text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
umutingito uherutse kwibasira ibirwa byubuyapani ni umwe mu mitingito ikomeye yabayeho nkuko biri kugwarukwaho nibitangazamakuru bitandukanye ubu isi yose iri gufatanya mu rwego rwo guhashya ingaruka zishobora gukurikira iturika ryibigo byingufu za nucléaire nka fukushima daiichi na onagawa uyu mutingito wangije byinshi unahitana abasaga ibihumbi 10 turagaruka ku mitingito 10 ikaze kurusha indi yabayeho kugeza ubu 1 shaanxi mu bushinwa ahagana mu w`i 1556 kugeza ubu ufatwa nkaho ariwo wambere wakoze ibara mu mateka ya muntu mu gitondo cyo ku ya 23 mutarama cyabaye nk`umunsi w`imperuka ku baturage b`igihugun cy`ubushinwa bari begereye aka gace wahitanye 60 byabari bahatuye (ni ukuvuga abasaga ibihumbi 830 wasenye bidasubirwaho agace k`ibilometero kare 800 inyandiko zivuga ku byahabaye zivuga ko ahari imisozi haje ibibaya ahari imisozi haza amataba imihanda nibikorwa remezo birasenyagurika ubutaka burazamuka burema imisozi mishya igereranya ryubu rigaragaza ko uyu mutingito wari uri ku kigero kirenga 8 ku gipimo cya richter 2umutingito wa kabiri ukaze nawo wabaye mu bushinwa mu gace ka tangshan mu mwaka w` 1976 hari ku italiki 28 zukwa karindwi mu 1976 ku isaha ya saa 3 42 (mu rukerera ) mu masegonda make uyu mutingito wasenye hafi umujyi wose uyu mutingito nawo wahitanye abashinwa ibihumbi 240 wari uri ku gipimo cya 78 nyuma yuyu mutingito mu gihe abatuye aka gace bari batangiye gutabarana nyuma ya saa sita hahise haba undi wo ku kigero cya 71 uhitana abari batangiye kwiruhutsa barira ababo 3umutingito wa 3 mu yahitanye abantu benshi nawo wabaye muri kiriya gihugu mu gace ka haiyuan taliki 16 ukuboza 1920 uhitana abagera ku bihumbi 73 nabasaga ibihumbi 127 mu nkengero wari uri ku kigero cya 78 4uwabaye mu gace ka alep muri siriya mu 1138 uyu mujyi ubu witwa halab wakubiswe numutingito uri ku kigero cy85 wangiza ibintu bitabarika mu gace kangana n`ibilometero 350 abapfuye muri uyu mutingito ntibazwi ariko hakurikijwe aho wumvikanye ningufu wari ufite ngo si bake ku buryo uyu mutingito ufatwa nkuwa 4 mu ikomeye yabayeho 5ku mwanya wa gatanu imitingito ya tsunami yiganje mu nyanja y`abahinde (indian ocean) ku nkombe za aziya muri 2004 muri rusange imitingito ibera munsi yamazi ifite umwihariko wo gusenya no guhitana abantu benshi biturutse ku mazi arenga inkomba akisuka mu butaka bw`inkengero ibi nibyo byabaye tariki 26 ukuboza 2004 ubwo imihengeri yatewe n`umutingito ukaze byibasiraga inkombe zubuhindi indoneziya sri lanka na thaïlande umutingito wageze ku rugero ruri hagati y`91 na 93 ku gipimo cya richter uyu mutingito ni uwa kabiri watigishije isi bikomeye mu mateka uri no mu ya mbere yamaze igihe kirekire wumvikanye mu gihe cyiminota 8 (ni igihe kirekire cyane ku mutingito) uhitana abantu ibihumbi 100 ako kanya uza kurangira abantu ibihumbi 230 aribo bawuguyemo 6uwabereye mu gace ka damghan muri irani mu 856 uyu ngo wahitanye abantu ibihumbi 200 wari uri ku kigero cy8 wumvikana mu birometero kare birenga 350 igihugu cya irani kiri hagati yibice bibiriri byisi bihora bigendagenda mu nsi yubutaka(plaques tectoniques) isekurana ryabyo ribyara imitingito aka karere kamenyerewe mo imitingito 7ardabil( naho ni muri iran ) tariki 28 gahyantare 1995 umutingito wamaze amasegonda 15 gusa mu majyaruguru yiki gihugu wahitanye abantu ibihumbi 150 8 hokkaido japan muw`i 1730 wapimaga 83 ku gipimo cya richter wahitanye abantu basaga ibihumbi 130 9 ashgabatturkménistan mu mwaka w`1948 wapimaga 73 wahitanye abantu ibihumbi 176 10 ku mwanya wa 10 umutingito wabaye muri haïti ku ya 12 wahereye mu murwa mukuru portauprince ku isaha ya saa kumi nimwe zibura iminota irindwi(ku isaha yo muri haiti) uyu mutingito wari uri ku gipimo kiri hagati ya 71 na 73 uyu waguyemo abantu ibihumbi 230 aya makuru turayakesha urubuga rwa wikipediaorg
2019-01-20T17:03:15
http://rw.bangmedia.org/2012/04/imitingito-10-ikaze-yabayeho-mu-mateka.html
video rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mhe dkali mohamed sheinazungumza na balozi wa tanzania nchini za zanzinews home video rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mhe dkali mohamed sheinazungumza na balozi wa tanzania nchini za video rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mhe dkali mohamed sheinazungumza na balozi wa tanzania nchini za
2019-09-19T00:32:11
http://www.zanzinews.com/2019/03/video-rais-wa-zanzibar-na-mwenyekiti-wa.html
wafanya biashara wenye ulemavu waomba msaada china radio international wafanya biashara wenye ulemavu waomba msaada (gmt+0800) 20191106 180454 wafanya biashara walemabu wataka watengenewe eneo kwa shughguli zao kundi la wafanya biashara wenye ulemavu (uwalemba) katika mkoa wa mbeya limeiomba serikali kuwasaidia na eneo kwa ajili ya kufanya shughuli za uzalishaji wa bidhaa mbalimbali zikiwamo sabuni na mafuta ya kupakaa katibu wa kundi hilo ramadhani shamte amesema hayo wakati wa ziara ya mkuu wa wilaya hiyo reuben mfune alipotembelea na kuangalia shughuli za uzalishaji wa bidhaa mbalimbali zinazofanywa na kundi hilo shamte alisema wamejitahidi kuongeza uzalishaji wa bidhaa zao kwa kutumia teknolojia za kisasa lakini changamoto kubwa inayowakabili ni eneo kuwa finyu hivyo kuomba kusaidiwa eneo kubwa ambalo litasaidia kupanua wigo wa uzalishaji alisema mbali na kuhitaji eneo kubwa la kufanyia shughuli zao pia wana tatizo la masoko kwa kuwa licha ya kuzalisha kwa wingi bidhaa za mafuta ya kupakaa sabuni za miche na maji hawana soko la uhakika kuuza bidhaa hizo shamte aliiomba serikali kuwatafutia soko la uhakika ili kuuza bidhaa zao ambazo alisema alisema kiwanda chao ambacho kimepewa jina la mbarali soap hadi sasa kimetoa ajira kwa watu 12 ambao kati yao sita ni wenye ulemavu na sita hawana ulemavu aidha mfune amewashauri wananchi na vikundi vingine kuchangamkia fursa za mikopo zinazotolewa na halmashauri huku akisisitiza asilimia 10 ya mapato ya ndani imetengwa kwa ajili ya kuvisaidia vikundi vya kinamama vijana na wenye ulemavu
2019-11-16T01:06:44
http://swahili.cri.cn/141/2019/11/06/1s190520.htm
soma katika hmong (white) karen (s'gaw) kiafrikana kialbania kiamhara kiarabu kiarmenia kiaymara kiazerbaijani kiazerbaijani (cha kisirili) kibemba kibengali kibulgaria kicheki kichewa kichina (kilicho rahisi) kichina (cha kitamaduni) kidachi kidenishi kiebrania kiefik kiestonia kiewe kifaransa kifiji kifini kiga kiganda kigeorgia kigiriki kigreenlandi kiguarani kigujarati kiguni kihiligaynoni kihindi kihispania kihosa kihungaria kiigbo kiiloko kiindonesia kiingereza kiitaliano kijaluo kijapani kijerumani kikamba kikanada kikaonde kikatalan kikazakh kikikongo kikirghiz kikiribati kikongo kikorea kikreoli cha haiti kikroatia kikuyu kikwechua (cha bolivia) kilatvia kilingala kilithuania kiluvale kimakedonia kimalagasi kimalay kimalayalamu kimalta kimarathi kimaya kimbundu kimyanmar kingabere kinorwei kinyaneka kinyarwanda kinzema kiosetia kiotetela kipapiamento (cha aruba) kipapiamento (cha curaçao) kipijini cha visiwa vya solomon kipolishi kipunjabi kireno kirumania kirundi kirusi kisamoa kisango kisebuano kisepedi kiserbia kiserbia (cha roma) kishona kisilozi kisinhala kislovaki kislovenia kisranantongo kiswahili kiswahili (cha kongo) kiswedi kitagalogi kitahiti kitamili kitatar kitelugu kithai kitigrinya kitok pisin kitonga kitotonak kitshiluba kitsonga kitswana kituruki kituvalu kitwi kitzotzil kiukrania kiumbundu kiurdu kivietnam kiyoruba kizapoteki (mlangobahari) kizulu sesotho (lesotho) kichitumbuka limesimuliwa na julio corio alizaliwa 1981 historia alipitia hali ngumu utotoni nilizaliwa acul mji wa mbali katika eneo lenye milima magharibi mwa guatemala familia yetu ni ya jamii ya ixil kabila la wamaya ninazungumza kihispania na lugha yetu ya asili nilipokuwa mdogo tayari kulikuwa na vita vya kikatili nchini guatemala vilivyodumu kwa miaka 36 katika kipindi hicho watu wengi wa jamii ya ixil walikufa nikiwa na umri wa miaka minne kaka yangu aliyekuwa na umri wa miaka saba alichezea bomu la mkononi ambalo lililipuka nilipofuka macho na kaka yangu alikufa baada ya hapo nililelewa katika kituo cha watoto vipofu huko guatemala city ambako nilijifunza kusoma maandishi ya vipofu nikiwa hapo wafanyakazi walinizuia kuongea na watoto wengine na wanafunzi wenzangu walinitenga kwa sababu ambazo sikujua nilikuwa mpweke sikuzote na nilitamani sana miezi miwili katika mwaka ambayo ningeweza kuwa na mama nyumbani ambaye sikuzote alikuwa mpole na mwenye huruma kwa kusikitisha alikufa nilipokuwa na umri wa miaka kumi nilivurugika sana nilipojua kwamba nimempoteza mtu pekee duniani aliyenipenda nilipokuwa na umri wa miaka 11 nilirudi nyumbani ili kuishi na kaka yangu wa kambo na familia yake walinipa mahitaji yote ya msingi lakini hakuna aliyenisaidia kihisia nyakati nyingine nililia na kumuuliza mungu kwa nini mama yangu alikufa kwa nini nimekuwa kipofu watu waliniambia kwamba matatizo hayo yalikuwa mapenzi ya mungu kwa hiyo nikaamini kwamba mungu hatendi haki na hajali jambo pekee lililonizuia kujiua ni kwamba sikuwa na uwezo wa kufanya hivyo ilikuwa rahisi kwangu kuumizwa kimwili na kihisia kwa sababu ya kuwa kipofu nilipokuwa mvulana nilitendewa vibaya kingono mara kadhaa sikutoa taarifa kuhusu matukio hayo kwa kuwa sikufikiria kama mtu yeyote angejali watu waliongea nami mara chache sana nami sikuzungumza na watu nilijitenga na watu na nilishuka moyo sikumwamini mtu yeyote mwanzoni mwa ujana wangu mashahidi wawili wa yehova (mume na mke) walinitembelea shuleni wakati wa mapumziko mwalimu mmoja aliyesikitishwa na hali yangu aliwaomba mashahidi hao wanitembelee walinieleza kuhusu ahadi ya biblia kwamba siku moja wafu watafufuliwa na vipofu wataona tena (isaya 355 yohana 528 29) nilipenda mambo waliyonifundisha hata hivyo haikuwa rahisi kwangu kuzungumza nao kwa kuwa sikupenda kuzungumza na watu lakini ingawa nilijitenga na watu kwa subira na huruma waliendelea kunitembelea na kunifundisha biblia mashahidi hao walitembea zaidi ya kilometa 10 na walipanda mlima ili kufika katika mji nilioishi ndugu yangu wa kambo aliniambia kwamba ijapokuwa watu hao walikuwa maskini walivaa mavazi nadhifu sikuzote walinijali sana na hata waliniletea zawadi nilihisi kwamba ni wakristo wa kweli tu wanaoweza kujidhabihu hivyo nilijifunza biblia kwa kutumia machapisho yenye maandishi ya vipofu ingawa nilielewa mambo niliyofundishwa haikuwa rahisi kukubali baadhi ya mambo niliyojifunza kwa mfano ilikuwa vigumu sana kuamini kwamba mungu ananijali na wengine wangeweza kunionyesha jinsi mungu anavyonijali nilielewa kwa nini yehova anaruhusu uovu uwepo kwa muda fulani lakini haikuwa rahisi kumwona kama baba anayenipenda * hatua kwa hatua mambo niliyojifunza kwenye biblia yalinisaidia kubadilisha mtazamo wangu kwa mfano nilijifunza kwamba mungu anawahurumia sana wale wanaoteseka mungu alisema hivi kuhusu waabudu wake walioteswa pasipo shaka nimeyaona mateso ya watu wangu nayajua vizuri maumivu waliyo nayo (kutoka 37) nilipoelewa sifa nzuri za yehova nilijiweka wakfu kwake mwaka wa 1998 nilibatizwa na kuwa shahidi wa yehova nikiwa na ndugu ambaye familia yake ilikubali kuishi nami mwaka mmoja baada ya kubatizwa nilihudhuria kozi ya vipofu karibu na jiji la escuintla mzee fulani wa kutaniko alitambua changamoto nilizopata niliposafiri kutoka mji nilioishi ili kuhudhuria mikutano kutaniko la karibu lilikuwa juu ya safu za milima ambako mashahidi walionifundisha biblia waliishi na ilikuwa vigumu kwangu kufika huko ili kunisaidia mzee huyo alipata familia ya mashahidi huko escuintla iliyokubali kuishi nami na kunisaidia nihudhurie mikutano ya kutaniko mpaka leo familia hiyo inanitunza ninaweza kusimulia mifano mingi ya upendo wa kweli niliyoonyeshwa na washiriki wa kutaniko kwa ujumla mambo hayo yananisadikisha kwamba nikiwa shahidi wa yehova niko miongoni mwa wakristo wa kweliyohana 1334 35 sihisi tena kwamba sifai au kwamba sina tumaini sasa maisha yangu yana kusudi nikiwa mhudumu wa wakati wote wa mashahidi wa yehova anayewafundisha watu biblia ninakazia fikira kweli nyingine zenye thamani za biblia badala ya kukazia fikira ulemavu wangu pia ninatumika nikiwa mzee wa kutaniko na ninatoa hotuba zinazotegemea biblia kwa ajili ya watu wote kutanikoni nimepata nafasi ya kutoa hotuba zinazotegemea biblia katika makusanyiko ya eneo yanayohudhuriwa na maelfu ya watu natoa hotuba kwa kutumia biblia yenye maandishi ya vipofu mwaka wa 2010 nilihudhuria shule ya mazoezi ya kihuduma (sasa inaitwa shule ya waenezainjili wa ufalme) iliyofanywa huko el salvador shule hiyo imeniwezesha kutimiza vizuri majukumu yangu kutanikoni mazoezi hayo niliyopata yalinifanya nihisi ninathaminiwa na kupendwa sana na yehova mungu ambaye anaweza kumfanya mtu yeyote astahili kufanya kazi yake yesu alisema hivi kuna furaha zaidi katika kutoa kuliko ilivyo katika kupokea (matendo 2035) leo ninaweza kusema kwamba nina furaha sasa ninahisi kwamba ninaweza kuwasaidia wengine jambo ambalo mwanzoni nisingeweza kuwazia kwamba ninaweza ^ fu 13 ili ujue kwa nini mungu ameruhusu uovu soma sura ya 11 ya kitabu biblia inafundisha nini hasa kilichochapishwa na mashahidi wa yehova
2017-08-20T17:58:42
https://www.jw.org/sw/machapisho/magazeti/wp20151001/kuwasaidia-wengine/
mahakama kanda ya tabora na ushughulikiaji wa nidhamu ya watumishi na malalamiko ya wananchi mahakama kuu kanda ya tabora yajipanga kuondoa mlundikano wa mashauri makamu wa rais wa tanzania azitaka mahakama ya nchi za madola kupambana na rushwa tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano chama cha majaji na mahakimu wa jumuiya ya madola majaji nchini waagizwa kumaliza mlundikano wa mashauri ifikapo disemba 15 2017 mahakama yataja sababu za kesi kutomalizika mapema rais dkt john magufuli amuapisha prof ibrahim hamis juma kuwa jaji mkuu wa tanzania rais magufuli amteua prof ibrahim hamis juma kuwa jaji mkuu wa tanzania chukueni hatua kulinda imani ya wananchi kwa mahakamakamati ya bunge mahakama kuanzisha kituo cha mafunzo dar es salaam last 7 days visits 56898 last 30 days visits 283849
2018-04-26T15:14:44
http://www.judiciary.go.tz/?lcp_page2=3
tutafika 2015 tukiwa na chadema yenye afya njema | jamiiforums | the home of great thinkers tutafika 2015 tukiwa na chadema yenye afya njema discussion in 'jukwaa la siasa' started by twijuke oct 24 2012 nimekuwa nikifuatilia siasa zetu hapa tz kitambo watanzania wengi walihitaji sana mabadiliko na ushahidi tosha ni kura alizo pata augustine mrema mwaka 1995 kwa zati kabisa wenzetu wale walihitji mabasiliko kilichokuja kutokea baada ya nccr maeuzi kubomoka watu wakahamia tlp hapa tunaona ni jinsi gani mzimu wa mabadiliko ungali hai baada ya tlp mwendo ukawa uleule tumeshuhudia jinsi tlp livyo fumuka na hatimaye kubaki ikiwa haina afya ikaja cuf tukasema sasa tukasema sasa wanachukua nchi pamoja na kwamba cuf haikuwa imejidhatiti tz bara lakini walifika mahali pa kutia moyo lakini baada ya minyukano ya baina ya viongozi ndani chama watu wakakosa imani na hatimaye hali hii kupelekea watanzania wengi kuamini kuwa mfumo wa vyama vingi ni danganya toto kwamba ni janja ya chama tawara na hawa waanzilishi wa vyama ni mapandikizi kutoka ccm na sasa hatimaye chadema kitambo sasa baada ya chama kuonesha ukomavu na kuwa na wabunge wenye kujenga hoja zenye mashiko tumeona watanzania wengi jinsi walivyo na imani na chapman hiki tuligikia hatua ya watanzania kutokupiga kura kwamba hata mtu akipiga kura nisawa na bule hivyo bora kutokupiga kabisa lakini tumeshuhudia mwaka 2010 baada ya dr s kugombea tuliona mwamko wa watu vijana walipiga kura kiasi cha kushangaza hofu yangu je tutafika 2015 tukiwa na chadema yenye afya njema usiwe na shaka mkuu chadema ni chama chenye mizizi imara isiyotetereka pia ni chama cha umma na mungu tuombe uzima tufike 2015 ili tuushuhudie ukombozi wa taifa letu tutafika mkuuchadema ni chama makini sana na hii inatokana na kuwa na thinking tanks wengi ambao hawako publicly knownhili hata ccm inalijua na ndio maana kila kukicha hawapati usingizi
2016-12-06T12:14:21
http://www.jamiiforums.com/threads/tutafika-2015-tukiwa-na-chadema-yenye-afya-njema.344032/
wambura koku massawe said ahsante kiingozi i am ready for that nimekupigia namba zangu astaghafirurah nyenye nyenyenye nyenyenye anzisha mwenyewe kwanzabiashara ikiwa inalipawill be easier to attract new investors huu uzi ni haramu achana nao i agree with your crowdfunding strategy you need a starting point can be a 'project brief' comprising project objective location of the project financing plan needed capital project products the market and environmental affairs someone will read a nutshell of the business plan in few minutes kiingereza cha nini sasa hapa jamani baba hebu sema hadi sasa una sh ngapi na ww unahitaji sh ngapi ili ku initiate project sidhani km anaweza kutaja hapa contact zako zipo wapi ndugu wazo zuri kufuga kitimoto ni wazo zuri wanyama ambao kwao bwana yesu aliwatupia mapepo kwa sababu aliwaona hawafai kuliwa na binadamu bali wanafaa kuwa nyumba ya mapepo (the abodes for bad spirits) astaghafirullah x 3 dks1131 unaamini vipi kua unayemuadress anaamini katika huyo bwana yesu unayemuabudu kama angalikuwa hamuamni bila shaka angalisema kuwa hamuamini lakini wahenga wanasema a silence implies consent kukaa kwake kimya ni ishara kwamba anamuamini ila anampuuzia 20485 2000 peleka nadharia zako huko hapa watu wanajadili fursa mimi ninaongelea madhara yaliyothibitishwa kisayansi baada ya mungu ambaye ndiye mwanasayansi mkubwa kuliko wote kutamka katika vitabu vyake kuwa mtu kula nyama ya nguruwe ni haramu (haitakiwi) mkuu kwanini usianzishe thread yako unaharibu hii thread mkuu mimi naona unatafuta njia ya kubadilisha mjadala tu kwani mjadala mkuu ni uharamu na madhara ya kula nyama ya nguruwe basi nashangaa umeugeuza huu mjadala kuwa mahakama ya kuhukumu makosasasa kama nilitenda au sijatenda au wewe kufanya au kutofanya hayo makosa hiyo inabatilisha vipi uharamu wa kula nyama ya nguruwe ukweli utabaki palepale kwamba mungu katukataza kula nyama ya nguruwe kwa sababu inayo madhara mabaya kwetu (acute diverse effects) na moja ya madhara ni kuambukizwa ushoga homosexuality kwa wanaume reactions bluetooth and farolito nitaendeleaa kufatiliaa uzii huu bwana yesu hakujua kama nguruwe ni fursa au wewe unamzidi yesu aliyemuona nguruwe ni dampo la kutupia mapepo (bad spirits) mimi ninajaribu kuwajulisha wale wanaohitaji kujua tu ili wasidhurike kwa kula kitimoto au wasiwadhuru wengine kwa kufuga na kuuza kitimoto kama hujui kitimoto na fisi hawana tofauti kwasababu mungu amewaleta kufanya kazi ya kula takataka (scavenging) na ndiyo maana watu waliokula nyama ya fisi na nguruwe wanasema nyama ya fisi inafanana sana na nyama ya nguruwe sasa tafuta fursa ya kuuza fisi pia mkuu mimi siharibu hii thread ninajaribu kuwatahadharisha watu madhara ya nyama ya nguruwe maana yake ni kwamba madhara yake ni makubwa kuliko faida na lazima niandikie hapa kwasababu hapa ndipo nitawapata wahusika wa mambo ya nguruwe wewe unataka kuanzisha biashara halafu unaiweka vichochooni nani atakuja kununua huko nilazima uiweke pale ambapo watu wataona na kuvutiwa nayo na hapa ndipo panafaa kuwaelezea watu juu ya madhara ya nyama ya nguruwe ili tuokoe watu kama si wewe basi mtoto au mjukuu wako kwa sababu wewe ni very much addictive to pork na hauwezi kuacha kula (nionavyo) uzi ushavamiwa na wavaa kobazi huu sio huu uzi umejaa wala kitimoto nashukuru kwa bandiko hili bila shaka utafanikiwa vizuri kabisa ninawazo la kufuga nguruwe eneo tayari ninalo kama ekari moja lipo nje ya mji kiasi na tayari nimeanza kujenga kibanda changu then nifuate mabanda ya nguruwe nafikiri kuanza na nguruwe 5 tuu ili nijifunze na kuona namna ya kufanya expansion nime subscribe huu uzi naamini nitajifinza zaidi nitakapo anza kazi hii rasmi nimeona maoni na changamoto nyingi ambazo marafiki wametoa ushauri zisikuvunje moyo bali zikuimarishe reactions japhete robert bila shaka wewe ni wale wasabato masaliaupo airport unategemea kwenda ulaya pasipo vizahata hio biblia yenyewe huijui unaleta blabla turudi shule threads 1334991 posts 32492587
2019-09-18T09:12:48
https://www.jamiiforums.com/threads/natafuta-serious-partner-wa-kuanzisha-mradi-mkubwa-wa-nguruwe-tanzania.1580199/page-10
karibu mlima sayuniuwanja wa uwazi na ukweli kuhusu masuala yote ya kibiblia na ukristo makanisa yakanusha kuwa na mgombea wao wa urais
2018-07-16T10:42:03
http://sayuni.blogspot.com/2010/10/makanisa-yakanusha-kuwa-na-mgombea-wao.html
serikali imebariki ttcl itafunwe | gazeti la jamhuri serikali imebariki ttcl itafunwe kampuni ya simu tanzania (ttcl) ni mali ya watanzania kwa asilimia 65 sehemu nyingine ya hisa ndiyo inayomilikiwa na wawekezaji kwa miaka zaidi ya 10 ttcl imeachwa yatima hakuna waziri naibu waziri wala katibu mkuu yeyote wa wizara yenye dhamana na mawasiliano aliyeweza kukutana na wafanyakazi menejimenti ya ttcl inajiendesha kadri ya utashi wake bodi imebaki kufaidi posho ya vikao inayofikia sh milioni kwa kila mjumbe kwa kila kikao kuna wizi wa fedha wa mabilioni ya shilingi kiongozi wa ttcl alipaswa kuwa ameshastaafu lakini kwa namna ya kipekee ya kulindana katika nchi hii ameongezwa mkataba huku vijana wenye ari nguvu na dhamira za kulitumikia taifa lao wakiachwa bila ajira kwa wiki kadhaa sasa tumekuwa tukiandika juu ya mkataba tata ambao ttcl imeingia na kampuni moja ya ulinzi mkataba huo wenye thamani ya shilingi zaidi ya milioni 740 ni wa ujanja ujanja kwa kila namna imebainika kuwa kampuni haina walinzi wa kutosha wala silaha kama ilivyojitanabaisha kwenye mkataba huo uliosainiwa mwaka jana kwa ufupi ni kwamba ttcl imeachwa iwe shamba la bibi ambalo kwa kawaida kila anayetaka kuchuma tunda huachwa achume bila kuulizwa kinachosikitisha zaidi ni kuona kuwa pamoja na kelele zote zinazopigwa kuhusu hujuma ndani ya kampuni hii ya umma wahusika wametia pamba masikioni wabunge wamekuwa makini sana kuhoji tanesco na mashirika mengine lakini kwa ttcl ni kama na wao wanapata mgawo tunatoa wito kwa waziri mwenye dhamana kuzinduka na kuhoji yanayoendelea ndani ya ttcl tunatoa wito kwa wabunge kuhoji utendaji kazi wa kampuni hii tunamwomba mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali afanye special auditing abaini siri kubwa za ulaji zilizojikita ndani ya kampuni hii haya mambo yanapaswa kufanywa haraka kabla ttcl haijazikwa na walaji waliomo ndani kama imewezekana mamlaka ya bandari tanzania (tpa) shirik la reli tanzania (trl) na kwingineko tunaamini hata ttcl itawezekana previous mkono awaunga mkono mtwara next chadema tunataka serikali 3
2018-09-19T18:56:50
http://www.jamhurimedia.co.tz/serikali-imebariki-ttcl-itafunwe/
matukio @ michuzi blog madiwani katika halmashauri ya manispaa ya moshi watoa zawadi kwa wagonjwa hosptali ya rufaa ya mkoa wa kilimanjaromawenzi madiwani katika halmashauri ya manispaa ya moshi watoa zawadi kwa wagonjwa hosptali ya rufaa ya mkoa wa kilimanjaromawenzi katibu wa hospitali ya rufaa ya mkoa wa kilimanjaro mawenzi boniface lyimo akizungumza mara baada ya kuwapokea madiwani hao na kutoa maelekezo ya namna ya kutoa zawadi hizo kwa wagonjwa waliolazwa katika hospitali hiyo
2018-07-19T15:01:35
https://michuzi-matukio.blogspot.com/2017/01/madiwani-katika-halmashauri-ya-manispaa.html
wahariri wasema saa ya mubarak ″kukata roho″ imefika | magazetini | dw | 03022011 wahariri wasema saa ya mubarak kukata roho imefika wahariri wazungumzia juu ya mapambana ya jana mjini cairo waandamanaji wakisema mubarak nenda zako matukio ya nchini misri bado yanaendelea kugonga vichwa vya habari duniani na nchini ujerummani wahariri wa magazeti wanatoa maoni yao juu ya matukio hayo mhariri wa gazeti la leipziger volkszeitung anaesema kuwa waandamanaji wanaotetea demokrasia wameonyesha wazi kwamba hawakubali kubabaishwa na ahadi iliyotolewa na rais mubarak kwamba hatagombea tena urais mnamo mwezi wa septemba gazeti hilo linasema waandamanaji wanaotetetea demokrasia wanamtaka mubarak aondoke mara moja lakini badala yake utawala wake jana ulianza kuwashambulia watetezi wa demokrasia kwa kuwatumia mawakala wanaonufaika na utawala huo mhariri wa gazeti la hessische/niedersächsiche allgemeine pia anazungumzia juu ya mashambulio yaliyofanywa jana na mawakala wa utawala wa rais mubarak mhariri huyo anasema kuwa mubarak sasa anatumia kila mbinu ili kuwakabili wapinzani wakemhariri huyo anaeleza kwamba rais mubarak anataka dunia ione kwamba sasa pana makundi mawili ya umma wa misri yanayopingana lakini licha ya utepetevu wa wanajeshi mhariri anasema jambo moja ni wazi nalo ni kwamba saa haiwezi kurudi nyuma tena nchini misri hata hivyo wanajeshi wanaweza kusaidia katika kuepusha umwagikaji wa damu gazeti la braunschweiger linawazungumzia wale wanaomuunga mkono rais mubarak waliojitokeza jana na kupambana na wapinzani wa serikali gazeti hilo linaeleza kuwa wanaomuunga mkono mubarak ni wale wanaonufaika na utawala wake lakini watu hao siyo wawakilishi wa umma gazeti hilo linasema kuwa maamlaka ya mubarak yamo hatarini kuondoka na wapo wengi ambao kwa muda wa miaka mingi wamekuwa wananufaika na utawala wa mubarakwale ambao wamekuwa wanajitajirisha lakini hao siyo wanaowakilisha matumaini ni wapinzani wa mubarak wanaowakilisha mustakabali wa matumaini mashabiki wa mubarak hawatimii hata milioni moja na wala hawauwakilishi umma wa misri mhariri wa gazeti la badische neueste nachrichten anasisitiza kuwa safari ya mubarak ya kupotelea mbaliilianza siku nyingi kiasi kwamba gurudumu la historia haliwezi kurudi nyuma tena mhariri huyo anaeleza kwamba misri imesimama ana kwa ana na mustakabali pana fursa mpya lakini pia bado pana hali ya wasiwasi siku zinazokuja zitaonyesha wazi wapi misri inaelekea katika maoni yake gazeti la frankfurter allgemeine linazungumzia juu ya msimamo wa marekani kwa kusema kwamba utawala wa obama umegawika katika sehemu mbili juu ya matukio ya nchini misri mhariri huyo anafafanua kwa kusemautawala wa obama haujatamka kadamnasi kumtaka rais mubarak andoke madarakani badala yake rais obama aliyasema hayo kwa njia ya simu gazeti hilo linaeleza kuwa hayo yanaonyesha mgawanyiko wa haiba ya marekani juu ya mgogoro wa misri lakini gazeti linakumbusha kuwa yaliyotokea iran miaka zaidi ya 30 iliyopita yanapasa kuwa onyo na funzo kwa marekani marekani inapaswa kusimama wazi katika upande sahihi wa historia kiungo http//pdwcom/p/109o7
2018-04-19T10:03:50
http://www.dw.com/sw/wahariri-wasema-saa-ya-mubarak-kukata-roho-imefika/a-14814039
swahili hood portal » ubinafsi umeua tasnia ya filamu bongo kemmy your are here home // habari // ubinafsi umeua tasnia ya filamu bongo kemmy posted on apr 11th 2018 by ripoti na filamucentral kemmy mwigizaji wa filamu swahilihood muigizaji mkongwe katika tasnia ya bongo julieth samson kemmy amefunguka kuwa sababu kubwa ambayo inaifanya tasnia ya filamu kudorora na kushuka ni ubabaishaji uliyoizuguka tasnia hiyo akianza na wasanii wakitawaliwa na ubinafsi na pia mfumo mbaya wa usambazaji kemmy akiwa katika pozi la shughuli mlimani city kemmy mwigizaji mkongwe bongo ubinafsi kutoka kwa wasanii nacho ni chanzo kikubwa cha kufa kwa tasnia ya filamu nchini msanii mwezako akitangulia kwa msambazaji kwako si rahisi tena kusambaza kazi yako hatupendani na tunaogopanaalisema kemmy pia kemmy anasema kuwa kushindwa kuheshimu taaluma na kuweka mgawanyiko wa kazi kwa wahusika ni changamoto nyingine hivyo anawashauri wasanii wenzake wajenge tabia ya upendo na kupeana nafasi pale anapoona fursa kwa msanii mwenzake
2019-08-25T13:27:38
http://www.filamucentral.co.tz/2018/04/11/ubinafsi-umeua-tasnia-ya-filamu-bongo-kemmy/
maaskofu afrika ya kusini rais zuma usiogope kung'atuka radio vatican baraza la maaskofu katoliki afrika ya kusini lina mshauri rais jacob zuma kuonesha ujasiri na unyenyekevu wa kisiasa kwa kung'atuka kutoka madarakani ili kutoa nafasi kwa afrika ya kusini kuganga na kuponya saratani ya rushwa na ufisadi unaoendelea kusababisha hali ngumu ya uchumi nchini humo afp askofu mkuu stephen brislin bwana pravin gordhan bwana malusi gigaba uchaguzi mkuu nchini kenya 2017 sifa kuu za viongozi wanaotakiwa rushwa na ufisadi ni chanzo cha majanga na maafa ya binadamu mjadala wa kimataifa kuhusu rushwa waanza vatican watu wa drc wakumbwa na baa la njaa na watoto kupata chanjo ya surua kenyaviongozi wa madhehebu ya dini kuomba amani na utulivu wa nchi wasiwasi wa maaskofu nchini cameroon kutokana na malumbano radio pacis uganda ya kusanya habari za wakimbizi wa sudan kusini askofu mkuu kaigama nchini nigeria amesikitishwa na shambulizi uchaguzi mkuu kenya kwa mwaka 2017 ombeeni amani na maendeleo amani bado ni changamoto pevu jamhuri ya watu wa afrika ya kati
2017-08-18T14:28:10
http://sw.radiovaticana.va/news/2017/04/06/maaskofu_afrika_ya_kusini_rais_zuma_usiogope_kungatuka!/1303934
kauri zilizowekwa kwa umeme kwa matumizi ya elektroniki china manufacturer jinghui industry ltd [hunanchina] aina ya biasharamanufacturer masoko kuu americas asia europe worldwide nje71 80 certsiso9001 fda maelezokauri za metallizedvipande vya kauri vya metallizationvitambaa vya metallized kwa matumizi ya elektroniki home > bidhaa > chuma za keramik > insulator ya ceriamu iliyojengwa > kauri zilizowekwa kwa umeme kwa matumizi ya elektroniki uzalishaji 10000pcs/month kauri zilizobuniwa zenye metali kwa matumizi ya elektroniki vitambaa vya metallized vimetumika sana katika matumizi ya elektroniki kwa sababu ya insulation bora voltage ya kupambana na kiwango cha juu na mali ya sasa nzuri ya mitambo na sugu ya kemikali inachukua jukumu muhimu la uunganisho kutoka kwa chuma hadi kukausha chuma chuma hadi kauri ya kauri ni rahisi kupata kiunga kizuri cha gesi sehemu ndogo ya saizi hadi saizi ya sehemu kubwa inapatikana wakati yeye ni mdogo kipenyo kinaweza kuwa 1mm kipenyo kikubwa ni hadi 800mm kuweka kawaida kama ilivyo hapo chini 1 mwili wa kauri wa kauri + mo / mn metallization 2 raw mwili wa kauri + mo / mn metallization + nickle plating 3 kuweka mwili wa kauri + ag (fedha) 4 raw kauri mwili + w (tungsten) metallization + au (dhahabu) mchovyo tuna uwezo wa kutoa usahihi wa juu wa metallized tube ya kauri metali ya kauri ya metali rekodi za kauri za chuma pete za kauri za metali kupitia aina ya kusaga vizuri machining ya cnc michakato ya kukata uvumilivu mzuri zaidi unaweza kuwa +/ 0001 kwa urefu +/ 0005 kwa kipenyo cha ndani na nje vigezo muhimu vya ufundi ● high bonding / brazing nguvu ● kiwango cha chini cha kuvuja ● nguvu ya juu ya insulation ● upinzani wa juu wa sasa / voltage ● sipingana na kutu bila kutu ● nguvu kubwa ya mitambo ● upanuzi wa chini wa mafuta inatumika sana kwenye bomba la kutokwa kwa gesi vinjari vya utupu zilizopo za elektroni vuta ya utupu vipuli vya kusafiri vya wimbi nyumba ya diode zilizopo za xray na kadhalika tuna vifaa vya utengenezaji wa nyumba kamili kutoka kwa kuchaghai hadi umeme inatusaidia kufanya msimamo wa pande zote vizuri pia hutusaidia kutoa gharama ya ushindani zaidi kauri za metallized vipande vya kauri vya metallization vitambaa vya metallized kwa matumizi ya elektroniki kauri ya metallized kauri ufundi wa kauri za metallized pete ya kauri ya metallized pete ya kauri ya metaillized kauri za metallized vipande vya kauri vya metallization vitambaa vya metallized kwa matumizi ya elektroniki kauri ya metallized kauri pete za kauri za metallized ufundi wa kauri za metallized pete ya kauri ya metallized pete ya kauri ya metaillized
2020-08-08T12:10:55
https://www.ceramictek.com/sw/metallized-ceramic-insulator/53614688.html
matumizi ya tehama kusaidia kupunguza msongamano ofisi za dc na rc | gazeti la jamhuri mkuu wa mkoa wa rukwa mh joachim wangabo akitoa salamu zake za maadhimisho ya wiki ya sheria mkuu wa mkoa wa rukwa mh joachim wangabo (wa tatu kutoka kulia) akiwa na jaji mfawidhi wa mahakama kuu ya tanzania kanda ya sumbawanga john mgeta (wa kwanza kushoto) na jaji mkuu wa mahakama kuu ya tanzania kanda ya sumbawanga dk adam mambi (wa pili kutoka kulia) na mwanasheria wa serikali mkoa wa rukwa prosper regerera mkuu wa mkoa wa rukwa mh joachim wangabo akisalimiana na jaji mkuu wa mahakama kuu ya tanzania kanda ya sumbawanga dk adam mambi na kuongeza kuwa elimu hii ya sheria iendelee kutolewa ili kurahisisha upatikanaji wa huduma kwa wakati huku wakizingatia kaulimbiu ya maadhimisho hayo inayosema matumizi ya tehama kwa kutoa haki kwa wakati na kuzingatia maadili 348 total views 13 views today rc wangabo tehama 20180202 previous breaking news tazama matokeo ya kidato cha nne 2017 yapo hapa next waziri mhagama muswada wa sheria ya mfuko wa hifadhi ya jamii kunufaisha watumishi wa umma
2018-02-22T18:34:18
http://www.jamhurimedia.co.tz/matumizi-ya-tehama-kusaidia-kupunguza-msongamano-ofisi-za-dc-na-rc/
