text
stringlengths 43
182k
| timestamp
timestamp[s] | url
stringlengths 16
3.37k
|
---|---|---|
mbunge ritta kabati amwangukia rais dkt magufuli juu ya hospitali ya frelimo na magereza kuhamishwa mwamoto aomba lami kutoka ipogolo hadi kilolo ~ mzee wa matukio daima
home » » mbunge ritta kabati amwangukia rais dkt magufuli juu ya hospitali ya frelimo na magereza kuhamishwa mwamoto aomba lami kutoka ipogolo hadi kilolo
mbunge ritta kabati amwangukia rais dkt magufuli juu ya hospitali ya frelimo na magereza kuhamishwa mwamoto aomba lami kutoka ipogolo hadi kilolo
by mzee wa matukiodaima habari bila uoga29418no comments
mbunge wa viti maalum mkoa wa iringa ritta kabati (ccm ) amemuomba rais dkt john magufuli kusaidia mashine katika hosptali ya wilaya ya iringa hospitali ya frelimo pamoja na kuomba gereza la iringa kuhamishwa mjini kupisha upanuzi wa hospitali ya rufaa ya mkoa wa iringa
mbunge kabati ambae alijitambulisha kwa rais kama mbunge kivuli wa jimbo la iringa mjini baada ya mbunge wa jimbo hilo mchungaji peter msigwa (chadema) kutotokea katika tukio hilo kubwa la ufunguzi wa barabara ya iringa dodoma leo kuwa yeye kwa sasa ni mbunge kivuli wa jimbo la iringa mjini hivyo lazima kuwasemea wananchi wake
mheshimiwa rais kama ilivyo baraza la mawaziri wanaoshirikiana nawe kutekeleza ilani ya ccm na kuna baraza la mawaziri kivuli mimi ni mbunge kivuli wa jimbo la iringa mjini hivyo nakuomba sana nilete kwako changamoto za jimbo la iringa mjini
mbunge kabati alisema pamoja na jitihada kubwa zinazofanywa na serikali katika kuboresha sekta ya afya na kuleta maendeleo kwa wananchi bado anaomba rais kusaidia hospitali ya frelimo kupata mashine ili kupunguza msongamano wa wagonjwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa iringa
pia mbunge huyo aliomba rais kusaidia kuhamisha gereza la iringa na kulipeleka mlowa nje kidogo na mji wa iringa ili eneo hilo ambalo lipo jirani na hospitali ya rufaa ya mkoa wa iringa litumike kupanua hospitali hiyo ambayo kwa sasa ni finyu sana
mheshimiwa rais ombi hili nimekuwa nikilitoa mara kwa mara bungeni ila utekelezaji wake umekuwa wa kusua sua namba nikuombe wewe mwenyewe leo uweze kutusaidia ombi letu ili tupate kupanua hospitali zaidi
mbunge kabati alisema kuwa kwa upande wa wananchi wa jimbo la iringa mjini wanajivunia utendaji kazi wa rais dkt magufuli na hasa katika utekelezaji wa ilani ya ccm ndio maana kwa sasa jimbo zima la iringa mjini hasa wale ambao walikuwa upinzani wameanza kurejea ccm
kwa upande wake mbunge wa jimbo la kilolo venance mwamoto pamoja na kupongeza kazi zinazofanywa na rais dkt magufuli bado aliomba ujenzi wa kiwango cha lami wa barabara ya ipogolo kilolo na pindi itakapokamilika basi jina la barabara hiyo ipewe jina la mtendaji mkuu wa tanroads mfugali | 2018-05-27T23:36:18 | http://www.matukiodaima.co.tz/2018/04/mbunge-ritta-kabati-amwangukia-rais-dkt.html |
montenegro rejareja sale (mwaka)
sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi montenegro rejareja sale (mwaka)
montenegro matumizi ya
rejareja sale (mwaka) 630 810 4306 2155 asilimia [+]
matumizi ya matumizi 88319600 90487900 92541500 54433800 eur elfu [+]
rejareja sale (mwezi) 630 500 2590 2460 asilimia [+]
petroli bei 109 106 186 056 usd / lita [+]
matumizi ya mikopo 137030900 136377400 137030900 4880900 eur elfu [+] | 2020-05-29T00:37:05 | https://sw.tradingeconomics.com/montenegro/retail-sales-yoy |
maisha mapenzi urembo 01/01/2011 02/01/2011
wazazi walitukutanisha na kutuweka sawa tukasameheana nikarudi kwake huko chuo kikukuu (dar es salaam) maana mume wangu ni muhusika wa hapo basi tuliporudiana tu nikapata ujauzito ambapo baada ya kujifungua mume wangu akaanza shida tena akanifukuza na kusema hanitaki ila watoto wake atawatunzasasa tangu nitoke kwake alileta matumizi kipindi cha mwanzo tu baadae akaacha nilipomfata na watoto wake (wote wa kiume) akasema eti yeye sio wanae hawajui wote wawili sasa mimi peke yangu kulea waotot wawili siwezi maisha yangu yenyewe ya tabu huyu mwingine anatakiwa kusoma lakini hata pa kupata ada sipaoni | 2017-07-26T04:32:18 | http://beautytouchdar.blogspot.com/2011/01/ |
1ch 17 | neno | step | baada ya daudi kukaa kwa utulivu katika jumba lake la kifalme akamwambia nabii nathani hebu tazama mimi ninakaa kwenye nyumba nzuri iliyojengwa kwa mierezi wakati sanduku la agano la bwana liko ndani ya hema
1 baada ya daudi kukaa kwa utulivu katika jumba lake la kifalme akamwambia nabii nathani hebu tazama mimi ninakaa kwenye nyumba nzuri iliyojengwa kwa mierezi wakati sanduku la agano la bwana liko ndani ya hema
2 nathani akamjibu daudi lo lote ulilo nalo moyoni mwako litende kwa sababu mungu yuko pamoja na wewe 3 usiku ule neno la mungu likamjia nathani kusema
4 nenda ukamwambie mtumishi wangu daudi hili ndilo asemalo bwana wewe hutanijengea mimi nyumba ili nikae humo 5 mimi sijakaa ndani ya nyumba tangu siku ile niliyowatoa israeli kutoka misri mpaka leo nimehama kutoka hema moja hadi jingine na kutoka mahali pamoja hadi pengine 6 je po pote nilipokwenda pamoja na waisraeli wote wakati wo wote nilimwambia kiongozi ye yote niliyemwagiza kuwachunga watu wangu kwa nini hujanijengea nyumba ya mierezi
7 sasa basi mwambie mtumishi wangu daudi hili ndilo asemalo bwana mwenye nguvu zote nilikuchukua machungani na kutoka kuandama kondoo ili uwatawale watu wangu israeli 8 nimekuwa pamoja nawe po pote ulipokwenda nami nimewakatilia mbali adui zako wote mbele yako basi nitalifanya jina lako kuwa kama majina ya watu wengine wakuu sana wa dunia 9 nami nitawapatia watu wangu israeli mahali na nitawapa ili wawe na mahali pao wenyewe pa kuishi na wasisumbuliwe tena watu waovu hawatawaonea tena kama walivyofanya hapo mwanzo 10 na ambavyo wamefanya siku zote tangu nilipowachagua viongozi kwa ajili ya watu wangu israeli pia nitawatiisha adui zenu wote
pamoja na hayo ninakuambia kwamba bwana atakujengea nyumba 11 wakati wako utakapokuwa umekwisha nawe ukawa umekwenda kukaa na baba zako nitamwinua mzao wako aingie mahali pako kuwa mfalme mmoja wa wana wako mwenyewe nami nitaufanya imara ufalme wake 12 yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili yangu nami nitakifanya imara kiti cha ufalme wake milele 13 mimi nitakuwa baba yake naye atakuwa mwanangu kamwe sitaondoa upendo wangu kwake kama nilivyouondoa kwa yeye aliyekutangulia 14 nitamweka juu ya nyumba yangu na ufalme wangu milele kiti chake cha enzi nitakifanya imara milele
15 nathani akamwarifu daudi maneno yote ya maono haya
16 ndipo mfalme daudi akaingia ndani akaketi mbele za bwana akasema
mimi ni nani ee bwana mungu na jamaa yangu ni nini hata unitendee haya yote 17 kama vile haya hayakutosha machoni pako ee mungu umesema pia kuhusu siku zijazo za nyumba ya mtumishi wako umeniangalia kama mtu aliyetukukakuliko watu wote ee bwana mungu
18 daudi aweza kukuambia nini zaidi kuhusu kumheshimu mtumishi wako kwa maana wewe unamjua mtumishi wako 19 ee bwana mungu kwa ajili ya mtumishi wako tena sawasawa na mapenzi yako umefanya jambo hili kubwa sana na kujulisha ahadi hizi zote zilizo kubwa sana
20 hakuna aliye kama wewe ee bwana mungu wala hakuna mungu ila wewe kama vile tulivyosikia kwa masikio yetu wenyewe 21 naye ni nani aliye kama watu wako israeli taifa moja duniani ambalo mungu wake alitoka kwenda kulikomboa kwa ajili yake mwenyewe na kujifanyia jina kwa ajili yake mwenyewe wa kufanya maajabu makubwa ya kutisha kwa kuwafukuza mataifa mbele ya watu wako uliowakomboa kutoka misri 22 uliwafanya watu wako israeli kuwa watu wako wewe mwenyewe milele nawe ee bwana mungu umekuwa mungu wao
23 sasa basi bwana ahadi uliyoweka kuhusu mtumishi wako na nyumba yake na uithibitishe milele fanya kama ulivyoahidi 24 ili ithibitike na jina lako litakuwa kuu milele kisha watu watasema bwana mungu mwenye nguvu zote mungu aliye juu ya israeli ndiye mungu wa israeli nayo nyumba ya mtumishi wako daudi itafanywa imara mbele zako
25 wewe mungu wangu umemfunulia mtumishi wako daudi kwamba utamjengea yeye nyumba hivyo mtumishi wako amekuwa na ujasiri wa kukuomba maombi haya 26 ee bwana wewe ndiwe mungu umemwahidi mtumishi wako mambo haya mazuri 27 basi imekupendeza kuibariki nyumba ya mtumishi wako ili ipate kudumu milele machoni pako kwa ajili yako ee bwana umeibariki nayo itabarikiwa milele | 2018-03-22T20:01:42 | https://www.stepbible.org/?q=version=Neno%7Creference=1Ch.17 |
mchezo worldcup maegesho online kucheza kwa huru
mchezo worldcup maegesho
unachezwa 1067
kucheza mchezo worldcup maegesho online
maelezo ya mchezo worldcup maegesho
moja ya mambo magumu zaidi ya kuendesha gari ni maegesho sahihi gari lake katika mchezo huu wa kusisimua utakuwa na uwezo wa kufanya mazoezi na kujifunza jinsi ya hifadhi ya gari je una juu ya kadhaa ya ngazi ya kupita jaribu kwa ajali mahali popote ni lazima si kukimbilia sana ili kubaini kasi up good luck kucheza mchezo worldcup maegesho online
kiufundi na tabia ya mchezo worldcup maegesho
mchezo worldcup maegesho aliongeza 06012015
ukubwa wa mchezo 348 mb
mchezo unachezwa 1067 mara
mchezo rating 361 nje 5 (18 makadirio)
michezo kama mchezo worldcup maegesho
bomu squad parking game
hii car park
download mchezo worldcup maegesho
embed mchezo worldcup maegesho katika tovuti yako
kuingiza mchezo worldcup maegesho kwenye tovuti yako nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako pia kama wewe kama mchezo worldcup maegesho nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote kushiriki mchezo na dunia
pamoja na mchezo worldcup maegesho pia alicheza katika mchezo | 2019-01-16T09:19:43 | http://sw.itsmygame.org/1000034068/worldcup-parking_online-game.html |
msaada wa haraka kwa hii ps3 yangu jamiiforums
msaada wa haraka kwa hii ps3 yangu
direct ti the point nna ps3 yangu ambayo iko chipped na ilikua na firm vers 455cfw sasa mimi bila kuelewa nkajikuta nimeupdate kwenda 482ofw (offc firm ware) sasa games zangu zooote za kwenye multiman haziwez kurun ukifungua tu multiman inaleta error naomba msaada wa link ya kupata jailbreak kwa maana hapa nshajaribu kama 5 mwisho wa siku ngoma iko zipped na uki unpack inarequire password ja password adi ufanye masurvey yao mwenye working link pls
342 165 60
nenda online waulize wenyew pes watakusaidia
19437 9354 280
huwa hack ya console yoyote ile inaenda na version husika huwezi uka update then ikafanya kazi unless sony wajisahau kufix hilo tundu walilotumia ku hack
hapo itabidi u downgrade ila kama una mawasiliano na alie hack hio ps3 yako ni vyema ukashauriane naye kwanza
kweli mkuu my last option ni kudowngrade
1238 320 180
ilishanitokea hiyolazima uidowngradethé one and only one fixnitafute nikusaidie 0658327429
1122 572 280
hapa kwanza mkuu haiwezekani kudowngrade ofw481 482 huyo jamaa alifanya ujinga kuupdate from cfw to ofw
cha kufanya kwa sasa ni kucheza games kwenye mashine yake kwa kutumia njia zifuatazo
kununua cd
kununua games fron ps store
au kufanya dtu from cfw ps3
au labda asubiri jailbreak ya esc0rtd3w ambayo ni kwa ajili ya latest ofw kama itafanya kazi
mwangere
kwakua umeichip ni kosa kijinai na ndio maana sony wenyewe wana blog netserver zao kwa kila ps ilikua chiped chakufanya mkuu ww format ps3 upya tafuta multiman ingiza game zako tu coz huwez irudisha kma mwanzo tena
shukran mkuu nakuchek
mwangere said
ila unaweza kui boot ukaweza kuingiza game zako upya kupitia multiman
hebu nifafanulie kidogo hapa mkuu
sio kazi kubwa kma uko na ps3 yako hapo chakufanya nikuichomeka kwenye umeme kisha unashikilia power button kwa muda kma wa sekunde kumi bila kuachia ukishikilia power itatoka kwenye red button kwenda kwenye green endelea kushikilia usiachie mpka utakapo sikia sound bip utaachia kisha utaona screen yko kwenye tv ikikuambia press ps button kwenye console kisha utaona option nyingi ikiwemo restore
mkuu kweli hivyo itafanya kazi multman kwenye official firmware
itafanya ondoa waswasi feedback muhimu
nikirestore itarudi katika ofw ambayo ilikuja nayothen nitakua na uwezo wa kuingiza cfw
nitaweza kuingiza multiman bila kuichip mkuu
ndio utaweza ila ps3 iwe ofw455 then uipeleke cfw 481 kisha uweke multman
no cfw no multiman
fanya dtu tu
nina leta mrejesho baada ya kuhangaika sana hatimaye nimefanikiwa kuirekebisha ps yangu napia game kama nba 2k 16 lilikua halichez mwanzon sasa hivi fresh it took hard work kuhangaika mpaka kupata 482cfw kuweka miniserver kwa pc nakuirun flsh hex file na some prayers maana nliogopa sana kuibrick console yangu am back on business
likes moyess
yeah shukran kubwa kwa escotdew habib pamoja na member wote wa ps3exploit kwa kutuletea kudump nor/nand kwa hizi ps3 zetu ambazo haziko jailbreaked
na hii method inafanya kazi kwa ps3 fat na slim tu yani zile za cech 2xxx au chini
usijaribu kwenye ps3 super slim cech 4xxx | 2019-01-22T20:59:34 | https://www.jamiiforums.com/threads/msaada-wa-haraka-kwa-hii-ps3-yangu.1353762/ |
mahakama yatupa kesi ya kupinga matumizi ya kanuni za maudhui ya mtandao | malunde 1 blog
home » habari » mahakama yatupa kesi ya kupinga matumizi ya kanuni za maudhui ya mtandao
mahakama yatupa kesi ya kupinga matumizi ya kanuni za maudhui ya mtandao
mahakama kuu ya tanzania kanda ya mtwara imetupilia mbali shauri la kupinga matumizi ya kanuni za maudhui ya kimtandao
kesi hiyo namba 25 ya mwaka 2018 ilifunguliwa na baraza la babari tanzania (mct) kituo cha sheria na haki za binadamu (lhrc) na muungano wa mtandao wa watetezi wa haki za binadamu wote kwa pamoja wanapinga kanuni za maudhui ya kimtandao
akizungumza baada ya maamuzi hayo wakili wa mahakama kuu upande wa wapeleka maombi james marenga amesema wanaheshimu uamuzi wa mahakama kwa niaba ya wateja wake lakini wataangalia nini cha kufanya
tutazungumza na wateja wetu tuone ni namna gani nyingine tunaweza kufanya kama tutakata rufaa basi tutakwenda kwenye mahakama ya juu lakini tunaheshimu mahakama kwa sababu ndio taratibu za kisheria amesema marenga | 2019-08-19T18:11:32 | https://www.malunde.com/2019/01/mtandao.html |
daily mitikasi blog bayport yamjaza manoti mwanafunzi wa muce
imechapishwa na john hans badi kwa 1058 pm | 2017-08-18T23:49:27 | http://johnbadi.blogspot.com/2014/12/bayport-yamjaza-manoti-mwanafunzi-wa.html |
abanyeshuri bari mu biruhuko bateguriwe amarushanwa abafasha kuvuga neza inyuguti zigize amagambo yicyongereza igihecom
abanyeshuri bari mu biruhuko bateguriwe amarushanwa abafasha kuvuga neza inyuguti zigize amagambo yicyongereza
umuryango brain teasers rwanda wongeye gutegura amarushanwa ngarukamwaka ya family holiday spelling competition agamije kwimakaza umuco wo kumva gusoma no kwandika ururimi rwicyongereza mu mashuri abanza nayisumbuye
ni nyuma yaho u rwanda ruje ku mwanya wa mbere mu marushanwa yo kuvuga neza icyongereza azwi nka intercontinental spelling competition aho abanyeshuri baserukiye u rwanda umwaka ushize bahize abandi bo ku mugabane wa afurika no hanze yaho mu irushanwa ryabereye i dubai
kuri ubu abanyeshuri bari mu biruhuko hirya no hino mu gihugu bashyiriweho amarushanwa abahesha itike yo kuzitabira irushanwa mpuzamahanga
aya marushanwa abaye ku nshuro ya kane mu rwanda ateganyijwe kuba muri uku kwezi aho azitabirwa nabanyeshuri bo mu mashuri abanza nayisumbuye bafite imyaka iri hagati ya 7 kugeza kuri 15 yamavuko
uyitabira ariyandikisha akazahabwa urutonde rwamagambo akimenyereza kuyasoma neza hanyuma ku munsi wirushanwa akazabasha kuyasoma neza hari nitsinda ryakanama nkemurampaka gashinzwe kureba niba yabikoze neza
umuyobozi mukuru wa brain teasers rwanda yateguye aya marushanwa richard kaweesi yabwiye igihe ko aya marushanwa aba agamije gufasha abana byumwihariko abari mu biruhuko kugira umuhate wo kwiga no kwitoza gusoma neza indimi zitandukanye
yakomeje agira ati uretse kuba dushaka ko nababyeyi bagira uruhare mu gufasha abana bari mu biruhuko ariko binatuma abana bazamura ubushobozi bwo gusoma neza indimi kwigirira icyizere no kumenya gukorera hamwe nabandi no gutekereza mu buryo bwagutse bakiri bato
abazatsinda mu marushanwa bazaserukira u rwanda mu marushanwa nkaya ateganyijwe kuba mu ntangiriro za 2019 muri afurika yiburasirazuba
amarushanwa nyirizina yo azaba ku wa 14 ukuboza 2018 i saa tatu muri kaminuza ya mount kenya iherereye ku kicukiro
kwiyandikisha byaratangiye aho umwana cyangwa umubyeyi we ashobora guhamagara kuri nimero ya telefone igendanwa +250781545678 cyangwa akabandikira kuri email [email protected] | 2019-01-20T11:20:50 | https://igihe.com/serivisi/kwamamaza/advertorials/article/abanyeshuri-bari-mu-biruhuko-bateguriwe-amarushanwa-abafasha-kuvuga-neza |
historia ya kimuziki ya msanii rapper chemical | njibahoodcom
alianza muziki akiwa kidato cha pili wakati huo alienda kwa producers wengi sana likini hakutoka kipindi hicho baada ya hapo alitoa ngoma ya struggle ilitoyotayarishwa na duke chini ya m lab aliifanyia video hiyo ngoma hapo kaka yake aliona mdogo wake anakitu na kuanza kumsupport
kaka yake aliona chemical ameamua kufanya muziki kazi hivyo akaamua kumsimamia katika muziki wake alitoa ngoma yake iliyomuweka kwenye chati nyingi hapa bongo inayoitwa sielewi iliyofanywa na producer maximizer ndipo jina lake likaanza kukuwa kama rapper wa kike hapa bongo
jina lake la chemical alipewa na mesen selekta baada ya kumuona dada huyu ni mkali sana katika kuchana kwa sasa yupo chini ya kazi kwanza entertainment anayomilikiwa na kaka yake anasema kwamba alikuwa chini ya mj records lakini baada ya kumaliza form 4 aliacha kufanya muziki ndipo aiachana na maco chali
changamoto alizokutana nazo ni wazazi kukataa afanye muziki pia watu kumdanganya watamsaidia pia malengo yake ni kuipeperusha bendera ya taifa msanii anayemkubali na kumtamanisha yeye aingie katika muziki ni young d hii ni kwasababu alimuona akifanya muziki toka akiwa mdogo na kufanikiwa wasanii anaotamani kufanya nao kazi n fid q young d na roma
studio alizofanya nazo kazi mpaka sasa ni defartality mj records nahreel kwa sasa yupo chuo kikuu mlimani mwaka wa kwanza katika ngazi ya diploma ya sanaa na muziki anachokiamini mwanadada huyu ni kwamba muziki utamfanya avae ale na aendeshe maisha yake 3sharessharetweetsubscribe
← previous story mambo matano usiyoyajua kuhusu dogo janja next story → 12 morgan freeman inspirational quotes recommended for you | 2017-06-23T19:08:41 | http://njibahood.com/historia-ya-kimuziki-ya-msanii-rapper/ |
naomba kujua wapi nitapata usb cable ya aina hii
wapi nitapata hii usb cable msaada kama unafahamu sent using jamii forums mobile app
realme x2 pro & oppo reno ace simu zinazoweza kuchajiwa kutoka 0 hadi 100 kwa muda wa dakika 30 tu
miaka ya hivi karibuni ilionekana kuna tatizo katika suala la kuchaji simu zetu kwamba inachukua muda mrefu sana kwa simu kuchajiwa hivyo muda mwingi unapotea katika kusubiri simu ijae sijajua ni kampuni gani hasa ndio walikuwa wa kwanza kuja na hiyo idea ya fast charging lakini leo hii
ninawezaje kuwasaidia watu bila kuwa maarufu
nini maana ya certificate of service
kuna mahali fulani nilituma cv yangu kwa ajili ya kuomba kazi sasa leo wakawa wamenipigia simu wakiomba niwatumie baadhi ya documents zangu zingine moja ya document waliyoiomba ni certificate of service nimejaribu kutafuta mtandaoni lakini bado sijapata clear definition kwamba hii ni document
huawei kampuni inayokuwa kwa kasi ya ajabu iliwapindua apple na kushika nafasi ya pili kimauzo nyuma ya samsung
kwanza naomba tu nikiri the last time nimeangalia data za kampuni ambayo inauza units nyingi kwenye flagship zake duniani ambapo ilikuwa ni mwanzoni mwa mwaka huu mpangilio ulikuwa ni kama ifuatavyo 1 samsung 2 apple 3 huawei pia ukiangalia kwa mwaka jana kwenye market share huawei
natafuta mchumba (serious) | 2020-02-25T03:52:39 | https://www.jamiiforums.com/search/5837347/ |
kikao cha baraza maalumu la madiwani kupitia na kutoa maoni juu ya hoja za mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali kwa mwaka wa fedha 2015/2016 kimefanyika tarehe 29/06/2017 na kuhudhuriwa na mkuu wa mkoa wa tanga mh martine shegella ambapo katika kikao hicho hoja mbalimbali zilijadiliwa na kutolewa maoni hasa ikiwa ni kuhakikisha hoja hizo zinajibiwa kwa ufasaha na hazijirudii tena katika ukaguzi ujao wa mwaka wa fedha 2016/2017
aidha katika kikao hicho mkuu wa mkoa wa tanga alipata fursa ya kutoa neno na kuitumia nafasi hiyo kuipongeza timu nzima ya wataalamu wa halmashauri ya mji korogwe na ofisi ya mkuu wa wilaya korogwe kwa namna ambavyo wamekuwa wakitekeleza miradi kwa haraka nmo amepongeza uwekezaji mkubwa uliofanyika wa stendi mpya na yakisasa inayoiletea sifa halmashauri na mkoa wa tanga kwa ujumla
akizungumza katika kikao hicho katibu tawala mkoa wa tanga bi zena a said alishauri wataalamu kuwa makini katika kutunza kumbukumbu mbalimbali za mahesabu ya halmashauri na kuzingatia uwepo wa viambatanisho vyote muhimu kabla ya kufanya malipo pia alisistiza kutenga pesa kwa ajili ya kutoa mkopo kwa vikundi vya kina mama na vijana na kuwafatilia ili mikopo hiyo iweze kurudi na iwe yenye tija kwa vikundi hivyo na kwa serikali
naye mkuu wa wilaya korogwe aliwashukuru timu ya wataalamu wa halmashauri ya mji korogwe wakiwemo watendaji wa kata kwa jinsi wanavyompa ushirikiano katika miradi mbalimbali anayoianzisha kwa njia ya msalagambo na kuwaahidi zawadi nono kwa mtendajia ambaye kata yake itafanya vizuri
madiwani wakifatilia kwa makini taarifa ya hoja
mkuu wa wilaya korogwe akitoa neno
kuitwa kwenye usaili 23/10/2017 halmashauri ya mji korogwe october 18 2017
matokeo ya awamu ya kwanza ya zabuni za utoaji huduma na ukodishaji wa mali za halmashauri kwa mwaka wa fedha 2018/2017 august 23 2017
tangazo la nafasi za kazi ya udereva utendaji mtaa na katibu mahsusi august 16 2017
tangazo la nafasi za kazi ya udadisi na ukusanyaji wa takwimu katika kata za manundu na kwamsisi august 02 2017
mh waziri january makamba azungumza na wananchi wa korogwe
nukushi 0272650075
barua pepe info@korogwetcgotz korogwetowncouncil@gmailcom
haki miliki©2017 halmashauri ya mji korogwe haki zote zimehifadhiwa | 2017-10-24T11:23:57 | http://korogwetc.go.tz/new/baraza-maalumu-la-madiwani-la-kupitiakujadili-na-kutoa-maoni-juu-ya-hoja-za-mkaguzi-mkuu-wa-serikali-cag |
ni bahati mbaya sana kwamba katika nchi yetu pamekuwapo na juhudi ndogo sana ya kuwashauri watoto kujielewa mapema ili waweze kufanya maamuzi yanayohusisha hulka na vipaji vyao kuliko nguvu kutoka nje ni kwa sababu hii unakuta kwamba kiukweli kule wanakoelekezwa wanafunzi na masomo waliyoyachaguliwa na jamii kunatofautiana sana na jinsi wao walivyo
kwa mfano mtu mwongeaji asiweza kufurahi bila kupiga kelele na washika dau mwenye papara asiyeweza kumaliza dakika kumi na tano mahali pamoja mtu wa namna hii anataka kuwa daktari wa binadamu kwa sababu tu alifaulu vizuri baolojia
ama mtu mkimya anayeona raha kuwa pekeyake hajisikii ukiwa bila marafiki hapendi mabishano/majadiliano na watu mtu mrahisi kukerwa na watu mwoga wa kusema anachofikiri mtu huyu anataka kufanya kazi zitakazomkutanisha na watu kama vile sheria ualimu na kadhalika
hili ni kosa kubwa sana tunalolifanya katika maisha yetu kutaka kusoma vitu visivyoendana na tabia/personalities zetu tunasoma vitu kwa sabbau tu vitatufanya tuwe na heshima kwenye jamii kwa sababu tu tunataka kazi zitakazotulipa kwa haraka
kwa kufanya hivyo unakuta tunajidhulumu ridhiko la nafsi zetu ambazo zinatutaka kufanya vitu ambavyo vitakuza vipaji vyetu kwa faida yetu na jamii kwa ujumla
elimu na jamii imani na mitazamo makuzi malezi na makuzi ya watoto vipaumbele
kissima 27/1/09 822 mchana
walimu wa awali wanajukumu zito sana la kugundua na kutafuta uelekeo wa kila mwanafunzi
kila mtoto ana kipaji chake ambacho wale wanaomkuza wanatakiwa wakigundue na wamuongoze vyema ili baadae aweze kukitumia kipaji hicho vizuri
watoto wanapoingia ktk swala la kusomahuwa wanakutana na changamoto mbalimbali kuna wale ambao kulingana na vipaji vyao wanapenda masomo ya sayansi na wengine ya sanaa
changamoto kubwa wanayokumbana nayo ktk kipindi hiki ni kuanza kufundishwa na walimu ambao hawana uwezo wa kukidhi matakwa yao kulingana na vipaji vyao(to cupture the interests of the learners)walimu kushindwa kuwaelekeza wanafunzi vizuri toka awali kunasabisha wanafunzi kuchukia masomo haya na kuyaona ni magumu hata kama kulingana na vipaji vyao walitakiwa kuyamudu masomo hayo
kwa hali hii wanafunzi wanaanza kuchukua mikondo ambayo wanaona ina ukinzani mdogoyani upande wa masomo ambayo waalimu wake wanafundisha vizuri na kueleweka
hapa sasa yanaibuka makundi mawili watoto ambao watafanikiwa kuwapata waalimu ambao wataweza kutimiza matakwa yao kulingana na vipaji vyao na wale ambao wataangalia wapi kuna unafuu ili kurahisisha swala la kusoma
hapa nimegusia tu kwa elimu ya msingikwa namna ambavyo huanza kuvificha vipaji na kupoteza dira ya mtoto
kuna mzazi ambaye mtoto wake alikuwa mkorofi sana shulenina mara nyingi alikuwa hafiki shulenibasi siku moja mzazi huyu aliitwa shuleni baada ya ukorofi wa mtoto kukithiri katika majadiliano mkuu wa shule alimwuliza ule mzazinamnukuu hivi wewe mzaziulishawahi kukaa na mtoto wako na kumuuliza kama anapenda kusoma au la ili usipoteze fedha zako kwa mtu ambaye pengine hapendi kusoma mwisho wa kumnukuusasa sijui ilikuwa ni jazba au alikuwa na maana gani hasanamwachia yeyekwani tafsiri yangu yaweza ikawa tofauti sana na alichokuwa anamaanishasasafikiria wewe ndiye mzazina umerushiwa swali hiliungemjibu nini
mzee wa changamoto 28/1/09 145 mchana
kama ulikuwepo unataka kuwa nani daktari umeshakutana na wangapi sijawahi hata kuongea na mmoja ila napenda nikilazwa nawaona wanakuja na makoti meupe na vidudu vya kuning'iniza shingoni halafu anaamua nani aende nyumbani wanakuwa na akili sana
mmhhhhhh hivi ni makosa yetu ama hatujaandaliwa kujua kuna fani ngapi tuwezazo yaani kuambia ukisoma hkl lazima uwe mwandishi ukisoma pgm utakuwa injinia ama nahodha ama rubani hge wewe ni mchumi tuu kwani kosa namba moja ni la nani hasa msomi mfumo ama waliotutangulia
na hii itaendelea
shabani kaluse 28/1/09 415 mchana
kaka naona kamjadala kanaendelea
kwa leo sitaweza kuchangia ngoja niwapishe wenye hoja maana nimeishiwa na maneno | 2017-08-18T08:41:01 | http://bwaya.blogspot.com/2009/01/kosa-nambari-moja.html |
mashabiki wa soka wamliza nape mwanahalisi online
mbunge wa mtama nape nnauye (kulia) akiwa na waziri wa habari sanaa utamaduni na michezo harrison mwakyembe wakitazama mechi kati ya taifa stars na botswana
posted by charles william march 26 2017 0 2015 views
upendo ambao mashabiki wa mpira wa miguu waliuonesha jana kwa nape nnauye aliyekuwa waziri wa habari sanaa na michezo ulimliza kiongozi huyo anaandika charles william
mashabiki wa soka waliojitokeza uwanja wa taifa kushuhudia mchezo wa kirafiki kati ya timu ya taifa taifa stars dhidi ya botswana walisimama kwa muda na kumshangilia nape nnauye alipoingia uwanjani hapo ikiwa ni ishara ya kumuunga mkono
katika ukurasa wake wa instagram leo nape ameweka video inayonesha mashabiki wakimshangilia kama ishara ya kumtia moyo huku akiandika jana mlinitoa machozi
nape ambaye pia ni mbunge wa jimbo la mtama mkoani lindi aliondolewa katika nafasi yake alhamis ya wiki hii na rais john magufuli ikiwa ni siku moja tu baada ya kueleza kuchukizwa na kitendo cha uvamizi wa ofisi za kituo cha clouds tv uliongozwa na paul makonda mkuu wa mkoa wa dar es salaam
siku hiyohiyo pia nape alikabiliwa na maofisa usalama ili kuzuiwa kuzungumza na wanahabari baada ya kuenguliwa katika wadhifa wake tukio la kumzuia nape liliambatana na mmoja wa maofisa usalama kumnyoshea bastola ili kumshinikiza aingie kwenye gari lake na asizungumze na wanahabari
tangu kutokea kwa tukio hilo watu wa kada mbalimbali wakiwemo viongozi wa serikali vyama vya siasa wasanii wananchi na wasomi wamejitokeza na kulaani kitendo alichofanyiwa nape huku wakimtia moyo
wamekuwa wakimtaka aendelee kusimamia haki pasipo kuyumba wala kuogopa
upendo ambao mashabiki wa mpira wa miguu waliuonesha jana kwa nape nnauye aliyekuwa waziri wa habari sanaa na michezo ulimliza kiongozi huyo anaandika charles william mashabiki wa soka waliojitokeza uwanja wa taifa kushuhudia mchezo wa kirafiki kati ya timu ya taifa taifa stars dhidi ya botswana walisimama kwa muda na kumshangilia nape nnauye alipoingia uwanjani hapo ikiwa ni ishara ya kumuunga mkono katika ukurasa wake wa instagram leo nape ameweka video inayonesha mashabiki wakimshangilia kama ishara ya kumtia moyo huku akiandika jana mlinitoa machozi nape ambaye pia ni mbunge wa jimbo la mtama mkoani lindi aliondolewa katika nafasi yake&hellip
previous mbowe kujiuzulu siasa 2020 magufuli akishinda
next rais magufuli amtaka ney wa mitego aboreshe wapo
mbaroni kwa kumkata mkono albino
sababu 40 za kuipinga katiba inayopendekezwa | 2018-04-24T02:58:48 | http://mwanahalisionline.com/mashabiki-wa-soka-wamliza-nape/ |
wazee ni hazina hivyo lazima tuwatunze tuwalinde na tuwahudumie ni baraka kubwa sana kupata zawadi hii tunaamini wazee bado wana akili na nguvu za kufanya shughuli za ujasriamali kujiingizia kipato badala ya kutegemea misaada kutoka mashirika mbalimbali kama helage hayo yamesemwa na mhe mkuu wa wilaya ya buhigwe col michael m ngayalina wakati akizindua baraza la wazee leo asubuhi katika ukumbi wa champanda ulioko wilayani hapa
wazee tumieni elimu ya ujasriamali mliyopewa na shirika la helpage international kutafuta maeneo ya kilimo ufugaji hata kuunda vikundi vya wazee kumi ili kupata mkopo ni vema maeneo hayo yawe karibu ili iwe rahisi kutembelea kila siku hususani ufugaji wa nyuki kuhakikisha hakuna wadudu wanao haribu asali au kudhibiti uchomaji moto
mizinga ya nyuki iwe ya kisasa ili kuepuka uharibu wa mazingira kwa kukata miti ya kuchonga mizinga aidha napenda kuwakumbusha wazee kuwalea vijana wenu katika maadili ya kufanya kazi ili wasiwe tegemezi baadae na kusubiri kurithi mali za wazazi ambazo hawakushiriki kuzitafuta alisema mhe ngayalina
mwisho nawashukuru sana shirika la helpage international kwa misaada mnayoendelea kuwapatia wazee wetu wa wilaya ya buhigwe
kwa upande wake mwenyekiti wa baraza la wazee mzee wenderin kilenza amesema sisi wazee hatutegemei misaada tu kutoka helpage bali tunajishughulisha na shughuli za uzalishaji mali mfano ufugaji wa nyuki ambao hauhitaji nguvu kubwa sana kilimo cha muhogo maharagwe matunda kama parachichi nanasi kwa ajili ya kuuza matunda na juisi
afisa ustawi wa jamii wilaya ya buhigwe ndg petro mbwanji amesema kwa kushirikiana na shirika la helpage intenational tumefanikiwa kutoa vitambulisho vya matibabu bure kwa wazee 1050 kati ya wazee 14993 wa wilaya ya buhigwe ambapo tunaendelea kutoa vitambulisho vingine kwa wazee walio salia na tumeweka mabango yanayosema mpishe mzee atibiwe kwanza katika zahanati na vituo vya afya katika kituo cha afya muyama na janda tumetenga vyumba maalumu kwa ajili ya matibabu ya wazee alisema mbwanji | 2019-09-19T21:43:39 | http://buhigwedc.go.tz/new/uzinduzi-wa-baraza-la-wazee-buhigwe |
mamlaka nchini dubai imekanusha uwepo wa tamasha la r kelly millardayocom
mamlaka nchini dubai imekanusha uwepo wa tamasha la r kelly
story kubwa ambayo ilichukua headlines siku kadhaa zilizopita ni kuhusu mwimbaji r kelly kuiomba mahakama ya mjini chicago kumpatia ruhusa ya kwenda mjini dubai kwa ajili ya kufanya matamasha yake kadhaa ambayo alidai alikubali kutumbuiza kabla ya kutiwa nguvuni
kwa mujibu wa mtandao wa mail online umeripoti kuwa idara ya vyombo vya habari mjini dubai imekanusha kuwa rkelly hana onyesho lolote mjini hapo kupitia maelezo waliyotoa wamesema mamlaka mjini dubai haijapokea ombi lolote la onesho kutoka kwa r kelly na hakuna ukumbi wowote ambao umewekewa oda (booked) na waliongeza kwa kusema kuwa rkelly hajaalikwa na familia yoyote ya kifalme
wakili wa mwimbaji wa rkelly ambaye ni steven greenberg amesema kuwa r kelly alisign mkataba kutoka kwa promoter na kila kitu kuhusu safari kilitoka kwenye mkataba hatukusema kuwa alialikwa kukutana na familia ya kifalme mkataba ndio ulisema kuwa akiwa tayari atakutana na familia hiyo
ulipitwa na kilichojiri buckets baada ya rc makonda kusema vinywaji viuzwe nusu bei bonyeza play hapa chini kutazama
← previous story mastaa wa bongo walivyotinga uwanja wa taifa wema mobetto billnass nk (picha 12)
next story → picha 4 unahitaji milioni 500 ili kumiliki daftari lenye ngoma za lil wayne
salim kikeke ay jokate wamfungukia beyonce | 2019-07-20T00:57:17 | http://millardayo.com/i98syswwb/ |
unic yataka wahitimu academic international kutojiingiza katika dawa za kulevya dewjiblog
kituo cha habari cha umoja wa mataifa (unic) kimewaonya wanafunzi wa academic international primary school waliohitimu darasa la saba kutojiingiza katika dawa za kulevya kwani ni eneo linaloharibu kwa kasi maisha ya vijana wengi kupitia makundi ushauri huo umetolewa jana na ofisa habari wa kituo cha habari cha umoja wa mataifa (unic) stella vuzo akizungumza na vijana hao wahitimu darasa la saba katika shule hiyo ya jijini dar es salaam
afisa huyo kutoka unic bi vuzo ambaye pia alikuwa mgeni rasmi katika hafla ya mahafali hayo alisema wamekuwa na program ya kutoa elimu kwa jamii juu ya madhara ya matumizi ya dawa za kulevya wamebaini kuwa vijana wengi wanaotumia dawa za kulevya wamefuata mkumbo toka kwa marafiki zao na kwenye makundi na kupata madhara makubwa ikiwemo kuharibu maisha yao
ukweli ni kwamba matumizi ya dawa za kulevya hayajaribiwi ukianza tu matumizi ndio umeingia rasmi maana kiu ya kuendelea itakushinikiza vijana wengi wameharibu mustakabali wa maisha yao kabisa kwa madawa ya kulevya hii tu ni kwa kuwa walikosea katika kufanya maamuzi awali walifanya maamuzi mabaya msikubali kutumika pia katika ubebaji madawa haya nje ya nchi kwa ahadi ya kupewa fedha nyingi au kazi nzuri msikubali kubeba mizigo ya watu hovyo mnaposafiri mnaweza kujikuta mnaingia katika kesi ya kusafirisha madawa haya alisema bi stella vuzo akizungumza na wahitimu na wazazi wao
picha ya pamoja kati ya meza kuu na moja ya kikundi cha burudani cha wanafunzi wa shule ya academic international (academic international primary school) kwenye maafali ya wahitimu wa darasa la saba katika shule hiyo ya jijini dar es salaam
picha ya pamoja kati ya meza kuu mgeni rasmi na baadhi ya wahitimu wa darasa la saba katika shule ya academic international walioshinda tuzo mbalimbali za masomo
aidha aliwaeleza kuwa hatua wanaoingia ni ya kuchagua kuwa na marafiki wazuri ambao watakuwa mwongozo kwao na wasiogope kuzungumza nao juu ya changamoto mbalimbali zitakazo wakabili na kuangalia namna ya kuzitatua aliwahimiza kutambua kuwa kuanzia sasa wanaingia katika hatua ya mabadiliko kimaisha hivyo umakini unahitajika
mnaingia kwenye hatua ambayo wewe mwenyewe utaanza kufanya maamuzi juu ya maisha yako si kitu kirahisi kama mnavyodhani umakini nguvu na jitihada binafsi zinaitajika ili kujenga mustakabali wa maisha yenu alisisitiza mgeni huyo rasmi kutoka unic
bila shaka walimu hapa shuleni wamefanya kazi yao ipasavyo kwa kuwafundisha na kuwasaidia katika masomo mbalimbali walimu wamewatia moyo na kuwapa motisha ili muweze kufanya vizuri katika mitihani yenu ya mwisho kwa upande wa wazazi wenu wamejitahidi kujitoa tangu mkiwa wadogo hata kuwasaidia kuwapa mazoezi madogo madogo nyumbani hadi leo hii ambapo mnaingia katika hatua nyingine ya maisha ya mwanadamu hata hivyo kadri mnavyo endelea kukua mnatakiwa kuendana na tamaduni zetu za kiafrika kuheshimu wakubwa zenu mnaitaji kuwa karibu na wazazi wenu na kuwasikiliza zaidi kuna mengi ya kujifunza kwao ambayo nyinyi hamna
hata hivyo aliwataka kutambua kuwa kila hatua ya maamuzi wanayoifanya leo inaweza kujenga ama kuharibu maisha yao ya kesho hivyo umakini zaidi unaitajika aliwataka wahitimu hao kutumia muda kujisomea vitabu magazeti na machapisho mbalimbali ili kupata habari mbalimbali za ndani na nje ya nchi na hata kujua nini kinaendelea nchini kwao na hata nje ya nchi
