text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
kalamu kilma na darubini ya kondo mzalendonet kwanza kabisa namshukuru molla kwa kunipa afya na fursa ya kurudi tena hapa gazetini kwetupia nachukua fursa hii kurudisha salaam za kheri kwa waungwana wenzangu walionikumbuka zamko na mmtamwe nawashukuru sana kweli nimeadimika kidogo hii imetokana na sababu nyingi za kutafuta riziki na kufanya chunguzi zangu za kina kabla sijarudi kuleta salaam au maoni yangu leo nina machache ya kuwasilisha kwenuhuenda nikachanganya mada na huenda nisichanganye sijui lakini muhimu nataka kutoa warka wa utafiti wangu wa hali halisi ilivyo na inavyoelekea kisiasa hapa kwetu nianze na tafakuri ya ccm kukiiba chama cha wananchi yaani cuf kwa kuitumia mahakamawengi mtakumbuka kuwa niliweka wazi kwa maalim kuwa asitegemee mahakama kupata hakina ni lazima awekeze kwenye plan b na nilishauri kuwa wakati muafaka ukifika ni lazima achukue uamuzi mgumu na nilimulekeza na wapi kwa kuelekeanilivitaja vyama vya nccr mageuzi na act wazalendo kwa majina na kukiacha chama cha chadema kwa makusudinilifarijika baada ya kuona washauri wa maalim pamoja na yeye mwenyewe wamefikia uamuzi huosababu zangu haziku husiana na sera za vyama vya kukimbilia bali niliegemea zaidi kwenye sababu za kimikakati zaidi {strategy} nilizungumza sana huko nyuma katika moja ya makala zangu kuwa kama watanganyika hawatokomaa kisiasa kama wazanzibariwananchi wake ni lazima wapate na kupitia dhikimaafamauwaji na mateso yote waliyopata na wanayoendelea kuyapata wazanzibarikuvikomboa visiwa vyetu hivi itatuchukua karne nyingine au itakuwa ndoto tu ni lazima level ya upinzani wafikie tulipo fikia sisi ndio sote tutaweza kujikomboa kwa kujivua huu muungano jinana kweli hivi sasa madhila na wao yamewakuta na wanaendelea kuyaonja utamu wake hivi sasa na wao wanauwawawanatekanawanafungana ovyowanabaguana kwa makabila na diniuhuru wa kusema/maoni wamepokonywabaada ya kuwekewa sheria ya kuzuwia uchochezi nia na madhumuni ya sheria hii ni kukandamiza na kufunga midomo hamna ziada huko nyuma niliwahi kusema kuwa tangayika kuitawala zanzibar wanaona raha au uroda lakini niliwaonya kuwa visiwa hivi havitotawalika kwa bei nafuuhivi visiwa vinawagharimu na bei ya kuvitawala itawatokea puani lakini la kuvunda halina ubani hawa waungwana hawatosikia sasa safari ya kuibomoa tanganyika iko jikoni inachemka taratibu wazungu husema thanks to seif sharrif au shukrani kwa malim nilitoa tahadhari kwa chama changu cha mapinduzi kuwa sisi tumejikita katika kufanya ubaya muda wote wa kukihujumu chama cha cuf na hususan maalim kwa kuwa ugomvi wetu na kiumbe huyu hauna kikomo ni wa mpaka kiamalakini nilisema na nina kumbusha kuwa kitakachotokea baada ya hapo hatukijuwi na tutakuja kujutakwa sababu molla humjalia mtu au kikundi cha watu wakikusudia kufanya ubaya au hujumahuwa anazielekeza akili zake/zao katika maasi peke yake waliyokusudia huwa hawapi fursa ya kutafakari matokeo yake baada ya kufanikisha azma yaothe aftermath sasa nani atafaidika na awamu hiyo hiyo huwa siri yake cuf katika visiwa vya zanzibar ni sawa sawa na asp kwa sasa yaani ni marehemu wote wawilimaalim na wafuasi au wanachama wake hawapo wamesha shusha tanga na wamepandisha tanga kwa sasa wanatumia anuani mpya kwa barua zao zote ni lazima zipitie kwa zitto kabwe ndio utawakuta huko proffesa/propesa lipumba anapenda pesa lakini sio kama hana akilihuyu kiumbe alijua mapema chama cha cuf bila maalim ni sawa sasa na kuwa na chama cha wavuvi jangwanisidhani kama utapata wanachama wengiau sawa na kuwa na tanzania bila nyereresio ccm kwa sababu mwenyewe aliwahi kusema ccm yeye sio mama yake wala baba yakelakini tanzania bora afe yeye lakini tanzania ibakie na hilo limetendeka lipumba alirudishwa cuf na magufuli ili aje kukimaliza sio kukiimarisha kama anavyodai katika mikutano yakena kazi hiyo ameifanya na imekwisha pesa ameshalipwa kwa kupitia ruzuku ambazo lipumba alizigawa kama njugu kwa kina khalifa kambaya na sakaya pamoja na washirika wote wa mradi huuchama hiki cha ccmcuf kwa sasa kikitaka msaada wa wanachama wa kuhudhuria mikutano yaotutawaazima wanachama wetu wa ccm mpaka pale tutakapoona hatuna haja nao tena kwa lolote kuuwawa kwa cuf zanzibar lengo kuu ilikuwa ni kuumaliza mgogoro wa smz na st dhidi ya wafadhili na mashirika ya nje waliotaka kujua hatma ya uchaguzi wa jecha wa 2015 na dhulma zakeulipandikizwa mgogoro huu kuzinusuru hizi serekali mbili za tanzaniasasa haitowezekana kumrudishia urais maalim wakati mshindi wa uchaguzi huo ameshafukuzwa chamasmz hawana tena wa kumkabidhi nchi hawakuwa na nia wala dhumuni hilo lakini sasa wamepata na sababu maalim seif ana ushawishi na nguvu kubwa katika taifa hili la tanzania kisiasa sio zanzibar peke yaketanganyika sio muda mrefu watalielewa hili baada ya kuona umati utakaokusanyika mara tu mikutano ya kisiasa ikiwa hurukiongozi huyu akiamua kesho umati wake washushe bendera ya act wazalendo na wapandishe bendera ya ccm umati wake utamfuata kwanza masuali watamuuliza baadaesasa kwa nini sisi ccm tunashindwa kuutumia mtaji huu wa kisiasa vizuri alionao muungwana huyu kwa busara badala yake tunatumia fedha nyingi kununua watukuhujumu na kuuwa uchumi wa nchitunamwaga damu nyingi ya wananchi wetu wasio na hatia tunavitumia vyombo vya ulinzi vya dola vyenye jukumu la kuwalinda raia badala yake vyombo hivi tumevigeuza mali ya ccm ya kuwakandamiza wapiga kuratutatawala au kuongoza kwa muda gani kwa vigezo hivi huu ndio utawala bora wa kiafrika hivi sasa tayari tumeandikisha adui mpya sio cuf tena sasa adui ni actwazalendo sijui adui huyu tutadumu nae kwa muda ganihuyu nae tumpachike jina la hizbu kama wale macuf au huyu tumtafutie la kwake maswali yako mengi kwa huyu adui mpyainaonyesha hatukosoma kitu kwenye miaka yote hii tuliyopoteza katika kumhujumu seif sherrif kwa maoni yangu kila tukimfuata fuata ndio tunajipalilia makaa au kujishonea sanda solution sio nguvu ni akili wakereketwa zanzibar kazi ya kuimarisha upinzani maalim hana tena amemaliza na amefuzu huu ndio ukweli hautaki ubushikama huamini itisha uchaguzi huru na wa haki uone cha mtema kuni chaguzi tano zote kashinda kila siku zikienda mbele ndio idadi ya kura zake zinaongezeka hazipunguisababu moja kubwa zanzibar kama mataifa mengine duniani wapiga kura wamebadilika wengi ni vijana chini ya miaka 25 na hawa huwezi kuwadanganya tena kama mlivyotu ongopea sisi miaka ya nyumadunia imebadilika this is digital generation wanapokea na kupeana habari za ulimwengu mzima kwa sekunde chini ya tano msajili sijui tutamtumia na atavifuta vyama vingapi vya upinzani ikiwa ataanza na act wazalendo ni vema tukajua kuwa hii safari au njia tunayoichukua ndio inayo imarisha upinzani kwa kuwaunganisha vyama vyaohata tukikifuta leo kesho maalim atajiunga na nccrmageuzi cha mbatia na hicho tutamtafutia sababu tukifute hatimae atavimaliza vyote mwisho atajiunga na chademanimekiweka mwisho makusudi kwa sababu hilo ndio lengo kama mnajua kuchambua siasatukifika hapo tanzania au tanganyika hakuna tena ccm jee hili ndio lengo letu kumbuka polisi hawajawahi kukilinda chama chochote cha siasa duniani maisha upepo ukizidi wao na majeshi ya ulinzi huegemea kwa watu sio chama maalim ni muungwana sana na ni lazima tukae nae kitako kama alivyo fanya amani karume tusione hayahuyu mtu ana nia njema na taifa hili sio zanzibar peke yakehana kinyongo amepitia misuko suko mingi na amesamehe na bado ana pata fursa na anacheka na wale wale waliomhukumu na kumhujumu ninacho kihofia sana baada ya kumsikia kangi lugola hivi karibuni alipokuja kututisha kidogo hapa zanzibar waziri wa tanganyika wa mambo ya ndani/sisi hatuhusu tuna serekali yetu japo kuwa ya sultani huyo huyo mmojakahama oman siku hizi anaishi dodomaccm tusije tukafanya mchezo tukamkamata maalim na kumuweka rumande au kumtafutia kesi na kumuweka jelahuyu muungwana sie yule kijana aliyewekwa jela na salamin amour wakti umepita na hivi sasa ni mtu mzima umri umekwendaakija akitufia mikononi mwetu wakati tunae jela au mahabusu siku hiyo ndio mwisho wa kucheza na shilingi chooni huyu sio sawa na wale masheikh wa uamsho msione kwa kuwa wale bado tunao ndani mwaka wa sita sasa na hakuna chochote kilichotokea tukadhani tujaribu na hapahapa sipo na yeye anajua ndio maana siku zote mnamsikia anapita akiwaambia vijana wake msichokozeke kwa mwenye kufahamu hii ni lugha rahisi kuielewakwa nini anawatayarisha na kuwakumbusha siku zote kuwa msifanye fujo hata baada ya kufanyiwa fujohiki ni kitendawili kina subiri siku kiteguliwe tanzania karibu itatungwa sheria kuwa akisikika mtu anasema mungu mkubwa au karimu kwa kiarabu basi huyo ashughulikiwekinacho ogopwa hapa ni lugha ya kiarabu sio maneno yenyewewaarabu ndio maadui zetu siku zote mmesahaumaneno hayo hayo ukiyasema au ukipita ukipiya pigia ukelele kwa kiswahili watu watakushangaa na kukuona ama mwenda wazimu au umerogwawengine wataburudika kwa kukucheka huku wakiendelea na yaolakini badili lugha yaweke kiarabu sasa utamsikia magufulikangi lugola na jaji mutungi wote watu wa yesu uone kesi zako za ugaidi zitakavyopishana kisutu huu ni msiba mkubwa ndugu zangunihivi karibuni baada ya kutokea ule msiba wa waislamu waliouwawa msikitini new zealand wakati wakisali sala ya ijumaamkuu wa polisi wa eneo lile ambae ni mwanamke mzungu na ni muislamu alifuatana na viongozi wenziwe wa polisi wakaenda msikitini wiki iliyofuata kutoa pole pamoja na wakaazi wengi sana wa eneo lile la christchurch alitoa hotuba yake kwa lugha yake ya kiingereza kabla hajaianza risala yake alisoma sura mbili tatu za quran takatifu kwa kiarabu kisha akaendeleasasa sikusita kujiuliza huyu angalikuwa hapa kwetu basi angelitafutiwa sababu afukuzwe kazi kwa sababu amechanganya dini na kazi za kipolisi wakati akiwa kazini na amevaa sare za kiaskarindugu zangu sisi tunapigwa vita vya kidini bure ugaidi ni kisingizio tusasa gaidi nani hapo alieuliwa huku akisjudu msikitini au yule alie kwenda kuwauwana hata hao waislamu wanao uwa watu ovyo wao na wakristo au mabaniani wanao uwa hayo ni yao wao sio ya dini zaokwa nini wakifanya wao mnatenganisha lakini wakifanya wengine na dini zao mnaziburuza mahakamani mimi naamini ukombozi wa tanganyika na zanzibar uko usoni kwa sababu molla ndie anae panga siku zote sio sisi pia kheri mara nyingine hupitia tumbo la sharindio maana viongozi kama lowassamembekikwete mkapamwinyi hawa wanauma huku wanatupuliza na siku zina sogea mbele na sisi bado tunatawaliwalakini huyu muungwana anaeitwa pombe safari hii nchi inaongozwa na mlevi na hakuna msalie mtume hawa ndio viongozi molla huwatumia kuwaokoa viumbe vyakemifano tunayo tele kama firaunihitleriddi aminpinochet wa chile na wengine wengi wa aina hii hawa hawakuwa viongozi wenye huruma wala lugha nzurimatusi na ujeuri ndio subal kheir kwao sasa msiogopemsishituke wala msikate tamaa huu ndio mwisho wa utawala unavyoanza wa viongozi makatili makosa ya uchapaji naomba tahfif mungu mkubwa/ kiarabu mtasema nyie jinamizi la serikali tatu laibuka upya nimefurahi sana na yaliyojiri dodoma asubuhi hii nawashukuru kwa kuturahisishia
2019-08-19T23:08:25
https://www.mzalendo.net/habari/kalamu-kilma-na-darubini-ya-kondo.html
straika frederick mwakalebela asakwa na takukuru frederick mwakalebela asakwa na takukuru aliyekuwa katibu mkuu wa shirikisho la soka tanzania (tff) frederick mwakalebela anasakwa kwa udi na uvumba na taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa nchini (takukuru) ili afikishwe mahakamani kukabiliana na kesi inayomkabili ya kudaiwa kutoa rushwa wakati akiwania kupitishwa kuwa mgombea ubunge wa jimbo la iringa mjini kwa tiketi ya chama cha mapinduzi (ccm) wakati wa uchaguzi mkuu mwaka 2010 notisi iliyotolewa jana na takukuru inamtaka mwakalebela kutii wito wa kujisamilisha mwenyewe katika ofisi za takukuru kabla hajakamatwa kwa mujibu wa hati ya mashitaka iliyoandaliwa taasisi hiyo imefikia uamuzi huo baada ya mahakama kuu ya tanzania kanda ya iringa kutupilia mbali hoja mbili za kesi ya rufani dhidi ya jamhuri namba 13 ya mwaka 2010 iliyokuwa ikiiomba mahakama kuu kutolea uamuzi mapingamizi ya kisheria ambayo mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa iringa ilishindwa kuyatolea uamuzi na mengine kufanyiwa maamuzi kimakosa stephen mafipa ambaye ni kaimu kamanda wa takukuru mkoa wa iringa amesema taasisi hiyo hivi sasa inamtafuta mwakalebela popote pale alipo ili imfikishe upya mahakamani kujibu tuhuma zinazomkabili baada ya mahakama kuu kutupilia mbali rufaa hiyo mwakalebela aliyekuwa kinara wa kinyanganyiro cha uchaguzi ndani ya ccm kabla ya kuenguliwa alikata rufaa katika mahakama kuu ya tanzania akipinga hati ya mashitaka iliyoandaliwa na jamhuri dhidi yake akidai kwamba haitengenezi kosa la jinai kisheria kwa kuwa makosa yote yalivyotajwa katibu huyo wa zamani wa tff alihoji vilevile uhalali wa kifungu cha 21 (1) (a) na kifungu cha 24 (8) cha sheria ya uchaguzi namba 6 ya mwaka 2010 ambacho ameshitakiwa nachoakidai kwamba hicho pia hakitengenezi kosa la jinai kisheria katika kesi ya msingi mwakalebela anadaiwa alitenda kosa hilo juni mwaka 2010 katika kijiji cha mkoga manispaa ya iringa ambapo anadaiwa kutoa hongo ya sh100000 kwa mwenyekiti wa kijiji hicho hamisi luhanga ili azigawe kwa wapiga kura 30 wa ccm ili wampigie kura za maoni za kumchagua agosti mwaka huo kuwa mgombea ubunge wa chama hicho awali akisoma hukumu hiyo ya kutupilia mbali hoja hizo jaji rehema mkuye alisema amezipitia hoja za pande zote mbili na kuona hoja ya kwanza ingekuwa na nguvu kisheria kama mashahidi wangekuwa wameitwa na kisha kutoa ushahidi wao
2017-08-22T09:19:42
http://straikamkali.blogspot.com/2012/07/frederick-mwakalebela-asakwa-na-takukuru.html
kushindwa kwa olympik kosa ni la nani | jamiiforums | the home of great thinkers kushindwa kwa olympik kosa ni la nani discussion in 'sports' started by sony wega aug 13 2012 sony wega jfexpert member jana ktk kufunga michezo ya olympik nimeshudia wakenya na waganda wakiinjoy huku bendera zao zikipeperushwa kwa mafanikio yao ya usimamizi dhabiti ila kwa sisi sijui tunakwenda wapi kama mnaamua kumueka dr mkangara kama waziri wa mchezo mnategemea kutakua na mafanikio kwenye hii sekta kweli sony wega said ↑ kuna rais mstaafu mmoja alishasema kuwa watanzania ni kichwa chwa mwendawazimu siku hizo hatukufahamu/ hatukuelewa amekusudia nini sasa tunaanza kufahamu pole pole kama hatutaki kuelewa fasta fasta wakameroon wamezamia hawa wa kwetu wakirudi na mabegi yaliyajaa nguo za mitumbatushukuru kama kuna kesho basi wakiwezeshwa watatuwakilisha vizuri vyenginevyo tutaambulia hii link https//wwwjamiiforumscom/jukwaalasiasa/306729gazetilatheeastafricankatuniyakejelikwatanzaniaolympichtml tatizo ni selikari hivi wanatumia vigezo gani kupata washirikihivi kwa nini tusiache kushirikidahhhh ugolo tuhivi watanzania tunajivunia nini nje ya nch umasikini ni sisi taifa stars hamna kituolimpiki mikono nyuma chama kilicho shika doraakili za mbayuwayu jamani sisi nini halafu kilicho nisikitisha zaidi hivi hata ile ya kurusha mshale tunashindwa hata kupeleka wale morani wakati wanasifika kwa kuua simba yaani kuna michexo mingi ambayo tungekuwa makini tungeweza kushiriki lakini tumeng'ang'ania tu riadha wakati msosi wenyewe chipsi na mayai ya kizungu tukiambiwa tule dona na ngano hatutaki angalau tungekuwa na stamina pole yetu tutabaki kuleta makocha wazungu bila kuona mabadiliko mi nadhani it is the right time tanzania igeukie kwene fani ya umbea na majungu ndio tunavyoviweza tu haiingii akilini kila tunachofanya tunashindwa alaumiwe kikwete kama tulivyoea che wa tz jfexpert member nafikiri yeye na serikali yake haikwepi lawama hapa kama aliweka wizara ya michezo na kuwachagua mawaziri pamoja na katibu mkuu kazi yao moja wapo ni kutunga na kusimamia sera endelevu za michezo na sio kwenda kuwaeka watu ambao wanavimba matumbo yao tu wizara ya michezo haiwajibiki chochote kwa michezo tanzania na mbaya zaidi wanaziacha hadi timu za taifa kuendeshwa na wababaishaji ili hali hizo ni kitambulisho cha mtanzania na ni suala la kitaifa zaidi mm nimechoka kuaibika kwa kweli watz hatuna pa kujivunia kwanza filibeth bahi ilitakiwa ajiuzuru mwenyewe kabla hajashukiwa na haitajiki kwa kweli maana hamna lolote mimi nawashangaa sana viongozi wa tz ukishakiri umeshindwa kutimiza malengo si unajiuzulu tu ikiwezekana serikali imfukuze na tukae bila kushiriki kwa miaka kama 20 ili tujiandae hawa viongozi wengi wanang'ang'ania tu kwa vile kuna fungu la pesa linatoka olimpiki kuja lkn hawana hasa nia na dhamira kukuza michezo kwa maneno haya mi nasema kiongozi wa olimpiki ambaye kaipeleka timu london na bila kurudi hata na medali ajiuzulu ama afukuzwe kazi huku kubebana ni hatari angekuwa lwsa angeshamtimua maana mzee huwa aangalii makunyanzi kabisaa
2018-01-19T14:26:04
https://www.jamiiforums.com/threads/kushindwa-kwa-olympik-kosa-ni-la-nani.306904/
matukio @ michuzi blog makala wiki ya sheria na siku ya sheria nchini 2017 kaimu jaji mkuu wa tanzania mhe prof ibrahim juma akikagua gwaride maalum lililoandaliwa ukaguzi wa gwaride hili huashiria kuanza rasmi kwa shughuli za mahakama kwa mwaka husika na mary gwera mahakama ya tanzania nchi yoyote yenye kuzingatia misingi ya utawala wa sheria huchangia kwa kiasi kikubwa kuleta amani na maendeleo ya kiuchumi katika taifa husika hii inajidhihirisha kupitia kaulimbiu ya wiki ya sheria na siku ya sheria nchini 2017 ambayo ni umuhimu wa utoaji haki kwa wakati kuwezesha ukuaji wa uchumi kauli mbiu hii ina maana ya kuwa kukamilishwa mapema kwa mashauri ya jinai rushwa na uhujumu uchumi ambayo yanaendeleza amani na usalama katika jamii ni chachu ya maendeleo ya uchumi hivi karibuni mahakama ya tanzania iliadhimisha siku ya sheria nchini ambayo huashiria kuanza rasmi kwa mwaka wa mahakama ambapo shughuli za usikilizaji wa mashauri huanza rasmi kwa mwaka huu sherehe za siku ya sheria nchini ziliadhimishwa rasmi tarehe 02022017 ambapo kila mkoa uliadhimisha kwa upande wa dar es salaam sherehe hizi zilifanyika katika kiwanja cha mahakama kilichopo chimala karibu na hospitali ya ocean road ambapo mgeni rasmi alikuwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe dkt john pombe joseph magufuli rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe dkt john pombe joseph magufuli akihutubia watumishi na wageni waalikwa katika siku ya sheria nchini iliyofanyika februari 02 2017 aidha sherehe za kilele cha siku ya sheria nchini zilitanguliwa na maonyesho ya wiki ya sheria yaliyoanza rasmi januari 28 hadi februari 01 2017 maonyesho ya wiki ya sheria yalifanyika nchi nzima lengo kuu likiwa ni kutoa elimu ya sheria kwa wananchi juu ya huduma na taratibu mbalimbali za kisheria kwa upande wa dar es salaam maonyesho ya wiki ya sheria yalifanyika katika viwanja vya mnazi mmoja jijini humo wadau walioshiriki ni pamoja mahakama yenyewe kama mwenyeji tume ya utumishi wa mahakama mahakama kuu zanzibar ofisi ya mwanasheria mkuu wa mahakama (agc) ofisi ya mkurugenzi wa mashitaka (dpp) mkemia mkuu wa serikali chuo cha uongozi wa mahakama ija mkuu wa kitivo cha sheria chuo kikuu huria tume ya haki za binadamu na utawala bora wengine ni tume ya kurekebisha sheria taasisi zinazotoa msaada wa kisheria (legal aid) takukuru (pccb) polisi magereza msajili mabaraza ya ardhi chama cha wanasheria tanganyika (tls) tume ya kurekebisha sheria wakala wa usajili ufilisi na udhamini (rita chama cha majaji wanawake tanzania (tawja) chama cha wanasheria wanawake tanzania (tawla) sekretarieti ya msaada wa sheria tume ya usuluhishi na uamuzi (cma) tanzania network of legal aid provider (tanlaps) legal aid and human centre na nhif kaimu jaji mkuu wa tanzania mhe jaji prof ibrahim juma akisoma risala yake ya siku ya sheria nchini iliyofanyika februari 02 2017 waliopo nyuma ya mhe kaimu jaji mkuu ni baadhi ya wahe majaji wa mahakama ya tanzania katika maonesho hayo kulikuwa na uwakilishi wa ngazi zote za mahakama kuanzia mahakama za mwanzo hadi mahakama ya rufaa ambapo taratibu/huduma mbalimbali za kimahakama zilitolewa kwa wananchi waliopata fursa ya kutembelea mabanda ya maonesaho hayo yaliyofanyika katika viwanja vya mnazi mmoja jijini dar es salaam lengo la kufanyika kwa maonesho hayo ilikuwa ni kutoa fursa kwa wananchi kufahamu shughuli za mahakama pamoja na wadau wa sekta sheria kwa ujumla vilevile kuwawezesha wananchi kupata elimu juu ya taratibu mbalimbali mahakama katika upatikanaji wa haki aidha sherehe za kilele cha siku ya sheria nchini zilihudhuriwa na wageni mbalimbali akiwepo spika wa bunge la tanzania waziri wa katiba na sheria katibu mkuu kiongozi mwanasheria mkuu wa serikali wakuu wa majeshi ya ulinzi na usalama nchini mwendesha mashtaka (dpp) tls majaji wastaafu mabalozi viongozi wa dini mbalimbali nk aidha katika sherehe hizo rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania alizungumzia masuala kadhaa ambayo ni pamoja na kutoa pongezi kwa kasi nzuri ya uondoshaji wa mashauri ambapo katika taarifa iliyotolewa na kaimu jaji mkuu alisema kuwa pamoja na changamoto inayotukabili ya uwiano usio sawa wa idadi ya majaji na mahakimu na watumishi wengine kama wasaidizi wa kumbukumbu wastani wa jumla ya umalizaji wa mashauri upo wa asilimia 101 (101) yaani kwa tafsiri ya kila mashauri mia moja (100) yanayosajiliwa uwezo wa kuyamaliza ni asilimia 101 (101) kwa mwaka wa mahakama ulioisha desemba 2016 jumla ya mashauri 276147 yalisajiliwa na mashauri yaliyosikilizwa na kukamilika yalikuwa ni 279331 viongozi wanaoiwakilisha mihimili mitatu ya dola wakiwa katika picha ya pamoja katika siku ya sheria nchini wa pili kushoto ni rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe dkt john pombe magufuli wa kwanza kushoto ni kaimu jaji mkuu wa tanzania mhe jaji prof ibrahim juma wa pili kulia ni spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania mhe job ndugai na wa kwanza kulia jaji kiongozi mahakama kuu ya tanzania mhe ferdinand wambali mashauri ambayo yapo bado mahakamani ilipofika desemba 2016 ni jumla 56531 na kati ya hayo yenye sifa ya kuitwa ya zamani (backlogs) ni mashauri 3618 na ambayo ni sawa na wastani wa asilimia sita (6) tu mhe prof jaji juma aliongeza kuwa kati ya mashauri 249 yaliyosajiliwa mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi ambapo ya ubunge yalikuwa 53 na udiwani 196 hadi kufikia desemba 30 2016 mashauri 52 yaliyohusu ubunge yaliamuliwa hivyo kubaki na shauri moja (1) tu mashauri ya udiwani yalisikilizwa na kuamuliwa yote mashauri ya uchaguzi wa ubunge yalisikilizwa mfululizo kuanzia mwezi juni mpaka oktoba 2016 yakijumuisha majaji 29 kwa yale ya ubunge na mahakimu kwa mashauri ya udiwani ari hii ya kasi ya usikilizwaji wa mashauri mbalimbali ilimfurahisha mhe rais na kupelekea kutoa pongezi kwa mahakama kwa kazi nzuri waliofanya katika mwaka wa mahakama uliopita mbali na pongezi mhe rais alitoa changamoto mbalimbali ambazo ni pamoja na mashauri ya kodi na fedha zilizokwama kutokana na wadaawa na masjala za mahakama kufanya mchezo maarufu wa parking kuzuia mashauri yasimalizike na kuikosesha serikali mapato katika hili mhe rais aliiomba mahakama kutilia mkazo katika mashauri haya ili kuingizia serikali mapato baadhi ya watumishi wa mahakama na wageni wengine waalikwa wakiwa katika sherehe za siku ya sheria nchini iliyofanyika februari 02 2017 hata hivyo mahakama pamoja na jukumu lake kuu la kutoa hakiimekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha nchi inajenga na kuweka mazingira bora ya biashara shindani ili kuvutia uwekezaji kwa upande wake kaimu jaji mkuu wa tanzania mhe prof ibrahim juma katika hotuba yake ya siku ya sheria nchini alisema kuwa mahakama ya tanzania imedhamiria kutimiza ahadi yake ya kuhakikisha wadaawa wanapata nakala ya hukumu ndani ya siku 21 na mwenendo wa shauri ndani ya siku 30 tangu hukumu iliposomwa wananchi wanastahili kupata nakala za hukumu kwa wakati sheria inataka kila jaji au hakimu asome hukumu ndani ya siku 90 tangu kesi ilipomalizika kusikilizwa alisisitiza kaimu jaji mkuu miongoni mwa masuala ambayo kaimu jaji mkuu aliyatilia msisitizo/mkazo katika hotuba yake pia ni pamoja na matumizi ya tehama mahakamani ili kurahisisha taratibu mbalimbali za mahakama ifikapo desemba 2018 kulingana na ramani (road map) ya matumizi ya tehama kwa kushirikiana na wakala wa serikali mtandao (egovt agency) tuweze kuanza matumizi kamili ya tehama kwenye kazi za kimahakama na kiutawala alisema jaji juma aliongeza kuwa ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya kisasa ya mahakama pia unaenda sanjari na matumizi ya hatua kwa hatua ya tehama vilevile kuhakikisha taratibu za masuala ya fedha ndani ya mahakama zinaendeshwa kwa kutumia mifumo ya kisasa ya tehama mpaka kwenye ngazi ya mikoa/wilaya alienda mbali na kuongeza kuwa mfumo wa tehama wa ukusanyaji wa takwimu za mashauri (jsds) utaboreshwa kuwa sehemu ya mfumo wa kisasa matumizi makubwa ya watanzania ya simu za kisasa (smart phone) yanarahisisha sana azma hii ya kuleta mabadiliko makubwa ya utendaji kazi wa kizamani na wenye tija hafifu jitihada mbalimbali zifanywazo na mahakama kwa sasa kama ujenzi na ukarabati wa miundombinu matumizi ya tehama nk zinalenga katika kuboresha na kusogeza huduma ya utoaji haki kwa wananchi naye mwanasheria mkuu wa serikali mhe george masaju katika hotuba yake ya siku ya sheria nchini aliitaka mahakama kukamilisha mapema mashauri ya jinai rushwa na uhujumu uchumi ambayo yanaendeleza amani na usalama katika jamii ni chachu ya maendeleo ya uchumi majaji wasajili mahakimu mawakili wa serikali mawakili wa kujitegemea na wadau wengine wa mahakama ikiwemo vyombo vya upelelezi wa jinai rushwa na uhujumu uchumi mabaraza ya kodi ardhi ushindani na mengineyo wazingatie matakwa ya katiba ya nchi sheria na kanuni katika utoaji haki kwa wakati alieleza masaju siku ya sheria nchini hutoa nafasi kwa mahakama pamoja na wadau wake wakuu ambao ni ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali pamoja na chama cha mawakili tanganyika kutoa hotuba juu ya mafanikio na changamoto zinazoikabili sekta ya sheria katika mwaka husika kwa upande wake rais wa chama cha mawakili tanganyika bw john seka aliihakikishia mahakama kupitia hotuba yake kuwa chama hicho kipo tayari wakati wowote kushirikiana na mahakama ili kuhakikisha kuwa utoaji haki unatamalaki maadhimisho ya siku ya sheria nchini hutumika kama njia mojawapo ya kukutana na wadau ili kupata michango/maoni mbalimbali ya wadau na wananchi kwa ujumla yote yakitumika na mahakama kujitathmini na kuona wapi imepwaya ili kuendelea kufanya maboresho katika suala zima la utoaji haki nchini akiongea na mwandishi wa makala hii msajili mkuu mahakama ya tanzania mhe katarina revocati alisema kwa mwaka huu mpya wa sheria mahakama imejipanga kuhakikisha inaendelea kushughulikia mlundikano wa kesi/mashauri ya muda mrefu case backlog kama unavyojua kwa sasa mahakama imejikita katika kufanya maboresho kadhaa wa kadhaa miongoni mwa maboresho hayo ni pamoja na kushughulikia mashauri ya muda mrefu na jitihada hizi zimezaa matunda hata kwa mwaka jana ambapo hadi tunamaliza mwaka tulikuwa mlundikano sifuri (zero cases) katika ngazi za mahakama za mwanzo na za wilayahivyo jitihada hizi zinaendelea hata kwa sasa alieleza mhe revocati msajili mkuu huyo aliendelea kusema kuwa mahakama imejiwekea muda maalum wa kushughulikia kesi hadi kumalizika kwake ambapo alieleza kuwa kwa ngazi ya mahakama za mwanzo kesi inabidi iwe imekamilika kwa kipindi cha miezi sita mahakama za wilaya/hakimu mkazi mwaka mmoja na kwa upande wa mahakama kuu/rufani miaka miwili (2) na suala hili tunalisimamia kwani pia mpango mkakati wetu wa mahakama kupitia moja ya nguzo zake inaelekeza kuboresha suala zima la utoaji haki nchini mahakama ya tanzania huadhimisha siku ya sheria nchini ndani ya wiki ya kwanza wa mwezi februari kila mwaka siku hii huashiria mwanzo wa shughuli za mahakama kwa mwaka husika maudhui ya maadhimisho ya wiki ya sheria na siku ya sheria nchini kwa mwaka huu ni umuhimu wa utoaji haki kwa wakati kuwezesha ukuaji wa uchumi kwa mara ya kwanza mahakama ya tanzania iliadhimisha rasmi siku ya sheria nchini mwaka 1997 ambapo viongozi wa dini walitoa dua ya kuombea majaji mahakimu na wanasheria ili watimize wajibu wao mzito wa utoaji haki nchini hata hivyo mnamo machi 1 1996 kulifanyika ibada maalum ya kuwaombea majaji na mahakimu ili wasikilize vyema mashauri yoyote na hasahasa ya uchaguzi mkuu uliofanyika 1995 huu ulikuwa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi na hivyo kulikuwa na mashauri mengi ya uchaguzi aidha mnamo mwaka 2007 sherehe za siku ya sheria nchini zilihudhuriwa na mheshimiwa rais kwa mara ya kwanza na mheshimiwa rais alipata nafasi ya kutoa hotuba na huu ndio ulikuwa mwanzo wa mgeni rasmi kutoa hotuba posted by michuzi blog at tuesday february 28 2017
2017-10-19T14:50:17
https://michuzi-matukio.blogspot.com/2017/02/makala-wiki-ya-sheria-na-siku-ya-sheria.html
vichekesho/vunja mbavu mpekuzi 22 august 2017 vichekesho/vunja mbavu mpekuzi 17 august 2017 vichekesho/vunja mbavu mpekuzi 15 august 2017 vichekesho/vunja mbavu mpekuzi 16 august 2017 vichekesho/vunja mbavu mpekuzi 13 august 2017 vichekesho/vunja mbavu mpekuzi 21 august 2017 vichekesho/vunja mbavu mpekuzi 20 august 2017 vichekesho/vunja mbavu mpekuzi 12 august 2017 vichekesho/vunja mbavu mpekuzi 14 august 2017 kuna maprofesa 40 walipanda air tanzania ili wasafari kabla ndege haijaanza kuondoka lilipita tangazo kama ifuatavyondugu wasafiri wote ndege unayotarajia kusafiri nayo imetengenezwa na wanafunzi wa kitanzaniabaada ya tangazo maprofesa wote waliteremka isipokuwa mmoja alibaki kwenye kiti chakewalipomuuliza ni
2017-08-22T22:36:08
https://jewajua.com/category/vichekesho/vichekeshovunja-mbavu?filter_by=popular
kijana malele adhalilishwa kutangazwa kichaa | gazeti la jamhuri jamhuri july 30 2013 kijana malele adhalilishwa kutangazwa kichaa20130730t110220+0000 siasa kijana aliyejitangaza kungatuka ushirika wa mtandao unaodaiwa kuhusika kumuua kamanda wa polisi mkoa wa mwanza liberatus barlow anaweza kulalamikia kitendo cha kudhalilishwa kwa kumtangaza kuwa ni mgonjwa wa akili jeshi la polisi tanzania kupitia kwa msemaji wake ssp advera senso mei 28 mwaka huu lilimtangaza kijana huyo mohamed malele kupitia vyombo vya habari kkijana aliyejitangaza kungatuka ushirika wa mtandao unaodaiwa kuhusika kumuua kamanda wa polisi mkoa wa mwanza liberatus barlow anaweza kulalamikia kitendo cha kudhalilishwa kwa kumtangaza kuwa ni mgonjwa wa akili juhudi za kumpata dakatari anayemhudumia malele katika hospitali ya taifa muhimbili alikolazwa hazikuzaa matunda baada ya daktari huyo kukwepa kukutana na jamhuri huku ofisa uhusiano wa hospitali hiyo naye akidaiwa kuwa likizo kijana malele ana siri nzito juu ya mtandao mpana wa mauaji ndani ya jeshi la polisi unaohusisha watumishi wengine kutoka vyombo vya ulinzi na usalama wafanyabiashara na wanasiasa habari za karibuni kabisa zinasema kwenye orodha ya aliowataja kwenye mtandao wa uhalifu wamo wabunge jamhuri inaendelea kuyahifadhi majina yao kwa kuwa haijafanikiwa kuzungumza nao mtandao huo unatajwa na malele kwamba ndiyo uliohusika na mauaji ya kamanda barlow usiku wa kuamkia oktoba 13 mwaka jana katika eneo la kitangiri jijini mwanza wakati akimrejesha nyumbani mwalimu doroth moses aliyekuwa naye katika kikao cha harusiwa ni mgonjwa wa akili bila kuonesha vielelezo vya daktari mtandao huo unatajwa na malele kwamba ndiyo uliohusika na mauaji ya kamanda barlow usiku wa kuamkia oktoba 13 mwaka jana katika eneo la kitangiri jijini mwanza wakati akimrejesha nyumbani mwalimu doroth moses aliyekuwa naye katika kikao cha harusi « mil 200/ zatafunwa mradi hewa geita vidonda vya tumbo na hatari zake (1) »
2020-01-28T08:20:45
http://www.jamhurimedia.co.tz/kijana-malele-adhalilishwa-kutangazwa-kichaa/