serikali yaanza kuikabili dengue mwanahalisi online posted by danson kaijage 27 days ago 0 2045 views serikali imesema imekusanya watalaamu kutoka sehemu mbalimbali kwa ajili ya kuangamiza mbu ikiwa ni hatua za awali za kupambana na ugonjwa wa dengue anaripoti danson kaijage dodoma (endelea) kauli hiyo imetolewa leo tarehe 19 juni 2019 na ummy mwalimu ambaye ni waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto alipojibu swali la nyongeza la mbunge wa ilala mussa azzan zungu (ccm) katika swali lake zungu alitaka kujua ni kwanini serikali isitoe dawa za chenga kwa viongozi wa mitaa ili waweze kumwaga katika maeneo yao kuua mbu na mazalia yake hawa mbu hivi sasa wanaingia majumbani kwenye mabasi na hata katika masanduku sasa ni kwanini serikali ikatoa dawa za chenga na kuzigawa kwa viongozi wa mitaa ili waweze kumwaga kuua mbu na mazalia yake amesema ummy amesema tayari dawa mbalimbali zinatumika katika kudhibiti ugonjwa huo kwa sasa amesema hakuna njia nyingine katika kudhibiti ugonjwa huo zaidi ya kuua mbu na mazalia yake tumesha wakusanya watalaamu wa kuangamiza mbu toka sehemu mbalimbali kuangalia njia mbalimbali za kupambana na mbu lakini inaonekana mbu hawa ni sugu amesema awali akijibu swali la msingi la neema mgaya viti maalum (ccm) naibu waziri wa wizara hiyo faustine ndugulile amesema wametoa fursa kwa watumishi 400 ambao wapo katika vyuo mbalimbali kusomea huduma za kutoa dawa za usingizi ndugulile anasema miongoni mwa watumishi hao wanatoka mkoa wa njombe ameeleza kuwa mara watakapohitimu kozi hiyo mkoa wa njombe pia utanufaika kwa kuimarisha huduma huduma ya dawa za usingizi katika hospitali mbalimbali zilizopo katika mkoa wa njombe amesema katika kipindi cha mwaka 2018/2019 mkoa wa njombe katika vyanzo vyake ulisomesha wauguzi watano kutoka halmashauri ya ludewa (2)makete (1) wangiingombe (1)na njombe (1) kwa kozi ya mwaka mmoja amesema katika ngazi ya hospitali ya mkoa umepeleka madaktari wawili kusoma shahada ua uzamivu wa dawa za usingizi na ganzi ili kuimarisha huduma za wagonjwa mahututi katika swali lake neema alitaka kujua ni lini serikali itatatua changamoto ya madaktari wa dawa za usingizi katikamkoa wa njombe serikali imesema imekusanya watalaamu kutoka sehemu mbalimbali kwa ajili ya kuangamiza mbu ikiwa ni hatua za awali za kupambana na ugonjwa wa dengue anaripoti danson kaijage dodoma (endelea) kauli hiyo imetolewa leo tarehe 19 juni 2019 na ummy mwalimu ambaye ni waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto alipojibu swali la nyongeza la mbunge wa ilala mussa azzan zungu (ccm) katika swali lake zungu alitaka kujua ni kwanini serikali isitoe dawa za chenga kwa viongozi wa mitaa ili waweze kumwaga katika maeneo yao kuua mbu na mazalia yake hawa mbu hivi sasa wanaingia majumbani kwenye&hellip previous mahakama eacj hapatoshi mbowe maalim seif zitto ndani next mauaji ya mwanachuo kiu mtuhumiwa akiri kuhusika
2019-07-16T00:34:09
http://mwanahalisionline.com/serikali-yaanza-kuikabili-dengue/
burudan mwanzo mwisho wema kuhukumiwa j3 ijayo gazeti hili lilimtafuta wema ili kusikia ana lipi la kusema juu ya hukumu hiyo lakini hakupatikana badala yake meneja wake martin kadinda alikuwa na haya ya kusema
2018-07-21T13:13:00
http://burudan.blogspot.com/2013/11/wema-kuhukumiwa-j3-ijayo.html
trump ataka bunge kufutilia mbali bima ya afya ya obama | matukio ya kisiasa | dw | 24032017 trump ataka bunge kufutilia mbali bima ya afya ya obama rais donald trump asema amehitimisha majadiliano kuhusu sheria ya kuuondoa mpango wa bima ya afya ya rais wa zamani barack obama maarufu obamacare na kuwataka wabunge kuunga mkono mpango wake katika kura itakayopigwa leo tamko hilo la trump linakuja baada ya wabunge wa chama cha republican kutangaza kuwa watachelewesha kura kuhusu mpango wa kuifumua sheria ya huduma ya afya ya rais wa zamani barack obama maarufu kama obamacare mpango ambao utapunguza jukumu la serikali katika kuwasaidia watu kumudu bima na huenda ukawaacha wamarekani wengi bila ya bima ya afya je wabunge wataifutilia mbali obamacare wabunge wa republican walipaswa kupigia kura mswada mpya wa afya jana alhamisi lakini badala yake wakatangaza kuwepo mkutano miongoni mwa wanachama wa chama hicho tangazo hilo linaonekana kuwa pigo kwa rais donald trump ambaye alishinda kutwa nzima jana akifanya mikutano ya kujaribu kupata uungwaji mkono kutoka kwa wanachama wa chama chake cha republican rais donald trump akizungumza na baadhi ya wabunge viongozi wa bunge walilalazimika kuahirisha kura hiyo kutokana na baadhi ya warepublican wenye misimamo mikali kukataa kuidhinisha muswada wa kuwepo bima mpya bila ya mswada huo kufanyiwa mabadiliko muhimu na hivyo kuwa mtihani wa kwanza bungeni kwa rais mpya wa marekani wa iwapo atawashawishi wabunge wa chama chake walio wengi bungeni kumuunga mkono kuhusu suala hilo la bima ya afya kwa marekani au la mkurugenzi wa bajeti katika ikulu ya rais mick mulvaney amewaambia wabunge kuwa ametumwa na rais trump kuwaeleza kuwa wafanye kila wawezalo kuhakikisha kuwa ifikapo ijumaa wawe wamefikia uamuzi kuhusu iwapo huduma ya afya ya obamacare inaondolewa au la na kama haitakuwa imeamuliwa ifikapo leo basi utawala huo utasonga mbele na mambo mengine mkakati huo wa trump wa kutoa muda wa mwisho kwa wabunge wa chama chake kufikia maamuzi kunaonekana kulenga kuwashinikiza warepublican walioasi kusalimu amri na kuunga mkono ajenda zake mamilioni kuathirika iwapo obamacare itasitishwa spika wa bunge paul ryan ambaye amekuwa akiunga mkono muswada wa bima mpya ijulikanayo american health care amewaambia wanahabari kuwa wamekuwa wakiwaahidi wamarekani kuwa wataifuta bima ya obamacare kwa sababu inaporomoka na kutoa huduma zisizostahili kwa familia na hivyo watasonga mbele kuhakikisha hilo linafanikiwa rais wa zamani wa marekani barack obama bunge linatarajiwa kukutana kwa ajili ya kura hiyo leo mchana saa za washington wengi wa warepublican wanaopinga mpango wa trump wanasema mpango huo bado ni wa gharama ya juu kwa serikali wanataka kipengele cha kutolewa kwa huduma za kimsingi za afya kama afya ya uzazi huduma za dharura na huduma za kuzuia magonjwa kama chanjo na uchunguzi wa matibabu ambazo ziko katika obamacare inayoshurutisha kampuni za bima kusimamia kuondolewa wakihoji inafanya gharama ya bima ya afya kuwa juu mpango huo wa warepublican utawaacha wamarekani milioni 14 bila ya bima ya afya kuanzia mwaka ujao wademocrat wamejiandaa kupiga kura kwa kauli moja kwa hivyo viongozi wa republican wanahitaji kupunguza idadi ya wanaoupinga mpango mpya wa bima ya afya hadi chini ya wabunge 22 miongoni mwa wabunge wao 237 katika bunge la jumla ya wabunge 430 mada zinazohusiana barack hussein obama chama cha republican donald trump maneno muhimu donald trump obama republican kiungo http//pdwcom/p/2zrtn
2017-09-26T21:43:56
http://www.dw.com/sw/trump-ataka-bunge-kufutilia-mbali-bima-ya-afya-ya-obama/a-38101317
azam fc yasajili mchezaji mpya kutoka ivory coast alikuwa anacheza ghana bin zubery | presstz your number 1 source of aggregated online content by bin zubery / posted thursday 11th july 2019 kwa sasa kikosi cha azam fc kipo mjini kigali rwanda kinaposhiriki michuano ya klabu bingwa afri continue reading >
2019-07-16T03:02:28
http://presstz.net/azam-fc-yasajili-mchezaji-mpya-kutoka-ivory-coast-alikuwa-anacheza-ghana-52258072
mchezo wa ufunguzi ligi kuu ya zanzibar kati ya mlandege na jangombe boys uwanja wa amaan zanzibar timu ya mlandege imeshinda bao 10 zanzinews home matukio michezo mchezo wa ufunguzi ligi kuu ya zanzibar kati ya mlandege na jangombe boys uwanja wa amaan zanzibar timu ya mlandege imeshinda bao 10 mchezo wa ufunguzi ligi kuu ya zanzibar kati ya mlandege na jangombe boys uwanja wa amaan zanzibar timu ya mlandege imeshinda bao 10 othman maulid 208 pm wachezaji wa timu ya mlandege wakisalimiana na wachezaji wa timu ya jangombe boys kabla ya mchezo wao wa ligi kuu ya zanzibar uliofanyika katika uwanja wa amaan zanzibar timu ya mlandege imeshinda mchezo huo kwa bao moja bila timu ya mlandege ikiwa ni mchezo wake wa kwanza wa ligi kuu ya zanzibar baada ya kupanda daraja mwaka huu kikosi cha timu ya jangombe boys kilichokuba kipigo cha bao 10 katika mchezo wao wa ufunguzi wa ligi kuu ya zanzibar kwa msimu wa mwaka 2018/2019 uliofanyika katika uwanja wa amaan zanzibar kikosi cha timu ya mlandege kilichoilaza timu ya jangmbe boys katika mchezo wao wa ufunguzi wa ligi kuu ya zanzibar mchezo uliofanyika uwanja wa amaan zanzibar ikiwa ni mchezo wao wa kwanza baada ya kupanda daraja mwaka huu2017/2018
2019-03-23T00:58:39
http://www.zanzinews.com/2018/10/mchezo-wa-ufunguzi-ligi-kuu-ya-zanzibar.html
lugola atangaza operesheni kuwaondoa wahamiaji haramu mkoani kigoma | ministry of home affairs lugola alifafanua kuwa operesheni hiyo itasaidia kupunguza matukio ya uhalifu katika maeneo mbalimbali mkoani humo ambapo kwa kiasi kikubwa hutekelezwa na wahamiaji hao haramu
2018-10-22T13:59:25
http://moha.go.tz/sw/blog/2018-10-03/lugola-atangaza-operesheni-kuwaondoa-wahamiaji-haramu-mkoani-kigoma
neno la leo mtoto wa mkulima na wasomi wa mlimani | jamiiforums | the home of great thinkers neno la leo mtoto wa mkulima na wasomi wa mlimani discussion in 'jukwaa la siasa' started by maggid dec 15 2010 ( hii ni sehemu ya makala yangu ya raia mwema iliyochapwa leo jumatano) wakati wa uhai wake profesa abdulahaman babu alipata kusema kuwa ukichanja mwili wa mwafrika basi kwenye damu yake utaona kuna chembe chembe za mkulima profesa babu alimaanisha kuwa kwa asili mwafrika ni mkulima waziri mkuu wetu ndugu mizengo pinda ametamka hadharani kuwa yeye ni ’ mtoto wa mkulima’ lakini tukimrejea profesa abdulahaman babu tunaona kuwa tulio wengi tu watoto au tuna asili ya watoto wa wakulima ni bahati mbaya kuwa watoto wengi wa wakulima wamekuwa wakiionea haya historia yao majuzi hapa mizengo pinda alifika pale chuo kikuu mlimani akakutana na bango la watoto wenzake wa wakulima walimwambia ”mtoto wa mkulima tunalala nje” iliwachukua dakika kadhaa kwa pinda na mkuu wa chuo hicho prof mukandara kujadili namna wanafunzi hao walivyofaulu kupenyeza bango hilo ndani ya ukumbi ule wa nkrumah hatimaye pinda akaweka wazi kuwa ujumbe umefikakisha akajibu ujumbe ule wa watoto wenzake wa wakulima kwa kuahidi kutoa shilingi milioni kumi kila mwaka kwa kipindi cha miaka mitano lakini kama watoto wale wa wakulima pale mlimani wangemwuliza waziri mkuu wao swali lifuatalo ”mtoto wa mkulima kwanini tunalala nje ni dhahiri mizengo pinda asingekimbilia kuingiza mikono mfukoni maana hutokea kwangu nikakutana na kijana anayeniambia ”braza sijala tangu asubuhi” jibu langu laweza kuwa chukua elfu moja hii nenda ukale lakini kama kijana huyo huyo ataniuliza ”braza nimemaliza chuo kikuu sina ajira wala hakika ya kula yangu ya kila siku unaweza kuniambia ni kwa nini katika nchi hii vijana wasomi wanakosa ajira na hakika ya kula yao swali hilo alitaukimbiza mkono wangu mfukoni kuisaka elfu moja ya kumpa kijana huyo litanifanya niumize kichwa na katika historia tunasoma kuwa kuna wakati katika nchi ya ufaransa alitokea malkia aliyeitwa marie antoinette malkia huyu aliamka asubuhi moja kwenye kasri yake na kukuta maandamano ya wakazi wa jiji la paris waandamanaji walibeba mabango yenye kusema hatuna mikate naye malkia aliwatazama wasaidizi wake kisha akatamka “ basi wapeni keki” jibu la malkia lilikuwa jepesi sana kwa tatizo kubwa na hilo ni neno la leo kinondoni biafra dar es salaam desmba 15 2010 masoudmwevi member bwana mjengwa hii ndio nchi yetu tumezoea kutoa majibu mepesi kwa maswali magumu kwa kweli ni aibu ukilinganisha utashi wa kisiasa uliojitokeza kuijenga udom kwa speed ya light na kuiacha udsm ikienda kwa speed ya 24kbs hapo tatizo ni wanasiasa kutafuta cheap popularity tu kwani wanaamini kuwa udom ndio itakuwa chakujidaia wakati wa kampeni zijazo
2018-01-18T14:20:33
https://www.jamiiforums.com/threads/neno-la-leo-mtoto-wa-mkulima-na-wasomi-wa-mlimani.95439/
uploaded shinya hashimoto great sasuke mrniebla roadkill takaiwa mistico ii raven page 5 xbox 360 cawsws
2020-07-06T13:00:26
https://caws.ws/forum/topic/442174-uploaded-shinya-hashimoto-great-sasuke-mrniebla-roadkill-takaiwa-mistico-ii-raven/page/5/
a jay blog aunty ezekiel ngozi na kazi yangu vinanipa dili aunty ezekiel ngozi na kazi yangu vinanipa dili msanii na mtayarishaji wa filamu za swahiliwood aunty ezekiel amesema kuwa matokeo ya kuilinda ngozi yake kwa kutotumia ovyo vipodozi yamekuwa na faida kubwa kwake anasema kwa umakini huo ngozi yake ina mwonekano wa kuvutia hivyo kumpa nafasi kubwa ya kupata kazi katika tasnia hiyo katika maisha yangu ngozi ina thamani kubwa huwa nailinda isidhurike na kemikali vipodozi vyangu ni vya kawaida kabisa alisema baada ya kuchaguliwa kuwa balozi wa zuku situmii kemikali kabisa na sina gharama kama wengine najivunia mwonekano wangu wenye kuvutia pamoja na kuwa na uwezo wa kuigiza ndiyo maana nawashika wapenzi wa filamu msanii huyo pamoja na jacob stephen walichaguliwa kuwa mabalozi wa zuku swahili movie inayotarajia kuzinduliwa mwezi ujao kwa ubalozi huo wanatarajiwa kupata mikataba ya matangazo itakayohusu bidhaa za kampuni hiyo pia kushiriki katika kampeni mbalimbali za filamu posted by ajuna jesse at 22000 pm videompya chege amerudi na hii nyingine runtown mabibi na mabwana huyu hapa kutokea wanaume family chege chigunda hii hapa video ya wimbo wake mpya unaoitwa runtown ametualika kuitazama leo august 21 20
2017-08-21T19:47:47
http://ajunajesse.blogspot.com/2012/07/aunty-ezekiel-ngozi-na-kazi-yangu.html
sintahcom sipati picha december sintah's vacation itakuwa hapammmh cant wait sipati picha december sintah's vacation itakuwa hapammmh cant wait yaani boat lipo kwa juumuonekano wakejinsi ma mimi nitakavyokuwa naogelea hahaaaa yaani mungu atuweke hai na mimi nifike hii sehemu mwezi wa december katika my vocation maana juzi juzi hapa ilitangazwa kuwa sehemu ya maajabu saba ya dunianamimi nimependa sana hii sehemu december fika haraka ps nae akajionee maajabu hayamaana picha zitapigwa kila kona cant waitmungu nibariki vocation msaada kwenye tuta its vacation ni typing erro nadhanikwani hapo ni wapi sintauwe unatutoa tongotongo basi na wenzio hapo ni singapore hivi juzi tu hii sehemu ilitangazwa kuwa one of seven wonders of the world maana ni boat ya kipekee sio sisi tuu hata wenyewe wanashangaa sana si unajua kwa mthungu kila kitu kinawezekanawameshindwa kutengeneza roho tuu ya binaadamps sintah jamani mimi hapa nilikuwa napanga niende vacation mwakani february nikawa najiuliza niende wapi nikawaza mara dubai ila nikaona kama hapana nikawaza uk nikaona hapanaila sasa umenipa wazo zuri sanana mimi mungu akiniweka hai mwakani nitaenda huko nikashangae kidogounaweza kujua air fare inarange wapi ili nijue najipangaje ntashukuru kama utanijibumariam yap wangu vacation ni muhimu haswaamaana unapata stress everyday cha msingi nenda ktk airline au travel agents waulize return ticket ni sh ngapi ya singapore then other details on how to get the place nitakupa if your seriousall the bestps yes my dia niko very serious stress kila kona si kazini si nyumbaninimejionelea isiwe tabu acha nikafurahie hii dunia mungu aliyotupa asante kwa kunijibu nitaulizia halafu other details nitakuuliza via email you have such a great heart sintah thank youmariam mmmmh wengine naona kaburini mana hata nikisema niende vocation nitaishia msasani hahahahah au bichi za kigamboni sintah mungu atakusaidia tuu na utaenda ni kujipanga kuwa na amani mbona december mbali au sasa hujapata michongo ni idea nzuri ya kutembea kupata mambo mapyahongera kwa kupata akili hio hope its true manake mademu wa bongo kwa kuota ndoto za mchana hamjambo na kama ni kweli mwenyezi mungu akujaalie ndoto yako itimie lkn kabla ya kutype kitu hapa angalia spelling manake dunia nzima inasoma hii blog unaenda alone au na shemeji naenda peke yangu na my aunt jasmine jimmy anonymous wa aug 24th nina kazi nyingi sana mara nyingine nampa mtu afanye hii kazi kama akikosea ni binadamu yeye sio malaika ndio maana wanasema human beings arent perfect hata wewe unaweza ukamsahihisha kwani hajaziliwa anajuaau mimi nikikosea typing error lazima useme maana ninafanya kazi tatu kwa mpigo ku apload ps na kazi zangu sasa ukiona kuna mistake sema but not complainingsioti ndoto za mchana ndo maana nasema kuwa mungu anisaidiesikuurupuki ninajipanga aunt aunt sintah umeongea la maana maana spelling watu wanakoseapol kwa majukumu mengi ndio ukubwa huo dada hata hivyo tunashukuru maana unatujali na kutuhabarisha badomama vicky tutaomba picha tafadhali ya hiyo holiday yako na sie turidhishe macho manake uwezo hatuna mi naona watu wengine huwaga wanakurupuka kukoment bila kusoma habari nzima mtu kasema mwenyeezi mungu akijaalia ataenda huko dec bado unaleta porojo duu au ndo ushindani kwanini usikubali tu umekosea mpaka usingizie etikuna mtu unampaga akutaipie
2017-07-24T12:47:02
http://prettysintah.blogspot.com/2011/08/sipati-picha-mwezi-wa-kumi-na-mbili.html
pete ya mafanikio jamiiforums pete ya mafanikio mimi mwenyewe hapo ndpo hupata shida na hawa binadamu waganga anakuambia nipe elf 50 nikupe utajiri as if utajiri yeye hautaki kwenye hyo 50 anayokuomba ukimuongezea kiasi anakubali ila isipungue hitimisho dawa ya mafanikio ni kufanya kazi tu hao wauza mawe na utabili ni utapeli kama kubet mkuu si kila mtu anaweza kazi ya jeshi wengine huwadhamini watu na kutamba kana kwamba wao wanaweza kuna vitu sio unakuta sehemu nyingi hizi elimu ni kama hazijai kwa baadhi ya watu asili ya kuona mtu anakitu halafu hatumii mbona ni kawaida sana 7540 2000 mkuu kwanini unaiuza hiyo pete mkuu samahani naomba unifafanulie mechanism yake hadi kuleta bahati na utajiri mi naona ni madini tu kama madini mengine mechanism yake ipo kiroho zaidi ndio maana baadhi ya watu huwafaa na wengine haiwafai reactions ambiele kiviele and donlucchese niliyonayo mimi imeweka ufa kidogo hizi zinapatikana aliexpress na maduka mengine ya mtandaoni au sonara kubwa za kariakoo ikiwa unahitaji yakuti ya njano view attachment 1109461 yakuti ya njano ni moja kati ya mawe yanayo thaminishwa sana katika ulimwengu wa kiroho kwa faida nyingi za kimwili na kiroho hasa katika maisha ya kila siku ya mwanadamu tangu zama za kale na pia ni moja ya mawe makuu katika mlolongo wa mawe 9 yenye thamani na matokeo yaliyokwisha jaribiwa kisayansi na kiroho na kuonekana faida zake kwa uwazi na uthibitisho siku 6 tangu kuanza kutumiwa kwake na mtumiaji wahindi hufahamu jiwe hili kama jiwe la pukhraj au push raja na peetmani jiwe hili linapewa nafasi muhimu sana katika ulimwengu wa kinyota na linaaminika kubeba nguvu za sayari ya mushtara au jupiter unavyoijua wewe jupiter ni sayari ambayo ndio nzito zaidi katika mihimili ya solar system hivyo ukubwa huu na nguvu zake basi kama yaliyo mawe mengine yanavyofananishwa na sayari zilizopo juu na kuwakilishwa basi jiwe ka yakuti ya njano ndio pia linafananishwa na sayari hii yenye siri nyingi za kiroho katika mafanikio mvaaji wa pete au jiwe hili anatakiwa afahamu kabisa kwamba jiwe hili linavaliwa na watu maalum ambao ndio nyota yao hutawala na kupokea nguvu kirahisi kwenye jiwe hili kulingana na kila saa ya sayari hiyo inapozunguka kiduniani hapa yaani wakati ambao dunia huwa imezungukia katika jupiter au uelekeo wa dunia sehemu ambayo inaangalia jupiter na saa hiyo inapokuwa imemfikia mvaaji wa jiwe hili basi humjaza nguvu za jupiter kwa wakati huo wengine husema nyota humuwakia kwa kipindi hicho basi saa hiyo yeye chochote anachofanya kiliopo chini ya uwezo wa jupiter basi huweza kukifanikisha mambo yanayotawaliwa na sayari ya jupiter na kama wewe upo kwenye nyota rafiki za jupiter basi utayafanikisha kirahisi mambo hayo ni kuota maono kuota mambo yajayo kipato kuongezeka kuona au kubashiria madini kupata urahisi wa mali ulaini wa mambo urahimu upole mafanikio ya kiserikali kupona shinikizo la damu kung'ara kwa nyota kuwekwa karibu na uongozi kushilikishwa safari na kazi mafanikio kibiashara kuoa au kuolewa na mengineyo mfano wa hayo kumbuka ni kwa wenye nyota ambazo zina husiana na pia zina urafiki na sayari hiyo ya jupiter hii ni faida za sayari hiyo na nyota hizo ni nyota ya simba (leo) mshale (sagittarius) na samaki (pisces) madini mazuri ya kuvalia ni bati au silver yakuti ya njano huendana zaidi na nyota hizo hii ni kwa sababu nyota hizi zina urafiki na sayari ya jupiter jiwe hili hupatikana zaidi nigeria usa cambodia india thailand kenya nepal na sri lanka faida za yakuti ya njano yenyewe kama yenyewe jiwe hili humlinda mvaaji kutokukumbwa na mashetani au uchawi wao na humfanya mwenye kuvaa kuwa na tabasamu sana na mwenye furaha mara nyingi anapokuwa nalo hasa mwanamke kama mvaaji ni mwanamke basi humfanya apendwe zaidi na kusifiwa kwa nyanja yoyote aliyopo na kuonekana bila yeye mambo hayaendi pia kumfanya avutie zaidi kwa kupendeka na kuonekana lakini humrekebishia pia maisha yake ya kindowa au kumvutia mume katika tamaduni za kihindi mtu akivaa pete inayowakilisha jupiter huitwa guru au mwalimu wa kiroho kwa ukubwa wake hivyo waandishi wa habariwanasheriamajudgewaalimu na wanazuoni wa kihindi hujiongezea nguvu zaidi wanapovaa jiwe hili kwa imani zao kwenye series na habari zao utaona wanapete mbili hadi tatu vidoleni zikiwa na mawe tofauti hawavai mapambo wakuu nguvu na uadilifu katika imani yao basi jiwe hili huwafanya kuwa wenye nguvu kimaamuzi wenye kuweza kuhimili mambo magumu yanapowakuta au katika kushindanisha vitu au kesi wengine huvaa kama cheni na huwafanya waweze kuongea vema kiakili na kwa busara na utulivu na upole na heshima kabisa na kutiia kama wakuu fulani ndio maana kuna nyakati unaona wanazungumza na mtu hadi anaweza kulia sio movies walioishi nao wanajua hivi vitu pia na pia huwafanya wafikie mafanikio makubwa sana katika maisha yao ya kila siku ndio maana leo unaona wapo karibu sana na wachina pamoja na wazungu kwa sababu wamehifadhi na kutukuza asili zao wewe kalia kuona mtu akifanya jambo la kiroho tofauti na uislamu na ukristo ni uchawi utabaki hivyo hivyo jiwe hili pia hujulikana kwa uwezo wake wa kuponya maradhi ya figo hasa kwa wafanyaji wa massage hutumia pia na mdomomifupakikohozimafuakupoteza kumbukumbu na kuondosha homa za masaa nguvu yake pia humlinda mvaaji na ajali za kizembe pamoja na maneno ya kijinga na kumletea utulivu wa akilimaarifa humuongezea na furaha pia humsaidia mtu kutokukasirika hovyo na kununa nuna au kususa kusikokuwa na maana pamoja na kumuweka sana kifikra na kumkinga na chuma ulete pia na kutokunyolewa nywele usiku kwa kuvaa jiwe hili basi mtu huwa katika jiwe sawa na wale wanaoanza kutaka kupata nguvu ya mawe hushauliwa kutumia hili kwa maana lina matokeo ya haraka zaidi likifuatiwa na almasi mvaaji wa pete au jiwe hili basi hukingwa na yanayoweza kumletea udhalilifu kukinai mambo ya hatari kumtolea addicted ya vitu visivyo na faida na kumuwekea akili sawa asiweze kujiingiza kwenye mapenzi kupitiliza au kumletea unyonge wa kukutana kimwili na yoyote mwenye maradhi ya kingono anayoweza kumuambukiza na humfanya awe sahihi kwa maamuzi yake humfanya mvaaji kuwa vema kwenye kazi hasa biashara na kumvutia wateja hata kama kaajiliwa hasa kwa siku ya jumapili na alhamis humpa mtu mamlaka na kumfanya apande cheo ikiwa atafuata taratibu za uvaaji wake kila siku au baadhi ya siku kwa ambao sio rafiki na sayari hiyo hupunguza mafuta mwilini kwa mvaaji na humponya magonjwa ya ngozi na koo na inajulikana sana katika kuponya shinikizo au mgandamizo wa damu na kubalance presha mwenye kuvaa pete au kubeba jiwe hili basi atafanya mengi ya kiroho na miujiza bila yeye kutegemea kwa kuamuru hata kwa imani yake ya dini wanaoweza kuvaa yakuti ya njano kama mwenye kuvaa pete hii ana nyota ya mshale au samaki au aliyechomozewa na nyota moja kati ya hizo hata kama nyota yake ni nyingine lakini uchomozaji upo kwenye moja ya nyota hizo basi atapata faida hizi siku yoyote saa yoyote atakayo vaa na kwa haraka ataanza kuona mabadiliko hasa katika bahati nasibu kwa wacheza kamali bahati ya kupendwa ghafla na zote nilizotaja hapo kwa aliye na nyota ya kaa au punda au aliyechomozewa na nyota ya kaa au punda yeye humletea kingabarakausalamana kupanda cheo tu wengine wenye nyota tofauti wao hupata bahati na kinga tu kwenye jiwe hili uvaaji wa pete hii pete hii inapendeza zaidi kuvaliwa kidole cha shahada(index) kwa wanaume wa dini yoyote na kushoto kwa wanawake lakini kwa waislamu inapendeza zaidi kuvaa mkono wa kulia kidole cha pete hasa kuepukana na sunnah za mtume kuvaa pete mkono wa kulia na siku nzuri ya kuanza kuvaa pete hii ni alhamisi asubuhi au siku yoyote mwezi ukiwa umeanza kuchomoza ndani ya siku ya 17 au kwenye mwezi mpevu usivae mwezi ukiwa unahama au upo gizani wapi pa kuipata mimi ninayo moja tu kwa atakaye hitaji ninaiuza sh 600000/= vile ina crack ndogo ya ndani kama mstari hivi view attachment 1109462 wengine wenye kuhitaji agiza online zipo zinauzwa 739590/= hadi 1253590/= view attachment 1109687 inategemea na ukubwa na pia ukipata ndogo sana zina 365590/= view attachment 1109690 jitahidi upate ambayo ni pure otherwise utapata za 50000100000/= ambazo ni goroli sio pure view attachment 1109689 kwa asiyeelewa nazungumzia nini na wapiga zogo pitia hii thread uelewe kidogo ijue nyota yako nyota ni elimu ya sayansi ya kiroho ambayo inatumika dunia nzima kila mtu katika dunia akitaka asitake aamini au asiamini atakuwa amezaliwa katika moja wapo ya nyota hizi 12 zilizopo pia elewa ya kwamba ndugu yangu nyota yako moja imegawanyika katika makundi manne yaani 1 sina pete lakini na tusua maisha vizuri sana kwa neema ya yesu hongera mkuu mwenyezi mungu akuzidishie amen mkuu ni hiyo pete kuweka hapo imekuwa nongwa au hakuna ulichoelewa mara zote huwa nakuita muongona tena nakuita muongo kawape nduguzo ili wawe na hiyo bahati mbwadinho mkuu samahani nimekupm mbwadinho said nimejibu muda mrefu mkuu mbona iyo pete ina geometry ya pembe tano how on earth could i limit my fortune to just a mere stone instead of toiling my ass achana na hayo mambofanya kazi kwa bidii kua na nidham ya pesa zidi kusali kwa mungu yako mambo mengi yamefichwa nyuma ya hizo pete unazotaka ila hutawekwa wazi hapa najua tu atakuja na hoja ya kupinga ila ukweli utabak kua kweli nashukuru kwa mawazo mazuri mkuu mbona iyo pete ina pentagon
2019-09-22T08:34:23
https://www.jamiiforums.com/threads/pete-ya-mafanikio.1588887/page-4
hadithi | mambo muhimu ya kuzingatia katika uvaaji wa suti wakati unachagua suti au unapimwa ili ushonewe sutijambo la kwanza tazama kama bega la suti unayonunua/kupimwa liwe ni size yakokwa sisi wabunifu wa mavazi hususani suti (za kike na za kiume) bega ndio kipimo cha kwanza kumpima mvaaji na kupitia bega tunaweza pia kutambua kuwa ulinganifu wa vipimo vingine uko sawa au lalakini pia bega ndio sehemu ambayo ni ngumu zaidi na inahitajika umakini mkubwa sana katika kubuni nguo na kuishona kwani bega likikosewa basi suti yote haitomfaa mvaaji hivyo nawe unaekwenda kununua suti tafadhari anza na bega 2 zingatia kipimo/size ya suti inayokufit vizuri pamoja na bega kuwa lenye kukutosha lakini pia jitahidi kuzingatia kipimo cha suti nzima kwa ujumla ikutoshe kwa kukufiti vizuri kabisaisikupwaye wala kukubana sanalakini pia urefu wa koti na mikono pamoja na urefu wa suruali unao endana na wewehali kadhalika kiunokwa kawaida kanuni ya uvaaji wa suruali ni kwamba kiunoni suruali inatakiwa kukutosha kabla hata hujavaa mkandamkanda ni ziada tu kama visaidizi vingine kama vile saablacelets nk lakini sio eti uvae mkanda kwa sababu kiuno cha suruali ya suit sio saizi yako hii itasababisha mikunjo na mituno ya hovyo hovyo na kuharibu utamu wa muonekano wa suti yako 3 vaa shati nzuri yenye kiwango pamoja na mkanda na viatu vizuri watu wengi hapa huwa wanaharibu muonekano wa suti kwa sababu ya ubahili au kutokujalini bora usivae suti kabisa kuliko kuvaa suti na mkanda wenye matundu yaliyotoboka hovyo na mkanda ukiokatikakatika na kubanduka ngozi au rangi yakepia epuka kuvaa viatu visivyo na kiwango 4 chagua tai ambayo rangi yake imekolea zaidi ya shati jehuna uhakika ni tai ipi itakupendeza as a general rule of thumb your tie should be darker than your shirt to create balance hata hivyo epuka kuchagua tie ambayo ina michoro au maua yanayofanana na shatimaana itamezwa au kuchafua muonekano kati ya tai na shati mfano kwa urahisi kama tie ina dots au maua basi wewe chagua shati ambayo ni plain and vice versahata kama zitakuwa shati na tai ni rangi moja itaweza kuonekana na kupendeza endapo zitapangiliwa kama ifuatavyo kwa mfano kama shati na tai zote ni rangi nyekundunyeupebluu au rangi yoyote basi kimojawapo kiwe kinang'aa zaidi au kiwe na prints 5 tengeneza 'dimpo' ya tie kwa usahihi na usawa
2019-07-18T20:15:28
https://www.hadithiapp.com/makala-nzuri/938/mambo-muhimu-ya-kuzingatia-katika-uvaaji-wa-suti
lg smart 55 inch tv in dar es salaam | zoomtanzania lg smart 55 inch tv 29 aug 0917 free delivery in dar na kufingiwa ukutani
2018-09-24T15:57:39
https://www.zoomtanzania.com/tvs-televisions/lg-smart-55-inch-tv-1145261
sharti za kutumikisha corenav sharti za kutumikisha irc iko na website hiyi (https//corenavorg) ju tukupatiye habari kuhusu kazi tunafanya na kukuruhusu kutusumulisha ku internet kwa kuingiya na kutumikisha website ya irc kufanya lien na website ya irc na ku télécharger bitu fulani bya irc na habari zenyi kuwa ndani unapashwa kufata sharti na mapashwa zenyi kuwa hapo chini ndani ya hiyi sharti za kutumikisha ikiwa hauitike ikiwa hauitike sharti yote za kutumikisha website inawezekana usiruhusiwe kuingiya ndani ao kutumikisha website ya irc linki ya kuingiya ndani ya website ya irc ao kuchukuwa (ku télécharger) habari fulani ndani ya website ya irc tafadhali ujuwe kama irc inajipa ruhusa ya kutowa ao kubadirisha hizi sharti za kutumikisha wakati yoyote kwa sababu yoyote na bila tangazo unajuwa na unaitika kama ni mzigo wako ujuwe we mwenyewe mabadiriko hayo kutumikisha website ya irc na njo patano kuhusu hati na mapatano zenyi kuwa ndani ya hati ya kutumikisha hiyi na kuhusu hati na patano ingine yoyote yenyi kuwa mahali popote ingine ku website ya irc wenyeji wa mali ya akili na ya chapa unajuwa na unaitika kama irc ndiye mwenyeji wa jina irc logo na zingine chapa na alama za kazi (alama za irc) piya bitu bingine bya irc na habari zenyi kuwa ndani ya website ya irc leseni ndogo kujiunganisha na website ya irc ao ku télécharger bitu na habari za irc nikusema unaitika kama utaheshimiya hati na mapashwa zenyi kuandikwa hapo chini kutumikisha unajuwa kama hauwezi tumikisha logo (kushoto) ya irc kama linki alakini unaweza kuingiya ndani ya website ya irc kupitiya moja kati ya ma bendera na linki za irc na lazima uheshimiye hati na mapashwa ya hizi hati za kutumikisha unajuwa kama hauwezi tumikisha logo ya irc ku website yoyote ya inje ao sites résaux sociaux kama facebook ao youtube unajuwa na unaitika kama unaweza tu tumikisha bendera na linki za irc zenyi kujulikana na/ao bitu ao habari za irc ju sababu mipaango za masomo unajuwa na unaitika kama hauwezi tumiya bendera na linki za irc zenyi kujulikana na/ao bitu bya irc ao habari za irc byenyi kuwa na chapa za irc hauwezi zichanga na pamoya na machapo zingine na hauwezi kuzibadirisha mu namna yoyote kama kubadirisha kipimo bipande aina ya maandiko sanamu mpangiyo rangi ao viungo vingine ao kubichezesha ao kubadirisha polepole na computa ao kupanuwa kipimo ao kubarisha sura unajuwa na unaitika kama haupashwe kutumikisha bitu na habari bya irc na/ao bendera na linki za irc zenyi kujulikana unaitika kama hautatumikisha bitu na habari na/ao bendera na linki za irc ju ya niya zinazovunja sheriya za serkali inchi ao jurisdiction ingine pamoja piya zaidi na bila mpaka sheriya zote zenyi kulinda haki ya akili na haki ya chapa unajuwa na unaitika kama haupashwe kudanganya ju ya uhusiyano yako na irc namna unatumikisha bitu na habari za irc na/ao bendera na linki za irc zenyi kujulikana haipashwe tafuta kuitikisha batu ao kufanya sawa irc njo ilikutuma inaitika ao ililipa kazi unafanya ao iko na faida fulani mu bitu bihashara kazi ao website yako namna unatumikisha bitu ao habari za irc na/ao bendera na linki za irc habipashwe tafuta kuitikisha kama irc itafaidika mu buchuruzi ya mali ao ya kazi fulani namna unatumikisha bitu ao habari na/ao habari za irc na/ao bendera na linki za irc haupashwe bitumikisha mu namna inaweza changanya kudanganya batu ao kupiganisha kweli faida ya irc unajuwa na unaitika kama unakataziwa kutumikisha bitu na habari za irc na/ao kutumikisha bendera na linki za irc mu namna yoyote yenyi irc yenyewe inaona kuwa mbaya ao yenyi kuwa ndani usharati vurugu na isiyo heshimiya batu maneno mabaya kutukana ao byenyi kutangaza bitu ao habari za kitendo cha kinjinsia (sexual) zaidi bendera na linki za irc zenyi kujulikana haziwezi kuonekana ku kibao yoyote ya website yenyi kuwa na habari za tangazo ao kutangaza pombe sigara usharati mambo ya dini mambo ya ubaguzi ao chama ya siasia ao manduki irc inaweza kukukataliya usitumikishake tena bitu byabo na habari zabo na/ao bendera na linki zabo wakati yoyote hata ikiwa hakuna sababu ukisha julishwa kama umekataliwa unapashwa mara moja kuacha kutumikisha tena bitu bya irc ao habari za irc na/ ao bendera na linki za irc zenyi kujulikana irc ina haki ya kushtaki ku tribunal kwa kukukataza kutumikisha tena bitu ao habari za irc na/ao bendera na linki za irc ikiwa irc inaona kama namna unabitumikisha haiheshimu hati na mapashwa za hiyi sharti ya kutumikisha ao ginsi unaazimishwa ndani ya website ikiwa unavunja haki ya uwenyeji wa ufahamu ao haki ingine ya irc ao ya watu wa inje na hiyo ni kuharibisha jina ya irc hekima ao kazi ao programmes ao kama unavunja sheriya fulani za lazima kanuni ao ombi na/ao kama umefanya tendo lenyi linakataziwa kuchaguwa sheriya mtaa gani ina ma mlaka hiyi sharti ya kutumikisha zitaongozwa na kujengwa kufatana na sheriya ya muji wa new york hata ukiwa ndani ya muji ingine kukiwa mashtaki yoyote kusamba ao ubishi yoyote itabebwa mbele ya tribunal ya new york jimbo ya new york na unaitika ma mlaka ya tribunals za new york tutafanya nini nakujulisha kama kuvunja haki za kanakili (droits dauteur) machapa (marques de fabrique) na zingine haki zote za akili unaweza shtakiwa na kuazibiwa kama myanyasi unaitika kama utalipa na hautashtaki irc ju uharibifu yoyote yenyi inaweza kufikiya ju ya namna mubaya na/ao unatumikisha ginsi haupashwe itumikisha website yetu bitu ao habari za irc na/ao bendera na linki za irc zenyi kujulikana kukatala hati irc inakuonesha kama hakuna hati yoyote ao patano ao masemi yenyi tumekuaga ao hatukukuaga kuhusu bifaa ao habari zenyi kuwa mu website yake pamoja na chapa yake alafu ana katala hati zenyi zinawezekana kupitiya sheriya ni mzigo wako peke yako kutumikisha bifaa bya irc na habari na/ao bendera na linki za irc zenyi kujulikana yote yenyi kuwa ndani ya website imejengwa kupitiya patano kati ya bureau ya wakaaji wakimbizi na wageni département detat ya amerika alaki haiko kwa uhakika hati (policy) ya agensi hiyo na hakuna uhakikisho kama serkali ya sirikisho (gouvernement fédéral) inapashwa iitika
2019-03-20T21:48:55
https://corenav.org/iw/terms/
