text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
waziri mkuu mstaafu edward lowassa anusurika kufa katika ajari | ubuyu waziri mkuu mstaafu edward lowassa anusurika kufa katika ajari gari la waziri mkuu mstaafu na mbunge wa monduli na mwenyekiti wa kamati ya mambo ya nje ulinzi na usalama edward lowassa likiwa limebonyea kwa ubavuni baada ya kupata ajali iliyotokea jana asubuhi waziri mkuu mstaafu na mbunge wa monduli na mwenyekiti wa kamati ya mambo ya nje ulinzi na usalama edward lowassa mh edward lowassa amenusurika kifobaada ya gari lake alilokuwa akisafiria kupata ajali eneo la bwawani mkoani morogorogari hilo la waziri mkuu mstaafu na mbunge wa monduli na mwenyekiti wa kamati ya mambo ya nje ulinzi na usalama edward lowassa liligongwa na basi la morobest wakati basi hilo lilipolipita basi jingine kwenye daraja na kukutana uso kwa uso na gari lakini dereva wa mh lowasa kwa ustadi mkubwa alilikwepesha gari lisigonge upande alipokuwa amekaa mzee na kuligonga ubavuni nyuma kwa upande wa dereva na hakuna aliyejeruhiwawaziri mkuu mstaafu na mbunge wa monduli na mwenyekiti wa kamati ya mambo ya nje ulinzi na usalama edward lowassa na msafara wake aliendelea na safari hadi morogoro ambako ameshiriki katika harambee ya ujenzi wa kanisa la kkkt kilakala ambapo yeye na marafiki zake wamechangia shilingi milioni 18
2017-06-25T15:30:03
http://www.ubuyublog.com/2013/01/waziri-mkuu-mstaafu-edward-lowassa.html
ebandeli 44 | biblia na internet | libongoli ya mokili ya sika ebandeli 44134 44 na nsima apesaki mobali oyo azalaki kokamba ndako na ye+ mitindo ete tondisá bilei na basaki ya mibali oyo na ndenge bakoki komema mpe tyá mbongo ya moto na moto na monɔkɔ ya saki na ye+ 2 kasi osengeli kotya kɔpɔ na ngai kɔpɔ ya palata na monɔkɔ ya saki ya mwana oyo ya nsuka mpe mbongo ya mbuma na ye ya kosala farini asalaki kaka ndenge oyo yozefe alobaki+ 3 ntango ntɔngɔ etanaki batikaki mibali yango bákende+ bango ná bampunda na bango 4 babimaki na engumba bakei bakómaki naino mosika te ntango yozefe alobaki na mobali oyo azalaki kokamba ndako na ye ete tɛlɛmá landá mibali wana mpe salá nyonso ozwa bango mpe lobá na bango ete mpo na nini bozongisi mabe mpo na malamu+ 5 oyo ezali te eloko nkolo na ngai amɛlaka na yango mpe oyo na nzela na yango ayebaka kotánga bilembo ya makambo oyo ekoya+ likambo bosali ezali likambo moko ya mabe 6 nsukansuka azwaki bango mpe alobelaki bango maloba yango 7 kasi balobaki na ye ete mpo na nini nkolo na ngai azali koloba maloba ya boye ekoki kosalema ata moke te ete basaleli na yo básala likambo ya ndenge wana 8 kutu mbongo oyo tokutaki na monɔkɔ ya basaki na biso na mokili ya kanana tozongiselaki yo yango+ bongo ndenge nini tokoki koyiba palata to wolo na ndako ya nkolo na yo+ 9 kati na baombo na yo moto oyo bakokuta ye na yango abomama biso mpe tókóma baombo ya nkolo na ngai+ 10 na bongo alobaki ete boye esalema kaka ndenge bolobi+ bongo moto oyo bakokuta ye na yango akokóma moombo na ngai+ kasi bino bokozala na likambo te 11 na yango bakitisaki nokinoki moto na moto saki na ye mpe bafungolaki moto na moto saki na ye 12 mpe abandaki koluka malamumalamu abandaki na mwana ya liboso mpe asukisaki na mwana ya nsuka nsukansuka bakutaki kɔpɔ na saki ya benyamina+ 13 bongo bapasolaki bilamba na bango+ mpe bamatisaki moto na moto mokumba na ye likoló ya mpunda na ye mpe bazongaki na engumba 14 mpe yuda+ ná bandeko na ye bakɔtaki na ndako ya yozefe ye azalaki naino kuna bongo bakweaki na nse liboso na ye+ 15 bongo yozefe alobaki na bango ete likambo nini oyo bosali boyebaki te ete moto lokola ngai nakoki koyeba kotánga bilembo ya makambo oyo ekoya+ 16 na yango yuda agangaki ete tokoyebisa nkolo na ngai nini tokoloba nini mpe ndenge nini tokomonisa ete tozali bayengebene+ nzambe ya solo amoni libunga ya baombo na yo+ talá tozali baombo ya nkolo na ngai+ biso ná moto oyo kɔpɔ emonani na lobɔkɔ na ye 17 kasi alobaki ete ekoki kosalema te ete nasala bongo+ moto oyo kɔpɔ emonani na lobɔkɔ na ye ye nde akokóma moombo na ngai+ nde bino bamosusu bómata na kimya epai ya tata na bino+ 18 bongo yuda apusanaki pene na ye mpe alobaki ete nabondeli yo nkolo na ngai nabondeli yo tiká moombo na yo aloba liloba moko na matoi ya nkolo na ngai+ mpe kotika te ete nkanda na yo+ engalela moombo na yo mpamba te yo ozali lokola farao+ 19 nkolo na ngai atunaki baombo na ye ete bozali na tata to na ndeko 20 bongo tolobaki na nkolo na ngai ete tozali na tata oyo akómi mobange mpe na mwana moko ya bobange na ye mwana ya nsuka+ kasi ndeko na ye akufá mpe atikalá kaka ye moko mwana ya mama na ye+ mpe tata na ye alingaka ye mpenza 21 nsima na yango olobaki na baombo na yo ete bókita na ye epai na ngai mpo ete namona ye na miso na ngai+ 22 kasi tolobaki na nkolo na ngai ete mwana mobali yango akoki te kotika tata na ye soki atiki tata na ye tata na ye akokufa mpenza+ 23 bongo olobaki na baombo na yo ete soki ndeko na bino ya nsuka akiti elongo na bino te bokomona elongi na ngai lisusu te+ 24 mpe esalemaki boye tomataki epai ya moombo na yo tata na ngai mpe toyebisaki ye maloba ya nkolo na ngai 25 na nsima tata na biso alobaki ete bózonga bósombela biso mwa ndambo ya bilei+ 26 kasi tolobaki ete tokoki kokita te soki ndeko na biso ya nsuka azali elongo na biso tokokita mpamba te tokomona elongi ya mobali yango te soki ndeko na biso ya nsuka azali elongo na biso te+ 27 bongo moombo na yo tata na ngai alobaki na biso ete bino moko boyebi malamu ete mwasi na ngai abotelaki ngai kaka bana mibale ya mibali+ 28 na nsima moko akendá atiká ngai mpe nagangaki ete aa apasolami mpenza bitenibiteni+ mpe namoni ye lisusu te tii lelo 29 soki bokolongola mpe oyo ete miso na ngai emonaka ye te mpe soki likama ya liwa ekweli ye bokokitisa mpenza nsuki na ngai ya mpɛmbɛ na mpasi na nkunda*+ 30 mpe sikoyo ntango nakokóma epai ya moombo na yo tata na ngai mpe mwana oyo azali elongo na biso te lokola molimo ya tata ekangani na molimo ya mwana oyo+ 31 ekosalema mpenza boye ntango kaka akomona ete mwana oyo azali te akokufa kaka mpe baombo na yo bakokitisa nsuki mpɛmbɛ ya moombo na yo tata na biso na mawa na nkunda* 32 mpo moombo na yo akómaki ndanga+ ya mwana oyo ntango nyonso oyo akozala mosika na tata na ye na maloba oyo soki nazangi kozongisela yo ye wana nasaleli tata na ngai lisumu mpo na libela+ 33 na bongo nabondeli yo tiká moombo na yo atikala na esika ya mwana oyo lokola moombo epai ya nkolo na ngai mpe mwana amata elongo na bandeko na ye+ 34 mpo ndenge nini nakoki komata epai ya tata na ngai mpe mwana mobali yango azala elongo na ngai te kozanga ete namona mpasi oyo ekozwa tata na ngai+ ebandeli 44
2018-04-24T00:35:27
https://www.jw.org/ln/mikanda/biblia/bi12/mikanda/ebandeli/44/
karibuni nyasa wanablogu karibuni ndani wanablogu karibuni ndani aaah si mmezoea kwenda disko gesti ****** baa kilabuni na mambo kadhaa kuhusu raha zetu jamani siye tunawakaribisha hapa ndiyop starehe zetu hizi na kipindi hiki cha sherehe za kila mwaka wanashajara za mtandaoni karibuni ndani lakini kama huwezi sema tukusaidie na markus mpangala saa 1015 madhumuni kumbukumbu maisha nyasa uzuri simon kitururu 25 december 2008 hapo mimi siji nisije nikazama bure) nitasubiri tu ufukweni muinjoi nikigegeda togwa yenye konyagi kwa mbaaali yasinta ngonyani 26 december 2008 hapo simon umesema nadhani mimi nitakuunga mkono) fadhy mtanga 26 december 2008 wajameni krismas imekwisha nimerudi mzigoni nimemaliza shamrashamra na majukumu na kila kitu ila sikutembelea fukwe kama ya hii ya kaka
2018-01-19T07:44:48
http://lundunyasa.blogspot.com/2008/12/wanablogu-karibuni-ndani_25.html
justin nyari ashikiliwa na polisi ahojiwa | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by msee lekasio jul 13 2010 msee lekasio member nduku sanguni lidhe jambasi bado linatesa hii habari ni ya gaseti la mwananji jeshi la poiisi mkoani arusha linamshikilia mfanyabiashara maarufu wa madini mkoani hapa justin nyari kwa tuhuma za wizi wa madini ya tanzanite pamoja na mamilioni ya fedha za kigeni taarifa zilizothibitishwa na kamanda wa polisi mkoani arusha matei basilio zinasema kuwa nyari alikuwa akisakwa na polisi tangu juzi na kukamatwa jana na kwamba mpaka saa 800 mchana nyari alikuwa akihojiwa kamanda matei alisema kuwa wanamshikilia mfanyabiashara huyo na kumuhoji kutokana na tukio lililofanyika mapema mwezi aprili mwaka huu wakati madini yenye thamani ya sh36 milioni yalipoibwa pamoja na dola 42000 za kimarekani (sawa na sh546 milioni za kitanzania) inadaiwa kuwa fedha na madini ziliporwa kutoka kampuni moja inayojishughulisha na ununuzi na uuzaji wa madini aina ya tanzanite iliyo mjini hapa na wahusika hawakuweza kufahamika kwa wakati huo jeshi hilo lilidaiwa kuwa tangu kutokea kwa wizi huo upelelezi umekuwa ukifanyika na watu watano walikamatwa na kuhojiwa na kwamba baadaye ilibainika kuwepo umuhimu wa kumuhoji mfanyabiashara huyo kamanda matei alisema kuwa ni kweli jeshi hilo lilipata taarifa juu ya mfanyabiashara huyo kuhusishwa na tuhuma hizo hivyo walimtafuta na kumpata na baadaye kumuhoji ili kujua kama kuna kosa la kujibu ni kweli yupo hapa muda huu anahojiwa na mkuu wa upelelezi na suala la kuendelea kumshikilia ama kumwachia litategemea na uzito wa tuhuma zinazomkabili alisema kamanda matei mfanyabiashara huyo amekumbwa na tukio hilo wakati akitajwa kuwa miongoni mwa watu wanaotaka kuwania kiti cha udiwani wa kata ya mererani mkoani manyara kwa tiketi ya ccm huyu ni jambazi na anajulikana kikwete alipoingia madarakani alimwambia aache ujambazi kwa sababu alikuwa anashirikiana na mahita kwa hiyo ili isionekane kwamba serikaliinawajua majambazi aliambiwa aache huyu ni jambazi na anajulikana kikwete alipoingia madarakani alimwambia aache ujambazi kwa sababu alikuwa anashirikiana na mahita kwa hiyo ili isionekane kwamba serikaliinawajua majambazi aliambiwa aache ni aibu sana na hii skendo huenda ikayeyuka tena kama barafu huyo jamaa ni untouchable mmesahau hata yule mpambe wake 'banjoo' aliachiwa kisa kulikuwa hakuna ushahidi wa kujitoshelezajama baada ya kufanya tukio kwa kuiba mawe kwenye sefubaada ya kuishoot na pistol at close rangemna habri alikuwa dodoma jana na je alifuata nini huyu jamaa alisababisha kamanda kombe asipandishwe cheo kwasababu alishindwa kumlindakuna mambo mengi yamejificha nyuma yake ambayo mwananchi wa kawaida akiyajua atawashangaa sana watawala wetuilikuwa ikijulikana wazi nyari angeshinda rufaa yake iwapo muungwana angeshinda kiti cha urais lakini alisota sota rumande na kale ka mwili cjui sasa hivi anajishughulisha na nini nikiwa arusha hiyo group nilikuwa naifahamu nilidhani baada ya ile purukushani walishaacha haya mambo na yuegen nae cjui anajishughulisha na nini arusha yenyewe ndogo wakifanya leo kesho habari zimesambaa townsasa akigombea huo udiwani si ndio balaa yena ndio mana anaenda kugombea huko kwa wanzake wanao subiri kuishi angegombea hapo town cdhani kama angepata huyukazi ipo oct kweli wewe wa kumunyumbaeugene siku hizi yupo dar anakula pesa ya serikali kwa kuwa karibu na dadae (dereva wake) si unajua dada yake ni waziri (namuhifadhi) aliona atakula shaba (kwa kula wake za watu) akaona akipe nakubaliana na wewe kabisa kweli mwenye kazi yake haachi hata siku moja baada ya ile kasheshe aliyoipata bado tu anaendelea na tabia yake ile ile ama kweli hii ni hasara kubwa huyu jamaa hapa arusha kidha mtu anamjua ni jambasi mkubwa kinachomlinda ni hiso noti sake anatoka msiwe na wasiwasi ni kwa muda tu ukiona kakamatwa ujue wakuu wa polisi wameishiwa wanataka pesa zake hiyo iko known kunyumba kabisa preta yuegen alikuwa bfrd wa frnd wangu nilishawaona mara nyingi na huyo dada yake afadhali ameokoa jahazi mana alikuwa anaelekea pabaya bado handsome nawafahamu sana hawa majamaana banjoo sasa hivi anajishughulisha na nini na kale kamwili kapata pata hata nyama jamani sema kabisa dada yake dr buriani kuna nini cha kuficha banjoo anatumikia kifungo cha miaka 30 hujui mangi hakuna polisi anatakapesa yake huyo mtu alilitukana jeshi la poilisi kwa kuwaambia iongei na mbwa naongea na mwenye mbwa wewealishatoka bwana au nachanganya mambo ndiyo maana yake ina rafiki mkubwa lowasa hivyo msitalajie jamaa kufungwa kama aliweza kupangua kesi zilizo kuwa na ushaidi wa wazi itakuwa hii ni kweli alisha toka na ndiyo inasemekana katumiwa na nyari kwenye tukio husika msee lekasio said ↑ si kweli kuwa analindwa na noti yake bali ni lowassa na ccm yao sasa babangu ukienda huko ccm na makaputula yako yenye firaka firaka watakupenda ni hedha yako inapendwa sio wewe na wanakulinda kwasababu ya hedha yako
2018-01-20T15:30:57
https://www.jamiiforums.com/threads/justin-nyari-ashikiliwa-na-polisi-ahojiwa.66870/
mbunge wa mikumi joseph haule aka profesa j na bi grace mgonjo wafunga pingu za maisha jijini dar habari na matukio home harusi mbunge wa mikumi joseph haule aka profesa j na bi grace mgonjo wafunga pingu za maisha jijini dar mbunge wa mikumi joseph haule aka profesa j na bi grace mgonjo wafunga pingu za maisha jijini dar kajunason at july 08 2017 harusi wakionesha vyeti vya ndoa yao mara baada ya kuvisaini na kukabidhiwa profesa jay akiwa na mkewe kipenzi grace mgonjo mara baada ya kufunga ndoa katika kanisa la st peters mbuyuni jijini dar es salaam picha zote kwa hisani ya global publishers profesa jay amefunga ndoa katika kanisa la mtakatifu st peters oysterbay jijini dar es salaam leo jumamosi julai 08 2017 na mpenzi wake wa siku nyingi grace mgonjo cherekochereko za tukio kubwa la mbunge wa jimbo la mikumi kupitia tiketi ya chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) joseph haule almaarufu profesa jay limetikisa jiji la dar baada ya kufuatiliwa na watu wengi ndoa ya profesa jay na mpenzi wake wa muda mrefu kabla ya ndoa hiyo iliyoibua shangwe kwa ndugu jamaa na marafiki waliofurika kanisani hapo msafara wa kuelekea kanisani ulianzia nyumbani kwa profesa jay kimaratemboni jijini dar ndoa hiyo ilifuatiwa na sherehe iliyofanyika kwenye ukumbi wa mlimani city jijini dar es salaam grace akiingia kanisani kwa ajili ya kufunga ndoa na mpenzi wake wa siku nyingi profesa jay profesa jay akiwa ameketi na mkewe muda mfupi baada ya kuingia kanisani tayari kwa tukio takatifu wakipewa mkono wa dua mara wakati wakikamilisha tendo la ibada ya ndoa grace akipewa mkono wa pongezi na baraka mara baada ya kufunga ndoa
2018-12-16T04:00:19
http://www.kajunason.com/2017/07/mbunge-wa-mikumi-joseph-haule-aka.html
mkuu wa shule ya sekondari kakonko ajinyonga ofisiniaacha ujumbe huu | moto moto news mkuu wa shule ya sekondari kakonko ajinyonga ofisiniaacha ujumbe huu dunia yetu 114600 0 comment mkuu wa shule ya sekondari kakonko katika wilaya ya kakonko mkoani kigoma peter rubonya amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kamba ofisini kwake tukio hilo limetokea mapema leo jumatatu machi 262018 huku kukiwa na taarifa kuwa marehemu ameacha ujumbe unaosomeka mkurugenzi wa halmashauri ya kakonko lusubiro mwakabibi asipodhibitiwa ataua wengi akielezea tukio hilo mwalimu wa zamu isaac japhet amesema yeye alifika shuleni hapo mapema saa 1230 kwa ajili ya kuwafundisha wanafunzi wa kidato cha nne masomo ya ziada baada ya kufunga shule wiki iliyopita na baada ya kufika aligundua kuwa hana chaki ambapo mkuu huyo wa shule alimpatia chaki mlinzi ili awape wanafunzi alisema baada ya muda mratibu elimu kata pamoja na mmoja wa wazazi walifika ofisini hapo wakiwa na shida na mkuu wa shule na baada ya kuelezwa kuwa yupo ndani ofisini waliamua kugonga mlango ili kuingia lakini hawakuweza kujibiwa na ndipo wakaamua kufungua mlango na kukuta mwili wa marehemu ukininginia darini mwalim isaac ameaiambia malunde1 blog kuwa marehemu ambaye alikuwa akifundisha pia masomo ya kemia na fizikia shuleni hapo hawakuwahi kusikia kuwa na mgogoro wowote wa kifamilia au kijamii na kwamba mkewe ambaye ni mkufunzi katika chuo kikuu cha dodoma udom alifika nyumbani kwake juzi akitokea dodoma naye mlinzi wa shule hiyo kajoro kajabojabo amesema alikutana na mkuu wa shule mapema asubuhi akiingia ofisini na kumuomba chaki ambazo alipewa na kuziwasilisha kwa walimu nilimuona kabisa tukasalimiana nikamuuliza kama ana weza kuwa na chaki akaingia ofisini akanipatia boksi moja la chaki nikachukua nikampelekea mwalimu aliyekuwa anahitaji alikuwa kwenye hali nzuri tu lakini baada ya muda ndiyo tukio hilo likatokeaamesema kajoro mkuu wa wilaya ya kakonko kanali hosea ndagala akizungmza baada ya kutembelea shule hiyo na kumfariji mjane amesema polisi wanaendelea na uchunguzi wa tukio hilo ili kujua sababu ikiwa marehemu aliacha ujumbe wowote au lah pia ametumia fursa hiyo kutoa wito kwa jamii kutokaa na mambo yanayowasonga na badala yake wayafikishe katika ngazi tofauti za serikali jamii au rafiki zao hatujajua sababu lakini ni muhimu jamii ikajenga utamaduni wa kueleza matatizo ya ndani yanayoyasibu hii inasaidia sana kupunguza msongo wa mawazo na kuepusha madhara kama hayaamesema kamanda wa polisi mkoa wa kigoma martin otieno amesema baada ya kupekuliwa kwa mwili wa marehemu huyo walikuta karatasi imeandikwa ujumbe kuwa mkurugenzi wa halmashauri ya kakonko lusubiro mwakabibi asipodhibitiwa ataua wengi
2018-09-21T05:02:36
http://www.motomotonews.com/2018/03/mkuu-wa-shule-ya-sekondari-kakonko.html
kipira blog rais mpya wa zanzibar ni dk ali mohamed shein rais mteule dk shein kupitia ccm ameshinda kwa jumla ya kura 179 809 sawa na 501 ya kura zote il hali maalim seif kupitia cuf amepata kura 176 538 sawa na 491 na zilizobaki ni za vyama vingine maalimu seif pia ameipongeza tume ya uchaguzi ya zanzibar zec kwa zoezi la uchaguzi lakini pia ametoa maoni juu ya mapungufu aliyoyaona hasa kuhusu shahada za kupiga kura na matumizi ya mabavu kwa mawakala wa vyama na watu mbalimbali wanapohoji na kutaka taarifa sahihi amemsihi rais mteule alishughulikie suala hilo kabla ya kuhitimisha hotuba yake fupi malim seif alisema kuwa katika matokeo haya hakuna mshindi wala mshindwa kwani washindi ni wazanzibari na imani yake ni kuwa serikali ya umoja wa kitaifa italeta mafanikio nchini humo amemsihi rais mteule kuwaasa watu kuacha kubezana kwani kufanya h ivyo kunaweza kusabababisha mtafaruku baada ya kuzungumza malim seif alinyanyuka na kumpa mkono wa pongezi rais mteule wa zanzibar 2010 2015 dk ali mohamed shein ilipofika zamu ya rais mteule kuzungumza naye alitoa pongezi kwa maalim seif na kupongeza zoezi zima la uchaguzi jinsi lilivyoendekea pia ametoa ahadi ya kushirikiana na wote katika ujenzi wa zanzibar mpya kwa mujibu wa maridhiano mapya ya uundwaji wa serikali ya umoja wa kitaifa ya zanzibar posted by kipira at 122700 am
2018-06-23T06:27:44
http://kipirajr.blogspot.com/2010/11/rais-mpya-wa-zanzibar-ni-dk-ali-mohamed.html
vijimambo rais magufuli afungua miradi minne ya maendeleo na kuhutubia wananchi rais wa jamuhuri jamuhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe joseph magufuli akiwasalimia wananchi wakati wa ziara mkoani tabora picha na ikulu
2018-07-20T14:36:34
https://lukemusicfactory.blogspot.com/2017/07/rais-magufuli-afungua-miradi-minne-ya.html
chumba cha siri baada ya dogo janja kuomba msamaha ili arudi tip top hii ndiyo kauli ya madee na babu tale viongozi wa tip top baada ya dogo janja kuomba msamaha ili arudi tip top hii ndiyo kauli ya madee na babu tale viongozi wa tip top dogo janja kuuomba msamaha kupitia vyombo vya habari uongozi wa tip top connection na madee aliyemtoa arusha boss wa tip top connection babu tale ameiambia tovuti ya times fm kuwa anataka rapper huyo aseme ukweli wa yote aliyoyasema awali baada ya kutoka tip top
2018-07-16T10:39:04
http://chumbachasiri.blogspot.com/2014/03/baada-ya-dogo-janja-kuomba-msamaha-ili.html
tausi mdegela na amigo mahaba motomotomuda wowote ataolewa mke wa pili | moto moto news tausi mdegela na amigo mahaba motomotomuda wowote ataolewa mke wa pili akizungumza na mwandishi wa wwweatvtv tausi amesema suala la ndoa ni mipango lakini ni jambo ambalo lipo kwani tayari wamekuwa kwa muda mrefu kwenye mahusiano na mpenzi wake huyo ambaye ni mwanamuziki wa taarab ambaye tayari ana mke wa kwanza
2018-12-17T08:46:21
http://www.motomotonews.com/2018/01/tausi-mdegela-na-amigo-mahaba-motomoto.html
rais jakaya kikwete azindua mradi wa ujenzi wa uwanja wa kisasa wa azam leo bin zubeiry sports online rais jakaya kikwete azindua mradi wa ujenzi wa uwanja wa kisasa wa azam leo bin zubeiry sports online mwanzo > untagged rais jakaya kikwete azindua mradi wa ujenzi wa uwanja wa kisasa wa azam leo rais jakaya kikwete azindua mradi wa ujenzi wa uwanja wa kisasa wa azam leo rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania jakaya mrisho kikwete (kulia) akisalimiana na mwenyekiti wa azam sheikh said mohamed kabla ya kuzindua jiwe la msingi wa ujenzi wa uwanja wa kisasa wa azam fc mchana wa leo makao makuu ya klabu hiyo azam complex chamazi nje kidogo ya jiji la dar es salaam rais kikwete akikata utepe tayari kuzindua mradi wa ujenzi wa uwanja wa kisasa wa azam fc wengine kulia ni mkuu wa mkoa wa dar es salaam said meckysadik mkurugenzi mkuu wa makampuni ya ss bakhresa wamiliki wa azam fc abubakar said salim bakhresa na kushoto ni sheikh said na waziri wa habari utamaduni na michezo dk fenella mukangara jk akipenua pazia kufungua jiwe la msingi msafara rais jk akiwapungia mkono wananchi wakati wa kuzindua mradi huo rais jk na msafara wake akipita pembezoni mwa bwawa la kuoghelea la azam complex rais jk akipata maelekezo kutoka kwa daktari wa azam fc mjerumani paulo gomez ndani ya gym ya kisasa ya iliyopo ndani ya azam complex sheikh said akimuelekeza jambo rais jk wakati akimtembeza katika himaya ya azam complex item reviewed rais jakaya kikwete azindua mradi wa ujenzi wa uwanja wa kisasa wa azam leo rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry
2020-02-22T01:24:37
http://www.binzubeiry.co.tz/2013/03/rais-jakata-kikwete-azindua-mradi-wa.html
mpango mkakati mwezi oktoba 2019 kutangaza kuadhimisha na kushuhidia radio vatican baba mtakatifu francisko anasema mwezi oktoba 2019 kitakuwa ni kipindi maalum sana kwa maisha na utume wa kanisa sehemu mbali mbali za dunia utakuwa ni muda wa kusali na kutafakari utume kama msingi wa mchakato mzima wa uinjilishaji mpya unaotekelezwa na mama kanisa kwa hakika hiki ni kipindi cha ushuhuda wa huruma ya mungu inayomwilishwa katika uhalisia wa maisha ya watu mwezi oktoba 2019 kanisa litakuwa linaadhimisha jubilei ya miaka 100 tangu papa benedikto xv alipochapisha waraka wa kitumemaximum illud yaani kuhusu shughuli za kimisionari ni muda wa sala katakesi tafakari na matendo ya huruma ni wakati muafaka kwa waamini kuhakikisha kwamba wanatelekeza vyema dhamana na wajibu waliojitwaliwa kwa njia ya sakramenti ya ubatizo inayowashirikisha unabii ukuhani na ufalme wa kristo waamini wakiwa wamezaliwa kwa maji na roho mtakatifu wanawajibu wa kukiri na kutangaza imani ambayo wameipokea kutoka kwa mwenyezi mungu kwa njia ya kanisa na hivyo kushiriki katika utendaji wa kitume na wa kimisionari wa taifa la mungu hayo yamefafanuliwa na padre fabrizio meroni katibu mkuu wa mashirika ya kipapa ya kazi za kimisionari 30 mei 2018 wakati alipokuwa anafungua mkutano wa kawaida wa mashirika ya kipapa yanayojadili mbinu mkakati wa maadhimisho ya jubilei ya miaka 100 ya waraka wa shughuli za kimisionari mwezi oktoba 2019 kardinali fernando filoni mwenyekiti wa baraza la kipapa la uinjilishaji wa watu anasema kanisa linahitaji kupyaishwa daima kutoka katika undani wa maisha na utume wake kwa njia ya toba na wongofu wa ndani unaofanywa na watoto wa kanisa kwa moyo unaowaka mapendo kanisa litaendelea kupenda kutangaza kushuhudia na kuhudumia watu wote kardinali filoni anasema tarehe 30 novemba 2019 kanisa litakuwa linaadhimisha jubilei ya miaka 100 tangu papa benedikto xv alipochapisha waraka wa kitume maximum illud unaopembua mchakato mzima wa shughuli za kimissionari zinazotekelezwa na mama kanisa ni waraka unaokazia umuhimu wa maandalizi ya wamisionari na wakleri katika maisha na utume wa kanisa umuhimu wa mapadre watawa na waamini walei kuchuchumilia utakatifu wa maisha pamoja na kuendelea kujitoa bila ya kujibakiza kwa ajili ya maisha na utume wa kanisa waamini walei wanashirikishwa kwa namna ya pekee utume wa kimisionari kwa njia ya sala kwa kusaidia kutegemeza miito mbali mbali ndani ya kanisa sanjari na kuchangia kikamilifu katika mchakato wa kulitegemeza kanisa mahalia baba mtakatifu francisko anasema maandalizi ya maadhimisho ya kipindi hiki maalum cha kutangaza na kushuhudia injili kilisaidie kanisa kuwa daima katika mchakato wa kujiinjilisha kwanza jumuiya za waamini ziwe ni jumuiya za matumaini yanayomwilishwa katika uhalisia wa maisha kwa kuwashirikisha wengine ziwe ni jumuiya za upendo wa kidugu zenye utamaduni wa kusikilizana daima sanjari na kuamini kuhusu matumaini yanayofumbatwa katika amri mpya ya upendo kwa mungu na jirani familia ya mungu kuna wakati inashawishiwa na kujikuta ikimezwa sana na malimwengu kumbe kuna haja kwa familia ya mungu sehemu mbali mbali za dunia kusikiliza matendo makuu ya mungu yakitangazwa tena mbele yake kwamba wanahamasishwa kumwongokea mwenyezi mungu na wanaalikwa kuungana naye tena kwani daima familia ya mungu inapaswa kuinjilishwa ili kujichotea nguvu ya ya kutangaza na kushuhidia injili ni matumaini ya baba mtakatifu kwamba jubilei ya miaka 100 tangu kuchapishwa kwa waraka wa kitume maximum illud mwezi oktoba 2019 kitakuwa ni kipindi cha sala na shuhuda za watakatifu na wafia dini padre fabrizio meroni anakaza kusema itakuwa ni nafasi ya kufanya tafakari ya kibiblia na kitaalimungu katekesi makini pamoja na matendo ya ukarimu yatakayolisaidia kanisa kuinjilishwa tena ili kupata ari na nguvu ya kushuhudia upendo ule wa kwanza kwa kristo aliyeteswa akafa na kufufuka kwa wafu ili hatimaye kuinjilisha kwa kujikita katika ushuhuda wenye mvuto na mashiko kielelezo makini cha imani tendaji inayobubujika kutoka katika tafakari makini ya neno la mungu lengo ni kuamsha tena ari na moyo wa kimisionari ili kupyaisha sera na mikakati ya shughuli za kichungaji inayotekelezwa na mama kanisa padre fabrizio meroni katibu mkuu wa mashirika ya kipapa ya kazi za kimisionari anaendelea kufafanua kwamba chuo kikuu cha kipapa cha urbaniana kilichoko mjini roma kinajiandaa kuadhimisha makongamano ya kimataifa yatakayojikita katika taalimungu umisionari mintarafu uinjilishaji awali nyaraka za viongozi wa kanisa kutoka maximum illud hadi evangelium gaudium yaani furaha ya injili kutakuwepo na mkutano na wakuu wa mashirika ya kitawa na kazi za kitume utakaotafakari pamoja na mambo mengine juu ya uinjilishaji sakramenti na ushuhuda katika mchakato wa uinjilishaji wa awali
2018-06-18T13:33:11
http://sw.radiovaticana.va/news/2018/06/01/mpango_mkakati_mwezi_oktoba_2019_kutangaza,_kuadhimisha_na_kushuhudia/1375465
wakazi wa nairobi wamshambulia sonko baada yake kusitisha amri ya kuzuia matatu kuingia katikati ya jiji kuu ▷ tukocoke wakazi wa nairobi wamshambulia sonko baada yake kusitisha amri ya kuzuia matatu kuingia katikati ya jiji kuu maoni 680 baadhi ya raia waliibua mzaha kuhusu tukio hilo ili angalau kujiliwaza baada ya kutaabika walitoa ushauri kwa gavana sonko baada yake kusitisha amri ya kuzuia matatu kuingia katikati ya jiji la nairobi ingawa raia wengi jijini nairobi walitarajiwa kupata hisia ya afueni baada ya gavana wa nairobi mike sonko kusitisha amri ya kuzuia matatu kuingia katikati mwa jiji wengi wao walimkashifu kwa kuwatesa siku ya jumatatu desemba 3 raia wengi walitaabika jijini wakishindwa kubaini vituo vipya vya magari ya uchukuzi vilivyotengwa hali iliyowafanya kutembea kwa miguu kwenda kazini na kuchelewa kurejea wanakoishi baadhi ya wakazi wa nairobi wamemkashifu gavana wao mike sonko kwa kuwatesa kwa siku moja na kisa kusitisha utekelezaji wa amri iliyozizuia matatu kuingia katikati mwa jiji picha ugc baada ya sonko kusitisha utekelezaji wa amri yake raia wengi walimiminika kwenye kurasa zake mtandaoni na kumzomea kutokana na maamuzi yake yaliyowakera baadhi yao walimfunza jinsi ya kuliongoza jiji kulingana na baadhi ya raia sonko alifanya uamuzi wa kuzizuia matatu kuingia katikati mwa jiji kutokana na ushauri wa marafiki zake ambao hawafahamu jinsi sekta ya matatu inavyoendeshwa uliwatesa wakazi wa nairobi kwa siku nzima kwa jambo ambalo ningekueleza kwa dadika 5 hakuna mtu hata mmoja kati ya marafiki zao wanaotumia matatu na ambao wangekushauri ipasavyo job mbugua aliandika baadhi ya raia walizua utani kutokana na masaibu yao jijini labda kwa njia ya kujiliwaza kwa matatizo ya siku nzima sasa jamaa aliyeomba nambari ya simu ya binti aliyekuwa akitembea naye kuja jijini ndoto imekatizwa chris mugo alisema haya hapa ni maoni mengine ya wakazi wa jiji la nairobi waliomkashifu gavana sonko gilbert muthamia hili lilitarajiwa kufeli kwa kuwa hakuna mbinu mbadala zilizotolewa uliwakejeli wapiga kura kuwa hawana uthabiri kiafya kwa kuwa hawafanyi mazoezi nina uhakika hili litatimia siku moja lakini sio wakati wewe ni gavana sasa ninamwelewa @ migunamiguna tracy gesare usiwanie kiti cha ugavana au kiti chochote cha kisiasa mwaka wa 2022 tumeona huwezi kuendesha shughuli za jiji asante kwa kuharibu ushuru wetu zifurahie wakati bado una muda brigadier general kwa muda acheni magari ya uchukuzi wa umma yawafikishe abiria katikati ya jiji bila kusimama huko kampuni zote za magari hayo ziwe na vituo vya kusimama nje ya jiji na kuingia katikati mwa jiji wakati wa kuwachukua abiria mabasi yatumie muda mfupi zaidi yakiwa katikati mwa jiji nairobi updates jiji la nairobi linakuwa unahitaji kufikiria kuhusu mbinu ya kuwasitiri mamilioni ya watu hao na kumaliza matatizo ya uchukuzi siku zijazo mnaweza kujenga barabara za ziada michoro inaweza kufanywa ili kuacha nafasi ya kujenga barabara zinazopita chini ya zile zilizopo alex mwango huu ndio ulistahili kuwa msimamo ulijua na ukaamua kufanya ndivyo sivyo matatizo niliyoshuhudia jana hayaruhusu nikuite kiongozi mr kimani sonko acha uwongo ni lini mipango ya majaribio iliandikwa kwenye gazeti rasmi la serikali sema tu mpango wako umefeli kwa kukosa kutafuta ushauri na majivun uchungu wa bibi kutokana na kuzuiwa kwa matatu kuingia katikati mwa jiji la nairobi | tuko tv alliance high school online jobs kenya knec examiners portal jimmy wanjigi car online jobs in kenya
2019-02-20T06:10:32
https://kiswahili.tuko.co.ke/293070-wakazi-wa-nairobi-wamshambulia-sonko-baada-yake-kusitisha-amri-ya-kuzuia-matatu-kuingia-katikati-ya-jiji-kuu.html
rais kikwete ateua makatibu wa wizara | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'jukwaa la siasa' started by invisible dec 30 2011 sema amen ahsante sana kwa taarifa vipi jairo kapelekwa wapi huwa anawaulizi kina nani kufanya uteuzi it seems kuna upendeleo uliopita kiasi kwenye teuzi zake sasa hivi tumeshamzoea huyu acha afanye ajuavyo siku zake zinahesabika hapo kwenye madaraka aliyonayo huwa anawaulizi kina nani kufanya uteuzi it seems kuna upendeleo uliopita kiasi kwenye teuzi zake sasa hiviclick to expand mkuu acha tuhuma nyepesi nyepesi hebu tuambie wewe ulitaka amteue kina nani hebu tupe majina yao na cv zao hapa ulaji huo lupanjo nasikia balozi siku hizi tumeshamzoea huyu acha afanye ajuavyo siku zake zinahesabika hapo kwenye madaraka aliyonayoclick to expand kiongozi kama wewe ungekuwa mkuu wa nchi ungemteua nani aamenclick to expand safi tuendelee au tusiendee kuteua sasa inabidi aje atuteulie ma mods wa jf kabla ya 2012 lols ma mods matumbo joto hahaha kiongozi kama wewe ungekuwa mkuu wa nchi ungemteua naniclick to expand angekuteua wewe hahahahaha imekuuma eeh pole sana msiwe walalamishi sana pigeni shule kwa sana najua umeuliza swali baada ya kuona majina jamani udini huu utawamaliza kwa kweli interest ya kujua nani kateuliwa na jakaya iliisha muda mrefu uliopita actually ni tangu ngwe ya kwanza ya dr dr dr (heshima udom) jakaya kikwete kuna jambo moja ambalo kila siku analisahau kulifanya jk na ambalo tutaendelea kumkumbusha nalo ni kumuhamisha philemon luhanjo kutoka ukatibu mkuu kiongozi hadi kwenye payroll ya pensheni ya wastaafu hili kila siku analisahau anyway tutaendelea kumkumbusha mkuu acha tuhuma nyepesi nyepesi hebu tuambie wewe ulitaka amteue kina nani hebu tupe majina yao na cv zao hapaclick to expand wako wengi wanatufaa majina yale yale watu wa aina ileile wameifanya tanzania yao wenyewelol sema amenclick to expand kwa nini niseme amen tusubiri wale wanaohubiri udini waongee kama kweli wanamaanisha udini ni kuchagua upande mmoja ama udini kwao ni uislamu angekuteua weweclick to expand mawazo laini laini yenye majibu yaliyo nakshiwa wepesi wepesi mkuu unaweza kutufafanulia kuhusu huo upendeleonani amependelewa
2017-07-23T17:17:14
https://www.jamiiforums.com/threads/rais-kikwete-ateua-makatibu-wa-wizara.207639/
michuzi blog ngoma azipendazo ankal ngoma ya skylight band ya 'nasaka dough' iko bomba ya ukweli sana big up yaani nomaaaa kilicho ni boa ni kimoja tu bendi ya tanzania kwenye video kichwa cha treni kimeandikwa masai wa kenya mnaona kama ni vitu vidogo lakini vikubwa sana ktk fani ya marketing ama public relations then kila siku twalalamika watani wanatupiga bao ni kweli hata kama mmeifanyia kenya mlikuwa na uwezo wa kusema hatutaki ionekana hivi ni mawazo tu yangu marketing kwa wasanii wetu bado kwikwi na ukiwaelimisha basi unajenga chuki au bifu
2014-09-19T15:47:42
http://issamichuzi.blogspot.com/2013/04/ngoma-azipendazo-ankal_7.html
