye kikaangio na uwe mwembamba iwezekanavyo pika kwa moto mdogo hadi sehemu ya chini ya blin iwe na rangi ya dhahabu geuza blin na uipike kwa sekunde 15 zaidi iweke kwenye sahani na uihifadhi ikiwa na joto kisha upike blin zilizobaki kwa njia hiyohiyo andaa blini zikiwa zimepangwa juu ya nyingine
2020-02-20T02:55:34
https://www.jw.org/sw/maktaba/magazeti/g20051222/Blini-za-Urusi-Si-chapati-za-maji-za-kawaida/
kelvin mwaipungu page 3 mwanahalisi online kelvin mwaipungu august 21 2018 3409 views kelvin mwaipungu august 18 2018 5016 views kelvin mwaipungu august 17 2018 3376 views kelvin mwaipungu august 17 2018 3309 views kelvin mwaipungu august 15 2018 4029 views kelvin mwaipungu august 14 2018 2721 views kelvin mwaipungu august 13 2018 3307 views kelvin mwaipungu august 11 2018 4692 views kelvin mwaipungu august 10 2018 3314 views kelvin mwaipungu august 10 2018 3426 views kelvin mwaipungu august 9 2018 4436 views kelvin mwaipungu august 8 2018 3402 views kelvin mwaipungu august 3 2018 4923 views kelvin mwaipungu august 3 2018 4465 views kelvin mwaipungu august 2 2018 3683 views kelvin mwaipungu august 1 2018 3450 views kelvin mwaipungu august 1 2018 3000 views kelvin mwaipungu july 27 2018 4034 views kelvin mwaipungu july 27 2018 3734 views kelvin mwaipungu july 26 2018 4560 views kinda wa leicester city yaiongeza nguvu serengeti boys kelvin mwaipungu july 26 2018 3484 views mtanzania anayechezea klabu ya leicester city ben antony starkie anatarajiwa kutua leo nchini 26 julai 2018 kujiunga na kambi ya timu ya taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka kelvin mwaipungu july 26 2018 1938 views kuelekea kuanza kwa msimu mpya wa ligi kuu tanzania bara shirikisho la mpira wa miguu tanzania (tff) limetoa angalizo kwa klabu zinazoshiriki ligi kuu na ligi daraja la kwanza ambazo hazija kamilisha kelvin mwaipungu july 25 2018 4777 views msemaji wa simba haji manara amewashutumu vikali chombo cha habari cha clouds fm kwa kutangaza taarifa za uongo kuhusu klabu ya simba kucheza mchezo wa kirafiki na kufungwa mabao 60 fifa yatangaza orodha watakaowania tuzo ya mchezaji bora kelvin mwaipungu july 25 2018 3704 views shirikisho la mpira wa miguu duniani (fifa) limeweka hadharani orodha ya wachezaji 10 watakaowania tuzo ya mwanasoka bora wa dunia kwa mwaka 2018 ambao wanatarajia kupigiwa kura na jopo la omary kaaya katibu mkuu mpya yanga kelvin mwaipungu july 24 2018 4226 views kikao cha dharula kilichofanywa na kamati ya utendaji na bodi ya wadhamini ya klabu ya yanga imemteua na kumtangaza omar kayaa kuwa katibu mkuu wa muda wa klabu hiyo katika yanga wazidi kupukutika kelvin mwaipungu july 23 2018 3654 views makamu mwenyekiti wa yanga clement sanga ametangaza kujiuzulu nafasi yake ya uongozi ndani ya klabu hiyo kutokana na kusambaa kwa kipande cha video kikionesha wanachama wa klabu hiyo kuhamasishana kwenda kelvin mwaipungu july 23 2018 3318 views mwekezaji wa klabu ya simba mohammed dewji mo amewataka wanachama na viongozi wa klabu ya yanga kuungana upya ili kuinusulu klabu katika kipindi hiki cha mpito ambacho kinawakabili kutokana na kelvin mwaipungu july 23 2018 3455 views shirikisho la mpira wa miguu tanzania (tff) linavikumbusha klabu za ligi kuu ligi daraja la kwanza na ligi daraja la pili ambavyo havijafanya usajili kupitia mfumo wa usajili wa tff kelvin mwaipungu july 21 2018 5137 views waziri wa mambo ya ndani ya nchi kangi kugola amemuagiza mkuu wa jeshi la polisi tanzania igp simon sirro kumtafuta mmiliki wa kampuni ya lugumi na kumfikisha ofisini kwake julai kelvin mwaipungu july 20 2018 5659 views matukio ya ukiukwaji na uvunjifu wa haki za binadamu nchini yameanza kuongezeka katika kipindi cha utawala wa rais john pombe magufuli anaripoti kelvin mwaipungu (endelea) ripoti za kitafiti zinaonyesha kuwa kelvin mwaipungu july 19 2018 5383 views kelvin mwaipungu july 16 2018 6030 views kelvin mwaipungu july 6 2018 5946 views kelvin mwaipungu june 5 2018 6471 views kelvin mwaipungu april 6 2018 5529 views kelvin mwaipungu march 27 2018 4377 views kelvin mwaipungu march 20 2018 3977 views kelvin mwaipungu march 15 2018 4265 views kelvin mwaipungu march 14 2018 3341 views
2019-03-19T04:05:13
http://mwanahalisionline.com/author/kelvin/page/3/
shein hakuna mtu wala nchi yakuweza kuniondoa madarakani | maswayetu blog shein hakuna mtu wala nchi yakuweza kuniondoa madarakani innocentthe bloggerboy wa zanzibar dk ali mohamed shein amesema hakuna nchi au jumuiya za kimataifa zitakazomwondoa madarakani yeye kwa sababu amechaguliwa kihalali na wananchi kwa kura nyingi kwa mujibu wa katiba shein alisema hayo wakati akizungumza na wanachama na wafuasi wa chama cha mapinduzi (ccm) katika matawi ya wesha tibirinzi pembeni shengejuu na maziwa ngombe micheweni katika ziara ya kuwafariji kutokana na matukio ya hujuma zilizofanywa na wapinzani huko pemba wafuasi wa ccm na wanachama wake waliopo pemba wasibabaishwe na kauli zinazotolewa na viongozi wa vyama vya siasa wanaopita na kudai kwamba uchaguzi mwingine unakuja ndiye rais halali wa zanzibar nimechaguliwa katika uchaguzi ulioitishwa na tume ya uchaguzi wananchi msisikilize uvumi na kauli za wapinzani zenye lengo la kuwababaisha na kuwayumbisha katika shughuli zenu za maendeleo alieleza dk shein kiongozi anayefanya vitendo vyenye lengo la kuwagawa wananchi kwa malengo ya kisiasa huyo ameishiwa na hana nafasi katika jamii huyo kiongozi anayewashawishi wananchi kususia shughuli za jamii na maendeleo basi huyo ameishiwa kisiasa na hana nafasi katika jamii ya wananchi na ninyi mpuuzenialikuwa na nafasi ya kushiriki katika uchaguzi lakini alisusa alieleza viongozi wa chama cha wananchi (cuf) wameishiwa hoja kwa sasa na hawana la kufanya baada ya kugomea kushiriki katika uchaguzi halali wa marudio uliofanyika machi 20 mwaka huu ambao umetoa nafasi kwa ccm kushinda katika uchaguzi wa kishindo dk shein ambaye ni makamu mwenyekiti wa ccm aliwataka wanachama wa chama hicho kutembea kifua mbele na kuachana na unyonge kwa sababu chama chao ndiyo kilichoshika dola na kuunda serikali akizungumzia yanayotokea pemba dk shein alisema nimesikitishwa na taarifa za matukio mbalimbali yanayofanyika huku pemba ikiwemo watu kususiwa maiti kushushwa katika gari za abiria baada ya kuwa na itikadi tofautihaya matukio hayakubaliki na yanakwenda kinyume cha maamrisho ya dini zote viongozi waliopewa majukumu kwa mujibu wa katiba kufanya kazi zao na kupambana na vitendo vya ubaguzi ikiwemo vya kuonewa kiholela wananchi
2016-12-10T20:27:08
http://www.maswayetublog.com/2016/06/shein-hakuna-mtu-wala-nchi-yakuweza.html
rais wa sudan omar albashir azuru nchini misri | robengo16 rais wa sudan omar albashir azuru nchini misri rais wa sudan omar albahsir amesema kuna jitihada za makusudi zinazofanyika ili kuiiangusha serikali yake kwa kisingizio cha mapinduzi ya kiarabu bashir ametoa kauli hii akiwa ziarani jijini cairo nchini misri baada ya kukutana na mwenyeji wake abdel fattah alsisi rais wa sudan omar albashir amefanya ziara ya saa moja jumapili (januari 27) nchini misri ambapo alipokelewa na mwenyeji wake abdel fattah alsisi baada ya qatar misri ni nchi ya pili ambayo rais bashir anazuru tangu kuzuka wa maandamano yaliyosababisha vifo vya watu 27 kwa mijubu wa serikali ya sudan zaidi ya 40 kwa mujibu wa shirika la kimataifa la haki za binadamu la amnesty international maandamano hayo ambayo awali yalikuwa ya kupinga bei ya mkate ambayo iliongezwa maradufu yalibadili mwelekeo na kuwa maandamano dhidi ya rais omar albashir huku waandamanaji wakimtaka ajiuzulu nchi nyingi za kiarabu hazkutia saini kwenye mikataba ya kuanzishwa kwa mahakama ya kimataifa ya uhalifu (icc) ambayo imetoa hati mbili za kukamatwa dhidi ya rais wa sudan kwa uhalifu dhidi ya binadamu na mauaji ya kimbari katika jimbo la darfur bashir anashtumu vyombo vya habari kwamba vinachochea maandamano na kukuza habari za uongo kuhusu maandamano hayo yanayoendelea nchini sudan waandamanaji nchini sudan wameendeleza maandamano kumtaka kiongozi huyo ambaye ameongoza taifa hilo kwa miaka 30 kuondoka madarakani kwa mujibu wa wadadisi bashri anatafuta uungaji mkono kutoka nchi za kiarabu na zile za ukanda ← previous story alert newsmlipuko mwingine wa bomu wajeruhi wawili nchini kenya next story → shabulizi la kigaidi laua watu kumi nchini burkina faso bob wine aachiwa kwa masharti magumu kesi yake yaendeshwa kwa njia ya video mwenyewe akiwa gerezaniawasiliana na hakimu kupitia teknolojia hiyo
2019-05-25T23:33:07
https://robengo16.com/2019/01/28/omar-al-bashir/
watu kadhaa wameteketea kwa moto baada ya lori kupinduka na kuwaka moto mlima senkenke salma msangisalma msangi 20 february 2014 by salma msangi+ in news international news no comments lori la mafuta limeanguka katika eneo la milima ya sekenke mkoani singida na kuua watu wanne hapohapo chanzo cha ajali hiyo ni breki kufeli kukamata wakati lori hilo lilipokuwa linashuka mlima huo shuhda wa ajali hiyo amesema kwamba lori hilo lilipoacha njia lilipinduka na kuingia bondeni na kushika moto akiendelea kuongea shuhda huyo alisema walishindwa kutoa msaada wowote kwa kwa moto uliposhika ulikuwa mkubwa na hawakuwa na vifaa vya kuokolea nyakati za mwisho waumini waswalishwa wakiwa uchi huko marekani oscar pistorious hatimaye asamehewa na mama yake reeva steenkamp
2018-10-18T01:40:24
http://salmamsangi.com/watu-kadhaa-wameteketea-kwa-moto-baada-ya-lori-kupinduka-na-kuwaka-moto-mlima-senkenke/
huu ndio ukweli wa jaydee kuitema rockstar 4000 na meneja wake seven mosha celebrity swaggz i official website '+l+ home » »unlabelled » huu ndio ukweli wa jaydee kuitema rockstar 4000 na meneja wake seven mosha huu ndio ukweli wa jaydee kuitema rockstar 4000 na meneja wake seven mosha baada ya kusambaa kwa taarifa za lady jaydee kujitoa katika lebo kubwa afrika ya rockstar 4000 ambayo pia inamsimamia alikiba na ommy dimpoz mapya yaibuka akiongea na bongo5 mtu wa karibu wa msanii huyo amesema jide hajawahi kusaini mkataba na rockstar ndio maana hakuna picha zilizowahi kuonyesha mkataba huo alikuwa anafanya kazi na seven mosha ambaye ni bosi wa lebo hiyo kama rafiki yake wa muda mrefu ili kuweza kumsaidia kazi za muziki wake nafikiria kaamua tu kuacha kufanya kazi na seven wewe mwenyewe unaona wasanii wote wa rockstar au hata wa wcb au artist yoyote anaposaini contract huwa anaonyesha kwenye media na anakuwa anatangazwa kabisa kuwa ni msanii mfano kama wa rockstar ni wa rockstar kwa jaydee hiko kilikuwa hakijafanyika ni kwamba walikuwa wanafanya kazi tu yeye na seven na sio kwamba yeye alikuwa anafanya kazi na rockstar direct kimesema chanzo hiko pia ilikuwa in process kwamba wanapimana kuwa baadae jaydee ataingia kwenye rockstar lakini nafikiria haikufikia muafaka wa yeye kuingia may be nasema may be inaweza ikawa hawakufikia malengo ya pamoja kwamba artist anakuwa na malengo yake kwa meneja lakini hakufikisha au msanii hakufikisha malengo ya meneja ambayo alikuwa anayafikiria hizo ni issue zote zinazowezekana kimeongeza lakini ni watu ambao walikuwa wanafanya kazi tangu zamani hata wakati ule gardinani meneja wake lakini bado alikuwa anafanya kazi na seven kama kulikuwa na kitu cha jaydee ambacho anaweza kukipush alikuwa anafanya kwa sababu ni marafiki wa siku nyingi hata hivyo mtu huyo amesisitiza kuwa hakuna ugomvi wala tatizo lolote lililopo kati ya jide na seven kwani bado urafiki wao upo pale pale