katibu mkuu wa ccmkinana aanza rasmi ziara yake wilayani nkasi mkoani rukwa michuzi blog home unlabelled katibu mkuu wa ccmkinana aanza rasmi ziara yake wilayani nkasi mkoani rukwa katibu mkuu wa ccmkinana aanza rasmi ziara yake wilayani nkasi mkoani rukwa katibu mkuu wa ccmndugu kinana akiwahutubia wakazi wa kijiji cha kirandowilayani nkasi mapema jana jionikinana alisema kuwa tahakikisha barabara ya kutoka sumbawanga mjini kwenda kijiji cha kabwe itatengenezwa kwa kiwango cha laminitaenda na mbunge wenu kushinikisha suala la barabara hii ili ijengwe kwa kiwango cha lami na kuwarahisishia sughuli za kibiasharaalisemaalisema kuwa maendeleo hayawezi kuja ikiwa miundombinu ni mibovu hivyo atahakikisha analifikisha kwa waziri mwenye dhamana pamoja na mkuu wa nchi ili kazi hyo ifanyike mapema katibu mkuu wa ccmndugu kinana akiwahutubia wananchi na wanachama wa ccmmapema jana jioni katika kijiji cha kabwewilayani nkasikinana alisema kuwa serikali inatambua matatizo ya wananchi wa kjijini hapo ikiwemo suala la pembe jeo maji pamoja na uvamizi wa wavuvi miradi yote inayotekelezwa nchi nzima kwa sasa ni utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya mwaka 2010 hatubagui kwakua wote ni watanzaniaalisemaalisema kuwa serikali inatambua kuwa shughuli kubwa ya kijini hapo ni uvuvi hivyo itajitahidi kuwe na utaratibu wa kuwasaiidia kupata mikopo ili waweze kununua zana za uvuvi ili waweze kujiendeleza mugo april 01 2014
2020-04-07T11:24:49
https://issamichuzi.blogspot.com/2014/03/katibu-mkuu-wa-ccmkinana-aanza-rasmi.html
kapedo uhalifu wasababisha upungufu wa chakula taifa leo wakazi wa maeneo ya kapedo na lomelo katika kaunti ya turkana wamelazimika kutegemea chakula cha msaada kutokana na uvamizi wa mara kwa mara katika barabara za mpaka wa kaunti hiyo na baringo wavamizi hujificha kando ya sehemu za barabara kuu na kushambulia magari kutoka marigat kaunti ya baringo na lokori iliyo turkana shambulio la majuzi zaidi lilitokea katika eneo la ameyan katika barabara ya marigat kuelekea kapedo ambapo wanafunzi watatu na dereva waliuawa kwa risasi hapo mei 4 wanafunzi hao walikuwa wakirudi shuleni kapedo bw joshua loyanae alisema wanakumbwa na njaa kwa sababu ya uhaba wa chakula kwani kwa miezi mitatu iliyopita hali duni ya usalama imefanya maduka yafungwe baada ya bidhaa za kuuza kuisha hatuna mahali popote pa kununua chakula hata kama tuna pesa biashara na usafiri zimeathirika vibaya na wizi wa barabarani na hakuna yeyote anayetaka kuhatarisha maisha yake akasema kamishna wa kaunti ya turkana bw seif matata jana alithibitisha kuwa wizi wa barabarani umeongezeka katika barabara hiyo kulingana naye imebidi maafisa wa usalama wabadilishe mbinu zao za kupiga doria ili kukabiliana na wahalifu hao na akahakikishia wananchi kwamba watapewa ulinzi wa kutosha wanapotaka kusafiri kwa wafanyabiashara wanaotegemea masoko ya marigat na baringo maafisa wa usalama wa kaunti za baringo na turkana watashirikiana kuhakikisha kuwa wafanyabiashara wanapewa ulinzi wanaposafiri kuelekea au kutoka kapedo akasema alisema serikali inategemea wanajeshi wa kdf kusafirisha chakula cha msaada na bidhaa zingine muhimu kwa wakazi wa lomelo na kapedo kamishna alionya viongozi wa jamii za turkana na pokot wakome uchochezi kwenye mitandao ya kijamii na wakubali kuheshimiana na kuungana kueneza amani diwani wa wadi ya kapedo/napeitom bw willy nalimo alisema wakazi hao wamekuwa wakikumbwa na njaa kwa sababu bidhaa ziliisha madukani katika masoko hayo mawili ni sharti serikali itambue kuna dharura na wakazi wa kapedo na lomelo wanahitaji kutendewa haki yao ya kupewa usalama sawa na wakenya wengine nchini kote mtu yeyote anayechochea na kufadhili wizi wa barabarani pia anafaa kukamatwa akasema bw nalimo chakula kapedo njaa uhalifu usalama
2020-02-19T13:49:28
https://taifaleo.nation.co.ke/?p=5866
rais dk magufuli amuapisha jaji mkuu frof ibrahim hamis juma leo ~ ccm blog thumbnails===nvarscontrolnav&&0===nvarsthumbcaptions){var c=sattr(datathumbcaption)==c&&void 0==c&&(a+=''+c+)}ncontrolnavscaffoldappend( home » » rais dk magufuli amuapisha jaji mkuu frof ibrahim hamis juma leo bashir nkoromoseptember 11 2017 rais dk john magufuli akimuapisha jaji mkuu wa tanzania profesa ibrahim hamis juma leo ikulu jijini dar es salaam profesa ibrahim anachukua nafasi iliyoachwa wazi na jaji mkuu mstaafu othman chande na kuwa jaji wa nane kushika wadhifa huo tangu nchi ipate uhuru huku akiwa mtanzania wa sita wapili kutoka kushoto ni katibu mkuu kiongozi mhandisi balozi john kijazi jaji mkuu wa tanzania mhe profesa ibrahim hamis juma akisaini hati ya kiapo mara baada ya kuapishwa rais dkt john pombe magufuli akitia saini hati ya kiapo cha jaji mkuu wa tanzania mhe profesa ibrahimu hamisi juma baada ya kumuapisha rais dkt john pombe magufuli akimkabidhi hati ya kiapo jaji mkuu wa tanzania mhe profesa ibrahimu hamisi juma rais dkt john pombe magufuli akizungumza baada ya kumuapisha jaji mkuu wa mahakama tanzania mhe profesa ibrahimu hamisi juma leo jaji mkuu wa mahakama tanzania profesa ibrahimu hamisi juma akizungumza baada ya kuapishwa leo waziri wa katiba na sheria profesa palamagamba kabudi akizungumza baada ya jaji mkuu wa tanzania profesa ibrahimu hamisi juma kuapishwa waziri wa katiba na sheria profesa palamagamba kabudi (kushoto) akiteta jambo na jaji mkuu mstaafu othman chande (kulia) na mwanasheria mkuu wa serikali george masaju wakati wa hafla hiyo ya kuapishwa kwa jaji mkuu wa tanzania rais dkt john pombe magufuli akisalimiana na baadhi ya majaji waliohudhuria hafla ya kumuapisha jaji mkuu wa tanzania mkurugenzi mkuu wa idara ya habari (maelezo) na msemaji mkuu wa serikali dk hassan abbasi akifuatilia kwa makini hafla hiyo jaji kiongozi ferdinand wambali akiteta jambo na jaji mkuu mstaafu othman chande (kulia) wakati wa hafla hiyo rais dkt john pombe magufuli akiwa na makamu wa rais samia suluhu hassan wakati wa hafla hiyo rais dkt john pombe magufuli akizungumza na jaji mkuu mstaafu othman chande baada ya kumuapisha jaji mkuu wa tanzania profesa ibrahimu hamisi jum kulia ni spika wa bunge job ndugai rais dkt john pombe magufuli akizungumz na waziri mkuu kassim majaliwa na waziri wa katiba na sheria profesa palamagamba kabudi wakati wa hafla hiyo rais dk john magufuli akiwa na jaji mkuu na spika wa bunge wakati wa hafla hiyo rais dkt john pombe magufuli akiwa katika picha ya pamoja na makamu wa rais samia suluhu hassan jaji mkuu wa tanzania profesa ibrahim hamis juma mkuu majaliwa kassim majaliwa spika wa bunge job ndugai na majaji mbalimbali mwisho mwa hafla hiyoleo ikulu jijini dar es salaam
2018-06-19T14:06:09
http://ccmchama.blogspot.com/2017/09/rais-dk-magufuli-amuapisha-jaji-mkuu.html
mgodi wa buzwagi wazindua kampeni ya wakia moja mti mmojamiti milioni 16 kupandwa kahama pamoja blog home > matukio > mgodi wa buzwagi wazindua kampeni ya wakia moja mti mmojamiti milioni 16 kupandwa kahama 2/01/2017 120500 pm matukio
2017-09-21T01:33:32
http://www.pamoja.co.tz/2017/02/mgodi-wa-buzwagi-wazindua-kampeni-ya.html
ndani ya wordpress administration panel yesaya software home / web design / ndani ya wordpress administration panel ndani ya wordpress administration panel yesaya r athuman february 5 2016 web design wordpress leave a comment 448 views habari asante kutembelea website ya yesayasoftwarecom ungana nami tukifanya matembezi ndani ya wordpress administration panel sehemu hii tunaita backend ya website yako ndio unakopost contents zako na kufanya mabadiliko mbalimbali ndani ya website yako mabadili haya yanaweza kuwa mwonekano wa website yako kwa maana unaweza badili theme ambayo itabadili kabisa mwonekano wa website yako kuna mambo mengi nimeongelea kwenye video hii nimeonyesha makundi mbalimbali ya menu ndani ya wordpress administration panel pia nimeonyesha namna unavyoweza fanya customization ndani ya administration panel ya wordpress usiende mbali na yesayasoftwarecom tutaendelea kutoa videos mbalimbali juu ya wordpress na amini kuna kitu utajifunza hapa ungana nami wakati mwingine na unaweza share na wadau wengine juu ya yesayasoftwarecom wordpress 20160205 previous tengeneza word template mwanzoni unapooanza kuandika next njia rahisi kushare files na internet nyumbani au ofisini kwako
2018-02-18T01:37:44
http://yesayasoftware.com/2016/02/05/ndani-ya-wordpress-administration-panel/
zaburi 36 | bibiliya kuri interineti | bibiliya y'ubuhinduzi bw'isi nshya zaburi 36112 ku mutware wabaririmbyi zaburi ya dawidi umugaragu wa yehova 36 ibyo igicumuro kibwira umuntu mubi biba mu mutima we+kandi ntatinya imana+ 2 arishyeshyenga akishuka cyane+ku buryo atamenya icyaha cye ngo acyange+ 3 amagambo ava mu kanwa ke ni ayo kugira nabi nuburiganya+yaretse kugira ubushishozi bwo gukora ibyiza+ 4 iyo ari ku buriri bwe acura imigambi yo kugira nabi+ahagarara mu nzira itari nziza+ kandi ntiyanga ibibi+ 5 yehova ineza yawe yuje urukundo iri mu ijuru+ubudahemuka bwawe bugera mu bicu+ 6 mana gukiranuka kwawe kumeze nkimisozi yawe+imanza uca zimeze nkimuhengeri hamazi magari+ yehova ukiza abantu ninyamaswa+ 7 mana mbega ukuntu ineza yawe yuje urukundo ari iyagaciro kenshi+abantu bahungira mu gicucu cyamababa yawe+ 8 banywa ibyiza biruta ibindi byo mu nzu yawe bagahaga+ubuhira imigezi yibyishimo byawe+ 9 kuko aho uri ari ho hari isoko yubuzima+urumuri ruguturukaho ni rwo rutuma tubona umucyo+ 10 komeza kugaragariza abakuzi ineza yuje urukundo+gukiranuka kwawe kugume ku bafite imitima iboneye+ 11 ikirenge cyishyira hejuru ntikikantere+ukuboko kwababi ntikukangire inzererezi+ 12 dore inkozi zibibi zaraguye+zagushijwe hasi ntizabasha guhaguruka+ zaburi 36
2019-02-18T02:28:38
https://www.jw.org/rw/ibyasohotse/bibiliya/bi12/ibitabo/zaburi/36/
tid amfananisha ally kiba na mtu ambaye ni shoga | ubuyu tid amfananisha ally kiba na mtu ambaye ni shoga khalid mohamed aka tid mara nyingi amekuwa akitumia mitandao ya kijamii kueleza hisia zake hasa kuhusiana na muzikileo kupitia facebook tid amekumbushia lile sakata la kudaiwa kupanga njama za kumuua mwanamuziki mwenzake ali kiba na kumuuita shoga yule aliyemzushia hivyostupid thing ever happened in bongo music scene is this homo mentioned me trying to kill him while am only thinkin about this girlno homolets make hits ameandikaaliongeza cant forgive weak people the whole family came into my house as if i ever had any arguments before nau watnobody kill them>>>aliyeitwa shoga ni ally kibarejea hii sentensistupid thing ever happened in bongo music scene is this homo mentioned me trying to kill him
2017-07-22T02:37:57
http://www.ubuyublog.com/2012/12/tid-amfananisha-ally-kiba-na-ambaye-ni.html
simu ya casino real money no amana bonus | kunyakua bure £ 5 | slot fruity £ 5 + £ 500 za simu za simu ya casino real money no amana bonus | kunyakua bure £ 5 | slot fruity £ 5 + £ 500 za simu za jaribu simu casino real money no amana bonus sasa kunyakua bure £ 5 'simu casino real money no amana bonus mapitio na kwa slotfruitycom je unajua kwamba uingereza mkononi casino soko ni kwenda kwa njia ya wimbi slot fruity is the name and it is taking the mobile casino space by a storm with its lucrative deals and promotions and you know the best that we have got to offer you on our amazing mobile casino real money site its the golden opportunity to earn the much coveted mobile casino real money no deposit bonus slot fruity has won the trust of the gaming crowd with their amazing games rewarding bonuses and their underlying gaming software nektan ambayo imekuwa pioneering ubunifu online michezo tangu muda mrefu na ina imefanikiwa sifa kwa ajili ya michezo ya kubahatisha interface yake sleek na excellently laini graphic ubora kazi chini ya uangalizi wa gambling tume ya gibraltar na uingereza huu casino mkononi fedha halisi hakuna amana bonus hazina thamani kuchunguza mafanikio real real money na ya mkono casino wakati slot fruity jiunge sasa kupata 200 kuendana bonus up £ 50 + kupokea 10 cash back on jumanne kupata zaidi gripping michezo ya kubahatisha uzoefu hapa na juu yake juu na ziada yetu ya kipekee mpango just register with us and get your account credited with mobile casino real money no deposit bonus instant transfer of £5 that can teem up to £205 worth including the mobile casino real money no deposit bonus codes and other cash offers your first few games are on the house just wear your gaming hats and have a blast without any apprehensions of losing your hard earned money on an unknown game kwa kweli the fun doesnt end here rather this is just a beginning to good times kufanya amana kwa unearth baadhi ya kushangaza fedha mechi ya (angalau) yako ya kwanza amana tatu kushinda cashbacks na reloads fedha kama wewe kucheza pamoja na amana zaidi kwa slot fruity casino akaunti yako jaribu wetu simu ya casino real money no amana bonus michezo galore unlimited michezo ya kubahatisha adventures wakisubiri wewe katika mchezo wetu benki kupata mikataba ya ajabu na ya kipekee ya simu casino fedha zetu halisi hakuna amana bonus michezo na kutumbukiza mwenyewe katika furaha ya kujazwa michezo ya kubahatisha sherehe hizo sasa slot fruity huleta uteuzi widest ya casino michezo ya simu juu ya nektan ya kipekee real money michezo ya kubahatisha programu sasa wager bigtime na kushinda kubwa nini hata bora zaidi ni kwamba unaweza kupata kuweka nini kushinda kugundua latest mada makao michezo hapa jaribu mayan marvels au carnival cup au kuchagua pango raiders kwa ajili ya mwisho na furaha wakati kutoka classic casino michezo ya simu kwa variants ubunifu wa michezo meza maarufu kama blackjack poker na roulette kupata yote katika tovuti yetu angalia karibuni ya mkononi casino halisi ya fedha hakuna amana ya ziada bingo kwamba kila mtu ni raving kuhusu hata hivyo these are just a sneak peek into the slot fruity mobile casino real money no deposit bonus zone and best is yet to come one of the highlights in mobile casino gaming that our slot fruity casino website has got to offer to the gaming aficionados worldwide are our unparalleled slots games with the latest slot machines tuna kila inafaa lahaja chini ya jua hapa hapa katika slot fruity pamoja juuyailiya mkononi casino halisi ya fedha hakuna mashindano amana bonus cashbacks unmatched ya hadi 25 jumatatu hadi alhamisi unbelievably kubwa ya fedha halisi jackpots kama giveaways na fedha halisi spins chini kama 1p kwa payline inatoa hapa ni humungous na pingamizi kulipa and kucheza mahali popote wakati wowote slot fruity casino huleta ulimwengu wa matumizi ya malipo kwa doorsteps yako na kulipakamawewego wake ukomo malipo mbadala free yourself from the ties of credit and prepaid cards explore our payment and withdrawal options pay and/or withdraw using our deposit by phone bill and sms billing options simply use your phone credits to power your game with some real money bila shaka a minimum deposit of £10 is needed to avail this facility now play all your favourite games on the go on slot fruity mobile casino real money no deposit bonus apps that are readily available on all android windows vifaa na ios be it smartphones or tablets try the mobile casino real money no deposit bonus ipad exclusive games today bring friends and let them join the fun too slot fruity si tu inatoa nafasi ya kufanya muda halisi fedha mafanikio lakini pia inakupa brownie alama katika mfumo wa mafao ya rufaa juu na zaidi ya mkononi casino halisi ya fedha hakuna amana ya ziada freebie kujiunga sasa na kupata transposed kwa dunia ya msisimko na humungous mafanikio
2017-08-22T22:49:58
https://www.slotfruity.com/sw/mobile-casino-real-money-no-deposit-bonus/
handeni kwetu april 2015 tamasha kubwa la taarab 'usiku wa mswahili' kufanyika ijumaa hii ya aprili 24 wazazi walezi wanajamii na wadau mbalimbali wanatarajiwa kukutana kwenye tamasha maalum la taarab lililopewa jina la 'usiku wa mswahili' kwa lengo la kukusanya fedha za kuchangia ununuzi wa madawati linatarajiwa kufanyika usiku wa ijumaa ya aprili 24 katika shule ya tambaza iliyopo ilala jijii dar es salaam karibuni katika usiku wa mswahili ijumaa hii ya aprili 24 ndani ya ukumbi wa tambaza kuanzia saa moja usiku kwa kiingilio cha sh 10000 na sh 20000 kwa vip aidha mwagwiji wa burudani ya taarab nchini ikiwemo bendi ya gusa gusa min band na gwiji wa old is gold mohd ilyas watatoa burudani hiyo ambapo pia malkia wa mipasho nchini khadija kopa naye atakuwapo kukamilisha uhondo wa usiku huo wa mswahili kwa sasa tayari tiketi zimeanza kuuzwa sehemu mbalimbali ikiwemo fabak fashions (mikocheni kwa mwalimu nyerere) falcon restaurantlumumbahasani juicemtaa wa sukukuubig mayai na kwa afisa elimu msingimanispaa ya ilala tamasha hilo la usiku wa mswahili linatarajiwa kukutanisha wazazi walezi na watu mbalimbali wakiwemo wadau wakubwa kwa lengo la kuchangia madawati kambi mbwana mdau wa maendeleo aliyeibuka na kitabu cha dira na tumaini jipya handeni mwandishi kambi mbwana saa 1057 am no comments links to this post mwandishi kambi mbwana saa 926 pm no comments links to this post mwandishi kambi mbwana saa 108 pm no comments links to this post mwandishi kambi mbwana saa 1254 pm no comments links to this post bayport financial services yazidi kuchanja mbuga yazindua tawi la 80 wilayani ileje mkoani mbeya na mwandishi wetu ileje taasisi ya kifedha ya bayport financial services inayojihusisha na mambo ya mikopo kwa watumishi wa wa umma na kampuni zilizoidhinishwa mwishoni mwa wiki ilizindua tawi lake jipya la 80 wilayani ileje mkoani mbeya huku mkuu wa wilaya hiyo rosemary staki senyamule akiwataka wananchi wake kukopa kwa sababu maalum mkuu wa wilaya ya ileje mheshimiwa rosemary senyamule kulia akionyeshwa nyaraka za ofisi ya taasisi ya kifedha ya bayport financial services inayojihusisha na mambo ya mikopo katika uzinduzi wa taasisi hiyo katika wilaya hiyo ya ileje mkoani mbeya kushoto ni meneja wa kanda ya nyanda za juu kusini alpha akim uzinduzi huo ulifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita na kuhudhuriwa na watu mbalimbali wilayani humo picha na mpiga picha wetu kufunguliwa kwa tawi hilo si kutainua uchumi wa wananchi wa ileje watakaotumia fursa ya uwapo wa ofisi hiyo bali pia kutarahisisha utoaji wa huduma wa taasisi hiyo ya bayport nchini tanzania wageni mbalimbali wakiangalia shughuli za uzinduzi wa tawi jipya la taasisi ya kifedha ya bayport financial services wilayani ileje mkoani mbeya mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo mgeni rasmi alikuwa mkuu wa wilaya hiyo rosemary senyamule akizungumza katika uzinduzi wa tawi hilo jipya mkuu huyo wa wilaya ileje rosemary alisema kuwa wananchi wakiitumia fursa ya tawi hilo kutainua pia kiwango cha uchumi cha watu wake baadhi ya wageni waalikwa wakisoma vipeperushi vya taasisi ya kifedha ya bayport financial services wilayani ileje mkoani mbeya alisema suala la mikopo ni jambo jema kutokana na uwezo mzuri unaoweza kuwaendeleza wananchi wakiwamo watumishi wa umma na wafanyakazi wa kampuni zote zilizoidhinishwa ambao kimsingi ni watu wanaotakiwa kuendelezwa kwa mambo mengi mwandishi kambi mbwana saa 511 pm no comments links to this post mwandishi kambi mbwana saa 811 am no comments links to this post mgodi unaotembea chadema na ngoma ya kitoto haikeshi ni dhahiri chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) wamejitoa katika mbio za kuitwaa nchi hii kwa amani inayojengwa na demokrasia makini iliyojengwa kwenye nchi yetu naibu katibu mkuu wa zamani wa chadema ambaye kwa sasa ni kiongozi mkuu wa chama kipya cha act tanzania zitto kabwe akimshawishi dereva barabarani ajiunge na chama chao hicho watu wengi wameonyesha kuunga mkono njia hii ya kusaka wanachama inayofanywa na zitto hii ni kwa sababu wenyewe wameshindwa kusimamia hoja makini badala yake wameingia kwenye vioja na vituko visivyokuwa na kichwa wala mguu zaidi tunashuhudia mtafuruku kushindwa kuelewana na kuonyeshana tamaa kwa viongozi au wanachama wenye mvuto na majina kadhaa wakati chadema wakisisitiza amani na shauku ya kutaka kuichukua nchi hii wao wenyewe wamekosa umoja na dhamira ya dhati ya kuwashawishi watanzania wenye mlengo wa demokrasia isiyokuwa na ghasia kwa ajili ya kulinda mustakabali wa taifa letu kwa kuimba wimbo wa demokrasia chadema hao hao waliikosa katika chama chao ndio maana wakaamua kuingia kwenye mgogoro mzito na aliyekuwa naibu katibu mkuu wao zitto kabwe waliyeamua kumtimua kama mbwa koko baada ya kuonyesha nia ya kugombea nafasi ya juu ya uongozi katika chama hicho kikuu cha upinzani kwa sasa kwa kupitia mwenyekiti wao taifa freeman mbowe kwa kushirikiana na ofisi nyingine za chadema waliamua kumuwekea zengwe kabwe alinyukwa kiasi cha kumkatisha tamaa kwenye chama hicho alichoshiriki kukijenga kwa nguvu zake zote inashangaza leo hathaminiki leo hii zitto amekuwa kiongozi mkuu wa chama cha alliance for change and transparency (act) ikiwa ni siku chache baada ya kuvuliwa ubunge wake kwa madai kuwa alikwenda mahakamani kukishtaki chama chake cha chadema kama katiba yao inavyosema hata hivyo huo ni mchezo uliwekwa kwa ajili ya kumuondoa kundini kwenye siasa suala la kuhujumiana ni jambo la kawaida wenyewe wanasema hakuna adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu mwandishi kambi mbwana saa 803 pm no comments links to this post mwandishi kambi mbwana saa 802 am no comments links to this post mgeni rasmi wa mpambano wa fainali kugombea pikipiki gongo la mboto meya wa manispaa ya ilala jerry slaa (mwenye miwani) akikabidhi zawadi ya mshindi wa kwanza wa kombe la pikipiki lililoandaliwa na lucas lutanilwa meya wa manispaa ya ilala jerry slaa jana alilazimika kutoa zawadi ya pikipiki baada kuvutiwa na ushindani mkubwa uliokuwepo katika mchezo wa fainali wa mpira wa miguu kugombea pikipiki aina ya boxer mwandishi kambi mbwana saa 959 pm no comments links to this post bundi wa ajari barabarani aiandama tanzania18 wafariki iringa na burudani chupuchupu kuua 50 lushoto basi linaloitwa nganga express likiteketea kwa moto mkoani morogoro jana wimbi la ajali nchini tanzania linaendelea kutikisa baada ya mkoani morogoro watu 18 kudaiwa kufariki papo hapo jana asubuhi baada ya basi linaloitwa nganga express yenye namba za usajili t373 bah kugongana uso kwa uso na mitsubish fuso t164 bkg maeneo ya milima ya udzunwa kando ya mto ruaha na basi hilo kuwaka moto mkoani morogoro watu wa karibu waliokuwa kwenye ajali hiyo walisema kwamba watu 15 walifariki kutoka kwenye basin a wengine 3 kufariki kutoka kwenye fuso ambapo majeruhi ni 10 huku wanaume wakiwa 6 na wanawake 4 majeruhi hao wamelazwa katika hospitali ya st kizito mikumi na wengine wakilazwa katika hospitali ya mtandika mkoani iringa katika ajali hiyo pia inadaiwa kuwa pikipiki moja iliteketea kwa moto na kuongeza kuwa inahisiwa pikipiki hiyo ndiyo chanzo cha kuripuka kwa moto huo wakati huo huo jana jioni iliripotiwa kuwa basi linalojulikana kama burudani nusura liangamize roho za watu 50 baada ya kutaka kutumbukia mtaroni soni wilayani lushoto mwandishi kambi mbwana saa 1201 pm no comments links to this post siwezi kuvumilia hongera twiga stars wa hapa hapa wajifunze kutoka kwenu timu ya taifa ya wanawake twiga stars wanajua nini wanachokitaka watanzania wanafahamu kuwa watanzania wamekuwa na kiu kubwa ya kushiriki au kufanya vizuri katika michuano mikubwa ikiwamo ile ya afrika kwa bahati mbaya timu ya aina hiyo kwenye mpira wa miguu hamna hususan zile timu za wanaume ambazo mara kwa mara zinaambulia patupu licha ya kuambulia patupu lakini watu wamekuwa na matumaini nao kiasi cha kuwaunga mkono mara kwa mara wanajitahidi kuingia uwanjani kwa wingi au hata kumwaga udhamini wao mnono huko kwa minajiri ya kuwaunga mkono kwa twiga stars hapana hapa ndipo ninaposhindwa kuvumilia ona sasa twiga stars wamefanikiwa kufuzu michuano mikubwa ya fainali za mataifa afrika kwa wanawake (awf 2015) zitakazofanyika baadaye mwaka huu nchini congobrazzavile baada ya kuwafunga shepolopolo kwa mabao 65 mwandishi kambi mbwana saa 1157 am no comments links to this post dr damas ndumbaro ashindwa kuhudhuria tff kusikilizwa rufaa yake kamati ya rufaa ya nidhamu tff imekutana leo tarehe 12/04/2015 kujadili rufaa no 1/2014 ya dr damas ndumbaro dhidi ya tff msemaji wa tff baraka kizuguto aliuambia mtandao huu kuwa shirikisho hilo la soka nchini (tff) iliwakilishwa na wakili msomi emmanuel muga na dr ndumbaro hakufika wala hakuwakilishwa na wakili wake kufuatia kutofika kwa dr ndumbaro kamati kwa azimio moja iliamuru tff itoe wito mpya na mpaka tarehe 14/04/2015 uwe umemfikia dr ndumbaro ukimfahamisha tarehe ya kikao kijacho cha kusikiliza rufaa yake mwandishi kambi mbwana saa 608 pm no comments links to this post pata nakala yako ya kitabu cha dira na tumaini jipya handeni taasisi ya umoja wa mataifa una yaadhimisha miaka 70 ya umoja wa mataifa jijini dar es salaam mwandishi kambi mbwana saa 827 pm no comments links to this post mwandishi kambi mbwana saa 152 pm no comments links to this post mwandishi kambi mbwana saa 811 pm no comments links to this post jamal malinzi aitakia kheri twiga stars dhidi ya shepolopolo rais wa shirikisho la mpira wa miguu nchini tff jamal malinzi ameitakia kila la kheri timu ya taifa ya wanawake tanzania (twiga stars) katika mchezo wake wa kesho wa marudaino dhidi ya timu ya taifa ya zambia (shepolopolo) utakaochezwa uwanja wa taifa jijini dar es salaam azungumza na wachezaji wa twiga star na benchi la ufundi katika chakula cha pamoja cha mchana leo katika hosteli za tff zilizopo karume rais malinzi amesema watanzania wote wana matumaini na timu yao kufanya vizuri kwenye mchezo huo wa marudiano aidha rais malinzi amewaambia bechi la ufundi na wachezaji wa twiga stars kuwa pesa zote zitakazopatikana katika mchezo wa kesho baada ya makato ya uwanja na vat wagawane kwa pamoja wachezaji na viongozi mechi inatarajiwa kuanza majira ya saa 1030 jioni kwa saa za afrika mashariki na tiketi za mchezo zitauzwa kesho saa 2 asubuhi eneo la uwanja wa taifa jijini dar es salaam huku viingilio vya mchezo huo vikiwa ni tsh 5000 kwa vip na tsh 2000 kwa majukwaa yaliyobakia mwandishi kambi mbwana saa 841 pm no comments links to this post
2017-08-22T16:37:15
http://handenikwetu.blogspot.com/2015/04/
rais wa ufaransa atetea mwaka mmoja uongozini ulaya rfi emmanuel macron ufaransa syria rais wa ufaransa atetea mwaka mmoja uongozini na rfi imechapishwa 16042018 imehaririwa 16042018 saa 0822 rais wa ufaransa emmanuel macron wwwrfifr katika mahojiano kwenye baadhi ya vituo vya habari vya ufaransa bfmtv rmc na mediapart siku ya jumapili aprili 15 rais wa ufaransa emmanuel macron amesema katika mwaka mmoja wa uongozi wake kumeshuhudiwa mageuzi makybwa ambayo yamefanyika kwa kasi na kwa bidii rais macron alijibu moja kwa moja na maswali ya jeanjacques bourdin na edwy plenel kwa karibu saa mbili haya ni mahojiano ya pili kwa vyombo vya habari baada ya yale yaliyofanyika kwenye kituo cha habari cha tf1 katika shule ya orne siku ya alhamisi wiki iliyopita siku moja baada ya mashambulizi ya pamoja (ufaransa umarekani uingereza) dhidi ya serikali ya syria na wakati ambapo serikali ya ufaransa inakabiliwa na migogoro kadhaa ya kijamii (sncf vyuo vikuu ) emmanuel macron alisema kwa mwaka mmoja wa uongozi wake kumeshuhudiwa mageuzi makubwa yaliyofanyika kwa bidii alipoulizwa kuhusu ushahidi wa mashambulizi ya kemikali nchini syria rais macron kwanza alisema kuwa operesheni ilifanyika kikamilifu makombora yote yamefikia malengo yao na uwezo wa uzalishaji wa silaha za kemikali uliharibiwa emmanuel macron alisema kuwa na uthibitisho kupitia vyombo vya usalama [idara ya ujasusi] kwamba silaha za kemikali zilitumiwa na kwamba matumizi haya yalihusishwa serikali ya syria kwa swali la kwa nini walitumia mamlaka ya umoja wa mataifa rais wa ufaransa alithibitisha kwamba ni jumuiya ya kimataifa iliyoingilia kati akisema kuwa ufaransa haijatangaza vita dhidi ya utawala wa bashar alassad emmanuel macron pia alisema anataka kushawishi urusi na uturuki kuja kwenye meza ya mazungumzo huku akidai kuwa alimshauri rais wa marekani donald trump ambaye hivi karibuni alisema kuhusu uwezekano wa kuondoa askari wa marekani nchini syria ili wanajeshi wa nchi yake waendelee kuwa nchini syria kwa muda mrefu zaidi rais emmanuel macron hatimaye alithibitisha kwamba atazuru saint petersburg mwishoni mwa mei wakati wa mkutano kuhusu uchumi alipoulizwa kuhusu kuongezeka kwa maandamano nchini ufaransa (wafanyakazi wa reli wanafunzi notredamedeslandes) rais alisema anaelewa hasira za waandamanaji lakini anaamini kuwa hasira haziwezi kusababisha uharibifu
2018-06-21T00:28:09
http://sw.rfi.fr/ulaya/20180416-rais-wa-ufaransa-atetea-mwaka-mmoja-uongozini
kamusi za mtandao za babla kupenda lugha zaidi kwa babla kamusi ya mtandao yenye lugha 24 na zaidi kuhusu lugha na utafsiri mnyambuliko mitihani michezo jukwaa nk ingiza neno la kutafsiriwa hapa mchezo tunayo kupendekezea mnyongaji je ukotayari kuokoa mnyongaji jaribu ujuzi wako sasa cheza sasa mtihani tunayokupendekezea vihusishi vya kiingereza jaza kihusishi sahihi vihusishi vinaweza kuwa tatanishi hapa unaweza kujaribu ujuzi wako kwa kutia kihusishi sahihi kwenye nafasi tazama mtihani lango ya lugha ya babla inakupa tafsiri za kamusi mitihani ya lugha michezo masomo ya kusoma misamiati na mengi zaidi babla ni mtandao husishi unaweza kuingiza tafsiri zako na kuunda mtihani wako wa lugha au msamiati wako wa flashcard babla kupenda lugha kamusi za kiswahili kiingerezakiswahili kiswahilikiingereza babla inapatikana kwa ﺎﻠﻋﺮﺒﻳﺓ | bahasa indonesia | 汉语 | česky | dansk | deutsch | english | español | français | हिन्दी | italiano | 日本語 | 한국어 | magyar | nederlands | norsk | polski | português | română | русский | suomi | svenska | türkçe kuhusu babla | wasiliana & alama
2014-03-08T08:20:09
http://sw.bab.la/
chile ripoti ya ugaidi sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi chile ripoti ya ugaidi urari wa biashara ya 121900 124300 296868 138472 usd milioni [+] uagizaji 413506 445111 786559 49260 usd milioni [+] mauzo ya nje 535423 569408 776056 64440 usd milioni [+] ya nje madeni ya 19654958 20423816 20599211 243500 usd milioni [+] utalii waliofika 33895100 38697000 52142500 5009300 watu [+] mafuta ghafi uzalishaji 200 300 1300 200 bbl/d/1k [+]
2020-05-25T11:00:34
https://sw.tradingeconomics.com/chile/terrorism-index
wetang'ula azuru siaya na kutangaza azma yake ya urais 2022 ▷ tukocoke 2 months ago 2827 views by shillah mwadosho seneta wa bungoma ambaye pia ni kiongozi wa chama cha ford kenya moses wetang'ula amemtaka kiongozi wa odm raila odinga kurudisha mkono na kumpigia debe katika azma yake ya kuwania urais 2022 akizungumza akiwa kaunti ya siaya wetang'ula ambaye alikuwa mmoja wa vinara wa muungano wa national super alliance alisema kwamba yupo tayari kufanya mazungumzo na viongozi wengine na kuunda muungano mpya wa kisiasa habari nyingine mbuge wa molo kimani kuria aomba msamaha kwa kuhudhuria hafla akiwa mlevi kiongozi huyo alidokeza kwamba nchi ya kenya inaelekea pabaya kutokana na uongozi mbaya akisisitiza kwamba wakenya wanahitaji viongozi wapya kuiongoza nchi akiongeza kwamba anaamini ana vigezo vya kushikilia urais bila uoga wowote natangaza kwamba nitakuwa debeni 2022 na namuomba ndugu yangu raila ndugu yangu kalonzo na mudavadi kuniunga mkono wakati huu alisema mwanasiasa huyo alishirikiana na kiongozi wa wiper kalonzo musyoka na mwenzake wa amani national congress musalia mudavadi katika kumuunga raila mkono kwenye uchaguzi mkuu wa 2017 ingawaje alishindwa na rais uhuru kenyatta kenyan politicsraila odinga latest newsmoses wetangula latest news
2019-09-20T23:37:10
https://kiswahili.tuko.co.ke/309716-wetangula-azuru-siaya-na-kutangaza-azma-yake-ya-urais-2022.html
naibu spika dr tulia na watu wake mbeya kwenye uzinduzi wa ngoma za jadi millardayocom naibu spika dr tulia na watu wake mbeya kwenye uzinduzi wa ngoma za jadi kwa mara nyingine tena naibu spika dr tulia ackson kupitia taasisi ya tulia trust amefanya uzinduzi wa tamasha la ngoma za jadi uliofanyika katika viwanja vya tandale mkoani mbeya linalofahamika kwa jina la tulia traditional dances festival 2017 lengo likiwa ni kuuenzi utamaduni wa tanzania ulipitwa na hii wanaosema haya maneno msiwasikilize dr tulia hii je kuna wanaume hawataki wake zao wafanye kazi dr tulia ackson ← previous story breaking news freeman mbowe karudi dar aongelea yote ya tundu lissu kwa mara ya kwanza next story → tetemeko la ardhi mexico lilivyoua wanafamilia kanisani (+pichaz)
2020-07-12T18:34:56
https://millardayo.com/rgtu87/
mama aliyekutwa uchi barabarani azua mjadala posted by bomalog on july 20 2017 mama huyo akinyanyuka kutoka kwenye ungo aliokuwa amekaa juu yake katikati ya barabara tukio la mama ambaye jina lake halikupatikana mara moja kukutwa ameketi katikati ya barabara akiwa uchi wa mnyama limezua tafrani na mjadala mkali kufuatia mazingira ya tukio zima huku maswali yakiwa mengi kuliko uhalisia kisanga hicho kilichozua taharuki na zogo kutoka kwa watu kilijiri jana asubuhi maeneo ya bananaukonga jijini dar hali iliyopelekea kusimama kwa shughuli za kijamii kwa muda akitokomea na mizigo yake baada ya watu kumshitukia mapema asubuhi wakati watu wakianza mishemishe za kuikaribisha siku mpya mama huyo alionekana ameketi katikati ya barabara akiwa mtupu na pembeni kukiwa na ungo na mkoba jambao lililovuta hisia za wengi na kulazimika kusogea karibu na eneo hilo kushuhudia kwa ukaribu ili kubaini kilichojiri akizongwa na watu baada ya kuvaa nguoakiwa ameshika ungo wake ilizidi kudaiwa kuwa mama huyo alisikika akizungumza maneno yasiyoeleweka huku akiwa na kiwewe akijaribu kutafuta namna ya kujisitiri kuondokana na aibu kutokana na hali hiyo baadhi ya akina mama waliingiwa na moyo wa huruma kwa mwanamke mwenzao na kujitolea mavazi (khanga) na kumsitiri ingawa wengine hususan wanaume walisikika wakizomea na kushangilia huku wakimuita majina yenye tafsiri mbaya mjadala uliozuka katika eneo la tukio yapo maswali makubwa matatu yaliyozua mjadala ambayo yalichangiwa na mazingira husika mbona mwanamke mwenyewe anaonekana mstaarabu wa kutoendana kabisa na mazingira haya lakini pia kama ni mchawi au mwanga mbona anaongea wakati ilivyo kawaida kama mchawi akinaswa akifanya uchawi wake huwa hawaongei hadi wagutuliwe tofauti na alivyoonekana mwanzo akizungumza mwenyewe lakini pia mbona kuna mkoba kwani mchawi huwa na mkoba kweli hayo ni baadhi ya maswali yaliyosikika kutoka kwa watu waliokuwa eneo la tukio huku yakizua mjadala na sintofahamu yenye fumbo zito