kuweni sehemu ya kutatua changamoto mbalimbali za ulimwengu muwe wabunifu na hata kuwasaidia wengine katika maisha mazuri msikubali kuingizwa katika tamaduni zisizofaa ama kupitwa na wakati teknolojia ni nzuri lakini msikubali kutekwa nayo hata kuwaingiza katika mambo yenye madhara leo mnamaliza darasa la saba (std 7) ni hatua muhimu ya masomo lakini huwezi kupata kazi kwa kutegemea cheti cha darasa la saba endeleeni kusonga mbele kielemu
hakuna haja ya kupoteza muda fanya la wakati wakati unawakati kwani utakuja wakati utahitaji kufanya la wakati na hakutakuwa na wakati wa kufanya ya wakati
picha ya pamoja kati ya wahitimu wa darasa la saba na mgeni rasmi pamoja na meza kuu katika hafla ya maafali yao
picha ya pamoja kati ya meza kuu mgeni rasmi na baadhi ya wahitimu kumi bora waliofanya vizuri katika masomo yao
baadhi ya wahitimu wa darasa la saba katika shule ya academic international wakiwa katika hafla ya maafali yao yaliofanyika shuleni hapo juzi
ofisa habari wa kituo cha habari cha umoja wa mataifa (unic) stella vuzo (kulia) na mgeni rasmi katika maafali ya wahitimu wa darasa la saba katika shule ya academic international (academic international primary school) ya jijini dar es salaam akiwasili katika ukumbi wa mahafali hayo kushoto ni mkuu wa shule ya awali na msingi ya academic international bi natasha karamagi akimuongoza mara baada ya kupokea heshima ya vijana wa skauti shuleni hapo baada ya kupokewa
mgeni rasmi kwenye mahafali ya wahitimu wa darasa la saba katika shule ya academic international (academic international primary school) na ofisa habari wa unic stella vuzo (katikati) akimkabidhi cheti mmoja wa wanafunzi wahitimu wa darasa la saba kwenye hafla ya maafali hayo kushoto ni makamu mwenyekiti wa kamati ya wazazi wa shule hiyo tom bowyer
mgeni rasmi kwenye maafali ya wahitimu wa darasa la saba katika shule ya academic international (academic international primary school) na ofisa habari wa unic stella vuzo (wa pili kulia) akimkabidhi zawadi mmoja wa wanafunzi wahitimu wa darasa la saba aliofanya vizuri katika masomo yake wa kwanza kulia ni makamu mwenyekiti wa kamati ya wazazi wa shule hiyo tom bowyer pamoja na meza kuu wakishuhudia
picha ya baadhi ya wahitimu wa darasa la saba katika shule hiyo wakiwa na mgeni rasmi na viongozi wa shule ya academic international (academic international primary school) ya jijini dar es salaam
burudani ya ngoma ikitolewa na wanafunzi wa shule ya academic international (academic international primary school) katika hafla ya maafali ya wahitimu wa darasa la saba katika shule hiyo
wanafunzi waliohitimu darasa la saba wa academic international primary school wakiwa katika picha ya pamoja
baadhi ya wazazi wa wanafunzi wahitimu darasa la saba katika shule ya academic international wakiwa katika hafla ya maafali hayo
waziri maghembe azindua mradi wa secad wenye
uba group appoints peter mule makau as new md/ceo of united bank for africa tanzania
rais magufuli amteua gelasius byakanwa kuwa mkuu wa wilaya ya hai
news alert rais magufuli amteua dk asha rose migiro kuwa balozi wa uingereza
tra yakusanya bilioni 12 kutoka kwa wakwepa kodi | 2017-08-24T04:54:48 | http://dewjiblog.co.tz/unic-yataka-wahitimu-academic-international-kutojiingiza-katika-dawa-za-kulevya/ |
uteuzi wa mawaziri umesheheni matundu mwanahalisi online
rais john magufuli akiendesha kikao cha baraza la mawaziri muda mcheche baada ya kufanya mabadiliko
posted by mwandishi maalum 13 days ago 0 1970 views
rais john pombe magufuli ametangaza mabadiliko katika baraza lake la mawaziri kwa kuondoa baadhi wengine kuwahamisha na wapya kuingizwa
miongoni mwa waliondolewa ni prof jumanne maghembe aliyekuwa waziri wa maliasili na utalii gerson lwenge aliyekuwa naibu waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo annastazia wambura na naibu waziri wa maliasili na utalii ramo makani
alisema amefanya mabadiliko hayo kutokana na kuwepo na nafasi za wazi ambazo zinahitajika kujazwa ni kufuatia kujiuzulu kwa prof sospiter muhongo aliyekuwa waziri wa nishani na madini na george simbachawene aliyekuwa tamisemi
mawaziri wapya ni hamis kigwangwala issack kamwele luhaga joelson mpina medard kalemani na george mkuchika
baraza la mawaziri lililotangazwa na rais magufuli jumamosi iliyopita lina mawaziri 21 na naibu mawaziri 20
haya ni mabadiliko ya kwanza makubwa kufanywa na rais magufuli tangu aingie madarakani novemba 2015 wapo wanaosema huu ni mtego wa kwanza kanasa kutokana na kauli yake kuwa nitateua baraza dogo la mawaziri lenye watu wasafi na wachapa kazi
swali ambalo wananchi wanajiuliza ni hili mabadiliko haya yamezingatia hicho alichokisema mabadiliko yamezingatia uwapo wa muungano wa tanganyika na zanzibar mabadiliko yamepunguza gharama za uendeshaji wa serikali tujadili
kwanza mabadiliko katika baraza la mawaziri limefanya idadi ya mawaziri kuongezeka kutoka watu 32 waliokuwapo katika baraza lililopita hadi kufikia 41 waliotangazwa na kuapishwa jumatatu wiki hii
hili ni ongezeko la watu tisa takribani asimilia 28 ya mawaziri waliokuwapo ni kinyume na ahadi yake kwa wananchi aliyoitoa wakati wa kampeni na alipotangaza baraza lake la kwanza la mawaziri tarehe 10 desemba mwaka 2015
akihutubia taifa kutokea ikulu jijini dar es salaam siku hiyo rais magufuli alisema aliyekuwa mtangulizi wake jakaya mrisho kikwete aliunda baraza lililobeba mawaziri na naibu mawaziri zaidi ya 59
lakini yeye ameamua kuunda baraza dogo lenye wizara 18 na mawaziri 19 ili kupunguza gharama za uendeshaji wa serikali
alidai kuwa baadhi ya wizara ameziunganisha nyingine amezipa mawaziri lakini hakuteuwa naibu mawaziri
lakini sasa miaka miwili baada ya kukaaa ikulu rais magufuli hakuishia kupanua baraza la mawaziri kwa kuongeza manaibu mawaziri ameimega wizara ya nishati na madini na kuifanya wizara mbili
magufuli ama kwa bahati mbaya au kwa makusudi uteuzi wake umeibua hisia kali za ukanda na ukabila ameruhusu baadhi ya wapinzani wake wa kisiasa kumtuhumu upendeleo na kudai kuwa anaangalia kanda fulani na kupuuza kanda nyingine
kwa mfano wanataja kanda ya ziwa victoria kuwa imeoa idadi kubwa ya mawaziri na naibu mawaziri ukilinganisha na kanda nyingine
huko ndiko walikoibuliwa dk medard kalemani luhaga joelson mpina stanslaus haroon nyongo angelina sylivester mabula charles john tizeba kangi alphaxard lugola george joseph kakunda elias john kwandikwa hamisi andrea kigwangalla na charles paul mwijage
kanda nyingine iliobahatika kutoa idadi kubwa ya mawaziri na naibu mawaziri ni mbeya huko ndiko wameibuliwa dk harisson mwakyembe juliana shonza merry mwanjelwa na josephat ngailonga hasunga
mkoa wa kilimanjaro haukupata bahati ya kutoa waziri na hata naibu waziri hii ni mara ya kwanza katika hostoria ya taifa hili
anayetajwa na baadhi ya watetezi wa rais kuwa ni kutoka kaskazini angellah kairuki ni mbunge wa viti maalum jijini dar es salaam na anahudumu kama diwani katika halmashauri ya manispaa ya kinondoni
hata usawa kwenye mgawanyo wa muungano wa tanganyika na zanzibar haukuzingatiwa katika mabadiliko haya kati ya mawaziri na naibu mawaziri 21 zanzibar ina mawaziri wawili prof makame mbalawa na hussen mwinyi na naibu mmoja yusuf masauni
katika wizara sita zinazojihusisha moja kwa moja na masuala ya muungano mawasilino na uchukuzi mambo ya nje fedha na mipango muungano mambo ya ndani na ulinzi zenye mawaziri sita na manaibu mawaziri saba zanzibar imeambulia mawaziri wawili na naibu waziri mmoja
hata ofisi inayoshughulikia muungano wenyewe inaongozwa na watu kutoka bara ni january makamba na lugola
haya yaliyotendwa na magufuli ni kinyume na dhamira ya uanzishwa wa muungano na makubaliano ya kuundwa kwa muungano wenyewe kulikofanywa na waasisi wa taifa hili julius kambarage nyerere na abeid amani karume
kama rais haundi baraza lake kwa masuala mazito kama muungano na ukanda anawezaje kuangalia jinsia za watu anawezaje kuunda wizara ya walemavu wazee na watoto na wasanii huku siyo kujenga matabaka
ni kweli kuwa siyo lazima kila mkoa utoe waziri au naibu waziri wala siyo lazima kila dini na kila kabila litoa waziri au naibu mawaziri
lakini kama katika maeneo hayo wapo watu wenye sifa ni vema uteuzi ukazingatia uwiano wa ukanda ukabila na udini
hii ni kwa sababu mawaziri wanaweza kupendelea wanakotoka jambo ambalo litaingiza nchi katika mgogoro wa kisiasa na kiuchumi hili limeshawahi kufanyika katika tawala zilizopita
pili kwa jinsi mabadiliko yalivyofanyika na aina ya watu waliongizwa serikalini inathibitisha kuwa rais magufuli hakujiandaa kuwa rais
siyo kwamba alikuwa hautaki la hasha hakuamini kama njia aliyoitumia kuwa rais inakubalika
alama ya haraka kwenye serikali ya rais magufuli ni kukataa kukosolewa wakati kukosolewa ni kuambiwa ukweli mwingine tofauti na ule ulioshikilia
ni kama alivyokuwa kikwete aliutaka sana urais alijiandaa kwa muda mrefu lakini hakwenda zaidi ya kuwa rais baada ya kuupata hakujua aufanyie nini
ndoto yake ilikuwa imetimia na alibaki hivyo kwa miaka yake 10 ndivyo itakavyokuwa kwa magufuli kila uchao maguguli anaibua mjadala mpya safari hii ameibua mjadala wa upendeleo
mathalani rais magufuli amepuuza madai kuwa kalemani ni mmoja wa watuhumiwa wakuu katika kuingiza nchi hii kwenye mikataba ya kinyonyaji wakati akiwa mwanasheria wa wizara ya nishati na madini
mikataba mibovu katika wizara ya nishati na madini ndio sababisho kuu lililotajwa la kujiuzulu kwa aliyekuwa bosi wa kalemani prof sospeter muhongo
aidha rais magufuli anaonekana kufanya kazi kwa orodha ya mahitaji siyo kwa kutumia vipaumbele
ndiyo maana kila kukicha ni kukimbizana na utendaji na mahitaji ya dar es salaam kana kwamba jiji hilo ndiyo tanzania
pamoja na kutokamilika kwa uwanja wa ndege mwanza na kuwapo msongamano mkubwa wa magari kuna ujenzi wa uwanja mpya wa ndege wa chato
eneo hili lina viwanja vidogo geita biharamulo na kahama kama ni suala la usafiri wa rais kwenda nyumbani vingetumika hivyo
rais magufuli anapaswa kufahamu kuwa yuko kwenye nchi yenye upungufu wa karibu kila kitu isipokuwa umaskini
anapaswa kufahamu kama ni harusi basi sasa amemaliza fungati na amerudi nyumbani kuanza maisha mapya hakuna tena michango wala vigelegele
na mwandishi maalum rais john pombe magufuli ametangaza mabadiliko katika baraza lake la mawaziri kwa kuondoa baadhi wengine kuwahamisha na wapya kuingizwa miongoni mwa waliondolewa ni prof jumanne maghembe aliyekuwa waziri wa maliasili na utalii gerson lwenge aliyekuwa naibu waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo annastazia wambura na naibu waziri wa maliasili na utalii ramo makani alisema amefanya mabadiliko hayo kutokana na kuwepo na nafasi za wazi ambazo zinahitajika kujazwa ni kufuatia kujiuzulu kwa prof sospiter muhongo aliyekuwa waziri wa nishani na madini na george simbachawene aliyekuwa tamisemi mawaziri wapya ni hamis kigwangwala issack kamwele luhaga joelson mpina medard&hellip
previous ni lini afrika itaonja siasa safi
next spika ndugai amedanganya | 2017-10-24T05:38:18 | http://mwanahalisionline.com/uteuzi-wa-mawaziri-umesheheni-matundu/ |
messi aonesha maajabu apiga hat trick na kuipeleka argentina kombe la dunia nchini urusi 2018 | lemutuz
home sports messi aonesha maajabu apiga hat trick na kuipeleka argentina kombe la dunia
wakicheza kwa nidhamu ya hali ya juu huku wakiwa na wasiwasi wa kukosa kombe la dunia 2018 nchini urusitimu ya argentina imefanya maajabu katika uwanja wa estadio olimpico atahualpa mjini quito nchini ecuador baada ya kutoka nyuma ya kufungwa goli na wenyeji na kusawazishi na kushinda jumla ya magoli 31 mshambuliaji hatari duniani kwa sasa katika ligi tano bora dunianilionel messi kwa miguu yake mwenyewe usiku wa leo atakumbukwa na wananchi wa taifa la argentina baada ya kuipeleka nchi hiyo kombe la dunia litakalofanyika urusi 2018 kwa kufunga magoli matatu yaani hat trick
akiendelea kuonesha maajabu na kudhihirisha kuwa yeye ni bora kwa sasa na duniani kote nyota huyu wa timu ya barcelona akiwa ameshafunga magoli 11 msimu huu katika la liga kwa mechi saba alizocheza na barcelona wakiwa na alama 21 ecuador walikuwa wa kwanza kupata goli la mapema lililofungwa na romario ibarra dakika ya kwanza goli hilo lilianza kuwaweka katika wakati mgumu na wengine wakiamini kuwa argentina hawatafuzu kombe la dunia na dakika ya 12 di maria alikimbia na mpira na kupiga pasi ya maana kwa lionel messi aliyeweza kufunga na kuisawazishia timu yake na dakika ya 20 lionel messi alifanya maajabu baada ya kuwachambua wachezaji wa eduador na kufunga goli la pili hadi mapumziko wageni walikuwa mbele
matokeo mengine kama ifuatavyo brazil 30 chile paraguay 01 venezuela peru 11 colombia uruguay 42 bolivia match details and qualification tables ecuador (4141) banguera velasco aimar alvarez arboleda ramirez orejuela ibarra intriago (uchuari 77) cevallos (valencia 41) ibrarra mina ordonez ayovi (estrada martinez 64) subs not used arreaga garces johnson mina lopez murillo ortiz piedra plata goals ibarra mina 1 yellow cards cevallos 14 argentina (343) romero mercado mascherano otamendi salvio perez biglia acuna messi benedetto (icardi 77) di maria (paredes 84) subs not used
banega dybala fazio gomez guzman mammana marchesin perez pezzella rigoni goals messi 12 20 62 yellow cards acuna 51 biglia 61 mascherano 86 referee anderson daronco (brazil) lionel messi netted an incredible hattrick to help argentina come from behind in ecuador and qualify for the 2018 world cup the barcelona forward netted twice in eight firsthalf minutes as jorge sampaolis side turned the game on its head in quito romario ibarra put ecuador in front after only 38 seconds in quito after argentina failed to deal with a simple long ball
the home side celebrate their opening goal in front of the argentina bench their lead was shortlived in a dramatic firsthalf messi levelled the scores after 12 minutes following a neatone two with former manchester united star angel di maria on 20 minutes messi had turned the game on its head firing home from the edge of the box to put argentina 21 up di maria and marco acuna celebrate with the forward after he put them back on track to qualify for the 2018 world cup messi picked up his 44th career hattrick with a sublime chip from the edge of the penalty area just after the hour mark
the barcelona forward points to the sky after scoring the goal that secured his sides qualification for next years world cup ecuadors goalscorer ibarra tries to hold off the attention of argentina defender gabriel mercado during the first half in quito ecuador left back cristian ramirez leaps over the challenge of former west ham and liverpool star javier mascherano eduardo salvio battles for possession with ibarra as the home side looked to end the visitors hopes of world cup qualification the barcelona forward and argentina skipper salutes the travelling support following the 31 victory over ecuador
previous articlethe magazeti ya leo jumatano/wednesday 11102017
next articlebrazil waitandika chile na kuzima ndoto za kuelekea kombe la dunia urusi mwaka 2018
mkazi wa moshi kutimiza ndoto zake baada ya kushinda bajaji
kikosi cha taifa stars dhidi ya algeria leo hii hiki hapa
santi cazorla anusurika kuoza mguu
kauli ya mwanjali baada ya kutemwa simba | 2018-03-23T06:43:54 | https://lemutuz.com/2017/10/11/messi-aonesha-maajabu-apiga-hat-trick-na-kuipeleka-argentina-kombe-la-dunia-nchini-urusi-2018/ |
naibu waziri wa kilimo innocent bashungwa ameziagiza taasisi za utafiti wa kilimo nchini kuandika matokeo yao ya utafiti kwa lugha ya kiswahili ili kuwezesha wakulima wengi wa vijijini kuzielewa na kuzifanyia kazi
naibu waziri wa kilimo innocent bashungwa picha mtandao
akitoa agizo hilo jijini arusha jana wakati akizindua teknolojia ya kilimo hifadhi (casi) iliyofadhiliwa na serikali ya australia kupitia kituo cha utafiti selian kilichoibua teknolojia hiyo bashungwa alisema kilimo hicho kina tija na kinatunza mazingira
alisema changamoto kubwa iliyopo nchini ni tabia ya watafiti wengi kupitia taasisi zao kuandika tafiti zao kwenye vitabu kwa lugha ya kiingereza ambayo wakulima wengi hawaelewi lugha hiyo hasa wa vijijini
sasa naagiza taasisi hizi za utafiti wa kilimo zibadilike anzeni kuweka mikakati ya kubadilisha vitabu vyenu vya tafiti na kuweka katika lugha ya kiswahili ili wakulima wengi wa vijijini waelewe na kuzifanyia kazi alisema
alisema tafiti nyingi nzuri kama hiyo ya teknolojia mpya ya kilimo hifadhi (casi) lakini imeandikwa kwa kiingereza hivyo ueneaji wake kwa wakulima ni wa polepole
aliagiza watafiti hao kuhakikisha wanaeneza teknolojia hiyo kwa njia ya midahalo ya kiswahili na vyombo vya habari kwa kuwapatia elimu waandishi ili nao watumie kalamu zao kueneza kwa wakulima wengi zaidi ya sasa
alisema serikali inapongeza kituo cha utafiti selian na serikali ya australia iliyofanikisha kupatikana casi kwa sababu inamwezesha mkulima kutumia eneo dogo kuzalisha mahindi na mazao jamii ya kundekunde pamoja na kupata kipato kizuri chenye tija kwake na kuongeza pato la taifa ambalo kwa sasa kilimo huchangia asilimia 291
pia aliagiza taasisi ya kilimo nchini na taasisi ya uzalishaji mbegu kukaa pamoja na wadau wa viwanda kama sido ili watoe dhana za kusaidia wakulima kupalilia na kuvuna japo teknolojia hiyo inapunguza upaliliaji na uandaaji mashamba kwa muundo wake wa kuacha masalia shambani ambayo hutoa mbolea baada ya kuoza na kuzuia uotaji magugu
mwenyekiti wa kamati ya bunge ya kilimo mifugo na maji mohmoud mgimwa alisema teknolojia hiyo nzuri licha ya kuongeza uzalishaji na kupambana na mabadiliko ya tabia ta nchi pia inapunguza uharibifu wa mazingira
tunachoomba itangazwe zaidi kwenye vyombo vya habari na serikali iongeze bajeti za watafiti ili wafanye kazi vizuri na kuharakisha kupeleka bungeni rasimu ya maadiliko ya sheria ili tutengeneze sheria yenye tija kwa kulinda wakulima alisema
kwa upande wake mkurugenzi wa kituo cha utafiti wa kilimo selian dk joseph ndunguru endapo teknolojia hiyo itaenea kwa wakulima wengi zaidi itawezesha upatikanaji wa malighafi za viwandani na mazao mengi zaidi ya sasa | 2019-03-23T09:48:05 | https://www.ippmedia.com/sw/biashara/naibu-waziri-aagiza-matokeo-ya-utafiti-yaandikwe-kiswahili |
waislamu na waislamu wa misri ya kale
dini & kiroho waungu na waislamu
miungu ya misri ya kale
miungu na wa kike wa misri ya kale walikuwa kundi kubwa la viumbe na mawazo kama utamaduni ulibadilika vivyo hivyo wengi wa miungu na kile walichowakilisha hapa ni baadhi ya miungu inayojulikana zaidi na wa kike wa misri ya kale
anubis mungu wa mazishi na kumaliza
anubis aliongozwa roho za wafu kupitia ulimwengu picha na de agostini / w buss / picha za getty
anubis alikuwa mungu wa kifo cha misri mwenye kichwa na kumkamata na alisema kuwa ni mwana wa osiris na nepthys ingawa katika hadithi fulani baba yake ni set ni kazi ya anubis kupima mioyo ya wafu na kuamua kama wao walikuwa anastahili kukubalika kwa wazimu kama sehemu ya majukumu yake yeye ndiye mlinzi wa roho zilizopotea na yatima jua kwa nini anubis ilikuwa muhimu kwa waisraeli wa zamani zaidi »
bast cat cat goddess
picha za shaba za bastet wa kiungu kama paka au mwanamke mwenye kichwa picha na maktaba ya picha ya de agostini / getty images
katika misri ya kale paka mara nyingi zinabuduwa kama miungu bast ilikuwa mojawapo ya miungu ya feline iliyoheshimiwa sana pia aitwaye bastet alikuwa mungu wa ngono na uzazi mwanzoni alionyeshwa kama simba lakini wakati mwingine alionyeshwa na kittens kando yake kama ibada kwa jukumu lake kama mungu wa uzazi
geb mungu wa dunia
picha za de agostini / c sappa / getty
katika dini ya zamani ya misri geb inajulikana kama mungu wa dunia na ndiye mfalme wa kwanza wa misri mara nyingi huonyeshwa uongo chini ya mungu wa miungu nut katika nafasi yake kama mungu wa dunia yeye ni mungu wa uzazi mimea hukua ndani ya mwili wake wafu wamefungiwa ndani yake na tetemeko la ardhi ni kicheko chake yeye ni zaidi ya mungu wa uso wa dunia kwa kweli yeye ni mungu wa kila kitu kilicho ndani ya dunia
hathor mchungaji wa wanawake
wamisri waliheshimu hathor mke wa ra wolfgang kaehler / umri fotostock / picha za getty
katika dini ya misri hathor alikuwa mungu wa zamani ambaye alikuwa mwanamke upendo na furaha ya mama mbali na kuwa ishara ya uzazi alikuwa anajulikana kama mungu wa wazimu kwa kuwa yeye kukaribisha wapya waliondoka kwenda magharibi
isis mama wa mungu
isis mara nyingi huonyeshwa na mabawa yake yameenea nje mikopo ya picha a dagli orti / de agostini picha library / getty images
mwanzoni mungu wa mazishi isis alikuwa mpenzi wa osiris baada ya kifo chake alitumia uchawi wake kumfufua isis anaheshimiwa kwa jukumu lake kama mama wa horus moja ya miungu yenye nguvu zaidi ya misri yeye pia alikuwa mama wa mungu wa kila kipindi cha misri na hatimaye ya misri yenyewe
ma'at mungu wa kike na kweli
sandro vannini / picha za getty
maat ni mungu wa misri wa ukweli na haki ameoa na thoth na ni binti wa ra mungu wa jua mbali na ukweli yeye hujumuisha uwiano usawa na utaratibu wa mungu katika hadithi za misri ni maat ambaye huingia baada ya ulimwengu kuundwa na huleta umoja kati ya machafuko na shida
osiris mfalme wa miungu ya misri
osiris juu ya kiti chake cha enzi kama inavyoonekana katika kitabu cha wafu papyrus ya funerary picha na w buss / de agostini picture library / getty picha
osiris alikuwa mwana wa dunia na anga na wapendwa wa isis anajulikana kama mungu aliyefundisha wanadamu siri za ustaarabu leo yeye anaheshimiwa na wapagani wengine kama mungu wa chini na ya mavuno
ra sun mungu
ra alicheza jukumu muhimu katika hadithi za misri picha kutoka kwa hifadhi ya hifadhi / hulton archive / getty images
ra alikuwa mtawala wa mbinguni alikuwa mungu wa jua mletaji wa mwanga na mfuasi kwa fharao kulingana na hadithi jua linasafiri mbinguni kama ra anaendesha gari lake kupitia mbinguni ingawa mwanzoni alikuwa akihusishwa tu na jua la mchana kama wakati ulivyopita ra aliunganishwa na kuwepo kwa jua siku nzima
tamaa mlezi wa uzazi
dea / g dagli orti / picha za getty
taweret alikuwa mungu wa misri wa kuzaa na uzazi lakini kwa muda alikuwa anaonekana kuwa pepo wanaohusishwa na hippopotomu taweret ni mungu wa kike ambaye huangalia zaidi na kulinda wanawake katika kazi na watoto wao wapya
thoth mungu wa uchawi na hekima
thoth mwandishi huhusishwa na siri za mwezi picha na cheryl forbes / lonely planet / getty picha
thoth alikuwa mungu wa misri ambaye alizungumza kama ulimi wa ra jua ni nini kinachojulikana kuhusu uungu huu wa kichwa cha misri na jinsi anavyohusika katika hadithi ya isis na osiris
kuadhimisha masculine mtakatifu
majina yote ya ganesha ni nini
bwana rama avatar bora
kuber bwana wa mali
cerridwen mwekaji wa cauldron
ninajuaje kama uungu unaniita
hadithi mbili za genesha mungu wa hindu wa bahati nzuri
gaia ufanisi wa dunia
artemis goddess kigiriki wa kuwinda
wazazi wa kale wa upendo na uzazi
freyja mungu wa uzinzi uzazi na vita
11 miungu ya uumbaji wa beltane
magari ya juu 10 kwa wanaume
nyimbo za muda mrefu zaidi za nascar
mzunguko wa repeal wa ireland
wasifu wa frank lloyd wright
historia ya nyimbo za american folk
majina maarufu zaidi ya kijapani ya watoto wa 2014
jinsi ya kupiga trailer nyuma ya pickup au gari
kuongeza msisitizo kwa kiingereza fomu maalum
compact mayflower ya 1620
jinsi ya kutumia jamais kwa kifaransa
maombi ya malaika kuomba kwa malaika mkuu michael
5 swing muhimu hundi wakati unahitaji kurekebisha kipande chako cha golf
majaribio ya iceberg ya kibinafsi
panda na kukuza ginkgo
vita vya alexander mkuu vita vya chaeronea
jojo starbuck champion ya taifa ya uwanja wa kitaifa wa wakati wa marekani
panda ndani
admissions academy marine academy
chuo kikuu cha furman gpa sat na act
kuandika kadi za mwaka mpya wa kijapani
ambapo nambari za usajili zimewekwa kwenye mashua
yote kuhusu hekalu la kihindu
jinsi ya kujihusisha jumuisha (kujumuisha) kwa kifaransa
utangulizi kwa neno la kifaransa mairie
orodha ya operesheni na giuseppe verdi
anwani ya kuanzisha ya john f kennedy
angalia movies zisizopakuliwa mtandaoni | 2020-08-11T04:31:10 | https://sw.eferrit.com/miungu-ya-misri-ya-kale/ |
ukweli kuhusu mpaka wa tanzania na malawi page 10
7th august 2012 1201
re news from malawi
hii tayari imeishafika hapa
7th august 2012 1206
7th august 2012 1209
hata mimi naona kama kuna kampango ka kumuonea dada joyce
7th august 2012 1214
kama apendi sketi ndo atuonyeshe ala
nampenda sana joyce banda mwanamama shupavu sana acheni malawi wachukue ziwa lao jamani mbona mnakuwa watu wa dhuruma nyie mnalo victoria tanganyika na mengineyo mbona hamridhiki so far maziwa yote mliyonayo yamewasaidieje kiuchumi
7th august 2012 1222
the question here is about military capability and not the size of country or population or a gender of a president
tatizo hata tukipewa maziwa yote africa kwa tanzania ya uongozi dhaifu huuhayatakuwa na faida yoyote kwa watanzaniahizo raslimali tulizo nazo kama madini yanatusaidia nini watanzania mwacheni mdada wa watu anayejua umuhimu wa rasilimali
7th august 2012 1225
yani nina hasira sana juu ya hili nchi yenyewe ndogo hata mkoa wa taboramkubwa yan hawa ni kuwapiga tu washike adabu
7th august 2012 1228
kwanza hilo jeshi la malawi kunauwezekano mkubwa kuwa limejaa ******* na wasagaji so tunaenda kuwapiga na kuwavua chupi
7th august 2012 1232
mafunzo ya jkt yaanze haraka sana uwanja huo wa meadani
7th august 2012 1234
never repeat never understimate your enemy otherwise the david and goliath stories would be in vain
we mtoto rudi kwenye thread zako za kusoma soma noval kule jukwaa la elimu huku waachie ma intellegencia na watu wa siasa ambao ni ma great thinker mana naona unaongea uchafu tu
ohoo ohooo ooooo
tuta aibika vibaya jeshii letu lina uzoefu wa kufyeka nyasi na si 'kuzichapa'
kuwa tayari kujifunza wewe duniani hakuna mipaka kama malawi wanavyotakawanyasa zaidi ya 600 maisha yao yanategemea maji kama malawi wanadaai maji ni yao wanyasa wataishije
7th august 2012 1235
hao malawi jeshi lao linaudhoefu wa nini kuapisha mashoga
7th august 2012 1237
our own president wants to make the most of this saga just to portray a false 'strong' gov amid claims of 'weak' gov
7th august 2012 1238
our own president wants to make the most of this saga just to portray a false 'strong' gov image amid claims of 'weak' gov
nyinyi mnaongea tu ungekuwa mnyasa ama mzaliwa wa pwani ya hilo ziwa ungjea lina umuhimu gani kwa wazawa wenzako hanna uzalendo tunataka mmabadiliko yatakuja vp bila a kuwa na moyo wa upendo wa nchi yetu embu tujitafakari kwanza
7th august 2012 1239
phd wewe ni mtanzania kweli nina wasiwasi na wewe kama siyo mkenya sijui
7th august 2012 1243
nami nauliza swali alilouliza huyu mwandishi wa malawi kwa nini tudai wakati huu na sio huko nyuma katika kipindi chote cha huko nyuma shughuli zote za malawi zilikuwa zikiendelea kwenye maeneo hayo yanayogombaniwa sasa tanzania ndoimelea na kukuza huu mgogoro nasasa tz inatakiwa ipambane kulikomboa hilo eneo tz ipate funzo siku nyingine ikitokea nchi inaingilia mipaka yetu ni vizuri kuwaeleza/kuwaondoa mapema kabla hawajaizoea
spika anatumia kanuni gani kuongoza bunge
chadema ihamasisshe wanachama na watz kutembea na vifaa vya kuchukua pictureni zaidi ya silaha | 2013-05-21T14:37:48 | http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/300613-ukweli-kuhusu-mpaka-wa-tanzania-na-malawi-10.html |
exhibition stand design company dubai archives exhibition stand design & contractor in uae(dubai)iran(tehran) saudi arabiaqatar(doha) iraqkuwaitoman germany
tag archives exhibition stand design company dubai | 2019-02-23T21:39:39 | https://www.beautisky.com/tag/exhibition-stand-design-company-dubai/ |
wwwbukobasportscom manchester united yaanza kutema cheche yamsaini beki eric bailly
manchester united yaanza kutema cheche yamsaini beki eric bailly
manchester united wametangaza rasmi kumsaini eric bertrand bailly ambae ameshakamilisha uhamisho wake kutoka villarreal cf na kinachosubiriwa ni kupata kibali cha kufanya kazi huko uingereza
bailly amesaini mkataba wa miaka minne ambao una kipengele cha kuongeza miaka miwili baada ya hapo
bailly mwenye miaka 22 aliichezea villareal mechi 47 tangu ajiunge nao januari 29 2015 na pia kuichezea nchi yake mara 15 akiwa sehemu ya timu iliyotwaa ubingwa wa africa afcon 2015 akicheza mechi zao zote za fainali na kufunga moja ya mikwaju ya penati tano tano zilizoibwaga ghana
akiongea baada ya kusaini mkataba bailly alisema ni ndoto iliyotimia kujiunga na manchester united kucheza soka la kiwango cha juu ndicho ninachotaka natka niendelee na naamini kufanya kazi na jose mourinho kutanisaidia kuendelea kwa njia sahii na klabu sahihi
nae mourinho alizungumza eric ni beki wa kati mwenye umri mdogo na mwenye kipaji asilia ameendelea vizuri hadi leo na ana uwezo kupanda zaidi
posted by faustine ruta at 52700 pm | 2017-11-17T19:15:02 | http://www.bukobasports.com/2016/06/manchester-united-yaanza-kutema-cheche.html |
valve ya globe china manufacturers & suppliers & factory
valve ya globe mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china
(jumla ya 24 bidhaa kwa valve ya globe)
valve ya globe valve ya globe valve za angle globe valve ya gesi valves rahisi za globe valve ya angle valve za globe kwa maji valve ya sluice | 2020-04-09T02:46:54 | https://www.kingsirvalve.com/sw/dp-valve-ya-globe.html |
mheshimiwa na baiskeli ya kike | jamiiforums | the home of great thinkers
mheshimiwa na baiskeli ya kike
discussion in 'jamii photos' started by babu m may 9 2011
jamaa hazijui unajua yy ameshazoea phonix za kpnd kileeeeendo aksema ajaribu hizi mpya
jamaa hazijui unajua yy ameshazoea phonix za kpnd kileeeeendo aksema ajaribu hizi mpyaclick to expand
hana watoto wakumwambia baba hiyo mwachie mamainaoneka kama ndio alikuwa anajifunza kuride hapowenzake wame relax magufuli kama kachorewa mstari chini
yaani baiskeli kuwa na kikapu pale mbele ndio inakua ya kike
kwani hiyo basikeli imevaa sidiria mpaka iwe ya kike
yaani baiskeli kuwa na kikapu pale mbele ndio inakua ya kikeclick to expand
mawazo mgando yanawasumbua mkuusijui hata wanatumia vigezo gani eti ya kike mi nadhani ni ulimbukeni tu
hiyo baisikeli ya kuendea dukani ukinunua vitu unaweka kwenye kikapu ndiyo matumizi yake wabongo walibambika jina ya kike kwavile walikuwa wanawaona wazungu wanawake mitaa kazaa wakiendea kununua vitu na kueka kwenye kikapu basi jina likabambikwa wengine bila hata kufikiria wanazania ni ya kike tuu…
wapi hii zinduzi ilifanywa na mh dr jp naona furaha tele
kwani hiyo basikeli imevaa sidiria mpaka iwe ya kikeclick to expand
ha ha ha aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ewoooooooooooooooooooooooomi umenichekesha sana
hakuna baiskeli ya kike hapo
taabu yetu wabongo baiskeli tumekuwa tukiona phoenix na raleighna ziote zilikuwa baiskeli za kazi sasa hii kuwa na kikapu cha kubebea mzigo mbele jamaa wameeshaamua kuiita ya kike ingekuwa haina ile frame ya kati (toka kwenye kiti kwenda kwenye usukani) ndiyo walau ingeitwa ya kike kwa kuwa kwa uzoefu wangu hizo ndiyo kawaida hutumiwa zaidi na akina dada kigezo cha kikapu hakitoshi kuiita baiskeli ya mh kuwa ya kike
hakuna mahala ilipoandikwa kwamba ni ya kikemtu yoyote anaweza kuendeshakikapu kazi yake kubeba mzigo ulionao
baiskeli za kike zikoje
mleta mada kwa nini umesema baiskeli ya kike je inaweza kupata mimba
je waheshimiwa wanaptumia vx badala ya vitaraau rav4 sababu vitara nazo wenye mawazo finyu wanazizita kitchen party utawashangaa
so sometime kumbe tunawarushia mawe wanasiasa ila hata sisi tukipata nafasi mambo ni yale yale kwa kuandika neno baiskeli ya ike i can see utakapokuwa kwenye postion ya kuamua kununua vx au vitara kwa mfanyakazi wa umma anayeishi masaki kama ni mwanaume vx kama ni mwanamke
kweli kazi tunayo kama mawazo yenyewe ni haya
hapo jamaa wanawfundisha wanasiasa kuwa kuendesha baiksekeli maybe hata pikipiki sio kundoa status ya cheo kwanza ni kujeng afya pili ni uonyesha unajali mazigira its only wanasasia wakifrika baiskeli /pikipiki ni msamiati hivi ni vitu vidogo lakini vikifanywa na wasiasa japo mara moja kwa wiki vinaweza kuleta change hata kupunguza kero ya foleni
ukiangalia hiyo handlebar niya step through bike ambazo ni baiskeli za kike isipokuwa mixte
hapo jamaa wanawfundisha wanasiasa kuwa kuendesha baiksekeli maybe hata pikipiki sio kundoa status ya cheo kwanza ni kujeng afya pili ni uonyesha unajali mazigira its only wanasasia wakifrika baiskeli /pikipiki ni msamiati hivi ni vitu vidogo lakini vikifanywa na wasiasa japo mara moja kwa wiki vinaweza kuleta change hata kupunguza kero ya foleniclick to expand
< /subtitle >< jumpto >jump to navigation search < /jumpto >< bodytext >this article is about a type of bicycle frame for stepthrough motorcycles see underbone
a stepthrough frame (aka lowstep frame) is a type of bicycle frame often used for utility bicycles with a low or absent top tube or crossbar<sup id=cite_ref0 class=reference>[1]</sup><sup id=cite_ref1 class=reference>[2]</sup>
traditionally bicycles with a stepthrough frame were known as ladies' women's or girls' mainly for their advantage to riders wearing skirts or dresses bicycles with a high top tube (crossbar) known as a diamond frame were known as men's gents' or boys' however since the late 20th century clothing has become less stereotyped and genderbased descriptions are now often seen as assumptive genderneutral descriptions which describe the frame style rather than the presumed gender of the rider are increasingly common this change acknowledges the fact that restrictions upon an individual's mobility may be due to a physical impairment as well as clothing worn by both men and women (long overcoats rain garments)
mheshimiwa hakujiandaa viatu anavyotumia siiiivyo
baiskeli za kike zikojeclick to expand
kama ni ya kike ina maana ukipewa bure utakataa | 2017-07-28T05:10:40 | https://www.jamiiforums.com/threads/mheshimiwa-na-baiskeli-ya-kike.133239/ |
sheria yakub blog ni muhimu sana mfanyabiashara/mjasiariamali/mnunuzi wa bidhaa kuyajua haya
home » » ni muhimu sana mfanyabiashara/mjasiariamali/mnunuzi wa bidhaa kuyajua haya
ni muhimu sana mfanyabiashara/mjasiariamali/mnunuzi wa bidhaa kuyajua haya
posted by bashir yakub at tuesday july 21 2015
ipo sheria moja iitwayo sheria ya uuzaji wa bidhaa sura ya 354 ni sheria ambayo hutoa majibu ya miamala ya kibiashara hasa kwa namna ya kimikataba ni muhimu sana kwa wajasiriamali kujua mambo yaliyo kwenye sheria hii ili kuepuka migongano na migogoro ya kibiasharasheria hii hueleza jambo fulani likitokea hivi kati ya muuzaji na mnunuzi nani ana haki na mengine mengi kama nitakavyoonesha hapaili ujumbe kufika vyema nitaeleza kwa mtindo wa masomo
1somo la kwanza
umefanya mkataba na mtu wa kukuuzia magunia 20 ya karanga na mmesaini mkataba tayari bila kujua kumbe wakati mnasaini mkataba magunia matano yameibiwa kule mlikoyaacha stoo baada ya kuyakagua wakati mkitokea kusaini mkataba ili ukachukue mzigo wako mnakuta gunia tano kati ya ishirini zimeibiwakwakuwa mlishakagua hapo mwanzoni na ukaridhika na kwakuwa tayari mkataba umesainiwa muuzaji anasema hawezi kurudisha hela na hawajibiki na lolote kwakuwa mkataba umekamilika na wewe ulishakagua na kuridhika nani ana haki gani na sheria inasemaje
kifungu cha 18 cha sheria ya mauzo ya bidhaa kinasema kuwa mkataba wa namna hiyo hata kama umekamilika unageuka na kuwa haramu(void) hii ina maana kuwa ikiwa mnunuzi alikuwa hajamlipa muuzaji basi hawezi kulazimishwa kulipa isipokuwa akitaka mwenyewe kwa hiari yake lakini pia kama tayari amelipa hela basi muuzaji analazimika kumrudishia hela yake mnunuzi hawezi kulazimishwa kuchukua mali iliyo chini ya idadi kwa kisingizio cha mkataba kukamilika kuibiwa hakumhusu mnunuzi katika mazingira hayo kwakuwa yeye alisaini idadi kadhaa na anatakiwa kupata idadi hiyo