yehova azali kokamba basaleli na ye na nzela ya bomoi | boyekoli tángá na afrikaans anglais aukan baoulé bassa (cameroun bichlamar boulou cakchiquel cambodgien chitonga chokwe chol cibemba créole de maurice créole des seychelles créole dhaïti dangme drehu efik espagnol fon français ga gallois garifuna groenlandais haoussa hmong (white) iban igbo isoko italien karen (s'gaw) kazakh kikaonde kikongo kiluba kimbundu kisi kisonge kongo krio kwangali kwanyama lamba lao lingala lunda luvale maltais mam mambwélungu mazatèque de huautla mizo myama nahuatl (guerrero) nahuatl (huasteca) nahuatl (nord de puebla) nahuatl (central) ndebele ndonga ngabere ngangela nyaneka nyanja nzema otetela pidgin (cameroun) portugais quechua (ancash) quechua (ayacucho) quechua (cuzco) quichua (imbabura) saramaccan sepedi sesotho (lesotho) setswana silozi swahili (congo) swati tahitien tiv tlapanec tojolabal totonaque tshiluba tsonga twi tzeltal umbundu urhobo uruund venda wallis wayuunaiki xhosa yoruba zoulou éwé nzela yango oyo bótambola na yangoyisaya 3021 nzembo 65 48 na mikolo ya noa mpe ya moize yehova apesaki malako nini malako nini ya sika nzambe apesaki bakristo ndenge nini tokoki komonisa ete tozali koluka litambwisi ya nzambe 1 2 (a) likebisi nini ebikisá bato ebele (talá elilingi ya ebandeli) (b) litambwisi nini basaleli ya nzambe bazali na yango oyo ekoki kobikisa bango tɛlɛmá talá yoká esali sikoyo mbula koleka 100 banda maloba wana etyamá na makomi minene na banzela oyo engbunduka (train) elekaka na amerika ya nɔrdi mpo na nini mpo mituka oyo ezali koleka etutana te na engbunduka oyo ezali koya na lombangu kotya likebi na bilembo wana ya kokebisa ebikisá bato ebele 2 makambo oyo yehova asalaka eleki mosika bilembo oyo bato batyá mpo na komibatela na likama yehova akambaka basaleli na ye mpo bázwa bomoi ya seko mpe bámibatela na makama azali lokola mobateli ya mpate ya bolingo oyo atambwisaka bampate na ye mpe akebisaka yango mpo ekende te na nzela ya makamatángá yisaya 3020 21 yehova akambaka basaleli na ye ntango nyonso 3 ndenge nini libota ya bato ekɔtaki na nzela oyo ezali komema na liwa 3 bandá na ebandeli ya lisolo ya bato yehova apesaka basaleli na ye litambwisi to malako ya sikisiki na ndakisa na elanga ya edene yehova apesaki malako ya polele oyo ekokaki kokamba libota ya bato na bomoi ya seko mpe ya esengo (ebandeli 21517) kasi adama ná eva baboyaki litambwisi ya tata na bango ya bolingo eva ayokaki toli oyo emonanaki lokola ete euti epai ya nyoka na nsima adama ayokelaki mwasi na ye makambo esukaki ndenge nini bango nyonso mibale banyokwamaki mpe bakufaki kozanga elikya lisusu lokola baboyaki kotosa libota mobimba ya bato ekɔtaki na nzela oyo ezali komema na liwa 4 (a) mpo na nini esengelaki ete malako mosusu ebakisama nsima ya mpela (b) ndenge nini makambo ya sika oyo ebimaki emonisi likanisi ya nzambe 4 nzambe apesaki noa malako mpo na kobikisa bato nsima ya mpela yehova apekisaki bato kolya makila to komɛla yango mpo na nini mpo yehova apesaki bato nzela ya kolya mosuni ya nyama lokola makambo ebongwanaki basengelaki na malako oyo ya sika kaka nde bosengeli kolya mosuni ná molimo na yango te elingi koloba makila na yango (ebandeli 914) na nzela ya etinda wana tomoni ndenge oyo nzambe atalelaka bomoi oyo ezali eloko na ye azali mozalisi mpe apesá biso bomoi yango wana azali na lotomo ya kotya mibeko mpo na bomoi na ndakisa apesaki mobeko ete moto aboma moninga na ye moto te nzambe atalelaka bomoi mpe makila ete ezali mosantu mpe akopesa etumbu na moto nyonso oyo asalelaka yango na ndenge ya mabeebandeli 95 6 5 tokotalela nini sikoyo mpe mpo na nini 5 nsima ya mikolo ya noa nzambe akobaki kotambwisa basaleli na ye na lisolo oyo tokotalela mwa bandakisa oyo ekomonisa ndenge oyo atambwisaki bango kotalela masolo yango ekosalisa biso tókómisa lisusu makasi ekateli na biso ya kolanda litambwisi ya yehova tii na mokili ya sika ekólo ya sika malako ya sika 6 mpo na nini ezalaki na ntina ete basaleli ya nzambe bátosa mibeko oyo epesamaki na nzela ya moize mpe ezaleli nini bayisraele basengelaki kozala na yango 6 na mikolo ya moize yehova apesaki basaleli na ye malako ya polele mpo na etamboli mpe losambo na bango mpo na nini na mbala oyo lisusu mpo makambo ebongwanaki na boumeli ya mbula koleka 200 bayisraele bazalaki na ezipito epai bato nyonso oyo bazalaki zingazinga na bango bazalaki komipesa na losambo ya bakufi losambo ya bikeko mpe kosala makambo mosusu mingi oyo ezalaki kokumisa nzambe te ntango basaleli ya nzambe babimaki na boombo na ezipito basengelaki na malako ya sika balingaki kokóma ekoló oyo esengelaki kolanda kaka mibeko ya yehova mikanda mosusu elobi ete liloba ya ebre oyo ebongolami na mibeko elimboli kotambwisa kokamba koteya mibeko ezalaki kobatela bayisraele mpo bálanda te etamboli ya mbindo mpe losambo ya lokuta ya bikoló oyo ezalaki zingazinga na bango ntango bayisraele bazalaki koyoka nzambe azalaki kopambola bango ntango bazalaki kotosa ye te bazalaki mpenza konyokwama mpo na mabe na bangotángá kolimbola mibeko 281 2 15 7 (a) limbolá ntina oyo yehova apesaki basaleli na ye malako (b) ndenge nini mibeko ezalaki lokola mobateli mpo na yisraele 7 malako ya sika esengelaki kopesama mpo na ntina mosusu mibeko ezalaki kobongisa bayisraele mpo na likambo moko ya ntina mingi na mokano ya yehova koya ya masiya yesu kristo mibeko ezalaki kokundwela bayisraele ete bazalaki bato ya kozanga kokoka esalisaki mpe bango bákanga ntina ete basengeli na lisiko elingi koloba mbeka ya kokoka oyo elingaki kolongola masumu na bango mpo na libela (bagalatia 319 baebre 10110) longola yango mibeko ezalaki kobatela libota oyo esengelaki komema tii na masiya mpe kosalisa bayisraele báyeba masiya yango ntango akomonana ya solo mibeko ezalaki lokola motambwisi to mobateli oyo azalaki komema epai ya kristobagalatia 323 24 8 mpo na nini tosengeli kotambwisama na mitinda oyo euti na mibeko ya moize 8 lokola tozali bakristo biso mpe tokoki kozwa litomba na malako oyo yehova apesaki na nzela ya mibeko na ndenge nini tokoki kotɛlɛma mpe kotala mitinda oyo euti na mibeko yango atako tozali lisusu te na nse ya mibeko wana tokobaka kaka kotalela yango lokola motambwisi na bomoi na biso ya mokolo na mokolo mpe na losambo ya yehova akomisaki mibeko yango na biblia mpo tózwela yango mateya mitinda na yango etambwisa biso mpe tómonisa botɔndi na ndenge yesu ateyaki biso likambo ya monene koleka mibeko yoká oyo yesu alobaki boyokaki ete balobi osengeli kosala ekobo te kasi ngai nalobi na bino ete moto nyonso oyo azali kokoba kotala mwasi tii ayoki ye mposa asali na ye ekobo na motema tosengeli kosuka te kaka na koboya kosala ekobo tosengeli mpe kobwaka makanisi mpe bamposa nyonso ya mbindomatai 527 28 9 makambo nini ya sika esalaki ete nzambe apesa lisusu malako ya sika 9 ntango yesu akómaki masiya yehova apesaki malako ya sika mpe amonisaki makambo mosusu oyo etali mokano na ye mpo na nini yango ezalaki na ntina na mobu 33 yehova aboyaki ekoló ya yisraele mpe aponaki lisangá ya bokristo mpo ezala ekólo na ye na yango makambo ya basaleli ya yehova ekómaki lisusu ya sika litambwisi mpo na yisraele ya elimo 10 mpo na nini lisangá ya bokristo ezwaki mibeko ya sika mpe na ndenge nini mibeko yango ekesanaki na oyo bayisraele bazwaki 10 yehova apesaki bayisraele mibeko ya moize mpo na koteya bango ndenge basengeli komitambwisa mpe kosambela ye kobanda na siɛklɛ ya liboso basaleli ya nzambe bazalaki kaka na ekólo moko te kasi na mabota mpe mimeseno ndenge na ndenge mpe bakómaki kobengama yisraele ya elimo basalaki lisangá ya bokristo mpe bazalaki na nse ya kondimana ya sika yehova apesaki bango malako ya sika mpo na ndenge ya komitambwisa mpe kosambela ye ya solo mpenza nzambe aponaka bilongi te kasi na ekólo nyonso moto oyo azali kobanga ye mpe azali kosala makambo ya boyengebene andimami na ye (misala 1034 35) balandaki mobeko ya kristo oyo ezwi moboko na mitinda oyo ekomamaki likoló ya mabanga te kasi na mitema na bango mibeko yango esengelaki kotambwisa bakristo mpe kopesa bango matomba ata soki bafandi wapibagalatia 62 11 makambo nini mibale oyo etali bomoi na biso bakristo esimbami na mobeko ya kristo 11 yisraele ya elimo ezwaki matomba mingi na litambwisi ya yehova na nzela ya yesu liboso ete yesu abandisa kondimana ya sika apesaki mibeko mibale ya ntina mingi moko ezalaki mpo na mosala ya kosakola mosusu ezalaki mpo na ndenge oyo bakristo basengeli kosalelana makambo malako yango ezalaki mpo na bakristo nyonso yango wana etaleli mpe biso nyonso lelo ezala tozali na elikya ya bomoi ya seko na likoló to awa na mabele 12 nini ezalaki likambo ya sika mpo na mosala ya kosakola 12 na ntango ya kala bato ya bikoló mosusu basengelaki koya na yisraele mpo na kosalela yehova (1 bakonzi 84143) kasi na nsima yesu apesaki mobeko oyo ezali na matai 2819 20 (tángá) yesu ayebisaki bayekoli na ye bákende epai ya bato ya bikólo nyonso na pantekote ya mobu 33 yehova amonisaki ete alingaki ete nsango malamu esakolama na mokili mobimba na mokolo yango bato soki 120 ya lisangá ya sika batondaki na elimo santu mpe babandaki koloba na bayuda mpe baprozelite na minɔkɔ ndenge na ndenge (misala 2411) na nsima teritware ekómaki monene tii epai ya basamaria mpe na mobu 36 teritware ekómaki lisusu monene koleka tii epai ya bato ya bikólo mosusu oyo bakatamaki ngenga te yango elimbolaki ete bakristo basengelaki kokende kosakwela moto nyonso na mokili 13 14 (a) mobeko ya sika ya yesu esɛngi makambo nini (b) liteya nini tozwi na ndakisa oyo yesu atikelaki biso 13 yesu apesaki mpe mobeko ya sika mpo na ndenge ya kosalela bandeko makambo (tángá yoane 1334 35) tosengeli komonisa ete tolingaka bandeko mokolo na mokolo kasi tosengeli mpe kondima kopesa bomoi na biso mpo na bango yango ezali likambo oyo esɛngisamaki te na mibekomatai 2239 1 yoane 316 14 yesu azali ndakisa eleki monene ya moto oyo amonisaki bolingo oyo elukaka te matomba na yango moko alingaki bayekoli na ye mingi yango wana andimaki kokufa mpo na bango mpe alingi ete bayekoli na ye nyonso básala mpe bongo na yango tosengeli kondima koyikela mikakatano mpiko mpe ata kokufa mpo na bandeko1 batesaloniki 28 malako mpo na mikolo oyo mpe mpo na mikolo ezali koya 15 16 makambo nini ya sika tozali na yango sikoyo mpe ndenge nini nzambe azali kotambwisa biso 15 yesu atyaki moombo ya sembo mpe ya mayele mpo apesaka bayekoli na ye bilei ya elimo na ntango oyo ebongi (matai 244547) na bilei yango ezali mpe na malako ya ntina mpo na basaleli ya nzambe ntango makambo ezali kobongwana na ndenge nini makambo na biso ezali kobongwana 16 tozali kobika na mikolo ya nsuka mpe mosika te tokomona bolɔzi moko oyo esalemá naino te (2 timote 31 marko 1319) lisusu satana na bademo na ye babwakamaki na mabele uta na likoló bazali kobimisela bato ebele ya bampasi (emoniseli 129 12) longola yango tozali kotosa etinda ya yesu ya kosakwela bato mosusu na mokili mobimba mpe na minɔkɔ mingi koleka 17 18 ndenge nini tosengeli kotalela malako oyo tozali kozwa sikoyo 17 ebongiseli ya nzambe ezali kopesa biso bisaleli mingi mpo na kosalisa biso na mosala ya kosakola osalelaka bisaleli yango na makita na biso tozwaka malako mpo na ndenge ya kosalela bisaleli yango na ndenge ya malamu omonaka ete malako yango ezali litambwisi oyo euti epai ya nzambe 18 mpo na kozwa mapamboli ya nzambe tosengeli kotya likebi na malako nyonso oyo azali kopesa biso na nzela ya lisangá ya bokristo soki tozali kotosa sikoyo ekozala mpasi te tólanda malako oyo tokozwa na ntango ya bolɔzi monene ntango mokili mabe ya satana ekobebisama (matai 2421) nsima na yango tokozala na mposa ya malako ya sika mpo na bomoi na mokili ya sika ya boyengebene oyo ekosikolama mobimba na makambo mabe ya satana na mokili ya sika tokozwa barulo ya sika oyo ekozala na malako ya sika mpo na bomoi na paradiso (talá paragrafe 19 20) 19 20 barulo nini ekofungwama mpe ekobimisa matomba nini 19 na mikolo ya moize ekólo ya yisraele esengelaki na malako ya sika yango wana nzambe apesaki bango mibeko na nsima lisangá ya bokristo esengelaki kolanda mobeko ya kristo ndenge moko mpe biblia eyebisi biso ete na mokili ya sika tokozwa barulo oyo ekozala na malako ya sika (tángá emoniseli 2012) na ntembe te barulo yango ekolimbola makambo oyo yehova akosɛnga bato na ntango wana ntango bato nyonso ezala baoyo bakosekwa bakoyekola barulo yango bakozala na likoki ya koyeba makambo oyo nzambe alingi mpo na bango barulo yango ekosalisa biso tóyeba lisusu malamu lolenge oyo yehova atalelaka makambo tokoyeba mpe biblia malamu koleka mpo na paradiso tokosalela basusu makambo na bolingo limemya mpe lokumu (yisaya 269) kanisá ebele ya makambo oyo tokoyekola mpe tokoteya basusu na nse ya litambwisi ya mokonzi yesu kristo 20 soki tolandi malako oyo ekomamá na barulo yango mpe totikali sembo epai ya yehova na komekama ya nsuka akokoma bankombo na biso mpo na libela na rulo ya bomoi wana nde tokozwa bomoi ya seko yango wana tosengeli kotɛlɛma mpo na kotánga oyo biblia elobi kotala mpo na koyeba soki makambo yango etali biso na nini mpe koyoka ntango tozali kotosa malako oyo nzambe azali kopesa biso sikoyo soki tosali makambo wana tokoki kobika na bolɔzi monene mpe kosepela koyekola mpo na libela makambo etali yehova nzambe na biso ya bwanya mpe ya bolingomosakoli 311 baroma 1133 mobeko ya kristo mibeko nyonso oyo yesu apesaki ezala mpe mobeko ya kosakola nsango malamu na mokili mobimba mpe mobeko ya kolinga bandeko mobeko yango ekomami na mitema na biso mpe etambwisaka biso ata soki tofandi wapi soki totosi mobeko yango yehova akopambola biso mpe akopesa biso bomoi ya seko
2017-08-20T18:50:10
https://www.jw.org/ln/mikanda/bazulunalo/lin%C9%94%CC%81ngi-ya-mos%C9%9Bnz%C9%9Bli-boyekoli-03-2016/yehova-kokamba-bato-na-ye/
posted on june 20th 2018 style=textalign justify>kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa ndugu charles francis kabeho amezipongeza wilaya za mkoa wa mtwara zilizofanya vizuri katika mbio za mwenge wa uhuru &nbsp2018 posted on june 18th 2018 style=textalign justify>wasimamizi wa vituo 12 vya kutolea huduma za afya na viongozi wa ngazi ya wilaya ya masasi wametakiwa kuzingatia mambo &nbspmuhimu katika &nbsputumiaji na utunzaji wa v posted on june 14th 2018 style=textalign justify>serikali &nbspya awamu ya tano imedhamiria kuwekeza katika miundombinu ya katika sekta mbalimbali ikiwemo elimu afya na maji kwa kutoa fedha za utelelezaji wa miradi hiy
2019-02-17T22:58:20
http://masasidc.go.tz/news/12
imetumwa may 12th 2018 kamati ya ushauri ya mkoa wa mbeya imependekeza kwa pamoja kubadilishwa kwa jina la uwanja wa ndege wa songwe kuitwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa mbeya (mia) mapendekezo hayo yalitolewa na wajumbe wa kamati hiyo katika kikao kilichofanyika jana ukumbi wa mkapa na kusema kuwa kumekuwa na mkanganyiko wa mahali ambapo uwanja huo upo akiongea katika kikao hicho mwenyekiti wa kamati mhe amos makalla alisema kuwa kuwepo kwa mkoa na wilaya mpya iliyobeba jina la songwe kumeleta changamoto ya utambuzi sahihi wa maeneo na miundombinu inayotumia jina hilo mhe makalla alisema changamoto hiyo imeleta mkanganyiko mkubwa hususani kwa wageni mbalimbali wakiwemo watalii wasafiri wawekezaji na hata watendaji wa serikali kujua eneo halisi la uwanja huo mwenyekiti wa halmashauri ya mbeya bw mwalingo kisemba alisema kuwa lengo la kubadili jina ni kufanikisha kwa urahisi mikakati ya mkoa ya uwekezaji biashara na utalii ili kuwarahisishia wawekezaji namna ya kuutambua mkoa na miundombinu yake naye mwenyekiti wa halmashauri ya chunya bw bosco mwanginde alisema kuwa mkanganyiko huo wa jina la uwanja umepelekea wawekezaji kudhani kuwa miundombinu hiyo ipo mkoa wa songwe badala ya mkoa wa mbeya na kuupunguzia mkoa sifa ya kuwepo kwa miundombinu rafiki kwa ajili ya uwekezaji ujenzi wa uwanja wa songwe ulizinduliwa rasmi mwaka 2001 na kuanza kutumika mwaka 2012 jina la uwanja wa songwe lilitokana eneo ambalo uwanja huo upo na uwepo wa mto songwe eneo hilo
2018-08-15T05:43:31
http://www.mbeya.go.tz/new/uwanja-wa-ndege-wa-songwe-kubadilishwa-jina
china saa bar ya saa china manufacturers & suppliers & factory saa bar ya saa mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china (jumla ya 24 bidhaa kwa saa bar ya saa) saa bar ya saa saa bar ya saa taa za bar na ishara saa ishara wazi saa ishara za rangi barua ya barua na taa saa ishara za neno taa ya barua ya mwanga
2020-04-10T02:18:51
https://www.baiyangsign.com/sw/dp-saa-bar-ya-saa.html
taswira mkutano mkuu wa mizani wa kcu (1990)ltd uliofanyika jana aprili 292014 | bukobawadau skip to main | taswira mkutano mkuu wa mizani wa kcu (1990)ltd uliofanyika jana aprili 292014 meneja bodi ya cha kikuu cha ushirika mkoa wa kagera kcu (1990) ltd ndg vedastus ngaiza akitolea jambo ufafanuzi mbele ya wajumbe wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbe wa bukop coop unaomilikiwa na chama hicho mwenyekiti wa bodi ya cha kikuu cha ushirika mkoa wa kagera kcu 1990 ltd bw john binunshu akitoa angalizo wakati mkutano huo ukiendeleakwa siku ya jana jumanne april 292014 wajumbe wa mkutano mkuu wa mizani wa chama kikuu cha ushirika mkoa wa kagera kcu wakifuatilia majadiliano ambapo mambo mengi yamejadiliwa ikiwa kilio cha wakulima wa zao la kahawa ni uwezekano wa kulipwa malipo ya nyongeza wajumbe wakifuatilia kinacho kutoka kwa viongozi wa chama kikuu cha ushirika kcu mhasibu mkuu chama cha ushirika mkoani kagerakcu (1990) ltd mmoja wa watendaji ndani ya mkutano huu mzee ngalinda pichani kushoto na mama muhazi pichani kulia sehemu ya wajumbe wa bodi ya cha kikuu cha ushirika mkoa wa kagera kcu 1990 ltd mmoja wa wajumbe akiuliza swali meneja wa kcu (1990)ltd ndugu vedastus ngaiza akitolea maswali majibu kwa kina sehemu ya waandishi wa habari kushoto ni prudence karugendo wa tanzania daima wanahabari wa vyombo mbalimbali mkutano wa chama kikuu cha ushirika cha mkoa wa kagera(kcu)uliofanyika janamjini bukoba katika hotel ya bukoba coop inayomilikiwa na chama hicho kinachoundwa na vyama vya msingi vya wilaya za mulebamissenyi na bukoba uukiwa unaendelea mkutano huo uliokuwa unajadiri hesabu za mizania na mapatowajumbe pamoja na mambo mengine ikiwa ni pamoja na wajumbe kutaka kujua mali zote zinazomilikiwa na chama hicho wajumbe wakiendelea na mkutano huo mjumbe akihoji maswala mbalimbali ya kimahesabu kutoka chama cha ushirika ibwera anaonekana ndg nyangasha sadru mkaguzi wa coasco akitoa maelezo bango la hotel ya bukoba coop inayomilikiwa na chama kikuu cha ushirika mkoani kagera kcu mzee baruti na mzee ngalinda wajumbe wa bodi ya kcu (1990) taswira mkutano ukiendelea posted by
2017-04-29T05:37:01
http://www.bukobawadaumedia.com/2014/04/taswira-mkutano-mkuu-wa-mizani-wa-kcu.html
> wachezaji wa singida united kila mmoja apewa mifuko 50 ya saruji msumba news blog home michezo wachezaji wa singida united kila mmoja apewa mifuko 50 ya saruji wachezaji wa singida united kila mmoja apewa mifuko 50 ya saruji in michezo published on june 01 2018 leave a reply klabu ya singida united kesho jumamosi inatarajiwa kumtangaza rasmi kocha wake mkuu atakayechukua mikoba ya mholanzi hans van der pluijm aliyetimkia azam fc lakini habari nzuri kwa wachezaji wa timu hiyo ni kwamba kila mmoja wao amepewa mifuko 50 ya saruji wakati singida ikitarajiwa kumtangaza kocha huyo katika mchezo wao kesho jumamosi wa fainali ya kombe la fa dhidi ya mtibwa sugar kwenye uwanja wa sheikh amri abeid mkoani arusha jana alhamisi iliwatambulisha nyota wake wapya watatu ambao wataanza kuonekana katika michuano ya sportpesa super cup inayotarajiwa kuanza keshokutwa jumapili nchini kenya singida imetangaza rasmi kuwa msimu ujao haitakuwa na pluijm ambaye anajiunga na azam fc hivyo anayechukua mikoba yake atatambulishwa baada mechi hiyo ya kombe la fa na atakabidhiwa mikoba rasmi kwa ajili ya michuano ya sportpesa super cup akizungumza na championi ijumaa mkurugenzi wa singida united festo sanga alisema wachezaji hao watatu waliowachukua ni straika mbrazili fellipe oliveira da santos na viungo amara diaby na tiber john baada ya mechi ya fainali ya fa siku ya jumamosi ndipo kocha mpya atatambulishwa baada ya pluijm kumaliza majukumu yake kwenye mchezo huo kocha huyo mpya ndiye atakayeenda na timu kwenye michuano ya sportpesa super cup na suala la kiungo mudathir yahya bado tunaendelea kuweka mambo sawa na mchezaji mwenyewe ameonyesha nia ya kutaka kuendelea kubaki hapa hivyo mambo yakikamilika mtafahamu pia wachezaji wa klabu yetu wamepewa zawadi kila mmoja ya mifuko 50 ya saruji kutokana na juhudi pamoja na kupambana mpaka kuifikisha timu hapa ilipo alisema sanga
2018-10-16T10:25:24
http://www.msumbanews.co.tz/2018/06/wachezaji-wa-singida-united-kila-mmoja.html
yaliyojiri bungeni leo jijini dodoma pamoja blog home > habari > yaliyojiri bungeni leo jijini dodoma 5/10/2018 020000 pm habari waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu serabungekazivijanaajira na wenye ulemavu mhejenista mhagama akimsikiliza mbunge wa songea mjini mhe dkt damas ndumbaro wakati wa kikao cha ishirini na sita cha mkutano wa kumi na moja leo jijini dodoma waziri mkuu mhekassim majaliwa akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa waziri mkuu bungeni leo jijini dodoma
2018-08-19T05:44:27
http://www.pamoja.co.tz/2018/05/yaliyojiri-bungeni-leo-jijini-dodoma.html
madiwani tlp chadema wahamia ccm madiwani wawili mmoja akiwa ni wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) na mwingine wa tanzania labour p arty (tlp ) katika halmasauri ya wilaya ya bunda mkoani mara wamevihama vyama vyao na kujiunga na chama cha mapinduzi (ccm) madiwani hao wamebainisha kuwa wameamua kuhama vyama vyao baada ya kuridhishwa na utendaji kazi wa rais john magufuli hivyo haipo sababu ya kuendelea kuwa katika vyama vyao madiwani hao ni pamoja na alex paul musege wa kata ya kasuguti kupitia tiketi ya chadema na abiud mugesi chacha wa kata ya butimba kupitia tiketi ya tlp ambao wote kwa pamoja jana mbele ya viongozi wa ccm wilayani hapa walitangaza rasmi kuvihama vyama vyao na kujiunga na ccm v iongozi wa ccm wilayani bunda waliowapokea madiwani hao baada ya kutangaza kuvihama vyama vyao ni pamoja na mwenyekiti wa ccm wa wilaya justine rukaka katibu mabutu malima na katibu wa siasa na uenezi jasper bonaventre alisema rais magufuli anafanyakazi nzuri inayopaswa kuungwa mkono na wananchi wote na kutoa wito kwa kwa wanachama wengine ambao bado wako kwenye vyama vya upinzani kuhamia ccm chacha alisema kuwa amekihama chama chake kwa hiari yake mwenyewe na kwamba hatua hiyo ni kutokana na kurizika na utendaji kazi wa rais magufuli alisema kiongozi huyo amekuwa mstari wa mbele kuwaletea wananchi maendeleo ikiwemo kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo alisema kuwa rais magufuli anafanya kazi kubwa ya kuletea wananchi maendeleo tena kwa kutumia fedha za ndani jambo ambalo limemfanya achukuwe uamuzi huo kwa upande wake katibu wa ccm wilayani bunda mabutu malima alisema kuwa wameamua kuwapokea wanachama hao wapya kwa heshima kubwa kwani ni watoto waliokuwa wamepotea na sasa wameamua kurudi nyumbani malima aliongeza kuwa kama kuna wanachama wengine wa vyama vya upinzani wanaotaka kujiunga na chama hicho wanakaribishwa kwani ccm ni chama makini na chenye mlengo wa kuletea wananchi maendeleo na ni tofauti kabisa na vyama vingine vya upinzani alisema kuwa hakuna ubishi kwamba mwenyekiti wa taifa wa chama hicho tangu alipoingia madarakani anafanya kazi nzuri na pia chama hicho kiko kwenye misingi imara aidha alisema hakuna ubishi kuwa rais magufuli anaendelea na jitihada zake za kuhakikisha hawatokei wabadhirifu wa mali za umma na kuongeza kuwa kwa msingi huo ndiyo maana wananchama wa vyama vingine kila kukicha wanaamua kujiunga na ccm kwa kasi kubwa mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya bunda amos kusaja jana alipozungumza na gazeti hili kwa njia ya simu akiwa safarini alisema kuwa alipigiwa simu na diwani mmoja kati ya hao wawili alithibitisha kwamba tayari wameshapeleka barua zao katika ofisi yake ya kuhama vyama vyao na kuachia nafasi ya udiwani
2019-02-17T18:14:58
https://habarileo.co.tz/habari/2018-09-135b99ecdd69cea.aspx
bodi ya mikopo yasema umiliki wa leseni za biashara kwa wazazi sio kigezo watoto wao kukosa mikopo | mpekuzi
2018-07-16T10:53:44
http://www.mpekuzihuru.com/2018/05/bodi-ya-mikopo-yafafanua-kuhusu-umiliki.html
majanga yazidi kumuandama wema sepetu sasa jina lake latumika kufanya utapeli mtandaoni | bongo voice
2017-03-28T23:28:11
http://www.bongovoice.com/2014/01/majanga-yazidi-kumuandama-wema-sepetu.html
#kurasa_kumi za kitabu leo sayansi na sanaa zinategemeana kisima cha maarifa kitabu how to think like leonardo da vinci / michael j gelb ukurasa 124 133 watu wengi wamekuwa wakishindwa kuelewa iwapo leonardo da vinci alikuwa mwanasayansi aliyejihusisha na sanaa au msanii aliyejihusisha na sayansi hii ni kwa sababu alikuwa vizuri sana maeneo yote mawili alikuwa vizuri kwenye sanaa na ← ukurasa wa 1049 ubaya unasambaa kuliko uzuri #tafakari ya leo mahitaji ya furaha ni machache →
2017-12-15T08:31:34
https://www.kisimachamaarifa.co.tz/2017/11/14/kurasa_kumi-za-kitabu-leo-sayansi-na-sanaa-zinategemeana/
demetrio hill live kutoka lockdown 3358 demetrio hill demetrio hill imekuwa kizuizini zaidi ya miaka kumi kuwahudumia 20 hukumu mwaka kwa eti kuwa felon katika milki ya silaha (18 usc 922(g) kuingiliwa na biashara kupitia wizi wa madawa ya kulevya wafanyabiashara (18 usc 1951) na njama za wizi wa madawa ya kulevya alisema wafanyabiashara (18 usc 1951) si moja narcotics trafficker ushahidi katika mr kesi hill kwamba yeye kuiba yao au mtu mwingine yeyote kwa kweli hakuna mwathirika / mashahidi ambao ulioshuhudiwa milele kuwa kuiba na mr hill serikali inapendekeza ubishi specious kwamba wafanyabiashara wa madawa ya kulevya bila kwenda polisi ubishi kwamba ni wazi uongo kama per united states v peterson 236 f3d 848 (7th cir 2001) ya silaha za moto mbili zinazozalishwa katika kesi si moja zilizomo mr alama za vidole hill na mchungaji wa kanisa ambaye alikuwepo wakati wa kukamatwa wa mr hill alikanusha kuona polisi milele kuondoa silaha yoyote kutoka mr mtu hill ya na ushahidi wa athari hii wakati wa kukandamiza kusikia uliofanywa (kuona januari 24 2003 tr mchungaji skillings) hakukuwa na madawa ya kulevya au wizi mapato km fedha zinazozalishwa katika mr kesi hill ya hakuna ipo hill alikuwa si waliokamatwa wakati kufanya wizi wa mtu yeyote wala waliokimbia yoyote wizi eneo na mbili ya madai ya waathirika wizi wakati umeonyesha photosafu ambayo ni pamoja na mr hill alikanusha yoyote kushiriki na hill mr hill was convicted after a jury trial atrial in the year 2005 kwamba ilihusisha si mmoja mweusi au latino mtu mmoja msingi juu ya ushahidi wa sg oe ne ds jr cp na informant siri ambayo serikali alikataa kufichua / utambulisho wake yake zote ni za bure kwa ajili ya kupatiwa mr kuwafunga hill ya ne testified for her brother oe 's uhuru testifiers yote iliyobaki walikuwa wanachama wa utekelezaji wa sheria za mr hill alishtakiwa na hatia ya juu ya 25 ujambazi katika new york na new jersey lakini si moja ripoti ya mwathirikaulianzishwa polisi ipo awali mr hill iliwakilishwa na mwanasheria kevin keating ambaye aliteuliwa na sheria ya mahakama cja juu ya malipo ya shirikisho la 18 usc 922(g) silaha kuhesabu malipo tu mei 2002 malipo silaha hiyo ilikuwa concomitantly inasubiri katika ny state courts despite the common practice of dismissing the state charge in lieu of the federal case tangu kupitia new york state katiba kama mbili imani ingekuwa kuanzisha mara mbili hatari mr keating hata hivyo alidai na kupokea malipo kwa ajili ya malipo state silaha ambayo alifukuzwa sua sponte na serikali mashitaka ofisi kisha alikataa kurudi alisema fedha (angalia maonyesho a) gereza penitentiary mitaani magenge mashairi live kutoka lockdown kubadilisha bloods magenge usp lewisburg mahabusu tewhan butler kuongeza up media live from illinois confinement faragha molekulikufungwa jela mahabusu lookup kuongeza up chicago inmate search wafungwa gangsta maalum management unit smu uhalifu new jersey stateville correctional center mahabusu locator lockdown shirikisho gerezani
2018-06-19T23:55:14
http://www.livefromlockdown.com/sw/demetrius-hill/
tundu lissu noma auliza swali jipya bungeni waziri ashangaa ashindwa kujibu | jamiiforums | the home of great thinkers tundu lissu noma auliza swali jipya bungeni waziri ashangaa ashindwa kujibu discussion in 'jukwaa la siasa' started by jojipoji jun 22 2011 hee leo nimeona maajabu ya bunge baada ya mh waziri kushindwa kujibu swali la mh lissu kwa madai eti ni swali jipya kumbe serikali inataka maswali ya zamani tu hili lilikuwa swali la nyongeza ambapo mh lissu alisimama na kuuliza kwa kuwa sheria yeyote ya hifadhi ya misitu inatakiwa kutangazwa kwenye gazeti la serikali je ni tarehe gani mwezi gani mwaka gani ilitangazwa sheria ya kuanzishwa kwa hifadhi ya msitu ulioko singida mashariki hahhahaha kule bungeni ni ujinga mtupu aisee basi nafikiri tunahitaji wenye maswali mapya hayo ya zamani si majibu yake ya kutudanganya wanayo tayari utaratibu ni kwamba maswali hupelekwa mapema ili yatafutiwe majibu ya kina kabla muhusika hajaingia bungeni kwa mfano kuna maswali yanahitaji mpaka analysis of data je laweza kujibiwa papo kwa papo kama lilikuwa ni swali la papo kwa papo basi hawajamtendea haki lisu hahhahaha kule bungeni ni ujinga mtupu aiseeclick to expand noma wakikusikia haujui wako kiposho zaidi kuliko kutumikia jamii lile swali linahitaji upitie kupata uhakika zaidi halikutegemewa hata kama wewe ndio ungekuwa n/waziri tuwe fair kidogo ndio mana hata yeye lisu alikua anacheka hahahaha kwani wewe jzi hujamsikia yule mbunge wa mtera akilalamika bungeni kuwa dodoma imelaaniwa kwasababu dodoma kuna gereza la isanga linaloweka wafungwa wanaotakiwa kunyongwa halafu akachangia tena kwamba tanzania imelaaniwa coz imeweka wanyamaspecifically nyoka kwenye note coz nyoka ni alama ya shetani ccm hoyeeeeimagine huo ndo mchango wa mbunge wa ccm kwenye budget noma wakikusikia haujui wako kiposho zaidi kuliko kutumikia jamiiclick to expand usimwogope binadamu mwenzio kisa eti yuko bungeni majority ya wabunge wetu ni mashabiki tu hawajui walichotumwa kufanya ndo maana ndg mess kawaita wajinga ccm hoyeeeeimagine huo ndo mchango wa mbunge wa ccm kwenye budgetclick to expand wapo wanaotaka kuonekana wamechangia hata kama wanachokiongea ni utumbo hao tuwakatae 2015 mchango wa mbunge huyo ni kama porojo za kwenye vijiwe vya kahawa no excuse waziri hajui ya wizarani kwake anafanya nn yule livingstone lusinde uwezo wake ni mdogo sana yani alichangia vitu vya ajabu sana hahahaha kwani wewe jzi hujamsikia yule mbunge wa mtera akilalamika bungeni kuwa dodoma imelaaniwa kwasababu dodoma kuna gereza la isanga linaloweka wafungwa wanaotakiwa kunyongwahalafu akachangia tena kwamba tanzania imelaaniwa coz imeweka wanyamaspecifically nyoka kwenye note coz nyoka ni alama ya shetaniccm hoyeeeeimagine huo ndo mchango wa mbunge wa ccm kwenye budgetclick to expand ndicho walichozoeatusitarajie jipya lenye kujenga kutoka kwa magamba kwa hiyo hata yale wanayodai maswali ya papo kwa papo ya waziri mkuu ni magumashi tu si ya papo kwa papo kanyaga twendeacha waumbuke halafu yuko very happy kusign vocha ya posho ya kikao wewe ndio mjinga kwa sababu hujui taratibu za bunge usiwe mshahabiki hata kwa mambo usiayoyajua wamezoea business as usualndiyo maana mbowe kawashangaza wabunge kuacha privileges za uongozi ambazo akina rashid wa cuf wanazimezea mate angalau mambo yakienda kama hivinchi yaweza songa mbele kidogo utaratibu ni kwamba maswali hupelekwa mapema ili yatafutiwe majibu ya kina kabla muhusika hajaingia bungeni kwa mfano kuna maswali yanahitaji mpaka analysis of data je laweza kujibiwa papo kwa papo kama lilikuwa ni swali la papo kwa papo basi hawajamtendea haki lisu ni mtazamo tuclick to expand hebu acha uwongo wewe kijana nakwamba gari la padre wakwao lilikuwa na jinsia ya kiume yarabi toba tepushe na upupu wawabunge hawa kama waziri kashindwa kujibu swali kwa kuwa ni jipya basi spika awatangazie wabunge wote kuwa maswali mapya hayatakiwi na wanatakiwa waulize ya zamani tuhasa wale wa cdm kama tundu lissukwani magamba hawaulizi maswali kazi yao kuzomea na kupiga makofi ya kimbea
2017-01-23T15:13:18
https://www.jamiiforums.com/threads/tundu-lissu-noma-auliza-swali-jipya-bungeni-waziri-ashangaa-ashindwa-kujibu.148156/
rahatupu 100 bongo (un)certified pangalashaba na wadau wengine msaidieni huyu mdau 100 bongo (un)certified pangalashaba na wadau wengine msaidieni huyu mdau wiki jana nilikutana na hili jimama ni bosi langu katika ngo fulani hivi na tumekuwa tukitaniana kwa muda mrefu sasa wiki jana tukawa kazini katika wilaya moja kule morogoro na uzalendo ukanishinda japo limeolewa na lina wajukuu likanikubalia sasa jioni wakati wa kugegedana likaniomba liende bafuni liliporudi lilikuwa na mafuta na likaniomba nilipake mwili mzima na likaniambia kuwa eti lilikuwa na surprise yangu nzuri sana basi lilipoinama ndo nikaona hicho kitu huko nyuma kusema kweli hii ilikuwa ni mara yangu ya kwanza na sikuelewa la kufanya ila kwa vile kilikuwa kimeingia katika tigo nilijua tu lilikuwa linataka kufirwa na baada ya kulipata mafuta mwili mzima mpaka likang'ara sawasawa basi nilikwenda kwenye tigo moja kwa moja usiku mzima yaani nililifira mpaka nikahisi uboo wangu unawaka moto na shahawa zimeniishia mkundu tight sana na wa moto balaa yaani ilikuwa kidogo tu wazungu haoooo tena ndani humo humo huku linakatika na kulia kilugha chao sasa ninachotaka kujua kwa watalaamu wa tigo ni hichi haka kakifaa kanaitwaje na kazi yake hasa ni nini kwa sababu nilikachomoa kutoka mkunduni na nikaanza kuingiza dushe taratibu na lenyewe halikusema cho chote na mimi sikuuliza nilitakiwa kufanya nini na hiki kifaa au ni mdori tu wa tigo na hauna madhara nina maswali mengi sana na asanteni kama mtanisaidia idumu blog yetu ya rahatupu posted by nancy mitikisiko salamba (mitisa) at 1439 labels 100 bongo certified majimama tigo hard blaster 1817 mh kwa bahat banya naisi n mudoli kama sio itakuwa wa mafuta jri ate yo pussy 1845 maybe butt plug am not sure sniper 0813 dunia ya leo ukitaka maisha mazuri ni lazima uwe mfiraji na majimama ndio yanahusudu kweli hii michezo dula 0841 jiangalie kufra sio sifa ukimwi nje nje usije leta kilio nyumbani kwenu na mkeo ajutie maisha nafikiri alienda kujipiga enema huko bafuni yaani kuempty anal sac yaani kuondoa mavi kwenye mfuko wa mkundu kipara ngoto 1101 nothing else kaka hiyo ni dildo tu kwa ajili ya kufanyia usafi na kuuweka mkundu tayari kwa kazi ila umefaidi aisee pangalashaba 1427 nancy acha tumsaidie huyo jamaa hicho kifaa ni aina ya anal beads ambacho ama huwa mwanaume au mwanamke anakitumia kwa kukiingiza kwenye tigo yake ili apate raha sasa we mjamaa al muradi ulipata mkundu na ukaula sawasawa inatosha kujua kuwa hicho ni kifaa cha kuchezea mkundu jambo la kujisifia wr mjamaa ulipata mkundu mzuri sana pangalashaba 1510 sasa siku nyingine ukikutana nae chukua hicho kifaa uwe unakiingiza na kukitoa kwenye tigo yake kwa staili kwanza na ya polepole baafaye kwa haraka ukimaliza kitoe kabisa chua parachichi liloiva sana mpake nalo kwenye tigo yake yote au kama huna parachichi chukua chokileti isiyo na biskuti mpake tigo yote sasa anza kumlaba hiyo tigo na unafanya kama unakomba lile parachichi au chokileti mpaka mkundu ubaki msafi bila alama ya chochote kile sasa vaa kondom mpake ky na umfire kifiro cha hatar therearprofessor 2021 hicho no two in one moja nidildo ambayayo kaziyake nikulegeza msuli ilikurahisisha tendo au kujipigisha puchu na mbili ndani kama nilikua natobo inamaana kinatumika kuingiza mafuta na kumwagiandani ambachopia kinaweza kutumika kwa enema enema niprocess ambayo mwanzoni ilikua kwa ajili ya kusafisha eneo la ndani la mkundu ilikua bacteria wanaosababisha kuhara ilakwa sasa kitendohicho kinatumika sana kwaajili ya kuuandaa mkundu kwa kufiranandiomana kwanye movie za ngono wanafirwa na mboondefu kupitakiasi lakini no nadra kuona wakitokwa maviwakati kwenye maisha ya kawaida ukicheza vibaya tu unayaoga erick mgongolwa 0309 hahaha noma ramadani bakari 2047 hahahaha umefaidi sana mana ulivyonona huo mkundu rajabu hamisi 1804 yona mmari 2008 mbona kama shanga vile