2018-11-21T18:04:10
http://www.bomalog.com/2017/07/mama-aliyekutwa-uchi-barabarani-azua.html
rayvanyy archives radio jambo tag rayvanyy (+ jumbe) rayvanny atemwa na mkewe jumbe zavujishwa insta posted on november 25 2019 november 25 2019 by abraham kivuva staa wa ngoma ya tetema kwa sasa anazongwa fikra baada ya kutemwa na mkewe fahy vanny kwa mujibu wa posti aliyoichapisha insta jumbe za mkewe za kutotaka tena mahusiano ni ishara tosha kuwa ndoa yao imeingia shubiri fahy vanny anasema kuwa maisha ya ndoa na rayvanny yamemfika mwisho (+ video) mama akatisha hotuba ya william samoei ruto asimulia masaibu katika ujumbe uliojaa machungumkewe anampa msomo rayvanny kumkoma na kumsahau mtoto wao jaydan hesabu mimi na jay amefariki kwenye maisha yako nitapigana na nitashinda sitakosa pesa ya kula ila mimi na jay hesabu kuwa tumekufa kwenye maisha yako aliandika fahy katika mtandao wa insta rayvanny alimjibu kuwa mkewe amekuwa akitamani maisha yasiyo na tija yoyote huku akionyesha ishara ya kukubali matokeo staa huyu alimtakia mkewe mema na kudokeza kuwa bado anaipenda familia yae magix enga ataja sababu ya kumsamehe harmonize aachilia uno youtube nimekuwa nakuheshimu miaka tuliokuwa pamoja kuna mengi tumekoseana na tumesameheana na kila mara umekuwa ukitamani maisha ambayo kila siku nakwambia hayatakusaidia nakuheshimu na naiheshimu sana familia yangu ikiwa umeamua mwenyewe kuondoka siwezi kulaumu bado napenda familia yangu nakutakia maisha mema aliandika rayvanny posted in featured on homepage slider latesttagged rayvanyy wife
2020-02-18T09:51:57
https://radiojambo.co.ke/tag/rayvanyy/
mwanamke akiwa amemshikilia mtoto wake mchanga baada ya kuzaliwa na mwengine akiwa ndani ya mashine inayosaidia makuzi ya mtoto aliyezaliwa kabla ya muda wake sudan kusini aprili 3 2013 takwimu mpya za umoja wa mataifa (un) zinaonyesha kuwa bara la afrika chini ya jangwa la sahara liko nyuma likilinganishwa na maeneo mengine duniani katika kupunguza vifo vya watoto na kina mama makadirio ya shirika la afya duniani (who) na idara ya umoja wa mataifa ya kuhudumia watoto (unicef) wamebaini kuwa mizozo mifumo mibaya ya afya na umaskini ni baadhi ya vigezo ambavyo vinachangia kwa mamilioni ya vifo vya watoto na kina mama vinavyoweza kuzuilika idara hiyo ya un inasema tangu mwaka 2000 vifo vya watoto vimeshuka kwa takriban mara moja na nusu na kwamba vifo vya kina mama vimeshuka kwa zaidi ya theluthi moja hali hiyo imetokana na upatikanaji wa huduma nzuri za afya makadirio haya mapya hata hivyo yanaonyesha kuwa watoto milioni 62 walio na umri wa chini ya miaka 15 walifariki mwaka 2018 na takriban wanawake 300000 wamefariki kutokana na matatizo yanayohusiana na ujauzito na kujifungua mwaka 2017 idara zinaripoti kuwa mwanamke mjamzito au mtoto mchanga anayezaliwa anakufa kila sekunde 11 sehemu fulani duniani wengi wao kutokana na sababu zinazoweza kuzuilika peter salama mkurugenzi mtendaji wa afya ya umma katika (who) anasema wanawake na watoto barani afrika chini ya jangwa la sahara wako katika hatari kubwa sana kukumbwa na vifo kuliko katika maeneo mengine yoyote mwaka 2017 kwa mara ya kwanza nusu ya vifo vya watoto vilitokea barani afrika kwa sababu ya ongezeko la viwango vya uzazi tunabashiri kwamba idadi hiyo itafikiia zaidi ya asilimia 60 ya vifo vya watoto vinavyotokea ulimwenguni kwa vifo vya kina mama hivi leo theluthi mbili vinatokea barani afrika anasema salama salama anasema hatari za maisha kwa mwanamke kufariki kutokana na sababu zinazoambatana na ujauzito ni mmoja kati ya 37 barani afrika ukilinganisha na mmoja kati ya 7800 nchini australia anasema hatari za kujifungua mtoto katika nchi zenye serikali thabiti ni ndogo sana ukilinanisha na nchi ambazo zimeathiriwa na mizozo anasema nchi zenye maendeleo kiasi zinaweza kufanya juhudi kupunguza vifo vya mtoto na kina mama anaelezea mataifa ya malawi zambia belarusa bangladesh na cambodia ni sababu moja ya dhahiri kuwa wamewekeza zaidi katika afya ya uzazi kina mama mtoto mchanga na afya ya mtoto wanachagua program zinazofaa na wanawekeza kwa mujibu inavyotakiwa lakini hii si hadithi yote wanawekeza pia katika huduma za msingi za afya na afya kwa ujumla kwa kifupi wanawekeza zaidi katika mifumo ya msingi na yenye kuingiliana amesema salama malengo ya un ya maendeleo endelevu yanalenga kupunguza vifo vya kina mama kwa chini ya 70 katika kila mimba 10000 kwa watoto wanaozaliwa na vifo vya watoto chini ya miaka mitano vipunguzwe walau 25 kwa kila watoto 1000 ifikapo mwaka 2030 who na unicef wanasema dunia lazima ichukue hatua hivi sasa na kuwekeza fedha zaidi zinazohitajik kupunguza vifo hivi
2019-10-23T15:27:31
https://www.voaswahili.com/a/un-afrika-bado-iko-nyuma-kupunguza-vifo-vya-watoto-kina-mama/5092447.html
watahiniwa wa kcpe na kcse mwaka huu kuthibitisha usajiliwa wao kuanzia jumatatu the standard watahiniwa wa kcpe na kcse mwaka huu kuthibitisha usajiliwa wao kuanzia jumatatu carren omae 17th feb 2019 095331 gmt +0300 shughuli ya kutathimini watahiniwa waliojisajili kuifanya mitihani yao ya kitaifa ya darasa la nane kcpe na kidato cha nne kcse itaanza rasmi kesho kesho baraza la mitihani nchini knec limesema shughuli hiyo itaendelea hadi tarehe 28 mwezi huu kulingana na knec hatua ya kuwapa watahiniwa nafasi ya kuthibitisha usajili wao inalenga kurekebisha makosa ili kuhakikisha hakuna atakayekosa kuufanya mtihani huo shughuli ya usaliji iliyoanza tarehe mbili mwezi huu ilikamilika tarehe kumi na tano yaani ijumaa ambapo watahiniwa milioni 178 walikuwa wamesajiliwa kufanya kcpe na kcse mwaka huu miongoni mwa waliosajiliwa watahiniwa milioni moja elfu thamanini na tisa mia sita sabini na moja watafanya kcpe huku elfu mia sita tisini na wanane mia tisa thelathini na watano wakisajiliwa kufanya kcse wazazi wameshauriwa kuthibitisha iwapo wanao wamesajiliwa kwa kutuma ujumbe mfupi kwa nambari 20076 afisa mkuu mtendaji wa knec marcy karogo amewashauri kuwasiliana na walimu wakuu iwapo kutakuwapona tatizo lolote amesisitiza kwamba muda wa kusajiliwa wa watahiniwa hautaongezwa wakati uo huo walimu wakuu wameshauriwa kuwapa nambari za usajili watahiwa kulingana na utaratibu kuhusu jinsi walivyojiunga na shule zinazohusika wala sio kulingana na matokeo yao ya mitihani jinsi ambavyo wamekuwa wakifanya aidha knec imewashauri watahiniwa kujisajili kwenye shule wanakosomea watahiniwamitihani by bosco marita 17 minutes ago by malkhadir m muhumed / 54 minutes ago
2019-04-22T14:06:39
https://www.standardmedia.co.ke/article/2001313380/watahiniwa-wa-kcpe-na-kcse-mwaka-huu-kuthibitisha-usajiliwa-wao-kuanzia-jumatatu
zuma apewa masaa 48 kujiuzulu urais | sunrise radio 949 fm home habari mbali mbali zuma apewa masaa 48 kujiuzulu urais zuma apewa masaa 48 kujiuzulu urais rais jacob zuma wa afrika kusini amepewa masaa 48 awe ameachia ngazi baada ya kufanyika mkutano wa dharura wa chama tawala anc vyombo vya habari nchini humo vimeripoti kuwa makamu wa rais wa nchi hiyo cyril ramaphosa amemkabidhi zuma ilani ya kujiuzulu baada ya kumalizika kikao cha jana cha baraza kuu la anc uamuzi wa jana umefikiwa baada ya zuma na ramaphosa kufanya mazungumzo ya siku tano kuhusu hatima ya rais huyo wa afrika kusini anayeandamwa na kashfa za ufisadi bila kufikia natija yoyote rais jacob zuma amezidi kuwa chini ya mashinikizo ya chama tawala cha anc tangu cyril ramaphosa alipochaguliwa kuwa mwenyekiti wa chama hicho rais zuma na ramaphosa awali anc ilikuwa imegawika baina ya waungaji mkono wa zuma na wapinzani wake jambo ambalo liliwafanya washindwe kumlazimisha jacob zuma ajiuzulu kabla ya kumalizika kipindi chake cha urais mwakani iwapo jacob zuma atajiuzulu cyril ramaphosa ambaye ni makamu wake atachukua uongozi wa afrika kusini hadi utakapoitishwa uchaguzi mwingine wa rais kati kati ya mwaka ujao 2019 previous articlekurasa za magazeti ya leo jumanne feb 13 next articlesudan kusini inafanya oparesheni kuwasaka wabadilishaji fedha haramu
2018-02-23T14:22:24
http://sunriseradio.co.tz/index.php/2018/02/13/zuma-apewa-masaa-48-kujiuzulu-urais/
kitwanga atishia kuigomea bajeti wizara ya maji | mpekuzi kitwanga atishia kuigomea bajeti wizara ya maji mbunge wa misungwi charles kitwanga amesema atapiga kura ya hapana kwenye bajeti kuu na wizara ya maji iwapo hawatafafanua kuhusu mgawanyo wa mradi wa india utakaotekelezwa katika miji 28 wakati ungeweza kutekekezwa katika miji 50 amesema kuwa mradi huo hauna thamani ya fedha kwa kuwa kila mmoja unagharimu dola milioni 17 sawa na shilingi bilioni 39 wakati kiuhalisia unatakiwa kugharimu shbilioni 12 amesema chukua dola bilioni 50 gawanya kwa miji 28 utapata milioni 172 sawa na bilioni 39 na zaidi bila kufanya marekebisho sitaunga mkono hoja kwa kuwa najua kinachoendelea na ushahidi nikishauletakama mlisema mkataba wa lugumi ni mbaya sasa hii ni zaidi ya lugumi na siku nikipewa nafasi nitasema kuhusu lugumi amesema
2020-08-07T23:42:26
https://www.mpekuzihuru.com/2020/04/kitwanga-atishia-kuigomea-bajeti-wizara.html
münich yaaibishwa na cottbus | michezo | dw | 17032008 münich yaaibishwa na cottbus viongozi wa ligi ya ujerumani bmunich wamezabwa mabao 20 na chipukizi ecottbus na bremn imekula bao 10 huko wolfsburg katika changamoto za mwishoni mwa wiki za bundesligaligi ya ujerumani viongozi wa ligibayern munich walikiona cha mtema kuni kutoka chipukzi energie cottbusbremen iliokua ikifukuzia bmunich nafasi ya pili kileleni ilipata pigo jengine mara hii kutoka wolfsburg barcelona imepunguza pointi 1 tu mwanya wake na real madrid kileleni mwa la liga kwa kutoka sare 22 tukianza na changamoto za ligi ya ujerumani mwishoni mwa wikitangu bayern munich inayoongoza ligi kwa pointi 5 na werderbremen iliokua ikifukuzia nafasi ya pili zimeteleza tenawakati munich imechapwa mabao 20 na timu iliopo mkiani mwa ligi energie cottbus werder bremen imezabwa bao 10 na jirani yake wolfsburg huko kaskazini pigo la bayern munich limekuja siku 3 kabla bayern munich haikurudi uwanjani jumatano hii kwa nusufinali ya kombe la shirikisho la dimba la ujerumani (dfb) dhidi ya hiyo hiyo wolfsburg iliowalaza juzi bremen baada ya bayern munich kushindwa nyumbani na anderlecht ya ubelgiji katika kombe la uefa ingawa imefaulu kingiaduru ijayo na pigo hili la pili huko cottbus bayern munich ina wiki ya misukosuko bremen nayo ilizabwa mabao 63 wiki iliotangulia na mabingwa stuttgart na ikatolewa kabisa katika champions leaguekombe la klabu bingwa barani ulaya na sasa kwa kushindwa jumamosi na wolfsburg imeangukia nafasi ya 4 ya ngazi ya ligi huku hamburg na leverkusen zikichukua nafasi ya pili na ya 3 nyuma ya bayern munich kocha wa bremen thomas schaaf amesema hatuna haja ya kudai mambo ni mazuriisitoshehatuhitaji kuambiwa ah mlicheza hatahivyo uzurinadhani kila mmoja anahitaji kufurahia ushindi lakini sisi hatukupata ushindi huo wiki hiialinun'gunika kocha wa werder brementhomas schaaf kocha wa wolfsburg na zamani bayern munich felix magath aliueleza ushindi wa timu yake dhidi ya bremen kuwa uliostahikialisema nadhani tuikisema kwa ujumla sio hatukustahiki ushindikwani kipindi cha pili baada ya kuongoza kwa bao 1 tulipata nafasi za kurudisha ghafula mashambulio na kuweza kutia bao jengine ama katika la ligaligi ya spain fc barcelona iko pointi 7 nyuma ya viongozi wa ligireal madridlakini licha ya kuongoza mara 2 barcelona ambayo itacheza na schalke ya ujerumani katika duru ijayo ya champions leaguekombe la klabu bingwa barani ulaya ilimudu sulubhu 22bao la kwanza la barcelona dhidi ya almeria lilitiwa na bojan krkic mnamo dakika ya 17 ya mchezo kabla simba wa nyika samuel eto'o kutia bao lao la pilijumamosireal madrid ilipoteza pointi 3 kwa kulazwa bao 10 na deportivo la coruna katika serie a au ligi ya italiinter milan iliopigwea kumbo kabisda nje ya champüions league inaendelea kutamba nyumbanimwishoni mwa wiki inter iliikomea palermo manao 21 wakati mahasimu wao wakubwa katika kinyan'ganyiro cha taji la ubingwa as roma walitamba mbele ya ac milan kwa ushindi wa mabao 21juventus turin inafuata nafasi ya 3 katika ngazi ya ligi kufuatia ushindi wao nyumbani wa bao 10 dhidi ya neapel cagliari inaburura mkia wa ligi tarehe 17032008 kiungo https//pdwcom/p/dqcs
2018-12-11T16:48:31
https://www.dw.com/sw/m%C3%BCnich-yaaibishwa-na-cottbus/a-3199006
bbc swahili news in brief picha za mkewe mwanamfalme zachapishwa picha za mkewe mwanamfalme zachapishwa imebadilishwa 14 septemba 2012 saa 1052 gmt maafisa katika kasri la kifalme nchini uingereza wanasema kuwa mwanamfalme wa uingereza prince william na mkewe kate middleton wameghadhabishwa na picha zilizochapishwa katika gazeti la ufaransa zikimwonyesha kate akiwa nusu uchi wamekashifu hatua hiyo ya kuingilia maisha yao binafsi wawili hao wanatafuta ushauri wa kisheria kutoka kwa mawakili wa ufaransa picha hizo zilipigwa wakati william na kate walikuwa likizoni katika ukumbi wa kibinafsi ufaransa ina sheria kali kuhusu maisha ya faragha ya watu na ni kosa la jinai kuchapisha habari za kibinafsi kuhusu mtu bila idhini yake
2018-08-20T09:46:52
https://www.bbc.com/swahili/news_in_brief/2012/09/120914_kate_picha
msako wakamilika bila kony kukamatwa | matukio ya kisiasa | dw | 09052017 msako wakamilika bila kony kukamatwa kiongozi wa kundi la waasi wa lord resistance army joseph kony ambaye anakabiliwa na mashitaka ya kuwateka nyara maelfu ya watoto na kuwatumia kama wapiganaji au watumwa wa kingono amekuwa mbabe wa kivita mwenye sifa mbaya zaidi barani afrika kwa miongo mitatu na sasa kwa vile marekani na wengine wanahitimisha msako wao wa kimataifa dhidi yake na kundi lake la lra inaonekana kamwe kony hatofikishwa mbele ya sheria licha ya mamilioni ya dola kutumika katika msako dhidi yake joseph kony amefaulu kukwepa mitego hilo ni pigo kwa wahanga wa mateso yake waliotaraji kwamba angehukumiwa katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu mjini the hague ambapo anakabiliwa na mashtaka ya uhalifu dhidi ya ubinadamu wahanga walilia haki hamu ya haki ipo haki ndilo jambo ambalo watu wanataka amesema judith akello ambaye ni wakili anayeiwakilisha jamii moja ambayo wakati moja ilishambuliwa na kundi la kony kaskazini mwa uganda kulingana na takwimu za umoja wa mataifa kundi la lord resistance army limewaua zaidi ya watu 100000 marekani ilitoa kiasi cha dola milioni tano kwa mtu yeyote ambaye angetoa taarifa ambazo zingesaidia kufichua na kukamatwa kwa joseph kony hata hivyo hadi sasa mahali ambapo kony yupo imesalia kuwa fumbo lililoshindwa kufumbuliwa waasi waliojisalimisha karibuni wa kundi lake wanasema kony ni mgonjwa na anajificha katika msitu wa afrika ya kati marekani yaondoa wanajeshi wake mwanajeshi wa marekani anayeshiriki msako dhidi ya kony ikiwaondoa wanajeshi wake kwenye msako huo marekani ambayo ilianza kwa kuwatuma wanajeshi 100 kama washauri wa kijeshi mwaka 2011 na baadaye ikawatuma wanajeshi wa angani 150 mwaka 2014 ilisema mwezi machi kuwa ni wapiganaji wasiozidi 100 ndio wamesalia katika kundi la lra mwezi jana jeshi la uganda pia lilitangaza kuwa linawaondoa wanajeshi wake 1500 katika msako dhidi ya kony likisema operesheni hiyo imekamilika kuondolewa kwa wanajeshi kunamaanisha kuwa huenda kony asikamatwe wamesema baadhi ya waangalizi miongoni mwa makamanda watano wa lra ambao wameshitakiwa katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kibinadamu icc kony pekee ndiye hajapatikana mmoja wa makamanda hao dominic ongwen aliyekamatwa katika jamhuri ya afrika ya kati anakabiliwa na mashtaka katika icc mtafiti wa kujitegemea katika jamhuri ya afrika ya kati anayechunguza matukio ya lra kasper agger amesema kony amefaulu kukwepa mitego na majeshi makubwa duniani kwa miongo mitatu bila kukamatwa na kwamba waasi wa kundi lake wanaweza kujiunga na makundi mengine yaliyojihami katika maeneo ya jamhuri ya congo na afrika ya kati lra lingani tisho marekani yasaidia uganda katika msako dhidi ya kony na wapiganaji wa lra ripoti ya umoja wa mataifa kuhusu dhuluma za ngono katika maeneo ya machafuko inasema kundi la lra lingali tisho kubwa katika ukanda huo ripoti hiyo inaongeza kuwa kundi la lra limeendeleza mbinu zake za tangu zamani za utekaji nyara unajisi ndoa za lazima kuwatunga wasichana na wanawake mimba kwa lazima kando na kuwatumia kama watumwa wa ngono katika maeneo ya jamhuri ya afrika ya kati na pia sehemu za jamhuri ya congo na sudan sasha lezhnev wa shirika la enough project anasema kukamatwa kwa kony kumeshindikana kwa sababu anajificha katika maeneo yanayodhibitiwa na sudan ambapo vikosi vya afrika haviruhusiwi kuendeleza operesheni hata hivyo sudan imekataa madai ya serikali ya uganda kuwa inaunga mkono lra mchambuzi wa usalama katika eneo hilo angelo izama aliyeko uganda anasema kony na kundi lake wamekwepa ukamataji kutokana na nidhamu yao kauli inayorejelewa na mathew green ambaye ni mwandishi wa kitabu kuhusu lra chenye anwani wizard of the nile anayesema japo kony anaonekana kustaajabisha aliongoza kundi la wanamgambo waliojihami vyema na waliokuwa watiifu mada zinazohusiana yoweri museveni sudan marekani lord's resistance army (lra) benki kuu ya marekani chama cha republican donald trump mike pence cia nafta maneno muhimu joseph kony lra uganda marekani jamhuri ya afrika ya kati sudan umoja wa mataifa kiungo http//pdwcom/p/2chmu
2017-09-21T05:46:45
http://www.dw.com/sw/msako-wakamilika-bila-kony-kukamatwa/a-38775848
matukio @ michuzi blog wananchi watakiwa kutumia nishati ya biogas ili kurahisisha maisha mkufunzi wa semina ya wadau mbalimbali wanaotumia teknologia ya biogas pamoja na wamiliki wa mitambo hiyo pamoja na mafundi rowah spear akiendelea kutoa elimu katika semina hiyo inayofanyika leo jiji hapa wakwanza kulia ni mratibu wa ubunifu kutoka echo harold msanya akiwa anafafanua jambo mbele ya wakufunzi hao baadhi ya washiriki wa semina hiyo wakiendelea kufanya kazi ya majadiliano katika makundi mkufunzi wa semina ya wadau mbalimbali wanaotumia teknologia ya biogas ndugu rowah spear akiwa anawaelekeza baadhi ya wadau waliouthuria semina jinsi biogas inaweza kufanya kazi wadau wakiendelea kufatilia mada ilikuwa inaendelea mkurugenzi wa echo erwin kinsey akiwa anaonyesha wakulima na wadau walioshiriki semina hiyo mmea aina ya gugukaroti ambalo alisema kuwa gugu ilo kwa asilimia 90 huku asilimia 10 ni gugu ambalo linaweza kutumika kutengeneza biogas(na woinde shizzaarusha) wadau wakiendelea na majadiliano katika makundi yao ikiwa ni sehemu ya kujifunza njia mbalimbali na matumizi ya biogas habari picha na woinde shizzaarusha wananchi wametakiwa kutumia gesi bayogesi kwani inapunguza gharama za watumiaji wa vyanzo vingine vya nishati pia gesi hii inasaida kutunza mazingira hayo yamebainishwa leo na mratibu wa ubunifu kutoka echo harold msanya wakati akitoa mada katika semina ya wadau mbalimbali wanaotumia teknologia ya biogas wamiliki wa mitambo hiyo pamoja na mafundi wanaofunga na kutengeneza mitambo hiyo alisema kuwa gharama za nishati ya umeme na gesi asilia ni ghali sana hasa kwa mtumiaji atakayedhamiria kutumia jiko la umeme au jiko la gesi lakini kwa gesi hii ya samadi mtumiaji au mabaki ya nyasi aina mbalimbali zitamgharimu muda wake tu kujaza samadi na maji kila siku na atakuwa hana malipo ya pesa kila mwezi kama itakavyomlazimu kulipia umeme na gesi asilia kila mwezi na hata kuni ambazo watumiaji wengine hununua alibainisha kuwa njia hii imeweza kuwasaidia na kuwapa faida baadhi ya wananchi ambao wameanza kutumia teknoligia hii na pia wengi wao wameshanufaika na huduma hii aidha bayogesi ambayo aghalabu hutokana na kinyesi cha wanyama masalia ya mimea na kinyesi cha binadamu inaweza kuzalishwa na kutumika kupikia na hata matumizi mengine kama vile kuendeshea mitambo mbalimbali matumizi ya gesi hii kwa mtu ambaye ana mifugo kama vile nguruwe ngombe yanaweza kusaidia kuondokana na gharama za kununua nishati ya kuni mkaa umeme na hata gesi asilia inayochimbwa ardhinialisema msanya kwa upande wake mkufunzi wa mkufunzi wa semina ya wadau mbalimbali wanaotumia teknologia ya biogas pamoja na wamiliki wa mitambo hiyo pamoja na mafundi rowah spear alisemak uwa ni wajibu wa kila mtanzania kuwakikisha anakuwa na mtambo huo kwani mtambo huo unapunguza gharama ubwa ambazo awali walikuwa wanatumia na pia pale mwananchi anapotumia mtambo huu anakuwa rafiki wa mazingira kwani kwanza kabisa akati miti ovyo na pili yale majani vyakula na uchafu uchafu wa aina wowote anaweza kuukusanya na kuingiza katika mashina na ikamsaidia kupatikana kwa biogas pia alisema kuwa mbali na kupata nishati yakupikia tu pia uchafu ambao unakuwa umetokana na mabaki haya unaweza kufanywa kama mbolea kwa mazao mbalimbali tunayoyalima hivyo ni vyema kila mwananchi kuhakikisha nyumbani kwake anamtambo huu
2017-10-19T05:10:06
https://michuzi-matukio.blogspot.com/2017/07/wananchi-watakiwa-kutumia-nishati-ya.html
مهدويت | mahdawiyat kukua fikra za kiwahabi ni hatari kwa uislamu ripoti ya abnakituo cha habari cha jeuneafrique kimeandika makala iliyopewa anwani ya mali safari katika moyo wa bamako ya kiwahabi na kuchunguza maudhui ya hujuma ya uwahabi katika nchi za kiafrika na mchango wa wanafunzi waliohitimu masomo katika vyuo vikuu vya saudi arabia katika suala hilo mwandishi wa makala hiyo ameashiria suala la kupanuka uhusiano wa kibiashara kati ya saudia na mali na kuandika kuwa uwahabi umeingia nchini mali kupitia njia ya kustawishwa uhusiano wa kibiashara baina ya nchi hizo mbili misikiti inayoongozwa na maimam wa swala za jamaa wenye misimamo ya kupindukia au hata aina ya mavazi ya wanawake yanayoshabihiana na yale ya wanawake wa kisaudi yote hayo ni ishara ya kuingia itikadi kali za kiwahabi katika nchi hiyo ya kiafrika mwandishi wa makala hiyo anaendelea kwa kusema kuwa mawahabi wa bamako huamka asubuhi na mapema na kumiminika katika mitaa ya mji huo wakitoa nara na baada ya kushambulia vituo wanavyoamini kuwa vinaeneza misingi ya itikadi zisizokuwa za kiislamu hutoweka haraka mwandishi wa makala hiyo anaamini kwamba serikali ya mali pia imechangia kwa njia moja au nyingine katika kueneza uwahabi nchini humo kwani serikali ya bamako haijachukua hatua yoyote dhidi ya makundi yanayoeneza uwahabi nchini humo na wala haiwachukulii hatua za kisheria wale wanaoshambulia raia kwa visingizio mbalimbali kila siku mawahabi hujenga msikiti katika mitaa na vitongoji vya bamako na unapokutana na wahabi katika misikiti hiyo utamsikia akisema kuwa wao ndio waislamu halisi na kukulazimisha kufuata itikadi na fikra zao huziona amali na ibada za waislamu wengine kuwa ni makosa matupu na kwamba wao ndio nembo ya uislamu wa kweli' inasisitiza makala ya mwandishi huyo makala hiyo imeongeza kuwa watu wengi wanaoswali katika misikiti hiyo ni watu waliopata elimu katika vyuo vikuu vya saudi arabia misikiti mingi kati ya hiyo ina wanafunzi wanaosomeshwa qur'ani mwandishi wa makala hiyo anamalizia kwa kuandika kuwa wakati kunapofanyika tendo lolote kinyume cha sheria kwa mujibu wa itikadi za kiwahabi watu anaoswali katika misikiti ya kundi hilo humiminika mitaani na kushambulia vituo au raia ni vyema kukumbusha hapa kuwa karibu asilimia 90 ya raia wa mali ni waislamu
2019-01-18T19:08:19
http://m-mahdiehisfahan.ir/sw/article/4601
hii ndio tofauti ya albamu mpya ya woman na binti kutoka kwa lady jay dee ~ chimbuko letu 1028 am burudani na michezo lady jaydee
2017-08-17T07:52:28
http://chimbukoletu.blogspot.com/2017/03/hii-ndio-tofauti-ya-albamu-mpya-ya.html
msemaji mkuu wa serikali awapongeza waandishi wa habari wanaoripoti mkutano wa sadc msumba news blog mkurugenzi wa idara ya habari (maelezo) na msemaji mkuu wa serikali dkt hassan abbasi amewapongeza wanahabari wote wanaoripoti shughuli mbalimbali za mikutano ya wiki ya sadc kuanzia ufunguzi wiki ya viwanda na hata mikutano ya ndani inayoendelea katika kituo cha kimataifa cha julius nyerere jijini dar es salaam dkt abbasi amesema tangu kufunguliwa kwa mikutano ya sadc wanahabari wamekua mstari wa mbele kuuhabarisha umma juu ya matukio mbalimbali yanayoendelea lakini pia kufanya shughuli za mikutano zinazoendelea zifahamike kwa umma wa watanzania nitakua mchoyo wa fadhila kama sitatambua mchango wenu kwa jinsi mnavyojitoa kufanya kazi kwa weledi lakini pia kwa uzalendo mkubwa na mapenzi kwa nchi yenu hii inaonyesha jinsi watanzania tulivyo wamoja na makini hasa yanapokuja masuala muhimu ya kitaifa alisema dktabbasi amesema japo mkutano wa 39 wa wakuu wa nchi na serikali haujafanyika kazi kubwa zimefanywa na wanahabari kuanzia wiki ya viwanda hadi leo ambapo waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki profpalamagamba kabudi amekabidhiwa uenyekiti wa baraza la mawaziri la sadc kwa kutambua kazi nzuri inayofanywa na wanahabari dkt abbasi amesema wataandaa tuzo kwa wanahabari hao baada ya kumalizika kwa mkutano mkuu wa 39 wa nchi za sadc ili kuwapa motisha na pia kutambua mchango wao walioutoa kwa nchi
2019-12-10T02:58:19
http://www.msumbanews.co.tz/2019/08/msemaji-mkuu-wa-serikali-awapongeza.html
bosi mpya tony elumelu aanza majukumu yake | mtanzania home biashara na uchumi bosi mpya tony elumelu aanza majukumu yake bosi mpya tony elumelu aanza majukumu yake mkurugenzi mtendaji mpya wa taasisi ya tony elumelu ya nchini nigeria ifeyinwa ugochukwu ameanza majukumu yake mapya kuanzia aprili 1 mwaka huu desemba mwaka jana taasisi ya tony elumelu ambayo inafanya kazi ya kuwawezesha wajasiriamali wa kiafrika ilitangaza uteuzi mpya wa ifeyinwa kama mkurugenzi mtendaji nafasi ambayo ilikuwa ikishikiwa na mtangulizi wake parminder vir ambaye kwa sasa anakuwa mkurugenzi wa bodi ya ushauri wa tony elumelu akizungumzia majukumu yake hayo mapya ifeyinwa amesema atazingatia kuongeza umuhimu wa programu ya uwekezaji wa tony elumelu ya dola milioni 100 kwa kipindi cha miaka 10 na kuimarisha mahusiano kati ya afrika na mfumo wa kimataifa wa ujasiriamali kuwawezesha wajasiriamali wa afrika na matokeo ya kujenga ajira na mali juu ya bara katika kipindi cha miaka miwili nimekuwa katika kutoa uzoefu nikiwa mkurugenzi wa ushirikiano na tathmini kabla ya kupata nafasi mpya ya kuongoza taasisi hii amesema previous articlefao idadi ya waliokuwa na njaa 2018 imepungua next articleidadi ya wahadhiri wenye phd yaongezeka duce
2019-04-22T14:12:03
http://mtanzania.co.tz/bosi-mpya-tony-elumelu-aanza-majukumu-yake/
vampire vitabu vitabu vya kusoma picha (8809770) fanpop this vitabu vya kusoma picha contains tamasha there might also be gitaa gitaa mchezaji mchezaji gitaa pianist accompanist accompanyist kinanda and kazi solo
2019-06-17T05:18:05
http://sw.fanpop.com/clubs/books-to-read/images/8809770/title/vampire-books-photo
narendra modi afanya ziara ya kihistoria nchini israel mashariki ya kati rfi israeli india benjamin netanyahu narendra modi imechapishwa 05072017 • imehaririwa 05072017 saa 0745 narendra modi afanya ziara ya kihistoria nchini israel waziri mkuu wa israel benjamin netanyahu (kulia) akimkaribisha mwenzake wa india narendra modi mjini tel aviv jumanne julai 4 2017 reuters/ammar awad waziri mkuu wa india narendra modi yuko ziarani nchini israel hii ni mara ya kwanza waziri mkuu wa india kuzuru nchi hiyo miaka 25 baada ya kuanzishwa kwa uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi hizo mbili serikali ya israel imekaribisha ziara hiyo ikibaini kwamba ni hatua ya kihistoria kwa miaka ya 25 ya uhusiano wa kidiplomasia india na israel wameendeleza biashara zao kwa wingi na mkakati mbalimbali india kwa sasa ni moja ya wateja wakuu wa israel katika sekta ya silaha biashara kati ya nchi hizi mbili inatarajiwa kufikia dola bilioni 5 hadi mwishoni mwa mwaka huu mwandishi wetu katika mji wa jerusalem guilhem delteil amearifu kwa upande wake yuval rotem mkurugenzi mkuu wa wizara ya mambo ya nje wa israel amesema ziara hiyo ni ishara kubwa ya uhusiano kati ya nchi hizo mbili hii kwa kweli ni ziara ya kihistoria waziri mkuu ataongozana na waziri mkuu modi katika ziara yake yote hiyo jambo ambalo si la kawaida katika ziara za kiserikali za miaka ya hivi karibuni hii inaonyesha umuhimu ambao tunaona kwa ziara hii amesema bw rotem narendra modi hatatozuru ukingo wa magharibi unaokaliwa na walowezi wa kiyahudi haijafahamika iwapo kiongozi huyo wa india atakutana na viongozi wa palestina
2019-09-20T18:11:21
http://m.sw.rfi.fr/mashariki-ya-kati/20170705-narendra-modi-afanya-ziara-ya-kihistoria-nchini-israel
makavulive new track kilicho bora slaiyank new track kilicho bora slaiyank slaiyank the quality brother aunga mkono campaign za kukomesha beto pande za chugatown hii ni ngoma ya tatu nayorelease katika kutambulisha ujio wa album yangu ya kilicho borana single ii kaunda defxtro pande za noizmekahcom track inaitwa quality brothers au kifupi qbmategemeo yangu makubwa ni kuweza kuelimisha jamii kupitia muziki wangu na mimi kama mc nasmama kama mfano kukanya fikra potofu kuwa ubabe na fujo ni ujanjamusic inakosa support kubwa sana kwa itikadi hizi maana kama ni ajira halafu tunawakosea mashabiki heshima je tutakula wapi posted by makavulive dar at 1947
2018-04-22T07:00:49
http://makavulive.blogspot.com/2012/04/new-track-kilicho-bora-slaiyank.html
live from tv's upigaji wa kura matokeo na yatokanayo | jamiiforums | the home of great thinkers live from tv's upigaji wa kura matokeo na yatokanayo discussion in 'uchaguzi tanzania' started by superman oct 30 2010 nimerejea baada ya safari ya takribani wiki mbili ili na mimi niweze kutumia vema haki yangu ya kupiga kura nikishapiga kura naondoka tena nikaendelee na harakati za maisha nimesikia kutoka itv kuwa watatuletea matangazo live ya mchakato wote wa upigaji wa kura kutoka studio zao mpya walizoziita studio one (masako na nyangasa) na studio two (gondwe) nimeona mwonekano wa studio hizi umeboreshwa kama zile za watani wetu wa jadi bila ya shaka tbc1 na tv zingine nao watakuwa hewani nami bila hiana nimeamua kwa hiari yangu kesho niwe mtumishi wenu nitaamka saa 1030 alfajiri ili niwahi foleni ya kupiga kura na baada ya hapo nirejee kwenye laptop yangu kwa ajili ya kuwaletea kinachojiri toka nitakaporejea najua wengi mtapata fursa ya kusikia matangazo kwa hiyo tutasaidiana kuposti natoa wito wote tuhamasishane kwenda kupiga kura na kuwachagua viongozi ambao watatutumikia katika kipindi cha miaka 5 ijayo usisahau na camera pia ili kuchukua picha ya tukio lolote muhimu asante superman nikumbushe vituo vinafunguliwa saa ngapi nataka mikawe wa kwanza kesho usisahau na camera pia ili kuchukua picha ya tukio lolote muhimuclick to expand tuko pamoja mkuu umenikumbusha ngoja nicharge betri yake kabisa nitafute na stand yake nilipoihifadhi asante superman nikumbushe vituo vinafunguliwa saa ngapi nataka mikawe wa kwanza keshoclick to expand haaa haaa mkuu nadhani ni saa 12 ila nimesikia wengi mtaani kwetu watajidamka mapema ili wawahi biashara asubuhi mkuu ngoja nikalale mkuu ili kesho niwahi kuamka maana kesho nina hati hati kama nitalala angalia pia kama kadi ya camera ina nafasi maana hizo memory zisije zikajaa baada ya picha chache kama unatumia mkanda basi nina imani umeshanunua kila la kheri na tunakusubiri kesho tuko pamoja mkuu umenikumbusha ngoja nicharge betri yake kabisa nitafute na stand yake nilipoihifadhiclick to expand kama unatumia mkanda basi nina imani umeshanunua kila la kheri na tunakusubiri keshoclick to expand du kweli mkuu ngoja nitoe picha zote ili iwe blank bahati nimekuta shemeji yenu generator kishaijaza mafuta so jf kesho tuko vizuri kuleta yote yanayojiri bila kuchakachua sasa wakuu ngoja mimi nipumzike halafu niwahi kufanya kazi kesho hakuna jiwe litasilia juu ya jiwe mambo yote hadharani nimemtahadharisha shemeji yenu kuwa breakfast lunch dinner vyote hapa hakuna wageni wanaruhusiwa watanzania wanatoa ajira kesho naam hatimaye kumekucha nimechelewa kidogo lakini mamaa ananihimiza tuwahi kupiga kura niko na camera mkononi ndo tunaelekea nikirudi tutapashana yalijyojiri sabalkheri wana jf wenzangu mwenzenu tayari niko mstarini nikisubiri kwenda kufanya kweli kuna nyomi la kufa mtu huku im super dupa excited niko na camera mkononi ndo tunaelekea nikirudi tutapashana yalijyojiriclick to expand asante kwa kujitolea kuwa nasi nasubiria matukio muhimu im super dupa excitedclick to expand sabalkheri wana jf wenzangu mwenzenu tayari niko mstarini nikisubiri kwenda kufanya kweli kuna nyomi la kufa mtu huku im super dupa excitedclick to expand wats up dudekumbe ndio maana ulipotea namna hiyoshow dem da real substance of life na mimi ndiyo nimemaliza kunywa chai na sasa naelekea kupiga kura yangu toka nyumba yetu tuko watu watano na wote tunampigia dr slaa na wagombea ubunge/udiwani wa chadema god bless you dr slaa and all the best yep much thanks wats up dudekumbe ndio maana ulipotea namna hiyoshow dem da real substance of lifeclick to expand worry not my friend though the sky is a little overcast this outstanding nyani son of ngabu is ready to mete out some raw justice in the form of takbiru ala walibalu naam wana jf nimesharejea tuliondoka kama saa 1145 asubuhi na tumerudi saa 145 asubuhi imetuchukua takribani masaa 2 kituo chet hakika hakiko mbali na tunapoishi nimepiga kura yangu kwa ajili ya kuwachagua madiwani mabunge na rais nina mengi ya kuwaeleza ungana nami katika posti zinazofuata tupo pamoja leta news wanasubiri kutekeleza wajibu wao
2016-10-26T09:43:23
http://www.jamiiforums.com/threads/live-from-tvs-upigaji-wa-kura-matokeo-na-yatokanayo.82067/
mama janeth magufuli awasili mikoa ya lindi na mtwara kwa ziara ya kikazi | tanuru la fikra blognews home uncategories mama janeth magufuli awasili mikoa ya lindi na mtwara kwa ziara ya kikazi mama janeth magufuli awasili mikoa ya lindi na mtwara kwa ziara ya kikazi mke wa rais mstaafu wa awamu ya nne mama salma kikwete akisalimiana na mke wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama janeth magufuli alipofika mkoani lindi kwa ajili ya ziara ya kikazikatikati ni mkuu wa mkoa wa lindi bw godfrey zambi na kulia ni mke wa waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama mary majaliwa mke wa rais mstaafu wa awamu ya nne mama salma kikwete akimkabidhi zawadi ya ungo mke wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama janeth magufuli alipofika mkoani lindi kwa ajili ya ziara ya kikazi katikati ni mke wa waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama mary majaliwa
