text
stringlengths 43
182k
| timestamp
timestamp[s] | url
stringlengths 16
3.37k
|
---|---|---|
msiba wa marehemu amina athumani mwandishi wa habari za michezo gazeti la uhuru na mzalendo kisiwani zanzibar habari24
home / uncategories / msiba wa marehemu amina athumani mwandishi wa habari za michezo gazeti la uhuru na mzalendo kisiwani zanzibar
0777424152 or 0715424152 shares | 2017-05-26T07:15:20 | http://habari24.blogspot.com/2017/01/msiba-wa-marehemu-amina-athumani.html |
siku za kuishi duniani mbunge wa chadema marehemu regia mtema zimekwisha
posted by raythegreatest2006 at 1217 pm
is this real uvicent kigosicz naona kama kuna mtu tofauti anapostanyway its all gud i lve ya blog
ray kaaangu nakubaliana na wewe hizi cm siku izi jamani zinateka akili za watu mno hata kwenye matukio muhimu yakuitaji kuconcentrate mbaya zaidi wote na mkewe wapo mbele kbsjoyce kiria nae jamani gauni mtego m2pu mpk mistari ya nanihii alovaa ndani unaiona
kweli misiba ilikuwa zamani watu bize na simu bila hofu huyu mwingine nae shuti kigauni cha kubana afu anapiga picha hazidi haipungui kiatu cha kisigino jamani msibani okey tuseme umetokea kazini basi hata kufunga kanga amakweli wanawake live
jamani nimechekaje mie na hizi picha yani slaa na mkewe ndo wamenimaliza afu wapo mbele kbs shuti simu sare sare mbavu zangu mie lol
huyu joyce jamani kweli hana haya au mi ndo mshamba msibani kweli kuvaa hivo afu unapita huku na kule cjui kipiga picha au video anyway labda mie mshamba mana bongo ya sasa si ya mwaka 47 km alivosema prof jay
ray acha ushamba inajulikana kabisa kwenye tansia ya sanaa nini kimetokea (mziba wa mzee kipara) sasa wewe unajifanya kama hujui hata kama unabeef na watu au mzee mwenyewe ndio umeshindwa hata kuonyesha hisia zako shame of you | 2018-07-17T13:18:06 | http://raythegreatest.blogspot.com/2012/01/siku-za-kuishi-duniani-mbunge-wa.html |
mbarawakatika bandari kuna ufisadi mkubwaaagiza hatua kali zichukuliwe kwa mafisadi hao | habari24
home » » mbarawakatika bandari kuna ufisadi mkubwaaagiza hatua kali zichukuliwe kwa mafisadi hao
mbarawakatika bandari kuna ufisadi mkubwaaagiza hatua kali zichukuliwe kwa mafisadi hao
written by vuvuzela on thursday june 23 2016 | 72100 am | 2018-07-17T04:07:16 | https://www.habari24.com/2016/06/mbarawakatika-bandari-kuna-ufisadi.html |
kiwango cha michezo ya kucheza bila usajili kubuni
bure michezo online kubuni
creative mtu anaishi kabisa katika kila mtu isipokuwa kwamba unahitaji kujua jinsi ya kutumia ingenuity yao yote na ubunifu tunatoa kucheza kubuni hii kwenye tovuti yetu ambapo utakuwa na uwezo wa kuonyesha vipaji vyao na kujisikia kama designer halisi au kama fashion designer
mchezo kuhusu kubuni itawawezesha wapige katika ulimwengu mpya kabisa na ya kuvutia na kupata moja ujuzi ziada online mchezo kubuni kuruhusu wapige katika maisha na kazi ya watu wa wasanii mbalimbali
mchezo kuhusu kubuni kucheza kwa ajili ya bure katika kwamba unaweza moja kwa moja kwenye ukurasa huu wa tovuti yetu ni ya kuvutia kwa sababu workout katika mchezo online unaweza kujenga kitu nzuri katika ulimwengu wa kweli na kwa sababu kucheza mchezo kuhusu mpango unaweza kufanya maisha yako kiasi mkali zaidi ya kuvutia na mbalimbali na kufanya michezo ya ghana hii isiyo ya kawaida colorful na awali
sisi kuwakaribisha kucheza katika kila aina ya michezo online huru kuhusu haki ya kubuni sasa kuja kujiunga na sisi
princess elsa pete designer
maandalizi ya pasaka wanandoa
pasika maalum kwa watoto
super looms samaki
mazungumzo tom picnic
tucci na oh new home decor
mapenzi bango peppa ya nguruwe
subway surfers uso tatoo
pepa nguruwe katika bafuni
elsa mavazi tarehe
anna mavazi designer
kuweka nyundo
popo ya dres up
keki boss
design kote na theluji
wewe pia kama michezo online constructors kucheza kwa bure
phineas na ferb kushiriki katika racing
magari mcqueen makeover
barabara ya roma 3
kukusanya binadamu
mapigano ya futurebots
mitsubishi lori
heroes phineas na ferb kujenga chachu
doll kiwanda
kufanya gun | 2018-05-26T10:08:33 | http://tz.qwertygame.com/tags/Design/ |
mwanasheria wa halmashauri ya korogwe ana 'digrii ya chupi' dc mrisho gambo | jamiiforums | the home of great thinkers
mwanasheria wa halmashauri ya korogwe ana 'digrii ya chupi' dc mrisho gambo
discussion in 'jukwaa la siasa' started by leloson aug 29 2012
mkuu wa wilaya korogwe ndugu mrisho gambo amemwambia mwanasheria wa wilaya hii kuwa ana degree ya chupi kufuatia majibu ya mwanasheria huyo dhidi ya kesi kati ya wafanyabiashara na halmashauri
mwanasheria huyo alishindwa kutoa maelezo ya kina juu ya sakata hilo ndipo mkuu wa wilaya akaamua amchane
mkuu wa wilaya ya korogwe bwana mrisho gambo amemnanga mwanasheria wa wilaya ya korogwe kuwa ana degree ya chupi kauli hii ilitolewa kwenye mkutano ambapo mwanasheria huyo alitakiwa
kutoa maelezo ya kesi inavyoendelea kati ya wafanyabiashara wa maduka na halmashaur hiyo
davvysabbas
udhalilishaji wa hali ya juutoka kwa viongozi wetu
tehe tehe dc aangalie asije ingia kwenye kashfa akina ananilea nkya wakisikia hiyo lzm wampandishe kizimbani dc ana ushahidi
vijana wakipewa uongozi huwa wanatuangusha sana that why nampinga zitto na movement yake kuwa vijana tunaweza ona aibu hii ya gambo hapo ni udc tu
kichwa cha habari utata ulisoma shule ya kata nini
wapo wengi wenye digree za chupi kama s simba ghasia nk
davvysabbas said
udhalilishaji wa hali ya juutoka kwa viongozi wetuclick to expand
tena akumbuke ya kuwa cheo ni dhamana
degree ya aina hiyo hutolewa ccm tu au
wateule wa ridhiwani hao yani wanafanya ofisi za umma kama vijiwe vya kahawa na kucheza bao huyu jamaa kafanya vijana tuonekane hatuna weledi na uwezo wa kuongoza ukweli ni kuwa haya ndio matunda ya kuwapa watu nafasi za uongozi ambao hawajakomaa kiakili na kiroho 1 people likes
mwenye link gazetini aiweke hapa jamvini
wanazo lakini si tunawapa sisi sasa tunalalaika nini sioni tabu
yawezekana alisoma nae na aliona alivyokuwa akigawa uloda kwa malecturer udsm mbona ndo mchezo maana personally nawajua madada walokuwa wakija na maswali tnayasolve na next day yanaappear kt exam atatoa ushaid na mtashika midomo kwa aibu
yes tunalazimika kukubali kuwa degree yake ni ya chupi kama kwa maneno aliyoambiwa na mkuu huyu wa wilaya atashindwa kumburuza mahakamani
yawezekana alisoma nae na aliona alivyokuwa akigawa uloda kwa malecturer udsm mbona ndo mchezo maana personally nawajua madada walokuwa wakija na maswali tnayasolve na next day yanaappear kt exam atatoa ushaid na mtashika midomo kwa aibuclick to expand
kwa hiyo na wewe una degree ya chup*i maana hayo maswali yenu ya chupi* ndio yamekufaulisha shukuru mungu unafanya kazi serikalini sekta binafsi hatutaki watu kama nyie wenye digrii za chup*i
na yeye mrisho gambo huenda ukuu wa wilaya wake ni wa chup* maana alipewa tu kama zawadi tutajuaje kama na yeye hakuvua kupata udc kwanza kiongozi mwenye busara hawezi kutoa kauli kama hii lazima atakuwa ameokotezwa huko na kupewa nafasi hii nchi aibu kila sehemu yote haya chanzo ni udhaifu wa rais kikwete kuweka jamaa zake kwenye nafasi muhimu
ila madc wetu wana vituko sana mara matusi mara wachape walimu
napita tu jamaa hana hata tafsida lol
lo kamdhalisha sana hatakama ni ya chupi ningekuwa mi lazima ni mpeleke mahakamaniataendakusema wamemnukuu vibaya
hata kama alitoa uroda akapata degree ni aibu kumdhalilisha mkutanoniwanasiasa wanawadharau wasomi sijui nchi inaelekea wapi
hata kama alitoa uroda akapata degree ni aibu kumdhalilisha mkutanoniwanasiasa wanawadharau wasomi sijui nchi inaelekea wapiclick to expand
na ushahidi wake mgumu kweli | 2016-10-28T12:25:36 | http://www.jamiiforums.com/threads/mwanasheria-wa-halmashauri-ya-korogwe-ana-digrii-ya-chupi-dc-mrisho-gambo.315044/ |
kroatia fedha ugavi m1
kiwango cha interbank 020 020 1696 010 asilimia [+]
sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi kroatia fedha ugavi m1 | 2019-12-14T05:04:33 | https://sw.tradingeconomics.com/croatia/money-supply-m1 |
artists news in tanzania | bongo fleva bongomovies artists in tanzania | page 195
hiki ndicho kilichotoakea kwenye house part
staa wa bongo movies na bongo fleva shilole aka shishi bybee ambaye amejipa jina la karunguyeye siku ya jana alifanya pati nyumbani kwake house party na kuwaalika baadhi ya mastaa wenzake kajala mwasiti linnahbaba levo baby madahmillard ayo tudd thomas na makomandoo hao nibaadhi ya watu waliohudhulia pati hiyo hizi ni baadhui ya picha za []
nataka niache kula mondejuma nature
msanii mkongwe katika tasnia ya bongo fleva juma kassim nature (kiroboto) amefunguka na kusema ameachana na mambo mengi ya ajabu ajabu na starehe na kusema anataka kuachana na mambo hayo kwani uhuni ataki tena juma nature akipiga stori katika kipindi cha planet bongo ya eatv alisema ameweza kuachana na mambo mengi ambayo kwa jamii yanaonekana []
ujumbe wa lulu tunapoelekea kuumaliza mwaka
mwaka huu ulikuwa mzuri au mbaya kwa kila mmoja wetukatika mazuri shukuru na hata katika mabaya na ya kuumiza pia mshukuru mungu tunapoelekea kumaliza mwaka hiyo tu ni sababu tosha ya kuonyesha ni jinsi gani una thamani mbele ya mungu wako wala hutakiwi kuwaza nani anakuona nini nimejifunza na ninaamini kuna nguvumsamahakuongezwakuzidishwakuponywa na mengine mengi []
mimi na shamsa ford tuliachana vizuri n
nay wa mitego amezungumzia jinsi alivyoachana na aliyekuwa mpenzi wake samsha ford baada ya mwanadada huyo kudai hataki tena kutoka kimapenzi na mastaa akizungumza na bongo5 jumatatu hii rapa huyo alisema licha ya kuachana na mwanadada huyo bado ni mshkaji wake na wanapiga stori kama kawaida mimi binafsi sijui alikuwa anamaanisha nini lakini kitu []
odama hakuna wa kuniondolea heshima yangu
staa wa bongo movies jennifer kyaka odama amesema kuwa tangu alipoingia katika usanii kitu kikubwa alichokuwa akikilinda ni heshima yake na si kitu kingine hivyo anayejaribu kuishusha afanye kazi ya ziada akizungumza na mwandishi wa habari hii odama alisema kuwa tangu ameanza kuwa msanii alijitahidi sana kuilinda heshima yake ndiyo maana watu wengi wanapenda kumjua []
wanamuziki wa bongo wafanya semina
wanamuziki wa bongo flava dansi na taarab leo wanafanya semina ya kujadili juu ya ubora wa kazi zao za muziki (mastering) ili uweze kufanana na miziki mingine ya nje ya tanzania mdau mkubwa wa muziki bongo babu tale alifungua semina hiyo kwa kuongelea suala hilo kwa undani zaidi juu ya wanamuziki wa bongo kujijenga vizuri []
hivi ndiyo wema na jokate walivyopokelewa s
mkali wa bongo fleva ali kiba juzi pande za escape one mikocheni alifanya shoo ya kuwaaga mashabiki wake kwa mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka mpya 2016 ambapo aliitambulisha rasmi bendi yake mpya iitwayo 4realdancers shangwe kubwa lilisikika pale ambapo king kiba alipowa surprise mashabiki wake kwakuwapandisha stejini mastaa warembo wema sepetu na jokate kidoti kama []
baba haji adai anasakwa auawe
roho mkononi mwigizaji wa bongo movies haji adam baba haji ameviomba vyombo vya dola tcra na rais john pombe magufuli kumsaidia akidai kwamba anasakwa auawe na kundi lisilojulikana akizungumza na ijumaa wikienda kwa njia ya simu akiwa mafichoni baba haji alifunguka kuwa amekoswakoswa mara kadhaa kutiwa mikononi na watu hao wanaoonekana kuwa na nia mbaya []
unaweza kuuelezea 2015 kama mwaka wa pilika nyingi kutokana na kuwapo kwa matukio mbalimbali katika nyanja za kijamii kiuchumi na hata kisiasa imeshuhudiwa shughuli kadhaa katika siasa kama vile uchaguzi mkuu lakini kwa upande wa kijamii hususan burudani yapo mambo mengi yaliyotokea pengine kuweka historia katika tasnia hiyo tuzo kwa wasanii mchango wa wasanii wa []
jbubora wa filamu kwanzapesa baadae
staa mkongwe wa bongo movies jacob steven jb amesema anachoangalia kwenye kazi yake ni kutengeneza filamu zenye ubora kuliko pesa atakayoipata kwenye mauzo ya filamu yenyewe wakati mwingine nakuwa kama kichaa nikitengeneza movie zangu siangalii namna ambavyo nitapata faida kubwanaangalia jinsi ambavyo naweza kutengeneza kitu kizurinaaamini katika maisha kuacha historia bora kuliko kitu chochotehadi sasa [] | 2020-08-11T10:19:25 | https://www.bongomovies.com/page/195/ |
bbc swahili habari brahimi ashutumu dunia kwa kupuuza syria
imebadilishwa 3 septemba 2012 saa 0450 gmt
lakhadar brahimi mwakilishi wa un nchini syria
mwakilishi wa umoja wa mataifa juu ya maswala ya syria lakhadar brahimi amesema jamii ya kimataifa haifanyi cho chote kikubwa kusimamisha mauaji nchini syria
mtangulizi wa bwana brahimi kofi annan alijiuzulu agosti baada ya mapigano kati ya wanajeshi wa serikali na waasi kuongezeka nchini humo huku pande zote mbili zikipuuza mapendekezo yake
kwingineko serikali ya jordan imeongeza maradufu kiwango cha pesa inachosema inahitaji kutoka jamii ya kimataifa kukabiliana na idadi kubwa ya wakimbizi wanaoingia nchini humo kutoka syria
katika wito iliyotoa kwa pamoja na shirika la umoja wa mataifa linalowashughulikia wakimbizi jordan ilisema inahitaji kwa upesi dola milioni 700 waziri wa mipango jafaar hassan alisema anatazamia idadi ya wakimbizi wanaotafuta hifadhi ya usalama nchini humo kupanda hadi robo milioni
wakati huo huo serikali ya syria imesema kuwa wanajeshi walio waaminifu kwa rais assad wamelitimua kundi kubwa la waasi waliokuwa wamevamia chuo cha wanahewa karibu na jiji la aleppo
ingawaje kituo cha televisheni kimeripoti ushindi wa serikali katima maeneo kadhaa waandishi wa habari wamesema kuwa serikali haina dalili yo yote ya kuukomboa aleppo au kusimamia vitongoji vyote vya jiji la damascus
umoja wa mataifa unataka serikali ya syria kuondoa silaha zake kubwa kubwa kutoka miji nchini humo kama hatua ya kutoa mazingira ya kuanzisha mashauriano kati ya pande hizo mbili zinazozozana
akiwahutubia wanafunzi katika taasisi ya mashauri ya kigeni waziri wa mashauri ya kigeni wa urusi sergei lavrov alisema nchi yake inataka amani nchini syria | 2018-09-22T09:28:33 | https://www.bbc.com/swahili/habari/2012/09/120903_syria |
swahili sorah azzukhruf ( the gold adornment )
noble quran » swahili » sorah azzukhruf ( the gold adornment )
naapa kwa kitabu kinacho bainisha
hakika sisi tumeifanya qur'ani kwa kiarabu ili mfahamu
na hakika hiyo imo katika asili ya maandiko yalioko kwetu ni tukufu na yenye hikima
je tuache kukukumbusheni kabisa kwa kuwa nyinyi ni watu mlio pita mipaka kwa ukafiri
na manabii wangapi tuliwatuma kwa watu wa zamani
na hawajii nabii yeyote ila walikuwa wakimkejeli
na tuliwaangamiza walio kuwa na nguvu kushinda wao na mfano wa watu wa zamani umekwisha pita
na ukiwauliza nani aliye ziumba mbingu na ardhi bila ya shaka watasema kaziumba mwenye nguvu mjuzi
ambaye amekufanyieni ardhi kama tandiko na akakufanyieni ndani yake njia mpate kuongoka
na ambaye ndiye aliye teremsha kutoka mbinguni maji kwa kiasi na kwa hayo tukaifufua nchi iliyo kufa na namna hivi ndivyo mtakavyo tolewa
na ambaye ndiye aliye umba katika kila kitu jike na dume na akakufanyieni marikebu na wanyama mnao wapanda
ili mkae vizuri migongoni mwao kisha mkumbuke neema za mola wenu mlezi mnapokaa sawa sawa juu yao na mseme ametakasika aliye mfanya huyu atutumikie na tusingeli weza kufanya haya wenyewe
na hakika sisi tutarudi kwa mola wetu mlezi
na wanamfanyia katika waja wake fungu kwa hakika mwanaadamu ni mtovu wa fadhila aliye dhaahiri
au amejichukulia watoto wanawake katika vile alivyo viumba na akakuteulieni nyinyi watoto wanaume
na anapo bashiriwa mmoja wao kwa yale aliyo mpigia mfano mwenyezi mungu uso wake husawijika na hujaa hasira
ati aliye lelewa katika mapambo na katika mabishano hawezi kusema kwa bayana
na wakawafanya malaika ambao ni waja wa mwingi wa rehema ni wanawake kwani wameshuhudia kuumbwa kwao ushahidi wao utaandikwa na wao watahojiwa
nao husema angeli penda mwingi wa rehema tusingeli waabudu sisi hawana ujuzi wowote wa hayo hawana ila kusema uwongo tu
kwani tuliwapa kitabu kabla ya hichi na ikawa wao wanakishikilia hicho
bali wanasema hakika sisi tuliwakuta baba zetu wanashika dini makhsusi basi na sisi tunaongoza nyayo zao
na kadhaalika hatukumtuma mwonyaji kwenye mji wowote ila watu wake walio deka kwa starehe walisema hakika sisi tuliwakuta baba zetu wanashika dini makhsusi na sisi tunafuata nyayo zao
akasema (mwonyaji) hata nikikuleteeni yenye uwongofu bora kuliko mlio wakuta nao baba zenu wakasema sisi tunayakataa tu hayo mliyo tumwa
basi tukawalipizia angalia ulikuwaje mwisho wa walio kadhibisha
na pale ibrahim alipo mwambia baba yake na kaumu yake hakika mimi ninajitenga mbali na hayo mnayo yaabudu
isipo kuwa yule aliye niumba kwani yeye ataniongoa
na akalifanya hili liwe neno lenye kubaki katika vizazi vyake ili warejee
bali tuliwastarehesha hawa na baba zao mpaka ikawafikia haki na mtume aliye bainisha
na ilipo wafikia haki wakasema huu ni uchawi na sisi hakika tunaukataa
na walisema kwa nini qur'ani hii haikuteremshwa kwa mtu mkubwa katika miji miwili hii
kwani wao ndio wanao gawa rehema za mola wako mlezi sisi tumewagawanyia baina yao maisha yao katika uhai wa duniani na tukawanyanyua baadhi yao juu ya wengine kwa daraja nyingi kwa hivyo baadhi yao wanawafanya wenginewe wawatumikie na rehema za mwenyezi mungu ni bora kuliko hayo wanayo yakusanya
na lau isinge kuwa watu watakuwa kundi moja tungeli wajaalia wanao mkufuru rahmani wana nyumba zao zina dari ya fedha na ngazi zao pia wanazo pandia
na milango ya nyumba zao na vitanda wanavyo egemea juu yake
na mapambo lakini hayo si chochote ila ni starehe ya maisha ya dunia tu na akhera iliyoko kwa mola wako mlezi ni ya wenye kumchamngu
anaye yafanyia upofu maneno ya rahmani tunamwekea shet'ani kuwa ndiye rafiki yake
na hakika wao wanawazuilia njia na wenyewe wanadhani kuwa wameongoka
hata atakapo tujia atasema laiti ungeli kuwako baina yangu na wewe kama umbali baina ya mashariki na magharibi rafiki mwovu mno wewe
na kwa kuwa mlidhulumu haitakufaeni kitu leo kwamba nyinyi mnashirikiana katika adhabu
je unaweza kuwasikilizisha viziwi au unaweza kuwaongoa vipofu na waliomo katika upotofu ulio wazi
na hata tukikuondoa sisi tutalipiza kisasi chetu kwao
au tutakuonyesha tulio waahidi nasi bila ya shaka tuna uweza juu yao
basi wewe yashike yaliyo funuliwa kwako hakika wewe uko kwenye njia iliyo nyooka
na hakika haya ni ukumbusho kwako na kwa kaumu yako na mtakuja ulizwa
na waulize mitume wetu tulio watuma kabla yako je tulifanya miungu mingine iabudiwe badala ya rah'mani
na bila ya shaka tulimtuma musa kwa ishara zetu ende kwa firauni na waheshimiwa wake na akasema hakika mimi ni mtume wa mola mlezi wa walimwengu wote
lakini alipo wajia na ishara zetu wakaingia kuzicheka
na hatukuwaonyesha ishara yoyote ila hiyo ilikuwa kubwa zaidi kuliko nyenginewe na tukawakamata kwa adhabu ili warejee
na wakasema ewe mchawi tuombee kwa mola wako mlezi kwa ile ahadi aliyo kuahidi hakika sisi tutakuwa wenye kuongoka
basi tulipo waondolea adhabu hiyo mara wakaingia kuvunja ahadi
na firauni alitangaza kwa watu wake akisema enyi watu wangu kwani mimi sinao huu ufalme wa misri na hii mito inapita chini yangu je hamwoni
au mimi si bora kuliko huyu aliye mnyonge wala hawezi kusema waziwazi
basi mbona hakuvikwa vikuku vya dhahabu au hawakuja malaika pamoja naye wakamwandama
walipo tukasirisha tuliwapatiliza tukawazamisha wote
kisha tukawafanya kuwa watangulizi na mfano kwa wa baadaye
na alipo pigiwa mfano mwana wa mariamu watu wako waliupiga ukelele
wakasema miungu yetu kwani si bora kuliko huyu hawakukupigia mfano huo ila kwa ubishi tu bali hao ni watu wagomvi
hakuwa yeye (isa) ila ni mtumwa tuliye mneemesha na tukamfanya ni mfano kwa wana wa israili
na tungeli penda tungeli wafanyia miongoni mwenu malaika katika ardhi wakifuatana
na kwa hakika yeye ni alama ya saa ya kiyama basi usiitilie shaka na nifuateni hii ndiyo njia iliyo nyooka
wala asikuzuilieni shet'ani hakika yeye ni adui yenu wa dhaahiri
na alipo kuja isa na dalili zilizo wazi alisema nimekujieni na hikima na ili nikuelezeni baadhi ya yale mliyo khitalifiana basi mcheni mwenyezi mungu na mnit'ii mimi
kwa hakika mwenyezi mungu ni mola wangu mlezi na ni mola wenu mlezi basi muabuduni yeye tu hii ndiyo njia iliyo nyooka
lakini makundi kwa makundi yao yalikhitalifiana wao kwa wao ole wao walio dhulumu kwa adhabu ya siku chungu
je nini wanangojea ila saa iwajie kwa ghafla na wala wao hawatambui
siku hiyo marafiki watakuwa ni maadui wao kwa wao isipo kuwa wachamngu
enyi waja wangu hamtakuwa na khofu siku hiyo wala hamtahuzunika
ambao waliziamini ishara zangu na walikuwa waislamu
ingieni peponi nyinyi na wake zenu mtafurahishwa humo
watakuwa wanapitishiwa sahani za dhahabu na vikombe na vitakuwamo ambavyo nafsi zinavipenda na macho yanavifurahia na nyinyi mtakaa humo milele
na hiyo ni pepo mliyo rithishwa kwa hayo mliyo kuwa mkiyafanya
mnayo humo matunda mengi mtakayo yala
kwa hakika wakosefu watakaa katika adhabu ya jahannamu
wala sisi hatukuwadhulumu bali wao ndio walio kuwa madhaalimu
nao watapiga kelele waseme ewe malik na atufishe mola wako mlezi naye aseme hakika nyinyi mtakaa humo humo
kwa yakini tulikuleteeni haki lakini wengi katika nyinyi mlikuwa mnaichukia haki
au waliweza kupitisha amri yao bali ni sisi ndio tunao pitisha
au wanadhani kwamba hatusikii siri zao na minong'ono yao wapi na wajumbe wetu wapo karibu nao wanayaandika
sema ingeli kuwa rahmani ana mwana basi mimi ningeli kuwa wa kwanza kumuabudu
ametakasika mola mlezi wa mbingu na ardhi mola mlezi wa a'rshi na hayo wanayo msifia
basi waache wapige porojo wakicheza mpaka wakutwe na hiyo siku yao waliyo ahidiwa
na yeye ndiye mungu mbinguni na ndiye mungu katika ardhi naye ndiye mwenye hikima mwenye ujuzi
na ametukuka mwenye ufalme wa mbingu na ardhi na viliomo ndani yake na uko kwake ujuzi wa saa ya kiyama na kwake yeye mtarudishwa
wala hao mnao waomba badala yake yeye hawana uweza wa kumwombea mtu isipo kuwa anaye shuhudia kwa haki na wao wanajua
na ukiwauliza ni nani aliye waumba bila ya shaka watasema mwenyezi mungu basi ni wapi wanako geuziwa
na usemi wake (mtume) ni ewe mola wangu mlezi hakika hawa ni watu wasio amini
basi wasamehe na uwambie maneno ya salama watakuja jua
miongoni mwa itikadi za shia
source http//wwwislamhousecom/p/322550
risala fupi ya kumuwezesha mtu kupambanua ni ipi dini ya hakihiki ni kitabu kilichotayarishwa kwa lengo la kuwapatia wasomaji suluhisho la matatizo wanayoyapata watu wengi wanapotaka kufahamu ni ipi dini ya haki
source http//wwwislamhousecom/p/309041
risala fupi ya kumuwezesha mtu kupambanua ni ipi dini ya haki | 2020-07-15T02:55:21 | http://quran2all.com/translate-43-34.html |
jumatano julai 15 2009
jipime jipe alama kwa uaminifu ili kujielewa namna ulivyo
0=sikubali
1=kiasi sikubali
2=sina jibu
3=kiasi nakubali
4=nakubali
| najifurahia jinsi nilivyo mf umbo rangi elimu nk
| nadhani watu wananikubali nilivyo
| nikikosolewa ama kupingwa mawazo yangu huwa sipati shida
| huwa naumia nisiposifiwa pale nnapohisi nastahili
kupewa sifa
| wanavyonifaham na kuniona wengine kwangu si muhimu
| ninachofanya si muhimu kama nilivyo mimi mwenyewe
| huwa sitegemei kukosea ninapofanya jambo
| sina hofu na mwonekano wangu mf mavazi sura nk
| ninajua kuukubali uwezo na udhaifu wangu
| ninajua kwa hakika nilivyo mtu wa pekee
sasa jumlisha alama zote
020 fanya kazi ya ziada kujithamini na kuona thamani uliyonayo ambayo huijui
2030 ni nzuri unajiamini na kujichukulia vizuri
3140 maana yake unajiamini kupita kiasi kujiamini kupita kiasi ni tatizo katika kuhusiana na watu
bila jina16/7/09 1014 asubuhihabari kaka bwayajielewe kweli nimejielewa maana mdada nilikuwa naweka tu point huku naogopa je nitaangukia wapi asante nimejitathimini na kumbe najithamini sasasiku njemajibufutayasinta ngonyani16/7/09 707 mchananimefurahi sana nimejikuta kama nipo shule ya msingi tena na nimepata jibu nzuri je ni lazima kusema nipo wapijibufutakissima17/7/09 1001 asubuhi3140 he kumbe kujiamini kupita kiasi nako kuna madhara hii inamaanisha kuwa mtu ktk kategori hii hajajielewabwaya wasemajejibufutabwaya17/7/09 911 mchanayasinta matokeo yanaweza kuwa hadharani ama siri muhimu ni majibu yanayopatikana hata hivyo naamini hutasita kutujulisha matokeomdada safi sana hongera kwa kujithaminikissima ni kweli kujiamini kupita kiasi huleta majigambo nyodo na tambo zisizo halisi kwa hivyo ni rahisi kuhitimisha kuwa huko ni kutokujitambuajibufutakissima18/7/09 647 asubuhikaka bwaya nimepata jambo jingine hapanafikiri kujiamini ni kujiamini tu hakuna kujiamini kupita kiasikwani majigambo nyodokujionyesha kuwa ni zaidi nk hazi zote naziona ni defence mechanisms tu mtu wa aina hii hana kule kujiamini hivyo anajaribu kuleta kujiamini kupitia mambo niliyoyataja hapo juu ni mtazamo tujibufutaongeza maonipakia zaidi | 2017-04-29T01:48:13 | http://bwaya.blogspot.com/2009/07/testi-ya-namna-unavyojithamini.html |
wadau wahimizwa kuibua maeneo mapya kuboresha sera ya jinsia | masama blog
home » news and updates » wadau wahimizwa kuibua maeneo mapya kuboresha sera ya jinsia
wadau wahimizwa kuibua maeneo mapya kuboresha sera ya jinsia
mtaalam mwelekezi bi linah mhando akifafanua hoja kwa wadau wa kanda ya magharibi walioshiriki zoezi la kukusanya maoni kuhusu uboreshajai wa sera ya maendeleo ya wanawake na jinsia katika ili sera hiyo wakati wa kikao kilichofanyika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa
wa kigoma
mkurugenzi msaidizi idara ya maendeleo ya jinsia kutoka wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto bi grace mwangwa akitao neno la utangulizi wakati wa kikao kazi cha wadau waliokutana kutoa maoni ya kuboresha sera ya maendeleo ya wanawake na jinsia katika mikoa ya kanda ya magharibi mkoani kigoma
mwakilishi wa katibu tawala wa mkoa wa kigoma bi savera salvatory akifungua kikao kazi cha wadau wa maendeleo ya wanawake na jinsia waliokutana na wizara kujadili na kutoa maoni ya kuhuisha sera ya maendeleo ya wanawake na jinsia kwa mikoa ya kanda ya magharibi mkoani kigoma
baadhi ya washiriki wa kikao cha wadau cha kuibua maoni maalum ya kuboresha sera ya maendeleo ya wanawake na jinsia wakifuatilia kwa makini nasaha za mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa kikao cha wadau hao katika kanda ya magharibi mkoani kigoma
baadhi ya wadau wa maendeleo ya jinsia kutoka kanda ya magharibi wakiwa katika vikundi kazi vya kuibua maoni ya uboreshaji wa sera ya maendeleo ya wanawake na jinsia katika kikao kilichofanyika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa kigoma
na mwandishi wetu kigoma
sera ya maendeleo ya wanawake na jinsia ya mwaka 2000 pamoja na mapungufu ya kutekelezwa kwa muda mrefu kabla ya kuhuishwa bado imeonesha mafanikio katika kukuza ushirikishi wa wanaume kukuza uelewa wa masuala ya wanawake na kuhimiza uzingatiaji wa
jinsia katika mipango ya kisekta
hayo yameelezwa na mtaalam mwelekezi bi linah mhando wakati akitambulisha zoezi la ukusanyaji wa maoni ya uboreshajai wa sera ya maendeleo ya wanawake na jinsia ya mwaka 2000 na mkakati wa utekelezaji wake (2005) ili kuhuisha sera iliyopo katika kuzingatia malengo ya mikataba ya kimataifa dira ya maendeleo ya taifa ya 2025 mpango wa pili wa taifa wa maendeleo wa miaka mitano na mahitaji ya kijinsia
sera ya maendeleo ya jinsia na wanawake pamoja na mapungufu yake imeonesha mafanikio katika eneo la ushiriki wa wanaumeimesaidia kukuza uelewa kuhusu masuala ya wanawakekuanzishwa kwa mifumo wezeshi kuwa na mipango inayozingatia jinsia kuimarisha upatikanaji wa elimu huduma ya miundombinu na uwezeshaji wa kiuchumi alisema bi
mwakilishi wa katibu tawala wa mkoa wa kigoma bi savera salvatory amefungua kikao cha wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto ambacho kinawashirikisha wadau kutoka kanda ya magharibi inayojumuisha mkoa wa rukwa katavi na kigoma ambao
wamekutana kutoa maoni yao ili kuhakikisha sera inaingiza masuala muhimu yanayochochea kasi ya maendeleo hapa nchini na duniani kote
bi savera amewataka wadau wanaoshiriki mapitio ya sera mpya kupendekeza mikakati mipya ya kusaidia kufikia usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake
ameongeza kuwa kutokana na mapendekezo ya wadau wizara imezingatia kufanya tathmini ya kina inayozingatia masuala yote muhimu yanayopendekezwa na kuendelea kuimarisha mengine yaliyopo ambayo yanakidhi vipaumbele vya kijinsia
zoezi hili linafanyika kwa kuhusisha wadau taasisi na makundi mbalimbali katika jamii ili kuhakikisha kuwa hakuna anayeaachwa nyuma mkutano wa tano unaofanyika kanda ya magharibi katika mkoa wa kigoma ulitanguliwa namkutano wa kanda ya ziwa kanda ya kati kanda ya kasikazini na kanda ya mashariki
mikutano hii shirikishi ilianza mwezi septemba 2019 naitaendelea hadi februari 2020 kwa ajili ya kuwapa fursa wadau kutoa maoni yao katika kuzingatia usawa wa jinsia na uwezeshaji
bi severa amesema kuwa maoni yanayokusanywa kutoka kwa washiriki yatawezesha wataalam waelekezi pamoja na wawikilishi wa wizara kutoa taarifa kuhusu tathmini ya jumla ya zoezi la ukusanyaji maoni ya wadau kuhusu mafanikio na changamoto ya sera kwa kipindi cha
utekelezaji wake ili kuboresha sera iliyopo
mkurugenzi msaidizi wa maendeleo ya jinsia bi grace mwangwa amesema kuwa serikali inahitaji sera ya jinsia iliyoboreshwa ambayo inazingatia masuala jumuishi ikiwa ni pamoja na teknolojia mabadiliko ya tabia nchi elimu ajira na masuala mengine ili kuingizwa kwenye
matamko ya kisera wadau mbalimbali watafikiwa ili kupata wigo mpana wa ukusanyaji maoni kutoka kwa wadau wa makundi mbalimbali
zoezi la kuboresha sera ya maendeleo ya wanawake na jinsia ni shirikishi na tunaamini kuwa michango ya wadau itawezesha kupata mapendekezo stahiki kwa ajili ya kuboresha sera iliyopo alisema bi grace
bi grace amesema kuwa wizara imetuma wataalam katika ngazi ya jamii ili kupata maoni yao kuhusu maeneo ya vipaumbele katika kushughulikia matatizo changamoto zilizopo na mapendekezo ya kisera katika kuhuisha sera inayofanyiwa mapitio ili kukidhi usawa wa
naye afisa maendeleo ya jamii kutoka mkoa wa rukwa biaziza kalyatila amesema kuwa sera inayoandaliwa itaondoa pengo la unyanyapaa kwa wanaume na wanawake na kuwajumuisha katika mahudhui na maelekezo ya kisera ili kwenda sambamba na juhudi za serikali za kupeleka maendeleo kwa makundi yote jambo ambalo litasaidia kuondokana na ukatili katika
kwa upande wake meneja biashara kutoka crdb bank mkoa wa kigoma bw erick mgalla amesema kuwa wanawake wanakabiliwa na changamoto kubwa ya kupata mikopo katika taasisi za kifedha maana wanawake wameachwa nyuma katika huduma za kifedha
amesisitiza kuwa sera hii inapoandaliwa isaidie kuondoa vikwazo vya upatikanaji wa mikopo na hudumaya biashara kwa wanawake ili kutoa fursa sawa kwa wanawake na wanaume kwa kiasi kikubwa wanawake wameachwa nyuma bila kupata huduma za kibiashara kutoka
taasisi za fedha kwa mfano masoko 254 yaliyoko katika mji wa kigoma ujiji kiasi cha asilimia 90 ya wafanyabiashara walioko katika masoko hayo ni wanawake hata hivyo kundi hili la wanawake linachangamoto ya kukosa dhamana ya kuaminiwa na kupata mikopo na huduma
nyingine za kibiashara alisema bw erick
ameongeza kuwa sera ya jinsia inayoboreshwa ijikite kuwanufaisha pia wanawake ili kuweza kupata dhamana ya kumiliki ardhi na kuwezeshwa kufungua akaunti kwa kupewa haki ya umiliki wa mali kwa mujibu wa sheria
mapitio ya sera yanayofanyika hivi sasa yanatoa vipaumbele katika maeneo mapya ikiwa ni pamoja na jinsia na maendeleo ya mji/vijiji jinsia na haki za umiliki ardhi jinsia maji na mazingira haki za mtoto wa kike jinsia na ulemavu ukatili wa kijinsia jinsia sayansi teknolojia na ufumbuzi jinsia afya uzazi na ukimwi jinsia uongozi na maamuzi jinsiaajira na kazi jinsia sheria na haki za binadamu na jinsia na hifadhi ya jamii
maeneo mengine yatakayoangaziwa ni jinsia na kuwawezesha wanawake kiuchumi jinsia na ujumuishwaji wa kifedha jinsia na mabadiliko ya tabianchi jinsia na nishati jinsia na miundombinu jinsia na takwimu jinsia na madini jinsia na vyombo vya habari na mawasiliano jinsia na mila na desturi jinsia na jamii za ufugaji ufadhili na jinsia na jinsia na
serikali kupitia wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto ipo katika machakato wa kukusanya maoni ya wadau kutoka katika mikoa 26 ya tanzania bara ili kuboresha sera ya maendeleo ya wanawake na jinsia ya mwaka 2000 kwa ajili ya kuwezesha kufikia upatikanaji wa maendeleo jumuishi kwa kuzingatia haki na usawa wa kijinsia
from michuzi blog https//ifttt/2gdkurx
thanks for reading wadau wahimizwa kuibua maeneo mapya kuboresha sera ya jinsia | 2020-06-03T23:15:52 | https://www.masamablog.com/2020/01/wadau-wahimizwa-kuibua-maeneo-mapya.html |
vita vya maneno vyaendelea kati ya ethiopia na eritrea | matukio ya kisiasa | dw | 06032007
vita vya maneno vyaendelea kati ya ethiopia na eritrea
mgogoro mpya katika pembe ya afrika haukutikani tu nchini somalia lakini pia hali ya wasi wasi katika mpaka wa nchi jirani ya ethiopia na eritrea chini ya ule usemi adui wa adui yangu ni rafiki yangu pande zinazohasimiana nchini somalia zimekua zikielemea upande mmoja au mwengine kati ya hizo mbili
ramani yenye kuonyesha mpaka unaobishaniwa kati eritrea na ethiopia
katika tukio la karibuni ethiopia imedai kwamba ni eritrea iliohusika na utekaji nyara wa watalii wa kigeni kaskazini mwa ethiopia kwa mtazamo wa baadhi ya wadadisi nchi hizo mbili zinakabiliwa na kitisho cha kuingia tena vitani
eritrea imekua ikishutumiwa kwa ukiukaji wa haki za binaadamu ukiandamana na kutiwa watu ndani ugaidi unaodhaminiwa na dola na kuteswa wanaokosoa utawala wa nchi hiyo mbali na hayo taifa hilo dogo la pembe ya afrika lilishutumiwa na jirani yake ethiopia hivi karibuni katika kile kilichoelezwa kuwa lilikua na mpango wa shambulio la bomu wakati wa mkutano wa kilele wa viongozi wa afrika mjini addis ababa mkutano wa nane uliohudhuriwa na katibu mkuu wa umoja wa mataifa ban ki moon viongozi wa afrika na waakilishi wa umoja wa nchi za kiarabu na umoja wa ulaya
na sasa eritrea inaadaiwa tena kwamba imehusika na kutekwa nyara watalii watano wakiingereza waliotekwa nyara pamoja na waethiopia mapema juma hili tangu wakati huo waethiopia watano wameachiwa huru na mmoja wao kudai kwamba walihusika walikua waeritrea ama eritrea binafsi inayapinga madai yote hayo na kushambulia vikali ethiopia kwa kile ilichokiitaukahaba wa kisiasa
vita hivi vya maneno vimekuja bila ya kukumbuka maafa ya vita vya kuwania eneo la mpaka kati ya nchi hizo mbili 1998 hadi 2000 ambapo karibu watu 70000 walipoteza maisha yao huku wengine wakiviita vita vikuu vya afrika uhasama pia una pamba moto kutokana na uungaji mkono unaofanywa na kila upande kwa makundi yanayoupinga upande wa pili
ethiopia inakiunga mkono chama cha eritrea democratic alliance muungano wa vyama 13 vya upinzani dhidi ya serikali ya kimabavu mjini asmara upande wa pili eritrea inawaunga mkono ama kundi linaloipinga serikali ya ethiopaia la ogadennational liberation frontonlf au lile la oromo oromo liberation front olf
annette werber mtaalamu wa masuala ya pembe ya afrika kutoka taasisi ya sayansi na siyasa mjini berlin anaonya juu ya hatari ya kupamba moto kwa hali ya mambo katika mpaka wa nchi hizo mbili jirani akisema nafikiri tulichokiona mara kwa maramwaka jana daima kumekua na kushutumiana kwamba mmoja anapanga hujuma za kigaidi dhidi ya nchi nyengine wameamua kurudi kushutumiana na nafikiri ni ishara kwamba tunapaswa kuwa na tahadhari
tangu majuma kadhaa kumekuwepo na ripoti za kuimarishwa nyendo za kijeshi katika eneo la mpaka wa kilomita 1000 na baadhi ya mashahidi mjini addis ababa wametaja juu ya kutumwa kwa ndege na magari ya kijeshi katika eneo la kaskazini wengine wanayaangalia matukio ya ethiopia kuingia somalia na kuwaangusha viongozi wa mahakama za kiislamu kuwa ni maandalizi ya vita vipya dhidi ya eritrea
wadadisi wanaashirai kwa upande mwengine kwamba hali hiyo inaweza kupukwa kwa msaada wa nchi jirani kama vile jumuiya ya maendeleo ya mashariki na pembe ya afrika igad kujaribu kupatanisha bibi werber anasema sioni nchi za eneo hilo zikikubali kuziona ethiopia na eritrea zikipigana natumai kuna mbinyo zaidi kwa viongozi wa nchi hizo mbili kwamba hakuna uwezekano kwao kuingia katika duru mpya ya vita
uhusiano baina ya majirani hao wawili katika pembe ya afrika ethiopia na eritrea umekua si mzuri tangu muda mfupi tu baada ya eritrea kujipatia huru wake kutoka ethiopia 1993 baada ya kumalizika vita vilivyodumu miaka 30
kiungo http//pdwcom/p/chis | 2017-09-22T10:38:51 | http://www.dw.com/sw/vita-vya-maneno-vyaendelea-kati-ya-ethiopia-na-eritrea/a-2926454 |
nafasi za kazi mtendaji kijiji iii wilaya ya busokelo ajira leo | nafasi za kazi tanzania | ajira serikalini
homeunlabellednafasi za kazi mtendaji kijiji iii wilaya ya busokelo
nafasi zakazi ya mtendaji kijiji iii nafasi 7 wilaya ya busokelo
kumb no bdc/j2/02/ volv/90
mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya busokelo anawatangazia nafasi za kazi watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza za kuajiriwa kuomba nafasi za kazi katika utumishi wa umm nafasi za mtendaji kijiji daraja la iii kwaajili ya halmashauri ya wilaya busokelo
1 mtendaji wa vijiji iii nafasi 7
i awe amefahulu kidato cha 4 na 6
iialiyehitimu mafunzo ya atashahada/cheti katika moja ya fanai zifuatazo utawala sheria elimu ya jamii usimamizi wa fedha maendeleo ya jamii na sayansi ya sanaa kutoka chuuo cha serikali za mitaa hombolo dodoma nau chuo chochote kinachotambulika na serikali
iii awe raia wa tanzania mwadilifu mwenye umri kati ya miaka 18 hadi 45
iv mwenye tabia njema isiyotia shaka na ambaye hajawahi kutiwa hatian kwa kosa lolote la jinai
v awe tayari kufanya kazi katika kijiji chochote cha busokelo
b kazi na majukumu
afisa masuuli na mtendaji mkuu wa serikali ya kijiji
kuwa ulinzi wa amnai na usimamizi wa utawala bora katika kijiji
kuratibu na kusimamia upangaji wa utekelezaji wa mipnago ya maendeleo ya kijiji
katibu wa mikutano yna kamati zote za halmashauri ya kijiji
kutafsiri na kusimamia sera sheria na taratibu
kuandaa taaarifa za utekelezaji wa kazi katika eneo lake na kuhamasisha wananchi katika kuandaa na kutekeleza mikakati ya kuondoo njaa umaskini na na kuongeza uzalishaji mali
kusimamia kuusanya na kuhifadhi kumbukumbu zote za nyaraka
kusimamia utungwaji wa sheria ndogo za kijiji
kupokea kusikiliza na kutatua malalmiko na migogoro ya wananchi
iii mshahara
kwa kuzingatia ngazi ya mishahara ya serikali yaani tgs b
barua zote ziandike kwa mkono wa mwombaji na kutumwa kwa anuani ifuatayo
halmashauri ya wilaya ya busokelo
slp 2
tukuyu
a) barua zinaweza kutumwa kwa njia ya posta kwa walioko mbali na walio jirani wanaweza kuleta kwa mkono
b) barua/ anawani anayotumia kwa sasa pamoja na namba za simu viambatanishwe na
maelezo binafsi
nakala za vyeti vya taaluma
nakala ya cheti cha kuzaliwa
picha 2 passport size za hivi karibuni
c) awe hajawahi kupatikana na kosa lolote la jinai
d) testimonials na provisional results havitakubaliwa
e) nakala zote za vyeti vithibitishwe na hakimu au wakili yeyote aliesajiliwa na kuthibitishwa
f) watakaochaguliwa kuhudhuria usaili watafahamishwa kwa kupitia simu walizoandika kwenye barua zao
mwisho wa kupokea tangazo hili ni tarehe 20/04/2018
aidha tangazo hili linapatikana kwenye tovuti wwwbusokelodcgotz | 2019-01-17T20:27:32 | https://www.ajiraleo.co.tz/2018/04/nafasi-za-kazi-mtendaji-kijiji-iii.html |
vijimambo kamoga mkurugenzi mteule wa wilaya ya mbulu aamua kuanza na mungu
apostle onesmo ndegi kiongozi wa kanisa la living water center kawe akimwombea hudson kamoga
waumini wa kanisani living water center kawe wakiwa wamenyoosha mikono kwa hudson kamoga kuomba kwa ajili yake mkurugenzi mteule wa wilaya ya mbulu hudson kamoga ambaye ameteuliwa mwishoni mwa wiki jana amesema anaamini ni mungu aliyemuweka kwenye nafasi hiyo ili awatumikie wananchi wa mbulu kwa wakati huu akiongea kwenye ibada ya jumapili hii ndani ya kanisa la living water center kawe wakati alipopewa nafasi na mtumishi wa mungu apostle onesmo ndegi ili asalimia kanisa mheshimiwa kamonga alisema anakwenda kwenye wilaya yenye changamoto nyingi za kimaendeleo ila anaamini mungu atamwezesha kuzitatua kwa nafasi yake akishirikina na wananchi pamoja na viongozi wengine kati halimashauri ya mbulu | 2017-05-22T23:19:28 | http://lukemusicfactory.blogspot.com/2016/09/kamoga-mkurugenzi-mteule-wa-wilaya-ya.html |
serikali inaongeza muda wa kufunga shughuli za kila siku hadi tarehe 13 aprili 2020 mino danmark
serikali inaongeza muda wa kufunga shughuli za kila siku hadi tarehe 13 aprili 2020
https//minodk/covid19/kiswahili/#serikaliinaongezamudawakufungashughulizakilasikuhaditarehe13aprili2020
23/03/2020 / covid19 kwa swahili /
mkutano kwa waandishi wa habari kutoka kwa waziri mkuu tarehe 23032020 saa tisa kamili mchana (kl1500)
waziri mkuu mette frederiksen ameongeza muda na mipangilio yote kuhusu kudhibitisha magonjwa ya corona hadi tarehe 13 aprili 2020
watu 254 wamelazwa hospitalini wakiwa na magonjwa ya virusi vya homa kali ya mapavu vya corona watu 55 wamelazwa kwa kitengo cha utunzaji maalum na watu 24 wameaga dunia
mipangilio iliyoamuliwa na bunge hapo mwanzoni bado itaendelea kutimizwa kazi kuu sasa hivi ni kuzuia watu wengi wasiambukizwe na kuwa wangojwa kwa mara moja kwa sababu hio serikali imeongeza muda na kufunga shughuli za kila siku hadi tarehe 13 aprili 2020
waziri mkuu mette frederikesen anasisitiza kwamba ni muhimu kila mtu kufuata sheria na mikakati zilizowekwa kuwa mbali mbali ingawa inaweza kuwa changa moto wakati wa pasaka wana wasihi watu wasisafiri msimu wa pasaka hata kama ni usafiri wa humu mjini danmark
familia zilizo hatarini lazima watumie utunzaji wa dharura kwani kuna uwezo wa kutosha wa kutunza watoto na vijana vile vile nafasi za nyumba zimetengwa ili watu wasio na makaazi pia waweze kujitenga ikiwa wataambukizwa
waziri wa afya anasema kwamba wanafanya kazi kwa bidii ili kupanua na kuboresha uwezo wa matibabu wamewasiliana na korea kusini kwa ombi na makubaliano ya kununua vifaa vya upimaji
kwa kumaliza waziri wa afya anasema kwamba wanakaribisha na kupokea msaada wowote ikiwa kuna mtu anataka kusaidia basi tafadhali pata maelezo zaidi mtandaoni kwa coronasmittedk hapo utapata kiingilio cha danmark inasaidia danmark ambapo unaweza kupata tathmini ya haraka jinsi unaweza kusaidia | 2020-07-04T14:22:14 | https://mino.dk/covid19/kiswahili/serikali-inaongeza-muda-wa-kufunga-shughuli-za-kila-siku-hadi-tarehe-13-aprili-2020/ |
linyalomakalelo ni mulelo walona | tuto
monifumanezi tabo mwa kufana
linyalomakalelo ni mulelo walona
zebatokwa kueza bakreste kuli bakondise mwa linyalo labona
