text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
binti aliyevunja ndoa ya wazazi asome asimulia alivyofanikiwa kuwa kiongozi mwanamke kijijini | malunde 1 blog home » habari mapenzi shinyanga » binti aliyevunja ndoa ya wazazi asome asimulia alivyofanikiwa kuwa kiongozi mwanamke kijijini anjelina mahona ni nadra sana kwa maeneo ya vijijini mkoani shinyanga kuona mwanamke anapewa nafasi ya kuwa kiongozina wakati mwingine mwanamke anayefanikiwa kuwa kiongozi huonekana ni mtu wa ajabu na kutokana na mila na desturi kandamizi baadhi ya watu humchukulia mwanamke huyo kuwa ni malaya hafai kuwa kiongozi malunde 1 blog imekutana na anjelina mahona (31) ambaye sasa ni mwenyekiti wa kitongoji cha nhobola kijiji cha bulimba kata ya ukenyenge wilaya ya kishapu mkoani shinyanga anaeleza namna alivyofanikiwa kuwa kiongozi na changamoto mbalimbali alizokutana nazo tangu alipoanza kuwania uongozi mwaka 2011 akiwa ni binti mwenye umri wa miaka 22 tu je angelina mahona ni nani anjelina mahona amezaliwa kijiji cha bulimba kata ya ukenyenge wilaya ya kishapu mkoani shinyanga mwaka 1989 ameolewani mama wa watoto wanne na ni mtoto wa tano katika familia ya watoto 9 anjelina alihitimu elimu ya darasa la saba mwaka 2004 katika shule ya msingi bulimba lakini pamoja na uwezo wake mzuri darasani hakufanikiwa kuendelea na masomo ya kidato cha kwanza kutokana baba mzazi wake kukataa kumsomesha mwaka 2011 alichaguliwa kuwa mjumbe wa serikali ya kijiji cha bulimba hadi mwaka 2019 akiwa ni mwanachama wa chama cha mapinduzi (ccm) mwaka 2019 tanzania ilifanya uchaguzi wa viongozi wa serikai za mitaa ambapo anjelina aligombea nafasi ya mwenyekiti wa kitongoji cha nhobola kilichopo katika kijiji cha bulimba na kufanikiwa kuwabwaga wanaume wanne aliokuwa anachuana nao ndani ya chama na akafanikiwa kushinda katika uchaguzi mbali na kuwa mwenyekiti wa kitongoji cha nhobola anjelina anamiliki kanisani mwinjilisti kiongozi katika kanisa la kkkt bulimbaalilolianzisha yeye mwenyewe na sasa kanisa lina waumini zaidi ya 80 maisha ya anjelina kuelekea kwenye uongozi anjelina anasema yeye ni miongoni mwa wanawake ambao kamwe hawawez kusahau athari za mfumo dumemila na desturi kandamizi zinamfanya mtoto wa kike abaguliweaonekane kuwa ni mtu wa kuolewa tu hatakiwi kwenda shule nilihitimu elimu ya darasa la saba mwaka 2004 katika shule ya msingi bulimba nikiwa shuleni nilikuwa na ufaulu mzuri nilikuwa nashika nafasi ya kwanza kuanzia darasa la kwanza hadi la saba lakini kutokana na mfumo dume baba na mama hasa baba hakutaka nisome siku moja mwaka 2005 mama alinichukua na kunipeleka kwa mjomba katika kata ya maganzo wilayani kishapu lakini asubuhi yake baba alinifuata na kunirudisha nyumbanibaada ya kufika nyumbani ulitokea ugomvi mkubwa hadi ndoa ya baba na mama ikavunjika kwa sababu yangumama alitaka nisomebaba alitaka niolewe tuanasimulia anjelina anasema mgogoro huo wa wazazi wake hatausahau kwani bado anaamini kuwa yeye ndiyo sababu ya ndoa ya wazazi wake kuvunjika kutokana na changamoto hiyoilinilazimu tu kukaa nyumbani nikajikuta nimeanzisha mahusiano ya kimapenzi na kijana mmoja na mwisho wa siku nikapata ujauzito yule kijana akakubali kunioa nikaanza kuishi naye nyumbani kwao/ukweni mwaka 2007 mama mkwe alikuwa mkristonikiwa ukweni nikawa nasali baadaye nikaenda kusoma chuo cha biblia cha bishop makala kilichopo negezi kishapunikaanzisha jumuiya katika kitongoji cha bulimba na sasa nina kanisaanasimulia anjelina anjelina anasema kutokana na kuwa na dhamira ya kuwa kiongozi na kujiamini kwake kuwa anaweza kuwa kiongozi mwanamkemwaka 2011 alichaguliwa kuwa mjumbe wa serikali ya kijiji cha bulimba nguvu ya kujiamini na kujitambua zaidi kwa anjelina iliongezeka maradufu mwaka 2015 baada ya mtandao wa jinsia tanzania (tgnp) kufika wilayani kishapu na kutoa elimu ya uraghbishi na mafunzo mbalimbali kuhusu haki ya mwanamke kupitia ujuzi na elimu tuliyopatiwa kuhusu haki za wanawakenilifanikiwa kujisimamia na kuwashauri wanawake wenzangu njia za kuondokana na maisha tegemezi na kumtoa mtu katika hali ya chini na kukabiliana na mila na desturi zinazomkandamiza mwanamkeanasema anjelina kutokana dhamira na nia aliyokuwa nayo ya kuwa kiongozianjelina alijitosa kugombea nafasi ya mwenyekiti wa kitongoji cha nhobola na kufanikiwa kunyakua nafasi hiyo mwaka 2019 nafasi ambayo anaendelea nayo mpaka sasa sababu za mafanikio yake ni zipi anjelina anasema amefanikiwa kuwa kiongozi kutokana na kuwa na kiu ya kutetea wanawake wanaokandamizwa na mila na desturi kandamizi ambapo yeye ni muathirika wa mila hizo zinazomfanya mwanamke kutopewa haki ya elimu na hata nafasi za uongozi dhamira na nia ya kuwa kiongozi wa mfano ndiyo vimenifanya niwe na ujasiri wa kusimama mbele za watu na kuzungumzanimekuwa mstari wa mbele kukemea mila na desturi zinazokandamiza mwanamkemimi ni muathirika wa mila hizonilisababisha ndoa ya wazazi wangu ivunjikebaba hakutaka nisomeyeye alitaka nioleweanaeleza anjelina niliomba uongozi nikiwa na dhamira ya uongozi nikiwa binti wa miaka 22 nilikuwa mdogo lakini nilipata ujasiri wa kujielezanashukuru nimeolewa na mwanaume mwenye busara ananipa ushirikiano lakini pia jamii imekuwa bega kwa bega nami kwa sababu ninafanya kazi zinazowaletea maendeleo wananchi hivyo wananiamini kuwa kiongozi waoameongeza anjelina pamoja na kufanikiwa kuwa kiongozi wa serikali ya kijiji na kitongoji kauli za kubezwa kuwa mwanamke hawezi kuwa kiongozimwanamke akiwa kiongozi atakuwa malaya na nyinginezoanjelina anasema zimekuwa chukizo kubwa kwake mimi nilianza kuwa kiongozi nikiwa na umri wa miaka 22nikiwa mjumbe wa serikali ya kijijichangamoto kuwa ni kubezwa kuwa mwanamke hawezi kuwa kiongozikuna baadhi ya watu wakikuona umebadilisha mavazi wanasema wewe ni malaya hali ambayo kama hauna dhamira ya kweli kuwa kiongozi lazima ukate tamaa kwani unafanywa uonekane hufaiamesema anjelina anaeleza kuwa changamoto ambayo hataisahau ile ya baadhi ya ndugu zake kumpiga vita kuwa hawezi kuwa kiongozikwanza yeye ni mwanamke lakini yeye ni binti mdogo hawezi kuwa kiongozi mfano katika uchaguzi wa mwenyekiti wa kitongoji cha nhobola mwaka 2019 kati ya wagombea watano ndani ya ccm wanne walikuwa wanaumemmoja kati yao alikuwa baba yangu mkubwaaliposhindwa akaanza kuniponda akisema huyu ni binti mdogo atawamalizia jela kwa sababu anajiamini sanahata hivyo nilimfuata nikwambia anachofanya siyo kitu kizurianasimulia anjelina wito wa anjelina kwa wanawake na jamii anjelina anatoa wito kwa wanawake wenye nia ya kuwa viongozi kujiamini na kutokata tama huku akibainisha kuwa kinachokwamisha wanawake ni kutojiamini na uwepo wa mila na desturi kandamizi wanawake wanatakiwa wajisimamiewajitambue kuwa wao ni viongozi kuanzia ngazi ya familia hivyo wanawake kuwa viongozi ukiwa na dhamira ya uongozi imani na ukajiamini utashindajitahidi kushirikisha mme wakofamilia yako na watu wanaokuzunguka ili wakupe ushaurianashauri anjelina katika hatua nyingine anjelina anasema kupitia uenyekiti wake wanawake wengi wameanza kujitokeza kugombea nafasi za uongozi mfano katika kijiji cha bulimba kabla ya mwaka 2011 hadi 2015 wanawake viongozi walikuwa wawili tu lakini sasa wapo wanne nashukuru wanawake tunazidi kujitokeza kugombea na kushika nafasi za uongozi na jamii inaendelea kutumiani na kutuunga mkono leo hii kwa jinsi jamii inavyouamini uongozi wangu hata nikitaka kugombea udiwani naweza maana sifa za uongozi ninazomimi nimeanzia chini nitaendelea kupandaanasema aidha ameshauri wazee wasinganganie vyeo wawaachie vijana wawe viongozi ili kuongeza kasi ya maendeleo katika jamii huku akiwaomba wanaume kuwaunga mkono wanawake wenye sifa za kuwa viongozi kwani uongozi siyo misuli bali ni akilibusara na hekima
2020-07-12T15:30:41
https://www.malunde.com/2020/02/ndoa-uongozi.html
nisaidieni kupata net income apa | jamiiforums | the home of great thinkers nisaidieni kupata net income apa discussion in 'nafasi za kazi na tenda' started by mkonowapaka mar 1 2011 wadau polen na matatzo ya hapa na pale personalfamily au officialndo maisha kuna mtu apa kapata kazi kwenye taasisi ya serikali mshahara kias cha 1102000 gross anahitaji kujua baada ya makato yote atabaki na net kias ganinijuzeni pia anafanya kazi sekta binafs kwa mshahara wa 1396000 gross anajishauri aende huko serikalini au abakinimejaribu kumshaur aende serikalini bado anajishaurihajaamuanipeni mawazo yenu nitamprintia toa 10 social security pia toa kodi paye calculator check kwenye website ya tra kuna deduction kama hizi paye 15 30 nhif or medex ama nyingine inategemea nssf/lapf/ppf 10 ila mshauri aende serikalini kuna security ya kazi na safari kibao shule na mambo mengi wafanyakazi wa serikali hatuishi kwa mishahara gross tshs 1102000 social security (110200) taxable 991800 tax payable (991800 720000)x30 + 112500= 194040 net pay 1102000 110200 194040 =797760 kabla ya makato ya bima ya afya pia anafanya kazi sekta binafs kwa mshahara wa 1396000 gross anajishauri aende huko serikalini au abakinimejaribu kumshaur aende serikalini bado anajishaurihajaamuanipeni mawazo yenu nitamprintiaclick to expand mimi sijui calculation za serikalini kwasababu kuna jamaa yangu tulikuwa tunafanya naye sector binafsi alikuwa anapata gross ya 1230200 baadaye akapata kazi serikalini tena wizara ya fedha mshahara wake ni gross 438000 lakini anadai kutokana na mshahara huo ndiyo uliyomuwezesha kujenga nyumba na magari kadhaa hivyo nikipata namna wanavyo calculate nitakujuza kwa gross ya 1102000/= itakua gross 1102000 ppf/nssf 110200 tax 194040 net pay 797760 kwa gross ya 1396000 itakua gross 1396000 ppf/nssf 139600 tax 273420 net pay 982980 nafikiri umenisoma akapata kazi serikalini tena wizara ya fedha mshahara wake ni gross 438000 lakini anadai kutokana na mshahara huo ndiyo uliyomuwezesha kujenga nyumba na magari kadhaaclick to expand kama alikwambia ni mshahara pekee aliuwa anakudanya mimi sijui calculation za serikalini kwasababu kuna jamaa yangu tulikuwa tunafanya naye sector binafsi alikuwa anapata gross ya 1230200 baadaye akapata kazi serikalini tena wizara ya fedha mshahara wake ni gross 438000 lakini anadai kutokana na mshahara huo ndiyo uliyomuwezesha kujenga nyumba na magari kadhaa hivyo nikipata namna wanavyo calculate nitakujuzaclick to expand hao ndo wezi wadogowadogo tunaowasema wanaila serikali ya jk ukienda serikalini kwa kigezo cha safariposho nk huna tofauti na akina ra sema unakuwa hujapata pa kuanzia ni mbaya kutamani ufisadi ulivyomshauri kuwa aende serikalini ulimpa sababu za ushauri wako au kuna ushauri ulimpa unaficha kusema hapa jamvini basic salary = 77140000 housing allowance = 11571000 other allowances = 21489000 gross pay = 110200000 less nssf = 11020000 housing allow = 11571000 taxable pay = 87609000 tax due (876090 720000)*30+112500 = 15932700 total deductions (nssf+tax due) = 26952700 net pay/take home = 83247300 hapa ndugu kuna hicho kitu kinaitwa housing allowance (ambayo huwa ni 15 ya basic salary) huwa haikatwi kodi hivyo huyu jamaa akipa hiyo kwa serikali ni bora kuliko ile nyingine kwa private sector bila kuficha serikalini kuna fursa nyingi kuliko huko kwingine hapa utaona kuwa tofauti ya mshahara itakuwa ndogo sana hivyo jamaa atakuwa na muda wa kutosha serikalini kuliko private sector (kule mjomba wanakukamua mpaka mwisho) wakuu nilikuwa nimeweka kwenye jedwali lakini bahati mbaya limegoma net pay 1102000 110200 194040 =797760 kabla ya makato ya bima ya afyaclick to expand wakuu nilikuwa nimeweka kwenye jedwali lakini bahati mbaya limegomaclick to expand sasa hapo ndipo penye uonevusisi huku kwenye private sector wanatulima kodi kwa kila allowance(labda uchukue kama rent advance) lakini wao wanaofaidi kodi zetu wanainjoi relief kama hizontaandamana
2017-04-23T23:57:53
https://www.jamiiforums.com/threads/nisaidieni-kupata-net-income-apa.114232/
waziri mkuu kassim majaliwa kufungua mkutano wa wcf arusha habari na matukio home habari na matukio waziri mkuu kassim majaliwa kufungua mkutano wa wcf arusha waziri mkuu kassim majaliwa kufungua mkutano wa wcf arusha kajunason at november 28 2017 habari na matukio aliyepo katikati ni mkurugenzi wa huduma za tiba na tathmini (wcf) abdulssalaam omary kushoto kwake ni meneja matekelezo (wcf )victor luvena na wakwanza kulia ni mkuu wa kitengo cha uhusiano laura kunenge picha kwa idhini ya vero ignatus blog mfuko wa fidia kwa wafanyakazi (wcf ) umeandaa mkutano wa siku mbili utakaoanza kesho jijini arusha katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa aicc ambapo kauli mbiu ya mkutano huo ni mafaofidia haki ya mfanyakazi na chachu katika uchumi wa viwanda mgeni rasmi anatazamiwa kuwa waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe kassim majaliwa akizungumza na waandishi wahabari mkurugenzi wa huduma za tiba na tathmini (wcf) drabdulssalaam omary amesema kuwa lengo kuu la mkutano huo ni kutoa taarifa ya mwaka ya mfuko kutathimini maendeleo na changamoto zinazoukabili mfuko kupokea maoni ya kuboresha huduma za mfuko pia mada mbalimbali za uelimishaji zitatolewa na wataalamu mbalimbali wenye uzoefu kutoka baadhi ya nchi barani afrika na kutoka shirika la kazi duniani (ilo)
2019-05-21T19:30:24
https://www.kajunason.com/2017/11/waziri-mkuu-kassim-majaliwa-kufungua.html
utafiti ulivyoibua athari kwa wavuta tumbaku wanaofikiwa na moshi mtanzania home makala utafiti ulivyoibua athari kwa wavuta tumbaku wanaofikiwa na moshi matumizi ya tumbaku yanatajwa na wataalamu wa afya kuwa hatari zaidi kutokana na athari mbaya ambazo mtumiaji anaweza kuzipata tumbaku ina sumu aina ya nicotine ambayo ina zaidi ya kemikali 4000 hizi huweza kuathiri sehemu mbalimbali ya mwili hivyo kila baada ya sekunde nne mtu mmoja hufariki kutokana na matumizi ya tumbaku kutokana na tumbaku kuweza kusababisha madhara ya kiafya hali hiyo husababisha maisha ya watumiaji kuwa mafupi zaidi kuliko wasiotumia madhara ya tumbaku ni pamoja na ugonjwa wa moyo saratani magonjwa ya mapafu vidonda vya tumbo ngozi kujikunja magonjwa ya meno magonjwa ya mifupa na mengineyo kemikali za tumbaku huweza kusababisha aina mbalimbali za saratani kama vile saratani ya koromeo mapafu ngozi mdomo na ulimi matumizi ya tumbaku pia husababisha magonjwa ya moyo kutokana na kufanya moyo kwenda mbio na hivyo kuongeza msukumo wa damu mwilini (high blood pressure) hali hiyo husababisha mshtuko wa moyo na hata kifo madhara mengine ni kemikali hizo kupunguza uwezo wa misuli kujishikilia vizuri kwenye mifupa pia ngozi kujirekebisha hivyo basi ngozi huzeeka haraka na kupoteza uwezo wa kulainika mtumiaji huonekana mzee kuliko umri wake takwimu za matumizi ya tumbaku siku ya kutokuvuta tumbaku huadhimishwa kila ifikapo mei 31 kila mwaka lengo ni kukuza uelewa wa watu kuhusu madhara ya matumizi ya zao hilo shirika la afya ulimwenguni (who) linaeleza kuwa kila mwaka kampuni ya bidhaa za tumbaku huwekeza zaidi ya dola bilioni tisa za marekani kutangaza bidhaa zake zaidi ikiwalenga vijana kwa nia ya kujaza nafasi ya watu milioni nane ambao bidhaa hiyo inawaua kila mwaka hata hivyo kwa mujibu wa ripoti ya who ya tangu mwaka 2000 hadi 2025 inaonesha kupungua kwa idadi ya watu wanaotumia tumbaku duniani kutoka watu bilioni 139 mwaka 2000 hadi bilioni 137 watu takribani milioni mbili wameacha matumizi ya tumbaku ripoti hiyo pia inaonesha kuwa bara la afrika lina kiwango cha chini zaidi ya matumizi ya tumbaku ikilinganishwa na mabara mengine mwaka 2000 taarifa ya who ilionesha watumiaji wa tumbaku afrika walikuwa ni asilimia 185 ikilinganishwa na kiwango cha juu kilichorekodiwa kwa bara la asia ya kusini cha asilimia 47 hii inaonesha kuwa bado kuna kiwango kidogo cha matumizi hii imetokana na jitihada zinazofanywa na serikali za nchi mbalimbali katika kutoa elimu kwa wananchi kuhusu madhara za matumizi ya tumbaku matumizi ya tumbaku na athari za kiuchumi juni 2 mwaka huu wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto ilizindua utafiti mdogo wenye malengo matano ikiwamo ya kutoa taarifa za kiwango cha matumizi ya tumbaku hapa nchini katika utafiti huo taarifa zilizolengwa kutolewa ni za watu wazima ikijumuisha tathimini ya matumizi ya tumbaku kutathmini watu waliojaribu kuacha matumizi ya tumbaku waziri wa afya ummy mwalimu (kulia) akizindua utafiti mdogo wa hali ya matumizi ya tumbaku nchini utafiti huo pia umelenga kujua kiwago cha athari ya tumbaku kwa watu wasiotumia kwani kuna watu hawatumii sigara lakini wanaathirika pia kujua gharama za matumizi ya tumbaku kwa mwezi kwa kila mtumiaji lengo lingine ni ufikiwaji wa taarifa ya madhara ya tumbaku kwa wananchi huku wakiangalia zaidi elimu ya matumizi ya tumbaku na ni wananchi wangapi wanapata taarifa kupitia njia mbalimbali na kupima uelewa na mtazamo wa jamii kuhusu madhara yake akizungumza wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti huo ulioanza mwaka 2018 waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto ummy mwalimu anasema tanzania kama nchi nyingine za kiafrika wavutaji wa tumbaku wako hatarini kuyumba kiuchumi na kupata magonjwa yasiyoambukizwa kama tahadhari hazitachukuliwa mapema ummy anasema utafiti huo umeonesha kuwa kwa wastani matumizi ya tumbaku kwa mtu mmoja kwa mwezi inagharimu kiasi cha sh 28840 hizo fedha ambayo zimetumika kununulia tumbaku ingetosha kupunguza kiwango cha umaskini wa mahitaji ya msingi kwa mtu mmoja kwa mwezi kwa asilimia 58 na umaskini wa kupindukia wa uhitaji wa chakula kwa mtu mmoja mmoja kwa mwezi kwa asilimia 85 kwa kutumia taarifa za matokeo ya viashiria muhimu vya utafiti wa mapato na matumizi ya kaya binafsi kwa tanzania bara wa mwaka 2017/18 fedha za kujikimu kwa ajili ya mahitaji ya msingi kwa mwezi kwa mtu mmoja ni sh 49320 na mahitaji ya chakula kwa mwezi kwa mtu mmoja ni sh 33748 anasema ummy kwa mujibu wa utafiti huo matokeo yameonesha kuwa mtu mmoja kati ya 10 anatumia tumbaku na katika kila watanzania 100 watu nane wanatumia tumbaku sawa na asilimia 87 ufiti huo pia umeonesha kuwa watu wenye umri wa miaka 15 au zaidi nchini tanzania wanatumia tumbaku ya aina yeyote na hivyo kufanya nchi kuwa na watu milioni 26 wanaotumia zao la tumbaku kati ya watu zaidi ya milioni 55 katika idadi hiyo wanaume ni asilimia 146 huku wanawake ni asilimia 32 uelewa wa jamii katika mabango mbalimbali pakiti za sigara mitandao ya kijamii pia vyombo vya habari matangazo yamewekwa ili kuwatahadharisha watumiaji kuwa bidhaa za tumbaku ni hatari kwa afya ingawa uelewa wa madhara ya kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja haujawekwa wazi kama ilivyo afya lakini utafiti umebaini kuwa yapo ummy anasema watu wanne kati ya 10 ambao ni sawa na asilimia 403 nchini wamewahi kuona onyo la matumizi ya tumbaku kupitia redio au runinga anasema matokeo ya utafiti yameonesha kuwa watu tisa kati ya 10 sawa na asilimia 923 wenye umri wa miaka 15 au zaidi wanaamini uvutaji wa sigara husababisha magonjwa wakati watu wanane kati ya 10 sawa na asilimia 844 wanaamini kuvuta hewa ya mtu anayevuta sigara kunaweza kuwasababishia magonjwa hata kama wao hawavuti sigara katika kipindi cha miezi 12 iliyopita taarifa inaonesha kuwa watu wanne kati ya 10 sawa na asilimia 329 wameathiriwa na moshi wa tumbaku sehemu za kazi ikiongozwa na sehemu za mabaa na kumbi za starehe kwa asilimia 77 sawa na watu milioni tatu maeneo ya huduma za biashara za vyakula asilimia 311 sawa na watu milioni 35 na majumbani asilimia 138 sawa na watu milioni 41 anabainisha ummy kupitia utafiti huo anasema utafiti huo una umuhimu wa kipekee katika wizara yake kwani matokeo yake yatasaidia katika kutathmini hatua zilizofikiwa katika kupambana na magonjwa makuu manne yasiyoambukiza ambayo ni saratani magonjwa ya moyo magonjwa ya mfumo wa hewa na kisukari mikakati ya udhibiti katika kuhakikisha elimu dhidi ya athari ya tumbaku inaifikia jamii ipasavyo ummy anatoa maelekezo kwa watendaji wa wizara ya afya kwa kushirikiana na ofisi ya mwanasheria mkuu na wadau wengine kutengeneza au kupitia upya sheria ya kudhibiti matumizi ya tumbaku ili iendane na mkataba wa kimataifa wa kudhibiti matumizi ya tumbaku na kuendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusu madhara yake wizara ya elimu inaendelea kuimarisha juhudi za kuwakinga wanafunzi dhidi ya tumbaku na bidhaa zake wizara ya mambo ya ndani kuhakikisha wale wanaokiuka miongozo kama vile kuendelea kuvuta sigara kwenye maeneo ya wazi wanachukuliwa hatua stahiki watengenezaji na wauzaji wa sigara wafuate miongozo iliyowekwa na serikali ikiwamo kutokuweka mabango au kutangaza na kuhamasisha matumizi ya sigara kupitia bidhaa kama miamvuli tshirts kofia na kutowauzia watoto wenye umri chini ya miaka 18 jamii kuacha kutumia tumbaku na bidhaa zake na taasisi za utafiti kufanya tafiti za kuangalia vifo vitokanavyo na matumizi ya tumbaku ili kuwe na takwimu za nchi na siyo kutegemea za kutoka nje anaeleza ummy previous articleccm ubungo yabariki safari ya jpm ikulu next articlejpm ajipanga upya
2020-07-13T05:32:33
https://mtanzania.co.tz/utafiti-ulivyoibua-athari-kwa-wavuta-tumbaku-wanaofikiwa-na-moshi/
swahili hood portal » katarina wa karatu hataki kusikia maisha ya a town your are here home // habari // katarina wa karatu hataki kusikia maisha ya a town katarina wa karatu hataki kusikia maisha ya a town posted on feb 1st 2018 by ripoti na filamucentral katarina mchekeshaji bongo mchekeshaji wa komedi wa kike bongo rosemarry masawe urio katarina wa karatu anasema kuwa huwa ahapendi kabisa kukumbuka maisha ya siku za nyuma akiwa jijini arusha kwani kama si ujasiri aliokuwa nao angekuwa ameharibikiwa pamoja na kuwa na kipaji anasema akiwa na wenzake walipanga chumba kodi 3000 na ilikuwa mbinde katarina wa karatu akiwa katika pozi katarina akiwa katika pozi la picha katarina mchekeshaji kutoka swahilihood huwa sipendi kabisa kukumbuka maisha ya miaka ya 2012 nikiwa arusha kwani kulala na njaa ilikuwa ni mazoea unatafuta pesa ngumu mihogo ya 200 tu ni shida nikiwa na rafiki tulishindwa kulipia chumba kwa 3000/ kwa mwezi mchekeshaji huyo wa kike ambaye kwa sasa ana jina kubwa katika uchekeshaji wa jukwaani anasema kuwa baada ya kukutana na meneja wake wa sasa mc pilipili ndio amejua kipawa chake kama ni pesa kwani alikuwa anajua anachekesha tu na akilipwa 10000 anaona nyingi lakini baada ya kuhamia dar es salaam amesahau maisha ya kulala na njaa pamoja kipaji chake
2018-10-20T04:05:52
http://www.filamucentral.co.tz/2018/02/01/katarina-wa-karatu-hataki-kusikia-maisha-ya-a-town/
billion 140 za sensa | jamiiforums | the home of great thinkers billion 140 za sensa discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by frema120 aug 18 2012 frema120 nina kijana alipigania sana nafasi ya ukarani wa uandikishaji wa sensa tangu mchakato wa mwanzo na alinificha kumbe alitoa rushwa ya sh 60000 baadaye sh 54000 jana anakuja analalamika sana juu ya mateso na tabu anazopata katika mafunzo na vitisho vya kuchujwa nk sasa nikamhuliza unalipwa sh ngapi hakaniambia sh 210000 tu yani ( 7 x 30000) je kweli ~top level wanapata ngap ~midle level wanalamba ngap ~operation line kwani walambe 210000 wakati ndio wanaoumia na madoso mafupo na marefu nikweli billion 140 zinatumika au magumashi tu ya miccm kuchakachua mipesa ya un ni kweli alikuficha alihonga shilingi 114000/= akitegemea kuwa malipo ya shilingi ngapi kama alikuficha wakati wa kuhonga kwa nini akuambie sasa umechukua hatua gani baada ya kugundua kuwa kijana wako amehonga 114000/= ili kupata kazi ambayo hajui kipato chake cha mwisho kitakuwa shilingi ngapi haya malalamiko yake sasa yanakuja baada ya kugundua kuwa walidanganyana vijiweni kuwa malipo ya ukarani yangekuwa ni shillingi milioni na ushee ndio maana akawa tayari kuhonga 114000/= baada ya kijana wako kukiri kuwa amehonga mtu 114000/= ili kupata kazi ya muda ya ukarani wa senda mmchekua hatua gani alihonga shilingi 114000/= akitegemea malipo ya shilingi ngapi kwa kazi aliyokuwa akihongea frema 120 said sengeremaclick to expand mara nyingine jifunze kuedit habar unayoitoa kabla ya kuiweka hewanthread yako imejaa vumbinkija ktk hoja n kwamba kama dogo alihonga kaz ni waz kua anakuficha pesa kamili anayolipwamalipo ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 yapo km ifuatavyo 35000 kwa siku katika mafunzo bila kujali uko ktk dodoso lipihapa zinatofautiana siku tu za mafunzo kwa maana ya kwamba watu wa dodoso refu wana siku km 3 zaidi malipo ya kazi yenyewe ni 250000 ambayo itafanyika takriban siku saba kuanzia tarehe 26 mwezi huu wa leo 35000 kwa nauli kwa ajili ya shughuli za sensa ukijumlisha hapo inakua ni zaidi ya laki tano kwa kila kalani watu wanalalmika pesa kidogo kwa kiwango hcho na co km anavyosema dogo mmchekua hatua gani click to expand kachukulia poa tu sabab bongo ndio tushakuwa wahivyo watu wanalalmika pesa kidogo kwa kiwango hcho na co km anavyosema dogoclick to expand umenena vyema mkuu nadhani tatizo liko hapo nilipobold mkuu mwenzetu amshikie bango kijana wake aseme kweli maana kwanza ameishamdanganya kwa kumpa mtu rushwa ya shs 114000/= bila kumshauri yeye msolopagazi hili zoezi la sensa ni wizimtupu hayo mabilioni ni epa nyingine maximum watz tuko 50 mil ukigawa kwa bil 140 ni sawa na mtu mmoja kuhesabiwa kwa gharama ya mil 28 je hii ni kweli toa posho za watukaratasi na nk duh kweli nchi hii inatafunwa bado gharama za vitambulisho vya taifa na sherehe za miaka hamsini ya uhuru some sh 140 billion will be spent on the national population census across the nation which is expected to run for seven days beginning august 26 this year speaking during the launch of a publicity and advocacy campaign for the 2012 population and housing census prime minister mizengo pinda said this was a lot of money and that it calls for the seriousness it deserves – coming every ten years “this sh141 billion comes from taxpayers and development partners … and we hope it will cover all the necessary expenses” the premier said however the prime minister emphasised that there was no relation between the forthcoming census and religious beliefs saying that it focused mainly on the collective national development effort he said that all matters connected with faith were the preserve of the clergy themselves in their respective denomination and mosques for specific purposes and were hardly relevant to the census exercise touching on muslims who had earlier threatened not to participate in census because the religious aspect was not included in the questionnaire the prime minister dismissed such claims as meaningless and wouldn’t help anyone “i have read some of their concerns in books which the muslim used as a basis for their intended protests … some of these books are alleged to have supported claims in certain statistical data showing that christians outnumber muslims” pinda noted the premier underlined that the government wasn’t in anyway involved with such statistics nor issued that data – because all government data are issued by the national bureau of statistics in any case pinda said knowing the exact number of christians and muslims will never be done alongside the census exercise because of the sheer magnitude of the work involved in doing so he added that a refusal to take part in the exercise means that “ you refused to take part in your own development when you consider that the government is spending such colossal amounts of money from the very taxpayers” preparations for the 2012 census which is slated for august 26 through september 2 this year started way back in 2004 the preparation involved the mapping professionals who traversed the entire country – and passed through every village across the nation to designate the enumeration centres he said the government will use the census information to chart out various development activities in policy making and in poverty reduction strategies the premier the government would consider extending the time allotted for the exercise – just in case there was need to do so else the september 2 deadline holds earlier the dar es salaam regional commissioner said merck sadique noted that the concerns raised by some muslims should be ignored by all tanzanian “the exercise is not about religion because we are not planning to build churches or mosques … we need the number of people for development plans” the rc said adding that the region is putting final touches – such as supply of census equipment as well as the training more that 17000 census supervisors in his region on his part commissioner for census amina mrisho said echoed the sentiments of the leaders saying this year’s census was “very unique … because it goes together with the register for national identity cards the commissioner assured tanzanian that all information collected during the exercise will be treated as confidential data speaking during the launch the second zanzibar vicepresident ambassador seif ally idd said a big number of census equipment had since been supplied “lack of knowledge about the importance of the census to society remains a big challenge now … because it’s through ignorance that people are reluctant to participate” ambassador idd noted in her remarks the deputy minister for finance saada salum said that the training for census supervisors was expected to officially wind up tomorrow 911649 17929595
2016-10-22T13:43:11
http://www.jamiiforums.com/threads/billion-140-za-sensa.309703/
vijimambo rais dkt magufuli akutana na waziri wa maendeleo ya kimataifa wa uingereza (dfid) mhe penny mordaunt ikulu jijini dar es salaam leo rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimkaribisha waziri wa maendeleo ya kimataifa wa uingereza (department of international development dfid ) mhe penny mordaunt aliyemtembelea akiwa ameongozana na balozi wa uingereza nchini mhe sarah cooke na mkuu wa ofisi ya difd nchini mama beth arthy ikulu jijini dar es salaam leo agosti 10 2018 rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimpa zawadi ya kinyago cha umoja waziri wa maendeleo ya kimataifa wa uingereza (department of international development dfid ) mhe penny mordaunt aliyemtembelea akiwa ameongozana na balozi wa uingereza nchini mhe sarah cooke na mkuu wa ofisi ya difd nchini mama beth arthy ikulu jijini dar es salaam leo agosti 10 2018 rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimuonesha albamu ya picha waziri wa maendeleo ya kimataifa wa uingereza (department of international development dfid ) mhe penny mordaunt inayoonesha shule ya sekondari ya ihungo iliyobomolewa kabisa na tetemeko la ardhi setemba 10 2018 ambayo imejengwa upya na serikali ya uingereza kupitia mpango wake wa maendelo ya elimu kupitia ukaid/dfid picha hizo zinaonesha shule hiyo baada ya tetemeko wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi siku ya mwaka mpya wa 2017 na inavyoonekana sasa baada ya kujengwa upya mhe mordaunt ambaye yuko nchini kwa ziara ya kikazi alimtembelea rais dkt magufuli akiwa ameongozana na balozi wa uingereza nchini mhe sarah cooke na mkuu wa ofisi ya difd nchini mama beth arthy ikulu jijini dar es salaam leo agosti 10 2018 rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akiongea na wanahabari kuishukur serikali ya uingereza kwa misaada yake mbalimbali ikiwemo shilingi bilioni 307 kwa kuunga mkono juhudi zake za kuopambana na rushwa pamoja na kuboresha sekta za afya na elimubaada ya kukutana na waziri wa maendeleo ya kimataifa wa uingereza (department of international development dfid ) mhe penny mordaunt aliyemtembelea akiwa ameongozana na balozi wa uingereza nchini mhe sarah cooke na mkuu wa ofisi ya difd nchini mama beth arthy ikulu jijini dar es salaam leo agosti 10 2018 rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akifurahia jambo wakati akiongea na wanahabari kuishukuru serikali ya uingereza kwa misaada yake mbalimbali ikiwemo shilingi bilioni 307 kwa kuunga mkono juhudi zake za kuopambana na rushwa pamoja na kuboresha sekta za afya na elimu baada ya kukutana na waziri wa maendeleo ya kimataifa wa uingereza (department of international development dfid ) mhe penny mordaunt na balozi wa uingereza nchini mhe sarah cooke walipomtembelea ikulu jijini dar es salaam leo agosti 10 2018 ikulu jijini dar es salaam leo agosti 10 2018
2019-07-21T19:23:54
http://lukemusicfactory.blogspot.com/2018/08/ais-dkt-magufuli-akutana-na-waziri-wa.html
matukio ya mheshimiwa waziri mkuu bungeni owm home kitaifa taarifambalimbali matukio ya mheshimiwa waziri mkuu bungeni ✔ habari pmo 9/09/2019 050300 pm waziri mkuu kassim majaliwa akizungumza na mbunge wa tarime mjini ester matiko bungeni jijini dodoma septemba 92019 waziri mkuu kassim majaliwa akizungumza na mwanasheria mkuu wa serikali adelardus kilangi bungeni jijini dodoma septemba 92019 waziri mkuu kassim majaliwa akisalimiana na mbunge wa kibiti ally ungando kwenye viwanja vya bunge jijini dodoma septemba 92019 matukio ya mheshimiwa waziri mkuu bungeni habari pmo 20190909t170300+0300 50 stars based on 35 reviews waziri mkuu kassim majaliwa akizungumza na mbunge wa tarime mjini ester matiko bungeni jijini dodoma septemba 92019 waziri mkuu
2019-09-16T06:19:48
https://wazirimkuu.blogspot.com/2019/09/matukio-ya-mheshimiwa-waziri-mkuu.html
chadema yawafukuza uanachama wabunge wanne | mtanzania home habari kuu chadema yawafukuza uanachama wabunge wanne chadema yawafukuza uanachama wabunge wanne previous articlemengine yaibuka kuondolewa meya ubungo next articledk migiro hata uingereza tunapiga nyungu
2020-05-30T02:34:57
http://mtanzania.co.tz/chadema-yawafukuza-uanachama-wabunge-wanne/
nina camera aina ya yashica original njoo nikuuzie | jamiiforums nina camera aina ya yashica original njoo nikuuzie thread starter mtafiti05 camera zilizokua maarufu sana kabla ya digital zpo 2 nilikua natumia na zpo vzr sana kwa ambae anahtaj tuwasiliane tuuziane maana sizitumii tena bei maelewano tu kwa anaehtaji nicheck 0765190024 au 0713193781 napatikana tanga(mji wa mahaba) mtafiti05 said weka bei hapamzee toka mji wa mahabapia weka picha mkuu wengine tumeanza kuzisahau picha hzo hapo mkuu enzi zile nilikua nikiivaa shingoni ni mwendo wa kumulika tu na kula adv hata kama huna mkanda bei tsh 150000/= zote ninazo 2 ukitaka 1 nipe 80 cha kale ni dhahabu na hakna jpya chn ya jua karibu mzee nafkr umezkumbka zilivyo mkuu super nile za toleo la kwanza kabsa na nzto pcha zake zpo clear sana mithli ya digital wayback aka flashback umenikumbusha mbali sana mkuumzee wangu alinunua yashica miaka ya 94alikuwa anaonekana ni moja ya wajanja wa kijijinialinunua mpya 45k 45k ya 94 sahv ni mara 4 ya thaman ya hela yetu ya kibongo nakmbka nilikua kwenye gradu ya primary fulan mi nikiwa sec mikanda 7 iliisha na bado watu wanataka pc nawanatoa hela cash nikaanza kupga flash huku nachukua hela mpaka usku saa 4 ukipga flash wanajua pc badae niliposafisha hazpo nikawaeudia kuwapga huku tayr nmetumia fursa mkuu ni 150000 au ulikusudia kuandika 15000 pia enz za sec ni shda watoto kike wanashobo kama nn ukiwa unawataka ni mwendo kuzngusha rungu2 150 zote 2 15 c bora utunze ndani hafu muda wake tena utakuja maongezi yapo lakn kwa anaehtaji sas hv ni mwendo wa digital hizo analogia tupa kule kwahiyo huko tuendako baada ya digital hizi zitarudi tena duniani ee
2020-07-10T15:03:02
https://www.jamiiforums.com/threads/nina-camera-aina-ya-yashica-original-njoo-nikuuzie.1263783/
daily mitikasi blog jumia ni chachu kwa ukuaji wa biashara za mtandaoni barani afrika kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa na mamlaka ya mawasiliano tanzania (tcra) inaonyesha kwamba watumiaji wa mtandao wa intaneti wameongezeka na kufikia milioni 1986 mwaka 2016 kutokea milioni 1726 mwaka 2015 idadi hiyo kwa kiasi kikubwa imechangiwa na kuongezeka kwa watumiaji wa simu za mkononi ambao mpaka hivi sasa wapo zaidi ya milioni 4017 mwaka 2016 kati ya idadi ya watanzania milioni 50 waliopo sasa kwa wateja kuenea kwa upatikanaji wa mtandao wa intaneti mpaka kufikia asilimia 83 nchini tanzania kunamaanisha kwamba huduma nyingi zinaweza kufikika huko kwa mfano wakazi wengi wa jiji la dar es salaam hutumia muda mwingi mpaka kufika maeneo ya katikati ya jiji au kariakoo ambako ndiko maduka mengi yalipo lakini kupitia intaneti mteja anaweza kuperuzi huduma na bidhaa kadha wa kadha pamoja na bei zake na kuagiza na kuletewa popote alipo jumia inavyofanya kazi mtandaoni jumia travel mtandao huu umezikusanya sehemu mbalimbali za malazi kuanzia hadhi ya chini mpaka ya juu na kuziweka sehemu moja ili kumrahisishia msafiri pindi anapotafuta malazi mteja anafaidika kwa kuweza kuperuzi hoteli zaidi ya 1000 tofauti kutoka kila kona ya nchi kujua bei za vyumba upatikanaji wake mahali zilipo na kuweza kufanya huduma papo hapo hivyo kuokoa muda wa kutafuta hoteli moja baada ya nyingine jumia market mtandao huu huwakutanisha wafanyabiashara mbalimbali sehemu moja ambapo huweza kuuza na kununua ni rahisi kwa mteja na mfanyabiashara kwani bidhaa za aina mbalimbali mpya pamoja na bei zao huwekwa mtandaoni na wateja kuchaguza zile wazitakazo na kupelekewa pale walipo huku malipo hufanyika pale bidhaa zinapowafikia wateja jumia food kutokana shuguli nyingi kuna wakati watu hukosa muda wa kuacha shughuli zao na kwenda kutafuta chakula mtandao huu umetatua changamoto hiyo kwa kuikusanya migahawa na sehemu mbalimbali maarufu zinazotoa huduma za chakula jijini dar es salaam na kuwaruhusu wateja kuomba huduma ya chakula na kupelekewa pale walipo jumia house makazi ni sekta muhimu hususani kwenye jiji kubwa la kibiashara kama vile dar es salaam sekta hiyo imekuwa ikikua kwa kasi kwani hata idadi ya watu huongezeka kila kukicha hivyo huduma za vyumba nyumba ofisi na viwanja pia huwa na uhitaji mkubwa mtandao huu huwapatia fursa watoaji na wahitaji wa huduma hizo kufanya biashara mtandaoni kwa urahisi kabisa jumia cars mtandao huu huwapatia wauzaji na wateja wa magari kupata magari ya matoleo mbalimbali kukutana mtandaoni wauzaji huweka magari yao mtandaoni pamoja na bei wanazouza na mawasiliano yao ili wateja waweze kuwafikia kwa urahisi hivyo suala la mpaka kumkabidhi dalali linakuwa halipo bali ni mtandao wa intaneti tu jumia deals kwenye majiji makubwa kama vile dar es salaam huwa kuna biashara mbalimbali zinazofanyika kwenye maisha ya kila siku hivyo basi mtandao huu wenyewe hutoa uwanja mpana kwa watu mbalimbali kuweka mtandaoni bidhaa na huduma mbalimbali wanazozitoa jumia ni mojawapo tu wa mitandao mingi ya biashara kwa njia ya mtandao ambayo imeona mustakabali mkubwa wa ukuaji wa biashara kwenye sekta hiyo ambayo kwa kiasi kikubwa bado haijaguswa ni fursa kwa wadau wa masuala ya mawasiliano kuitazama kwa umakini sekta hii na watanzania kuelimishwa pamoja na wao wenyewekujitambua kwamba intaneti inaweza kutumika kurahisisha maisha yao ya kila siku badala ya kupoteza data kufuatilia masuala yasiyo na msingi imechapishwa na john hans badi kwa 453 pm
2017-09-20T21:38:36
http://johnbadi.blogspot.com/2017/07/jumia-ni-chachu-kwa-ukuaji-wa-biashara.html
njia bora ya kuacha uvutaji sigara bbc swahili njia bora ya kuacha uvutaji sigara 15 machi 2016 http//wwwbbccom/swahili/habari/2016/03/160315_cold_turkey_cigar image caption walioacha kuvuta sigara mara moja walikuwa na uwezekano wa juu wa kuachana na uraibu huo utafiti wa karibuni zaidi umeonesha kwamba njia bora zaidi ya kuacha uraibu wa kuvuta sigara ni kuacha mara moja utafiti ambao matokeo yake yamechapishwa katika jarida la kimatibabu la annals of internal medicine unasema washiriki walioacha mara moja walikuwa na uwezekano mara 25 zaidi ya kutovuta sigara nusu mwaka baada ya kuachana na uraibu huo wakilinganishwa na walioacha uvutaji sigara taratibu taratibu idara ya afya ya taifa uingereza inasema njia bora zaidi ni kutenga siku fulani kuwa ya kuacha kuvuta sigara weka ahadi tenga siku na uhakikishe umefanya hivyo siku hiyo idara hiyo inashauri utafiti huo wa karibuni uliofadhiliwa na wakfu wa moyo wa uingereza ulihusisha washiriki 700 wa kujitolea waliwekwa kwenye makundi mawili moja la kuacha kuvuta sigara mara moja na jingine la kuacha asteaste baada ya miezi sita ni 155 ya washiriki walioacha kuvuta sigara taratibu taratibu waliokuwa bado hawavuti sigara wakilinganishwa na 22 kwenye kundi la walioacha kuvuta sigara mara moja image caption uvutaji sigara ni moja ya mambo yanayoaminika kusababisha saratani kiongozi wa utafiti huo dkt nicola lindsonhawley kutoka chuo kikuu cha oxford alisema tofauti inaonekana ni kama inatokana na kutatizika kwa watu katika kupunguza uvutaji sigara hili liliwapa jambo la ziada la kufanya ambalo huenda liliwafanya kuacha kabisa mpango wao wa kuacha uvutaji sigara ingawa wengi wa washiriki walisema wangependelea sana kuacha uvutaji sigara bado wale waliofanikiwa zaidi kuacha kabisa uvutaji sigara walikuwa wale walioacha dkt lindsonhawley hata hivyo alisema ni heri kupunguza uvutaji sigara kuliko kutochukua hatua yoyote washiriki wote walipewa ushauri pamoja na vitu vya kuwasaidia kukabiliana na makali ya kuacha uvutaji sigara
2018-03-25T03:42:11
http://www.bbc.com/swahili/habari/2016/03/160315_cold_turkey_cigar
jay dee amtaja director aliyesimamia video yake ya 'ndi ndi ndi' | znz_zenji255 home e news jay dee amtaja director aliyesimamia video yake ya ndi ndi ndi jay dee amtaja director aliyesimamia video yake ya ndi ndi ndi lady jaydee ameweka hadharani kuwa justin campos ndiye aliyeongoza video ya wimbo wake mpya ndindindi staa huyo amepost video instagram inayomuonesha justin akiwa na mke wake candice campos kueleza walivyokutana nilikutana na justin campos kwa mara ya kwanza 2006 wakati tunafanya video ya njalo nilioshirikiana na kundi la south africa linalojulikana kama mina nawe justin ndio alikuwa director wa video hiyo baada ya miaka 10 tumefanya kazi tena 2016 aliandika jaydee dunia duara tunazunguka tunarudi tena tunakutana #ndindindimusicvideo #thiscomingthursday #nguvuyaumma #wananchiwameipokea #kaatayarikuipokea aliongeza jide jay dee
2019-02-19T22:41:43
http://www.zenji255.com/jay-dee-amtaja-director-aliyesimamia-video-yake-ya-ndi-ndi-ndi/
wakulima wa karafuu waelezea kuridhishwa na huduma kutoka zstc zanzinews home wakulima wa karafuu waelezea kuridhishwa na huduma kutoka zstc wakulima wa karafuu waelezea kuridhishwa na huduma kutoka zstc mkurugenzi fedha wa zstc akitoa ufafanuzi kwa wandishi wa habari juu ya hali ya manunuzi ya karafuu mkulima wa karafuu wilaya mkoani salum suleiman said akizungumza na wandishi wa habari juu ya namna shirika la zstc linavyowahudumia wakulima katika vituo vya manunuzi wakulima na mpasishaji wakiangalia karafuu kwa ajili ya kupasishwa katika kituo cha ununuzi cha wete ø wafurahishwa na malipo kwa wakati na majid omar najim wakulima wa zao la karafuu visiwani zanzibar wameelezea kuridhishwa na huduma wanazozipata kutoka shirika la biashara la taifa zanzibar (zstc) katika vituo vya ununuzi wa karafuu ikiwemo kulipwa fedha taslimu pale wanapouza karafuu zao wakizungumza kwa nyakati tofauti na watendaji wakuu wa shirika hilo waliofanya ziara maalum kuangalia namna zoezi la ununuzi wa karafuu linavyoendelea katika msimu wa 2015/2016 wakulima hao wamesema wamekuwa wakilipwa fedha zao taslimu bila kukopwa salum sleiman said ambae ni mkulima maarufu wa zao hilo wilaya ya mkoani mkoa wa kusini pemba alisema tangu aanze kuuza karafuu katika shirika hilo amekuwa akilipwa fedha zake zote hapo hapo na hajawahi kukopwa jambo ambalo linamuwezesha kuifanya vyema biashara hiyo leo hapa nimeleta gunia 80 nimelipwa fedha zangu taslimu wiki mbili nyuma nilileta gunia 70 pia nililipwa fedha zangu zote alisema mkulima huyo huku akionyesha risiti ya malipo yake nae mkulima kutoka finya wilaya ya wete ramadhan hamad yussuf alisema hakufikiria kama shirika lingeweza kununua karafuu zote za msimu kwa fedha taslim kutoka kwa wakulima kutokana na msimu kuwa mkubwa leo nimeleta gunia 40 hapa nimelipwa fedha zangu zote nashukuru sana naona shirika lilijiandaa vizuri kunua karafuu zetu alifahamisha mkuliama huyo wa wete nadhani kuna watu wana malengo yao wenyewe hivyo kufikia malengo yao huamua kulipaka matope shirikaalibainisha alisema katika kituo chao cha wete wanachouza karafuu hajawahi kumsikia mkulima yoyote akilalamika kuhusu malipo ama karafuu zake kukopwa na shirika la zstc akizungumzia huduma nyengine wanazopata kutoka shirika la zstc zuhura ali nassor mkulima kutoka wilaya ya chake chake alisema wamekuwa wakipata ushirikiano mzuri kutoka kwa watendaji wa shirika jambo ambalo limepelekea wakulima kuuza karafuu nyingi msimu huu sio tu kutulipa kwa wakati lakini pia tumekuwa tukipatiwa huduma za mikopo usafiri na ulinzi shirika pia limetukatia bima kwa wanaopata ajali wakati wa uchumaji wa karafuu alibainisha bi zuhura akizungumza kwa niaba ya mkurugenzi mwendeshaji wa shirika la zstc afisa mdhamini wa shirika hilo abdalla ali ussi amewashukuru na kuwapongeza wakulima wa karafuu kwa namna wanavyoshirikiana na shirika katika kuuza karafuu zao serikali inafahamu kazi mnayofanya ya kuimarisha zao la karafuu na kuuza serikalini inawathamini sana ndio maana ipo karibu sana na nyinyi niinawaomba musiwe na wasi wasi wowote serikali kupitia shirika la zstc ipo pamoja na nyinyi alifahamisha afisa mdhamin alisema kuwa suala la shirika kuwakopa wakulima halipo na wala halitokuwepo na wala halina mpango wa kushusha bei ya karafuu katika katika ya msimu mdhamin aliwahakikishia wakulima na wafanyabiashara wa zao la karafuu kuwa shirika lina uwezo na nguvu za kutosha za kununua karafuu zote kwa fedha taslim ameongeza kuwa kutokana na mazingira mazuri yaliyowekwa na shirika kwa wakulima suala la magendo limepungua kwa kiasi kikubwa ambapo ni gunia 47 tu za magendo ndizo zilizokamatwa mpaka sasa kwa upande wake mkurugenzi fedha wa shirika hilo ismail omar bai alisema shirika lina fedha za kutosha kununulia karafuu zote pamoja na kutoa huduma nyengine kwa wakulima hivyo amewataka wakulima kupeleka karafuu zao katika vituo bila ya wasi wasi wowote alisema hadi tarehe 26/01/2016 shirika limenunua jumla ya tani 51003500 kwa fedha taslim 71 48201050000 pemba tani 484181000 kwa fedha taslim 6787829050000 na unguja tani 25854000 kwa fedha taslim 3603 72000000 na hakuna mtu aliyokopwa au kucheleweshewa malipo hakuna mkulima anaelidai shirika na wala aliyepewa risiti akaambiwa aje baada ya wiki mbili kama yupo ajitokeze tunajua biashara ya karafuu inahitaji fedha za uchumishaji na huduma nyengine hivyo hatuwezi kumkopa mkulima kwani kumkopa ni kumrudisha nyuma alisema mkurugenzi fedha wa zstc ameongeza kuwa ili kuwawezesha wakulima kufikia malengo yao shirika limekuwa likitoa mikopo isiyo na riba kwa wakulima wa zao hilo la karafuu muhimu awe ametimiza masharti ya mkopo
2018-04-20T23:59:47
http://www.zanzinews.com/2016/01/wakulima-wa-karafuu-waelezea.html
mabasi 12 ya kwenda mikoani yasitisha safari zake mjengwablog mabasi 12 ya kwenda mikoani yasitisha safari zake ukaguzi huu unafanyika kwa mujibu wa sheria ya usalama barabarani sura ya 168 ya mwaka 2002 fungu la 39 ambayo imebainisha mambo ambayo ni ya muhimu katika gari ambayo kama yatakuwa hayafanyi kazi halitaruhusiwa kuendeshwa amesema mabasi yote yana abiria na tunawapa muda wa kuyatengeneza yasizidi masaa mawili kama wakishindwa itabidi washushe abiria watafutiwe usafiri mwingine amesema samwix bila kutaja majina ya mabasi hayo ← previous story maonesho nane nane yasiwe nguvu ya soda dktmwanjelwa next story → magazeti ya leo tarehe 7
2019-07-17T04:53:42
http://mjengwablog.com/mabasi-12-ya-kwenda-mikoani-yasitisha-safari-zake/
jk aagiza uchochoro wa kupitisha dawa za kulevya uzibwe haraka homejk aagiza uchochoro wa kupitisha dawa za kulevya uzibwe haraka elikunda materu 121300 rais jakaya mrisho kikwete alikuwa akizungumza leo alhamisi aprili 24 2014 kabla ya kuweka jiwe la msingi kwenye ujenzi wa awamu ya tatu ya uwanja wa kimataifa wa julius nyerere wa dar es salaam kwenye eneo la uwanja huo kipawa rais kikwete akipata maelezo ya ujenzi wa awamu ya tatu ya uwanja wa kimataifa wa julius nyerere wa dar es salaam kwenye eneo la uwanja huo rais jakaya kikwete akikata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa kuanza ujenzi wa jengo la tatu la la uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere (jnia) dar es salaam leo kutoka kushoto ni naibu waziri wa uchukuzi dk charles tizeba balozi wa uholanzi nchini jaap frederiks waziri wa uchukuzi dk harrison mwakyembe mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya viwanja vya ndege tanzania injinia suleiman suleiman na mwenyekiti wa kamatim ya bunge ya uchukuzi mhe peter serukamba rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa jakaya mrisho kikwete ameiamuru wizara ya uchukuzi na taasisi zake kuchukua hatua za mara moja kukomesha aibu ya viwanja vya ndege vya tanzania kutumika katika uchochoro wa kupitisha na kusafirisha madawa ya kulevya aidha rais kikwete amesema ukweli kuwa madawa ya kulevya yanazidi kupita katika viwanja vya ndege za julius nyerere international airport (jnia) na ule wa kilimanjaro international airport (kia) unazidi kuchafua heshima na jina la tanzania rais kikwete alikuwa anazungumza leo alhamisi aprili 24 2014 kabla ya kuweka jiwe la msingi kwenye ujenzi wa awamu ya tatu ya uwanja wa kimataifa wa julius nyerere wa dar es salaam kwenye eneo la uwanja huo rais ameweka jiwe la msingi kwenye ujenzi wa uwanja huo muda mfupi baada ya kuweka jiwe la msingi kwenye ujenzi wa hospitali ya kisasa ya kufundishia na kutoa huduma katika eneo la mlongazila eneo la kibamba dar es salaam shughuli zote mbili ni sehemu ya kuadhimisha miaka 50 ya muungano siridhishwi na hali ya usalama katika viwanja hivi viwili na matukio ya kusikia madawa yametokea tanzania kupitia viwanja vyake na yamekamatwa huko australia yanachafua sana jina la nchi yetu badala ya kuchukua hatua kukomesha jambo hili tunakwenda mbele tunakwenda nyumambele nyuma hili haliwezi kuruhusiwa kuendelea ni jambo la kutia simanzi sana amesema rais kikwete na kuendelea mmeyasema wenyeweleo kiwanja hiki kinapitisha abiria milioni 25 kwa mwaka mkifikisha abiria milioni sita si mtakuwa soko huria kabisamara leo mwanamuziki huyu kakamatwa afrika kusinimara kesho yulelimalizeni hili haraka nataka tuongeze usalama sana katika viwanja hivi viwili vimekuwa kama uchochoro rais kikwete amemtaka waziri wa uchukuzi kumjulisha ni maofisa gani wa idara za serikali wanahusika kupitisha madawa hayo kwenye viwanja hivyo kama kuna maofisa wa ushuru ama maofisa wa uhamiaji ama maofisa wa polisi ama maofisa wa uwanja wa ndege ambao wanashiriki katika mchezo huu wa kupitisha madawa haya nipeni orodha yao nitawaondoa kazini tusifanye masihara na hili linatuaibisha sote tusiwaonee aibu watu katika jambo hili 24 aprili 2014
2019-05-26T10:15:12
https://www.elikunda.com/2014/04/jk-aagiza-uchochoro-wa-kupitisha-dawa.html
watu wazima wananitisha na maoni yao kuhusu ndoa | jamiiforums | the home of great thinkers watu wazima wananitisha na maoni yao kuhusu ndoa discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by the boss jan 30 2011 kila mara nikipata nafasi ya kuzungumza na watu wazima hasa wanaume ambao wapo kwenye ndoa zaidi ya miaka15 na kuendelea ajabu ni kuwa maoni yao karibu yote au niseme asilimia 90 kuhusu ndoa na wanawake ni negative kabisa wengi huwa kama wanajutia hivi au hawawapendi wake zao na watu hawa ambao nazungumza nao ni mchanganyiko i mean wengine wana elimu ya kutoshawengine elimu ya kawaida wengine kipato kikubwawengine kipato kidogo au wastani but karibu wote nikiwauliza kitu wananifanya niogope au niwatazame wanawake kwa ujumla tofauti wengi wao watakwambiawanawake hawana shukrani hata umfanyie nini mwanamke atatoka tu nje wanawake wote makatilina wana roho mbaya wanawake hawasamehi wanawake hiviwanawake vile kwa ufupi its all negative yaani ukikuta mwanaume over 45 anaongea kitu positive kwa ujumla kuhusu wanawake ni nadra sana najiuliza nini hasatatizo lipo wapi kiukwel kila kizur kina ubaya wake kwa bht mbaya wanadam tunapenda kuongelea mabaya ya k2 kuliko mazur yake boss hivi huwa unaongea na wababa tu na wanawasema wamama tu im gender sinsitive dear cha kushangaza hata wanawake watu wazima wanatuambia hayo hayo kuhusu wanaume na tunakata tamaa kuhusu wanaume ila zaidi ya kuambiwa hata mimi nawaona wanaume kuwa na hizo sifa ulizoambiwa wanazo wanawakeni kujitahidi tu kuvumilianakuwa wazi na kutatua tofauti zinazojitokeza kwenye ndoa kwa wale watakaoamua kuwa na ndoaila tukiangaliana ubayahakutakuwa na ndoacoffeecoffeecoffee duuuhh eee hii imeniuma sana inauma sana kusikia 90 ya wanaume ni negativity kuhusu wake zao (hopeful hii statistic yako sio ukweli) kwa sababu mimi nina uhakika wanawake wengi wanawateteaga sana wanaume zao utakuta hata na wengine wako kwenye abuse marrige lakini mbele za watu atamfanya mumeo mzuri ila zaidi ya kuambiwa hata mimi nawaona wanaume kuwa na hizo sifa ulizoambiwa wanazo wanawakeni kujitahidi tu kuvumilianakuwa wazi na kutatua tofauti zinazojitokeza kwenye ndoa kwa wale watakaoamua kuwa na ndoaila tukiangaliana ubayahakutakuwa na ndoacoffeecoffeecoffeeclick to expand maneno makubwa sana hayo michelleuvumilivu ni kitu kikubwa sana ndani ya ndoa ukiwa unakurupuka na kufanya maamuzi ya haraka haraka bila kutafakari kwa kina basi kamwe ndoa nyingi hazitadumu positives zipo ila its human nature watu kutake for granted mazuri yote (kwamba ni haki yao) na wanaconcentrate kwenye negatives wanawake na wanaume ni tofauti tena sana na kwa tofauti hizo hata inashangaza ni vipi tunaweza (kwa wanaoweza) kukaa pamoja kwa muda mrefu cha muhimu ni kujua tofauti hizi (wengine kwa makosa huita udhaifu) na kuishi accrodingly watu wengi hawajui tofauti hizi na hivyo kuwa chanzo kikubwa cha matatizo katika ndoa ama mahusiano baina ya mwanake na mwanaume nyingi ya tofauti hizi ni ya kimaumbile (biological) na pia kisakolojia kwa mfano kuna tofauti kubwa ya kimuundo na ufanyaji kazi wa ubongo wa mwanamke na mwanaume hili peke yake linaweza kuwa source ya mivutano au sintofahamu nyingi kwenye mahusiano kati ya mke na mume nenda kamuulize fundi viatu faida anayopata ktk kazi yake (hatokuambia) badala yake atakueleza kuwa anafanyia shida tu au mazoea akuambie ili na wewe unufaike kisha umpokonye wateja lkin kila siku utamuta anaendelea na wala haachi kadhalika ktk ndoa ni hivyohivyo shida zipo na raha zipo itategemea mwenzako uliyenaye na ktk maisha hilo la kuoa ama kuolewa huwezi kulikwepakimsingi tafuta mwenza uliyetosheka naye ktk kila idara ndoa ni kuvumiliana mnapokutana kwa maana ya kuoana kumbuka kila mmoja ana background yake hamuwezi kufanana kwa yale unayoyapenda au unayoyachukia kinachotakiwa kila mmoja awasilishe ya kwake anayoyapenda na asiyoyapenda na kila mmoja awe wazi kwa mwenzake mkichanganya hayo mambo ya kila mmoja mtakachokipata ndio kitaunda taasisi yenu mpya ya wana ndoa maana yake ni kwamba kuna ambayo mwanaumme itabidi ayaache na yapo ambayo mwanamke itabidi aachane nayo kutoka maisha yake ya kabla ya ndoa wakati mwingine uogimvi wa ndoa unaweza kuanza kwa kitu kidogo tu kama dawa ya meno mmoja amezoea kubonyeza kutokea chini na mwingine alizoea kubonyeza kutokea juu hiyo ikawa kesihakuna mwanaumme (kama wewe ni mwanamke) utakayempata ukaridhika naye asilimia 100 na hakuna mwanamke (kama wewe ni mwanaume) utakayeridhika naye kwa asilimia 100 hebu fikiria maisha yangekuwa shwaariii moja kwa moja ndani ya nyumba hali ingekuwajebinadamu tunatofautiana mioyo na imani fikiria huyo unayegombana naye baadhi ya wakati anapokuwa hayupo utasema tu ooh i am missing u hata mfano wa siasa chama a hakina raha bila ya kuwepo chama b japokuwa havielewani pamoja na hayo extremism haiwezi kukubalika na ndio maana baadhi ya ndoa huvunjikaclap2 yaani hawa watu wazima wanashangaza sana unakuta wote wapo kwenye ndoa but kila wanachoongea kuhusu ndoa ni negative ukiwaulizza wanakwa mbia subiri utaonaas if ndio hivyo hata uwe vipi mkuu hiyo research yako ilikua imebase kwenye negative tu watu wengi tunakosea kwa kudhani tofauti za wanandoa ni ubaya wanandoa ni watu waliokutana kutoka ktk background tofauti kwa kila mmoja mimi naweza penda dagaa yeye hapendi anapenda mlenda ambao mimi siupendi kwa hali kama hii busara na kuvumiliana na kuchukuliana isipozingatiwa ndio inapelekea hayo majibu uliokuwa unapewa majibu mengine hayana mantiki kama kusema hata umpe nini mwanamke atatoka nje huu ni upuuzi kugeneralise wanawake wote ni malaya ni wewe na mwenza wako ndio mtaamua muishi maisha gani ukiwaulizza wanakwa mbia subiri utaonaas if ndio hivyo hata uwe vipiclick to expand hao ni kuwasikiliza tu hekima zaowajua kuishi kwingi kuona mengithe jifunze kutoka kwao na kujitahidi kuwa na ndoa bora zaidithey say experience is the best teacherso learn from their mistakesask them how they dealt with their problems and then do your besthakuna namna ya kukwepa kila mtihani hapa duniani the bossndoa ni moja wapokwa watakaochagua ndoani kumuomba mungu na kwenda ukiwa na nia safi na malengo sahihi na kujua changamoto na shida zitakuwepoila kama kuna malengo sahihi kati ya wanandoa na wote wana nia ya kutatua matatizo yao hakuna linaloshindikana very truekuna msemo kuwa binadamu tuna capacity kubwa ya kupokea maumivu kuliko furaha so it is so easy to get hurt than to receice pleasureits difficult to make people happy but so easy to hurt the labda ndo sababu i know 4 women walio olewa wote wa watoto zaidi ya wawili na wawili kati yao wpo for 9 yrs ndani ya ndoa cha ajabu na kushangazaa tulipojuana mwanzoni hakuonyesha kuna shida tena nyingi ndani ya ndoa hadi miezi 6 hivi ndio kuzoena kiundani mmoja kaanza kusema live shida na mateso sikuamini eti mumewe ni mhuni sana hata maziwa ya mtoto halipi mara siku nyingine harudi home na after a year hao watatu slowly the same thing mara kugombana miezi miwili haipiti mmoja mumewe hata kamzalisha h/girl imagine ila wanawake hao hao hata ukimwambia vipi kuhusu mambo ya chumbani anasema anafanya tu basi wala hamu hana na mengine hata kuandika siwezi huu ni upande wa wanawake pili pale dicc dar i attended seminar ya ukimwi a year ago dr mtoa mada na ambaye wanahudumia wagonjwa wa ukimwi alinitisha hata kusema wanawake wengi wanamjia na kusema ndani ya ndoa hawaridhiki wanatoka nje mbaya zaidi wanatoa tigo nje sana ndio waridhike wala si kwa pesa no kuridhishwa na vijana/mume wa pembeni na wababa wengi pia huwa na dogodogo nje wakila bata hivyo hivyo na tukamwuliza kwa nini wasikae pamoja na kula bata ikiwa kila mmoja anatoka nje na ukimwi uko kila kona jibu sasa eti aibu na hakuna anayetaka kuonekana mhuni ndani ya ndoa unaona ndoa ni mtihani watch out wenza wakae ongeeni black & white kila kitu 0 people likes tenda mema 100 ila ujue siku ukiteleza ukatenda baya 1 ujue mema yako yote yatafunikwa na ubaya uliofanya hivyo ndivyo maisha tunayoishi yalivyo hasa kwenye mahusiano hebu fikiria watu wanadumu kwenye ndoa kwa miaka 10 ni mazuri mangapi waliyofanyiana ni raha ngapi walizopeana lakini cha ajabu uhusiano uliodumu kwa miaka 10 huweza kuvunjika ndani ya siku moja duh sijui niwe sister wakanisani tu hivi vigezo vya kua sister ni nini tena labda nikiwa sister kikombe hiki cha mateso kitaniepuka kila ndoa mateso mara hivi mara vile ndoa changa vurugu za muda mrefu majibu ndo hayo sijui twende wapi sasa mh wanawake ni wavumilivu sana katika ndoanao huwa wana mengi yanayowatokea ndani ya ndoaukisikiliza vilio vyaonavyo ni vingijuu ya yote ndoa ni safari ndefu na inahitaji uvumilivu wa hali ya juu isikutishe sana ukiamua kuingia kwenye hiyo club we ingia tu kuna vitu vya msingi katika nyumba/ndoa ambapo usipovifanyia kazi ndoa inakuwa at risk kwanza inategemea mmeona kwa sababu gani wengine watakuambia tumeona kwa sababu tunataka watoto wengine nimemuoa kwa sabubu mwanamke au mwanaume ni mzuri sana au nimeolewa naye kwa sababu ana pesa nyingi list hii ya sababu ni ndefu sana lakini ukweli kama driving force ya ndoa yenu haikuwa upendo ujue kwamba hiyo ndoa itadumu tu endapo sababu iliywafanya kuoana itakuwepo hiyo sababu ikiisha tu ujue ndoa haipo mfano kama lengo lilikuwa kupata watoto na bahati mbaya ikatokea hamna watoto ujue tayari sababu ya kuachana ni wazi kama ni pesa nazo ni hivyo nakushauri umwombe mungu akupe mtu mayependana katika shida na raha ndoa itadumu
2017-01-16T17:50:36
https://www.jamiiforums.com/threads/watu-wazima-wananitisha-na-maoni-yao-kuhusu-ndoa.106886/
serikali yakopa crdb kulipa wafanyakazi | jamiiforums | the home of great thinkers serikali yakopa crdb kulipa wafanyakazi discussion in 'jukwaa la siasa' started by naninibaraka nov 7 2011 ni jambo la ajabu na la kushangaza serikali kushindwa kulipa wafanyakazi wake mpaka kufikia kukopa bank za ndaniutendaji wa sasa wa serikali kushindwa kusimamia ukusanyaji wa mapato na matumiz mabaya ya serikali ndo uliopelekea ghali kuwa hivimiradi mingi ya barabara imesimama piauchumi umedoramfumuko wa bei uko juuserikali ipunguze gharama za anasa kama safari za nje za viongozi wetuununuzi wa magari ya kifaharinchi imefilisika unadhani kuna anaeona hali ni ngumu wenzio wako tanga eti kwenye mashindano ya shimiwi na mwezi ujao watakopa wapi tena july mbali hivi na zile za posho za wabunge watakopa au zenyewe zisha tengwa siku nyingi nchiii bora gadaffi we unalala njaa unaalika wageni utawalisha na nini kila siku mh angani tu wakati nchi hipo taabani tatizo ni wafanyakazi wa serikali wamelala usingizi ndiyo maana mshahara wangu wa oktoba ulizidi kwa laki 2 sijui watanikata mwezi ujao mweeeeee ndiyo maana mshahara wangu wa oktoba ulizidi kwa laki 2 sijui watanikata mwezi ujao mweeeeeeclick to expand nilijuwa tu utakuja kuchafua hewa humu haaaa sirikali yetu ni sikivu naomba source mkuu we jamaa nahisi upo dom kwa ajiri ya kuwa unahudhuria mirembe pindi hali yako inapokuwa siyo ya kuridhisha eeeh hii hatari mungu inusuru tz imefilisika ugiriki tanzania itaponea wapi unadhani kuna anaeona hali ni ngumu wenzio wako tanga eti kwenye mashindano ya shimiwiclick to expand yaaani huko ndo wanapakazana maukimwi mpaka basi halafu hivi ili ukwalifai kwenda shimiwi kwa akina mama lazima uwe mnene na uwe na matako makubwa eeeh halafu hivi ili ukwalifai kwenda shimiwi kwa akina mama lazima uwe mnene na uwe na matako makubwa eeehclick to expand mweee hahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nimekosa jibu mods mbona mmebania post yangu naamini ina ukweli ndani yake is this jf i know or what sure i was away na sijaingia humu kama kuna marekebisho ya posting hebu nipeni link nikabukue huko wacha wakope kukopa sio tatizo inategemea kukopa kwa njia gani kwa mfano kama serikali imekopa kupitia treasury bill ni njia mojawapo ya kurudisha heshima ya fedha (kuongeza thamani kwa kuzipunguza kwenye mzunguko) kama imekopa kama mtu mwingine ili iwe inarejesha kila mwezi basi hapo kuna tatizo aidha naungana na wewe katika hoja nyingine duh kigogo unajua kufukufunyua mpaka umeona wanaoenda shimiwi wamejaziakuna kaukweli ndani yake vimbaumbau haviendagi shimiwi ukweli wa uzi huu tutaujuaje
2016-12-05T04:57:45