2018-03-22T14:01:04
http://www.tanurulafikra24.com/2016/06/mama-janeth-magufuli-awasili-mikoa-ya.html
مهدويت | mahdawiyat sisi na masuni tupo udande mmoja na mawahabi wapo upande wao ripoti ya shirika la habari la ahlul bayt(as)abna sayyid kamal haidariy alisemakwanini tujishughulishe na uhusiano wa mashia na masuni badala ya kuzungumzia masuala ya muhimu mashia sasa tuna masuala ya muhimu ya kuzungumzia kwani tunamatatizo mengi ya kiitikadi tutawezaje kuzungumzia katika masuala ya uhusiano na wengine akiendelea kusema kuwa suala la uhusiano ni suala pana sielewi nianze na lepi kwani sasa hata bado hakujafahamika maana masuni ni nini katika dunia wapo zaidi ya milioni 400 ya masuni na baina yao kuna fikra nyingi za kiitikadi ayatullah haidariy katika ukumbi wa imam musa sadr katika chuo kikuu cha dini na madhehebu akisema ibn taimia ni mtu alieweka athari mbaya katika ulimwengu katika miaka 100 ya hapa karibuni zaidi ya makala 240 kunako ibn taimia pia kuandika mshia mmoja vitabu 24 kuhusu shakhsia hii sayyid kamal haidariy alizidi kuwekea mkazo kuwa ulimwengu wa sasa ni ulimwengu ulioendelea ulimwengu wa mawasiliano na kikiandikwa kitabu au matlabu hayawezi kufichika na kutofahamu watu tunamshukuru mwenyezi mungu kwa maendeleo haya ya hauza pia alizungumzia kunako uwahabi kuwa umeathirika na fikra za ibn taimia na kuja mtu aitwae muhammad ibn abdulwahab kuzagaza fikra za ibn taimia ila fikra za muhammad ibn abdulwahab hazikuwa moja kwa moja za ibn taimia kwani muhammad ibn abdulwahab alikuwa ni mfataji na mfasi tu asiejua chochote kile kunako fikra za ibn taimia lakini yeye alikuwa ni mwana siasa tu aliekuja kuvamia fikra za ibn taimia allamah haidariy kuathiri fikra za muawiya katika uwahabi alisemamakala 30 za vyuo vikuu zinazomzungumzia muawiya na baadhi ya vyuo viliandika makala 1000 makala zote hizi zilitumiwa na mawahabi kutumia katika itikadi potovu zao banii umaiya waliathiri sana katika kuharibu uislamu katika tafsiri fiqhi na akidani lazima kuhakiki katika suala hili ila la kuhuzunisha ni kwamba katika nyanja hii bado hakuja fanyika uhakiki ayatullah haidariy sasa mawahabi wanadai kuwa wao ndio mawakili wa masuni duniani na kuleta fitina baina ya mashia na masuni na hali ya kuwa maktab ya ahlul bait(as) yaani mashia wanamatatizo na banii umaiya na si masuni mashia na masuni hakuna tofauti tofauti ipo kwa banii umaiya na mashia kumalizia sayyid kamal haidariy alisemasuala muhimu ni kwamba tofauti ya kiitikadi na kifikra baina yetu si na masuni bali ni mawahabi akiendelea kusema kuwa ni lazima kutenganisha baina ya masuni na mawahabi tija ya hii fikra ni kwamba sisi na masuni tupo upande wetu na mawahabi kuwa upande wao tutaona niwepi watakao kuwa wengi na wepi watakuwa wachache kutokana fitina zao za uwingi na uchache
2018-02-22T22:44:17
http://m-mahdiehisfahan.ir/sw/article/4603
kwa kila mpenda haki tumsaidie myonge huyu aliyefanyiwa unyama na mwekezaji ~ kulikoni ughaibuni kwa kila mpenda haki tumsaidie myonge huyu aliyefanyiwa unyama na mwekezaji nimekumbana na habari ifuatayo katika gazeti la tanzania daima ambapo inaelezwa kuwa mwekezaji mmoja mwenye asili ya kiasia amemchoma moto mwanamke mmoja kwa kosa la kuingia hotelini mwa mwekezaji husika bila kulipa kiingilio kinachojidhihirisha katika habari husika ni dalili kwamba jeshi la pilisi linasuasua kumtendea haki mwananchi huyonimewasiliana na bloga mwenzangu ambaye pia ni mwandishi mwandamizi wa gazeti moja la jamii huko nyumbani kumwomba tushirikiane kulipigia kele suala hili hadi haki ya mwananchi mwenzetu ipatikanekwa sie watanzania tulio nje tunashuhudia namna raia wa nchi za wenzetu wanavyothaminiwa na sheria zao lakini kwetu ni hadithi tofauti hususan linapokuja suala la hao wanaoitwa wawekezaji uwezo wa kifedha isiwe sababu ya kunyanyasa wananchi wasio na uwezonatoa wito kwa kila mtanzania atakayeguswa na habari hii kuchangia kwa namna moja au nyingine kudai haki itendeke na ikiwezekan mwekezaji husika atimuliwe kabisa nchinihatuhitaji wababaishaji wanaoifanya nchi yetu kama pori lisilo na sheria habari husika ni hii mwekezaji amchoma moto raia dar raia wa kiasia anayehusishwa kumiliki hoteli moja maarufu iliyopo kigamboni anadaiwa kumjeruhi kwa kumchoma moto mkazi wa mjimwema lila hussein (25) baada kuingia hotelini hapo bila kulipa kiingilio akizungumza na tanzania daima jana ndugu wa majeruhi huyo abdullah saiwaadalisema tukio hilo lilitokea jumamosi majira kati ya saa 500 na 600 usiku alisema kabla ya kuchomwa moto lila ambaye amelazwa wodi namba 7 katika hospitali ya temeke akiwa hajitambui alivuliwa nguo kisha kumwagiwa mafuta ya petroli na kwamba amejeruhiwa vibaya kuanzia sehemu za magotini hadi shingoni alisema chanzo cha tukio hilo ni lila kuingia kwenye muziki hotelini hapo bila kulipa kiingilio hali ni tete lila yupo hospitali ya temeke akipigania maisha yake baada ya kuchomwa moto na mhindi ambaye ni mmiliki wa hoteli ya south beach ameungua vibaya tunamwomba mungu anusuru maisha yake alisema saiwaad alisema baadaye aliokolewa na wafanyakazi wawili baada ya kuamua kupeleka taarifa kijijini mjimwema kutokana na tukio hilo wanakijiji wametishia kuchoma moto hoteli hiyo na kwamba hali hiyo imesababisha mkuu wa kituo cha kigamboni kupeleka askari wa doria kusimamia usalama hotelini hapo akizungumza na tanzania daima kwa njia ya simu jana kamanda wa polisi mkoa wa temeke davis misime alikiri kuwepo kwa taarifa hizo na kuahidi kuzifuatilia kwa kina kwa mujibu wa misime usiku askari walipata taarifa kuwa kuna mtu amechomwa moto hotelini hapo ndipo walipokwenda na kumchukua majeruhi na kumpeleka katika kituo cha afya kigamboni kisha baadaye kupelekwa temeke hata hivyo habari zinapasha zaidi kwamba baadaye jioni ya jana lila alihamishiwa katika hospitali ya taifa muhimbili (mnh) kutokana na hali yake kuwa mbaya malkiory matiya 12/04/2011 1131 mbona ndiyo zao hawa wahindi wabaguzi wa rangi tena ndani ya nchi yetu wenyewemtikila hakukosea kuwaita magabachori
2018-02-19T19:27:23
http://www.chahali.com/2011/04/kwa-kila-mpenda-haki-tumsaidie-myonge.html
toleo 035 baadhi ya mabadiliko makubwa novemba 26 2009 na ofer 15 maoni version huu ni moja ya mabadiliko kubwa tumefanya hadi sasa tungependa zaidi baadhi ya mabadiliko ya hapa new features katika kutolewa hii admin tafsiri ya moja kwa moja upande posts juu ya kuchapisha kipengele hii inaruhusu posts itafsiriwe haraka iwezekanavyo hivyo feeds na injini tafuta utaona versions tafsiri mpya njia ya posting ili maeneo itaruhusu versatility zaidi katika kesi matatizo yalitokea katika kipindi kuna baadhi ya bug fixes zaidi (kusoma logi mabadiliko) lakini muhimu zaidi ni toleo hili ni omarbetning kubwa ya majengo ya msingi (zaidi kuliko 3000 mistari ya tofauti) na mkazo zaidi juu ya miradi ya uhandisi software kwa mfano code yote sasa zilizomo katika vitu (ambayo hopefully kupunguza masuala namespace na plugins nyingine) na chaguzi kuwa alihamia eneo moja tunatarajia baadhi rough edges hapa hivyo taarifa tu kwetu na itakuwa fasta asap limehifadhiwa chini ya kutolewa matangazo tagged kwa madogo kutolewa wordpress plugin db0mrw anasema novemba 26 2009 katika 115 jioni looks nice and i think its quite faster now as well so im going to give it a try and see if i get any heavy performance issues on my shared hosting translation is still difficult because of the way transposh chooses to split paragraphs though it would be nice to kuona hii or at least this implemented soon hata hivyo kazi nzuri autocad mwalimu anasema novemba 26 2009 katika 233 jioni php if(function_exists(transposh_widget)) { transposh_widget(safu()) } code dont work with 035 novemba 26 2009 katika 518 jioni please use the following code $my_transposh_plugin>widget>transposh_widget(safu()) this bug will be fixed in the upcoming version thanks for reporting mini001 anasema novemba 27 2009 katika 156 juu how can use in novemba 28 2009 katika 804 jioni you can still use the function_exists bit this bug will be fixed in the coming version anyhow you can use for now andre marchandise anasema novemba 27 2009 katika 146 jioni this workaround doesnt work for me fatal makosa call to a member function transposh_widget() on a nonobject in /home/eroti20/public_html/wp/wpcontent/plugins/thesisopenhook/functionsphp(880) eval()d code on line 27 the transposh function gets called from my thesis theme previous version worked ok novemba 27 2009 katika 240 jioni changing the transposh_widget function ( as suggested by ofer ) kwa $globals[$my_transposh_plugin]>widget>transposh_widget($args) and calling transposh_widget(safu()) from my template still results in an error fatal makosa call to a member function transposh_widget() on a nonobject in /home/eroti20/public_html/wp/wpcontent/plugins/transposhtranslationfilterforwordpress/transposh_widgetphp on line 258 novemba 27 2009 katika 301 jioni thanks to ofer for guiding me on the following change this function transposh_widget can be found at the end of transposh_widgetphp the code used in my template still is thanks for a wonderfull plugin now i only need to find the time for manually editing the translations ( at least to german french and dutch ) asafir chertkoff anasema novemba 26 2009 katika 652 jioni i dont know if its supposed to be like this but i have two languages in rtl (hebrew and arabic) and one in ltr (engilsh) in my site and it doesnt know how to use or ignore the rtlcss file of the theme what was the intend solusion kuwashukuru asaf novemba 27 2009 katika 307 jioni the try alternate posting methods works as expected novemba 27 2009 katika 316 jioni ilan anasema novemba 28 2009 katika 107 jioni pretty urls dont work when using function transposh_widget from the template kuhusu novemba 28 2009 katika 802 jioni seems like its working on your site i fail to see any connection novemba 29 2009 katika 909 jioni because i reverted to 034 🙂 marius anasema desemba 8 2009 katika 908 juu how long it takes for search engines to index translated pages i`m using this plugin since 3 days ago and nothing yet my normal posts are indexed in 5 min after publising but this translated pages are not until now i must do somethingor how to have translated pages in googleyahoo pls excuse my english changeset katika transposhwordpress [77b28fe] ondoa annoying notisi chama 3 kutoka kurasa zetu admin muhimu agosti 10 2018 changeset katika transposhwordpress [6bbf7e2] files update tafsiri agosti 4 2018 changeset katika transposhwordpress [f039333] bugbugpot agosti 4 2018 changeset katika transposhwordpress [0688c7e] jina la lugha si kanuni agosti 3 2018 changeset katika transposhwordpress [7a04ae4] ruhusu kuondolewa kwa filters katika mhariri backend agosti 3 2018
2018-10-19T16:13:14
http://transposh.org/sw/version-0-3-5-some-major-changes/
waziri afunguka alivyokoshwa na serengeti boys | boiplus blogspot » waziri afunguka alivyokoshwa na serengeti boys waziri afunguka alivyokoshwa na serengeti boys naibu waziri ofisi ya waziri mkuu sera bunge kazi vijana na walemavu abdallah possi amekiri kufurahishwa na mafanikio ya timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17 serengeti boys licha ya kutolewa katika hatua ya mwisho ya kufuzu michuano ya vijana oktoba 2 na wenyeji congo brazzaville possi aliyasema hayo kwenye hafla ya chakula cha mchana na timu hiyo iliyofanyika kwenye ofisi za tff zilizopo ilala jijini dar es salaam ikiwa na maana ya kuwatia nguvu kwa kazi kubwa waliyoifanya pamoja na kushindwa kufuzu katika michuano hiyo waziri possi alisema kuwa serikali inatambua jitihada zinazofanywa na shirikisho la mpira wa miguu tanzania (tff) kuhakikisha timu hiyo inafanya vizuri licha ya kukumbana na changamoto nyingi za uendeshaji lakini wamepanga kuwapiga jeki ili kuinua soka la vijana aidha possi aliwapongeza pia vijana hao kwa kujituma na kuweka utaifa mbele na kupambana kuhakikisha wanashinda ili kufuzu kwenye michuano hiyo itakayofanyika mwakani nchini madagascar lakini bahati haikuwa upande wao nawapongeza vijana kwa kupambana hadi tone la mwisho wameonyesha uzalendo mkubwa kwa nchi yao pia nawapongeza tff kwa kuwatunza kwakuwa serikali haiwezi kufanya kila kitu kutokana na majukumu iliyokuwa nayo alisema possi rais wa tff jamal malinzi alisema katika kipindi chake chote cha miaka 20 alichodumu katika medani ya soka hajawahi kuwa kwenye wakati mgumu kama oktoba 2 ambapo alishuhudia timu ya serengeti ikishindwa kufuzu kwa kutolewa kwa faida ya goli la ugenini na wenyeji congo kwavile aliamini kulikuwa na nafasi ya vijana hao kusonga mbele malinzi alisema mwezi ujao vijana hao wataenda korea kusini kwa ajili ya michuano itakayoshirikisha nchi sita ambayo itawaongezea uwezo wa kujiamini kucheza mechi za ugenini kwani ndiyo wanaandaliwa kuwa ngorongoro heroes kabla ya kuwa taifa stars siku za usoni
2016-12-05T18:36:45
http://boiplus.blogspot.com/2016/10/waziri-afunguka-alivyokoshwa-na.html
24 new season releasd | jamiiforums | the home of great thinkers 24 new season releasd discussion in 'entertainment' started by luvcyna dec 26 2011 habari zenu wandugu poleni na pilikapilika za xmas naombeni kujua kama 24 wamesharelease new season katika series yao as nimekuwa nikiona advertisements itv abt the coming 24 ambayo binafsi hizo highlights sijawahi ziona katika 24 zote nilizozitizama nimesoma kwenye wall yao facebookwamesema soon january mkuu nimesoma kwenye wall yao facebookwamesema soon january mkuuclick to expand thanks but nahisi itakuwa ishaanza kusambazwapia kuna watu huwa wanaipata kwa ku download freely sijajua thru wat link nahisi ishatoka as nashindwa kuelewa itv wamepataje hizo highlights thts means tayari wanayo season finalehebu cheki hii avatar yangu kama uliwahi kumuona jack bauer akiwa kwenye hilo vazilabda tuanzie hapo kwanza season finalehebu cheki hii avatar yangu kama uliwahi kumuona jack bauer akiwa kwenye hilo vazilabda tuanzie hapo kwanzaclick to expand yap ni katika latest season nliyoiona alipoamua kuvalia njuga masnich walioshiriki kumpoteza renee walker god niko so behind time that things are passing by kwa kasi ya ajabu are you certain kweli new series yaja ama tu ni rumors yap ni katika latest season nliyoiona alipoamua kuvalia njuga masnich walioshiriki kumpoteza renee walkerclick to expand katika wanawake woote ambao walikua wapenzi wa beur i loved renee most iliniuma kifo chake ilibidi niahirishe watching mpaka a few hours later the second woman nilipenda ni dada alokua nae mafichoni (on his supposed death) ile ndo my most favourite season of the series as much as kifo cha palmer kiliniumiza 'chloe o'brien alitweetigi kwamba last season was season's finale sijui labda za china zinakuja season mpya u can not know what to expectnlishaskiaga kwamba producers wa 24 wako kwene 'homeland' katika wanawake woote ambao walikua wapenzi wa beur i loved renee most iliniuma kifo chake ilibidi niahirishe watching mpaka a few hours later the second woman nilipenda ni dada alokua nae mafichoni (on his supposed death) ile ndo my most favourite season of the series as much as kifo cha palmer kiliniumizaclick to expand asha for sure huwa najuta kutokuiona hiyo season ambayo palmer alifariki tafadhali nijuze ni season ya ngapi walau nikajigange kabla hiyo new season haijazagaa mitaani 'chloe o'brien alitweetigi kwamba last season was season's finale sijui labda za china zinakuja season mpya u can not know what to expectnlishaskiaga kwamba producers wa 24 wako kwene 'homeland'click to expand nafikiri ilikuwa ni lugha ya kimarket zaidi mkuu ili kutupa tention pindi tutakapoambiwa nyingine imetoka wakati tulishaambiwa iliyopita ni season's finale sio mwendelezo wa 24 wakuu ni series mpya imechenzwa na jack bouer pamoja na baadhi ya mastaa wa 24itatoka january ka sikosei sio mwendelezo wa 24 wakuu ni series mpya imechenzwa na jack bouer pamoja na baadhi ya mastaa wa 24itatoka january ka sikoseiclick to expand kuna ukweli kiasi fulani katika hilo mkuu naomba utujuze watatumia jina gani nw mbona wanaitangaza kwa kutumia jina la 24 nimejaribu na mie kupitia hapa nkakutana na hii finally 24 movie to start shooting next spring with script from the wolverine writer nadhani itakuwa kiboko ila walijaribu kuongelea abt hamu ya watu kutaka kujua mwisho wa story ya jack b na yule rais wa urusi sa sijui ndo itakuwaje au ndo wataunganshia kwenye hiyo mpya mkuu msaada tafadhali ashadii kanilia ganzi naomba nijuze palmer aliangamia kwenye season ipi nikaisake mkuu mkuu msaada tafadhali ashadii kanilia ganzi naomba nijuze palmer aliangamia kwenye season ipi nikaisake mkuuclick to expand subiri nizipitie ntakujibu mkuubut i think ni kati ya tano na nne hiv nakaribia kuelewa kitu hapakumbe hii inayokuja ni movie na siyo series but jina ni lilelile pia characters wanatumia majina yaleyale kuna hili tangazo lao hapa 24 returns in 2012 youtube ila hizi nazo zinakinzana hapa wanadai hii inayokuja ni season 9 official 24 season 9 press release 24 spoilers wale kue wanasema its just a movie asha for sure huwa najuta kutokuiona hiyo season ambayo palmer alifariki tafadhali nijuze ni season ya ngapi walau nikajigange kabla hiyo new season haijazagaa mitaaniclick to expand wee luvcyna how do you watch your series mie hata nikiangalia lets say 1 & 2 ikaja 4 na hali 3 sijaangalia sikugusi kabisa hio ya jack kua mafichoni ni season # 5 (kafa in the 1st episode of the season) napenda this episode because inaonesha the way politics ni chafu na the way mwananchi wa kawaida aweza kua chambo cha wakubwa ujio wa jack baada ya kuonesha kifo chake his tactics ubishi akili ujanja na most of all patriotism na how a good friend he is kwa watu wake opening scene ya chloe (kwamba hata yeye uhitaji sex once in a while) nafasi ya mwanake upande wa first lady na the power aweza kua nayo dhidi ya the hubby (if not careful) the demise of logan na part alocheza the 1st president dhidi ya his down fall we luvcyna naona unachanganya madesaangalia isije ikawa series za kichina
2017-04-26T10:39:29
https://www.jamiiforums.com/threads/24-new-season-releasd.206101/
ufaulu duni hausababishwi na ukosefu wa walimu tamisemi | itv independent television ufaulu duni hausababishwi na ukosefu wa walimu tamisemi naibu waziri wa ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa mhemwita waitara amesema si kweli kwamba ufaulu duni wa shule za sekondari katika masomo ya sanaa umesababishwa na hatua ya serikali kuhamisha walimu hao kwenda kufundisha shule za msingi mwaka wa fedha 2017/18 ambapo walimu zaidi ya elfu 8 walihamishwa waziri waitara amesema hayo wakati akijibu swali la mhesalome wycliffe makamba (viti maalum) aliyetaka kujua juu ya sababu za kitaalam zinazosababisha walimu wa shule za sekondari kuhamishiwa shule za msingi wakati ufaulu wa masomo ya sanaa kwa shule za sekondari ukiwa duni amesema ufaulu duni husababishwa na masuala mbalimbali kama mazingira uelewa wa wanafunzi ushiri wa wazazi na jamii katika mchakato mzima wa ufunzaji na si walimu pekee na kwamba serikali ilifanya uhamisho huo wa walimu wa masomo ya sanaa kutokana na ziada ya walimu hao katika shule za sekondari wakati shule za msingi zikiwa na uhaba na hakuna shaka juu ya uwezo wa walimu katika kufundisha kwani kitaalamu walimu ngazi zote huandaliwa kwa mfanano katika mbinu za kufundisha hata hivyo amesema wizara imeomba kibali cha kuajiri walimu wapya elfu 22 ili kupunguza uhaba wa walimu uliopo katika shule za msingi na sekondari
2020-02-29T06:11:24
https://www.itv.co.tz/news/ufaulu-duni-hausababishwi-na-ukosefu-wa-walimu-tamisemi
kaunti za kenya wikipedia kamusi elezo huru kaunti za kenya kaunti za kenya kaunti za kenya (en counties of kenya) ni maeneo ya kiutawala ya kenya tangu kuadhimishwa kwa katiba ya mwaka 2010[1] katiba hiyo inaeleza kuwepo kwa kaunti 47 nchini katika mafungu 191 na 192 pamoja na county governments act of 2012 kaunti hizi zilichukua nafasi za mikoa ya kenya mipaka ya kaunti iliwekwa kulingana na mipaka ya wilaya za kenya zilizokuwa zimeanzishwa kisheria mwaka wa 1992 mipaka ya kaunti hizo ni pia msingi wa maeneo ya uchaguzi wa mwakilishi mwanamke wa kaunti seneta na gavana [2][3] 1 serikali 11 utendaji katika kaunti 12 bunge la kaunti 2 orodha ya kaunti za kenya 3 kazi ya serikali serikaliedit utendaji katika kauntiedit utendaji wa kaunti una wajibu wa kutekeleza madaraka ya serikali ya kaunti gavana ndiye mtendaji mkuu na husaidiwa na naibu wa gavana kila kaunti ina kamati ya utendaji iliyoundwa na[4] kamati ya watu wasiozidi thuluthi ya wabunge wa kaunti au watu kumi ambapo bunge la kaunti lina watu zaidi ya 30 katibu wa kaunti kazi ya utendaji ni kutekeleza sheria za bunge la kaunti kutekeleza sheria za kitaifa ndani ya mipaka ya kaunti kuendesha na kuratibu shughuli za utawala wa kaunti na idara zake kutayarisha miswada ya sheria na kuzipeleka katika bunge la kaunti kuwajibika kwa bunge la kaunti na wananchi wa kaunti bunge la kauntiedit kila kaunti ina bunge wajumbe huchaguliwa kutoka wadi za kaunti katika uchaguzi mkuu pia kuna wajumbe wa kuteuliwa ambao huwakilisha vikundi vilivyotengwa vijana na kwa ajili ya kusawazisha uwakilishi wa jinsia wajumbe hutumikia kwa muhula wa miaka mitano bunge huongozwa na spika ambaye hafai kuwa mjumbe majukumu yake ni kuchuja na kuthibitisha waliopendekezwa kuteuliwa katika ofisi za umma katika kaunti kutengeneza sheria za kaunti kuthibitisha bajeti na matumizi ya serikali ya kaunti kuthibitisha mikopo ya kaunti kuthibitisha mipango ya maendeleo ya kaunti kuwajibisha utendaji wa kaunti orodha ya kaunti za kenyaedit mkoa wa zamani eneo (km2) (sensa 2009) 1 mombasa (kaunti) pwani 2125 939370 mombasa (jiji) 2 kwale pwani 82703 649931 kwale 3 kilifi pwani 122459 1109735 kilifi 4 tana river pwani 353758 240075 hola 5 lamu pwani 64977 101539 lamu 6 taitataveta pwani 170839 284657 mwatate 7 garissa kaskazinimashariki 457202 623060 garissa 8 wajir kaskazinimashariki 558406 661941 wajir 9 mandera kaskazinimashariki 257977 1025756 mandera 10 marsabit mashariki 669231 291166 marsabit 11 isiolo mashariki 253361 143294 isiolo 12 meru mashariki 69301 1356301 meru 13 tharakanithi mashariki 24095 365330 chuka 14 embu mashariki 25559 516212 embu 15 kitui mashariki 243851 1012709 kitui 16 machakos mashariki 59529 1098584 machakos 17 makueni mashariki 80089 884527 wote 18 nyandarua kati 31077 596268 ol kalou 19 nyeri kati 23610 693558 nyeri 20 kirinyaga kati 12054 528054 kerugoya / kutus 21 murang'a kati 23258 942581 murang'a 22 kiambu kati 24492 1623282 kiambu 23 turkana bonde la ufa 715978 855399 lodwar 24 west pokot bonde la ufa 84182 512690 kapenguria 25 samburu bonde la ufa 201825 223947 maralal 26 transnzoia bonde la ufa 24699 818757 kitale 27 uasin gishu bonde la ufa 29553 894179 eldoret 28 elgeyomarakwet bonde la ufa 30497 369998 iten 29 nandi bonde la ufa 28845 752965 kapsabet 30 baringo bonde la ufa 110753 555561 kabarnet 31 laikipia bonde la ufa 86961 399227 rumuruti 32 nakuru bonde la ufa 75095 1603325 nakuru 33 narok bonde la ufa 179212 850920 narok 34 kajiado bonde la ufa 212927 687312 kajiado 35 kericho bonde la ufa 24545 752396 kericho 36 bomet bonde la ufa 19979 730129 bomet 37 kakamega magharibi 30338 1660651 kakamega 38 vihiga magharibi 5313 554622 vihiga 39 bungoma magharibi 22069 1375063 bungoma 40 busia magharibi 16284 743946 busia 41 siaya nyanza 24961 842304 siaya 42 kisumu nyanza 20095 968909 kisumu (jiji) 43 homa bay nyanza 31547 963794 homa bay 44 migori nyanza 25864 917170 migori 45 kisii nyanza 13179 1152282 kisii 46 nyamira nyanza 9125 598252 nyamira 47 nairobi (kaunti) nairobi (mkoa) 6949 3138369 nairobi (jiji) kazi ya serikaliedit serikali za kaunti zina wajibu wa kutunga sheria katika mabunge ya kaunti na utendaji katika kaunti kazi ya kaunti kulingana na kiambatisho cha nne cha katiba ni ukulima ikiwa ni pamoja na mimea na ufugaji wa wanyama maeneo ya uuzaji wa mifugo vichinjio vya kaunti udhibiti wa magonjwa ya wanyama na mimea vifaa vya afya vya kaunti na maduka ya dawa huduma za ambulensi ukuzaji wa huduma msingi za afya utoaji leseni na udhibiti wa shughuli zinazohusu uuzaji wa vyakula kwa umma huduma za afya ya mifugo makaburi mochari na vifaa vya uchomaji maiti kuondoa taka na maeneo ya kutupia taka udhibiti wa uchafuzi wa hewa kelele kero zinginezo kwa umma na matangazo ya nje shughuli za kitamaduni burudani za umma na maeneo ya umma ikiwa ni pamoja na kamari kasino na aina nyingineyo ya kamari utoaji leseni za pombe maonyesho ya video na ukodishaji wake shughuli za michezo na utamaduni na maeneo yake bustani fuko na maeneo ya starehe usafiri katika kaunti ikiwa ni pamoja na barabara za kaunti mataa ya barabarani trafiki na maegesho usafiri wa umma barabarani feri na bandari isipokuwa udhibiti wa mambo yanayohusiana na usafiri wa meli wa kitaifa na kimataifa udhibiti wa wanyama na ustawi wao ikiwa ni pamoja na kutoa leseni za mbwa maeneo ya malazi utunzaji na uzikaji wa wanyama uendelezaji wa biashara na udhibiti wake ikiwa ni pamoja na kutoa leseni za biashara (isipokuwa udhibiti wa wataalamu) shughuli za biashara zilizo haki utalii wa ndani kwa ndani vyama vya ushirika upangaji wa kaunti na uendelezaji ikiwa ni pamoja na usoroveya wa ardhi na uchoraji ramani mipaka na nyua maelekezo ya usambazaji wa umeme na gesi na udhibiti wa nishati elimu ya chekechea vyuo vya ufundi vijijini vituo vya ufundi na maeneo ya malezi ya watoto utekelezaji wa sera maalum za serikali ya kitaifa kuhusu raslimali za kiasili na uhifadhi wa mazingira ikiwa ni pamoja na uhifadhi wa udongo na maji huduma za kaunti kwa umma ikiwa ni pamoja na mifumo ya kudhibiti maji kutokana na kibunga huduma za maji na usafi huduma za zimamoto na udhibiti wa majanga udhibiti wa dawa za kulevya na ponografia kuhakikisha na kuratibu ushiriki wa jamii na kata katika utawala katika ngazi za mashinani na kusaidia jamii na kata zipate uwezo wa kitawala kwa sababu ya utekelezaji wenye ufanisi wa nguvu na kazi na ushiriki katika utawala katika ngazi za mashinani ↑ article 6 devolution and access to services the 2010 constitution of kenya ↑ article 98 (1) (a) membership of the senate the 2010 constitution of kenya ↑ article 97 (1) (b) membership of the national assembly the 2010 constitution of kenya ↑ 179 county executive committees kenya law reform commission 29 august 2012 rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=kaunti_za_kenya&oldid=1112726 last edited on 9 mei 2020 at 0813 ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 9 mei 2020 saa 0813
2020-08-07T03:16:16
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Kaunti_za_Kenya
job ndugai atoa ufafanuzi maana ya 'fala' bungeni bongoswaggzcom home / mh job ndugai / job ndugai atoa ufafanuzi maana ya 'fala' bungeni job ndugai atoa ufafanuzi maana ya 'fala' bungeni admin 308 pm mh job ndugai spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania mh job ndugai job ndugai atoa ufafanuzi maana ya 'fala' bungeni reviewed by admin on 308 pm rating 5
2017-10-17T22:21:09
http://www.bongoswaggz.com/2017/05/job-ndugai-atoa-ufafanuzi-maana-ya-fala.html
waziri nchemba aapa kupambana na wauza madawa ya kulevya | emmanuel shilatu breaking news blog home » unlabelled » waziri nchemba aapa kupambana na wauza madawa ya kulevya waziri nchemba aapa kupambana na wauza madawa ya kulevya hatuwezi kuacha nchi ikachafuka kwa sababu tu ya watu wachacheukienda china watanzania zaidi ya 200 wanashikiliwa kwa dawa za kulevya pakistan wapo india afrika kusini ni watanzania hili linatuchafua sanaalisema nchemba
2017-03-29T18:58:19
http://ndgshilatu.blogspot.com/2016/08/waziri-nchemba-aapa-kupambana-na-wauza.html
tanzania na biashara za kishirikina | gazeti la jamhuri jamhuri september 10 2013 tanzania na biashara za kishirikina20130910t105617+0000 uchumi wiki iliyopita niliandika makala yaliyokuwa na kichwa je kufanya biashara ni kipaji ninafurahi kuwa yamekuwa makala yaliyowavutia wengi ambao hawakusita kunitumia mirejesho ya pongezi na maoni kupitia ujumbe wa simu barua pepe na simu za miito msomaji mmoja amenitumia ujumbe ulionifurahisha kweli kweli ninanukuu makala yako ni nzuri na umechambua kitaalamu lakini pia utajiri wa wakinga asilimia 70 huwezi kuutenganisha na ushirikina vile vile wachagga nao utajiri wao asilimia 30 ni ushirikina na 20 ni ujambazi na asilimia zilizobaki ndizo zinazoangukia kwenye uchambuzi wako mwisho wa kunukuu leo nitachambua kwa mara nyingine tena hili sekeseke la ushirikina kuhusishwa na biashara si tu kwa wakinga na wachagga pekee bali pia kwa wafanyabiashara wote bila kujali kabila wala eneo waliloko lakini kabla ya kuendelea na uchambuzi huu kwanza nina taarifa moja ya muhimu kwa wasomaji wetu kwa muda sasa wasomaji wengi wamekuwa wakiniulizia ikiwa nimeshaandika kitabu na kila ninapowajulisha kuwa sijaandika kitabu chochote mpaka sasa wengi wamekuwa wakiniomba kufanya hivyo ombi hilo nimekuwa nikilipokea kwa muda mrefu sasa na hatimaye mwaka huu nimeamua kulitekeleza tangu februari mwaka huu nimekuwa katika mradi wa kuandika kitabu kiitwacho ni wakati wako wa kungaa ni kitabu kinachoeleza namna ya kuwa mshindi katika maeneo yote ya maisha kinaeleza namna ya kujitambua jinsi ya kuwa mshindi kiuchumi jinsi ya kungaa kifamilia na kuwa mtu unayeona ladha halisi ya maisha ninaamini kuwa kitabu hiki kitakuwa na matokeo makubwa kwa kila atakayebahatika kununua nakala yake kitabu hiki kimefikia hatua nzuri na ninatazamia kuwa kitaingia sokoni mwishoni mwa novemba ama mwanzoni mwa desemba mwaka huu ni kitabu ambacho asilimia 90 ya mauzo yote nitazipeleka katika kusaidia huduma za afya za watoto barani afrika msomaji aliyenitumia ujumbe wa takwimu za ushirikina na ujambazi wa wakinga na wachagga hakuweza kunieleza ni wapi ametoa takwimu hizo wenye hekima wanatueleza kuwa pasipo kufanya utafiti huna haki ya kuzungumza suala la ushirikina lipo kiroho na kihisia kiasi kwamba watu wengi mitaani wanaongea na kuwataja wafanyabiashara washirikina pasipo kuwa na utafiti wa kitaalamu kuhusiana na hilo kwa miaka mingi nchini tanzania na duniani kumekuwapo na imani hisia visa na matukio yanayohusisha ushirikina na mafanikio ya mtu kibiashara katika uzoefu wangu wa kusoma na kusikiliza sijakutana na utafiti ama maandishi yoyote rasmi yanayodhihirisha kiusawa (fair verification) nafasi ya ushirikina katika mafanikio ya mtu kibiashara wataalamu wa masuala ya biashara taasisi za maendeleo wanadini na watu wa kada ya kawaida mara zote wasimamapo katika hadhara husisitiza watu kutoamini mchango wa ushirikina katika mafanikio ya mtu katika biashara pamoja na hayo je ni kweli kuwa ushirikina haupo je mioyo ya watu inaamini nini kuhusu hili ukweli ni kwamba watu wengi wanaamini uwepo wa imani hizi za kishirikina katika biashara mbalimbali ni wachache wanaokiri wazi iwapo wanatumia ushirikina lakini siku kwa siku idadi ya wanaofika kwa waganga wa kienyeji kutaka ndumba za kuwatajirisha inaongezeka huku nyanda za juu kusini kabila la wakinga (kama nilivyoeleza katika makala ya wiki lililopita) ni maarufu sana kibiashara ni kawaida kusikia habari za wafanyabiashara hawa kuhusishwa na ushirikini ukweli na uhalisia wa wakinga (na watu wengine popote) kutumia ushirikina ni jambo ambalo huwezi kulithibitisha wala kulikanusha kirahisi nakiri kuwa licha ya kwamba ni vigumu kukanusha ama kuthibitisha uwepo wa ushirikina katika biashara vipo visa tetesi na stori nyingi kuhusu ushirikina kwenye biashara mathalani hivi karibuni kumevuma habari za uwepo wa waganga wa jadi nchi jirani (zambia malawi na drc) ambao wanatoa utajiri kwa staili ya aina yake inasemekana kuwa huko kuna kuku wa uganga ambapo mteja huchota punje za mahindi na kuzirusha chini kisha kuku wa uganga huanza kuzidonoa idadi ya punje atakazodonoa ndiyo miaka utakayokuwa hai ukiwa na utajiri wa kupindukia mbali na habari hii ya utajiri wa kudonoa (kama unavyojulikana kwa jina maarufu) vile vile tumekuwa tukisikia taarifa za watu kumiliki misukule ambayo inatumika kuwafanikisha kibiashara kwa kuiba fedha kutoka kwa wengine maeneo mengi imani hii ya misukule majini ama ndumba kuiba na kupeleka fedha inaitwa chuma ulete pengine hii ni changamoto kwa sisi wataalamu wa masuala ya biashara haitakuwa busara kwa wataalamu na wadau wa biashara kukaa kimya ama kutoa majibu mepesi kwa maswali magumu na mawingu mazito namna hii lazima tutafiti na kujiridhisha kuhusu suala hili je kuna ukweli kiasi gani kuwa ushirikina unaweza kumfanikisha mtu kibiashara kama ushirikina hauna nafasi katika biashara mbona kuna watu wanaoutumia na wanakiri kuwa wanafanikiwa miaka kama minne hivi iliyopita nimepata kufanya utafiti mdogo kuhusu nguvu ya ushirikina katika biashara nilikutana na kuzungumza na waganga wa jadi takriban watatu hivi waganga wawili kati ya hao hawakuwa tayari kuzungumzia suala hili kwa uwazi lakini mganga mmoja maarufu kutoka maeneo ya milima ya livingstone niliyekutana naye mjini makambako alikuwa tayari kunipa mawili matatu mganga huyu alikiri kuwa zipo dawa na utundu wa kijadi ambao humuwezesha mtu kufanikiwa kibiashara ingawa mganga huyu alisema wanatumia zaidi kanuni za kiakili (kisaikolojia) kuliko dawa kwa mfano mtu apewapo dawa hizi za utajiri hupewa masharti mbalimbali ya kiuganga baadhi ya masharti haya ni kama kutokula nyama ambapo ulaji wa nyama huongeza bajeti na kupunguza faida mara nyingine mganga anaweza kumpiga marufuku muombaji wa dawa hizi za biashara kutotembea nje ya ndoa anachozuia mganga hapa ni utapanyaji wa mali kwa sababu ni vigumu mfanyabiashara uwe na kimada halafu usihonge haiwezekani na sote tunafahamu kuwa kuhonga kunapoteza fedha na kupunguza mtaji waganga wengi pia hupiga marufuku waombaji wa dawa hizi kutovaa nguo nzuri wala kulala mahali pazuri hapa napo kuna janja kwa mujibu wa saikolojia ya walaji (consumer behaviours) ni kwamba mtu awapo na hela hujikuta anatamani kununua vitu vingi hata visivyo na umuhimu mganga anapomwambia mtu huyu kuwa asile wala kuvaa vizuri technically anakuwa akipambana na consumer behaviour ya kupenda kutumia ovyo waganga wengi wanafahamu kuwa pasipo kumdhibiti kisaikolojia mfanyabiashara huyu anaweza kutumia ovyo hela ya mtaji na kujikuta biashara haikui ikiwa mtu hafanyi shopping za gharama na ikiwa mtu hali vyakula vya anasa automatically ni kuwa fedha nyingi itabaki kwenye mzunguko na hivyo mtaji na biashara kwa ujumla kukua kinachowasababisha watu wengi kuhangaika na kufuatilia ndumba katika biashara kunatokana na ukosefu wa elimu sahihi ya mambo ya kibiashara kanuni nyingi zinazotumiwa na waganga wa kienyeji zikitolewa kama masharti kwa wateja wao zipo katika sayansi ya biashara pia kuna wakati waganga huwaambia wateja wao kuwa ili kuwapata wateja wengi katika biashara waweke dawa katika milango ya kuingilia na kisha wahakikishe wanaongea vizuri na kila mteja anayeingia suala la kumjali mteja na kumchangamkia aingiapo katika biashara ndilo ambalo linazalisha wateja wazuri na wa kudumu hii ni kanuni katika sayansi ya biashara na kamwe dawa iliyotundikwa haina cha maana inachokifanya pale kutokana na kuendekeza imani za kishirikina biashara nyingi zilizopo katika nchi yetu zinakuwa si za kudumu ama endelevu kwanza ni namna zinavyoendeshwa na pili ni kukosa maono endelevu wafanyabiashara wengi wanaotumia ndumba katika biashara zao hawana mfumo wa uendeshaji (business management system) biashara ndiyo wao na wao ndiyo biashara kwa kuwa mganga alimwambia dawa hii uweke katika droo ya mauzo na asishike mtu mwingine yeyote basi mfanyabiashara analazimika kuwapo eneo la biashara saa zote ili kukwepa kukiuka masharti wengi hawaajiri wafanyakazi na kuwaelekeza az ya biashara zao kwa sababu ya masharti ya kipuuzi wanayopewa na waganga wa jadi wapo wafanyabiashara ambao hata wake zao hawajui namna biashara zao zinavyoendeshwa kwa sababu tu wameambiwa mke wako akishika fedha za mauzo akiwa kwenye siku zake za hedhi atakuwa amekiuka masharti na hivyo kufilisika tena mara nyingi mmiliki wa biashara anapofariki biashara zake humfuata nyuma (hufilisika) utawasikia watu wakisema fulani alikuwa tajiri sana alipofariki mke wake ama watoto wake walishindwa kufuata masharti ya mganga ndiyo maana wamefilisika sehemu kubwa ya ukweli si kukiuka masharti ya mganga wa kienyeji bali ni kushindwa kwa walioachiwa kuendesha biashara kwa sababu hawakushirikishwa katika uendeshaji wake wakati mmiliki alipokuwa hai kuamini ushirikina imekuwa ni sumu mbaya kwa sababu watu wanabweteka wakiamini kuwa ndumba ni kila kitu kuna visa vingi tunashuhudia vya kufilisika kwa wafanyabiashara mbalimbali ambavyo huambatana na maneno kuwa huenda wamekosea masharti ya waganga wao kumbe uhalisia ni kwamba huwa hawatambui kabisa biashara zina ukomo na bila kuzihuisha kuziboresha na kubuni mpya muda utafika nguvu ya soko itakulazimisha uondoke na kujikuta umefilisika wengi hawana ushauri wa kitaalamu kuwajulisha je biashara zao zinazalisha faida kiasi gani kwa mwaka je hali ya masoko na ushindani ikoje na ina athari gani je biashara zake zitakuwa na hali gani miaka mitano kumi ama ishirini ijayo je mikakati na mipango gani ifanyike kuhakikisha biashara zinadumu hadi kizazi cha wajukuu zake wajasiriamali wanatakiwa kufundishwa elimu ya biashara ikiwemo namna ya kutafuta masoko ya bidhaa na huduma namna ya kuendesha biashara katika mifumo rasmi jinsi ya kushindana katika ulimwengu wa kistaarabu pamoja na utunzaji wa kumbukumbu za kimahesabu kubwa kuliko yote ni namna wanavyoweza kufundishwa na kujizoeza kuwa wabunifu (creative and innovative) katika biashara zao email stepwiseexpert@gmailcom « golikipa mwanamke ashinda tuzo ujerumani hotuba iliyochafua hali ya hewa ndani ya bunge »