mubate nto ya butokwa hahulu kufita gauda
kana mwalemuha butokwa bwa kueza zwelopili ya kwa moya
kana mwalemuha butokwa bwa kuluta babañwi
tawala ya mulibeleli (hatiso ya kuituta) august 2016
muñaa bupilo a li ha ku lukeli kuli mutu a ine a nosi ni ka mu ezeza mulikani ya swana ni yenagen 218
lipina 36 11
ki kabakalañi halukona kubulela kuli linyalo ki mpo yezwa ku mulimu
mukona kutalusa cwañi zeezahezi mwa linyalo kuzwa ka nako ya adama kutaha mwa linako za jesu
ki lika mañi zekona kutusa mukreste kuikatulela ka za haiba waswanela kukena mwa linyalo kamba kutokwa
1 2 (a) linyalo nelikalile cwañi kubateñi (b) ki nto mañi yenebaswanela kulemuha bo muuna ni musali bapili ka za linyalo (mubone siswaniso sesi fahalimu)
linyalo ki kalulo ya bupilo bwa batu kono nelikalile cwañi mi mulelo walona ki ufi kuziba likalabo kwa lipuzo zeo kuka lutusa kuba ni mubonelo olukile ka za linyalo ni limbuyoti zetaha ka linyalo mulimu naabupile mutu wapili adama mi amufa musebezi wa kubeya lifolofolo mabizo adama naaboni kuli kwa mufuta ni mufuta wa folofolo nekunani yamuuna ni yamusali kono haili mutu ha ku si ka fumanwa ya swana ni yena kacwalo mulimu atahisa kuli adama alobale buloko bobutuna mi acomola likupo ku yena ni kubupa fateñi musali mi atisa musali yo ku adama mi aba musalaa hae (mubale genese 22024) taba ye ibonisa kuli linyalo ki mpo yezwa ku mulimu
2 hamulaho wa lilimo zeñata jesu naakutezi kubulela manzwi anaabulezi jehova mwa simu ya edeni a kuli muuna u ka siya ndatahe ni mahe mi u ka kumalela musalaa hae mi bubeli bwa bona ba ka ba nama i liñwi (mat 194 5) bakeñisa kuli mulimu naaitusisize likupo la adama kwa kubupa musali bo muuna ni musali bapili bao nebaswanela kulemuha kuli swalisano yabona neli yetuna hahulu mulimu naasatokwi kuli muuna ni musalaa hae bakauhane kamba kuli muuna anyale basali bababeli ka nako yeswana kamba musali kunyalwa kwa baana bababeli
linyalo ki kalulo ya mulelo wa jehova
3 mulelo wa butokwa wa linyalo neli ufi
3 adama naatabezi hahulu musalaa hae mi hamulaho amufa libizo la eva musali yo naali mulikani ni mutusi wa adama mi ka zazi ni zazi sibeli sabona nebakaba ni tabo habanze bapeta buikalabelo bwabona bwa kuba muuna yanyezi ni musali yanyezwi (gen 218) mulelo wa butokwa wa linyalo neli wa kuli batu bapepe ni kutaza lifasi ka bana babona (gen 128) nihaike kuli bana babashimani ni babasizana nebaka lata bashemi babona hamulaho nebakaba siya ni kuyo nyala kamba kunyalwa mane ni kuba ni mabasi abona batu nebaka taza lifasi ka sipimo sesiswanela mi nebaka yandululela paradaisi mwa lifasi kaufela
4 nekuezaheziñi kwa linyalo lapili
4 linyalo lapili nelitahezwi ki butata bobutuna bakeñisa kuli bo adama ni eva nebaketile kuitusisa maswe tukuluho yabona ya kuiketela za kueza mi nebaketile kusauutwa jehova satani diabulosi yona noha ya kale naapumile eva ka kumutahiseza kulumela kuli kuca kwa muselo wa kota ya ku ziba bunde ni bumaswe nekuka mutahiseza kuba ni zibo yeipitezi yene ka mukonisa kuketa zende ku zemaswe eva naabonisize kashwau kwa tamaiso ya muunaa hae ka kuikatulela kuca kwa muselo pili asika buza kale muunaa hae kufita kuutwa mulimu adama naalumezi kuca kwa muselo wanaafilwe ki musalaa haesin 129 gen 29 16 17 316
5 lukona kuitutañi kwa likalabo zene bafile bo adama ni eva ku jehova
5 jehova hanaa babuzize adama naanyazize musalaa hae naabulezi kuli musali yo ni file kuli a ine ni na ki yena ya ni file kwa kota mi ni cile eva naanyazize noha yene mupumile (gen 312 13) adama ni eva nebafile mabaka asautwahali akuyemela mafosisa abona mi jehova naaatuzi bakwenuheli bao mutala wabona ulufa temuso yetuna kuli linyalo likonde muuna ni musali babanyalani baswanela kuitumelelanga mafosisa abona mi batokwa kuutwa jehova
6 mukona kutalusa cwañi genese 315
6 kusina taba ni zanaaezize satani mwa simu ya edeni jehova naafile batu sepo mwa bupolofita bwapili bobuñozwi mwa bibele (mubale genese 315) bupolofita bo nebubonisize kuli satani naaka pyatiwa ki peu ya musali kacwalo jehova naabonisize batu swalisano ye mwahalaa hae ni libupiwa zahae zeñata za moya zemusebeleza ka busepahali mwa lihalimu ka swanisezo libupiwa zeo libizwa musalaa jehova mañolo abonisa kuli mulimu naaka luma alimuñwi kwa libupiwa zahae zeo za moya kuli ato pyata diabulosi peu yeo neikatahisa kuli batu babaipeya kuutwa baikole tohonolo yene balatehezwi ki yona batu bapili ya kupila kuya kuile kulikana ni mulelo wa jehova wa kwa makalelojoa 316
7 (a) kuezaheziñi mwa manyalo kuzwa ka nako yene bakwenuhile bo adama ni eva (b) bibele ibulela kuli muuna ni musali babanyalani baswanela kuezañi kuli bakondise linyalo labona
7 bukwenuheli bwa bo adama ni eva nebutahisize butata mwa linyalo labona ni mwa manyalo a batu babasimuluhile ku bona ka mutala eva ni basali kaufela nebanani kuutwanga hahulu butuku ka nako ya mulwalo ni ya kupepa basali nebaka banga ni takazo yetuna kwa baana babona kono baana bona nebaka zamaisa basali babona mane ka linako zeñwi ni kubanyandisa sina molubonela mwa manyalo amañata kacenu (gen 316) jehova utokwa kuli baana babanyezi bazamaise mabasi abona ka lilato mi ubata kuli basali bakuteke hahulu baana babona (maef 533) bakreste babanyalani habaswalisana hande mwa linyalo labona matata amañata akakusufazwa hahulu
muinelo wa linyalo kuzwa nako ya adama kutaha nako ya muunda
8 muinelo wa linyalo kuzwa nako ya adama kutaha nako ya muunda neli ocwañi
8 bo adama ni eva basika shwa kale nebapepile bana babashimani ni babasizana (gen 54) mwanaa bona wapili wamushimani kaine naanyezi musali wa mwa lubasi lwahabo yena lameke yanaasimuluhile ku kaine ki yena wapili yatalusizwe mwa bibele kuli naanyezi basali bababeli (gen 417 19) kuzwa ka nako ya adama kuyo fita mwa nako ya nuwe nekunani batu basikai feela bane balapela jehova babañwi ku bona batu bao neli abele enoke ni nuwe ni lubasi lwahae bibele ibulela kuli mwa linako za nuwe bana ba bashimani ba mulimu se ba bona bana ba basizana ba batu kuli ki ba bande mi ba ikungela basali ku be ba ketile kamukana swalisano yeo nesi ya kataho mi mangeloi ao ni basali bao bapepa bana babatuna bane babizwa likwenyepa ka nako yeo bumaswe bwa batu neli bo butuna hahulu mwa lifasi mi mihupulo kamukana ya lipilu za bona neli ye maswe feela ka mazazi kamukanagen 615
9 jehova naaezize cwañi batu babamaswe ba mwa linako za nuwe mi luswanela kuitutañi ku zeneezahezi ka nako yeo
9 jehova naatahisize muunda mwa linako za nuwe ka mulelo wa kuyundisa babamaswe ka nako yeo batu nebapatehile kueza lika za bupilo bwa ka zazi ni zazi kukopanyeleza cwalo ni za manyalo kuli mane nebapalezwi kuteeleza ku zanaabalemusa nuwe mukutazi wa ku luka ka za sinyeho yene atumela (2 pit 25) jesu naabapanyize muinelo wo ku zene kaezahala mwa linako zaluna (mubale mateu 243739) kacenu batu babañata bahananga kuteeleza kwa taba yende ya mubuso wa mulimu yesweli kukutazwa mwa lifasi kaufela kuli ibe bupaki kwa macaba kaufela pili mafelelezo a lifasi lelimaswe le asika taha kale haike luitute tuto ya butokwa ya kuli nihaiba litaba za lubasi zecwale ka manyalo ni kuuta bana haliswaneli kulupalelwisa kulemuha lisupo zebonisa kuli lizazi la jehova lisutelezi
muinelo wa linyalo kuzwa nakoya muunda kutaha nako ya jesu
10 (a) mwa lizo zeñata ki likezo mañi za buhule zenebile kalulo ya mupilelo wa batu (b) abrahama ni sara nebatomile cwañi mutala omunde mwa linyalo labona
10 nuwe ni bana bahae babalaalu mañi ni mañi naanani musali alimuñwi feela nihakulicwalo hamulaho wa muunda baana babañata nebanyezi libali mwa lizo zeñata likezo za buhule neliatile mi mane nelikopanyizwe kwa lizo za bulapeli abrahama ni musalaa hae sara hane batutezi kwa kanana nebayo pila mwahalaa batu ba mizamao ya buhule ili bane basakuteki linyalo jehova naayundisize batu ba mwa mileneñi ya sodoma ni gomora bakeñisa likezo zemaswe za buhule zeneeziwa mwateñi ka kuba toho ya lubasi abrahama naaetelezi hande lubasi lwahae mi sara naatomile mutala omunde wa kuipeya kwatasaa muunaa hae (mubale 1 pitrosi 336) abrahama naaboni teñi kuli mwanaa hae isaka unyala musali yali mulapeli wa jehova mi isaka ni yena naaezize nto swana ku mwanaa hae jakobo ili yo bana bahae nelibona litoho zenesimuluzi masika a 12 a isilaele
11 mulao wa mushe neusileleza cwañi maisilaele
11 hasamulaho jehova naaezize tumelelano kamba bulikani ni sicaba sa isilaele naabafile mulao wa mushe one usileleza baana ni basali bane balapela jehova ka mutala nekunani milao yeama lizo za manyalo kukopanyeleza cwalo ni manyalo a libali mi maisilaele nebasika lumelezwa kunyalana ni batu bane balapela milimu ya buhata (mubale deuteronoma 73 4) hane kutahanga matata amatuna mwa manyalo baanabahulu ki bona bane batatululanga matata ao hape nekunani milao ya za kusasepahala lifufa ni ya za kuhupulela yomuñwi bumaswe telekano neilumelezwa kono nekunani milao yene latelelwanga ili yenesileleza sibeli sa batu babanyalani ka mutala muuna nakona kuleleka musalaa hae haiba musalaa hae uezize taba ye maswe (deut 241) taba ye maswe yebulezwi fa haisika taluswa kuli ki nto mañi kono haluswaneli kunahana kuli neiama mafosisa amanyinyaniliv 1918
musike mwaeza mutu yemunyalani ni yena ka bupumi
12 13 (a) baana babañwi ba mwa linako za malaki nebaezize cwañi basali babona (b) kacenu haiba mutu ya kolobelizwe ya mwa linyalo aketa kunyalana ni mutu usili ki lika mañi zekona kuzwa mwateñi
12 mwa linako za mupolofita malaki baana babañata ba majuda bane banyezi nebaezize basali babona ka bupumi ili kubaleleka ka mabaka asina tuso baana bao nebayubekile basali ba mwa bunca bwabona mwendi ka mulelo wa kunyala basali babasali babanca kamba mane basali bane balapela milimu ya buhata ka nako yanaali teñi jesu fa lifasi baana ba majuda nebasazwelapili kulelekanga basali babona ka bupumi ili kuitusisa mabaka ashutanashutana (mat 193) jehova mulimu naatoile litelekano zecwalo zesi za ka mulaomubale malaki 21316
13 kacenu kusasepahala mwa linyalo hakulumelezwi mwahalaa batu ba jehova kono kucwañi haiba muuna kamba musali yakolobelizwe ya mwa linyalo aeza bubuki ni kufelisa linyalo lahae ka telekano ili ka mulelo feela wa kunyanalana ni mutu usili haiba muezalibi yo habakeli libi zahae ukazwisiwa mwa puteho kuli puteho isiyale inze ikenile kwa bumaswe bobucwalo (1 makor 51113) mi mutu yacwalo asika kutisezwa kale mwa puteho uswanela kuba ni muselo o bonisa ku baka (luka 38 2 makor 2510) nihaike kuli hakuna nako yetomilwe yeswanela kufita kuli mutu akutisezwe mwa puteho mufuta wa bupumi bobucwalo bobusa ezahalangi hahulu mwahalaa batu ba mulimu habuswaneli kutuhelelwa feela kukona kuunga nako yetelele kuli muezalibi abonise kuli ubakile luli mi nako yeo ikona kuba silimo kamba lilimo zeñata mutu ya cwalo ni kwa kakutiswa mwa puteho usanani kuikalabela fapilaa sipula sa mulimu sa katulomaro 141012 mubone tawala ya mulibeleli ya sikuwa ya november 15 1979 make 3132
linyalo mwahalaa bakreste
14 mulao neupetile lika mañi zetuna
14 maisilaele nebazamaisizwe ki mulao wa mushe ka lilimo zefitelela 1 500 mulao wo neutusize batu ba mulimu mwa linzila zeñata ka mutala mulao wo neufile batu likuka zene batusa kutatulula matata a mwa lubasi mi neubatusize kuziba mesia (magal 323 24) jesu hasaashwile mulao wo neufelile mi mulimu naaezize tukiso yenca (maheb 86) kacwalo lika zeñwi zene lumelelizwe mwa mulao wa mushe bakreste nebasika lumelezwa kuzwelapili kuliezanga
15 (a) mwa puteho ya sikreste manyalo aswanela kuetelelwa ki sikuka mañi (b) ki litaba mañi zaswanela kunyakisisa mukreste yanahana za kufelisa linyalo lahae
15 zazi leliñwi bafalisi nebabuzize jesu puzo yeama linyalo naabaalabile kuli mulimu naalumelelize maisilaele kueza telekano nihaike kuli nesi ona mulelo wahae wa kwa makalelo ka za linyalo (mat 1968) kacwalo jesu naabonisize kuli likuka za mulimu ka za linyalo zenetomilwe mwa simu ya edeni ki zona zene bakalatelela batu ba mwa puteho ya sikreste (1 tim 32 12) ka kuba nama i liñwi batu babanyalani baswanela kukumalelana ili kulumeleza lilato la mulimu ni lilato lelili teñi mwahalaa bona kutiisa swalisano yabona telekano ya ka mulao yesika toma fa bufosi bwa buhule haikoni kutahiseza mutu ya zwa mwa linyalo leo kuba ni tukuluho ya kunyalana ni usili (mat 199) niti kikuli mutu wakona kuketa kuswalela mutu yanyalani ni yena yaezize bubuki ibile feela ubakezi bufosi bwahae sina mwanaaezelize mupolofita hosea yanaaswalezi musalaa hae wa mizamao ya buhule gomere ka kuswana jehova naabonisize sishemo kwa maisilaele bane babakile hane baezize bubuki bwa kwa moya (hos 315) ka kuekeza haiba mutu uzibile kuli mutu yanyalani ni yena uezize bubuki mi uketa kueza somano ni mutu yo yafosize kezo yeo ibonisa kuli uswalezi sifosi yo mi ya foselizwe hasana libaka la ka mañolo la kulelekana ni mutu yo yanyalani ni yena
16 jesu naabuleziñi ka za bukwasha
16 hamulaho wa kutalusa kuli mwahalaa bakreste ba niti hakuna mabaka aswanela kutahisa telekano kwandaa mulatu wa bubuki jesu naabulezi ka za batu ba ba filwe mpo ya kupila bali makwasha naaekelize kuli ya kona ku sa nyala a eze cwalo (mat 191012) batu babañata baikatulezi kupila bali makwasha ka mulelo wa kuli baise hahulu pilu kwa kusebeleza jehova batu babacwalo bababaziwa bakeñisa kuunga muhato wo
17 ki nto mañi yekona kutusa mukreste kueza katulo ya kukena mwa linyalo kamba kutokwa
17 ki nto mañi yekona kutusa mukreste kueza katulo ya kukena mwa linyalo kamba kuzwelapili mwa bukwasha mutu uswanela kuitatuba ni kubona haiba wakona kuzwelapili mwa bukwasha kamba kutokwa muapositola paulusi naababalize bupilo bwa bukwasha kono hape naabulezi kuli bakeñisa ku ata kwa buhule muuna kaufela a be ni musalaa hae mi musali kaufela a be ni muunaa hae paulusi naaekelize kuli haiba ha ba na buiswalo ba nyale kamba ku nyalwa kakuli se sinde ki ku nyala kamba ku nyalwa ku fita ku bulaiwa ki takazo kukena mwa linyalo kwakona kutusa mutu kuambuka takazo yetuna ya somano kumutahiseza mukwa wa kuicuka kamba wa kueza buhule kutuha fo ki kwa butokwa kunyakisisa lilimo zaluna kakuli muapositola naabulezi kuli kono haiba mutu a ikutwa kuli ha ezi ka swanelo ku likana ni bwalyanjo kamba bunjilulume bwa hae haiba ki kale a tula linako za litakazo za kwa bunca fohe sa swanela ku eza ki se a eze sa lata ha ezi sibi ha ba kene mwa linyalo (1 makor 72 9 36 1 tim 413) nihakulicwalo mutu haswaneli kumatela kukena mwa linyalo kabakala kubata feela kufelisa takazo yekona kutiswa ki bunca kakuli mwendi hasika hula kufita fa siyemo sesimukonisa kulwala buikalabelo bwa mwa linyalo
18 19 (a) linyalo la bakreste liswanela kukalisa cwañi (b) lukanyakisisañi mwa taba yetatama
18 linyalo la bakreste liswanela kukala ka muuna ni musali babakolobelizwe ili babalata jehova ka pilu kaufela hape baswanela kulatana luli kuli mane bakona kupila hamoho inze banyalani mwa bupilo bwabona kaufela jehova uka bafuyaula bakeñisa kuli nebalatelezi kelezo yahae ya kunyalela feela ku mulena (1 makor 739) mi bakakondisa mwa linyalo labona haiba basebelisa kelezo ya mwa bibele
19 kacenu lupila mwa mazazi a maungulelo mi batu babañata habana tulemeno totutokwahala kuli bakondise mwa linyalo (2 tim 315) mwa taba yetatama lukanyakisisa likuka za butokwa zefumaneha mwa bibele zekona kutusa bakreste kukondisa ni kuba ni tabo mwa linyalo kusina taba ni matata ebatalimana ni ona kueza cwalo kukabatusa kuzwelapili kuzamaya mwa nzila yeisa kwa bupilo bobusa felimat 713 14
https//wwwjworg/finderdocid=2016602&wtlocale=sk&srcid=share
mailtobody=linyalomakalelo ni mulelo walona0a0ahttps3a2f2fwwwjworg2ffinder3fdocid3d201660226wtlocale3dsk26srcid=share⊂ject=linyalomakalelo ni mulelo walona
august 2016 tawala ya mulibeleli (hatiso ya kuituta)
https//wwwjworg/finderpub=w16&issue=201608&wtlocale=sk&srcid=share
mailtobody=august 2016 tawala ya mulibeleli (hatiso ya kuituta)0a0ahttps3a2f2fwwwjworg2ffinder3fpub3dw1626issue3d20160826wtlocale3dsk26srcid=share⊂ject=august 2016 tawala ya mulibeleli (hatiso ya kuituta)
https//assetsnffrgfaakamaihdnet/assets/a/w/sk/201608/wpub/w_sk_201608_mdjpg
mu kupe mulimu kuli a mi tuse ku ba ni tabo mwa linyalo | 2016-12-04T20:01:55 | https://www.jw.org/loz/lihatiso/limagazini/tuto-ya-tawala-ya-mulibeleli-august-2016/linyalo-makalelo-ni-mulelo-walona/ |
balozi wa kuwait akabidhi msaada mwingine wa maafa kagera jiachie balozi wa kuwait akabidhi msaada mwingine wa maafa kagera jiachie
home > taarifa mbalimbali > balozi wa kuwait akabidhi msaada mwingine wa maafa kagera
waziri mkuu kassim majaliwa akipokea hundi ya dola za marekani 33000 kutoka kwa balozi wa kuwait nchini jasem alnajem ukiwa ni msaada kwa waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani kagera makabidhiano hayo yalifanyka ofisini kwa waziri mkuum bungeni mjini dodoma novemba 9 2016 (picha na ofisi ya waziri mkuu)
item reviewed balozi wa kuwait akabidhi msaada mwingine wa maafa kagera rating 5 reviewed by ahmad michuzi | 2017-09-22T11:35:09 | http://michuzijr.blogspot.com/2016/11/balozi-wa-kuwait-akabidhi-msaada.html |
21102019 taarifa ya habari asubuhi | idhaa ya kiswahili | dw | 21102019
21102019 taarifa ya habari asubuhi
kiungo https//pdwcom/p/3rc9y
19112019 taarifa ya habari za asubuhi 19112019
18112019 taarifa ya habari za asubuhi 18112019
sudan haki yahitajika kwa mauaji ya waandamanaji 18112019
shirika la kutetea haki za binaadamu human rights watch limesema katika ripoti yake kwamba waliohusika na mashambulio mabaya dhidi ya waandamanaji juni 2019 nchini sudan wanapaswa kuwajibishwa kikamilifu | 2019-11-20T20:01:48 | https://www.dw.com/sw/21102019-taarifa-ya-habari-asubuhi/av-50910528 |
[releasemanagement] jinsi ya kufunga programu au kusasisha kutoka kutolewa kwa zamani ambayo haijatumiwa
hivi majuzi nimeweka toleo la zamani la ubuntu kwenye mashine yangu ya zamani wakati wowote ninapojaribu kusanikisha programu yoyote mimi hupata hitilafu ikisema haipatikani
hifadhi ya kutolewa zamani ambayo haijasaidiwa (kama 1104 1110 na 1304) huhamishwa kwa seva ya kumbukumbu kuna kumbukumbu zinapatikana katika http//oldreleasesubuntucom
sababu ya hii ni kwamba sasa iko nje ya msaada na haipatikani tena visasisho na viraka vya usalama
ningekuhimiza uzingatia usambazaji ulioungwa mkono ikiwa kompyuta yako ni ya zamani sana kwa suala la kumbukumbu au processor basi unapaswa kuzingatia usambazaji kama vile lubuntu au xubuntu
kama unataka kuendelea kutumia kutolewa zamani kisha hariri /etc/apt/sourceslist na mabadiliko archiveubuntucom na securityubuntucom kwa oldreleasesubuntucom
unaweza kufanya hivyo na sed
kisha sasisha na
wakati mwingine inaweza kuwa haraka kuunda backups za mfumo wako na kusanidi tena kwa kutumia kutolewa kwa mkono badala yake
chanzo je naweza kuendelea kutumia ubuntu 904 ikiwa imepitwa na wakati
ili kusasisha hadi toleo mpya
mara tu baada ya kufanya hatua hapo juu kubadili viookutolewa zamani sasisha meneja wa sasisha na kisha fanya doreleaseupgrade
tazama pia eolupgrades msaada wa jamii wiki
je ni makosa 404
ujumbe wa makosa 404 au haupatikana ni nambari ya kawaida ya majibu ya http inayoonyesha kuwa mteja aliweza kuwasiliana na seva lakini seva haikuweza kupata kile kilichoombwa
seva ya mwenyeji wa wavuti kawaida hutoa ukurasa wa wavuti 404 ukurasa haupatikana wakati watumiaji wanajaribu kufuata kiunga kilichovunjika au kilichokufa
kwanini tunakabiliwa na makosa 404
ubuntu ifuatavyo njia mbili za mizunguko miwili ya kutolewa
utoaji wa kawaida wa ubuntu unasaidiwa kwa miezi 9 matoleo ya lts yanaungwa mkono kwa miaka 5
matoleo ya zamani yanaweza kuwa na ratiba tofauti za usaidizi (kwa mfano kutolewa kawaida (kabla ya 1304) ilitumika kuungwa mkono kwa miezi 18 wakati utoaji wa lts (kabla ya 1204) ulitumika kusaidia kwa miaka 3 kwenye desktop na miaka 5 kwenye seva
eol mara tu kipindi cha usaidizi cha kutolewa fulani kitakapomalizika zinaitwa end of life (eol) na visasisho vyote na kumbukumbu za kifurushi cha toleo hilo huhamishiwa kwa seva tofauti ambayo husababisha makosa 404 wakati wa kukimbia sudo aptget update unaweza kudhibitisha ikiwa kutolewa kwako kumekuwa eol kwa kwenda kwenye ukurasa huu ikiwa kutolewa kwako kwa ubuntu kumetajwa chini ya jedwali la mwisho wa maisha (eol) basi kutolewa hakuhimiliwi tena na unapaswa kujaribu kusasisha ili kutolewa mpya walakini ikiwa ungetaka kuendelea kutumia toleo hili ambalo halijafadhiliwa utalazimika kufanya marekebisho muhimu /etc/apt/sourceslist ili kuelekeza oldreleases seva ya ubuntu
hatua za kufanya marekebisho muhimu
fungua kituo chako
press ctrl+ alt+ t au
ikiwa unayo gnome applications → accessories → terminal au
ikiwa una umoja bonyeza super(kitufe kati ya left ctrlna left alt) na uliza kwa terminal
run amri ifuatayo ili uingie kwenye ganda la mizizi
ingiza nywila yako ya mtumiaji na bonyeza enter haraka ingebadilika na ingeonyesha kuwa mtumiaji wa mizizi sasa ameingia hapa endesha amri ifuatayo
faili ingefunguliwa katika dirisha mpya la gedit kupata mstari wa kwanza ambayo haina kuanza na # tuseme kuwa unaendesha karmic koala (ubuntu 910) inapaswa kuwa kama safu ifuatayo
<siteurl> iko wapi seva yako unayoipendelea kwa http//gbarchiveubuntucom/ubuntu upande wako (kwa mfano)
bonyeza ctrl+ hili ubadilishe yako <siteurl> na http//oldreleasesubuntucom/ubuntu
tafuta http//gbarchiveubuntucom/ubuntu nk <siteurl>
badilisha na http//oldreleasesubuntucom/ubuntu na
vyombo vya habari replace all
tafuta http//securityubuntucom/ubuntu (url hii kamili ya uwasilishaji wote wa ubuntu iwe seva ya sasa ambayo unatumia)
badilisha na http//oldreleasesubuntucom/ubuntu
hifadhi faili yako na kutoka gedit
run amri ifuatayo kutoka kwa ganda la mizizi
utagundua kuwa haraka hubadilika kuashiria kuwa mtumiaji wako wa kawaida sasa ameingia halafu fanya yafuatayo
kuna unaenda hakuna makosa 404 wakati huu sasa unaweza kufunga vifurushi vyote vinavyopatikana kwa kutolewa kwako kwa ubuntu unaweza pia kukimbia sudo aptget distupgrade ili kusasisha sasisho zozote za usalama / mduduambazo bado hazijasanikishwa lakini hautapata sasisho zozote za usalama / mpangilio wa bughai kutoka ubuntu
jibu fupi ni kuongeza hazina inayofuata ya programu ya chama cha tatu (au programu nyingine katika matoleo mapya) katika vyanzo vya programu (au programu na sasisho katika matoleo mapya)
jibu refu
njia ya gui
kweli kwa kweli tutafanya hii bila kutumia terminal yoyote sio hata mara moja gui tu ninaahidi )
kwanza fungua vyanzo vya programu (au programu na sasisho katika toleo mpya) haijalishi ubuntu wako ana umri gani hakika kuna kitu kama hiki kwa ubuntu 904 (jaunty jackalope) angalia picha inayofuata kuona wapi iko
baada programu vyanzo (au programu na taarifa ) ni wazi kwenda katika ubuntu programu na updates tabo na acha kuchagua everytiyng kama katika picha ya pili hauitaji tena vitu hivi kwani toleo lako la ubuntu ni mwisho wa uhai
bila kufunga vyanzo vya programu (au software & sasisho ) nenda kwenye programu ya chama cha tatu (kwa matoleo mapya kabisa kichupo hiki kimeitwa software nyingine ) tabo na ongeza kumbukumbu mpya ya apt ingiza laini inayofuata wakati umeulizwa
ikiwa toleo lako la ubuntu ni zaidi ya 904 badilisha kwenye safu hapo juu jaunty na jina lako la ubuntu (kwa mfano ikiwa una ubuntu 910 rudisha karmic na kadhalika)
sasa wakati utafunga vyanzo vya programu (au software & sasisho ) utaulizwa kupakia tena habari kuhusu programu inayopatikana hakikisha tu kuwa una muunganisho wa wavuti inayofanya kazi
na sasa uko huru kupakua karibu kila unachotaka kwa 904 unaweza kutumia meneja wa ufungaji wa synaptic kwa kutolewa mpya kuna kituo cha programu cha ubuntu
kwa mfano kusanikisha vlc kwenye ubuntu 904 kwa kutumia meneja ufungaji wa synaptic fuata maagizo kwenye picha zifuatazo
ikiwa unataka kusasisha ubuntu wako kwa toleo jipya nenda tu kwa mfumo > sasisha meneja
nilijaribu njia hii kutoka kwa kikao cha ubuntu 904 (jaunty jackalope) na kama unaweza kuona kutoka kwa picha hizi ilifanya kazi ikiwa uko kwenye kikao kilichosanikishwa cha ubuntu utaulizwa wakati mwingine kwa nywila ya mizizi au admin ingiza tu nywila yako ya kibinafsi wakati umeulizwa
nilifika hapa kwa kuwa sikuweza kuboresha mfumo kutoka 1510 (eol) hadi 1604 lakini hakuna majibu yoyote yalinifanyia kazi hata baada ya kufanya kila kitu kilichopendekezwa hapa niliendelea kupata kutoka sudo doreleaseupgrade kwa majibu ya kukasirisha
na sikuwa na mafanikio katika kukimbia updatemanager iliendelea kutupa isipokuwa ambayo sikuweza kusuluhisha ninashuku kuwa kuna kitu kimeharibika katika usanidi wangu wa 1510 lakini msingi ni kwamba visasisho vilivyojengwa vinashindwa tu
kwa hivyo nilitafuta njia isiyo kujengwa na hakika ya kutosha nikaipata ikiangalia jibu hili
hii ndio suluhisho ambayo ilinifanyia kazi
fungua http//changelogsubuntucom/metare tafadhali
machapisho ya kutolewa unayotaka kuboresha kwa upande wangu ni xenial xerus (msaada wa muda mrefu wa 1604)
pata url ya kuboreshatool kwa ubaya ni huu pakua tarball kutoka kwa url hiyo kwenye folda tupu na uifungue ( tar xzf au kutumia gui)
pata faili inayoweza kutekelezwa na jina moja kama la usambazaji (kwa kesi yangu xenial ) kuendesha na sudo
idhini ya sasisho na subiri upakuaji ukamilike kuna maelfu ya faili na uwezekano wa zaidi ya gigabyte endelea na kusanidi sasisho
(ilihaririwa muda mrefu baada ya mimi kufanya toleo jipya ilifanikiwa na nilisahau kusasisha)
subiri hadi ikamilike idhini ikiwa imeulizwa sikumbuki maelezo kamili
baada ya kusanidi upya toleo jipya linafanya kazi kwa mafanikio na sasisho zote zinaweza kuchukuliwa kawaida
ili aptget kufanya kazi tena badilisha vyanzo vya programu yako kuwa hazina za zamani za kutolewa
futa chochote kilicho ndani na ubatike yafuatayo
wakati jibu la fossfkululeko linafanya kazi nzuri ya kuelezea na kutatua shida nimepata suluhisho la kutofautisha ambalo nadhani ni rahisi na nzuri zaidi
ujanja ni kuongeza http//oldreleasesubuntucom/ubuntu/ kama kioo halafu waambie vyanzo vya programu kubadili kwenye kioo hicho
kwa kufanya hivyo chelezo na ubadilishe /usr/share/pythonapt/templates/ubuntumirrors chagua eneo bandia kwa seva ya kutolewa zamani (mfano #locus ) na ongeza safu ifuatayo chini yake
sasa fungua mazungumzo ya vyanzo vya programu na uchague kwa mikono oldreleasesubuntucom kana kwamba ni kioo chako cha mkoa unapaswa kuipata iliyoorodheshwa chini ya eneo bandia ulilochagua katika hatua ya awali
wakati mwingine utakapopakia tena habari ya kifurushi chako kupitia synaptic au kidhibiti cha sasisha unapaswa kuiona ikifanikiwa kupata habari mpya ya kifurushi
inaonekana hazina za karmic hazipatikani tena
kwa kuwa ni za toleo la awali la ubuntu unaweza kufikiria kuziondoa kutoka kwenye orodha yako ya vyanzo angalia ukurasa huu wa msaada kwa hatua kwa hatua
unaweza kupata hazina zilizo chini ya seva ya kutolewa zamani http//oldreleasesubuntucom/ubuntu/dists/
na juu ya jinsi ya kuhariri mipangilio ya /etc/apt/sourceslist https//helpubuntucom/community/eolu
kuna kesi ya makali madai ya aptkupata 1604 lts haipo ambapo kifurushi cha zamani (v wazi kwa upande wangu) haikuwapo kwenye seva ya kutolewa zamani lakini kupata vizuri kunaweza kupata tu kernel na sasisho za google
sina hakika kabisa shida yangu ni nini kwa sababu nilikuwa nikifuata upofu sed amri ya majibu iliyokubaliwa (kamwe hoja nzuri)
hii haikufanya kazi kwa sababu vivid hakuwa katika kumbukumbu ya zamanikutolewa lakini alikuwa bado kwenye gbarchiveubuntucom kioo
katika kisa hicho maalum suluhisho lilikuwa kama ifuatavyo
kwa uangalifu pitia vyanzo vyote na ugundue mmoja wao alikuwa mzee na sio sawa na alikuwa ameshindwa kusasishwa vizuri (au kitu) au kama nilivyofanya tafuta badala oldreleasesubuntucom ya gbarchiveubuntucom iliboreshwa bila shida hadi kutolewa kwa pili wakati nilipata usomaji fulani
kwa hivyo
kulikuwa na kosa katika vyanzo vyangu
gbarchiveunbuntucom kioo ina wakubwa seti ya releases
cha kushangaza hapa ni kwamba wakati majibu mengi hapa yanaweza kutumika katika hali zingine italipa kuwa na uhakika kuwa yako /etc/apt/sourceslist ni sahihi kabla ya kuiweka kwenye kumbukumbu ya kutolewa zamani
unaweza kugundua ni ipi ya kumbukumbu au kioo chako kilicho na toleo unalohitaji kwa kuashiria tu kichupo cha kivinjari kwenye jalada na swali na kutafuta jina la toleo lako kwenye orodha ya folda kila mtu ana toleo lako ndio chanzo unahitaji kutumia
ninawezaje kufunga programu au vifurushi bila mtandao (nje ya mkondo)
jinsi ya kusimamia programu ambayo imewekwa kutoka kwa chanzo
jinsi ya kufunga ubuntu kwenye kompyuta ya zamani inakosa onyesho lake lililojengwa
jinsi ya kuomba uboreshaji wa kifurushi katika kutolewa kwa ubuntu
jinsi ya kufunga msimbo wa hivi karibuni vitalu kutoka tarxz
haiwezi kusanikisha au kusasisha baada ya sasisho hadi 1604 na kosa la gccdoc [duplicate]
maswali mengine aliweka tag [releasemanagement]
je ninapataje orodha ya faili zilizosanikishwa kutoka kwa kifurushi | 2020-08-07T09:03:32 | https://sw.a-ubuntu.com/q/jinsi-ya-kufunga-programu-au-kusasisha-kutoka-kutolewa-kwa-zamani-ambayo-haijatumiwa-97 |
luizio 'wanangu' huyo lwandamina anataka haya ili muende sawa | boiplus blogspot
» luizio 'wanangu' huyo lwandamina anataka haya ili muende sawa
luizio 'wanangu' huyo lwandamina anataka haya ili muende sawa
imeelezwa kuwa kocha george lwandamina raia wa zambia ambaye tayari yupo nchini na anatajwa kuwa atasaini mkataba wa miaka miwili na yanga huwa anataka mambo matatu makubwa kutoka kwa nyota wake ambayo ni nidhamu kujituma na suala la kufunga ambalo humpa mchezaji yoyote atakayekuwa kwenye nafasi ya nzuri
kocha mkuu huyo wa zesco ambao ni mabingwa wa ligi kuu zambia aliwasili nchini jana kwa siri kubwa na suala lake la mkataba linafanywa kwa usiri mkubwa mno huku hatima ya hans pluijm bado ikiwa haijajulikana hadi sasa kwani hajapewa taarifa yoyote ya mabadiliko kwenye benchi lake la ufundi
straika wa zesco juma luizio ameiambia boiplus kuwa endapo yanga watafanikisha dili hilo basi watakuwa wamelamba dume na kuwatahadharisha wachezaji wa yanga kufuata yale ambayo kocha huyo anatayataka kutoka kwao nidhamu kujituma na kufunga mabao
huyu kocha hana tatizo na mtu ni kocha mzuri na anauwezo wa kuishi na mtu yeyote huwa hamtengi mchezaji yeyote na anataka timu ifunge mabao mengi hupendelea kucheza soka la kisasa kwani anapenda kutumia mifumo ya mafanikio kikubwa ambacho wachezaji wanatakiwa kuzingatia zaidi na kufanyia kazi ni nidhamu na kujituma maana hilo huwa anasisitiza sana juma luizio (kushoto)
ukichelewa mazoezini muda wa kula au kwenda kula ukiwa na simu mkononi unakatwa pesa ambapo makato ya chini kabisa ni sh 25000 ya huko tanzania alisema luizio
mabadiliko hayo yanafanyika huku yanga ikiwa imecheza mechi 10 za ligi kuu na kukusanya pointi 21 ikishika nafasi ya pili kwenye msimamo lakini mabadiliko hayo pia yanaweza kuwa mazuri ama mabaya kwa yanga kwani inaelezwa kuwa kitaalamu kubadilisha kocha katikati ya msimu kunaiporomosha timu zaidi
lakini kitu ambacho kinaweza kuwasaidia yanga kubaki kwenye kiwango chao kama mzambia huyo ataanza kazi basi ni mifumo yake anayopendelea kuitumia mara kwa mara lwandamina hupenda kutumia mifumo miwili zaidi 4231 na 442 ambayo pia hutumiwa na pluijm
pluijm yupo na kikosi sasa ambacho kinajiandaa na mechi dhidi ya jkt ruvu itakayochezwa keshokutwa jumatano uwanja wa uhuru mechi hiyo ni ya kiporo kwa pluijm hivyo baada ya mechi hiyo lolote linaweza kutokea kwake
mabadiliko hayo yanatajwa kumgusa pia kocha msaidizi juma mwambusi kocha wa makipa juma pondamali na meneja hafidh salehe huku nafasi zao zikitajwa kuchukuliwa na kocha wa taifa stars boniface mkwasa kocha wa makipa anatajwa manyika peter huku huku meneja akipendekezwa mchezaji wao wa zamani sekilojo chambua | 2016-12-03T13:43:35 | http://boiplus.blogspot.com/2016/10/luizio-wanangu-huyo-lwandamina-anataka.html |
serikali yatangaza msimamo wake kuhusu mafao ya waliokuwa na vyeti feki zanzibar24
mtulia ambwaga mwalimu jimbo la kinondoni
ccm yashinda uchaguzi siha
magazeti ya tanzania leo jumamos february 17 2018
serikali yawataka watu wanaojiweza kuwasaidia watoto wanaokosa haki zao
smz mapato ya ndani yameimarika hadi kufikia asilimia 20
serikali yatangaza msimamo wake kuhusu mafao ya waliokuwa na vyeti feki
february 13 2018 chumba cha habari
serikali imetangaza msimamo wake kwa watumishi waliobainika kuwa na vyeti feki na wasiokuwa na vyeti vya kidato cha nne kwamba hawana madai yoyote serikalini
watumishi waliokosa sifa na vyeti feki waliagizwa kujiondoa kwenye utumishi wa umma mwaka 2016 na rais john magufuli alitangaza kufanyika kwa uhakiki na takriban watumishi 10000 walibainika
akizungumza kwa niaba ya katibu mkuu ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma dk laurean ndumbaro kwenye kikao cha kazi cha kujadili masuala ya utawala na rasilimali watu kwa mamlaka za serikali za mitaa wizara na mikoa mkurugenzi wa idara ya uendelezaji sera mathias kabundugulu alisema uhakiki wa vyeti ulihitimishwa oktoba mwaka jana
alisema wote waliobainika waliamuriwa kuondoka wenyewe na wamefutwa kwenye orodha ya watumishi wa umma na hawana madai yoyote serikalini na huo ndio msimamo wa serikali
hata hivyo alisema pamoja na uhakiki kukamilika kwa muda uliopangwa wako baadhi ya maofisa utumishi wameendelea kuwafumbia macho watu wasio na vyeti vya kidato cha nne
wiki iliyopita tulipata barua kuna halmashauri ya kwimba watumishi kwenye taarifa zao wamejaza wamehitimu kidato cha nne lakini wakati wa uhakiki watumishi hao hawakutakiwa kuwasilisha vyeti husika kwa kigezo wana elimu ya darasa la saba alisema kabundugulu
alisema watu wa aina hiyo wamefichwa huko kwenye halmashauri kwa makusudi au bahati mbaya lakini wakumbuke kuna watu wamesoma nao hivyo ni rahisi kupatikana taarifa zao
tuliagiza maofisa utumishi wa halmashauri na wakurugenzi wachukuliwe hatua na hao maafisa tayari hatua zimechukuliwa kwa upande wa mkurugenzi wa halmashauri tumeachia mamlaka yake ya uteuzi alisema kabundugulu
alisema serikali ililivalia njuga suala la vyeti feki na watumishi hewa na halijaisha na kwamba watakuwa wanafanya ukaguzi wa kushtukiza na kuchukua hatua
uhakiki huu ni endelevu hatukutarajia kama tungekuta mtu ana vyeti feki juzi huko kuna watu wameshindwa kusimamia vyema ondokeni hapa mkitambua kuwa tunaendelea mkawafichue wale wote wenye vyeti feki alisema
pia aliwataka kuhakikisha wanawaondoa watumishi waliokosa sifa kwenye orodha ya mishahara na kwamba watu hao hawana madai yoyote serikali
februari 9 mwaka huu waziri wa fedha na mipango dk philip mpango akizungumza na waandishi wa habari kuhusu serikali kulipa malimbikizo ya watumishi alisema serikali imeokoa sh bilioni 8422 sawa na asilimia 66 ya malimbikizo ya awamu baada ya kuwaondoa kwenye mfumo wa malipo ya mishahara watumishi hewa wenye vyeti feki na wasio na sifa
← auawa kwa kukanyagwa na kundi la tembo
zitto kabwe amtembelea mbwana samatta nchini ubelgiji →
rayvanny afunguka mkwanja ambao diamond anawalipa wcb
ujumbe wakwanza kutoka kwa diamond platnumz tangu zari kutangaza kuachana nae | 2018-02-19T07:46:42 | http://zanzibar24.co.tz/2018/02/13/serikali-yatangaza-msimamo-wake-kuhusu-mafao-ya-waliokuwa-na-vyeti-feki/ |
hongera kwa mh joseph mbilinyi (sugu) page 4
hongera kwa mh joseph mbilinyi (sugu)
topic hongera kwa mh joseph mbilinyi (sugu)
17th september 2012 2032
sugu alituahidi atadeal na suala la barabara na sasa takribani barabara saba hapa jjn mbeya ziko katika matengeneneza katika kiwango cha rami mpesya(mbunge wa zamani wa ccm) ilikuwa ni kitendawili kwake
kidatu mwakalinga y r kombesana and 7 others like this
18th september 2012 1949
re hongera kwa mh joseph mbilinyi (sugu)
barabara zinajengwa na sugu
zinajengwa na mafundi nitakutafutia jina la mkandarasi
18th september 2012 2139
location mji kasoro bahari
posts 2353 rep power
261754879
hata kama hazijengwi na sugu lakini cha muhimu anafuatilia kwa makini kila mradi wa barabara uliotengewa kasma ya ujenzi na bunge pesa hizo zinatumika kwa matumizi yaliyokusudiwa siyo kama enzi hizo za mbunge wa magamba ambaye alikuwa akizifisadi na mafisadi wenzake wa nyinyiem
posts 21829 rep power
168829438
likes received7861
sugu for mbeya go sugu m4c with no apology
21st september 2012 1357
inawezekana wewe ndio unaota kuwa kuna mtu anaota
angalia hapa
truth well told sugu ala xmass na wahanga wa mafuriko wa iyunga mbeya anti virus nao wachangia gunia 40 za mahindi
hee kumbe wahanga wa mafufiko sasa cha ajabu nini mi nlifikiri hicho chakula anaenda kugawa kijiweni kwa watu waliokaa tu bila kazi inaonyesha ulivyo na upeo mdogo wa kufikiri na roho mbaya pia kwa hiyo ulitaka watu waliopatwa na dhahama hiyo wasipewe chakula
posts 12681 rep power
141699731
likes received5200
likes given4323
by ramskiss
nyinyi vijana wa muziki wa kufokafoka wakati mwingine huwa na matatizo sana
kwahiyo wakazi wa mbeya ni watu wa vijiweni tu na wahanga wa mafuriko siyo wakazi wa mbeya
21st september 2012 1459
mbona mgumu kuelewa mkuu nani aliyesema wahanga sio wakazi wa mbeya
21st september 2012 1512
sasa mshaurini angalau asafishe cheti chake cha form 4 basi kuwa na mbunge aliyepata pointi 33 nayo si kitu kizuri kwa kweli kama mnampenda kweli basi jaribuni kumpa ushauri kwa hili
mkuu cheti hakiliwiwangapi wana vyeti safi lakini wanateseka na maisha hayanipe mifano ya watu walio soma sana pia ni matajirishule na maisha sawa na mbingu na ardhi
21st september 2012 1519
by eliah g kamwela
sasa kuwa na kiongozi dr ambaye hafanyi lolote bungeni kuna manufaa gani
sawa kabisa hatuhitaji ma dr hapa tanzaniamaana mimi sijaona wafanyachotena napendekeza vyuo vya kijinga afadhali wanikodishie majengo mimi nifugie kuku wa nyama na mayaikuliko kukusanya watu wazima kwa miaka mitatu halafu hakuna wafanyacho wamalizapo vyuo hivyobora kufugia kuku majengo ya vyuo
21st september 2012 1522
by mzee wa fund
wapi nimesema cheti kinaliwa
wapi nimesema kila aliye na cheti ni tajiri
mbona unaongelea vitu ambavyo hata sijavigusa
21st september 2012 1525
nyinyi mko very interesting umeme ukikatika mnamlaumu kikwete barabara zikijengwa mnampongeza sugu
au ukiuliza kwa nini maji yanapatikana kwa shida jimbo la ubungo majibu yao huwa kwani mnyika ndo anakusanya kodi au kwani kazi ya mbunge ni kuleta maji
21st september 2012 1543
posts 6979 rep power
safi sana kamanda sugu mungu akujalie maisha marefu
21st september 2012 1625
21st september 2012 1812
si ndio maana mpesya kamfukuza diwani wa cdm kule kahama asile chakula wakati wa mziara ya waziri mkuuccm ni ufisadi ufisadi tu
21st september 2012 1842
ndugu yangu namfahamu sugu kitamboaliyokua akiimba kwenye muziki sasa anayasimamia kwa vitendokaka hili ni jembe kama kuwepo wabunge wamwpita wengi hata mbunge wa upinzani alikuwepo nccr mageuzi lakini walikua na vichwa bila busara na hawakusimamia misimamo yaombeya oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
location pa tunduma
posts 1620 rep power
duuuuu mkuu naona kama moja ya picha ni mitaa ya kwenda teku kupitia pale nebana pub au nimekosea mkuu
21st september 2012 1903
21st september 2012 1924
ivi sugu ataacha lini 'kuvuta'
lowassa ngwilizi waonya
madhara ya kusajili meli za wairan yaanza kuonekana(some bank block money transfer to tanzania) | 2015-03-06T20:04:55 | http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/325105-hongera-kwa-mh-joseph-mbilinyi-sugu-4.html |
watu wana imani kidogo sana kwa mungu | injili ya kushuka kwa ufalme
kwa kuwa imani yako ni ndogo sana mpaka wa leo huna uwezo wa kupata raha inayoletwa na maisha nakushauri heri kutumia nusu ya maisha yako kwa ajili yangu kwa dhati kuliko kuishi maisha yako yote katika hali hafifu na kujishughulisha kwa ajili ya mwili kuvumilia mateso yote ambayo ni vigumu binadamu kuvumilia kuna faida gani ya wewe kujipenda sana na kuikimbia adabu yangu kuna faida gani wewe kujificha kutoka kwa adabu yangu ya muda mfupi tu na mwishowe kupate aibu ya milele na adabu ya milele mimi kwa hakika simlazimishi yeyote kufanya mapenzi yangu iwapo mtu kweli anayo nia ya kujiwasilisha kwa mipango yangu yote sitamtendea vibaya lakini nahitaji kwamba watu wote waamini ndani yangu kama vile ayubu alivyoamini ndani yangu yehova iwapo imani yenu inazidi ile ya tomaso basi imani yenu itapata pongezi zangu katika uaminifu wenu mtapata furaha yangu na hakika mtapata utukufu wangu katika siku zenu
umetoholewa kutoka katika maana ya kuwa mwanadamu halisi katika neno laonekana katika mwili
iliyotangulia:kwa nini watu hawampendi mungu kwa kweli
inayofuata:mungu atawezaje kuwasamehe wale wanaotelekeza maneno yake | 2020-02-17T18:36:14 | https://sw.kingdomsalvation.org/have-too-little-faith-in-God-lyrics.html |
1samuel9 kiswahili biblia agano la kale
1 samweli mlango 9
1 basi kulikuwa na mtu mmoja wa benyamini jina lake akiitwa kishi mwana wa abieli mwana wa serori mwana wa bekorathi mwana wa afia mwana wa mbenyamini mtu shujaa mwenye nguvu
2 naye alikuwa na mwana aliyeitwa jina lake sauli kijana tena mzuri wala katika wana wa israeli hakuwako mtu mzuri kuliko yeye tangu mabega yake kwenda juu alikuwa mrefu kuliko watu wote
3 na punda za kishi baba yake sauli walikuwa wamepotea kishi akamwambia sauli mwanawe haya basi twaa mtumishi mmoja pamoja nawe uondoke uende ukawatafute punda hao
4 naye akapita kati ya nchi ya milima milima ya efraimu akapita na kati ya nchi ya shalisha lakini hawakuwaona kisha wakapita kati ya nchi ya shaalimu wala huko hawakuwako wakapita kati ya nchi ya wabenyamini lakini hawakuwapata
5 hata walipofika nchi ya sufu sauli akamwambia yule mtumishi aliyefuatana naye haya na turudi baba yangu asije akaacha kufikiri habari za punda akatufikiri sisi
6 naye akamwambia tazama katika mji huu mna mtu wa mungu naye ni mtu mwenye kuheshimiwa yote asemayo hutukia kweli kweli basi twende huko labda yeye aweza kutuambia habari ya safari yetu tunayoiendea
7 ndipo sauli akamwambia mtumishi wake lakini angalia kama tukienda tumpelekee mtu huyo kitu gani maana chakula kimekwisha vyomboni mwetu wala hapana zawadi ya kumpelekea mtu wa mungu tuna nini sisi
8 yule mtumishi akamjibu sauli akasema tazama mkononi mwangu nina robo ya shekeli ya fedha nitampa huyo mtu wa mungu fedha hiyo atuambie njia yetu
9 (hapo zamani katika israeli mtu alipokwenda kuuliza neno kwa mungu husema hivi haya twende kwa mwonaji maana mtu aitwaye sasa nabii hapo zamani aliitwa mwonaji)
10 basi sauli akamwambia mtumishi wake umesema vema haya twende wakaenda mpaka mji ule aliokuwamo mtu wa mungu
11 hata walipokwea kwenda mjini wakakutana na wasichana wanatoka kwenda kuteka maji wakawaambia je mwonaji yuko
12 nao wakawajibu wakasema yuko tazama yuko huko mbele yako fanyeni haraka sasa maana hivi leo amekuja mjini kwa sababu watu wana dhabihu leo katika mahali pa juu