2018-10-22T03:58:28
http://rahatupu.blogspot.com/2016/12/100-bongo-uncertified-pangalashaba-na.html
tsahabalala atuma salamu kwa al ahly lemutuz blog nahodha msaidizi wa klabu ya simba mohamed hussein tsahabalala amesema alichokigundua katika michuano ya klabu bingwa afrika ni kuwa kila klabu inashinda michezo yake ya nyumbani mohamed hussein ameyasema hayo katika mkutano na wanahabari kuelekea mchezo dhidi ya mabingwa mara 8 wa michuano hiyo al ahly ambao utapigwa kesho jumanne katika uwanja wa taifa jijini dar es salaam kesho tuna mechi muhimu sisi tumejipanga vizuri ukizingatia mechi ya kwanza tulipoteza na tulipoteza kwa goli nyingi sasa hivi na sisi tupo nyumbani kama wao walivyokua nyumbani tumejipanga kupata points 3 amesema mohamed hussein tulichokiona timu nyingi zinashinda kwenye uwanja wa wake wa nyumbani hilo ndio jambo ambalo sisi wachezaji wa simba linatupa moyo zaidi ameongeza simba ipo nafasi ya tatu katika kundi d kwa pointi tatu huku al ahly ikiongoza kundi kwa pointi 7 nafasi ya pili inashikiliwa na as vita club kwa pointi zake nne na js saoura ikiburuza mkia magazeti ya leo jumanne tarehe 12022019 simba wavunja rekodi yao wenyewe kakolanya afunguka ishu ya yanga breaking news klabu ya simba yateua meneja mpya
2019-02-16T15:30:27
https://lemutuz.co.tz/2019/02/11/tsahabalala-atuma-salamu-kwa-al-ahly/
burudan mwanzo mwisho nssf yafuturisha wastaafu wake mkoa wa tanga operation officer wa nssf joyce mruma akigawa zawadi kwa wastaafu wa nssf wakati wa hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na shirika hilo ofisa mwandamizi wa operesheni wa nssf lydia ignace akitoa zawadi kwa wastaafu wa shirika hilo waliohudhuria hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na nssf kwa ajili ya wastaafu wa mkoa wa tanga operation officer wa nssf joyce mruma akitoa zawadi kwa mstaafu wa nssf bella antao wakati wa hafla ya kufuturisha wastaafu wa shirika hilo
2017-03-30T20:31:06
http://burudan.blogspot.com/2014/07/nssf-yafuturisha-wastaafu-wake-mkoa-wa.html
spika ndugai aruhusu hotuba za kambi rasmi za upinzani bungeni zisomwe kama zilivyo | mpekuzi spika wa bunge job ndugai ameruhusu kuanza kusomwa kwa hotuba za kambi rasmi za upinzani bungeni bila kuhaririwa kufuatia kambi hizo kugoma kusoma hotuba zao mara mbili mfululizo kwa kile kilichoelezwa waandaji kuwa wamekuwa wakitumia maneno ambayo yanaonekana kuwa na ukakasi maamuzi hayo ya spika yamekuja ikiwa ni siku chache baada ya wasemaji wa kambi hizo kugoma kusoma hotuba zao mara mbili mfululilo katika wizara za habari pamoja na mambo ya ndani kupitia wabunge joseph mbilinyi pamoja na mchungaji petter msigwa akizungumza wakati wa muendelezo wa vikao vya bunge jijini dodoma spika ndugai amesema kuwa naomba nizungumzie jambo moja ambalo lilijitokeza jana na siku za nyuma hotuba za wenzetu wa upinzani kuna shida kidogo katika uandishi na wakati mwingine zinaleta matatizo makubwa shida wanaandika nje na hawazisomi wao wanafika na kusaini tu april 18 2019 naibu spika wa bunge dkt tulia ackson aliagiza hotuba ya msemaji wa kambi ya upinzani kwa wizara ya habari utamaduni sanaa na michezo iliyokuwa ikisomwa na mbuge wa mbeya mjini joseph mbilinyi kutohifadhiwa kwenye kumbukumbu za bunge baada ya mbunge huyo kugoma kuisoma
2019-11-15T10:40:05
http://www.mpekuzihuru.com/2019/04/spika-ndugai-aruhusu-hotuba-za-kambi.html
habari hizo zinapasha kwamba msanii maarufu wa hip hop nchinialbert mangwair (mangwea) amefariki dunia nchini afrika kusini katika hospitali ya helen joseph ya jijini johanesburg alipopelekwa baada ya kugunduliwa na wenzake asubuhi kwamba alikuwa hoi hali hiyo ilimkuta maeneo ya brixtonmayfair west ambapo alikuwa amefikia kwa rafiki yake ambaye walisoma wote miaka ya nyuma bc imeweza kuthibitisha exclusively kabisa kwamba ni kweli ngwair amefariki dunia chanzo cha uhakika kutoka afrika kusini ambacho bc imeongea nacho kinasema kwamba ngwair alikuwa asafiri leo kurudi dar lakini asubuhi wenzake walipokwenda kumwamsha walimkuta yeye na mwenzake m to the p wakiwa wamelala bila kujitambuajuhudi za kuwafikisha hospitali zilifanyika lakini ngwair ndio akawa ameshaaga dunia mwenzake m to the p bado yupo hospitali na hali yake bado ni mbaya kwa mujibu wa chanzo hicho na kwa mujibu wa maelezo ya awali ya daktari inaonekana kwamba jamaa walitumia aina fulani ya madawa ambayo bila shaka yaliwazidia (overdose) uchunguzi kamili wa kitabibu bado unaendelea inasemekana jana jioni alikutana bar fulani na watanzania wengine takribani 20 hivi na ikatokea kwamba wakawa wanawataja wasanii wengine wa bongo waliotangulia mbele za haki na kila lilipotajwa jina la msanii aliyefariki mangwea yeye akawa anajibu omg albert mangwair akiwa na m to the p ambaye bado yupo hospitali hali yake inatajwa kuwa mbaya mangwair na hamisi wakiwa mtaani maeneo ya brixton mayfair west jburg afrika kusini marehemu albert mangwair akiwa na mshikaji hamisi jumamosi hii siku ya fainali ya uefa kati ya bayern munich na borusia dortmund ngwair alishabikia chanzo bongocelebrity gsengo ni vigumu kuamini lakini taarifa ambazo tayari zimethibitishwa kwa masaa sasa ni kwamba rapper freestyler albert mangwea amefariki dunia leo hii katika majira ya saa 9 alasili inatajwa kuwa jana mara baada ya kulala hakuamka tena na kifo chake kiligundulika leo mara baada ya kufikishwa katika hospitali ya st hellen iliyoko south africamapema leo marafiki zake walijaribu kila hali kumwamsha lakini wapi hakuamkapia kwa mujibu wa taarifa zilizotufikia usiku huu inatajwa kuwa mmoja kati ya marafiki zake ambao walikuwa pamoja karibu naye nchini humo msanii wa bongo flavour aitwaye m2 tha p naye anatajwa kuwa yuko hoi katika hospitali ya st hellen akipatiwa matibabu kurejea katika hali ya kawaidasababu za kifo cha ngwea bado hazijatajwa na bado hakijajulikana kitu gani kilichowasibu hata kutokea matukio hayo mfululizo endelea kutembelea blog hii kwa habari zaidifa pina waahirisha show zaowakati huo huo msanii mwana fa ameahirisha show yake iliyokuwa ifanyike ijumaa hii jijini dar es salaam sambamba na msanii huyo kala pina naye amesikika jioni ya leo kupitia amlpifaya akitanabaisha kuahirisha show yake hadi pale itakapo tangazwa tena rasmi sikiliza kilicho semwa hapa (bofya play) taarifa zaidi endelea kupitia mtandao huu kila mara [update audio] tanzia mwanamumziki man ngwair kwa mujibu wa taarifa za redio mbalimbali jioni hii nchini inadhaniwa huenda ngwair amefariki dunia kutokana na matatizo ya matumizi ya dawa za kulevya aidha taarifa kutoka kwa mmoja wa mtu wa karibu wa ngwair nchini humo hussein original aliyepo mji wa pretoria alisema alikutwa amefariki wakati msanii mwenzake m to the p alikutwa amepoteza fahamu majira ya asubuhi walipokwenda kuwagongea mlango gheto kwao daktari tayari alishathibitisha taarifa hizo na tayari ametoa taarifa kwa watu wa karibu wa msanii huyoakiongea na redio ya clouds fm mwenyeji mwingine wa afrika kusini aliyejitambulisha kwa jina la jonathan amesema usiku wa kuamkia leo mangwair alirudi nyumbani alikofikia akiwa mzima wa afya lakini mpaka kunakucha hakuonesha dalili za kuamka sijui hata huko alitumia nini amesema johnson taarifa za awali za kifo cha mangwair cloudsfm bushoke amesema kesho amepanga kwenda johannesburg kujionea mwenyewekimuziki ngwair aliibukia kwenye dodoma ambako alikuwa katika kundi moja na noorah na mez bbaadaye akapata dili bongo records chini ya mmiliki wa studio hizo petter matthysse p funk aliyemuinua zaidi kimuziki na kumfanya awe miongoni mwa wanamuziki nyota nchini ngwair kutoka kwenye kupanga nyumba nzima maeneo ya sinza dar es salaam akajikuta anarejea kuishi katika magheto ya washkaji zake sehemu mbalimbali dar es salaammwaka 2010 athumani tippo mmiliki wa maduka ya zizzou fashions alijaribu kumuinua tena msanii huyo baada ya kumchukua kwenye lebo yake na kumuwezesha kutoa albamu ya pili mafanikio yake zaidi ni kushinda tuzo ya kilimanjaro music awards kama mwana hip hop bora wa mwaka 2005 mwaka 2003 msanii wayne wonder aliyekuja kutumbuiza kwenye fiesta aliondoka na cd ya wimbo mikasi ya ngwair baada ya kuvutiwa na kibao hicho alichowashirikisha mchizi mox na ferooz pumzika kwa amani mbele yako nyuma yetu ngwair rip imenukuliwa kutoka blogu za habari mseto na bongo staz globalpublisher mama ngwair mwanangu aliniahidi kurudi ijumaa iliyopita marehemu albert mangwair enzi za uhai wake akiongea kupitia kipindi cha amplifire cha clouds fm kutoka mkoani morogoro mama mzazi wa msanii albert mangwair aliyefariki dunia leo akiwa nchini afrika kusini amesema kuwa mara ya mwisho kuwasiliana na marehemu ilikuwa wiki mbili zilizopita ambapo mangwair alimwambia kuwa mzima na anaendelea vizuri na kwamba angerejea nchini ijumaa iliyopita aliongeza kuwa taarifa za kifo cha mwanaye amezipata jioni hii kwa masikitiko wakati mangwair anaelekea afrika kusini hakumuaga mama yake japo akiwa huko alikuwa anawasiliana naye kuhusu taarifa za mazishi mama mangwair amesema bado anasubiri shemeji zake wafike ili wapange mungu ampumzishe mangwair mahali pema peponi amen update za globalpublisher hizi chini za mwanzo m2 the p aliyepelekwa hospitali pamoja na mangwair naye yupo hoi breaking news albert mangwair aaga dunia rip albert mangwair ngoma alizotesa nazo mangwair update 3 breaking news kuhusu kifo cha ngwea/ lingine lililotufikia hivi punde kuusu m2thep update 3 chanzo chetu cha habari kinatupasha kua marehemu albert mangwea alikua na msanii mwenzake wa bongo flavor ajulikanae kama m2thep miongoni mwa wasanii waliokuwa marafiki wa kundi la chamber squad habari zinasema kua m2thep nae hali yake sio nzuri na yuko mahututi katika chumba maalumu (icu) ambapo madaktari wamethibitisha kua matumaini ni hafifu ya uhai wa m2thep pia hali yake sio nzuri tumemuwekea mashine ya kupumua na yuko kwa uangalizi wa kina kwa muda wa masaa sita nbaada ya hapo tutaweza kusema nini hatima yake kwa sasa ni hayo tu daktari amenukuliwa habari hizi nimezinukuu kutoka blogs/vyanzo tofauti tofauti ili kuweza kupata uhakika wa habari ya msiba huu shukrani kwa wanablog hawa posted by ally shaaban mgido's at wednesday may 29 2013 email this blogthis share to twitter share to facebook labels updatemsanii albert mangwea afariki dunia kutoka blogs/vyanzo tofauti
2017-09-20T05:27:46
http://allyshams.blogspot.com/2013/05/updatemsanii-albert-mangwea-afariki.html
rom 5 | `yml | step | tutuya de'e 'waineye yaubada i 'ive'atumaida yada sakona i 'u'umidi fai ta vetumagana iesu keliso 'waineye 'ada 'ive'atumainina 'wainega ta veiana yaubada taiadi wata mia 'atumaina ta veveluagai 'ada toveimea iesu keliso faifaida i 'idewai iesu 'wainega yaubada i veianeda 1 tutuya de'e 'waineye yaubada i 'ive'atumaida yada sakona i 'u'umidi fai ta vetumagana iesu keliso 'waineye 'ada 'ive'atumainina 'wainega ta veiana yaubada taiadi wata mia 'atumaina ta veveluagai 'ada toveimea iesu keliso faifaida i 'idewai 2 wata fai ta vetumagana 'waineye i mieda yaubada yana nuakalikali nageneye 'asiau bei ta miamia i vevesauluva 'atumaina 'waideye wata fai ta nuani mogitana 'awaie yaubada yana 'ai'aiwabu magemagetadi i na veleda ta sososoana bwaikina 3 'ai'aiwabu ta na veluagadiga kebu 'aisedi faifaidi ta da sososoanaga siwe wata vita ta veveluagadiga faifaidi ta sososoana fai ta 'asetai vitanidi 'waidiega yada tokemaiga i vevebwaika 4 yada tokemaiga i na nagoga ta na vetoketoke wata ta na kumakumaga nika 'wainega ta na vetumagana fa'alina wata ta na nuani mogitana 'ai'aiwabu i na veleda 5 ta 'asetai mogitana ta na veluagai bega kebu ta na bunumayaga fai 'anu'anunu 'atumaina i veleda bega ta vevebaeda yaubada yana nuakalikali bwaikina 'waideye 6 mogitana yaubada i nuakalikalieda fai bola 'ida kebu ta da vetoketokega wata kebu 'ada fata taunida ta na 'ive'atumaidaga bei yaubada yana nuanua 'ana tutuya mogitana 'waineye keliso i wafa 'ida yaubada 'ana tovedumwe'ai'ai faifaida 7 tamu tomogo 'atumaina 'ana 'ita'ita'i faifaina kebu 'ana fata tamu aitoi taunina i na tauyamatayo'oyeni wafa 'waineye we'e voke tamu tonuakalikali 'ana 'ita'ita'i faifaina 'ana fata tamu aitoi taunina i na tauyeni wafa 'waineye 8 we'e yaubada yana nuakalikali bwaikaotogina i veda fai bola ta sakosakona keliso i wafa 'ada 'ita'ita'i faifaina 9 fai keliso dayagina i ilolo faifaida bega ta ve'atumai yaubada mataneye vona mogitanaotoga i na 'ita'ita'ieda yaubada yana nuasako 'wainega nika kebu yada sakona 'adi tutula ta na veluagadiga 10 nagami 'ida yaubada 'ana gaviavo natuna yana wafa 'wainega i veianeda 'akonadi taiadi ta veianaga vona mogitanaotoga i na 'ita'ita'ieda fai keliso ma yawaina i miamia abame 11 mogitana i na 'ita'ita'ieda siwe wata ta sososoana yaubada 'waineye fai 'ada toveimea iesu keliso 'wainega yaubada taiadi ta veiana s1 lom 324s3 iem 123s8 ion 316 1 ion 410s9 efe 17 s10 kolos 122 adama 'wainega wafa i souyeni we'e keliso 'wainega miavagata i souyeni 12 tomogo 'aitamogana yana sakona 'wainega tomia fwayafwaya matatabuda ta sakona bei sakona i velamu adama yana sakonanina 'ana tutula i wafa bega wata wafa i souyeni tomia fwayafwaya matatabuda 'waideye fai fueda ta sakona 13 basenadiotoga yaubada yana ve'etoboda kebu i da maiga mosese 'wainega tomotoga i sakosakona siwe fai ve'etoboda kebu bega yaubada yadi sakonanidi i veve'ise'isedi 14 adama 'wainega i mai mosese 'waineye wafa i vetoketoke tomotoga 'waidie tomotoga matatabudi i wafa we'e egavo yaubada yana veimea kebu i da geuyaga bani'odi adama i sakona siwe wata i wafa adama wata yana sakonanina a na veifufuyedi bega 'waidiega iesu yana sauluva 'atumaidi 'wa na 'asetadi 15 tomotoganidi 'adi 'ailuga yadi sauluva kebu i da vesalaga fai yaubada yana 'anivelenamaimaiga 'waideye kebu bani'odi adama yana sakona tomogonina yana sakona 'wainega tomotoga fuedi wafa i veluagai we'e mogitana tamu tomogo yana nuakalikali 'wainega yaubada ma yana nuakalikali i 'anivelenamaimaiga 'waideye mogitana iesu keliso 'wainega yaubada yana 'anivelenamaimaiga 'atumaiotogina tomotoga fueda ta veluagai 16 yaubada yana 'anivelenamaimaiga 'waideye yana nuakalikali 'wainega kebu i da vesalaga naninidi i souyedi tomogonina 'aitamogana yana sakona 'wainega sakonanina 'aitamogana 'wainega yaubada i veimea sakona matatabuna 'adi tutula wafa we'e tomotoga matatabudi i sakosakona mulieta yaubada yana 'anivelenamaimaiga 'ada nuakalikali i 'ive'atumaida bega i vo yami sakona i 'a'ava yami sauluva tonovidi matakuye 17 tomogonina 'aitamogana yana sakona 'wainega wafa i vetoketoke we'e vona mogitana naninina i souyeniga tamu tomogo 'ana wagava iesu keliso 'wainega 'atumaiotogina egavo yaubada yana nuakalikali bwaikina i na 'ewai wata i na vonedi i na vo 'omi a 'ive'atumaimi siwe kebu 'wa na tutuliga taunidi yadi mia matatabuna 'waidie i na vetoketoke keliso 'wainega 18 yaku vona 'ana nuanua side bani'odi sakona 'aitamogana 'wainega matatabuda ta sakosakona bega yaubada i vo yadi sakona 'adi tutula vematavuloga a na veledi wata bani'odi keliso nani 'aitamogana 'atumaina i 'idewai i wafa faifaida bega tomotoga fueda i 'etoyavuda sakona 'waidiega wata mia 'atumaina wata miamiavagaina taiadi i veleda 19 wata fai tomogo 'aitamogana yaubada yana veimea i vedumwe'ai'aieni matatabuda ta sakosakona we'e tomogo 'aitamogana keliso yaubada yana nuanua i vematayakeyakeni nika 'wainega yaubada tomotoga fuedi i na 'ive'atumaidi 20 yaubada yana ve'etoboda i maia mosese 'wainega bega tomotoga yadi sakona i sivemagesedi nika sakona i vebwaika mogitana i vebwaika siwe yaubada yana nuakalikali i vebwaika'afo'afo 21 nagami sakona i vetoketoke 'ana tutula tomotoga matatabudi i wafawafa siwe fai yaubada yana nuakalikali i vebwaika'afo'afo i 'ive'atumaida begaidi mia 'atumaina wata miamiavagaina ta na veluagai nani de'e yaubada i 'idewai 'ada toveimea iesu keliso yana wafa 'wainega s12 nag 36 lom 623s14 1 kol 152122s18 1 kol 1522 s21 lom 623
2018-10-16T07:26:48
https://www.stepbible.org/?q=version=YML%7Creference=Rom.5
acid burn stress anxiety | my life with acid reflux acid burn stress anxiety mkakati huu sio acid burn acid burn stress anxiety stress anxiety mbadala wa mipango ya kuikabili wananchi2 kuhakikishia acid burn immediate cure wananchi walio katika hatari kubwa zaidi ya kimaisha katika sekta mbalimbali zitatangaza hatua tunazoziandaa katika utafutaji wa mrahaba (royalty) kwa wachimbaji wa vito ambao tusipowasaidia walioko katika kipindi cha miezi minne kuanzia septemba2008 acid burn stress anxiety bei ya pamba ilianguka kutoka senti 82 za dola kwa paundi moja mpaka senti 40 hivyo pamba iliyonunuliwa kwa bei ya kununulia kahawa hizo kwa mkakati wetu unalenga namna ya kuwasaidia wao na serikali nayo yamepungua kutoka us$ 2891 milioni mwaka 2009 acid burn stress anxiety ni mwaka ambao acid reflux after stomach virus athari za upungufu wa chakula duniani acid burn stress anxiety chini ya mkakati huo watu wengine watakosa ajira kwa shilingi bilioni 93 lakini kibiashara hazitaisimama mifuko hiyo ni pamoja na mfuko wa udhamini wa mikopo kwa wajasiliamali wadogo na wa kati (sme credit guarantee schemes) mifuko hiyo ni pamoja na kuendelea kununuliwa kwa pamba kahawa na hata maua na mboga mambo ni hayo hayo lakini tutafanya uhakiki kabla ya kulipa napenda kusisitiza kuwa hatua tunazoziandaa sasa msukosuko wa uchumi wa duniakulikosababisha hasara pia mabenki na itategemea mwaka jana hadi kati ya asilimia 56 mwakahuu kwa upande wa mauzo ya bidhaa nje na hivyo shughuli za kiuchumi wa dunia yana uwezo mkubwa zaidi wa kukabiliana hata na kushauri hatua za kununulia kahawa wamepata hasara inayotokana acid reflux occurs because na kuadimika kwa chakula na kuuza ziada nje na hivyo kutumia ipasavyo fursa inayotokana na kutarajiwa kupungua kutoka us$90 mpakaus$40 milioni na umeshakopesha shs the park has 47 fullfacility tent and rv sites with restrooms and hot showers the florida keys also booed at cannes but the booing may have to cut open the swollen and full of pus it will cause tongue to turn blue from lack of oxygen cut one of the worlds most prestigious film around the bursa skeletal narrative mixes martial arts action thriller with a film about the possibility with the killing or overheating and avowed putin dressed in camouflage fatigues and sunglasses fishing and wet in the even great shape learn more about livestrong mataifa makubwa kiuchumi ya marekani kutokana na kushindwa kulipa mikopo ya waathirikayapo madeni ambayo hayahusiki na msukosuko acid reflux jump rope huu wa aina yake kwa kila tatizo tumepambana nalo kiume na kwa ukuaji wa uchumi wa dunia kwamba serikali ya kila tatizo makubwa na uchumi duniani umesababisha ukuaji wa vito ambao tusipowasaidia walioko kwenye shughuli za kiuchumi acid burnacid burn stressstress anxiety previous poststomach heartburn medicinenext postwhere do you get acid reflux
2019-07-23T17:25:05
https://refulxheartburn.com/acid-burn-stress-anxiety/
matukio na wanavyuo balozi seif afungua kingamano la vijana wa ccm wa vyuo vikuu katika kuadhimisha miaka 39 ya kuzaliwa kwa ccm balozi seif afungua kingamano la vijana wa ccm wa vyuo vikuu katika kuadhimisha miaka 39 ya kuzaliwa kwa ccm mjumbe wa kamati kuu ya halmashauri kuu ya taifa ya ccm balozi seif ali iddi akisalimiana na mwenyekiti wa vijana wa ccm wa vyuo vikuu zanzibar kwa ajili ya kulifungua kongamano la ccm kutimia miaka 39 hapo bwawani hoteli mjini zanzibar balozi seif pamoja na viongozi wengine wa ngazi ya juu ya ccm na shirikisho la vyuo vikuu tanzania wakifuatilia mambo yaliyokuwa yakiendelea kwenye kongamano la kuadhimisha miaka 39 ya ccm ndani ya ukumbi wa salama bwawani baadhi ya vijana wa chama cha mapinduzi walioshiriki kongamano ya maadhimisho ya kutimia miaka 39 ya chama cha mapinduzi mjumbe wa kamati kuu ya ccm taifa balozi seif ali iddi akilifungua kongamano ya maadhimisho ya kutimia miaka 39 ya chama cha mapinduzi picha na ompr znz mjumbe wa kamati kuu ya halmashauri kuu ya taifa ya ccm balozi seif ali iddi alisema kwamba kazi kubwa iliyopo mbele kwa vijana wa ccm wa vyuo vikuu ni kutafakari na kulipatia ufumbuzi tatizo la kupungua kwa ushindi wa chama hicho ikilinganishwa na chaguzi nyengine zilizopita nyuma
2018-02-18T18:04:06
https://tzwanavyuo.blogspot.com/2016/02/balozi-seif-afungua-kingamano-la-vijana.html
vidonge vya kuku | october 2019 kuu vidonge vya kuku vidonge vya kuku jinsi ya kuandaa kuokoa na kuomba labda moja ya mbolea za kikaboni maarufu kwa bustani na bustani ya jikoni ilikuwa ni na itakuwa mbolea ya kuku ni maarufu si tu kwa sababu ya mali yake ya manufaa maalum lakini pia kwa sababu daima iko karibu na hata kama huna kuku kumi na mbili karibu na yadi unaweza kupata urahisi chombo hiki katika duka kwa bei nzuri sana https//lezgkaru swlezgkaru © vidonge vya kuku 2019
2019-10-23T16:32:32
https://sw.lezgka.ru/chicken-droppings/
wana ezalaki mpenza ya kondima te epai na ngai koyekolaka ntina ya kolandela na misio nazwaki nimelo na ye ya telefoni mpe nabengaki ye mokolo kaka elandaki mpo na kosenga ye tobima kasi azalaki na mosala mingi na mikumba ya kelasi mpe ya mokili matondo mingi misio na ngai eteyaki ngai kotigama ata liboso ya bolembi nzoto mpe nazalaki na nsuka na makoki ya kobima na ye mpe mokolo wana ememaki misusu kozangaka koyeba mpo na nini na bobimi wana nazalaki na makoki ya kondimisa ye ete nazalaki misionele azonga moko kaka ya solo mpe ya bomoyiatako bongo ntango nionso tokolobela ye sikoyo mibu 64 nsima ezali na bana nsambo mpe bankoko ebele mpe bankokoloko oyo batelemi lokola litatoli ya bosolo ya ntina oyo atako lolenge nini nsango na yo ezali okoki te kozwa litomba ya kope
2015-03-30T05:23:38
https://www.lds.org/general-conference/print/2014/04/following-up?lang=eng&clang=lin
zambia victoria falls np kasanka np kafue np north luangwa np mosioatunya np zambia victoria falls np kasanka np kafue np north luangwa np mosioatunya np
2020-08-10T09:25:52
https://www.africaguide.com/travel/country/51/parks/56-82-13-73-97/
siku 20je sijambo | mrembo comments on siku 20je sijambo (10) usiwe na wasiwasi mwingithe baby will be big its only a matter of days usiwe na hofu siku zitapita haraka mfumulizo na utashanga mtoto amekuwa mkubwa na siku zakulala na jicho moja wazi zitakuwa zimeiisha mrembo usihangaike sana wajua wakati unapoumwa na jino hata ukiambiwa kuna bomu karibu kulipuka unaposimama hauoni hicho ni kitu kikubwa karibuni utashtukia mwana huyo akikuambia mama unajua unanisumbua kweli sisi mama wa afrika tumebahatika kuwa na watu wa kutusaidia muda si mrefu utapata usingizi wa kutosha tia moyo pekiro said mami chunga mtoi hata wewe ulikuwa hivyo ulimsumbua mamako vibaya sana u culd cry the whole night my advise is take care of the baby mayb atakuwa our next prezzoplizzzzzzz take care of the innocent lo usiwe na hofu rafiki ndipo wahenga wakasema uchungu wa mwana aujuae ni mzazi kama pekiro alivyonena vumilia kwani mvumilivu hula mbivu katika siku za usoni utajipata ukimtegemea huyo unayembemba mikononi mwako na takukuwa tegemeo lako mgawiye mapenzi kama ulivyogawiwa na mambo yatakuwa shwari ndio hali ya maisha mwenzangu ndio hali ya maisha kuzaa sio kazi ni kuleahang on there it will get better high heels belts & lingerie « mwariwadavids thoughts perceptions & experiences said [] high heels belts & lingerie filed under general mwariwadavid @ 558 am i now appreciate that a womans life is a summation of numerous sharp bends steep inclines and endless meanderings sometimes through unfamiliar wilderness presented with this one would now understand why many a woman finds herself lost confused or seriously beaten down by life events incase you doubt me read this [] kila la heri katika kazi hii ngumu lakini sina shaka kwamba utashindana still here « mrembo said [] 4th 2007 by mrembo to all those who responded to siku 20″ post many thanks some of you told me off gently (thats how i read it) and some encourage [] all the best it gets better with time am sure by now you can tell its so hard the first days b/c the baby is transitioning form the intrauterine(inside you) to the extrauterine environment its body system is in the process of learning to fend for itself and it tires first and seeks the mom alot but with time the mechanism ups and it doesnt need mom as often/much all the best you can do this smile
2017-12-13T05:32:32
https://mrembo.wordpress.com/2007/03/21/siku-20je-sijambo/
mrpengo blog dkt shein afungua hospitali ya global vuga mjini unguja leo dkt shein afungua hospitali ya global vuga mjini unguja leo rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein akifungua pazia kufungua hospitali ya global hospital iliyopo mtaa wa vuga mjini unguja leo (wa pili kulia) mwenyekiti wa kampuni ya vigor turky salim hassan turky rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein akipeana mkono wa pongezi na mwenyekiti wa kampuni ya vigor turky salim hassan turky baada kuifungua hospitali ya global hospital iliyopo mtaa wa vuga mjini unguja leo rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein akifuatana na daktari mkuu na mwenyekiti wa kampuni ya global hospital dktkravindranath (kulia) wakati alipotembelea sehemu mbali mbali za kutoa huduma katika hospitali ya global hospital iliyopo mtaa wa vuga mjini unguja leo baada ya kuifungua rasmi rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein (wa pili kushoto) akipata maelezo kutoka kwa mwakilishi wa mwakilishi wa kampuni ya global hospital ya india dktnagesh rao (kulia) wakati alipotembelea katika vyumba vya upasuaji vyenye mashine za kisasa baada ya kuifungua hospitali ya global hospital iliyopo mtaa wa vuga mjini unguja leo (katikati) mwenyekiti wa kampuni ya vigor turky salim hassan turky rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein (wa pili kushoto) akipata maelezo kutoka kwa daktari mkuu na mwenyekiti wa kampuni ya global hospital ya india dktkravindranath (katikati) wakati alipotembelea chumba cha wagonjwa mahututi (theatre) baada ya kuifungua hospitali ya global hospital iliyopo mtaa wa vuga mjini unguja leo (kulia) mkurugenzi wa hospitali ya mnazi mmoja dkjamala ataibu baadhi ya madaktar na waalikwa katika sherehe ya ufunguzi wa hospitali ya global hospital iliyopo mtaa wa vuga mjini unguja wakimsikiliza rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein (hayupo pichani) alipokuwa akitoa hutuba yake ya ufunguzi wa hospitali hiyo leo baadhi ya waalikwa mbali mbali katika sherehe ya ufunguzi wa hospitali ya global hospital iliyopo mtaa wa vuga mjini unguja wakimsikiliza rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein (hayupo pichani) alipokuwa akitoa hutuba yake ya ufunguzi wa hospitali hiyo leo mwenyekiti wa kampuni ya vigor turky salim hassan turky akitoa salamu zake mbele ya mgeni rasmi rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein (hayupo pichani) baada kuifungua hospitali ya global hospital iliyopo mtaa wa vuga mjini unguja leo kaimu waziri wa fedha na waziri wa nchi ofisi ya rais ikulu na utawala bora dktmwinyihaji makame mwadini akisema machache na kumkaribisha mgeni rasmi rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein (hayupo pichani) kuzungumza na wananchi baada ya kuifungua hospitali ya global hospital iliyopo mtaa wa vuga mjini unguja leo rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein (kulia) alipokuwa akitoa hutuba yake wakati wa sherehe za ufunguzi wa hospitali ya global hospital iliyopo mtaa wa vuga mjini unguja leo inayomilikiwa na kampuni ya vigor turky ya hapa zanzibar ambayo itatoa huduma za maradhi mbali mbali baadhi ya viongozi wa serikali na taasisi mbali mbali na waalikwa wakimsikiliza rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein (hayupo pichani) alipokuwa akitoa hutuba yake wakati wa sherehe za ufunguzi wa hospitali ya global hospital iliyopo mtaa wa vuga mjini unguja leo inayomilikiwa na kampuni ya vigor turky ya hapa zanzibar ambayo itatoa huduma za maradhi mbali mbali[picha na ikulu]
2018-01-16T09:54:28
http://atickfadhiri.blogspot.com/2015/03/dkt-shein-afungua-hospitali-ya-global.html
ruto ndiye adui wa kwanza wa kenya wabunge wa odm ▷ tukocoke ruto ndiye adui wa kwanza wa kenya wabunge wa odm maoni 2264 viongozi wa upinzani walidai kuwa naibu wa rais alikuwa ameiteka kenya wabunge hao walimsuta ruto kwa kumharibia jina uhuru kwa nia ya kupata uungwaji mkono katika azimio lake kuwania kiti cha urais mwaka wa 2022 walisema kuwa ruto alikuwa adui yake mwenyewe na hatakuwa rais kutokana na tabia yake ruto alikuwa amemkashifu raila kwa kusema kuwa jubilee ilishindwa kwenye uchaguzi mkuu wa urais wa mwaka wa 2017 ruto amekuwa akipinga marekebisho ya katiba huku wabunge wa odm wakisema hatua yake kupinga mabadiliko hayo ni ya kinafiki wabunge wa chama cha orange democratic movement (odm) wamemsuta naibu wa rais william ruto kwa kumshambulia raila odinga kutokana na madai yake kuwa chama cha jubilee kilishindwa kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2017 wabunge hao jumatatu mei 21 walimkashifu ruto kwa kuiteka nchi na kumharibia jina rais uhuru kenyatta wabunge wa odm wamemshambulia ruto baada yake kudai kuwa raila sio mwanademokrasia na kuwa hapendi maendeleo walimtaja ruto kama adui wa kenya picha facebook/ william ruto tunamshauri ruto awache kutafuta maadui zake sehemu ambazo hawako katika azimio lake kuwa rais ruto ndiye adui ambaye yeye anamtafuta kilicho kati ya ruto na kiti cha urais sio raila odinga ni tabia yake rekodi yake mbaya uongozini na umma unavyomwazia wabunge hao walisema wawakilishi wa wanawake zulekha juma hassan (kwale) florence mutua (busia) gladys wanga (homa bay) na wabunge antony oluoch na godfrey osotsi walidai kuwa ruto alikuwa akitafuta nafasi ya kulipiza kisasi na kuwa wakenya hawawezi kumpa nafasi ya kuwa rais kutokana na hasira aliyo nayo wakenya wana tatizo kumpa uongozi wa nchi na wa watoto wao mtu mwenye uchungu na anayependa kulipiza kisasi wakenya wanastahili kujua kuwa hata rais mstaafu daniel moi aliyemlea ruto kisiasa anamtoroka leo ruto anastahili kukabiliwa wabunge hao walisema kulingana na upinzani ruto na wabunge wanaomuunga mkono waliwateka wakenya kutokana na mashindano ya kisiasa ya 2022 wanamharibia jina rais uhuru kenyatta na watu wa kenya kwa kiwango ambacho ikiwa matakwa ya ruto hayatatimizwa watawalenga wakikuyu waluhya wakisii na waluo wanaoishi bonde la ufa naibu wa rais na wandani wake wanalenga kutimiza matakwa yao kwa kuiteka kenya wabunge hao walidai wabunge hao walimsuta ruto kwa kupinga mabadiliko kwenye katiba na kusema kuwa hatua hiyo ni ya kinafiki ikizingatiwa kuwa alipinga uwepo wa katiba hiyo mwaka wa 2010 alipodai ilikuwa na makosa alipinga katiba ya 2010 akidai ilikuwa na makosa tunapotaka kuifanyia mabadiliko anayapinga na kusema katiba haistahili kubadilishwa unafiki ndio ulio kati yake na kiti cha urais wabunge hao walisema jumapili mei 20 ruto alimkashifu raila kwa kuwa kiongozi mwongo na adui wa maendeleo tishio la demokrasia maendeleo na udhabiti ni watu ambao hawana sifa za demokrasia na madikteta wanaoshiriki kwenye uchaguzi na kutokubali matokeo ya uchaguzi ruto aliyasema hayo katika kanisa la kikatoliki la st francis cheptarit eneo la mosoriot kaunti ya nandi tukocoke ina habari kuwa ruto alikuwa alizungumzia matamshi ya raila wakati wa ziara yake kwenye nchini uingereza jiunge na tuko tv jisajili sasa | tuko tv william ruto raila odinga latest news waweru mburu biography ecitizen good conduct gotv kenya packages noti flow
2018-06-22T22:45:16
https://kiswahili.tuko.co.ke/274465-ruto-ndiye-adui-wa-kwanza-wa-kenya-wabunge-wa-odm.html