dola inadhalilisha bunge | gazeti la mwanahalisi na kondo tutindaga imechapwa 08 june 2011 imefilisika kifedha na kwa hoja juma lililopita nilijadili tukio la jaji mkuu tuliyenaye kuonekana katika mazingira yanayoshawishi kuwa yeye ni sehemu ya mhimili wa utawala kitendo chake cha kukaa katika semina elekezi ya watendaji wakuu wa serikali akishuhudia rais akitoa maelekezo kwa watendaji kinaweza kumfanya afikiri kuwa naye anaelekezwa na rais katika kazi zake aidha kitendo cha yeye kutumika kutoa maelekezo kwa watendaji wakuu wa serikali kinajenga hisia kuwa hata yeye anaweza kutoa maelekezo ya namna hiyo kwa majaji na mahakimu hilo likitokea utakuwa ni mwiba mkali katika mhimili wa mahakama zetu hisia zangu zaweza kuwa zinapotosha ukweli lakini yeye jaji mkuu na majaji wenzake wachache wenye tabia ya kujipendekeza kwa wakuu wa serikali wanajua ninachokisema punde si punde yaweza kuibuka mawasiliano machafu baina ya jaji mkuu majaji na mahakimu yatakayothibitisha kuwa mahakama yetu haiko huru hata kidogo ukiacha mbali utata wa uteuzi wa jaji mkuu liko pia suala la hekima iliyotumika siyo tu kumwalika katika semina ile elekezi bali hata uhusiano wa kinasaba na wakuu wengine wa vyombo vya dola cheche hizi katika taifa ambalo linalazimisha watu waende kulala bila kula siku moja zaweza kuzusha moto mkali katika vyombo vyetu nyeti na ambavyo vinapaswa kuishi mbali na tuhuma kama hizi dola yetu na mihimili yake mitatu bunge mahakama na utawala/serikali inapaswa kuwa na haki sawa katika maongozi ya nchi kiongozi wa bunge ni spika anne makinda hata kama katika ujumla wake unaounda dola mkuu wa nchi ambaye ndiye mkuu wa mhimili mmojawapo anakuwa ndiye mwenyekiti wa umoja wa dola yetu bado katiba yetu pamoja na ubovu wake inatamka uhuru wa kila mhimili katika utendaji wake wa kazi kila siku yako maeneo ambako mihimili hii inategemeana bali si kwa kulazimishana ila kwa kushauriana na kushawishiana hivyo basi mkuu wa dola hana budi daima kuonekana anasahau kuwa yeye ni mwenyekiti wa wenzake wawili ili kustawisha uhuru wa utendaji wa wakuu wawili waliobaki katika mihimili yao kumbe ndiyo sababu tunatakiwa kuwa makini katika kuchagua mtu anayeitwa rais na mkuu wa nchi kwani rais na mkuu wa nchi asiye na akili sawasawa anaweza kuvuruga nchi na kusababisha maafa makubwa kwa taifa na ustawi wake ni mkuu huyuhuyu ambaye anaweza kuamua mtu afe akafa nchi iende vitani ikaenda bunge livunjwe likavunjwa na maamuzi mengine makubwa chini ya katiba yetu ya sasa baada ya makala ile yametokea mambo kadhaa yanayoashiria ama kupungua kwa umakini katika kuongoza dola au uzembe wa wazi wa kuingiliana kwa mihimili yote mawili hayana ushahidi lakini kukosekana kwa ushahidi peke yake katika taifa letu si uthibitisho wa uhakika kuwa jambo fulani halikutendeka kwa maoni yangu muingiliano wa mamlaka za mihimili yetu siku za karibuni umelidhalilisha na kulifedhehesha bunge letu pale wabunge wake wa upinzani walipoanza kukamatwa na polisi na kuwekwa rumande kwa sababu za kisiasa bunge limedhalilishwa na mhimili wa serikali pale vyombo vyake vya dola vilipojipa jukumu la kuamua ikiwa matamshi fulani ya wanasiasa kama ni siasa safi au siasa mbaya uelewa huu mpya wa siasa miongoni mwa polisi umetoka wapi kama si shinikizo la wanasiasa kwa jeshi la polisi serikali imekabidhi masuala ya kisiasa mikononi mwa polisi na kuwanyanganya wabunge haki ya kukutana na wapigakura wao mpaka wapate ruhusa ya polisi na mazungumzo hayo yasimamiwe na polisi kwa muda uliowekwa na polisi imekuwa kana kwamba wapigakura ni wafungwa na wabunge ni jamaa zao wanaofika kuwatembelea gerezani na wakati wa mazungumzo sharti askari magereza awepo kusikiliza mazungumzo hayo wakati haya yanafanyika wabunge wa chama tawala wanashangilia kwa kuwa wao hawahitaji kibali wala kusimamiwa na polisi katika mikutano yao hili lina gharama kubwa tuendako bunge limedhalilishwa na mhimili wa mahakama pale mahakimu walipoamua kupeleka akili zao likizo na kuazima za wanasiasa katika kufanya kazi zao zinazowahusu wanasiasa tumeshuhudia mahakimu tarime na urambo kwanza wakigoma kutoa dhamana kwa kosa linaloruhusu dhamana na pale walipoikubali wakaweka dhamana ngumu sana kana kwamba wanafurahia wabunge wabaki mahabusu tumeshuhudia kosa la kibinadamu la hakimu wa arusha kubatilisha hati ya kukamatwa na baadaye kuisaini ikimdhalilisha kiongozi wa upinzani bungeni serikali hiihii ambayo inakaribia kuzimia kwa kukosa fedha ikapata fedha za kujaza mafuta magari ya polisi ili kutetea kosa la hakimu mjini arusha serikali hiihii na vyombo vyake ina kipimo cha ajabu cha kuisaidia kuamua mbunge gani imwombee ruhusa kwa spika ili ahojiwe au kukamatwa na ni yupi polisi wanaidhini ya kumhoji au kumkamata bila kwanza kuwasiliana na spika udhalilishwaji wa bunge mikononi mwa mahakama na serikali umeshangiliwa sana na wabunge wa chama tawala kwa upofu unaoweza kukigharimu chama chenyewe siku za karibuni hii ni kwa sababu misingi mibovu ya kutafsiri sheria na katiba ikiachwa ifanye kazi na kuzoeleka baadaye misingi hiyohiyo huota usugu unaoweza kukidhalilisha chama tawala chenyewe kikibahatika kubaki madarakani au hata kikiondoka madarakani misingi ileile mibovu ya kutafsiri sheria hutumika kukikandamiza kinapokuwa chama cha upinzani sheria kandamizi na za kudhalilisha bunge zisiachwe kuendelea eti kwa sababu zinakikandamiza chama cha upinzani ubovu wa sheria haubagui chama wala mtawala pale hali ya kutotawalika itakapokuwa imeruhusiwa na watawala vipofu na walevi wa madaraka dola yetu imefilisika kwa kukosa fedha na hoja kilichobakia ni ubabe wa polisi na mahakama katika kunyamazisha hoja zisizojibika taarifa zilizozagaa katika mitandao hivi sasa zinasema chama tawala na mtawala wake walipata kura chache sana katika vituo na makambi ya polisi ukiwauliza polisi wenyewe wanasema wazi kuwa wamepigika na ndiyo maana wao na rushwa ni kama chanda na pete ugumu wa maisha unaowakabili polisi hauwezi kuondolewa kwa kuwafanya polisi watumike kama chombo cha kukandamiza demokrasia nchini tayari mbegu imepandwa ndani ya polisi mmojammoja na imemea nani anabisha kuwa ikikua yaweza kukataa kutekeleza amri haramu kutoka kwa watawala waliofilisika rostam sitta pinda chadema slaa dowans lowassa richmond kikwete mkapa ccm uchaguzi cuf chenge makamba
2019-05-21T22:38:41
http://www.mwanahalisi.co.tz/dola_inadhalilisha_bunge
nini husababisha neva mtihani | hypnosis tips & tricks « akili tricks sita easy ones uongo kuhusu hypnosis » hypnotherapy kwa neva mtihani goodbye sleepless nights jambo ubora nini husababisha neva mtihani je unakumbuka jinsi ulivyojisikia siku moja kabla ya wewe alichukua yako mwisho mitihani sleepless sweaty wasiwasi na wasiwasi na kuonekana kuwa kikamilifu nzuri maneno ya kuelezea hali yako basi na kisha kuna wale mara wakati wewe unafikiri kuwa alisoma wote unaweza alifanya marekebisho yako meticulously na bado moja kuangalia karatasi ya mtihani na wote ni tupu hii ni uwakilishi sahihi ya wanafunzi wengi katika usiku wa mtihani mkubwa sana inategemea wewe kufanya vizuri katika yako mitihani lakini tu hawezi kuonekana kudhibiti wasiwasi jinsi kubwa itakuwa ni kama mtu alikuwa na wand uchawi kwamba inaweza kuchukua hizi shughuli mbali mimi ni hapa na kuwaambia kwamba kuna wand uchawi kama hii na ni uongo ndani ya subconscious yako wote unahitaji kufanya ni summon hii wand kwa msaada wako kwa msaada wa hypnotherapy kwa ajili ya mtihani wa neva wasiwasi na mtihani neva mimi katika kazi yangu yaliyojitokeza idadi ya wanafunzi ambao walihitaji msaada na wasiwasi wao wanafunzi hawa walifika kutoka katika mikondo mbalimbali ya kitaaluma na viwango vya baadhi ya wanafunzi walikuwa level wakati wengine gcse kutoka kwa wale dawa kusoma kwa wale falsafa ya kusoma nimefanya kazi pamoja nao na wao kuwa na mafanikio ya kutekelezwa mbinu ya hypnotherapy kwa ajili ya mtihani wa neva kuwaweka katika steed nzuri hivyo ni jinsi gani hypnotherapy kwa ajili ya mtihani wa neva kweli kusaidia mitihani wote ni kuhusu kuthibitisha wenyewe dhidi ya wengine yake yote kuhusu utendaji flawless wakati ni makosa kama wewe ni overwrought na wasiwasi kamwe kuwa na uwezo wa kufikia ukamilifu hatua ya kwanza ya hypnotherapy ni ya utunzaji wa shughuli hizi kwa njia ya echoes soothing na visualizations kutuliza wewe ni kupewa nafasi ya kupata zaidi ya hii ya wasiwasi utakuwa na uwezo wa kutuliza mawazo hata kama affirmations chanya kazi kwa njia yao ya kuelekea kwenye akili yako subconscious hypnotherapy na mtihani neva kupitia hypnotherapy kwa ajili ya mtihani mishipa tunaweza kudhibiti mashaka yoyote ya akili zetu na kuwa na umakini zaidi hata wakati wanakabiliwa na hali yanayokusumbua na mtu yeyote ambaye mateso kutoka mtihani wa neva atakuambia kwamba kujibu karatasi ya mtihani inaweza kuwa kama yanayokusumbua hali kama kuna kuwa mafanikio katika mitihani ni kama kiasi suala la wasomi kama ni kuhusu mwelekeo na hali yako ya sasa ya akili kama wewe ni shwari unaweza kuzingatia na makini zaidi juu ya kazi iliyopo na utakuwa na uwezo wa kukumbuka majibu na ufafanuzi hypnotherapy pia ni kubwa kujiamini nyongeza kama ni tunes subconscious akili yako katika kuamini kitu ambacho ni vigumu kama matokeo wewe ni uhakika wa mwenyewe na kuwa bora selfimage kama selfshaka ni kufanyika mbali na long term solution kwa mtihani neva hypnotherapy kwa mishipa ya mtihani pia ni ufumbuzi wa muda mrefu mara baada ya zimeweza kupitia mfululizo wa vikao hivi utakuwa na uwezo wa kukumbuka mbinu hizi misaada yako kama na wakati unahitaji yao nini maana ya ukombozi inaweza maana hii ya udhibiti wa wasiwasi hypnotherapy pia husaidia katika kutunza nishati ngazi yako hadi na yako motisha viwango vya juu hivyo mara moja kuwa na silaha hizo katika silaha zako wewe ni kali na mara moja wewe ni kali hakuna karatasi ya mtihani itakuwa kuonekana kutishia kutosha bora wa bahati unaweza kushinda mtihani wa neva yako one response to hypnotherapy kwa neva mtihani goodbye sleepless nights jambo ubora rick girod anasema juni 11 2012 katika 1118 pm kuna njia nyingi kwamba unaweza kujifunza hypnosis unaweza kusoma nyenzo za kufundishia kwenye mtandao kuwa ni kawaida pamoja na nyimbo za elimu kwamba kufundisha masuala muhimu ya hypnosis kama wewe si vizuri na kujifunza kwa njia ya kusoma unaweza kununua cd kufundishia kwamba kufundisha hypnosis katika hali ambapo mbinu hizi mbili ni hazifai kwa style yako ya kujifunza unaweza kujifunza hypnosis moja kwa moja kutoka kwa daktari hii ni mara nyingi amekuwa na wengi kama utapata kujifunza maadili wakati huo huo wewe ni kujifunza nadharia na mbinu za kutekeleza hypnosis kosa limetokea ambayo huenda inamaanisha kulisha ni chini jaribu tena baadae
2017-10-21T23:10:29
http://www.freehypnosisinformation.com/sw/2012/03/30/hypnotherapy-for-exam-nerves-goodbye-sleepless-nights-hello-excellence/
ccm yaanza kuaga ikulu | jamiiforums | the home of great thinkers ccm yaanza kuaga ikulu discussion in 'jukwaa la siasa' started by pisto lero may 29 2012 na alfred lucas | imechapwa 23 may 2012 | mwanahalisi chama cha mapinduzi (ccm) kimeanza kufanya maandalizi ya kuaga ikulu na kuwa kiongozi mkuu wa upinzani bungeni mwanahalisi limeelezwa hatua ya chama hicho chini ya mweyekiti wake rais jakaya kikwete kupendekeza ushindi wa rais kuhojiwa mahakamani tayari imechukuliwa kuwa ni kuona uwezekano wa kushindwa katika chaguzi zijazo miaka miwili na nusu kabla ya uchaguzi mkuu (2015) ccm imesema itapendekeza kwa tume ya kuratibu maoni juu ya katiba mpya kwamba uwepo uwezekano wa kuhoji ushindi wa rais mahakamani katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania (1977) ambayo imekuwa ikitumika nchini inakataza ushindi wa rais kuhojiwa mahakamani nafasi nyingine &#8211 ubunge na udiwani &#8211 zimekuwa zikihojiwa tume ya kukusanya maoni iliyoanza kazi mei mosi mwaka huu imepewa miezi 18 kukamilisha kazi hiyo na rais jakaya kikwete amewahi kusema kuwa katiba mpya ndiyo itatumika wakati wa uchaguzi mkuu 2015 pamoja na kupendekeza suala la ushindi wa rais kuhojiwa na yeyote mahakamani ccm imependekeza pia kuwepo kwa utaratibu wa mgombea binafsi mapendekezo ya ccm yanatokana na vikao vya kamati kuu (cc) na halmashauri kuu ya taifa (nec) vilivyokutana mjini dodoma wiki iliyopita kutohojiwa mahakamani kwa ushindi wa urais ambako kumerithiwa kutoka mfumo wa chama kimoja kumekuwa kukilinda mgombea hata kama kulikuwa na hila au ukiukwaji wa sheria kanuni na taratibu za uchaguzi aidha kuzuia mgombea binafsi kumekuwa kifungo maalum kwa wabunge wa ccm ambao pindi walipotofautiana na uongozi ama walilazimika kujiuzulu au walifukuzwa uanachama mwanahalisi limezungumza na wachambuzi mbalimbali wa mambo ya siasa wakiwamo viongozi wa sasa wa ccm na wastaafu kuhusu mapendekezo haya john mnyika mkurugenzi wa habari na mawasiliano wa chadema amesema kwa ccm kukubali mambo hayo makuu ni kujenga mazingira ya kupata fursa ya kupinga matokeo ya urais katika uchaguzi ujao wamepima na kuona hawatashinda sasa lazima waanze mapema kutafuta fursa za kupinga matokeo ya urais amesema mnyika kwa njia ya simu aliyekuwa mwenyekiti wa wenyeviti wa ccm kwa muda mrefu pancras ndejembe anasema umefika wakati lazima tukubali mabadilko ukikataa mabadiliko maana yake unaleta matatizo tutaonekana wabinafsi kuanzia kifuani hadi shingoni kama tunataka kubaki na amani umoja mshikamano tulioachiwa na waasisi wa taifa hili lazima tukubali mabadiliko&#8230no other way out (hakuna njia mbadala amesema ndejembi gazeti hili lilikuwa likitaka kujua kutoka kwa wote waliohojiwa maana ya ccm kukubali utaratibu wa mgombea binafsi na ule wa kuhoji matokeo ya urais mahakamani kwa upande wake mwenyekiti wa bodi ya udhamini ya ccm peter kisumo anasema mazingira ya sasa yanaruhusu chama au nchi kuendeshwa kwa mfumo wa kisasa amesema lazima kuwe na mgombea binafsi maana siasa za dunia zimebadilika wakati wa one party system (mfumo wa chama kimoja) umepita na sasa huwezi kuzuia hali na kasi hii ya mabadiliko kisumo anasema utaratibu wa sasa wa aliyepata kura nyingi kutangazwa mshindi ndio uendelee badala ya ule wa kuchukua aliyevuka nusu ya kura zilizopigwa lakini katibu mwenezi wa ccm nape nnauye alipohojiwa juu ya mapendekezo ya ccm alisema hivi ikitokea mtu akakuuliza kwanini tunaingia kwenye mjadala wa mchakato wa katiba mpya utamjibu nini kabla hata ya kujibiwa aliongeza &#8230hilo jibu ambalo unataka kuniambia basi ujue kuwa ndio jibu la ccm alipohojiwa iwapo haoni kuwa sasa ndio ccm inaelekea kushindwa nape alijibu hilo ndilo ulilotaka kujua nasema andika tu&#8230 lakini katibu mkuu mstaafu wa ccm luteni yussuf makamba alijibu kwa ufupi hayo mambo yana wenyewe hilo wanaweza kuzungumza akina mukama (wilson) lao hilo naye katibu mkuu wa ccm wilson mukama amesema &#8230chama kimetoa maoni yake hata hili la mgombea binafsi likipitishwa ccm itaendelea kushika dola mpaka mwaka 2015 na hata zaidi ya hapo mabere marando wakili wa mahakama kuu na mwasisi wa mageuzi nchini amesema wamejua kwamba wakiendelea kupinga haya watapata shida baadaye hoja hiyo tuliibua sisi tuliipigania sisi lakini sasa wanakubali kwa sababu hawana hoja tena ya kuzuia amesema na kuongeza ccm inakwenda kushindwa ndiyo maana hata imekubali hoja ya matokeo ya urais kupingwa mahakamani marando ambaye chama chake kilimsimamisha dk willibrod slaa katika uchaguzi mkuu uliopita amesema ccm imeshakuwa chama cha upinzani dunia nzima katika nchi yoyote ile ukiona ndani ya chama tawala wanavurugana hadharani wanagombana hadharani ujue ni dalili za kushindwa ametoa mifano ya kenya zambia na malawi ambako amesema vyama tawala vilianguka na kuongeza &#8230na hapa tanzania unaona hata viongozi wa ccm wanakwenda upinzani muda umefika kwa ccm kukaa kando mbunge wa zamani wa monduli mkoani arusha luteni mstaafu lapilall ole molloiemet anasema ccm sasa ijiandae kuwa chama cha upinzani baada ya kuwanyima watu utu wao na kuwadhulumu ardhi naibu katibu mkuu wa cuf julius mtatiro anasema muda wa ccm kuongoza dola umefika ukiongoni wananchi wamepoteza matumaini sasa wanasubiri kuihukumu 2015 basi jaji mkuu mstaafu augustino ramadhani aliulizwa iwapo walikuwa wanatetea ccm pale yeye na majaji wenzake sita walipotoa hukumu iliyoonekana kuzingatia matakwa ya chama hicho katika sauti ya utulivu jaji ambaye sasa ni makamu mwenyekiti wa kamati ya kukusanya na kuratibu maoni juu ya katiba mpya alisema walichofanya majaji si kupinga mgombea binafsi kwa mujibu wa kesi iliyofunguliwa tulichofanya sisi ni kuona kwamba kuna vifungu viwili vinapingana katika katiba moja hivyo tukasema kwamba jaji mmoja majaji watatu au sisi majaji saba hatuna uwezo wa kubadilisha sheria wenye uwezo wa kufanya hilo ni bunge ambalo lilitunga sheria ambazo zinatumiwa na mahakama katiba hiyo hiyo inasema wagombea watokane na vyama vya siasa wakati huohuo inasema kuna haki na mtu kugombea haki ya kuchagua na kuchaguliwa ameeleza jaji ramadhani anasema waliamua kuwa suala hilo ni la kisiasa na kwamba linaweza kuamuliwa bungeni ambako kulitungwa vifungu vyote vya katiba tuliona pia kwamba kwa uamuzi huo hakuna kifungu kingine kilichokuwa kinavunjwa amesema na nyie kwa kujipa imani za ajabu ajabu jaribuni baada ya miaka hamsini mbele hii nchi ni ya ccm ipigwe kura au isipigwe rais wa tanzania lazima atokee ccm au hamuoni hiyo viongozi wa ccm wanavyo gombania hiyo nafasi na nyie kwa kujipa imani za ajabu ajabu jaribuni baada ya miaka hamsini mbele hii nchi ni ya ccm ipigwe kura au isipigwe rais wa tanzania lazima atokee ccm au hamuoni hiyo viongozi wa ccm wanavyo gombania hiyo nafasiclick to expand ebu tueleze mlipata lini hati miliki gamba wewe ccm na kanu lazima wawe ndugu kama kwali watanzania tuna taka maendeleo ni lazima tuiondoe ccm madarakanimaana sasa ccm imekuwa kama kiuganga bila hicho tunahisi tutakufa walipata kwa nyerere kwa akili za kutoweza kusoma alama za nyakati wala kuchambua mambo uko sahihi kabisalakini si kwa ualisia wa dunia ya leowalikuwepo miungu watu wanaotawala kwa mikono ya chuma na kuogopwa vibaya mno leo wako na wafungwa magerezani na wengine wapo kuzimumabadiliko hayazuiliki kwa fikra nyepesi kama zako karafuu said walipata kwa nyerereclick to expand nyerere mwenyewe alisha watabiria kifo cha mendena ndicho hiki sasa wameshanusa kitakachotokea hata hivyo si wanatawala kwa nguvu za maruhani wazee wa dar es salaam na washili ccm watarajie kuwa kama kanu kikwete amenunua furniture mpya pale ikulu sasa zile za zamani kapeleka wapi na hizo mpya atachukua pia serikali ya gas na dhahabu ina pesa hiyo their end is very near hodi hodi ikulu riz1 ajiandae kwenda kutumikia magereza yeye na babake sasa nape akibaki peke ake itakuwaje wamekwisha hao naona kimenuka hapo kwa baba riz pamoja na kwamba tunapenda cdm ichukue dola bado kazi ni pevu kuwahamasisha wapiga kura wengi ku support chama makini tanzania ni nchi kubwa sana na kuna sehemu nyingi tu bado wanaamini kuwa 1 sisiem imeshika hatamu na nyerere ni rais wao 2 vyama vya upinzani vitaleta vita tz kama vitapewa nafasi ya kuongoza nchi mfa maji very cleverccm wakishindwa wakapeleka kesi mahakamani then kikwete bado anaendelea kua kwenye powerna mahakama zetu si mnazijua kesi mpaka isikilizwe ni miaka 5 so msishangae tukawa na kikwete for another 10yrs
2016-12-08T12:20:37
http://www.jamiiforums.com/threads/ccm-yaanza-kuaga-ikulu.271405/
watu | yesunibwana home › mafunzo › watu posted on november 19 2014 by yesunibwana 1 comment ukiwa duniani ili ufanikiwe na utimize kusudi ulilobeba maishani mwako unahitaji watu hata mungu alipokuja duniani katika mwili [yesu kristo] alihitaji watu ili kufanikisha kilichomleta duniani malighafi na pesa kubwa ya muhimu unayoihitaji ili ufanikiwe hapa duniani ni watu sahihi ukifanikiwa kukutana nao maisha yako yanavuka na kuacha alama mungu ametoa watu kwa ajili yako na kabila za watu kwa ajili ya maisha yako isaya 4334 luka 638 isaya 6011 ‹ what drives you mwanga › tagged with maisha pesa watu one comment on watu amen kwel kabsa
2017-11-20T13:51:20
https://yesunibwana.org/2014/11/19/watu/
ghasia zachacha hong kong ikipinga utawala wa china taifa leo ghasia zinaendelea kushuhudiwa mjini hong kong baada ya raia kupinga vikali udhibiti wa eneo hilo na serikali kuu ya china yenye makao yake jijini beijing hapo jana polisi walilazimika kufyatua risasi na vitoa machozi hewani maelfu ya raia wakiandamana kupinga sera za china kutumika kwenye uongozi wa jiji hilo linalojitawala kivyake waandamanaji hao walipiga mawe vituo vya kibiashara vinavyoaminika kumilikiwa na wafanyabiashara wanaounga serikali ya china ikiwemo afisi ya shirika la habari la xinhua polisi nao waliwakabili waandamanaji hao walijitahidi sana kukabiliana na waandamanaji huku taarifa zikisema zaidi ya waandamanaji 100 walikamatwa na kuwekwa ndani ya magari matatu ya polisi hadi maeneo yasiyojulikana kupitia taarifa xinhua ilikashifu waandamanaji walioshambulia afisi zake na kuwataja kama watu wasiofahamu wanachokitenda maandamano hayo yanakuja baada ya serikali ya china mnamo ijumaa kusema kwamba haitavumilia mabadiliko yoyote kwenye utawala wa serikali ya hong kong na nia ya uongozi huo kuanzisha masomo yanayowasisitizia raia wao kuonyesha uzalendo kwa taifa lao huku waandamanaji jijini hong kong wakiwa hawaonyeshi dalili zozote za kukata tamaa na kuwa watulivu utawala wa beijing nao umekataa kuridhia mapendekezo ya kuwapa waandamanaji hao uhuru na demokrasia wanayopigania serikali yote ya hong kong inadhibitiwa na utawala wa china na sasa lazima tujitokeze na tupiganie demokrasia na haki yetu hatutakata tamaa hadi tupate kile tunachohitaji akasema gordon tsoi 18 ambaye ni kati ya waaandamanaji wanaopigania utawala huru wa mji huo polisi ambao wamelaumiwa pakubwa kwa kutumia nguvu kupita kiasi dhidi ya raia wamekuwa wakikataa kuidhinisha notisi ya kuruhusu maandamano ya amani yaandaliwe japo mara nyingi raia huwapuuza baada ya miezi kadhaa ya maandamano makabiliano kati ya polisi na raia yamekuwa jambo la kawaida huku umoja wa kimataifa(un) ukionya kwamba hali isipodhibitiwa uhasama kati ya china na raia wa hong kong utasambaratisha ukuaji wa mji huo kabisa uhuru wa kujikusanya au kuandaa mkutano unazidi kukandamizwa kwa kuwa polisi wapo kila mahali hata hivyo tutazidi kupigania haki zetu za kikatiba akaandika mmoja wa waandamanaji joshua yong kupitia twitter tangu aingie mamlakani rais xi jinping amekuwa akilaumiwa kwa kukandamiza uhuru wa raia wa hong kong china hong kong uchina
2019-11-20T09:06:44
https://taifaleo.nation.co.ke/?p=39968
jiulize maswali kila asubuhi | gazeti la jamhuri jamhuri november 20 2019 jiulize maswali kila asubuhi20191120t093550+0000 makala unapoamka asubuhi kutoka kitandani unajiuliza swali gani unapomsikia jogoo akiwika alfajiri unajiuliza nini je kila asubuhi unajiuliza kuhusu hatima ya maisha yako kila asubuhi imebeba ujumbe wa maisha yako kila asubuhi mungu anakuambia nimekuamsha salama mwanangu mpendwa ninakupenda sana fanya kazi kwa bidii kila asubuhi imebeba mafanikio yako mwandishi wa kale aitwaye anon anasema kila asubuhi unakabidhiwa saa 24 za dhahabu kila kunapokucha kila mtu anapokea bure zawadi ya siku mpya hatupokei zawadi hiyo kwa sababu sisi ni watu wema kuliko wengine ambao hawajafanikiwa kuiona asubuhi tuliyoiona sisi hapana kila asubuhi tunayoipokea ina malengo na makusudio maalumu katika maisha yetu tuitumie kila asubuhi tunayokutana nayo kama fursa ya kubadilika kimaono kiupendo kiuchumi kiimani na kiafya aliyekuwa mkurugenzi wa apple steve jobs wakati akizungumza na wahitimu wa chuo kikuu cha stanford mwaka 2005 alisema kila nikiamka asubuhi huwa ninajiuliza kama leo ingekuwa siku yangu ya mwisho kuishi duniani je ningefanya ambacho ninataka kukifanya leo je ningeishi kama ambavyo ninataka kuishi leo na kama jibu langu lingekuwa hapana basi hapo ningejua kuwa kuna kitu ninatakiwa kukibadilisha martin luther kwa upande wake alisema hata kama leo ingekuwa siku yangu ya mwisho bado ningefanya kazi ambayo ingezaa matunda kwa ajili yangu au kwa anayekuja nyuma yangu je kwa upande wako kama leo ndiyo ingekuwa asubuhi yako ya mwisho ya kuishi hapa duniani ungefanya nini kila asubuhi kimbia kila asubuhi ni lazima uwe na mbio za kuyatafuta mafanikio yako yalikojificha mtu mmoja alisema kila asubuhi swala huamka akijua wazi kuwa lazima awe na kasi zaidi kuliko simba ili asiliwe lakini pia kila asubuhi simba huamka akijua wazi kwamba lazima awe na kasi kuliko swala ili asilale njaa kimbia kwa kasi kama swala ili usiliwe na simba kimbia kwa kasi kama simba ili usishinde njaa bila kujali kama wewe ni simba au swala ni lazima kila asubuhi uwe na kasi ya kuyatafuta mafanikio unayoyataka kila asubuhi unatakiwa kuamka na moyo uliojaa roho ya ushindi kila asubuhi ni lazima ujione kama mshindi kila asubuhi ni lazima upige hatua 99 za kuyasogelea mafanikio yako asubuhi ya leo ndiyo itakayoibadilisha asubuhi ya kesho yako je unafahamu siri ya asubuhi asubuhi ni siku nyingine kila asubuhi unakabidhiwa kalenda ya maisha yako kila asubuhi umri wako unaongezeka kila asubuhi unakumbushwa kuzitubu dhambi zako kila asubuhi unakumbushwa kuiombea kazi yako kila asubuhi unakumbushwa kumwombea mke/mume wako watoto marafiki na majirani zako yule mwandishi wa kale aitwaye tecumseh (17681813) anasema unapoamka asubuhi toa shukrani kwa ajili ya uhai wako na nguvu toa shukrani kwa ajili ya chakula chako na furaha yako ya kuishi kama huoni sababu ya kushukuru kosa liko kwako kila asubuhi kila mwenye pumzi hupokea muda wa saa 24 bure hakuna anayepokea zaidi kila mtu hupokea kwa haki kabisa kila mtu hupokea kwa kiwango sawa na hukitumia kadiri anavyotaka mwandishi h jackson brown jr katika makala yake ya time management anasema usiseme hauna muda wa kutosha unayo idadi sawa kabisa ya saa kwa siku ambazo zilitolewa kwa hellen keller pasteur michelangelo mama tereza leonardo da vinci thomas jefferson na albert einstein je unamfahamu mnyama duma (cheetah) wengi wanajua tu kwamba ni kati ya wanyama wenye kasi sana duma anakimbia zaidi ya maili 60 kwa saa lakini wengi wasichokijua kuhusu mnyama huyu ni uwezo wake mkubwa wa kubadili uelekeo kinyume na alikokuwa anakimbilia kwa kasi ile ile aliyokuwa nayo hapa amewashinda wanyama wengine wote wengi wetu tuna kasi sana ya maisha kasi ya kutafuta ajira kasi ya mahusiano kasi ya kutafuta elimu nzuri kasi ya kuzisaka fursa na kwingineko kwingi swali ni je endapo kunatokea mabadiliko ya ghafla kwenye eneo fulani maishani mwako una uwezo kiasi gani wa kubadili kasi yako ili uendelee kukimbia kwenye uelekeo mwingine au ndiyo uelekeo ukibadilika na wewe unalala chali na kuanza kulalamika amua kubadilika kila asubuhi jiambie nataka kuwa kama duma « hatupangi kushindwa tunashindwa kupanga (6) muhtasari wa kitabu cha rais mkapa »
2020-01-29T20:34:47
http://www.jamhurimedia.co.tz/jiulize-maswali-kila-asubuhi/
nkorea says skorea us are within its missile range | national & world news | kima cbs 29 news weather and sports yakima wa skip to primary navigation
2015-01-29T20:33:55
http://www.kimatv.com/news/national/NKorea-says-SKorea-US-are-within-its-missile-range-173226101.html
stuttgart mabingwa wapya wa bundesliga | michezo | dw | 21052007 stuttgart mabingwa wapya wa bundesliga stuttgart imeiambia schalke kutangulia si kufika na vishindo vyenu vya darini vya muda mrefu kileleni mwa bundesligavimesishia sakafuni jumamosi vfb stuttgart na taji laubingwa 2007 naam kutangulia kweli si kufikakwani firimbi ya mwisho ilipolia juzi jumamosisi schalke iliongoza bundesliga muda mrefu wala werder bremen ilikua nyuma yake kipindi kipindi kirefu iliotoroka na ubingwabali vfb stuttgarttimu ya kusini ya ujerumani ambayo mpambano 1 kabla ya mwisho ikiongoza kwa pointi 2 stuttgart iliilaza jumamosi cottbus mabao 21lakini ilikua cottbus iliotangulia kutia bao na kuwafanya mashabiki wa stuttgart kupigwa na homa ya wasi wasimkwaju mkali lakini aliouchapa thomas hitzlsperger na bao la ushindi la sami khedira yalitosha kuitawaza stuttgart tena mabingwa wa ujerumani kishindo tulichotiwa kilikua kikubwa mno hii leoilikua kazi ngumu na timu yetu ilipatwa na matatizocottbus ilitupa changamoto kubwa kabisaalisema horst held meneja wa stuttgart schalke kwa mara nyengine tena imeibuka makamobingwa baada ya kuilaza bielefeld mabao 21hii ni mara ya 3 schalke 04 inamaliza makamobingwa na huko uingereza mambo yalikuwa vipi didier drogba wa chelseaaliufumania mlango wa manchester united hapo jumamosi kwa bao lake katika finali ya kwanza ya kombe la fa kuchezwa katika uwanja mpya wa wembleydrogba kwa kweli aliwanyima manchester nafasi ya kutoroka na mataji yote 2ubingwa na kombe la fahii ni mara ya kwanza kwa chelsea kutwaa kombe la fa changamoto hii ya kukata na shoka haikuangaliwa kwa shauku kubwa huko uingereza tu bali hata afrika masharikinchini kenya ilikua asie na mwana aeleke jiwe na yule asiekua na mguu alitia gongo mkutano mikahawani na mitaani mbele ya rundinga eric ponda anaripoti kutoka mombasa wakati mamelodi sundawons ya afrika kusini imekata tiketi yake ya duru ijayo ya kombe la shirikisho la dimba la afrika kwa kumudu suluhu bao 11 na gafsa ya tunisia mabingwa wa tanzania young africans wameshindwa tena kufua dafu mbele ya almerreikh ya sudan baada ya kukomewa mabao 20 katika medani ya riadhamsichana wa ethiopia meseret defar jana aliweka rekodi mpya yxa dunia ya masafa ya maili 2 wakati wa mashindano ya adidas track classic huko californiadefar bingwa wa olimpik wa mita 5000 aliivunja rekodi ya zamani ya dakika 91197 iliowekwa na regina jacobs wa marekani 1999muda wake ni dakika 91047
2018-01-23T18:31:07
http://www.dw.com/sw/stuttgart-mabingwa-wapya-wa-bundesliga/a-2927651
mtwara kumekucha kona ya uchochezi nawaomba watanzania wahifadhi uchochezi huu kona ya uchochezi nawaomba watanzania wahifadhi uchochezi huu mohamed bouazizi enzi za uhai wake mohamed bouazizi ni chanzo cha serikali ya tunisia kuangushwa ukitaka kumjua zaidi kijana huyu ni kwamba alikuwa ni mmachinga aliyefanya biashara zake maeneo yaliyokatazwa na serikali kama ilivyo hapa kwetu tanzania bouazizi alikuwa muuza matunda kikaragosi mtu ambaye serikali haikumjali hata kwa kumpa pole tu ya shida zilizomsonga kwenye maisha yake wengi tunajua bouazizi aliamua kujilipua akakubali kuwa kondoo wa sadaka ya kuteketezwa iliyopokelewa vizuri na mungu na kusababisha machafuko nchi nzima hadi utawala uliompuuza ulipongoka madarakani mazingira yalimuondoa rais zine alabidine ben ali wa tunisia madarakani nayaona kwa rais jakaya kikwete na serikali yake tanzania anayoiongoza ina akina bouazizi wengi ambao shida zao zinapuuzwa uso mkavu na serikali ya ccm akina bouazizi wa bongo wanalia na ugumu wa maisha huduma duni za jamii mfumuko wa bei ukosefu wa ajira rushwa ufisadi na unyanyasaji wa vyombo vya dola vinavyojaribu kwa makusudi kuzima harakati za wanyonge kujikomboa kama ilivyokuwa kwa rais wa tunisia ndivyo ilivyo kwa kikwete ben ali alikaa ikulu kimya akiamini bouazizi hawezi kuleta madhara kikwete naye katulia wakati wanyonge wanalia serikali ya kikwete inafahamu kabisa akina bouazizi wa bongo wanaumia na mgao na gharama kubwa ya umeme wananchi walalahoi sasa wananunua uniti 8 za nishati hiyo kwa shilingi elfu tano mawaziri wenye dhamana wako kimya wanakula na kulala wameridhika na hali hii pengine kuridhika huko ndiko kunakowafanya viongozi wetu waone fahari kutembelea mashangingi na baadhi yao waendelee kuwanyonya wanyonge kwa kuishi kwenye hoteli za kifahari kwa kisingizio cha kukosa nyumba za kuishi ambazo zilikuwepo na kuuzwa kwa bei poa na hao hao wakubwa ya tunisia hayatofautiani na ya tanzania ndiyo maana nimesema serikali ya kikwete inaweza kuaangushwa na mohamed bouazizi kwa mfumo ule ule ikiwa nitaitwa mchochezi au jina lolote ambalo wataona linanifaa sitishiki lakini ni lazima niseme kuwa mwenendo ambao serikali ya awamu nne inakwenda nao hautaiacha salama msingi wa kudharau vilio vya wanyonge na viongozi kujijengea heshima kwenye jamii inayoteseka na ugumu wa maisha utaiangusha serikali ya ccm nikitazama watanzania wanavyohangaikia kula yao ya siku wanavyodhulumiwa haki zao wanavyosotea ajira wanavyobaguliwa katika huduma za jamii na tofauti kubwa ya kimaisha kati ya masikini na tajiri wa nchi hii namhurumia kikwete binafsi najiuliza wananchi wapatwe na dhiki gani nyingine zaidi ya hizi walizonazo ili serikali yao iwajibike ipasavyo na viongozi wao waoneshe kujali serikali inajua elimu bora ni kwa wenye uwezo tiba nzuri ni gharama chakula kinahitaji fedha nyingi haki inanunuliwa na hata heshima pia katika mazingia haya bouazizi atasaidiaje nikitolea mfano sura ya elimu kwa fedha imejionesha mwaka huu waliofaulu vizuri kidato cha nne ni wanafunzi waliokuwa wakisoma sekondari za gharama kubwa lakini watoto wa akina bouazizi wameambulia 0 za kumwaga na sasa wamerudi makwao wakiwa wamekata tamaa ya maisha hawa ni akina bouazizi umeme ambao unatumika kurahisisha maisha ya wanyonge kwa akina mama kujiuzia barafu na vinywaji baridi nao hauwezekani siku hizi gesi imepanda mkaa haununuliki yote haya ni mateso kwa walalahoi kama mchochezi nilitegemea kuona viongozi wetu wakionesha kujali shida za wananchi kwa kufanya kila liwezekanalo kuyapatia ufumbuzi matatizo ya jamii ya kila siku lakini wapiii tatizo la umeme limeanza kuwa sugu tangu utawala wa rais benjamin mkapa toka wakati huo wananchi wanaimbishwa ngojera tu matokeo yake yamejitokeza madudu ya dowans na malipo ya shilingi bilioni 94tulipe na mtambo ungoke wazee wa ikulu wapo na mambo yanakwenda kwa kula kuku kwa mrija uswahilini giza akina bouazizi wa kariakoo wanapigwa virungu na kudhulumiwa nyanya wanazopanga barabarani mmm nitaonekana nachochea nikisema akina bouazizi wa bongo wamebaki kidogo wajilipue na hali ya nchi iwe tete acha ionekane hivyo lakini kwa ukimya huu wa watawala wetu unaofumbia macho matatizo ya msingi ya wananchi nawajibika kuandika haya maana katika maisha yangu sijawahi kusikia watu wakilalamikia maisha magumu kama wakati huu ikiwa rais kikwete anaambiwa na wasaidizi wake kwamba mambo uswahilini ni shwari na wananchi wanafurahia uongozi wake anadanganywa kwa kiasi kikubwa nimelazimika kurudia makala haya kwa sababu nashuhudiwa kutoka moyoni kwamba hali ya nchi yetu ni tete na wakati wa unabii wangu kutimia umesogea naomba kuhifadhi maandishi haya kwenye kumbukumbu posted by baraka mfunguo at tuesday march 01 2011
2017-12-14T02:13:53
http://mtwarakumekucha.blogspot.com/2011/03/kona-ya-uchochezi-nawaomba-watanzania.html