13 mkiingia mjini tu mara mtamwona kabla hajakwea kwenda mahali pa juu ale chakula maana watu hawatakula hata yeye atakapokuja kwa sababu yeye ndiye anayeibarikia dhabihu kisha hao watu walioalikwa hula basi kweeni sasa maana wakati huu ndio mtakapomwona
14 nao wakakwea kwenda mjini nao walipokuwa wakiingia mjini tazama samweli akawatokea kwenda mahali pa juu
15 basi bwana alikuwa amemfunulia samweli siku moja kabla sauli hajamwendea akisema
16 kesho wakati kama huu nitakuletea mtu kutoka nchi ya benyamini nawe mtie mafuta ili awe mkuu juu ya watu wangu israeli naye atawaokoa watu wangu na mikono ya wafilisti maana nimewaangalia watu wangu kwa sababu kilio chao kimenifikilia
17 hata samweli alipomwona sauli bwana akamwambia huyu ndiye niliyekuambia habari zake huyu ndiye atakayewamiliki watu wangu
18 ndipo sauli akamkaribia samweli langoni akasema tafadhali uniambie nyumba ya mwonaji iko wapi
19 samweli akamjibu sauli akasema mimi ndimi mwonaji tangulia mbele yangu ukwee mpaka mahali pa juu kwa maana mtakula pamoja nami leo kisha asubuhi nitakuacha uende zako nami nitakuambia yote uliyo nayo moyoni mwako
20 na wale punda zako waliopotea siku hizi tatu usijiudhi kwa ajili yao maana wameonekana na yote yaliyotamanika katika israeli amewekewa nani si wewe na nyumba yote ya baba yako
21 basi sauli akajibu akasema je mimi si mbenyamini mtu wa kabila iliyo ndogo kuliko kabila zote za israeli na jamaa yangu nayo si ndogo kuliko jamaa zote za kabila ya benyamini kwa nini basi kuniambia hivyo
22 naye samweli akamtwaa sauli na mtumishi wake akawaleta ndani sebuleni akawaketisha mahali pa heshima kati ya watu walioalikwa nao jumla yao walikuwa kama watu thelathini
23 samweli akamwambia mpishi lete ile sehemu niliyokupa hiyo niliyokuambia iweke akiba
24 basi mpishi akatwaa paja na nyama iliyokuwa juu yake akaiweka mbele ya sauli samweli akasema iliyowekwa akiba ndiyo hiyo iweke mbele yako ule kwa sababu umewekewa hiyo wewe hata wakati uliokusudiwa maana nalisema nimewaalika watu basi sauli akala pamoja na samweli siku hiyo
25 hata waliposhuka kutoka mahali pa juu na kufika mjini akaongea na sauli darini
26 nao wakaamka alfajiri kisha ikawa kulipopambazuka samweli akamwita sauli darini akisema inuka nikupeleke kwenu basi sauli akainuka nao wakatoka wote wawili yeye na samweli
27 hata walipokuwa wakishuka mwisho wa mji samweli akamwambia sauli mwambie mtumishi atangulie (naye akatangulia) bali wewe simama hapa sasa ili nikuambie neno la mungu | 2019-05-25T20:58:48 | https://wordproject.org/bibles/sw/09/9.htm |
mimi ni mamas boyamekiri prezzo | gold star | mitego sasa
home burudani mimi ni mamas boyamekiri prezzo
mimi ni mamas boyamekiri prezzo
msanii mkongwe kwenye game la muziki kenya na ambaye ana jina kubwa kwenye ulingo huo ameachia dude jipya
prezzo amb ambaye alishawahi kuhusika kwenye masuala mengi tata ya mahausiano na warembo kibao amempa shavu dada na mtangazaji mahiri wa televishenichess nthusi
mkali huyo wa za ovyo aliyomshirikisha bamboo leo studioni pamoja na mtangazaji wa radio maisha amefunguaka ya moyoni na kumwaga manyanga kwenye interview moja exclusive kwenye #konnecttbtparty
kwa sasa anamiliki kundi la muziki kwa jina makini music group (mmg) ambapo kwa mujibu wake amesainisha wasanii kadhaa wakiwemo canibbal na leon ni mwanamuziki rapa ambaye amadumu kwenye game kwa miaka kumi na mitatu sasa bila japo amekana suala ya kufunikwa kimuziki na wasanii wengi wekiwemo undergrounds
hata hivyo gwiji huyo mwenye asili ya kenya na tanzania amekiri wazi kuwa yeye sio mtumiaji wa dawa za kulevya kama wanavyodaiwa wala hajawahi kutumia moja ila yeye anajishughulisha na madawa ya mitishamba au ya asili mwendelezo wa kazi ya marehemu babake mmiliki wa asili herbal clinic cmb yaani cash money brothers ni muungano wao pamoja na wasanii wengine unaokuza muziki nchini
dj youngprezzo na clemmo
mbali na hayo prezzo amefunguka kusema kuwa hadi sasa ana ngoma zaidi ya 23 ambazo zipo tayari kwa ajili ya mafans wake
leo ametambulisha kazi hio yake mpya vumilia ambayo inatoa faraja kwa mamake mzazi baada ya kufiwa na mumewe ambaye ndiye babake prezzo
wajua baada ya babangu kufariki ilibidi nimtunze mamangu na kwa ngoma hii nampa uvumilivu na faraja moyoni mwake pia ni ujumbe wa kutia moyo watu wanaopitia mambo mazito maishani tuseme mtu kapoteza job kashindwa kwenye uchaguzi nakadhalikaameongeza prezzo
msanii huyo pia amekiri kuwa yeye ni mamas boy kwani amelelewa na mamake mzazi tangu utotoni baada ya kufariki baba yake
clickwwwfbcom/mkazivaeunit
previous articleilibidi nioshe choo ili kuishi nairobi asema maji maji
next articlesababu ya yalio ndwele sipite kupenda kamba
vinnho november 1 2017
vinnho august 4 2016 | 2018-02-25T01:50:11 | http://mitego.co.ke/2017/07/06/mimi-ni-mamas-boyamekiri-prezzo/ |
john terry apatikana bila hatia | michezo | dw | 13072012
john terry apatikana bila hatia
nahodha wa klabu ya chelsea john terry ameondolewa mashitaka ya kumtolea matamshi ya kibaguzi anton ferdinand wakati wa mchuano wa ligi kuu ya soka ya england
kesi hiyo ilimfanya terry kunyang'anywa unahodha wa timu ya taifa ya england na shirikisho la soka la england kabla ya dimba la uefa euro 2012 na pia kuondoka kwa kocha fabio capello ambaye alitofautiana na uamuzi huo
baada ya kuusikiza ushahidi kwa siku nne katika mahakama moja ya mjini london hakimu mkuu howard riddle aliamua jana ijumaa kuwa terry hakuwa na hatia ya kumtolea matamshi ya kibaguzi mchezaji wa queens park rangers anton ferdinand wakati wa mchuano huo wa oktoba mwaka jana
terry alisisitiza kuwa alitumia tu neno baya kama kejeli ili kujibu matamshi mabaya anayodai yalitolewa na ferdinand kulikuwa na vifijo nje ya mahakama kutoka kwa jamaa za familia ya terry baada ya kusomwa hukumu hiyo
ndani ya uwanja wa allianz arena wa bayern munich
bayern munich hawajawahi kushinda kombe lolote kuu katika misimu miwili iliyopita lakini hicho hakichawazuia mashabiki wake kutonunua tiketi za mechi zote 17 za nyumbani msimu huu kazika ligi ya bundesliga inayoanza wiki sita zijazo
klabu hiyo imesema imeuza kila tiketi ya viti vyote vya uwanja wake wa nyumbani wenye uwezo wa kuwa na mashabiki 69000 wa allianz arena ikiwa ni takribani tiketi za simu 40000 na zile za mashabiki karibu milioni 11 wa mechi za nyumbani
bayern ambao walsihindwa na chelsea katika fainali ya kombe la ligi ya mabingwa mwezi mei imewashukuru mashabiki wake kwa kudhihirisha uzalendo wao
msisimko wa olimpiki uko chini uingereza
ikiwa imesalia wiki mbili kabla ya kuanza mashindano ya michezo ya olimpiki mjini london uingereza bado haijakumbwa na msisimko wa tamasha hilo kwa mujibu wa utafiti mpya
utafiti wa maoni uliofanywa na shirika la comres kwa niaba ya bbc asilimia 61 ya waingereza walisema kuwa kwa sasa hawajasisimkwa na mashindano ya olimpiki kuliko ilivyokuwa mwanzoni mwa mwaka
hata hivyo asilimia 40 yao walisema safari ya mwenge wa olimpiki ambayo imekaribishwa na wengi nchini humo imewapa hamu kubwa ya michezo hiyo itakayoanza tarehe 27 mwezi huu wa julai
jiji la london litawakaribisha wageni wengi wakati wa olimpiki
utafiti huo aidha unaonyesha kuwa asilimia 55 ya waingereza wanaamini kuwa mashindano hayo yataifaidi nchi hiyo kwa jumla huku wingi wa asilimia 74 wakihisi kuwa mji wa london ndio utakaonufaika zaidi kutokana na tamasha hilo
bingwa wa sasa wa olimpiki katika mbio za mita 3000 kuruka viunzi na maji mkenya brimin kipruto ametabiri kuwa ushindi wa kenya katika mbio hizo unatarajiwa kuendelea katika mashindano ya olimpiki mjini london baada ya nchi hiyo kuanza kutawala kitengo hicho katika mwaka wa 1984
kikosi cha kenya kinajumuisha bingwa wa zamani wa olimpiki na mara mbili duniani ezekiel kemboi na chipukizi abel mutai ambaye alishinda taji la ubingwa wa afrika nchini benin mwezi uliopita
kipruto anayeshikilia rekodi ya muda wa kasi zaidi ulimwenguni kazika mbio za kuruka viunzi na maji anasema kemboi aliyesmhinda katika mashindano ya olimpiki mjini athens mwaka wa 2004 sasa yuko katika hali nzuri na atafanya vyema
maneno muhimu sports olympics john terry
kiungo http//pdwcom/p/15xzs | 2017-10-20T20:24:50 | http://www.dw.com/sw/john-terry-apatikana-bila-hatia/a-16097052 |
open letter to his exclence jmkis it a carrot and stick land deal | jamiiforums | the home of great thinkers
discussion in 'jukwaa la siasa' started by shadow apr 20 2009
your excellence jmk
your excellence mr president
shalom assalāmu `alaykum
resaudis request for 500000 hectares a carrot and stick deal
it is my humble gratitude to write you this open letter as i believe it is an effective way of reaching you
i would also want to say ‘pole ya safari' mr president the reason i am writing this open letter to you is to raise my concern regarding the potential leasing of our land for farming on the face of it it sounds to be a good deal for tanzanian economy but my worry is basically on the amount and location of the land in question plus the credibility of the potential investors
i am not attacking the personality of the potential investor but questioning the motives behind this matter as you may note that recently we have seen middle east ‘shakers and movers' visiting east africa region looking for ‘potential investment opportunities'
to derive my point home are these saudis really interested in farming or they are using ‘back door' to gain access to our ‘potential oil reserves' why seek your audience after being told by tic to wait naturally saudis are oil oriented investors and luxurious staff therefore there is rebuttable presumption that ‘they are not serious investors in farming are we going to audit them before give such vast land for their investment moreover it is a 99 years past corruption acts during the signing such contacts have also raised my red flag too mr president those potential investors were supposed to contact tic directly why did they choose a lobbying approach it has been reported that tic told them to wait for feasibility study of the project
mr president [the citizen] qatar plans to lease 40000 hectares along kenya's coast to grow fruit and vegetables for its own citizens in return for building a 24 billion (sh3 trillion) port close to the indian ocean tourist island of lamu the plan has however met with stiff opposition from activists this is a sign that wananchi also are tired with some of these deals as a reasonable person will not rush to commit himself/herself
mr president as it has been dubbed that this is a new ‘scramble' for east africa we should do our homework before rushing and lease our land i am calling for a cautious approach as i am sure they (saudis) had upper hand on you and you should note that always they bring a ‘carrot and stick
i kindly remain to hear from you
my country first
shadow april 20 2009
mr president those potential investors were supposed to contact tic directly why did they choose a lobbying approach it has been reported that tic told them to wait for feasibility study of the project
shadow uchaguzi unawadia na dili la epa limeshashtukiwa na kamati za bunge zipo macho ndio maana wanachacharika kwa kutafuta hela za mwarabu bila kujali madhara ya baadaye
umemtumia tayari au umetutumia jf tu ikosoe
jamani ukubwa huo wa hekari 500000 mbona ni sawa na mkoa wote wa iringa watapewa sehemeu gani ya ardhi katika nchi wasije wakapewa mbuga za wanyama na pia wasije wakasababisha wananchi wahamishwe kuwapisha wawekezaji hawa
jamani ukubwa huo wa hekari 500000 mbona ni sawa na mkoa wote wa iringa watapewa sehemeu gani ya ardhi katika nchi wasije wakapewa mbuga za wanyama na pia wasije wakasababisha wananchi wahamishwe kuwapisha wawekezaji hawaclick to expand
huyu anataka kuleta mambo ya malecela miaka ilempaka mzee akataka kusilimishwa kama sio kusilimu kabisaamebaki na ccm damu damu
yaani maana halisi ya kuwekeza jamaa akiambiwa hatafakari mara mbiliyeye ni kucheka na kutabasamubaadae tutakuja sikia ohh mradi ulishidwa kuleta matunda
shadow april 20 2009click to expand
the maths behind the deal
kenya 40000 hectares = wamepewa port yengye thamani tsh 3 trillion = $2 billion
je tz itakuwaje
500 000 / 40000 = 12 and 20000 hectares free
$2 billion x 12 = $24 billion or tsh 3 trillion x 12= 36 trillion
the govt will be selling us short if the get anything less than $24 billion or tsh 36 trillion current budget tsh 7 trillion
4 yrs budget= 4 x 7 trillion = 28 trillion
36 trillion 28 trillion = 8 trillion
kutokana na uchumi kukua 8 trillion itakuwa itajazilia mapungufu ya budget
tz hectares 500 000 = $24 billion = tsh 36 trillion
maswali ambayo yanahitaji majibu
1would tz govt get $24 billion from saudis 2do you trust this govt to sign such a deal
3je hela zitakazopatikana zitaisaidi hii nchi au zitaishia mifukoni mwa viongozi
4 kwa nini hawa jamaa walienda serikalini moja kwa moja kwa mkulu bila kupitia tic hata mkurugenzi wa tic hakuwepo na walikuwepo watu kama waziri wa mambo ya ndani(masha)
5 long term deal in bussiness is 20 25 yrs sheria za ardhi bongo za miaka 33 66 au 99 je miaka 33 haitoshi kurudisha hela yao
6 je miaka 66 haitoshi kurudisha hela yao
7 je miaka 99 ni kidogo au mingi
8 kuna mtu yeyote anaejua nchi ime sign deal ya ardhi kwa ukubwa wa kuanzia hecta 100 000 kwa zaidi ya miaka 33 au dili ambayo inakaribiana na hii tunaomba utufahamishe
9je tz ina hecta ngapi zenye rutuba ambazo sio jangwa
10 je tukiwapa hecta 500 000 zenye rutuba watanzania watabakiwa na hecta ngapi zenye rutuba
11 je baada ya miaka 33 tz kutakuwa na watu wangapi je baada ya miaka 66 tutakuwa wangapi sidhani kama tunaweza kutabiri tutakuwa wangapi baada ya miaka 99 kwa hiyo siulizi hili
'potential oil reserves' would someone enlighten me on thissince me was born mpaka leo nakaribia kufa(offcourse by tanzania's life expectancy standards)nayasikia haya mafutakweli yapo au ni case ya wishfull thinking
the syndrome is called out of country signed deals it once affected karamagi and i guess it got your excellency too we should seek the cure before it is too late
yaani maana halisi ya kuwekeza jamaa akiambiwa hatafakari mara mbiliyeye ni kucheka na kutabasamubaadae tutakuja sikia ohh mradi ulishidwa kuleta matundaclick to expand
mkuu kidatu heshima yako
that is right hatutakiwi tushangalie hii deal kwa sababu naona imekakaa kiajabu ajabu vile wandugu tuweke maslahi ya nchi mbele
the syndrome is called out of country signed deals it once affected karamagi and i guess it got your excellency too we should seek the cure before it is too lateclick to expand
dear aksofu we still have a long way to go subiri huje uone hiyo leasing agreement itakavyokuwa na vipengele vya ajabu vya iptl nafuu
umemtumia tayari au umetutumia jf tu ikosoeclick to expand
gelange nimetumia jf na najua kupitia wadau wake atakuwa ameipatapili naruhusu ukosoaji mkuu
8 kuna mtu yeyote anaejua nchi ime sign deal ya ardhi kwa ukubwa wa kuanzia hecta 100 000 kwa zaidi ya miaka 33 au dili ambayo inakaribiana na hii tunaomba utufahamisheclick to expand
mkuu huu unafaa ukawa mtiririko mzuri wa wa kusaidia kuona iwapo jambo hili litakuwa la manufaa kwetu au la
hizi post za kiubaguzi na kidini hazitusaidii katika kuangalia kipi cha faida kwetu nadhani na tuanzie na kutathmini pros ana cos ya mkataba huu
kwa upande wangu naamini kabisa kua wasaudi wana haja kweli ya mpunga na ngano kwani mtikishiko wa kupanda bei ya mafuta na kupunguwa uzalishaji wa mpunga kule far east kuliwapa wakati mgumu kwani ngano na mchele vilipanda kwa hali ya juu mbali ya subsidies za serikali wanahisi uzalishaji ambao wao wataumiliki utawapa usalama kwa chakula chao kuhusu kuwa na interest na mafuta kama ilivyodaiwa na baadhi yetu hilo halipo kwa wasaudi kwani ni hivi karibuni tu waligunduwa visima nvengine vipya na mfalme ameagiza visichimwe na badala yake viwekwe kwa vizazi vijavyo
ama hili la direct contact kati ya mfalme na kikwete ndio utaratibu wao wa kufanya shughuli nchini saudi arabia kujaribu kufuata proper channels hutofanikiwa kitu chochote na lolote analoliamuwa mfalme linakuwa ni la priority ya mwanzo kabisa tanzania tulikuwa tukijaribu kufanya mawasiliano ya kiserikali na saudi arabia kwa muda mrefu kwa kupitia channel za kawaida tulishindwa hadi pale tulipochukuwa njia wanayoiafiki wao
kuhusu fedha wanazo na wao si watu wanaopenda kufanya kazi hivyo ajira ya mradi huu itakuwa kwa kiasi kikubwa kwetu wa tanzania
hata hivyo bado tuna wajibu wa kuangalia kuwa mradi huo hauleti madhara makubwa kwetu na badala yake faida ziwe za kiwango kikubwa kwetu
hata hivyo bado tuna wajibu wa kuangalia kuwa mradi huo hauleti madhara makubwa kwetu na badala yake faida ziwe za kiwango kikubwa kwetuclick to expand
mkuu ngekewa heshima mbele mzee
nakubaliana na wewe kuhusu uchambuzi wa kina wa hii miradi ufanyike lakini naomba kutofautiana na wewe kuhusiana na hili suala la 'udini' nafikiri ukichambua kwa kina suala hili tumejaribu ku cast doubt kwenye suala zima na kujaribu kuangalia upande a pili wa shilingi ( side effect etc)
vipi kainzi this time around hakajanusa nusa what happened in saudi
huyu muungwana kwa wakati huu yuko kwenye electioneering mode kwahiyo maamuzi yake yote ni ya kupata fedha za uchaguzi sasa ni juu yetu wananchi wenye mwamko kuwa macho na kupiga mayowe mara tunapoona harufu ya uvundo kama hii dili ya saudia hizo ekari anazotaka kuwapa hao waarabu ziko wapi ingefaa kama angeanzia kuwapa kijijini kwao msoga tuone kama shangazi zake watakubali kuhamishwa
cha msingi hapa ni kuangalia kama katiba inamruhusu rais (au executive arm of government) kusign deals of such magnitude bila kujadiliwa na bunge
kama rais au waziri ana mamlaka ya kuingia mikataba kama hii basi kwa mtazamo wangu katiba ina dosari kubwa sana
napendekeza katiba ibadilishwe ili bunge liweze kuchambua mikataba ya namna hii kabla haijasainiwa ili wadau wengi iwezekanavyo watoe mchango
ahahaahahaahaduuuuebwanaeeeeeeesasaaaa mbona mie navyojua kuwa tanzania tunazo land leases za miaka 33 66 na 99swali la msingi kwangu sio mtu kupewa land ekari laki 5ni kwanini isiwe miaka 33maana hiyo miaka 99 ndio kidogo mwingereza agombane na mchina hapo hongkongisije wakaigeuza barjeltanzarabiana walivyo na midege ya kivita sijui tutawatoajepia nadhani aliyeandikiwa barua naye simuaminii saaana kuhusu uimara wake kumkatalia sheikh mfalme wa saudiajamani tunaendekeza njaaa tuuudogo yeye kuchekacheka tuuuu na akimaliza inakuwa sooo kwetupia sheria inampa mkulu umiliki wa nchi yetu yoteardhi ni mali ya serikali na yeye ni mkuu wa serikalina haisemi kama anayo haki ya kumpa au kutompa mtu mwingine awaye na ampendayelakini aliapa atailinda nchi(nahisi ni mipaka ya nchi)au kama vipi mwezi huu arudie kiapo tujue atalinda nchi au wananchi au mipaka tuuwataalamu wa sheria naomba mutuletee kiapo chake hapa tuone mapungufuni maoni tuu wadau
hiyo ardhi ndo itakayolipia kapelo khanga vitenge tshirts pilau maandazi handset za bei poa na burudani ya kwaya/bendi 2010
shadow uchaguzi unawadia na dili la epa limeshashtukiwa na kamati za bunge zipo macho ndio maana wanachacharika kwa kutafuta hela za mwarabu bila kujali madhara ya baadayeclick to expand
ndugu yangu hii nadhani ni oversimplification tuliangalie jambo hili kwa mapana zaidi huku tukizingatia kuwa huko tuendako dunia itakuwa na upungufu mkubwa wa vitu viwili muhimu chakula na majilooks like wenzetu wanaona mbali maana si wasaudi tu hata wakorea wanatafuta ardhi afrika kwa ari mpya na kasi mpyahili ni suala nyeti na pana na la kufuatilia kwa makini | 2016-10-23T09:55:09 | http://www.jamiiforums.com/threads/open-letter-to-his-exclence-jmk-is-it-a-carrot-and-stick-land-deal.27496/ |
laurent masha ahusishwa na kesi ya muro | jamiiforums | the home of great thinkers
laurent masha ahusishwa na kesi ya muro
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by rungu aug 19 2011
lawrence masha implicated in jerry muro case
by joyce kabigi 18th august 2011 lawrence masha the former minister of home affairs was on thursday implicated in the corruption transaction case involving former tbc1's investigative journalist jerry muro mr muro who started his defence at the kisutu resident magistrate court in dar es salaam told the court that mr masha was also involved he told the court that mr masha then cabinet minister had gone to his office at the tbc1 headquarters with an envelope that contained three photographs showing him (muro) entering the sea cliff hotel with two other people ''he (mr masha) said strange things he told me that i was finished he said he was leaving the office and that i will not survive ''masha told me to call a press conference to deny that the police did not offend me something which was rejected by my boss tido mhando'' muro testified before the packed court muro claimed that he was raided by unknown persons several times and that also he had received threats that he would be buried soon ''your honour i feel that i am in a grave now because i do not have a job ''i was chased away from the place i was renting i was deprived my right of education when i was admitted at tumaini university simply because i am regarded as a criminal due to this case ''i have nothing my 4m/ reward that i was to get from the best journalist award has been withheld until i finish this case ''my employer tbc1 has withdrawn all the allowances i used to receive during (tido) mhando's term'' lamented muro he insisted that the numerous investigative stories that he used to report were the reason for the raids and threats ''your honour as an investigative reporter i usually report serious issues which touch many people in our government ''for example when i reported about the traffic policemen taking bribes from the truck drivers i landed into many problems that compelled me to take measures to protect myself ''i purchased a pistol and handcuffs for self defence however when i got into this problem i was reported that i possessed them illegally i have receipts as evidence that they are mine legally'' said muro muro denied to know the other two coaccused and that he saw them at the central police for the first time he wondered why it was alleged that they were his accomplices ''your honour i do not know the other accused how could i conspire to commit such an offence with people whom i didn't know ''i did not ask bribes from michael wage firstly i did not know him until the day i was caught at the city garden restaurant ''at the time wade was already removed from his office and therefore he had nothing to offer me'' magistrate frank mushi adjourned the case to september 27 this year for another defence hearing it is alleged that in january last year in dar es salaam the accused conspired with other unknown persons to commit an offence of corrupt transactions contrary to section 15(1) (a) of the prevention and combatting of corruption act 2007 he has been charged of corruption transaction with two other people deogratius mgassa and edmund kapama it was alleged that on january 29 2010 at sea cliff hotel in the city being employed by tbc as a reporter he allegedly solicited 10m/ from former accountant with bagamoyo district council michael wage karoli
its a controversing case lets hope justice wil be served
its a controversing case lets hope justice wil be servedclick to expand
kama kweli masha alihusika kama inavyodaiwa basi inaonyesha ni vipi mfumo wa haki tz ulivyooza i hope the defendant (in this case muro) will have the courage to 'go tell it on the mountain' unless he himself is also implicated
maelezo mengine hayaingii akirini kwamba waziri alimfuata mtuhumiwa ofisini kwake kumtolea vitisho vya ushawishi anyway kwa kuwa na tirdo ametajwa kama shahidi tutaona utetezi wake ukiwa na nguvu lakini ktk maelezo yake yaonesha kuwa akiwa na fedha anaweza kushawishi to think aloud
mfumo umeoza na hivyo ndivyo ilivyo
maelezo mengine hayaingii akirini kwamba waziri alimfuata mtuhumiwa ofisini kwake kumtolea vitisho vya ushawishi anyway kwa kuwa na tirdo ametajwa kama shahidi tutaona utetezi wake ukiwa na nguvu lakini ktk maelezo yake yaonesha kuwa akiwa na fedha anaweza kushawishi to think aloudclick to expand
kwa masha hilo linawezekana kabisajamaa muhuni yulehakuwa material ya uwaziri yulesi unakumbuka alivyoingilia ishu ya uraia wa wenje kwa kutumia cheo chakemshenzimshenzi tu huyu
mnamaanisha huyu jamaa ndo aliyemtisha
view attachment 35620
muro alichukua demu wa masha nini iweje masha amfanyie hivyo muro kwa kuripoti rushwa tu polisi just thinking aloud
muro alichukua demu wa masha nini iweje masha amfanyie hivyo muro kwa kuripoti rushwa tu polisi just thinking aloudclick to expand
si alikuwa bosi wa hao polisi bila shaka alikuwa anafaidi hizo rushwa
tbc ina afisa mtendaje wake haiwezekani waziri aende tbc na kuingia ofisini kwa afisa mdogo badala ya afisa mtendaji hata kama kuna maelezo alitaka huyo afisa angeitwa kwenye ofisi ya afisa mtendaji na siyo waziri kumfuata
tusiijadili shauri hili kwani bado linasikilizwa mahakamani
ujue nchi hi hakuna usawa wapo badhi ya viongoz wapo kwa jili ya kuwakandamiza wale wote wanaongilia masilah yao hakuna haki nchi hi
by joyce kabigi 18th august 2011 lawrence masha the former minister of home affairs was on thursday implicated in the corruption transaction case involving former tbc1's investigative journalist jerry muro mr muro who started his defence at the kisutu resident magistrate court in dar es salaam told the court that mr masha was also involved he told the court that mr masha then cabinet minister had gone to his office at the tbc1 headquarters with an envelope that contained three photographs showing him (muro) entering the sea cliff hotel with two other people ''he (mr masha) said strange things he told me that i was finished he said he was leaving the office and that i will not survive ''masha told me to call a press conference to deny that the police did not offend me something which was rejected by my boss tido mhando'' muro testified before the packed court muro claimed that he was raided by unknown persons several times and that also he had received threats that he would be buried soon ''your honour i feel that i am in a grave now because i do not have a job ''i was chased away from the place i was renting i was deprived my right of education when i was admitted at tumaini university simply because i am regarded as a criminal due to this case ''i have nothing my 4m/ reward that i was to get from the best journalist award has been withheld until i finish this case ''my employer tbc1 has withdrawn all the allowances i used to receive during (tido) mhando's term'' lamented muro he insisted that the numerous investigative stories that he used to report were the reason for the raids and threats ''your honour as an investigative reporter i usually report serious issues which touch many people in our government ''for example when i reported about the traffic policemen taking bribes from the truck drivers i landed into many problems that compelled me to take measures to protect myself ''i purchased a pistol and handcuffs for self defence however when i got into this problem i was reported that i possessed them illegally i have receipts as evidence that they are mine legally'' said muro muro denied to know the other two coaccused and that he saw them at the central police for the first time he wondered why it was alleged that they were his accomplices ''your honour i do not know the other accused how could i conspire to commit such an offence with people whom i didn't know ''i did not ask bribes from michael wage firstly i did not know him until the day i was caught at the city garden restaurant ''at the time wade was already removed from his office and therefore he had nothing to offer me'' magistrate frank mushi adjourned the case to september 27 this year for another defence hearing it is alleged that in january last year in dar es salaam the accused conspired with other unknown persons to commit an offence of corrupt transactions contrary to section 15(1) (a) of the prevention and combatting of corruption act 2007 he has been charged of corruption transaction with two other people deogratius mgassa and edmund kapama it was alleged that on january 29 2010 at sea cliff hotel in the city being employed by tbc as a reporter he allegedly solicited 10m/ from former accountant with bagamoyo district council michael wage karoliclick to expand
nimesoma utetezi wa rafiki yangu muro nafikiri hajafunga ushahidi bado anaendelea ila naendelea kumshauri kuwa ajikite zaidi kwenye ushahidi un aogusa zaidi kesi iliyo mbele yake nafikiri kuhusisha sana mambo yaliyonje na shitaka lililopo yanaweza yasimsaidie sana labda kama anaushahidi usiotia shaka kimsingi kesi yake si ngumu kihivyo kwani mazingira ya ukamataji yanamashaka sana kiasi ambacho jerry nakushauri ujikite kupigilia msumari mazingira hayo ili kuifanya mahakama ipate mwanga mzuri wa sinema hiyo pole sana ila yatapita
masha anaweza huyu waziri wa kushinda rose garden mida ya kazi na kuchukua dada zetu
muro haki inacheleweshwa tu lakini haizuiliwi kamwe tunajua una haki na mungu atakutetea na utatoka mshindi ndo maana tido alifukuzwa tbc1 pia pole kwa shida na usumbufu mwingi pole kwa kukosa kazikesi yako na ya babu seya sawa tu | 2017-07-25T12:51:42 | https://www.jamiiforums.com/threads/laurent-masha-ahusishwa-na-kesi-ya-muro.165166/ |
mfanyakazi tra dodoma asimamishwa kazi tanzania broadcasting corporation
home kitaifa mfanyakazi tra dodoma asimamishwa kazi
mfanyakazi tra dodoma asimamishwa kazi
naibu waziri wa fedha na mipango dkt ashatu kijaji ameuagiza uongozi wa mamlaka ya mapato tanzaniatra kumsimamisha kazi mfanyakazi wake mmoja katika ofisi ya tra mkoa wa dodoma kupisha uchunguzi wa kuhusika kwake na tuhuma zinazomkabili za kumbughudhi mfanyabiashara mmoja jijini humo
dkt kijaji ametoa maagizo hayo baada ya kufanya ziara ya kushtukiza kwenye mitaa ya jiji la dodoma baada ya kupata malalamiko kutoka kwa mfanyabiashara mmoja kwamba amekuwa akipokea simu za vitisho kutoka kwa mfanyakazi huyo akishirikiana na watu wengine wakimdai shilingi laki saba za kulipia mashine ya kutolea stakabadhi za kielektroniki efd la sivyo angefungiwa biashara yake
amewataka watendaji wa tra nchini kote kufanya kazi kwa kuzingatia maadili yao ya kazi kukadiria kodi kwa haki watumie lugha nzuri kwa wateja wao na kutoa elimu kwa umma kuhusu haki na wajibu wa wafanyabiashara katika masuala ya kodi badala ya kuwakadiria kodi kubwa
meneja wa tra mkoa wa dodoma thomas masese ameahidi kutekeleza maagizo hayo na kufanya uchunguzi wa kina kuhusu madai hayo
previous articlewatanzania wasisitizwa kuthamini utamaduni
next articlemazingira bora ya biashara yasisitizwa | 2018-12-15T08:43:58 | http://tbc.go.tz/kitaifa/mfanyakazi-tra-dodoma-asimamishwa-kazi/ |
nunua ilio tumika toyota camry red gari ndani ya blantyre nchini malawi caryanga
inaonekana170
habari nimevutiwa na toyota camry car iliopo malawi blantyre nilio iona katika caryangacom unaweza nitumia taarifa zaidi juu yake ahsante | 2019-06-18T07:07:19 | https://www.caryanga.com/sw/vehicle_listings/ad-toyota-camry-malawi-blantyre-3420 |
changamoto za ziwa victoria kutatuliwa bbc swahili
http//wwwbbccom/swahili/habari38988120
haki miliki ya picha vice presidents office
image caption waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki balozi augustin mahigamakamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania samia suluhu hassan na kulia ni waziri wa maji na umwagiliaji mhandisi gerson lwenge
makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania samia suluhu hassan amewataka wanasayansi watafiti na wadau wa mazingira kutoka jumuiya ya afrika mashariki kuibua mbinu mpya zitakazosaidia kukabiliana na changamoto zinazolikabili bonde la ziwa victoria ikiwemo uchafu wa ziwa hilo unaotokana na shughuli za kibinadamu
makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania samia suluhu hassan ametoa kauli hiyo wakati anafungua mkutano wa siku mbili unaojuisha wadau wa mazingira wanasayansi na watafiti wa bonde la ziwa victoria jijini mwanza
makamu wa rais samia suluhu hassan amesema anaimani kubwa kuwa mkutano huo utakuwa ni chachu katika kuibua mbinu mpya na bora za kukabiliana na uharibifu wa mazingira unaoendelea katika bonde la ziwa victoria
makamu wa rais samia suluhu hassan amesema bonde la ziwa victoria bado linakabiliwa na changamoto nyingi hasa kuibuka tena kwa magugumaji ambayo yameathiri shughuli za uvuvi usafiri na kuchafua maji katika ziwa hilo hivyo ni muhimu kwa makundi yote wakiwemo wanasayansi na watafiti kuweka mikakati mipya ya kukabiliana na changamoto hizo ambazo ni tishio kwa uhai wa ziwa victoria
kufanya maamuzi kwa kuzingatia ushauri wa kisayansi ni jambo zuri na la msingi katika kutunga sera ambazo zitasaidia kwa kiasi kikubwa kulinda na kuhifadhi bonde la ziwa victoria kwa ajili ya manufaa ya wananchi woteamesisitiza makamu wa rais samia suluhu hassan
makamu wa rais samia suluhu hassan amesisitiza anaimani kubwa kuwa majadiliano yatakayofanyika katika mkutano huo yatakuja na mbinu mpya ambazo zitatumika katika kuhifadhi na kuendelea bonde la ziwa victoria
makamu wa rais samia suluhu hassan pia alitembelea mabanda mbalimbali ya maonyesho katika viwanja vya hoteli ya malaika uliyopo jijini mwanza | 2017-11-25T11:58:27 | http://www.bbc.com/swahili/habari-38988120 |
mo ne bu kalezi bupilokalabo ye swanela ku nyakisiswa
hamulaho wa ku nyakisisa bupaki batu ba bañata ba fitanga fa ku lumela kuli bupilo ne bu tahisizwe ki mubupi ya butali mu nyakisise mutala wa bo antony flew licaziba ba tuto ya mihupulo ya batu ili bao ka nako ye ñwi ne li ba bañwi ba batu ba ne ba yemela hahulu taba ya kuli ha ku na mulimu ha ne ba itutile za ku ipitela ko ku makaza kwa bupilo ni za milao ye zamaisa lika ze fa lifasi ni mwa mahalimu bo flew ne ba cincize mubonelo wa bona ka ku ama kwa muezezo o muñwi wa kwaikale wa ku nyakisisa ka ona taba bo flew ne ba ñozi kuli lu swanela ku amuhela taba ye bu supa ku yona bupaki nihaikaba kuli haki yona ye ne lu iteekela ka ku ya ka bo flew bupaki ne bu bonisa kuli ku na ni mubupi
bo gerard ba ba talusizwe kwa makalelo a taba ye ni bona ne ba fitile fa ku lumela taba ye swana ku si na taba kuli ne ba itutile hahulu mi ne ba eza musebezi wa ku ituta za likokwani ne ba bulezi kuli ne ni si ka bona bupaki bo bu bonisa kuli bupilo ne bu itahezi feela ku zwa fa lika ze sa pili ku ongaongiwa hande kwa lika ze pila ni ku ipitela kwa zona ne ku ni kolwisize kuli ku lukela ku ba ni muongaongi ni mubupi
sina feela mutu ha kona ku ituta za muswanisi ka ku nyakisisa maswaniso a swanisize bo gerard ne ba fitile fa ku lemuha tulemeno twa mubupi ka ku ituta lika za ka taho hape bo gerard ne ba bile ni nako ya ku nyakisisa buka ye taluswa kuli i ñozwi ki mubupi yona bibele (2 timotea 316) mwateñi ba fumana likalabo ze kolwisa ze ama lipuzo za bupilo bwa batu bwa kwa mulaho ni linzila ze tusa za ku tatulula ka zona matata e ba talimana ni ona batu kacenu kamukwaocwalo ba fita fa ku kolwa kuli bibele ni yona i tahisizwe ki mulimu
sina mo ne ba lemuhezi bo gerard likalabo za bibele za swanela ku nyakisiswa lu mi susueza ku eza cwalo
bibele ha i lwanisi sayansi mane i susueza batu ku nyakisisa lika za ka taho (isaya 4026) nihaike kuli bibele haki buka ya sayansi ya lumelelana ni litaba za niti za sayansi ka mutala bibele ha i yemeli mubonelo wa kuli mulimu naa bupile lika kaufela mwa mazazi feela a 6 a lihola ze 24 ha i buleli kuli lifasi ne li bupilwe mwa mazazi luli a 6 a lihola ze 24 linzwi la lizazi ka mo li itusiselizwe kwa liñolo la genese li ama kwa nako ye telelenyana *
^ par 9 kuli mu fumane litaba ze ñata mu bone broshuwa ye na ni toho ya taba ye li was life created ye hatisizwe ki lipaki za jehova hape ya fumaneha fa intaneti fa webusaiti ya wwwjworg
bibele i luta kuli
bupilo bu simuluha feela fa bupilo kakuli liweluwelu la bupilo li ku wena [mulimu]samu 369
mulimu naa ezize limela ni lifolofolo ka ku ya ka mifuta ya zona (genese 111 12 21 24 25) bibele ha i bonisi kuli mifuta yeo ne i ka ba ye mi tuna cwañi taba ye i tahisa kuli ku be ni lika ze fapahanafapahana mwa mufuta ni mufuta wa sika
mulimu naa bupile batu ni buikoneli bwa ku bonisa tulemeno to tu nde twa na ni tona tulemeno to tu kopanyeleza lilato bunde ni katulo ye lukile mulimu a li a lu eze mutu ka siswaniso sa luna ni ka ku swana kwa lunagenese 126
lifasi ne li bupezwiñi
kana ze ne li bupezwi lifasi li ka talelezwa ka kutala
mo ne bu kalezi bupilokalabo ye swanela ku nyakisiswa
https//wwwjworg/finderdocid=102015004&wtlocale=sk&srcid=share
mailtobody=mo ne bu kalezi bupilokalabo ye swanela ku nyakisiswa0a0ahttps3a2f2fwwwjworg2ffinder3fdocid3d10201500426wtlocale3dsk26srcid=share⊂ject=mo ne bu kalezi bupilokalabo ye swanela ku nyakisiswa | 2017-02-26T16:21:25 | https://www.jw.org/loz/lihatiso/limagazini/g201501/simuluho-ya-bupilo/ |
uwt wilaya ya shinyanga vijijini wakiwa katika zoezi la uchangiaji damu | kareny blog
home » habari » uwt wilaya ya shinyanga vijijini wakiwa katika zoezi la uchangiaji damu
posted by kareny sungwa on saturday june 11 2016 add comment | 2018-07-23T11:16:09 | http://sungwakareny.blogspot.com/2016/06/uwt-wilaya-ya-shinyanga-vijijini-wakiwa.html |
june 9 2019 unistoretz media education 13
mbona ninapohitaji kuconfirm nikiandika namba ya mtihani inanipa jibu la no data found ina maana hamjaweka data zenu vizuri au ni namna gani ya kutumia tuelekezane please
daima hilary
tunapo jaribu kuhakiki mfano wa kuandika namba za mtaani auonekani vizuri
toka tarehe 10 hadi leo tarehe 11 kila nikifanya uthibitisho majibu ni no data found nini tatizo au ninakosea namna ya kufanya uthibitisho ¿
shukuru festo
i have certificate of nursing and midwifery i complete at tosamaganga school of nursing iringa year of complete 2017 nurse twoo
june 12 2019 at 1958
kama kuna njia mbadala ya kuthibitisha tufahamishwe
nimejaribu kufanya confirmation na kufanya submission baada ya kujaza data zilizokuwa zimekosekana lakini naandikiwa unable to verify your data submissionnaomba msaada
rαчmσвdí mαgєѕα
june 13 2019 at 0003
lαвughαí
june 13 2019 at 0004
nασmвαα mníѕαídíєє jínѕí чα ku cσrвfєrl chuσ nílíchσσ chαgulíwα
jamani mtuambie njia nyingine ya kuthibitisha kwa sababu huku ukerewe tunajaribu lakini inashindikana tusaidieni jamani
mimi naitwa ruth na nimeitwa tanga school of nursing kuchukua diploma in nursing and midwifery lakini nikiwa najaribu kudownload ili nithibitishe hawaniletei taarifa vizuri
mimi kila nikiandika namb ya mtihani naambiw not data found sas sijui ni upande wangu tu au na wengine nisaidieni jaman
kuna tatizo gani mbona confirmation inagoma mini tufanye | 2019-06-17T16:37:20 | https://www.unistoretz.com/magazine/nacte-students-confirmation-uthibitisho-tamisemi/ |
irene mwamfupe jamii denti apiga za utupu gesti
denti apiga za utupu gesti
aibu ilioje denti wa chuo kimoja jijini dar anayefahamika kwa jina moja la martha amepiga picha akiwa mtupu katika nyumba moja ya kulala wageni iliyopo tabata ambako alikwenda akiwa na nguo za shule tukio linalodaiwa kutokea hivi karibuni
denti wa chuo anayefahamika kwa jina moja la martha akiwa mtupu kitandani
kwa mujibu wa chanzo chetu makini picha hizo ziliwekwa katika mtandao mmoja wa kijamii makusudi na bwanake anayedaiwa kuwa ndiye aliyempiga kwa ridhaa yake mwenyewe kabla ya kukorofishana
inadaiwa kuwa picha hizo ambazo zimekuwa zikisambaa kwa kasi katika blogs karibu zote nchini hatimaye zilimfikia msichana huyo anayedaiwa kuishi tabata ambaye kwa aibu alimtumia msichana mwingine
picha ya martha ya utupu akiwa bafuni
baada ya martha kumtumia msichana huyo aliyejitambulisha kwa jina la lilian aliyedai kuwa ni dada yake akimlaumu mmiliki wa mtandao kwa kuzirusha picha za mdogo wake bila kuuliza zilikotoka
gazeti hili linayo majibishano yaliyorekodiwa kati ya dada na mmiliki huyo ambako lilian alitishia kulipeleka suala hilo katika vyombo vya sheria tishio ambalo lilikebehiwa
usitutishe hizi picha kazipiga mwenyewe kwa pozi tofauti unataka sisi tufanyaje na aliyempiga ni bwanake kwanza huu ni ulimbukeni na tunazisambaza makusudi ili liwe funzo kwa wengine wanaofanya ujinga huu alisema mmiliki huyo
martha akipozi bafuni bila haya
kutokana na aibu aliyoipata msichana huyo taarifa kutoka chuoni kwao zinasema akiwa na hofu ya picha hizo kuwafikia walimu na hivyo kuharibu sifa yake amekuwa akiwaambia marafiki zake kuwa anafikiria kuhama | 2017-08-22T01:32:58 | http://irenemwamfupejamii.blogspot.com/2014/12/denti-apiga-za-utupu-gesti.html |
📌 effort
[swahili word] harakati
[swahili plural] harakati
[swahili word] idili
[swahili plural] idili
[swahili plural] majadi
[derived word] jaribu
[swahili word] jitihadi
[swahili plural] majitihadi
[english example] effort will not counter faith (proverb)
[swahili example] jitahidi haiondoi kudura (methali)
[swahili word] juhudi
[swahili plural] juhudi
[english example] the efforts of the us and of other nations to put an end to world terrorism
[swahili example] juhudi za marekani na mataifa mengine kukomesha ugaidi ulimwenguni [http//tanzaniausembassygov/wwwh02html us embassy tanzania]
[swahili word] maelekeo
[swahili plural] maelekeo
[derived word] elekea
[swahili word] mbano
[swahili plural] mibano
[swahili word] mbio
[swahili plural] mbio
[swahili word] sulubu
[swahili plural] sulubu
[english example] it will take them many years of effort
[swahili example] itawachukua miaka mingi ya sulubu [mun]
[english word] effort (strong)
[swahili word] ghaidhi
[swahili plural] ghaidhi
[english word] make a special effort
[english word] make a strong effort
[swahili word] tutumua
[english word] make an effort
[related words] mjiko
[english example] we must make an effort to protect the honor of our name
[english word] make effort
[english word] put effort
[derived word] juhudi n
[english word] special effort
[english plural] special efforts
[swahili word] ari
[swahili plural] ari
[english word] special effort exerted to prevent being disgraced | 2019-12-07T15:07:56 | https://english_swahili.enacademic.com/4179/effort |
> km akwilapo awataka watumishi wa wizara yake kufanya kazi kwa bidii na weledi msumba news blog
uncategories km akwilapo awataka watumishi wa wizara yake kufanya kazi kwa bidii na weledi
km akwilapo awataka watumishi wa wizara yake kufanya kazi kwa bidii na weledi
published on february 17 2018 leave a reply