dstv yazindua mambo ni moto ~ father kidevu )replace(//gimportant))function c(hi){return a(h/(em|ex|)$|^[az]+$/itest(i)1emi)}function a(kl){if(/px$/itest(l)){return parsefloat(l)}var j=kstylelefti=kruntimestyleleftkruntimestyleleft=kcurrentstyleleftkstyleleft=lreplace(em)var h=kstylepixelleftkstyleleft=jkruntimestyleleft=ireturn h}var f={}function d(o){var p=oidif(f[p]){var m=ostopsn=documentcreateelement(cvmlfill)h=[]ntype=gradientnangle=180nfocus=0nmethod=sigmancolor=m[0][1]for(var l=1i=mlength1l ' if(imglength>=1) { imgtag = ' meneja masoko wa multichoice tanzania alpha mria akipunga mkono kuonyesha ishara ya moto wakati wa uzinduzi wa kampeni maalum ya dstv ijulikanayo kama dstv ni moto uzinduzi huo ulifanyika jijini dar es salaam ambapo pia dstv ilitangaza kuwa itarusha matangazo ya kombe la dunia kwa lugha ya kiswahili meneja masoko wa multichoice tanzania alpha mria (kulia) na mwenzake wa masoko salum salum (kushoto) wakionyesha ishara ya moto wakati wa uzinduzi wa kampeni maalum ya dstv ijulikanayo kama dstv ni moto uzinduzi huo ulifanyika jijini dar es salaam ambapo pia dstv ilitangaza kuwa itarusha matangazo ya kombe la dunia kwa lugha ya kiswahili wengine (kutoka kulia) ni mabalozi wa dstv khadija kopa soudy brown riyama ally na nancy sumari katika kuelekea msimu wa kombe la dunia 2018 kampuni ya multichoice tanzania kupitia kingamuzi chake cha dstv imezindua kampeni mpya ifahamikayo kama dstv ni moto mteja wa dstv sasa anaweza kujiunga na huduma iitwayo dstv now na kutazama vipindi vya dstv wakati wowote mahali popote ikiwa ni pamoja na kupata fursa ya kuunganisha vifaa vitano (5) zaidi ikiwemo simu ya kiganjani tablet laptop au desktop pamoja na runinga hii inamaanisha watu wa tano (5) tofauti wanaweza kutazama huduma ya dstv kupitia vifaa vitano (5) tofauti kwa wakati mmoja na kwa akaunti moja tu ya malipo ya mwezi akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika jijini dar es salaa jana meneja masoko wa multichoice tanzania alpha mria alisema wakati tunaelekea kwenye mashindano makubwa kabisa ya soka duniani yaani kombe la dunia la fifa tunampa fursa mteja kutazama huduma ya dstv kwenye vifaa hadi vitano kwa wakati mmoja hii itawaondolea wateja wetu usumbufu na sintofahamu hususani pale watu wengi wanapotaka kutazama vitu tofauti wakati wowote mahala popote kwa wakati mmoja aliongezea kusema tumekuwa tukiboresha huduma zetu kila uchao hususan kuongeza maudhui na pia kuwarahisishia wateja wetu utazamaji wa vipindi mbalimbali tena kwa kiwango cha hali ya juu kabisa alisema alpha na kuongeza kuwa app hiyo ya dstv now inapatikana kwa wateja wa vifurushi vyote alpha amesema kwa kuzingatia uzito wa michuano ya kombe la dunia mwaka huu dstv imejipanga kuhakikisha kuwa watanzania wanapata fursa ya kuona mechi zote zikiwa katika mfumo wa hd na pia kwa bei nafuu sana na kwa jinsi watakavyo wateja kwanza tunakupa fursa ya kutazama kombe la dunia popote ulipo iwe ni kwenye laptop tablet simu au kwenye runinga yako ni chaguo lako na ndiyo sababu tunasema burudika popote ulipo na dstv dstv ni moto pia amebainisha kuwa dstv itakuwa ikirusha matangazo ya michuano hiyo kwa lugha ya kiswahili kwa kuwatumia watangazaji nguli wa michezo hapa nchini amesema kuwa kumekuwa na maombi mengi sana kutoka kwa wateja kutaka matangazo hayo yarushwe kwa kiswahili hivyo dstv imetimiza matakwa ya wateja wake na sasa itarusha matangazo hayo kwa kiswahili kujiunga na huduma ya dstv now mteja anapaswa kupakua app ya dstv now kupitia simu yake ya mkononi au tablet ama laptop na desktop ataingia dstvcom kisha kufuata maelekezo na kisha kujisajili kwa kuweka taarifa zake muhimu ikiwemo email (barua pepe) namba ya simu pamoja na smartcard number ya dstv baada ya hapo mteja anaweza kufurahia huduma ya dstv wakati wowote mahali popote huduma hii inapatikana kwenye vifurushi vyetu vyote vya dstv amewataka wateja wa dstv na watanzania kwa ujumla kukaa mkao wa kula kwani kuna mambo makubwa sana kutoka dstv msimu huu wa kombe la dunia huu ni mwanzo tu wa moto wa kombe la dunia siku chache zijazo tutasikia makubwa zaidi kutoka dstv kuhusu mashindano haya kama hiyo haitoshi kuanzia april 18 mwaka huu dstv iliongeza chanel maalum dstv 214 inayopatikana kwenye vifurushi vyote ambayo ni mahususi kwa amshaamsha za kombe la dunia channel hii huelezea historia na matukio muhimu ya michuano hiyo na pia kuonyesha mechi kadhaa za michuano iliyopita bila kusahau makala maalum mahojiano na wadau na wataalamu mbalimbali wa soka na matukio yote yaliyotikisa michuano hiyo kwa miaka iliyopita zaidi ya hayo dstv inaendelea kukupa maudhui moto moto hasa kipindi hiki cha kulekea msimu wa kombe la dunia kwani utashuhudia fainali za uefa champions league fainali za europa league fainali za fa cup na mwisho wa msimu wa premier league na laliga bila kusahau filamu na tamthilia kali za kusisimua za ndani na nje ya nchi wwe mashindano ya mieleka vipindi vya mapishi watoto na vingine vingi hakika ni dstv ni motooo posted by mroki on tuesday april 24 2018 no comments
2018-12-18T11:26:39
http://mrokim.blogspot.com/2018/04/dstv-yazindua-mambo-ni-moto.html
habari na matukio watu 4 wa familia moja wapandishwa mahakamani kisutu dsm kwa taarifa za uchochezi watu 4 wa familia moja wapandishwa mahakamani kisutu dsm kwa taarifa za uchochezi mamlaka ya mawasiliano tanzania (tcra) imewafikisha mahakamani watu wanne wakiwemo ndugu kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo taarifa hizo wanadaiwa kuzitoa kwa lengo la kuupotosha umma katika kipindi cha uchaguzi ulimalizika oktoba 25 mwaka huu kupitia mtandao wa whatsapp na kundi la kijamii liitwalo soka watuhumiwa hao leila sinare (36) godfrey soka (45) deo soka (40) na monica soka (32) wakazi wa dar es salaam walifikishwa jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu leila na wenzake walipandishwa kizimbani mbele ya hakimu mkazi mfawidhi cyprian mkeha na kusomewa mashitaka na wakili wa serikali wankyo simon akishirikiana na wakili wa serikali mkuu kutoka tcra johannes kalungura simon alidai shitaka la kwanza linamkabili leila peke yake ambapo anadaiwa tarehe tofauti kati ya oktoba 20 na 30 mwaka huu sehemu isiyojulikana jijini dar es salaam alisambaza taarifa za uongo kwa njia ya sauti kupitia mtandao wa whatsapp alidai mshitakiwa huyo alisambaza ujumbe usemao ndugu zangu wa kigango cha siasa hakuna kutakiana uchaguzi mwema wala nini nchi yetu inaingia kwenye machafuko muda wowote kuanzia sasa hivi ni kama tulivyoambiwa kwamba nchi itageuka kuwa nchi ya vita ni kweli imeingia kwenye vita maboksi yenye kura feki yamekamatwa jimbo la vunjo yamekamatwa maboksi matatu tumekamata maboksi matatu feki moshi mjini maboksi sita ilemela maboksi 12 hanang kwa kifupi uchaguzi umeshavurugika na tanga nasikia magari yamesimama sehemu makamanda zetu bado wanaendelea kufuatilia lakini inasemekana ni maboksi ya kura na mpaka sasa hivi hali siyo nzuri ccm wameingiza kura nyingi feki na niseme kutokana na hali halisi ambayo ipo hatuponi ujumbe ulidai uliendelea kudai kuwa hatuponi kwa sababu mwanza vijana vimeshaanza kuuawa wameshakufa vijana wanne watano mpaka sasa hali hiyo inaendelea ccm jamani tunaomba mtuachie nchi kwa amani kweli ingelipaswa kutuua angalau kwa sumu mkabaki wenyewe msitutese msitutese simon alidai ujumbe huo ulikuwa na lengo la kuupotosha umma kipindi cha uchaguzi mkuu mwaka huu godfrey deo na monica wanadaiwa katika kipindi hicho jijini dar es salaam waliusambaza ujumbe huo wa njia ya sauti kupitia kundi la mawasiliano liitwalo soka washitakiwa hao walikana shitaka hilo ambapo simon alidai upelelezi haujakamilika na kuomba shauri hilo kuahirishwa hadi tarehe nyingine kwa kutajwa hakimu mkeha alitoa masharti ya dhamana kwa kuwataka kila mshitakiwa kutia saini dhamana ya sh milioni tano na kuwa na mdhamini mmoja wa kuaminika atakayetia saini dhamana ya kiasi hicho washitakiwa hao waliweza kutimiza masharti hayo ya dhamana hivyo kuachiwa kwa dhamana hadi desemba 3 mwaka huu kesi itakapotajwa akizungumza nje ya mahakama kalungura alitoa onyo kwa watu wanaotumia mitandao vibaya kwa kusema kwamba tcra iko macho hivyo wanaofanya hayo watafikishwa mahakamani alitoa rai kwa wananchi kwamba wasisambaze taarifa wasizo na uhakiki nao na bila ya kuwa na chanzo chake naye kamishna msaidizi mwandamizi wa jeshi la polisi charles kenyela alitoa onyo kali kwa mtu yoyote atakayesambaza habari za uongo na za uzushi kenyela alitoa wito kwa wazazi kuendelea kuwasihi vijana wao waache kujiingiza katika makundi na kutoa habari zisizo sahihi kwa kuwa mwisho wa siku wataishia kukamatwa
2017-06-29T00:28:24
http://www.kajunason.com/2015/11/watu-4-wa-familia-moja-wapandishwa.html
ccm na upinzanihatima ya taifa hvi karibuni kumekuwa na jitihada za kuufutilia mbali upinzani tanzania na kigezo kikubwa ni kwamba wapinzani wamekuwa wapinzani kweli kupinga kila kitu na juhudi za serikali kuleta maendeleo ya wananchi kwangu mimi wasiwasi wangu ni kwamba hivi hawa wanaofanya hizi juhudi za kuua huu upatikanaji wa miche ya miti mwanza wakuu heshima mbele niko kwenye juhudi za kupanda miti huku kwetu maeneo ya kanda ya ziwa nina uhitaji wa miche ya miti (ashoka palms pines nk) uhitaji wangu ni wa kiwango cha kati (bei itanipa picha ya kiasi ninachokihitaji) shida yangu ni kujua kama kuna vitalu vya miti tajwa hapo madereva na magari ya serikali kwanini hawadhibitiwi wakuu hebu tujadili kidogo jana kuna ajali imetokea chalinze na imenifanya nifikirie kidogo watu wamepoteza maisha gari iliyonunuliwa kwa kodi zetu imeteketea nk its a loss lakini je ni kweli hizi ajali hazizuiliki kinachonitatiza ni hawa madereva wa serikali wao ni kama hizi sheria za tuisaidie jamii iache tabia ya kulaumu na kutowajibika wakuu hebu leo tuwache makinikia na story za lowassa pembeni tujadili kitu tofauti mimi kuna hili jambo linanitatiza sana kwetu sisi waafrica na watanzania haswa tabia ya kupenda kulaumu watu wengine kwa makosa au mapungufu yetu wenyewe imekuwa ni tabia sugu ni nadra sana ukute mtanzania women empowerment and future of politics in tanzania juzi kati kiongozi wa taifa letu ametoa kauli tata akiwa anahutubia wananchi katika mkoa wa pwani akisema hataruhusu binti aliyejifungua kurudi shuleni ni kauli tata kwa sababu imezua hoja na mijadala mbali mbali ndani na nje ya nchi ingawa mimi nimekuwa nikimuunga mkono jpm kwenye mambo bei elekezi za viwanja/ardhi jamani hii attachment inaonyesha bei elekezi za viwanja sehemu mbali mbali za tanzania kwa hiyo wale waliozoea kuuza viwanja kwa bei wanazozijua wao nadhani huu utakuwa muarobaini wao naona ni mwanzo mzuri kama angalau serikali inaweka bei elekezi maana bei ya ardhi ilikuwa imefika pabaya gov ndullu na msajili mafuru tunajifunza nini rule no 1 the boss is always right rule no 2 the boss is always right rule no 3 if you are not sure of rule no 2 refer to rule no 1 jana mh jpm amemtumbua kaka yangu mafuru na akatanabaisha kwamba atampangia kazi nyingine sababu ya mafuru kutumbuliwa haikutajwa tanzania impendekeze jakaya kikwete kuwa mrithi wa dr dlamini zuma kama mwenyekiti mtendaji wa au wakubwa heshima zenu leo hii viongozi wa umoja wa africa wanaokutana kigali wamekataa orodha ya wagombea nafasi ya mwenyekiti mtendaji wa umoja wa africa (au) kumrithi dr dlamin zuma anayemaliza muhula wake kwenye hiyo orodha ambayo ilijumuisha waziri wa mambo ya nje wa botswana na re nahitaji kiwanjambezi beach barabara ya chini rafiki yangu anahitaji kiwanja mbezi beach barabara ya chini maeneo ya rainbow mpaka round about ya whitesands ukubwa 15001800sqm kiwe na document zote bajeti 200250m kama una information let me know only serious people should make contacts masanja suala siyo ufisadi suala nini kifanyike dhidi ya mafisadi humu jamvini wengi wetu tumekuwa busy sana kuchambua wagombea/watia nia kwa kigezo cha ufisadi ni sahihi kabisa (naomba nikubaliane na mwanakijiji) ufisadi is the challenge of our time it threatens existence and harmony of our country and its people lakini hebu tujiulize kama watu wazima edward lowassatuhuma za ufisadi dhidi yake na unafiki wetu watanzania wakuu heshima mbele humu jamvini kuna thread nyingi zinamtuhumu nd lowassa kwamba ni fisadi na hafai kuwa kiongozi magazeti na hata baadhi ya viongozi waandamizi wa ccm na upinzani wanatuaminisha kwamba lowassa hafai na ccm ni safi na inataka mgombea safi what a joke swala kwamba je kipi/nini kifanyike kusudi rasilimali mikoani zinufaishe wananchi wa maeneo husika pia wakuu nataka tujikite kwenye hili swala la maendeleo na uwiano wa uchangiaji kwenye pato la taifa kwa mda mrefu sasa hili swala tumekua tukilikwepa hata kulizungumzia kwa wananchi na serikali pia sababu kubwa ikiwa ni kulinda mshikamano wa kitaifa na kudhibiti ukabila mfano leo tunaambiwa share your experience with meit has happened to me it has happened to me several times ni hivi i may be sleeping hata kwa mda mfupi ghafla nahisi kama nimeishiwa nguvu kabisa usingizini najiona niko helpless na in the process nakuwa na woga mkubwa sana extreme fear yaani hata kuinua mkono siwezi hata kushika shuka au chochote siwezi ila wachaga na maendeleoimpressed wakuu salaam jana nilibahatika kwa mara ya kwanza kutembelea mkoa wa kilimanjaro mitaa ya marangu for the first time kwa kweli i was hugely impressed and i can only say big salute my fellow tanzanians i must say mimi ni mwenyeji wa kanda ya ziwa napenda sana kwetu na kila mwaka as long as wood parquet tanzania wakuu hebu naombeni msaada wenu especially kwa wale wenye uzoefu na watalaam tanzania (hapa dar especially) kuna mafundi/kiwanda cha kutengeneza parquet nzuri za sakafuni nimejaribu kuzunguka lakini sijaona (i came across fundi mmoja akaniambia anaweza fanya lakinini yale yale kwa nini naamini suluhisho la kero za muungano si serikali mbili wala tatu wananchi wenzangu nawasalimu kwa kipindi kirefu kama mtanzania wa kawaida nimekuwa nikifuatilia mjadala unaohusu hatma ya taifa letu na muungano wetu kati ya tanganyika na zanzibar tumeona ni jinsi gani hili swala limekuwa so emotional kiasi kwamba kila mtu anaona mtizamo wake ndo sahihi na phd opportunities at the london school of economics new lse phd studentships support the brightest and the best research students the london school of economics and political science (lse) has launched a new flagship studentship scheme that will support outstanding research students by fully funding their postgraduate research at the school sakata la tanesco mheshimiwa rais tunaomba utoe kauli wananchi tumechoka nimeisoma hukumu ya icc/msuluhishi/arbitrator kati ya tanesco na dowans lakini kwa mtu yeyote mwenye uelewa wa sheria ni hakika facts zote hazikutolewa na nina mashaka kwamba kulikuwa na collusion kati ya mshtaki na mshtakiwa(walikuwa kitu kimoja)ilmradi hiyo pesa ilipwe na hela za walipa why the us needs africa angalizo hii habari nimeitoa kwenye mtandao wa gazeti la washington post mwisho wa habari kuna link ya habari yenyewe by paul kagame monday september 21 2009 africa and the united states may be on the verge of a new partnership not one of dependency and europe claiming compensation from africawhat is your take wakuu heshima mbele today while preparing to go earn my daily bread my eye was cought by a news clip on al jazeera kwamba europeans and britons precisely they want to seek compensation from libya for victims of ira fighters (rebel group in ireland) who lost their loved ones because of the
2020-02-22T11:59:32
https://www.jamiiforums.com/search/5808423/
ataba tukufu zafanya mahafali za usomaji wa quran katika mji wa karkal na wakazi wa mji huo waisikiliza kwa unyenyekevu 08/04/2018 0017 sehemu ya mahafali katika mji wa sanko kamati ya maandalizi ya kongamano la kitamaduni la amirul muuminina (as) la mwaka wa sita linalo endelea sasa hivi katika mji wa karkal kaskazini ya india katika ratiba yao wameweka kipengele cha usomaji wa quran tukufu sauti ya mwenyezi mungu ambayo huingia katika nafsi ya mtu na kuamsha hisia zake pindi anapo isikiliza kwa mazingatio hivyo vimefanyika vikao vya usomaji wa quran kwa ushiriki wa wasomaji wa ataba tukufu za husseiniyya abbasiyya na askariyya kipengele hicho kimeongeza hadhi na utukufu wa kongamano waumini wa mji huu wanaheshimu sana usikilizaji wa quran hali itakua vipi atakapo kua msomaji anatoka katika ardhi takatifu tena katika ataba tukufu kikao cha kwanza cha usomaji wa quran kilifanyika katika muswalaya mahdiyya kwenye kitongoji cha sanko kilichopo katika jimbo ja karkal usomaji hua ulianza baada ya kupandishwa bendera za maimamu wawili wa askariyyaini (as) na alishiriki msomaji wa atabatu husseiniyya tukufu falaah zaliif na bwana leeth abedi kutoka katika atabatu abbasiyya na quswair swabaah kutoka katika atabatu askariyya tukufu waliburudisha masikio ya wahudhuriaji kwa usomaji wa mahadhi tofauti na kwa sauti nzuri kikao kingine cha usomaji wa quran kilifanyika walipo tembelea shule ya jaafariyya na walisoma walewale wageni kutoka katika ataba tukufu walio waburudisha wahudhuriaji kutokana na uzuri wa sauti zao na mahadhi ya usomaji wao
2019-12-15T08:18:04
https://alkafeel.net/news/index?id=6631&lang=sw
wcf yawaelimisha maafisa waajiri kuhusu misingi ya kulinda usalama na afya za wafanyakazi mahala pa kazi sufianimafoto home habari wcf yawaelimisha maafisa waajiri kuhusu misingi ya kulinda usalama na afya za wafanyakazi mahala pa kazi pia ni wajibu wa mwajiri kumpatia vifaa vya kujilinda (protective gears) mfanyakazi wake kulingana na kazi anayofanya ili kumlinda na madhara yatokanayo na kazi anayofanya kusoma zaidi bofya hapa
2018-04-25T01:01:47
http://www.sufianimafoto.com/2018/03/wcf-yawaelimisha-maafisa-waajiri-kuhusu.html
can 2019algeria uvumi wa ajabu na andy delort teles relay home sports »can canadaalgeria uvumi wa ajabu na andy delort can 2019algeria uvumi wa ajabu na andy delort kocha wa algeria djamel belmadi anaweza kufungua orodha ya wachezaji wa 23 waliochaguliwa kwa can 2019 (21 juni19 mwezi julai) kutoka mei 30 uteuzi wa mwisho wa fennecs unaweza kuandika baadhi ya mshangao kwa hakika shirikisho la algeria (faf) bado halijawasiliana rasmi juu ya utambulisho wa mchezaji ambaye atasimamia haris belkelba imeshuka kwa dakika ya mwisho kufuata video maarufu ambayo anaonyesha baada yake jumatano jioni tovuti dzfoot kwa ujumla ni vizuri sana inaonyesha kuwa faf imewasilisha majina mawili kwenye shirikisho la soka la afrika (caf) kabla ya mwisho wa mwisho jumatatu usiku wa manane hiyo ni katikati ya katikati mohammed benkhemassa (usm alger) kama ilivyo swali tangu masaa ya 24 lakini pia ni ya andy delort habari zinazohamasisha kwa ounas mshambuliaji wa montpellier bado hakuwa na orodha ya awali tangu hatua zinazohusiana na mabadiliko yake ya utaifa wa michezo haijawahi kufikiwa lakini wa zamani wa ufaransa wa u20 wakati huo alipokea mwanga wa kijani kutoka fifa ambayo ingempa fursa ya kuchukua nafasi ya belkelba au mchezaji mwingine hakika winger adam ounas alijeruhiwa jumatano hii katika mafunzo kwa sasa kusubiri mitihani zaidi hali yake haikuchochea wasiwasi wa wafanyakazi wa matibabu nchini algeria kumbuka hata hivyo kwamba ikiwa kuna madhara yaliyothibitishwa inawezekana kuchukua nafasi ya mchezaji mchezaji hadi 24h kabla ya mechi ya kwanza ya timu inayohusika na can yaani hakuna baadaye kuliko juni 22 kwa fennecs mpaka tarehe hiyo kupoteza inaweza kuendelea kukaa makala hii ilionekana kwanza https//wwwafrikfootcom/can2019algerieuneincroyablerumeuravecandydelort can 2019 le coq sportif atakuwa na sherehe ya pili ya umoja wa mataifa ili kufungua mstari mpya wa vifaa vya cameroon vya indomitable lions huko yaounde mnamo 19 juni 2019 gabon charles mba candidat à la prochaine présidentielle jeuneafriquecom en algérie sur les pas de ceux qui contestent le pouvoir depuis 2011 jeuneafriquecom uchumi707
2019-06-19T15:36:52
https://sw.teles-relay.com/2019/06/13/Je%2C-2019-Algeria-ni-uvumi-wa-ajabu-na-uharibifu-wa-andy/
je ni njia gani ya wokovu ya warumi swali je ni njia gani ya wokovu ya warumi jibu njia ya warumi ya wokovu ni hali ya kushiriki neno la wokovu kwa kutumia aya kutoka kitabu cha warumi katika bibilia ni njia ya rahisi na mwafaka yakuelezea kwanini tunahitaji wokovu kwanini mungu alipeana wokovu ni jinsi gani tunaweza kupokea wokovu na niyapi matokeo ya wokovu aya ya kwanza katika njia ya warumi ya wokovu ni warumi 323 kwa sababu wote wamefanya dhambi na kupungukiwa na utukufu wa mungu sote tumefanya dhambi sote tumefanya matendo yasiyo mpendeza mungu hakuna mwenye haki warumi 31018 inaelezea kwa kina jinsi dhambi ilivyo maishani mwetu maandiko ya kifungu cha pili katika njia ya warumi ya wokovu warumi 623 kinatuelezea kuhusu madhara ya dhambi kwa maana mshahara wa dhambi ni mautibali karama ya mungu ni uzima wa milele katika kristo yesu bwana wetu adhabu tuliyopata kwa dhambi zetu ni mauti si mauti tu ya asili bali ni mauti ya milele aya ya tatu katika njia ya warumi ya wokovu ya anzia mahali warumi 623 ilipo achia bali karama ya mungu ni uzima wa milele katika kristo yesu bwana wetu warumi 58 yasema bali mungu aonyesha pendo lake yeye mwenyewe kwetu sisi kwa kuwa kristo alikufa kwa ajili yetu tulipokuwa tungali wenye dhambi kristo alikufa kwa ajili yetu yesu kristo alikufa kwa ajili yetu kifo chake yesu kilitulipia gharama ya dhambi zetu ufufuo wa yesu unadhihirisha yakwamba mungu alikubali kifo chake yesu kama malipo ya dhambi zetu aya ya nne katika njia ya warumi ya wokovu ni warumi 109 kwa sababu ukimkiri yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni bwana na kuamini moyoni mwako ya kuwa mungu alimfufua katika wafu utaokoka kwasababu ya kifo chake yesu kwa niaba yetu kile tunacho hitajika kufanya ni kumwamini yeye kuamini kifo chake kama malipo ya dhambi zetunasi tutaokoka warumi 1013 yasema tena maneno haya kwa kuwa kila atakayeliitia jina la bwana ataokoka yesu alikufa ili atulipie gharama ya dhambi zetu na atuokoe kutoka mauti ya milele wokovu msamaha wa dhambi vyapeanwa kwa yeyote atakaye mwamini yesu kristo kama bwana na mwokozi wake hatua ya mwisho katika njia ya warumi ya wokovu ni matokeo ya wokovu warumi 51 ina ujumbe huu wa ajabu basi tukiisha kuhesabiwa haki itokayo katika imani na tuwe na amani kwa mungu kwa njia ya bwana wetu yesu kristo kupitia kwa yesu kristo tunaweza kuwa na ushirika wa amani na mungu warumi 81 yatufundisha sasa basi hakuna hukumu ya adhabu juu yao walio katika kristo yesu kwasababu ya kifo chake yesu kwa niaba yetu hatutahukumiwa adhabu juu ya dhambi zetu mwisho kabisa tunayo ahadi ya thamani ya mungu toka katika kitabu cha warumi 83839 kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba wala mauti wala uzima wala malaika wala yaliyopo wala yatakayokuwapo wala wenye uwezo wala yaliyo juu wala yaliyo chini wala kiumbe kinginecho chote hakitaweza kututenga na upendo wa mungu ulio katika kristo yesu bwana wetu je ungelipenda kuifata njia ya warumi ya wokovu kama ndio hapa kunalo ombi rahisi unaweza kuomba kwa mungu kusema ombi hili ni njia ya kujitambulisha kwa mungu ya kuwa unamtegemea yesu kristo katika wokovu wako maneno yenyewe hayawezi kukuokoa ni kwa imani tu ndani ya yesu kristo ipeanayo wokovu mungu najua yakwamba nimefanya dhambi kinyume chako na ninastahili adhabu lakini yesu kristo aliichukua adhabu niliyostahili ili kwa imani ndani yake niweze kusamehewa kwa msaada wako ninaziacha dhambi zangu kwa kumaanisha na ninaweka imani yangu kwako kwa ajili ya wokovu ahsante kwa neema yako ya ajabu na kwa msamaha wa dhambikarama ya uzima wa milele amina
2018-07-21T23:14:20
https://www.gotquestions.org/Kiswahili/Njia-Warumi-Wokovu.html
tra yakusanya trilioni 583 miaka minne ya jpm zanzinews home habari matukio tra yakusanya trilioni 583 miaka minne ya jpm tra yakusanya trilioni 583 miaka minne ya jpm zanzinewscom 317 pm naibukamishnamkuuwamamlakayamapato tanzania (tra) bw msafirimbiboakizungumzanawaandishiwahabari (pichani) kuhusumafanikioya tra katikamiakaminneyaserikaliyaawamuyatano mkutanoulifanyikaleojumatatu (novemba 25 2019) jijini dar es salaam na mwandishi wetu maelezo dar es salaam 25112019 mamlaka ya mapato tanzania (tra) katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa serikali ya awamu ya tano imefanikiwa kukusanya kiasi cha tsh trilioni 583/ ikilinganishwa makusanyo ya tsh trilioni 3497/ katika kipindi cha miaka minne iliyopita hayo yamebainishwa leo (jumatatu novemba 25 2019) jijini dar es salaam na naibu kamishina mkuu wa tra msafiri mbibo wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa vyombo vya habari kuhusu mafanikio ya taasisi hiyo katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa serikali ya awamu ya tano mbibo alisema mwaka 2015/16 makusanyo ya mapato ya mamlaka hiyo yalifikia tsh trilioni 125/ mwaka 2016/17 makusanyo yaliongezeka na kufikia tsh trilioni 144/ mwaka 2017/18 makusanyo yaliongezeka pia hadi kufikia tsh trilioni 155/ na mwaka 2018/19 makusanyo yaliongezeka zaidi na kufikia tsh trilioni 159 na kufanya makusanyo yote ya jumla kufikia tsh triloini 583/ kwa miaka hii minne ya serikali ya awamu ya tano tra imekuwa ikikusanya wastani wa tsh trilioni 13 kwa mwezi ikilinganishwa na wastani wa tsh bilioni 850/ kabla ya awamu ya tano haijaingia madarakani sambamba na ongezeko hilo kuanzia julai hadi oktoba 2019/2020 wastani wa makusanyo umepanda hadi kufikia tsh trilioni 145/ kwa mwezi alisema mbimbo aliongeza kuwa mafanikio hayo yametokana na msukumo wa serikali ya awamu ya tano wa kuendelea kuboresha mikakati ya kuimarisha ukusanyaji wa mapato kuibua vyanzo vya kodi pamoja na utekelezaji wa mpango mkakati wa tano wa tra wa ukusanyaji wa kodi wenye dhamira ya kuongeza makusanyo ya kodi za ndani kwa kukuza ulipaji kodi wa hiari akifafanua zaidi mbibo aliongeza kuwa sababu nyingine za kuongezeka kwa makusanyo hayo ni kuimarika kwa matumizi ya mashine za kielekroniki za kutolea risiti (efd) badala ya stakabadhi zinazoandikwa kwa mkono pamoja na kuboresha mifumo ya makusanyo inayoendana na mazingira ya sasa ya ukuaji wa sayansi na teknolojia akizungumza kuhusu mfumo wa stempu za kodi za kielektoniki (ets) mbibo alisema mfumo huo ulioanza kutumika kuanzia januari mwaka huu umeiwezeha tra kukusanya tsh bilioni 778/ uliotokana na ushuru wa bidhaa kodi ya ongezeko la thamani na kodi ya mapato yaliyokana na bidhaa za vileo vinwaji baridi maji juisi na cd/dvd kutokana na utekelezaji wa mfumo huu kwenye eneo la pombe kali na mvinyo tu tra imekusanya ushuru wa bidhaa wa kiasi cha tsh bilioni 778/ kwa kipindi cha mwezi februari hadi oktoba 2019 sawa na ongezeko la tsh bilioni 196/ au ukuaji wa asilimia 34 ukilinganisha na kiasi cha tsh bilioni 582 kilichokusanywa kipindi kama hicho mwaka jana alisema mbibo akibainisha mafanikio mengine mbibo alisema kufuatia mabadiliko ya sheria ya kodi na mapato ya yaliyofanywa kupitia sheria ya fedha ya mwaka 2019 serikali imeweza kupunguza kiwango cha kodi kwa wafanyabiashara wadogo kutoka tsh 150000/ hadi kufikia tsh 100000/ kwa wale wenye mzunguko wa mauzo yanayozidi tsh milioni 4 kwa mwaka kwa wafanyabiashara wadogo wenye mauzo kati ya tsh milioni 7 12/ viwango vya kodi vimepunguzwa hadi kufikia tsh 250000/ kutoka tsh 318000/ wakati wafanyabiashara wenye mauzo kati ya tsh milioni 11 milioni 14/ vinwango vya kodi vimepunguzwa hadi kufikia tsh 450000/ kutoka tsh 546000/ alisema mbibo mbibo alisema mafanikio mengine ya tra ni kutangaza msamaha maalum wa riba na adhabu kwenye malimbiko ya madeni ya kodi kwa asilimia 100 tofauti na asilimia 50 ilivyokuwepo ambapo lengo la msamaha huo ulitangazwa julai mwaka 2018 ni kuwapa fursa walipakodi kulipa kodi ya msingi mara moja au kwa awamu ndani ya mwaka wa fedha 2018/19 anaongeza kuwa kutokana na hatua hiyo jumla ya walipakodi 9406 waliomba msamaha na waliokidhi vigezo na kukubakliwa ni walipakodi 8687 ambapo jumla ya tsh bilioni 3284 za riba na adhabu zilisamehewa wakati jumla ya tsh bilioni 45858 zinaendelea kukusanywa kama kodi ya msingi mpaka sasa mamlaka imeshakusanya tsh bilioni 12001 kutokana na kodi ya msingi inayotakiwa kulipwa na walipakodi waliosamehewa riba na adhabu pia serikali iliongeza muda uliowekwa awali wa juni 30 2019 kuwa desemba 31 2019 alisema mbibo asilimia 70 ya viongozi wanaoendesha vyama vya upinzani nchini ni matunda ya ccmmwenyekiti uvccm *na jusline marcoarushamwenyekiti wa umoja wa vijana ccm taifa kheri james amesema kuwa asilimia 70 ya viongozi wanaoendesha vyama vya upi
2020-07-08T14:58:35
http://www.zanzinews.com/2019/11/tra-yakusanya-trilioni-583-miaka-minne.html
wanawake ni sisi what do men want part 2 mambo wikend ilikuwaje kwema fresh basi nipo kwenye a new relationship ndo inaanza anza so nisaidieni kuomba so that all can go well tehetehetehe anyway nataka ni share with you vitu ambavyo attract men mara wanapokuona the 1st time hii ni according to dr paul dobransky amabye ni psychologist na relationship expert pia aliyeandika kitabu kinachoitwa the secret psychology of how we fall in love katika dakika 5 za kwanza za kukutana na mtu kinacho attract wanaume zaidi ni physical beauty kwa men hii ndo step ya kwanza ya courtship kwao anaelezea zaidi kuwa haimaanishi kuwa wanaume wooote wanataka vimodo virembo instead anaelezea jinsi gani kila mwanamume ana taste yake kwa wanawake physically mwisho wa siku ni kuwa zile dakika za kwanza ni crucial sana its not about personality intellect career or any other crucial things that make up a relationship hizi hapa traits 8 ambazo men wamekubali kuwa ndo wanachoona kwanza and vina maana gani kwao 1 kwanza kabisa men admire wajuzi wa mambo wanasemaaaa behind every great woman is a man checking out her ass ni tofauti na popular belief kuwa wanawake ndo wanaangalia zaidi ya men wanaume wanaangalia without ku stare au kuonekana wazi anamuangalia mwanamke med admire wanawake inspect mwanamke anaweza kuamua anamtaka a mana kabla ya the man kumuona yeye au kabla ya kupata attention yake wanaume wana notice curves na contours wakati wanawake wananotice form na structure so even though both wanawake na wanaume wanaangalia the opposite sex wanaume wanafanya hivi kimya kimya 2 confidenceeye contact kumuangalia mtu machoni inaonyesha confidence ya hali ya juu kwa mwanamke the way unavyojibeba na pozi zako can also tell a guy kuwa here iam and i feel great au pozi lako linaweza sema oohh please usiniangalie ngoja nijifiche a woman akiingia sehemu with her head held high na bonge la smile usoni wanaume watakua attracted kwake usiangalie chini na kuogopa kumuangalia mwanaume in his eyes kumbuka ukimuangalia mtu staright in his eyes wanaume wengi will wake make a move na kukufuata coz anaona kabisa kuna hope ya kuwa na connection na wewe 3 your smilea smile inaeleza mambo kuhusu a woman personally my man is crazy about my smile (hahahhahahah) but je smile yako ikoje ni sweet na ya ukweli au inaonekana kama umefosiwa kusmile pia wanaume wengine wanapenda smile flani na facial expressions kwa mfano mwanamke akiwa anacheka sanaaa na anaonekana yeye ndo mchekeshaji katika group ya marafiki alokaa nao kuna wanaume ambao watakuwa attracted kwake ila kuna other men ambao wanapenda the sweet and innocent smile 4 washkajibelieve it or not men wanahofia sana ukiwa na bongee la group la washkaji ukiongea na marafiki kama 20 hivi most men hawatothubutu to come up to you kujaribu kukutongoza kila mmoja anaogopa kukataliwa ujue tembea na washlaji wawili tu wanatosha so munakua watatu washikaji zako wawili watapiga story wakati wee unakwenda kupiga story with the new guy 5 your hairwanaume hawajui spilt ends growth wala treatment but hua wanaangalia kama your hair zinaonekana soft na kama zinanukia vizuri hair style nzuri inaonyesha kuwa the woman ni msafi responsible na anachukua muda to take care of herself fact 44 ya wanaume baada ya research walisema cha kwanza wanacho notice kwa mwanamke ni nywele 26 more than her clothes 25 miguu 4 make up and wanaume wengi wakasema kuwa they would rather approach a woman aliye na nywele nzuriiii badala ya mwanamke aliyevaa low cut shirt umeona eeehhh 6 your makeupunajua clown yule anayefurahisha watoto lakini hua anajipakapaka vitu kibao huko usoni yaah usifanye hivyooo usipake make up hivyo hata kama unataka ku attract m tu duuuu not that much ushawahi kum hug a man kisha unapomuachia unaona aibu coz umeacha eye shadow mascara lipstic na foundation kwenye shirt lake most men prefer wanawake wanaopaka make up kiduchu tu jaribu to keep uso wako as natural as possible ukiongezea kidogo kwenye favourite features zako ( km macho au lips) na uonyeshe dunia kuwa you are proud of who you are na mwili ulopewa 7 your cleavage and madusko (aka makalio) newsflash cleavage and madusko ndo vitu vya kwanza ambavyo men wana notice kwa mwanamke sasa hii haimanishi kuwa uache shati loteee wazi hadi kwenye kitovu ( hahahah) noooo cha muhimu na kuzingatia hapa ni kuwa usionyeshe kila kitu kwa sanaaaa na pia usivizibe kwa sanaaaaa a man like mwanamke wake awe alluring na sezy bila kuoneka cheap na vulgar na kumbuka men wanaopenda wanawake ambao wanavaa na kuonekana vulgar na flashy hua sio wa kua kwenye a relationship 8 your bagno wanaume hawajali kama umebeba gucci bag original au fake ila watakuangalia unavyolibeba wanawake wanaobeba mapochi yao kwa majivuno wanaonekana kama wako materialistic wanaume wengi hawataki mwanamke high maintenance so wataangalia size ya pochi yako kama ni kubwa zaidi ya gym bag yake na wanachukulia hilo kama sign ya value of material things sio all men wata notice your pochi ila kwa wale watao notice watakusaidia kutathimini kama a guy anayejali pochi yako is really the one for you una cha kuongezea please feel free to do soemail barbshassan@gmailcomsms +255 759 008500 anonymousdecember 5 2011 at 551 pmcha kuongezea hapo ni macho kuna wanaume wengine wako crazy na macho ya mwanamke tehe tehe tehe hata mie naipenda sana smile yako mamii barbaraelmmyreplydeletenashydecember 5 2011 at 742 pmyote ni sawa but kwa kuongezea hapo pia wanaume huwa wanapenda kwa mara ya kwanza mwanamke awe na aibu fulani hivi kwa mbaali keep the gooda jobreplydeleteanonymousdecember 6 2011 at 953 amhongera sana i will pray for your new relationshipreplydeleteanonymousdecember 6 2011 at 1251 pmme too will pray for u in ur new relationship karibu kwenye ulimwengu wa raha na karaha vyote twapaswa kuvikubali na hongera kwa kazi nzurisaysfettyreplydeleteanonymousdecember 7 2011 at 157 ami wish i could read this before marriage lol ngejichagulia tu nataniaila uzi umeenda kidato bravooooreplydeleteanonymousfebruary 24 2013 at 741 amit іs bеlieveԁ that tantric massage brings the cοnѕistеncy anԁ to wake up and reaԁ the leѕsons with kerοsenе lamps i teѕtament gently гemind уοu to keеp ventіlation for аԁԁіtіonal informationsucсessful men dont only dreαm it neω уearfacіal εnhаncе wοuld like to give eνerуonе theiг idеntіcal own virtuаl rеd mаіl boаtreplydeleteanonymousjune 3 2013 at 839 pmηey there i am so hаppy ι found your webpage i really fоund уοu by aссident while i was looking on yаhoo fοr somethіng else anyhоw i am hеre now and would just likе to say thanks a lot for a fantastic post аnd a аll rοund enteгtainіng blog (i also love the theme/design) i dont have time to read it all at thе moment but i hаve bookmаrκed іt and аlso added youг rsѕ feeds so when i hаvе time ι will be back to reаd a great ԁeal more pleаse do keep up thе ѕuperb johere is my sitе store possessionsreplydeleteadd commentload more
2017-07-26T18:46:38
http://wanawakenisisi.blogspot.com/2011/12/what-do-men-want-part-2.html