http://www.jamiiforums.com/threads/serikali-yakopa-crdb-kulipa-wafanyakazi.189979/
kisima wikipedia kamusi elezo huru kisima cha maji juu ya jiwe la chaki juu ya kaskazini downs uingereza katika albury kisima ni jina la ujumla kwa shimo lolote ndefu nyembamba lililochimbwa katika ardhi aidha kwenda chini au sambamba kisima kinaweza kujengwa kwa madhumuni mbalimbali ikiwa ni pamoja na uchimbaji wa maji au kioevu kingine (kama vile mafuta ya petroli) au gesi (kama vile gesi asilia) kama sehemu ya uchunguzi wa kiufundi wa ardhi na utathmini wa eneo la mazingira kwa ajili ya utafutaji wa madini au kama shimo la majaribio la kusimamisha minara na vifaa vya matumizi chini ya ardhi visima kutumika kama visima vya maji inaelezwa kwa kina zaidi katika makala hayo katika nyanja za mashauriano za uhandisi na mazingira neno hili hutumiwa kuelezea kwa pamoja aina zote mbalimbali za mashimo yaliyochimbwa kama sehemu ya uchunguzi wa kiufundi wa ardhi na utathmini wa eneo la kimazingira(ujulikanao kama awamu ya pili ya esa) hii ni pamoja na mashimo yanayochimbwa kukusanya sampuli za udongo sampuli za maji au vipande vya miamba ili kuendeleza vifaa vya kutengeneza sampuli vya in situ au kufunga visima vya kufuatilia au piezometer sampuli zinazokusanywa kutoka kwa visima mara nyingi upimwa katika maabara kuamua hali zao au kwa kutathmini viwango vya kemikali mbalimbali au vichafuzi kwa kawaida kisima kinachotumika kama kisima cha maji kinakamilishwa kwa kufunga mfereji uliosimama na kitunza kisima kushikilia kisima kisiporomoke hii pia husaidia kuzuia vichafuzi kutoingia katika kisima na kuzuia pampu yoyote iliyowekwa kuchota mchanga na sedimenti ikikamilishwa katika namna hii kisima kwa kawaida kisima cha maji iwe ni cha maji mafuta au cha gesi 1 usakinishaji 2 mbadala wa hali ya hewa usakinishaji[hariri | hariri chanzo] visima vinaweza kuchimbwa kwa kutumia mashine kubwa ya kuchimba au ya kuendeshwa kwa mkono mashine na mbinu za kuendeleza kuchimba kisima zinatofautiana kulingana mtengenezaji hali ya kijiolojia na lengo kusudi mbadala wa hali ya hewa[hariri | hariri chanzo] viwango vya joto katika kisima vinaweza kutumika kama mibadala ya joto hii ni kwa sababu uhamishaji wa joto kupitia ardhini hufanyika polepole hivyo kwa kupima joto (na kutumia mifumo ya hisabati) viwango vya joto vya zamani vinaweza kurejelewa miaka mia kadhaa mbeleni (huang et al 2000) [1] kisima cha uyeyukaji wa barafu hakina maji machafu kama ilivyo lkatika visiwa vya mawe kisima cha central greenland huonyesha joto zaidi ya miaka 150 iliyopita ya wastani wa 1 ° c ± 02 ° c iliitangulia na karne chache zenye baridi ililotangulia hii ilikuwa kipindi cha joto katika ad 1000 ambacho kilikuwa na joto kuliko karne ya 20 kwa wa 1 ° c [2] uzoaji wa kisima kinachopenya mashine ya uchimbaji kisima cha maji kisima cha kola kilichopenya zaidi ↑ huang sp pollack hn shen py hali ya hewa katika miaka mitano iliyopita asili 403 6771 uk 756758 2000 doi 101038/35001556 ↑ [1] ^ visma katika barafu joto katika miaka 2000 iliyopita (2006) pp 8182 bodi la sayansi ya anga sayansi na hali ya hewa (basc) shule ya sayansi isbn 9780309102254 ufuatiliaji wa kisima visima kama chanzo cha maji cha kibinafsi ushauri wa kiufundi wa jinsi ya kuchimba kisima mwongozo kuhusu upimaji wa visima magonjwa yanayohusiana na visima nk to us center for disease control and prevention jinsi ya kuchunguza kutu na uharibifu mwingine kwenye visima clay · silt · mchanga · changarawe · peat · loam effective stress · pore water pressure · shear strength · overburden pressure · consolidation · soil compaction · soil classification · shear wave ·lateral earth pressure cone penetration test · standard penetration test · exploration geophysics · monitoring well · kisima bearing capacity · shallow foundation · deep foundation · dynamic load testing · pile integrity test ·wave equation analysis · statnamic load test tetemeko la ardhis rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=kisima&oldid=1087284 kilimo katika nyanda za joto teknolojia ya kuchimba
2020-02-21T00:51:32
https://sw.wikipedia.org/wiki/Kisima
hitimisho la bunge swaga za waziri mkuu ni zile zile | jamiiforums | the home of great thinkers hitimisho la bunge swaga za waziri mkuu ni zile zile discussion in 'jukwaa la siasa' started by gagurito apr 23 2012 kwa ufahamu wangu juu ya utendaji kazi wa waziri mkuu kwa busara zake kawa wasemavyo wengi si ajabu kusikia akisema hajapata muda wa kuzungumza na rais juu ya kujiuzuru kwa mawaziri hawa na anategemea kuzungumza haya pindi rais atakapo rejea tokea nchini malawi kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa rais wa malawi marehemu prof bingu wa mutharika tegemeeni kitu kama hichi wadau swaga ni zile zile swaga ndo nini history no change afisa mmoja toka ofisi ya spika ameniuma sikio na kusema hakuna anayeachia ngaziwakti huo huo hoja ya zitto itasikilzwa mchana baada ya hoja ya kamati za kilimo na maliasili waachie ngazi kwa makosa yapi kama epa rada deep green meremeta etc ambazo zimeinvolve billions na hakuna aliyewajibika nani awajibike kwa hivi vijisent anavyopigia kelele cag kwani bunge linaahirishwa muda gani hii nchi bwana duh hujitaja richmondau kwakuwa ilimhusisha swaiba taarifa ya maandishi ya kutaka kuleta hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu (ibara 53a ya katiba) imewasilishwa rasmi kwa spikana mchana leo hoja ya kutaka azimio la kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu itakabidhiwa kwa spika (kanuni 133(2)(3)) 'taarifa vs hoja' yashaota miziz mjasili haachi asili litaahirishwa leo baada ratiba kukamilia lakini pia kuna baadhi wa wabunge wanataka liitishwe bunge la mda ili hii ngoma ijadiliwe na iishesiju mama makinda kama atakubali kazi deo member hana tena swaga naona invarbrass said ↑ swaga ni mikogo asante sana mkuu kwa kutujuza je wadhani spika ataitendea haki hi taarifa na hoja swaga ni kiswahili cha wapi kwa hiyo unataka kusema wanaweza waka'extend muda spika semamba atawaelewa kweli ni porojo porojo wewe si ndie mama porojo yapaswa umtambue swaga kama mwanao
2018-01-17T18:46:34
https://www.jamiiforums.com/threads/hitimisho-la-bunge-swaga-za-waziri-mkuu-ni-zile-zile.255499/
federer amchakaza del potro michuano ya uswisi mchezaji namba mbili kwa ubora katika tenisi duniani kwa upande wa wanaume roger federer amefanikiwa kumshinda juan martin del potro katika michuano ya ndani ya uswisi ameshinda kwa seti 67 (57) 64 63 huku akionyesha kiwango cha hali ya juu ikiwa ni wiki moja kabla ya michuano ya paris masters ushindi huu unamfanya kupunguza pengo kati yake na mchezaji namba moja duniani rafael nadal federer ameshinda taji lake la nane katika michuano hiyo ya basel likiwa niu la saba kwa mwaka 2017 nyota ndogo afunguka yaliyomkuta muimbaji wa kenya mwanaisha abdallah maarufu kama nyota ndogo amekuwa akiwaacha mashabiki wake na maswali mengi kwa kulalamika muda mwingi kupitia mitandao yake ya kijamii kuwa kuna baadhi ya vitu vimekuwa vikimtesa kwa takribani miaka 17 sasa je unataka kujua ni vitu gani hivyo ambavyo vimekuwa vikimsumbua mrembo huyo kwa muda wote huo kupitia mtandao wa instagram nyota ndogo ameahidi kufunguka kila kitu kwa kuweka wazi jumatano hii mungu nipe ujasiri inshalla kesho hasubui nitawaeleza kila kitu kinachonisumbua mybe hakuna atakae nisaidia couse kila mtu anamatatizo yake but nataka tu mujue nayopitia couse sometimes nakula chakula sio kwakuskia utamu ila unakula ili usikae njaa 1030 nitaanza kuweka voicenot mtanisamehe nisipofanya hivi sijui maisha yangu yatakua yakulia tu na naona basi nafaa kuwacha kulia dereva lewis hamilton anyakua taji la nne la dunia dereva lewis hamilton amefanikiwa kushinda taji la nne la dunia katika michuano ya mexico grand prix licha ya kumaliza akiwa nafasi ya tisa baada kugongana na sebastian vettel mafanikio ya hamilton yanamfanya kuwa dereva wa uingereza kufanikiwa zaidi katika historia akiwa amevunja rekodi ya jackie stewart anaungana na vettel na mfaransa alain prost wenye vikombe vinne aligongana na vettel wakati walipokuwa wakijaribu kupishana katika kona muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma seduce me katika ukurasa wake wa mtandao wa instagram ameandika ujumbe ambao kwa kiasi fulani unahashiria ujio wa ngoma mpya ujumbe huo ambao ulilenga kumpongeza msanii mwenzake abby skillz kwa kufunga ndoa uliishia kwa kudokeza hilo hongera mkongwe nakutakia kheri na mafanikio katika ndoa yako na ngoma mpya inafuata #sapportedbykiba #kingkiba hata hivyo haijaeleweka iwapo ngoma hiyo itakuwa ya abby skillz pekee kwani amekuwa akifanya kazi na alikiba kupitia kings music ikumbukwe wawili hawa walishatoa wimbo pamoja mwaka jana averina ambao mr blue alishirikishwa pia wiki mbili zilizopita katika mahojiano na bongo5 alikiba alisema ngoma yake seduce me ikifikisha views milioni 10 katika mtandao wa youtube atatoa ngoma mpya hadi kufikia sasa ngoma hiyo ina views milioni 61 bravo awaokoa man city mikononi mwa wolves claudio bravo aliwafaa sana manchester city baada ya kuwasaidia kulaza wolves kupitia mikwaju ya penalti katika kombe la carabao na kuwasaidia kufika robofainali bravo alifanya kazi ya ziada kuzuia wasifungwe bao muda wa kawaida wa mechi na aliendeleza hilo kwa kuzuia mikwaju ya alfred n'diaye na conor coady wakati wa matuta ya baada ya mechi baada ya mchezo huo kumalizika kwa sare tasa city walifunga mikwaju yao yote mkwaju wa sergio aguero ukiwa wa ushindi wolves walikuwa ndiyo timu ya kwanza kuwalemea viongozi hao wa ligi ya premia na kuwazuia kufunga msimu huu wolves wamo alama mbili mbele kileleni katika ligi ya championship na walicheza vizuri sana mechi hiyo iliyochezewa etihad wakishangiliwa na mashabiki wao wapatao 6000 kabla ya kufika etihad vijana hao wa nuno espirito santo walikuwa wamefungwa mabao 13 pekee katika michezo 16 msimu wote city watakuwa ugeninit west bromwich albion jumamosi wakilenga kuendeleza ubabe wao ligi ya premia wolves nao watakuwa ugenini kucheza dhidi ya qpr uwanjani loftus road katika ligi ya championship siku hiyo klabu ya simba sc leo imefanikiwa kupata matokeo ya ushindi wa 21 dhidi ya stand united kunako dimba la kambarage mjini shinyanga magoli ya simba sc yamefungwa na shiza kichuya na laudit mavugo huku goli la kufutia machozi la stand united likifungwa na mutasa munashe kwa sasa simba ipo kileleni kwenye msimamo wa ligi kuu vodacom tanzania bara kwa alama 11 ikifuatiwa na mtibwa sugar na azam fc zote zikiwa na alama 11 ikiwa tofauti ni magoli ya kufungwa na kufunga harmorapa adai show za mikoani pasua kichwa harmorapa ameeleza kuwa ukimya wake unasababishwa na biashara anazofanya nje ya muziki pamoja na show zake za mikoani ambazo amekuwa akifanya mara nyingi nipo bize sana na mishe nyingine nje ya muziki namaanisha mimi ni mfanyabiashara so huwa mara nyingi nasafiri mara nyingi huwa napiga tour zangu mikoani na project zangu za muziki zipo kama kawaida amesema ameongeza kuwa kutokana na hilo ni vigumu sana kumkuta dar es salaam kwani anakuwa bize sana johanna konta achapwa tena china open johanna konta amepoteza katika michuano ya china open mbele ya mchezaji nambari 65 duniani monica niculescu amechapwa kwa seti 61 62 mjini beijing konta hajawa na kiwango kizuri tokea kumalizika kwa michuano ya wimbledon ambapo aliondolewa katika hatua ya nusu fainali garbine muguruza simona halep karolina pliskova elina svitolina venus williams na caroline wozniacki tiyari wamejihakikishia nafasi katika hatua zinazofuata kwenye michuano hiyo konta anasema iwapo atapata nafasi ya kuendelea mbele katika michuano yoyote inampasa kujipanga upya ili aweze kukabiliana na wachezaji nguli
2018-01-19T03:29:25
http://safarimedia.co.tz/blog-category/95-sports-entertainments.html?start=24
juu ya hatua za kazi ya mungu | kanisa la mwenyezi mungu kutoka nje inaonekana kwamba hatua za kazi ya mungu katika kipindi hiki tayari zimemalizwa na kwamba wanadamu tayari wamepitia hukumu kuadibu kuangamizwa na usafishaji wa maneno yake na kwamba wamepitia hatua kama vile jaribio la watendaji huduma kusafisha kwa nyakati za kuadibu jaribio la kifo jaribio la foili[b] na nyakati za[a] kumpenda mungu ingawa watu wamepitia mateso makubwa katika kila hatua bado hawajaelewa mapenzi ya mungu kama tu jaribio la watendaji huduma kile ambacho watu walipata kutoka kwa hilo kile walichoelewa kutoka hilo na matokeo gani mungu alitaka kutimiza kupitia kwa hilowatu bado hawaelewi kuhusu masuala haya inaonekana kutokana na mwendo wa kazi ya mungu kwamba kulingana na kiasi cha sasa watu bila shaka hawawezi kuendelea inaweza kuonekana kutoka kwa hili kwamba mungu anafichua kwanza hatua hizi za kazi yake kwa wanadamu na hahitaji kwa lazima kufikia kiwango ambacho watu wanaweza kufikiria katika hatua yoyote lakini anajaribu kutumia hili kufafanua suala ili mungu amkamilishe mtu kuweza kupatwa naye kweli lazima atekeleze hatua zilizoelezwa hapo juu lengo la kufanya kazi hii ni kuwafanya watu waone ni hatua zipi mungu anahitaji kutekeleza ili kulikamilisha kundi la watu kwa hiyo ikiangaliwa kutoka nje hatua za kazi ya mungu zimemalizwa lakini kimsingi ameanza tu rasmi kuwakamilisha wanadamu hili ni jambo ambalo watu wanapaswa kuona kwa dhahirini kwamba hatua za kazi yake zimetimizwa sio kwamba kazi yake imetimizwa lakini kile ambacho watu huamini kutokana na fikira zao ni kwamba hatua za kazi ya mungu zimefichuliwa kwa wanadamu na hilo bila shaka ni kwamba kazi yake imemalizika njia hii ya kuyaona mambo ni mbaya kabisa kazi ya mungu hailingani na fikira za watu ni jibu la mapigo dhidi ya fikira za watu mara kwa mara na hatua za kazi yake hazilingani hasa na fikira za watu hii inaonyesha hekima ya mungu inaweza kuonekana kutoka hili kwamba fikira za watu ni za kuvuruga mara kwa mara na yote ambayo watu wanaweza kuyafikiria ni mambo ambayo mungu anataka kuyalipizia kisasi huu ni utambuzi kutoka kwa uzoefu halisi watu wote hudhani kwamba mungu hufanya kazi haraka sana na wao hudhani kwamba wakiwa bado hawana ufahamu na bado wamepumbazika na kuchanganyikiwa kazi ya mungu humalizika bila ya watu kujua kila hatua ya kazi yake iko hivi watu wengi sana huamini kwamba mungu anawachezea watu lakini kusudi la kazi anayoifanya si hivyo mbinu yake ya kufanya kazi ni kupitia kutafakari kwanza kufanya kazi kutoka kwa kiwango cha jumla halafu kuchunguza kwa utondoti na baada ya hilo kusafisha tondoti hizo kwa ukamilifu hili huwashangaza watu kwa ghafla watu wote hutaka kumdanganya mungu na wao hufikiria kwamba wakiishi tu wataweza kufikia kiwango ambapo wanaweza kumridhisha yeye lakini kwa kweli ingewezekanaje kwa mungu kuweza kuridhishwa kwa ajili ya majaribio ya wanadamu ya kuishi mungu hufanya kazi kupitia kwa mbinu ya kuwashangaza watu kwa ghafla na kuwashtua ili kupata matokeo makubwa zaidi na kuwafanya watu wajue vizuri hekima yake na kuelewa vizuri haki yake uadhama na tabia yake isiyokosewa mungu sasa ameanza rasmi kuwakamilisha watu ili kufanywa kuwa kamili watu lazima wapitie ufunuo hukumu na kuadibu kwa maneno ya mungu na kupitia majaribio na usafishaji wa maneno yake (kama vile jaribio la watendaji huduma) kuongezea watu lazima waweze kustahimili jaribio la kifo yaani mtu ambaye anatekeleza kweli mapenzi ya mungu anaweza kutoa sifa kutoka ndani ya kina cha moyo wake katikati ya hukumu ya mungu kuadibu na majaribio na anaweza kutii mungu kwa ukamilifu na kujitelekeza mwenyewe hivyo kumpenda mungu kwa moyo wa uaminifu nia moja na utakatifu huyo ndiye mtu kamili na pia ni kazi ambayo mungu anataka kufanya na kile ambacho mungu anataka kutimiza watu hawawezi kufanya uamuzi kwa urahisi kuhusu mbinu za mungu za kufanya kazi na wanaweza tu kufuatilia kuingia katika maisha huu ndio msingi usichunguze siku zote mbinu za mungu za kufanya kazi hili litazuia tu matazamio yako ya baadaye ni kiasi gani ulichoona sasa cha mbinu zake za kufanya kazi ni vipi ambavyo umekuwa mtiifu ni kiasi gani ulichopata kutoka kwa kila mbingu ya kufanya kazi je uko radhi kukamilishwa na mungu je uko tayari kuwa mtu mkamilifu haya ni mambo ambayo mnapaswa kuelewa kikamilifu ni mambo ambayo mnapaswa kuingia ndani yake a maandishi ya asili yanaacha nyakati za b mtu/kitu kinachodhihirisha uzuri/ubora wa kingine kwa kuvilinganisha iliyotangulia:maoni wanayopaswa kushikilia waumini inayofuata:mtu mpotovu hawezi kumwakilisha mungu ufalme wa milenia umewasili kutazama kuonekana kwa mungu katika hukumu na kuadibu kwake wimbo wa ufalme kuhusu biblia (3)
2018-05-26T04:21:50
https://sw.godfootsteps.org/on-the-steps-of-god-work.html
dominica wikipedia kamusi elezo huru (elekezwa kutoka dominika) dominica (pia dominika) ni nchi ya kisiwani katika bahari ya karibi haitakiwi kuchanganywa na jamhuri ya dominika ambayo ni nchi nyingine katika karibi kaulimbiu ya taifa après le bondie c'est la ter (kifaransa) (baada ya mungu ni dunia) wimbo wa taifa isle of beauty isle of splendour mji mkuu roseau 15°18′ n 61°23′ w mji mkubwa nchini roseau 3 novemba 1978 750 km² (ya 174) agosti 2016 kadirio 73543 (ya 1951) 105/km² (ya 95) fedha east caribbean dollar (xcd) intaneti tld dm kodi ya simu +1767 1rank based on 2005 un estimate ramani ya dominica nchi ni mwanachama wa jumuiya ya madola lakini ni jamhuri 4 miji jina limetokana na lugha ya kilatini na linamaanisha „jumapili kwa sababu kristoforo kolumbus alifika huko mara ya kwanza siku ya jumapili tarehe 3 novemba 1493 kisiwa kina urefu wa km 464 na upana wa km 256 eneo lake ni km² 746 mlima mkubwa ni volkeno ya morne diablotins yenye kima cha m 1447 juu ya ub kuna misitu mingi na maeneo ya kuhifadhiwa dominica ilikuwa kati ya visiwa vya mwisho katika karibi vilivyotekwa na wazungu kutokana na utetezi mkali wa wenyeji waindio ni pia mahali pa mwisho ambako bado wako wakaribi (3000) waliopotea penginepo kwenye visiwa vya karibi tabia ya kisiwa kuwa na milima mingi ilifanya isionekane ni mahali pazuri pa kilimo ya mashamba makubwa hivyo mataifa yaliyounda makoloni kwa muda mrefu hayakuvutwa kulipa gharama za kupeleka wanajeshi wengi kisiwani waliohitajika kukandamiza waindio hispania iliacha majaribio ya kuteka kisiwa katika karne ya 16 uingereza ilijaribu kuunda utawala wake juu ya kisiwa mwaka 1627 ikaacha mwaka 1635 ufaransa ilipeleka bendera yake dominica lakini ikaacha pia tangu mwaka 1748 uingereza na ufaransa walipatana ya kwamba kisiwa kitakuwa eneo lisilotawaliwa na upande mmoja katika miaka iliyofuata walowezi wachache wafaransa walianzisha mashamba na mji wa roseau baada ya vita ya miaka saba uingereza ulichukua utawala wa kisiwa na kupeleka huko walowezi pamoja na watumwa kutoka afrika waindio walirudishwa polepole katika maeneo ya milimani uhuru ulipatikana tarehe 3 novemba 1978 miji mikubwa zaidi kisiwani ni 1 roseau wakazi 16571 2 portsmouth wakazi 3633 3 marigot wakazi 2669 4 berekua wakazi 2608 5 mahaut wakazi 2369 6 saint joseph wakazi 2184 kwa sasa wakazi 75 wana asili ya afrika na 192 ni machotara lugha rasmi ni kiingereza lakini wengine wanazungumza krioli zinazotegemea kifaransa au kiiingereza upande wa dini 80 ni wakatoliki 1012 ni madhehebu ya kisabato 3 wanafuata dini za jadi je unajua kitu kuhusu dominica kama historia yake biashara taasisi zilizopo watu au utamaduni rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=dominica&oldid=1072806 last edited on 26 julai 2019 at 2324
2019-09-18T13:47:26
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Dominika
free zanzibar people from mkoloni mweusi kama kuna mwanajeshi wa zanzibar congo basi jitayerisheni tena kuzika mwanakwerekwe m23 hawachezi kickboxing wao wanauwa tu kama kuna mwanajeshi wa zanzibar congo basi jitayerisheni tena kuzika mwanakwerekwe m23 hawachezi kickboxing wao wanauwa tu mashirika mpiganaji wa jeshi la ulinzi la wananchi wa tanganyika jwt khatibu mshindo aliuawa kwa kupigwa bomu juzi na kundi la m23 la nchini congo kwenye mji wa goma ulioko mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya congo baada ya kuzuka mapigano makali wakati mshindo ambaye alikuwa miongoni mwa askari wa tanganyika wanaounda jeshi la umoja wa mataifa akifikwa na mauti wapiganaji wengine 10 walijeruhiwa askari wa tanganyika na wale wa afrika kusini wako drc kwa kazi atii ya kulinda amani malawi bado haijapeleka majeshi yake meja mshindo alikuwemo katika kikosi cha vifaru na alikuwa kwenye kambi ya 83kj iliyoko kiluvya dar es salaam kuuawa kwa manajeshi huyo kumekuja ikiwa ni siku 47 tangu kuuawa kwa wanajeshi wanne wa nchi ya tanganyika na wa wili wa nchi ya zanzibar waliokuwa atii wakilinda amani kwenye mji wa darfur sudan na kikundi cha janjaweed msemaji wa jwt meja erick komba alikiri kutokea kifo hicho na kusema jana (juzi) agosti 28 wanajeshi wetu wakiwa katika eneo lao la ulinzi waliangukiwa na bomu katika eneo hilo na kusababisha majeruhi wakati wanapelekwa hospitali kwa matibabu kwa bahati mbaya mwanajeshi wetu mmoja meja khatibu mshindo alifariki dunia majeruhi wengine wanaendelea na matibabu na hali zao zinaendelea vizuri habari zaidi kutoka congo zinaeleza kuwa mwili wa marehemu meja mshindo ulisafirishwa jana kupelekwa entebbe uganda ambako ungefanyiwa matayarisho ya mwisho na tayari kwa kuletwa nchini tanganyika katika hatua nyingine wanajeshi wawili wa umoja wa mataifa mmoja akiwa mtanganyika na mwingine raia wa afrika kusini walijeruhiwa kwa bomu eneo la munigi huko huko congo bomu hilo lilirushwa na kundi la m23 kuelekezwa kwa askari wa umoja wa mataifa waliokuwa wakikagua maeneo mbalimbali karibu na mji wa goma naye katibu mkuu wa umoja wa mataifa (un) ban kimoon amelaani mashambulizi na mauaji hayo ya mwanajeshi huyo wa tanganyika na kusema ninatoa pole kwa tanganyika (watanzania) zanzibari na familia ya mpiganaji huyu na ninalaani kwa nguvu zote mauaji haya na majeruhi kwa walinzi wa amani msemaji wa un alisema majeshi ya un kwa kushirikiana na yale ya serikali yalianzisha mapigano makali dhidi ya kundi la m23 kwenye eneo la kibati kaskazini mwa goma kwenye mji wa kivu ya kaskazini majeshi ya un na fardc yalitumia helikopta vifaru na askari wa miguu kutekeleza mashambulizi hayo yaliyojibiwa na kundi hilo la m23 kwa mujibu wa msemaji huyo mapigano bado yanaendelea je hii ndio kueka amani au wamekwenda kuzidisha vita posted by free zanzibar people from mkoloni mweusi at 444 am mansour yussuf himid asema hatoenda mahakamani mara china mara uholanzi faida gani wanayo ipata r eddy riyami amshanga kumbi shein kuwa wa mwanzo ku kama kuna mwanajeshi wa zanzibar congo basi jitaye hawana kesi ila ni kumtesa tu sheikh mponda issa m nchi ya tanganyika ilifikiri rwanda na kenya ni ka wazanzibari nyote jumamosi musikose mansoor yussuf mansoor yussuf himid afukuzwa na ccm je wazanzibar shein yupo giningi dodoma kumkataroho mansoor yuss mama wa africa ni misri na leo analia na kumwagwa why syria regime is killing babies shein anzisha wizara mpya watu wale bure na kutuin mkuu wa uvccm nchini zanzibar shaka hamdu shaka ap majuwa walivyo kutana kisiwandui kupanga kumtimuwa wamemuwa mzee karumewakamfunga maalim seif sasa w waislamu nchini tanganyika na zanzibar wataka emma only one stand up for us mwana sheria mkuu wa nchi ya zanzibar asema wengi icc the hague is waiting for you general sisi nchini tanganyika ulinzi mkali katika misikiti kar what is the difference between mubarouk and genera shein azinduwa sherehe za kulawitiwa wake za watu nchini tanganyika polisi wamchukuwa sheikh mponda mahakama ya hakimu mkazi ya kisutu yachanganyikiwa this is what realy happens in egypt right now do sheikh mponda aongea kidogo masikini bakwata yajitutumuwa (waziri nchimbi wait taarifa ya kinafiki ya jeshi la polisi nchini tang sheikh yusufu mussa kundecha aipa sharti serekali waziri said ali mbarouk nchini zanzibar na unafiki sheikh mponda apingwa risasi na polisi morogoro nc hutuba ya shein ya siku ya eid el fitri baada ya k tanganyika ni nyani asiye ona kundulee tusimtafute mchawi wa tindi kali bali ni hawa hawa wasichana wawili wa kigereza wamwangiwa tindi kali eid mubarak kwa waislamu wote na wazanzibari wote bora kula mashelisheli na muhogo wa halali kuliko benjamin william mkapa kanzu kofia kava na kuftur tusisahau kumuombea duwa dada yetu kipenzi chetu d viongozi wote wa smz ni wezimajambaziwauwaji asi nchini tanganyika bakwata ni mtetezi wa waislamu a ngao ya viongozi wanafiq nchini zanzibar ni tangan ccm na smz kashindwa firauni mutaweza nyinyi nyauu
2017-11-18T23:04:05
http://free-zanzibar.blogspot.com/2013/08/kama-kuna-mwanajeshi-wa-zanzibar-congo.html
naipenda jumamosi yangu stori bomba ya uhusiano | jamiiforums salamu kwenu wote leo sikukuu tena hakuna kulala usiku/asubuhi hii nipo natoka msondo ngoma inasumuliwa na irene mbowe (inaanzia sehemu ya kwanza na kuendelea fatilia uhondo moto moto jadili hadi uchoke kumekucha shuhuda naipenda jumamosi yangu shikamoo dada irene naomba na mimi nitoe shuhuda yangu juu ya naipenda jumamosi yangu naitwa marino ni mama na mke nina watoto 3 niliolewa mwaka 2009 nina ndoa ya miaka 10 sasa nimeishi ndoa ya mateso na masumango sana kwa muda mrefu nimekuwa nikilia kwa takfibani miaka yote mpaka siku moja mwaka 2015 nilipoambiwa nikufollow nilianza kukufolow na sikuona kitu cha kunisaidia wakati huo nilikuwa nakusoma lakini sikuona kitu cha kumisaidia nafikiri ni kwa sababu moyo wangu ulikuwa na uchungu na majeraha irene unaolewa ukiamini kabisa una mwenza wa ndoa ambaye atakuwa na wewe lakini ajabu ni kwamba unakuwa na adui ndani ya nyumba lakini hata hivyo unajipa moyo kwa ule usemi usemao ukiona kwako kunaungua kwa mwenzako kuna teketea ni usemi ambao najifariji nao lakini kuna uwezekano kwa wezako ndiko kuna ungua kwako kunateketea ninawaza hayo siku zinazidi kusonga bila mafanikio yoyote kila unagejaribu kumwambia juu ya ndoa yako na matatizo anakupa majibu nakumbuka sasa nikaona aliyeniambia msome irene mbowe nimamuona hafai na nikaachana na kusoma ni siku ya jumapili nakutana na mama karisa namuambia juu ya ndoa yangu na kuamwambia juu ya kumsoma irene mbowe mamakarisa anatabasamu kisha anaachia cheko refu na kusema huyo irene mbowe yeye ndoa yake salama ama anaongea kwa kumaanisha sana na ili kunivunja moyo kabisa akaniambiairene mbowe mwenyewe ndoa imemshindaga kitambo ni mfamaji na mume aliye naye sio mumewe ila alichukua mume wa mtu kalava baho bwana aliyenaye ni mume wa mtu ama hujui makungwi wanaongoza kuachika mhnimahisi kama kweli maana mama karisa anaongea kwa kumaanisha na kuonyesha anachokiongea ni kweli nikamuamini sana kutokana na kusisitiza kwake lakini kweli makungwi ni wanawake wa ndoa nyingi lakini kweli makungwi wengi wanaachika na hawana ndoa bila shaka huyu irene naye ni muhanga na ndio maana ndoa ikamshinda nasasa ako na mume mwingine sasa naamini hili na halina ubishi naamua kuachana na kinamkera irene mbowe sasa nafanyajenamhoji mama karisa anisaidie kupata majibu ya ndoa yangu sikia mwanamkeamka usingizini ndoa ili idumuazima ujiongeze kama mume anakunywa bia kunywa whyski kama anakunywa whyski kunywa bia akicheua bia cheua winelazima ndoa iwe nzurii mama karisa anatabasamu na kunitazamahuku anabana nywele zake vyema na kuniambia mimi natoka ni majira ya mchana kuelekea saa tisa namtazama akiwa anatembea kutoka nje nami nasimama kutoka nje kumfuata nabakije ndani kwa mtu dadaaaa mama karisa anaita mshefa akija mwambje na mimi ndo nimetoka yani muda naoingia mwambie mmepishana na mama sawa mama karisa anamaliza kumpatia maelezo msichana wake wa kazi yani house geli mamalakini karisa ana moto na ana jipu mama msichana anatoa maelezo mama karisa bila kujali anasemampe panado moja akiamka kisha ananiambia twende mama namfuata nje na anaongea na simu nikiwa nasikia sema mpenzi ndio nakuja hivyo mama karisa anaongea kimahaba mhhapa anaongea tu na mwanamume anakata simu na kuitisha taksii baada ya muda taksii inafika na ananiambia nisindikize kwa vile sikuwa napa kwenda naamua kumsindikiza haooo mpaka tunafika mjini anaelekezwa mahali pa kukutana tunachukua taksii ingine haoo tunaanza safari kuelekea sakina tunafika sakina kituo cha mafuta tunashuka hapo na baada ya dakika chache inakuja gari ya landcru user zitumikazo kubebea watalii na ndani kuna mwanaume mmoja tunamsalimia kisha mwanaume huyo anamkumbatia mama karisa na kumpiga kibao cha makalio kisha tunapanda haoo tunaondoka tunaingia ndani ndani na kukuta bar moja iko ucho joroni sana tunakuta watu lakini sura ngeni ni bar iliyo changamka sana tunakaa hapo na kuanza kunywa mimi sio mnywaji kabisa huwa naonja tuu nikaagiza savanna yangu nikaanza kunywa wakati nakunywa mama karisa akaniambia wanakuja nikabaki peke yangu ni saa kumi na mbili jioni walikaa hasa sijui walipokuwa lakini nilijua tuu wako sehemu wanadinyana waliporudi dalili zote za kutoka kudinyana niliziona na walikuwa wamejiachia sana nilikuwa natafakari mambo mengi mama karisa anaonekana mwenye raha sana mume wake namfahamu amezaana mwanamke mmoja lakini mama karisa haonekani kusononeka japo anajua ahaaaa anapakuburudisha moyo wake natafakari nikiwa pale kisha simu yangu inaita ni saa moja usiku ni mr anapiga niliitazama nikasema uwiii mama karisa akiwa kalewa akamiambia uwii niniakanipokonya simu na kuizimakisha akaniambia tulia wacha kujitesa yeye kamaliza yake ndo anakutafutakashamalizana nawanawake zake hukoo ndo anakutafuta saaa hizimchana wote mbona asikupigie kama anajali kweli mama karisa alikuwa anaongea kilevi nilikuwa naogopa sana sijazoea kukaa nje usiku nikamuomba simu nipigeakaniambiasikiakama vipi nikuitie taxi nilikuwa naogopa sikuwa na amani tena diaamama karisa alimtazama yule mwanaume na kumuita diaakisha akamwambianaomba tumrush huyu mwanafunzi hapo aende maana ishakuwa msala yule mwanaume akiwa kamkumbatia mama karisa akamwambia diaa nina hamu sana na wewe wacha nimuombe fadhili ampeleke sawa mama karisa aliitika fadhili akaitwa kisha nimaondoka kwa gari ile ya utalii ni saa tatu usiku niliwasha simu yangu na hapo hapo zikaingia msg nyingi sana ni za mrmsg ya m kwanza ilisema nitakuua leo malaya mkubwa wewe baki huko huko msg ingine ikasema wewe malaya unaniximia simu kwangu leo usiingie utakuta mabegi yako nje uko wapi wewe mmbwa mungu wangu nifanyeje moyo ukanipasuka paaaa dereva akaniangalia akasema mamii mbona kama una mashaka sanaaluliza nilianza tuu kulia savanna 5 nilizokunywa zikayeyuka zoote nishushe hapanishusheniliomba kushushwa ni kama nusu km kutoka niliposhushwa mpaka nyumbani nisijue mr ananiona nikkshushwa akajikausha misijue nikawa nakazana ajabu kutembea kama nahisi nipae nikafika nyumbani nikaingia ndani na kuchukua mswaki kwanza itaendelea sehemu ya pili (post #2) reactions sambu money penny tumosa and 5 others nikiwa sina hili wala lilenilisbtuliza mlango wa chumbani unabamizwa kwa nguvumungu wangu nilinisemea baba davis hakuwa na mswalie mtume moja kwa moja alinifuata bafuni na kunivitia njekabla sijakaa sawa nikiwa nashangaa alinirushia mabao ya mfululizohuku akionekana mwenye hasira sana niambie kwa nini ulizima simu na kwa nini hukupokea simu yangu na ulikuwa wapi na ni nani alikuleta akakushusha njiani ni maswali mengi kwa wakati mmoja maswali yote nina majibu yake lakini naanzia wapi kumjibuutaniua bana davisutaniua mume wangu ndio nitakuua umalaya umeanza lini hapo alishachukua mkanda wa suruali na ananichapa nao uwii nakufaunankumiza baba davis nalia kwa nguvu na kafunga mlango wa chumbani nilikuwa napata maumivu sana baba davis nanipiga hivikweli'yeye akirudi saa tisa usiku nani anampigayeye akilala nje nani anampiga nilikuwa nimekaa chini sakafuni nikiwa nawaza nimjibu nini niambie aliyekuleta na kumushusha pale kona ni nani sijaja na mtunilikuwa nimepanda toyo nilimjibu bila kujua aliniona nikamwambia nimepanda toyo na nikaapa kabisa mh aliguna na kuniambiabado sijakupiga utaniambia ukweli leo sasa amua unamtaja aliyekuleta ama unaondoka wacha niondokewacha niondoke alinyanyua mkanda kwa hasira akanichapa nao rwaachu bahati mbaya bakoli ikanivonga puani damu zikaanza kutoka ndipo akaogopa na kuniacha akatoka nje akawasha gari huyoo hapo ni saa sita usiku nilijiangalia kwenye kiyooo nilivyovimbaanimeumia na kuvilia damu hasaa nililia sana wakati huo dada na watoto wamejifungia woote chumbani wako kimya nianzie wapihuyu akirudi anarudijesi atanipiga zaidi niliwaza haraka na nikasema wacha nifuate simu yangu ili nipige kwa mamdogo wangu nilifuata simu yangu na kuchukua kisha nikapiga kwa mamdogo kumwambia naenda kwake maana nimepigwa sana ama la basi aje mamdogo alishtuka maana nilipiga picha madamu yalivyonitapakaaa baada ya lisaa limoja mamdogo alifika kwangu sijui alipata wapi usafiri lakini alitoka bomang'ombe mpaka kimandolu ndani ya lisaa limoja tuuu geti liligongwa na nilishangaa ni mama mdogo mungu wangumama davismbona umeumia hivyonilikuwa nimevimba sana mwili mzima kwa alama za mikanda mamdogo akanibeba na gari aliyokuja nayo hadi hospital kufika huko wakatukataa wakasema mpaka pf3ikabidi nikatae maana sikuwa nataka kesi mamdogo akasema noo lazima maana hutatibiwa mwisho nikakubali nikaandika maelezo tukapata pf3 na kwenda kupata matibabu baada ya kutibiwa nikaambiwa lazima nilale hospital nikalala na mamdogo yuledereva akalala guest huku nyuma baba davis alienda nyumbani akiwa kalewa sana na akalala binti wa kazi aliniambia asbh sana mr akiwa anaelekea kazini alimamatwa na mapolisi kwakosa la akunipigaakapelekwa lokapu akafungiwa huko nikiwa hospital mama mkwe akaniandikia msg na akaniambia umalaya wako ndio unasababisha mwanangu ateseke nilishangaa sana mamaanakuwaje hivyo kwa nini atumie lugha hiyo mapema kiasi kile bila kunipa pole na kutaka kujua kilikoni mume alikamatwa na kuwekwa kituoni bado nilikuwa hospital saa tisa jioni nikaruhusiwa kutoka nikatoka nikapita nyumbani kuchukua nguo na vitu vya muhimu kisha huyoo kwa mama mdogo wakati huo mume yuko polisi anashukiliwa huko alilala lokapu siku tatu bila huruma kabisa mama yake ndiye aliyekuja na akawa akimhudumia na baada ya hapo ikabidi nirudi na kikao kikae ya kwamba tupatane tukapatakana lakini moyoni nina jeraha kubwa sana ni kama nina kidonda ambacho hakijapona kabisa maumivu niliyokuwa nayo hayakuwa ya kawaida mama karisa nilimuelezea kila kitu juu ya kipondo kile alisikitika sana na aliniambia nisijali kila kitu kitakwisha aliniambia nivumilie kwa muda mambo yatakuwa shwari niliporudi safari hii mama karisa akawa rafiki mkubwa na wa karibu sana na akaniambia unashutumiwa kwa kosa ambalo hujafanya mama karisa aliniambia nakosa mapenzi na upendo akaniambia wako wanaume wenye kujua kupenda na kubembeleza mwanamke si kama baba davis ambaye anaroho ya kinyama nikaona ni kweli kwa sababu mama karisa ninaahuhudia jinsi anavyopendwa na yule baba mh nitapata wapi mpenzinawaza baba davis anajidai mjanja sana nitamnyoosha niliwaza akilini anafikiri kuwa na mahusiano lazima kurudi usiku eeee hanijui sasa nitarudi saa kumi jioni na nitakuwa na mpenzi nilianza kutamani kuwa na mpanzi kweli ukitembea na fisi unakuwa fisi siku ile nilipotoka pale bar fadhili alinidrive mpaka kona alikuwa akiniambia ananipenda mh simjui vizuri lakini ni mwanaume ambaye nilitamani sasa kuwa naye mama karisa asijue nawaza nini akilini akaniambiahivi unajua fadhili anakupenda sana hivi unajua nilimwambia umepigwa kwa ajili yake akasikitika sanani vile alisema hatakupigia simu anataka kukuona ana kwa anaunaonaje nikimwambia mkutane sawa kabisa tena mwambie anipigie nilijibu haraka sanana swntensi hiyo nikaisindikiza na maneno ukiona wa nini wenzako wanasema tutakipata lini nilisema kwa hasira mama karisa akacheka ha ha ha ayeya asusa kisha akanigongea kunipa tano alipimaliza kucheka akapiga simu na kumwambia aliyempigia kazi ni kwakoushindwe mwenyewenikajua alikuwa akimpigia fadhili baada ya dakika mbili nilipigiwa simu mama karisa akaitazama simu yangu akaniambiafadhili huyoo pokea nilipokea haloo mwanamke unayeninyima usingizi alisema fadhili maneno hayo yalipenya moyoni vaap nikasikia faraja na burudiko nikaachia tabasamu sema nikajibu huku natabasamu nakupenda sana wewe mwanamke nashukuru mungu kukutana na wewe tangu nikuone ile siku mpaka leo nateseka lakini nafurahia mateso haya kwa sababu ni ya mapenzi tangu nimezaliwa nimegundua sijawahi kuteswa na mapenzi kiasi hiki i love you mamiii nakuoenda wewe ni mtu mzima najua unaelewa nini maana ya kupenda dah maneno hayo yananifanya nakuwa kama mjinga kabisa natabasamu kisha namwambia na weweee ndio mamii namaanisha na hivi leo nimesikia sauti yako ndio kabisaaaa sijui kama nitalala ila napenda ninavyoteseka juu yako fadhili aliendeleakisha akaniambia tena kabla hajakata simu naomba nikuone kama hutajali kisha unijibu kama unanipenda ama la alimaliza kuongea nikamtazama mama karisa ambaye naye alikuwa akinitazama akaniambia enhee sema mwanaume ndo huyo namjua fadhili anajua kupenda sana na ana care ile mbaya mwanaume hasaaa kasemajemama karisa aliniuliza mh niliguna mama karisa akaniambiawaacha weee nikamwambia hivi hana mke mama karisa akacheka sana una nini wewekwani mke ndo niniwewe huna mume kwani unataka ndoa unataka mapenzihata angakuwa nao kumiwhat you need is love full stop hembu kua bwana na wewe mama karisa aliniambia bado nilitamani kujua juu ya fadhili mama karisa acha utani bana fadhili hana mke mama karisa alinitazama sasa hivi akiwa serious kidogo mke anaye na watoto 2 lakini haihusiani na mapenzi yako na yeye unahitaji faraja ya moyo unahitaji mapenzi full stop hata angekuwa na wake sita ni wakwake wewe pata mapenzi urudi ukaleee wanao ama unataka ndoamama karisa akacheka tena mh nikasema na kweli wakati huo huo nikachukua simu yangu na kumpigia fadhili alipokea haraka sana na kuniambia enhesema kimwana nikajiskia rahaa sana sina usemi nikajibu akaniambia nakupenda nikamwambia asantekisha akaniambia enhe poza moyo wangu basi niambie jambo nijiskie na mimi ni mwanaume alisema kisha nikamwambia nakupenda pia asante sana natoka mazoezi sasa hivi naomba nikuambie mahali pa kukutana natamani kukuona mpenzi fadhili aliniambia hivyo uwii mama karisa alinitazama akaniambiahaya mwali kazi ni kwako mimi nikuache take care ushindwe mwenyeww bwana ndo huyo janaume la miraba sita ana kazi nzuri sana ana pesa na anajua mapenzi ukikosa raha tena usinililie alafu tabia ya kila ukikutana na mimi unalia lia ooo ndoa ndoakoma ukikutana na mimi nataka kusikia mambo ya malavi davi sawa bibiupobaiii take care mama karisa aliondoka akaniacha nimeduwaa baada ya li saa fadhili akanipigia simu na kunielekeza pa kumkuta akaniambia anamtuma nadereva kabisa nitembee mpaka mahali kona kisha dereva wake atanichukua hapo nilijivalisha nguo haraka huyooo nikaondoka nilifika aliposema atatuma dereva na kweli nikamkutakisha dereva huyo akaendesha gari mpaka kwenye ileile bar nikafika akanikumbatia kama mtu ambaye tulishaonana nilikuwa nahofu sana akaniambia unaonekana unaogopa sana tuhame hapa tuhamie ndanindio nilijibu wakati huo dakika chache simu yangu ikaitani mr alikuwa anapiga moyo ukapasuka paaa fadhili akanitazama na kuniambia maskiniutakufahuyu mwanaume anakufanyaga ninihembu usipokee hiyo simu wacha iite mpaka izime usipokeee sitaki kabisa kuona unakosa raha sikia mamii ukitaka kula nguruwe chagua aliyenona hivi diaa unajua na mimi nina mke ila kwako moyo wangu umefikasi unaona simu yangu nimeweka kabisa silencernataka kufaidi penzi lako sasa sikia kama unataka tufaidiane hawa wenzetu wakae pembeni sawaili sisi tufurahie mapenzi sawa eee usijali nitakufunindisha kila kitu usiogope bado akili yangu ilikuwa kwenye simu ya mr fadhili aliniambia nakupenda dia naona huyo hitla wako anakukosesha raha unaonaje nimuite dereva akurudishe kwanza kisha tutaonana ukiwa umetulia moyoni nikasema mh mara nimkose fadhili itakuwajenikajiambia liwalo na liwe wacha ni kubali tuu nikachukua simu nikaandika niko salon basi nikatuma msgfadhili akaniangalia akasema asante kunipenda unadanganya kwa ajili yangu sitakuangusha nitakupa mapenzi kuonyesha najali na unaniheshimu jiandae kupendwa dah ni kweli ni mama wa miaka 29 wakati huo sijawahi kukutana na aina hii ya mwanaume tangu nikishangaa sana akili yangu ikaniambia kweli penye wajenzi hakuna miti mke wake yuko wapi mume anachepuka fadhili aliagiza chakula na akanilisha kwa kunihurumia sana na majeraha yangu maana bado nilikuwa na makovu mwilini alisikitika sana kuona nilivyovilia damu tulikula tukamaliza kisha akaniambia sitaki upigwe tena nenda mamii nakupenda akinikumbatia kwenye likifua lake la haja kama dakika tano hivi huku ananiambia ananipenda sana mimi ni mrembo sana na atahakikisha thamani yangu ya kike inarejea mamiinataka ujue wewe ni wa thamani nitakupenda mpaka ujue thamani ya kike maishani nataka nikupende ukiwa unatembea kila anayekuona ajue unapendeka nataka nikupende mpaka mumeo ajue unapendwa ila asijue ni nani anakupenda take carenakupenda nilijikuta nalia sana akanibembeleza na kuniambia nyamaza am here for you diaaatukaagana nikawa nasimama kuondoka nikapiga hatua kama tano hivi akaniita mamiimamii nikageuka akaniambia nisubiri akatembea haraka kunifikia akanikumbatia kulikuwa na walevi wengine hapo wanakunywa pombe zao wakatuona wakapiga keleleweweeee weeenikaogopa sana akaniambia usijali washkaji hawa kisha akaniambia naomba nikupe pesa naomba tuuu nikamwambia noooakaniambia naomba nikupe akaingiza mkono kwa suruali akatoa walet yake akahesabu noti za elfu kumi kumi kama noti kumi na tatu akanipa akaniambia bai nikamwambia asante huyooo nikaenda home nukafika home saa tisa mchana nikajisemea moyoni waooo this is love jamani mwanaume yule uwiii nikachukua simu yangu nikampigia kumuambia nimefika home salama akaniambia where is hitlanikacheka nikamwambia hajafika bado akaniambia poatake good care of ur self nikatamani kumsimulia mtu juu ya mapenzi niluyopatamapenzi ya maneno nikaona isiwe taabu nikampigia mama karisa akapokea nikasimulia kuanzia a to z akaniambia waoo bora shoga angu nawewe upate raha maana dah ungekufa na kihoro huyo ndo fadhili mamiii mwanaume yule hajawahi kupata mapenzi na anajua kupenda sasa zubaa uliwe na wewe changamka mpende mpendane all the best mamii kama una raha na mimi nina raha ukifurahi ndo raha yangu itaendelea sehemu ya tatu (post #6) reactions nuhu39 bite1999 money penny and 6 others coco babe nipo nasubiri muendelezo nampendaga irene mbowe ana mafundisho ya kujenga sana reactions ningendako stable woman mis powers and 5 others sana sanaaaaaaa reactions ichiiza and shunie ndo siku ya kwanza naanza kujifunza uchepukaji swali langu ni je mke wa fadhili yuko wapiwanaishije najihoji maswali mengi tangu niingie ndoani kamwe sijawahi kuchepuka ama kwa hakika ndoa huharibu tabia za wanawake hivi mume wangu angenipenda haya yangetoka wapipotelea mbali atajijua na huu ni mwanzo tuunilijikuta namkumbuka tena fadhili na sasa nikampigia simu kuongea naye akapokea na kucheka sana akaniuliza jamaa yako hayuko hapo karibunikamjibu hayupo akaniambia sema mamii nikamwambia sina usemi nimekumiss tuu akaniambia nakupenda kama vipi kesho tuonane nikitoka mazoezi tuonane mapema mh nikamwambia sawa kabisa basi tukaagana baada ya muda mr akaja mr nilimwambia nilienda salon aliporudi akanitazama na kuniambia mbona hujaenda salon na ulisema ukosalonnikamwambia nikiahirisha baada ya simu yako akanitazama akaguna huo umalaya unaojifunzia uzeeni utakugharimu usisahau condom usije ukafa mr akaniambia dah nikasema ni nini hii lakinimaneno gani haya sikia mama davis unaonekana kabisa kuna tabia umeanza sitaki mada kesi hao mabwana zako kuwa nao makini nisije kata shingo yako ama ya mwanaume hapa mjini ohoooo haya baba davis aliongea kwa hasira lakini kwa vituo sikujali japo nilikuwa naogopa nikihofia kipigo hembu hiyo simu yakobaba davis alisema nilichukua simu na kumpatia wakati huo nilishafuta calls zoote za fadhili akaangalia kisha akanirudishia simu sikiamji wa arusha mdogo sana kwa vile umeamua kufanya ufuskanikuombe kuwq makini sitatamani kukuaibisha alirudia tena nilikuwa tu kimya nikajiuliza kukikoniamejua amaamehisi ama mwisho nikasema potelea mbali aniache nikaandaa chakula akasema hatakula na akahama chumbani akawa analala chumba cha wageni mh lakini nikasema sawa uamuxi ni wa kwake mume wangu ni mbabe sana na siku zote za maisha yetu tumekuwa ni watu ambao hautuwezi kukaa pamoja na kujadili jambo yani akiamua ameamua hakupi uhuru wa kuchangia mada wala kkutoa wazo ninamfahamu hivyo hata hapa namuulizaje juu ya kuhama chumba niliamua kumuacha tu nakumbuka siku za nyuma sana aliwahi kuwa na mahusiano na msichana mmoja ambaye alikuwa ni mwanachuo alikuwa anasoma chuo cha uhasibu niliumia sana kipindi hicho nilipojaribu kumuuliza kulikoni baada ya kuona ticketi mbili xa ndege za kusafiria yakweke na ya huyo dada anaitwa herieth nilipomuuliza alinigombeza sana na kunitukana sana na aliniambia sitamuona nyumbani kwa sababu ana mdomo mpaka siku nikiacha mdomo ndipo nimuambie aje nyumbani kweli alihama nyumbani kama miezxi miwili hivi nikajua kabisa anaishina huyo msichana mpaka badae yule msichana alipomaliza chuo na kuondoka ndipo mahusiano yao yakafa hata hivyo nilipoona kahama nilianza kujibaraguza na kumuambia sitamsemesha tena arudi tu tena anisamehe hivyo nimekuwa nikiteseka sana ndoani hata kumuonya sikuwa nathubutu maisha yakawa hivyo sasa leo naanzaje kujadili mada ya kuhama chumba yamkini ana mwanamke wake ndio maana kahama lakini na mimi nikasema potelea mbali maadamu na mimi niko na fadhili basi wacha ngoma iwe droo akidhani kanisusia mimi nakusanya nguvu na mapenzi ya fadhili na sasa nikaamua kabisa wiki hii ni mapenzi moto moto na fadhili na hivi mama karisa kashaniambia niache uzoba basin a mimi nikasema liwalo na liwe asbh nilijiandaa na kwenda kazini nilifika kazini na kufanya kazi haraka haraka ama kweli penzi kitovu cha uzembe nikasema kwa nini nisiombe ruhusa naenda hata hospital ili nikaonane na fadhili ni mida ya saa nne asbh nilianza kuongea na wenzangu kwamba najisikia vibaya na hivi karibu staff nzxima walikwua wanajua nimepigwa walinihurumia na kuniambia nenda tu mamii nilichukua pochi yangu nikaondoka na kuelekea kwenye mgahawa ambapo nilikaa hapo na kuanza kupiga simu nilipiga simu ya fadhili na haikupokelewa niliipiga sana kama dakika kumi hivi bila majibu nikaamua kuagiza supu nikawa nakunywa badae nilisikia simu inaita niliitoa kwenye pochi na kuitazama ni fadhili anapiga nilitabasamu kwanza kabla ya kuipokea kisha nikapokea haloo haloo diaaa upande wa pili uliita ni fadhili aliyekuwa anaonga sijambo wewe mzima nilimuuliza ndio mimi mzima kabisa alinijibu kisha akaniambia samahani sikuona simu yako nilikuwa busy na shughuli za hapa na pale pole sana nilmjibu asante akaitika niambie mamsapu aliniambia nilimwambia nimekumiss tu niko nimekaa mahali nikaona nikupigie ha ha ha alicheka na kuniambia wewe mwanamke unataka kuniua eeee niko kazini kunashughuli nazifanya hapa kisha nitatoka saa nane alafu baada ya hapo nitapitia mazoezini nitatoka saa 12 ulikuwa unasemaje mamii mh niliona ratiba yake ilivyokuwa imejaa sijui hata anafanya kazi wapi kazi ya kutoka saa nane ni kazi gani hiyo nilijihoji kisha nikakosa jibu nikanyamaza nilikuwa nimekumiss tu nimepata nafasi kazini nikasema nikupigie nikidhani uko na muda ili tuonane dah alisema kisha akawa kama anataka kusema kitu kwa sekunde kadhaa ammmmm ammm ngoja kidogo subiri hapo hapo nikujibu fadhili alikuwa anaongea na mtu mwingine na nikawa nasikia imrani hembu niambie ile oda ya mr makambi imeshashughulikiwa aliongea hivyo kisha nikasikia tena akisema od azote za jana na juzi zimekamilika invoice ziko tayari alipokuwa anaongea hivyo alinirudia na kuniambia mamii naomba tukutane saa saba nitamtuma dereva aje akuchukue unielekeze utakapokuwa nilimwambia nitakuwa salon nikitengeneza kucha alimaliza kisha na mimi nikapumuakwa sababu ukweli nilihitaji faraja na sikutaka kujali inatoka wapi kikubwa ni faraja na leo nilipanga nitakuwa na maongezi na fadhili ya kina maongezi ambayo yatanipa kumjua yeye vyema historia yake na familia yake lakini pia swala la afya yake nilipomaliza kunywa mtori sikuona sababu ya kurudi kazini kwa sababu nilishaaga na niliamua kuelekea salon nilifika salon na kuamua kutengeneza kucha za mikononi na miguuni saa saba kamili on dot fadhili alinipigia simu na kuniambia mamii dogo (akimaanisha dereva) atakuja kukuchukua hapo salon sawa niliitika na baada ya dakika chache sana dogo alifika na kunichukua alinisalimia dogo ni dereva wake ni kijana mwenye lafudhi ya kisambaa bila shaka ni msambaa huyu kijana mweusi na mfupi alinisalimia shikamoo sister niliitika kisha nikapanda kwenye gari na kuelekea alipoambiwa annipeleke nilijua ni kule kule kwa siku zote lakini sasa sio huko niliona kabisa dogo akiendesha kuelekea sehemu ingine kabisa ni nje kidogo ya mji nilishangaaa tuliendesha kwa dakika kama 30 hivi ni zaidi ya km 20 kama sio 30 aliendelea kuendesha na sehemu hiyo ilikuwa ni sehemu ambayo hakuna makazi mengi ya watu nilikuwa nikiona nyumba mbali mbali sana na baada ya dakika chache sana tukawa tumefikaa ni eneo zuri na llina jengo jipya sana dogo aliniambia hapa ni kwenye mradi wa bro ni hotel anajenga hii ni hotel ni sehemu nzuri sana na jengo lake kubwa sana lakini bado halijamalizika tulikuwa walinzi na wafanyakazi wengine wakiwa wanajenga na kufanya usafi na kuotesha miti na maua nilipelekwa moja kwa moja kwenye moja ya nyumba ndogo iliyopo ndani ya eneo hilo hilo nyumba hii ilikuwa imemalizka vizuri kabisa ni nyumba ambayo inazo mpaka na feniture dogo aliniambia nakuacha hapa bro anakuja sasa hivi nilikuwa naogopa hapana dogo usiniache peke yangu ngoja mpaka fadhili aje niliogopa kwa sababu ni sehemu ambayo ni ngeni kwangu lakini pia ni mbali sana niliogopa usiogope sister wakati tunaendelea kujadili mara geti kubwa na honi zilikuwa zikipigwa sana na dogo akaniambia broo huyo dogo alitoka kwenda kumpokea bro na kuniacha ndani fadhili alifika na akawa anazunguka hku na huko kama nusu saa hivi huku akitoa maelekezo na alikuwa kama akilipa watu pesa na baada ya hapo alikuja pole mamsapu alinikumbatia na kunibusu na kuniambia pole nimechelewa umeogopa eeee aliuliza ndio nimbali sana huku alitabasamu akasema yes panafaa sana kupumzika huko nimejenga hapa kwa ajili ya mapumziko ni lodge hii imenila sana pesa na kunisumbua sana akili iishe tu alisema fadhili alionekana kweli kama ambaye amechoshwa na jambo hapa kitakachonisumbua ni umeme ninapata taabu sana na umeme yani nikipata umeme hapa nitafungua hii lodge rasmi mwaka kesho ninataka kuifungua mwakani lakini umeme utanichelewesha naomba nikuzungushe uone lodge ya mpenzi wako alisema h ivyo kisha akanikumbatia na kunibusu na kuzungusha mkono wake kiunoni na kuchukua wangu na kuuxungusha kiunoni mwake na kuniambia usiogope mimi ndiye mpenzi wako mwanaume wako niliiyeumbwa kwa ajili yako usiogope alinishhika kwa ujasiri sana nikajiuliza jamani huyu kaka ana mapenzi sana sijawahi kupendwa hivyo muda mrefu sana mwanaume ambaye ni handsome ambaye anautunza mwili wake kwa mazoezi anaonekana mwenye pesa anaonekana mwenye mapenzi dah kuna wanawake wana bahati duniani sana nilitamani kumjua mke wake saa tulitoka nje na kuanza kutembea na kuanza kunielekeza na kuniambia kila eneo ni sehemu ya nini na nini ni jingo la gorofa 4 kila floor ina room 8 room nzuri sana ambazo zimeshamalizika bado finishing kidogo sana baada ya hapo akaniambia hapa ni ukumbi mdogo wa mikutano utachukua watu 100 mpaka 15 tu na lodge yetu (akasema lodge yetu as if nahusika sanaa wanaume jamani na mimi likichwa linafura kabisa) lodge yetu itachukua wateja wa kulala 60 tu kama itakakuwa imejaa nataka ya wateja wachache ili wapate huduma amaizing ahaaa utaitaje nilimuuliza alitabasamu akaniambia niambie mpenzi niipe jina gani nilicheka na kumwambia sina jina mbona akaniangalia akaniambia nitaiita bembea lodge ama ulitaka niiiteje mamii hapana jina zuri sana aliniambia na hapa ndipo nitajenga swimming pool na wataanza wiki ijayo kuijenga kisha baada ya hapo akanipeleka kwenye jingo kubwa ambalo ni kama stoor aliita amiri amiri alikuja akiwa anakimbia na akafika na funguo alifungua mlango na tukaingia ndani dah nilishangaa kuona feniture nzuri sana na nyingi mnoooo na mabox ya tv akaniambia mamii si unaona hivi vyoote ni vifaa na feniture za lodge yetu nilishanunua kila kitu ila kufunga tu sasa ndiyo bado kwa sababu umeme ndio tatizo tulimaliza na kuzunguka kila eneo na tukarudi kwenye ile nyumba nzuri sana ambao ina room 3 za kulala sebule dining hall jikoni na stoor nilikaa sebuleni ambapo kulikuwa na feniture zoote aliniambia mamii nikupikie nilicheka alifungua friji na kutoa sausage pakiti nxzima na kuzichemsha kwenye jiko la gesi kisha akatoa box la juice kwenye friji akaleta na glass mbili na kuweka mezani na kutoa chupa ya maji ya kilimanjaro akaweka mezani pia tukaanza kula alinikaribisha dah nilishangaa sana fadhili samahani ninaweza kukuuliza swali ndio mamii niulize tu aliniambia akionyesha kuwa na shauku ya kutaka kujua namuulixa nini itaendelea sehemu ya nne (post #7) reactions mlekwajh tumosa ram and 4 others nilitamani sana kumjua vyema fadhili ni mwanaume kijanakama anazidi miaka 35 ni bahati lakini anawezaje kumiliki lodge kubwa kiasi hikilakini mke wake yupo wapimbona hii nyumba nzuri hivi haiishi mtutena nilipokuwa nakagua haraka haraka sioni kama ni nyumba ambayo mwanamke anaweza kuwepo hapo si pachafu lakini hapana usafi wa kuonyesha mwanamke yupo hapo nilimtazama fadhili usoni nikamwambia navutiwa na wewe sana aliniambia karibu kisha akanishika mkono na kunitembez taratibu hadi kqenye balcon kwa nnje hapo kuna viti viwili tukakaa na meza nzuri tuu akaniambia you know what mamiihii ni maneja house hapa atakaa meneja wa lodgeyetu ahaaanikajibu aliniambia nina hamu sana na unachotaka kuniuliza enhe endelea mama yangu aliniambia kisha nikakohoa kidogo kama ninayetengeneza sauti kisha nikamwambia kama nitakuwa navuka mipaka nisameheila natamani sana kujua juu ya familia yako akinitazama na kuniambia unataka kujua nini hasa mama yangualiongea kwa upole sanakisha akaniambiaunafikiri nikikuambia huajiskia vibaya hapanasitajiskia vibayaniambie tuu okay alichukua simu yake na baada ya hapo akaifungua na kunipatia akaniambia angalia hizi picha hapa nakuja alisimama na kuelekea ndani kisha akarudi na glasi mkono wa kushoto na mkono wa kulia kashikilia chupa ya pombe kalinijackdaniel hiyo nikumiminie kidogo mama ops sorry unatumia dawa bado eee ngoja nije just a momentwacha nikuletee vitu laini kama wewe aliondoka na kurudi tena na chupa ya soda ya fanta na glass kisha akanimimini na kunipatia na sasa hivi hakukaa kwenye kiti bali alikaa chini kabisa na kukunja miguu yake kama anayekula pilau la idi kisha akanitazama akaniambia umeona hizo picha eee huyo ni mke wangu na hao ni watoto wetu nina watoto 4 na huyo ndo mke wangu enhekingine mama aliniuliza sikuwa na haraka niliona picha nzuri sana za mwabamke mrembo sana yani mwanamke mzuri mimi ni mwnamke natumezoea mwanaume akichepuka ana mke hohe hahe lakini sio kwa mwanamke huyo niliyemuona kwa simu ni mrembo hasa na watoto wazuri wenye furaha kidogo nikama napoteza pozi maana mke mke hasa sasa kakosa nini huyu mwanaumw jamaniakili kama zinarudi fulani hivi mamii mbona kama hujaniuliz kitu kingine ni nini mama hapana asante una mke mzuri sana nilimwambia asante ila hakufikii hata kodogo wewe mzuri sana napenda umbo lakorangi yakosura yako na sasa nina raha kwa sababu nategemea na penzi lako nilipendefadhili aliniambia na kisha akasimama na kuniambia mamii muda muda nikitazama simu yangu ni saa kumi nanusu jioni akaniambia dah yani wewe mwanamke ninavyopenda mazoezi lakini naacha kwa ajili yako dah nakupenda sana aliniambia enhe niambie lini utakuwa na nafasi ya siku nzima nataka kukaa nawewe siku nxima unipikieunilisheuniogeshe niambie lini mamiii nilitabasamu nikamwambia hata kesho akacheka akaniambia serious yes i mean it nilimkahkikishia ninachokisema nakimaanisha basi sawa kabisa basi naomba nikuwahishe mama yangu alafu kesho saa nne tukutane hapa kwa raha zetu akitabasamu na kuninyanyua kisha tukatoka kuelekea kwenye gari akaniambia niendeshe mpaka pale njia panda kisha dogo aje kukupick pale sijui kuendesha gari nilimjibu whatyes sijui kuendesha gari nilirudia tena aiseee mwanamke mzuri hivi hujui kuendesha gariwhy nilitabasamu na kusema wacha nichomekeeee nikamwambia mwalimu natoa wapi pesa ya gari akanitazama akatabasamu kisha akasema hembu ngoja akashika simu yake akabonyeza bonyeza na kuniambia nikikupa gari utasemaje kwa hitla wako nilinyamaza dakika moja tu na kumwambia nitamwambia nimekopa uwii nitafurahi sana sanaakaniambia basi anza shuleila noooo nitakufundisha mwenyewe nitakufundisha peke yangu nakupenda sana wewe mwanamke nilikuwa nakung'atia tu meno tulifika njia panda dogo alinichukua na kunipeleka mpaka anaponishusha siku zootenilishuka na kutembea na mguu hadi nyumbani nilifika nyumbani mr alikuwa hajafika bado niliandaa chakula na baadae nikala na watoto na kwenda kitandani nilikuwa nogopa sana kupiga simu kwa fadhili kwani nikiogopa mke wake lakini pia niliogopa baba davis asije akafumania msg ataniua hivyo sikuwa na tabia ya kuandika msg lakini nikaona wacha nimsimulie mama karisa saa nne nikaanza kuongea na mama karisa nikampa umbea woote akacheka sana na kuniambia bado utafurahi sana namjua fadhili ni alwatani wa mapenzi pale umefika mamii shida ya ndoa yako imeisha na ndio sasa usiache kumjali mumeo mimi nimeishi na mpenzi wangu mwaka wa saba huu na mr hajui kabisa kazi ni kwako sawa mamiii sawa mrs fadhili kisha akaachia cheko ha ha ha hongera nyonda alisema hivyo na tukaagana dah kupendwa raha sana saa nane mr hajafika saa tisa mara asbh hii hapa hajafika nikachukia sana nikajiandaa na kuelekea kazini lakini lengo ni ifike saa nne tukakutane na fadhili tukikubaliana saa nne nilimpigia simu nikaanza kulia nikimuelezea juu ya mr kutorudi kwake nyumbani sikia mamiiusiwe unaniambia mambo ya huyo bedui kabisa ninaweza kumfanya kitu mbaya please sitaki kusikia anakutesa kabisa pole ndio maana nipo mimi kuhakisha usalama wako na ni kwa vile naogopa tuu kukuambia uachane naye maana sijajua unamaagano gani na yeyeila sio mwanaume huyo sio kabisa aliniambia naomba nije kukuchukua sawa niliitikia hapo nilikuwa nalia sana moyo umejaa uchungu na hasira za hali ya juu saa nne aliniambia nimkute mahali nilifika na atukaondoka akinihurumia sana na akaniambia nakuonya mpenzi wangu sitaki kusikia juu ya huyo mwanaume akikufanyia unyanyasaji sawa mama nataka ukikutana na mimi tuongee maisha ya raha tuuuu ufurahie maisha sawa mama usilie kabisa uko na real man sawa mpenzi nyamaza nilijifuta machozi nikasema jamani mwanaume ndio huyu sasa aliniambia nataka tuongie supermarket tununue chakula enhe mamsapunitume sasa niambie chakula gani unataka nikanunue samakikuku na kingine nilitabasamu nikamwambia sawa kabisa na beef filet usisahau aliingia supermarket akatoka na mazaga zaga kibao haoo tukaanza safari ya kuelekea bembea lodge bado ninatafakarihuyo mke ana kasoro gani jamanihuyo mke mbona haonekani kuwa karibu na huyu mwanaume any way atajijua hata mimi nimekwapuliwa wangu atajijua wacha nivute raha zanguhaoo tuliendesha mpaka tukafika tukaingia ndani ya mjengo alitoa mfuko ambao ulikuwa na nguo akaniambia mami najua unahofu huo mfuko una khangana nguo zingine nimekununulia zawadi nilitabasamu mh nikaguna nilichukua na kuangalia kulikuwa na nguo blauzi mbili nzuri na khanga mpya pair 2 na nguo za ndani huyu mwanaume ni wa aina ganihuyu baba jamani katoka wapinilitafakari haraka mbona upendo uliokithiri huuu jamanidah aliniambia you can change mamii chumba hicho hapo jiskie huru kabisa na yeye alingia ndani na kuvua nguo alizokuwa kavalia na shati la kadeti ambalo lilikuwa ni uniform ya kazini na kuvaa singland na kaptula sasa nikaqeza kuona mwili wake barabara ukivyogawanyika akaniambia go and changejiskie huru mama yangu nami nikaingia ndani na kubadilisha nguo khanga moja mamii kazi kweli kweli akijisemea nilitabasamu na kutoka nami nimebadilisha nguo e waaaa sasa unaonekana mwanamke wa fadhili sasa look at you mamii mwanamke hasa hivi wanaume wengine wakojemwanamke kama wewe ni adimu sana kuparikana duniani humu dah aisee umeumbika hasaa mama ingia jikoni sasa mhudumie mume wako kisha nina wageni wangu watakuja kula lunch sawa mamii moyo ukafanya paaaa wageni tena ndio usiigope uko kwenye mikono salama usiogope kabisa nitakulinda nataka penzi letu lidumu milele nilijiuliza ni wageni gani nikiingia jikoni na kuanza kupika nilipika wali na samaki na njegere kisha tukatengeneza juice baadaa ya hapo nikaandaa mezani akaniambia kaaa hapa mamii upumzike sema nikupatie kinywaji ganinikamwambia nitakunywa juiceok yeye akachukua tena pombe yake na kujimiminia na kuanza kunywa muda mwingi alikuwa akiwasiliana na simu za kazini akitoa maelekezo kwa wafanyakazi lakini sikuona wala kusikia hata simu moja akiwasilina na mke wake kuna mwanaume natamani sana akuone na mimi najua hataamini na aliniapia siwezi kukupata sasa nataka aje aone kabisa uko na mimi akicheka akagonga na mimi kisha akaniambia hao wanakujanilimuuliza ni kina nani na hakusema dah nilikuwa dirishani nachungulia wakati yeye katoka kwenda kuwapokea nilicheka kuona ni mama karisa na mchepuko wake nilicheka sana wliingia nikasalimiana nao na story zikaanza na tukala japo mama karisa akionekana hana raha kabisa sasa sijui shida ilikuwa wapi lakini akionekana sio yule nilimuuliza na akaniambia hana neno kabisa tulikula wakunywa wakanywa wakulala wakalala na baada ya kupumzika tuliamka na kujiandaa kuondoka mungu wangunimezini kwa mara ya kwanza tangu niolewe niliwaza sana akilini sikuwa na furaha hata kidogo moyoni nilisikia majuto lakini najikaza tuuu fadhili aliniona sina raha nina uhakika alijua kabisa nimepata hofu lakini pia aliniambia nisiogope ni mwanzo nitazoea tuu uwiii sikuamini kabisa kama inawezekana mimi siku moja kuzini nilipata mawazo sana utazoeusiogope mamii fadhili alisisitiza nimezini bila kupima afya lakini fadhili he ia health ilikuwaje hata nikakubali mimi sijui mbwembwe zake ndizo zilinifanya nikajikuta nakubaliana naye tena kwa hiyari kabisa bila kulazimishwa baada ya hapo tuliondoka na sasa nikiondoka na mama karisa haoo mpaka nyumbani kwangu njiani tuliongea mambo mengi sana ya maisha na ya ndoa na aliniashusha nyumbani kisha akaondoka zake akaniacha niliingia ndani ni saa mbili kasoro na mr hajarudi na hatuwasiliani kabisa na simunilisema na mimi sitampigia moyo wangu ukawa unaniuma sana hivi kumbe hata ukipata mchepuko bado mume akikosea unaumia ee nilijiambia nimepata mwanaumeanayenipenda sana anayenipa pesa na mapenzilakini mbona bado naumia juu ya mume wanguhuyu baba davis jamani mbona harudi nyumbani'nilikuwa najiuliza alipo niliumia sana nikajikaza tuu asbh niliamka na kujiandaa kwenda kazini siku mbili sijaenda kazini nilifika kazini nikafanya kazi zangu lakini akili ikiwa inazunguka upande huu unawaza penzi jipya upande huu inawaza kutendwa na mume niliumia sana nikiwa ofcnfadhili sio mwanaume wa msg wala kupiga