katibu mkuu wa wizara ya elimu sayansi na teknolojia dk leonard akwilapo amewataka watumishi wa wizara hiyo kufanya kazi kwa bidii na kuzingatia weledi katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku
dk akwilapo ameyasema hayo wakati wa kikao cha kwanza cha watumishi wa wizara hiyo kilichofanyika mkoani dodoma tangu serikali itangaze rasmi kuhamishia makao makuu ya nchi mkoani humo
dk akwilapo amesema utii ushirikianobidii na upendo mahali pa kazi miongoni mwa watumishi ndiyo silaha pekee ya kufikia malengo ambayo wizara imejiwekea katika kuinua sekta ya elimu hapa nchini
nipende kuwapongeza watumishi wote kwa kushiriki majukumu mbalimbali ya wizara ikiwemo kuisimamia vyema miradi mbalimbali inayotekelezwa na wizara nawasihi sana tuusifanye kazi kwa kujitenga ushirikiano miongoni mwetu ni jambo la msingi sana na tukiwa na umoja basi mafanikio lazima yatapatika katika sekta hii ya elimualisema dkakwilapo
pia katibu mkuu dkakwilapo amewataka watumishi kuwa na matumizi sahihi ya teknolojiakujibu barua mbalimbali kwa wakati pamoja na kushughulikia faili zinazofika kwenye ofisi zao ndani siku mbili na siyo kuziacha zikae muda mrefu
kupitia kikao hicho watumishi pia walipata fursa ya kuwaaga viongozi ambao walitumikia wizara hiyo ambao hivi sasa wamehamiahiwa wizara nyingine na kuwakaribisha viongozi wapya ambao wamehamia kwenye wizara hiyo
viongozi waliokaribishwa ni pamoja na naibu waziri william ole nasha na naibu katibu mkuu profesa james mdoe na walioagwa ni naibu waziri mhandisi stella manyanya na profesa saimon msanjila ambaye hivi sasa ni katibu mkuu anayesimamia sekta ya madini
17/ 2/2018 | 2018-11-13T18:39:08 | http://www.msumbanews.co.tz/2018/02/km-akwilapo-awataka-watumishi-wa-wizara.html |
ligi kuu ya zanzibar kanda ya pemba jamhuri yailaza wawi star 20 zanzinews
home michezo ligi kuu ya zanzibar kanda ya pemba jamhuri yailaza wawi star 20
ligi kuu ya zanzibar kanda ya pemba jamhuri yailaza wawi star 20
mchezaji wa timu ya wawi star rashid saleh (kulia) akitafuta mbinu za kumtoka mlinzi wa timu ya jamhuri abdull mahfoudh wakati wa mchezo wa ligi kuu ya zanzibar kanda ya pemba jamhuri kushinda bao 20 mchezo uliopigwa uwanja wa gaombani(picha na abdi suleiman pemba)
mlinda malango wa timu ya jamhuri abdulatif said akijiandaa kuruka juu kudaka mpira wakati wa mchezo wa ligi kuu ya zanzibar kanda ya pemba jamhuri kuibuka na ushindi wa bao 20 mchezo uliopigwa uwanja wa gombani(picha na abdi suleiman pemba)
mchezaji wa timu ya jamhuri ahmed ali akitafuta mipango ya kumtoka mchezaji wa timu ya wawi star wakati wa mchezo wa ligi kuu ya zanzibar kanda ya pemba jamhuri kuibuka na ushindi wa bao 20 mchezo uliopigwa uwanja wa goambni(picha na abdi suleiman pemba)
wachezaji wa timu ya wawi star na jamhuri wakiamulia baada ya kutokea sintofahamu ya kutaka kupigana wakati wa mchezo wa ligi kuu ya zanizbar kanda ya pemba mchezo uliopigwa katika dimba la goambani(picha na abdi suleiman pemba)
wachezaji wa timu ya jamhuri wakimpongeza mchezaji mwenzao khamis abrahman mwenye para baada ya kuipatia timu yake ya bao la pili katika mchezo wa ligi kuu ya zanzibar kanda ya pemba baina ya wawi star na jamhuri matokeo jamhuri kuibuka na ushindi wa bao 20(picha na abdi suleiman pemba) | 2019-06-18T19:09:18 | http://www.zanzinews.com/2018/04/ligi-kuu-ya-zanzibar-kanda-ya-pemba.html |
haya yote yanafanyika na waziri upo mwanasheria mkuu upo download from youtube for free semalt
3550565 results for haya yote yanafanyika na waziri upo mwanasheria mkuu upo
haya yote yanafanyika na waziri upo mwanasheria mkuu upo
ni makavu live ya rais jpm kwa waziri wa sheria na mwanasheria mkuu wa serikalitazama full video ya aliyoyaongea rais siku hii ya mwaka mpya wa sheria kwenye link hii https//youtube/uluralqgqosusbcribe kwenye channel hii kupata matukio muhimu ki
mkuu wa wilaya upo mkurugenzi upo kwanini hammalizi hili waziri mkuu
waziri mkuu waziri mwigulu hatuwezi kushindwa na wewe upo
rais magufuli hivi kweli yanatokea haya waziri upo tu
waziri ukimwi bado upo
waziri mkuu amtumbua mwanasheria huko misungwi
waziri mkuu kassim majaliwa amemsimamisha kazi mwanasheria wa halmashauri ya wilaya ya misungwi bw alphonce sebukoto na kuagiza achungunzwe na vyombo husikaamechukua hatua hiyo baada mwanasheria huyo kushindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo ikiw
uchawi upo
je unaamini uchawi cheki hii video uone watu wanavotumia uchawi kujikina na wezi
upo upo sexbomb girls videoke
track 12taken from sexbomb girls bomb threat 2004
jamani ukimwi bado upo ebu shuhudia haya
maambukizi mapya ya vvu bado yapo na makundi ya kijamii yenye hatari ya kuambukizwa ni akinadada wanaouza miili madereva wa malori wafanyakazi wanaohama na wasichana wenye umri kuanzia miaka 15 hadi 26
upo live
upo feel alive
upo stick
ginisang upomga sangkapmantikabawangsibuyaskamatisupoasinpamintatubig*salamat sa panonood =)*thank you for watching*happy cooking***like comment & subscribe*****************kquinze***************i am a make up artista music lovera swe
upo guisado
upo guisado or ginisang upo is a simple dish composed of bottle gourd small pieces of pork garlic tomato and onion this is a regular filipino dish best served with ricethis video shows you the step by step procedure on how to cook upo guisado
☺ ginisang upo ☺
ginisang upothis recipe is another filipino viand (ulam) its common in every filipino meal and usualy serve in carenderia its very delicious and easy to make for your family instead of the usual ground pork i used daing na labahita to partner
gero upo
padainuokim
upo contas
galera esse video nois caimos de arena mais voltamos galera se vc quiserem que eu upo contas meu whatsapp (32)988489395e nois )
hapunan namin 6/05/09
ginisang upo is a ground pork soup/stew commonly served in the philippines the onion garlic and tomatoes combined with the fish sauce gives it a rather unique taste i love it served up on a cool rainy day if you like this video you also might tr | 2019-08-21T16:19:23 | https://savetubevideo.com/haya-yote-yanafanyika-na-waziri-upo-mwanasheria-mkuu-upo.html |
waziri mkuu aagiza kampuni ambayo mkandarasi alinyanganywa passport na rais iondolewe | zotekali blog
waziri mkuu aagiza kampuni ambayo mkandarasi alinyanganywa passport na rais iondolewe
0 0 friday 31 march 2017
waziri mkuu kassim majaliwa amesema serikali haitavumilia wakandarasi wasio na uwezo na ambao wanapewa kazi lakini wanashindwa kuzimaliza
waziri mkuu ametoa kauli hiyo jana (alhamisi machi 30 2017) wakati akizungumza na watumishi wa halmamshauri ya chalinze na wale wa mamlaka ya maji na usafi wa mazingira (chaliwasa) katika ofisi zao karibu na daraja la mto wami wilayani bagamoyo mkoani pwani
alimuagiza waziri wa maji na umwagiliaji mhandisi gerson lwenge ahakikishe kuwa kazi ya ujenzi wa mradi huo inaimarika na kufikia asilimia 80 la sivyo wakamilishe taratibu za kukatisha mkataba na kutafuta mkandarasi mwingine
nimeelezwa kwamba mmempatia nyongeza ya siku 100 ambayo inaisha tarehe 31 mei 2017 kama kazi yake haitakuwa ya kuridhisha na kufikia walau asilimia 80 itabidi mheshimiwa waziri uendelee na taratibu zako za kukatisha mkataba tuanze kutafuta mkandarasi mwingine alisema
nimesikitika sana kukuta mkandarasi hajafikia malengo mtu akipewa kazi anapaswa awe na uwezo wa kifedha wa kuifanya ile kazi ili hata serikali ikichelewesha malipo yake yeye aendelee na kazi aliongeza waziri mkuu
akizungumzia kuhusu ufanisi wa mradi huo waziri mkuu alimtaka mkurugenzi mtendaji wa chaliwasa eng christer mchomba ahakikishe kuwa wanapeleka maji hadi majumbani mwa wateja na kuweka mita ili wananchi waweze kulipa bili zao badala kuishia kutoa huduma hiyo kwenye vioski (viula)
kazi ya kupeleka maji majumbani ni yenu chaliwasa na siyo ya wizara pelekeni maji na mfunge mita ili watumiaji waweze kulipa bili zao pia toeni elimu kwa wananchi kupitia mikutano ya hadhara waelezeni mipango yenu na wapi mlipofikia kazi yenu siyo kutandika mabomba tu bali kutekeleza majukumu mliyopewa kwa niaba ya serikali alisema
kuhusu mitambo inayotumika waziri mkuu alisema mashine zilizopo ni za siku nyingi tangu 2003 hivyo amemuagiza waziri lwenge afuatilie upatikanaji wa mashine za kisasa kwani hilo suala ni kubwa na haliwezi kubebwa na chaliwasa bora mngeanza kuagiza mashine mpya hivi sasa badala ya kusubiri zichakae kabisa ndipo muanze kufikiria kuagiza
zotekali blog waziri mkuu aagiza kampuni ambayo mkandarasi alinyanganywa passport na rais iondolewe
https//4bpblogspotcom/apz_c3lpxdw/wn5ivowqj3i/aaaaaaaay9i/fcbjta9r5py9lrdzkvwgjbg_haezfrp6qclcb/s1600/xrg1a3744750x375jpgpagespeedicsra0scnipwebp
https//4bpblogspotcom/apz_c3lpxdw/wn5ivowqj3i/aaaaaaaay9i/fcbjta9r5py9lrdzkvwgjbg_haezfrp6qclcb/s72c/xrg1a3744750x375jpgpagespeedicsra0scnipwebp
http//wwwzotekalicom/2017/03/wazirimkuuaagizakampuniambayohtml | 2018-01-21T20:32:24 | http://www.zotekali.com/2017/03/waziri-mkuu-aagiza-kampuni-ambayo.html |
siriakwa 2019 upo uwezekano wa wakimbizi 250000 kurudi kwao | vatican news
kwa mujibu wa taarifa kutoka shirika la kuhudumia wakimbizi watoto milioni moja waliozaliwa baada ya vita nchini siria wanateseka
shirika la kuhudumia wakimbizi (unhcr)limesema kuwa kwa mwaka 2019 wanategea wakimbizi 250000 wanchi ya siria kurudi kwao ambapo pia wanathibitisha kuwa karibia wakimbizi 37000 kwa mwaka 2018 wameweza kurudi nchini mwao tayari
kwa mwaka 2019 wakimbizi 250000 wa siria wanaweza kurudi katika nchi yao iliyo haribiwa na migogoro bila ukomo tangu mwaka 2011 hayo yametolewa na shirika kuhudumia wakimbizi (unhcr) ambapo kwa mujibu wanasema karibia wakimbizi 37000 kwa mwaka huu tayari wamekwisha rudi nchini mwao na namba iliyotajwa inaweza kuongezeka au kupungua kulingana na jinsi ambavyo wanafanya kazi ili kuhamaisha kile kinachozuia kurudi kwao hayo yametamkwa na amin awad mkurugenzi wa shirika la kuhudumia wakimbizi (unhcr) kwa upande wa nchi za mashariki na afrika ya kaskazini
tangu 20152018 milioni moja ya watoto wamezaliwa wakiwa nje ya nchi yao
tangu mwaka 2015 hadi leo hii jumla karibia ya wakimbizi 117000 wameweza kurudi katika nchi yao kwa mujibu wa dati za ofisi ya hali ya juu inathibitisha kuwa karibia milioni 56 za wakimbizi wa siria na kati yao milioni moja waliozaliwa baada ya kukimbia nchini siria wanabaki bado katika mipaka ya nchi yao kama vile uturuki lebanon yordan misri na iraq kurudi kwao ni kutokana na mpangilio ambapo wao wenyewe kupenda bila kushurutishwa vilevile hali ya usalama hata kwa msaada wa shirika la kuhudumia wakumbizi ( unhcr) amesisitiza bi awad na kuthibitisha kuwa hakuona kulazimishwa pamoja na kwamba migogoro bado ipo hii pia inatokana na idadi kubwa ya vizingiti ambavyo watu wa siria wanapaswa kukabiliana navyo kwa mfano ukosefu wa vitambulisho ukosefu wa hati miliki za maeneo yao ukosefu wa huduma za afya na elimu katika maeneo ambayo wanapaswa kwenda
hata hivyo kwa upande wa ofisi ya masuala ya mpango wa kibinadamu (ocha) huko amman wametangaza kufanya operesheni kubwa ya kupekea tani 10 za msaada wa kibinadamu kuelekea siria kwa ajili ya watu karibia 650000 wenye kuhitaji msaada operesheni hiyo itadumu mwezi mmoja na itafanyika kwa njia ya kupitia mpaka wa jaber nassib ambao umefunguliwa wiki chache zilizopita mara baada ya kufungwa kwa miaka sasa umoja wa mataifa unadhibitisha kuwa karibia milioni 13 za watu wa siria kati ya waliorundikana ndani na wakimbizi walioko kwenye mipaka ya nchi leo hii wanahitaji msaada mkubwa
uzinduzi wa mpango wa kikanda kwa mwaka 20192020 kwa ajili ya wakimbizi wa siria
tarehe 11 desemba 2018 mashirika ya umoja wa mataifa na wadau wake yamezindua mpango wa kikanda wa mwaka 20192020 kwa ajili ya kuwajengea stahamala wakimbizi wa siria na nchi zinazowahifadhi mpango uliopewa jina la 3rp ni wenye thamani ya dola bilioni 55 na ambao unatarajiwa kusaidia juhudi za uturuki lebanon jordan misri na iraq ili kukabiliana na athari mbaya za mzozo wa siria taarifa ya mashirika hayo ikiwemo lile la kuhudumia wakimbizi (unhcr) na la mpango wa maendeleo (undp) limesema nchi jirani zimekuwa na ukarimu mkubwa katika kuwahifadhi wakimbizi tangu mzozo wa siria ulipoanza kwa kuwawezesha kuwapa hifadhi ulinzi kupata huduma za umma na kuchangia katika uchumi licha ya athari hasi dhidi ya uwepo wao
licha ya hayo mashirika hayo kupitia taarifa yao yamesema kuhifadhi wakimbizi hao kunazua changamoto kwani wakimbizi milioni 56 wamesajiliwa katika ukanda huo na watoto milioni moja wanateseka kutokana na kutajwa kuwa watoto wamezaliwa katika mazingira ambamo kunashuhudiwa umaskini na ukosefu wa ajira ndoa za mapema na ajira za utotoni zinafanyika na elimu sio hakika mashirika hayo yametoa wito kwa jamii ya kimataifa kusaidia katika juhudi za mpango huo wa 3rp kwani jamii zinazowahifadhi watu wa siria zinakabiliwa na changmoto za kiuchumi na kijamii ifikapo mwaka 2019 mpango huo wa 3rp unatarajiwa kusaidia watu milioni 9 katika nchi tano kwa misaada kwenye maeneo kama vile ulinzi kwa wakimbizi kuwaandikisha watoto shule kuimarisha huduma muhimu na fursa za kiuchumi hususan kwa wanawake
milioni 65 nchini siria wana njaa kwa mujibu wa shirika la mpango wa chakula duniani (wfp)
wakati mpango huo kukizinduliwa na shirika la mpango wa chakula duniani wfp limesema kwa sasa watu milioni 65 nchini siria wana njaa ambapo wfp inafikia watu milioni 3 kila mwezi ikiwemo watu milioni 33 wanoishi kambini nje mwa siria halikadhalika wfp inasaidia watu 81000 nchini misri 47000 nchini iraq 880000 nchini jordan 670000 nchini lebanon na milioni 15 nchini uturuki
siriawakimbizi laki 6 na nusu kuhitaji msaada
13 december 2018 1553 | 2019-05-23T19:36:10 | https://www.vaticannews.va/sw/world/news/2018-12/upo-uwezekano-kwa-2019-wakimbizi-250-000-wa-siria-kurudi-makwao.html |
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 6 terms of payment miezi 6 direction kati kati ya makumbusho na mwananyamara ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium windo #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #forrentmkombozi contact #0713355443 #0789279416 whats app ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ kwa matangazo ya bihashara yoyote kama #school #office #hotel #lodge #bar #saloon #duka #magari nk call 0713355443
21/04/2018 house for rent #apartments kodi tsh laki 200000/= ilipwe ya miezi 6 location changanyikeni dak 58 toka daladala ina chumba kimoja master na sebule #tiles #gypsum #aluminiumwindows maji ya dawasco ni 24 hrs umeme #luku yko fenced & ila haina parking #gardens pavements (slides kwa picha zaidi) #kuja_kuona_nyumba_hii_ni_tsh_elf_20 kwa maelezo zaidi ⤵️⤵️⤵️⤵️⤵️⤵️ piga 📞0620131396 tsup 0716938128 instgrm dalalirichi fcbook dalali richi
21/04/2018 house for rent #apartments kodi tsh laki 200000/= ilipwe ya miezi 6 location changanyikeni dak 58 toka daladala ina chumba kimoja master na sebule #tiles #gypsum #aluminiumwindows maji ya dawasco ni 24 hrs umeme #luku yko fenced & ila haina parking #gardens pavements (slides kwa picha zaidi) #kuja_kuona_nyumba_hii_ni_tsh_elf_10 kwa maelezo zaidi ⤵️⤵️⤵️⤵️⤵️⤵️ piga 📞0718342 088 tsup 0621075 987 instgrm dalalikijana fcbook dalali kijana twitter dalalikijana #dalalikijana #2018mwaka_wa_mijengo for advertising 📞0718342088
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartiment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 22 per month terms of payment 6 month direction makongo juu ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #1bedroom self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #open kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (kj)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartiment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 5 per month terms of payment 6 month direction mbezi beach africana ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (g)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartiment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 4 per month terms of payment 6 month direction ununio ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom all bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (mw)
@airdrug
lukehozawa さんのトークショーを見て、感化され、そのまま羽田に! 写真の練習! #luku hozawa #canon #shinagawa #canon_photography #haneda #hanedaairport #aviationlovers #aviationphotography
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 mpya kabisa ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 4 per month terms of payment 6 month direction kinondoni mkwajuni ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (a)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartiment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 4 per month terms of payment 6 month direction kinondoni vijana ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (kj)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartiment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 4 per month terms of payment 6 month direction kinondoni studio ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (a)
21/04/2018 house for rent #apartments kodi tsh laki 250000/=(nitakuombea kwa laki 220) ilipwe ya miezi 6 location makongo juu dak 58 toka daladala ina chumba kimoja master #sebule #dining na jiko #tiles #gypsum #aluminiumwindows maji ya dawasco ni 24 hrs umeme #luku yko fenced & parking #gardens pavements nb fence ni ukuta hiyo waya #seng 'enge hpo haihusiani na fence iliyopo (slides kwa picha zaidi) #kuja_kuona_nyumba_hii_ni_tsh_elf_10 kwa maelezo zaidi ⤵️⤵️⤵️⤵️⤵️⤵️ piga 📞0718342 088 tsup 0621075 987 instgrm dalalikijana fcbook dalali kijana twitter dalalikijana #dalalikijana #2018mwaka_wa_mijengo for advertising 📞0718342088
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 6 terms of payment miezi 6 direction mbezi beach makonde ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #forrentrichi contact #0620131396 #0716938128whats app ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price milion 1 terms of payment miezi 6 direction mbweni ubungo ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #forrentrichi contact #0620131396 #0716938128whats app
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 55 terms of payment miezi 6 direction mbezi beach tangibovu shamo tower ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #shuter windo #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #forrentrichi contact #0620131396 #0716938128whats app ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 55 terms of payment miezi 6 direction mbezi beach tangibovu shamo tower ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #shuter windo #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #forrentmkombozi contact #0713355443 #0789279416 whats app ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ kwa matangazo ya bihashara yoyote kama #school #office #hotel #lodge #bar #saloon #duka #magari nk call 0713355443
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price milion 1 terms of payment miezi 6 direction mbweni ubungo ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #forrentmkombozi contact #0713355443 #0789279416 whats app ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ kwa matangazo ya bihashara yoyote kama #school #office #hotel #lodge #bar #saloon #duka #magari nk call 0713355443
@nykofade
portrait of @elysianrebel cosplaying as loki and fyi loki in mythology is a shapeshifter and can change sex at will so im counting this as the first of my drawings about norse mythology more to come the runes spell loki #loki #norsemythology #norse #cosplay #female #shapeshifter #trickster #mischief #aesir #jotunn #germanic #smite #thor #gaming #pagan #mythology #drawing #art #illustration #portrait #horns #lokki #luku #lokke #loptr
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 6 terms of payment miezi 6 direction mbezi beach makonde ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #forrentmkombozi contact #0713355443 #0789279416 whats app ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ kwa matangazo ya bihashara yoyote kama #school #office #hotel #lodge #bar #saloon #duka #magari nk call 0713355443
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price $ 600 terms of payment miezi 6 direction kati kati ya bahari beach na tegeta nyuki ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom all bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #air condition #car parking #fenced #kitchen #garden #standby generator #swimming pool #publictoilet #luku yako #maji #parving block contact #0712531657 #0789731695 whats app
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 35 terms of payment miezi 6 direction bunju [ b ] ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #forrentmkombozi contact #0713355443 #0789279416 whats app ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ kwa matangazo ya bihashara yoyote kama #school #office #hotel #lodge #bar #saloon #duka #magari nk call 0713355443
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ ( date listed 21 april 2018 asking price laki 7 terms of payment miezi 6 direction bahari beach zoo ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block contact #0712531657 #0789731695 whats app
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 8 terms of payment miezi 6 direction mbezi beach afrikana upande wa chini near jangwani seabreez ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom all bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #air condition #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0712531657 #0789731695 whats app
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price $ 600 terms of payment miezi 6 direction kati kati ya bahari beach na tegeta nyuki ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom all bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #air condition #car parking #fenced #kitchen #garden #standby generator #swimming pool #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #forrentmkombozi contact #0713355443 #0789279416 whats app ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ kwa matangazo ya bihashara yoyote kama #school #office #hotel #lodge #bar #saloon #duka #magari nk call 0713355443
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price $ 600 per month terms of payment 6 month direction tegeta nyuki ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom all bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ###
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price millioni 1 per month terms of payment 6 month direction mbweni ubungo ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (mw/b)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartiment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 3 per month terms of payment 6 month direction mbweni jkt ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (mw/b)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price $ 900 per month terms of payment 6 month direction mikocheni ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (k)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 7 terms of payment miezi 6 direction kariakoo fire ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #forrentmkombozi contact #0713355443 #0789279416 whats app ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ kwa matangazo ya bihashara yoyote kama #school #office #hotel #lodge #bar #saloon #duka #magari nk call 0713355443
nyumba inauzwa ikodaressalaam tz mahalimbagara eneochamanzi ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ ukubwa wa kiwanjamita 60/50 _____________________ nyaraka za umiliki inamkataba wa mauziano toka serikali ya mtaa _________________ nyumba nzuri ya kisasa ___________ ya familia kubwa _______________ inayojitegemea ______ yenye vyumba vinne vikubwa vya kulala kimojawapo ni #master #dinning #sebule kubwa #jiko #stoo #choo /#bafu vya ndani vya wanafamilia #gypsum #tiles #slides #windows #umeme upo wa #luku #maji yapo ya #bomba #24hrs cars #parking space ipo kubwa #pavingblok #fencedhouse ____________________ bei inauzwa tshs mil 65 __________ kwa mawasiliano piga 📶+255685557372 📶+255719130584 whatsapp ___________________ kwa #matangazo + #promo za kibiashara whatsapp no 📶+255755185104 ____________
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price millioni 1 per month terms of payment 6 month direction survey near college land ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (n)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea inafaa pia kwa ofisi ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price millioni 1 per month terms of payment 6 month direction ostabey near american embassy ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (a)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartiment zipo 2 kwenye compound ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 6 per month terms of payment 6 month direction mbezi jogoo upande wa juu ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (ng)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartiment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 4 per month terms of payment 6 month direction kinondoni near ada estate ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (m)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartiment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 35 per month terms of payment 6 month direction kigamboni kibada ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (k)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 7 terms of payment miezi 6 direction bahari beach zoo ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #forrentmkombozi contact #0713355443 #0789279416 whats app ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ kwa matangazo ya bihashara yoyote kama #school #office #hotel #lodge #bar #saloon #duka #magari nk call 0713355443
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartiment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 25 per month terms of payment 6 month direction kigamboni kibada ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (k)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 35 per month terms of payment 6 month direction kigamboni kibada ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #4bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (k)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 3 terms of payment miezi 6 direction mbweni jkt ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium windo #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #forrentmkombozi contact #0713355443 #0789279416 whats app ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ kwa matangazo ya bihashara yoyote kama #school #office #hotel #lodge #bar #saloon #duka #magari nk call 0713355443
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 3 per month terms of payment 6 month direction kigamboni mji mwema ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (k)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 7 terms of payment miezi 6 direction mwenge near mama ngoma ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium windo #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #forrentmkombozi contact #0713355443 #0789279416 whats app ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ kwa matangazo ya bihashara yoyote kama #school #office #hotel #lodge #bar #saloon #duka #magari nk call 0713355443
furnished apparments zikodaressalaam tz mahalimbezi beach eneoafricana ________ upande wa chini kulia ukitokea mjini _____________ umbali dk 7 toka barabara kuu ya lami _______ appartments nzuri za kisasa ______________ zenye fanicha zote za ndani _____ zote zinafanana __________ za kifamilia _____ @1 ina vyumba viwili vikubwa vya kulala vyenye #makabati full #ac kimojawapo ni #master #dinning #sebule kubwa full #ac open #kitchen zuri la kisasa free wifi | #dstv connection #choo /#bafu vya ndani vya wanafamilia #gypsum #tiles #slides #windows #luku @1inajitegemea kivyake #maji yapo ya #bomba #24hrs yako included ktk kodi cars #parking space ipo kubwa #mandhari #mazuri #tulivu #ulinzi /#usalama upo nje #pavingblocks #fencedapparts ______________ pia kuna mini #supermarket ndani ya appartments kwaajili ya mahitaji madogo madogo kwa wapangaji wao ________ unaingia na nguo/viatu vyako tu _____________ kodi u$d 500 kwa mwezi ________ malipo ya kuuzia mwezi 1 nakuendelea ____________________ pamoja na malipo ya kodi ya mwezi 1 wa @dalalimwanamke ________ kwa mawasiliano piga +255684808232 +255768914118 ______________ kwa #matangazo + #promo za kibiashara whatsapp no +255718936416 _________
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 4 per month terms of payment 6 month direction kigamboni mikwabe ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (g)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price tsh 300000 terms of payment miezi 6 direction mbezi beach tangibovu upande wa chini near jk nyerere ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium windo #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ dalali leonard contact #0759415833 #0712968728 whats app ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ kwa matangazo ya bihashara yoyote kama #school #office #hotel #lodge #bar #saloon #duka #magari nk call 0788377773
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 3 terms of payment miezi 6 direction mbezi beach tangibovu upande wa chini near jk nyerere ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium windo #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #forrentmkombozi contact #0713355443 #0789279416 whats app ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ kwa matangazo ya bihashara yoyote kama #school #office #hotel #lodge #bar #saloon #duka #magari nk call 0713355443
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 8 terms of payment miezi 6 direction mbezi beach afrikana upande wa chini near jangwani seabreez ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom all bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #air condition #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #forrentmkombozi contact #0713355443 #0789279416 whats app ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ kwa matangazo ya bihashara yoyote kama #school #office #hotel #lodge #bar #saloon #duka #magari nk call 0713355443
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 21 april 2018 asking price laki 4 terms of payment miezi 6 direction kinondoni ada estate near bambuu ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium windo #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #forrentmkombozi contact #0713355443 #0789279416 whats app ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ kwa matangazo ya bihashara yoyote kama #school #office #hotel #lodge #bar #saloon #duka #magari nk call 0713355443
@loois_and_tipy
perfect morning ☀️ #bali #luku #theluku #bestplaceever #nature #soundsofnature #sunshine #goodmorning #jungle #palmtree #zenplace #bedtime #loveit
the luku |boutique villa and gallery
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price milion 12 terms of payment miezi 6 direction mikocheni warioba ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom all bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #air condition #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0712531657 #0789731695 whats app
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price laki 45 terms of payment miezi 6 direction kimara temboni ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium windo #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0712531657 #0789731695 whats app
nyumba inauzwa ikodaressalaam tz mahalikerege eneokwa shekhe mapinga __________________ umbali dk 5 toka bagamoyo road ______________ ukubwa wa kiwanjasqm 651 ____________________ nyaraka za umiliki inamkataba wa mauziano toka serikali ya mtaa _____________ nyumba kubwa ya familia ______ yenye vyumba vitatu vikubwa vya kulala kimojawapo ni #master #dinning #sebule kubwa #jiko #choo /#bafu vya ndani vya wageni #umeme upo wa #tanesco #luku #maji yapo ya #bomba #dawasco #24hrs #fencedhouse ______________________ nyumba imejengwa kisasa ina mpangaji ndani saiv imebakisha finishing za kawaida kama #gypsum #slides #windows kupakwa rangi maybe #pavingblocks nje na #gate ila #tiles imewekwa kasoro kwenye master na kibarazani ____________________ haina mgogoro wala deni lolote ________________ bei inauzwa tshs milioni 35 __________________ kwa mawasiliano piga +255684808232 +255768914118 ____________________ kwa #matangazo + #promo za kibiashara whatsapp no +255718936416 ______________
kerege dar es salaam tanzania
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment full furnished ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃date listed 19 april 2018 asking price $ 1000 terms of payment miezi 6 direction mbezi beach afrikana upande wa chini ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #air condition #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0712531657 #0789731695 whats app
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price milion 12 terms of payment miezi 6 direction mikocheni warioba ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom all bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #air condition #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0712531657 #0789731695 whats app
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment full furnished ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price $ 1000 terms of payment miezi 6 direction mbezi beach afrikana upande wa chini ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #air condition #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0712531657 #0789731695 whats app ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price laki 3 terms of payment miezi 6 direction mbezi beach tangibovu upande wa chini near jk nyerere ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium windo #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0712531657 #0789731695 whats app
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price laki 8 terms of payment miezi 6 direction mbuyuni near sala sala road ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0713355443 #0789731695 whtspp
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price laki 55 terms of payment miezi 6 direction mbezi beach tangibovu shamo tower ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #shuter windo #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0712531657 #0789731695 whats app
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃date listed 20 april 2018 asking price laki 35 terms of payment miezi 6 direction mbezi beach rainbow ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃#1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium windo #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0712531657 #0789731695 whats app
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price $ 450 terms of payment miezi 6 direction mbezi beach kwa zena kawawa ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom all bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #air condition #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0712531657 #0789731695 whats app
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartment full furnished ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price $ 1500 terms of payment miezi 6 direction mbezi beach rainbow ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom all bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #air condition #car parking #fenced #kitchen #garden #standby generator #swimming pool #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0712531657 #0789731695 whats app
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea full furnished ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃date listed 20 april 2018 asking price $ 1500 terms of payment miezi 6 direction mbezi beach rainbow near bot ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #4bedroom all bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #air condition #car parking #fenced #kitchen #garden #standby generator #swimming pool #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0712531657 #0789731695 whats app ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃date listed 20 april 2018 asking price milion 12 terms of payment miezi 6 direction mbezi beach rainbow near bot ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #4bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #air condition #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0712531657 #0789731695 whats app
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price laki 85 per month terms of payment 6 month direction mbezi beach tank bovu upande wa chini ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (ch)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartiment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price laki 95 per month terms of payment 6 month direction mbezi beach near kwa zena ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (ch)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartiment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price millioni 12 per month terms of payment 6 month direction mikocheni near kwa warioba ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom all bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (ch)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartiment zipo 2 kwenye compound full furnished ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price $ 500 per month terms of payment 6 month direction bahari beach near bajeti ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (g)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartiment full furnished ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price $ 500 per month terms of payment 3 month direction masaki ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (ch)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartiment floor ya 2 ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price laki 7 per month terms of payment 6 month direction kariakoo mtaa wa kongo ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (s)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 full furnished inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price $ 1500 per month terms of payment 6 month direction mbezi beach rainbow near bot ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #4bedroom all bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (mk)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 upande unaojitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price laki 4 per month terms of payment 6 month direction kijitonyama mabatini ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom #sittingroom #gypsum #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (m)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartiment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price laki 45 per month terms of payment 6 month direction mikocheni near njia ya kwenda kwa rizi one ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (ch)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartiment ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price $ 1000 per month terms of payment 6 month direction mbezi beach ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom all bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (mm)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price laki 6 per month terms of payment 6 month direction mbezi beach makonde ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (r)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price laki 7 per month terms of payment 6 month direction bahari beach zoo ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ###
appartment inapangishwa ikodaressalaam tz mahalimbez beach eneotangibovu ________________ upande wa juu _____________ umbali dk 4 toka barabara kuu ya lami ________ appart nzuri ya kisasa ____________ ya kibachela _____ yenye chumba kimoja tu kikubwa cha kulala ambacho ni #master #sebule #jiko #gypsum #tiles #slides #windows #luku inajitegemea kivyake #maji yapo ya #bomba #24hrs cars #parking space ipo #fencedappart _________________ kodi tshs laki 300000/=kwa mwezi ___________ malipo ya miezi 6 _______________ pamoja na malipo ya kodi ya mwezi 1 wa @dalalimwanamke ___________ kwa mawasiliano piga +255684808232 +255768914118 _________________ kwa #matangazo + #promo za kibiashara whatsapp no +255718936416 __________
nyumba inapangishwa ikodaressalaam tz mahalimbez beach eneotangibovu ____________ upande wa chini ________ nyumba nzuri ya kisasa _____________ ya familia kubwa _____ yenye vyumba vitatu vikubwa vya kulala kimojawapo ni #master #dinning #sebule kubwa #jiko lenye #makabati #choo /#bafu vya ndani vya wageni #gypsum #tiles #slides #windows #umeme upo wa #luku yake #maji yapo ya #bomba #24hrs cars #parking space ipo nje #pavingblocks #fencedhouse ___________ kodi tshs laki 800000/=kwa mwezi _________________ malipo ya miezi 6 ____________ pamoja na malipo ya kodi ya mwezi 1 wa @dalalimwanamke ____________________ kwa mawasiliano piga +255684808232 +255768914118 _______________ kwa #matangazo + #promo za kibiashara whatsapp no +255718936416 _____swipe left
appartment inapangishwa ikodaressalaam tz mahali bunju (b) ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ upande wa juu kushoto ukitokea mjini _______________ umbali dk 7 toka bagamoyo road ___________ appart mpya ya kisasa ________________ nzuri ya familia ______ yenye vyumba vitatu vikubwa vya kulala kimojawapo ni #master #sebule kubwa #jiko #choo /#bafu vya ndani vya wageni #gypsum #tiles #slides #windows #luku inajitegemea kivyake #maji yapo ya #bomba #24hrs cars #parking space ipo nje #pavingblocks #fencedappart ________________ kodi tshs laki 350000/=kwa mwezi ___________ malipo ya miezi 6 ________________ pamoja na malipo ya kodi ya mwezi 1 wa @dalalimaarufu _____________ kwa mawasiliano piga 📶+255685557372 📶+255719130584 whatsapp ____________________ kwa #matangazo + #promo za kibiashara whatsapp no 📶+255755185104 ______________
