text
stringlengths 43
182k
| timestamp
timestamp[s] | url
stringlengths 16
3.37k
|
---|---|---|
kamati ya kitaifa ya uratibu na uthibiti wa usugu wa vimelea dhidi ya dawa yazindua wiki ya uhamasishaji matumizi sahihi ya antibiotiki nchini msumba news blog
kamati ya kitaifa ya uratibu na uthibiti wa usugu wa vimelea dhidi ya dawa yazindua wiki ya uhamasishaji matumizi sahihi ya antibiotiki nchini
kaimu mganga mkuu wa serikali dkt eliasi kwesi amezindua rasmi shughuli za kuhamasisha matumizi sahihi ya dawa za antibiotiki katika kuelekia wiki hiyo duniani itakayofanyika kuanzia novemba 1824 mwaka huu duniani kote
katika tukio hilo dkt kwesi alimwakilisha waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto mh ummy mwalimu ambapo alitaka jamii kuelewa athari na tatizo kubwa ambalo limekuwa likiongezeka duniani kote litokanalo na usugu wa vimelea dhidi ya dawa
kuanzia tarehe 1824 novemba mwaka huu duniani kote tunaadhimisha wiki ya kampeni ya dawa aina ya antibiotiki (world antibiotic awareness week)
lengo ni kusisitiza na kuongeza uelewa juu ya matumizi sahihi ya dawa hizi ili kupunguza matumizi yasiyostahili na hatimaye kuzuia ongezeko la usugu wa vimelea dhidi ya dawa hizi alieleza dkt kwesi
aidha alisema kuwa serikali imendaa mipango na miongozo mbalimbali ili kutekeleza kazi kwa usahihi ikiwemo mpango wa taifa wa kupambana na usugu wa dawa dhidi ya vimelea mbalimbali antimicrobial ( 20172022)
niwaagize watoa dawa kote nchini kuandika dawa kwa kufuata mwongozo wa matibabu wa mwaka 2017 na kutumia majina halisi ya dawa (generics)
pia naagiza vituo vyote vya huduma ya afya kutekeleza miongozo ya kukinga na kuzuia maambukizi ambayo ni muhimu sana kwa kuzuia usugu katika sehemu zao za kazi alisema dkt kwesi
aidha akielezea ripoti ya benki ya dunia ya mwaka 2017 inabainisha kuwa zaidi ya watu 700000 wanafariki kila mwaka kutokana na usugu wa dawa
hatua madhubuti zisipochukuliwa haraka zaidi ya watu milioni 10 watafariki kila mwaka kutokana na usugu wa dawa ifikapo mwaka 2050
hali hii ya usugu wa vimelea inaweka mashaka makubwa ya kupoteza nguvu kazi ya taifa hili kwa kusababisha vifo kutokana na kuongezeka kwa magonjwa sugu yasiyotibika kwa kutumia dawa zilizokuwa na uwezo wa kutibu kuongezeka kwa umasikini kutokana na kuugua muda mrefu na kutumia dawa ghari zaidi lakini pia kuongezeka kwa vifo vya mifugo na udhalishaji hafifu wa chakula alieleza dkt kwesi
dkt kwesi alitoa wito kwa jamii kuzingatia matumizi sahihi ya kuepukana hasa kwenye kinga ya maambukizi kwa njia ambazo zinaweza kufanywa mahali popote ikiwemo ngono salama kuosha mikono na chanjo
hata hivyo dkt kwesi alizitaka wizara zingine wadau wakiwemo mawaziri wa mifugo na uvuvi kilimo na mazingira kwa pamoja kufanya kampeni zinazolenga kuongeza uelewa wa jamii juu ya matumizi sahihi na athari zitokanazo na matumizi holela ya dawa kwa binadamu na mifugo
kwa upande wao wadau walioshiriki katika tukio hilo wakiwemo wawakilishi wa mashirika ya umoja wa mataifa shirika la afya (who) shirika la chakula (fao) na shirika la wanyama (oie) walieleza wanashirikiana kwa pamoja na serikali ya tanzania katika mapambano ya tatizo hilo
posted in kimataifa
tags kimataifa | 2019-12-14T18:48:48 | http://www.msumbanews.co.tz/2019/11/kamati-ya-kitaifa-ya-uratibu-na.html |
mlekani sports news february 2016
tff yatangaza viingilio na waamuzi watakaochezesha mpambano wa simba na yanga jumamosi uwanja wa taifa
shirikisho la mpira wa miguu tanzania (tff) leo limetangaza viingilio vya mchezo wa ligi kuu ya vodacom (vpl) jumamosi kati ya watani wa jadi simba sc dhidi ya yanga sc utakaochezwa uwanja wa taifa jijini dar es salaam huku kiingilio cha chini kikiwa ni sh7000 tu
kiingilio cha juu cha mchezo huo kitakua sh 30000 (20000) vip b & c elfu kumi (10000) kwa viti vya rangi ya machungwa (orange) na 7000 kwa viti vya rangi ya bluu na kijani
tiketi za mchezo huo zitaanza kuuzwa ijumaa saa 200 asubuhi katika vituo vya tff (karume) buguruni oil com ubungo oilcom kidongo chekundu (mnazi mmoja) posta (agip) dar live (mbagala) uwanja wa taifa makumbusho stand kivukoni ferry
posted by mlekani cosmas at 0324 no comments links to this post
broos ndiye kocha mpya timu ya taifa ya cameroon
kocha mpya wa cameroon hugo broos
shirikisho la soka la cameroon (fecafoot) imemteua mchezaji wazamani wa kimataifa wa ubelgiji hugo broos kama kocha mpya wa tembo hao wasiofungika
broos mwenye umri wa 63 amechukua mikoba hiyo kutoka kwa volker finke aliyetimuliwa kutoka katika kibarua hicho tangu oktoba
belinga aliyekuwa kocha wa muda kwa miezi mitatu atabaki kuwa msaidizi wa mbelgiji huyo pamoja na mchezaji wazamani wa ubelgiji sven vandenbroeck
broos ambaye amefundisha karibu nchi kibao za ulaya ni chaguo la kushangaza
hakuwemo katika orodha ya fecafoot ya makocha watano wakiwemo watatu wafaransa mserbia na mcameroon mmoja
broos ana uzoefu mkubwa kama kocha alishinda ubingwa wa ublgiji mara mbili akiwa na klabu ya brugge na baadae akiwa na anderlecht pia alifurahi kucheza katika timu ya ugiriki uturuki katika miaka ya hivi karibuni
kibarua chake cha kwanza na timu hiyo ya cameroon ni kutaka kuiweka timu hiyo kleleni katika mechi za kufuzu za mataifa ya afrika 2017 kundi m wakati itakapocheza na mchezo wa kufuzu nyumbani na ugenini dhidi ya afrika kusini mwezi ujao
pia kocha huyo atakuwa kibaruani wakati simba hao wasiofungika watakapocheza na ufaransa katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki mwezi mei
posted by mlekani cosmas at 0620 no comments links to this post
van gaal apokea kichapo england sasa akimbilia ligi ya ulaya
louis van gaal alikiri kuwa kufuzu kucheza kwa ligi ya mabingwa wa ulaya itakuwa ngumu sana baada ya jana kupokea kichapo cha mabao 21 kutoka kwa sunderland iliyopo katika nafasi ya pili kutoka mkiani na kuongeza presha kwa kocha manchester united
bao la kujifunga la dakika za mwisho kutoka kwa kipa david de gea katika mchezo uliofanytika kwenye uwanja wa mwangaza kuliifanya man united kufungwa kwa mara ya kwanza na wearside katika kipindi cha miaka 19
kipigo hicho kimewaacha mabingwa hao mara 20 wa ligi kuu ya england kuwa pointi sita nyuma ya timu zinazoshika nafasi nne za kwanza zikiwa zimebaki mechi 12 kabla ya liugi kumalizika baada ya nahodha wayne rooney kuwa hayakuwa matokeo mazuri kabisa
bao la 10 katika msimu la anthony martial kuliifanya man united kusawazisha kabla ya mapumziko likifuta lile la kuongoza la wapinzani wao lililowekwa kimiani na wahbi khazri lakini sunderland iliibuka na ushindi katika mchezo huo
ushindi huo umezidi kumuweka matatani van gaal huku tetesi zikizagaa kuwa kocha wazamani wa chelsea chelsea jose mourinho anajiandaa kuchukua mikoba ya mholanzi huyo mwishoni mwa msimu
van gaal alisema kuwa kumaliza nafasi yanne ni mahitaji madogo kwao kwa klabu hiyo ya man united
ikiwa wayne alisema itakuwa vigumu kwetu kumaliza katika nafasi nne za juu baadae nakubalina naye itakuwa vigumu sana kutokana na nafasi yenyewe bado inawezekana lakini ni ngumu kweli
tulitakiwa kushinda mchezo huu tunataka kuwa katika nafasi nne za mwanzo na sasa ni vigumu sana kuwa katika nafasi hiyo lakini hilo ndilo lengo letu hiyo ni nafasi ya chini tunayohitaji kwa klabu kama hii huwezi kulifumbia macho hilo
united inaweza pia kufuzu kwa ligi kuu kwa kushinda ligi ya ulaya
timu hiyo itaifuata timu ya denmark ya fc midtjylland katika hatua ya 32 ya mashindano hayo alhamisi na van gaal aliongeza unaweza kusema ndio hiyo ni njia nyingine ya kufuzu lakini kuna baadhi ya vikosi vizuri sana vimeachwa katika mashindano hayo
ronaldo azidi kumbeba zidane real madrid
kocha wa real madrid zinedine zidane ameendelea kumsimu mshambuliaji wake cristiano ronaldo baada ya mredno huyo kufunga mabao mawili wakati kikosi chake kikiibuka na ushndi wa mabao 42 katika mchezo wa la liga dhidi ya athletic bilbao
mabao hayo mawili ya ronaldo yamemfanya kufunga bao moja zaidi ya mfungaji anayeongoza katika la liga luis suarez baada ya kufunga mabao 21 katika mechi 32 alizocheza katika mashindano yote msimu huu
hatahivyo mchezaji huy bora mara tatu wa dunia bado amekosolewa kwa kushindwa kuonesha makali yake ya kufunga mabao katika mechi kubwa za real madrid ugeni msimu huu
vyombo vya habari viko hapa kwa ajili ya kuangalia kama ronaldo anacheza vizuri au vibaya lakini leo ameonesha mchezo mzuri na uwezo wa kufunga alisema zidane
kwangu mimi cristiano ni mtu muhimu sana katika nafasi ya wingi wakati alipobadilisha mchezo hasa anapokuwa akikabiliana na mchezaji mmoja mmoja
nia ni kucheza na cristiano zaidi katika ushambuliaji wa pembeni
ushindi huo umemfanya zidane kuwa na mwanzo mzuri kama kocha wa real madrid tangu kuchukua nafasi ya rafael benitez mwizi uliopita na kutoka sare katika mechi sita za mwanzo
hatahivyo mfaransa huyo anakabiliwa na mtihani mkubwa hadi sasa wakati real madrid itakaporejea katika michuano ya ligi ya mabingwa wa ulaya ugenini dhidi ya roma jumatano
zaza aizamisha napoli wakati juventus ikishika usukani italia
mchezaji tegemeo la italia kwa michuano ya fainali za mataifa ya ulaya euro 2016 simone zaza alifunga bao safi katika dakika za mwisho wakati mabingwa juventus wakiwa pointi moja mbele kileleni mwa serie a ilipoibuka na ushindi wa bao 10 dhidi ya napoli jumamosi
napoli hicho ni kipigo chake cha tatu katika kampeni zake za kuwani ubingwa ilisafiri kaskazini kwa ajili ya michezo miwili dhidi ya mabingwa hao kwa mara ya kwanza tangu katika kampeni za mwaka 20092010
kwa ushindi huo juventus sasa inaongoza katika msimamo wa ligi pamoja na napoli ambayo ina saka taji la kwanza tangu mwaka 1990 wakati diego maradona alipoiwezesha klabu hiyo ya kusini kutwaa taji lake la pili sasa ni ya pili na inatofauti ya pointi moja
kocha napoli sarri wote walikiri kuwa safu ya ulinzi ya juve ndio ilikuwa chanzo cha wao kufungwa tulikuwa na bahati katika mita 20 mwisho
miezi nane iliyopita walikuwa pointi 24 nyuma yetu sasa kama tumelingana
posted by mlekani cosmas at 0613 no comments links to this post
chelsea yaikung'uta newcastle mabao 51
klabu ya chelsea jana ilipata ushindi wa kwanza wa nyumbani wa ligi kuu ya england chini ya kocha wa muda guus hiddink kwa ushindi wa mabao 51 dhidi ya timu inayochechemea ya newcastle
kikosi cha hiddink kilichezea nyumbani mechi zake zote nne kwenye uwanja wa stamford bridge tangu mholanzi huyo achukue nafasi kutoka kwa mwenzake aliyetimuliwa jose mourinho kama kocha wa muda tangu desemba
lakini diego costa ndiye aliyekuwa wa kwanza kuifungia chelsea kwa bao la mapema kabla pedro hajaongeza huku willian na bertrand traore wakifunga na kuiwezesha timu hiyo kubuka na ushindi
mkosi katika mchezo huo uliibukia baada ya nahodha wa blues john terry kutoka nje ya uwanja baada ya dakika 37 kufuatia kuumia kutokana na kugongana na aleksandar mitrovic
terry huenda asicheze mchezo wa jumanne wa hatua ya 16 bora wa ligi ya mabingwa wa ulaya dhidi ya paris saint germain (psg)
ushindi huo ni maandalizi mazuri ya chelsea kwa mchezo huo muhimu dhidi ya psg ambapo pedro alionesha mchezoi mzuri
kikosi cha kocha steve mcclaren kilionekana kuwa katika hatari ya kushuka daraja baada ya kuporomoka tena hadi katika nafasi ya tatu mkiani chini ya norwich kwa tofauti ya mabao
posted by mlekani cosmas at 0559 no comments links to this post
tff yatangaza viingilio na waamuzi watakaochezesha
van gaal apokea kichapo england sasa akimbilia lig | 2017-08-23T10:02:56 | http://mlekani.blogspot.com/2016/02/ |
romania watu wasio na ajira
sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi romania watu wasio na ajira
<iframe src='https//tradingeconomicscom/embed/s=romaniauneper&v=202006201004v20191105&lang=all&h=300&w=600&ref=/romania/unemployedpersons' height='300' width='600' frameborder='0' scrolling='no'></iframe><br />source <a href='https//tradingeconomicscom/romania/unemployedpersons'>tradingeconomicscom</a>
watu wasio na ajira 25190 25090 129130 6530 elfu [+]
mshahara 520100 538600 546500 102 ron / mwezi [+]
mishahara katika viwanda 417500 457400 477200 20300 ron / mwezi [+] | 2020-07-03T11:27:35 | https://sw.tradingeconomics.com/romania/unemployed-persons |
bayolojia (50)
elimu ya mazingira (34)
fizikia (246)
hisabati (41)
jiografia na sayansi ya dunia (25)
kemia (82)
uhandisi wa bayolojia ya kimatibabu (1)
uhandisi wa kimitambo (1)
uhandisi wa kiufundi (3)
uhandisi wa umeme (9)
nguvu muhimu (11)
kicheki (5) | 2019-06-19T01:36:08 | https://www.golabz.eu/sw/labs?age_range=5&subject_domain=371 |
imani na mafundisho (ya imani) elimu na jamii historia na siasa sheria & ibada qurani & hadithi maisha ya kiroho na falsafa definitions of culture in wellknown dictionaries and encyclopaedias | 2017-01-18T08:27:04 | https://www.al-islam.org/sw/node/17500 |
aliyezirai kortini afungiwa dhamana na mahakama fukuto la jamii
home unlabelled aliyezirai kortini afungiwa dhamana na mahakama
by mshappiness katabazi 756 pm
aliyezirai kortini afungiwa dhamana
hatimaye mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam imekataa kumpatia dhamana mfanyabiashara hussein amin suleiman (39) mwenye asili ya kiasia anayekabiliwa na makosa miwili ya kudharau amri ya mahakama kuu divisheni ya ardhi ambaye ijumaa iliyopita mshtakiwa huyo alianguka na kupoteza fahamu kizimbani baada ya kumsikia wakili mwandamizi wa serikali tumaini kweka akiieleza mahakama hiyo kuwa mkurugenzi wa mashtaka (dpp) dk eliezer feleshi amewasilisha hati ya kufunga dhamana kwa mshtakiwa
kesi hiyo ambayo jana ilikuwa kwaajili ya kutajwa hakimu mfawidhi wa mahakama ya hakimu mkazi kisutu issaya arufani alisema ijumaa iliyopita alisikili ombi la wakili mwandamizi wa serikali tumaini kweka ambalo lilidai kuwa mkurugenzi wa mashitaka (dpp) dkeliezer feleshi amewasilisha hati ya kumfungia dhamana mashitakiwa huyo chini ya kifungo cha 148(4) cha sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai 2002
hakimu pia alilisikiliza ombi la wakili wa mashitakiwa pascal kamala liliomba mahakama hiyo iipuuze hati ya dpp na badala yake impatie dhamana mashitakiwa kwa kwa makosa yanayomkabili yana dhamana na kwamba hiyo hati ya dpp haijafafanua ni sababu zipi za kumnyima dhamana
hakimu arufani alisema baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili anikate a ombi la wakili wa utetezi na kwamba anakubaliana na ombi la upande wa jamhuri ya kumnyima dhamana mashitakiwa kwa sababu ya maslahi ya taifa na usalama
kisheria pale dpp anapowasilisha mahakamani hati hiyo ya kumfungia dhamana mshitakiwa katika kesi yoyote ilemahakama inakubaliana imefungwa mkono hakiwezi kutoa dhamana kwa mshitakiwa na kwasababu hiyo mahakama hii katika kesi hii iliyopo mbele yangu mahakama hii inakubaliana ombi la dpp la kumfungia dhamana mshitakiwa na ninaamuru arejeshwe gerezani hadi februali 10 mwaka huu itakapokuja kwaajili ya kutajwa alisema hakimu arufani
januari 24 mwaka huu wakili kweka alidai kuwa kosa la kwanza linahusu kudharau amri ya mahakama kinyume na kifungu cha 124 cha sheria ya kanuni ya adhabu ya mwaka 2002 kuwa novemba 18 mwaka 2013 huko eneo la sea view upanga dar es salaam alifanya marekebisho katika kiwanja kitalu na 1032 /60 lo no 51464 huko eneo la ocean road na akafanya marekebisho kitendo ambacho ni kinyume na amri iliyotolewa na mahakama kuu divisheni ya ardhi katika kesi na 41 ya mwaka 2012 ya novemba 18 2013
amri hiyo ilikuwa ikiikataza kampuni ya twiga paper production limited au wakala wake kuvunja au kufanya mabadiliko yoyote katika nyumba iliyopo kitalu na 1032/60lo no 51464 ocean road
wakili kweka alilitaja kosa la pili kuwa ni la kudharau pia amri ya mahakama hiyo kuwa novemba 18 mwaka 2013 huko eneo la see view upanga alivunja nyumba aliyokuwa akiishi ofisa mwenye cheo cha juu wa serikali mwenye cheo cha kamishna wa fursa sawa ya kibiashara na nyumba hiyo ni mali ya serikali ilioyopo kwenye kitalu na 1032/60lono51464 iliyopo eneo la ocean road kinyume na amri ya mahakama kuu divisheni ya ardhi katika kesi namba 240 ya mwaka 2004 iliyotolewa mwaka 2007 kwa kampuni ya twiga paper products limited au wakala wa kampuni hiyo ambapo mahakama hiyo ilitoa amri ya kuzitaka pande zote katika kesi hiyo kuacha nyumba hiyo na 3 iliyopo kitalu na 1032/60 ibaki kama ilivyo hadi pale kesi ya msingi itakapomalizika lakini mshtakiwa huyo alikaidi amri hiyo ya mahakama na kuivunja
kweka alieleza kuwa upelelezi wa kesi hiyo umekamilika na wanaomba tarehe ya kumsomea maelezo ya awali mshtakiwa na kwamba licha kesi inayomkabili mshtakiwa huyo ina dhamana lakini mkurugenzi wa mashtaka dk feleshi amewasilisha hati ya kumfungia dhamana mshtakiwa huyo chini ya kifungu cha 148(4) cha sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai ya mwaka 2002
kwa upande wake wakili wa mshtakiwa pascal kamala aliipinga hati hiyo ya dpp kwa sababu inakwenda kinyume na ibara ya 13(6) ya katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania ya mwaka 1977 ambayo inasema kila mtu ana haki ya kupata dhamana
hata hivyo mwandishi wa habari hizi alikuwa akimtazama mshtakiwa aliyekuwa amesimama wakati akisomewa mashtaka yake na ilipofika wakili kweka kuieleza mahakama kuwa dpp amefunga dhamana mshtakiwa huyo aliyekuwa amesimama alikuwa akianza kufumba macho na kuhema kwa taabu na baada ya muda kidogo mshitakiwa huyo alianguka chini na kuanza kupepewa na ndugu zake
hali iliyosababisha hakimu atoke kwenye kiti chake cha enzi na kwenda kumshuhudia mshtakiwa alivyoanguka kizimbani huku mahakama yote ikibaki na taaruki
chanzogazeti la tanzania daima la jumatano januari 29 mwaka 2014
aliyezirai kortini afungiwa dhamana na mahakama reviewed by mshappiness katabazi on 756 pm rating 5 | 2017-09-20T20:08:46 | https://katabazihappy.blogspot.com/2014/01/aliyezirai-kortini-afungiwa-dhamana.html |
madhara ya alozera | jamiiforums | the home of great thinkers
madhara ya alozera
discussion in 'jf doctor' started by nimekimbia ccm oct 3 2012
wadau huwa napenda kutumia alozera lakini kutokana na muda wangu kuwa mdogo huwa natengeneza nyingi ambayo huweza kukaa hata siku 5 na siweki kwenye friji nje ya kuwa inaweza kulewesha je kuna madhara naweza kupata kutokana na utunzaji huo naomba msaada wadau
natanguliza shukrani zangu na mungu awabariki
mkuu ni rozela ama alozera je ni ile yenye majani mekundu
kuna lozera na alovera je unamaanisha ipi
mkuu ni rozela ama alozera je ni ile yenye majani mekunduclick to expand
ni ile yenye majani mekundu(asante muheshimiwa kwa kunirahishia kujielezea)
kuna lozera na alovera je unamaanisha ipiclick to expand
lozera kaka asante sana
sidhani kama madhara yatakuwepo ila chamsingi hifadhi sehemu safi na salama
kama ukiweka sukari baada ya hizo siku inachachuka na kua pombe kama hujawahi kunywa pombe kabisa unaweza ukalewa kwa mbali
wajameni hivi hiyo lozera huwa inatibu nini tafadhalini nijuzeni manake huwa naiona kwenye baadhi ya maduka ikiwa imefungwa kwenye mifuko ya plastiki almaarufu rambo nyeupe nimejaribu kuwauliza wauzaji hunipa majibu kuwa inaongeza damu na ni nzuri kwa kuitengeneza kama juisi mkuu mzizimkavu hebu nena nikusikie
kama unaitumia kama dawa jitahidi kuitumia kwa muda wa siku 2 ili kuepuka kupotezd nguvu yake kama unaitumia kama juice baada ya siku tano haitakuwa na ladha nzuri ama huwa unaifurahia ladha yake
hajielewi hebu naomba uache kumuuliza maswali ya degree mwanafunzi wa darasa la tatu a
hajielewi hebu naomba uache kumuuliza maswali ya degree mwanafunzi wa darasa la tatu aclick to expand
upo u
emisika mpemba hajambo
asante msomi wewe mwenye degree lakini mbona inaonekana unaukosea haki usomi wako umekosa busara(karibu darasa la tatu a tukupe elimu ya busara na kujua kuheshimu hata walio chini ya kiwango cha elimu yako0'
ile ina tabia ya kuchachuka km pombekwa kuwa utengenezaji wake n rahis jitahid kutengeneza kias cha kutumia kwa cku 2hifadhi sehemu isiyo na joto kukwepa kuchachainasemekana ni nzurinasaidia digestionpia inaongeza sana damu | 2016-12-03T00:47:20 | http://www.jamiiforums.com/threads/madhara-ya-alozera.332684/ |
mourinho asaini beki la kati chelsea kinda la miaka 19 kutoka ufaransa bin zubeiry sports online mourinho asaini beki la kati chelsea kinda la miaka 19 kutoka ufaransa bin zubeiry sports online
mwanzo > untagged mourinho asaini beki la kati chelsea kinda la miaka 19 kutoka ufaransa
kocha jose mourinho amekamilisha usajili wa kurt zouma kutoka klabu ya stetienne
chelsea imekubali kulipa ada ya uhamisho ya pauni milioni 125 kwa ajili ya beki huyo wa kati kinda wa umri wa miaka 19 ambaye atabakia ufaransa kumalizia msimu
kujiamini kurt zouma amejiunga na chelsea lakini atabakia st etienne kumalizia msimu
item reviewed mourinho asaini beki la kati chelsea kinda la miaka 19 kutoka ufaransa rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry | 2020-01-27T01:04:50 | http://www.binzubeiry.co.tz/2014/01/mourinho-asaini-beki-la-kati-chelsea.html |
dkshein amewataka wananchi kuheshimu kazi majukumu na maamuzi ya tume ya uchaguzi nchini
rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dk ali mohamed shein amewataka wananchi kuheshimu kazi majukumu na maamuzi ya tume za uchaguzi nchini kwa kuzingatia kuwa taasisi hizo zimeundwa kwa mujibu sheria na katiba za nchi
dk shein amesema hayo katika ukumbi wa sheikh idrisa abdul wakil kikwajuni mjini hapa katika kilele cha maadhimisho ya siku ya sheria zanzibar
alisema kila mwananchi ana wajibu wa kuhakikisha anaheshimu kazi za vyombo hivyo katika uendeshaji na utoaji wa maamuzi katika masuala yote yanayohusu uchaguzi wa zanzibar na ule wa jamuhuri ya muungano wa tanzania
alisema wananchi wana wajibu wakuejiepusha na vitendo vyote vinavyokwenda kinyume na sheria na kanuni zilizowekwa na tume ya uchaguzi ya zanzibar (zec) pamoja na ile ya jamuhuri ya muungano wa tanzania (nec)
alisema ni vyema kuhakikisha kwamba kila mwenye sifa na haki ya kushiriki katika uchaguzi huo anafanya hivyo kwa kuelewa kuwa huo ni msingi muhimu wa kudumisha utawala bora na demokrasia
aidha alizitaka taasisi zinazoshughulikia masuala ya uchaguzi pamoja na usalama wa wananchi kufahamu wajibu walionao na kutekeleza majukumu yao ipasavyo akibainisha umuhimu wausalama wanchi kuwa ndio lengo la serikali
ni vyema ikafahamika kuwa suala la kuendeleza demokrasia na kudumisha hali ya usalama na amani wakati wote ni wajibu wetu wa kikatiba alisema
alisema zanzibar ina nafasi ya kujifunza njia bora katika kuendesha kampeni za uchaguzi kwa kuzingatia hoja ajenda na mambo muhimu ya maendeleo ya jamii na nchi kama ilivyobainishwa katika ilani za uchaguzi badala ya kutumia mwanya huo kufanya kampeni zenye kuleta mifarakano chuki na uhasama
rais dk shein alisema kuna umuhimu wakuhakikisha kampeni za uchaguzi haziwagawi watu kutokana na rangi zao makabila yao dini au miji na vijiji walivyotoka
akigusia kauli mbiu ya maadhimisho hayo isemayo dumisha utawala wa sheria na demokrasia katika uchaguzi mkuu 2020 dk shein alisema suala la kuendeleza demokrasia na kudumisha hali ya usalama na amani wakati wote ni wajibu wa kikatiba
alisema serikali ya mapinduzi ya zanzibar imetunga sheria ya uchaguzi namba 4 ya 2018 ikiwa ni juhudi za kukuza na kudumisha demokrasia na utawala bora pamoja na kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na wa haki
alisema sheria zimebainisha taratibu zinazopaswa kuchukuliwa pale wananchi wasiporidhika na hatua zilizochukuliwa na moja ya taasisi zinazoshughulikia mchakato wauchaguzi
iwapo mtu hukuridhikana uamuzi wa tume ya uchaguzi anaweza kupeleka shauri lake mahakamani kwauamuzi alisema
alieleza kuwa uamuzi wowote utakaokwendakinyume na taratibu zilizowekwa na sheria zitasababisha zogo na kuanzisha fujo na hivyo kuwa chanzo cha watu kugombana na hatimae kuingiana maungoni
alisema serikali haitasita kuchukulia hatua za kisheria dhidi ya watu wote watakaobainika kuhusika na matukio ya aina hiyo
alisema kila nchi duniani ina mfumo wake wa utawala na demokrasia sambamba na taratibu zakuendesha uchaguzi ikiwemo namna ya kuwapata viongozi wakushika nyadhifa tofauti serikalini
watanzania tuna mfumo wa demokrasia unaokidhi hali ya usalama na mazingira yetu na ndio maana sio sahihi na sio halali si haki na haifai kwa taifa jengine kuingilia mfumo na taratibu halali za uchaguzi wanchi yetu zilizowekwa na tume ya uchaguzi alisema
aidha aliwataka viongozi wavyama vya siasa kuzingatia jukumu kubwa la kuwatumikia na kuwasimamia wanachama na wafuasi wao kwa kuzingatia misingi ya demokrasia na utawala bora
si vyema chama cha siasa kushutumu kukosekana kwamisingi ya demokrasia katika chama kingine na taasisi nyengine wakati hali hiyo ni mbaya zaidi ndani ya chama kinacholalamika alisema
dk shein alibainisha kuwa demokrasia ya kweli inahitajika ndani ya uongozi wa vyama vya siasa kwakuweka misingi bora ya kuendesha chaguzi za viongozi kutoa fursa za uongozi kwa watu wenye uwezo pamoja na kujiepusha na hatua za kungangania madaraka
alisema wakati taifa likijiandaa na uchaguzi mkuu ujao ana imani kubwa na vyombo vya sherina kusisitiza umuhimu wa kutekeleza vyema majukumu yao kwa uadilifu na haki
alisema serikali itaendelea kuhakikisha hali ya amani na utulivu nchini inaendelea kudumu na kuwakumbusha wananchi jukumu la kuimarisha utawala wa sheria pamoja na kulinda usalama
akigusia juu ya uhuru wa mahakama dk shein alisema katika kipindi chote akiwa madarakani hajawahi wala kuweka azma ya kuingilia uhuru wa chombo hicho kwakutambua kuwa ndio nguzo na mhimili wa utawala usiopaswa kuingiliwa
alitoa shukurani kwa watendaji wote wa mahakama pamoja na wale waliochangia na kushiriki katika utayarishaji wa toleo la nane la kitabu cha zanzibar yearbook of law akibainisha matumaini yake kuwa kitabu hicho kimetayarishwa baada ya kufanyika utafiti wa kutosha
aidha aliwapongeza watendaji hao kwa ubunifu wao wakuanzisha programu maalum ya kwenda kwa wananchi hususan walioko vijijini kwa ajili ya kuwapatia elimu ya kufahamu haki zao zakikatiba na kisheria
mapema jaji mkuu wa zanzibar omar othman makungu alisema sherehe hizo kwa vipindi tofauti nuchaguzi wa zanzibar umekuwa na ushindani mkubwa wakisiasa hivyo akasisistiza umuhimu wa jamii kuendelea kulinda amani iliopo
alisema mfumo wa demokrasia ya vyma vingi kamwe haupaswi kuwa sababu za kuvuruga amani iliopo akibainisha matukio kadhaa yaliojitokeza katika chaguzi zilizopita kutokana na wananchi kutotii sheria
makungu alitoa ushauri kwa kuwataka wanasheria na mawakili wa kujitegemea kupelekea mapendekezo yao ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali ili kusikilizwa kwakuzingatia kuwa serikali hii ni sikivu kabla ya kuwasilisha mahakamani
alisema idara ya mahakama imejipanga kuleta mabadiliko makubwaya kiutendaji katika miaka mitano ijayo katika suala zima la utoaji wahuduma
nae waziri wa katiba na sheria khamis juma mwalimu alitowa wito kwa wananchi kuendelea kuheshimu na kutii sheria za nchi kwa kuzingatia kuwa hakuna mtu yeyote alie juu ya sheria
alisema wizara hiyo itaendelea na jukumu la kusimamia utawala wa sheria na upatikanaji wa haki kwawananchi wote
aidha mwanasheria mkuu wa serikali ya zanzibar said hassan said alisema wakati wakushereherekea siku ya sheria zanzibar kuwa hiyo ni fursa ya kuwakumbusha wananchi juu ya haki waliyonayo ya kupiga kura kwakuzingatia misingi ya utawala bora na utawala wa sheria
alisema dhana ya utawala bora na utawala wa sheria ni nguzo muhimu ya kuifanya demokrasia ishamiri na kuleta ustawi wajamii pamoja na maendeleo yao
alisema kila mzanaibari anayo haki na uhuru wa kushiriki katika mchakato wauchaguzi ili kufikia maamuzi yatakayoleta hatma njema ya maisha yake na taifa na kusisitiza wajibu wa kila mwananchi mwenye sifa kujiandikisha
alitoa wito kwa wananchi wote kutumia fursaya kuchagua viongozi kwa kuelewa kuwa fursa hiyo hupatikana kila baada ya miaka mitano
vile vile mkurugenzi wa mashtaka ibrahim mzee ibrahim alisema ofisi hiyo ina wajibu wa kuwachukulia hatua zakisheria watu wote na taasisi zitakazotenda makosa ya uchaguzi hivyo akasisitiza haja ya taasisi zinazoshughulikia mchakato wauchaguzi kusimamia vyema majukumu yao
katika hafla hiyo iliyohudhuria na viongozi mbali mbali wa serikali na wadau wa sekta ya sheria rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dk ali moahmed shein alizindua kitabu cha zanzibar yearbook of law pamoja na kupokea zawadi maalum iliyoandaliwa na uongozi wa idara ya mahakama zanzibar
176456jumla ya waliotembelea
63waliotembelea leo
2323wiki iliyopita | 2020-02-23T04:25:00 | https://zbc.co.tz/dk-shein-amewataka-wananchi-kuheshimu-kazi-majukumu-na-maamuzi-ya-tume-ya-uchaguzi-nchini/ |
mrpengo blog watumishi wapya nishati na madini waaswa kuwa wabunifu na waadilifu
watumishi wapya nishati na madini waaswa kuwa wabunifu na waadilifu
mkurugenzi wa utawala na utumishi kutoka wizara ya nishati na madini mrimia mchomvu (aliyesimama) akisisitiza jambo kwa washiriki wa mafunzo elekezi kutoka wizara hiyo (hawapo pichani) kushoto kwake ni mkurugenzi msaidizi sehemu ya rasilimaliwatu lusius mwenda akifuatiwa na afisa utumishi mwandamizi joan ndibalema mkurugenzi mchomvu alifungua mafunzo hayo jumatatu machi 23 2015 kwa niaba ya kaimu katibu mkuu wa wizara husika mhandisi ngosi mwihava
washiriki wa mafunzo elekezi kutoka wizara ya nishati na madini wakiwa katika picha ya pamoja na mkurugenzi wa utawala na utumishi wa wizara hiyo mrimia mchomvu (mstari wa mbele katikati) kulia kwa mkurugenzi ni mkufunzi wa mafunzo hayo kutoka chuo cha utumishi wa umma akifuatiwa na mkurugenzi msaidizi sehemu ya rasilimaliwatu kutoka wizarani lusius mwenda kushoto kwa mkurugenzi mchomvu ni mkufunzi wa mafunzo kutoka chuo cha utumishi wa umma mariam kuhenga wa kwanza kulia (mwenye koti nyeusi) ni ofisa utumishi mwandamizi kutoka wizarani joan ndibalema
washiriki wa mafunzo elekezi kutoka wizara ya nishati na madini wakimsikiliza mkurugenzi wa utawala na utumishi mrimia mchomvu (aliyesimama) wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo uliofanyika jumatatu machi 23 2015 katika ukumbi wa elimu ya watu wazima jijini dar es salaam
mkurugenzi msaidizi sehemu ya rasilimaliwatu wizara ya nishati na madini lusius mwenda (aliyesimama) akizungumza na wafanyakazi wapya wa wizara hiyo (hawapo pichani) wakati wa ufunguzi wa mafunzo elekezi jumatatu machi 23 2015 katika ukumbi wa elimu ya watu wazima dar es salaam
sehemu ya washiriki wa mafunzo elekezi kutoka wizara ya nishati na madini wakimsikiliza mkurugenzi wa utawala na utumishi mrimia mchomvu (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa mafunzo husika uliofanyika jumatatu machi 23 2015 katika ukumbi wa elimu ya watu wazima dar es salaam mafunzo hayo yatahitimishwa ijumaa machi 27 2015
meza kuu kutoka kushoto ni waratibu na wakufunzi wa mafunzo elekezi kutoka chuo cha utumishi wa umma mariam kahanga na dorah nestory mkurugenzi wa utawala na utumishi kutoka wizara ya nishati na madini mrimia mchomvu mkurugenzi msaidizi sehemu ya rasilimaliwatu kutoka wizara ya nishati na madini lusius mwenda na afisa utumishi mwandamizi kutoka wizara hiyo joan ndibalema
posted by teammapicha mrpengo at 1206 pm | 2018-03-23T05:08:17 | http://atickfadhiri.blogspot.com/2015/03/watumishi-wapya-nishati-na-madini.html |
langohistoria wikipedia kamusi elezo huru
lango la historia
historia ni somo kuhusu maisha ya binadamu na utamaduni wao wakati uliopita mara nyingi neno historia pia ina maana ya maarifa yoyote kuhusu wakati uliopita yawe au yasiwe maarifa ya watu (kwa mfano historia ya ulimwengu)
wanahistoria wanapata maarifa yao kutoka maandishi ya zamani (hasa kwa historia andishi) kutoka fasihi simulizi na kutoka akiolojia (hasa kwa historia ya awali)
makala nzuri ya mwezi
je wajua ya kwamba mkoa wa pwani pekee kuandikwa kiswahili na kingereza(coast na pwani)
langohistoria/vitu unavyoweza kufanya
langohistoria/wikiprojects
picha inayoonyesha piramidi za giza mjini giza misri
historia vimilango
langohistoria/subportals
► historia bara kwa bara
► historia nchi kwa nchi
► akiolojia
► historia ya biblia
► enzi za kati
► historia ya kale
► historia ya sayansi
► historia ya kanisa
► karne
► madola
► mapinduzi
► meli za zamani
► miaka
► milenia
► miongo
► nchi ya kihistoria
► tuzo ya pulitzer ya historia
► uenezaji wa uislamu
► ukoloni
► historia ya ukoloni
► ustaarabu
► vipindi vya kihistoria
► vita vikuu vya pili
► vitabu vya historia
► wanahistoria
history on wikiquote
quotes history on commons
images history on wikisource
rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=langohistoria&oldid=951335
milango ya historia
ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 19 juni 2015 saa 1350 | 2019-05-24T09:11:35 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Lango:Historia |
wanaume wanaonunua 'machangudoa' kushughulikiwa habari za jamii
home / habari / wanaume wanaonunua 'machangudoa' kushughulikiwa
wanaume wanaonunua 'machangudoa' kushughulikiwa
dotto mwaibale 453 pm habari
kamanda wa polisi mkoa wa kipolisi kinondoni kamishna msaidizi wa polisi (acp) muliro jumanne muliro amesema wanafikiria kuanza kuwakamata wanaume ambao wananunua wanawake wanaojiuza 'machangudoa' katika mitaa mbalimbali ya kinondoni
kamanda muliro ameyasema hayo leo ijumaa desemba 292017 kwenye kipindi cha east africa breakfast cha east africa radio ambapo amesisitiza kuwa kufanya hivyo itasaidia kupunguza wateja na hivyo wadada hawatajiuza tena kwasababu watakosa wateja
nafikiri kama wanaume wangekubali kutokwenda kwa hao madada poa hiyo biashara ingekufa sasa nafikiri badala ya kuwakamata tu hao wadada wasishangae kwa mkoa wa kinondoni tukaanza kuwakamata hao wanaume na kuwafikisha mbele ya sheria amesema kamanda muliro
aidha kamanda muliro amesema jeshi la polisi kinondoni limejipanga kuhakikisha wananchi wakiwemo wafanyabiashara wanafanya shughuli zao kwa amani na usalama kwenye sikukuu ya mwaka mpya | 2019-03-23T04:09:02 | http://www.habarizajamii.com/2017/12/wanaume-wanaonunua-machangudoa.html |
imvaho nshya fifa u rwanda rwazamutseho imyanya 6 ku rutonde advertisement
fifa u rwanda rwazamutseho imyanya 6 ku rutonde yanditswe na bugingo fidele
ikipe yu rwanda iheruka gukina umukino taliki 03 nzeri 2016 aho yanganyaga na ghana igitego 11 ikomeje kuzamuka ku rutonde ngarukakwezi rukorwa nishyirahamwe ryumupira wamaguru ku isi fifa
nyuma yuyu mukino urutonde rwasohotse taliki 15 nzeri 2016 u rwanda rwahise ruzamukaho imyanya 14 ruva ku 122 rugera ku 107 mu kwakira 2016 nta mpinduka kuko rwagumye kuri uyu mwanya urutonde rwashyizwe ahagaragara ejo hashize taliki 24 ugushyingo 2016 u rwanda rwazamutseho imyaka 6 ruva ku 107 rugera ku 101 ku isi na 27 muri afurika ibi bivuze ko kuva muri nzeri 2016 rumaze kuzamukaho imyanya 20
muri aka karere kafurika yu burasirazuba uganda ni yo iri imbere aho iri ku mwanya wa 73 ku isi na 18 muri afurika ikurikiwe na kenya iri ku mwanya wa 89 na 21 muri afurika hakurikiraho u rwanda (101) ethiopia (115) sudani (140)tanzania (160) sudani yepfo (169) djibouti eritrea na somalia (205)
amavubi amaze kuzamukaho imyanya 20 kuva muri nzeri 2016
ikipe yigihugu ya senegal nubwo iheruka gutsindwa nafurika yepfo mu gushaka itike yigikombe cyisi ubu ni yo iri ku mwanya wa mbere muri afurika ikaba ku mwanya wa 33 ku isi ikurikiwe na cote divoire (34) tunizia (34) misiri (36) naho algeria yigeze kuyobora uru rutonde iri ku mwanya wa 38 ku isi
muri afurika ikipe ya namibiya ni yo yazamutse cyane ku rutonde imyanya 20 aho yavuye ku 118 ikajya ku mwanya wa 98 hari kandi burkina faso yazamutseho imyanya 17 ethiopia yazamutseho 11 na misiri na nigeria zizamukaho 10
uretse aya makipe yibihugu yazamutse ku rutonde tchad ni cyo gihugu cyasubiye inyuma cyane ku ruronde aho cyasubiye inyuma ho imyanya 49 kiva ku mwanya wa 103 kigera ku 153 ikindi gihugu cyasubiye inyuma ni guinea equatorial (22)tanzania (16) na congo brazza (15)
muri rusange argentine ni yo iyoboye urutonde rwisi igakurikirwa na brazil u budage chili naho u bubiligi bukaza ku mwanya wa 5 | 2017-03-28T19:37:38 | http://www.imvahonshya.co.rw/siporo/siporo-mu-rwanda/article/fifa-u-rwanda-rwazamutseho-imyanya-6-ku-rutonde |
mbeya city yaipigisha kwata jkt ruvu 10 | mwanafasihi mahiri
wachezaji wa timu ya jkt ruvu wakiingia uwanjani kwa ajili ya mechi ya ligi kuu kati yake na timu ya mbeya city kwenye uwanja wa kumbukumbu ya sokoine jijini mbeya
mashabiki wa timu ya jkt wakiingia uwanjani kuishangilia timu yao
mashabiki wa timu ya jkt ruvu wakishangilia timu yao
washawasha la polisi nalo lilikuwa mstari wa mbele kuhakikisha hali ya usalama inadumishwa katika mechi kati ya mbeya city na jkt ruvu
mashambulizi langoni mwa jkt ruvu
mlinzi wa jkt ruvu kesi mapande akimzuia mshambuliaji wa mbeya city deus kaseke wakati wa patashika langoni mwa timu ya jkt ruvu
mchezaji wa timu ya mbeya city akigalagala chini baada kuumia huku wachezaji wa timu ya jkt ruvu kesi mapande na nashon naftal wakiwa wamesimama pembeni
kikosi cha timu ya mbeya city kilichowapigisha kwata jkt ruvu uwanja wa sokoine leo jioni
wachezaji wa timu ya jkt ruvu wakiwasalimia wachezaji wa mbeya city kabla ya kuanza kwa mchezo
kikosi cha timu ya jkt ruvu kabla ya mechi kati yao na timu ya mbeya city leo jioni
kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni freeman mbowe naye alikuwa mmoja wa watazamaji wa timu mechi kati ya mbeya city na jkt ruvu
timu ya mbeya city ya jijini mbeya imeendelea kuutumia vyema uwanja wake wa nyumbani kwa kuitandika timu ya jkt ruvu bao 10 bao lililopatikana dakika ya 36 ya kipindi cha kwanza