2017-11-24T05:26:56
http://www.jamhurimedia.co.tz/tanzania-na-biashara-za-kishirikina/
jermaine dupri wikipedia kamusi elezo huru dupri mnamo 2009 23 septemba 1972 (19720923) (umri 44) atlanta georgia marekani mtayarishaji wa rekodi mtunzi wa nyimbo rapa 1987mpaka sasa so so def recordings island urban music tag records[1] jermaine dupri mauldin (amezaliwa tar 23 septemba 1972) ni mshindi wa tuzo ya grammy akiwa kama msanii bora wa rekodi mtayarishaji mtunzi wa nyimbo na mwigizaji kutoka nchini marekani anafahamika zaidi kwa jina la kisanii kama jermaine dupri au jd amefanya kazi wasanii wengi sana wasanii hao ni pamoja na mariah carey nelly janet jackson chanté moore tamia mya kris kross na wengine wengi tu huko nchini marekani makala kuu diskografia ya jermaine dupri makala kuu diskografia ya matayarisho ya jermaine dupri makala kuu diskografia ya video za jermaine dupri ↑ jermaine dupri tagged prez of new hphop label jermaine dupri official site jermaine dupri's official youtube jermaine dupri presents ocean's 7 jermaine dupri kwenye internet movie database jd (discography) beatbuggycom je unajua kitu kuhusu jermaine dupri kama wasifu wake habari za maisha au kazi yake rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=jermaine_dupri&oldid=955949 jamii mbegu za wanamuziki wa marekaniwaliozaliwa 1972wanamuziki wa marekaniwaigizaji filamu wa marekaniwatayarishaji muziki wa marekaniwashindi wa tuzo za grammywatu walio hai urambazaji deutschenglishespañolsuomifrançaisעבריתbahasa indonesiaitaliano日本語한국어nederlandspolskiportuguêsromânăрусскийsvenskaไทยукраїнська中文 edit links ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 19 septemba 2015 saa 0751
2016-09-30T05:10:08
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jermaine_Dupri
hammer q aibuka na 'kazi na dawa' | jamiiforums | the home of great thinkers hammer q aibuka na 'kazi na dawa' msanii mahiri wa muziki wa taarabu nchini hussein mohamed 'hammer q' ameanza rasmi kazi ndani ya kundi la five star kwa kuibuka na wimbo wake mpya uitwao 'kazi na dawa' hammer q ambaye alianza kutamba kwenye taarabu akiwa na kundi la dar morden taarab kutokana na nyimbo zake za gharika la moyo na siri ya penzi alijiunga na five star katikati ya mwaka huu lakini alikaa kimya bila ya kutoa wimbo msanii huyo ambaye alipanda chati na kuwa miongoni mwa waimbaji taarabu wa kiume wanaopendwa zaidi akiwa dar morden alisema'kazi na dawa' utamrudisha kwenye chati ya juu pindi utakapoanza kupigwa kwenye redio na televisheni huu ndio ukweli wenyewe mimi ndiyo muimbaji hivyo najua uzito wa nyimbo hizi tatu ubora wa kazi na dawa ni tofauti na ule wa 'kitu mapenzi' na gharika la moyo huu uko juu zaidi alisema hammer q msanii huyo alisema kuwa uwezo mkubwa aliouonyesha katika wimbo huo unatokana na hasira aliyonayo kwa viongozi wa dar morden wanaotangaza kuwa yeye (hammer q) si mchapakazi walikuwa wanasema mimi si mfanyakazi sasa wimbo wangu wa kazi na dawa utawanyamazisha midomo yao nataka kuwaonesha kuwa mimi ni msanii wa ukweli alisema hammer q mwanaume taarabu ushoga duh
2016-12-10T13:03:54
http://www.jamiiforums.com/threads/hammer-q-aibuka-na-kazi-na-dawa.97361/
 mapato yatokanayo makosa barabarani kufuru mapato yatokanayo makosa barabarani kufuru mamilioni yakusanywa ndani ya wiki mbili tu 27 may 2018 sunday 1619 jeshi la polisi kikosi cha usalama barabarani kanda maalumu ya dar es salaam limekusanya shilingi 9727 milioni za makosa ya usalama barabarani katika kipindi cha wiki mbili katika operesheni hiyo ya ukamataji wa magari iliyofanyika kati ya mei 11 hadi mei 24 mwaka huu ambapo magari yaliyokamatwa ni 24116 pikipiki 763 na daladala 10301 akizungumza na waandishi wa habari jana jijini dar es salaam kamanda wa kanda hiyo lazaro mambosasa alisema waendesha bodaboda waliofikishwa mahakamani kwa makosa ya kutovaa kofia ngumu na kupakia mishikaki yaani abiria zaidi ya mmoja ni 59 jumla ya makosa yaliyokamatwa ni 30850 na fedha zilizopatikana ni sh972 milioni ameongezea kuwa madereva na wamiliki wa magari wanatakiwa kulipa faini zao ndani ya siku saba ili kuepuka faini kuongezeka na kusababisha kukamatwa tena kwa kulimbikiza madeni lazaro mambosasadar es salaammakosa barabarani
2019-10-18T09:39:55
http://www.azaniapost.com/habari-maalum/mapato-yatokanayo-makosa-barabarani-kufuru-h18053.html
unapojiunga katika mitandao hiyo mingi huwa inatuma mialiko ( invitation ) kwenda katika anuani zako zote kama ni yahoo au gmail au hata hotmail bila idhini yako wewe hii inaanisha kama mtu akipata mwaliko ule na kuwezi kujiunga atakuwa rafiki yako na ataweza kuona unawasiliana na wakina nani zaidi wengine huwa wanaweka picha zao katika mitandao hii mitandao hii haina sheria kali kuhusu picha zinazohifadhiwa mule hata kama ni za uwongo kama sio za matusi basi zinaachwa zikae hapo hapo wengine huwa wanachukuwa picha katika tovuti hizo nakwenda kuzitumia katika maeneo mengine ya kazi zao au za kidhalilishaji zaidi mfano katika mtandao wa zeutamu kuna wanafunzi wengi sana wa ifm walikuwa wanapeleka picha kule ambapo zilitolewa facebook na hi5 au tagged wakaziedit kidogo kisha kuzituma zeutamu kwa faida zao wenyewe wengi picha hizi wanazitumia katika magezeti na vijarida vyao bila idhini ya mfano facebook au hi5 hili ni suala la kisheria zaidi mimi sio mtaalamu wa sheria hata hivyo kwa kuwa mitandao hii inavutia sana vijana wahalifu hutumia sana mitandao hii kwa ajili ya shuguli zao za kutafuta watu wa kuwasaidia kufanya uhalifu wao sehemu mbali mbali duniani mfano unaona picha ya msichana mrembo sana katika mtandao wewe unafikiria kuwasiliana nae ndio utawasiliana nae haswa walio nchi za mbali anaweza kukuomba umtumie pesa ili aweze kuja hapo ulipo wewe ukishatuma pesa ndio unaweza usimwone tena na mawasiliano yakatike unakuta kuna watu zaidi ya alfu 2 wameona picha hiyo na wamependa kuwasiliana nae ( unaweza kuhisi anatengeneza pesa kiasi gani mtu huyo ) wengine wanaona picha hizo haswa za wasichana walio katika nchi masikini wanawaahidi ajira nchi za ngambo wakienda kule ni kuuzwa kwenye madanguro pamoja na sehemu zingine za anasa utashangaa mbona ndugu yako harudi nyumbani wala hawasiliani kwanini hayo ndio mambo yaliyo katika mtandao jamii hii ingawa kuna wengine wanafanikiwa kufaidika sana na mitandao hii kwa kupata watu waaminifu wa kuwasiliana nao hata wengine kuowana na kufanya biashara ila wengi zaidi ndio wahanga wa matukio mengi ya kihalifu yanayoendeshwa kwa njia ya mtandao kwahiyo kijana mwenzangu unapotumia mitandao hii uwe makini sana kama hujui uliza upate uzoefu wa wenzako wanafanyaje kuweza kuhimili vishindo hivi vipya vya mitandao usiingie kichwa kichwa mwisho kama nilivyosema hapo juu mashirika mengi ya kijasusi na kipepelezi yanatumia mitandao hii kusaka wahalifu hata kutafuta wafanyakazi wapya basi hata hapa tanzania vyombo vyetu vya usalama viwe makini sana katika kufuatilia mitandao hii pamoja na wanachama wake kwa faida zao na wengine
2018-02-24T04:03:49
http://nifahamishe.com/article_details.aspx?ArticleID=322941&&AuthorId=3
used 2019 mitsubishi cars for sale at chevrolet buick gmc of helena ford 1 jeep 3 kia 1 mitsubishi 1 nissan 1 se 20 1 stock number ku022595p vin ja4ar3au7ku022595
2020-05-28T00:53:42
https://www.chevrolethelena.com/VehicleSearchResults?search=used&make=Mitsubishi&bodyType=SUV&year=2019
pakua vyombo vya kupakua vya umeme pakua mlipuko wa umeme 13 mai 2006 christophe wakati kubwa na video hii kuchukuliwa kutoka ripoti ya fr3 pakua faili (usajili wa jarida inaweza kuhitajika) mlipuko wa umeme ← pakua kilimo malengo yasiyo ya chakula download eric lawrence juu fr3 magari ya maji ni mabwana (wa vita) → 23 279 spam imefungwa na cleantalk
2019-01-22T15:03:56
https://sw.econologie.com/telechargement-mobylette-electrique/
mechi zote sasa 'live' kiganjani mwako kupitia tigo 4g bin zubeiry sports online mechi zote sasa 'live' kiganjani mwako kupitia tigo 4g bin zubeiry sports online mwanzo > kombe la dunia > mechi zote sasa 'live' kiganjani mwako kupitia tigo 4g habari motomoto habari za nyumbani kombe la dunia mechi zote sasa 'live' kiganjani mwako kupitia tigo 4g mashabiki wa soka nchi nzima wana sababu ya kushangilia kufuatia ushirikiano mkubwa kati ya tigo tanzania na startimes tigo mtandao unaoongoza kwa huduma bora za kidigitali pamoja na mrushaji rasmi wa kombe la dunia star times wameungana kuwawezesha watanzania kutazama laivu kwenye simu zao za mkononi mechi zote za tukio kubwa zaidi la mpira wa miguu kwa mwaka 2018 kama tunavyojua tukio hili kubwa zaidi la soka litakalofanyika urusi kuanzia wiki hii ndio tukio linalotazamwa zaidi duniani mkuu wa idara ya masoko ya tigo william mpinga (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari leo ukumbi wa mikutano wa hoteli ya slipway dar es salaam wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo kulia ni meneja masoko startime david malisa mkuu wa idara ya masoko ya tigo william mpinga akibadilishana na mipira na meneja masoko startime david malisa afisa uhusiano wa startime samuel gisayi akitoa maelekezo ya matumizi ya application hiyo tigo inajivunia kwa mara ya kwanza kabisa kuwaletea mashabiki wa soka maajabu ya tukio hili kubwa zaidi la soka moja kwa moja kwenye simu zao za mkononi hii inaendana na sifa kuu ya tigo ya kuwaelewa wateja wake na kuwapa bidhaa na huduma bunifu zinazoboresha maisha yao ya kidigitali ili kuhakikisha kuwa mashabiki wa soka wanafurahia msimu huu wa soka tigo imeungana na mrushaji rasmi wa kombe la dunia startimes kuzindua startimes application star times application itawezesha wapenzi wote wa soka kuwa sehemu ya msisimko furaha na huzuni yanayoendana na tukio hili linalotazamwa zaidi duniani kupitia mtandao mpana zaidi wa tigo 4g unaopatikana katika miji 22 nchini hakuna shabiki aliye na kisingizio cha kukosa mechi magoli na mada zote zinazoendana na tukio hili kubwa zaidi la soka duniani kwa mwaka 2018 yeyote popote nchini tanzania sasa anaweza kutazama mechi zote laivu kwenye simu janja ya mkononi kwa kupakua application ya startimes app na kununua bando ya intaneti kutoka menu ya tigo iliyoboreshwa ya *147*00# watanzania wanaweza kuchagua bando za saa siku wiki au mwezi kupitia menu iliyoboreshwa ya *147*00# kisha wataweza kutazama mechi zote 64 za tukio kubwa zaidi la soka duniani kwa mwaka 2018 moja kwa moja kwenye simu zao janja wakiwa popote nchini huku wakifurahia ubora wa hali ya juu wa huduma za intaneti za tigo 4g mtandao mpana wenye kasi ya juu na wa uhakika zaidi nchini hali kadhalika mashabiki wanaweza kutazama mechi laivu na kupata habari za uhakika za tukio kubwa zaidi la soka duniani kwa mwaka 2018 kupitia tigo sports portal wwwtigosportscotz au kwa kujiunga kupitia menu ya tigo iliyoboreshwa ya *147*00# tigo sports portal ndio kituo cha kidigitali chenye habari za kusisimua za tukio hili kubwa zaidi la kisoka kupitia tigo sports portal mashabiki pia wanaweza kushiriki kujibu maswali yanayohusu dondoo za soka na kushinda zawadi nono hadi tsh 10 milioni kupitia shindano la sms kwa mara nyingine tigo inajivunia kwa mara ya kwanza kabisa kuwaletea mashabiki wa soka maajabu ya tukio hili kubwa zaidi la soka moja kwa moja kwenye simu zao za mkononi hii inaendana na sifa kuu ya tigo ya kuwaelewa wateja wake na kuwapa bidhaa na huduma bunifu zinazoboresha maisha yao ya kidigitali tunawakaribisha mashabiki wote wafurahie msimu huu mkubwa zaidi wa soka kwa mwaka 2018 kwa kupakua startimes app kununua bando kupitia *147*00# na kujiunga na tigo sports portal ili waweze kutazama mechi zote laivu wapate dondoo muhimu za soka pamoja na kupata nafasi ya kushinda zawadi murwa hadi tsh 5 milioni kutoka tigo item reviewed mechi zote sasa 'live' kiganjani mwako kupitia tigo 4g rating 5 reviewed by bin zubeiry sports online
2018-06-23T02:14:56
http://www.binzubeiry.co.tz/2018/06/mechi-zote-sasa-live-kiganjani-mwako.html
watu milioni moja hatarini syria | matukio ya kisiasa | dw | 22112016 watu milioni moja hatarini syria raia wanatengwa wanakabiliwa na njaa wanashambuliwa kwa mabomu na kunyimwa huduma za kiafya na misaada ya kibinadamu ili kuwalazimisha kusalimu amri au waondoke takriban watu milioni moja wanaishi katika maeneo yanayoshambuliwa nchini syria idadi hiyo ikiwa ni maradufu ya hali ilivyokuwa miezi sita iliyopita hayo yamesemwa na umoja wa mataifa naibu katibu anayesimamia masuala ya kibinadamu ambaye pia ni mratibu wa misaada ya dharura katika umoja wa mataifa stephen o' brien ameliambia baraza la usalama la umoja wa mataifa kuwa watu laki tisa sabini na nne elfu na themanini wanazingirwa katika mazingira ya mashambulio tangu mwezi julai watu laki mbili na elfu sabini na tano wamezidi kuwa hatarini mashariki mwa aleppo pekee ambako vikosi vya serikali vimekuwa vikishambulia kuwalenga waasi steffan o'brien anasema hali ya kibinadamu mashariki mwa aleppo imepita kuwa ya kutisha na sasa inatisha zaidi na sasa ni vigumu sana kustahimilika na binadamu ameongeza kuwa raia wanatengwa wanakabiliwa na njaa wanashambuliwa kwa mabomu na kunyimwa huduma za kiafya na misaada ya kibinadamu ili kuwalazimisha kusalimu amri au waondoke ni mbinu makusudi ya kidhalimu kuwanyanyasa raia kuafikia malengo ya kisiasa kijeshi na kwa namna nyingine kiuchumi mtoto akitoroka eneo la shambulio syria o' brien anasema dhamira ya rais bashar alassad ni kuharibu na kuangamiza raia wasioweza kujilinda wenyewe anees rajab ni mkaazi wa moadamiya syria na anasema ninatumai tu kuwa wafungwa wataachiliwa haraka iwezekanavyo wanangu wawili wa kiume na jamaa zangu wanne wangali katika jela hilo ndilo tumaini langu pekee maeneo mapya ambayo yamekuwa katika hatari katika miezi ya hivi punde ni pamoja na joubar karibu na damascus alhajar alaswad khan alshih na sehemu nyinginezo mashariki ya ghutah na mashariki ya damascus utathmini wa o'brien umejengwa kwenye wasiwasi wa jumuiya za kimataifa kuhusu hatima ya aleppo hasa ikizingatiwa kuwa kuna watu laki mbili na nusu ndani yake mji huo unapoendelea kushambuliwa vikali kwa lengo la majeshi ya muungano wa syria na urusi kuukomboa kutoka mikononi mwa waasi kundi la waangalizi la kutetea haki ya kibinadamu lenye makao yake uingereza limesema zaidi ya watu 100 wameuawa mashariki mwa aleppo katika kipindi cha wiki moja iliyopita wakati uohuo mjumbe maalum wa umoja wa mataifa nchini syria staffan de mistura alifeli kuafikia mkataba na serikali ya assad wa kuboresha hali ya kibinadamu mwandishi john juma dpae/afpe maneno muhimu syria aleppo stephen o' brien urusi staffan de mistura kiungo http//pdwcom/p/2t39t
2018-05-24T10:23:54
http://www.dw.com/sw/watu-milioni-moja-hatarini-syria/a-36476303
polisi wazingira nyumba ya bobi wine wamzuia kushiriki tamasha mwananchi waziri wa afya aambukizwa virus vya corona raia wa korea kusini italia hatarini kuzuiwa marekani kutokana na tbl yashinda tuzo ya kimataifa ya kizibo cha dhahabu kukionesha kwa niyonzima aipeleka yanga robo fainali kombe la fa azam yapeta video mama wa binti kiziwi afunguka mwanaye alipo jeje wa diamond wadaiwa kufanana na wimbo wa wizkid burna boy changalawe apigwa mabondia tanzania wakosa tiketi ya olimpiki japan polisi wazingira nyumba ya bobi wine wamzuia kushiriki tamasha leo jumatano oktoba 9 2019 jeshi la polisi nchini uganda limeizunguka nyumba ya mbunge wa kyadondo mashariki robert kyagulanyi maarufu bobi wine kwa lengo la kumzuia asishiriki tamasha mjini kampala by muyonga jumanne mwananchi [email protected] uganda leo jumatano oktoba 9 2019 jeshi la polisi nchini uganda limeizunguka nyumba ya mbunge wa kyadondo mashariki robert kyagulanyi maarufu bobi wine kwa lengo la kumzuia asishiriki tamasha mjini kampala tamasha hilo la osobola lilipangwa kufanyika kwenye ufukwe wa one love unaomilikiwa na bobi wine uliopo eneo busabala jijini humo askari wameweka uzio katika njia mbili zinazotumika kufika nyumbani kwa boni wine ambaye pia ni msanii wa muziki na kuweka kizuizi cha vyuma chenye ncha kali na kukagua kila gari linalotoka na kuingia mmoja wa majirani wamesema waliona polisi wakizingira nyumba hiyo kuanzia jana usiku jumanne oktoba 8 2019 nilipokuwa nakuja nyumbani jana usiku nilikuta polisi wamefunga njia na wanisimamisha niliwaeleza naelekea nyumbani kwangu hapo ndipo waliniachia amesema dennis kamoga kupitia mtandao wa kijamii wa twitter bobi wine amesema tangu saa 11 alfajiri polisi wamezunguka nyumba yake na eneo la fukwe wananiweka chini ya ulinzi kwenye nyumba yangu na kuzuia tamasha la muziki la siku ya uhuru raia wa korea kusini italia hatarini kuzuiwa marekani kutokana na corona rc kigoma aomba waziri aruhusu wanaume kuingia vyumba vya kujifungulia wanawake kwa kuimba ukweli kwa viongozi siwezi kufanya onesho kwenye nchi yangu leo ni siku ya uhuru wa uganda na jana polisi walitoa taarifa ya kusitishwa tamasha hilo kwa sababu za kiusalama hata hivyo bobi wine amesema tamasha hilo litafanyika kama lilivyopangwa huku msemaji wa polisi patrick onyango akiwataka wananchi kutokwenda katika tamasha hilo kama unataka amani kaa nyumbani kwenu kwa sababu hakuna tamasha kesho (leo) usipoteze muda wako tafadhali amesema onyango naibu waziri wa afya nchini iran iraj haririch ameambukizwa virusi vya corona korea kusini na italia huenda zitaongezeka katika nchi ambazo raia wake wanazuiwa kuingia jinsi wanandoa raia wa china walivyodakwa wakimpa sh11 milioni bosi tra wasamehewe kodi mwili wa katibu wa chadema wilaya ya manyoni wakutwa barabarani video mbunge wa chadema aachiwa baada ya kusota rumande 1 kimataifa waziri wa afya aambukizwa virus vya corona 2 toleo maalum tcra huduma za posta zikitumika vizuri ni sehemu ya maisha ya mwananchi 3 kimataifa raia wa korea kusini italia hatarini kuzuiwa marekani kutokana na corona 4 michezo niyonzima aipeleka yanga robo fainali kombe la fa azam yapeta 5 biashara tbl yashinda tuzo ya kimataifa ya kizibo cha dhahabu kukionesha kwa watanzania 6 kitaifa rc kigoma aomba waziri aruhusu wanaume kuingia vyumba vya kujifungulia wanawake 7 kitaifa video mbunge wa chadema aachiwa baada ya kusota rumande 8 kitaifa mwili wa katibu wa chadema wilaya ya manyoni wakutwa barabarani 9 siasa nani ni nani kati ya ccm cuf act wazalendo zanzibar 10 siasa makala ya maloto hili la rais kuongezewa miaka inaletwa na hofu
2020-02-27T07:22:17
https://www.mwananchi.co.tz/habari/kimataifa/Polisi-wazingira-nyumba-ya-Bobi-Wine-/1597284-5304658-ewmjuo/index.html
pitio la 1244 14 juni 2019 133 bytes removed mwaka 1 uliopita pitio la 0103 14 juni 2019 (hariri) toleo la sasa la 1244 14 juni 2019 (hariri) (tengua) [[filenew harmony indiana por f batesjpg|upright|thumb|200px|wazo la jamii usawa nikatika kuujamii kuanzishwaliliongoza dhana ya usoshalisti hapampango wa mpango wakuanzisha mji katikawa new harmony [[indiana]] [[marekani]] kama ilivyopendekezwa na viwanda ya [[uingereza]] [[robert owen]] tunafikiria kuchonga na [[f bate]] [[london]] 1838]] chanzo cha nadharia hiyo ni mwishoni mwa [[karne ya 18]] kutokana na [[vita ya uhuru wa marekani|vita vya uhuru wa marekani]] na hasa [[mapinduzi ya kifaransa]] zilitokea aina nyingi za usoshalisti kila moja ikiwa ya namna yake muhimu zaidi ni ile ya [[karl marx]] ([[1818]][[1883]]) aliyedai [[ukomunisti]] kuwa njia pekee ya kuleta [[haki]] na [[usawa]] rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/wiki/maalummobilediff/1068320
2020-08-09T14:24:12
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Maalum:MobileDiff/1068320
perezida barack obama yijeje abanyafurika ubufatanye perezida barack obama yijeje abanyafurika ubufatanye ibyahinduwe nyuma nyakanga 02 2013 perezida w'amerika barack obama na perezida wa tanzaniya jakaya kikwete perezida wa leta zunze ubumwe za amerika barack obama yasoje uruzinduko rwicyumweru muri afrika bwana obama avuga ko yasobanukiwe neza ko hakoreshejwe uburyo buboneye abatuye afurika bashobora gutangira ibihe bishya byuburumbuke mu muhango wabereye ku kibuga cyindege i dar es salam aho yasezeye kuri perezida jakaya kikwete nabatanzania benshi bakomaga mu mashyi kandi bazunguza utubendera mu gitondo kwitaliki ya kabiri yukwa karindwi umwaka wa 2013 uwahoze ari prezida wa amerika george w bush yifatanije na bwana obama mu muhango wo kwibuka abantu 11 bahitanywe na bombe yo mu 1998 kuri ambasade ya leta zunze ubumwe za amerika i dar es salam bahashyira indabyo mu ruzinduko rwe bwana obama yashimangiye ko hakwiye kubaho programu zihuriweho ninzego za eta nabikorer ku giti cyabo mu guteza imbere amajyambere ibyo nkuko yabisobanuriye abanyemari babonanye ni byo bizatuma afurika igirana ubuhahirane buhamye aho kuba yahora ihabwa imfashanyo mu kiganiro cya dusangire ijambo cyahise taliki ya 30 y'ukwezi kwa gatandatu umwaka wa 2013 umunyamakuru w'ijwi ry'amerika etienne karekezi yagarutse ku ruzinduko rwa perezida barack obama muri afurika perezida obama w'amerika ashyigikiye ubufatanye n'afurika (03842) /03842
2016-12-06T19:51:16
http://www.radiyoyacuvoa.com/a/perezida-obama-yasoje-uruzinduko-ku-mugabane-wafurika/1693526.html
matatani archives tanzania sports 23rd july 2018 last update at 810 pm chama cha soka (fa) kimemwadhibu mshambuliaji wa kati wa liverpool mario balotelli kwa kumtoza faini ya pauni 25000 na kuzuiwa kucheza mechi moja adhabu hiyo inatokana na kuchapisha katika mtandao
2018-07-23T00:28:03
https://www.tanzaniasports.com/tag/matatani/
picha 20 nachingwea ilivyotapika nani zaidi ya isha mashauzi na leyla rashid jumamosi ni mtwara jumapili lindi | saluti5 ')+else if(null=(o=rmatch(/(youtube\/|youtubecom\/(watch\(*&)v=|(embed|v)\/))([^\&\\'>]+)/gi))){var v=o[0]match(/^*((youtube\/)|(v\/)|(\/u\/\w\/)|(embed\/)|(watch\))\v=([^#\&\]*)*/)v&&11==v[7]length&&(s='')}else s=''i=''l=rreplace(/<(*)>/g)replace(/[\n\r]+/g )uinnerhtml=s+''+d++lsubstring(0gsummarylength)+''+i+} » picha 20 nachingwea ilivyotapika nani zaidi ya isha mashauzi na leyla rashid jumamosi ni mtwara jumapili lindi picha 20 nachingwea ilivyotapika nani zaidi ya isha mashauzi na leyla rashid jumamosi ni mtwara jumapili lindi nani zaidi ya layla rashid na isha mashauzi iliuteka mji wa nachingwea alhamisi usiku ambapo ukumbi wa nr ulifurika kupita maelezo pale wakali hao walipochuana leyla na isha wakasindikizwa na bendi zao za jahazi modern taarab na mashauzi classic na kufanya kitu kilichoandika historia ya burudani ndani ya nachingwea pata picha 20 za onyesho hilo la leyla na isha ambao ijumaa usiku wanafanya makamuzi masasi kabla ya kuelekea mtwara kwa onyesho lao la jumamosi na kisha kukamilisha ratiba yao jumapili mjini lindi prince amigo akiwakimbiza mashabiki wa nachingwea mashabiki wa nachingwea wakipagawa isha mashauzi akitoa swaga zake jumanne ulaya wa jahazi akilidhibiti gitaa la solo hivi ndiyo nachingwea ilivyoitika leyla rashid hashim said wa mashauzi (kushoto) na prince amigo wa jahazi hashim said na prince amigo wakiwasilisha jambo lao mishi mohamed wa jahazi mussa bass wa jahazi kwa raha zake asia mzinga wa mashauzi classic umati wa mashabiki wa nacnhingwea ilikuwa kama hivi amigo huyo isha na amigo marefa wa rwanda guinea kuchezesha yanga na waalgeria shirikisho ya soka afrika (caf) limewateua marefa wa rwanda na guinea kuchezesha mechi mbili za mchujo wa kuwania kuingia ha
2017-03-30T16:38:10
http://www.saluti5.com/2016/11/picha-20-nachingwea-ilivyotapika-nani.html
(showing articles 9421 to 9440 of 37939) 02/24/150847 _show ya sauti sol i 02/24/151230 _waziri mkuu mizeng 02/25/150057 _kijana wa kitanzani 02/25/150101 _leo ni birthday ya 02/25/150103 _watanzania waaswa k 02/25/150150 _waziri wa nishati n 02/25/150236 _migodi ya dhahabu y 02/25/150307 _wateja watatu dar w 02/25/150309 _shule za msingi mko 02/25/150311 _kumekucha chicken 02/25/150313 _waziri mkuu mizeng 02/25/151045 _rais jakaya kikwete 02/25/151110 _bodi ya chakula da 02/25/152019 _makala ya sheria n 02/25/152026 _tpb yaunganisha mat 02/25/152028 _due to public deman 02/25/152030 _mawaziri wa nchi ta 02/25/152042 _push mobile un w 02/25/152055 _ziara ya waziri mku 02/25/152059 _rais kikwete aweka older | 1 | | 470 | 471 | (page 472) | 473 | 474 | | 1897 | newer 02/24/150847 show ya sauti sol ilivyobamba katika jembeka party jijini mwanza sauti sol toka nchini kenya mwishoni mwa wiki (21/02/2015) wamepiga show ya kufufuka mtu ndani ya kiota cha burudani chanye hadhi ya kitalii jembe beach ndani ya party lililopewa jina la jembeka likiandaliwa na kituo kipya cha redio jijini mwanza jembe fm 937 mashabiki walitoa ushirikiano wa kila htua zilizokuwa zikiendelea stejini hapo vijeee kenyan afro pop (2014 mtv ema best worlwide act nominees) walifanya kazi ya ukweli stage kama screen vile unawochi kitu cha live kutoka kushoto ni willis austin savara mudigi delvin na king bienaime 'pamoja sana' ceo wa jembe ni jembe dr sebastian ndege (wa pili kutoka kulia) akiwa na 'team jembe' dvj frank (wa kwanza kulia) wengine ni dvj chriss young (wa kwanza kushoto) dvj david (wa pili kushoto) na g sengo (wa tatu kushoto) mwanza you fill it msanii toka home mwanza director shahibu aliwachangamsha kinowmer' 'changamka' ilifumuliwa na watu wakajembeka kundi lililojizolea umaarufu jijini mwanza kwa sasa the mamba dancerz aka 'chacha na wanawe' wakifanya yao you whaaaaaat mtafutano marafiki toka mataifa mbalimbali nao walijumuika hadi kwenye mashindano ya kusakata katika jembeka party iliyofanyika mwishoni mwa wiki jembe beach jijini mwanza drummer boyaka mkaanga chipsakiwa kikaangoni huyu mtu hatari says dvj david selfie ya gsengo na keybordist wa sauti sol hapa msanii wa muziki wa kizazi kipya toka mwanza director shahibu alikuwa akiimba wimbo aliomshirikisha mwimbaji wa jj band alice mbunifu wa mavazi ambaye pia ni mtengeneza mavazi seth aka bikira wa kisukuma aka fundi (katikati) ni sehemu ya watu muhimu tukioni watu muhimu sana sauti sol na mashabiki wao 'pamoja sana' kutoka kituokipya cha redio jijini mwanza jembe fm 937 hii ni jembe team kutoka kushoto ni dvj chriss young dvj david dvj frank producer oxy program master eliud aka dj kagz wahabarishaji pichazzzzz ze area show ya jembe djz ndani ya jembeka party 02/24/151230 waziri mkuu mizengo pinda azindua uandikishaji daftari la wapiga kura waziri mkuu mizengo pinda akizindua uborereshaji wa daftari kla kudumu la wapigakura katika mji mdogo wa makambako februari 24 2015kushoto ni mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi jaji damian lubuva na katikati ni katibu wa tume hiyo ndugu malaba waziri mkuu mizengo pinda na naibu katibu mkuu ambaye pia ni katibu mwenezi wa chedema john mnyika wakitazama kadi mpya ya mpigakura baada ya waziri mkuu kuzindua uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura katika mji mdogo wa makambako februari 24 2015 waziri mkuu mizengo pinda akizungumza na mwenyekititi wa tume ya taifa ya uchaguzi jaji damian lubuva (kushpoto) naibu katibu mkuu na katibu mwenezi wa chadema john mnyika (kulia) yusufu mbungiro ambaye ni afisa uchaguzi na mafunzo taifa wa chama cha cuf (wapili kushoto) na allan bujo ambaye ni mkuu wa ulinzi wa chadema baada ya kuzinua uborereshaji wa daftarila kudumu la wapigakura katika mji mdogo wa makambako februari 24 2015 waziri mkuu mizengo pinda akitazama kazi ya uandiskishaji wapiga kura baada ya ya kuzinua uborereshaji wa daftari kla kudumu la wapigakura katika mji mdogo wa makambako februari 24 2015 baadhi ya watu waliohudhuria katika uzinduzi wa uborereshaji wa daftari kla kudumu la wapigakura katika mji mdogo wa makambako wakimsikiliza waziri mkuu mizengo pinda wakati alipohutubia katika uzinduzi huo februari 24 2015 baadhi ya watalaamu wa kuandikisha wapiga wakiwa na zana za kazi kabla ya waziri mkuu mizengo pinda ya kuzindua uborereshaji wa daftari la kudumu la wapigakura katika mji mdogo wa makambako februari 24 2015 (picha na ofisi ya waziri mkuu) 02/25/150057 kijana wa kitanzania aunda redio stesheni shujaaz dj tee (19) ni kijana mwenye ndoto kubwa katika maisha yake baada ya kuona mahangaiko ya vijana kuelekea kwenye mafanikio wengi wakiwa wamemaliza shule na vyuo bila kupata kazi ameamua kuunda redio stesheni ghetoni kwake aliyoipa jina la shujaaz ili aweze kushea ideas na vijana wote nchini tanzania kuhusu mbinu mbalimbali za kuingiza pesa kuwapa stori za vijana wanaochakarika katika maisha yao pamoja na kuwaburudisha nimeamua kuiita shujaaz kwa sababu naamini kuwa kijana ambaye anajituma na kuweka mfano bora kwenye jamii ni shujaa alisema dj tee ndoto zangu zinakaribia kuwa kweli story ya kijana huyu inapatikana kila jumamosi ya mwisho wa mwezi kupitia kijarida cha shujaaz kitakachokuwa kinasambazwa kupitia gazeti la mwanaspoti kuanzia jumamosi hii ya tarehe 28 kwenye kijarida hicho utapata ideas mbali mbali ambazo vijana wanaweza kuzifuata na kujiingizia kipato pia kutakuwa na stori za vijana wengine kama pendo semeni na pepe ambao ni mashabiki wakubwa wa dj tee na redio show yake ya shujaaz dj tee akiwa studio kijana huyu ameamua kujiita dj tee ili asijulikane na watu wake wa karibu kwa kuwa anahack airwaves za redio stesheni ili aweze kusikika sikiliza redio stesheni uipendayo kuanzia wiki ijayo huwezi jua inawezekana dj tee akawa hewani wewe pia usikose kuwa sehemu ya mafanikio na harakati za kijana huyu kwa kujiunga naye pata nakala yako ya shujaaz kuanzia jumamosi hii (28/02/2015) kupitia gazeti la mwanaspoti pia jiunge naye kwenye ukurasa wake wa facebook kwa jina djtee255 ili upige naye story na wewe uweze kushea idea zako za hustle unaweza pia ukampata instagram na twitter kwa jina @djtee255 02/25/150101 leo ni birthday ya dixon busagaga wa busagaga's orijino blog na globu ya jamii kanda ya kaskazini natanguliza shukrani zangu mbele ya mwenyezi mungu ambaye ameendelea kunipigania kila kukichalakini pia niwashukuru wazazi wangu abdalah mbaruku na eustela massatu kwa malezi mema ambayo mmekuwa mkinipatia hadi leo kijana wenu nimefikia katika umri huu furaha niliyo nayo leo ni sawa na ile ambayo wanayo wadogo zangu wapendwa janejudijuma busagaga ashura mbaruku na mtoto mpendwa jesca dixon pamoja na ndugu zangu kakadadawajomba mashangazimarafiki na wengine wote tuendelee kufanya maombi ili mwenyezi mungu atusimamie katika kila jambo 02/25/150103 watanzania waaswa kuthamini bidhaa zinazozalishwa ndani ya nchi akizungumza na waandishi wa habari