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea full furnished ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price $ 1500 terms of payment miezi 6 direction mbezi beach rainbow near bot ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #4bedroom all bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #air condition #car parking #fenced #kitchen #garden #standby generator #swimming pool #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ richi contact #0620131396 #0716938128whats app ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price milion 12 terms of payment miezi 6 direction mbezi beach rainbow near bot ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #4bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #air condition #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #forrentmkombozi contact #0713355443 #0789279416 whats app ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ kwa matangazo ya bihashara yoyote kama #school #office #hotel #lodge #bar #saloon #duka #magari nk call 0713355443
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price laki 8 terms of payment miezi 6 direction mbuyuni near sala sala road ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #forrentmkombozi contact #0713355443 #0789279416 whats app ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ kwa matangazo ya bihashara yoyote kama #school #office #hotel #lodge #bar #saloon #duka #magari nk call 0713355443
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price laki 5 per month terms of payment 6 month direction tabata kinyerezi ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (u)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea full furnished ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price $ 1500 terms of payment miezi 6 direction mbezi beach rainbow near bot ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #4bedroom all bedroom is self contained #sittingroom #diningi #tiles #gypsum #aluminium windo #air condition #car parking #fenced #kitchen #garden #standby generator #swimming pool #publictoilet #luku yako #maji #parving block ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #forrentmkombozi contact #0713355443 #0789279416 whats app ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ kwa matangazo ya bihashara yoyote kama #school #office #hotel #lodge #bar #saloon #duka #magari nk call 0713355443
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price laki 55 terms of payment miezi 6 direction mbezi beach tangibovu shamo tower ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #shuter windo #car parking #fenced #kitchen #garden #publictoilet #luku yako #maji ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #forrentmkombozi contact #0713355443 #0789279416 whats app ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ kwa matangazo ya bihashara yoyote kama #school #office #hotel #lodge #bar #saloon #duka #magari nk call 0713355443
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartiment zipo 2 kwenye compound ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price laki 35 per month terms of payment 6 month direction kinondoni hananasifu ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (a)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 inajitegemea ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price laki 3 per month terms of payment 6 month direction mwananyamala near msaada garage ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #3bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #aluminium slide window #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (d)
🇭🇴 🇺 🇸 🇪 for 🇷🇪🇳🇹 appartiment zipo 2 kwenye compound ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ date listed 20 april 2018 asking price laki 5 per month terms of payment 6 month direction mwenge kijijini ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ #2bedroom 1bedroom is self contained #sittingroom #tiles #gypsum #car parking space #fenced #kitchen #publictoilet #luku yako #maji #parving block ###garama za kucheki nyumba ni sh elfu 20 hadi upate nyumba mteja wangu pasipo kukuchaji tena siku nyingine### ###pia ukifanikiwa kupata nyumba utakapolipia kodi ya mwezi 1 ni ya dalali nyota utanilipa wewe mteja thanks### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ contact #0654412744 #0758306396 whatsapp #####nyota ##### ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ tangaza biashara yako hapa pangisha nyumba yako uza nyumba yako uza gari lako pata flemu nzuri kabisa za kibiashara pia fanya matangazo yako mengine hapa ###thanks & welcome ### (m) | 2018-04-21T17:17:20 | http://www.socimage.net/tag/Luku |
mabadiliko ya ratiba shughuli za kamati za bunge 2jiachie official site
mabadiliko ya ratiba shughuli za kamati za bunge siasa
mabadiliko ya ratiba shughuli za kamati za bunge taarifa kwa umma
mabadiliko ya tarehe ya kupokea mapendekezo ya mpango na kiwango cha ukomo wa bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ofisi ya bunge
imefanya mabadiliko ya tarehe za shughuli za kamati za bunge kuelekea mkutano wa tatu wa bunge (mkutano wa bajeti) ili kuendana na masharti ya
kanuni za bunge kuhusu shughuli hizo kwa mabadiliko hayo ratiba ya shughuli za kamati itakuwa kama ifuatavyo
29/3/2016 hadi tarehe 4/4/2016 kamati za kudumu za kisekta zitatembelea
na kukagua utekelezaji wa miradi iliyotengewa fedha kwa mwaka wa fedha 2015/2016 kwa mujibu wa kanuni ya 98(1) ya kanuni za bunge hapo awali kazi hii ilipangwa kufanyika tarehe 31/3/2016 hadi 6/4/2016
5/4/2016 kwa mujibu wa kanuni ya 96 ya kanuni za bunge serikali itawasilisha dondoo na randama za vitabu vya bajeti kwa mwaka wa fedha 2016/2017 awali kazi hii ilipangwa kufanyika tarehe 29/3/2016
6/4/2016 kwa mujibu wa kanuni ya 97(1)(2) ya kanuni za bunge kutakuwa na mkutano wa wabunge wote ambapo serikali itawasilisha mapendekezo ya mpango na kiwango cha ukomo wa bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2017 awali kazi hii ilipangwa kufanyika tarehe 30/3/2016
7/4/2016 hadi 15/4/2016 kwa mujibu wa kanuni ya 98 (2) ya kanuni za bunge kwa kipindi cha siku tisa (9) kamati za kudumu za kisekta zitachambua taarifa za utekelezaji wa bajeti za wizara zinazosimamiwa na
kamati hizo katika kipindi hicho kamati ya bajeti itafanya uchambuzi wa mapendekezo ya mpango na kiwango cha ukomo wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2016/2017 awali kamati ya bajeti ingefanya kazi hii kuanzia tarehe 31/3/2016 hadi 6/4/2016
15/4/2016 kwa mujibu wa kanuni ya 98(3) ya kanuni za bunge kutakuwa na kikao cha pamoja kati ya kamati ya uongozi na kamati ya bajeti ili kujadili mambo muhimu yaliyojitokeza kwenye kamati za kisekta wakati wa kujadili utekelezaji wa bajeti za wizara mbalimbali
16 na 17 aprili 2016 kama ilivyokuwa imepangwa awali wabunge wataelekea dodoma tayari kwa shughuli za mkutano wa tatu wa bunge ambao utaanza tarehe 19 aprili 2016
item reviewed mabadiliko ya ratiba shughuli za kamati za bunge rating 5 | 2016-10-27T08:57:23 | http://www.2jiachie.com/2016/03/mabadiliko-ya-ratiba-shughuli-za-kamati.html |
sera ya cookie ya whsr | whsr
nyumbani > sera ya cookie ya whsr
sera ya cookie ya whsr
unaweza kubadilisha mipangilio ya kivinjari chako kwa kubofya kiungo sahihi kama ifuatavyo firefox chrome na internet explorer
usifanye shughuli yoyote ya utaratibu wa kukusanya data (ikiwa ni pamoja na uchapishaji wa madini madini ya data uchimbaji wa data na kuvuna data) au kuhusiana na tovuti yetu bila ridhaa yetu iliyoandikwa | 2019-11-13T08:24:21 | https://www.webhostingsecretrevealed.net/sw/cookie-policy/ |
mwanaharakati wa kupinga na kupambana na ukeketaji kwa watoto wa kike wilayani longido kutoka shirika la tembo trust mery laizer (tembo) amewataka wanafunzi wa kidato cha nne shule ya sekondari longido kuepuka tabia ya kujinyonga pindi matokeo yanapokuja tofauti na alivyofikiria
akizungumza kwenye mahafali ya dini (ukwata) iliyofanyika leo shuleni hapo laizer ambaye pia alikuwa mgeni rasmi katika shughuli hiyo amekemea vikali maamuzi ya baadhi ya wanafunzi kukata tamaa matokeo yanapokuja tofauti na kuwataka kutambua kua kuna maisha baada ya elimu
katika mahafali hayo amekabidhi spika yenye mdundo yenye thamani ya tsh 900000 vitambaa vya ibada tsh 180000 microphone tsh 150000 na fedha taslimu sh 800000 ikiwa ni sehemu ya kutatua changamoto walizonazo wanajumuiya ya ukwata
baadhi ya wanafunzi na wanajumuiya ukwata wa shule ya sekondari longido wakifurahia zawadi ya speaker | 2020-05-26T05:23:05 | https://www.ippmedia.com/sw/habari/mwanaharakati%20ataka%20wanafunzi-wasijiue-kisa-matokeo |
bingwa amejulikana ambaye ni chelesa vita ya kuwania nafasi ya nne zanzibar broadcasting corporation
bingwa amejulikana ambaye ni chelesa vita ya kuwania nafasi ya nne
15/05/2017 21/05/2018 subira ame
wakati ligi kuu soka nchini uingereza ikielekea ukingoni na bingwa tayari amejulikana ambaye ni chelesa vita ya kuwania nafasi ya nne inaonekana kujitokeza kwa timu za liverpoolarsenal na manchester city kupigana vikumbo katika nafasi hizo kwa kupata nafasi ya kucheza mashindano ya ligi ya mabingwa ulaya kwa msimu ujao
arsenal jana wakiwa ugenini wamefanikiwa kuichabanga stoke city kwa magoli 41 na kufufua matumaini yao kuingia top 4
huku manchester city nayo ikiwatandika leicester city kwa 21 nao kufanikiwa kujichimbia kwenye nafasi ya 3
kwa upande wao majogoo wa jiji liverpool wakichomoza na ushindi dhidi ya westham wa mabao 40
wakati nayo timu ya hull city leo imeungana na timu za sunderland na midlesbrough kushuka daraja hadi ligi daraja ka kwanza kwa msimu ujao kufuatia kupoteza mchezo dhidi ya christal palace kwa magoli 40
chelsea chini antonio conte imeweka rekodi ya kuwa klabu ya pili kutwaa ubingwa wa epl mara nyingi ambapo imetwaa mata tano nyuma ya manchester united iliyotwaa mara 13
chelsea imeweka pia rekodi ya kuwa klabu ya kwanza kutwaa ubingwa wa epl siku ya ijumaa tangu arsenal ilipofanya hivyo katika uwanja wa anfield 1989 huku antonio conte akiwa meneja wa nne kutoka italia kushinda taji hilo baada ya ancelotti roberto mancini na claudio ranieri
← who kuchukua tahadhari kuzima mlipuko wa ugonjwa hatari wa ebola
walimu wa kada ya afya kuchunguza chanzo cha mmongonyoko wa maadili →
24/04/2018 amina salum comments off on timu ya stone town kuweza kutwaa ubingwa open cup ligi ya mpira wa kikapu
10/05/2018 amina salum comments off on baraza la vijana taifa kuwa na umoja ushirikiano na upendo
bambi wameoneshaumahiri wao
22/02/2017 subira ame comments off on bambi wameoneshaumahiri wao | 2018-06-21T18:02:18 | http://zbc.co.tz/bingwa-amejulikana-ambaye-ni-chelesa-vita-ya-kuwania-nafasi-ya-nne/ |
download wizara 3gp mp4 hd mp3flv webm format | hdnatokin
download wizara 3gp mp4 hd mp4 videos
uwanja kujaa rais magufuli awavaa tff na wizara ya mwakyembe je watu wangekufa
live wizara ya mambo ya ndani wanazungumza na waandishi
aliyefichwa stoo miaka 18 wizara ya ardhi aliyoyafanya ni makubwa
by dom 27 onl
hotuba ya bajeti ya wizara ya fedha na mipango dkt phillip mpango
mambo matano yaliyosababisha jpm mabadiliko wizara ya mambo ya ndani
duration 15248
prof kitila mkumbo kuhusu wizara ya maji na umwagiliaji
by jamiiforum
jpm aleza sababu ya kufanya mabadiliko kwenye wizara ya sheria
kasi ya ujenzi wa jengo la wizara ya mifugo na uvuvi dodoma haishikiki
by wizara mif
magufuli mchapakazi anamudu wizara zote by edward lowassa
by cocal coca
magufuli afanya ziara ya kushtukiza wizara ya fedha
hali ilivyokuwa baada ya ajali iliyoua watumishi wa wizara ya kilimo na chakula
wizara dakhiliya
by casacityc
tbc1 jpm afutilia mbali barua ya wizara ya elimu
wizara ya mambo ya nje kampeni ya makonda dhidi ya mashoga ni mawazo yake sio msimamo wa serikali
by simulizina
wizara ya nishati yaja kivingine yataja mradi mkubwa
duration 23724
by ikulu tanz
agizo la waziri mkuu kwa wizara ya afya maendeleo ya jamii na tamisemi
by maendeleo
familia za wahasiriwa wa mkasa wa ndege wakutana na wizara ya mambo ya kigeni
tagsdownload wizara 3gp mp4 hd mp4 video wizara video songs wizara bollywood movie video wizara video download mp4 courtney hadwin teen powerhouse sings papas got a brand new bag americas got talent wizara hindi movie songs download wizara all video download wizara hd video songs wizara full song download wizara movie download wizara hd video download mp4 songs download wizara video 3gp mp4 download wizara songs mp4 new honda
wizara50 interesting facts race 3 2018 salman khan bobby dকবর থেকে পঁচা গলিত লাশ àorumuraivanthupaarthayadhana lo dhana odia sad best whatsapp status video 2018rodinné vztahy 14เคารพธงชาต เด กucie sucita pacar duren sawit lyricuruguay vs brazil 1 4ek samay mein to tere | 2019-03-26T14:10:59 | https://www.hdnatok.in/search.php?q=wizara |
majira gazeti huru la kila siku wasomi wataka kinga ya rais iondolewe
wasomi wataka kinga ya rais iondolewe
na lilian justice mvomero
wasomi wa chuo kikuu mz umb e k i l i c h o p o wilayani mvomero mkoani morogoro wamesema kuwa ni vyema rais akaondolewa kinga ya kushtakiwa pindi anapotuhumiwa kwa makosa ya rushwa ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma
hayo yalibainishwa jana na wanajumuiya hao kwa nyakati wakati wakijadili rasimu ya katiba kwa mwaka 2013 ambapo mkurugenzi wa masomo ya shahada ya kwanza chuoni hapo prof george shumbusho alisema ni vyema rais akapewa kinga kwa masuala ya kawaida na si masuala ya rushwa ufisadi na matumizi mabaya ya rasilimali za umma
a i d h a w a s o m i h a o wamependekeza katiba mpya k u r u h u s u u a n z i s hwa j i wa mahakama ya rushwa kama ilivyo kwa mahakama za ardhi biashara na nyingine ili kutoa nafasi kwa suala hilo kushughulikiwa kwa mapana zaidi tofauti na hivi sasa
pia mwanafunzi wa chuo hicho ester safari alisema kitendo cha kuwapeleka watuhumiwa wa rushwa katika mahakama za kawaida kumesababisha mrundikano wa mashauri mengi kwa waendesha mashtaka na mahakimu
aidha walisema kuwa kesi hizo zimeonekana kukosa nafasi ya kutosha badala yake kuonekana ni masuala ya kisiasa zaidi hivyo kupendekeza rushwa kuwa na mahakama yake itakayokuwa na waendesha mashtaka wake ili kutilia mkazo vita dhidi ya rushwa
kwa upande wake mhadhiri msaidizi kitivo cha sheria chuoni hapo dkt eliuther mushi pamoja na mambo mengine amependekeza suala la jukumu la usafi wa mazingira kwa kila mtu iwe ni wajibu wa kikatiba ili kumfanya mtanzania kuwajibika na usafi katika maeneo yake badala ya kusubiri kazi hiyo kufanywa na halmashauri
aidha naibu makamu mkuu wa chuo kikuu cha mzumbe taaluma prof josephat itika ameshauri suala la uzalendo kupewa kipaumbele kikatiba na suala la kujitegemea likatambulika kikatiba ili kijana tangu utoto wake ajue suala hilo ni la lazima
aidha wachangiaji wengine mhadhiri msaidizi wa chuo hicho innocent mgeta mwanafunzi charles ntwale na mwezeshaji benjamini jonas wamependekeza katiba ijayo yenye serikali tatu iwe na rais mmoja wa muungano na kwa upande wa nchi washirika yaani zanzibar na tanganyika kuwe na mawaziri wakuu ili kupunguza gharama zisizokuwa na lazima
hata hivyo wamelitaka suala la ardhi na maziwa kuwekwa wazi katika katiba ili yatambulike wazi tofauti na sasa jambo linapelekea wananchi kushindwa kushirikishwa na kunufaika na rasilimali hizo | 2018-07-20T16:37:55 | http://majira-hall.blogspot.com/2013/09/wasomi-wataka-kinga-ya-rais-iondolewe.html |
ramani ya asia kidogo iliyopita na tetemeko kuu la ardhi habari na habari
ramani ya asia kidogo iliyopita na tetemeko kubwa la ardhi
januari 1 2005 16 mai 2016 christophe
jiografia ya visiwa vilivyo karibu na tetemeko la tetemeko la 9 katika usiku wa 26 / 12 / 2004 limebadilishwa kidogo
kwa hakika katika ukanda wa kupasuka wa kilomita 400 pwani ilihamia karibu mita ishirini
tetemeko kutokana 3 20 dakika na sekunde ya vibration kuendelea katika eneo epicentral hii ni kubwa alisema afp paul tapponnier meneja tectonics laboraboire katika dunia fizikia institute (ipg)
thamani ya juu ya kusonga kwa kosa kusini magharibi ni mita za 20 zaidi ya kilomita arobaini na mita za 15 zimegawa zaidi ya kilomita 100 alisema mwanasayansi huyo
pia kulikuwa na harakati za wima ambazo zinaweza kufikia mahali fulani mita moja au mbili aliongeza mtafiti na ardhi imeongezeka hasa katika eneo la siberut kisiwa cha kilomita 100 hadi sumatra ya magharibi
inaonekana pia kutengeneza mazingira
tetemeko zote zinabadilisha mazingira tetemeko la ardhi ni mbunifu wa mazingira milima yote tunayoijua imeumbwa na tetemeko la ardhi anasema paul tapponnier
kuu ya tetemeko la ardhi la mwisho katika chile (1960) wakiongozwa mazingira 20 mita na wakati wa tetemeko la ardhi nguvu katika alaska katika 1964 tuliona visiwa kupanda juu na kupatikana chaza vitanda katika 12 mita juu ya usawa wa mawimbi anasema mwanasayansi
tetemeko la ardhi nchini guadeloupe 21 novemba na ukubwa wa 63 na mawimbi mfululizo mawimbi wakiongozwa chini ya bahari mamia kadhaa ya sentimita anabainisha bw tapponnier
hapa tunashughulikia tetemeko la ardhi zaidi ya nyakati za 1000 zaidi (zaidi ya guadeloupe) na kwa kawaida majanga haya hupunguza nishati ya kutosha ili kutoa msukumo duniani alisema paul tapponnier
kama tetemeko kubwa la ardhi tetemeko la ardhi la jumapili huko asia ya kusini lilitetemeka dunia kama nyundo iliyopiga kengele na seismologists bado wanaandika mawimbi ya mshtuko mkuu
hata hivyo licha ya nishati kubwa iliyotolewa tetemeko hilo la ardhi halitabadilika ramani ya asia au hata orbit ya dunia
← bora zaidi
fusion ya nyuklia → | 2018-12-09T22:03:14 | https://sw.econologie.com/carte-asie-legerement-modifiee-par-seisme-majeur/ |
trend reading salum mwalimu mb mtarajiwa kinondoni hata wana ccm wasioendekeza ujinga watamchagua | page 25 | jamiiforums | the home of great thinkers
prediction algorithm kati ya 2005 mpaka 2015 kwenye chaguzi za hapa nchini ilikuwa na variables nyingi sana na loop kibaohivyo kuwa ngumu kutumika kwa urahisi lakini kuanzia sasa na kuendelea variable zimepungua sana na loop ni chache kutokana na baadhi ya kugundulika kwa baadhi ya variables kutokuwa reliable na kukosa thamani hivyo kupelekea kuziondoa hii ilisaidia sana algorithm hii kuwa na loops moja tu hivyo kurahisisha matumizi yake hauhitaji kuwa na 'processor' kubwa na 'space' ku'run' aligorithm hii una click tu ndani ya 30ms unapata majibu ya mwaka 2020 majibu yake yatapatikana mapema sana yaani 2019 (mwakani)
kiukweli kitendo kilichofanywa na ccm kuwasimamisha wabunge wale wale waliotufanyia ujinga wa kujiuzulu na kutuingiza gharama za uchaguzi wa marudio kwa sababu za kijinga ni ujinga uliopitiliza
hakuna demokrasia isiyo na gharama tuheshimu uhuru wa kuamua na kufanya kwa misingi ya demokrasia mbunge wa zamani wa cuf alitumia demokrasia hiyo hiyo inayopigiwa kelele na 'wanaharakati' kufanya uamuzi aliouna sahihi na ccm kwa demokrasia waliyonayo ndani ya chama na mikakati ya kuendelea kuongoza nchi kwa maslahi ya watanzania wote safi wakamuunga mkono sasa ni mbunge wa kinondoni hii ndiyo gharama za demokrasia ni wajibu wa kila chama cha siasa kutumia furusa zilizoko kwenye demokrasia kukamilisha mipango yao yenye nia njema kabisa kwa wananchi tusinung'unikie gharama ya demokrasiademokrasia tuliitaka na bado tunasisitizwa kujiendeshe kidemokrasia
asante p mayalla kwa uzi
pascal mayalla wakati mwingine vijipropaganda vyako huwa havieleweki | 2018-07-20T02:54:38 | https://www.jamiiforums.com/threads/trend-reading-salum-mwalimu-mb-mtarajiwa-kinondoni-hata-wana-ccm-wasioendekeza-ujinga-watamchagua.1385483/page-25 |
majira gazeti huru la kila siku jiji kuandaa ramaniujenzi wa kituo cha mabasi mbezi
jiji kuandaa ramaniujenzi wa kituo cha mabasi mbezi
halmashauri ya jiji la dar es salaam inaandaa mchoro wa ramani kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani eneo la mbezi kwa ruis
hayo yalisemwa dar es salaam jana na mkurungenzi wa jiji hilo mussa zungiza wakati wa kuzungumza na waandishi wa habari kuelezea mikakati ya jiji baada kumaliza zoezi la kuwaondoa wafanyabishara ndani ya kituo kikuu cha mabasi ubungo
zungiza alisema kuwa kwa sasa timu yake ya jiji hipo na washauri wataalam kwa ajili ya kuweka michoro ya ramani ya ujenzi wa kituo cha kisasa kitakacho chukua magari mengi
kituo hichi kipya cha mabasi ya mikoani na nchi jirani kitakuwa cha kisasa na kitakuwa na uwezo wa kuchukua magari zaidi ya 600alisema zungiza
alisema kuwa mara baada kumaliza kuweka michoro ya ramani hatua itakayofuata ni ujenzi wa awali kwa ajili ya kuboresha miundombinuvyoo sehemu ya kupaki magari na ya hoteli kwa ajili ya wasafiri
aidha zungiza alisema kuwa mradi huo wa kituo cha mabasi unatarajia kukamilika mapema ambapo kwa sasa halmashauri hiyo na wataalam wapo katika vikao vya ndani kwa ajili ya kuanza ujenzi ili malengo yaliokusudiwa yafanikiwe na usikwamishe shughuli za kijamii
alisema kuwa mara baada hatua za kuboresha miundombinu ya kituo hicho kukamilika mbezi kwa ruis hatua itakayofuata ni kuonana na wamiliki wa mabasi ili waweze kuondoa mabasi yao eneo la ubungo
eneo la kituo cha mabasi ya mikoani ubungo awali ilikuwa eneo la shirika la usafiri dar es salaam (uda)kabla serikali kubadilisha matumizi yake na kuwa kituo cha mabasi ya kwenda mikoani na nchi jirani
hata hivyo serikali hiyo hiyo imebadilisha matumizi ya kituo cha mabasi ya mikoani na kuwa kituo cha magari ya mwendo kasi dart mradi unaotarajia kukamilika mwaka 2014 | 2019-09-16T12:41:01 | http://majira-hall.blogspot.com/2013/01/jiji-kuandaa-ramaniujenzi-wa-kituo-cha.html |
kalenda mkononi 2018/daily devotional calendar 2018
december 05 2017 anne gihlemoen
mpango wa kusoma sehemu ya biblia kila siku pamoja na maelezo juu ya somo hilo
categories kalenda daily devotion
tags daily devotion in swahili daily devotional 2018 swahili soma biblia kalenda 2018 kalenda ya kusoma biblia kila siku msaada ya kusoma biblia soma biblia kila siku soma biblia devotional calendar 2018 soma biblia calendar
kalenda ya ukutani 2018/wall calendar 2018
kalenda ya ukutani 2018 inapatikana sasa
categories walll calender kalenda ya ukutani kalenda calender
tags kalenda ya ukutani kalenda ya ukutani 2018 2018 kalenda 2018 soma biblia kalenda soma biblia wall calendar 2017 soma biblia wall calendar 2018 soma biblia wall calender calendar soma biblia wall kalenda 2018
kalenda ya ukutani 2017/wall calender 2017
soma biblia kalenda ya ukutani 2017 inapatikana sasa
categories kalenda ya ukutani walll calender
tags kalenda ya ukutani 2017 soma biblia kalenda soma biblia kalenda ya ukutani 2017 soma biblia wall calendar 2017 wall calender kalenda 2017 tanzania kalenda
soma biblia kalenda 2017
kalenda hiyo inatusaidia kusoma biblia kila siku
categories daily devotion mahubiri kalenda
tags soma biblia kalenda 2016 masomo ya kila siku soma biblia kila siku 2017 kalenda
kalenda ya ukutani 2016/wall calender 2016
kalenda ya mwaka ya ukutani kutoka soma biblia mwaka huu ikiwa imepambwa na michoro ya rangi inayoeleza maisha ya kila siku ya kitanzania imechorwa na wachoraji wa tanzania pascal clemens na paulo john mwakoro
bei/price 1000 tshs
the annual soma biblia wall calender this year decorated with the colorful paintings of tanzanian everyday life by tanzanian artists pascal clemens and paulo john mwakoro
categories calender walll calender kalenda ya ukutani
tags wall calender soma biblia kalenda 2016 soma biblia wall kalenda 2016 kalenda 2016 pascal clemens paulo john mwakoro 2016
soma biblia kalenda 2016
october 21 2015 anne gihlemoen
kalenda ya mwaka ikiwa na maelezo mafupi mahubiri ya kila siku yaliyounganishwa na vifungu vya biblia
soma biblia kalenda inatoka kila mwaka tangu 2000
kalenda inajumuisha
kalenda ya 2016 na 2017 katika ukurasa wa mbele wa jalada
mapitio wakati wa mapumziko hapa tanzania 2015
kurasa 12 kwa kila mwezi kwaajili ya wewe kunakili
kusoma kufuatana na sikukuu za kikristo
bei/price 2000 tsh
a yearly calendar with a brief daily devotion connected to a passage from the bible
the soma biblia kalenda has come out every years since 2000
the calender contains
a calender for 2016 and 2017 on the inside cover
survey for holidays in tanzania 2015
12 pages of each one month for your notes
readings according to the christian holidays
categories calender daily devotion mahubiri
tags kalenda soma biblia kalenda 2016 soma biblia kalenda 2016 swahili kiswahili daily devotion in swahili mahubiri ya kila siku | 2018-08-20T14:55:59 | https://www.somabiblia.or.tz/other-christian-merchandise/ |
mzee onyango akana yeye si zilipendwa aachia filamu yake mpya iitwayo babu the perfect man | mtaa kwa mtaa blog
mzee onyango akana yeye si zilipendwa aachia filamu yake mpya iitwayo babu the perfect man
baada ya msanii wa bongo fleva nasib abdul (diamond platinumz) kumwimba mzee onyango kuwa zilipendwa sasa mzee huyo ameibuka na kukana kuwa yeye sio zilipendwa
hatimaye mzee onyango ambaye ni mwigizaji mkongwe nchini tanzania amemjibu diamond platinumz kwa vitendo baada ya kuachia filamu yake mpya ya iitwayo babu the perfect man kupitia kampuni yake ya onyangoproduction
nashangaa sana kusikia diamond platinumz kuimba kwamba mimi na mzee jangala zilipendwa mtoto huyu amenikosea sana mimi bado napendwa na mashabiki zangu bado wanaamini kuwa nina uwezo mkubwa sana wa kufanya kazi ya uigizaji bila tatizo lolote alisema mzee onyango
pamoja blog saturday september 09 2017 | 2018-02-20T03:38:32 | http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2017/09/mzee-onyango-hakana-yeye-si-zilipendwa.html |
waziri wa afya ummy mwalimu kuhusu msiba wa watu 32 | the clever chambers
cleverchambers / may 8 2017
wakati tanzania ikiomboleza vifo vya watu 32 wakiwemo wanafunzi 29 waliopata ajali ya gari mkoani arusha may 6 2017 wizara ya afya ustawi wa jamii jinsia wazee na watoto kupitia waziri wake ummy mwalimu imetoa salamu za rambirambi
waziri ummy amesema>>>wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto imepokea kwa huzuni na masikitiko makubwa taarifa ya vifo vya watoto 32 walimu 2 na dereva mmoja wa shule ya lucky vicent ya arusha vilivyosababishwa na ajali ya gari iliyotokea katika eneo la rhotia marera wilaya ya karatu arusha
← download audio tanzania all stars tunawaombea
breaking benki kuu tanzania yafuta leseni ya benki ya fbme → | 2018-04-20T09:01:17 | https://cleverchambers.wordpress.com/2017/05/08/waziri-wa-afya-ummy-mwalimu-kuhusu-msiba-wa-watu-32/ |
mbunge paulina gekul awajia juu mawakala wa pembejeo za kilimo ~ shambani solutions
mbunge paulina gekul awajia juu mawakala wa pembejeo za kilimo
mbunge wa viti maalum kupitia chadema mkoani manyara mh paulina gekul amewaonya mawakala wa pembejeo za kilimo wanawahujumu wakulima kwa kuwasainisha wakulima kupata mbegu na mbolea na badala yake wanawapa mbegu tu na wanaingia mitini na mbolea katika kipindi hiki cha kilimo na kuwataadharisha mawakala hao kwamba mda wa kuendelea kufanya hivyo umeisha
mh gekul alifichua hujuma hiyo kupitia mtandao wa facebook(babati forum) na kuongeza ya kuwa malalamiko ni mengi na ameshayafikisha kwa mkuu wa wilaya ya babati ambaye ameahidi kulishughulikia kwa karibu maana yeye ndo mhusika wa hili swala katika eneo hili
mh gekul aliandika kwa wale wadau wa kilimo babatiwananchi wengi wamekuwa wakiniletea malalamiko juu ya tabia ya mawakala wa pembejeo za kilimo wanaowasignisha wananchi fomu za mbolea na mbegulakini baadae wanawapa wananchi mbegu tuna wao wanabaki na mboleahii ni hujuma kubwa na haitakubalikawananchi wa bermibonga wameniletea tatizo hilinimeshalifikisha kwa dcamelipokea na analishughulikiamaana yeye ndie muhusika kwa hili kama kuna tatizo kama hili kwenye maeneo mengine naomba tuwasiliane mapema ili wananchi wasnyonywe na kuonewa na mawakala mafisadi
mwisho mh gekul ameomba wananchi mbalimbali wenye matatizo kama hayo wawasiliane naye ili waweze kutafuta suluhisho kwa pamoja | 2018-12-13T21:09:01 | http://shambanisolutions.blogspot.com/2013/01/mbunge-paulina-gekul-awajia-juu.html |
migongo 1950 wizara yatoa taarifa kukanusha ugomvi wa mawaziri
wizara yatoa taarifa kukanusha ugomvi wa mawaziri
jamhuri ya muungano wa tanzania wizara ya maliasili na utali
wizara ya maliasili na utalii inatoa tarifa kuwa hakuna ugomvi wowote kati ya waziri wa maliasili na utalii mhe balozi khamisi suedi kagasheki na naibu waziri mhe lazaro nyalandu mawaziri hao wanafanya kazi kwa ushirikiano wa hali ya juu na hakuna mgogoro wowote kati yao
tarifa hii imetolewa kutokana ma habari iliyoandikwa na gazeti moja lakila wiki nchini ambalo katika toleo lake la tarehe 19/06/2012 lililoandika mawaziri wagombana
habari hiyo inataja kuwa naibu waziri alizungumza na baadhi ya watendaji wa tanapa na kusema kuwa waziri alikurupuka pale alipowasimamisha kazi baadhi ya watumishi waliotuhumiwa kuhusika na mauaji ya faru habari hiyo inataja pia kuwa mhe nyalandu aliyasema hayo kwenye kikao cha kusuluhisha mgogoro kati ya tanapa na kampuni ya otterlo business corporation ltd (obc)
wizara inakanusha habari hizo na kusisitiza kuwa hakuna ukweli wowote katika habari hiyo na kuwa haina msingi
mheshimiwa nyalandu hajawahi kufanya kikao na tanapa kusuluhisha mgogoro kati ya shirika hilo na kampuni ya obc kama gazeti lilivyoandika aidha kampuni ya obc haina mgogoro wowote na tanapa wala shughuli zake hazihusiani na zile za tanapa
vilevile naibu waziri hajawahi kutamka wakati wowote kuwa waziri alikurupuka na hata mwandishi wa habari hiyo alimnukuu mhe nyalandu akikanusha kusema hivyo
izingatiwe kuwa mhe nyalandu hajawahi kugombana na mhe kagasheki na kuwa taarifa hiyo ya uzushi haitasababisha ugomvi kati yao
tarehe 20/06/201
soma taarifa ya gazeti iliyoelezea ugomiv huo
habari ifuatayo ya gazeti la jamhuri ndiyo iliyotolewa tamko na wizara
mgogoro mzito unafukuta ndani ya wizara ya maliasili na utalii ambapo sasa kuna msuguano mkali kati ya waziri khamis kagasheki na naibu wake lazaro nyalandu
habari za uhakika kutoka ndani ya wizara hiyo zinasema kuwa kagasheki amepata taarifa kutoka kwa baadhi ya watendaji waliokuwa na watu mbalimbali walikuwa arusha kwenye kikao alichokiendesha nyalandu kati yake na maafisa wa shirika la hifadhi za taifa (tanapa) alipomkejeli kagasheki hivi karibuni
katika mkutano huo nyalandu alipoulizwa na wafanyakazi wa tanapa juu ya hatua ya waziri kagasheki kusimamisha watumishi wanne wa tanapa na askari 28 alisema waziri alikurupuka alisema kama waziri angeshauriana na yeye (nyalandu) wala asingewasimamisha wafanyakazi hao kilisema chanzo chetu
wafanyakazi hao huku wakimshangilia nyalandu kwa mujibu wa taarifa hizo walimuomba nyalandu awafikishie taarifa zao kwa rais jakaya kikwete aweze kuwarejesha wenzao kazini kwa kile walichosema waziri kisheria hana mamlaka ya kuwasimamisha kazi
kwa kweli walipofikia hatua hiyo ya kumuomba awafikishie salaam zao kwa rais kikwete yeye hakutoa kauli ya kukubali au kukataa kwani hii ingekuwa kumsambaratisha waziri wake moja kwa moja ila wapo wafanyakazi aliowambia kuwa yeye yuko karibu na rais kikwete hivyo wasiwe na wasiwasi atalishughulikia na kulimaliza kwa njia anazozifahamu yeye kilisema chanzo chetu
kusimamisha watumishi
mei 28 2012 kagasheki alikutana na waandishi wa habari na kuwajulisha kuwa amewasimamisha kazi watumishi wanne wa tanapa na walinzi 28 kupisha uchunguzi baada ya faru wawili kuwa wameuawa katika mazingira ya kutatanisha
waliokumbwa na panga la kagasheki ni kaimu mkurugenzi wa uhifadhi tanapa justin hando mkuu wa hifadhi ya serengeti mtango mtahiko mkuu wa kitengo cha intelejensia tanapa emilly kisamo na mratibu wa miradi ya faru serengeti mafuru nyamakumbati
walinzi 28 aliowasimamisha ni askari mwandamizi fatael mtu rashid athuman mohamed athuman john fabian goodchance msela joseph darus emmanuel ishalila na felician gwangu ambao wote ni askari wa daraja la pili
wengine ni jafari hassan malale mwita na john urio ambao ni askari wa daraja la tatu wakati wa daraja la nne ni majuto omari deogratias waisiku chacha ndege samson njoghomi leonard kunjumu siad mkamba paul cosmas na gabriel ngazama
wapo pia rajab mangachi adam likarawe anodisu mushumali john zimbi drigue shaabani rashid mangandali edson mbyazi john mbilizi na emmanuel kilawe
wakati wa kuwasimamisha kagasheki alisema faru wameuawa tangu mwezi aprili mwaka huu lakini tanapa walisema tukio hilo walilijua lakini hawakutoa taarifa kwa wizara kitu ambacho kinatia shaka kwamba huenda kuna baadhi yao walihusika kwa namna moja au nyingine katika tukio hili aliahidi kuunda tume ya kuchunguza tukio hili
kumetokea mabadiliko ya mawaziri na sababu ni nyingi katika wizara hii ya maliasili na utalii kuna sura ya wizara imejengeka kwamba kuna uchafu mwingi wengine wanasema hii ni wizara ya mali za siri wakimaanisha kwamba vitendo vichafu vinafanyika katika wizara lakini wahusika hawachukuliwi hatua
hii vita siyo ndogo ni kubwa lakini naahidi tutapambana maana haiwezekani tukio limetokea mwezi aprili mwaka huu halafu wahusika wamenyamaza kimya tu hawatoi taarifa nahisi kuna uhusiano wa tukio hilo na baadhi ya watumishi waliosimamishwa alisema kagasheki
baada ya jamhuri kupata taarifa hizi liliwasilkiana na kagasheki kujua iwapo taarifa hizo za kubezwa amezipata na kufahamu ni hatua zipi atazichukua dhidi ya naibu wake nyalandu
hata mimi nimezisikia hizi taarifa na kwa sasa naibu waziri yuko safarini nje ya nchi (india) hivyo sijawasiliana naye namsubiri akija hapa dodoma nitamhoji na kumtaka anipe ukweli wa kauli hii ikiwa ameitoa kweli kwamba nimekurupuka na baada ya hapo nitajua la kufanya siwezi kusema zaidi ya hapo ngoja nikutane naye kwanza alisema kagasheki
nyalandu azungumza
jamhuri lilimtafuta nyalandu na kufanikiwa kuzungumza naye mwishoni mwa wiki ambapo alikana kutoa kauli hiyo akisema kuna mkono wa wachonganishi ila akakiri kukutana na uongozi wa tanapa ingawa alisema mkutano wao ulihusu usuluhishi kati ya tanapa na otterlo waliopelekana mahakamani
kaka mimi ni mwanasiasa mkongwe nimekuwa bungeni kwa miaka 15 sasa inahitaji kutumia common sense tu kufahamu kuwa siwezi kutoa kauli kama hiyo hiyo ni complete fabrication (yakutengenezwa) sijawahi kukutana na wafanyakazi wa tanapa isipokuwa nilikutana na uongozi wa tanapa ambao nilikwenda kuwasuluhisha kutokana na mgogoro wao na otterlo waliokuwa wamepelekana mahakamani
nitakuwa mjinga sana kama nitatoa kauli kama hii hapa katikati nimeona gazeti moja likisema nawaandalia wawindani mkutano mwezi juni na nimewakutanisha na waziri nasema huu ni uchonganishi nadhani kuna watu wanataka kutufanya tugombane mimi na waziri wangu tusiwe tunasalimiana
wanasema eti mimi nampelekea waziri wawindaji mimi nasema simjui hata mwindaji mmoja na wala sijawahi kuwinda nadhani litakuwa jambo jema tukizungumza uso kwa uso (na waziri kagasheki) nimweleze nia yangu safi
ukiangalia mara nyingi mimi namshauri waziri that we even need to go further (tunastahili kwenda mbali zaidi) katika uamuzi anaoufanya mimi im not confrontational (si mtu wa mapambano) nina common sense (akili ya kuzaliwa) ya kutosha kaka kutofanya mambo kama hayo nimetoka india nakwenda dodoma kisha urusi nitawasiliana na waziri tuzungumze alisema nyalandu
otterlo wamruka nyalandu
hata hivyo kampuni ya otterlo business corporation ltd (obc) imepinga madai ya nyalandu kwa kusema haina na haijawahi kuwa na mgogoro na tanapa
mkurugenzi mtendaji wa obc isaack mollel ameiambia jamhuri kwamba kwa miaka yote ya uwepo wa obc tanapa imekuwa ikiwapatia ushirikiano wa hali ya juu
hatuna ugomvi kabisa tena tumekuwa tukishirikiana na tanapa katika oparesheni za kukabiliana na majangili wamekuwa wakitupatia ushirikiano wa hali ya juu sana nakuhakikishia kuwa hatujawahi kugombana na wala hatuna ugomvi kabisa tanapa ni wadau wenzetu katika mapambano dhidi ya vitendo vya ujangili tunashirikiana nao sana kwenye uhifadhi amesema mollel
tanapa washangaa
kwa upande wao tanapa walipotakiwa kuzungumzia mkutano kati yao na nyalando na otterlo walisema hawajawahi kuwa na mkutano wa aina hiyo
msemaji wa tanapa paschal shelutete alisema jamani mimi sina taarifa hizi hata chembe nina uhakika asilimia 100 hapajakuwapo mkutano kama huu otterlo hatujawahi kuwa na ugomvi wowote na wala sijawahi kushiriki kikao hicho sijakisikia kabisa
mwelekeo wa nyalandu
kwa muda mfupi alioteuliwa kuwa naibu waziri wa maliasili na utalii nyalandu amekuwa na uhusiano wa karibu mno na wamiliki kadhaa wa vitalu vya uwindaji wa kitalii
akiwa bado hata hajaapishwa tayari alishakutana na wamiliki kadhaa na kufanya nao mazungumzo
baadaye nyalandu alifanikisha mkutano kati ya waziri kagasheki na viongozi wa chama cha wamiliki wa kampuni za uwindaji wa kitalii tanzania (tahoa) viongozi hao walipitia kwa nyalandu kufika ofisini kwa kagasheki
posted by elia migongo at 243 pm | 2017-12-17T00:32:01 | http://eliamigongo.blogspot.com/2012/06/wizara-yatoa-taarifa-kukanusha-ugomvi.html |
la liga ruksa kuendelea |
18th january 2018 last update at 641 pm
la liga ruksa kuendelea
ligi kuu ya hispania itaendelea baada ya mahakama kuu kubatilisha mgomo uliopangwa na wachezaji na shirikisho la soka kuondoa marufuku yake
wikiendi hii ilikuwa ikutane na matukio mawili moja likiwa uamuzi wa shirikisho la soka la hispania (rfef) kuahirisha mashindano yote ya soka na pili wachezaji kuanza mgomo wao
katikati ya sakata hili ni haki za wadau katika mapato yanayotokana na kurushwa kwa matangazo ya televisheni kwa mechi
mahakama kuu ilitangulia kutangaza kwamba mgomo wa wachezaji ni batili na mara rfef nayo ikaondoa uamuzi wake wa kuahirisha mashindano yote
uamuzi huo ungeathiri kwa kiasi kikubwa la liga ambayo imebakiza mechi mbili mbili kwa kila timu fainali ya kombe la mfalme ambapo barcelona wana nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa na kombe hilo kwani wamefika fainali
barcelona wanaongoza ligi kuu kwa tofauti ya pointi nne mbele ya real madrid wakati watacheza fainali ya copa del rey na athletic bilbao mei 30
rfef na chama cha wanasoka wa hispania (afe) hawakubaliani na uamuzi wa serikali wa kubadili mfumo wa klabu kupewa mapato ya haki za televisheni
kwa sasa barcelona na real ndio pekee wenye haki ya kujadiliana haki hizo na kampuni mbalimbali na wanachuma nusu ya mapato yote
serikali imeamua kwamba klabu za la liga zigawane sawa mapato yote lakini wachezaji wanataka mgawo uende mbali zaidi hadi kwa klabu za madaraja ya chini ili wachezaji wao nao wafaidi na kupanda kisoka na kiuchumi
chama cha taifa cha soka ya kulipwa (lfp) chenye dhamana na ligi za madaraja mawili ya juu kinaunga mkono sheria hiyo na kinachukua hatua za kisheria kuzuia kusimamishwa kwa ligi
rfef imesema ipo tayari kwa majadiliano na serikali lakini yenyewe imekaa kimya pasipo kutoa majibu yoyote
uamuzi wa kusitishwa kwa soka ni matokeo ya ubishani juu ya nani hasa anasimamia soka ya hispania na ni hatima ya mvutano wa muda mrefu juu ya mgawanyo wa mapato yatokanayo na matangazo ya televisheni
barca na real hawataki kuona utaratibu huo ukibadilika kwani unawafaidisha na ndiyo maana huweza kusajili wachezaji wa kimataifa na kuitawala soka ya nyumbani na ulaya pia
rais wa lfp javier tebas alikuwa ametangaza nia yake ya kufungua shauri mahakamani kupinga kuahirishwa kwa ligi hiyo akisema kwamba kungeweza kusababisha hasara ya pauni milioni 36 katika mapato ya mechi kila siku
mechi muhimu zilizobaki ni baina ya atletico madrid na barcelona espanyol na real madrid jumapili hii
mei 23 may ndio mechi za mwisho wa ligi ambapo kati ya hizo barcelona watacheza dhidi ya deportivo huku real madrid wakivaana na getafe
tags la liga right spain television | 2018-01-18T07:49:36 | https://www.tanzaniasports.com/2015/05/16/la-liga-ruksa-kuendelea/ |
psptb yaendesha semina kwa wakurugenzi na wakuu wa idara muhimbili
mwenyekiti wa bodi ya zabuni katika hospitali hiyo dk faraja chiwanga akifuatilia mada kwenye semina hiyo | 2018-06-18T15:09:21 | http://richard-mwaikenda.blogspot.com/2016/07/psptb-yaendesha-semina-kwa-wakurugenzi.html |
habari ni habari ndugu yangu uchaguzi wa arumeru mashariki na vijembe vya uraia
uchaguzi wa arumeru mashariki na vijembe vya uraia
3/19/2012 114700 am
chadema arumeru
ujuma kwa mjane lafika wizarani
chadema yaendelea kuomba wachaguliwe arumeru mash
ccm arumeru mashariki
upungufu wa ajira ndani ya tanzania
kampeni arumeru mashariki chama cha sau chajikta k
rais jakaya mrisho kikwete alipowaapisha wakuu wa
jk ndani ya mkutano wa kujadili uchaguzi nadni ya
habari za tanzania via kennedytz 1
habari za tanzania via kennedytz~16
uchaguzi wa arumeru mashariki na vijembe vya uraia
arumeru mashariki ccm wakimtetea mgombea wake | 2017-01-23T12:35:41 | http://kennedytz.blogspot.com/2012/03/uchaguzi-wa-arumeru-mashariki-na.html |
vijana 1000 washtakiwa kutumia facebook kueneza video za ngono timheaven
home exclusive vijana 1000 washtakiwa kutumia facebook kueneza video za ngono
vijana 1000 washtakiwa kutumia facebook kueneza video za ngono
chief hope january 17 2018 exclusive
zaidi ya vijana 1000 wameshtakiwa na polisi denmark kwa kusambaza picha na video za ngono wameshtakiwa kwa kutumia mtandao wa jamii wa facebook messenger kusambaza vipande vya video vilivyoonesha vijana wawili wenye miaka 15 wakifanya mapenzi
polisi wamesema kwa sababu vijana hao walikuwa wenye umri chini ya miaka 18 mashtaka yanaweza ongezeka hadi kosa la kusambaza picha zisizo ma maadili ya watoto
kampuni ya facebook iliwataarifu mamlaka wa marekani ambao walitoa taarifa kwa polisi denmark kama wakipatikana na hatia ya kusambaza picha zisizo na maadili kwa watoto watawekwa kwenye orodha ya wadhalilishaji wa watoto kingono kwa miaka 10
vijana elfu moja na nne wanamashtaka nchi nzima ikiwa ni baada ya kusambaza picha na video kwa kutumia app hiyo ya kutuma ujumbe mwishoni wa mwaka jana baadhi ya watuhumiwa wenye umri juu ya miaka 18 waliitwa katika vituo vya polisi kuhojiwa watuhumiwa chini ya miaka 18 walipashwa habari kupitia wazazi wao
mkuu wa polisi wa denmark amesema mashtaka hayo ni kama onyo kwa vijana kuthubutu kutuma video za ngono yeyote atakayepatwa na hatia na mashtaka hayo anaweza kupata kifungo cha siku 20 kumekuwa na wito kwa serikali ya denmark kuchukua hatua zaidi kuzuia picha za ngono ili kulipa kisasi
by chief hope kwa january 17 2018 | 2018-03-21T02:52:49 | http://www.timheaven.com/2018/01/vijana-1000-washtakiwa-kutumia-facebook.html |
serikali imesema lugha ya kiswahili ndiyo lugha ambayo inatambulisha watanzania hivyo ni wajibu kwa wananchi kutumia lugha hiyo kwa usahihi katika shughuli zao za ndani na nje ya taifa cgfm
serikali imesema lugha ya kiswahili ndiyo lugha ambayo inatambulisha
serikali imesema lugha ya kiswahili ndiyo lugha ambayo inatambulisha watanzania hivyo ni wajibu kwa wananchi kutumia lugha hiyo kwa usahihi katika shughuli zao za ndani na nje ya taifa ili kukikuza na kukiendeleza (