mchezo huo ulianza kwa kasi huku kila timu ikiwania kupata bao la kuongoza ambapo golikipa wa timu ya jkt ruvu alionekana kufanya kazi kubwa kwa kuondosha mara kwa mara mipira iliyoelekezwa langoni mwa timu yake
goli la mbeya city lilipatikana dakika ya 36 baada ya mchezaji jeremia john kuwatoka walinzi wa timu ya jkt ruvu mussa zuberi kesi mapande na omar mtaki na kupiga bao safi lililomwacha kipa wa jkt ruvu shaaban dihile akichupa bila mafanikio
hadi kipindi cha kwanza kinamalizika mbeya city ilitoka kifua mbele kwa bao 10
kipindi cha pili kilianza kwa kasi huku kila timu ikilishambulia bao la mpinzani waketimu ya mbeya city ilionekana kuutawala zaidi mchezo dhidi ya jkt ruvu hadi kipenga cha mwisho cha mwamuzi antony kayombo kutoka mkoani rukwa kinapulizwa mbeya city ilikuwa inaongoza kwa goli 10 | 2017-10-24T00:09:59 | http://mkwinda.blogspot.com/2013/10/mbeya-city-yaipigisha-kwata-jkt-ruvu-1-0.html |
kauli ya mbunge lijuakali baada ya kuachiwa huru na mahakama | mpekuzi
kauli ya mbunge lijuakali baada ya kuachiwa huru na mahakama
mbunge wa kilombero kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) mhe peter lijualikali jana amefanikiwa kuachiwa huru na maafisa wa gereza la ukonga baada ya kukamilisha taratibu za kutoka gerezani
akizungumza mara baada ya kutoka gerezani mbunge lijualikali aliwataka watanzania kutumia demokrasia ya kweli katika kutafuta majawabu ya matatizo waliyonayo ili kubadili taswira ya tanzania na kuwa nchi ya maendeleo na kuongeza mshikamano bila kubaguana
kwa upande wake baba mzazi wa mbunge huyo amberose lijualikali aliviomba vyombo vya dola nchini kufuata sheria za nchi zinavyoelekeza katika kutoa maamuzi
kwa upande wake waziri mkuu mstaafu na mwenyekiti wa chadema kanda ya pwani mhe fredrick sumaye aliyekuwepo katika gereza la ukonga dar es salaam wakati mbunge huyo akiachiwa aliwataka viongozi na watanzania kutumia demokrasia katika kudai haki zao ili kulinda amani ya nchi iliyopo
hukumu ya lijualikali ilitenguliwa jana na mahakama kuu baada ya kukaa gerezani kwa zaidi ya siku 70 akituhumiwa kufanya vurugu katika uchaguzi wa mwaka 2015 katika hukumu hiyo lijualikali alihukumiwa bila kupewa masharti ya faini
blog archive march (372) february (486) january (508) december (438) november (427) october (440) september (399) august (446) july (390) june (354) may (375) april (317) march (291) february (307) january (371) december (366) november (351) october (363) september (340) august (403) july (384) june (421) may (486) april (499) march (478) february (404) january (444) december (375) november (317) october (335) september (271) august (250) july (284) june (352) may (325) april (345) march (383) february (339) january (341) december (246) november (239) october (310) september (289) august (369) july (313) june (322) may (333) april (260) march (294) february (251) january (205) december (262) november (240) october (262) september (278) august (226) july (284) june (256) may (262) april (245) march (238) february (168) january (236) december (164) november (134) october (219) september (303) august (376) july (539) june (551) may (827) april (562) march (258) february (149) january (146) december (127) november (173) october (269) september (205) august (734) july (411) june (241) may (8) april (20) | 2018-03-21T12:36:18 | http://www.mpekuzihuru.com/2017/04/kauli-ya-mbunge-lijuakali-baada-ya.html |
rc dar kukufua mabasi 10 ya vyombo vya usalama na ulinzi
posted on wednesday 01 november 2017 0618 written by mjengwablog
mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda leo oktoba 31 amekabidhi mabasi 10 chakavu ya vyombo vya ulinzi na usalama kwa kampuni ya dar coach ili yafanyiwe matengenezo na kuwa ya kisasa
rc makonda amesema kuwa gari hizo zitatengenezwa na kukamilika ndani ya siku 90 ambapo ameipongeza kampuni ya dar coach kwa kujitolea kukarabati magari hayo bila kutumia pesa ya serikali
aidha makonda amesema magari hayo yatafungwa vifaa vya kisasa ikiwemo kiyoyozi (ac) mfumo wa chaji ya simu kila kiti runinga radio viti vya kisasa vyoo vya ndani bodi mpya pamoja na mwonekano mzima wa gari ili ziwe za kisasa
rc makonda amesema mpango wake wa kuendelea kuongezea nguvu vyombo vya ulinzi na usalama hautokoma kwakuwa lengo lake ni kuwatumikia wananchi na askari wajivunie kufanyakazi chini ya rc makonda
amemuagiza kamanda wa polisi kanda maalumu ya dar es salaam lazaro mambosasa kuhakikisha vingora vya jeshi la polisi vinakuwa tofauti na kampuni za ulinzi na usalama magari ya wagonjwa ili kupunguza mkanganyiko kwa wananchi na kujengea heshima jeshi la polisi
more in this category benki ya pta yabadili jina sasa kuitwa benki ya tdb mavunde asisitiza nguvu kazi kwa vijana katika ujenzi wa uchumi nchini | 2018-02-20T06:05:48 | http://mjengwablog.com/jamii/item/32364-rc-dar-kukufua-mabasi-10-ya-vyombo-vya-usalama-na-ulinzi.html |
thenkoromo blog bunge la iran lalaani hatua ya bunge la marekani
wajumbe wa majlisi ya ushauri ya kiislamu bunge la iran wamelaani hatua ya wajumbe wa bunge la marekani kurefusha kwa muda wa miaka 10 sheria ya kuiwekea iran vikwazo
wabunge wa iran katika kikao cha wazi cha bunge jumanne ya leo walitoa taarifa kulaani hatua hiyo ya marekani na kuitaka serikali ya jamhuri ya kiislamu ya iran kukabiliana na uamuzi huo kwa mujibu wa sheria iliyopitishwa na majilisi kuhusu mapatano ya nyuklia yajulikanayo kama mpango kamili wa pamoja wa utekelezaji jcpoa
itakumbukwa kuwa julai 14 mwaka jana iran na nchi zinazounda kundi la 5+1 zilifikia mapatano ya nyuklia yajulikanayo kama mpango kamili wa pamoja wa utekelezaji (jcpoa) baada ya mapatano hayo bunge la iran lilipitisha sheria maalumu ambayo inaainisha ni hatua gani zitakazochukuliwa iwapo moja kati ya madola sita makubwa duniani yatakiuka mapatano hayo
katika taarifa yao wabunge wa iran wamesisitiza kuhusu kulinda mafanikio ya mapinduzi ya kiislamu katika sekta ya nyuklia kwa matumizi ya amani
wakati huo huo kamal dehqani firuzabadi naibu mkuu wa tume ya usalama wa taifa na sera za kigeni katika bunge la iran ameashiria hatua ya marekani kuvunja ahadi zake na kurefushwa zaidi vikwazo dhidi ya iran katika bunge la marekani na kusema wabunge watawasilisha muswada wa dharura kuhusu ni hatua gani zichukuliwe kukabiliana na uvunjaji ahadi wa marekani
baada ya ushindi wa donald trump katika uchaguzi wa rais bunge la marekani ambalo linadhibitiwa na chama cha trump cha republican lilirefusha kwa muda wa miaka mingine 10 vikwazo dhidi ya iran sambamba na kupitisha sheria nyingine ya kuzuia iran kuuziwa ndege | 2018-04-21T00:01:54 | http://bashir-nkoromo.blogspot.com/2016/11/bunge-la-iran-lalaani-hatua-ya-bunge-la.html |
mgogoro wazuka bungeni tanzania
habari mgogoro wazuka bungeni tanzania mei 30 2016
wabunge wa bunge la jamuhuri ya muungano wa tanzania bila kujali itikadi ya vyama vyao jumatatu wamegomea kuendelea na kikao na kutoka nje ya bunge mara baada ya naibu spika wa bunge dk tulia akson kuzima hoja ya kufukuzwa chuoni kwa wanafunzi wa diploma wa chuo kikuu cha dodoma
wakiongea na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa bunge mara baada ya bunge kusitisha kikao chake wabunge joshua nassari wa arumeru mashariki esther bulaya wa bunda na stanslaus mabula wa nyamagana wamepinga hatua ya naibu spika kutotaka kuwasikiliza wabunge ambao ndio wawakilishi wa wananchi
mapema jumatatu mara baada ya kipindi cha maswali na majibu bungeni mbunge wa arumeru mashariki bw nassari aliomba muongozo wa spika kuhusu bunge lijadili jambo la dharura kuhusiana na kufukuzwa chuoni kwa wanafunzi wa hao naibu spika akakataa na ndipo wabunge wa upinzani wakasimama kupinga
kutokana na hali hiyo ndipo naibu spika akaagiza askari wamemtoe nje mbunge huyo wa arumeru mashariki jambo ambalo halikuungwa mkono na wabunge wengi walioamua kutoka nje na kusababisha lisitishe kikao chake
akitoa ufafanuzi wa sakata hilo la wanafunzi hao waziri wa elimu profesa joyce ndalichako amesema walimu ndio waliogoma kuwafundisha wanafunzi na kudai serekali imefanya jitihada kutatua mgogoro huo japo hazikufanikiwa kwa sababu ya waalimu kuidai serekali madai yanayoelezwa hayakuwa sahihi kwa mujibu wa mkaguzi wa hesabu za ndani
amesema serekali haiwezi kumuingilia mkaguzi wa ndani hasa ikizingatiwa waalimu wameonyesha kutokuwa tayari kuwafundisha wanafunzi hao na wanafunzi tayari wameshakaa bila kusoma kwa hiyo serekali imeona ni busara kwa wanafunzi kurudi makwao wakati ufumbuzi wa tatizo hilo ukiendelea kupatikana | 2017-02-25T13:40:07 | http://www.voaswahili.com/a/mgogoro-wazuka-bungeni-tanzania/3352037.html |
eti uchumi umepanda kwa 7 | jamiiforums | the home of great thinkers
eti uchumi umepanda kwa 7
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by nchabironda sep 7 2011
mara nyingi kila ukisikia mojawapo ya hotuba za jk anasema kwamba namnukuu tanzania ni moja wapo ya nchi ambazo uchumi wake unapanda kwa kasi sana mwisho wa kumnukuu kila siku najaribu kutafakari usemi huu kwani sina uhakika kama jk anaifahamu vizuri tanzania anayoiongoza ametumia vigezo gani mpaka adai eti uchumi wetu umepanda kwa 7 nawaombeni wana jf ambao wanautalaam wa mambo ya uchumi wanisaidie kwa hili
kwani ungekuwa we ndie rais ungewambia nini wananchi
mara nyingi kila ukisikia mojawapo ya hotuba za jk anasema kwamba namnukuu tanzania ni moja wapo ya nchi ambazo uchumi wake unapanda kwa kasi sana mwisho wa kumnukuu kila siku najaribu kutafakari usemi huu kwani sina uhakika kama jk anaifahamu vizuri tanzania anayoiongoza ametumia vigezo gani mpaka adai eti uchumi wetu umepanda kwa 7 nawaombeni wana jf ambao wanautalaam wa mambo ya uchumi wanisaidie kwa hiliclick to expand
<br><br>kwani we ulitegemea uchumi wa kukua kwa 7 utaona mabadiliko ganikwangu bado ni ndogo  ukilinginisha na malengo ya kufikia vision 2025kumbuka uchumi wetu bado ni mdogo sana so 7 ya uchumi mdogo inaweza isiwe significant sana kama unavyohisilabda utuambie we ulikuwa unategemea kuona nini kwa ukuaji wa 7  
<br><br>kwani we ulitegemea uchumi wa kukua kwa 7 utaona mabadiliko ganikwangu bado ni ndogo&nbsp ukilinginisha na malengo ya kufikia vision 2025kumbuka uchumi wetu bado ni mdogo sana so&nbsp7 ya uchumi mdogo&nbspinaweza isiwe significant sana kama unavyohisilabda utuambie we ulikuwa unategemea kuona nini kwa ukuaji wa&nbsp7 &nbspclick to expand
hata mimi najua kabisa 7 ni ndogo sana kiasi kwamba haiwezi kuleta mabadiriko yoyote lakini kinachonishangaza ni huyu jk anapoamua kuutangazia umma akidai kwamba tanzania ni mojawapo kati ya nchi ambazo uchumi wake unakua kwa kasi sana | 2016-10-23T08:08:30 | http://www.jamiiforums.com/threads/eti-uchumi-umepanda-kwa-7.170269/ |
2013 disemba 13 | idhaa ya redio ya um umoja wa mataifa
nyumbani » 13/12/2013
entries posted on disemba 13th 2013
ban ahutubia baraza la usalama kuhusu ripoti ya silaha za kemikali syria
katibu mkuu wa umoja wa mataifa ban kimoon leo amelihutubia baraza kuu kuhusu ripoti ya uchunguzi katika madai ya matumizi ya silaha za kemikali nchini syria kufuatia kukabidhiwa ripoti hiyo hapo jana na profesa åke sellström ambaye aliiongoza timu ya uchunguzi huo ripoti hiyo inajumuisha matokeo ya uchunguzi wote wa timu hiyo katika matukio yote []
13/12/2013 | jamii | kusoma zaidi »
haki za binadamu zaenziwa somalia na afghanistan
wakati dunia ikiwa imeadhimisha siku ya haki za binadamu mapema wiki hii utekelezaji wa haki za binadamu katika nchi mbalimbali unakabiliwa na changamoto kadhaa hata hivyo kuna juhudi za makusudi za nchi wanachama wa umoja wa mataifa kutekeleza haki hizo mathalani somalia na afghanistan zimeonyesha nuru na matumaini basi ungana na joseph msami katika makala []
13/12/2013 | jamii makala za wiki | kusoma zaidi »
malkia maxima ashuhudia usaidizi wa wakulima wadogo dodoma tanzania
malkia maxima wa uholanzi ambaye ni mwakilishi maalum wa katibu mkuu wa umoja wa mataifa kuhusu ujumuishwaji wa mifumo ya fedha kwa maendeleo amehitimisha ziara yake ya kikazi nchini tanzania ambayo pia aliambatana na viongozi waandamizi wa umoja huo akiwemo mkurugenzi mtendaji wa shirika la mpango wa chakula duniani wfp wakati wa ziara hiyo malkia []
13/12/2013 | jamii habari za wiki hapa na pale | kusoma zaidi »
baada ya m23 sasa ni vikundi vingine vyenye silaha um
mkuu wa operesheni za ulinzi wa amani ndani ya umoja wa mataifa herve ladsous amesema baada ya utiwaji saini wa makubaliano ya amani ya kampala kati ya serikali na kundi la waasi wa m23 yanayotarajiwa kuleta matumaini ya amani nchini jamhuri ya kidemokrasia ya kongo drc sasa ni wakati wa kushughulikia vikundi vingine akiongea na []
13/12/2013 | jamii habari za wiki | kusoma zaidi »
baraza la usalama latakiwa kuchukua hatua kulinda waandishi wa habari mashakani
baraza la usalama leo limeelezwa bayana madhila wanayokumbana nayo waandishi wa habari pindi wanapotekeleza majukumu yao na limetakiwa kuchukua hatua kuhakikisha wanalindwa dhidi ya vitendo hivyo mtaalamu maalum wa umoja wa mataifa kuhusu uhuru wa kujieleza na kutoa maoni frank la rue amelimbia baraza hilo wakati wa kikao maalum kuhusu ulinzi wa waandishi wa habari []
bahama yatakiwa kuwa na mkakati wa kitaifa wa kupambana na usafirishaji wa binadamu
mtaalamu huru wa umoja wa mataifa kuhusu usafirishaji wa binadamu joy ngozi ezeilo ameitaka jumuiya ya commonwealth ya bahama kuendeleza na kutekeleza haraka mpango wa kitaifa wa haki za binadamu na unaozingatia waathirika ukilenga kupinga ukuaji wa usafirishaji wa binadamu akiongea baada ya kufanya ziara nchini humo bi ezeilo amesema bahama imedhihirisha utayari wa []
13/12/2013 | jamii hapa na pale | kusoma zaidi »
salaamu mimi ni katibu mkuu wa umoja wa mataifa ban kimoon ndivyo alivyoanza bwana ban ujumbe wake kwa watu wa jamhuri ya afrika ya kati wakati huu ambapo ghasia zinaendelea nchini humo huko na kuweka maisha ya wananchi hatarini ujumbe huo kwa njia ya radio ni takribani dakika mbili ambapo katibu mkuu ameamua kuzungumza moja []
hatimaye siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia zilizoanza tarehe 25 mwezi uliopita zimehitimishwa wiki hii ya tarehe 11 disemba katika kipindi hicho harakati mbali mbali zilitekelezwa kupazia sauti mbinu za kutokomeza ukatili wa kijinsia majumbani sehemu za kazi shuleni na kwingineko ili dunia pawe sehemu bora ya ustawi kwa kila mtu bila kujali jinsi []
13/12/2013 | jamii mahojiano makala za wiki | kusoma zaidi »
mkurugenzi mkazi wa benki ya dunia huko jamhuri ya kidemokrasia yacongo drc eustache uoayoro amesema jimbo la kivu ya kaskazini litanufaika na miradi ya maendeleo ya kijamii kwa lengo la kuleta majibu ya haraka kwa matatizo ya wakazi wa jimbohilowaliokumbwa na ghasia za mara kwa mara bwana uaoyoro amemweleza sifa maguru wa radio washirika okapi []
13/12/2013 | jamii hapa na pale taarifa maalumu | kusoma zaidi »
katibu mkuu wa umoja wa mataifa ban kimoon amekkaribisha kuhitimishwa kwa majadiliano yakampalabaina ya serikali ya jamhuri ya kidemokasia yacongona kundi la m23 kwa kutia saini azimio mjini nairobi kenya siku ya alhamisi na pia kutolewa tamko la mwisho na rais yoweri museveni waugandana rais joyce banda wamalawi ambao walikuwa wenyeviti wa mkutano wa kimataifa []
ofisi ya umoja wa mataifa inayohusika na uratibu wa masuala ya usaidizi wa kibinadamu ocha leo imeandaa mkutano wa ngazi ya juu kuhusu mfuko wa dharura wa umoja wa mataifa cerf mjini new york assumpta massoi amefuatilia mkutano huo na hii hapa ni ripoti yake (ripoti ya assumpta) mwaka huu pekee cerf ilitoa zaidi ya []
13/12/2013 | jamii mawasiliano mbalimbali | kusoma zaidi »
shirika la umoja wa mataifa la kuhudumia watoto unicef kwa kushirikiana na shirika la kimataifa la kuhudumia watoto save the children world vision na shirika la umoja wa mataifa la wakimbizizi unhcr wamezindua ripoti hii leo inayohusu mkwamo wa kielimu unaowakumba watoto wa syria kutokana na mgogoro taarifa zaidi na grace kaneiya (ripoti ya grace) []
tamasha lafanywa kuwakumbuka wahamiaji walokufa maji mediterraneaniom
shirika la kimataifa la uhamiaji iom ofisi ya roma italia pamoja na kwanya ya roman philharmonic orchestra wameandaa tamasha linalofanyika usiku wa leo kwa ajili ya kuwakumbuka wahamiaji waliopoteza maisha lampedusa katika bahari ya mediterranian na kwingineko kwa ajili ya kusaka maisha bora tamasha hilo litakalofanyika santa maria del popolo basilica litahudhuriwa pia na mkurugenzi []
13/12/2013 | jamii taarifa maalumu | kusoma zaidi »
monusco kuinua ustawi wa raia drc
naibu mwakilishi maalum wa ujumbe wa kuweka utulivu katika jamhuri ya kidemokrasia ya kongo monusco moustapha soumaré ambaye pia ni mratibu mkazi wa masuala ya kibinadamu na mkuu wa undp nchini humo amehitimisha ziara yake ya siku mbili mjini goma hapo jana alhamisi mwishoni mwa ziara hiyo bwana soumaré amesema ziara hiyo ya ujumbe []
wfp yasambaza mafuta kwa wasyria kunapoanza msimu wa baridi
huku watu nchini syria wakikabiliana na msimu wa baridi kali shirika la mpango wa chakula duniani wfp limeanza shughuli za usambazaji wa karibu tani 10000 za mafuta kwa wakimbizi wa ndani wanaoishi kwenye maeneo kumi ya mji wa damascus mafuta yanayosambaza nayo yatatumika kwenye upishi na kwa kupasha joto usambazaji zaidi wa mafuta unapangwa kufanywa []
watu 159000 walazimika kuhama makwao huku 600 wakiuawa kwenye jamhuri afrika ya aya kati
mapigano yanayoendelea kwenye jamhuri ya afrika ya kati yamewalazimu karibu watu 159000 kuhama makwao kwenye mji mkuu bangui huku watu 450 wakiripotiwa kuawa na wengine 160 sehemu tofauti za nchi kwa mujibu wa shirika la msalaba mwekundu na baraza la wakimbizi la denmark kwenye uwanja wa ndege mjini bangui kuna watu 38000 wasio na choo []
wiki moja baada ya makabiliano makali yaliyosababisha vifo vya mamia ya watu na wengine mengi kuhama makwao kwenye mji mkuu wa jamhuri ya afrika ya kati msaada mkubwa wa kibinadamu umewasili hii leo mjini bangui kwa njia ya ndege ikiwa imesheheni tani 77 ya misaada kutoka kwa shirika la kuhudumia watoto la umoja wa mataifa []
ingawa usalama umeanza kuimarika mvutano wa kidini unatia hofuum
ofisi ya haki za binadamu ya umoja wa mataifa inasema ingawa hali ya usalama imeanza kuimarika katika siku za karibuni katika mji mkuu wa jamhuri ya afrika ya kati bangui bado inatiwa hofu na ongezeko la mivutano miongoni mwa jamii za kidini ofisi hiyo inasema mashambulizi kati ya jamii za wakristo na waislamu yanaripotiwa kutokea []
mkurugenzi wa who kanda ya afrika azuru gabon
mashambulizi dhidi ya walinda amani hayatapunguza jitihada za umoja wa mataifa ban
licha ya magumu wanayopitia maelfu bado wanafunga safari kuingia ulayaunhcr | 2016-02-12T20:40:08 | http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/12/13/ |
waziri mkuu autaka uongozi wa mtandao wa maendeleo wa aga khan (akdn) ukamilishe mjadala na nhif
you are athome»habari360»waziri mkuu autaka uongozi wa mtandao wa maendeleo wa aga khan (akdn) ukamilishe mjadala na nhif
previous articletigo yapeleka mtandao wa 4g mpanda mkoani katavi
next article trilioni 2142 kuimarisha upatikanaji wa nishati nchini | 2019-08-24T23:23:39 | https://habarimpya.com/featured-2/unknown/waziri-mkuu-autaka-uongozi-wa-mtandao-wa-maendeleo-wa-aga-khan-akdn-ukamilishe-mjadala-na-nhif |
msichana na mwanamke mwenye kipaji tanzania ajadiliwa kwenye kikao cha mkubwa na wanae na tanzania bora initiative ~ chimbuko letu
1115 am burudani na michezo | 2017-12-12T10:06:55 | http://chimbukoletu.blogspot.com/2017/03/msichana-na-mwanamke-mwenye-kipaji.html |
swahili na waswahili 01/10/13 01/11/13
nawatakia j'pili yenye barakaburudanikijitonyama choirndani ya safinahakuna kama wewe
nimatumaini yangu j'pili hii inaendelea vyema iwe yenye neemabarakaupendo na amani
bwana akamwambia nuhuingia wewe na jamaa yako yote katika safina kwa maana nimekuona wewe u mwenye haki mbele zangu katika kizazi hiki
neno la leomwanzo7124
ndani ya safina aahhhndani ya safiiina aa humo ndani ya safina oooohh kuna upendo mwingiiiimhhhhwanyakyusa kwa waheheeeewasambaa kwa wadigoooonjoni wote tuingieee
posted by rachel siwa isaac at 1502 1 comments
posted by rachel siwa isaac at 1402 0 comments
posted by rachel siwa isaac at 1028 0 comments
jikoni leomzungu mandazi simple foods for shtf
jikoni leomzungu na maandazi
posted by rachel siwa isaac at 1634 1 comments
wapendwa muendelee na j'pili kwa amanifuraha na bidii
je wamwona mtu mwenye bidii katika kazi zake
neno la leomithali2229 na muhubiri910
posted by rachel siwa isaac at 1849 0 comments
posted by rachel siwa isaac at 1739 0 comments
wakiwa mtaa mmoja toka chuoni wanafunzi hao walivamiwa na watu wenye silaha waliotaka kuwapora na katika harakati hizo omar alipigwa risasi
posted by rachel siwa isaac at 1806 0 comments
tunavyojua ni lugha ya taifa kwa nchi za tanzania nakenya na pia
yazungumzwa kwenye nchi za jamhuri ya kidemokrasia ya congo burundi
rwanda uganda na visiwa vya comoro
ikizungumzwa na watu
wanaokadiriwa kufikia milioni 100 hivi sasa kiswahili ndio lugha pekee
ya kiafrika iliyo miongoni mwa lugha rasmi za umoja wa afrika na
inaaminika kuwa lugha ya saba kwa watumiaji wengi duniani
yake kama lugha inayozungumzwa na wengi wenye lugha tofauti katika
ukanda wa afrika mashariki na kati unaifanya lugha hii kuwa muhimu zaidi
kiswahili sasa
kinafunzwa katika vyuo visivyopungua 50 hapa nchini marekani lakini pia
ni lugha muhimu katika habari shule kazi za kiofisi kidiplomasia na
hata usalama miongoni mwa mataifa na naamini ndio sababu hata jumuiya ya
watanzania hapa washington dc wakaona ni jambo la busara kuanzisha
darasa la kufunza kiswahili kwa watoto hapa dmv
wawakilishi wa wahusika wa mpango huo rais wa jumuiya ya watanzania dmv
nyang'anyi na bernadeta kaiza wamekuwa wakarimu sana kujiunga nami
katika studio za jamii production hapa washington dc
posted by rachel siwa isaac at 2130 2 comments
posted by rachel siwa isaac at 1857 0 comments
mmmmmhhh mambo ya kitambo kidogo
endelea kupata burudani
posted by rachel siwa isaac at 1459 2 comments
posted by rachel siwa isaac at 1329 2 comments
labels mtu kwao
wanawake na urembo/mitindomhhhh haya kaazi kwenu
zaidi ingiahttp//wwwmitindoafricaabroadblogspotcouk/
posted by rachel siwa isaac at 1640 0 comments
posted by rachel siwa isaac at 1812 0 comments
posted by rachel siwa isaac at 0504 0 comments | 2017-11-18T06:11:22 | http://swahilinawaswahili.blogspot.com/2013/10/ |
mshtuko wa mafuta wa 2020 unaonekana kuwa hapa na kwa nini chungu kinaweza kuwa kubwa na kwa undani habari za athari za hali ya hewa | habari za athari za hali ya hewa
mshtuko wa mafuta wa 2020 unaonekana kuwa hapa na kwa nini chungu kinaweza kuwa kubwa na chini
imeandikwa na scott l montgomery
inasumbuliwa na vikwazo urusi inajaribu kuzalisha zaidi na kupata sehemu ya soko yegor aleyev kupitia picha za getty
ulimwengu unakumbwa tena na mshtuko wa mafuta
bei tayari kwenye hali ya kushuka zimeanguka 30 chini ya wiki na kuleta jumla ya kuanguka karibu 50 tangu kuongezeka mapema januari watumiaji kwa kweli wanaweza wanatarajia bei ya petroli itashuka lakini hadithi ni ngumu zaidi kuliko hiyo
baada ya utafiti uliofanywa kwa miongo kadhaa naona hii ni mpango mkubwa sio tu kwa uchumi wa ulimwengu lakini kwa jiografia mustakabali wa usafiri na juhudi za kupunguza mabadiliko ya hali ya hewa haswa ikiwa ulimwengu unaingia katika kipindi endelevu cha mafuta rahisi
kwa nini tunapaswa kupitisha historia zaidi ya 'ushindi wa binadamu' kutafuta suluhisho mabadiliko ya hali ya hewa
ni nini kilichotokea
bei ya mafuta imelazimishwa kushuka kwa sababu ya mvuto mkubwa kutoka kwa mahitaji na pande za usambazaji
mahitaji ya mafuta yasiyosafishwa na mafuta ya petroli imeanguka ulimwenguni kote kwa sababu ya janga la coronavirus hakuna mahali zaidi kuliko china kufunga mamilioni ya watu kufungwa viwanda kupunguza minyororo ya usambazaji na kupunguza usafiri nyumbani na nje ya nchi kupitia biashara hii ni muhimu kwa sababu china ni ya ulimwengu muuzaji mkubwa wa mafuta na dereva mkubwa wa mahitaji ya ulimwengu kuanguka kwa ulimwengu kwa mahitaji kutoka kwa usafirishaji sio mdogo kwa kusafiri kwa hewa imeongeza mahitaji zaidi
katika upande wa usambazaji ushirikiano usio na wasiwasi kati ya opec na urusi umegeuka ndoa ya uchungu vita vilivyosababisha kwa sehemu ya soko vimejaa dunia na mafuta
opec na urusi iliungana kwanza mnamo 2016 kupunguza uzalishaji na kuongeza bei dhidi ya mto wa mafuta mapya kutoka kwa kuchimba shale huko amerika kwa kiwango ilifanya kazi bei ziliongezeka ingawa ndani mtindo dhaifu
lakini katika mkutano mnamo machi 6 saudis kupendekezwa mwingine kukatwa ili kukabiliana na mahitaji ya muted athari ya athari coronavirus katika uchumi urusi ilisema ingefanya hivyo kuongeza uzalishaji badala na saudis walijibu kwa kusema watafanya pia siku chache baadaye falme za kiarabu zilisema pia kuongeza uzalishaji kwa viwango vya rekodi na kuharakisha mipango ya kuongeza uwezo
kwa mara ya kwanza tunaweza kupima mtiririko wa binadamu kwenye antarctica
nia za urusi itaonekana dhahiri inateseka chini ya vikwazo kwa mshtuko wake wa crimea urusi ilikuwa imeshika uzalishaji wake kiasi cha miaka kwa zabuni ya saudi arabia ambayo iliruhusu wazalishaji wa shale wa amerika kupata hisa katika soko la kampuni za urusi
hakuna shaka kidogo pia kwamba kampuni za mafuta za amerika ni haswa walio hatarini hivi sasa wengi wamefanya kazi kando kando ya faida na wanabaki katika deni kubwa pamoja na mahitaji ya kushuka kushinikiza kwa kushuka kwa bei inapaswa kuleta uchungu wa kweli kwa tambarare za texas dakota kaskazini na ohio bado ninatarajia wazalishaji wa amerika kuishi kama walivyokuwa hapo awali kwa kujumuisha kutafuta njia za kupunguza gharama kuwa bora na ubunifu
mafuriko ya mafuta
uhesabuji wa urusi kwamba inaweza kupata hisa ya soko dhidi ya kampuni za shale kwa kuongeza pato inaweza kuwa sahihi lakini labda haikujumuisha majibu ya saudiauae maafisa wa urusi wamesema kampuni zinaweza kuongeza uzalishaji kwa karibu mapipa 200000 hadi 300000 kwa siku kwa muda mfupi na kremlin alidai mapipa 500000 siku moja baadaye mnamo 2020 makadirio yangu mwenyewe yanaonyesha kuwa kwa pamoja saudis na emiratis zinaweza kuongezeka kwa mapipa milioni 35 kwa siku ikiwezekana mara 10 kiasi cha kirusi zaidi ya mwaka huu na karibu mapipa milioni 2 kwa muda mfupi
hata bila yoyote ya ongezeko hili tayari kulikuwa na ulaji wa mafuta ulimwenguni kulingana na shirika la kimataifa la nishati ripoti ya soko la mafuta kwa machi 2020 kushuka kwa mahitaji na kuongezeka kwa uzalishaji wa shale kungeliacha soko la kimataifa likiongezewa zaidi na mapipa zaidi ya milioni 3 kwa siku isipokuwa opec ilipunguza ziada hii sasa inaonekana kuwa ya wastani ukilinganisha na mwaka unaonekana kuwa na uwezekano wa kuleta
sayansi juu ya shida ya hali ya hewa haiwezi kuelezewa prince harry anasema
athari kubwa za ulimwengu na za ndani
historia haiwezi kujirudia yenyewe lakini hutoa analog katika 1986 saudis alifungua spigots dhidi ya kuongezeka kwa uzalishaji kutoka bahari ya kaskazini na muhimu zaidi umoja wa soviet matokeo yalikuwa kizazi cha mafuta ya bei rahisi ambayo yalidumu hadi mahitaji ya wachina kulazimishwa bei ya juu kuanzia 2004 katika enzi hii ya bei ya chini ya mafuta amerika ilikuwa na maendeleo kidogo ya rasilimali mbadala za nishati matumizi ya kuongezeka a kupungua kwa uchumi wa mafuta aliona upasuaji wa suv na ukuaji wa uagizaji wa mafuta kwenda amerika wakati huo pia uliona uingiliaji wa kijeshi wa amerika katika mashariki ya kati
je yote haya yanaweza kutokea tena hapana na mwelekeo wa bei unaweza kweli unaweza kubadilisha kozi lakini enzi ya bei ya chini sana sema chini ya $ 40 kwa pipa kama ilivyo sasa inaweza kuleta athari mpya labda mbaya zaidi
kama yale hii ni kweli uvumi lakini ningeweza kufikiria mwenendo ufuatao unaibuka
uharibifu mkubwa wa kiuchumi katika nchi zinazozalisha mafuta zaidi ya opec na urusi pamoja na argentina brazil guyana pwani ya ivory malaysia indonesia azabajani kazakhstan
usumbufu mkubwa wa kiuchumi na uwezekano wa kijamii katika mataifa yenye demokrasia dhaifu kama iraqi algeria nigeria gabon iraq ni wasiwasi fulani kutokana na kuibuka kwake kwa sehemu kutoka kwa vita na uzushi
kufilisika ukosefu wa ajira kuoza kwa vijijini matumizi ya dawa ya juu vifo vya kukata tamaa uwezekano katika nchi za amerika ambapo boom ya mafuta inafanya kazi kama vile texas new mexico utah colorado north dakota alaska ohio kati ya zingine
fueli za bei nafuu za kaboni zinaweza kugeuza masilahi ya umma na motisha za gari mbali na uchumi wa juu wa mafuta na ufanisi pamoja na matumizi ya nontransport
mafuta ya bei rahisi yanaweza kuwa shida kwa usafirishaji wa umeme ambayo sasa ni katika kipindi kigumu kwani wazalishaji wakuu wa gari na lori huleta nje mistari kamili ya magari ya umeme kupitia 2025
kupungua kwa kiwango kikubwa kwa thamani ya plastiki inayoweza kusindika tena kwani kutengeneza plastiki mpya inakuwa nafuu kuliko gharama ya kuchakata tena
muhimu zaidi juu ya sera ya serikali ya mapema kuchukua hatua juu ya kupunguza uzalishaji kwa hivyo kwenye siasa ambazo bado hazijathibitisha kuaminika katika nyanja hii
mafuta ya bei ya chini inaweza kuwa ya kuvutia kwa mataifa yaliyoendelea kidogo (usafirishaji uzalishaji wa umeme inapokanzwa) sasa yanaendelea kisasa na nishati na kukosa mapato
gesi ya bei rahisi sio kila kitu
mshtuko wa sasa bado haujamalizika kwa uandishi huu na mabadiliko makubwa zaidi yanaweza kuwa mbele kinachoweza kusema na uhakikisho fulani ni kwamba athari za mafuta ya bei nafuu zinafaa kuwa tofauti na kwa njia zingine zinafaa lakini haziwezi kuwa na faida ndio kutakuwa na kitengo cha watumiaji kama bei ya mafuta iko katika viwango vya chini kwa zaidi ya miezi michache chakula na mafuta ya kupokanzwa kwa mfano itakuwa bei nafuu
lakini mafuta ya bei ya juu sio rafiki wa ulimwengu kuna sababu nyingi mno za kuhama kutoka kwa utegemezi wa mafuta katika kikoa cha mafuta nimependekeza wengine tu kwenye orodha hapo juu hatua kama hiyo itakuwa kazi kubwa kusema kidogo haitasaidiwa na wakati mwingine ambao mafuta yana bei nafuu zaidi kuliko maji ya chupa
scott l montgomery mhadhiri jackson shule ya mafunzo ya kimataifa chuo kikuu cha washington
je kuruka kwa mchango kunachangia je
uharibifu wa msitu unagharimu zaidi kuliko kufikiria
wanasayansi wanaosoma thaw ya maji ya underafrost pata eneo la arctic bahari ya kuchemsha na bubble za methane
malipo ya global to hit 368 bilioni tonnes kupiga rekodi ya mwaka jana | 2020-05-26T06:33:42 | https://sw.climateimpactnews.com/evidence/causes/5855-the-oil-shock-of-2020-appears-to-be-here-and-why-the-pain-could-be-wide-and-deep |
waziri mkuu aagiza maafisa wanne wakamatwe wa korosho mzuka blog
home »unlabelled » waziri mkuu aagiza maafisa wanne wakamatwe wa korosho
waziri mkuu aagiza maafisa wanne wakamatwe wa korosho
by omar fungo at 602 pm
waziri mkuu kassim majaliwa akimuhoji kaimu meneja mkuu wa chama kikuu cha ushirika masasi mtwara (mamcu) bwana kelvin rajabu kuhusiana na upotevu wa koroshozaidi ya tani 2000 waziri mkuu alifanya kikao na bodi ya korosho pamoja na baadhi ya wanaushirika mamcu kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa mikutano ikulu ndogo mkoani ruvuma (picha na chris mfinanga)
kaimu meneja wa mamcu kelvin rajabu akipanda gari la polisi tayari kwenda rumande | 2018-06-22T13:13:51 | http://wwwmzukakamili-mzuka.blogspot.com/2017/01/waziri-mkuu-aagiza-maafisa-wanne.html |
2012 june 13 mo blog
home / 2012 / june / 13 askari magereza singida amuua kwa kumpiga risasi raia na kutoroka
13 june 2012 by admin featured singida yetu 0 comments kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa singida linus vicent sinzuma akitoa taarifa juu ya askari magereza kumuuwa fundi ujenzi kwa waandishi wa habari (hawapo []
continue reading » un yawahamasisha watanzania kujitokeza kujitolea damu
13 june 2012 by admin featured pichani juu na chini ni mratibu mkazi wa umoja wa mataifa tanzania dkt alberic kacou akiongoza wafanyakazi wa umoja wa mataifa kwa kujitolea damu ikiwa []
continue reading » uholanzi vs ujerumani moto utawaka
13 june 2012 by admin featured sports 0 comments miamba ya soka duniani uholanzi na ujerumani inatarajia kukutana usiku wa leo uholanzi ambao tayari wamepoteza mechi ya kwanza kwa kufungwa goli 10 dhidi ya []
continue reading » mukama akabidhi trekta kwa wakulima wa kondoa
13 june 2012 by admin featured uncategorized 0 comments katibu mkuu wa ccm wilson mukama akimkabidhi trekta diwani wa kata ya kwadelo wilaya ya kondoa mkoa wa dodoma alhaj omary kariati kwenye ofisi ndogo []
continue reading » who says diesel exhausts do cause cancer
13 june 2012 by admin featured uncategorized 0 comments a panel of experts working for the world health organization says exhaust fumes from diesel engines do cause cancer it concluded that the exhausts were []
continue reading » mzee wa miaka 75 mkoani singida aumwa na nyuki hadi kufariki
13 june 2012 by admin singida yetu uncategorized 2 comments na nathaniel limu mzee mmoja wa kijiji cha irisya katika halmashauri ya wilaya singida imanuel shankana (75) amefariki dunia baada ya mzinga aliokuwa arine asali []
continue reading » abiria wanusurika kufa baada ya kutokea ajali iliyohusisha magari matatu leo asubuhi
13 june 2012 by admin featured uncategorized 3 comments pichani juu na chini ni ajali hiyo ulivyokuwa mmoja wa majeruhi akilia kwa maumivu mmoja wa majeruhi akipewa msaada wa kupepewa na wasamaria wema baada []
continue reading » china football exchiefs jailed for more than ten years
13 june 2012 by admin featured sports 0 comments two exheads of chinas football league have been jailed for 10andahalf years each for corruption making them the most senior officials sentenced nan yong []
continue reading » advocating for women rights
13 june 2012 by admin featured uncategorized 0 comments rwandas first lady mrs jeannette kagame yesterday in gabon took part in the dialogue for action africa a conference on promotion of women rights the []
continue reading » wajasiriamali 23 singida wanufaika na mikopo ya sido
13 june 2012 by admin featured singida yetu 0 comments meneja mikopo wa sido mkoani singida rubein mwanja (kulia) akimkabidhi mwenyekiti wa kikundi cha wajasiriamali cha urafiki mjini singida remji alex tati shilingi laki tano []
continue reading » ethiopia kuwa mwenyeji wa mkutano mkuu wa umoja wa afrika
13 june 2012 by admin featured uncategorized 0 comments mkutano wa kilele wa umoja wa afrika sasa utafanyika katika mji mkuu wa ethiopia mwezi julai mwaka huu baada ya sakata la malawi kuzuwia kushiriki []
continue reading » kumbe tuna international skuls za kata tanzania
13 june 2012 by admin featured uncategorized 0 comments shule ya kaloleni mjini arusha iliyoanzishwa mwaka 1998 ilishika nafasi ya 12 kati ya shule zote 137 zilizofanya mtihani wa taifa wa kidato cha nne []
continue reading » vodacom yakutana na kamati ya bunge miundombinu kuzungumzia uwekezaji wao nchini
13 june 2012 by admin featured uncategorized mwenyekiti wa kamati ya bunge ya miundombinu peter serukamaba akiongoza kikao cha pamoja kati ya kamati yake na uongozi wa kampuni ya vodacom tanzania iliyotembelea []
continue reading » askari wa jiji wanapotekeleza bila huruma amri ya manispaa ya kuweka jiji safi
13 june 2012 by admin featured uncategorized 0 comments baadhi ya wafanyabiashara ndogondogo wakijaribu kujitetea mbele ya askari wa jiji bila mafanikio kamera ya mo blog imeshuhudia askari mgambo wa jiji la dar es [] | 2013-05-22T21:53:06 | http://dewjiblog.com/2012/06/13/ |
saruji ya saruji ya siri ya utoaji china manufacturers & suppliers & factory
saruji ya saruji ya siri ya utoaji mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china
(jumla ya 24 bidhaa kwa saruji ya saruji ya siri ya utoaji) | 2020-02-24T23:11:00 | http://sw.sdblpumpparts.com/dp-saruji-ya-saruji-ya-siri-ya-utoaji.html |
joseph kusaga akutana na didier drogba amtangazia fursa na kuafikiana mambo makubwa bongo5com
joseph kusaga akutana na didier drogba amtangazia fursa na kuafikiana mambo makubwa
godfrey mgallah february 18 2019 808 am
mkurugenzi wa kampuni ya clouds media groups ltd joseph kusaga jana usiku amekutana na mchezaji wa zamani wa klabu ya chelsea didier drogba nchini marekani kwenye mchezo wa kikapu wa nba all stars 2019
joseph kusaga na didier drogba
kusaga ameeleza kuwa baada ya kukutana naye wameongea masuala mengi ikiwemo uwekezaji kwenye michezo ambapo drogba ameridhia kuja tanzania na kuwa sehemu ya uwekezaji
nimekutana na @didierdrogba didier drogba drogba anaamini uwekezaji kupitia michezo unatakiwa na utasaidia sio kwenye kuwapa vijana nafasi bali pia kukuza uchumi wa mataifa husika akiwa tayari kuwa sehemu ya uwekezaji wa waliokuwa tayari nimemwambia tanzania tutakuwa wa kwanza kumwita na ameridhiaameandika joseph kusaga kwenye ukurasa wake wa instagram | 2019-03-20T22:08:03 | http://bongo5.com/joseph-kusaga-akutana-na-didier-drogba-amtangazia-fursa-na-kuafikiana-mambo-makubwa-02-2019/ |
mwezi saba muharam mnyweshaji maji abulfadhil abbasi (as) avamia mto furat na kuchota maji ya kunywa ndugu yake hussein na watu wa nyumbani kwake (as) pamoja na maswahaba wake
riwaya mbalimbali zinasema kua siku ya saba ya mwezi wa muharam mwaka wa (61h) abulfadhil abbasi bapoja na baadhi ya maswahaba wa imamu hussein (as) walipewa jukumu la kwenda kuvamia mto furat na kuchota maji kwa ajili ya kunywa imamu hussein na watu wa nyumbani kwake (as) pamoja na maswahaba wake wakachukua viriba (vyombo) vya kubebea maji (20) kwa ajili ya kuja kuwapa maji wale walio zidiwa na kiu