ccm acheni kudanganya na kutisha wananchi | jamiiforums | the home of great thinkers ccm acheni kudanganya na kutisha wananchi discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by vikwazo may 15 2011 jana baada ya nape kushushiwa kombora na mpendazoe kwamba yeye pia alikuwa mwanzilishi wa chama cha ccjwahandishi wa habari walipojaribu kujua upande wa pili unasemaje ilikuwa hivi (nape ambaye hakusema lolote kama kombora la mpendazoe ni la kweli aliwageuzia kibao chadema akisema pamoja na hayoyote waache (chadema) kubaka demokrasia alifafanua akisema watanzania walipiga kura kuichagua ccm iwaongoze kwa miaka mitano ijayo sasa wanaposema tutaandamana nchi nzima ili serikali iondoke kabla ya muda huo huku ni kubaka demokrasia na ni uhaini) nape anapashwa kujua kwamba wanaoandamana ni watanzania kupinga serikali ya tanzania na hatumii siraha zote nape awe makini sana anaongea kama gaddafi kwa kuwaita walibya magaidi walipoanza anza maandamano mpaka sasa nape ameshaizika ccm mikoa ya kaskazini kwa kuwaita wao ni chadema na hiyo hasira hataiona sio muda mrefu nape kasome upya nini maana ya uhaini ninachojua mimi ccm (serikali) ni wahujumu uchumi kwa kuuza nyumba za watumishi na sasa wanaishi mahotelini kwa ghalama kubwa mwisho kama kweli ccm walichaguliwa na wananchi kuongoza nchi yeye anaogopa maandamano kwa nini kama kweli ccm walishinda uchaguzi ina maana wanaushawishi mkubwa katika jamii kuliko chadema lakini kama walichakachua ndio maanake sasa waielewa kwa wao kubaka democrasia uongozi unahitaji iq yako iwe kubwa kufikiri kuchanganua mambo na kuamua majambozi hebu tuangalie kati ya hao wafuatao nani mwenye iq kubwa nyerere mwinyi malechela salim hamed salim karume amani mkapa kikwete kolimba mangula makamba sitta makinda changanua iq za hawa watu na ndo utagundua tatizo liko wapi huyo red alikuwa na umakini iq na utu na huyo black alikuwa makini kidogo wengine hapo hakuna kitu naomba nijibu pia kwamba kikwete ni zaidi ya wamwisho hafai hata kuwa kwenye hiyo list tulichagua sura uongozi unahitaji iq yako iwe kubwa kufikiri kuchanganua mambo na kuamua majambozi hebu tuangalie kati ya hao wafuatao nani mwenye iq kubwa nyerere mwinyi malechela salim hamed salim karume amani mkapa kikwete kolimba mangula makamba sitta makinda changanua iq za hawa watu na ndo utagundua tatizo liko wapiclick to expand kwa sababu tumeingia gharama kubwa sana kuchagua sura badala ya uwezonapendekeza kuwe na utaratibu wa kuwapima uwezo wa viongozi kama rais baada ya kupitishwa na chama chake kama anaweza kushika hicho kibarua miaka minne na nusu ijayo tutasota sana nape amesema hayo kutokana na maneno ya wanasiasa njaa wenu jaribuni kupindua nchi halafu ndio mkione cha moto nyie mnafikiri hii ni misri ccm imeshinda uchaguzi na kuna watanzania wengi tu wanao penda ccm sasa kama nyie zile kelele za mbeya ndio zinawadanganya basi jaribuni na mtakiona cha moto unajua tanzania pia ina watu wenye akili zao na wao ndio wapiga kuralabda cdm wangekuja na sera za maana wangepata maendeleo sio kuendekeza majobless/wazee wa msuba wa mikoani nape amesema hayo kutokana na maneno ya wanasiasa njaa wenu jaribuni kupindua nchi halafu ndio mkione cha moto nyie mnafikiri hii ni misri ccm imeshinda uchaguzi na kuna watanzania wengi tu wanao penda ccm sasa kama nyie zile kelele za mbeya ndio zinawadanganya basi jaribuni na mtakiona cha moto unajua tanzania pia ina watu wenye akili zao na wao ndio wapiga kuralabda cdm wangekuja na sera za maana wangepata maendeleo sio kuendekeza majobless/wazee wa msuba wa mikoaniclick to expand hamuwezi tena kudanganya watu kwa sasaiam afraid its too late mbona mlishatisha sana kumpitia wassira kwenye tv lakini bado watanzania wanadai demokrasia kwa maandamano sauti zenu zimefikia mwisho mkizidi mtavuja damu rest in peace my old friend ccm cdm bado ni cha mtoto nyie wote mtarudi kuiabudu ccm cdm bado ni cha mtoto nyie wote mtarudi kuiabudu ccmclick to expand omr kama wewe unaiabudu ccm si kila mtu ataiabudu hiyo ccm pole kwa kuwa mtumwa wa ccm hata iweje ccm ni dude linalo elekea kufariki sasa likifa sijui ndugu yangu utaabudu nini yetu macho wallahi wewe piga kelele na huyo nape najua ametoa hiyo kauli kwa lengo la kutisha watu kwamba huo ni uhaini ili kuinyima support chadema lakini watanzania wa leo wameshajua vitisho kama hivi na ndio maana maandamano yamejaa watu kama huu ni uhaini kwenu sio tatizo hata mubarak watu walipoanza kuandamana alisema kama wakiishiwa mikate wasema hatawapelekea mingine lakini leo yeye ndiye yuko kwenye shida kubwa na familia yake kwa taarifa yako jana mkewe kapata heart attack kwa kuchungulwa kwa mambo ya ufisadi bongo sio mbali haya yote yatatokea na watu mtaona aibu nape kama anajua huo ni uhaini anawachelewesha nini chadema kwa kumwambia bosi wake kikwete yeye hafanye siasa sio kutisha watanzania waliochoka na uchafu wa ccm mmmmh umefikiri kabla hujasema and unajua tunapoongelea umasikini katika hoja za chadema tunamaanisha nini tunamaanisha hasa hao jobless wazee wajane yatima na wote ambao ccm mnawadharau na kuwamwagia maji machafu na magari mliyonunua kwa kuwakata kodi wnaponunua chochote hadi sukari ( unajua hata wakoloni walikuwa wanahuruma walikuwa wanawakata kodi watu wazima tu na ni wale tu wenye nguvu) lakini ccm na mafisadi wake kodi kuania watoto wachanga yatima viwete nahata wazee duuu ndomana chadema inawakusanya wajitetee wote kwani hakuna anayewakumbuaka wengi wa watu kama hawa ni wale walirushiwa fupi na mafisadi mmmmh umefikiri kabla hujasema and unajua tunapoongelea umasikini katika hoja za chadema tunamaanisha nini tunamaanisha hasa hao jobless wazee wajane yatima na wote ambao ccm mnawadharau na kuwamwagia maji machafu na magari mliyonunua kwa kuwakata kodi wnaponunua chochote hadi sukari ( unajua hata wakoloni walikuwa wanahuruma walikuwa wanawakata kodi watu wazima tu na ni wale tu wenye nguvu) lakini ccm na mafisadi wake kodi kuania watoto wachanga yatima viwete nahata wazee duuu ndomana chadema inawakusanya wajitetee wote kwani hakuna anayewakumbuakaclick to expand tanzania ina watu wenye akili lakini sio kama wewe bogushivi unatathmini vp kuhusu hili •ktk taarifa ya habari itv wametangaza habari moja kuwatbl yatoa msaada wa kukarabati jengo la wazazi ktk hospitali ya mwananyamala ambalo tangu lianze kutumika mwaka 1975 halijawahi kukarabatiwa kbssasa wewe omr endelea kukenua meno kwakua wewe unaiabudu hiyo ccm unafikiria wote wanafikra mgando kama zako wake up my friend cdm ndo mkombozi wa kweli cdm inatesa tanzania nzima wamebaki wanafki na washabiki wachache kama wewe na wenzako
2016-10-26T00:45:45
http://www.jamiiforums.com/threads/ccm-acheni-kudanganya-na-kutisha-wananchi.136031/
imetumwa july 29th 2020 kaimu mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya hai elia machange amewataka watumishi wa halmashauri hiyo watakaoshiriki zoezi la kusajili vizazi hai kwa watoto chini ya miaka mitano kufanya kazi hiyo kwa weledi huku wakiwahudumia wananchi wote wenye kuhitaji huduma hiyo akizungumza mapema leo 29/07/2020 kwenye ukumbi wa halmashauri wakati wa ufunguzi wa mafunzo maalumu kwa watumishi wa halmashauri hiyo watakaoshiriki zoezi la kusajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto machange amewataka watumishi hao kutumia taaluma na nafasi zo kwenye jamii kuwaelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa zoezi la kusajili watoto ili kuhakikisha kuwa watoto wote wenye umri chini ya miaka mitano waliopo kwenye jamii wanafikiwa aidha machange amewataadharisha washiriki wa mafunzo hayo kuwa wanatakiwa kufanya kazi hiyo kwa umakini mkubwa na kuhakikisha kuwa watoto waliozidi umri unaotakiwa wa miaka mitano hawahusishwi na zoezi hilo bali wazazi wao washauriwe kufuata taratibu zinazowafaa watoto hao naye mratibu wa huduma za afya ya uzazi na mtoto wilaya ya hai verdiana michael amesema mafunzo kama haya yatafanyika kwenye ngazi ya kijiji ili kutoa nafasi kwa wananchi wote kupata uelewa na kufahamu umuhimu wa zoezi hili
2020-08-05T04:25:10
http://www.haidc.go.tz/new/wilaya-ya-hai-yajiandaa-kusajili-watoto-chini-ya-miaka-mitano
15092019 mitsubishi space starmitsubishi space star 12 intensemitsubishi space star aangeboden 2014 hatchbackblauw 12 benzine 74913 km kilometerstand74913km twello € 6750 15092019 mitsubishi space starmitsubishi space star 18 gdi comfort automaat | airco | stuurbekrachtigingmitsubishi space star aangeboden 2000 mpvzwart 18 benzine 247369 km verwarmde buitenspiegels harderwijkactieprijs € 1400 14092019 mitsubishi space starmitsubishi space star 16 wagon avancemitsubishi space star aangeboden 2002 stationwagengrijs 16 benzine 241277 km trekhaak surhuisterveen € 1249 14092019 mitsubishi space starmitsubishi space star 12 invite fietsdrager airconditioningte koop mitsubishi space star 2014 hatchbackwit 12 benzine 29369 km traction control heemskerk € 9400 14092019 mitsubishi space starmitsubishi space star 16 inform family +navi + aircomitsubishi space star aangeboden 2005 mpvzwart 16 benzine 124104 km verwarmde buitenspiegels
2019-09-15T07:53:44
https://autovooru.nl/mitsubishi-spacestar~12e-8a7-2363ff.html
solana aitembelea afghanistan | matukio ya kisiasa | dw | 21072009 solana aitembelea afghanistan mkuu wa sera za nje wa umoja wa ulaya javier solana leo anaitembelea afghanistan kwa mazungumzo na rais wa nchi hiyo na baadhi ya wapinzani wa rais huyo wanaohiriki katika uchaguzi wa nchi hiyo unaofanyika mwezi ujao katibu mkuu wa jumuia ya kujihami ya nato javier solana kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na umoja wa ulaya mkuu wa sera za nje wa umoja huo javier solana na viongozi wa kisiasa nchini afghanistan watajadili maendeleo ya hivi karibuni yaliyopatikana nchini humo na katika kanda hiyo pamoja na kuzungumzia uchaguzi mkuu ujao wa nchi hiyo solana atakutana na waziri wa mambo ya nchi za nje wa afghanistan rangin dadfar spanta na kiongozi wa waangalizi wa chaguzi wa umoja wa ulaya nchini humo na pia kusisitizia uungaji mkono wa umoja wa ulaya katika juhudi za kuijenga upya na kuiimarisha afghanistan msemaji wa umoja wa ulaya amethibitisha kuwasili kwa javier solana leo kufuatia mazungumzo yaliyofanyika nchini pakistan ambapo wapiganaji wa kiislamu wamekimbilia baada ya uvamizi uliofanywa na majeshi yanayoongozwa na marekani nchini afghanistan kuung'oa madarakani utawala wa taliban mwishoni mwa mwaka 2001 ziara hiyo ya mkuu wa sera za kigeni wa umoja wa ulaya javier solana inakuja wakati ajali nyingi zikiwakumba wanajeshi wa nchi za magharibi nchini afghanistan huku marekani na washirika wake wa ulaya wakiongeza vikosi kuweza kupambana na wapiganaji wa taliban kuunga mkono majeshi ya ulinzi ya afghanistan pamoja na kuweka usalama kwa ajili ya uchaguzi wa nchi hiyo unaofanyika agusti 20 umoja wa ulaya umetuma timu yake ya waangalizi mwezi huu nchini afghanistan kujiandaa na uchaguzi wa rais na wa majimbo waangalizi wengi wa uchaguzi wana wana wasiwasi juu ya kuendeshwa uzuri zoezi hilo la uchaguzi katika nchi hiyo ambayo bado kwa kiasia kikubwa inadhibitiwa na makundi ya wapiganaji wakati mkuu wa sera za nje wa umoja wa ulaya akitarajia kukutana na viongozi wa afghanistan leo nchini humo maafisa wa nchi hiyo wamesema kwamba wapiganaji 13 wa taliban pamoja na wanajeshi wa nchi hiyo wamekufa katika mashambulio yaliyotokea kwenye mjini miwili mashariki mwa afghanistan polisi nchini humo wamefahamisha kuwa washambuliaji wa kujitoa mhanga wapatao watano na wanajeshi watano wa afghanistan wamekufa katika shambulio lililotokea leo na katika shambulio la pili polisi wamesema washambuliaji wawili wa kujitoa mhanga waliokuwa ndani ya pikipiki na polisi mmoja wamekufa katika mji wa mashariki wa jalalabad baada ya kushambuliana kwa risasi kabla ya kutembelea afghanstan bwana solana aliitembelea pia pakistan na kufanya mazungumzo na viongozi wa nchi hiyo akiwemo waziri mkuu yousuf raza gilani mwandishi halima nyanza (afp ap) kiungo https//pdwcom/p/iutk
2018-12-16T10:57:46
https://www.dw.com/sw/solana-aitembelea-afghanistan/a-4507012
dunia ya michezo friends rangersmpwapwa stars yafuzu hatua inayofuata bila jasho friends rangersmpwapwa stars yafuzu hatua inayofuata bila jasho wakati ligi ya mabingwa wa mikoa (rcl) inaanza kutimua vumbi keshokutwa (mei 12 mwaka huu) timu mbili zinakwenda moja kwa moja raundi inayofuata baada ya mabingwa wa pwani kiluvya united kuondolewa na mkoa wa manyara kutowasilisha bingwa wake kamati ya mashindano ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania (tff) iliyokutana leo (mei 10 mwaka huu) imeiondoa kiluvya united baada ya kubaini kuwa timu hiyo haikushiriki ligi ya mkoa wala wilaya msimu uliopita hivyo kutokuwa na sifa ya kucheza ligi ya mkoa msimu huu hivyo friends rangers ya dar es salaam iliyokuwa icheze na kiluvya united na mpwapwa stars ya dodoma iliyokuwa iwakabili mabingwa wa manyara zinakwenda moja kwa moja raundi ya pili timu nyingine iliyokwenda moja kwa moja raundi ya pili itakayochezwa kati ya mei 25 na 25 mwaka huu na mechi za marudiano ni kati ya juni 1 na 2 mwaka huu baada ya kupita kwenye upangaji ratiba ni mabingwa wa shinyanga stand united fc kamati hiyo iliyokutana chini ya uenyekiti wa blassy kiondo pia imeagiza viongozi wa mikoa ya manyara na pwani waandikiwe barua za onyo kwa kushindwa kuwasilisha majina ya mabingwa wao vilevile imesisitiza viwanja vitakavyotumika kwa mechi za rcl ni vya makao makuu ya mikoa tu isipokuwa kwa uwanja wa ccm mkamba ulioko ifakara morogoro ambao ulishakaguliwa na tff hivyo kutumika kwa michuano ya ligi daraja la kwanza (fdl) msimu huu pia usajili unaotumika katika rcl ni ule ule wa ligi ya mkoa mechi za mei 12 mwaka huu zitakuwa kati ya kariakoo ya lindi dhidi ya coast united ya mtwara (uwanja wa ilulu) techfort ya morogoro vs african sports ya tanga (uwanja wa ccm mkamba) machava fc ya moshi vs flamingo sc ya arusha (uwanja wa ushirika) simiyu united ya simiyu vs magic pressure ya singida (uwanja wa simiyu) na polisi jamii bunda ya mara vs udc ya mwanza (uwanja wa kumbukumbu ya karume) polisi sc ya geita vs biharamulo fc ya kagera (uwanja wa geita) saigon fc ya kigoma vs milambo fc ya tabora (uwanja wa lake tanganyika) katavi warriors ya katavi vs rukwa united ya rukwa (uwanja wa katavi) njombe mji ya njombe vs mbinga united ya ruvuma (uwanja wa sabasaba) na kimondo sc ya mbeya dhidi ya 841 kj fc ya iringa (uwanja wa sokoine mbeya) mechi kati ya red coast na abajalo itachezwa mei 13 mwaka huu uwanja wa azam ulioko chamazi dar es salaam mei 12 mwaka huu uwanja huo utatumika kwa mechi ya ligi kuu ya vodacom (vpl) kati ya azam na mgambo shooting
2018-01-24T05:36:27
http://duniayamichezo.blogspot.com/2013/05/friends-rangersmpwapwa-stars-yafuzu.html
shilole ateswa na wanaume bongoswaggzcom home / shilole / shilole ateswa na wanaume shilole ateswa na wanaume admin 925 pm shilole shilole amebainisha hayo kupitia kipindi cha kikaangoni kinachorushwa mubashara kupitia ukurasa wa facebook ya eatv shilole baada ya kuulizwa swali na shabiki alidai kuwa yeye anapenda sana kutulia ila wanaume ambao huwa anawapata ndiyo huwa hawatulii jambo ambalo linamfanya yeye aonekane hajatulia shilole ateswa na wanaume reviewed by admin on 925 pm rating 5
2017-11-24T00:12:20
http://www.bongoswaggz.com/2017/05/shilole-ateswa-na-wanaume.html
kwa mara ya kwanza mondi amlipua vibaya zari global publishers kwa mara ya kwanza mondi amlipua vibaya zari march 27 2019 by global publishers dar es salaam baada ya kimya kirefu tangu wamwagane msanii wa bongo fleva nasibu abdul diamond platnumz ameibuka hadharani na kumchana mzazi mwenziye zarinah hassan zari the boss lady kwa kuweka bayana kuwa anajutia kuwa naye akizungumza katika mahojiano aliyofanya kupitia mtandao mmoja maarufu wa nchini kenya hivi karibuni diamond aliweka wazi kuwa moja kati ya makosa aliyowahi kuyafanya maishani ni kutoka na zari aliyemzidi umri wakati mwingine tunafanya maamuzi lakini nimejifunza kupitia makosa niliyoyafanya na ninamshukuru mungu kwa hilo alisema ni kosa kubwa kutembea na mtu ambaye amekuzidi umri ilikuwa ni kosa kubwa sana na siwezi kurudia kosa hilo nilifanya makosa sana kutembea na mtu ambaye ana miaka karibu arobaini alisema diamond bila kumtaja jina lakini kiuhalisa inafahamika mwanamke pekee aliyewahi kuwa naye kwenye uhusiano mwenye umri huo ni zari umri wa zari utata mitandao mbalimbali imekuwa ikiripoti kuwa zari ana miaka 40 lakini mwenyewe (zari) amewahi kukaririwa kwenye mahojiano ya runinga moja ya mitandaoni akisema ana umri wa miaka 38 watu wamshangaa baada ya diamond kufunguka maneno hayo mazito kwa mama watoto wake huyo watu wengi wa nchini humo waliichangia habari hiyo kupitia mitandao mbalimbali iliyokuwa ya kwanza kuandika habari hiyo mh inakuwaje diamond aongee haya sasa wakati ambao ameshaachana naye muda wote alikuwa wapi au kwa sababu ana kifaa kipya alihoji mdau mmoja mtandaoni mfuasi mwingine wa mtandao huo alihoji kuwa diamond amepatwa na nini kwani tangu wamwagane hakuwahi kumzungumzia vibaya zilipendwa wake huyo mara nyingi nimekuwa nikiona mondi (diamond) anamzungumzia vizuri zari lakini ghafla tu amemzungumzia vibaya kweli zari amwaga mboga zari naye hakuwa nyuma kupitia mitandao yake ya kijamii ikiwemo snapchat alimtolea uvivu mzazi mwenziye huyo kwa kumwambia kuwa anasumbuliwa na wivu huku akimshauri kukaa kimya kama hana cha kuzungumza wakati mwingine ni vyema kukaa kimya moja kwa moja kunishambulia mimi kwenye mahojiano yako hakuwezi kukuongezea hata shilingi katika akaunti yako alisema zari mapovu kama yote kuonesha kwamba yupo serious zari aliendelea kushusha mapovu kama yote kwa mzazi mwenzake huyo ambaye kwenye uhusiano wao mungu aliwazawadia watoto wawili tiffah na nillan wivu utakuua wewe namshukuru mungu nimebarikiwa nimepata mwanaume mpya na ni bora kuliko wewe katika kila kitu alisema zari kupitia mtandao wa snapchat zari alitangaza kumwaga diamond februari 14 mwaka jana siku ya wapendanao ambapo alitumia ukurasa wake wa instagram kueleza uamuzi wake huo huku akitaja sababu kubwa ya kumuacha ni msanii huyo kutotulia njia kuu tangu atamke uamuzi huo diamond alionekana kufanya jitihada za kurudisha penzi lake lakini hata hivyo hazikuzaa matunda hadi mwishoni mwa mwaka jana alipoamua kutangaza uhusiano wake mpya na mrembo kutoka kenya tanasha dona ambaye ni mtangazaji na mwanamitindo nchini humo stori erick evarist ijumaa wikienda
2019-09-21T04:42:22
https://globalpublishers.co.tz/kwa-mara-ya-kwanza-mondi-amlipua-vibaya-zari/
shule ya msingi ya new version yang'ara matokeo ya darasa la saba mtaa kwa mtaa blog home habari kijamii shule ya msingi ya new version yang'ara matokeo ya darasa la saba shule ya msingi ya new version yang'ara matokeo ya darasa la saba pamoja blog november 03 2017 habari kijamii kauli mbiu ya shule hiyo yenye usajili namba pw01/7/010 ni 'education brings self actualization' ambayo ina maono ya kutoa elimu bora na kujenga jamii yenye kujitambua ambayo itakuwa ni sehemu muhimu ya kutegemewa na taifa aidha amewaasa wazazi na walezi ili kufanya mtoto aweze kupata ufaulu mzuri wametakiwa kutowabagua watoto katika mgawanyo wa kazi za nyumbani na pia watambue wajibu wao wa kuwafuatilia watoto shuleni hasa pale wanapoona hawaendi vizuri kwani elimu ya mtoto na ufaulu wake unategemea sana jitihada za mzazi na mwalimu iwapo kila mtu anatambua wajibu wake na kumthamini mwenzake kwa nafasi yake amewasihi wazazi kiwatia moyo watoto kutulia na kusoma kwa badii na kupenda zaidi masomo ya sayansi mfuko alisema malengo yao makubwa ni kuendelea kufundisha kwa bidii sana ili kuendelea kushika nafasi za juu katika mitihani ya kitaifa na kusaidia watoto wengi wa tanzania kupata elimu bora
2018-10-18T06:24:24
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2017/11/shule-ya-msingi-ya-new-version-yangara.html
taswira za mafanikiomafanikio ya miradi ya asasi natiza kiraia zilizofadhiliwa na the foundation civil society mwaka 2005/2006dar es salaam dar es salaam 2005 p 75 salma m adult education and democracy/salma maoulidi dar es salaam haki elimu(working paper no045) dar es salaam 2004 p 4
2020-06-03T09:19:23
https://policyforum-tz.org/biblio?page=25&amp%3Bamp%3Bf%5Bauthor%5D=10
daniel arap moi wikipedia kamusi elezo huru (elekezwa kutoka daniel arap moi) daniel toroitich arap moi (2 septemba 1924 4 februari 2020) alikuwa rais wa kenya kutoka mwaka 1978 mpaka 2002 2 rais wa kenya 22 agosti 1978 30 desemba 2002 mwai kibaki (19781988) josephat karanja (19881989) george saitoti (19891998 19992002) musalia mudavadi (2002) 2 septemba 1924 (19240902) (umri 95) sacho kenya colony kenyan african national union (kanu) chamakingine kenya african democratic union (kadu) (19601964) lena moi (d 2004) 1 maisha na mwanzo wa siasa 2 makamu wa rais 3 urais wa moi 4 ufisadi kwa serikali 5 kung'atuka maisha na mwanzo wa siasaedit moi alizaliwa sacho wilaya ya baringo mkoa wa bonde la ufa na alilelewa na mama yake kimoi chebii kufuatia kuaga dunia mapema kwa baba yake baada ya kumaliza masomo ya chuo cha upili cha tambach aliweza kujiunga na chuo cha ualimu mjini kapsabet alifanya kazi kama mwalimu kutoka mwaka 1946 hadi 1955 mwaka wa 1955 moi aliingia siasa akachaguliwa kwa kiti cha wanabaraza wa mkoa wa bonde la ufa mwaka wa 1960 moi na ronald ngala waliunda chama cha kadu ambayo kwa kiswahili ni muungano wa demokrasia ya waafrika wa kenya kilichoshindana na kanu iliyoongozwa na jomo kenyatta lengo la kadu lilikuwa kuhifadhi maslahi ya makabila madogo kama wakalenjin dhidi ya makabila makubwa kama waluo na wakikuyu makabila ambayo yalikuwa zaidi upande wa chama cha kanu kenyatta mwenyewe akiwa mkikuyu kadu ilipendelea katiba ya majimbo ambapo mamlaka nyingi zingebaki kwenye ngazi za chini na kanu ilipendelea mfumo wa serikali ya umoja ambapo mamlaka zingeunganishwa mikononi mwa serikali ya kitaifa kanu ilipata kura nyingi katika uchaguzi kabla ya uhuru hivyo serikali ya kikoloni ya waingereza iliachana na katiba ya majimbo mwaka wa 1957 moi alichaguliwa kwa baraza la bonde la ufa tena na mwaka wa 1961 kwa baraza la bunge kwa kiti cha baringo ya kaskazini baadaye akawa waziri wa elimu mwaka wa 19601961 bado kabla ya uhuru wa kenya baada ya kenya kupata uhuru mnamo 12 desemba 1963 kenyatta alimsihi moi ya kwamba kadu na kanu ziungane pamoja kumaliza ukoloni kwa hiyo kenya ikawa nchi ya chama kimoja ikiimarishwa na muungano wa wengi wakĩkũyũwaluo moi aliweza kupanda cheo na kuwa waziri wa mambo ya ndani mwaka 1964 hasa kwa umuhimu wake kuleta faraja za watu wa bonde la ufa na jumla kadu kwa serikali ya umoja wa taifa baadaye aliweza kupanda cheo zaidi akawa makamu wa rais mnamo 1967 kama kiongozi kutoka kabila dogo alituliza makabila haya makubwa nchini kenya lakini moi alipingwa na wanasiasa wa makabila makubwakubwa hasa wakikuyu na waluo walijaribu kubadilisha katiba na kufuta kanuni iliyomfanya makamu wa rais kuchukua nafasi yake wakati rais anaaga dunia hata kwa uzee na afya yake kenyatta kudhoofika alipinga mipango hii katiba ilibaki jinsi ilivyokuwa urais wa moiedit mzee jomo kenyatta alipoaga dunia tarehe 22 agosti 1978 moi alichukua kiapo na kuwa rais wa kenya alikuwa na sifa nchini kona zote alisafiri sehemu na maeneo yote kenya na basi wananchi wakampa faraja na hongera alipochukua kiapo kuwa rais wa kenya alinena kwamba atafuata nyayo za mzee kenyatta kwa maana ataendelea na sera za kenyatta na umoja wa harambee ijapokua wapinzani wake wa kisiasa hasa kutoka makabila makubwa walimwona moi kama rais wa mpito tu asiyeweza kukaa muda mrefu kwa sababu ametoka katika kabila dogo mnamo 1 agosti 1982 kundi la askari wa jeshi la anga la kenya wakiongozwa na hezekiah ochuka lilijaribu kumpindua moi lakini walikuta upinzani wa mikono mingine ya jeshi na polisi waliosimama upande wa rais na kushinda uasi (ona uasi wa wanahewa wa kenya 1982) moi alichukua fursa hiyo kuwafukuza wapinzani wa kisiasa na kuimarisha nguvu yake alipunguza ushawishi wa wafuasi wa kenyatta kwenye baraza la mawaziri kupitia uchunguzi wa muda mrefu uchunguzi huo ulionyesha kwamba wanasiasa kadhaa walikuwa wakishiriki katika uasi moi aliwasamehe lakini alifaulu kuwaonyesha kama wasaliti mbele ya jamii ya kenya viongozi wa uasi huo pamoja na ochuka walihukumiwa kufa na hii ilikuwa mara ya mwisho hukumu za mauti zilitekelezwa kenya [1] moi alipandisha ngazi wafuasi wake waaminifu akabadilisha katiba kuifanya kanu iwe chama cha kisiasa pekee kinachoruhusiwa kisheria nchini wasomi wengi hawakukubali mabadiliko hayo walimoona mwelekeo wa kidikteta vyuo vikuu vilikuwa chanzo cha harakati ambazo zilitaka kuanzisha mageuzi ya kidemokrasia walakini polisi jasusi iliingilia vikundi hivyo na wanaharakati wengi wa demokrasia walikwenda uhamishoni serikali ilipiga marufuku kufundishwa kwa umarx katika vyuo vikuu vya kenya harakati za siri zilizaliwa kama vile mwakenya na pambana [2] moi alijulikana ng'ambo kama kiongozi anayeunga mkono ulaya ya magharibi kwa vita baridi kati ya ukomunisti na ukapitalisti kenya ilikuwa kwa muandamano wa kutojiunga lakini serikali za ulaya ya magharibi ziliona kenya kama nchi inayopinga ukomunisti na hivyo kambi ya nguvu kwao kushinda ukomunisti kwa hiyo kenya ilipokea misaada kutoka nchi za kibepari zaidi ili kuzuia ujamaa uliotambakaa ethiopia somalia tanzania na pia vita za uganda kwa hiyo siasa za uhuru na haki za kibinadamu hazikuwazisha ulaya ya magharibi hata kidogo lakini vita baridi vilipokwisha kwa kuanguka kwa umoja wa kisovyeti mambo hayo mapya yakatokea mwandamano wa watu na wanasiasa kuitisha demokrasia ya vyama nyingi wakiongozwa na matiba na oginga odinga moi alianza kuonekana kama mdhalimu kwa sababu alianza kuwafunga jela wanamgambo wa kidemokrasia na pia jela nyingine za kisiri ambazo watu waliteswa kwa kunanuliwa na swali ulaya ya magharibi ikaacha kuipa kenya usaidizi wa kigeni na kwa kazo pande zote ndani ya kenya na ng'ambo moi kakubali kuruhusu demokrasia ya vyama nyingi ambapo moi mwenyewe kaunga uchaguzi na kukampaini kwa nguvu zaidi kwa kupinga upinzani kasarani mnamo desemba 1991 moi alishinda uchaguzi wa miaka 1992 na 1997 ambapo ulizidi kwa vita vya ukabila mkoa wa bonde la ufa moi aliweza kuwagawa watu wa upinzani kwa kukema ukabila na vyama vya upinzani kupasuka kwa kambi za faraja za kabila pia inasemekana wizi wa kura hasa mkoa wa bonde la ufa na ukambani ufisadi kwa serikaliedit mwaka wa 1999 intidhamu zisizohusika na serikali kama amnesty [1] na uchunguzi wa umoja wa mataifa [2] zilichapishwa kuonyesha haki za kibinadamu kwa wapizani wa siasa hazikutetewa kenya moi akiwa rais jina la moi katajwa kwa ufisadi wa 'migodi' na uzuiaji wa ufisadi huo ambapo serikali kwa sahihi za watu wachache ilisemekana imetoa pesa ya kununua na kuuza migodi ng'ambo kwa jina la kampuni bandia goldenbarg ambapo kamlesh pattni mfanyabiashara wa kenya alisemekana kuwa fisadi halisi kwa oparesheni za goldenbarg na wanasiasa waliohusika ilisemekana kwamba moi aliiona goldenberg kama njia ya kupata pesa za kigeni nchini kenya ambapo uchumi utalii na usaidizi wa kigeni ulipokoma mwaka wa 1992 hivyo goldenberg ilinunua na kuuza migodi iliyochomolewa jamhuri ya demokrasia ya kongo aibu hii ya goldenbarg ni gharama ya asilimia 10 ya utolezi wa uchumi mwaka mmoja pesa zilizolipwa goldenbarg zilikuwa zitolee kenya pesa za kigeni lakini kwa sababu ni mambo fisadi basi waliopewa pesa hizo wakurudisha na basi serikali ya mwai kibaki ilijaribu kuchunguza kesi yenyewe zaidi kung'atukaedit rais moi kazuiwa na katiba kwa uchaguzi wa mwaka 2002 wengi kwa faraja za moi walisema katiba itekelezwe ili achaguliwe mara ya tatu lakini moi mwenyewe kawapinga na kutawa na kumchagua uhuru kenyatta mwana wa rais wa kwanza kama mwenyekiti kwa chama cha kanu raila amollo odinga kwa bidii alikampainia mwai kibaki ambaye alishinda urais kwa muungano wa narc na kukiriwa 29 desemba 2002 moi aliishi kwa utawa mjini kapsabet ambapo huduma zake za amani na usaidizi azifanyia kwa chuo cha moi afrika wakenya wengi wamtambua moi kwa hoja na vigelegele mahali popote aliposimama moi aliunga nchi ya umoja ambayo inaunganisha makabila yote juzi siku ya uchaguzi wa maono wa katiba mpya moi kaipinga katiba ambayo itagawa watu katiba mpya ilipokataliwa na watu kibaki kwa hadhara yasemekana na magazeti kwamba kapanga mkutano na moi kujadili njia ya kusonga mbele ↑ joseph ndunda no hanging since 1987 is death penalty still relevant the star 7 september 2016 ↑ stephen mburu govt reaction was very harsh 12 march 2000 rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=daniel_arap_moi&oldid=1100182 last edited on 6 februari 2020 at 1245
2020-02-21T03:37:06
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Daniel_arap_Moi
dawa za cipro 768839 sexy4me dawa za cipro 768839 this topic contains 0 replies has 1 voice and was last updated by bernerogowhe 6 months 2 weeks ago february 6 2018 at 647 am #37809 ijue dawa yako ciprofloxacin tablets sehemu 2 tablets sehemu 2 mambo unayopaswa kuyafahamu kabla ya kutumia ciprofloxacin usitumie dawa hii iwapo una aleji (mzio) na kiambato hai (ciprofloxacin) au dawa zingine za kundi la quinolone au kiambato kingine kilichotumika kutengenezea dawa hii unatumia dawa ya nbsp antibiotiki (viuavijasumu) hesperian health guides kupambana na maambukizi kutokana na bakteria hazisaidii dhidi ya maambukizi ya virusi kama vile tetekuwanga surua ya rubella cialis order online mafua au homa ya kawaida siyo kila antibiotiki shelf life of cialis inaweza kupambana na maambukizi ya bakteria dawa za antibiotiki zenye muundo wa kemikali unaofanana nbsp ugonjwa wa kisonono (gonorhea) dalili kinga na tiba yake magonjwa ya zinaa unaosababishwa na bakteria aina ya neisseria gonorrhoeae bakteria ambao matumizi sahihi ya dawa jamii ya antibiotic manyanda healthy ingawaje vijiua sumu ni muhimi katika matibabu ya magonjwa mbalimbali kama zikitumiwa ipasavyo lakini matumizi mabaya huleta madhara kwa mtumiaji mfano wa dawa hizi ni ampicilin ciprofloxacin tetracycline gentamycin pen v erythromycin metronidazole amoxillin bakteria waliojenga usugu maambukizi ya mfumo wa viungo vya mkojo wikipedia kamusi kwa kawaida hutumika katika sehemu za kijiografia ambapo kima cha ukinzani ni chini ya asilimia 10 iwapo kima cha ukinzani katika eneo ni zaidi ya asilimia 10 kipimo cha dawa ya kudungwa ndani ya misuli iitwayo ceftriaxone mara nyingi hupendekezwa ugonjwa wa kuhara wikipedia kamusi elezo huru au tmpsmx (bactrim) bahati mbaya matatizo ya shigella imekuwa sugu kwa viua vya kawaida na mara nyingi dawa fanisi ni chahe katika nchi zinazoendelwea ikiwa lazima nbsp hatua za kwanza zinazotakiwa kuchukua kwenye mlipuko mkali wa hizi za doxycycline tetracycline na tmpsmx hazitibu kwa vile mwili wao umeshazizoea tumbo la kuhara damu watu wazima ciprofloxacin 500 mg mara 2 kwa siku kwa muda wa siku 3 watoto ciprofloxacin 250 mg/15 kilo fahamu madhara yatokanayo na matumizi yasiyo sahihi ya antibiotics ingawaje vijisumu ni muhimu katika matibabu ya magonjwa mbali mbali kama zikitumiwa ipasavyo lakini matumizi mabaya huleta madhara kwa mtumiaji mfano wa dawa hizi ni ampicillin ciprofloxacin tetracycline gentamycin pen v erythromycin metronidazole amoxillin moja ya changamoto kubwa nbsp hali ya upatikanaji wa dawa nchini aidha dawa nyingine zilizokuwa zinahitajika zaidi ambazo ni antibiotics na dawa za kupunguza maumivu (ciprofloxacin ceftriaxone diclofenac cotrimoxazole amoxycyline doxycycline na metronidazole) ziliwasili makao makuu ya msd na tayari zimekwisha pelekwa kwenye kanda zote za msd tayari nbsp dawa mbadala 9 zinazotibu u t i katika dalili kubwa zaidi utaishia kujisikia homa baridi kali maumivu nyuma ya mgongo na hata damu kutoka pamoja na mkojo habari njema ni kuwa kuna dawa mbadala za nyumbani unazoweza kuzitumia na ukajikinga na hata kujitibu na ugonjwa huu endelea kusoma mbeguzamaboga nbsp isanga adventist community health and better life mwili jino au kichwa kupata hisia zisizo za kawaida miguuni ganzi baridi muwasho nk matumizi ya aina fulani ya dawa dexamphetamine clecoxib (nsaids) pseudoephedrine fluoruquinolone antibiotics mfano ciprofloxacin matatizo ya nbsp cipro publication cipc b2009185007 ntataise building construction and projects 01/10/2009 b2009185008 flabber trading and projects 01/10/2009 b2009185009 thulani siyangoba recruitment and projects 01/10/2009 b2009185010 se ya sebenza trading and projects an ecofriendly method for extraction and determination of pharmaceutical industry greece) and ciprodar of 0 3 eye drop (manufactured by dar al dawa na and urjordan) simply each sample was analyzed after a suitable dilution with distilled water followed the general cpe procedure and cipro content was determined spectrophotometrically at λmax serikali kuendelea kuagiza dawa ili kuimarisha hali ya upatikanaji hata hivyo alibainisha kuwa antibiotics na dawa za kupunguza maumivu (ciprofloxacin ceftriaxone diclofenac cotrimoxazole amoxycyline doxycycline na metronidazole) ambapo zilikuwa zikihitajika zaidi zimeshapokelewa na msd na kupelekwa katika kanda zote za msd kwa ajili ya kusambazwa nbsp jamhuri ya mungano wa tanzania drug sellers initiative 1 sheria na kanuni za uendeshaji wa dldm 9 sura ya 2 maadili na taratibu za kufuatwa na mtoa dawa 23 moduli ya pili ubora utoaji na matumizi sahihi ya dawa 25 sura ya 1 ufafanuzi wa misamiati na vipengele muhimu 30 sura ya 2 ubora na utunzaji wa dawa 36 can you take 4 5mg cialis sura ya 3 matumizi sahihi na njia nbsp matibabu ya ugonjwa wa kisonono sauti kwa bahati mbaya kuhusiana na matibabu ya ugonjwa huo kumeripotiwa ongezeko la kutosikia dawa vijidudu na hivyo baadhi ya dawa zilizokuwa zikitumika huko nyuma hivi sasa zimekuwa hazina tena athari na hivyo hazitumiki tena kisonono ambacho sio sugu kilicho kwenye shingo ya kizazi (cervix) nbsp gynazole1 vaginal uses side effects interactions pictures baadhi ya wataalamu wa masuala ya tiba wanabainisha kuwa matumizi holela ya dawa za hospitalini pia yanaweza kuwa chanzo cha tatizo hili baadhi cialis and joint pain ya dawa zinazonyooshewa kidole ni pamoja na dexamphetamine clecoxib (nsaids) pseudoephedrine na fluoruquinolone (mfano ciprofloxacin) uhaba wa dawa kauli zinazokinzana toka serikalini na hatma ya antibiotics muhimu kama amoxycillin ciprofloxacin cotrimoxazole na doxycycline na dawa za maumivu kama nbsp cipro (ciprofloxacin) antibiotic side effects adverse events amp uses (cipro cipro xr proquin xr) is an antibiotic drug prescribed to treat a variety of bacterial infections (uti gonorrhea prostatitis) common side effects are headache rash and diarrhea possible serious side effects are central nervous system effects hyperglycemia and c difficile associated diarrhea cipro is nbsp gynazole1 vaginal uses side effects interactions pictures maumivu ya masikio na kutokwa na usaha mzizi mkavu wahudumu wa afya hutoa dawa za antibiotics mfano ciprofloxacin au doxycycline pamoja na chanjo matibabu baada ya maambukizi treatment after infection kwa kawaida matibabu huchukua siku 60 mafanikio hutegemea aina ya ugonjwa na muda wa kuanza matibabu kinga kuna kinga ya kuzuia nbsp vitu vinavyokosesha watu usingizi mwananchi gazeti la kiswahili baadhi ya wataalamu wa masuala ya tiba wanabainisha kuwa matumizi holela ya dawa za hospitalini pia yanaweza kuwa chanzo cha tatizo hili baadhi ya dawa zinazonyooshewa kidole ni pamoja na dexamphetamine clecoxib (nsaids) pseudoephedrine na fluoruquinolone (mfano ciprofloxacin) uhaba wa dawa kauli zinazokinzana toka serikalini na hatma ya antibiotics muhimu kama amoxycillin ciprofloxacin cotrimoxazole na doxycycline na dawa za maumivu kama nbsp hizi ndizo dawa kumi ambazo hazitumiki kabisa kipindi cha ujauzito albendazole hii ni dawa ya minyoo ambayo hutumika mara kwa mara kujitibu lakini ni dawa mbaya sana kwa akina mama wajawazito kwani una uwezo wa kutoa mimba kama mtu katumua cipro na doxy akiwa hajajijua kma mjamzito anaweza kupatiwa tiba ya haraka kuzuia madhara yasimpata mtoto