2018-02-26T01:56:40
http://www.celebrityswaggz.com/2017/09/huu-ndio-ukweli-wa-jaydee-kuitema.html
jinsi ya kushinda kinyongo ~ kalamu yangu jinsi ya kushinda kinyongo by unknown at 1424 ushauri no comments unashindwa kusahau mambo mabaya ambayo mwenzi wako alisema au kutenda maneno yake makali na matendo ya kutojali yamebaki akilini mwako hivyo badala ya kuwa na upendo umekuwa na kinyongo inaonekana kwamba huwezi kufanya lolote ila tu kuvumilia ndoa isiyo na furaha hilo pia linafanya uwe na kinyongo na mwenzi wako uwe na hakika kwamba unaweza kurekebisha hali hii hata hivyo kwanza chunguza mambo machache kuhusu kinyongo kuweka kingyongo husababisha kikwazo kinachozuia ndoa yako kusonga mbele kinyongo kinaweza kuharibu ndoa kwa nini kwa sababu kinadhoofisha sifa ambazo ni msingi wa ndoa kama vile upendo uaminifu na ushikamanifu hivyo basi kinyongo si kisababishi cha matatizo ya ndoa bali kinyongo nitatizo la ndoa kwa kufaa biblia hutushauri tuondolee mbali uchungu wote wenye uovuwaefeso 431 ukiwa na kinyongo unajiumiza mwenyewe kuweka kinyongo ni kama kujipiga kofi na kutarajia mtumwingine ahisi uchungu huenda mshiriki wa familia ambaye una kinyongo naye anahisi vizuri anafurahia maisha na labda hasumbuliwi na hali hiyo akaandika mark sichel katika kitabu chake healing from family rifts somo ni nini kinyongo kinakuumiza kuliko kinavyomuumiza mtu uliyemwekea kinyongo anasema sichel kuweka kinyongo ni kama kujipiga kofi na kutarajia mtu mwingine ahisi uchungu wewe ndiye unayeamua kuwa na kinyongo watu fulani hawaamini hivyo wanasema mwenzi wangu ndiye aliyefanya niwe na kinyongo tatizo ni kwamba mawazo kama hayo yanakazia jambo ambalo haliwezi kudhibitiwa yaani matendo ya mtu mwingine biblia inatoa suluhisho inasema hivi kila mmoja na athibitishe kazi yake mwenyewe(wagalatia 64) hatuwezi kudhibiti maneno au matendo ya mtu mwingine lakini tunaweza kuamua jinsi tutakavyotenda kuweka kinyongo si suluhisho chukua hatua ni rahisi kumlaumu mwenzi wako lakini kumbuka wewe ndiye unayeamua kuwa na kinyongo ndivyo ilivyo pia na kusamehe unaweza kufuata himizo hili la biblia jua lisitue [u]kiwa katika hali ya kuchokozeka (waefeso 426) ukiwa tayari kusamehe utafanikiwa kutatua matatizo yako ya ndoa kwa njia ya utulivukanuni ya biblia wakolosai 313 jichunguze kwa unyoofu biblia inasema kuna watu wenye hasira na wenye mwelekeo wa ghadhabu (methali 2922) je wewe uko hivyo jiulize hivi je nina uchungu moyoni je mimi hukasirika haraka je mimi hukasirishwa na mambo madogomadogo biblia inasema kwamba anayeendelea kuongea juu ya jambo anawatenganisha watu wanaofahamiana (methali 179 mhubiri 79) hilo linaweza pia kutokea katika ndoa basi kama una mwelekeo wa kuweka kinyongo jiulize je ninaweza kuwa mwenye subira zaidi kumwelekea mwenzi wangukanuni ya biblia 1 petro 48 amua jambo muhimu zaidi biblia inasema kuna wakati wa kukaa kimya na wakati wa kusema (mhubiri 37) si lazima uzungumzie kila kosa wakati mwingine unaweza kusema moyoni mwako ukiwa kitandani mwako na kunyamaza (zaburi 44) unapohitaji kuzungumzia tatizo fulani subiri mpaka hasira yako ishuke mke anayeitwa beatriz anasema ninapokasirika mimi hujitahidi kutulia kwanza hatimaye mimi huona kwamba halikuwa tatizo kubwa na inakuwa rahisi kwangu kuzungumza kwa heshimakanuni ya biblia methali 1911 elewa maana ya kusamehe katika biblia wakati mwingine neno kusamehe hutafsiriwa kutokana na neno la awali linalomaanisha kuachilia kitu fulani kwa hiyo kusamehe hakumaanishi kupuuza kosa kana kwamba halikutokea kunamaanisha kuachilia kosa kwa sababu unatambua kwamba kuweka kinyongo kunaweza kukudhuru kiafya na kuvuruga ndoa yako hata kuliko kosa lenyewe endeleeni kuvumiliana na kusameheana kwa hiariwakolosai 313 upendo hufunika dhambi nyingi1 petro 48 ufahamu wa mtu hakika hupunguza hasira yake na ni jambo lenye kupendeza anapopita kosamethali 1911 jitahidi kufanya hivi katika juma lijalo tambua sifa nzuri za mwenzi wako mwishoni mwa juma hilo ziorodheshe na umwambie mwenzi wako kwa nini unazithamini kukazia fikira sifa nzuri kutakusaidia kushinda kinyongo kalamu top list best hope media simulizi pendwa kilimanjaro usiku ( 3 ) masikini sabrina ( 2 ) nakupenda mama ( 2 ) ni yeye kweli ( 2 ) barua kutoka kuzimu ( 1 ) barua ya bhoke ( 1 ) maajabu ( 1 ) siku naja duniani ( 1 ) tungo zilizopita tungo zilizopita august (3) july (3) june (9) may (4) april (4) march (3) february (4) january (4) december (10) november (1) october (5) september (4) august (3) may (10) april (26) march (4) february (7) january (13) december (8) november (3) october (1) july (6) june (14) may (37) october (1) august (2) july (14) june (2) may (9) bulk sms @nyasa kalamu yangufacebook hadithi rehema wa njia panda mtunzi moringe mhagama jiunge na kundi langu la whatsapp kwa 0717308038 kitabu cha kwanza oyaa madenti subirini abiri hadithi chozi la furaha mtunzi moringe jonas mhagama mawasiliano jonasymoringe@gmailcom mwanzo hadi mwisho nilishuka garini nikiwa na furahahii ba riwayani yeye kweli sehemu ya kwanza mtunzi moringe jonas nilikuwa nikitembea tembea stendi kuu ya magari mjini iringa baada ya kuchelewa gari ya kwenda dabaga amb hadithi kisasi cha ajabu hadithi kisasi cha ajabu mtunzi moringe jonasy mwanzo akiwa katika siku yake ya pili kwenye mafunzo kazini muuguzi melina jo simulizi ya kwelibarua kutoka kuzimu mtunzimoringe wapendwa wazazi salam nyingi ziwafikie hapo mlipomtakapo kujua hali yangu mimi si nzuri kutokana na hali ya mazing riwaya mpyanitarudi arusha hapo nilimwona kwa ukaribu na uzuri zaidi kumbe kabla sikuona kovu lililokuwa mdomoni mwake na kumfanya ongee kwa shinda kwani lil riwayamama yangu muuaji mtunzimoringe mhagama mwanzo kila mtu aliyefika pale nyumbani anionekana kunishangaa kwa mwonekano niliokuwanaosikuonekana ka riwaya nitakuua kwa mkono wangu mtunzi moringe mhagama mwanzo ukimya ulitawala ndani ya ukumbi wa msarikie uliopo ndani ya chuo kikuu cha mtakatifu joseph huku habari (4) hadithi (5) makala (96) matokeo (1) riwaya (17) simulizi (8) ushairi (58) ushauri (21) sikiliza mdundo pata utunzi kwa email kuhusu kalamu yangu kalamu yangu ni mtandao ambao upo kwa ajili ya kupasha habari kuelimisha na kufurahisha jamii kwa njia ya mashairi hadithi na simulizi na makala mbalimbali kutoka kwa wandishi mahiri wenye tuzo mbalimbali wakiongozwa na jonasy moringe mawasiliano zaidi tutafute kwa barua pepe jonasymoringe@gmailcom machapisho muhimu habari (4) hadithi (5) makala (96) matokeo (1) michezo (4) riwaya (17) simulizi (8) ushairi (58) ushauri (21) c/o tumsifu kaoza s l p 33721 simu +255717308038 au 255 655 987 588 copyright © kalamu yangu | design by nyasa professionals
2018-08-17T16:33:33
http://kalamuyangu.blogspot.com/2015/05/jinsi-ya-kushinda-kinyongo.html
wataalam wa mapenzi msaada | jamiiforums | the home of great thinkers wataalam wa mapenzi msaada discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by ballot feb 15 2012 wakuu kuna kitu kinanisumbua sanamimi sijao lakini umri umesogea'nimekuwa na uhusiano na wanawake wengi'kinachonishangaza ni baadhi ya wanawake nikifanya na mapenzi inakuwa shughuli pevu'yaani natafuna mzigo kinoma wakati mwingine inaweza kufika mpaka dakika 30'lakini nimekutana na mwanamke ambaye nahisi naweza kudumu naye'cha kushangaza yaani nikiingiza tu nakojoa hapo hapo'yaani mara tatu zote yanajirudia yaleyale'aibu tupu ndugu zangu tatizo ni niniimbona wengine tunadumu muda mrefu wengine ukiingiza tu unakojoa inaonyesha unaukeke wa kufa mtuangalia usijebaka tu usimalize utamu subiri expert wa mambo ya kuchelewa na mambo yakuchomoa waje nishawaitaa hisia punguza kuvuta hisia hili game tamu ngoja nibaki hapa hapa kuangalia litaishaje maana sina points kwa hili jaribu kubana pumzi wakati wa in and out sio unahema km huyo kweli umempenda yaani kadubwi na goliweee noumaaaaaaaa tatzo umeathiriwa na punyeto mkuu yaniwewe nomakweli yani huyodemu umemzimiambaya jitaidiwakati unadumbwiuondoe mawazoyako hapoyani uwekembali hisiazako utafanikiwa tatzo umeathiriwa na punyeto mkuuclick to expand si kweli mkuu'punyeto niliacha zamani sana'wakuu hili swala linaweza kuwa na uhusiano napombemanake nimecha pombe week chache zilizopita na huyu demu ndio wa kwanza tangu nimecha pombe jitaidiwakati unadumbwiuondoe mawazoyako hapoyani uwekembali hisiazako utafanikiwaclick to expand teh teh hapa awaze yupo ulaya au anachek picha la viumbe wa ajabu si kweli mkuu'punyeto niliacha zamani sana'wakuu hili swala linaweza kuwa na uhusiano napombemanake nimecha pombe week chache zilizopita na huyu demu ndio wa kwanza tangu nimecha pombeclick to expand hebu jaribu kiroba + valuer naka chigala chipoti kwa mbaali tuone km perfomance itashuka bac kama ulikuam2wapombe naumeacha sasa kablahujakalia mzigo gonga red bul mojabaridi namaji yako makubwa af ukalie mzigo utafraimwenyewe hebu jaribu kiroba + valuer naka chigala chipoti kwa mbaali tuone km perfomance itashukaclick to expand haaah haaaah chipotimani wakuu bado sijapata msaada hapa punguza wasi wasi na ujiamini inaonekana kila mkionana kuna kitu kiko akili mwako hasa uoga jaribu kuwa nae kwa muda piga story punguza mawazo anza gemu je ukimaliza hilo la kwanza la pili nalo linakuwa sawa na la kwanza uhusiano wa pombe na tatizo lako uko hivi kwa kifupi kuna kauoga ambako unako na wakati ulipokuwa unakunywa ulikuwa unapata ujasiri kutoka kwenye mipombe hivyo ukawa unaweza kudumu kwa muda mrefu ulivyo acha pombe kauoga kako kanashindwa kutoka hivyo unajikuta unamaliza haraka hivyo basi nakushauri ujianzishie life style mpya kama kufanya mazoezi ya viungo ambayo yatakusaidia ku boost confidence na hivyo baada ya muda utaweza kudumu tena kwenye kazi ya uvunjaji wa amri ya sita na huyo umpendaye hili game tamu ngoja nibaki hapa hapa kuangalia litaishaje maana sina points kwa hiliclick to expand hahaha game tamu au na ww mlengwa wa tatizo iloo teh aiseengoja tuendelee kuwasilikizia maprofesa ballot je huwa unatumia muda mwingi kuwa nae au ndo mambo ya kuonana na kukurupushiana rum
2017-04-24T01:41:12
https://www.jamiiforums.com/threads/wataalam-wa-mapenzi-msaada.224161/