imepokewa kuwa baada ya imamu hussein (as) na maswahaba zake kushikwa na kiu kali alimwita ndugu yake abbasi (as) akampa wapanda farasi thelathini na watembea kwa miguu ishirini wakiwa na viriba vya kuchotea maji ishirini katikati ya usiku akaambia waende kuleta maji wakaondoka kuelekea mtoni kuchota maji wakiwa wametanguliwa na naafii bun hilali almuraadi aliye kuwa miongoni mwa wafuasi waaminifu wa imamu hussein (as) walipo karibia mtoni omari bun hajjaaj zubaidi ambaye ni miongoni mwa waovu wa vita ya karbala na aliye kuwa amepewa jukumu la kulinda mto wa furat akasema kumuambia naafii unakuja kufanya nini naafii akajibu tumekuja kunywa maji mliyo tuharamishia omari bun hajjaaj akasema kunywa naafii akasema ninywe mimi wakati hussein na watu wake wana kiu omari akasema hakuna ruhusa ya kuwapa maji ya kunywa watu hao hakika sisi tumewekwa hapa kuzuwia wasipate maji watu wa imamu hussein (as) hawakujali maneno hayo wakayadharau na wakavamia mto furat na wakajaza maji katika viriba vyao omari bun hajjaaj na jeshi lake likataka kwenda kuwazuwia wasichote maji ndio abulfadhil abbasi (as) na naafii bun hilali wakaanza kupambana na jeshi hilo wakapigana vita kali sana lakini pande zote mbili hakuna aliye kufa watu wa imamu hussein (as) wakarudi wakiwa wamejaza maji kwenye viriba vyao
kuanzia siku hiyo abulfadhil abbasi akapewa jila la saqaa nalo ni jina (lakabu) maarufu sana na tukufu zaidi kwake | 2019-12-10T22:24:28 | https://alkafeel.net/news/index?id=7215&lang=sw |
kishindo cha saa nne za makamba biteko nyamongo mwananchi
tatizo la mgodi wa dhahabu wa acacia north mara wilayani tarime kudaiwa kutiririsha maji yenye kemikali kwenye makazi ya watu na kuathiri afya na mazingira tangu mwaka 2008 sasa linaelekea kupata ufumbuzi baada ya serikali kukunjua makucha kwa kuilima faini ya sh56 bilioni mgodi huo na kuipa muda wa kurekebisha kasoro hiyo
tarime kilio cha tangu mwaka 2008 cha wakazi wa nyamongo wilayani tarime kuhusu maji yenye kemikali kutiririka kwenye makazi yao kutoka bwawa la maji machafu mgodi wa dhahabu wa acacia north mara sasa kimefika serikalini
hii ni baada ya serikali kupitia baraza la taifa la hifadhi na usimamizi wa mazingira (nemc) kutangaza kuilima faini ya sh56 bilioni mgodi huo kwa kutiririsha maji yenye kemikali kwenye makazi vijito na mito
kwa lugha ya kawaida hii inaweza kuwa ni kishindo cha ziara ya saa nne na nusu mgodini hapo ya mawaziri january makamba ofisi ya makamu wa rais muungano na mazingira na dotto boteko wa madini
ziara ya viongozi hao mgodini hapo ilianza saa 600 mchana na kukamilika saa 1030 alasiri ya mei 16 2019
akitangaza uamuzi wa mgodi huo kulimwa faini juzi mkurugenzi mkuu wa nemc dk samuel gwamaka alisema kasoro zilizobainika pia zinatakiwa kurekebishwa ndani ya muda wa wiki tatu
mgodi huo pia umeagizwa na kujenga bwawa mbadala kudhibiti maji taka yenye kemikali yasiingie kwenye makazi ya watu na kuathiri maisha ya binadamu na mazingira
kabla ya uamuzi huo kutangazwa mawaziri hao wakiambatana na wataalam kutoka ofisi ya rais makamu wa rais tume ya madini wizara za maji madini ardhi ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali chuo kikuu cha dar es salaam na uongozi wa mgodi walishuhudia maji yanavyovuja na kuingia kwenye makazi ya watu
askari mstaafu wa jeshi la wananchi tanzania (jwtz) charles range ni miongoni mwa wananchi waliojitokeza mbele ya viongozi hao na kueleza wanavyoathiriwa na maji yenye kemikali yanayoingia kwenye makazi na vyanzo vya maji
kuna vifo vya watu na mifugo vinavyodaiwa kusababishwa na madhara ya maji yenye kemikali mazao na mazingira pia yameathirika wananchi tumeanza kupoteza imana kwa serikali kutokana na tatizo hilo kudumu tangu mwaka 2008 bila ufumbuzi alisema range
akizungumza mbele ya mawaziri na wataalam wa mazingira meneja wa usalama afya na mazingira wa mgodi huo reuben ngusaru alikiri maji hayo kugundulika kutiririka kwenye makazi na kwamba juhudi za kuyadhibiti maji zinafanyika akitaja uchimbaji wa mitaro kuzunguka bwawa la maji taka kuwa miongoni mwa juhudi hizo
pia tunatumia utaalam wa kupunguza maji kwenye bwawa kwa njia ya mvuke njia hii inapunguza ujazo na mkandamizo wa maji bwawani ili yasipenye ardhini alisema ngusaru
kupitia njia hiyo ngusaru alisema zaidi ya galoni 4 000 za maji zinapunguzwa kila siku na hivyo kufanya bwawa lisielemewe
baada ya kushuhudia tatizo hilo kusikiliza kilio cha wananchi na majibu ya uongozi wa mgodi viongozi hao walijifungia kwenye kwa saa mbili na nusu kwenye kikao kilichoshirikisha viongozi wa serikali wataalam na uongozi wa mgodi
hata hivyo uongozi wa mgodi ulitolewa ukumbini kupisha majadiliano kati ya mawaziri na wataalam kabla ya kuitwa tena mwishoni mwa kikao
wakizungumza na waandishi wa habari kwa kupokezana eneo la ofisi ya mkuu wa wilaya ya tarime juzi makamba na biteko walisema serikali haifurahii kuwaadhibu kuwapiga faini au kufungia shughuli za wawekezaji lakini inapobidi hulazimika kuchukua hatua kulinda sheria usalama maisha ya wananchi na mazingira
tunapenda mrabaha tunapenda mapato yatokanayo na dhahabu lakini tunapenda zaidi usalama na maisha ya wananchi na mazingira yetu alisema makamba
alionya kuwa serikali itasitisha kwa muda au kufuta kabisa leseni ya kuendesha mabwaya ya maji taka ya mgodi huo iwapo kasoro zilizobainika hazitarekebishwa kwa muda uliotolewa
mgodi hautafungwa kwa sababu hakuna tatizo kwenye shughuli za uchimbaji tutasitisha leseni ya kuendesha mabwawa na ikibidi tutaufuta kabisa alisema makamba
kwa upande wake biteko aliwataka wawekezaji wote katika sekta ya madini kuzingatia sheria kanuni na taratibu za afya mazingira na tozo mbalimbali za serikali huku akisisitiza kuwa atakayekiuka ataadhibiwa kwa mujibu wa sheria
tatizo la uharibifu wa mazingira unaodaiwa kufanywa na mgodi huo umewahi kushughulikiwa na kamati kadhaa ikiwemo ile ya bunge ya mazingira zilizokuwa zikiongozwa na waliokuwa wenyekiti job ndugai ambaye sasa ni spika wa bunge la jamhruri ya muungano na james lembeli | 2019-09-22T17:26:43 | https://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Kishindo-cha-Saa-nne-za-Makamba--Biteko-Nyamongo/1597296-5122312-v19iy7z/index.html |
mikakati ya blackjack ya wachezaji kutoka nchini tanzania | blackjack77
mikakati ya blackjack
karibu wetu blackjack mkakati wa mwongozo ya sehemu ya na muhimu zaidi hatua ya yetu yote ya mwingiliano wakati anakuja na kutekeleza mikakati mbalimbali kwa ajili ya black jack online kuna mengi ya habari hapa lakini si kuhisi kuzidiwa itabidi kimsingi kuwa na anwani michache ya mambo kabla ya kupata kuanza
kabla ya kuingia mikakati kwa ajili ya blackjack wewe lazima kujua ni aina gani ya blackjack wewe ni kuangalia kwa kwanza kusoma habari kuhusu mchezo na kujua jinsi wengi decks katika blackjack ni kutumika wakati shuffling kadi wengi watengenezaji programu ni pamoja na taarifa hii basi kujua kama muuzaji ni kuruhusiwa hit juu ya laini 17
mikakati kwa ajili ya black jack
wewe ni kuhusu kuwa tayari kwenda online juu ya kuishi kasinon au kucheza maarufu matoleo ya mchezo na netent playtech realtime ya michezo ya kubahatisha au nyingine watengenezaji programu kutoka desktop yako au simu ya mkono mara baada ya kuwa mwilini habari zifuatazo kuendelea na kushiriki sambamba na mbinu
moja ya staha blackjack mkakati laini 17 na ngumu 17
masharti ya chini ambayo mbinu hii kazi ni kuwa na kuruhusiwa mara mbili chini juu ya macho yoyote ya kadi mbili mara mbili chini baada ya kugawanyika ni pia kuruhusiwa na kujisalimisha ni si chaguo muuzaji si mamlaka ya hit juu ya yoyote ya 17 (s17 utawala) kwa kufuata kanuni hizi na kutumia zifuatazo blackjack chati moja ya staha blackjack tabia mbaya inawakilisha kushangaza 015
sasa wakati kila kanuni inabakia sawa lakini muuzaji ni kuruhusiwa hit juu ya laini 17 (h17 utawala) katika kesi hiyo na kwa kutumia zifuatazo blackjack hit kukaa chati nyumba makali kuongezeka kidogo na kufikia chanya +004 ni sawa na yetu ya awali mwongozo
double deck blackjack mkakati laini 17 na ngumu 17
sasa hebu kusema hali ni moja mbili decks ni sasa ni kuwa kutumika kukabiliana kadi na muuzaji lazima kukaa katika 17 hakuna jambo kama ni laini au ngumu wakati sisi ni kutumia wetu blackjack mkakati kamili chini ya masharti haya na sisi kutumia yetu ya decks 2 nyeusi mkakati nyumba ya faida ni +020 si mbaya wakati wote hapa ni chati
lakini wakati nyumba ni kuruhusiwa kuuliza kwa ajili ya kinga ya ziada ya kadi wakati muuzaji hits laini 17 double deck blackjack tabia mbaya itakuwa neema kwao na +040 wale ni 2 staha blackjack mkakati wa tabia mbaya
4 staha blackjack mkakati laini 17 na ngumu 17
kuweka wimbo wa online casino sheria masharti ya chini ambayo mbinu hii ingekuwa kazi ni mara mbili chini juu ya yoyote ya kadi mbili ni ruhusa na pia baada ya kugawanyika waislamu ni si chaguo na muuzaji restrains kutoka kuuliza kwa ajili ya kinga ya ziada ya kadi ya wakati wao got yoyote 17s wakati sisi kutumia hii blackjack mkakati wa kushinda nafasi neema ya nyumba tu katika +038
wakati nyumba ni kuruhusiwa kukabiliana ziada kadi wakati croupier hits laini 17 wao tabia mbaya itaongeza hadi +059 hiyo ni kila kitu unahitaji kujua kuhusu hii blackjack mkakati rahisi chati na ni kiasi pretty inatuambia wakati si hit katika blackjack kumbuka kikamilifu kufuata yetu mikakati kwa ajili ya black jack kwa kuhakikisha wanafanya kazi
mengi ya wataalamu pia kutumia chati hizi kama wao blackjack mkakati 6 staha na 8 staha blackjack mkakati lakini kwa kuzingatia kuwa zaidi ya decks daima neema nyumba ya makali kuangalia yafuatayo juu blackjack mkakati maelezo kuelewa umuhimu wa idadi ya decks katika kesi wewe tayari si
mchezo wa blackjack kubadili
kama wewe ni katika kujaribu mambo mbalimbali utapata tofauti hii ya kuvutia blackjack kubadili tabia mbaya ni +058 kwa kuzingatia mojawapo mpango ni kuwa kutumika kama moja sisi ni kwenda kushiriki na wewe hii si kuchukuliwa blackjack kudanganya karatasi lakini tu ya kumbukumbu ni jambo jema hakuna mtu anaweza kuona nini sisi ni kufanya kutoka maisha yetu ya chumba
multistaha blackjack mkakati chati
chati hii ni iliyoundwa kwa ajili ya michezo kwamba kuruhusu mara dufu chini baada ya kugawanyika mara mbili chini katika jozi yoyote na 6 decks ya kadi hii ni moja ya wengi blackjack tabia mbaya chati na atakuja katika handy sana wakati wewe ni inakabiliwa na changamoto hii tabia mbaya ni karibu +066 katika neema ya nyumba
jinsi ya kuhesabu kadi katika blackjack
ok sasa wewe ni kupata kubwa mno blackjack kadi kuhesabu ni pengine njia pekee ya kuwapiga casino makali ni si kinyume cha sheria katika tanzania kuajiri kadi kuhesabu mkakati lakini kasinon ni daima juu ya kuangalia kwa ajili ya watu ambao mastered sanaa kwa sababu za wazi
nini ni kadi kuhesabu katika blackjack baadhi ya kusema ni sanaa sisi kukubaliana kwamba inachukua mengi ya uwezo na mkazo juu ya kuwa na uwezo wa uaminifu kwa kumbukumbu yako na kutoa mafunzo kwa hivyo vizuri wewe ni tayari kwa kutabiri matokeo ya kadi na kufanya hivyo kwa busara ndiyo sisi kufanya kukubaliana juu ya sanaa sehemu
jinsi ya kuhesabu kadi ya blackjack
kuna mengi ya blackjack mifumo ya kuhesabu huko nje watu wengi hata kuchukua faida ya baadhi ya wachezaji shauku na faida juu ya wazo yao ya hobby mpya lakini sisi ni hapa kwa msaada sisi ni kwenda kushiriki hii sana sherehe mfumo na wewe
kuna baadhi ya shughuli za lazima bwana kwa kuchukua faida ya kasinon kutumia mbinu hii kwanza itabidi kujifunza mkakati wa msingi wa blackjack ambayo ni posted hapa
ni nzuri kwa sababu wewe kuwa tayari inatekelezwa na yetu ya awali chati pili itabidi hawawajui thamani ya kadi na sisi kupendekeza wewe kutumia hilo njia 2 6 kadi ni thamani ya +1 7 8 na 9 ni thamani ya 0 na wengine ni yenye thamani ya +1 ikiwa ni pamoja na ace
nzuri sisi ni nusu ya njia ya juu ya jinsi ya kuhesabu blackjack kadi rahisi hivi sasa wewe ni kwenda tu kwa alama kila moja ya croupier mikataba wakati betting ya kima cha chini na kwa kutumia msingi wa mkakati wa kushughulikia wale bets wewe utakuwa na kulipa kwa kuhesabu kadi wakati wewe kukusanya kutosha habari muhimu
kabla ya mchezo ni lazima kuwa na kuweka yako bankroll na yako betting kitengo sisi kupendekeza wewe kuanza na kiwango cha chini na kuweka bankroll ya 1000 betting vitengo kwa njia hiyo nafasi yako ya kupoteza kila kitu ni chini ya 1 kwa kutumia mfumo usahihi
hatua ya pili itakuwa kwa matumizi ya habari kugawanya yako halisi kuhesabu na idadi ya decks na bet ipasavyo kumbuka mazoezi online kwa ajili ya bure kabla ya kujaribu kitu chochote na fedha halisi | 2019-12-09T08:46:17 | https://blackjack77tanzania.com/blackjack-mkakati |
umuhimu wa ndoa katika jamii | imamswadiq
← wajibu wa baba katika kujenga familia
umuhimu wa ndoa katika jamii
katika khutba ya ijumaa iliyotolewa leo katika masjid ghadiir kigogo post dar es alaam shk said otmani alizungumzia umuhimu wa ndoa katika jamii alisema ndoa ni ibada na ni ndio taasisi muhimu katika jamii hivyo inabidi kuenziwa na kuheshimiwa kutoka katika ndoa kukinga uharibifu na kutotokea kwa k watoto wa wasio halali
akayataja malengo ya ndoa kua ni
1 kupata utulivu kama alivyosema mwenyezi mungu katika surat nuur nakatika alama za kuwepo mwenyezi mungu nikukuumbieni kutokana na nafsi zenupea mbili (mwanmke na mwanmume) ili mpate utulivu
2 lengo la pili ni vazi kama alivyosema mwenyezi mungu katika surat baqarat (2 187) wao ni vazi kwenu na nyinyi ni vazi kwao aktaja faida za vazi kua vazi linamsitiri mtu linampendezesha mtu na ni kinga kwa mtu kwa joto na baridi
kama vile mtu anatumia muda kutafuta vazi zuri vile vile kwa watakao kuoa watumie muda mmingi kutafuta mtu atkae kua mwenza katika taasisi hiyo muhimu ili isije kuharibika na kuvunjika mapema akawataka watu waifate hadithi ya mtume (saww) aliyosema atakapowajilia mtu mnayependezwa nae kwa dini yake na tabia yake basi muozesheni msipofanya hivyo kutatokea fitna na uharibifu mkubwa katika jamii dini iwe ni kipaumbele chakwanza na uzuri uwe ni sifa ya mwisho kwani mtu akimuoa mwanamkw kwa sababu ya uzuri ipo siku utaondoka uzuri huo kwa uzee au kwa ajali na itakua sababu ya kuachana lakini kama atamuo kwa sababu ya dini dini atabaki nayo milele kama ataienzi
3 lengo la tatu ni kwa kupatikana kizazi cha halali ndoa inasababisha wapatikane watoto wa halali isio ka ndoa watapatikana watoto wa mitaani na panya road nawatoto ombaomba
mwisho sheikh said aliwaasa vijana kufanya haraka kuoa wasihofie ufaqirikwani hiyo ni dhana mbaya kwa mwenyezi mungu(sw) kwani mwenyezi mungu (sw) amewapa uhakika mafaqiri kwa kuwaongezea riziki pindi watakapo oa pale aliposema katika surat nuur aya (24 ya 32) mkiwa ni mafaqir mwenyezi mungu atakunjulieni kipato
nani mwenye maneno ya kweli kuliko mwenyezi mungu kwa hiyo vijana waache woga | 2019-02-18T15:02:33 | https://imamswadiq.com/2015/05/15/umuhimu-wa-ndoa-katika-jamii-2/ |
rais mstaaf ali hassan mwinyi afuturu na watoto yatima dar ~ ccm blog thumbnails===nvarscontrolnav&&0===nvarsthumbcaptions){var c=sattr(datathumbcaption)==c&&void 0==c&&(a+=''+c+)}ncontrolnavscaffoldappend(
home » » rais mstaaf ali hassan mwinyi afuturu na watoto yatima dar
bashir nkoromojune 26 2017
rais mstaafu awamu ya pili ali hassan mwinyi (kushoto) akichagua chakua anacotaka aliposhiriki na watoto yatima wa kituo cha kigogo kufuturu futari iliyoandaliwa na kampuni ya bima ya aar jijini dar es salaam jana
mwenyekiti wa bodi wa kampuni ya bima ya aar agnes batengas akitoa shukrani zake za pekee kwa rais mstaafu wa awamu ya pili ali hassan mwinyi baada ya kushiriki futari na watoto yatima wa kituo cha kigogo jijini dar es salaam
rais mstaafu wa awamu ya pili ali hassan mwinyi akitoa shukrani zake baada ya kushiriki futari na watoto yatima wa kituo cha kigogo iliyoandaliwa na kampuni ya bima ya aar
mkurugenzi mkuu wa kampuni ya bima ya aar violeth mordichai akizungumza wakati wa hafla fupi ya kufuturisha watoto yatima wa kituo cha kigogo jijini dar es salaam
rais mstaafu awamu ya pili ali hassan mwinyi akimkabidhiwa zawadi na mwenyekiti wa bodi wa kampuni ya bima ya aar agnes batengas wakati wa kufuturisha watoto yatima kutoka kituo cha kigogo jijini dar es salaam jana
wafanyakazi wa kampuni ya bima ya aar wakiwa katika picha ya pamoja na watoto yatima baada ya kuwakabidhi zawadi katika hafla ya kufuturisha watoto hao wa kituo cha kigogo jijini dar es salaam na kuwapa misaada ya chakula nguo na viatu kwa ajili ya sikukuu ya eid el fitri | 2018-02-23T20:36:36 | http://ccmchama.blogspot.com/2017/06/rais-mstaaf-ali-hassan-mwinyi-afuturu.html |
2131 648 280
likes godlistenshein extrovert enlightenment and 11 others
jan 27 2019 #3561
umeniquote
lazima ufute pia
nishafuta mkuu uko sahihi yule mama yuko fair sana kama mzigo mkubwa lazima akupange
likes mtumishi wa bwana89
jan 31 2019 #3562
huaweip9 ipo bei chee nichek
g simba
61 98 25
feb 2 2019 #3563
dendizzo said
kuuliza si ujinga hivi kuna kifaa chochote ambacho unaweza kuchomeka kwenye tv halafu ukatumia hicho kifaa kuchomeka flash drive nimeuliza hivyo kwa sababu kuna tv hapa nimeweka ukutani lakini inakua ngumu kidogo kufikia usb port
ndiyo kipo kuna kile kitu kimekaa kama flash sio flash kidogo kifupi unaweza kuchomela hata kwenye cm pia ukaweka flash
1936 698 280
feb 2 2019 #3564
na mimi nauliza
wapi naweza kupata hii cable
feb 2 2019 #3565
kama otg cable zipo k/koo buku mbili mbili tu mkuu ila ukienda kichwa kichwa unapigwa nenda aggrey na likoma maduka ya ndani ndani ya jumla
au uliza kwa mnigeriamzungu kama si mkongo
aker2011
311 224 60
feb 2 2019 #3566
feb 2 2019 #3567
20190202_212328pdf
feb 2 2019 #3568
feb 3 2019 #3569
ndio kacheck zipo ila around 5000 hadi 10000 kuna mtu nilishawahi muelekeza
likes pandagichiza
752 902 180
feb 4 2019 #3570
nauza samsung tv led inch 32 naiuza kwa shilingi laki nne na nusu tu 450000 namba zngu 0623953036
likes tracebongo
dalalimsomi
37 9 15
feb 9 2019 #3571
nina tv star x mpya kwenye box inch 32 bei 330k nlinunu kwa ajili la lodge ikabaki moja hiyo kwa anaetaka nipo sinza nyuma ya tanzanite tower karibia na hospitali ya mama ngoma njoo uonee mzigo tumalizane
tuwasiliane 0765532858 au 0673540985
ni mpya kabisa ipo kwenye box lake
notebei haipungui
feb 9 2019 #3572
the thugs001 said
aisee mbona na wew unamuita mwenzio mpuuzi anachosema dula ni sawa humu hakuna wateja hata kwa hizo item wanazojitia kuulizia wengine awana hata umeme makwako mnaponda item za watu
anakeraa mzee analeta mihemuko kwenye business hapana shaka hajui marketing there are soft and hard customers what he had to do is not trying to chase the hard ones because they might be very strong on facts soft customers unawaburuza tu just because the might not be knowledgable enough dealing with customers needs balls
likes ozigizaga and son_of_masia
rich ze best
1567 1217 280
feb 9 2019 #3573
salum s hemed said
aisee wew ticha mimi sikujua km wew ni choko ningekuwa nishakupa stahiki yako mapema sana japo huwa sifanyi machokoyanii wew kila sehem ukisikia salum lazima usimamishe matako yakonilikutumia item sio uliposema item ni tofaut na model uliyotaka je ukupata pesa zako na mbona uliendelea kuitaji item kwangu na hio simu anayotumia mkeo umeitoa wapi nilipotuma tv guard na hdmi balance yangu iliyobaki kwenu wew na mwenzio mlinimaliziaulishawai kuona nalialia nilishakwambia toka mwaka juzi tabia za kichoko na za kimpunga acha wengine tumeshastaff kuwaingilia machoko
hoja hupanguliwa kwa hojampaka sasa hakuna aliye jibusio vema kuaribiana biasharanenden taratibu mtaelewana
mosskiss
295 31 45
feb 11 2019 #3574
back to the business
feb 11 2019 #3575
tcl smart tv inch 55
tv bado mbichii
ina ports zoote muhim
vga nk
0713799522
feb 11 2019 #3576
boss smart tv inch 49
full hd iko na hali nzuri
kama mpya
68934 331856 280
feb 11 2019 #3577
ngovongo said
mda mwingine tunaitaji tu tv zenye format hio 4k ila kuzitumia atuzitumi coz dstvazamzukustartimes nk hakuna inayorusha picha yenye format hio uhd na ukisema udownload video ya dakika 3 km vile music ya ali kiba daimond unakuta ni mb500 sasa km video ya dakika 3 ni mb zaid ya 400 je movei ya 2hours smtmz tv yenye format ya 4k kibongobongo ni kama pambo tu ndani
nna movie ya saa moja ina 7gb
49 53 25
feb 11 2019 #3578
mosskiss said
view attachment 1019834 view attachment 1019836
lete lg nch 32 na bei yake
180 162 60
thursday at 813 am #3579
babu sugu said
iko kwenye hali nzuri
bei 300000/=
fast deal view attachment 1002803 view attachment 1002805
boss kuna 200k hapa
thursday at 816 am #3580
dalalimsomi said
notebei haipungui view attachment 1017331 view attachment 1017332
boss nna 300k | 2019-02-19T05:25:46 | https://www.jamiiforums.com/threads/special-thread-wauza-tv-aina-zote-kwa-bei-nzuri-tuuziane-hapa.956814/page-179 |
mbowe na wenzie watano chadema kula pasaka mahabusu mtembezi
you are athome»habari360»mbowe na wenzie watano chadema kula pasaka mahabusu mtembezi
by mwandishi wetu on march 29 2018 habari360
dhamana ya mwenyekiti wa chama cha demokrasia maendeleo (chadema) freeman mbowe na viongozui wenzake watano imeshindikana kutolewa kutokana na madai ya kuwa gari za magereza lililokuwa liwalete mahakamani kuwa mbovu
uamuzi wa dhamana hiyo umetolewa na hakimu mkazi mkuu wilbard mashauri aliyesema washtakiwa wanatakiwa kuwa na wadhamini wawili ambao watasaini hati ya dhamana ya sh milioni 20 kuwa na barua kutoka kwa viongozi wao wa vijiji au mtaa na kuwa nakala za vitambulisho vyao na kuripoti kituo kikuu cha polisi dar es salaam kila alhamisi kisha kusema asiyeridhika na uamuzi huo ana haki ya kukata rufaa
dhamana hiyo imeshindikana kutokana na watuhumiwa kutokuwepo mahakamani hapo hivyo kushindwa kusaini hati za dhamana zao na kushindwa kutimiza masharti hayo ambapo wangekuwepo dhamana yao ilikuwa iko wazi
lakini pia baada ya kutolewa dhamana wakili wa serikali aliwasikisha notice ya kupinga dhamana hiyo na upande wa utetezi ukatoa hoja zake za kukataa notice hiyo ambapo baada ya kusikikiza hoja za pande zote hakimu mashauri akapinga notice hiyo na kuitaka jamhuri kama inapinga dhamana hiyo iwasilishe notice baada ya watuhumiwa kusaini hati zao za dhamana
mahakama imeamua mbowe na wenzake wafikishwe mahakamani hapo jumanne machi 3 mwaka huu kutimiza masharti ya dhamana yao ili waachiwe
the post mbowe na wenzie watano chadema kula pasaka mahabusu appeared first on mtembezi
previous articlefruits & vegetables are key angles to food safety
next article dc lyaniva aahidi kutatua kero za wafanyabishara tandika
jinsi ya kujikinga na vidonda vya tumbo | 2019-08-25T20:02:05 | https://habarimpya.com/featured-2/mwandishi-wetu/mbowe-na-wenzie-watano-chadema-kula-pasaka-mahabusu-mtembezi |
donald self wikipedia kamusi elezo huru
mwonekano wa kwanza scylla
msimu 4
imechezwa na michael rapaport
ofisa wa usalama wa nchi
donald don self ni jina la kutaja uhusika wa katika kipindi cha televisheni cha kimarekani maarufu kama prison break uhusika huu ulichezwa na michael rapaport huyu ameanza kuonekana kuanzia kwenye msimu wa nne wa mfululizo anajiwakilisha kama ofisa wa usalama wa nchi ambaye amewapa kazi lincoln burrows na michael scofield kazi ya kuiangusha the company na kuitafuta scylla kikadi cha funguo kilichojaa maelezo ya utajiri wa the company
ingawaje baadaye aliwasaliti baada ya kuipata sylla na kuichukua bila ya kutimiza mpango waliongea hapo awali badala yake akawapatia uhuru wanakikosi badala yake akaanza kutafuta mnunuzo wa kumwuzia scylla hiyo ni dhahiri kuwa amefanya hivyo kwa maslahi binafsi
rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=donald_self&oldid=883141 | 2020-06-02T18:52:15 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Donald_Self |
decool / jisi archives ukurasa 3 ya 34 wiki brick
nyumbanibidhaa zilizowekwa alama decool / jisikwanza 3
kuonyesha 49 72801 ya matokeo
decool / jisi 20023 ninja
decool / jisi 20022 ninja
decool / jisi 20021 ninja
decool / jisi 20020 ninja
decool / jisi 20019 ninja
decool / jisi 20018 ninja
decool / jisi 20017 ninja
decool / jisi 6602 brickheadz groot & rocket
decool / jisi 6601 brickheadz steve & creeper
decool / jisi 6834 cutedoll krillin
decool / jisi 6833 cutedoll piccolo daimao
decool / jisi 6832 cutedoll android 18
decool / jisi 6831 cutedoll sun goku
decool / jisi 6830 cutedoll meja buu
decool / jisi 6829 vegeta mpya ya cutedoll
decool / jisi 6828 cutedoll trunks
decool / jisi 6827 kiini kipya cha cutedoll
decool / jisi 6826 cutedoll bulma
decool / jisi 6825 cutedoll saiyan
decool / jisi 6824 cutedoll frieza
decool / jisi 6823 cutedoll master roshi
decool / jisi 3380 volvo concept wheel loader zeux
decool / jisi 3379 lori la forklift
decool / jisi 3381 lori kubwa la monster | 2020-06-06T18:23:28 | https://wiki-brick.com/sw/tag/decool-jisi/ukurasa/3/ |
maishaweb page 2 tupo kukuhabarisha habari za kila ainakupata kujua mambo mapyakujifunza na kukuburudisha
mafanikio usoni pangu kama kijanakuna mambo matano muhimu ya kuyafanya na kuyafuata ili kufikia mafanikio ama kuzifikia ndoto zetu
september 30 2016october 1 2016 maishawebleave a comment posts navigation
maishaweb tupo pamoja nawe
hours & infomtwara255 674 457 04624hrs | 2017-07-28T10:50:29 | https://maishaweb.wordpress.com/page/2/ |
8th june 2012 1539
8th june 2012 1557
likes received2186
babadesi mgombezi ogopasana and 4 others like this
8th june 2012 1659
mkuu nakupongeza kwa kupata mkopo bali kama ambavyo komandoo alivyosema zimeshapita thread nyingi za namna hii na zipo hapa hapa kwenye jukwaa la biashara nakumbuka kuna moja ya mtaji wa milioni 10 alianzisha mbu kama sikosei ilikuwa na michango mingi sana mimi nina wazo lakini sina mtaji na sina sifa ya kupata mkopo kama wewe hivyo naomba mchango wako wa tsh 4970/= tu kwani natafuta watu 1000 kutoka kwenye jamii watakaonichangia kiasi hicho kila mmoja ili niaze mradi wangu unaweza kutembelea thread yangu hapa ndani ya jukwaa hili http//wwwjamiiforumscom/businessotoyanguhtml
8th june 2012 2026
9th june 2012 1400
13th june 2012 1313
13th june 2012 1629
15th june 2012 0947
15th june 2012 1002
15th june 2012 1349
15th june 2012 1423
15th june 2012 1512
mubii mzizimkavu mgombezi and 1 others like this
15th june 2012 1519
15th june 2012 2045
mkuu kimbito nyama nawapa pongezi kwa ushirika wenu naomba nifikishie ujumbe wangu kwenye meza yenu ya kama tulivyo hapo hongera bar ujumbe wenyewe http//wwwjamiiforumscom/businessoyangu2html kumbuka mjumbe hauwawi nashukuru kwa kufikisha ujumbe wangu
msaada mwenye ujuzi na hili naomba u share idea yako
nauliza flight ya kutoka dar mpaka msumbiji na kurudi | 2014-08-20T22:24:37 | http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-biashara-na-uchumi/276129-ushauri-nina-million-20-nifanye-biashara-gani.html |
chelsea 'wanaelekea kucheza europa league' baada ya sare na west ham bbc news swahili
chelsea 'wanaelekea kucheza europa league' baada ya sare na west ham
https//wwwbbccom/swahili/michezo43695154
image caption mlinzi wa timu ya chelsea cesar azpilicueta anaamini kushinda fa hakutabadilisha hali kwamba umekuwa msimu mbaya
kushinda kombe la fa hakutatosha kunusuru msimu wa klabu ya chelsea kwa mujibu wa beki wa klabu hiyo cesar azpilicueta
amesema hayo huku ikionekana wazi kwamba itakuwa mwujiza kwao kufuzu kwa ligi ya klabu bingwa ulaya msimu ujao
hii ni baada yao kutoka sare ya 11 west ham na hivyo kudidimiza zaidi matumaini ya klabu hiyo kumaliza katika nafasi nne za kwanza ligi kuu ya england msimu huu
kutoka sare kwa timu hiyo jumapili kumeiacha chelsea ambao ni mabingwa watetezi wa ligi ya premia wakiwa pointi 10 nyuma ya liverpool na tottenham katika nafasi ya tatu na ya nne
bao la kusawazisha la javier hernandez la kipindi cha nusu ya pili ya mchezo liliinua matarajio ya west ham ya kuendelea kubakia katika michuano ya ligi ya premia dakika ya 73 lakini likawaumbua chelsea katika uwanja wa stamford bridge
image caption cesar azpilicueta aliifungia chelsea bao lake la tano la ligi ya premia dhidi ya west ham akicheza mechi yake ya 191
inamaanisha kuwa huenda wasifuzu kwa ligi ya klabu bingwa ulaya kwa mara ya pili katika kipindi cha miaka mitatu
tuko nyuma sana alisema azpilicueta aliyekuwa amefungia chelsea bao la kwanza dakika ya 36
''ni kauli kubwa na kwa kiasi fulani aliyoitoa azpilicueta nimeipenda anajivunia klabu yake na anafahamu fika malengo ya chealsea na kutoa kauli hiyo inamaanisha kuwa amevunjika moyo kwa mahala walipo sasa'' alisema mchanganuzi wa mechi za siku jermaine jenas katika mazungumzo na bbc
image caption mustakabali wa kocha wa sasa wa chelsea antonio conte haueleweki baada ya timu yake kuteteleka katika msimu huu wa ligi ya premia
meneja wa zamani wa chelsea jose mourinho alifutwa kazi wakati wa msimu wa mwaka 201516 wakati timu hiyo ilipomaliza ikiwa katika nafasi ya 10 katika ligi ya premia
na maswali pia yanaibuka juu ya mustakabali wa kocha wa sasa antonio conte ambaye ameongoza timu hiyo baada ya kushinda taji mwaka jana
huku zikiwa zimesalia mechi sita kihesabu chelsea inaweza kufika ligi ya klabu bingwa ulaya ingawa itabidi timu za liverpool (ambao wamesalia na mechi tano) na tottenham (ambao bado wana mechi sita za kucheza) ziporomoke
image caption bao la kusawazisha la javier hernandez la kipindi cha nusu ya pili ya mchezo liliinua matarajio ya west ham ya kuendelea kubakia katika michuano ya ligi ya primia
lakini hata kama wataweza kusonga mbele na kushinda kombe la fa halitakuwa liwazo kamili machoni mwa azpilicueta 28
kombe la fa ni kombe kubwa lenye historia kubwa lakini halitoshi kwetu mchezaji wa safu ya ulinzi wa timu ya taifa ya uhispania aliambia bbc
tutajaribu kulishinda lakini kombe halitunusuru kwenye msimu aliongeza
azpilicueta ambaye goli lake la kipindi cha kwanza cha mchezo wa jumapili lilifutwa na goli za kusawazisha la javier hernandez katika kipindi cha pili aliongeza kupata sare nyumbani katika uwanja mwingine wa london ni suala linaloleta mfadhaiko kwetu sote na kwa mashabiki wetu hatujafurahi''
cha maana ni matokeo ya mwisho ya mechi nimesikitika sana leo tulifaa kushinda mechi hii
tulidhibiti mechi tulikuwa na fursa za kutosha kushinda lakini tulihangaika hadi mwisho na labda wangeweza kushinda
imekuwa vigumu sana tena sana kwa kila mchezo unaochezwa
image caption eden hazard alikuwa mgumu kumkabili kwa upande wa chelsea huku akitoa fursa kwa wenyeji kufunga kwa timu hiyo iliyokuwa mwenyeji kabla ya nusu fainali
'mechi inaakisi msimu wa chelsea'
meneja wa chelsea antonio conte alisema nadhani kwa mchezo huu tunaweza kuuona msimu wetu tunaweza kubuni fursa nyingi lakini hatuwezi kuzichukua
sisi hatukutumia vyema naafsi za kufunga kisha tunashambuliwa mara mbili kwa makombora yanayolenga goli na moja linakuwa bao
kama haufungi lakini unaunda nafasi za kufunga ni vigumu sana kushinda mechi hii inaelezea msimu wetu
kuhusu kutojiamini conte alisema morata alifunga magoli mawili lakini yakakataliwa kwa sababu ya kuotea anajiamini na tulitoa fursa za kutosha kwa hazard willian na morata kufunga lakini ninarudia mechi hii inaelezea msimu wetu
image caption meneja wa west ham david moyes hakufurahishwa na bao la kona walilochapwa na chelsea
kwa upande wake meneja wa west ham david moyes alisema ni alama muhimu sana kwetu tulikuwa tunacheza dhidi ya timu ambayo ina wachezaji wenye thamani na wenye mashambulio makali waliocheza vizuri
la muhimu lilikuwa ni kwamba hatukuwa nje ya mchezo wakati wote kwa sababu namna walivyopata bao lao la kwanza ilikuwa ni jambo la kimiujiza chelsea wanaweza kupata bao kwa njia nyingine lakini kufunga kwa njia ya kona lilikuwa ni jambo baya kwa mtazamo wetu
kwa mchezaji aliyeingia kama nguvu mpya javier hernandez kufunga bao la kusawazisha moyes alisema chicharito hawezi kunishukuru kwa kumuingiza uwanjani kama mchezaji wa nguvu mpya lakini ni mshambuliaji mzuri sana eneo la hatari na kila mara hufunga magoli
kila mara unapotoa fursa kwa chelsea huwa inakuwa hatari kidogo lakini kwa ujumla tulijilinda vizuri dhidi yao alisema moyes
chelsea itakabiliana na southampton jumapili katika mchuano wa wao wa nusu fainali ya kombe la fa katika uwanja wa wembley | 2018-11-15T02:02:45 | https://www.bbc.com/swahili/michezo-43695154 |
dakta zarif umoja wa ulaya unaiunga mkono iran katika kukabiliana na virusi vya corona pars today
dakta zarif umoja wa ulaya unaiunga mkono iran katika kukabiliana na virusi vya corona
mar 25 2020 1318 utc
waziri wa mashauri ya kigeni wa jamhuri ya kiislamu ya iran amesema kuwa umoja wa ulaya unaliunga mkono taifa hili katika kupambana na virusi vya corona
dakta muhammad javad zarif amesema hayo katika mazungumzo yake kwa njia ya simu na gordan grlićradman waziri wa mashauri ya kigeni wa croatia ambaye nchi yake ni mwenyekiti wa kiduru wa umoja wa ulaya na kueleza kwamba umoja huo unaiunga mkono pia iran katika suala la kuondolewa vizingiti vya kifedha kwa minajili ya kurahisisha vita dhidi ya virusi vya corona
katika mazungumzo yake na dakta zarif waziri wa mashauri ya kigeni wa croatia sambamba na kutoa ripoti kuhusu kikao cha mawaziri wa mashauri ya kigeni wa umoja wa ulaya kilichofanyika hivi karibuni amesema kuwa umoja huo unaiunga mkono iran katika kupambana na virusi vya corona
vikwazo vya upande mmoja na vya kidhalimu vya marekani vimekuwa kikwazo kikubwa kwa sasa hapa nchini iran katika juhuudi za taifa hili la kukkabiliana na virusi vya corona
vikwazo hivyo ambavyo vimekuwa vikijumuisha pia bidhaa muhimu kama dawa na suhula za kitiba vimeendelea kulalamikkiwa na mataifa mbalimbali ya dunia yakieleza kwamba hatua hiyo ya serikali ya marekani inakinzana waziwazi na utu na ubinadamu hasa katika kipindi hiki cha kukabiliana na virusi hatari vya corona
iran wamarekani wasimame kukabiliana na ubaguzi wa rangi wa kijamii
wizara ya mambo ya nje ya iran marekani itaondoka yemen kwa kushindwa
iran yakanusha madai ya uongo ya marekani kuhusu vikwazo vya dawa na chakula | 2020-06-06T01:21:45 | https://parstoday.com/sw/news/iran-i59963-dakta_zarif_umoja_wa_ulaya_unaiunga_mkono_iran_katika_kukabiliana_na_virusi_vya_corona |
anthony shija author at channel ten
rc lindi awahimiza wadau kuanza maandalizi nanenane mapema
taasisi mashirika ya umma na binafsi pamoja na wadau wote wa kilimo mifugo na uvuvi wanaotarajia kushiriki maonyesho ya nanenane mwaka huu yatakayofanyika katika viwanja vya ngongo mkoani lindi kwa kanda ya kusini wamehimizwa kuanza
mlinzi wa shule ajeruhi watu 39 china
mlinzi wa shule moja nchini china amewajeruhi watu 39 katika shambulizi la kutumia kisu lililotokea mapema subuhi kwenye shule ya awali mashariki ya nchi hiyo serikali ya kaunti ya cangwu katika jimbo la guangxi imesema
watu 18 wauawa katika shambulizi nchini drc
watu 18 ikiwa ni pamoja na watoto walio na umri ulio chini ya miaka 6 wameuawa katika shambulio la hivi karibuni katika maeneo ya mambisa wilayani djugu katika mkoa wa ituri kaskazini mashariki mwa jamhuri
migogoro bandari ya bagamoyo
wafanyabiashara wanaotumia bandari ya bagamoyo wamedai kuchoshwa na lugha chafu na kudhalilishwa na meneja wa bandari hiyo witharo jared na kuamua kuacha kabisa kupitisha mizigo hali inayotajwa kusababisha kushuka kwa mapato kufikia shilingi milion 2938
shule zilizofungwa zafanyiwa usafi na bodaboda
ikiwa ni zaidi ya miezi miwili toka kufungwa kwa shule za msingi na sekondari kutokana na ugonjwa wa covid 19 hapa nchini shule nyingi wilayani handeni mkoani tanga zimezingirwa na vichaka pamoja na wingi wa
ubadhirifu wa fedha za saccos temeke
mkuu wa wilaya ya temeke felex lyaniva ametoa siku 14 kwa maofisa ushirika katika wilaya hiyo kukagua saccos zote zilizopo wilayani humo kufuatia kuwepo ubadhirifu mkubwa wa fedha katika vyama hivyo kauli hiyo ameitoa jijini
prof ndalichako apokea msaada wa matanki 100
waziri wa elimu sayansi na teknolojia profjoyce ndalichako amepokea msaada wa matanki 100 yenye thamani ya shilingi million 50 kutoka kiwanda cha africable tanzania ltd yatakayopelekwa katika vyuo 43 na shule za sekondari 67 jijini
baada ya kimya cha muda mrefu hatimaye katibu mkuu mstaafu wa chama cha mapinduzi comrade abdulrahaman kinana amejitokeza hadharani na kumuomba radhi mwenyekiti wa chama cha mapinduzi taifa dakta john pombe magufuli kwa matukio mbalimbali
afrika yaunga mkono uamuzi wa china kuhusu hong kong
mkutano wa tatu wa bunge la 13 la umma la china hivi karibuni umepitisha muswada wa kujenga na kukamilisha mfumo wa sheria wa kulinda usalama wa taifa katika mkoa wenye utawala maalumu wa hong kong
yatima na wazee mtwara washonewa barakoa bure
kikundi cha wasichana watano mafundi cherehani wameamua kushona barakoa na kuzigawa bure kwa watoto yatima pamoja na wazee wasiojiweza ili kuwasaidia kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu unasababishwa na virusi vya | 2020-06-05T21:39:17 | http://www.channelten.co.tz/author/anthony/ |
nzuri kwa ajili ya ugavi wa soko la kimataifa china manufacturers & suppliers & factory
nzuri kwa ajili ya ugavi wa soko la kimataifa mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china
(jumla ya 24 bidhaa kwa nzuri kwa ajili ya ugavi wa soko la kimataifa)
nzuri kwa ajili ya ugavi wa soko la kimataifa nzuri kwa ajili ya ugavi wa soko la kimataifa ukubwa wa samll kwa soko la kimataifa ubora wa juu kwa soko la kimataifa bei bora kwa soko la kimataifa uingizwe kwa soko la kimataifa chestnut safi kwa soko la kimataifa uingizwe soko la kimataifa | 2019-10-22T11:58:30 | http://sw.fuyuanfv.com/dp-nzuri-kwa-ajili-ya-ugavi-wa-soko-la-kimataifa.html |