2018-08-19T18:53:32
http://sexy4me.com/forums/topic/dawa-za-cipro-768839/
(elekezwa kutoka uhabeshi) rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=ethiopia&oldid=1089231 last edited on 14 oktoba 2019 at 1221
2019-12-06T03:36:23
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Uhabeshi
mbeyamkurugenzi mkuu wa takukuru aeleza taasisi hiyo ilivyopambana na rushwa katika kipindi cha miaka 10 iliyopita mtangazaji home / unlabelled / mbeyamkurugenzi mkuu wa takukuru aeleza taasisi hiyo ilivyopambana na rushwa katika kipindi cha miaka 10 iliyopita mbeyamkurugenzi mkuu wa takukuru aeleza taasisi hiyo ilivyopambana na rushwa katika kipindi cha miaka 10 iliyopita mkurugenzi mkuu wa takukuru nchini dkt edward hoseah akizungumza katika sherehe za uzinduzi wa jengo la ofisi mpya ya takukuru mkoa wa mbeya ambapo amesema kuwa taasisi hiyo imeweza kufanikiwa kupambana na rushwa ambapo jumla kesi kubwa za rushwa 1993 kuanzia mwaka 20042015 zimeweza kufunguliwa ambazo ni sawa na ongezeko la asilimia 81 ikilinganishwa na kesi 384 zilizokuwepo miaka 10 ilioyopita (19952004) amesema ongezeko hilo la kesi kubwa limetokana na jitihada za taasisi hiyo katika kupambana na kuzuia rushwa nchini hasa katika kipindi cha serikali ya awamu ya nne chini ya rais jakaya kikwete mkuu wa mkoa wa mbeya abbas kandoro akitoa salama za mkoa wa mbeya katika hafla ya uzinduzi wa jengo la takukuru mkoa wa mbeya mkuu wa takukuru mkoa wa mbeya xavery mhyella akatoa taarifa ya takukuru mkoa wa mbeya mbele ya mgeni rasmi katika hafla hiyo ambayo imehudhuriwa na mkurugenzi wa mkuu takukuru nchini dkt edward hosea octobar 5 mwaka huupicha na emanuel madafa jamiimojablog mbeya mkaguzi mkuu wa kanda takukuru ndugu joice shundi akizungumza katika hafla hiyo wanafunzi wa shule ya sekondari wende wakitoa burudani za ngoma za asili katika uzinduzi huo wa jengo la ofisi mpya ya takukuru mkoa wa mbeya baadhi ya viongozi mbalimbali wa dini waliohudhuria hafla hiyo ya uzinduzi wa jengo zilizopo eneo la forest ya zamani karibu na mahakama kuu jijini mbeya mkurugenzi mkuu wa takukuru nchini dkt edward hoseah akizindua rasmi jengo la ofisi mpya ya takukuru mkoa wa mbeya octoba 5 mwaka huu na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kiserikali na taasisi binafsi mkoani humo amabapo jengo hilo limetumia kiasi cha shilingi bilioni 12 hadi kukamilika kwakwe muonekano wa jengo la ofisi mpya za takukuru mkoa wa mbeya zilizopo foresti ya zamani karibu na mahakama kuu jijini humo viongozi wa kimila waliohudhuria sherehe hizo mkurugenzi mkuu wa takukuru nchini dkt edward hoseah akipanda mti katika sherehe za uzinduzi wa jengo la ofisi mpya ya takukuru mkoa wa mbeya mkuu wa mkoa wa mbeya abbas kandoro akishiriki zoezi la upandaji mti katika sherehe za uzinduzi wa jengo la ofisi mpya ya takukuru mkoa wa mbeya mkurugenzi mkuu wa takukuru nchini dkt edward hoseah akisimikwa kuwa chifu wa kabila la wasafwa katika sherehe za uzinduzi wa jengo la ofisi mpya ya takukuru mkoa wa mbeya mkurugenzi mkuu wa takukuru nchini dkt edward hoseah pili kushoto na mkuu wa mkoa wa mbeya abas kandoro kushoto katika picha ya pamoja na viongozi dini katika sherehe za uzinduzi wa jengo la ofisi mpya ya takukuru mkoa wa mbeya mkurugenzi mkuu wa takukuru nchini dkt edward hoseah akipokea zawadi kutoka kwa wafanyakazi wa takukuru (cofee table) katika sherehe za uzinduzi wa jengo la ofisi mpya ya takukuru mkoa wa mbeya afisa elimu kwa umma takukuru mkoa wa mbeya ndugu sala chodota akitoa ufafanuzi kwa vilabu vya wanafunzi walio hudhuria sherehe hizo za uzinduzi wa jengo jipya za ofisi ya takukuru mkoa wa mbeya
2019-01-19T18:35:46
http://www.mtangazaji.com/2015/10/mbeyamkurugenzi-mkuu-wa-takukuru-aeleza.html
claud asimulia alivyokutana na mke wake wa sasa dizzimonline dizzimonline news artists news claud asimulia alivyokutana na mke wake wa sasa claud asimulia alivyokutana na mke wake wa sasa by fredrick 'skywalker' bundala aug 2 2017 at 012042 pm share claud amesema mke wa sasa mina alikuwa shabiki mkubwa wa kazi zake kabla ya kukutana kupendana na kufunga ndoa akiongea kwenye chill na sky claud ambaye jina lake halisi ni issa musa amesema miaka mingi iliyopita alikutana na mina na akamweleza jinsi anavyopenda kazi zake lakini alivyomuomba namba ya simu mina alichomoa ameeleza kuwa baada ya hapo ilipita miaka mingi ndipo wakaja kukutana tena kupitia facebook na mpaka leo nasema asante facebook amesema claud kwahiyo tukaanza hapo chat chat tunasalimiana tumeenda mpaka mungu akaja akatukutanisha tumefunga ndoa ameongeza na kudai kuwa walifunga ndoa zanzibar baada ya kufunga ndoa mina aliendelea kuishi sweden na hivyo kumlazimu kuja tanzania kila apatapo likizo hata hivyo aliamua kufanya utaratibu wa claud kuhamia nchini sweden ambako kwa sasa wote wanaishi huko kabla ya hapo claud alikuwa na mke mwingine lakini baadaye anasema kuna vitu ambavyo aliona haviendani naye na kuamua kuachana naye neymar jr apewa ruhusa na barcelona kutohudhulia mazoezi
2019-01-16T08:46:29
http://dizzimonline.com/2017/08/02/claud-asimulia-alivyokutana-na-mke-wake-wa-sasa/
neymar messi waanza kazi pamoja barcapacha jipya la hatari la ushambuliaji duina nzima bin zubeiry sports online neymar messi waanza kazi pamoja barcapacha jipya la hatari la ushambuliaji duina nzima bin zubeiry sports online mwanzo > untagged neymar messi waanza kazi pamoja barcapacha jipya la hatari la ushambuliaji duina nzima neymar messi waanza kazi pamoja barcapacha jipya la hatari la ushambuliaji duina nzima imewekwa julai 30 2013 saa 508 usiku mchezaji mpya wa barcelona neymar ameanza mazoezi na timu yake hiyo mpya baada ya kukamilisha vipimo vya afya wachezaji wote wa barcelona waliokuwa kwenye kombe la mabara walitipoti jana baada ya mapumziko na neymar alikuwa miongoni mwao pamoja na xavi andres iniesta cesc fabregas na lionel messi ilikuwa mara ya kwanza kukutana na wachezaji wenzake wapya baada ya kuweka rekodi ya kuwa mchezaji wa pili ghali katika historia ya klabu baada ya zlatan ibrahimovic mwaka 2009 kusajiliwa kwa pauni milioni 56 video mazoezi ya barcelona na wachezaji kupimwa afya jana si mbaya lionel messi (kushoto) na neymar (kulia) wakifanya mazoezi pamoja kwa mara ya kwanza neymar (kushoto) akiwa na wachezaji wenzake wapya wa barcelona neymar na mchezaji anayetakiwa na manchester united cesc fabregas (kushoto) wote walikuwa kivutio mazoezini nyumbani neymar na mchezaji mwenzake wa brazil daniel alves katika mazoezi ya barcelona karibu kipa victor valdes akisalimiana na kocha mpya gerardo martino princezub@hotmailcom mahmoud bin zubeiry at 0714 tuesday july 30 2013 item reviewed neymar messi waanza kazi pamoja barcapacha jipya la hatari la ushambuliaji duina nzima rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry simba sc kuanza mazoezi ya pamoja jumatano kujiandaa kumalizia ligi kuu na asfc na mwandishi wetu dar es salaam mabingwa watetezi simba sc wanatarjiwa kuanza mazoezi ya pamoja jumatano baada ya kuvunja kambi tangu ka video paul pierce says giannis antetokounmpo not lebron james is nba's mvp paul pierce had no hesitation in naming giannis antetokounmpo as the 201920 nba mvp over lebron james black stars captaincy brouhaha prior to 2019 afcon could have been avoided sammy kufuor former ghana and bayern munich legend sammy kufuor says the whole drama which arose due to the change in the captaincy of the black stars prior to t austria set to host formula 1 season openers in july the formula 1 seasonopeners in austria have been approved by the country's government according to reports win prizes in 'united for a high five' competition enter united foundation's raffle for the chance to win one of five awesome prizes kangondo assault case military high court grants bail to 3 rdf soldiers the military high court on friday may 29 granted bail to 3 of the 5 rwanda defence force (rdf) soldiers charged with assault the development came after matukio katika picha waziri mkuu bungeni share this cheltenham festival and liverpool's champions league match led to more deaths professor tim spector from king's college london says that the events in march have 'caused increase suffering and death' as covid hotspots flared up
2020-05-30T15:49:16
http://www.binzubeiry.co.tz/2013/07/neymar-messi-waanza-kazi-pamoja.html
troubleshoot firefox issues using safe mode | firefox msaada kushiriki makala hii http//mzlla/1xkre7r watu hawa wazuri walisaidia kuandika makala hii alicewyman bo102010 zzxc novica tonnes skiprinperth verdi scoobidiver swarnava jack013 waweza kusaidia pia angala jinsi gani
2016-05-29T01:00:29
https://support.mozilla.org/sw/kb/troubleshoot-firefox-issues-using-safe-mode
distance between kohima and ahwa kohima to ahwa distance home » utilities » distance » distance between kohima and ahwa distance between kohima and ahwa source »» kohima nagaland destination »» ahwa gujarat driving direction map from kohima to ahwa
2019-10-23T10:35:59
https://www.mapsofindia.com/distance/kohima-to-ahwa.html
ukuaji uchumi wa tanzania waikuna imf | jamiiforums | the home of great thinkers ukuaji uchumi wa tanzania waikuna imf discussion in 'biashara uchumi na ujasiriamali' started by mzizimkavu oct 5 2012 patricia kimelemeta na newstar rwechungura shirika la fedha la duniani (imf) limetoa tathmini ya ukuaji uchumi kipindi cha nusu mwaka huku ikionyesha hadi sasa uchumi imeimarika akizungumza dar es salaam juzi kiongozi wa tathmini hiyo kutoka imf paolo mauro alisema tathmini hiyo ilifanywa chini ya mpango wa ushauri wa sera za uchumi (psi) ambao umeonyesha pato la taifa linatarajiwa kukua kati ya asilimia 65 hadi 7 mauro alisema ukuaji huo unatokana na serikali kusimamia vizuri suala la ukusanyaji mapato kupunguza gharama za matumizi kulinda matumizi ya huduma za jamii na utoaji fursa ya uwekezaji katika miundombinu muhimu alisema kutokana na hali hiyo serikali imesimamia mikopo ya biashara kutoka nje ili iendane na deni la taifa jambo ambalo linaweza kuleta maendeleo ya kuridhisha katika utekelezaji wa malengo ya mfumo chini ya mpango maalum ili kufikia malengo yaliyokusudiwa “katika kipindi cha nusu mwaka serikali ya tanzania imesimamia kwa umakini ukusanyaji kodi ya mapato uwekezaji na kuboresha miundombinu mbalimbali inayochochea ukuaji uchumi jambo ambalo limesaidia kupunguza ukubwa wa deni la taifa” alisema mauro aliongeza kuwa ili kuongeza ufanisi zaidi wanapaswa kuhakikisha wanasimamia kwa umakini ulinganifu wa hesabu ili kuongeza mapato katika nyanja mbalimbali ikiwamo biashara huduma mapato ya uchumi na uhamisho wa mali za nje ya nchi alisema kutokana na hali hiyo serikali inapaswa kupunguza gharama za uagizaji mafuta ambayo kwa kiasi kikubwa yamechangia kupanda kwa gharama za maisha kuboresha miundombinu ya gesi asilia ili iweze kutumika kwa shughuli mbalimbali “iwapo tanzania itasimamia kwa umakini matumizi ya gesi asilia na kuingiza kwenye gridi ya taifa ili kuzalisha 2500 za umeme gharama za maisha zinaweza kupungua kwa asiliamia kubwa” alisema pia alisema gesi hiyo itaweza kutumia viwandani na majumbani jambo ambalo linaweza kuongeza uzalishaji bidhaa na ajira waziri wa fedha na uchumi william mgimwa alisema kutokana na tathmini hiyo serikali imepanga kusimamia mfumko wa bei ili kupunguza gharama za maisha kwa wananchi dk mgimwa alisema mazao ambayo yamepanda zaidi ni mchele sukari na mahindi sawa wamesimamia vizuri ukusanyaji wa mapato so called kumkamua ng'ombe mwananchi nani anawasimamia wao katika matumizi ya mapato yaliyokusanywa efficiency iko wapi hapa kama hakuna mlinganyo inflation iko 18 na ukuaji wa uchumi 69 to 7 mnatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa watu wanazidi kuwa masikini kila siku govt haina hata hela za kulipa mishahara ya mwezi mmoja na miradi inazidi kusimama kwa kukosa hela halafu wewe unakuja na title ukuaji uchumi wa tanzania waikuna imf
2017-01-24T17:35:21
https://www.jamiiforums.com/threads/ukuaji-uchumi-wa-tanzania-waikuna-imf.333364/
mourinho aamua kumrejesha kweli pogba man united bin zubeiry sports online klabu ya manchester united ya england imeanza majadiliano na juventus ya italia juu ya kiungo kumsajili tena kiungo wake wa zamani mfaransa paul pogba paul pogba anaweza kurejea manchester united akiwa na umri wa miaka 23 picha zaidi gonga hapa chini ya ferguson pogba alicheza mechi saba tu za kikosi cha kwanza man united lakini sasa chini ya kocha mreno jose mourinho mashetano hao wekundu wanataka kumrejesha old trafford item reviewed mourinho aamua kumrejesha kweli pogba man united
2016-12-08T20:01:43
http://www.binzubeiry.co.tz/2016/06/mourinho-aamua-kumrejesha-kweli-pogba.html
matumaini kwa korea | magazetini | dw | 09082007 matumaini kwa korea miaka 60 tangu korea ilipogawanyika viongozi wa korea kusini na korea kaskazini wamearifu kuwa wanapanga mkutano wao wa pili mwishoni mwa mwezi huu ni tukio ambalo linazingatiwa na wahariri wa magazeti ya humu nchini kwenye matoleo ya leo kwanza ni gazeti la volksstimme maana yake sauti ya umma limeandika mkutano wa kwanza kati ya nchi hizo mbili za korea mnamo mwaka 2000 umeimarisha sera ya mahusiano mazuri ya korea kusini kuelekea korea kaskazini lakini kama matumaini ya kuwa na umoja na amani yamekua haraka vilevile yameharibika haraka pale korea kaskazini ilipoanza sera kali ya kinyuklia baada ya china kujitolea kupatanisha serikali ya korea kaskazini imekubali kuachana na mradi wake wa kinyuklia ikipata msaada wa kiuchumi kwa hivyo hali ikitulia ni nafasi nzuri kwa korea kusini kuanza upya mazungumzo na korea kaskazini ili kuimarisha usalama katika eneo hilo mkutano utakaofanyika angalau unaleta matumaini madogo ni gazeti la volksstimme mhariri wa oldenburgische zeitung anakubali kuwa mazungumzo ya amani kati ya viongozi wa nchi hizo mbili za korea ni ishara ya matumaini kwamba huenda korea inaweza kuungana tena katika siku za usoni wakati huo huo mhariri huyu anaonya kuna wasiwasi fulani kwamba kiongozi kim jong il wa korea kaskazini kwa kukubali mkutano na korea kusini analenga kutatanisha mazungumzo na jumuiya ya kimataifa juu ya mradi wake wa kinyuklia huenda mkakati wake ni huo atalainisha masharti kwa kutishia kutokubali maafikiano na korea kusini na hatimaye juu ya suala hilo ni gazeti la handelsblatt la mjini düsseldorf hakuna mtu yeyote anayeweza kusema iwapo korea kaskazini kweli itatimiza ahadi zake mara nyingi tumeona vile serikali hiyo imebadilisha sera zake ghafla ndiyo sababu haiaminiki hata hivyo baada ya miaka mingi ya wasiwasi kuna matumaini tena katika nchi hii mada nyingine jana baraza la mawaziri la ujerumani lilikubali mabadiliko ya sheria inayohusu teknolojia ya visadifu kulingana na sheria hii mpya shamba la maua yaliyobadilishwa kwenye visadifu lazima liwe mita 150 mbali na mashamba ya maua ya kawaida ikiwa ni mahindi lakini umbali usiwe chini ya mita 300 sheria hii inapingwa na wakulima na wanasayansi wengi vilevile wahariri wa magazeti wana wasiwasi kama alivyoandika mwandishi wa gazeti la der neue tag sheria hii ni mwafaka mbaya kwa sababu inajaribu kuthibiti jambo ambalo haliwezi kuthibitiwa haiwezekani kupanda maua ya kawaida na mengine yaliyobadilishiwa visadifu katika nchi moja bila ya athari mazingira hayajali sheria na hakuna kitu kama kubadilishwa kidogo visadifu sawa na hakuna kitu kama kubeba mimba kidogo
2017-09-19T15:48:07
http://www.dw.com/sw/matumaini-kwa-korea/a-2927032
december 2018 tamisemi blogu ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa (tamisemi) imebaini matumizi mabaya ya fedha za serikali sh bilioni 298 katika halmashauri ya ulanga mkoani morogoro na kuagiza wakuu wa idara wote waliohusika wavuliwe nyadhifa zao huku watumishi wengine [] waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa mhe selemani jafo (kwanza kulia) mkuu wa wilaya ya chamwino mhe vumilia nyamwaga(katikati) meneja wa tarura wilaya ya chamwino nelson maganga wakati wa ziara yake ya kukagua daraja la mlebe na barabara ya chinangali ii mlebe mnase na mgunga yenye urefu [] majina ya wanafunzi kidato cha kwanza 2019 mikoa ya tanzania december 19 2018 december 20 2018 | atley kuni|2 comments http//wwwkilimanjarogotz/announcement/wanafunziwaliochaguliwakujiungakidatochakwanza2019mkoawakilimanjarowasichana wwwkatavigotz/advertisement/wanafunziwaliochaguliwakujiunganakidatochakwanzamkoanikatavi http//wwwgeitagotz/announcement/wanafunziwaliochaguliwakujiunganakidatochakwanzamwaka2019mkoawageita http//songwegotz/announcement/wanafunzikutokamkoanisongwewaliochaguliwakujiungakidatochakwanzashulezavipaji http//songwegotz/announcement/wanafunziwaliochaguliwakujiungakidatochakwanza2019wilayanimbozi http//songwegotz/announcement/wanafunziwaliochaguliwakujiungakidatochakwanza2019wilayaniileje http//songwegotz/announcement/wanafunziwaliochaguliwakujiungakidatochakwanza2019wilayanisongwe http//songwegotz/announcement/wanafunziwaliochaguliwakujiungakidatochakwanza2019halmashauriyatunduma http//songwegotz/announcement/wanafunziwaliochaguliwakujiungakidatochakwanza2019halmashauriyamomba http//wwwpwanigotz/announcement/wanafunziwaliochaguliwakujiunganakidatochakwanzamwaka2019mkoawapwani http//wwwarushagotz/announcement/wanafunziwaliochaguliwakujiunganakidatochakwanza2019 http//wwwlindigotz/announcement/orodhayawanafunziwaliochaguliwakujiunganakidatochakwanzamwaka2019mkoawalindi http//wwwsimiyugotz/announcement/wanafunziwaliochaguliwakujiungakidatochakwanzamwaka2019simiyu http//wwwmbeyagotz/announcement/wanafunziwaliochaguliwakujiungakidatochakwanza2019mkoawambeya http//wwwsingidagotz/announcement/wanafunziwaliochaguliwakujiunganakidatochakwanza2019mkoawasingida http//wwwruvumagotz/announcement/mtihaniwadarasalasaba2018 na shule walizopangiwa http//wwwmtwaragotz/announcement/orodhayawanafunziwaliochaguliwakujiunganakidatochakwanzamwaka2019 mkoa wa dsm http//wwwdsmgotz/announcement/daressalaamyashikanafasiyakwanzakitaifakatikamatokeoyadarasalasaba2018 december 14 2018 december 17 2018 | fredy kibano|leave a comment naibu katibu mkuu (afya) ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa (tamisemi) dkt zainab chaula akizungumza na wasaidizi wa hesabu (hawapo pichani) wakati wa kufunga mafunzo ya ffars yaliyoratibiwa na ortamisemi jana jijini dodoma december 12 2018 | angela sware|leave a comment naibu katibu mkuu ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa (or tamisemi) dkt zainabu chaula akizungumza katika kikao cha wadau wa afua ya vipimo na tiba ya malaria na wataalamu wa idaraya afya ortamisemi leo jijini dodoma namajid abdulkarim naibu katibu mkuu ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa (ortamisemi) anayeshughulikia afya dkt zainabu chaula amewataka wadau [] december 3 2018 december 3 2018 | fredy kibano|leave a comment naibu katibu mkuu ofisi ya rais tamisemi tixon nzunda akiongea na baadhi ya viongozi wa halmashahuri ya wilaya ikungi kuhusu miradi ya maendeleo pia alitoa maelekezo ya serikali kwa halmashauri zote nchini naibu katibu mkuu ofisi ya rais tamisemi tixon nzunda amewaagiza wakurugenzi wa mamlaka za serikali za mitaa nchini pamoja na waweka hazina kuacha kuchepusha fedha za [] fanyeni maandalizi ya kuwapokea kidato cha kwanza 2019 december 2 2018 | fredy kibano|1 comment naibu katibu mkuu ofisi ya rais tamisemi tixon nzunda akikagua maabara ya kemia katika shule ya sekondari kimadoi halmashauri ya itigi mkoani singida naibu katibu mkuu ofisi ya rais tamisemi (elimu)tixon nzunda akiongea na viongozi na watumishi wa halmashauri [] majina ya wanafunzi kidat 12294 views wanafunzi 19000 kujiunga 8173 views uhamisho wa watumishi 5142 views wahitimu kidato cha nne 2 3497 views nafasi za kazi ha 3308 views serikali yatoa ajira mpya 3218 views tizama hapa majina ya wat 2650 views msiwaadhibu walimu kwa ma 1987 views tangazo la ajira za mkata 1741 views total users 66389 total views 880443
2020-01-25T06:03:57
http://blog.tamisemi.go.tz/2018/12/
2020 christian video bwana anabisha | welcoming the second coming of the lord jesus (skit) | kanisa la mwenyezi mungu mfululizo wa maonyesho mbalimbali 1805 igizo fupi la kuchekesha bwana anagonga linaelezea namna ambavyo katika siku za mwisho bwana anagonga kwenye mlango wa mioyo yetu kwa maneno yake na kwamba wanawali wenye hekima wanaweza kusikia sauti ya mungu na kula karamu na mwanakondoo mchungaji chang shoudao amekuwa wakati wote akingoja kurudi kwa bwana lakini wakati ndugu zhei anamshuhudia kwamba bwana tayari amerudi kwa ubishi anang'ang'ania fikra na mawazo yake akiamini kwamba bwana atarudi juu ya wingu na akiacha mlango wa moyo wake umefungwa dhidi ya njia ya kweli safari hii hata hivyo ndugu zhen anajadili pamoja naye vifungu vya maandiko vinavyohusiana na kurudi kwa bwana na anagundua kuwa biblia ina unabii kwamba katika siku za mwisho bwana atarudi kwa siri katika mwili wenye nyama ili kuongea maneno mapya na kumtakasa mwanadamu na baada ya hapo tu ndipo atatokea wazi kulipa wema na kuadhibu uovu wakati huohuo anafikia kuelewa maana ya kweli ya bwana kugonga kwenye milango yetu na kwamba cha muhimu katika kukaribisha kurudi kwa bwana ni kuweza kusikia sauti ya mungu mwishowe anaposikia sauti ya mungu katika neno la mwenyezi mungu hatimaye anafungua mlango wa moyo wake na anakaribisha kurudi kwa bwana wimbo wa kuabudu na kusifu 2020 | hakuna kiumbe aliyeumbwa aliye na upendo wa mungu
2020-08-04T20:34:34
https://sw.godfootsteps.org/videos/the-Lord-is-knocking.html
home > travel ulaya > uzoefu ulaya best food maeneo na laura thomasgilks 21/01/2019 train usafiri wa uingereza train usafiri ufaransa train travel holland train usafiri italia travel ulaya 0 mbalimbali kama vile bara ni ndogo ulaya hutoa kitu kwa kila aina ya msafiri kuumwa ladha pamoja lakini wapi ladha yako buds kuwa na furaha tele zaidi what meal pic will have instagram yako racking up 100 ya anapenda acha wanashangaa na kuanza kutafuna uzoefu ulaya best food maeneo kwa tar yetu juu 1 ulaya best food maeneo ugiriki uzoefu ulaya best food maeneo nchini ugiriki nani anaweza uwezekano chuki chakula kujazwa keki filo chakula kigiriki ni vigumu kosa na pengine ana kitu cha kufanya na historia yao nchi hiyo utamaduni upishi inachukuliwa kuwa zaidi ya 4000 miaka huwezi kumpiga uzoefu na ni kwa nini ni ulaya best food maeneo wakati kuondoka kituo cha treni utakuwa tayari bombarded na safu ya uchaguzi ya ajabu kwanza mambo ya kwanza kodi ya baiskeli hatua 2 kuendesha ambapo pua yako inachukua wewe ulaya best food maeneo katika amsterdam kwa sababu mbalimbali hakuna jambo yako bajeti kuna kitu kwa kila mtu ungeweza kutembelea kwa wiki na upitie tu mbali ya mitaani chipsi na soko nauli sijui wapi kuanza kupata kuanzishwa haraka ya amsterdam chakula eneo la tukio na sahani ya kutibiwa sill kutoka kwa mmoja wa mikokoteni ya mji wa wengi sill au sill biashara kama ni kupikwa samaki wanatamani kisha kujaribu kibbeling drabbat na kinafried nyeupe samaki kutumikia pamoja na mchuzi mayonnaise kwa dessert pop ndani yoyote ya 100 ya bakeries kama ni kuangalia kwa kitu kitamu huwezi kuwa mfupi wa chaguzi kwa jibini wao ni literally juu ya kila kona mitaani our favorite a syrup waffle inajumuisha waffles mbili nyembamba kina kukaanga na wema gooey ndani na yapo mbali na sukari ya unga inakuwaje sisi hata kufikiria kumtaja ulaya best food maeneo na usiweke italia je kuna nchi za ulaya na chakula zaidi iconic habari carbs pizza na pasta ni juu ya kila mtu kwenda kwa orodha kumbuka tu kwamba kila mkoa ina maalum yao na ni msimu tegemezi 4 ulaya best food maeneo ufaransa lyon inayojulikana kama ufaransa's mji mkuu gourmet haijawahi zaidi kupatikana kwa treni moja kwa moja na london na tgv uhusiano ambayo whisk wewe paris au marseilles masaa katika chini ya mbili je ladha yako buds hisia adventurous habari za tuna kutibu kwa ajili yenu jaribu maalum ndani apron sapper (breaded tripe) kisha umalizie na ziara ya milelemaarufu wilaya croixrousse kwa vinywaji wachache nje ya mji hii inaweza kuwa moja ya ulaya best food maeneo lakini si kuja bila ya onyo entree inaweza kutumika katika maeneo mengine ya dunia kumaanisha sahani kuulakini kwa kifaransa ni kweli ina maana appetizerkwa hiyo fimbo na entree kwa ajili ya appetizer na plat kwa ajili ya sahani kuu na itabidi kutoka upande wa pili na tumbo kamili na uzoefu mkubwa london chakula eneo bado ni sehemu ya ulaya best food maeneo mpaka tunajua matokeo ya brexit london eneo ni mishmash ya maono jadi upishi na la kisasa hakuna safari chakulacentric london ni kamili bila angalau mmoja alasiri chai roast jumapili kwenye kitongoji pub akifuatana na pint ya machungu au baadhi takeaway samaki na chips kutoka kwa mmoja wa 'chippies mji wengi kama michelinhoja jikoni ni zaidi kitu yako basi uko bado katika mahali sahihi kwa sasa kuna migahawa tano bora nchini uingereza ambao wanamiliki tatu michelin nyota waterside inn alain ducasse katika dorchester araki restaurant gordon ramsay na duck fat je matumba ladha yako kutetemeka je tumbo yako ukelele kwa kutarajia kitabu treni yako adventure ya mbinguni wako upishi wa kuchagua kwa msaada wa saveatrain kitabu katika chini ya 3 dakika na ada hakuna uhifadhi unataka kupachika blog yetu baada kwenye tovuti yako unaweza ama kuchukua picha wetu na maandishi na tu kutupa mikopo na kiungo kwenye chapisho hili blog au wewe bonyeza hapa https//embedly/codeurl=https//wwwsaveatraincom/blog/experienceeuropesbestfoodspots/ (kitabu chini ya kuona embed code) #amsterdam #europetravel #foodie #ufaransa #london #longtrainjourneys #lyon #train travel
2019-11-18T11:18:11
https://www.saveatrain.com/blog/experience-europes-best-food-spots/?lang=sw
contributions by hon yosepher ferdinand komba mhe yosepher f komba mheshimiwa mwenyekiti naomba mheshimiwa waziri atakapohitimisha hoja yake atolee maelezo mambo yafuatayo mheshimiwa mwenyekiti gari la wagonjwa ambalo wizara iliahidi kuwa imetenga shilingi milioni 20 katika mwaka wa fedha 2016/2017 katika wilaya ya muheza je ni lini gari hilo la wagonjwa litafika muheza mheshimiwa mwenyekiti pia mheshimiwa waziri aliahidi kupeleka gari la wagonjwa katika zahanati ya mgambo amani itakapofika mwezi januari 2017 lakini sasa ni mwezi wa tano hakuna utekelezaji wananchi wanapata usumbufu mkubwa katika upatikanaji wa dawa hasa wanaotumia bima kwa kuwa kuna upungufu mkubwa wa dawa katika hospitali zetu wizara imeandaa utaratibu gani kupitia msd ili angalau kila penye hospitali ya wilaya kuwe na duka la dawa ambalo kadi ya bima inaweza kutumiwa na mgojwa kupata dawa mheshimiwa mwenyekiti jamii ya mabohora tanga wametoa mashine ya ctscan kwa hospitali yetu ya bombo lakini inasemekana hakuna jengo special kama ni kweli serikali ina mpango gani kuharakisha ujenzi wa hilo jengo ili mashine zifungwe na kutumika mhe yosepher f komba mheshimiwa naibu spika ahsante kwanza kabisa naomba niwape pole wafiwa wote wa ajali ya watoto kule arusha lakini pia niwape pole wananchi wa mkoa wa tanga hasa maeneo ya muheza korogwe tanga mjini pangani ambao wamepata madhara makubwa kutokana na mvua zinazoendelea vile vile niwape pole familia ya mtoto wa miaka 12 pale kata ya gengemuheza ambaye alifariki juzi kwa kudondokewa na ukuta (makofi) mheshimiwa naibu spika naomba nichangie machache kwenye wizara hii ya maji ukiangalia kwenye kitabu cha waziri ukiangalia yaliyoandikwa humu bado hawajawa serious kuhakikisha kwamba wanamtua mama ndoo kichwani (makofi) mheshimiwa naibu spika nilikuwa najaribu kufikiria msemo wenu wa kumtua mama ndoo kichwani sidhani kama mnamaanisha kwa sababu kwa kiswahili cha kawaida huwezi kutua kitu ambacho hakipo kwa hiyo mnataka kusema mwanamke aendelee kubeba ndoo mheshimiwa naibu spika ninachotaka kuwaambia na kuwaomba nchi ilipofikia tangu tupate uhuru hatutaki kusikia ndoo kichwani tunataka kusikia mama anabeba maji si zaidi ya mita 400 tunataka kusikia mtoto wa kike anaenda shule bila kufikiria maji tunataka kusikia watoto wa chini ya miaka mitano hawafi kwa magonjwa yanayotokana na shida za maji tunataka kusikia akinamama wajawazito wanapoenda kujifungua hawaendi na ndoo za maji hospitalini tunataka kusikia na kuona mnafanya mambo ambayo yanaendana na umri wa nchi hii (makofi) mheshimiwa naibu spika nchi zilizoendelea sasa hivi wameadvance kutengeneza atm za maji tanzania bado tunafikiria ndoo za maji vichwani ni aibu nimepitia bajeti ya maendeleo mmezidi kuipunguza kutoka shilingi bilioni 900 mpaka shilingi bilioni 600 sijui lengo lenu ni nini (makofi) mheshimiwa naibu spika lakini naomba nichangie kidogo kuhusu mfuko wa maji tunajua faida zinazotokana na mfuko huu ambao mliutengeneza kwa sheria hapa bungeni mkiamini kwamba tozo ya shilingi 50 kwenye mafuta itasaidia kwenye miradi ya maji cha kushangaza tozo imeenda vizuri lakini matumizi mmeanza kudiverge matumizi mengi ya mfuko huu yameonekana yameenda kwenye administration kuliko kwenye miradi halisi niwaombe muongeze shilingi 50 kwenye mfuko huu iwe shilingi 100 ili miradi ya maji iweze kutekelezwa kwa kiwango kinachotakiwa (makofi) mheshimiwa naibu spika lakini pia naunga mkono huu mfuko wa maji uendelee kuongezwa hela kwa sababu kwenye wilaya ya muheza tuna mradi wa zigi pongwe ambao ni almost shilingi bilioni 27 na mfuko huu ndiyo chanzo kikubwa cha fedha kwenye huu mradi na fedha zimeanza kutolewa kuna miradi mingi inaanzishwa lakini inashia katikati niendelee kuwaomba serikali muutendee haki mradi huu kwa sababu hali ya maji muheza ni mbaya (makofi) mheshimiwa naibu spika tunaomba mtutendee haki katika mradi huu kwa sababu mpaka ninavyoongea muheza mjini ambapo tumeshaanza kuanzisha mamlaka ya mji mdogo tuna asilimia isiyozidi 25 ya wananchi wanaopata maji safi na salama niwaombe sana muutendee haki mradi huu kupitia mfuko huu kwa kuongeza sh50/= ili iwe sh100/= ili angalau 70 iende vijijini 30 ibakie mjini pia kwa kutengeneza mfuko haitoshi tunaomba kuwe na utaratibu mzuri wa kusambaza hela hizi (makofi) mheshimiwa naibu spika lakini kitu kingine naomba niongelee ukosefu waemergency plan tumeona kuna mafuriko yanaendelea maeneo mbalimbali ya nchi lakini hakuna plan yoyote ya wizara ya maji kwa ajili ya kucontrol hali hii mafuriko yanatokea mabomba yanaziba hivi sasa ninavyoongea maji ya mkoa wa tanga katika maeneo mengi tanga mjini muheza korogwe na maeneo mengine ni kama chai ya rangi lakini kama mngekuwa na emergency plan treatment plan na strainer za kuchuja maji ingesaidia sana inapotokea mvua na mambo mengine (makofi) mheshimiwa naibu spika lakini pia miundombinu ya maji kwenye nchi hii imechakaa mhe yosepher f komba mheshimiwa naibu spika ahsante napenda kudeclare interest angalau haiko kwenye hela lakini mimi nimetokea tanga na mnajua historia ya mkoa wa tanga katika suala la viwanda mnajua tanga miaka ya 1980 ni kati ya mkoa ambao ulikuwa maarufu sana kwa viwanda kwa tanzania hii tunavyoongea sasa hivi viwanda vingi vimefungwa vilivyobinafsishwa vimekufa watu wameiba vifaa viwanda tanga hakuna tena (makofi) mheshimiwa naibu spika tanga tumejaliwa kuwa na bandari viwanja vya ndege na reli ambayo mpaka sasa hivi hatujajua serikali lini itaamua kutujengea kwa kiwango cha standard gauge mheshimiwa naibu spika mimi pia natokea muheza wilaya ambayo ni maarufu sana kwa kilimo cha matunda hasa machungwa wilaya ambayo ina hali zote za hewa tunazozijua kuna hali ya baridi na joto kiasi kwamba tunaweza kulima mazao yanayotokana na baridi na mazao yanayotokana na joto mheshimia naibu spika nakumbuka mheshimiwa waziri wa viwanda niliwahi kumgusia suala la muheza nikaomba kwamba atafute mwekezaji kwa ajili ya machungwa yetu yanayozalishwa muheza wakulima wamekuwa wakipata hasara sana ya machungwa yanayozalishwa pale yamekuwa yakioza wamekuwa kama wana uwezo zaidi kutegemea soko la kenya lakini tanzania hakuna kiwanda karibu tanzania muheza hakuna kiwanda wakulima wanapata shida sana mheshimiwa naibu spika mheshimiwa waziri tunajua lengo la tanzania ya viwanda ni jema lakini kama tusipokuwa makini hatuwezi kufikia huko kama hamkujiandaa tafuteni namna nyingine ya kuliweka sawa kwa nini nasema hivyo waziri wa viwanda yeye kama yeye hawezi kufikia lengo la viwanda kama wizara nyingine hazijaonesha ushirikiano kwako yeye kama yeye hawezi kufikia kwenye viwanda kama wizara ya fedha haijaamua kuona kama suala la viwanda ni muhimu pia hawezi kufikia lengo kama wizara ya ardhi na wizara ya usalama na mambo mengine hazijamsaidia kwa hiyo inatakiwa suala la viwanda liwe ni la nchi siyo wizara kwa kufanya hivyo tutakuwa na miundombinu mizuri kwa ajili ya uwekezaji mheshimiwa naibu spika niongelee viwanda na wanawake sensa ya viwanda inaonesha asilimia 9915 ni viwanda vidogo sana na viwanda vidogo kwa haraka haraka ukiangalia katika sensa hii utaona viwanda vidogo sana ni kati ya mtu mmoja mpaka wanne viwanda vidogo ni kati ya mtu mmoja mpaka 50 ukiangalia kwa undani zaidi utakuta hivi viwanda vidogo vingi vinamilikiwa na wanawake mheshimiwa naibu spika hata hivyo sijaona popote kwenye kitabu cha mheshimiwa waziri ambapo ameonesha namna ambavyo atamsaidia mwanamke aingie kwenye uchumi wa viwanda akiwa anajiaamini tunajua hali ya kipato cha wanawake wengi wa nchi hii ni cha chini wizara haijaandaa utaratibu wowote kumwezesha mwanamke ambaye kwa asilimia kubwa ndio amewekeza kwenye hivi viwanda vidogo aweze kujikwamua kwa hiyo tuna viwanda vingi vya mtu mmoja mpaka watano tutafika lini mheshimiwa naibu spika pia kitu kingine tunapoongelea tanzania ya viwanda lazima tukubali na tuamue tunataka viwanda vya aina gani hatuwezi kuwa na viwanda nchi nzima kwa mara moja lazima tutenge maeneo lazima tuwe na point ya kuanzia tanzania tunataka viwanda ndiyo tunataka viwanda vya aina gani tunataka viwanda vya kutumia malighafi gani tutakapokuwa tumefanya hayo maamuzi itakuwa ni rahisi hatuwezi kujenga viwanda nchi nzima lazima tuamue baada ya miaka 10 miaka 15 tunataka katika viwanda tanzania ijulikane katika kitu gani ziko nchi ambazo zinajulikana kwa ajili ya kuzalisha products za maziwa peke yake tanzania tunataka tujulikane kwenye nini katika viwanda (makofi) mheshimiwa naibu spika pia niongee suala la veta tunajua inatakiwa kuwe na elimu na ujuzi wa kutosha ili tuingie