waziri wa habariutamadunisanaa na michezodaktari harrison mwakyembe ameliagiza baraza la kiswahili la taifabakita kuandaa na kuwasilisha kwake orodha ya wahitimu wa lugha hiyo ili serikali iwatambue
amesema lugha ya kiswahili ni lugha ya 10 kati ya lugha elfu sita duniani hivyo ni lazima watanzania waone umuhimu wa kutumia lugha hii kwa sababu inatoa fursa mbalimbali ikiwemo ajira kwa nchi ambazo zinahitaji wataalamu wa lugha hiyo
daktari mwakyembe pia amesema sheria ya habari imeanza kutekelezwa na vyombo vingi vya habari na wanatasnia kwa jumla wameeilewa sheria hiyo inayoeleza kuwa uhuru wa kutoa na kupokea habari una mipaka na ni vyema wananchi wakaelewa kuwa mitandao ya kijamii sio vyombo vya habari bali ni vyombo vya kutoa taarifa
hata hivyo waziri huyo amesema vyombo vya habari havikatazwi kuikosoa serikalilakini vinatakiwa kukosoa kwa hoja na siyo kuandika habari za uongo ambazo hazizingatii weledi na taaluma ya habari
tabora manispaa ya tabora kwa kushirikiana na wananchi wa kijiji hicho wameanza hatua za awali za ujenzi wa nyumba za walimu | 2018-04-25T20:14:55 | http://blog.cgfmradio.com/serikali-imesema-lugha-ya-kiswahili-ndiyo-lugha-ambayo-inatambulisha-watanzania-hivyo-ni-wajibu-kwa-wananchi-kutumia-lugha-hiyo-kwa-usahihi-katika-shughuli-zao-za-ndani-na-nje-ya-taifa/ |
surveyed plots at pugu in tanzania | zoomtanzania
surveyed plots at pugu
22 sep '15 1431
ilala pugu dar es salaam pugu kinyamwezi mtaa wa kimani
nunua kiwanja/ viwanja eneo la pugu kinyamwezi mtaa wa kimani kisha anza kulipa kidogo kidogo muda umeongezwa hadi kufikia miez minne
eneo ni zuri na linafikika pia huduma zote muhimu zipo karibu na eneo
piga/ sms kwa maelezo zaidi
usafiri wa kwenda kuona viwanja na kurudi upo wahi sasa
member since 28 aug '15
+255712335583 | 2017-08-23T11:57:24 | https://www.zoomtanzania.com/land-for-sale/surveyed-plots-at-pugu-570858 |
nchi ya afrika kusini yalaani uingiliaji wa wamagharibi syria | kifltd
948295 hits
archives select month july 2017 (1) march 2017 (1) february 2017 (3) october 2016 (12) september 2016 (10) august 2016 (6) july 2016 (9) june 2016 (12) may 2016 (6) april 2016 (38) march 2016 (36) february 2015 (7) january 2015 (10) december 2014 (18) november 2014 (54) october 2014 (13) september 2014 (35) august 2014 (32) july 2014 (4) june 2014 (1) may 2014 (7) april 2014 (9) march 2014 (42) february 2014 (4) november 2013 (2) october 2013 (1) september 2013 (2) august 2013 (9) july 2013 (16) june 2013 (28) may 2013 (208) april 2013 (7) march 2013 (26) february 2013 (37) january 2013 (75) december 2012 (102) november 2012 (75) october 2012 (3) september 2012 (10) august 2012 (37) july 2012 (54) june 2012 (64) may 2012 (85) april 2012 (245) march 2012 (89) february 2012 (87) january 2012 (162) december 2011 (332)
siasa za kiafrikawaachiye waafrika hebu cheki jinsi rais paul kagame alivyoshinda uchaguzi kwa kura nyingi fbme/7tvdlzqt7http//wwwmasterkifblogspotcom 1 week ago
tayari dude limeamshwa kiaina huko chongoleani _tanga rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe fbme/8nuvyyiyjhttp//wwwmasterkifblogspotcom 1 week ago
fbme/5qeotbwmxhttp//wwwmasterkifblogspotcom 5 months ago
fbme/8uztsl6wqhttp//wwwmasterkifblogspotcom 5 months ago
siasa za kiafrikawaachiye waafrika hebu cheki jinsi rais paul kagame alivyoshinda uchaguzi kwa kura nyingi fbme/7tvdlzqt7http//wwwkingkifblogspotcom 1 week ago
tayari dude limeamshwa kiaina huko chongoleani _tanga rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe fbme/8nuvyyiyjhttp//wwwkingkifblogspotcom 1 week ago
fbme/6g3us4vo5http//wwwkingkifblogspotcom 5 months ago
fbme/5n3g8cuyqhttp//wwwkingkifblogspotcom 5 months ago
rais dkt magufuli akutana na kufanya mazungumzo na balozi wa urusi na jamhuri ya korea hapa nchini ikulu jijini dar september 22 2016
mkutano wa kilele wa g20 waanza china september 5 2016
serikali itawachukulia hatua watakaobainika kuhusika na matukio ya moto mkoani arusha september 5 2016
may 17 2013 by kifltdkif enterprises
nchi ya afrika kusini yalaani uingiliaji wa wamagharibi syria
biphumla williams msemaji wa serikali ya
serikali ya afrika kusini imeitaka jamii ya kimataifa kuheshimu haki ya kujitawala ya syria sanjari na kujiepusha na uingiliaji katika masuala ya ndani ya nchi hiyo
phumla williams msemaji wa serikali ya afrika kusini ameongeza kuwa wenyewe wananchi wa syria wanapaswa kuutatua mgogoro wa nchi hiyo bila ya uingiliaji wa madola ya kigeni
wiki iliyopita serikali ya afrika kusini ililaani vikali hatua ya ndege za utawala wa kizayuni wa israel kushambulia ardhi ya syria na kutahadharisha kuwa hatua hiyo itazidisha kuvuruga amani na uthabiti katika eneo la mashariki ya kati
aidha serikali ya pretoria imetaka ukomeshwe mpango wa baadhi ya nchi za magharibi na kiarabu wa kuyapelekea silaha makundi ya kigaidi nchini humo
← previous post barua kwa waziri wa viwanda na biashara mh dkt abdallah kigoda pendezo kuhusu kuzuia unyonyaji dhidi ya wasanii wa tanzania katika biashara ya miito(ring back tones)
next post → peroni jazz sundays at velisas | 2017-08-16T21:51:09 | https://kifltd.wordpress.com/2013/05/17/nchi-ya-afrika-kusini-yalaani-uingiliaji-wa-wamagharibi-syria/ |
rais dkt magufuli amjulia hali mbunge wa makete profesa norman sigala ambaye amelazwa katika hospitali ya taifa ya muhimbili jijini dar es salaam full shangwe blog
home / mchanganyiko / rais dkt magufuli amjulia hali mbunge wa makete profesa norman sigala ambaye amelazwa katika hospitali ya taifa ya muhimbili jijini dar es salaam
previous dc kinondoni akutana na wafanyabiashara soko la mwenge
next mbunge wa vwawa mhejaphet hasunga agawa vifaa vya michezo vya milioni 17 kwa shule za sekondari mbozi | 2019-03-22T00:19:59 | https://fullshangweblog.com/home/2018/10/22/rais-dkt-magufuli-amjulia-hali-mbunge-wa-makete-profesa-norman-sigala-ambaye-amelazwa-katika-hospitali-ya-taifa-ya-muhimbili-jijini-dar-es-salaam/ |
baking soda ni dawa inayotibu saratani ya tezi dume fadhilipaulocom
siri za kushangaza zimevumbuliwa zikionyesha moja ya dawa ya asili yenye nguvu zaidi katika kutibu saratani ya tezi dume
ukweli ni kuwa baking soda ndiyo dawa rahisi na ya uhakika zaidi ya kutibu saratani ya tezi dume ambayo unapaswa kuwa unaitumia
jamaa mmoja aitwaye jim kelmun ndiye anajulikana kama mhenga katika ugunduzi wa dawa hii ya tezi dume
siyo kwamba tu huyu jamaa alifanikiwa kujitibu saratani yake moja kwa moja bali pia ameweza kuwasaidia wengine akitumia tu hii baking soda
tumaini kubwa linajitokeza kwa watu wenye ugonjwa huu
jambo la kushangaza kuhusu dawa hii siyo tu uwezo wake wa kutibu saratani bali pia ni kuwa dawa hii inaanza kufanya kazi mara moja ukishaitumia tu na hata maandalizi yake ni rahisi na unaweza kuanza kuitumia dakika hii unapomaliza kusoma makala hii na gharama yake ni ndogo sana
inatumika kama ifuatavyo
changanya tu kijiko kidogo kimoja cha chai cha baking soda ambayo haina aluminiamu na vijiko vikubwa viwili vya asali mbichi ndani ya maji ya kunywa glasi moja mapema asubuhi ukiamka tu na usiku unapoenda kulala fanya zoezi hili mara 2 kwa siku kwa wiki ya kwanza na uongeze mpaka mara 3 kwa siku wiki ya pili kwa wiki 3 mpaka mwezi mmoja hivi
kingine cha kuongeza hapo ni kuwa ni mhimu ukishakunywa dawa hii utulie mahali ulipo kwa dakika 40 hivi bila kujishughulisha na chochote wala mazoezi ya viungo inashauriwa pia kuacha kutumia sukari wakati ukiendelea na dozi hii tumia tu asali
nini siri hasa katika baking soda
saratani nyingi ni matokeo ya mwili kuwa na asidi nyingi kwa kipindi kirefu kumbe baking soda inaenda kuweka sawa usawa wa asidi na alkalini mwilini na hivyo usawa wako wa ph unakuwa unabaki sawa hali ambayo ni nzuri kubaki na afya bora wakati wote
seli za saratani zinaweza kuishi mazingira yenye asidi tu tofauti na hapo hazina namna zaidi ya kufa hii ndiyo siri ndogo iliyomo kwenye baking soda kutibu saratani ya tezi dume
baking soda inapatikana kirahisi kwenye maduka ya mahitaji ya kawaida hata mangi hapo nje anayo ni ile kina mama huitumia kwenye mapishi ya maandazi na mikate lakini pia ni dawa nzuri ya asili inayoweza kutibu magonjwa mengi ikiwemo tezi dume
angalia ni baking soda au bicarbonate of soda na siyo baking powder ni vitu viwili tofauti hapo baking soda kwa kawaida huwa kwenye kiboksi kidogo wakati baking powder huwa kwenye boksi kubwa zaidi
kama utaikosa hii baking soda mahali ulipo niachie ujumbe whatsapp +255769142586
ikiwa maelezo haya yanakusaidia kwa namna yoyote unaweza kunizawadia chochote kwenye tigopesa 0714800175 (fadhili paulo)
(imesomwa mara 1931 leo peke yake imesomwa mara 65)
vidonda vya tumbo kwa mama mjamzito
15/10/2017 at 1010 am
asante mkuu pia nina swali kuhusu tumbo langu linaunguruma mara kwa mara na sijui linasababishwa na nini
karibu sana ndugu tumia juisi ya tangawizi
bonyeza hapa =>http//wwwfadhilipaulocom/faida48zajuisiyatangawiziambazoulikuwahuzijuwibado/
16/10/2017 at 407 pm
saaaafi
neema masabo says
hii ndo inaondoa rangi kwenye meno
ikichanganywa na limau
15/10/2017 at 1026 am
kwa maelezo zaidi bonyeza hapa =>http//wwwfadhilipaulocom/namnarahisiyakungarishamenoyako/
adamu mchina alphonce says
nimesima hiyo link naomba kuuliza inagarisha meno ya arusha
16/10/2017 at 631 am
vedasto kiria says
15/10/2017 at 1040 am
karibu sana ndugu yangu ahsante pia kwa muda wako
utajuaje kama hiyo baking soda ina aluminium au haina dokta
vedasto kiria soma maelezo kwenye boksi lake
ahaa sawa
docta tezi dume ni hernia au
hapana hernia ni ngiri
fredy modest says
15/10/2017 at 1044 am
hapana tezi dume ni prostate gland
tafadhari doctor nisaidie kunapost fulani ulitoa kwamba mlonge unatibu magonjwa zaidi ya 300 ikiwemo mtoto wa jicho na uvimbe kwenye macho mimi macho yangu yote yanauvimbe na nilianza kwa kuwashwa baadae kuwashwa kulikoma kilichobakia ni uvimbe ambao huleta maumivu kidogo mbegu za mlonge ninazo na majani yake naweza kuyapata je mlonge nitautumiaje kutibu huo uvimbe maana inanisumbua kweli
stout stout says
mkuu hizi teknolojia zinaongeza maladhi mwanga wa screen za simu na computer vinachangia natumia sana hivyo vitu na mimi nimeanza kupata hilo tatizo kikubwa punguza matumizi ikishindikana basi punguza mwanga wa screen hizi teknolojia ndizo zinazo ongeza maladhi siku hizi
unga wa majani ya mlonge tumia kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwenye juisi ya matunda uliyoandaa mwenyewe nyumbani
hongera doctor bila kutumia chochote huo uvimbe hauwezi kutoka mwenyewe tu na hauwezi kusababisha upofu
huo unga wa mlonge si ni sahihitu ukichanganya na maji ya vuguvugu hafu ni kanywa
lucas mahugi sina uhakika kama unaweza kupona bila kutumia dawa
lucas mahugi mlonge unafanya kazi vizuri ikiwa tu utatumia kwenye juisi ya matunda
vyote kijiko kimoja cha baking soda na vijiko viwili vya asali mbichi tunaweka kwenye glass moja ya maji ya kunywa
ndiyo upo sahihi kabisa ndugu #lucas
15/10/2017 at 1138 am
nahis furaha kujuana na ww masomo yako yamekua faraja kwangu mungu akubarik ila nitafutie dawa ya kuondoa mvi haya madawa ya kunyolea cku hz yanatutoa mvi mapema watoto wa 85
musa costantine says
16/10/2017 at 632 am
charles rutabanzibwa says
isaya mbenje
15/10/2017 at 123 pm
hii ndio ianondoa weusi kwapan ukichangany na limaosorry
16/10/2017 at 626 am
mariam mlolela says
15/10/2017 at 153 pm
josephina john says
15/10/2017 at 306 pm
asante ubarikiwe drnimenaribu kupakua ile app yako lkn sikuionanisaidie mpendwa
kama unatumia android ingia play store andika fadhili paulo itakuja
maxmilian samson says
vp kuhusu tatzo la choo inatibu
dodoo laizer says
15/10/2017 at 335 pm
zainath selemani says
asante kwa soma lako ila nilikuwa nataka dawa ya kuacha kuvuta sigara
iyo bado sina
amina ezeky says
mwenyenzi mungu akutunze sasa wewe kaka kupitia makala zako nimeweza kujitibu kabisa u t i bila dawa za hospitals ambazo nyingi zinatuliza tuu barikiwa sana sana
asante kwa hilo nimefurahi sana kusikia ushuhuda huo kutoka kwako asante kwa muda wako pia
frank meena says
16/10/2017 at 928 pm
16/10/2017 at 1152 pm
samahani uti unaitibu na nn bado cjaelewa dada amina ezeky
http//wwwfadhilipaulocom/dawambadala9zinazotibuuti/
jacqueline kibona says
02/11/2017 at 414 pm
nasumbuliwa na uti mara kwa mara nafanyaje
josé banjo says
02/11/2017 at 619 pm
pole wangujacqueline kibona
ingia kwenye hiyo link ya docta hapo someni hizo tiba mbadala angalia unayoweza kutumia zote zinatibu
shomari issa says
15/10/2017 at 625 pm
josephat clemence says
je inaweza kutibu goita
john kahanga says
mzee unatisha sana
selina makwinya says
15/10/2017 at 841 pm
asante kwa somo zurije naweza kupata dawa ya ngiri
16/10/2017 at 629 am
asante na mungu akubariki
joecy jonacy says
ramsey ramso says
hasante nzuri sana
mungu akulipe akuzidishie elimu na maarifa
asante sana pia download app ya ukurasa huu kwenye simu yako ina makala mbalimbali za afya
naweza kutumia hatakama siumwi
19/10/2017 at 819 am
kwa nini utumie wakati haumwi
tumia hii http//wwwfadhilipaulocom/njia16zakuondoasumumbalimbalimwilini/
regupius makanza says
nashukuru naomba unisaidie dawa ya mtoto wa miaka kumi anakojoa kitandani
dawa ipo niachie ujumbe whatsapp +255769142586
daktali polenakazi kunandugu yangu alienda kupima aliambiwa anatezi dume nahana mtoto inasababisha au naje akitumia iyodawa analuhusiwa kwenda kupima na ataweza kupata watoto asante
shinga magarama says
16/10/2017 at 825 am
tumeshukuru kwa maelezo
metson emanuel says
16/10/2017 at 906 am
naomba kujua dawa ya fangasi doctor
usumbuliwa na fangasi za sehemu gani
21/10/2017 at 507 pm
sehem yangu y cri
honest godfrey says
nitaipata wapi hii baking soda
hapo dukani kwa mangi inapatikana
je ukitaka kujikinga na saratani ya matiti ni nitumie kitu gani
http//wwwfadhilipaulocom/njia16zakuondoasumumbalimbalimwilini/
maria peter mlingwa says
nilisoma link mojana watu walikuwa wakitoa ushuhuda kwa hiliinasaidia kuzibua mirija ya uzazi na kupevusha mayai kwa wanawake wasiopata/kushika mimbakuna namna ya kuitengeneza ili kupata juisi yakeutatumia ndizi mbivu yai bichina paketi moja ya maziwa fresh inasagwa kwenye blenda utainywa siku ya kwanza baada ya kumaliza siku za hedhi asbhmchana na jioni kwa cku moja halafu usinywe tena kwasababu inafanya kazi muda mrefu kazi yako ni kumsumbua mwenzi wako tuuuu kwa ajili ya mtoto
19/10/2017 at 810 am
asante kwa elimu yako vp wewe ulishawahi kutumia au mtu ambaye alitumia na mrejesho wake ilikuaje
yupo aliyetumiabaada ya miezi mitatu akabebabefore alikaa miaka 10 bila mtoto sasa hivi mtoto ana miezi 8na yuko mimba tena
hashim sharif says
21/10/2017 at 1043 am
unaichanganya na baking soda au
ndiohashim sharif
21/10/2017 at 1052 am
utatumia kijiko kimoja cha chai kwa baking sodakikombe kimoja cha maziwandizi mbili mbivu na mayai mawili (ya kienyeji ni bora zaidi) then utavichanganya kwa pamoja na kusaga kwenye blender tayari kwa kunyweaitatumika siku ya kwanza baada ya kumaliza hedhi(bleeding)hashim sharif
mungu awabariki sana kwa elimu hizi ndoa zinavunjika kwa jili ya watoto
costantine hamisi says
16/10/2017 at 1000 pm
wajanja tunavinjari hapa kupata matibabu bila malipo maisha marefu yawe nawe
barikiwa sana usisahau kupakua application ya ukurasa huu kwenye simu yako inaitwa fadhili paulo
amina mkumbwa says
baking soda inatibu hata saratani ya matiti
marandu gabriel says
16/10/2017 at 1138 pm
asante dokta ama kweli ww ni hazina barikiwa uingiapo na utokapo ndugu
amina pia kuna application ya ukurasa huu inapatikana play store download kwenye simu yako ina makala mbalimbali za afya
unaweza ukampa mtt
hiyo ya kutengeneza na asali
unachanganya na asali vijiko viwili
mado chitemwe says
17/10/2017 at 533 pm
naomba kuuliza tenzi dume na henia nikitu kimoja
hapana ni tofauti
samahani kwa usumbufu hua unafanya vipimo vyatenzi dume na ngarama zikoje
mimi tatizo langu ni maumivu makali pembe zoni naumee upande wa kushoto kuzunguka kiuno hiyo inaweza kuwa nini
iddy seleman mbaga says
ngirihernia
morganbartholomew lawrent says
iko pouw sana bro
halima nour says
samahani mimi nina shida nikiswaki fizi zangu huwa zinatoa damu naomba tiba yake
ina tibu kiungulia cha mtu mwenye vidonda vya tumbo
shaban chuma says
rahma abbas says
28/10/2017 at 305 pm
kwenye maswala ya uzazi ikixhachanganya huo mchanganyiko unakunywa kiaxi gani yani kipimo nainaxaidia kweli kupata mtoto
naukixhakunywa hivyo unakaa kwa muda was xiku ngapi
musa chitanda says
mbona nilipojaribu kuitumia niligundua ni chungu sana dkt
next story majani ya mstafeli ni dawa bora ya saratani ya tezi dume
previous story dalili za tezi dume | 2018-01-17T22:12:16 | http://www.fadhilipaulo.com/baking-soda-ni-dawa-inayotibu-saratani-ya-tezi-dume/ |
high speed internet service adna wa | adna rural internet provider 98522
satellite internet service providers in adna from hughesnet
satellite internet washington » adna waanything is possible with hughesnet in adna
hughesnet (wildblue) zip codes in adna 98522 other hughesnet internet satellite provider areas zip codes near lewis county tacoma wa lakewood wa hughesnet satellite internet lakewood wa olympia wa hughesnet satellite internet lacey wa hughesnet satellite internet olympia wa lacey wa tumwater wa aberdeen wa allyn wa amanda park wa bay center wa hughesnet satellite internet belfair wa bucoda wa centralia wa chehalis wa cinebar wa hughesnet satellite internet copalis beach wa copalis crossing wa cosmopolis wa curtis wa doty wa hughesnet satellite internet east olympia wa elma wa ethel wa galvin wa grapeview wa hughesnet satellite internet grayland wa hoodsport wa hoquiam wa humptulips wa lebam wa hughesnet satellite internet lilliwaup wa littlerock wa mccleary wa mckenna wa malone wa hughesnet satellite internet matlock wa menlo wa moclips wa montesano wa mossyrock wa hughesnet satellite internet napavine wa neilton wa oakville wa ocean shores wa onalaska wa hughesnet satellite internet pacific beach wa fill out the form and our team of satellite internet provider | 2017-03-28T10:04:22 | http://www.prosatelliteinternet.com/hughesnet/washington/a/adna/ |
hadithi juu ya biashara ya watoto yashinda shindano la noa bongo | noa bongo | dw | 27082012
hadithi juu ya biashara ya watoto yashinda shindano la noa bongo
washindi ni kundi la vijana kutoka togo katika shindano hili wasikilizaji wa noa bongo walipewa fursa ya kuelezea visa vyao binafsi na walielezea hadithi za kusisimua
bwana mmoja na mke wake wana watoto saba ingawa wanajitahidi sana hawawezi kuwalea ipasavyo shangazi wa watoto anaahidi kuwachukua watoto wawili na kuwatunza lakini badala yake anawapeleka nigeria kufanya kazi na anawanyang'anya mshahara wao hii ni simulizi iliyotumwa na kijana bouloufè bèwèzima mwaka huu yeye na kundi lake la vijana kutoka mji mkuu wa togo lomé wameibuka washindi katika shindano la uandishi la noa bongo
kwa bahati nzuri kisa hiki kina mwisho mwema wale wavulana wawili wanafanikiwa kumtoroka shangazi yao na baada ya safari refu na hatimaye kurudi nyumbani kwa wazazi wao lakini katika maisha ya kila siku visa vya namna hii mara nyingi huwa na mwisho mbaya kila mwaka tunaona kwamba wapo watoto wanaokatisha masomo yao na kwenda nigeria au katika nchi nyingine kufanya kazi kwa ajili ya kupata fedha za kununulia baisikeli pikipiki ama cherehani anaeleza mtunzi bouloufè wengi wao wanapotelea huko na hawarejei tena nyumbani
kisa binafsi kwa ajili ya mchezo wa redio
loyce maturu aliyeshiriki katika shindano la noa bongo
kisa hiki pamoja na simulizi nyingine zilizotumwa kama sehemu ya shindano la noa bongo kimebuniwa kutokana na mambo yanayotokea kila siku na yanayoshuhudiwa na waandishi hadithi nyingi zilizotumwa ziligusia mada kama elimu matatizo ya kifamilia mimba zisizotarajiwa au haki za wanawake na watoto simulizi ya kundi la tsanga jeunesse kutoka kaskazini mwa cameroon kinamwelezea msichana mdogo aliyelazimishwa kuolewa na mwanaume mwenye umri mkubwa sana kuliko yeye simulizi hiyo imeshika nafasi ya pili katika shindano la noa bongo
nafasi ya tatu imenyakuliwa na kundi la zvandiri youth advocacy team kutoka zimbabwe vijana wa kundi hilo wanajitolea kuwakinga watoto na vijana walioambukizwa virusi vya ukimwi dhidi ya ubaguzi loyce maturu mmoja wa wanakikundi anaeleza kwamba kuandika hadithi kwa ajili ya noa bongo kumewasaidia kutafakari juu ya kazi wanayoifanya tukiwa shuleni na hata katika familia zetu tunashuhudia ubaguzi huu kwenye simulizi yetu tulitaka kuyagusia maeneo ambapo watoto na vijana wenye virusi vya ukimwi hukumbana na ubaguzi
mada zinazowagusa wote
kundi la zvandiri youth advocacy team kutoka zimbabwe
jambo linaloifanya noa bongo kukubalika na kupendwa kote barani afrika ni utayarifu wake wa kuzungumzia mada nzito simulizi zilizotumwa kwa ajili ya shindano zinaonyesha kwamba bado vipo visa vingi sana vinavyofaa kuelezewa hadithi 36 kutoka nchi 15 za kiafrika zilishiriki katika shindano jopo la majaji watano kutoka idhaa za kiafrika za dw lilikaa na kutathmini hadithi hizo
mmoja wa majaji hao alikuwa zainab mohmmedahmed kutoka idhaa ya hausa yeye anaeleza kwamba ilikuwa vigumu kwake kuchagua mshindi kwani hadithi nyingi zilikuwa nzuri sana hata hivyo simulizi iliyoshika nafasi ya kwanza ndiyo iliyompendeza zaidi kwa mtazamo wa zainab mada iliyozungumziwa ni ya muhimu kwani katika baadhi ya nchi za kiafrika biashara ya watoto ni jambo linalotokea ni jambo lililopo zaidi miongoni mwa familia masikini zinazojaribu kujipatia maisha bora zaidi anaeleza zainab
warsha ya uigizaji kwa ajili ya washindi
mwaka 2013 hadithi ya washindi kutoka togo itafanyiwa mfululizo wa michezo ya redio kwa ajili ya noa bongo mbali na hayo washindi pamoja na timu ya noa bongo wataandaa mchezo wa kuigiza kuhusu hadithi hiyo igizo hilo litaonyeshwa mjini lomé ingawa mshindi ni mmoja tu kundi la zvandiri youth advocacy team lililoshika nafasi ya tatu nalo limeamua kuandaa mchezo wa kuigiza juu ya ubaguzi wa watu wenye ukimwi igizo hilo litaonyeshwa kwa mara ya kwanza katika mji mkuu wa zimbabwe harare
mwandishi christine bukania
maneno muhimu lbe elearning biashara ya watoto ukimwi
kiungo http//pdwcom/p/15xdu
karandinga ufisadi shuleni 04102017
ufisadi shuleni ep 1 ''busu la kifo'' 04102017 | 2017-12-18T10:23:11 | http://www.dw.com/sw/hadithi-juu-ya-biashara-ya-watoto-yashinda-shindano-la-noa-bongo/a-16195608 |
#jembeinspirations instagram photos and videos | webstagram
#jembeinspirations
#lifeupgrade2018
#fumbukamwanza
#jembeinspireactivated
#wanajema
#fungianje
utawezaje kuona opportunities kama hauwekezi kwenye ukuaji wako mwenyewekuna watu wako tayari kununua bottles hata kumi za champaigmradi ajionyeshe ni babkubwaau nguoviautu tatu za 1m au saa bei ghali ili mradi aonekane maridadilakini ukiwambia kulipia special course ya jambo flaniau study tour nje ya nchi akapanue mawazo🔨au kitabu cha laki mbiliau kuhudhuria seminar flani ya kiingilio cha laki mojawanaona kama hasara vilekumbe ndio kuruhusu kujidumaza na kupitwa na opportunities ambazo u geziona au kuzipata kwa urahisi iwapo ungekubali kujiendelezaanaona anapoteza pesa au wengine watafaidi fumbukaacha ujinga 😂pumbaff🔨
#dactarehatare🔥
#drjembeakisafirikidogounaanzamajungumwenzionasavetoinvestinmyselfforpersonaldevelopment
type yes if you agree and tag to inspire your peoplewaambie waache ujinga wa invest kwenye personal development ni ktaji mkubwa sana😂📣📣📣
jembe saturday inspirations
life always gives us exactly the right teacher we need at every moment this includes every mosquito
every misfortune every red light
every traffic jam every obnoxious supervisor (or employee) every illness
every moment of joy or depression every addiction
they always teach you somethingso take tbe lesson and move ahead
#dactaremkare
be so busy in improving yourself that you have no time or space in criticizing othersfind yourself and the inner you and fall in love with yourselfyou can be so great but alowing someone else to devaluedemeandestress or minimize your ahility for self realizationremember watu wengine wameumbwa kuwashusha wengine ili kufidia weakness zaoau ku justify mapungufu yao na kuficha maovu yao kwenye kivuli cha kasoro zakousiruhusu kamwe
stop listening to outside voiceslisten to your own inner voicethe subconsious work inwardly making improvements towards best quality of the life you desire the goal should be to upgradeself upgrade🙏🙌👌above all keep your god in the fore front of everything you doand you will be blessed
ila nn usisahau kufungia njemuhimu sana
tag and inspire yo peopletell them to keep working inwardly to improve and never listen to mburukenge
#mambonimoto 🚨🚨🚨🚨🚨🚨
#bigbangredhublotseries
#bigbangredbmwx6 by #tttr
#nikeredceramic
ukiangalia hii clip inakubadilisha mtazamo kuhisi ombaombandio maana siku hizi siwapi hela barabaranilakini inatufanya na sie tujiulizekama hawa jamaa wanajishughulisha kupata rizki halaliwewe unafanya nini
mwambie mungu wako asante kwa kila jambo🙏 na uache kulalamikapumbaf fyuuu
to all the ladies out there hii si ya kukosa kabisamwambie na mwenzako
wataalam watakaotoa madini @jembenijembe @harriskapiga hongereni sana brothers kwa kusambaza ufahamu na ujuzi kwa wahitaji
naombeni makofi matatu kwakeee📣📣📣
im gradits working
816 46
usijali wala kusumbuliwa na those who talk behind your backthey are behind for a reasonkwanza shukuru kwamba they are behind youso let them be there#keepmovingfoward
asanteni kwa wote mliojitokeza ku volunteer kwenye up coming jembe motivational talks in unies very soon
wawakilishi wetu watakua kama ifuatavyo
1thomas masawe @thomx70 dodoma
2benjamin kataga @benjaminek14
mwanz
3rorostrato @roro_tiktak udsm and ardhi
4kanaeli uriyodsm @uriyo kanaeli
5kapama thomasarusha
6nadhifa majaliwa @nadhifamajaliwa mwanza
tutawasiliana na nyi kwa hatua zaidiasanteni kwa moyo wa kujitolea kwa ajili ya wenginetutaendelea kupokea maombi zaidi*vigezo na masharti kuzingatiwa
*hakuna malipo yoyote
lwa maelezo zaidi tuandikie kazi@jembenijembecom
dactare mkare on the move wakati mwingine hatua ndogo katika right direction huishia kuwa ndio hatua kubwa sana maishani mwako as long as you are in the right direction usijali endelea hata kwa kujikongojakeep moving
#jembemovement
jamani natafuta volunteer wa kujitolea kunisaidia ku organise my motivational talk events kwenye vyuo zitakazoanza very soonawe volunteer kweli sio mviziaji😂
#tunasongamdomdo
#massimoduttitbings🔥
1529 35
the smile on my facedoes not mean my life is perfectim a human just like any othermade of flesh and bloodfilled with air and soul by the almighty godim from the earth and to earth i shall returnhoweverthe smile means i appriciate wht i have and what i have been blessed withi choose to be happy
#istanbulinvasion
#tukaze
jembeinspired kwa kweli im so much honoured to stand next and rub shoulders with these two super genius gentlemen behind the success of estonia digital transformation
todayin the worldestonia is ranked #1digital development index
#1 mobile networking coverage by the wb report
#1 in enterpreneurship by world economic forum
#1 internet freedom and accesibily
#1 tax competitiveness
nimepata nafasi ya kujifunza mengi sana kutoka kwa hawa ndugu zangu
ukitaka kujifunza zaidi nenda kwenye
wwweestoniacom
#deltasolutions
yaani dunia inakoenda kila kitu ni itnimeskia wanatengeneza hadi mdoli unaoweza kufanya mavituz na kukupikia😂😂😂sijui itakuaje dunia hiina mambo ya test tube babies sijui tutazaliana vipiichaaaa
nimejichokea hapa nawaza tu kungekua na li robotiningelikamatia😂😂😂😂😂😂😂😂😂(natania)
ila nini jitahidi ku focus kwenye ndoto zako hata kama ukikutana na vikwazo komaa na umtumainie mungu wako alie hai
good vibes and good night my people
when you find obstacles in any mission keep in mind that it is worthy it persuinghakuna chenye matunda ambacho ni rahisi kupatana usikubali kukwamishwa at any point na doughterswork and grind harder esp when you lack support because thats where a success pivot is
#munguwakwetusote🙏🙏 #jembeinspirations
#tendajemanitendejema
#believeandnevergiveup
jembenetworking if you wanna be greatsorround yourself with great peoplenetworking cocktail with senior exective officers from various governments in africagreat to meet and interact with hon drdoumbouyaminister for budget rep of guineaprofabdicommisioner for electionskenya along other public officials from guineawhat a mind blowing encounter today
the learning journey continues
#mtembeaburesiomkaabure
1036 16
jembemission i want to inspire people i want to see the people who look up to me become the best of what their potential isi love to see people prosper with joy and happinessi want someone to look at me amd saybecause of you i ddint give up
god bless you all my people
ila ninimsisahau kufungia nje mburuz of kengez😂🔩🔧🏹
na wale wa hiziiii👌 msisahau kubeba😊🙈🙋♀️😂
#godblessmyjourney
1564 40
kumbuka siku zote huwa tunakuna na baraka zaidi kuliko matatizomatatizo huwa tunayaona zaidi kwa sababu tunayahesabu na kuyapima na kuyatafakari kila sikukwa upande mwinginekama tungeweza kuhesabu baraka zetuutagunzua kuwa baraka ulizonazo ni zaidi ya matatizo uliyonayo
be blessed🙏
br a blessing🙏
tag your people and remind them how blessed they are
thanks #repost @jembenijembe (@get_repost)
thank you all my people who showed up for the talkim so much humbled to have somehow change your way of thinking through my talk todaythe idea is to keep inspiring and motivate more people for positive changenahisi mwanza tutarudialakn arusha mjiandaekwa kweli i enjoyed best of the bestnimependa pia audiance was high level and seriousmie pia nimejifunzamungu awabariki
na kwa wale wa vyuo ambao mngependa tuwatembelee pls njoo inbox lakn uwe na uwezo wa ku organize audiance tuwafikie vijana zaidi to motivate and inspire for positive change
#chimbomwanza
#lifeupgrade2018
tuufanye mwaka 2018 kuwa mwaka wa matumaini na neema kwa kila mmoja
arushambeyairingana dodoma get ready
#repost @jembenijembe (@get_repost)
one of my #lifeupgrade2018 goals was to revert back to my ussual practicejembe motivation &inspirational talksmwaka 2016 nilifanikiwa kutembelea shule na colleges takriban 80 all over tanzaniatalking and inspiring fellow youth in schools
asante brothers @hariskapiga and @paulmagola kwa kunihamasisha na kunialika kujoin this amazing initiative
namely fumbuka tukianzia jiji la mwanzasio kwamba eti tunajua saaaanau tumefanikiwa saaaananolakin tunajaribu ku share kidogo tulichonacho kusaidia kuwakwamua wengine kifikra na upeomake sure you get your ticket and see you at goldcresf on sunday mungu akipenda🙏#fumbukamwanza
#jembeinspireactivated #jembeinspirations
tag your people inmwanzawambie wasikose
@regranned from @jembenijembe one of my #lifeupgrade2018 goals was to revert back to my ussual practicejembe motivation &inspirational talksmwaka 2016 nilifanikiwa kutembelea shule na colleges takriban 80 all over tanzaniatalking and inspiring fellow youth in schools
tag your people inmwanzawambie wasikose #regrann
**jumapili hii mwanza** @regranned from @jembenijembe one of my #lifeupgrade2018 goals was to revert back to my ussual practicejembe motivation &inspirational talksmwaka 2016 nilifanikiwa kutembelea shule na colleges takriban 80 all over tanzaniatalking and inspiring fellow youth in schools | 2018-03-23T00:29:53 | https://web.stagram.com/tag/jembeinspirations |
rc shinyanga akutana na wawekezaji na wafanyabiashara wa mkoa wa shinyanga | lukaza blog
alhamis julai 202017 mkuu wa mkoa wa shinyanga zainab telack amekutana na wawekezaji na wafanyabiashara wa mkoa wa shinyanga kwa leng
http//wwwjosephatlukazacom/2017/07/rcshinyangaakutananawawekezajinahtml
kushoto ni kaimu mwenyekiti wa wafanyabiashara mkoa wa shinyanga jackton koykatikati ni mkuu wa mkoa wa shinyangazainab telack akifuatiwa na katibu tawala mkoa wa shinyangaalbert msovela
meneja wa benki ya crdb tawi la shinyangasaid pamui akizungumza katika kikao hicho
kitaifa 1776067378600735688 | 2017-08-21T02:51:03 | http://www.josephatlukaza.com/2017/07/rc-shinyanga-akutana-na-wawekezaji-na.html |
mwanafunzi darasa la tatu apewa mimbaserikali yaagiza wazazi wake wakamatwe | mpekuzi
mwanafunzi darasa la tatu apewa mimbaserikali yaagiza wazazi wake wakamatwe | 2019-04-21T02:47:08 | http://www.mpekuzihuru.com/2018/09/mwanafunzi-darasa-la-tatu-apewa.html |
rsvp kwenye kadi ya mwaliko etc | jamiiforums | the home of great thinkers
rsvp kwenye kadi ya mwaliko etc
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by lily flower feb 23 2010
wana jf hebu tudiscuss hii mada
nini maana ya rsvp kwenye kadi ya mualiko etc na je inatekelezwa
rsvp rendevous s'il vous plait ni neno la kifaransa maana yake kwa asiyehudhuria tafadharindio hivyo amfahamishe fulaninaona wengi huandika tu kwenye makadi yako sijui kama wanaelewa hiyo
'kwa wasiofika'
maana yake unaombwa utoe taarifa kama utafika au kama hautafika
sio tu kama haufiki
rsvp ni kifupi cha maneno ya kifaransa r'epondez s'il vous plait ikimaanisha tafadhali jibu au kwa kimombo please respond inatumika kwenye mialiko kuwataka wajumbe au waalikwa kujibu kama whether watahudhuria au la lakini u can imagine kupata majibu ya waalikwa wote kuwa watahudhuria au la inakuwa kazi mno ndo maana kwa sasa inatumika kwa wale watakaoshindwa kuhudhuria tu
nb hilo neno vous litaje vizuri tafadhali unaweza ukaashia kutamka aina ya vinyweleo
jf ni mwisho hata kama umeficha kitu mdomono kitatoka tulol
messages 8117
but at least i will not be the one to blame mkuu teh teh
nafikiri ulimaanisha aina ya nywele
swadakta nakupa 'vema' kabisa (si unakumbuka enzi za kuhesabu pata na vema kwenye daftari la primary cheers mkuu
hii kwa utamaduniwa wazungu zaidi ambapo cards hutolewa mapema na ili uwajulishe kama uta udhurie ili wajue namna ya kuku wekea table na namna ya kuku fanya uwe comfortable
sasa kwa harusi zetu za watu 1000 useme unakuja huji ni sawa tuu maana haina tofauti labda uwe ni vip na kuna vip section hapo ina weza leta maana
tukiwa tunakuwa tulikuwa tunaambizana ni rice and stew very plenty
nadhani kwa kuwa wengi hatukuwa tunajua maana ya rsvp
na kwa kuwa kumbe lina maana nzuri hasa kwa planningbasi nasi tutafute letu ili kama naandaa sherehe na nimealika watu basi wale watakao kuja nijue idadi yao na watakaoshindwa kuja nao nijue idadi yao itanisaidia kwenye planning
messages 10938
aah mkuu si useme tu kuwa kabla ya mada hii ulikuwa unaelewa hivyo
ninavyofahamu kweli hilo neno ni kifupi cha maneno ya kifaransa yaani repondez s'il vous plait na tafsiri yake ni halisi ni tafadhali jibu kwenye kadi za mialiko neno hili hutumika kuwataka waalikwa ambao kwa sababu zozote hawataweza kuhudhuria kwenye mwaliko husika watoe taarifa sina hakika kama hilo limekuwa likitekelezwa
well said bon je waalikwa huwa wanatoa taarifa ya kufika au kutokufika kwenye sherehe husika maana unakuta mtu umeplan sherehe ya watu mia 3 alafu wanafika watu mia na hamsini tu yaani hiyo ni hasara ya hali ya juu je tunatoa taarifa ya kufika au la
r'epondez s'il vous plait tena kwa wezetu usipofika kwenye hiyo shughuli huwa ni tatizo mostly ukiandaa na ww ya kwako huwa hawaji coz u didnt go(wat goes aroung)but kibongobongo wengi wanaandika bila kujua maana na hata tunaojua maana hatufanyi tunavyotakiwa kufanyahii inasaidia hasa ktk kubudget chakula na vinjwaji sio bongo hela hatuna mavyakula tunamwaga ovyo utasema tunavyovery bad
hata nikisema kuwa nilikuwa najua maana yake umeamua hivyo mkuu ila ukweli nilikuwa najua maana yake kwa vile niliulizahiyo lugha mimi siifahamu ila siwezi kusahau the rice and stew very plenty kwa vile it was a joke tukiwa tunakuwa enzi zileeeee
ni kweli kabisa pearl wengi hawajui maana je tufanyeje watu waanze kutekeleza kujibu
topics 1181053
members 446256
posts 27335042 | 2018-07-20T22:07:46 | https://www.jamiiforums.com/threads/r-s-v-p-kwenye-kadi-ya-mwaliko-etc.53884/ |
matukio rc dar es salaam na korea kusini waweka jiwe la msingi la hospitali ya chanika manispaa ya ilala wazalendo 25 blog
home afya habari jamii matukio matukio rc dar es salaam na korea kusini waweka jiwe la msingi la hospitali ya chanika manispaa ya ilala
matukio rc dar es salaam na korea kusini waweka jiwe la msingi la hospitali ya chanika manispaa ya ilala
gadiola emanuel april 19 2016 afya habari jamii matukio
mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda (kulia) na makamu wa rais wa shirika la koica la nchini korea kusini taemyon kwon wakiweka tofali kwa pamoja kuashiria uweka wa jiwe la msingi la hospitali ya chanika iliyopo manispaa ya ilala inayojengwa kwa ufadhili wa nchi hiyo dar es salaam ujenzi huo hadi kukamilika utagharimu sh bilioni 88 za kitanzania | 2017-10-23T17:11:54 | https://wazalendo25.blogspot.com/2016/04/matukio-rc-dar-es-salaam-na-korea.html |
chelsea 'la kuvunda' pale pale darajani yakandamizwa na liverpool 31 safi | boiplus blogspot
» chelsea 'la kuvunda' pale pale darajani yakandamizwa na liverpool 31 safi chelsea 'la kuvunda' pale pale darajani yakandamizwa na liverpool 31 safi a+
chelsea leo imekubali kipigo cha mabao 31 kutoka kwa vijogoo wa anfield liverpool katika mechi ya ligi kuu ya uingereza (epl) iliyopigwa kwenye dimba la stanford bridge maarufu kama darajani
chelsea ambayo imepata kichapo hicho ikiwa nyumbani walianza kupata bao la kuongoza dakika ya nne tu baada ya mchezo huo kuanza kupitia kwa ramires na kabla ya kipenga cha kwenda mapumziko kupulizwa philippe coutinho akaisawazishia bao liverpool dakika ya 45
kipindi cha pili chelsea walionekana kuelemewa katika mchezo huo kutokana na mashambulizi yaliyokuwa yakifanywa na liverpool yaliyozaa bao la pili lililofungwa na coutinho na baadaye benteke akaihakikishia liverpool pointi tatu kwa kutia nyavuni bao la tatu dakika ya 86
baada ya kipigo hicho kibarua cha kocha jose mourinho kinaripotiwa kuwa shakani kutokana na shinikizo kubwa analolipata kutoka kwa wamiliki na mashabiki wa klabu hiyo wanaotaka aachishwe kazi kutokana na muendelezo wa matokeo mabaya anayoyapata na kikosi chake | 2016-12-06T12:10:45 | http://boiplus.blogspot.com/2015/10/chelsea-la-kuvunda-pale-pale-darajani.html |
please forgive me my brother's carnality 2 kimishima [adn150] (2018 kimishima mio otona no drama drama solowork incest) | 2018-09-22T21:44:36 | https://incezt.cc/tags/ADN/ |
rais mhe dkt magufuli amuapisha balozi wa tanzania nchini malawi pia apokea hati za utambulisho wa mabalozi watano ikulu jijini dar es salaam ~ blogu ya wananchi ' if(imglength>=1) { imgtag = ' | 2017-08-21T06:32:38 | http://www.lemutuz.com/2017/08/rais-mhe-dkt-magufuli-amuapisha-balozi.html |
kweli mitihani imevuja | jamiiforums | the home of great thinkers
kweli mitihani imevuja
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by kamanda oct 6 2009
waungwana gazeti moja leo limeandika kuwa baadhi ya mitihani inayoendelea ya kidato cha nne imevuja
mengi yameelezwa na gazeti hilo lakini sina uhakika sana sijui wenzangu mnaweza kusaidia kupata habari za uhakika ili kwamba jamii forums tujipange kulaani kwa nguvu zote na ikiwezekana nitaomba tuanze partition kwenye hilo ili kushinikiza kile tutakachoona kinafaa
mengi yameelezwa na gazeti hilo lakini sina uhakika sana sijui wenzangu mnaweza kusaidia kupata habari za uhakika ili kwamba jamii forums tujipange kulaani kwa nguvu zote na ikiwezekana nitaomba tuanze partition kwenye hilo ili kushinikiza kile tutakachoona kinafaaclick to expand
kama kuna gazeti limeandika basi tutajie ili tufutuatilie bila hivyo inakuwa ngumu kupata habari zaidi
kama kuna gazeti limeandika basi tutajie ili tufutuatilie bila hivyo inakuwa ngumu kupata habari zaidiclick to expand
hata mimi nimefanya kusikia redioni kwenye kipindi cha magazetini rfa may be there is something going on
gazeti lenyewe linaitwa jambo leo ni jipya limeanza hivi karibuni linachapwa kama kawaida ya magazeti ya tanzania dar es salaam na kumilikiwa na 'wajasiriamali'
hapa suala la kuuliza sio kwamba mitihani imevuja au la ila kwa sababu gani imevuja huo ndio mjadala endelevu ambao tukiujadili kwa kirefu tutajua sababu zinazochangia (mwaka hadi mwaka) mitihani kuvuja na nini kifanyike kuzujia uvujaji huo
kama mnavyokumbuka taarifa zilitolewa na serikali kuu kwamba mchakato wa kutafuta ufumbuzi wa utata huu umeanzishwa hata hivyo mpaka sasa serikali kuu haijatamka ni nini kimefanyika na mpaka sasa ni hatua gani zilizokwisha tekelezwa
kwa mtazamo wangu mitihani inavuja na itaendelea kuvuja mpaka siku ambayo tutaacha kumwonea aibu nyani jiladi (au ni giladi) wanasema ukitaka kumchinja nyani usimtazame usoni sisi tunataka kumchinja lakini tunamtazama aibu inatuingia tunamwonea huruma anasepa huo ndio ukweli
ujinga ulioje
mitihani inavuja kwa kuwa hakuna nyenzo za kudhibiti isivuje tatizo la uvujaji wake ni kwamba (i) mitihani inaandaliwa na watu (ii) mitihani inasimamiwa/inalindwa (iii) watu wanaosimamia/kulinda mitihani hiyo wana njaa lakini (iv) hata kama njaa yao ikipatiwa ufumbuzi bado wataendelea kuiba kwa kuwa wana tamaa na kwamba kipato chao za ziada bado ni muhimu kwao kwa kuwa ni kikubwa
kuna msemo kwamba wafanyakazi wa baraza la mitihani huwa wanasheherekea mitihani ya kitaifa inapoanza kwani wengine wanajua kwamba (i) watamalizia nyumba zao na za nyumba ndogo zao (ii) watawapeleka wake zao shopping ulaya (iii) watafanya ufisadi wowote mwingine waupendao kwa kuwa hawajadhibitiwa ipasavyo wasiweze kuiba mitihani hiyo
sasa kwa kuwa tunatambua kwamba tatizo la uvujaji wa mitihani ni watu basi tuangalie ni namna gani ambapo tutaweza kutumia teknolojia ili kuhakikisha kwamba watu hawapati nafasi ya kuiona kuigusa wala kuishuhudia mitihani hiyo pasi na ruksa maalum na kwamba watakaokasimu madaraka ya usimamizi wa mitihani hiyo watakuwa ni watu ambao wamekula kiapo ili mitihani hiyo ikivuja tutaweza kuwaadhibu na kuwawajibisha kumbukeni jambo muhimu hapa ni adhabu na kuwajibishwa
yapo mengine mengi ambayo nitayazungumia hapo baadaye lakini nawaachine uwanja nanyi mchangie nimebuni mfumo ambao tunaweza kuutengeneza sisi wenyewe watanzania kwa kutumia teknolojia rahisi kuweza kudhibiti jambo hili nitaupeleka mfumo huu fursa itakapowadia muda si mrefu ujao kwenye wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi (education and vocational education) ili wahusika waweze kuangalia fursa zitakazotokea ili tuanze mchakato wa kizalendo wa kudhibiti hali hii isitokee tena
suala ni je kuna wazalendo kwenye wizara hii ambao wako tayari kujiunga nami
ps wizi wa mitihani ya kitaifa ni ufisadi hakuna jina lingine tusimwonee haya nyani giladi