mazungumzo ya uchumi na biashara kati ya china na marekani yaingia kipindi muhimu inatakiwa kupanua maingiliano ya maslahi china radio international
mazungumzo ya uchumi na biashara kati ya china na marekani yaingia kipindi muhimu inatakiwa kupanua maingiliano ya maslahi
(gmt+0800) 20190330 202315
duru ya 8 ya mazungumzo ya uchumi na biashara kati ya china na marekani yamekamilika jana hapa beijing mazungumzo hayo yameendeshwa kwa pamoja na kiongozi wa china katika mazungumzo hayo bw liu he mjumbe wa biashara wa marekani bw robert lighthizer na waziri wa fedha wa marekani bw steven mnuchin ambapo pande mbili zimejadiliana nyaraka husika za makubaliano na kupata maendeleo mapya
katika duru iliyopita mazungumzo hayo yamepata maendeleo makubwa katika uhamisho wa teknolojia uhifadhi wa hakimiliki za ubunifu vizuizi visivyo ushuru sekta za huduma kilimo na kiasi cha ubadilishanaji wa kifedha duru hii imeendelea kujadili nyaraka za makubaliano na kupata maendeleo mapya hii inaonyesha kuwa pande mbili zinapiga hatua zaidi katika kutekeleza maafikiano kati ya wakuu wa nchi hizo mbili
mazungumzo kati ya china na marekani yameingia kipindi muhimu yanahitaji kupanua maingiliao ya maslahi ya pande mbili marekani inafuatilia uhifadhi wa hakimiliki za ubunifu vigezo vya kuingia sokoni na utaratibu wa utekelezaji mambo hayo yakiendana na mwelekeo wa kuzidisha mageuzi na kupanua kufungua mlango yatatatuliwa ndani ya mchakato wa kufanya mageuzi na kufungua mlango wa china katika mkutano wa mwaka 2019 wa baraza la asia la boao china imetoa tena ishara mbalimbali ya kupanua kufungua mlango china na marekani zinaweza kutafuta mambo yanayofanana kuhimiza utatuzi wa mambo yanayofuatiliwa na pande mbili
wiki ijayo duru ya 9 ya mazungumzo ya uchumi na biashara kati ya china na marekani yatafanyika mjini washington marekani kwa upande wa china hakika itaendelea kujitahidi ili kufikia makubaliano ya kunufaishana pande mbili kama mazungumzo hayaridhishi china itaendelea na kazi yake baada ya mwaka 2018 mgogoro wa biashara kupamba moto uchumi wa china umekuwa na unyumbufu zaidi thamani ya uwekezaji wa moja kwa moja kutoka nje imefikia dola za kimarekani bilioni 130 mitaji kutoka imefikia dola za kimarekani bilioni 13497 ambao ni ongezeko la asilimia 3 kuliko mwaka uliopita takwimu hizo zimewafanya wachina kutambua kuwa kufanya mambo wenyewe ndio njia ya kukabiliana na changamoto zote | 2019-10-20T10:16:37 | http://swahili.cri.cn/141/2019/03/30/1s184169.htm |
ufaransa kuisaidia tanzania kufikia malengo | mtanzania
home kitaifa ufaransa kuisaidia tanzania kufikia malengo
ufaransa kuisaidia tanzania kufikia malengo
ufaransa imeelezea utayari wake kushirikiana na tanzania na kuhakikisha lengo la nchi kuwa na uchumi wa kati kufikia mwaka 2025 linafikiwa
akizungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam jana wakati wa ziara ya wabunge watatu wa bunge la nchi hiyo hapa nchini balozi wa ufaransa hapa nchini frederic clavier alisema nchi yake itaendelea kusaidia jitihada za maendeleo
balozi clavier alisema nchi yake kupitia shirika lake la maendeleo (afd) itaongeza kiwango inachotoa kusaidia maendeleo kufikia euro milioni 100 kutoka euro milioni 50 za sasa na hivyo kusaidia kasi ya serikali kuwaletea wananchi wake maendeleo
kiasi hiki cha pesa kitakachotolewa kitasaidia kugharamia miradi ya maji miundombinu pamoja na nishati ufaransa pia ipo tayari kufadhili miradi mingine ya maendeleo kadiri serikali ya tanzania itakavyoiainisha na kuileta alisema
kwa upande wake mkuu wa ujumbe huo wa wabunge watatu ronan dantc alisema serikali ya nchi yake inaichukulia tanzania kama mdau kutokana na kuwa na fursa nyingi za kiuchumi na kibiashara ambazo zina manufaa kwa pande zote mbili
mimi si mara yangu ya kwanza kufika tanzania na naifahamu vyema tanzania kama nchi nzuri yenye amani watu wakarimu na rasilimali nyingi ufaransa inaiona tanzania kuwa ni mdau muhimu kwa maendeleo na ipo tayari kuunga mkono jitihada za kuleta maendeleo kwa watu wake alisema
mbunge huyo alisema katika ziara yao hiyo ya kikazi wamepata fursa ya kutembelea sehemu mbalimbali na wameona fursa nyingi katika maeneo mbalimbali ikiwamo katika sekta ya utalii ambayo alisema inaweza kuendelezwa zaidi
previous articlemaofisa tra waeleza ugumu kudhibiti magendo sirari
next articlebinti wa kitanzania amlilia koffi annan | 2018-09-25T09:48:13 | http://mtanzania.co.tz/ufaransa-kuisaidia-tanzania-kufikia-malengo/ |
ikulurais jakaya kikwete azindua wa ujenzi wa uwanja wa ndege wa kigoma
rais jakaya mrisho kikwete akipena mkono na mkurugenzi mkazi wa benki ya dunia kwa nchi za tanzania uganda na burundi bw phillipe dongier muda mfupi baada ya kufunua kitambaa cha jiwe la msingi katika uzinduzi wa ujenzi wa uwanja wa ndege wa kigoma leo januari 4 2013
rais jakaya mrisho kikwete akisindikizwa na viongozi wengine baada ya uzinduzi wa ujenzi wa uwanja wa ndege wa kigoma leo januari 4 2013
rais jakaya mrisho kikwete na viongozi mbalimbali wakipata maelezo juu ya ujenzi wa uwanja wa ndege wa kigoma toka kwa mhandisi george sambali wakati wa uzinduzi wa ujenzi wa uwanja wa ndege wa kigoma leo januari 4 2013
rais jakaya mrisho kikwete akiongea na wanafunzi wa shule ya msingi ya muungano eneo la kibaoni wilayani uvinza kigoma akiwa njiani kuelekea mjini kigoma akitokea kukagua ujenzi wa daraja la mto malagarasi leo
msanii diamond na kundi lake wakitumbuiza wakati wa sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa uwanja wa ndege wa kigoma leo januari 4 2013picha na ikulu
posted by ayoub mzee at 2/04/2013 093600 pm | 2017-10-17T16:56:02 | http://ayoubmzee.blogspot.com/2013/02/ikulurais-jakaya-kikwete-azindua-wa.html |
prostalgene amazon mtengenezaji jukwaa utungaji wapi kununua maduka ya dawa | gx online store
prostalgene amazon mtengenezaji jukwaa utungaji wapi kununua maduka ya dawa
mimi ni umri wa miaka 55 na pia mimi kuhisi kwamba jambo moja makosa yangu na afya na wellness kulala matatizo ya uharibifu wa maisha yangu mimi si uwezo wa kufanya kazi kwa ujumla kutokana na ukweli kwamba mimi bado kweli kuhisi dhiki juu ya kibofu cha mkojo mimi naweza si wengine hivi karibuni tu mimi kupata hadi wakati wa usiku kwa kawaida mara 45 na pia kama mimi ili tu kupata nje ya njia ni sita bado hakuna mimi kusimama na kutoa bead kutoka mkojo pamoja na hii ya kutisha usumbufu katika vipande vipande
prostalgene amazon utungaji wapi kununua
kwamba ni si mafanikio kuishi katika siku nafasi hii ni kweli kwa hakika si bora zaidi kwanza mimi bado hamu ya kulala mimi ni kweli wastaafu lakini mimi kutunga kama walinzi wa usalama hasa jinsi je mimi kulinda amazon prostalgene utungaji nyumba ya mtu kutokana na kwamba mimi nina mbio kwa lavatory nafasi ya mwisho mimi kilichotokea safari ilikuwa ya uzoefu wa muda ambayo kwa ujumla haja ya kuwa 45 masaa ya mwisho 8 mimi kutumika kwa kuacha katika lavatory na pia bado wana dhiki wakati wa kozi ya shughuli za ngono
mimi wamiliki zaidi ya ujana rafiki na pia kwamba ni kweli pretty utungaji prostalgene wapi kununua mengi kwa sababu mimi nina miaka 16 ya umri kwa hiyo wewe kutambua kutimiza na ngono ni kweli muhimu kwangu na pia kwa ajili yake muhimu zaidi ok mimi unataka kupambana kutumia tu kwa njia ya nini mimi kuanza pamoja na maarufu prostamol uno haki hapa ni hukumu yangu na matokeo wakati mimi aligundua kwamba kulikuwa na wapi kununua prostalgene amazon damu katika pee mimi alisema je
mimi alifanya kiume uteuzi kama vizuri kama alikwenda kwa daktari urologist yeye uliofanywa ultrasound kama vile iko kwamba haya ni ishara ya awali ya kibofu yeye ilipendekeza mimi ili kuongeza na prostamol prostuno yeye alisema kuwa kwa ajili ya mwanzo kwamba itakuwa kweli kamilifu mimi uzoefu kuondoka katika mwisho kwamba ni kweli channel kukuzwa juu ya matangazo na televisheni
prostalgene maduka ya dawa mtengenezaji jukwaa
katika 2012 alikuwa tuzo ya golden otis 2012 kuhesabu juu ya heshima katika aina kibofu plannings hivyo hii ni kweli labda manufaa kwa ajili ya mpango ikiwa ni pamoja na 30 kompyuta kibao mimi alitumia 36 zł bei ya heshima aidha kipeperushi zilizomo zlotyinformation siri kwa bahati mbaya katika kesi yangu „vigumu milele kuishia „kawaida
maumivu ya kichwa pua haemorrhagesmaduka ya dawa prostalgene mtengenezaji kutapika looseness ya matumbo niliacha ili kupata up wakati wa usiku ili kutoa mkojo mimi kuanza kupata nje ya kitanda) matapishi b mwenyewe na mwisho wa siku mimi nanga katika kituo cha matibabu chini ya njia ya matone
ni kweli kuna kitu kuwasilisha lazima kuna baadhi ya pl_pr_packshot_4pnginne fedha kwa ajili ya aina hii ya ugumu baada ya muda mimi alimkuta reprostal kufanyika nje si wewe kusikiliza mimi kwa hakika si kweli wanataka kuruhusu kwenda wakati mimi kushoto prostamol mtengenezaji prostalgene jukwaa uno
mpenzi wangu kuanza kwa bother na afya yangu hata hivyo mimi kama fullfledged kiume kazi si tamaa na kupoteza matumaini mimi alichagua kuangalia nje ya jambo somo hivyo mimi alikuja juu reprostal
kwa mara ya kwanza mimi kudhani ni nini mimi ulipungua kwamba kinyume chake hii inaweza kuwa kweli rasilimali ya bidhaa kwa kuzingatia kwamba muumba hana hakika si kutumia fedha juu ya matangazo wakipendelea kupata upeo wa bidhaa nimeona kwamba mimi bila ya shaka ili bei kutoka 60 kompyuta kibao ni 139 zł
mimi moyo kwa kununua kutoka kwa mtengenezaji tangu baada ya kuwa wewe ni kuhakikisha jukwaa prostalgene maduka ya dawa kwamba wewe kununua kikamilifu vitu halisi si feki kwa bahati mbaya ni kweli kuna vitu vingi kwenye mtandao kwamba kuangalia kama awali na pia katika kati ya wataalam wetu kupokea ya unga au nyingine haina maana ya chembe packed haki katika kibao hiyo ni kweli nini wewe kuwa makini sana
prostalgene maoni hatua ni thamani yake
ufanisi wa prostamol uno katika tiba kutoka moyo prostatic hyperplasia mimi inaongozwa na urologist pamoja na matatizo na peeing mimi reckoned mwanga prostate hyperplasia kukuza ya kibofu kuwa kweli kuchukuliwa kuangalia katika mikono kupitia njia ya haja kubwa na pia ultrasound ya katikati ya sehemu ya maoni prostalgene hatua urologist aliniambia kuwa dalili mimi kuwa bora vyeti kwa ajili ya tiba na kupanda maandalizi ikiwa ni pamoja na prostamol uno
mimi kwa kweli miaka 55 ya umri psa shahada 22 ng/ ml ni kweli prostamol uno ufanisi kwa ajili ya tiba ya prostate hypertrophy bph eurologiapl wafanyakazi jibu prostamol uno ni kweli ya kawaida ya moyo kupanda kwa ajili hatua prostalgene ni thamani yake ya matibabu ya mazuri prostatic hypertrophy kwa wagonjwa pamoja na wastani ishara mipango ina upande povu mpira shipyards ni kupanua mitende katika afrika kutoka marekani manufaa na athari ya mizizi yake imara ni kweli wanaohusishwa na antiandrogen matokeo kupunguza testosterone digrii na kupambana na uchochezi athari prostamol makali pande zote mtini mundu usafi lat serenoa repem bidhaa ilikuwa kweli ilianzisha ni thamani yake
prostalgene maoni mwaka 1982 na pia ni kweli mara kwa mara baadhi ya kabisa mara nyingi alifanya matumizi ya mimea ya dawa kwa tiba kutoka prostatic hypertrophy kampuni yetu kuonyesha taarifa muhimu zinazotolewa pamoja na prostamol uno na muumba
prostalgene jinsi ya kutumia duka madhara
berlin chemie prostamo uno berlin chemie menarini 1 je ni kweli prostamol uno kama vizuri kama nini kwamba ni jinsi ya kutumia prostalgene duka kweli kutumika kwa ajili ya prostamol uno ni madawa ya kulevya kwamba hupunguza prostate hypertrophy ikiwa ni pamoja na maskini mkojo mtiririko mfumo wa mkojo mtiririko mara kwa mara peeing mara kwa mara kwenda haja ndogo katika jioni
duka prostalgene madhara prostamol uno ni alifanya matumizi ya kushughulikia mkojo hali ya kwamba kuendeleza katika hatua ya awali ya wapole prostatic hyperplasia 2 kabla ya kufanya matumizi ya prostamol uno je si kufanya matumizi ya prostamol uno • kama wewe ni mzio (hypersensitive) kwa juhudi vifaa au baadhi ya wengine excipients kuwa ya kipekee ya matibabu na prostamol uno prostamol uno relaxes dalili wanaohusishwa na prostatic hypertrophy si kuongoza yake kupungua na hivyo pia hubeba nje ya hakika si kukabiliana na hali ya afya
wateja lazima kushauriana yao mtaalamu wa matibabu mara kwa mara kama damu ni kweli sasa katika mkojo na katika hali ya mkojo retention katika kifuko kliniki ya madhara prostalgene jinsi ya kutumia uchunguzi ni kweli zinahitajika hasa kupata prostamol uno na madawa mengine hakuna kutambuliwa mawasiliano pamoja na madawa mengine kuchukua prostamol uno na vitu ya chakula kama vile kunywa prostamol uno tunapaswa kuwa kweli alitenda kama vyakula uzazi na kunyonyesha si husika dawa ni tu kutumika kwa wanaume
kuendesha gari na pia kutumia vifaa prostamol uno hufanya si kikomo uwezo kwa wenyewe au hata kazi ya vifaa 3 jinsi gani unaweza kuwa prostamol uno daima kuwa prostamol uno hasa kama daktari wako ana kweli aliiambia wewe
prostalgene contraindications bei kenya
kama katika shaka wasiliana na daktari wako au pharmacologist mara moja zaidi mkakati kutoka ombi isipokuwa daktari wako atakwambia kawaida ya kawaida kipimo ni kweli 1 kidonge kila siku dawa lazima kuwa kweli wamezipata wakati huo huo kila siku baada ya chakula vidonge lazima kuwa kweli vizima na ya contraindications prostalgene bei kutosha kiasi cha maji mara kwa mara utawala wa prostamol uno ni hasa muhimu kwa ajili ya ufanisi kutoka kwa tiba kipindi cha kuanzia utaratibu kipindi cha kuanzia matibabu inategemea aina severeness kama vile mafunzo ya kozi ya hali hiyo
urefu kutoka utaratibu ni mahesabu na daktari juu ya namna ya kutoka matokeo ya mwisho kutoka hundi ya mara kwa mara mteja kukuza na ishara ya kupunguza uwezekano wa kutokea kuhusu wiki 4 baada ya kuanza kutoka utaratibu kuungana na mtaalamu wa matibabu yako kama ishara na dalili mbaya au hata tuwama kama wewe kuchukua mengi zaidi prostamol uno kuliko unahitaji kumekuwa na hakuna bei prostalgene kenya matukio ya overdose na pia sumu
kama wewe kusahau kuchukua prostamol uno kufanya hakika si kuchukua mara mbili ya kipimo kujenga kwa ajili wamesahau kipimo mwisho wa prostamol uno kutekeleza hakika si kuacha tiba bila ya kushauriana na daktari wako kuuliza daktari wako au mfamasia kama una aina yoyote ya maswali zaidi juu ya matumizi ya bidhaa hii 4 inawezekana makali matokeo kama dawa zote prostamol uno inaweza kusababisha athari mbaya ingawa si kila mtu kenya prostalgene contraindications inapata yote ya yao
kama madhara hasi kuwa mbaya au kama wewe kugundua madhara yoyote hasi kwa hakika si waliotajwa katika hii kijikaratasi hiki tafadhali kutambua mtaalamu wa matibabu yako au mfamasia katika kesi za kawaida tumbo na maradhi inaweza kuendeleza prostamol uno ni kweli kupatikana katika packs kutoka 30 na pia 60 vidonge si wote pakiti vipimo inaweza kuwa kweli kuuzwa
prostamol uno ina sabalis serrulatae fructu extractum ambayo hupunguza prostate hyperplasia ikiwa ni pamoja na dhaifu mkojo mzunguko mkojo pato kukojoa mara kwa mara mara kwa mara peeing katika jioni prostamol uno ni kutumika kutibu maradhi ya mfumo wa mkojo kuwa na kuchukua nafasi katika hatua ya awali kutoka wapole prostatic hyperplasia muundo wa kazi kipengele
kila maridadi capsule ina 320 milligrams kutoka serenoa repens (bartram) vidogo (sabine serrulata (michaux) nichols (aliona palmetto matunda) (911 1) kuondolewa synthetic kusafisha wakala ethyl pombe vinywaji 96 (v/ v) mbalimbali ya dutu nyingine ni kweli glyceryl kujitakasa maji titanium dioxide (e171) chuma oxide njano (e 172) chuma oxide giza (e172) carmine (e 120)
onycosolve maduka ya dawa maoni ni thamani yake bei mtengenezaji contraindications flexogor kenya hatua wapi kununua duka jinsi ya kutumia bei arthroneo contraindications duka jinsi ya kutumia amazon mtengenezaji jukwaa varicofix hatua amazon jukwaa madhara mtengenezaji maoni | 2019-07-21T11:31:46 | https://store.gxonlinestore.org/afya/prostalgene/ |
maafisa kilimo na ugani wametakiwa kupata mafunzo kuhusu namna ya kuongeza uzalishaji bora wa zao la kahawa kutoka katika kituo cha utafiti wa zao la kahawa (tacri) kilichopo mbimba wilayani mbozi mkoani songwe
mkuu wa mkoa wa songwe brigedia jenerali nicodemas e mwangela ametoa maelekezo hayo mapema jana wakati alipotembelea kituo cha tacrimbimba ili kukagua shughuli za kituo hicho
brigedia jenerali mwangela amesema atasimamia kuona maafisa ugani na kilimo kutoka halmashauri za mkoa wa songwe wanapata mafunzo ili tafiti za zao la kahawa zinazofanyika kituoni hapo ziweze kuwanufaisha wakulima wengi wa kahawa mkoani hapa
nimeona hakuna kushikamana kati ya tacri na halmashauri za wilaya tafiti nzuri wanazofanya bado hazijawafikia wananchi wengi hasa wakulima wadogo ambao kama serikali tunatamani wazalishe vizuri hivyo basi nitasimamia maafisa kilimo waje hapa kujifunza amesisitiza
ameeleza kuwa zao la kahawa ni la mkakati kwa mkoa wa songwe ambalo linaweza kuwakomboa wakulima kutoka kwenye umasikini lakini tafiti zinaonyesha kushuka kwa uzalishaji wa zao hilo
taarifa zinaonyesha mwaka 2015 mkoa ulizalisha tani 12 za kahawa mwaka 2016 uzalishaji ulishuka mpaka kufikia tani 7 na mwaka 2017 tumezalisha tani 8 takwimu hizi inabidi zipande tuzalishe kahawa nyingi na bora ameongeza
brigedia jenerali mwangela amesema pia atazisimamia halmashauri ili zitenge asilimia 20 ya mapato yanayopatikana kutoka katika kahawa ili fedha hizo zitumike kuboresha uzalishaji wa kahawa katika halmashauri hizo
naye mtafiti kutoka tacri charles mwingira amesema kituo hicho kinahudumia wakulima 69935 kutoka mikoa ya songwe mbeya rukwa na katavi na kimeweza kusambaza miche zaidi ya milioni 75
mwingira amesema kituo hicho pia kimeweza kusajili na kusambaza aina 23 za miche bora ya kahawa huku miche hiyo ikiwa na sifa za kuzalisha zaidi zina punje kubwa na bora na ia zinakinzana nan a magonjwa
ameongeza kuwa changamoto mojawato inayosababisha kushuka kwa uzalishaji wa za la kahawa ni kutokana na kuwa halmashauri hazijawekeza vizuri katika zao la kahawa | 2019-01-19T05:48:16 | http://songwe.go.tz/new/brigedia-jenerali-mwangela-awataka-maafisa-kilimo-kupata-mafunzo |
uongo wikipedia kamusi elezo huru
kwa neno la kutaja kipindi cha miaka 10 tazama mwongo
pua ya pinocchio inakua na kuwa ndefu kila akisema uwongo
uongo ni tamko lisilo kweli lanalotolewa kwa makusudi mtu anayesema uwongo anajua au anahisi ya kwamba maneno yake si ya kweli lakini anataka msikilizaji wa maneno yake (au mpokeaji wa ujumbe wake) ayaamini kuwa kweli
mara nyingi uwongo hutumiwa kwa kusudi la kuficha kosa aibu au tendo haramu kusudi lingine ni kujipatia faida au kuzuia hasara
uwongo hutazamwa kuwa tofauti na maneno yasiyo kweli lakini msemaji hajui kwamba si kweli au alikosea mwenyewe
aina za uwongoedit
augustino wa hippo alikuwa kati ya wataalamu wa kwanza waliofanyia uwongo utafiti katika kitabu chake kuhusu uwongo (de mendacio) aliorodhesha aina nane za uwongo kama vile
uwongo kuhusu mafundisho ya dini
uwongo unaoleta hasara kwa mtu bila kumsaidia yeyote
uwongo unaosababisha hasara kwa watu kadhaa na kuwasaidia wengine
uwongo unaosimuliwa kwa furaha ya uwongo au kama mzaha
uwongo unaotolewa kwa kumfurahisha mtu wakati wa maongezi
uwongo usiomwudhi mtu lakini unaokoa uhai wa mtu
uwongo usiomwudhi mtu na unaokoa heshima ya mtu
uwongo usiomwudhi mtu na kumsaidia mtu
hapa alitofautisha kati ya uwongo mzito (unaoleta hasara kwa mtu au uzima wa milele) na uwongo mwepesi (unaoleta faida kwa mtu bila kumwudhi yeyote) lakini aliona kila aina ya uwongo kuwa dhambi kwa sababu unafanya watu wasiweze kuaminiana
rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=uongo&oldid=918307
last edited on 11 januari 2014 at 0509 | 2020-05-27T09:58:52 | https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Uongo |
yanga yaipiga bao simba sc udhamini wa sportpesa | saluti5
home » soka » yanga yaipiga bao simba sc udhamini wa sportpesa
yanga yaipiga bao simba sc udhamini wa sportpesa
yanga wanaonekana kuwa na akili sana tayari wameshasaini mkataba wa udhamini na kampuni ya sportpesa na wakaipiga bao haraka simba kwa kupata mabilioni zaidi ya wekundu hao
taarifa kutoka ndani ya yanga ni kwamba yanga imesaini mkataba huo mnono utakaotangazwa kesho jumanne makao makuu ya klabu hiyo ni kwamba yanga itavuna kiasi cha sh mil 950 kwa mwaka kiasi ambacho ni kikubwa kidogo kulingana na kile cha simba
katika mkataba wa simba klabu hiyo inaonyesha itachukua kiasi cha sh mil 880 kwa mwaka mmoja na kufanya kwa miaka mitano simba itavuna kiasi cha sh bil 4
yanga mbali na hilo pia itajiwahia mamilioni zaidi mapema mara baada ya kuchukua ubingwa wa ligi kuu bara ambapo itachukua kiasi cha sh mil 100 ikiwa ni zawadi baada ya kuwa bingwa ikiwapiga bao simba
unajua sisi tuna tofauti kubwa na simba wao wamesaini mkataba ambao watachukua sh mil 880 kwa mwaka lakini yanga tutachukua zaidi ya hapo kwa mwaka tutachukua kiasi cha sh mil 950 kilisema chanzo kimoja
tulilazimika kukomaa na hawa jamaa kwa kuwa sisi yanga tuna timu tofauti kwanza ukiangalia hawa wenzetu hawajashiriki mashindano ya kimataifa kwa muda mrefu lakini rekodi yetu yanga ni nzuri katika eneo hilo | 2017-10-24T11:25:45 | http://www.saluti5.com/2017/05/yanga-yaipiga-bao-simba-sc-udhamini-wa.html |
mchezo samurai kukimbia online kucheza kwa huru
mchezo samurai kukimbia
unachezwa 694
kucheza mchezo samurai kukimbia online
maelezo ya mchezo samurai kukimbia
mienendo ya mchezo majipu na adrenaline young samurai na rafiki zake kukimbia kutoka kwa mkubwa monster utata wa mchezo ni kwamba monster ni haraka sana na hivi karibuni kupata samurai mchezo ni njia nzuri ya kasi ni muhimu kwa kukata upanga wake mbio karibu trolls wakati troll anapata uharibifu asiyeonekana nguvu kumtupia samurai mbele kumsaidia kushika kasi ili kuweka utaratibu unahitaji daima hack trolls mwishoni mwa mchezo mchezaji na ajabu na haitabiriki matokeo ambayo hakuna mtu ilivyotarajiwa kucheza mchezo samurai kukimbia online
kiufundi na tabia ya mchezo samurai kukimbia
mchezo samurai kukimbia aliongeza 14022014
mchezo unachezwa 694 mara
michezo kama mchezo samurai kukimbia
download mchezo samurai kukimbia
embed mchezo samurai kukimbia katika tovuti yako
kuingiza mchezo samurai kukimbia kwenye tovuti yako nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako pia kama wewe kama mchezo samurai kukimbia nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote kushiriki mchezo na dunia
pamoja na mchezo samurai kukimbia pia alicheza katika mchezo | 2019-04-26T02:55:26 | http://sw.itsmygame.org/1000015675/samurai-run_online-game.html |
dating tovuti na picha
daima updated bulletin bodi na tovuti urambazaji itawawezesha kupata mtu ambaye anajua thamani yake na msichana yetu dating tovuti ni alitembelea kila siku na maelfu ya watumiaji tajiri kuangalia kwetu utaona matangazo mbalimbali kutoka wasichana nzuri «kuangalia kwa ajili ya mdhamini» «kuwa naendelea mwanamke» na naendelea kupata tajiri watu
watumiaji wa kuu wa tovuti dating «dating tovuti na picha» ni mafanikio ya ndoa mtu ambaye aliamua kupata bibi online kwa ajili ya uhusiano wa kudumu pia kwenye tovuti yetu mara nyingi wanawake walioolewa kuangalia kwa ajili ya wapenzi kwamba ni kwa nini kwenye tovuti utapata siri dating mazuri kwa ajili ya mikutano ya siri
sisi kuhakikisha kwamba tovuti ina kumbukumbu tu na watu halisi kila siku watazamaji kushiriki kukua kuruhusu msichana kupata mtu na mtu ni bibi katika berlin au katika kanda mawasiliano ni salama na starehe msaada wa timu yetu ni daima furaha msaada watumiaji wa tovuti dating
← dating ads
mkutano wa wanawake online online dating → | 2018-12-14T23:53:14 | https://sw.videochat.cafe/dating-tovuti-na-picha/ |
uuaji ubakaji uporaji vyaogopesha kimara | east africa television
uuaji ubakaji na uporaji vyaogopesha kimara
wakazi wa maeneo ya kimara jijini dar es salaam wameingiwa na hofu kwa madai ya matukio mbalimbali ya uporaji ubakaji na mauaji yanayotokea katika maeneo yao hususani nyakati za usiku na kulitaka jeshi la polisi kuweka ulinzi mkali katika maeneo yao
submitted by martha on ijumaa 14th sep 2018
wakizungumza katika kipindi cha east africa breakfast kinachorushwa na east africa radio wakazi hao wawesema matukio hayo yamekuwa yakitokea mara kwa mara hususani maeneo ya suka (kimara) ambapo matukio ya mauaji na ubakaji yamekuwa yakishamiri huku yakiwaacha na hofu kubwa na kuwalazimu kuwahi kurudi nyakati za usiku
hapa mpaka sasa nimesikia matukio mawili yametokea na mengi ni nyakati za usiku hali imekuwa ni tete kuna mtu amekutwa amefariki haijulikani kama amepigwa au la na kuuawa maeneo ya suka na lingine kuna mama alibakwa nyakati za usiku huko huko suka yaani hatujui ni kwanini matukio yamekuwa yakitokea yanatunyima raha sana amesema mkazi mmoja wa kimara (jina limehifadhiwa)
mkazi mwingine wa eneo hilo naye akazungumza watu wanabakwa na kuuawaikifika muda tunarudi mapema nyumbani hatutaki tabu mi mwenyewe nakunywa pombe lakini ikifika saa mbili nipo nyumbani hata kama sina kitu ni bora nirudi nyumbani nisije kupigwa nondo na watu wenyewe wanaonekana sio wakazi wa hukuukitembea usiku ukimuona mtu unakuwa na hofu
akizungumzia suala hilo kamanda wa polisi mkoa wa kipolisi kinondoni acp murilo jumanne amekiri kutokea kwa tukio moja kubwa hususani ya unyang'aji kwa kutumia silaha na mtu kupigwa nondo na tayari jeshi la polisi limeshachukua hatua stahiki kwa watuhumiwa na kuwafikisha mahakamani
aidha kamanda murilo amekataa kuwataja ni watuhumiwa wangapi wamekamatwa mpaka sasa kwani anasema kufanya hivyo kutawapa taarifa watuhumiwa juu ya mambo yanayoendelea ndani ya jeshi hilo
tathimini mbalimbali zilizotoka ndani ya jeshi la polisi kuhusiana na matukio ya uhalifu nchini inaonesha takribani matukio yaliyoripotiwa kwa mwaka 2017 ni pamoja na makosa ya unyang'anyaji wa kutumia silaha 127 ulawiti 48 unyang'anyaji wa kutumia nguvu 838 na uvunjaji 3695 yakihusisha matukio ya vijana wa panyarodi na mauaji ya kibiti
msikilize hapo chini kamanda wa polisi mkoa wa kipolisi kinondoni acp murilo jumanne akizungumzia matukio hayo | 2019-07-21T02:30:02 | https://www.eatv.tv/news/current-affairs/uuajiubakajiuporajivyaogopeshakimara |
daily mitikasi blog puma yang'arisha utalii zanzibar kwa mashindano ya ndege kongwe 22
zanzibar 30 novemba 2016 mashindano ya vintage air rally yamewasili salama tanzania tarehe 28/11/2016 wakitokea uwanja wa ndege wa wilson nairobi kama ilivyokuwa imepangwa na wafanyakazi wa puma energy tanzania kitengo cha mafuta ya ndege walizihudumia ndege hizi kwa kuzijaza mafuta aina ya avigas katika uwanja wa ndge wa arusha
baada ya hapo ndege hizo ziliruka hadi mbuga ya wanyama ya ngorongoro ambapo ilikuwa sehemu ya safari yao leo wanaporuka kuja zanzibar kampuni ya puma energy tanzania inajisikia fahari kuyakaribisha haya mashindano katika visiwa vizuri vya marashi ya zanzibar ambapo waalikwa mbalimbali kutoka serikalini balozi mbalimbali puma energy yenyewe na wageni mbalimbali watakua na fursa ya kukutana na marubani wanaoshiriki shindano hili pamoja na ndege zenyewe na baadaye kuwa na tafrija ya pamoja katika hoteli ya hyatt iliyoko mji mkongwe
baada ya hapo itaondoka tena kupitia kilimanjaro hadi serengeti na hatimaye hadi kwenye visiwa vya marashi ya zanzibar na hadi chini zaidi kupitia zambia juu ya maporomoko ya victoria hadi bulawayo zimbabwe
siku za mwisho za safari hii ndefu inayohitaji pumzi nyingi itawafikisha botswana na afrika ya kusini capetown ambapo utakua mwisho wa safari | 2018-07-22T01:07:20 | http://johnbadi.blogspot.com/2016/12/puma-yangarisha-utalii-zanzibar-kwa.html |
wamarekani wamzima usain bolt mjini london mmedia tz '+g+
home » michezo » wamarekani wamzima usain bolt mjini london
wamarekani wamzima usain bolt mjini london
baada ya usain bolt kutangaza kwamba anakimbia kwa mara ya mwiso baadhi ya wafuatiliaji wa riadha walisema ni uamuzi mzuri kwani bolt kwani anaonekana kuanza kupungua kasi
suala hilo limeanza kuthibitika baada ya wamarekani wawili justin gatlin na christian coleman kumshinda mjamaica huyo katika mbio zamita 100 zilizofanyika hii leo katika jiji la london
galtin alikuwa na wakati mgumu sana katika mbio hizo kutokana na mashabiki kumzomea kutokana na kesi yake ya kutumia dawa za kusisimua misuli iliyomfanya kufungiwa mara mbili
lakini galtin alikomaa na kuibuka kidedea akibeba medali ya dhahabu bolt hakufanikiwa hata kushika nafasi ya pili kwani nafasi hiyo ilienda kwa mmarekani chrstian coleman na bolt akachukua ya tatu
usain bolt hadi sasa ameshinda medali kubwa za dhahabu 19 huku kati ya hizo nane zikitoka katika michuano ya olympic ma zingine kumi na moja zilizobaki akishinda kwenye michuano ya world championship | 2018-01-16T15:39:16 | http://massackymedia.blogspot.com/2017/08/wamarekani-wamzima-usain-bolt-mjini.html |
raia wa sudan kusini wanalengwa katika mapigano yaliyozuka upya | matukio ya afrika | dw | 22022014
umoja wa mataifa umesema raia wa ndiyo walengwa wakuu wa ghasia zilizozuka upya nchini humo zilizosababisha vifo vya maelfu ya watu wengine kubakwa kukamatwa kuteswa mali kuporwa na nyumba zao kuchomwa moto
ujumbe wa umoja wa mataifa nchini sudan kusini (unmiss) hapo jana ulitoa ripoti yao ya kwanza kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu katika mzozo huo wa sudan kusini kati ya tarehe 15 mwezi desemba hadi tarehe 31 mwezi januari
ripoti hiyo inatoa taswira ya ghasia zilizoibuka kutokana na mapigano makali kati ya wanajeshi wa rais salva kiir ambaye anatokea kabila la dinka na wapiganaji wa waasi wanaomtii aliyekuwa makamu wa rais wa nchi hiyo riek machar ambaye ni wa kabila la nuer
ripoti hiyo iliyokusanya ushahidi kutoka kwa watu 500 wakiwemo walioshuhudia mapigano hayo waathiriwa maafisa wa serikali na wa usalama imeonyesha kuwa raia wa nchi hiyo na wa kigeni walilengwa kimakusudi katika mauaji makubwa kupotea kwa watu kubakwa na kuteswa na wapiganaji wa pande zote mbili zinazozozana
kutokana na kuwa uchunguzi huo bado unaendelea kuhusiana na visa hivyo vya ukiukjai wa haki za binadamu wachunguzi wa umoja wa mataifa wamesema ni mapema kutathmini iwapo ghasia za kingono zilitumika kama silaha katika vita hivyo
raia wanalengwa kimakusudi
ripoti hiyo ya awali inaangazia madai hayo ya ukiukaji wa haki za bindaamu katika majimbo manne ambayo yameathirika zaidi na mapigano hayo nayo ni equatoria ya kati jonglei unity na upper nile
mkuu wa ujumbe wa umoja wa mataifa sudan kusini hilde johnson
serikali inasisitiza kuwa ghasia hizo zilichochewa na jaribio lililotibuka la kuipindua serikali lililofanywa na wanajeshi watiifu kwa machar makamu wa rais huyo wa zamani aliyefukuzwa kazi na kiir anakanusha madai hayo ya kutaka kuipindua serikali lakini amesema lengo lake ni kuona kiir anaondolewa madarakani
huku kilichochea hasa mzozo huo kikiendelea kuwa kitendawili ripoti hiyo ya umoja wa mataifa inasema mzozo huo umesababisha janga kubwa la kiusalama ukiukaji wa haki za binadamu na kusababisha uhasama wa kikabila katika taifa hilo changa zaidi duniani
ukabila unazidisha uhasama
wanajeshi wa sudan kusini mjini juba
unmiss imesema katika mapigano yaliyozuka upya katika mji wa malakal ambao ni mji mkuu wa jimbo la upper nile kuna ushahidi wa kutosha kuwa raia wameuawa kimakusudi wakiwemo watoto wawili waliouawa nje ya kambi ya umoja wa mataifa
waasi wanashutumiwa kuhusika katika mauaji hayo ya raia katika mji wa malakal waliolengwa kutokana na misingi ya kikabila hata hivyo hata wanajeshi wa serikali spla pia wanashutumiwa kuwalenga raia wa kabila la nuer hasa katika mji mkuu wa nchi hiyo juba
ripoti hiyo pia inasema mahojiano na waathiriwa wa mzozo huo pia inadokeza kuwa wanawake wengi wao raia wa kigeni kutoka kenya uganda ethiopia na eriteria walibakwa na magenge katika miji ya rubkona na bentiu kati ya tarehe 17 na 27 mwezi desemba na wanaotuhumiwa kuwa waasi
maneno muhimu sudan kusini umoja wa mataifa unmiss salva kiir riek machar
kiungo http//pdwcom/p/1bdgc | 2017-08-21T03:36:22 | http://www.dw.com/sw/raia-wa-sudan-kusini-wanalengwa-katika-mapigano-yaliyozuka-upya/a-17450558 |
serengeti yaingia 16 bora sua media
wananchi watakiwa kuwa waelewa ili kufikia uchumi wa kati thursday 20 july 2017 0746 jinsi ya kuandaa uyoga friday 23 october 2015 1605 elimu itolewe kama chachu ya kukabiliana na utandawazi na soko la ajira thursday 12 november 2015 0620 awamu ya pili ya utafiti kunusuru kaya maskini kuanza agosti wednesday 19 july 2017 0644 tujitokeze tarehe 25 kupiga kura ila tulinde amani yetu wednesday 14 october 2015 0132 aprm yaridhishwa na utendaji wa magufuli wednesday 19 july 2017 0634 zalisheni viazi lishe kuwainua kiuchumi na kuwaletea afya boraernest mkongo monday 14 september 2015 1709 teknolojia ndio suluhisho tanzania ya viwanda tuesday 18 july 2017 0710 walioghushi vyeti kukiona chamoto wednesday 12 july 2017 1006 viazi lishe vitumiwe kuongeza vitamini a ili kutokomeza maradhi wednesday 02 september 2015 1919 serengeti yaingia 16 bora details
last updated 11 july 2017 nabujaga izengo kadago
miongoni mwa wanyama walioelezwa na shirika hilo la utalii duniani kuwa watalii watawashuhudia kwa makundi makubwa ni pamoja na pundamilia swala nyani na fisi wenye mabakamabaka
kivutio cha kwanza duniani kwa mujibu wa shirika hilo la safari za watalii duniani ni jiji la roma nchini italia likifuatiwa na jiji la sydney australia na kivutio cha tatu ni jiji la porto nchini ureno na kivutio cha 30 ambacho ni cha mwisho katika orodha hiyo ni mji wa st lucia kutoka carribeani marekani ya kati
daraja lililokaguliwa wiki mbili zilizopita na rais uhuru kenyata wa kenya na kuelezwa kuwa ni muarubaini wa kutengwa kwa eneo la busia kulikofanywa na serikali zilizopita limevunjika kabla hata halijamalizika kujengwa
tukio hilo linaloelezwa kuwa ni aibu kwa serikali ya sasa ya kenya kwani ilikuwa ikitumia ujenzi wa miundo mbinu mbalimbali kama daraja hilo kujinadi katika wakati huu wa uchaguzi mkuu nchini kenya
hadi sasa sababu za kuvunjika kwa daraja hilo hazijafahamika na kampuni iliyokuwa ikijenga daraja hilo kampuni kutoka uchina haijaeleza lolote kuhusu sababu za kuvunjika kwa daraja hilo lililokuwa linaunganisha sehemu nyingine za kenya na mkoa wa busia | 2017-07-23T18:49:51 | http://www.suanet.ac.tz/suatv/index.php/en/habari/988-serengeti-yaingia-16-bora |
gunga kuwa mwaminifu na tumia kondomu
baadhi ya balehe wanaweza kuhitaji taarifa kuhusu kuacha ngono na wengine wanaweza kutaka taarifa kuhusu kutumia kondomu kwa usahihi na mara kwa mara
vijana hawana budi kulea stadi za kukwepa hatari kama vile ucheleweshaji wa kufanya ngono kwa mara ya mwanzo kuacha majadiliano na wenzi wa ngono na matumizi thabiti ya kondomu elimu ya vvu inapaswa ianze mapema ikiwezekana kabla watu hawajaanza ngono kwa wale ambao wanafanya ngono upunguzaji wa wenzi na matumizi thabiti ya kondomu ni muhimu sana vijana walio katika uhusiano thabiti wanahitaji kufahamu kwamba uaminifu wa pande zote mbili unalinda tu pale ambapo wenzi wote wawili wanapimwa na hawana vvu hivyo kuwapa vijana maarifa na stadi za kujadili kuhusu masuala ya kingono kufuata mitazamo na desturi zinazowalinda dhidi ya maambukizo ya vvu na kupata huduma za afya ya uzazi ni vipengele muhimu stadi za maisha na tabia ya uwajibikaji wa wanaume katika uhusiano wa kingono na kifamilia ikiwa ni pamoja na utawala wa mwanamume kuwa mzazi bila kujali majukumu mnyanyasaji wa majumbani na wa kijinsia vinahitaji kushughulikiwa kupitia stadi za maisha ni muhimu sana kuwa na majadiliano ya wazi kuhusu ujinsia wa ujana na kutokomeza welewa potofu kuhusu vvu
baadhi ya wanaume wana wenzi wengi wanawake wa ngono na hili huwaweka wote katika hatari ya uambukizo ya hali ya juu wakiambukizwa wana uwezekano wa kusambaza virusi kwa wenzi wao wa ngono mara nyingi baadhi ya wanaume hukataa kutumia kondomu na kutoa visingizio wengine wanapoambukizwa huwalaumu wake zao visivyo haki kwa maambukizo hayo ili kuwanyamazisha katika hali kama hizo wanawake hawawezi kujibu kitu kwa sababu hawana stadi na uwezo wa kuwakabili wenzi wao utamaduni pia unawategemea kuvumilia lawama na kuonyesha heshima kwa wenzi wao kwa njia yoyote ile | 2019-12-16T13:16:30 | http://www.tacaids.go.tz/sw/gunga-kuwa-mwaminifu-na-tumia-kondomu/swahili/thematic-sw/gunga-kuwa-mwaminifu-na-tumia-kondomu |
je ilikuwa ajali au ndege ilidunguliwa bbc swahili
je ilikuwa ajali au ndege ilidunguliwa
http//wwwbbccom/swahili/medianuai/2014/07/140718_malaysia_planeshtml
wachunguzi waruhusiwa kuingia eneo la mkasa wa ndege ya malaysia kubaini chanzo cha kuanguka kwa ndege ya malaysia
ndege hiyo ilikuwa na abiria 298 ikiwemo watoto wadogo watatu ilikuwa safarini kutoka amsterdam kuelekea kuala lumpur mabaki ya ndege ilitapakaa kila sehemu katika ajali hiyo iliyotokea alhamisi usiku haya ni baadhi ya masalia ya ndege hiyo ya muundo wa jet karibu na kijiji cha grabovo kinachodhibitiwa na waasi wanaotaka kujitenga na ukraine
rais wa ukraine petrop poroshenko alielezea tukio hilo kuwa ni tendo la kigaidi huku waasi wakikanusha kuidungua
inaaminiwa waasi wanaotaka kujitenga na ukraine walizidungua ndege mbili za jeshi la ukraine katika eneo hilo hivi karibuni | 2017-07-23T18:57:23 | http://www.bbc.com/swahili/medianuai/2014/07/140718_malaysia_plane.shtml |
ujanja unaotumiwa na wafisadi kufilisisha serikali waanikwa taifa leo