maisha na mafanikio jumatatu ya leo inatupeleka mpaka sokoni songea jumatatu ya leo inatupeleka mpaka sokoni songea yaani hapa ni aina zote za kuanzia dagaa samaki wadogo mpaka mbelele chagu lako tumimi nimetamani zaidi dagaa tena wala madafu na samaki aina ya mbelele kwa chakula ulichokua nacho ni ngumu kukisahauhaya nawatakieni wote mwanzo mwema wa juma kurasa za magazeti ya tanzania leo desemba 9 2016 usikose uwanja wa uhuru desemba 9 mwaka huu kuona onesha hali la miaka 55 ya uhuru habari zilizopo magazetini leo jumamosi desemba 032016 kama mnataka mali napenda kuwatakieni wote jumapili/dominika njema zilipendwanyumbani ruhuwiko picha ya wiki kwa nini salomon alikuwa na wake 700/why solomon mama mjasiliamali akiwa amebaba zambarau anakwend nimekumbuka sana kwetu lundo/nyasa nimetamani hiiutamaduni oyeeeee tumaliza wiki kwa ujumbe huu ukiwa duniani usihuzu nina imani wengi wetu tunakumbuka vifaa hivizi mwenzenu nimetamni kweli mlo huu jioni ya leodu ujumbe toka maisha na mafanikio vazi la leo gauni naona iwe picha ya wiki ujumbe wa leo kutoka kwa rais kikwete tutatoa eli kapulya si mpenzi wa scalfu na kulima bustani tu h mlo wa jana jionikaribuni
2016-12-09T05:53:51
http://ruhuwiko.blogspot.com/2014/09/jumatatu-ya-leo-inatupeleka-mpaka.html
itc ya zulu yafika sasa kuichezea yanga kesho na wajeda bin zubeiry sports online itc ya zulu yafika sasa kuichezea yanga kesho na wajeda bin zubeiry sports online mwanzo > yanga > itc ya zulu yafika sasa kuichezea yanga kesho na wajeda itc ya zulu yafika sasa kuichezea yanga kesho na wajeda hatimaye kiungo mpya wa yanga justin zulu kutoka zambia yuko huru kuanza kuihezea timu yake kesho mechi ya ligi kuu ya vodacom tanzania bara dhidi ya jkt ruvu baada ya hati yake ya uhamisho wake wa kimataifa (itc) kutumwa kaimu mkurugenzi wa mashindano wa shirikisho la soka tanzania (tff) jonas kiwia ameiambia bin zubeiry sports online leo kwamba itc ya zulu imewasili pia itc ya zulu imefika hivyo naye yuo hutu sasa kucheza ligi kuualisems kiwia justin zulu (chini kushoto) yuko huru kuichezea yanga kesho wa dhidi ya jkt ruvu baada ya itc yake kutumwa mapema jana kiwia alisema itc za wachezaji wawili wapya wa kigeni wa simba kutoka ghana kipa daniel agyei na kiungo james kotei nazo zimefika hivyo wako huru kuicheza timu yao jumapili dhidi ya ndanda fc princezub@hotmailcom bin zubeiry sports online at 0714 friday december 16 2016 item reviewed itc ya zulu yafika sasa kuichezea yanga kesho na wajeda rating 5 reviewed by bin zubeiry sports online
2017-10-18T16:37:40
http://www.binzubeiry.co.tz/2016/12/itc-ya-zulu-yafika-sasa-kuichezea-yanga.html
jpm ligi kuu bara ruksa mtanzania home michezo michezo kitaifa jpm ligi kuu bara ruksa winfrida mtoi rais dk john magufuli (jpm) ametangaza kurejea kwa michezo yote ikiwamo ligi kuu tanzania bara ligi daraja la kwanza na la pili kuanzia juni mosi mwaka huu michezo yote nchini ilisimamishwa na serikali tangu machi 17 mwaka huu kutokana na hofu ya kuenea kwa maambukizi ya virus vya corona wadau wa soka nchini walikuwa wakisubiri kwa hamu kauli hiyo rais magufuli ikiwa ni baada ya awali kusema anafikiria kuruhusu shughuli za michezo kuendelea kutokana na kupungua kwa maambukizi ya virus vya corona akizungumza jana wakati wa kuwaapisha viongozi aliowateua katika hafla iliyofanyika ikulu ya chamwino jijini dodoma rais magufuli alisema anafahamu kila mmoja anapenda michezo alisema uamuzi huo unatokana na kuona michezo inasaidia katika kupambana na janga la corona kwa sababu hata katika taaarifa ya waliopata ugonjwa huo hakuna uhakika kama yupo mwanamichezo aliyefariki nafahamu kila mmoja anapenda michezo hata wabunge wanaenda kwenye michezo kuna ligi daraja la kwanza daraja la pili michezo ya majeshi na mingine ni lazima watu wafanye michezo taratibu za kushangilia na kuangalia zile zinaweza kupangwa na wizara ya afya pamoja na wizara husuka ya michezo ili utaratibu wa nafasi (distance) ukaendelea kuwepo alisema rais magufuli baadhi ya viongozi wa klabu za ligi kuu bara wamepokea kwa mkono miwili tamka hilo la jpm wakisema wapo tayari kurudi uwanjani kwani walikuwa wakijindaa tupo tayari muda wowote kurudi uwanjani tunasubiri utaratibu utolewe wachezaji warudi kambini hapa tunapozungumza mafundi wapo katika uwanja wa mazoezi chuo cha sheria wanafanya marekebisho alisema mkuu wa kitengo cha habari na mwasiliano wa yanga hassan bumbuli alisema wiki hii walikuwa wanawatembelea wachezaji kuangalia hali zao wakijiridhisha kila mmoja yupo fiti na sasa wanafanya mipango ya usafiri kwa kocha wao luc eymael aliyepo nchini kwao ubelgiji naye mkuu wa kitengo cha habari na mwasiliano wa klabu ya azam thabit zakaria zaka zakazi alisema hawana tatizo lolote kila kitu kinakwenda vizuri tumepokea kwa furaha kauli ya rais tunafanya utaratibu wa wachezaji wetu waliopo nje ya nchi pamoja na makocha warudi lakini utaratibu wa kambi ukitolewa tunaweza kuanza na hawa waliopo dar es salaam alisema aidha serikali kupitia katibu mkuu wa wizara ya habari utamaduni sanaa na michezo dkt hassan abbas imesema ni ruksa timu kuanza mazoezi tumepokea kwa unyenyekevu agizo la rais la ligi na michezo kurejea huu uamuzi umekuja wakati mwafaka wizara ya habari utamaduni sanaa na michezo tumepokea kwa tabasamu na timu zote za ligi za soka ni ruksa kuanza mazoezi rasmi taratibu za kuzingatiwa kiafya zitatolewa alisema previous articlesimba watoa vifaa vya corona muhimbili next articleariana grande awakumbuka mashabiki manchester
2020-07-08T14:28:41
https://mtanzania.co.tz/jpm-ligi-kuu-bara-ruksa/
chicharito mbioni kumwagwa bayer leverkusen | saluti5 home » soka » chicharito mbioni kumwagwa bayer leverkusen chicharito mbioni kumwagwa bayer leverkusen miamba wa soka katika ligi kuu ya ujerumani bundesliga bayer leverkusen inataka kuachana na nyota wake javier hernandez ambaye alingara sana katika klabu ya manchester united nyota huyo mwenye umri wa miaka 28 msimu uliopita alifunga jumla ya mabao 26 katika klabu hiyo ya leverkusen lakini msimu huu mambo yanaonekana kuwa magumu kwake
2017-10-18T05:54:42
http://www.saluti5.com/2017/01/chicharito-mbioni-kumwagwa-bayer.html
bunge lijadili hoja ya dharura kuhusu mgomo wa madaktari | jamiiforums | the home of great thinkers bunge lijadili hoja ya dharura kuhusu mgomo wa madaktari discussion in 'jukwaa la siasa' started by kitila mkumbo jan 31 2012 nchi yetu ipo katika hali ya dharura kutokana na kutaabika kwa wagonjwa mahospitalini bila msaada kufuatia mgomo unaoendelea wa madaktari itakuwa ni aibu kwa bunge kuanza kikao chake leo kama vile mambo ni kama kawaida hata wabunge wenye hoja binafsi wangeziweka pembeni kwanza ili mojawao aombe kuwasilisha hoja ya dharura kuhusu hili la mgomo kama alivyofanya wenje kuhusu umeme mwanza katika kikao kilichopita tayari tunaonekana kituko hili la mgomo wa madaktari litafanya baadhi ya binadamu wenzetu katika nchi zingine waanze kushuku ubinadamu wetu na huu utamaduni wa kuamini kwamba ubabe wa fukuzafukuza ni suluhisho la migogoro linazidi kutudhoofisha kifikra na kutufanya tuonekane ndondocha na wabunge wanapojadili hili la mgomo kama kweli watajadili watambue kwamba kitendo chao cha kushinikiza na hatimaye kuidhinishiwa posho zisizo na tija kimehalalisha na kuimarisha zaidi madai ya madaktari ujumbe wa posho za wabunge ni mmoja tu nao ni kwamba kumbe serikali yetu ina uwezo wa kutekeleza madai yote ya madaktari kumbe basi tatizo sio uwezo bali nia na mgomo ni njia mwafaka zaidi katika kushinikiza watawala kubadili nia lakini je kuna mtu anasikiliza na wakisikia wanajali big up kaka yangu kitila mkumbo kikao kinaanza saa tatu asubuhi hiimhe dr kigwangala mhe mnyikapick it up umesikika mkuu nakuamini kwa ushauri nadhani mwenye akili atagundua ushauri wa busara na aufuate lakini naini wa kusikiliza mwenyewe yuko bize na wizara ya mambo ya nje wasiwasi wangu ni hata kama itatolewa hoja ya dharura kuhusu mgomo wa madaktari ni waziri gani atakayetoa majibu ya kuaminika na yenye kuleta suluhu ya matatizo yaliyopo nani mwenye busara za kutatua mgogoro uliopo na wakati huu ambapo hata waziri mkuu ameshakuwa mtu wa jazba badala ya hoja kwa mfano ikitokea mbunge akatoa hoja ya kutaka serikali ikashughulike na kutatua tatizo la madaktari kwanza na kusitisha shughuli za bunge wabunge wako tayari kwa hilo au watajali posho vikao vya bunge vimeanza nimeona asbh wanajadili mkonge na pango watashtuka kweli hawa jamaa wanotibiwa apollo okey lets wait and see but i guess dodoma inaweza kuwa biznes as usual kwa kuwa pm ameshatoa msimamo wake/maamuzi yake suala hili ni very likely likajadiliwa kiushabikiitakuwa vigumu kwa wabunge wa ccm kumuangusha waziri mkuu hata hivyo sio wazo bayawabunge wanaweza kujaribulakini linaweza kwenda vizuri zaidi bungeni kama hoja hiyo ya dharura italetwa na mbunge wa ccm nimeona asbh wanajadili mkonge na pango watashtuka kweli hawa jamaa wanotibiwa apollo okey lets wait and see but i guess dodoma inaweza kuwa biznes as usualclick to expand hiyo imenipita nani waliokuwa wanajadili mkuu kitilatuko pamojaumenena vema wabunge wetu wasikie kilio cha watanzanianadhani tundu lissumnyikalemazitto na kiongozi wao mbowe wamesikia umenene drnategemea uzalendo na utaifa kwanza kwa hawa wawakilishi wetujapo kwangu wamekwisha poteza mvuto muda mrefu bunge linaendelea naona watu wanaendelea na maswali na majibu tusioni kama kuna dalili ya kuleta hoja kujadili jambo la dharuralakini to be honest hili ni wazo zuri sana maana kwa taarifa nilizo nazo hali si nzuri huko mahospitalini tayari watu wanaendelea kupoteza maisha kila muda unavyokwendajamani hata wabunge wa cdm hamtaliona hili kama ni jambo la muhimu sana mwenyewe yuko bize na wizara ya mambo ya njeclick to expand mkuu umenikumbusha jamaa yangu mmoja aliniambia kwamba waziri husika wa mambo ya nje hana kazi sasa hivi kazi yake ni kufanya appointments na bookings za mkulu kaka kitila hoja yako ni ya msingi saana hata mimi nilitarajia hasa vyama vya upinzani kulisimamia hili maana ni kete nzuri saana kisiasa lakini nashangaa si chadema wala tlp waliotamka neno in a very strong terms heri yao nccr waliojitamkia on behalf of serikali kwa kuwaomba madaktari kurudi kwanza kazini then madai yao ndio yajadiliwe hata hivyo kaka mkumbo nakutumia message binafsi uisome tafadhari wazo zuri sanawabunge wa chadema ambao ndio watetezi pekee wa watanzania wafanyie kazi hili swala nchi yetu ipo katika hali ya dharura kutokana na kutaabika kwa wagonjwa mahospitalini bila msaada kufuatia mgomo unaoendelea wa madaktari lakini je kuna mtu anasikiliza na wakisikia wanajaliclick to expand dr honestly labda kama serikali itakuwa imegundua kwamba imechemka in the first place approach yake kwenye hili swala through katibu mkuu wa wizara husika and later pm pinda was wrong in all aspects otherwise majibu ya serikali yanatolewa na waziri mkuu ambae ndiye aliyechemka zaidi sasa tutatarajia majibu tofauti tukizingatia kwamba tayari wabunge wa ccm