kwenye viwanda tukiwa tunajiamini kumekuwa na tatizo kubwa sana katika vyuo vyetu vya veta siyo tu udahili lakini pia vifaa na mashine zinazotengenezwa veta zina bei ghali kuliko sehemu nyingine yoyote sasa kwa namna hii hamwezi kuencourage viwanda wakati watengenezaji wetu wa ndani wanapitia mazingira magumu katika kuanda hizo zana za kufikia kwenye viwanda mheshimiwa naibu spika kwa hiyo naiomba serikali isaidie wale wataalam wa veta ambao wanatengeneza mashine ambazo zinaweza zikatumika kwenye nchi yetu wapunguzieni kodi ambazo ni mzigo kwa wafanyabiashara wengi mhe yosepher f komba mheshimiwa naibu spika naomba majibu na msimamo wa wizara katika yafuatayo mheshimiwa naibu spika ni lini wizara itasaidia upatikanaji wa kiwanda cha matunda wilaya ya muheza kwa kuwa wafanyabiashara na wakulima wa wilaya muheza hawanufaiki na zao la matunda hasa machungwa katika wilaya ya tanga mjini kata ya kiomoni kuna kampuni inaitwa neel khant lime limited tanga kinachomilikiwa na bwana rashidi liemba kiwanda hiki kimekuwa na madhara makubwa kwa wakazi wanaozunguka eneo hilo hasa wanafunzi wa shule ya msingi na sekondari kiomoni wizara inafahamu changamoto hiyo iko tayari kushirikiana na nemc kufuatilia usalama wa raia wa eneo hilo mheshimiwa naibu spika kwa nini tanga special economic zone (sez) imetengewa fedha kidogo shilingi bilioni 27 katika mpango wa maendeleo wa miaka mitano wa mwaka 2016/2017 2020/2021 wakati tanga ni mkoa wa viwanda katika historia ya nchi tanga ndiyo mkoa wa kwanza ndani ya nchi hii kuwa na viwanda vingi miaka ya 1980 mheshimiwa naibu spika mwanamke na viwanda sensa ya viwanda inaonesha asilimia 995 ni viwanda vidogo sana na viwanda vidogo kwa takwimu hizi ni wazi viwanda vingi vidogo vinamilikiwa na wanawake je wizara imejipangaje kuhamasisha wanawake kujiunga katika sekta hii ya viwanda je serikali kupitia wizara ina mkakati gani wa kuhakikisha kuwa viwanda vinakuwa gender sensitive katika product na ajira mhe yosepher f komba mheshimiwa mwenyekiti ahsante samahani jina langu ni yosepher komba sio yosephu nashukuru kwa kupata nafasi ya kuchangia hotuba ya wizara ya viwanda biashara na uwekezaji mheshimiwa mwenyekiti ukisoma kitabu cha waziri ukiangalia na uhalisia hakuna kitu kwa sababu gani nasema hivyo inaonekana tanzania ya viwanda ipo hewani haina mizizi huu msemo ni msemo wa kisiasa ambao hauna mizizi kwa sababu gani nasema hivyo wameongea wabunge waliopita kwamba hakuna uhusiano wa viwanda na mahitaji ya viwanda hakuna uhalisia wa viwanda na mahitaji ya viwanda (makofi) mheshimiwa mwenyekiti ukiangalia kwa nature ya nchi yetu tukubali tukatae kama tunataka viwanda ni lazima viwe ni agroindustries viwanda vinavyotegemea kilimo vinavyotegemea mazao yanayotokana na kilimo lakini hakuna uhusiano mheshimiwa mwenyekiti sasa hivi wakulima wanahangaika mheshimiwa waziri wa kilimo aliwahi kusema kwamba jembe tutalikuta makumbusho hizo ni lugha za kisiasa tumefikia tanzania kutokutumia jembe tumefikia tanzania ambayo hatutegemei mvua kwa ajili ya kilimo viwanda vinahitaji malighafi muda wote lakini kilimo chetu cha kutumia mvua isiponyesha hakuna kilimo (makofi) mheshimiwa mwenyekiti namwomba mheshimiwa waziri wa viwanda pamoja na kukaa na kupanga kuna utaratibu mzuri na uhusiano mkubwa na sekta nyingine tusiongee kama sisi tuongee kama nchi tuongee kama wizara ambazo zinafanya kazi pamoja kila mtu asiwe na personal interest kwenye wizara yake kila mtu anaongea anavyojisikia waziri wa viwanda wewe huwezi kukamilisha lengo lako kama huna uhusiano mzuri na waziri wa kilimo huna uhusiano mzuri na waziri wa ardhi huna uhusiano mzuri na waziri wa miundombinu na sekta nyingine hakuna kitu mheshimiwa mwenyekiti tunajua mahitaji ya viwanda kama malighafi na teknolojia tuangalie suala la teknolojia ni kwa kiasi gani hivyo viwanda vitakavyojengwa vitaweza kukidhi teknolojia ambayo wananchi wetu wanayo tumelenga viwanda vidogo na viwanda vya kati ambavyo kwa asilimia kubwa ni wananchi wa kawaida wenye elimu ya kawaida tumeongea kuhusu veta tumeongea kuhusu maeneo mbalimbali ambayo yangeweza kutoa ujuzi kwa wananchi wetu hilo halijafanyika mheshimiwa waziri anatuambia tanzania ya viwanda mheshimiwa mwenyekiti nilitegemea miaka mitano hii ungetumia nguvu nyingi sana kutengeneza miundombinu ya viwanda lakini siyo viwanda kwa maana ya majengo tunadanganyana tungetengeneza miundombinu ambayo ingefacilitate viwanda tunasema uwekezaji tunasema serikali haijengi viwanda tunawaita wawekezaji tujiulize miaka yote wawekezaji walikuwa wapi kiasi kwamba mheshimiwa waziri amefanya lipi kubwa la kumvutia mwekezaji katika kipindi ambacho yeye amekuwa waziri (makofi) mheshimiwa mwenyekiti mazingira ni yale yale ambayo miaka 20 au 30 iliyopita wawekezaji walishindwa kuja kuwekeza hata yale maeneo ambayo viwanda tulivibinafsisha vingi vimekufa mimi natokea mkoa wa tanga kuna viwanda vingi tulikuwa na viwanda vya chuma viwanda vya blanketi viwanda vya matunda viwanda vya mafuta viwanda vya kila aina vimekufa tanga ilikuwa ni mkoa wa viwanda miaka ya 1980 lakini sasa hivi tanga imekuwa ni magofu viwanda vingi vilivyokuwepo wameiba mashine wameiba kila kitu wengine wamehamisha mheshimiwa mwenyekiti tulikuwa tunategemea zao la mkonge tulikuwa tuna mashamba kwa ajili ya kuzalisha mbegu za mkonge yamekufa tulikuwa na estate nyingi sana zimekufa wawekezaji wameshindwa wamerudi kwenye nchi zao yale maeneo wananchi hawayatumii kwa kilimo yamebakia kuwa mapori mheshimiwa mwenyekiti tunasema tunataka viwanda viwanda vipi ambavyo haviangalii malighafi tunajua bei ya katani katika soko la dunia tunajua bei ya mkonge tunajua thamani yake kwenye soko la dunia lakini tunataka viwanda ambavyo tutawadanganya wananchi kwa maneno kwenye uhalisia hakuna kitu mheshimiwa mwenyekiti pia tujiulize mheshimiwa waziri anapotuambia nchi ya viwanda anataka kucompete na nani amejiandaa kucompete na nani anaposema tanzania ya viwanda ajue kwenye dunia hii kuna nchi kibao ambazo zipo katika hiyo level ya viwanda amejiandaaje kucompete nao (makofi) mheshimiwa mwenyekiti nimesoma kwenye hotuba ya mheshimiwa waziri ukurasa wa 91 kuna hili shirika la viwango (tbs) naomba ninukuu baadhi ya maneno aliyoyaandika hapa tbs imekuwa ikishirikiana na jeshi la polisi na taasisi nyingine za serikali kama tfda tra fcc gsla na ewura katika kufanya ukaguzi wa kushtukiza sokoni ili kuhakikisha kuwa bidhaa dhaifu zilizo chini ya kiwango na ambazo siyo salama kwa afya au matumizi ya mlaji zinaondolewa sokoni kwa hiyo sasa tbs wanaenda kuvizia sokoni wanaenda na polisi tra na fda kuvizia sokoni wakati zinaingia hakuna utaratibu wa kuhakikisha kwamba haziingii hii kauli inajidhihirisha hata mheshimiwa rais juzi amesema wafanyabiashara wanavizia sukari ambazo zinaelekea kuharibika wanazinunua wanaziingiza tanzania viongozi mnalijua hilo mnangoja ziingie zikifika sokoni mnaenda kuzitafuta wangapi watakuwa wameathirika na hizo bidhaa tunajua bidhaa zinazotoka nje ni za hali ya chini zinakuwa na bei ya chini kutokana na ubora pia mheshimiwa mwenyekiti watanzania wanazalisha bidhaa ambazo ni bora lakini inakuja kwenye bei kutokana na hali halisi ya mtanzania hawezi kununua kitu cha sh 10000/= wakati kuna kitu hicho hicho kwa sh 5000/= kwa hiyo watanzania wengi kutokana na hali ya uchumi hatuangalii ubora tunaangalia uwingi kwa hiyo hakuna namna kama hamjaweka mkakakati mzuri kuhakikisha kwamba wazalishaji wa ndani wanalindwa kuanzia kwenye utaratibu wao wa uzalishaji wanatumia gharama nyingi sana mwisho wa siku sokoni lazima bidhaa yake iwe na bei ghali mtanzania anashindwa kuinunua anangoja inayotoka nchi za nje tunalalamika tunataka viwanda tuna nchi ya viwanda naona hiki ni kitu ambacho hakiwezekani (makofi) mheshimiwa mwenyekiti kipindi nasoma shule ya msingi kulikuwa kuna kitu tunaita mazingaombwe anakuja mtu tunachangia shilingi hamsini hamsini tunaingia tunaonyeshwa namna ya kutengeneza shilingi elfu kumi sasa naona mazingaombwe yale ambayo nilikuwa naamini ni utoto kudanganywa yanaendelea (makofi) mheshimiwa mwenyekiti tunamwomba mheshimiwa waziri tunajua ipo kwenye ilani ipo kwenye maneno ya viongozi wako mheshimiwa rais na viongozi wengine kwamba tanzania ya viwanda mkoa wa tanga tuliahidiwa tanga ya viwanda mwaka 2010 na aliyekuwa rais wa awamu ile ya nne sasa leo hii ukisema tanzania ya viwanda watu wa tanga hawatakuelewa kwa sababu walishasikia tanga ya viwanda haikuwezekana tanzania ya viwanda ni ndoto kwa miaka hii kwa utawala huu ambao hauna uhusiano katika taasisi zake ambao kila mtu anataka kujinufaisha yeye kutengeneza jina lake ukiwa waziri cheo cha kisiasa kiweke pembeni ukiwa waziri jaribu kusikiliza wataalam (makofi) mheshimiwa mwenyekiti tatizo ni kwamba waziri anakuwa mkuu kwenye wizara yake kushinda mtaalam kushinda mtu yeyote hata kama hana utaalam wowote kwa sababu tu ya cheo hiyo imekuwa ikiathiri sana mapendekezo na nia ambayo tunayo watanzania naomba mawaziri mwanasiasa yeyote anayejiamini na mwenye nia njema na nchi yake lengo lake hata kama hana ujuzi wowote ni kuhakikisha wenye ujuzi wanafikia matamanio yao mwanasiasa lazima ahakikishe kwamba binadamu hafi lazima ahakikishe mkulima anapata mazao mazuri kwa sababu ndiyo lengo la mkulima ahakikishe kwamba engineer anatengeneza barabara nzuri siyo kuwa na amri kwenye kila kitu ambacho hatuna utaalam nacho mheshimiwa mwenyekiti pia nizungumzie suala la masoko tunajua wakulima wetu wanavyolima kwa shida na hilo jembe la mkono ambalo tumeambiwa litakuwa historia sijui ni mwaka gani tangu mwaka 1961 tunapata uhuru lilikuwepo hatujui limepungua kiasi gani lakini tunaambiwa na waziri wa kilimo litakuwa historia mheshimiwa mwenyekiti watanzania kwa kilimo cha jembe la mkono wamejitahidi sana hapo walipofikia masoko yamekuwa ni shida masoko yamekuwa ni tatizo sijui ni kwa namna gani na kwa kiasi gani mnawaandalia masoko wakulima hawa ili hayo mazingira ya viwanda yawe rahisi kwao kwa sababu gani nasema hivyo masoko yanaendana na miundombinu masoko yanaendana na bei yanaendana na gharama za uzalishaji mwenyekiti mheshimiwa yosepher muda wako umemalizika mhe yosepher f komba mheshimiwa mwenyekiti ahsante naunga mkono hoja ya hotuba ya upinzani mhe yosepher f komba mheshimiwa mwenyekiti ahsante napenda kuunga mkono hoja ya hotuba ya kambi ya upinzani ninaamini yapo mazuri mengi ambayo serikali ikiamua kuyafuatilia na kuyatekeleza tunaweza tukafikia lengo la tanzania yenye watanzania wenye afya bora (makofi) mheshimiwa mwenyekiti naomba nianze kwa kuzungumzia vifaa tiba kumekuwa na tatizo kubwa sana dada yangu waziri mheshimiwa ummy mwalimu unafahamu wewe ni wa mkoa wa tanga unafahamu hali ya hospitali ya bombo unafahamu kwamba kuna changamoto kubwa sana ya vifaa kuna changamoto kubwa sana ya mashine za xray kuna changamoto kubwa sana ya vifaa lakini pia mmeweka duka la msd pale lakini mara nyingi na lenyewe pia linakosa dawa mheshimiwa mwenyekiti pana duka la msd ambalo mmeliweka pale lakini inafikia hatua mgonjwa anatibiwa bombo anaambiwa atoke akanunue dawa nje ya bombo kwa hiyo niwaombe sana na pia tumesikia tunaomba waziri utakapokuja kuhitimisha utuambie tumesikia jamii ya mabohora wametoa msaada wa ct scan we are not sure utakuja kutuaminisha lakini inasemekana kwamba hakuna eneo la kufunga zile mashine kwa hiyo mashine zimetolewa zimewekwa pending wananchi wanahitaji huduma hakuna pa kuweka mashine tunakuomba waziri utakapokuja hapa utuambie kama kweli hakuna eneo ni lini na mkakati gani mmepanga kwa ajili ya kujenga jengo kwa ajili ya kufunga hizo mashine mheshimiwa mwenyekiti kitu kingine ni bima ya afya kumekuwa na changamoto kubwa sana kwa watumiaji wa bima ya afya pamoja na kuwa bado idadi ya watumiaji ni ndogo ni asilimia nane tu ya watanzania bima ya afya ukichukulia wilaya ya muheza wananchi wanachangia shilingi 10000 ambapo wanatumia kwenye zahanati na kwenye hospitali ya wilaya lakini katika ile bima ya afya tunaomba serikali kupitia wizara iandae utaratibu wa kuwa na maduka katika kila hospitali ya wilaya ambayo yatasaidia wale ambao wanakosa dawa kwenye hospitali kwenda kupata dawa kwenye maduka ambayo yanaweza kupokea bima kwa sababu ukikosa dawa kwenye hospitali kwa kutumia bima hakuna namna unaweza kupata dawa nje ya pale na wananchi wanapotumia bima wanaamini hakuna namna wanaweza kutumia hela zaidi ya kupata ile huduma mheshimiwa mwenyekiti pia kuna magonjwa ambayo siyo ambukizi yanazidi kuongezeka kwenye nchi yetu kama kisukari pressure magonjwa ya wanawake yanayoambatana na uzazi shingo ya kizazi na mambo mengine ninaiomba wizara ije ituambie ina mkakati gani wa dhati kwa ajili ya kushughulikia suala hili mheshimiwa mwenyekiti naomba niongelee hapa kuhusu watoto wa kike masuala yanayoambatana na uzazi kumekuwa na hilo tatizo kubwa tunaita fibroid kama sikosei imekuwa ni tatizo kubwa sana kwa wanawake kwa watoto wa kike kuanzia miaka 18 mpaka 25 wengi wanapata hilo tatizo inavyosemekana kwenye jamii yetu kwa sababu hakuna elimu ya kujua hasa chanzo cha hilo tatizo wengine wanasema ukiwa na hilo tatizo wewe ulikuwa unajihusisha na ngono na watu wengi wengine wanasema wewe ulitoa mimba sana kwenye usichana wako kwa hiyo hata wale wanaougua huu ugonjwa wanajificha kwa kuogopa jamii inavyochukulia huo ugonjwa (makofi) mheshimiwa mwenyekiti ninaomba kupitia wizara mtoe elimu kwa watanzania wajue kwamba ugonjwa huu sababu zake ni hizi ili yule anayeugua ule ugonjwa awe huru kutoa na kusema kwamba mimi naugua hiki wengine tunaogopa wale wasichana ambao hawajaolewa wanaogopa kusema hilo kwa sababu inaweza ikapelekea kukosa watoto kwenye ndoa kwa hiyo anakaa kimya anaolewa anaendelea na matatizo yake ninaomba wizara itoe elimu katika haya masuala pia watoe elimu ya afya mheshimiwa mwenyekiti tunajua wananchi wafanyakazi wa serikali mashirika binafsi wanakuwa na mazingira magumu ya kufanya mazoezi pia wanakuwa na mazingira magumu ya kuwa na diet nzuri niombe kupitia wizara yako tengenezeni vipeperushi tengenezeni utaratibu wowote ambao utasaidia kutoa elimu kwa wafanyakazi hasa wa serikali katika masuala ya mazoezi na chakula mheshimiwa mwenyekiti kwa sababu afya ukila vizuri ukifanya mazoezi magonjwa mengi yatakuwa mbali na wewe kwa hiyo ninaiomba wizara itumie fursa hiyo itoe elimu kwa wananchi itoe elimu kwa viongozi tuwe na tabia ya kufanya mazoezi tuwe na tabia ya kujali afya katika chakula itasaidia kupunguza gharama nyingi ambazo tunazitumia mhe yosepher f komba mheshimiwa mwenyekiti ahsante mhe yosepher f komba mheshimiwa mwenyekiti mkoa wa tanga tumeanzisha utaratibu wa kuhamasisha wakulima kila wilaya kulima kilimo cha mihogo ambacho kitasaidia kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi tunaiomba serikali itusaidie kuboresha chuo cha utafiti mlingano ili kiweze kupata fedha wataalam na vifaa kwa ajili ya kusaidia wakulima kulima kilimo chenye tija mheshimiwa mwenyekiti wilaya ya muheza na lushoto ni maarufu kwa kilimo cha matunda mbogamboga na viungo mfano machungwa maapple maembe mdalasini hiliki pilipili manga na pilipili mtama pamoja na wakulima kujitahidi lakini kumekuwa na tatizo kubwa la magonjwa ya mimea na dawa zimekuwa bei ghali kweli mheshimiwa mwenyekiti je serikali haioni ni wakati muafaka wa kuwasaidia wakulima kwa kupunguza gharama za upatikanaji wa dawa za kuulia wadudu ili wakulima walime kilimo chenye tija je serikali iko tayari kuwasaidia wakulima hawa kupata masoko ya uhakika kwa kuwa hadi sasa wakulima wa matunda hasa machungwa wanategemea walanguzi kutoka kenya kitu ambacho kinasababisha wakulima kutokuwa na maamuzi juu ya bei mheshimiwa mwenyekiti kilimo cha mkonge moja ya mikoa ambayo inalima mkonge kwa wingi ni mkoa wa tanga na karibu kila wilaya ina shamba au mashamba ya mkonge lakini cha kushangaza mashamba mengi yamegeuka mapori na mengine yamekufa serikali haioni kuacha hili zao kupotea ni kuwakosesha wananchi ajira na kipato je serikali iko tayari kuwanyanganya wawekezaji na kuwapatia wananchi ambao wako tayari kufufua mashamba hayo mheshimiwa mwenyekiti viwanda vya samaki mkoa wa tanga umejaliwa kuwa na bandari ambapo wavuvi na wananchi wanaozunguka au waliokaribu wanapata ajira lakini pia wanapata chakula wavuvi wamekuwa wakipata usumbufu wa kodi ukosefu wa masoko ya uhakika na kupelekea kuuza samaki kwa bei ya hasara mheshimiwa mwenyekiti tatizo hili la bei linatokana pia na ukosefu wa viwanda vya samaki hili limekuwa tatizo la muda mrefu je serikali kupitia wizara hii ina mpango gani wa kujenga kiwanda cha kuchakata minofu ya samaki ili wavuvi wawe na uhakika wa kipato mhe yosepher f komba mheshimiwa naibu spika fedha itengwe kwa ajili ya kutoa elimu kwa wananchi hasa majumbani (house hold water treatment) hii itasaidia kupunguza maradhi yanayotokana na maji kuchafuka mheshimiwa naibu spika uchakavu wa miundombinu wilaya ya muheza ni moja kati ya wilaya ambazo zina miundombinu chakavu sana je wizara imeandaa utaratibu gani ili kuboresha miundombinu hii kwa kuwa kuna miradi mingi inaanzishwa lakini kwa uchakavu huu haiwezi fanikiwa mheshimiwa naibu spika treatment plant mji wa korogwe unahitaji chujio na treatment plant yenye gharama ya shilingi bilioni sits wafadhili toka australia wameonesha utayari wa kutoa mkopo wa riba nafuu kwa mji wa korogwe je serikali iko tayari kusaidia mji wa korogwe kupata mkopo huo mheshimiwa naibu spika uvunaji wa maji wizara imeandaa utaratibu gani wa kusimamia halmashauri ambazo hazijatengeneza sheria ndogo katika halmashauri zao ili kila anayejenga nyumba yenye bati (shule na hospitali) aweke mifumo ya uvunaji maji
2018-02-23T19:56:08
http://parliament.go.tz/contributions/358
mama na bintie | jamiiforums | the home of great thinkers mama na bintie discussion in 'jokes/utani + udaku/gossips' started by iamerror_d feb 22 2012 bintimama wale mateja watu wabaya xana mamawamekufanyaje mwanangu bintiniliwaomba waniangulie maembe mtini wakaniambia nipande mwenyewe mamaumbafu zao walitaka wakuchungilie chupi yako bintiweee¡unadhan me cna akili mamaulifanyaje bintiniliwakomeshaniliivua chupi nikaificha mfukönii hahahahahahah nakufa dogo mwehu kabisa inamaana chupi kwao ndio heshima kuliko nyeti kama ndivyo tuheshimu mila zao rasta furry jah people imenikumbusha familia moja huko njombe chup ilikuwa ni luxury inavaliwa mtu akienda mjini au hospital walikuwa na moja tu sasa siku moja mdogomtu alipanda lorry tingo akamwona akamwuliza we mbona hujavaa chup akajibu leo ni samu ya dada amekwenda usa matosani mujini nyambafu toto jinga sana kichwa cha mwenda wazimu hicho daah huyo dogo kwel hazmtoshi mateja wamefaidi scanning36 123 treat found file corupted sugara said 123 treat found file coruptedclick to expand eee bwana kuna kaukweli hapo nashangaa njombe kupewa hadhi ya mkoa imenikumbusha familia moja huko njombe chup ilikuwa ni luxury inavaliwa mtu akienda mjini au hospital walikuwa na moja tu sasa siku moja mdogomtu alipanda lorry tingo akamwona akamwuliza we mbona hujavaa chup akajibu leo ni samu ya dada amekwenda usa matosani mujiniclick to expand haah haah mama mbavu zangu
2017-07-24T10:58:42
https://www.jamiiforums.com/threads/mama-na-bintie.226235/
stasiidara ya usalama ya iliokuwa ujerumani mashariki | muungano wa ujerumani | dw | 03112009 stasiidara ya usalama ya iliokuwa ujerumani mashariki katika msururu wetu wa ripoti kuhusu miaka 20 tangu kuporomoka kwa ukuta wa berlin na kuungana tena kwa nchi mbili za ujerumanileo tunaikodolea macho idara ya usalama ya iliokuwa ujerumani mashariki (stasi) kanzela angela merkel(kushoto) alipotembelea makao makuu ya stasi ukizungumzia (gdr)jamhuri ya kidemokrasi ya ujerumani jambo la kwanza linalokujia kichwani ni idara hiyo ya usalama (stasi)ufupisho wa wizara ya usalama wa dola stasi ilikuwa idara ya upelelzi iliokuwa na askari kanzu wengi na zana nyingi za kuwachungua na kuwapeleleza wananchi wake wenyeweilikuwa pia na tawi la kutisha ambalo jukumu lake kuu ni kumfanyia ujasusi adui mkuu wa kinadharia na usoni kabisa ilikuwa ujerumani magharibiazma ilikua kuwapandikiza ndani yake majasusi kadhaabaadhi ya wakati hii ilifanikiwa na wakati mwengine haikufanikiwa sana idara ya usalama ya ujerumani mashariki (stasi) kwa ufupi daima ikigonga vichwa vya habari na hata miaka 20 baada ya kuvunjwa kabisa yaendelea kugonga vichwa vya habarikatika visa vyake vilivyogonga mno vichwa vya habari ulimwenguni na nchinini kufichuliwa kwa jasusi wake mkubwa 1974 günther guillaumme ambae alikuwa mjumbe msaidizi binafsi wa kansela willy brandt na kwa miaka kadhaa akipeleka habari berlin ya mashariki kutoka afisi ya kansela bonn idara ya usalama hiyo ilijiingiza pia miongoni mwa makundi ya wanafunzi na hata ndani ya idara za usalama za maadui zake ilikuwa na wapelelezi wao ripota huyo anasimulia barabara hii imegeuka kama medani ya vitakumezuka mapambano kadhaa kati ya polisi na waandamanaji tarehe 2juni1967 maelfu ya watu waliandamana berlin magharibi kupinga ziara ya shah wa iran shahidi mmoja alisema ghafla nilijionea bastola ikifyatuliwa halafu nikaona mhanga alivyoanguka chini nyuma ya motokaa na hatikisiki tena kijana huyo alijionea hapo mwanafunzi benno ohnesorg akiaga wanafunzi wakiandamana mjini munich kumkumbuka benno ohnesorg aliyeuliwa na polisi karlheinz kurras duniarisasi hiyo ilifyatuliwa na polisi aitwae karlheinz kurrasni mwaka huu na kwa bahati nasibu tu katika kulitupia macho daftari moja iligunduliwa kuwa risasi ile ilifyatuliwa kwa amri ya stasiidara ya usalama ya ujerumani masharikini mkasa ambao ilikuwa taabu kuamini hata kwa mchunguzi wa kisa hicho helmut müllerengberg tangu mwanzoni mwa miaka ya 1990müllerengberg akichunguza katika idaraya usalama ya stasi mjini berlinujasusi uliokuwa ukifanywa na idara hiyo upande wa magharibiakagundua visa vingi vya kusisimua müller anasema kwamba polisi wa berlin magharibi akiwa katika nafasi nzuri kazinianapatiwa silaha na idara ya stasi kwa kupewa fedha kununulia bastola chapa p 38 ni jambo la kusangaza amekumbusha müllerengberg mada zinazohusiana stasi maneno muhimu stasi ujerumani mashariki kiungo http//pdwcom/p/kdcq miaka 20 ya muungano wa ujerumani 27102010 ujenzi wa ujerumani mashariki fedha na maneno mazuri 03102010 wakati ujerumani mashariki inaungana tena na ujerumani magharibi miaka 20 iliyopita palikuwa na matumaini makubwa kwamba kwa kipindi kifupi uchumi wa pande hizi mbili ungelitangamaa na nchi nzima kuwa na viwango sawa sherehe za muungano wa ujerumani 03102010 usiku wa tarehe 3 oktoba 1990 maelfu ya watu mjini berlin walisherehekea kuungana tena kwa ujerumani lakini kuifikia siku hii kubwa kwenye historia ya shirikisho la ujerumani halikuwa jambo jepesi
2017-12-12T12:31:45
http://www.dw.com/sw/stasi-idara-ya-usalama-ya-iliokuwa-ujerumani-mashariki/a-4818940
azam fc inaelekea kuhitimisha maandalizi ya msimu ujao ikiwa mchezo huo uliokuwa mkali na wa aina yake ulifanyika mchezo huo uliofanyika uwanja wa kcca benchi la ufundi azam fc la iliutumia kama chilunda 20 aliyekuwa akisubiria kukamilika kwa taratibu za kutafuta kibali nyota huyo mchezo huo wa kimataifa wa kirafiki wa maandalizi ya msimu ujao waziri mwakyembe aimwagia sifa azam fc asema ni kiwanda cha soka tanzania waziri mwakyembe azam fc ni kiwanda cha soka domayo peter waenda kwa matibabu sauzi dakika moja ya nguvu ya yakubu akichezea azam u
2018-10-16T05:23:15
http://azamfc.com/category/first-team?page=8
may 14 2019 0756 am ist may 7 2019 0426 pm ist may 6 2019 0620 pm ist may 6 2019 0512 pm ist the company had launched the scooter in 2002 may 5 2019 1135 am ist may 3 2019 0346 pm ist apr 28 2019 0208 pm ist nifty auto 808575 19385 245 0 maruti suzuki 670685 2272 351 782196 bajaj auto 304005 974 331 1993105 mahindra & mahindra 61965 144 238 2599966 eicher motors 20937 63175 311 131099 tatamdvr 832 035 042 1914341
2019-05-19T17:00:28
http://js.etimg.com/industry/auto/two-wheelers-three-wheelers/articlelist/64829323.cms
daniel yona leo unaamua kuzungumza | jamiiforums | the home of great thinkers daniel yona leo unaamua kuzungumza discussion in 'jukwaa la siasa' started by mzee mwanakijiji feb 27 2008 waziri wa zamani wa nishati na madini bw daniel yona amejitetea kuwa hakukataa kuhojiwa na kamati teule ya bunge ya kuchunguza zabuni tata ya kampuni ya richmond kwa maelezo kuwa alikuwa safarini india jana vyombo vya habari vilimkariri mkurugenzi wa kituo cha uwekezaji (tic) bw emanuel ole naiko naye akiituhumu kamati hiyo kwamba ilikuwa na nia ya kumkomoa akizungumza na nipashe jana kwa njia ya simu bw yona ambaye alikuwa waziri wa nishati na madini katika serikali ya awamu ya tatu alijitetea kuwa hakuwapo nchini kuanzia desemba 4 hadi 24 mwaka jana wakati kamati hiyo iliyoongozwa na dk harrison mwakyembe ikitafuta ukweli juu ya richmond ``nilikuwa india na niliporudi hawakunitafuta tena nikajua wameridhika nikaendelea na shughuli zangu`` alisema akiwasilisha ripoti ya richmond bungeni mapema mwezi huu dk mwakyembe alisema`` pamoja na kamati teule kutumia vyombo vya habari kuwatia moyo watu wenye ushahidi kuhusu suala hili ili wajitokeze na kuieleza hakuna shahidi hata mmoja aliyekuja kwa hiari yake mwenyewe bila kupelekewa hati ya kuitwa`` (lowassa yona karamagi walikuwa wanasubiri waitwe na wasipoitwa wanasema hawakuitwa lakini wangeweza kujipeleka wenyewe je wangerudishwa) m m aidha alisema mashahidi wote waliowaletea maelezo kimaandishi kwa njia ya simu au barua hawakuweka majina yao wala anuani zao hivyo kuipa kamati teule wakati mgumu kufuatilia kauli zao ilimtaja bw yona kuwa alipelekewa hati za kuitwa mbele ya kamati lakini hakufika kwa maelezo kwamba alikuwa nje ya nchi katika ripoti ya tume hiyo waziri huyo wa zamani alituhumiwa kuhusika na kuipa kampuni ya richmond development company llc haki maalum ya kipekee (exclusive right) ya miezi 18 kuhusu mradi wa bomba la mafuta ``ndugu yona alitakiwa na kamati teule atoe maelezo kuhusu msingi wa uamuzi wake wa kuipa richmond haki maalum ya kipekee (exclusive right) ya miezi 18 kuhusu mradi wa bomba la mafuta kutoka dar es salaam hadi mwanza mwaka 2004 wakati huo akiwa waziri wa nishati na madini`` ilisema sehemu ya ripoti hiyo alipohojiwa juu ya kilichomsukuma kutoa hati ya kipekee kwa kampuni ya richmond kujenga bomba hilo bw yona alisema maelezo juu ya kutoa hati hiyo yanaweza kupatikana kwa kamishna wa nishati katika wizara hiyo bw bashiri mrindoko katika ripoti hiyo ilielezwa kuwa bw mrindoko aliishauri serikali kufuta mkataba na kampuni ya richmond ya kujenga bomba hilo ambalo hadi sasa halijulikani hatma yake waziri huyo alieleza kuwa hayupo serikalini na hawezi kuzungumzia tena hoja za serikali na hivyo akashauri kuwa kamishna mrindoko atoe ufafanuzi katika ripoti ya kamati ya bunge ilibaini kuwa bw mrindoko ndiye aliyepinga kutolewa zabuni ya ujenzi wa bomba la mafuta kwa richmond japo bw yona aliwapa hati ya kipekee ya ujenzi huo jitihada za kumtafuta bw mrindoko zinaendelea wakati huo huo mjumbe wa kamati teule ya bunge iliyochunguza zabuni tata ya richmond bw lucas selelii amesema wanaoituhumu kamati hiyo kuwa imewaonea na kuwazushia wajiandae kutoa maelezo mbele ya kamati ya maadili na haki za bunge bw selelii ambaye ni mbunge wa nzega (ccm) akizungumza na nipashe jana kwa njia ya simu kutoka jimboni kwake aliwaonya wanaoikashifu kamati kukumbuka kuwa bunge limeweka taratibu na kanuni za kushughulikia wakosoaji kama hao kuhusu madai ya kituo cha taifa cha uwekezaji (tic) kuwa kamati hiyo ina chuki dhidi ya wamasai wa monduli alisema inashangaza kusikia kauli kama hizo alisema tic ni chombo cha umma kilichohusika na uwekezaji wa richmond na kilistahili kuhojiwa ili kupata taarifa muhimu alimtaka mkurugenzi mkuu wa tic bw emmanuel ole naiko kujibu hoja za msingi zilizoibuliwa na kamati badala ya kujitetea kuwa kuna mpango wa kuangamiza wamasai wa monduli alisema kamati ilipouliza hoja ya mtaji wa mwekezaji wa richmond tic haikuwa na maelezo na pia taarifa nyingine zikiwemo za majina ya wakurugenzi hazikupatikana kituoni hapo alisema kituo hicho kilitoa jina la mohamed gire pekee kuwa mkurugenzi na kushindwa kujibu hoja za msingi zilizoibuliwa na kamati hiyo ``wajibu maswali makubwa yanayoibuka kama richmond ni kampuni feki au la waeleze kuwa kupitia dowans inalipwa sh milioni 152 kila siku waseme mkataba wake ulisainiwa na kuongezwa muda licha ya ukweli kuwa wakati huo mabwawa ya maji yalikuwa yamejaa na kumwagika`` alishauri bw selelii alisema hakuna haja ya kusema kiongozi alidanganywa au hakuhojiwa kwa kuwa kamati iliwaita wahusika lakini pia imeibua maswali mengi ambayo yanahitaji kupatiwa majibu alitaka tic ijibu hoja za wakurugenzi wamiliki wa richmond itoe taarifa za usajili wake na kumtaja aliyefika kuisajili kituoni hapo na pia izungumze iwapo kampuni ya uchapishaji ilistahili kupewa cheti cha kuzalisha umeme katika shutuma zake juzi bw ole naiko alisema liitwa kwenye kamati hiyo desemba 3 mwaka jana na kujibu maswali yote chini ya kiapo akijua kamati inafanya kazi yake kwa nia njema lakini alianza kushangaa kwamba labda ilikua inamtafuta kwa kuihusisha tic baada ya kuitwa mara kadhaa tena akitakiwa awasilishe vitabu vyote vya wageni kaunzia 2006 hadi 2007 ``nilihisi kwamba kulikuwa na hila ya kutuhusisha na sakata hili angalau kwa kushindwa kutekeleza agizo la kamati kesho yake viliwasilishwa mbele ya kamati na mkurugenzi wa huduma bw mbilinyi hata hivyo nilimwandikia katibu wa bunge nikilalamika ``sumons`` za namna hii ambazo zilikuwa zinaashiria nia mbaya ya kunitafutia kosa sikujibiwa`` alisema taarifa ya richmond ilipowasilishwa bungeni alishtuka pale tic iliposhutumiwa kuwapa richmond cheti cha uwekezaji haraka na baada ya kupinga taratibu zake yenyewe na alizidi kushangaa zaidi kusikia kuwa ofisa mmoja wa tic alitoa taarifa kwenye kamati hiyo bila kuijulisha menejimenti ``mkurugenzi wetu wa huduma alipopeleka kitabu mbele ya kamati aliambiwa kwamba richmond mliwapokea kwa zulia jekundu ``red carpet`` yeye akawajibu sisi ni wajibu wetu kuwapokea wawekezaji wote vizuri lakini hili la kutandika zulia silijui`` mkurugenzi huyo alisema walikaa kimya ili wasijibishane na kamati lakini tatizo lilitokea baada ya baadhi ya jamaa na ndugu wa karibu kutaka kujua ukweli wa tic kuhusika na mkataba na kama watawajibishwa kama kamati ilivyotoa hukumu kwamba wote waliohusika na richmond wawajibishwe ``tumeona tusikae kimya bali tuelimishe jamii ukweli kama nilivyosema hapo awali kuna ishara za makusudi zilizofanywa ili kuihusisha tic na sakata la richmond jumamosi iliyopita pale monduli askofu michael laiser alitahadharisha watanzania wasihusishe richmond na watu wanaotoka monduli hatari hii ni kujenga chuki kwa watu kutoka monduli na tunaweza kutumbukia kwenye maangamizi ya kimbari `ethnic cleansing``` alisema tic ilitoa cheti cha uwekezaji baada ya vyombo vingine ikiwemo serikali kuisajili richmond na kuhoji kituo kingekuwa na kigezo gani cha kuwachelewesha ama kuwanyima my take sasa yawezekana sisi watanzania ni mbumbumbu au hatujachangamka kiakili au vyovyote vile wanavyotufikiria lakini mtu kama yona kweli anaweza kusimama na kusema anaonewa yaani yeye alisubiri aitwe tena halafu aseme ameenda kijijini halafu asubiri aitwe tena aseme ni mgonjwa kweli sheria itafanya kazi kweli hivi si mtikila ilitolewa hati ya kumkamata na hata mrema yalitaka kumkuta hivyo hivyo hivi hawa watu wanafikiria nini nadhani kuna tatizo kubwa liko mbele yetu waziri huyo alieleza kuwa hayupo serikalini na hawezi kuzungumzia tena hoja za serikali click to expand na huyu naye amerudia yale yale maneno ya mkapa lakini hawa mbona wanatuchezea hawa ``nilikuwa india na niliporudi hawakunitafuta tena nikajua wameridhika nikaendelea na shughuli zangu`` alisemaclick to expand this guy is full of himself yaani mtu unapata taarifa kuwa ulikuwa unatafutwa na kamati teule ya bunge kwa ajili ya issue of national interest halafu unarudi na kukaa miguu juu ukisubiri wakutafute my foot why didn't he announce his arrival from india and let the committee decide whether to summon him or not na huyu naye amerudia yale yale maneno ya mkapa lakini hawa mbona wanatuchezea hawaclick to expand mzee es wanatuchezea kwa kuwa wanajua hakuna lolote litakalo wafika maana kuna wakubwa zaidi na mikono yao ndani rdc na ndiyo chanzo cha kiburi so soma between the line kwamba wana anza kusafishana mkuu huoni maajabu richmond walisaini memorandum of understanding na serikali ili kujenga bomba la mafuta dsm mwanza wakapewa miezi 18 kukusanya nguvu na kuanza kazi za ujenzi miezi 18 ilipofika ikadhihirika kwamba hawana uwezo mkataba wao ukafutwa sasa hivi nadhani amepatikana mwekezaji toka uarabuni katika kipindi hicho yona alikuwa waziri msabaha alikuwa naibu na rutabanzibwa katibu mkuu yona alipaswa kwenda kutoa maelezo mbele ya kamati lakini kama alikosekana yona basi kamati ilipaswa kumhoji msabaha na baadaye rutabanzibwa hata kama kamati ilishindwa kuwapata hao wote bado ilipaswa kutafuta nyaraka zinahusiana na negotiations na mkataba wa bomba la mafuta toka wizarani mwenye attachments za ripoti ya drmwakyembe atupatie tuone mahojiano ya kamati na msabaha na rutabanzibwa kuhusu richmond na mradi wa bomba la mafuta kamati ya drmwakyembe imependekeza bashiri mrindoko achukuliwe hatua kwa kutokumshauri katibu wake mkuu mwakapugi kuhusu uwezo wa kifedha wa richmond kabla ya hapo mrindoko aliandika barua kwa niaba ya katibu mkuu nishati [mwakapugi] ya kusitisha mkataba wa richmond wa ujenzi wa bomba la mafuta gazeti limekosea linapodai mrindoko alipinga mkataba wa bomba la mafuta kilichotokea ni kuvunjika kwa mkataba baada ya grace period ya miezi 18 kupita mrindoko ndiyo aliandika barua ya kuvunja mkataba kwa niaba ya katibu mkuu/wizara/serikali exclusive rights ni jambo la kawaida ktk miradi mikubwa kama huo huwezi kusaini mkataba wa mradi kama huo kwa wawekezaji zaidi ya mmoja huyu akajieleze na kujitetea huko kwenye tume ya pinda anajitetea na hajui anajitetea nini si maajabu haya jamani exclusive rights ni jambo la kawaida ktk miradi mikubwa kama huo huwezi kusaini mkataba wa mradi kama huo kwa wawekezaji zaidi ya mmojaclick to expand jokakuu kuna mambo unayoyasema ni muhimu sana lakini yanashindwa kujibu maswali kadhaa a unaweza kuipa kampuni ya uwekezaji mradi mkubwa exclusive rights wakati kampuni yenyewe haipo kisheria kabla ya serikali kuingia mkataba mkubwa si lazima iridhike kuwa yule anayeingia mkataba siyo tu ana uwezo wa kuingia mkataba huo bali pia yupo kisheria b kama baada ya miezi 18 wameshindwa kufanya walichotakiwa kufanya kwenye mradi wa mafuta hata kuleta toroli la mchanga au sepetu walishindwa inakuwaje mwezi mmoja baadaye wanakubaliwa kuingia mkataba mwingine mkubwa c unapoitwa na mahakama au kamati teule ya bunge haijalishi nani mwingine ameitwa hivyo kuitwa msabaha rutabanzibwa nk haviondoi au kupunguza umuhimu wa kuitwa yona kila mtu anasehemu yake ya kujibu na ndio maana sheria ya haki madaraka na kinga ya bunge inasema kuwa kama mtu anashindwa kutokea baada ya kuitwa rasmi basi bunge linaweza kutoa amri kwa afisa yeyote wa polisi kumkamata mtu huyo na kumfikisha mbele ya chombo hicho au anaweza kufunguliwa kesi mahakamani nimesema wiki chache zilizopita subirini muone watu wanatiwa pingu bunge letu ni goi goi katika kutenda lakini likipewa glucose lina nguvu na wanayoyafanya kina lowassa na watu wake wa a21 ni kuwapa kina sitta glucose ya kuwashughulikia wanasherianaomba msaada hivi unapoitwa mahakamani kwa kuletewa taarifa rasmi toka mahakamani au kwenye tume iliyoundwa kihalali na chombo ambacho ni mhimili wa serikalina hukuwepo wakati unahitajika na unaporudije sheria haikutaki ukaripoti kule hili ujue nini kinaendelea kwa kutumia common sense tu bila sheria kukutakanafikiri ni busara ukafika eneo la tukio na kujua kulikoni yona na mkapa wanajua hakuna sheria wala chombo chochote kinachoweza kuwabana ndiyo maana wanakuwa na kiburi we subiri nani mmliki wa richmond huo ni ujanja wa form two sas mtu mzima napokuwa anautumia tunahoji kama ni timamu wa akili au lah alikuwa india na aliporudi hakureport ila kasubiri report imemlipua ndo anakurupukamwacheni tuu ataitwa kujitetea juu ya kiwila alafu utasikia yuko nje alafu mkuu wa kaya nae watu kama hawa ni kuwatia adabu tuuhatuwezi kuwa na watu vihiyo apa kusumbua akili za watutuna mambo mengi ya msingi ya kufanya nimesema wiki chache zilizopita subirini muone watu wanatiwa pingu bunge letu ni goi goi katika kutenda lakini likipewa glucose lina nguvu na wanayoyafanya kina lowassa na watu wake wa a21 ni kuwapa kina sitta glucose ya kuwashughulikiaclick to expand serikali inalazimika kujiridhisha kuhusu uhalali wa chombo chochote kile inachoingia nacho mkataba katika hii mikataba ya richmond kulikuwa na uzembe wa waziwazi kama ulivyoeleza richmond hawakupaswa kupewa mradi mwingine hasa baada ya kudhihirika kwamba ni wababaishaji ktk ule mradi wa bomba la mafuta nakubaliana na wewe kwamba yona alipaswa kutoa maelezo yake kwa kamati ya mwakyembe lakini ni nini wajibu wa kamati hiyo ktk kutafuta ukweli baada ya yona kushindwa kutokea kwa mtizamo wangu kama yona alishindwa/alikataa kutoa maelezo kwa kamati ya mwakyembe basi kamati ilipaswa kumshughulikia kwa kutumia ushahidi wa drmsabaha na patrick rutabanzibwa kama kamati imemhukumu lowassa bila kumtaka maelezo kwanini imeshindwa kumhukumu yona bila kutoa ushahidi wake kwa kamati kama maelezo ya msabaha yalitosha kumhumkumu lowassa kwanini maelezo ya msabaharutabanzibwana mrindoko hayatoshi kumhukumu yona nimesoma mahojiano ya ag mwanyika mbele ya kamati sikuona kamati ilifaidika vipi na mahojiano yale nadhani hata drmwakyembe alikata tamaa akaamua kukatisha mahojiano yao na mwanyika huyu jamaa kuna kashfa nyingine inanukia yona ni yona bwanadawa yake ni yule aliyemnyang'anya jimbo la same basi maana pale ni kweli alizidiwa maarifa huyu jamaa kuna kashfa nyingine inanukiaclick to expand tafadhari ianike upeae tuione hiyo kashfa mpya ya huyu aliyekuwa asikari maarufu wa miavuli katika jeshi la bwm