simu kama hutampigia na makubaliano yetu ilikuwa ni kukutana tu kwenye mjengo wakebembea lodge nikajiuliza mbona mke wakw hajinikajua lazima atakuwa aiza ni mwanamke ambaye ni mzembe ama la mume anaweza kuwa hataki mke ajue vitu vyake lakini kwenye picha mwanamke anaonekana ni mjanja na mshapu any way watajijua nikikumbuka fadhili aliniahidi gari nikasema hivi kweli alimaanisha ama ni feki feki tuu nitamkumbusha nimeshaanza kumzoeanatamani hata nionane naye tena ni mwanaume wa kunifaaa jioni inafika na sijaongea na fadhili wala kuonana naye niliamua kumpigia simu nilipiga mara kwa kwanza ikakatwa nikapiga tena ikakatwanikapiga tena ikakatwa badae akaniambia am home honey pleasw dont call nikaelewa ila nili mmisi nikatamani hata angenisalimia baada ya nusu saa nikaona ya nini nitesekenikamuandikia msg kwamba ninampenda na nina mmisi hakujibu msg na nikaamua kupiga simu nilipiga simu yake na alikata na akazima kabisa niliumia sana kwa nini anizimie simu nilitamani pakuche ili niongee naye siku zikasongasijaonana nayenikimuuliza mama karisa ananiambia he ia busy mbona hajaniambia mama karisa akaniambia mwanamke naona unataka ndoa wewe huyo mume wa mtu mama tulizana nilikuwa nammisi hasabaada ya siku kama nne hivi akapiga simu na kuniambia tukutane bembea lodge kama kawaida yani ilikuwa ni siku ya jumapili wala sikujali na mr alikuwepo lakini sikujali nilivyo mmiss fadhili naachaje kwenda mr alikuwepo nikamwambia naenda salon akanijibu drysikujali huyooo nikaking'oa hadi mahali pa kukutania nikafika tukakutana na fadhili nikapanda gari haooo mpaka maskani tukikunywatukalatukalala tukaamka nilikunywa sana pombe kwa sababu nilikuwa nastress za kutosha mpaka saa moja ndio nashtuka nakurupuka na kuanza kujiandaaa niliangalia simu ya mr ina missed call kama 20 hivi kapiga mpka kashaa anajua salon ambayo huwa naenda kila siku bila shaka alienda hapo maana dada wa salon aliniandikia msg na kusema mr wako kaja hapa tumjibuje maana atarudi akiandika kama msg 10 lakini sikuona maana nilikuwa chumbani na fadhili niliogopasana fadhili alikuwa kalewa sana alikunywa sana hii siku nikamuomba anipeleke akaniambia nimuite dogo dogo akaniambia yuko mbali sana hatafika kwa wakati nilijiskia kulia fadhili alikuwa kweli kachoka sanaa nilichukua simu nikampigia mtu wa taksii nikamuelekeza na baada ya dakika kama 50 hivi akafika nilichukia sana lakini sikuwa na namna nilipofika home mr alikuwa ndani akanitazama na kuniambiamama davis unanitafutia mada umetoka wapikwa vile nilikuwa na woga nikasingizia vikoba anajua napenda vikoba aliniambia bahati yako leo nimelala vizuri ila naomba tabia za kuja kwangu usiku sitaki kabisa sawa mume wangu niliitikia kisha nikamkaribisha mezani akaniambia kashiba mh niliguna tuu nikitamani kujua fadhili anaendeleaje maana nilimuacha akiwa kalewa na kalala nilipiga simu kuona kma atapokea iliita sana bila mafanikionikaandika msgvipi diaa uko poa naomba ukipata msg nipigie itaendelea sehemu ya tano (post #13) reactions mgosani zwenge ndaba tumosa and 5 others hii kitu fanya ushushe sehemu inayofuata maana akina fadhili tupo wengi humu ila nimecheka nasubiri utueleze reactions lhera and shunie team fadhil reactions mdoghosho and cocochanel reactions mtzmweusi and cocochanel ngoja hawa viberiti waje john stefano na viatu vya samaki reactions winlicious mdoghosho use brain heriel and 1 other person view attachment 1119134 itaendelea sehemu ya tano fadhili huyu coco babe endelea bwana reactions tumosa and cocochanel sasa nilitulia ili kuona kama nitapata majibu na kila simu ilipolia nilikimbilia kuangalia kulikoni kwani jumbe nilizokuwa natamani ziingie ni za fadhili tu hali niliyomuacha nayo ya ulevi ni kali sana alikunywa sana kwa raha nilipata muda mzuri sana wa kukaa naye nilifurahi sana japo nilikuwa na stress lakini nilipata muda mzuri sana wa kukaa naye na kwa kiasi nilifurahi sana kwani nilikuwa niko na mpenzxi wangu na niliamini kabisa kwamba fadhilii ananipenda kutoka moyoni hivi mtu atoe pesa zake muda wake mwili wake awe na wewe je si jambo la kupendeka hili tena kaacha kabisa mke na wanawe nyumbani na kakuchukua ukakae naye tena kwenye lodge yake ambayo anakuambia hiyo nyumba unayokaa humo ndani hata mke wake hajawahi kupafika na hapajui mke ambaye ameishi naye si chini ya miaka 9 lakini hata hapo bembea lodge hajawahi kupaingia sikia mamii nakupenda sana yani wewe mwanamke hata sijui umenifanya nini hapa kwenye hii nyumba hata yule mke wangu hajawahi kupaingia lakini wew mpaka kitanda umeshakilalia mtoto wa kipare unataka kuniua eeeenakumbuka haya maneno aliongea fadhili kuniambia kwamba nyumba hiyo ambao aliita menaja house hata mke wake hajawahi kupangia kweli ni upendo wa dhati huu fadhili ananipenda sana na mimi nampenda nilikuwa nimekaa tu chumbani kwenye dressing table huku natafakari haya kumbuka mume tumetengana vyumba nilitabasamu na kujiambia moyoni nimepata bahati sana kupata mwanaume ambaye ana mapenzi ya dhati na mimi nilipanda kitandani na kulala nilikuwa nina pesa asubuhi fadhili alinipa elfu 60 akaniambia ni ya nauli nilitoa elfu 20 nikampatia dada nikamuachia na maelezo ya kununua vitu kisha nikaondoka kuelekea kazini mr alisikia nikiwa natoa maelezo mara zote siku za nyuma ilikuwa hata akinifanya nini lazima nitamuomba pesa sasa nimuombe za nini na mimi ninazo atajijua akitoa atoe asipotoa nitatoa maana kuna mwanaume anayenipenda na kunihudumia nilitoka na kuelekea kazini kazini nina walimu wenzangu ambao ni marafiki zangu wa kuambiana kila kitu lakini hili swala la fadhili ninaogopa kabisa kuliongea ni mume wamtu huyu lakini na mimi ni mke wa mtu naanzia wapi kuliongea niliona haifai kuonge na kwa vile tayari nina mwanamke wa kushare naye hizi stori ambaye ni mama karisa basi huyo tutakuwa tukishare naye mama karisa ni mfanya biashara ana duka la kuuza nguo na viatu na vipodozi hajawahi kuajiriwa ni mwanamke mfanya biashara na huwa anasafiri kwenda uganda kuchukua mizigo yake na biashara kwake imekuwa nzuri sana kwani hata ana maendeleo na ana usafiri wake wa kumtoa nyumbani kumpeleka ofcn kwake lakini pia kuzungukia wateja wake nilijuana na mama karisa kwenye kikoba kikoba cha wanawake wa mtaaani hivyo akawa rafiki na mtu wa karibu lakini ni kwa vile pia ni mwanamke mwenye kujitoa sana kwenye mambo ya wenzake kama mtu akifiwa yani wana kikundi wote 20 wanaweza wasiweze kufika na kuwakilisha lakini mama karisa atafika na atatumia gari yake hata kubeba majirani ni mwanamke niliyempenda sana lakini anajipenda sana na anaonekana wakati wote ana furaha haijalishi tunajua mume wake amezaa na mwanamke lakini hata siku moja sio mwanamke wa kushika tama na kusiskitika ila atacheka na kujinywea bia zake na kucheka na wanawake wengine nikawa najiuliza sana amewezaje hili na ndipo sasa nilipokaa karibu naye akaniambia kuwa ana mwanaume wake ambaye anampa tia raha za maishana kwake swala la kulizwa na ndoa alishalisahau mh nilikuwa tu ofcn najiwazia mambo mengiii na ndipo nikasikia simu yangu ikiita niliichukua nan i fadhili alikuwa akipiga hi diaa pole nimeona missed calls zako pole sana hujambo ni fadhili huyu nilitoka nje mbali kidogo kupokea simu hiyo ndio sijambo yani wee jamani umeniacha roho yangu juu juu hujambo lakini sijambo mamsup nimechoka bado sijatoka huku nimepumzika tu na kazini sitaenda kabisa jana umenichosha sana wewe mwanamke huna huruma aliniambia fadhili akimaanisha penzi langu la jana limemchosha nilijichekea na kumwambia yani wewe jamani hembu amka bwana aliniambia ataamka lakini pia akaniambia atasafiri jumatano ataenda kufuata mizigo yake ya lodge china akaniambia ni safari ya ghafla hakuwa ameipanga ila atasafiri jumatano nilimuuitikia na kumtakia safari njema mbona unanitakia safari njema kienyeji jamani aliniambia nilimwambia ulitakaje akaniambia noo usiseme hivyo dont be hursh yani maneno hayo ndo unamwambia mpenzi wako nilitakaje hujui unatakiwa umfanyieje mpenzi wako akisafiri lakini sio makosa yako huyo hitla ndiye kakuharibu mamii enhe niambie mambo mengine nilijiskia aibu sana alivyonikosaoa nikamwambia am sorry nisamehe mpenzi akasema dah wewe mwanamke ndio maana nakupenda na utanifanya hata niache mke jamani sijawahi kuombwa msamaha dah asante sana nimekusamehe na nyongeza na nikienda china nilipanga kukununulia zawadi lakin naongeza na zawadi ingine asante nilijibu nikiwa naongea na simu thea mwalimu mwenzangu tunayefundisha naye alikuwa akiniangalia sana nisijue ananiangalia kisha nilipomaliza kuongea na simu huyo nikawa natembea kuelekea body room kwa ajili ya chai ya saa nne thea alinitazama na akaniambia madam ile simu nani alikuwa anapiga maana si kwa mapozi yale ulikuwa unazunguka kama unatongozwa nilicheka nay eye akacheka nikashindwa kuvumilia nikamwambia nilikuwa naongea na mwanaume anayejeua thamani ya mwanamke kisha nikachukua donati yangu na kikombe cha chai nikasogea pembeni kunywa thea alionekana kutaka kujua zaidi akanisogelea na kuniambia wacha weee huyo mwanaume mbona mwanaume maana mama ulikuwa unajizungusha hasa ndio mamii yani sijui hata nikuambieje lakini ninapendeka san asana ni nani huyo thea aliuliza nilitabasamu na kumwambia wewe sijaribu kukuambia maana mjini hapa mama tulicheka na kukatiza story baada ya sir peter kuingia ratiba za kazi ziliendelea kisha nikamaliza ratiba ya siku na nikarudi nyumbani mapema sana kwani kuna kazi ya muhimu sana ya wanafunzi nilikuwa nayo ya kuandaa na muda shuleni haukuwa rafiki sana nilifika nyumbani na kuanza kufanya kazi hiyo ambayo ilinichukua mudamrefu kuimaliza ndani ya masaa matatu nilikuwa nikiifanya baada ya kumaliza dada akaniambia mama baba alisema hatarudi aliniaga akasema hatarudi msichana wangu wa kazi aliniambia mh niliguna nikasema wacha aende kabisa na mimi nipate muda wa kumuaga fadhili japo moyoni nilisema hivyo lakini nikamuuliza aliondoka na begi ndio aliondoka na begi na viatu kwenye mfuko wa pembeni akaniachia hizi pesa hapa akasema anko adrian akija nimpatie msichana wa kazi aliniambia pesa ziko wapi msichana wa kazi aliniletea kiasi cha shilingi milioni tatu kazishika mkononi tena bila hata kuwekwa kwenye bahasha nilishtuka sana mungu wangu huyu mwanaume ana akili kweli anawezaja kumpatia msichana wa kazi pesa nyingi hivi yesu wangu lakini ni za nini mh niliendelea kutafakari nilizichukua mikononi mwa dada kwa ajili ya usalama zaidi uwii niliogopa sana kwa nini asinipe niweke kwa nini asimuite huyo adrian akampatia mwenyewe niliwaza mambo mengi sana nisipate jibu zaidi ya kwamba hatuna mawasiliano maxzuri ndio sababu akaamua kumpatia msichana wa kazi mama na mimi baba kanipa zangu hizi hapa akaniambia ninunue kitu chochote msichana wa kazi alinionyesha elfu 70 kapewa na baba na mshahara wake ni elfu 50 na hixzo ni za zawadi mh hakukuambia kitu chochote hapana hajaniambia kitu mama alinipa tu akaniambia atanipigia simu nisiwe nazima na akiniuliza kitu nimwambie ukweli ahaa akili yangu ikaniambia kaweka mlinzi huyu na anataka kumtumia dada ili ajue ninarudi saa ngapi nyumbani sasa wacha nijiongeze nilishukuru walau dada kaniambia na sikutaka mr ajue nimeongea na dada nikamwambia dada anko akipiga simu kutaka pesa basi utanijulisha mwanangu sawa eee si vizuri kukaa na pesa nyingi hivi sawa mama binti aliniambia nilikula na kujilaza sikuwa na muda wala wa kutaka kuzungumza na baba davis kwanza hana hata aibu anawezaje kuondoka nyumbani kwake asiniage mimi mke wake nilichukia sana alafu hata chakula asiache pesa jamani mwanaume huyu ni mwanaume gani lakini si bure anaitwa hitla niliwaza nikachukia sana lakini akili yangu ikakumbuka maneno ya fadhili wewe ni mwanamke wa aina yake ninapaswa nikuonyeshe mapenzi ya dhati mpaka ujue thamani ya mwanamke duniani nakupenda mamii maneno hayo yalikuwa yakijirudia rudia akilini mwangu nilichukua simu yangu na kumuandikia fadhili ujumbe nakupenda mpenzi nilijikuta tu naandika hivyo na baada ya kama dakika chache sana kama sio tatu nikapata majibunakupenda pia mpenzi nilifurahi sana nikasema sitadelete huu ujumbe maana nikisoma nasikia faraja rohoni nilichofanya nikaweka pw kwenye simu kwenye msg password kali kabisa kali sana yenye namba na maneno kabisa kisha nikampigia mama karisa kutaka kumueleza juu ya mr kuondoka bila kuaga haloo mama kei mambo mamiii poa hujambo simu usiku huu kwema aliuliza wema utoke wapi mama baba davis kaondoka kasafiri sijui kasafiria wapi na hajaniaga amemuaga tu dada hivi huyu mwanaume lakini ana nini ha ha ha mama kei alicheka kwenye simu na kuniambia hivi wewe unakunywaga savanna ama unakunywaga nini kwenye friji huna savanna nikutumishie maana naona una kiu ya pombe hembu ngoja nikuletee hapo mara moja unataka ya baridi ama ya moto mama kei aliniambia (ambaye ndiye mama karisa huwa nafupisha namuita mama kei) sijui alikuwa wapi lakini baada ya muda kama nusu saa nilisikia honi zikilia na nilitoka kufungua nilimfungulia na akaingia shoga yangu hili geti lako mbona bado la kufungua kishamba hivi watu tunatumia mageti yak u slaidi mama geti mtelezo akacheka kisha akaingia na gari yake na kuipaki gari mpya ambayo sijaiona kabisa akashuka akiwa kavalia tu night dress nyepesi sana ambayo hata maungo utayaona na akashuka ameshikilia savanaa 4 amezikumbatia huku akionekana kama aliyekuwa kalala kabisa ila kaamshwa kwa jambo la muhimu mh nilimwambia umetoka wapi kwani akacheka na kuniambia nimetoka nyumbani kwani vipi nikamwambia umemachaje baba karisa akacheka akaniambia wewe naye kalaga baho yani hembu kwanza kunywa savanna akili ikukae sawa alafu tuongeee maana nimesha kuonya juu ya kunililia na huyo baba davis wako lakini husikii yani wewe jamani lini utakomaa na ujiachi mwanaume anaondoka hakuagi bado tu unajikondea wewe ukienda kwa fadhili unamuaga jumapili ulivyoenda kushinda kwa fadhili ulimuaga akaachia cheko la nguvu la kilevi ha ha ha haloo ya consooo nicheke miye mtoto wa watu conso miye aliniambia hayo maneno na kusimama na khanga aliyofunga ikadondoka na akairusha huko wala asijali kisha akapita moja kwa moja mpaka jikoni na kuchukua glass na kuketi dinning na kuanza kufungua zile pombe zote nne akaniambia ngoja nikuambie hembu kwanza kunywa kweli nilikuwa na kiu ni saa nne usiku tukaanza kunywa akaniambia sikia nilikuwa na diaa leo akisema diaa anamaanisha mwanaume wake yule anayechepuka naye yani nilikuwa nakutafuta sana maana diaa kaniambia fadhili anasafiri jumatano na nimemuomba aniletee vitu vyangu vya dukani sasa sikia ndio mguu huu wako nimekuja kukuuliza hivi huwa fadhili anakupa pesa ama umekaa tu kama nunda mh nikamwambia ndio ananipa pesa enhe mpaka sasa hiviumepewa shilingi ngapi mh nikamwambia huwa ananipa elfu 70 ama 80 ha ha ha ha wewe mama davis una akili unapewa hela gani hizo jamani yule mwanaume sikia nikuambie ana pesa chafuuuu alafu mshamba sana wa mapenzi hajui kitu kabisa yani mshamba hasa sikia nichukulie pesa hapo yani sasa ngoja nikuambie leo alikuwa anakutaka siku nyingi sana lakini nilikuwa najiuliza nitakuingiaje ana pesa chafu mjini naomba tu chukua pesa pale na ninataka umuonyeshe mapenzi hasa ona mimi dia wangu wala hana pesa kivile lakini ona nimeshabadilisha gari juzi kanipa milioni 4 nikaongezea na zangu nikanunua gari na ananisaidia kurejesha mkopo niliochukua bank sikia fadhili ana pesa chukua pesa mh niliguna nachukuaje kwanza ndio mapenzi tumeanza juzi tu nachukuajee aliniambia sikia fadhili ana kimwanafunzi cha chuo najua hakijui mapenzi sasa zubaa hapo uchekwe wewe sio mwanachuo bwana useme unataka mapenzi ya lunch boxes na simu hembu haraka toa wazo la biashara sijui kama unanielewa yani kwanza hembu nipe simu yako mama kei alinipokonya simu wakati huo moyo ukiwa unadunda kwa mbali fadhili ana kisichana cha chuo mungu wangu serious moyo wangu ukaniuma sana nikiwa nawaza hayo tayari alichukua simu yangu na akawa anaandika msg nisiweze kumpokonya aliniambia tu subiri nitakuonyesha nikishamaliza kuandika mama karisa aliniambia kisha akaniuliza fadhili kakuaga kwamba anasafiri kwenda china ndio nilijibu akasema safi mwanaume mzuri huyu sikia nataka kumuomba kitu maana najua wewe ni mzubavu mjini hapa bwana tumekutana kimjini mjini tuishi kimjini mjini ha ha ha akacheka tena akiwa anacheka nikamuuliza mama karisa umesema fadhili ana msichana wa chuuo ndio anaye kwani vipi huwezi amini machozi yakanitoka nikajikuta nalia kabisa wewe mama karisa aliweka simu chini na kunitazama nikiwa nalia na wakati huo nakimbilia chumbani wewe mama davis unalia nini nilikuwa nalia na kumwambia kweli fadhili ana mwanamke mama karisa alinitazama na kuniambia mama yangu mama davis unalia kweli ama ni macho yangu unalizwa na fadhili kwisha habari yakoserious unalia uwiii wewe huna sababu ya kulia sasa ulifikiri ni wewe peke yake tu yuko na wewe yani aache mke wake ndani akufuate wewe ambaye mara leo uko na mume kesho sijui uko wapi wewe jamani mama davis unamaanisha kulia maa sikia mume wa mtu haliliwi jamani wewe mwanamke makubwa consolatha mama karisa aliendelea kuongea akinishanga nalia nini wazo likanijia nikamuuambia huyo msichana anamjua ndio ni kisichana fulani hivi kitoto toto tu ambacho nina uhakika hakijamdatisha jamaa ndio maana jamaa kachachawa na wewe na anakusifia sana una heshima una nidhamu sasa unalia nini wewe mwanamke mume wa mtu yule mama mume wa mtu haliliwi anatakiwa wee ndiye akulilie ama hujui mapenzi maana nilichukia sana juzi ulikuwa naye alafu nakuja kusikia alikuwa na hicho kisichana tena hembu kwanza hembu tuongeee mama karisa alionekana ana mambo mengii ya kutaka kuniambia unajua na wewe sijui ni wa kufundishwa mapenzi maana naona umezubaaa sana kwani kabla ya fadhili ulikuwa unatoka na nani usikute kuna mtu ulikuwa unatoka naye kakufunga na yeye anakulilia ha ha ha haloooo mama karisa alisema nikamjibu huku nalia mama karisa sijawahi kuwa na mwanaume zaidi ya bada davis sijawahi mungu wangu mama karisa alishika mikono kichwani akaniambia serious basi kweli wewe mgeni wa mapenzi sasa sikia shoga yangu futa machozi iko hivi mume wa mtu haliliwi ila anatakiwa akulilie wewe yani haiwezekani mumeo akulize na mume wa mtu akulize lazima ujiongeze kama mapenzi huwezi ziko njia nyingi sana za kufanya ama alisema hivyo na akawa kama kasita fulani kisha akaniambia hembu ngoja nije akatoka haraka akitembea huyoo na kuchukua simu yake na kuiwasha maana alikuwa kaizima ni saa sita usiku karibu inaenda saa saba yuko kwangu mume wake kamuacha na nani sijui na wala haonyeshi kuogopa hata kidogo akafungua haraka simu yake sehemu ya kuhifadhi picha na akanifungulia picha nikaangia na kuona picha ya msichana mdogo tu wa rika ambalo sio zaidi ya miaka 25 saa sikia hiki ndicho kifaa cha fadhili haka ndiko kasichana kanakomuendesha kamesababisha fadhili hana raha na familia yake ameshagombana na mke wake na mke wake yuko kwao hajarudi mpaka sasa hivi kama karudi basin i leo asbh ila funga mdomo wako nikufundishe maisha mh nilishikwa na butwaaa kaachana na mke wake nakuambia hivi shika mdomo wako na akili ikushike nimekuwambia fadhili ana stress za maisha ni mwanaume mwenye pesa nakama unavyomuona ni bonge la handsome na ni mchapa kazi sana ila ndio hivyo hajakuambia tu ila ataskuambia na ndino maana nimeona nikuambie saa hivi usije ukanililia baadae ni rafiki wa karibu sana na diaa anamheshimu sana diaa na anamuita kaka ndio maana mambo yote ya fadhili nayafahamu japo kuna vitu hajaniambia na usije kumuuliza wewe akili kichwani upo mamiii dah sikuamini niliumia sana moyo wangu niliangalia ile picha ya yule dada na nikamuchukua jina lake nikafungua instagram nikamuona vyema namna alivyo itaendelea sehemu ya sita (post #14) reactions neylu qurie tumosa and 4 others mama karisa alikuwa anaongea lakin mimi moyo wangu ukahamia kwa kale kasichana kasichana ka mwaka wa pili chuoni niliumia sana nifanyeje sasa nimuulize huyu msichana nimwambie koma na mpenzi wangu ama namwambiaje nilisikia maumivu sana moyoni nililia sana sana nililia lakini mama karisa kaniambia kabisa nisimtaje maana anamheshimu sana diaa wake na ndiye aliyemuambia juu ya habari za fadhili nan i mambo ya siri sana lakini diaa akamuamwambia mpenzi wake akili yangu imejaa yani fadhili na mbwembwe zote zile jamani ana mwanamke mwingine lakini mama karisa kaniambia nisikubali niyajue mapenzi niyajueje sasa hivi mapenzi yanajulikanaje sasa alafu mbona aliniambia yuko home nisipige ama ndo alikuwa na huyo dada nilijiuliza maswali mengi sasa sina sababu ya kubishana kesho asbh namdamkia yani kesho atanitambua niliendelea kulia sana mama karisa aliondoka zake na kuniacha huku akiwa na gari yake mpya kapewa na diaa wake pesa anunue kwa makubaliano yay eye kukopa kisha atasaidiwa kulipa pole pole na kanunua gari ya milioni 18 moyo wangu ulijaa huzuni fadhili aliniambia namuagaje hivi kama angekuwa hanipendi si angetaka kukaa na huyo binti maana kale ni kabinti maana yake anauwezo wa kumpata wakati wowote lakini mbona ameniuliza nitamuagaje ama alijua kabisa nitakamatika hapana ananipenda ananipenda sana nilichukua simu yangu nilikuta kuna msg ambayo haijatumwa ile ambayo mama karisa alikuwa anaiandika nikaisoma na kuidelete haikuwa na mashiko kwanza aliandika kilevi kilevi nilichukua simu yangu na kumuandikia ujumbe fadhili naomba kuonana na wewe tuongee nina serious talk asante kisha nikaituma baada ya kuituma nikakumbuka hivi huyu si mume wa mtu hivi ninavyomkomandi hivyo na tayari ana masstress yake si ndio nitaachwwa kabisa kwanza ana kasichana kake uwii nilijisikia aibu na nikajiambia hujui mapenzi eeee nilichukua simu yangu ambayo wakati huo ilikuwa imeshaingiza msg za majibu kutoka kwa fadhili nilifungua na kuisoma sawa dia chagua tukae wapi tuongeeeniko free kuna invoice nazishughulikia nitazimaliza usiku huu kisha niambie tuu naona unaamka na mimi leo alituma hiyo msg nikamwambia can we talk akanijibu o yes mamsup nikamuuliza uko wapi akaniambia niko bembea lodge mbona upo huko saa hizi wife yuko na nani akaniambia she is not at home mhh nilishangaa sana (fadhili ana akili sana nisijue ana akili hakuwahi kuniambia juu ya mke wake kuhusu kuachana alafu asbh sbh nikamuandikia msg niko nataka kuongea naye serious talk naona kaamua kujiongeza bila mimi kujua akaanza kunijibu kama alijua nataka kujua nini huyu mwanaume ni kiboko) mh baada ya msg hiyo nikajiuliza moyoni huyu kaka anataka kuniambia nini nikamuuliza tena kwa msg yuko wapi akaniambia long story mamii utajua wakati ukifika uwiii nikajikuta natamani sasa kumpigia simu lakini nina angalizo akilini hivi consolatha si kaniambia nisisem eee okay sitasema nitamlindia heshima shoga yangu ilikuwa ni saa tisa usiku naona hata muda hauendi alinitext tena akaniammbia nikupigie mh nikamwambia ndio nipigie akapiga na kuanza kuongea nilipata uchungu sana nikaanza kulia nikamwambia fadhili ndoa yangu inanitesa naomba na wewe usije uje ukanitesa naomba sana kama una mwanamke mwingine zaidi ya mke wako naomba kabisa usinitese nafsi yangu fadhili akashangaa nalia nini akaniambia wewe mwanamke ungejua ninavyokupenda na ungejua jinsi ambavyo moyo wangu unakupenda wala usingelia bali ungenionyesha tu mapenzi basi yani tuliza moyo wako kwangu basi moyo wako umefika mahali salama kabisa mamiii niamini nilikuwa nashangaa anaongeaje hayo maneno nikajiuliza hivi si anamaanisha kunipenda kama ingekuwa ni mwanaume malaya na mke hayupo ina maana huyo mwanafunzi angekuwa naye mida hii mbona yuko mwenyewe/ nilijipa moyo kisha akaniambia najua mumeo hayupo kasafiri ama uongo mh nikashangaa ndio kasafiri ama nije hapo kwako kukuchukua sasa hivi ili uamini kama nakupenda nilishangaa sana amejuaje kweli ananifuatilia umejuaje mr kasafiri nitaachaje kujua ili hali nakupenda usalama wa maisha yako uko mikononi mwangu ndio maana namfuatilia umejaa akilini kwangu ama unataka niaambie alipoenda nilishangaa sana nije kukuchukua sasa hivi mamii alafu unipeleke wapi nilimuuliza twende hata hotelini ukaniambie hiyo serious talk yako maana nina hamu sana kusikia unataka kuniambia nini am coming honey nipe lisaa limoja uwii sikuamini nilikata simu nikaingia bafuni kuoga haraka sana nikajiandaa ili fadhili aje kunichukua nilipomaliza kujiandaa nay eye alipiga simu akaniambia nakuja na mguu sitaki kuja na gari hapo sitaki lionekane hapo anza kutoka ama unaogopa wala sikuwa na woga hata kidogo moyo wangu ulikuwa na masumbufu ya hali ya juu nilitamani kumuona tu nilieee weee anibembeleze na anihakikishie usalama wa maisha yangu na penzi kutoka kwake nilianza kutoka kweli yani kweli dhambi ikikuingia inaanza kuota mapembe yani natoka kabisa chumbani huyo sebuleni na sebuleni kwang kuna picha ya harusi kubwa nimepiga na mr nimeiweka juu ya shelfu kwanza nikaitoa kuifunikiza pembeni maana nilihisi kama ananiona na nikairudisha chumbani kisha huyoo nikafungua mlango nikafungua geti na kutoka nje nilisimama nje ya geti kama mwanga saa kumi kumetulia sanaa fadhili alinipigia simu na kuniambia nakuona toka tu uko salama nilianza kutembea pole pole nay eye akawa ananifuata akanifikia akanikumbatia nikaanza kulia noooo usilie noooo kisha akampigia mtu simu akamwambia sogeza gari kumbe alikuwa na mtuambaye ni dereva wake ni dogo alisogeza gari na kunifikia kisha tukapanda gari akaniambia nimeshindwa kutulia kabisa yani niambie tu kitu gani unataka kuongea na miimi kwa sababu usingizi hatas nisingepata sijalala usiku kucha kuna kazi nilikuwa nafanya nikasema nitapumnzika kidogo na wewe ukanitumia ujumbe wako uchovu na usingizi ukakata ghafla pole usilie natamani kujua sana unasemaje mamiii wakati huo kanikumbatia ananibembeleza huku ndevu zake zilizoanza kuota akizisugua sugu shingoni mwangu na hapo ndipo naona eeee mapenzi haya sasa yani maana sijakumbatiwa na mume karibu mamiaka kila leo ugomvi tu hakuna amani kabisa unaishi na mume ndani lakini unakuwa kama unaishi na chatu looh nami nikajilegeza vyema mikononi na kifuani kwa fadhili huku najiambia liwalo na liwe kwani nini bwana lakini huku akili inaniambia zile story za mama karisa ni za ukweli ama sasa hii serious talk niianzeje saa mbili natakiwa ofcn nina kazi ya kufanya ya muhimu sana kesho fadhili anasafiri nitaongeaje naye mr hayupo akirudi nitapata nafasi ya kukaa na fadhili na kuongea naye mambo mengi muda mchacheni nilijisemea waiii ngoja nianze na limoja baada ya jingine nikasema wacha nitaomba ruhusa ya kuchelewa kazini ili niongee na fadhili yani mwanaume huyu anajali sana tuliendesha kisha tukafika karibu kabisa na hotel moja ya kitali nzuri sana akapaki gari yake hapo na kuniambia ngoja nakuja alishuka na kuingia humo ndani kisha baada ya dakika tano akaniambia njoo muache dogo aondoke nikashuka kwenye gari nikamfuata alipokuwa ni hotel nzuri sana huwa naiona na kuisoma tu kwenye mitandao hotel kubwa mnooo tuliingia humo na akaniambia hapa napapenda sana huwa nikiwa nimechoka ndipo mahali napenda kuja kupumzika yani maisha yana mambo mengi mamiii ni mchaka mchaka tu pesa hazijai dah ni kweli pole asante aliitika alijitupa kwenye kitanda na kusema nimechoka sana lakini nisingeweza kutulia kwa sababu uliniambia una serious talk na mimi ningewezaje kutulia maana ni siku chache tu nimekujua lakini moyo wangu umekuwa na amani sana nimekuwa na furaha sana nikuombe tu usije ukaniacha mamii sawa usiniache nakupenda sana wewe mwanamke uwi akaanza tena maneno yake ya mapenzi ambayo ndiyo huwa yananimaliza najikuta sina ujanja mbele yake aliketi na kutengeneza kahawa akanigeukia akaniambia milk coffe ama black aliniuliza noo asante akatabasamu akaniambia mami ukipewa kitu na mpenzi wao usikatae unachukua unaonja alafu unarudisha kisha akacheka na mimi nikajikuta ninacheka akasema sio kosa lako najua ulikuwa unaishi ki hitla hitla sana lakini usijali kila kitu kitakaa sawa nina kazi ya kukufundisha mapenzi kisha akacheka tenana kuniambia karibu kahawa ilibidi nichukue na kuinywa kisha na mimi nikamwambia asante sana akacheka alikunywa kikombe kimoja akamaliza akaenda kuswaki na kurudi huku akiwa anafuta uso wake nilikuwa nimekaa kitandani na miguu yangu ilikuwa imekanyaga zulia zuri sana la kitanda cha hiyo lodge alikuja na kujichomeka kati kati ya miguu yangu kama mtu ambaye anasukwa tena kilimanjaro nywele za usogoni kisha akanitazama akiwa kapiga magoti akaniambia nihakikishie hutaniacha kwa sababu najua unayo serious talk lakini kabla hujaniambia nihakikishe hutaniacha ili nikujibu ukweli na nisikudanganye kwa lolotemh nilishangaaa kisha nikamtazama usoni alikuwa anamaanisha sana nikamwambia sitakuacha ila naomba uniambie mwana chuo uliyenaye umemuacha aliniambie ndio nimeucha baada ya kukupata wewe mh alinijibu kirahisi sana akaniambia mamii nakufahamu sana muda mrefu nimekuwa nikimuona bro wangu na conso na conso nimekuwa nikikuona naye sana muda mrefu nikakupenda tu napenda wanawake wapole kama wewe sana niamini nakupenda enhe lingine aliniambia hivyo hasira zikaniisha nikamwambia lingine mkeo yuko wapi akaniambia nisikilize kuna mambo sipendi kuyaongelea ikiwa ni pamoja na hilo na nimekuambia sitaki kukudanganya ila sitaliongelea hili hembu tuliache kwanza hili nasafiri kesho sitaki kuumiza akili sawa mamii aliniambia hivyo kisha akaonekana mwenye mawazo sana moyoni kuna kitu kinaniambia mhurumie kingine kinaniambia mwongo huyo nikamwambia nikuombe kitu dia akaniambia niombe nikamwambia naomba simu yako akatabamu kisha akaniambia hapana hapana simu hapana (yani ushamba wa kudanga jamani nataka kujimilikish ha ha ha ha) kama unanipenda naomba simu yako please akaniambia sikia mimi ni mwanaume wako unajua wanaume tuna mambo mengi sana kazi nyingi tunadai tunadaiwa sasa kuna mambo ambayo sio mabaya lakini kwa vile wewe ni mpenzi wangu ukiyaona utaanza kunishauri labda acha ama utaogopa nk lakini sina mambo yoyote mabaya kabisa niamini nakupenda full stop aliniambia hivyo lakini bado nikawa natamani anipe simu yake ili nione kama kuna msg za mapenzi za wanawake aliniangalia akatabasamu akasema nakuhurumia sana mamii una wivu eee sasa mbona bado sijakuonyesha mapenzi utapata kichaaa alicheka na kisha akasimama akaniambia simama nikasiama akaniambia nikumbatie alfu niambie kitu kizuriiiiiiii sana nikasimama nikamkumbatia nikamwambia nakupenda sana akaniambia toa sauti sikusikii nikamwambia nakupenda sana naye akaniambia nakupenda pia sana niamini alafu nataka kukununulia gari sipendi unavyotembea na miguu mwanamke mzuri kama wewe hupaswi kutembea na miguu ukiwa mpenzi wa fadhili lazima ufurahie maisha jina langu fadhili nami nataka kukufadhili sawa mamiiisawa niliiitika nikajikuta nalia sana akanibembeleza na kuniambia unaenda saa ngapi kazini wakati huo ni saa kumi na mbili asbh nikamwambia saa mbili akaniambia niombee nifanikiwe tu huu ualimu haukufai unatakiwa uwe nashughuli ambayo inakupa uhuru nikikuhitaji nakupata wakati wowote ndio maana lazima ujue na uamini nakupenda kwa sababu ningekuwa sikupendi wanawake wako wengi tena wengi sanaa si unaniona nilivyo lakini alisimama akaniaambia nitazeme si unaona nilivyo mwanaume wa haja eee pesa ninayo afya ninayo na mapenzi ninayo nikitaka mwanamke yeyote simkosi ila najua kuchagua wanawake wazuri ndio maana nikaacha wooote nikakufuata wewe wewe ni mzuri sana kwangu naomba usiniache nilikuwa nashangaa huyu mwanaume anatoa wapi maneno mazuri hivi jamani yani mpaka nikawa natamani mume wangu afe na mke wake afe tubaki wenyewe tuoane mapenzi ndio haya dah aliniambia mimi nitakuwa hapa hotelini mpaka jioni please ukipata muda uje uniage maana kesho naenda airport asbh sanaa saa kumi asbh sawa nilimjibu kisha tukaendelea kupiga story na ilipofika saa moja nikaita taksi nikaondoka pale hotelini nilikutana na watu kama wanne ninaowafahamu ambao ni wafanyakazi wa hpo lakini nilivyojikausha watajijua wenyewe siku yangu imekuwa nzuri sana nimehakikishiwa kupendwa na fadhili intake nini tena nimehakikishiwa kununuliwa gari intake ninitena uwiii kupendwa ndiko huku niliona siwezi kukaa na umbea huu mwenyewe nilimuita ticha thea ili nimsimulie alionekana naye kutaka kusikia ninachotaka kumwambia nilikuwa nina rah asana yani najisikia kama dunia yote yangu kununuliwa gari mchezo nini sio wote wenye magari yani ghafla tuu unaambiwa nakunuanulia gari uwiimama karisa mwenyewe ni kubuhu lakini gari kapewa la mkopo mimi napata gari kirahisiiii nasubiri gari nasubiri gari itaendelea sehemu ya saba (post #25) reactions neylu palsa tumosa and 4 others huyu dada ni noma sana irene mbowe katika ubora wake i love you lovenear moderator paw tunaomba hizo chapters ziunganishwe ili kuwepo na mtiririko mzuri mimi sioni haja hiyo na sikubaliani na unatalotaka mtu akisoma ataona mwishoni post inaendelea namba ngapi mtu akitoka kwenye uzi na kurudi tena huwa anapelekwa pale post mpya zimeanzia iweje mtu haangaike kurudi kwenye post namba moja kuhangaika kusaka wapi aendelee na stori ni ndefu sanaaaaaa miaka yote hii humu kumbe hujui mengi yamebadilika tulia burudika kwa muda wako moderator paw naomba muache uzi ulivyo reactions honestty ms mol tumosa and 3 others episode ya 7 inatoka sa ngapi story nzurii yenye mafunzo nasubiri mwendelezo reactions qurie and cocochanel leta mambo mazuri bhana bumper 2 bumper weekend story yanga (naipenda yanga shabiki wa damu) mahusiano mapenzi urafiki 344 mar 1 2016 yamenikuta vituko vya mke bosi nifanyeje na kazi naipenda mahusiano mapenzi urafiki 81 oct 18 2015 wanajumuiya mnatuharibia sana issues zetu siku za jumamosi mahusiano mapenzi urafiki 4 oct 29 2019 jumamosi & jumapili unzitumiaje ukiwa na mpenzi wako mahusiano mapenzi urafiki 63 sep 14 2019 hivi hii ya jumamosi ya mwisho wa mwezi ndio nilipigia kura mwaka 2015 mahusiano mapenzi urafiki 1 dec 29 2018 weekend story yanga (naipenda yanga shabiki wa damu) yamenikuta vituko vya mke bosi nifanyeje na kazi naipenda wanajumuiya mnatuharibia sana issues zetu siku za jumamosi jumamosi & jumapili unzitumiaje ukiwa na mpenzi wako hivi hii ya jumamosi ya mwisho wa mwezi ndio nilipigia kura mwaka 2015
2020-08-06T01:49:52
https://www.jamiiforums.com/threads/naipenda-jumamosi-yangu-stori-bomba-ya-uhusiano.1592415/
fighters of life hapa ndio wema sepetu alifikia kwenye mapenzi yake hapa ndio wema sepetu alifikia kwenye mapenzi yake habari zinasema kwamba staa wa filamu za kibongo wema isaac sepetu beautiful onyinye ameongeza idadi ya wanaume katika uhusiano wake na kuzidi kuwa katika chati ya magazeti ya bongo ambaye ni mkurugenzi wa kampuni ya endless fame anadaiwa kuwa beneti na kijana aitwaye robby lakini mwenyewe amesema kwamba hakuna anayeweza kumtenganisha na wanaumehabari zinasema kuwa wema na robby wamekuwa wakipiga picha za kimahaba na mnyange huyo kuziingiza kwenye mtandoa wake na kumtambulisha kijana huyo kwa jina la honey 22 mwaka huu mwandishi alifika ofisini kwa mrembo huyo mwananyamala komakoma jijini dar es salaam na kumbana kwa maswali juu ya kuvuja kwa picha zake hizo akiwa na robby na nyingine akiwa na wanaume wengine tofautiwatu wamekuwa wakinizungumzia kila kukicha tena maongezi yao yamekuwa yakianzia kwenye baadhi ya picha zangu kila mtu ana namna ya kutengeneza laifu yake na miye huwa sioni shida mwanaume asiye hawara yangu kunikisi au miye kumkisi alianza kujitetea ukifuatilia historia yangu mara nyingi utagundua marafiki zangu wengi ni wanaume kuliko wanawake na wengi wao wanakuja kwangu tunakunywa na wanaondoka mida mibovu kwa asiyenijua anaweza kuhisi ni mabwana zangu kumbe siyo hata kwenye mitandao huwa sioni tabu kuweka picha za mtu akinikisi au nikimkisi aliendelea kusema kubadilika hii ni life style yangu siwezi kuacha kuwa karibu na marafiki wa kiume hivyo ndivyo nilivyoumbwa watu wasinishangae suala la kukutana na mtu na kupiga naye picha siyo ishu kwangu ningekuwa mtu wa ajabu sana kama ningekuwa nawakisi midomoni au wao kunikisi mdomoni aliongeza wema amesema kuwa watu wana hisia mbaya juu yake na robby jambo ambalo siyo sahihi kwa kuwa katika maisha yake anawapenda marafiki wa kiume zaidi ya wanawake
2017-03-29T13:13:57
http://folclassic.blogspot.com/2013/05/hapa-ndio-wema-sepetu-alifikia-kwenye.html
mapungufu ya sera ya elimu bure | jamiiforums | the home of great thinkers mapungufu ya sera ya elimu bure discussion in 'uchaguzi tanzania' started by mbunge wa ccm nov 5 2010 ndugu si vibaya nikiwadokeza namna nilivyofanikiwa katika uchaguzi huu na nilivyopangua hoja za wapinzani wa ccm jimboni leo nitaanza na sera ya elimu bure kama ilivyonadia na chadema mimi nilinadi sera ya elimu nafuu na yenye wigo mpana kama inavyotekelezwa na ccm kupitia dhana maarufu ya wananchi kuchangia gharama za elimu mapungufu ya elimu ya bure niliyoyaanisha na yakaeleweka kwa wapiga kura ni pamoja na 1 kupunguza idadi ya watakaopata elimu na kufanya mtoto kuchaguliwa kwenda sekondari kuwa sawa na bahati kama ilivyokuwa zamani hii ni kwa sababu asilimia 20 ya bajeti ya nchi inakwenda kwenye elimu na kama wanachi hawatachangia baadhi ya gharama basi uwezo wa serikali kusomesha watazania hautatosha kwa levels zote za elimu niliweka wazi kwa uwezo wa elimu kutollewa bure upo hata sasa ila hofu ni kuwa idadi ya wanafunzi wanodahiliwa itapungua mwaka hadi mwaka hata kama fedha za elimu hazitakutana na wabadhirifu niliongeza kuwa uzuri wa elimu ya kuchangia ni kutoa fursa nyingi zaidi za elimu ata kwa wasio na uwezo kabia amabo wanakopa na kurejesha wakishamaliza elimu/mafunzo na kuajiriwa inapendeza hasa ukizingatia kwamab wanarudisha katika muda mrefu kuliko mkopo wa kawaida unaotolewa na taasisi za fedha na ni baaada tu ya kupata lazi ya uhakika kupitia sera ya kuchangia elimu sekta ya elimu imepanuka katika ngazi zote kuanzia elimu yaawali msingi sekondari ufundi stadi hadi ile ya juu mfano hai ni kutapakaa vyuo vikuu nchi nzima tofauti na ilivyokuwa zamani amabapo vyo vikuu vilikuwa udsm na sua pekee pia vyuo vinavyotoa elimu ya juu navyo vimeongezeka na kutapakaa nchi nzima ubora wa elimu unategemea bidii na uwezo wa mwanafunzi kama mwanafunzi ataenda kucheza chuoni basi hata kama ungempeeka kusoma ng'ambo anaweza kurejea na cheti lakini bila elimu hayo ni machache tu kati ya mengi niliyonadi kpinga sera ya elimu bure ya chadema nshukuru nilieleweka na nilishinda bila kuchakachua naona huo ubunge umeshakulewesha tayari wakati hata hujaapishwa crap sorry mod naona huo ubunge umeshakulewesha tayari wakati hata hujaapishwaclick to expand japo sijaaapishwa tayari niko kazini na kwa sasa nafanya kazi ya kuteua kamati za kunisaidia kufuatilia shughuli za maendeleo jimboni ikiwa ni pamoja na kupanga mikakati ya kutafuta fedha za maendeleo kwa kuanzia na usambazaji wa maji ya bomba jimbo zima katika miaka mitano ijayo yaani baada ya ushundi huu nimeanza rasmi kampeni ya uchaguzi mkuu wa 2015 kwa matendo wapinzani wasahau kabisa kushinda hapa jimboni na wenzio akina masha na diallo walituambia hivyo hivyo in 2005 na kama unafikiri kufanya maendeleo haikuwezekana huko nyuma jimboni kwako wakati ulikuwepo eti sasa itawezekana kwa sababu u mbunge basi ni zaidi ya ulevi tulizeni hisia zenu ndugu angalieni mustakabali wa taifa kwanza hivi kwako habari ya maji ya bomba jimbo zima ni ndogo tena kwa nchi kama yetu haya ndugu sikiliza muziki kutokea dodoma haya ndugu sikiliza muziki kutokea dodomaclick to expand i hate ur presindent ever everripriprip siku zote ulikuwa wapi watu tumesambaza vitabu shule zaidi ya mia na wala si wabunge na hatuutaki huo ubunge hivyo basi mm siku zote nawaona watu wa aina yako ni matapeli wanaofikiri maendeleo yatakuja iwapo wao watakuwa wabunge kumbuka ww si wa kwanza kufikiri namna hii na matokeo tunayajua kwa waliokutangulia inaonekana ni jinsi gani ulivyo na nawazo finyu na mgando kama ni swala la sera huna kitu hapopia umeshindwa hata kuelewa sera ya chadema sasa unaibadilishani wapi wao walisema wangesoma wachachebajeti finyu kivipi wakati hela nyingi inaishia kwenye matumizi ya kipuuzi na mifukoni mwenuna walisema fedha zitakapotoka za kugharamia elimu burenafikiri uisome upya sera ya chadema utafute mtu wa kukufanulia mkakati wao ukoje manake bila hivyo inaonekana uwezo wako wa kuelewa ni mdogo sananawapa pole wananchi waliokuchagua na taifa kwa ujumla i hate ur presindent ever everripripripclick to expand dont hate him as a human being hata wewe una mapungufu yako shit i hate you for this next time plz write some thing beneficial to the forum and not this crap tapelifisadi halafu huo muda wa kukaa kuchambua dosari za mwenzio unaupata wapibadala ya kufikiria utafanya nini cha kusaidia kumkomboa mwananchiau ungeangalia mazuri yaliyopo kwenye sera za chadema ukachanganya na yako ukapata kitu supa huu ni wizi lakini wizi wa kimaendeleo zaidi na inakubalika yaani mmekaa kimajungu majungu tuuitakusaidia nini eleza sera zenu tuzielewe na mikakati halisia sio mnaleta sanaa sanaa tu apawizi mtupunaamini umepita kwa uchakachuaji si vinginevyo hapo unawaza cha kuchakachua kigine ni ninimtatumaliza jaman halafu huo muda wa kukaa kuchambua dosari za mwenzio unaupata wapibadala ya kufikiria utafanya nini cha kusaidia kumkomboa mwananchiau ungeangalia mazuri yaliyopo kwenye sera za chadema ukachanganya na yako ukapata kitu supa huu ni wizi lakini wizi wa kimaendeleo zaidi na inakubalika yaani mmekaa kimajungu majungu tuuitakusaidia nini eleza sera zenu tuzielewe na mikakati halisia sio mnaleta sanaa sanaa tu apawizi mtupunaamini umepita kwa uchakachuaji si vinginevyo hapo unawaza cha kuchakachua kigine ni ninimtatumaliza jamanclick to expand jamani tujadili issues mimi nimeongelea nilivyojibu sera ya elimu bure ya chadema kama kuna maoni yangetolewa ingenisaidia hata katika utumishi wangu kama hakuna maoni nanti mtakuwa mmeshindwa kuboresha utumishi wangu japo nimewapa fursa hata hivyo nashukuru nimepata mengi sana ya kunisaidia kutoka katika mawazo yenu thanks sana hapo kwenye red hapooo labda nikuulize nini maana ya mustakabali wa taifa maslahi ya taifa nini labda pia nikuulize taifa ni nini au uliwahi kuishi sauzi uganda walikuwa wanatoa elimu bure toka msingi mpaka olevel majuzi museveni kaongeza na alevels suala hili litahitaji pesa nyingi lakini badala ya kulipinga wazo hili 100 labda tungeanza kutoa elimu ya chuo kikuu bure vilevile ni lazima kuongeza bajeti ya elimu ili kuboresha viwango manaake sasa hivi kinachotolewa siyo elimu bali ni uozo tu mbeleko iliyotumika kukubeba mwaka huu haitakuwepo 2015 kwahiyo jiandae kuangushwa vibaya sana unaonekana kupenda misifa lakini miaka hii mitano uliyokabidhiwa na wananchi(nec) itasema ukweli na muda si mrefu mtaanza kunadi elimu ya bure kwakuwa mnapenda kudandia hoja za wenzenu na tayari tumemsikia maghembe ameanza kunadi sera yenu ya kunyoosha hadi form four mlianza kwa kuondoa mitihani ya darasa la nne na kidato cha pili sasa mmekurupuka na kuja na hiyo ya wote wanaomaliza la saba kunyoosha kwenda kidato cha kwanza wakati tafiti zinaonyesha karibia 50 ya wahitimu wa darasa la saba hawajui kusoma wala kuandika ccm bure kabisa nyie huyo ni ccm pure labda angetuelza ni mbunge wa wapi ili tumfuatilie kama kweli atatekeleza anayosema isije ikawa ni katika walewale waliobebwa na nec polisitiss nk
2016-12-04T02:24:50
http://www.jamiiforums.com/threads/mapungufu-ya-sera-ya-elimu-bure.85098/
dida mitikisiko gym oyeeee gym oyeeee napenda sana swaga zako hunaga habare na mutu umependeza sana i like it hakuna anae kuwezaaaaa mama big up
2018-10-15T18:20:25
http://didamitikisiko.blogspot.com/2014/10/gym-oyeeee.html
rais dkt shein ahutubia mkutano wa 50 wa mabunge ya nchi za jumuiya ya madola kanda ya afrika habari na matukio home dkt shein habari habari za kijamii kitaifa rais dkt shein ahutubia mkutano wa 50 wa mabunge ya nchi za jumuiya ya madola kanda ya afrika kajunason at september 02 2019 dkt shein habari habari za kijamii kitaifa dkt shein habari habari za kijamii kitaifa dkt shein habari habari za kijamii kitaifa
2019-09-24T09:56:31
https://www.kajunason.com/2019/09/rais-dkt-shein-ahutubia-mkutano-wa-50.html
2018 new fresh chestnut china manufacturers & suppliers & factory 2018 new fresh chestnut mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china (jumla ya 24 bidhaa kwa 2018 new fresh chestnut) 2018 new fresh chestnut 2019 new fresh chestnut best fresh chestnut fresh chestnut hotsale fresh chestnut 2018 high quality fesh chestnut 2019 new fresh onion high quality 2018 new crop chestnut
2020-07-06T17:35:30
http://sw.fuyuanfv.com/dp-2018-new-fresh-chestnut.html
brakin newzz hatimaye mawaziri wa serikali ya rais mkapa leo wamaliza rasmi kifungo chao soma hapa live ~ blogu ya wananchi brakin newzz hatimaye mawaziri wa serikali ya rais mkapa leo wamaliza rasmi kifungo chao soma hapa live waziri wa fedha basil mramba na waziri wa nishati na madini daniel yona katika serikali ya awamu ya tatu leo wanahitimisha kifungo cha miaka miwili ambacho kilichoambatana na kifungo cha nje cha kufanya usafi mramba na yona wanamaliza kifungo hicho leo baada ya kufanya usafi kwa saa nne kila siku kwenye hospitali ya palestina sinza dar es salaam kama walivyopangiwa na baada ya hapo watakuwa huru uraiani awali mawaziri hao wa zamani walitumikia kifungo cha miaka miwili jela lakini baadaye walibadilishiwa kifungo hicho na kuwa cha nje baada ya kuonesha utiifu gerezani kwa kufanya kazi walizopangiwa kwa bidii baada ya tathmini ya utii wao iliyofanywa na jeshi la magereza kukamilika mahakama ya hakimu mkazi kisutu ilibariki uamuzi huo wa kupewa adhabu ya kifungo cha nje hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama hiyo cyprian mkeha alisema sheria ya huduma kwa jamii namba sita kifungu namba 3(1) ya mwaka 2002 inasema mtu anayetiwa hatiani kwa kosa ambalo adhabu yake ni miaka mitatu kurudi chini mahakama inaweza kumpa adhabu ya kutumikia jamii mramba na yona baada ya rufaa walibaki na adhabu ya miaka miwili ambapo walitiwa hatiani kwa kutumia madaraka vibaya na walipaswa kumaliza kifungo mwezi huu hakimu mkeha alisema magereza walifikisha barua mahakamani hapo desemba 5 mwaka jana wakipendekeza kifungo cha nje kwa mawaziri hao kwa mujibu wa hukumu hiyo ya mkeha baada ya kupokea barua hiyo mahakama iliamuru watu wa huduma za jamii kuchunguza kama wanastahili kupewa adhabu hiyo na baada ya uchunguzi walirudisha ripoti kwamba wanastahili hakimu mkeha alisema vigezo vya kupewa adhabu hiyo ni umri mkubwa ambapo mramba na yona wana umri wa miaka 75 na kama wahusika ni wakosaji wa mara ya kwanza kigezo kingine ni kama watuhumiwa walijutia kosa lao na kukubali kuitumikia jamii bila kulipwa kuangalia umbali wanakoishi na eneo wanalokwenda kufanyia shughuli za kijamii na tabia za washitakiwa hakimu mkeha alisema sheria haijapendekeza makosa yapi wasipewe kifungo cha nje isipokuwa imetamka kwa yeyote aliyefungwa kuanzia miaka mitatu kushuka chini mramba na yona baada ya kuridhika kwamba wanashitakiwa wamepangiwa kufanya usafi hospitali ya palestina sinza kila siku na watatumikia hadi novemba 5 watakuwa wanafanya kazi kwa saa nne alisema hakimu mkeha julai 6 mwaka jana mahakama ya hakimu mkazi kisutu iliwahukumu kwenda jela miaka mitatu na kulipa faini ya sh milioni tano huku ikimwacha huru aliyekuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha gray mgonja baada ya kumwona hana hatia walikuwa wanakabiliwa na mashitaka ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara ya sh bilioni 117 kwa kutoa msamaha wa kodi kwa kampuni ya kukagua madini ya dhahabu ya m/s alex stewart ya uingereza hukumu hiyo ilitolewa na jopo la majaji watatu saul kinemela sam rumanyika na john utamwa aliyekuwa mwenyekiti wa jopo hilo kwa mara ya kwanza washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo mwaka 2008 hata hivyo oktoba 2 mwaka jana walipinga adhabu hiyo na kukata rufaa katika rufaa waliyokata mahakama kuu kanda ya dar es salaam mbele ya jaji projest rugazia walipunguziwa adhabu kwenye kuisababishia serikali hasara hivyo wakabaki na adhabu ya kifungo cha miaka miwili jela kwa kutumia madaraka vibaya source swahilitimes email thisblogthisshare to twittershare to facebook
2017-02-27T06:57:15
http://www.williammalecela.com/2016/11/brakin-newzz-hatimaye-mawaziri-wa.html
eka nane za mirungi zateketezwa same | jamiiforums eka nane za mirungi zateketezwa same mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya nchini imeteketeza eka nane za mashamba ya mirungi wilayani same mkoani kilimanjaro katika operesheni endelevu inayofanyika wilayani humo ya kutokomeza kilimo hicho kamishna wa operesheni kutoka mamlaka hiyo mihayo msikhela amesema wamelazimika kuweka kambi wilayani humo kutokana na baadhi ya wananchi kukataa kungoa miche ya mirungi amesema licha ya kufyeka eka hizo watarudi kuweka kambi katika vijiji vingine vinavyolima mirungi ili kuhakikisha wakulima wanangoa visiki vya zao hilo kwa hiari yao na kwamba watakaokaidi agizo hilo watachukuliwa hatua za kisheria viongozi wa wilaya na mkoa wamepiga kelele sana kuhusiana na kilimo hicho na wapo waliongoa lakini wengine wameendelea kukaidi tayari wapo waliochukuliwa hatua za kisheria kwa kufungwa miaka 30 jela amesema msikhela amesema hata hivyo katika operesheni hiyo licha ya kufanikiwa kufyeka hekari nane lakini wameshindwa kumkamata mtu yeyote kutokana na kukuta watoto na wazee katika familia nane walizofyeka mirungi msikhela amesema baadhi ya vijana wameathirika na utumiaji wa dawa za kulevya na hivyo wameshindwa kufanya kazi za kijamii ikiwa ni pamoja na kuhudumia familia mkuu wa wilaya ya same rosemary senyamule amesema hadi julai mwaka jana vijiji 45 bado vilikuwa vinalima mirungi na kwamba hadi sasa kuna vijiji 13 bado vinalima dawa hizo haramu wito wangu kuwa wananchi watii sheria na kungoa wenyewe mibuni ya mirungi ili wasichukuliwe hatua na kwamba tangu mwaka jana hadi sasa tayari watu 4 wamefungwa miaka 30 kwa kujihusisha na kilimo hichoamesema senyamule kazi ipo kwa kweli ahsante kwa taarifa naomba kujua mirungi inafaida au athari zozote kwa mtu na pia ina radha gani nalikua non madereva malori nfio watumiaji wa hio kitu kwa mnaohitaji kununua magari tukutane hapa makanya hiyo pale hakuna biashara ya halali na palivyo pakame jamaa lazima walime yale mataruma ya reli yaliyobaki pale babuu blessed said hahahah mataruma ya reli duuuh dah rip mirungi mpe sana hi viroba kaka yenu bangi bado anapumulia mipira hariikaaa kuna vijiji vingine wakienda kwenye shamba la mirungi hawalioniwanakuta shamba limejaa michaichai hahahahahaha kumbe inalimwa hapa hapa nilifikiri inatoka kenya kishimbe wa kishimbe nashangaa kwanini msukuma mbunge wetu pendwa hajapeleka hoja ya kuhalalisha marungi yetu hebu wajuaji watueleze madhara yake tusikie matungiza hicho ndicho kijiji cha yule bint kule mjengoni aliyekula ban siku hizi madereva wa long safari wanatumia juice ya mirungihawalali wanachapa kazi tu masanyiwa mabula mkuu inabid tukupe tuzo kila uzi unakuwa wa kwanza masanyiwa mabula said worry out mr mh nilifikiri umelala hongera mkuu mida ya wanga hii mkuu nalala muda mchache ujao poa jf raha sana imagine km muda huu upo mtaani unapiga misele mara ghafula kaka jambazi huyu na roba yake ya mbao akili kumkichwa teh teh teh teh ndukiiiii mpaka gheto ngoja nimalizie kidogo panya wateketeza eka 30000 za mahindi chalinze habari na hoja mchanganyiko 22 may 27 2018 b mashirika nane ya ndege yametangaza kurejesha safari zao za ndege za kuingia na kutoka mipaka ya tanzania kuanzia jumatatu ijayo habari na hoja mchanganyiko 15 may 26 2020 amchinja mkewe mjamzito wa miezi nane ajisalimisha habari na hoja mchanganyiko 46 feb 13 2020 dar es salaam jela maisha kwa kumbaka mtoto wa miaka nane habari na hoja mchanganyiko 7 jan 28 2020 nimeingiziwa laki nane kimakosa nimeirudisha kwa mwenyewe habari na hoja mchanganyiko 41 jan 27 2020 panya wateketeza eka 30000 za mahindi chalinze mashirika nane ya ndege yametangaza kurejesha safari zao za ndege za kuingia na kutoka mipaka ya tanzania kuanzia jumatatu ijayo amchinja mkewe mjamzito wa miezi nane ajisalimisha dar es salaam jela maisha kwa kumbaka mtoto wa miaka nane nimeingiziwa laki nane kimakosa nimeirudisha kwa mwenyewe
2020-07-06T20:37:02
https://www.jamiiforums.com/threads/eka-nane-za-mirungi-zateketezwa-same.1269361/
video | rj the dj ft feza kessy nipende (official video) mulastar mulastar video video | rj the dj ft feza kessy nipende (official video) video | rj the dj ft feza kessy nipende (official video) watch/download nipende video by rj the dj featuring feza kessy luccas swahili visuals wameiongoza video mpya ya nipende toka kwa rommy jones akiwa na feza kessy
2020-07-12T07:35:53
https://www.mulastar.com/2019/12/video-rj-dj-ft-feza-kessy-nipende.html
siasa archives swahili serikali ya burundi imeahidi itashtaki rwanda juu ya kuvuruga familia za warundi waliokuwa wakiishi nchini rwanda msemaji wa serikali ya burundiphilippe nzobonariba ameeleza suala la kuwafukuza warundi nchini rwanda lilifarakanisha watoto na wazazi wao wanawake na wanaume wao waliofunga ndoa na wanyarwanda viongozi wa rwanda hawana budi kujibu suala rais kagame amesema kwamba serikali ya rwanda haikumuzuia twagiramungu faustin kurejea nchini na kuwa si vizuri serikali ya afrika kusini kuhudumia mtu anayetaka kushambulia nchi yake kwenye mazungumzo na jaune afrique rais kagame ameeleza faustin twagiramungu anaweza kuomba visa akiwa nchini rwanda twagiramungu anataka passport ya kuenda wapi ana mnyarwanda wa kike christine nkomeza amefungwa gerezani mpimbamjini bujumburahili ni baada ya burundi kumpa saa 48 tangu tarehe 18 aprili 2018 kuondoka kwenye ardhi yakejambo ambalo hakufanya tangazo la terehe la wizara ya utawala wa ndani nchini burundi lilieleza huyu mnyarwanda alikuwa akituhumiwa kuwa mpelelezi wa rwanda kutokana na vitendo itangishatse theoneste april 29 2018 jaji wa mahakama ya tpir huko nchini tanzania theodor meron ameandikia barua serikali ya rwanda akiitaka kutoa maoni yake kuhusu uamuzi wa kumuachia huru kanuni aloys simba ambaye ni mfungwa wa uhalifu wa mauaji ya kimbali dhidi ya tutsi 1994 hii mahakama imetangaza kwamba simba aloys aliandika barua akiomba kuachiwa fred masengesho march 23 2018 makamu msemaji wa ikulu ya burundi alain nzeyimana ametangaza burundi haina hasara yoyote ya kuhudhuria mkutano wa kiuchumi ulioteokea nchini rwanda kuanzia tarehe 1921 machi 2018 huyu kiongozi amesisitiza kuwa brundi haiwezi kutohudhuria mkutano ambao una manufaa kwa umma alain nzeyimana ameelezakwa kifupikuna sababu iliyotufanya kutohudhuria huu mkutanohakuna hasara yoyote nyabihumiaka nenda rudi yapita wakazi wakisubiri malipo ya mali iliyoharibika wakati wa mradi wa umeme fred masengesho february 28 2018 wakazi wa kata ya kareba tarafa ya mukamiramagharibi mwa nchi wametangaza kusubiri miaka sita malipo ya mali yao kama miti iliyoharibika wakati wa ujenzi wa mradi wa umeme mmoja wao amesema kuwa walitimiza mahitaji yote kama vile kufungua akaunti za benki kama walivyotakiwa na kampuni ya ewasa (reg) lakini kuna vénusté aomboleza marehemu mhe patrick mazimpaka fred masengesho february 19 2018 aliyekuwa fisa wa mawasiliano wa unamir bw venuste nshimiyimana ameomboleza mhe patrick mazimpakamwanamume anayemuona kuwa shujaa kwa rwanda na afrika kwa ujumla akieleza alivyomuona nshimiyimana amesema kuwa alimkuta marehemu mala ya mwisho mwaka 2014 mjini hague walipokuwa kwenye mkutano na kuwa alikuwa mtu mwenye busara na hesehima ya kibinadamu nshimiyimana fred masengesho january 5 2018 serikali ya uganda imejibu serikali ya rwanda kuhusu vitendo vya kuwakamata wanyarwanda mbalimbali nchini uganda kwa mujibu wa taarifa za chimpreports serikali ya uganda imeweka wazi kwamba wanyarwanda waliokamatwa na kufikishwa mahakamani ni wale ambao wanaotuhumiwa kuwa na uhusiano na vitendo vya ugaidi nchini uganda hata kama katibu mkuu kwenye fred masengesho january 3 2018 kupitia barua yake fupi anayedai kuwa ni mfalme wa rwandayuhi iv bushaija emmanuel56 amewatakia wanyarwanda amani na kuwaomboleza walioikuta misiba mbalimbali mwaka jana2017 yuhi iv bushaija amewakumbusha wanyarwanda kwamba umoja ni nguvu na kuwa haina budi kuzingatia na kutekeleza jambo hili kupitia upendo na ushirikiano yuhi iv bushaija ameshauri yaliyopita fred masengesho january 2 2018 rais wa rwandapaul kagame akianzisha mwaka mpya 2018amewashukuru wanyarwanda ushirikiano mnamo mwaka 2017 na kuwakumbusha kuna waovu wanaotaka kuharibu waliyotimiza na kwamba haina budi kuwazuia popote watokapo rais kagame amewataka wakazi kuendelea kushirikiana kujifunza na kujenga uwezo wa kulinda yale yote waliyotimiza [xyzihs snippet=google] rais kagame amesemakuna waovuhaina budi kuwazuia fred masengesho january 1 2018 kwenye maandalizi ya kushambulia rwandawapinzani wameahidi kurudisha mali yote ya familia ya assinapol rwigara na ya tajiri ayabatwa tribert rujugiro baada ya kupata ushindi wa kuipindua serikali ya rwanda kupitia barua yake ndefualiyekuwa mwendeshamashtaka mkuu kwenye serikali ya rwanda iliyo ukimbizini abdallah akishuli ameeleza kwamba familia ya assinapol rwigara itarudishiwa fred masengesho december 28 2017 wapinzani wa serikali ya rwanda wameanza maandalizi ya kukusanya fedha zitakazosaidia katika vita vya kuishambulia rwanda kupitia barua yake ndefualiyekuwa mwendeshamashtaka mkuu kwenye serikali ya rwanda iliyo ukimbizini abdallah akishuli ambaye ni mwanachama wa fppurukatsainaonekana waziwazi kuwa wapinzani wanatarajia kuuza dhamana(bonds) zenye bei ya euro miliyoni 10 pia kunatarajiwa kuongeza bunge la rwanda jana limetia saini kwenye sheria za makubaliano ya kutumiana wahalifu kati yas nchi mbalimbali za afrika waziri wa katiba na sheria nyingineevode uwizeyimana ameleeza kwamba rwanda ilisaini mikataba ya kutuma wahalifu na kuwa kuna tumaini kwamba hakuna sababu yoyote itakayozuia utekelezaji wa jambo hili kwa nchi zilizosaini fred masengesho december 23 2017 mbunge jean baptiste rucibigango ametangaza kuwa haifai kujigamba kwa yaliyotimizwa wakati wa kuikomboa nchi kwa manufaa ya jamii kwa ujumla mbunge huyu ameleza kuwa waliyoyafanya ilikuwa kutimiza wajibu wao na kwa hiyo haistahili kujilinga sisi ni watu wa kawaidatuliyoyafanya wengine wanaweza kuyatimiza kwa hiyo haifai kujigamba kwa kuwa ilikuwa wajibu ufaransaupelelezi husika na kuidungua ndege ya rais habyarimana wamalizika fred masengesho december 21 2017 hakimu kwa wajibu wa kujadili uhaifu wa vitendo vya ugaidi nchini ufaransa wamemaliza upelelezi kuhusu kuidungua ndege ya rais juvenal habyarimana tarehe 6 aprili 1994 watu husika na haki leo wametangaza hili ila upelelezi huu ulizusha mgogoro kati ya rwanda na ufaransa baada yake kunyoshea kidole wanajeshi wa rpf kuidungua
2019-03-21T05:37:27
https://swahili.bwiza.com/category/siasa/