wameshafanya kikao na kuonyesha kuchukizwa na mwenzao kigwangala kwa ushiriki wake katika mgomo (i don't believe kwamba ameshiriki katika kiwango cha kuwashawishi madaktari anyway) wana muda hao watetea matumbo na wabunge wanapojadili hili la mgomo kama kweli watajadili watambue kwamba kitendo chao cha kushinikiza na hatimaye kuidhinishiwa posho zisizo na tija kimehalalisha na kuimarisha zaidi madai ya madaktari ujumbe wa posho za wabunge ni mmoja tu nao ni kwamba kumbe serikali yetu ina uwezo wa kutekeleza madai yote ya madaktari kumbe basi tatizo sio uwezo bali nia na mgomo ni njia mwafaka zaidi katika kushinikiza watawala kubadili nia lakini je kuna mtu anasikiliza na wakisikia wanajaliclick to expand kweli drthis needs to be done asapinauma sanawish i had power in this country(bahati mbaya mi si mwanasiasa na wala sipendi siasa)ningewaswaga hawa washenzi mithili ya sokoine(na labda labda zaidi yake)nchi gani hii inayoongozwa na manyang'au na mafisitz ni nchi tajiri sana na haikutakiwa iwe hapa ilipolakini tunaongozwa na manyang'au hawaraia wa tanzania ni wapole sanathey don't deceive thishata dunia inalijua hilionly time will tell nadhani ni kipimo kwa wabunge wote leo ingawa nasikia wabunge wa ccm wamekaa kama kamati ya chama na kuwatisha na hata kutaka kuwafukuza wengine uanachama sasa hiyo ndiyo kawaida ya janja ya serikali na ccm lakini kwa hili hawana ujanja suala hili la madaktari ni tete dr kinachouna zaidi ni pale matatizo yanatokea mwenye nchi yuko huko kwenye vikao na mikutano ambayo siku zote amehudhuria na hakuna positive changes kwa taifa watu wanakufa pinda anasema hakuna pesa kwa madaktari at the same time anawaambia wabunge rais kapitisha posho nao wanashangilia ujinga wakati watu wanakufa kwa kukosa tiba viongozi wamelewa madaraka na kusahau mambo ya muhimu kwa nchi ila nadhani mungu anataka kuwaonesha kitu watanzania maana hata biblia inasema ukiona mambo yote hayo ujue mwisho umekaribia ole wao watakaokata tamaa naamini mwisho wa ccm umefika ndugu yangu dr kitila wabunge wa ccm hawapo tayari kwa hilo kama umesoma gazeti la mwananchi la tarehe 31/1/2012 utaona walivyomuweka kiti moto mbunge mwenzo dr kigwangala kwa kosa la kuwaunga mkono madaktari wanaogoma kwenye kamati yao ya wabunge wa ccm walimpongeza sana mhsana mtoto wa mkulima wa sumbawanga kwa wa ganga wa jadi kwa hatua nzuri alizochukua dhidi ya 'madaktari watukutu' wanaogoma
2016-12-05T00:55:45
http://www.jamiiforums.com/threads/bunge-lijadili-hoja-ya-dharura-kuhusu-mgomo-wa-madaktari.218130/
heche takwimu zinazotolewa na serikali si sahihi dar24 1 min ago comments off on heche takwimu zinazotolewa na serikali si sahihi mbunge wa jimbo la tarime vijijini kupitia tiketi ya chadema john heche ameitaka serikali kuwa mfano mzuri kwa kutoa takwimu za ukweli na kwamba takwimu nyingi si za kweli na inapaswa kushughulikiwa ametoa maoni yake kupitia ukurasa wake wa twitter ikiwa ni siku moja baada ya rais dkt magufuli kutoa onyo kwa watu wasiohusika kutoa takwimu kufanya kitendo hicho na kuagiza mamlaka husika kuwashughulikia watu hao serikali inatakiwa kuwa mfano mzuri kwa kutosema takwimu za uongo lakini tukianzia kwenye takwimu zinazotolewa kuhusu ukuaji wa uchumi idadi ya viwanda na mengine mengi nafikiri inatakiwa serikali yenyewe ndio ianze kushughulikiwa kwanzaamesema heche hata hivyo rais dkt magufuli amewataka wananchi kuwa makini na masuala ya takwimu na kuwapuuza watu ambao wanasema vyuma vimekaza ili hali watu wa takwimu wanasema vyuma vimefunguka na kwamba mtu akikosea kutoa takwimu ameichafua nchi habari/siasa zetu 5 hours ago comments off on msando alamba dili ccm habari/siasa zetu 20 hours ago comments off on nec hakuna chama kilichojitoa kwenye mchakato wa uchaguzi siasa zetu 1 day ago comments off on wasira katiba mpya imenibeba siasa zetu 1 day ago comments off on upinzani wagonga mwamba siasa zetu 2 days ago comments off on chadema yazidi kupukutika mwingine ajiuzulu siasa zetu 2 days ago comments off on bashe atuma salaam kwa makocha ccm
2018-04-20T03:09:07
http://dar24.com/heche-takwimu-zinazotolewa-na-serikali-si-sahihi/
michuzi blog dpo yapata uwekezaji mkubwa kutoka katika mfuko kukuza uchumi wa apis dpo yapata uwekezaji mkubwa kutoka katika mfuko kukuza uchumi wa apis kutoka kushoto offer gat mwenyekiti wa kundi la makampuni ya dpo eran feinstein mkurugenzi mkuu wa dpo matteo stefanel mwanzilishi na mshiriki msimamizi wa apis na kiprono terigin mwekezaji mshirika wa apis wakati wa uzinduzi wa uwekezaji wa apis katika kampuni iliyozinduliwa upya ya direct pay online direct pay online (dpo) yapata uwekezaji mkubwa kutoka katika mfuko kukuza uchumi wa apis apis kupitia mfuko wa kukuza uchumi wa apis growth fund 1 yajipatia hisa katika kampuni ya dpo ambayo awali ilijulikana kama 3g direct pay limited dpo group ni moja ya makampuni yanayoongoza katika malipo ya mitandaoni katika afrika mashariki na operesheni katika nchi za kenya uganda rwanda tanzania (ikiwa ni pamoja na zanzibar) na zambia uwekezaji huu utasaidia dira ya dpo group ya kujenga mfumo wa kupitisha malipo afrika nzima nairobi kenya 22 septemba 2016 direct pay online ( dpo group) inayoongoza katika kupitisha malipo ya mitandaoni katika afrika mashariki imepokea uwekezaji mkubwa kutoka katika mfuko wa kukuza uchumi wa apis mfuko binafsi wa usawa unaosimamiwa na washirika wa apis llp ambayo ni msimamizi wa mifuko binafsi unaolenga kutoa huduma za kifedha katika masoko yanayokua ya afrika na asia dpo group ambayo awali ilijulikana kama 3g direct pay limited ilizindua operesheni mwaka 2006 kwa kuanzia nchini kenya na baadaye kupanua biashara hadi nchini zambia uganda rwanda na tanzania ikiwa ni pamoja na zanzibar dpo group inahudumia zaidi ya wateja 5000 katika kanda hii ikiwa ni pamoja na mashirika ya ndege zaidi ya 40 mamia ya hoteli na maelfu ya mawakala wa usafiri na kampuni za watalii kuwepo wigo mkubwa wa wateja kumefanya kampuni ya dpo kuwa moja ya makampuni makubwa ambayo yanafanya biashara za kupitisha malipo mitandaoni katika afrika mashariki dpo inafanya michakato ya malipo kwa kadi zote kuu za malipo malipo ya pesa kwa simu na pochi za mitandaoni (ewallet) na ni mtoa huduma hizi pekee katika afrika mashariki mwenye vyeti vya hatua ya kwanza ya pci dss level 1 na wenye vyeti usalama wa juu kabisa katika ya sekta kadi za malipo
2017-05-27T17:41:37
https://issamichuzi.blogspot.com/2016/09/dpo-yapata-uwekezaji-mkubwa-kutoka.html
pakua ripoti juu ya uchafuzi wa lpg au lpg kwa ademe downloads pakua ripoti juu ya uchafuzi wa lpg au lpg kwa ademe euro 3 lpg / lpg magari ya mwanga mipango ya uzalishaji wa co2 na uchafuzi kulinganisha na matoleo yao petro na dizeli kwa laurent gagnepain pakua faili (usajili wa jarida inaweza kuhitajika) ripoti juu ya uchafuzi wa lpg au lpg na ademe ← pakua logan eco2 kwenye bibendum challenge tovuti ya econology iliyotajwa katika sayansi na vie →
2018-11-19T01:42:03
https://sw.econologie.com/telechargement-rapport-pollution-gpl-ou-lpg-par-ademe/
daily mitikasi blog uboreshaji wa usalama barabarani kwa usafirishaji wa masafa marefu uboreshaji wa usalama barabarani kwa usafirishaji wa masafa marefu wadau wakipata maelekezo ya huduma ya 'ndiyo fuso ni faida' diamond motors limited hivi karibuni wamekuwa katika safari ya kuzunguka mtandao huu wa barabara wakihamasisha pamoja na mambo mengine usalama barabarani katika kampeni yao ya ndio fuso ni faida kampeni hiyo iliyozinduliwa mwezi julai mwaka huu jijini dar es salaam ilifika katika mikoa ya tangamoshi arusha mwanza shinyanga kahama dodoma iringa mbeya na songea ambapo shughuli mbali mbali za uchimbaji wa madini kilimo ujenzi na usafirishaji wa mizigo zinafanyika pamoja na mambo mengine kampeni hiyo ilidhamiria kujenga uelewa kwa wateja wake juu ya jinsi ya kuboresha usafirishaji salama wa mizigo kwa kutumia magari ya kisasa zaidi akifafanua kwa undani juu ya malori mapya yaliyohusika katika kampeni hiyo ya ndio fuso ni faida msemaji rasmi wa kampuni ya diamond motors limited ambao ni wadau na wataalamu katika sekta ya usafirishaji wa masafa marefu kwa kutumia malori yao ya fuso alisema soko la tanzania linahakikishiwa malori ya aina ya fuso fz na fj yaliyoboreshwa kiteknolojia na kuwa na uwezo wa kuboresha usalama barabarani malori haya yametengenezwa na kitako imara kilichotengenezwa kwaajili ya uzito mkubwa na mazingira magumu ya kufanya kazi alisema meneje mkuu (masoko) wa diamond motors ltd bwana laurian martin aliongeza kusema kuwa tuna nia ya kuborsha sekta ya usafirishaji iliyo bora na salama kwa kutumia malori yetu ya fuso yaliyo boreshwa ki teknolojia alisistiza na kusema kuwa aina mbali mbali mpya za malori yatolewayo na diamond motors ltd sio yanaaminiki katika utendaji tu bali pia yana uwezo mkubwa wa ubebaji ambayo ni sifa pekee isiyopatikana katika malori mengine ambayo yanalazimika kutumia mafuta mengi ili kukidhi kigezo hicho kizuri zaidi malori haya gharama zake za matengezo ni ndogo zaidi na hutembea umbali mrefu zaidi wa takribani kilomita 45000 kabla ya kuhitaji matengenezo ya kawaida kama kubadilisha vilainishi bwana laurian martin aliendelea kusema kuwa sifa hizi ndizo zinafanya malori ya fuso fz na fj kuwa suluhisho kamili la usafirishaji na biashara nchini tanzania katika kampeni hiyo mikoa ya kaskazini ikiwemo tanga kilimanjaro na arusha ilipata fursa ya kuona faida zinazopatikana katika malori haya mbalimbali ya fuso maboyo ni malori ya ubebaji mkubwa yanayopatikana katika kampuni ya diamond motors ltd miji ya mikoa hii imendelea kukua katika shughuli za kiuchumi kama vile usafirishaji wa mizigo biashara viwanda kama vile cementi malighafi mbalimbali maua matunda mazao mbalimbali yatokanayo na miti yanayohitaji kusafirishwa kwenda katika sehemu mbalimbali za nchi na nje ya nchi wasafirishaji kutoka mikoa hii wameaswa kutumia teknolojia hii ya malori ya fuso fz na fj ambayo inaweza kuwapatia faida zaidi katika biashara zao kampeni hiyo pia ilifika katika mikoa ya kilimanjaro na arusha ambayo imeunganishwa katika ukanda wa kaskazini na barabara za nchi za jirani kama kenya na uganda kupitia mipaka yake ya namanga ikiwa na biashara nyingi baina ya nchi hizo zinazopitia njia ya barabara wakazi na wafanyabiashara waliohudhulia kampeni hiyo walipata fursa ya kujionea sifa zipatikanazo katika malori hayo ya fuso fz kutoka diamond motors limted ambayo yanauwezo wa kubeba mizigo mikubwa katika mazingira magumu katika ukanda huo ni kwa teknolojia ya kisasa ya magari haya mabapo wafanya biashara wanaweza kupata faida ya biashaza zao kwa kutumia malori haya inayotumia mafuta vizuri ambapo gari hii ina kifaa maalumu cha kuzuia mafuta yasitumike endapo gari hii inatembea katika mteremko ili kukupa umbali mrefu zaidi kwa mafuta kidogo mikoa ya mwanza na shinyanga ambayo ni kitovu cha biashara usafirishaji ushirikano wa kikanda na maendeleo ya kiuchumi katika kanda ya ziwa ikiunganishwa na bandari kavu ya isaka ilifikiwa na maonyesho haya ya fuso fz mikoa hii pia inaunganisha nchi jirani za uganda kenya rwanda burundi and demokrasia ya kongo ambazo ni nchi zenye biashara nyingi kubwa miongoni mwake na tanzania kwa usafirishaji wa masafa marefu katika nchi hizi fuso fz ina muundo maridhawa kupasua upepo usiwe kizingiti ambayo haikupatii umbali mrefu tu bali pia inampunguzia dereva uchuvu kwa kuwa na kibini iliyoninginizwa vizuri kupumguza sana mtikisiko wa barabarani hasa kwenye matuta au barabara mbovu na kupunguza kelele za kutoka kwenye injini sifa hii ni muhimu sana kumpunguzia dereva uchovu na hivyo kuweza kutosababisha ajali zitokanazo na uchvu wa dereva na kusinzia wakati akiendesha mikoa ya nyanda za juu kusini pia ilikuwa katika mpango wa kupata faida zitokanazo na matumizi ya malori mapya fuso fz yenye teknolojia mpya kutoka diamond motors ltd baada ya kufikiwa na kampeni hiyo ya ndio fuso ni faida kampeni hiyo ilipokelewa vizuri na wakazi wa mikoa ya dodoma iringa mbeya na songea ambapo pia kuna shughuli za kiuchumi kama uchimbaji wa madini kilimo cha chai misitu na kilimo cha kibiashara wafanyabiashara walionyeshwa haja ya wao kubadilisha njia za usafirishaji kwa kutumia fuso fz na fuso fj na hivyo kupunguza gharama za uendeshaji na kupata faida zaidi katika biashara za kiuchumi nchini na ukanda wa africa mashariki na kati imechapishwa na john hans badi kwa 1221 am