sasa isipovuja tutapataje viongozi kama tulionao sasa acheni ivuje tuu ni urithi wa akili mbumbumbu kama za viongozi wetu
magezi acha utani linapoongelewa suala lenye maslahi kwa taifa wizi mtupu so what next
tunapokuwa na watu wanaofaulu mitihani kwa njia za udanganyivu na ujanja ujanja (ufisadi) ndio hao hao watakao kuja kuwa mafisadi papa katika office za umma
tatizo la uvujaji wa mitihani limekuwepo na kila mara linajirudia inabidi kamati ya bunge (elimu) ichukue hatua hata ikibidi waziri mwenye dhamana alazimishwe kujiuzuru ikiwa itathibitika kuwa imevuja na kumekuwepo mwendelezo wa uvujaji wa mitihani
gazeti lenyewe linaitwa jambo leo ni jipya limeanza hivi karibuni linachapwa kama kawaida ya magazeti ya tanzania dar es salaam na kumilikiwa na 'wajasiriamali'click to expand
oyaa kama unaadvertise biashara yako sema tu
hiyo ni kwa sababu wasimazi wenyewe hawajalipwa mshahara kwa muda miezi 17 sasa wafanyaje
ni wizara gani itakuwa makini juu ya hili kila mwaka kuna uzembe huo huo
tumechokaaa | 2017-01-24T04:56:04 | https://www.jamiiforums.com/threads/kweli-mitihani-imevuja.40491/ |
dc mwanga wajasiriamali kimbilieni kudaka fursa za viwanda bagamoyo kamera yangu ' '' var month = [123456789101112] var month2 = [janfebmaraprmayjunjulaugsepoctnovdec] var day = postdatesplit()[2]substring(02) var m = postdatesplit()[1] var y = postdatesplit()[0] for(var u2=0u2
dc mwanga wajasiriamali kimbilieni kudaka fursa za viwanda bagamoyo
mkuu wa wilaya ya bagamoyo mkoani pwani alhaj majid mwanga ametoa rai kwa wanawake wajasiriamali kutumia kazi za mikono yao kuzalisha kwa wingi ili kunufaika na viwanda wilayani humo
aidha amewataka kutumia mikopo wanayopatiwa na halmashauri kwa manufaa ya kuzalisha badala ya kufanyia ufahari mitaani
kwa mujibu wa alhaj mwanga mwanamke ni mipango mbunifu na mdakaji fursa
aliyasema hayo wakati wa uzinduzi wa jukwaa la uwezeshaji chalinze lililoambatana na uchaguzi wa viongozi watakaoongoza kwa mwaka mmoja
alieleza biashara ni ushindani hivyo wanawake wakimbizane na fursa ya viwanda mbalimbali ikiwemo vya kusindika matunda ili kuondokana na umaskini
alhaj mwanga aliwataka wawe wabunifu wa kutengeneza vitu vyenye ubora na kujitangaza pasipo kufanyabiashara kizamani
tumieni mitandao boresheni bidhaa zenu na jitangazeni bila uoga ili mpige hatua alisisitiza
hata hivyomkuu huyo wa wilaya alisema halmashauri zinatoa mikopo ya vijana na wanawake lakini haiwezi kufikia kundi kubwa endapo vikundi vilivyokwisha pewa havirejeshi kwa wakati lengwa
alhaj mwanga aliomba vikundi vinavyonufaika na mikopo hiyo vijenge tabia ya kurejesha mikopo hiyo
nae mbunge wa viti maalum mkoani pwani subira mgalu alikemea tabia ya ubinafsi na badala yake wathubutu kujenga umoja utakaoweza kuwezeshwa kirahisi
alisema taasisi ya uwezeshaji chini ya serikali inatoa udhamini kwa umoja wa vikundina kudhamini kukopa kwenye taasisi za kifedha ikiwemo tanzania posta bank bank ya wanawake twb na nmb
subira aliwaasa wanawake kuacha kujitenga na kuwa wachoyo wa kupeana njia za mafanikio
alisema chalinze ina vikundi vingi vya wanawake na vijana lakini vimekuwa nyuma kuchangamkia maendeleo
inabidi mpate elimu ya kutosha ili mvuke hapo mlipo hata kujitokeza sio kama ilivyo mji wa kibaha na kwinginevikundi ni vichache bidhaa mlizoleta kujitangaza ni kama hamna alisema subira
afisa maendeleo ya jamii chalinze antony nyange alisema wameshatumia mil 200 kuwezesha vikundi vya wanawake na vijana
kati ya fedha hizo mil100 vimekopeshwa vikundi vya akinamama 35 na vikundi 34 vya vijana vimekopeshwa mil100 alisema nyange
nyange alielezea kwamba lengo la halmashauri ya chalinze kwa mwaka ujao wa fedha ni kutenga mil 300 ili kuwesesha makundi hayo
katika uzinduzi wa jukwaa hilo kulifanyika uchaguzi ambapo nyange alimtangaza diana mlaki kuwa mwenyekiti na aisha kombo ni katibu kwa kipindi cha mwaka mmoja ujao | 2019-07-19T15:00:27 | http://www.kamerayangu.co.tz/2017/07/dc-mwanga-wajasiriamali-kimbilieni.html |
kituo cha sheria na haki za binadamu tanzania (lhrc) chatangaza uteuzi wa mkurugenzi mpya eac rfi
tanzania john pombe magufuli haki za binadamu
imechapishwa 29052018 • imehaririwa 29052018 saa 0928 | 2018-12-14T05:49:44 | http://m.sw.rfi.fr/eac/20180529-kituo-cha-sheria-na-haki-za-binadamu-tanzania-lhrc-chatangaza-uteuzi-wa-mkurugenzi-mpya |
pamoja maarifa hangzhou dryair matibabu co ltd
njia za dehumidification
1 baridi dehumidification
hewa ni kilichopozwa kwa chini ya kiwango umande na kisha maji kufupishwa imeondolewa
njia hii ni nzuri kwa masharti kwamba umande ni 8 ~ 10 ℃ au zaidi
2 kubana dehumidification
compress na baridi hewa yenye unyevunyevu kutenganisha maji
njia hii ni nzuri wakati kiasi upepo ni ndogo lakini haifai kwa hali ya kubwa upepo kiasi
3 liquid ngozi dehumidification
lithium chloride dawa ufumbuzi hutumika kunyonya maji
umande uhakika yanapatikana kwa ℃ 20 au hivyo lakini vifaa ni kubwa na ngozi maji lazima kubadilishwa
4wheelaina desiccant dehumidification
nyuzi kauri ya mimba mawakala porous rishai ni kusindika katika asalikama wanariadha kwa uingizaji hewa
muundo wa dehumidification ni rahisi ambayo inaweza kufikia 60 ℃ au chini kupitia mchanganyiko maalum ya pointi umande
hii ni njia ya kutumiwa na jierui
nmp anasimama kwa nmethyl2pirolidoni
tangu nmp ina high kiwango mchemko na shinikizo mvuke chini ya joto la kawaida inaweza kwa urahisi kubanwa na baridi chini ya joto ya kawaida kwa mujibu wa formula ya antoine kupitia tabia yake kurejea kwa nmp inaweza uliofanywa na baridi (mradi wa maji ahueni kiasi ni kuongezeka kama dryer kutolea nje gesi lina maji zaidi)
manufaa ya rafadha voc mkusanyiko
1high utendaji na ufanisi
kwa kutumia high zeolite silika na carbon ulioamilishwa na adsorption uwezo mkubwa inaruhusu vocconcentrator yetu smidigt kutibu aina mbalimbali ya vocs na kufanya kazi chini ya hali tofauti ya utendaji
2capability ya kutibu vocs na uhakika juu ya kiwango
carbon vifaa ina ugumu wa kutibu vocs na uhakika juu ya kiwango kutokana na wake kikomo desorption joto kwa upande mwingine tabia ya zeolite rafadha wetu ni incombustible na high joto upinzani ambayo itawezesha voc yetu concentrator kutumia adsorption hewa na hali ya joto ya juu
voc urahisi polymerized na nishati ya joto (kwa mfano styrene cyclohexanone nk) inaweza kufanywa kutibiwa na highsilica zeolite
4cleanability & uanzishaji na joto matibabu maalum
zeolite wetu rafadha kupitia mchakato calcining umekuja nyenzo zote isokaboni ikiwa ni pamoja na adhesive clogging katika kipengele rotor inaweza kutokea baada ya kipindi fulani cha usebut usiwe na wasiwasi rotor ni washable kwa njia sahihi ya kuondoa kusanyiko dustit ya bora hata hilo zeolite yetu rotor unaweza kutumiwa tena kwa matibabu ya joto kwa mujibu wa mazingira
mfano matumizi ya rafadha voc mkusanyiko
uwezekano kituo / bidhaa mpya chini ya vocs kudhibiti
vocs kutibiwa
automotive / magari mtengenezaji uchoraji kibanda toluini zilini esta alkoholi
chuma samani maker painting kibanda tanuri
uchapishaji dryer
adhesive / magnetic mkanda mtengenezaji coating mchakato usafishaji kitengo ketoni mek cyclohexanone methylisobutylketones nk
kemikali kusafishia mafuta reactor kunukia hidrokaboni asidi organic aldehidi alkoholi
synthetic resini / glue maker plastiki plywood viwanda mchakato styrene aldehidi esta
nusu kondakta kusafisha kitengo alkoholi ketoni amini
muhimu hatua umande kubadilika jedwali | 2020-06-01T19:21:31 | https://www.sinodryair.com/sw/technical-support/common-knowledge/ |
aljazeera walipoenda undercover na kufanya kazi za polisi wa tanzania (video ya mauaji ya albino) | jamiiforums | the home of great thinkers
aljazeera walipoenda undercover na kufanya kazi za polisi wa tanzania (video ya mauaji ya albino)
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by mzee mwanakijiji dec 8 2011
amua mwenyewe tulihitaji aljazeera kwenda this deep
mkuu hatukuhitaji kwasababu polisi wanajua fika nani anahusika na njia zipi wanatumiakwa kifupi hatuna jeshi la polisi kwa ajili ya kulinda usalama wa raia bali kulinda wenye fedha na walio madarakaninatamania aje waaabishe hawa mafisadi wasaini mikataba ya kinyonyaji
ushirikina kama unafanyika mpaka ofisi nyeti kabisa then ni kitu kigumu sana kukikabili kama taifa maana hatuna hiyo will ya kukabiliana na tatizo pengine wanao neemeka pia wapo ndani ya ofisi hizo hizo unless we change our belief systems we are wasting our time tusubiri kuendelea kuabishwa na aljazeera na wengine wengi
nchi hii hatuna usalama wa raia
aljazeera big up
richard mgamba big up
yote hii ni kuonyesha kuwa nchi yetu hainaga jeshi la polisi ila ina polisi wa chama cha majambazi ambao kazi yao ni kutwa kucha wakipambana na vyama vya upinzani kwa visingizio vya intelijensia hii ni aibu kubwa kwa jeshi la polisi tanzania
iwapo chombo cha habari kama aljazeera wameweza kuingia tanzania na kufanya kazi ya upepelezi wa hali ya juu kama huu kwa kutumia mikono bandia ya albino(plastic) na wakaweza kuwanasa wahusika wa janga hilipolisi wetu wanashindwa nini
tunataka igp mwema ajifunze kwa aljazeera na ikiwezekana apeleke baadhi ya majangu wake wakapate semina elekezi toka aljazeera si ndiyo wanayoita polisi jamii
chonde chonde igp mwemaaljazeera wamekurahisishia kazi mwambie na pm wako pinda aache kulialia mbele za watanzania kuhusu mauaji ya albino anatakiwa achukue maamuzi magumu kama walivo onyesha aljazeera
once again big up aljazeera
tanzania kila mtu akitaka jambo lolote lifanyike anafanya polisi walipewa hongo kwa hili
mkuu hatukuhitaji kwasababu polisi wanajua fika nani anahusika na njia zipi wanatumiakwa kifupi hatuna jeshi la polisi kwa ajili ya kulinda usalama wa raia bali kulinda wenye fedha na walio madarakaninatamania aje waaabishe hawa mafisadi wasaini mikataba ya kinyonyajiclick to expand
ili tuwe na jeshi la polisi lazima kwanza tumtafute raisaljaeera wamefanya kazi ya polisi sasa tutafute chombo kingine kufanya kazi ya raismungu ibariki tanzania
what i also found interesting ni kuwa mwandishi wa nigeria ndiye aliyeenda anda cover ukiona vick mtetema sidhani kama kuna waandishi wetu wakubwa ambao waliwahi kwenda kuzama kama alivyofanya huyu jamaa au hatuna vifaa na uwezo hadi tuwezeshwe
chanzo cha watu kuamini ushirikina ni nini
huyu bwana mtangazaji anasema kisa watu are uneducated hivi tanzania wale waliosoma hawaamini ushirikina manake nimekumbuka kisa cha chenge na ungaunga bungeni
mhh ama kweli poleni ndugu zangu albino sio mungu aliyewapenda zaidi kwa wale mliotangulia kupitia vifo vya aibu kiasi hiki
wengi wanaweza kushauri kuliombea taifa hili nakumbuka miaka kadhaa rafiki zangu huko ughaibuni waliniambia waafrika tunapenda sana kuomba na jinsi tunavyozidi kuomba shida ndipo zinavyozidi kuongezeka ukiangali haya maneno yana mantiki sio kuondoa uwepo wa mungu ila ni waafrika kutotekeleza wajibu wao na kupenda tu kupokea vilivyotayari tunaacha kuweka mikakati na mipango yakukabiliana na maisha/majanga/nk tunabakia kusema kuwa tunamwachia mungu ndio maana utawasikia viongozi wa dini na serikali wakihitaji taifa kuombewa kwanini wasiinuke na kumshukuru mungu kwa akili alizowapa nchi aliyowapa na vitendea kazi alivyowapa na kunuia kwa nia moja kuingia kazini
huenda mungu hasikilizi blabla inatupasa kufanya homework
our police force is a total failure sometimes i do not blame them at all its the system which they are operating under when you work under the guidance of someone else who only issue al shabab threats when he hears people want to air their views to the government you know we have a long way to go the solution is to separate the police force from the executive interference these people operate according to what they are being told to do again when you look at what they earn its makes you shudder if at all they are have any motivation to work hard that is the situation we find ourselves in 50 years after independence
maujai ya albino mapambano yake ni ya uongo mtupu viongozi anajidai wanalia uongo kiundani wanayakubalitunakumbuka mwandishi a bbc alifichua mengi serikali ilichukua hatua gani wao ni washirikina wakubwa wanatoa vibali leo utashangaa kuona jijini au manispaa katikati kuna duara la ushirikina serikaliminaangalia kazi yao kukamata wananchi wanojitafutia kwa kuuza yeboyebo
jamani hii nchi imeshauzwa hawezekani nchi ikawa uhozo mtupu
me nachotaka kuuliza serikali inafanya ninimbona kwenye sherehe na posho tunawasikia saaana ila kwenye mambo mazito wote kimya kweli ndo miaka 50 ya uhuru kweli big up aljazeer
ukifikiria kwa makini nchi yetu ilipofikia sasa hivi lazima machozi yakutoke
hongera aljazeera
ningetamani kuona pia tv zetu zikienda mbele na kufanya vitu kama hivi lakini yanaoendelea kwenye vyumba vya habari vya tv ( na vyombo vingine) vya habari hapa kwetu sio vitu vya msingi sana
tv zetu zimejaa thamthilia za kila mamna ambazo pamoja na yaliyomo kutokuw aya madili ya kitanzania lakini hayamsaidii mtazamanji wa kawaida na jamii kwa jumla
ukiangalia tv zetu hasa siku za jumapili ni kikwazo kwetu wengine kutwa nzima inakatika hakuna taarifa ya habari isipokuwa kinachjofanyika ni kubadili tamthlia moja kwenda nyingine zikiambatana na muziki
wakati hayo yakiendelea nawapongeza aljazeera lakini kwetu sisi hakuna jitihada za makusudi tunaozfanya kuwasiadia albino mwezi uliopita mahakama kuu kanda ya bukoba iliyokuw ikeindesha vikao vyake wilayani biharamulo ilimwacha mtuhumiwa aliyekuwa akikabiliwa na shitaka la jaribi la kumwua albino bi mariam stanford wa wilaya ngara
kilichotokea kama inavyofanyika kwenye kesi nyingine zinazosimamiwa na ofisi ya mwendesha mashitaka wa serikali dpp ni akuandaa ushahdi mbovu na hivyo kushindwa katia kesi nyingi inazofikisha mahakamani
pamoja na jitihada za aljazeera wauaji haw awa albino wataendelea kutamba kwa kuwa wadau wakuu polisi na waendesha mahsitaka wanashindwa kutekeleza wajibu wao na kuwaacha wanaofanya vitendo hivyo kutamba mitaani
ours is a police force and force is all what they know
going under cover to unearth albino killers is of no interest intelijensia yao ni kujua maandamano ya chadema yataambatana na al shabaab ama la
what i also found interesting ni kuwa mwandishi wa nigeria ndiye aliyeenda anda cover ukiona vick mtetema sidhani kama kuna waandishi wetu wakubwa ambao waliwahi kwenda kuzama kama alivyofanya huyu jamaa au hatuna vifaa na uwezo hadi tuwezeshweclick to expand
yeah tukiwezeshwa tunaweza bottomline is we don't have the will to do it how could we go about doing it
huo ni mwanzo ni mwanzo tu kwa aljazeera kufichua mambo mengi kwa bara hili ni bora serikali ikabadilika na vyombo vyake vya ulinzi vikaanza kufanya kazi badala ya siasa suluhu kwa nchi yetu ni kubadili mfumo mzima wa utawala na hili lawezekana kwa kuiondoa ccm madarakani la sivyo kelele zetu ni bure | 2016-10-21T11:37:08 | http://www.jamiiforums.com/threads/al-jazeera-walipoenda-undercover-na-kufanya-kazi-za-polisi-wa-tanzania-video-ya-mauaji-ya-albino.200816/ |
drc watu 22 ndio walifariki kutokana na ebola badala ya 27 afrika rfi
uchambuzi na makala 15/10 04h30 gmt
uchambuzi na makala 15/10 05h30 gmt
na rfi imechapishwa 25052018 imehaririwa 25052018 saa 1455
gari la wagonjwa likimsafirisha mgonjwa wa ebola mbandaka tarehe 22 mei 2018 afp junior d kannah
kesi zaidi ya 50 za maambukizi ya ugonjwa hatari wa ebola na vifo 22 vimeripotiwa kaskazinimagharibi mwa jamhuri ya kidemokrasia ya congo kulingana na ripoti mpya ya serikali ya drc iliyotolewa ijumaa wiki hii na hivyo kupunguza idadi ya awali ambapo ilidaiwa zaidi ya watu 27 walifariki dunia
kwa jumla kesi 52 za maambukizi ya ugonjwa hatari wa ebola zimeripotiwa katika jimbo hilo ikiwa ni pamoja na 31 ambazo zimethibitishwa 13 ambzo zina dalili ya ugonjwa huo na 8 ambazo zinashukiwa kuwa na dalili ya ugonjwa huo imesema taarifa ya wizara ya afya ya drc
idadi ya vifo ni watu 22 wizara ya afya imebaini huku ikipunguza idadi kesi za maambukizi (kutoka 58 hadi 52) na idadi ya vifo (kutoka 27 hadi 22)
kwa upande wa serikali ya drc tofauti hii inaelezwa na ukweli kwamba vifo vingine vilidaiwa kimakosa kuwa vilisababishwa na ebola wakati ambapo baadhi ya kesi kwenye vipimo vya maabara hazikuonyesha dalili zozote za virusi vya ebola
mlipuko wa ebola ulizuka machi 8 katika eneo la bikoro kilomita 600 kaskazini mwa mji mkuu wa drc kinshasa halafu uliendelea kuenea kwa mji wa mbandaka ulio na watu milioni 12
kampeni ya chanjo inayolenga wafanyakazi wa afya ambayo ilianza tangu jumatatu wiki hii imekua ikiendelea nchini humo tangu jumatatu
shirika la umoja wa mataifa kwa ajili ya watoto (unicef) limehakikisha kwamba limejitolea kwa watoto wa shule katika kupambana dhidi ya kuenea kwa janga la ebola katika jimbo hilo
who kuna hatari maambukizi ya ebola
imani potufu zatatiza zoezi la utoaji
kesi mbili mpya za ugonjwa wa ebola
ebola mechi kati ya nigeria na drc
vifo kutokana na mlipuko wa ebola
kampeni ya kutoa chanjo ya kudhibiti
tume ya kuchunguza yaliyotendwa na utawala wa jammeh kuzinduliwa
idadi ya watu wanaoambukizwa virusi vya ebola yaendelea kuongezeka mashariki mwa drc
ugandacote d'ivoireuchaguzisiasa
matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa yaanza kutangazwa cote d'ivoire
nigeriasiasahaki
buhari achukua hatua mpya tata dhidi ya rushwa
drcjoseph kabilalubumbashi
maandamano ya upinzani yapigwa marufuku nchini drc
rwandala francophonelouise mushikiwabo
kagame asema ushindi wa mushikiwabo ni wa kihistoria kwa wanyarwanda
nigeriasiasausalama
rais wa zamani wa nigeria obasanjo amuunga mkono atikou aboubacar
upinzani waitisha maandamano dhidi ya mchakato wa uchaguzi drc
miili ya watu 77 yapatikana katika kaburi la pamoja sirte libya
13/10/2018 rwanda paul kagame | 2018-10-15T13:16:41 | http://sw.rfi.fr/afrika/20180525-drc-watu-22-ndio-walifariki-kutokana-na-ebola-badala-ya-27 |
je ninahitaji visa ya dubai hatua za kupata ajira 🥇
je ninahitaji visa ya dubai 🥇
kazi ya hoteli nchini sri lanka mwongozo wa kazi
ajira ya usalama huko dubai kwa watafuta kazi 🥇
iliyochapishwa na dubai city company at aprili 22 2018
je ninahitaji visa kwa dubai hii ni swali unapaswa kujibu kuhamia dubai na yetu mwongozo wa kina kwa wahamiaji na uzoefu wa miaka katika soko la ajira sasa imeweka mwongozo wa kina kuhusu jinsi ya kupata kazi dubai kuna wanaotafuta kazi wengi wa kimataifa wote wanatafuta kupata kazi huko dubai na mwongozo wetu wa kina utaongeza nafasi yako kuna vitu vingi sana unahitaji kufuata kwa ujumla kutafuta kazi katika mashariki ya kati itachukua jitihada zako na wakati timu yetu imeandaa kwa mwongozo wa kina sana
kwa kuzingatia hili timu yetu inasaidia wataalam mpya wa kutambua uae kwa ujumla utahitaji kutoka maelezo ya z hadi unapohamia dubai kwa njia zote kama ungependa kuwa mgeni huko mashariki ya kati hakika utahitaji kufuata yetu mwongozo wa hatua ya 10 kwa kutafuta na kuhamia dubai timu yetu daima kutoa mkono kwa wanaotafuta kazi huko dubai abu dhabi na sharjah
kuna mambo kadhaa vipande vya habari vya zamani mkondoni hasa kwenye blogi za zamani jinsi ya kuhamia dubai kwa kazi timu yetu ya wataalamu ni kuangalia mbele kukusaidia kwa kutafuta kazi yako kampuni ya jiji la dubai ilifanikiwa kupata habari juu ya utaftaji wa kazi huko dubai ili mradi jinsi ya kupata visa kutoka kwa serikali ya uae kwa kuongeza jinsi ya kupanga ndege na jinsi ya kupata gorofa ya kuishi katika falme za kiarabu mwongozo huu wa kina ni hasa kwa watu ambao wanaishi nje ya nchi na wanatafuta kazi katika uae
hatua ya no1 kujua dubai kuongoza
dubai ni moja wapo ya maeneo duniani hasa kwa wanaotafuta kazi unahitaji kujua ni wapi jiji la dubai liko je ni maarufu zaidi katika mashariki ya kati je ni sekta ya hoteli au mafuta na gesi muundo wetu wote wa mji kwa upande mwingine unahitaji kujua jiji la dubai unajua vizuri urithi wa kitamaduni wa kushangaza isitoshe watu wa eneo la mashariki ya kati ni kumkaribisha kila mgeni kwa uae na bila shaka watafuta wa kazi wa kiislamu kutoka pakistani katika njia ya ukarimu wa dubai ni etiquette ya utamaduni kwa wageni wapya kitu kingine unachohitaji kujua ni kwamba uae iko juu
dubai ni dini ya kiislam na kila expat mpya inapaswa kupitisha mtindo wa jua wa kuzunguka kwa mwaka bonyeza kwenye picha hapa chini na ujue unahitaji nini kujua kuhusu dubai je ninahitaji visa ya dubai kwa kweli yote inategemea wapi wewe hutoka wengi wa watu kutoka ulaya na canada wanapata visa vigumu sana ni kwa wahamiaji wahindi
hatua ya no 2 uae na maelezo ya visa
kwa usawa muhimu kujua dubai ni kujua ikiwa unastahili kuingia falme za kiarabu kwa upande mwingine kabla hata hata kupanga safari ya uae lazima uangalie pasipoti yako na mahitaji ya visa wakati huo huo itakuwa harakati smart kuwa na uhakika zaidi ya asilimia mia kwamba unaweza kusafiri salama
je ninahitaji visa vya dubai na emirates ndio unahitaji kuwa na visa tayari mikononi mwako wakati unatua nchini uae zaidi ya hayo unapaswa kuomba na uangalie habari za uae visa ndege ya emirates imeweka maelezo yote kwako kwa hiyo unapaswa kuisoma kwa uangalifu sana na ujue nini unahitaji kwa usafiri
zaidi ya nchi inahitajika kuwa na visa halali ikiwa inahitajika na kuwa na pasipoti halali kwa kiwango cha chini cha miezi sita kwa upande mwingine kuna pia wamiliki wa pasi zisizo za kawaida kama wanasiasa kwa sababu hii katika hatua hii daima hakikisha una kazi nzuri ya kazi tafadhali angalia nyaraka za kusafiri zinahitajika kuhamia dubai kama ilivyoelezwa emirates pia wana mahitaji yao ya kuingia tofauti kwa wastafuta kazi chini ya hali hizo katika hatua hii tafadhali angalia nje pia mahojiano katika mahojiano huko dubai unachohitaji kuomba visa inastahili kuingia uae pia soma pasipoti nyingine mahitaji ya uae
hatua ya no 3 angalia aina ya visa
katika hatua no3 tunayohitaji kujua aina ya visa tunaweza kuwa nayo kwa mfano tunaweza kuwa na watalii wa muda mrefu wa kuingia moja kwa siku kwa 90 na juu ya kufanya kazi ya visa huko dubai vile vile siku za 30 na siku za 14 kwa madhumuni rahisi ya likizo unapopewa alama hizi tembelea serikaliea portal rasmi kuwa na kuangalia ni visa gani unaweza kupata na nini kinahusu ndugu unaweza kuwa na njia ya mkato kwa muda wa visa
je ninapaswa kuwa na pater gani au je ninahitaji visa ya dubai kabla sijaenda maswali hayo yote unaweza kupata na wavuti ya serikaliae una chaguzi kadhaa na unapaswa kuwa na kipande cha habari ya kina hasa bora ni kutoka kwa vyanzo nzuri vya kuaminika na hakuna kitu cha kuaminika zaidi kuliko serikali ya uae unaweza pia kupata maelezo mengine kuhusiana na kazi yako ya kutafuta dubai na abu dhabi kwa sababu ya tovuti ya serikaliae ni kusaidia wageni wapya na mba kukaa na kufanya kazi katika uae
visa vya watalii wa muda mrefu sana ilipendekeza kwa watokaji mpya
visa ya utalii ya siku ya 30 ambayo inaweza kupanuliwa kwa siku 40 haipendekezi kwa wanaotafuta kazi
visa vya huduma ya siku ya 14 tu kwa likizo sio kwa wageni
siku ya 30 tembelea visa ambayo inaweza kupanuliwa kwa siku 30
hatua ya no4 sasa unaweza kuandika visa kabla ya kuhamia dubai
sawa sasa tunajua ikiwa unaweza kuingia dubai unajua ni nini kinachohusu visa hata kwa expat mwanamke hatua inayofuata tunapaswa kufuata kitabu visa cha kuingia falme za kiarabu kampuni yetu alifanya utafiti mrefu juu ya hilo na mfumo rahisi zaidi wa uhifadhi ni mfumo wa visa wa etihad uae katika upande mzuri ikiwa unatoka nchi kutoka uae orodha ya serikali kwa ujumla hauitaji visa kabla ya kuingia uae kwa mfano ikiwa unatua uwanja wa ndege wa kimataifa wa abu dhabi katika dakika chache wafanyakazi wa uwanja wa ndege watafanya endelea na mchakato wa uhamiaji kwako na kwa muda mfupi utapata visa vya kuwasili
wakati mpango wa kuruka etihad je ninahitaji a visa vya dubai kwa kuwa unapanga tu kuruka hauitaji kuwa na visa wakati kitabu kitabu ndege basi unahitaji yake lakini kwa upande mzuri unaweza kuifanya mkondoni hilo sio shida hata kuanza kazi za usalama katika uae
lakini pia uangalie tovuti zingine kuwa smart na kulinganisha bei
kuhamia dubai dubai etihad uae ukurasa wa kurasa za visa
airarabia nyaraka na visa
kiarabu huduma za visa kabla ya kuruka dubai
flydubai kuhamia dubai na msaada wa visa kwa uae
hatua ya no5 pata nafasi ya kumiliki dubai
kabla ya kwenda dubai unahitaji kutafuta na kuzingatia vyumba vinavyohudumiwa huko dubai kwa sababu hii unapaswa kutafuta chumba cha bei rahisi sana kwa kuongezea chumba cha wasaa sio aina utapatikana kuchukua kwa kweli unahitaji kuhama bila kuchukua familia yako mwishowe watatoa matumizi tu mwanzoni kabisa unahitaji kuokoa pesa wakati unahamia dubai hasa kutoka nchi kama vile malaysia au india tumia kidogo iwezekanavyo kwa gorofa au chumba unahitaji kutafuta angalau malazi ya pamoja unaweza kupiga wamiliki wa gorofa au wasiliana na barua pepe hakikisha utakuwa na kila kitu kilichopo kabla utaenda uae pia vidokezo vyema ni kutafuta chumba huko abu dhabi na sharia kuna wengi kujaa nafuu kwa kukodisha
je ninahitaji visa kwa dubai ndio utahitaji na kuna ncha ili kupata visa ya haraka ya kufanya kazi unaweza tumia kazi za usimamizi katika uae kwa sababu hivi huongezeka kwa kupata malazi mazuri kwa sababu tu makampuni yatawekeza fedha nyingi zaidi kukuajiri na ukizingatia hii fursa za malazi mpya zitakuwa mpango wa kweli
hatua ya no 6 kuhamia dubai na kukimbia kitabu cha kukimbia kwenda dubai
sote tunajua kuwa ndege sio rahisi kwa wanaotafuta kazi mpya kwa hivyo jaribu kuweka matumizi yako kuwa ya chini kadri uwezavyo pata ndege za punguzo kwenda dubai kwa upande mwingine dubai bado ndio msingi kuu kwa nafasi za kazi za mashariki ya kati lakini unaweza kutafuta ndege pia kwa abu dhabi kuhamia dubai daima ni ghali haijalishi ni muda gani utakuwa unatafuta sehemu za ushauri katika upande hasi utahitaji kuokoa pesa kwa sababu wakati wewe nanga katika uae utahitaji kuiweka mahali kuishi katika falme za kiarabu sio mpango wa bei nafuu kuchukua
hatua nambari ya 7 imefika tu sasa itapanda simu
tangu umefika dubai airport unahitaji kupata tayari simu yako ya mkononi kwenda kwa kutafuta kazi kwa sababu hii tunawaongoza kidogo katika falme za kiarabu ni waendeshaji wawili wa huduma za simu kuu zinapatikana kwa wahamiaji wote etisalat na du zote mbili ni nzuri kwa wewe kama mgeni mpya unapohamia dubai yote inategemea kile unahitaji kusimamia kupata huduma ya simu kabla ya kulipwa
hakuna tofauti nyingi kuhusu simu ya rununu katika uae tofauti kuu kati ya waendeshaji wawili ni kwamba mtoaji wa simu ya run inatoza watumiaji tu na pili na kwa upande mwingine etisalat inashtaki kwa kila dakika kwa kila mtumiaji lakini hauitaji kuwa na wasiwasi waendeshaji wote wa simu wamedhibitiwa na huokoa kwa watumiaji kidokezo kingine ni kwamba wanafanya kazi sio tu katika uae kuna pia mengi ya wafanyakazi wa india nchini kuwait ambaye sasa anatumia hiyo
kuwa na simu je ninahitaji visa kwa dubai ndio hapa una waendeshaji kuu wa 2
simu za mkononi za etisalat huko dubai
du simu ya mkononi huko dubai
hatua ya no8 kuandaa barua yako ya rudia na jalada kwa dubai
wasimamizi wa kuajiri huko dubai kutafuta kila cv lakini kwa upande mbaya karibu na 25 pili kwenye kila endelea kwa hivyo unahitaji kuwa na resume ya kushangaza na isiyo na doa ya kufafanua maelezo yako ya kitaalam kwa maneno machache cv yako haipaswi kuwa zaidi ya kurasa za 23 katika resume yako kamili lazima ni pamoja na maelezo ya kitaalam tu ya msingi kuanza tena kuandika kuchapishwa na forbescom kuna majadiliano makubwa kote wastaafu wa kazi katika 2018 na 2019 nini kifanyike katika kuandika tena na nini kisichopaswa baadaye katika makala hii
lakini kuna baadhi ya tofauti katika kuandika cv kwa mfano kama wewe ni kuomba nafasi ya ngazi ya juu huko dubai kuna njia ya kipekee kwa kila wawindaji wa kazi kwa sehemu kubwa ikiwa hali kwa kazi inahitajika unapaswa kupanua resume yako hadi kurasa za 3 mara kwa mara katika baadhi ya nchi ulimwenguni kuwa na njia yao wenyewe ya kuunda wasomaji baadhi ya cv inayozungumza kwa ujumla ni fupi sana unapaswa pia kuwa na kuangalia forbes katika mashariki ya kati resume kamili mwongozo kwa wanaotafuta kazi
kwa upande mwingine unaweza kuajiri watendaji wa kitaaluma kwa kuandika cv kwa mfano waandishi wa cv ya watuperhour unaweza kuajiri karibu $ 30 kwa mwandishi mzuri sana wa cv lakini ikiwa ni njia kubwa sana kwako unaweza pata cv mpya chini ya $ 5 kwenye fiverrcom kuna njia nyingi za kupata cv yako lakini unaweza kuiandika mwenyewe chini unayo independentcouk mwongozo wa kina jinsi ya kufanya hivyo kwa njia sahihi
hatua ya no9 kujenga maelezo ya kijamii
kabla ya kwenda kwa hatua inayofuata na anza kuhamia dubai unahitaji kuunda maelezo mafupi ya kijamii kampuni yetu iliunda orodha kamili muda mrefu kama maelezo ya kina kwa kila portal ya kuajiri kwa kuongezea tumeiweka kampuni za media za kijamii za dubai zilizokadiriwa zaidi ambapo unahitaji kuanza kuunda wasifu wako mwenyewe hakuna uchawi muhimu katika kazi yako ya kutafuta wageni kwa hatua hii unahitaji kufanya maelezo mafupi sana kwenye kila tovuti kwa hiyo fanya haki na uende mwisho wa pili mchakato katika kutafuta kazi yako je ninahitaji visa ya dubai hata kwenye linkedin
naam kunaweza kupata makampuni mengi kwa mfano emirates group inaajiri juu ya linkedin kwa upande mwingine makampuni ya magari kuangalia kwa expats karibu kuna fursa ambazo hazina mwisho kwa mtu yeyote kwa hivyo kampuni yetu inashauri wanaotafuta kazi kuwa na wasifu wenye nguvu sana kwa sababu kwa ukweli unaweza kujiuliza je ninahitaji visa kwenda dubai na basi fursa inakuja na unaweza kuachwa na chochote
hatua ya no10 kutumia kampuni ya dubai city
dubai city company tuko hapa kukusaidia kuhamia dubai na ajabu yetu huduma za ajira utakuwa dhahiri kazi ya ndoto nchini uae kwa kweli lengo letu ni kukusaidia kuwekwa dubai lengo letu la mwisho ni kusimamia utaftaji wa kazi kwako lakini tunapata tumaini hilo utatumia huduma yetu na utapenda kampuni yetu huduma tunazotoa zinasaidia sana kwa kweli wote ni bure
yetu inayojulikana kampuni dubai kwa wafanyakazi wa kimataifa kusaidia tayari zaidi ya maelfu hamsini ya wageni wapya kuwa mfanyakazi kutoa vidokezo vya bure na majibu kwa mfano je ninahitaji visa kwenda dubai au jinsi ya kupata kazi huko dubai na tovuti sahihi ya kazi ya legit yote ambayo tunaweza kusimamia kwa ajili yako
unganisha na waajiriwa na wasimamizi wa kukodisha
linkedin anayo jamii kubwa ya kuajiri ndani ya mtandao wa media ya kijamii unaweza kuungana na waajiri njia isiyo ya moja kwa moja kwa upande mwingine kutoka mtazamo wa mtafiti wa dubai ni njia bora ya kupata kazi kutumia huduma yetu vizuri kukusaidia kuunganisha na watumishi wa kukodisha na huduma zetu unaweza kuungana na watendaji zaidi wa waajiriwa wa 5000 katika dubai city kwa kweli unapaswa kuungana na ulimwengu wa waajiri wa media ya kijamii kutafuta kazi mpya kwa neno la wakuu wa shirika ni njia nzuri sana
kwa huduma yetu ya linkedin unaweza kuboresha kazi yako mara mbili nafasi kutafuta nafasi nzuri za kazi katika emirates kwa papo hii kwa muda mrefu kama unatafuta kikamilifu mpya kazi au fursa ya kazi au tu kuweka kazi yako wazi ndani ya uae
vikundi vya whatsapp kwa kazi dubai
kwa kweli unaweza kutafuta kazi kushangaza katika mashariki ya kati jiunge na vikundi vya whatsapp mapema ongeza nambari yako ya rununu kwa mameneja wa kuajiri ungana na wanaotafuta kazi wengine watoa huduma na watendaji wa kitaalam kwa ujumla ni nani anayehimizwa sana kwa kupata kazi katika falme za kiarabu
kampuni yetu iliunda vikundi kadhaa vya wanaotafuta kazi hadi wakati huu whatsapp vikundi vichache lakini tuna matumaini kuwa utaweza kutuma ombi lako kwa waajiri tena zaidi ya hayo timu yetu ya kuajiri itakuwa zaidi ya furaha kukusaidia kupata kazi huko saudi arabia ukipokea ofa ya kazi kwenye moja ya vikundi vyetu kwa hivyo kwa sasa tunangojea maelezo yako ya kitaalam kwa mtazamo wako uzoefu wa kibinafsi wa wateja tafadhali usichapishe maoni ya barua taka
tuma resume kwa mashirika ya uajiri huko dubai
kampuni ya dubai city kwa jambo moja imeanzisha kampuni zote za kuajiri dubai sasa unaweza kutuma cv yako kwa makampuni ya juu ya kuajiriwa huko dubai unaweza pia kuangalia ambapo ni msingi kukusaidia kuajiriwa hata kwa kasi tumeweka nambari za barua pepe na simu kwa upande mzuri ikiwa unatumia orodha hii ya mawakala wa ajira kwa usahihi bila shaka kukusaidia kupata kazi ya ndoto katika falme za kiarabu bila kuchelewa unahitaji kuboresha waajiri na kuwaajiri mameneja kwamba wewe ni kufungua fursa mpya za kazi huko dubai
hatua za kupata ajira kama mtaalam
je ninahitaji visa ya dubai hatua za kupata ajira kama mtaalam natumai kuwa unayo mwongozo wa kina wa kufanya kazi huko dubai je ninahitaji visa ya dubai kutoka hatua za az hadi kupata ajira kama mhamasishaji tafuta jinsi unahitaji kabisa kuwa na visa ndege na malazi ya uae natumaini yote hayo vipande vya habari toa habari za kutosha kwa sababu tunayo mengi zaidi ya kutoa usisahau unaweza kupata kazi katika makampuni ya mabenki na fedha na wao kutoa kibali visa kazi katika uae
kampuni ya jiji la dubai sasa inapeana kazi nzuri ya kituo cha kazi huko dubai timu yetu iliamua kuongeza habari kwa kila lugha yetu dubai inatangaza kwa hivyo ukiwa na hili akilini sasa unaweza kupata miongozo vidokezo na ajira katika falme za kiarabu na lugha yako mwenyewe | 2019-10-17T13:38:48 | https://www.dubaicitycompany.com/sw/kufanya-i-haja-visa-kwa-dubai/ |
pressreader taifa leo 20181209 18 wauawa na wafuasi wa kundi la wapiganaji la adf
18 wauawa na wafuasi wa kundi la wapiganaji la adf
beni jamhuri ya kidemokrasia ya congo (drc)
taifa leo 20181209 habari za afrika na dunia na mashirika
watu 18 waliuawa na wafuasi wa kundi moja la wapiganaji mashariki kwa jamhuri ya kidemokrasia ya congo (drc) msemaji mmoja wa jeshi la nchi hiyo alisema
shambulio hilo lilitekelezwa ijumaa jioni katika eneo hilo ambalo limeathirika zaidi na maradhi hatari ya ebola
watu 12 walifariki katika kitongoji cha mangolikene viungano mwa mji wa beni kivu kaskazini huku wengine sita wakiuawa majira ya usiku katika eneo la paida meya nyonyi masumbuko bwanakana aliwaambia wanahabari
msemaji wa jeshi katika eneo hilo mak hazukay alisema wanashuku mauaji hayo yalitekelezwa na wapiganaji wa kundi la waasi la adf
mauaji ya watu watano katika eneo la paida yalitokea wakati ambapo wafuasi wa kundi hili walijaribu kuvamia kambi ya kijeshi tumeanzisha operesheni kali ya kuwasaka wapiganaji hao kapteni hazukay alisema
na mwakilishi wa kundi moja la kutetea haki za umma katika eneo la paida alisema milipuko ilisikika eneo la paida usiku wa kuamkia ijumaa saa chache kabla ya mauaji hayo kutekelezwa
serikali imekuwa ikilaumu kundi hilo kwa visa vya mauaji wizi wa kimabavu na utekaji nyara katika jimbo hilo la kivu kaskazini hata hivyo nyakati fulani washambuliaji halisi huwa hawajulikani
kundi la adf (allied demokratic forces) ni kundi la kiislamu lenye asili yake nchini uganda ambalo uongozi wake haujulikani japo limewaua mamia ya watu drc tangu mwaka wa 2014
lakini wachanganuzi wanasema wafusi wa adf hutekeleza mashambulio katika eneo hilo kwa malengo mbalimbali mashambulio hayo yamelemaza juhudu za serikali za kupambana na kuenea kwa maradhi ya ebola
kufikia sasa inaaminika kuwa watu 471 wameambukizwa huku 273 wakifariki kutokana
na ugonjwa huo hatari
wizara ya afya ya drc ilitangaza watu wengine 13 waliambukizwa maradhi hayo ijumaa pekee hii ni idadi kubwa zaidi ya
watu kuambukizwa kwa siku moja tangu mkurupuko wa ugonjwa huo kutangazwa rasmi mnamo agosti mwaka huu
mashambulio ya ijumaa yalijiri siku moja baada ya mgombeaji urais wa upinzani martin fayulu kuzuru mji wa beni kuzindua kampeni yake kuelekea uchaguzi utakaofanyika mwishoni mwa mwezi huu
bw fayulu ni miongoni mwa wagombeaji 21 wanaowania nafasi ya kutwaa kiti cha urais kuchukua nafasi ya joseph kabila ambaye ameongoza taifa hilo tangu mwaka wa 2001
mauaji ya watu watano katika eneo la paida yalitokea wakati ambapo wafuasi wa kundi hili walijaribu kuvamia kambi ya kijeshi msemaji wa jeshi mak hazukay
picha/ afp
wafuasi wa kiongozi wa upinzani nchini dr congo martin fayulu waonyesha furaha kukutana naye wakati wa kampeni za urais je ya jiji la kinshasa wiki iliyopita mashambulio ya ijumaa yanajiri siku moja baada ya fayulu kuzuru mji wa beni | 2018-12-16T12:00:36 | https://www.pressreader.com/kenya/taifa-leo/20181209/281861529585715 |
apples red fuji china manufacturers & suppliers & factory
apples red fuji mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china
(jumla ya 24 bidhaa kwa apples red fuji)
apples red fuji apples red delicious futa apple fuji apples safi fuji apple fujo apple delicious red red fuji apple apple ladha | 2020-07-14T09:34:02 | http://sw.fuyuanfv.com/dp-apples-red-fuji.html |
mbuta nanga blogmagazine/ since 2011 top in town' by flora lyimo ~ marehem tayson aagwa ipasavyo 'watanzania wenzangu mmetisha'' poleni sana kwa msiba na mungu awepeni nguvu za uvumilivu 'amen' ona watu walivyo na majonzi''
by flora lyimo ~ marehem tayson aagwa ipasavyo 'watanzania wenzangu mmetisha'' poleni sana kwa msiba na mungu awepeni nguvu za uvumilivu 'amen' ona watu walivyo na majonzi''
mwali wa marahem ukiwa upo kwenye geneza''alikuja tanzania akiwa anaongea arudishwa kwao kenya akiwa haongei ' kweli kifo kiboko chetu'' jamani ndugu zangu watanzania wenzangu asanteni kwa umoja mlio onyesha kwa kuhakikisha wenzetu kule kenya nao watafurahi kwakuona mlivyo hakikisha kipenzi chao karudi kwenye makao yake ya milele salama'' (kweli mmetishaaa) wakenya nao watajua tanzania tunaweza na tunajali '' mbarikiwe sana'' rip tyson 'utakumbukwa milele na kuliliwa na kila mtu''ona mimi flora lyimo sikujui sijawahi hata kukusikia hii ndiyo mara yangu ya kwanza ''lakini nimeliaje 'nimebaki na simanzi hasa kuona ulivyo kufa gafla ''i feel you monalisasonia na da'mboni 'of the mboni show' poleni sana'' na wote pia mliopatwa na msiba huu'' kifo nichetu sote''hatujui lini nikujiweka tiyari tu''every day is special so make the most of ityou could get a life ending illness au hata ajali kama tyason tomorrow so make the most of everyday 'life is only bad if you make it bad'' rip wote mnaotutangulia amen''
poleni sana watu wangu ''yani hapa na mimi machozi yanitiririka'' so sad''
tupo pamoja wapenzi wangupoleni sana 'mungu azidi kuwapeni nguvu '' mama na mwana' the bongo movie super star monalisa ambae alikuwa ni mke wa marahem akiwa na mwanae sonia'' i feel you mpenzi wangu '' mungu azidi kukupa nguvu za uvumilivu ''
pole sana mpenzi''
watu wengi wamebakia wakitiririsha machozi tu''poleni sana''
kulia ni mkurujenzi wa kipindi cha the mboni show''da'mboni mwasimba akiwa kwenye majonzi makubwa kwani mwajua aliondokewa na mwenzake tyson gafla na kumuachia simanzi kubwa kwani kuna mengi ya kazi zao walikuwa wamezipanga na sasa tyson kaondoka bila ya kazi hizo kufanyika'' mungu umpokee pema apumzike kwa amani na kuwapa wafiwa wote nguvu za uvumilivu ''amen''asanteni sana kwa picha wapeperushaji wetu huko tanzaniafollowflora lyimo fashion police blog'
anonymous5 june 2014 at 0242asante flora lyimo 'umesema ukweli ''wametisha''' kenya itajua tanzania tunajali'''replydeleteanonymous6 june 2014 at 0312florah mama hivi huyo maimatha haoni aibu kwenye msiba kujipodoa hivo na makope kama brush la chachandureplydeletewwwfloralyimoblogspotcom7 june 2014 at 1738anonymous 0312hahahaa'umeona na wewe eee'yani mimi nilishangaa'' hakuna kulia mtu apo ''uwiii''kweli aibu''' mimi naona alipotea njia ya kwenye nyama choma party'' replydeleteadd commentload more | 2017-06-28T08:54:51 | http://missfbknitwearlyimo.blogspot.com/2014/06/by-flora-lyimo-marehem-tayson-aagwa.html |
videohuyu ndie mpenzi wa mwigizaji rose ndauka amvisha pete ya uchumba kimya kimya millardayocom
videohuyu ndie mpenzi wa mwigizaji rose ndauka amvisha pete ya uchumba kimya kimya
ni headlines za mwigizaji wa filamu rose ndauka ambae hakupenda kumzungumzia wala kumtaja mpenzi wake hadharani sasa leo ayo tv tumeinasa video ikimuonesha mpenzi wake aitwae hafidhi akimvisha pete ya uchumba
unaweza ukabonyeza play hapa ujionee mwanzo mwisho rose ndauka akivishwa pete
related itemsayo tvrose ndauka
← previous story videompyabelle 9 ametuletea hii video mpya umefanana nae
next story → luludiva katuonesha orodha ya nyimbo zinazopatikana katika ep yake the 4 some
ukimuliza ndairagije kwa nini jonas mkude hajawasili taifa stars atakujibu hivi | 2020-03-30T14:10:43 | https://millardayo.com/videohuyu-ndie-mpenzi-wa-mwigizaji-rose-ndauka-amvisha-pete-ya-uchumba-kimya-kimya/ |
discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by ramsleem41 mar 31 2011
ramsleem41
jamani naomba msaada mpenz wangu huwa anatoa harufu mbaya but naogopa kumwambia
karibu sana kwanza halafu wenzio huwa tunasalimia angalau kule kwenye utambulisho hiyo title haijatosha kuwa salamu
pole sana ndugu sasa usipomwambia wewe ambaye ni mtu wa karibu yake sisi wa mbali tutamsaidiaje harufu hiyo ni ya wapi chini ya kitovu mdomo kwapa pua au masikio
harufu ya mdomo kwapa au nini
fafanua tafadhali
usipomuelekeza hujampenda
kwanza karibu jamvinihiyo harufu hujasema inatokea wapi
karibu sana jamvini hiyo harufu inatokea wapi
kwanza lazima umwambie kama unampendahapa jf ungekuja kuomba ushauri tu wa jinsi gani mshirikiane kuondoa tatizo la harufu
sasa wewe hata kumwambia unaogopawengine wakimwambia si atasema bora simkeri wandani wangu nyie yana wahusu nini
hata tukijua ni harufu ya wapikama hutaweza kuongea nae haita saidia chochote
niitie nimwambie
ni he/she
anza wewe kwanzaukishindwa niambie uone kitakacho endelea baada ya harufu kuwa deal kwa upande wakeni hatari kwa afya yakosiyo kitu cha mchezo itakugharimu siku za usoni
ramsleem41 said
jamani naomba msaada mpenz wangu huwa anatoa harufu mbaya but naogopa kumwambiaclick to expand
ndugu yangu wewe ni me au ke na huyo mpenzi wako ni me au ke anatoa harufu mbaya mitaa gani
ndugu yangu wewe ni me au ke na huyo mpenzi wako ni me au ke anatoa harufu mbaya mitaa ganiclick to expand
kwa hili jina huyu lazima atakua ni me lkn mpenz wake cjui atakua ni me au ni ke
ampeleke bafuni akamuogeshe kama ni kikwapa wengi wao ni ngumu kutoa harufu labda payumu kali ambayo pia kama itachangayikana vibaya na harufu hiyo mtu anaweza kutapika na kuugua kama ni harufu ya mwili ni kuoga na maji ya ukoko itakwishaa skey
ampeleke bafuni akamuogeshe kama ni kikwapa wengi wao ni ngumu kutoa harufu labda payumu kali ambayo pia kama itachangayikana vibaya na harufu hiyo mtu anaweza kutapika na kuugua kama ni harufu ya mwili ni kuoga na maji ya ukoko itakwishaa skeyclick to expand
ni he/sheclick to expand
uharibifu huo sasa kaka