contributions by hon hawa subira mwaifunga (4 total) mhe hawa s mwaifunga mheshimiwa naibu spika nakushukuru awali ya yote napenda kumshukuru mwenyezi mungu kwa kuniwezesha kusimama na kuchangia katika wizara hii ya viwanda na biashara (makofi) mhe hawa s mwaifunga mheshimiwa mwenyekiti nikushukuru kwa kunipa nafasi na mimi niweze kuchangia lakini niseme mimi pia ni mjumbe katika kamati ya viwanda biashara na mazingira tumetoa ushauri kwenye taarifa yetu lakini ni vema basi kuna mambo mengine ambayo tunaweza tukayazungumza angalau wabunge wenzetu waweze kutuunga mkono katika kamati yetu mheshimiwa mwenyekiti cha kusikitisha ni kwamba hawa watu wa fcc pia waafanya kazi nyingine ambazo ni za hatari sana wanaingia bandarini wanakutana na watu lakini (hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwa muda wa mzungumzaji) mhe hawa s mwaifunga mheshimiwa mwenyekiti ninakushukuru na mimi ningependa kuchangia katika wizara hii na ninaomba nitoe masikitiko yangu makubwa sana kwa wizara ya maliasili kutokana na mambo yanayoendelea katika mkoa wa tabora mheshimiwa mwenyekiti niliongea na mheshimiwa waziri maghembe kuhusu matatizo ambayo yamewapata wananchi wa sikonge kutokana na maafisa wa idara ya misitu na wanyamapori walioko katika wilaya ile watu hawa wanachukua ngombe wao wanasukumiziwa hifadhini wanasema kwamba ngombe hawa wamefika hifadhini wanachukua ngombe wanatozwa faini ya shilingi milioni mbili mpaka milioni tano kwa ngombe mmoja kuna mwanakijiji mmoja ambaye ametozwa faini ya shilingi milioni 22 kwa ngombe wake 22 kuingia katika hifadhi (makofi) mheshimiwa mwenyekiti kwa masikitiko makubwa nilimueleza mheshimiwa waziri nikiwa hapo na hao wananchi na aliniambia niandike nilimuandikia mpaka sasa ninavyozungumza mheshimiwa waziri hakuna suala lolote ulilolifanya askari hao wamefikia hatua mbaya ya kuwafanyia vibaya wananchi hawa wanawavua nguo wanawatandika bakora na wanawalazimisha kufanya mapenzi na miti mheshimiwa waziri nilikueleza na messsage niliyokuandikia ninayo haya mambo hatuelewi hii nchi ni tanzania ama hii ni nchi gani hawa wafugaji ni watanzania ama hawa wafugaji ni wafugaji wanatoka nchi gani tunaomba sana waziri anapokuja kuwind up atuambie hawa wafugaji wanatakiwa waende wapi (makofi) mheshimiwa mwenyekiti kutokana na kwamba nina dakika tano naomba nimuambie mheshimiwa waziri suala linaloendelea sasa hivi kaliua kesho kutwa wanaelekea ulyankulu jambo la ajabu ni kwamba wananchi hawa walipewa hati na gn serikali ikatangaza matokeo yake wananchi hawa wamenyanganywa hati zao na wanaambiwa waondoke katika maeneo ya hifadhi (makofi) mheshimiwa mwenyekiti wananchi wa vijiji saba hawa hawaelewi kwamba watakwenda wapi wameshakaa pale zaidi ya miaka 30 wanaambiwa waondoke hawaelewi wataondoka waende wapi (makofi) mheshimiwa mwenyekiti niweze kumsaidia mheshimiwa waziri vijiji saba hivyo ni kijiji cha seleli mwendakulima sasu kashishi nyasa iyombo na ilega hawa wananchi mpaka sasa hawaelewi hatima yao pamoja na mkurugenzi kuwahakikishia usalama wao kwamba mpaka ripoti ya waziri mkuu itakapotoka ndiyo watajua kitu cha kuambiwa lakini cha ajabu wizara ya maliasili inachukua hatua kabla hata hiyo ripoti ya waziri mkuu haijasema nini kinachofanyika (makofi) mheshimiwa mwenyekiti naamini ripoti ya waziri mkuu ndiyo ingekuja kutueleza kwamba nini kifanyike hawa watu waende wapi na ndipo wale watu wangeanza kuondolewa lakini leo watu wanaondolewa wameishi zaidi ya miaka 30 wanaambiwa ni eneo la hifadhi hawaambiwi hawa watu wanakwenda wapi hatuelewi huko watu wanaenda wapi tunawatia watu hasira zisizo hata na sababu ajabu ni kwamba mkuu wa wilaya ya kaliua anasema maagizo haya amepewa na mheshimiwa rais huyu mheshimiwa rais anayejinasibu kwa kutetea wanyonge yuko wapi aende akawatetee wanyonge wale(makofi) mheshimiwa mwenyekiti leo mama mjamzito amejifungua ana mtoto wa siku tatu analala nje na mtoto wake lakini cha ajabu wanatoka wanakwenda kuchoma mpaka vyakula ambavyo wale watu wamejiwekea wanavunja nyumba wanakata mabati wanakata miti sasa mnawatoa watu kama mnataka waende wakajenge kwingine haya mabati mnayakata kwa nini vyakula vyao mnachoma kwa nini (makofi) mheshimiwa mwenyekiti mheshimiwa waziri aje atuambie kama ni maelekezo yeye ametoa na wizara yake ama mheshimiwa rais ametoa haya maelekezo chonde chonde wananchi wa wilaya ya kaliua wanateseka na njaa wanalala nje bila msaada wowote na bado wanapigwa wanawake wanabakwa na watoto hawaelewi watakwenda wapi haya ni mambo ya (makofi) mwenyekiti ahsante mhe hawa s mwaifunga mheshimiwa naibu spika nakushukuru awali ya yote ningependa kumshukuru mwenyezi mungu kwa kunipa afya na kuweza kusimama katika bunge hili tukufu ili niweze kuchangia hotuba ya wizara ya viwanda mheshimiwa naibu spika kwanza nianze na mkoa wa tabora siku zote mcheza kwao hutunzwa waheshimiwa wabunge wa mkoa wa tabora siku zote wamekuwa wakipiga kelele kuhusiana na suala zima la viwanda mheshimiwa waziri mwijage anafahamu watendaji wake wote wanafahamu na wakati wote wamekuwa wakitupa ahadi za kwamba watatuletea wawekezaji katika mkoa wetu mheshimiwa naibu spika mkoa wa tabora kuna kiwanda cha nyuzi kiwanda hiki alipewa mwekezaji mwenye asili ya asia baada ya mwekezaji huyu kupewa kiwanda kile kitu kikubwa ambacho ameweza kukifanya katika kiwanda cha nyuzi ni kuondoa mitambo yote iliyokuwepo pale kwenye kiwanda kile kuisafirisha na kuipeleka kwao na kutuachia hall pale katika kiwanda kile mheshimiwa naibu spika nazungumza hili kwa sababu nina ushahidi nalo ukienda katika kiwanda kile huwezi kumkuta mfanyakazi hata mmoja zaidi ya wahindi wawili ambao wanazunguka katika kiwanda kile mheshimiwa naibu spika kiwanda kile hakinufaishi vijana wa tabora hakinufaishi wazawa wa tabora na wala hakinufaishi wanawake wa mkoa wa tabora mheshimiwa naibu spika kwa masikitiko makubwa mwekezaji huyu aliamua kwenda mbali zaidi hadi kuamua kuuza majengo yaliyokuwa yanamilikiwa na kiwanda kile leo majengo yale yanatumiwa na ofisi ya uhamiaji pale juu ukienda pale kwenye barabara ya kilimatinde kuelekea kule njia ya kwenda jimbo la igalula utaona yale majengo juu wameweka ofisi ya uhamiaji chini yapo magofu tu ambayo haieleweki yanafanya kazi gani (makofi) mheshimiwa naibu spika tunaomba mheshimiwa waziri atuambie ni lini basi watamwondoa mwekezaji huyu watuletee mwekezaji mwenye nia thabiti ya kuwekeza katika kiwanda cha nyuzi malighafi za uwekezaji katika kiwanda kile zipo kwa sababu tabora tunalima pamba lakini pia majirani zetu wa kahama shinyanga na maeneo mengine yanayolima pamba tunayopakana nayo yanaweza kufikisha malighafi zile kwa urahisi na kile kiwanda kikaendelea kufanya kazi mheshimiwa naibu spika namwomba sana mheshimiwa waziri kutuletea mwekezaji imeshindikana kiwanda tunacho mwekezaji waliomuweka hafai tunaomba sana waende wakapitie kiwanda kile wakiangalie tukifufue kiwanda cha nyuzi na sisi wananchi wa mkoa wa tabora tuweze kunufaika na rasilimali hiyo mheshimiwa naibu spika mkoa wa tabora kuna jengo la sido kwa masikitiko makubwa sana jengo hili haijawahi kuwanufaisha hata siku moja wakazi wa mkoa wa tabora matokeo yake leo hapa ninavyozungumza sido mkoa wa tabora wamekodisha kwa mratibu wa mafunzo wa veta bwana kaali ambaye ameweka ofisini yake pale na kutengeneza furniture na kuziuza hivi ndiyo yaliyokuwa malengo ya sido hayo ama ilikuwa ni nini mheshimiwa naibu spika nitaomba mheshimiwa waziri aje anipe majibu ya kunitosheleza ili niweze kujua kwa nini sido imepewa mwekezaji eti yeye ndiye anatengeneza makochi yake pale na furniture zake halafu watanzania wa mkoa wa tabora hawanufaiki na hiyo sido (makofi) mheshimiwa naibu spika baada ya kuzungumzia ya nyumbani kwetu sasa naomba nizungumze mambo mengine kwa ujumla mheshimiwa naibu spika wafanyabiashara wenye viwanda wamekuwa na malalamiko mengi siku zote na kwa bahati nzuri mimi mwenyewe ni mmoja kati ya wajumbe wa kamati ya viwanda biashara na mazingira na siku zote malalamiko haya yalipotufikia tumekuwa tukiyafikisha sehemu husika lakini bado kumekuwa na maendeleo ya kulalamika kwa wafanyabiashara hawa kwamba mambo wanayoyahitaji kwa kweli hayatekelezwi sawasawa na serikali mheshimiwa naibu spika tunasema tunakwenda kwenye nchi ya viwanda tunakwendaje kwenye nchi ya viwanda waliopo sasa yale wanayolalamikia hayafanyiwi kazi ipasavyo tutegemee kulete wawekezaji wengine ili waweze kufanya kitu gani kipya ambacho kitawavutia wale watu mheshimiwa naibu spika naiomba sana serikali iweze kuangalia hawa wafanyabiashara wetu wenye viwanda nchini sasa hivi wafanyabishara wenye viwanda nchini ndio wamekuwa kama vile wanatakiwa wafanye kila jambo kosa dogo mfanyabiashara anakwenda kutozwa faini badala mfanyabiashara huyu kupewa maelekezo nini afanye lakini imekuwa wakifika nemc ni milioni 50 akifika waziri ni milioni 30 sasa hawa watu watafanya kazi hii kwenye mazingira yapi tunawakatisha tamaa hawa wafanyabiashara wanahitaji kuwekeza lakini wanashindwa kutokana na mlolongo wa mambo ambayo yanawakera mheshimiwa naibu spika mfanyabiashara yoyote au mwekezaji anapotoka nje lazima apate mwenyeji kutoka ndani ajue mwenzetu amefikia wapi anafanya nini kuendeleza kiwanda chake sasa mwisho wa siku itafika mahali ataanza kuambiwa mabaya kwanza halafu ndipo aambiwe yale yaliyo mema zaidi ya amani na utulivu ambayo ataambiwa ndilo litakuwa jambo la kwanza mengine ataambiwa hapo ukifanya hivi tayari ukifanya hivi tayari mambo yanakuwa si mazuri (makofi) mheshimiwa naibu spika kiwanda kilichopo hapa dodoma (dodoma wine) huyu mwekezaji anafanya kazi nzuri kweli kweli mwekezaji huyu ana wateja wengi kweli kweli lakini anashindwa kuzalisha kwa ufanisi kwa sababu kila kukicha akifungua ofisi yake watu wa halmashauri hawa hapa akifungua ofisi nemc hawa hapa akifungua ofisi watu wa mazingira hawa hapa wote hawa kila mmoja anakwenda kwa wakati wake na anahitaji fedha kutoka kwa huyu mheshimiwa naibu spika hapo hapo tukumbuke huyu ameajiri huyu anatakiwa kulipa kodi ya serikali huyu anatakiwa kufanya mambo kibao katika nchi hii anafanyaje biashara zake kwa hiyo namwomba sana mheshimiwa waziri hawa wawekezaji wetu wachache tulionao ambao ni waaminifu waweze kuangaliwa mazingira yao ya kufanyia biashara zao ili waweze kufanya vizuri mheshimiwa naibu spika kiwanda cha general tyre kimekuwa ni hadithi za alfu lela ulea niseme tu mheshimiwa waziri tulikwenda tumetembelea na waliahidi kwamba kiwanda hiki kingefanyiwa upembuzi yakinifu mwaka wa jana bajeti yake ilikuwa sh150000000 kwa ajili ya upembuzi yakinifu leo imeandikwa sh70000000 sijui ni kwa ajili ya nini kwa sababu ni pesa ndogo sana ambayo haiwezi kwenda kufanya huo upembuzi yakinifu ambao wanasema mheshimiwa naibu spika hata hivyo majibu mengine ambayo tumepata ni sasa hivi wanatafuta mwekezaji kwa hiyo mwekezaji mwenyewe ndio atakayekwenda kufanya huo upembuzi yakinifu tunasema ni hadithi za alfu lela ulela kwa sababu haya mambo yameanza kusemwa tangu tukiwa wadogo tunasikia general tyre mpaka leo bado tunaisikia general tyre mheshimiwa naibu spika watu wenye viwanda wana malalamiko makubwa sana kuhusiana na umeme usio wa uhakika umeme unakatikatika wakati wowote sasa wale wanapokuwa wameshawasha mashine zao umeme ukikatika kwa ghafla ukija kurudi unawasababishia hasara kubwa sana katika mitambo yao kwa sababu umeme unavyorudi haujulikani umerudi kwa nguvu ya aina gani kwa hiyo nimwombe sana mheshimiwa waziri kwa kushirikiana na mheshimiwa wa nishati waangalie kwa kiasi kikubwa ili kuona ni jinsi gani wanavyoweza kuwasaidia wafanyabiashara kwenye suala zima la umeme (makofi) mheshimiwa naibu spika tulikuwa na ziara katika mkoa wa tanga tanga ni moja kati ya mikoa inayoongoza kwa kuwa na viwanda vingi vingi sana lakini pale tanga umeme wa uhakika haupo hizo megawatt walizopewa na tanesco haziwatoshi kuweza kuendesha shughuli za viwanda kwa hiyo naomba sana wauangalie mkoa ule ili uweze kufufua vile viwanda na tayari watu wameanza kuamka kuvifufua waweze kuleta ajira kwa watanzania hasa vijana na wanawake ambao hawana ajira za kutosha (makofi) mheshimiwa naibu spika wafanyabiashara wenye viwanda hasa hao wanaofanya biashara ya cement wamekuwa na malalamiko juu ya upendeleo kwamba kuna baadhi ya wafanyabiashara wanapendelewa kwenye masuala mengine na wao hawapewi upendeleo huo mheshimiwa naibu spika tanga cement wanatengeneza clinker ambayo inatengeneza cement mhe hawa s mwaifunga mheshimiwa naibu spika nikushukuru kwa kunipa nafasi nimshukuru waziri kivuli wa kambi rasmi ya upinzani kwa hotuba yake nzuri ahsante
2017-11-18T00:46:10
http://parliament.go.tz/polis/members/536/contributions
police fc irifuza kugura amasezerano ya bizimana yannick wa flash fc | rwanda football police fc irifuza kugura amasezerano ya bizimana yannick wa flash fc yanditswe na rwanda football ku wa 06062019 saa 1104 rutahizamu wa as muhanga bizimana yannick wigaragaje cyane mu mikino ya shampiyona y umwaka wa 20182019 ari mu biganiro bya nyuma nikipe ya police fc ashobora kwerekezamo muri icyi cyumweru as muhanga iramutse ibyemeye amakuru atugeraho yemeza neza ko bizimana yannick ari mu biganiro bya nyuma bijyanaku kumvikana nikipe ya police fc ku buryo ikipe ya as muhanga iramutse ibyemeye nta mananiza yahabwa amafaranga ahwanye namasezerano yumwaka umwe asigaye hagati yayo na bizimana yannick agahita yerekeza muri police fc bizimana yannick mu biganiro bya nyuma na police fc yifuza kugura amasezerano ye bizimana yannick yasoje umwaka wa shampiyona 20182019 atsinze ibitego 14 mu mikino 30 aho ari ku mwanya wa kane mu batsinze ibitego byinshi nyuma ya ulimwengu jules (20) na michael sarpong (18) bombi ba rayon sports na muhadjili hakizimana wa apr fc watsinze ibitego 16 yannick mbere yumukino ikipe ya muhanga yatsinzemo apr fc 21 rutahizamu bizimana yannick wimyaka 20 yamavuko yageze muri as muhanga muri nyakanga 2018 avuye mu ikipe ya giticyinyoni fc ibarizwa muri shampiyona yicyiciro cya kabiri mu rwanda aho yasinye amasezerano itatu azarangira muri nyakanga 2020 bizimana yannick ahanganye na myugariro wa apr fc buregeye prince police fc yasoje umwaka wa shampiyona wa 20182019 ifite amanota 50 ku mwanya wa kane aho songa isaie wayitsindiye ibitego byinshi yagwije 13 mu gihe as muhanga yasoreje ku mwanya wa 9 namanota 36 aho bizimana yannick yayoboye ubusatirizi bwa yo nibitego 14 as muhanga yitwaye neza muri shampiyona nyuma yo kuva mu cyiciro cya kabiri azam niyo yahawe shampiyona y'u rwanda kuri miliyari 2 kiyovu sports nshya n'umutoza mushya yatangiye imyitozo ← espérance yategetswe gusubiza igikombe igasubiramo umukino wa nyuma na wydad casablanca perezida wa caf ahmad ahmad yatawe muri yombi →
2019-06-15T20:41:34
http://www.rwanda-foot.com/police-fc-irifuza-kugura-amasezerano-ya-bizimana-yannick-wa-flash-fc/
mwongozo wa msingi wa html kwa dummies nyumbani > mwongozo wa msingi wa html kwa dummies ilibadilishwa mwisho juu ya 20 januari 2020 mwongozo huu una masomo yafuatayo nini html matumizi ya kawaida ya html tabia za html kuonyesha kanuni zima dhidi ya inline quote mara mbili vs quote single semantic vs html isiyo ya semantic uthibitishaji wa msimbo wa html vyanzo vingine vyenye manufaa miaka ishirini iliyopita hata kama wewe ni blogger tu ya hobby unapaswa kujua coding fulani ya mtandao ili kujilinda au kuongeza kazi rahisi kwenye tovuti yako lakini sasa kuna wahariri wengi na mipangilio ya kutosha kwamba hata kujua misingi ya html haitaji tena fanya tovuti or piga blogu tatizo hili ni kwamba ikiwa hujui misingi ndogo unaweza kupata shida halisi katika blogu yako na uajiri mtengenezaji wa bei ya kurekebisha kile kinachoweza kuwa shida ndogo siyo tu lakini kuunda mabadiliko kwenye blogu yako kama kuongeza jalada la maandishi ya desturi inahitaji ujuzi mdogo na ikiwa unapata mpangilio wa maudhui hauonekani maarifa ya html yanaweza kurudi kwenye ufuatiliaji hapa ni baadhi ya toleo la html ya mwongozo wa wanablogu na wamiliki wasio wa techie wa biashara mtandaoni html ni uti wa mgongo wa mtandao wa leo mamilioni ya tovuti pamoja ziliunda mtandao ambapo html ndio kizuizi cha ujenzi wa tovuti hizi zote q&a ya kompyuta 1 nini html html ni ufupisho wa hyper text markup llugha ni lugha ya kawaida ya kuchapisha yaliyomo kwa vivinjari vya wavuti html inakilishwa na elements elements pia inajulikana kama tags 2 kwa nini html inahitajika vivinjari vya wavuti vinaweza tu kutoa tovuti wakati imeandikwa katika lugha yao ya mkono html ni lugha ya kawaida ya markup na ina kukubalika zaidi kwa vivinjari vya wavuti ndio sababu unahitaji html 3 je kesi ya html ni nyeti html sio nyeti nyeti lakini mazoezi bora ni kuandika html na matukio sahihi hatua za kuunda faili yako ya kwanza ya html unaweza kuunda faili ya msingi ya html kwa kutumia notepad kwenye kompyuta yako lakini itakuwa chungu kwa kuandika mistari mingi ya kanuni unahitaji mhariri wa kanuni mhariri mzuri wa kanuni itafanya iwe rahisi kuandika na kuandaa codes kubwa ninatumia na kupendekeza notepad + + (bure na chanzo cha wazi) kwa kuandika lugha za wavuti kuna wahariri wengine ambao unaweza kutumia kama mtukufu nakala atom nk hapa ndio unahitaji kufanya sakinisha mhariri wa msimbo unda faili mpya hifadhi kama faili ya html uko tayari kwenda nakili na ushirike nambari ifuatayo kwenye faili yako mpya ya html na uihifadhi sasa uikimbie kwenye kivinjari chako cha wavuti < doctype html> <html> <kichwa> <title> ukurasa wa kwanza wa wavuti </ title> </ head> <body> <p> hello world </ p> </ body> </ html> hongera umeunda faili yako ya kwanza ya html sio lazima uifahamu wakati huu tutaifunika hivi karibuni kuelewa muundo wa html kila faili ya html ina muundo wa uchi wa kawaida hii ndio ambapo kila kitu kinaanza na kila ukurasa mkubwa wa codes utakuja kwenye muundo huu baada ya kupungua kwa hivyo hebu tujaribu kuielewa kutoka kwa nambari ya habari ya dunia vitu vifuatavyo ni sehemu za lazima kwa kila faili ya html < doctype html> = ni tamko kwa kivinjari kwamba hii ni faili ya html lazima uwaeleze kabla ya lebo <html> <html> </ html> = hii ni kipengele cha mizizi cha faili html kila kitu unachokiandika huenda kati ya <html> na </ html> <kichwa> </ kichwa> = hii ni sehemu ya habari ya mta kwa kivinjari maandishi ndani ya lebo hii hayana pato la kuona <mwili> </ mwili> = hii ni sehemu ambayo kivinjari cha mtandao kinatoa nini hasa kuona kwenye tovuti ni utoaji wa codes kati ya <body> na </ body> html ni ushirikiano wa mamia ya vitambulisho tofauti unahitaji kujifunza jinsi wanavyofanya kazi pia unatakiwa kuhakikisha kwamba wamezitumia kwa njia sahihi lebo za html huwa na lebo ya ufunguzi na kufunga kitambulisho cha ufunguzi kina neno linalozunguka na ishara chini ya (<) na kubwa kuliko (>) kitambulisho cha kufungwa kina kila kitu lakini safu ya ziada mbele (/) baada ya ishara chini (<) (2a) kichwa cha kichwa lebo zote za kichwa huenda kati ya <kichwa> na </ kichwa> zina habari za mta kwa kivinjari cha wavuti na injini za utafutaji hao kimsingi hawana pato la kuona kitambulisho kinafafanua jina la ukurasa wa wavuti unaoonekana kwenye kichupo cha kivinjari taarifa hii hutumiwa na programu za mtandao na injini za utafutaji unaweza kuwa na cheo cha juu zaidi kwa faili ya html <title> ukurasa wa kwanza wa wavuti </ title> lebo ya kichwa inaonekana juu ya kivinjari chako tunga ya kiungo huunganisha ukurasa wako wa html na rasilimali za nje matumizi yake kuu ni kuunganisha ukurasa wa html na mitindo ya css ni kitambulisho cha kufunga na hauhitaji mwisho </ link> hapa uhusiano unahusisha uhusiano na faili na src ina maana chanzo <link rel = stylesheet aina = maandishi / css src = stylecss> meta ni lebo nyingine ya kufungwa yenyewe ambayo hutoa habari ya meta ya faili html injini za utafutaji na huduma zingine za wavuti hutumia maelezo haya lebo za meta ni lazima ikiwa unataka kuboresha ukurasa wako kwa injini za utafutaji <meta jina = maelezo maudhui = hii ni maelezo mafupi ambayo injini za utafutaji zinaonyesha kitambulisho cha script kinatumika kwa pamoja na script ya upande wa seva au kufanya kiungo kwenye faili ya script ya nje inaweza kuwa na sifa mbili katika lebo ya ufunguzi moja ni aina na mwingine ni chanzo (src) <scripts> </ noscript> lebo ya noscript inafanya kazi wakati hati zimelemazwa kwenye kivinjari cha wavuti inafanya ukurasa kufuata kwao ambao hairuhusu maandishi kwenye vivinjari vyao vya wavuti <maandishi> <p> ole maandiko yamezimwa </ p> </ noscript> (2b) makala ya mwili lebo zote za mwili huenda kati ya <body> na </ body> wana matokeo ya kuona hii ndio ambapo kazi zaidi imefanywa una kutumia vitambulisho hivi ili utengeneze maudhui yako ya ukurasa kuu <h1> </ h1> hadi <h6> </ h6> hizi ni vitambulisho vya kichwa kichwa muhimu zaidi kinatambulishwa na <h1> na muhimu zaidi kwa <h6> unapaswa kutumia katika uongozi sahihi <h1> hii ni kichwa cha h1 </ h1> <h2> hii ni kichwa cha h2 </ h2> <h3> hii ni kichwa cha h3 </ h3> <h4> hii ni kichwa cha h4 </ h4> <h5 > huu ni kichwa cha h5 </ h5> <h6> hii ni kichwa cha h6 </ h6> maandishi ya kuunda nakala katika faili html inaweza kupangiliwa kwa kutumia vitambulisho vingi vya kupangilia itakuwa muhimu wakati unataka kuonyesha neno au mstari kutoka maudhui yako <p> unaweza kuonyesha maandiko yako kwa njia nyingi </ p> <p> unaweza <strong> ujasiri </ strong> <u> usisitize </ u> <em> italic </ em> <alama > alama </ mark> <subs> subscript </ sub> <sup> superscript </ sup> na zaidi </ p> unaweza kuacha nambari fulani kutoka kwa kutafsiri kwa kutumia lebo ya maoni nambari itaonekana kwenye msimbo wa chanzo lakini haitafanywa matumizi kuu ya lebo hii ni kwa ajili ya kujenga nyaraka za faili za html kwa kutaja baadaye < <p> unaweza kutoa maoni yoyote kwa kuwazunguka kwa njia hii </ p> > (2c) nyengine nyingine muhimu za html anchor ni lebo yenye thamani ambayo hutumiwa karibu kila mahali hutaona ukurasa wowote wa wavuti mtandaoni bila angalau kiungo kimoja cha nanga muundo huo ni sawa ina ufunguzi <a> na sehemu ya kufunga </a> nakala unayotaka kunakia huenda kati ya <a> na </a> kuna baadhi ya sifa zinazofafanua wapi na jinsi mtumiaji anavyofuata baada ya kubonyeza ahref = = inafafanua kiungo cha marudio kiungo huenda kati ya quotes mbili lengo = = inabainisha kama url itafungua kwenye kichupo kipya cha kivinjari au kwenye kichupo hicho lengo = _ tupu ni kwa tab mpya na lengo = _ self ni kwa ajili ya ufunguzi katika tab moja rel = = inafafanua uhusiano wa ukurasa wa sasa na ukurasa uliyounganika ukikosa kuamini ukurasa uliyounganika unaweza kufafanua uhusiano = bila msingi <p> <a target=_blank href=https//wwwgooglecom/> bofya hapa </a> kwenda google itafungua katika tab mpya </ p> <p> <a target=_self href=https//wwwgooglecom/> bofya hapa </a> itawachukua pia kwenye google lakini itafungua kwenye kichupo cha sasa </ p> lebo ya picha ni lebo nyingine muhimu ambayo huwezi kufikiri tovuti nyingi za msingi <img /> ni lebo ya kujifunga haitaji kufunga kwa jadi kama </img> kuna sifa kadhaa ambazo unahitaji kujua kabla ya kuitumia kwa usahihi src = = hii ni kwa kufafanua kiungo cha chanzo cha picha weka kiungo haki kati ya quotes mbili alt = = inasimama kwa maandishi mbadala wakati picha yako haipakia maandishi haya ataupa watumiaji wazo juu ya picha iliyopotea upana = = inafafanua upana wa picha katika saizi urefu = = inafafanua urefu wa picha katika saizi <p> hii ni googleplex katika agosti 2014 </ p> <p> picha hii ina upana wa pixel ya 500 na urefu wa pixels za 375 </ p> <img src = https //uploadwikimedia hifadhi / wikipedia / commons / 0 / 0e / googleplexpatioagosti2014jpg alt = makao makuu ya google agosti 2014 upana = 500 urefu = 375 /> vidokezo unataka kuingiza picha ya clickable punga kificho cha picha na <a> tag tazama jinsi inavyoendelea <ol> </ ol> au <ul> </ ul> kitambulisho cha orodha ni kwa ajili ya kuunda orodha ya vitu <ol> inasimama orodha zilizoamriwa (orodha iliyohesabiwa) na <ul> inasimama kwa orodha zisizoandaliwa (pointi za risasi) vipengee vya orodha ndani ya <ol> au <ul> vinatambulishwa na <li> </ li> li linasimama orodha unaweza kuwa na <li> wengi kama unavyotaka ndani ya lebo ya wazazi <ol> au <ul> <p> hii ni orodha iliyoagizwa </ p> <ol> <li> item 1 </ li> <li> item 2 </ li> <li> item 3 </ li> </ ol> <p> huu ni orodha isiyojidhiliwa </ p> <ul> <li> item 1 </ li> <li> item 2 </ li> <li> item 3 </ li> </ ul> <meza> </ meza> lebo ya meza ni kwa ajili ya kujenga meza ya data kuna wachache vitambulisho vya kiwango ambavyo hufafanua vichwa vya meza safu na safu <meza> </ meza> ni msimbo wa mzazi wa nje katika lebo hii <tr> inasimama safu ya meza <td> inasimama safu ya meza na <th> inasimama kwa kichwa cha meza <meza> <tr> <th> jina </ th> <th> umri </ th> <th> utaalamu </ th> </ tr> <tr> <td> jo <td> 27 </ td> < td> msaada </ td> </ tr> <tr> <td> carol </ td> <td> msaada </ td> </ tr> <tr> <td> simone < / td> <td> 26 </ td> <td> profesa </ td> </ tr> </ table> kumbuka maadili ndani ya <tr> ya kwanza ni vichwa kwa hiyo tulitumia <th> ambayo inatumika athari ya maandishi ya ujasiri kwa maandiko jumuiya ya jedwali unaweza kupanua utendaji wa meza kwa kutumia vipengee vya kikundi cha meza kutakuwa na wakati unahitaji kujenga meza kubwa ambazo zimegawanyika kwenye kurasa nyingi kuunganisha data yako ya meza kwenye kichwa mwili na mchezaji unaweza kuruhusu kupiga kura kwa kujitegemea sehemu ya kichwa na sehemu itashusha kila ukurasa ambapo meza yako imewekwa vitambulisho vya makundi ya meza ni <thead> </ thead> = kwa kuifunga vichwa vya meza inabadilisha kila ukurasa wa mgawanyiko wa meza <tbody> </ tbody> = kwa kufuta data kuu ya meza unaweza kuwa wengi <tbody> kama unahitaji kitambulisho> kitambulisho kinamaanisha kundi tofauti la data <tfoot> </ tfoot> = kwa kuifunga maelezo ya mguu wa meza inabadilisha kila ukurasa wa mgawanyiko wa meza tafadhali kumbuka kuwa si lazima kutumia makundi unaweza kutumia ili kufanya meza kubwa zaidi inavyoonekana wakati waendelezaji maalum walitumia alama hizi kama css selectors hapa ni jinsi gani tunaweza kuunda meza yetu iliyoonyeshwa kwenye <thead> <tbody> na <tfoot> <meza> <thead> <tr> <th> jina </ th> <th> umri </ th> <th> utaalamu </ th> </ tr> </ thead> <tbody> <tr> <td> john </ td> <td> 27 </ td> <td> mtaalamu </ td> </ tr> <tr> <td> carol </ td> <td> 26 </ td> <td> muuguzi </ td> </ t> <td> </ td> <td> 39 </ td> <td> profesa </ td> </ tr> </ tbody> <tfoot> <tr> <td> jumla ya watu </ td> <td> 3 </ td> </ tr> </ tfoot> </ table> <fomu> </ fomu> kipengele cha fomu hutumiwa kwa kuunda fomu za maingiliano kwa kurasa za wavuti fomu ya html ina mambo kadhaa mfululizo kwa mfano <studio> <input> <textarea> nk tabia ya hatua katika fomu ni muhimu sana inasoma kwa upande wa seva au ukurasa wa tatu kwa usindikaji habari kwa usindikaji unahitaji kufafanua njia kwanza unaweza kutumia njia mbili au kupata au baada pata kutuma maelezo yote kwenye muundo wa url ambapo post inatuma habari katika mwili wa ujumbe kuna aina nyingi za pembejeo kwa fomu aina ya msingi ya pembejeo ni maandishi imeandikwa kama <pembejeo ya aina = maandishi> aina zinaweza pia kuwa redio hundi barua pepe na kadhalika kuna lazima uwe na pembejeo ya aina ya kuwasilisha chini kwa kuunda kifungo cha kuwasilisha <lebo> lebo hutumiwa kwa kuunda maandiko na kuwashirikisha na pembejeo utawala wa kuunganisha maandiko na pembejeo ni kwamba ina thamani sawa katika = sifa ya studio na id = sifa ya pembejeo jina la kwanza </ label> <input type = text id = firstname> <br> <label for = jina la mwisho> jina la mwisho </ label> <input type = text id = jina la mwisho> <br> <lebo ya = bio> bio fupi </ studio> <textarea id = bio rows = 10 cols = 30 placeholder = ingiza bio yako hapa > </ textarea> <br> <lebo> jinsia </ studio> <br> <alama kwa = kiume > mwanamume </ studio> <pembejeo = redio jina = jinsia id = kiume> <br> <alama ya = kike> kike </ label> <input type = radio jina = jinsia id = kike> <br > <pembejeo = = tuma thamani = tuma> <fomu> kumbuka nimesema hatua kwa thamani ya null kwa sababu haikuunganishwa na seva yoyote ili kuondokana na habari vipengele vya 3 html tabia ni aina moja ya modifiers kwa vitambulisho vya html wanaongeza mageuzi mapya kwenye vitambulisho vya html tabia inaonekana kama attributeename = na inakaa kwenye lebo ya kufungua html thamani ya sifa inakwenda kati ya quotes mbili id = na darasa = id na darasa ni vitambulisho vya vitambulisho vya html majina tofauti huteuliwa kwa vipengele tofauti vya html kwa kutumia vitambulisho unaweza kutumia kitambulisho cha darasa moja kwa vipengele vingi lakini huwezi kutumia kitambulisho cha id moja kwa vipengele vingi <h1 darasa = inaongoza> hii ndiyo kichwa kuu </ h1> href inasimama kwa kumbukumbu ya hypertext wanasema watumiaji kuwa viungo vya kumbukumbu lebo ya nanga <a> inatumia href kutuma watumiaji kwenye url ya marudio src inasimama kwa chanzo inafafanua chanzo cha vyombo vya habari au rasilimali unazozitumia kwenye faili la html chanzo kinaweza kuwa url ya ndani au ya tatu alt anasimama mbadala ni maandishi ya salama ambayo inatumika wakati kipengele cha html hawezi kupakia <img src = https//uploadwikimediaorg/wikipedia/commons/0/0e/googleplexpatioaug2014jpg alt = makao makuu ya google /> sifa ya mtindo mara nyingi hutumiwa katika vitambulisho vya html inafanya kazi ya css ndani ya lebo ya html malipo yako ya kupendeza huenda kati ya quotes mbili <h2 style = rangi nyekundu> hii ni jina jingine </ h2> 4 kanuni ya kuonyesha zima dhidi ya inline mambo mengine daima huanza kwenye mstari mpya na kuchukua upana kamili wa kupatikana hizi ni block vipengele ex <div> <p> <h1> <h6> fomu nk vitu vingine vinachukua nafasi tu inayohitajika na usianza kwenye mstari mpya hizi ni vitu vya inline ex <a> <span> <br> <strong> <img> nk utahitaji kutenganisha vipengele vya kuzuia kutoka kwa inline wakati unatumia mitindo ya css katika mwongozo huu wa html sio muhimu sana < doctype html> <html> <kichwa> <title> ukurasa wa kwanza wa wavuti </ title> </ head> <body> <h2> hii ni kichwa cha h2 inazuia kuonyesha </ h2> <h2> huu ni <u> mwingine </ u> h2 vichwa hapa kitambulisho cha chini kina uonyesho wa inline </ h2> </ body> </ html> 5 nukuu mara mbili vs quote moja katika html swali hili ni dhahiri sana unapaswa kutumia nini katika html nukuu moja au quote mara mbili watu wanaonekana kutumia wote wawili lakini ni moja sahihi kwenye html nukuu moja na nukuu mara mbili ni sawa hawafanyi tofauti yoyote katika matokeo unaweza kutumia mtu yeyote unayopenda lakini kuchanganya wote katika ukurasa wa nambari huchukuliwa kuwa ni mazoea mabaya unapaswa kuwa thabiti na yeyote kati yao 6 html ya semantic vs html isiyo ya semantic html html ya semantic ni toleo la hivi karibuni la html ambayo pia huitwa html5 ni toleo la maendeleo ya html yasiyo ya semantic na xhtml kwa nini html5 ni bora katika matoleo ya awali vipengee vya html vilitambuliwa na majina ya id / darasa kwa mfano <div id = makala> </ div> ilionekana kuwa makala katika html5 tag <makala> </ article> inajionyesha kama makala bila kuhitaji idhini yoyote ya kitambulisho / darasani kwa ajili ya html5 sasa injini za utafutaji na programu nyingine za mtandao zinaweza kuelewa vizuri ukurasa wa wavuti tovuti za semantic zimefunuliwa kufanya vizuri kwa seo hapa kuna orodha ya vitambulisho vingi vya html5 <kuu> </ main> = hii ni kwa kufunika maudhui kuu ambayo unataka kuonyesha watazamaji wako <kichwa> </ kichwa> = hii ni kwa kuandika sehemu ya kichwa cha maudhui kama kichwa au meta wa mwandishi <makala> </ article> = inasema maudhui yaliyoelezwa na mtumiaji au ya kujitegemea kwa watazamaji wako <sehemu> </ sehemu> = inaweza kuunganisha msimbo wowote kama kichwa footer au sidebar unaweza kusema ni aina ya semantic ya div <footer> </ footer> = hii ndio maudhui yako ya mchezaji hati ya kukataa au hati miliki <audio> </ audio> = inakuwezesha kuingiza faili za sauti bila kuwa na tatizo lolote la programu <video> </ video> = kama <audio> unaweza kuingiza video kwa kutumia tag hii bila matatizo ya plugin mfumo rahisi html5 utaonekana kama hii </>> <title> </ title> </ head> <body> <header> <nav> <ul> <</ do> <title> <meta charset = utf8 /> <title> li> menyu ya 1 </ li> <li> menyu ya 2 </ li> </ ul> </ nav> </ kichwa> <main> <article> <kichwa> <h2> hii ndiyo kichwa cha makala </ h2> <p> iliyotumwa na john doe </ p> </ kichwa> <p> maudhui ya makala huenda hapa </ p> </ article> </ main> <footer> <p> copyright 2017 john doe </ p> </ footer> </ mwili> </ html> uthibitisho wa 7 html wataalamu wengi wa wavuti huthibitisha msimbo wao baada ya kumaliza kwa nini ni muhimu kuthibitisha msimbo wakati unafanya kazi nzuri kuna sababu mbili zinazowezekana za kuthibitisha codes zako itasaidia kufanya kivinjari chako cha msalabamsalaba na jukwaa msalaba sambamba msimbo hauwezi kuonyesha hitilafu yoyote katika kivinjari chako cha sasa lakini huenda kwa mwingine uthibitisho wa kanuni utatayarisha injini za utaftaji na programu zingine za wavuti zinaweza kuacha kutambaa kwenye ukurasa wako ikiwa una makosa ndani yake unaweza kudhibitisha kupitia uthibitisho kwamba hauna kosa kubwa yoyote validator ya w3c ni huduma maarufu zaidi ya kuthibitisha msimbo wana njia kadhaa za kuthibitisha codes unaweza ama kupakia faili au kuingiza moja kwa moja msimbo katika injini yao ya kuthibitisha 8 rasilimali zingine zenye msaada html ni mada ya kujifunza milele matoleo zaidi ya updated ya html yanaweza kuja mapema kwa hiyo unapaswa kukaa updated na kuendelea kufanya mazoezi ni nini aces html hapa ni baadhi ya rasilimali za manufaa kwako rejeleo ya mtandaoni w3schools kozi ya video siku za 30 za kujifunza html & css kitabu cha epdf tutorialspoint
2020-04-10T18:46:41
https://www.webhostingsecretrevealed.net/sw/html-guide-for-beginners/
jinsi ya kupeleleza juu ya wafanyakazi tarakilishi nyumbani >kupeleleza na access udhibiti >jinsi ya kupeleleza juu ya wafanyakazi tarakilishi jamii 02 desemba 2008 ni muhimu kabisa kupeleleza juu ya wafanyakazi tarakilishi kama zaidi kazi ya wafanyakazi wako kutegemea tarakilishi na mtandao tangu rasilimali hizi inaweza kutumiwa vibaya kwa urahisi bila usimamizi asiyeonekana ufuatiliaji wa shughuli ya mfanyakazi imonitor inatoa bora uwiano suluhisho kati ya waajiri ambao wanataka kujua jinsi timu ya kutumia tarakilishi ofisi na wafanyakazi ambao huhitaji imani kutoka kwa viongozi jifunze zaidi pakua ununuzi kwa nini haja ya kupeleleza juu ya wafanyakazi tarakilishi kuongeza ufanisi wa kazi kutumia kwenye mtandao inakuwa maumivu ya kichwa kwa kampuni nyingi s wakubwa ununuzi kwenye mtandao kucheza michezo online kuzungumza na marafiki kuangalia video mtandaoni tabia hii inaweza kuwatawanya wafanyakazi attentions kutokana na kazi yao na kuamsha ufanisi chini ya kazi kwa mujibu wa utafiti wa hivi karibuni karibu kila mwajiriwa inatumia 2 kwa 3 saa kila siku ya kutumia kwenye mtandao isiyohusiana na kazi zao wewe takribani kukadiria kiasi cha muda wafanyakazi wako kazi kweli kila siku katika kampuni yako au labda hali katika kampuni yako ni mbaya sana kisha kufanya matumizi kamili ya ulegevu wakati ni njia bora ya kuongeza ufanisi wa kazi kupeleleza wafanyakazi wako tarakilishi ni kuweza tahadhari wafanyakazi wako kwamba wao wanapaswa kufanya kamili kutumia muda wao kufanya kazi ambayo inapaswa kuwa njia kipaji kuboresha wafanyakazi ufanisi wa kazi kuhakikisha usalama wa siri wakubwa wengi kulipa attentions yao kwa wizi nje lakini puuza wizi ndani ya kwa kweli utafiti wa hivi karibuni unaonyesha kwamba 75 wa kampuni s siri ni uliofanywa na wafanyakazi sasa katika kampuni kutokana na ukweli kwamba makampuni mengi si kukubali kwamba au asilimia inaweza kuwa kubwa sana tovuti ya kufikiwa tarakilishi anatoa fursa zaidi kwa wafanyakazi kuhamisha data na faili kwa makampuni mengine katika njia haraka kupeleleza wafanyakazi tarakilishi utapata bwana wafanyakazi wako wote shughuli za tarakilishi katika kesi ambayo kampuni s siri ni kupotea kuhakikisha kampuni sifa ya s kuna idadi kubwa ya waajiri ambao kutoa taarifa fulani nyeti ya kibinafsi kwa waajiriwa kwa umuhimu wa kufanya kazi ambayo inaongoza kwa matumizi yasiyofaa kwa wafanyakazi wafanyakazi wanaweza kuuza kwa mtu wa tatu au kufanya shughuli yoyote ya udanganyifu ni haramu katika sheria hasara ya shughuli udanganyifu si tu huleta hasara ya kiuchumi ya kampuni lakini pia magofu sifa ya kampuni ya extents baadhi kupeleleza wafanyakazi tarakilishi inaweza kuwasaidia waajiri wa kufanya baadhi ya vitendo mapema ili kuepuka kwamba kuepuka mgogoro wa kisheria katika kesi nyingi kampuni lazima bega aina fulani ya dhima kwa wafanyakazi tabia ambayo inaitwa dhima pamoja kwa kweli matumizi mabaya ya kompyuta kwa wafanyakazi unaweza kumfanya nini na wengine au hata makampuni mengine ambayo gharama sana fedha na nishati kupeleleza wafanyakazi tarakilishi ni mbinu busara kuweka makampuni na wafanyakazi wenyewe mbali nini inasaidia kulinda makampuni na wadau ikiwa ni pamoja na wafanyakazi nini ni kutumika kwa kupeleleza juu ya wafanyakazi tarakilishi wakati zilizotajwa kuhusu kupeleleza wafanyakazi tarakilishi kuna njia mbili zinazotumiwa mara kwa mara moja ni ujasusi wafanyakazi kompyuta na suluhu ya maunzi mwingine ni kutegemea baadhi tarakilishi kupeleleza programu kwa sasa ujasusi shughuli ya tarakilishi na hardwares itasaidia takribani kurekodi jinsi rasilimali ya tovuti ya ofisi ni kutumika katika mtandao huo maunzi ujasusi bidhaa hufuatilia anwani za ip na bandari kubadilishana kupitia kipanganjia ili wasimamizi wanaweza kufikiri tovuti na programu tumizi gani wafanyakazi pakiwa hata hivyo aina hii ya ufuatiliaji zana hana t kufungua maudhui ya kina kwa mfano suluhisho hili atakuambia wafanyakazi baadhi kutumika skype lakini kamwe kuonyesha nini na skype ni wao kuzungumza na wateja au marafiki wao kuvuja siri za kampuni hakuna mtu anajua lakini mfanyakazi kufuatilia programu kama suluhisho la programu digs zaidi katika maandishi kupeleleza wafanyakazi tarakilishi si tu kwa ujumla lakini pia kwa undani kufuatilia tovuti alitembelea na maombi ya kutumika kama ujasusi wa maunzi gani zana kufanya aidha ya mapigo yaliyorudiwa ya vibonye im chat mazungumzo faili kufunguliwa kazi ya uchapaji na zaidi kinachotokea kwenye tarakilishi ya kazi ni malengo ya mfanyakazi kufuatilia programu ikilinganishwa na ujasusi wafanyakazi wako tabia na ufumbuzi wa maunzi kusakinisha tarakilishi ujasusi programu inaonekana nafuu sana kwa hivyo mfanyakazi kufuatilia programu ni sisi ilipendekeza kwa kupeleleza juu ya wafanyakazi tarakilishi haja ya kufuatilia wafanyakazi juu ya mac os x angalia easemon miongoni mwa aina ya mfanyakazi kufuatilia programu imonitor wafanyakazi shughuli kufuatilia faida kipaumbele cha kwanza kutoka kwa waajiri na kipengele mbali sakinishwa na utendaji imara hapa sisi kutoa mwongozo wa jinsi ya kufunga imonito eam na kupeleleza wafanyakazi tarakilishi jinsi ya kufunga imonitor kufuatilia wafanyakazi ufuatiliaji wa shughuli wa mfanyakazi imonitor inasaidia mbali kufunga katika lan mtandao kupitia seva iliyosakinishwa katika tarakilishi mwenyeji sanidi seva ya imonitor kwenye tarakilishi ya jeshi pakua imonitor na kufunga imonitor eam kwenye tarakilishi ya jeshi baada ya kusakinisha tafadhali moja kwa moja kuendesha imonitor eam na chaguomsingi kuingia na nywila na kupata tayari kutekeleza kwa wafanyakazi tarakilishi kufunga imonitor mteja juu ya wafanyakazi tarakilishi kama waajiri na wafanyakazi kushiriki mtandao huo unaweza kwa urahisi na mbali tekeleza imonitor eam katika tarakilishi ambayo unataka kupeleleza juu ya bofya sakinisha wakala katika nyumbani kichupo cha dirisha imoitor bofya ongeza na ingiza tarakilishi jina/jina/nywila ya mtumiaji wa kompyuta lengwa na sawa kabisa mike tarakilishi katika orodha unataka kusakinisha imonitor mteja na bofya sakinisha mbali usakinishaji mbali inahitaji upendeleo wa utawala wa kompyuta mbali vinginevyo utakuwa na kusakinisha imonitor mteja katika eneo hilo na kwa mkono katika tarakilishi ya mbali bofya kupata kisakinishaji wakala na kupata eam wakala kusakinisha nakili kwenye tarakilishi mbali na kupanga kwa mkono juu yake kuendesha seva imonitor kuanza ufuatiliaji mteja imonitor otomatiki kukimbia baada ya kusakinisha kile unahitaji kufanya ni kukimbia seva imonitor na kuanza kupeleleza juu ya wafanyakazi tarakilishi na kupata kile unataka kusimamia onyesha data watumiaji kwenye jeshi au tarakilishi nyingine wafanyakazi wako wote shughuli za tarakilishi utahifadhiwa kwenye tarakilishi mwenyeji katika umbizo usimbaji fiche unaweza kuangalia magogo kwenye kompyuta ya jeshi moja kwa moja au database hutatiza kujengwa katika tarakilishi yoyote na imonitor eam imewekwa kwenye kompyuta ya ofisi mameneja wa biashara wasimamizi wa mtandao au viongozi wa ofisi ni kuweza yote na kupeleleza juu ya wafanyakazi tarakilishi wakati zinazotolewa na ruhusa sahihi na kufikia jinsi imonitor ni kusaidia katika upelelezi wafanyakazi tarakilishi ufuatiliaji wa shughuli imonitor mfanyakazi ni ufumbuzi wa zotemahalipamoja kwa makampuni na biashara kupeleleza juu ya wafanyakazi tarakilishi ni kumbukumbu ya shughuli zote za kinachotokea kwenye tarakilishi ya windows ya ofisi ikiwa ni pamoja na ufuatiliaji ya ya mtandao muda halisi uchujaji yasiyofaa ya maudhui na kazi hata muda wa kufuatilia inasaidia waajiri im rekodi chat mazungumzo endelea kufuatilia ya yote ya chat mazungumzo uliotumwa na kupokelewa kwa wafanyakazi wako tarakilishi wazi kuingia matendo yote yanayohusiana na faili matendo yote kuhusu faili ikiwa ni pamoja na hamisho la faili nakala futa ita jina jipya ilivyoandikwa na mfanyakazi kufuatilia programu kufuatilia tovuti alitembelea na maombi kutumika anaruhusiwa kujua tovuti wafanyakazi wako alitembelea pamoja na maombi ya kutumika wakati wa kufanya kazi matumizi rekodi ya usb/mmc/sd/cd/dvd kurekodi matumizi ya usb/mmc/sd/cd/dvd katika kesi ambayo wafanyakazi wako kutumia vifaa vya kubebeka kuhamisha kampuni siri ya s endelea kufuatilia ya kazi zote za kuchapa unaweza kujua kazi zote za kuchapa kunyongwa ili kwamba una uwezo wa kujua idadi sahihi ya kila nyaraka na faili zichapishwe kichujio usiotakiwa yaliyomo muda mrefu kama unaweza kugundua kuna wavuti ulizotembelea isiyohusiana kazi katika data watumiaji wewe chukua hatua haraka ili kuchuja ni kuchukua viwambo katika muda halisi ufuatiliaji wa shughuli wa mfanyakazi imonitor ina uwezo wa kuchukua ya viwambo katika muda halisi ili kuwasilisha picha wazi mwoneko magogo kwenye seva kiambo au mbali kama unataka kuangalia magogo kwenye wafanyakazi wako tarakilishi unaweza kuona magogo kuokolewa au hifadhiwa nyaraka kwenye seva kiambo au hifadhidata mbali kama unataka kufunga imonitor juu wafanyakazi wako tarakilishi wanapaswa kuweka sera baadhi ya maandishi na arifu wafanyakazi wako mapema au tabia yako ufuatiliaji hairuhusiwi kama kwa udhibiti wa kina wanapaswa kuchukua sheria ya ndani ya nchi yako kwa ajili ya kumbukumbu kwa ujumla ya chini tabia ni kuchukuliwa kisheria kuhakikisha usalama wa taarifa kiakili inayomilikiwa na kampuni ya kuacha au kuchunguza tabia ya uhalifu wa inawezekana kwa wafanyakazi kukataza matumizi binafsi ya kampuni s kituo kutafuta programu haramu leboufuatiliaji wa shughuli ya mfanyakaziufuatiliaji wa tarakilishi wa mfanyakazimfanyakazi wa ufuatiliaji wa programukupeleleza kwenye tarakilishi ya wafanyakazi 7 miaka iliyopita wow eam imonitor ni nguvu mimi itakuwa kupendekeza kwa bosi wangu 🙂 pingback masharti ya tarakilishi | lebo ya moto ya digg
2018-01-19T01:44:10
http://www.how-to-spy.com/sw/how-to-spy-on-employees-computers.html
maya movies galleries here foot movies related searches maya hills maya gold maya divine hina hinako mya maya devine russian ( pics here ) mia maia ( pics & movies here ) maya gates porno star maya gold asian ( pics & movies here ) lil maya maja handjob ( pics & movies here ) teacher ( pics here ) schoolgirl ( pics & movies here ) babysitter ( pics & movies here ) maya sawamura yuma asami ( pics & movies here ) liz vicious ( pics & movies here ) ava devine ( pics here ) virgin ( pics & movies here ) sasha taboo ( pics & movies here ) sara jay ( pics & movies here ) wendy divine kokoro wakana alexis nina hartley ( pics here ) lilmaya natasha mya diamond ( pics here ) paris hilton ( pics here ) ivana fukalot ai kurosawa tawnee stone brandi belle ( pics & movies here ) britney spears ( pics here ) fist maya
2019-03-22T02:16:59
http://herefoot.tv/free/movies/maya/
ukurasa wa kwanza > kukopeshwa na muajiri lakini serikali kuchukua kodi ya mkopo source url http//wwwalhidaayacom/sw/node/4958 [2] https//wwwaddtoanycom/share#url=http3a2f2fwwwalhidaayacom2fsw2fnode2f4958&amptitle=kukopeshwa20na20muajiri20lakini20serikali20kuchukua20kodi20ya20mkopo
2019-06-27T00:40:19
http://www.alhidaaya.com/sw/print/4958
waziri mkuu akagua miradi ya jimboni mwake | mpekuzi waziri mkuu akagua miradi ya jimboni mwake waziri mkuu ambaye yuko kwenye mapumziko ya mwisho wa mwaka amekagua miradi ya maji ujenzi wa zahanati na kuzungumza na wananchi kaika vijiji vya mibure namakuku chienjere namahema a na namahema b akizungumza na wakazi wa kijiji cha mibure jana mchana (alhamisi desemba 28 2017) mara baada ya kukagua zahanati ya kijiji hicho waziri mkuu alisema ameridhishwa na ujenzi unavyoendelea na akamwagiza mkurugenzi wa halmashauri ya ruangwa ahakikishe zahanati hiyo ikikamilika inapata kifaa cha kuwatunzia watoto njiti kwa sababu kijiji hicho kiko mbali na hospitali ya wilaya ya ruangwa aliwataka vijana wa kata hiyo wachangamkie fursa kwa muanda mitaji ya kuwa na gereji za kuchomelea vyuma saluni na viwanda vidogo vya usindikaji bw chilemba alisema kukamilika kwa ujenzi wa zahanati hiyo kutasaidia wakazi wa vijiji jirani vya njawale namakuku na vijiji jirani vya wilaya ya nachingwea ambavyo vinapakana na wilaya ya ruangwa
2018-10-16T14:42:47
http://www.mpekuzihuru.com/2017/12/waziri-mkuu-akagua-miradi-ya-jimboni.html
(elekezwa kutoka bahari ya antaktika) ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 13 oktoba 2019 saa 0707
2020-05-31T19:22:49
https://sw.wikipedia.org/wiki/Bahari_ya_Antaktika
resources uuzaji kwa njia ya mnada wa magogo yaliyokamatwa na kutaifishwa nyanda za juu kusini press_swahil_shzce1 wakala wa huduma za misitu tanzania (tfs) unatarajia kuuza magogo ya miti ambayo yalivunwa kinyume cha sheria ya misitu magogo ya mkulungu (pterocarpus tinctorius) yana jumla ya meta za ujazo 91213 na magogo ya mseni (brachystegia spp) yana meta za ujazo 3127 magogo yote yapo maeneo mbalimbali ya wilaya katika kanda ya nyanda za juu kusini mauzo haya yatafanyika katika maeneo ambapo sale of confisicated logs by auction mbeya press_eng_shzce jarida la wakala wa huduma za misitu tfs_newsletter_dec_2016 the sale of standing teak trees by private agreement in mtibwa morogoro and longuza muhez tanga press_englished_kilongoce12102016 uuzaji wa miti ya misaji shamba la miti mtibwa morogoro na longuza muheza tanga press_swahili__edce12102016 wakala wa huduma za misitu tanzania (tfs) unatarajia kuuza miti aina ya misaji yenye jumla ya meta za ujazo 886074 iliyopo mashamba ya miti ya mtibwa na longuza yaliyopo mikoa ya morogoro na tanga mtawalia mauzo haya yatafanyika oktoba 27 2016 katika chuo cha taifa cha utalii kampasi ya bustani kilichopo katika makutano ya mtaa wa shaaban robert/samora avenue mjini dar es salaam tfs yasaidia madawati mkoani mwanzanews wizara ya maliasili na utalii kupitia wakala wa huduma za misitu tanzania (tfs) imekabidhi madawati 12115 mkoani mwanza ikiwa ni utekelezaji wa ahadi iliyotolewa bungeni mwanzoni mwa mwaka huu na waziri wa maliasili na utalii prof jumanne maghembe ya kutengeneza madawati 20000 jeshi la polisi mkoani pwani kwa kushirikiana na maofisa wa maliasili wamekamata viroba vya banginews
2017-01-21T13:19:28
http://www.tfs.go.tz/resources
lev 9 | neno | step | katika siku ya nane mose akawaita aroni na wanawe na wazee wa israeli makuhani waanza huduma yao 1 katika siku ya nane mose akawaita aroni na wanawe na wazee wa israeli 2 akamwambia aroni chukua ndama dume kwa ajili ya sadaka yako ya dhambi na kondoo dume kwa sadaka yako ya kuteketezwa wote wawili wasiwe na dosari nao uwalete mbele za bwana 3 kisha waambie waisraeli chukueni mbuzi dume kwa ajili ya sadaka ya dhambi ndama na mwanakondoo wote wawili wawe wa umri wa mwaka mmoja wasio na dosari kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa 4 na maksai na kondoo dume kwa ajili ya sadaka ya amani ili kutoa dhabihu mbele za bwana pamoja na sadaka ya nafaka iliyochanganywa na mafuta kwa kuwa leo bwana atawatokea 5 wakavileta vile vitu mose alivyowaagiza mbele ya hema la kukutania nalo kusanyiko lote likakaribia na kusimama mbele za bwana 6 ndipo mose akasema hili ndilo bwana alilowaagiza mlifanye ili utukufu wa bwana upate kuonekana kwenu 7 mose akamwambia aroni njoo madhabahuni ili utoe dhabihu yako ya sadaka ya dhambi na sadaka yako ya kuteketezwa ufanye upatanisho kwa ajili yako mwenyewe na kwa ajili ya watu kisha utoe sadaka ya upatanisho kwa ajili ya watu kama vile bwana alivyoagiza 8 hivyo aroni akaja madhabahuni na kumchinja yule ndama kuwa sadaka ya dhambi kwa ajili yake mwenyewe 9 wanawe wakamletea damu na akachovya kidole chake katika hiyo damu akaitia kwenye pembe za madhabahu damu iliyobaki akaimwaga chini ya madhabahu 10 juu ya madhabahu akateketeza mafuta figo na mafuta yanayofunika ini kutoka kwenye hiyo sadaka ya dhambi kama bwana alivyomwagiza mose 11 nyama na ngozi akaviteketeza nje ya kambi 12 kisha aroni akachinja sadaka ya kuteketezwa wanawe wakamletea damu naye akainyunyiza pande zote za madhabahu 13 wakamletea sadaka ya kuteketezwa kipande kwa kipande pamoja na kichwa naye akaviteketeza juu ya madhabahu 14 akasafisha sehemu za ndani na miguu na kuviteketeza juu ya sadaka ya kuteketezwa juu ya madhabahu 15 kisha aroni akaleta sadaka ile iliyokuwa kwa ajili ya watu akachukua yule mbuzi wa sadaka ya dhambi kwa ajili ya watu akamchinja na kumtoa kwa ajili ya sadaka ya dhambi kama alivyofanya kwa ile ya kwanza 16 aroni akaleta sadaka ya kuteketezwa na kuitoa kama ilivyoelekezwa 17 pia akaleta sadaka ya nafaka akachukua konzi moja na kuiteketeza juu ya madhabahu pamoja na sadaka ya kuteketezwa ya asubuhi 18 akachinja maksai na kondoo dume kama sadaka ya amani kwa ajili ya watu wanawe wakampa ile damu naye akainyunyiza kwenye madhabahu pande zote 19 lakini sehemu zile za mafuta ya yule maksai na kondoo dume yaani mafuta ya mkia mafuta yaliyofunika tumbo ya figo na yaliyofunika ini 20 hivi vyote wakaviweka juu ya vidari kisha aroni akayateketeza hayo mafuta ya wanyama juu ya madhabahu 21 aroni akaviinua vile vidari na paja la kulia mbele za bwana kuwa sadaka ya kuinuliwa kama mose alivyoagiza 22 kisha aroni akainua mikono yake kuwaelekea watu na kuwabariki naye baada ya kutoa dhabihu ya sadaka ya dhambi sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya amani akashuka chini 23 kisha mose na aroni wakaingia kwenye hema la kukutania walipotoka nje wakawabariki watu nao utukufu wa bwana ukawatokea watu wote 24 moto ukaja kutoka katika uwepo wa bwana ukairamba ile sadaka ya kuteketezwa pamoja na sehemu ya mafuta yaliyokuwa juu ya madhabahu watu wote walipoona jambo hili wakapiga kelele kwa furaha na kusujudu
2018-03-24T02:51:33
https://www.stepbible.org/?q=version=Neno%7Creference=Lev.9
mkutano wa kwanza wa kamati ya mawaziri wenye dhamana ya menejimenti ya maafa kwa nchi wanachama wa jumuiya ya maendeleo kusini mwa afrika | mpekuzi mkutano wa kwanza wa kamati ya mawaziri wenye dhamana ya menejimenti ya maafa kwa nchi wanachama wa jumuiya ya maendeleo kusini mwa afrika serikali ya tanzania itakuwa mwenyeji wa mkutano wa kwanza wa kamati ya mawaziri wenye dhamana ya menejimenti ya maafa kwa nchi wanachama wa jumuiya ya maendeleo kusini mwa afrika utakaofanyika tarehe 18 21 februari 2020 zanzibar mgeni rasmi atakayefungua mkutano huo ni rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzimhe dk ally mohamed shein kaulimbiu ya mkutano huu ushiriki wa kisekta kwenye kupunguza madhara ya maafa ni njia bora ya kuimarisha ustahimilivu katika ukanda wan chi wanachama wa jumuiya ya maendeleo kusini mwa afrika (sadc) itakumbukwa kuwa tanzania ilichukua rasmi nafasi ya mwenyekiti wa jumuiya kuanzia mwezi agosti 2019 kwa kipindi cha mwaka mmoja hadi mwezi agosti 2020 hatua hii inatokana na utaratibu wa kawaida wa mzunguko wa kushika nafasi hiyo kulingana na mkataba wa kuanzishwa kwa jumuiya hiyo mkutano huu unafanyika kwa mara ya kwanza visiwani zanzibar tangu mhe dkt john joseph pombe magufuli rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania akabidhiwe uenyekiti wa jumuiya kufanyika kwa mkutano huu ni fursa kubwa kwa wananchi wa tanzania kwani utasaidia kukuza biashara na utalii katika nchi yetu hasa visiwa vya zanzibar na kuendelea kujitangaza kimataifa kamati ya mawaziri wenye dhamana ya menejimenti ya maafa imeanzishwa kwa lengo la kulishauri baraza la mawaziri wa nchi za jumuiya ya sadc kuhusu masuala ya upunguzaji wa madhara ya maafa kikanda lengo mahususi pia ni kuwa jukwaa la kubadilishana taarifa na uzoefu wa kiutendaji miongoni mwa nchi wanachama ili kutekeleza kwa ufanisi shughuli za usimamizi wa maafa mkutano huu unakuja kipindi ambacho nchi nyingi wanachama katika ukanda huu zimekuwa zikiathiriwa na majanga ya asili mara kwa mara na kusababisha madhara makubwa sote tunakumbuka ukame wa mwaka 2016 ambao uliathiri takribani watu milioni 40 katika ukanda huu na kusababisha ukosefu wa chakula idadi hii iliongezeka hadi watu milioni 416 katika nchi 13 wanachama kipindi cha msimu wa 2018/2019 baadhi ya nchi wanachama ikiwemo (komoro malawi msumbiji na zimbabwe) kwa mwaka 2019 zilipata mafuriko yaliyosababishwa na vimbunga idai na kenneth kutokana madhara ya mafuriko hayo gharama za misaada kukabilia na madhara zilikadiriwa kuwa dola milioni 323 wakati gharama za kurejesha hali zilikadiriwa kuwa dola bilioni 10 ili kuweza kupunguza gharama kubwa katika urejesahi wa hali ndio maana katika mkutano wa sadc kujadiliana namna ya kuwekeza katika punguza madhara ya maafa kwa kuwa gharama za usimamizi wa maafa kama ya ukamae na mafuriko huzilazimu nchi wanachama kuelekeza rasilimali zilizotengwa kwa ajili ya shughuli za za maendeleo na badala yake kuelekezwa katika shughuli kurejesha hali sote tunakumbuka matukio ya vimbunga vya idai na keneth katika nchi za msumbiji malawi na zimbabwe zilizoathirika zaidi kutokana na madhara ya vimbunga hivyo nchi yetu ilishiriki katika hatua za kurejesha hali kwa kutoa misaada ya kibinadamu ikiwemo tani 24 za dawa za binadamu na mahindi tani 200 kwa nchi hizi 3 (msumbiji malawi na zimbabwe) kwa uzoefu wa aina ya majanga ambayo hutokea katika nchi za sadc yanadhihirisha umuhimu wa ushirikiano wa kikanda ulio thabiti katika kukabiliana nayo majanga haya kwa kiasi kikubwa yanatokana na mabadiliko ya tabianchi na hali ya hewa pia yamekuwa yakitokea magonjwa ya milipuko ya wanyama na mazao katika ukanda huu ambao asilimia kubwa ya wananchi wake hutegemea sana shughuli za kilimo kwa ustawi wa uchumi hali hii imekuwa ikichangia kudumaza ukuaji wa uchumi wa kikanda hivyo hatuna budi kuchukua hatua kwa pamoja za kupunguza madhara kuimarisha utayari wa kikanda na uwezo wa kukabiliana na maafa aidha katika kuchukua hatua za kuimarisha ustahimilivu wa kikanda dhidi ya maafa sekretarieti ya jumuiya kwa kushirikiana na nchi wanachama imekuwa ikifanya juhudi mbalimbali za kuimarisha ustahimilivu kwa kuandaa mpango wa dharura wa kujiandaa na kukabiliana na maafa kushirikiana kuandaa taarifa za utabiri wa msimu na kutoa tahadhari ya awali kuhusu hatari zitokanazo hali ya hewa pamoja na kutoa mafunzo kwa wataalam wa nchi wanachama katika fani mbalimbali ikiwemo tathmini utafutaji na uokoaji aidha baadhi ya nchi wanachama ikiwemo tanzania zimefaidika kwa kupata vifaa na mifumo ya kufuatilia majanga ya mafuriko ukame na moto wa misituni kwa ajili ya kutoa tahadhari ya awali ili kwenda sambamba na juhudi za kikanda na kimataifa serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na dkt john pombe magufuli itaendelea kuimarisha uwezo wake wa usimamizi wa maafa katika nyanja zote tayari serikali ya awamu ya tano imetunga sheria ya usimamizi wa maafa ya kitaifa na 7 ya 2015 na kanuni zake tunao wasifu wa janga la mafuriko na ukame wa kitaifa na mkakati wa taifa kupunguza madhara ya maafa serikali imefanikiwa kuandaa mpango wa dhamira ya taifa wa utekelezaji wa makubaliano ya paris kuhusu mabadiliko ya tabianchi pia mfumo wa taifa wa ufuatiliaji na taarifa za gesi joto umeandaliwa pamoja na mipango ya kukabiliana na dharura za afya ya binadamu mifugo na wanyama pia na kuandaa mkakati wa taifa wa usimamizi wa mazao baada ya kuvuna lengo kubwa la serikali ni kuhakikisha kila sekta inazingatia hatua za upunguzaji wa madhara ya maafa katika mipango ya maendeleo na uandaaji wa bajeti ili kupunguza madhara kwa jamii na hasara za kiuchumi mkutano wa kwanza wa kamati ya mawaziri wanaohusika na menejimenti ya maafa kwa nchi wanachama wa jumuiya ya maendeleo kusini mwa afrika utakaofanyika mwezi februari 2020 visiwani zanzibar unakusudia kuchochea juhudi zilizopo katika kupunguza madhara ya maafa kwa kuteleleza yafuatayo i kujadili na kupitisha mkakati wa kujiandaa na kukabiliana na maafa wa kikanda 2016 2030 ii kujadili na kuridhia mfumo mkakati wa ustahimilivu wa kikanda 2020 2025 iii kupitia maombi ya nchi wanachama kuunga mkono sekretarieti ya jumuiya kupata idhini ya matumizi ya mfuko wa fedha za ufadhili wa mabadiliko ya tabianchi iv kupokea taarifa za maendeleo juu ya utekelezaji wa mkakati wa mabadiliko ya tabianchi na mpango kazi v kupokea taarifa ya hatua za utekelezaji wa maazimio mbalimbali ikiwemo kuanzisha mfuko wa kujiandaa na kukabiliana na maafa wa kikanda kuanzisha kituo cha kikanda cha operesheni ya maafa mpango wa mazoezi ya nadharia ya kukabiliana na dharura pendekezo la mfumo wa ushirikiano wa rasilimali ikiwemo wataalam fedha na vifaa wakati wa dharura na utafiti wa njia mbadala za ufadhili wa majanga katika huduma za kibinadamu na urejeshaji wa miundombinu kutokana na majanga ya asili mhe jenista mhagama (mb) waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu sera uratibu bunge uwekezaji ajira vijana na wenye walemavu
2020-08-09T12:19:01
https://www.mpekuzihuru.com/2020/02/mkutano-wa-kwanza-wa-kamati-ya-mawaziri.html
this day magazine wachezaji wawili wa ujerumani watakaocheza kombe la dunia wapata ajali ' '' var month = [123456789101112] var month2 = [janfebmaraprmayjunjulaugsepoctnovdec] var day = postdatesplit()[2]substring(02) var m = postdatesplit()[1] var y = postdatesplit()[0] for(var u2=0u2 wachezaji wawili wa ujerumani watakaocheza kombe la dunia wapata ajali wachezaji 2 wa ujerumani wajeruhiwa italia wachezaji wawili wa timu ya taifa ya ujerumani itakayoshiriki kombe la dunia hukop brazil mwezi ujao wamenusurika baada ya kuhusika katika ajali ya barabarani wakiwa italia benedikt hoewedes na julian draxler walikuwa ndani ya magari tofauti katika hafla iliyoandaliwa na kampuni ya magari ya mercedes moja ya magari yaliyohusika iliwagonga wapita njia wawili karibu na makahawa wanakoiswahi timu ya taifa ya ujerumani mwathiriwa moja anauguza majeraha mabaya ajali ya pili ilimhusisha dereva wa mbio za magari ya langalanga wa mercedes nico rosberg hoewedes na draxler ni wachezaji wa timu ya schalke 04 walioitwa katika timu ya taifa wenyeji wao kampuni ya mercedesbenz imetoa taarifa kusema kuwa itashirikiana na maafisa wa polisi kutathmini kilichotokea timu hiyo ya ujerumani inatarajiwa kuendelea na kambi ya mazoezi katika mji wa tyrol kusini mwa italia hadi juni mosi posted by editor on 1054 filed under sportnews you can follow any responses to this entry through the rss 20 0 comments for wachezaji wawili wa ujerumani watakaocheza kombe la dunia wapata ajali
2017-09-21T12:20:36
http://thisdaymag.blogspot.com/2014/05/wachezaji-wawili-wa-ujerumani.html
mchezo kujenga potions online kucheza kwa huru mchezo kujenga potions kucheza mchezo kujenga potions online maelezo ya mchezo kujenga potions kama wewe kama kufanya potions mbalimbali na mchanganyiko na katika moyo wako wewe duka la dawa au unataka kuwa katika siku zijazo mradi una toy kama hii ni ambapo unaweza kufungua vipaji vipya na kuomba maarifa na ujuzi kwamba wewe mwenyewe kiini cha mchezo ni kufanya ajabu potion kwa kufanya hivyo wewe ni kupewa kifaa fulani kwamba una haki ya kutumia kuwa makini kucheza mchezo kujenga potions online kiufundi na tabia ya mchezo kujenga potions mchezo kujenga potions aliongeza 26112015 michezo kama mchezo kujenga potions download mchezo kujenga potions embed mchezo kujenga potions katika tovuti yako kujenga potions kuingiza mchezo kujenga potions kwenye tovuti yako nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako pia kama wewe kama mchezo kujenga potions nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote kushiriki mchezo na dunia pamoja na mchezo kujenga potions pia alicheza katika mchezo
2019-01-17T06:03:59
http://sw.itsmygame.org/1000038804/potion-motion_online-game.html
straika cristiano ronaldo sasa pasua kichwa real madrid cristiano ronaldo sasa pasua kichwa real madrid *mshahara wake mpya kuigharimu real bil44/ kwa matanuzi kama haya ronaldo lazima adai mkwanja mnene si wa kitoto hapa anakula maraha na demu wake irina shayk mtoto wake wa kiume na wapambe kibao ndani ya boti ya bei mbaya kwenye fukwe za st tropez ufaransa julai 3 2012 si unaouona mwili ulivyojengeka kispoti hapa ni misosi ya mpangilio na mazoezi makali kwanini asidai mwakanja mnene kuwa na demu mkali kama irina shayk anayekupa maraha kwa kukulalia mgongoni kunahitaji mkwanja ati nd'o mana ronaldo anaihenyesha real kwa kutaka salary ndefu si ya kitoto kidali poh ronaldo na demu wake irina shayk wakifaidi maraha kwenye fukwe za st tropez ufaransa julai 3 2012 wanasikia raha au au utamu niache hukoo ronadlo na kimwana wake irina wakicheza kwenye fukwe za st tropez ufaransa ronaldo na demu wake hapa ni ronaldo kimwana wake irina mtoto wake na wapambe kibao wakiendelea kula maraha katika fukwe za st tropez bila kulipwa mkwanja mrefu atamudu mambo haya ronaldo mtoto wake na wapambe wakiendelea kuponda maraha ronaldo (kulia) na wachezaji wenzake wa real wakizunguka na kombe katika mitaa ya jiji la madrid baada ya kutwaa ubingwa wa la liga ligi kuu ya hispania msimu uliopita straika huyu aliibeba sana real akifunga mabao 46 katika mechi 38 za la liga na kuifanya klabu hiyo iandike rekodi mpya hispania kwa kufikisha magoli 121 na pia kuweka rekodi ya kufikisha pointi 100 katika ligi kwanini asidai mkwanja mrefu kutupwa kwa sheria ya david beckham' kumewafanya wachezaji nyota nchini hispania sasa wakitozwa kodi kama watu wengine wanaoingiza vipato vikubwa nchini humo ronaldo anataka kusainiwa kwa mkataba mpya utakaomhakikishia mshahara wa euro milioni 15 kwa mwaka ambao unamaanisha kuwa baada ya kutupwa kwa sheria ya beckham real madrid sasa watalazimika kumlipa mshahara kufuru wa euro milioni 23 (sh bilioni 44) kwa mwaka ili nyota huyo wa zamani wa manchester united aendelee kuichezea timu hiyo hata hivi sasa ambapo anapokea mshahara wa euro milioni 95 (sh bilioni 18) kwa mwaka ronaldo atailazimu real kumlipa euro milioni 12 (sh bilioni 23) kwa mwaka ili kufidia pengo la makato linalotokana na sheria mpya ya kodi nchini hispania posted by amur hassan at 211 pm
2017-10-17T04:04:58
http://straikamkali.blogspot.com/2012/07/ronaldo-sasa-pasua-kichwa-real-madrid.html
land and natural resources | nachingwea district council kusimamia sheria ya wanyamapori na 5 ya mwaka 2009 na kutekeleza sera ya wanyamapori kufanya doria katika maeneo yenye wanyamapori na kutunza nyara za serikali kabla ya kuziwasilisha katika ghala la taifa
2018-06-24T08:46:25
http://www.nachingweadc.go.tz/land-and-natural-resources
shindano la miss universe tanzania larejea mwananchi shindano la miss universe tanzania larejea shindano la kumsaka miss universe tanzania linatarajiwa kufanyika tena mwaka 2019 baada ya kutofanyika mwaka jana dar es salaam shindano la kumsaka miss universe tanzania linatarajiwa kufanyika tena mwaka 2019 baada ya kutofanyika mwaka jana warembo 90 wa shindano hilo linaloandaliwa na kampuni ya compass communication kutoka mikoa mbalimbali nchini wamefanyiwa usaili kupata wachache watakaoshindana kumpata mshindi mmoja mwaka 2019 shindano hilo litawahusisha warembo 10 kutoka mikoa ya mwanza arusha dodoma na dar es salaam na linatarajiwa kufanyika oktoba 12 katika hoteli ya serena jijini dar es salaam urembo ni sanaa na urembo ni kazi na ndiyo maana sisi kama compass communications tumeona fursa na kuamua kuendeleza vipaji vya wasichana wengi wenye ndoto na kuamini kuzifikia kupitia tasnia hii ya urembo amesema mkurugenzi wa compass communications maria sarungi tsehai miaka ya nyuma shindano hilo limeibua vipaji vya warembo wengi ambao wameendelea kufanya vyema kwa kupeperusha bendera ya taifa baadhi ya warembo hao ni flaviana matata nelly kamwelu na hellen dausen mvua yasogeza mbele tamasha la wasafi dar es salaam diamond atunukiwa tuzo canada ya kutangaza kiswahili tsehai amesema mafanikio hayo yametokana na ushirikiano mzuri na wadau wote wa tasnia ya urembo tunaishukuru sana serikali wizara husika pamoja na baraza la sanaa (basata) kwa kutupatia ushirikiano kwa miaka yote ni matumaini yetu kwamba tutazidi kupata ushirikiano na kusogeza kwa pamoja hili gurudumu la sanaa amesema maria sarungi mbali na shindano hilo la urembo mwaka 2019 mashindano haya yanaadhimisha miaka 12 tangu kuanza kufanyika hapa nchini mwaka 2007 mshindi wa shindano hilo ataiwakilisha tanzania katika mashindano ya dunia yatakayofanyika mwishoni mwa mwaka 2019
2019-10-21T13:27:07
https://www.mwananchi.co.tz/Michezo/burudani/Shindano-la-Miss-Universe-Tanzania-larejea/1597574-5303578-b784hxz/index.html
young dee atawala wiki moja mitandaoni kwa mabaya na mazuri | saluti5 home » muziki » young dee atawala wiki moja mitandaoni kwa mabaya na mazuri young dee atawala wiki moja mitandaoni kwa mabaya na mazuri rapa david genzi aka young dee amejikuta akitawala mitandao ya kijamii kwa mabaya na mazuri ndani ya wiki moja mwishoni mwa wiki alijikuta akishambuliwa na mitandao ya kijamii kufuatia taarifa kwamba amemtelekeza mwanamke aliyezaa naye pamoja kichanga chao mbali na kusambaza na picha ikimuonyesha young d akiwa amemkumbatia mama wa mtoto wake huku akiwa wamemshika pamoja kichanga wao rapa huyo aliposti picha akiwa amembeba mwanaye katika ukurasa wake wa instargramu na kuweka ujumbe young daddy huku pia akiomba radhi kwa yaliyotokea
2017-08-22T14:38:32
http://www.saluti5.com/2016/12/young-dee-atawala-wiki-moja-mitandaoni.html
available styles for the 2014 subaru impreza change make | model 2014 subaru impreza save this vehicle | see saved vehicles 2014 subaru impreza 4dr awd sedan pictured 2014 subaru impreza
2014-04-16T14:25:33
http://www.cars.com/go/configurator/styles.jsp?makeid=45&modelid=408&year=2014&zc=