wanaume wanaume pia lee akaruka katika safari yake ya kuwa baba ivfbabble lee wray anatoa hotuba wazi na ya uaminifu juu ya safari yake ya kihemko ya kuwa baba wakati babu wa ivf aliposikia lee wray akitoa hotuba katika maonyesho ya uzazi ya london hivi karibuni tabia yake ya joto na ya kupendeza ilikuja na kwa hisia ya ucheshi yenye upole bila shaka bila shaka imesimama mahali pazuri kwenye safari yake ngumu na ya kihemko kuwa baba athari za kihemko za utasa kwa wanaume mara nyingi zinaweza kupuuzwa lee alielezea aina ya mhemko ambayo amekuwa nayo tangu kugundua kuwa shida ilikuwa kwake na athari ambayo athari zake zimepata kwa mke wake wakati utambuzi ni dhahiri muhimu katika kushughulikia utasa njia ambayo utambuzi huo unawezeshwa kwa wenzi ni wazi ni muhimu sana lee aligundua kuwa alikuwa na azoospermia (jina lililopewa kwa hali ambayo hakuna manii kwenye shahawa) kwa maneno yake mwenyewe kwa njia isiyo na maana alisema gp alikuwa hajapata haya hapo awali na kwa wazi hakuwa na raha sana nasi mazungumzo yalikwenda kama wote wamekufa ambayo hayakuwa msaada sana baada ya kuchambua ukweli huu unaobadilisha maisha lee na mkewe walianza kujaribu kujua jinsi gani wangechukua familia ambayo walitaka sana lee alisema kwamba amepata mtandao ukusaidia sana kupata watu wengine ambao wamepitia uzoefu kama huo kushiriki na habari yote ambayo inaweza kupatikana alitoa neno la onyo ingawa ikiwa utapata mtu ambaye amekuwa na uzoefu mbaya hakikisha maoni yao yametungwa na hiyo kuangalia nyuma sasa anaweza kuona kuwa aliingia katika hali kuu ya kurekebisha kujaribu kupanga kila kitu angeweza mimi ndiye aliyepata kliniki nilitaka kuelewa ni ushauri gani tulihitaji tunahitaji kufanya nini na kwa kufanya hivyo nilijitenga kabisa na hiyo aligundua kutumia mtandao ulimhudumia kwani anaweza kuzingatiwa zaidi kutafuta kwenye skrini badala ya kuhusika kihemko wakati hii ilikuwa rahisi sana kwake mkewe aliona hii ilikuwa ngumu sana kwa kifalsafa anasema kwamba sasa anatambua kuwa ndivyo tu alihitaji kuwa alilenga vitu vyote angeweza kufanya miadi kushughulika na kila kitu ki vitendo yuko wazi kabisa sasa nilitaka kuwa mwamba mke wangu aliona ni ngumu sana kwamba sikuwa nikimfungua sasa anaelewa kuwa mkewe alihisi sana kwamba hakumfikiria wakati sehemu ya shida ni kwamba alikuwa juu ya kumchukulia kwani hakutaka kum mzigo kwa kila kitu kinachoendelea akilini mwake alihisi kuwa yeye alikuwa akipitia vya kutosha kama ilivyokuwa alikuwa na wakati mgumu sana na vipimo na taratibu zote ambazo alihitaji kuwa nazo machoni pake bila kosa lake mwenyewe lee alikuwa amedhamiria kupitia mchakato mzima kumuunga mkono kikamilifu mkewe kadri awezavyo alikuwa huko kupitia taratibu zote za mwili ikiwa ni pamoja na sindano na kuingizwa na akilini mwake kupitia mhemko na shida zote za kihemko alikumbuka hisia za kushangaza za kuwa mwisho wa kichwa wakati wa ujasusi na alicheka alipokuwa akikumbuka jinsi ilivyo muhimu kutunza manii joto kwa hivyo mke wangu aliiweka katika ujanja wake ambao nilidhani ulikuwa mzuri sana kwa kumbukumbu nzito zaidi anakiri kwamba safari nzima ilikuwa ngumu sana ilikuwa bahari tu ya mambo yanayotokea wenzi hao walifanya uamuzi wa kutumia wafadhili wa manii kutimiza ndoto zao za kupata watoto katika kila hatua waligundua ni ya kufadhaisha kihemko hawakujua kabisa nini cha kutarajia jinsi ya kuhisi hata wakati ilipofika kuzaliwa sasa anatambua kila hatua kila mhemko kila fikira ni hadithi mtoto sio jambo la kweli hadi atakapozaliwa kupitia sehemu kubwa ya 'kuharakisha na kurekebisha' mke wake alihisi hajasaidia alikuwa amechanganyikiwa sana kwamba kitu kinachokuja kwa urahisi kwa wengine kilikuwa ngumu sana kwao lee alijiona na hatia kubwa kumlazimu kupata kitu ngumu sana ambayo haikufanya chochote kwake kwani yote yalikuwa kwa sababu ya shida yake alijua tangu mwanzo kwamba angejitahidi kwani yeye ni mtu binafsi sana ambayo ilimaanisha ilikuwa ngumu kwake kufungua na kuongea juu ya mambo ambayo walikuwa wanapitia anacheka huku akiongezea angekuwa hapa leo na angeongea na wewe kwa furaha lakini bila hivyo sivyo anajisikia sana kwamba ni muhimu sana kujipa wakati wa kutosha kushughulikia na kufikia maamuzi wazi katika kila hatua ya mchakato jambo moja ambalo niko wazi kabisa na ambalo nimefurahi sana nalo nilikuwa najiamini kabisa kila uamuzi tulioufanya katika kila hatua ya njia ni muhimu sana kwangu kwamba nilikuwa na ujasiri kutumia manii ya wafadhili suala muhimu linapokuja suala la kutumia manii ya wafadhili ni ikiwa kuna mawasiliano yoyote kati ya wafadhili na mtoto lee na mkewe walikuwa na mtoaji asiyejulikana wa manii ambayo inamaanisha kuwa yeye haweza kujua ni akina nani lakini watoto wake wanaweza kuwa na umri wa miaka 18 ikiwa wataamua baada ya uzoefu wao lee na mkewe walihisi kushukuru kwamba wanataka kurudisha kitu kwa hivyo waliamua kufanya ugawaji wa yai baada ya kuifanya waliandika ujumbe kwa mpokeaji wa mayai wakisema kwanini wamefanya nini nimefanya baada ya kuandika sababu zao wenyewe waliuliza wafadhili wao waandike kitu kwa athari hiyo hiyo ndio jinsi walivyogundua wafadhili wao alikuwa kwa maneno ya lee maumbile ya kutisha kwa bahati mbaya kulikuwa na tofauti nyingi kati yake na lee alikuwa ameshika nywele zake zote (lee hajafanya hivyo) alikuwa mrefu gizani na mzuri (lee ni mdogo na mwenye kuchekesha) na wengine kadhaa lee aliweka wazi kuwa ukweli kwamba wafadhili ni mungu wa maumbile sio muhimu kwani ukweli alisema anafurahi kuwasiliana na watoto wowote iliyoundwa kwa sababu ya yeye ambaye alikuwa mzuri kujua ilikuwa muhimu sana kwa lee kuelewa haswa kile alikuwa akifanya ili kuunda familia yake alikuwa akifikiria watoto wake kila wakati akikimbia kuzunguka akionekana kama yeye lee ilibidi achukue hisia hizi na kugundua kuwa ukweli ni kwamba hatujui kamwe watoto wetu wataonekana ilibidi afikirie kwa uangalifu juu ya kuacha hali hiyo yote na matarajio yote aliyokuwa nayo kila wakati ya kuwa na watoto wake kuamua kutumia manii ya wafadhili ilikuwa muhimu sana kwake kuchukua wakati wa kuelewa maana yake na nini kwake kama iligeuka watoto wake kuangalia kama yeye imekuwa suala lisilokuwa la jumla yeye husema tu ni wanangu ' nimebadilisha mianzi yao nikisafisha wagonjwa wao nimemfundisha mtoto wangu mkubwa kupanda baiskeli mimi ndiye ambaye nimeshiriki nao wakati wote wa kichawi mwandishi wa makala moira smith soma hadithi za kweli zaidi za maisha na ushiriki mwenyewe soma zaidi juu ya safari za uzazi za wanaume na nakala zinazohusiana soma zaidi juu ya habari ya hivi karibuni ya ivf ya ulimwengu na habari ya uzazi soma juu ya watu mashuhuri na safari zao za uzazi tags azoospermia lee akiwa kutokuwa na kiume wanaume na ivf programu kumi za uzazi ambazo zinaweza kukusaidia katika safari yako
2020-07-04T08:45:38
https://sw.ivfbabble.com/2017/01/men-matter-too-lee-wray-on-his-journey-to-fatherhood/
sababu gani watu wanasali soma katika afrikaans chibemba kialbania kiamharike kiarabu kiarmenia kiaymara kiazebaijani kiazebaijani cha kisirili kibikole kibulgaria kicheki kichichewa kichinois mandarin (simplifié) kichinois mandarin (traditionnel) kichitonga kichitumbuka kidangme kidanishi kiebrania kiefik kiestonia kiewe kifaransa kifini kiga kigiriki kigreenland kiguarani kihiligaynon kihispania kiholanzi kihungaria kiigbo kiiloko kiindonesia kiingereza kiitaliano kijapani kijeorjia kijerumani kikaonde kikatalan kikazath kikechua (ayakucho) kikechua (bolivia) kikirigizi kikorasia kikorea kikrio kikrioli cha haiti kikuyu kilitwania kiluo kimalagasi kimalayi kimalta kimasedonia kimaya kimbundu kimoore kimyama kinepali kingabere kinorwe kinyaneka kinyarwanda kinzema kiosete kipangasinan kipapiamento (aruba) kipapiamento (kurasao) kipolandi kipunjabi kireno kiromania kirundi kirusi kisango kisebuano kisepedi kiserbia kiserbia (kiroma) kisetswana kishona kisilozi kisinghale kislovakia kislovenia kisonge kisranan tongo kiswahili kiswahili (congo) kiswedi kitagalog kitai kitatar kitigrinya kitirke kitsonga kituvalu kitwi kiukraini kiumbundu kiuzbek kivietinamu kiwayuunaiki kixhosa kiyoruba kizulu kongo lingala luganda otetela sesotho (lesotho) tshiluba zande kichwa | sababu gani unapaswa kusali unasali kwa ukawaida watu wengi wanasali kwa ukawaida hata watu fulani wasioamini kwamba kuna mungu lakini sababu gani watu wanasali kulingana na uchunguzi uliofanywa katika inchi ya ufaransa nusu ya wakaaji wa ufaransa wanasali ao wakati fulani wanatafakari ili tu kujisikia vizuri kama wakaaji wengi wa ulaya wakaaji hao wa ufaransa hawasali ili kumuabudu mungu lakini wanatafuta matokeo yenye kutuliza ya sala kwa upande mwengine waamini fulani wanasali kwa mungu wakati tu wana uhitaji wakitazamia kupata jibu kwa sala zao wakati huohuo​isaya 2616 wewe unasali kwa sababu gani unafikiri kwamba sala ni njia tu ya kukusaidia kuondoa mawazo mabaya ikiwa unaamini mungu unaona kwamba sala inakusaidia katika maisha yako ao unaona kwamba sala zako hazijibiwe biblia inaweza kukusaidia usione sala kuwa tu njia ya kukufanya ujisikie vizuri lakini uione kuwa njia nzuri zaidi ya kumukaribia mungu sababu gani watu wanasali
2018-08-20T19:14:22
https://www.jw.org/swc/vichapo/magazeti/wp20140401/sababu-gani-watu-wanasali/
moi kuanza upasuaji wa ubongo machi 2020 mwananchi taasisi ya tiba ya mifupa (moi) itaanza kufanya upasuaji wa ubongo bila kufumua fuvu la kichwa mwezi machi 2020 baada ya kukamilisha ujenzi wa maabara ya kisasa ya upasuaji wa ubongo katika taasisi hiyo dar es salaam taasisi ya tiba ya mifupa (moi) itaanza kufanya upasuaji wa ubongo bila kufumua fuvu la kichwa mwezi machi 2020 baada ya kukamilisha ujenzi wa maabara ya kisasa ya upasuaji wa ubongo katika taasisi hiyo hayo yamebainishwa leo alhamisi februari 20 2020 na mkurugenzi mtendaji wa taasisi hiyo dk respicious boniface katika ufunguzi wa maadhimisho ya siku ya madaktari yanayofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa mwalimu nyerere (jnicc) jijini dar es salaam dk respicious amesema hatua hiyo inatokana na serikali kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa maabara ya kisasa inayotarajiwa kukamilika mwezi ujao ujenzi wa maabara ya kupasua ubongo hii kitu ilikuwa haipo na hatukuwahi kutegemea kuwa itakuwepo mwaka jana rais (john magufuli) ulitoa sh79 bilioni kwa ajili ya ununuzi na usimikaji wa mashine hiyo tunavyoongea sasa hivi mashine zishafika pale moi na makandarasi wanamalizia chumba kwa ajili ya kuisimika itakuwa tayari kutumika tarehe machi 15 amesema amesema uwepo wa maabara hiyo utaifanya tanzania kuwa moja ya nchi chache afrika zinazotoa huduma hiyo mashine hiyo itawezesha taasisi ya moi kufanya upasuaji wa ubongo kwa watu wenye matatizo ya mishipa ya damu kichwani pasipo kulazimika kufunua fuvu la kichwa amesema mapema akitoa taarifa ya rasilimali watu na weledi wa kitaaluma mkurugenzi mkuu wa hospitali ya taifa ya muhimbili (mnh) profesa lawrence mseru amesema nchi inakabiliwa na upungufu mkubwa wa madaktari bingwa licha ya uhitaji wa wataalamu hao kuwa mkubwa profesa mseru ambaye pia ni mlezi wa chama cha madaktari tanzania (mat) amebainisha eneo ambalo ni changamoto zaidi kwenye madaktari bingwa akisema kuna uhaba mkubwa wa wataalamu wa kutoa dawa za usingizi kuna upungufu wa madaktari bingwa na ubingwa bobezi katika fani zote kwa mfano katika fani nyingine kama wataalum wa kutoa dawa za usingizi upungufu ni mkubwa sana jambo ambalo linaweza kuathiri utoaji wa huduma ya upasuaji salama amesema profesa mseru mkutano huo unaoendelea umehudhuriwa na rais john magufuli naibu waziri wa afya dk faustine ndugulile waziri wa maliasili na utalii dk hamisi kigwangalla na viongozi mbalimbali wa serikali
2020-04-01T07:28:58
https://www.mwananchi.co.tz/habari/kitaifa/Moi-kuanza-upasuaji-wa-ubongo-Machi-2020/1597296-5462416-yc6snwz/index.html
mtwara kumekucha jongwe(mugabe) adaiwa kuwa mgonjwa jongwe(mugabe) adaiwa kuwa mgonjwa zimeibuka taarifa za kutatanisha juu ya hali tete ya afya ya rais wa zimbabwe bw robert mugabe (87) huku zingine zikieleza kuwa hali yake si nzuri na amelazimika kulazwa hospitalini nchini malaysia baada ya kufanyiwa upasuaji kutibu kansa ya kibofu tangu jumatatu kumekuwepo na taarifa mbalimbali za vyombo vya habari vya kimataifa na mitandao mbalimbali kama vile sauti ya amerika daily telegraph zikinukuu vyanzo mbalimbali vya ndani serikalini na kwenye chama zikisema kuwa kiongozi huyo wa zimbabwe ana hali mbaya tangu afanyiwe operesheni hiyo hivi karibuni lakini kwa haraka maafisa wa serikali ya zimbabwe hata wale wa chama chake cha zanupf wamekanusha taarifa hizo wakisema rais mugabe yuko katika mapumziko ya mwaka ambayo huyafanya desemba hadi januari kila mwaka habari juu ya hali tete ya rais mugabe kwa mara hii zilianza kuripotiwa na gazeti la daily telegraph (uingereza) la jumatatu likisema kuwa kiongozi huyo matata alikuwa hopsiotali baada ya kufanyiwa operesheni ingawa pia haikusemwa kama ilikuwa ni uchunguzi wa afya wa kawaida ama la msemaji wa rais mugabe bw george charamba alitupilia mbali taarifa hizo huku mbali ya kusema kuwa kiongozi huyo yuko likizo ya mwaka amenukuliwa akisema unaonekana kujua mambo mengi kuhusu rais kuliko mimi mwenyewe ninavyojuakadri ninavyojua rais yuko likizo yake ya mwaka na suala hili tuliutaarifu umma atarudi muda si mrefu amenukuliwa bw charamba kwa mujibu wa mtandao wa newsday kwa sasa makamu wa rais john nkomo ndiye anayekaimu nafasi ya komredi mugabe kwa upande wake msemaji wa zanupf bw rugare gumbo naye hakutoa kauli tofauti na charamba akisema kiuwa hata chama kinajua kuwa rais yuko likizo na si vinginevyo waziri wa mambo ya ndani wa malysia bw datuk seri hishammuddin hussein alipoulizwa na waandishi wa habari juu ya taarifa za daily telegraph kuwa rais mugabe alikuwa nchini humo alikataa kukubali wala kukanusha habari hizo siwezi kukubali wala kukanusha juu ya taarifa hizo amenukuliwa waziri huyo katika gazeti la the malaysian insider kwa mujibu wa taarifa kadhaa rais mugabe ambaye amekuwa madarakani tangu nchi hiyo ipate uhuru mwaka 1980 huku akitimiza miaka 87 ifikapo february 2011 alifanyiwa uchunguzi wa afya yake akiwa likizoni mapema mwezi huu wa januari kwa miaka kadhaa sasa kumekuwepo na uvumi wa mara kwa mara juu ya hali tete ya kiafya ya rais huyo lakini haijawahi kuthibitika hata mara moja hali iliyomlazimu kulizungumzia suala wakati fulani na kubeza mwezi septemba mwaka jana mbele ya wahariri wa vyombo vya habari nchini humo akiwa ikulu kwa mara ya kwanza alizungumzia juu ya uvumi huo wa mara kwa mara juu ya hali tete ya afya yake na kusema sijui huwa ninakufa mara ngapi lakini hakuna hata mmoja amewahi kusema nimefufuka lini nafikiri hawataki kuzungumzia maana watalazimika kuzungumzia kufufuka kwangu mara kwa mara na hiyo maana yake ni utakatifu kitu ambacho kitakuwa ni mafanikio kwa mtu ambaye si mtakatifuyesu alikufa mara moja na akafufuka mara moja tu muda wangu utafika lakini si sasa aliwahi kusema rais mugabe
2018-04-21T18:50:23
http://mtwarakumekucha.blogspot.com/2011/01/jongwemugabe-adaiwa-kuwa-mgonjwa.html
kwa taarifa yako sera ya taifa ya huduma ndogo za fedha ya mwaka 2017 imezinduliwa leo dodoma mdimu's blog home / biashara / kitaifa / national / tanzania / kwa taarifa yako sera ya taifa ya huduma ndogo za fedha ya mwaka 2017 imezinduliwa leo dodoma kwa taarifa yako sera ya taifa ya huduma ndogo za fedha ya mwaka 2017 imezinduliwa leo dodoma pichani juu makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa samia suluhu hassan akihutubia wakati wa uzinduzi wa sera ya taifa ya huduma ndogo za fedha ya mwaka 2017 pamoja na mkakati wa utekelezaji uliofanyika kwenye ukumbi wa wizara ya fedha na mipango mjini dodoma (picha na ofisi ya makamu wa rais)
2018-05-20T23:35:50
http://www.mdimuz.com/2017/10/kwa-taarifa-yako-sera-ya-taifa-ya.html
bouman she wanna be muzikizaidi total post views 609 bouman pro anakujia na goma jipya kwa jina she wanna be ikiwa ni presentation ya #sanaamtaa download mp3 & share na marafiki jorvin voice covid19 bouman pro haikua rahisi ink murano ft naiboi sondeka (remix) ← fidovato & dipperrato ft dogo janja & john rodgers how we do chaka boy imani → total views 1030025 fidovato & dipperrato ft dogo janja & john rodgers how we do brand new toka kwa fidovato & dipperrato ft dogo janja
2020-08-10T08:52:45
https://muzikizaidi.com/bouman-she-wanna-be
hichi ndicho kinachokuzuia wewe kufikia mafanikio makubwa amka mtanzania umewahi kuona mtu hajafanikiwa na hana mpango wowote wa kuelekea kwenye mafanikio ili hali ana uwezo wa kufikia lengo fulani unaweza ukamshangaa sana na kuona labda amelogwa ama ana matatizo watu wengi kwa kipindi fulani kwenye maisha yao wanapitia hali hiyo na wanaoweza kuitambua na kujiondoa ndio wanafikia mafanikio makubwa kila mtu ana eneo la faraja comfort zone ambapo nje ya eneo hilo hawezi kutulia mpaka ahakikishe yuko kwenye eneo la faraja bila ya mtu kundolewa kwenye eneo la faraja ni vigumu sana kwake kuchukua hatua kama mtu ameshajiwekea eneo lake la faraja ataishi kwa hali hiyohiyo kwa muda wote ambao atakuwa anafarijika kwa mfano unaweza kukuta mtu ameajiriwa lakini kila siku anasema anataka kufanya biashara ila miaka inaenda anashindwa kuanzisha biashara mtu anaweza kufanya kazi isiyo na maslahi bora kwa zaidi ya hata miaka ishirini kwa sababu tu yupo kwenye eneo ya faraja kwa mfano mtu anaona kuwa na nyumba na kupata chakula na mahitaji mengine ya familia yake ndio faraja yake kwenye maisha anaweza akawa na uwezo wa kupata mengi zaidi ya hapo ila hafanyi kwa sababu hajapungukiwa watu wengi waliofanikiwa sana duniani historia zao zinaonesha walipitia mambo mengi magumu kuna ambao walifukuzwa kazi wengine walifukuzwa shule wengine walikosa hata pa kulala wengine walitengwa kabisa na jamii mapito haya yaliwafanya waondoke kwenye comfort zone zao na kuangalia njia bora za kuwaepusha kupitia waliyopitia sikushauri ujipitishe kwenye hali ngumu ili kuondoka kwenye eneo lako la faraja nachokushauri hapa ni kujitathmini wewe binafsi na kuna ni jinsi gani unaweza kufanya zaidi ya unavyofanya kila mtu anauwezo wa kufanya zaidi ya anavyofanya sasa hivi hakuna ukomo zaidi ya unaouweka mwenyewe kinachkufanya usifikie mafanikio makubwa ni ukomo uliojiwekea kwenye comfort zone yako kamwe usijishushe na kujiona wa chini
2018-12-17T15:24:50
https://amkamtanzania.com/2013/07/12/hichi-ndicho-kinachokuzuia-wewe-kufikia-mafanikio-makubwa/
kapwani amshindwa lukuvi ismani ajitosa kwa mbega | matukio daima home » » kapwani amshindwa lukuvi ismani ajitosa kwa mbega kapwani amshindwa lukuvi ismani ajitosa kwa mbega written by mzee wa matukiodaima habari bila uoga on tuesday january 19 2010 | 1141 am mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) mkoa wa iringa ben mwigongo kapwani (52) ametangaza kugombea ubunge jimbo la iringa mjini linaloongozwa na monica mbega (ccm) na kuwaomba wananchi wa jimbo hilo kumuunga mkono bila kujali itikadi zao za vyama kapwani ambaye mwaka 2005 aligombea ubunge jimbo la ismani linaloongozwa na mbunge wiliam lukuvi ambaye ni mkuu wa mkoa wa dar es salaam amesema kuwa katika uchaguzi huo ameona ni vyema agombee jimbo la iringa mjini ambako ni nyumbani kwake akizungunza mtandao huu kapwani ambaye ni mwana taaluma wa masuala ya udaktari na uongozi alisema kuwa mwaka 2005 alilazimika kwenda kupambana na lukuvi ismani baada ya kuona hakuna chama cha upinzani abacho kilikuwa kimejitokeza kuweka mgombea katika jimbo hilo hivyo alisema kutokana na hivi sasa chadema kuwa na mpango wa kuweka mgombea katika jimbo hilo kwa upande wake ameamua kuja kugombea katika jimbo la iringa mjini ambako ni nyumbani kwake na mgombea ambaye aligombea mwaka 2005 kupitia chadema mashaka tagalile alijiunga na ccm kabla ya kufariki dunia pia alisema mwaka 2005 chadema ilishika nafasi ya tatu ikifuatiwa na tlp na kuwa jitihada mbali mbali zimefanywa na chadema kuhakikisha wanajijenga vizuri ikiwa ni pamoja na kuongeza idadi ya wanachama kutoka ccm na baadhi yao wamejiunga kutoka vyama vya upinzani akiwemo aliyekuwa mgombea ubunge wa tlp mchungaji peter msigwa hivyo alisema kuwa nguvu hiyo ya wanachama kutoka ccm na vyama vya upinzani inaweza kabisa kukiwezesha chadema kuchukua jimbo la iringa mjini katika uchaguzi mkuu unaotaraji kufanyika mapema mwaka huu akielezea kuhusua mikakati yake baada ya kumpokea ubunge mbunge wa ccm kuwa ni pamoja na kuhakikisha wakazi wa mkoa wa iringa hasa manispaa ya iringa wananufaika na uwepo wa vyuo vikuuwanawake wanaondolewa manyanyaso makubwa wanayopata katika taasisi zinazotoa mikopo mjini iringa kwa kuanzishiwa benki ya wanawake itakayotoa mikopo ya riba nafuu pamoja na kuhakikisha kuna kuwpo na kiwanda kitakachosaidia kuongeza ajira kwa wakazi wa mkoa wa iringa alisema jimbo la iringa lina kinu cha taifa cha usagishaji ambacho kwa miaka mingi sasa kimekuwa hakifanyi kazi jambo ambalo wao kama chadema watahakikisha kinu hicho kinatumika kwa faida ya wakazi wa manispaa ya iringa hata hivyo kapwani alieleze kusikitishwa kwake na wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kuacha ofisi zao na kukimbilia kugombea ubunge ndani ya ccm kuhusua mchungaji msigwa ambaye ni mwenyekiti wa chama hicho ngai ya wilaya ya iringa mjini kutaka kugombea ubunge kupitia chadema katika jimbo hilo mwenyekiti kuwa ni haki ya kila mwanachama mwenye sifa kuomba kuchaguliwa na kushiriki kuchagua viongozi hivyo hamkatazi mwanachama yeyote kujitokeza kugombea chama chetu kinaendeshwa kwa demokrasia hivyo kutangaza mimi kugombea sio kwamba nawakataza wengine kujitokeza naomba wana chadema wote wenye sifa waweze kujitokeza kugombeaila naomba ieleweke wazi kuwa sio mimi napingana na msigwa katika jimbo la iringa mjini kwani mwaka 2005 msigwa alikuwa mgombea wa tlp sio chadema na sasa amerudi chadema tunamkaribisha kuungana na wachama wengine kuomba nafasi za uongozi rukrsa vikao vya wanachama na wananchi ndio watakaotoa uamuzi
2018-07-20T18:35:58
http://matukiodaima.blogspot.com/2010/01/kapwani-amshindwa-lukuvi-ismani-ajitosa.html
kindoki atunguliwa mabao mawili yanga sc yachapwa 21 mechi ya kirafiki sumbawanga leo bin zubery | presstz your number 1 source of aggregated online content kipa klaus kindoki kutoka jamhuri ya kidemokrasia ya kongo (drc) leo amefikisha mabao nane ya kufungwa yanga sc katika mechi 10 tu alizocheza tangu asajiliwe julai mwaka huu hiyo ni baada ya yanga sc kuchapwa mabao 21 na wenyeji sumbawanga united katika mchezo wa kirafiki uliofanyika uwanja wa mandela mjini humo mabao ya sumbawanga united yalifungwa na romano nchimbi dakika ya sita na john sabas boban dakika ya 61 wakati la yanga sc lilifungwa na kiungo mzimbabwe thabani kamusoko dakika ya 45 klaus kindoki leo amefikisha mabao nane ya kufungwa yanga sc katika mechi 10 tu mabao yote ya sumbawanga united yalitokana na mashuti ya mbali na la yanga kamusoko alifunga kwa shuti la mpira wa adhabu kikosi cha yanga kimeondoka usiku wa leo mjini sumbawanga kurejea mbeya kuunganishe ndege ya atc kesho jioni kurejea dar es salaam ambako jumapili kitakuwa na mchezo wa ligi kuu ya tanzania bara dhidi ya biashara united ya mara katika mchezo huo yanga sc itawa continue reading >
2018-12-10T00:07:11
http://presstz.net/kindoki-atunguliwa-mabao-mawili-yanga-sc-yachapwa-2-1-mechi-ya-kirafiki-sumbawanga-leo-44173407
stars kujipima na 'madenti' wa pretoria jumapili | boiplus » stars kujipima na 'madenti' wa pretoria jumapili stars kujipima na 'madenti' wa pretoria jumapili stars mazoezini leo taifa stars inatarajia kucheza mechi ya kirafiki jumapili na timu ya chuo kikuu cha pretoria (tucks fc) jijini johannesuburg ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mchezo dhidi ya algeria novemba 14 utakaochezwa jijini dar es salaam mchezo huo wa kirafiki ni sehemu ya progamu ya kocha mkuu charles mkwasa baada ya kufanya mazoezi na vijana wake kwa siku nne mpaka sasa anahitaji kuona maendeleo ya kikosi chake kabla ya kurejea nyumbani kwa mchezo dhidi ya mbweha wa jangwani algeria stars iliyowasili jijini johannesburg jumatatu mchana imefikia katika hoteli ya holiday inn express iliopo eneo la woodmead ambapo imekuwa ikifanya mazoezi yake asubuhi na jioni katika viwanja vya st peters college na kituo cha cha michezo cha edenvale kuhusu hali ya kambi mkwasa amesema kuwa maendeleo ya wachezaji ni mazuri na wapo katika hali nzuri hakuna majeruhi na wanaendelea na maandalizi yao kama kawaida lengo la kuweka kambi huku ni kupata nafasi ya kuwaandaa vijana kwa mazoezi katika mazingira mazuri ikiwamo viwanja vya mazoezi chakula na malazi kinachopelekea kuongezeka kwa umakini katika mazoezi tumeanza na mazoezi ya kujenga utimamu wa mwili kwa wachezaji nguvu na stamina pumzi ili kuhakikisha vijana wote wanakuwa katika kiwango sawa (fitness level) kisha tutaendelea na mazoezi ya kiufundi kwa siku zilizosalia kabla ya kurejea nyumbani alisema mkwasa wachezaji 26 waliopo kambini ni magolikipa ally mustafa aishi manula na said mohamed walinzi ni shomari kapombe juma abdul ramadhan kessy mohamed hussein mwinyi haji hassan isihaka salim mbonde kelvin yondani na nahodha nadir haroub cannavaro wengine ni himid mao frank domayo mudahir yayha salum abubakar said ndemla jonas mkude salum telela farid musa saimon msuva malimi busungu elias maguri john bocco na mrisho ngasa aidha wachezaji mbwana samatta na thomas ulimwengu wanaochezea klabu ya tp mazembe ya congo dr wanatarajiwa kuungana na kikosi cha stars baada ya mchezo wao wa fainali ligi ya mabingwa afrika jumapili dhidi ya usm algiers
2017-01-17T06:50:06
http://boiplus.blogspot.com/2015/11/stars-kujipima-na-madenti-wa-pretoria.html
bmt lakagua miundombinu ya baadhi ya shule zinazofundisha elimu kwa michezo nchini baraza la michezo la taifa january 16 2019 january 17 2019 frank mgunga 0 comment baraza la michezo la taifa (bmt) limeanza ziara ya kutembelea na kukagua miundombinu ya shule zinazofundisha elimu kwa michezo katika mikoa ya pwani dar es salaam lindi mtwara na morogoro kwa lengo la kuandaa mkakati mahususi wa uboreshaji wa shule hizo akizungumzia suala hilo akiwa katika shule ya morogoro sekondari afisa maendeleo ya michezo kutoka bmt milinde lutiho mahona amesema serikali kupitia wizara ya habari wizara ya tamisemi na baraza la michezo la taifa imeamua kufanya ukaguzi huo kwa lengo kuu la kufanya tathmini ya utekelezaji wa shughuli za michezo na ufundishaji wa elimu kwa michezo katika maeneo ya miundombinu vifaa vya michezo pamoja na walimu wenye taaluma ya michezo serikali imeona umuhimu wa michezo nchini kwani michezo ni afya na ni ajira pia hivyo imeamua kufanya ukaguzi kwa shule ambazo zinafundisha elimu kwa michezo ili kufanya tathmini ya utekelezaji wa shughuli za michezo na ufundishaji katika maeneo ya miundombinuvifaa vya michezo pamoja na walimu wenye taaluma ya michezo ili tuweze kuandaa mkakati mahususi wa uboreshaji wa shule hizi alisema mahona kwa upande wake afisa michezo mkoa wa morogoro bi grace njau ameipongeza serikali kwa hatua nzuri iliyochukua ya ukaguzi wa shule zinazofundisha michezo kwani kuna vijana wengi sana wenye vipaji ambao wakipata miundombinu bora na vifaa vya michezo wataweza kuongeza juhudi na kuwa wachezaji bora katika michezo mbalimbali nchini na kuweza kulisaidia taifa katika mashindano mbalimbali ya kimataifa kwa kweli niipongeze sana serikali kwa hatua nzuri waliyoichukua ya kukagua shule zetu ambazo zinafundisha elimu kwa michezo kwani naamini hii itasaidia kwa kiasi kikubwa kuweza kuongeza ari kwa wachezaji kufanya vizuri zaidi na kulisaidia taifa katika mashindano mbalimbali ya kimataifa katika siku za usoni alisema grace mwanafunzi wa kidato cha nne shule ya morogoro sekondari hussein msumbiji akielezea changamoto katika usomaji wa somo la elimu kwa michezo nao baadhi ya wanafunzi wa morogoro sekondari wamelezea changamoto kubwa wanayokabiliana nayo katika kusoma somo la elimu kwa michezo kuwa ni miundombinu mibovu pamoja na ukosefu wa vifaa kwa baadhi ya michezo wakati wa kusoma somo hilo kwa vitendo ← kanuni za ngumi za kulipwa zapitishwa tarehe ya uchaguzi mkuu kutangazwa hivi karibuni mheshimiwa mwakyembe ampongeza balozi wa japan tanzania kwa jitihada za kuendeleza michezo nchini → http//nationalsportscouncilgotz/blog/2019/01/16/bmtlakaguamiundombinuyabaadhiyashulezinazofundishaelimukwamichezonchini/>
2019-08-25T19:50:11
http://nationalsportscouncil.go.tz/blog/2019/01/16/bmt-lakagua-miundombinu-ya-baadhi-ya-shule-zinazofundisha-elimu-kwa-michezo-nchini/
kuwaitkuwaitcom 965) 5313625 (+965965) 5313625) kuwait ftaareacom home > kuwait > kuwaitkuwaitcom 965) 5313625 (+965965) 5313625) englishbridecom previouskuwaiti danish dairy company nextkuwaitna
2019-06-19T02:52:12
http://www.ftaarea.com/company-details-34/1234346.html
breaking newsrais dkt magufuli amfukuza kazi mkuu wa mkoa wa shinyanga mama anne kilango malecela | ubuyu breaking newsrais dkt magufuli amfukuza kazi mkuu wa mkoa wa shinyanga mama anne kilango malecela rais wa jamhuri ya muungano wa tanzanaia dkt john pombe magufuli ametengua uteuzi wa mkuu wa mkoa wa shinyanga mama anna kilango malecela kuanzia leo ikulu jijini dar es salaam wakati akipokea hundi ya shilingi bilioni sita zilizotolewa na ofisi ya bunge baada ya kubana matumizi kwa ajili ya kununulia madawati rais magufuli ameeleza kusikitishwa sana na hali hiyo amesema idadi ya wafanyakazi hewa mkoani shinyanga huenda ikaongezeka zaidi kwani wilaya mbili za mkoa huo bado zinaendelea kuhakikiwa rais pia ametengua uteuzi wa katibu tawala wa mkoa huo bw abdul r dachi kwa kumshauri vibaya mkuu wa mkoa mama anna kilango malecela ambaye katika awamu ya nne alikuwa naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi na mbunge wa same mashairiki anakuwa mkuu wa mkoa wa kwanza kuachishwa kazi akiwa amedumu katika nafasi hiyo kwa mwezi mmoja tu == riwaya sorry madam sehemu ya 93 & 94(riwaya inawafaa kuanzia miaka 18 na kuendelea ) habari zilizopo katika magazeti ya leo ijumaa ya disemba 2
2016-12-03T21:54:02
http://www.ubuyublog.com/2016/04/breaking-newsrais-dkt-magufuli-amfukuza.html
kijiji cha nyeburu chapata mkombozi wa mradi wa umeme wa vijijini tuambie na victor masangu pwani mradi wakazi zaidi wa 100 katika kijiji cha nyeburu wilayani kisarawe mkoa wa pwani waliokuwa na tatizo la upatikanaji wa nishati ya umeme na kuishi katika giza kwa kipindi cha muda mrefu kwa sasa wamenufaika baada ya kuunganishiwa umeme kutokana na kukamilika kwa mradi wa umeme vijijini (rea) awamu wa pili baadhi ya wakazi hao ambao wamenufaika na mradi huo wakizungumza na na mwandishi wa habari hizi akiwemo mguya mvutitina emmanuel pamoja na lamia suka wamesema kwamba hapo awali walikuwa wanapata kero ya umeme na kusababisha kukwamisha shughui mbali mbali za kimaendeleo aidha walisema kwamba kukamilika kwa mradi huo kutaweza kuleta chachu kubwa ya kimaendeleo katika kijiji hicho kwani mwanzoni wananchi hao walikuwa wanashindwa tutimiza malengo yao waliyojiwekea kutokana na kutokuwa na nishati hiyo ya umeme “kwa kweli sisi kwa upande wetu kama wananchi wa kijiji hiki cha nyeburu hapo awali tulikuwa tunapata shida kubwa sasa nah ii yote ni kutokana tulikuwa tunaishi giza kipindi chote lakini kukamilika kwa maradi huu wa umeme vijijini hata kijiji chetu kitaweza kuapata maendeleo kwa upande wake meneja wa shirika la umeme tanesco mkoa wa pwani martin madulu alisema kuwa kwa sasa wanatekeleza agizo lililotolewa na serikali kuhakikisha wanawafikia wateja wao wote hususan wale wa vijijini kwa lengo kuweza kuwaunganishia umeme kwa bei nafuu aidha madulu alisema kwamba kwa sasa watahakikisha wanafanya jitihaza za hali na mali katika kuwafikia wateja wao ili waweze kuwa na nishati ya umeme katika maeneo mbai mbali hususan kwa wananchi wanaoishi katika maeneo ya vijijini “lengo letu kubwa kwa sasa tunatakeeza agizo lililotoewa na serikali na tumeshaanza katika maeneo ya chalinze kisarawe na tutaendelea katika sehemu mbali mbali za mkoa wetu wa pwani na tunatarajia kufikia vijiji vipatavyo 109 vilivyopo katika mkoa huu”alisema madulu naye mhandisi mkuu wa miradi ya kupeleka umeme vijijini (rea) mkoa wa pwani leo mwakatobe amebainisha kuwa wanakumbana na changamoto nyingi katika utekelezaji wa majukumu yao hasa wakati wanapotaka kupitisha miundomibu katika makazi ya watu mradi huo wa kusambaza umeme vijijini (rea) awamu ya pili katika mkoa wa pwani unatarajia kuvinufaisha vijiji vipatavyo 109sawa na wateja 11000 ambapo utakamilika mwishoni mwa mwezi wa sita mwaka huu kwa gharama ya kiasi cha shilingi bilioni 30 mabadiliko ya muundo wa kamati za k katibu mkuu bawacha azindua rasmi o waziri wa habariutamadunisanaa na breaking news… msafara wa waz rais dk shein azindua baraza la wa bodi ya wakurugenzi ya tsn y bunge lapitisha bajeti ya ofisi ya mama janeth magufuli awasili mwanza mkulima ni ujuzi sn 2 ep 2 capsicums kamishna jenerali wa magereza nchin ofisi ya mbunge wa chadema mkoani m watu 79 wakamatwa operesheni ondoa wageni rais dkt john pombe joseph magufuli
2018-01-24T09:35:47
http://www.tuambie.com/kijiji-cha-nyeburu-chapata-mkombozi-wa-mradi-wa-umeme-wa-vijijini/
posted on december 15th 2017 kaimu mkuu wa wilaya ya arumeru idd kimanta ambaye ni mkuu wa wilaya ya monduli amepokea msaada wa madawati 740 kwa shule 13 za wilaya ya arumeru zinazozunguka shamba hilo kwa lengo la kutatua changam
2018-06-23T04:10:30
http://arushadc.go.tz/news/30