2017-01-18T04:32:41
https://www.jamiiforums.com/threads/daniel-yona-leo-unaamua-kuzungumza.10299/
vita ya ndugu bara na zanzibar kombe la challenge leo bin zubeiry sports online vita ya ndugu bara na zanzibar kombe la challenge leo bin zubeiry sports online mwanzo > zanzibar > vita ya ndugu bara na zanzibar kombe la challenge leo habari motomoto habari za nyumbani kombe la challenge taifa stars zanzibar vita ya ndugu bara na zanzibar kombe la challenge leo ndugu tanzania bara kilimanjaro stars na zanzibar zanzibar heroes wanakutana leo uwanja wa jomo kenyatta mjini machakos kuanzia saa 800 mchana katika mchezo wa kundi a kombe la cecafa challenge zote kilimanjaro stars ya kocha kocha mkuu ammy ninje na zanzibar heroes ya hemed morocco jana asubuhi zimefanya mazoezi yao ya mwisho kwenye uwanja wa machakos academy kujiandaa na mchezo wa leo mshambuliaji wa tanzania bara ibrahim ajib akiruka juu mazoezini jana je leo atawazima zanzibar mbaraka yusuph ndio mchezaji pekee atakayekosekana kutokana na kusumbuliwa na mejeraha ya misuli lakini kocha ninje amesema ana washambuliaji wanne ambao atawatumia kuziba nafasi hiyo ya mbarak kwa upande wakem morocco amesema hana wasiwasi kilimanjaro stars ni timu ambayo anaifahamu vizuri na wachezaji wanafahamiana pia morocco amesema anatarajia ushindi wa pili mfululizo leo na kujiweka katika mazingira mazuri ya kwenda nusu fainali ya michuano hiyo wakati kilimanjaro stars ililazimishwa sare ya 00 na libya katika mchezo wa kwanza desemba 3 zanzibar heroes walishinda 31 dhidi ya rwanda katika mchezo wao wa kwanza juzi timu hizo za kundi a zinaingia uwanjani hiyo kesho zikiwa kwenye nafasi tofauti wakati kilimanjaro stars ikikamata nafasi ya nne ikiwa na pointi moja iliyoipata kwa kutoka suluhu bila kufungana na libya zanzibar heroes wao wapo kwenye nafasi ya pili wakiwa na pointi tatu baada ya kushinda mechi yake ya kwanza dhidi ya rwanda item reviewed vita ya ndugu bara na zanzibar kombe la challenge leo rating 5 reviewed by bin zubeiry sports online
2018-08-14T11:21:19
http://www.binzubeiry.co.tz/2017/12/vita-ya-ndugu-bara-na-zanzibar-kombe-la.html
mambosasa nondo alijiteka alienda kwa mpenzi wake iringa ~ g sengo mambosasa nondo alijiteka alienda kwa mpenzi wake iringa kamanda wa polisi kanda maalumu ya dar es salaam lazaro mambosasa amesema uchunguzi uliofanywa na jeshi lake kwa kushirikiana na wenzao wa iringa umebaini kuwa mwenyekiti wa mtandao wa wanafunzi nchini tsnp abdul nondo ambaye anatajwa kutekwa alijiteka mwenyewe na iringa alienda kumtembelea mpenzi wake
2018-08-17T19:24:00
http://gsengo.blogspot.com/2018/03/mambosasa-nondo-alijiteka-alienda-kwa.html
picha mtindo huu wa kuotesha mmea kichwani unatajwa kufunika mwaka 2015 dar24 burudani habari maisha picha mtindo huu wa kuotesha mmea kichwani unatajwa kufunika mwaka 2015 2 years ago comments off on picha mtindo huu wa kuotesha mmea kichwani unatajwa kufunika mwaka 2015 kila mwaka huwa una matukio yake makubwa yanayoacha alama katika mwaka huo na hata kuendelezwa katika mwaka unaofuata mwaka 2015 ulikuwa na mengi lakini moja kati ya mitindo iliyopata umaarufu mkubwa na kuwa wa kipekee duniani ni mtindo wa kuotesha mmea katikati ya utosi ulioshika kasi nchini china kwa kuangalia unaweza kufikiri ni kweli wachina walikuwa wameotesha mmea katikati ya utosi hali iliyowafanya mataifa mengine yauangalie kwa jicho la tatu mtindo huu ulioshika kasi nchini humo kama mtindo wa unyoaji wa kuweka njia aka way pembeni kidogo ya kichwa ulivyoshika kasi miaka ya 1990s nchini marekani na mataifa mengine lakini kiuhalisia wachina hao walikuwa wakiweka mmea feki wa plastic (bondo) mmea uliokuwa maarufu na unaopendwa unaotengeneza virutubisho vya nywele na kuacha nywele zikiwa na hali nzuri ya unyevu (sprout) mtindo huu ulianza kuonekana mapema mwezi septemba 2015 lakini hakuna anayefahamu nani aliyeuanzisha japo ulianza kushamiri kwanza katika eneo la chengdu wanaume wanawake na watoto walitumia takribani dola moja ya kimarekani ($1) kupata mtindo huo mmmoja kati ya wauzaji aliiambiaa cnn kuwa alikuwa akiuza wastani wa mimea feki hiyo 200 kila baada ya saa tatu wanaoumaliza mwaka na baraka za uteuzi wa magufuli hawa hapa habari 47 mins ago comments off on serikali kuvifunga vyuo vya afya visivyokidhi vigezo habari 2 hours ago comments off on odinga hatuitambui serikali ya uhuru keyatta habari 3 days ago comments off on wachina wakamatwa jijini dar es salaam
2017-11-25T03:32:28
http://dar24.com/picha-mtindo-huu-wa-kuotesha-mmea-kichwani-unatajwa-kufunika-mwaka-2015/
1 wiki 14 masaa iliyopita #924 by mickod88 washirika wa jioni simmers ulikuwa mshiriki kwenye rikoooo sasa kwa miezi zaidi ya 6 hatimaye nilikuwa nikijitambulisha kama mimi siko mbali sana sasa ili niweze kupata muda mzuri wa p3d chini ya ukanda wangu tena jina langu ni mick na mimi ni kutoka lossiemouth huko scotland sasa nikiwa mtaalamu wa avionics na raf ninatarajia kujifunza mengi zaidi kuhusu p3d kutoka kwa wenye ujuzi zaidi na kwa matumaini basi nitafahamu ujuzi wangu kwa newbies nyingine katika siku zijazo siku 6 20 masaa iliyopita siku 6 20 masaa iliyopita #925 by rikoooo karibu kwenye jukwaa asante kwa kuanzisha mwenyewe natumaini kufurahia jukwaa hili jukwaa nzima ni mpya na inahitaji shughuli fulani hivyo tafadhali usisite kuandika hapa na kuleta ujuzi wako wa thamani kwa wengine mwisho edit siku 6 20 masaa iliyopita na rikoooo siku 6 16 masaa iliyopita #926 by gh0strider203 aye mimi pili karibu na asante kwa huduma yako
2018-02-19T10:20:29
https://www.rikoooo.com/sw/board?view=topic&id=286&catid=2
arusha coffee lodge arusha city hifadhi hoteli sasa samahani arusha coffee lodge imeuzwa unaweza badilisha tarehe au chagua hoteli nyingine sefu ya kuhifadhia vitu uhifadhi wa mizigo
2019-12-08T05:05:30
https://travel.jumia.com/sw-tz/tanzania/o10475/arusha-coffee-lodge-arusha-city
harudisha upya au rekodi hati ya sasa kwa mara ya mwisho unayohifadhi katika neno wakati mwingine tunaweza haja ya kurekebisha mabadiliko yote na unataka haraka kurejesha au kurejesha waraka mara ya mwisho unayohifadhi katika neno kawaida unaweza kujaribu kurejesha hati kwa mara ya mwisho unayohifadhi na kifungo cha kuondoa kwa mara nyingi au kufunga hati ya sasa bila kuokoa na kufungua upya tena kutools kwa neno's reload utumishi utatusaidia kwa urahisi na haraka kurejesha au kurejesha hati ya sasa kwa mara ya mwisho unayohifadhi kwa kifaa kimoja rejesha au upakia upya hati wakati wa mwisho unapohifadhi bonyeza kutools > reload angalia skrini ikiwa unafungua hati katika neno na baadhi ya mabadiliko yamepatiwa kwenye waraka lakini hutaki kuokoa waraka na unataka kurejesha waraka mara ya mwisho unayohifadhi unaweza kuitumia haraka reload huduma kwa kubonyeza kutools > reload ili kurejesha hati kwa mara ya mwisho unayohifadhi tip hati isiyohifadhi kamwe haiwezi kupakiwa upya urahisi rename hati ya sasa bila kufunga kwa kwanza kwa neno urahisi nakala nakala za kazi za sasa kwa neno haraka kufungua folda zote za neno
2019-02-18T03:02:58
https://www.extendoffice.com/sw/product/kutools-for-word/word-reopen-document.html
you are herehome » video » شهداء و علماء و اولیاء الهی » رهبر انقلاب رهبر انقلاب آخرین عناوین shiriki kwa mujibu wa nadharia ya qurani na hadithi sehemu ya tatu riba katika mtazamo wa uislam sehemu ya kwanza hukumu ya talaka katika uislamu sehemu ya nne shiriki kwa mujibu wa nadharia ya qurani na hadithi sehemu ya kwanza rushwa katika uislamu sehemu ya pili rushwa katika uislamu sehemu ya kwanza fadhila za mwezi wa rajabu kwa mujibu wa riwaya za maasumina (as) uharamu wa pombe sehemu ya kwanza hukumu ya talaka katika uislamu sehemu ya tano shiriki kwa mujibu wa nadharia ya qurani na hadithi sehemu ya tano hukumu ya talaka katika uislamu sehemu ya tano shirki kwa mujibu wa nadharia ya quran na hadithi sehemu ya sita ushia na upotoshwaji wa quran kupita kiasi wakati wa kumsifu imamm kwa mujibu wa nadharia ya shia uharamu wa pombe sehemu ya pili uharamu wa pombe sehemu ya kwanza shiriki kwa mujibu wa nadharia ya qurani na hadithi sehemu ya nne shiriki kwa mujibu wa nadharia ya qurani na hadithi sehemu ya pili 4140ujumbe wa hija wa kiongozi muadhamu wa mapinduzi ya kiislamu kwa waislamu duniani 1437 hijria kupita kiasi wakati wa kumsifu imamm kwa mujibu wa nadharia ya shia shiriki kwa mujibu wa nadharia ya qurani na hadithi sehemu ya saba laylatul mabiit (usiku wa kujitolea kwa imam ali kwa ajili ya kunusuru roho ya mtume) umuhimu wa siku tatu za miezi ya qamariyya 12 13 na 14 tawasuul kwa mujibu wa qurani na hadithi ndoa ya muda sehemu ya nne athari na baraka za kumsalia mtume sehemu ya tatu shirki kwa mujibu wa nadharia ya quran na hadithi sehemu ya sita falsafa ya hijabu sehemu ya kwanza shiriki kwa mujibu wa nadharia ya qurani na hadithi sehemu ya saba maisha ya abuutaalib (as) kwa muhtasari mfanano wa mawahabi na waarabu wa ujahili sehemu ya pili elimu ya ghaibu ya ahlul bayt (as) uimamu kwa mujibu wa qurani na riwaya sehemu ya tatu falsafa ya hijabu sehemu ya kwanza bibi fatima zahraa sehemu ya sita ndoa ya muda sehemu ya tatu itikadi za kiislam kwa mujibu wa quran sehemu ya tatu uimamu kwa mujibu wa qurani na riwaya sehemu ya saba استفاده از مطالب این سایت بدون ذکر منبع مجاز می باشد
2017-07-26T09:00:09
http://www.tvshia.com/sw/category/1894
meli ya mfalme wa oman yawasili jijini dar es salaam kwa ziara mtaa kwa mtaa blog home habari meli ya mfalme wa oman yawasili jijini dar es salaam kwa ziara meli ya mfalme wa oman fulk al salaam imewasili leo jijini dar es salaam kwa ziara ya siku sita inayotarajiwa kumalizika tarehe 21 oktoba 2017 meli hiyo imewasili na mjumbe maalum wa mfalme waziri wa mafuta na gesi wa oman mhe dkt hamad al rumphy mahammed ambaye ameambatana na watu zaidi ya mia tatu (300) kutoka katika sekta mbalimbali waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa mhe dkt hussein mwinyi akisalimiana na mhe dkt hamad al rumhy mahammed mara baada ya kuwasili katika bandari ya dar es salaam pembeni ya waziri mwinyi ni mkuu wa wilaya ya kigamboni mhe hashimu mgandila naibu waziri mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki mhe dkt susan kolimba akisalimiana na waziri mahammed katika sherehe za mapokezi zilizofanyika bandarini dar es salaam pembeni yake ni waziri wa viwanda na biashara mhe charles mwijage katibu mkuu wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki balozi dkt aziz mlima akisalimiana na mhe dkt mahammed balozi wa jamhuri ya muungano wa tanzania nchini oman mhe abdallah kilima akisalimiana na waziri mahammed pembeni yake ni mkuu wa wilaya ya temeke mhe felix lyaniva kaimu mkurugenzi idara ya mashariki ya kati wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki bw ayoub mndeme akisalimiana na waziri mahammed mhe waziri mwinyi akikaribishwa ndani ya meli na mhe waziri mahammed mhe waziri mwinyi pamoja na dkt kolimba wakiwa katika mazunguzo na mhe waziri mohammed mara baada ya kuingia ndani ya meli balozi dkt mlima akifatilia mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea baina ya mawaziri mwinyi na waziri mahammed kushoto kwake ni balozi wa oman nchini mhe ali abdullah almahruqi viongozi waandamizi kutoka serikali ya tanzania na oman wakijadiliana ndani ya meli vikundi vya ngoma vikitumbuiza katika viwanja vya bandari mara baada ya meli kuwasili sehemu ya watumishi wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki wakifuatilia hafla ya mapokezi ya meli ya mfalme wa oman
2018-05-27T23:19:43
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2017/10/meli-ya-mfalme-wa-oman-yawasili-jijini.html
homenewstcra kanda ya mashariki yatoa elimu ya utumiaji wa mawasiliano katika vyuo viwili wilayani nachingwea
2020-02-27T06:52:24
https://news.bongoex.com/2020/02/tcra-kanda-ya-mashariki-yatoa-elimu-ya.html
nikki mbishi wananchi elekezeni nguvu zenu kwa wasanii wengine pia si diamond tu tubonge tz nikki mbishi wananchi elekezeni nguvu zenu kwa wasanii wengine pia si diamond tu rapper nikki mbishi ameibuka na kudai kuwataka mashabiki wa muziki wa tanzania kuwaunga mkono wasanii wengine pia na sio diamond au wasanii wengine wachache wanaopewa kipaumbele zaidi akizungumza kwenye kipindi cha genge cha efm leo nikki mbishi alisema wasanii wote wanahitaji kusaidiwa ili wawepo wengi wakubwa hadi leo hii unataka kuniambia kuna super star mmoja diamond na wengine wote ni washkaji zotu tu wa mitaani wanaoturusharusha tu majukwaani sio mastaa hawana hadhi ya kuwa mastaa mimi mwenyewe nikiwepo amehoji mbishi kwa wenzetu nje msanii anakuwa label anakuja anatoa ngoma moja kesho yake staa anaishi maisha mazuri gari nzuri anaendesha maisha yake vizuri na anapewa ile heshima kuwa huyu kweli ni icon hauoni kama itakuwa siku tukiwa na watu kama diamond mia mbili tanzania na kwanini ile dhana ya utumwa nikki mbishi hata akawa nominated kwenye tuzo za zanzibar lakini nobody is going to pay attention kwa kumsupport nikki mbishi kwa sababu ni msanii pekee acha nikki mbishi hawa akina peter msechu wanakuwa nominated sometimes kwenye matuzo makubwa duniani lakini you will never hear watu wakisema jamani msupport dabo mtanzania anayetuwakilisha why diamond only kwamba diamond akiwa kwenye show basi ndo watu muache shughuli zenu mumsupport sio hatuwezi ku create watu kama yeye wakawa mia mbili tukiwa watu wote tunamwangalia huyo mmoja yule atakuja kupotea naye kwenye game ina maana watanzania kutakuwa hakuna kitu kama tulivyoshindwa kwenye soka hivyo hivyo na tutashindwa kwenye muziki na sisi tunachokiweza ni big brother kama uliikosa 411 ya leo unawezahttps//wwwhulksharecom/embedphpfn=7qatlr8e9vgg credit efm posted on december 15 2014may 12 2016 by mtakigambaposted in entertainment post navigation previous previous post mbali na juhudi za kuombwa msamaha na chris brown karrueche tran asema hamtaki tenanext next post video nicki minaj performs bed of lies on ellen
2017-07-26T00:30:38
https://mtakiblog.wordpress.com/2014/12/15/nikki-mbishi-wananchi-elekezeni-nguvu-zenu-kwa-wasanii-wengine-pia-si-diamond-tu/
mashine ya kukandamiza shaba ya benchtop mashine ya kukamua wire wa benchtop uchina na mtengenezaji maelezomashine ya kukamua shaba ya benchtop mashine ya kukata waya ya benchtop mashine ya kukandamiza shaba home > bidhaa > mashine ya kukata waya ya benchtop > mashine ya kukamua shaba ya benchtop makundi ya bidhaa ya mashine ya kukamua shaba ya benchtop sisi ni wazalishaji maalumu kutoka china mashine ya kukamua shaba ya benchtop mashine ya kukata waya ya benchtop wauzaji / kiwanda jumla ya bidhaa za juu ya r & d mashine ya kukandamiza shaba na viwanda tuna huduma kamili baada ya mauzo na msaada wa kiufundi anatarajia ushirikiano wako mitambo waya waya mashine  wasiliana sasa tengeneza mashine ya kupuliza waya  wasiliana sasa leaky feeder coaxial cable stripper  wasiliana sasa stripper kubwa ya waya  wasiliana sasa mashine ya kabel strip  wasiliana sasa stripper ya insulation  wasiliana sasa klein cable stripping chombo  wasiliana sasa miti mepesi ya bei rahisi  wasiliana sasa mashine ya kukata waya ya waya  wasiliana sasa mashine ya kukomboa cable kwa kuuza uk  wasiliana sasa kisu cha kurusha waya  wasiliana sasa kukodisha mashine kwa waya  wasiliana sasa mashine ya kupigwa waya  wasiliana sasa mashine bora inayokata waya  wasiliana sasa bora strippers za waya moja kwa moja  wasiliana sasa mashine ya kukamua shaba ya benchtop  wasiliana sasa mashine ya kuondoa chakavu ya waya  wasiliana sasa badili vipande vyako vyote vilivyobaki na vipande vya waya chakavu kuwa pesa na waya wa chakavu ondoa insulation kutoka kwa waya ya shaba geuza takataka yako kuwa fedha mashine ya kutumia waya wa kiwango cha juu na tuv ce imeidhinishwa mitambo waya waya mashine tengeneza mashine ya kupuliza waya stripper kubwa ya waya mashine ya kabel strip stripper ya insulation klein cable stripping chombo miti mepesi ya bei rahisi mashine ya kukata waya ya waya mashine ya kukomboa cable kwa kuuza uk kisu cha kurusha waya pata waya wa chuma cha copper cha waya m2 bench aina ya tuv imeidhinishwa njia salama ya mazingira ya kuondoa uingilizi wa waya iliyoundwa kwa ajili ya umeme makampuni ya demolition nyumba za ugavi na recyclers kamba hii ya waya ni mashine pata waya wa chuma cha copper electric copper m2 bench aina ya tuv imeidhinishwa njia salama ya mazingira ya kuondoa uingilizi wa waya iliyoundwa kwa ajili ya umeme makampuni ya demolition nyumba za ugavi na recyclers kamba hii ya waya ni bora strippers za waya moja kwa moja mashine ya chakavu ya chakavu ya kuuza m2 bench aina ya tuv imeidhinishwa njia salama ya mazingira ya kuondoa uingilizi wa waya iliyoundwa kwa ajili ya umeme makampuni ya demolition nyumba za ugavi na recyclers kamba hii ya waya ni mashine china mashine ya kukamua shaba ya benchtop wauzaji mashine ya kukamua shaba ya benchtop mashine ya kukata waya ya benchtop mashine ya kukandamiza shaba
2020-02-26T22:13:36
https://www.scrap-wire-stripper.com/sw/benchtop-copper-stripping-machine/
ekelege kizimbani kitaifa | gazeti la kiswahili linaloongoza tanzania ekelege kizimbani wakati ekelege akipandishwa kizimbani mkurugenzi wa zamani wa tba togolai kimweri ameanza kujitetea by tausi ally mwanachi dar es salaammkurugenzi mkuu wa zamani wa wakala wa viwango tanzania (tbs) charles ekelege amepandishwa kizimbani katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu akikabiliwa na mashtaka mawili likiwamo la kutumia madaraka yake vibaya kwa kuwaondolea ada ya asilimia 50 kampuni za jaffar mohamed ali na quality motors akisomea hati ya mashtaka mwendesha mashtaka wa takukuru janeth machulya alidai machi 28 2008 mshtakiwa akiwa mkurugenzi mkuu wa tbs kwa nia ovu alitumia madaraka yake vibaya kwa kuziondolea kampuni hizo ada yenye thamani ya dola 42543 za marekani (sh68068800) machulya alidai mshtakiwa aliziondolea ada kampuni hizo bila idhini ya baraza la utendaji kinyume na utaratibu wa tbs katika shtaka la pili anadaiwa kutokana na kitendo hicho mshtakiwa alisababisha hasara ya dola 42543 za marekani mshtakiwa alikana na upande wa mashtaka ulidai upelelezi umekamilika na kuomba mahakama ipange tarehe ya usikilizaji maelezo ya awali (ph) hakimu mkazi augustina mmbando aliahirisha kesi hiyo hadi desemba 12 mwaka huu mshtakiwa atakaposomewa maelezo ya awali aliachiwa huru kwa dhamana ya sh35 milioni wakati huohuo aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa tba togolai kimweri anayekabiliwa na mashtaka matano ya matumizi mabaya ya ofisi na mwenzake ameieleza mahakama kuwa kurugenzi ya usalama ikulu iliridhia ujenzi wa ghorofa 18 na kuomba sehemu ya juu wapewe wao togolai aliyaeleza hayo jana mbele ya hakimu mkazi sundi fimbo alipoongozwa na wakili richard rweyongeza kujitetea dhidi ya mashtaka hayo yanayomkabili alidai ujenzi ulifuata taratibu zote na kwamba anahisi kushtakiwa kwake kumetokana na kashfa aliyowahi kuipata waziri wa ujenzi dk john magufuli iliyowahi kuripotiwa katika vyombo vya habari aliendelea kueleza kuwa jengo hilo serikali inapata asilimia 25 na mwekezaji anapata asilimia 75 mwekezaji na kwamba hajawahi kutoa hati ya viwanja namba 45na 46 vilivyopo mtaa wa chimara kwa mwekezaji ili apate mkopo alidai kuwa madai hayo ni ya uongo na kwamba hati haijawahi kutoka hadi sasa ipo tba na kwamba iwapo viwanja hivyo vingeuzwa wakati huo vingeuzwa kwa sh 130 bilioni na sasa thamani hiyo inazidi sh 98 bilioni aliongeza kuwa wakati ujenzi wa jengo hilo ulipofikia gorofa ya 15 aliwasiliana na mkurugenzi mkuu wa usalama na wakampelekea na mchoro ambao aliupitia na kuwataka waendelee hadi gorofa ya 18 kama ilivyopangwa ila sehemu ya juu wapewe usalama alidai kuwa baadaye walipokea barua toka kwa katibu mkuu kiongozi ikulu philimon luhanjo ikizungumzia kuhusu makubaliano hayo na kwamba hajawahi kupata malalamiko yoyote kuhusiana na ujenzi huo rais alipewa taarifa ya utendaji wa tba kuhusu mradi huo na kamba katika vikao vya bajeti vya bunge vya 2007/2008 na 2008/2009 mradi huo ulitolewa taarifa zake bungeni katika hotuba ya john magufuli na shukuru kawambwaalidai shahidi huyo wa utetezi alisisitiza kuwa taarifa zote kuhusu mradi huo zilikuwa zikitolewa wizarani yeye hakuwa mjumbe wa bodi bodi ndiyo ilikuwa na uwezo wa kuupitisha huo mradi ama kuukataa na kwamba wazo lilikuwa mradi wa ujenzi wa gorofa sita lakini rasimu ya mkataba iliandaliwa na kupelekwa kwa ag pamoja na mkataba unazungumzia gorofa 15 hadi 25 aliiomba mahakama kuifuta kesi hiyo na mashtaka yanayowakabili yeye na mwenzake kwa sababu alikuwa akihakikisha anafanya kazi kulingana na maelekezo ya sharia ya wakala mbali na mkurugenzi mkuu wa tba kimweri mshtakiwa mwingine katika kesi hiyo ni msanifu mkuu wake richard maliyaga awali upande wa mashtaka ukiwakilishwa na mwendesha mashtaka wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa(takukuru) leonard swai ukitoa ushahidi katika kesi hiyo uliwaita jumla ya mashahidi 13 pamoja na vielelezo 20 na baada ya mashahidi hao kutoa ushahidi wao mahakama iliwaona washtakiwa wote wana kesi ya kujibu na kuwataka kuanza kujitetea washtakiwa kimweri na maliyaga wanakabiliwa na mashitaka matano ya matumizi mabaya ya ofisi katika utoaji kibali cha ujenzi wa jengo la ghorofa 15 kiwanja namba 45 mtaa wa chimara swai akiwasomea maelezo ya awali washtakiwa hao alidai kuwa agosti 6 mwaka 2007 mikataba miwili kwa ajili ya viwanja namba 45 na 46 washtakiwa hao waliitia saini alidai kuwa katika mkataba huo upande wa serikali watamiliki asilimia 25 na mwekezaji asilimia 75 katika jengo la ghorofa 18 alidai tba ilitoa vibali vilivyotiwa saini na maliyaga kikiwemo cha kuongeza idadi ya ghorofa 15 hadi 18 wakili huyo wa takukuru alidai kuwa eneo hilo lilikuwa ni kwa ajili ya ujenzi wa gharofa tatu hadi sita kwa makazi na kwamba washtakiwa hao walitoa kibali kwa mwekezaji bilaya kupata idhidi kutoka kwa mamlaka husika
2017-12-15T00:38:37
http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Ekelege-kizimbani/-/1597296/2064644/-/wgi3e/-/index.html
haya ndio madhara ya kumpokea lowassa ukawa vyama vyapasuka rasmi | jamiiforums haya ndio madhara ya kumpokea lowassa ukawa vyama vyapasuka rasmi 3312 2000 heshima kwenu wanajamvi tumeanza kuona chama kimoja baada ya kingine kumeguka rasmi cuf wameanza rasmi kwa cuf bara kurudi ofisini huku cuf visiwani makitawamepigwa butwaa kwa style hii hii naonaz bundi huyuhuyuanatua nccr kwa bibi mosore kurudi madarakani nao pia walipinga sana inshu ya kuungana bila vikao na mtu waliyeamini ni fisadi najua baadhi wananuna nyuzi kama hizi kuonekana lakini ndio ukweli chadema nakolipo kundi la dr slaa nakumbuka jon mnyiika alihoji inakuwaje mtu asilimu leo na lorelei apewe usheikh amejifunza lini ethics za chama nk hili kundi limezibwa mdomo midomo na nguvu ya pesa ya ulipo popote wapo ukitathmini kwa undani utaona jamaa kawasomesha namba wote mosi waliotaka kumvua gamba dodoma kwa maana ya ccem pili vyama shiriki ya ukawa vilivyopita nchi nzima kutangaza jamaa ni fisadi baada ya huumtikisiko naona ccm kimefanikiwa kukomaa na kubaki madarakani na sasa kiongozi wake mkuu anakubalika chadema hali sio shwari maana mwenyekiti haitishi uchaguzi na inaonekana anakatalia madarakani mithili ya madikteta mbatia nae anawakati mgumu kabla ya uchaguzi alikuwa na wabunge wengi hasa toka kigoma wote walishindwa baada ya kupoteza muda mwingi na akiwa el reactions mcubic mtazamo rooney and 1 other person 16388 2000 bora viondoke tu tuendelee na maisha yetu yasiyo na siasa za kitapeli reactions pleo kabombe rooney and 5 others hatariiiiiii waliotangaza kuwa jamaa ni fisadi ni hao hao waliopita kumnadi ati shujaa kibaya zaidi evidence zipo humu jf hadi za video reactions mcubic pleo rooney and 2 others chadema ni watu na elimu zao usitajie nyie ccm km mtafanikiwa na siasa zenu uchwaraviwanda vimewashinda sasa mnajaribu hili ili kupoteza maboyafuatilia mapinduzi ya uvccm yenu pale arusha kwa ufisadi mlojijengea lkn sio kwa propaganda za kuzungumzia chadema reactions pendoharri fahari tanzania mangatara and 3 others 4525 2000 chanzo ni lowasa leo hii tungekuwa na upinzani imara wenyekufanya mambo yake kwa vikao mbowe anaendelea kumhifadhi huyu jamaa na kwa sasa yuko kamati kuu baada ya kulamba 5b kwa edo reactions fega fega rooney and isis 4515 2000 katiba mpya imeanza pangwa mapema chillo97 msajili anawatekenyapolice wanawatekenyakumumba mnaitana na kucheka kwa pamoja reactions void ab initio de plato shiu yang and 2 others ligona said tatizo hamfanyii kazi mnapoelezwa mapungufu hata kama uzi unakuudhi sikiliza hivi unapoongea utumbo kama huo wakati ni wewe ndio uliyetangaza edo fisadi unatumiaje elimu hapo reactions dadijfm fega fega alfan issa and 2 others 11788 2000 mtu yeyote awaye yote hapaswi kusherehekea yanayotokea cuf na bahati mbaya kuna mkono wa dola (msajili) tumerudi 50 yrs nyuma gn ulimwengu reactions mulhat mpunga miaka 50 nyuma ukawailirudi the same day ilipopotezwa direction na mbowie and co reactions fega fega kabombe and rooney mtoa uzi una shida sanaok najua unajua ukweli na haki iko wapi ila unajinafikisha tu hapajuz kati ulileta uzi hapa mreeefu sanaunalalamikia serikali yako ya ccm khs fao la kujitoasawa endeleeni kufanya mnayofanyaiko siku ccm mngekuwa wakweli mngeliwaacha ukawa wakafa kifo chao bila ya msaada was dola africa hanna kitu ni upuuzi tu 15380 2000 lowasa ni asset au liability reactions mtoto wa mjini mtanzania1989 and kabombe 44618 2000 hii story yako ataielewa house girl wako tu ni nani asiyejua kuwa ccm wanamtumia lipumba na mutungi kufanya huu upuuzi wenu reactions erythrocyte mangatara and mmawia upinzani badala ya kukua wanasambaratika mapito waliyopita ccm badala ya kuwadhoofisha yamezidi kuwaimarisha tuache kutetea kila ujinga wa upinzani tunahitaji damu mpya zenye maono na si ujanja ujanja wa sasa reactions fega fega polycarp isaya urio mtoto wa mjini and 1 other person lowasa kujiunga upinzani kosa lake nini hadi asakamwe kila siku ufisadi mnaotaja kila siku aliufanya akiwa chama tawala bila kuandamwa nyota yake inangaa alipo mnamchafua akifanya hivi fisadi ebu tupeane tena maana halisi ya fisadi 82698 2000 akili za panzi hizo reactions nshonzi mbakie nyinyi matapeli wazoefu amekaa ccm miaka 9 kwanini hamkumshitakimbona unatumia akili ya senene asante sana mkuu kwa kulimwagia ukweli hilo gamba mfungwa wa leo ndio rais wa kesho na kinyume chake haya ndio maisha bwana jukwaa la siasa 11 monday at 841 pm s huu ndio ukweli tusiotaka kuujadili na ndio chanzo cha yote haya yanayoendelea na hata yajayo jukwaa la siasa 4 jul 2 2019 s lissu na chadema walipoonya kuwa hakuna alie salamahaya hapa ndio waliomanisha jukwaa la siasa 25 jun 22 2019 s haya ndio madhara ya korosho kwenye uchumi na pato la taifa jukwaa la siasa 4 may 20 2019 haya ndio madhara ya ufisadi tanzania yanyimwa mamillion jukwaa la siasa 12 jul 25 2015 huu ndio ukweli tusiotaka kuujadili na ndio chanzo cha yote haya yanayoendelea na hata yajayo lissu na chadema walipoonya kuwa hakuna alie salamahaya hapa ndio waliomanisha haya ndio madhara ya korosho kwenye uchumi na pato la taifa haya ndio madhara ya ufisadi tanzania yanyimwa mamillion threads 1391969 members 528515 posts 34094644
2020-02-26T09:44:18
https://www.jamiiforums.com/threads/haya-ndio-madhara-ya-kumpokea-lowassa-ukawa-vyama-vyapasuka-rasmi.1119442/
mungu mwenye mwili katika siku za mwisho anafanya kazi zaidi kutumia maneno | injili ya kushuka kwa ufalme mungu mwenye mwili wa siku za mwisho anatamatisha enzi ya neema na ananena maneno ambayo yanakamilisha na kutia nuru maneno ambayo yanamaliza dhana isiyo dhahiri kutoka kwa moyo wa mwanadamu yesu alifanya kazi ambayo ilikuwa tofauti yeye alitenda miujiza na kuponya wagonjwa kuhubiri injili ya ufalme wa mbinguni na alisulubiwa ili kuwakomboa watu wote hivyo mwanadamu akapata dhana kuwa hivyo ndivyo mungu atakuwa kila wakati mungu mwenye mwili wa siku za mwisho anatimiza na kufichua yote kwa maneno katika maneno yake unaona kile alicho katika maneno unaona kwamba yeye ni mungu anaondoa dhana zisizo dhahiri kutoka kwa moyo wa mwanadamu kupitia maneno na matendo yake kazi yake ya kweli na kawaida kati ya watu wote mwanadamu anajua ukweli wa mungu sio kuamini katika mungu asiye dhahiri kupitia katika maneno ya mungu katika mwili anakamilisha mwanadamu na anatimiza vitu vyote hii ni kazi ambayo mungu atafanikisha katika siku za mwisho kabisa mungu katika mwili ananena maneno pekee kwani hii ndiyo kazi yake duniani unaweza kuona yote aliyo kupitia katika maneno yake mwenye uweza mnyenyekevu mkuu katika maneno yake unaona kile alicho katika maneno unaona kwamba yeye ni iliyotangulia:mungu anafanikisha vyote katika siku za mwisho hasa kwa maneno inayofuata:kusonga kwa kazi ya mungu ulimwenguni
2019-12-12T01:23:01
https://sw.kingdomsalvation.org/God-incarnate-works-mainly-by-words-txt.html