2 somo la pili
umeagiza gari au kifaa chochote kutoka nje ya nchi kupitia mtandao kutokana na maelezo yaliyo katika mtandao gari hilo limetembea kilomita 2000 na halijafanyiwa marekebisho yoyote kwenye injini kutokana na maelezo hayo unakubali kutuma hela na gari linatumwa ambapo baada ya kulipokea unagundua kuwa limetembea kilomita 9000 na tayari limefanyiwa marekebisho kwenye injini sheria inasemaje kuhusu hali hiyo
kifungu cha 15 cha sheria ya mauzo ya bidhaa kinasema kuwa mnunuzi anayo haki ya kuamua kukaa na gari hilo au kulikataa na kuomba kurudishiwa pesa ni kweli mkataba unakuwa umekamilika kwakuwa tayari umelipa hela na wao wamekutumia mali lakini kifungu hicho kinasema kwasababu bidhaa imeshindwa kufanana na maelezo (description) yaliyotolewa basi mnunuzi anayo haki ya kujitoa katika mkataba huo na kurudishiwa hela yake na hii si kwa kuagiza gari nje ya nchi tu bali hata hapa nchini ukinunua bidhaa ambayo ina maelekezo kuwa ina hiki ina hiki na kile halafu baada ya kununua unagundua kuwa muuzaji alivyosema au ilivyoandikwa haiko hivyo basi sheria inakuruhusu kurudisha bidhaa hiyo na kupewa hela yako au bidhaa nyingine ikiwa utataka hivyo
3 somo la tatu
umenunua gari kwa mtu na baada ya kununua unaamua kulifanyia marekebisho makubwa kwa kutumia kiasi kingine kikubwa cha fedha baadae inakuja kugundulika kuwa gari hilo lilikuwa limeibiwa na wenye nalo wanamtaka mnunuzi kuwarudishia gari lao haraka na anawarudishia swali hapa ni mnunuzi ana haki gani kwa aliyemuuzia kuhusu gari lenyewe na ana haki gani kuhusu gharama za matengenezo alizokuwa ametumia
kifungu cha 14(a) cha sheria ya mauzo ya bidhaa kinasema kuwa muuzaji alikiuka masharti ya umiliki kutokana na hilo kwanza anatakiwa kumrudishia mnunuzi hela yake ya ununuzi wa gari na pili anatakiwa kumrudishia gharanma zote za matengenezo alizotumia kurekebisha gari hilo
kwa leo masomo matatu yanatosha nimetolea mifano ya magari na magunia ya karanga lakini ifahamike kuwa maelezo haya yanatumika katika bidhaa yoyote ile na zaidi ifahamike kuwa ikiwa anayetakiwa kurudisha haki ameshindwa kufanya hivyo basi sheria itamlazimisha kufanya hivyo kwa kutumia vyombo vyake itaendelea tena | 2017-10-23T06:20:51 | http://sheriayakub.blogspot.com/2015/07/ni-muhimu-sana-mfanyabiasharamjasiariam.html |
waziri mkuu majaliwa akutana na viongozi wa wilaya za mkuranga na temeke zanzinews
home habari waziri mkuu majaliwa akutana na viongozi wa wilaya za mkuranga na temeke
waziri mkuu majaliwa akutana na viongozi wa wilaya za mkuranga na temeke
waziri mkuu kassim majaliwa akizungumza na viongozi wa wilaya za mkuranga na temeke ofisini kwake jijini dar es salaam februari 7 2017 (picha na ofisi ya waziri mkuu) | 2018-01-22T14:12:18 | http://www.zanzinews.com/2017/02/waziri-mkuu-majaliwa-akutana-na.html |
moldova uagizaji
sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi moldova uagizaji
<iframe src='https//tradingeconomicscom/embed/s=moldovaimpmports&v=202005151027v20191105&lang=all&h=300&w=600&ref=/moldova/imports' height='300' width='600' frameborder='0' scrolling='no'></iframe><br />source <a href='https//tradingeconomicscom/moldova/imports'>tradingeconomicscom</a>
urari wa biashara ya 29070 23950 4040 35020 usd milioni [+]
uagizaji 50100 48490 55490 11110 usd milioni [+]
mauzo ya nje 21030 24540 27210 6190 usd milioni [+]
utalii waliofika 1847500 4372600 5135500 1122600 [+] | 2020-06-05T23:49:32 | https://sw.tradingeconomics.com/moldova/imports |
vijana washauriwa kuacha kuwategemea wanasiasa radio kaya
kiongozi wa vijana katika eneo bunge la mvita mohammed hussein amesema licha ya idadi kubwa ya vijana kuwa na uwezo wa kubadili maisha yao katika maswala ya elimu na uongozi wamesalia nyuma wakisubiri msaada hasa utoka kwa viongozi wa kisiasa
hussein amesema ni sharti vijana wabadili taaswira yao maishani na wajitahidi katika nyanja mbalimbali zikiwemo za uongozi biashara elimu na siasa badala ya kusalia wakilalamikia kubaguliwa
hussein amewataka vijana kushiriki makongamano mbalimbali yanayoandaliwa kwa ajili yao ili kujipatia habari na muongozo muhimu wa kuafikia ndoto zao maishani badala ya kupuuza vikao hivyo | 2020-02-24T14:31:58 | https://radiokaya.co.ke/vijana-washauriwa-kuacha-kuwategemea-wanasiasa/ |
habari na matukio vijana mkoani dodoma wanufaika na mradi wa airtel fursa
vijana mkoani dodoma wanufaika na mradi wa airtel fursa
meneja mauzo airtel mkoa wa dodoma hendrick bruno (kushoto) akiongea
na fikiri chinji (kulia) anayejishughulisha na ufundi seremala juu ya maendeleo na changamoto za biashara baada ya kuwezeshwa na airtel kupitia mpango wake wa airtel fursa tunakuwezesha wakati airtel ilipotembelea kwenye karakana yake katika mtaa wa ngongona manispaa ya
dodoma ili kujionea maendeleo yake pamoja kupanga jinsi ya kuboresha zaidi biashara yake
meneja mauzo airtel mkoa wa dodoma hendrick bruno (kulia) akishuhudia matumizi ya moja ya vifaa alivyowezeshwa kijana fikiri chinji anayejishughulisha na ufundi seremala kwa kupitia mpango wa airtel fursa tunakuwezesha miezi tisa iliyopita wakati airtel ilipotembelea kwenye karakana yake katika mtaa wa ngongona manispaa ya dodoma ili kujionea maendeleo yake pamoja kupanga jinsi ya kuboresha zaidi biashara yake
kampuni na taasisi mbalimbali hapa nchini zimeaswa kuiga mfano wa kampuni ya simu za mkononi ya airtel tanzania kwa kuwawezesha vijana mbalimbali kujiajiri wenyewe kupitia mradi wa airtel fursaili kupunguza tatizo la ajira hapa nchini
hayo yamebainishwa na mmoja kati ya waliofaidika na mradi wa airtel fursa kijana mjasiriamali anayejihusisha na fani ya ufundi seremala fikiri chinji aishie katika kijiji cha ngongona manispaa ya dodoma wakati alipotembelewa na airtel ili kutadhimini maendeleo yake
fikiri alisema wapo vijana wengi ambao wapo mtaani wakitafuta ajira na wengine wakikumbwa na changamoto za mitaji ili kuendesha biashara zao program kama hii ya airtel fursa ni vyema ikafanywa na makampuni mengi ili kuinua uchumi wa vijana jamii nan chi kwa ujumla
mpaka sasa nawashukuru sana airtel kwa kuniwezesha mtaji ambao umeweza kuinua biashara yangu kupitia program hii nimeweza kutanua biashara yangu ya ufundi selemala na kuanzisha biashara ya welding sambamba na kutanua biashara pia nimeweza kuajiri vijana saba na kuongeza vifaa vingine zaidi nawashukuru airtel kwa kunishika mkono
akizungumza katika eneo hilo afisa airtel kanda ya kati hendrick werner amesema kijana fikiri chinji ameweza kupiga hatua kwa kuongeza vifaa vingine toka alipowezeshwa na airtel fursa kukuza biashara pamoja na kutengeneza ajira kwa vijana wengine na kuwataka vijana wengine kuiga mfano wa fikiri kwa kuanzisha vikundi mbalimbali na kuwatafuta wadau watakao wawezesha kupita program mbalimbali ikiwemo hii ya airtel fursa
airtel fursa ni mradi wa kijamii wenye dhumuni la kuhamasisha vijana kuwapa nafasi ya kujiendeleza kibiashara na ujuzi utakoawawezesha kuimarisha biashara zao pambana group ni kikundi kingine kilichonufaika na mradi wa airtel fursa dodoma ambacho kina vijana zaidi ya 15 | 2017-04-28T06:19:58 | http://www.kajunason.com/2017/01/vijana-mkoani-dodoma-wanufaika-na-mradi.html |
kashililah afafanua sintofahamu uteuzi wa katibu mpya bunge tanzania habari/news | hivisasa blog
home › habari/news › kashililah afafanua sintofahamu uteuzi wa katibu mpya bunge
kashililah afafanua sintofahamu uteuzi wa katibu mpya bunge
tarehe october 8 2017
dkt thomas kashililah
katibu wa bunge wa zamani dkt thomas kashililah amesema rais dkt john pombe magufuli hakufanya kosa katika uteuzi wa katibu wa bunge na kwamba hakuna shria yoyote iliyovunjwa
dkt kashililah amenukuliwa akisema kuwa kwa mujibu wa ibara ya 87(1) ya katiba ya jamhuri ya muungano mamlaka ya uteuzi haikufanya kosa licha ya sheria ya bunge kuelekeza utaratibu
mamlaka ya uteuzi iko sahihi unajua sheria haiko juu ya katiba na katiba iko juu ya sheria hivyo rais akiamua anaweza kufanya hilo sheria haiwezi kumzuia amesema dkt kashililah akisisitiza ibara ya 87 iko wazi ambayo inasema kutakuwa na katibu wa bunge ambaye atateuliwa na rais kutoka miongoni mwa watu wenye madaraka ya juu katika utumishi wa serikali ya jamhuri ya muungano
ameongeza kuwa kama aliyeteuliwa asingekuwa katika madaraka ya juu hapo kungekuwa na tatizo lakini mteule ni mtu senior kabisa serikalini na hivyo ana vigezo vyote na kuwataka watu kuacha kupotosha ukweli
rais magufuli jana jumamosi alimteua steven kagaigai kuwa katibu wa bunge huku dkt kashililah akidaiwa kuwa atapangiwa kazi nyingine
mara tu baada ya uteuzi huo mijadala ilianza katika mitandao ya kijamii kuhusiana na uhalali wa rais kufanya uteuzi huo ambapo mbunge wa kigoma mjini na kiongozi wa actwazalendo zitto kabwe akienda mbali zaidi na kudai kuwa rais amevunja sheria kwa kufanya hivyo na tayari chama chake kimetishia kwenda mahakamani kupinga uteuzi huo kama rais hatoutengua
watoto wanusurika kifo wawili wakijeruhiwa baada ya gari kugonga treni
act watishia kutinga mahakamani kupinga uteuzi wa jpm | 2017-10-22T05:12:08 | http://hivisasa.co.tz/habari/kashililah-afafanua-sintofahamu-uteuzi-wa-mrithi-wake |
dsm city press club yah mwandishi shabani matutu kupigwa risasi bahari ya maarifa
home » »unlabelled » dsm city press club yah mwandishi shabani matutu kupigwa risasi
dsm city press club yah mwandishi shabani matutu kupigwa risasi
tanzania daima na sayari shaaban matutu akionyesha jeraha lililotokana na kupigwa risasi na polisi katika tukio lililotokea usiku wa kuamkia jumanne baada ya polisi kuvamia nyumbani kwake tegeta jijini dar es salaam kwa madai ya kumtafuta mtuhumiwa waliyekuwa wakimsaka matutu kwa sasa amelazwa hospitali ya muhimbili katika kitengo cha mifupa (moi) kwa ajili ya matibabu zaidi(picha hakingowi blog)
dsm city press club imepata taarifa za kushtusha kufuatia ya kupigwa risasi na kujeruhiwa begani kwa mwandishi wa tanzania daima bwana shabani matutu (30) ambaye pia ni mwanachama wa dar city press club (dcpc)
sambamba na taarifa hizo imeelezwa kuwa mwandishi huyo amelazwa katika taasisi ya mifupa katika hospitali ya taifa ya muhimbili (moi) chanzo hasa cha kupigwa risasi kwa mwandishi huyo bado hakijaeleweka kwa dcpc uongozi wa dcpc unafuatilia
tutakapojiridhisha na taarifa zilizotolewa pamoja na zile tutakazozipata tutawataarifu rasmi kwa sababu hizo tunaomba waandishi wote ndugu jamaa marafiki wapenda haki na amani wanaharakati washirika na wadau wote wa vyombo vya habari kuwa watulivu tukimjulia hali kwa misaada ya hali na mali mwandishi mwenzetu shabani matutu ili apone majeraha
soma zaidi taarifa za tukio hili kwenye gazeti la mtanzania polisi wampiga risasi mwandishi wa habari tanzaniadaima jeshi la polisi lajeruhi mwandishi kwa risasi na habarileo polisi wampiga risasi mwandishi wa tanzania daima
posted by bahari ya maarifa at 83900 am | 2018-07-22T08:22:46 | http://mangiayoub.blogspot.com/2012/12/dsm-city-press-club-yah-mwandishi.html |
soma zaidi » mwanzo matangazomadini
tanzania inaelekea kuwa miongoni mwa nchi kubwa zenye madini barani afrika kutokana na rasilimali za madini iliyojaaliwa nazo marekebisho ya uchumi yaliyofanyika katika nusu ya kwanza ya mwaka 1990 hasa kwa upande wa biashara na uwekezeji yameiwezesha sekta kuonyesha viwango vya juu vya ukuaji na kuifanya tanzania kuwa miongoni mwa wachimba madini wakubwa barani afrika maendeleo haya yanaweza kuelezwa hasa kutokana na uchimbaji mkubwa wa dhahabu kuanzia chini ya tani moja mwaka 1998 hadi kiasi cha tani 40 mwaka 2010 na kuifanya tanzania kuwa nchi ya tatu kwa uchimbaji mkubwa wa dhahabu afrika kwa taarifa zaidi tembelea tovuti ya wizara ya nishati na madini | 2017-06-23T03:34:11 | https://tanzania.go.tz/home/pages/131 |
tls wanasheria hatuogopi mabadiliko | gazeti la jamhuri
napenda nianze hotuba yangu kwa kuishukuru mahakama kwa kuweka misingi ya kudumu katika kuadhimisha wiki ya sheria kila mwaka kwa kufanya ufunguzi rasmi wa shughuli za mahakama
sisi mawakili na wanasheria ni wadau muhimu katika mchakato wa utoaji wa haki tunaiona wiki hii kuwa ni fursa muhimu ya kuwafahamisha wananchi juu ya misingi ya utoaji haki kupitia teknolijia ya habari na mawasiliano (tehama)
tehama inaharakisha mchakato wa kutoa haki bila kuathiri maadili ya taaluma na haki yenyewe
chama cha wanasheria wa tanganyika (tls) kinapaza sauti katika misingi ya kaulimbiu ya mwaka huu matumizi ya tehama katika utoaji wa haki kwa wakati na kwa kuzingatioa maadili
kaulimbiu hiyo ni kichocheo muhimu na bora katika mchakato wa utoaji haki kwa ubora na wakati stahiki
hivyo matumizi bora ya tehama ni kichocheo kinachoharakisha maendeleo kwa sababu kinawawezesha wananchi kufanya mawasiliano makubaliano kutekeleza sheria kutatua migogoro kwa haraka na kuwapa fursa ya kuendelea na shughuli za maendeleo bila kupoteza muda
ni dhahiri kwamba maendeleo yoyote yanakuja na hitaji la kutumia dhana na miundombinu ili kuendana na kasi yake
kwa hali hiyo mamlaka za utoaji haki zinasukumwa na maendeleo ya tehama iliyopo katika msukumo wa maendeleo
ufahamu wa kompyuta kama chombo na vyombo vingine vinavyoweza kupitisha matumizi ya tehama lazima viwezeshwe au kulishwa mifumo ya kimuundo na kisheria ili kupitisha na kutumia tehama kuharakisha utoaji haki
uamuzi na hatua hii ni mojawapo ya mafanikio ya rai yetu ya kipindi kirefu kwenye vyombo vya utoaji haki
tehama imetuwezesha kutuweka pamoja kwa muda mfupi sana mchakato wa kupashana habari na kufahamishana nini kimetokea kimemtokea nini mmoja wetu na nini tunaelekezwa kufanya pale wito au agizo linapotolewa na chombo chochote kinachotusimamia kinachotuongoza kinachoshiriki kutunga sheria au kinachotoa haki
kwa kipindi kirefu sasa jumuiya yetu imeweka mifumo ya tehama kama ifuatavyo
mfumo wa regesta ya taarifa za mawakili ambazo mtu yeyote anaweza kuingia katika tovuti kumthibitisha wakili na yuko katika mfumo sahihi
mfumo huo pia umetuwezesha kutoa vitambulisho au taarifa kadhaa kwenye vyombo vya dola kwa muda mfupi
mfumo mmoja wa mawasiliano na upashanaji habari
mfumo wa pamoja wa taarifa za maendeleo ya elimu ya sheria unaotoa alama pindi tunapohudhuria mafunzo kwa mujibu wa sheria na kanuni tuliojiwekea ili tuweze kupata leseni ya uwakili kwa mwaka unaofuata
mifumo ya kukusanya mapato inayopatikana kupitia njia mbalimbali ambayo huwawezesha wanachama wetu pamoja na wadau kulipia ada za uanachama mafunzo michango na misaada kutoka kwa wadau
kutunza kumbukumbu za matumizi ili kutoa taarifa sahihi katika dhana ya uwajibikaji
mfumo wa kupokea maoni na maswali kutoka kwa wanachama ikiwa ni pamoja na wadau wetu waliounganishwa kwenye mfumo
kwa kushirikiana na lexis nexis publisherstumeweza kuweka mfumo wa orodha ya uamuzi elekezi unaoweka orodha ya mashauri elekezi (high court and court of appeal judgement landmark cases)
mfumo huu pamoja na kuwezesha kuona mashauri ya tanzania kupitia taarifa ya uamuzi wa tanganyika law society (tls tr) inatuwezesha kuona uamuzi wa mahakama nyingi za jumuiya ya madola duniani
kwa hivi sasa tuko katika mchakato wa kuingiza katika tehama mambo yafuatayo
jinsi ya kutoa elimu ya kisheria majibu ya papo kwa papo na ushauri wa kisheria kwa wananchi ambao kwa namna yoyote hawawezi kupata fursa ya kupata elimu ya sheria
mfumo utakaowawezesha wanachama wetu kupokea taarifa za shughuli mikutano na mafunzo kupitia simu zao za kiganjani
mfumo utakaowawezesha wanachama wetu kushiriki moja kwa moja kwenye mikutano na mafunzo yetu hata pale wanapokuwa nje ya ukumbi popote pale nchini
mfumo unganishi wa wadau wetu wa taasisi za fedha kama vile benki na mitandao ya simu utakaowawezesha wanachama wadau na wabia wetu katika maendeleo ya taasisi kulipia ada na michango yao bila kulazimika kutembea kwenda kwenye ofisi za mawakili zilizopo kwenye kanda zetu
kuweka mifumo mingine wezeshi ili kuharakisha huduma kwa wanachama serikali bunge na wananchi kwa ujumla
najua changamoto zilizopo katika tehama lakini ninaamini kwamba wakati umefika mahakama maofisa wa mahakama na wadau wake waanze kutumia tehama
labda nitumie wasaa huu kutaja mambo kadhaa tunayoweza kuanza nayo
kulipa na kufaili mashauri na mawasiliano mengine mahakamani kwa njia ya mtandao
kuchukua na kutoa taarifa za kumbukumbu ya shauri kwa wakati wa usikilizwaji wa shauri hii huondoa udanganyifu upotoshaji upindishaji haki hofu kwa wananchi kuhusu uamuzi ulazima wa kupinda mgongo kwa waheshimiwa kuchukua kumbukumbu
tunasema hiki kinawezekana kwa sababu vyombo kama bunge kwa muda mrefu sasa hutoa kumbukumbu zao kwa muda mfupi
kutoa taarifa za mashauri kama vile kuhudhuria na kuahirisha kwa wadaiwa na wadau wa kuweka katika kumbukumbu ya pamoja na wazi taarifa ya mahakama sheria na kanuni mbalimbali ili kuwawezesha majaji mahakimu na maofisa wa mahakama kutumia uamuzi (judgement) sheria na kanuni ambazo zinatumika kwa wakati huo hapa na duniani kote
ili kuhakikisha uwepo wa maadili na uelewa sawa katika upatikanaji wa haki na utekelezaji wa wajibu kwa wananchi kwa wakati
ninaliomba bunge serikali na vyombo vyake kuangalia tena kwa makini sheria zinazosimamia tehama ili zisitafsiriwe au kutumiwa vibaya na hivyo kudhoofisha matumizi ya tehama katika utoaji haki kwa wakati kupitia upashanaji habari na ukusanyaji wa ushahidi
kazi hii inaweza kufanywa kwa makini kuangalia sheria za tehama na sheria ya makosa ya mtandaoni
sisi mawakili na jumuiya ya mawakili kwa ujumla tukiwa wadau na kiungo muhimu kulingana na malengo ya taaluma yetu kwa mujibu wa majukumu yetu tumekuwa chombo muhimu cha mabadiliko
sisi mawakili pamoja na jumuiya yetu hatuogopi mabadiliko na tuko tayari kwa mabadiliko hatuogopi kusema madhaifu yetu na tuko tayari kukosolewa ili kufungua mlango wa mabadiliko
ukiangalia kwa makini majukumu yetu yaliyopo kwenye sheria yetu utaona wito wetu kila kukicha ni kuomba mabadiliko
naomba nifanye marejeo kidogo kwenye kifungu cha 4 cha sheria ya the tanganyika law society act cap 307 ili kukamilisha hoja yangu kuhusu azma yetu kwa pamoja kuhusu mabadiliko ya kimfumo kisheria na kiutendaji
makala hii ni sehemu ya risala iliyohaririwa ya makamu mwenyekiti wa chama cha wanasheria wa tanganyika godwin ngwilimi katika maadhimisho ya siku ya sheria nchini
tls 20180206
previous msimamo wa ag mpya kuhusu makinikia
next bundi wa mgogoro wa ardhi atua arusha | 2019-09-21T09:09:22 | http://www.jamhurimedia.co.tz/tls-wanasheria-hatuogopi-mabadiliko/ |
stella kilambo namtafuta antonia qunibert
tulisoma wore mbagala mission secobdary
mimi ni stella kilambo namtafuta antonia qunibert
jina stella kilambo
0754 755468
mbeya mwakibete
sebastian na merresiana sospita kalilwa💨
cecilia mbilinyi💨
jeremia mchiwa📝 | 2018-06-22T17:03:21 | http://www.ackyshine.com/kutafutana:1462 |
kifo cha ghaddafi chamgusa pinda | jamiiforums | the home of great thinkers
kifo cha ghaddafi chamgusa pinda
discussion in 'jukwaa la siasa' started by power g oct 31 2011
asema anaamini kuuawa kwake si sahihi
ahofia yanayotokea libya kuingia nchini
waziri mkuu mizengo pinda amesema yeye ni miongoni mwa watu wanaoamini kuwa kifo cha kiongozi wa libya muammar gaddafi hakikuwa sahihi
akizungumka katika misa ya mavuno ya parokia ya mtakatifu petro oysterbay jana ambako pia aliendesha harambee na kufanikiwa kupata sh milioni 11165 zikiwa ni fedha taslimu na ahadi pinda awataka watanzania kuenzi amani iliyopo nchini kwani yanayoendelea katika nchi za jirani yanatisha na si ya kuomba yatokee kwa watanzania
tuangalie yanayotokea libya si mambo mazuri hata kidogo mimi ni miongoni mwa watu wanaoamini kuwa kifo cha gaddafi si sahihi hata kidogo ni bora angekamatwa akashtakiwa kuliko watu kujiamulia kutoa roho ya mtu mwingine hivi hivi watanzania tuombeane tusifike huko alisisitiza
my take iwapo ccm wataendeleza jadi yao ya kubaka demokrasia na kuchakachua katiba ili watawale daima wajue wazi kwamba ya libya yatawakuta tu
watakaotufikisha huko ni viongozi wetu na ccm ambao hawakubali kushindwa na wanaamini nchi hii ni ya kwao peke yao pia ni hii ardhi inayogawiwa kama njugu inaweza kutufikisha huko kuombeana pekee hakutoshi
kifo cha kujitakia ameaambiwa mapema jiweke pembeninenda uhamishoni bana akadhania utani
vipi hajamwaga chozi
kifo cha gadafi ni sahihi hiyo ndiyo dawa ya viongozi wasiotaka kushindwa je pinda anajua kaburi liko wapi
hata yale ya nyamongo hayakuwa mazuri wale ni binaadamu kama gadafi tuache unafiki juzi igunga kuna kijana amekufa kame gadafi vipi
mzee pinda acha kuuma na kupuliza chama chako ndiyo chanzo cha kuelekea huko leo unasemea kanisani acheni kubaka demokrasia nchi itakuwa salama ghadafi alianza kwa kuua waandamanaji kama mlivyo fanya arusha na bado hamjajifunza siyo vizuri kujadili vibanzi vya wenzetu hu sisi tuna boliti machoni
na siku kikiwaka hapa aliyofanyiwa gadafi mbona cha mtoto tutawafanyia kweli hasa nyie na familia zenu za kifisadi saa yaja na haiko mbali
sisi tunaangalia kuwa roho ya ghadaffi ilitolewa kwa kupigwa risasi je na hao wote waliokufa katika hizo harakati za kuhakikisha ghadafi roho yake inatolewa ni panya
ijulikane roho ya binadamu ina thamani sawa kwa mungu hivyo si vyema kumjali ghadafi kama ghadafi ni bora kujali roho za wote waliotutoka katika harakati hizo nadhani ni more than 200000 peoples kama gadaffi angekubali mapema roho kibao zingepona shame on gadafi bora angekufa mapema zaidi
mzee pinda acha kuuma na kupuliza chama chako ndiyo chanzo cha kuelekea huko leo unasemea kanisani acheni kubaka demokrasia nchi itakuwa salama ghadafi alianza kwa kuua waandamanaji kama mlivyo fanya arusha na bado hamjajifunza siyo vizuri kujadili vibanzi vya wenzetu hu sisi tuna boliti machoniclick to expand
mimi nadhani kama angekuwa si mnafiki kama walivyo viongozi wote wa ccm angewaeleza wananchi yale ambayo ccm imejifunza kutokana na matukio ya libya siyo kuwaambia watu waombe mungu anadhani libya misri nk walikuwa hawaombi mungu
i wish kifo kama icho kingewakuta baadhi ya viongozi wetu wa sasa ili waijue nguvu ya umma
pls dont quote me wrong nimesema nguvu ya umma na si ya nato
akizungumka katika misa ya mavuno ya parokia ya mtakatifu petro oysterbay jana ambako pia aliendesha harambee na kufanikiwa kupata sh milioni 11165 zikiwa ni fedha taslimu na ahadipinda awataka watanzania kuenzi amani iliyopo nchini kwani yanayoendelea katika nchi za jirani yanatisha na si ya kuomba yatokee kwa watanzania
tuangalie yanayotokea libya si mambo mazuri hata kidogo mimi ni miongoni mwa watu wanaoamini kuwa kifo cha gaddafi si sahihi hata kidogo ni bora angekamatwa akashtakiwa kuliko watu kujiamulia kutoa roho ya mtu mwingine hivi hivi watanzania tuombeane tusifike huko alisisitiza
kwamba ya libya yatawakuta tuclick to expand
ikifikia hatua watu wanaanza kuingiza kichwani na hatimaye kuruhusu wazo la uasi 'dhidi ya amani' litawale na mwisho maungo yao yafanikishe uasi huo hapo elewa fika wamegundua kuwa kile kinachoitwa amani ni mrija utumikao kuwanyonya na pia nyundo itumikayo katika kuwagonga na kuwakandamiza hakuna tena sababu ya kuienzi nyenzo ya aina hiyo
kwenye lime color hakuna aombaye yatokee yatokeayo kwa wenzetu ila kwa style ya uongozi na tabia za watawala jamii inaona kuwa hilo ndiyo jambo pekee na muafika tunalihitaji kulitumia ili kufikia zile angalau/nafuu za kimaisha
kwenye red waziri mkuu anatakiwa kuelewa kuwa yaliyotokea libya ni machafuko ambayo chanzo chake ni madaraka (ung'ang'anizi ukombozi kiu ya madaraka) hivyo nashangaa kuona waziri mkuu akisikitishwa na kilichompata gaddaf waliopoteza maisha ni wengi katika mapambano nchini libya ila kwa namna alivyosikitishwa na kifo cha gaddaf ni kama vile gaddaf ndiye mtu pekee aliyeuawa katika mapambano yale
je amechagua kumlilia gaddaf kwa kuwa ni mtawala mwenzao na kuacha wafu waliliane wao kwa wao na kuzikana pindanaomba nikutaarifu kuwa siamini kuwa sentensi yako imefika mwisho naamini unakohoa au unafuta machozi (kama kawaida yako)ili uendelee na speech yako na mimi naahidi kuendelea kukusubiri uimalizie sentensi yako sitaki kuku quote vibaya
membe yeye najua ameshamaliza na kilichofanya aumizwe tunakijua
what a pinhead foreign minister alishatumwa kutoa diplomatic stance ya tanzania waziri mkuu huwezi kuibukia kwenye makanisani kutoa opinion zako huruhusiwi kuwa na opinion in public any publicly stated opinion ya waziri mkuu ni foreign policy ya nchi huwezi ku supplant statement za bernard membe ambazo zimepata approbation ya ikulu
waziri mkuu huwezi kuibukia kwenye makanisani kutoa opinion zako huruhusiwi kuwa na opinion in public any publicly stated opinion ya waziri mkuu ni foreign policy ya nchi huwezi ku supplant statement za bernard membe ambazo zimepata approbation ya ikuluclick to expand
imeandikwa wapi kuwa ukiwa waziri mkuu huwezi kuibuka kwenye makanisani na kutoa opinion zako halafu kwenye makanisani ndiyo nini imeandikwa wapi kuwa ukiwa waziri mkuu basi huruhusiwi kuwa na opinion in public
na imeandikwa wapi kuwa any publicly stated opinion ya waziri mkuu ni foreign policy ya nchi imeandikwa kwenye katiba ya nchi
pinda amekosea kwenye conclusion yake
unapowaambia wananchi tuombe mungu tusifike huko na wakati hamuwasikilizibasi ni kama mnawatisha na kuwaingizia hofu kama mlivyofanya kipindi kile cha vita ya rwanda
kifupi ni wengi ambao hatukufurahishwa na alichofanyiwa gaddafihowever nilishasema kuwa la kujifunza kutoka libya ni kuwasikiliza wananchi
wao kama viongozi wanatakiwa kuwasikiliza wananchi hata kama wanadhani maslahi yao ya uongozi yamo hatarinini bora ku work things out kuliko ku ignore ama kuwanyamazisha wananchi kwa kutumia dola
waziri mkuu mizengo pinda amesema yeye ni miongoni mwa watu wanaoamini kuwa kifo cha kiongozi wa libya muammar gaddafi hakiku sahihi
akizungumka katika misa ya mavuno ya parokia ya mtakatifu petro oysterbay jana ambako pia aliendesha harambee na kufanikiwa kupata sh milioni 11165 zikiwa ni fedha taslimu na ahadi pinda awataka watanzania kuenzi amani iliyopo nchini kwani yanayoendelea katika nchi za jirani yanatisha na si ya kuomba yatokee kwa watanzania
my take iwapo ccm wataendeleza jadi yao ya kubaka demokrasia na kuchakachua katiba ili watawale daima wajue wazi kwamba ya libya yatawakuta tuclick to expand
sasa huu nao si utu hata kidogo mhe inaonekana roho ya tamaa ya madaraka haijamwachia bado si ndio huyu mzee aliyemwambia mkewe aanze kumkampenia chinichini akazimishwa na kk si uungwana hata kidogo kama kiongoza wa jamii angepaswa kusikitika kwa vifo vya raia wengi wasio na hatia yoyote kule libya kumlenga na kumtetea kiongozi mkuu ni ubinafsi na inaonyesha picha ya wazi kwamba mzee huyu hayuko kwa maslahi ya wananchi bali viongozi embu ona mfano mdogo tu wa jumatatu ya sept12 ambapo muamar gadaffi aliamuru wafuasi wake kufanya shambulizi la hujuma na kushambulia kisima kikubwa cha mafuta huko benghazi na kujeruhi mamia ya watu vibaya huku ikiokotwa miili 15 ya watu waliokufa vibaya waliobahatika kuonekana na wengine kumezwa kabisa kwa moto sasa wale wahandisi wahudumu mafundi na wengine wafanyakazi wa mgodi huo wa mafuta wana kosa gani hawako upande wowote wao wanazalisha tu mafuta unapowaua bila huruma maskini hao wengine hata hawajui mtutu wa bunduki ukoje una maana gani leo basi tusikie viongozi wa nchi wakilaani mauaji kama hayo badala yake wanamlilia gadaffi wanawake na watoto wasio na kosa wameuawa leo hii mtu anamlilia gadaffi jinga jingassss hii ndio tafsiri ya uroho wa maaraka uliopindukia angalau angewaasa viongozi wa dini kuliombea taifa ili maafa kama ya juzi ya kuzama kwa mv islanders yasitoke nchini na kuangamiza mamia ya watanzania yeye anawazia tu gadafffi gadafiii watanzania wenzake wamezama na kufia chini ya bahari 300m jamaa hilo halijamgusa kabisa analia gadafiii gadafiiii shit
magamba huwa hayafahamu kama wananchi pia ni binaadamu na wana haki ya kuishi wanawasikitikia madikteta wenzao tu
ana bahati yeye kimemgusa wapo kilio watoa machozi maana wamekosa mfadhili wa kampeni zao
akizungumka katika misa ya mavuno ya parokia ya mtaka
hofu yao ni juu ya maovu na manyanyaso wanayowafanyia watz so wanaogopa kibao kisiwagekieclick to expand
waziri mkuu mizengo pinda amesema yeye ni miongoni mwa watu wanaoamini kuwa kifo cha kiongozi wa libya muammar gaddafi hakikuwa sahihi
na mauaji ya watu wa benghazi ni sahihi au la haki ni kwa watu wote na sio watu fulani | 2016-10-28T06:44:15 | http://www.jamiiforums.com/threads/kifo-cha-ghaddafi-chamgusa-pinda.187604/ |
kikwete alivyoguswa na walioacha shule ruvuma
kuna jambo limenivutia wakati wa ziara ya rais kikwete ruvuma anajivunia kuwa na mke mwalimu
yule pale mke wangu yule ni mwalimu anasema anapozungumza na wananchi katika kijiji cha lumecha wakati akiwa njiani kwenda mjini namtumbo si hivyo tu rais kikwete anawathamini walimu katika maeneo mbalimbali baada ya kuzungumza na wananchi aliwaita wapige picha asanteni nyie watu wazuri kwaherini na watoto someni anawaaga wananchi wa lumecha
rais anakumbuka agizo kuhusu ujenzi wa maabara katika kila shule ya sekondari na amedhamiria kulitekeleza hili la maabara lipo clear (wazi) novemba lazima wamalize anayeshindwa ninaye anasema
ameagiza viongozi wote wakiwemo wa halmashauri na madiwani wahakikishe agizo lake linatekelezwa yeye atapeleka vifaa novemba mwaka huu kila shule ya kata iwe na maabara ya physics (fizikia) chemistry (kemia) na biology (biolojia) ameagiza rais kikwete wakati anazungumza na viongozi wa mkoa wa ruvuma mjini tunduru rais kikwete anasema hili sisemi sana tutaulizana novemba
kasi kubwa ya wanafunzi mkoani humo kuacha shule imemkera rais kikwete anataka majibu ya uhakika sababu za kuwepo tatizo hilo na ameagiza limalizwe haraka elimu ninyi mkoa huu mna mtihani mkubwasafari yenu ni ndefu kweli anasema mbunge wa namtumbo vita kawawa anafahamu changamoto kubwa ya elimu mkoani ruvuma na anatambua pia umuhimu wa elimu kwa watoto
nchi hii inaendeshwa kwa mpito leo tupo sisi kesho vijana wetu watakuja kutuongoza anasema kawawa nasisitiza ndugu zangu wana ruvuma chonde chonde tusimamie watoto wetu waende shule anasema rais kikwete anataka majibu kuhusu wanafunzi wanaonza shule za msingi na sekondari lakini hawamalizi kwamba ni kwa nini hawamalizi wapo wapi wanafanya nini na kwa nini wapo huko
kwa mujibu wa kikwete jambo la mtoto kutomaliza shule ni baya ameagiza wanafunzi wanaoacha shule watafutwe mapema waendelee kusoma kwa mujibu wa kiongozi huyo mkuu wa nchi kiwango cha wanafunzi wasiomaliza shule hakikubaliki tatizo hilo lazima limalizwe haraka
rais kikwete amewaagiza viongozi mkoani ruvuma wajiulize watafanya nini ili watoto walioacha shule warudi shuleni kuendelea na masomo rais anasema kuna tatizo kubwa la mimba kwa wanafunzi mkoani ruvuma na kama shule hazitakuwa na hosteli jambo hilo baya litaendelea
hili na hosteli mlifikirie sana na hili la school feeding (chakula kwa wanafunzi shuleni)school feeding program ni muhimu usiwe uji tu waongeze lishe anasema
anasema kama kasi ya sasa ya wanafunzi kuacha shule itaachwa iendelee baadaye kutakuwa na tatizo kubwa la kuwa na mpango wa elimu kwa waliokosa kwa nini huyu alipata fursa ya kusoma akaacha shule halafu sasa mnaanza kuhangaika na mpango wa elimu kwa aliyekosa anasema rais kikwete mjini tunduru alipozungumza na viongozi wa mkoa wa ruvuma kabla ya kumaliza ziara ya siku saba
rais kikwete amewaagiza viongozi wa mkoa huo ifikapo agosti nane mwaka huu wawe wamewasilisha kwake mpango wa kukabiliana na tatizo la watoto kutomaliza shule kwa nyakati tofauti rais kikwete anasema wanafunzi wengi hawamalizi shule kwa sababu viongozi si makini na kwamba serikali haiwezi kuacha hali hiyo iendelee hivyo ni lazima tatizo hilo lipatiwe ufumbuzi haraka
amewaeleza mamia ya wananchi wa namtumbo kuwa anafahamu kwamba baadhi ya wanafunzi hawamalizi shule kwa sababu ya kupata mimba hivyo amewauliza wanaume ni uhodari gani kumpa ujauzito mwanafunzi amewataka wanaume wawaache wanafunzi wa kike wasome wawafuate wakubwa wenzao kwa kuwa kuna wanawake wengi wanaotafuta wanaume
kwa mujibu wa rais kufanya ngono na mtoto wa kike ni tabia mbaya na si uhodari uhodari wa kuhonga pipi tafuta wazee mzee mwenzako mzungumze ili mpishane manenokuna wanaume wa hovyo tu anasema
wanawake wapo wengi wanaotafuta wanaume lakini unataka wanafunzi tuuhodari huu uhodari wa kuhonga pipi mtoto wa shule aachwe asome ndiyo maana mke wangu ana msemo hapa mtoto wa mwenzio ni mwanao anasema na kubainisha kuwa mimba kwa wanafunzi zimekithiri mikoa ya kusini na pwani
mke wa rais kikwete mama salma kikwete anasema watoto wa kike wanastahili kupata fursa ya kupata elimu badala ya kuozeshwa wakiwa wadogo na amependekeza wanaooa wanafunzi wafungwe jelakumpa mume darasa la tano si wakati wake kumpa mume kabla ya matokeo si wakati wake wafungwe hawa akifungwa mmoja hawatarudia wengine huku mimba ni nyingi ni nyingi kupita kiasi anasema
ninyi wazee msiwape hawa watoto mimba mtoto wa mwenzio ni mwanao kama uliyemzaa ninyi vijana msiwape watoto mimba kwani dada yako anaweza kuwa mpenzi wako mwiko haiwezekani hata kidogo alisema mama salma rais kikwete ameamuru wanaume waliooa wanafunzi wasakwe washitakiwe mahakamani wajibu mashitaka ya ubakaji na pia ameagiza wasichana wanaopaswa kuwepo shuleni lakini hawapo huko watafutwe warudi kuendelea na masomo
mtoto wa shule hatakiwi kuwa mama wa nyumbani mtoto wa shule anatakiwa awepo shuleni anasema rais lazima nipate majibu wapo wapi kwa nini lazima mchukue hatua hao wengine wapo wapi anauliza rais kikwete kwenye mkutano wa hadhara mjini namtumbo wakati akiendelea na ziara mkoani ruvuma iliyoanza julai 17 mwaka huu
rais anaagiza maofisa elimu shule za msingi na sekondari watoe taarifa kwenye baraza la madiwani kuhusu mahudhurio ya wanafunzi na pia walimu watoe ripoti kama hiyo kuhusu wanafunzi waliopo na wasiokuwepo ili hatua zichukuliwe haraka anatoa mfano kuwa wanafunzi 4509 tu walihitimu darasa la saba wilayani namtumbo mwaka jana kati ya 7520 waliokuwa wameanza darasa la kwanza
amesema mwaka 2010 wanafunzi 18892 walianza masomo ya sekondari mkoani ruvuma lakini 9968 tu ndiyo waliohitimu hivyo kumaanisha kuwa watoto 8924 hawakumaliza ambao ni sawa na asilimia 48 this is bad (jambo hili ni baya) asilimia moja mbili tatu ni kawaida lakini asilimia 48 haikubaliki anasema
viongozi wa mkoa mkae mlizungumze mkae mlizungumze mkitoka hapa it is a serious matter very serious anasema rais kikwete anatoa mfano kuwa mwaka 2007 watoto 9900 waliandikishwa kuanza darasa la kwanza wilayani humo lakini 6482 tu walifanya mtihani wa darasa la saba mwaka 2013 hivyo kumaanisha kuwa 3418 hawakumaliza shule
anasema pia kuwa kati ya wanafunzi 3100 walianza kidato cha kwanza katika wilaya hiyo 1251 tu walifanya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2010 na akauliza wanafunzi 1849 wamekwenda wapi wamekwenda wapi inaonekana hili jambo hili halina jawabujambo hili hatuwezi kuliacha liendelee na linaendelea kwa sababu viongozi sio makinini hodari wa kupeleka wanafunzi darasani lakini si kuhakikisha wanakuwa darasani anasema
rais ameagiza kuwa kila baada ya miezi mitatu walimu watoe taarifa ya mahudhurio ya wanafunzi na amewataka viongozi watimize wajibu wao katika jambo hilo mkiwatafuta mapema watoto hawa watarudi mmeshindwa kutimiza ipasavyo wajibu wenu wa uongozi anasema rais kikwete
kwa mujibu wa rais kikwete malengo ya matokeo makubwa sasa (brn) ni kufikia kiwango cha ufaulu cha asilimia 80 lakini ruvuma wapo kwenye asilimia 38 hivyo ametaka wajitahidi wafike angalau asilimia 60 rais anasema inasikitisha kuona kuwa mikoa iliyo nyuma kimaendeleo ndiyo isiyotilia mkazo suala la elimu na kwamba kwenye jambo hilo hataki ile dhana ya aliyenacho ataongezewa rais umenena mwenye masikio na asikie | 2020-08-11T16:10:16 | https://habarileo.co.tz/habari/kikwete-alivyoguswa-na-walioacha-shule-ruvuma.aspx |