mwanaume ukitaka kuishi maisha marefu fanya hivi | page 14 | jamiiforums hasara za kuoa ni nyingi kuliko faidawengi wapo jela nowhakuna kitu ambacho bachelor anakikosa kwamba akiingia kwenye ndoa ndo atakipata baba ako yuko jela pia hayupo ila jirani yangu yupo jela na kuna mwana jf alijinyonga sababu ya mambo ya ndoapia majority wa wanaume hawapo happy na ndoa zao hizo nisababu ulizonipa binafsi kuhalalisha mawazo yako ila duniani hakuna kitu chenye disadvantage kikakosa advantage yaptukija kwa mwanaume ndoa zina disadvantage nyingi kuliko advantagesndoa ni mzigo kwa wanaume e14 said we acha kutuogopesha maisha kaoe then utaleta mrejesho mpaka unaamua kufikia maamuzi ya kuuwa au kudhuru ni bora kuondoka na kwenda kutafuta maisha mengine sio wote wabaya na maelewano ni jambo la muhimu sana hao ni kama watoto wanataka tlc tlc ndo nini 14452 2000 tender loving care mkuu we mpuuzi kweli sijui kwa nini mods hawajafuta huu uzi dunia ingeendeshwa kwa utaratibu wa kijinga kama wa wako sijui ingekuwaje kwa taarifa yako tu uzi huu ni wa maana sana mpaka umekuwa pinned kajinyonge sasa within marriage women have nothing to offer eccept sexthat is apart from sex women have nothing to contribute hayo ndiyo maisha uliyoyachagua usitake na wengine waishi kama utakavyo wewe kila mtu ana uhuru wa kuishi atakavyo sex yenyewe imegeuka mwiba kwamba eti hawaridhishwi so ujue hilo pamoja na kwamba ndo kitu pekee anacontribute still ni jukumu la mume kumridhisha mke na sio kinyume chake kuoa ni utumwa kumbe hujawahi hata kuoa sasa wewe umeona wapi kipofu anamuelekeza kipofu mwenzie njia ni sahihi ingawa sio lazima sana utumie madawa ya kulevya hadi upate madhara baadae uache ndio uwe muelimishaji bora wa athari za madawa ya kulevya kujifunza kupo kwa aina tatu kusikia kuona na kujaribu sasa kwanini ujipatie majukumu yasiyo ya lazima na majukumu mengine ya mateso hivi unakosa nn ukiwa single akili za kuambiwa changanya na za kwako na ili uwe na uwezo wa kutambua jema na baya ni lazima umuombe mungu pamoja na kusoma vitabu takatifu na ujifunze kutafuta maarifa kuongeza ufahamu otherwise jambo lolote lile utakalo liona utakalo lisikia au utakalo ambiwa pia utaliona ni sawa tu kwako kuoa utumwa exactly atakupa sex tu mengine yote atakayokupa ni matatizo na hasara zinazoweza kukwepekahiyo sex yenyewe hupewi kama unavyotakaumetoa mahari umegharamia harusi then sex unapewa nusunusu wakati pembeni mchepuko anakupa hadi unakimbia mwenyewe na hapo mchepuko umegharamia gharama ndogo tundo maana watu wanahama wanawajengea na michepuko nyumba kabisathen wake zao wanaanza kulalamika oo uchawilimbwata sio uchawi unazani ni wanaume pekee ndiyo wanapata shida kwenye ndoa baadhi yao wanaume wananyanyasa sana wake zao kwenye upande wa huo wa ndoa wake huvumilia sana na huamua kukaa kimya na kuficha siri reactions ncha kali and ulweso naona ulikuwa unawapa vijana somo la ndoa
2020-01-19T01:27:46
https://www.jamiiforums.com/threads/mwanaume-ukitaka-kuishi-maisha-marefu-fanya-hivi.1495806/page-14
jeetu patel kutoka kuuza vipuri hadi kuwa bilionea fisadi | jamiiforums | the home of great thinkers jeetu patel kutoka kuuza vipuri hadi kuwa bilionea fisadi discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by mmasaihalisi may 10 2009 alipata kupigwa ‘pi’ mwaka 1994 mengi yameandikwa na kusemwa juu ya sakata ya benki kuu ya tanzania (bot) ikiwahusisha watu mbalimbali na upotevu/uporaji wa zaidi ya shilingi bilioni 133 kutoka akaunti ya epa wanaotajwa zaidi katika sakata hiyo ni aliyekuwa gavana dk daudi ballali na mfanyabiashara mwenye asili ya kiasia jayantillal kumar patel maarufu kama jeetu patel makampuni kadhaa ya kweli na ya bandia yanatajwa kutumika kufuja fedha hizo serikali imeunda tume ya kuchunguza kashfa hiyo na imetoa wito kwa wananchi wenye taarifa kuhusiana na tuhuma hizo wazitoe kwa tume wakati serikali ikiendelea na uchunguzi juu ya tuhuma hizi umma unajiuliza kwa kuwa ni utamaduni wa vyombo vya usalama kukamata watuhumiwa wa makosa ya jinai kwa kile kinachoitwa “kuisaidia polisi” kwa nini watuhumiwa hawa hawajakamatwa au “kuisaidia polisi” ni kwa watu wadogo tu kama ni hivyo uko wapi utawala wa sheria unaotaka sheria kuchukua mkondo wake sawa kwa watu wote wakubwa kwa wadogo mbali ya maswali hayo wengi wanataka kujua kwa undani huyu ballali ni nani ameingiaje katika tuhuma za sakata hii na huyu jeetu patel naye ni nani daudi ballali mdogo kwa umbo na mtumishi wa zamani wa shirika la fedha la kimataifa (imf) ni mtanzania aliyerejea nchini mwaka 1995 kama mshauri wa lkulu juu ya sera za imf na benki ya dunia baadaye mwaka 1997 aliteuliwa kuwa gavana wa benki kuu kuchukua nafasi ya dk idris rashid ambaye sasa ni mkurugenzi mtendaji wa shirika la umeme (tanesco) katika nchi zenye sera za uchumi tegemezi kwa imf na benki ya dunia mashirika hayo yana kauli kwa kiwango cha kutosha tu katika uteuzi wa gavana wa benki kuu na hata waziri wa fedha kwa baadhi ya nchi inasemekana ballali ni mshirika au mmiliki wa makampuni ya biashara hapa nchini afrika kusini dubai mauritius monaco switzerland na washington wakati uteuzi wake wa nafasi ya gavana ukitenguliwa hivi karibuni mshahara wake ulikuwa dola za marekani 12000 karibu sawa na shilingi milioni 15 kwa mwezi sakata la ubadhirifu wa fedha za epa linahusisha malipo kwa njia ya hati bandia kwa makampuni ya kimataifa na makampuni hewa makampuni ya kimataifa yanayodaiwa kulipwa yameonyesha kutokujua lolote juu ya malipo hayo wala hayakutoa ridhaa kwa kampuni zake tanzu hapa nchini kulipwa jumla ya dola milioni 150 zilizoidhinishwa na bot (na si milioni 133 zinazotajwa mara kwa mara) tutaona baadaye katika makala chimbuko la baadhi ya makampuni haya yanayoelezwa kushiriki katika kashfa hiyo linalozua utata mkubwa juu ya madhumuni ya kuanzishwa kwake inaelezwa kwamba ingawa malipo haya ya dola milioni 150 yaliyofanywa kwa fedha za kitanzania “walipwaji” walizibadili kuwa fedha za kigeni katika maduka ya kuuza fedha hatua hiyo ikisababisha mzunguko mkubwa wa fedha nchini kiasi kwamba shilingi ya tanzania iliporomoka kwa zaidi ya asilima 25 katika mwaka mmoja katika hatua ya kushangaza ballali alishauri serikali nayo ikakubali kutoa dola zaidi kutoka epa kuziingiza katika soko akifahamu athari za hatua hiyo kwa uchumi na ambayo inaweza kuwa iliwazesha “walipwaji” wa fedha huo za “madafu” kununua dola hizo na kuzitoa nje jeetu patel ana historia ndefu katika nyanja za biashara nchini alianza kama muuzaji wa vipuri vya magari jijini dar es salaam mwaka 1978 chini ya kampuni ya kifamilia iliyojulikana kama azania investments and management service ltd (aims) yeye ni mfanyabiashara mkubwa wa kimataifa anayemiliki makampuni lukuki mengine yakijishughulisha na biashara tata aims ilivyozidi kupanuka aliingia katika kilimo kwa kuanza na shamba la hekta 1500 kimamba wilayani kilosa morogoro chini ya usimamizi wa kampuni tanzu ya azania agriculture akilima miwa mahindi na tumbaku mwaka 1980 alinunua hekta 22000 kwa ajiri ya kilimo cha mkonge kutoka mamlaka ya mkonge (tsa) huko mvomero kilosa na baadaye viwanda vya kusindika matunda vya shirika la usagishaji la taifa (nmc) huko korogwe mbali na viwanda hivyo patel pia alimiliki kampuni ya kutengeneza viatu ya liberty shoe company na pia duka la vifaa vya mawasiliano electronic and telecommunication ltd kampuni hizi zilikwisha kuvunjika zote sasa jeetu patel ni kiongozi wa kundi la makampuni nchini lijulikanalo kama noble azania group of companies mengi yakituhumiwa katika sakata la bot la sasa anadaiwa pia kumiliki kampuni london dubai na anadhaminiwa kushikilia pasi za kusafiria nyingi kwa majina mbalimbali jeetu patel alikimbia tanzania mwaka 1994 kuepuka kukamatwa kwa makosa ya jinai alirejea nchini baada ya jalada la shauri lake kupotea yeye ni kati ya wamiliki wa benki mpya bank m ltd iliyoanzishwa hivi karibuni chini ya sheria ya benki ya 2007 leseni ya kufungua na kuendesha benki haiwezi kutolewa kwa mtu mwenye historia au rekodi ya makosa ya jinai kufilisika kukosa uaminifu au hujuma kwa serikali lakini kwa kuangalia rekodi za makampuni haya na baadhi ya wamiliki wake kuna wingu kubwa la giza kama kweli bot imeruhusu na kutoa leseni kwa benki inayomilikiwa pia na jeetu patel tuhuma nyingine zinazoelezwa kwa ballali na washiriki wake ni pamoja na ufujaji wa fedha kwa mradi wa ujenzi wa ghorofa pacha za bot kampuni ya uchimbaji dhahabu ya meremeta na kampuni ya ukaguzi mahesabu ya alex stewarts kwa vipi inadaiwa kuwa ujenzi wa majengo pacha ya bot utaingiza nchini hasara ya dola milioni 265 kutokana na gharama kuongezwa zaidi ya maradufu inaelezwa kwa mfano kwamba wakati gharama ya ujenzi nchini ni dola 700 kwa mita ya mraba ujenzi kwa bot ni dola 8625 kwa mita mraba ujenzi kama huo kwa miji ya new york na tokyo hauzidi dola 2000 pamoja na thamani ya ardhi mradi huo umeghubikwa na tuhuma za rushwa tangu mwanzoni mwa mwaka 1978 chini ya mjenzi kampuni ya skanska ambayo baadaye ilikasimu ujenzi huo kwa kampuni yake tanzu ya group five ya afrika kusini kwa upande mwingine katika mlolongo wa tuhuma ndani ya bot kampuni ya meremeta gold ilianzishwa na kujihusisha na uchimbaji dhahabu mkoani mara mwaka 1999 aliyekuwa gavana daudi ballali kwa niaba ya serikali aliidhamini kampuni hiyo dhamana ya dola milioni 100 bot iliwekeza kwa kiwango kikubwa katika mradi huo kwa pamoja na wabia kutoka afrika kusini lakini habari zinasema kwamba baadaye wabia hao walichukua fedha zao zote baada ya kuuza hisa baadaye meremeta ilitangaza kuwa mufilisi na hivyo ikabidi bot ilipe dhamana ya dola milioni 132 za dhamana na riba malipo mengine yalifanywa kwa kampuni ya time mining ambayo ilikuwa imeingia meremeta kama mwedeshaji na ambayo inaelezwa kuwa ya anna muganda mke wa dk ballali ni wakubwa ndani ya bot na hazina azina hhwalioajiri kampuni ya alex stewarts ya washington marekani kukagua mahesabu ya mauzo ya dhahabu nchi za nje huku ikijulikana kwamba kampuni hiyo ilikuwa haijawahi kukagua kampuni za madini hata mara moja kwa bahati nzuri au mbaya inaelezwa kuwa watumishi wa kigeni wa alex stewarts walikuwa ni wale wale waliofanyakazi kwenye kampuni ya time mining kampuni hii ya ukaguzi ililipwa ujira wa asilimia 19 ya mirahaba ya asilimia 39 iliyokuwa ikilipwa serikali na wawekezaji katika madini kwa hiyo alex stewarts walilipwa dola millioni 15 kwa mwezi dola million 18 kwa mwaka au dola million 72 kwa kipindi cha miaka mitatu cha mkataba kati yake na bot kwa kazi iliyofanywa na wakaguzi watatu wa kigeni na watatu wa hapa nchini kiasi ambacho wataalamu wengi wanaona ni kubwa mara 30 kwa hadhi ya kampuni hiyo na kazi halisi iliyopaswa kufanywa kama umma wa kitanzania unaweza kuona na kupigia kelele maovu yaliyo wazi matumaini ya wengi ni kwamba jicho na mdomo wa serikali unaweza kufanya makubwa zaidi katika kupata ukweli huo na kuchukua hatua zinazostahili ili kukomesha aibu hii kwa taifa na kama tume iliyoteuliwa kuchunguza sakata hiyo itageuka ya fisi kumchunguza fisi umma utatakiwa kufanya nini bongo shamba la bibi hakuna jipya until we have voted this current head niggah off nakubalian na wewe kama bongo ni shamba la bibihawa wahindi hawakuanza kutuibia leo tangu enzi za mwalimu kwa sasa is enough wananchi wazalendo walivamia lile shamba la kilosa maana lilishakuwa kichaka (forest) linahifadhi nyoka tu hilo sakata sijui liliishia wapi maana wananchi wenye nchia yao walitaka lirejeshwe kwa kazi ipo unajua huwa haiingi akilini au ni suala zima la uzalendo limepotea kama kuna vielelezo na historia ya mtu inajulikana kwa nini wasiwajibishwe
2017-04-25T22:30:54
https://www.jamiiforums.com/threads/jeetu-patel-kutoka-kuuza-vipuri-hadi-kuwa-bilionea-fisadi.28693/
murkomen awasuta raila orengo kwa kuwatimua wabunge 2 wa pwani odm kwa kushirikiana na ruto ▷ tukocoke murkomen awasuta raila orengo kwa kuwatimua wabunge 2 wa pwani odm kwa kushirikiana na ruto maoni 10295 murkomen ameeleza kuwa odm ilikosea kuwatimua wabunge hao chamani kwa kuhusishwa na ruto alieleza kuwa hatua hiyo inaathiri ushirikiano ulioletwa na maridhiano kati ya uhuru na raila seneta wa elgeyo marakwet kipchumba murkomen ameitaja hatua iliyochukuliwa na chama cha odm kuwatimua wabunge wawili wa pwani chamani kwa kuhusishwa na naibu wa rais william ruto kama unafiki wa hali ya juu murkomen alileleza kuwa ni unafiki kwa chama hicho kuwatimua wanachama wake huku kiongozi wa chama hicho akitangaza kuhusu kujenga madaraja na kuleta utangamano nchini seneta murkomen ameeleza kuwa odm kilikosea katika kuwatimua wabunge hao chamani kwa kuhusishwa na ruto picha ugc kupitia kwa chapisho lake kwenyeukurasa wake wa twitter liloonwa na jarida la tukocoke murkomen alisikitishwa na seneta mwenzake james orengo haswa kufuatia kutimuliwa kwa mbunge wa msambweni suleiman dori na mwenzake wa malindi aisha jumwa bila sababu nani anaweza kuamini odm ya raila odinga na james orengo wa ukombozi wa pili kuweza kuwatimua wanachama wowote kwa kushirikishwa na naibu rais william ruto ambaye alikuwa mmoja wa waanzilishi wa chama na naibu mwenyekiti murkomen alisema aidha alieleza kuwa hatua hiyo ni thibitisho kuwa salamu za maridhiano kati ya uhuru na raila ni njama kati yao wawili tu na wala hakuna mwanachama yeyote mwengine anayepaswa kuhusishwa alieleza kuwa hatua hiyo inaathiri ushirikiano ulioletwa na salamu za maridhiano kati ya uhuru na raila picha ugc ''kumbe ndiyo maana mmoja wao aliniambia ilikuwa handshake na wala si handashakes nitawaambia habari kuhusu mcas wa homa bay siku moja murkomen aliongzea kulingana na seneta huyo odm hakikuwa na sababu tosha ya kuwatimua wabunge hao daniel ndambuki william ruto children's names kenya army salary kenya road signs
2019-02-19T07:47:39
https://kiswahili.tuko.co.ke/296995-murkomen-awasuta-raila-orengo-kwa-kuwatimua-wabunge-2-wa-pwani-odm-kwa-kushirikiana-na-ruto.html
usomi mzigo kwa ummah hizb ut tahrir tanzania tofauti baina ya kuwa shingo ya ardhi ni ya mtu binafsi na kuwa shingo ya ardhi ni ya serikali arrayah 239 ya rabb mpokee mursi na muangamize alsisi lini itakua hijra kwa sura yake hasa usomi mzigo kwa ummah hatua za kivitendo zitakazo chukuliwa na khilafah rashida ili kuzuia ukosefu wa ajira june 7 2019 nasaha maalum za eid el fitr june 4 2019 kujifanya upo huru hakukufanyi uwe huru june 3 2019 matokeo ya mitihani ya kidato cha nne 2018 kama yalivyokwishatangazwa yamepokewa kwa hali mbili tofauti ikiwemo furaha na huzuni matumaini na kukata tamaa waliofanya vizuri pamoja na shule zao husifiwa na kusemwa ni wajuzi wenye akili waliofanya vibaya hujiona na kuonwa ni vilaza wasiokuwa na akili ambao wamekwisha kwama kimaisha hapana shaka kuwa elimu ni nyenzo msingi ya kuinua ustawi wa kiutu kibinafsi na jamii yake kwa jumla na juhudi zinafanyika kwa kuweka mikakati madhubuti na ya kipaumbele kwa kila taifa kuelimisha watu wake lakini jitihada hizo hazigusi uhalisia bali zimebaki kuwa ndoto na zisizokuwa na matunda mazuri baada ya matokeo hayo waliofaulu ndio hupewa nafasi za kuendelea na masomo kwa ngazi za juu wakiwaacha waliofeli mitaani wakiendesha maisha na kuwatumikia walio faulu lakini wasomi hao wanaoendelea na masomo watakuwa na tija kwa jamii kwa ujumla bila ya shaka hawatokuwa kutokana na mfumo huu wa kielimu kukosa fungamano la kweli la maisha haya na maisha yajayo ajabu ni kwamba watawala na wasimamizi wa mifumo ya elimu hawataki kukubali uhalisia kwamba ufaulu unaoshangiliwa hauakisi yanayoshuhudiwa katika jamii wasomi hao ambao baada ya masomo katika ngazi za juu hatimaye huajiriwa na kuwa wataalamu na viongozi wa jamii kuwaongoza na kuwasimamia walio feli lakini baadhi wakifika vyuo vikuu kama wanafunzi hukubali kujidhalilisha miili na utu wao kwa ngono ili waendeleze sifa ya kufaulu ndio wasomi hao watapokuwa walimu (wahadhiri) katika vyuo vikuu baadhi yao huhusianisha alama (marks) za ufaulu na udhalilishaji wa kingono (samsexually awarded marks) yaani humtambulisha kuwa na akili (aliyefaulu) mwanafunzi aliyekubali kujidhalilisha kwake kingono ndio wasomi hao baadhi yao kwa utaalamu wao wakipewa vitengo vya ummah hutoa maamuzi ya kudhuru jamii mradi tu yana manufaa kwao binafsi watachakachua miradi ya barabara madaraja na vyombo vya usafiri na kuruhusu (kwa makusudi au kwa kutokujua) vitu ambavyo ni vibovu kuingia na kutumika katika jamii kisha kuleta maafa ndio wasomi hao baadhi yao wakipewa nafasi za kiuongozi hufanya maamuzi ya hovyo ambayo ni maumivu ya kudumu kwa jamii wakashindwa kutumia elimu yao kusaidia ummah bali uongo na hadaa ikawa ni sehemu muhimu ya mafanikio yao hutoa maamuzi ya na maagizo ambayo utekelezaji wake huongeza kiza kwa ummah ndio wasomi hao baadhi yao hukataa kuingia katika ndoa (uundaji wa familia kiutu) na wachache watakaoingia watakuwa wauwaji wa watoto wao ili wasiingie duniani ati kujaza mesi zao wakawa na watoto wawili mbwa watatu walinzi na wafanyakazi zaidi ya 3 na wakiwa madaktari hushawishi na kusaidia wengine ufungaji uzazi na kutoa mimba kama alivyowahi kusema shaikh abdul alaa maududi alipokuwa akizungumza na wahitimu waislamu katika chuo kimoja huko pakistani waliomualika kama mgeni rasmi katika mahafali yao kwamba japokuwa mnafuraha lakini mimi ninawatazama kama watu mahututi sana waliomo miongoni mwa maiti wengi kwa kuwa tu bado mnapumua kwa mbali ni kwasababu elimu mnayosoma imewatoa katika uhalisia wa ubinadamu wenu kama inavyokuwa kwa mmea unapohamishwa kutoka udongo wake wa asili katika kitalu athari za elimu yoyote ni zao la fikra msingi (aidilojia tawala) inayoongoza jamii husika na ambapo mfumo wa elimu umeundwa kwayo kwa bahati mbaya ulimwengu leo upo chini ya mfumo wa kibepari ambao kigezo cha mafanikio ni kiwango cha mtu binafsi na jamii kukusanya maslahi pia upo chini ya tawala za kidemokrasia ambapo fikra na mawazo ya watu ndio hutumika kuwapangia na kuwaongoza watu kuishi kwa mujibu wa hayo matokeo yake elimu chini ya mfumo huo imetenganisha kabisa kando utu kutoka katika akili ukaifanya akili ijengeke katika unyama mtu akakuzwa kinyume na uhalisia wa utu wake akajikuta aliyojazwa kichwani humfanya adhalilike na kuwa mzigo kwa jamii badala ya kuwa suluhisho mbadala wa ubepari ni uislamu elimu katika uislamu inajenga akili katika kuzidi kuutambua zaidi uasili wa mtu na utu wake اقْرَأْ بِاسْمِ رَبِّكَ الَّذِي خَلَقَ (العلق 1 soma kwa jina la mola wako ambaye ameumba (kila kitu) (tmq 96 1) elimu kwa namna hii kila ukijifunza ndivyo utambuzi wako hukua humpa mtu mwanga wa wazi kwamba asili yake ni kiumbe cha mungu muumba kukua kwa utambuzi kimsingi ni kukua katika kutambua nafasi msingi kila mtu aliyonayo duniani na kwamba kusoma na kufaulu hakumaanishi ubora kwa wengine bali ni kuongezeka jukumu kwa ummah jukumu la kuufanya ummah uishi kwa mujibu wa matakwa ya muumba wao hamza sheshe #uislamunihadharambadala arrayah 238 arrayah 237 arrayah 236
2019-06-25T12:44:58
http://hizb.or.tz/2019/02/05/usomi-mzigo-kwa-ummah/
rais wa china atoa mapendekezo matatu kuhusu maendeleo yenye sifa nzuri ya ukanda mmoja njia moja china radio international rais wa china atoa mapendekezo matatu kuhusu maendeleo yenye sifa nzuri ya ukanda mmoja njia moja (gmt+0800) 20190426 103133 rais xi jinping wa china ametoa mapendekezo matatu ili kuhimiza maendeleo yenye sifa nzuri ya ujenzi wa ukanda mmoja njia mojaalipohutubia mkutano wa pili wa kilele wa ushirikiano wa kimataifa wa ukanda mmoja njia moja mapendekezo hayo ni pamoja na kufuata kanuni ya kujadiliana kujenga kwa pamoja na kunufaishana kushikilia mawazo ya kufungua mlango kutoleta uchafuzi wa mazingira na kupambana na ufisadi na kujitahidi kutimiza malengo endelevu ya vigezo vya juu na ya kunufaisha watu rais xi pia amesisitiza umuhimu wa kufungua mlango kupambana na ufisadi kuheshimu utaratibu wa kimataifa na sheria za nchi husika na kuhakikisha maendeleo endelevu ya mambo ya biashara na fedha katika kuhimiza maendeleo yenye sifa nzuri ya ukanda mmoja njia moja
2019-11-16T02:26:56
http://swahili.cri.cn/141/2019/04/26/1s184984.htm
jeshi la nigeria lawaokoa watu 178 kutoka kwa boko haram | matukio ya afrika | dw | 03082015 jeshi la nigeria lawaokoa watu 178 kutoka kwa boko haram jeshi la nigeria limewaokoa watu 178 wakiwemo watoto mia moja ambao walikuwa wameshikwa mateka na waasi wa kundi la boko haram kaskazini mashariki mwa nigeria msemaji wa jeshi la nigeria kanali tukur gusau amesema wanajeshi wamewaokoa watu 178 kwa jumla watoto 101 wanawake 67 na wanaume kumi kutoka mikononi mwa magaidi wa kundi la boko haram wakati wa operesheni kali dhidi ya waasi hao operesheni hiyo ambayo jeshi limesema pia lilimkamata mmoja wa makanda wa boko haram ilifanyika karibu na eneo la bama yapata kilomita sabini kusini mwa mji wa maiduguri kaskazini mwa nigeria jeshi lafanya operesheni kali kambi kadhaa za boko haram pia ziligundulika na kuharibiwa na wanajeshi katika mji mkuu wa jimbo la borno maiduguri ambao ni kitovu cha uasi huo unaofanywa na boko haram wanejeshi wa nigeria wakishika doria kaskazini mwa nigeria jeshi hilo la nigeria pia limesema hapo jana lilifanya mashambulizi ya angani kaskazini mashariki mwa nchi hiyo katika kijiji cha bita kuwasambaratisha waasi hao wa boko haram ambao idadi kubwa kati yao inasemekana wameuawa katika shambulizi hilo boko haram hapo jana nayo ilitoa vidio mpya katika mtandao wa twitter inayoonyesha ilifanya mashambulizi katika majimbo ya borno na yobe yaliyozilenga kambi za kijeshi na pia vidio hiyo ilionyesha kuuawa kwa mwanamume aliyekuwa amevaa magwanda ya sare za jeshi anayesemekana kuwa mwanajeshi wa nigeria mkulima mmoja wa eneo hilo moha saleh amesema watu 13 wameuwa na wengine 27 wamejeruhiwa katika hsmabulizi hilo la jumapili ambalo lilianza wakati waasi hao walipokivamia kijiji hicho kuchoma nyumba kadhaa kwa tuhuma kuwa wakaazi wa kijiji hicho wametoa taarifa kwa wanajeshi kuhusu waliko waasi boko haram yadai kuwashambulia wanajeshi katika miezi ya hivi karibuni jeshi la nigeria limewaokoa mamia ya watu ambao wamekuwa mateka wa waasi wa boko haram hasa waliokuwa wakizuiwa katika msitu mkubwa wa sambisa ambao ni mojawapo ya ngome kuu ya kundi hilo lenye mafungamano na wanamgambo wenye itikadi kali wa kundi linalojiita dola la kiislamu is wiki iliyopita watu 71 waliokolewa pia na wanajeshi wanamgambo wa boko haram tangu mwaka 2009 zaidi ya watu 15000 wameuawa kufuatia uasi ulioanzishwa na waasi hao wa boko haram na kundi hilo katika kipindi cha miezi ya hivi karibuni limetanua uasi wake hadi nchi jirani na nigeria zikiwemo cameroon niger na chad nigeria na nchi hizo jirani zinapanga kuanzisha kikosi cha pamoja cha kijeshi kupambana dhidi ya waasi hao katika kanda hiyo kikosi hicho kitakuwa na wanajeshi 8700 na kinatarajiwa kuanza kuhudumu hivi karibuni rais wa niger mahamadou issoufou ameeleezea matumaini kuwa kikosi hicho kipya kitafanikiwa katika kulitokomeza kundi hilo ambalo limezorotesha usalama katika kanda hiyo mwandishi caro robi/afp/dpa/ap tarehe 03082015 maneno muhimu nigeria boko haram maiduguri sambisa kiungo https//pdwcom/p/1g8pr niger wanamgambo 280 wa boko haram wauawa 03012019 mapambano dhidi ya boko haram yashika kasi nigeria na niger jeshi linapambana ili kurejesha udhibiti wa mji muhimu wa kimkakati baga ambao kundi la boko haram liliuchukua wiki iliyopita nigeria wakulima wawili wauwawa na boko haram 27112018 wapiganaji wa jihadi wamewauwa wakulima wanne karibu na mji wa kaskazini mashariki mwa nigeria wa maiduguri wiki iliyopita wapiganaji hao wa jihadi waliwauwa wakulima tisa na kuwateka wengine 12 uchaguzi ulioahirishwa nigeria kufanyika jumamosi 22022019 rais wa nigeria muhamadu buhari amewahimiza raia wa nchi hiyo kujitokeza kesho jumamosi na kupiga kura katika uchaguzi wa rais na bunge ulioahirishwa na tume ya uchaguzi kwa juma moja akiahidi usalama utakuwa wa kutosha
2019-03-22T20:30:13
https://www.dw.com/sw/jeshi-la-nigeria-lawaokoa-watu-178-kutoka-kwa-boko-haram/a-18623551
semalt mtandao bora zaidi wa kuchunguza data online kuchunguza maudhui au nyara za mtandao ing ni mchakato wa kutumia programu maalum au programu ya mtandao ili kuongeza maudhui kutoka kwenye tovuti kura rufaa kwa wavuti wa wavuti na waendelezaji ambao wanataka kupata ufikiaji wa haraka wa habari kwenye tovuti zingine maombi ya kuzuia maudhui kura kwa mtandao kunaweza kufanyiwa vibaya kwa matumizi ya barua pepe spamming na robocalls kwa sababu hii wengi wa wavuti wanapendelea kuacha mbali hata hivyo ikiwa hutengenezwa kwa kuzingatia maadili ya mtandao inaweza kuwa njia yenye nguvu sana ya kufaidika na miradi mbalimbali ya wavuti jinsi ya kuchunguza kuchukuliwa hebu tuangalie orodha ya mtandaoni ya hoteli zote katika eneo hilo dr sipari takibi ikiwa msanidi wa tovuti anataka kuunganisha kila hoteli atahitaji kuwaingiza kwenye darasani kwa mkono utaratibu huu kawaida huchukua maelfu ya masaa ili kuhakikisha kwamba kila hoteli nchini hujumuishwa na wavuti wa wavuti huyo webmaster huyo anaweza kuingiza maswali ya utafutaji na kukusanya data hiyo kwa moja kwa moja kutoka kwenye tovuti mbalimbali kujenga au kununulia mtandao wa mchoro ikiwa unataka chombo cha kupiga mtandao unaweza kujenga moja kutoka mwanzo au kutumia moja iliyopo waendelezaji wengi hawana ujuzi muhimu ujuzi zana au rasilimali za kujenga chombo chochote kwa manually habari njema ni kwamba kuna kadhaa ya scrapers kabla ya kujengwa online mbinu na mbinu zilizotumika kwenye programu ya kuchora mtandao ikiwa unataka kujenga yako mwenyewe unahitaji kuelewa ni teknolojia zinazohusika katika kukusanya data scrapers wengi hujengwa kwa html kwa kutumia dom parsing (kupitisha hati ya kitu cha hati) ili kuchuja kwa njia ya html ili kutolewa habari tu inayotaka unahitaji kutambua divs spans madarasa na orodha ya vipengee vya data unayotaka na kuziingiza kwenye mipangilio yako mozenda scraper hutumia kivinjari maalum kinachofanya teknolojia ya kuangalia kama kivinjari cha wavuti tumia kwa urahisi kuvinjari kupitia kurasa za ndani za tovuti ili kukusanya data unayohitaji kutumia ajax na javascript mozenda huanzisha navigations na vitendo pamoja na kuwahamasisha kwa ajili yenu
2019-03-25T22:11:42
http://nadiadigilov.com/171120-semalt-mtandao-bora-zaidi-wa-kuchunguza-data-online
list of 100 great tanzanian of all time | jamiiforums | the home of great thinkers list of 100 great tanzanian of all time discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by ehud jan 28 2011 wana jf naleta wazo tutengeneze list ya great tanzanian ambao wamepata kutokea ambao bado wanaisha au walishatangulia mbele za haki list hii ningependa iwe ya great thinker ambayo haitakuwa influenced na mambo ya dinichamakabila wala chochote zaidi ya mchango wa mtu mwenyewe katika eneo hili la africa liitwalo tanzania toka wakati ikitawaliwa katika chiefdoms na machief kama mkwawa meliabushir bin salim hadi akaja mkoloni ikiitwa german east africa au deutschostafrikabaadae tanganyika na hadi sasa tunapoiita tanzania watu hao wanaweza kutoka nyanja zote za maisha kama academicians scientist politicians freedom fighters philanthropist wanaharakati economist etc tunaweza kuwataja randomly hata kama watazidi 100 lakini baadaye tutakuja kukubaliana tukapanga wa kwanza hadi wa mwisho kwa kufuatana na mchango wake kama nilivyoeleza hapo juu kwa kuanza mimi kwangu mimi ni kinjekitile ngwale naongezea mwingine mkwawa abushir wa pangani peter maha was great abushir wa panganiclick to expand mkuu umemsahau mwanamalundi wa usukumani tanzania ilizaliwa 1964 hakukuwa na mtanzania kabla ya 1964 tafuteni jina lingine wakuu msilete mzaa nafanya utafiti wa kweli kwenye hii kitu kama umemtaja mtu ambaye wewe unamjua sisi hatumjui itabidi unipe detail zaidi asanteni sana wakuu mwingine mimi namtaja chief fundikira mimi mwenyewe au hamnijuiau siruhusiwi kujipendekeza tanzania ilizaliwa 1964 hakukuwa na mtanzania kabla ya 1964 tafuteni jina lingineclick to expand wana jf naleta wazo tutengeneze list ya great tanzanian ambao wamepata kutokea ambao bado wanaisha au walishatangulia mbele za haki list hii ningependa iwe ya great thinker ambayo haitakuwa influenced na mambo ya dinichamakabila wala chochote zaidi ya mchango wa mtu mwenyewe katika taifa hili la tanzania toka wakati ikitawaliwa na machief kama mkwawa meliabushir hadi akaja mkoloni ikiitwa german east africa au deutschostafrikabaadae tanganyika na hadi sasa tunapoiita tanzania zingatia hapo kwenye rangi mkuu hata kama imezaliwa 1964 bado sehemu hii ya tanzania ndiyo ilikuwa ikiitwa germany east africa au tanganyia au himaya ya sultani ukipenda zingatia hapo kwenye rangi mkuuclick to expand hao waliokuwapo na kutangulia kabla ya 1964 unaweza kusema wamekuwa na mchango katika kuijenga tanzania lakini kuwaita watanzania ni makosa tafuta jina jingine mkuu umemsahau mwanamalundi wa usukumaniclick to expand simfahamu huyo mkuu hebu nipm unipe detail zake peter maha was greatclick to expand huyu ni nani tena mkuu nipe detail zake nifanye assessment kama awepo hata kama imezaliwa 1964 bado sehemu hii ya tanzania ndiyo ilikuwa ikiitwa germany east africa au tanganyia au himaya ya sultani ukipendaclick to expand bottom line hawakuwahi kuwa tanzanian therefore hawawezi kuwa great tanzanian (sic) hadi saa tuna abushir bin salim chief fundikira cheef kalimba mwansokola wa ugara tabora sijakuelewa lengo lako hasa ni nini ili iweje na kwanini fafanua vizuri
2017-07-20T16:43:48
https://www.jamiiforums.com/threads/list-of-100-great-tanzanian-of-all-time.106425/
amirulmu'miniina ali [a] na kumuapa mwenyezi mungu kwa haki ya mawalii | uchunguzi juu ya uwahhabi | alislamorg tunaangalia kumuapa mwenyezi mungu kama ilivyo katika dua za mawalii wake watukufu kwa mfano amirulmu'miniina imam ali [a] anasema katika maombi yake baada ya sala ya usiku ewe mwenyezi mungu mimi ninakuomba kwa heshima ya yule aliyejilinda kwako kutokana na adhabu yako na akazitumainia nguvu zako na akajikinga kwa kivuli chako na akashikamana na kamba yako na hakutegemea ila kwako1 na anasema tena imam ali [a] katika dua aliyomfundisha sahaba wake mmoja na kwa haki ya wanaokuomba na wale wanaonyenyekea kwako na wanajilinda kwako na wanaodhalilika mbele yako na kwa haki ya kila mja mwenye kukuabudia katika kila sehemu ya nchi kavu au baharini au mbugani au mlimani nakuomba maombi ya mtu mwenye shida mno2 hivi kuna kitu gani kingine kisichokuwa kumpwekesha mwenyezi mungu ndani ya maombi haya yanayoihimiza roho na kuipeleka kwenye ibada na kudhalilika mbele ya mwenyezi mungu je kuna matokeo mengine yasiyokuwa ya kuimarisha kumpwekesha mwenyezi mungu na (kuonyesha kuwa) hakuna mlinzi ila yeye na kudhihirisha upendo kwa mawalii wa mwenyezi mungu na wapenzi wake jambo ambalo linaonyesha kuwa ni kumuelekea mwenyezi mungu katika wakati ule ule na kwa mantiki hii basi tuhuma ya ukafiri na shirki inayotangazwa na mawahabi (juu ya jambo hili) kuliko kitu kingine chochote ni lazima ikome na inafaa kuyasoma maudhui haya kwa njia ya mantiki na dalili kwa ajili hii ndiyo maana utawaona baadhi ya mawahabi waadilifu japo kidogo wametatua suala la kumuapa mwenyezi mungu kwa haki ya mawalii na wanasema kwamba jambo hili ni haramu au makruhu kinyume cha huyu 'assanani' wahabi aliyekosa uadilifu ambaye ameyasoza masala haya kwenye shirki na sasa basi baada ya kubainika msingi wa mazungumzo ni lazima kusoma maudhui ndani ya eneo la uharamu na karaha na kisha kubainisha dalili iliyo wazi juu ya kusihi kwa jambo hili na kufaa kwake kwa hiyo tunasema qadhiya ya kumuapa mwenyezi mungu kwa haki ya mawalii imekuja katika hadithi nyingi mutawatiri baadhi yake zimepokewa kwa mtume [s] na nyingine zimepokewa toka kwa maimamu wa nyumba ya mtume [s] na kwa mujibu wa hadithi hizi haiwezekani kabisa kusema kwamba ni haramu au karaha kumuapa mwenyezi mungu kwa haki ya mawalii hebu tazama mifano ya hadithi hizo 1 hapo kabla imetangulia ishara kwamba mtume [s] alimfundisha kipofu aliyekuja kwa mtume akimuomba mtume [s] amuombee mwenyezi mungu ili macho yake yarudi mtume alimfundisha kipofu yule aseme ewe mwenyezi mungu nakuomba na ninaelekea kwako kwa haki ya mtume wako muhammad mtume wa rehma3 2 abu said alkhudri amepokea toka kwa mtume [s] dua hii ifuatayo ewe mwenyezi mungu hakika mimi ninakuomba kwa haki yawanaokuomba na ninakuomba kwa haki ya mwendo wangu huu4 3 naye nabii adam [a] alitubia kwa mwenyezi mungu akasema nakuomba kwa haki ya muhammad unisamehe5 4 baada ya mtume [s] kwisha kumzika bibi fatma binti asad ambaye ni mama wa imam ali [a] mtume alimuombea dua mama huyu akasema msamehe mama yangu fatimah binti asad na uyakunjue makazi yake kwa haki ya mtume wako na manabii waliopita kabla yangu6 dua hizi japokuwa hazina lile tamko lenyewe la kiapo lakini madhumuni yake ni kiapo kwa kuwepo herufi ya baa ambayo ni ya kiapo katika hadithi zote kwani muombaji asemapo allahumma innii asaluka bihaqqissailiina alaika maana yake ni ninakuapa kwa haki yao 5 bwana wa mashahidi imam hussein bin ali [a] anasema alipokuwa akiomba ewe mwenyezi mungu nakuomba kwa haki ya maneno yako na kwa mafungamano ya enzi yako na kwa haki ya wakaazi wa mbingu zako na ardhi yako na manabii wako na mitume wako unikubalie (maombi yangu) kwani nimefikwa na jambo zito basi nakuomba umpe rehma muhammad na kizazi cha muhammad na uyawepesishe mambo yangu na utakapoiangalia sahifatu assajadiyah iliyopokelewa toka kwa imam wa nne katika maimamu wa nyumba ya mtume aitwaye imam zainulabidina [a] humo utaona viapo vingi sana na hii ndiyo dalili iliyo bora mno inayoonyesha kusihi kwa aina hii ya kutawassal ' hebu angalia mifano ifuatayo 6 imam zainulabidina [a] anasema ndani ya dua yake siku ya arafa (ewe mola) kwa haki ya yule uliyemchagua miongoni mwa viumbe wako na kwa haki ya yule uliyemteua kwa ajili yako na kwa haki yake uliyemchagua kutoka miongoni mwa viumbe wako na uliyemteua kwa ajili ya shani yako na kwa haki ya yule ambaye umeunganisha kumtii yeye ndiyo kukutii wewe na ni yule ambaye umeunganisha kufanyiwa yeye uadui ni kufanyiwa wewe uadui7 7 na wakati imam jaafar assaadiq alipozuru kaburi la imam ali [a] ambaye ni babu yake mwishoni mwa ziyara yake aliomba akasema ewe mwenyezi mungu nikubalie maombi yangu na upokee sifa ninazokutukuza na unikutanishe na mawalii wangu kwa haki ya muhammad na ali na fatma na hasan na husein8 ewe msomaji mtukufu aina ya dua kama hizi zilizoshikamana na kumuapa mwenyezi mungu kwa haki ya mawalii wake zimekuja kwa wingi mno kutoka kwa maimamu wa nyumba ya mtume [s] wenye ismah na wala nafasi haitoshi kutaja zaidi ya tulizotangulia kuzitaja na dua zote hizi zinajulisha juu ya ruhusa ya kumuapa mwenyezi mungu kwa haki ya mawalii wake wema mawahabi wametaja baadhi ya dalili za kuharamisha kumuapa mwenyezi mungu kwa haki ya mawalii wake dalili hizo ni dhaifu hazifai kutolea hoja wala kutiliwa maanani na sasa tunazitaja sambamba na kuzijibu katika maelezo yafuatayo mawahabi wanasema wanachuoni wa kiislamu wameafikiana kwamba kumuapa mwenyezi mungu kwa haki za viumbe wake ni haramu9 jawabu lake maana ya ijmai ni kuafikiana wanachuoni wa kiislamu katika zama moja au zama zote juu ya hukmu fulani miongoni mwa hukmu za kisheria hii ndiyo ijmai nayo ni hoja ya kisheria kwa masunni kwa sababu kuafikiana kwa wanachuoni juu ya hukumu fulani ni hoja kwao na ni hoja ya kisheria kwa mashia kwa kuwa inadhihirisha kuwafikiana na maoni ya imam aliye maasum ambaye huwa anaishi miongoni mwa watu ima akawa haonekani machoni pao au akawa yu waonekana sasa hivi hebu tuone je ijmai ya wanachuoni ilithibiti kuharamisha masala haya au hapana sisi kwa sasa tunayaacha kwanza maoni ya wanachuoni wa kishia na yale ya wanachuoni wa kisunni kuhusu masala haya na tunatosheka na kutaja fatwa za maimamu wa madhhebu manne kisha tunajiuliza je maimamu wa madhhebu manne wanayo fatwa inayoharamisha jambo hili iwapo walitoa fatwa kuharamisha basi tunachokitaraji ni watutajie nassi ya fatwa hiyo pamoja na kitabu ambacho fatwa hiyo imo pia nambari ya ukurasa ilipo bila shaka vitabu vya fiqhi na hadithi vya wanachuoni wa kisunni havikulizungumzia kabisa jambo hili ili tuweze kuufahamu mtazamo wao katika qadhiya hii kwa hiyo basi iko wapi hiyo ijmai na maafikiano anayoyadai mtunzi wa kitabu kiitwacho alhadiyatussaniyyah hapana shaka kwamba mtu pekee ambaye mtunzi huyu alinakili kutoka kwake uharamu wa jambo hili ni mtu majhul asiyefahamika hali yake asiye na utajo wowote anayeitwa alizzu bin abdissalaam basi je vitabu vyote vya wanachuoni wa kiislamu vimo ndani ya maandiko yaliyomo katika kitabu kiitwacho alhadiyatussaniyyah na je wanachuoni wote wa kiislamu wamo ndani ya huyu alizzu bin abdussalaam ukweli ulivyo ni kwamba yeye mwenyewe mtunzi wa kitabu hiki alhadiyyatussaniyyah amesema ndani ya kitabu hiki kwamba abu hanifa na mwanafunzi wake aliyekuwa akiitwa abu yusuf wametoa fatwa kwamba ni karaha kuapa kwa haki ya viumbe lakini hawakuharamisha baada ya hapo je ina nafasi gani fatwa ya mtu fulani mbele ya hadithi sahihi zilizopokelewa toka kwa mtume [s] na maimamu watukufu toka katika kizazi cha mtume [s] ambao wanachuoni wa kisunni wamekubaliana kuwa (maimamu hao ndiyo kile kizito kidogo baada ya qur'an na maneno yao ni hoja ya kisheria) hadithi ya vizito viwili ni mutawatiri toka kwa mjumbe wa mwenyezi mungu [s] na wameitaja wana sihahi na sunan na wanahadithi na wanahistoria na hawezi kuipinga isipokuwa mjinga na hadithi yenyewe ni hii amesema mjumbe wa mwenyezi mungu [s] hakika ninakuachieni vizito viwili kitabu cha mwenyezi mungu na kizazi changu watu wa nyumba yangu ambavyo nikishikamana navyo hamtapotea baada yangu milele na kwamba viwili hivyo havitaachana mpaka vinifikie kwenye haudh basi angalieni ni vipi mtanifuata katika viwili hivyo zaidi ya hapo maelezo aliyoyataja mtunzi huyo toka kwa abu hanifa hayakuthibiti kwa kifupi tunasema hakuna dalili yoyote ile ya ijmai juu ya masala haya moja kwa moja dalili ya pili baada ya kuibatilisha dalili ya kwanza ya mawahabi na kubainisha kutokusihi kwa dalili hiyo sasa tunataja dalili yao ya pili nayo ni kauli ya mmoja wao anasema kwa hakika kuomba kwa haki ya viumbe haifai kwani viumbe hawana haki juu ya muumba10 jawabu lake bila shaka kutoa ushahidi kama huu ni ijtihadi dhidi nassi iliyo wazi basi lau viumbe wasingekuwa na haki yoyote katika dhimma ya muumba mtukufu ni kwa nini basi nabii adam [a] na mtume muhammad [s] walimuapa mwenyezi mungu kwa haki hizi (za viumbe) na walimuomba mwenyezi mungu kwa sababu ya haki hizi kama ilivyokuja katika hadithi zilizotangulia zaidi ya hapo wanasemaje watu hawa (mawahabi) juu ya aya za qur'an ambazo zinathibitisha haki za waja wema wa mwenyezi mungu juu ya mwenyezi mungu mtukufu11 pia watasemaje juu ya hadithi tukufu zinazothibitisha haki hizo soma aya zifuatazo na ni haki juu yetu kuwanusuru wenye kuamini qur'an 3047 hii ndiyo ahadi na haki juu ya mwenyezi mungu ndani ya taurati na injili qur'an 9111 namna hii ni haki juu yetu kuwaokoa walioamini qur'an 10103 kukubali toba ni juu ya mwenyezi mungu kwa ajili ya wale wanaofanya uovu kwa ujinga qur'an 417 kwa kuongezea juu ya aya zilizotangulia kuna hadithi nyingi zinazohusu jambo hili na hebu ona mifano ifuatayo 1) ni haki juu ya mwenyezi mungu kumsaidia aliyeowa kwa kutaka kujizuwiya na mambo aliyoyaharamisha mwenyezi mungu12 2) mtume [s] amesema watu wa aina tatu ni haki juu ya mwenyezi mungu kuwasaidia mpiganaji katika njia ya mwenyezi mungu na mtumwa mwenye kutaka kujikomboa na mwenye kuoawa kwa kutaka kujizuwiya kutenda maovu13 3) je unafahamu ni ipi haki ya waja waliyonayo juu ya mwenyezi mungu14 naam inaeleweka wazi kwamba hakuna yeyote ambaye kwa dhati yake anayo haki juu ya mwenyezi mungu hata kama atamuabudu mwenyezi mungu kwa muda wa karne nyingi hali ya kumkhofu na kumnyenyekea mwenyezi mungu kwani kila alichonacho mja kimetoka kwa mwenyezi mungu mtukufu hakuna alichokitoa mja yeye mwenyewe kwa nafsi yake katika njia ya mwenyezi mungu eti ili astahiki kwa dhati yake kupewa thawabu basi tunauliza nini maana ya haki jawabu hakika makusudio ya haki katika ibara hizi ni malipo na daraja ambavyo mwenyezi mungu huwapa waja wake wanapomtii na kumfuata yeye mwenyezi mungu mtukufu na haya yote ni ziyada na ubora na umuhimu autoao mwenyezi mungu (kwa waja wake) na hii inaonyesha upole (huruma) na utukufu wake basi haki hii ambayo kwayo tunamuapa mwenyezi mungu ni haki aliyoiweka yeye mwenyezi mungu juu yake siyo kwamba mja anayo haki juu ya mwenyezi mungu na maana hii imeelekezwa katika baadhi ya hadithi tukufu za mtume [s] na hii ni kama karadha anayowakopa mwenyezi mungu waja wake aliposema nani atakayemkopesha mwenyezi mungu kopesho zuri qur'an 2245 kwa hakika utendaji huu wa mola na kutoa haki kwa waja wake unatokana na huruma yake mwenyezi mungu na uangalizi wake mkubwa kwa waja wake wema kiasi cha kujiona dhati yake tukufu kuwa ni yenye kudaiwa na waja wake na anawaona waja wake kuwa ndiyo wenye haki juu yake na ndani ya hali hii (iliyopo baina ya mwenyezi mungu na waja wake) inahamasisha na kutia nguvu ya kumtii mwenyezi mungu jambo ambalo liko wazi 1 assahifatulalawiyya uk 370 2 assahifatulalawiyya uk 51 3 (1) sunan ibn majahjuz1 uk 441 (2) mustad'rak sahihain juz 1 uk 313 (3)musnad ahmad juz 4 uk 138 nk 4 (1) sunan lbn majah juz 1 uk 261 (2) musnad ahmad juz 3 hadithi ya 21 5 (1) sunan ibn majah juz 1 uk 441 (2) mustadrak sahihain juz 1 uk 313 (3)musnad ahmad juz 4 uk 138 nk 6 alfusululmuhimmah uk 31 cha ibn sabbaagh almaliki aliyefariki mwaka 855 ah 7 alsahifatus sajjadiyyah dua ya 47 8 ziyaratu aminillahi almaarufah 9 kashfulirtiyabi uk 32 imenakiliwa toka 'alhadiyyatussaniyyah' 10 kashfulirtiyabi akinakili kwa alqaduuri 11 mawahabi wanatumia rai zao na maoni yao kupinga aya za qur'an na hadithi za mtume [s] 12 aljamiussaghiru cha suyutiyy juz 2 uk 33 13 sunan ibn majah juz 2 uk 84 14 annihayah cha ibn athir katika maddah (haq)
2019-07-19T20:30:28
https://www.al-islam.org/sw/uchunguzi-juu-ya-uwahhabi-sheikh-jafar-subhani/amirul-muminiina-ali-na-kumuapa-mwenyezi-mungu-kwa
baada ya ushindi wachezaji wa simba waoga noti saleh jembe home » kitaifa » baada ya ushindi wachezaji wa simba waoga noti baada ya ushindi wachezaji wa simba waoga noti baada ya simba kuibuka na ushindi wa pili katika mechi tatu za ligi kuu bara vigogo wa timu hiyo wameamua kuwamwagia noti wachezaji hao ikiwa kama pongezi ya ushindi wao huo simba ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 21 dhidi ya ruvu shooting katika mchezo huo uliopigwa juzi kwenye uwanja wa uhuru dar lakini dakika chache baada ya kumalizika kwa mchezo huo wachezaji hao wakapewa zawadi hiyo ya kitita cha shilingi milioni tano mmoja wa watu wa ndani wa timu hiyo ameliambia championi ijumaa kuwa fedha hizo walitengewa tangu walipocheza mechi yao ya pili ya ligi dhidi ya jkt ruvu lakini kwa kuwa hawakuibuka na ushindi hawakupewa chochote mpaka walipoifunga ruvu hizo fedha zilikuwepo tangu awali wenyewe tu kwa kuwa hawakufanya vizuri katika mechi na jkt ndiyo maana hawakuambulia kitu lakini imekuwa safi wameshinda katika mchezo na ruvu shooting ndiyo maana wamepewa zawadi yao na itagawanywa kulingana na mchango wa kila mchezaji aliyeanza first eleven aliyekaa benchi mpaka jukwaani alisema kigogo huyo imewekwa na saleh ally @ 1051 am
2018-10-17T15:43:51
https://salehjembe.blogspot.com/2016/09/baada-ya-ushindi-wachezaji-wa-simba.html
mimi ni rafiki mkubwa wa mzee kimambisteve amjibu mange ghafla tz | presstz your number 1 source of aggregated online content mimi ni rafiki mkubwa wa mzee kimambisteve amjibu mange badada ya kuchafuliwa katika mtandao steve nyerere amemjibu katika uwanja wa maoni mwanadada mange kimambi baada ya kumtaja kama moja ya watu waliowai kuwa na mahusiano na mwanadada wastara juma miaka ya nyuma mange ambae alianza kumshambulia wastara kwa kumtukana na kisha kuanza kutoa siri na mambo ya ndani ya mwanadada huyo huku akimtukana matusi alisema kuwa steve nnyerere na wastara waliwahi kuwa wapenzi hapo awali kipindi wastara ayari akiwa na ulemavu wa mguu hata hivyo baada ya kuona maneno hayo hayavumiliki steve nyerere aliamua kujibu mange kimambi chini y apost yake hiyo kwa kumwambia kuwa yeye amekuwa rafiki mkbwa sana wa baba yake kwa miaka mingi kwanini anaamua kumdhalisha mitandaoni weee dada mange kimambi mimi ni rafiki mkubwa sana wa baba yako mzee kimambi toka enzi hizo huna wakubwa dada kwani mimi na wewe tuna ugomvi mtoto wa rafiki yangu the post mimi ni rafiki mkubwa wa mzee kimambisteve amjibu mange appeared first on ghaflatanzania continue reading >
2019-01-21T01:11:44
http://presstz.net/mimi-ni-rafiki-mkubwa-wa-mzee-kimambi-steve-amjibu-mange-41206027
wwwbukobasportscom afcon 2017 10 zimetinga fainali bado 6 afcon 2017 10 zimetinga fainali bado 6 nchi 10 tayari zimejipatia nafasi ya kucheza fainali za kombe la mataifa ya afrika afcon 2017 mwakani huko gabon pamoja na wenyeji gabon ambao wanaingia fainali moja kwa moja nchi ambazo zimefuzu kabla kumaliza mechi zao za makundi ni algeria cameroun ghana mali morocco senegal na zimbabwe pia wapo egypt ambao ndio wenye rekodi ta kulibeba kombe hili mara nyingi wakilitwaa mara 7 na wapo guineabissau ambao hii ni mara ya kwanza kucheza fainali za afcon nafasi 6 zilizobaki za kucheza fainali ambazo 4 ni za washindi wa makundi na 2 ni za tiketi ya washindi wa pili bora wa makundi zitajazwa kwenye za raundi ya mwisho za makundi hapo septemba 24 hali ilivyo kundi kwa kundi tunisia watakuwa wenyeji wa liberia na mshindi wa mechi hii atafuzu lakini wakitoka sare ya 00 togo atapenya ikiwa watawafunga 'vibonde' djibouti kwenye mechi ambayo togo wako kwao sare ya magoli kati ta tunisia na liberia itawafanya liberia waingie fainali congo dr watakuwa wenyeji wa central african republic huku wakiongoza kundi kwa pointi 2 mbele na sare kwao itawaingiza fainali mali wana hakika ya kucheza fainali ama kwa kushinda kundi au kwa kutwaa moja ya tiketi 2 za washindi wa pili bora benin watashinda kundi ikiwa watazifunga equatorial guinea jumapili ijayo na mali ugenini katika mechi ya mwisho burkina faso na uganda zitamaliza mechi zao za kundi wakiwa makwao na ushindi kwao utazipeleka fainali kwa mmoja kuwa mshindi wa kundi na mwingine kwa tiketi ya mshindi wa pili bora guinea bissau wapo fainali morocco wapo fainali egypt wapo fainali ghana wapo fainali mabingwa watetezi wa afrika ivory coast wanahitaji sare ya nyumbani na sierra leone ili watinge fainali algeria wako fainali senegal wapo fainali zimbabwe wapo fainali cameroun wapo fainali posted by faustine ruta at 24100 pm
2017-11-19T02:44:10
http://www.bukobasports.com/2016/06/afcon-2017-10-zimetinga-fainali-bado-6.html
unique entertainment blog sheikh mkuu wilaya arumeru amwagiwa tindikali shekhe mkuu wa wilaya ya arumeru said juma makamba amejeruhiwa vibaya kwa kumwagiwa maji yanayohisiwa kuwa tindikali na watu wasiojulikana juzi usiku akiwa nyumbani kwake jijini arusha shekhe makamba ambaye amelazwa katika wodi ya majeruhi kwenye hospitali ya mkoa wa arusha ya mount meru amejeruhiwa vibaya maeneo ya usoni kifuani na mgongoni huku akiendelea na matibabu akizungumza kwa tabu shekhe huyo alisema tukio hilo lilitokea saa 5 usiku wa kuamkia jana nyumbani kwake kwa mromboo arusha wakati akijiandaa kulala baada ya kutoka kuswali swala ya tarawei shekhe makamba ambaye pia ni imamu wa msikiti wa sekei mjini arusha alisema baada ya swala hiyo alirejea nyumbani kwake akisindikizwa na vijana wawili ambao walikuwa wakiswali pamoja na kuingia ndani ya nyumba yake ili kulala alisema hata hivyo kabla ya kulala alikwenda kujisaidia katika choo cha nje na kwamba wakati akirudi ili aingie ndani akipitia nyuma ya nyumba ghafla alimuona mtu akiwa amesimama jirani na mlango alieleza kuwa wakati akitaka kumwangalia zaidi alishtukia mtu huyo akiinua mkono na kumwagia maji yaliyompatia maumivu makali usoni na kifuani wakati natoka msalani nikipitia uwani kwangu niliona kama mtu ameinama pembeni yangu wakati najaribu kumsogelea ili nijue ni nani nilihamaki mtu huyo akinimwagia maji yaliyonisababisha maumivu makali sana yenye asili ya moto na ngozi kuanza kubabuka alisema shekhe huyo aliongeza kuwa baada ya tukio hilo alianza kupiga kelele kuomba msaada ambapo majirani walijitokeza na kumpa msaada wa kumpeleka hospitali kwa vile wakati huo macho yake yalikuwa hayaoni na wakati wote alikuwa akilia pamoja na kujeruhiwa vibaya sehemu za usoni kifuani na mgongoni pia ana majeraha kwenye mikono na machoni na hali yake bado ni mbaya japo madaktari wanaendelea kumpatia matibabu kaimu katibu wa bakwata mkoa wa arusha abdallah masoud akizungumzia tukio hilo alieleza kushitushwa nalo akisema limefanana na lile la katibu wa bakwata mkoa wa arusha abdulaziz jonjo ambaye mwaka jana alilipuliwa kwa bomu nyumbani kwake akiwa amelala alisema kuwa matukio hayo yamekuwa yakijirudia huku wahusika wakishindwa kutiwa mbaroni na kudai kuwa matukio hayo yanahusiana na masuala ya kigaidi aliongeza kuwa pamoja na kutoa taarifa kwa jeshi la polisi lakini wamekuwa hawapati matunda ya kukamatwa kwa watuhumiwa ingawa alisema wanajulikana kwa upande wake kamanda wa polisi mkoa wa arusha liberatus sabas alisema polisi wameanza uchunguzi wa tukio hilo na kwamba taarifa zitatolewa pindi washukiwa watakapotiwa mbaroni kwani uchunguzi bado unaendelea na kwamba hakuna mtu anayeshikiliwa hadi sasa posted by metty magese at 835 pm
2017-10-24T00:24:15
http://uniqueentertz.blogspot.com/2013/07/sheikh-mkuu-wilaya-arumeru-amwagiwa.html
katika nchi ya misri tarehe 17 mwezi wa 11 mwaka 1869 mfereji wa suez unafunguliwa na kuunganishwa kwenye bahari ya mediterranea pamoja na bahari nyekundu mfereji wa suez ni mfereji mkubwa nchini misri unaunganisha bahari ya mediteranea na bahari ya shamu na bahari hindi mfereji uko upande wa magharibi ya rasi ya sinai urefu wake ni 163 km na upana ni kuanzia 300m unaanza mjini port said upande wa mediteranea na kuishia mjini suez (alsuways) upande wa bahari ya shamu historia ya mfereji wa suez kuna mifereji mbalimbali iliyotangulia hapa kuanzia karne ya 14 kk hadi wakati wa waarabu katika karne ya 8 bk lakini yote haikudumu kwa sababu ya matatizo ya kuondoa mchanga mara kwa mara kwa mitambo iliyopatikana zamani tena katika mifereji ya zamani ilikuwa serikali ya misri tu iliyotaka kurahisisha usafiri na ubebaji wa mizigo tangu kupatikana kwa meli ya kisasa idadi ya meli kati ya ulaya na asia iliongezeka sana katika karne ya 19 zote zilipaswa kuzunguka afrika yote au kuondoa mizigo na abiria upande wa mediteranea na kuyasafirisha yote hadi suez hivyo ilikuwa jitihada ya kimataifa yaliyoleta mfereji wa kisasa umuhimu wa mfereji wa suez mafanikio ya mfereji wa suez yalihamasisha mianzo ya mfereji wa panama kutaifishwa kwa mfereji 1956 mfereji ulikuwa mali ya compagnie universelle du canal maritime de suez au kampuni ya mfereji wa suez na hisa zake zilikuwa mkononi mwa serikali za ufaransa na uingereza
2020-03-29T14:19:25
https://www.mzunguko.com/single-post/2018/11/17/katika-nchi-ya-Misri-tarehe-17-mwezi-wa-11-mwaka-1869-mfereji-wa-suez-canal-unafunguliwa-na-kuunganishwa-kwenye-bahari-ya-Mediterranea-pamoja-na-bahari-nyekundu
waziri jenista aanza ziara ya kutembelea vitegauchumi vya psssf jijini dar es salaam habari na matukio home habari habari na matukio habari za kijamii waziri jenista aanza ziara ya kutembelea vitegauchumi vya psssf jijini dar es salaam waziri jenista aanza ziara ya kutembelea vitegauchumi vya psssf jijini dar es salaam kajunason at november 26 2019 habari habari na matukio habari za kijamii waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (sera bunge kazi vijana ajira na wenye ulemavu) mhe jenista mhagama(watatu kulia) akiongozana na katibu mkuu ofisi ya waziri mkuu bw andrew massawe (wanne kulia) mkurugenzi mkuu mfuko wa pensheni kwa watumishi wa umma (psssf) bw hosea kashimba (wapili kulia) na maafisa wengine wa juu wa psssf mwanzoni mwa ziara ya waziri kutembelea vitegauchumi vya mfuko huo jijini dar es salaam novemba 25 2019 waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (sera bunge kazi vijana ajira na wenye ulemavu) mhe jenista mhagama(katikati) akiongozana na katibu mkuu ofisi ya waziri mkuu bw andrew massawe (kushoto) mkurugenzi mkuu mfuko wa pensheni kwa watumishi wa umma (psssf) bw hosea kashimba (kulia) wakitoka kwenye moja ya majengo ya vitegauchumi vya mfujo huo jijini dar es salaam novemba 25 2019 mhe jenista ameanza ziara ya siku mbili kutembelea vitegauchumi vya mfukjo huo hususan majengo mhe jenista mhagama akisisitiza jambo baada ya kutembekea jingo la psssf twin towers katikati ya jiji la dar es salaam novemba 25 2019 mhe waziri akifuatana na katibu mkuu pamoja na mkurugenzi mkuu wa psssf wakitembelea jingo la psssf twin towers katikati ya jiji la dar es salaam novemba 25 2019 waziri mhe jenista mhagama akizungumza wakati wa ziara hiyo huku mkurugenzi wa mipango na uwelezaji psssf bw fortunatus magambo akimsikiliza waziri mhagama akimsikiliza katibu mkuu ofisi ya waziri mkuu bw andrew massawe wakati akifafanua jambo wakati mhe waziri na msafara wake walipotembelea jingo la quality plaza barabara ya nyerere jijini dar es salaam ili kujionea hali ya sasa ya jingo hilo ambalo ni kitegauchumi cha psssf waziri mhagama akifuatana na katibu mkuu ofisi ya waziri mkuu bw massawe wakati wakitembelkea jingo la psssf twin towers novemba 25 2019 waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (sera bunge kazi vijana ajira na wenye ulemavu) mhe jenista mhagama(kushoto) na katibu mkuu ofisi ya waziri mkuu bw andrew massawe (kushoto) wakimsikiliza mkurugenzi mkuu mfuko wa pensheni kwa watumishi wa umma (psssf) bw hosea kashimba wakati mhe waziri alipotembelea jingo la uwekezaji la psssf la jubilee towers barabara ya ohio katikati ya jiji la dar es salaam novemba 25 2019 mkurugenzi mkuu mfuko wa pensheni kwa watumishi wa umma (psssf) bw hosea kashimba akifafaua jambo
2020-01-26T07:18:27
https://www.kajunason.com/2019/11/waziri-jenista-aanza-ziara-ya.html
psg inapata hofu neymar anaweza kuwakosa man united millardayocom psg inapata hofu neymar anaweza kuwakosa man united club ya paris saint germain ya ufaransa kuna uwezekano mkubwa ikamkosa mchezaji wake tegemeo neymar kutokana na staa huyo kuripotiwa kupata majeraha neymar anahofiwa kuumia vibaya katika mchezo wa french cup dhidi ya strasbourg uliyomalizika kwa psg kupata ushindi wa 20 neymar anahofiwa kuwa ametonesha enka ya mguu wake ambayo mara ya kwanza alivyoumia ilimuweka nje ya uwanja kwa muda mrefu neymar kutokana na kuumia huko katika mchezo wa french cup neymar anahofiwa kuwa atakosa game ya 16 bora ya uefa champions league dhidi ya man united katika uwanja wa old trafford february 12 na kurudiana march 6 katika game hiyo neymar alicheza kwa dakika 62 na kutolewa kwa kupata majeraha na nafasi yake ikachukuliwa na moussa diaby hilo ni pigo la pili kubwa kwa psg kwani tayari marco verratti anahofiwa kuwa fiti baada ya kuumia na kutolewa nje katika mchezo wa ligi kuu ufaransa dhidi ya guingamp uliyomalizika kwa psg kushinda 90 ← previous story done deal higuan ametua stamford bridge next story → higuan ametaja namna maurizio sarri alivyomshawishi kujiunga na chelsea
2020-02-23T07:35:04
https://millardayo.com/ju7889ikjju/
rubavu abanyeshuri bikoreye radio umuti wica ibiheri nibindi umuseke rubavu abanyeshuri bikoreye radio umuti wica ibiheri nibindi utuntu n'utundi | yashyizwe ku rubuga na chief editor kuwa 03/10/2017 saa 1217 muri ecole de science de gisenyi(esg) abanyeshuri baho bumva radio yabo ivugira kuri fm ku murongo ya 9200 bikoreye kandi agakoresho koza za mudasobwa umuti wica ibiheri nibindi bavanye mu bumenyi bwibanze bahabwa nishuri nabo bagashyiraho akabo aya makara nibindi bavanze nayo atanga amashanyarazi ya 3v abdul karim ndayisenga na mugenzi we turikumwe jean claude biga muwa gatanu ishami ry imibare ubugenge nubutabire(physicschemistry mathematics) bakoze radion babasha no kuyishyira ku murongo wa fm ubu yumvikana ku ntera ya 300m aha mu kigo cyabo bifashishishije ibikoresho bisanzwe bya muzika na radio yo mu modoka bakoresha nkinsakazamajwi (emeteur) ku ishuri babibafashijemo babaha ibikoresho nka mixer ndetse babifashijwemo na mwarimu radio yabo itangira kumvikana mu kigo hose ubu basaba ko babona ubufasha bagakora radio yakumvikana mu mugi wa gisenyi wose ndetse ngo biteguye gukomeza kwagura ubumenyi ku buryo mu mpera zuyu mwaka bafasha radiyo zo muri za gare kugira umurongo kuri frequency modulation (fm) abandi banyeshuri ba hano habit niyomugabo na munayaneza aime bimyaka 14 gusa biga muwa kabiri barafatanyije bakora agakoresho ka aspirateur gasukura ibikoresho bitajyamo amazi nka mudasobwa ni nyuma yo kubona ko mudasobwa zisukurwa ariko ivumbi ntirishiremo bavanye ubumenyi kuri internet nkuko babivuga maze bifashisha icupa ryamazi ibisigazwa byamacupa yimibavu batiri ya telefoni na dynamo gukora aka gakoresho ngo byabatwaye amafaranga magana atanu gusa (500frw) abandi bana biga mu muwa gatanu niyonkuru emmanueliganamugabe samuel na irankunda fulgence biga imibareibinyabuzima nubutabire(mcb) bakoze umuti wica udukoko bakoresheje ibimera bya tungurusumu igikakarubamba tangawizi inyabarasanya nindimu uyu muti wica ibiheri bikunze kwibasira abanyeshuri abandi banyeshuri ba hano bitwa niyonkuru theonetse na maniraguha jean damascene biga mu mwaka wa gatanu imibare ibinyabuzima nubutabire(mcb) bo bakoze amashanyarazi bakoresheje amakara umunyu amazi na aluminium bagamije gukemura ikibazo cyabana bo mucyaro batagira amashanyarazi iwabo bikabagora gusubiramo amasomo esri hakuzimana uyobora iri shuri rya ecole de science de gisenyi avuga koi bi abanyeshuri bakora bigaragaza ubuhanga nimpano bafite kuko ibyo bakora usanga atari ibyo bize gusa mwishuri avuga ko ishuri rizabafasha gukomeza kuzamura impano nubuhanga bwabo uko rishoboye asaba nababyeyi guha abana babo umwanya wo gukora ibyubuhanga bafite bakaba banavumbura ibintu bishya abakoze radio bagerageza kuyivuza iyi radio niyo mu kigo bose bumva mu kigo bayumvira kuri 9200 fm bakoze umuti wica udukoko tunyuranye turimo isazi nibiheri bakoze ka aspirateur gakiza ivumbi ibikoresho bitajyaho amazi ubundi kuva na kera iki kigo kirazwi mubitanga ubumenyi natwe twahize ibijyanye no kuvura kera bikihaba ariko aho tugeze tuba icyitegererezoabo banyeshuri ahubwo baterwe inkunga bakore byinshi bigezwehombifurije gukomeza gukura mubumenyi nikoranabuhanga mugisha obed 03/10/2017 at 231 pm hakwiriye ivugurura mubijya nye no guhabwa agakiro kubumenyi ngiro kuruta kwira mumakayi ndabasaba mwese mumva ibyo mvuga ko mwatangira mukayoboka internet cyane youtube muburyo bwo gushaka ubumenyi bwisumbuyeho (totorial about want you want to develop) you wait even me my app 04/10/2017 at 1052 am hhhhhh obed what ur app which one
2017-12-16T03:20:03
https://umuseke.rw/rubavu-abanyeshuri-bikoreye-radio-umuti-wica-ibiheri-nibindi.html
yah nakumbuka disko la jkt nadhani lirudi | gazeti la jamhuri jamhuri january 15 2019 yah nakumbuka disko la jkt nadhani lirudi20190115t085302+0000 makala kama ilivyo ada ya muungwana salamu ni jambo muhimu sana kwa msomaji wa safu hii ya kizuzu utakubaliana nami kwamba sijawahi kuacha kuwajulia hali hii inatokana na mafunzo niliyopata nikiwa kinda kwa wazazi wangu na mwishowe mafunzo ya uzalendo kwa mujibu wa sheria ya serikali yangu wakati nilipomaliza shule watu wengi hawawezi kuelewa nitazungumzia nini katika waraka wangu wa leo kwa sababu hawajapata fursa ambazo wakongwe tulizipata kwa kwenda katika mafunzo ya jeshi la kujenga taifa wakati ule jeshi hili lilikuwa linajenga taifa kwa maana ya uchumi chakula utu uzalendo na uwajibikaji wakati wetu kuwa jeshini ilikuwa ni zaidi ya masomo ambayo tulipata darasani yapo ambayo tulikumbana nayo kwa vitendo na mengine tulijifunza hapo kwa kukosa kuyapata madarasani naamini na nitaendelea kuamini kuwa kuacha mambo ya jkt au kuyafupisha mafunzo yale ndiyo moja ya matokeo ya kutokuwa wazalendo na kupenda kupata maisha bora bila kutoa jasho nimepitwa na mengi na hata sijui nimuombe nani anisaidie kwa sababu nyingi lakini mojawapo nauona muingiliano wa kutojua ni nani mwenye dhamana ya kusimamia suala hili kwa sasa huenda ni wizara fulani au mhimili fulani au mamlaka fulani kiukweli sijui lakini naomba ujumbe uwafikie wenye dhamana sisi tulifundishwa umuhimu wa uzalendo na makamanda wetu ambao walitujenga katika mfumo wa kuona kila kitu kinakuhusu kama raia tulijengwa kuipenda nchi yetu kwa moyo na vitendo tulibatizwa kwa nyimbo za ukombozi na kulipenda taifa letu wakati huo ukisikia wimbo wa taifa unatamani kuangalia juu na kuona malaika wakishuka jeshi lile lilikuwa la kitaifa mnakutana langoni bila kujuana na kuanzia hapo mnakuwa kitu kimoja umoja wa kitaifa unaanzia hapo humjui katokea wapi kabila gani kasoma wapi kaletwa na nani lakini mtaimba wimbo mmoja na kuwa kitu kimoja mtakula pamoja mtalala pamoja na kuamka pamoja mtalia pamoja na kucheka pamoja mtachoka wote na mtaimba wote huo ndio ulijenga taifa hili hadi mwishoni mwa miaka ya themanini watu wasiojua watauliza tulifundishwa nini tulifundishwa kufanya kazi hatukufundishwa kuwa nyoronyoro kaulimbiu ya sasa kwetu siye wa jkt ni kama mate na ulimi tulilima mashamba ya dunia na kuvuna tulipalilia shamba la mungu na kuvuna taifa halikuwahi kuingiwa njaa tulikuwa na chakula cha kutosha na serikali iliuza na kupata fedha huwa sielewi ni wapi tulikosea kisera kuifuta hii na huwa sielewi kwanini waliopitia mafunzo haya hawaoni hili ombwe la kukosekana kwa mafunzo yale labda ni kutokana na uzuzu wangu sijui gharama za kuliendesha jeshi ambalo lilikuwa likijenga nchi wakati huo ukiuliza tulifanya nini majibu utapata kwa aliyepitia jeshi lile lakini tulifunzwa nidhamu ambayo vijana wengi wa leo hawana utaambiwa juu ya umuhimu wa kutii sheria na uwajibikaji utaelezwa juu ya kufanya kazi na uimarishaji wa afya mwishowe utafahamishwa juu ya kujenga umoja wa kitaifa na uzalendo halisi na si huu wa kuimbaimba midomoni kwa kukariri bila vitendo hiyo ndiyo jkt niliyopitia mimi kwanini ilifutwa jibu sina na sijawahi kuambiwa lakini ninachojua ipo ya kujitolea kwa vijana wasio na kazi na kwa mujibu wa sheria lakini kwa siku chache haijawa sheria kama wakati wetu kwamba bila jkt hauna haki ya kuajiriwa na hauna haki ya kuendelea na masomo kwa uzuzu wangu naona faida zake zilikuwa ni nyingi kuliko hasara na kwa ubwege wangu ningeshauri zoezi lile lirudishwe ili lijenge taifa mbalo kwa sasa linahitaji vijana wachapakazi wazalendo wawajibikaji na wanaozingatia sheria zoezi lile lilituletea viongozi wa taifa na hata pale ambapo kiongozi aliteuliwa na hakupitia jeshi lile alilazimika kwenda kusafisha nyota ya utanzania najua nitawakera lakini ukweli lazima niuseme hatuna wazalendo wa kutosha na tuna watu ambao hatuna hakika kama ni watanzania kwa kuwa hawakupita katika chekecheke na chujio la taifa naomba mniwie radhi sikufundishwa jkt kuwa mwoga « viongozi wetu wanao ukweli wajibu na uzalendo wamarekani waafrika kusini watuache »
2020-04-08T23:51:19
http://www.jamhurimedia.co.tz/yah-nakumbuka-disko-la-jkt-nadhani-lirudi/