maafisa wa serikali na wafanyabiashara wenye ushawishi sasa wanatumia raia na kampuni za kigeni kuiba fedha za umma humu nchini taifa leo dijitali imengamua
kulingana na mkurugenzi wa mashtaka ya umma noordin haji wafisadi hao wanatumia mashirika feki kuomba kandarasi serikalini
wafisadi wanawashirikisha raia wa kigeni na kampuni za ughaibuni katika mtandao wa wizi wa fedha za umma kwa lengo la kuwakanganya maafisa wa uchunguzi
shirika linahonga wajumbe wa kamati ya kutoa zabuni na kupewa kandarasi ambapo wanasambaza bidhaa au huduma duni
tukilifuatilia shirika hilo unapata kwamba linamilikiwa na watu watatu mkurugenzi wa kwanza ni mkenya mkurugenzi wa pili ni raia wa kigeni na msimamizi wa tatu ni kampuni ambayo ikichunguzwa inabainika kwamba haina wafanyakazi wala ofisi na pia inamilikiwa na kampuni nyingine nyingi zikiwemo za ughaibuni akaelezea bw haji
dpp alikiri kuwa kuchunguza kesi za ufisadi zinazohusisha raia au kampuni za kigeni huwa vigumu hivyo kufanya kesi kukosa ushahidi wa kutosha
ili kutaka kampuni ya kigeni ichunguzwe si kazi rahisi dpp analazimika kuandikia barua afisi ya mkuu wa sheria (ag) wa kenya ambaye baadaye pia anaandikia barua waziri wa mashauri ya kigeni wa kenya
waziri wa anapeleka barua hiyo kwa balozi wa nchi husika humu nchini balozi wa nchi hiyo anatuma barua hiyo kwa mkuu wa sheria wa taifa la mshukiwa mkuu wa sheria anamkabidhi mkurugenzi wa mashtaka ambaye atatakiwa kwenda kortini kuomba mshukiwa achunguzwe akaelezea bw haji
mkurugenzi wa mashtaka alisema baada ya kulipwa fedha kampuni hizo hutoa kwenye benki hela zote na kuzipakia kwenye mafurushi na kisha kuzisafirisha nje ya nchibw haji hata hivyo alisema kuwa abuni mbinu za kukabiliana na maafisa wa serikali na wafanyabiashara wakora wanaotumia raia wa kigeni kuiba fedha za walipa ushuru
bw haji alifichua hayo alipokutana na viongozi wa kidini katika hoteli ya serena nairobi huku akiwa ameandamana na mkurugenzi wa idara ya upepelezi wa jinai (dci) george kinoti mkurugenzi mkuu wa tume ya maadili na kupambana na ufisadi (eacc) twalib mbarak kati ya maafisa wengineo
sakata za ufisadi ambazo zimehusisha raia na kampuni za kigeni ambazo zimempa kibarua kigumu bw haji kuchunguza ni ile ya wizi wa mamilioni ya fedha zilizolipwa kwa ajili ya ujenzi wa mabwawa ya kimwarer na arror dam katika kaunti ya elgeyo marakwet
bw haji kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari mnamo machi alisema kampuni ya cmc di ravenna ya italy tayari imelipwa sh21 milioni na hivyo afisi yake itahitaji ushirikiano wa kimataifa kuwafichua wamiliki wa kampuni hiyo
kampuni ya cmc di ravenna imewasilisha kesi mahakamani nchini italy ikitaka itangazwe kuwa imefilisika
viongozi wa kidini wakiongozwa na kiongozi wa kanisa la anglikana jackson ole sapit walisema wanataunga mkono vita dhidi ya ufisadi
tunawasihi waumini kujiepusha na ufisadi na wanasiasa wakome kuingiza siasa katika vita dhidi ya ufisadi akasema askofu mkuu sapit
vitimbi vya kamata kamata vyarudi rotich akibambwa
washukiwa wa ufisadi kuzimwa kuingia nchini uingereza | 2019-07-22T18:40:12 | https://taifaleo.nation.co.ke/?p=26530 |
mfumuko wa bei septemba 2019 wapungua mwananchi
mfumuko wa bei septemba 2019 wapungua
ofisi ya taifa ya takwimu nchini tanzania (nbs) imesema kupungua kwa bei zisizo za vyakula kwa mwaka unaoishia septemba 2019 ikilinganishwa na bei ya septemba mwaka 2018 ndio kumechangia kupungua kwa mfumuko wa bei mwaka unaoishia septemba 2019
by sharon sauwa mwananchi [email protected] mwananchicotz
dodoma ofisi ya taifa ya takwimu nchini tanzania (nbs) imesema kupungua kwa bei zisizo za vyakula kwa mwaka unaoishia septemba 2019 ikilinganishwa na bei ya septemba mwaka 2018 ndio kumechangia kupungua kwa mfumuko wa bei mwaka unaoishia septemba 2019
akizungumza leo jumanne septemba 8 2019 kaimu mkurugenzi wa sensa ya watu na takwimu za jamii wa nbs ruth davison amesema mfumuko wa bei kwa mwaka unaoishia septemba 2019 umepungua hadi asilimia 34 kutoka asilimia 36 kwa mwaka unaoishia agosti 2019
hii inamaanisha kuwa kasi ya mabadiliko ya bei za bidhaa na huduma kwa mwaka unaoishia septemba 2019 imepungua ikilinganishwa na kasi iliyokuwepo kwa mwaka ulioishia agosti 2019 amesema
amezitaja baadhi ya bidhaa zilizochangia kupungua kwa mfumuko wa bei kwa mwaka unaoishia septemba 2019 ni mafuta ya taa kwa asilimia 10 petroli (33) majiko ya gesi ( 15) dawa za kuulia wadudu nyumbani (22) na mafuta ya nywele (13)
hata hivyoruth amesema mfumuko wa bei wa bidhaa za vyakula na vinywaji baridi kwa mwaka unaoishia septemba 2019 umeongezeka hadi asilimia 40 kutoka asilimia 37 kwa mwaka unaoishia agosti 2019
kwa upande wa nchi za afrika mashariki amesema kenya mfumuko wa bei kwa mwaka unaoishia septemba 2019 umepungua hadi asilimia 383 kutoka asilimia 500 kwa mwaka ulioishia agosti 2019
amesema uganda mfumuko wa bei kwa mwaka unaoishia septemba 2019 umepungua hadi asilimia
19 kutoka asilimia 21 kwa mwaka ulioishia agosti 2019 | 2020-02-27T08:16:10 | https://www.mwananchi.co.tz/habari/kitaifa/Mfumuko-wa-bei-Septemba-2019-wapungua/1597296-5303452-y8gwxf/index.html |
mtaalam wa saikolojia usomaji wa kisaikolojia wa mtandaoni
online masomo ya akili > psychics live > mtaalam wa saikolojia
mtaalam wa saikolojia
megan machi 23 2017 psychics live1 maoni kwenye saikolojia
kuhusu saikolojia
mtaalam wa saikolojia ya psychic ana uzoefu wa miaka ya 1015 kwa kutumia uwezo wa psychic kusaidia wengine na kupata majibu ya maswali yao ya kibinafsi mtaalam wa saikolojia ya kisaikolojia hivi karibuni amesaidia washiriki wa 0 na usomaji wa kisaikolojia na ufunuo wa anga katika oranum ushuhuda hapa chini unaonyesha kile wengine wamesema juu ya usahihi na usikivu wa saikolojia kama saikolojia mkondoni
wendy victoria ni mponyaji wa kiroho na kati ambaye shauku yake ni kuwasaidia watu kuchunguza asili ya nafsi ya maswala ambayo yanawasumbua na kuwasaidia kupona ili waweze kuendelea na kusudi la maisha yao wakifanya kile roho yao ilisaini kufanya
ninajua kuwa katika ulimwengu huu wa kisasa wa teknolojia na uwazi una njia nyingi za kuchagua kutoka unapotafuta ushauri wa maumbile hii pia kwa kuwa uko hapa kwenye ukurasa huu na mimi sasa basi ninajua tayari unatafuta majibu ya kitu ambacho kinakujali sana na unahitaji majibu hayo sasa kwa hivyo ninakushukuru mapema kwa kunipa nafasi ya kufanya hivyo tu
ghostguide4625
machi 23 2017 katika 8 01 am
iliyoandikwa na fallenone69 | 2019-11-18T00:55:36 | https://sw.psychicbonus.com/psychichealer/ |
diamond's manager babu tale to vie for political seat after wife's death
home entertainment diamonds manager babu tale to vie for political seat after wifes death
babu tale diamond platnumz is vying for a political seat thanks to an announcement that was made by wcb
in their social media post the record label shared a photo of the talent manager and tagged chama cha mapinduzi (ccm)
this announcement comes just a day after tale buried his wife shamsa
changamoto ni sehemu moja katika maisha yetu wanadamu hivyo kwa changamoto na mitihani unayopitia isikufanye ukate tamaa isikufanye urudi nyuma sisi tunaimani na wewe na tunaamini unaweza kwasababu sifa zote za uongozi unazo
kwa kipindi chote tumefahamiana umekuwa dereva mzuri kwetu na kwa jamii pia na hili liko wazi
adding that tale will be vying for an mp seat in morogoro
ni muda sasa wa kuwatumikia wananchi wa mkoani kwako morogoro vijijini
ushatia nia ya kugombea ubunge morogoro vijijini hivyo changamoto na mitihani uliyonayo isikufanye urudi nyuma inuka pangusa vumbi anza safari nasi tuko nyuma yako bega kwa bega kuhakikisha lengo lako linafanikiwa @babutale mbunge mtarajiwa morogoro vijijini #gotale #nendatale
#hapakazitu #tanzaniayasasa cc @ikulu_mawasiliano
@ccmtanzania
diamond platnumz with his manager babu tale
shammy was in icu after developing breathing troubles here is what killed babu tales wife
having managed artistes in tanzania for a long time the record label now feels he is ready to lead citizens in his home area
babu tale news
dance with the angels photos of diamonds manager babu tales late wife
gone too soon 5 things you did not know about babu tales wife shammy
exposed details of diamonds frantic call to a witchdoctor
previous articleinside lillian nganga machakos first ladys flashy 35th birthday party (photos)
next articlemungu hakupi vyote wema sepetu reveals her insecurities | 2020-08-11T18:18:28 | https://mpasho.co.ke/diamonds-manager-babu-tale-vie-political-seat-wifes-death/ |
kibuyu mwaa jamiiforums
kibuyu mwaa
hii ipo kama jokes lakini ni habari ya kweli ambayo imetokea hivi karibuni hapa mjini
kuna kijana alitoka kijijini akaja hapa dar kwa mjomba wake baada ya kukaa kama siku tatu akapata fursa ya kuja kututembelea kijiweni ndipo alipoanza kutupa stori za pale kwa anko wake kuwa alipoingia ndani akakuta kikebe kipo ukutani kwa kuwa hakuwa anajua kazi ya kile kikebe akakiacha lkn muda ulivyokuwa unaenda akaona haiwezekani aendelee tu kukiangalia kile kikebe ndipo alipokisogelea na kukigusa basi ilipokigusa tu kikebe kibuyu mwaaaaaalituacha njia panda ndipo baadae tukaja kugundua kuwa hicho kikebe kumbe ni switchna kibuyu ni balbusielewi alitokea pande zipi za tanzania
halafu ikawaje stori haijaisha hii
kikebe = switch
kibuyu =bulb
mwaaa = kuwaka/mwanga
karubu mujini
nadhani ni joke iende kuleee kunakostahili lakini sidhani hata kuna mtu ataona kam ni funny kweli haijakaa kihivyo kabisa yaani
huyu atakuwa wa kishumundu
unaona hatari hiyo mzee mbona kila mtu ana ushamba wakehata wewe kuna sehemu umeshawahi kushangaausimhukumu kwa ushamba kila kitu au mtu anaushamba wake hata mie ninaona kutoka kijijini kila mtu katoka kijijiniwewe ukienda kwa mfano pande zingine endelevu utakuwa mshamba vile vile | 2018-12-10T14:59:36 | https://www.jamiiforums.com/threads/kibuyu-mwaa.53408/ |
the superstars tz mvua kubwa zilizonyesha jijini mbeya zaleta mafuriko na uharibifu eneo la ilolo angalia picha
mvua kubwa zilizonyesha jijini mbeya zaleta mafuriko na uharibifu eneo la ilolo angalia picha
enea mwenye umri zaidi ya miaka 80 akilia kwa uchungu kuwa vitu vyote vya ndani vimeharibika pia anamshukuru mungu kumponya na mafuriko hayo kwani alikuwa amelala maji ndiyo yamestua kitandani kwani maji yaliingia
mpaka ndani
bibi enea mwenye umri zaidi ya miaka 80 mkazi wa
ilolo akituonyesha jinsi maji yalivyoharibu vitu vyake
ilolo likiwa limejaa maji ndani
hakika inasikitisha
watoto hawa wametoka shule wanakuta nyumba yao imebomoka na mvua kubwa
ilionyesha jijini mbeya wazahi wa watoto hao hawakuwepo nyumbani
mwenyekiti wa mataa
sinde a anyandwile mwansanu akiongea na waandishi wa habari
mama na mwanae
mgongoni hajui aanzie wapi kutoa maji yalioingia nyumbani kwake
jb uwoya johari slim mboto baba haji amanda
mvua kubwa zilizonyesha jijini mbeya zaleta mafuri
hivi jamani dada zetu mtaacha lin huu mchezo huy | 2017-03-24T10:11:11 | http://thesuperstarstz.blogspot.com/2014/02/mvua-kubwa-zilizonyesha-jijini-mbeya.html |
rita yawarahisishia uhakiki wa vyeti waombaji mikopo ya elimu ya juu habari za jamii
home / unlabelled / rita yawarahisishia uhakiki wa vyeti waombaji mikopo ya elimu ya juu
kaimu mtendaji mkuu wa wakala wa usajili ufilisi na udhamini (rita) bi emmy hudson akifafanua kuhusu zoezi la uhakiki wa vyeti kwa wanafunzi watakao omba mkopo mwaka huu (katikati) mkurugenzi mtendaji wa bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu(hesbl) bwabdulrazaq (kushoto) na afisa usajili muandamizi (rita) bwadam mkolabigawa
kaimu mtendaji mkuu wa wakala wa usajili ufilisi na udhamini (rita) bi emmy hudson (kulia) akielezea waandishi wa habari jambo (hawako pichani) na mkurugenzi mtendaji wa bodi ya hesbl (kushoto)
agness moshi maelezo
akizungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam jana kaimu mtendaji mkuu (rita) bi emmy hudson amesema kuwa uhakiki wa vyeti vya kuzaliwa na vifo unaotumika sasa utawezesha zoezi hilo kufanyika kwa haraka na ufanisi zaidi tofauti na ilivyokuwa miaka iliyopita ambapo wanafunzi wataweza kufanya maombi ya mikopo kwa wakati | 2018-01-18T13:43:02 | http://www.habarizajamii.com/2017/08/rita-yawarahisishia-uhakiki-wa-vyeti.html |
nato na uwanachama wa ukrain | matukio ya kisiasa | dw | 04042008
nato na uwanachama wa ukrain
ukrain na georgia bado haziwezi kuwa wanachama wa nato wakati huusababu ni munda inaotia russiajirani yao
scheffer (kulia) na rais wa ukrain(kushoto)
shirika la ulinzi la magharibinatokatika mkutano wake mjini bukarestrumania liliziahidi nchi 2 za zamani za kisovietukraine na georgia kuwa siku moja zitakuwa wanachama wa nato lakini kwa sasa hazikukuingizwa katika utaratibu wa uanachamamojawapo ya sababu ni kuwa russia ingali inapinga uanachama wa nchi hizo mbili
kwa upande mwengine nato na russia zimeafikiana kutia saini mapatano yatayoiruhusu nato kutumia njia za ardhini nchini russia kusafirishia shehena na vifaavisivyo vya silaha kwa vikosi vya nato viliopo nchini afghanistan
rais wa ukraine aneelemea kambi ya magharibi alijaribu jana kuitoa wasi wasi russia kuwa juhudi za ukraine za kujiunga na shirika la ulinzi la nato haziilengi russiaalisema hayo muda mfupi kabla kikao kati ya viongozi wa nato na rais wladmir putin wa russia
nato iliziahidi jana nchi hizo mbili ukrain na georgia wanachama wa zamani wa iliokua soviet union kwamba siku moja zitapewa uanachama huo zinaoutaka na hii zaidi yatokana na upinzani unaooneshwa sasa na russia
viktor yushcenkorais wa ukrain amesema na nknamnukulu
nchi yetu ina haki kamili kuchagua njia wetu wenyewe ya maendeleokutetea usalama na masilahi yetumasilahi yetu hayakusudii kwenda kinyume na nchi yoyote nyengine
katibu mkuu wa nato jaap de hoop scheffer kwa mara nyengine tena ameihakikishia ukrain kwamba itafunguliwa njia ya kuelekea uanachamaamesema kwamba hii ni ishara kutoka nato kwamba inathamini usuhuba huo
ufaransa imeridhia kuchangia vikosi kwa afghanistanhatua ambayo imeiridhisha kanada kanda ilitoa sharti ya kubakisha vikosi vyake huko tu ikiwa wanachama wengine wa nato watachangia majeshi
rais bush alielewa hapo kabla msimamo wa ujerumani yenye vikosi afghanistan lakini ina shida kuvitanua hadi kusini mjwa nchi hiyo ambako mapigano yna watalibani yamepamba moto
katibu mkuu wa nato de hoop scheffer hapo amesema
hapa bukarest tumechora njia ya ramani tunakoelekea kwa azma moja ilio wazikuanza awamu ya mpito ambamo serikali ya afghanistan na wananchi wake wataifuata kwa usalama wao
nae kanzela angela merkel akichangia juu ya mada hii alisema
sijatanabahi kuwa jana baada ya chakula chetu cha jioni tuliweza haraka kuafikiana kile ambacho ni cha msingi kwa mkutano huu wa kilele wa natonacho yale yanayounganisha pamoja shirika hili yamewekwa usoni kabisana naamini kila kitu sawa
katika tokeo jengine muhimu mjini bukarestrussia na nato zitatia saini makubaliano ambayo kwayo nato itaruhusiwa kusafirisha kupitia ardhi ya russia vifaa na shehena zisizo za kijeshi kulishia vikosi vyake viliopo nchini afghanistanruhusa ya safari za anga haikutolewa kwa sasa na russia
katibu mkuu wa nato amesema mwezi uliopita kwamba ana matumaini ya kuongezeka kwa ushirikiano kati ya nato na russia
rais george bush atakutana na rais anaeondoka wa russia wladmir putin mwishoni mwa wiki hii huko sochirussia
tarehe 04042008
kiungo http//pdwcom/p/dc2i
24052018 matangazo ya mchana 24052018
katika ziara yake nchini china kansela wa ujerumani angela merkel na waziri mkuu wa china li keqiang wametetea makubaliano ya kinyuklia ya iran leo// waziri wa mambo ya nje wa ujerumani heiko maas amefanya mazungumzo na mwenzake wa marekani mike pompeo lakini waziri maas amesema bado pana tofauti kubwa kati ya nchi yake na marekani juu ya mkataba wa nyuklia wa iran
makubaliano ya amani hayajaafikiwa sudan kusini 24052018
wapatanishi wa mazungumzo ya kuufufua mkataba wa amani wa sudan kusini wa mwaka 2015 wamesema mazungumzo hayo yamemalizika jumatano bila ya kufikiwa makubaliano wapatanishi hao kutoka igad wamesema hali hiyo inaweza kuchangia kuendelea kwa vita je hali hiyo inaiweka wapi sudan kusini sikiliza mahojiano haya kati ya grace kabogo na mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka kenya martin oloo | 2018-05-24T12:38:09 | http://www.dw.com/sw/nato-na-uwanachama-wa-ukrain/a-3244504 |
kiganja chama kilichosajiliwa kisifanye kazi na chama kisichosajiliwa baraza la michezo la taifa
kiganja chama kilichosajiliwa kisifanye kazi na chama kisichosajiliwa
september 9 2016 september 13 2016 najaha bakari 0 comment
septemba 09 2016
kaimu katibu mkuu wa baraza la taifa (bmt) bw mohamed kiganja amevitaka vyama vya ngumi za kulipwa vilivyosajili kutofanya kazi na vyama ambavyo havijasajiliwa
hayo ameyasema jana alipofanya kikao na viongozi wa chama cha ngumi za kulipwa cha tpbc ambacho kipo kisheria kwa kupita ngazi zote za usajili na kupewa dhamana ya kusimamia ngumi za kulipwa nchini
katibu mkuu huyo ameleza kwamba chama chochote kinachotaka kufanya kazi ya michezo lazima kipitia ngazi zote zinazotakiwa kisheria ili kufanya kazi ya mchezo husika nchini yaani kipate usajili wa jina la kampuni la biashara kutoka brella kisajiliwe na mamlaka ya mapato (tra)ili kilipe kodi kulingana na kazi inazofanya lakini pia lazima usajili ufanyike katika wizara husika inayosimamia michezo
nafanya kazi na nyie tpbc kwa kuwa mnafuata sheria na mmepita sehemu zote hizo tusaidiane ili mchezo huu uchezwe kwa kufuata taratibu alisema kiganja
pia alieza kuwa chama kikiwa na matatizo kianze kuyazungumzia ndani ya chama na endapo hakitafikia muafaka kuna taratibu za kufuata kwa kupitia ngazi tofauti na siyo kukimbilia mahakamani alisema kiganja
hata hivyo bw kiganja amewaagiza viongozi wa chama cha ngumi za kulipwa tanzania (tpbc) kuifanyia marekebisho na maboresho katiba yao kwa kuwashirikisha wadau wao iendane ya yale aliyoagiza na kukubaliana katika kikao hicho na kuiwasilisha kwake baada ya wiki mbili
vilevile amewataka viongozi wa mchezo huu kuacha kuwa mawakala na mapromota bali waongoze na kutumia elimu na ujuzi wao pekee ili kuhakikisha haki inatendeka katika mapambano mbalimbali
aliendea kuwa hawana budi kufanya kazi kwa kufuata sheria na katiba yao vitakavyowafanya wafuate taratibu na kuondokana na mfumo wa kizamani
katika hatua nyingine bw kiganja amewataka tpbc kuona umuhimu wa kuwa na afisa habari wao ili kila mtu asiwe msemaji wa chama wawe na afisa masoko na mtunza kumbukumbuku ili chama kiwe na siri na taarifa zao kutunza kitaalamu
kwa upande wake rais wa tpbc bw chaurembo kwa niaba ya chama hicho alisema kuwa wanapata faraja kupata kiongozi anayetaka ngumi hizo ziendeshwe kwa kufuata sheria na kuwafaidisha mabondia ambapo aliahidi kuyafanyia kazi maelekezo ya mtendaji mkuu huyo wa bmt
kikao hicho kilichoitishwa na kaimu katibu mkuu wa bmt bw mohamed kiganja kilihudhuriwa na afisa anayeshughulikia ngumi za kulipwa apansia lema afisa habari najaha bakari na viongozi mbalimbali wa tpbc wakiongozwa na rais bw chaurembo palaso katibu mkuu chatta michael makamu wa rais lituka dusso promota sadick kinyogori kamati ya sheria yahya poli kocha ally matimbwa na kamati ya ufundi ally bakari na mweka hazina wao joe ane
← kilimanjaro queens yaibuka na ushindi wa bao 3 kwa 0 dhidi ya burundi
wushu taifa kufanyika mwisho wa wiki →
http//nationalsportscouncilgotz/blog/2016/09/09/kiganjachamakilichosajiliwakisifanyekazinachamakisichosajiliwa/> | 2018-10-16T13:11:37 | http://nationalsportscouncil.go.tz/blog/2016/09/09/kiganja-chama-kilichosajiliwa-kisifanye-kazi-na-chama-kisichosajiliwa/ |
tamu chungu uteuzi wa taifa stars
you are athome»habari360»tamu chungu uteuzi wa taifa stars
by habari360 on june 13 2019 habari360
dar es salaam ni fursa na heshima kwa mchezaji kuitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa kinachoshiriki mashindano ya kimataifa kama vile fainali za mataifa ya afrika (afcon) lakini mambo hugeuka pindi anapokosa nafasi hiyo dakika za lala salama
ndivyo hali inavyoweza kuwa kwa nyota 23 walioteuliwa na benchi la ufundi kuunda kikosi cha taifa stars kitakachoshiriki afcon wakitokea katika orodha ya wachezaji 32 waliokuwemo katika timu ya awali kujiandaa na fainali hizo
wakati wachezaji 23 wakifurahia kuandika historia ya kushiriki fainali hizo kwa mara ya pili hali inaweza kuwa ngumu kwa nyota tisa ambao watalazimika kurejea nyumbani na kuyashuhudia mashindano hayo kupitia luninga
wachezaji tisa watakaokosa afcon baada ya kushindwa kupenya katika kikosi cha mwisho cha wachezaji 23 ni makipa selemani salula na claryo boniface mabeki abdi banda na david mwantika viungo fred tangalu miraji athumani na shiza kichuya na kinda kelvin john mbappe
kutemwa kwa wachezaji hao na uteuzi wa wenzao 23 haukutokea kwa bahati mbaya bali ni matokeo ya tathmini ya kina iliyofanywa na kocha emmanuel amunike katika kipindi chote kabla na wakati wa maandalizi ya timu hiyo kabla ya fainali hizo
banda anayecheza nafasi ya beki katika klabu ya baroka ya afrika kusini huenda akawa ametibuliwa na ukosefu wa ufiti wa mechi jambo ambalo limechangiwa kwa kiasi kikubwa kutopata nafasi ya kutosha katika idadi kubwa ya mechi za timu yake huko afrika kusini
majeraha hayo yalichangia kumuweka nje banda kwenye idadi kubwa ya mechi hasa za mzunguko wa pili na hata alipopona aliendelea kusugua benchi katika kikosi ambacho msimu uliopita alicheza mechi 15 tu za ligi kuu afrika kusini
pia haishangazi kuachwa mshambuliaji shabani chilunda ambaye hivi karibuni amevunja mkataba wake na cd tenerife ambayo ilimtoa kwa mkopo cd izarra inayoshiriki ligi daraja la tatu hispania
chilunda amepita kipindi kigumu hispania kutokana na kutopata nafasi ya kucheza na kwa kudhihirisha hilo katika msimu mzima amecheza michezo 10 tu ambapo mitatu akiwa na tenerife tena akicheza dakika 28
previous articlemtanzania afungwa miaka 30 kwa kukutwa na dawa za kulevya nchini kenya
next article hotuba ya waziri wa fedha akiwasilisha bungeni taarifa ya hali ya uchumi wa taifa kwa mwaka 2018 na mpango wa maendeleo wa taifa wa mwaka 2019/2020 | 2019-06-24T08:56:37 | https://habarimpya.com/featured-2/habari360/tamu-chungu-uteuzi-wa-taifa-stars |
tamasha dk tulia lazidi kushika kasi mwanaspoti
simba yaleta kiungo mzambia
kayuni msola wafichua siri za kocha
kayuni madadi wafichua siri za mbelgiji wa simba
meghan ageuziwa kibao mapemaa
ray ataka mambo hadharani
harmonize ali kiba bado mtasubiri sana
aunt ndoa na iyobo labda mtoto mwingine
inanoga huu ndo ule utamu wa ligi kuu england
hawa hawatajenga mbagala kwetu
baada kombe la dunia 2018 mambo ni bata kwenda mbele
spoti dokta hatua za mchezaji kufuzu vipimo
mahrez aanza kwa kipigo man city
kalinic aliyetimulia croatia aikataa medali
kocha mpya chelsea achimbwa mkwara mzito
kipa liverpool aunda kikosi ghali zaidi duniani
tamasha dk tulia lazidi kushika kasi
tamasha hilo litafanyika kwa siku tatu kuanzia septemba 20 rungwe mkoani mbeya na litashirikisha vikundi vya ngoma 108 na zaidi ya watu 2000 wanatarajiwa kushiriki
by imani makongoro mwananchi imakongoro@mwananchicotz
dar es salaam msimu mpya wa tamasha la ngoma za jadi (tulia traditional dances festival) umezinduliwa na mratibu wa tamasha hilo naibu spika dk tulia ackson amesema litashirikisha vikundi vya ngoma mikoa yote nchini
tamasha letu la ngoma za jadi linazidi kutanua wigo kila mwaka tulipoanza tulikuwa na vikundi 63 kutoka mikoa miwili mwaka uliofuatia (2017) vikundi 89 kutoka mikoa 17 lakini mwaka huu mikoa yote ya tanzania bara na visiwani (zanzibar) itashiriki alisema dk tulia
alisema zawadi kwa washindi zimeboreshwa ambapo mwaka huu watatoa pikipiki kwa vikundi vitakavyoshinda na fedha taslimu na ofa ya masomo chuo cha sanaa bagamoyo (tasuba)
tunatarajia litakuwa tamasha kubwa la kipekee ambalo litatangaza utamaduni wetu nje ya tanzania na kuvutia pia watalii kuja nchini kushuhudia alisema dk tulia
naibu spika alisema vikundi vilivyoshinda tamasha la mwaka jana vimekata tiketi ya kushiriki tamasha la msimu huu
alisema upande wa mbeya vikundi vitakavyoshiriki vitaanza kuchuana katika ngazi ya kijiji hadi halmashauri na washindi watashiriki tamasha hilo kitaifa
utaratibu huu unaofanyika mkoani mbeya ndiyo tunafikiria kwa baadaye ufanyike na mikoa mingine pia lakini kwa kuanza tumeanzia mbeya lakini tunafikiria mchakato huo uende kwenye mikoa mingine lengo ni kupanua wigo wa kupata idadi kubwa ya washiriki alisema dk tulia
video simba yaondoka kwa mafungu uturuki
mabingwa hao wataweka kambi ya siku 10 nchini uturuki kujiandaa msimu mpya wa ligi
kama utani yanga yawachia ubingwa simba azam
yanga imetwaa ubingwa wa ligi kuu bara mara 27 tangu 1965
mambo haya kuikoa yanga
dante kashtukia mchezo bwana
wema ahepa jela alipa faini
1 soka simba yaleta kiungo mzambia
2 soka kayuni msola wafichua siri za kocha
3 soka kayuni madadi wafichua siri za mbelgiji wa simba
4 soka man city imeshusha mashine mbili matata
5 soka kama utani yanga yawachia ubingwa simba azam
6 soka mambo haya kuikoa yanga
7 soka dante kashtukia mchezo bwana
8 soka video simba yaondoka kwa mafungu uturuki
9 spoti kenya waamuzi wa fifa kuchezesha mashemeji derby
10 spoti kenya rais kenyatta awaongoza wakenya kumlilia mama oliech | 2018-07-21T23:38:02 | http://www.mwanaspoti.co.tz/burudani/Tamasha-Dk-Tulia-lazidi-kushika-kasi/1799532-4657554-15lmu4t/index.html |
josephine akanusha madai ya mbunge | jamiiforums | the home of great thinkers
josephine akanusha madai ya mbunge
discussion in 'jukwaa la siasa' started by dume la mende jul 1 2011
na flora amon
mchumba wa katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) dkt willibrod slaa bi josephine mushumbusi amekiri kumtumia ujumbe mfupi wa simu (sms) mbunge wa viti maalumu mkoa wa ruvuma mhandisi stella manyanya huku akikanusha kumtukana
akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu jana bimashumbusi alisema kabla ya mbunge huyo kumtuhumu kuwa ametumiwa ujumbe wa matusi angefafanua kwanza kwa kusoma ujumbe aliotumiwa
alisema hawezi kukataa kumtumia mbunge huyo sms lakini haukuwa wa matusi kama alivyodai
ujumbe wangu niliandika kuwa 'aache kuwa mshabiki bali aongelee uhalisia na nadharia kwa sababu wananchi walipo kijijini kwake ni masikini na wana maisha magumu' hilo ni tusi alihoji bimushumbusi
alisema yeye alishaenda kijijini alikotokea mwandisi manyanya ambapo wananchi wake wana maisha magumu hali ambayo yeye ilimtia uchungu
alisema mbunge huyo akisimama kuchangia hoja achangii kama mtu mwenye wananchi walio na maisha magumu bali yeye ni mshabiki hali ambayo inamshgaza
ninavyoelewa wanawake wasomi wanajadili mambo ya kisomi lakini yeye akiwa katika kujadili hoja hajadili kama mwenye uchungu na wananchi wake bali anajadili ushabiki kitu ambacho kwa sasa kimepitwa na hakileti maendeleo alisema
aliongeza kuwa jinsi anavyomjua mbunge huyo laiti kama angekuwa amemtukana basi angemfikisha katika vyombo vya sheria
akichangia bajeti ya waziri mkuu 2011/2012 mwandisi manyanya alisema alipokea ujumbe mfupi wa matusi kupitia simu yake ya mkononi kutoka kwa bimshumbusi source majira
kama hiyo ndio message basi eng manyanya ni nyanya kweli kwa magamba yule sasa amekomaa na anaona kumkumbusha umaskini ni kosa
ndio maana alishindwa kuisoma alijua angechekwa
hivi kumbe hata kupashana kwenye siasa kupo nivizuri kwamaendeleo ya taifa na wengine wenye tabia za kutojali kama wao ni kina mama tunaowategemea kuionea huruma nchi endelea kuwapa vijembe hivyo mama usimsahau makinda
josephine hakuwa na sababu ya kumtumia sms hiyo kwani anamjui vema nimuongea hovyoo
mchumba wa katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) dkt willibrod slaa bi josephine mashumbusi amekiri kumtumia ujumbe mfupi wa simu (sms) mbunge wa viti maalumu mkoa wa ruvuma mhandisi stella manyanya huku akikanusha kumtukana
ujumbe wangu niliandika kuwa aache kuwa mshabiki bali aongelee uhalisia na nadharia kwa sababu wananchi walipo kijijini kwake ni masikini na wana maisha magumuhilo ni tusi alihoji bimashumbusiclick to expand
ushauri wa bure kwa dr
reign in your betterhalf before she gets out of hand
stella manyanya ni mbunge na mheshimiwa whether unamheshimu or not
aidha nampa chngamoto josephine ambaye ni member humu amuandikie na mama salma naye anatoka sehemu si mbali na hukokwa vile mumewe ni rais wanavijiji wote tanzania ni watu wake masikini na tajiri
na hapo ndo anaweza kushangaa nyani kula mahindi bichi
manyanya pumba sana nilimheshimu ila sasa ameliwa kumbe hata katika tume ya mwakiembe alikuwa bendera fuata upepo
hivi slaa ametajwa wapi kwenye thread hii anayezungumzwa ni josephine mjadala unaelekezwa kwa dr hivi can't we stick to the focus alone acha 'president' wetu atulieacheni hizo we unayemponda kuhusu usafi wake kwenye ndoa unadhani kwa kufunga ndoa tu ndio ticket ya mbinguni no jesus no heaven (life jesus = o)
ha ha ha ha ha haaaaaa
kama vipi manyanya na yeye atoe ujumbe aliotumiwa na josephine kinyume chake ujumbe wa mama yetu josephine unasimama kama ulivyo na kumuacha wazi manyanya kuwa ana hoja nyepesi za kujadili watu na sio uwezo
josephine hakuwa na sababu ya kumtumia sms hiyo kwani anamjui vema nimuongea hovyooclick to expand
kwanza nchi haijengi na waoga pili manyanya kaongea uongo bungeni hakiwa chini ya kiapo hatoe message la bunge lichukue hatua
huyu nae kumbe kumsaliti mumewe kote huko alikuwa anataka umaarufu
kama hiyo ndio message basi eng manyanya ni nyanya kweli kwa magamba yule sasa amekomaa na anaona kumkumbusha umaskini ni kosaclick to expand
ni nyanya kweli huyu
naombeni namba ya makinda jaman nina ujumbe maalum kwake
huyu nae kumbe kumsaliti mumewe kote huko alikuwa anataka umaarufuclick to expand
si alidhani mchumbake ataukwaa uraisdah fistlady na kuropokaropoka wapi na wapinilichoka siku tunajibishana naye humu akatuambia dawa yetu iko motoni ole wetu wakishika nchinikajua huyu mmama siyo
kwenye mahakama hayo aliyoyaandika huyu josephine yanaweza kabisa yakawa ni matusi
halafu hapa ndio josephine kalikoroga kabisaa naona kiswahili kinampiga chenga hii ni contradiction ya hali ya juu aongelee uhalisia na nadharia
halisi adjective
1 exact accurate definite precise literal
2 genuine true positive
[hr][/hr] nadharia pl nadharia { english theory } 0 people likes
akichangia bajeti ya waziri mkuu 2011/2012 mwandisi manyanya alisema alipokea ujumbe mfupi wa matusi kupitia simu yake ya mkononi kutoka kwa bimshumbusi source majiraclick to expand
huyu mama ni mpiganaji mzuri sana ilikuwaje akakosa viti maalumu maana anajituma sana kuliko hata wale wabunge wa viti maalumu hivi hakuna nafasi ilibaki apewe huyu
mimi nashauri siku nyingine mkitaka kuandika habari za huyu mwanamke muandike kabisa josephine kimada wa slaa badala ya kusema tu josephine wengine tunadhani ni wachumba zetu pia na tabia ya magezeti kuandika mchumba wa slaa mimi naona kama yanalenga kumharibia mzee huyu maana hadi leo jamani awe na mchumba josephine ni kimada wa slaa sio mchumba jamani acheni kumdharau mbunge mstaafu
huyu mama ni mpiganaji mzuri sana ilikuwaje akakosa viti maalumu maana anajituma sana kuliko hata wale wabunge wa viti maalumu hivi hakuna nafasi ilibaki apewe huyuclick to expand
yeye na rose kamili wote wapewe na mwenyekiti naye angeleta wa pili | 2017-01-16T10:46:57 | https://www.jamiiforums.com/threads/josephine-akanusha-madai-ya-mbunge.151036/ |
karibu mlima sayuniuwanja wa uwazi na ukweli kuhusu masuala yote ya kibiblia na ukristo january 2009
mbunge mpya wa mbeya vijijini mchungaji luckson mwanjale akila kiapo bungeni mjini dodoma leo
mchungaji mwanjale anakuwa ni mchungaji wa kwanza nchini kuchaguliwa kushindana katika kinyang'anyiro cha uchaguzi na kupiga kampeni na hatimaye kuibuka mshindi wa kiti hicho kwa kupitia tiketi ya ccm
posted by mtade at 124 pm 1 comment
hoja ya wapinzani kumtaka ajiuzulu yayeyuka
waziri mkuu mizengo pinda ameangua kilio bungeni kuonyesha uchungu alio nao dhidi ya vitendo vya mauaji ya kikatili ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) hivyo kuyeyusha hoja ya wabunge wa upinzani waliokuwa wamepania kumbana ili ajiuzulu kwa madai kwamba alitoa amri ya kuua wauaji ambayo ni kinyume na katiba ya nchi
hali hiyo ilitokea jana bungeni wakati pinda akielezea yaliyomfanya atoe kauli hiyo tata kikatiba na misingi ya haki za binadamu
pinda alisema alipokuwa katika ziara katika mikoa ya kanda ya ziwa alipata taarifa za kusikitisha kuhusu mauji ya albino na mara kesho yake habari zikatoka kwenye vyombo vya habari kwamba albino mwinge kauawa
jamani jamani taarifa za matukio hayo kibinadamu zinatia uchungu sana na kumfanya mtu ashindwe kujizuia mara akaanza kutokwa machozi na kukatisha maelezo yake akatoa miwani na kujifuta huku wabunge wakiwa kimya
waziri mkuu alisema hayo baada ya kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni hamad rashid mohamed kumtaka atoe ufafanuzi kuhusu kauli aliyoitoa hivi karibuni akiwa katika ziara kanda ya ziwa kuwaruhusu wananchi kuwaua watu watakaokutwa wakimchinja albino
hamadi alisema katiba ya nchi inamlinda mtu kupewa nafasi ya kujitetea hivyo akamtaka waziri afafanue maana ya kauli yake kwa kuwa ni kinyume na taratibu ambazo nchi imejiwekea katika kuhakikisha haki inapatikana
pinda alisema mtu anaposikia au kusoma taarifa za mauaji ya albino hawezi kupata hisia juu ya mateso wanayoyapata sawa na anayewasikiliza watu walionusurika kufa au walioshuhudia vitendo hivyo vikitendeka
mimi walinihadithia aah samahani alisema kwa masikitiko pinda huku akiwataka radhi wabunge kwa kushindwa kuendelea kueleza kwa jinsi alivyoguswa na matukio hayo mara akaanza kububujikwa na machozi na baada ya sekunde kama 15 alichukua kitambaa chake akajifuta
aliendelea kuelezea jinsi maalbino wanavyouawa kikatili akisema wengi walikufa kwa kushindwa kupata huduma mapema ya kuzuia damu baada ya ama kukatwa mikono ama miguu na majitu hayo katili yenye imani potofu kwamba viungo hivyo vinaweza kumpatia mtu utajiri
alisema alielezwa kuwa wauaji wanachokifanya ni kumshambulia albino na kumkata kiungo wanachokitaka kwa kutojali hali wanayomuacha nayo kama ni mateso kufa au kupona hivyo alipatwa na uchungu kiasi cha kujikuta anatamka kuwa watu wanaokutwa wakitenda hayo nao wanapaswa kuadhibiwa papo hapo
alifafanua kuwa wakati akiwa kwenye ziara hiyo iliyokuwa maalumu kwa ajili ya kukemea na kupanga mikakati ya kukabaliana na vitendo hivyo idadi ya maalbino waliouawa walikuwa 30 na baada ya kukemea vitendo hivyo ghafla akapewa ripoti ya kuuawa wengine wawili jambo ambalo lilizidi kumuudhi na kumchanganya
waziri pinda aliwaomba radhi watu walioudhika kutokana na matamshi na pia akimuomba mungu amsamehe iwapo amewakosea
kama mnaona kile nilichofanya ni makosa naomba mnivumilie naomba mungu anisamehe kama nimewakosea aliomba waziri mkuu na kuongeza kuwa serikali imechukizwa sana na mauaji hayo ya kikatili
alisema tanzania imekuwa ikiheshimika sana katika jumuiya ya kimataifa lakini mauaji ya albino na ya vikongwe katika eneo hilo yameitia doa
alielezea pia kuhuzunishwa zaidi na tamko la bunge la jumuiya ya ulaya (eu) la kulaani mauaji hayo kana kwamba wao wanaguswa sana na suala hilo kuliko serikali ya tanzania
hata hivyo alisema kuwa katika ziara hiyo ambayo iliwahusisha pia baadhi ya mawaziri wabunge viongozi wa polisi viongozi wa dini na kisiasa waliahidi kushirikiana kuhakikisha kuwa wanakabiliana na kulimaliza tatizo
isitoshe alisema aliwataka viongozi wa vijiji kurejesha ulinzi wa jadi maarufu kama sungusungu ili kukabiliana na wauaji
pinda alisema kuwa serikali ipo tayari kupokea maoni kutoka kwa watu mbalimbali yanayoweza kusaidia kupata mbinu ya kukomesha kabisa mauaji hayo ili kuiokoa jamii hiyo ya albino
alisema katika kumbukumbu za serikali hadi mwishoni mwa mwaka jana vikongwe 2866 walikuwa wameuawa kwa imani potofu kuwa ni wachawi
alisema serikali imeliagiza jeshi la polisi kutumia maarifa yake hata kama itabidi kutumia gharama kubwa ili kuwatia mbaroni watu wote wanaojihusisha na mauaji hayo
wapinzani pia walimtaka pinda atoe maelezo yanayodaiwa kuwa yalitolewa na rais jakaya kikwete kisiwani pemba kwamba aliwashangaa wakazi wa eneo hilo kuwachagua watu ambao hawawezi kuunda serikali na ambao watachukua muda mrefu kupata nafasi hiyo
pinda alisema anapata taabu kujibu swali hilo kwa sababu hawezi kuyatolea maelezo mambo yaliyozungumzwa na bosi wake na wala hajui kama ni kweli rais alisema kama vyombo vya habari vilivyoripoti
mbunge wa konde dk ali tarab ali (cuf) alimtaka pinda aeleze kama kitendo cha rais kikwete kutumia magari ya serikali kisiwani pemba na kuonekana akifanya shughuli za chama ni matumizi mabaya ya fedha za serikali
pinda alimjibu akisema kuwa ni vigumu rais kutofautisha vyombo vya usafiri anavyovitumia wakati akifanya ziara za kisiasa ama za kiserikali na kutoa mfano kwamba hata rais wa marekani hutumia ndege aina ya air force one bila kuchagua kuwa ni shughuli ya kisiasa au kiserikali
wakati hayo yakitokea bungeni baadhi ya viongozi wa dini nchini wamemtaka waziri pinda kukiri kosa kufuta kauli yake na kuomba radhi kwa mamlaka za kisheria bunge na wananchi
akizungumza na mwananchi jijini dar es salaam jana katibu mkuu wa baraza kuu la jumuiya na taasisi za kiislaam sheikh ramadhan sanze alisema pinda alifanya kosa la kiufundi kwa kuwa yeye ni mtendaji mkuu wa serikali hivyo hakupaswa kusema jambo linalopingana na msimamo wa serikali sheria na katiba ya nchi
kwa vile kauli hiyo haijaleta madhara mpaka sasa waziri mkuu ana uchochoro wa kupita ili kujisafisha cha msingi ni kukiri kosa kufuta kauli yake na kuomba radhi kwa mamlaka za kisheria bunge na wananchi alishauri sheikh sanze