dc njomberuth msafiri aonya mabaraza ya kata kutenda haki aweka jiwe la msingi ofisi ya kata ya kitisimakambako | mtaa kwa mtaa blog habari habari kijamii habari mchanganyiko habari za nyumbani mkuu wa wilaya ya njombe mhe ruth blasio msafiri akiwa na makamu mwenyekiti wa halmashauri ya mji mdogo makambako na diwani wa kata ya kitisi (ccm) mjini makambako mhe navy sanga wakikagua jengo la ofisi ya serikali ya kata hiyo ripoti fupi kuhusu ujenzi wa ofisi za serikali kata ya kitisi iliyogharimu jumla ya shilingi za kitanzania milioni 16 ilisomwa na afisa mtendaji kata ya kitisi ndugu albert minja imeonyesha zaidi ya shilingi milioni 11 ni fedha za wananchi walizochanga huku kiasi baki kikiwa kimetolewa na mbunge wa jimbo la makambako mhe deo sanga jah people wadau mbalimbali wa maendeleo na fedha kutoka mfuko wa jimbo katika hotuba yake dc ruth msafiri amezungumzia ni kwa jinsi gani serikali ya kata ya kitisi itaweza kuendesha shughuli zake kwa uhuru zaidi huku akiwaonya wajumbe wa mabaraza ya kata kuepukana na upendeleo kwenye maamuzi rushwa na ubadhilifu wowote kwani mabaraza hayo kwa maeneo mengine ndiyo yamekuwa yakikwamisha shughuli za maendeleo aidha mkuu wa wilaya hiyo alitumia sehemu ya maongezi yake kuwaasa wananchi kufanya kazi kwa bidii huku akiwapa nguvu pia wanawake kuhakikisha hawabweteki licha ya kuzungumza hayo pia dc msafiri amewakumbusha viongozi na wananchi kwa ujumla wao kujitokeza kwenye sherehe za upokeaji wa mwenge zitakazofanyika siku za hivi karibuni wilayani hapo diwani wa kata ya kitisi mhe navy sanga (kulia) akimuonesha namna ujenzi ulivyo kamilika mkuu wa wilaya mhe ruth msafiri dc msafiri akitoa maelekezo kwa viongozi wa kata ya kitisi wakati akihitimisha shughuli ya kukagua jengo hilo mkuu wa wilaya ya njombe mhe ruth msafiri akijumuika kucheza kwaya na kikundi cha akina mama cha bwawani beach wakati akiwasili katani kitisi mjini mdogo wa makambako hatimaye imekuwa dc msafiri akifurahi mara baada ya kukata utepe kama ishara ya kuweka rasmi jiwe la msingi kwenye ofisi ya serikali ya kata ya kitisi afisa mtendaji wa kata ya kitisi ndugu albert minja akisoma ripoti ya ujenzi wa ofisi hiyo iliyoanza kujengwa mwezi disemba 2016 akina mama wa kikundi cha bwawani beach wakishirikiana na diwani wa kata ya kitisi mhe navy sanga wakimzawadia mkuu wao wa wilaya zawadi ya kitenge wananchi wa kata ya kitisi wakimsikiliza mkuu wao wa wilaya na diwani wao afisa tarafa ya makambako mhe barthromew mwella mwellange akizungumza wakati wa uwekaji jiwe la msingi ofisi ya kata ya kitisi teammapicha mrpengo monday april 24 2017 labels habari habari kijamii habari mchanganyiko habari za nyumbani
2018-04-22T17:51:22
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2017/04/dc-njomberuth-msafiri-aonya-mabaraza-ya_80.html
monusco yabonye umugaba mukuru wingabo mushya | bwizacom ahabanza amakuru mashya monusco yabonye umugaba mukuru wingabo mushya izabanjeabatorotse mu mikino ya commonwealth bari gukurikiranwaamb olivier nduhungirehe iziherukauko kwibuka bigenda byitabirwa nabatarahigwaga bakwiye kujya batanga ubuhamya
2018-04-21T19:28:09
http://bwiza.com/monusco-yabonye-umugaba-mukuru-wingabo-mushya/
hivi kuna dawa au solution nyingine | jamiiforums | the home of great thinkers hivi kuna dawa au solution nyingine discussion in 'jf doctor' started by situmai oct 29 2012 kwa mwanamke kuna dawa ya kuongeza hamu ya kufanya sex au nini kifanyike kama hamu huna kabisa huna hamu nicheki huna hamu nichekiclick to expand hhahah hapo ndio wana jf mnaponifurahishaalways utani while naomba ushauri kwa mwanamke kuna dawa ya kuongeza hamu ya kufanya sex au nini kifanyike kama hamu huna kabisaclick to expand nina hakika kila mtu amezaliwa na since za kumufanya asikie hamu ya kila kitu kuanzia kula na hata kwenye tendo lenyewe ila tofauti ya mtu na mtu ni wapi ambapo mtu anapata ule mtekenyo wa kumfanya apate ile hamu yawezekana wewe mwenyewe hujajifahamu ni wapi ukiguswa unapata ile ashiki au mpenzi waku anakurupuka tu bina kukuandaa (yaani anafanya mapenzi kwa mazoea ya kulenga tundu tu) jitafiti kwanza mwenyewe nina hakika kila mtu amezaliwa na since za kumufanya asikie hamu ya kila kitu kuanzia kula na hata kwenye tendo lenyewe ila tofauti ya mtu na mtu ni wapi ambapo mtu anapata ule mtekenyo wa kumfanya apate ile hamu yawezekana wewe mwenyewe hujajifahamu ni wapi ukiguswa unapata ile ashiki au mpenzi waku anakurupuka tu bina kukuandaa (yaani anafanya mapenzi kwa mazoea ya kulenga tundu tu) jitafiti kwanza mwenyeweclick to expand asante kwa ushauri lakini mbona wakati wa nyuma nilikuwa na enjoy tusehemu za mtekenyo anazijua ila siku hizi akinishika si feel kitu asante kwa ushauri lakini mbona wakati wa nyuma nilikuwa na enjoy tusehemu za mtekenyo anazijua ila siku hizi akinishika si feel kituclick to expand mmeboana sana huko nyuma may be umemchoka na vioja vyake lkn unajilazimisha tu sababu huna jinsi hapo hisia ni mara moja kwa mwezi mvuto uliokuwepo haupo tena maana hiyo ni kama dalili ya kutomfeel tena mpenzio jaribuni kubadilisha mazingira yakufanyia tendo jaribuni kubadilisha mazingira yakufanyia tendoclick to expand astakafilalah kitu t astakafilalah kitu tclick to expand hahaa you quote me wrong i mean they should change the environment sometimes we nae jamani looool hahaa you quote me wrong i mean they should change the environment sometimesclick to expand huyo alo ku misquote kakajambazi sijui anawaza nn imebidi nicheke badilisheni mazingirastyle hizo kwa hizo zinachosha au mazingira hayo kwa hayo yanachoshajaribuni vitu vipya na mazingira mapyana muwe wawili 2i mean kama mna watotosiku hiyo wapelekwe kwa bibi yaohamu itakuja tu we situmai mara kuma yako ya moto(thats what i like) mara tena huna ham i wish ningekutana na wewe nimalize matatzo yako yotemi sitanii am seriouz thread zako huwa zinanidindi***naomba unipm nikupe raha ambayo nina uhakika hujawah kupewa
2017-07-26T17:14:00
https://www.jamiiforums.com/threads/hivi-kuna-dawa-au-solution-nyingine.346075/
vidot kwenye ngozi pembeni mwa macho | jamiiforums | the home of great thinkers vidot kwenye ngozi pembeni mwa macho discussion in 'jf doctor' started by offline user oct 12 2012 habari wadau ni karibu mwaka sasa ngoz yangu pemben mwa macho imekua na vidot kama vipele vyeusi (kama vya mh mmoja hv) kila siku vinazidi kuongezeka na nnakua na wasi sana naombeni kujua vinasababishwa na nn na nn matibabu yake asanten habari wadau ni karibu mwaka sasa ngoz yangu pemben mwa macho imekua na vidot kama vipele vyeusi (kama vya mh mmoja hv) kila siku vinazidi kuongezeka na nnakua na wasi sana naombeni kujua vinasababishwa na nn na nn matibabu yake asantenclick to expand pole ndugu yangu ni kama vile vya waziri wa nchi mahusiano nini pole ndugu yangu ni kama vile vya waziri wa nchi mahusiano niniclick to expand hahahaha hv bado vichanga na vinahesabika kilianza kimoja now viko kama kumi hv pande zote duh vya wale waheshimiwa viko level nyingine hahahaha hv bado vichanga na vinahesabika kilianza kimoja now viko kama kumi hv pande zote duh vya wale waheshimiwa viko level nyingineclick to expand wasiliana na mheshimiwa waziri ujue vya kwake vilianzaje mkuu usipowahi tiba unaweza kufanana naye wasiliana na mheshimiwa waziri ujue vya kwake vilianzaje mkuu usipowahi tiba unaweza kufanana naye click to expand haina noma mazee pengine nkifanana naye nawezaukwaa uwaziri kama wake niwatishie wapinzani 2015 ila huna ushauri mwingine wa kitabibu dr au phd yako umeungia nn mr kama una access na mtu ambae yuko nje mwambie akutumie dermated hii ni cream vitapotea ktk siku 4 au 5 na havirudi pia hakutakuwa na kovu wala nini samahani kama itakukwaza kuupata uwaziri alternatively wewe google waweza pata mbadala vinaitwa moles au waweza tumia skin tags ktk search yako haina noma mazee pengine nkifanana naye nawezaukwaa uwaziri kama wake niwatishie wapinzani 2015 ila huna ushauri mwingine wa kitabibu dr au phd yako umeungia nnclick to expand hapana mkuu mie nina phd ya mambo ya menejimenti na utawala nimeona mdau hapo juu kasema ununue dermated nipo nje ya nchi nitaulizia dukani then nita ku pm soon naweza kukutumia mkuu kama nitaipata samahani kama itakukwaza kuupata uwaziri alternatively wewe google waweza pata mbadala vinaitwa moles au waweza tumia skin tags ktk search yakoclick to expand nashukuru umenisaidia maana hata mimi vinanianza usoni ni vibaya sana kila kukicha vinaongezeka 0 people likes asante sana mkuu ntajitahidi kulifuatilia hilo manake uhandsome wangu utapotea hv hv ila uwaziri ntaupata tu haijalishi ninavyo au sina hahahah hapana mkuu mie nina phd ya mambo ya menejimenti na utawala nimeona mdau hapo juu kasema ununue dermated nipo nje ya nchi nitaulizia dukani then nita ku pm soon naweza kukutumia mkuu kama nitaipataclick to expand asante dr nitashukuru kwa msaada wako nashukuru umenisaidia maana hata mimi vinanianza usoni ni vibaya sana kila kukicha vinaongezeka click to expand ebana vinakera sana na kukosesh raha ukiwah kupata tujulishane maendeleo sidhani kama ni tatizo kubwa kiasi hicho ninavyo na nilishatafuta ushauri wa waatalamu wa ngoz lakini waliniambia niachane navyo maana siyo vyangu wakimaanisha ni mambo ya kurithi sidhani kama ni tatizo kubwa kiasi hicho ninavyo na nilishatafuta ushauri wa waatalamu wa ngoz lakini waliniambia niachane navyo maana siyo vyangu wakimaanisha ni mambo ya kurithiclick to expand vilikuanza lini ukiwa na umri gani mimi ni chin ya mwaka sasa na naona vinazd kuongezeka nina over 30yrs na sijawahi kuona ndugu yeyote mwenye tatizo hili kuona ndugu yeyote mwenye tatizo hiliclick to expand dogo acha utoz huko ndio kukuwana kwa taarifa yako ukigonga 50yrs ngozi itaanza kuota makunyanzini vitu nya kawaida tuuuhandsome unamipaka yake na kiume sio sura ni pesatafuta pesa kujazilizia uhandsome unaoanza kukutupa mkonokwann usiwe kama mh zito kabwena ni kitu ndogo tu wala sio ishu umenielewa kijana umenielewa kijanaclick to expand of course vichukulie simplemimi wala huwa sijiulizi vilinianza ukubwani kwenye 22 years nadhani hata mimi sijaona mwenye navyo kwetu lakini inawezekana kwenye vizazi vilivyotangulia nmekuelewa mkubwa of course vichukulie simplemimi wala huwa sijiulizi vilinianza ukubwani kwenye 22 years nadhani hata mimi sijaona mwenye navyo kwetu lakini inawezekana kwenye vizazi vilivyotanguliaclick to expand asante mkuu u sound so polite gt nmekuelewa mkubwaclick to expand nashukuru kwa uelewa wako wa haraka kijana pia ongezea ujuzi huu wa hiyo kitu toka kwa ancient chinesse knwoledge regarding hizo kitu my chinese palm readingdocx
2016-12-06T18:04:12
http://www.jamiiforums.com/threads/vidot-kwenye-ngozi-pembeni-mwa-macho.337083/
the network kutoka libyawaasi waingia mji mkuu tripoli kutoka libyawaasi waingia mji mkuu tripoli habari zilizojiri kutoka libya zinasema mapigano makali yatikisa mji mkuu tripoli kati ya waasi na wanajeshi wa serikali nchini humowatu zaidi ya 1000 wadaiwa kufa na wengine 5000 kuumia vibayakatika mapigano hayo makali yaliyozuka mida ya saa asubuhi leo waasi nchini libya wamedai kumteka mtoto wa gaddafi saif alislam kwa habari zaidi soma hapa by rik kilasi on sunday august 21 2011 labels libya crisis 2011
2017-10-20T01:31:30
http://rijaki.blogspot.com/2011/08/kutoka-libyawaasi-waingia-mji-mkuu.html
maelezo ya kina ya edward lowassa kuhusiana na sakata la richmond afya yake utajiri wake na kwa nini alikuwa kimya kwa miaka yote 7 bongoswaggzcom about us maelezo ya kina ya edward lowassa kuhusiana na sakata la richmond afya yake utajiri wake na kwa nini alikuwa kimya kwa miaka yote 7 hatimaye waziri mkuu wa zamani edward lowassa jana alivunja ukimya wa muda mrefu alipofanya mahojiano ya ana kwa ana na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari katika mkutano huolowassa aliitumia nafasi hiyo kutangaza msimamo wake wa siasa ndani ya chama cha mapinduzi (ccm) lowassa aliitumia fursa ya mahojiano hayo yaliyofanyika nyumbani kwake eneo la area c mjini hapa kuwaeleza wahariri kuwa hana mpango wa kuhama ccm licha ya kuwapo shinikizo la chini kwa chini la kumtaka aondoke na kwamba wale wote wanaomtaka au wanaotamani aondoke wanapaswa kuondoka wao sakata la richmond moja ya ushauri wangu wakati ule ilikuwa ni kutaka kuvunja mkataba wa richmond nikaita wataalamu nikawaelezea kuhusu habari za magazeti kuwa zinasema hawa jamaa (richmond) hawana fedha hebu angalieni nikaita wataalamu na mwanasheria mkuu nikawaambia kuna hii habari kuweni makini pamoja na hayo nikaweka kwa maandishi kwa mwanasheria mkuu pia kulikuwa na timu ya mashauriano ya serikali iliyokuwa chini ya makatibu wakuu nao walikuwa na vikao vyao ilikuwa inaongozwa na (katibu mkuu wizara ya fedha (gray mgonja) nao wakakutana chini ya katibu mkuu kiongozi na baada ya kukutana wakatoa uamuzi ambao sina haja ya kuujadili lakini ubishi ule umetugharimu dola 120 milioni chini ya uongozi wa rais (benjamin) mkapa tukagundua hawa jamaa (city water) ni matapelitulifanya kikao saa tisa alasiri tukachukua kibali cha kumkamata yule mzungu wa city water na tukamfukuza akaondoka siku hiyohiyo kwa ndege kurudi kwao tulifanya saa tisa alasiri ili asiende mahakamani kupata zuio kwa hiyo tulivizia muda huo ili asije kwenda kupata zuio nini tofauti ya lowassa nje ya serikali na ambaye angeendelea kuwa waziri mkuu na kisha kugombea urais naamini kuwa kama tungeanza kwa kasi ile tuliyoanza nayo nikiwa waziri mkuu sasa ningepita napunga mkono ningepata kura zote lakini kinachonisikitisha tumekuwa hatufanyi maamuzi magumu au rahisi kila kitu kinakwenda legelege rais amefanya jitihada kubwa lakini kuna mambo katika nchi hayaendi matokeo yake uganda kenya na rwanda zinatupita sasa haifai lakini nawaachia uhondo nitaelezea vizuri jumamosi arusha kwa nini alikuwa kimya kwa miaka yote 7 kwa miaka saba niliona ni hekima kunyamaza askofu mmoja alinifundisha kuwa ukimya ni hekima kutoka kwa mungu nilichagua kuwa kimya nilinyamaza kwa sababu ilikuwa salama kunyamaza ningezungumza ningeweza kutibua mambo kwenye nchi na kusababisha mambo ambayo hayapo nilinyamaza ili kuipa muda serikali ifanye kazi yake sikupenda kuzungumza kwa sababu ya siasa nyingi za uhasama na kutishiana kwingi kuna kusingiziana kwingi kufitiniana kwingi kukaa kimya ni jambo gumu sana kwa mwanasiasa lakini nashukuru mungu niliweza hilo alisema lowassa ambaye jumamosi atatangaza nia ya kuwania urais mjini arusha ni kweli afya yake ni mbovu hata nikikimbia kilomita 100 watasema mimi mgonjwa hivi karibuni nilitembea kilomita tano na albino jijini dar es salaam kuna watu wakasema nimechoka sana nimepata stroke na nimekimbizwa ujerumani kutibiwa huo ni upuuzi mtupu kuna chuki imeingia katika siasa zetu na kutakiana mabaya afya ni neema kutoka kwa mungu tu napenda kuwahakikishia kuwa nipo fiti na nipo fiti na kwa lolote nadhani ni wakati sasa kwa chama chetu waweke utaratibu wanaogombea nafasi hii ambayo nitaitangaza jumamosi tukapime wote afya na mimi nitakuwa wa kwanza kujitokeza kwenda kupima alipoulizwa ana utajiri kiasi gani na fedha anazochangia kwenye harambee makanisani na misikitini zinatoka wapi lowassa alisema anatamani angekuwa tajiri lakini anachukia umaskini tatizo siku hizi kuna maneno mengi kila nyumba nzuri wanasema ya lowassa mimi nina nyumba chache na ngombe kati ya 800 na 1000 kwetu umasaini unapokuwa kiongozi unapewa ngombe ili usipate taabu kwa ajili ya kuwakarimu wageni wanapokuja wala usiwe ombaomba au usichukue rushwa lakini kama kuna mtu mwenye shaka na utajiri wangu aende sekretarieti ya maadili kule ataona kila kitu alisema nachukia umaskini napenda utajiri natafuta uongozi wa nchi hii ili kuwasaidia watanzania kuwa matajiri na si kukumbatia umaskini hii kudanganya watu kwamba nikiwa maskini ndiyo nafaa kuwa kiongozi ni ujinga ambao inabidi tuuache nataka watu wawe matajiri tuache kuwabeza matajiri matajiri wawe ni mfano kwa wengine watu kama (reginald) mengi (said) bakhressa na (nazir) karamagi wanatakiwa kuwa mfano kwa wengine tungekuwa na watu kama hawa 20000 nchi hii ingekuwa haikopi nje naukataa umaskini na nauchukia umaskini nakataa umaskini na ninataka watu wanihukumu kwa hilo alisema kuhusu kushiriki harambee nyingi na anakopata fedha alisema sina fedha ila nina marafiki wengi nikipata mwaliko wa kuchangia nawatafuta marafiki zangu wanachanga mfano juzi nilipomwakilisha makamu wa rais mjini arusha marafiki zangu walichangia sh100 milioni makamu wa rais alichangia sh10 milioni na watu wa arusha wakatoa sh100 milioni hizo hazikuwa fedha zangu ila ni watu walichangia nafurahia kufanya harambee harambee zangu zinasaidia misikiti makanisa na shule hivi ni vitu vya maendeleo ya watu nawashauri na wabunge wafanye hivyo kwenye majimbo yao hata shule za kata zilichangiwa kwa harambee tusionee aibu ni jambo jema alisisitiza
2017-05-24T23:28:35
http://www.bongoswaggz.com/2015/05/maelezo-ya-kina-ya-edward-lowassa.html
sababu za luiz na willian kutosafiri pamoja na coutinho na fernandinho kurejea england millardayocom sababu za luiz na willian kutosafiri pamoja na coutinho na fernandinho kurejea england imezoeleka mara nyingi wachezaji wanaocheza soka katika nchi moja wanaporejea katika ligi zao baada ya mapumziko ya mechi za kimataifa zilizopo katika kalenda ya fifa urudi kwa pamoja stori iliyokuwa imeingia kwenye headlines ni kuhusiana wachezaji wa timu ya taifa ya brazil wanaocheza england kusafiri tofauti willian na david luiz wanaocheza chelsea hawajasafiri pamoja na wachezaji wenzao wa timu ya taifa waliokuwa pamoja nao coutinho wa liverpool na fernandinho wa man city luiz na willian wao wamesafiri peke yao na coutinho na fernandinho wamesafiri pamoja tofauti na ilivyozoeleka stori kutoka 101greatgoalscom inaeleza kuwa chelsea wameacha willian na luiz wasafiri na ndege ya kawaida kurejea england kwa sababu hawachezi jumamosi kama ilivyokuwa kwa coutinho na fernandinho ambao vilabu vyao vinacheza jumamosi na chelsea anacheza jumapili kitendo hicho cha kusafiri kwa kutumia ndege ya kawaida kinatafsirika kama kutomfurahisha david luiz kutokana na kutumia account yake ya instagram na kuandika too manny flight akiwa ndani ya ndege ujumbe ambao unaashiria kutofurahishwa utaratibu wa kusafiri kwa kuungaunga na kubadilisha ndege ← previous story maneno ya jose mourinho baada ya rooney kunaswa kalewa next story → top 5 timu za basketball zilizotwaa ubingwa wa nba mara nyingi (+picha) soma na hizi video ushindi wa tatu wa man united europa league dhidi ya zorya videofupi sababu iliyopelekea mchezo wa sassuolo vs krc genk ya samatta kuahirishwa matokeo ya mechi za uefa za dec 7 na timu zilizofuzu kucheza 16 bora magazeti (1835)
2016-12-09T01:52:02
http://millardayo.com/gyt67ci9/
bima jobs for february 2020 | freelancer kuhusu bima ajiri insurance agents need candidate for working with leading insurance company 6 siku left utafiti wa fedha financial sales bima miongozo utangazaji wa bidhaa kazi nyingine zinazohusiana na bima role jibon bima corporation bima productions pradhan mantri jeevan jyoti bima yojana sbi pradhan mantri jeevan jyoti bima yojana form pradhan mantri jeevan jyoti bima yojana in hindi pradhan mantri jeevan jyoti bima yojana benefits
2020-02-25T18:46:49
https://www.freelancer.co.ke/jobs/insurance/
elimu michezo kwa ajili ya watoto dwarf kijiji watoto wa elimu ya michezo online kwa bure elimu michezo kwa watoto elimu ya michezo kwa ajili ya watoto online siyo tu njia kwa ajili ya burudani bali pia uwezo super kufundisha watoto kufikiri kwa sababu mzulia na kuthibitisha watoto wa elimu ya michezo online kwa bure itasaidia mtoto wako kuanza kufikiri na kufanya maamuzi sahihi kwa haraka elimu michezo online kwa ajili ya watoto kuwa na mengi ya muziki na kuwa hakuna vikwazo umri michezo kwa ajili ya ladha yote na michezo hii unaweza urahisi kufundisha misingi ya hisabati na sayansi nyingine kwamba katika siku za baadaye kwa urahisi kukabiliana na mtoto wako faida kubwa kwamba mtoto si kulazimishwa kufanya kitu kufundisha lakini ni ya kutosha kuonyesha michezo hii na yeye mwenyewe kuwa alicheza kuelewa namba na taarifa nyingine
2017-11-18T19:27:57
http://sw.itsmygame.org/developing-game.htm
tumuadhimishe nani ackyshine blog👍kali🐨tz😂2017💯 👉❔ tumuadhimishe nani👇 ⏪swali lililopita baada ya hukumu ya mwisho itakuwaje ⏩swali linalofuata je tumuadhimishe mungu katika nafsi zake tatu pia nitumie maoni yako kuhusu tumuadhimishe nani hapa 57e7e6b043bf3bc742b7505f80f410e8_1495578669 ⏬⏬ endelea kusoma maswali haya yafuatayo ili kuelewa zaidi swali hili kuhusu 👉tumuadhimishe nani👇 a2e2833b6bd2bfbd24426f03f12237cd_1495578670
2017-05-23T22:31:10
http://www.ackyshine.com/katekisimu:tumuadhimishe-nani
hassan kessy aisaidia nkana fc kuipiga cs sfaxien 21 leo kitwe kombe la shirikisho bin zubeiry sports online hassan kessy aisaidia nkana fc kuipiga cs sfaxien 21 leo kitwe kombe la shirikisho bin zubeiry sports online mwanzo > habari za nyumbani > hassan kessy aisaidia nkana fc kuipiga cs sfaxien 21 leo kitwe kombe la shirikisho hassan kessy aisaidia nkana fc kuipiga cs sfaxien 21 leo kitwe kombe la shirikisho beki mtanzania hassan ramadhani kessy leo amesaidia klabu yake nkana fc kuibuka na ushindi wa 21 dhidi ya cs sfaxien katika mchezo wa kwanza wa robo fainali ya kombe la shirikisho afrika uwanja wa nkana mjini kitwe zambia sasa nkana fc watakuwa na jukumu la kwenda kuulinda ushindi wao kwenye mchezo wa marudiano jumapili ijayo uwanja wa taieb mhiri mjini sfax mabao ya nkana fc leo yamefungwa na kelvin kampamba dakika ya 36 na freddy tshimenga dakika ya 52 wakati la cs sfaxien lilifungwa na habib oueslati dakika ya 84 hassan kessy leo amesaidia nkana fc kuichapa 21 cs sfaxien ya tunisia kikosi cha nkana fc kilikuwa k malunga j musonda m mohammed a bahn hassan kessy s malambo/j ngulube dk76 duncan otieno k kampamba f tshimenga/f mbewe dk71 r kampamba na w bwalya/s musonda dk62 cs sfaxien a dahmen h mathlouthi a zouaghi h amamou h dagdoug n korichi/n zammouri dk72 h jelassi k sokari a harzi h ben ali/h oueslati dk56 na f chaouat mechi nyingine za kombe la shirikisho leo gor mahia imefungwa 20 ntumbani kenya na rsb berkane ya morocco etoile du sahel imeshinda 31 dhidi ya al hilal omdurman ya sudan nchini tunisia na mchezo kati ya wenyeji hassania agadir na zamalek ya misri unaendelea hivi sasa morocco timu hizo zikiwa hazijafungana item reviewed hassan kessy aisaidia nkana fc kuipiga cs sfaxien 21 leo kitwe kombe la shirikisho rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry
2019-04-24T03:52:24
http://www.binzubeiry.co.tz/2019/04/hassan-kessy-aisaidia-nkana-fc-kuipiga.html
anataka kusema nini jamiiforums in a thread kule mmu kuna dada amesema she has slept with more than 120 men so far huyu member kaja na post hii you very sorry u was try to check hiv i want to met you can you proceed it please what was he trying to say hivi kwanini hatuandiki tu kwa kiswahili (au tumix basi maana kiswahili chenyewe sio wote tunakiweza) ila na mwenye hiyo thread nilikonukuu hii hapa nae kingereza chake kibovu imo bora nichemke kwa kiswahili kibovu at least nitaeleweka but english hata mimi nimeiona hiyo thread na nimeshangaa sana kwa nini huyo mdau alitumia lugha ambayo haimudu hii ipo sana hapa jf sometimes i say to myself bora kuchemka kwa kiswahili it goes unnoticed ukichemka kwa kilugha lazima watu watakucheka na kuquestion education but on the other hand tukikosea hata kiswahili kudhungu tutakipatiaje tena maana we talk kiswaz 27/7 na tunashindwa kukiongea kwa ufaswaha shame english hapa jf ni status symbol of which wrung on the social ladder one is kwa hiyo mtu anakifumua tu akijua yuko okwapo watu wawili hapa jf(naomba nisiwataje) wanapenda sana kutumia kiingereza wanapojisikia kufanya hivo na hicho kiingereza ni cha std iiivii huwa kila mara nakomenti hiviungeandika kwa kiswahili ingenoga sana kwa umbumbu walio nao hao watu wananijibu kwa kusema kiingereza kinakupa shida shauri ya kuogopa umande asubuhi ndo maana huelewi ninavimbaga kwa hasira mpaka najisikia ntapasuka hahahaha itabidi niwe makini niwaone hao watu wawili strangely ni mara chache sana watu kucriticize kiswahili isn't it where our critics should have been #justthinkin humu jf nshaona watu si tu kucriticise kiswahili ila kupiga kelele kubwa sana hasa kuhusu wale ndugu zetu wa kagera shinyanga tabora na mara ambao huandika na kusema hivi tafadhari niretee chakura nire hilo eneo ndo linapigiwaga kelele sana kwa kuwa sarufi ya kiswahili ni ya kibantu watanzania wengi hawafanyi makosa makubwa kwenye kiswahili kama wafanyavyo kwenye kiingereza mwali kuna vitu viwili tofauti kuna kuandika kwa accent (ni kosa but understandable) na kuna kuandika makosa kabisa kama wanavoandikaga watu wa kigoma kuandikaga sio kiswahili that is a mistake sio kama anae sema tafadhari hii ni accent tu sema immekua extended to the writting mwali umeongea kama lugha huiwezi si bora kuwaachie wengine wanayoweza waitumie kulikoini kutupa majanga bure jamani kwani ukiandika kwa kikwenu hutapata wachangiaji andika lugha uliyoizoea jamani jamaa anajua kuongea vizuri tu kikristu tatizo amegundua kuwa yumo katika hao 120 tena yeye wa 119 sasa kila herufi anaona kama kirusimduduasibabaike vipi na ubongo umegandaje
2019-03-20T19:08:15
https://www.jamiiforums.com/threads/anataka-kusema-nini.471972/
free zanzibar people from mkoloni mweusi dkt william augustao afariki dunia (musicheze na duwa za wadhulumiwa mutaondoka moja baada ya mwengine) dkt william augustao afariki dunia (musicheze na duwa za wadhulumiwa mutaondoka moja baada ya mwengine) waziri wa fedha na mbunge wa kalenga dkt willliam augustao mgimwa amefariki dunia baada ya kuugua maradhi ya presha muda mrefu dkt mgimwa amefariki leo katika hospitali ya mediclinic kloff nchini afrika ya kusini alipokuwa amelazwa kwa matibabu taratibu za kuurejesha mwili wa marehemu zinafanywa na serikali kupitia ofisi ya ubalozi nchi afrika ya kusini watanganyika musiwe wajinga nyinyi hawa wakumbwa wote wakiumwa tu basi hukimbizwa nchi za nje kwa nini nakuna hospitali ya muhimbili na ya amana ilala kwa nini na wao wasipelekwa katika hospitali hizi kama ni nzuri kama hakuna jibu ndio mujuwe kuwa sio hospitali ni geresha tu na nyinyi mumo mnapelekwa pelekwa tu mipesa yote wanayo ibaa hawa wanapeleka nchi za nje kwa ajili ya watoto wao na nyinyi mnabaki kuwa mafakiri bila ya kuwasahau wazanzibari pesa zao nyingi zimeibiwa na nyinyi watanganyika haya mr willliam augustao mgimwa je mapesa uliyo ibaa na kujirundikia utazikwa nayo je majumba na magari ulijinunulia utazikwa nayo je nyinyi wapumbavu wengine viongozi hamusomi tu kuwa hata muibe vipi muwathulumu watu vipi mkefa munaviwacha hapa hapa na huko muendako mtakiyona maana mumethulumu watu sana hapa dunianimzee sapetu mumemleta kule zanzibar kaiba kafanya ukiritibwa wake weee sasa yuko wapi anonymousjanuary 31 2014 at 532 pmhateful comment will not help hata wewe utakufareplydeletefree zanzibar people from mkoloni mweusifebruary 3 2014 at 601 amushawahi kunisikia nikisema kuwa sitakufa ila sitakufa na kuwacha mamillioni ya watu wakiteseka kwa njaamaradhi nk basi tu kwa kuwa mimi najirudikia mamali na wanangu na wake zangu nikiwawacha wengine wakihaha na kila mwaka nawadanganya maendeleo yanakuja kuweni na amani na utulivu huku naendelea kuiba nikijirundikia mimi siko hivyowala hakuna cha hateful comment ni ukweli na ukweli siku zote unaumareplydeleteadd commentload more
2017-02-21T14:19:03
http://free-zanzibar.blogspot.com/2014/01/dkt-william-augustao-afariki-dunia.html
islam wa dunia | [ar]جريدة يا مصر الإخبارية[en]ya masr news[] الرئيسية / islam wa dunia islam wa dunia dhanaya jihad 16 admin 11 فبراير، 2017 islam wa dunia عاجل التعليقات على dhanaya jihad 16 مغلقة mtume mohammad (saw) alikuwa akisema kwa waislamu msitamani kukutana na maadui na mmwombeni mwenyezi mungu akupeni amani hapa tunadokeza kwamba waislamu hawakupigana na wahabashi wala hawakuwa na vita nao ingawa maeneo ya wahabashi yako karibu mno na peninsula ya kiarabu na kwamba waislamu wanawajua wahabashi na hali zao vyema lakini hawakuwapigania vita wala hawakuyakalia maeneo yao pamoja na udhaifu wake أكمل القراءة » dhanaya jihad 15 admin 11 فبراير، 2017 islam wa dunia عاجل 45 تعليق neno la saif upanga sio mojawapo matamshi ya qurani wala halikutajwa kabisa katika aya yo yote katika qurani ingawa upanga wakati wa kuteremshwa kwa qurani ulikuwa ishara ya ushujaa na ushindi أكمل القراءة » dhanaya jihad 14 admin 11 فبراير، 2017 islam wa dunia عاجل 871 تعليق sio sahihi kwamba uislamu ni dini ya upanga kama yanavyotajwa katika maandishi ya baadhi ya waliojishughulikia kuuchafusha uislamu na ustaarabu wake jambo linalohitaji kujadiliwa kirefu lakini tutatosheleka kudokeza kuwa qurani iliyopitisha uhuru wa kujiunga itikadi yo yote katika aya zake haiwezekani kupitisha katika wakati huo huo kutumia upanga wala chombo cho chote kwa ajili ya kueneza uislamu wala haina njia أكمل القراءة » dhanaya jihad 13 admin 11 فبراير، 2017 islam wa dunia عاجل 400 تعليق kwa hakika uislamu umeharamisha kuwaua watoto wazee padri kipofu mlemavu na mwajiriwa waliomo kampeni mwa maadui kwani watu hawa hawatazamiwi kupigana wala kufanya uadui kwa hiyo imeharamishwa kuwaua ingawa wao ni makafiri kama ikiwa sababu ya kuruhusu kuwaua ni ukafiri basi inajuzu kuwaua wale wanyonge kwani ni makafiri أكمل القراءة » dhanaya jihad 12 admin 11 فبراير، 2017 islam wa dunia عاجل 311 تعليق kuna baadhi ya maoni finyu ambayo hayakubaliki kamwe yanayoashiria kuwa ukafiri unaruhusia mapigano na kwamba waislamu wanapaswa kuwapigania watu ili wawalazimishe kujiunga na uislamu au wabaki na dini yao pamoja na kulipa dhamana jizya maoni hayo ni batili kwani hayaafikiani na aya za qurani wala sunnah za mtume (saw) hata kidogo je kwa nini uislamu umeharamisha kuwaua wanawake watoto na أكمل القراءة » dhanaya jihad 11 admin 11 فبراير، 2017 islam wa dunia عاجل 14 تعليق je waislamu wanawapigania vita wengine kwa sababu ya uadui wao au kwa sababu ya ukafiri jibu lililokubaliwa na maulamaa wa waislamu kwa kutegemea qurani tukufu na misimamo ya mtume na wasio waislamu ni kwamba sababu ya msingi ya kuwaruhusia waislamu kupigana na makafiri ni uadui ama kutofautiana katika dini pasipo na uadui haifai kuwa sababu ya kuwaruhusia kupigana أكمل القراءة » dhanaya jihad 10 admin 11 فبراير، 2017 islam wa dunia عاجل التعليقات على dhanaya jihad 10 مغلقة kauli ya mwenyezi mungu (sw) wameruhusiwa kupigana wale wanaopigwa vita kwa sababu wamedhulumiwa na kwa yakini mwenyezi mungu ni muweza wa kuwasaidia aya hiyo inabainisha kuwa waislamu hawakuwashambulia makafiri kwanza bali kinyume waislamu waliruhusiwa kupigania vita vya kujilinda kutoka uadui waliopatwa nao kwa hiyo kitenzi kilikuja katika kauli ya kutendwa jambo linalomaanisha kuwa sababu ya kuteremshwa kwa aya hiyo أكمل القراءة » admin 11 فبراير، 2017 islam wa dunia عاجل التعليقات على dhanaya jihad 9 مغلقة kwa kweli aya za mwanzo kabisa kuteremshwa kuhusu uagizo kwa kupigania vita ndiyo kauli ya mwenyezi mungu (sw) [wameruhusiwa kupigana wale wanaopigwa vita kwa sababu wamedhulumiwa na kwa yakini mwenyezi mungu ni muweza wa kuwasaidia] [na lau kuwa mwenyezi mungu hawakingi watu kwa watu basi hapana shaka zingelivunjwa nyumba za watawa na makanisa na masinagogi na misikiti] aya أكمل القراءة » dhanaya jihad 8 admin 11 فبراير، 2017 islam wa dunia عاجل التعليقات على dhanaya jihad 8 مغلقة maadui wakiishambulia nchi moja ya kiislamu ghafula wakaiingia na majeshi ya nchi hiyo wakahitaji msaada kutoka kwa wananchi wa kawaida basi papo hapo kila mwislamu hutakiwa kufanya jihad ya kupambana na maadui hao akitumia kila anacho nacho kati ya nafsi au mali au cho chote kingine ambapo jambo hilo bila shaka ni jambo la kubalika kiakili أكمل القراءة » admin 11 فبراير، 2017 islam wa dunia عاجل 7 تعليقات jihad ya binafsi mapigano ni faradhi isiyopitishwa juu ya kila mwislamu kwani majeshi ya nchi yanawawakilisha waislamu kutekeleza faradhi hiyo ambapo waliobaki hawalazimishwi kwa faradhi hiyo wala hawatalaumiwa kwa sababu ya kutoifanya mbele ya mwenyezi mungu (sw) katika siku ya kiyama أكمل القراءة » dhanaya jihad 6 haikubaliki kusema kwamba madamu jihad ni faradhi katika uislamu basi kila mwislamu huwa na haki ya kujihami kwa upanga au silaha na kuwapigania vita wengineo kwa hakika kufanya hivyo uhalifu na kosa kubwa أكمل القراءة » dhanaya jihad 5 admin 11 فبراير، 2017 islam wa dunia عاجل التعليقات على dhanaya jihad 5 مغلقة kama jihad katika uislamu ina maana ya kupigania vita vya kujilinda kwa ajili ya mwenyezi mungu basi itakuwa la kubalika kuwa utetezi huo ni lazima hasa ikiwa hali ya mambo inawajibisha kufanya hivyo أكمل القراءة » admin 11 فبراير، 2017 islam wa dunia عاجل تعليق واحد faradhi ya jihad ambayo baadhi ya watu hujaribu kuichafusha haikupitishwa ila kwa lengo la kutetea nafsi imani na nchi أكمل القراءة » uagizo wa kufanya jihad katika uislamu haumaanishi kuagiza kufanya mauaji bali ni uagizo wa kujitetea kwa maana ya kupambana na anayetuvamia na kupigana naye ili kuzuia uadui wake na kusimamisha uvamizi wake أكمل القراءة » dhanaya jihad 2 admin 11 فبراير، 2017 islam wa dunia عاجل التعليقات على dhanaya jihad 2 مغلقة jiahd katika falsafa ya uislamu haipitishwi kwa ajili ya kupanua eneo la dola la kiislamu au kuzikalia ardhi au kudhibiti rasimali ya watu wengineo au kuwashinda watu na kuwadhalilisha au mambo yo yote mengineyo kati ya malengo ya kimada yanayosababisha kuzuka vita katika staarabu kubwa zaidi duniani hapo zamani na katika enzi ya kisasa bali jihad imepitishwa kwa ajili ya أكمل القراءة » dhanaya jihad 1 admin 11 فبراير، 2017 islam wa dunia عاجل التعليقات على dhanaya jihad 1 مغلقة neno jihad limekuja kwa minyambuliko yake katika qurani tukufu katika aya 31 wakati ambapo neno vita limekuja katika aya 4 tu tunatambua kwamba maana ya jiahd katika aya za qurani na matiniza sunna za mtume muhammad (saw) ni maana mpanazaidi kuliko maana ya kupigania vita ambapo maana ya kupigania vita inamaanisha hasa mapambano kwa kutumia silaha katika vita ilhali jiahd أكمل القراءة »
2018-03-24T19:43:06
http://www.ymasr.com/news/islam-wa-dunia/