mjini iringa kaimu meneja wa sido mkoani iringa niko mahinya alisema ikiwa watanzania wataenzi bidhaa zinazotengenezwa ndani itakuwa rahisi kuinua uchumi wa nchi na mtu mmoja mmojaalisema shirika hilo limekuwa likitengeneza bidhaa nyingi zikiwemo mashine na pembejeo za kilimo lakini kutokana na dhana ya kununua bidhaa za nje wamekuwa wakikabiliana na tatizo kubwa la soko aidha alisema itakuwa vyema kama serikali itaweka utaratibu au sera itakayofanya watu wajenge tabia ya kuheshimu kupenda na kutumia bidhaa za ndanikwa upande wao baadhi ya wajasiriamali na wakulima walisema kuwa mara nyingi wamekuwa wakinunua mashine za kichina kutokana na bei yake kuwa chini ingawa hazina ubora 02/25/150150 waziri wa nishati na madini mhe george simbachawene akabidhiwa ripoti ya kumtafuta mshindi wa tuzo ya rais ya huduma za jamii na uwezeshaji kwa makampuni ya uziduaji nchini kaimu katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini mhandisi ngosi mwihava (kulia) akimkaribisha waziri wa nishati na madini mhe george simbachawene (kushoto) ili aweze kuzungumza na timu ya majaji na sekretarieti iliyofanya kazi ya kumtafuta mshindi wa tuzo ya rais ya utoaji wa huduma za jamii na uwezeshaji kwa makampuni ya uziduaji yaani madini na gesi timu hiyo iliendesha zoezi hilo mapema septemba mwaka jana waziri wa nishati na madini mhe george simbachawene akielezea umuhimu wa kuhamasisha makampuni mengi zaidi kujitokeza katika kuwania tuzo ya rais katika utoaji wa huduma kwa jamii na uwezeshaji kwa makampuni ya gesi mafuta na madini ili wananchi wafaidike zaidi na mchango katika sekta za nishati madini na gesi waziri wa nishati na madini mhe george simbachawene (aliyekaa mbele) akizungumza na timu ya majaji na sekretarieti iliyofanya kazi ya kumtafuta mshindi wa tuzo ya rais ya utoaji wa huduma za jamii na uwezeshaji kwa makampuni ya uziduaji yaani madini na gesi 02/25/150236 migodi ya dhahabu ya geita bulyanhulu buzwagi na north mara kuanza kulipa ushuru migodi ya dhahabu ya geita bulyanhulu buzwagi na north mara kuanza kulipa ushuru wa huduma kwa kiwango cha 03 ya mapato ghafi kwa halmashauri za wilaya na miji wizara ya nishati na madini inapenda kutangazia umma kuwa mgodi wa dhahabu wa geita unaomilikiwa na kampuni ya anglogold ashanti na migodi ya bulyanhulu buzwagi na north mara inayomilikiwa na kampuni ya acacia mining imeanza kulipa ushuru wa huduma kwa kiwango cha asilimia 03 (03) ya mapato ghafi kwa halmashauri husika halmashauri zitakazonufaika na malipo hayo ni mji wa geita wilaya ya geita mji wa kahama wilaya ya msalala na wilaya ya tarime malipo hayo yanaanza tarehe 1 julai 2014 malipo hayo yanafuatia makubaliano kati ya serikali na kampuni zinazomiliki migodi husika kufanya marekebisho kwenye mikataba ya maendeleo ya uchimbaji madini (mining development agreement mda) baina ya serikali na migodi ya geita bulyanhulu buzwagi na north mara kuhusu ulipaji wa ushuru wa 03 ya uzalishaji kulingana na sheria ya local government finance act cap290 revised editions of 2002 badala ya dola za marekani 200000 kwa mwaka zilizokuwa zikilipwa awali mha ngosi cx mwihava 02/25/150307 wateja watatu dar wakabidhiwa magari na airtel baada ya kuibuka mfanyabiashara wa soko la jipya la kawe grace pascal kalengela (wa pili kulia) ambaye aliibuka mshindi wa droo ya tatu ya promosheni ya airtel yatosha zaidi akishangiliwa na wafanyabiashara wenzake sokoni hapo kabla ya kukabidhiwa zawadi ya gari jipya aina ya toyota ist lililosajiliwa kwa namba t 783 dcz katika hafla iliyofanyika eneo la kawe jijini dar es salaam jana meneja biashara wa airtel kanda ya dar es salaam fredrick mwakitwange (kushoto) akikabidhi mfano wa ufunguo wa gari kwa mshindi wa droo ya tatu ya promosheni ya airtel yatosha zaidi grace pascal kalengela wakati wa kumkabidhi gari jipya aina ya toyota ist lililosajiliwa kwa namba t 783 dcz katika hafla iliyofanyika katika eneo la kawe jijini dar es salaam jana wa (pili kushoto) ni mume wa mshindi huyo daudi mayunga na (kulia) ni meneja uhusiano wa airtel jackson mmbando mfanyabiashara wa soko la jipya la kawe grace pascal kalengela (wa pili kulia) ambaye aliibuka mshindi wa droo ya tatu ya promosheni ya airtel yatosha zaidi akiwa mwenye furaha kabla ya kukabidhiwa zawadi ya gari jipya aina ya toyota ist lililosajiliwa kwa namba t 783 dcz katika hafla iliyofanyika eneo la kawe jijini dar es salaam jana kulia ni meneja biashara wa airtel kanda ya dar es salaam fredrick mwakitwange dcz katika hafla iliyofanyika eneo la kawe jijini dar es salaam jana kulia ni meneja biashara wa airtel kanda ya dar es salaam fredrick mwakitwange wateja watatu dar wakabidhiwa magari na airtel baada ya kuibuka washindi dar es salaam februari 24 2015 mwanamke mchuuzi wa mboga mboga katika soko jipya la kawe jijini dar es salaam grace pascal kalengera jana alikuwa miongoni mwa wakazi watatu wa dar es salaam waliokabidhiwa zawadi zao baada ya kushinda promosheni ya airtel yatosha zaidi ijumaa iliyopita grace alipigiwa simu na balozi wa airtel yatosha zaidi mwigizaji maarufu nchini lulu baada ya namba yake kuwa miongoni mwa washindi kwenye droo iliyochezeshwa makao makuu ya airtel jijini dar es salaam na kushuhudiwa na mwakilishi wa bodi ya michezo ya kuigiza nchini siku nne tu baadaye leo jumanne meneja masoko wa airtel frederick mwakitwange alimkabidhi gari lake mama huyo aliyeonekana wazi akiwa na furaha isiyo kifani akizungumza wakati wa hafla hiyo mwakitwange alisema sisi airtel tunafarijika sana tunapowaona washindi wakimiminika ofisini kwetu kila wiki kujichukulia zawadi zao na kwa ukweli zawadi ya gari si zawadi ndogo kwa wengi miongoni mwetu tuliamua kwa makusudi kabisa kutoa magari kama zawadi kwa washindi kwa lengo la kuonyesha nia yetu ya kuboresha na kuyabadili maisha ya watanzania mbali na grace washindi wengine waliokabidhiwa magari yao ni pamoja na john freddy kiwale mkazi wa kinondoni ambaye pia ni wakala wa airtel money na donald fred baruti mfanyabiashara wa mwembechai meneja uhusiano wa airtel jackson mbando alitoa wito kwa wateja wa kampuni hiyo kuendelea kutumia huduma za airtel yatosha zaidi waweze kupata nafasi ya kujishindia magari kama mnavyoona hata mawakala wa airtel money wanaweza kushinda hii ni kwa sababu tu kwamba nao pia ni wateja wetu inafahamika kuwa kuna vigezo na masharti katika kushiriki na sisi tunazingatia sana hilo alisema mmbando washindi wengine wa wiki iliyopita watakaopewa magari ya oleo ni simon grayson (yombo kisiwani) bilal juma mlendela (tabata) na maxbeth isack manene (tabata segerea) kisha mkazi na mkulima kutoka bukoba kajala kokutima said naye atapewa gari wiki hii tayari magari 17 kati ya 60 yamekwishapata wamiliki wake wapya 02/25/150309 shule za msingi mkoani singida kupokea vitabu 200 miss singida kanda ya kati 2014/15doris mollel akisikiliza jambo kutoka kwa afisa mipango wa childrens book project for tanzaniaramadhani ali wakati akipokea vitabu kutoka childrens book project for tanzania shule tatu za msingi katika mkoa wa singidazitapokea vitabu 200 wiki hii kusaidia katika mchakato wa kuboresha elimu ya shule ya msingi vitabu hivi vimetolewa na taasisi isiyo ya kiserikali ya childrens book project for tanzania na italenga maelfu ya watoto nchini kote katika kuwakomboa kielimu akizungumza wakati wa kukabidhi vitabu hivyoafisa mipango wa childrens book project for tanzaniaramadhani ali alisema kuwa watoto wanaotakiwa kupata vitabu hivi ni wale walio na uhitaji sana na watapata nafasi ya kunufaika zaidi kielimu watoto wanaopata vitabu hivi ni wale walio na uhitaji sana na watapata nafasi ya kunufaika zaidi kielimu vitabu hivi vinatolewa kwa watoto ili waweze kutumia katika masoma yao ya kila siku shuleni alisema ramadhani msaada huu wa vitabu umejikita katika kukomboa hali ya elimu tanzania huku serikali ikijitahidi kuwekaza katika elimu nchini kwa kipindi kirefu inakadiriwa kuwa asilimia kubwa ya watoto wa shule ya msingi tanzania hawajui kusoma na kuandikaukosefu wa vitabu unachangia wanafunzi wa shule ya msingi kushindwa kusoma na kuandika tafiti mbalimbali kutoka za serikali na sekta binafsi zinaonyesha wazi kuwa kujifunza kusoma mapema ni uwekezaji katika siku zijazo kwa mtotokwani elimu katika ngazi ya chini kwa mwanafunzi inachangia kuboresha maisha yake ya baadae kwa upande wake doris mollel ambaye ni balozi wa elimu mkoani singida anatambua umuhimu wa elimu katika ngazi ya chini na anatumia muda wake mwingi katika harakati za kukomboa elimu ya shule ya msingi ziara zake nyingi hujikita katika mikoa ya ukanda wa kati hususani singida na tanzania kwa ujumlavile vile ni mshauri wa wanafunzi wa shule za msingi msingi wa kujifunza kusoma hufungua uwezo wa kufikiri kwa mwanafunzi akiwa na umri mdogo bila kiini hiki cha msingi maendeleo na mafanikio ya mwanafunzi ni magumu alisema doris doris mollel ni miss singida kanda ya kati 2014/15 na analenga katika kuboresha maisha ya jamii kwa kupitia elimu na masuala mengine ya kitamaduni 02/25/150311 kumekucha chicken wings bonanza & family day out kufanyika feb 28 na andrew chale wamodewji blog bonanza kubwa la nyama ya kuku chicken wings litakalokutanisha watu mbalimbali wakiwemo marafiki na familia mbalimbali linatarajia kufanyika februari 28 ndani ya azura beach club kawe jijini dar es salaam akizungumza na mtandao huu mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya jaunt africa ltd acquiline mlulla waandaji wa bonanza hilo la chicken wings bonanza & family out linalotarajiwa kufanyika kwa mara ya kwanza alisema tayari maandalizi yamekamilika na watu mbalimbali wameombwa kujitokeza kwa wingi ikiwemo na familia zao kufurahia siku hiyo muhimu na familia zao na kufurahia nyama ya kuku bonanza la chicken wings ni la kipekee kwani si la kukosa kabisa hiyo februari 28 kwa kiingilio cha sh 10000 kwa watu wazima na sh 4000 kwa watoto ambapo milango itakuwa wazi kuanzia saa nne asubuhi tiketi zitakatishiwa hapo hapo huku saa sita mchana likianza rasmi na kuendelea hadi usiku familia na watu wote wataburudika watafurahia nyama ya kuku zitakazoandaliwa kwa utaalamu wa hali juu pamoja na shamra shamra mbalimbali na muziki na matukio ya surprise kwa kila atakayefika alieleza acquiline mlulla acquline mlulla alibainisha kuwa bonanza hilo litakuwa la kipekee kwa hapa nchini kwani pia litakuwa na michezo ya ufukweni ikiwemo beach soccer swimming pool pamoja na madansa maalum watakaokuwa wakitoa burudani kutoka kwa madj wakubwa wa bongo bonanaza hilo limedhaminiwa na jaunt africa ltd dodoma wine hot spot magazine coca cola michuzi media group na wengine wengi for updates or to find out more about chicken wings bonanza or to request a sponsorship details please contact us at +255 755 048 362 or +255 658 289 737 email info@jauntafricacom or skpe acquilinemlulla 02/25/150313 waziri mkuu mizengo pinda aanza ziara ya mkoa wa mbeya waziri mkuu mizengo pinda akitazama mafunzo kwa vitendo yaliyokuwa yakifanywa na wanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya sekndari ya igomelo wilayani mbarari akiwa katika siku ya kwanza ya ziara ya kikazi mkoani mbeya februari 24 2015 (picha na ofisi ya waziri mkuu) pato la mwananchi mbeya lavuka lengo la kitaifa waziri mkuu mizengo pinda ameupongeza uongozi wa mkoa wa mbeya kwa kuvuka lengo la wastani wa pato la mwananchi kitaifa na kuwataka waendeleze kasi ya kupambana na umaskini kwa wakazi wa mkoa huo ametoa pongezi hizo jana usiku (jumanne februari 24 2015) wakati akizungumza na viongozi wa mkoa huo na wilaya zote wakiwemo wadau mbalimbali na viongozi wa dini mara baada ya kupokea taarifa ya mkoa wa mbeya alisema katika mipango yake serikali ililenga kwamba pato la mtu kwa mwaka liwe sh 1186 200 lakini kwa sababu ya jitihada mbalimbali mkoa huo umelivuka katika taarifa aliyonisomea kaimu mkuu wa mkoa amesema wastani wa pato la mwananchi umeongezeka kutoka sh 711201/ mwaka 2008 hadi kufikia sh 1420427/ mwaka 2013 na kwamba mkoa unachangia asilimia 743 ya pato la taifa alisema alisema kipato cha mtu mmoja kwa siku ni sh 3891/ ambazo ni zaidi ya dola mbili za marekani (sh 3400/) wakubwa hawa wanatupima kwa kuangalia kipato cha mtu kwa siku wanasema nchi ni maskini iwapo watu wake wanaishi chini ya dola moja kwa siku (sawa na sh 1700/) mbeya imeendelea kushika nafasi ya tatu kwa kuchangia vizuri pato la taifa ikiwa imetanguliwa na dar es salaam na iringa ninawapongeza kwa sababu mmevuka malengo ya taifa katika eneo la pato la mtu mmoja mmoja alisema waziri mkuu mapema kaimu mkuu wa mkoa wa mbeya bw deodatus kinawilo ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya chunya alisema pato la mkoa limeongezeka kutoka sh trilioni 1779 mwaka 2008 na kufikia sh trilioni 3951 mwaka 2013 uchumi wa mkoa huu unategemea kilimo ufugaji uchimbaji madini uvunaji mazao ya maliasili biashara uzalishaji viwandani na ajira katika taasisi za serikali na sekta binafsi alisema wakati huohuo uongozi wa mkoa wa mbeya umetakiwa kuongeza bidii ili uweze kuinua kiwango cha ufaulu wa elimu ya kwa sababu umekuwa ukiendelea kushuka na kuwa chini ya kiwango cha asilimia 60 kilichowekwa na serikali waziri mkuu aliutaka uongozi huo ubuni mbinu za kisomi zitakazowawezesha wanafunzi wa shule za msingi kuelewa wanachofundishwa hivyo kufaulu mitihani yao vizuri ufaulu wenu kwa shule za msingi ni asilimia 466 uko chini ya kiwango cha kitaifa cha ufaulu kwa asilimia 134 ni matokeo yasiyoridhisha fanyeni utaratibu maalum ili yapande alisema jumatano februari 25 2015 02/25/151045 rais jakaya kikwete awasili zambia rais dktjakaya mrisho kikwete na mkewe mama salma wawasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa kenneth kaunda jijini lusaka zambia na kupokewa na mwenyeji wao rais edgar lungu wa zambia leo asubuhi kwa ziara ya kikazi ya siku mbili(picha na freddy maro wa ikulu) rais dktjakaya mrisho kikwete na mkewe mama salma wawasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa kenneth kaunda jijini lusaka zambia na kupokewa na mwenyeji wao rais edgar lungu wa zambia leo asubuhi kwa ziara ya kikazi ya siku mbili( rais kikwete na rais lungu wa zambia wakipokea heshima ya mizinga 21 mara baada ya kuwasili 02/25/151110 bodi ya chakula dawa na vipodozi zanzibar yaangamiza tani 85 za dawa na vyakula wafanyakazi wa bodi ya chakula dawa na vipodozi zanzibar wakiteremsha baadhi ya maboksi ya dawa mbalimbali vipodozi mchele na tende zilizoharibika kwaajili ya kuviangamizwa maboksi ya dawa yaliomaliza muda wake yakiangamizwa kwa kuchomwa moto katika eneo la kibele wilaya kati unguja mchele ulioingia nchini ambao haufai kwa matumizi ya binaadam na tende vikiangamizwa kwa kuchomwa moto kijiji cha kibele wilaya kati unguja mafisa wa bodi ya chakula dawa na vipodozi zanzibar wakisimamia zoezi la uteketezaji wa dawa vipodozi mchele na tende ambavyo vitu vyote hivyo havifai kwa matumizi ya binadam (picha na makame mshengamaelezo zanzibar) 02/25/152019 makala ya sheria namna ya kuwashitak askari wanaowabambikiza kesi raia hapa kwetu tanzania habari ya kubambakiziana kesi ni kama mtindo mara nyingi matendo haya yamekuwa yakifanywa na watu wenye uwezo kifedha dhidi ya wasio na fedha pia kati ya maofisa wa polisi na raia mtu kwasababu ana pesa au cheo anaweza kuamua kumfungulia yeyote mashtaka watu wengi wako magerezani kwa kubambikizwa kesi hili wala sio siri tena siseme walio mahabusu hao nao hawana idadi inasikitisha mno ni wazi kuwa wengi wao wamefikia huko aidha kwa kusingiziwa kosa na askari au mtu mwenye cheo au fedha lakini zaidi wametoka mikononi mwa askari kwakuwa hata huyo mwenye cheo au fedha hawezi kumbambikizia mtu kesi bila kupitia kwa askari kwahiyo askari ndio tatizo kubwa katika hili 1nini maana ya kubambikizwa kesi kubambikizwa kesi au kumshtaki mtu kwa hila maana yake ni kumfungulia mtu kesi ya jinai bila mafanikio na bila sababu za msingi za kufanya hivyo na mtu huyo akapata athari zozote kutokana na kumfungulia kesi hiyo athari ni pamoja na kupotezewa muda gharama usumbufu kudhalilishwa kupata hasara kibiashara au kikazi kutokana na kushikiliwa na kila kitu ambacho kimekuwa kama matokeo ya kusingiziwa kesi ni athari kwa maana hii 2 sababu za kuwabambikiza watu kesi sababu za kumuuzia mtu kesi huwa ni nyingi ni nyingi kutokana na kuwa kila aliyebambikizwa kesi huwa kuna mgogoro nyuma uliosababisha jambo hilo na migogoro kawaida inatofautiana pamoja na hayo sababu kuu za kubambikizia mtu kesi huwa ni kwa ajili ya kumkomoa au kulipiza kisasi kutokana na chuki zilizotokana na mgogoro kama nilivyosema 3 weledi wa askari wetu na kuwabambikizia raia kesi wakati mwingine askari wetu huwabambikizia watu kesi katika mazingira ya kushangaza kabisa askari anaweza kumbambikizia raia kesi kwasababu tu raia amehoji jambo fulani kwa mfano mtu anaweza kumuuliza askari nioneshe kitambulisho chako kabla hujanikamata utasikia askari akimwambia mtu unajifanya mjuaji tutaona mara unanifundisha kazi utanitambua nk eti mazimgira kama hayo kwa askari wetu utakuwa tayari ni mgogoro na mtu atapofikishwa kituoni basi ni rahisi kupewa kesi ambayo si yake ilimradi tu askari aoneshe kuwa aliposema utanitambua utaona alikuwa na uwezo wa kufanya hivyo kweli 02/25/152026 tpb yaunganisha matawi yake na mkongo wa taifa meneja mkuu uendeshaji wa tpb kolimba tawa (kushoto) akipokea hati ya mradi wa mkongo wa mawasiliano nchini (fiber optic) toka kwa ofisa mkuu wa ufundi wa kampuni ya simu tanzania (ttcl) senzige kisenge (kulia) mradi huo umeunganisha matawi ya benki ya tpb kimawasiliano ya kisasa meneja mkuu uendeshaji wa tpb kolimba tawa (wa pili kulia) akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya mradi mpya wa benki ya tpb uliounganisha mawasiliano ya kisasa takribani matawi 11 maeneo mbalimmbali nchini mtatuzi wa masuala ya kiufundi fredrick bernard akifafanua jambo wakati wa hafla ya makabidhiano ya mradi mpya wa benki ya tpb uliounganisha mawasiliano ya kisasa takribani matawi 11 maeneo mbalimmbali nchini hafla hiyo ilifanyika jana makao makuu ya tpb dar es salaam baadhi ya maofisa wa ttcl wakiwa katika hafla ya makabidhiano ya mradi mpya wa benki ya tpb uliounganisha mawasiliano ya kisasa takribani matawi 11 ya benki hiyo maeneo mbalimmbali nchini meneja mkuu uendeshaji wa tpb kolimba tawa (kushoto) pamoja na ofisa mkuu wa ufundi wa kampuni ya simu tanzania (ttcl) senzige kisenge wakipongezana kwenye hafla ya makabidhiano ya mradi mpya wa benki ya tpb uliounganisha mawasiliano ya kisasa takribani matawi 11 ya benki hiyo maeneo mbalimmbali nchini picha ya pamoja ya maofisa wa tpb na ttcl walioshiriki katika hafla ya makabidhiano ya mradi mpya wa benki ya tpb uliounganisha mawasiliano ya kisasa takribani matawi 11 ya benki hiyo maeneo mbalimmbali nchini benki ya posta tanzania (tpb) imedhamiria kuunganisha matawi yake yote katika mfumo wa kisasa wa mawasiliano kupitia mkongo wa mawasiliano nchini (fiber optic) ili kuberesha huduma na mawasiliano katika huduma zake taarifa hiyo imetolewa jana jijini dar es salaam na meneja mkuu uendeshaji wa tpb kolimba tawa alipokuwa akizungumza katika makabidhiano ya mradi mpya wa benki hiyo uliounganisha mawasiliano ya kisasa takribani matawi 11 maeneo mbalimmbali nchini tawa alisema mpaka sasa matawi ya arusha mbeya mwanza dodoma samora metropolitan ywca mkwepu ubungo na kijitonyama tayari yameunganishwa kwenye mfumo huo mpya na wa kisasa kimawasiliano mpaka hivi sasa matawi yetu kumi na moja (11) yakiwemo arusha mbeya mwanza dodoma samora metropolitan ywca mkwepu ubungo kijitonyama tayari zimeunganishwa kwenye mfumo huo hii ni katika hatua ya mwanzo tu ya mradi huu kwani benki ya posta imekusudia kuyaunganisa mtawi yake yote kwenye mfumo huu alisema tawa alisema baada ya kukamilisha matawi ya tpb katika mfumo wa mkongo (fiber optic) imepata mafanikio makubwa ukilinganisha na kipindi cha nyuma ambapo matawi haya yalikuwa yameunganishwa na mtandao wa teknolojia ya copper (copper network) aidha akizitaja faida ambazo benki hiyo imezipata baada ya kujiunga na mkongo wa taifa wa mawasiliano unaosimamiwa na kampuni ya simu tanzania (ttcl) ni pamoja kupungua kwa msongamano wa wateja kusubiria huduma kwenye matawi kuongezeka kwa ufanisi na kupungua kwa dharura ya kusitisha huduma kwa muda pia tumeboresha uwezekano wa kutambua tatizo lolote linalotokana na kukatika kwa mawasiliano kwani huu ni mfumo wa kidijitalikupungua kwa gharama za uendeshaji katika benki yetu alisema tawa kwa upande wao ttcl ikikabidhi mradi huo kwa tpb mtatuzi wa masuala ya kiufundi fredrick bernard alisema mfumo huo wa mkongo unafaida kubwa kwani mbali na kuwa salama zaidi pia unauwezo wa kugundua tatizo la mawasiliano kabla ya kutokea hivyo kufanyiwa kazi mapema alisema hata hivyo alisema njia za kupitisha mawasiliano hufanya kazi kwa kutegemeana na zipo zaidi ya moja hali ambayo huwezesha hata njia moja kuisaidia nyingine inapopata tatizo huku tatizo lililojitokeza likishughulikiwa kwa wakati huo faida hizo pamoja na nyingine nyingi zinaifanya benki ya posta iamini kuwa huduma hii ya mkongo itolewayo na ttcl ni bora nchini na itatusaidia sana sisi benki ya posta kuboresha huduma zetu na kuongeza ufanisi katika shughuli zetu za kibenki 02/25/152028 due to public demand yamoto band watafanya show moja ya mwisho kwenye jiji la northampton england kutokana na maombi ya mashabiki wengi vijana wa yamoto band wameamua kufanya show moja na ya mwisho nchini uingereza basi kama ulikosa ile ya london hii itakuwa si ya kukosa vijana kama kawaida yao wameahidi kufanya vitu fulani amazingg siku hiyo kitty oshea's (nest to pure gym) northampton nn1 ps yamoto classics nitakupwelepweta https//wwwyoutubecom/watchv=z6vpvd_6pru https//wwwyoutubecom/watchv=7asvg5c8tcs https//wwwyoutubecom/watchv=oadg4ryacgk https//wwwyoutubecom/watchv=vhbpdqdbnzw event brought to you by bongo deejays & zurii house of beauty 02/25/152030 mawaziri wa nchi tano afrika mashariki wakutana ubalozi wa tanzania washingtondc nchini marekani mkutano uliowakutanisha mawaziri wa nchi tano za afrika mashariki wakiwemo mabalozi wa nchini zao nchini marekani ulifanyika leo siku ya jumatano februari 25 2015 katika ubalozi wa tanzania nchini marekani mkutano huo uliohusiana na maandalizi ya kutiliana saini ya makubaliano ya ushirikiano wa kibiashara na uwekezaji kati ya nchi ya marekani na nchi za afrika mashariki ambazo ni burundi rwanda uganda kenya na tanzania balozi wa tanzania nchini marekani akiwa katika picha ya pamoja na katibu mkuu wa jumuiya ya afrika mashariki balozi dkt richard sezibera kutoka burundi 02/25/152042 push mobile un wizara kukabili ebola mratibu mkazi wa mashirika ya umoja wa mataifa na mwakilishi wa shirika la maendeleo la umoja wa mataifa (undp) nchini alvaro rodriguez (katikati) na ofisa mtendaji mkuu wa push mobile freddie manento (kushoto) wakitiliana saini makubaliano ya ushirikiano wa kukabiliana na ugonjwa wa ebola kwa kutoa elimu kwa jamii kupitia ujumbe mfupi maneno katika hafla fupi iliyofanyika kwenye ofisi za mratibu mkazi wa mashirika ya umoja wa mataifa jijini dar anayeshuhudia tukio hilo ni mwakilishi wa unicef tanzania dkt jama gulaid(picha na umoja wa mataifa) kampuni ya simu ya push mobile imetiliana saini na serikali ya tanzania na umoja wa mataifa (un) ya kuwafikia watu milioni 10 ikiwahabarisha kuhusu ugonjwa hatari wa ebola kwa mujibu wa taarifa ya umoja wa mataifa iliyotolewa mjini hapa kampuni hiyo ya simu imesema kupitia ushirikiano huo kampuni hiyo ya simu itaunga mkono juhudi za serikali ya tanzania na umoja wa mataifa wa kutoa elimu dhidi ya ugonjwa huo ujumbe mfupi utakaoelezea ugonjwa wa ebola kama sehemu ya makubaliano push mobile un serikali na wadau wake watatoa taarifa kuhusu ugonjwa huo wanapohitajika watanzania wanaweza kupata habari za ugonjwa huo kwa kuandika neno ebola kwenye namba 15774 na kupata taarifa za ugonjwa huo bure bila kutozwa gharama mratibu mkazi wa mashirika ya umoja wa mataifa na mwakilishi wa shirika la maendeleo la umoja wa mataifa (undp) nchini alvaro rodriguez na ofisa mtendaji mkuu wa push mobile freddie manento wakionyesha hati za makubaliano ya ushirikiano huo wakitia saini ofisa mtendaji mkuu wa push mobile freddie manento amesema kwamba kama ujumbe mfupi unaweza kuokoa maisha kampuni yake iko tayari kushiriki katika kampeni hiyo teknolojia inatoa fursa ya pekee ya kuandaa jamii dhidi ya ugonjwa wa ebola na nini cha kufanya ukitokea kupitia ushirikiano huo kati yetu na umoja wa mataifa na wizara ya afya na ustawi wa jamii tunaamini tutasaidia wananchi kuelekewa na kutambua dalili za ebola kuzuia na kudhibiti maambukzi ya virusi vya ebola alisema manento katika miezi iliyopita vifo kutokana na ugonjwa wa ebola vimefikia 9000 huku vifo vingi vikitokea katika nchi za liberia sierra leone na guinea hadi sasa watu 23000 wameelezwa kukumbwa na ugonjwa mratibu mkazi wa mashirika ya umoja wa mataifa na mwakilishi wa shirika la maendeleo la umoja wa mataifa (undp) nchini alvaro rodriguez na ofisa mtendaji mkuu wa push mobile freddie manento kwa pamoja wakionyesha ujumbe mfupi wa maneno unaotoa elimu ya ugonjwa wa ebola kwa baadhi ya wageni waalikwa na waandishi wa habari (hawapo pichani) waliohudhuria hafla hiyo tanzania ikiwa na watumiaji wa simu milioni 30 na kufanya uwezekano wa kufikia watu hao kuwa ni asilimia 68 mratibu wa mashirika ya umoja wa mataifa nchini alvaro rodriguez amesema teknolojia ya simu itasaidia sana kuleta uelewaq wa ugonjwa huo miongoni mwa watanzania mlipuko wa ugonjwa wa ebola umepungua sana afrika magharibi na tanzania haijawahi kukumbwa na ugonjwa huo lakini kunahitajika mtu mmoja tu kuwa na ugonjwa huo na kuleta mashaka makubwa katika maisha ya watu nchini tukiungana na sekta binafsi umoja wa mataifa unaunga mkono juhudi za serikali ya tanzania kupitia wizara ya afya na ustawi wa jamii kuongeza upeo wa utayari katika kukabiliana na ebola mwakilishi wa unicef tanzania dkt jama gulaid akimshukuru ofisa mtendaji mkuu wa push mobile freddie manento (kushoto) mara baada ya hafla fupi ya kutiliana saini makubaliano ya ushirikiano huo kulia ni mratibu mkazi wa mashirika ya umoja wa mataifa na mwakilishi wa shirika la maendeleo la umoja wa mataifa (undp) nchini alvaro rodriguez akishuhudia tukio hilo 02/25/152055 ziara ya waziri mkuu pinda mbeya mjini na mbeya vijijini waziri mkuu mizengo pinda akiweka jiwe la msingi la zahanati ya kimondo mbeya vijijini akiwa katika ziara ya mkoa wa mbeya februari 25 2015 kulia ni mkuu wa wilaya ya mbeya mjini dr norman sigalla waziri mkuu mizengo pinda akiwapungia wananchi wa kijiji cha kimondo mbeya vijijini kabla ya kuweka jiwe la msingi la zahanati yao akiwa katika ziara ya mkoa wa mbeya februari 25 2015 kushoto kwake ni mbunge wa mbeya vijijini luckson mwanjale na kushoto ni mkuu wa wilaya ya mbeya mjini dr norman sigalla waziri mkuu mizengo pinda akikagua soko kuu la mjini mbeya la mwanjelwa baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wake akiwa katika ziara ya mkoa wa mbeya februari 25 2015 waziri mkuu mizengo pinda akiwasikiliza wanafunzi wa shule ya sekondari ya iwambe mjini mbeya wakati alipofungua na kukagua maabara tatu za shule hiyo akiwa katika ziara ya mkoa wa mbeaya februari 25 2015 kushoto ni mkewe tunu waziri mkuu mizengo pinda akizungumza na wananchi baada ya kufungua vyumba vitatu vya maabara katika shule ya sekondari ya songwe mkoani mbeya febrari 25 2015 (picha na ofisi ya waziri mkuu) max oswald (kushoto) na ivan kina wakitumbuiza katika mkutano wa hadhara uliohutubiwa na waziri mkuu mizengo pinda katika kijiji cha igoma mbeya vijijini februari 25 2015 wasanii max oswald ( wapili kulia) na ivan kina (wapili kushoto) wakisaidiwa kuvua nyasi walizokuwa wamejifunika kwa ajili ya kutoa burudani katika mkutano wa hadhara uliohutuibiwa na waziri mkuu mizengo pinda katia kijiji cha igoma mbeya vijijini februari 25 2015 wanaowasaidia ni oscar ben (kulia) na obadia dandu 02/25/152059 rais kikwete aweka shada la maua katika makaburi ya marais lusaka rais dktjakaya mrisho kikwete na mkewe mama salma kikwete wakiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa rais wa zambia michael sata aliyefariki mwaka jana katika eneo la maziko ya viongozi wa kitaifa jijini lusaka zambia leorais kikwete alitumia wasaa huo pia kuweka shada la maua katika marais wa zambia waliofariki marehemu frederick chiluba na levy mwanawasa (picha na freddy maro)
2019-12-11T01:30:23
http://jiachie1.rssing.com/chan-7007640/all_p472.html
ubia wa serikali sekta binafsi utaimarisha miundombinu nchini makala | mwananchi ubia wa serikali sekta binafsi utaimarisha miundombinu nchini kuna mambo yanayofanywa vizuri na sekta ya umma na mengine yakifanywa vizuri zaidi na sekta binafsi hata hivyo yapo mambo yanayofanywa vizuri zaidi kwa ubia wa sekta hizi by profesa honest ngowi suala la ubia kati ya serikali na sekta binafsi ni miongoni mwa masuala makubwa ya kimjadala duniani ni dhana muhimu katika maendeleo ya uchumi inayotambua serikali pekee haiwezi kufanya kila kitu pia sekta binafsi nayo haiwezi kufanya kila kitu katika makala haya ni sehemu ya mada iliyowasilishwa na mwandishi wa makala haya kwa wanafunzi 40 wa shahada ya uzamili katika biashara (mba) wa chuo kikuu cha harvard vkilichopo nchini marekani ambacho ni kati ya vyuo bora zaidi duniani mada ilitolewa wiki hii januari 15 ubia kati ya serikali na sekta binafsi ni huunganisha nguvu kukamilisha jambo maalumu kila mbia anatoa mchango wake ili kukamilisha jambo lililopo mezani kati ya shughuli zinazoweza kufanywa kwa ubia ni pamoja na ujenzi wa miundombinu mikubwa hii ni pamoja na barabara madaraja vituo vya magari viwanja vya ndege na reli shughuli nyingine ni ukusanyaji wa mapato usafi na uendeshaji wa shughuli mbalimbali za umma kufanikisha jambo lililokusudiwa kila mbia hutoa mchango ambao huweza kuwa fedha utaalamu uzoefu au uthubutu michango ya wabia hutofautiana huweza kuwa asilima 50 kwa 50 au mfumo mwimgine watakaokubaliana bila kujali ukubwa wa mchango katika ubia husika ni muhimu kila upande kuwa na sauti na kuheshimiwa ubia ni muhimu ili wahusika wakamilishane katika mapungufu yao kuingia au kutokuingia katika ubia kutategemea wabia wanataka ushirikiano wao uwafanyie nini kwa sekta binafsi jambo la msingi mwisho wa siku ni kutengeneza faida kwa sekta ya umma jambo la msingi ni huduma kwa jamii ufanisi mtaji ubunifu na faida nyinginezo zitokazo sekta binafsi aina za ubia zipo aina mbalimbali za ubia kati ya sekta ya umma na binafsi uamuzi wa namna ya kutekeleza ubia hutegemea hali halisi na kile kinachotafutwa katika ubia husika na ukubwa wa mradi husika pamoja na muda wa utekelezaji wake mbia kutoka sekta binafsi huweza kujenga kuendesha na kuukabidhi mradi husika serikalini baada ya kurejesha gharama zake na kupata faida waliyokubaliana ubia huweza pia kutekelezwa kwa sekta binafsi kuendesha mradi kimenejimenti au kwa kushirikiana na serikali yapo mambo mbalimbali muhimu yanayohitaji kuzingatiwa ili ubia ufanikiwe mambo haya ni pamoja na sera sheria na udhibiti hali halisi ya kisera kisheria na kiudhibiti kwa ujumla wake na katika muktadha wa ubia katika nchi husika sera sheria na udhibiti mzuri rafiki na wa kuvutia ni muhimu sana katika kuvutia na kubakiza wabia katika miradi mbalimbali pamoja na mambo mengine sera lazima zitabirike ziwe shirikishi na zenye mashiko kwa wabia hasa wa sekta binafsi vilevile sheria katika ujumla wake na zile za biashara na mikataba kimahususi ni lazima ziwe rafiki wezeshi na za kuvutia kwa wabia udhibiti ni muhimu lakini lazima uwe udhibiti mzuri na wezeshi kwa wabia ili wabia waweze kupata wanachotaka ni lazima wawe na uwezo mkubwa wa kuelewa mambo yote muhimu katika ubia haya ni pamoja na yale ya kitaalamu na ya kawaida pale mbia anapokuwa hana ujuzi husika ni vyema kutumia wataalamu kupata ushauri kama ilivyoelezwa awali ubia unaweza kufanywa katika sekta yoyote ile kati ya sekta hizi ni pamoja na miundombinu ya aina tofauti kwa mazingira ya nchi zinazoendelea kama tanzania miundombinu husika katika ubia ni ya aina nyingi ipo midogo na mikubwa ipo ya serikali kuu na serikali za mitaa mifano ya miundombinu inayoweza kutekelezwa kwa ubia ni pamoja na vituo vya mabasi mfano mzuri na mpya ni kituo cha mabasi cha msamvu kilichopo mkoani morogoro kinachohusisha shirika la hifadhi ya jamii la serikali za mitaa (lapf) na halmashauri ya manispaa morogoro pia ipo miundombinu kama madaraja mfano mzuri ni daraja la kigambano linalohusisha shirika la hifadhi ya jamii (nssf) na serikali kuu miundombinu ya masoko ni pamoja na soko la kimataifa la mwanjelwa la mkoani mbeya linaloihusisha benki ya crdb na jiji hilo mifano ipo mingi ikiwamo kituo cha mabasi cha moshi mjini na soko la mburahati linalohusisha vibindo na halmashauri ya kinondoni japo bado mchakato unaendelea sekta binafsi hunufaika kwa fedha itakazopata baada ya mradi kukamilika wakati serikali itapunguza matumizi ya fedha ambazo zingehitajika kuukamilisha mradi uliopo kwenye makubaliano ya ushirikiano huo hili hutokea kwa sababu sekta binafsi hutoa mtaji hivyo kuiruhusu serikali kutumia fedha zake kwenye mambo mengine muhimu kwa ajili ya maendeleo ya wananchi kama vile usambazaji wa maji afya elimu ulinzi na usalama pia serikali hupata muda mzuri wa kufanya kazi za umma vizuri na kwa ufanisi mkubwa zaidi huku ikiachia sekta binafsi yale yanayofanywa nayo vizuri zaidi
2018-06-25T15:48:44
http://www.mwananchi.co.tz/Makala/Ubia-wa-Serikali--sekta-binafsi-utaimarisha-miundombinu-nchini/1597592-4268008-oqrlqoz/index.html
just in soma hapa hotuba ya waziri wa fedha mheshimiwa saada mkuya salum (mb) akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya fedha kwa mwaka 2014/15 dodoma yetu home » » just in soma hapa hotuba ya waziri wa fedha mheshimiwa saada mkuya salum (mb) akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya fedha kwa mwaka 2014/15 just in soma hapa hotuba ya waziri wa fedha mheshimiwa saada mkuya salum (mb) akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya fedha kwa mwaka 2014/15
2017-10-24T01:54:43
http://dodoma-yetu.blogspot.com/2014/06/just-in-soma-hapa-hotuba-ya-waziri-wa.html