2018-02-24T04:02:18
http://johnbadi.blogspot.com/2015/09/uboreshaji-wa-usalama-barabarani-kwa.html
baraza la juu la bunge uingereza lataka marekebisho ya mswada wa brexit | matukio ya kisiasa | dw | 02032017 baraza la juu la bunge uingereza lataka marekebisho ya mswada wa brexit baraza la juu la bunge la uingereza (house of lords) limepiga kura ya kutaka mswada wa wa brexit ufanyiwe marekebisho marekebisho hayo yanasisitiza kulinda haki za raia wa ulaya wanaoishi nchini humo marekebisho yanayotaka raia wa nchi za umoja wa ulaya wanaoishi uingereza kwa sasa waendelee kuwa na haki kama walizokuwa nazo wakati uingereza ikiwa mwanachama wa umoja huo yalipitishwa katika baraza hilo kwa kura 358 dhidi ya 256 hata hivyo mabadiliko hayo huenda yakachelewesha mswada unaompa mamlaka waziri mkuu theresa may kuanzisha kipengele cha 50 cha mkataba wa lisbon cha kuanzisha mchakato wa kujiengua kutoka umoja wa ulaya may amesema amepanga kuanzisha rasmi mchakato huo mwisho wa machi uamuzi wa uingereza kujiondoka katika umoja wa ulaya ulitokana na kura ya maoni ya mwezi juni mwaka jana asiliamia 52 ya wananchi walipiga kura ya ndio ya kutaka nchi yao ijitoe katika umoja huo kabla ya kura hiyo ya baraza la juu iliyofanyika jana may alisema ratiba yake ya kuanzisha ibara ya 50 haitobadilika nadhani atazingatia wanachokisema lakini nina hakika serikali itawapinga amesema mjumbe wa baraza hilo bwana norman lamont msemaji wa serikali ya may amesema serikali imesikitishwa kuwa baraza la juu linataka mswada uliopitishwa na bunge la uingereza ufanyiwe marekebisho raia wa ulaya wanahitaji kujua haki zao kwa upande mwengine msemaji mkuu wa chama cha labour dianne hayter amesema marekebisho hayo ni muhimu kwasababu raia wa bara la ulaya wanaoishi uingereza wanahitaji kujua haki zao hivi sasa sio baada ya miaka miwili au hata mwaka mmoja licha ya kura iliyopingwa na baraza la juu la bunge la uingereza house of lords lazima sasa mswada huo pamoja na pendekezo hilo urejeshwe katika bunge house of commons ambapo kuna uwezekano mkubwa wa kukataliwa kwa kujitoa katika umoja wa ulaya uingereza pia itaepukana na sera ya umoja huo ya uhuru wa kusafiri bila ya kujali mipaka barani humo ni sera inayo wawezesha raia wa nchi zote wanachama 28 kuishi na kufanya kazi katika nchi yoyote miongoni mwa hizo matokeo yake watu wapatao milioni tatu ambao ni raia wa nchi za ulaya wanaoishi uingereza na raia milioni moja wa kiingereza wanaoishi nchi nyingine barani humo hawana hakika ya hatma ya maisha yao hamna mwenye kujua hatma ya kazi yake au makaazi yake pale uingereza itakapojiondoa rasmi katika umoja wa ulaya na kuanza kudhibiti tena mipaka yake pamoja na uhamiaji serikali ya may imesema itahakikisha haki za raia wa ulaya wanaoishi uingereza zinabaki pale plae ikiwa waingereza nao wanaoishi nchi za nje barani humo watapatiwa haki hizo hizo mwandishi yusra buwayhid/ap/dw kiungo http//pdwcom/p/2yvng
2017-08-24T10:08:11
http://www.dw.com/sw/baraza-la-juu-la-bunge-uingereza-lataka-marekebisho-ya-mswada-wa-brexit/a-37776456
udadisi it takes a village library to educate a girl child it takes a village library to educate a girl child a recent article on a professor raise a library in his native town in zambia has reminded me of a professorial couple's initiative in tanzania as far back s 2009 they have been working on building a girls education centre that will be used as a community library for everybody while focusing on girls let's hear from them as we follow their 'long walk to readership' as a young girl my parents did not like to send me to school but my father decided to teach me reading the bible through this i was able to read at the age of five one day i saw a magazine which was promoting education as part of united nations [un] efforts to implement universal primary education [upe] by then i just read it and understood that a girl can study then i went back home i told my parents to send me to school they refused at first and agreed later and then i started school because there was such a magazine donated by un efforts in the magazine there was nyerere our president giving a speech on the upe policy reading gave me good news i started selfdevelopment and since then things had never been the same this is a long story of mine but currently i am doing my phd and a university lecturer if there were no such books i would not be writing to you aurelia n kamuzora 14 october 2009 anybody who like to know the impact of nyerere policies of ujamaa and equality i am a good case study and i like to use it to impact parents and the young girls not only in karagwe but also in any grassroots communities of tanzania the message is about the propoor families to invest in education morally and social support of their children building schools everywhere is nothing if there is no participatory approach like what nyerere did i like to support the government efforts in education provision without nyerere's policies of government interventions people like us would have been somewhere else aurelia n kamuzora 15 october 2009 for some of us who have been fortunate enough we have an obligation to try to give back to our communities aurelia (with very scant help from me) is about to complete construction of a similar but definitely smaller library building project in one of our villages in karagwe it is our hope that once the construction is done we will conduct a bookraising event to get books particularly the local ones prof faustin r kamuzora 20 august 2011 we started with construction and the second step will be mobilizing resources to fill it with relevant books we are also promoting green movement where people in the village plant trees to restore mother nature also green movement gives the villagers an opportunity to benefit from carbon credit of the polluters we are doing this through green for education and poverty alleviation trust (gepat) gepat is a purely voluntary organization that focuses on future generation and clean air we invite anybody to contribute to our efforts not only in karagwe but somewhere else in tanzania our activities are available at wwwgepatcotz thanks a lot for the story from zambia our initiative in our home village is still ongoing the girls education center is under construction we are currently finishing we are working together with different donors but our own effort is almost 50 contribution we hope it will give an impact to some young children especially girls it is located in kituntu village kituntu ward karagwe district and kagera region at the beginning it was a nightmare but now it seems that we have been able make a change thank you for encouragement through the zambian case dr aurelia n kamuzora 21 august 2011 these are the photos sent by one of the volunteer working with us these volunteers are among the young children we have been supporting (sponsoring) to acquire education he is a boy waiting for the selection to join the university the girls are still not doing well when it comes to examination performance we believe that with the girls' education centre (gec) which will be full of books while we will continue with role modeling many girls with similar background like us will be motivated to perform well in their respective schools ultimately they will pursue it further to universities and beyond dr aurelia n kamuzora 22 august 2011 anybody who donates a book does more than a person who donates money in africa aurelia ngwira kamuzora posted by i wish to congratulate dr aurelia kamuzora for her initiativein fact most `intellectuals` these days are obsessed with consultancies and extravagant life instead of teaching and giving back to the communitybasicallythese days the learned is a problem to his/her communityi think she is a role model wakulima na wafugaji wanagombania nini kuna kiongozi mmoja alishasema wafugaji warudi walikotoka kama kuna anayejua wafugaji wa tanzania wanatoka wapi aniambie hostilit wanafunzi wa mwalimu nyerere wanafunzi wa mwalimu moja tisa sita saba kawakusanya arusha wa taifa yeye baba azimio kufundisha wanafunzi kwa mahaba wakajibu k barua ya wazi kwa mheshimiwa mkapa barua ya wazi kwa mhe benjamin william mkapa rais mstaafu mheshimiwa mkapa assalam alaykum nakuamkia kwa heshima na taadhima natumai the third julius nyerere intellectual festival week university of dar es salaam mwalimu nyerere chair in panafrican studies third julius nyerere intellectual festival week april 1215 2011 wako wapi kina anna calculator wako wapi kina anna calculator watu wananiona mimi kama mwehu lakini nina akili zangu timamu kabisa anna wa mtwara jacqueli mlizingatia maoni ya nani jaji warioba mlizingatia maoni ya nani warioba · tume imechakachua maoni ya wazanzibari · watu elfu 16 kuamua hatma ya ubidhaishaji wa maumbile ya binadamu toka sarah baartman mpaka agnes masogange na mwl sabatho nyamsenda tunaishi katika zama oiling our economy the norway way oiling our economy the norway way chambi chachage how do different interest groups define and protect their diverse interests ramani(map) ccm yasahangilia frelimo kuibuka mshindi katika uchaguzi mkuu wa msumbuji *chama cha mapinduzi (ccm) kimepokea kwa furaha chama cha frelimo kuibuka na ushindi katika uchaguzi mkuu uliofanyika