rangi za kansai plascon zatambulishwa rasmi jijini arusha mwanaharakati mzalendo ™ krantz mwantepele 122400 pm mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya kansai plascon tanzania amin habib akihutubia wageni waalikwa katika ya hafla ya kununua oparesheni za kampuni ya rangi ya sadolin nchini mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya kansai plascon tanzania amin habib akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya hafla ya kununua oparesheni za kampuni ya rangi ya sadolin nchini mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya kansai plascon tanzania amin habib akiongea na distributors wa arusha kuhusu ununuaji wa operasheni za kampuni ya rangi ya sadolin wadau wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya hafla ya kununua oparesheni za kampuni ya rangi ya sadolin nchini meneja wa kanda wa kampuni ya kansai plascon tanzania(tanzania kaskazini) akizungumza na waandishi wa habari jijini arusha jana kuhusu kampuni hiyo kununua oparesheni za kampuni ya rangi ya sadolin nchini kushoto ni meneja mauzo wa kampuni hiyo hussein jamal kansai plascon yainunua kampuni ya rangi ya sadolin ya tanzania arusha kampuni ya kansai plascon afrika ltd ambayo ni kampuni tanzu ya kampuni ya rangi ya kansai iliyoko japan imehitimisha makubaliano yake ya kununua shughuli za rangi za sadolin nchini tanzania na nchi nyingine za afrika mashariki hii ilitangazwa na deodatus makumpa meneja wa kanda ya kaskazini plascon tanzania wakati akitoa taarifa kwa vyombo vya habari katika hotel ya arusha jijini arusha kampuni ya rangi ya kansai ni kampuni ya kimataifa ambayo inaendesha shughuli zake nchini japan china mashariki ya kati ulaya na afrika bidhaa zake inazotoa zinajumuisha upambaji viwanda rangi za kulinda na mitambo ina vituo vya utafiti na maendeleo nchini japan india na afrika kusuni tumefurahishwa na mafanikio haya kupitia haya tutaweza kutumia nembo yenye nguvu ya urithi wa kansai uwezo wa kimataifa wa kiufundi na utendaji wa kuaminika kutupatia uwezo mpya kuweza kupata teknolojia mpya na utambuzi ambao ni muhimu zaidi katika kuendelea kukuza nembo hii alisema makumpa akiongea kuhusu sababu za kuinunua gary van der merwe rais wa kampuni ya plascon afrika mashariki alisema kwamba makubaliano haya yanadhihirisha nia ya kansai plascon katika kujiendeleza zaidi duniani afrika mashariki ni moja kati ya ukanda ambao unakuwa haraka zaidi kiuchumi barani afrika kwa ukuaji wa kasi wa daraja la kati kuongezeka kwa nguvu ya utumiaji na kukua kwa miji huu ni muda muafaka wa kuingiza sokoni bidhaa zetu mbali mbali kwaajili ya kuboresha zaidi mtindo wa maisha yao wakati huo huo tukiwa tunaongeza kuenea kwetu duniani ununuzi huu hautakuwa na mabadiliko katika uongozi wa juu na nafasi zozote zingine katika kampuni ya sadolin kampuni itaendelea kufanya shughuli zake kama ambavyo ilikuwa ikifanya kwa kutumia wafanyakazi waliopo amin habib ambaye anakalia kiti cha mkurugenzi mtendaji amesema kwamba ununuzi huu utapelekea katika matokeo bora na ufanisi zaidi ambao utanufaisha kampuni hii ya rangi kuanzia katika teknolojia mpya na iliyoboreshwa kutoka katika kampuni ya rangi ya kansai ambayo ni kampuni ya kumi ya rangi duniani tangu ianzishwe mwaka 1967 nchini tanzania kampuni ya rangi ya sadolin imekua na kuwa kampuni kubwa zaidi ya uzalishaji wa rangi ikiwa inajivunia zaidi ya 50 ya soko katika rangi za kulinda naza kutengenezea magari amin habib amewahakikishia wateja kwamba mabadiliko haya hayatakuwa na athari zozote katika utaratibu wa uendeshaji wa shughuli za kampuni uliopo sasa lakini mabadiliko yanakuja na mbinu bora za uendeshaji kwaajili ya kuwahudumia vyema wateja kwa ufanisi zaidi na kwa bidhaa zenye kiwango ambazo hawakutarajia wauzaji wetu wote maghala na maduka yatabakia kuwa wazi kuwahudumia kwa bei ile ile nzuri ambayo wamekuwa ukiifurahia kwa miaka mingi katika miezi michache ijayo tukiwa tunakamilisha mabadiliko tutaanza kuingia katika kutekeleza makubaliano ya mkataba kumalizia bidhaa zenye nembo ya sadolin kutoka katika maghala yetu na kuwasisitiza wateja wetu kuuliza bidhaa zenye nembo ya plascon kutoka kwa wauzaji wao kwa kutambua kwamba kununua na kujiunga kwa makampuni huja na hali ya kutokuwa na uhakika katika mtazamo wa raslimali watu na mtazamo wa kiuendeshaji gary van der merwe alisema kwamba kwa kuwa sadolin kama biashara tayari ilikuwa inaendesha shughuli zake kwa ufanisi mkakati utakuwa ni kuboresha zaidi na kuongeza katika uendeshaji uliopo ili kuboresha ufanisi tutafanya kazi ya kupanua zaidi teknolojia ya hali ya juu iliyopo ambayo tumeikuta ikiwa inafanyakazi lengo letu litabakia katika kuwekeza katika teknolojia ya kiwango cha juu kuwapa wateja wetu rangi za kiwango cha juu zaidi katika soko alisema lengo letu ni kudumisha nafasi yetu kama wazalishaji wa rangi wanaoongoza tanzania na afrika mashaririki kwa kuendelea kuboresha ili kuweza kufikia mahitaji ya wateja wetu yanayobadilika kila siku na kubakia washindani katika soko soko la tanzania wanaweza kutarajia kuanza kutumia application ya simu ya plascon visualizer ambayo itawaruhusu watu kucheza na kufanya majaribio ya rangi kwaajili ya nyumba zao na miradi yao kabla ya kwenda kwa wauzaji kutoa oda zao sadolin imefurahia nafasi yake na kushikilia soko la rangi katika kanda hii ununuzi huu utaongeza mapato ya kansai plascon na nafasi yake kama ambavyo inataka kuimarisha nafasi yake kama kampuni ya rangi inayoongoza afrika by krantz mwantepele muda 122400 pm
2019-03-26T23:20:16
https://www.mwanaharakatimzalendo.co.tz/2017/08/rangi-za-kansai-plascon-zatambulishwa.html
michuzi blog mboni masimba aja na sauti ya mwanamke ' if(imglength>=1) { imgtag = ' wednesday october 26 2016 ~ copyright michuzi blog habari ~ mtumie rafiki yako maoni 1 ticket zinatikana wapimuda
2018-01-17T14:56:40
https://issamichuzi.blogspot.com/2016/10/mboni-masimba-aja-na-sauti-ya-mwanamke.html
maonyesho ya televisheni ya vampire diaries viungo | stories reviews and zaidi on fanpop | sorted kwa rating | page 363 onyesha viungo vya maonyesho ya televisheni ya vampire diaries (36213630 of 5411) vampire diaries mashabiki to meet klaus on vampire diaries muziki episode 16 there goes the neighborhood vampire diaries muziki episode 210 the sacrifice song orodha
2019-10-14T22:03:31
http://sw.fanpop.com/clubs/the-vampire-diaries-tv-show/show/363?sort_method=rating
semenya hana la kusema bbc news swahili semenya hana la kusema https//wwwbbccom/swahili/michezo/2012/08/120811_semenya image caption semenya alitimka kwa kasi dakika za mwisho lakini hakuweza kumpita mwanariadha wa urusi
2018-06-25T04:59:51
https://www.bbc.com/swahili/michezo/2012/08/120811_semenya
mwenyekiti wa jukwaa la wahariri tanzania (tef)atekwa na kujeruhiwa kitaifa | mwananchi mwenyekiti wa jukwaa la wahariri tanzania (tef)atekwa na kujeruhiwa nilifika nyumbani kwangu kama saa sita usiku nikitokea kazini na nilipofika kwenye lango la kuingia ndani nilipiga honi ili mlinzi anifungulie lakini ghafla nilivamiwa na kundi la watu mwenyekiti wa jukwaa la wahariri tanzania (tef) absalom kibanda ametekwa na watu wasiofahamika na kisha kumjeruhi vibaya kwa nondo mapanga na kisha kumngoa meno kucha na kumharibu jicho la kushoto tukio hilo la kinyama linafanana kwa kiasi fulani na lile la alilofanyiwa mwenyekiti wa chama cha madaktari tanzania stephen ulimboka tayari mwandishi huyo mkongwe wa habari amesafirishwa jana kwenda afrika kusini kwa matibabu zaidi aliondoka jana akisindikizwa na daktari kutoka taasisi ya mifupa muhimu (moi)
2018-06-22T16:31:41
http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/-/1597296/1713448/-/12827ip/-/index.html
ukweli unauma hizi ndio sababu zilizotufanya watanzania tukakosa tuzo mtv awards medtechnics tz home / music / ukweli unauma hizi ndio sababu zilizotufanya watanzania tukakosa tuzo mtv awards ukweli unauma hizi ndio sababu zilizotufanya watanzania tukakosa tuzo mtv awards ngoja niongee leo hii watu wengi wamekuwa wakijiuliza why tumeshindwa huku wakipeleka lawama zote kwa teams bila hata kuchambua kwa kina kwa upande wangu na akili zangu hizi hizi za insta ni wengi mno ambao wanaingia katika kusababisha hili kwa namna moja ama nyingine 1 watu wa kwanza kabisa kuchangia kukosa kwa tuzo ni wasanii wenyewe wasanii wamekuwa wanafiki sana sana naomba nihakikishie direct hii hivi bongo kuna wasanii wawili tu au ndio ile hawana management nzuri ifike time muache ubinafsi if unaamini mungu anampa kila mtu ridhiki yake then acheni uchoyo wa kuwaambia na wenzenu process za kuwafikisha katika mashindano tell them what they suppose to do wingi wenu katika categories utasaidia pia kuwanyanyua usiniambie bongo kiba na mondi tu ndio very best artist narudia kama unajiamini ridhiki yako ipo just tell na wengine nini wanatakiwa kufanya wafike hapo rayvanny kama asingekuwa wcb am not sure kama angekuwa katika kipengele chochote too bad namshangaa kiba why abdu kiba bado yupo nyuma tu hafiki popote hebu mjifunze kubebana sana 2 teams this is the worse part dah sitaki hata kufikiria mara mbili but mmeshawahi hata kujiuliza wanapata wapi nguvu zote hizo kama utajiuliza hili swali kwa kina utajua kuwa wasanii wenyewe hapa wanarudi tena humu humu katika teams wao ndio vichocheo vikubwa vya jeuri kwa hizi teams we know kila mtu ana njia yake ya kutafuta ugali mezani ila ifike muda kama kweli mnataka uzalendo make sure mnavunja team za kibaguzi unajua hata wasanii wakubwa nje wana teams zao (tena kuna tuzo wana mpaka category team ya nani ni strong team) rihanna navy ya rihanna beyhive ya beyonce swifties ya taylor swift arianators for ariana grande selenators hawa wa selena gomez dah guys wako wengi tu ila hawa wanaongoza kununua kazi zao kutoa support za shows bidhaa zao na kadhalika sisi ni mitusi tu mwanzo mwisho mitusi tu 3 media hawa unaweza kuwaona hawamo ila trust me hawa watu nao kwa namna moja ama nyingine wanachangia wanachangia sana ifike time na wasanii wengine wapewe support pamoja na kulalamika kooote wabongo turudi kwenye ukweli hivi kweli diamond angemshinda wizkidvanessa amzidi yemi alade na rayvan ampite tecno nah hapana tuwe wakweli at once tunajiliwaza lakini ukweli ni kwamba this time tulibanwa mno vanessa ana ngoma gani ya kumpita yemi nyimbo mbili za rayvanny ampite techno na ma wash yake sijui maduro diamond tuzo zilizopita my #1 iliweza kumbeba mwaka huu alikuwa na kipi cha kumpita wizkid pamoja na kura zote na yote tunatakiwa kukubali mwaka huu tulibanwa who knows yamoto band where in africa wamefanya hata show kiukweli this time hatukuwa na lolote (najua tutakataa kuukubali huu ukweli) tatizo wabongo tunajiona sisi ni wakubwa kiukweli bado tuna safari ndefu wizkid sio mwenzetu kiba na diamond hawamgusi hata robo ana mashabiki africa nzima na nje ya africa diamond asubiri mwakani wimbo wake na p square una nafasi kubwa sana ya kumpa tuzo my #1 na nana zilimbeba sana ila baada ya hapo kiukweli alikuwa na nyimbo za kawaida za wabongo na sio nyimbo za tuzo kubwa kiba japo hakuwepo direct katika nominee ila kajitahidi as an artist kwa show yake amefanya poa performance japo nae pia anabezwa for now sasa ndio tuonyeshe huo uzalendo kumuombea na kupiga kura ile tuzo ile mtvema ije home wasanii wetu needs to go outside wanatakiwa waanze kupiga shows across africa countries isiwe tu shows wanazoalikwa ulaya leo hii wizkid anakuja tz kupiga show coz hapa tz ana mashabiki plus nchi mbalimbali za africa anazokwenda nina hakika katika hizo tuzo wapo watz kibao waliompigia kura tukiacha hizo mateam but as fans wake from tz mziki wetu unakuwa yes lakini tutoke pia tupige shows africa na itasaidia kukuza jina soko na kujitangaza hayo yoooote yakishafanyika sasa ndio tuje katika kura na narudia teams sio shida kama tutajua jinsi ya kuzitumia na sio kusambaza chuki hata ulaya wana teams (as mentioned mwanzo) team zetu zinakosa uzalendo zinaendekeza chuki hata katika mambo ya msingi tunashukuru 5 nominations ni jambo la khery hata appearance ya idris na navy kenzo tupo pazuri next year tuwe na 10 nominations
2017-09-21T19:35:24
http://www.medtechnicstz.com/2016/10/ukweli-unauma-hizi-ndio-sababu.html
wema atambulisha lipstick na mchumba wake kwenye birthday bongounit wema atambulisha lipstick na mchumba wake kwenye birthday msanii wa filamu na na mwanamitindo wema sepetu amezindua kipodozi chake maarufu kama kiramba mdomo shedo au lipstick kwa kizungu siku yake ya kuzaliwa lakini kikubwa zaidi siku hiyo pia aliitumia kwaajili ya kumtambulisha mpenzi wake kutoka uganda ambaye naye pia aliudhulia sherehe hizo ambazo zimeendana na furaha kwaajili ya ushindi wa magufuli kama mwenyewe alivyowahi kusema alisema kwamba siku yake ya kuzaliwa inapita lakini sherehe atakuja kufanya baada ya ushindi wa magufuru kwakuwa alikuwa mmoja wa viongozi waliokuwa wakitembea na mgombea huyo wa ccm katika kampeni huku yeye akiongoza slogani ya mama ongea na mwanao
2017-07-21T20:30:56
http://bongounit.blogspot.com/2015/11/wema-atambulisha-lipstick-na-mchumba.html
michango tumboni ni nini | jamiiforums | the home of great thinkers michango tumboni ni nini discussion in 'jf doctor' started by tosha jan 26 2012 kwa heshima kubwa naomba msaada wa kuelimishwa hii kitu nimekuwa nikiisikia huku mitaa lakini sijapata kujua hasa ni kitu ganimara ooh inasumbua kwenye uzazi(wamasai wamekuwa wakiuza sana dawa za michango tumboni)mara wengine wanasema ni minyoo tu inakuwa mingi tumboni na kadhalika na kadhalika sasa naomba kwa wanaojua hili suala la kuwa na michango tumbonihii hali ni ugonjwa ganinini kinasababishamadhara yake ni yapina tiba yake hasa ni nini natanguliza shukrani kwa wote nawasilisha [td=class contentheading]daktari je minyoo inasababisha kuwashwa sehemu ya haja kubwa[/td] [td]kusikia muwasho sehemu za haja kubwa si jambo geni kwa wengi na pengine wewe unayesoma makala hii ulishawahi kupatwa na tatizo hilihili ni miongoni mwa matatizo ambayo husumbua kwa mda mrefu na pengine bila kupatiwa matibabu kwani watu huona aibu kusema kwa vile ni sehemu nyeti ya mwili wa binadamu wakati mwingine ule muwasho husumbua ukiwa katika kadamnasi hivyo inabidi mhusika kwenda sehemu ya faragha kujikuna kwani kufanya hivyo kwenye kadamnasi humfanya ajisikie aibuhata wale wanaomuona mtu akijikuna maeneo nyeti kama hayo hushangaa kwa kuwa si jambo la kawaida ukweli ni kwamba katika maisha binadamu inatokea kuwashwa sehemu ya haja kubwa minyoo na muwasho sababu za kuwasha sehemu ya haja kubwa ni nyingi lakini leo nitajibu swali la msomaji linalohusiana na minyoo na hasa ile ya tumboni sehemu ya haja kuwa ni sehemu ya mwisho kabisa ya utumbo mpana ambayo hupitisha kenyesi kutoka tumboni ni kweli kabisa kuwa kuna minyoo inayosababisha kuwasha sehemu hii minyoo hii pengine ulishaiona kwa macho kwani ina rangi nyeupe na wakati mwingine utaona imeshika kama utando kwenye makalio ya nyuma ya mtoto au miguu yake kwani inaweza kutoka tumboni yenyewe kwa kiingereza minyoo hii ina majina kibao wengine huiita &#8216pinworm' &#8216seatworm' au &#8216threadworms' kwa jina la kitaalamu minyoo hii hutwa &#8216enterobius vermicularis' tatizo la minyoo hii huwakumba watoto wa shule na wale wanaokaribia kuanza shule zaidi unaweza kukuta nusu ya wanafunzi wana minyoo hii kwa sababu inaambukiza na kwenye familia wanaweza kuwakumba watu zaidi ya mtu mmoja si kawaida kwaingia watu wazima ila unawaza kuukuta kwa mama mzazi wa mtoto mwenye minyoo pengine kwa sababu ya mahusiano ya mama na watoto kuwa karibu (kama kumuogesha mtoto nk) minyoo inaambukiza kwa njia ya kinywa mayai ya minyoo kutoka haja kubwa yanaweza kuishi kwa muda wa wiki mbili kwenye ngozi nguo taulo shuka blanketi hivyo ni rahisi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na hasa kama atakula bila kunawa mikono tofauti na minyoo ya aina nyingine ugonjwa huu zaidi ya kuwasha sehemu ya haja kubwa na ukeni kwa wanawake mara chache sana kuumwa tumbo kukosa hamu ya kula na kukosa usingizi sababu zingine za kuwashwa sehemu ya haja kubwa ni fungusi viotea au heamorrhoiss choo ngumu kula viungo vikali ikiwemo pilipili kwa wingi tunashauriwa kuhakikisha kuwa tunanawa kwa sabuni kabla ya kula tuwe na tabia ya kuwafanyia watoto uchunguzi na kuwapa dawa za minyoo angalau kila baada ya miezi mitatu kufanya usafi wa nguo taulo na mashuka mara kwa mara[/td] kwanza michango ni nini na ina dalili gani michango is myth i hate the word as it lacks specificity to any disease kwanza michango ni nini na ina dalili ganiclick to expand the ride side is the common pin worm hiyo ndio michango au minyoo roundworm—enterobius vermicularis (pinworms or seatworms) causes enterobiasis the severity of disease depends upon the worm load since most nematodes cannot multiply in their host the picture on the right shows what you see on a positive pinworm scotch tape test under the microscope (after staining) and upon an endoscopic rectal exam (right picture) note that the adult (white) worms are greatly enlarged these worms are actually one about a quarter of an inch long and are fairly clear so they are hard to see leyla omary naomba kuuliza dada yangu anamimba ya wiki 36 ilaanawashwa sana tumbo sababu itakuwa nini naombeni ushauli
2017-04-27T23:04:56
https://www.jamiiforums.com/threads/michango-tumboni-ni-nini.216616/
michezo ya shirikisho la wakuu wa majeshi ya polisi kwa nchi za afrika mashariki yashika kasi viwanja vya udsm issa michuzi | presstz your number 1 source of aggregated online content mchezaji taekwondo wa polisi tanzania mkaguzi wa polisi (insp) danny ameshika nafasi ya kwanza kwa mchezo wa uzito wa juu katika michezo ya karate ya taekwondo kwenye michezo ya eapcco inayoendelea viwanja vya chuo kikuu cha dar es salaam naibu kamishna wa polisi (dcp) ahmada khamisi akikabidhi kobe kwa mshindi wa mchezo wa taekwondo kutoka polisi kenya katika michezo ya eapcco games yanayoendelea viwanja vya chuo kikuu cha dar es salaam wachezaji wa mchezo wa taekwondo kutoka polisi rwanda wakishagilia ushindi wa kwanza wa ujumla baada ya kupata vikombe viwili katika mchezo huo picha zote na jeshi la polisi continue reading >
2019-02-20T22:04:39
http://presstz.net/michezo-ya-shirikisho-la-wakuu-wa-majeshi-ya-polisi-kwa-nchi-za-afrika-mashariki-yashika-40141472
juventus wanamtaka kweli pogba mwana spoti (3 days ago) hii ni biashara mabingwa wa italia juventus wapo tayari kuipa manchester united mchezaji paulo dybala
2018-09-20T00:29:39
http://www.magazetini.com/news/tetesi-za-soka-ulaya-jumatano-12092018-paul-pogba-theo-walcott-nacho-monreal-mario-balotelli-john-terry
hasira+wivu | jamiiforums | the home of great thinkers hasira+wivu discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by messi jul 22 2011 habari zenu wanajamvi eti unawezaje kumshauri mtu jinsi kupunguza hasira(i mean kukasirika haraka au hasira kali) na kuwa na wivu kupindukia hasa ktk mapenzinawasilisha mwambie aacha hasira na wivu wa kupindukiafull stop eti unawezaje kumshauri mtu jinsi kupunguza hasira(i mean kukasirika haraka au hasira kali) na kuwa na wivu kupindukia hasa ktk mapenzinawasilishaclick to expand hasira ni kichaa cha muda hata mimi kuna kipindi nilikuwa na tatizo unalosemalakini nipogundua nina negative nyingi kuliko positive ilinisaidia sananilikuwa hata nikipiga simu isipopokelewa hasira akichelewa hasira yani toka nimejifunza amechelewa ni story zilinoga walaaaa mwenyewe mwenye matatizo anatakiwa aichukie hiyo hasira ndipo anaweza kujitoa huko hiyo rahisi dawa ya hasira ni kiburi+jeuri mtu mwenye hasira za ajabu ajabu anatakiwa akutane na watu kama 20 wenye jeuri na kiburi ya kutosha ikitokea ni wapenzi wake atajuta kuzaliwa mwisho wa siku ataona bora awe priton ndani ya pipa habari zenu wanajamvieti unawezaje kumshauri mtu jinsi kupunguza hasira(i mean kukasirika haraka au hasira kali) na kuwa na wivu kupindukia hasa ktk mapenzinawasilishaclick to expand mtu mwenye hasira mwambie ajue kosa analofanya binadamu mwenzake kesho atarudia kufanya yeye pia hasira ni dalili kubwa za kutojiamini na kuficha kutojiamini huko nyuma ya kitu fulani kama pesa au mamlaka au mapenzi fakemtu mwenye wivu kupita kiasi mwambie mapenzi ni sawa na usiku wa kiza kwani huwezi kujua kilichopo ndani ya moyo wa mwenzako bali utaishi kwa kuhisi ni ujinga kuwa na wivu wa kupindukia kwa jambo unaloamini kwa kuhisi mwambie asubiri siku tutakayoweza soma yaliyomo katika mioyo ya wapenzi wetu ukishaweza kujua kwanini unakuwa na hasira na kwanini unakuwa na wivu tayari ushapiga hatua moja ya kudhibiti hasira na wivu wako hatua ya pili ni kutafakari na kuchukua hatua za kupunguza hizo hasira na wivu mbu said my point ntakununulia doom hata mimi kuna kipindi nilikuwa na tatizo unalosemalakini nipogundua nina negative nyingi kuliko positive ilinisaidia sananilikuwa hata nikipiga simu isipopokelewa hasira akichelewa hasira yani toka nimejifunza amechelewa ni story zilinoga walaaaaclick to expand ulichosema hapa nakikubali chauro mawazo hasi juu ya mwenzio huwa yanaishua kukuuimiza mwenyewe tu its a good learning which i will appreciate ever wivu hauwezi kuisha kwa mtu umpendaye ila tu basi sio ndo hata bila sababu za msingi basi ushajiskia wivu (ngumu aisee kutoona wivu kwa umpendaye) unaweza kupata uchizi bure kujiweka roho juu kila wakati ntakununulia doomclick to expand hhha hhaunataka kuni restishainpeace mkumbushe jamaa hasira na hasara vinaendana pamoja mkumbushe jamaa hasira na hasara vinaendana pamojaclick to expand unaona tenai was going to quote that semi umeiandika tenai will write it however hasira hasara wahenga hiyo rahisi dawa ya hasira ni kiburi+jeuri mtu mwenye hasira za ajabu ajabu anatakiwa akutane na watu kama 20 wenye jeuri na kiburi ya kutosha ikitokea ni wapenzi wake atajuta kuzaliwa mwisho wa siku ataona bora awe priton ndani ya pipaclick to expand haha mkuu umenichekeshanashukuru kwa mchango wako ulichosema hapa nakikubali chauro mawazo hasi juu ya mwenzio huwa yanaishua kukuuimiza mwenyewe tu its a good learning which i will appreciate ever wivu hauwezi kuisha kwa mtu umpendaye ila tu basi sio ndo hata bila sababu za msingi basi ushajiskia wivu (ngumu aisee kutoona wivu kwa umpendaye) unaweza kupata uchizi bure kujiweka roho juu kila wakaticlick to expand huu ni ukweli kabisalkn wivu nao ukizidi sana inakuwa karaha mtu mwenye hasira mwambie ajue kosa analofanya binadamu mwenzake kesho atarudia kufanya yeye pia hasira ni dalili kubwa za kutojiamini na kuficha kutojiamini huko nyuma ya kitu fulani kama pesa au mamlaka au mapenzi fakemtu mwenye wivu kupita kiasi mwambie mapenzi ni sawa na usiku wa kiza kwani huwezi kujua kilichopo ndani ya moyo wa mwenzako bali utaishi kwa kuhisi ni ujinga kuwa na wivu wa kupindukia kwa jambo unaloamini kwa kuhisi mwambie asubiri siku tutakayoweza soma yaliyomo katika mioyo ya wapenzi wetuclick to expand nashukuru kwa mchango wako its vry helpful watu tunaongea tu but ukijua mwenzio ana wivu juu yako inatia raha but ukijua mwenzio ana wivu juu yako inatia rahaclick to expand wivu peke yake hausumbui lakini unapozidi na kunyimwa uhuru inaboa alafu si ukweli kwamba wivu ndio unaonyesha upendo mwingine anapenda tu ile possession hata kama hakupendi dawa ya hasira na wivu iko kwenye kuelimika kuwa hasira na wivu ni negative emotions na kwa kanuni na sheria za negative emotions ni kuwa 1 negative emotions is magenetic to what caused it hasira wivu chuki nk ukizalisha zina vuta na kushikilia kile kilichozichochea ukitishwa na paka mkubwaaaa ukaogopa kukasirika nk anakufuataaaa ni mjinga tu anaweza kukasirikia tabia ya mpenzi wake huku akijua fika tabia hiyo anakuwa anidumisha na itamfuata hata akibadilisha mpenzi mwingine wivu ni sumaku ukiwa na wivu kuwa atachukuliwa nk kila rafiki utakayekuwa naye atachukuliwa nk ili kutimiza sheria na kanuni ya wivu usimlaumu yeye anachukuliwa kwa sababu ya ujinga wako wivu wako unakamilisha kanuni zake unamfanya achukuliwe nk 2 hasira na wivu ni programmer vinamprogram anaye zizalisha kuwa infirior yaani kuwa mnyonge kwa huyo unayemuelekezea hasira na wivu kila unapozalisha hasira na wivu kwa mpenzi wako kwa maneno machahe wewe ni myonge wake na atakuendesha kama gari bovu watu tunaongea tubut ukijua mwenzio ana wivu juu yako inatia rahaclick to expand alaah hivo eehss wengine wivu wetu hadi unakua nuisance aisee lakini kwa kweli kama humpendi mtu wivu unatoka wapi sema tu kiasi sijui ni kipibtw wivu na hasira lazima viende pamoja alaah hivo eehss wengine wivu wetu hadi unakua nuisance aisee lakini kwa kweli kama humpendi mtu wivu unatoka wapi sema tu kiasi sijui ni kipibtw wivu na hasira lazima viende pamojaclick to expand wivu tu bila hasira ndo raha mimi mwanamke asieniuliza kwa nini msichana fulani anakuchekeachekea ntaona hanipendi mwanamke akiwa na wivu anakuwa more sexy
2017-01-19T05:08:31
https://www.jamiiforums.com/threads/hasira-wivu.157300/
kilimo wakulima wapatiwa mafunzo ya kupata huduma za ugani kwa njia ya simu mkoani mara wazalendo 25 blog home » habari » jamii » kilimo » lifestyles » matukio » news » kilimo wakulima wapatiwa mafunzo ya kupata huduma za ugani kwa njia ya simu mkoani mara kilimo wakulima wapatiwa mafunzo ya kupata huduma za ugani kwa njia ya simu mkoani mara posted by gadiola emanuel posted date february 24 2016 / comment 0 jengo la halmashauri ya wilaya ya rorya tagged with habari jamii kilimo lifestyles matukio news
2017-08-20T04:12:53
https://wazalendo25.blogspot.com/2016/02/kilimo-wakulima-wapatiwa-mafunzo-ya.html
kuwait bajeti ya serikali thamani <iframe src='https//tradingeconomicscom/embed/s=kuwaitgovbudval&v=201812031538a1&lang=all&h=300&w=600&ref=/kuwait/governmentbudgetvalue' height='300' width='600' frameborder='0' scrolling='no'></iframe><br />source <a href='https//tradingeconomicscom/kuwait/governmentbudgetvalue'>tradingeconomicscom</a> madeni ya serikali na pato la taifa 2710 1850 20336 109 asilimia [+] bajeti ya serikali 660 063 4330 15131 asilimia ya pato la taifa [+] matumizi military 669289 644674 2439071 60044 usd milioni [+] sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi kuwait bajeti ya serikali thamani
2019-02-17T01:34:21
https://sw.tradingeconomics.com/kuwait/government-budget-value
micharazo mitupu 17 june 2014 wakati climt dempsey wa marekani akiweka rekodi ya kufunga bao la mapema zaidi mpaka sasa kwenye kombe la dunia likikamata nafasi ya tano tangu kuanzishwa kwa michuano hiyo mwaka 1930 mjerumani thomas muller amewafunika wakali wengine kwa kuongoza orodha ya ufungaji mpaka sasa muller anaongoza msimamo akiwa na mabao matatu aliyioyapata jana wakati wakiiangamiza ureno kwa mabao 40 na kuwazidi robin van persie karim benzema na arjen robben neymar waliokuwa wakiongoza na mabao mawili kila mmoja wakati raundi ya kwanza ikitarajiwa kumalizka leo kabla ya timu nyingine kuanza ngwe ya pili ya makundi muller alifunga mabao hayo katika pambano la kundi la kifoi ambalo lilishuhudia mmarekani clint dempsey akifunga bao la mapema zaidi katika michuano ya mwaka huu ya nchini brazili katika sekunde ya 29 tu na kukamata nafasi ya tano katika goli la mapema lililowahi kufungwa kwa muda wote wa michuano hiyo ya kombe la dunia bao la mmarekani huyo limepitwa na yale ya hakan sukur linaloongoza likiwa lifungwa sekunde ya 11 katika michuano ya mwaka 2002 vaclav masek aliyefungwa sekunde ya 16 kwenye michuano ya mwaka 1962 ernst lehner la sekunde ya 25 kwenye michuano ya mwaka 1934 na lile la brayan robson la sekunde ya 27 michuano ya mwaka 1982 orodha ya mabao ya mapema katika kombe la dunia ni kama ifuatavyo hakan sukur (2002) sekunde 11 vaclav masek (1962) sekunde 16 ernst lehner (1934) sekunde 25 brayan robson (1982) sekunde 27 clint dempsey (2014) sekunde 29 bernard lacombe (1978) sekunde 30 emile veinante (1938) sekunde 35 arne nyberg (1938) sekunde 35 florian albert (1962) sekunde 50 adalbert desu (1930) sekunde 50 chini ni orodha ya wafungaji wanaoongoza kwa sasa katika michuano ya brazil 3 thomas müller (germany) 2 karim benzema (france) 1 lionel messi (argentina) p armero (colombia) j beausejour (chile) winfried bony (côte d'ivoire) t cahill (australia) j campbell (costa rica) s de vrij (netherlands) posted by badru kimwaga at 1232 pm no comments bendi ya ruvu star imekamilisha kurekodi video zao mbili za nyimbo za 'spirit' na 'jua kali' na wanatarjiwa kuanza kusambaza wiki hii ili kuwapa burudani mashabiki wa muziki wa dansi nchini nyimbo hizo zilizorekodiwa video hizo ni kati ya tatu zinazoendelea kutamba kwenye vituo vya redio wimbo mwingine ukifahamika kwa jina la 'network love' ambao video yake imewekwa kiporo kwa sasa akizungumza na micharazo mmoja wa viongozi wa ruvu roger hegga alisema nyimbo hizo zitasambazwa kuanzia kesho kabla ya bendi yao kuingia tena studio kumaliza kurekodi nyimbo tatu za mwisho za kukamilisha albamu yao ya kwanza hegga alisema walipanga kuingia studio wiki hii lakini wamesitisha zoezi hilo kupisha maandalizi ya onyesho maalum la 'usiku wa mwana dar es salaam' litakalofanyika siku ya jumamosi jijini dar baadhi ya wanamuziki wa ruvu ni wale walioshiriki albamu ya mwana dar es salaam ya african stars 'twanga pepeta' hivyo kwa sasa wanamuziki hao tupo katika mazoezi ya onyesho hilo alisema alisema baada ya onyesho hilo la 'usiku wa mwana dar es salaam' wanamuziki wa ruvu watarejea kwenye bendi yao na kufanya mazoezi ya mwisho kabla ya kuingia studio kurekodi nyimbo hizo hegga mtunzi na muimbaji nyota nchini alizitaja nyimbo hizo za mwisho za kukamilisha albamu yao ni 'koo' uliotungwa na khamis kanyumbu 'amigolas' 'chewa original'suleiman muhumba na 'facebook' cha mpapasa kinanda victor mkambi dk ndumbaro amdindia malinzi 'amchinja' tena wambura dk ndumbaro kamati ya uchaguzi ya simba imemuondoa kwa mara nyingine michael wambura kutokana na kufanya kampeni kabla ya wakati huku akiwa ameonywa pia imesisitiza uchaguzi utafanyika juni 29 kama ilivyopangwa kwa kuwa rais wa tff jamal malinzi aliyetangaza kuusimamisha hana mamlaka hayo kikatiba mwenyekiti wa kamati hiyo mwanasheria na wakili maarufu nchini dokta damas daniel ndumbaro 'ddn' ndiye amefunga na kusema hayo ndumbaro amemwaga ripoti kamili ambayo inachambua mambo yote huku ikionyesha kiasi gani malinzi hana haki ya kusitisha uchaguzi huo kama alivyotangaza jana ifuatayo ndiyo ripoti kamili ya daktari huyo wa sheria nchini hivyo basi kwa mujibu wa mamlaka ya kikanuni hususan ibara za 6 (1) (a) (g) 6 (1) (l) na 14(3) za kanuni za uchaguzi za tff 2013 bw michael richard wambura anaondolewa katika kinyanganyiro cha uchaguzi wa simba sports club 2013 kwa kosa la kurudia kufanya kampeni kabla ya muda wa kampeni ambao umepengwa leo juni 17 2014 16 ubelgiji v algeria saa 100 usiku 17 brazil v mexico saa 400 usiku 18 urusi v korea saa 659 usiku kesho juni 18 2014 20australia v uholanzi saa 100 usiku 19 hispania v chile saa 400 usiku 18 cameroon v croatia saa 659 usiku alhamisi juni 19 2014 21colombia v ivory coast saa 100 usiku 23uruguay v england saa 400 usiku 22japan v ugiriki saa 659 usiku ghana yafa kiume nigeria yabanwa na iran ujerumani dah ronaldo alijitahidi mbele ya ujeruman lakini jahazi lao lilizama mara 4 vita ya nigeria na iran ilikuwa hivi dempsey akishangilia bao lake dhidi ya ghana wakati ujerumani ikitoa onyo katika fainali za kombe la dunia kwa kuigagadua ureno kwa mabao 40 timu za afrika zimeendelea kuchechemea ghana ilijikuta ikifa kiume mbele ya marekani kwa kucharazwa mabao 21 huku wawakilishi nigeria wakibanwa mbavu na iran katika mchezo mwingine ujeruman waliopo kundi g waliitoa nishai ureno ikiwa na nyota wa dunia cristiano ronaldo kwa kuilaza mabao 40 huku beki wake 'mapepe' pepe alilimwa kadi nyekundu mabao ya thomas muller aliyefunga 'hat trick' na jingine la mats hummels yalitosha kuiangamiza ureno katika pambano la kwanza la timu hizo lililochezwa saa 1 usiku baadaye saa nne nigeria ikisakata kandanda murua ilishindwa kupata ushindi mbele ya iran iliyotumia muda mrefu kupaki basi na kushambulia kwa pamoja manane ya usiku ghana walikuwa dimbani kukamilisha ratriba ya mechi za kwanza za kundi g kwa kuvana na marekani na kujikuta wakilazwa mabao 21 bao la mapema la clint dempsey kwenye sekundi ya 31 na jingine la dakika ya 86 kupitia kwa john brooks yalitosha kuzima ndoto za ghana kuambulia sare mshambuliaji huyo wa zamani wa fulham aliifungia marekani inayonolewa na kocha jurgen klinsmann alifunga bao hilo dakika nne baada ya ghana kuchomoa bao kupitia kwa andre ayew michuano hiyo itaendelea tena leo kwa michezo mitatu algeria wataumana na ubelgiji huku brazil wenyeji wa michuano hiyo watacheza mchezo wao wa pili dhidi ya mexico na urusi kupepetana na korea kalidjo kitokololo atua mashujaa band uongozi watamba mkurugenzi wa mawasiliano wa bendi ya mashujaa bw maximillian luhanga akizungumza katika mkutano huo wakati alipomtambulisha rapa kitokololo kushoto kutoka bendi ya fm academia kulia ni king dodoo mshauri wa bendi hiyo kitkololo akitangaza rasmi kujiunga na bendi ya mashujaa leo kulia ni mkurugenzi wa mawasiliano bw maximillian luhanga bendi ya mashujaa imemchukua rapa kalidjo kitokololo kuku kutoka bendi ya fm academia na kusaini naye mkataba wa miaka miwili akizungumza kwenye ukumbi wa milenium business park leo kijitonyama dar es salaam mkurugenzi wa mawasiliano wa bendi hiyo maximillian luhanga amesema kupatikana kwa chitokololo ni furaha kubwa kwao kalidjo anakuwa rapa wa tatu katika bendi ya mashujaa baada ya saulo john maaurufu ferguson na sauti ya radi ambao wote ni wakali kwa marapa hao wote tunaamini bendi yetu itakuwa inatisha sana amesema luhanga maxmilian luhanga amesema kitokololo anaanza kazi mara moja baada ya kusaini mkataba mpya kwa upande wake kitokololo mwanamuziki kutoka jamhuri ya kidemokrasia ya kongo (drc) amesema amekuja tanzania kutafuta maisha na mashujaa imempa ofa nzuri ndiyo maana amejiunga na bendi hiyo amesema ameondoka vizuri fm academia akiwa amewaaga vizuri wenzake ambao wameridhia kuondoka kwake kitokololo amesema kwamba amejiunga na mashujaa akimfuata king dodo ambaye kimuziki ni baba yake king dodoo ndiye aliyemleta nchini kwa mara ya kwanza mwaka 2004 mashujaa itamtambulisha rasmi mwanamuziki huyo katika onyesho maalum litakalofanyika ukumbi wa letasi lounge ijumaa wiki hii mashujaa pia wanatarajiwa kuwa na ratiba ndefu mara baada ya mfungo mtukufu wa ramadhani ambapo maximillian luhanga amewaambia mashabiki wa bendi hiyo nchini kote kukaa mkao wa kula kwakuwa bendi hiyo itakuwa na ziara karibu mikoa yote ya tanzania ili kutoa burudani kwa mashabiki wao
2018-02-25T11:37:18
http://micharazomitupu.blogspot.com/2014_06_17_archive.html
abdala juma usisahau kushare/kumtumia kwenye mitandao ya kijamii hapa chini ili lady asome ujumbe wako bofya andika ujumbe mpya kumuandikia na wewe mtu wako ujumbe kama abdala juma alivyomwandikia lady
2019-07-23T01:20:50
http://www.ackyshine.com/pole-mpenzi:476