indwi ya 5 yo mu mwaka ku wa mbere (années impaires) « imana ni nziza
accueil » ijambo ry'imana (la parole de dieu) » indwi ya 5 yo mu mwaka ku wa mbere (années impaires)
indwi ya 5 yo mu mwaka ku wa mbere (années impaires)
ivyo dusoma mu gitabu camamuko (1119)
mu ntango imana yaremye ijuru nisi na yo isi yari ikidengeri atakiriho umwijima wari upfutse inyenga umutima wimana na wo wareremba ku mazi
imana iraheza ivuga iti «umuco nubeho» umuco uca urahaba imana ibona ko umuco wari mwiza itandukanya umuco numwijima nya muco imana iwita umutaga umwijima na wo ijoro haba umugoroba hongera haba nigitondo uba umusi wa mbere
imana ivuga iti «nihabe ikirere hagati yamazi gitandukanye amazi nayandi» bica biba uko imana irema ijuru ritandukanya amazi ari munsi yijuru namazi ari hejuru yijuru imana iraheza yīta ikirêré ijuru haba umugoroba haba nigitondo uba umusi wa kabiri
imana irongera ivuga iti «amazi yose ari munsi yijuru nakoranire mu kiyaga kimwe haheze haboneke isi yumutse» bica biba gutyo nyene ahumutse imana ihīta isi aho amazi akoraniye na ho ihīta ibiyaga imana ibona ko ari vyiza imana ivuga iti «isi niyuzureko ibimera ivyatsi bifise imbuto nibiti vyama na vyo vyame kwisi ivyamwa birimwo imbuto» bica biba gutyo isi iraheza iramera ivyatsi vyifitiye imbuto zubwoko bwavyo nibiti vyama vyubwoko bwavyo birimwo nimbuto zavyo imana na yo ibona ko ari vyiza haba umugoroba haba nigitondo uba umusi wa gatatu
imana ivuga iti «nihabe ibimuri hejuru kwijuru bitandukanya umutaga nijoro bibe ibimenyetso vyimisi mikuru ivyimibarwa nivyimyaka nibibe ibimuri hejuru biboneshereze isi» bica biba uko imana irema ibimuri bibiri bikurubikuru ikimuri kininiya cukwihariza umutaga nikimuri co kwihariza ijoro be ninyenyeri imana iraheza ibishira hejuru kwijuru ngo bimurikire isi bitegeke umutaga nijoro bitandukanye umuco numwijima imana ibona ko ari vyiza haca umugoroba haca nigitondo uba umusi ugira kane
izaburi 103 (104) 12a 56 1012 2435c
icit imana nihimbarwe nivyiza yagize
mukama mana yanje uri mukuru cane
ubukuru nubwiza bibarizwa iwawe
isi warayitsindagiye urayigumya
nta kizoyinyiganza mu myaka yose
wari wayōrōsheje inyenga yamazi ayikikiza hose
ku mitumba niho amazi avyagira
imyonga uyikura mu bucokwe
ishororonga hagati y imisozi
inyoni zijuru zibera hafi yayo
mu mashami yibiti ni ho ziryogorera
ninahaza umukama se mushaha wanje
ivyo dusoma mu nkuru nziza ya yezu kristu nkuko yashikirijwe na mariko (6 5356)
bamaze kujabuka yezu nabigishwa biwe bururukira i genezareti barazirika ubwato igihe basohotse bava mu bwato abantu baramumenya bakwiragira ningoga na ningoga igihugu cose baja mu vyo kuzana abarwaye ku nderuzo hose aho bumva ari aho yaja hose ari mu bigwati ari mu mihana baza barashira abarwaye ahabona bakamutakambira ngo abareke bapfume bakora ku buyonga bwumutamana wiwe na bo abaramuka bamukozeko bose barakira
← idominika ya 5 yo mu mwaka a indwi ya 5 yo mu mwaka ku wa kabiri (années impaires) → | 2020-05-26T08:44:56 | https://ryotwubaka.com/2017/01/30/indwi-ya-5-yo-mu-mwaka-ku-wa-mbere-annees-impaires/ |
waziri wa elimu azungumza na walimu wakuu wa skuli za serikali na binafsi kisiwani pemba zanzinews
home habari matukio waziri wa elimu azungumza na walimu wakuu wa skuli za serikali na binafsi kisiwani pemba
waziri wa elimu azungumza na walimu wakuu wa skuli za serikali na binafsi kisiwani pemba
waziri wa elimu na mafunzo ya amali zanzibar riziki pembe juma akizungumza na walimu wakuu wa skuli za serikali na binafsi kisiwani pembakatika ukumbi wa skuli ya sekondari ya fidelkastro (picha na habiba zarali)
walimu wakuu wa skuli za serikali na za binafsi kisiwani pemba wakiwa katika mkutano na waziri wa elimu na mafunzo ya amali zanzibar riziki pembe juma uliofanyika katika skuli ya sekondari ya fidelkastro (picha na habiba zarali)
naibu waziri stella ikupa afungua mkutano mkuu wa tano wa thtu mkoani kilimanjaro *naibu waziri ofisi ya waziri mkuu serabungekazi vijanaajira na wenyeulemavustella ikupa akiwasili katika ukumbi wa jk nyerere uliopo chuo kikuu cha | 2018-08-16T07:45:34 | http://www.zanzinews.com/2018/07/waziri-wa-elimu-azungumza-na-walimu.html |
kumbe dunia inajua viongozi wetu hodari kwa maneno | jamiiforums | the home of great thinkers
kumbe dunia inajua viongozi wetu hodari kwa maneno
discussion in 'jukwaa la siasa' started by mzizimkavu apr 1 2012
katika kile kinachoonekana kama jibu la kwa nini tanzania ni nchi maskini licha ya rasilimali nyingi ilizonazo tena miaka 50 baada ya uhuru wataalamu wa masuala ya uchumi kutoka china na vietnam wamesema umaskini unaoikabili nchi yetu unatokana pamoja na mambo mengine viongozi kuwa na maneno mengi kuliko vitendo
wakichangia mada mbele ya rais jakaya kikwete ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mkutano wa 17 wa mwaka wa taasisi ya utafiti wa kuondoa umaskini tanzania (repoa) jijini dar es salaam juzi wachumi hao ambao walikuwa wamealikwa kueleza uzoefu wao katika masuala ya kuondoa umaskini walisema tanzania haikupaswa kuwa nchi inayotegemea misaada kutoka kwa wahisani bali ilipaswa kuwa inajitegemea
akitoa uzoefu wake profesa do ducdinh wa taasisi ya kimataifa ya uchumi ya vietnam mbali na kukosoa mchakato mzima wa ubinafsishaji uliofanywa na serikali ya awamu ya tatu ambao ulibinafsisha na kuua viwanda vingi vya msingi alisema inasikitisha kuona tanzania ina kila rasilimali lakini ni maskini wa kutupwa
akizungumza huku rais kikwete akimsikiliza kwa umakini mkubwa mtaalamu huyo alisema tanzania imebinafsisha viwanda kiholela na matokeo yake viwanda vingi vimekufa na kuongeza kuwa nchini vietnam suala la ubinafsishaji lilifanywa kwa umakini na serikali sasa inamiliki viwanda vingi ambavyo vinatoa ajira
alitoa mfano kwa kusema kuwa pamoja na kwamba vietnam ni nchi ambayo haina kilimo cha korosho inavyo viwanda vingi vinavyobangua korosho vikiwa vinapata malighafi kutoka nchi mbalimbali duniani ikiwamo tanzania huku akiishangaa tanzania ambayo inalima korosho lakini imebinafsisha viwanda vya kubangua zao hilo ambavyo vingi vimekufa
huku akihoji inakuwaje nchi inabinafsisha viwanda vinavyoongeza thamani ya mazao ya kilimo ambacho kinategemewa na asilimia 80 ya wananchi mtaalamu huyo alionya kuwa iwapo tanzania inayo nia ya dhati ya kupunguza umaskini wa wananchi wake basi haina budi kujipanga na kuikuza sekta ya kilimo kwa vitendo
kwa upande wake profesa li xiaoyung wa kituo cha kimataifa cha kuondoa umaskini cha beijing alisema maisha magumu yanayolalamikiwa na wananchi yanatokana na mfumuko wa bei hasa wa vyakula na kutoa mfano wa ugali ambao ni chakula kikuu lakini bei ya unga ni kubwa kiasi cha wananchi wengine kushindwa kuimudu alisema alipokuja tanzania mwaka jana alikuta kilo moja ya mchele ikiuzwa sh1200 lakini ameshangaa kukuta kilo moja ya bidhaa hiyo ikiuzwa sh2500 hivi sasa na kusema huo ni mfumuko wa ajabu
mtaalamu huyo alisema mfumuko huo kwenye bidhaa za chakula ndiyo unaowasababishia wananchi umaskini kwa sababu ni bidhaa wanazozihitaji kwa matumizi ya kila siku huku akisema sekta za mawasiliano na madini ambazo serikali inatilia mkazo haziwezi kuwaondolea watanzania umaskini kama kilimo hakitapewa kipaumbele
kauli za wataalamu hao ni nzito na ndiyo maana tumelazimika kuzitilia msisitizo kwa kuzirudia kinagaubaga katika safu hii tunasema hivyo kwa sababu dhana na nadharia za maendeleo na za kufuta umaskini ambazo viongozi wetu walizirudufya kutoka katika sera za benki ya dunia na shirika la fedha duniani (imf) hazikutukwamua katika umaskini kwa kuwa hazikufaa kutumika katika mazingira tuliyomo bahati mbaya viongozi wetu walikosa ujasiri wa kuzikataa kwa hofu ya kunyimwa misaada ambayo hakika imetushika mateka kwa miaka 50 sasa tangu tupate uhuru
sisi tunadhani wataalamu hawa wa uchumi wanastahili pongezi za dhati kwa kutufumbua macho na kutoa majibu kuhusu kwa nini nchi yetu bado ni maskini wa kutupwa licha ya utajiri mkubwa ilionao ni kweli viongozi wetu ni hodari zaidi kwa porojo kuliko vitendo na changamoto inayotukabili sasa kama taifa ni kuhakikisha tunapata viongozi wenye dhamira na uwezo wa kutukwamua katika umaskini na kutufikisha tunakotaka kwenda
maji yakimwagika yanaweza kuzoleka
kile kinachoonekana kama jibu la kwa nini tanzania ni nchi maskini
licha ya rasilimali nyingi ilizonazo tena miaka 50 baada ya uhuru
wataalamu wa masuala ya uchumi kutoka china na vietnam wamesema
umaskini unaoikabili nchi yetu unatokana pamoja na mambo mengine
viongozi kuwa na maneno mengi kuliko vitendo
wakichangia mada mbele ya rais jakaya
kikwete ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mkutano wa 17 wa mwaka wa
taasisi ya utafiti wa kuondoa umaskini tanzania (repoa) jijini dar es
salaam juzi wachumi hao ambao walikuwa wamealikwa kueleza uzoefu wao
katika masuala ya kuondoa umaskini walisema tanzania haikupaswa kuwa
nchi inayotegemea misaada kutoka kwa wahisani bali ilipaswa kuwa
inajitegemea akitoa uzoefu wake profesa do ducdinh wa taasisi ya
kimataifa ya uchumi ya vietnam mbali na kukosoa mchakato mzima wa
ubinafsishaji uliofanywa na serikali ya awamu ya tatu ambao
ulibinafsisha na kuua viwanda vingi vya msingi alisema inasikitisha
kuona tanzania ina kila rasilimali lakini ni maskini wa
kutupwa
akizungumza huku rais kikwete akimsikiliza
kwa umakini mkubwa mtaalamu huyo alisema tanzania imebinafsisha
viwanda kiholela na matokeo yake viwanda vingi vimekufa na kuongeza
kuwa nchini vietnam suala la ubinafsishaji lilifanywa kwa umakini na
serikali sasa inamiliki viwanda vingi ambavyo vinatoa ajira alitoa
mfano kwa kusema kuwa pamoja na kwamba vietnam ni nchi ambayo haina
kilimo cha korosho inavyo viwanda vingi vinavyobangua korosho vikiwa
vinapata malighafi kutoka nchi mbalimbali duniani ikiwamo tanzania
huku akiishangaa tanzania ambayo inalima korosho lakini imebinafsisha
viwanda vya kubangua zao hilo ambavyo vingi vimekufa
huku akihoji inakuwaje nchi inabinafsisha viwanda vinavyoongeza thamani
ya mazao ya kilimo ambacho kinategemewa na asilimia 80 ya wananchi
mtaalamu huyo alionya kuwa iwapo tanzania inayo nia ya dhati ya
kupunguza umaskini wa wananchi wake basi haina budi kujipanga na
kuikuza sekta ya kilimo kwa vitendo kwa upande wake profesa li
xiaoyung wa kituo cha kimataifa cha kuondoa umaskini cha beijing
alisema maisha magumu yanayolalamikiwa na wananchi yanatokana na
mfumuko wa bei hasa wa vyakula na kutoa mfano wa ugali ambao ni
chakula kikuu lakini bei ya unga ni kubwa kiasi cha wananchi wengine
kushindwa kuimudu alisema alipokuja tanzania mwaka jana alikuta kilo
moja ya mchele ikiuzwa sh1200 lakini ameshangaa kukuta kilo moja ya
bidhaa hiyo ikiuzwa sh2500 hivi sasa na kusema huo ni mfumuko wa
ajabu mtaalamu huyo alisema mfumuko huo kwenye bidhaa za chakula ndiyo
unaowasababishia wananchi umaskini kwa sababu ni bidhaa wanazozihitaji
kwa matumizi ya kila siku huku akisema sekta za mawasiliano na madini
ambazo serikali inatilia mkazo haziwezi kuwaondolea watanzania umaskini
kama kilimo hakitapewa kipaumbele kauli za wataalamu hao ni nzito na
ndiyo maana tumelazimika kuzitilia msisitizo kwa kuzirudia kinagaubaga
katika safu hii tunasema hivyo kwa sababu dhana na nadharia za
maendeleo na za kufuta umaskini ambazo viongozi wetu walizirudufya
kutoka katika sera za benki ya dunia na shirika la fedha duniani (imf)
hazikutukwamua katika umaskini kwa kuwa hazikufaa kutumika katika
mazingira tuliyomo bahati mbaya viongozi wetu walikosa ujasiri wa
kuzikataa kwa hofu ya kunyimwa misaada ambayo hakika imetushika mateka
kwa miaka 50 sasa tangu tupate uhuru sisi tunadhani wataalamu hawa wa
uchumi wanastahili pongezi za dhati kwa kutufumbua macho na kutoa
majibu kuhusu kwa nini nchi yetu bado ni maskini wa kutupwa licha ya
utajiri mkubwa ilionao ni kweli viongozi wetu ni hodari zaidi kwa
porojo kuliko vitendo na changamoto inayotukabili sasa kama taifa ni
kuhakikisha tunapata viongozi wenye dhamira na uwezo wa kutukwamua
katika umaskini na kutufikisha tunakotaka kwenda
dunia inajua viongozi wetu hodari kwa manenoclick to expand
watu tumesema san juu ya haya mambo lakini viongozi wetu hawaelewi somo nana sasa kiwanda cha urafiki nacho ndio nimekufa hivyo
kiukweli huwezi kubinafsisha viwanda ambavyo ndivyo vinavyo ongeza dhamani ya mazaounauzaje viwanda ambao vimekuwa vikisaidia kuprocess raw materials na kupata goods na mwisho wa siku kuuza nje na kupata fedha za kigenihaingii akilini kabisayaani mwl nyerere wakati ana anzisha viwanda hivi tumemwona ni mjinga kabisatusingelalama juu ya ajira ya vijana kama kweli viwanda vyetu vingekuwa vinafanya kazi
sielewi ni kwanini lakini hii nchi tajiri inahitaji kiongozi atakae jitolea kwa moyo kwa manufaa ya umma na kuweka mbari matakwa ya watu wa ulaya
umasikini wetu ni wa kujitakia na umeletwa na viongozi walio uza viwanda vyetu
10 zinatuangamiza na kukosa ubunifu wa jinsi ya kuendeleza viwanda hivi
maji yakimwagika yanaweza kuzolekaclick to expand
sikubaliani nawe kabisa ktk hilihapa maji yanazoleka kwani viwanda vipo tunaviona ila wahusika wamebadirisha matumizikwa hiyo tunamwitaji kiongozi atakae rudisha viwanda hivyo mikononi mwa serikali pasi kumwangalia mtu usoni
rafiki yangu ukitaka kujua kuwa inawezekana hebu tumwazime nchi hii rais wa china na aiongoze kwa sheria za chinakila kitu kitakuwa sawatatizo la viongozi wetu wameweka mbere urafikijamaa na undugu na hii inawia ngumu kusimamia malengo ya serikali
10 zinatuangamiza na kukosa ubunifu wa jinsi ya kuendeleza viwanda hiviclick to expand
ubunifu tunao tatizo ni uzarendo haupo na kama uzarendo haupo lazima utakimbilia 10
nenda pale morogoro kiwanda cha tumbaku kimeuzwa kwa bei ya chee sana tena sanwameuza mpaka nyumba za wafanyakazi bei chee kabisa na kiwanda kinaingiza pesa ya kufa mtuwahusika pale mshahara unaanzia mil 12 kwa mabosi na kuwa bana walalahoi pesa mingi inaenda usa
pale tumbaku kuna eng fungo ni mbunifu wa hali ya juuamekibadirisha kiwanda kwa kuweka design za ajabu pale
uzarendo hakunaviongozi wanafanya mambo kama nchi si yao
tanzania kuna kiongozi mmoja tu ambaye si vuvuzela huyu anaweza kuwa tabibu mzuri wa gonjwa hili linaloikabili nchi hii kwani ni mtu wa vitendo zaidi kuliko maneno amebobea ktk fani husika hivyo anakidhi vigezo vya kuikwamua nchi kutoka ktk janga hili la kujitakia hivyo ni wakati wa watanzania kumpatia mgonjwa wao (tz) daktari stahili kwa ugonjwa unaomsumbua vinginevyo hatutafanikiwa kamwe kwani wengine wote ni mavuvuzela hasa wa chama kile na kileee
kumbe dunia inajua viongozi wetu hodari kwa manenoclick to expand
na wao wlikuwa wanapoteza muda wao kumweleza kikwete uwezo wa jk kutekeleza mambo ya kimaendeleo ni mdogo kama sio hamna kabisa | 2017-07-27T15:04:09 | https://www.jamiiforums.com/threads/kumbe-dunia-inajua-viongozi-wetu-hodari-kwa-maneno.242597/ |
this day magazine mh catherine magige azindua rasmi duka la zurii house of beauty ' '' var month = [123456789101112] var month2 = [janfebmaraprmayjunjulaugsepoctnovdec] var day = postdatesplit()[2]substring(02) var m = postdatesplit()[1] var y = postdatesplit()[0] for(var u2=0u2
mh catherine magige azindua rasmi duka la zurii house of beauty
mbunge wa viti maalum wa chama cha mapinduzi (ccm) vijana mkoa wa arusha catherine magige leo amezindua rasmi duka jipya la vipodozi na vitu mbalimbali linalofahamika kwa jina la zurii lililopo katika jengo la dar free market lililopo katika barabara ya alli hassan mwinyi jijini dar es salaam
wasiliana nao kwa kuwafollow kupitia acc yao personal ya
mgeni rasmi mbunge wa viti maalum (ccm) mkoa wa arusha mh catherine magige akikata utepe katika ufunguzi wa zurii house of beauty duka jipya na la kisasa la vipodozi lililofunguliwa rasmi leo jumatatu 12 jan 2015 kushoto ni ni mkurugenzi wa zurii fashion & beauty boutique jestina george
posted by editor on 1947 filed under eastafricannews fashion you can follow any responses to this entry through the rss 20
0 comments for mh catherine magige azindua rasmi duka la zurii house of beauty | 2017-10-22T20:45:32 | http://thisdaymag.blogspot.no/2015/01/mbunge-wa-viti-maalum-wa-ccm-mkoa-wa.html |
ngazi kuu au jamii ya mizizi shuhuda
jamii hispania
katika kibanda changu cha sauti ni mahali ambapo ninafanya uchawi ninafanya video nawafanya wale wa moja kwa moja
best baiskeli
eco300 uzalishaji audiovisuella
eco200 mazeka
eco200 mwanamuziki
fundivisa propellers ofisi
fundivisa propellers maalum
sanduku la muziki wamaziki ara malikian
dv416 shule ya muziki
alex na isabel
dv623 cabin na urefu chini baterista
eco100 mwanamuziki
eco100 rap kama maisha
eco550 musical mtunzi
eco100 mazeka
dv364 muziki
valencia chuo kikuu cha ufundi communication area
dv375 uzalishaji studio
dv1092 mazoezi chumba
antonio alfonso hernandez muigizaji msemaji na dubbing
dv cabin imekuwa uwekezaji mzuri sana kwa ajili ya kurekodi matumizi ya vipaji sauti makala ekujifunza video ushirika matangazo matangazo nk
pia kutumia kwa mwalimu na sauti dubbing
alfonso antonio hernández ni mwandishi wa habari kwa zaidi ya miaka 15 ya uzoefu katika vyombo vya habari hasa redio na matangazo ni mtangazaji mtangazaji na uzalishaji wa redio televisheni na ukumbi wa michezo yeye amefanya kazi kwa bidhaa kama vile castrol publipunto brand localia carrefour orange dgt movistar pc city nk yeye pia ni profesa na mpenzi wa wawili dubbing sauti ambapo yeye hufundisha madarasa desturi
amp56 mwanamuziki
dv333 mwanamuziki
dv416 mwanamuziki
eco100 sauti ya juu
sauti area
eco200 jifunzeni
eco250 mazeka
links integrated mafunzo ya ufundi kituo cha umma
eco400 mafundisho
eco550 muziki
eco850 film nne na vifaa vya
amp36 gitaa
dv83 saksafoni
eco200 uzalishaji muziki
lychees (mechanics mbuzi)
amp56 muimbaji & mwimbaji
dv421 eco200 uzalishaji audiovisuella
dv375 mazeka
eco100 spika
yesu alonso
eco300 mazeka
eco400 mazeka
chuo kikuu cha autonomous madrid
eco250 mafundisho
dv375 elimu ya muziki ngoma
eco100 muimbaji
mahali popote ninayoishi cabin yangu inasafiri na mimi inapendeza na huduma ya baada ya mauzo ya wafanyakazi wa demvox na ushauri wao na mkusanyiko wa cabin katika eneo jipya
eco550 uzalishaji audiovisuella
eco100 uzalishaji muziki
eco300 piano mchezaji
eco250 saksafoni
eco200 uzalishaji
dv935 piano mchezaji
eco100 saksafoni
eco400 rehearsal kimuziki
castelany ya ujerumani
dv models shule ya muziki
eco100 services vifaa vya
eco300 rehearsal kimuziki
boomerang tx mitindo ya
dv104 muziki
dv520 mwanamuziki
dv208 hiphop uzalishaji
chuo kikuu cha murcia
dv208 5 vipande chuo kikuu cha murcia
shule ya saikolojia
models dv burudani matumizi palma de mallorca hispania
eco200 sonora uzalishaji madrid hispania
baada ya miaka wakfu kwa ulimwengu wa sautijuu dubbing na postproduction redio tunaanza safari mpya na uzalishaji sauti yetu flycase media kwa kufanya hivyo sisi zimefungwa mpya studio ya kurekodi na kuwa na soundproof kibanda demvox eco200 kwa wetu rekodi sauti mafanikio
eco100 locution gijon hispania
ana viñuela singer mtaalamu mtangazaji
mimi ana viñuela msemaji wa kitaalamu na muimbaji nimekuwa alitumia miaka kazi kama freelancer kwa sauti yangu na daima alikuwa ulemavu wa ubora wa sauti (reverbs kelele za nje (mitaani au majirani) ambaye sneak katika kipaza sauti nk)
tangu kutumia cabin kwa locutions yangu demvox eco100 mimi kupata ajira zaidi ya kikazi ubora inayotolewa kitu cha wivu studio yoyote ya kikazi kwa kweli ni studio ya kitaalamu wateja wangu ni kuridhika zaidi na zimeongezeka kwa kiasi kikubwa idadi ya bidhaa wanaowaamini katika kazi yangu
mimi kumbukumbu kwa matangazo katika televisheni ya taifa na atresmedia mimi kumbukumbu voiceovers kwa bidhaa kama vile bmw mkuu electrics au utawala wa serikali ya hispania ikiwa ni pamoja na makampuni ya kigeni kutafuta sauti kwa apps simu zao vituo vya simu au kozi e kujifunza
mbali na hilo mimi mwenyewe ni nani kuanzisha kibanda na mimi kusema kwamba kwa msaada kidogo ni rahisi sana na ya haraka ya kujenga mahali popote katika nyumba yako au ofisi
mimi dhahiri kupendekeza cabin demvox eco100 kwa mtu yeyote ambaye ni kufikiri kuhusu sadaka zaidi ubora katika rekodi yako
eco200 kesi na music uzalishaji vitoria uhispania
mike baldwin mwanamuziki
mimi ni mchakato mhandisi kwa taaluma na baada ya muda wa mapumziko pia mwanafunzi wa jazz saxophonist marehemu maua mimi pia kucheza funk na mwamba
siku kazi yangu na majukumu ya familia kwa ujumla zaidi kwa vitendo njia ya 22 00hs juu kabla ya ufungaji wa cabin yangu eco200 niliwahi kuwa kucheza katika kiasi cha chini sana katika chumbani karakana hayo ili kuamka familia yangu na si fujo majirani si njia sahihi sana ya kucheza mimi kuchukuliwa wazalishaji wote (pia kubuni na kujenga gari mwenyewe lakini sikuwa na mwezi kamili ya jumapili kufanya hivyo) na hatimaye alichagua demvox na ubora bei na utoaji mfupi
kuwa na kibanda soundproof ni ajabu siwezi kucheza kwa kiasi kamili usiku na si bother mtu yeyote zaidi ya mimi mwenyewe siwezi kuendeleza mazoezi tone yangu na na kipolishi ngumu wakijua kwamba hakuna mtu anayeweza kusikia mimi na hivyo kuepuka tathmini wasiwasi
dv520 music uzalishaji barcelona uhispania
marc trueba music uzalishaji
shukrani kwa cabin mimi rekodi bendi katika karakana ya nyumba vilivyooanishwa bila kuvuruga majirani mimi grabo mwamba bendi punkmwamba na high sauti shinikizo na hakuna tatizo nina gari katika karakana na udhibiti juu ya ghorofa ya tatu ambayo inaruhusu mimi kufurahia kubwa nyumbani studio
dv500 elektroniki muziki uzalishaji madrid uhispania
nick kufyeka deejay & mtayarishaji
mimi deejay na uzalishaji wa umeme muziki tangu 1996 na kutumia teksi wote wawili wa chomo kurekodi sauti na vyombo nifanye nini vikao mtiririko wa kutoka ndani na nini zaidi nifanye nini bila shaka ni kuzalisha floor kuwekeza nusu ya 3 kila siku jioni mwishoni mwa wiki na masaa tena hivi sasa nina miradi kadhaa ya kuzalisha muziki elektroniki ambayo natumaini kumaliza hivi karibuni
nina furaha kwa demvox cabin tangu mimi kazi kwa hayo ina kabisa iliyopita njia ya kufanya kazi katika nini mimi kama mimi kufikiria ni moja ya njia bora ya kazi katika kitaalamu kabisa katika njia yangu mwenyewe nyumbani
mimi alichukua kuhusu 17 miaka kufanya kazi na muziki elektroniki nyumbani na mara zote alikuwa na matatizo na vibrations nami pia nafanya kazi na masafa ya chini sana (40 hzs) katika mwisho ni nini madhara matatizo haya ni kwamba kikomo sana wakati wa kufanya kazi na mikondo hii na huna kazi nyumbani si kwa fujo majirani
tangu nina cabin mimi si alikuwa na tatizo moja na kwa kweli kukaa utulivu mimi aliuliza jirani yangu jirani na si habari kitu kabisa faida nyingine kwamba mimi kuchukua ni kwamba kwa si kuingia kelele za nje ndani ya cabin makini span ni kubwa sana kupata matokeo bora zaidi katika kazi
web nick kufyeka
eco100 kesi na music uzalishaji vitoria uhispania
ugunduzi halisi kwa ajili yangu demvox vibanda soundproof siwezi kuwa furaha na hayo power mazoezi kurekodi na kuweka kilio kupima kwa hiari na bila mtu yeyote kufikiri kuwa kuna nutter katika nyumba karibu ni furaha wao ni helluva uvumbuzi kwa mwanamuziki yeyote ambaye anataka mwamba wakati wowote na curran vizuri katika kupunguza nyumbani
dv562 dv1871 elimu uzalishaji na kupima ansoain uhispania
musiktem shule ya muziki wa kisasa
kila darasa ni kibanda soundproof kubuni demvox kufanywa na tayari hasa kwa utendaji na kurekodi
eco400 eco850 elimu uzalishaji na kupima castellón uhispania
mondo ritmic escola mtaalamu muziki
vibanda demvox kutoa tiba yake wote wawili acoustic kama kutengwa yao faraja na utulivu ndani nje perfect kwa ajili ya mazoezi na salama wakati si kuzalisha kelele kero kwa majirani bora kwa shughuli zetu (masomo ya mtu binafsi kikundi na kuhusu mafundisho line) shukrani kwa daniel dario julian na timu zote demvox kwa msaada na ushauri wao ametupa
mondo ritmic shule ni sasa
yesu gallardo mkurugenzi wa mondo ritmic
dv568 mazoezi na muziki uzalishaji
xevi matamala mtaalamu mwanamuziki
nilikuwa napenda kununuliwa mapema cabin hii nadhani ni moja ya uwekezaji bora alifanya kama mwanamuziki
mimi nina drummer na kutoka miaka 15 mimi nina kulipa ndani mimi kuishi katika barcelona na kodi ya majengo ni kubwa sana hivyo ni muhimu kushiriki majengo pamoja na yote hii ina maana aidha wao ni mara nyingi nje au katika vitongoji mbali kutoka katikati ambayo inahitaji kuchukua metro na kupoteza muda na fedha juu ya kusafiri
sasa mimi kuwa imewekwa juu ya sakafu ambapo mimi kuishi na ni cabin kubwa mimi kuchukua muda zaidi na mimi sina tatizo na majirani mimi daima kucheza kwa nyakati nzuri lakini siwezi hata kucheza wakati wa usiku na brushes na hakuna milele alilalamika mimi matumizi yake ya kujifunza kufanya mazoezi na jazz trios na baadhi pop zaidi (gitaa bass na ngoma au gitaa keyboard na ngoma) na kufanya baadhi ya rekodi kama acoustics ni nzuri sana
xevi matamala diploma katika kufundisha music elimu na l'uab haki ya juu jazz na kisasa muziki katika betri maalum l'esmuc na kwa sasa ni kutafuta mama wa musicology muziki elimu na ufafanuzi wa mapema music katika l ' uab
kama performer yeye ina walishiriki katika miradi mbalimbali ya jazz na mwamba maonyesho katika tamasha de jazz de barcelona girona figueres vic na granollers katika popkomm katika berlin i sxsw austin (texas) katika auditorium ya barcelona kursaal ya manresa vic l'antàrtida katika razzmatazz juu ya hatua kuu ya mercat de música viva de vic katika kambi l'jove senglar rock katika jazz mpango katika l'tv3 alisoma nk
yeye kuhaririwa 10 rekodi saba tatu binafsi iliyotolewa rekodi i pia amechapisha disc kuandamana wahariri kuchapisha cantata hadithi format enamorat nen ya lluna ambapo linajumuisha muziki wote
kituo cha kucheza kwa maria mira
eco100 baada ya uzalishaji wa
moonlight cinema postproduction kwa ajili ya sinema matangazo na video za muziki
dv234 kesi na uzalishaji muziki
katika zalacain
eco1100 eco300 eco300 kumbi
katika zalacain nafasi kwa ajili ya matukio ya kijamii na dining faini
mifano ya mwezi wa vibanda imewekwa katika demvox katika zalacain (madrid) ili kufidia matukio ya kijamii na maonyesho ya biashara kitaifa na kimataifa katika zalacain ni nafasi ya kuvutia ambayo ina zalacain katika shamba moja ya maeneo ya kipekee ya madrid na ni kuchukuliwa moja ya bora ya kuandaa biashara yoyote sherehe mtaalamu au binafsi
uzoefu mkubwa wa usimamizi wa timu na carmelo pérez na eduardo de la calle kufikia uratibu kamili wa nyanja zote kwa ajili ya mafanikio ya kila tukio katika zalacain iliyoandaliwa tangu miaka 10 ni ukweli
katika zalacain ni moja ya maeneo zaidi ya kipekee katika madrid na vifaa vya kisasa kuzungukwa na sanaa ya kisasa na kikamilifu ambacho kinaweza kutumiwa na mahitaji ya kila mteja ambapo kila aina ya matukio na matukio ya kijamii kwa ajili ya kubwa makampuni ya biashara haiba wafanyabiashara wanasiasa na watu mashuhuri ni uliofanyika hispania miongoni mwa wengine ambapo kikamilifu unachanganya vyakula bora na huduma bora
web katika zalacain
gabriel aprili
dv562eco110 music kurekodi
gabriel abril uzalishaji mwanamuziki
cabins demvox wamekuwa ufumbuzi wa kuwa na studio nyumbani si hivyo tu kwa sababu ya sauti ambayo yanaweza yanayotokana na kurekodi kwa nje lakini pia kwa kelele za nje ambayo inaweza kutupwa kwa urahisi kwa micros kama insulation si nzuri kwa hali kwamba siwezi kuwa furaha na vibanda
mimi nina kutumia wawili kwa sasa eco110 moja kwa ajili ya kurekodi sauti acoustic guitars na percussion na dv562 kwa chumba kudhibiti katika mwisho mlango ni kioo kutoa ni zaidi kwa kiasi kikubwa basi walipo kutumia masaa mengi katika studio kuchanganya ni faida moja zaidi kama inaruhusu mwanga wa kawaida bila ya kupoteza soundproofing kuwasiliana madirisha juu ya wote cabin wakati huo urefu na grommet mfumo wa vipaza sauti waliwekwa swali jingine ni kama sauti katika chumba kudhibiti itakuwa sahihi wakati wa kuchanganya kwa hali kwamba matokeo ni ajabu kila kitu ndani ni lined na sauti absorbing vifaa na ni mwaminifu kwa kile hutoka nje ya tapping kutoka nje na kwa kiasi haki ya juu tu msinung'unike mbali ambayo inaweza kuwa ndani ya jirani yoyote ni kusikia
kurekodi vifaa ni vyema juu ya racks mbili ya 16 vitengo na kuifanya rahisi kwa usafiri vifaa vyote haraka kwangu mimi nimepata maeneo mbalimbali ya utafiti huo ambayo ilikuwa majengo ya mwingine kuwa na uwezo wa kuzunguka kwa urahisi na reassembled bila ya kupoteza sauti ambayo umefanya tayari kutumika baada ya saa za kazi kama sisi kuongeza upatikanaji wa mafundi demvox ili kuwezesha mkutano na disassembly ya vibanda uamuzi imekuwa na mafanikio
gabriel abril ni mwanamuziki na uzalishaji yeye alicheza katika makundi kama mapumziko ya mwisho sin remedio au kugeuza yeye imeonyesha tatu solo albamu spell ya tabia (nena records / emi 2001) dakika tano kabla ya mwisho wa ulimwengu (tremolo recordings 2006) na simba katika karakana (tremolo recordings 2008 ) kama mwanamuziki huyo imeonyesha nyimbo kwa ajili ya matangazo na kushiriki katika hoteli cochambre bendi ziara ambayo kumbukumbu dvd hotel tamu hoteli msingi wa kazi ya joaquin sabina ni ametunga ajabu kushuka man na ambayo inafanya ziara hiyo kelele pia ushirikiano zinazozalishwa albamu ya kwanza fireman montag yeye imeonyesha kuwa magitaa na mandolins katika albamu wakati shetani kuimba (emi 2011) ramoncín pia vitendo kama muziki mwandishi wa habari katika gazeti hii ni mwamba na ameandika kitabu zenye albamu ya kuishi milele kumbukumbu katika hispania tangu 1964 mpaka sasa iliyochapishwa na milenia
web gabriel aprili
dv1404 sekta foundry
model dv kutumika kama ofisi machining kupanda fundivisa katika mji wa villagarcía de arousa
eco110 kurekodi na editing audiobooks
eco110 baada ya uzalishaji creative studio
eco110 cabin studio ubunifu customfx kubuni uzalishaji compositing editing sauti kubuni
maalum dv130 magari
dv comanai cabin imewekwa kwa ajili ya mchakato automatiska mkutano kwa kutumia mfumo wa uzalishaji wenye ujuzi kwa lengo la sekta ya magari
studio ya tritoni
dv333 music kurekodi na uzalishaji
dv702 kesi na music uzalishaji
dv333 kesi na music uzalishaji
miguel a benito ngoma na percussion
mimi ni radhi sana na teksi mimi kuwa imewekwa kwenye ghorofa ya tatu ya jengo katikati ya madrid karibu atocha na mimi si alikuwa na matatizo yoyote ya kelele na majirani nimekuwa hata alifanya baadhi ya majaribio na wanamuziki zaidi katika nyumba na wote kitu chochote sawa hakuna mtu akaniambia mimi aliuliza mlango yangu ijayo jirani na aliniambia kabisa kusikia chochote
wao kuweka maalum chini ya ardhi na tacos nzuri na hakuna majirani juu na mimi si alikuwa malalamiko yoyote
nimekuwa imewekwa katika chumba kidogo na nzuri mimi kufunga mlango wa chumba na vyumba nyingine si kusikia naweza kivitendo kufanya kazi na utafiti kimya kimya bila kuvuruga mtu yeyote
noises nje hakuja kwa kweli kama si kusikia kugonga kwenye mlango au intercom lol na kubuni baadhi au mfumo pete mwanga kwa sababu mimi kupata katika tank insulation wangu na mimi si kusikia chochote
mimi matumizi yake hasa kujifunza kujiandaa répertoire mimi ni mwanamuziki wa kitaalamu na kazi vizuri katika hali tofauti mimi kusafiri sana na ambayo nina hivyo nyumbani ni kamili ya kupata muda zaidi kwa sababu kila wiki nina ratiba au nyingine bure
katika madrid unaweza kupoteza muda mwingi katika mbuga hiyo mazoezi kama una kundi fasta kama mimi unaweza kuwa ghali kabisa ambayo kwa ajili yangu ni uwekezaji bora
mimi pia kutumia kama maabara kwa ajili ya kupima mawazo au seti tofauti ya sauti mimi tumefanya baadhi ya vipimo na mimi mpango wa kufanya hivyo mbele kubwa kwa kupima na bendi kubwa
pia kutumika kufundisha nyumbani na mimi nina mawazo kuhusu kufanya madarasa online mapema mno
ukweli ni kwamba kama mimi nina nyumbani alitumia karibu wote siku ndani yake na mimi matumizi yake stereo nzuri
wasifu miguel a benito
asili ya burgos huanza 14 miaka kucheza classical percussion na drumming 17 huanza kitaaluma katika makundi mbalimbali ya mwamba blues orchestra nk katika miaka 17 katika burgos miaka 21 kuweka katika madrid ambapo yeye sasa anakaa jazz matokeo elimu ya juu katika conservatoire ya amsterdam (uholanzi) na mwaka utendaji mafunzo udhamini kutoka berklee college of music huko boston yeye amejifunza faragha na drummer dan weiss martin andersen arturo garcia carlos carli peter erskine nk na pia meza hindu na nanta kumar katika madrid yeye walishiriki katika miradi mbalimbali ya aina zote za muziki kutoka alipozuru na hadithi chicago blues eddie c campbell maonyesho katika michezo nyimbo na kampuni cresanaa alikuwa rafiki wa wanamuziki wengi jazz kuonyesha abdu salim dan rochlis carlos barreto vocalesse tony heymer federico lechner concha buika ximo tebar ester andujar kirumi filiu israel sandoval tono miguel borja barrueta manuel machado jerry gonzalez antonio serrano ariel bringuez yaniv nactchum cesar latorre doug murro bobby martinez paul martin horacio icasto miguel blanco doug munro josé manuel illera andre matos miguel fernandez demian cabaud leo genovese chema sainz daniel yakaré martin leiton walter beltrami victor correa andy chango juan galiardo guianni gagliardi david gonzalez natalia calderón nicole henrry peter weaver yelsy heredia pepe rivero toni mora albert vila vistel brothers yul ballesteros na nk pia kushiriki katika miradi kadhaa ya muziki asili na gitaa marcos collado argentina gitaa hernan hock basque bassist nyengine garcia ambaye alikuwa hivi karibuni kumbukumbu kwa errabal na swing kundi na blues cats walivuka toni mora trio nk
dv216 shule ya saikolojia
luis j fuentes profesa wa saikolojia katika chuo kikuu cha murcia
utafiti katika uwanja wa saikolojia ya majaribio ni muhimu kuwa na soundproof nafasi ya kutosha kwa ajili ya washiriki katika majaribio anaweza kufanya kazi ya majaribio bila bughudha vipengele ambavyo vinaweza kuathiri matokeo sharti hili inaweza kupatikana kwa dhamana ya kutosha cabins yametungwa katika photos kwanza mshiriki inaingia cabin na majaribio inatoa maelekezo sahihi kisha mlango wa cabin soundproofing kuzalisha ni imefungwa kwa njia hii mshiriki anaweza kufanya kazi ya majaribio ambayo yanahitaji majibu upande wa kulia kwenye keyboard ya kompyuta matusi au kwa njia ya kujengwa katika majibu kipaza sauti ufanisi na bila ya ovyo matokeo mara moja kuchambuliwa inaweza kuwa aliwasiliana na jamii ya kisayansi katika mfumo kuwasilisha katika mikutano ya kisayansi au kupitia makala kuchapishwa katika majarida ya kisayansi
web chuo kikuu cha murcia
eco300 kesi na music uzalishaji wa
xabier olkotz (txaflis) mtaalamu mwanamuziki
mpya teksi eco ni uwekezaji bora nimepata alifanya katika maisha yangu napenda kufanya mazoezi na betri au na chombo chochote percussion bila mapungufu mimi kuwekwa katika mitaa kituo cha ununuzi iko kwenye ghorofa ya pili ni kuzungukwa maduka mengine na sijapata malalamiko yoyote mimi aliongeza hatua ili kuepuka kelele athari kwa sababu mimi na kuhifadhi nguo tu chini na matokeo yake ni kamilifu soundproofing ni kamilifu na acoustics ya mambo ya ndani inaruhusu mimi rekodi kwa kubuni bora kutoa masomo yangu ngoma binafsi limekuwa mchezaji muhimu napenda pia kusema kwamba timu demvox amenipa mpango mkubwa na mimi na kuthibitika kuwa mtaalamu kama taji ya pine asante kwa kila kitu dani na dario
xabier olkotz ni mwaka shahada yake ya mwisho kitaaluma katika percussion ambayo imekuwa tuzo wakati wa 2011 2012 na kozi na bilaketa udhamini kugeuka mwaka huu nitafanya mitihani mlango wa shahada ya kwanza jazz ngoma katika tofauti conservatories kwa sasa anacheza katika orchestra edelweiss na txaranga malatxo pia imekuwa ni sehemu ya maarufu txaranga bila kuchoka pia anafundisha katika shule mbalimbali za muziki ikiwa ni pamoja na kiwango cha mtu binafsi