oktoba 15 mwaka kituo cha habari cha umoja wa mataifa washiriki alhamisi ya burudani na kikundi cha mtandao wa vijana temeke kwa madhumuni ya kutoa elimu ya kazi mbalimbali za umoja wa mataifa * afisa habari wa umoja wa mataifa (unic) bi stella vuzo akitoa mada kuu iliyokuwa inahusu malengo ya maendelea ya milenia na kuangalia imefikia wapi kwe mgodi wa buzwagi ni mfano kwa mingine wasema wabunge wa kamati ya bunge ya ardhi maliasili na mazingira *migodi ya dhahabu nchini imetakiwa kuiga mfano wa mgodi wa buzwagi wilayani kahama katika kutunza na kuweka mazingira ya uzalishaji salama kwa binadamu na soma kwa makini taarifa ya ukaguzi maalum wa akaunti ya tegeta escrow (ukaguzi wa iptl) kutoka ofisi ya taifa ya ukaguzi *jamhuri ya muungano wa tanzania* *ofisi ya taifa ya ukaguzi * ofisi ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali inapenda kuujulisha umma kuwa ukaguz madiwani watakiwa kuhamasisha wananchi kwenye shughuli za maendeleo makamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya mbaraligulzar sabil(katikati mwenye kilemba) akiongoza mkutano wa baraza la madiwani meza kuu ikifuatilia wanahabari kilimanjaro watembelea mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira moshi(muwsa) *afisa uhusiano wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira(muwsa)florah stanley akifanya utambulisho kwa waandishi wa habari walipotembelea mamlaka hiy zikiwa zimesalia siku chache kuhusu agizo la rais kikwete la maabara manispaa ya mara imefanya hivi na asha juma musoma manispaa ya mji wa musoma imetenga kiasi cha shilingi milioni mia nne na tisa kwa ajili ya utekelezaji wa ujenzi wa maabara katik makala ambayo haikuchapishwa hali ilivyo sasa katika mbio za urais 2015 nani zaidi makala hii ilipaswa kuchapishwa katika jarida la raia mwema toleo la oktoba 22 2014 lakini kwa sababu wanazozijua wahusika pekee haikuchapishwa nomba ku tajikistan still debating the good and evil of halloween the holiday of halloween is back on the government's agenda in tajikistan meaning citizens in possession of a pumpkin should beware video/picha yaliyojiri katika harambee ya uchangiaji ujenzi wa maabara mashuleni manispaa bukoba oct 302014 *mgeni rasmi naibu waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa mhe kassim majaliwa (mb)mara baada ya kuwasili katika viwan puppet nation ep 52 halloween episode halloween greetings zuma is kept busy in this weeks episode plotting revenge on david cameron for snubbing him and discussing just where the r30 millio burkinabes get rid of blaise the puppet *by baraka mfunguo* to my brothers and sisters of burkina faso you have started a journey where there is no point of return it is a journey that i here are miss universe tanzania 2014 contenstants the miss universe tanzania 2014 beauty pageant will take place this weekend at the golden tulip hotel in daressalaam according to the organizers of the democracy is on the line in burkina faso what happens there over the next few weeks and months may determine whether democracy continues on its positive t burkina faso protests against president violent clashes broke out in burkina faso's capital ouagadougou after a second day of protests denouncing the president's plan to seek reelection muhtasari na hitimisho 'kanuni zinazoongoza mahusiano na migogoro ya wanandoa' tangu tulipoanza mfululizo wa makala za mahusiano jambo kubwa nililojaribu kulionesha ni nafasi ya mahitaji ya hisia katika kuimarisha au kuvuruga mahusia maramwanamke aliyechomwa moto sehemu za siri na mumewe ahofia usalama wake *mwanamke aliyechomwa moto sehemu za siri na mumuwe mwezi wa saba mwaka huu anaishi kwa hofu kutokana na mumewe kudaiwa kuonekana kijijini murito akiwa ushahidi partnership days 2014 day 1 [guestpost by arushi jain development intern on ushahidi platform] we all have multiple identities we are citizens of various countries and residents brett bailey exhibit b by rodney place the devastating beauty of timbuktu as the french government announced this week a redeployment of troops back to northern mali citing the failure of the un mission there (minusma) to materi is our waiting finally over kumbukumbu kwanza nimetamani ugali wa muhogo hii kazi hii ilikuwa kazi ya karibu kila siku maana usipotwanga mihogo hakuna ugalibasi hapo unapomaliza kutwanga uso mzima ni kama vile umemwagiwa ung if a tree falls in the forest and no one hears it does it throw shade chances are by now youve heard of black twitter maybe youve seen issa raes black twitter party video not sure take complex magazines black twitter all powerful reflection on zola emile au bonheur des dames (the ladies delight) ( london penguin classics 1883 translated in 2001) pp 429 titleau bonheur des dames (the ladies delight)authoremile zolagenrefiction literaturepublisherpenguin classicrelease date1883pages429so aika what and the winners are the phiri award innovators of 2014 last week the first ever five winners of the phiri award were announced all five illustrate the persistence and determination so typical of innovators a mh shyrose bhanji ajibu shutuma dhidi yake *mh shyrose bhanji* mimi shyrose bhanji mbunge wa afrika masharikitanzania ninapinga vikali na kwa nguvu zote shutuma zilizotolewa dhidi yangu kupitia mahojiano ya hashim lundenga na vijimambo / kwanza production *mkurugenzi wa lino angency international ltd hashim lundenga*hivi karibuni kulifanyika mashindano ya kumsaka mrembo wa tanzania kwa mwaka 2014 (miss tanza tutafakari namna ya kushughulikia matukio ya uhalifu wa kutumia pikipiki uhalifu unaofanywa kwa kutumia pikipiki unazidi kushamiri dar pikipiki inarahisisha wahalifu kutoroka je tufanyeje kumaliza hili tatizo pikipiki ni nzu foodieodicals online popup #foodieodicals #foodieodicalpopup farmtotale collaborating with the food book fair = some sweet bundles of the best print food publications out there plus ones youve never heard of the harvard rwandan freshman featured in the new york times published october 22 2014 in the new york times justus uwayesu rescued at 9 from the s pumzika kwa amani yp sehemu ya watu walifika kumzika msanii wa muziki yppicha kwa hisani ya mtandao wa clouds fmyesaya mwakalekana maarufu zaidi kwa yp amepumzishwa leo picha democracy derailed botswanas fading halo by amy r poteete botswana earned a reputation for political stability electoral democracy and economic growth in the 1970s and 1980s when much of the a ipcc corrects claim suggesting climate change would be good for the economy the intergovernmental panel on climate change (ipcc) has corrected a controversial claim that small amounts of global warming could have overall positive e ccm wateua wagombea wa uenyekiti wa wilaya(njombe) na ujumbe wa halmashauri kuu ya ccm taifa taarifa ya ccm kwa vyombo vya habari halmashauri kuu ya taifa ya chama cha mapinduzi (ccm) jana oktoba 16 2014 katika siku ya kwanza ya kikao chake cha 2013 in review 23 march on a visit to belgium a friend took me to visit one of brussels iconic monuments the atomium its sight jolted my memory i have been here before it wa somalia end the cycle of drought through agricultural development in somalia for generations the agricultural sector has played a significant role in the national economy it remains second to the livestock sector in ter book launch 28/10/14 bread freedom and social justice | khalili lecture theatre soas london anne alexander and mostafa bassiouny launch their new book bread freedom social justice with guests prof gilbert achcar and journalist alain gresh stone town dates migrations and microhistories an interview with historian matthew j smith matthew j smith is senior lecturer in history at the university of the west indies mona jamaica his first book red and black in haiti radicalism con adha ya ukeketaji tanzania kujadiliwa na jopo la wabunge uingereza mtanzania wa vijijini kuwepo joponi london habari na picha za freddy macha london jumatano ijayo tarehe 15 oktoba 2014kundi la kina mama watatu akiwemo cmykaffir it has become embedded in the batswana people to cmykaffir it has become embedded in the batswana people to name the offsprings and award names that reflect or depict the great work of god e tamko la chadema kuhusu migomo na maandamano ya amani tamko la chama juu ya utekelezaji wa azimio la mkutano mkuu kuhusu migomo na maandamano ya amani nchi nzima tunapenda kuanza polisi mara yaendelea kujifua ligi daraja la kwanza kocha wa polisi mara akitoa maelekezo kwa wachezaji timu ya soka ya maafande wa polisi mara imeendelea kujifua kwenye viwanja vya posta mjini hapa katika monica joseph not afraid of numbers it was a privilege to be featured in a double spread of the daily news woman newsmakers section this morning monica joseph not afraid of numbers the re platforms institutions and ecosystems thoughts on platforms and ecosystems what we can learn implications for leaders policy and business continue reading → mr taxman what have you done for me lately * je huduma zitolewazo na serikali zinaendana na kodi kubwa na nyingi* *waziri wa fedha saada salum mkuya * uhalali pekee wa serikali kutoza wananchi wa anafricanistperspective dear readers you may have noticed a decline in the frequency of blogging work on the dissertation is taking up all my time these days as a result i am t kenyas security crackdown and the politics of fear by anna bruzzone since the beginning of operation usalama watch on april 2 kenyan authorities have sternly maintained that the ongoing terror swoop is terre noire terre blanche south africa in black and white a historic opportunity transformation of tanzania can be a reality this is my first english language blog entry since i was nominated by president jakaya kikwete to the constituent assembly in february and i do not intend discovery on water contaminants wwtakepartcom/article/2013/04/30/youngfemalescientistmakesdiscoverywatercontaminants ive been hearing us talk of speaking with one voice as great as that is/sounds we must interrogate what speaking with one voice actually means whose 20 things that belong on everyones todont list *1 dont be lazy* the world doesnt owe you anything you owe the world something so stop daydreaming and start doing develop a backbone not a wis taarifa kwa wanaotaka kufanya mtihani wa kidato cha nne na maarifa 2014 baraza la mitihani la tanzania linapenda kuwakumbusha watu wote wanaotaka kufanya mtihani wa kidato cha nne (csee) na maarifa (qt) mwezi novemba 2014 k sfo jfk jnb dur [image street art in downtown johannesburg one year after the marikana massacre] by kellen hoxworth phd student theater and performance studies deliberately consider 2010 2013 deliberately considered has suspended the publication of new posts i am now turning my full attention to a