katiba yamfungulia njia alsisi lakini vijana wajitenga | matukio ya kisiasa | dw | 20012014 katiba yamfungulia njia alsisi lakini vijana wajitenga jenerali abdelfattah alsisi wapiga kura waliipitisha katiba hiyo wiki iliyopita kwa asilimia 981 na matokeo yake yanaonekana kama ishara ya ndiyo kwa jenerali abdelfattah al isi kugombea urais sisi aliongoza njama za kumuangusha rais mohammad mursi mwezi julai kufuatia maandamano makubwa ya kupinga utawala wake wa mwaka mmoja ambao ulikuja baada ya maandamano yaliyomuangusha mtangulizi wake hosni mubarak mwaka 2011 kiongozi wa kanisa la koptik papa theodros ii akipiga kura yake hofu ya kurudi kwa udikteta makundi ya vijana yaliyokuwa msitari wa mbele katika maandamano yaliyohitimisha tawala za mursi na mubarak hawakupinga wakati serikali iliyowekwa na jeshi ilipofanya ukandamizaji mkubwa dhidi ya wafuasi wa mursi na wala hawakupinga pale kundi la mursi la udugu wa kiislamu lilipopigwa marufuku na kutajwa kuwa ni kundi la kigaidi lakini walielezea kughadhabishwa baada ya serikali inayoungwa mkono na jeshi kupitisha sheria mwezi novemba ambayo inapiga marufuku maandamano yasiyoidhinishwa na hili lilionekana kuakisiwa wazi wakati wa zoezi la kupiga kura sisi aliwasihi vijana kushiriki katika kura ya maoni akisema wanachangia zaidi ya asilimia 50 ya raia milioni 85 wa nchi hiyo lakini waandishi wa habari wa shirika la afp waliotembelea vituo vya kupigia kura walisema vijana hawakushiriki zoezi hilo kwa nguvu na wachambuzi walithibitisha kuwa vijana wengi wanaopigania mabadiliko wajitenga na kura hiyo mchambuzi wa kisiasa hassan nafea alisema mwitikio wa kura hiyo ulikuwa unakatisha tamaa nafea alisema vijana walikataa kushiriki kura ya maoni kwa sababu wanachukulia mambo yanayofanyika hivi sasa kama mapinduzi dhidi ya mapinduzi ya januari mkuu wa tume ya uchaguzi nabil salib alitangaza matokeo siku ya jumamosi na kusema kuwa ushiriki ulifikia asilimia 386 ya wapiga kura milioni 53 ambapo ni asilimia 19 tu waliopiga kura ya hapana salib alisema asilimia fulani ya vijana hawakushiriki kwa sababu kura hiyo ilifanyika wakati wa mitihani vinginevyo mwitikio ungekuwa mkubwa zaidi wafuasi wa alsisi wakishangilia baada ya matokeo kutangazwa udugu wa kiislamu wapinga lakini kundi la udugu wa kiislamu lilisema katika taarifa kuwa wapiga kura vijana hawakuwa wanashughulishwa na mitihani bali walikuwa wanashghulishwa na maandamano ya kupinga mapinduzi ya kijeshi na kura ya maoni isiyo halali lakini nafea alisema matokeo ya kura hiyo yalionyesha kuungwa mkono kwa sisi kugombea urais kwa sababu ya kile alichosema kuwa sehemu kubwa ya wamisri wanauona udugu wa kiislamu kama kitisho kwa jamii sisi amesema huenda akagombea urais ikiwa ataombwa kufanya hivyo jenerali huyo anapendwa na mamilioni waliyoingia mitaani dhidi ya mursi lakini wafuasi wa udugu wa kiislamu wanamlaani kwa kile wanachosema ni mapinduzi dhidi ya rais wa kwanza aliechaguliwa kidemokrasia nchini misri udugu wa kiislamu ambao umekumbana na ukandamizaji mbaya kutoka kwa serikali na kuuawa kwa wafuasi wake zaidi ya 1000 umeipuuza kura ya maoni kama kichekesho vijana wengi wanakubaliana lakini kwa sababu tofauti watenda kinyume na wasemavyo mohamed ghorab kutoka kundi linalopinga raia kushtakiwa na makahama za kijeshi alisema kwao ni jambo la kushangaza kuwa katiba hiyo inazungumzia uhuru wa kujieleza wakati wale walioipinga katiba hiyo wamefungwa jela wafuasi wa mursi na udugu wa kiislamu wakiandamana kupinga kura ya maoni alisema kwa wengi huo ni ukumbusho wa enzi za utawala wa mubarak viongozi maarufu wa vijana kutoka mapinduzi ya mwaka 2011 dhidi ya mubarak wamefungwa katika wiki za hivi karibuni miongoni mwao ni ahmed maher ahmed douma na mohamed adel ambao walikutikana na hatia mwezi desemba kwa kuandaa maandsmano yasiyoruhusiwa kesi hizi zimelaaniwa na makundi ya haki za binaadamu na wataalamu wanaosema zinatishia mafanikio yaliyopatikana tangu kuondolewa kwa mubarak na ishara ya kurejea katika utawala wa kidikteta siku ya jumapili katika jaribio la kuwapooza vijana rais wa muda adly mansour alisema vijana ndiyo walikuwa ingini ya mapinduzi yote na kuongeza kuwa mchango wao bado haujaisha na kuwataka washiriki mchakato wa kisiasa kwa vile uhuru sasa umehakikishwa mada zinazohusiana mohammed mursi hosni mubarak maneno muhimu egypt alsisi muslim brotherhood mursi cairo hosni mubarak kiungo http//pdwcom/p/1atwt
2017-08-20T14:36:25
http://www.dw.com/sw/katiba-yamfungulia-njia-al-sisi-lakini-vijana-wajitenga/a-17374661
imetumwa february 22nd 2019 mawaziri 7 pamoja na kamati ya ulinzi na usalama wakiwa kwenye ziara katika &nbspkijiji cha kimotoroki wilayani simanyiro lengo la ziara hiyo ni kukusanya taarifa kuhusu mgogoro kati ya kijiji cha k imetumwa february 2nd 2019 mkuu wa wilaya ya kiteto mhe tumaini magessa (aliyesimama) akizungumza wakati wa kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri 31012019 mwenyekiti wa halm imetumwa february 1st 2019 wahe madiwani wa halmashauri ya wilaya ya kiteto wakimsikiliza mkuu wa wilaya wakati akitoa maelezo ya serikali kwenye kikao cha &nbspbaraza lilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri mkuu dc ataka suala la lishe kuwa kipaumbele
2020-05-26T04:34:17
http://www.kitetodc.go.tz/news/9
lugha | habari za un 01 oktoba 2018 katika jarida hii leo siku ya mwisho ya mjadala mkuu wa baraza kuu la umoja wa mataifa anold kayanda anaanzia huko sudan kusini ambako daktari mmoja bingwa wa upasuaji ameokoa maisha ya wakimbizi wengi katika nchi ilyogubikwa na vita tangu mwaka 2013 kazi yetu ni muhimu lakini mara nyingi haijulikani mfasiri tafsiri kutoka lugha moja hadi nyingine imekuwa ina mchango mkubwa katika utekelezaji wa majukumu ya umoja wa mataifa amesema lydie mpambara mmoja wa wafasiri wa lugha kwenye idara ya baraza kuu na mikutano ya umoja huo dgacm wafasiri wa lugha wana nafasi kubwa katika kufanikisha amani na maelewano duniani siku ya kimataifa ya tafsiri ya lugha imefanyika ulimwenguni huku suala la nafasi ya tafsiri kwenye kuendeleza amani biashara na maelewano ya kijamii likipigiwa chepuo je katika umoja wa mataifa tafsiri ya lugha ina faida gani lugha ya batyaba hatarini kutoweka uganda shirika la umoja wa mataifa la elimu sayansi na utamaduni unesco linataja lugha kuwa hatarini kutoweka iwapo watoto hawatumii lugha yako ndio mkombozi wako ikiwa leo ni siku ya afrika lugha za asili za afrika nazo zimepigiwa chepuo na miongoni mwao ni lugha ya kiswahili ambayo barani afrika pekee inaongoza kwa kuzungumzwa na watu wengi zaidi idadi ikitajwa kuwa ni zaidi ya watu milioni 200
2019-11-19T00:28:44
https://news.un.org/sw/tags/lugha
rais trump ayatusi mataifa ya afrika haiti na el salvador worldnewscom ''kwa nini tunawaruhusu watu hawa kutoka mataifa 'machafu'' rais wa marekani donald trump ametumia neno chafu la matusi kuzungumzia juu ya haiti na nchi za bara la afrika katika mkutano wake na wabunge kuhusu mageuzi kuhusu suala trump aapa kuujenga ukuta wa mexico donald trump amesema kuwa atalizimika kuweka kando shughuli za serikali ikiwa itahitajika ili aweze kujenga ukuta kwenye mpaka kati ya marekani na mexico trump aliwaambia rais trump aombwa kuchukua choo cha dhahabu badala ya mchoro jumba la kumbukumbu la guggenheim mjini new york limekataa ombi kutoka kwa rais donald trump la kutaka kupewa mchoro wa msanii van gogh ili kuwekwa katika ikulu ya trump aomba ufadhili wa ujenzi wa ukuta na kufukuzwa kwa wahamiaji ikulu ya marekani imejumuisha makubaliano yoyote mapya kuhusu wahamiaji wadogo wasio na vibali vya uhamiaji na kuwazuia wahamiaji wasio halali pamoja na ujenzi wa ukuta balozi wa umoja wa afrika (au) nchini marekani arikana chihomboriquao ameiambia voa kuwa viongozi wa afrika wamekasirishwa na tamko la udhalilishaji juu ya wahamiaji eglise shalom haiti (jedi pote plent)#montayelshalom commentlikeshare haiti débat mercredi 18 avril 2018 garry pierre paul charles radio scoop haiti debat 18 avril 2018bandi yo deside pran pye mòn pou yal jete dlo mezanmi haiti deba 18avril bougoy blese grav apre echanj bal ak bandi pep la vle fantom pou prezidan jason derulo live haiti 2018 🇭🇹 balozi wa umoja wa afrika (au) nchini marekani arikana chihomboriquao ameiambia voa kuwa viongozi wa afrika wamekasirishwa na tamko la udhalilishaji juu ya wahamiaji kutoka bara la afrika na haiti linalodaiwa kutolewa na rais donald trump rais mpya wa marekani donald trump amepiga marufuku wakimbizi wote wa syria kuingia marekani hadi wakati anasema serikali yake itakuwa imeweka mkakati mkali zaidi wa kuwakagua wakimbizi wanaotafuta hifadhi nchini humo kwa mujibu wa amri hiyo ya trump wakimbizi wote wanaofika mipakani mwa marekani kwa sababu ya kutoroka vita makwao au sababu maandamano ya \'umoja\' mexico kumpinga donald trump maelfu ya watu wameandamana nchini mexico kupinga sera za uhamiaji za rais wa marekani donald trump pamoja na mpango wake wa kujenga ukuta katika mpaka wa mataifa hayo mawili waandamanaji katika zaidi ya miji kumi mexico waliandamana barabarani wakiwa wamevalia mavazi meupe na kupeperusha bendera za mexico na kubeba mabango ya kumshutumu trump waandalizi wanasema walitaka mexico imesema kuwa haitalipia ukuta uliopendekezwa na rais wa marekani donald trump kulingana na rais wa taifa hilo enrique pena nieto ambaye ameshutumu mpango huo wa kujenga ukuta hata hivyo rais huyo hakizungumzia kuhusu iwapo atafutilia mbali ziara yake ya marekani ambapo anatarajiwa kukutana na rais donald trump tarehe 31 januari trump tayari amesaini agizo la urais la views 218668392 views 3311639 views 1547031 heures de services dimanche d\'adoration et de louanges 7 30 am 1130 am mardi backup 700 am1pm jeudi pote plent 700 am1 pm vendredi vey de nwi de gerizon divin600 pm600 am faire un don https//googl/qj5ef6 activites special 7 tours de jericho / enposibposib siteweb http//egliseshalomtabernacledegloirecom email eglise@egliseshalomtabernacledegloirecom/ views 433522 haiti débat mercredi 18 avril 2018 garry pierre paul charles radio scoop crédit radio scoop fm port au prince haiti #actualité views 398403 views 24447629 music video by young artists for haiti performing wavin\' flag (c) 2010 universal music canada inc heures de services dimanche d\'adoration et de louanges 7 30 am 1130 am mardi backup 700 am1pm jeudi pote plent 700 am1 pm vendredi vey de nwi de gerizon divin600 pm600 am faire un don https//googl/qj5ef6 activites special 7 tours de jericho / enposibposib siteweb http//eglise haiti débat mercredi 18 avril 2018 garry pierre paul charles radio scoop crédit radio scoop fm port au prince haiti #actualité here is a brief overview of our trip to haiti our group of latavius murray brandon jones jamize olawale taiwan jones and myself were able to go to love a child located in fond parisien haiti if you feel led to donate to help these precious people in haiti go to davidgeorgeworldministriesorg #jasonderulohaiti #haitijasonderulo subscribe our channel (abonnezvous) follow hmo tv instagram https//wwwinstagramcom/hmotv/ for promos email hmotv1804@gmailcom conan disrupts the learning process and meets the future president of haiti at ecole nouvelle zoranje in portauprince more conan @ http//teamcococom/video team coco is the official youtube channel of late night host conan o\'brien conan on tbs & teamcococom subscribe now to be updated on th views 553437 views 1989452
2018-04-23T15:04:01
https://article.wn.com/view/2018/01/12/Rais_Trump_ayatusi_mataifa_ya_Afrika_Haiti_na_El_Salvador/
waheshimiwa sugu na silinde tunaomba majibu yenu kwenye hili | jamiiforums | the home of great thinkers waheshimiwa sugu na silinde tunaomba majibu yenu kwenye hili discussion in 'jukwaa la siasa' started by mdau apr 27 2011 maneno haya yametamkwa na ndugu shitambala anaongeza “hicho chama nilikuwa naendesha kama kampuni binafsi kwani nilikuwa natoa fedha yangu mfukoni na hawawezi kunikwamisha mimi wanatumika katika siasa za kikanda na hapo wanayemtumia ni mmoja anatumika na watu wa kaskazini sasa amepanga kwenda kwa mwandosya (profesa mark waziri wa maji) nilimuonya kwamba hao wenzetu wa kaskazini hawawagusi ministers wao nimetumia zaidi ya shilingi milioni 200 kukisaidia chama kuwapromote kina silinde na sugu “kesi za wanachama wa chadema hapa nilikuwa nasimamia bure lakini zilipokuja kesi za kina sugu na silinde wamepeleka dar es salaam hiki kitendo ni kudharau profession yangu ambayo ndiyo iliyokibeba chama hicho mbeya hizo kesi ulishinda unataka tukupe tena kess ya sugu na silinde uiuze kama kawaida yako tumekushtukia kuna mwenye records ya kesi zake maarufu kidogo tujue anaongeza hicho chama nilikuwa naendesha kama kampuni binafsi kwani nilikuwa natoa fedha yangu mfukoni na hawawezi kunikwamisha mimi wanatumika katika siasa za kikanda na hapo wanayemtumia ni mmoja anatumika na watu wa kaskazini sasa amepanga kwenda kwa mwandosya (profesa mark waziri wa maji) nilimuonya kwamba hao wenzetu wa kaskazini hawawagusi ministers wao nimetumia zaidi ya shilingi milioni 200 kukisaidia chama kuwapromote kina silinde na sugu kesi za wanachama wa chadema hapa nilikuwa nasimamia bure lakini zilipokuja kesi za kina sugu na silinde wamepeleka dar es salaam hiki kitendo ni kudharau profession yangu ambayo ndiyo iliyokibeba chama hicho mbeya heheee mwenyekiti anakimbia chama kwa sababu ya kunyimwa dili kweli huyu ccm ndiyo nyumbani kwake mbeya mfanyieni tafrija ya kumuaga mramba anatoka mbeya kumbe kisa dili ya kesi mbona uliuza chama kabla hata ya kesi ya sugu na silinde kama sio nja njaa kwa nini hukuhama chama kingine na siyo hiki cha magamba sibisha tumbo mdau kama ni kweli hiyo nukuu juu ya mh shitambala nafikiri kulikuwa hakuna njia nyingine bali ni kutoka tu kwenye jiko la moto kama wanavyosema wazungu 'if you can not stand the heat get out of the kitchen' huo ni unyama kabisa ambao uongozi wa juu wa cdm waliomfanyia huyu shitambala khe khe heheheeeeeeeeeeeeee yani unajua kabisa kwamba shitambala ni lawyer kilaza aliyeshindwa hata kujisimamia mwenyewe tena akiwa lawyer akapoteza kiti then unasema kafanyiwa unyama wewe lazima una matatizo makubwa would you trust a lawyer who can even fill a nomination form jamani lets be realistic hata kesi ya straight vipi siwezi mpa yule jamaa namfananisha na kijana aliyetoka na zero form six halafu anataka akasome university engineering au medicine shitambala lost it and he has done a right decision to join ccm hapa ndiyo napata mchezo wenyewe ulivyokuwa umepangwa ambao nilimegewa na mzee mmoja ingawa sikumuamini sana inasemekana huyu jamaa alipewa hela za kukibomoa cdm tena kwa makubaliano ajenge mtandao wa kikidhoofisha wasipate majimbo ya ubunge na udiwani lakini kunawakati alitofautiana na waliompa hiyo dili kwani hawakuona alichokifanya zaidi ya cdm kustawi ndipo wakakubaliana ahame cdm iliandoke na baadhi ya viongozi hivyo wangepata wafuasi wengi ambao wangekuwa nyuma yake kuhamia ccm hali ikawa tofauti na matarajio sasa anaona kama atakosa kote ndiyo maana anaishia kulalamika nafikiri hata kama issue ilikuwa ni kasi bado angeweza kuwasiliana nao na kuweka mambo sawa pia mtu anahaki ya kuwa na wakili anaye mtaka na kumamini ndiyo maana manji mfadhilg wa ccm anatetewa na marando wa cdm katika moja ya kesi zake inamaana yeye kwenda ccm wamemuhaidi kumpa kesi kweli njaa zingine mbaya sana na bado tutasikia mengi kutoka kwa huyu bwana nimuonavyo anaqualify kabisa kuwa mrithi wa tambwe hiza katika harakati zetu za kujivua magamba ya kale na kuvaa haya magamba mapya kiakili ana kipaji kilekile kabisa huyu bwanana zaidi yeye ana digrii ya sheriaatatufaa sana
2018-01-19T02:23:08
https://www.jamiiforums.com/threads/waheshimiwa-sugu-na-silinde-tunaomba-majibu-yenu-kwenye-hili.130314/
nasa wameituhumu safaricom ambayo ilikuwa imepewa kazi ya kupeperusha matokeo na tume ya uchaguzi kutoka vituo vya kupigia kura hadi kituo cha taifa cha kujumlishia matokeo kwa kushiriki katika njama ya kuchakachua matokeo nyalandu atema cheche
2017-11-25T03:36:01
https://dondosha.blog/2017/11/03/odinga-awataka-wafuasi-kususia-bidhaa-za-kampuni-tatu-kenya/
nukuu za sasa za kanisa ackyshine | best👍of😂2019💯 mpendwa msomaji baada ya kukuandikia makala nzuri inayopendwa kuhusu tujifunze kitu hapa kwa sasa nimekuandalia makala hii kuhusu nukuu za sasa za kanisa usisahau kulike na kushare makala hii uliyoisoma kuhusu nukuu za sasa za kanisa share facebook twitter bila kusahau whatsapp ikiwemo makala hii ya nukuu za sasa za kanisa makala nyingine zinazosomwa sana ni kama ifuatavyo • mtume bartolomayo isome hapa • mvuto wa maisha ya kikristo nyumbani isome hapa • tafakari ya sasesisosu isome hapa unaweza kusoma makala mpya nzuri kila unapotembelea website hii wakati wowote baada ya kusoma makala hii kuhusu nukuu za sasa za kanisa sasa endelea kusoma makala hizi nyingine nzuri nilizokuandalia cd347541d151bf6a467a5fda2e884550_1558913542
2019-05-26T23:32:23
http://www.ackyshine.com/featured-katoliki:nukuu-za-sasa-za-kanisa
orodha ya waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti mwaka wa masomo 2012/2013 king sele blog wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi orodha ya waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti mwaka wa masomo 2012/2013 waombaji waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu katika mwaka wa masomo 2012/13 wanatakiwa kuripoti katika vyuo walivyopangiwa tarehe 12/08/2012 kwa wale watakaochelewa kupata barua za maelekezo (joining instruction) kutoka vyuoni wanatakiwa waripoti vyuoni katika tarehe iliyopangwa bila kukosa wanafunzi wanatakiwa kufika vyuoni wakiwa na mahitaji yafuatayo 1vyeti halisi vya baraza la mitihani la tanzania kidato cha nne na sita kulingana na kozi husika 2 ada kwa mwaka ni shilingi 200000/= (muhula wa kwanza shilingi 100000/= na muhula wa pili shilingi 100000/=) 3sare ya chuo kulingana na maelekezo ya chuo husika 4 fedha za matumizi binafsi aidha kila mkuu wa chuo anatakiwa kuhakikisha wanafunzi wanaosajiliwa chuoni ni wale waliopo kwenye orodha hii tu na si vinginevyo bofya hapa kuangalia orodha ya majina
2018-01-23T23:45:39
http://www-kingsele.blogspot.com/2012/07/orodha-ya-waliochaguliwa-kujiunga-na.html
mashoga zangu wamenikimbia wote | jamiiforums | the home of great thinkers mashoga zangu wamenikimbia wote discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by loly aug 28 2011 ndugu zangu wapendwa wana jf naombeni msaada wenu wa dhati maana ninyi ndio marafiki zangu wa karibu sana kuna kipindi nilikua na marafiki wengi sana nawalikuwa na upendo wa dhati kwangu nanilikua naelewana na wote chakushangaza baadhi ya haohao mashoga zangu walikua wananikataza nisiwe na urafiki na wengine kitu ambacho mimi siwezi sijakosana na mtu kwanini nimchunie cha ajabu wamenipandishia viöo kila mtu kwa siku yake na hadi wote wameisha bila kugombana wala nini yaani sasa hivi roho inaniuma sina rafiki hata mmoja najisikia upweke mkubwa sana kila nikijitaidi kujipendekeza kila mmoja an adai yuko busy jamani nisaidieni mie nifanyeje upweke unaumiza au tatizo ni umaskini wangu maana wao wako swafi 0 usijali mkuu adhaniaye amesimama angalie asianguke wao wajanja leo sababu ni kama wana conspire lakini uzoefu unaonesha wote wanaofanya njama flani baada ya muda huhitilafiana wao kwa wao ni suala la muda tu watarudi kwako mmoja baada ya mwingine na story kibao za kujishaua kujitoa guilty hata hivyo wasiporudi kwako pia usivunjike moyo haya ni maisha tu utapata marafiki wengine ambao ukiwa nao utapata amani ya kweli kuwa rafiki yangu hutajuta hao walikuwa kimaslai zaid furaha yako inatokana na wewe mwenyewe huhitaji mtu mwengine achana naourafiki na wanawake huwa ni wa mashaka sanatafuta marafiki wengine (wa kiume sana sana) na utaenjoythis is from my experience u dont have to have anybody or anything to be happy usikubali furaha yako kuzunguka ama kutegemea watu wengine utavunjika moyo hebu ishi maisha yaowape gredi hao ndo wanavyotaka kuishi yao tafuta hobby mpyachukua kitabu chako nenda pwani ama porini jilaze usome uone utakavyofurahia maisha who knows labda utapata idea ya jinsi ya kutoka na wewe achana naourafiki na wanawake huwa ni wa mashaka sanatafuta marafiki wengine (wa kiume sana sana) na utaenjoythis is from my experienceclick to expand hapo napo inabidi awe makini sana urafiki wa wanaume huwa very trick unaweza kuishia kuliwa uroda na mtu uliyetaka muwe washikaji au mkagombana na rafiki uliyemzoea ni vizuri kuwa na marafiki wengi lakini si lazima kuwa na marafiki wengi hata kama ni wabaya na wanafiki furaha ya kweli iko kichwani kwako be your own best friend kitu kikubwa ni kuangalia destiny yako malengo yako yawe ya kwanza try to fullfill them at the end you will never fill lonely pole sana achana nao we kuwa seriouc2 na mambo yako 1dei watakuja wenyewe2 marafikindugu wapo wengi sana2 jf pia ni mahala pazuri sana kuchange ur i'deas na utaenjoy sana2 wao wakikuona wewe wa nini na wewe waone wao wa kazi gani enjoy life mdada wasikusumbue kichwa hawaworth your friendship ndio madhara ya kutegemea binadamumfanye mungu kuwa rafiki na mfariji wako siku zote rafiki wa ukweli ni yule akupaye punzi na uhai kwan huyo anakujali kwa mengihuyo ndo aliyekufanya uwepo hapo ulipomwingine ni wewe na nafsi yokofuraha au aman ya mtu haitengenezwi kwa kutegemea mashostndio maana siku ukiwa boared hata akufate best wako sana akitaka mtoke out kama nafsi haijisikii hana uwezo wa kubadilisha maamuz yako kama hujisikii kutoka outrafiki mwingine wa ukweli atakayekufanya uyajue ambo mengi na uwe na furaha muda wote unapokuwa naye ni jfizoee halafu utatupa majibuutajua kwa nini mpaka saa 9 za usiku watu wake au waume za watu wankuwa jamvin wanabrowse badala ya kuhudumia ndoa zao night kwa nini ung'ang'anie mijitu isiyokujali kwa maelezo yako hao mashost kuna kitu walikua wananufaika kutoka kwako maisha mafupi mjali anayekujali asiyekujali tupa kuleeeeeeeeeeeeeeee mashost kiyu gani banaaa ndio madhara ya kutegemea binadamumfanye mungu kuwa rafiki na mfariji wako siku zoteclick to expand umepotelea wapi weweupo mie ndo maana sina rafiki wa kike kabisa everyone desires happinessits an ingridient of suc'spple uar hunging around may or may nt contribute 2uar hapnesfuraha jipe mwenyewe shogaz wape only 1percnt of uar hpnes contribuation labda una tabia ya kung'ang'aniza urafiki na wao wamekuchoka labda wanahisi kwamba unawagombanisha hebu jichunguze kwanza isijekuwa wewe mwenyewe ndiyo tatizo kabla hatujawahukumu hao marafikizo mie ndo maana sina rafiki wa kike kabisaclick to expand ni mikia ya fisi eehmama wanawake ha2na urafki kbsfind me nktoe upweke cz am much interestd na charting
2017-04-30T05:37:16
https://www.jamiiforums.com/threads/mashoga-zangu-wamenikimbia-wote.167728/
gshayo ujasiriamali wa kienyeji unatukwamisha meshack maganga ujasiriamali wa kienyeji unatukwamisha meshack maganga posted by godlisten silvan on na meshack magangairingamoja ya mambo yanayoweza kujenga mfumo rasmi wa uendeshaji wa biashara ni kusajili biashara zinazoendeshwa katika mfumo wa kampuni kwa wajasiriamali wengi neno kampuni linaposikika huwa linatafsiriwa tofauti na mantiki yake wengi hudhani kampuni hazianzishwi na wajasiriamali wa kawaida wengine hufika hatua ya kudhani kuwa makampuni ni madude makubwa yenye mamia ya wafanyakazi rundo la majengo na hata mabilioni ya fedha kibaya zaidi wapo wanaodhani kuwa kuanzisha kampuni inahitajika mjasiriamali awe na elimu kubwakinyume na mitazamo ya wajasiriamali wengi nchini tanzania kampuni ni mfumo rasmi na wa kisheria wa kuendesha biashara ambapo uwepo wa biashara unatofautishwa na mmiliki wa biashara katika mfumo wa makampuni kampuni iliyosajiliwa inasimama kama mtu anaejitegemea kisheria kuna makampuni madogo na makubwa unaruhusiwa kisheria kusajili kampuni kwa kiwango chochote cha mtaji hata kuanzia shilingi laki moja na tena huhitaji kuwa na elimu ya chuo kikuu au uwe umesomea ujasiriamali kwenye vyuo vikuu unavyovifaham au kuvisikia ili kumudu uendeshaji wa kampuni yakokwa mfano mjasiriamali anapotaka kuongeza mtaji katika biashara yake ikiwa biashara yake imesajiliwa kama kampuni basi anaekwenda kukopa ni kampuni yenyewe na sio yule mjasiriamali hii ina maana kuwa wakati wa kudai mkopo huo anaedaiwa ni kampuni na sio mmiliki wa kampuni kwa namna nyingine ni kuwa ikitokea kampuni imeshindwa kulipa mkopo basi benki itataifisha mali za kampuni pekee bila kuingilia mali binafsi za mmiliki wa kampuni husikamjasiriamali anapokuwa amesajili rasmi (kampuni) biashara zake analazimika kuwa na mfumo rasmi wa kiutawala pamoja na utunzaji wa kumbukumbu za kimahesabu kunapokuwepo na kampuni hailazimiki mmiliki wa kampuni awepo ili biashara ziende hii ni faida tofauti na ilivyo kwa wafanyabiashara binafsi (sole proprietor) ambapo wao ni biashara na biashara ni wao wao wakifa na biashara zinawafuta nyuma yao makaburini lakini mmiliki wa kampuni akifa kampuni inaendelea kuishi kwa kuwa yenyewe ni mtu kamili kisheria (legal person)biashara bila kuwa na mfumo rasmi wa uendeshaji ninaweza kuufananisha na ile hulka ya ndege aina ya mbuni ya kujificha mchangani mbuni kwa kawaida huwa ana asili ya kuficha kichwa chake mchangani pindi aonapo hatari ama anapotaka kuwa salama katika eneo lolote lile biashara ambazo hazijitenganishi na wamiliki usalama wake ni mdogo ukuaji wake ni wa kusuasua na urefu wa uhai wake daima huwa mashakani mjasiriamali anapofikia uamuzi wa kuanzisha kampuni kuna hatua chache tu za kufuata kwanza anatakiwa kuandaa nyaraka za kampuni ambazo zinaeleza muundo na mfumo wa kampuni inayokusudiwa nayaraka hizi zinajulikana kama article of association inaelezea muundo wa ndani wa kampuni wakati nyaraka nyingine ni memorundum of association hii ikiwa inaeleza uwezo na mipaka itakayokuwa nayo kampuni inayokwenda kuundwambali na nayaraka hizo zipo fomu nyingine zinazotakiwa kujazwa ili kukamilisha masharti ya kusajiliwa kwa kampuni kwa kuwa suala la uandaaji wa nyaraka hizi lipo kitaalamu zaidi (taaluma ya biashara na sheria) mjasiriamali anaweza kuwasiliana na wataalamu wa masula ya biashara na kisheria ambao wataifanya kazi hii kwa haraka na kwa gharama ndogo gharama ya kuwasilisha fomu na nyaraka hizo kwa wakala wa usajili wa leseni na biashara (brela) haizidi shilingi elfu sabini kwa mfano kwa kampuni ambayo inakusudia kuanza na mtaji wa shilingi milioni mbili jumla ya gharama za kuwasilisha fomu nyaraka pamoja na ada haizidi shilingi laki mbili na nusu (ukiacha gharama ya kuandaa nyaraka za kampuni kwa sababu hiyo itategemea na wataalamu walioziandaa)kingine cha kufahamu kuhusu uzuri wa kuanzisha na kumiliki biashara katika mfumo wa makampuni ni katika maeneo ya upatikanaji wa mikopo pamoja na ukuaji wa uchumi wa nchi yetu kikawaida mabenki na taasisi za fedha zinaamini sana makampuni ikifuatiwa na ushirika (partnership) na wa mwisho kabisa kuaminiwa ni wafanyabiashara binafsi (bila kujali ni mtaji mkubwa kiasi gani unamiliki) kwa upande wa uchumi wetu usajili wa biashara katika mifumo rasmi inasaidia uwepo wa kumbukumbu rasmi kuhusu mienendo ya mibadilishano ya fedha na kiasi cha mitaji inayozunguka takwimu zinaonesha kuwa zaidi ya asilimia 95 ya uchumi wa tanzania sio rasmi hii ni kusema kuwa hata takwimu za umasikini wa nchi hii zinapikwa kwa sababu si njia zote za uzalishaji mali zimejumuishwa kutokana na kutokuwa rasmi (informal economic sector) vile vile usajili wa majina na biashara unatoa haki miliki ya jina lako kutotumiwa na wengine kwa mfano ukisajili kampuni kwa jina la kyuta enterprises & company limited inakuwa ni kinyume na sheria kwa mtu ama biashara nyingine kulitumia jina hilo pasipo ruhusa ya wewe mmiliki hii inalinda wizi dhidi ya nembo (brands) matumizi mabaya ya kibiashara (business piracy) pamoja na hakimiliki ya kimatangazojapokuwa zipo changamoto na faida nyingi katika kuendesha biashara katika mifumo rasmi itoshe tu kwa leo niseme kuwa ili ufurahie ufanyabiashara wako ni vema ukamiliki biashara katika mfumo rasmi kwa kadiri tupatavyo nafasi nitakuwa nikichambua mambo haya muhimu katika nyanja ya ujasiriamali fedha na biashara ushindi ni kwa kila mtanzaniatukutane jumatano ijayo maoni na ushauri barua pepe yangu ni hii meshackmaganga@gmailcom source http//wwwwavuticom/4/post/2012/08/ujasiriamaliwakienyejiunatukwamishameshackmagangahtml#ixzz204pnjajm
2017-06-26T05:19:07
http://gshayo.blogspot.com/2012/08/ujasiriamali-wa-kienyeji-unatukwamisha.html
mtayarishaji joseph/yusuph joseph/yusuph linakotumika uingereza ufaransa ujerumani kwa watumiaji wa biblia linavyotamkwa 1 josef (uingereza) 2 zhozef (kifaransa) 3 yozef (kijerumani) linatokana na jina la kilatini lililotokana na jina la kiyunani (losephos) lililotokana na jina la kiebrania (yosef) likiwa na maana ya atazidisha au ataongeza (he will add) katika agano la kale biblia takatifu inaeleza yusufu na joseph ni mwana wa kumi na moja wa yakobo (israel) kwa sababu ya kupendwa sana na baba yake yusufu alionewa wivu na ndugu zake wakamchukia wakamuuza akapelekwa misri kisha wakaenda kumweleza baba yao uongo kwamba alikuwa amekufa lakini huko misri yusufu aliongezewa neema ya mungu akapandishwa cheo na kuwa mshauri mkuu wa farao jina hili pia limetumiwa na watu wengine wawili ndani ya biblia takatifu waliocheza nafasi muhimu sana ya kiroho na kimaandiko ambao ni yusufu mume wa bikira mariam na yusufu tajiri wa arimathaya aliyenunua kaburi la kifahari akalitumia kuhifadhi mwili wa bwana yesu kristo baada ya kufa msalabani video hotuba ya bajeti ya wizara ya maliasili na utalii 2018/2019
2018-05-22T06:27:04
https://mtayarishaji.blogspot.com/2010/11/josephyusuph.html
waziri mbarawa azindua mafunzo ya wakufunzi wa marubani | ishi kistaa home news waziri mbarawa azindua mafunzo ya wakufunzi wa marubani waziri mbarawa azindua mafunzo ya wakufunzi wa marubani waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano profesa makame mbarawa amesema kwamba serikali imeamua kununua ndege mbili za abiria aina ya bombadier q400 kutoka nchini canada kutokana na uhitaji wa huduma ya usafiri wa anga kwa safari za ndani ya nchi na mazingira halisi ya viwanja vya ndege vilivyopo nchini profesa makame mbarawa amesema hayo wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya wakufunzi wa marubani katika chuo cha taifa cha usafirishaji (nit) waziri huyo aliwataka watanzania kuelewa nia ya serikali yao ni kuhudumia wananchi hivyo watu wasipotoshe ukweli kuhusu ndege hizo kwani zimezingatia mambo mbalimbali ikiwemo suala la usalama na ufanisi katika uendeshaji wake pia aliongeza kuwa ndege hizo zina uwezo wa kutua katika viwanja vingi hapa nchini kwani zinaweza kutua katika viwanja vyenye urefu wa kilomita 15 ambavyo ndio vingi nchini tofauti na aina nyingine ambazo hutua kwenye viwanja vyenye urefu zaidi ya kilomita mbili prof mbarawa alibainisha sababu nyingine kuwa ni uwezo mdogo wa ndege hizo katika kutumia mafuta ukilinganisha na aina nyingine ambapo kwa safari ya kutoka dar es salaam hadi mwanza zitakuwa zikitumia tani 17 za mafuta tofauti na aina nyingine zinazotumia hadi tani 28 kwa safari moja pia waziri huyo amesema kuwa serikali itashirikiana na chuo hicho katika kutoa kozi za urubani ili kuakabiliana na changamoto ya ukosefu wa marubani nchini previous articlenssf watoa milioni 50 kwa ajili ya ujenzi wa sekondari ya lindi next articletcra yawaonya wananchi juu ya matumizi ya mitandao ujenzi wa daraja la mto kilombero wakamilika kwa asilimia 100 agizo la kuzuia viroba kuathiri maelfu ya ajira nchini
2020-01-28T10:51:04
http://www.ishikistaa.com/waziri-mbarawa-azindua-mafunzo-ya-wakufunzi-wa-marubani/
rwanda yatangaza tarehe hii kuwa ndio ya uchaguzi wa rais seetheafricanlink home / breaking news / rwanda yatangaza tarehe hii kuwa ndio ya uchaguzi wa rais rwanda yatangaza tarehe hii kuwa ndio ya uchaguzi wa rais serikali ya nchi ya rwanda imetangaza tarehe za uchaguzi mkuu wa rais unaotarajiwa kufanyika mwakani kwa mujibu wa baraza la mawaziri la nchi hiyo wamekubaliana kuwa uchaguzi huo utafanyika agosti 4 ya mwakani huku rais paul kagame akitarajiwa kugombea tena kwa muhula wa tatu baada ya kubadilishwa kwa katiba yanchi hiyo naye kasisi wa zamani wa kanisa la katholiki joseph nahimana anayeishi nchini ufaransa kama mkimbizi alitangaza kutaka kugombea urais kupitia chama cha upinzani wiki chache zilizopita lakini hali imekuwa tofauti baada ya kuzuiwa kuingia nchini humo mpaka sasa serikali ya rwanda haijazungumzia lolote kuhusu sababu ya kuzuiwa kwa kasisi huyo kuingia nchini humo
2018-06-18T03:47:47
http://www.seetheafrica.com/2016/12/rwanda-yatangaza-tarehe-hii-kuwa-ndio.html
you are athome»habari360»kamwelwe serikali inampango wa kuunganisha taa na kadco previous articlemaadhimisho ya siku ya kimataifa ya watu wenye ulemavu duniani yafana zanzibar next article benki yaeleza ilivyojipanga katika kufanikisha kwa vitendo ujenzi wa tanzania ya viwanda
2018-12-16T22:33:10
https://habarimpya.com/featured-2/hosea-revocatus/kamwelwe-serikali-inampango-wa-kuunganisha-taa-na-kadco-2
pato la tanzani laongezeka homebiasharapato la tanzani laongezeka elikunda materu 183900 pato la taifa nchini tanzaniagdp limeongezeka kutoka wastani wa shilingi trilioni kumi na nane zilizopatikana mwaka jana na kufikia shilingi trilioni 219 katika robo ya kwanza ya mwaka huu huku mchango wa baadhi ya sekta katika uchumi ikiwemo ile ya madini ukiwa umeporomoka mkurugenzi wa takwimu za kiuchumi kutoka ofisi ya taifa ya takwimu bw morris oyuke amesema hayo leo na kwamba pato hilo limeongezeka licha ya kasi ya ukuaji wa uchumi nayo kupungua kutoka ukuaji wa asilimia nane nukta sita hadi asilimia sita nukta tano kwa mujibu wa oyuke mafanikio hayo yanaifanya tanzania kuwa nchi ya kwanza katika ukanda wa afrika mashariki kwa ukuaji mzuri wa uchumi na pato la taifa ikifuatiwa na nchi ya kenya huku burundi ikishika nafasi ya mwisho
2018-12-17T10:55:43
https://www.elikunda.com/2015/08/pato-la-tanzani-laongezeka.html
njia nzuri ya kukuza samaki ili kuwa na faida zaidi by yurie | agosti 11 2018 | njia ya mifugo ya sangkuriang catfish jinsi ya kula tilapia bora maggot mifugo ya wanyama wanyama jinsi ya kukuza samaki sawa ili kuwa na manufaa zaidi (jinsi ya kukua samaki na kupokea faida) jinsi ya kuongeza samaki ambayo ni sawa na nzuri ni matumizi ya jinsi ya kutunza na kudumisha samaki mpaka kubwa kisha mamanen matokeo mambo haya yote lazima
2019-07-16T20:24:57
https://www.yuriebsf.com/sw/category/yurie-farm/maggot-pakan-ternak-ikan/maggot-pakan-ternak-lele/cara-ternak-lele-sangkuriang/
free zanzibar people from mkoloni mweusi videokamati ya maridhiano six part 2/5 cuf kibandamaiti 12 october 2014 katiba hatulitaki zanzibar tunakatiba yetu
2017-03-28T08:14:00
http://free-zanzibar.blogspot.com/2014/10/video-kamati-ya-maridhiano-six-part-25.html
tanzania yatoa sababu ya kutosaini mkataba wa afrika kuhusu demokrasia chaguzi na utawala bora | malunde 1 blog home » habari » tanzania yatoa sababu ya kutosaini mkataba wa afrika kuhusu demokrasia chaguzi na utawala bora tanzania yatoa sababu ya kutosaini mkataba wa afrika kuhusu demokrasia chaguzi na utawala bora tanzania imetaja sababu za kutotia saini mkataba wa afrika kuhusu demokrasia chaguzi na utawala bora ikisema ni kutokana na baadhi ya vifungu kukinzana na ibara za katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania naibu waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa jumuiya ya afrika mashariki dk damasi ndumbaro ameliambia bunge hayo jana wakati akijibu swali bungeni katika swali la msingi mbunge wa viti maalum (ccm) neema mgaya alisema miaka sita iliyopita tanzania ilishiriki nakupitisha azimio kuhusu masuala ya demokrasia chaguzi na utawala bora na kutaka kujua hadi sasa serikali imefikia wapi je serikali inaweza kueleza ni kwa nini hadi leo azimio hilo halijaridhiwa na kusainiwa rasmi na serikali ina mkakati gani kuhakikisha linaridhiwa alihoji mgaya akijibu naibu waziri huyo alisema hadi sasa ni nchi 35 tu ndizo zimeridhia mkataba huo wakati nchi 19 hazijaridhia ikiwamo tanzania alisema wakuu wa nchi na serikali wa umoja wa afrika walikutana januari 30 2007 na kuzitaka nchi kuzingatia na kutekeleza utawala bora utawala wa sheria na haki za binadamu kama ilivyo katika ibara ya 3 na 4 ya mkataba
2019-08-19T03:51:46
https://www.malunde.com/2018/11/tanzania-yatoa-sababu-ya-kutosaini.html