video bila kuchoka txaranga
video kuanzishwa kwa jazz conservatory pablo sarasate mtaalamu
picha http//javierzubiriblogspotcomes
raquel rodriguez zenit audiovisuella uzalishaji multimedia sl
sisi zinahitajika ili kuanza nafasi ndogo soundproofed kufanya maneno ya mara kwa mara lakini si ya kutosha kuwa lined na acoustic nafasi povu hivyo tuliamua kuongeza demvox cabin ili kupunguza kelele karibu nasi baada ya kufunga ni katika nafasi ndogo sana tunaweza locuto vizuri hata kwa noises mwenyewe ya ofisi
multimedia zenit ni timu ya wataalamu katika uwanja wa mawasiliano kubuni audiovisuella na multimedia uzalishaji na maendeleo ya maombi ambao utaalamu ni kama miradi ya mawasiliano kutoka kwa karatasi na ipad kutoka screen muziki sisi kubadili mawazo yako katika miradi ya mawasiliano mafunzo au kujitangaza
javier ramallo mfereji extremadura tv / mitindo
cabins hizi wamethibitisha us ufumbuzi wa kufaa sana kutokana na ufungaji haraka na rahisi ukubwa wa kutosha na uwezo wa kutosha kwa ajili sahihi acoustic kurekodi voiceovers zote za bidhaa zetu cabins ziko katika katikati kwa maandishi taarifa katika tovuti kimkakati kwa ajili ya matumizi yote waandishi na wahariri ambao wanahitaji hiyo utumiaji wa wastani ni maneno 700 kwa mwezi
wao ni vifaa na teknolojia zinazohitajika kwa wao kutumika kwa kujitegemea na wahariri kutumia touch screen kuendelea na kurekodi kwa urahisi na vivyo hivyo inaweza kutumika kwa rekodi kusaidiwa tangu wote wana mixer kusikia ili kuwawezesha mawasiliano na mtangazaji kutoka sehemu mbalimbali za miundombinu kutoka kudhibiti sauti ya vyumba mbalimbali ednl na baada ya pro
redio zote kumbukumbu katika cabin undergoes mchakato wa binafsi leveling msingi sauti (ebu r128)
mfereji extremadura ni kikanda channel tv jamii ya extremadura ni televisheni vijana tangu ina miaka 7 tu makao makuu iko katika merida ambapo pamoja na mambo mengine mipango habari zote zinasimamiwa
eco110 audiovisuella uzalishaji
daniel prados audiovisuella uzalishaji dg audiovisuella productions
mfano eco110 tunatumia kwa ajili ya kurekodi sauti kwenye nyimbo vyombo akustisk magitaa ya umeme na dub video pamoja na matokeo mzuri kwa sababu tunaweza kurekodi sauti vyombo mkali sana na kidogo background kelele na inaweza kutumika bila kuvuruga amplification majirani pia kwa sababu tuko katika block ya kujaa bila kupokea malalamiko yoyote
roho yetu ni kutoa uzalishaji vizuri sana kufanyika kwa wale wote ambao hawana uwezo wa kupata ndani ya chombo kikubwa kurekodi kitaalamu studio ya kurekodi albamu kubwa alifanya video ya muziki tv kibiashara au dubbing ya filamu ya gharama kubwa za kiuchumi miongoni mwa chaguzi nyingine kama videotape mbalimbali format matamasha maonyesho ya maonyesho na hatimaye chochote kutoka kwetu na uwezo wa kuona
dg produccions audiovisuals ni nchi ya ndogo ya audio / video ziko katika manresa barcelona
eco495 audiovisuella uzalishaji
asier gonzalez muziki wa muziki na mhandisi wa sauti muziki wa bikain
tulitaka kibanda soundproof kwamba hakuwa na kuhitaji kazi au nanga ardhi au kuta na kuchagua demvox vibanda maalum iliyoundwa kwa ajili ya kurekodi sauti matumizi kuu sisi kutoa kwa cabin ni matangazo kwa ajili ya kurekodi sauti tiba na matunzo demvox timu ina walionekana kipekee
bikain music mtaalamu katika redio kampuni baada ya uzalishaji kwa ajili ya bidhaa audiovisuella dubbing locutions uzalishaji muziki maudhui editing na mastering katika stereo na surround ikiwa ni pamoja na kujenga madhara chumba (foley)
dv333 audiovisuella uzalishaji
cabin demvox kuitumia kwa ajili ya kurekodi vyombo akustisk na sauti ya shaka sisi got insulation bora na bora sana wa hali ya
bassmusic ni utafiti kujitoa kimsingi kutunga muziki kwa ajili ya matangazo filamu na televisheni sisi pia kufanya sauti kwa ajili ya matangazo na muziki editing kwa ajili ya televisheni
amp36 uzalishaji muziki
juan guevara mtaalamu mwanamuziki
demvox amp mfano imeruhusu mimi kazi nyumbani kwa mbali bila kuvuruga majirani na kupata matokeo awesomethat rahisi ya kukusanyika / disassemble matumizi yake katika baadhi ya matamasha na symphony orchestra na hakuna mtu alilalamika ya kiasi gitaa ni wazi matumizi ya sikio lakini mimi naweza kupata utendaji zaidi kwa amplifier watu wa demvox aliwahi mahitaji yangu tangu mwanzo mfano wangu amp ni zaidi kompakt na mimi kununua hiyo kwa nia ya kuweka tu msemaji juu ya chuo na wanapata amplifier / s bila ya kuwa na kufungua na kufunga wakati mimi alitaka fiddling amp
juan guevara (bogotacolombia) gitaa na uzalishaji amefanya kazi kama kikao gitaa kwa ajili ya wasanii na makundi kama vile sergio dalma luis fonsi raphael juanes paulina rubio david bisbal merche broken toys ibrahimu mateo gemma sanz brito disney camp rock kama mtayarishaji muziki katika miezi ya karibuni imeonyesha kuwa na zinazozalishwa albamu ya luis ramiro chloe ele eme live amefanya kazi na vikundi na wasanii kama vile luis ramiro kriketi lorca sergio rivero galadriel boudet nestor feijoo caramés lucia julio iglesias jose tu kumaliza ziara kina (matamasha 110 15 nchi) mara tatu disc akishirikiana raphael mimi kubeba katika moyo wangu ambayo mimi alikuwa na nafasi ya kucheza katika maeneo kama hayo emblematic ikiwa ni pamoja na madison square garden mjini new york moscow kremlin ukumbi wa michezo au ukumbi wa mji taifa méxicoen miezi ijayo itakuwa rekodi dvd kuishi katika teatro de la zarzuela katika madrid kuwasilisha albamu mpya ya raphael ambayo itakuwa kuanza ziara ambayo itadumu hadi katikati ya 2013
eco110 music uzalishaji wa
alvaro del pozo mtaalamu mwanamuziki
presidio ni ya awali kikosi cha valladolid nilipokuwa katika madrid walionekana ghali na badala mazoezi pamoja kisha ufanisi zaidi kwa wote mbadala lilikuwa ni mtihani kila mtu kipaji tofauti na kwa pamoja mara kwa mara kwa ajili ya mazoezi na sisi kubwa mimi nilikuwa chaguzi mbili kuimba mpaka polisi kuingiliwa mimi au kuweka kwangu katika chumbani ufumbuzi ilikuwa rahisi mimi kufanya rekodi kitaalamu kwa miradi mingine bila mke wangu kuchukua yangu nyumbani
alvaro del pozo lukio ni ulianza mwaka stone age society kufanya stoner mwamba katika lugha ya kiingereza matoleo ya kyuss ombaomba kiroho usinishike na nyimbo wenyewe
baadaye presidio kuangalia kwa muimbaji mpya haraka kuja katika uzalishaji ipso facto na maisha mapya alitoa nod baada ya kusikiliza demo na stone age society mara moja katika kuwasiliana na bendi yesu aliingia maisha mapya studio ya kurekodi albamu ya pili presidio umri wa watumwa na baadaye yeye walishiriki katika mfululizo wa matamasha ya kuwasilisha leon valladolid madrid disk miongoni mwa miji mingine ya kihispania
hivi sasa yeye unachanganya matamasha na kuundwa kwa albamu yao ijayo ambayo inaonekana mengi zaidi ya kikatili na kuingilia kwa nguvu
amp56 uzalishaji muziki
eduardo escobar mtaalamu mwanamuziki
cabin demvox ni suluhisho kamili kwa ajili ya kupata bora sauti kutoka amp yako bila ya kuwa na kazi kwamba kama ni home studio ya kweli mimi basi ndani cabin screen yangu george 2x12 na micros wote unataka (nguvu condenser ribbon) na kupata hiyo sauti kurekodi studio yoyote ya kikazi
eduardo escobar kuanza kucheza gitaa katika miaka 12 yeye amekuwa na mafunzo yake kutoka kwa walimu kama vile jose de castro jopi richie garcia javier sanchez na sacri delfino yeye amepokea madarasa ya bwana kliniki semina mafunzo na combos nyingine na wanamuziki na wasanii kama jopi francisco simon scott henderson steve morse carl verheyen nathan mashariki ludovico bagnone diego garcia nk uzoefu wake ualimu ni wa kina kuwa profesa wa taasisi mbalimbali za jamii ya madrid eduardo amefanya kazi na idadi ya bendi na wasanii kama vile infusion katikasidekati hatua orchestra blue alchemy orchestra orchestra bailem levisstraus wanaochukua fito y tu folsom prison
yeye walishiriki kama gitaa kuishi kwa ajili ya watu kama soni mbali despistaos mchawi wa oz teksi hasara ya jumla maria bestar mama edurne
hivi sasa yeye ni kazi ya albamu yake ya kwanza muhimu wakati akifundisha katika shule ritmo y compas
george endorser tube amps athari carl martin george l's nyaya cables ushahidi vya gb pedaltrain na pickups
dv144 muziki
francisco fuentes mwanamuziki amateur
mara ya kwanza mimi kuanza mimi kucheza saksafoni kama misaada tangu kwenda kwa wakati mgumu binafsi mimi bado kukumbuka siku majirani zangu katika barabara waligonga mlango kuuliza mimi na kikomo masaa yangu ya masaa utafiti 3 siku wakati kwa wakati ule kugusa ilikuwa kama dawa alihitaji
mimi alianza kujisikia aibu kucheza bila kuondoa expressiveness ambayo inahitaji kama chombo na mdogo katika muda na kwa undani tamaa mimi kuonja homemade na wataalamu wa kila aina bila matokeo ya taka ama kwa sababu hawakuwa na ufanisi ama kwa sababu walikuwa sana vibaya kutumia mpaka kutafuta biashara mimi aligundua ubora soundproofing cabins demvox mutes
uwekezaji thamani yake kwa sababu kutoka niweze risasi mimi masaa wafu kucheza katika mapenzi ama kusoma kucheza au kurekodi masomo kama muziki studio ni kushiriki
francisco fuentes imekuwa kucheza saksafoni miaka 3 alianza kucheza clarinet lakini baadaye switched kwa saksafoni na baadaye kwanza juu mujibu
amp56 music uzalishaji wa
juan carlos cardenas mtaalamu mwanamuziki
mimi kutumia sanduku demvox amp56 vikao kurekodi gitaa na hata kufanya mazoezi ya kupata sauti bora ya amplifiers yangu ufuatiliaji kusikiliza kupitia wachunguzi na / au headphones
mimi matumizi yake katika uzalishaji yangu katika studio yangu inafaa katika wawili 1x12 screen kama moja ya 2x12 au 2x10 kuna nafasi ya miking na vipaza sauti mbili kikamilifu kutokana na uingizaji hewa mfumo wake wa kimya hakuna tatizo kutumia valve combo
kwa demvox nina uwezo wa kurekodi magitaa katika ngazi ya kitaalamu na kupata zaidi nje ya amps wangu tangu unaweza kuweka mengi ya kiasi kufinya vizuri valves katika hatua nguvu ya kupata hiyo ubora wa sauti katika bakuli kurekodi studio bila kuvuruga majirani wako
nina furaha sana na hali hii kwa sababu wakati kikundi au msanii anataka gitaa vikao kurekodi kwa demo yao au albamu anaweza kufanya hivyo bila ya haja ya kwenda studio kurekodi kupata shots juu mbinguni mtaalamu ubora
juan carlos cardenas ni gitaa na uzoefu mkubwa wa kitaalamu ina zaidi ya miaka 10 kurekodi na kucheza kuishi na wasanii mbalimbali ikiwa ni pamoja na madarasa kutoa ya gitaa ya umeme na acoustic na maelewano ya kisasa kwa sasa ni gitaa magnetic na rasmi endorser ya george tube amps rocknriff umeme solutions pedaltrain na george l's cables
juan diego martin mkurugenzi mkuu fonetic
moja ya huduma ya sisi kutoa kwa soko ni kubuni na utekelezaji wa automatiska huduma za simu kwa wateja kuruhusu akiba muhimu katika huduma ya asili majukumu ya ongezeko la thamani
kufanya kazi hii sisi zinahitajika mazingira na tabia akustisk na soundproof ubora na baada ya kutumia nafasi kujengwa kwa kazi bila ya kupata matokeo ya taka kutokana na hoja aliamua kupata demvox cabin ambayo hukutana mahitaji yetu na chini ya mageuzi ya jadi bei
sisi kutumia kibanda kila siku kurekodi maneno kwa wateja wetu kufikia matokeo mazuri sana telefonica iberdrola vodafone endesa sanitas mapfre adeslas hotline nk
fonetic mtaalamu katika kusaidia makampuni na taasisi bora know na kuelewa wateja wa kampuni yao wito wao ni decode tabia ya wateja kupima athari zake kwa biashara na kupendekeza jinsi ya kuendelea wao kukusanya kuchambua na kuboresha mwingiliano kati ya makampuni na wateja wao mwingiliano kuchukua nafasi katika njia tofauti baadhi kupitia wasiliana center (hasa katika wito lakini pia epepe kuzungumza nk) na nyingine inazidi kupitia mtandao na mitandao ya kijamii kutathmini madhara katika biashara na kutoa mapendekezo kuwa na uzoefu mkubwa katika michakato muhimu ya biashara (mauzo uaminifu na retention anadai usimamizi nk) katika sekta kama vile benki bima mawasiliano na mamlaka ya udhibiti wao ni viongozi katika soko la kihispania na pia waliopo katika amerika ya kusini kupitia kampuni tanzu wake wa kimataifa
javier arpa mtaalamu mwanamuziki
nina furaha sana na matokeo ambayo inatoa amp56 ni suluhisho kamili siwezi kufanya rekodi kitaaluma katika nyumba yangu bila kuvuruga majirani zangu kutumia combos bomba (30w 60w 100w) kiasi wanahitaji mojawapo ya utendaji kana kwamba katika utafiti chumba na sauti ni kamilifu
matokeo yake ni kweli kuvutia
javier arpa alisoma gitaa na amani na walimu javier sanchez jose de castro (jopi) na israeli sandoval kama mwanamuziki kuishi yeye amefanya kazi na wasanii kama chenoa melendi soni mbali lydia (presets) alejandra botto odin coyote dax injili kiwanda ricardo igea kwa kushirikiana na antonio vega dylan ferro (tikiti dizeli teksi) manuel uhispania (la guardia) na nk
katika utafiti ina kumbukumbu kwa sergio dalma idol maneno ya lorca soul club eri nacho felix rua matangazo mbalimbali headers a3 tv uzalishaji na mpangaji wa karibuni studio soni mbali
pamoja na uzoefu wa miaka 10 kama kutoa binafsi ritmo madarasa y compas klab3 yeye kwa sasa anafanya kazi katika mradi wake ala na drummer jose carriazo na bassist daniel moreno wakati yeye unachanganya kwa kazi yake kwa wasanii profesa tofauti
web javier arpa youtube channel
roberto square muigizaji msemaji na dubbing
mimi kutumia cabin yangu demvox kwa kila kitu kuhusiana na sauti matangazo locution makala dubbing nk eco110 ukamilike sana kumbuka kwamba kuna uhandisi kuvutia kazi kwa ajili ya msimu na portable cabin wake dirisha hutoa faraja na mwanga kazi kwa kawaida nafasi ya kurekodi katika masomo ni maeneo madogo na giza sautiproofing ni mafanikio ya kufanya kazi kitaaluma hii mtindo teksi ni kamili kwa ajili wasemaji kwa ajili mwelekeo wake wa ndani
roberto cuadrado inachukua zaidi 10 miaka maonyesho hispania dubbing locutions na wedges yeye ni rais wa rcaudioloc sl huonyesha ubora taaluma na agility katika kazi ya dubbing na voiceovers ikiwa ni pamoja na bei nzuri ya soko na huduma roberto square dubbing hispania wataalamu imeongezeka mara mbili makala muhimu kama siku za mwisho wa maisha ya michael jackson nne mlolongo twin towers ya la2 machi 11 ya telemadrid na isitoshe makala ya televisheni vile national geographic discovery channel travel channel historia channel
marta manzano meneja tesseo media
dv yetu cabin hukutana na mahitaji ya matendo yetu ya mawasiliano ya visual kazi yake kuu ni locuto katika videopato videomawasiliano video na virusi ripoti audiovisuella vitu habari nk
mara kwa mara tulikuwa cabin na inatoa nafasi kamili ya kutoa huduma bora
tesseo ni sumu na timu ya wataalamu na uzoefu wa zaidi ya miaka kumi na tano katika ulimwengu wa televisheni na mawasiliano ya muundo na mawasiliano unaojumuisha mambo mbalimbali mandhari tesseo mtaalamu katika audiovisuella mawasiliano ya wakala pekee ni inatoa wateja wake mbalimbali ya huduma kwa kusudi mbili kuwafanya kuonekana zaidi na kukabiliana na mahitaji yao kwa sababu kuwa waumini kuonekana
eco233 mazoezi na uzalishaji wa musical
ariel bringuez mtaalamu mwanamuziki
cabin hii ni meli yangu nafasi ambapo mimi hawezi kufanya kazi mawazo yangu na kuhimiza ubunifu ni inakupa uhuru wa kueleza mwenyewe na kujifunza sababu za kisaikolojia tena ni muhimu kwa kucheza bila hofu ya kuvuruga majirani ndani nina kompyuta na wasemaji na piano kwamba inaruhusu mimi multitask sakafu kucheza na kusoma vyombo mbalimbali tenor na soprano saksafoni na filimbi clarinet na piano
hivi sasa mimi nina kutumia eco233 cabin kwa ajili ya kuchanganya na mastering albamu yangu ya mwisho iitwayo 'uzoefu'
ariel bringuez sasa wanaoishi katika madrid ni saxophonist mtunzi na mpangaji katika 2004 2005 na mshindi wa tuzo ya kwanza ya kimataifa ya ushindani jojazz katika jamii ya utendaji na utungaji mtiririko huo katika 2007 kumbukumbu albamu yake ya kwanza roots katika rangi ambayo hits maduka chini ya studio colibri yeye alishirikiana juu ya albamu kama jumla ya kutokwa orlando valle maraca mkuu rumba orlando valle maraca hisia yangu sita sense treni ya muda mfupi alejandro sanz trapiche alejandro vargas a journal telmary revoluxion x alfonso mtunzi wa soundtrack kwa ajili ya filamu habana blues miongoni mwa wengine na mimi alicheza na wanamuziki kama vile tata guines changuito quintanta andy narell tu red x alfonso awali interactive kirumi filiú roberto occhipinti hilario duran chucho valdes miongoni mwa wengine wengi sasa katika mchakato wa kurekodi albamu yake ijayo uzoefu
mónica gonzález feijoo mkurugenzi wa nursing tv
kujenga maudhui yetu audiovisuella sisi kutumia teksi demvox eco110 tunafanya voiceovers na habari na mipango hapo awali sisi kazi katika chumba ambapo hali ilikuwa si mojawapo kwa ajili ya kurekodi ubora
cabin inatupa matokeo safi na safi kwa kutumia kipaza sauti directional hakuna kelele suala la kubana na bwana kutoa akustisk ni nzuri
uuguzi tv ni matangazo kupitia mtandao ili kufikia manesi wote watazamaji na kuvutia maudhui na falsafa ya ukali wingi na utofauti tv kutenga kuzuia kubwa uuguzi yaliyomo yake kueneza ushauri mapendekezo na huduma za afya kwa wananchi wakiongozwa na wauguzi
dv520 kesi na music uzalishaji wa
diego hernando mtaalamu mwanamuziki
asante kwa cabin yangu demvox naweza kujifunza kila siku na kutoa masomo ngoma katika nyumba yangu mwenyewe mimi kawaida kuanza kucheza katika 9 10 na niko na kama marehemu kama mimi kawaida kukaa ni mpaka 23hs katika nyumba yangu nina majirani hapo juu na kwa pande na kamwe kupokea malalamiko ya kelele mitindo ya muziki kuwa mimi mazoezi ni jazz r & b na hiphop cabin hii ni ufumbuzi mkubwa wa tatizo tuna drummers daima unaweza wanategemea kuwa ndani na hii unahusu kuwa na kulipa ada ya kila mwezi na kuwa na kwenda na kurudi wakati huo kila wakati una gig sasa wakati mimi kucheza na jinsi nataka
diego hernando zimekuwa na greats kama norman hogue cheryl walters antonio ximénez ruben andreu santi canada marta sanchez francisco lopez 'foulbrood hector oliveira tono miguel marcos collado yull ballesteros nyengine garcia roberto pacheco thomas merlo nacho perez pablo gutierrez kiingereza pianist david frankel au waimbaji angela cervantes cecilia krull na yoio cuesta imekuwa ni sehemu ya miradi mbalimbali jazz na kwamba ana kazi katika mzunguko jazz cajastur iiº msafara wa jazz katika chuo kikuu cha burgos (ubujazz) tamasha de jazz de san sebastián (jazz festival) shirika la kimataifa jazz festival bueno ( asturias) xvii madrid jazz festival jazz festival xiv toledo leo kutoa madarasa peke kama mtu binafsi baada ya kuwa profesa wa ngoma na kuweka ya kisasa katika rhythm & compass shule katika kipindi cha miaka 2009 2011
rosa quintana tv presenter
mimi kununuliwa cabin eco 110 mwaka mmoja uliopita sehemu ya kazi yangu ni locuto video matangazo ya redio matangazo ya televisheni makala na mafunzo online katika eco 110 mimi naweza kufunga vifaa vyote nahitaji na matokeo yake ni nzuri sana hakuna kelele au kuingiliwa mimi kupendekeza hivyo
rosa quintana ni katika 13 tv presenter picha truvia na securitas direct sauti ya matangazo kutoka el corte ingles mtangazaji katika cope pia anafundisha kupoteza hofu ya kuongea mbele ya umma na kusaidia wajasiriamali kuanzisha duka
dv500 kesi na music uzalishaji wa
iker uriarte betagarri mwanamuziki na wengine
cabin dv500 ni ndoto kwamba kila drummer anataka kutimiza ndani yake mimi kucheza ngoma na piano na hata leo sijapata malalamiko yoyote kutoka kwa majirani ground kutafuta mazoezi kwa nyakati nafuu ninaishi kwenye ghorofa ya pili na kwa hatua za ziada kwamba dario ruben na dani hawajapata malalamiko yoyote kutoka kwa jirani yoyote curran
iker uriarte ni msomi katika jazz ngoma katika musikene sasa ina na betagarri deuh'nih doh na antton aranburu na anafundisha katika music shule na ordizia legazpi pamoja na ngazi ya mtu binafsi
eco110 kesi na music uzalishaji wa
omar acosta flutist na mtunzi
mimi ni furaha na eco110 cabin ni hakika kununua bora nimepata alifanya katika muda mrefu ni chombo muhimu kwa ajili mwanamuziki yoyote hasa katika zama hizi za nyumba ndogo ni mengi zaidi ya vitendo na salama soundproof chumba nina kabisa hakuna matatizo na majirani siwezi kuandika na kusoma kwa kujiamini katika karibu yoyote wakati mimi nadhani ajabu ambako amekwenda piper
mimi matumizi yake ya kujifunza na rekodi miradi binafsi miradi kwa ajili ya wasanii wengine redio televisheni na kujaribu aina tofauti za filimbi nk na mimi kawaida kuitumia kwa masaa mawili kwa siku na watu wengi
hivi sasa yeye ni kufanya kazi katika ballet taifa ya hispania na amekuwa kongwe muhimu ya simon bolivar symphony orchestra (1981 1988) na venezuela symphony orchestra (1991 1996)
alibainisha kwa versatility wake omar badala ya kuendeleza kazi yake solo na répertoire classical imeibuka kama mmoja wa mashujaa muhimu zaidi ya biashara mpya venezuela muziki maarufukielimu flamenco pia imekuwa mazoea pied makampuni ballet na vyumba vya muhimu zaidi katika hispania
katika 2012 lawama ballet taifa ya hispania chini ya uongozi wa antonio najarro
ni pia dabbling katika muziki tofauti ikiwa ni pamoja na muziki wa kisasa jazz kirumi india afrika
katika jukumu lake kama mtunzi miongoni mwa kazi zake ni
concerto kwa ajili ya flamenco cajon na orchestra (kwanza katika dunia) iliyotolewa na simon bolivar symphony orchestra
venezuela ngoma kwa ajili ya filimbi na kamba orchestra (kurushwa na symphony orchestra venezuela)
suite flamenca kwa ajili ya filimbi na masharti kurushwa kwenye ii mkataba flutists uhispania na orchestra cordes del mon barcelona
pia katika 2012 mipango yake symphonic ya kazi ya rafael riqueni suite sevilla kama uliofanywa na ballet taifa ya hispania ni huru
kwa maslahi yake katika kupanua répertoire flautístico ina muziki yameandikwa kwa ajili ya filimbi ya solo na kwa formations mbalimbali yeye pia ameandika muziki maarufu muziki chumba kwa symphony orchestra ngoma sinema nk na imekuwa kazi na kumbukumbu na kuongoza soloists ensembles na orchestra katika kumbi na sherehe duniani kote filimbi
kadhaa ya kazi zake kama solo ndege ni pamoja na katika mkusanyiko wa kawaida wa wapiga filimbi hasa katika amerika ya kusini
imekuwa tuzo kwa ajili ya matumbawe 2008 amadeus utungaji uliofanyika katika caceres uhispania
omar ina na filimbi guo na msanii wa kimataifa guo zaidi hati
wasanii na vikundi ambavyo alitenda
simon bolivar symphony orchestra venezuela symphony orchestra orchestra symphony ya maracaibo venezuela taifa philharmonic orchestra symphony ya zulia salvador symphony orchestra orchestra symphony ya merida taifa philharmonic orchestra ya venezuela caracas manispaa symphony orchestra ulaya symphony orchestra
peke yake na pamoja na makundi hayo amesafiri dunia na amekuwa na nafasi ya kuongozana wasanii kubwa ya kimataifa kama vile claudio arrau yoyo ma jean pierre rampal montserrat caballé na placido domingo miongoni mwa wengine
ngoma na flamenco
ballet taifa ya hispania hispania new ballet shauku safi (christopher reyes na joaquin cortes hispania flamenco ngoma cosas del flamenco (christopher reyes) (kama flute na mkurugenzi musical) concha jareño antonio najarro merche esmeralda antonio marquez siudy garrido los vivancos brothers curro de jerez antonio hidalgo miguel canas yesu pimentel carmen la talegona maria carrasco lola greco jose porcel talegón cordoba inmaculada ortega eliezer hila maria juncal tito losada yoko komatzubara miongoni mwa wengine
yeye alifanya rekodi nyingi kama mgeni na 5 solo cd wao ni nini wao ni (omar acosta trio) venezolada (omar acosta ensemble) maasi (muziki kwa ajili ya filimbi na piano na venezuela wasomi watunzi) sola (muziki wenyewe kwa filimbi) kati ya wawili walimwengu (omar acosta na terraensamble) soundscape venezuela (ensemble tierra de gracia) | 2019-09-16T04:04:35 | https://sw.demvox.com/testimonios-y-fotos/testimonios/16-espana |
john mnyika risala ya wananchi wa goba kwa mbunge
posted by john mnyika at 852 am
good job endelea kuwa karibu na wananchi
eng joseph mwaikambo said
kazi mzuri sana mbunge jana ilifanyanyika watu wengine walipenda jinsi ulivyoendesha kikao
ingawa kuna baadhi ya vitu hatukupata muda wa kuviongelea
1 tulikuwa tunaomba kamati pia ya maji iwawasusishe wasomi ili tuweze kupata fikra za wasomi ili tuweze kwenda mbele
2 pump inayosukuma maji tangi bovu iko moja tu na ilitolewa na jica na kama ikifika leo wananchi wagoba watapata tabu kamati inayoundwa iangalie uwezekano wa kununua pump mpya
3 maji yanatolewa kwa siku mbili lakini ni muda mfupi sana tunaomba hizo siku mbili ziwe kwa masaa 24 au yote 48 kwahizo siku mbili
4 goba hamna viwanja vya michezo tulikuwa tunaomba kiwanja cha shule ya sekondari kichongwe ili wananchi wapate sehemu ya kichezea na maeneo mangine yaongezwe kwa ajiri ya michezo
5 kuliwa kuwa na kombe la diwani cup lakini kutoka na diwani wetu kuto kutujali halipo tena tulikuwa tunaomba tuanzishe mnyika cup ili tuweze kuwashirikisha vijana katika michezo
sdiwani tunaomba uanzishe myika cup
mheshiwa mbunge tumependa kazi ya jana endeleza msimamo
vijana tunaomba mnyika cup kama bwana hapo juu alivyo changia
kaka big upwafundishe wazee wanaojiita wakongwe bungeni nini maana ya uwakilishiwhat ua doing ni uwakilishi sio ubosi kama hawa wazee wanavyotufanya huko mikoani | 2018-03-17T16:13:31 | http://mnyika.blogspot.com/2011/02/risala-ya-wananchi-wa-goba-kwa-mbunge.html |
perezida magufuli yategetse ko amashuri yose asubukura amasomo igihecom
perezida magufuli yategetse ko amashuri yose asubukura amasomo
kuya 16 kamena 2020 saa 0231
perezida wa tanzania john pombe magufuli kuri uyu wa mbere yategetse ko amashuri yose afungurwa kuwa 29 kamena 2020 amashuri muri tanzania yafunzwe muri werurwe kubera icyorezo cya coronavirus
magufuli yatangaje kongera gufungura amashuri ubwo yagezaga ijambo ku nteko ishinga amategeko i dodoma avuga ko nta mpamvu yo gukomeza gufunga amashuri kuko icyorezo cya coronavirus mu gihugu cyagabanyutse cyane
kuwa 1 kamena 2020 nibwo amashuri makuru na za kaminuza ndetse nabanyeshuri bo mu mwaka wa gatandatu wamashuri abanza basubukuye amasomo
perezida magufuli ariko yasabye abaturage gukomeza kwimakaza isuku no gukurikiza ingamba zo kwirinda zashyizweho na minisiteri yubuzima
nyuma yiminsi tanzania idatangaza amakuru ajyanye nuko icyorezo cya covid19 gihagaze muri iki gihugu ubu yatangaje ko umubare wabakirwaye ari 66 ariko ntiyagira icyo ivuga ku mubare wabamaze kwandura bose
burundi umunsi wa mbere wo gusuzuma coronavirus muri rusange wabonetseho abarwayi 28
08/07/20 0857
kenya ibigo byamashuri byasabwe gusubiza ababyeyi amafaranga bari barishyuye
08/07/20 0656
perezida emmerson mnangagwa yirukanye minisitiri wubuzima ukekwaho ruswa
08/07/20 1213
eac yamaganye ibyatangajwe ko u burundi na sudan yepfo bigiye kwirukanwa mu muryango
08/07/20 0905
impuguke zagaragaje ko amatora ashobora kuzasiga ahabi ubukungu bwa uganda
07/07/20 0336 | 2020-07-13T07:42:59 | https://igihe.com/amakuru/muri-afurika/article/perezida-magufuli-yategetse-ko-amashuri-yose-asubukura-amasomo |
serikali yatoa matokeo ya uchunguzi malalamiko ya waislamu katika mitihani | jamiiforums | the home of great thinkers
serikali yatoa matokeo ya uchunguzi malalamiko ya waislamu katika mitihani
discussion in 'jukwaa la elimu (education forum)' started by mwana mpotevu sep 13 2012
naibu waziri philip mulugo amesema mfumo wa ukokotoaji wa alama za mtihani wa islamic knowledge ndio ulikuwa na makosa sio usahihishaji matokeo ya jumla yaligawanywa kwa tatu badala ya mbili kwani zilifanyika papers mbili sio tatu
mkuu wa mfumo wa komputa bw mbowe ameshasimamishwa kazi na kamati imeshauri achukuliwe hatua zaidi za kinidhamu
serikali huwa inasahihisha masomo ya dini
mbali na vitukohii ni hatari aiseeeeh
so kama bwana mbowe kasimamishwa na hatua zaidi kuchukuliwaina maana kilio cha waislam kufelishwa islamic knowledge yana mashiko sasa wale ambao wameathiriwa na hayo makosa fate yao ni nn
so kama bwana mbowe kasimamishwa na hatua zaidi kuchukuliwaina maana kilio cha waislam kufelishwa islamic knowledge yana mashiko sasa wale ambao wameathiriwa na hayo makosa fate yao ni nnclick to expand
hili tamko lilitoka siku nyingi sana tu si leo na lilitolewa na kawambwa si mulugo tram almasi tamko lenyewe kamili hili hapa na linajibu maswali yako
jamhuri ya muungano wa tanzania wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi tamko la serikali kuhusu malalamiko dhidi ya matokeo ya somo la islamic knowledge katika mtihani wa kidato cha sita 2012 | 2017-07-21T10:53:43 | https://www.jamiiforums.com/threads/serikali-yatoa-matokeo-ya-uchunguzi-malalamiko-ya-waislamu-katika-mitihani.323263/ |
micharazo mitupu golden bush ilivyopepetana na timu ya wizara ya afya leo sinza
golden bush ilivyopepetana na timu ya wizara ya afya leo sinza
golden bush veterani 'wazee wa dozi' wakijipanga kabla ya kuanza kwa 'game'
jamani mnaonaje hawa jamaa tuwapige nane golden bush veterani
timu ya wizara ya afya na ustawi wa jamii wakijifua kabla ya kuanza kwa mchezo
tusipopasha vyema hawa jamaa wanaweza kututia aibu afya fc wakipasha
mwamuzi othman kazi akitetea na mchezaji wa wizara ya afya
waambie wenzenu mjipange hawa jamaa wanapiga nyingi ooh refa kazi akiagana na mchezaji wa afya fc
kipa wa golden bush machota akidaka mpiga ulioelekezwa langoni mwake na afya fc
hapa kazi tu msitutanie nyie
said kokoo akipitwa na mchezaji wa afya fc huku wachezaji wenzake wakitafakari namna ya kuupata mpira
wisdom ndhlovu wa golden bush akiuwahi mpira karibu na lango lake
chupuchupu golden bush watunguliwe baada ya mpira wa kona kutoka nje
said kokoo (26) akitafuta mbinu za kumnyang'anya mpira ally wa timu ya wizara ya afya
beki wa pembeni wa golden bush majaliwa akimiliki mpira huku akinyemelewa na mchezaji wa afya fc
mimi ndiyo majaliwa mwaigaga bana
kama ronaldo vile
wazir mahadh (10) akionyesha vitu vyake
shomari (9) wa golden bush aliyefunga bao pekee la mchezo baina yao na timu ya wizara ya afya akichuana kuwania mpira
sijui nimtoke vipi mchezaji wa afya fc akitafakari mbele ya majaliwa
mchezaji wa afya fc ally akitafuta mbinu za kumtoka beki wa golden bush
patashikla langoni mwa golden bush
kipa machota akionyesha ujuzi wake huku akifuatwa na mchezaji wa afya na majaliwa (17) anayecheza wote timu ya golden bush akiwa tayari kutoa msaada
bonge la 'mido' makocha mayay wa golden bush akionyesha 'maujuzi' yake
saidi kokoo akimtoka mchezaji wa afya fc
peke yetu jamani tutulie mandieta kokoo na ticotico wa golden bush
heka heka langoni mwa golden bush
tupozeni makoo tukawafanyie wapinzani wachezaji wa golden bush wakiwa mapumziko
dah hivi tulikuwa tunacheza na simba yanga au golden bush afya fc wakiwa wamepumzika
kocha wa timu ya afya wille (kulia) akiongea na wachezaji wake wakati wa mapumziko
jamani mbona mnawachelewesha kocha madaraka suleiman 'mzee wa kiminyio' (kushoto) akiongea na wachezaji wake wa golden bush huku herry morris naye akiwa pembeni ( aliyesimama jezi ya njano)
makocha herry morris na madaraka seleman wakitetea na wachezaji wao
jamani hili jua la leo kama kiama marefa wa pambano hilo wakitetea wakati wa mapumziko
hekaheka langoni mwa timu ya afya fc
salum swedi 'kussi' akionyesha makali yake
oyaa jikaze mtoto wa kiume kipa wa afya akiwa chini baada ya kuumia huku mwamuzi othman kazi akimjulia hali
kazi imeisha othman kazi akitoka uwanjani baada ya kumaliza pambano la golden bush veterani dhidi ya timu ya wizara ya afya ambapo golden walishinda bao 10
posted by badru kimwaga at 307 pm | 2018-06-20T11:28:20 | http://micharazomitupu.blogspot.com/2014/03/golden-bush-ilivyopepetana-na-timu-ya.html |
kiongozi mkuu wa kisheria katika atabatu abbasiyya apokea ujumbe wa muungano wa wanajeshi waliojeruhiwa na awahimiza kuendeleza ujemedari wao
kiongozi mkuu wa kisheria katika atabatu abbasiyya tukufu mheshimiwa sayyid ahmadi swafi jioni ya leo (5 jamadaluula 1441h) sawa na (31 januari 2020m) amepokea wajumbe wa muungano wa wanajeshi waliojeruhiwa baada ya kumaliza kwao kumzuru abulfadhil abbasi (as)
mheshimiwa amesisitiza kua ataba tukufu ikopamoja nao pia akawahimiza kuandika mambo waliyo fanya wakati wakipigana na magaidi wa daesh kwa lengo la kuyaingiza kwenye kitabu cha fatwa tukufu ya kujilinda kinacho andikwa na atabatu abbasiyya tukufu kama sehemu ya kuenzi ushujaa wa wairaq katika kukomboa ardhi yao kutoka mikononi mwa magaidi wa daesh
rais wa muungano wa wanajeshi waliojeruhiwa ustadh mikdad rahim amesema kua leo tumemzuru imamu hussein na ndugu yake abulfadhil abbasi (as) na tumekutana na kiongzi mkuu wa kisheria katika atabatu abbasiyya kwa ajili ya kumuambia baadhi ya matatizo na haki tunazonyimwa kama majeruhi tumempa maelezo kuhusiana na muungano huu na kazi tunazo fanya katika kuhudumia wapiganaji wa hashdi shaábi waliojeruhiwa
akaongeza kua muungano huo unawanachama elfu (63) ambao ni askari wa jeshi la serikali na hashdi shaábi kutoka mikoa tofauti ya iraq lengo la muungano huo ni kuwahudumia askari wa iraq waliojeruhiwa sababu za kuanzishwa umoja huu ni kuwasaidia majeruhi wote bila ubaguzi | 2020-04-10T19:51:31 | https://alkafeel.net/news/index?id=9951&lang=sw |
august | 2005 | jukwaa huru la uchambuzi
siku ya blogu ulimwenguni
shukrani za kipekee kabisa zimwendee mwanablogu kutoka israel anayekwenda kwa jina la nir ofir ambaye kwa hakika wazo la kuwepo kwa siku hii lilianzishwa naye alionyesha kwa kiasi gani kuna baadhi ya watu humu duniani wamejaaliwa vipaji vya kufikiri na kugundua mambo ambayo katika mazingira ya kawaida kabisa hakuna wengine waliokuwa wakiyadhania
huyu jamaa katika kuanzisha wazo hilo inasemekana kuwa alikaa na kujaribu kufikiri jinsi ambavyo neno blog linavyoweza kushabihiana na terehe fulani fulani hivi na unajua aliibuka na nini aliibuka na namba hii 31o8 ambayo ilimaanisha tarehe 31 ya mwezo wa nane na baada ya hapo akapendekeza wazo hili kwa wanablogu wengine likakubalika hongera sana ndugu
pia napenda kuwapongeza ndugu zangu wengine ndesanjo macha na maitha kwa kujitahidi kwa kadiri ya uwezo wao kusambaza taarifa hizi katika lugha ya kiswahili
kwa upekee kabisa nadhani katika siku hii sitokuwa nimefanya jambo la maana sana kama sitowataja baadhi ya wanablog ambao kwa namna moja ama nyingine wamekuwa wakinivutia sana kutokana na kazi zao mbalimbali nikianza na bw reginald simon
huyu kwa hakika alisimama mstari wa mbele sana katika kunishawishi kuwa mwanafamilia ya wanablogu na kwa hakika kazi zake zimekuwa pia ni changamoto kubwa sana kwangu katika kuboresha na kuzidi kuelimisha jamii kwa mtizamo nilionao sasa
kuna huyu jamaa yangu mwingine ambaye kwakweli ukitizama kazi zake jinsi anavyoziandika mpangilio wa lugha yake na mpangilio wa picha zake kwakweli utatamani kuwa kila siku uwe unaamkia kwenye blogu yake namzungumzia akiey ambaye unaweza kumtembelea na kushuhudia ushuhuda wangu lakini pia yupo jamaa yangu mmoja anayekwenda kwa jina la twaha omar kimsingi huyu sio mzoefu sana katika ulimwengu huu lakini kuna sababu moja kubwa sana ambayo inanifanya nimhusudu na kumkumbuka kila mara nayo ni ile ya kujituma na kujibidisha kwake kutaka kujua mambo mbalimbali ya kimaendeleo ukiambiwa kuwa hajawahi kuijua kompyuta hata siku moja kwa kuingia darasani kwa hakika jamaa huyu anajitahidi na anastahili kupigwa tafu
wao yupo bi zainab yusuph binti wa kwanza kabisa wa kitanzania kuwa na blogu yenye kumchambua mwanamke ingawa bado mchango wake haujaweza kuwa wa hali ya juu sana lakini ni wazi kuwa kwa wanaofuatilia mfumuko wa blogu za wasichana mabinti na wanawake wa kitanzania watakubaliana nami kuwa yeye amekuwa sehemu ya kuwashinikiza hao kufikia hapo