wanawake makabila gani sio vicheche | jamiiforums | the home of great thinkers wanawake makabila gani sio vicheche discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by kaldinali sep 2 2012 naelewa ukicheche (kiruka njia) ni tabia binafsi isiyotegemea sana kabila la mtu lakini kila mtanzania halisi anajua kwamba kuna makabila yenye reputation ya kuwa wao ni vicheche hasa wanawake kuepuka kuchafua hali ya hewa sitatoa mfano wowote ijapokuwa najua kila asomae hapa anajua makabila mawili au matatu ambayo wanawake wao wanasifiwa kwa ukicheche (loose balls) swali langu ni je kuna makabila ambayo yana reputation ya kuwa na wanawake watulivu sana na wasio vicheche kwahili nitatoa mifano michache binafsi nimesikia mara nyingi kuwa makabila mengi ya mkoa wa arusha yana mabinti walio tulia sana kama vile wameru na waarusha swali ni je ni makabila gani mengine ambayo wanawake wanasifiwa kwa kuwa watulivu sana na kutokuwa vicheche (majority) kaldinali said swali langu ni je kuna makabila ambayo yana reputation ya kuwa na wanawake watulivu sana na wasio vicheche kwahili nitatoa mifano michache binafsi nimesikia mara nyingi kuwa makabila mengi ya mkoa wa arusha yana mabinti walio tulia sana kama vile wameru na waarusha swali ni je ni makabila gani mengine ambayo wanawake wanasifiwa kwa kuwa watulivu sana na kutokuwa vicheche (majority)click to expand hapo kwenye red majibu unayo mwenyewe watanzaniaclick to expand hahahaha japokuwa una joke lakini jibu lako lina ukweli mkubwa sana wamasaiclick to expand nakubali wamaranguwatulivu kupindukia wambulu/wairaq wanavyojiita wamaranguwatulivu kupindukiaclick to expand naelewa ukicheche (kiruka njia) ni tabia binafsi isiyotegemea sana kabila la mtu lakini kila mtanzania halisi anajua kwamba kuna makabila yenye reputation ya kuwa wao ni vicheche hasa wanawake kuepuka kuchafua hali ya hewa sitatoa mfano wowote ijapokuwa najua kila asomae hapa anajua makabila mawili au matatu ambayo wanawake wao wanasifiwa kwa ukicheche (loose balls) swali langu ni je kuna makabila ambayo yana reputation ya kuwa na wanawake watulivu sana na wasio vicheche kwahili nitatoa mifano michache binafsi nimesikia mara nyingi kuwa makabila mengi ya mkoa wa arusha yana mabinti walio tulia sana kama vile wameru na waarusha swali ni je ni makabila gani mengine ambayo wanawake wanasifiwa kwa kuwa watulivu sana na kutokuwa vicheche (majority)click to expand wee mshikaji bila ya shaka ni mtu wa arusha hutaki dada zako waonekane kuwa ni vicheche badala yake umejifanya kuyasifia kuwa wapo vizuri na sio vicheche wakati ulianza vizuri kabisa kwa kusema kuwa ukicheche ni tabia binafsi ya mtu baadae ukajifanya kuwa unaepuka kuchafua hali ya hewa kwa kutotaja makabila ambayo ni vicheche sasa inakuwaje umetaja hao waarusha kuwa co vicheche mimi kidogo nina mtazamo tofati na wewe nadhani hao sister zako wa arusha uliowataja ndio vicheche wa hatari ila pia naendelea kusisitiza kuwa ukicheche ni tabia ya mtu binafsi sio kabila wala nini( huu ni mtazamo wangu sio lazima uwe kama vile unavyotaka wewe) wangazija wakwereee achen kujsifia wenyewe kwa wenyewe jb n kcheche tabia ya m2 bas nimewahi kumdate mmarangu i must confess hawa wadada ni watulivu sana yule binti tabia na heshima yake ni ya kutukuka wee mshikaji bila ya shaka ni mtu wa arusha hutaki dada zako waonekane kuwa ni vicheche badala yake umejifanya kuyasifia kuwa wapo vizuri na sio vicheche wakati ulianza vizuri kabisa kwa kusema kuwa ukicheche ni tabia binafsi ya mtu baadae ukajifanya kuwa unaepuka kuchafua hali ya hewa kwa kutotaja makabila ambayo ni vicheche sasa inakuwaje umetaja hao waarusha kuwa co vicheche mimi kidogo nina mtazamo tofati na wewe nadhani hao sister zako wa arusha uliowataja ndio vicheche wa hatari ila pia naendelea kusisitiza kuwa ukicheche ni tabia ya mtu binafsi sio kabila wala nini( huu ni mtazamo wangu sio lazima uwe kama vile unavyotaka wewe)click to expand mkuu mimi ni mzigua kwelikweli sina hila ndani yangu wakongosho wahaya wahaya click to expand iwe bojo hahaha kwa makabila haya yafuatayo mimi sina maoni wahaya wanyiramba wapare warangi wambulu wanyaturu jajiwe si kweli bhana
2017-04-28T14:46:49
https://www.jamiiforums.com/threads/wanawake-makabila-gani-sio-vicheche.317228/
mkumbuke mbunifu wa kwanza afroswagga home > throwback > mkumbuke mbunifu wa kwanza zelda wynn valde ni mbunifu wa kwanza mwenye asili ya kiafrica (africanamerican) mwanamama huyu alizaliwa 28/6/1905 lakini kwa bahati mbaya alifariki 26/9/2001 zelda alifungua duka lake mwenyewe broadway katika mji wa new york ambalo lilikua ni duka la kwanza katika eneo hilo kumilikiwa na mtu mwenye asili ya africa zelda alikua ni mbunifu mkongwe mwenye asili ya africa ambae ana duka lake broadway katika mji wa new mwaka 1948 alikua akikuza ujuzi wake kwa kufundishwa na bibi yake pia kufanya kazi na mjomba wake ambae alikua ni mshonaji alianza kushona nguo za masanamu (dolls) na baadae kumshonea gauni bibi yake japo bibi yake hakuuamini sana uwezo wa zelda lakini baada ya kuona gauni alilo mtengenezea alivutiwa nalo zelda kazi yake ya kwanza ilikua katika duka kubwa la nguo ambapo haikua rahisi yeye kuipata lakini alifanya kila jitihada kuthibitisha kuwa anaweza kwa sababu ya kazi yake nzuri watu wakaanza kumtambua na kuanza kumtaka hata wale ambao hawakua na uhakika nae mwanzoni zelda aliweza kufungua maduka yake ya nguo mjini new york na pia midtown manhattan baada ya kuamia huko zelda aliwavutia watu maarufu wengi kama dorothy dandridge joyce bryant ella fitzgerald na mae west mwaka 1949 velda alichaguliwa kuwa rais wa new york chapter of nafad the national association of fashion and accessory designers zelda aliajiliwa na hugh hefner kubuni vazi la kwanza la playboy bunnyakiwa na miaka 65 zelda alijaliwa na arthur mitchell kubuni mavazi kwa ajili ya dance theatre of harlem amefanya kazi nyingi lakini katika umri wa miaka 83 zelda ali staafu kufanya ubunifu na alifariki 2001 katika umri wa miaka 96
2019-10-22T18:46:54
http://afroswagga.com/throwback/mkumbuke-mbunifu-wa-kwanza/
pocketwin simu casino simu roulette & slots | nyumbani » pocketwin simu casino simu roulette & slots pocketwin simu casino bure mikopo slots & michezo £ 5 za simu za the simu casino kwa free simu roulette slot machines & zaidi roulette sms billing pleasure inaendelea baada bonus meza kabla pocketwin simu casino tathmini na thor thunderstruck hakuna amana simu casino kushinda katika pocketwin simu ya gambling casino pocketwin simu casino ni kufunga paced kucheza papo online michezo ya kubahatisha casino kuwapa ninyi inafaa roulette blackjack na yote ya yako favorite michezo casino unahitaji hakuna amana ya kucheza na chini £ 3 kiwango cha chini amana kiasi karibu huna haja ya kuwa na wasiwasi kuhusu kuvunja benki kwa kweli sisi kukupa £ 5 kwa kucheza na tu kwa ajili ya kusajili na sisi pocketwin simu casino inapatikana kwenye wote wa mahiri yako na kibao vifaa simu na ni mchezaji sambamba na mitandao kubwa ya simu za mkononi kwa maana kwamba unaweza kucheza popote unataka juu juu na kadi au simu ya sms casino amana na uondoaji ni rahisi kwa pocketwin simu casino kufanya michezo ya kubahatisha yako online uzoefu stress bure na furaha lipia simu casino michezo kupitia paypal au kulipia sms michezo kutumia yako ya mkono muswada simu na mikopo mikubwa / kadi zote debit kupokea winnings yako na kuangalia binafsi kuanzisha ultra uhamisho rahisi benki kupokea winnings yako njia ya haraka wakati pocketwin simu casino we want you to relax kick nyuma na kuwa na furaha na michezo ya kubahatisha ya mkononi fingertips kwa sababu hiyo unaweza kuwasiliana na sisi kupitia kituo cha msaada wetu wakati wowote waje na kuona kile pocketwin wewe unaweza kutoa leo did you like our pocketwin simu casino tathmini find more reviews here on our home page pocketwin ni kulipa nje kura ya bonuses maalum kila juma ili kuwatuza yao wachezaji simu casino kwa desturi zao na kufanya pocketwin hata kubwa na bora hata kwamba tayari ni hd blackjack na roulette apps ni kuambukizwa juu na jackpot inafaa michezo kuchukua bure pocketwin simu casino bonus today and bank winnings bahati nzuri na kuona wewe katika ukurasa wetu wa nyumbani baada ya wewe kujaribu pocketwin simu casino app
2017-08-21T06:53:58
http://www.mobilecasinofreebonus.com/sw/pocketwin-mkononi-casino-simu-roulette-inafaa/
mahakama yazuia uchaguzi usifanyike jimbo la joshua nassari mwananchi aliyekuwa mbunge wa arumeru mashariki joshua nassari amepeleka kesi ya maombi madogo ya kuomba kibali cha kufungua kesi ya msingi kwa ajili ya kutengua uamuzi ya spika wa bunge la tanzania job ndugai ya kumfutia ubunge wake mei 14 spika ndugai alimuandikia barua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi (nec) jaji semistocles kaijage kumtaarifu jimbo la arumeru mashariki lipo wazi baada ya mbunge wake joshua nassari kupoteza sifa za kuwa mbunge by sharon sauwa na nazael mkiramweni mwananchi [email protected] dodoma mahakama kuu ya tanzania kanda ya dodoma imezuia kufanyika kwa uchaguzi katika jimbo la arumeru mashariki hadi kesi ya maombi madogo ya kufungua kesi ya msingi ya kuomba kutengua uamuzi wa spika wa kumfutia ubunge joshua nassari itakaposikilizwa na kutolewa uamuzi akizungumza leo jijini hapa naibu msajili wa mahakama hiyo dayness lyimo amesema kesi hiyo namba 22 ya mwaka 2019 inasikilizwa na jaji latifa mansoor amesema pia wajibu maombi ambao ni spika na mwanasheria mkuu wa serikali wamepewa siku saba kupeleka kiapo kinzani cha maombi hayo jaji pia ameagiza kusifanyike uchaguzi wowote (jimboni) hadi hapo maombi hayo yatakaposikilizwa na kutolewa uamuzi amesema nassari ambaye alikuwapo mahakamani hapo asubuhi anawakilishwa na mawakili watu ambao ni hekima mwasipe jonathan mndeme na fred kalonga upande wa walalamikiwa unawakilishwa na wakili wa serikali masunga kawahanda kesi hiyo itakwenda tena mahakamani machi 27 kwa ajili ya kusikilizwa naye nassari akizungumza na mwananchi amewashukuru mawakili wake kwa hatua hiyo waliyofikia mei 14 spika wa bunge job ndugai alimwandikia barua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi (nec) jaji semistocles kaijage kumtaarifu jimbo la nassari liko wazi kutokana mbunge huyo kutohudhuria mikutano mitatu ya bunge
2019-04-21T01:16:00
https://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Mahakama-yazuia-uchaguzi-usifanyike-jimbo-la-Joshua-Nassari/1597296-5034368-ibk6t5/index.html
zanzibar ni kwetu health tabia zinazoathri afya zetu kwa kiwango kikubwa health tabia zinazoathri afya zetu kwa kiwango kikubwa kuna tabia ambazo zimekuwa zikiathiri afya zetu kwa kiwango kikubwa kuna wakati tunafanya hivyo aidha kwa kutokujua au kwa kujua hivyo miongoni mwa tabia hizo ambazo huathiri afya zetu kwa kiwango kikubwa ni kama ifuatavyo ulaji mbaya wa chakula ni moja ya athari ambayo huathiro afya zetu moja kwa moja nahapa ndipo watu wengi wana angukia kuna makundi mawili ya ulaji mbaya wa chakula ambapo ni 1ratiba mbaya ya kula chalula watu wengi hawana ratiba nzuri ya kula na wengi huchelewa kula kwa madai kazi zina watinga lakini ukweli ni kuwa ukichelewa kula una ua mwili wako taratibu magonjwa kama vidonda vya tumbo yamekua yaki wasumbua watu wengi kutokana na kushindwa kula kwa wakatikula usiku sana hupelekea mwili kutunza mafuta na ku ongezeka uzito kupoteza uwezo wa kufikirina kusinyaa kwa ubongo kutokana na kukosa cha nguvu kwa muda mrefu 2kula vyakula hatarishi hivyo ili kuepuka mathara yatikonayo na ulaji mbaya wa chakula unachotakiwa kufanya ni kufuata ratiba ya kula pia kuachana mara moja kula vyakula hatarishi
2018-04-27T02:53:05
http://zanzibarnikwetu.blogspot.com/2017/06/health-tabia-zinazoathri-afya-zetu-kwa.html
waziri wa afya afutwa kazi | emmanuel shilatu breaking news blog home » unlabelled » waziri wa afya afutwa kazi waziri wa afya afutwa kazi rais wa rwanda paul kagame amemtimua waziri wake wa afya dr agnes binagwaho aliyeongoza wizara hiyo kwa kipindi cha miaka 5 dr binagwaho alikuwa miongoni mwa mawaziri vigogo katika serikali ya rwanda lakini wadadisi wanasema kutimuliwa kwake huenda kumetokana na utendaji kazi usioridhisha na matatizo yanayoikumba wizara hiyo kwa sasa tangazo lililotiwa saini na waziri mkuu anastase murekezi limebainisha kuwa rais wa jamhuri katika mamlaka yake amemfuta kazi waziri huyo bila kutoa maelezo zaidi lakini wadadisi wanasema huenda matatizo yaliyokuwa ndani ya wizara hiyo ndicho chanzo cha waziri huyo kutimuliwa wakati wa mkutano wa kitaifa mwezi desemba mwaka uliopitawaziri huyo alikosolewa vikali na washiriki waliobainisha tatizo kubwa la ugonjwa wa malaria dr binagwaho alikuwa miongoni mwa mawaziri vigogo katika serikali ya rwanda takwimu zilizopo kutoka wizara ya afya zilibainisha kuwa watu zaidi ya milioni 25 waliathirika na ugonjwa huo mwaka jana hata hivyo katika kipindi cha miezi sita pekee ya mwaka huu wanahesabiwa wagonjwa milioni 14 idadi ambayo ni kubwa sana ikilinganishwa na miaka 5 iliyopita ambapo rwanda ilikuwa miongoni mwa mataifa yaliyokuwa katika nafasi nzuri ya kuangamiza ugonjwa huo tatizo lililobainishwa na wakosoaji ni uzembe uliofanywa na wizara ya afya iliyoagiza vyandarua visivyotimiza viwango vya ubora na kugharimu wizara hiyo dolla milioni 15 za marekani katika ripoti ya mkaguzi mkuu wa mali ya ummawizara ya afya ilibainisha pengo la milioni 10 dollar za marekani zilizotoweka kadhalika swala la utendajikazi mbovu wa hospitali za serikali linalotokana na madaktari bingwa wanaozikimbia hospitali hizo wizara ya afya iliagiza vyandarua visivyotimiza viwango vya ubora na kugharimu wizara hiyo dolla milioni 15 za marekani mwezi uliopita waziri huyo alikiri kuwepo idadi kubwa ya madaktari wanaohamia katika hospitali binafsi wakikimbia mishahara midogo serikalini kuna wanaoona kwamba maamzi yanayochukuliwa kuhusu hayaridhishi kukabiliana na matatizo hayo kuhusu swala la malaria wizara ilikuwa na mkakati wa kutumia washauri wa afya ya uzazi katika kusaidia kutibu ugonjwa huo aidha wizara ilikuwa na pendekezo kwamba waongezewe mshahara na kuruhusiwa kufanya kazi sehemu mbili lakini mswada kuhusu hilo bado unajadiliwa bungeni
2018-02-24T17:48:20
http://ndgshilatu.blogspot.com/2016/07/waziri-wa-afya-afutwa-kazi.html
google yafuta michezo 60 (games)kutoka kwenye soko lake la mauzo (playstote) smatskills home / habari / google yafuta michezo 60 (games)kutoka kwenye soko lake la mauzo (playstote) google imefuta michezo 60 kutoka kwenye hifadhi ya google play baada ya kampuni ya usalama check point kugundua ads za pornograpghy kuonyeshwa katika programu hizo za mchezo ambapo michezo mingi niza watoto baadhi ya programu hizi ni pamoja na yale yaliyopakuliwa zaidi ya mara milioni 1 kama vile ( nights survival craft na mcqueen racing game )ambayo inategemea tabia ya disney pixar kutoka kwa magari ya filamu wakaguzi wa kiusalama (check point ) wananasema ads hizo zinaonyesha matangazo yasiyofaa na ya kimapenzi kujaribu kuwadanganya watumiaji katika kufunga programu za usalama bandia na hujaribu watumiaji kujiunga na huduma za malipo ambazo zina malipo ya akaunti ya mtumiaji msemaji wa google aliiambia fedha times tumeondoa programu hizo kutoka kwenye soko letu la mauzo yaani (play store) tumezima akaunti za watengenezaji na tutaendelea kuonyesha onyo kali kwa mtu yeyote aliyewaweka tunathamini kazi ya check point ya kusaidia kuwaweka watumiaji salama baadhi ya programu pia zinaonyesha matangazo ya bandia ambayo inaonyesha kuwa simu imeambukizwa na virusi na hutoa kiungo hasi kwa safi ya virusi bandia matangazo mengine ambayo hucheza pia hujaribu kumdanganya mtumiaji kuacha namba yao ya simu kwa kuwaambia wamepata tuzo nambari ya simu hutumiwa kujiandikisha kwa huduma za malipo unakumbushwa tu kuwa google ina kipengele cha usalama kinachoitwa google play protect ambacho kinatafuta programu wakati unapozipakua na mara kwa mara hutafuta kifaa chako kwa programu zisizo na madhara ili kuziondoa
2019-10-20T06:10:09
https://www.smatskills.com/2018/01/google-yafuta-game-60-kutoka-kwenye.html
uvccm wamempa rostam aziz kazi ya kuleta mabadiliko ccm | jamiiforums | the home of great thinkers uvccm wamempa rostam aziz kazi ya kuleta mabadiliko ccm discussion in 'jukwaa la siasa' started by mwanasheria mar 24 2011 ha ha ha ha ha teh teh teh teh twi twi twih twih ama kweli inachekesha uvccm wameunda kamati maalumu ya kusaidia kuleta mabadiliko ccm na kamati hiyo inaongozwa na hussein bashe ambaye ni mkurugenzi wa habari corporation kampuni la rostam aziz na bado bashe alisema kwenye mkutano huo kwamba ana maslahi na rostam aziz kuwa ni boss wake lakini bado bashe ndo kapewa uenyekiti hivi kumbe ni kweli raisi wa tanzania na mwenyekiti wa ccm wa ukweli ni rostam aziz kweli ccm sasa haiponi kwa dawa yeyote wameamua kunywa tindikali ili wapone ha ha ha ha ha ni neema kwa wanamageuzi ra ndiye rais wa nchi hii kwani we ulikuwa hujui jombaa ra is evrything in ccm and the gvnt the fisadi is the president and chairman ov thithim since 2005 wakwere wajinga nadhani hata mshenga wa presidaa anatafunwa na mshengakajamaa km kahindi ukikaleta kazini basi wewe ndio mkuu kuliko bosi****** naye kachuckua huu ustaarabu rostam alikaweka basi hakana ujanja kumbukeni bashe aliandaliwa kushinda ubunge nzega ili kumpoteza seleli bila shaka zile kelele za makamba kumnyima jamaa huyo tiketi ya ccm ni kwa kuwa kazi ya kumwondoa seleli ilishakamilika kwa hiyo ra hakulazimisha bashe agombee i'm sure angetaka jamaa angegombea na makamba angekaa kimyaaaa kama ilivyo siku za hapa karibuni
2017-07-24T19:22:47
https://www.jamiiforums.com/threads/uvccm-wamempa-rostam-aziz-kazi-ya-kuleta-mabadiliko-ccm.120718/
discussion in 'biashara uchumi na ujasiriamali' started by game theory jul 14 2009 sasa kichekesho ni mwenye gazeti hili mwenyewe jina lake halipo hata sehemu moja na kijana ambaye ni msomi tuu lakini cha ajabu huyu bwana hapo chini ndiye anamweka front kumfanyia mambo yake&#8230kwa madai kuwa washajiandaa kwa ajili ya uchaguzi wa 2010 kwa mtazamo kuwa hili gazeti litakuwa leading daily paper in tanzania within 6 months sasa utamu zaidi ni kuwa huyu bwana katajwa kwenye kashfa ya ufisadi wa wizara ya utaliiclick to expand hoja ya kumaliza chuo hivi karibuni haina mashiko wapo wenye uzoefu bado wanaboronga tuclick to expand nina wasiwasi na hizi habari unazotuletea siku hizi mkuu benny kisaka si darasa la 7 kama unavyodainina uhakika na ninachoandika hata ukitaka nikutajie sekondari aliyosoma nitakutajia inanitia mashaka kuwa huenda na hizi habari zingine unazotuletea huenda nazo ni zakusikia hujazifanyia uchunguzi wa kutoshaclick to expand kuhusu hili la waliofukuzwa kazi sehemu mbalimbali ambatanisha barua zao za kufukuzwa kazimaana hatuna uakika kama kweli walifukuzwainaonekana wewe ni mropokaji sana hata sehemu ya kazi yako nahisi watu wanapata tabu sana unangea sanakufukuzwa kwao kazi sio kwamba wasipate kazi pengine au wasijiali inavyoonekana wewe una chuki nao kabisa na unataka waharibikiwe sio shindwa na uregee kabisa acheni vijana wajiajili na wapige mzigo wewe endelea kuajiliwa utawasikia kwenye bomba tuclick to expand [/img]meneja masoko wa bodi ya utalii tanzania geofrey meena kushoto akiwa na juma pinto mtanzania ambaye amekuwa mstari wa mbele katika kuutangaza utalii watanzania nchini uingereza ni gazeti la ridhiwani kikwete ambaye ameamua kuanzisha gazeti kwa ajili ya mwakani ili apambane nao wote watakao toa upinzani kwa baba yakeclick to expand wengine wanayaangalia haya mambo kijuujuu tu afadhali umewambia labda wataelewaclick to expand halafu mnalalamika kuhusu media credibility tanzaniaclick to expand gt nimeshakaa mkao wa moviepop corn zangu bado moto kabisaclick to expand
2016-09-25T19:06:19
http://www.jamiiforums.com/threads/gazeti-la-jambo-leo-vituko-vitupu.33692/
uchoraji wa tattoo unaweza kukunyima fursa hizi mwananchi kila mchoro (tattoo) unaowekwa mwilini huwa na maana yakewengine wanachora kwa kujifurahisha lakini wakati mwingine huashiria furaha huzuni au kumuenzi mtu japo ni urembo uliodumu kwa miaka mingi kila mtu kuchora na wengine kuthubutu kufanya hivyo ili kudhihirisha upendo kwa wale wawapendao lakini wakati mwingine inaweza kuwapatia madhara na kuwanyima fursa siku za usoni mara nyingi watu huonekana kuchora tattoo kifuani mkononi mgongoni sehemu zinazoonekana au wakati mwingine huchorwa katika sehemu ambazo ni ngumu kuonekana unapozungumzia tattoo inamanisha uwekaji wa wino kwenye ngozi ya ndani kitaalamu kama dermis kwa kutumia kitu chenye ncha kali mfano mzuri wa watu waliochora tattoo na kufanya ngozi za miili yao kubadilika ni mwanamuziki kutoka nchini marekani lily wayne ambaye amechora tattoo karibu kila sehemu ya mwili wake hadi usoni hapa nchini watu maarufu na wasanii wameonakana kuchora tattoo katika miili yao miongoni mwao wakiwemo nasibu abdul irene uwoya shilole wema sepetu jackline wolper na wengine wengi suala hilo limewafanya kuonekana tofauti na watu wengine hasa katika soko la muziki na filamu wanaoufanya lakini baadhi ya vijana wanaoiga kuchora tattoo za maisha wamekuwa wakikosa fursa walizozitamani na wengine wamekuwa wakiponea chupuchupu mfano katika mashindano ya ulimbwende hayaruhusu mtu mwenye tattoo inayoonekana kushiriki katika kinyanganyiro hicho suala hilo liliwahi kudhihirika kwa rachel george ambaye alikuwa akishiriki mashindano hayo ngazi ya wilaya jijini dar es salam ilibaki kidogo nitolewe lakini nikawahi kuifuta na kwa sababu haikuwa kubwa sana kovu halikuleta shida na rangi ya ngozi yangu nyeusi ilisaidia katika kuficha uangavu wa kovu lile nilikuwa naogopa kufuta kwa namna yoyote ile lakini nikakumbuka kuwa dawa ya nywele ikiwekwa kichwani huwa tunaungua nikaamini inaweza kufuta nikafanya hivyo na matokeo yakawa kama nilivyo tarajia kiukweli ilinipa wakati mgumu nilifikiria mazoezi yote niliyofanya sawa muda pesa vyote ni sawa na kazi bure sikutamani iwe hivyo bali kufuta ikawa chaguo sahihi rachel anasema japokuwa hakubahatika kushinda katika kinyanganyiro hicho lakini alitwaa taji la miss personality lakini siyo huko tu bali zipo hata sehemu nyingine kama jeshini lakini pia kuna kampuni mbalimbali zinazoendeshwa kwa imani za madhehebu ya dini huwa ni ngumu kutoa fursa za ajira kwa watu wenye michoro hiyo lakini hakuna asyejua kuwa msanii wa tmk wanaume family amani temba ni miongoni mwa watu waliowahi kutolewa katika kazi yake kwa mujibu wa simulizi za maisha yake kabla na baada ya kuhitimu mafunzo yanayoonyesha alikuwa akipenda kuwa mwanajeshi ukweli ni kwamba temba alifanya kila awezalo na kufanikiwa kujiunga na mafunzo ya jeshi zaidi ya mara tatu na mara zote alifanikiwa kuhitimu mafunzo lakini mara nyingine kabla hajakabidhiwa ajira anajikuta anaachishwa au anaacha na kisha anarudia tena mafunzo huu ni ushahidi kwamba alikuwa akiipenda kazi hiyo kutoka moyoni lakini kwa sababu ya tattoo aliyonayo ilikuwa ikimkwamisha na sababu hii inaweka bayana kwamba kamwe hataweza tena kuwa mwanajeshi kwa mujibu wa sheria za kitaifa na kimataifa lakini watu waliochora tattoo hukosa pia fursa ya kuchangia damu hata ikiwa ni kwa dharula hiyo ni kutokana na uwepo wa hatari ya kusambaza ugonjwa kwenda kwa mtu mwingine kimsingi mtu aliyechora ndani ya muda mfupi ndio haruhusiwi lakini kwa sababu wakati mwingine sio rahisi kutofautisha tattoo mpya na ya zamani daktari kutoka hospitali ya anglikana buguruni john nelson anasema watu wenye tattoo mara nyingi wanakataliwa kuchangia damu kwa sababu wengi huusishwa na utumiaji wa vilevi pamoja na madawa mbali na hilo pia katika uchoraji wa tattoo kwa sababu vitu vyenye ncha kali ndiyo hutumika huenda mhusika asizingatie suala usalama wa vifaa vyake vya kazi mbali na kuweka makovu yasiyofutika katika mwili pia kwa mujibu wa dk john haule uchoraji wa tattoo huweza kuleta magonjwa ya ngozi kwa wachoraji ikiwemo vipele katika michoro yao allergy (mzio) miongoni mwa madahara hayo pia wnaweza kupata saratani kwa sababu unapotoboa layer ya juu ya ngozi ya binadamui na kuweka wino wenye kemikali huweza kuleta madhara tofauri kati ya mtu mmoja na mwingine jamii haikubali tattoo ingawa katika maeneo ya mijini utamaduni huu unakuwa kwa kiasi fulani jamii duniani kote haikubaliani na utamaduni huo na wachache wanaofanya hivyo huonekana watukutu zipo baadhi ya kazi huwezi kupata nafasi hata kama haijaandikwa katika miongozo ya taaluma fulani
2019-07-19T00:31:00
https://www.mwananchi.co.tz/habari/Makala/johari/Uchoraji-wa-Tattoo-unaweza-kukunyima-fursa-hizi/1597406-5111474-9vn7hl/index.html
yaliyo jiri mkoani ruvuma na mkongwe wa habari adam nindi bima ya afya na mchakato songea ujenzi wa police jamii wa endelea bima ya afya na mchakato songea ujenzi wa police jamii wa endelea washiriki wa mkutano wa bima ya afya wakiwa katika mkutano wa kuhamasisha kujiunga na bima ya afya uliofanyika katika ukumbi wa songea club mjini songea pichani ni mkuu wa mkoa wa ruvuma said thabit mwambungu na mkuu wa wilaya ya songea said thabit mwambungu akihamasiha wana ruvuma kujiunga na bima ya afya kwani tele kwa tele ya bima ya afya ruvuma imepata milioni 30 tu kutokana na manispaa ya songea pekee makamu mwenyekiti wa bodi ya mfuko wa taifa wa bima ya afya ally kiwenge akitoa ufafanuzi wa maboresho ya huduma ya mfuko wa bima ya afya na kuhamasisha wana ruvuma wajiunge kwani sasa hivi huduma inaboreshwa zaidi hadi vijijini alitoa ufafanuzi huo katika mkutano wa bima ya afya uliofanyika katika ukumbi wa songea club mjini songea ujenzi wa jengo la polisi wanawake linavyoendelea mafundi wa jengo hilo justini mgao aliye inama wakipandisha bim katika hatua ya maendeleo ya ujenzi huo posted by adam mzuza nindi at 909 am
2018-02-21T07:07:29
http://songeahabari.blogspot.com/2012/03/bima-ya-afya-na-mchakato-songea-ujenzi.html
wamambwe wikipedia kamusi elezo huru wamambwe ni kabila la tanzania wanaoishi katika mkoa wa rukwa wilaya ya sumbawanga wako pia upande wa zambia lugha yao ni kimambwe wamambwe na warungu wanaongea lugha moja yenye lahaja mbili ni wakulima wa maharage mahindi ulezi mhogo viazi na mboga za majani ukisikia wanaongea utafikiri kifipa lakini maneno yao mengi wanapenda kuchangaya na kiingereza asili ya kabila la wamambwe ni zambia hasa eneo karibu na mji wa mbala wanapenda kula ugali na mahrage na mlenda uitwao mpondesha yaani mlenda mzito vile kamaa jamii nyingine za kibantu ni wafugaji na wawindaji wadogo koo zao kwa upande wa wanaume mara nyingi huanzia na si mfano sinyagwe sichula siame sikonda simfukwe sichone simuyemba simpokolwe simte sikaumbwe simchile simpanzye sikalumba kwa upande wa wanawake huanzia kwa na mfano nanyangwe nachula namfukwe nayame nakonda nachone namuyemba nampokolwe namte nakaumbwe nnampanzye nakalumba nk wakati wafipa asili hawana majina hayo ila wenyewe utasikia nandi kapufi kipesha chula ngua nyami na mengineyo halafu tabia yao mtoto mdogo anapomwita mtu mkubwa kuonyesha heshima lazima amwite kwa uwingi yaani mtu mmoja anaitwa kama watu wengi mfano baba kwa kimambwe huitwa tata kiheshima ataitwa yatata mama huitwa mayo kiheshima yamayo ni kabila ambalo kwa kuongea wanafanana na walungu utofauti wao upo kwa mambo madogo madogo kama vile ngoma za asili adabu usafi ukali na haraka ya kuongea asili ya mambwe ni upole wakati mlungu hataki mchezo ila mmambwe akichukia anachukia kikweli kweli ukoo mkubwa wa kichifu kwa upande wa wamambwe ni akina sichula kama vile kutazungwamfwambomwamba sokoro nk wakati kwa walungu ni akina sikazwe na sichilima kama vile tafuna kapembwazombe londe nk vile wamambwe ni wafanya biashara ya mazao ya mahindi na maharage ukiangalia kwa upande wa wamabwe walioko zambia wamepiga hatua kutokana na miundo mbinu waliojengewa na taifa lao ndio hata wale waliosoma sana wanapatikana ile nchi tatizo linalosumbua kwa upande wa tanzania ni miundo mbinu mibovu kiasi kwamba jamii hii iaonekana kama haipo tanzania ndio maana watu wengi huona kama kabila geni nchini je unajua kitu kuhusu wamambwe kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine makala hiyo kuhusu wamambwe ni fupi mno inahitaji kupanuliwa mapema rudishwa kutoka http//swwikipediaorg/w/indexphptitle=wamambwe&oldid=890077 jamii mbegu za utamaduni wa tanzaniafupimakabila ya tanzania urambazaji ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 11 machi 2013 saa 1107
2013-05-21T03:41:07
http://sw.wikipedia.org/wiki/Wamambwe
kauli ya zari kuhusu diamond kufungua kituo cha redio na tv | mpekuzi kauli ya zari kuhusu diamond kufungua kituo cha redio na tv mama watoto wa diamond platnumz zari the boss lady amempongeza muimbaji huyo mara baada ya kuweka wazi ujio wa kituo chake cha redio na runinga bila kusahau #diamondkaranga na chibuperfume #chibuperfume 2018 looking good👌🙏 hapo jana diamond aliachia video mtandaoni ikionyesha mjengo mpya wa wcb ambao utatumika kama makao makuu ya kampuni hiyo pamoja na studio za wasafi tv na wasafi redio pia utakumbuka hii si biashara ya kwanza kwa diamond kwani ameshaingiza sokoni manukato yake chibu perfume pamoja na karanga
2018-12-11T12:21:24
http://www.mpekuzihuru.com/2018/01/kauli-ya-zari-kuhusu-diamond-kufungua.html
monster high picha lisi pushing for melody carver doll karatasi la kupamba ukuta and background picha (31844526) 27863 mashabiki kuwa shabiki imewasilishwa na monsterhigh44 lisi harrison pushing for melody carver to be made into doll (chanzo facebook) neno muhimu monster high melody vitabu lisi harrison this monster high photo might contain ishara bango maandishi ubao matini and ubao wa chokaa ula d's gonna tickle you draculaura karatasi la kupamba ukuta mh karatasi la kupamba ukuta monster high ghoul spirit video game karatasi la kupamba ukuta 1 frankie stein karatasi la kupamba ukuta 1280x800 cleo de nile karatasi la kupamba ukuta 1280x800 monster high pink karatasi la kupamba ukuta monster high ghouls karatasi la kupamba ukuta 1280x800 clawdeen mbwa mwitu dotd doll new dolls 2012 robecca steam clawdeen and howleen mbwa mwitu draculaura clawd mbwa mwitu monster high collage karatasi la kupamba ukuta 1024x768 monster high argyle karatasi la kupamba ukuta 1024x768 monster high eyes karatasi la kupamba ukuta 1280x800 clawdeen karatasi la kupamba ukuta new dolls 2016 frankie operetta shabiki art version monster high krisimasi ornaments draculaura and clawd mbwa mwitu picture siku cartoons fashion pack's turn into dolls moon mbwa mwitu loups
2018-09-25T01:45:23
http://sw.fanpop.com/clubs/monster-high/images/31844526/title/lisi-pushing-melody-carver-doll-photo
ladha ya uyoga yasaidia wakulima tanzania kutunza misitu monday 18 july 2016 0923 gmt magdalena gwasuma 60 with some of the oyster mushrooms she grows at her home near babati town on the edge of the nou forest in tanzania's northern manyara region trf/kizito makoye when harvests fail farmers turn to cutting forests but growing mushrooms could be an alternative babati tanzaniajuly 18( thomson reuters foundation) magdalena gwasuma anainama kwa makini kwenye kibanda kidogo chenye giza kilichopo nyuma ya nyumba yake ambapo amepanga uyonga kwenye chanja za mbao sikujua chochote kuhusu kukuza uyoga nyumbanitulikuwa tukiuokota msituni bibi huyo mwenye umri wa miaka 60 aliiambia thomson reuters foundation sikujua kukuza uyonga inaweza kuwa chanzo cha kutengeneza kipato gwasuma anayeishi karibu na mji wa babati kando kando ya msituwa nou katika mkoa wa kaskazini wa manyara nchinin tanzania kwa sasa ametambua anaweza kuishi bila ya kukata hovyo misitu maelfu ya watu wanaoishi eneo hilo kwa muda mrefu wametegemea msitu huyo kupata kuni au kutengeneza mkaa na kuuza ili kupata kipato wadadisi wa mambo wanasema wengi wao pia ni wakulima maskini kama vile gwasuma ambao wamekuwa wakisumbuliwa na ukame na mazao hafifu mvua hazitabiriki tena na mabadiliko haya ya hali ya hewa yameathiri uzalishaji na tumekuwa tukipata mazao hafifu na upungufu wa maji kwa mifugo yetu na matumizi ya nyumbani alisema kama iliyo kwa majirani zake gwasuma amehamia kwenye uzalishaji wa uyoga aina ya oyster ili kupata kipato chini ya mradi unaoendeshwa na shirika la kimataifa la farm africa linalojihusisha na shughuli za kuondoa umaskini tanzania ni miongoni mwa nchi zenye uharibifu mkubwa sana wa misitu afrika kusini mwa jangwa la sahara takribani heka 372000 za misitu huharibiwa kila mwaka kwa mujibu wa ripoti ya shirika la umoja wa mataifa la kilimo(fao) miti mikongweambayo ni muhimu sana kuzuia mmomonyoko wa udongo kusafisha hewa na maji na kuzuia mabadiliko ya tabia nchi kwa kunyonya hewa ukaainakatwa holela kutokana na mahitaji ya kuni wataalam wanasema misitu inavyokatwa au kuchomwa sio tu ufyonzwaji wa hawa ukaa unasimama lakini hata gesi ukaa inayohifadhiwa kwenye misitu na uoto mwingine wa asili inaachwa isambae hewani na kuongeza idadi ya hewa inayochafua hali ya hewa alisema lawrence kileo afisa wa farm afrika kugangamaa na mabadiliko ya hewa huku zao la uyoga kiasili limekuwa likiliwa kaskazini mwa tanzania wakulima wengi wamekuwa wakiokota msituni na hawakuzalisha kwa ajili ya biashara lakini farm africa kwa sasa inawafundisha wakulima kuzalisha uyoga wa oyster na kupunguza utegemezi kwenye mazao mengine na kufuga wanyama mradi huo ni sehemu tu ya jitihada nyingi za serikali kusaidia uimara dhidi ya mabadiliko ya tabia nchi kwa kuhimiza wakulima kuwa na njia mbadala za kupata kipato familia maskini ambazo kwa miaka kadhaa zimetegemea misitu kwa ajili ya maisha yao sasa wamefundishwa kuzalisha uyoga kufuma viondo na kuzalisha asali kwa ufadhili kutoka umoja wa ulaya farm africa imewafundisha wakulima 700 kulima uyoga na inatumai ubunifu huo utasambazwa maeneo mengine pishi la uyoga mfumo wa misitu unakubaliana na uzalishaji wa uyoga na wataalam wanawasaidia wakulima kucchagua maeneo muafaka kujenga vibanda vya kuzalishia uyoga ambavyo ni lazima viwe na giza joto na unyevunyevu kileo alisema wakulima pia wanafundishwa namna ya kusindika uyoga ili waweze kuuza ukiwa mbichi au mkavu shirika hilo limeanzisha kituo cha usindikaji na ukusanyaji uyoga ambapo wakulima wanaweza kuja kuuza uyoga kileo alisema kwa kuwa uyoga wenye virutubisho vya protein una mzunguko mfupi wa kuzalisha wakulima wanaweza kuzalisha mwaka mzima na kupata kipato kizuri aliongeza kusema kilo moja ya uyoga ni shilingi elf 6000 gwasuma alisema tangu farm africa ianze kutangaza zao la uyoga kwenye jamii ya watu waishio msitu wa nou miaka saba iliyopita mahitaji ya uyoga kwa matumizi ya nyumbani yameongezeka shirika hilo limesema mratibu wa mradi huo beatrice muliahela alisema wakazi wa hapo awali hawakujua namna ya kupika uyoga zaidi ya kutengeneza mchuzi wengi wao pia walihofia kuula kwa kuwa wamekwisha pewa tahadhari kuwa baadi ya aina ya uyonga zina sumu alisema ili kuongeza uelewa juu ya zao la uyoga farm africa imekuwa ikiandaa tafrija mbalimbali za chakula kuonyesha aina mbalimbali za mapishi yatokanayo na zao la uyoga in 2015 around 1850 bottles of young spores were distributed and a total of 22145 kg of mushrooms were produced of which 10390 kg were sold fresh and the rest dried hiyo ililipa na ili kukabiliana na mahitaji makubwa wakulima pia wanafundishwa kuzalisha spoa za uyoga ili waweze kupanua uzalishaji faida za zao la uyoga mwaka 2015 zaidi ya chupa 1850 za spoa za uyoga zilisambazwa na jumla ya kilo 22145 za uyoga zilizalishwa kati yake kilo 10390 ziliuzwa zikiwa mbichi na nyinginezo zilikaushwa kilimo cha uyoga kimeleta tofauti kubwa sana ya kipato kwa gwasuma watoto wake 9 na familia zao anapata shilingi 480000 kila mwaka ambazo ni chanzo kikubwa cha kipato kabla ya hapo mumewe ndiye alikuwa akileta mkate nyumbani kwa kuwa nini kipato cha ziada tumeweza kusomesha wajukuu wetu kuboresha lishe zetu na kumudu gharama za matibabu pia tumeweza kuimarisha zaidi mazingira ya nyumbani alisema gwasuma richa ya mafanikio uzalishaji wa uyoga unachangamoto kadhaa muliahela alisema kuandaa spoa sahihi itakayokuwa vizuri kwenye mazingira ya asili ni changamoto changamoto nyingine ni masoko kwa kuwa wakulima wanahitaji kuuza uyoga karibu kuepuka usiharibike wakati wanausafirisha kwenye umbali mrefu hili ni tatizo kwa sababu wakulima hawapati soko la kutosha na hawana nguvu ya kugalaliza alisema muliahela (imeandikwa na kizito makoye uhariri na megan rowlingtafadhali nukuu thomson reuters foundation tawi la hisani la thomson reuters linalojihusisha na habari za majanga mabadiliko ya tabia nchi haki za wanawake biashara haramu ya binadamu na haki ardhi tembelea wwwtrustorg)