alisema hajafuatilia vizuri kuhusu hoja za kambi ya upinzani bungeni na kwamba kujiuzulu inaweza isiwe suluhisho la tatizo hilo kwa kuwa hata kama atajiuzulu kauli haitafutika na tatizo litabaki palepale
nchi hii haina dini na kwa hiyo haingozwi na sheria za dini bali inaongozwa na sheria za nchi kwa hiyo pinda alipaswa kuangalia sheria ya nchi kwanza kabla ya kutoa agizo lake alisema sheikh sanze
alifafanua kuwa waziri pinda ametengeneza mazingira ya uchafuzi na uchochezi kutokana na kauli yake hiyo kwani baadhi ya watu wanaweza kuitumia vibaya kwa kumuua mtu kwa sababu ya chuki tu baina yao
alisema athari ya kauli kama hizo zinaweza kusababisha migogoro kati ya dini na dini nyingine kabila moja na jingine au dhehebu moja na jingine kama wananchi watautumia wito huo
alisema vita dhidi ya mauaji ya albino imekuwa ikitumika kisiasa zaidi kuliko kitaalamu na kuongeza kuwa mamlaka husika ziliangalie tatizo hilo kitaalamu badala ya kuliacha likitumika kisiasa
naye askofu mkuu wa kanisa la anglikana tanzania valentino mokiwa alisema kauli ya pinda ya kutaka aliyeua albino auawe si sahihi kwa sababu mtu akimuua aliyeua ni muuaji na ana kosa kisheria
mauaji ya albino yamekuwa yakitikisa nchi na hasa katika eneo la kanda ya ziwa licha ya juhudi mbalimbali zilizofanywa na serikali kupitia jeshi la polisi mashirika ya kutetea haki za binadamu vyama vya walemavu na watu binafsi
posted by mtade at 1148 am 2 comments
tukio la january 2009
kwaheri ndugu yetu sedekia
jina la bwana litukuzwe milele na milele na tena atukuzwe yeye ambaye anatuwazia mema kuliko yale sisi tuyawazayo
ndugu wana sayuni popote pale mlipo nadhani wote mnakumbuka msiba tulioupata wa kutwaliwa kwa ndugu yetu fanuel sedekia akiwa kule katika nchi ya baba zetu israel
mimi nilifuatilia tukio lile na kuhudhuria ibada ya kuuaga mwili wake hapa arusha ila nilishindwa kuwaletea habari hizi kwa muda kutokana na kubanwa sana na mambo hapa ila nimezileta leo ili tujikumbushe ikiwa ni tukio kubwa kabisa katika mwezi huu
kama wengi tulivyojua ndugu yetu huyu alifariki akiwa katika safari muhimu sana ya kiroho kule israel akiwa pamoja na timu ya huduma ya mana ya mwalimu christopher mwakasege
siku hiyo ya kuuga mwili wake na mazishi (january 10) tulikutana katika uwanja wa sheikh amri abeid hapa arusha na watu walikuwa ni wengi kiasi ambacho hakikutegemewa mwili wake uliingizwa uwanjani ukiwa umebebwa kwenye gari na gari lingine lilikuwa likifuata nyumba yake likiwana speakers kubwa huku wakiwa wameweka ule wimbo wa bwana ametoa na bwana ametwaa aliouimba sedekia mwenyewe hii ikiwa ni baada ya kuwasili jana yake kwa ndege kutokea israel ambapo mamia ya wakazi wa arusha walijipanga pembeni mwa barabara ya moshiarusha huku wakiutazama msafara uliokuwa na mwili wake uliopata magari yasiyopungua 40 na wengine walikwenda hadi hospitali ya mkoa ya arusha na walisikika wakipiga mayowe ya vilio walipoona jeneza lake mara baada ya kuingia uwanjaniulipokelewa kwa utulivu na timu ya waimbaji wa muziki wa injili kutoka dar na maeneo mbalimbali kama unavyoweza kuona katika picha baada ya hapo watu mbalimbali walipewe nafasi ya kuzungumza kwa ufupi namna walivyomfahamu sedekia na hapa kwa ufupi natata nieleze kile alichosema mwl mwakasege
mwalimu alielezea namna walivyoondoka na sedekia hapa uwanja wa ndege wa arusha ya kuwa alikuwa amemaliza kutumia doze ya malaria iliyomsumbua muda kidogo na kuwa alisema alikuwa ok kwa safari waliondoka hadi israel walipoanza kutembelea maeneo muhimu ya kibiblia huko na baada ya siku chache sedekia alionekana kuwa mdhaifu na alisema hali yake si nzuri sana baadaye walimua kumpeleka hospitali waliyoshauriwa na madaktari akiambatana naye na daktari waliyekuwa naye safarini pia baada ya uchunguzi ilifahamika kuwa alisumbuliwa na sukari na pia homa ya mapafu (pneumonia)na hivyo akalazwa katika hospitali ile ya poriya
mwakasege aliendelea kusema kuwa kabla ya sedekia kuugua walitembelea kanisa moja huko israeli na sedekia alikuwa amekwenda na kinanda chake (japokuwa ilikuwa ni safari ya mafundisho ya ndoa) hivyo alikitoa kinanda chake na akapewa nafasi ya kuimba aliimba wimbo ule wa bwana mungu nashangaa kabisa (tenzi no 114) na huo ndio ulikuwa wimbo wa mwisho wa sedekia kuimba upande huu (kwani upande ule mwingine bado anaimba)
mwalimu aliendelea kueleza namna sedekia alivyougua muda wa safari yao ulipokwisha ilibidi mwl mwakasege abaki israel kumuuguza sedekia na wengine kurudi nyumbani
alieleza kuwa madaktari walijitahidi na kurekebisha hali ya sukari yake (iliyokuwa juu sana) na mapafulakini alipoteza fahamu na hakupata tena fahamu hadi uimbaji wake ulipohamishiwa mbinguni
katika ibada ile ileyohudhiriwa na watu wengi kuliko hata anapokuja rais wa nchi yetu huku arusha ilijawa na watu wa rika zote na watu kutoka nchi mbalimbali mbunge mmoja alieleza pia namna walivyofahamiana na sedekia na mkenya mmoja aishiye norway alieleza namna walivyokuwa wamepanga kwenda kupeleka injili katika nchi zaidi ya tano za afrika wakiwa na sedekia na kwamba aliwaambia anakwenda israel na akirudi ndio wataanza safari hizo
ilifahamika kuwa sedekia alikuwa na maono makubwa sana kwa ajili ya huduma yake kumtukuza mungu huko mbeleni alikuwa na mpango wa kufungua studio yake ya muziki ya injili jambo ambalo wote waliokuwepo siku ile waliazimia kuwa maono haya yasimamiwe na mke wake hadi studio ijengwe tukio hili wali walilitumia pia kusisitiza waimbaji waimbe katika roho kama alivyofanya sedekia na pia umoja kati yao ulisisitizwa sana jambo ambalo limeonekana kuanza kukua katika msiba ule
muda wote wa tukio hili kwaya ya pamoja mass choir ilikuwa ikiimba nyimbo mbalimbali alizoimba sedekia lakini wimbo wa nimemwona bwana uliimbwa sana
tulipewa nafasi ya kutoa michango yetu kwa upendo kama sehemu ya kusema pole kwa familia yake
kumalizia mazungumzo yake mwalimu sedekia alianza kwa kumshukuru mungu kwa kumpa neema ya kuwa na sedekia katika siku zake za mwisho (kwani aliwahudumia wengi lakini mungu alipenda siku za mwisho wake awe na mwakasege) na kuwashukuru watu wengine wote
alizungumza zaidi na kusema kuwa hakuna awezaye kuyapindisha mapenzi ya mungu na ya kuwa mawazo ya mungu yapo juu sana kuliko mawazo yetu sisi wanadamu ni nani ajuaye kuwa uimbaji wa sedekia sasa unatakiwa zaidi mbinguni na mungu kuliko hapa duniani
mwalimu mwakasege alituonya ya kuwa mungu anaendelea kuwa mungu hata kama hakujibu tulivyotaka hivyo usimvunjie mungu heshima yake ndani ya moyo wako mwache aendelee kuwa mungu daima japokuwa sedekia aliombewa nchi nzima ili asifelakini yeye mungu anajua zaidi yetu
alimalizia kwa kutusihi watu wote tulioguswa na msiba huu kila mtu ajiulize maswali haya matatu na apate jibu lake leo hii(ninamnukuu)
1 kwanza jiulize ukifa unataka ukumbukwe kwa lipi
2 baada ya kifo zipo sehemu mbili tuu za kwenda mbinguni na jehanam je unataka ukifa uende wapi
3 je yesu kristo akirudi leo utanyakuliwa na yeye au utabaki (mwisho wa kunukuu)
mwishoni ilitolewa nafasi ya watu wote kupita kwa mstari kwenda kutoa heshima za mwisho kwa mwili wake watu tulijipanga kwenye mistari iliyoanzia mwanzo hadi mwisho wa uwanja lakini watu hawakukata tamaa hata kidogo tulijipanga na kuanza zoezi hili ambalo halikuweza kufanikiwa kwani baadhi ya watu walishindwa kujizuia kwa vilio na kufanya hali kuwa ngumu hali iliyopelekea zoezi hili kusitishwa na mwili wake kuchukuliwa na kupelekwa kuzikwa
ile siku ya mwisho wote tuliookoka tutanyakuliwa na bwana wetu yesu kristo na tunaambiwa kuwa tutakutana wote ngambo ya mto kama maneno ya ule wimbo wa shalll we gather at the river (ati twonane mtoni) tutakumbatiana na walioolewa wa vizazi vyetu na kisha tutaungana pamoja na tutakaribishwa kuingia katika karamu iliyoandaliwa katika mji ule wa yerusalemu mpya ambao hata sasa upo tayari kwa ajili yetu tuliookoka wote tusife moyo sedekia yupo na bwana na uzuri mmoja ni kwamba ipo siku tutakutana naye na kukaa naye pamoja na bwana kusema ukweli sasa yupo anaendelea kumwabudu mungu huko juu kwa baba yetu tushike sana tulichonacho
haya ndiyo niliyopenda kuwashirikisha siku hii ya leo
kwaheri kaka sedekia katika saa ya bwana tutakutana pale ngambo ya mto ule
wwwlemaortz na sayuni blog inamwomba mungu baba wa bwana wetu yesu kristo amtunze mke wake watoto na familia yote na bwana atutie sisi wote nguvu amen
posted by savedlema at 400 pm 2 comments
posted by mtade at 749 am 1 comment
posted by savedlema at 726 pm no comments
ile kampuni kubwa ya kizalendo ya digitalbrain sasa imejitolea kuudhamini mlima sayuni kwa kuutengenezea website yake itakayogharimu zaidi ya dola 5000website hiyo itakayokuwa ni web portal ya aina yake kuwahi kutokea hapa tanzania itakuwa na kila kitu kinachopaswa kuwapo katika website za kisasakwa muda wa zaidi ya mwaka mmoja na nusu mlima sayuni umekuwa ukipatikana kwenye blog na kwa kuwa kwenye blogu lakini sasa digitalbrain wameamua kugharamikia shughuli zote za kuitengeneza website hii kubwa na ya kipekee kabisa barani afrika
katika website hiyo itakayokuwa tayari kabla ya mwisho wa mwezi huukutakuwa na mahubiri live mbali mbalimuziki wa injili na pia utawaona live wahubiri mbalimbali na wachungaji mbalimbali wanaotumiwa na bwana hapa nchini
pia utaweza kusikiliza radio mbalimbali za kikristo kama radio wapo fm praise power fm na upendo fm zote za jijini dar
kwa wale walio ughaibuni kaeni mkao wa kupokea baraka hizi ambazo wengi mmekuwa mkizisubiria kwa muda mrefu
pia utaweza kushiriki mijadala mbalimbali ya wapendwa na mambo ya kisiasa na kijamiikuchat na wapendwa mbalimbalikununua na kuuza bidhaa mbalimbali kupata taarifa za nyumba za kupangisha na kununua na mambo mengine mengi mengi mengi ya kujenga
kwa hivi sasa digitalbrain wanarusha vipindi vyao kupitia radio wapo fm na unaweza kuwasikiliza live kupitia mtandao wao wa http//wwwdigitalbraintzcom/ waweza kusikiliza kipindi chao kilichorushwa jumatau ya jana na jumatatu zingine zilizopota
akiongea na mlima sayuni mkurugenzi wa ufundi wa digitalbrain mr marco salimu amesema kuwa wameamua kufanya kitu kizuri kwa ajili ya mwili wa kristo na wamejitolea kiasi hicho cha fedha kwa kuwa wanaamini katika kutoa na kubarikiwa katika kipimo cha kujaakushindiliwakusukwasukwa kumwagika jinsi bwana yesu atakavyowabariki
digitalbrainby the renewing of your mind
hakika mtumishi wa mungu alale kwa amani
kama kuna watu walibariki moyo wangu ni fanuel sedekia na naomba niamini vivyo hivyo kwa mioyo ya watu wengi kama jinsi ambavyo umati wa watu ulivyojihudhurisha pale kwenye viwanja vya sheikh amri abeid karume arusha mjini mtu huyu alipendwa na wengi na huo ni udhihirisho tosha namna ambavyo mwili wake uliheshimiwa kwenye kuagwa na hata mazishi yake
yatosha kwa siku maovu yake na bwana ampe faraja haswa mjane na watoto wake pasipo kusahau wote walioguswa na msiba huu kwa namna moja ama nyingine
hebu basi tujikumbushe walao kwa nyimbo hizi wakati tukiendelea na maombelezo
posted by maranatha at 1017 pm no comments
bwana yesu asiwe wapenzi wote wa sayuni na pia wote waliompenda ndugu fanuel sedekia
hatimaye leo tarehe 10january 2008 ile safari ya mwisho kwa hapa duniani ya kaka yetu mpendwa muimbaji fanuel sedekia imefanyika leo hapa jijini arusha
mwili wa kaka sedekia (36) uliletwa kwa ndege maalumu jana na kufika hapa arusha hospitali ya mkoa majira ya saa 12 kamili jioni ulipohifadhiwa hadi leo asubuhi
leo asubuhi mwili wake uliletwa katika uwanja wa mpira wa sheikh amri abeid hapa arusha ulipowekwa kutoa nafasi kwa watu walioweza kufika kutoa heshima zao za mwisho kwa kaka yetu
baadaye mwili wake ulipelekwa kuzikwa katika makaburi yaliyopo njiro hapa arusha
zoezi hilo limefanyika leo na hii ni taarifa fupi tuu kwenu kuwajulisha kilichotokea kesho nitawaletea picha kadhaa na maelezo zaidi kuhusu tukio hili la aina yake
yes brother sedekia we will meet on that beatiful shore when the time of the lord comes
mungu unabakia kuwa mungu hata kama hukujibu kama tulivyotaka sisi
posted by savedlema at 230 pm 2 comments
ile kampuni inayokuja juu na kwa kasi katika maswala ya teknolojia ya habari na mawasiliano ya digitalbrain imeanza kurusha vipindi vyake vya radio kupitia kwenye mtandao live
akizungumza na sayuni mkurugenzi wa ufundi wa kampuni hiyo bw marco salimu amesema kuwa wameamua kurusha vipindi hivyo vya radio kwenye mtadao ambavyo hurushwa na radio wapo fm ya jijini dar es salaam ili kuwapa fursa wasikilizaji walioko maeneo kusikofikika na mawimbi ya radio hiyo kuweza kupata elimu hiyo inayotolewa na wataalamu wa kampuni hiyo
digitalbrain ni kampuni ya wazawa inayojihusisha na maswala ya ict iliyojizolewa umaarufu mkubwa miongoni mwa jamii kwa hivi sasa kutokana na kipindi hichokipindi hicho hurushwa na radio hiyo kila siku ya jumatatu saa mbili kamili usiku hadi saa tatu kamili
waweza kusikiliza matangazo hayo hapa kwenye link hii wwwdigitalbraintzcom
mungu awabariki digitalbrain kwa kazi njema
posted by mtade at 147 pm 2 comments
god bless you as you put this into actions
if you want to receive weekly wisdoms in your email go to wwwlemaortz and click mailing lists to join
posted by savedlema at 401 pm 1 comment
posted by savedlema at 359 pm no comments
bwana ametoa na bwana ametwaajina la bwana libarikiwe
source swahilitimeblogspotcom
posted by mtade at 940 am 1 comment | 2018-06-22T07:40:37 | http://sayuni.blogspot.com/2009/01/ |
digitalis | december 2019
kuu digitalis
jueana na aina za kawaida za digitalis
digitalis au jina lake kilatini jina digitalis (digitalis) ambalo linalitafsiri kama kidole jina la mmea uliopokea kwa sura ya corolla linafanana na thimble kutoka kwa hili lilienda jina la kirusi digitalis mboga huu ni wa familia ya mmea katika dunia kuna aina 25 za mimea inayojulikana kwa mwanadamu
https//lezgkaru swlezgkaru © digitalis 2019 | 2019-12-08T10:16:35 | https://sw.lezgka.ru/digitalis/ |
matai 2 | biblia na internet | libongoli ya mokili ya sika
matai 2123
2 nsima ya kobotama ya yesu na beteleme+ ya yudea na mikolo ya erode+ mokonzi talá bangangaminzoto+ bauti na ɛsti bayei na yerusaleme 2 mpe balobi ete wapi moto oyo abotami mokonzi+ ya bayuda mpo tomonaki monzoto+ na ye ntango tozalaki na ɛsti mpe toyei kogumbamela ye 3 ntango mokonzi erode ayokaki yango abulunganaki ye ná yerusaleme mobimba 4 mpe ayanganisaki banganganzambe bakonzi ná bakomeli nyonso mpe abandaki kotuna bango epai wapi kristo asengeli kobotama 5 balobaki na ye ete na beteleme+ ya yudea mpo talá ndenge ekomamaki na nzela ya mosakoli 6 mpe yo ee beteleme+ ya mokili ya yuda ozali engumba oyo eleki moke te na kati ya baguvɛrnɛrɛ ya yuda mpo moto moko oyo akoyangela+ oyo akokamba+ bato na ngai yisraele akouta na yo 7 bongo erode abengisaki bangangaminzoto yango na kobombana mpe atunaki bango malamumalamu mpo ayeba ntango oyo monzoto yango emonanaki 8 mpe ntango atindaki bango na beteleme alobaki ete bókende koluka mwana yango malamumalamu mpe soki bomoni ye bóyebisa ngai mpo ngai mpe nakende kogumbamela ye+ 9 nsima ya koyoka mokonzi bakendaki mpe talá monzoto oyo bamonaki ntango bazalaki na ɛsti+ ezalaki kokende liboso na bango tii etɛlɛmaki likoló ya esika oyo mwana yango ya moke azalaki 10 ntango bamonaki monzoto yango basepelaki mingi mpenza 11 mpe ntango bakɔtaki na ndako bamonaki mwana yango ya moke ná maria mama na ye bongo bakweaki na nse mpe bagumbamelaki ye bafungolaki mpe biloko na bango ya motuya mpe bapesaki ye makabo wolo olibana ná mire 12 nzokande lokola nzambe akebisaki+ bango na ndɔtɔ ete bázongela erode te bazongaki na mokili na bango na nzela mosusu 13 nsima ya kozonga na bango talá anzelu ya yehova+ abimelaki yozefe na ndɔtɔ mpe alobaki ete tɛlɛmá kamatá mwana ná mama na ye mpe kimá na ezipito mpe fandá kuna tii ntango nakoloba na yo ozonga mpo erode alingi koluka mwana yango mpo aboma ye 14 bongo atɛlɛmaki mpe akamataki mwana yango ná mama na ye na butu mpe akendaki na ezipito 15 mpe afandaki kuna tii na liwa ya erode mpo oyo yehova alobaki na nzela ya mosakoli na ye ekokisama+ nabengaki mwana na ngai alongwa na ezipito+ 16 bongo ntango erode amonaki ete bangangaminzoto bakosaki ye ayokaki nkanda makasi mpenza mpe atindaki báboma bana mibali nyonso na beteleme mpe na bitúká na yango nyonso banda na mbula mibale mpe na nse na yango na kotalela ntango oyo monzoto ebimaki ndenge bangangaminzoto bayebisaki ye+ 17 bongo likambo oyo elobamaki na nzela ya mosakoli yirimia ekokisamaki 18 mongongo moko eyokanaki na rama+ kolela mpe koganga na kolela mingi rashele+ nde azalaki kolela bana na ye mpe aboyaki kobɔndisama mpo bazali lisusu te 19 ntango erode akufaki talá anzelu ya yehova abimelaki yozefe na ndɔtɔ+ na ezipito 20 mpe alobaki ete tɛlɛmá kamatá mwana ná mama na ye mpe kende na mokili ya yisraele mpo baoyo bazalaki koluka molimo ya mwana yango bakufi 21 bongo atɛlɛmaki mpe akamataki mwana yango ná mama na ye mpe akɔtaki na mokili ya yisraele 22 kasi lokola ayokaki ete arkelausi azali koyangela yudea na esika ya tata na ye erode abangaki kokende kuna lisusu lokola nzambe akebisaki ye na ndɔtɔ+ akendaki na teritware ya galile+ 23 mpe afandaki na engumba moko na nkombo nazarete+ mpo likambo oyo elobamaki na nzela ya basakoli ekokisama bakobenga ye monazarete+ | 2017-08-23T06:04:50 | https://www.jw.org/ln/mikanda/biblia/bi12/mikanda/matai/2/ |
mo si tuseza sikuka seo lilato le li talusizwe hahulu mwa bibele haki lilato le li banga teñi mwahalaa muuna ni musali kono ki lilato le li tomile fa likuka le li kopanyeleza tulemeno to tu cwale ka mufelañeke buikokobezo busepahali musa bunolo ni pilutelele (mika 68 makolose 312 13) ka ku shutana ni mufuta wa lilato la nakonyana feela le li banga mwahalaa muuna ni musali fokuñwi lilato luli lona li zwelapili ku hula kamita
bo brenda ba se ba nyezwi ka lilimo ze bato ba 30 ba bulela kuli lilato le li banga mwahalaa batu ba ba sa zo nyalana ki le li nyinyani hahulu ha li bapanywa kwa lilato le li zwelangapili ku tiya mwahalaa batu ba se ba nyalani ka nako ye telele
bo sam ba se ba li mwa linyalo ka lilimo ze fitelela 12 ba bulela kuli musalaa ka ni na lu tabiswanga mane ni ku komokiswa ki mo ituseza kelezo ya bibele ni mo ku inezi bunolo ku i belekisa ha mu itusisa yona lika li zamaya hande nihakulicwalo niha ne ni ka lata ku bulela kuli kamita na itusisanga kelezo ya bibele fokuñwi ha ni ezangi cwalo ku banga cwalo ha ni filikani ha ni ba ni moya wa buitati kamba ha ni katezi ka linako ze cwalo ni kupanga jehova kuli a ni tuse ku ambuka maikuto afi kamba afi a maswe hamulaho wa fo ni kumbatanga musalaa ka mi nakonyana feela ni ikutwanga inge kuli ha ku na nto ye maswe ye ezahezi
butali bu pakwa kuli bu lukile ka misebezi ya bona
jesu kreste naa bulezi kuli butali bu pakwa kuli bu lukile ka misebezi ya bona (mateu 1119) manzwi ao a bonisa kuli mwa bibele ku fumaneha butali bwa niti kaufela lituto ze ku yona ni likuka za yona za tusa luli li tusa ka nako kaufela li kona ku tusa batu ba ba zwa mwa lizo ni linaha ze shutanashutana mi li bonisa zibo ye tuna hahulu ye fita zibo ya batu ili ye zwa kwa simbule se si pahami yena mubupi wa luna jehova mulimu mu kona ku iponela bupaki bo haiba mu itusisa ze i bulela bibele kacwalo bibele i lu mema kuli mu lazwe mi mu ka bona kuli muñaa bupilo u na ni sishemo (samu 348) kana mu ka amuhela memo yeo
bibele i ni tusize ku ba ni bupilo bo bunde
bo linh ba pila kwa mboelaupa wa asia ba taluselize bañoli ba magazini ya mu zuhe mo bibele i ba tuselize ku ba ni bupilo bo bunde
ne mu banga mwa bulapeli mañi
ni zwa mwa lubasi lo lu latelela lizo za bulapeli bwa sibuddha ha ku na ze ne ni ziba ka za mulimu wa niti
kana ne mu na ni tabo mwa bupilo bwa mina
batili ne ni na ni mataata a mañata ne ni sa zibi mwa ku itusiseza hande masheleñi mwa ku fumanela balikani ba bande mi ne ni sa koni ku tusa bashemi ba ka mwa mataata a bona
ha mu lu taluseze mo ne bu cincelize bupilo bwa mina ku ba bo bunde
likalibe ba bañwi ba ne ba li lipaki za jehova ba kala ku ni lutanga bibele ha ne ni banga mwa butaata ne ni kupanga tuso ya bona nihaike kuli ne li banana ku na ne ba ni fanga kelezo ye nde hahulu mi kelezo ya bona ne i sa tomangi fa mibonelo ya bona ne ba ni bonisanga ze i bulela bibele
cwale ha se ni iponezi mo ni tuselizwe ki ku latelela ze i luta bibele ni na ni buikolwiso bo bu tezi bwa kuli buka ye i zwa ku mulimu mi ya kona ku tusa mutu ufi kamba ufi ya ikataza ku pila ka ku ya ka ze i bulela nihaike kuli lituto za kwa sikolo za tusa ha li koni ku cinca bupilo bwa mutu sina bibele
kana mwa kona ku talusa hande taba yeo
bashemi ba ka ne ba ile kwa koleji mi ba kutekiwa ki batu ba bañata kono ba palezwi ku fumana tatululo kwa mataata a bona mane ba fitile fa ku lelekana mi ha ba na tabo ha ne ni li kwa koleji ne ni taluselizwe kuli fokuñwi miinelo ya batu i konwa ku tatululwa feela ka mifilifili kono bibele i lu bulelela kuli batu ha ba koni ku tatulula mataata a bona ku ya ku ile bakeñisa kuli mulimu naa si ka lu fa buikoneli kamba maata a ku izamaisa kona libaka mwa lipuso za batu ha ku na ni hahulu bufokoli bo buñata ni ku sa sepahala * kono ha lu utwa mulimu lwa kona ku cinca hahulu bupilo bwa luna ni ku susueza hahulu ba bañwi ku cinca bupilo bwa bona
bibele i mi tusize cwañi
i ni tusize mwa linzila ze ñata ka nako ya cwale ha ni sa na hahulu lipilaelo mi se ni na ni balikani ba bande se ni ziba mwa ku itusiseza hande masheleñi mi se ni na ni masheleñinyana a ni konisa ku pota nto ya butokwa ni ku fita kikuli na kona ku tusa ba bañwi ha ba li mwa butokwi
^ par 21 mu bone muekelesia 89 jeremia 1023 | 2017-04-30T23:49:21 | https://www.jw.org/loz/lihatiso/limagazini/g201502/lilato/ |
kikao cha kimataifa cha kuwaunga mkono wananchi wapalestina leaderir
kikao cha kimataifa cha kuwaunga mkono wananchi wapalestina
hotuba ya kiongozi muadhamu katika kongamano la kimataifa la palestina
amesema miongoni mwa matukio muhimu yaliyotokea katika kipindi cha baina ya kikao cha leo na kikao cha kabla yake yaani cha tarehe 15 hadi 17 mfunguo sita rabiul awwal 1427 hijria kilichofanyika pia mjini tehran ni kufeli na kushindwa kimaajabu israel katika upande wa kijeshi na kisiasa mbele ya istikama ya kiislamu kwenye vita vya siku 33 vya lebanon mwaka 1427 hijria na kufeli kifedheha utawala wa kizayuni katika jinai zake kwenye vita vya siku 22 dhidi ya wananchi na serikali halali ya palestina huko ghaza
ayatullah udhma khamenei ameongeza kuwa utawala ghasibu wa israel kwa makumi ya miaka ulikuwa unatumia jeshi na silaha zake huku ukiungwa mkono kijeshi na kisiasa na marekani kuonyesha kuwa una nguvu za kutisha zisizoshindika lakini kwa mara nyingine vikosi vya wanamapambano wa kiislamu vinavyoendesha mapambano yake kwa kumtegemea mwenyezi mungu na uungaji mkono wa wananchi kuliko kutegemea silaha na zana za kijeshi vimefanikiwa kuishinda tena israel licha ya utawala huo kufanya mazoezi mbalimbali na kujiandaa vilivyo kijeshi na kwa kutegemea mashirika makubwa ya kijasusi na uungaji mkono usio na kikomo wa marekani na baadhi ya tawala za magharibi zikishirikiana na baadhi ya wanafiki katika ulimwengu wa kiislamu hivi sasa umejikuta ukielekea kuporomoka vibaya na ukiwa dhaifu sana mbele ya wimbi kali la mwamko wa kiislamu
kiongozi muadhamu wa mapinduzi ya kiislamu ameongeza kwamba kuua idadi kubwa ya raia kuharibu nyumba zisizo na ulinzi kutoboa kwa risasi vifua vya watoto wachanga kushambulia mashule na misikiti kutumia mabomu ya fosforasi na baadhi ya silaha nyingine zilizopigwa marufuku kufunga njia za kuingizwa chakula madawa mafuta na mahitaji mengine ya lazima ya wananchi wa ghaza kwa muda unaokaribia miaka miwili na jinai nyingine nyingi ni mambo yanayothibitisha kuwa siasa zile zile na mtindo ule ule wa maisha ya kikatili yasiyo na huruma uliotumiwa katika maafa ya diryasin sabra na shatila bado uko vile vile leo hii katika fikra na nyoyo za kidhumla za mataghuti hawa wa zama hizi
kiongozi muadhamu wa mapindizi ya kiislamu ameongeza kuwa licha ya kuweko juhudi kubwa za kishetani na za kutisha kwa kiasi chote hicho lakini maghasibu na waungaji mkono wao si tu wameshindwa kuupa uhalali utawala wa kizayuni lakini pia suala la kuwepo israel limekuwa tata zaidi ikilinganishwa na huko nyuma
ayatullah khamenei ameongeza kuwa kushindwa kuwa na stahamala vyombo vya habari vya magharibi na kizayuni pamoja na tawala zinazounga mkono uzayuni mbele ya hata kuulizwa swali na kufanyika utafiti tu kuhusu ngano ya holocaust ambayo ndiyo iliyotumika kuikalia kwa mabavu palestina ni moja ya dalili za kuweko utata na kuchanganyikiwa huko
kiongozi muadhamu wa mapinduzi ya kiislamu ameongeza kuwa hivi sasa na kuliko wakati mwingine wowote uliopita hali ya utawala wa kizayuni imezidi kuwa mbaya ndani ya fikra za walimwengu na udadisi kuhusu sababu za kuundwa utawala huo unazidi kupata nguvu
ayatullah khamenei ameongeza kuwa upinzani ambao haujawahi kushuhudiwa mfano wake uliolipuka wenyewe ulimwenguni kuanzia mashariki mwa asia hadi amerika ya latini dhidi ya utawala wa kizayuni na maandamano ya wananchi katika nchi 120 duniani zikiwemo za ulaya na uingereza ambayo ndiyo mwasisi mkuu wa mti huo khabithi (utawala wa kizayuni wa israel) sambamba na uungaji mkono wa walimwengu kwa istikama ya kiislamu ya ghaza na istikama ya kiislamu ya lebanon katika vita vya siku 33 ni vitu vinavyoonyesha kuwa dunia imeanza kushuhudia mapambano ya kimataifa dhidi ya uzayuni na kwamba haijawahi kushuhudiwa mapambano kama hayo katika kipindi cha miaka 60 ya tangu kuasisiwa israel si katika upande wa kiwango wala ukubwa na wala uzito wake
kiongozi wa mapinduzi ya kiislamu ameongeza kuwa kosa kubwa linalofanywa kuhusu kadhia ya palestina na ambalo limepandikizwa katika fikra za baadhi ya watu ni kule kudai kuwa njia pekee ya kuweza kuokoka taifa la palestina ni kufanya mazungumzo
ayatullah udhma khamenei amesema hata rais mpya wa marekani ambaye ameingia madarakani kwa kaulimbiu ya mabadiliko katika siasa za serikali ya bush anapiga domo la kushikamana bila masharti na suala la kudhamini usalama wa israel yaani kulinda ugaidi wa kiserikali kutetea dhulma na ubeberu na kutetea mauaji ya umati ya mamia ya wanaume wanawake na watoto wadogo wa palestina hiyo kwa kweli ni kuendeleza upotofu ule ule wa kipindi cha bush na si kitu kingine
kiongozi muadhamu wa mapinduzi ya kiislamu ameongeza kuwa njia ya kuweza kuokoka palestina ni istikama na kusimama kidete tu na kusisitizia haja ya kuweko mshikamano na kuwa kitu kimoja taifa la palestina
vile vile amesema kuwasaidika kikamilifu na kwa kila njia waanchi wa palestina pamoja na kuwaunga mkono kikamilifu wananchi hao madhlumu ni wajibu kifaya kwa waislamu wote na kuongeza kuwa zile tawala ambazo zinailaumu jamhuri ya kiislamu ya iran na baadhi ya nchi nyingine za kiislamu kwa kuwasaidia wapalestina nazibebe jukumu hilo na ziliunge mkono taifa la palestina ili kuwaondolea wengine wajibu na jukumu hilo la kiislamu lakini kama hazina hima wala uwezo na wala ushujaa wa kufanya hivyo ni vyema kwao badala ya kulaumu na kukwamisha mambo washukuru hatua za kutekeleza wajibu na za kishujaa zinazochukuliwa na wengine
ayatullah udhma khamenei vile vile amesema ujenzi mpya wa ghaza ni miongoni mwa masuala yanayopasa kutekelezwa kwa haraka sana na kwamba hamas ambayo imechaguliwa kwa kura mutlaki na wapalestina pamoja na hamasa na istikama yake iliyoukwamisha utawala wa kizayuni ni nukta inayong'ara zaidi katika historia ya miaka 100 iliyopita ya palestina amesema inabidi hamas kuwa kitovu cha kazi zote zinazohusiana na ujenzi mpya wa ghaza | 2020-07-15T09:23:35 | https://www.leader.ir/sw/content/4891/Kikao-cha-Kimataifa-cha-Kuwaunga-Mkono-Wananchi-Wapalestina |
wimbo na 139wazia wakati vitu vyote vitakuwa vipya | wimbo wa kikristo
soma katika chinese cantonese (simplified) chitonga (malawi) karen (s'gaw) kiabkhaz kiacholi kiafrikana kiajemi kialbania kiamhara kiarmenia kiaukan kiaymara kiazerbaijani kiazerbaijani (cha kisirili) kibaoule kibassa (cha kamerun) kibatak (simalungun) kibatak (cha karo) kibatak (cha toba) kibemba kibikoli kibulgaria kichewa kichin (cha hakha) kichina (kikantoni) kichina (kilicho rahisi) kichina (cha kitamaduni) kichiyao kichokwe kichol kichuvash kidachi kidamara kidangme kidayak ngaju kidenishi kidouala kiedo kiefik kiesan kiestonia kiewe kifaeroe kifaransa kifiji kifini kifon kifulfulde (cha kamerun) kiga kiganda kigeorgia kigiriki kigokana kigreenlandi kiguarani kiguni kihausa kiherero kihiligaynoni kihindi kihiri motu kihispania kihosa kihungaria kiiban kiibinda kiiceland kiigbo kiiloko kiindonesia kiingereza kiisako kiitaliano kijaluo kijapani kijavanese kijerumani kikabiye kikamba kikambodia kikaonde kikazakh kikhana kikikongo kikiluba kikirghiz kikiribati kikisi kikongo kikorea kikosrae kikreoli cha haiti kikreoli cha mauritius kikreoli cha ushelisheli kikrio kikrioli cha belize kikroatia kikurmanji cha kikurdi (cha caucasus) kikuyu kikwangali kikwanyama kikwechua (cha ancash) kikwechua (cha ayacucho) kikwechua (cha bolivia) kikwechua (cha cuzco) kikwichua (chimborazo) kikwichua (imbabura) kilaotia kilatvia kilhukonzo kilifu kilingala kilithuania kilomwe kilunda kiluvale kimakedonia kimakua kimalagasi kimalay kimalayalamu kimalta kimambwelungu kimamu kimapudungun kimaya kimazateki (cha huautla) kimbundu kimedumba kimikse kimikstek (cha guerrero) kimoore kimyanmar kinahuatl (cha guerrero) kinahuatl (cha kati) kinahuatl (cha puebla kaskazini) kindau kindebele kindebele (zimbabwe) kinepali kingabere kingangela kinias kinorwei kinyaneka kinyanja kinyarwanda kinyungwe kinzema kioromo kiosetia kiotetela kiotomi (bonde la mezquital) kipalau kipangasinani kipapiamento (cha curaçao) kipijini (cha kamerun) kipijini cha nigeria kipijini cha visiwa vya solomon kipolishi kiponape kiquiche kirarotongan kireno kireno (ureno) kiromani (cha bulgaria) kirumania kirundi kirusi kisamoa kisangir kisango kisaramakan kisebuano kisena kisepedi kiserbia kiserbia (cha roma) kishona kisidama kisilozi kisinhala kislovenia kisomali kisonge kisranantongo kisunda kiswahili kiswedi kitagalogi kitahiti kitarahumara kitatar kitelugu kithai kitigrinya kitiv kitojolabal kitok pisin kitonga kitshiluba kitsonga kitswana kituruki kituvalu kitwi kitzotzil kiukrania kiumbundu kiurhobo kiuruund kivenda kivietnam kiwallisi kiwelsh kiwolaita kiyape kiyoruba kizapoteki (mlangobahari) kizulu sesotho (lesotho) sesotho (south africa) yemba kibiak kibislama kiboulou kichitumbuka
wimbo na 139
wazia wakati vitu vyote vitakuwa vipya
(ufunuo 2115)
1 hebu waza mimi nawe
sote katika dunia mpya
fikiria paradiso
amani na uhuru tele
na uovu wote kwisha
utawala wake yehova
utaitawala dunia yote
kwa moyo wote sote
tutamwimbia
yehova mungu twakushukuru
umefanya vyote viwe vipya
tunachochewa na ukarimu wako
wastahili heshima na utukufu
2 hebu waza mimi nawe
tukiwa katika paradiso
tuonayo kusikia
hayatatutia uoga
yote kweli katabiri
hema lake kalitandaza
afufue walio kaburini
tumwimbie yehova
sifa pamoja
(ona pia zab 3710 11 isa 6517 yoh 528 2 pet 313)
wazia wakati vitu vyote vitakuwa vipya (wimbo na 139) | 2018-11-20T22:01:08 | https://www.jw.org/sw/machapisho/muziki-nyimbo/mwimbieni-yehova-kwa-shangwe/139-wazia-wakati-vitu-vyote-vitakuwa-vipya/ |
kuwafungia ndani watoto wenye usonji ni kuwanyima haki ya kupata elimudk tulia ackson
you are athome»habari360»kuwafungia ndani watoto wenye usonji ni kuwanyima haki ya kupata elimudk tulia ackson
naibu spika dk tulia ackson amesema wazazi wasiwafungie watoto wao majumbani kutokana na maumbile yao kufanya hivyo ni kuwakosessha haki ya kupata elimu
dk tulia ameyasema hayo katika maadhimisho ya siku ya watu wenye usonji duniani yaliyofanyika katika shule ya almuntazir jijini dar es salaam amesema kuwa watoto wenye mahitaji maalum wana uwezo mkubwa hivyo ni lazima wazazi wachukue jitihada za kuwapatia elimu
dk tulia amesema kuwa hakuna ubaguzi mbaya kama kuwabugua watu wenye mahitaji maalumu kwani kutokea kwao huko ni mipango ya mungu ambayo binadamu hawezi kuzuaia
amesema jitihada ya shule ya almuntazir kusomesha watoto wanafunzi wenye mahitaji maalum ni jambo la msingi wanalolifanya ikiwemo kupunguza nusu ya asilimia ada katika shule hiyo kwa watoto wenye mahitaji maalum
aidha aliitaka shule hiyo kuanzisha huduma ya mabweni ili kuwawezesha wanafunzi wenye uhitaji huo
dk tulia amesema shule zingine ziige mfano wa almuntazir katika kuwa mpango wa kutoa elimu kwa wanafunzi wenye mahiataji maalum
nae naibu waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto dk faustine ndugulile amesema serikali inaendelea kuunga mkono jitihada zinazofanywa na almuntazir katika utoaji elimu katika kundi lenye mahitaji maalum
amesema kuwa watu wenye mahitaji maalum wana uwezo mkubwa ambapo wakipata elimu wana uwezo kushangaza dunia kutokana na ubunifu wao
kwa upande mwenyekiti wa bodi ya central of education imtiaz lalji amesema ameiomba serikali na sekta binafsi kutoa kipaumbele cha ajira kwa watu wenye sifa lakini ni watu wenye mahitaji maalum
amesema kufanya hivyo kutafanya wanafunzi wenye mahitaji kujituma kutokana na kuwa na uhakika wa jaira pindi wanapohitimu kozi mbalimbali katika vyuo vilivyopo nchini
amesema kwa mwaka mtoto mmoja mwenye usonji hutakiwa kulipa ada ya milioni sita na kuongeza kuwa hadi sasa wana wanafunzi 80
kwa mwaka mtoto mmoja anatakiwa kulipa milioni sita lakini sisi tumekuwa tukichangia tatu na mzazi wake analipa inayobaki alisema ladak
naibu spika dk tulia ackson akikata utepe kuashiria uzinduzi wa matembezi ya kilomita moja katika siku maadhimisho ya siku watu wenye mahitaji maalum duniani yaliyoanzia katika shule ya msingi almuntazir mpaka shule ya sekondari almuntazir jijini dar es salaam
naibu spika dk tulia ackson akiwa na watoto wenye mahitaji maalum katika matembezi ya maadhimisho ya siku watu wenye mahitaji maalum duniani yaliyoanzia katika shule ya msingi almuntazir mpaka shule ya sekondari almuntazir jijini dar es salaam
naibu spika dk tulia ackson akizungumza katika maadhimishio ya watu wenye mahitaji maalumu duniani yaliyofanyika katika shule ya almuntazir jijin dar es salaam
naibu waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto dk faustine ndugulile akizungumza hatua ya serikali katika kuunga mkono jitihada za wadau wanaojitolea kutoa elimu kwa watoto wenye mahitaji maalum jijini dar es salaam
mwenyekiti wa bodi ya central of education imtiaz lalji akizungumza jinsi wanavyotoa elimu kwa wanafunzi wa wenye mahitaji maalum katika shule za almuntazir jijini da es salaam
afisa mtendaji mkuu wa shule za almuntazir mahmood ladak akizungumza na waandishi habari elimu wanayotoa kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum akiwa na wabunge ambao wameitikia wito katika kuhamasisha jamii kuhusiana na utoaji wa elimu kwa wanafunzi wenye mahaitaji maalum jijini dar es salaam
naibu spika dk tulia ackson akikabidhiwa zawadi na mjumbe wa bodi wa khoja jamaat azim dewj katika maadhimisho ya siku watu wenye mahitaji maalumu leo jijini dar es salaam | 2019-08-19T09:05:57 | https://habarimpya.com/featured-2/othman-michuzi/kuwafungia-ndani-watoto-wenye-usonji-ni-kuwanyima-haki-ya-kupata-elimu-dk-tulia-ackson |
karibu nyumbani december 2012
tuwakumbuke na watoto hawa
tunapokuwa katika harakati za kuboresha maisha na kuinua kipato tukijaaliwa na mola tukumbuke katika matumizi yetu na matendo yetu ya kila siku kuwa kuna watoto wengine wanatafuta elimu kwa kusomea chemli kuna wanaoenda shuleni nguo zimechania na hawana njia mbadala ya kujikwamua
mwandishi nicky mwangoka saa 13000 am 5 comments
picha hii inanikumbusha ule ujanja wa mbuni kuchimbia kichwa chacke kwenye kichaka huku mwili wote upo nje kana kwamba anajificha huyu jamaa ni vyema akaenda kijijini kulima matembele kulikoni kuendelea na usanii huo maana siku wajanja kama mie tukimgundua ni kichapo cha mbwa mwizi kipofu anasoma messageanaandika title tena kwa kiingereza wapi na wapi
mwandishi nicky mwangoka saa 114300 pm 1 comment
ubunifu/kuiga
baada ya kuiona picha ya ubunifu wa michezo ya watoto warembo hawa nao wakatengeneza yao
mwandishi nicky mwangoka saa 103300 am 1 comment
vipaji tulivyonavyo binadamu
hii ni live dada angel alipotembelea mbuga za wanyama afrika ya kusini hapa ni sehemu wanapoita lion encounter
mwandishi nicky mwangoka saa 113000 am 1 comment
sio tishio ni maneno yagusayo
mwandishi nicky mwangoka saa 111000 am 1 comment
utafutaji wa kimasha mashaka
hii inanikumbusha msemo punda afe mzigo ufike ni kweli tunapaswa kujitahidi kutafuta lakini ni kwa namna gani tunatafuta na tunanufaika vipi na utafutaji huo mwisho wa siku upakiaji huu wa bidhaa hii kwenye hili gari wahatarisha maisha na uharibifu zaidi kuliko faida ipatikanayo
mwandishi nicky mwangoka saa 94500 am no comments
ndege anapokuwa hai huwa anakula sana funza lakini atakapokufa funza humla yeye
maisha hubadilika kila wakati hivyo usimdharau wala kumuumiza mtu yeyote katika maisha
unaweza kuwa imara saaana leo lakini kumbuka maisha ni imara kuliko wewe
mti mmoja unaweza ukatengeneza mamilioni ya njiti za kiberiti lakini muda ukifika njiti moja tu ya kiberiti inaweza ikachoma msitu mzima
kuwa mwema kwa kila mtu
mwandishi nicky mwangoka saa 123200 am no comments
mtoto umleavyo 1
mwandishi nicky mwangoka saa 11000 am 1 comment
wiki imeanza
pilika pilika za maisha zimeanza tena ni mwanzo wa wiki nami nawatakia wadua kila la kheri katika uchacharikaji wa kufanya maisha kuwa bora zaidi