 transponder habari kwa 23102017 na guru · kuchapishwa 23102017 · updated 23102017 abs 2a75 na televisheni ya kati alianza kutangaza kwenye 12100v sr 45000 hadharani 11490 dvbs2 7500 3/4 world 4 kushoto mir24 channel kuanza utangazaji katika hd 12140 v 45000 auto kaleidoscopetv na umoja walikuwa kufunguliwa katika mfuko dtv 1 na alionekana kwenye dtv2 12588 v 45000 fec 2/3 mpeg4 hadharani duronto tv alionekana kwenye 12407 v 45000 fec 3/5 mpeg4 exsĕ 12226 v 27500 3/4 dvbs / qpsk roj tv r anameana ушли ishara imezimwa kyrgyz channel alionekana kwenye on1 11015 h 13000 3/4 dvbs2 / 8psk mpeg4 hadharani grt tv alionekana kwenye 11095 v 30000 dvbs2 / mpeg4 russia 1 (0h) rostov russia 24 (0h) rostov alionekana kwenye 3574 l 3600 fec3/4 dvbs2 / mpeg4 t2mi hadharani 'office media yeye alionekana katika 12189v (boriti ulaya) dvbs2 / 8psk / mpeg4 / hd / wazi sr 4444 fec 3/4 qutdoor channel international hd alionekana kwenye 12169 v 30000 fec3/4 dvbs2 / 8psk / mpeg4 / hd sid8718 pid7181/7182 viaccess qutdoor channel international hd kuacha 12402 v 30000 11296 h 27500 5/6 kazakh tv alionekana hadharani uso 1 yeye alionekana katika 10775 h 27500 5/6 hadharani merci tv ameonekana kwenye redio 10775 v 27500 fec 5/6 hadharani extreme sports hd alionekana kwenye 11345 h 27500 fec5/6 dvbs / mpeg4 sid302 pid3021/3022 hadharani biashara kuacha 12073 n ya kuvutia hisia tv kubadilishwa na penthouse kwenye 12207 v 30000 fec2/3 dvbs2 / mpeg4 sid2610 pid2611/26121 videoguard verimatrix taifa ya kijiografia urusi hd discovery channel urusi hd ndiyo comedy hd и sport 1 hd israel alionekana kwenye 11525 v 15000 fec 2/3 mpeg4 hd videoguard ndiyo 1 ndiyo 2 ndiyo 3 ndiyo 4 ndiyo 5 sport 4 israel ego jumla sport 1 israel hop dvdbox disney channel israel network tv habari za maisha sport 2 israel channel 20 zoom israel ndiyo israel cinema na historia channel israel alionekana kwenye 11552 v 27500 fec 3/4 videoguard ratiba ya roketi uzinduzi kutoka baikonur cosmodrome katika kazakhstan na wawakilishi wa urusi itakuwa kupitisha kabla ya mwisho wa 2017 mwaka siku ya ijumaa ya vyombo vya habari katibu wa wizara ya ulinzi na sekta ya luftfart ya kazakhstan mali nurkenov yazindua ratiba kwa mwaka ujao bado chini ya maendeleo kisha kwa pamoja kwa pamoja tunakubali kupitia kanuni za urusi na kazakhstan mwisho wa mwaka itakuwa kupitishwa ugunduzi wa takwimu hizi itakuwa baada ya idhini yeye aliwaambia nurkenov 19 oktoba naibu mkurugenzi mkuu sc roscosmos sergey savelyev aliiambia kwamba roscosmos ni mipango mwaka ujao ili kuongeza idadi ya uzinduzi kutoka baikonur kulingana na yeye hii ni kutokana na muendelezo wa utekelezaji wa mipango kuanzia na gari uzinduzi protonim na programu za manned nafasi na miradi ya kibiashara kama taarifa savelyev katika 2017 mwaka ni uzinduzi wa 11 roketi nafasi kabla ya mwaka imepangwa kufanya tatu zaidi ya kuanza ginx tv и sports fix&foxi na usambazaji wa austria telekom group kampuni ginx esports alihitimisha mkataba kina na telekom austria group (tag) ambayo inaruhusu distributirovat mpango si tu katika ulaya kupitia eutelsat 16a satellite (16° e) lakini pia katika sehemu kubwa ya matawi yake hii ni makubaliano ya tatu ginx esports tv katika kipindi cha miezi ya hivi karibuni baada ya upanuzi katika afrika ya kusini na israel tag pia aliingia mkataba na ujerumani media kampuni family wako entertainment (fo) ajili ya usambazaji wa na familia channel fix watoto wake mwenyewe&foxi katika katikati na mashariki mwa ulaya mkataba huu na tag aliajiriwa katika mipcom 2017 ambayo hutoa nchi kavu na usambazaji satellite ada ya mpango kituo hiki kueneza kutoka kituo ardhi satellite aflenz eutelsat 16a (16° e) c 16102017 kulipa mtandao tv katikati na mashariki mwa ulaya inaweza kuchukua fix&foxi na eutelsat 16a satellite na kutoa kwa wateja wao kituo cha imeundwa kwa ajili ya watoto wenye umri kati ya 5 kwa 11 miaka channel ilizinduliwa 1 desemba 2014 mwaka nchini ujerumani austria na uswisi walikuwa kutambuliwa na masoko ya kimataifa ikiwa ni pamoja na marekani na amerika ya kusini afrika na mashariki ya kati mteja msingi wa mts satellite tv tangu mwanzo wa oktoba 2017 kulikuwa na 357 elfu wanachama kama tunaona wateja wote wa kulipatv operator idadi yao itakuwa 316 milioni wanachama kwa mujibu wa kiashiria hii mts nafasi ya tatu baada ya tricolor tv na rostelecom data juu ya kiasi cha msingi mteja ikiwa ni pamoja na uhusiano satellite kampuni ya utafiti wa kuongoza tmt consulting msemaji mts dmitry solodovnikov ujumla kukubaliana na makadirio mchambuzi awali mts hakuwa na taarifa za jinsi watu wengi kutumia huduma ya satellite tv ambayo operator ilizindua katikati ya 2015 mwaka pia kwa mujibu wa tmt consulting katika urusi katika mwisho wa robo iii 2017 kulikuwa na 424 milioni wateja wa kulipa tv robo ya wigo wao ilikua kwa 07 kwa muda wa miaka ya 34 kulingana na makadirio ya telecomdaily mwishoni mwa mwezi septemba jumla ya mteja msingi wa tv kulipwa katika urusi na 4188 milioni wanachama kwa mujibu wa kampuni ya juu ya viongozi watatu wa waendeshaji kulipatv ni pamoja na tricolor tv (122 milioni) rostelecom (97 milioni) na ertelecom ' (32 milioni) katika orodha ya tmtkonsaltig ertelecom ni ya nne na ya tano gc orion (na taarifa operator mwisho wa iii robo ya mteja wao msingi kuhesabiwa 303 milioni wanachama) akiongeza mts safu ya kwanza katika orodha ya kubwa waendeshaji kirusi mawasiliano ya simu linajumuisha cnews analytics channel penthouse (№ 291 katika pge) inapatikana katika vifurushi kimaudhui channel watu wazima channel maudhui ya njekwa ajili ya watu binafsi kufikiwa 18 miaka kulingana na sheria kiukreni webcast itafanyika kuanzia 0000 kwa 0400 mfuko watu wazima inapatikana kwa amri kwa ajili ya wanachama wote hai pamoja na mfuko wake wa msingi timu viasat jimbo corporation roscosmos inakusudia kuongeza idadi ya uzinduzi roketi kutoka baikonur cosmodrome katika mwaka ujao hii ulitangazwa alhamisi naibu mkurugenzi mkuu sc roscosmos sergey savelyev akizungumza katika kongamano la kimataifa njia kazakhstan ya katika nafasi hali halisi na matarajio 2017 baikonur cosmodrome leo bado ni moja ya spaceports sayari ya kukubali the 2017 mwaka ni uzinduzi wa 11 roketi nafasi kabla ya mwaka imepangwa kufanya tatu zaidi ya kuanza kuanzia mwaka ujao kuongeza idadi ya uzinduzi mipango alisema savelyev kulingana na yeye hii ni kutokana na muendelezo wa utekelezaji wa mipango kuanzia na gari uzinduzi proton m na programu za manned nafasi na miradi ya kibiashara distributor na mtayarishaji wa kimaudhui njia muda media group imezindua mpya televisheni channel utangazaji dorama esta yake ni mfululizo wa uzalishaji wa korea ya kusini japan china na taiwan line tofauti ya maudhui ya kituo ni iliyoundwa kwa ajili ya wapenzi wa kituruki tv mfululizo ombi kwa ajili ya maudhui yanayotokana katika nchi nyingi na sasa ni kupata umaarufu wa haraka kati ya sisi na kituo yetu ni mantiki mfano halisi wa ombi watazamaji pia tayari kutoa waendeshaji na aina tofauti ya haki kwa ajili ya huduma za ziada ikiwa ni pamoja na ottmajukwaa na orodha kubwa ya maudhui ya videoondemand alisema mkurugenzi mtendaji wa muda media group stepan kovalev kituo cha televisheni ni matangazo kila saa na ni kusambazwa katika mtandao watoa kulipatv katika urusi cis na baltic ishara ni kusambazwa kwa namna coded kutoka satelaiti express amu1 (36 grvd) express at1 (56 grvd) na express at2 (140 grvd) ufundi vigezo dorama express at2 (140° e) mzunguko 12245 ghz pol r sr 27500 fec 3/4 dvbs2 / 8psk ca viaccess (mashariki ya mbali) express at1 (56° e) mzunguko 12437 ghz pol r sr 27500 fec 3/4 dvbs2 / 8psk ca viaccess (mashariki ya urusi) express amu1 (36° e) mzunguko 12437 ghz pol r sr 27500 fec 3/4 dvbs2 / 8psk ca viaccess (sehemu ya magharibi ya urusi) moja ya nakala rtvi off kwa 13 ° e 18 oktoba mwaka huu pamoja na idadi transponder 81 спутника eutelsat moto ndege 13b (130° e) katika mzunguko 12322 ghz pol h (sr 27500 fec 3/4 dvbs / qpsk) rtvi urusi channel mara imezimwa ni kutaja thamani ya kwamba kwa 2 mei 2017 kituo ni inapatikana kwa idadi transponder 5 inayomilikiwa iko media group kutoka satellite eutelsat moto ndege 13 c (130° e) katika mzunguko 11296 ghz pol h (sr 27500 fec 5/6 dvbs / qpsk) sasa vigezo kiufundi rtvi bhs media taarifa kutoka uae ni kupanua yake huru jukwaa persian vituo kwenye satellite eutelsat moto ndege 13 c (13° e) wakati huu kituo cha uso 1 uso 1 matangazo ya mara kwa mara kuanza mwanzoni mwa oktoba mwaka huu na tp81 (12322 ghz pol h sr 27500 fec 3/4 dvbs / qpsk) juu ya satellite eutelsat moto ndege 13b (13° e) lakini haraka majani chombo mkono operator eutelsat sababu za mabadiliko haya ni wazi bila shaka bhs media hutoa usambazaji kwa masharti mazuri zaidi kwa watangazaji wa kigeni katika lugha ya kiajemi kuna umuhimu mkubwa sana kuzingatia mara nyingi wanakabiliwa na matatizo ya kifedha na programu za matangazo ya tv bila kununua leseni on transponder frequency juu bhs media 10775 ghz pol h (sr 27500 fec 5/6 dvbs / qpsk) yanaweza kupatikana 19 huduma tv kimsingi vituo hivi ni iliyoundwa kwa ajili ya watu akizungumza katika kiajemi idadi kubwa ni katika iran tajikistan azerbaijan kurdistan pakistan afghanistan mashariki ya kati na ulaya magharibi new vigezo kiufundi face 1 modern times group kukamilika mauzo ya mali yake ya vyombo vya habari katika nchi ya baltic «modern times group» kampuni (mtg) kukamilika «riziki equity partners» mchakato wa mauzo wa kampuni hiyo mali yake ya utangazaji katika nchi baltic kwa jumla ya fedha sawa na kiasi 100 euro milioni kampuni alibainisha manunuzi ulifanyika kulingana na thamani appraised ya biashara 115 euro milioni mtg iliongezwa kwamba kutokana na mauzo ya mali itakuwa ya awali wavu faida mji mkuu kwa misingi ya 4 robo kiasi cha takriban 580 msek (605 euro milioni) all nafasi na maelekezo yanayohusiana na makampuni ya matangazo ya biashara katika eneo mtg baltic inaonekana katika taarifa yake ya kifedha kama operesheni ya kukomeshwa kwa mara ya kwanza katika mtg ametangaza nia yake ya kuuza mali yake katika uwanja wa utangazaji katika nchi ya baltic mapema machi mwaka huu idadi ya kusema pool ya mali ni pamoja na njia kubwa matangazo katika baltic kuongoza jukwaa na streaming upatikanaji wa video kwenye usajili na mkono na utangazaji pamoja na tu dth jukwaa na kubwa zaidi ya kulipatv operator kazi katika eneo la baltic hadithi ijayo transponder habari kwa 24102017 hadithi uliopita transponder habari kwa 20102017 na guru · kuchapishwa 12102017
2018-10-18T07:47:05
https://hdbox.ws/sw/sat-tv-novosti/4956-transpondernye-novosti-za-23-10-2017.html
global voices in swahili · habari za uandishi wa kiraia kutoka januari 2011 habari kuu kutoka januari 2011 sudan muda mfupi kuelekea kwenye kura ya maamuzi ya sudani ya kusini sudani ya kusini itaendesha kura ya maoni ili kuamua ikiwa iendelee kubaki kuwa sehemu ya sudani ama la ifikapo tarehe 9 januari 2011 kuna uwezekano ni mkubwa kuwa nchi hiyo kubwa zaidi katika bara la afrika itagawanyika kuwa nchi mbili zinazojitegemea hapa ni maoni ya hivi karibuni zaidi kwenye makala tunisia anonymous dhidi ya ammar nani atashinda vita ya kuchuja habari kichuja habari cha tunisia kinachojulikana kama ammar kinaeendelea kutishia kuziharibu na kuzifunga anuani za wanaharakati wa mtandaoni katika nchi hiyo ambayo imekuwa ikishuhudia wimbi la maandamano tangu katikati ya mwezi desemba ni leo tu wanaharakati wamedai kwamba serikali imeingilia anuani zao za barua pepena kuziingilia blogu na mitandao yao ya 28 januari 2011 sudani kura ya maoni ya sudani ya kusini katika picha imeandikwa na ndesanjo macha · afrika kusini mwa jangwa la sahara 25 januari 2011 sudan muda mfupi kuelekea kwenye kura ya maamuzi ya sudani ya kusini imeandikwa na ndesanjo macha · afrika kusini mwa jangwa la sahara 24 januari 2011 tunisia anonymous dhidi ya ammar nani atashinda vita ya kuchuja habari imeandikwa na amira al hussaini · mashariki ya kati na afrika kaskazini habari kutoka januari 2011 31 januari 2011 misri habari za maandamano ya upinzani moja kwa moja kwenye facebook imeandikwa na amira al hussaini · muhtasari wa habari · mashariki ya kati na afrika kaskazini kazakhstan wanablogu wajadili dini imeandikwa na askhat yerkimbay · asia ya kati kwa kuwa kazakhstan haina sera bayana ya dini imekuwa ada kwamba kila mtu ana uhuru wa kuwa na mtazamo wake katika masuala ya kiimani kama syria propaganda ya vyombo vya habari vya serikali kuhusu maandamano ya tunisia na misri imeandikwa na anas qtiesh · muhtasari wa habari · mashariki ya kati na afrika kaskazini sudani kura ya maamuzi ya uhuru wa sudani kusini kwenye twita imeandikwa na ndesanjo macha · afrika kusini mwa jangwa la sahara wapiga kura huko sudani kusini walipiga kura ili kuamua ama kujitenga au kubaki kuwa sehemu ya sudani huu ni mkusanyo wa twita zinazohusiana na kura 25 januari 2011 urusi mlipuko katika kiwanja cha ndege cha domodedovo imeandikwa na veronica khokhlova · muhtasari wa habari · ulaya mashariki na kati 20 januari 2011 kura ya maoni ya sudani kusini 2011 imeandikwa na solana larsen · afrika kusini mwa jangwa la sahara yaliyomo habari kusini mwa sudan wakati global voices habari zilizochaguliwa za global voices rasilimali tovuti twitter facebook videos sudani kusini ilianza kupiga kura ya maoni
2017-04-28T23:44:59
https://sw.globalvoices.org/2011/01/
chile holidays data kiuchumi viashiria chile all countries umojamataifa uingereza china afghanistan albania algeria andorra angola antigua na barbuda argentina armenia aruba australia austria azerbaijan bahamas bahrain bangladesh barbados belarus ubelgiji belize bermuda bhutan bolivia bosnia na herzegovina botswana brazil brunei bulgaria cambodia canada capekijani visiwa vya cayman chile china colombia pwanirica kroatia kuba cyprus jamhuri ya czech denmark dominika jamhuri ya dominika timor ya mashariki ecuador misri themwokozi estonia ethiopia euro eneo fiji finland ufaransa georgia ujerumani ghana ugiriki grenada guatemala guyana haiti honduras hongkong hungary iceland india indonesia iran iraq ireland israeli italia jamaika japan jordan kazakhstan kenya kiribati kosovo kuwait kyrgyzstan laos latvia lebanon liechtenstein lithuania luxemburg macau macedonia malaysia maldivi malta mauritius mexico moldova monako mongolia montenegro morocco msumbiji namibia nepal uholanzi kaledonia mpya mpyazealand nikaragua nigeria norway oman pakistan palestina panama papua guinea mpya paraguay peru philippines poland ureno pwetoriko qatar romania urusi rwanda samoa sao tome na principe saudiarabia serbia shelisheli singapore slovakia slovenia visiwa vya solomon afrika kusini korea ya kusini hispania srilanka surinam sweden uswisi syria taiwan tajikistan tanzania thailand tonga trinidade and tobago uturuki turkmenistan uganda uk ukraine falme za kiarabu uingereza umojamataifa urugwai uzbekistan vanuatu venezuela vietnam yemen zambia zimbabwe may/21 navy siku jul/16 mama yetu wa mlima karmeli sep/18 siku ya uhuru sep/19 jeshi siku sep/20 likizo ya umma dec/08 imaculate kubuni siku
2019-10-21T04:51:21
https://sw.tradingeconomics.com/chile/holidays
rais wa maurtania apinduliwa | jamiiforums | the home of great thinkers rais wa maurtania apinduliwa discussion in 'jukwaa la siasa' started by indume yene aug 6 2008 rais wa maurtania sidi mohamed ould cheikh abdallahi amepinduliwa kwa mujibu wa habari za kuaminika ni kwamba kikosi maalumu wa kumlinda rais (presidental security batallion) kilifika nyumbani kwa rais huyo na kumuweka chini ya ulinzi kisha kuondoka naye habari hizo zilithibitishwa na binti wa rais huyo aitwaye amal mint cheikh abdallahi mapinduzi haya ya kijeshi yametokea baada ya rais kumfukuza mkuu wa majeshi general mohamed ould cheikh mohamed ahmed ghazouani na mkuu wa kikosi maalumu cha kumlinda rais mohamed ould abdelaziz habari hizo vilevile zimedai kuwa wengine ambao wako chini ya ulinzi ni waziri mkuu pamoja na waziri wa mambo ya ndani wa nchi hiyo mapinduzi hayo yametokea bila umwagaji damu rais jk ana shughuli nzito akiwa kama mwenyekiti wa au sasa sijui kama litatumwa jeshi huko kama comoro au watatumia demokrasia kaazi kweli kweli this is another test for african leaders tuone kama watafanya kama walivyofanya comoro wameshindwa kwenda zimbabwe kwa sababu ulifanyika 'uchaguzi wa kidemokrasia' tuone na huko sasa sasa jamaa anafukuza mpaka mkuu wa kikosi cha kumlinda anategemea ninii hope damu haitamwagwa kama au waki deal na hili suala mapema haya mbona hayatokei tanzania pamoja na kulipwa mishahara midogo maisha duni na kuteswa kote huku ndugu zenu tukiendela kutesekana na mafisadi kuiba pesa kila kukicha ila nyie wanajeshi mnakaa kimya tuuuuuu fanyeni kama wanavyofanya wengine wenye uchungu na nchi zao acheni kulinda maslahi ya wachache na kuipeleka nchi yetu kwenye matatizo kila kukicha lindeni maslahi ya walio wengi na kuifanya tanzania tanzania kweli kutokana na mali zetu tulizonazo ushauri wa bure du kweli ushauri wa bure babah sasa baba h we si upo hapo hapo magogoni unaonaje na we ulianzishe tatizo sisi si unajua ni wale wa ufagio kaka fagia ofisi utalianzisha vipi wakati hao wanajeshi na mapolisi wote wanamuona kikwete kama mtu na mkombozi wa nchi yetu wakati anatumaliza kila kukicha mimi nashangaa kwa utajili tuliona na maisha tunayoishi watanzania lakini taasisi kama ya jeshi inakubali kabisa wakati ukienda huko wanakokaa makambini kwao unaweza kulia kuwa hawa ndio wanamkubali kikwete na kumsujudia imeandikwa' siku yaja ambapo wana hawa wataamka hivyo tuvute subira tu hata sisi wafagizi ipo siku tutaamka na kuwaonyesha hao wanajeshi kile walichopaswa kukifanya hata mie nilikuwa nafikiria hivyo jeshi linatakiwa kuhakikisha pesa zote za epa pamoja na nyinginezo zikiwemo meremeta zirudishwe kwa nguvu kama jk hataki kuwashughulikia fisadiz chukuwa fisadiz wote sweka ndani wakishasafisha huo uchafu wa fisadiz kisha warudishe madaraka kwa rais mchaguliwa maana jk hataki kuwashughulikia fisadiz hata mimi inanitia kichefuchefu unajua sisi hapa hatuna jeshi na kila ninapokutana nao hapa bongo huwa ninadharau akili zao si waliapa kulinda nchi yao kwa maisha yao yote sasa inakuwaje inchi inaenda kombo itakuwa aibu siku raia wakawaida tena wasiokuwa na mafunzo wataingia barabarani kutaka maelezo toka kwa viongozi wao huku wanajeshi wakitazama tu duh hivi bado mapinduzi yapo hadi leo afrika ndo maana zanzibar wanasema mapinduzi daima kinachonishangaza mimi ni kwamba hata kama kuna viongozi fulani wana interest binafsi na hawataki maendeleo ya tanzania na watu wake inakuwaje system nzima iwe namna hiyo jamani yaani hakuna hata sehemu moja tz ambako viongozi wa pale wanatenda haki na kupigania maslahi ya watanzania mahakamani wanyonge ni kudhullumiwa haki zao kama kawa kila kukicha pccb wanakamata rushwa za elfu moja zile personal (kwa hili ni sawa kabisa maana wanatakiwa kudhibiti kila rushwa) lakini hawafabyi lolote kuhusu marushwa makubwa ambayo yanaingiza nchi katika matatizo usalama wa taifa wao hawalindi usalama wa wananchi tena bali imekuwa ni usalama wa mafisadi polisi hao ndio usiseme wao wakiambiwa tu piga ua kabisa hata hawaangalii raia wa nchi ya makosa yao yako wapi ili mradi wameambiwa na viongozi feki twende kazini jeshini ndio hao wanajua fika kuwa wao ni moja ya sehemu muhimu ya nchi wakati wowote mambo yanapokuwa hovyo wanatakiwa kuonyesha na kukitumikia kiapo chao ili kunusulu taifa na raia wake lakini ndio kwanza hakuna lolote endelea na wengine ajabu ni kuwa wote hawa na wengineo wote wanaona mambo yako sawa kabisa na hakuna shida hata kidogo tena wanakaa kuisifia serikali kuwa inafanya safi kabisa jamani ndugu zangu ebu amkeni muache kutesa na kusababisha maisha magumu katika nchi yetu jamani mhhh taratibu bandugu hamkawii kuitwa wachochezi mnao tishia amani ya nchi huu sio uchochezi hata kidogo habari hiyo inajaribu kutafakari kiapo walichokula ndugu zetu na hali halisi ya sasa hivi nchini kwetu pamoja na wajibu wao wa kufanya kazi ni kweli tunahitaji mapinduzi lakini si ya kuanza na wanajeshi kwanza si ya wanajeshi kwa sababu wao wanaweza kusababisha kumwagika kwa damujambo hilo hatulitaki pili wameshindwa kuyfanya mapinbduzihata kwa style wanayoijua wao hivyo sasa tunahitaji mapinduzi kutoka kwa kundi jinginewananchi wa kawaida ambao kimsingi ndio mabosi wa viongozi tatizo moja kwetu ni kuwa tuliowachagua wawe viongozi wamejigeuza kuwa watawala tufanye mapinduzi kwa kuchochea fikra za wapiga kura ili wasichague tena viongozi ambao wana dalili ya kujiegeuza watawala tukifanikiwa kuwachochea wananchi wawe na mwamko na kuwa makini wanapofanya maamuzi yao ya nani awaongoze tunaweza kuleta mabadiliko kinachofaa ni jinsi ya kuwaonyesha wananchi hao kuwa upande wa kanga na bakuli la pombe ni vitu vya kupita kwa muda mfupi tu lakini mustakabali wa tanzania ni wa muda mrefu wanajeshi wa tanzania fanyeni kweli basitunawasikilizia and you have our support we uliona wapi mwanajeshi aliyefuzu na kuiva anavaa shati la kijani kama combat hii ipo tanzania au wewe hujaona hili la wanajeshi inakuwa kama watu wa jamhuri ya prof j(kumbuka wimbo wake ndio mzee) ie jeshi la ndio mzee hata kama mishahara yao haiwafikishi mwisho wa mwezi au hauleti tija ya maendeleo katika maisha wakati huo watu wanaowalinda wanazindi tumbukia katika dimbwi la umasikini kila siku na kuhatarisha maisha yao mzee wa matuzimkjj aliporuhusu tupige simu na kutowa maoni yetu mara baada ya kuwahoji marehemu wangwemama killango na wabunge wenginenillitowa hoja hii ya jeshisikumbuki iliishia wapi lakini mkjj aliipinga akisema tusubiri uchaguzi wa 2010 sishabikii mapinduzi ya kijeshi lakini kwa nchi iliyo usingizini kama tanzania it is unthinkable eti jeshi limgeuke jk na serikali yake tutaendelea kuimba sifa kwa serikali hadi kiama huku umasikini ukiongezeka
2018-01-22T08:51:46
https://www.jamiiforums.com/threads/rais-wa-maurtania-apinduliwa.16543/
ukistaajabu ya musa utayaona ya baba nyuki (mganga wa waganga) ▷ tukocoke ukistaajabu ya musa utayaona ya baba nyuki (mganga wa waganga) katika siku za hivi karibuni nabii daktari baba nyuki (mganga wa waganga) amejitokeza kama mganguzi anayesakwa sana kote afrika mashariki na kati kutokana na kipawa chake cha kutatua matatizo yote yanayowakumbumba watu maishani mwao nabii amewasaidia maelfu ya watu wanaokumbwa na changamoto si haba kama vile ukosefu wa kazikutibu magonjwa mbalimbaliutasaukosefu wa kupandishwa vyeo kazini kufukuza majini kurejesha vitu vilivyopotea kwa kipawa cha kutumia nyuki wanaowatafuta na kuwang'ata na mengineyo daktari baba nyuki vile vile anatibu magonjwa ya tumbo kuumwa na mgongo kiungulia kwenda hedhi ya muda mrefukisukari nabii pia anazo dawa za kuongeza nguvu za kiume kupunguza kwenda nje ya ndoakushinda kesi mahakamani kuacha pombe na pombe pia anazo nguvu za kuwafanya wezi kula nyasi na dawa za kuwasaidia wanasiasa kuibuka washindi wakati wa uchaguzi aidha anazo dawa maalum za kuchunga boma na mashamba mwaka jana mwezi daktari baba nyuki aliweza kulipata gari lililokuwa limeibwa mjini bungoma na kutumia nguvu za nyuki mwizi wa lile gari alipatikana baada ya kushambuliwa na kung'atwa katika maficho yake mwizi huyo raia wa nchi jirani ya uganda aliliacha gari hilo kwenye lango la mjengo wa bunge la bungoma alimaarufu kama bungoma county assembly na kukimbilia katika kituo cha police bungoma akiofia kutiwa adhabu na wananchi wenye hasira mshukiwa huyo hatimaye alisaidiwa na mganga baba nyuki alipokuwaaking'atwana nyuki hao kwa uchungu mkubwa kisha gari hilo lilirejeshewa mmiliki wake ambaye ni mfanyibihashara maarufu mjini bungoma nabii amesafiri kote katika bara la afrika akiwasaidia wananchi katika mataifa za nigeria malawi congosouth africa zanzibar tanzania kenya uganda ethiopia and rwanda kutatua shida zao mwezi oktoba mwaka jana nilimsaidia mwanamme mmoja mjini naivasha kumnasa mkewe na mpango wake wa pembeni katika lojing'i moja mjini humo kwa kuwafanya kushikana wakati wa zoezi la ndoa mimi hutoa dawa zangu katika msitu wa zambezi huku zingine nikitoa magharibi mwa uganda akasema mwezi desemba mwaka jana alisaidia shule ya msingi ya okanya katika eneo bunge la kanduyi kufukuza majini na mapepo yaliyokuwa yakiwasumbua wanafunzi na wakazi wa vijiji vilivyoko karibu alipoitwa na kuweka madawa yake majini hayo yalitokomea hadi hivi leo alipataje kipawa hiki niliugua sana nikiwa mdogo kwa zaidi ya miaka15 baada ya kuvamiwa na majini hata hivyo aliponywa kwa njia ya kutatanisha na akapokea kipawa hicho ambapo ameitumia kuwasaidia watu wenye matatizo mbalimbali kumbuka hamna dhambi kutafuta usaidizi utakaokusaidia maishani kumbuka mungu husaidia mtu anayejisaidia daktari anapatikana mjini webuye piga nambari road signs in kenya skrill to mpesa kra pin checker using id number kra pin number moses kuria restore your favourite news site tukocoke on opera in 3 simple steps don't wait till tomorrow hydroponic farming in kenya this could be exactly what your farming business needs to succeed impressive fero phones you should definitely consider buying zuku extends fiber connection to nakuru town
2018-12-15T08:41:46
https://www.tuko.co.ke/268500-ukistaajabu-ya-musa-utayaona-ya-baba-nyuki-mganga-wa-waganga.html
simba sc kufuta uteja kwa mbeya city ya boban leo bin zubeiry sports online simba sc kufuta uteja kwa mbeya city ya boban leo bin zubeiry sports online mwanzo > simba > simba sc kufuta uteja kwa mbeya city ya boban leo mechi za ligi kuu ya vodacom tanzania bara wikiendi hii majimaji fc vs african sports ndanda fc vs toto africans stand united vs prisons mgambo shooting vs kagera sugar mwadui fc vs jkt ruvu winga wa mbeya city idrisa rashid (kushoto) akipambana na beki wa simba sc abdi banda katika mchezo wa ligi kuu ya vodacom tanzania bara msimu uliopita uwanja wa taifa dar es salaam rekodi ya simba sc na mbeya city ligi kuu mbeya city 20 simba simba 12 mbeya city mbeya city 11 simba septemba 21 2013 simba 22 mbeya city mbeya city fc leo wanaanza rasmi maisha bila kocha wao juma mwambusi aliyehamia yanga sc watakapomenyana na wakongwe simba sc katika mchezo wa ligi kuu ya vodacom tanzania bara uwanja wa taifa dar es salaam mbeya city inakutana na simba sc ikiwa na maumivu mara mbili kwanza kumpoteza kocha wake mwambusi aliyekwenda kuwa msaidizi wa mholanzi hans van der pluijm yanga sc na pia nahodha wake juma nyosso aliyefungiwa miaka miwili lakini habari njema tu ni kwamba leo inaweza kumtumia kwa mara ya kwanza mchezaji wake mpya haruna moshi shaaban boban aliyewahi kuchezea simba sc boban amesajiliwa na mbeya city msimu huu lakini akachelewa kujiunga na kikosi kwa sababu ambazo hazijulikani kabla ya wiki hii kutambulishwa amejiunga na timu kocha muingereza wa simba sc dylan kerr leo akakosa huduma ya kinara wake wa mabao mganda hamsi kizza diego ambaye ni majeruhi lakini nahodha mussa hassan mgosi yuko tayari kwa mchezo huo msimu huu simba sc inaonekana kuwa vizuri kuliko mbeya city kwani imepoteza mechi moja tu dhidi ya mahasimu wao yanga sc wakati timu ya mbeya imeshinda mechi moja tu ikitoa sare moja na kufungwa mara nne kati ya mechi hizo moja imefungwa nyumbani na kagera sugar 10 maana yake si ajabau hata leo wakifungwa na simba sc nyumbani lakini ikumbukwe simba sc hawajawahi kuifunga mbeya city tangu ipande ligi kuu msimu wa kwanza wakitoa sare mechi zote na msimu uliopita wekundu wa msimbazi wakifungwa mechi zote je leo simba sc iko tayari kufuta uteja kwa mbeya city bila shaka hilo ni jambo la kusubiri na kuona item reviewed simba sc kufuta uteja kwa mbeya city ya boban leo rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry
2020-02-23T11:20:24
http://www.binzubeiry.co.tz/2015/10/simba-sc-kufuta-uteja-kwa-mbeya-city-ya.html
imewekwa mar 31 2020 waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo dkt harrison mwakyembe amewataka watangazaji na watumishi wa shirika la utangazaji tanzania (tbc) kudumisha weledi na kujituma ili wengine wapate kuiga mambo mazuri kutoka kwao ameyasema hayo jijini dar es salaam wakati wa hafla ya uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa studio mpya ya shirika la utangazaji tanzania (tbc) inayojengwa katika eneo la ofisi hizo zilizopo mikocheni aidha dkt mwakyembe alizindua programu tumizi (app) ya safari channel pamoja na mfumo mpya wa upashanaji habari unaofahamika kama tbc aridhio ambapo neno aridhio linamaanisha taarifa au habari tuna deni kubwa la kuhakikisha tunadumisha weledi na kujituma hivyo kuendelea kuwa kiongozi wa habari hapa nchini lazima tbc kiwe ni chombo cha rejeawakitangaza wengine mtu awe na shauku ya kujua tbc imesema nini kwanzaamesema dktmwakyembe kwa upande wake katibu mkuu wa wizara ya habariutamaduni sanaa na michezo dkt hassan abbasi amewapongezawafanyakazi wa shirika hilo kwa hatua hiyo kubwa ya kuleta mapinduzi na ubunifu katika tasnia ya habari katika chaneli hiyo ya ya tanzania inayotegemewa na taifa mabadiliko haya makubwa ya upashanaji habari ndani ya tbc yanakuja baada ya miaka 13 ambapo safari hii ilianza mwaka 2007 ujenzi wa jengo hilo la kisasa umeanza februari 2020 na utagharimu kiasi cha shilingi bilioni 238/ na unatarajiwa kukamilika agosti 2020 ambapo hadi sasa ujenzi huo umefikia asilimia 20 akizungumza wakati wa uzinduzi wa mfumo huo mpya wa upashanaji habari mkurugenzi mkuu wa shirika la utangazaji tanzania (tbc) dkt ayoub rioba amesema kuwa kutokana na mahitaji ya sasa ya dunia ya sayansi na teknolojia imelazimika mifumo ya zamani ya upashanaji habari kupinduliwa na kuja na namna mpya za upashanaji habari aidha dkt ayoub rioba ameishukuru wizara kwa namna ambavyo imekuwa bega kwa bega katika kuunga mkono mafanikio ya shirika hilo
2020-05-30T19:11:17
https://www.habari.go.tz/news/weledi-na-kujituma-ndio-nguzo-ya-mafanikio-dkt-mwakyembe
udakuspeciallycom audyt seo strony title udaku special blog length 20 words 3 hot topic recent posts 21 jul 2017 soma nafasi za ajira zilizotangazwa leo shetta amchana diamond kiaina kuhusu kutoa nyimbo mfululizo diamond rayvanny tudd thomas darassa waongoza kutajwa tuzo za afrimma 2017 hatimayemiss tanzania mwaka 2001 happiness millen magese apata mtoto mwanamke ukiwa na tabia hizi 7 lazima mwanaume akukimbie tutegemee kuiona orijino komedi tena hali ya vengu nayo vipi kutana na tabibu wa tiba za asili maalim issa najimu mwenye uwezo wa kutibu magonjwa tiba asilia video wampeleke mahakamani tutakutana huko huko kibatala baada ya lissu kukamatwa kimenukamajambazi wawili wameuawa na polisi kibitirisasi zarindima daktari aeleza chanzo cha wanaume wa dar kuwa na upungufu wa nguvu za kiume pata dawa ya kuongeza hips makalio kuwa mweupe na kuongeza maumbile ya mwanaume bidhaa za tanzania zafutiwa kodi china mrembo sanchoka kugeukia kilimo cha nafaka 20 jul 2017 hizi ndio sehemu 10 zenye msisimko mkali zaidi kwenye mwili wa mwanamke asilimia kubwa ya wanaume hawana nguvu za kiume breaking news tundu lissu akamatwa uwanja wa ndege wa dar nafasi za kazipopular postsmapenzihot gossipsiasa //wwwbloggercom/rearrangeblogid=1501550676009208466&widgettype=html&widgetid=html1&action=editwidget§ionid=headerright menu # //wwwbloggercom/rearrangeblogid=1501550676009208466&widgettype=html&widgetid=html13&action=editwidget§ionid=ticker recent posts /search&maxresults=8 view more /search&maxresults=8 #tabside1 #tabside2 //wwwbloggercom/rearrangeblogid=1501550676009208466&widgettype=bloglist&widgetid=bloglist1&action=editwidget§ionid=tabside1 //wwwbloggercom/rearrangeblogid=1501550676009208466&widgettype=popularposts&widgetid=popularposts2&action=editwidget§ionid=sidebar //wwwbloggercom/rearrangeblogid=1501550676009208466&widgettype=html&widgetid=html2&action=editwidget§ionid=sidebar //wwwbloggercom/rearrangeblogid=1501550676009208466&widgettype=html&widgetid=html5&action=editwidget§ionid=lowerbar1 //wwwbloggercom/rearrangeblogid=1501550676009208466&widgettype=html&widgetid=html86&action=editwidget§ionid=lowerbar2 //wwwbloggercom/rearrangeblogid=1501550676009208466&widgettype=html&widgetid=html92&action=editwidget§ionid=lowerbar3 # linki zewnętrzne advertise with us http//wwwudakuspeciallycom/p/blogpage_16html contact us http//wwwudakuspeciallycom/p/blogpage_16html disclaimer http//wwwudakuspeciallycom/p/disclaimer_3html http//wwwudakuspeciallycom/ home http//udakuspeciallycom gossip news http//udakuspeciallycom/search/label/udaku spesho political news http//udakuspeciallycom/search/label/siasa sports news http//udakuspeciallycom/search/label/michezo intertainment news http//udakuspeciallycom/search/label/burudani beauty/fashion news http//udakuspeciallycom/search/label/urembo love affairs http//udakuspeciallycom/search/label/mapenzi ajira http//wwwudakuspeciallycom/search/label/ajira http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/somanafasizaajirazilizotangazwaleo_21html ajira http//wwwudakuspeciallycom/search/label/ajira soma nafasi za ajira zilizotangazwa leo http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/somanafasizaajirazilizotangazwaleo_21html udaku special https//wwwbloggercom/profile/04531911301372225515 read more http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/somanafasizaajirazilizotangazwaleo_21html no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/somanafasizaajirazilizotangazwaleo_21html#commentform no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/somanafasizaajirazilizotangazwaleo_21html#commentform ajira http//wwwudakuspeciallycom/search/label/ajira udaku spesho http//wwwudakuspeciallycom/search/label/udaku20spesho http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/shettaamchanadiamondkiainakuhusuhtml udaku spesho http//wwwudakuspeciallycom/search/label/udaku20spesho shetta amchana diamond kiaina kuhusu kutoa nyimbo mfululizo http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/shettaamchanadiamondkiainakuhusuhtml udaku special https//wwwbloggercom/profile/04531911301372225515 read more http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/shettaamchanadiamondkiainakuhusuhtml no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/shettaamchanadiamondkiainakuhusuhtml#commentform no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/shettaamchanadiamondkiainakuhusuhtml#commentform shetta http//wwwudakuspeciallycom/search/label/shetta udaku spesho http//wwwudakuspeciallycom/search/label/udaku20spesho music http//wwwudakuspeciallycom/search/label/music http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/diamondrayvannytuddthomasdarassahtml music http//wwwudakuspeciallycom/search/label/music diamond rayvanny tudd thomas darassa waongoza kutajwa tuzo za afrimma 2017 http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/diamondrayvannytuddthomasdarassahtml udaku special https//wwwbloggercom/profile/04531911301372225515 read more http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/diamondrayvannytuddthomasdarassahtml no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/diamondrayvannytuddthomasdarassahtml#commentform no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/diamondrayvannytuddthomasdarassahtml#commentform music http//wwwudakuspeciallycom/search/label/music udaku spesho http//wwwudakuspeciallycom/search/label/udaku20spesho http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/hatimayemisstanzaniamwaka2001html udaku spesho http//wwwudakuspeciallycom/search/label/udaku20spesho hatimayemiss tanzania mwaka 2001 happiness millen magese apata mtoto http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/hatimayemisstanzaniamwaka2001html udaku special https//wwwbloggercom/profile/04531911301372225515 read more http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/hatimayemisstanzaniamwaka2001html 2 comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/hatimayemisstanzaniamwaka2001html#commentform 2 comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/hatimayemisstanzaniamwaka2001html#commentform millen magese http//wwwudakuspeciallycom/search/label/millen20magese udaku spesho http//wwwudakuspeciallycom/search/label/udaku20spesho mapenzi http//wwwudakuspeciallycom/search/label/mapenzi http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/mwanamkeukiwanatabiahizi7lazimahtml mapenzi http//wwwudakuspeciallycom/search/label/mapenzi mwanamke ukiwa na tabia hizi 7 lazima mwanaume akukimbie http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/mwanamkeukiwanatabiahizi7lazimahtml udaku special https//wwwbloggercom/profile/04531911301372225515 read more http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/mwanamkeukiwanatabiahizi7lazimahtml no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/mwanamkeukiwanatabiahizi7lazimahtml#commentform no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/mwanamkeukiwanatabiahizi7lazimahtml#commentform mapenzi http//wwwudakuspeciallycom/search/label/mapenzi orijino komedi http//wwwudakuspeciallycom/search/label/orijino20komedi http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/tutegemeekuionaorijinokomeditenahtml orijino komedi http//wwwudakuspeciallycom/search/label/orijino20komedi tutegemee kuiona orijino komedi tena hali ya vengu nayo vipi http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/tutegemeekuionaorijinokomeditenahtml udaku special https//wwwbloggercom/profile/04531911301372225515 read more http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/tutegemeekuionaorijinokomeditenahtml no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/tutegemeekuionaorijinokomeditenahtml#commentform no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/tutegemeekuionaorijinokomeditenahtml#commentform orijino komedi http//wwwudakuspeciallycom/search/label/orijino20komedi tiba asilia http//wwwudakuspeciallycom/search/label/tiba20asilia http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/kutananatabibuwatibazaasili_21html tiba asilia http//wwwudakuspeciallycom/search/label/tiba20asilia kutana na tabibu wa tiba za asili maalim issa najimu mwenye uwezo wa kutibu magonjwa tiba asilia http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/kutananatabibuwatibazaasili_21html udaku special https//wwwbloggercom/profile/04531911301372225515 read more http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/kutananatabibuwatibazaasili_21html no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/kutananatabibuwatibazaasili_21html#commentform no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/kutananatabibuwatibazaasili_21html#commentform tiba asilia http//wwwudakuspeciallycom/search/label/tiba20asilia siasa http//wwwudakuspeciallycom/search/label/siasa http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/videowampelekemahakamanitutakutanahtml siasa http//wwwudakuspeciallycom/search/label/siasa video wampeleke mahakamani tutakutana huko huko kibatala baada ya lissu kukamatwa http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/videowampelekemahakamanitutakutanahtml udaku special https//wwwbloggercom/profile/04531911301372225515 read more http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/videowampelekemahakamanitutakutanahtml no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/videowampelekemahakamanitutakutanahtml#commentform no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/videowampelekemahakamanitutakutanahtml#commentform siasa http//wwwudakuspeciallycom/search/label/siasa siasa http//wwwudakuspeciallycom/search/label/siasa http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/kimenukamajambaziwawiliwameuawanahtml siasa http//wwwudakuspeciallycom/search/label/siasa kimenukamajambazi wawili wameuawa na polisi kibitirisasi zarindima http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/kimenukamajambaziwawiliwameuawanahtml udaku special https//wwwbloggercom/profile/04531911301372225515 read more http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/kimenukamajambaziwawiliwameuawanahtml no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/kimenukamajambaziwawiliwameuawanahtml#commentform no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/kimenukamajambaziwawiliwameuawanahtml#commentform siasa http//wwwudakuspeciallycom/search/label/siasa afya http//wwwudakuspeciallycom/search/label/afya http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/daktariaelezachanzochawanaumewahtml afya http//wwwudakuspeciallycom/search/label/afya daktari aeleza chanzo cha wanaume wa dar kuwa na upungufu wa nguvu za kiume http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/daktariaelezachanzochawanaumewahtml udaku special https//wwwbloggercom/profile/04531911301372225515 read more http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/daktariaelezachanzochawanaumewahtml no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/daktariaelezachanzochawanaumewahtml#commentform no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/daktariaelezachanzochawanaumewahtml#commentform afya http//wwwudakuspeciallycom/search/label/afya tiba mbadala http//wwwudakuspeciallycom/search/label/tiba20mbadala http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/patadawayakuongezahipsmakaliokuwahtml tiba mbadala http//wwwudakuspeciallycom/search/label/tiba20mbadala pata dawa ya kuongeza hips makalio kuwa mweupe na kuongeza maumbile ya mwanaume http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/patadawayakuongezahipsmakaliokuwahtml udaku special https//plusgooglecom/105018988606956394059 read more http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/patadawayakuongezahipsmakaliokuwahtml no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/patadawayakuongezahipsmakaliokuwahtml#commentform no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/patadawayakuongezahipsmakaliokuwahtml#commentform tiba mbadala http//wwwudakuspeciallycom/search/label/tiba20mbadala siasa http//wwwudakuspeciallycom/search/label/siasa http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/bidhaazatanzaniazafutiwakodichinahtml siasa http//wwwudakuspeciallycom/search/label/siasa bidhaa za tanzania zafutiwa kodi china http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/bidhaazatanzaniazafutiwakodichinahtml udaku special https//plusgooglecom/105018988606956394059 read more http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/bidhaazatanzaniazafutiwakodichinahtml no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/bidhaazatanzaniazafutiwakodichinahtml#commentform no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/bidhaazatanzaniazafutiwakodichinahtml#commentform siasa http//wwwudakuspeciallycom/search/label/siasa urembo http//wwwudakuspeciallycom/search/label/urembo http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/mrembosanchokakugeukiakilimochahtml urembo http//wwwudakuspeciallycom/search/label/urembo mrembo sanchoka kugeukia kilimo cha nafaka http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/mrembosanchokakugeukiakilimochahtml udaku special https//plusgooglecom/105018988606956394059 read more http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/mrembosanchokakugeukiakilimochahtml no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/mrembosanchokakugeukiakilimochahtml#commentform no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/mrembosanchokakugeukiakilimochahtml#commentform urembo http//wwwudakuspeciallycom/search/label/urembo mapenzi http//wwwudakuspeciallycom/search/label/mapenzi http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/hizindiosehemu10zenyemsisimkohtml mapenzi http//wwwudakuspeciallycom/search/label/mapenzi hizi ndio sehemu 10 zenye msisimko mkali zaidi kwenye mwili wa mwanamke http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/hizindiosehemu10zenyemsisimkohtml udaku special https//wwwbloggercom/profile/04531911301372225515 read more http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/hizindiosehemu10zenyemsisimkohtml 1 comment http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/hizindiosehemu10zenyemsisimkohtml#commentform 1 comment http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/hizindiosehemu10zenyemsisimkohtml#commentform mapenzi http//wwwudakuspeciallycom/search/label/mapenzi mapenzi http//wwwudakuspeciallycom/search/label/mapenzi http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/asilimiakubwayawanaumehawananguvuhtml mapenzi http//wwwudakuspeciallycom/search/label/mapenzi asilimia kubwa ya wanaume hawana nguvu za kiume http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/asilimiakubwayawanaumehawananguvuhtml udaku special https//plusgooglecom/105018988606956394059 read more http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/asilimiakubwayawanaumehawananguvuhtml no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/asilimiakubwayawanaumehawananguvuhtml#commentform no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/asilimiakubwayawanaumehawananguvuhtml#commentform mapenzi http//wwwudakuspeciallycom/search/label/mapenzi siasa http//wwwudakuspeciallycom/search/label/siasa http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/breakingnewstundulissuakamatwahtml siasa http//wwwudakuspeciallycom/search/label/siasa breaking news tundu lissu akamatwa uwanja wa ndege wa dar http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/breakingnewstundulissuakamatwahtml udaku special https//plusgooglecom/105018988606956394059 read more http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/breakingnewstundulissuakamatwahtml no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/breakingnewstundulissuakamatwahtml#commentform no comments http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/breakingnewstundulissuakamatwahtml#commentform siasa http//wwwudakuspeciallycom/search/label/siasa older posts http//wwwudakuspeciallycom/searchupdatedmax=20170720t2020002b0300&maxresults=16 home http//wwwudakuspeciallycom/ ajira yako http//wwwajirayakocom/ http//wwwajirayakocom/ job opportunities at united nations volunteers tanzania http//wwwajirayakocom/2017/07/jobopportunitiesatunitednationshtml http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/kitendochaheshimanakishujaahtml kitendo cha heshima na kishujaa kilichofanywa na huyu mwanajeshi wa usa wa kwetu tz wangekiweza http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/kitendochaheshimanakishujaahtml http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/somahapasababukubwainayowafanyahtml soma hapa sababu kubwa inayowafanya wanawake kupiga kelele wakati wa tendo la ndoa http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/somahapasababukubwainayowafanyahtml http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/mamaaliyekutwauchimchanakweupehtml mama aliyekutwa uchi mchana kweupe akiwa na ungo azua sintofahamu http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/mamaaliyekutwauchimchanakweupehtml http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/harmonizevideozautupualizorekodiwahtml harmonize video za utupu alizorekodiwa wolper ziliniumiza sana http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/harmonizevideozautupualizorekodiwahtml http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/videozariaondoastresszamimbayahtml video zari aondoa stress za mimba ya hamisa mobeto kwa style hii http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/videozariaondoastresszamimbayahtml http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/gigymoneyafanyabalaakwenyestudiohtml gigy money afanya balaa kwenye studio za wasafi classic rayvany alazimishwa kupewa papa http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/gigymoneyafanyabalaakwenyestudiohtml http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/breakingnewsmamamzaziwazarihassanhtml breaking newsmama mzazi wa zari hassan amefariki dunia http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/breakingnewsmamamzaziwazarihassanhtml http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/profesajayafungukawemasepetuhtml profesa jay afunguka wema sepetu kuikacha harusi yake http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/profesajayafungukawemasepetuhtml http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/hizindiosehemu10zenyemsisimkohtml hizi ndio sehemu 10 zenye msisimko mkali zaidi kwenye mwili wa mwanamke http//wwwudakuspeciallycom/2017/07/hizindiosehemu10zenyemsisimkohtml sora templates http//wwwsoratemplatescom/ free blogger templates http//mybloggerthemescom zdjęcia http//4bpblogspotcom/4ijrnvl4qkc/wjhi_pa7ehi/aaaaaaabuxw/l7a5dpwc2akuflhnseagafshccpqgjapqck4b/s1600/udaku2blogo2b252822529pnghttps//resourcesblogblogcom/img/icon18_wrench_allbkgpnghttps//resourcesblogblogcom/img/icon18_wrench_allbkgpnghttps//2bpblogspotcom/xryywlgche/wxglzxcd_ei/aaaaaaaafu4/7vdjkh58gimbi53r4n6vkpcac_sq4bcaclcbgas/s72c/unvolunteertanzaniajpghttps//resourcesblogblogcom/img/icon18_wrench_allbkgpnghttps//4bpblogspotcom/lmihwtnjz_g/wwukwkk0yii/aaaaaaaaey0/bvcqeecvnwoakef5iiulov6hwuwwrraaclcbgas/w72h72pknonu/2209772_630x354jpghttps//lh3googleusercontentcom/qfwqgxuzed0/www9uuudci/aaaaaaabzys/_xkycue2guiiha7d2lpm9yzllmb9axfrachmycw/w72h72pknonu/255bunset255dhttps//1bpblogspotcom/7yrrsybpimi/wxb0td9eooi/aaaaaaaaegc/gdaheclpftqm9d3v5ltima80mtsfhfbjaclcbgas/w72h72pknonu/mama5jpghttps//1bpblogspotcom/kl2mzaqumi4/ww76gk3dw4i/aaaaaaaaeds/rpb5q2zyiqmjgyxrjpsdq8mbhxd9_iosgclcbgas/w72h72pknonu/wolpergambe62b252822529jpghttps//1bpblogspotcom/urptdks8c/ww76wj5yuji/aaaaaaaaedw/yabin5d5hfgpd5ltr7ziufm4adq6hrhbqclcbgas/w72h72pknonu/zari02pnghttps//3bpblogspotcom/i4s91mi_jaw/wwsbvvoswfi/aaaaaaaaex0/udrgvej1qjcgwewhxm3tjk3ci5g2s5luwclcbgas/w72h72pknonu/gigymoneye1481741417250jpghttps//lh3googleusercontentcom/tqogsljgiys/wxa9rbxaoki/aaaaaaabzzu/0ddsaqok60qhcqgx1ijdszf8prtkemsgchmycw/w72h72pknonu/255bunset255dhttps//2bpblogspotcom/csmwoaodask/wwnjrc_i17i/aaaaaaaaevq/dhex03szdmot1owzghtg7zy4oz5gktw0aclcbgas/w72h72pknonu/profesajwedding9jpghttps//2bpblogspotcom/3i1ky03yua/wxdpbk6xrqi/aaaaaaaaehk/bpqd_lputlmqayyvei8zrylto62rkiltgclcbgas/w72h72pknonu/orgasmomxhandgrabbingsheetjpghttps//resourcesblogblogcom/img/icon18_wrench_allbkgpnghttps//resourcesblogblogcom/img/icon18_wrench_allbkgpnghttps//resourcesblogblogcom/img/icon18_wrench_allbkgpnghttps//resourcesblogblogcom/img/icon18_wrench_allbkgpnghttps//resourcesblogblogcom/img/icon18_wrench_allbkgpng https//resourcesblogblogcom/img/icon18_wrench_allbkgpnghttps//resourcesblogblogcom/img/icon18_wrench_allbkgpnghttps//2bpblogspotcom/xryywlgche/wxglzxcd_ei/aaaaaaaafu4/7vdjkh58gimbi53r4n6vkpcac_sq4bcaclcbgas/s72c/unvolunteertanzaniajpghttps//resourcesblogblogcom/img/icon18_wrench_allbkgpnghttps//4bpblogspotcom/lmihwtnjz_g/wwukwkk0yii/aaaaaaaaey0/bvcqeecvnwoakef5iiulov6hwuwwrraaclcbgas/w72h72pknonu/2209772_630x354jpghttps//lh3googleusercontentcom/qfwqgxuzed0/www9uuudci/aaaaaaabzys/_xkycue2guiiha7d2lpm9yzllmb9axfrachmycw/w72h72pknonu/255bunset255dhttps//1bpblogspotcom/7yrrsybpimi/wxb0td9eooi/aaaaaaaaegc/gdaheclpftqm9d3v5ltima80mtsfhfbjaclcbgas/w72h72pknonu/mama5jpghttps//1bpblogspotcom/kl2mzaqumi4/ww76gk3dw4i/aaaaaaaaeds/rpb5q2zyiqmjgyxrjpsdq8mbhxd9_iosgclcbgas/w72h72pknonu/wolpergambe62b252822529jpghttps//1bpblogspotcom/urptdks8c/ww76wj5yuji/aaaaaaaaedw/yabin5d5hfgpd5ltr7ziufm4adq6hrhbqclcbgas/w72h72pknonu/zari02pnghttps//3bpblogspotcom/i4s91mi_jaw/wwsbvvoswfi/aaaaaaaaex0/udrgvej1qjcgwewhxm3tjk3ci5g2s5luwclcbgas/w72h72pknonu/gigymoneye1481741417250jpghttps//lh3googleusercontentcom/tqogsljgiys/wxa9rbxaoki/aaaaaaabzzu/0ddsaqok60qhcqgx1ijdszf8prtkemsgchmycw/w72h72pknonu/255bunset255dhttps//2bpblogspotcom/csmwoaodask/wwnjrc_i17i/aaaaaaaaevq/dhex03szdmot1owzghtg7zy4oz5gktw0aclcbgas/w72h72pknonu/profesajwedding9jpghttps//2bpblogspotcom/3i1ky03yua/wxdpbk6xrqi/aaaaaaaaehk/bpqd_lputlmqayyvei8zrylto62rkiltgclcbgas/w72h72pknonu/orgasmomxhandgrabbingsheetjpghttps//resourcesblogblogcom/img/icon18_wrench_allbkgpnghttps//resourcesblogblogcom/img/icon18_wrench_allbkgpnghttps//resourcesblogblogcom/img/icon18_wrench_allbkgpnghttps//resourcesblogblogcom/img/icon18_wrench_allbkgpnghttps//resourcesblogblogcom/img/icon18_wrench_allbkgpngranking text on pageadvertise with us contact us disclaimer home gossip news political news sports news intertainment news beauty/fashion news love affairs menu hot topic recent posts view more 21 jul 2017 ajira new ajira soma nafasi za ajira zilizotangazwa leo udaku special 1016 bonyeza links zifuatazo hapa chini 5 job opportunities at public service recruitment secretariat job opportunity at deloitte east read more no comments no comments labels ajira udaku spesho new udaku spesho shetta amchana diamond kiaina kuhusu kutoa nyimbo mfululizo udaku special 1015 msanii wa bongo flava shetta amesema haamini kutoa nyimbo nyingi kwa wakati mmoja ni sababu ya kufanya vizuri shetta ambaye amekaa k read more no comments no comments labels shetta udaku spesho music new music diamond rayvanny tudd thomas darassa waongoza kutajwa tuzo za afrimma 2017 udaku special 1015 rayvanny ametajwa katika vipengele vitatu wakati darassa na tuddy thomas wakitajwa kwenye vipengele viwili wengine walitajwa ni alikiba read more no comments no comments labels music udaku spesho new udaku spesho hatimayemiss tanzania mwaka 2001 happiness millen magese apata mtoto udaku special 1015 miss tanzania mwaka 2001 happiness millen magese ambaye anafanya kazi ya uwanamitindo amebahatika kupata mtoto wake wa kwanza julai 13 mw read more 2 comments 2 comments labels millen magese udaku spesho mapenzi new mapenzi mwanamke ukiwa na tabia hizi 7 lazima mwanaume akukimbie udaku special 1015 1 chokochoko wanaume wengi huwa hawapendi chokochoko hawapendi mwanamke ambaye yeye kila wakati ni kuanzisha chokochoko ambazo zinazali read more no comments no comments labels mapenzi orijino komedi new orijino komedi tutegemee kuiona orijino komedi tena hali ya vengu nayo vipi udaku special 1015 kwako ambaye unawafuatilia mabingwa wa kuchekesha wanaoishikilia rekodi ya wachekeshaji waliotazamwa sana kwenye tv tanzania orijino komed read more no comments no comments labels orijino komedi tiba asilia new tiba asilia kutana na tabibu wa tiba za asili maalim issa najimu mwenye uwezo wa kutibu magonjwa tiba asilia udaku special 1014 kutana na tabibu mwenye kubri kutoka kwa alah maalim issa najimu ni sharifu mwenye uwezo wa kubaini tatizo lako punde tu unapo mfanyia m read more no comments no comments labels tiba asilia siasa new siasa video wampeleke mahakamani tutakutana huko huko kibatala baada ya lissu kukamatwa udaku special 0900 jana july 20 mwanasheria mbunge wa chadema na rais wa chama cha mawakili tanganyika tls tundu lissu amekamatwa akiwa airport dar es sala read more no comments no comments labels siasa siasa new siasa kimenukamajambazi wawili wameuawa na polisi kibitirisasi zarindima udaku special 0900 kupitia taarifa ya habari kwenye televisheni za tanzania leo july 20 2017 zipo taarifa nyingi zimeripotiwa na moja kubwa ni kuhusu mapamb read more no comments no comments labels siasa afya new afya daktari aeleza chanzo cha wanaume wa dar kuwa na upungufu wa nguvu za kiume udaku special 0900 daktari bingwa wa magonjwa ya moyo katika taasisi ya moyo ya jakaya kikwete (jkci) amesema kuwa asilimia 33 ya wanaume 672 wakazi wa dar read more no comments no comments labels afya tiba mbadala new tiba mbadala pata dawa ya kuongeza hips makalio kuwa mweupe na kuongeza maumbile ya mwanaume udaku special 0853 pendeza na markson beauty ongeza hips na makalio kuwa mweupe na softi ongeza maumbile ya kiume nguvu na hamu ya tendo nk @markson_b read more no comments no comments labels tiba mbadala siasa new siasa bidhaa za tanzania zafutiwa kodi china udaku special 0740 kiwango cha biashara kati ya tanzania na china kimefikia dola bilioni 47 katika kipindi cha mwaka 2015 na kwamba kiwango hicho kinatarajiw read more no comments no comments labels siasa urembo new urembo mrembo sanchoka kugeukia kilimo cha nafaka udaku special 0732 video queen mwenye umbo matata bongo jane rimoy sanchi ameweka wazi dhamira yake ya kujitosa kwenye biashara ya kilimo cha nafaka mbalim read more no comments no comments labels urembo 20 jul 2017 mapenzi new mapenzi hizi ndio sehemu 10 zenye msisimko mkali zaidi kwenye mwili wa mwanamke udaku special 2100 kila mwanaume anapenda kua fundi wa tendo la ndoa akiwa faragha na mke au mchumba wake lakini bahati mbaya sana hakuna kanuni maalumu ya k read more 1 comment 1 comment labels mapenzi mapenzi new mapenzi asilimia kubwa ya wanaume hawana nguvu za kiume udaku special 2027 utafiti wa taasisi ya moyo ya jakaya kikwete (jkci) umebaini kuwa asilimia 33 ya wanaume 672 mkoani dar es salaam wamebainika kuwa na upun read more no comments no comments labels mapenzi siasa new siasa breaking news tundu lissu akamatwa uwanja wa ndege wa dar udaku special 2020 moja ya habari zilizotufikia kutoka dar es salaam ni kuhusu rais wa chama cha mawakili tanganyika tls ambaye pia ni mbunge wa singida mas read more no comments no comments labels siasa older posts home nafasi za kazi ajira yako job opportunities at united nations volunteers tanzania united nations volunteers tanzania *title unv field facilitator (tanga)* background the project preventing and responding to violent extremism in tanzani popular posts kitendo cha heshima na kishujaa kilichofanywa na huyu mwanajeshi wa usa wa kwetu tz wangekiweza mwanadada mmoja wa kimarekani aitwae erin hester aliyekuwa ndani ya gari lake aliweza kumuona mwanajeshi mmoja akifanya kitendo ambacho ni soma hapa sababu kubwa inayowafanya wanawake kupiga kelele wakati wa tendo la ndoa kumekuwa na tabia au hali ya wanawake wengi kupiga kelele au unaweza kusema kutoa sauti wakati wakishiriki tendo la ndoa hali hii imeacha mama aliyekutwa uchi mchana kweupe akiwa na ungo azua sintofahamu tukio la mama ambaye jina lake halikupatikana mara moja kukutwa ameketi katikati ya barabara akiwa uchi wa mnyama limezua tafrani na mjada harmonize video za utupu alizorekodiwa wolper ziliniumiza sana msanii huyoamedai skendo kubwa ya wolper iliyomtikisa ni yeye kusema hadharani alirekodiwa video za utupu na mpenzi wake wa zamani ila aka video zari aondoa stress za mimba ya hamisa mobeto kwa style hii zarithebosslady mama watoto wa diamond platinumz akiwa uganda kampala kwa mama yake mzazi na dada zake pamoja na rafiki zake wakidance kwa gigy money afanya balaa kwenye studio za wasafi classic rayvany alazimishwa kupewa papa wasafi na gigy money ni marafiki wa karibu gigy money alishasema live kuwa anamkubali diamond platinumz zaidi ya alikiba hivi karibuni breaking newsmama mzazi wa zari hassan amefariki dunia zari hassan ameconfirm habari za kifo cha mama yake mzazi kwa kuandika haya hapa chini @zarithebosslady it's with deep sorrow th profesa jay afunguka wema sepetu kuikacha harusi yake baada ya jumamosi iliyopita mbunge wa mikumi kwa tiketi ya chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) joseph haule profesa jay kufunga hizi ndio sehemu 10 zenye msisimko mkali zaidi kwenye mwili wa mwanamke kila mwanaume anapenda kua fundi wa tendo la ndoa akiwa faragha na mke au mchumba wake lakini bahati mbaya sana hakuna kanuni maalumu ya k mapenzi hot gossip siasa created by sora templates & free blogger templateshere you find all texts from your page as google (googlebot) and others search engines seen itwords density analysisnumbers of all words 1132one wordtwo words phrasesthree words phrases 309 (35)comments 265 (30)new 203 (23)udaku 194 (22)cha 177 (20)more 15 (17)special 141 (16)read 141 (16)labels 141 (16)siasa 115 (13)kati 097 (11)mapenzi 088 (10)kwa 088 (10)wanaume 08 (9)kuwa 08 (9)tanzania 071 (8)dar 071 (8)asili 071 (8)tiba 071 (8)tendo 062 (7)moja 062 (7)kwenye 062 (7)news 062 (7)wake 053 (6)mama 053 (6)mke 053 (6)zari 053 (6)ambaye 053 (6)akiwa 053 (6)spesho 053 (6)ajira 044 (5)ndoa 044 (5)wakati 044 (5)video 044 (5)1015 044 (5)jul 044 (5)orijino 044 (5)katika 035 (4)kua 035 (4)ongeza 035 (4)mwanaume 035 (4)yake 035 (4)mwanamke 035 (4)ila 035 (4)asilia 035 (4)sana 035 (4)kubwa 035 (4)diamond 035 (4)komedi 035 (4)2017 035 (4)hali 035 (4)shetta 035 (4)mwenye 035 (4)kodi 035 (4)pata 027 (3)rekodi 027 (3)kutana 027 (3)asilimia 027 (3)zaidi 027 (3)chama 027 (3)habari 027 (3)afya 027 (3)bahati 027 (3)nguvu 027 (3)kiume 027 (3)moyo 027 (3)the 027 (3)and 027 (3)urembo 027 (3)lissu 027 (3)mbunge 027 (3)0900 027 (3)mbadala 027 (3)kila 027 (3)money 027 (3)job 027 (3)hapa 027 (3)leo 027 (3)millen 027 (3)mwaka 027 (3)gigy 027 (3)music 027 (3)kutoa 027 (3)mzazi 027 (3)mmoja 027 (3)kuhusu 027 (3)k 027 (3)magese 027 (3)afanya 027 (3)wengi 027 (3)kazi 027 (3)chokochoko 027 (3)hizi 027 (3)posts 027 (3)faragha 018 (2)profesa 018 (2)mchumba 018 (2)rafiki 018 (2)lakini 018 (2)templates 018 (2)jay 018 (2)nafaka 018 (2)fundi 018 (2)zake 018 (2)mkali 018 (2)wasafi 018 (2)msisimko 018 (2)mwili 018 (2)anapenda 018 (2)zenye 018 (2)sehemu 018 (2)hassan 018 (2)ndio 018 (2)zarithebosslady 018 (2)uchi 018 (2)kitendo 018 (2)volunteers 018 (2)nations 018 (2)united 018 (2)mwanajeshi 018 (2)lake 018 (2)kusema 018 (2)kelele 018 (2)wanawake 018 (2)hii 018 (2)ni 018 (2)mchana 018 (2)mara 018 (2)hakuna 018 (2)kanuni 018 (2)kupiga 018 (2)platinumz 018 (2)mbaya 018 (2)maalumu 018 (2)comment 018 (2)salaam 018 (2)breaking 018 (2)utupu 018 (2)wolper 018 (2)aka 018 (2)dada 018 (2)tanganyika 018 (2)happiness 018 (2)mtoto 018 (2)2001 018 (2)thomas 018 (2)rayvanny 018 (2)vipengele 018 (2)miss 018 (2)tabia 018 (2)maalim 018 (2)issa 018 (2)tabibu 018 (2)nayo 018 (2)hawapendi 018 (2)yeye 018 (2)darassa 018 (2)tudd 018 (2)soma 018 (2)nafasi 018 (2)hot 018 (2)menu 018 (2)home 018 (2)gossip 018 (2)chini 018 (2)opportunities 018 (2)nyingi 018 (2)sababu 018 (2)amesema 018 (2)bongo 018 (2)nyimbo 018 (2)msanii 018 (2)najimu 018 (2)uwezo 018 (2)kuongeza 018 (2)makalio 018 (2)672 018 (2)(jkci) 018 (2)jakaya 018 (2)kikwete 018 (2)mweupe 018 (2)maumbile 018 (2)kiwango 018 (2)biashara 018 (2)china 018 (2)hamu 018 (2)markson 018 (2)hips 018 (2)taasisi 018 (2)magonjwa 018 (2)baada 018 (2)july 018 (2)huko 018 (2)video 018 (2)kutoka 018 (2)m 018 (2)chadema 018 (2)rais 018 (2)daktari 018 (2)bingwa 018 (2)taarifa 018 (2)tundu 018 (2)mawakili 018 (2)with 018 (2)kilimo 018 (2)no comments 247 (28) read 141 (16)udaku special 141 (16)read more 141 (16)comments labels 133 (15)comments no 124 (14)more no 124 (14)udaku spesho 053 (6)special 1015 044 (5)orijino komedi 035 (4)new siasa 035 (4)siasa new 035 (4)la ndoa 035 (4)tiba asilia 035 (4)labels siasa 035 (4)mbunge wa 027 (3)chama cha 027 (3)special 0900 027 (3)ya moyo 027 (3)mapenzi new 027 (3)gigy money 027 (3)wa tendo 027 (3)ya wanaume 027 (3)kuwa na 027 (3)wa dar 027 (3)tiba mbadala 027 (3)new mapenzi 027 (3)millen magese 027 (3)labels mapenzi 027 (3)moyo ya 018 (2)kubwa ya 018 (2)taasisi ya 018 (2)wanaume 672 018 (2)ni kuhusu 018 (2)es salaam 018 (2)jakaya kikwete 018 (2)opportunities at 018 (2)wake lakini 018 (2)au mchumba 018 (2)na mke 018 (2)bahati mbaya 018 (2)sana hakuna 018 (2)1 comment 018 (2)ya k 018 (2)kanuni maalumu 018 (2)job opportunities 018 (2)united nations 018 (2)ndio sehemu 018 (2)baada ya 018 (2)profesa jay 018 (2)10 zenye 018 (2)msisimko mkali 018 (2)mwili wa 018 (2)zaidi kwenye 018 (2)zari hassan 018 (2)diamond platinumz 018 (2)kupiga kelele 018 (2)volunteers tanzania 018 (2)akiwa faragha 018 (2)video za 018 (2)za utupu 018 (2)hapa chini 018 (2)yake mzazi 018 (2)nations volunteers 018 (2)kua fundi 018 (2)na tabia 018 (2)za tanzania 018 (2)ya habari 018 (2)2 comments 018 (2)nguvu za 018 (2)ya jakaya 018 (2)wake wa 018 (2)dar es 018 (2)mawakili tanganyika 018 (2)maalim issa 018 (2)m read 018 (2)mwenye uwezo 018 (2)na tabibu 018 (2)new tiba 018 (2)hali ya 018 (2)rais wa 018 (2)kikwete (jkci) 018 (2)asilimia 33 018 (2)kwenye mwili 018 (2)mkali zaidi 018 (2)zenye msisimko 018 (2)wa mwanamke 018 (2)mwanaume anapenda 018 (2)kutoa nyimbo 018 (2)uwezo wa 018 (2)sehemu 10 018 (2)hizi ndio 018 (2)kuwa mweupe 018 (2)tanzania mwaka 018 (2)2001 happiness 018 (2)maumbile ya 018 (2)ongeza hips 018 (2)kilimo cha 018 (2)ongeza maumbile 018 (2)new udaku 018 (2)no comments labels 124 (14)read more no 124 (14)no comments no 124 (14)more no comments 124 (14)comments no comments 124 (14)udaku special 1015 044 (5)comments labels siasa 035 (4)tendo la ndoa 035 (4)wa tendo la 027 (3)udaku special 0900 027 (3)united nations volunteers 018 (2)chama cha mawakili 018 (2)video za utupu 018 (2)ya moyo ya 018 (2)hakuna kanuni maalumu 018 (2)nguvu za kiume 018 (2)hizi ndio sehemu 018 (2)jakaya kikwete (jkci) 018 (2)33 ya wanaume 018 (2)mwili wa mwanamke 018 (2)mke au mchumba 018 (2)wake lakini bahati 018 (2)mbaya sana hakuna 018 (2)kanuni maalumu ya 018 (2)akiwa faragha na 018 (2)kua fundi wa 018 (2)mkali zaidi kwenye 018 (2)bahati mbaya sana 018 (2)kila mwanaume anapenda 018 (2)10 zenye msisimko 018 (2)kwenye mwili wa 018 (2)maalim issa najimu 018 (2)mwenye uwezo wa 018 (2)m read more 018 (2)comments labels tiba 018 (2)miss tanzania mwaka 018 (2)2001 happiness millen 018 (2)spesho new udaku 018 (2)k read more 018 (2)new udaku spesho 018 (2)rais wa chama 018 (2)cha mawakili tanganyika 018 (2)msisimko mkali zaidi 018 (2)anapenda kua fundi 018 (2)ndoa akiwa faragha 018 (2)na mke au 018 (2)sehemu 10 zenye 018 (2)makalio kuwa mweupe 018 (2)taasisi ya moyo 018 (2)ya jakaya kikwete 018 (2)asilimia 33 ya 018 (2)mchumba wake lakini 018 (2)here you can find chart of all your popular one two and three word phrases google and others search engines means your page is about words you use frequently