new project public seminar i thought i migh wasomi lugha za ulaya na afrika kati ya kujiweza na kuwezwa ngugi wa thiongo kutoka udadis blog dondoo prof ngugi wa thiongo aliutoa mhadhara huu kwa lugha ya kiswahili jambo ambalo kwa mujibu wa dakta martha qorro hakuwahi kulifa *a little man with bigger visions* *key text luke 19110* *1jesus entered jericho and was passing through2 a man was there by the name of zacchaeus he nyerere wazee ndio nguzo ya nchi mwalimu nyerere akiwa na mama yake mzazi bi mgaya (kushoto) na mkewe bi maria nyerere mwaka 1993 na daniel mbega demokrasia ya sasa imepanuka kuliko iliv going rogue in botswana africas foreign policy anomaly as african countries and institutions fell over themselves to whitewash the results of the zimbabwean elections there was a lone dissenter among all the o mobile applications and rss feeds discontinued the crimson has discontinued support for its apps to browse on your mobile device visit thecrimsoncom vyandarua vyatumika kuanikia dagaa ziwa nyasa *na gideon mwakanosya mbambay* baadi ya wananchi wanaoishi katika vijiji vilivyoko kandokando ya ziwa nyasa katika wilaya ya nyasa mkoa wa ruvuma wamewa ubeshi'safari ya vijana kuifikia almasi mwaduishinyanga jamani nampenda jamani nampendakaka yule wa kisambaalakini hanielewininapotamka mahaba wee mndele una ninihata honga hujui siku wafanyakazi wa african barrick gold minning walipotoa msaada kwa wagonjwa wa saratani ikiwa ni maadhimisho ya siku ya mwanamke duniani *kampuni ya uchimbaji madini ya african barrick gold (abg) wakikabidhi msaada wa vitu mbalimbali yakiwemo maboksi ya sabuni za kufulia na kuogea mafuta ya baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari bungu wakiwa katika ofisi za walimu kuzungumzia mafanikio na changamoto mbalimbali kitaaluma katika shule hiyoo breaking newz more turmoil involving muslims spark in tanzania while the majority of tanzanians muslims and christians alike pray for the return of normalcy and peace in tanzania more and diverse clashes involving mu tumeshuhudia na kujionea jinsi muungano wa siku nyingi kati ya uingereza na ireland ya kaskazini ulivyogubikwa na mitafaruku ikiwa ni pamoja na hoja tata ugandan student makes millions from developing apps mobile phones are revolutionizing the way people communicate they are also giving entrepreneurs an opportunity to create hello everyone my name is aissatou and i am more than thrilled to spend the upcoming eight months learning somewhere other than a boring classroom to st are rights the answer to underdevelopment are human rights universal indivisible and equally applicable everywhere or may local contexts and local decisionmaking matter more in some situations thi who will lead the anc in gauteng no matter how hard anc insiders would like to deny it many of us know that leadership battles are really about power access and control of taxpayers mone twisted(when desire unveils hidden secrets) by amos bwire *secret obsession* a sexually satisfied man is like a dog that is well fed you wont find it digging through the garbage twita(twitter)
2014-10-31T09:41:30
http://udadisi.blogspot.com/2011/08/it-takes-village-library-to-educate.html
lra ni aibu katika region yetu ie ea | jamiiforums | the home of great thinkers lra ni aibu katika region yetu ie ea discussion in 'international forum' started by tumain jul 13 2009 un imetoa taarifa kwamba lord resistance army led by joseph kony imeajiri watoto zaidi ya 20000 kwenye jeshi lao wakiwemo watoto wa kike ambao wanatumika kama wives (ngono) tangu ilipoanza vita vyake miaka ya 1990's kwa mujibu wa report hiyo lra ina recruite watoto mostly kutoka kongo rdc na uganda pamoja na kutumia watoto wameshafanya mauaji ya kushtukiza katika vijiji vingi nchini kongo uganda na sudan na kusababisha vilema umaskini magonjwa na zaidi ya wakazi 220000 nchini pekee na wengi zaidi ya hao uganda makazi yao yameharibiwa na lra lra ni kikundi cha kigaidi cha kikristo katika ukanda wa maziwa makuu na east africa community tunawaalani kwa uharibifu huo wa maisha ya watoto na raia wasio na hatia i think the african leaders should have to put in place the deliberate decision of arresting joseph kony and his leading top officials so that this crime will be stopped over the innocent people especially women and children if tanzania went to comoro and stop violation there and ugandans military army went to somalia to stop violence there why are they failing to do the same in uganda i think charity begins at home and not away from home please east african leaders wake up and do something about this human rights violations inatia aibu sana kikundi hiki kipo zaidi ya miaka 20 sasa kumeshafanya mauaji ya kutisha na kusababisha vilema wengi kongo na ugandasijui kwanini international media na watu kama kina annan hawalishughulikii hili so many people are dying lra ni kikundi cha kigaidi cha kikristo katika ukanda wa maziwa makuu na east africa community tunawaalani kwa uharibifu huo wa maisha ya watoto na raia wasio na hatiaclick to expand lra sio kikundi cha kikristo ila kinajiita kikundi cha kikristo hawa ni wauaji na hakuna kanisa au mkristo yeyote anayewaunga mkono lra sio kikundi cha kikristo ila kinajiita kikundi cha kikristo hawa ni wauaji na hakuna kanisa au mkristo yeyote anayewaunga mkonoclick to expand katika moja ya madai yao ni kwamba wanataka uganda iongozowe kwa amri kumi za mungu kwa mujibu wa biblia hakuna kanisa au mkristo yeyote anayewaunga mkono inaweza kuwa kweli au si kweli serikali za nchi za maziwa makuu wantakiwa wawashike hawa jamaa haraka iwezekanavyo kama walivyofanya commoro hakuna haja ya kusubiria hawa watu waadhibiwa na mungu wao baada ya kufa i doubt if these people have a god wana stahili kuadhibiwa hapa hapa lra ni kikundi cha kigaidi cha kikristo katika ukanda wa maziwa makuu na east africa communityclick to expand ni kikundi kinachojiita cha kikristo kweli wanayofanya ni aibu tupu na kwa mujibu wa mafundisho ya kikristo wafanyayo uovu na ni kazi za ibilisi
2017-04-28T16:19:37
https://www.jamiiforums.com/threads/lra-ni-aibu-katika-region-yetu-i-e-ea.33669/
ninatembea usingizini nina tatizo (sleep walking) daktari mkononi ninatembea usingizini nina tatizo (sleep walking) yonaz charles md3 🇹🇿on leave a comment on ninatembea usingizini nina tatizo (sleep walking) wakati tumelala usiku ninashtuka na kumuona rafiki yangu amesimama mbele ya kitanda chake akiduwaa ninamwita kwa nguvu lakini haitikii mara nyingine hutoka kitandani na kutembeatembea wakati macho yamefumbwa muda mwingine huniangalia kabisa machoni lakini bila kunitambua nikijaribu kumuongelesha hunyamaza kimya au kusema mambo yasiyoeleweka huweza hata kufungua kabati na kubadilisha nguo au kufungua friji na kula kisha kurudi kulala nikimweleza kesho yake kile alichokifanya hukataa na kusema nilikuwa ninaota tu kutembea usingizini mara nyingi hutokea wakati mtu amelala usingizi mzito masaa kadhaa baada ya kulala huweza kutokea katika umri wowote lakini hutokea zaidi kwa watoto na hupotea yenyewe wanapofika umri wa kubalehe/kuvunja ungo ingawa huweza kuendelea hata ukubwani kwanini watu hutembea usingizini sababu kuu ya kutembea usingizini haijulikani ingawa inasemekana kuwa hali hii hurithishwa katika familia baadhi ya hali zinazoweza kupelekea kutembea usingizini ni homa kali (hasa kwa watoto) kutumia madawa ya kulevya kushtushwa na kelele za ghafla au mguso unaopelekea uamke kwa ghafla kuamka ghafla kutoka kwenye usingizi mzito ili kwenda chooni nini cha kufanya kwa mtu anayetembea usingizini hakikisha usalama wake jitahidi kumuongoza kurudi kitandani bila kujiumiza kwa kawaida atarudi kulala kumwamsha mtu baada ya kumlaza kitandani husaidia kuzuia hii hali kujirudia tena usiku huohuo usipige kelele kumshtua au kumkamata kwa nguvu isipokuwa kama yupo kwenye hatari hakikisha vitu hatarishi vimewekwa mbali mf vitu vyenye ncha kali viberiti au vitu vinavyoweza kufanya ajikwae kama muathirika hutembea usingizini katika muda uleule kila usiku muamshe dakika 1530 kabla ya muda huo hii husaidia kuzuia hali hii kwa kuvuruga mzunguko wa usingizi wa mwili ushauri kwa anayetembea usingizini hakuna tiba maalum ya hali hii lakini inasaidia kulala kwa muda wa kutosha jenga mazoea ya kulala katika muda uleule kila usiku hakikisha chumba unacholala kipo kimya na taa zimezimwa punguza kunywa vinywaji vyovyote kabla ya kulala hasa vile vyenye kemikali ya caffeine kama chai na kahawa nenda chooni kabla ya kulala tafuta njia ya kupumzika (relax) kabla ya kulala mfano kuoga maji ya uvuguvugu kusoma au kuhema kwa nguvu (deep breathing) muda gani unapaswa kumuona daktari mara nyingi hali hii haiihitaji utatuzi wa kitaalamu kwa kuwa huisha yenyewe au kupungua polepole kadri muda unavyoenda hasa kwa watoto muone daktari kama hali hii hutokea mara kwa mara humzuia muathirika kupata usingizi wa kutosha huamka akiwa amechoka sana kama muathirika huwa katika hatari kama hali hii hujitokeza au kuendelea mpaka ukubwani categoriesmagonjwa ya dharura je ni sawa kama mpenzi wangu hataki tutumie kondomu tuanzie na kuelimishana kondomu ni nini hasa kondomu ni nyenzo inayotumika katika kuzuia mimba na magonjwa ya zinaa kuna kondomu fahamu kuhusu leukokoria (macho ya paka) hii ni ishara ya kitabibu ambayo huonekana baada ya mwanga kumulikwa mbele ya macho kwa kifaa maalumu (pen torch) na
2019-04-18T17:25:39
https://daktarimkononi.com/2018/03/04/ninatembea-usingizini-nina-tatizo-sleep-walking/