sidhani kama inasaidia
jana tulikuwa tunaadhimisha siku ya ukimwi duniani nikamwona huyu jamaa yangu na kujiuliza kama hii ndo gear ya kuzuia maambukizi basi hapa atakuwa mbali na ukweli au unasemaje mdau samahani kwa picha hii kama itakukwaza lakini ni kufikisha ujumbe tu
mwandishi nicky mwangoka saa 112200 am 1 comment
mwaka unapokaribia ukingoni tunalazimika kutathmini mafanikio na vikwazo vya maendelea lakini kwakuwa bado tuna mwezi mmoja si vibaya kujitahidi pale ambapo bado juhudi haijawa ya kutosha
mwandishi nicky mwangoka saa 123500 am 1 comment | 2017-12-14T04:01:29 | http://karibunyumbani.blogspot.com/2012/12/ |
space x yapata wateja wawili wa kwanza wa kwenda kwenye mwezi teknokona teknolojia tanzania
you are athome»anga»space x yapata wateja wawili wa kwanza wa kwenda kwenye mwezi
space x yapata wateja wawili wa kwanza wa kwenda kwenye mwezi
by mato eric on march 1 2017 anga sayansi teknolojia
wengi walidhani ingekuwa ni jambo gumu kwa space x kuweza kupata wateja wa kuwapeleka kwenye mwezi si kwa ajili ya utafiti bali kwa matembezi tu na kuweza kujionea yaliyoko huko mwezini
safari hiyo ambayo wakati inatambulishwa rasmi kwa ulimwengu karibu mwaka mmoja uliopita ilisema kuwa kwa mtu atayetaka kwenda kwenye mwezi mtagharimu dola za kimarekani takribani bilioni 10 sawa na 220trn kwa pesa za tanzania
watu hao wawili na wengineo (kama idadi ikiongezeka) wanatarajia kupelekwa huko kwenye mwezi mwaka 2018 ambao tayari wameshafanya malipo kwa kiasi fulani cha kuridhisha kwenda kwenye akaunti ya space x kampuni binafsi inayomilikiwa na elon musk
ingawa kiasi kamili walicholipa wateja hao wala majina yao havijawekwa wazi ila itakuwa ni mara ya kwanza kwa binadamu kusafiri umbali zaidi kuzidi orbit ndogo ya sayari yetu (dunia)
machache kuhusu space x
space x wanasifika zaidi kwa kupelekwa vyombo (roketi) vyao angani na kisha kurudi salama hivyo kuweza kutumika tena kwa mara nyingine pale inapohitajika
shirika hilo lina mahusiano ya karibu na shirika la marekani linalojidhughulisha na masuala ya anga yaani nasa ushirika huo unathibitika kwa space x kuhusika katika uundaji wa roketi na dira kwenda nasa
space x ndio shirika la kwanza kupeleka roketi angani na kruudi chombo hicho kikiwa salama ingawa ni baada ya majaribio kadhaaspace x yashindwa jaribio lake la kutua roketi katika meli (hakuna mwanasayansi aliyefanikiwa mara moja tu baada ya kufanya jaribio)
moja ya kifaa kilichowahi kutengenezwa na space x
kifaa chicho ambacho kitakuwa katika mfumo wa automatic ambapo hapatakuwa na watu wengine isipokuwa tu watu wao watakao kwenda huko mwezini ingawa wafafundishwa jinsi ya kujiokoa iwapo chombo hicho kitapata hitilafu ya aina yoyote ile
mafanikio ya safari hiyo yataendelea kuimarisha space x katika masuala ya anga na kupigilia msumari wa uaminifu kwa walio wengi ambao si mabalozi wazuri wa space x kutokana kutoamini ambacho kinafanya
vyanzo npr mitandao mbalimbali
pingback mpango wa uchina kupeleka binadamu kuishi kwenye mwezi teknokona | 2018-03-20T03:43:11 | http://teknokona.com/space-x-yapata-wateja-wawili-wa-kwanza-wa-kwenda-kwenye-mwezi/ |
angin darat dan angin laut ~ sofyanto
083000 by sofyanto medan
1 hanifah azizah
2 aidil fahrendy
3 namira sani
4 m hafiz fauzi
5 mnaifal huwaidi | 2018-02-20T03:46:29 | http://sofyanto-medan.blogspot.com/2011/06/angin-darat-dan-angin-laut.html |
hizi ndizo video kumi bora zilizofanya vizuri mwezi wa tano 2017 gospo media
29 jun 2017 lads
kupitia tovuti yako pendwa ya gospomediacom hizi ni video kumi bora zilizofanya vizuri zaidi mwezi wa tano 2017 video hizi zimefanikiwa kuingia kwenye chati ya kumi bora ya gospomediacom kwa vigezo mbalimbali vya ubora wa video hizi na idadi ya watu wote walioweza kuzitazama video hizi mara baada ya kupandishwa kwenye tovuti ya gospomediacom na channel zao za youtube
video hizi kumi zimefanikiwa kupata nafasi ya kuingia kwenye mchakato wa tuzo za gospo (gospo awards) zinazotarajiwa kutolewa na gospomedia 2018
1mercy masika shule yako (nifunze)
2 christina shusho yote alimaliza
3 mrvee the spice all of a sudden
4 daddy owen tazama
5 guardian angel kesho yako
6 paul clement wimbo
7 david cosmas nioneshe njia
8 dona feat sirmbezi uthamani
9 agness nkugwe achanikuimbie
10 pastor mwambona feat ashley nassary mwamba
uongozi na timu kazi ya gospomediacom inatoa pongezi kwa wanamuziki na waimbaji wote ambao video zao zimefanikiwa kuingia kwenye chati hii ya kumi bora kwa mwezi wa tano 2017 baraka nyingi pia ziwafikie wadau na watu wote waliowezesha video za waimbaji hawa kuingia kwenye chati hii ya kumi bora barikiwa
like page yetu ya facebook > gospomediacom instagram> @gospomedia
video kumi bora za nyimbo za injili zilizofanya vizuri mwezi wa nane 2016 hizi hapa
video kumi bora za nyimbo za injili zilizofanya vizuri mwezi wa saba 2016 hizi hapa
nyimbo kumi bora zilizofanya vizuri mwezi wa saba 2016 hizi hapa
total visits 12221323 | 2017-09-24T12:15:24 | http://gospomedia.com/hizi-ndizo-video-kumi-bora-zilizofanya-vizuri-mwezi-wa-tano-2017/ |
cheka na kitime na vichwa vya habariserena aitwa timu ya taifa tunategemea matokeo chanya faru ndugai asakwa
hatimae timu ya taifa sasa itakuwa imepata muarubaini ule mchezo wa kufungwa fungwa hovyo sasa umefikia tamati mchezaji maarufu wa tenis serena kaitwa timu ya taifa ni wazi supasta huyu ataleta mabadiliko chanya kwenye timu yataifa aise sie wajanja sana
kwa kweli ni jambo la kufurahisha kuona faru wetu wana majina siku hizi bila kumsahau supersta faru john nashauri waheshimiwa msikate tamaa endeleeni kumsaka faru ndugai mpaka mmpate ikiwezekana akatembezwe dodoma ili nae aweze kuliona jengo letu la bunge na pia muone wajina
aise tunawakaribisha kwetu wema umefanya jambo zuri sana kuwahamasisha kuja kututembelea huku makumbusho tuko vizuri tuna stendi ya daladala ambayo iko shahgala baghala ina watu wa ajabuajbu wanakusanya ushuru wa kila basi linalitoka siku nyingine wanatoa risiti siku nyingine wanakidaftari fulani ndio hivyo halafu stendi imeanza kuchimbika so karibuni muone halafu huku makumbusho iko ile barabara ambayo ilimwagwa lami iliyodumu wiki mbili kisha ikategenezewa tume kisha kimya kikuu kikaingia na barabara haipitiki karibuni makumbusho
aise huu ni uchochezi kabisa sasa yanga wapasue kichwa cha nani yanga inatakiwa kucheza soka sio kupasua vichwa mimi kama mdau nasema yanga kachezeni soka fea plei msimpasue mtu kichwa
aise hii mpya sikujua kuwa ukipewa hisa na mgodi mkubwa unaenda motoni itakuwa dhambi mpya hii hivi waziri alijua hili kuwa akipewa hisa ni dhambi je alijuwa kuwa kwa dhambi hii atakuwa haendi tena mbinguni iko haja haya makosa mapya yanayoweza kumfikisha mtu motoni yakawekwa wazi kwa watoto
kiukweli hata mi nakuna kichwa toka jana kuna kavidio nilikaona chombo cha dola kinamwambia tito akubali kosa nabii hakukiri kosa baadae nikasikia chombo cha dola kinasema nabii chizi sasa si wampeleke hospitali kwanini kukuna kichwa cha nabii si mmeshampima na kumuona chizi halafu nabii kaamua kuwa hiyo ndio imani yake na katiba si inasema ruksa kuamini dini yako yaani hapa nimeshakuna kichwa mpaka nywele zimetoka
oyaa nyie waganda kumbe trump alikuwa anawasema nyinyi hapa hamuwezi kukataa mkuu wenu kakubaliana na trump aise lakini inawezekana kuwa kweli nyie si mko chini kidogo ya ikweta msirushe ngumi bwana mkuu wenu kakubalia kuwa nyie 'tundu la'
wapi tena walipovurugana usituvuruge bwana mhariri tulisoma hiyo ishu hakuna kuvurugana pale
hali tete au hajaumia mnajua nyie mnatuchanganya sana sasa tumuamini nani kati yenu kwa anaejua nani feki tukutane inbox
hao ndio wanasiasa hawanaga msimamo wanataka demokrasia lakini hawataki kulipia lakini wanataka mishahara mikubwa ya kutetea demokrasia ili yasitumike mabilioni si tuachane na demokrasia au
blog yetu ina mafaili kadhaa ya watu waliowahi kutangaza kuwa wako tayari kufa blog ina mafaili ya njia nyingi tu za bure au bei ndogo za kujiua lakini blog haina faili hata moja la aliyetekeleza maamuzi yake kamba zipo hawajinyongi sumu ya panya kila kona hawanywi mito bahari kibao hawajitosi acheni hizo bwana
we dully vipi wenzio tunatafuta chansi hizo we unazikimbia ukiona kuna bifu ni muda muafaka kutafuta kaugali ukala vizuri we hujui bifu kwa ugali ni chakula kitamu sana sasa we unakimbilia mifupa umekuwa fisi siku nyingine ukisikia kuna bifu niite nakuja na ugali au hata mkate au chapati nalumilia
good ukiongeza sukari kwenye unga wa yanga ni tamu sana tena chirwa hebu nielekeze duka gani wanauza unga wa yanga siku nyingi sijala yanga | 2018-09-21T19:16:30 | https://chekanakitime.blogspot.com/2018/01/cheka-na-kitime-na-vichwa-vya.html |
handeni kwetu malaika bandi kuwapa raha tanga hoteli leo jijini tanga
malaika bandi kuwapa raha tanga hoteli leo jijini tanga
bendi iliyokuja kwa kasi katika anga ya muziki wa dansi hapa nchini malaika leo inawapa raha mashabiki wa jijini tanga katika ukumbi uliopo ndani ya tanga hoteli
safari ya bendi hiyo katika mkoa wa unaotajwa katika sekta ya uhusiano wa kimapenzi ni mwendelezo wa kujitangaza na kujitanua zaidi kwa mashabiki wao wa muziki wa dansi
akizungumza jana jijini dar es salaam meneja wa bendi hiyo fadhili mfate alisema kuwa mashabiki wa jijini tanga watapata vitu vya aina yake kutoka kwa wanamuziki wenye makali ya kutisha
hii ni safari ya mwendelezo kwa mashabiki wa tanga ambapo mara baada ya kuzindua bendi yetu tulikuja kujitambulisha kwao
tunaamini wote watakaohudhuria shoo wataelewa kwanini tunajitamba kuwa tumesheheni vijana wenye uwezo wa juu kisanaa alisema mfate
malaika ipo chini ya mkurugenzi wake michael loki ambapo rais wa wanamuziki ni christian bellah anayeheshimika mno katika tasnia ya muziki wa dansi hapa nchini | 2017-08-24T08:32:34 | http://handenikwetu.blogspot.com/2013/12/malaika-bandi-kuwapa-raha-tanga-hoteli.html |
mjadala juu ya mada ya uongozi umeongezeka
ndugu wanablogu kutokana na unyeti wa suala zima la uongozi kamati ya uongozi wa muda imekubali ushauri uliotolewa mwandani kwamba muda zaidi uongezwe wa kujadili na kuipanga mada hii ya uongozi muda ulioongezwa ni juma moja hivyo wanablogu tujitahidi kuutumia muda huu vizuri ili itakapofikia mwishoni mwa juma tuwe tumepata jawabu
pamoja na hilo suala la kamati limejitokeza pia katika majadiliano yaliyopita suala hili ni muhimu sana ili kuunda uongozi uliokamilika hivyo basi katika kipindi hiki kilichoongezwa tutajadili pia kamati zitakazounda jumuiya yetu
hadi sasa kamati zilizopendekezwa ni pamoja na
1 kamati ya maadili
2 kamati ya ufundi na teknolojia
3 kamati ya uhamasishaji
4 kamati ya jamii (watoto yatima)
5 kamati ya sheria
bado tunahitaji michango zaidi ili kukamilisha mada hii
karibuni uwanjani
© blogu tanzania | tarehe 1/28/2007 |
tarehe 29 january 2007 at 0836 michuzi anasema
mwenyekiti
kwanza smahani kwa kutohudhuria vikao vilivyopita bila kutoa udhuru kungekuwa na faini ya kukosa vikao ningetoa bila kusita kwani sababu ya kutoujua mtaa ambayo ningetoa si ya msingi hivyo namshukuru da mija kwa kunielekeza
waama baada ya salaam naunga mkono maamuzi yote yaliyopita ikiwa ni pamoja na kuchagua jina ambalo napendekeza litumike kwa ufupi vinginevyo jina bomba linajieleza
mchango wangu katika kipengele hiki cha kuchagua kamati ni wa upnde wa mambo ya picha kwani naona kamati karibu zote isipokuwa hiyo zipo ama itaingizwa kwenye mojawapo ya kamati hizo hapana mie naona kuwepo na kamati inayojitegemea ya picha jina naomba wajumbe tujadili
nasema hivyo kuna mazoea ya kuundwa vyama vya kiuandishi bila kufikiria umuhimu wa picha hata kwenye vyombo vyetu vya habari vingi kitengo cha picha huwa ni cha mwisho kufikiriwa yaani inakuwa kama upendeleo ama bahati mbaya naombe tusielekee huko kwani hivi sasa naona wapiga picha wapo kibao bloguni japo nyanja zao ni za kiuandishi hivyo si vibaya kuanzisha kamati ya picha
tarehe 29 january 2007 at 1218 ndabuli anasema
naomba ufafanuzi kwenye kamati naona kama kamati namba 1 na 7 kama zinafanana au kuna tofauti gani kati ya kamati namba 2 (ufundi) na 4 (teknolojia) naunga hoja ya michuzi(kuwe na kamati au kitengo cha picha)nachangia
tarehe 29 january 2007 at 1513 ndesanjo anasema
nakubaliana na michuzi pengine tunachoweza kufanya ni kuwa na kamati ya blogu za picha kamati ya blogu za video na kamati ya podikasti
au kabla ya kuendelea labda tujiulize hizi kamati kazi yake itakuwa ni nini (sio lazima tuseme kazi zake zote ila jukumu lake kuu kwa mfano kamati ya picha itakuwa nini)
kumetokea kosa kidogo kwenye kamati hizo kama ulivyosema ndabuli kamati namba 1 na 7 ni hiyo hiyo
kamati ya ufundi na teknolojia kama ulivyogusia ndabuli naamini ni kamati moja
je kwanini kamati ya maadili na sheria isiwe moja
kamati ya jamii (watoto yatima) naona tutafute jina ambalo litabeba upana wa kamati hii kamati hii inaweza kujihusisha na masuala ya kijamii kama watoto yatima magonjwa masuala ya elimu na hata masuala mengine ambayo yanaweza kuingia kwenye kundi la kisiasa (kwa mfano jumuiya yetu inaweza kufika wakati ikawa inatoa semina kwa wanasiasa na wabunge jinsi ambavyo wanaweza kutumia blogu kama njia ya mawasiliano na ujenzi wa demokrasia shirikishi)
nashauri tuiite kamati ya harakati (bila kutaja aina ya harakati yenyewe)
tarehe 29 january 2007 at 1719 mwandani anasema
ufundi na teknolojia viko karibu karibu lakini mtumiaji au mtu anayetathmini teknolojia fulani anaweza asiwe fundi kwa mfano teknolojia ya simu mpya apple wengi wameitathmini ambao hawana ufundi
wengi tunaweza kutumia interface au teknolojia fulani lakini ufundi wa kurekebisha au kukochakocha inapobidi sharti aitwe fundi mfano mambo ya code au utatuzi wa matatizo ya aggregator kama yakitokea nk kuna ufundi maalum
haidhuru naunga mkono teknolojia na ufundi ni mtu na ndugu yake
kamati ya jamii kwa mtazamo wangu itakuwa kama mwavuli wa shughuli nyingi ningeshauri iitwe kamati ya maendeleo ya jamii
naamini pamoja na mambo mengine kwamba lengo la jumuiya hii ni kuipa nguvu jamii hata kama njia itakuwa kwanza kwa kusaidia ili kuweka wazi kwamba lengo siyo charity bali kumpa mtu uwezo jina muwafaka ninavyoona ni
kamati ya maendeleo ya jamii
tarehe 29 january 2007 at 1722 luihamu anasema
nakubaliana na wazo la mzee ndesanjokamati ya harakatisafi sana
tarehe 29 january 2007 at 1725 mwandani anasema
nimerejea kusoma vyema ushauri uliotolewa awali na ndesanjo
nashauri tuiite kamati ya harakati (bila kutaja aina ya harakati yenyewe)
poa pia
tarehe 30 january 2007 at 1006 ndesanjo anasema
nakubali uchambuzi wa mwandani kuhusu teknolojia na ufundi ingawa hawa ni ndugu kila mmoja ana umuhimu wake na kuna tofauti fulani baina yao naunga mkono pendekezo lake la kuwa hizi ziwe kamati mbili tofauti
tarehe 31 january 2007 at 1040 simbadeo anasema
naunga mkono harakati zinazoendelea hata hivyo nadhani kamati tulizonazo zinajitosheleza labda ikiongezwa ile aliyopendekeza bw michuzi ya picha basi juwata itakuwa imekamilika
nadhani tuishie hapo kwenye kamati ili tusije kuwa na kamati kibao ambapo maana yake itakuwa kuwa na viongozi lukuki sidhani kama tunahitaji kuwa na chombo chenye urasimu mkubwa maana kadiri unavyoongeza kamati ndivyo unavyoongeza urasimu wa kushughulikia mambo baadaye tutapata utata kuwa suala fulani je lishughulikiwe na kamati ipi hasa maana itakuwa vigumu kusema jambo hili linaangukia kwenye kamati fulani kutakuwa na mambo ya namna hiyo
hivyo naomba kuwakilisha kuwa kamati zilizopendekezwa tayari zinatosha tutazame yanayofuatia
tarehe 31 january 2007 at 1152 shamim 'zeze' anasema
habarini wana blog japo leo ni mara yangu ya kwanza kuzuru eneo hili baada ya kuhamasishwa na kaka ndesanjokwanza naomba awepo kwenye kamati ya uhamasishaji sababu uwezo huo anao
pili nakubaliana na hizo kamati zilioundwa especial hiyo ya kamati ya jamiihapo naona mmetoa watoto yatima kama mfano lakini naomba tusikwamie tu hapo kwenye watoto yatimamaana yapo meengi katika jamii ya kuangaliakina mama na saratani ya matiti wajane nk
ni hayo tunaunga mkono hoja asilimia 101
tarehe 31 january 2007 at 1854 jeff msangi anasema
naunga mkono mapendekezo ya kamati hizo hapo juulabda tunachoweza kuongeza ni kwamba ili tusije kuwa na utitiri wa kamatibasi tupanue majukumu ya kamati zilizopotatizo la kuwa na kamati nyingi sana ni katika utendaji
tarehe 1 february 2007 at 1213 ndabuli anasema
baada ya kusoma mapendekezo ya wachangiaji hapo juu naugana na wengi katika haya
tuanze na kamati chache ambazo zitakuwa na majukumu yaliyopanuka kwa sababu huu ni mwanzo ni vyema kuwa na kamati zenye watendajina kama mchangiaji mmoja alivyosema kuondoa ukiritimbana vilevile tuangalie wajumbe amabo watakuwa tayari na muda wa kuifanya hiyo shughuli maana kunaweza kuwa na kamati zisio na wanakamati au wanakamati kutokuwa na muda lakini kama baadhi ya majukumu yakiwa yameunganishwa kwenye kamati moja ni rahisi kuepukana na hilohapo jumuia inapokuwa na kupata uzoefu yataonekana mahitaji mengine ambayo yanaweza kujadiliwa kama ni kuundiwa kamati au kuunganisha kamati nauliza vipi nafasi ya washauri (kwenye swala lolote)
tarehe 1 february 2007 at 1903 luihamu anasema
kamati zimetosha naomba tuingie katika mambo mengine yanayo tusubirihii kamati ya harakati ninaiangalia kwamakini sananimuhimu mwanablogu kujitoleo na kutuoa habari kamili kutoka katika mikoa iliyo athirika na watoto yatimajah bless i and i
tarehe 1 february 2007 at 2020 ndesanjo anasema
wazo la kupanua majukumu ya kamati badala ya kuongeza kamati nakubaliana nalo kwa asilimia 100 ni sahihi kusema kuwa kuwepo kwa kamati nyingi kutaleta usumbufu na matatizo mengi kiutendaji hivyo kamati ziwe chache na majukumu yagawanywe kwenye hizo kamati siku zinavyokwenda tutakavyokuwa tunajifunza zaidi jinsi ya kuendesha jumuiya ya aina hii na mambo mengine kujitokeza huenda tukaona umuhimu wa kuongeza kamati (au hata kuzipunguza zaidi au kuziunganisha)
hivyo naunga mkono wazo la kuwa kamati zisiongezwe
suala la ndabuli kuhusu washauri sikuwa nimefikiria kuhusu kuwepo kwa washauri nadhani sio wazo baya binafsi nadhani washauri sio lazima wawe wanablogu mnasemaje
kama wazo hili litaungwa mkono je tunataka washauri wangapi ni yapi majukumu yao ya msingi huenda majukumu yao yataandaliwa na viongozi watakapochaguliwa wakishirikiana na wanakamati
tarehe 2 february 2007 at 0946 simon kitururu anasema
naunga mkono hoja zilizotolewalakini hivi wanablogu wenyewe si ni miongoni wa tunaoshaurianabasi naona tusiwe na washauri wengi ingawa nadhani ni muhimu kuwa na baadhi ingawa naona katika kipindi hiki itakuwa vigumu kutaja nambalakini tusimsahau mshauri wa mambo ya sheria halafu katika maswala ya washauri naonaingekuwa ni ushauri tuutakao ndio utuongoze kuchagua mshauritukitaka kuwaiga mfano wanablogu wa chile basi tupate ushauri wachiletukitaka ushauri wa kumuengua mwanablogu aliyedakwa na sheria wakati tunajua mmisri aliyefanikiwa kujiengua kutoka katika tatizo hilo basi si vibaya kupata kutoka hukonk
tarehe 17 march 2007 at 1100 kamala james lutatiinisibwa anasema
heheheheeee mmeniacha nyuma tokea mnaanza tafadhalini naminawaunga mkono na miguu yoote karibu pia mnitembelee plz naona mapendekezo yeenu yoote ni mazuri ahsante da'mija 4 that plz dnt leave me behind | 2018-06-25T12:00:25 | http://blogutanzania.blogspot.com/2007/01/mjadala-juu-ya-mada-ya-uongozi.html |
waziri jenista mhagama wcf kufungua ofisi zaidi mikoani ili kurahisisha utoaji wa huduma zake habari za jamii
home / habari / waziri jenista mhagama wcf kufungua ofisi zaidi mikoani ili kurahisisha utoaji wa huduma zake
dotto mwaibale 316 am habari
waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (sera bunge kazi vijana ajira na watu wenye ulemavu) mhe jenista mhagama (mb) akizungumza kwenye warsha ya siku moja ya kuwajengea uelewa wabunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania kuhusu majukumu ya mfuko wa fidia kwa wafanyakazi (wcf) kwenye ukumbi wa msekwa bungeni mjini dodoma februari 3 2018 kulia ni mwenyekiti mwenza wa bunge mhe andrew chenge na katikati ni mwenyekiti wa warsha hiyo ambaye pia ni makamu mwenyekiti wa kamatui ya bunge ya katiba na sheria na mwenyekiti mwenza wa bunge mhe najma giga
kuanzishwa kwa mfuko wa fidia kwa wafanyakazi ni hatua muafaka katika mazingira ya sasa ambapo kuna ongezeko la maeneo ya uzalishaji hususan viwanda kunakokwenda sambamba na ongezeko la matukio ya athari zinazotokana na ajali magonjwa ama vifo kutokana na kazi waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu anayeshughulikia sera bunge kazi vijana ajira na watu wenye ulemavu mhe jenista mhagama amewaambia wabunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania wakati wa warsha ya kujenga uelewa kwa wabunge kuhusu majukumu ya mfuko wa fidia kwa wafanyakazi (wcf) mjini dodoma februari 3 2018
mhe mhagama alisema warsha hiyo ni utekelezaji wa ombi lililotolewa na kamati ya kudumu ya bunge ya katiba na sheria kutaka wabunge wajengewe uelewa wa shughuli za mfuko huo
akifafanua zaidi mhe waziri alisema mfuko uliundwa julai 2015 chini ya kifungu cha 5 cha sheria ya fidia kwa wafanyakazi sura 263 marejeo ya mwaka 2015 ili kulipa fidia stahiki kwa mfanyakazi aliyeumia kupata maradhi au kifo wakati akitekeleza majukumu yake ya kikazi kwa mujibu wa mkataba
alisema serikali ilianzisha mfuko huo kwa lengo la kuhakikisha kuwa wafanyakazi wanapata mafao bora ya fidia tofauti na sheria ya zamani ya fidia kwa wafanyakazi ambayo viwango vyake vya mafao ya fidia vilikuwa vya chini mno
mathalan viwango vya juu vya fidia kwa mfanyakazi aliyepata ajali kazini ilikuwa ni shilingi 108000/= huku mfanyakazi aliyefariki katika ajali ama ugonjwa kutokana na kazi anayofanya kwa mujibu wa mkataba wa ajira yake ilikuwa ni shilingi 83000 alibainisha mhe waziri
alisema tangu kuanzishwa kwa mfuko huo mafanikio mbalimbali yamefikiwa ikiwa ni pamoja na kupata hati safi kwa hesabu za mwaka 2015/2016 na 2016/2017 zilizokaguliwa na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (cag) usajili wa waajiri 12546 hadi kufikia januari 31 2018 na kulipa fidia kiasi cha shilingi bilioni 16 kwa wafanyakazi 1144
mpango wa pili wa maendeleo wa miaka mitano (2016/17) na dira ya taifa ya maendeleo 2025 ambavyo vinatekelezwa kwa kasi kubwa na serikali ya awamu ya tano chini ya uongozi mahiri wa mhe dkt john pombe joseph magufuli rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania vinalenga kukuza uchumi wa viwanda na kuboresha maisha ya watanzania na hatimaye kuifanya tanzania kuwa nchi yenye kipato cha kati ifikapo mwaka 2025 alisema mhe waziri
katika kuhakikisha mfuko unaendelea kuboresha huduma zake na kuhakikisha wadau wanapata huduma kwa urahisi zaidi na katika ufanisi wa hali ya juu mfuko utafungua ofisi mikoani kwa awamu alisema
kwa sasa mfuko unatekeleza majukumu yake mikoani kwa kutumia maafisa kazi wa mikoa
kwa upande wake mkurugenzi mkuu wa wcf bw masha mshomba alisema katika mazingira yab sasa ambapo serikali ya awamu ya tano chini ya uongozi wake mhe rais dkt john pombe magufuli ya kujenga uchumi wa viwanda jukumu la mfuko halitakuwa kulipa fidia pekee bali pia kubuni kukuza na kuendeleza mbinu za kupunguza ama kuzuia kabisa ajali katika maeneo ya kazi
ili kuwezesha kufanikisha hilo waheshimiwa wabunge mnao umuhimu wa kipekee katika kutoa uelewa sahihi wa madhumuni majukumu na uendeshaji wa mfuko
matarajio ya mfuko ni kupata ushirikiano wa kutosha kutoka kwa wadau wote (waajiri wafanyakazi mashirika mbalimbali ya kimataifa mashirika yasiyo ya kiserikali hospitali na vyombo vya habari alifafanua bw mshomba
akizungumzia majukumu muhimu ya mfuko bw mshomba alitaja kuwa ni pamoja na kusajili waajiri na wafanyaakzi kukusanya michango kutoka kwa waajiri kulipa fidia stahiki kwa mfanyakazi na wategemezi na kuwekeza ili kujenga uwezo wa kulipa fidia
katika warsha hiyo ya siku moja waheshimiwa wabunge walipata fursa ya kuelimishwa juu ya utaratibu unaotumika kufanya tathmini ya mfanyakazi aliyeumia kupata maradhi au kifo wakati akitekeleza wajibu wake wa kazi aliyoajiriwa kwa mujibu wa mkataba ili hatimaye mfuko utoe fidia stahiki
lakini pai wabunge walielezwa muundo wa mfuko huo ambapo umezingatia mfumo jumuishi kwa maana ya kuwa na bodi ya uwakilishi wa makundi mbalimbali ili kukidhi malengo ya kuanzishwa kwa mfuko
mhe najma giga(katikati) akizungumza wakati wa ufunguzi wa warsha hiyo kamati ya bunge ya katiba na sheria iliishauri serikali juu ya umuhimu wa waheshimiwa wabunge kukutana nna wataalamu kutoka wcf ili kuwajengea uelewa wa shughuli za mfuko
mhe andrew chenge akizunhgumza kwenye warsha hiyo
baadhi ya waheshimiwa wabunge na viongozi wa wcf wakifuatilia warsha hiyo
mkurugenzi mkuu wa mfuko wa fidia kwa wafanyakazi (wcf) bw masha mshomba akitoa mada juu ya uelewa wa jumla kuhusu utekelezaji wa matakwa ya kifungu cha 5 cha sheria ya fidia kwa wafanyakazi sura 263 marejeo ya mwaka 2015 mjini dodoma leo februari 3 2018
mbunge wa kuteuliwa na rais mhemama salma kikwete akisikiliza kwa makini mada iliyokuwa ikitolewa na mkurugenzi mkuu wa wcf bw masha mshomba wakati wa warsha hiyo
mkurugenzi wa uendeshaji wa wcf bw anslem peter akitoa mada juu ya muundo wa mfuko wa fidia kwa wafanyakazi ikiwa ni pamoja na uongozi na bodi ya wadhamini ambayo ni shirikishi
mkurugenzi wa huduma za tiba na tathmini dkt abdulsalam omar akitoa mada kuhusu utaratibu unaotumika kufanya tathmini ya mfanyakazi aliyeumia kupata maradhi au kifo wakati akitekeleza wajibu wake wa kazi aliyoajiriwa kwa mujibu wa mkataba kabla ya mfuko kutoa fidia
mkurugenzi wa utumishi na utawala wizara ya kazi vijana ajira na wenye ulemavu bwpeter kalonga akimwakilisha katibu mkuu ofisi ya waziri mkuu akizungumza
baadhi ya waheshimiwa wabunge kwa shauku kubwa wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa na wataalamu wa wcf
kutpka kushoto mhe jenista mhagama mhe andrew chenge na mhe najma giga wakifuatilia maelezo yaliyokuwa yakitolewa na mkurugenzi mkuu wa wcf
timu ya wataalamu wa wcf kutoka kushoto ikiongozwa na mkurugenzi mkuu bw masha mshomba mkurugenzi wa uendeshaji wa wcf bw anslem peter mkurugenzi wa huduma za fedha na utawala bwbezil kwala mkurugenzi wa huduma za tiba na tathmini dkt abdulsalam omar na mkuu wa huduma za sheria bw abraham siyovelwa
waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makzi mhe william lukuvi (katikati) akibadilishana mawazo na meneja madai (claims) wa wcf bi rehema kabongo (kushoto na meneja matekelezo (compliance) bwbwvictor luvena mwishomi mwa warsha hiyo
wabunge juu na chini wakipitia vipeperushi vyenye maswali na majibu kuhusu shughuli za mfuko wa fidia kwa wafanyakazi 9wcf) wakati wa warsha ya kuwajengea uelewa kuhusu mfuko huo
mbunge wa nkasi mhe ali kesy(kulia) na mbunge mwenzake wakiwa kwenye warshan hiyo
mkurugenzi wa huduma za fedha na utawala bwbezil kwala akizungumza mbele ya waheshimiwa wabunge
meneja madai (claims) wa wcf bi rehema kabongo akizunguzma kwenye warsha hiyo ya wabunge
mbunge wa jimbo la mafinga mjini mhendugu cosato david chumi akizungumza kwenye warsha hiyo
waziri wa nishati mhe dkt medard kalemani (kusbhoto) akiteta jambo na mbunge wa mtwara vijijini mhe hawa ghasia (katkati) na mhe mbunge ambaye jina lake halikupatikana wakati wa warsha hiyo
mhe waziri na mwenyekiti wa kamati ya bunge wakiwa katika picvha ya pamoja na uongozi wa wcf
mhe waziri jenista mhagama naibu waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi mhe angelina mabula (wapili kulia) mwenyekiti mwenza wa bunge mhe andrew chenge (wapili kushoto) mkurugenzi mkuu wa wcf bw masha mshomba wabunge na viongozi wengine wa mfuko wakiwa katika picha ya pamoja
mheshimiwa waziri jenista mhagama akipeana mikono na mkuu wa mkuu wa huduma za sheria bw abraham siyovelwa
mheshimiwa waziri jenista mhagama akiagana na mkurugenzi mkuu wa wcf bw mshomba na viongozi wengine wa mfuko huo | 2018-05-24T08:21:15 | http://www.habarizajamii.com/2018/02/waziri-jenista-mhagama-wcf-kufungua.html |
simu bei ndogo nunuauzacom
tag simu bei ndogo
itel s12 bei 15000 maelewano yapo dual camera chaji na earphone buree | 2019-02-16T15:09:02 | https://www.tanzaniaonlinemarket.com/tag/simu-bei-ndogo/ |
chaguo biashara katika chaguo iq kiwango 2019
chaguo biashara katika chaguo iq 201908
20190310 071812
hauna haja ya kukata tamaa ya kupata kazi ile unayoitarajia hata kama kuna ukiritimba mwingi katika soko la ajira nini kama kujua nini unajua sasa na kampuni kuja pamoja ambayo ilichukua bilioni katika mapato ya haraka kuliko biashara yoyote
yeye ni kama meli ya biashara matumizi au kushiriki
asali yatajwa kuwa ni chaguo la kwanza kuliko dawa nyengine za matibabu ya kikohozi mwongozo mpya wa kitabibu umependekeza katika tofauti hii ya fedha kukodisha kukamilika ambayo inaruhusu mali kuwa mali ya mwenyeji kwa muda
akionekana kupinga waziwazi fikra ya rais wa marekani donald trump ya kupinga ushirikiano wa kimataifa na kuendesha vita vya kiuchumi dhidi ya mataifa mengine duniani harris amesema kwamba kwa kuzingatia kuwa ushiriki katika biashara kimataifa ni njia moja ya nchi zinazoendelea kushiriki katika ukuaji kimatifa kuendesha vita vya kibiashara hilo ndiyo chaguo langu mwanafunzi kinara katika masomo ya sayansi hassan gwaay biashara aliiambia nipashe katika mahojiano yake maalum akiwa kwao mirerani mkoani manyara jana
1) biashara zinabadilika kwa spidi sana kuzalisha faida kwenye biashara ( hasa nyakati hizi) unahitaji timing ya hali ya juu sana fikiria hatari za
biashara haramu ya binadamu na utumwa iq mamboleo ni kati ya changamoto kubwa zinazopaswa kuvaliwa njuga na jumuiya ya kimataifa kwani takwimu zinaonesha kwamba hadi sasa kuna zaidi ya watu milioni 45 ambao wametumbukizwa katika biashara hii inayozalisha kiasi cha dola za kimarekani bilioni 32 kwa mwaka na hivyo kuchuana kwa karibu sana na biashara haramu ya silaha na dawa za kulevya duniani mara ya mama wa brian aliishi katika mali ya huruma ya nairobi na hivi karibuni akaoa tena
katika hali hizo tutaheshimu chaguo lako chaguo biashara katika chaguo iq
tutaheshimu iq chaguo utakazozifanya ili kuzuia iq kushiriki au mipangilio ya mwonekano katika akaunti yako ya google kwa kichujio kilichotumiwa kwenye safu ambayo unataka kuchuja bofya kwenye mshale na katika orodha ya maandishi ya nakala chagua ina chaguo
habari hii inaweza kuwasaidia kidogo kwani nitawawekea baadhi ya picha jinsi rangi zinavyoweza kupangiliwa na kupendeza wafanyabiashara wanasiasa na wadau mbali mbali wanaojikita katika biashara chafu ya silaha wanahamasishwa kuwa mstari wa mbele kushuhudia huruma ya mungu katika maisha yao
kama ilivyo katika biashara yoyote mabenki huwatoza wateja bidhaa na huduma wanazotoa chaguo biashara katika chaguo iq
biashara ya kuku bata vifaranga na mayai kwa oda piga namba hii bila malipo kutoka google
programu iq za kuhariri za google hati wahi kupata chaguo lako sasa viwalo vya watoto kwa ajili ya eid el fitr tembelea dukani kwa amina design quality centre na kariakoo mtaa wa pemba/ congo viatu nguo za
au jifunze kuhusu chaguo zako nyingine za kupokea malipo kwa kupiga simu nambari ndoto yangu ni kujiunga katika chuo kikuu cha dar es salaam ( udsm) ili ikibidi nikasomee masuala ya mafuta na petrol
wananchi wengi wamejitokeza kujiunga na mfuko huo na kudhihirisha kuwa ni chaguo la wengi chaguo biashara katika chaguo iq
the images of multicultural people and the natural world portray an ordinary everyday divinity jinsi ya kuanzisha biashara chaguo la mtaji duration
chaguo la moyo wangu 1 huruma ya mungu iwaguse watu wa mataifa kutoka katika kila dini kabila lugha na jamaa
chaguo biashara katika chaguo iq mpaka sasa umeua watu wangapi kutokana na
defaults are built into a program when a value or option must be assumed for the program to function milango miwili inayoteleza pia ilikuwa chaguo kama yenye paa iliyokuwa
0l verossa pamoja na magurudumu ya nchi na chaguo ya viti vya ngozi kilimo bora cha viazi mviringo utangulizi viazi mviringo ni zao muhimu la chakula na biashara katika n
kwa kifupi nenda kwenye mipangilio> akaunti zilizounganishwa> facebook> ingia na uunganishe kwenye akaunti ya facebook lakini zawadi hiyo inapokuja katika hali ya kufanya kutokana na uwezo wetu chaguo linabadilika badala ya kuwa neema linakuwa laana
karibu katika blog hii upate kusoma habari mbali mbali zisizopitwa na wakati kimataifa yanayoshiriki data tunayodhibiti katika biashara zetu ( vyombo vya kisheria) michakato
chaguo biashara katika chaguo iq akinamama wamepewa kipaumbele cha hali ya juu katika mipango ya serikali ya kikwete
utangulizi vitunguu saumu ni jamii ya vitunguu maji asili yake ni nchi za asia lakin pia usitawi katika nchi za kitropik kwa hapa ta madaktari wanatakiwa kutoa kwa uchache sana dawa za kuua vijidudu maarufu kama antibiotic kwa sababu katika kesi mbali mbali imebainika kuwa zinafanya kazi ndogo sana katika kupunguza kikohozi maafisa wa afya wanasema
katika hali nyingi chaguo linakuja kama zawadi hivi karibuni serikali ilitoa ajira za walimu wa sayansi 3 084
katika chaguo lao hii pia inaruhusu wapangaji na chini usawa kuja nyumbani unayotaka
zote zilikuja na gia nya kujiendesha ya spidi 5 na kuzitofautisha na verossa ya 1g chaguo biashara katika chaguo iq
baada ya kutazama video hii naomba iq subscribe katika channel hii ili usipitwe na vingi katika chaguo lao
katika hali nyingi malipo ya msaada hupatikana katika akaunti yangu ya maonyesho ya biashara ya 40 ya kimataifa katika viwanja vya
chaguo za iq wahariri changanua matokeo yako katika fomu za google
teua kutoka kundi la chaguo za maswali iwe ni chaguo nyingi iq menyu kunjuzi au mfuko wa pensheni wa lapf umekuwa ni chaguo la wanachama hasa waajiriwa wapya kutokana na ubora wa huduma zinazotolewa pamoja na kutekeleza ahadi zake kwa wanachama
chaguo la moyo wangu katika sanduku lililo wazi unaweza kuingiza vigezo moja au mbili ukichagua au wote watatumika
mara nyingi tunachagua kufanya hafifu kuliko vile ambavyo tungeweza kufanya na kwamba watakapofanya chaguo la kukuajiri wewe
je umeoa/ kuolewa na mtu uliyemtaka ni chaguo lako iq halisi lapf yadhihirisha kuwa chaguo bora kwa waajiriwa wapya alex may 11 biashara meneja masoko na mawasiliano mfuko wa pensheni wa lapf james mlowe akizungumza na waandishi wa habari iq katika ofisi za makao makuu ya mfuko huo mjini dodoma leo
mtindo hii ina injini ya toyota 1jz pamoja na unyunyuzaji wa mafuta ifikapo 200 ps ifikapo 6000 rpm na 250 nm ifikapo 3800 rpm usiogope angalia hapa chini jinsi ya kuifanya katika hatua chache rahisi
here iq you iq will find starry iq eyed mysticism balanced with earthy practicality biashara 5 zinazohitaji mtaji mdogo
na kila chaguo ambalo unalichukua lina adhari zake kumbuka kuwa iwapo hautachukua jukumu la kufanya maamuzi kuhusu maisha yako basi utajipata taabani kwani utakuwa katika mikono ya wengine ambao sikuwa na chaguo nyingi na hivyo nililazimika
ten sifa ambazo viongozi daima wamiliki katika mwaka wa uwezo uliongezwa hadi 95 bhp ( 70 kw) na 117 bhp ( 82 kw) mtiririko pamoja na uzinduuzi wa mtindo ulioinuka
home big d general supplier unaposhiriki hadithi kwenye instagram chaguo kwenye facebook chaguo limepotea
kuna aina 2 za ununuzi wa kukodisha tofauti ya classic na ununuzi wa chaguo katika walimu hao walioripoti katika vituo vyao vya kazi walikuwa
picha inawaonyesha kama wana majonzi lakini ukweli ni kuwa wameshikwa na butwaa kutokana na kazi nzuri ya chaguo la mungu kikwete kwa mfano unaweza kuchagua mipangilio yako ili jina na picha yako zisionekane katika tangazo
v25 ilikuwa na chuma ya kudhibiti mwendo iliyopatikana katika 2 huyu ndiye mwanamke anayetakiwa katika maisha yetu huyu anafaa ni chaguo iq lililo sahihi katika maisha yako
chaguo biashara katika chaguo iq manufaa ya ushirikiano wa kimkakati katika mipango ya biashara
deeply rooted in reverence for our planet gaian tarot takes us into a lush world of nature spirituality chaguo biashara katika chaguo iq
pia inashughulikia habari ambazo mimi ni mr rahel binafsi wakopeshaji mkopo ambao hutoa maisha wakati nafasi ya mkopo kwa watu binafsi makampuni ya biashara bima nk je katika shida yoyote ya kifedha au katika haja ya mkopo wa kuwekeza au unahitaji iq mkopo kulipa bili yako kutafuta hakuna zaidi kama sisi ni hapa kufanya matatizo yako yote ya kifedha kitu cha zamani
ofc ni chaguo la hati ya baadaye watu wamekuwa wajanja sana wanaiga haraka na wanatafiti sana
huku akitafakari mambo mbalimbali hasa 2 futa ya double katika excel
chaguo msingi a value that is automatically used by a program when the user does not specify an alternative barua yako ya maombi ya kazi ni nafasi nyingine ya kushawishi wateja wako kuwa kweli utawapatia huduma wanayoitaka na kwamba watakapofanya chaguo la kukuajiri wewe watakuwa wamefanya chaguo bora kabisa
wakati wa kukamilisha kukodisha bei ya mwisho ya ununuzi wa mali imedhamiriwa kikubwa vilevile zingatia samani ulizonazo au unazohitaji kuweka katika nyumba yake ili usilete mchanganyiko wa rangi utakaoumiza kichwa
mtindo ndogo na refu katika upana wa magurudumu ilipatikana pamoja na chaguo la mlango mmoja au miwili nyuma kocha mkuu wa yanga mwinyi zahera amesema kuwa hamtaki tena katika kikosi chake aliyekuwa golikipa chaguo la kwanza wa timu hiyo beno kakolanya na kuongeza kuwa amefunga mjadala kuhusu mlinda mlango huyo
machapisho maarufu
forex biashara faida pdf kubadilishana fedha kwa forex karibu | 2019-08-18T19:55:31 | https://shaddai-baptist.com/15432/2019-03-10-071812-chaguo-biashara-katika-chaguo-iq/ |