2017-07-21T08:49:59
http://hupso.pl/udakuspecially.com
kenya na burundi kuingia kwenye mkataba na eu jamiiforums kenya na burundi kuingia kwenye mkataba na eu kenya and burundi are set to sign an agreement that will see them sell agricultural products to europe dutyfree the deal will be signed next week after a sectoral council of trade industry finance and investment by the region's countries a meeting of ministers responsible for east african affairs met on june 30 and proposed the agreement be signed on july 18 all four partner states except tanzania agreed to sign the agreement the decision by tanzania not to sign the deal leaves the region and specifically kenya at a great risk of losing revenue when exporting goods to the european union in the event we fail to sign the economic partnership agreement (epas) as a bloc all eac partner states stand to lose generous market access terms negotiated under the eu market said deputy president william ruto ruto who spoke after meeting burundi president pierre nkurunziza in bujumbura tuesday termed the deal a chance to increase trade by dpps | wednesday jul 13th 2016 at 2252 eu launches instruments to boost investments in startups urban development brexit costs fruit exporters sh8m a day as pound hit britain's eu exit will not affect tourism at coast hoteliers say hatasaidia chochote tz ndo tuna maamuzi namna ea inatakiwa kufanyatukisema noo hakuna nyau wa kubisha hilo jambo ni interesting sana kwa maana nijuavyo mimi eu kupitia epa wanaingia makubalinao na trading blocks yaani hapa ni jumuiya yote ya am utekelezaji wake utakuwaje kwa maana epa maana yake kama bidhaa ktk eu ikiingia kenya ina maana bidhaa hiyo hiyo inapaswa/inaweza kuja tz bila ya kulipiwa kodi sasa hili litawezekana vipi kama tz haijasaini kenya kama wangekuwa na akili wasitake kulazimisha hili jambo huko mbele wataumia sana hapa wanaowasukuma ni hao wakulima wa maua ambao kesho ardhi ya kenya ikichoka watahama na kuja tz au sehemu nyingine kama walivyofanya wakulima wa chai leo hii wote wameondoka kericho na kukimbilia mufindi bonde la ufa la tz lkn mkataba wao na eu utakuwa bado upo na mwishowe watajikuta hawana cha kuuza eu namshangaa raisi uhuru kenya kushabikia hili wkt ukweli ni kwamba maziwa yake ya brookside hawezi kuuza eu kwani eu wana over supply ya maziwa na isitoshe wafugaji na wakulima wao wanalipwa fedha na eu hivyo eu wata flood kenya na maziwa cheap kama au kuliko brookside with better packaging likes bagamoyo jingalao and motochini very interesting what are the reasons for saying no saying no means everybody in the region loses including tz so kenya and burundi became the 6 members of eac hahaha du hilo jambo ni interesting sana kwa maana nijuavyo mimi eu kupitia epa wanaingia makubalinao na trading blocks yaani hapa ni jumuiya yote ya am na isitoshe utekelezaji wake utakuwaje kwa maana epa maana yake kama bidhaa ktk eu ikiingia kenya ina maana bidhaa hiyo hiyo inapaswa/inaweza kuja tz bila ya kulipiwa kodi sasa hili litawezekana vipi kama tz haijasaini ndio maana tanzania kwa ccm hamtatoka tena msubiri miaka ingine kumi ya kuisoma namba 14378 8749 280 listen to what mzee mkapa is saying here may be it will shade a light into why tz opted not to sign the agreement and it seems tanzania for quite sometime has been against epa kenyans should have seen this coming na siyo kuanza kuzungumza kama hili ni jambo la kushtukiza cc geza ulole mk254 motochini likes eyce and motochini tz tunalose nini kwa kusema no kumbuka tz tayari tuna access na eu market tax free kwa kila kitu isipokuwa fire arms sasa unaposema tutalose unamaanisha nini hao wakenya wana mcheche tu wanaweza kulima maua lakini wakayaexport kama yametoka tanzania mbona kuna matunda yanalimwa tanzania lakini yanakuwa exported kama produce za kenya we can do the same with with flowers and other products sioni tatizo lolote kwa kweli cc koborer mk254 geza ulole ni wajinga kwa maana hawaelewi epa maana yake nini labda wasichokifahamu ni kwamba ni lazima kenya wafungue 80 ya market yao kwa eu products tax free ina maana kenya inapaswa ishindane na nchi kama ujerumani ufaransa au holland sasa kenya wataexport nini tena eu kufikidia hilo pengo kwani maziwa ya uhuru kenya hawezi kuyauza eu kwa sababu eu wana maziwa mpaka wanamwaga likes jokakuu and motochini ninyi mmetoka kivipi muache majungu yakitoto kama wewe huwa mkosoaji ulie jivika tambaa machoni nimajuzi hapa wewe na @samuel999 mlikuja na mada ya ethiopia mkaanza kutukejeli sie na rwanda kwamba mnafanya mambo na wenye uchumi mkubwa sio rwanda leo mmeiona burundi wakusaidiana kukuza uchumi kila jirani atawachoka na mijisifa yenu likes conc acid and kilam maua wao wameona ndio kilakitu hahaha wanategemea zao moja kama taa ya treni kuingia eu leo wanatuona watanzania hatuja soma wazungu sie wajinga kiivyo kutegemea hilo itakuwa tatizo kama taifa huwezi sign mpango mkubwa namna hiyo kwa kutegemea kufanya ujanja no tujiulize tofauti na maua kenya kuna lipi 3004 3329 280 na uganda wanatafakari kwa makini aka wamechomoa tafutateni utulivu nchini kwenu mkiupata mje tuzungumze nchi yenu inanuka shida hapa mnapiga domo tu shida zmewakaa mpaka makwapanikuthibitisha shida zilivyowakaba angalia machinga wa kenya walivyojaa tz kungekuwa na neema kwenu huku mngefuata nn kwa sisi tz hatuna cha kupoteza na kamwe hatutasaini huo mkataba wa epa kwa njia moja au nyingine lazima tutajikuta kwenye ushindani ndani ya hii dunia haya mambo ya kuogopa ogopa eti tufunge hapa tufungue pale tuzuie hawa tufungulie wale hayatatufikisha mahali leo hii nipo kwenye mradi fulani na wadau kutokea mauritius jamaa wananisimulia jinsi nchi yao imepiga hatua kwa kutozuia zuia afrika yetu hii tuache uvivu na ujinga tukumbatie ushindani bongo bado inaliwa na kutafunwa pamoja na kwamba mnazuia zuia na kufunga funga 4444 6064 280 na vile mnasemaga ug + rwanda + burundi combined =
2018-12-15T20:12:52
https://www.jamiiforums.com/threads/kenya-na-burundi-kuingia-kwenye-mkataba-na-eu.1079787/
30 apr 0820 kinondoni bunju dar es salaam bunju a maeneo ya kwa baharia nyumba ina vyumba vitatu(3) kimoja master sebule jiko tiles gypsum maji yapo parking ya magari madirisha ya aluminium
2018-05-26T15:59:13
https://www.zoomtanzania.com/houses-for-rent/3-bdrm-house-at-bunju-1035319
bongo stars mourn 22year old tanzanian student who was killed by a stray bullet president john magufuli demanded the arrest of six officers and forty civilians and demanded a thorough investigation on the national institute of transport after a student was hit by a stray bullet and passed away on friday the president posted his condolences on twitter saying nimesikitishwa sana na kifo cha mwanafunzi akwilina akwilini wa chuo cha usafirishaji (nit)natoa pole kwa familianduguwanafunzi wa nit na wote walioguswa na msiba huunimeviagiza vyombo vya dola kufanya uchunguzi na kuwachukulia hatua za kisheria waliosababisha tukio hili the incident occurred when the police were trying to stop hundreds of demonstrators ahead of kinondoni byelection on saturday the demonstrators blocked roads and created heavy traffic and chaos this led the police to disperse protesters by firing live bullets in the air against marchers who hit back with stones bottles and sticks professor jay a musician from tanzania also posted on facebook a picture of the deceased accompanied with a heartwarming message to the people asking them to put themselves in the parents shoes and addressing the issue jaribu kuvaa viatu vya wazazindugu na jamaa wa huyu binti mdogo aliyekuwa mwanafunzi wa chuo kikuu utaweza kupata picha ni uchungu kiasi gani wameupata kwa kuondokewa ghafla tena kikatili kwa risasi akiwa kwenye daladala kwa mpendwa wao huyu mambo kama haya katu sio ya kuyachekea na kuyafumbia macho hii nchi ni yetu sote na kila binadamu ana haki ya kuishi maana watanzania sasa tumekuwa mahodari sana wa kuitangaza amani huku tumeficha mapanga wakisikia mtu ameuliwa watu ndio kwanza wanageuza shingo kuangalia upande mwingine kama amekufa panya hivi ipo siku damu hizi zitakuja kutulilia pumzika kwa amani mdogo wangu other stars who paid tribute were lady jay dee nandy alikiba among others posted in featured on homepage slider latesttagged proffesor jay tanzania student killed citizen tvs francis gachuri shames club bouncers for nyemelearing peoples girlfriends akothees boyfriend throws money at her because he did not spend time with her (video)
2020-01-18T18:27:47
https://classic105.com/bongo-stars-mourn-22-year-old-tanzanian-student-who-was-killed-by-a-stray-bullet/
wachina wakaribishwa kuwekeza viwandani maganga one blog » wachina wakaribishwa kuwekeza viwandani wachina wakaribishwa kuwekeza viwandani rais john magufuli amewaalika wawekezaji kutoka jimbo la jiangsu la nchini china kuungana na tanzania katika utekelezaji wa mpango wa ujenzi wa viwanda na ujenzi wa miundombinu alitoa mwaliko huo ikulu jijini dar es salaam jana alipokutana na kufanya mazungumzo na kiongozi wa chama cha kikomunisti cha china (cpc) wa jimbo la jiangsu luo zhijun ambaye yupo hapa nchini akiwa na viongozi wengine wa serikali wa jimbo hilo kwa ziara ya kikazi taarifa ya kurugenzi ya mawasiliano ikulu kwa vyombo vya habari jana ilisema rais magufuli amewaalika wawekezaji hao kuja kuwekeza kwenye ujenzi wa viwanda na miundombinu na hasa reli na kuwahakikishia kuwa serikali yake ya awamu ya tano itatoa ushirikiano wa karibu kufanikisha uwekezaji huo rais magufuli alimweleza zhijun kuwa serikali yake ya awamu ya tano imedhamiria kuhakikisha asilimia 40 ya watanzania wanapata ajira kupitia viwanda ifikapo mwaka 2020 na ili jitihada hizo zifanikiwe inawakaribisha wafanyabiashara wa jiangsu kuanzisha viwanda vitakavyosindika na kuzalisha bidhaa za mazao ya kilimo na ufugaji yakiwemo pamba kahawa korosho samaki na nyama kwa kuwa malighafi zipo na pia fursa za kupanua uzalishaji wa malighafi hizo zipo alimhakikishia kiongozi huyo wa jimbo la jiangsu ambalo lina viwanda vingi nchini china kuwa licha ya uwekezaji wa viwanda kuinufaisha tanzania kwa wananchi wake kupata ajira na serikali kukusanya mapato wawekezaji wa china watanufaika na fursa ya soko kubwa la ndani ya tanzania na nchi saba zinazoizunguka tanzania jumuiya ya afrika mashariki (eac) na jumuiya ya maendeleo kusini mwa afrika (sadc) zenye watu zaidi ya milioni 650 mheshimiwa luo zhijun naomba uwaeleze wafanyabiashara wa jimbo lako la jiangsu kwamba ninawakaribisha kwa mikono miwili waje hata kesho waseme wanataka kuanzisha kiwanda gani na sisi tutawapa ushirikiano alisema rais magufuli aliongeza kuwa tunayo maeneo ya kutosha ya kuanzisha viwanda kwa pwani na dar es salaam tuna eneo la bagamoyo tunaloweza kuweka viwanda zaidi ya 1000 hali kadhalika kigamboni na maeneo mengine mengi katika mikoa mbalimbali nchini nzima taarifa hiyo ilisema kuwa rais magufuli pia alimueleza kiongozi huyo kuwa serikali yake inayakaribisha makampuni ya jiangsu kuungana na tanzania katika ujenzi wa miundombinu ikiwemo ujenzi wa reli ya kati ambayo tayari tanzania imetenga sh trilioni moja kwa ajili ya kuanza ujenzi kwa kiwango cha kisasa (standard gauge) katika bajeti ijayo ujenzi wa kilometa 1200 za barabara ya njia sita kutoka dar es salaam hadi chalinze na miradi mingine kwa upande wake kiongozi huyo wa cpc zhijun alimshukuru rais magufuli kwa utayari wake wa kuwapokea wawekezaji kutoka jimbo la jiangsu aliahidi kuwa pamoja na kwamba jimbo hilo tayari limewekeza hapa nchini kiasi cha dola za marekani bilioni moja (sawa na sh trilion 22) atahakikisha anawashawishi wawekezaji wengi zaidi wa viwanda katika jimbo lake kuja tanzania haraka iwezekanavyo kufanikisha mpango wa kujenga viwanda na kuzalisha ajira balozi wa china nchini dk lu youqing aliyefuatana na zhijun alimweleza rais magufuli kuwa pamoja na kuwekeza dola bilioni moja kati ya dola bilioni 662 zilizowekezwa na china hapa nchini kwa mwaka 2014/2015 wawekezaji wa jimbo la jiangsu wanatarajia kuwekeza dola za marekani bilioni tano (sawa na shilingi trilioni 11) nchini tanzania katika miaka mitano ijayo mazungumzo hayo yalihudhuriwa pia na mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda ambaye juzi ametia saini makubaliano ya ushirikiano wa maendeleo kati ya mkoa wa dar es salaam na jimbo la jiangsu ambapo jimbo hilo limeahidi kuwekeza katika miradi mbalimbali ya viwanda vya mazao ya kilimo ujenzi na huduma za kijamii
2016-12-04T14:15:18
https://magangaone.blogspot.com/2016/06/wachina-wakaribishwa-kuwekeza-viwandani.html
yuda thadey mlemavu mwenye vipaji lukuki anayewika mwanga jinsi ya kupata mtoto unayemuhitaji uhaba wa damu unawatesa wagonjwa muhimbili rais trump atoa masharti mapya ya usafiri kwa nchi 6 za kiislamu malinzi mguu nje ndani uchaguzi tff mwanzo imechapishwa thu oct 27th 2016 kitaifa / slideshow | na mtanzania digital kurejereza taka ni utajiri uliojificha nchini tags na joseph lino kampuni ya kurejereza taka ya recycler tanzania inatarajia kuanza uzalishaji wa funza kwa kutumia mabaki ya taka ya vyakula na mimea funza hao wana protini kwa wingi kuliko dagaa hutumika kama chakula cha mifugo ikiwemo kuku nguruwe samaki na viumbe vingine kutokana na wingi wa taka ngumu za vyakula mkoani dar es salaam kampuni ya recycler tanzania imeanzisha mradi wa kuzalisha funza kupitia teknolijia ya kisasa utakaosaidia kupunguza taka ngumu ya vyakula katika baadhi ya maeneo meneja wa miradi wa recycler phillipo stephen anasema mradi huu ambao unaelekea katika hatua za mwisho utaanza kuzalisha funza kwa kiwango kikubwa kuanzia januari mwakani funza hawa wana virutubisho vya protini kwa asilimia 40 na ambayo ni zaidi ya iliyoko kwenye dagaa funza wanatumika kama chakula cha mifugo kama kuku nguruwe na samaki anasema mradi huu ambao utakuwa wa kwanza nchini utazalisha funza takribani tani moja kwa siku na itasaidia kupunguza kiwango cha taka ya mabaki ya chakula na mimea kwa maelezo ya recycler mchakato wa uzalishaji funza unaanzia kwa inzi maalumu ambayo wanafungwa na kulisha taka ngumu ya vyakula kabla kuwa funza funza wa aina hii wanatokana na mayai ya inzi ambayo yanawekwa katika vifaa maalumu na kabla kufikia hatua ya kuwa inzi tunawachukua anasema katika hatua hiyo huwa wanaanikwa na kuwekwa katika vifungashio kampuni hiyo kwa sasa inazalisha kwa kiwango kidogo kwa ajili ya majaribio ambapo wanasubiri vifaa kutoka marekani tunatarajia kuanza uzalishaji mkubwa wa zaidi ya tani moja kwa siku na funza watauzwa kwa gharama dogo ukilinganisha na bei ya dagaa anasema katika kuelezea miradi mingine ya kampuni anasema kuna mradi wa kuzalisha nishati ya umeme kutumia taka ngumu mradi huu unatumia taka ngumu ambazo haziwezi kuchakatwa kuzalisha umeme aina ya taka hizo kama mifuko ya rangi nyeusi ya sandarusi ambapo hii haiwezi kuchakatwa na badala yake inaweza kutengeneza nishati ya umeme alisema stephen anaongeza kuwa kuna taka ngumu nyingi katika maeneo mengi yanaoyozunguka jijini kama buruguruni mwananyamala na maeneo mengi taka nyingi zinaenda kutupwa mradi wa kuzalisha umeme upo katika majaribio ya awali na hivi karibuni utakuwa katika majaribio aidha alifafanua namna sekta ya uchakataji au kuhuisha taka na kuitaja kuwa ni biashara yenye utajiri uliyojificha ambayo bado watu hawana uelewa wakutosha namna wanaweza kunufaika dhana ya uchakataji taka ni kutengeneza bidhaa mpya kutoka bidhaa ya zamani ambayo imeshatumika tumika na kutupa kama taka anasema stephen sekta ya uchakataji taka tanzania bado ipo nyuma ambapo asilimia nyingi ya taka huishia kutupwa bila kujua thamani ya taka badala ya utengenezaji bidhaa mpya mkoa wa dar es salaam huzalisha taka kiasi cha tani 3000 kwa siku na chini ya asilimia 40 au tani 120 tu hutumika katika uchakataji kwa mujibu wa recycler na kiasi ambacho kinaenda katika uchakataji ni kidogo kulinganisha na taka zinazopatikana sehemu mbalimbali za jiji stephen anasema mlundikano wa taka maeneo mengi limekuwa tatizo kubwa na sugu ambalo linahitaji ufanisi wa hali ya juu kulitatua biashara ya uchakataji taka tanzania bado haijajulikana kutokana watu kukosa uelewa wa kutosha kuhusiana na sekta na rasilimali hii recycler inaamini sekta hii inaweza kubadili maisha ya watu wengi kama itapewa kipaumbele kwa kutoa ajira kuokoa mazingira yanayoharibika kutokana na taka hizi ambazo zinalundikana bila kufanyiwa kazi kampuni inajihusisha na taka rejereza na kutunza mazingira kampuni ya dar es salaam recycler ilianza shughuli zake rasmi mwaka 2014 ni moja ya kampuni zinazotarajia kuleta mabadiliko katika sekta ya uchakataji taka ikiwa na baadhi ya miradi yake kwa upande wa hali ya biashara hii nchini stephen anaelezea kuwa makampuni mengi ya uchakataji yamejikita katika plastiki zilizotumika lakini kuna taka za aina nyingi ambazo zinazalishwa sekta hii ina wadau wengi ambao ni serikali makampuni binafsi wananchi watu wanaozalisha taka biashara hii inashindwa kufanikishwa vizuri kutokana kukosekana kwa sera na miongozo ya serikali ya kusimamia sekta hii kama kungekuwapo na sera ambayo mzalishaji taka awe anawajibika kuchakata kwa kila anachozalisha hali hiyo inaweza kuboresha sekta ya uchakataji na kuwa tegemeo kwa wananchi anasema stephen anaelezea kwamba iwapo serikali ingemwajibisha wanaokiuka uchakataji wa taka hizo wanaozalisha taka angekuwa na nidhamu na hivyo kuweka nidhamu ya uhifadhi mazingira hata hivyo sekta hii inahitaji uwekezaji mkubwa na makampuni mengi yaliyopo nchini bado ni machanga kiufanisi miondombinu na teknolojia inayotumika pia ni duni kutokana na uelewa mdogo kuhusu suala hilo miongoni mwa jamii serikali inahitaji kuweka mkono wake hasa katika makampuni makubwa ili waelekeze nguvu katika kudhibiti na kuwajibika katika uchakataji taka kwa maelezo ya kampuni ya recycler taka zinazotupwa zinagharimu kiasi kikubwa cha pesa ambapo mzalishaji anaweza kuokoa kiasi cha shilingi 200 kwa kilo moja ya plastiki ikiwa plastiki ngumu unaokoa shilingi 500 kwa mifuko ya sandarusi ataokoa shilingi 300 kampuni ya recycler inafanya uchakataji wa aina nyingi za taka kwa pamoja kwa mwezi huchakata wastani wa tani 100 na tani 150 kwenda kutupwa jalalani kampuni inategemea kufanya kazi na wadau mbalimbali wakiwemo viwanda shule mabalozi na baadhi ya wenye nyumba kampuni hiyo huchakata karatasi nyeupe maboksi glass magazeti mbao chuma vifaa vya eletroniki kama friji simu na taka zingine katika ripoti ya benki ya dunia kuhusu maendeleo ya miji inaonesha kuwa afrika huzalisha tani milioni 70 kwa mwaka ripoti hiyo inasema kuwa ongezeko la idadi ya watu wanaohamia mijini inaongeza kwa kiasi kikubwa uzalishaji wa taka kufikia tani milioni 160 kwa mwaka ifikapo mwaka 2025 uwepo taka ambazo hazikusanywi ni tatizo ambalo linasababisha uchafuzi wa mazingira magonjwa na majanga ya mazingiria ripoti inasema jinsi ya kupata mtoto unayemuhitaji rais trump atoa masharti mapya ya usafiri kwa nchi 6 za kiislamu kurejereza taka ni utajiri uliojificha nchini
2017-06-29T15:58:47
http://mtanzania.co.tz/kurejereza-taka-ni-utajiri-uliojificha-nchini/
warsha ya maafisa wa mazingira wa majiji jijini dar | rundugai blog home » jamii » warsha ya maafisa wa mazingira wa majiji jijini dar warsha ya maafisa wa mazingira wa majiji jijini dar katibu mkuu ofisi ya makamu wa rais bw sazi salula akifungua warsha ya maafisa mazingira wa majiji kuhusu kukuza uelewa wa kuandaa taarifa ya hali ya mazingira kwa majiji ya mwanzaarusha mbeya na tanga warsha hiyo iliyofanyika jijini dar es salaam baadhi ya maafisa mazingira wa majiji wakimsikiliza katibu mkuu ofisi ya makamu wa rais[pichani hayupo] alipokua anafungua warsha ya majiji kuhusu kukuza uelewa wa kuandaa tarifa ya hali ya mazingira ya majiji iliiofanyika jijini dar es salaam katibu mkuu ofis ya makamu wa rais sazi salula akizungumza na mwakilishi wa shirika la kimataifa la mazingia unep bi clara makenya mara baada ya ufunguzi wa warsha ya maafisa wa mazingira wa majiji picha na ali meja
2019-07-22T13:54:55
https://rundugai.blogspot.com/2013/02/warsha-ya-maafisa-wa-mazingira-wa.html
wananchi | matokeo chanya+ bajeti ya serikali bunge bunge la tanzania dodoma john pombe joseph magufuli jpm mkoa wa dodoma nai u spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania radio chanya+ rafiki wa maendeleo rais rasilimali serikali serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania serikali ya mapinduzi ya zanzibar serikali za mitaa sisi ni tanzania mpya+ taarifa ya habari tanzania tanzania mpya+ televisheni ya taifa tupo vizuri uchumi tanzania uhuru na umoja utamaduni wa mtanzania utumishi uzalendo wananchi waziri mkuu wizara ya fedha na mipango live catch up kutoka bungeni mawaziri wakitoa michango yao katika bajeti ya serikali 2019/2020 june 25 2019 june 25 2019 matokeo chanya+comment(0) elimu mtandaoni john pombe joseph magufuli jpm kassim majaliwa matokeo chanya+ mawaziri mhe samia suluhu hassan michezo tanzania tanzania mpya tanzania mpya+ tanzania kenya uganda timu ya taifa tupo vizuri uchumi uchumi tanzania ushindi ni lazima utamaduni wa mtanzania utumishi wananchi wizara ya habari utamaduni sanaa na michezo yanga live fuatilia moja kwa moja droo ya upangaji makundi ya timu zilizofuzu kucheza fainali ya afcon 2019 tanzania ikiwa mojawapo april 12 2019 april 12 2019 matokeo chanya+comment(0) follow live the #totalafcon2019 group stage draw #footballtogether https//tco/ukay6btpy4 football together (@football2gether) april 12 2019 clouds fm elimu elimu bure elimu mtandaoni fahari ya tanzania halm ashauri za wilaya jiji la dar es salaam julius nyerere international comference convention center malkia wa nguvu mhe paul makonda tanzania mpya+ tuzo urithi wetu utamaduni wa mtanzania wananchi wizara ya habari utamaduni sanaa na michezo wizara ya kaziajiravijanabungesera wizara ya kilimo live catch up sherehe ya utoaji tuzo za malkiawa nguvu april 6 2019 april 6 2019 matokeo chanya+comment(0) amani na utulivu azam tv elimu elimu bure elimu mtandaoni john pombe joseph magufuli jpm matokeo chanya+ mkoa waruvuma radio chanya+ tamisemi tanzania tanzania mpya+ televisheni ya taifa tupo vizuri urithi wetu utamaduni wa mtanzania utumishi uwekezaji uzalendo veta vyuo vya ufundi stadi wakuu wa mikoa wakuu wa wiliya wananchi waziri wa elimu sayansi teknolojia na elimu ya ufundi live rais akizindua chuo cha veta namtumbo april 5 2019 matokeo chanya+comment(0) afya matokeo chanya+ mhe paul makonda mhe samia suluhu hassan mhe ummy mwalimu mkoa wa dar es salaam serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania sisi ni tanzania mpya+ taarifa vyombo vya habari tanzania mpya+ tupo vizuri uwekezaji wananchi wizara ya afya wizara ya elimu sayansi na teknolojia live kutoka jnicc makamu wa rais akifungua kongamano la kimataifa la sayansi na afya march 27 2019 matokeo chanya+comment(0) azam tv bondia hassan mwakinyo boxing bunge bunge la tanzania harrison mwakyembe ikulu jiji la dar es salaam john pombe joseph magufuli jpm mastaa wa tanzania matokeo chanya+ mawasiliano ikulu mchezo wa ngumi tanzania mhe paul makonda mhe samia suluhu hassan michezo mkoa wa dar es salaam rais taifa stars tanzania mpya+ tanzania kenya uganda televisheni ya taifa timu ya taifa tupo vizuri uchumi uchumi tanzania utalii tanzania utumishi uwekezaji uzalendo wananchi wasafi tv waziri mkuu waziri wa habari sanaa utamaduni na michezo wizara ya habari utamaduni sanaa na michezo yanga zanzibar live ikulu rais magufuli akutana na wachezaji wa taifa stars na bondia mwakinyo march 25 2019 matokeo chanya+comment(0) oniline radio bofya link hii http//myradiostreamcom/mobile/matokeochanyatz afya bunge bunge la tanzania chama cha mapinduzi john pombe joseph magufuli mto malagarasi mto ruaha mto ruvu serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania tanzania mpya+ tujadili namna tunavyoishi na mazingira yetu wakuu wa mikoa wakuu wa wiliya wananchi wizara ya kilimo wizara ya maji wizara ya ujenzi uchukuzi na mawasiliano wizara ya viwanda na biashara ziwa victoria live catch up kilele cha maadhimisho ya wiki ya maji 22 machi 2019 march 22 2019 matokeo chanya+comment(0) mkoa waruvuma naibu waziri wa nishati nisisisisi radio chanya+ serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania sisi ni tanzania mpya+ taarifa vyombo vya habari tanesco tanzania tanzania mpya+ uchumi tanzania umeme vijijini uwekezaji wakuu wa mikoa wananchi waziri wa nishati wizara ya nishati taarifa muhimu kutoka tanesco march 13 2019 matokeo chanya+comment(0) • inahusu ufafanuzi wataarifa zilizotolewa mtandaoni kuhusu tatizo la kukatika mara kwa mara umeme mkoani ruvuma bodi ya wakurugenzi ya tanesco shirika la umeme tanzania (tanesco) linapenda kutoa ufafanuzi juu ya taarifa iliyotolewa kupitia mitandao ya kijamii kuwa bodi ya wakurugenzi ya tanesco imesikitishwa na matumizi madogo ya umeme hali inayopelekea kukatika umeme [] baraza la sanaa la taifa basata burudani diamond platnumz jiji la dar es salaam muziki wa kizazi kipya sisi ni tanzania mpya+ tanzania mpya+ tupo vizuri utamaduni wa mtanzania wananchi wasafi festival wasafi tv liverc makonda akizungumza na wasanii wanamichezo na washehereshaji jijini dar es salaam january 31 2019 matokeo chanya+comment(0) bunge dodoma jiji la dodoma matumizi sahihi ya mtandao tanzania mpya+ tujadili namna tunavyoishi na mazingira yetu uchumi tanzania uhuru na umoja wananchi live catch up bungeni dodoma majadiliano ya miswada itakayopitishwa kuwa sheria january 29 2019 matokeo chanya+comment(0)
2019-11-18T06:15:47
https://matokeochanya.co.tz/category/wananchi/
makahaba st petersburg makahaba katika st petersburg je unataka enchanting mapumziko kwa kuchemsha katika mishipa yake ya damu za uchu na ufisadi kwa furaha wakawachochea akili na mwili mzima akatetemeka kwa hisia umekuja mahali sahihi rasilimali maarufu kwa makahaba ngono petersburg zilizokusanywa inatoa bora ya anasa ya ngono kila mtu ndoto ya upendo wa mwanamke na uchangamfu utapata chaguo bora kulingana na matakwa yao ladha na uwezo wa kifedha unaweza kodi kahaba bei yoyote na kupata utimilifu halisi ya fantasies wote erotic kumbuka ni nafuu sio maskini lakini ghali courtesan kujua nini wao ni kuomba fedha zaidi hii ni wanawake halisi ya jamii wanaotumia majadiliano tamu unaweza kusababisha mtu katika ecstasy fikiria basi nini itakuwa muendelezo wa karibu sana utapokea gorgeous haja kubwa ngono wakati phallus yako msisimko zaidi na zaidi katika nyembamba sana matako imara na moans voluptuous ni kuwa na nguvu na nguvu mpaka ni kilele cha phenomenal hard bdmsmajaribio any zisizo za kawaida huchota kutoka kisheria na itapatikana kofi kamba wakati mbaya madame kwanza matusi kuumiza na kulazimisha kwa mfano kupanda nje ya pekee kufunikwa stiletto visigino na basi itakuwa bila kuchoka kama msichana street hata hivyo unaweza kubadilisha royal kina blowjob na rimming yeye upole caress maeneo yako wa karibu sana kugusa ulimi mkundu korodani mkuu kina kumeza phallus wako na ndefu adhabu mdomoni vitamu mpaka uzoefu orgasm ajabu na nguvu si waliotawanyika mbegu za upendo katika uso nzuri ya urembo classic uke ngono lakini sidhani kwamba itakuwa tu banal ngono tangu mke wake usiku wakati baada ya siku kwa bidii katika kazi hakuna haja kwa lolote lakini usingizi pamoja na kahaba unatarajia akili tofauti kabisa mpya zaidi ya kupendeza zaidi shauku zaidi kukumbukwa katika st unaweza kupiga kahaba ambayo kukidhi hamu yako yote chafu wakati wowote beautiful flirt mapumziko nje katika mikono yako mara baada ya kupiga simu yeye itakuwa katika gear kamili na kukidhi tamaa yako yote jipujua hata hivyo mkutano wa ndani inaweza kufanyika katika msichana chama au katika wilaya neutral kama vile katika chumba cha hoteli sauna na maeneo mengine kimapenzi makahaba saint petersburg ghali na bei nafuu vyumba ni idadi ya wasichana ya simu na kwa saluni jinsia ya st petersburg kahaba katika ramani vijana kwa wazee kukomaa mwanamke na kweli picha kuthibitika wasomi mashirika ya escort na makahaba kwenye tovuti ya si ghali courtesan halisi na bdsm studio makahaba na huduma bibi private matangazo massage kwa ajili ya watu na mapenzi mtu yeyote ambaye amewahi kutumika huduma ya makahaba au tovuti dating kwa usiku mmoja tunajua kwamba st petersburg ni kamili ya aina ya saluni kwa ajili ya huduma ya ngono wao kutoa aina mbalimbali za tofauti juicy mchezo hata hivyo kuna hatari ya kuishia juu katika hali ya aibu baada ya mawasiliano hayo marafiki katika bar strip klabu katika mstari na katika taasisi na aina ya saunas ndani mkali na madhara makubwa ndio maana zaidi na zaidi umaarufu kupata maeneo dating ambapo unaweza si tu gumzo na mtu na kufanya uteuzi lakini pia mapema ili kujua kuhusu interlocutor makahaba st petersburg ni tovuti rasmi ambayo wamekusanyika database ya makahaba kuthibitika kutoa huduma zifuatazo • erotic massage kwa muendelezo • kuwagusa asili mdomo • wasomi kusindikiza • jukumukucheza na utawala na huduma mistress • mikutano barabarani na nyumbani • idb katika gari • halisi ya india na bdsm michezo • strip na kilele nzuri kwenye tovuti yetu ina mamia ya maelezo ya wasichana wadogo na wanawake watu wazima blondes brunettes redheads mwembamba na curvaceous kitu kwa ajili ya kila ladha kuchagua kahaba kwa wakati mmoja upendo inaweza kuwa picha na mipaka na eneo la st petersburg ramani st petersburg haijawahi halisi mguso sensations inaweza kuwa na uzoefu si tu ni katika mchakato wa mapenzi na makahaba katika st petersburg makahaba katika st petersburg na uwezo wa kuleta orgasm wakati huo huo kuomba hatua zote iwezekanavyo ambayo uzoefu hatua ya juu ya furaha makahaba mji mkuu wa kaskazini ya bora yao wenyewe wote ni watu wa anasa aina bora matako elastic na nzuri na vizuri groomed kuonekana mseto huu wao hawana kusafiri kazi kubwa kumshawishi mtazamo tu hivyo inawezekana msikubali mitandao ambapo pato ni tu katika mwelekeo mmoja kuleta mshindo wa kike makahaba huchaguliwa na mwenendo bora wa wakati kwa nympho unaweza kujaribu kitu ambacho hawezi msichana kawaida bitches shukrani waweze kuleta wenyewe orgasm mradi inafanya kila kweli gentle minetchitsa midomo wanasubiri mashujaa usiku mmoja mashimo yote kujazwa na wasichana hakika shauku isiyo ya kawaida kubwa na upendo makahaba st petersburg juu ya utafutaji gharama nafuu nafuu free kuthibitika bora ghali sana wasomi anasa vip maelezo mpya na picha hii video nambari za simu bila retouching photos halisi kuchunguzwa na maoni young mdogo sana mwanafunzi vijana waandamizi kukomaa wazee wazee wenye umri wa miaka makamo bibi blondes brunettes red black nene nyembamba mafuta ya bbw makuhani tits lush na matiti makubwa nono beautiful miniature racing na wanandoa inatisha nywele haja kubwa mimba usiku mitaani super erotic silicone na kisimi kubwa na matiti umechangiwa naughty candid muscular unshaven nywele pisey watu wazima dating site katika st petersburg ngono binafsi matangazo matangazo ambapo unaweza kupata kahaba na safari ya st petersburg ambapo kuna makahaba katika mji wa st petersburg na inaweza kuondolewa na kahaba katika st petersburg advanced search sex huduma kwenye mitaani watch online ambapo ili nyumbani mara mbili kupenya na haja kubwa karibu anwani maeneo kwenye ramani uteuzi uhakika kiasi gani bei ya saa usiku hoteli hoteli ya sauna utaratibu wa vigezo maeneo yote metro mmoja mmoja simu kondomu bila kondomu show kufyonza bila gundi kwenye barabara wimbo retro catalog unataka kweli night wito kwa lick punda kufanya kazi kwa ufanisi massage kwa ajili ya watu na mwisho mwema erotic makahaba wasichana vifaranga wanandoa mwanamke msichana wasagaji mpenzi wasagaji msichana rafiki gay guys transgendered transsexual jinsia transsexual heterosexual uzbeks waarmenia ebony asia mulattos urusi tajiks wanawake kichina kazakhs wanawake kijapani kiarabu mashariki ukrainka vijeba exotics slavyanka kikorea bdsm mistress strapon mtumwa fisting sado maso scat dhahabu mvua utoaji na mapokezi pamoja na matiti 012345 na 6 makahaba st petersburg juu ya sayte inapatikana wasichana st petersburg ambao tayari debauch saa katika st petersburg aina kubwa sana kwa ajili ya parlors ngono saluni ngono huduma pamoja na bei nafuu st petersburg makahaba katika kituo na katika eneo leningrad hadi 1000 kwa usukani saa nafuu makahaba st petersburg ni inapatikana kwa wanawake kwa muda wa saa mashariki ya ukahaba waasia negro st petersburg 1000 usukani kwa saa na pia mulattos st petersburg ya 1500 kwa saa kwa gourmets na connoisseurs ya watu wazima kukomaa mamok petersburg makahaba retro 2000 kwa saa uzoefu tayari kufanya kitu chochote kwa ajili ya huduma ya ngono kwa ajili ya mapumziko yako ngono kinyume na maumbile kwa 1000 bdsm kahaba bdsm huduma 2500 kwa saa umri itasaidia kupumzika mgeni wa st petersburg kwa wale ambao ni kuangalia kwa kahaba vijana katika saint petersburg 2000 rubles kwa saa moja au usiku kucha zabuni vijana katika masaa 3000 kwa punda nzuri na matiti ya msimamo kualika cozy st petersburg ghorofa na jacuzzi na kupatikana tofauti za wanafunzi juu ya uteuzi kubwa ya kirusi hohlushek uzbeks ukrainians belarusians na kazakh wanawake na caucasian geisha katika st petersburg makahaba elite ya st petersburg na 4000 usukani saa tayari kuja ghorofa ndugu makahaba kwenye tovuti ya katika hoteli pia kwenye rasilimali zetu ina kifahari makahaba ghali na safari ya hoteli kutoka 5000 kwa saa gharama kubwa na wasomi courtesan st petersburg bei zao kuanza saa 6000 kwa saa na hii si kikomo kuna minetchitsa st petersburg 10000 kwa saa kuna makahaba st petersburg katika 8000 kwa saa ghali zaidi na zaidi ya wasomi makahaba katika st petersburg ili kahaba wa st petersburg unahitaji kupata tovuti kwa ajili ya ngono matangazo saint petersburg na idadi ya st petersburg muziki real kuthibitika makahaba st petersburg furaha yoyote ya maisha itakuwa inapatikana na wewe sasa hivi kwa kweli kuthibitika makahaba petersburg kama wewe ufurahie ofa na utaratibu uzuri mazuri yeye kutimiza ndoto yako yote karibu ashiki na utakuwa kutumia unforgettable kimapenzi jioni maelezo ambayo utabaki milele katika kumbukumbu yako na excite mawazo yako kwa muda mrefu wazimu rhythm ya maisha ya mji mkuu ina wakazi muda kidogo kupata sehemu ya joto na huruma na ingawa watu hawa mengi ya chaguzi za burudani lakini si wote ni mzuri kwa kila mwakilishi wa nusu ya nguvu ya mwanadamu gharama ya kwa njia ya simu makahaba wakati mwingine inasukuma na vikosi kukana mwenyewe radhi lakini si kwa tovuti halisi ya makahaba kuthibitika katika st petersburg hapa inawezekana kutimiza ndoto ya mgeni yoyote nafuu wito msichana si mbaya zaidi kuliko wenzake kwa bei ya juu lakini kufahamu muda na fedha za wateja unaweza kupata mfuko kamili ya huduma kwa ajili ya ada ndogo na kukaa muda mrefu nafuu makahaba petersburg uchumi ni asili katika karibu watu wote katika dunia si kuwa ubaguzi na wakazi wa st petersburg wakati mwingine hawataki kuwanyima mwenyewe ya furaha katika kampuni ya wasichana nzuri walishirikiana kama inavyotakiwa kidogo kabisa kwa ajili ya kutokwa kamili ya erotic wasichana nafuu kutoka kwenye tovuti yetu itasaidia kila mtu ambaye hataki kupoteza ujuzi na kudumisha hali ya kimaadili na kimwili ni kawaida services nafuu makahaba tofauti kidogo na makahaba zao wasomi classic ngono weka katika pussy kuchafuka na kujaza kwa ukingo na mbegu za kiume hii ni hamu ya kawaida ya wateja hookers nafuu kutoa nafasi ya washirika wote mdomo nani anaweza kukataa kutoka juicy na kuapa kwa msisimko blowjob hakuna mtu ni muhimu kabisa makahaba wote ni vema blowjob mbinu mteja anaweza kufanya cunnilingus kama unataka toleo hili ni maarufu anal matako appetizing ya wasichana kuvutia na upatikanaji matumizi mmoja wao na kujifunza siri ya mshindo mrefu striptease warming kucheza mbele ya tendo la mapenzi ya bughudha na kutatiza nguvu ya mapafu wakati wa kucheza msichana na mtu kuna kuheshimiana huruma ambayo ni uwezekano wa kukua katika ngono ngumu tupa fedha kama unaweza kuona inafaa makahaba nafuu hutachukua lazima lakini kazi za kulipwa katika kamili sex nzuri na wasichana wadogo au kufurahia uzoefu ubora na wanawake kukomaa na wenye ujuzi muhimu zaidi kutokana na wewe bado kujisikia furaha ya mshindo na nafasi si kwa tupu mkoba wako wote makahaba elite ghorofa petersburg elite makahaba ghorofa katika st petersburg si kila mtu ana uhuru wa kushiriki na rafiki yako kama akaanguka jana usiku kutoka vifaranga moto kwenye simu mara nyingi hutokea kwamba wito msichana tu haiwezekani mtu hataki nyara cozy nyumbani anga na mtu hairuhusu hivyo kufanya roho mate au majirani hali kama hizo ni jambo la kawaida na inaweza kuwa rahisi sana kutatua tovuti ina sehemu kwa makahaba ambao wapo tayari kutumia wateja katika nyumba yako mafundo ya ukubwa wowote na aina ya kuwakaribisha wote chai kwa muendelezo mazuri na zinahitaji badala ya data yoyote pasipoti tu ya malipo kamili ya huduma mke anakataa wewe katika baadhi ya antics kitandani karibu sana maisha inaonekana wepesi na kufifia basi ni wakati wa kuchukua mambo ndani ya mikono yao wenyewe na kutumia huduma ya kahaba wa kitaalamu ni siku zote kuwa tayari kuendeleza mazungumzo si kuacha majaribio katika mapenzi wasichana makahaba ghorofa katika st petersburg rahisi kwa wateja ambao hawataki nyara sifa yake plus katika embodiment hii mengi usiri hakuna mtu milele kujua nini ulikuwa unafanya na msichana hakuna mtu anajua kuhusu ukweli wa wasichana simu usalama kama unamiliki nyumba daima kuwa na wasiwasi kuhusu kuwepo kwa mtu wa tatu na kuacha eneo la wasichana wewe kabisa kuondoka faragha na nafasi quotes si zaidi ya kawaida kuchukua wateja nyumbani kahaba haiweki bei ya juu tabia hii inafanya kuwa maarufu sana miongoni mwa wananchi hakuna haja ya kuongeza gharama nice anga kulala na kahaba baada ya chumba cha hoteli si mara zote rahisi na salama kama unataka kuweka utambulisho wako siri lakini wakati huo huo kupumzika nyumbani kutumia huduma ya wasichana katika ghorofa likizo likizo nyuma kumbukumbu nzuri tu vyumba binafsi katika st petersburg ni mahali pazuri pa ufanisi na tastefully kutumika wateja kila msichana wa simu yeye hakuwa usikose nafasi alijua mawazo yao kuchukua faida ya faida hizi kuanza safari erotic na makahaba ambaye varmt kukaribisha kila mtu kuja na kutembelea tovuti https//indispbcom/ makahaba
2020-01-17T19:43:52
https://indi-spb.com/swahili/
bamba la gandunia wikipedia kamusi elezo huru bamba la gandunia (elekezwa kutoka mabamba ya gandunia) mabamba gandunia ya dunia yetu bamba gandunia ni jina lililobuniwa hivi karibuni[1] kwa mapande yanayounda sehemu ya nje ya dunia yetu sehemu hiyo ya nje huitwa ganda la dunia na chini yake kuna sehemu ya dunia ambayo ni ya joto kiasi ya kwamba miamba na elementi zote zinapatikana katika hali ya giligili yaani kuyeyushwa hiyo sehemu ya nje ya dunia si pande moja bali kuna mapande mbalimbali kandokando yanayoelea juu ya mata ya moto ndani yake unaweza kusoma zaidi katika makala kuhusu muundo wa dunia gandunia ni elimu kuhusu ganda la dunia hoja ya sayansi kuhusu gandunia ni kwamba ganda la dunia limevunjika mapandemapande yanayoitwa mabamba kila bamba linapakana na mabamba mengine mabamba yasukumwa na mikondo ya moto chini yake kama majani yanayokaa usoni mwa maji yanayoanza kuchemka katika sufuria hivyo kila bamba lina mwendo wake wa pekee pamoja na au dhidi ya mabamba mengine tetemeko la ardhi ni dalili ya kwamba mabamba yamesuguana na hivyo kusababisha mishtuko tunayojua kama tetemeko la ardhi mabamba hayo ni sehemu ya nje ya tabakamwamba (lithosferi) tabaka hilo limevunjika katika mapande makubwa 7 na vingine vidogo vinavyoelea juu ya tabaka lenye hali ya kiowevu chenye mnato mzito mabamba hayo yote yameonekana kuwa na mwendo wa sentimita kadhaa (cm 2 20 zimepimwa) kwa mwaka mwendo huo husababishwa na nguvu ya magma (mwamba moto wa kiowevu) inayopanda juu na kusukuma mabamba hayo mabamba makuu ya duniaedit mabamba makubwa ya ganda la nje ya dunia ni bamba la afrika bara la afrika pamoja na tako la bara baharini ni bamba la kibara bamba la antaktiki bara la antaktiki pamoja na tako la bara baharini ni bamba la kibara bamba la australia bara la australia pamoja na tako la bara baharini ni bamba la kibara bamba la ulayaasia mabara ya ulaya na asia pamoja na tako la bara baharini ni bamba la kibara bamba la amerika ya kaskazini bara la amerika ya kaskazini na siberia ya kaskazinimagharibi pamoja na tako la bara baharini ni bamba la kibara bamba la amerika ya kusini bara la amerika ya kusini pamoja na tako la bara baharini ni bamba la kibara bamba la pasifiki bahari ya pasifiki ni bamba la kibahari kati ya mabamba madogo kuna bamba la uhindi bamba la uarabuni bamba la karibi bamba la juan de fuca bamba la skotia mwendo wa mabamba jinsi pangaea ilivyosambaratika na kutokea kwa mabara ya leo mwendo wa mabambaedit mwendo wa mabamba hayo umesababisha kutokea na kuvunjika kwa mabara katika historia ya dunia yetu wataalamu hufikiri ya kwamba dunia ilikuwa na bara kubwa moja tu (pangaea) miaka milioni 300 150 iliyopita iliyovunjika katika mapande au mabamba mbalimbali hata mabamba yaliyopo kwa sasa yanatarajiwa kuendelea kuhamahama kuvunjika au kupotea kabisa kwa mfano afrika iko katika mwenendo wa kupasuliwa kwenye mstari wa bonde la ufa yaani afrika ya mashariki inaelekea kujitenga na sehemu nyingine ya bara ikiwa bamba la pekee penye bonde la ufa la sasa bahari itatanda baada ya miaka milioni 20 bara hindi au bamba la uhindi inaendelea kugonga bamba la asia na kujisukuma chini ya milima ya himalaya kuna uwezekano ya kwamba itaingia kabisa na kutoweka makala hiyo kuhusu bamba la gandunia inatumia neno ambalo si kawaida na matumizi yake ni jaribio kwa jambo linalotajwa ↑ neno gandunia si kawaida bado tunafuata hapo kamusi ya kast rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=bamba_la_gandunia&oldid=1093513 last edited on 24 novemba 2019 at 0523
2020-06-04T21:54:01
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Mabamba_ya_gandunia
igisasu cyahitanye abapolisi 11 muri afuganistani igisirikare cya afuganistani kigeze aho igisasu cyaturukanye imodoka abapolisi 11 bahitanywe nigisasu cyaturikiye mu ntara ya badakhshan iri mu majyaruguru ashyira uburasirazuba bw'afuganistani inzego zubutegetsi zabitangaje ziravuga ko icyo gisasu cyaturitse kuri uyu wa gatandatu cyari giteze hafi yumuhanda ibyo bibaye mu gihe intumwa yamerika yahawe inshingano zo kugarura amahoro muri ako gace zalmay khalilzad yari yatangiye urugendo rugamije kugarura ubwiyunge hagati yimpande zishyamiranye muri afuganistani umuvugizi wa polisi muri ako gace yabwiye ijwi ryamerika ko icyo gice cyari cyatezwe abashinzwe umutekano bari batabaye bagenzi babo ahitwa khash kurwanya ingabo zabatalibani sanaullah ruhani yavuze ko umuyobozi wa polisi muri ako karere na we yakiguyemo yemeje ko ejo ku wa gatanu ingabo za leta zashegeshe izabatalibani zikanahitana umwe mu bayobozi babo ukomeye ntacyo umutwe wabatalibani wahise utangaza kuri icyo gice cyatezwe mu karere wigaruriyemo uturere dutandukanye kuwa gatanu umutwe wabatalibani wahitanye abapolisi 15 mu majyepfo yicyo gihugu minisiteri yububanyi namahanga yamerika kuwa gatanu yatangaje ko intumwa yayo ishinzwe ibiganiro byamahoro muri ako gace yahagurutse i washington yerekeza i qatar pakistani no muri afuganistani aho ijyanywe no gusuzuma ishyirwa mu bikorwa ryamasezerano yumvikanyweho nimpande zose ahanini arebana nihagarikwa ryimirwano no kurekura imfungwa za buri ruhande
2020-08-03T09:56:40
https://www.radiyoyacuvoa.com/a/igisasu-cyahitanye-abapolisi-11-muri-afuganistani/5451995.html
mchezo hazina katika attic online kucheza kwa huru mchezo hazina katika attic unachezwa 2210 kucheza mchezo hazina katika attic online maelezo ya mchezo hazina katika attic sana imekuwa kutupwa kwenye attic lakini jambo ni sasa unahitaji baadhi ya mambo kutoka huko kucheza mchezo hazina katika attic online kiufundi na tabia ya mchezo hazina katika attic mchezo hazina katika attic aliongeza 17062012 mchezo unachezwa 2210 mara mchezo rating 25 nje 5 (8 makadirio) michezo kama mchezo hazina katika attic download mchezo hazina katika attic embed mchezo hazina katika attic katika tovuti yako hazina katika attic kuingiza mchezo hazina katika attic kwenye tovuti yako nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako pia kama wewe kama mchezo hazina katika attic nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote kushiriki mchezo na dunia pamoja na mchezo hazina katika attic pia alicheza katika mchezo
2018-02-22T02:49:10
http://sw.itsmygame.org/999973206/treasures-on-a-garret_online-game.html
rapa roma mkatoliki kuliamsha dude tena ~ blogu ya wananchi rapa roma mkatoliki kuliamsha dude tena posted by williammalecelacom on friday june 16 2017 rapa roma mkatoliki ambaye amekuwa kimya kwa muda mrefu katika muziki baada ya kupata matatizo ya kutekwa amekiri wazi kuwa saizi yuko poa na tayari ameshajipanga kwa ajili ya kuliamsha dude muda wowote kutoka sasa roma mkatoliki amefunguka hayo jana baada ya kutembelea shule ya msingi mchikichini iliyopo mbagala na kutoa vitabu kwa wanafunzi wa darasa la saba pamoja na kuwapa hamasa juu ya kuweka juhudi katika masomo ya sayandi ikiwepo somo la hesabu roma anasema anajua wazi baada ya matatizo yaliyomkuta kuwa watu wanashauku kubwa kutaka kusikia ngoma yake ya kwanza itakuaje show yake ya kwanza itakuaje ila anadai kuwa atajibu maswali hayo ya mashabiki wake hao muda si mrefu baada ya kuliamsha dude mpango wa kuachia wimbo upo sababu nina muda mrefu nipo kimya na naona watu wana kiu kubwa kuona roma anaachia wimbo upi na ataimba nini ndani yake show yake ya kwanza itakuaje na atafanyia wapi hayo nimekuwa nikiulizwa sana saizi tupo kwenye mfungo wa mwezi wa ramadhan hivyo naona mawazo ya watu yameelekea huko na mimi najipa muda halafu baada ya hapo na mimi niliamshe dude kwa sababu dude naliamsha kweli hivyo sitaweza kusema itakuwa ni tarehe gani ila muda wowote kinawaka alisema roma mkatoliki roma mkatoliki mara ya mwisho ameachia wimbo wa kushirikiana na moni centrozone 'usimsahau mchizi' ilikuwa mwanzoni mwa mwezi wa kwanza kabla ya wasanii hao wote wawili kutekwa na watu wasiojulikana mwanzoni mwa mwezi wa nne mwaka huu email thisblogthisshare to twittershare to facebook
2017-06-25T15:37:16
http://www.williammalecela.com/2017/06/rapa-roma-mkatoliki-kuliamsha-dude-tena.html
video supa newe neno (the anointed one) ft mgabo | listen/download mp3 gospomedia undefined index use_native_prompt in /home/gospo/domains/gospomediacom/public_html/wpcontent/plugins/onesignalfreewebpushnotifications/onesignalpublicphp on line 294 100 bora video supa newe neno (the anointed one) ft mgabo | listen/download mp3 video | elkana mbuya mama mjane video | alphoncener takasa video | neema gospel choir napokea kibali audio | elkana mbuya zaidi ya vyote irene verras kutoka tanzania kwa mara ya kwanza tunamtambulisha kwako rapa wa nyimbo za injili supa nawe aka the anointed one na hii ni video yake mpya inayoitwa neno aliyoiachia wiki chache zilizopita akiwa amemshirikisha mgabo kwa moyo mkunjufu tunakukaribisha kutazama video hii iliyobeba habari njema tukiamini kuwa utabarikiwa amen kwa mawasiliano zaidi na supa newe wasiliana naye kupitia simu/whatsapp +255 767 526 240 facebook supa newe instagram @supanewe youtube supa newe {the anointed} related topicsgospel hiphop supa newe tanzania video video mpya video sammy john tawala | listen/download mp3 video amnobe pilipili ft cadeu john k ijalizeni furaha yangu | listen/download mp3 by irene verrasjanuary 26 2020 by irene verrasjanuary 27 2020 nyimbo 10 bora za injili zilizopendwa zaidi novemba 2019 by irene verrasdecember 2 2019 kali za wiki video | maggy mgoma najua upo audio | daudi nyigo sema neno audio | neema ngasha umeinuliwa jiunge na gospomediacom ili uwe wa kwanza kupokea nyimbo za injili kila siku kupitia barua pepe join 14697 other subscribers copyright © 2020 | injilination ministries
2020-01-28T21:03:11
https://gospomedia.com/2019/07/supa-newe-neno-the-anointed-one-ft-mgabo/
mapambano makali yazuka mogadishu watu 16 wameuwawa | wafanyakazi wa idhaa ya kiswahili | dw | 01022010 mapambano makali yazuka mogadishu watu 16 wameuwawa viongozi wa umoja wa afrika wanaokutana ethiopia watiwa wasiwasi na hali ya mambo nchini somalia wapiganaji wa kundi la al shabaab washambulia ikulu ya rais mapigano makali yametokea nchini somalia ambapo wapiganaji wa makundi ya itikadi kali yaliifyatulia makombora ikulu ya rais kwenye mji mkuu mogadishu jana usiku tukio lililowafanya wanajeshi kuanza kufyetua risasi ya wanamgambo hao na kuua kiasi cha watu 16mapigano hayo yametokea wakati mkutano wa umoja wa afrika ukiendelea huko mjini addis ababa nchini ethiopia ambapo suala la somalia ni miongoni mwa masuala katika ajenda kikao cha umoja wa afrika kinazitaka somaliland na puntland kuisadia somalia kupambana na wapiganaji waziri wa mambo ya nje wa somalia anayehudhuria mkutano huo unaojadili pia kuhusu somaliaali jama jangeli alitoa mwito wa kupelekwa wanajeshi zaidi kusaidia kurudisha hali ya usalama nchini humoaidha hii leo kikao hicho kimeyataka majimbo yaliyojitenga na somaliaya puntland na somaliland kushirikiana kupambana na wanamgambo nchini somalia katika mapigano yaliyozuka jana usiku kundi la wanamgambo la al shabaab ambalo linadaiwa na marekani kuwa ni kundi la wafuasi wa alqaeda nchini somalia lilishambulia mara kadhaa ikulu ya rais kutoka sehemu za mji mkuu mogadishuwanajeshi wa serikali kwa upande wake walijibu mashambulio hayo kwa kuwafyetulia risasiwakaazi wa eneo hilo pamoja na maafisa wa matibabu wamesema makombora kadhaa yaliangukia upande wa mji wa suqa holaha kaskazini mwa mji wa mogadishu au mji unaojulikana kama soko la mifugo na kusababisha watu wasiopungua 16 kuuwawa na wengine 71 wakajeruhiwakutokana na mwito uliotolewa na waziri wa mambo ya nje wa somaliaulioungwa mkono na mawaziri wa nje wa kenya na sudan djibouti imesema iko tayari kutuma wanajeshi wake 450 kuisadia serikali ya somalia lakini msemaji wa kundi la al shabaab sheikh ali mohammud rage hapo jana jioni aliitaka nchi hiyo kutafakari juu ya uamuzi wake huojuu ya hilo ameionya serikali hiyo ya djibouti isipeleke wanajeshi nchini somalia vinginevyo itakabiliwa na matatizo makubwamzozo huo wa somalia pia umesababisha wanawake na watoto kuendelea kuteseka nchini humo hali ambayo imemgusa hata katibu mkuu wa umoja wa mataifa ban ki moonakizungumza katika ufunguzi wa mkutano huo wa umoja wa afrika alisema anapanga kumteua margot wallstrom kutoka sweden kuwa mjumbe wake maalum atakayekuwa na jukumu la kukabiliana na vitendo vya ubakaji dhidi ya wanawake na watoto kwenye maeneo ya mizozo mizozo ya muda mrefu nchini somaliasudan na jamhuri ya kidemokrasi ya kongo ambako kunashuhudiwa ubakaji wa wanawake na watoto ni suala linalotarajiwa kuugubika mkutano huo unamalizika kesho jumannemapigano nchini somalia yamesababisha watu 21000 kuwawa tangu mwaka 2007 yalipoibukana watu wengine zaidi ya millioni moja wameitoroka nchi hiyo mwandishi saumu mwasimba/ rtre mhariri mohammed abdulrahaman kiungo http//pdwcom/p/lorh
2018-06-23T19:02:25
http://www.dw.com/sw/mapambano-makali-yazuka-mogadishu-watu-16-wameuwawa/a-5198805
mustakabali wetu 2012 posted by wilguy at 805 pm no comments links to this post posted by wilguy at 1025 am no comments links to this post kujipanga upya watu wasiokata tamaa watu wanaoamini kuteleza sio kuanguka watu wanaoamini kushindwa kufikia malengo kunatoa nafasi ya kujifikiria upya juu ya mwenendo wao marafiki mazingira nk ndio wanaofanikiwa katika mataifa makubwa kama marekani mataifa yenye fursa nyingi za kufanikiwa mataifa ambayo yamelegeza sera zao ili kumruhusu mtu afanye anachotaka takribani 95 ya watu huwa wamefilisika kimaisha wakifika mika 65 inashangaza kuna watu huishi maisha yao ya ujana katika dimbwi la umasikini wanakuja kupata mafanikio wakifika uzeeni kwa upande mwingine kuna watu wanaofurahia maisha yao ya ujana ili hali wakifika uzeeni huishi maisha duni kabisa kushindwa kufikia malengo ndani ya muda fulani haimaanishi mtu husika ana bahati mbaya si nadhifu hajasoma nk bali ni kwa sababu kuna mahali fulani na kwa namna fulani nuru yake imezimika kuzimika kwa nuru kunampa mtu udhaifu udhaifu huo unatumiwa na matapeli waganga wa jadi watu wanaojiita 'manabii' nk kumtapeli mtu kwanza kifikra na baadaye kipato kidogo alicho nacho nuru (dhamira) ya mafanikio imetunzwa kwa makini katika ubongo imetunzwa sehemu salama kwa bahati mbaya mtu husika kwa kushirikiana na wawezeshaji wengine huizima bila ya yeye kujua ikiwa kama nuru imejeruhiwa inapaswa kutibiwa haraka sana kabla ya ugonjwa wa kutothubutu kusonga mbele kumkumba mtu na kumsababishia 'kifo' kuna misemo ya waswahili kama mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe (japo kwa sasa mtaji wa masikini ni akili yake mwenyewe) ndondondo si chururu kimfaacho mtu chake heri shika kenda kuliko kumi nenda rudi nk misemo yote kama hiyo inalenga kutoa ujumbe kwamba nguvu na jitihada za mtu binafsi ndizo zinazomfanya asonge mbele hasa katika ulimwengu huu wa ushindani jitihada za mtu ndio nishati ya kweli inayoweza kumvusha mtu katika kipindi kigumu katika maisha haijalishi mtu ana elimu kiasi gani kama asipodhamiria kufanya kazi yote ni bure kabisa hivyo basi baada ya mtu kuyumbishwa anapaswa kujitafakari kujitafakari ni rahisi ikiwa mtu ataamua kutulia mahali tulivu huku akitafakari kwa kujiuliza maswali nilifanya nini kwa nini nilifanya hivyo kuna nafasi zipi sikizitumia je nitafanyaje ili nisonge mbele nk baada ya tafakari mtu husika atakuwa amepata msingi imara wa kuonga mbele huku akikwepa makosa aliyoyafanya au watu waliyoyafanya wenzake na ambayo yalichangia kumwangusha mtu asiangalie alipoangukia bali aangalie alipojikwalia mafanikio ni lazima mafanikio hawezi kujipanga baada ya au kuona dalili za kukwama au kukwama mafanikio ni lazima binadamu hakuumba kushindwa ni lazima mimi kufanikiwa posted by wilguy at 228 pm no comments links to this post mbinu za kuwinda ajira (3) 5 kupata ajira ya kudumu ni vigumu kupata au kuwa na uhakika wa kupata ajira ya kudumu hususani katika taasisi binafsi hata hivyo kuna watu wachache waliomudu kuwa na uhakika wa kufanya kazi katika kampuni au taasisi husika kwa muda mrefu hata kuwa mtu muhimu sana katika eneo la kazi ili kuwa na uhakika wa kufanya kazi kwa muda mrefu mtu husika anapaswa (a) kujiendeleza katika fani husika kujiendeleza kitaaluma ni muhimu sana kujiendeleza kunaweza kwa kuhudhuria semina kusoma vitabu kuhudhuria makongamano watanzania wengi hawapo tayari kulipia gharama zao binafsi ili kujiendeleza hawapo tayari kununua na kusoma vitabu kulipia na kuhudhuria makongamano au semina nk hivyo hujikuta wakidumaza fani zao na utendaji kazi wao (b) kujitolea kuna wakati mgumu katika maisha wakati ambao mtu analazimika kutafuta kazi huku hajui aazie wapi katika kipindi kama hicho mtu anapaswa kutafuta mahali atakapofanya kazi kwa muda kama mfanyakazi wa kuijtolea huku akipewa malipo kidogo kama nauli kujitolea kufanya kazi kutamfanya mtu apate 'mitandao' ya ajira kumwondolea msongo mawazo kuongeza maarifa nk kufanya hivyo kutamsaidia mtu kupata ajira ya kudumu kwa haraka (c) kuunda mitandao watu wengi hupata kazi kutoka kwa watu wanaofahamiana nao kupata ajira kunahitaji kufahamika zaidi ya kuwa na uweledi katika fani husika mtu anapaswa kuwa na kundi la marafiki katika nyanja tofauti tofauti za maisha na marafiki wenye madaraka na ushawishi tofauti ambao watamuuunganisha na nafasi za ajira wakati wiowote anapotaka ajira kutoka hatua moja kwenda nyingine kuna mlango mlango huo ni mtu na hufunguliwa na mtu (d) kukwepa mawazo hasi mawazo hujenga awazalo mjinga ndilo litakalomtokea ikiwa kama mtu atapokea na kuhifadhi mawazo hasi ajue anajidumaza mawazo chanya huongeza rutuba katika ukuaji wa mtu kwa bahati mbaya binadamu tumezungukwa na mawazo hasi takribani kila tuishipo adui mbaya ni yule anayedhamiria kwa makusudi kumvunja mtu nguvu/ hamasa mtu mwingine undugu huja bila uchaguzi ila marafii huchagulika ikiwa mtu ameambiwa na mtu mmoja 'hutofanikiwa' anahitaji watu kumi na sita kumwambia 'utafanikiwa' ili kumrudishia hari (e) kuheshimu kanuni na masharti kwa watu wenye kazi wanapaswa kufanya kazi wa mujibu wa kanuni miogozo na sheria za maeneo ya kazi kufanya kazi kwa misingi ya kanuni husaidia kupunguza migongano inayopelekea utendaji mbovu ni vigumu kufanya kzai kwa mujibu wa sheria lakini inawezekana kupunguza uwezekano wa migawanyiko na makundi yanayofanya utendaji wa mtu kushuka na hatimaye kuondolewa kazini posted by wilguy at 306 pm 1 comment links to this post mbinu za kuwinda ajira (2) 3 vyanzo vya maarifa ili kupata kazi mtu anapaswa kuwa tofauti na waombaji wengine wote ili kuwa tofauti pamoja na mambo mengine maarifa ni kitu muhimu kuna vyanzo vitatu vya maarifa 3 (a) elimu ya darasani hii ni elimu mtu aipatayo kutoka kwa wakufunzi rasmi katika mazingira ya shule elimu itolewayo katika mfumo rasmi wa elimu kwa mfano sekondari vyuo vya ufundi nk elimu hii ni ya kufuta ujinga kwani inao mchango kidogo sana katika kufanikiwa kwa mtu 3 (b) elimu ya mitaani hii ni elimu itoknayo na mwingiliano wa mtu na jamii anayoishi kwa mfano kuhudhuria makongamano kuwasikiliza watu waliofanikiwa kufanya majadiliano nk elimu hii humpa mtu maarifa sahihi ya kukusanya na kutumia rasilimali zinazomzunguka kwa ufasaha zaidi elimu hii ndio iliyowawezesha watu wengi kupata mafanikio 3 (c) elimu ya vitabuni elimu hii hutokana na kusoma vitabu vyenye mlengo chanya vitabu vinamwezesha mtu kupata mawazo na ushauri kutoka kwa watu maarufu na waliofanikiwa ambapo isingelikuwa watu hao waliweka mawazo yao katika vitabu ingekuwa vigumu sana hata kusalimiana nao kupitia vitabu mtu anapata kujua watu maarufu walifanikiwaje kufanya biashara kuajiriwa kuongoza nk hivyo na yeye achukue uamuzi gani kulingana na hali inayomsonga vyanzo vote ni bora ila elimu ya darasani na elimu ya mitaani ni vyanzo sahihi zaidi vya maarifa kwani ni vya urahisi na uhakika na vinaelezea hali halisi ya maisha 4 kufahamu mahitaji ya mwajiri kabla ya kwenda kuomba kazi kwenye taasisi au shirika (ikiwa kama kazi haikutangazwa) mtu anaweza kufanya uchunguzi juu ya ndoto mikakati na changamoto zinazoikumba taasisi husika kila mwajiri anatafuta 4 (a) mtu atakayeongeza thamani kwenye kampuni waajiri hutafuta mfanyakazi atakayeongeza ubora wa huduma au bidhaa huku akipunguza changamoto zinazoikabili kampuni waajiri wanataka watu waoweza kuiokoa kampuni isiangukie kwenye msukosuko wa kiuchumi linapokuja suala la kuomba kazi watanzania wanamatizo makuu matano nayo ¤ uwezo mdogo wa kuongea na kuandika lugha ya kiingereza kwani kiingereza ndio lugha inayowaunganisha watu wengi ¤ kutojiamini watanzania wengi hawawezi kutetea kile wanachokiamini kuwa ni sahihi hasa baada ya kupewa changamoto ¤ kutoa huduma mbaya kwa wateja kukosa kujua na kumudu mbinu za kuwahudumia wateja hufanya biashara nyingi kufilisika ¤ kushindwa kujiwasilisha watu wengi hawajui wavae nini watembeeje waongee nini na wapi nk hili ni tatizo kubwa hata kwa viongozi ¤ uwezo mdogo wa kutumia vifaa pamoja na sayansi na teknolojia takribani 3 ya watanzania ndio wanaoweza kutumia huduma za mtandao wa intaneti kama barua pepe nukushi facebook twitter youtube nk 4 (b) watu halisia waajiri hawataki ubora wa vyeti au watu wanaoweza kujieleza bila ya matendo bali watu wachapa kazi waajiri hawataki watu wenye mipango anuwai bali mipango inayotekelezeka posted by wilguy at 431 pm no comments links to this post mbinu za kuwinda ajira (1) changamoto ya ukosefu wa ajira ni kubwa si kwa tanzania tu bali hata kwa mataifa mengine takribani kila taifa kuna idadi kubwa ya watu wanaopunguzwa kazini kutokana na mabadiliko ya teknolojia au ili kumudu gharama za uendeshaji pia kuna wahitimu wengi kutoka vyuoni hatari kubwa ni kwa wahitimu kutoka vyuoni kwa kuwa waajiri mengi humtaka mwajiriwa mtarajiwa awe na uzoefu wa miaka kadhaa katika kazi anayotaka kuomba hivyo wahitimu wanapaswa kufanya kazi ya ziada kwani santuli (cv) zao hazina thamani zote zinafanana kutokana na kufanana kwa cv mhitimu anapaswa kuhakikisha anajiuza si kutegemea cv impatie kazi mtihitimu anaweza kuijuza kupitia (i) muonekano wake (ii) vionjo alivyo navyo (iii) hamasa na (iv) imani aliyo nayo juu ya kufanikiwa pia mtu anapaswa kuishi kadiri ya fani yake kama kuvaa mavazi ya heshima kuongea kwa ufasaha kutekeleza majukumu (kuacha uvivu) nk vitu hivyo ni bora zaidi ya elimu ya darasani 20 mikakati 21 kuwa na lengo soko la ajira ni ngumu pia linabadilika badilika kila wakati watu wanaohitaji kazi ni wengi kuliko nafasi zinazotolewa na soko la ajira hivyo mtu yeyote anayetafuta kazi lazima awe na lengo mahususi watu wengi hata wasomi wa vyuo vikuu hawana malengo wahitimu wengi huwa wamejiandaa kitaaluma tu hawajiandai ili kupata misingi ya kukabiliana na changamoto maishani