na kwa kumbukumbu za kipekee ningependa kuiweka katika ubongo wangu blog mpya kabisa ambayo umri wake hadi tunaadhimisha siku hii kwa mara ya kwanza ulikuwa ni wa siku kadhaa hapa naizungumzia blogu ya hili janga la katrina lililomaliza jamaa zetu kadhaa huko ughaibuni
ni wazi kabisa kuwa bado tunakabiliwa na changamoto nyingi sana mbele yetu kuhakikisha kuwa jamii inanufaika na juhudu zetu lakini hicho kisiwe kigezo cha kutufanya tukate tamaa kwasababu naambiwa hata rome haikujengwa kwa siku chache achilia mbali siku moja
august 31 2005 at 716 pm 1 comment siku ya kublog duniani
kuna mambo kadhaa ya muhimu sana ambayo yanajiri katika ulimwengu wa mabloga kwa ujumla ambayo ni vyema kila mmoja akayajua kupitia kwa bw ndesanjo macha nimekutana na taarifa za kuwepo kwa siku ya kublogi duniani au pia waweza kuiita siku ya wanablogi duniani soma zaidi kuhusu siku hiyo kwa kiswahili hapa pia soma juu ya aliyeanzisha wazo hilo hapa *****************
pia kuna taarifa ambayo mtanzania huyo amemaliza kuiandika kuhusu wanablogi mbalimbali nchini na hata walio nje ya nchi (wenye asili ya kitanzania bilashaka) ambayo mnaweza kuisoma kwa kuingia katika blogi ya sauti za dunia (blogi ya global voices) kwa mara nyingine tena bw ethan anazungumzia juu ya wanablogi flani flani hivi na ni vyema mkapata kile anachokisema hapa
lakini pia kuna wanablog wapya ambao wamejitambulisha rasmi katika ulimwengu huu yupo huyu mmoja ambaye ameanza kwa ile staili ya wanaccm kuelekea uchaguzi mkuu ujao yaani kasi mpya ari mpya na nguvu mpya hebu msome bw swai hapa kisha umtizame na bw masare hapa na kisha kama ilivyo ada yetu naamini kuwa mtawakaribisha rasmi kuungana nasi
august 29 2005 at 839 pm leave a comment kwa kasi hii hongereni wasanii wetu
ingawa kwakweli bado kuna matatizo makubwa sana katika kuweka mchakato utakaowawezesha kufaidika na kazi zao lakini kwa ujumla wanajitahidi kwa kiasi cha kutosha kwa ulimwengu wa sasa ambapo bisahara ni ya utandawazi kuwa na webu kwa ajili ya kutangaza shughuli mbalimbali za wasanii wa tanzania ni jambo la muhimu sana na ndio maana napenda kuwapongeza kwa kasi hii
kwa wale wasomaji wangu zifuatazo ni baadhi tu ya webu ambazo unaweza kuzipitia na ukakutana na kazi shughuli taarifa na maendeleo ya muziki wa kizazi kipya hapa tanzania au bongo flava kama wanavyouita wenyewe
bongoflava (hii ni kama kiongozi maana ina viunganishi mbalimbali pia kwa ajili ya kufahamu mambo zaidi ikiwa ni pamoja na habari picha na kadhalila) kwetu entertainment tanzaniahiphopsummit africanhiphop na kwa taarifa zaidi kuhusu muziki huo unaweza kukongoli hapa hallaaaa wasanii wa bongo flava august 28 2005 at 1108 am leave a comment kikwete hizi si dalili njema kwetu
naam hii ndio ari mpya nguvu mpya na kasi mpya haishangazi maana ukweli ni kuwa hatukuwahi kuelezwa kuwa ari hiyo kasi hiyo na nguvu hiyo ni ya uelekeo gani na ndio maana kuna wakati nilihoji hilo ati wakati ccm ikiwa inatamba kila kona kuwa imempata mgombea ambaye ni kiboko na kiziba mdomo cha wapinzani pia imenishangaza sana kusikia kuwa jamaa huyu kipenzi cha watu ameutolea nje mdahalo uliokuwa umeandaliwa na kituo cha televisheni cha channel ten
akiwa tayari ameshatuahidi kuwa ataendeleza yale yote mema yaliyoanzishwa na serikali ya awamu ya tatu ambayo kauli mbiu yake ilikuwa uwazi na ukweli hakika jambo la kwanza kabisa ambalo tulilitarajia wengi wetu ni kuona anakuwa wazi zaidi ya aliyemtangulia lakini hali imekuwa kinyume hali hii iwe ni kutokana na shinikizo la chama au kutoka kwake mwenyewe kwakweli haiwezi kupita hivi hivi kwasababu inazusha maswali mengi kichwani mwetu
je ni mangapi ambayo mhishimiwa huyu ataamua kuyatolea nje pindi akikanyaga pale kwenye lile jumba jeupe na je hizi ni dalili za nini au kiashiria cha jambo gani kwetu wadanganyika
naam mwendo mdundo ari mpya kasi mpya na nguvu mupyaaaaaaaaaaa
august 24 2005 at 638 pm 2 comments mbowe mlikuwa wapi wakati huo
mwenyekiti wa chama ca demokrasia na maendeleo (chadema) bw freeman mbowe hihi karibuni wakati anakubali uteuzi uliofanywa na chama chake kuwa awe mgombea wa nafasi ya urais kwa tiketi ya chama hicho alitoa risala moja ambayo ilikuwa tamu sana kuisikiliza tamu kwasababu kama kawaida alijitahidi kuonyesha kiasi gani wanasiasa wetu wanaendelea kufanya vyema katika usanii wa kuunda maneno ili kuzidi kuwashika wadanganyika katika risala hiyo kuna sehemu alisema eti tanzania imemwagiwa mafuta ya taa na kwamba anahitajika kichaa mmoja tu ajitokeze ili kuwasha njiti na kisha italipuka (tehe tehe tehe) inashangaza sana hakika kusikia hayo hasa kwa mtu ambaye alinitangulia mimi kwa miaka kibao kuwasili duniani kwasababu ukimuuliza mtu kama huyu kuwa huko awali walikuwa wapi wakati nchi inamwagiwa mafuta ya taa utaanza kusikia longo longo za kumwaga ati nashindwa kuwaelewa hakika hawa jamaa zangu wanasiasa wanaposema kuwa eti hali imekuwa mbaya wakati wengi wao kama sio wote walikuwemo katika mchakato wa kuifanya hali hiyo mbaya wakati huo
mimi nadhani bw mbowe alitakiwa kueleza ukweli kuwa wanasiasa wetu kwa ujumla wao walishiriki katika kuimwagia tanzania mafuta hayo ya taa enzi hizo na sasa wanachojitahidi kufanya ni kukausha mafuta hayo japo kazi hiyo inawashinda
august 24 2005 at 616 pm leave a comment uigizaji wa wabunge wetu na hatma ya bunge lenyewe
nazungumzia bunge letu tukufu la jamhuri ya muungano wa tanzania ambalo kwakweli hivi sasa kuna watu wamekuwa wakijitahidi kwa kadiri wawezavyo kuhakikisha kuwa wanaufuta utukufu wake na badala yake kulifanya sehemu ya kupotezea wakati na hii hapa ni moja ya kazi nyingi sana ambazo ninatarajia kuwa wasomaji wangu watashirikiana nami katika kuibua hoja za msingi kabisa za kurekebisha baadhi ya mambo ambayo ni wazi kabisa yanaenda kombo
august 21 2005 at 1058 am 6 comments upele umewapata wenye kujua kukuna
kwa haraka haraka wapo wale wenzangu na mimi ambao watakuwa wameshangazwa kama sio kushtushwa na matokeo haya lakini ndio hivyo tena hayawi hayawi hatimaye yamekua inawezekana kuwa yalikuwa maajabu kama yale ya mzee rajabu ya kushangaa kababu akavikwa hijab lakini ukweli utabakia palepale kuwa ndio waliopita na wenye wivu wajinyonge tu ila wenzenu haoooooooooo wanaingia bungeni pale (sijui kwenda kusinzia sawa na wenzao au vipi tuwaachie wenyewe hayo)
kwa kutizama sifa zao tu hakika wanastahili hicho walichokifikia nawazungumzia ndugu zangu hawa wawili ambao majuzi wamefanikiwa kuteuliwa kuwa wawakilishi wa vijana katika bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania nawazungumzia amina chifupa mpakanjia na mwenzake (katika uwakilishi) lucy thomas mayenga kwa kweli kama ni kutosha kura zilitosha lakini je ndio upele umempata mwenye kucha kweliau kucha zimempata mwenye upele
august 12 2005 at 1247 pm 3 comments older posts
create a free website or blog at wordpresscom jukwaa huru la uchambuzi blog at wordpresscom post to | 2017-06-26T10:20:04 | https://uchambuzi.wordpress.com/2005/08/ |
chuo cha cbeifm na iaa kufundisha it na computer science ni sawa au ni biashara | jamiiforums | the home of great thinkers
chuo cha cbeifm na iaa kufundisha it na computer science ni sawa au ni biashara
discussion in 'jukwaa la elimu (education forum)' started by c programming dec 10 2011
chuo cha cbe ni chuo cha biashara ila wanafundisha itchuo cha ifm ni chuo cha usimamizi wa fedha lakini wanafundisha it na computer sciencechuo iaa ni chuo cha uhasibu kinafundisha computer science na it je ni sawa vyuo hivi kufundisha kozi hizi sawa au ni biashara ya kijifedha
chuo cha cbe ni chuo cha biashara ila wanafundisha itchuo cha ifm ni chuo cha usimamizi wa fedha lakini wanafundisha it na computer sciencechuo iaa ni chuo cha uhasibu kinafundisha computer science na it je ni sawa vyuo hivi kufundisha kozi hizi sawa au ni biashara ya kijifedhaclick to expand
kwn unavyofikiri ww chuoni km udom au mlimani au vyuo ambavyo wewe umemeza kuwa ndivyo pekee kwa itkwn wanafundisha na kina nanina mitumena mizimwina wachawikunasomea wapianganimwezinisayar ya pluto
cha msingi ni madarasa na walimu na facilities zngnekwn kama walimundio hao hao wa ud or udomndio wanafundisha vyuo tajwa hpo juu
hakuna tatizo wao kufundisha hiyo course
ili mradi kusiwe na uchakachuzi walimu wenye sifa curiculum iwe approved/accredited facilities in place both quality and quantity
punguza mawazo mgando na jifunze kuandika vizurina hiyo cc++ unajifunza vipi kama unashindwa kutofautisha kati ya cbeit na cbe it
focus ni sawa ndio maana wanafundisha course hizo
ni sawa kabisatena wako fit kuliko hata wa udsm
tatizo nikiangalia jina la chuona mtu ukisoma cbeifm na iaa cheti chako kufanya kazi nchi za zingine wanaweza wakashangaa jina la chuokozi
mi naona iko sawa 2 kama walamu wa hizo coz wap vp kuhusu bba kuwepo mistmbeya
tena kama iaa wanafacilities za it sijui chuo gani kitakifikia
tatizo nikiangalia jina la chuona mtu ukisoma cbeifm na iaa cheti chako kufanya kazi nchi za zingine wanaweza wakashangaa jina la chuokoziclick to expand
it = finance
tatizo umesoma ili utumie cheti ulichopata badala ya elimu ulopata
kama walimu wanao kwa nini wasifundishe
hayo ni majina tu ya vyuo yasikupe tabu swala la muhimu ni mazingira ya kutoa hizo kozi | 2017-01-16T22:15:13 | https://www.jamiiforums.com/threads/chuo-cha-cbe-ifm-na-iaa-kufundisha-it-na-computer-science-ni-sawa-au-ni-biashara.201600/ |
kongamano la tano la kitaifa la sayansi teknolojia na ubunifu kuanzia tarehe 23 hadi 25 agost 2016 | h@ki ngowi
kongamano la tano la kitaifa la sayansi teknolojia na ubunifu kuanzia tarehe 23 hadi 25 agost 2016
tume ya taifa ya sayansi na teknolojia iso 9001 2008 certified ndugu waandishi wa habari tumewaiteni kuwaeleza kuwa tume ya taif
ili nchi yetu iwe ya uchumi wa kati katika sekta ya
uendelezaji uhawilishaji na ubiasharisha wa teknolojia mambo kadhaa yanatakiwa kufanyika ikiwa ni pamoja na
h@ki ngowi kongamano la tano la kitaifa la sayansi teknolojia na ubunifu kuanzia tarehe 23 hadi 25 agost 2016
https//1bpblogspotcom/hvj_fhq_4dk/v7xpuxzwf6i/aaaaaaadjbw/ry3btekofdg3jlniwokgack2fbooawxlwclcb/s1600/downloadpng
https//1bpblogspotcom/hvj_fhq_4dk/v7xpuxzwf6i/aaaaaaadjbw/ry3btekofdg3jlniwokgack2fbooawxlwclcb/s72c/downloadpng
http//wwwhakingowicom/2016/08/kongamanolatanolakitaifalasayansihtml | 2018-04-24T14:35:35 | http://www.hakingowi.com/2016/08/kongamano-la-tano-la-kitaifa-la-sayansi.html |
hii imekaaje kwenye flat screen tv | jamiiforums | the home of great thinkers
hii imekaaje kwenye flat screen tv
discussion in 'tech gadgets & science forum' started by mbutaiyo mar 19 2012
​wana jf
naomba msaada wa wataalam wa picha na tv
kuna kitu kwenye picha kinaitwa aspect ratio hii ni ratio ya urefu na upana wa picha ili picha ionekane katika uhalisia wakekatika tv za kizamani (mitungi) hili linadhihirika na picha iliyorushwa inaonekana katika uhalisia wake lakini katika tv za kisasa (flat screen) picha inaonekana bapa yaani urefu unapungua na upana unazidi hii imenifanya nisinunue flat screen na siku zote natumia mtungi
naomba mnijuze kwamba flat screen ndivyo zilivyo au ninaweza kupata iliyo na ratio sahihi
naomba mnijuze kwamba flat screen ndivyo zilivyo au ninaweza kupata iliyo na ratio sahihiclick to expand
unaweza kuadjust kwny tv yako ikawa size yeyote utakayo depends on your flat screen (if its sony samsung etc) but generally follow
adjust your aspect ratio get the best picture from your flatpanel display weekend project cnet reviews
pia ni muhimu kufahamu chanzo (source) ya midia unayotaka kutazama mf filamu (naamanisha filamu sio video) nyingi zinakuwa na aspect ratio ya 169 wakati matangazo ya tv hapa kwetu bado yapo katika 43
widescreenorama all about aspect ratiosclick to expand
nashukuru mkuu ngoja nitaifanyia kazi ni enjoy mavituz ya kisasa
pia ni muhimu kufahamu chanzo (source) ya midia unayotaka kutazama mf filamu (naamanisha filamu sio video) nyingi zinakuwa na aspect ratio ya 169 wakati matangazo ya tv hapa kwetu bado yapo katika 43click to expand
ahsante sana kwa hiyo shule ngoja nitayaona
sawa utafanya yote lakini ukweli utabaki palepale ubora wa picha ama video ya tube tv uko juu kuzidi lcd tv mi hata niwe na mamilioni siwezi nunua flat tv ie lcd zoezi dogo chukua old sony wega flatron linganisha na hii misony yao mipya utakubaliana na mimi ukizingatia wengi wanatumia av cable kusafirisha picha kutoka vyanzo kama vhs na dvd player ukitumia hdmi cable angalau kidogo ubora unakaribiana ndio lcd zinamanage space lakini very delicate nashauri ni bora ununue king'amuzi uunge tube tv
sawa utafanya yote lakini ukweli utabaki palepale ubora wa picha ama video ya tube tv uko juu kuzidi lcd tv mi hata niwe na mamilioni siwezi nunua flat tv ie lcd zoezi dogo chukua old sony wega flatron linganisha na hii misony yao mipya utakubaliana na mimi ukizingatia wengi wanatumia av cable kusafirisha picha kutoka vyanzo kama vhs na dvd player ukitumia hdmi cable angalau kidogo ubora unakaribiana ndio lcd zinamanage space lakini very delicate nashauri ni bora ununue king'amuzi uunge tube tvclick to expand
are u blind ushawahi kuangalia bluray movie kwenye lcd tv katika 1080p hd ushawahi kusoma maandishi madogo kwenye tv ya kawaida alongside lcd tv ushawahi kulinganisha picha side by side ya tv hzo mbili uone color reproduction
nashukuru mkuu ngoja nitaifanyia kazi ni enjoy mavituz ya kisasaclick to expand
kama sikuelewi vilewewe si umesema huna tv ya flat screen (hapo kwenye maandishi ya blue) hayo mavitu ya kisasa utayaangalizia wapi au ni kwenye mtungi | 2017-07-26T15:05:38 | https://www.jamiiforums.com/threads/hii-imekaaje-kwenye-flat-screen-tv.235431/ |
senema ya majambazi na polisi dar
angalia picha za majambazi wakamatwa na polisi barabara ya mandela baada ya kuiba pesa kituo cha mafuta buguruni malapa
posted by ayoub mzee at 9/01/2013 020000 am | 2017-12-14T08:24:09 | http://ayoubmzee.blogspot.com/2013/09/blog-post.html |
eneo la watu matajiri nairobi lageuka chimbuko la 'kipindupindu' kwa mara nyingine ▷ tukocoke
eneo la watu matajiri nairobi lageuka chimbuko la 'kipindupindu' kwa mara nyingine
maoni 5037
maeneo ya karibu na karen country club ni kitovu cha mkurupuko wa maradhi kwa mara nyingine
inashukiwa kwamba ni kisa cha kipindupindu kwa sababu wageni kadha wamezuiliwa huku wengine wakilazwa icu
uwanja huo ulikuwa eneo la harusi tena ambapo chakula kilipata virusi hivyo
uwanja wa kilabu cha kifahari karen ambao ni eneo la watu mashuhuri nairobi unachunguzwa kwa kuwa chanzo cha ugonjwa wa virusi kwa mara ya pili baada ya miezi micheche tu tangu mei 2017
kulingana na habari zilizoonekana na tukocokewageni walianza kuugua baada ya kuhudhuria harusi katika uwanja huo mnamo jumamosi agosti 26
iliripotiwa kwamba wageni walikula chakula kilichokuwa kimenunuliwa kutoka kwa shirika la upishi
habari nyingine picha hizi 7 za maharusi wakipigana busu harusini zitakufanya ulie kwa kicheko
habari nyingine mteja wa kike wa safaricom atafuta mpenzi apata jibu la kuvunja moyo
akizungumza na standard mnamo jumatano agosti 30 bosi wa afya kaunti ya nairobi bernard muia alisema uchunguzi unaendeshwa lakini utalemazwa maadamu hakukuwa na mabaki ya chakula yaliyosalia ili kufanyiwa uchunguzi
walikila chote wapishi walikaidi amri inayopiga marufuku huduma ya chakula kutoka nje iliyolaumiwa kwa kusababisha mkurupuko wa awali wa kipindupindu uliofanya wengi kuugua na wengine kufariki alisema muia
wageni kadha waliripotiwa kuzuiliwa
bernard muia picha na nation
inahofiwa kuwa mkurupuko huo utaenea kwa sababu wageni walisafiri kutoka kote nchini kuhudhuria karamu hiyo
kutokana na harusi hii mpya mtu mmoja alifariki huku wengine wakilazwa hospitalini katika vitengo vya wagonjwa mahututi
mkurupuko wa kwanza wa kipindupindu vilevile ulichipuka kutoka kwa harusi iliyoandaliwa katika eneo lilo hilo
kufuatia mkurupuko huo visa vya kipindupindu pia viliripotiwa katika kenyatta international convention center ambapo wageni waliokuwa wamehudhuria kongamano walikula chakula chenye virusi hivyo mnamo julai 2017
kenyan socialites kenya security
orange kenya data bundles kenyan fashion bloggers anita nderu age buzeki net worth
lilian muli apata shepu aliyokuwa akitamani majuma kadhaa baada ya kujifungua
mwanamuziki maarufu kwa kibao 'chokoza' arudiana na mumewe | 2018-09-19T07:56:44 | https://kiswahili.tuko.co.ke/250721-eneo-la-watu-matajiri-nairobi-lageuka-chimbuko-la-kipindupindu-kwa-mara-nyin.html |
wakati eneo kubadilisha na tofauti time calculator | save a train
wakati eneo kubadilisha na tofauti time calculator
home > wakati eneo kubadilisha na tofauti time calculator
kwanza kabisa tunataka ushauri kuhusu suala la kawaida wakati sisi kuonyesha wakati katika hifadhi yetu a train tiketi tovuti mara ni umeonyesha kama wao ni katika ukanda wa mtaa
sisi hata hivyo kuundwa huu majira ya saa kubadilisha na wakati tofauti calculator hivyo kama msafiri treni bado kuona jinsi wakati ni katika umuhimu na nyumbani nchi yako au nchi yoyote unayochagua
ukurasa huu ilikuwa imeandikwa kuelimisha kuhusu train usafiri ulifanywa na save a train gharama nafuu train tickets tovuti in the world
miji mikubwa na dunia yao live saa wakati eneo la kubadilisha
chagua wakati wako sasa zone / city / nchi kwa mujibu wa usafiri au treni yako kusafiri na kisha chagua tarehe yako na wakati katika kuacha chini au kuingia manually katika uwanja tarehe kwa kutumia moja ya aina hizi iso (yyyymwezi) marekani (mm / dd / yyyy) au maandishi yoyote tarehe ya kiingereza na wakati maelezo (kesho 3 pm au 20090423 1630) kwenda mbele na kujaribu yetu ya treni kusafiri tofauti ya muda calculator anza sasa
kubadilisha muda
• kutoka canada
mashariki standard
mlima stand
za alaska
ulaya (western / central)
uingereza • london
ufaransa • paris
ubelgiji • brussels
ulaya (south / north / mashariki)
uhispania • madrid
ureno • lisbon
italia • rome
• finland helsinki
ugiriki • athens
uturuki • istanbul
urusi • moscow
asia na wengine
korea seoul •
misri • cairo
pacific/auckland 20191019 1755
pacific/fiji 20191019 1655
australia/melbourne 20191019 1555
asia/jakarta 20191019 1155
asia/pyongyang 20191019 1325
asia/ho chi minh 20191019 1155
asia/taipei 20191019 1255
asia/colombo 20191019 1025
asia/kuwait 20191019 0755
asia/jerusalem 20191019 0755
indian/maldives 20191019 0955
europe/minsk 20191019 0755
europe/riga 20191019 0755
europe/belgrade 20191019 0655
europe/zagreb 20191019 0655
europe/oslo 20191019 0655
europe/lisbon 20191019 0555
europe/gibraltar 20191019 0655
america/santiago 20191019 0155
america/aruba 20191019 0055
america/panama 20191018 2355
america/lima 20191018 2355
america/phoenix 20191018 2155
america/los angeles 20191018 2155
america/chicago 20191018 2355
atlantic/bermuda 20191019 0155 | 2019-10-19T04:55:52 | https://www.saveatrain.com/blog/timezone/?lang=sw |
madam florah amjibu emmanuel mbasha kuhusu kumnyima mtoto | mchambuzi huru
madam florah amjibu emmanuel mbasha kuhusu kumnyima mtoto
march 12 2018 mapenzi no comments
msanii wa nyimbo za injili nchini madam florah ambae hapo awali alikuwa akijulikanakana florah mbasha ameamua kumjibu mzazi mwenzie ambae pia alikuwa mume wake wa ndoa emmnanuel mbasha kuhusu lawama zake alizokuwa amemtupia katika mtandao wa instagram siku ya wanawake duniani kuhusu kumnyima kumuona mtoto
madam florah ameieleza global publisher kuwa hawezi kuzungumzia maswala nyeti kama hayo katika mitandao ya kijamii wala katika vyombo vya habari juu ya swala hilo kwa sababu hata kama emmanuel aliruhusiwa kumuona mtoto na mahakama lakini hakuruhusiwa na mahakama hiyo kuandika instagramkwaio hawezi kuyasema hayo huko
siwezi kuzungumzia hilo swala katika vyombo vya habari hata siku mojahilo swala ameliongelea instagram na mimi ningelitolea instagram na ukweli hamuujui ila sisi ndio tunaujua ukwelina kama mahakama iliamua hivyo na yeye kaamua kuandika instagram basi sawa acha aandike ila siwezi kuliweka wazi
emmanuel mbasha na flora walibahatika kupta mtoto moja kipindi cha ndoa yao lakini walipokuwa wanapeana talaka mahakama iliamuru mtoto akae na mama yake kutokana na umri wa mtoto na baada ya hapo madam florah aliamua kuolewa na mwanaume mwingine
hivi siku za karibuni emmanuel alifunguka katika mitandao ya kijamii na kusema kuwa mama wa mtoto huyo amekuwa akikaidi agizo la mahakama la kumruhusu yeye kumuona mtoto na kusema kuwa hana njia nyingine yoyote ya kumtumia ujumbe florah zaidi ya hiyo ya instagram | 2018-07-17T19:20:57 | http://www.mchambuzi.co.tz/2018/03/madam-florah-amjibu-emmanuel-mbasha.html |
waziri chikawe haji wa smz waongoza mkutano wa ushirikiano wa wizara zao jijini dar es salaam leo ~ uvccm blog thumbnails===nvarscontrolnav&&0===nvarsthumbcaptions){var c=sattr(datathumbcaption)==c&&void 0==c&&(a+=''+c+)}ncontrolnavscaffoldappend(
home » » waziri chikawe haji wa smz waongoza mkutano wa ushirikiano wa wizara zao jijini dar es salaam leo
waziri chikawe haji wa smz waongoza mkutano wa ushirikiano wa wizara zao jijini dar es salaam leo
waziri wa mambo ya ndani ya nchi mathias chikawe akimfafanulia jambo waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa na idara maalum za serikali ya mapinduzi ya zanzibar haji omar kheri (kushotomeza kuu) pamoja na maofisa wa watendaji wa wizara hiyo na wizara ya mambo ya ndani ya nchi wakati wa mkutano wa ushirikiano wa wizara hizo uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi jijini dar es salaam leo wapili kulia ni katibu mkuu wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi mbarak abdulwakil na kulia ni mkuu wa jeshi la polisi igp ernest mangu watatu kushoto ni katibu mkuu wa wizara hiyo zanzibar joseph meza
mkuu wa jeshi la polisi nchini igp ernest mangu akiwafafanulia jambo waziri wa mambo ya ndani ya nchi mathias chikawe (kuliameza kuu) waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa na idara maalum za serikali ya mapinduzi ya zanzibar haji omar kheri (kushotomeza kuu) pamoja na maofisa wa watendaji wa wizara hizo wakati wa mkutano wa ushirikiano uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi jijini dar es salaam leo
waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa na idara maalum za serikali ya mapinduzi ya zanzibar haji omar kheri akimfafanulia jambo waziri mambo ya ndani ya nchi mathias chikawe (kuliameza kuu) pamoja na watendaji wakuu wa wizara hizo mbili wakati wa mkutano wao wa ushirikiano uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi jijini dar es salaam leo
waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa na idara maalum za serikali ya mapinduzi ya zanzibar haji omar kheri akimfafanulia jambo waziri mambo ya ndani ya nchi mathias chikawe (kuliameza kuu) pamoja na watendaji wakuu wa wizara hizo mbili wakati wa mkutano wao wa ushirikiano uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi jijini dar es salaam leo picha na felix mwagara wizara ya mambo ya ndani ya nchi | 2017-08-20T08:00:26 | https://uvccmtz.blogspot.com/2014/12/waziri-chikawe-haji-wa-smz-waongoza.html |
mbowe lowassa kuwanadi wagombea wa chadema nchi nzima | page 2 | jamiiforums | the home of great thinkers
mbowe lowassa kuwanadi wagombea wa chadema nchi nzima
discussion in 'uchaguzi tanzania' started by molemo nov 10 2017
chama cha chadema leo kimetoa ratiba ambayo itatumika katika kampeni za udiwani katika kata 43 kwa kipindi kilichosalia mpaka siku ya uchaguzi
ratiba hiyo inaonyesha mwenyekiti wa chadema freeman mbowe ataongoza kampeni hizo akishirikiana na viongozi wengine akiwemo waziri mkuu mstaafu edward lowassa
dreka jfexpert member
wewe ndo kila anachotaka ufanye unafanya but c mimi hapa and sitakuja kuwa mtumwa wa namna hiyo
una impact gan mkuu kwa serikali iliyopo madarakani
naamini kwa matumizi yetu ya majina fake hapa jf ni ushahidi tosha kuwa huna uthubutu wa kupinga agizo lolote la serikali hadharani
moisemusajiografii jfexpert member
chadema wamefuata ushauri wa 'da mange'
hivi ni weye uliyetaka kununua nyumba za lugumi horrible
messages 13053
likes received 18552
moisemusajiografii said ↑
uwepo wa lowassa 'itapendeza' in dkt luis tone
ismail khali member
vzr wazungushen mafisad ili wananchi wawaone
dreka said ↑
ogopa sana kitu kinachoitwa passive resistancewakati wa ukoloni wakoloni walikuwa wanawachukua watumwa na kuwatumikisha kwenye mashamba yao mfano kulimakupandakupalilia and kuvuna mfano wa mbinu moja ambayo ni passive resistance watumwa walikuwa wanazichemsha mbegu kabda ya kuzipanda and wakoloni hio hawakulijua ila mwisho wa siku ilifahamika tuogopa sana kitu kinachoitwa passive resistanceni hatari sana kuliko active resistance ambayo inaonekana we ndo unaiamini sanahadi hapo nafkiri ushanielewa
lakini naomba tuwe realistic hivi tangu viongozi wameanza kujifanyia mambo wanavyotaka chini ya serikali za ccm kuna jambo lipi unadhani ni threat kwa serikali hii ya magufuli ambalo litatokana na passive resistance
mimi binafsi ni pro active resistance
mkuu mimi najizungumzia mimi kama miminow nipo nafanya passive resistance ambayo ni hatari sanamatokeo yake nafikir yataoneka mbelenitunatumia i'd fake so ni ngumu kujuana huyu ni nani and ana effect gani
hapo nimekusoma sasa
jumong s jfexpert member
messages 2368
kila la kheri ila cdm isisahau kujenga na ofisi ya hadhi ya kitaifa
zama zimebadilikawasiwe kama muonekano wa dr louis shika
kirikou1 jfexpert member
likes received 3338
mzee wa kolomije akiona amezidiwa lazima aagize marufuku mikusanyiko
dar es salaam aliyekuwa mbunge wa singida kaskazini lazaro nyalandu kesho ataungana na viongozi wa chadema kwenye kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani utakaofanyika katika kata 43 nchi
akizungumza leo novemba 11 kwenye ufunguzi wa kampeni hizo kimara suka jijini dar es salaam mwenyekiti wa chadema freeman mbowe amesema amempokea nyalandu na ataungana naye kwenye mkutano mwingine kama huo utakaofanyika mtwara mjini hapo kesho
kila anayeondoka chama tawala anaitwa fisadi potelea mbali wamempokea na wengine wengi watahamia kuleta mabadiliko amesema na kuongeza
amefafanua kwamba haungi mkono nchi kuwa na wezi lakini anashauri sheria iachwe iamue haki badala ya kuingiliwa kama inavyofanyika kwa mahakamahuku akidai kwamba watawala wana hofu ndiyo maana hawataki ushauri
amesema wataendelea kupigania haki ya kupigania haki ya kufanya mikutano ya kisiasa na ipo siku wataingia mtaani kuidai bila kuogopa vifaru
amesema huu siyo wakati wa kuogopa na kukaa kimya ni wakati wa kusimama na kutetea haki ya kufanya siasa
kuhusu uchumi kusinyaa amesema ni kweli umesinyaa na inaonekana wazi jinsi maisha yalivyo wananchi wafanyabiashara watawala wote wanalia njaa hakuna mwenye nafuu
meya wa manispaa ya ubungo boniface jacob amesema anahitaji kuongeza nguvu ya kuleta maendeleo katika manispaa hiyo hivyo mgombea udiwani kata ya saranga ephram kinyafu anatosha
naye mjumbe wa kamati kuu na mwenyekiti wa kanda ya pwani frederick sumaye amehoji kuhusu hali za wananchi kuendelea kuwa mbaya
tumeamua na tunamaanisha wakati huu ushindi ni lazima na mtakaotupa ushindi ni nyie wananchi amesema sumaye
hapo ndio utaona tofauti ya ccm na chadema mwenyekiti taifa kwenda kwenye kampeni ndogo ya udiwani kupambana na mwenyekiti wa wilaya wa ccm
hesbone senior member
endeleaaa said ↑
na je huu utofauti wa hawa kutumia polisi dhidi ya wengine ambao hawana hata rungu ni hoja tu
messages 49853
likes received 21243
nadhani unajisahaulisha tu kuwa mwenyekiti wako aligeuza shughuli za kijeshi kuwa za kichama kwa kuwapokea madiwani hewa waliowanunua toka cdm kule arusha
wakati mwenyekiti wa huku anapambana madiwani wake wachaguliwe mwenyekiti mwingine anapokea madiwani walionunuliwa
ushasahau kauli takatifu ya mwenyekiti wako wapi wale watu wako wapumbavu kabisa
kajolijo jfexpert member
likes received 2369
halafu mkishindwa uchaguzi mseme mmeibiwa
kajolijo said ↑
wakiiba wasiseme
opyempye nchee senior member
mjiandae kumpokea na mh magufuri
suma langa senior member
cdm hoyeeeeee
mbowe kama mbunge ile sheria ya kutofanya shughuli za kisiasa nje ya jimbo lako haimuhusu
mkulu mbona anafanya siasa tena home sweet home mara kwa mara
topics 1095049
posts 24279045 | 2017-11-24T14:52:23 | https://www.jamiiforums.com/threads/mbowe-lowassa-kuwanadi-wagombea-wa-chadema-nchi-nzima.1350625/page-2 |
avast 50 v/s avg 90 unachagua nini | jamiiforums | the home of great thinkers
avast 50 v/s avg 90 unachagua nini
discussion in 'tech gadgets & science forum' started by yona f maro feb 2 2010
avast 50 v/s avg 90
sahau kuhusu autorun ambayo ilikuwa inasumbua watu wengi sana mpaka kufikia hatua ya kuogopa kutumia bidhaa hii ukijumlisha muonekano mpya na wakipekee kabisa hiyo ni avast antivirus 50 ambayo ina toleo la bure unayoweza kudownload kutoka kwenye tovuti yao wwwavastcom pia ina toleo la kununua leseni ambalo pia unaweza kufanya hivyo kwa njia ya mtandao bila tabu nyingine yoyote bila kusahau bidhaa yao nyingine ya usalama wa mtandao internet security
kwa haraka avast 50 ni jibu la wale walio nunua avg 90 free edition pro pamoja na internet security na hata wale walionunua bidhaa ya microsoft inayoitwa microsoft security essentials lakini hapa nitaongelea kidogo kuhusu avast 50 kulinganisha na avg 90
kwanza kabisa tovuti ya avast imebadilika vitu vingi sana kwa wale watu waliozoea kutembelea tovuti hii watakuwa wameona tofauti ya kuanzia rangi na mambo mengine mengi mfano kwenye tovuti ya mwanzo ulitakiwa kuangalia sehemu ya updates tu na kwenda moja kwa moja kushusha updates za antivirus yako hii ya sasa hivi ni tofauti inabidi kwenda kwenye linki ya support ndio utaona updates unazoweza kudownload
ukifika hapo unapata nafasi 2 za kudownload ambapo moja ni kwa ajili ya toleo lililo pita yaani 48 na update nyingine ni ya 50 hii ni tofauti na antivirus nyingi ambapo updates zote huwa kwenye file moja kwahiyo inasaidia sana hata kwa wale ambao hawajui wanatumia matoleo gani ya bidhaa husika hii ipo kwenye avg 90 hata mcafee virus scan
unapo weka programu hii kwenye kompyuta yako pia haina njia ndefu na maelezo mengine kama ilivyo avg kwa mfano avg unatakiwa kufunga baadhi ya kazi unazofanya kwa wakati huo au kama umefungua programu yoyote kwenye avast 50 hutakiwi kufanya hivyo unaweza kuendelea na shuguli zako huku ukiendelea kuingiza kwenye komputa husika
pindi unapomaliza kuingiza kwenye kompyuta yako basi avast huanza kufanya kazi hapo hapo hii ni toleo la 50 tofauti na matoleo yaliyopita ambapo mtu ulilazimika kurestart computer yako ili iweze kuweka settings zingine kwenye komputa yako kwa ajili ya kufanya kazi na nzuri zaidi ni kwamba ile boot time scan bado iko kwenye toleo hili la avast
kompyuta yako ikiwa ina matatizo kwenye saa yake au matatizo yoyote ya muda ujue utapata tatizo na toleo hili la avast hii ni tofauti sana avg ambapo unaweza kuidanganya kwa kutumia tarehe na ukaweka updates za nyuma ikakubali kufanya hivyo ukijaribu kufanya uwongo kwenye avast haitofanyakazi
kwa upande wa wepesi na kasi ya kuscan files kwenye kompyuta au vifaa vyake vingine avast imekuwa na kasi zaidi kwa wakati huu naweza kusema kushinda antivirus zingine zote nilizowahi kutumia kwa kipindi cha miaka 4 iliyopita hata hivyo huko tunapoenda kampuni zinazotengeneza bidhaa hizi zinatakiwa kuhakikisha zinakuwa na bidhaa ambazo ni nyepesi katika utendaji wa kazi mbalimbali zinazohusu usalama na ulinzi wa komputa au vifaa vinavyochomekwa kwenye kompyuta hizo
kwenye masuala ya licence unapotumia avg 90 pro au is kama ina matatizo kwenye leseni yake yaani bandia basi ina sehemu ya kukuruhusu kurudisha antivirus yako kwenda kwenye toleo la bure ambalo kuna baadhi ya vitu unaweza kuvikosa kwenye toleo hilo kwa avg kupitia tovuti yao inasehemu ya kuweza kurudisha leseni yako kama ulipoteza au komputa yako ilipata tatizo ukapoteza leseni hiyo
na mwisho ni kuhusu uwezo wake wa kugundua tabia za baadhi ya programu zako ndani ya kompyuta na kukupa taarifa pale programu hizo zinapofanya kazi kinyume ingawa hii inaweza kutumika na wahalifu kwa siku za mbele na kuweza kuwadanganya watu pamoja na programu yenyewe
hayo ndio maelezo mafupi kuhusu avast 90 mengine unaweza kusoma kupitia tovuti yao au kusoma mada mbalimbali zinazohusu bidhaa hii lakini ni nzuri inafaa sana haswa kwa watu wenye kompyuta zilizokuwa na spects ndogo
sichagui yoyote i better go to kaspersky
shy wewe ni mjanja unataka computer zetu zidedi ili upate tenda hivi hii avast what next after one month ahead si inageuka virus kwani wewe hujui yaani muzungu akupe kitu bureeeeee labda angekuwa mwafrika ana roho ya binadamu je wewe umeshatumia hii zaidi ya mwezi hii bidhaa yako na unasemaga hutaki ma paires sasa wewe unatuletea nini futa hiyo thread yako tafuta ingine mimi nimepata antvirus ingine ipo nimenunua for users 100 nitawatumia watakao wahi watakuwa wamepata baada ya hapo license yako inaisha baada ya mwaka mmoja
messages 5308
microsoft security essentials > all that
topics 1181366
posts 27347831 | 2018-07-21T23:10:13 | https://www.jamiiforums.com/threads/avast-5-0-v-s-avg-9-0-unachagua-nini.51807/ |
video msako waendelea kwa muuaji wa pasaka aliyempiga risasi mzee mpita njia na kuweka video ya tukio facebook bongo5com
video msako waendelea kwa muuaji wa pasaka aliyempiga risasi mzee mpita njia na kuweka video ya tukio facebook
by fredrick bundala | april 18 2017 916 am
msako mkali unaendelea kumnasa steve stephens 37 wa cleveland ohia nchini marekani aliyehusika kwenye tukio la mauaji ya mzee wa miaka 74 robert godwin
muuaji huyo alidai kufanya kitendo hicho baada ya kukorofishana na mpenzi wake na hasira zake aliamua kuzihamishia kwa mzee mpitanjia huyo huku akirekodi mauaji hayo na kuweka video facebook
godwin mfanyakazi wa zamani wa kiwandani na fundi mechanic ana watoto 10 na wajukuu 14
mtoto wa kike tonya godwinbaines ameiambia cnn jumatatu hii kuwa familia imemsamehe muuaji huyo
each one of us forgives the killer the murderer we want to wrap our arms around him amesema
mwingine robert godwin jr amesema steve i forgive you im not happy [with] what you did but i forgive you
watoto wake wamesema baba yao aliwafundisha thamani ya kazi aliwafundisha jinsi ya kumpenda kumpenda na kumuoga mungu na jinsi ya kusamehe meya wa cleveland frank jackson ametangaza zawadi ya $50000 kwa mtu atakayesaidia kupatikana kwa stephens
stephens aliweka video kwenye facebook ikionesha akimnyooshea bastola mzee huyo aliyekuwa akikatiza tu barabarani na shughuli zake sekunde chache kabla ya kumpiga risasi stephens alimuuliza mzee huyo aseme jina la mwanamke ambaye ana ukaribu na mtuhumiwa
shes the reason why this is about to happen to you alisema stephens baada ya hapo alimpiga risasi mzee huyo aliyepoteza maisha pale pale | 2018-05-25T22:32:22 | http://bongo5.com/video-msako-waendelea-kwa-muuaji-wa-pasaka-aliyempiga-risasi-mzee-mpita-njia-na-kuweka-video-ya-tukio-facebook-04-2017/ |
herbicide caribou wigo wa hatua maelekezo kiwango cha matumizi | magazine mkate yellow
herbicide caribou wigo wa hatua maelekezo kiwango cha matumizi
mlipuko halisi wa mazao ya beet ya sukari ni magugu kama vile kupanda mbegu nguruwe fimbo ya moto ya teofrasta aina mbalimbali za vilima na wengine wanachukua kutoka kwenye udongo mara mbili zaidi ya madini kuliko mboga ya mizizi yenye afya kwa kawaida hii inasababisha mavuno ya chini mojawapo ya njia bora zaidi za kupambana na magugu ya udongo hata kama shamba linajaa kabisa ni caribou herbicide ambayo ina wigo wa hatua nyingi
viambatanisho vya kazi
fomu ya kutolewa ufungaji
faida za herbicide
teknolojia ya maombi matumizi ya ufumbuzi
kama dutu ya kazi katika maandalizi haya hutumiwa triflusulfuronmethyl maudhui ambayo ni 500 g kwa kila kilo ya dawa dutu hii ni wa darasa la sulfonylureas
je unajua sulfate ya shaba inachukuliwa kuwa ni dawa ya kwanza ya hatua ya kuchagua duniani katika karne ya 19 wanasayansi waliona uwezo wa kiwanja hiki kuzuia ukuaji wa magugu ya dicotyledonous