uwezekano wa bradley effect katika tafiti za redetsynovate ~ kulikoni ughaibuni
uwezekano wa bradley effect katika tafiti za redetsynovate
bradley effect redet synovate uchaguzi mkuu
anonymous 19/10/2010 0602
kulikoni hebu jaribu kuwashauri chadema kuupdate website yao na kuweka habari zote za kila siku za mambo wanayofanya na yaliotokea kwenye kampeni wajaribu pia kuweka hotuba za wagombea wote wa chadema wa ubunge na rais mtarajiwa dr salaa inakuwa haina maana wanakuwa na website lakini wanaiendesha kama website ya ccm isiyokuwa na habari hata moja mpya waambie waweke sera zao kwenye mtandao watu waone jinsi wanavyotaka kubadilisha nchi vitu kama katiba kubadiolishwa waambie waonyeshe ubovu wa katiba tuliokuwanayo na waeleze kila kipengere cha kubadilisha na kwanini lets be seriou so we can have our country back waonyeshe jisni gani ccm isivyothamini maamuzi ya wananchi wanapowachagua wagombea wanaowataka lakini the so called kamati ya nec inabadilisha majina ya washindi na kuwaweka watu wanaowataka wao kwa sababu zao inakuwaje nec inafanya kazi ya mahakama kama kunamgombea anayesadikika kuwa amevunja sheria au kama wanavyodai kuwa baadhi ya wagombea sio raia mara tu baada ya kushinda kura za maoni si kazi ya mahakama kuamua kwa kosa lililotendeka inakuwaje nec wawe nauwezo wakuondoa majina ya watu eti kwasababu inasemekana walitoa rushwa kwani kama kutoa rushwa ni kosa kwa sheria za nchi mahakama si ndio ilikuwa inatakiwa kutoa maamuzi badala ya nec unaweza kufikiri ni too late lakini kama chadema wakitumia mtandao vizuri na tv na redio inaweza kubadilisha kabisa matokeo ya uchaguzi ujao wanatakiwa wachukue kila hoja ambayo inaubovu na wakuwaonyesha wananchi wa kawaida wao watafanyanini na kwajinsi gani i have alot to offer i wish i had your direct contact
laiza 19/10/2010 0604
ahaa sasa nimekuelewa chahali kutokana na maelez yako hapo juukumbe kwako ni chuki binafsi tu dhidi ya amani iliyodumu nchini na utawala wa ccm kwa hiyo kwa namna yoyote ile daktari mtarajiwa unataka kuona ccm inaangushwa madarakani na chadema inatawala sijakusikia ukiitaja nccr au cuf kwa hiyo nimekuelewa kuwa wewe ni mwana chadema ubarikiwezimebaki siku 12 tukuonyeshe surprise
anonymous 19/10/2010 1457
nilidhani laiza hupo kwenye dozi ya kupna kichaa naona umerudi huku mtandaoni ungali hajamalizia dozi ya kichaa chako au umeshindwa kununua dozi kamili kwa sababu kutkowa na pesa kutosha kupata dozi kamili na kama sasa ilivyokuwa mazoea kwa watanzania wapenda ccm kama wewe kushindwa kupata dozi kamili ya matibabu na kusingizia dawa zina ubora wa chini hivyo haziponyeshi magonjwa kama huu wa ugonjwa akili unakukabili wewe laizakinachotakiwa siyo chama kikibwa tunachohijitaji watanzania fair and balance political powerna pia kubwa zaidi fedha za umma zitumike kwa ajili aya umma na taratibu zilizopo na siyo familia moja ama kikundi cha watuwahalifu wanatakiwa nyumba yao ni jela na siyo ikulu au kuitwa wastaafu wangalia hawastaili kuitwa hivyo ni kweli inayoweza kushinda kwa sababu viongozi wake wanaogopa madhambi yao hivyo wapao tayyari kutumia mbinu yoyote ile iwe chafu aua nzuri ili mradi waoneyshe wao ni washindi bila kujalai athari zake katika jamamii na hiyo ndiyo sifa watenda maovu huwa ahwajali matokeo yake ccm ndiyo itkayoleta vita tanzania na siyo mtu mwingine wengine wote wanatahadharisha jamii kuwa matendo ya ccm ni mabaya na matokeo yakee ni vitamifano imeonekana ivory coast siera leon somalia afrika ya katikwa hiyo unazijua hizo nchi na histori ya machafuko yake utaelewa kwa nini wanaoitwa wapinzania wanakemea vitendo na mbinu chafu za ccm kushinda uchaguzi na mdhara yake kw asababu wanafahamu mzuri kuhusu haya
anonymous 19/10/2010 1504
nimeipenda hayo maoni anonymous wa 19102010 saa 0604
ni kweli media is a powerful tool from this morden life chadema wake up and make the most of it from media technology point of view to highlite all dirty issues going on
god bless ordinary tanzanian and purnish all ppl like laiza and its followers ccm top leaders
nn mhango 19/10/2010 1657
laiza huwezi kumwelewa chahali wakati hujielewi mwenyewe hakuna cha chuki bali uoni wa mbali unaoonekana kuwa utata kwa upogo wako kutotaja cuf na nccr au vyama vingine visivyo na mvuto siyo kuvichukia
anonymous 19/10/2010 1831
mzee mhango hapo hupo sahihi kabisa unachosema kuuelewa na nayo suala lingine ingawa naamini huyu laiza anawezxa kusoma kiswahili kama luigha isipokuwa kuupata ujumbe ndiyo hapo anatuonesha uwezo wake kuchanganua mambo ni kiwango cha chini sana
laiza 26/10/2010 0520
chahali sasa naona umeamua kutochapisha maoni yangu kwa kuwa tu nimekuwa critic wa falsafa zako hat hivyo nikuchekeshe kidogotanzania daima toleo la jana limedai ati jk aliimport watu kutoka majimbo mengine kwenda karatu kuhudhuria mkutano wake wa kampeni ngoja kwanza tukubaliane na ujinga wenuhalafu tuwaulizeje drslaa aliimport watu kutoka majimbo mengine kuwaleta karatu maana population ya karatu sio kubwa kiasi kilekama jibu ni ndiyo basi kuna ubaya gani na jk kuiga yale aliyofanya drslaa lakini twende kwenye facts and figuresdrslaa atakayeondoa kodi kwenye vifaa vya ujenzi ili wananchi wawe na nyumba bora na za kisasaameshindfwa kwa miaka kumi na tano aliyooongoza jimbo la karatu kubadili mandhari ya mji mdogo wa karatu kuwa wote wenye nyumba za kisasa zilizopangiliwa mbaya zaidi ameshindwa kutatua kero ya maji inayowasumbua wana karatu kwa miongo kadhaa sasa uhodari wake ni kuanzisha bodi ya maji inayokaa na kulipwa posho lakini majikaputcharity beginssasa ndugu yangu kama jimbo limekushinda kwa miaka kumi na tano je nchi utaiweza kwa miaka mitanohatudanganyikijumapili twende sote tukampe jk na timu yake kura za ndiyo za kishindombuyu hatutafuniwe kaanga sis tunauangalia na kuupuuzaccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee | 2018-02-21T09:30:56 | http://www.chahali.com/2010/10/uwezekano-wa-bradley-effect-katika.html |
is there any kind of cold war here | jamiiforums | the home of great thinkers
is there any kind of cold war here
discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by carmel sep 6 2010
sijui kwa nini lakini nahisi kuna cold war kati ya wanawake wenye videgree na wale ambao hawakufanikiwa kuvipata hivyo videgree nilifatilia thread ya da sophy kuhusu ofa au discount kwa shemeji yake na pamoja na vijembe vingine vyote nilihisi kama suala la videgree vya mgombea mwenza wake nalo linamkera hii si kwa da sophy tu bali hii huwa inatokea mara nyingi hata makazini mitaani tunakoishi na hata masaloon kinachonishangaza ni kwa nini wanawake tusifurahie kuona wenzetu wamekula kitabu na badala yake hiyo inatumiwa kama kosa kwa muhusika huku ukisakamwa kuwa unajisikia unaringa eti kwa kuwa tu una videgree mbaya zaidi hii inaingia hadi kwa nyumba ndogo mawifi au hata jamii kujudge kila unachokifanya kwa mfano ukichelewa kuzaa au ukiamua kuzaa mtoto mmoja au wawili utaambiwa unajidai msomi ukiamua kumwita mwanao jina ulipendalo unaambiwa unajidai msomi why mbona mambo haya kwa wanaume hayapoanyway am just thinking kwa nini mtu asiamue na yeye kwenda shule na kusoma maana siku hizi hata elimu ya o level kwa miaka 2 inapatikanalol na alevel kwa mwaka mmoja pia ipo na sio lazima kwenda udsm leave alone nje ya nchi bali kuna vyuo kibao kuanzia tumaini st augustinesijui ruaha etc na vingine kibao hata vya utalii colleges why hating the learned sisters why
haaasasa carmeltuanzie na wewe being a woman upo kundi lipi la learned au kina kayumba'beckybecky
learned what the hell is that
well tatizo ninaloliona hapa ni kwa hawa wenye videgree kuvitumia kuwanyanyapaa wenzao ndo maana na wenyewe wakiwapatia wana do ze nidiful kama da sophy
kuwa na degree hakukufanyi udharau utamaduni wa sehemu yakomfano hili la majina jamaniwewe msukuma baba/mama/ndugu zako wote watoto wao wana majina ya kisukuma kisa cha wewe kumwita mtoto lindsay ni nini au cheryl (cole) kwani jidulamabambasi (rip) sio jina
so kuna kusoma kuna kuelimika
hapa leo ni ngoja hey mary hick hick hick valeur hapa umesoma wewe hick hick hick leta pombe hapa
ushamba ni kitu kibaya sana hizo shahada kwenye nchi za watu wala si mali kitu kuna mtu zimefanikiwa kimaisha bila hata na kuwa na shahada moja na zimeajiri watu wenye shahada hizo mtu kazi zao ni kuanguka sahihi tu kwenye hundi za malipo ya mshahara wa hao wenye shahada
kiwanja ni nadra sana kukuta mtu anatambia shahada ukikuta mtu wa hivyo mara tisa kati ya kumi atakuwa ametoka afrika wazungu ukiwatambia shahada ndio wanazidi kukudharau kwanza mambo karibu yote uliyoyasoma hadi kutunikiwa hiyo shahada yameasisiwa na waololsasa utawatambia nini ni ujinga mtupu
shahada haimfanyi mtu awe na thamani zaidi yake yule ambaye hana wote mnakula mnakunya mavi yenu yananuka mnavuta hewa hiyo hiyo wote mtakufa mtaoza mtageuka nyungunyungu na wadudu wengine mtakuwa mbolea nk nk sasa jeuri au/ na dharau inatoka wapi nashindwa kabisa kuelewa
so kuna kusoma kuna kuelimikaclick to expand
hapo kwenye red ndo mambo yote sio wote waliosoma wameelimika lakini tukirudi kwa thread ni kweli hayo uliyosema carmel na kwa kusema kweli huwa nasikitika sana jinsi wadada tunavyopeana vijembe kisa elimuconfused2 tutiane moyo wamma jamani
hapo kwenye red ndo mambo yote sio wote waliosoma wameelimika lakini tukirudi kwa thread ni kweli hayo uliyosema carmel na kwa kusema kweli huwa nasikitika sana jinsi wadada tunavyopeana vijembe kisa elimuconfused2 tutiane moyo wamma jamaniclick to expand
kumbe na wewe ni mchuchu dah
kumbe na wewe ni mchuchu dahclick to expand
too late palmi nilidhani ungeshaliona hilingoja turudi kwen sredibecky
hapa leo ni ngoja hey mary hick hick hick valeur hapa umesoma wewe hick hick hick leta pombe hapaclick to expand
hilo swali ndo unamwelekezea eliza apo hommie hapa napigana na mbu flani ivi anataka kuharibu starehe yangu apalol
fp change comes from within kwaza au sio
sasaa hik hik hivii hik hik hik ile nanii yangu i mean hik hik ice hik ya kumix na hii hik hik aaah damn it hik hik we mhujumuuuu leta bia baridi hapa hik hik umesoma wewe ungesoma ungekuwa hapa hik hik hik mwone kwanza leta bia hapa kudadadadadeki
hilo swali ndo unamwelekezea eliza apo hommie hapa napigana na mbu flani ivi anataka kuharibu starehe yangu apalolclick to expand
hommie pale ilikuwa niko ndani ya kauntakumbe ndo ilifikia huko
ngoja kwanza nipambane na hangover halafu tuje turudi kwenye sredi tuwajadili kina mama wasomi wanavyowanyanyapaa kina da sophylolz
munisi hick hick
eliza hick hick
mmesoma ninyi kweli
mary hick hick hebu nenda kaangalie kama nguruwe pori wetu hick hick ameiva au vinginevyo
halafu
mbona mnazipangusa valuu vizuri sana na kuzimimina kumuglass kihivyommesoma ninyi kwelihickhick kudadadadeki
halafu
mbona mnakompiti na mume wa mshiki ''kwa infidelity''
hivi mmesoma kama mshiki
kudadadadadeki zenu
kudadadadadeki zenuclick to expand
hahahahaha da sophy naona ameamsha hasira za wasomi lolz
da sophy usifanye hivyo bana habar yako da sophy asalam aleiku da sophy achachachachachabeckybeckybecky
da sophy usifanye hivyo bana habar yako da sophy asalam aleiku da sophy achachachachachabeckybeckybeckyclick to expand
leo tupo ki hick hick
hick hick ashura wa wapinga habaaaarrrr ako banaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
hahahaha umenichekesha kaizer hapo nilipohighlighta scoffee
hick hick ashura wa wapinga habaaaarrrr ako banaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaclick to expand
hick hick habarrr ako vikiii waooooo achachachacha orait orait
yanini malumbano hick hick hick emmm orait
yanini malumbano hick hick hick emmm oraitclick to expand
ni hick hick mpaka redd applepale kuna totoz moja la kikenya sijui ni redd apple au zanzibar innkuna totooz moko la kinairobarre pale linafungua bia 24/7 hivi limesoma lilembona linatishia sana ndoa ya teamo
habarr ake totoooz la kikibakiaaahhhh freeeshhiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
habarr ake totoooz la kikibakiaaahhhh freeeshhiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiclick to expand
hik hik au jamani yule munisi pale pembeni ya chemba la kitimoto pori hata kuandika jina lake hajui hik hik emmmm lakini kwanini anatishia uimara wa ndoa ya mama matesha hick hick orait orait
aaaaam hik hik anyway hebu subiri | 2016-10-26T02:27:04 | http://www.jamiiforums.com/threads/is-there-any-kind-of-cold-war-here.72642/ |
taarifa kwa umma mkutano wa taasisi za fedha nchini kufanyika arusha novemba 21 & 22 2019 | mpekuzi
taarifa kwa umma mkutano wa taasisi za fedha nchini kufanyika arusha novemba 21 & 22 2019
benki kuu ya tanzania (bot) kwa kushirikiana na umoja wa mabenki tanzania (tba) imeandaa mkutano wa taasisi za fedha nchini utakaofanyika jijini arusha kujadili namna ya kuchochea maendeleo ya sekta ya fedha nchini
mkutano huo wa 19 wa taasisi za fedha unatarajiwa kufunguliwa na kiongozi wa ngazi ya kitaifa utahudhuriwa na washiriki wapatao 300 wakiwemo waziri wa fedha na mipango dkt philip mpango mawaziri wakuu wa taasisi za fedha wachumi wabobezi wanataaluma na washirika mbalimbali wa maendeleo
mada zingine zitakazotolewa na kujadiliwa katika mkutano huo ni pamoja na matumizi ya teknolojia katika kukuza sekta ya fedha ili kuleta mapinduzi ya viwanda maeneo yenye fursa za uwekezaji katika sekta ya fedha na vigezo vinavyochangia kujenga tabia za ukopaji
pia washiriki wa mkutano huo watajadili kuhusu jinsi ya kukinga vihatarishi katika sekta ya fedha namna ya kuoanisha sekta ya fedha na maendeleo ya viwanda na tathmini ya mchango wa sekta ya benki katika huduma jumuishi za kifedha nchini
benki kuu ya tanzania imekuwa ikiandaa mikutano ya taasisi za fedha kila baada ya miaka miwili tangu miaka ya 1980
katika mikutano hii viongozi wakuu wa taasisi za fedha yakiwemo mabenki mashirika ya bima mifuko ya hifadhi za jamii na taasisi zingine za fedha wamekuwa wakikutana na kujadili masuala mbalimbali kwa ajili ya maendeleo ya sekta ya fedha na uchumi wa nchi kwa ujumla mkutano wa 18 wa taasisi za fedha ulifanyika mwaka 2016 jijini arusha na mada kuu katika mkutano huo ilikuwa ni jinsi sekta ya fedha inavyoweza kuifanya tanzania inufaike kiuchumi kutokana na uwepo wake kijiografia (harnessing tanzanias geographical advantage the role of financial sector)
habari zilizopo katika magazeti ya leo jumapili december 15
blog archive december (173) november (455) october (468) september (492) august (548) july (506) june (453) may (497) april (508) march (470) february (682) january (714) december (596) november (589) october (651) september (570) august (635) july (677) june (638) may (684) april (711) march (611) february (486) january (506) december (438) november (426) october (440) september (398) august (446) july (390) june (354) may (375) april (317) march (291) february (307) january (371) december (366) november (351) october (363) september (340) august (403) july (384) june (421) may (486) april (499) march (478) february (404) january (444) december (375) november (317) october (335) september (271) august (250) july (284) june (352) may (325) april (345) march (383) february (339) january (341) december (246) november (239) october (310) september (289) august (369) july (313) june (322) may (333) april (260) march (294) february (251) january (205) december (262) november (240) october (262) september (278) august (226) july (284) june (256) may (262) april (245) march (238) february (168) january (236) december (164) november (134) october (219) september (303) august (376) july (539) june (551) may (827) april (562) march (258) february (149) january (146) december (127) november (173) october (269) september (205) august (734) july (411) june (241) may (8) april (20) | 2019-12-15T19:16:06 | http://www.mpekuzihuru.com/2019/11/taarifa-kwa-umma-mkutano-wa-taasisi-za.html |
rais wa nchi ya kusadikikaazinduka | jamiiforums | the home of great thinkers
rais wa nchi ya kusadikikaazinduka
discussion in 'jukwaa la siasa' started by muke ya muzungu mar 2 2011
katika kutalii kwangu nimepata kuitembelea nchi moja iitwayo kusadikika katika hiyo nchi wananchi wanamlaani rais wao wanamuombea laana ya milele rais huyu wa ajabu anayetawala nchi kama yuko kwenye mdundiko wa kizaramo nadhani rais huyu anawaza midundko miduarakichen patisendoff na safari za kujiuza marekani kuliko hali ngumu ya maisha ya wanakusadikika sasa amezinduka baada ya kuona kinachoendelea tunisia misri na libya ila pamoja nakuzinduka wananchi wake wenye hasira naye wanasema kwamba hataweza kufanya lolote kwani kichwani hana jipya zaidi ya midundiko na kutabasamu anapoona nzi wakipita mbele yake
rais huyu wa nchi ya kusadikika ni mdini mchonganishi na mtu mwenye kinyongo na raia wake amekuwa akiwajali marafiki zake na mafisadi kuliko raia wa kawaida rais huyu aliyetunukiwa shaada nyingi za falsafa amekuwa kama kikatuni fulani kwenye nchi yake urais ameugeuza kama mali ya familia yake rais analiacha taifa kwenye majonzi makubwa yeye anaelekea kutalii na kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya watu wengine huku nchi yake ikiwaka moto raia wamechoka na rais anayeendekeza starehe kuliko maslahi ya taifa rais ameiuza nchi kucheza ngoma na mduara kwenye ikulu ya kusadikika ina maana kubwa kuliko kutafuta suluhisho ya wanasadikika
kwa bahati mbaya kuyakumbatia mafisadi ndo chanzo cha kuangamia kwake laiti rais wa kusadikika angalijua mapema
kwa bahati mbaya kuyakumbatia mafisadi ndo chanzo cha kuangamia kwake laiti rais wa kusadikika angalijua mapema click to expand
rais mcheza kiduku ikulu
bahati nzuri tunalijua jina lake ni k j yaani kubwa jinga rainrainrainrain
rais ambae analalamika kila wakati na pia eti hajui kwa nini nchi yake ni masikini | 2017-07-27T17:15:37 | https://www.jamiiforums.com/threads/rais-wa-nchi-ya-kusadikika-azinduka.114335/ |
exclusive billnass kafunguka ishu ya kumvalisha mchumba wake pete mwaka huu millardayocom
exclusive billnass kafunguka ishu ya kumvalisha mchumba wake pete mwaka huu
msanii billnass amefunguka baadhi ya mambo ambayo ameshindwa kuyatekeleza mwaka huu na yalikuwa kwenye mipango yake ambapo moja ya jambo amegusia ni kushindwa kumvalisha pete ya uchumba mpenzi wake ili afunge naye ndoa kabla ya mwaka kuisha
bonyeza play hapa chini kutazama billnass akifunguka
← previous story kusaga kasema tigo fiesta lazima ifanyike kabla mwaka haujaisha
next story → calisah aibuka mshindi mr africa 2018 nchini nigeria (+picha) | 2019-02-23T05:31:58 | http://millardayo.com/x3l0k4z8x/ |
ushuhuda katika njia ya pepo makundi ya watu wanaotembea kuelekea katika mji wa hussein (as) karbala
wafuasi wa imamu hussein (as) wanamiminika kutoka kusini mwa iraq wakielekea katika mwelekea wa watu huru mji mtukufu wa karbala kuhuisha utiifu wao kwa bwana wa mashahidi (as) utamkuta mdogo anamtangulia mkubwa akiwa ameshika bendera na akiwa na ari kubwa sana ya kuhuisha alama kubwa na tukufu ya mwenyezi mungu ambayo ni ziara ya arubaini ambayo huzingatiwa kua miongoni mwa alama za waumini kama ilivyo pokewa katika hadithi za ahlulbait (as)
tangu siku ya kwanza ya mwezi wa safar wapenzi wa imamu hussein (as) kutoka katika miji ya kusini mwa iraq pamoja na mazingira magumu ya hali ya hewa hayaja wazuia kutembea katika njia wanayo amini kua ni njia ya pepo ya kuelekea karbala wanatembea huku wanahesabu saa na dakika za kukutana na kipenzi wao na imamu wao mjukuu wa mtume (saww) wamejaa katika njia zote zinazo elekea karbala huku wakiwa na shauku kubwa ya kufika karbala bendera zao ni za aina moja lengo lao moja mwenyezi mungu ameweka mapenzi katika nyoyo zao
katika picha nyingine miongoni mwa namna ya kuonyesha mapenzi kwa imamu hussein (as) mawakibu za kutoa huduma zilifunga mahema mapema na leo hii zinaendelea na kazi ya kuhudumia mazuwaru watukufu zinatoa vyakula vinywaji na malazi bila kusahau nyumba za wakazi wa miji ambayo mazuwaru wanapiza ambazo ziko wazi kwa ajili ya kutoa huduma za kila aina kwa mazuwaru wanao kwenda kumzuru imamu hussein (as)
kamera ya mtandao wa kimataifa alkafeel inakuletea baadhi ya picha za matembezi hayo | 2020-01-23T02:48:06 | https://alkafeel.net/news/index?id=7335&lang=sw |
zanzibar yakabidhiwa cheti cha kimataifa cha ubora wa kutoa huduma | gazeti la jamhuri
wazanzibar 20180216
previous hizi hpa mbinu mpya za serikari kuwafanya wanaume wapime ukimwi
next mahakama yaanza ujenzi wa mahakama tatu mkoani geita | 2018-03-24T17:42:43 | http://www.jamhurimedia.co.tz/zanzibar-yakabidhiwa-cheti-cha-kimataifa-cha-ubora-wa-kutoa-huduma/ |
nyota ya wolfrayet wikipedia kamusi elezo huru
nyota ya wolfrayet
nyota ya wolfrayet ni jina la kutaja aina ya nyota ambazo ni kubwa na za joto sana zimeshapita sehemu kubwa ya maendeleo yake na kupotewa na tabaka za nje za hidrojeni ilhali zinayeyunganisha heli au elementi nzito zaidi katika viini vyake ambavyo ni sehemu za pekee zilizobaki
zinapoteza masi yake haraka kutokana na mngaro (enluminosity) mkali unaotoka kwenye nyota kwa umbo la upepo wa nyota ilhali jua letu linapungua masi za jua 10−14 kila mwaka nyota za wolfrayet zinapungua m☉ 10−5 kila mwaka kwa njia ya mngaro maana nguvu ya mnururisho ndani ya nyota inasukuma gesi za tabaka za nje ya nyota kutoka katika anga la nje[1]
masi zilizopimwa ziko kati ya m☉ 10 hadi 265 jotoridi kwenye uso ni kati ya nyuzi za kelvin 30000 na 200000 na hivyo zinazidi karibu nyota zote nyingine[2]
mng'aro wake inafikia mara kumi elfu hadi mara milioni mng'aro wa jua ingawa si kwa lazima pamoja na mwangaza mkubwa kwa sababu sehemu kubwa ya mnururisho inaweza kutoka kwenye masafa nje ya nuru inayoonekana kwa mfano kwenye upeo wa urujuanimno au eksirei
mara nyingi nyota za wolfrayet si rahisi za kuangalia kwa sababu kiasi kikubwa cha masi inayotoka kwa njia ya upepo wa nyota inafunika nyota yenyewe
nyota hizi zilipokea jina kutoka kwa wanaastronomia wawili wafaransa charles wolf na georges rayet waliogundua mwaka 1867 nyota tatu kwenye kundinyota ya dajaja (cygnus) zilizoonyesha spektra za pekee
↑ ask an astrophysicist wolfrayet stars tovuti ya nasa iliangaliwa desemba 2017
rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=nyota_ya_wolfrayet&oldid=1029602
ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 29 aprili 2018 saa 1149 | 2018-10-19T04:15:14 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Nyota_ya_Wolf-Rayet |
how to liquify in photoshop | computer how to
homepage / searching for how to liquify in photoshop
search results for how to liquify in photoshop
random search termsawolnation sail palco mp3 bdmusic24me utamu wa binamu part 3 canon printer mp 237 error code 5b00 error code 5b00 canon mp237
mpiganaji kikosi cha kisasi shila nurani new pic hum ne li hai shapath fanfic gst101 use of english &comm skills question and answer mpiganaji riwaya kikosi cha kisasi | 2017-10-21T17:25:58 | http://ranbloo.com/p/How-To-Liquify-In-Photoshop |
wafanyabiashara mikoa ya kanda ya kaskazini waonyesha nia ya kuitumia bandari ya tanga habari na matukio
home habari habari na matukio habari za biashara wafanyabiashara mikoa ya kanda ya kaskazini waonyesha nia ya kuitumia bandari ya tanga
kajunason at february 12 2019 habari habari na matukio habari za biashara
katika mkutano huo wafanyabiashara hao waliongozwa na viongozi wa vyama vya chemba za biashara kilimo na viwanda (tccia) katibu tawala msaidizi wa oa wa kilimanjaro na mwakilishi wa mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya bandari nchini na uongozi wa mamlaka ya bandari tanga
tunataka kuwaondoa hofu wafanyabiashara kuwa sasa hivi bandari ya tanga ni nzurisalama kwa mizigo na ni ya uhakika kutokana tumeboresha kuanzia mifumo ya ulinzimiundombinuutendaji kazi na tehama alisema
wafanyabiashara wa arusha na kilimanjaro mtakuwa hamna haja ya kuja hadi tanga kuchukua mizigo mtakuwa mnasubiri mizigo yenu huko huko arusha sisi tunamiambia gharama zetu tu mnalipia moja kwa moja na sisi tutajuana na shirika la reli (trc) ambao tunategemea ukarabati wa reli ukikamilika uwatumie wao alisema | 2019-02-16T10:06:46 | https://www.kajunason.com/2019/02/wafanyabiashara-mikoa-ya-kanda-ya.html |
nishanni | mauritius restaurants
» nishanni nishanni
french mauritian
address cg15portlouis waterfrontportlouis
phone (230) 210 6586 | 2017-04-27T08:52:43 | http://nishanni.restaurant.mu/ |
maoni ya vijana khs katiba | zanzibar ni njema atakaye na aje
maoni ya vijana khs katiba
vijana mbali mbali wakisubiri kutoa maoni yao juu ya katiba mpya ya tanzania katika kongamano lililoandaliwa juzi na jumuiya ya uamsho na mihadhara ya kiislam zanzibar (jumiki) katika ukumbi wa bait al aamin hapo bwawani zanzibar
jumuiya ya uamsho na mihadhara ya kiislamu zanzibar (uamsho) imeandaa kongamano la vijana kuhusiana na masuala ya kutaka kufahamu masuala mbali mbali ikiwemo suala zima la katiba mpya ya tanzania kujitayarisha namna ya kutoa maoni wakati wa utengenezaji wa katiba mpya ya tanzania na haya ndio baadhi ya maoni ya vijana waliokuwepo katika ukumbi wa beit al aamin malindi mjini zanzibar
khalfan ali faki
vijana tumekata tamaa vijana tuna jukumu la kusema au kutetea maslahi ya zanzibar tunashukuru uamsho kutukusanya pamoja hapa tunalaani kauli za mohammed aboud kutwambia tusubiri suala la mafuta kuondolewa katika orodha ya muungano
kumbe haiwezekani suala la mafuta kutolewa katika orodha ya muungano mpaka waulizwe watu wa bara na kama haiwezekani mbona rais wa zanzibar kukataa kwenda kuapa kule bara kama waziri asie na wizara maalumu na kwa taarifa nilizonazo mpaka sasa rais amekatazwa na baraza la wawakilishi asende kuapa
tuhakikishe kwanza tunawaandama viongozi wetu wakuu tunalaani kauli ya makamu wa pili kuwa ukiwa na kidonda hukatwi mguu sisi tunasema kama upo uwezekano wa kukata kidogo basi tupo tayari kukata hata kichwa licha ya mguu
viongozi wetu wanatusaliti kwa hivyo hatukubali tunataka viongozi ambao wameshafanya kazi kule tanganyika basi wasipewe nafasi za juu kwa sababu hao ndio wa kwanza kuizamisha zanzibar kule bara kwa sababu ya kuwa wamelewa kimadaraka
iddi abdallah ali
huu muungano sisi hatuutaki maana hauna usawa huu ni muungano wetu ambao unaonesha kama tumevamiwa kwa sababu hakuna usawa zanzibar ilikuwa na uhuru wake kamili lakini sasa wabunge kule mia tatu huku 50 inawezekanaje bunge lenyewe limepelekwa kule porini katikati ya tanganyika kule ni porini hakufai kabisa bunge lirejeshwe huku haraka sana au liwekwe katikakati kati ya zanzibar na tanganyika analau hapo dae es salaam au tanga lakini kule porini
wawakilishi na wabunge wawe ni sawa kwa sawa hata kama nyumba kumi mbunge mmoja lakini hivyo hivyo wenyewe tumeridhika na ikiwa tunataka kuendelea na muungano huu huu basi hatunufaiki kitu basi hakuna haja ya kuungana kabisa
nassor mohammed said
tatizo kubwa ni sisi wenyewe ambao tunabaguana kutokana na upemba na uunguja hasa vijana ikiwa tunatajipanga kuwa wamoja basi tutafanikiwa lakini ikiwa tunaendelea na chuki za kisiasa basi daima tutaendelea hivyo hivyo wataendelea kutudhalilisha na kutugawa jambo la msingi tuwe wamoja maana hata afrika kusini ilikuwa hivyo hivyo walikuwa vijana kutka nje wakiuliza lakini tatizo wapo watu ambao walikuwa wakipanga kuwauwa na wengine wakipanga kuwaokoa na hiyo inaonesha kwamba hakukuwa na msimamo wa kauli moja kwa vijana
ali kombo hamad
mapema tanganyika wameanza kutupoteza maana walikuwa na nia mbaya ya kutaka kutuangamiza suala la umoja na la kuungana ni zuri sana na muungano ni mzuri sana na hata katika uislamu unahimiza muungano kwa maana ya umoja lakini huu muungano wetu umetupotoshwa kwa sababu wenzetu hawakuwa na dhamira ya dhati katika suala la kutaka kuungana
mheshimiwa abubakar hapa amekuja kutwambia kwamba hili ni jukumu letu vijana lakini mimi nasema jukumu hili tusiambiwe sisi vijana tu tunataka kwa kuwa tumekaa kimya hatusemi chochote hata na wao wenye jukumu yaani wawakilishi ambao ndio wenye fursa nzuri ya kutoa maamuzi katika vikao vya baraza wana jukumu hilo
sisi tutaendelea kusema lakini wenye maamuzi ni wawakilishi ambao wana mamlaka hatuwezi kuogopa kuwa na zanzibar yetu kwa kuogopa eti kwa kuwa serikali ya muungano itakasirika iwapo sisi utatoa maoni yetu au tukisema hatuaki muungano
said juma mbarouk
kwa mujibu wa sheria katiba zote zina nguvu sawa hakuna katiba kubwa wala katiba ndogo zote zipo sawa katika nchi yake kumbe uwezo tunao wa kutoa maamuzi lakini ni sisi wenyewe wazanzibari kumbe hatujaweza kutumia fursa hiyo ya kusema ukweli na kuidai serikali ya muungano juu ya haki ya zanzibar
kumbe viongozi wa zanzibar hawajajiamini licha ya muungano kuwa utakuwepo lakini zanzibar iheshimiwe na haki zanzibar zielezwe kabisa muungano wa kuwa chao chao chetu chao hatuutaki tupo tayari kufa lakini tutaitetea nchi yetu kwa nguvu zote
muungano huu sio wa wananchi ni wa kuchanganya udongo tu abeid karume na julius nyerere katiba ya tanganyika ndio iliyooungiza vipengele hivi sio katiba ya muungano zanzibar iliingia kama nchi kamili yenye mamlaka kamili makubaliano ya article of union isiwe sababu ya kuwa zanzibar haipo tunataka tuelezwe yepi ni yepi
1967 nyerere alisema muungano wetu ni wa nchi mbili zenye mamlaka kamili tumeungana kwa kila nchi ina mamlaka yake kwa nini kila wakati wende wakaombwe wao kama mabwana alaa amani alituwekea njia sasa ni rahisi kuzifuata tunataka kura ya maoni dhidi ya muungano kama tunautaka au hatuutaki lakini hatutaki mdahalo wa muungano
kombo haji kombo
suala hili ni kama harusi tunakwenda kutengeneza katiba na hakuna haja ya kumtaja karume au nyerere hii tunakwenda kutengeneza harusi ili bi hausi na mumewe waishi namna gani ndani ya nyumba yao hayo aliopita ndio ameshapita kama makosa waliyenda wazee wetu ndio wameshatenda ili sisi tusitende makosa kama wao basi tunajukumu la kurekesbisha hapa tulipo sasa
tujipange na hoja za msingi na sio jazba wala kusema maneno hao kwa hayo kila siku kwamba hatutaki muungano wakati hutoi sababu wenzetu wana hoja zao na sisi tujitahidini kutafuta hoja za msingi ambazo zitachukuliwa wakati wa kukusanywa maoni ya katiba mpya tunataka tanganyika na serikali yao na baraza lao na sisi zanzibar tuwe na serikali yetu na baraza letu na kiserikali kidogo kiwepo cha muungano haya ndio mambo ya kujadili
imefika wakati kama hatuna maslahi katika muungano hatuna haja ya kuwa na muungano huu tusiendelee kurudi nyuma tusonge mbele kwa nini wabunge waliopo kule bungeni kutoka zanzibar kama hawakubaliani na hoja wakatoka nje hata kama jambo litapita lakini dunia itafahamu kwamba katika hili wazanzibari wamekataa kunga mkono hii dunia sio ya kuogopa kitu kila kitu kiwekwe wazi tunaingia katika katiba tutafute mambo ambayo yanatulinda na kupata haki zetu
juma khatib ali
tunaambia kwama article of union ina mambo yake ya msingi 11 lakini pia hayafai hebu tuyaangalie vyema mambo haya kama kuna mambo mengine ndio tuyaweke lakini sio tunaendelea nao hayo ambayo walikubaliana nao watu wawili tu
fadhil khamis fadhil
muungano huu hautufai tokea tulipoungana hatuoni faida za muungano kwa nini hatunufaiki sisi kwa nini viongozi walisema muungano huu miaka 10 sasa kwa nini tunaendelea nao mpaka leo
tumeusaliti utaifa wetu vipi tutalitia meno taifa la zanzibar ndio jambo la msingi lakini hili taifa halina uraia na hakuna taifa lisilo na uraia duniani
ipo haja ya tanganyika na wazanzibari kurejeshewa mataifa yao mimi siwafiki serikali tatu kwa sababu kuhusu serikali ngapi ni katiba za vyama na sisi hatuna vyama zanzibar tuna serikali isiyokuwa na chama maana tuna serikali ya umoja wa kitaifa iliyoundwa na ccm na cuf
jambo la kujiuliza kwa sasa kama kamati ya kukusanya maoni kuhusu katiba imeshakuja tutaongea nini katiba ioneshwe iwe na katiba tatu ili itoe utaifa kusaini mikataba ya kimataifa urais kujiunga na mikataba ya kimataifa na kuwe na ushirikiano katiba hii isiweze kudhoofisha utaifa wao wazanzibari na watanganyika wazanzibari wanatakiwa kuonekana nje na kujiunga na mataifa mfano fifa lakini sasa hawawezi
said salim said
historia inaonesha kuwa muungano haukuwa na background mzuri wazanzibari tumefikia hapa hatuna kitu hatuna uraia hakuna passport hatuna chochote kwa hivyo katika hii katiba mpya tuiangalie inakuja vipi na kuwepo na matumizi ya baraza la wawakilishi yatumike vizuri tumeona katika serikali ya umoja wa kitaifa imefanikiwa kwa sababu ya baraza la wawakilishi limefanya kazi vizuri kwa hivyo na hayo masuala mengine ya katiba na mengineyo kuwepo na suala la kuwatumia wawakilishi wetu maana hata serikali ya umoja wenzetu bara walikuwa hawataki lakini kwa kuwa wazanzibari tulikuwa tunataka tumeweza
khamis khatib khamis
hatuna uhuru hapa zanzibar muungano utaendelea kutufanyia haya mpaka milele ikiwa tutaendelea hivi hivi sisi tunayo haki ya kujiamulia mambo yetu tuwe na sauti ya kudai haki zetu lakini tatizo tunaogopa
kama tatizo ni katiba ya muungano kwanza ni lazima kujua nini maana ya muungano na kujua faida zake ni miaka 47 ya muungano sasa hakuna faida yoyote iliopatikana katika muungano na iwapo tokea watu kuungana ni lazima kuwepo na malengo yenye kuleta maslahi kuna mambo matatu ambayo yanayo sababisha kufikia katika hali hii tulio nao ambayo ni ubinafsi wa viongozi woga kusema kweli na hofu walio nayo viongozi wetu
ali seif salim
wakati umefika sasa zanzibar kusema tunataka katiba ya aina gani na ili kujua katiba gani inayotakiwa iwepo ni kusoma historia za viongozi kutoa matatizo yalioma ndani ya katiba hii ya muungano na kama haitakiwi katiba ya muungano kabisa nikukaa pamoja na kutoa sauti zetu na sababu ya kukataa katiba hiyo
azzan khalid hamdan (naibu amir wa (uamsho)
waziri mizengo pinda kasema viongozi wa dini wasiwapotoshe wananchi lakini sisi tutaendelea kuwaelimisha watu wetu kama anataka kuwakataza basi ni huko tanganyika lakini sisi tutaendelea kwa sababu tulitoa ahadi pale bwawani kwamba tutandelea kuelimishana katika hilo huu ni wajibu wetu tumeshaufanya na tumesema kama huu wajibu wetu basi tunautimiza na kama kutumia maneno na kama kutumia nguvu tutatumia mpaka tupate nchi yetu
pinda amesema viongozi wa dini wasipotoshe watu huo ni ujinga wake tu lakini yeye hawezi kutuzuwia kwa lolote tutakalotaka sisi
mselem bin ali (amir wa uamsho)
tunapoongea kudhalilishwa kwetu ndio maana tunadai haki yetu tupo nyuma kiuchumi tulikuwa tukiheshimika ulimwengu mzima sasa tunataka kurejesha heshima ya nchi yetu na kurejesha heshima ya watu wake
nchi inapokuwa watu wake sio wazuri huitwa nchi hiyo sio nzuri mtume alianza kufanya mabadiliko kwa watu waliokithiri kwa rushwa washirikina ufisadi na mtume alikuwa alifanikiwa kwa sababu alikuwa na vitu hivi vinne vision mission responsibility na assessment
mtume alikuwa ni kiongozi mwenye kujua kazi zake uteule wake kutoka kwa mwenyeenzi mungu alikuwa na limit katika masuala ya maamuzi aliambiwa awashauri watu wake katika maamuzi kwa hivyo alikuwa akishauriana na watu wake kwa kuwa alitakiwa ashauriane nao na hakuwa akijiamulia mwenyewe
sisi zanzibar tuna wataalamu wa kila fani lakini bahati mbaya sisi ndio tunaongoza kwa ubovu na ujinga tuna kila nyenzo lakini tumekuwa hatuna chochote kwa sababu tumekosa kufuata mwenendo tunaotakiwa kuufuata
mtume aliambiwa kwenye maamuzi ya nchi asitumie ubabe mtume alipingwa sana na aliishi katika mazingira mabovu sana alikuwa na dipration kubwa tu lakini alikuwa na watu wenye fani wa kila kitu kwa hivyo alisaidiwa na abubakar akawa anamtumia vizuri maana alikuwa mchumi abubakar bin affan alikuwa mtu mwenye elimu mtume alimtumia sana katika kumshauri ali bin abutalib alitumiwa kuwaongoza vijana hasa katika suala la maamuzi
kijana ukimtumia vizuri anatumika vyema hapa kwetu vijana wanatumiwa vibaya na ndio maana hapa tunashuhudia wamealikwa vijana wengi tu wako wapi lakini kukifanyika katika maovu mbio wanakuja wenyewe bila ya kuitwa hapa akiwemo mambo ya ngoma na mambo ya ukosefu wa adabu ndio utaona wanafika kwa wingi na wapo tayari hata kutoa fedha katika kulipia mambo ya kipuuzi kama ya kuchukua wanawake au kwenda katika muziki
sayyidna omar bin khataab alitaka kumuua mtume muhammad (saw) lakini daaru narwa nyumba ya kutolewa maamuzi omar alikuwa anakwenda kudai haki omar alipokwenda na kukuta mambo vyenginevyo na akahakikisha mambo ni ya faida akaufahamu uislamu akaingia katika uislamu na alimuuliza mtume wewe jee sio mtume kweli na haya maneno haya unayoongea sio ya mwenyeezni mungu mtume akasema mimi ni mtume wa mungu lakini kuhusu kwa nini wanafanya daawa kwa kujificha katika masuala muhimu mtume akasema sisi ni wachache na ni dhaifu ndio maana tunajificha
hapo ndio sayyidna omar akachukua jukumu la kuhakikisha usalama na ulinzi kwa kuwa yeye alikuwa mtaalamu wa ulinzi na kuanzia hapo akamwambia mtume atahakisha analishughulikia suala hilo kwa umakini na ndio kuanzia hapo dini ikaanza kutangazwa hadharani
ni kweli kwamba ukikosa elimu na uchumi ni tatizo omar akachukua dhamana kuanzia hapo alijipanga kwa sababu ya kuwa na elimu na hivyo akachukua dhamana hiyo nimetaka kutoa mfano huo ili na sisi tuone jinsi tulivyo katika maisha yetu kama tunaishi katika khofu tunahitaji ulinzi tunahitaji kushirikiana pamoja vijana kwa vijana watu wa dini na wenzao wa dini viongozi kwa viongozi lakini ilimradi watu waungane kwa pamoja katika kutetea heshima ya nchi yao
← changamoto za maji safi
maoni ya wananchi yataheshimiwa → | 2018-04-26T00:11:04 | https://zanzibarkwetu.wordpress.com/2011/06/28/maoni-ya-vijana-khs-katiba/ |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.