hivyo kupata changamoto nyingi katika kujikwamua kimaisha katika mchakato mzima wa kazi kuna makundi matatu ya watu washindi washindi wasiojitambua na wasiojitambua i) washindi watu hawa hupata kazi wanayoitaka kipato wanachotaka na kufanya kazi katika mazingira wanayotaka watu hawa ni majasiri (hujiamini) hutumia rasilimali zao kwa makini wapo tayari kumfuata mtu mwenye madaraka (mf mkurugenzi) yeyote na kumweleza malengo na changamoto zao watu hawa nui wachache sana ii) washindi wasiojitambua watu hawa wana dhamira ya dhati ya kupata na kufanya kazi wanatumia jitihada zao wanajiamini kidogo (ni waoga) hutegemea kupata kazi zinazotangazwa magazetini nk huwa hawapati kazi kwa haraka kwa kuwa hawapo tayari kusimamia malengo yao pia hawaelekezi nguvu zao kwa makini iii) wasiojitambua watu hawa hawajui ya kwamba hawajui yawezekana wamesoma lakini hawajitambui elimu yao hijawakomboa huwa wanaishi bora mradi wakiamini kupata kazi ni bahati na bahati yao haijaifika ni waoga kupindukia humtegemea mungu kwa kila jambo hata kwa mambo yaliyo ndani ya uwezo wao kupata kazi kunataka kufahamika zaidi ya kuwa na uwezo wa darasani itaendelea posted by wilguy at 406 pm no comments links to this post mbinu za kukuza mahusiano baina ya watu mahusiano baina ya mtu na jamii yake ndiyo yanayomfanya mtu au afanikiwe au asifikiwe mahusiano baina ya mtu na mtu hutegemea uwezo wa mtu husika kushirikiana na jamii yake kushikiana kunakojengwa na kutegemeana na si kutegemea ili kuboresha mahusiano yafuatayo yanapaswa kuzingatiwa a) upendo ili mtu apendwe anapaswa kujipenda kwanza kujipenda huanza kwa muonekano wa ndani na kisha wa nje kujipenda na kuwapenda watu wengine huonekana machoni mwa watu kupitia mienendo mtu anayewapenda wenzake hujitahidi kutoa msaada wa hali au mali ili wenzake watimize malengo yao b) kukumbuka majina mtu anapowaja watu anaowasiliana nao kwa majina au kuwaeleza jinsi anavyojua kule watokako huwatia watu faraja kuwafanya wote wajione ni jamii moja pia huwafanya watu husika kujiona ni muhimu (wana thamiwa) miongoni mwa jamii c) kukubali juhudi za watu kukubali matunda (matokeo) ya kazi za watu wengine kwa kuzipa thamani au ubora unaotakiwa hudhihirisha harakati za watu na kuwafanya waongeze matumaini na juhudi d) kusikiliza kwa makini kusikiliza ni bora zaidi ya kuongea katika nyakati nyingi mtu hudhihirisha jinsi gani habari yake inavyoungwa mkono kwa kadiri anavyosikilizwa hivyo kukuza hekima na uelewa wa msikilizaji baada ya kusiliza mtu anapaswa kujibu kadiri ya busara na dhamira yake e) kuruhusu hisia za watu kuruhusu hisia mtizamo au mada kutoka kwa mtu/watu zijadiliwe humfanya mtu/watu kuzungumza kwa uhuru juu ya kufanikiwa na changamoto zao hivyo kumfanya mtu/ watu kufurahia uhusiano wao na jamii yao f) kutia moyo kuwatia moyo watu ambao hawakufanikiwa kiasi cha kuridhisha hutoa ahueni kwa mhanga yafaa kuwatendea watu kadiri ya mtu anavyotaka atendewe na wenzake kuwatakia watu heri husaidia kuepuka mawazo au kauli za kuwarudisha nyuma posted by wilguy at 124 pm no comments links to this post kufanikisha makuzi ya watoto kwa mzazi mmoja katika nyakati hizi familia zilizochini ya uangalizi wa mzazi mmoja hususani mama zimeongezeka sana hata kufikia idadi sawa au zaidi ya familia zenye baba na mama katika jamii nyingi kuna sababu nyingi zinazopelekea hali hii kama kifo utelekezwaji wa familia kuhamishwa kikazi masomo hususani elimu ya juu nk changamoto zinazoambatana na malezi ya mzazi mmoja ni nyingi ikiwamo ufinyu wa kipato kukosa ushirikiano kutoka kwa mzazi wa kufikia upweke unaopelekea msongo mawazo nk kukabili jukumu jukumu gumu katika malezi ni kelea mtoto/ watoto wachanga watoto wadogo wanahitaji uangalizi wa karibu hata hivyo jukumu hilo kubwa la malezi linaweza kupunguzwa kwa a) kutafuta msaada kutafuta msaada ni muhimu sana hata kama mzazi husika anahisi ataweza kulea akiwa peke yake ni vigumu sana kulea mtoto bila msaada msaada unaweza kuombwa kutoka kwa ndugu jirani rafiki au mashirika yanayohusika na kulea watoto ikiwa kipato cha mzazi kinaruhusu mzazi anaweza kumwajiri yaya b) kuweka mipango mzazi anapaswa kupanga ratiba na kuhakikisha anaitekeleza watoto huwa na amani ikiwa wanajua saa ambayo baba/ mama atakayorudi pia ikiwa wanaona juhudi za mzazi katika kuwalea c) kujibu maswali ya watoto watoto huuliza maswali magumu sana kwa kuwa watoto hupenda kudadisi juu ya yale wanayoyasikia watoto huuliza maswali juu ya baba/ mama ambaye hayupo mzazi husika hapaswi hata kidogo kupuuza maswali kutoka kwa watoto bali atoe majibu sahihi na yenye ufafanuzi katika hali ya upole na unyenyekevu d) kuzingatia maadili mzazi anapaswa kuweka sheria na kanuni chache na zinazotekelezeka hii itawasaidia watoto kujiwekea mipaka maishani watoto wafundishwe kufanya kazi kwa ushirikiano tangu wakiwa wadogo mzazi awe na kiasi katika kutoa kazi na adhabu pia mzazi awaambie wasaidizi wake juu ya matarajio yake kwa watoto wake e) kuweka vipaumbele ufinyu wa bajeti ni kikwazo kikubwa kwa familia ya mzazi mmoja mzazi anapaswa kuweka bajeti kadiri ya kipato chake ili kuepuka mzigo wa madeni mzazi anapaswa kuepuka anasa pia mzazi awaambie watoto sababu za mapendekezo yao kutotekelezeka f) kukaa na watoto watoto huwa na furaha na amani ikiwa watakuwa na mahusiano mazuri na ya karibu baina yao na mzazi wao mzazi ahakikishe anapata muda kwa ajili ya kuongea kusoma kutembea kuimba nk na watoto mzazi asiruhusu watoto kuangalia tv kwa muda mwigi hususani vipindi visivyo na umuhimu kwa watoto kufanya hivyo huimarisha familia g) kujijali mzazi ahakikishe anajali afya yake kazi yake jamii yake nk kufanya hivyo kutasaidia kukuza ustawi wa roho na mwili mzazi atenge muda wa kupumzika na kuwasiliana na wadau wanaomsaidia katika malezi mzazi husika anapaswa kuchunga afya yake kwani kama ikiwa ataugua hali ya familia itakuwa matatani posted by wilguy at 753 pm no comments links to this post misingi ya thamani ya mtu kila anachofanya mtu maishani au kuongea kinaakisi jinsi mtu anavyohisi kile anachotamani kile anachoamini ni stahili yake na jinsi gani anajali thamani yake popote pale alipo kupata bahati kuungwa mkono kupata changamoto nk ni matokeo ya jumbe zinazotolewa na mtu husika thamani ya mtu inajengwa na mtu mwenyewe pale awapo iwe kazini kitaaluma nk ili kukuza na kuimarisha thamani ya mtu yafuatayo ni muhimu 1 kujiheshimu mtu anapaswa kujiheshimu (kuwa na adabu) kujiheshimu kunahusisha akili mwili na nafsi kujiheshimu hujidhihirisha jinsi mtu anavyovaa anavyotembea anavyowasiliana anavyopanga mambo ya siku kwa siku nk 2 kujisafisha mtu anapaswa kuwa na nafsi inayobubujika kama chemchemu nafsi ya mtu inapaswa kububujika upendo upendo utakaomweka mtu mbali na chuki kisasi nk upendo ndio unamfanya mtu aombe msamaha kwa dhati na kujutia mabaya aliyowafanyia wenzake 3 kujipenda kiungo muhimu katika ustawi wa mtu ni kujipenda watu wanaojipenda huwa na fikra na nyoyo nyepesi huwaza chanya na kuvuta bahati kujipenda na kutambua thamani yake humfanya mtu kufikiri madhara ya matendo yake na kuchukukua hatua stahiki kujitambua ndiko kunakomfanya mtu kuwaza madhara ya vipodozi kukuza viungo ulevi wa kupindukia kuchukua tahadhari dhidi ya magonjwa nk 4 kuchuja mawazo mtu hujengwa na mawazo mtu huishi kadiri awazavyo kitu kinachowatofautisha watu ni jinsi wanavyochuja na kufanyia kazi mawazo wanayoyapata kupitia milango ya fahamu mtu hutenda mabaya ikiwa aliruhusu na kuhifadhi mawzo mabaya vivyo hivyo mtu hutenda mema ikiwa aliruhusu kuhifadhi na kuchambua mawazo kwa mtizamo chanya 5 kuwasoma watu njia bora ya kupata mafanikio ni kusoma kutoka kwa watu kusoma jinsi watu walivyofanikisha mafanikio na thamani yao jinsi walivyozishinda changamoto mtu anapaswa kuwatafuta na kuwa karibu na watu wanaojiamini kuwasikiliza (kusoma maandiko yao) na kufuatilia jinsi wanavyotenda 6 kuchagua vishawishi ni muhumu sana kwa mtu kuwa makini na kile kinachomfanya achukue aina fulani ya maamuzi mtu anapaswa kuruhusu vishawishi vinavyompelekea kufanya maamuzi yanayojenga na si kubomoa vishawishi vinaweza kuwa kauli za watu mienendo ya watu nk vishawishi vinapaswa kusaidia kuondoa au kupunguza changamoto za kimaisha kwa mtu au jamii husika 7 kuepuka mizani mtu anapaswa kuwa makini sana pale anapooanisha mafanikio yake na ya mtu mwingine ni bora kujipima kupitia malengo japo jamii haiwezi kufanya hivyo mara nyingi watu wanaolinganisha mafanikio yao na yale ya wengine huishia kukwazika na kujishusha thamani yao mafanikio ya mtu si mizani sahihi kwa kuwa mtu (mizani) husika anaweza kupata mafanikio haraka kupitia misaada bahati kupata changamoto nyepesi nk posted by wilguy at 439 pm no comments links to this post je pesa ni kila kitu je ili kupata takribani kila kitu mtu anachotaka ianampasa mtu kuwa na pesa jibu ni ndio na hiyo ndio sababu inayowafanya watu watafute pesa kila wakati iwe usiku au mchana watu wamepewa majina mengi kama mafisadi wezi wa kalamu matapeli nk kutokana na harakati zao za kusaka pesa huku pesa ikipewa majina kama mkwanja mapene mawe noti kutafuta na kumiliki pesa nyingi ndi o lengo la watu wengi hii haibadili ukweli kwamba watu hawapati pesa za kutosha kukidhi mahitaji yao hata ya kila siku ikiwa pesa hazitoshi je ni lazima kutafuta pesa ukiwaza kwa kina utagundua kwamba hakuna binadamu anayetaka pesa watu wanataka bidhaa au huduma na wala si pesa hivyo watu wanatafuta pesa ili kununua bidhaa au huduma kwa ajili ya kukidhi mahitaji ili kukidhi mahitaji yasiyokwisha kuelekeza mawazo na jitihada nyingi katika kutafuta pesa kumewafanya watu wasitafute njia mbadala za kukidhi mahitaji yao watu wanaamini pesa ndio kila kitu hata wanasahau sababu za kutafuta pesa kuna baadhi ya watu wanatafuta pesa ili kuwa na 'usalama' na furaha vitu ambavyo haviitaji pesa kutaka pesa nyingi kumewafanya watu kuwa watumwa wa pesa kumewafanya watu wachague au waache fani zao za awali na kukimbilia kwenye fani zenye uhakika wa pesa nyingi ili kununua furaha bila ya kujali hatari (athari) zinazohusiana na fani husika takribani watu wote maarufu na waliofanikiwa walielekeza nguvu zao kulinganana na vionjo (hobby) vyao na wala si kufuta wingi wa fedha waliboresha vipaji vyao na vipaji vyao viakawaletea pesa heshima furaha na usalama ikiwa mtu anataka kupata mafanikio maishani anapaswa kujiuliza je ninahitaji nini hasa ili kujibu swali hilo mtu anapaswa kuandika vitu vyote anavyotaka kufanya au kuwa navyo bila ya kujali gharama wakati huo mtu husika akiwa mkweli dhidi ya nafsi yake juu ya uhitaji wa bidhaa au huduma husika kisha mtu apitie tena orodha yake kwa kina huku akikadiria gharama kwa kufanya hivyo kutamfanya mtu kutosema 'nahitaji maisha bora' bali atakuwa na malengo mahususi kama nahitaji gari aina nahitaji nyumba iliyo na nahitaji elimu ya nk mtu atakuwa na malego ambayo kama akielekeza nguvu ipasavyo atakuwa na 'maisha bora' kuwa malengo mahususi kunamfanya mtu kujua kiasi gani cha pesa anachohitaji pia kujua mbinu mbadala anazohitaji ili kutimiza lengo husika mbinu mbadala kwa kila jambo ni muhimu sana kwani kuna baadhi ya mambo hayahitaji pesa bali ufahamu ushauri ambao unaletwa na mahusiano mazuri baina ya mtu na jamii yake posted by wilguy at 933 am no comments links to this post kuushinda woga uliopindukia woga wa kupindukia (kupitiliza) ni hali ya mtu kuogopa na kujitenga na watu muda wote watu wenye woga wa kupindukia hukwepa kujihusisha na wageni nk woga wa kupitiliza huwakosesha watu faida na nafasi za kujifunza kutoka kwa jamii yao woga wa kupitiliza hujidhihirisha katika katika mazingira yafuatayo ¤ kukwepa mikutano watu hawa hukwepa kadiri iwezekanavyo ili wasihudhurie mihadhara au sherehe za pamoja ¤ upweke woga wa kupitiliza humfanya mtu atumie muda mwingi akiwa pekee (faragha) au kutoka jasho kutetemeka nk anapotakiwa kuzungumza hadharani ¤ kutowasiliana hadharani woga wa kupindukia hupelekea mtu kupata kigugumizi kutetemeka nk wakati wa kuongea hali huwa mbaya pale mtu anapotakiwa kufafanua kwa umma jambo linalohusu utendaji kazi wa ofisi au kada yake suluhu dhidi ya woga uliopitiliza woga wa kupindukia unahusishwa sana na sababu za kibaiolojia (kurithi) suluhu ipo ikiwa mtu ataamua kwa dhati zifuatazo ni baadhi ya mbinu zitumikazo 1 kutambua kiini mwathirika anapaswa kutambua mazingira au hali inayopelekea woga kama chanzo cha woga ni kudai haki mtu husika anaweza kutafakari madhara aliyopata yeye au jamii yake kwa yeye kukaa kimya 2 kuweka mkakati baada ya kugundua kiini cha tatizo mtu anapaswa kuweka mpango mkakati ili kuondoa tatizo mpango mkakati unaweza kuhusisha kubadili tabia marafiki maeneo ya kupumzika (vijiwe) nk kwa mfano kama mtu anaogopa kujihusisha na jinsia tofauti anaposwa kujihusisha na marafiki ndugu nk wenye ujasiri wa kuhoji bila kujali jinsia pinzani 3 kujipa changamoto japokuwa ni ngumu kwa siku za awali ili kupata mafanikio ya haraka mtu anapaswa kujipa changamoto (mazoezi) kwa kufanya kazi inayomfanya mtu ahusiane mara kwa mara na watu wa aina mbalimbali mtu anaweza kujitolea kwenye taasisi au shirika fulani kwa muda fulani pia mtu anaweza kuongea bila ya kufikiri bila ya kufikiri mtu mwinine atajibu vipi mazoea humfanya mtu aondoe hofu jipime jibu n kama jibu ni ndio na h kama jibu ni hapana kwa maswali yafuatayo 1 je upo tayari kuzungumzia jambo linalokufurahisha katika kundi la marafiki zako 2 je unaweza kuanzisha mawaliano na mtu usiyemjua 3 je huwa unatetemeka kutoka jasho au kupata mapigo ya moyo unapotakiwa kuongea hadharani 4 je mtu akitaja jina lako kwa sauti huwa unashtuka 5 je huwa huna raha ukiwa karibu na mtu wa jinsia tofauti ambaye hujamzoea 6 je unaweza kurudisha mali yenye kasoro baada ya kununua 7 je huwa unashindwa kutetea hoja yako pale inapopata upinzani 8 je mtu akikupita kwenye mstari wa huduma unaweza kumwambia alivyofanya si halali 9 je huwa unalaumu pale mtu anapokuita (anapokupigia simu) wakati usio sahihi kama usiku wa manane 10 je unaweza kudai salio (chenchi) pale muuzaji anapokupunguzia 11 je unaweza kukopa fedha ili kukamilisha manunuzi 12 je unaweza kukataa bidhaa pale mhudumu anapokuletea bidhaa ambayo hujaagiza 13 je huwa unajitenga katika mikusanyiko ili kukwepa malumbano 14 je kama mtu anavuta sigara hadharani na moshi wa sigara unakukwaza unaweza kumwambia 15 kama mchuuzi (mmachinga) akikuletea bidhaa nyumbani eneo la kazi nk huwa unanunua hata kama bidhaa husika haina umuhimu ¤ kama majibu ya n ni kati ya 1 mpaka 5 hamna tatizo la woga ¤ kama majibu ya n ni kati ya 5 mpaka 10 kiwango cha woga ni wastani japo ni muhimu kuchukua tahadhari ¤ kama majibu ya n ni zaidi ya 10 kiwango cha woga ni cha hali ya juu mikakati madhubuti na ushauri utekelezwe haraka iwezekanavyo ili kupunguza madhara posted by wilguy at 314 pm no comments links to this post kushinda hisia za kutokukubalika kukataliwa ni hisia kali zinazomkabili mtu na kumfanya aamini hakubaliki miongoni mwa wengine hali hii inaweza kumkabili mtu kwa sababu za kijamii (tofauti ya rangi) migogoro ya kifamilia (hususani ya mahusiano) tofauti za kimtazamo tofautu za kimadaraja (aliye nacho na asiye nacho) nk hisia za kukataliwa bila ya kujali kisababishi hupelekea madhara makubwa kwa mtu husika kama ¤ hupelekea ugomvi wa nafsi ¤ kuvunja mahusiano baina ya mtu na jamii yake ¤ kupunguza ufanisi kwa kushindwa kuelekeza nguvu kwenye kazi ¤ kushuka kwa kinga ya mwili hivyo kupelekea maradhi ya mara kwa mara jinsi ya kuepuka kukataliwa 1 kuzuia mawazo ya kukataliwa mtu anapaswa kukuza hisia (mawazo) chanya dhidi ya wengine hususani wapinzani wake mikakati itumikayo ni kama kutathmini sababu za kutokukubalika kutathmini uhalisia wa mambo yanayoleta tofauti kuamini kuna suluhu ya kudumu nk mikakati hatarishi ni kama kukataa kuwasiliana na mpinzani kuamini 'mimi' ni sahihi kuamini kwamba mtu husika hana bahati ya kukubaliwa kukumbuka mabaya mtu aliyofanyiwa nk 2 kuepuka mazingira ya upweke ikiwa baada ya ugomvi mtu ataamua kukaa mazingira tulivu kwa muda mrefu hupelekea chuki na kutaka kulipiza kisasi ili kuepuka upweke mtu anapaswa kujihusisha na makundi ya watu (marafiki) ambao watatoa ushauri juu ya upatanisho 3 kujipa majukumu mtu anapaswa kupanga majukumu ya siku kana kwamba siku nzima (na siku zote) inakuwa na majukumu majukumu yahusishe mawasiliano ya mara kwa mara baina ya mtu husika na wengine kuwa na muda siokuwa na matumizi huruhusu mtu kukumbuka maovu mtu aliyofanyiwa hapo awali 4 kusamehe na kusahau mtu anapaswa kujitahidi kadiri ya nguvu zake zote kusamehe na kusahau maovu aliyofanyiwa na jamaa zake ikiwa kama mtu anataka kuishi kwa amani na upendo kisha kukuza uhusiano anapaswa kusamehe kwa moyo wake wote makosa yote aliyowahi kufanyiwa 5 kutaka suluhu baadhi ya watu husubiri upande wa upinzani uchukue hatua za kuleta suluhu hali huwa mbaya sana ikiwa kama kila upande utakaa kimya na kusubiri upande wa pili utake kurekebisha tofauti mtu anapaswa kujiuliza je kukaa kimya huleta suluhu na je nitakaa kimya mpaka lini huku nikisubiri suluhu ije 6 kumsaidia mpinzani ikiwa kama mtu ataamua kuchukua hatua na kubebe 'mzigo' unaomkabili mpinzani wake atakuwa ameonyesha ubinadamu wa hali ya juu sana hivyo mpinzani ataona hakuna haja ya kuendekeza vita kwani kana asingeekuwa mpinzani wake kutoa msaada wa hali au mali basi angeweza kuangamia 7 kumwomba mungu ikiwa mtu anapata ugumu wa kusamehe na kusahau kuanzisha mazungumzo ya upatanisho nk anapaswa kumwomba mungu kulingana na imani yake kumwomba mungu husaidia kupata ujasiri utaovunja mizizi ya shetani kwani shetani hapendi amani miongoni mwa watu walio sura na mfano wa mungu posted by wilguy at 956 pm no comments links to this post jinsi ya kubana matumizi ubora wa matangazo tabia ya mtu na kuwepo kwa bidhaa ndizo sababu zinazopelekea kuwepo kwa 'ulafi' nyakati hizi hususani maeneo ya mijini je kuwepo kwa bidhaa na huduma kwa wingi hupelekea furaha jibu ni hapana chunguzi zilizofanywa miongoni mwa vijana waishio miji mingi duniani ikilinganishwa na wazee wao ambao hawakua na uwezo wa kumudu matumizi zinaonyesha kwamba vijana wanayo furaha ndogo je jamii itapata faida gani ikiwa itapunguza matumizi 1 uhifadhi wa rasilimali rasilimali asilia zitatunzwa kwa kizazi kijacho ikiwa kutakuwa na matumizi endelevu ya huduma na bidhaa zitokanazo 2 mazingira safi uchafu utapunguzwa ikiwa kama kila mtu atatumia bidhaa na huduma kwa uangalifu 3 kukwepa mzigo wa madeni haitakuwa lazima kuchukua mkopo kila mara ili kugharamia matumizi ya kawaida hivyo kupunguza utegemezi wa kifedha 4 kurahisisha maisha matumizi sahihi humfanya mtu ayaone maisha ni rahisi hivyo kupunguza dhana ya maisha ni magumu katika fikra mikakati ya kupunguza matumizi 1 kuweka vipaumbele mtu anapaswa kuweka vipaumbele kulingana na matumizi ya fani masomo burudani nk si kuyumbishwa na makundi vipaumbele viwekwe kwenye orodha kulingana na umuhimu wake 2 kuchambua matumizi mtu anapaswa kufanya uchambuzi wa kina juu ya mahitaji ya wakati husika uchambuzi unaweza kufanywa kwa kujiuliza maswali kama je ni lazima kununua bidhaa husika je hakuna mbadala wa bidhaa husika je kama nisingekuwa na fedha nk 3 kuwafikiria wengine ni bora kununua bidhaa na huduma ambazo si tu zitamsaidia mnunuaji bali pia jamii ya wahitaji inayomzunguka kama yatima wajane wazee fukara nk wanaomzunguka 4 kuepuka majina ya makampuni yapasa kufanya uchambuzi kuhusu ubora na gharama na si kununua bidhaa kwa kuwa imetengenezwa na kampuni fulani baadhi ya makampuni makubwa hutengeneza bidhaa hata zilizo chini ya kiwango lakini hupata manunuzi makubwa kwa kuwa hufanikiwa kutangaza kutoa punguzo la bei nk 5 kuahirisha matumizi ni bora kusitisha ununuzi wa bidhaa au huduma isiyo na ulazima kwa siku wiki au miezi kadhaa kusitisha manunuzi husaidia kufanya tafiti juu ya soko pia husaidia kupunguza hamasa au ushabiki katika matumizi 6 kupunguza matumizi ya kadi mageuzi ya teknolojia yamewezesha watu kuwa karibu zaidi na fedha zinazohifadhiwa benki pia teknolojia imewezesha kufanya manunuzi kwa kutumia kadi za atm pia inashauriwa kupunguza kiwango cha fedha za tahadhari mtu anazokuwa nazo popote aendapo 7 kuwalinda watoto watoto ni sehemu kubwa sana ya jamii hivyo wanapaswa kusaidiwa kupunguza matumizi kwa (a) kupunguza matumizi ya tv matangazo yanayoonekana kwenye tv huteka hisia za watoto hivyo kuwafanya wanunue bidhaa hata bila ya wazazi/ walezi wao kujua (b) kueleza ubaya wa matangazo watoto waelezwe ubaya wa kununua bidhaa kutokana na ushawishi wa matangazo matumizi bila akiba fedha zitatukimbia posted by wilguy at 1001 pm no comments links to this post kutunza mgonjwa ni ukweli usiopingika ya kwamba mgonjwa huwa na nafasi kubwa ya kupona au kupata nafuu haraka iwapo apata ushiriano wa kutosha kutoka kwa jamii inayomzunguka pindi mtu anapofanyiwa uchunguzi wa kitabibu na kugundulika kwamba anatatizo taratibu za matibabu hufuata ikiwa mgonjwa atakosa ushirikiano kutoka kwa jamaa rafiki ndugu nk zake hukumbwa na hofu woga mtizamo hasi nk hivyo hupungua kinga ya mwili na hatimaye kupunguza uwezekano wa kupona kwa haraka ikiwa mtu atathibitika ni mgonjwa jamii inayomzunguka (muuguzaji) inapaswa kufanya yafuatayo ili kufanikisha uponyaji 1 kumsikiliza mgonjwa si wagonjwa wote hupenda kuongea ikiwa yupo anapaswa kusikilizwa kwa makini na upendo ikiwa mgonjwa hapendi kuongea yapaswa ajengewe mazingira ya upole na utulivu wa akili ili aongee kwa uwazi 2 kuongea juu ya ugonjwa wakati muafaka ukifika mazungumzo juu ya ugonjwa yanapaswa kufanyika mazungungumzo yanaweza kuhusu ukubwa wa ugonjwa katika jamii husika dalili na matibabu mgonjwa anahitaji taarifa sahihi juu ya ugonjwa ili kujiandaa kiakili juu ya hatua zinazofuata pindi mgonjwa anapoomba maoni kutoka kwa mlezi muuguzaji atumie busara ili kutomkwaza mgonjwa 3 kutodharau ni kawaida kwa wagonjwa kulalamika hata wengine kumlaumu daktari au mungu katika hali hii mgonjwa asijibu au kutoa ishara za dharau au kebehi muuguzaji ajitahidi kujua sababu za majibu au hisia za mgonjwa huku akimfariji 4 kumsaidia mgonjwa kazi iwapo mgonjwa anapenda kusoma kuandika kuangalia tv nk asaidiwe ili atimize azma yake haraka iwezekanavyo yote kwa yote mgonjwa anapaswa kusaidiwa majukumu ya siku kwa siku kama vile kufua nguo kunyoosha nguo nk ili kufanikisha usafi na kumwondolea mawazo 5 kuwezesha mawasilaino muuguzaji anapaswa kumuunganisha mgonjwa na rafiki au ndugu zake ili kufanikisha mawasiliano muuguzaji anapaswa kutoa taarifa juu ya hali ya mgonjwa kwa watu wa karibu kutoa taarifa kunarahisisha mawasiliano pia huwezesha upatikanaji wa misaada kwa haraka 6 kusimamia utekelezwaji wa magizo muuguzaji anapaswa kupokea na kusimamia kwa makini maagizo kutoka kwa nesi au daktari muuguzaji anapaswa kusimamia maagizo juu ya utumiaji wa dawa ufanyaji wa mazoezi (kutembea) huduma ya kwanza nk ili kurahisisha utekelezwaji wa maagizo muuguzaji anapaswa kutunza maagizo yote anayoambiwa na daktari au nesi ikibidi kuwe na mawasiliano (simu) baina ya muuguzaji na muuguzi pia ni vizuri kumuomba mungu kwa pamoja (mgonjwa na muuguzaji) kwani tafiti zimethibitisha kwamba wagonjwa hupata faraja na kupata nafuu/ kupona haraka pale sala zinapofanyika sala za kuwaombea wapone haraka neno muuguzaji linawakilisha mtu au watu wanaomhudumia mgonjwa siku kwa siku (iwe nyumbani au hosptali) na wala si nesi posted by wilguy at 346 pm no comments links to this post jinsi ya kuepuka madhara ya tabia hatarishi kuna watu wengi waliyomo hatarini kutokana na mienendo yao mibaya watu wengi hususani vijana wamo hatarini kutokana na kunywa pombe kupita kiasi kuvuta sigara kufanya ngono kiholele kutumia madawa ya kulevya nk watu hawa wanafahamu wanayoyafanya ni hatari kwao na kwa jamii yao ni hatari kwao kwa kuwa huhatarisha afya zao huvuruga uhusiano wao na jamii hupelekeea kifo (mfano whitney houston) nk mienendo mibaya ni mzigo kwa jamii kwa kuwa jamii inabeba jukumu la kulea wahanga hupunguza nguvu kazi hupelekea uvunjifu wa amani nk baadhi ya waathirika wa mienendo hasi hujaribu kujinasua wachache kati yao hufanikiwa ila wengi kushindwa kwa kuwa au wao au jamii yao imeshindwa kutoa msaada fasaha ikiwa mtu anataka kuondokana na tabia chafu anapaswa kufanya yafuatayo 1 kudhamiria kuacha kama lengo kuu pamoja na kuwa na rundo la malengo ili kufikia maisha bora mwathirika anapaswa kuamua kuacha tabia chafu kama lengo namba moja mtu anapaswa kupanga kwa maandishi siku na saa ya mwisho kufanya jambo hatarishi ili kutorudia tena mtu apange atakachofanya ili kufuta mawazo mabaya inafaa kuacha kidogokidogo (hatua kwa hatua) kusitisha utumiaji wa madawa ya kulevya ghafla kunaweza kusababisha kifo mtu anaweza kusoma machapisho juu ya madhara kushiriki michezo kujiunga katika vikundi vya watu wema kuwa karibu na watu sahihi kuomba ushauri kutoka kwa viongozi wa dini nk malengo yatizame waliofanikiwa kuliko walioshindwa 2 kuwazia mafanikio mtu anapaswa kujenga picha ya maisha 'safi' kuwaza jinsi atakavyopata ujasiri jinsi atakavyowekeza nguvu na rasilimali anazotumia kulipia huduma hatarishi jinsi mtu husika atakavyokubalika na kuaminika katika jamii atakavyofaidi utajiri wa jamii yake nk 3 kutafuta njia rahisi na sahihi inafaa kutafuta mbadala wa maisha na ambao ni salama hii ikihusisha jinsi ya kuishi na kupata msaada kutoka kwa ndugu jamaa marafiki nk ambao hawana imani na mwathirika mara nyingi inabidi mtu abadili marafiki maeneo aliyozoea kukaa (vijiwe) kukataa kusikiliza baadhi ya miziki mtu kamwe asibadili tabia moja dhidi ya nyingine mfano kunywa pombe kupindukia isiwe mbadala wa kufanya ngono 4 kukataa mitizamo hasi ili kufanikiwa mtu anapaswa kukataa mitizamo hasi na misemo kama kuacha haiwezekani huu ni ulevi wa kawida kila mtu ana ulevi wake nk mitizamo hiyo hasi hufutika kwa kujiambia mara kwa mara naanza leo na nitapata mafanikio haraka nitajitahidi kutunza afya yangu mbona naniiameweza hakuna lisilowezekana nk 5 kujizawadia waswahili wanasema raha jipe mwenyewe babu/ bibi hivyo ikiwa malengo yamefikiwa kwa kiasi fulani mtu anapaswa kujipongeza zawadi inaweza kugharamiwa kwa fedha zilizokuwa zikitumiwa kulipia huduma angamizi mtu anaweza kujipongeza kwa kununua thamani kutalii kufanya sherehe na rafiki zake kusaidia wasiojiweza kusaidia waathirika wenzake nk kujizawadia huleta uhalisia wa mfanikio ya siku za mbele 6 kutafuta msaada watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri husema tabia ni kama ngozi (haibadiiki) kafiri haachi asili nk watu wanaotaka na kusababisha mabadiliko husema tabia hubadilika kulingana na mazingira utayari wa kuacha na msaada kutoka kwa jamii ili kupata mafanikio ya haraka mtu anapaswa kuomba ushauri kutoka kwa waliofanikiwa kuacha wataalamu wa ushauri nasaha viongozi wa dini kujiunga na vikundi vya wanaharakati kuonyesha kwa vitendo dhamira ya kutaka kuacha pamoja na kumshirikisha mungu 7 kuweka rekodi ya mafanikio mtu anapaswa kuweka rekodi kutokana na mafanikio aliyoyapata kutokana na malengo kabla ya kulala na kuamka mtu asome mafanikio ya siku za nyuma huku akiweka mikakati juu ya kukabiliana na changamoto za siku kwa siku mikakati hiyo iwe ya kawaida na inayotekelezeka kulingana na mazingiza na uwezo wa mtu husika 8 kumiliki mihemko watu hupata changamoto kuu siku chache baada ya kuacha iliyokuwa burudani yao wengi wao hupata homa kuarisha kutapika kusikia kizunguzungu kukosa usingizi nk kwa kuwa wameacha kutumia madawa ya kulevya au pombe kali au sigara bahati nzuri ni kwamba mtu hawezi kufa hususani kama atakula mlo kamili (hususani mboga mboga na matunda) pamoja na maji ya kutosha pia mawasiliano ya mara kwa mara kati ya mwathirika na mlezi wake ni muhimu sana inapendekezwa mlezi awe ni mtumiaji aliyefanikiwa kuacha mchango wa jamii ni muhimu sana katika kuokoa watu waliomo hatarini wengi wao hutaka kuacha lakini jamii haitaki jamii haitaki kwa kuendelea kuwabagua na kutowapa ushirikiano posted by wilguy at 420 pm no comments links to this post hofu katika maisha hofu au ujasiri ni sehemu ya maisha ya mtu yeyote yule kiwango cha hofu au ujasiri hutofautiana kulingana na hisia za mtu hisia alizo nazo mtu hutegemea mawazo yake pamoja na mfumo wa kibailojia (homoni) hisia hasi za mtu hujengeka kwenye misingi ya woga ujinga kutojiamini nk kwa upande mwingine hisia chanya hujengeka kwenye misingi ya ufahamu imani kujiamini ujasiri nk hofu aliyo nayo mtu yeyote huwa ni mchanganyiko au sehemu mawazo juu ya vitu sita ambavyo ni kufilisika kulaumiwa ugonjwa kuachwa na mpenzi uzee na kupoteza maisha mawazo juu vitu hivyo pamoja na suluhu zake ni kama ifuatavyo 1 hofu ya kufilisika mtu anaweza kupata hofu ya kupoteza mali alizochuma (hata kupoteza kazi) hofu hii huwakumba sana watu 'wanaoabudu' mali au hela watu hawa hutumia muda wao mwingi kutafuta mali ili kujiimarisha watu hawa hutegemea wingi wa mali zao ili kupata amani maishani watu hupata hofu ya kufilisika mara baada ya kuona au kupewa mifano halisi ya watu waliokuwa na mali nyingi na sasa wamefilisika (wamefulia ile mbaya) hofu ya kupoteza mali inaweza kuepukwa kwa mtu kukataa kuwa mtumwa wa mali za dunia hii mtu anapaswa kuhakikisha anatumia mali na si mali zimtumie yeye kila mtu anapaswa kufahamu kwamba mali zake zinaweza kutoweka kama itatokea awe tayari kuikubali hali hiyo ili aweze kuishinda pia ni vizuri kuwa na mahusiano mazuri na ndugu jamaa na jamii inayomzunguka mtu 2 hofu ya kulaumiwa takribani watu wote hufanya au kuhakikisha utekelezaji mambo ili wapate sifa kutoka kwa jamii au kundi fulani la watu hivyo hawajiandai kwa ajili ya kudharauliwa kutusiwa nk kutokana na maamuzi au yao au ya kundi kuogopa lawama kunawafanya watu waogope nafasi za uongozi kutoa mawazo yao au kukosoa mambo yasiyo sahihi pale wanapotakiwa kufanya hivyo kuogopa lawama kunaweza kuepukwa kwa kusikiliza na 'kutataa' yale mtu anayoambiwa juu ya ugumu wa jambo fulani mtu anapaswa kuamini mawazo aliyopewa na watu sahihi na anayotekeleza kulingana na hali yatampa tuzo pia mtu afahamu watu wanaomkosoa wana lengo gani elimu au uzoefu gani juu ya jambo husika kama wanalenga kujenga au kubomoa nk ikiwa watu wangeogopa lawana wasingefanya mambo ya maana kwao au kwa jamii zao lawama ni miongoni mwa mavuno na lawama hazikwepeki 3 hofu ya ugonjwa kuna nyakati fulani watu hupata hofu juu ya afya zao watu hupata hofu ya homa fulani kwa sababu ya kutokuwa na elimu juu ya ugonjwa kuona watu walioathirika na ugonjwa fulani kutofuata kanuni za afya wakati wa kufanya jambo fulani(mfano kushiriki ngono isiyo salama) nk mtu anaweza kupatwa na mafua akahisi ana kifua kikuu ukimwi hofu ya homa au ugonjwa fulani inaweza kuondolewa kwa kutafuta habari sahihi za ugonjwa husika kupata ushauri kupima kufuata kanuni bora za maisha kama mapenzi salama kunywa maji safi na salama kufanya mazoezi ya viungo kula mlo kamili nk 4 hofu ya kupoteza penzi mtu anaweza kupata hofu juu ya mwenendo wa kimapenzi wa mpenzi wake baada ya kuambiwa maasi ya kimapenzi yanaoyafanywa na marafiki wa mpenzi wake kusimuliwa mikasa ya kimapenzi kuhisi kama anasalitiwa na mpenzi wake nk hofu ya kupoteza penzi kumfanya mtu aamini mapenzi yananunuliwa au kuchukia jinsia nyingine ili kuepuka hofu ya kupigwa chini mtu anapaswa kuwa karibu na mpenzi wake ili apate kujua ukweli wa mambo kukumbuka mambo mazuri aliyoyafanya na mpenzi wake kuchuja anachoambiwa na marafiki zake kuhusu mpenzi wake nk mtu anapaswa kuamini penzi halipotei kwani penzi ni muendelezo usioisha wa hisia baina ya mtoaji na mpokeaji kuaminiana ni suluhu kuu ya hofu ya kupoteza penzi 5 hofu ya uzee watoto wadogo hupenda kukua na kuitwa watu wazima watu wazima hukataa utu uzima na ambao ni lazima kwa viumbe hai wote watu huogopa uzee kwa kuwa wanaihisi watapoteza mvuto watapitwa na 'wakati' kuzeeka kutawafanya kutofurahia maisha kupatwa magonjwa ya uzeeni nk kutokana na hofu ya kuzeeka baadhi ya watu hupenda kuvaa kuongea kutumia vipodozi vya ngozi na nywele ili waonekane ni vijana baadhi ya watu hupenda kujihusisha na makundi ya vijana na kuwaacha watu wa umri wao ili kuepuka hofu ya kuzeeka mtu anapswa kujua ya kwamba kuwa na umri mkubwa katika jamii ni hazina ni dalili ya kukua watu wazima huwa na busara na hekima kwa ajili ya kulea jamii (vijana) kwa kuwa mienendo yao bora na ya kuigwa uzee ni tunu kutoka kwa mungu 6 hofu ya kupoteza maisha baadhi ya watu hupata hofu ya kupoteza maisha baada ya kuona mwili au jeneza la marehemu kuona kaburi kuugua kwa muda mrefu kuwaza juu ya kufa watu wengine hupata hofu ya kufa baada ya kukata tamaa ya maisha kukosa kazi kukosa watu wa kuwalea kutengwa na jamii rafiki zao (hasa wa utotoni) kufariki kusikia magonjwa ya ajabu na yasiyo na tiba yakiua watu wengi nk hofu ya kupoteza maisha huwafanya baadhi ya watu kutotia bidii katika shughuli za uzalishaji mali kuuza mali walizochuma au kufuja mali zao hatimaye wao au jamii inayowategemea huingia kwenye dimbwi la umasikini wa kupindukia ili kuepuka hofu ya kufa mtu anapswa kujua kufa ni sifa ya viumbe hai vyote hata yesu musa na manabii maarufu walikufa pia mtu anapokufa hubaki akitukuzwa kwa yale mema aliyosema na kutenda kwa msimamo wake katika kuleta mabadiliko kwa familia au jamii yake mali alizochuma mtu wakati wa uhai wake zitawakilisha uwepo wake hapa duniani hofu zote ni hisia za akili ikiwa mtu ataziendekeza ataangamia posted by wilguy at 715 pm no comments links to this post hujuma afanyazo mtu dhidi ya nafsi yake maria robinson hakuna mtu yeyote anayeweza kurudisha muda nyuma au kufuta historia ili aanze upya ila mtu yeyote anaweza kuanza leo na kuandika ukurasa mpya wa mafanikio mtu yeyote anaweza kuanza mchakato wa kuboresha maisha yake wakati wowote ule kama tu akidhamiria kufanya hivyo kwa bahati mbaya watu huanza harakati za kupambana na maisha duni huku wakikumbatia hujuma dhidi ya nafsi zao hujuma hizo ni kama zifuztazo 1 kujihusisha na mtu au watu wasiosahihi maisha ni mafupi sana hususani ikiwa mtu anatumiwa kumnufaisha mwingine ikiwa mtu anahitaji msaada atajenga mazingira ya kupata msaada watu wasiosahihi (wanyonyaji) hujenga mazingira ya kuwatumia wanyonge (maskini) ili kujinufaisha watu hawa hujenga au kuimarisha uhusiani wakiamini tu watapata msaada ili watimize malengo yao huwatumia wanyonge kama ngazi (mfano kuwapa msahara duni kuwatumikisha zaidi ya uwezo nk) bila kujali mustakabali wa afya nk wa wanaowatumia mabosi hawa hawapo tayari kutoa msaada wa hali au mali ili kuwakwamua wafanyakazi wao kwa hahati mabaya au kwa kujua au kwa kutojijua vibarua huwaabudu mabosi hawa wanyonyaji na ambao huwatelekeza pindi wanapozeeka au kupata matatizo makubwa ya kiafya hatimaye vibarua huishia kuishi kama ombaomba wa kutupwa 2 kukimbia changamoto ni vigumu sana mtu kukwepa changamoto zote zinazomkabili hivyo mtu anapaswa kusimama imara dhidi ya dhoruba za kimaisha watu hufanikiwa kwa kupitia changamoto moto moto kufanikiwa huwa ni matunda ya kukubali kujifunza na kutatua changamoto zinazowakabili wakati wa kipindi chake chote cha maisha yao watu hufanya hujuma dhidi ya nafsi au jamii kwa kukimbia changamoto bila ya kujua ya kwamba changamoto zipo kwa ajili ya watu na watu ndio wao au bila ya kujiuliza je watakimbia changamoto ngapi ili wafanikiwe 3 kujidanganya mtu anaweza kumdanganya yeyote kaika dunia hii lakini hawezi kujidanganya yeye mwenyewe maisha ya mtu huimarika pale anagundua na kuchangamkia fursa moja ya kitu kigumu ni kuukubali ukweli ukweli ambao ni mlima ambao mtu anapaswa kuupanda ili afikie 'kilele' cha mafanikio watu husaidiwa na mazingira au wale wanaowazunguka ili kujidanganya baadhi ya watu hujidanganya wana maisha mazuri ili hali hawajui au hawajapanga kesho au kesho kutwa yake itakuwaje hawajafanya jitihada zozote kujikwamua 4 kujirudisha nyuma baadhi ya watu (watu walio wengi) hawapo tayari kusimama mstari wa mbele huku wakipigania haki zao hawapo tayari kusimama imara wakati wa kuwasilisha na kufafanua madai yao huwaachia wawakilishi ambao si wahanga kupeleka hoja na kuwatetea (hata kwa mambo wanayoweza kuyafafanua wao wenyewe) wao hukaa na kusubiri taarifa za msuguano kutoka wa wanyonyaji kupitia wawakilishi kwa bahati mbaya zaidi baadhi ya watu huridhia haki zao zinyakuliwe wakiamini mungu ndiye mtoaji kila mpiganaji anapaswa kuwa na roho ya kibinadamu lakini asijishushie hadhi kwa kujiweka 'mkiani' au kijidharau 5 kufuata mkumbo moja ya changamoto zinazomkabili mtu popote pale anapoishi ni kutaka kuishi maisha yake maisha yasiyo na ushawishi kutoka kwa kundi fulani la watu katika jamii kutokana na changamoto hiyo watu hujikuta wakijidhulumu kwa kuiga maisha (kufuata mkumbo) ya watu waliofanikiwa wakiamini nao watafanikiwa au ili wapate kukubalika watu wa ukweli ni wale wanaoweka vigezo vyao kwa kuzingatia uwezo wao vigezo wanavyoamini vitawatoa kimaisha vigezo au vipaumbele vitakavyowafanya wawe maarufu kwa mali maelewano mahusiano na jamii yao si kwa mawazi kuhudhuria klabu au vipodozi nk 6 kuogopa makosa kufanya kitu bila ya kufanikiwa (kwa makosa) hata mara mia ni bora kuliko kutofanya chochote kila aliyefanikiwa ameanguka mara nyingi na kila anguko limenfanya mtu aimarike zaidi baada ya kufanya jitihada za bila matunda yanayoridhisha mtu hufanikiwa kwa mfano mwanasayansi aliyegundua balbu ya umeme alifanya majaribio mara 3000 na hatimaye akafanikiwa kutengeneza balbu inayowaka hata alipotakiwa na wanahabari kueleza palipokuwa panamshinda hivyo kufanya majaribio mengi aliwaambia sijui tatizo lilikuwa ni nini 7 kununua furaha watu hujidanganya ya kwamba wakimiliki kitu/ vitu fulani vya thamani au kujihusisha na mtu/ watu fulani watakuwa na furaha maishani hivyo hutumia muda nwingi au rasilimali zao kugharamia furaha baadhi ya watu hudiriki kununua baadhi ya bidhaa za gharama kugharamia mitoko na watu maarufu au kutafuta mahusiano ya kimapenzi na watu maarufu ili furaha yao itimie mwishowe hupata mgogoro wa nafsi na si furaha ukweli ni kwamba vitu vya kawaida ndivyo vinavyoleta furaha ya kweli na ya kudumu vitu au mambo anayafanya mtu kwa hiari ya moyo na akili yake vitu ambavyo vipo ndani ya uwezo wa mtu 8 kutoishughulisha akili mtu asiyefikiri kwa ufasaha ndiye anayetekwa au kutumiwa na shetani kutekeleza uovu kila mtu anapaswa kuchambua kwa kina hali aliyonayo na kuchukua hatua sahihi mtu anapaswa kuitumikisha akili ili kupata ya mambo aliyowahi kuambiwa hayawezekani kusonga mbele ni kukubali kukabili hatari pia mtu asiwaze (asiwaze bila mapumziko) kiasi cha kupata msongo mawazo 9 kuamini ukamilifu wapiganaji hawaamini wamefanikiwa kwa 100 hata wapate fursa nzuri kiasi gani baadhi ya watu hubweteka kwa mafanikio kidogo wakiamini wamefikia kilele wengine huridhia kuacha kazi zao za ziada mabilionea hulazimishwa na mafanikio kufanya kazi zaidi huku wakiamini mafanikio waliopata ndio mwanzo tu na wanapaswa kutafuta fursa bora zaidi amua kuacha hujuma leo posted by wilguy at 426 pm no comments links to this post
2018-04-19T15:39:53
http://wilguy-jibebe.blogspot.com/2012/
decorplacetz blogu mpya ya mapambo tanzania nilipokea mwaliko wa kutembelea blogu na nilipofika pale macho yangu hayakuchoka kutizama uzuri wa picha za blogu ile ninyi nyote mlio na mipango ya sherehe ama shamrashamnra za aina mbalimbali mkiwamo katika kutafuta watu wa shughuli ya mapambo msisahau kusema na decorplacetz we are a onestop answer to all your event decor requirementswedding planning event management and flora arrangements is our specialty we focus on the overall look of your big day and assist in creating the event you desire contact us at united nations road (opp tambaza high school nextdoor to flying chefs cell +255 713 243 or 174/0784 553 679baadhi ya picha nilizozikuta kwenye blogu ya decorplacetz ni hizi basi sina shaka hata kidogo kuwa fashionista na walevi wa urembo na mapambo kama vile dada sophie sophia's club & absolutely awesome things shamim alias zeze 8020 fashions rose fashionjunkii nuru the light mariam yazawa mumy hery collections yasinta ruhuwiko/maisha devo divnicecollection tk total knockout schola alias mrs masanja passion4fashion matilda waukweli sheria sheria na mavazi nanyi nyote mtakuwa mmesuuzika rohoni tue may 12 094000 pm mst poa sana asante sana subi kwa kuzijuisha blogs zangu kwa wapenda mapambo tanzaniakazi yao nzuri sana nimeipenda wed may 13 011700 am mst asante kushukuru da sophie asante subi kwa kuitangaza blog yangu kumbe we rafiki mwema yaani kama ulijua vile kuwa mimi ni mpenzi wa mambo hayo ya mapambo nk wed may 13 020200 am mst mwanangu ahsante sana kwa shavu maana yake we acha tushukran wed may 13 101600 am mst yasinta & mumyhery asanteni kushukuru ushirikiano mwema
2017-06-23T17:19:39
http://nukta77.blogspot.com/2009/05/decorplacetz-blogu-mpya-ya-mapambo.html
taarifa hiyo imetolewa rasmi kwenye mkutano wa mwaka wa wakuzaji wa bidhaa za samsung 2018 (sdc 2018) uliofanyika huko san francisco marekani
2019-01-19T22:52:02
https://teknolojia.co.tz/simu-za-samsung-kupata-android-9-pie/
xxx za kibongo kutombana na kunyonyana picha na video za ngono (video za xxx) by dar base tv at 13/10/2019 xxx za kibongo angalia video za kutombana hapa bila kudownload cheki wakitombana malaya icha chafu za mwanafunzi wa chuo kikuu zimeanikwa mtandaoni na mabinti wenzake anaoishi nao chumba kimoja imeelezwa k watch kutombana porn videos for free here on pornhubcom discover the growing collection of high quality most relevant xxx movies and clips no other sex tube is more popular and features more kutombana scenes than pornhub kufirana tanzania mpya download xxx videos free xxx porn videos mobile xxx porno videos play online xxx sex videos similar searches joei deluxxx sheilla bellaver dark ebony anal skyy black xxx kush bongo xxx videos mya hernandez christina copafeel kumatamu ugly bbc hislut xxx brazzers pussy xxx masturbation black anal porn wabongo tanzanian nairobi massage phim xxx monster black cock ebony anal tanzania kutombana brown skin anal big black cock pain girl related searches big saggy tits granny kenya school girls fucking baise africa xxx tanzania xxx video kuma kenya porn bongo tanzania bongo kutombana wabongo tanzanian mzansi homemade xxx black nigeria sugar daddy bongo tanzania jamaican leak black sugar daddy banjo black xxx real first time lesbian south african demu wa kigogo tanzania bongo similar searches indian young couple zambian porn videos indian caught masturbating bongo kutombana africa tanzania anal uganda cowgirl machine black vagina tanzania kutombana kuma chinese parking ekasi gujarati sexy video black girl fuck machine squirting kenya kutombana swahili 偷拍自慰 bongo black bbw mama african thick mapouka fuck video za kutombana za kizungu video za kutombana za kizungu is popular song mp3 in 2020 we just show max 40 mp3 list about your search video za kutombana za kizungu mp3 because the apis are limited in our search system you can download video za kutombana za kizungu mp3 in first result but you must remove a video za kutombana za kizungu video za x za wanafunzi jun 05 2013 · video ya ngono ya wanafunzi wa chuo kwa kifupi hawa ni watu wasiofaa kwa jamii zetu za kibongo na afrika kwa ujumla maana wanafilana video za ngono za kiswahili video za ngono za kibongo video za ngono za wabongo video za kutombana za kibongo video za uchi za kibongo video za kutombana video za kutombana za bure video za mapenzi video za picha za kuma tamu tuqupersonalsberonwiseautobodycom raha tupu sugar mamy aachia picha za uchi akiliwa [email protected] na serengeti boyzinakufanya ufikirie mengi tbc picha za kuma nzuri mboo na mikundu kutombana utamu kuma tamu na mboo kubwa raha sana hot xxxx website is not availablexvideos videos free ya atieno 21 secunadai ngana ver el título de la película video za kutombana za kibongo tz danlody tz esta categoría se añadió a la pornografía encuentra más vídeos danlody kibongo kutombana video en nuestra posición de recogida y películas xxx el más alto de españa sign in to like videos comment and subscribe sign in watch later top 100 #kumatamu porn videos kuma tamu jamani 0767629183 napenda mkundu tamu mkundu mtamu bei yangu poa mkundu wangu mtamu kuma yangu tamumkundu mtamu kuma tamu njoo nikupe kitu mnato kitu sumaku ukigusa unanata kuma yangu na mkundu wangu ni habari ya mjini njoo nikupe unogewe na upagawe 0767629183 isha sumaku napenda kutombwa kufirwa kuma yangu tamu mpaka basi nanyonya mboo nafirana kuma za malaya wa tanzania download (mirror #1) picha za kutombana za ulaya picha za kutombana za kibongo x picha za uchi aunt ezekiel picha za uchi kwa picha za kutomba picha za x picha za labda ni utandawazi na kuiga tamaduni za ulaya lakini sitaki kuamini kwamba wanafanya hivyo kwa sababu fulani free wanaume kufirana xxx videos sex movies free porn tube download wanaume kufirana sex videos or stream mp4 porn filamu za kibongo xxx xxx mp4 video download xnxx 3x videos desi hot muslim girls fuck dog indian actress katrina salman homemade 3gp sex school teacher hardcore scandals free porn tamil punjabi pakistani bangla hindu indo savita aunty chudai video za kutombana arusha watch video video zake za ngono na picha za ngono zamponza nature online tanzania arrest 500 sex workers utv ghana online sex za uchi za wema sepetu video nyingine chafu ya wema sepetu na mpenzi wake mpya 048 video ya ngono ya kibongo yavuja ni laana tupualiwa uroda live jamani na nyege to picha na video za ngono (video za xxx) video ya ngono ya zari ya vuja full video hii hapa mp3 duration 344 size 854 mb / trust live 8 xxx za kibongo angalia video za kutombana hapa bila kudownload cheki wakitombana malaya mp3 duration 059 size 225 mb / k vant extra 9 wakubwa tu 18+picha za uchi za mdada toka dar zazidi 19 nov aug 28 2013 · kuma za kibongo posted by unknown at 1011 am email this blogthis share to twitter share to facebook share to pinterest labels kuma za kibongo kuma tamu kuma picha za uchi wa mwanamke picha za wema sepetu zanzibar picha za ngono picha za kutomba kuma picha za joketi style za kutombana picha picha za kutombana za kibongo kutombana picha za diamond na picha za mitindo ya kutombana picha za kuma nzuri picha za kuma za wanawake picha za matiti picha za kufanya mapenzi picha za kuma nairobi mapokokutombanakudinyanakudinywa na suga mummies luking 4 rich suga mummy /dady sms admin on 0706321919 all ua details to get a huk up in ua town we take only a second zt huk up any zr no free huk up
2020-02-28T21:28:03
https://yzvt.numarasorgulama.xyz/votacion-2015-resultados.html
exclusive yanga wazungumzia kuhusu kuondoka kwa ngoma msuva nyionzima na usajili wa ajib | shaffihdauda emanuel okwi kaendeleza ufalme wake uwanja wa uhuru ajib anavyomkimbiza niyonzima vpl home kitaifa exclusive yanga wazungumzia kuhusu kuondoka kwa ngoma msuva nyionzima na usajili wa exclusive yanga wazungumzia kuhusu kuondoka kwa ngoma msuva nyionzima na usajili wa ajib achana na suala la emmanuel okwi kurudi simba lakini mtaaani habari kubwa nyingine ni kuhusu ibrahim ajib kusaini yanga suala ambalo ni kizungumkuti na kila upande umekuwa ukisema yake kuhusu uhamisho wa ajib wakati haji manara akikanusha usajili wa ajib kwenda katika klabu ya yanga upande wa pili ambao ni yanga wenyewe walikuwa kimya kuzungumzia hili lakini hii leo shaffihdaudacotz na dauda tv vilipiga hodi katika makao makuu ya yanga kutaka kujua masuala ya usajili ndani ya klabu hiyo moja kwa moja tulikutana na katibu mkuu wa yanga boniface mkwasa tukamuuliza kuhusu ajibu unajua mimi nasikia tu kama ninyi munavyosikia lakini ajib ni mchezaji mzuri na ndio maana alikuwepo pia katika timu ya taifa na hata sisi anatuvutia alisema mkwasa hatukuishia hapo bali tulitaka kujua pia kuhusu donald ngoma ambae taarifa zinadai hatarudi tena yanga lakini mkwasa alikanusha taarifa hizo na kusisitiza kwamba ngoma haonekani kwa sababu yuko nje ya nchi ngoma aliaga anakwenda nchini zimbabwe na baadae afrika kusini kwa ajili ya matibabu ya goti lake na akatuahidi kwamba katikati ya mwezi wa sita au mwezi wa saba atarudi akiwa fiti kwa ajili ya kututumikia alisema mkwasa kuhusu msuva kutaka kuondoka yanga katibu mkuu wa yanga amesema kama mchezaji akiondoka na kwenda klabu ya nje baasi ni faida kwa mchezaji binafsi lakini pia kwa taifa kwa ujumla na hawana tatizo kuhusu hilo ila tu utaratibu ufuatwe mchezaji haombwi kusajiliwa kwa kupitia magroup ya whatsapp bali ni lazima utaratibu sahihi ufuatwe kuna timu kutoka morocco na pia falme za kiarabu zinamtaka msuva na sisi hatuna neno ila tunachosisitiza ni utaratibu tu kufuatwa alisema msuva ukitaka kuona full video kati ya dauda tv na mkwasa nenda you tube andika dauda tv na subscribe utaiona interview nzima previous articlekwanini ronaldo anataka kuondoka madrid tetesi za man united haziepukiki next articlemechi ya ndondo ni ngumu kuliko ligi kuu shabani kado ujumbe wa mke wa niyonzima kwa mumewe mauro icardi ampoteza vibaya leornardo bonucci katika millano derby jose mourinho express ni basi linaloboa na kuchefua soka dick dauda october 11 2017 baada ya mechi 3 tutajua nafasi na uimara wetu katika ligi hatuna malengo zaidi dick dauda october 10 2017 idadi ya majeruhi yazidi kuongezeka stamford bridge petr cech ashindwa kuisaidia gunners katika matuta tangu ajiunge nao kimataifa7087 kitaifa6939 makala1281 vpl1080
2017-10-17T05:53:39
http://shaffihdauda.co.tz/2017/06/16/exclusive-yanga-wazungumzia-kuhusu-ngomamsuvanyionzima-na-usajili-wa-ajib/
ujue uozo wa police wazo hill | jamiiforums | the home of great thinkers ujue uozo wa police wazo hill discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by mgt software feb 26 2011 police wa wazo hill ndio kituo kikuu kinachotegemewa wakazi wote wa tegeta na boko bunju na sehemu nyinginezo kupata huduma muhimu ya kipolice nenda sasa pale uone kinachojiri police hao uwaona watu kama vile hawana shughuli za kujenga taifa wanaweza kwambia fika saa mbili bila kukosa lakini kazi yako au shida yako itakuchukua masaa matano mpaka sita ukienda siku kama jmatatu utawakuta saa mbili mpaka saa nne wako kwenye mghahawa wanapiga story za juzi na jana hasa za weekend ukitaka huduma haraka jaribu hata kununua mtori supu ndipo unaondika nao chapu chapu njoo sasa kama unatafuta mtuhumiwa kwenye kitabu hapo ndio utaona makubwa kila mtu atajifanya anatafuta kwa makini file lako lakini wapi wananchi wengi wametelekeza watuhumiwa kwa sababu ya usumbufu wanaoupata nilipowauliza kuwa kesi zenu za kwenda mahakama zinashughulikiwa na nani nikajibiwa wao lakini ni mpka upangiwe mpelelezi ambaye hufika saa nne mpaka tano na anashughulikia mafile kama mia hivi na wapelelezi wachache nilipoendelea kudadisi nilitolewa baru kuwa niache majungu sio lazima kesi zote ziende mahakamani kuna kapolisi kazee kidogo hivi nilikakuta kananuka pombe kwa wingi hako kanatukana watu na kuwashwaga kama ngombe ambao wanasubiri huduma imekuwa ni tabia ya police kunyanyasa watu mpaka wanafikia hatua ya kutelekeza kesi zao baada ya kufatilia bila msaada sikuishia hapo police hawa wako bega kwa bega na vibaka wa tegeta stand vibaka hawa huwapola laive wao wanachekelea ukiwapeleka pale ndipo utajua majina ya maafande wote wakiwa sero utasikia afande rafa niokoo mwenzio nipo sero nitakutoa kiaina baada ya hapo utamkuta mitaani mana wanasema kesi imekosa ushahidi kama kakuibia pochi na imeishalitupa ushaidi utaupata wapi na watu wote pale standi ni wapita njia sikuishia hapo tukiwa tunakula supu pale na kupiga story unakuta police anasifia mwizi/kibaka yaani wiki hii wamemshika kibaka hatari sana ambaye ameshindikana utumia nguo za kike na panga au bisis bisi lenye damu au kisu ukikutana naye anajifanya ana haraka baadaye anajifanya umemkwaa ndipo katika taharuki anatoa kisu ua panga anakuambia toa kila kitu samahani nimesahau jina lakini ukitaka data zake uliza kijana anayejifanya mwanamke na kukuteka anaitwa nani bado yupo paole sero naishia kwa kusema kuwa tuunaomba kamanda kova afanye uchunguzi kituo hiki ambacho police hawafanyi kazi ya kuudumia wamefanya kituo kama sehemu ya kupiga soga mimi nakaa tegeta siwaamini kabisa hao polisi maana mara kadhaa majambazi wamekuwa wanatumia udhaifu wao kwenda kuteka na kupora sehemu za starehe nakuchukua mda mrefu sehemu ya tukio wakiamini hakuna litakalo wasibu mimi nimejitune kwamba tegeta hakuna kituo cha polisi hata wezi wote wa ng'ombe wanawajua na hawa ni wachinja nyama maaharufu jijini wanakaa karibu na mbweni jkt kundi hili linatisha wapo kumi na nane uchinja ng'ombe kwa dakika ukienda pale wazo hili utakuta gari aian ya hiace lililotelekezwa ambalo lilitumika kuiba ng'ombe mbali na haya kama kweli kuna mapolice wanasoma hizi makala wajilekebishe njaa uleta dharau pole vijana wa kowa hawaingii humu humu wanaingia vijana wa lipumba na mbowe tu hata wezi wote wa ng'ombe wanawajua na hawa ni wachinja nyama maaharufu jijini wanakaa karibu na mbweni jkt kundi hili linatisha wapo kumi na nane uchinja ng'ombe kwa dakika ukienda pale wazo hili utakuta gari aian ya hiace lililotelekezwa ambalo lilitumika kuiba ng'ombe mbali na haya kama kweli kuna mapolice wanasoma hizi makala wajilekebishe njaa uleta dharauclick to expand kama rais wa nchi anasimama jukwaani na kuongopea taifa kuwa hamjui mmiliki wa dowans kama rais wa nchi wanawalinda majambazi wa mali za uma kisa ni marafiki zake kama bunge linamreplace spika ili yule mpya alinde wezi kama unategemea polisi afanya nini
2016-12-04T14:35:32
http://www.jamiiforums.com/threads/ujue-uozo-wa-police-wazo-hill.113505/
free thinking kawawa hatukuenzi tunakusanifu tu rais jakaya kikwete akiteta jambo na marehemu mzee rashid kawawa ni wengi wamejitahidi kuelezea walivyomjua marehemu rashid kawawa mmojawapo wa viongozi waadamizi na waasisi wa vuguvugu la kupigania uhuru wa tanzani na rafiki na mshirika wa karibu wa nguli baba wa taifa marehemu mwalimu julius nyerere ukijikumbusha vilio na mayowe na machozi ya mamba kwenye msiba wake hivi karibuni unaweza kuona ukweli wa kichwa cha habari hapo juuunafiki unafiki unafiki mtupu ni kitu kimoja kilikosekana katika onyesho hilinyimbo zilizotungwa tayari kuomboleza kifo chake kama mwalimu nyerere kawawa alikuwa mkiwa na mwenye sononeko litokanalo na kushuhudia mema yake yote yakiporomoshwa hasa baada ya kuingia awamu ya tatu na ya nne ambazo zinasifika kupanua ufa uliowekwa na utawala wa awamu ya pili chini ya dhana mbovu ya ruksa ambayo kimsingi ndiyo msingi wa ufisadi na kuvunjika kwa maadili tunavyolalamikia rejea kuvunjwa kwa azimio la arusha chini ya utawala huu na kuundwa ujambazi wa zanzibar leo huu si mjadala wetu tunataka kubainisha kuwa machozi yaliyomwagwa kwa ajili ya kawawa ni ya mamba na sifa alizopewa ni za unafiki wengi wa waliomwelezea mzee kawawa walimwelezea kama mtu msafi aliyechapa kazi na kufuata maadili je wao wanachapa kazi na kufuata maadili kama yeye au madili na soga kawawa na mwenzake nyerere waliweka miundo mbinu kwa taifa kisiasa hata kijiografia je hawa wanaowanafiki na kuwasifia wanafanya nini zaidi ya kubomoa vitu hivi muulize benjamin mkapa wakati akina kawawa walianzisha nbc yeye aliiuza tena kwa bei ya kichaa muulize jakaya kikwete rais wa sasa akina kawawa walichunguzana na kutimuana kama ilivyotokea kwa marehemu oscar kambona na wengine leo tunalindana rejea kushindwa kuwawajibisha watuhumiwa wa ufisadi na kughushi waliojazana kwenye ofisi za umma je namna hii twanaweza kumuenzi au kumheshimu kawawa zaidi ya kumuona kama mzee mshamba ambaye hakujua kutumia madaraka yeye familia yake na marafiki zake huwezi kumuenzi mtume mohammad (saw) kwa kula nyama ya nguruwe au yesu kristo kwa kupenda utajiri wakati wao kwao hivi vitu vilikuwa haramu na zahama leo kila mtu atajifanya anamuenzi na kumjua kawawa kwa vile ameishatoweka ukweli ni kwamba hawampendi bali kumtumia tu hii imenikumbusha mhindi mmoja tapeli ambaye amekuwa akimtumia baba wa taifa bila kustukiwa ni juzi juzi amejinasa pale alipodai taasisi yake inaongozwa na watu fisadi wakati fisadi ni yeye kawawa alisifika hadi kuitwa simba wa vita bahati mbaya hawa wanaojifanya kumjua na kumuenzi si chochote bali wasaliti ambao ni panya kwenye ligi ya kumtafuna simba wa vita kawawa ambaye vita yake ilikuwa kumkomboa mtanzania huwezi kuridhia mikataba mibovu inayosababisha kuibiwa raslimali walizolinda na kutunza akina kawawa ukamheshimu kawawa huwezi kuuza viwanda na mashirika waliyoyaanzisha akina kawawa ukawaheshimu hadi kuwaenzi zaidi ya kuwatumia kwa sababu binafsi kisiasa huwezi kuingia madarakani kwa pesa chafu za epa tofauti na wao walioingia kwa uchapakazi na uzalendo wa kupigiwa mfano ukawaenzi mashujaa hawa huwezi kutawala kwa ushikaji na usanii ukawaenzi mashujaa hawa yote katika yote huwezi kukataliwa nao ukaja kuukwaa baada ya wao kuondoka ukajifisifu unawajua na kuwaenzi huenda neno kuenzi lina maana nyingine tofauti na tuijuayo kama ni hivyo sadakta kawawa na wenzake waliongoza nchi hawakuiacha ijiendee au kutawaliwa na mafisadi nyuma ya pazia walijenga kuheshimu kutekeleza na kutegemea miiko na misingi ya uongozi siyo watabiri mafisadi na mitandao walevi na wazinzi hawawezi kusafisha makaburi ya watakatifu wakifanya hivyo jua basi ni kufuru sawa na watawala wa sasa kuwaenzi waasisi wa taifa hili wanaloliuza kwa hongo ya upuuzi mdogo mdogo hatuna uchungu na taifa hili kwa sababu hatukulivujia jasho wala kulihangaikia zaidi ya kulipoka kwa njia zao za kifisadi na jinai na kulikabidhi kwa mabwana zetu tungemuenzi kawawa tungepambana na ufisadi badala ya kuupamba kwa mbinu hizi na zile tungemuenzi kawawa tungechukia rushwa utukufu kupenda anasa na sifa tusizo hata stahili tungemuenzi kawawa tungeheshimu maadili ya uongozi aliyoanzisha na si madili kama ilivyo kawawa alisifika kwa kukataa posho za vikao visivyokuwa na faida zaidi ya kuwa vigwena vya ulaji kawawa aliwahi kuua simba waliowasumbua wanakijiji wenzake sisi tumefuga majini yanayowasumbua watu wetu bila majini haya hakifanyiki kitu hata kiwe kidogo namna gani wao waliwekeza kwenye utu na watu sisi tumewekeza kwenye vitu na wawekezaji na mafisadi wetu wao waliishi kwa ajili ya kesho sisi tunaishi kwa ajili ya le oleo bila kujua kuna keshovipofu na majuhawaliasisi ujamaa na kujitegemea sisi tumeasisi uhujumu (uhujumaa) kujimegea na utegemezi waliasisi tanzania ambayo tumeigeuza tanzia walijenga taifa tunalouza na kubomoa waliongoza kwa mifano safi tunaongoza kwa mifano michafu rejea epa richmond cis anben tanpower na uchafu mwingine wala maskini hawakujilimbikizia mali za wizi kama sisi rejea ukwapuzi wa kiwira na pesa zitokanazo na hongo na ngo za wake na washirika zetu hawakuwarithisha madaraka watoto wao kama sisi hawakuwa na wenyeviti wa chipukizi wala wa umoja wa vijana waliotoka viunoni mwao kama sisi wakati kina kawawa walikonda na kupandwa presha kuikomboa nchi hii sisi tunaotesha viriba tumbo na kutononoka tukiifuja na kuangamiza wao walikuwa chachu sisi dumuzi wa maendeleo hawakufuga mafisadirejea kutaifisha mali za mabwenyenye na makabaila sisi tunagawana nyumba za umma na kufadhiliwa na maadui hao hao je hapa twaweza kujinakidi kuwa tunafanana na kuwaenzi akina kawawa panya hawawezi kumuenzi simba wagugunaye ngozi yake ni nani ana udhu na roho ya kumuenzi kawawa miongoni mwetu nionyeshe mmoja nitakuonyesha panya elfu heri ya kutawaliwa na simba mmoja kuliko panya mia pumzika mahali pema kwa salama mzee wetu rashid mfaume kawawa aka simba wa vita aka charles chaplin wa tanzania na mkono wa kuume na mwanafunzi mtiifu aliyefuzu wa mwalimu nyerere nenda kamwambie mwalimu kuwa nchi yake sasa haipo tena bali jina hakika hatukuenzi kawawa bali kukutumia na kukusanifu tu chanzo mwanahalisi januari 142009 posted by nn mhango at 1547
2018-06-18T19:20:02
http://mpayukaji.blogspot.com/2010/01/kawawa-hatukuenzi-tunakusanifu-tu.html
nec yaweka hadharani majina ya majimbo 27 ya udiwani habari na matukio home habari na matukio nec yaweka hadharani majina ya majimbo 27 ya udiwani nec yaweka hadharani majina ya majimbo 27 ya udiwani kajunason at january 26 2018 habari na matukio tume ya taifa ya uchaguzi (nec) imeweka hadharani majina 27 ya wagombea udiwani ambao wameteuliwa na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kuwania nafasi hizo katika kata 10 ambazo zitafanya uchaguzi mdogo februari 17 mwaka huu uchaguzi huo unafanyika katika kata hizo kutokana na baadhi ya madiwani kujiuzulu nyadhifa zao na vifo katika uteuzi huo wanaume waliojitokeza kugombea nafasi hizo ni 24 wakati wanawake ni watatu (3) katika uteuzi huo wagombea wa kata nne waliteuliwa januari 20 na wagombea wengine wa kata sita waliteuliwa januari 24 mwaka huu wagombea waliojitokeza kuwania udiwani katika kata ya buhangaza iliyoko wilaya ya muleba mkoani kagera na vyama vyao ni jenitha tibihenda (ccm) nelson makoti (chadema) na grayson aniceth (nccr mageuzi) katika halmashauri ya siha iliyoko mkoani kilimanjaro ambako kuna kata tatu zitakazofanya uchaguzi mdogo wagombea waliojitokeza katika kata ya gararagua ni zakaria lukumai (ccm) na agness lasway (chadema) kata ya donyomuruak wagombea ni lwite ndossi (ccm) na daniel molle (chadema) wakati katika kata ya kashashi wagombea ni suzan natai (ccm) na immanuel saro (chadema) mkoani mwanza ambako kuna kata mbili wagombea katika kata ya kanbyelele iliyoko halmashauri ya misungwi ni marco yela (act wazalendo) daniel makoye (ccm) na george mhoja wa chadema kata ya isamilo iliyoko wilaya ya nyamagana wagombea ni nyamasiriri marwa (ccm) john kisyeri (chadema) hashim ramadhan (cuf) georgina kibendegele (dp) na ramadhani mtoro wa udp kwenye kata ya mitunguruni iliyoko wilaya ya singida wagombea ni abdallah mkoko (ccm) manase kijanga (chadema) na abdallah kinga wa cuf wagombea kata ya madanga iliyoko wilaya ya pangani mkoani tanga ni mohamed abdallah (act wazalendo) athuman tunutu (ccm) na swaibu mwanyoka wa cuf katika mkoa wa dodoma ambako pia kata mbili zitafanya uchaguzi kwenye kata ya manzase iliyoko wilaya ya chamwino jimbo la mtera wagombea ni amos mloha (ccm) alex chalo (chadema) na ndahani mazengo wa chaumma wakati katika kata ya kimagai iliyoko wilaya ya mpwapwa mgombea wake ni noah lemto ambaye amepita bila kupingwa uchaguzi huo utaenda sambamba na uchaguzi wa wabunge katika majimbo mawili ya kinondoni mkoani dar es salaam na siha mkoani kilimanjaro katika jimbo la kinondoni walioteuliwa na msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo kuwania ubunge ni wagombea 12 ambao ni godfrey maliza (tlp) johnson mwangosi (sau) na mwajuma milambo kutoka umd wagombea wengine walioteuliwa ni john mboya (demokrasia makini) maulid mtulia (ccm) mary mpangala (dp) salim mwalimu (chadema) rajabu salum (cuf) mohamed majaliwa (nra) george christian (cck) ally omari abdallah (ada thadea) na ashiri kiwendu kutoka chama cha afp kuhusu uteuzi wa wagombea ubunge katika jimbo la siha mkoani kilimanjaro walioteuliwa ni wane ambao ni dk godwin mollel (ccm) mdoe azania yambazi (sau) tumsifuheri mwanry (cuf) na elvis christopher mosi wa chadema kampeni katika kata 9 na majimbo hayo mawili zinaendelea kufanyika hadi februari 16 mwaka huu
2018-11-15T23:28:21
http://www.kajunason.com/2018/01/nec-yaweka-hadharani-majina-ya-majimbo.html