mwenyekiti wa chama cha mapinduzirais dkt magufuli akiwa katika ofisi ndogo za ccm lumumba jijini dar es salaam jiachie home ikulu mwenyekiti wa chama cha mapinduzirais dkt magufuli akiwa katika ofisi ndogo za ccm lumumba jijini dar es salaam ahmad michuzi friday may 11 2018 ikulu
2019-01-16T23:06:10
http://michuzijr.blogspot.com/2018/05/mwenyekiti-wa-chama-cha-mapinduzirais.html
shirika la ndege tanzania (atcl) laeleza mtandao mpya wa safari za ndani na nje ya nchi | mpekuzi shirika la ndege tanzania (atcl) laeleza mtandao mpya wa safari za ndani na nje ya nchi shirika la ndege tanzania (atcl) liko mbioni kuanzisha safari za moja kwa moja katika nchi ya zambia zimbabwe pamoja na china kupitia thailand huku ikiongeza vituo vitano vya ndani ya nchi hayo yamesemwa na katibu mkuu wa wizara ya uchukuzi dk leonard chamuriho leo jumapili desemba 232018 katika mapokezi ya ndege mpya ya airbus a220300 katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere (jnia) dk chamuriho amesema huo ni utekelezaji wa awamu ya pili ya upanuzi wa mtandao wa atcl ikiwa ni baada ya kukamilika kwa awamu ya kwanza amesema vituo vya ndani vitakavyoongezwa ni mpanda pemba iringa kahama musoma na kurudisha safari za songea na mtwara utekelezaji wa safari hizo za ndani utatokana na kukamilika kwa utekelezaji wa ujenzi wa viwanja hivyo juu ya ujenzi wa miundombinu unaofanyika pamoja na uwepo wa abiria wa kutosha ikiwamo mbinu za kibiashara amesema dk chamuriho amesema utekelezaji wa awamu ya tatu ukifuatiwa na mpango mkakati wa miaka mitano utaanza 20212022 ambao utahusisha safari za ghana nigeria dubai uingereza na muscat wakati tunaanza tulikuwa na marubani 16 na hadi sasa tunao 50 wengi wao ni wale tuliowatayarisha wenyewe kupitia mpango mafunzo ya awali nchini na kuwapeleka nje ya nchi kupitia makubaliano tuliyoweka na shirika la ndege la ethiopia na kampuni ya bombadier amesema dk chamuriho kwa upande wa mafundi na wahandisi wa ndege wameongezeka kutoka 31 waliokuwepo oktoba 2016 hadi 87 ambapo wahandisi wazawa ni 36 wageni sita na mafundi 45 huku nafasi zikiendelea kutolewa kupitia mpango maalumu kwa vijana wa kitanzania dk chamuriho amesema uwezo wa ndege za atcl katika kubeba abiria umeongezeka hadi kufikia 34000 kwa mwezi kutoka abiria 5600 huku umiliki wa soko la ndani ukiongezeka kutoka asilimia 2 desemba 2016 hadi asilimia 31 oktoba mwaka huu amesema shirika limepiga hatua kwa kuruka kwa ndege na kutua kwa wakati kutoka asilimia 22 oktoba 2016 hadi asilimia 80 mwaka huu tunalipa kodi serikalini tunawekeza katika ukodishaji pesa hizi zote ni faida ambazo zinapatikana katika uendeshaji wa shirika hili tunaendelea kutumia bidhaa zinazozalishwa na kuchakatwa ndani ya nchi amesema dk chamuriho amesema ndege mbili za aina hii inayopokelewa leo zilitakiwa kupokelewa mei na juni mwaka huu lakini kutokana na changamoto za mafundi ndiyo maana moja inapokelewa leo na nyingine januari mwakani mpaka hivi sasa tumekuwa na vituo 11 vya huduma ambapo kimoja kipo nje ya nchi na tumeboresha mifumo ya ukataji tiketi huduma kwa wateja na kuimarisha mifumo ya uondokaji wa ndege amesema dk chamuriho
2020-02-20T10:12:20
http://www.mpekuzihuru.com/2018/12/shirika-la-ndege-tanzania-atcl-laeleza.html
kimenya aitaka azam azigomea simba yanga bingwa nyumbani habari kimenya aitaka azam azigomea simba yanga kimenya aitaka azam azigomea simba yanga beki wa tanzania prisons salum kimenya amefunguka na kuweka wazi kuwa timu inayoweza kumshawishi kuachana na ajira yake ni azam fc pekee lakini si simba wala yanga tangu msimu uliopita beki amekuwa akihusishwa kujiunga na vigogo hao wa soka nchini lakini hadi sasa hakuna klabu iliyoweka mezani dau analohitaji mchezaji huyo akizungumza na bingwa jana kimenya ambaye anahitaji zaidi ya sh milioni 80 ili aachane na ajira yake katika jeshi la magereza alisema kinachomvutia kucheza azam ni malengo ya klabu hiyo pamoja na kujali wachezaji alisema bado ana muda mrefu wa kucheza soka hivyo kama ataondoka prisons ni lazima ajiunge na timu ambayo itamhakikishia kuendeleza kipaji chake nazisikia sana hizo taarifa za kwamba natakiwa na simba mara azam lakini ukweli ni kwamba hakuna kiongozi hata mmoja nimefanya naye mazungumzo lakini kama ni kweli basi timu ninayopenda kucheza ni azam alisema kimenya alieleza kuwa simba anaweza kucheza wakikubaliana lakini kwa masharti ya kumhakikishia juu ya maisha yake ya soka ndani ya timu hiyo alisema hataki kusajiliwa na kuchukua fedha halafu mwisho wa siku anakosa namba ya kucheza na kupoteza kipaji chake makala ya awalimajimaji mbioni kumrejesha kiduku makala ijayomwadui kuzibomoa kagera mbeya city
2017-12-11T15:02:02
http://bingwa.co.tz/2017/11/30/kimenya-aitaka-azam-azigomea-simba-yanga/
una fanyaje | jamiiforums | the home of great thinkers una fanyaje discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by speaker may 5 2011 una fanyaje pale mtu anapo tangaza ndoa kua anataka kumuoa mke wako na wewe bado upo hai na unaishi nae tena mna pendana kweli naomba ushuri ili nijue cha kufanya bad thing ni kwamba wotemke wangu na huyo mwizi ni wana jf you simply ignore him asije akapata sifa bure ila na wewe investigate kidogo uhusiano wake na mkie wako you simply ignore him asije akapata sifa bure ila na wewe investigate kidogo uhusiano wake na mkie wakoclick to expand asantenilisha muignore sana tu lakini ni mbishi kweli na sijui anatoa wapi uhakika wa kumchukua mke wangu uhusiano wangu na mke wangu ni mzuri kwelina karibuni tu tumepata mtoto na mke wako anakuwa anataka kuolewa au hebu sema kuhusu huyo mke wako kwanza haafu nitakuambia cha kufanya mwenye jibu la swali lako ni mkeo peke yake hebu sema kuhusu huyo mke wako kwanza haafu nitakuambia cha kufanyaclick to expand hamtakiila nae ana utani sana so huwezi jua kama anacho ongea ni kweli au sio kweli bad thing ni kwamba wotemke wangu na huyo mwizi ni wana jfclick to expand ametangaza official i mean the 21 days required by law mwenye jibu la swali lako ni mkeo peke yakeclick to expand tatizo sio jibutatizo ni nimchukulie hatua gani huyu jamaa maana katangaza ndoa mda mrefu nikamuacha mke wangu aamue mwenyewe hadi leo hakuna kinacho endelea kwa jamaa kimya kime tawala nipo na mke wangu tunaishi kwa raha nifanyeje kwa huyu jamaa alo mdhalilisha mke wangu nifanyeje kwa huyu jamaa alo mdhalilisha mke wanguclick to expand wala usimfanye kitu huyo jamaa siri ya haya anayajua mke wako wala usiusemee sana moyo wake usije kuta hata huyo mtoto unayemtarajia ni mali ya huyo jamaa shauri yako tuia andaa msosi kula nyamaza shauri yako tuia andaa msosi kula nyamazaclick to expand ayaaaaai suggest you are wrong hapo kwenye bold panaonesha kuwa wewe ndiyo unampenda kweli mkeo na siyo kwamba mnapendana mngekuwa mnapendana kweli kama unavyosema basi huyo mkeo asingempa matumaini huyo mwoaji mpya wa kuolewa naye hapo juu ld amekuuliza kuhusu mkeo unasema ukimuuliza eti mkeo anacheka cheka tu ksb ana utani mwingi ebo mbona sikuelewi hivi mwanaume kweli ukae kiume na kumwonesha uso wa kiume mkeo na kuanza kumhoji jambo la muhimu kama hili eti aanze kuchekacheka mbona hainiingii akilini upo serious kweli au unatania kutongozwa kila mtu anatongozwa na hakukatazwi ila inatakiwa mtongozwaji ujieleze wazi kwa mtongozaji kuwa wewe ni mke wa mtu akatafute mwingine sasa huyo mkeo knn asimwambie huyo mtangozaji kuwa yeye ni mke wa mtukwanini anampa matumaini yasiyotekelezeka hivi ni mkeo kweli au hawala mi nahisi wewe unatania mtu anayetongozewa mkewe hawezi kuwa na majibu mepesi kiasi hiki kwenye suala zito kama hili sijakuelewa kabisa kwa vile kutangaza ni tofauti na kutenda mpe mda mpaka atakapo tenda ndio umchukulie hatua pamoja na mkeomanake labda mkeo anataka kuweka historia ya kuolewa na wanaume wawili kwa wakati mmoja mi nahisi wewe unatania mtu anayetongozewa mkewe hawezi kuwa na majibu mepesi kiasi hiki kwenye suala zito kama hili sijakuelewa kabisaclick to expand ingawa nina avatar ya kidictatornapenda sana kumpa mtu uhuru nili acha kumuuliza saaana ili kama hanipendi basi aondoke kulazimisha ndoa ni sumu sana lakini sasatoka jamaa atangaze ndoa hiyo hakuna chochote kinacho endelea nikia act kama unavotaka nitapelekwa gerezani na sitakinaweza though najifunza kua democratic kwa vile kutangaza ni tofauti na kutenda mpe mda mpaka atakapo tenda ndio umchukulie hatua pamoja na mkeomanake labda mkeo anataka kuweka historia ya kuolewa na wanaume wawili kwa wakati mmojaclick to expand copy thatngoja nikusanye ushauri zaidi kwa maelezo yako mkeo anataka kukufanya mume mwenza au yeye hataki ila analazimishwa huyo jamaa anayetangazia ndoa wake za watu atakuwa na matatizo atatangazaje ndoa bila maelewano na muolewaji mchunguze sana huyo mkeo au wewe ndo umemchukulia mkewe asante nnunu kwa maelezo yako mkeo anataka kukufanya mume mwenza au yeye hataki ila analazimishwaclick to expand duhhiyo nayo point najua atakuja tu kutoa ukweli hapana nikifika nyumbani itabidi tuongee vizuri kaka kuiona mpaka imefikia hivyo bac ujue chezo walikuwa wakilifanya tangu long timekwani huyo jamaa unamfaham na kama ndio kwa nn usimtolee uvivuunabaki kutia huruma na mawazo tele au hata ngumi hujuikutumia panga jenapo huwezijikaze kiume heshima irudi kuna mapanga yanauzwa pale ubungo yanauwezo mkubwa kiasi cha kuweza kutumika kukata kucha kanunue halafu nitakushauri cha kufanya
2017-01-24T11:26:24
https://www.jamiiforums.com/threads/una-fanyaje.132383/
putin ashinda ushindi mkubwa | tanuru la fikra blognews home uncategories putin ashinda ushindi mkubwa putin ashinda ushindi mkubwa tanuru media 113700 pm add comment edit rais wa urusi vladimir putin ameibuka mshindi kuliongoza taifa hilo kwa muhula mwingine ujao wa miaka sita baada ya kujipatia ushindi mkubwaushindi huo ulitarajiwa katika upigaji kura uliomalizika siku ya jumapilihata kabla ya kura zote kuhesabiwa tayatri alikuwa amejizolea asilimia 76 kwa mjibu wa tume ya uchaguzi akizungumza katika mkutano wa kutangazwa mshindi amsema ushindi wake ni matokeo ya hatua kubwa ya mafanikio aliyoyafikia katika uongozi wake putin ameongeza kuwa hii ni uthibitisho wa kukubalika kwa sera zake na kwamba hana mpango wowote wa kufanya marekebisho ya katiba na kusisitiza umoja na mshikamano hadi hapa sina mpango wowote wa kufanya marekebisho yoyote ya katibakuhusiana na unyekiti na serikali kwa ujumlanilikwisha sema awali kwamba nafikiria suala hilolakini kuanzia leo naanza kufikiria kwa undanikwa sababu nilipaswa kusubiria matokeo ya uchaguzi kwanzamabadiliko yote yatatangazwa yakifuatiwa na uzinduzi akijibu maswali kutoka kwa waandishi wa habari putin amekwepa swali alilotakiwa kueleza kama atagombea katika muhula ujao pia kwangu kile mnachotaka kuniuliza inakuwa kama mizaha fulani hivihebu tuhesabuina maana nitasalia madarakani hadi nikiwa na miaka 100 hapana hapana hapana ushindi huu mkubwa ambao ulitarajiwaumekuwa na ongezeko la kura ikilinganishwa na ushindi wa asilimia 64 mwaka 2012ambapo mpinzani wa karibu wa putin milionea pavel grudininyeye alipata asimilia 12
2018-05-23T20:30:04
http://www.tanurulafikra24.com/2018/03/putin-ashinda-ushindi-mkubwa.html
sajenti aumbuka global publishers sajenti aumbuka november 11 2015 by global publishers kabang baada ya kukataa kwa kipindi kirefu kuwa hajazaa msanii asiyekuwa na bahati ya kutoka kisanaa husna idd sajent hatimaye juzikati alinaswa live akiwa na mtoto wake wakati akimfanyia maulidi sinza madukani jijini dar es salaam sherehe hiyo ya kumtoa mtoto ilifanyika nyumbani kwa dada yake ambapo ilihudhuriwa na mastaa mbalimbali huku mwenyewe akiwagwaya na kuwakataza baadhi ya waandishi kuingia kwa kinachodaiwa kuogopa sura ya mwanaye kuonekana gazetini chanzo makini kilichokuwa ndani ya sherehe hiyo kilipenyeza habari na picha za mtoto huyo huku kikieleza kwamba anafanana kila kitu na anayetajwa kuwa baba yake mzazi gabo zigamba ambaye pia ni msanii wa filamu yaani huyu mtoto anafanana kila kitu na gabo kwa mujibu wa mama yake aliwaambia baadhi ya marafiki zake kwamba mwanaume huyo alimkataa mtoto tangu akiwa tumboni na hamhudumii kwa lolote hata kwenye sherehe hii hayupo unaambiwa hapa wanamsikitikia sana sajent kwa sababu ni kama hana bahati kwani huyu ni mtoto wa pili wa kwanza alizaa na mwanamuziki charles gabriel chalz baba ambaye kwa sasa ana familia yake na mtoto huyo anamlea peke yake kilisema chanzo hicho gazeti hili lilimtafuta gabo mmoja kati ya waigizaji wanaofanya vizuri kwa sasa lakini alishangazwa na taarifa hizo akidai hazitambui mimi sizijui hizo habari kwanza nawashangaa nyie waandishi kuuliza skendo tu kwa nini msiniulize kuhusu habari kubwa niliyonayo ya kwamba nawania tuzo nchini nigeria mmebaki kuniuliza tu ishu hizo wewe ni mtu wa tatu sasa kuniuliza kuhusu hilo eti nilikuwa naishi naye mwananyamala na kufunga naye ndoa ya siri mlikuwepo kwa upande wake sajent alingaka hivi nilishawaambia huyu mtoto ni wa gabo mtoto kufanana na gabo siyo sababu kwani hata mimi nimefanana na watu ambao sijazaliwa nao kabisa na hii huwa inatokea kwa watu wengi sana duniani naombeni mniache msinitafutie matatizo tafadhali
2020-07-08T14:59:21
https://globalpublishers.co.tz/sajenti-aumbuka/
yanga bingwa wa jamii tanzania sports 17th october 2018 last update at 814 am yanga bingwa wa jamii tumeua mnyamawachezaji wa yanga wakishangilia baaada ay kukabidhiwa ngao ya hisani 2010 baada ya kuwafunga simba kwa penalti 31 kweney uwanja wa taifa jijini dar es salaam jana(picha khalifan said) yanga jana ilifufua matumaini ya msimu mpya wa ligi kuu ya tanzania bara baada ya kuwafunga mahasimu wao wakubwa simba mabao 31 katika mechi ya ngao ya jamii iliyoamuliwa kwa matuta baada ya dakika 90 za mchezo kumalizika kwa sare ya 00 kwenye uwanja wa taifa ambao haukujaa kama ilivyotarajiwa yanga walipata penalti zao za ushindi kupitia kwa gofrey bonny stephano mwasika na isack boakye wakati simba walipata penalti moja tu iliyofungwa na kiungo wa zamani ya yanga mohammed banka mghana ernest boakye alikuwa mpigaji pekee wa yanga aliyeshindwa kufunga baada ya penalti yake kupanguliwa na kipa wa simba ali mustapha barthez wakati wachezaji wa simba waliopoteza penalti zao walikuwa emannuel okwi ambaye penalti yake ilipanguliwa uhuru selemani aliyepiga juu na amri kiemba aliyegongesha mwamba zilizuka shamrashamra za wana yanga uwanjani na nje ya uwanja baada ya ushindi huo dhidi ya timu ambayo imekuwa ikiwanyanyasa sana katika miaka mingi ya karibuni bendera za rangi ya njano na kijani zilipepepea kila kona ya mji huku magari yakipiga honi mfululizo za kushangilia barabarani wakati misusuru mirefu ya mashabiki wa yanga ikitoka uwanjani kwa furaha huku wana msimbazi wakiona safari ya kurejea makwao ni ndefu kuliko ilivyo kawaida simba walioonekana kupania zaidi maandalizi ya msimu huu mpya kwa kuajiri makocha wanne mzambia patrick phiri syllersaid mziray seleman matola na amri said jaap stam ndio waliokuwa wa kwanza kugonga hodi langoni mwa yanga katika dakika ya 3 wakati ya nicco nyagawa iliyomlenga mussa hassan mgosi ilipoonekana kuwa tishio lakini mfungaji bora huyo wa msimu uliopita alishindwa kuuwahi na kumpa nafasi kipa wa yanga yaw berko kuokota mpira yanga walijibu mashambulizi hayo dakika mbili baadaye wakati kiungo wao nsa job alipomzungusha beki wa simba joseph owino na kumtoka lakini shuti alilopiga lilitoka nje kwa kukosa mmaliziaji simba walibisha hodi tena langoni mwa yanga katika dakika ya 22 kufuatia gonga baina ya mohammed banka emannuel okwi na kisha mpira kumfikia uhuru selemani ambaye hata hivyo kishuti mtoto alichopiga kilidakwa kirahisi na kipa wa yanga mghana berko beki anayepanda kusaidia mashambulizi wa yanga shadrack nsajigwa alimgeuza uchochoro beki wa kushoto juma jabu na katika dakika ya 25 alimchomoka mlinzi huyo katika shambulizi ambalo hata hivyo liliishia mikononi kwa kipa wa simba ali mustapha barthez ambaye aliruka kuugombea mpira wa mwisho na asamoah ambaye waligongana naye kiungo athuman idd chuji aliinyima yanga nafasi ya kupata goli wakati alipopiga shuti dhaifu na kushindwa kumalizia kazi ya gonga safi iliyofanywa baina ya nsa job nurdin bakari hadi mpira kumfikia chuji kipa wa simba barthez alifanya kazi ya ziada kupangua shuti la nsa job katika dakika ya 72 baada ya kiungo huyo kupokea pasi safi kutoka kwa jerry tegete patrick ochan aliyeingia uwanjani dakika 11 kabla ya mechi kumalizika kuchukua nafasi ya mgosi alileta presha langoni mwa yanga baada ya kumtengea pasi nzuri uhuru seleman ambaye hata hivyo alishindwa kufanya kilichotarajiwa baada ya shuti lake kuishia mikononi mwa kipa berko dakika moja baadaye beki wa kati wa yanga nadir haroub cannavaro alilimwa kadi ya njano kwa kumchezea rafu shija mkina aliyekuwa akielekea langoni mwa yanga hata hivyo mpira wa frikiki uliopigwa na okwi ulidakwa na berko fred mbuna alikabididhiwa ngao ya jamii kutoka kwa rais wa tff leodgar tenga na viongozi wa kampuni ya vodacom iliyodhamini mchezo huo na kocha mwenye furaha wa yanga mserbia kostadin papic alisema baada ya mechi kuwa ni faraja kupata ushindi katika mechi hiyo yenye ushindani lakini hakuridhishwa na kiwango baada ya kufanya maandalizi makubwa mzambia phiri wa simba alisema wachezaji wake walicheza vizuri lakini umaliziaji ulikuwa ni mbovu vikosi vilikuwa simba ali mustapha barthez haruna shamte juma jabu juma nyoso joseph owino jerry santo/amri kiemba (dk47) nicco nyagawa/shija mkina (dk 61) mohammed banka mussa hssan mgosi/patrick ochan (dk79) emannuel okwi na uhuru selemani yanga yaw berko shadrack nsajigwa fuso/ fred mbuna (dk74) stephano mwasika nadir haroub cannavaro isack boakye ernest boakye nurdin bakari athiman idd chuji/ godfrey bonny (dk59) kenneth asamoah/jerry tegete (dk46) nsa job na abdi kassim babi/yahya tumbo (dk 77)
2018-10-20T15:14:14
https://www.tanzaniasports.com/2010/08/20/yanga-bingwa-wa-jamii/
mchango wa rais mkapa katika mwalimu nyerere foundation | jamiiforums | the home of great thinkers mchango wa rais mkapa katika mwalimu nyerere foundation discussion in 'jukwaa la siasa' started by mzee mwanakijiji mar 15 2012 hivi kama kweli mkapa alikuwa karibu sana na nyerere kama anavyotaka watu waamini alifanya nini katika kuijenga na kuiunga mkono taasisi ya mwalimu nyerere kwa miaka yake kumi alipokuwa rais na hata leo hii amefanya nini hata kuichangia muda na raslimali zake kuijenga maana karibu wengi ambao waliwahi kuwa karibu sana na nyerere wamekuwa ni wadau wakubwa wa taasisi hiyo isije kuwa ukaribu huu ulikuwepo wakati nyerere alipokuwa hai tu lakini pia haukuwa ukaribu wa kifikra wa kumfanya akubaliane na malengo na nia za mnf kuhusu kikwete naelewa kwa nini hayuko karibu na mnf lakini mkapa kwa kweli sijui i wonderkama kweli walikuwa karibu kiasi hiko hivi kama kweli mkapa alikuwa karibu sana na nyerere kama anavyotaka watu waamini alifanya nini katika kuijenga na kuiunga mkono taasisi ya mwalimu nyerere kwa miaka yake kumi alipokuwa rais na hata leo hii amefanya nini hata kuichangia muda na raslimali zake kuijenga maana karibu wengi ambao waliwahi kuwa karibu sana na nyerere wamekuwa ni wadau wakubwa wa taasisi hiyo isije kuwa ukaribu huu ulikuwepo wakati nyerere alipokuwa hai tu lakini pia haukuwa ukaribu wa kifikra wa kumfanya akubaliane na malengo na nia za mnfclick to expand ukaribu wake ulikuwa kimaslahi tu mkuuhili linadhihirika vizuri tualipotangulia mbele ya haki mwenzetu akaanza kasi ya kutisha kiwiraanben hadi alipohitimisha na epa familia ya mwalimu ikiwakilishwa na vincent nyerere tayari wametoa tamko kwamba mkapa alichangia kifo cha jkn ili apate mwanya wa kupora na kunyakua rasilimali za nchi yetu alizokabidhiwa ukaribu wake ulikuwa wa kummaliza na si vinginevyo naam umesema mwanakijiji sikumbuki ni lini benjamini mkapa 'nyerere' amehudhuria kwenye tukio lolote linahusu mwl nyerere foundation wakina butiku na salim a salim wamekuwa kama punch bag like huyu 'mrithi' ni noshow all the way leo anaibukia arumeru kujadili ukoo wa watu kuna kitu kinaniambia mkapa haamini kwenye misingi aliyokuwa anasimamia mwl nyerere actions speak louder nbc net solution kiwira anben bulyanhulu tanzanite one list ni ndefu mwnakijiji vipi bana we ulitaka afanye nini ili uone amefanya jambo la kukufurahishawe hujui kwamba maiti haina rafiki du che nkapa yote haya ni kule kutokubali kutulia baada ya miaka 10 ya utumishi wa umma achangie nini wakati anataka kuifuata hata historia ya mwl j nyerere i wonderkama kweli walikuwa karibu kiasi hikoclick to expand hapana hawakuwa karibu ila nyerere alimsaidia sana mkapa kuukwaa urais nyerere alimpenda sana mkapa kwa sababu aliamini kuwa ni msafi kinachomponza mkapa ni kupanda jukwaaani akiwa amelewa whisky ndiyo maana hawezi kuongea bila kutoa matusi na vitisho kwa wapinzani ushauri wa bure kwake ni kwamba akiwa rais mstaafu angeachana na siasa za majukwaani apumzike tu anasahau kwamba yeye anaishi kwenye nyumba iliyojengwa kwa vioo anategemea nini anapowasema vibaya wapinzani lakini safari hii kapatikana kweli kwa mtoto vincent kwa jinsi lilivyo na kiburi sikutegemea lingenywea kiasi hiki mbele ya vincent kiasi cha kuomba suluhu haraka haraka kiasi hiki namshauri vincent asikubali suluhu mpaka baada ya uchaguzi hili lidubwana limechangia sana kutufikisha hapa tulipo big up vincent angejipumzikia lushoto pale mkuzi haya yote yasingejitokeza maana watu wange sahau na kumsamehe yaliyopitasasa kiherehere chake na kuropoka kutaweka mengi hadharani ambayo baada ya 2015 hali inaweza kuwa mbaya kwake hawezi kuwa karibu na mwalimu coz yeye sio mama maria mkapa hakupenda kuropoka hili linalomuhusu hayati mwl nyerere bali ni jinamizi la mwalimu nyerere linamuandama muuaji huyu that why anajikuta anamtajamtaja hayati pasipo hoja ya msingi kila siku mwanangu mdogo alikua akiniuliza kuwa ni nini kilichomuua baba wa taifa nikawa nakosa jibu la moja kwa moja ila leo hii jinamizi la mwalimu lililomkumba mkapa pale arumeru limereveal the truth so niko tayari kumuonyesha mwanangu muuaji aliye zima mshumaa uliotuangazia nuru njema tanzania kuhusu kikwete naelewa kwa nini hayuko karibu na mnf lakini mkapa kwa kweli sijuiclick to expand natamani sana kuchangia hapaanyway yapo mengi tusiyoyajua angejipumzikia lushoto pale mkuzi haya yote yasingejitokeza maana watu wange sahau na kumsamehe yaliyopitasasa kiherehere chake na kuropoka kutaweka mengi hadharani ambayo baada ya 2015 hali inaweza kuwa mbaya kwakeclick to expand lushoto hapakaliki kila akitulia anasikia sauti ya mwalimu kichwani mwake mbaya zaidi mayai yake alikaangia chips mayai so hakuna hata wajukuu wakumchangamsha pale hekaluni kwake lushuto damu uliyo imwaga itakusumbua tu licha kutuibia sana baada ya kufanikisha azma yako hakika utakufa kwa presha mi tukikutana uso kwa uso mkapa ntakutukana kuwa we si binadamu umetufanyia kitu mbaya watanzania na hakika hatutakusamehe shame on you mkapa mm ukiunganisha dot ktk sakata hili la mkapa na kifo cha mwalimu kutokana na haya yanayosemwa sasa na foundation yake pamoja na mambo ya kifisadi yaliyotokea ktk utawala wa mkapa kwa kweli hata mimi naanza kuona hali isiyokua hali kwa nini ben ukafanya hivyo mkuu mkjj naona kuna mengi tu nyuma ya pazia juu ya mkapa unajua wakati mwalimu anaugua saaan pale uzanakini aliwahi kuuliza and i quote hivi rais wangu anajua ninaumwa mzee ben anajua mengi nina uhakika dhamira yake inamponza msururu wa events baada ya kifo na maziko ya mwalimu yanaweza kuthibitisha motives zake ben alikuwa muuaji bana maana hadi leo stori za imrani kombe huwa siiamini tutasema yote lakini maneno mafupi yanayofaa ni mkapa alikuwa bingwa wa unafiki kiasi cha kufanya mwl nyerere kumuamini unafiki wa kufanikiwa kumuhadaa mtu aina ya nyerere lazima uwe bingwa wa unafiki haswa mkapa kalikoroga mwenyewe sasa acha alinywe huyu mzee bado anafikra za utawala wake za watu kuwa mabubu asidhani watu wanapokuwa wamekaa kimya akadhani hawajui au hawakumbuki madhambi yake wakurogwa said mwnakijiji vipi bana we ulitaka afanye nini ili uone amefanya jambo la kukufurahishawe hujui kwamba maiti haina rafikiclick to expand its not about kufurahishana mkuu mmm ameleta hoja nzuri sana hapa mkapa katumia siasa mbofumbofu kuingiza jina la mwalimu wakati yeye amethibitisha unafiki kwa kutenda yasiyoendana na maneno yake na hii ndio immepelekea maswali hadi issues za kumuua jkn binafsi nadhani mkapa is not doing enough to show how close he is to nyerere family si foundation wala si kwa kutoa kauli kama aliyoitoa arumeru
2016-10-28T03:10:24
http://www.jamiiforums.com/threads/mchango-wa-rais-mkapa-katika-mwalimu-nyerere-foundation.234047/
maandalizi ya michezo ya young africans v zanaco na azam fc v mbabane zanaco wawasili kuwakabili yanga jumamosi sufianimafoto maandalizi ya michezo ya young africans v zanaco na azam fc v mbabane zanaco wawasili kuwakabili yanga jumamosi wachezaji wa timu ya zanaco kutoka nchini zambia wakiwasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere jijini dar es salaamhii leo kwa ajili ya kucheza na yanga katika mchezo utakaochezwa jumamosi wiki hii kwenye uwanja wa taifa ********************************************* maandalizi yote kwa michezo miwili ya kimataifa yamekamilika
2017-03-30T10:42:27
http://www.sufianimafoto.com/2017/03/maandalizi-ya-michezo-ya-young-africans.html
mawaziri wazomewa mbele ya kinana nape mkutanoni bahari ya maarifa home » »unlabelled » mawaziri wazomewa mbele ya kinana nape mkutanoni mawaziri wazomewa mbele ya kinana nape mkutanoni mawaziri watatu wa rais jakaya kikwete juzi walizomewa baada ya kupanda jukwaani kujibu kero mbalimbali za wananchi katika mkutano wa kwanza wa viongozi wapya wa ccm taifa ulioongozwa na katibu mkuu wake abdulrahaman kinana tukio hilo lilitokea juzi mkoani mtwara ambako kinana na mawaziri hao walikuwa katika ziara ya chama kujibu kero mbalimbali za wananchimawaziri waliokumbwa na dhahama hiyo ni christopher chiza wa kilimo chakula na ushirika hawa ghasia (tawala za mikoa na serikali za mitaa tamisemi) naibu wake aggrey mwanri chiza ndio alikuwa wa kwanza kukumbana na zomeazomea hiyo lakini mambo yalikuwa magumu zaidi kwa ghasia ambaye alizomewa tangu alipoanza kuzungumza mpaka alipomalizaghasia ambaye pia ni mbunge wa mtwara vijijini alirushiwa makombora na rukia ismail athumani ambaye alimshutumu yeye pamoja na mbunge wa mtwara mjini asnein murji kwamba waliruhusu gesi kupelekwa dar es salaam wakati wananchi wa mkoa huo hawajafaidika nayo ghasia na murji kwanini mnaudanganya umma kwa kupeleka gesi dar es salaam sisi hatuna ubaya na chama ila hatutaki gesi iende huko alisema athumani huku akishangiliwa na mamia ya watu waliohudhuria mkutano huokabla ya dada huyo kuteka hisia za wananchi kwa kuwasilisha kero hiyo kinana alimruhusu mwananchi mwingine issa kambona ambaye pia alieleza kuwa hakubaliani na suala la gesi hiyo kupelekwa dar es salaam kinana alisema amesikia hoja hizo za wananchi na kwamba atamueleza waziri wa nishati na madini azungumze na wananchi wa mtwara kuhusu gesi hiyobaada ya mambo kuzidi kuwa magumu ghasia alilazimika kupanda jukwaani kujibu makombora aliyokuwa akirushiwa na wananchi waliofika katika mkutano huo sio kweli kwamba hatutetei maslahi yenu gesi iliyopo ni nyingi hamuwezi kuitumia na kuimaliza kuna futi za ujazo trilioni 20000 na tunaweza kuitumia kwa zaidi ya miaka 90 hata hivyo wizara ya nishati na madini imetoa ofa ya kuwalipia chuo vijana 150 kila mwaka alisema ghasia lakini wananchi hao waliendelea kumzomeauongo uongo hatutaki hatutaki huyoo huyooo walisikika wakisema wananchi hao hali iliyomfanya katibu wa itikadi na uenezi wa chama hicho nape nnauye kuingilia kati kujaribu kuwatuliza kelele unazozisikia dada (ghasia) zinaashiria kuna jambo nafasi hizo 150 hawazipati kama zinatolewa basi kwa upendeleo alisema nape huku akishangiliwa na wananchi haobaada ya hali kutulia kiasi ghasia alijaribu kuendelea kutoa ufafanuzi lakini kitendo cha kuanza kuzungumza wananchi hao walianza tena kuzomea kila mtu amelelewa katika mazingira tofauti hilo halinihusuwatu wangu wa mtwara vijijini wamenielewa alisema ghasia na kuteremka jukwaani hali iliyozidisha kelele za kumzomeanape alisawazisha mambo kwa kusema hoja ya wananchi hao imechukuliwa na itawasilishwa kwa serikali ili kuona namna ambavyo inaweza kukaa na wananchi hao na kuweka maslahi yao mbele pazia la zomea zomea lilifunguliwa na chiza alipopanda jukwaani kujibu hoja ya kuyumba kwa soko la zao la korosho ambapo wananchi walimpinga baadhi ya kauli alizozitoatatizo la korosho ni baadhi ya viongozi wa vyama vya ushirika na wengine ni watendaji wa serikali nipo hapa na wala siondoki nitalishughulikia hili ili korosho zinunuliwe alisema chiza huku sauti za wananchi zikimpinga kwa kusema uongooo hata hivyo chiza aliweza kukabiliana na hali ya zomeazomea jukwaani baada ya watuliza wananchi kwa kusisitiza kuwa ataendelea kuwapo mtwara kushughulikia tatizo hilo ili ununuzi uendeleenaibu waziri wa tamisemi mwanri alipata wakati mgumu mara alipopanda jukwaani na kuanza kuzungumzia namna ya kumaliza kero ndogondogo zinazoletwa na mamlaka zake wananchi walikuwa wanazoea huyoohatutaki lakini baada ya kuanza kuongea alionekana kuiteka hadhira na mambo yakawa shwari tumesema wauza vitumbua wasibughudhiwe mkurugenzi njoo jukwani nakuagiza kuanzia leo marufuku wanafunzi kurudishwa shuleni kwa sababu ya michango alisema mwanri huku akishangiliwaawali kinana alisema mkutano huo unalenga kuzipatia ufumbuzi kero za wananchi ambazo zinawezakuwa kikwazo kwa chama hicho kuingia madarakani mwaka 2015 katibu mkuu huyo wa chama tawala alisema umefika wakati wa chama kusimamia utendaji wa serikali kutatua kero za wananchi wa mkoa wa mtwara ikiwa ni pamoja na kuyumba kwa soko la korosho na gesinajua hapa kuna kero kubwa mbili korosho na gesi nimekuja na mawaziri hapa watatoa majibu leo alisema kinana huku akishangiliwa na umati mkubwa wa watu ulioudhuria mkutano huo my take sumbawanga je arusha wakifika itakuwaje mwanza shinyanga maoni ya wadau wa habari tango 73 wizara ya nishati haipaswi kudanganya uuma kuwa unatoa schoraship kwa vijana wa mtwara kusoma vyuoni bure pesa hizo zilipaswa kuimalisha miundo mbinu ya jiji la mtwara na ambazo ni nyingi mno kuliko hata hizo za kusomesha watoto bure shule ya msingi mbawala haina mabati wala vyoo vya kisasa bara bara ya bandari ya mtwara mpaka mtwara airpotr siyo ya rami uwanja wa ndege wa mtwara ni wa kizamani kabisaa na ulijengwa na keneth kaunda ili kusafilisha shaba toka zambia mpaka mtwara serikali hauja update uwanja huo tolea ujengwe pesa za gesi lazima zitumike kuufanya mji wa mtwara na shule za msingi kuwa za kisasa jamani na sio kuwaonea namna hivyo huo uwanja umezungukwa na nyumba zote za nyasi na ambazo zipo karibu karibu kutoka na operesheni vijiji mwaka 1970 hivyo kama ndege ikiangukia nyumba hizo usiku atakayepona ni yule aliyeko safarini tuu serikali lazika iangalie sana hili kabla ya kuwadhulumu mali yao wana mtwara mwanampotevuyaliyowapata mawaziri mwaka 2007 kuzomewa na kupigwa mawe mikoani baada ya kumtimua zitto bungeni kwa sakata la buzwagi sasa yanarudi tena kigene posted by bahari ya maarifa at 35900 pm
2017-08-18T12:41:44
http://mangiayoub.blogspot.com/2012/11/mawaziri-wazomewa-mbele-ya-kinana-nape.html
mtini wikipedia kamusi elezo huru mtini (ficus carica) himaya plantae (mimea) (bila tabaka) angiospermae (mimea inayotoa maua) (bila tabaka) eudicots (mimea ambayo mche wao una majani mawili) (bila tabaka) rosids (mimea kama mwaridi) oda rosales (mimea kama mwaridi) familia moraceae (mimea iliyo na mnasaba na mforosadi) jenasi ficus spishi f carica mtini (ficus carica) ni mti mkubwa kama kichaka au mdogo wenye asili ya kusini magharibi mwa asia na pande za mashariki mwa mediteranea (kutoka afghanistani mpaka ugiriki) huwa na kimo cha mita 69 mpaka 10 na shina laini la kijivu majani yana urefu wa sm 1215 kwa urefu na sm 10 18 kwa upana yakiwa yamegawanyika katika vipande vitatu au vitano matunda yake matini huwa na urefu wa sm 35 na ngozi ya kijani wakati mwingine huwa na kuwa ya zambarau au kahawia majimaji ya tini huwasha ngozi ya binadamu kilimo matumizi mtini hulimwa kwa ajili ya matunda yake yanayoliwa kwanzia sehemu za asili za mediteranea irani na kaskazini mwa uhindi pia hupatikana maeneo haya hasa huko marekani mexiko chili australia na afrika kusini matini hupatikana pia kwenye maeneo ya joto kama hansari na huchumwa mara mbili au tatu kwa mwaka tunda hili limekuwa chakula kwa watu wengi kwa miaka zaidi ya elfu na liliaminika kuwa vina virutubisho tini inayoliwa ni miongoni mwa mimea ya mwanzo kabisa na binadamu kwaajili yakula kwa mabaki tisa ya tini yanayoonyesha yalikuwepo 94009200 kk pengine hata mawazo ya kilimo ndio yalikuwa ndo yanaanza wakati huo na husemwa kwamba mimea mingi kama vile ngano shairi nk tini pia kilikuwa chanzo kizuri cha chakula kwa waroma tini kulikuwa kama zilivyoau baada ya kukaushwa na hutumika kutengenezea jamu tini inayouzwa mara nyingi huwa katika mtindo wa kukaushwa sabsbu tini ikiisha kuwa huwa vigum kusafirishwa na haiwezi kudumu kwa muda mrefu baada ya kuchumwa uzalishajiedit kulingana na taarifa za fao uzsalishaji wa tini kwa mwaka 2005 ulikuwa tani 1057000 utumizi ikifatiwa na misri tani 170000 na nchi nyingine za mediterania tini na afyaedit tini ni moja ya mimea yenye kiasi kikubwa cha kalisi na makapi tini iliyokaushwa kuwa na kiasi kikubwa cha makapi shaba manganisi magnesi kali kalisi na vitamini k kulingana na mahitaji ya binadamu huwa na kiwango kidogo cha virutubisho vingine katika tafiti moja gram 40 tu za tini iliyokaushwa kuongeza uwezo kwa kiasi kikubwa cha plazma antioksidanti mwilini matini mtini matini mabivu tini lililokatika rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=mtini&oldid=915388 last edited on 22 septemba 2013 at 2157 ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 22 septemba 2013 saa 2157
2020-07-13T06:33:15
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Mtini
vichekeshoclassic 😂😂😂vichekesho vya siku🙊👍👌 usipitwe na kichekesho kuhusu ifahamu ladha ya bia ya 1 hadi ya 6 kilichotolewa hivi karibuni
2017-09-26T03:40:12
http://www.vichekeshovyaleo.com/vichekesho-vya-leo:vichekeshoclassic