uharibifu huo sasa kakaclick to expand
khaaaa
nisamehe kaka
mara nying harufu itakuwa ya mdomonikm ni hvyoamsaidie jinsi ya kupiga mswakiutafikiri kicheko ila ndio hvyolazima ulimi usuguliwe vizuriulimi ukiwa mchafu utapata tatizo la harufuikishidkana hapo aende kwa wataalam wa kinywa na meno
mwambie ndo kitu kikubwa kama kwel wampenda nahisi nae atakuwa analijua ilo tatizo ila mkijadil pa1 mtapata suruhisho
mhhhh harufu ya samaki au viazi mbatata pole mwambie tu usiogope utakuwa umemsaidia wengine hata hawajuagi kama wanatoa harufu | 2017-04-30T07:26:37 | https://www.jamiiforums.com/threads/hello.122693/ |
tuongee asubuhi star tv kufungiwa gazeti la mwanahalisi page 2
juzi alihamishia udaku wake kwenye gazeti la michezo inabidi nalo lishughulikiwe ipasavyo
kwa taarifa za ndani ni kuwa mwanahalisi kwa sasa halina mfadhilihivo anauza gazeti kwa kichwa cha habariamekosana na mabwana zake kibao akina mengina wengine
wewe nawe unatoa udakulete utafiti wako unaokidhi badala ya kuwaambia watu umbeaunaongeza udaku juu ya udaku
4th august 2012 0856
sasa habari kama hii mwahalisi inaambiwa ni gazeti la kichunguzi umbeya mtupu
kama mwanahalisi ni chombo hatari vipi kuhusu radi imaan
hivi chukua mfano wa toleo la mwisho ambalo limeandika mawasiliano yote aliyoyafanya rama na drkubenea amaejaribu kutafuta habari zote toka daftari la wapiga kura na namba yake ya simuserikali ilipaswa kutuambia kuwa namba hiyo si yake na wala hakuna mfanyakazi wa tiss anayeitwa ramadhani then ilifungie badala ya kufanya ilichofanya ukitaka kuthibitisha madai hayo jaribu kutuma pesa kwenye namba hiyo halafu uone inaandika jina ganikujua namba ya mtu siku hizi ni rahisi mno kubenea kafanya utafitiserikali ingeukataa utafiti wake kwa kutoa hoja na viroja
uchunguzi gani wa kitot wa kujaribu kutuma pesaacheni kujazana ujingasadist kubenea anastahili alichopatatena lifutwe kabisa hilo udaku lake
tatizo wanaolisoma hawatafakariwanameza mazima mazimawabongo si unawajua wavivu kushughilisha akili zao
hapa pia na wewe hujatuonesha kuwa unasomaungejishughulisha na yale aliyoandika ili utuambie kuwa huo ni uchochezipangua hoja kwa kutumia hoja
4th august 2012 0901
anzisha thread uelezee hizo hatari za radio imaanhii thread ni ya kuhusu mwanahalisi
moses mathew ni kweli mwandishi wa habari wa miaka mingi kidogoalisomea uandishi hapo saut na kwa sasa ni mwandishi wa daily news hapa mwanzakatika fani hii si mjuzi kama anavyodai kwani ni miongoni mwa waandishi matapeli wanaoivunjia taaluma hii heshima na adabuanadai mishiko sana analewa sana na kuna siku alilewa pale bugando hill mpaka akajinyea hadharanisi mtu mwenye jina miongoni mwa waandishi wa mwanza hata kidogohana ubavu wa kushiriki mjadala juu uvunjifu wa maadili ya uandishi wakati yeye ni mzushimwizi na mla rushwa mkubwa
muchetz and ngalikivembu like this
4th august 2012 0913
hivi chukua mfano wa toleo la mwisho ambalo limeandika mawasiliano yote aliyoyafanya rama na drkubenea amaejaribu kutafuta habari zote toka daftari la wapiga kura na namba yake ya simuserikali ilipaswa kutuambia kuwa namba hiyo si yake na wala hakuna mfanyakazi wa tiss anayeitwa ramadhani then ilifungie badala ya kufanya ilichofanya ukitaka kuthibitisha madai hayo jaribu kutuma pesa kwenye namba hiyo halafu uone inaandika jina ganikujua namba ya mtu siku hizi ni rahisi mno kubenea kafanya utafitiserikali ingeukataa utafiti wake kwa kutoa hoja na si viroja
hatua inayofuata ni kumfungulia kesi huyo sadist
4th august 2012 0920
hawa wanaojifanya kulitetea mwanahalisi la sadist kubenea wananichefua kwelikwelivihere here na vibaraka hawa
wewe na wao nani kibaraka au na wewe uko kwenye system kandamizi mnaogopa kumwagiwa mchanga kwenye keki yenu
hivi chukua mfano wa toleo la mwisho ambalo limeandika mawasiliano yote aliyoyafanya rama na dr uli kubenea amaejaribu kutafuta habari zote toka daftari la wapiga kura na namba yake ya simu
serikali ilipaswa kutuambia kuwa namba hiyo si yake na wala hakuna mfanyakazi wa tiss anayeitwa ramadhani then ilifungie badala ya kufanya ilichofanya ukitaka kuthibitisha madai hayo jaribu kutuma pesa kwenye namba hiyo halafu uone inaandika jina gani
kujua namba ya mtu siku hizi ni rahisi mno kubenea kafanya utafitiserikali ingeukataa utafiti wake kwa kutoa hoja na si viroja
achana na huyo povundo wale2
4th august 2012 0925
pole yako unaetumia kwapa kuongea
likes received5005
mwanahalisi ni gazeti la umbeyamwanahalisi lina haki gani kuchafua watu
mkuu wangu ritz una maslahi gani kwa kutekwa kuteswa na kutupwa kwa dr ulimboka katika msitu wa mabwepande
kwa mtu mwenye akili timamu lazima ajiulizeivi inawezekanaje mtu kutumia namba zake anazotumia kila siku tena zilizosajiliwa kutekeza mpango wa utekajiivi mtu mnaefahamiana mda mrefu atashiriki vipi utekaji huku akifahamu fika kuwa atajulikanatumia kichwa kufikiri sio kufuga nywele pekee
heli yako wewe mtasha unayeshughulisha akili yakotueleze uchunguzi wako maana wewe ni mtaaluma kuliko mbongo
kibaraka ni wewe na sadist kubeneamnatumiwa kama kondommtu akimaliza shughuli anakutupilia mbali tena gizaniusidhani kwa kuwa keki yenu imetupiwa mchanga basi ni kila mtu
huna lolote ovyohapo ndo umejitahidi mwenyewe
naona anawatetea wagonjwa waliokuwa wanakosa matibabu kwa sababu ya mgomo halafu kiongozi wa usaliti ni ulimbokapia alifiwa na mama yake na mke wake wakati huo
pole sana itafika wakati utakuwa chungu tupu na akili zako kama za kuku
4th august 2012 0941
we chizi amahabari za kutunga una ushahidimpeleke mahakamani basi akakubwage vizurindiyo maana serikali yako imeona ilifungie bila hata kupelekana popote maana ushahidi wa habari kubenea anao sema mengine yote lakini usiseme kabisa habari mwanahalisi anazoandika ni za uongo utaumbuka bure | 2013-06-20T03:06:18 | http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/302824-tuongee-asubuhi-star-tv-kufungiwa-gazeti-la-mwanahalisi-2.html |
dua ya mwezi wa ramadhani (vidhihirisho vya mwenyezi mungu) | books on islam and muslims | alislamorg
utoaji wa unyenyekevu
utangulizi kuelewa ubora wa dua
kutafuta sababu za kuwaingizia furaha walio makaburini
kuenea pote pambajo la moyo la muombaji
neema na baraka za maombi kwa asiyekuwepo
mahitaji kamili ya mwanadamu
hatua ya kuelekea kwenye kuondoa umaskini
kujizoesha njaa
yanayo sababisha njaa
hakikisho la kupatikana kwa riziki
uongezekanaji wa riziki
sababu zinazozuia riziki
kutafakari kwa makini maana nyingine ya neno chakula
njaa (kwa) na mtazamo wa kiirfani
lengo la kuumbwa mwanadamu
njia na lengo
lengo la mavazi
vazi la ndani
maana pana ya neno deni
deni wakati mwingine humzuia mtu kuendelea kiroho
ni wakati gani mtu anapaswa kuchukua mkopo
sheikh bahai na dua ya kuondolewa deni
kutafakari kwa makini
maana ya makrūb
chanzo cha huzuni
kuwakumbuka wanao huzunika leo
jukumu la kibinafsi
kuzifurahisha nyoyo za waumini
nyongeza za huzuni
maana ya ghariib
nyongeza za ghurba
nyongeza nyingine za ghurba ni kama zifuatavyo
uwiano wa kipengele cha neno ghariib
ghurba ya kila mwanadamu ya tabia yenye doa
heshima kwa mama humgeuza mtu kuwa rafiki wa allah (swt)
dua ya bibi kizee mwenye akili kubwa
waumini wa kweli ni ghariib
kwa nini imamu ali alridha (as) alikuwa akijulikana kama imam alghariib
mjini kwake ghariib
dalili kubwa ya malalamiko ya ghurba katika dua ya kumeil
maana ya asiir
upana dhahiri wa neno asiir
wafungwa wanaoumia kwa mateso
njia za utesaji
hawa alnafs moja ya maangamizi ya ufungwa
hawa alnafsi hushusha hadhi ya mtu na kuwa mfano wa mbwa
upendeleo wa ufungwa wa nje juu ya ufungwa wa ndani
dokeza la wenye akili
mfungwa wa allah katika ardhi
mtu huru katika karbala
majadiliano juu ya ufumbuzi
dua hii ni mmoja inayo somewa kila siku katika mwezi mtukufu
dua ya mwezi wa ramadhani (vidhihirisho vya mwenyezi mungu) ufafanuzi wa dua ya kila siku ya mwezi wa ramadhani kwa ufupi sehemu ya kwanza kimeandikwa na abū muhammad zaynul ābidin kimetarjumiwa na dr m s kanju s l p 233 dar es salaam email mokanju2000@yahoocom websitewwwdartablighorg isbn 9987 665373 ©haki ya kunakili imehifadhiwa na tabligh sub committee toleo la kwanza march 2005 nakala 1000 kimetolewa na kuchapishwa na tabligh sub committee ksi jamaat dar es salaam p o box 233 dar es salaam tanzania tel 255 22 2115119 fax 255 22 2113107 email tabligh@rahacom website wwwdartablighorg
dua kumayl powerpoint presentation
munajat of imam 'ali (a) powerpoint presentation
dua aliftitah powerpoint presentation
du'a tawassul powerpoint presentation
ziyarat of aminullah powerpoint presentation
dua attawbah powerpoint presentation | 2019-05-22T06:41:00 | https://www.al-islam.org/sw/dua-ya-mwezi-wa-ramadhani-vidhihirisho-vya-mwenyezi-mungu |
barabara ya hariri wikipedia kamusi elezo huru
njia za biashara ya kimataifa kati ya china na ulaya wakati wa karne ya kwanza bk (majina ya nchi kwa kilatini sinaechina media persis uajemi)
barabara ya hariri ilikuwa njia muhimu ya biashara kati ya china kwa upande moja na mashariki ya kati halafu ulaya kwa upande mwingine biashara hii iliendelea tangu karne kabla ya kristo jina la barabara ya hariri limetokana na hariri ambayo ilitengenezwa katika china pekee kwa muda mrefu ikawa kati ya bidhaa zilizotafutwa sana duniani kwa bei ya juu
1 nyavu ya njia mbalimbali zilizopita asia ya kati
2 njia ya bidhaa watu na mawazo
3 njia ya magonjwa
nyavu ya njia mbalimbali zilizopita asia ya kati[hariri | hariri chanzo]
barabara ya hariri haikuwa njia moja tu bali jumla ya njia za misafara kati ya china na nchi za magharibi zilizopita katika asia ya kati
palikuwa na njia za kando hasa baharini kati ya china na uhindi halafu kutoka uhindi hadi irak au misri njia za bahari zilikuwa muhimu kama njia ya nchi kavu ilikatika wakati wa vita au ukosefu wa usalama kuna vipindi vichache ambako eneo lote la barabara ya hariri lilikuwa na usalama hasa wakati wa utawala wa wamongolia menginevyo safari zilikuwa za hatari zikachukua muda mrefu bidhaa zilipita mkononi mwa wanafanyabiashara mbalimbali zikaongezeka bei njiani
njia ya bidhaa watu na mawazo[hariri | hariri chanzo]
si bidhaa tu zilizosafiri kwneye barabara ya hariri wasafiri mawazo mafundisho dini na magonjwa vilipita pia kwa njia hiyo teknolojia kama kutengenezwa kwa karatasi au kuchapishwa kwa vitabu zilipita njia hii kutoka china hadi asia ya magharibi na kutoka hapa hadi ulaya
uenezaji wa ubuddha kwenda mongolia na china katika karne ya 4 bk wa ukristo kufika china katika karne ya 3 bk na wa uislamu kuelekea mashariki katika karne ya 8 ulifuata barabara hii
njia ya magonjwa[hariri | hariri chanzo]
magonjwa yalipita njia hiyohiyo kwa mfano tauni ilianza katika miaka ya 1330 katika china kwenye jimbo la yunnan ugonjwa huu unategemea viroboto kama kituo cha virusi yake farasi za jeshi la mongolia na biashara ya ngozi ilipeleka viroboto vile hadi bahari nyeusi mwaka 1348 wafanyabiashara waitalia kutoka bahari nyeusi waliingiza ugonjwa ulaya penyewe ulipoua robo ya wakazi wote
njia ya hariri kwenye tovuti ya chuo cha confucius institute online
de la vaissière e sogdian traders a history leiden brill 2005 hardback isbn 9004142525 brill publishers french version isbn 2857570643 on [1]
hill john e (2004) the peoples of the west from the weilüe 魏略 by yu huan 魚豢 a third century chinese account composed between 239 and 265 draft annotated english translation [2]
rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=barabara_ya_hariri&oldid=951370 jamii asia ya katiusafiripages using isbn magic links urambazaji
afrikaansalemannischالعربيةasturianuazərbaycancaتۆرکجهбашҡортсабеларускаябеларуская (тарашкевіца)българскиবাংলাbrezhonegbosanskicatalàکوردیی ناوەندیčeštinaчӑвашлаcymraegdanskdeutschzazakiελληνικάenglishesperantoespañoleestieuskaraفارسیsuomifrançaisfryskgaeilgegalegoગુજરાતી客家語/hakkângîעבריתहिन्दीhrvatskimagyarհայերենbahasa indonesiaíslenskaitaliano日本語basa jawaქართულიqaraqalpaqshaқазақша한국어kurdîкыргызчаlatinaladinolëtzebuergeschlietuviųlatviešuмакедонскиമലയാളംмонголमराठीbahasa melayuမြန်မာဘာသာनेपालीnederlandsnorsk nynorsknorsk bokmåloccitanଓଡ଼ିଆਪੰਜਾਬੀpolskiپنجابیپښتوportuguêsromânăрусскийscotssrpskohrvatski / српскохрватскиසිංහලsimple englishslovenčinaslovenščinasoomaaligashqipсрпски / srpskisvenskaślůnskiதமிழ்తెలుగుтоҷикӣไทยtürkmençetagalogtürkçeтатарча/tatarçaئۇيغۇرچە / uyghurcheукраїнськаاردوoʻzbekcha/ўзбекчаtiếng việtwinaray吴语მარგალურიייִדיש中文文言粵語 edit links ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 20 juni 2015 saa 1741 | 2017-03-26T18:53:51 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Barabara_ya_hariri |
waziri wa mambo ya nje prof john kabudi afanya mazungumzo na meya wa nagai nchini japan mtaa kwa mtaa blog
home habari waziri wa mambo ya nje prof john kabudi afanya mazungumzo na meya wa nagai nchini japan
waziri wa mambo ya nje prof john kabudi afanya mazungumzo na meya wa nagai nchini japan
prof kabudi akimwonesha mhe uchiya jarida linaloonesha vivutio mbalimbali vya utalii vilivyopo nchini
prof kabudi akiagana na mhe shigeharu uchiya mara baada ya kumaliza mazungumzo kati yao
prof kabudi akisalimiana na mmoja wa raia wa japan aliyewahi kufanya kazi za kujitolea kwenye sekta ya afya nchini tanzania miaka ya 1960
prof kabudi afanya mazungumzo na meya wa jiji la nagai nchini japan | 2019-09-21T11:56:28 | https://www.mtaakwamtaa.co.tz/2019/08/waziri-wa-mambo-ya-nje-prof-john-kabudi.html |
matukio na jamii blog hot news gwajima apewa siku 14 kumfufua kaka yake au kupandishwa kizimbani
hot news gwajima apewa siku 14 kumfufua kaka yake au kupandishwa kizimbani
shamma gwajima (kulia) akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) kushoto ni raphah gwajima
watoto hao wakisikiliza kwa makini maswali kutoka kwa waandishi wa habari kabla ya kuyajibu
wanahabari wakiuliza maswali
shamma akijibu moja ya maswali ya waandishi wa habari
askofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima josephat gwajima ametumiwa waraka mzito na wanaodai kuwa watoto wa kaka yake gwajima faustine mathias gwajima ambaye kwa sasa ni marehemu wakimtaka askofu huyo kumfufua baba yao ndani ya siku 14 la sivyo watamfikisha mahakamani kwa kile walichokitaja kuwa amewasababishia athari kubwa za kisaikolojia kwa muda mrefu
wakizungumza mapema leo hii na waandishi wa habari idara ya habari maelezo jijini dar watoto hao waliojitambulisha kwa majina ya shamma gwajima (18) na raphah gwajima (17) walisema kuwa baba yao ambaye ni kaka wa askofu gwajima alifariki dunia mwaka 2008 mkoani mwanza kwa maradhi ambapo askofu gwajima wanayemwita baba mdogo alifika msibani hapo na kuwataka ndugu na marafiki waliokuwa wakiomboleza kifo cha mpendwa wao wasihuzunike kwa kuwa marehemu hakuwa amekufa bali amelala tu
mchungaji gwajima alitukataza tusilie na tusihofu kwa chochote kwa kuwa alikuwa na uwezo wa kumuombea marehemu hadi afufuke kauli hiyo ilitufanya tuanze kufurahi na akaushika mwili wa marehemu katikati ya umati wa watu na kuanza kuutikisa akimtaka baba yetu aamke lakini hakuamka alisema shamma
watoto hao walidai kuwa tangu siku hiyo gwajima aliondoka kimyakimya na kuingia mitini na kudai kuwa jambo hilo limewaathiri kihisia na kisaikolojia na wanajiandaa kumshtaki kutokana na usumbufu aliowasababishia katika kipindi kigumu cha msiba wa baba yao
watoto hao walienda mbali zaidi na kudai kuwa waliamua kukaa kimya wakiamini askofu gwajima ambaye ni baba yao mdogo anastahili heshima ya kichungaji mbele za watu lakini walidai kuwa wanashangazwa na mambo ayafanyayo hivi karibuni kama vile kuwatukana watumishi wenzake na kutoa siri za waumini wanaoenda kwake kwa ajili ya kupata huduma za maombezi
aidha walidai kuwa askofu gwajima ni tapeli kwa kuwa anatumia huduma ya kufufua misukule hewa kwa maslahi yake binafsi na kuitaka serikali iingilie kati kumchukulia hatua huku wakiitaka jamii isikubali udanganyifu wa askofu huyo kwa kuwa kama kweli anafufua watu basi angemfufua kaka yake
je misukule ambayo anatangaza ameifufua tujiulize kabla ya kufariki ilikuwa ikiishi wapi na je kuna vyeti vya kifo vinavyothibitisha kama watu hao wanaofufuliwa walikufa kweli je ndugu wa hiyo misukule wapo walisema watoto hao na kuongeza kuwa kutokana na kushindwa kwake kumfufua baba yao gwajima amewatelekeza kwa kutowapa msaada wowote licha ya yeye kuishi maisha ya kifahari
(picha/gpl/chande abdallah)
chanzo global publishers | 2017-12-16T16:52:17 | https://fredynjeje.blogspot.com/2015/10/hot-news-gwajima-apewa-siku-14-kumfufua.html |
taarifa kwa vyombo vya habari ministry of foreign affairs and east african cooperation
taarifa kwa vyombo vya habari waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki profesa palamagamba john kabudi (mb) amesema jamhuri ya muungano wa tanzania imefanikiwa kuwa taifa moja linaloendelea kudumu muda wote kutokana na misingi imara i
akizungumza kwenye mkutano huo mhe dkt ndumbaro alisema lengo la ziara yao katika kituo hicho cha kutolea huduma kwa pamoja mtukula ni pamoja na kujionea mafanikio na kubaini changamoto zinazokabili utendaji wa kazi na kuzipatia ufumbuzi
akiainisha mafanikio makubwa yaliyofikiwa na kituo hicho dkt ndumbaro alieleza namna mizigo mbalimbali ikipita kwa wakati kwa kuzingatia taratibu zote zilizopo pamoja na wafanyabiashara kati ya nchi hizi mbili wakifanya biashara zao bila vikwazo vyovyote vile
pamoja na mambo mengine dkt ndumbaro alitumia fursa hiyo kuwajulisha wadau mbalimali waliohudhuria mkutano huo kuwa serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na mhe dkt john pombe joseph magufuli rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania imeanzisha safari za shirika la ndege la tanzania (atcl) kutoka dar es salaam arusha mpaka enttebe uganda mafanikio hayo yametokana na mahusiano mazuri ya kidiplomasia yaliyopo baina ya tanzania na uganda na pia kupitia mtangamano wa jumuiya ya afrika mashariki
kwa upande wake mhe maganda alifurahishwa na hali ya kituo hicho namna huduma zinavyotolewa aidha aliahidi kuwa serikali ya uganda itaongeza watendaji kazi kwenye kituo hicho ili kuwezesha upande wa uganda kufanya kazi masaa 24 kama ilivyo kwa upande tanzania pia alisisitiza nchi yake kuendelea kushirikiana na tanzania katika masuala mbalimbali ya ushirikiano
pia katika mkutano huo wadau walitoa pongezi kwa viongozi wa serikali za pande zote mbili kwa kuanzisha kituo hicho cha kutolea huduma kwa pamoja mpakani mtukula ambapo walisema kuanzishwa kituo hicho kumeongeza chachu ya maendeleo kwa wafanyabiashara wa pande zote mbili ambapo wamekuwa wakisafirisha bidhaa zao kwa wingi bila kupata changamoto kulinganisha na hapo awali kabla ya kuanzishwa kwa kituo hicho
kadhalika wadau walitoa pongezi kwa watendeji waliopo kituoni hapo kwa upande wa tanzania kwa kutoa huduma nzuri kwa masaa 24 kwenye kituo hicho ambapo imepelekea wafanyabiashara kutokupoteza muda mwingi wafikapo mpakani hapo
wizara ya mambo ya nje yawasilisha bajeti bungeni
notice to travellers planning to visit tanzania
serikali ya awamu ya tano haichukii wawekezaji dkt magufuli | 2019-06-26T23:07:36 | http://www.foreign.go.tz/index.php/resources/view/taarifa-kwa-vyombo-vya-habari-7 |
city centre apartment in ilala houses & apartments for rent yusria realty | jijicotz for sale in ilala | buy houses & apartments for rent from yusria realty on jijicotz
more 6 photos city centre apartment
dar es salaam kinondoni nov 25 houses & apartments for rent
masaki mansion for executives general managers or ambassadors
contact yusria realty for more information and for rent price
dar es salaam kinondoni nov 15 houses & apartments for rent
dar es salaam kinondoni yesterday 0856 houses & apartments for rent
watumishi housing kigamboni gezaulole
we deal with constraction of houses for sell and rent ~we build affordable houses with high quality ~we accept monthy rent payment ~the rent paid include service charges such as security and clearnless ~appartment of 3 bedrooms( one is master) kitchendinningkitchen verandah one public bathroom
dar es salaam temeke nov 24 houses & apartments for rent
stand alone house for rent msasani
house for rent msasani cap town fish market near masaki area house closed main road kimweri road user office or residential housecontained 3 bedroom one master sitting & dinning room kitchenpublic toilet parkinggarden with servant quater full ac good location safe neighahood price $700 per monthl if interested price negotioble for more information contact me
dar es salaam kinondoni today 0813 houses & apartments for rent
dar es salaam kinondoni dec 9 houses & apartments for rent
dar es salaam kinondoni nov 12 houses & apartments for rent
super quality apartment for rent mikocheni
dar es salaam kinondoni yesterday 0857 houses & apartments for rent
apartments zinapangishwagezaulole kigamboni
maghorofa yetu yapo na barabara kuelekea cheka ~inachukua nusu saa tu kutoka kwenye maghorofa yetu mpaka ferry kwa daladala ~hakuna foleni ~nyumba zipo karibu na shule hospital na maduka ~ulinzi upo sehemu ya kupark magari ipo ~kodi ya mwezi inajumlisha malipo ya mlinzi mfanya usafi na mzoa takataka maji yapo na umeme upokila mtu na luku yake ~tunapokea kodi ya mwezi mmoja mmoja na hakuna ela ya dalali karibu sana kwa maelezo zaid wasiliana nasiau fika ofisini gezaulole kwa maelezo zaid
masaki house for rent stand alone dola elfu moja tu kwa mwezi
contact us at yusria realty for more information or for a viewing via our phone number or through whatsapp tufatute kupitia namba yetu ya simu ama njoo ofisini mwetu tukupatie taarifa zaidi au ukitaka kuiona hiyo nyumba tunakupeleka kuiona bure tu | 2019-12-12T07:05:13 | https://jiji.co.tz/ilala/houses-apartments-for-rent/city-centre-apartment-kyhSVK7kD07EKRGH31n8tKcA.html |
kamati ya bunge ya bajeti yatoa angalizo serikali kuchukua mikopo ya biashara mwanaharakati mzalendo ™
kamati ya bunge ya bajeti yatoa angalizo serikali kuchukua mikopo ya biashara
krantz mwantepele 35700 am bunge
kamati ya bunge ya bajeti imesema nchi inabeba mzigo mkubwa wa kugharamia mikopo kupitia mapato ya ndani na kuathiri utekelezaji wa bajeti kwa miradi ya maendeleo
imesema hali hiyo inatokana na serikali kujikita katika kukopa mikopo ya biashara ambayo ina riba kubwa kuliko mikopo yenye masharti nafuu ambayo kwa sasa ni migumu kupatikana
akizungumza bungeni jana wakati akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo katika kipindi cha nusu ya mwaka 2018/19 mwenyekiti wake george simbachawene alisema kwa sasa serikali imelazimika kujielekeza kukopa mikopo yenye masharti ya kibisahara (non concessional loans) kuliko yenye masharti nafuu (concessional) kama ilivyokuwa awali
kamati inaona mikopo hiyo ina riba kubwa na hivyo kuwepo kwa mzigo mkubwa wa ugharamiaji wa mikopo kupitia mapato ya ndani
simbachawene alisema hadi novemba mwaka jana deni la taifa lilikuwa sh618 trilioni ambazo zimetokana na ukuaji wa deni hilo kwa taratibu kutokana na uwekezaji kwenye miradi ya maendeleo na kijamii nchini kwa ajili ya kukuza uchumi
alisema deni la serikali linaendelea kukua likijumlisha fedha zilizokopwa kutoka vyanzo vya ndani na nje na sekta binafsi kwa ajili ya kugharamia miradi
kamati inatambua kuwa serikali hukopa kwa ajili ya miradi ya maendeleo na kupata fedha za kigeni na kukopesha taasisi za ndani za umma kwa ajili ya kutekeleza miradi ya kimkakati alisema
mbunge huyo wa kibakwe alisema kutokana na sababu nzuri za ukopaji ikiwamo uhimilivu wa deni bado kamati yao inashauri serikali iangalie uwiano uliopo kati ya mwenendo wa upatikanaji wa mapato ya ndani pamoja na ulipaji wa deni la serikali na athari zake katika bajeti a uchumi
kamati hiyo ilishauri kuwa umefika wakati serikali ipange bajeti yake ya maendeleo kwa kutegemea mapato yake ya ndani na mikopo ya ndani ambayo upatikanaji wake ni wa uhakika
aliitaka serikali kuhakikisha kuwa ukopaji wake katika vyanzo vya ndani hauathiri upatikanaji wa mikopo kwa sekta binafsi huku akiipongeza kwa kuendelea kufanyia kazi mapendekezo mbalimbali yanayotolewa na kamati hiyo
by krantz mwantepele muda 35700 am | 2019-02-21T12:54:02 | https://www.mwanaharakatimzalendo.co.tz/2019/02/kamati-ya-bunge-ya-bajeti-yatoa.html |
swahili na waswahili 01/05/13 01/06/13
siku kama ya leo da'upendo alizaliwa[mamaa ya simba]
waungwana siku kama ya leo da'upendo alizaliwa
tunakutakia kila lililojemamaisha marefuamanifurahabaraka na mafanikio
da'upendo shabiki mkubwa wa simbaiwe mvua/jua/baridi/jotoyeye na simba tuu
posted by rachel siwa isaac at 1352 1 comments
mieziwikisikutano ladies imewadiausiku wa mwanamke wa kitanzaniashangwevifijomwanamke upo
sold out event god is good
kitenge tayari kwa fundi juma
usiku wa mwanamke wa ki tz
shangwe vifijo & vigelegele
mwanamke uko wapi
wasikilize/waangaliewanawake wa shoka
pia unaweza kuwatembelea facebookhttps//wwwfacebookcom/pages/tanoladies/
posted by rachel siwa isaac at 1737 0 comments
posted by rachel siwa isaac at 0002 2 comments
posted by rachel siwa isaac at 1744 1 comments
[women in coventry community organisation]
on 08/06/2013
time180012 midnight
spence community club
women get together
to inspiremotivate one anotherto advertise and introduce your business to learn and support each other in
accessing education and employment
improving marriage and family relationship
problems facing teenagersteenage sex and pregnancy
awareness on signs of misuse of illegal substances on teenagers
fashion show by our coventry designer mija
entrance £10 including snacksdrinks will be sold at the bar
for advance tickets call [07500 87 53 94]/ [079 51 58 36 22]/ [079 50 19 87 03]
dress code african attire[kitenge or any]
and not forgetting the body shakesmusic will be ther
posted by rachel siwa isaac at 1423 2 comments
lakini sasabwana aliyekuhukumuee yakoboyeye aliyekuumbaee israelasema hiviusiogopemaana nimekukomboanimekuita kwa jina lako wewe u wangu
neno la leoisaya43119tazama nitatenda neno jipyasasa litachipuka je hamtalijua sasanitafanya njia hata jangwani na mito ya maji nyikani
posted by rachel siwa isaac at 2014 5 comments
ni siku yetu na kujifunza zaidi mambo yetu na watoto wetujamii yetu na wasio wa afrika kujua afrikakukumbuka/kuenzi mema/mazuri ya kwetukujivunia kuwa wa afrika na mengine meengi
mimi ninakakitu kidogo cha kufanya mwaka huu na watoto kama nikipata muda mzuri na uwezo kidogonia yangu nilipenda kufanya kwa familiayaani wazazi/walezi na watototukachezakula na kukumbukia enzi zetu na michezo yetu na watoto wa leo kujifunza kupitia sisi na sisi kujifunza kupitia ya kwao/sasa
kama ungependa kuniunga mkono/kuungana nami katika hili usisite kuwasiliana nami
emailrasca@hotmailcoukmob[+44] 0750 44 100 40 kwa sms/whatsapp
pia karibuni kwa maoniushauri na kuelimishana kwa upendo
asanteni na karibuni tuungane pamoja
pata burudani
freedom is coming tomorro na video ya sarafinamimi bado naipenda sana wewe jee
posted by rachel siwa isaac at 1816 2 comments
waswahili wetu leotano ladieswakati umefika asiye na mwana
umeshapata ticket yako unangoja nini hazitauzwa malangoni
mhhhwacheshiwatanashatindiyo hao tano ladies
mikakati zaidi ili wewe upate raha nasi karahabibi eehhh
wanasema shughuli uwanja/ukumbindiyo huo wakujimwaga zaidi
wasikilize wenyewe wasemaje
pia unaweza kuwapitia https//wwwfacebookcom/pages/tanoladies
kuona wanapendezaje zaidi nipitiehttp//mitindoafricaabroadblogspotcouk/
posted by rachel siwa isaac at 2030 1 comments
muwe na j'pili yenye furaha na amaniburudanienock jonas wema wa munguliving water na
wapendwa muwe na j'pili yenye furahaamaniupendoneemautu wema na upole kiasi
mwanangukama ukiyakubali maneno yangu na kuyaweka akiba maagizo yangu [2]hata ukatega sikio lako kusikia hekima ukauelekeza moyo wako upate kufahamu
neno la leomithali 2111busara itakulindaufahamu utakuhifadhi
swahili na waswahilirehema na kweli zisifarakane nawe
nawapenda woote
posted by rachel siwa isaac at 1619 5 comments
chaguo la mswahili leomchanganyikowaka waka[shakira]congo mama[joe mafela][brenda][lucky dube] na
waungwana chaguo la mswahili leomambo mchanganyikowewe tuu upate burudani na kukumbuka wapi na ilikuwa vipi wakati huo unasikiliza/kuangalia burudani ya leo
mengi sina nawatakia j'mosi njematwende sote sasahai congo mameeecongocongo mamaaaaiiii shebeleza njalo mamaekuseni mama
swahili na waswahili tunawatakia kheri na baraka wote wanaofunga ndoa leo na watu wote
posted by rachel siwa isaac at 1556 3 comments
waungwana leo tupo kenya na shrehe zao za arusinini kimekuvutia/kupenda na kipi kimechukiza/kutokipenda
ni kweli kwa afrika mashariki na kati kenya wanaongoza kwa uwandaaji wa sherehe kuanzia mapambouvaajiburudanipicha na yotemuhimu yahitajiwayo
jee wewe unapichavideo za arusipati za jikonikuagwakipa imara na nyinginezoza miaka mitano nyuma na kuendelea na ungependa kushiriki nasi
unaweza kututumia ili tukumbuke/kumbushane ilikuwaje wakati huo au wewe ulivaaje/ulitokelezeaje na siku yako ilikuwaje
tuma kupitia emailrasca@hotmailcouk
nawe unayefunga ndoa sasa usisite kututumiawewe unayetafuta mwenza/mchumba usikate tamaamshirikishe mungu yupo nawe wala hajakusahau/kukuacha
swahilimatukio/events
posted by rachel siwa isaac at 1743 0 comments
tumalizie j'pili kwa kuombeana/kutiana moyoburudanimwamba wenye imaraa na nyingine
wapendwatumalizie j'pili hii kwa kuwaombea wagonjwawafiwa wenzetu wa arusha wenye shida na tabu tanzaniaafrikadunia
mungu apate kuwalindakuwaponyakutatua shida zao amani iwe juu yao
nanyi mkiwa katika kusalimsi payukepayukekama watu wa mataifamaana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi
neno la leomathayo mtakatifu6121
swahili na waswahili mungu atubari sana
posted by rachel siwa isaac at 2040 2 comments
ulale kwa amani mpendwa wetu costa shirimapole sana mkewatotowazazindugujamaa na mrafiki kwa msiba huu wa mpendwa wetu costa shirimadaima tutakukumbuka na kuenzi mema yote uliyoyatendafamilia ya isaacswahili na waswahili blog tupo pamoja katika wakati huu mgumu kwenu
habari kamilishukranihttp//mrokimblogspotcouk/
mfanya biashara costa shirima aliyedondoka gorofani kariakoo
taarifa za awali zina arifu kuwa mfanya biashara costa shirima anaedaiwa kujirusha kutoka gorofa ya tisa ya hoteli ya concord iliyopo kariakoo jijini dar es salaam inaelezwa kuwa alikuwa asafiri na ndege ya saa 10 jioni kuelekea china kufuata bidhaa za maduka yake
shirima (47) ambaye amefikwa na umauti muda mfupi baada ya kudondoka chini ni mfanyabiashara aliyekuwa akimiliki maduka kadhaa ya urembo wa akina mama yaliyopo jirani na hoteli hiyo ya concord
aidha taarifa hizo za awali kutoka kwa mmoja wa wanafamilia ambaye alidai kuwa si msemaji wa familia ya shirima ya mwika moshi mkoani kilimanjaro nikuwa marehemu mara kwamara alikuwa akipendelea kula katika hoteli hiyo na siku ya tukio inadaiwa kuwa aliwaeleza watu kuwa anapanda juu ya hoteli hiyo kupunga upepo baada ya kuhisi hewa nzito mahali alipokuwa
inadaiwa kuwa baada ya kupanda huko juu ghafla alianguka chini na kudondokea gari dogo aina ya toyota corola linalofanya biashara ya taxi na kupoteza maisha yake na gari hilo kuharibika vibaya kutokana na kishindo hicho
marehemu shirima mbali na kuwa mfanya biashara wa muda mrefu kariakoo pia alikuwa akiendelea na ujenzi wa jengo la gorofa maeneo ya kariakoo
marehemu ameacha mjane na watoto 5
uchunguzi wa kipolisi bado unaendelea kuhusiana na tukio hilo na taarifa kamili zitatolewa pindi zitakapo kamilika timu nzima ya father kidevu blog inatoa pole kwa wote waliofikwa na msiba huo | 2018-03-21T14:56:15 | http://swahilinawaswahili.blogspot.com/2013/05/ |
kutaskuta profil w qichouchoucom
kutaskuta od 3 lat 6 mies na wykopie
kutaskuta 1 rok 9 mies temu via android
wujek_fester 1 rok 9 mies temu via android
wrzucambolubie 1 rok 9 mies temu via android
kutaskuta 1 rok 10 mies temu via android
dudustd 1 rok 10 mies temu via android
+ fanki cronox
+ fanki rozowepasserati +1 inny
wo 1 rok 10 mies temu via mirkowp
+ fanki thewickerman88
kutaskuta 2 lata temu via android
wrzucambolubie 2 lata temu via android
bdjqp 2 lata temu
07zglossie 2 lata 1 mies temu
jachupl 2 lata 1 mies temu
dextor_the_great 2 lata 1 mies temu
ryzu 2 lata 1 mies temu
minesr33 2 lata 1 mies temu
czerwonyziemniak 2 lata 2 mies temu
de 2 lata 3 mies temu
bd 2 lata 3 mies temu via android
wirucha 2 lata 3 mies temu via android
kendziu666 2 lata 4 mies temu
kutaskuta 2 lata 4 mies temu
brontozaurus 2 lata 5 mies temu via ios
kutaskuta 2 lata 5 mies temu
kaaraskar 2 lata 5 mies temu via ios
fantasmag0ria 2 lata 5 mies temu
balthum 2 lata 5 mies temu
kruprz 2 lata 5 mies temu via android
celtics 2 lata 6 mies temu
kossmann 2 lata 5 mies temu
lukaszlukasz 2 lata 6 mies temu via mój wykop (android)
nr 2 lata 6 mies temu via android
espectsorka 2 lata 6 mies temu via android
lsh 2 lata 6 mies temu
sebool12 2 lata 7 mies temu
laeg 2 lata 7 mies temu
repro5 2 lata 7 mies temu
rusekx 2 lata 8 mies temu
sachees 2 lata 8 mies temu | 2019-02-18T03:35:17 | http://qichouchou.com/ludzie/Kutaskuta/ |
soma hotuba yote ya hali ya uchumi wa taifa kwa mwaka 2018 na mpango wa maendeleo wa taifa wa mwaka 2019/20 mwananchi
soma hotuba yote ya hali ya uchumi wa taifa kwa mwaka 2018 na mpango wa maendeleo wa taifa wa mwaka 2019/20
waziri wa fedha na mipango dk philip mpango akiwasilisha bungeni hali ya uchumi wa taifa kwa mwaka wa fedha 2018 na mpango wa maendeleo wa taifa wa mwaka wa fedha 2019/2020 jijini dodoma leo picha na edwin mjwahuzi
soma hotuba yote ya waziri wa fedha na mipango dk philip mpango akiwasilisha bungeni taarifa ya hali ya uchumi wa taifa kwa mwaka 2018 na mpango wa maendeleo wa taifa wa mwaka 2019/20
1 mheshimiwa spika naomba kutoa hoja kwamba bunge lako tukufu lipokee na kujadili taarifa ya hali ya uchumi kwa mwaka 2018 na mpango wa maendeleo wa taifa 2019/20 pamoja na hotuba hii nawasilisha vitabu vya taarifa ya hali ya uchumi kwa mwaka 2018 na mpango wa maendeleo wa taifa 2019/20 ambapo taarifa hizi ndio msingi wa bajeti ya serikali kwa mwaka 2019/20 itakayowasilishwa bungeni leo jioni
sababu nne uchumi wa tanzania kukua hizi hapa
(ii) reli ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha standard gauge unaendelea ambapo kwa awamu ya kwanza ya dar es salaam morogoro (km 300) utekelezaji umefikifia asilimia 489 na morogoro makutupora (km 422) asilimia 712 vile vile taratibu za ujenzi kwa sehemu za makutupora tabora (km 294) tabora isaka (km 133) isaka mwanza (km 249) isaka rusumo (km 371) tabora kigoma (km 411) keza ruvubu (km 36) na kaliua mpanda karema (km 321) unaendelea mafanikio mengine ni kuendelea na ukarabati wa reli iliyopo katika sehemu ya dar es salaam hadi isaka ambapo shughuli zilizofanyika ni pamoja na kuboresha eneo la kupakia/kupakua mizigo katika bandari ya dar es salaam na kukarabati vituo vya kuhudumia mizigo vya ilala na isaka utekelezaji umefikia asilimia 13 na unatarajiwa kukamilika juni 2020 aidha serikali inaendelea na uboreshaji na ufufuaji wa reli ambapo ufufuaji wa njia ya reli ya tanga arusha (km 439) umefikia asilimia 80 vichwa 11 vya treni kwa ajili ya njia kuu vimenunuliwa na mabehewa 15 yamekarabatiwa na ufungaji wa vipuri kwenye mitambo ya mgodi wa kokoto wa tura umekamilika
hadi mikoa 11 kuongezeka kwa idadi ya vituo vya nje kutoka kimoja (hahaya comoro) hadi vituo 5 (hahaya bujumbura entebbe harare na lusaka) kuongezeka kwa idadi ya ajira kutoka 134 hadi 448 na kuongezeka kwa mapato ya shirika kutoka shilingi 11756709000 hadi shilingi 45632442000 vile vile kuimarika kwa shirika la ndege tanzania kumechangia kuongezeka kwa idadi ya watalii kutoka 1137182 mwaka 2016 hadi watalii 1505702 mwaka 2018 ambao wameliingizia taifa mapato ya dola za marekani bilioni 24 hivi karibuni atcl inatarajia kuanza safari za moja kwa moja kwenda mumbai (india) guangzhou (china) na johannesburg (afrika kusini)
(viii) barabara na madaraja serikali ya awamu ya tano chini ya mheshimiwa dkt john pombe magufuli rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania imefanya uwekezaji mkubwa katika kujenga na kukarabati barabara nchini ili kuhakikisha maeneo yote yanafikika kwa uhakika mwaka mzima juhudi hizi zitasaidia sana kuchochea kilimo na shughuli nyingine za uzalishaji mali kwa kurahisisha usambazaji wa pembejeo na malighafi kwenda maeneo ya uzalishaji pamoja na usafirishaji wa mazao na bidhaa zingine katika maeneo mbalimbali ya masoko nchini barabara zilizokamilika ni pamoja na mfugale flyover tazara (mita 1998) same mkumbara (km 96) barabara ya nzega tabora sehemu ya nzega puge (km 588) tunduru nakapanya mangaka mtambaswala (km 2025) namtumbo kilimasera matemanga tunduru (km 193) bariadilamadi (km 718) sumbawanga kanazi kizi kibaoni (km 1516) kyaka bugene (km 591) usagara kisesa bypass (km 17) magole turiani (km 486) dodoma mayamaya mela bonga (km 23185) kia mererani (km 26) mwigumbi maswa (km 503) uyovu bwanga (km 45) kaliua kazilambwa (km 589) tabora nyahua
chaya sehemu ya tabora nyahua (km 85) sitalike mpanda (km 3690) ndono urambo (km
52) na tabora usesula (km 30) vile vile madaraja yaliyokamilika ni pamoja na daraja la magufuli katika mto kilombero na barabara unganishi (m 9523) daraja la kavuu katavi (mita 853) daraja la waenda kwa miguu la furahisha mwanza (mita 45) aidha ujenzi wa barabara na madaraja unaendelea katika maeneo mbalimbali ikujumuisha ubungo interchange barabara ya kimara kibaha (km 19) kuwa njia nane daraja jipya la selander ikijumuisha barabara unganishi zenye urefu wa km 52 makutano natta mugumu/liliondo mto wa mbu sehemu ya makutano sanzate (km 50) kidatu
ifakara lupilo mahenge /malinyi londo lumecha/songea km 499 kigoma kidahwe uvinza kaliua tabora (km 3897) sumbawanga matai kasanga port (km 112) na kidahwe kasulu
mingine asilimia 80 miji midogo asilimia 64 na vijijini asilimia 648 kuendelea kujenga na kukarabati ofisi za maji za mabonde na maabara za maji katika mabonde mbalimbali ambapo hatua zilizofikiwa ni ruvuma na pwani ya kusini (asilimia 90) ziwa nyasa (asilimia 50) rufiji (asilimia 65 mkoji na kimani) ziwa rukwa (asilimia 65) na bonde la kanda ya kati (asilimia 95) kuendelea na ujenzi ukarabati na upanuzi wa miradi ya maji katika miji mikuu ya wilaya miji midogo na miradi ya kitaifa mradi wa huduma za maji katika miji mikuu ya mikoa mipya unaendelea kutekelezwa ambapo kwa mkoa wa geita umekamilika njombe umefikia asilimia 95 na songwe asilimia 90 kuendelea na ulazaji wa bomba la kusambazia maji kwenye mradi wa maji wa ziwa victoria kahama shinyanga katika miji ya kagongwa na isaka ambapo utekelezaji umefikia asilimia 87 na ujenzi wa miundombinu ya maji katika miji ya tabora igunga uyui na nzega pamoja na vijiji 89 vilivyo pembezoni mwa bomba kuu umefikia asilimia 685 vile vile mradi wa maji same mwanga korogwe umeendelea kutekelezwa ambapo miundombinu ya msingi ikiwemo bomba kuu la kusafirisha maji kitekeo cha maji mtambo wa kusafisha maji na matanki ya kuhifadhi maji maabara na eneo la
(iv) uvuvi kukamilisha maandalizi ya ujenzi wa bandari ya uvuvi na ununuzi wa meli kubwa za uvuvi kufufua shirika la uvuvi tanzania tafico ili kuimarisha uwekezaji katika ukanda wa uchumi wa bahari na bahari kuu
kurahisisha ufanyaji biashara na kuvutia uwekezaji wa sekta binafsi miradi katika eneo hili itajumuisha kuendelea na ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha standard gauge mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia maji wa mto rufiji mw 2115 na kuboresha shirika la ndege tanzania miradi mingine ni pamoja na kuboresha miundombinu ya reli za tazara tanga arusha usafiri wa reli dar es salaam pamoja na kuboresha injini na mabehewa ya treni kuendelea na ujenzi wa barabara zikijumuisha barabara za kigoma kidahwe uvinza kaliua tabora (km 3897) mtwara mingoyo masasi songea mbamba bay (km 14709) barabara ya kidahwe kasulu kibondo nyakanazi (km 413) usagara geita buzirayombo | 2020-02-19T23:51:00 | https://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Soma-Hotuba-yote-ya-hali-ya/1597296-5155716-hq597t/index.html |
un nchi lazima ziongeze muda wa vikwazo vya silaha kwa nchi ya libya afrika rfi
libya un antonio guterres muammar gaddafi
un nchi lazima ziongeze muda wa vikwazo vya silaha kwa nchi ya libya
na emmanuel richard makundi imechapishwa 11062019 imehaririwa 11062019 saa 1031
katibu mkuu wa umoja wa mataifa antónio guterres simon maina / afp
katibu mkuu wa umoja wa mataifa antonio guterres ameyataka mataifa yote duniani kuiwekea vikwazo vya silaha nchi ya libya akisema silaha zinazosafirishwa kwa njia ya ardhi majini na anga zimekuwa zikitumiwa kuchochea machafuko nchini humo
katibu mkuu guterres ametoa wito huu katika taarifa yake kwa baraza la usalama la umoja wa mataifa akitaka kukaguliwa kwa meli zote zinazoingia libya na kuongezwa kwa muda wa vikwazo vya silaha kwa mwaka mmoja zaidi
meli ya kivita ya umoja wa ulaya sophia ndio imekuwa meli pekee ya kijeshi inayofanya operesheni za ukaguzi kwenye bahari ya pwani ya libya
wataalamu wa umoja wa mataifa ambao wamekuwa wakisimamia makataa ya kuiuzia silaha nchi ya libya kwenye ripoti yao wamesema baadhi ya nchi zimeendelea kusafirisha silaha kwenda libya
taarifa ya katibu mkuu guterres imeongeza kuwa ili kukabiliana na machafuko yanayoshuhudiwa nchini libya ni lazima mataifa yakubaliane na kuweka msimamo wa pamoja kuhusu vikwazovya silaha dhidi ya libya
tangu kuangushwa kwa utawala wa marehemu kanali moammar gadhafi mwaka 2011 nchi ya libya imetumbukia katika vita ya wenyewe kwa wenyewe makundi mengi yakiwania umiliki wa maeneo yenye utajiri wa mafuta
kwa takribani miezi miwili sasa vikosi vinavyoongozwa na mbabe wa kivita nchini libya jenerali khalifa haftar ambaye ameanzisha mashambulizi dhidi ya vikosi vya utawala wa tripoli unaotambuliwa na jumuiya ya kimataifa
jeshi nchini libya lajigamba kuwa na
takriban makampuni 40 ya ulaya
libya ufaransa yathibitisha kumuunga
umoja wa mataifa waomba kusitishwa kwa | 2019-08-19T20:59:15 | http://sw.rfi.fr/afrika/20190611-un-nchi-lazima-ziongeze-muda-wa-vikwazo-vya-silaha-kwa-nchi-ya-libya |
hosanna inc picha yetu jumatatu hii rais kikwete akisalimiana na askofu augustine mpemba
picha yetu jumatatu hii rais kikwete akisalimiana na askofu augustine mpemba
bishop augustine mpemba ambaye ni mmiliki wa kwa neema fm ya jijini mwanza akiwa na rais jakaya mrisho kikwete tarehe 4/02/2012 wakati wa maadhimisho ya miaka 35 ya chama cha mapinduzi yaliyofanyika kitaifa jijini mwanzaaskofu mpemba alikuwa miongoni mwa wageni waalikwa katika maadhimisho hayo
posted by hosanna inc at 356 pm | 2017-11-24T05:45:15 | http://hosannainc.blogspot.com/2012/03/picha-yetu-jumatatu-hii-rais-kikwete.html |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.