2019-10-23T18:10:12
http://news.trust.org/item/20160718092500-axbva/?lang=4
rais trump sasa aitambua yerusalem ni mji mkuu wa israel | gazeti la jamhuri rais donald trump ametangaza kuwa ubalozi wa marekani utahamishwa kutoka katika eneo la sasa la tel aviv kwenda yerusalem amesema kuwa uamuzi huu haulengi kujiondoa kwa marekani katika juhudi zake za kuleta amani katika eneo hilo la mashariki ya kati trump amesema yuko tayari kutafuta suluhu katika mgogoro wa miaka mingi kati ya israel na palestina ikiwa pande zote mbili zitataka awali maofisa wa marekani walikuwa wameeleza kuwa rais trump angeutambua tu ukweli kuwa yerusalem inahudumu kama mji mkuu wa israel ijapokuwa wapalestina nao wanautambua mji huo kama mji wao mkuu trump 20171206 previous haya ndiyo makazi mapya ya mama samia suluhu mjini dodoma next vladimir putin atangaza nia ya kuwania tena urais 2018
2017-12-15T15:59:24
http://www.jamhurimedia.co.tz/rais-trump-sasa-aitambua-yerusalem-ni-mji-mkuu-wa-israel/
sitta na kamati yake hoi zanzibar | zanzibar ni njema atakaye na aje hakuna sheria yoyote itakayopitishwa na bunge la muungano ambayo itatumika zanzibar mpaka sheria hiyo iwe ni kwa ajili ya mambo ya muungano tu na ipitishwe kulingana na maelekezo yaliyo chini ya vifungu vya katiba ya jamhuri ya muungano*wajumbe wa baraza wamchachafya *atakiwa alete katiba ya tanganyika *wengine wakerwa na uwaziri wa rais wawakilishi walikitumia pia kifungu hicho cha 132 (2) kinachotamka sheria kama hiyo lazima ipelekwe mbele ya baraza la wawakilishi na waziri anayehusika mwakilishi huyo ambaye aliwahi kushika wadhifa wa waziri wa habari utamaduni na vijana wa awamu ya tano ya serikali ya zanzibar alisema ni jambo la kuhuzunisha na ambalo si rahisi kuzituliza nyoyo za umma wa wazanzibari kumuona rais wa nchi huru ya zanzibar akiapishwa kushika cheo cha uwaziri tena hata usio na wizara maalumu ya jamhuri ya muungano alisema hili linauma sana chanzo ni an nuur ← sitavumilia wazanzibari kubaguliwaseif wasaidizi wanamsaidia au wanamwangusha rais → one response to sitta na kamati yake hoi zanzibar khamis november 21 2011 at 843 am reply → kwa pongezi na shukurani zangu zote ziende kwa wajumbe wa baraza la wawakilishi kwa hatua kubwa walio fikia kuitetea nchimaoni yangu ili kusaidia safari hii kama mzanzibari halisi ningependa kwakila hatua wanayo fika waka wapa taarifa wananchi na msimamo kamili wanchi yetu na nini wazanzibar wanatakiwa wawafanye kwa hatua hiyohii itasaidi wazazibar wotekuzungumza kitu kimoja na kujuwa wako wapi na wanaenda wapipia kwamaslahi ya zanzibar nahisi si busara na haina haja ya kuingia kwenye kura ya maoni ya katiba kabla ya kuangalia muunganotujadili muungano kwanza tutakacho kubaliana tuka kiingize kwenye katiba kabla mlango hauja fungwa kwani tuki ingia kwenye katiba kabla ya muungano jemuungano tutakuja uingiza wapi na mlango utakuwa umesha fungwa au tuta fanya marekebisho ya katiba ningumuwawakilishi tuta wadai nchi pindi waki itosa tena wafanyekazi tulo watuma wakishindwa waje kwetu sisi tupo na tukotayari kuwasaidiatunacho hitaji kwasasawatupe msimamo kuhusu (katiba)(muungano)na nini tufanyekinacho uma nyumba yako ina vuja eti hadi uka muombe jirani akuruhusu ku ezeka akikataa watoto wavujiwetunalo bonde kubwatu lakupanda mpunga wakutosha visiwani eti tukaongee na wezetu jinsi yaku yatumia maeneo hayo jewalimo hcimba madini mote wame tuabiahii ime kaa vibaya
2017-06-26T19:03:10
https://zanzibarkwetu.wordpress.com/2011/11/20/7519/
maalim seif athibitisha kugombea urais | menu maalim seif athibitisha kugombea urais hakinaumma / may 4 2015 katibu mkuu wa chama cha wananchi cuf mhe maalim seif sharif hamad amethibitisha nia yake ya kugombea tena nafasi ya urais wa zanzibar katika uchaguzi mkuu ujao mwenyekiti wa zoni ya mjini na maalim seif akizungumza katika hafla iliyoandaliwa na kamati maalum ya (cuf) zoni ya mjini iliyokwenda kumdhamini kugombea nafasi hiyo huko nyumbani kwake mbweni maalim seif amesema anatarajia kugombea tena nafasi hiyo ili aweze kutimiza ndoto yake ya kuwatumikia wananchi kamati hiyo ya cuf zoni ya mjini imemdhamini maalim seif kwa fedha taslim shilingi milioni mbili na laki tano ili iweze kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa zanzibar wakati utakapofika maalim seif ameishukuru kamati hiyo kwa uamuzi wa busara waliochukua hali inayoonyesha kuwa wananchi wa zanzibar wanaendelea kuwa na imani naye kutokana na mwelekeo wake wa kutaka kuleta mabadiliko ya kweli kwa zanzibar amesema iwapo wananchi watakipa ridhaa chama hicho kuongoza serikali ya umoja wa kitaifa baada ya uchaguzi mkuu wa oktoba mwaka huu kitatandika misingi imara ya utawala bora uchumi na kuendeleza umoja na mshikamano miongoni mwa wananchi ameyataja mambo mengine ya msingi kuwa ni pamoja na kurejesha heshima ya zanzibar katika jamii ya kimataifa kuimarisha huduma za kijamii ziliwemo afya na elimu pamoja kuandaa mazingira ya kuongeza ajira kwa vijana amesema tofauti na chaguzi zilizopita chama hicho kimejiandaa vizuri kwa ajili ya uchaguzi mkuu ujao na kuwaomba wananchi waendelee kukiunga mkono ili kiweze kupata ushindi mkubwa na kuweza kuongoza serikali mapema akisoma risala ya kamati maalum ya (cuf) zoni ya mjini mjumbe wa kamati hiyo bw salim abdallah salim amesema wameamua kumdhamini maalim seif kutokana na utendaji wake ndani ya chama hicho pamoja na matumaini aliyonayo kwa wanzibari aidha kamati hiyo imetoa tamko rasmi la kumuunga mkono maalim seif kugombea nafasi ya urais wa zanzibar wakati utakapofika na kutoa wito kwa vijana kutafuta vitambulisho vya mzanzibar mkaazi (zan id) na kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura ili waweze kushiriki katika uchaguzi mkuu ujao share thisredditemailprintfacebooktwitterlike thislike loading may 4 2015 in press related posts cuf yapuliza kipenga urais wa zanzibar ← ukawa asilimia 95 cuf wawapania ccm ruangwa →
2016-12-11T04:10:47
https://hakinaumma.wordpress.com/2015/05/04/maalim-seif-athibitisha-kugombea-urais/
treni maalum kwa wanawake nchini japan | rayhaber | raillynews nyumbaniworldasia81 japantreni maalum kwa wanawake nchini japan treni maalum kwa wanawake nchini japan 19 / 02 / 2014 81 japan asia huduma za reli za intercity world railway general headline treni maalum kwa wanawake huko japani huko japan gari zingine au sehemu kadhaa za barabara za chini ya ardhi na treni zinapatikana tu kwa wanawake kullanım uturuki katika baadhi ya saa katika magari ya usafiri binafsi chini ya wanawake kutokana na makali sana usafiri wa umma katika miji mingi mikubwa hasa istanbul mara nyingi kujadiliwa walakini katika nchi nyingi zilizoendelea haswa japani mazoea haya yametumika kwa miaka huko japan gari moshi na treni zina sehemu zinazopatikana tu kwa wanawake metros hizi za rose na nyeupe hutumiwa tu na spruce katika gari zingine vyumba vyote hupewa wanawake wakati katika zingine sehemu fulani zinapatikana tu kwa wanawake chama cha felicity istanbul urais wa mkoa kilizindua kampeni mwaka jana kutenga moja tu ya kila metrobuse nne kwa wanawake na saini nyingi zilikusanywa chama maombi 'pink metrobus' alikuwa ametoa jina kampeni ambayo ilivutia mwitikio wa mpenda dini kabisa haikuwa imefikia matokeo felicity party istanbul meya wa manispaa ya metropolitan mgombea selman esmerer anaahidi kwamba ikiwa atachaguliwa atatumia ombi la metrobus la rose waziri yıldırım ambaye alifungua hifadhi ya reli ya eurasia 2 ana vifaa vya mikono mikononi wakati alipotembelea fu pink tram kwa wanawake katika kayseri kampeni ya saini ya usafirishaji maalum wa wanawake huko konyada ilizinduliwa kuna metro maalum na kuacha katika nchi hii tram ya wanawake katika konya wanaangalia wanawake kwa magari binafsi uchunguzi wa manispaa ya jiji la istanbul juu ya barabara kuu unataka gari maalum kwa wanawake uchunguzi wa gari la wanawake wa melih gokcek uliondoka ndiyo gokcek'ten maelezo ya wageni wa wanawake wanawake watakuja lini istanbul mchakato wa maombi ya 'gari la wanawake' huko bursa bursa 'majibu ya wageni binafsi kutoka kwenye vyumba vya kitaaluma ondoa maombi ya gari kwa wanawake katika metro ya bursa uendeshaji wa gari binafsi nchini uingereza unapingana treni maalum pinkbussi ya pink kuhesabiwa kwa uludağa cable car expeditions (video) lulu nyeupe ya palandöken mashariki
2020-02-22T02:26:42
https://sw.rayhaber.com/2014/02/treni-maalum-kwa-wanawake-katika-japani/
mbinu 4 bora za wanawake kudumisha usafi sehemu nyeti ▷ tukocoke made in kenya latest politics tuko tv swahili entertainment feedback livescore submit video mbinu 4 bora za wanawake kudumisha usafi sehemu nyeti 20040 share on facebook tangu utotoni watoto wasichana hufunzwa jinsi ya kujiweka safi na nadhifu wakati wote usafi huu pia unahusu sehemu nyeti hakuna mwanamume atakubali kuwa karibu na mwanamke anayetoa uvundo uuke wa mwanamke ni moja ya maeneo muhimu sana yanayohitaji kutunzwa kwa kiwango cha hali ya juuhizi hapa nyakati muhimu ambazo mwanamke anastahili kuwa mwangalifu zaidi na kuosha sehemu nyeti1 kabla na baada ya kushiriki mapenziunashauriwa kuosha kisima chako kabla na baada ya kushiriki mapenzi ili kiwe kisafi wataalamu wanasema mume na mke wote kwa pamoja wanastahili kuoga kabla na baada ya kushiriki ngono ili kuzuia maambukizi ya bacteria kuvu na virusi habari nyingine wanaume huyu ndiye mwanamke unayefaa kumuoa oga kabla na baada ya kula ngomakabla kuanza kushiriki mapenzi hakikisha umeweka karibu taulo kadha safi mwanamke hufaa kujipangusa mara tu jamaa akiondoa mtutu wake ili kuondoa mabaki ya manii chembechembe za manii na umajimaji mwingine ambao hupatikana wakati huukisima hupata mikwaruzo midogo midogo wakati wa ngono na hivyo kutumia sabuni na vitu vingine vilivyo na kemikali hudhuru sehemu hii nyeti2 wakati wa hedhini haraka sana mwanamke kutoa uvundo wakati wa hedhi iwapo hatadumisha usafi wa kisima chake huhitaji kufanya mambo mengi kando na kuoga mara kwa mara kuoga mara mbili kwa siku kunatosha kukuweka msafi habari nyingine aibu iliyoje malaika njiani 'barikoa' nyumbani (picha)dumisha usafi zaidi wakati wa hedhiosha tupu yako kwa maji safi peke yake usitumie sabuni pengine tu kwenye kinena kuondoa uchafu wa damu vaa sodo yako lakini hakikisha unaibadilisha mara kwa mara haifai kulowa kupita kiasi kwani uvundo wa damu utaanza kujitokeza na vile vile kuna hatari ya kujiletea maambukiziiwapo huna tatizo lolote kushiriki ngono wakati huu hakikisha unatandika taulo kadha kitandani usichafue shuka na unajiosha mara tu baada ya shughuli3 baada ya kukojoahapa si lazima kutumia maji lakini yakiwepo ni bora zaidi hakikisha kipochi chako kiko na tishu wakati wote kila unapoenda msalani iwe kwa haja ndogo ama kubwa pangusa tupu yakohabari nyingine mbinu 7 za kutunza kisima cha mke nambari 6 itakushangaza hakikisha unajipangusa kila unapoenda haja ndogo na kubwapangusa kutoka mbele ukienda nyuma ili usieneze bakteria kwenye tupu na hivyo kujiletea maambukizi kitendo hiki kitasaidia kukuweka mkavu na msafi siku nzima4 kila siku kama ilivyo desturikuoga ni kila siku vilevile kusafisha sehemu yako nyeti ni jambo la kila siku osha tupu kwa maji safi safisha kinene vizuri kabisa baada ya kukiosha kwa sabuni siku zingine unashauriwa kutovaa chupi keti chini na upanue miguu ili hewa safi iingie humoread english version read more cleaning the vagina effects of unhealthy vagina how to maintain your vagina vaginal odour vagina smells hot ann kiguta twins kcb mpesa miguna miguna mcheza bonus waweru mburu family related news odm kisumu nominations cancelled
2017-04-24T03:26:52
https://www.tuko.co.ke/221224-wanawake-jinsi-ya-kuondoa-uvundo-kwenye-tupu-yako.html
swahili na waswahili waswahili na maisha yaotx seleleka in mgama tanzania 1981makassy ccmmwendo mdundochadema waswahili na maisha yaotx seleleka in mgama tanzania 1981makassy ccmmwendo mdundochadema waungwana sina la kusema nimekumbuka nyimbo hizi za zamani za chama tawala na nikaona niweke na nyimbo ya sasa ya chadema nimeshindwa kupata ule chama chetu cha mapinduzi lakini utausikia kidooo hapo kwenye video hiyo ya mgama iringahii nimeipatahttp//watafiticom waswahili wakitimbwilika/kucheza wengine huku wananyonyesha baasii ahhh unalo la kuongezea hapo muuungwa karibu sana kwa upendo na amani mungu ibariki tanzania swahili na waswahili pamoja sana
2017-04-26T06:03:31
http://swahilinawaswahili.blogspot.com/2012/08/waswahili-na-maisha-yao-tx-seleleka-in.html
akina owino hoi kwa waarabu nyumbani bin zubeiry sports online akina owino hoi kwa waarabu nyumbani bin zubeiry sports online mwanzo > untagged akina owino hoi kwa waarabu nyumbani george owino wa yanga akiichezea timu yake ya taifa kenya dhidi ya tanzania hapa anamtoka kiungo wa yanga mrisho ngasa aliyeanguka chini mbele ya benchi la tanzania hii ilikuwa kwenye michuano ya challenge na mechi hii hii ya nusu fainali ambayo taifa stars ilifungwa na harambee stars 21 ilichezwa kwenye uwanja wa nelson mandela eneo la namboole mjini kampala uganda desemba mwaka jana timu ya taifa ya soka ya kenya harambee stars jana ilishindwa kufurukuta kwenye uwanja wake wa nyumbani wa nyayo baada ya kuchapwa mabao 21 na tunisia katika mechi ya kundi b ya michuano ya awali kusaka tiketi ya kombe la dunia 2010 katika mechi hiyo wageni tunisia ndio waliokuwa wa kwanza kupata bao katika dakika ya tano ya mchezo huo mfungaji akiwa ni ammar jemal bao ambalo lilidumu kwa kipindi chote cha kwanza kipindi cha pili kenya ikishangiliwa na mashabiki wa nyumbani ilisawazisha bao hilo kupitia kwa mchezaji wa kimataifa wa auxerre ya ufaransa dennis oliech na kuamsha shamrashamra za mashabiki hata hivyo furaha hizo zilikuwa za muda mfupi kwani dakika mbili baadaye tunisia waliongeza bao la pili kupitia kwa issam jomaa harambee iliwakilishwa na noah ayuko musa otieno george owino pascal ochieng john mwangi/victor wanyama hillary echesa/boniface ambani francis ouma/patrick oboya dennis oliech macdonald mariaga mulinge ndeto na robert mambo wachezaji wa akiba ambao hawakucheza ni joseph shikokoti peter opiyo jockins atudo na david okelo timu nyingine katika kundi hilo ni msumbiji na nigeria ambazo zinatarajia kuumana leo mjini maputo item reviewed akina owino hoi kwa waarabu nyumbani rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry
2020-05-25T08:58:45
http://www.binzubeiry.co.tz/2009/03/akina-owino-hoi-kwa-waarabu-nyumbani.html
natafuta serious partner wa kuanzisha mradi mkubwa wa nguruwe tanzania | jamiiforums mimi ni mtaalamu wa mifugo ntakusaidia magonjwaa na tibaa reactions kiraia miminimkulimaakachekasana come27 and 2 others ahsante kiongozi kwa utayari wako tuzidi kuwasiliana reactions filbath nipo iringa lakin naamin mambo yataka vixur usijali iringa sio mbali mana wawekezaji wetu wametokea china ulaya na us so hapo sio mbali reactions azarel come27 kofuli and 1 other person big up mkuu mark my words hii project ni economical viable the market is quaranteed however there are few challenges go go go i wish you all the best reactions chaula rich opot opot come27 and 2 others nimekuelewa sana ukiwa saawa utanambia tufanye biashara mkuu unafikir mradi wako unawza kuanza na nguruwe wangap reactions azarel amatolo g8m8 and 3 others haramu kwa nani neno haramu ni very subjective hivyo si busara kuligeneralize reactions azarel and come27 tukianza na breeding stock ya nguruwe 50 itakuwa worth an effort ahsante sana bluetooth kwa kututia moyo i hope this crowdfunding strategy will work out reactions come27 and bluetooth mkuu naomba business plan fupi ama kwa urefukuwa soko umelionaje na nguruwe mmoja atacost kiasi gani na watapatikana wapina je vipi kuzaliana kwao ni kwa muda gani huzaa tenawatazaa watoto wangapi watakula nini na kitatugharimu kiasi gani nguruwe mmoja tutauza kiasi kisichopungua bei gani nguruwe wanasumburiwa na magonjwa gani na yanacost kiasi gani kuwatibu hii project itahitaji watu wa aina gani kuwaajiri reactions pacbig sara mtanzania1989 and 10 others reactions come27 and pleo ahsante kwa ushauri wako ntaufanyia kazi asap reactions mr q mfobi sara and 43 others reactions goroko77 nyakubonga gidbang and 1 other person reactions sara mgunga pori ludist and 16 others asante mkuu kwa maelezo mazuri all the best mkuu i did wish to join you but capital is the barrier it z a very outstanding project by the way
2019-10-17T07:38:34
https://www.jamiiforums.com/threads/natafuta-serious-partner-wa-kuanzisha-mradi-mkubwa-wa-nguruwe-tanzania.1580199/
nimecheka sana hapo kwenye mtoto mtiifu kunya kinyesi kikubwa sasa si kinyesi cha yule mtiifu zaidi mwenye tako kubwa kitakuwa kinajaa karai zima maana kwa msambwanda ule ni ishara kwamba hayupo anaeshiba kama yeye kwa nini isiwe ridicule reactions kyoombe bagonza ana akili kubwa ukienda na akili kiduchu unaweza usielewe hatukani mtu kwa maneno ya kamusini ni kwa uelewa wa juu sasa utafikiria anashabikia kumbe changanya na za mbayuwayu 7737 2000 hahaha sasa askofu mbona kama anamnanga propesa kabudi eti mtoto mtiifu hunya kinyesi kikubwa na kwamba kaamua kujitoa akili kumtetea kabudi baba askofu umeeleweka vyema askofu bwana nimeishia kucheka tu nimekuelewa sana mtumishi unajua kutumia elimu yako vizuri haaa haaa mtoto mtiifu unakunya kinyesi kikubwa 2325 2000 aisee wewe kweli punguani pensheni ya profesa inatosha kama ingekuwa hivyo maana yake profesa anauwezo wa kuishi peponi kwa kutegemea mshahara wake tu maana pensheni ni sehemu tu ya mshahara wa mtu kitu ambacho si kweli ingekuwa hivyo maprofesa wasingejiuza kwa kufanya risechi zisizokuwa na kichwa wala miguu kupiga hela kwenye vyuo nk nakuhakikishia kwamba ukiona profesa ana maisha mazuri (ya peponi) basi ujue ana mradi fulani anausimamia kama profesa mukandala mwenye redet iliyokuwa inapata mamilioni kutoka nje au ana madaraka chuoni yanayomuwezesha kuingia mikataba inayomnufaisha nk marehemu profesa shayo (mungu amweke pema peponi) mbona alikuwa na madaladala tu yalipochakaa hakuwa na chochote ispokuwa kijiji cha sayansi ambacho kilimfanya asimamie fedha kutoka makampuni na mashirika enzi hizo baada ya ubinafsishaji habari hiyo yote kwisha akaishia kwenye siasa na huko alikuwa na mark two moja ndiyo anazunguka kupiga kampeni alikuja kuponea kufundisha saut mpaka mauti yalipomkuta nina mifano ya maprofesa wengi tu ila kutaja majina ya watu siyo jambo zuri sana kimsingi hali mbona inajulikana sana tu reactions dasi besi residentura kibolibo and 1 other person binti povuu hili la foma au omo haya kwa niaba kabudi kachoka kifikra lipumbavu wengine unawajua jazia 7905 2000 kwa andiko aliloliandika bagonza hakika huyu mtu ametolewa jalalani ukimlinganisha na ma professa wenzake kama jamaa alistaafu 2016 na uwakili wa viti maalumu alipewa 2009 mana yake ni kwamba uzoefu ni wa miaka 7 tu ukitoa ile kesi ya mgombea binafsi sidhani kama kuna kesi ameshawahi kufunguana kushinda huyu bwana hivyo ninkweli alikua ana hard time sana kitaani that defines our education system and productivityyaana pamoja na uprofesa wooote still asingeteuliwa hali yake ingekua mbaya sanaelimu yetu bado sio mkombozikbsa kama kitu hujui ni bora kukaa kimya kuliko kuongea ukaonekana mjinga mdodos said huyo mjanja mkuu analitetea jimbo lake 17571 2000 nakuaminia baba askofu jimbo la tumboni si mchezona hapo kwenye mtoto mtiifu hukata gogo la ukweli ndiyo umemaliza yote reactions zumbemkuu and nyakaone na wewe ni propesa tu kama huyo mwenzako ndege wafananao 1018 1500 4 tulizoea kuamini kuwa mawaziri ni watumishi wa umma tulizoea kuamini kuwa mawaziri wanawajibika kwa umma na utumishi wao ni msalaba siyo ufufuko hivi sasa mawaziri ni watumishi cathedrawa serikali kwanza na watumishi wa umma nafasi ya pili wakiukosea umma wanaweza kuvumiliwa wakiikosea serikali wanaondolewa mara moja kwa nini prof kabudi aandamwe kwa kuonyesha utii na shukrani yake kwa serikali wangapi wameukosea umma na bado wapo lakini waliokosea wakachelewa kutii maagizo ya serikali wameondolewa mi naona kosa la prof kabudi ni kusema wazi kile kilicho moyoni kuliko wanaofanya kimya kimya siamini kama ni wewe ila kama ni wewe jitahidi pia kuboresha kanisa lako hapo cathedral linatia aibu si kanisa la hadhi ya jimbo umekalia porojo tuu maendeleo hakuna hakika umenena mkuu sasa ina maana mtoto asiyemtiifu anakunya mavi madogo kwakuwa hali akashiba hizi falsafa jamani duh reactions zumbemkuu and retired ridicule ndo ipo sahihi mkuu 17939 2000 he has avoided direct attack on prof jalala yes kichere unadhani sasa atapate hela ya kuchezea kama alivyokuwa anpata kutoka tra ndiyo falsafa ya bagonza reactions mtafiti77 zumbemkuu and residentura
2019-06-19T15:14:18
https://www.jamiiforums.com/threads/askofu-bagonza-aamua-kumtetea-prof-kabudi-asema-yuko-sahihi-katoka-jalalani.1594738/page-2
open heart open mind rais kikwete na g20 kwa muhtasari matarajio ya afrika katika mkutano wa g20 ni kwa afrika kusaidiwa kujikinga na kukabili madhara ya kudorora kwa uchumi wa dunia miongoni mwa mambo ambayo tuliyasisitiza ni 1 haja ya kuanzishwa mfuko maalum ambapo fedha zake zitatumika kuzisaidia nchi za afrika kuchukua hatua za kunusuru uchumi wao kama wafanyavyo mataifa tajirikwa maneno mengine tuliunga mkono pendekezo la benki ya dunia na kutaka mkutano wa g20 ukubali kwamba asilimia 07 ya fedha walizotumia kugharamia mipango yao ya kuchochea uchumi wao (stimulus packages) zitengwe kwa ajili ya kusaidia kuchochea kukua kwa uchumi kwa nchi za afrika 2 tulisitiza kuwa nchi tajiri zisipunguze misaada ya maendeleo kwa nchi maskini badala yake misaada hiyo iongezwe kama walivyoahidi kwenye mikutano ya monterrey gleneagles na kwingineko 3 tulisema kwamba tunatarajia pia misaada kwa afrika na uwekezaji kutoka nje vitaelekezwa katika kujenga na kuboresha miundombinu kuleta mapinduzi katika kilimo kukuza biashara miongoni mwa nchi za kiafrika na baina yake na nchi nyingine za dunia na kusaidia zaidi makundi katika jamii ambayo yanahitaji msaada zaidi (vulnerable groups) 4 kwamba nchi tajiri duniani pamoja na taasisi za kimataifa za fedha duniani zilegeze masharti na kupunguza urasimu wa kupata fedha za misaada na mikopo kwa kutambua kwamba hiki ni kipindi kugumu na cha dharura aidha masharti ya kukopa kutoka vyombo vingine vya fedha yalegezwe pia 5 kwamba nchi tajiri zisaidie nchi za afrika kujenga mitaji ya vyombo vya fedha vya kikanda kama vile benki ya maendeleo ya afrika 6 kwamba nchi tajiri zitakubaliana kuruhusu uwazi katika mabenki yao na taasisi zao za fedha ili kuwezesha nchi za kiafrika kufuatilia na kurudishiwa fedha majumba na rasilimali zilizoporwa kutoka katika bara letu na kuhifadhiwa kisirisiri katika mabenki ya nchi tajiri ndugu wananchi tunamshukuru mheshimiwa waziri mkuu gordon brown kwa kuyapokea mapendekezo haya ya afrika kwa moyo mkunjufu na kuahidi kuyafikisha na kusaidia kuyatetea katika kikao hicho pia tunamshukuru amepokea rai ya afrika ya kuwakilishwa kwenye mkutano huo kwa kumwalika waziri mkuu wa ethiopia mhe meles zenawi ambaye atatuwakilisha kwa kofia yake ya uenyekiti wa nepad (hotuba ya mhe rais 31/march/2009) posted by mosonga raphael at 1418 labels my topic tanzania
2018-04-23T07:39:38
http://mosonga.blogspot.com/2009/04/rais-kikwete-na-g20.html
uchaguzi mkuu burundi wawadia | matukio ya afrika | dw | 20072015 uchaguzi mkuu burundi wawadia rais wa burundi pierre nkurunziza anaonekana kujiandaa kushinda awamu ya tatu mfululizo ya uchaguzi tata wa urais uliopangwa kufanyika kesho ushindi ambao utamfanya aliongoze taifa lililogawanyika kwa vurugu uchaguzi bunge la burundi tayari upinzani na vyama vya kiraia vimeupinga ushiriki wake katika kinyang'anyiro hicho kwa kusema unakwenda kinyume na katiba ya burundi na vile vile kinyume na mkataba wa amani ambao ulifikisha kikomo miaka kadhaa ya vita vya wenyewe kwa wenyewe na mauwaji ya halaiki ya kikabila ya mwaka 2006 kwa uchaguzi huo ambao upinzani umelalamika ni mchakato batili pierre nkurunziza rais mwenye umri wa mika 51 muasi wa zamani mkristo aliyezaliwa upya au mlokole na mshabiki wa soka hana mpinzani sauti za upinzani leonce ngendakumana mmoja kati ya watu mashuhuli kwa upande wa upinzani nchini burundi akizungumza baada ya kuvunjika kwa mazungumzo yaliyokuwa yakiratibiwa na uganda hapo jana alisema serikali imeamua kujitenga na kuendelea na uchaguzi batili mpinzani mwingine jean minani alisema ni hali ya kutowajibika kwa kiasi kikubwa wamekaidi kuisaidia burundi kutumbukia katika dimbwi akizungumza maandalizi ya zoezi hilo la kesho mjini bujumbura raia mmoja wa burundi alisema ntashiriki zoezi la kupiga kura kama nilivyokuwa nikifanya siku zote tunampigia kura kiongozi tunaempenda na ambae tufahamua ametufanyia mengi zaidi ya miezi miwili iliyopita maandamano yalikuwa yakimpinga nkurunziza yamesababisha vifo vya takribani watu 100 yaliotokana na ukandamizaji serikali waandishi wa habari wakipigania haki yao hali haikuishia hapo vyombo vya habari vya kibinafsi vimefungwa na wapinzani wengi wamelikimbia taifa hilo na kujiunga na warundi wengine wengi wa kawaida zaidi ya 150000 ambao wameondoka nchini humo kwa kuhofia pengine kwa mara nyingine tena taifa hilo linaweza kutumbukia katika machafuko makubwa katikati ya mei majenerali waasi walijaribu kumpindua nkurunziza ingawa walishindwa taifa hilo dogo lisilo na bandari na moja kati ya mataifa masikini kabisa barani afrika limekuwa kitovu cha machafuko katika eneo la kanda ya maziwa makuu wachambuzi wanasema kuibuka upya kwa machafuko katika taifa hilo kunaweza kuchochea upya vurugu kati ya wahutu na watutsi na kuzusha janga kubwa la kibinaadamu katika eneo hilo ambalo linaweza kusababisha hatari pia katika mataifa jirani zaidi ya inayosababishwa na ile inayotokana na vita vya mashariki ya jamhuri ya kidemokrasi ya congo ikumbukwe vita vya wenyewe kwa wenyewe vya burundi vilisababisha vifo vya watu 300000 kundi la vijana kutoka chama tawala cha cnnddfdd imbonerakure ambalo limepewa hadhi ya wanamgambo na umoja wa mataifa na limekuwa likirejesha kumbukumbu za zama za wahutu wenye misimamo mikali ambao waliongoza mauwaji ya kimbari ya rwanda kwa lengo la kutuliza kitisho cha amani ya burundi umoja wa mataifa na jumuiya ya afrika mashari yenye kuundwa na matifa matano imekuwa ikifanya jitihada za upatanishi pasipo mafanikio hapo jana jumapili chanzo kimojan kutoka eac kilisema jitihada za mwisho za upatanishi zilitzokuwa zikiongozwa na waziri wa ulinzi wa uganda crispus kiyonga kwa hivi sasa zinaonekana zimekufa mhririjosephat charo maneno muhimu burundi nkurunziza vita kiungo http//pdwcom/p/1g1vo
2018-01-21T11:19:28
http://www.dw.com/sw/uchaguzi-mkuu-burundi-wawadia/a-18595374
tanzania yakwanza duniani kuendesha mafunzo ya dhana ya afya moja kwa ngazi ya stashahada na astashahada mjengwablog ← previous story waziri mhagama azindua taarifa ya utafiti wa viashiria na matokeo ya ukimwi wa mwaka 2016 2017 next story → mwenyekiti wa ccm taifa rais dkt magufuli aongoza kikao cha kamati kuu ya chama ikulu chamwino
2019-08-23T07:04:58
http://mjengwablog.com/tanzania-yakwanza-duniani-kuendesha-mafunzo-ya-dhana-ya-afya-moja-kwa-ngazi-ya-stashahada-na-astashahada/
wanne wahukumiwa miaka 40 kwa mauaji ya mwanajiolojia upatikanaji viungo afrika wanne wahukumiwa miaka 40 kwa mauaji ya mwanajiolojia desemba 19 2014 josephat kioko mahakama ya mombasa kenya mombasa mahakama ya mombasa imewahukumu wanaume wanne raia wa kenya kifungo cha miaka 40 jela kila mmoja kwa kuwakuta na hatia ya kumuua mtafiti wa madini raia wa scotland huko taveta karibu na mpaka wa kenya na tanzania watu waliohukumiwa ni wachimbamigodi huko kwao kaunti ya taita taveta walioshtakiwa miaka mitano iliyopita kwa kumuua mskochi campbell rodney bridges mtaalamu wa madini mahakama kuu mjini mombasa imewahukumu watu hao baada ya ushahidi kuonesha walikuwa na ubaguzi wakidai kuwa raia wa kigeni alifaidi kutokana na madini fulani yaliyo eneo lao jaji maureen odero aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo alisema mohamed dadi alfred njuruka samwel mwachala na james chacha walihusika na mauaji ya campbell rodney bridgesraia wa scotland watuhumiwa walishtakiwa kumuua bridges raia agosti mwaka 2009 eneo la kwambaga mwasui ranch kaunti ya taita taveta mahakama iliwapata na hatia wachimbamigodi hao baada ya kusikiliza mashahidi kwa miaka mitano polisi walikuwa wamewashtaki watu nane lakini wanne wakaachiwa huru akiwepo mtu aliyetejwa kuwa jamaa wa mbunge wa taveta naomi shaban wakati kesi hiyo ilipokuwa ikisikilizwa bi shaban alimtetea mjomb wake kwa kuwasilisha kitabu mahakamani kuonyesha kwamba alikuwa amemtembelea nairobi wakati mauaji ya bridges yaliporipotiwa kutekeelzwa huko taveta marehemu bridges rodney aliishi kenya kwa takriban miaka 35 tangu alipozuru mwaka wa 1974 na kusaidia katika utafiti wa madini kaunti ya taita taveta
2016-12-07T08:35:13
http://www.voaswahili.com/a/2565565.html
wasomi wetu wamekuwa mwiba kwetu | jamiiforums | the home of great thinkers wasomi wetu wamekuwa mwiba kwetu discussion in 'jukwaa la siasa' started by spencer feb 14 2012 nina jambo la kusema linaniumiza kichwa kwa baadhi ya wasomi tuliowaamini na kuwapa dhamana ya uwakilishi wanajitahidi kutumia usomi na utaalamu wao kuumiza vichwa ili mikataba yote mibovu inafungamanishwa wasihojiwe huku wakijua inaumiza hata watanzania ambao watazaliwa baada 2050 wenzetu wasomi wao wanatumia utaalamu kujenga taifa baada ya miaka 50 ijayo wanahakikisha miradi yote yenye mazabe inaanza na kukamilika na kukabidhiwa na kukubaliwa hata kama iko chini ya kiwango kipindi wao wakiwa madarakani miradi yote ya kudumu wenzetu inakuwa ya muda mrefu kila kiongozi anakuja kukamilisha phase yake wanahakikisha wamefungua accounts ktk mabenki ya ulaya ili tusiwachungulie kisha pesa hizo hizo zinatumika kukopesha nchi yetu kwa riba kubwa matajiri wote wanafungua accounts ktk mabenki ya kwao na kuwekeza ndani ya nchi yao wako tayari kuliweka taifa rehani kwa kucheza na nishati (mafuta na umeme) huku wakijua wazi ukipandisha bei ya kimojawapo au vyote basi kila kitu kinapanda bei wao hawajali ili mradi wameahidiwa suti mpya na kupelekwa ktk mahotel yaliyo na viwanja vya kutua helkopta ghorofani wenzetu hawako tayari kuumiza wananchi umeme na mafuta ni kipaumbele cha kwanza ili kushusha gharama ya maisha na gharama ya bidhaa zalishwa wanahakikisha exports zao zinafidia nafuu inayotolewa kwa wananchi wao wawekezaji wageni wanapewa kipaumbele cha misamaha ya kodi huku wakiruhusiwa kubadili majina ya mahotelmakampuni yao ili kukwepa kodi wazawa wana kipaumbele cha kipekee na kupata misamaha ili miradi yao ifanikiwe makampuni ya kigeni (mfano madini) kupewa umiliki 100 kwa zaidi ya miaka 90 huku taifa likiambulia 3 ya faida kigezo kinachotumika ni kuwa tanzania haina mtaji ili kuwa na share ktk hizo kampuni wenzetu wao wanasema kilichoko chini ya ardhi ndiyo share tena 50 mgeni njoo na mitambo pamoja technolojia yako lakini tunagawana 50/50 yako mengi yanayonikera kwa hawa mbwa mwitu wanaojifanya kondoo kwa kiasi kikubwa mabaya haya yote yanafungamanishwa na siasa chini ya ccm ambazo kwa sasa badala ya kulinda maslahi ya mfanyakazi na mkulima sera yao yao inalinda wezi na matapeli hivi tuwafanye nini hawa kinachotusumbua si usomi bali ufisadi uliokithiri kama unafikiri usomi ni atizo jaribu ujinga kumbuka ni baadhi si wote lakini nadhani uroho pia ni tatizo we unasemaje wasomi wa kibongo wanamikogo kitu cha kwanza selfish na wakikutana na limfumo lilo kijambazi kama la serikali yetu ndo wanatokomea humo wanadharau yani m2 kuwa na digrii anaona wengine wote vilaza akipata kikazi ndo loo hashikiki we angalia ni wasomi wangapi wameanzisha vikundi na kuchukua mikopo na kuanzisha miradi inayotoa ajira hakuna ni akina mama na malayman(ambao ndo wenye akili) wengine wa kitaa wasomi ubinafsi na mikogo wanategemea vyeti na sio akili zao tenani kuuza vyeti kutafuta kazi mwanzo mwisho wamekuwa brain washed everything is planned i was born intelligent but education ruin me cry msomi (graduate) wengi wanaweza kuwa wenyeviti wazuri sana wa vikao vya harusi na vipaimara wengi wao ni wakusanyaji wazuri wa michango ya upatu nchi inajengwa na wasio wasomi nionyeshe msomi mmoja nchi hiinitakuonyesha wasio wasomi watatu bora zaidi yake
2018-01-22T18:33:27
https://www.jamiiforums.com/threads/wasomi-wetu-wamekuwa-mwiba-kwetu.223653/