herbicide hutolewa kwenye soko katika mfuko wa foil isiyo na hewa yenye vifungo kumi vya gramu 60 za madawa ya kulevyakatika ufungaji huo ikiwa sio ukiukaji wake huhifadhi mali zake kwa miaka mitatu sachets kutoka kwenye mfuko hawana haja ya kufungua wakati wa kutumia madawa ya kulevya wao hupumzika katika maji herbicide yenyewe inapatikana kama poda yenye majivu
kwa matibabu ya sukari ya sukari mara nyingi hutumiwa na mchanganyiko wa tank na kuongeza dawa nyingine za dawa kama vile lontrel au dhahabu ya dual wadudu fungicides na mbolea
dawa hii ina idadi ya faida zisizokubalika hasa
huanza kutenda haraka sana
herbicide inajulikana kwa kuchagua high juu ya hatua hasa kwa beets
inatumika katika aina mbalimbali za joto
matumizi yake inaruhusu kupunguza matumizi ya madawa mengine
haiwezi kupunguza mzunguko wa mazao
inaweza kutumika vizuri katika hali ya hewa kavu
hakuna vikwazo juu ya matumizi karibu na mabwawa
je unajua karibu tani milioni 45 za dawa za kuuaa mbalimbali hutumiwa duniani kote
dawa hii inakabiliwa na majani ya magugu kwa kiwango kidogo mizizi yao wakati kuifanya huzuia mgawanyiko wa kiini wa mimea ya maguguhivyo kuacha ukuaji wao baada ya saa chache tu katika siku zijazo magugu hupata rangi ya anthocyanini (nyekundu zambarau bluu) kisha chlorosis huzingatiwa ndani yao na matokeo yake hufa mchakato wote huchukua siku 1015
caribou inafaa zaidi katika awamu ya maendeleo ya magugu kwa majani 2 pamoja kwa aina fulani (cod ya alizeti shamba la haradali) kizingiti cha ufanisi mkubwa kinaongezeka kwa awamu ya majani 6 baada ya hayo ufanisi wa madawa ya kulevya hupungua ingawa magugu huacha kuongezeka hawawezi kufa
matumizi ya madawa ya kulevya caribou inakuwezesha kudhibiti magugu kama vile mchanga euphorbia nettle chamomile resedu veronica usahausio kuota kwa blackthrow celandine ambrosia
inashauriwa kufanya usindikaji mara mbili wa mazao ya beet na dawa caribou kwa joto la hewa kutoka +15 hadi +25 ° с wakati wa matumizi ya kwanza ya madawa ya kulevya beets lazima iwe katika hali ya kuota (kutoka 70 hadi 90 ya miche) au katika awamu ya kufunga ya safu tiba ya pili hufanyika baada ya siku 715 baada ya kwanza
ni muhimu ni vigumu kupendekezwa kutumia madawa ya kulevya caribou mpaka kuongezeka kwa beet kuota
kuandaa suluhisho la kunyunyizia shamba kulingana na maelekezo ya matumizi kulingana na kiwango cha matumizi katika 30 g ya dawa ya caribou kwa hekta kiasi cha suluhisho ni lita 200 kwa hekta kwanza maji hutiwa ndani ya chombo kisha idadi inayotakiwa ya mifuko ya caribou imeharibiwa ndani yake na mchanganyiko huchochewa hadi dawa hiyo ikamilifu kabisa
dawa za aina nyingine huingizwa kwenye tangi (tayari katika fomu ya maji) kisha kuongeza kiasi kinachohitajika cha maji na mwisho ni lazima kuongeza kipengee cha trend90 kilicho na uso juu (kiwango cha juu) kwa kiwango cha 200 ml kwa hekta vitendo hivi vyote vinafanywa na kuchochea mara kwa mara ya suluhisho
athari kubwa ya athari za herbicide huzingatiwa ikiwa caribou hutumiwa katika mchanganyiko na madawa mengine ni sambamba na wadudu wengi wa dawa lakini kabla ya kuandaa mchanganyiko huo inashauriwa kushauriana na wataalam
ni muhimu usitumie caribou katika mchanganyiko na wadudu wa organophosphate
madawa inahusu darasa la tatu la hatari unapotunzaji unapaswa kutumia buti za mpira na kinga majambazi magogu pumzi inashauriwa kufanya usindikaji wa shamba katika hali ya hewa ya utulivu lakini upepo unaruhusiwa kasi ambayo hayazidi 5 m / s
hifadhi caribou katika upakiaji wa awali na utimilifu usio sahihi katika chumba ambako ni kuhifadhiwa upatikanaji wa watoto unapaswa kutengwa aidha ni kuhifadhiwa tofauti na mbegu na kulisha
kwa ujumla dawa za caribou zinaweza kuelezewa kama njia nzuri za kupambana na magugu ya dicotyledonous yanayotokana na nyuki za sukari inapotumiwa vizuri inakuwezesha kuondoa kabisa aina nyingi za magugu
makala ya kukua kwa spirea ivolist
thuja magharibi columna maelezo kutua na kutunza
kujifunza sababu za ukuaji mbaya wa ficus benjamin
kwa nini vitunguu baridi hugeuka njano katika chemchemi na nini cha kufanya
matumizi ya asali ya ubakaji faida na madhara
maelezo ya jumla na kilimo cha nyanya mbalimbali kifaransa
kivsyaki udhibiti bora wa centipede | 2019-11-13T06:07:30 | https://sw.yellowbreadshorts.com/4367-herbicide-caribou-spectrum-of-action-instruction-consumption-rate.html |
mtakatifu simon kitururu mawazoni kufungwa kwa mashindano ya kuchora
emanase wa image profession na ip sports club
aliyetonesha kidonda simon kitururu muda friday march 23 2012 | 2018-04-23T05:49:03 | http://simon-kitururu.blogspot.com/2012/03/kufungwa-kwa-mashindano-ya-kuchora.html |
you are athome»habari360»hii kali alikiba abdul kiba kufunga ndoa siku moja
previous articlevideo chege ft saida karoli kaitaba
next article mbunge sugumasonga watupwa jela kwa lugha ya fedheha dhidi ya jpm | 2019-08-22T12:09:12 | https://habarimpya.com/featured-2/admin/hii-kali-alikiba-abdul-kiba-kufunga-ndoa-siku-moja |
dawati kwa kila mtoto (a desk for every child) inb pamoja blog
home > unlabelled > dawati kwa kila mtoto (a desk for every child) inb
dawati kwa kila mtoto (a desk for every child) inb
6/24/2016 112000 am
siku ya leo kwa mara nyingine tuko mkoa wa mtwara kukabidhi reading corners ama kona za kusomea katika shule mbili lilungu na nanguruwe jumla ya vitu tulivyokabidhi ni madawati 60 makabati ya vitabu 4 vitabu 181 chati za mfano herufi hisabati pamoja na vifaa vya sanaa kama rangi za kuchorea na kadhalika
mchango huu ni sehemu ya mradi wa dawati kwa kila mtoto (a desk for every child) ambao umedhaminiwa na shirika la marekani 'we are the world kids kama sehemu ya mpango wao wa kimataifa kujenga na kuanzisha maktaba na kona za kusomea kwa ajili ya shule za msingi na sekondari katika afrika na mashariki mwa asia'
mgeni wa heshima katika sherehe hii ni mh halima dendego mkuu wa mkoa mtwara akiongozana na mhfatuma ally mkuu wa wilaya mtwara
sherehe hii ilifanyika katika shule ya msingi lilungu (mikindani)
afya (162) ajali (40) biashara (273) burudani (292) dini (61) elimu (97) habari (3459) hadithi (201) magazeti (593) mahakama (125) matukio (2579) michezo (356) siasa (59) simulizi (218) waziri (235) | 2018-02-18T20:02:19 | http://www.pamoja.co.tz/2016/06/dawati-kwa-kila-mtoto-desk-for-every.html |
rouhani apongeza makubaliano ya nyuklia | matukio ya kisiasa | dw | 17012016
waziri wa mambo ya nje wa iran mohammad javad zarif akishangiliwa bungeni kwa kufanikisha makubaliano ya nyuklia
wakati ubalozi wa saudi arabia ulipovamiwa tehran
kiungo https//pdwcom/p/1hf30 | 2019-03-21T16:50:29 | https://www.dw.com/sw/rouhani-apongeza-makubaliano-ya-nyuklia/a-18985702 |
huyu madabida ni nani
current users online 10172
topic huyu madabida ni nani
20th june 2012 1653
jana mh mmoja mjengoni kwa jina la madabida alikoroma sana hadi zungu akakereka
naskia ni mndengereko nduguye nyanchoka ( mama salma)
aliongea sana kwa jazba akiunga hoja mia kwa mia na kuwakoromea wote wanao criticize bajeti nilivyomuona anatafuta umaarufu ili mh rais amuone ili ampe uwaziri
akipewa uwaziri huyu wizara itaendeshwa kwa jazba na visasi amechukia sana watu ku quote mawazo ya kamati yake pia anadhani watu wanaotumia mtandao ni wajinga wasio na kazi
kuna mtu anamjua vizuri cv yake nk
20th june 2012 1705
re huyu madabida ni nani
ndio mashangingi wa hapa dar hao
matola and labata like this
haya ndio mapashukuna yetu hapa dar na huu ndio mtandao wa ukabila na udini ambao upo ccm mkoa wa dar es salaam ila mungu mkubwa mume wake bwana madabida aligombea ubunge kwa tiketi ya ccm kule rufiji au kilwa kama sikosei na akapigwa chini na mgombea wa cuf ukitaka kulijuwa jimbo lake fuatilia majimbo ya cuf 2 huku tanganyika kuna lindi mjini na la pili nimesahau jina lake hapo ndipo alipofia madabida nilifurahi sana huyu jamaa kupigwa chini
20th june 2012 1737
huyu maza si ndio anamiliki kiwanda cha dawa cha arusha tpi
20th june 2012 1745
huyo maza ni mkewe ramadhani madabida ambaye wasifu wake umeelezewa hapo juu na kintinku
mr ramadhani mabadiba trustee
mr ramadhani madabida studied business policy from the curtin university of technology australia where he attained a masters degree in business administration in 1981 he has as well a graduate diploma in business administration from the same institute having specialized in the management of marketing distribution channels he has a wide administrative and managerial experience having worked in both the public and private sectors for the last twentyeight years he is currently the chief executive officer of tanzania pharmaceutical industries limited which is one of the privatized former public enterprises mr madabida has played a leading role in the privatization of the tanzanian public pharmaceutical manufacturing sector he was the team leader in the preparation and submission of a proposal for management participation in the ownership of tanzania pharmaceutical industries limited conducted a technical and management audit of tanzania pharmaceutical industries limited and conducted a due diligence review of tanzania pharmaceutical manufacturing companies which were listed for privatization whose reports were submitted to tanzania venture capital fund for investment decision between january 1995 and july 1996
he eventually prepared a feasibility study for rehabilitation and financing of capital items for tanzania pharmaceutical industries limited (tpi) the company he now leads and which he has done a great deal to transform under mr madabidas leadership the company has managed to attract investments from both overseas and local investors in the process the company is now implementing in collaboration with action medeor (a german medical aid organization) a euro 5 million project financed by the european union apart from his normal duties mr madabida is the chair of tanzania pharmaceutical manufacturers association he is a member of the governing council of the confederation of tanzania industries and seats on the board of katani ltd one of the largest agroindustrial businesses in the country and chairs the board of directors of tancord (1998) limited
in 2003 mr madabida participated in the drafting and writing of a paper which was presented to the institute of medicine committee on the role of pharmaceutical industry and technology and its appropriate regulation in improving antimalarial drugs and producing them inexpensively (using artemisinins as an example) he has also participated and presented papers in seminars and workshops both nationally regionally and internationally source unit trust of tanzania
thanks but the mp is mrs zareena madabida what is she
20th june 2012 1749
hao ndo wazuri wadhaifu wanaimarisha upinzani
20th june 2012 1842
kilwa kusini
20th june 2012 1843
ukimfahamu iliiweje
nahisi ujumbe wa jana wa mchungaji msigwa ulimlenga mama madabida pia kwasababu msigwa alisema kuna watu wanaleta mambo ya khanga bungeni na ukiangalia utaona kweli zarina madabida alichangia nonsense kwenye bajeti ile jana
huyo naye ni mmoja wa mafisadi hapa tanzania kwani kampuni ya madawa napco ilimfia mkononi kukwepa mkono wa sheria akajiingiza kwenye siasa na yeye na mme wake ni maswahiba wa jk (dhaifu)
ni yeye na mume wake na walikuwa wanamiliki maduka kadhaa ya dawa hapa dar
tumchambue na kumfahamu
je ni vibaya kuwafahamu kwa undani watunga sheria wetu au wewe ni gamba lao
wewe kweli
madabida ni mzabizabina mnjelepina zarizarina malizia mwenyewe nazani unajua wabunge wote wa ccm ni bendera
huyo mama ni pharmacistwasomi wa kale wa chuo cha muhimbili na alikua na cheo cha juu sana katika kwenye bodi ya wafamasia tzanamiliki tpi kiwanda cha dawa
huyu ni mkewe mjanja mmoja hapo dar anaitwa ramadhani madabida kujuana huko watu watetea kula kwa uwazi
20th june 2012 2340
huyu mama aliwaliza wanawake wa dar es salaamu yeye pamoja na mama rupia na janet kahama walifanya utapeli wa upati wanawake wengi waliachwa na waume zaowengine walikunywa sumu wakafawengine walipata vichaa walikuwa wanaendesha mchezo wa upatu wakijidai wa kusomesha watoto shulewanawake walivyompeleka polisi tibaigana alisema walicheza kamari na kamari hairuhusiwi fedha za kuanzishia kiwanda cha mumewe kilitokana na fedha za dhuluma za wanawake waliocheza mchezo aliouendesha yeye ndio alikuwa injinia wa mchezo na marafiki zake
21st june 2012 0002
sasa anataka uwaziri ili apore vizuri manake kila akichangia hoja kunakuwa na mazingira ya uchu na uroho
21st june 2012 0905
wewe cv yake itakusaidia nini mimi namjua vzr madabida ni ccm mwenzangu na jirani yangu pia acheni mapovu jamani chadema
ifm kufanya mdahalo wa fao la kujitoa
sisi wote ni watoto wa baba mmoja | 2013-05-25T05:04:09 | http://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/281125-huyu-madabida-ni-nani.html |
mwigulu afungua kikao cha kujadili urejeshaji wa wakimbizi wa burundi walio tayari kurejea nchini kwao | raha za walimwengu
home » »unlabelled » mwigulu afungua kikao cha kujadili urejeshaji wa wakimbizi wa burundi walio tayari kurejea nchini kwao | 2017-09-24T12:13:42 | http://www.rahatupu.us/2017/08/mwigulu-afungua-kikao-cha-kujadili.html |
ubunifu wikipedia kamusi elezo huru
ubunifu (kutoka kitenzi chenye asili ya kiarabu kubuni pia ugunduzi japo si maneno yanayolingana kabisa katika maana zake[1] ) mara nyingi huchukuliwa kuwa ni matumizi ya njia bora zaidi zinazokidhi kutatua changamoto mpya changamoto ambazo tayari zipo lakini hazijapatiwa ufumbuzi bado au changamoto zilizopo kwenye soko au jamii kwa kipindi husika[2]
dhana hii hutimilika pale ambapo bidhaa huduma teknolojia mpangilio wa biashara au njia nyingine yoyote inayoweza kutatua changamoto husika katika jamii ni adimu kuipata katika masoko ya kiuchumi serikali au jamii yenyewe
neno ubunifu linaweza kutafsiriwa kuwa ni kitu fulani halisia na chenye mchango wa wazi katika jamii na hivyo ni kitu kipya kinachojitokeza katika soko au jamii kwa hali ya upya[3]
ubunifu chanzo chake ni mungu maana ndiye aliyeanzisha vitu vyote kwa kuachilia mawazo ndani ya watu
↑ bhasin kim (20120402) this is the difference between 'invention' and 'innovation' business insider
↑ maryville s (1992) entrepreneurship in the business curriculum journal of education for business vol 68 no 1 pp 2731
↑ based on frankelius p (2009) questioning two myths in innovation literature journal of high technology management research vol 20 no 1 pp 4051
rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=ubunifu&oldid=1103042
last edited on 5 machi 2020 at 1534 | 2020-05-27T10:04:00 | https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Ubunifu |
(elekezwa kutoka cameroon)
jamhuri ya kongo (kiswahili)
(bendera ya kamerun) (nembo ya kamerun)
mji mkuu yaounde
rais biya
eneo km² 475442
idadi ya wakazi 25216267 (2018)
wakazi kwa km² 397
uchumi nominal bilioni $38445
uchumi kwa kipimo cha umma $1544
kaulimbiu amani kazi taifa
wimbo wa taifa ewe kamerun mwanzo wa mababu wetu
mtandao cm
kodi ya simu +237
rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=kamerun&oldid=1113758
ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 21 mei 2020 saa 1231 | 2020-08-09T11:45:01 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Cameroon |
afcon 2017 misri wamsubiri mshindi ghana vs cameroon mdimu's blog
home / michezo / afcon 2017 misri wamsubiri mshindi ghana vs cameroon
afcon 2017 misri wamsubiri mshindi ghana vs cameroon
mabingwa wa kihistoria barani afrika timu ya taifa ya misri wametinga kwenye hatua ya fainali ya michuano ya afcon inayoendelea nchini gabon
misri wamefanikiwa kuingia kwenye hatua hiyo baada ya kuiondoa burkina faso kwa mikwaju ya penati nne kwa tatu ambayo ililazimika kupigwa kutokana na wawili hao kwenda sare ya bao moja kwa moja katika dakika 120
katika dakika ya 66 misri walipata bao la kuongoza kupitia kwa mshambuliaji wao anaecheza soka nchini italia kwenye klabu ya as roma mohamed salah lakini dakiika saba baadae aristide bance aliisawazishia burkina faso
katika mikwaju ya penati mchezaji mwenye umri mkubwa katika fainali za afrika za mwaka huu mlinda mlango essam el hadary aliibuka shujaa baada ya kupangua mikwaju miwili ya burkina faso na kuiwezesha misri kutinga katika mchezo wa fainali
hii ni mara ya nane kwa timu ya taifa ya misri kutinga katika hatua ya fainali ya michuano ya afrika tangu ilipoanzishwa mwaka 1957
timu hiyo imetwaa ubingwa wa afrika mara saba na kumaliza katika nafasi ya pili mara moja | 2017-08-24T08:54:02 | http://mdimuz.blogspot.com/2017/02/afcon-2017-misri-wamsubiri-mshindi.html |
php scripts / miscellaneouscrafted live audio announcer addon kwa worldwidescriptsnetkujiunga na kulisha wetu kukaa hadi tarehempya kufuata yetu kama unataka★★★★sehemu hii inapatikana katika 37 lugha nyinginearabicbengalicatalan/valenciandanishdutchenglishesperantofinnishfrenchgermangreekgujaratihindiindonesianitalianjapanesekannadakoreanmalaynorwegianpersianpolishportugueseromanian/moldavian/moldovanrussiansimplified chinesespanish/castilianswedishtagalogtamilteluguthaitraditional chineseturkishukrainianurduvietnamesekuishi previewviwamboads
hii ni mfumo php ambayo inaruhusu u kutangaza redio mafaili (tump3) kwa watumiaji wote wa kufungua tovuti na ni kazi katika realtime kama kwamba kama user ni tayari juu ya ukurasa atakuwa kusikia tangazo bila ya kuwa na upya ukurasa u unaweza pia kuweka tangazo kuchezwa kwa watumiaji ambao itafungua tovuti baadaye bidhaa kuja na jopo admin ambayo utatumia kucheza / kuacha tangazo faili matumizi kufuata mwongozo wa kufunga bidhaa matangazo yako inapaswa kuwa katikamp3 mafaili format kama ni katika muundo nyingine yoyote kutumia tu yoyote inapatikana redio kubadilisha fedha kubadili yao mp3 kupakia wale files kusikiliza kwa mtandao kompyuta yako kufungua jopo admin na kuongeza njia ya kwamba faili redio kama tangazo jipya kutoka sasa matangazo ukurasa u wanaweza kucheza / kuacha hata mmoja kati yao wakati u bonyeza kucheza tangazo sambamba utafanyika kwa mtu yeyote ambaye kwa sasa ni katika tovuti (juu realtime bila ya kuwa na upya ukurasa) kama u kushoto kwamba tangazo kwenye hali ya kucheza na hawakuacha yake basi watumiaji mpya ambao kutembelea tovuti baadaye tutasikia tangazo haraka kama wao kufungua tovuti unaweza kuacha tangazo lolote wakati akiwa alicheza hatua ya ufungaji ni rahisi sana na inakuja na nyaraka za kina ikiwa ni pamoja na kufanya kazi demo maoni na rating itakuwa kweli appreciated na i itakuwa tayari kusaidia kwa matatizo yoyote shukrani downloadvipengele vingine katika jamii hiikila sehemu ya mwandishi huyumaonimara kwa mara kuulizwa maswali na majibumalikuundwa5 septemba 11badiliko la mwishomei 5 14high azimiola sambamba browserskeywordsecommerce ecommerce vitu wote kutangaza tangazo matangazo mtangazaji redio kuishi muziki taarifa kuarifiwa realtime sauti | 2016-12-09T19:16:42 | https://sw.worldwidescripts.net/live-audio-announcer-39391 |
wakulima wa kanda ya ziwa kufikiwa kupitia kongane habari za jamii
home / habari / wakulima wa kanda ya ziwa kufikiwa kupitia kongane
dotto mwaibale 607 am habari | 2017-11-17T19:19:26 | http://www.habarizajamii.com/2017/11/wakulima-wa-kanda-ya-ziwa-kufikiwa.html |
kampuni ya star media tanzania limited yashinda tuzo ya ubora ya wqc | jestina george
ooh gigy moneyaweka wazi magumu aliyopitia akiwa mapenzini na mo j
mwimbaji na video vixen gigy money amefunguka kuhusiana na aliyekuwa mpenzi wake mtangazaji wa clouds radio mo j na kusema kuwa kip
ruge ndiye mkombozi wa bongofleva sifa 5 za tajwa kuthibitisha
article kutoka bongo 5 imenivutiasoma nipe maoni yake ruge alianza kujulikana rasmi kwenye tasnia ya burudani baada ya kuanza kuf
home / news / kampuni ya star media tanzania limited yashinda tuzo ya ubora ya wqc
kampuni ya star media tanzania limited yashinda tuzo ya ubora ya wqc
makamu wa rais wa kampuni ya startimes tanzania bi zuhura hanif (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na tuzo ya utoaji huduma bora waliyoipokea nchini ufaransa mwishoni mwa mwezi oktoba kutoka kwa kampuni ya business initiative directions (bid) pamoja naye kulia ni kaimu ofisa mtendaji mkuu wa startimes bw lanfang liao
makamu wa rais wa kampuni ya startimes tanzania bi zuhura hanif (kushoto) akisisitiza jambo katika mkutano huo na wanahabari
kaimu afisa mtendaji mkuu wa startimes bw lanfang liao akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na tuzo ya utoaji huduma bora waliyoipokea nchini ufaransa mwishoni mwa mwezi oktoba kutoka kwa kampuni ya business initiative directions (bid)
kampuni ya business initiative directions (bid) ya nchini ufaransa imeitunuku kampuni ya startimes kutoka nchini tanzania tuzo ya world quality commitment (wqc) kwa utoaji huduma bora kwa wateja wake
sherehe za tuzo hizo zilizofanyika kwa mara ya 29 ziliyofanyika jijini paris ambapo makampuni mbalimbali yalishinda yalishiriki
akizungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam wakati wa kuonyesha tuzo hiyo kaimu afisa mtendaji mkuu wa startimes tanzania bw lanfang liao amesema kuwa hiyo ni habari njema si tu kwa kampuni bali kwa taifa kwa ujumla kwa utoaji wa huduma bora kwa wateja wake
tuzo hii imetolewa jijini paris ufaransa mwishoni mwa mwezi oktoba ambapo kampuni ya business initiative directions (bid) ndio waandaaji wakuu wa tuzo hizi ambazo zimefanyika mara ya 29 kwa mwaka huu alisema bw liao
utolewaji wa tuzo huu ulihusisha marais wakurugenzi viongozi wa makampuni na wafanyabiashara kwa ujumla ambao walikuwa wanapendekeza majina ya kampuni inayostahili tuzo hiyo kutoka sehemu mbalimbali duniani
katika upigaji huo wa kura ambao hufanyika kwa siri bila ya hata kampuni inayopigiwa kura kujua baada ya upigaji huo wa kura kampuni ya startimes ambayo ndiyo pekee kutoka nchini tanzania kujinyakulia tuzo hiyo ya heshima
kwa niaba ya kampuni ya startimes ningependa kuchukua fursa hii kwanza kabisa kuwatangazia wateja wetu na watanzania kwa ujumla kuwa wao ndio sababu kubwa mpaka sisi kutunukiwa tuzo hii pili ningependa watanzania wafahamu kuwa ushindi wa tuzo hii sio wa kampuni pekee bali ni kwa tanzania kwa ujumla kwani startimes ndio kampuni pekee iliyotunukiwa tuzo hii aliendelea bosi huyo
hivyo basi ningependa kuwashukuru wateja wetu lakini kikubwa zaidi ni serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania kwa kuendelea kuweka mazingira mazuri kwa kampuni zinazokuja kuwekeza nchini kuwahudumia wananchi wake tunawashukuru wadau kama vile tanzania investment center (tic) tcra na wizara zote bila ya kusahau vyombo vya habari ambavyo tumekuwa navyo bega kwa bega katika shughuli zetu aliongezea
ni kutokana na mazingira mazuri ya uwekezaji nchi na wananchi wake wananufaika na kusonga mbele kimaendeleo
kwa kuhitimisha ningependa kuchukua fursa hii kuwashukuru tena watanzania kwa kuendelea kutuamini na kutuunga mkono katika shughuli zetu na wakae mkao wa kula kwa kampeni zetu kabambe zinazoendelea kuzinduliwa hivi karibuni alihitimisha
heri ya siku ya kuzaliwa hamisa mobetto
wema sepetu mahakamani leo | 2018-12-13T09:21:37 | http://www.jestina-george.com/2015/11/kampuni-ya-star-media-tanzania-limited.html |
waziri biteko aiagiza tume ya madini kuziandikia hati ya makosa leseni za madini 18341 | mpekuzi
waziri biteko aiagiza tume ya madini kuziandikia hati ya makosa leseni za madini 18341
greyson mwase asteria muhozya na nuru mwasapeta
waziri wa madini doto biteko ameiagiza tume ya madini kuziandikia hati za makosa leseni za madini 18 341 zinazodaiwa ili zilipe madeni hayo ndani ya siku 30 na wakishindwa kulipa madeni hayo ndani ya muda huo leseni hizo zifutwe ndani ya siku saba baada ya mwisho wa hati za makosa
waziri biteko ametoa agizo hilo jijini dodoma leo tarehe 18 februari 2019 kupitia mkutano wake na waandishi wa habari ambao umewashirikisha katibu mkuu wa wizara ya madini profesa simon msanjila mwenyekiti wa tume ya madini profesa idris kikula kamishna kutoka tume ya madini dkt athanas macheyeki pamoja na watendaji kutoka wizara ya madini na tume ya madini
amesema kuwa zoezi husika lifanywe kwa mujibu wa kifungu cha 63 cha sheria ya madini ya mwaka 2010 na marekebisho yake ya mwaka 2017 na kusisitiza lisiangalie nani anamiliki leseni hiyo hata kama ni taasisi ya serikali
hata ile leseni ya liganga na mchuchuma ambayo inamilikiwa na shirika la maendeleo la taifa (ndc) na mbia wake najua inadaiwa ada ya dola za marekani zaidi ya 375000 sheria ifuate mkondo wake alisema biteko
katika hatua nyingine waziri biteko aliiagiza tume ya madini kufuta leseni zote za utafiti ambazo zipo hai na hazina madeni lakini toka zitolewe imepita miezi mitatu bila kuanza kuandaa na kukusanya vifaa stahiki kwa ajili ya utafiti au imepita zaidi ya miezi zaidi ya sita bila kuanza kufanya utafiti kwani ni kinyume na kifungu cha 36(1) cha sheria ya madini ya mwaka 2010 na marekebisho yake ya mwaka 2017
aidha aliiagiza tume ya madini kuhakikisha kuwa maeneo yote yaliyoainishwa na kutangazwa na serikali kwa ajili ya wachimbaji wadogo yatolewe leseni za uchimbaji mdogo tu kwa mujibu wa kifungu cha 16 cha sheria ya madini ya mwaka 2010 na marekebisho yake ya mwaka 2017 na yasitolewe kwa uchimbaji wa kati wala mkubwa ili kuwaendeleza na kuwaimarisha kiuchumi wachimbaji wadogo
alisema kuwa kuna baadhi ya maeneo ambayo yalitengwa kwa ajili ya wachimbaji wadogo likiwemo eneo la melela lilipo mkoni morogoro ambapo yalitolewa leseni bila kufuata taratibu za utoaji leseni katika maeneo hayo kama zilivyoainishwa kwenye kanuni ya 17 (3) ya kanuni za madini 2018 na kumwagiza katibu mkuu wa wizara ya madini profesa simon msanjila kuwasimamisha kazi pamoja na kuwachukulia hatua za kinidhamu watendaji wote waliohusika kwenye utoaji wa leseni hizo
pia aliongeza kuwa katika uchenjuaji wa madini kumekuwepo na tabia ya wachimbaji wadogo wa madini kujenga mitambo ya kuchenjua dhahabu bila kufuata taratibu ambapo hadi kufikia februari 2019 mitambo takribani 639 haina leseni hivyo kuisababishia serikali kukosa jumla ya shilingi bilioni 176 zitokanazo na ada ya maombi na ada ya mwaka ya mitambo hiyo
aliiagiza tume ya madini kuhakikisha kuwa mitambo yote ya uchenjuaji inapatiwa leseni ndani ya siku 30 na kusisitiza kuwa mitambo ambayo itakuwa haijapata leseni ndani ya muda ulioelekezwa haitaruhusiwa kuendelea kufanya kazi na wahusika wote watachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria
aliwataka wenye mitambo husika kufika katika ofisi za mikoa na kuweka mambo sawa na kuongeza kuwa iwapi watakuta vikwazo vyovyote kwenye ofisi za mikoa wawapigie simu kama viongozi na vikwazo vyao kushughulikiwa mara moja
aliiagiza tume ya madini kwa kushirikiana na wakuu wa mikoa wote nchini kutenga eneo moja kwa kila mkoa na kusimamia ujenzi wa mitambo ya uchenjuaji madini lengo likiwa ni kuimarisha usimamizi na makusanyo ya mapato katika mitambo hiyo na kusisitiza kuwa zoezi likamilike ndani ya miezi mitatu
katika hatua nyingine waziri biteko aliagiza wizara kuwasimamisha kazi watendaji waliohusika katika utoaji wa leseni ndogo za uchimbaji wa madini kwa wageni jambo ambalo ni kinyume na kifungu cha 8(2) cha sheria ya madini ya mwaka 2010 na marekebisho yake ya mwaka 2017 kinachokataza leseni ndogo ya uchimbaji wa madini kutolewa kwa wageni
mbali na biteko kuitaka tume ya madini kufuta leseni za uchimbaji mdogo wa madini zilizotolewa kwa wageni aliitaka tume ya madini kutokutoa leseni mpya kwa kampuni au mtu binafsi aliyepewa hati ya makossa na kushindwa kurekebisha marekebisho hayo kwa kuwa ni kinyume na kifungu cha 31(b) cha sheria ya madini ya mwaka 2010 na marekebisho yake ya mwaka 2017
aidha aliwataka wachimbaji wadogo nchini kutafuta njia mbadala ya kuzuia mashimo yao kuanguka kwa kutumia zege na vyuma badala ya kutumia miti lengo likiwa ni kutunza mazingira kwa vizazi vijavyo na kusisitiza kuwa baada ya mwaka mmoja serikali haitaruhusu tena magogo kutumika kwenye mashimo ya uchimbaji wa madini
awali akielezea mafanikio ya wizara ya madini biteko alisema kuwa katika bajeti ya mwaka wa fedha wa 2018/2019 wizara pamoja na mambo mengine iliahidi kuendeleza uimarishaji wa uendeshaji wa shughuli za uchimbaji na uendeshaji wa biashara katika sekta ya madini
alisema wizara iliratibu mafunzo kwa ajili ya wachimbaji wadogo nchi nzima kwa kipindi cha mwezi januari 2019 ambapo yalifanyika kikanda katika vituo vya singida chunya mpanda handeni buhemba kelwa na bukombe ambapo yalilenga kuwapa wachimbaji wadogo taarifa sahihi za aina na kiasi cha mashapo ya madini yanayopatikana katika maeneo yao na aina ya teknolojia inayoweza kutumika katika uchenjuaji wa madini hayo
alitaja mafanikio mengine kuwa ni pamoja na ujenzi wa vituo vya umahiri na vito vya mfano ambapo uligharimu shilingi bilioni 12 na kusisitiza kuwa vituo vinatarajiwa kuzinduliwa mwezi machi 2019 mara baada ya ujenzi wake kukamilika
aliongeza kuwa katika kipindi cha mwezi januari 2019 wizara ilifanya uhakiki wa leseni zote za uchimbaji wa madini ambazo zimetolewa na kubaini leseni nyingi hazijafuata matakwa ya kisheria ambayo ni pamoja na kuhodhi au kushindwa kuendeleza maeneo ya utafiti waliyopewa kinyume na kifungu cha 36 (1) cha sheria ya madini ya mwaka 2010 na marekebisho yake ya mwaka 2017 ambapo imepelekea kukosesha wachimbaji wengine haswa wadogo maeneo ya kuchimba na kusababisha malalamiko kwa serikali
alitaja matakwa mengine yaliyokiukwa kuwa ni pamoja na kushindwa kulipa malipo stahiki ya serikali ikiwa ni pamoja na ada ya mwaka kinyume na kifungu cha 92 (1) cha sheria ya madini ya mwaka 2010 na marekebisho yake ya mwaka 2017ambapo kama fedha hizi kama zingepatikana zingeisaidia serikali kutoa huduma kwa wananchi ikiwa ni pamoja na afya elimu maji na miundombinu
alisema uhakiki wa leseni za madini ulionesha kuwa hadi kufikia februari 2019 jumla ya leseni 18341 kati ya leseni 30973 ambazo zipo hai zinadaiwa jumla ya shilingi bilioni 11667 ambapo leseni kubwa za utafiti zinadaiwa shilingi bilioni 6167 leseni za uchimbaji mkubwa zinadaiwa shilingi bilioni 641 leseni za uchimbaji wa kati zinadaiwa shilingi bilioni 2828 na leseni za uchimbaji mdogo wa madini zinadaiwa shilingi bilioni 1951 | 2019-03-24T06:40:03 | http://www.mpekuzihuru.com/2019/02/waziri-biteko-aiagiza-tume-ya-madini.html |
msikilizeni huyu meneja mawasiliano wa sumatra david mzirayis he siriaz | jamiiforums | the home of great thinkers
msikilizeni huyu meneja mawasiliano wa sumatra david mzirayis he siriaz
discussion in 'jukwaa la siasa' started by mzee wa njaa jul 21 2012
mv skagit ilikuwa na uwezo wa kubeba abiria 300 pamoja na mizigo tani 26 hivyo kulingana na idadi ya abiria 288 walioondoka katika chombo hicho isingeweza kuleta madhara kama hayo ila tunawasiwasi waliongeza abiria njiani au mawasiliano ya hali ya hewa kwa mujibu wa meneja mawasiliano david mziray
kauli hii inaufanya umma wa watu ambao sasa ni waelewa kwa asilimia kubwa kuamini kuwa baadhi ya taasisi za serikali watendaji wake wanafanyakazi pasipo kujua wanafanya kazi gani
haiwezekani leo hii useme kuwa boti ile inawezekana iliongeza abiria njianisasa wapi kuna gati huko baharini na hao abiria wanatokea wapi ilhali safari ya boti kutoka dar es salaam kwenda zanzibar (unguja) hakuna kituo hapo njiani lakini labda sumatra wana gati mpya bagamoyo au mbezi beach huko ila hakika huu ni mtokoto wa mwaka 2012 na ni dharau kwa roho za watu na mali zao kwa mamlaka yenye dhamana ya kusimamiusafiri nchini
boti huwa zinaweza kupandisha abiria maeneo ya kunduchi
mv skagit ilikuwa na uwezo wa kubeba abiria 300 pamoja na mizigo tani 26 hivyo kulingana na idadi ya abiria 288 walioondoka katika chombo hicho isingeweza kuleta madhara kama hayoclick to expand
mbona huwa hawasemi ilikuwa imebeba mizigo tani ngapi
masharti ya ununuzi hayakuzingatiwa
abiria wasizidi 148
meli isibebe mizigo
siyo sahihi hata kidogo eti meli iliruhusiwa kubeba abiria 300 na mizigo tani 26
siyo sahihi hata kidogo eti meli iliruhusiwa kubeba abiria 300 na mizigo tani 26click to expand
watawala wetu bado wanafanya kazi kwa mazoea/kizamani sanahawajui kama kuna mjadala unaendelea huko marekani kuhusu hiyo feri iliyopinduka na kuzama
mwisho tutaambiwa hata atcl nayo inapakiza abiria njiani
the mv skagit was designed to carry a maximum of 230 passengers the passengeronly ferry and a sister the kalama were constructed in 1989 at halter marine in new orleans louisiana the original design of the boats was based on vessels that serviced offshore oil rigs in the gulf of mexico an extra deck of superstructure was added to accommodate additional passengers the boxy design of the cabin decks and the low twin funnels on either side gave the ferries a rather ungainly appearance the skagit went by the official number d949140 call sign waa6309 and had a length of 112 feet beam of 25 feet and a draft of 8 feet the pair were ordered for service on puget sound but were laid up on arrival when there were no funds available to operate them with the loma prieta earthquake in the san francisco bay area the twins were loaned to that city to ferry passengers while the bay bridge was temporarily closed after returning north the 25 knot ferries entered service but met with complaints regarding erosion caused by their large wakes and their propensity to roll in the waves they ultimately met with success when the route was transferred between vashon island and downtown seattle washington state ferries decided to discontinue their passengeronly service after the summer of 2009 with the skagit and kalama being declared surplus in an interesting move the state tried unsuccessfully to sell them on ebay they were finally sold in 2011 and taken to tanzania where they operated for the seagull company between the mainland and zanzibar
source mv skagit former us ferry capsizes off tanzanian coast | maritimematters
maajabu toka sumatra meli yenye designed maximum capacity ya passenger 230 inatetewa kuwa uwezo wa kubeba abiria 300 pamoja na mizigo tani 26 meli iliyokuwa na ugonjwa wa kuyumba ikipigwa na mawimbi hapa kwetu inaonekana inafaa kweli tanzania kichwa cha mwenda wazimu
hii melim ilipelekwa mombasa ambapo kunagereji ya kuzirekebisha na ikaongezewa urefu hivyo ingekua na uwezo wa kuchukua abiria zaidi kuliko ilivyotengenezwa (japokua sii salama)
maajabu toka sumatra meli yenye designed maximum capacity ya passenger 230 inatetewa kuwa uwezo wa kubeba abiria 300 pamoja na mizigo tani 26 meli iliyokuwa na ugonjwa wa kuyumba ikipigwa na mawimbi hapa kwetu inaonekana inafaa kweli tanzania kichwa cha mwenda wazimuclick to expand
uko sahihi kabisa this can only happen in tanzania utanikumbusha jinsi omari nundu alivyokuwa anashupalia tununue vitu vichakavu including ndege na injini za gari moshi hii tabia ya wafanyakazi wa serikali na wanasiasa kutokufanya biashara vituko ni vingi mno ccm walianza kurushusu mitumba ya nguo soksi na chupi wakaendelea na magari madogo ya watu binafsi wakaendelea hadi wakaruhusu kutumia chai maharage kubeba abiria
hadithi inaendelea wakaruhusu hiace kubeba abiria leo hii wameruhusu pikipiki kubeba abiria na kikwete ameamua kuruhusu bajaji ziwe ambulance sitashangaa kesho baiskeli zikaruhusiwa kubeba abiria ili kupunguza foleni dar
kama tusipoiondoa ccm madarakani hata kwa kutumia staili ya libya we are to see a lot of funny undertakings by ccm how do you exempt tax over 12 trillion shillings and bow to eu wakupatie euro milioni 136 kwa mbwembe na huku fedha zikielekezwa kwenye mambo ya kipuuzi yasiyo endelevu
hawa sumatra sijawahi kusikia au kuona mafanikio yao
hawa sumatra sijawahi kusikia au kuona mafanikio yaoclick to expand
sasa hivi wamekomaa wanasema hawasajili gari for daladala yenye zaidi ya mwaka 2004 tokea kutengenezwa labda ndo mafanikio