home | our mission | about us| contact us | about tanzania| our blog | sign guestbook | entertainment | kwanini upinzani haukufanya vizuri katika chaguzi za 1995 2000 na 2005 na bongotz < 08/22/06> vyama vingi viliporuhusiwa tena mwaka 1992 ilikuwa ishara nzuri iliyoibua hamasa kuashiria ukuaji wa demokrasia nchini tanzania hamasa hiyo ilipelekea kuanzishwa kwa utitili wa vyama mbalimbali vya siasa ambapo hadi leo hii tayari kuna vyama vya siasa vipatavyo kumi na saba (17) vinavyotambuliwa na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa jahaziasili nccrmageuzi pptmaendeleo chausta chadema demokrasiamakini ford nra pona sau nld updp umd udp cuf ccm na ppp ingawa tunajua kwamba nchi yetu bado ni changa kwa siasa za vyama vingi kutokana na ufinyu wa elimu ya uraia waliyonayo watanzania walio wengi hususani sehemu za vijijini lakini hata hivyo uroho wa madaraka wa baadhi ya viongozi wa vyama vya mageuzi umechangia kwa kiwango kikubwa kwa chama tawala kuendelea kuviburuza vyama hivyo katika kila chaguzi zilizowahi kufanyika tangu mwaka 1995 2000 na 2005 mtu yeyote mwenye akili timamu atakaa na kufikiri kuwa baada ya mageuzi kufanya vibaya katika chaguzi zote tatu zilizopita upinzani ungekaa pamoja na kufikia uamuzi wa pamoja wa kuandaa mikakati kabambe ya kukabili uchaguzi ujao wa 2010 lakini badala yake bado kila chama kinadhani kuwa kina ubavu wa kutosha kupambana na ccm ambayo imekuwa madarakani kwa zaidi ya miaka 45 (ukiunganisha na miaka ya tanu) watanzania walio wengi wangependa kuona vyama vya upinzani vikiungana au hata kushirikiana ili kukiondoa chama kinachotawala madarakani lakini kutokana na uroho wa madaraka wa baadhi ya viongozi wachache wa upinzani hilo linaweza lisitokee tena kwenye uchaguzi mkuu ujao kwani kila dalili zinaashiria kuwa huenda tena vyama vya mageuzi nchini vitarudia makosa yaleyale (kwa kila chama kuamua kuingia kivyakevyake) kwenye uchaguzi mkuu wa 2010 kwa matumaini bandia kuwa huenda muujiza utatokea na hivyo kuwashindisha viti vingi vya ubunge na hata penginepo kuwaweka ikulu umefikia wakati sasa kwa vyama vya mageuzi nchini kuachana na ndoto za mchana na kutambua kuwa mfumo wowote ule wa vyama vingi unahuishwa na uimara na uthabiti wa vyama hivyo ambavyo vinakuwa tayari kuchukua fursa za kuongoza nchi kama chama tawala kikidorora wakishatambua hilo basi waache kabisa kulalamika eti chama tawala kinatumia dola kuwamaliza nguvu na badala yake waanze mikakati ya kuimarisha vyama vyao mapema kabisa ili kujiandaa na uchaguzi ujao wasisubiri mpaka 2009 kuanza mikakati hiyo kufanya hivyo watakuwa wanakosea vyama vyote vya mageuzi nchini vikae pamoja na kuandaa mbinu za kukabiliana na nadharia ambayo chama tawala kimefanikiwa kupandikiza vichwani mwa watanzania kwa muda mrefu nadharia kuwa mageuzi ni upinzani semina ziendeshwe nchini kote kuelimisha wananchi kuwa mageuzi sio upinzani bali mageuzi ni mbadala wa chama fulani kuiongoza nchi pale chama kilichopo madarakani kinapokuwa kimedorora mabango yenye serambadala yabandikwe sehemu zenye mikusanyiko ya watu wengi kuainisha mapungufu ya chama tawala na kutoa mbadala toka mageuzi pia matangazo kwa njia ya radio na runinga yatumike kueneza kampeni ya kuzima nadharia kuwa mageuzi ni upinzani vyama vya mageuzi vina wasomi wengi tunaamini kabisa hawawezi kushindwa kulielezea jambo hili kwa ufasaha zaidi sambamba na hilo vyama vya mageuzi vitafute njia nzuri ya kuelimisha wafuasi wao kuhusu umuhimu wa kura hata kama ni kura moja ukweli ni kwamba ufinyu wa elimu ya uraia kwa wanachama wengi wa vyama vya upinzani [mageuzi] umechangia kwa kiwango fulani kuvikosesha vyama hivyo kura halali tena nyingi tu katika chaguzi nyingi zilizopita mfano wadadisi wa mambo ya kisiasa wanadai kuwa wananchama wengi wa chama cha cuf waliongozwa na jazba zaidi kuliko hekima katika uchaguzi mkuu wa 2005 na badala ya kupiga kura ya hapana kwa mgombea wasiyemtaka wengi wao waliishia kuandika matusi na maneno ya kejeli mbele ya picha za mgombea wa chama tawala matokeo yake kura hizo zilihesabiwa kama zimeheharibika kadhalika kama ripoti ya profesa mukandala ilivyowahi kubaini vyama vingi bado havijajikita mizizi vijijini na wala havijulikani sana ukiachilia mbali sifa za waanzilishi wake ambao nao pia wanasumbuliwa na uchu tu wa kuingia ikulu hata kama sifa walizonazo haziwavutii wananchi kuwapigia kura mathalani katika chaguzi mbili zilizopita wagombea waliosimama kugombea kiti cha urais ni walewale wa sikuzotemrema na lipumba wananchi wamewachoka itakuwa busara basi endapo kama vyama vya mageuzi vitarekebisha mapungufu haya mapema na kusimamisha wagombea wapya wenye sifa ambazo zinatosha kuvutia wananchi kuwapigia kura na sio kusimamisha wagombea kwa misingi ya kufahamika badala ya kupoteza muda mwingi kutoa malalamishi mengi yasiyo na msingi dhidi ya chama tawala vyama vya mageuzi vinatakiwa kuweka sera za kueleweka mahala pake malalamiko tunayoyasikia kila siku toka upande wa mageuzi kuwa ccm ni wala rushwa ccm haijafanya lolote lile kwa kipindi chote cha miaka 45 madarakani hayawaingii wananchi maskioni kama malalamishi hayo hayaambatanishwi na serambadala zinazoonyesha kuwa ni nini tofauti ambacho mageuzi wangefanya kama wao ndio wangekuwa madarakani kinachotakiwa sio kelele na lawama tu dhidi ya chama tawala bali ni sera za kueleweka zenye makusudi ya kulichukua taifa letu kwenda hatua nyingine hatua bora zaidi athari za migogoro katika vyama vya siasa nazo zinatakiwa kuepukwa kabisa migogoro sikuzote inaashiria uwezo duni wa kutatua hitilafu kati ya pande husika (mageuzi kwa ujumla) kwa njia ya mazungumzo/maelewano uwepo wa migogoro hiyo ndani ya vyama na baina ya vyama unawatia wananchi hofu na kuwafanya waondokewe na imani kama kweli vyama hivyo vinastahili kupewa dhamana ya kuongoza nchi kando na hilo migogoro hiyo imechangia pia kudorora kwa vyama hivyo na hivyo kuendelea kufanya vibaya katika kila chaguzi zilizojitokeza tumeshuhudia mgogoro mikubwa ndani ya vyama ya kugombea madaraka ndani siku za nyuma mfano mzuri ni ndani ya chama cha udp ambapo kamati kuu ya chama hicho ilitimua mwenyekiti bwana john momose cheyo na baadaye ikafuatia timuatimua athari zake ni kwamba baadhi ya wabunge waliotuhumiwa kushirikiana na bw amani jidulamabambasi kumpindua mwenyekiti wakawa wa kwanza kutimuliwa matokeo yake aliyekuwa mbunge wa udp na madiwani 9 walihamia ccm na wanachama 1147 wa wilaya ya bariadi walihamia ccm pia tumeshuhudia kitu hichohicho pia ndani ya vyama vingine vikubwa kama tlp na nccr mageuzi migogoro baina ya vyama na ndani ya vyama haichochewi na kingine kile isipokuwa uroho wa madaraka wa baadhi ya viongozi ndani ya vyama hivyo hivyo basi mageuzi hapa wasipoteze muda kutafuta mchawi nje wao wenyewe ndio wachawi kimsingi mpaka hapo vyama vya mageuzi vitakapojipanga upya na kujua kuwa njia mbili kubwa za wao kushinda uchaguzi ni [moja] kuhakikisha kuwa wanasimamisha mgombea chini ya kivuli cha chama chenye nguvu na mvuto kwamba hata kama mgombea atakuwa hovyo bado atabebwa na kuchachaguliwa kwa sababu tu ya nguvu na mvuto wa chama anachowakilisha na [pili] ni mgombea mwenyewe kuwa na sifa ambazo zinatosha kuvutia wananchi wampigie kura na sio chini ya kivuli cha chama chake tu na kama mageuzi watashindwa kufanya marekebisho haya mapema basi chama tawala kitaendelea kushinda na kuisabaratisha ngome ya mageuzi tena na tena na tena ps chama cha jamii (ccj) ni chama kipya kilichosajiliwa hivi karibuni mungu ibariki afrika mungu ibariki tanzania
2017-09-26T02:00:00
http://bongotz.com/bongoyetu08_22_06.htm
nandy ft harmonize acha lizame lyrics | odu lyrics acha lizame lyrics nandy ft harmonize nirusuru chuku chuku ni sasa umole mi naninginia kwa marati nipopoe niruchu nipe tena baba niue mi nakuzimia usizingue unisumbue wewe mapenzi yetu ni ya mimi na wewe tu usiskize watu wananyongwa mbaya basi nifanyie kitu na boxy usiku nipe shoti ama ishike magoti nilemshe mkomboti ooh ah mi mwenzako imeshanikolea ooh ukienda zako mi nitanyongonyea me ndio napendaga giza giza kama ujanizoea acha jua lizame pana raha ya kuingiza ujue inapotokea unapenda vya giza giza kama ujanizoea acha jua lizame eeh mama unafanya tembo kutwa nadindisha mkonga we ndo kiboko ya warembo wale wanaojipitisha kitonga penye dhiki na shuruba mikeko ndo ulinikumbata piki piki upande ubber popote nilipo ukanifwata lakini bado wananiita mzugaji nilingojea usingizi hata yako mahitaji nilingojea sina biashara mtaji nilingojea ulisema mola ndo mpaaji nilingojea ooooh bana nipande tumwage mbolea baby oh uh oh ah ukitaka tena tutaendelea shamba mwaga maji nimwage mbolea my baby oh uh oh ah whine nimekuuliza bora ningejitengea oh nana asa whine nimekuuliza bora ningejitengea konde boy related topicseast africaharmonizelyricsnandy
2020-07-10T16:57:08
https://www.odulyrics.com/nandy-ft-harmonize-acha-lizame-lyrics/
dk mandai dawa za asili zinathamani sana ni vyema zikaheshimika dk mandai akiwa porini katika harakati za kutafuta dawa kwa ajili ya kuwahudumia watanzania kupitia kituo chake cha mandai herbalist clinic tunapozungumzia dawa asili moja kwa moja tunakuwa tunagusa suala la tiba asili zilizotumika enzi za mababu kipindi hicho tiba za kisayansi kwa maana zile za hospitali ambazo zinapatikana kwa sasa katika maeneo mengi hapa nchini na duniani kote hazikuwepo kipindi hicho cha kale wale waliokuwa wakisumbuliwa na maradhi mbalimbali walikuwa wakitegemea tiba za asili ambazo zilikuwa zikitokana na vyanzo mbalimbali ikiwemo ni pamoja na miti ya asili iliyokuwa ikipatikana kwa wingi kutokana na kutokuwepo kwa uharibifu mkubwa wa misitu kwa wakati huo kama ilivyo kwa sasa ni wazi kwamba kumekuwepo na mimea maarufu katika jamii zetu ambayo tumekuwa tukiitumia kama dawa miongoni mwa mimea hiyo ni pamoja na mwarobaini na mlonge ingawaje miti hii imekuja kuwa maarufu zaidi miaka ya hivi karibuni baada ya tafiti mbalimbali kubainisha kuwa dawa za kizungu licha ya kusaidia kutibu lakini pia zinaweza kuacha athari mbaya kwa mtumiaji kumbukumbu zilizopo ni kwamba mara baada ya kuingia kwa tiba za kisayansi mkazo mkubwa ulielekezwa katika matumizi ya dawa hizo na kujikuta jamii ikizipa kisogo kabisa dawa za asili kwa madai kuwa hazikuwa zimefanyiwa utafiti mmea aina ya mlangmia au mtotokanga au jina jingine mtondokezi hii ni miongoni mwa mimea ambayo ilitumika sana enzi hizo katika kutibu magonjwa mbalimbali mtaalam wa tiba asili dk abdallah mandai anasema mmea huo ni wa ajabu sana na ni miongoni mwa mmea ambao hauna shina huku akibainisha kuwa chanzo cha mmea huo ni kiazi ambapo baada ya kamba huchomoza na kutoka ardhini na kisha kujizinga katika mti na baadaye kiazi na kamba hiyo huachana mbali na hayo dk mandai anaeleza kuwa mmea huo ni suluhisho la matatizo ya kinamama pia hususani kwa wale wenye matatizo ya kukosa nguvu wakati wa kujifungua ambapo anaeleza kuwa mama mwenye matatizo hayo anapochemshiwa kamba za mmea huo kisha akanywa maji yake basi mama huyo atajifunguwa kwa urahisi bila shaka aidha unaponya magonjwa mengine sugu kama kusafisha figo na mapafu ambapo anasisitiza kuwa unatibu magonjwa hayo kutoakana na maajabu ulio nayo dk mandai hapa akionesha namna mmea huo wa mlangamia ulivyo dk mandai anasema kwamba watu ni vizuri wakaziamini tiba asili lakini anasisitiza kuwa tiba asili si uchawi bali ni tiba kama zilivyo nyingine na kuongeza kwamba mara zote dawa hizo huwa hazina madhara kama ilivyo kwa dawa za kisasa sambamba na hayo dk mandai anabainisha kwamba afrika kusini palipo na hospitali moja au zahanati ya serikali pembeni kunakuwa na kituo cha tiba mbadala ambapo hospitalini wanaposhindwa wanamruhusu mgonjwa kutumia tiba hizo kwa sababu wanaamini kuwa tiba asili nazo zinamchango wake kwa kuhitimisha dk mandai kupitia kituo chake cha mandai herbalist clinic anatoa wito kwa wale ambao wanateseka na maradhi mbalimbali na kuwataka kutokata tamaa na badala yake wafike kituoni ukonga mongolandege jijini dar es salaam watamuona na wanaweza kupata ufumbuzi wa changamoto zinazowakabili posted by kenneth john at 2101
2017-10-16T21:58:53
http://www.dkmandai.com/2015/01/dawa-za-asili-zinathamani-sana-ni-vyema.html