hii kali kuwa huenda ilipakia abiria njiani
mziray could better zip his xl mouth
hii yote ni kwa sababu wanajua watanzania wengi huwa wanashau mapema mambo ya msingi na hata kwenye kuchagua viongozi watanzania hawako serious ndiyo maana jamaa wanachezea tu maisha yetu wanajua hakuna wa kuwahadhibu maana mwenye kura yake (mtanzania) hayuko seriuous sasa kwa nini jamaa asitoe majibu ya kipuuzi ninavyojua meli kabla ya kuondoka lazima ofisa wa sumatra apite sehemu wanazokaa abiria akague kuhakikisha kila abiria amekaa kwenye seat na hakuna abiria aliyezidi na ndipo anaruhusu meli kuondoka lakini hapa hawafanyi hivi sasa ni hatari kupanda ndegebasi na hata meli maana hakuna taasisi zinazotuhakikishia usalama wa hivyo vyombo ni hatari kubwa unapokuwa huna taasisi inayomuhakikishia mwananchi usalama wake anapokuwa anasafiri itafikia watu wataanza kuogopa kusafiri na ndiyo mwanzo wa kuanguka kwa uchumi
hii melim ilipelekwa mombasa ambapo kunagereji ya kuzirekebisha na ikaongezewa urefu hivyo ingekua na uwezo wa kuchukua abiria zaidi kuliko ilivyotengenezwa (japokua sii salama)click to expand
wewe nawe punda ana uwezo wa kubeba watu wawili huwezi kumfunga kiti nyuma ili abebe zaidi
back to the topic usishangae kuwa huyo meneja wa sumatra hawahi hata kuiona bahari ndio maana akasema hivyo njia ya bahari darznz si barabara ya postamwenge
punda afe mzigo wa bwana ufike | 2017-04-27T05:34:37 | https://www.jamiiforums.com/threads/msikilizeni-huyu-meneja-mawasiliano-wa-sumatra-david-mziray-is-he-siriaz.295938/ |
ccm yatoka kivingine kampeni za udiwani mbagala jamiiforums
ccm yatoka kivingine kampeni za udiwani mbagala
thread starter mta1
awali ya yote natanguliza mapenzi yangu kwa ccm nimesikitishwa na mwenendo wa kampeni zinazoendelea katika kata ya mianzini mbagala kutakofanyika uchaguzi wa diwani juni 16 2013 jana ilikuwa ni mara ya kwanza kuhudhuria mkutano wa kampeni tangu kipenga kimefunguliwa cha uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata husika mkutano jana juni 9 2013 ulifanyika katika kiwanja cha mbagala zackhem ambako mambo yafuatayo yalijitokeza
1 mwenyekiti wa ccm mkoa wa dsm ndugu madabida alikuwa mgeni rasmi
2 mbunge wa kigamboni dr ndugulile alikuwa mstari wa mbele kuhakikisha kiti cha udiwani kinabaki ccm
3 mbunge wa viti maalum ccm mama zarina madabida alitia timu
4 sehemu kubwa ya maneno ya utangulizi ya mc watoa hotuba kutoa maneno machafu yenye kejeli kwa chadema na cuf
5 watoto chini ya miaka 15 kutumika kutoa burudani wakiwa wamevaa tshirt zenye kutangaza bia ya kilimanjaro
dalili zinaonyesha timu ya kampeni ya chama chetu haina jipya hivyo waliamua kutumia muda mwingi kutoa burudani kwa wananchi kupitia bendi ya sikinde
jambo lililosikitisha zaidi ni kitendo cha wakereketwa wengi wa ccm kuonekana wakiburudika na bia katika baa za jirani na eneo la mkutano wakiwa na mavazi ya ccmhiyo haikutosha mara baada ya mkutano kwisha zoezi la kunywa bia liliendelea katika baa ya scorpion iliyoko mbiku ikiwa ni hisani ya mgombea wa udiwani kupitia ccm bwana mbwana
ccm inajua inachokifanya
kuwatumia watoto kwa kampeni wakiwa na sare za tbl ni halali
wafuasi wa ccm kuhudhuria mkutanoi wakiwa na sare huku wamelewa chakari wanatoa taswira gani kwa watoto
madabida na mkewe kupewa kipaumbele katika kampeni huku wakiwa na tuhuma za kuuza arv feki ni kumjenga ama kumbomoa mgombea
mgombea (mbwana) kutoa ofa ya bia kwa wapiga kura ni halali
1907 125 160
kaka ccm ile ya zamani ilishakufa hii ya sasa ni ya majangili wezi na wapiga dili tu hayo unayosema kwao ni madogo sana
likes mta1
mkuu jana nilikutana nao hao watoto wamevishwa manguo ya kilimanjaro premium lager hadi sikuamini macho yangu hawajaishia hapo tu kwani tulipita pita mitaa ya kibondemaji na kilungule tukakutana na baadhi ya wananchi wakatuambia ccm imeshaanza kugawa fedha kwa wapiga kura kuanzia buku mbili hadi tano kadri wanavyomthaminisha mtu na hilo wanalifanya zaidi kwa akina mama
tulifika mahali tukiongea na wananchi wakawa wanatuomba fedha kwani tayari ccm imeshawapa na hivyo wanataka na sisi tuwape fedha hii ni hali ya hatari sana kwa ustawi wa jamii hata kama tukiwa na taasisi mia mbili za kupambana na rushwa bila kuwadhibiti viongozi wa ccm itakuwa ni kazi bure
likes mwita maranya
ama kweli hakuna chama cha mafisadi kama ccm
3468 1721 280
nyahende thomas said
mbona huwa sina bahati ya kukutana nao nami nichukue sukari ama 5000/=
558 23 35
kula ccm kura kwa chadema
fanyeni kama sisi arumeru mashariki tulivyowamaliza ccm na walikuja na fedha zakutosha na tukawamaliza katika sanduku la kura
kilimanjaro premium larger ilidhamini kampeni za ccm mbagala
mkuu mungi hilo ni swali la msingi sana ambalo tunapaswa kujiuliza mimi nimewashuhudia watoto wadogo wa kadri ya miaka 610 wakiwa wamevishwa tshirts za kilimanjaro premium lager katika mkutano wa ccm watoto hao walikuwa wakitoa burudani katika mkutano huo uliokuwa umedoda sana na wakati huo huo wanaccm pamoja na wananchi wachache waliohudhuria wakijinywea bia za bure walizokuwa wamepewa offer na mgombea wa ccm
1482 1155 280
duh hili nilikutana nalo jana kwenye mkutano wa kampeni kata ya kimandolu arusha wahudhuriaji wengi wakiwa wamevaa tshirt za kilimanjaro nikadhani ni zile promotion za kili nami nikapaki nicheki wanenguaji mh nilikuwa disapointed kweli kukuta ni watoto
ili sisim ipate watu kwenye mikutano yake lazima yafuatayo yawepo ama yote au badhi yake
1 vikundi vya burudanikama totdiamondmarlowze comedymsondo etch
2 lazima watu watajichana mapilau na makuku + mabia mengi na mavileo mengine
3 lazima watu wataondoka mkutanoni na buku kadhaa wa kadhaamf buku 50007000 na hata 10000
4tshirtskanga kofiank zitagawiwa kama njugusi unajua kuna watanzania wanavaa ngu moja mwezi mzima sasa wakipata tshirtgaunikanga ya bure awanaona wamefikaaaa
5 ahadi kibao zitatolewaanaweza kuja hata waziri kuthibitisha kuwa ahadi hizo ni za kwelilakini mwisho wa siku hushia hewani
6 matusi kwa wapinzani( mnamkumbuka mzee wa mteralusihinde kama haamjui kutukana shule ipo pale)
endeleeni kudanganyana na kuungana mkono kwenye uzushi na ujinga huu wa kutunga
mta1 said
huu nao ni ugaidiweka picha acha uzushi na uongo uliotukuka
weka ushahidi wa picha mchumia tumbo weweccm itawabamiza mbaya kabisa
ccm bila rushwa haiendi | 2019-03-20T13:03:57 | https://www.jamiiforums.com/threads/ccm-yatoka-kivingine-kampeni-za-udiwani-mbagala.465921/ |
coronavirus ugonjwa wa covid19 waendelea kuwa kitisho duniani
imechapishwa 02/03/2020 0743 imehaririwa 02/03/2020 0743
kesi mpya 500 za maambukizi zimeripotiwa nchini italia kati ya februari 29 na machi 1 reuters/yara nardi
idadi ya vifo vinavyosababishwa na ugonjwa hatari unaofahamika kama covid19 duniani imezidi watu 3000 baada ya mamlaka nchini china kutangaza jumatatu asubuhi machi 2 vifo vipya vya watu 42 katika jimbo la hubei katikati mwa china ambapo ugonjwa huo ulianzia
maafisa wa afya wa china wametangaza leo jumatatu kuwa wamethibitisha kesi mpya 202 za maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa covid19 katika china bara na kutimiza watu 80026 walioambukizwa virusi hivyo tangu ugonjwa huo ulianza mwezi desemba 2019
mlipuko wa ugonjwa huo umesababisha vifo vya watu 2912 nchini china tangu kuzuka kwake kulingana na takwimu za serikali
ugonjwa huo hatari unaendelea kusambaa katika bara la ulaya
baada ya ireland luxembourg na armenia jamhuri ya czech ilitangaza jana jumapili mtu wa kwanza kupatikana na virusi vya covid19 nchini humo ni mtu watatu ambaye alitembelea kaskazini mwa italia aliyepatikana na virusi hivyo jamhuri ya dominika imekuwa nchi ya nne katikaukanda wa amerika ya kusini kuathiriwa na ugonjwa huo
kenyachinaafyacorona
coronavirus china southern airlines yatua nairobi raia waingiliwa na wasiwasi | 2020-05-29T02:22:51 | http://www.rfi.fr/sw/afya-mazingira/20200302-coronavirus-china-yaendelea-kukumbwa-na-ugonjwa-wa-covid-19 |
plugins / opencartfast checkout opencart module addon kwa worldwidescriptsnetkujiunga na kulisha wetu kukaa hadi tarehempya kufuata yetu kama unatakasehemu hii inapatikana katika 37 lugha nyinginearabicbengalicatalan/valenciandanishdutchenglishesperantofinnishfrenchgermangreekgujaratihindiindonesianitalianjapanesekannadakoreanmalaynorwegianpersianpolishportugueseromanian/moldavian/moldovanrussiansimplified chinesespanish/castilianswedishtagalogtamilteluguthaitraditional chineseturkishukrainianurduvietnamesekuishi previewviwamboads
haraka malipo module
kusaidia yote moduli meli na moduli ya malipo inasaidia opencart hadi v1551
downloadvipengele vingine katika jamii hiikila sehemu ya mwandishi huyumaonimara kwa mara kuulizwa maswali na majibumalikuundwa11 julai 13badiliko11 julai 13sambamba browsersie8 ie9 ie10 firefox safari opera chromeprogramu versionopencart 15x opencart 155 154 opencart opencart 15high resolutionhapanafiles pamojajs javascript css phpkeywordscheckout opencart haraka checkout | 2017-06-27T19:16:55 | https://sw.worldwidescripts.net/fast-checkout-opencart-module-44202 |
rais magufuli azawadiwa kitabu cha mwongozo wa sala na rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) askofu gervas john nyaisonga jiachie
home ikulu rais magufuli azawadiwa kitabu cha mwongozo wa sala na rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) askofu gervas john nyaisonga
rais magufuli azawadiwa kitabu cha mwongozo wa sala na rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) askofu gervas john nyaisonga
ahmad michuzi tuesday august 07 2018 ikulu
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akifanya sala na rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) askofu gervas john nyaisonga makamu wa rais wa baraza lhilo dkt flavian kasalla na katibu mkuu wa tec dkt charles kitima viongozi hao wapya wa kanisa walipomtembelea na kujitambulisha kwake ikulu jijini dar es salaam leo agosti 7 2018
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akiwa katika mazungumzo na rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) askofu gervas john nyaisonga makamu wa rais wa baraza lhilo dkt flavian kasalla wakiwa na katibu mkuu wa tec dkt charles kitima viongozi hao wapya wa kanisa walipomtembelea na kujitambulisha kwake ikulu jijini dar es salaam leo agosti 7 2018
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akipeana mikono na rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) askofu gervas john nyaisonga na makamu wa rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) dkt flavian kasalla wakiwa na katibu mkuu wa baraza hilo dkt charles kitima baada ya viongozi hao wapya wa kanisa kumtembelea na kujitambulisha kwake ikulu jijini dar es salaam leo agosti 7 2018
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akipeana mikono na katibu mkuu wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) dkt charles kitima akiwa na rais wa baraza hilo askofu gervas john nyaisonga na makamu wa rais wa baraza hilo dkt flavian kasalla viongozi hao wapya wa kanisa walipomtembelea na kujitambulisha kwake ikulu jijini dar es salaam leo agosti 7 2018
rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) huku makamu wa rais wa baraza hilo dkt flavian kasalla wakiwa na katibu mkuu wa baraza hilo dkt charles kitima ambaye anaongea na wanahabari mara baada ya viongozi hao wapya wa kanisa kumtembelea na kujitambulisha kwake ikulu jijini dar es salaam leo agosti 7 2018
kumbukumbu october (308) september (443) august (693) july (524) june (393) may (367) april (425) march (470) february (509) january (572) december (561) november (669) october (594) september (545) august (702) july (677) june (683) may (775) april (585) march (713) february (660) january (749) december (717) november (841) october (1005) september (918) august (949) july (760) june (785) may (695) april (714) march (816) february (760) january (623) december (734) november (528) october (823) september (816) august (639) july (612) june (709) may (482) april (402) march (477) february (430) january (353) december (367) november (332) october (466) september (465) august (428) july (461) june (416) may (376) april (423) march (533) february (425) january (416) december (402) november (378) october (421) september (454) august (433) july (397) june (400) may (421) april (330) march (362) february (386) january (380) december (425) november (407) october (431) september (346) august (392) july (380) june (436) may (439) april (382) march (415) february (387) january (383) december (392) november (381) october (358) september (425) august (397) july (269) june (318) may (293) april (296) march (317) february (246) january (250) december (296) november (303) october (318) september (307) august (303) july (279) june (263) may (286) april (220) march (285) february (200) january (183) december (173) november (201) october (165) september (142) august (172) july (178) june (165) may (167) april (164) march (153) february (129) january (136) december (95) november (82) october (80) september (87) august (98) july (84) june (135) may (196) april (237) march (269) february (289) january (270) december (207) november (192) october (115) august (4) july (11) june (39) | 2018-10-16T15:26:18 | http://michuzijr.blogspot.com/2018/08/rais-magufuli-azawadiwa-kitabu-cha.html |
viongozi wa dini kanda ya ziwa wabebeshwa mzigo utunzaji wa mazingira ziwa victoria | tanuru la fikra blognews
home uncategories viongozi wa dini kanda ya ziwa wabebeshwa mzigo utunzaji wa mazingira ziwa victoria
tanuru la fikra 11000 pm add comment edit | 2018-06-19T04:49:07 | http://www.tanurulafikra24.com/2017/06/viongozi-wa-dini-kanda-ya-ziwa.html |
utofauti wa series za smartphone za samsung jamiiforums
utofauti wa series za smartphone za samsung
kwanza wadau naomba mnijuze tofauti ya ya hizi samsung za s series a series pamoja na j series unakuta labda kuna j5 s5 na a5 nini tofauti yao kubwa na kati ya iphone 5 na samsung 5 ipi no bora na inazidi nyingine nawasilisha
likes come27 and mc7
ilisolokobwe
1747 362 180
mkuu hayo ni matoleo yao ili kujua ipi bora kuliko ingine unaweza kugoogle au ingia gsmarena kisha tafuta compare hapo waweza kufanya ulinganifu na ukagundua simu ipi ni bora kuliko nyingine
likes dem boy come27 and hazole1
samsung s na note series ni high end au flagship
samsung a series ni mid range
samsung j series ni low/affordable
hii ni kwenye maswala ya marketing segmentation s series kwa wenye kipato cha juu a kipato cha kati j kipato cha chini
na kwenye s5 vs iphone 5 yote ina depend na wewe but samsung s5 ni latest zaidi ya hiyo iphone better screen but kwa sasa maana iphone 5 ina ios 10 bora kuchukua iphone 5 maana ina better support bado
likes rich ze best davibby come27 and 3 others
19289 9060 280
s5 ina marshmallow na itapata nougat
likes davibby come27 and kancarl
note 4 na s5 2 year software support imeisha nougat itapatikana for s6 s7 na note 5
628 110 60
kuna j5 prime imetoka hivi karibuni sina uhakika kama ni low range kwani specs zake ni nzuri sana bei 590000/=
j5 prime si nzuri kwa hio bei unapata j7 prime na change inabaki
likes izzyhass
zipo leaks nimeziona still inaweza pata na hata isipopata bado 3rd party support zipo hapa nimeshaletewa notification ya cm 141 kwenye s5 official update ya cyanogen ya android 71
highly unlikely but cm 141 nzuri very stable kwa testing yangu ya hizi siku chache but kum expect mtu wa kawaida ku flash custom rom ni kazi nzito na haiwezi kuifikia hata robo official grace ui ya nougat
mbona iko karibu sawa na j7 prime tofauti ni ukubwa wa screen battery na ram tu ubaya wake ni nini
958 356 80
nexus 5 je
sure kwenye ugumu wa kuinstall lakini ui wakishaiport theme engine ya cm12/13 faster tu watu wataitengenezea themes yake mimi japo nina cm ila natumia themes ya touchwiz mtu wa kawaida akiangalia hata hajui kama natumia custom rom
1 display ya j7 prime ni 1080p wakati ya j5 prime ni 720p
2 cpu ya j7 prime ina core 8 compare na quadcore ya j5 prime plus vitu kama gpu na vikorokoro vyengine vya soc
3 battery ya j7 ni kubwa sana 3300mah vs 2400mah
4 ram 3gb compare na 2gb ya j5 prime
mfano chukulia j5 ya 2016 au hata ya 2015 ambayo sasa hivi unaipata around 350000 ina specs almost sawa na hio prime huku battery likiwa kubwa
kancarl said
hata kwa hio simu official support imeisha 2 years tayari nougat 70 au 711 ni kwa nexus 6 6p na 5x basi
utabidi tu kuweka cyanogenmod 141 kama ukitaka latest features
bora kuweka rom port za s7 au note 7 kwenye s5 nadhani maana kuna vitu vingi unakosa amabavyo stock android bado haina maana kiukweli nikiwa natumia cm naona kuna vitu vingi sana navi miss
yap touchwizz ina feature nyingi ila ninazozihitaji sasa hivi zipo aosp multi windows doze themes nyeusi kwa ajili ya amoled etc
napenda hiyo description mimi niiweke hivi s for senior people a for average income people jfor juniors
4292 2925 280
ilisolokobwe said
ivi ile wwwbestmobbcom
wanadili na simu zinazouzwa apa africa peke yake au
mbona zote hizi zipo multi window tokea enzi za note 2 sema sio kila app itakubali but the best zinakubali doze ipo tokea lolipop kwenye kila simu na theme nyeusi pia kwenye theme store zipo nyingi sana as well ukiweka goodlock ui unapata hadi status bar kama ya stock android
sema tu ujinga wa touchwiz ni slowness na stutters kila kukicha
nimemaanisha vitu nilivyokuwa nikitumia zamani touchwiz now vipo aosp najua vyote vipo touchwiz toka zamani
na touchwiz mpya haipo slow jaribu simu za samasung kuanzia 2015
threads 1235916
posts 29240433 | 2018-12-12T03:23:24 | https://www.jamiiforums.com/threads/utofauti-wa-series-za-smartphone-za-samsung.1076817/ |
uingereza vs hispania ndani ya wembley usipime | shaffihdauda
home kimataifa uingereza vs hispania ndani ya wembley usipime
uingereza vs hispania ndani ya wembley usipime
timu ya taifa ya hispania imesafiri mpaka wembley kukutana na waingereza kwenye mchezo wao wa uefa national league england na hispania hawajawahi kukutana kwenye mchezo wa mashindano tokea mwaka 2001 na katika michezo yote 25 waliokutana wamekutana mara 6 tu kwenye mechi za mashindano
kocha mkuu wa england gareth southgate kuelekea mchezo huo amemzungumzia kinda wa watford willy hughes miaka ya hivi karibuni nilimuongelea kijana huyo na kusema ni kijana mwenye uwezo makubwa sana southgate amesema ana matarajio makubwa na kinda huyo
17 april 1995 (23)
southgate hajamuita hughes ambaye aliwatandika burnley bao la mbali hivi majuzi southgate amesema kwa sasa anamfuatilia kwa karibu sana kinda huyo pamoja na kinda wengine kama vile chalobah rose barkley na collum
england watakosa huduma za jamie vardy na gary cahill ambao wote wamestaafu kucheza soka la kimataifa wachezaji wengine wawili wana majeraha raheem sterling (mgongo) na adam lallana (kiuno) golikipa wa southampton alex mccarthy anatarajia kuanza mchezo wake wa kwanza baada ya kuitwa kwa mara yake ya kwanza
matokea mechi za mwisho za england
sweden 0 2 england
belgium 2 0 england
tafsiri ya takwimu
england wamecheza michezo 10 mwaka 2018 wameshinda 7 wametoka sare mara 1 na kufungwa mara 3
england wamefunga mabao 14 goals na kufungwa mabao 10
wataanza kibarua chao bila david silva andres iniesta na gerard pique ambao wamestaafu soka la kimataifa hispania sasa itaanza kutegemea huduma za kiungo wa real madrid marco asensio chini ya kocha wao mkuu luis enrique
mechi za mwisho wa hispania
tafsiri ya takwimu hizo
spain wamecheza michezo 8 kwa mwaka 2018 wameshinda 3 maetoka sare 4 na kupoteza mchezo mmoja tu
wamefunga mabao 16 na kuruhusu mabao 12
kocha mpya wa hispania enrique amemtema jodi alba kwenye kikosi chake wakati enrique anondoka barcelona 201u alba alisema kuwa anajiona mwenhe furaha zaidi kwenye kikosi cha kocha mpya bwana valverde kuachwa kwa alba kunadhihirsha wazi kuwa ameachwa kwa sababu za ugomvi wao binafsi
huu ni mchezo wa kwanza tokea watolewe kwenye michuano ya kombe la dunia chini ya kocha mkuu hiero
england vs spain h2h
wote wamekutana mara 25 england wameshinda mara 13 na spain kushinda mara 9 na kutoka sare mara 3
michezo yao 5 h2h spain wameshinda 3 england wameshinda mara moja na kitoka sare 1
mara yao ya mwisho kukutana ilikuwa 15112016 na walitoka sare ya 22 kwenye mchezo wa kirafiki
28 feb 2001 england v spain 30 kiraf
17 nov 2004 spain v england 10 kiraf
07 feb 2007 england v spain 01 kiraf
11 feb 2009 spain v england 20 kiraf
12 nov 2011 england v spain 10 kiraf
13 nov 2015 spain v england 20 kiraf
15 nov 2016 england v spain 22 kiraf
08 sep 2018 england v spain uefa
vikosi vinavyotarajia kuanza
england pickford walker stones maguire trippier henderson shaw alli lingard rashford kane
spain de gea carvajal ramos albiol alonso thiago busquets saúl asensio morata isco
previous articlemri ni tiba kwa kansa inayoteketeza soka la afrika
next articlelive ( text commentary) uganda vs tanzania | 2018-09-18T15:19:15 | http://shaffihdauda.co.tz/2018/09/08/uingereza-vs-hispania-ndani-ya-wembley-usipime/ |
2016/aug magari toyota vellfire (vellfire) daaayh30w aina ya injini 2ar2jm2fm ref no147549 magari ya japani kwa bei nafuu | cardealpage
saa ngapi nchini japan1936
2016 toyota vellfire (ref 147549) ukurasa wa taarifa ya gari
rudi kwenye orodha ya toyota vellfire
ref no 147549
hybrid v l edition
alloy wheels | fog light | rear spoiler | body kit | leather seat | | front camera | side camera | back camera | flip down monitor | premium sound system | rear entertainment | power back door | engine push start | clearance sonar
dual power slide doors
twin moonroof
leatherseat
modelista full aero
msimbo wa modeli daaayh30w
chesisi ayh300036***
umbali kwa maili 65000km
msimbo wa injini 2ar2jm2fm
mwaka / mwezi wa lilisajiliwa 2016 / aug
mwaka wa mikanda ya usalama 2016
aina ya mafuta mahuluti
ukubwa wa injini 2490cc
aina ya giaboksi giaboksi otomatiki
2wd/4wd 4wd
milango 5
idadi ya viti 7
rangi nyeusi
kusafisha hewa otomatiki
usukani unaotumia umeme
madirisha yanayotumia umeme
breki za abs
mfuko wa hewa
vioo vinavyotumia umeme
ufunguo wa kati wa kielektroniki
yasiyo na funguo
redio ya cd
paa linaloweza kufunguka
kiti cha ngozi
kisanduku cha vifaa
ufunguo wa akiba
495 x 188 x 192
1787m³
11717 unafikiria kununua
(unaweka akiba ya us$ 11200)
us$45000
us$33800
fob us$ 33800
合計 us$ 33800 | 2020-04-09T10:36:03 | https://origin-cdn-www.cardealpage.com/sw/toyota/vellfire/17147549/ |
maziwa \n
january 29 2016 july 20 2018 augustino chengula 0 comments maziwa
na mkulima mbunifu wape ngombe wako lishe kamili yenye nguvu protini na vitamin pamoja na maji ya kutosha kulisha ngombe
december 14 2015 april 26 2018 augustino chengula 0 comments banda chakula maziwa ng'ombe
na mkulima mbunifu uzalishaji wa maziwa ni biashara nzuri sana na ya kuvutia ambayo huwa na faida nyingi na | 2018-10-15T17:16:47 | http://ufugaji.co.tz/ufugaji/maziwa/ |
bbc swahili habari mkuu wa kampuni ya anglo american kujiuzulu
mkuu wa kampuni ya anglo american kujiuzulu
imebadilishwa 26 oktoba 2012 saa 1038 gmt
cynthia carroll anatarajiwa kujiuzulu kama afisaa mkuu mtendaji wa kampuni ya madini ya anglo american baada ya kuhudumu kwa miaka sita
mapema mwaka huu wamiliki wa kampuni hiyo walielezea kutofurahishwa na kudorora kwa faida za kampuni na kumtaka mwenyekiti kumwajiri afisaa mkuu mtendaji mpya
kampuni hiyo hata hivyo imesema ulikuwa uamuzi wa cythia kuacha kazi huku mwenyekiti sir john parker akimsifu kwa kazi yake
lakini kampuni haijatangaza tarehe rasmi ya kuacha kazi kwa cynthia hatua hii itawaacha tu wanawake wawili wakiwa wakuu wa makampuni mawili makubwa nchini uingereza
wanawake hao ni pamoja na angela ahrendts katika kampuni ya burberry na alison cooper wa imperial tobacco
hisa za kampuni hiyo zilipanda juu kwa asilimia mbili katika soko la hisa la london lakini baadaye thamani ya hisa zake ilishuka kwa miezi minane iliyopita
cynthia alisema kuwa ulikuwa uamuzi mgumu kuacha kazi
cynthia alikabiliwa na shinikizo kutoka kwa wamiliki wa kampuni hiyo baada ya kampuni yake nchini afrika kusini kukumbwa na migomo katika mgodi wake wa platinum wafanyakazi wakitaka kulipwa mishahara mizuri na kuwepo mazingira bora ya kazi | 2017-12-15T19:15:27 | http://www.bbc.com/swahili/habari/2012/10/121026_anglo_mkuu_ajiuzulu |
majibu ya yusuph manji kwa makonda ~ mzee wa matukio daima
home » » majibu ya yusuph manji kwa makonda
majibu ya yusuph manji kwa makonda
baada ya jina la manji kutajwa katika majini 65 yaliyotangazwa leo na mkuu wa mkoa makonda yusuph manji ameongea na waandishi wa habari na kusema haya
manji mimi sitaki kuchanganya vitu viwili kwenye mkutano mmoja keaho au keshokutwa ntafanya mkutano kuanzia pspf coco beach nk leo nakaa kwenye point moja tu ya madawa
manji mkuu wa mkoa kuna sehemu nimegongana naye oysterbay na nlienda kuonanana naye kama diwani wa mbagala kuu kumuomba mkuu wa majeshi atakayekuja ahamishe kambi ya jeshi kutoka mbagala na kupelekwa nje ya mji kama diwani siwezi kumuandikia rais | 2017-11-25T07:17:06 | http://www.matukiodaima.co.tz/2017/02/majibu-ya-yusuph-manji-kwa-makonda_8.html |
kifungo cha miaka 30 jela cha mnyemelea r kelly millardayocom
video dogo janja kwenye jukwaa la nandy festival sumbawanga
← previous story aika na nahreel mbioni kumleta mtoto wao wa pili
next story → ti atoa povu kuhusu tuhuma za kifo cha dada yake (+video) | 2019-08-26T04:36:01 | http://millardayo.com/i9hbg56r/ |
unataka kuanzisha soko la mtandaoni basi soma hapa kujua jinsi ya kuanza
julai 4 2020 740 mu 1 votes
hivi karibuni masoko ya mtandaoni yamekuwa na umuhimu mkubwa sana hasa kipindi hichi ambapo virusi vya corona vimelazimisha watu kukaa nyumbani na kutumia mtandao zaidi
kuliona hili hivi leo nimekuletea makala ambayo nitakujulisha njia rahisi za kuweza kuanzisha soko lako la mtandaoni ikiwa pamoja na kumiliki soko hilo kwa asilimia 100 kumbuka njia hizi ni za bure kwa asilimia 100 hivyo huna haja ya kulipia kitu chochote zaidi ya kuchagua njia moja utakayo ipenda na kuinstall mfumo huo kwenye domain na hosting yako
mfumo wa xcart ni mfumo wa bure kabisa ambao unaweza kukusaidia kuanzisha soko la mtandaoni kwa haraka mfumo wa unaweza kuinstall kwenye hosting yoyote na unaweza kuuza bidhaa zako mtandaoni mara baada ya kumaliza kuinstall mfumo huu unaweza kuangalia mfumo wa tovuti hii kwa kubofya sehemu hapo chini au bofya download kupakua mfumo huu
angalia mfano
download mfumo wa xcart
prestashop ni mfumo mwingine ambao unaweza kutumia kuanzisha soko lako la mtandaoni kama ilivyo xcart mfumo huu pia ni wabure kwa asilimia 100 na unaweza kupakua mfumo huu na kuinstall na kuanza kutumia kuuza bidhaa kwa haraka uzuri wa mfumo huu unakuja na addod za pesapal ambazo zinaweza kukusaidia kupokea malipo kwa kutumia mobile money (mpesa tigo pesa na mitandao mingine) unaweza kuangalia mfumo wa prestashop hapo chini
bagisto ni mfumo mpya na wabure ambao unaweza kukusaidia kuanzisha soko la mtandaoni lenye muonekano bora sana kama unatafuta njia bora na ya kisasa ya kuuza bidhaa zako basi jaribu mfumo huu wa bagisto tatizo la mfumo huu ni ngumu kwa mtu asiye na ujuzi kuinstall mfumo huu unaweza kuangalia mfano wa mfumo huu hapo chini
download bagisto
woocommerce ni sehemu ya mtandao wa wordpress kupitia mfumo huu unaweza kufanya yote yanayo fanywa na mifumo yote hapo juu unaweza kutengeneza soko la kisasa unaweza kupata njia za kupokea pesa kupitia mitandao ya simu na mambo mengine mengi mbali ya yote mfumo huu unakuruhusu kuweza kuunganisha mfumo huu na programu za android na ios
open cart ni mfumo mwingine wa bure ambao ni wa bure kabisa ambao pia unaweza kukusaidia kuanzisha soko la mtandaoni mfumo huu pia inakuja na uwezo bora wa kukusaidia kuanzisha soko la kisasa lenye uwezo bora na muonekano mzuri pia vile vile unaweza kutumia plugins au addon za kuongeza uwezo wa mfumo huo ikiwa pamoja na kuwezesha njia za malipo ya simu kama mpesa na tigo pesa
download open cart
magento ni mfumo mwigine ambao unaweza sana kukusaidia kuanzisha soko la mtandaoni mfumo huu pia unaweza kuongezewa uwezo kwa kutumia plugin na addon na kufanya mfumo huu kuwa bora sana mfumo huu unatumiwa na kampuni kubwa kama vile cocacola na kampuni nyingine kubwa mfumo huu pia unahitaji kuwa mtaalam kidogo ili kuweza kuendesha na kutumia kikamilifu
na hiyo ndio baadhi ya mifumo ambayo inaweza kukusaidia sana kuanzisha soko lako la mtandaoni kama unataka kuanzisha mfumo moja ya mfumo kwenye list hii unaweza kupakua mfumo huo na kuinstall kwenye hosting yako kwa haraka na urahisi
kama unahitaji msaada zaidi au kuna mahali popote umekwama unaweza kuwasiliana nasi kupitia sehemu ya maoni hapo chini mpaka siku nyingine endelea kutembelea tanzania tech
makala iliyopita kudownload picha na video kutoka mtandao wowote wa kijamii
makala inayofuata maana ya dropshipping na maswali muhimu kuhusu biashara hii | 2020-08-11T10:44:42 | https://tanzaniatech.one/2020/07/tengeneza-soko-la-mtandaoni-bure/ |
utambue muungano wa amani | uchaguzi mkuu wa kenya 2013 | dw | 04032013
uchaguzi mkuu wa kenya 2013
utambue muungano wa amani
muungano wa amani chini ya uongozi wake naibu waziri mkuu musalia mudavadi unatoa ahadi za kuwapatanisha makabila yote nchini kenya endapo utashinda kwenye zoezi la uchaguzi mkuu nchini kenya
mgombea musalia mudavadi na mke wake
mrengo wa amani unaongozwa na naibu waziri mkuu musalia mudavadi unavishirikisha vyama vya united democratic forum (udf) chama cha kanu kilichong'elewa mamlakani mwongo mmoja uliopita na pia chama cha new ford kenya chake mwanasiasa chipukizi eugene wamalwa aliye waziri wa sheria
mrengo wa amani na maridhiano
sera za mrengo wa amani zinalenga katika kuleta amani na maridhiano pamoja na kuimarisha hali ya usalama miongoni mwa wakenya kama anavyopambanua bwana mudavadi kinara wa mrengo huo
kulingana na manifesto ya mrengo wa amani maswala yanayopewa kipao mbele ni pamoja na uwekezaji katika sekta ya elimu swala la kukidhi mahitaji ya chakula na ujenzi wa miundo mbinu kama msingi wa kutimiza malengo ya ruwaza ya mwaka wa 2030
shabaha ya kutokomeza ufisadi
viongozi na wafuasi wa muungano wa amani
serikali ya muungano wa amani pia inakusudia kuimarisha mfumo wa ugatuzi kupambana na ufisadi na kutatua tatizo la ugavi wa mashamba
bwana mudavadi aliye mwana wa aliyekuwa wakati mmoja mwanasiasa mashuhuri katika utawala wa rais mstaafu daniel arap moi anasema sera zao zipo wazi katika ilani yao ilani yetu haizingatii ahadi za uongo bali inadhamini ujenzi wa taifa ukuzaji wa uchumi na kuinua hali ya maisha ndio tunatoa ahadi lakini lazima tuzingatie matarajio na hali ilivyo alisema mudavadi
sifa za mgombea muadavadi
viongozi wanaomuunga mkomo bwana mudavadi wamemminia sifa chungu nzima wakisema kwamba yeye anayo tajriba ya kutosha kuliongoza taifa hili bw gideon moi kiongozi wa chama cha kanu ambaye pia ni mwanaye rais mstaafu daniel moi hakusita kutoa sifa zake kwa kinara huyo wa muungano wa amani wakati wengine wanachochea taharuki baina ya makabila musalia mudavadi anahimiza uwiano na uaminifu ambapo ukabila ni faida kwani huchangia kuimarisha utamaduni wetu
aidha serikali ya mudavadi inatoa ahadi kuwa itagharamia masomo kwa wanafunzi wa shule za msingi na za upili kadhalika mrengo huo unaahidi kubuni jumla ya nafasi za kazi milioni mbili kila mwaka hasa katika sekta ya biashara ndogo ndogo
mwandishi ruben kyama
mhariri josephat charo
dw inapendekeza
waangalizi wa umoja wa ulaya wana matumaini
waangalizi wa umoja wa ulaya kwa uchaguzi mkuu wa kenya wamesema wana matumaini ya uchaguzi huo kuwa wa amani ikilinganishwa na ule wa mwaka 2007 ambao ulikumbwa na ghasia na kupelekea watu kadhaa kuuawa (15022013)
tarehe 04032013
maneno muhimu amani mudavadi kenya uchaguzi uhuru
kiungo http//pdwcom/p/17mkj
zimbabwe yajiandaa na uchaguzi wa kwanza bila mugabe 18012018
rais wa zimbabwe emmerson mnangagwa amenukuliwa akisema taifa hilo litafanya uchaguzi katika kipindi cha miezi minne au mitano ijayo huu ndiyo uchaguzi wa kwanza tangu zimbabwe ipate uhuru kufanyika bila robert mugabe
kanisa katoliki laitisha maandamano ya amani kongo 31122017
kuna wasi wasi wa kukosekana utulivu katika jamhuri ya kidemokrasia ya kongo inayokabiliwa kwa sasa na mgogoro wa kisiasa kufuatia kanisa katoliki lenye ushawishi mkubwa nchini humo kuitisha maandamano ya amani
catalonia yatangaza uhuru uhispania yajiandaa kuichukuwa 27102017
uhispania imekumbwa na matetemeko mawili ya kisiasa kwa wakati mmoja bunge la catalonia limepiga kura kuanzisha mchakato wa uhuru huku serikali kuu ya uhispania ikipata mamlaka ya kulitawala moja kwa moja | 2018-01-19T04:26:44 | http://www.dw.com/sw/utambue-muungano-wa-amani/a-16632041 |
wambura aanza mikakati ya maendeleo ya soka la mara shommi b 'if(findexof(imgyoutubecom)=1){w=' '}z=w+''+titlex+'
home » »unlabelled » wambura aanza mikakati ya maendeleo ya soka la mara
wambura aanza mikakati ya maendeleo ya soka la mara
mwenyekiti wa chama cha mpira wa miguu mkoa wa mara (fam)michael richard wambura ameanza mikakati ya kuinua soka la mkoa wa mara siku 2 baada ya kuchaguliwa nafasi hiyo ikiwa ni pamoja na kuanzisha mfuko wa maendeleo ujulikanao kama mara football deveropment fund (mfdf)
akizungumza na waandishi wa habari baada ya kufanyika kwa kikao cha cha kwanza cha kamati yautendaji akiwa mwenyekiti wa kikao hichowambura amesema wana mara wawe na mshikamano na kuamini kuwa mabadiliko na maendeleo ya kweli yanakuja ikiwemo kuona ligi kuu msimu ujao
tayari mkuu wa mkoa wa maramagesa mulongoamekubali kuwa mlezi wa mfuko huo utakaoanzishwa rasmi siku chache zijazo baada ya kukutana na mwenyekiti huyo ofisini kwake na kuonyesha mwanzo mzuri wa ahadi za wambura | 2017-08-17T17:14:34 | http://shommibinda.blogspot.com/2016/06/wambura-aanza-mikakati-ya-maendeleo-ya.html |
nahreel aanzisha darasa la utengezaji wa beat bongo5com
nahreel aanzisha darasa la utengezaji wa beat
bongo5 editor october 25 2012 935 am
beatmaker mahiri nchini aliyewahi kutengeneza midundo kadhaa ukiwemo stimu zimelipiwa (copy my motion) wa joh makini nahreel ameamua kukitumia kipaji chake na elimu masuala ya production kwa kuanzisha darasa la utengenezaji wa beat
amesema darasa hilo litajumuisha mafunzo ya kutengeneza beat kumaster pamoja na kumix
akiongea ba bongo5 asubuhi hii producer huyo amesema darasa lake litakuwa kwenye studio ya hometown iliyo nyuma ya ubungo plaza jijini dar es salaam
nahreel ameongeza kuwa mpaka sasa ana wanafunzi wanne huku mipango ya kuwa na darasa kubwa ikiwepo lakini baada ya kuona muitikio wa vijana katika kujiunga na darasa lake unaridhisha
mafunzo hayo yanagharimu shilingi laki mbili kwa miezi miwili
watu wengi wamesikia ladha yangu tayari na wanajua utofauti huo nadhani watu wengi wanaokuja kwangu wataelewa kabisa okay kwa nahreel tunaenda pale tunaenda kufuata muziki fulani tunataka tujue jamaa anawezaje kufanya muziki kama huo kwahiyo ndio hivyo mtu akija akijiunga atapata vitu vipya amesema nahreel
akiwa na miaka 14 mwaka 2003 baba yake alimnunulia keyboard aina ya yamaha (350 psr) na kumpa mwalimu ambaye alimfundisha kwa mwaka mmoja ili ajifunze kupiga nyimbo za gospel kutokana familia yao kuwa ya kisabato ambao hupenda kuabudu
mwaka 2005 kwa takriban miezi sita alijifunza kutumia software maarufu ya kutengeneza beat fruity loops 3 (fl) na hivyo alichanganya ujuzi wa keyboard na fl kutengeneza beat nyumbani mpaka alipomaliza high school
mwaka 2007 alienda kwenye studio ya `kama kawa` iliyokuwa chini ya gsolo ambaye alivutiwa na uwezo wake na kumuomba afanye kazi hapo
alifanya kazi kwa miezi minne na ndipo alipolazimika kwenda kusoma nchini india lakini tayari jina lake lilikuwa kubwa nchini kwakuwa alitengeneza hits za wasanii joh makini nakaya kala jeremiah roma llevo izzo b na wengine
baada ya kumaliza masomo na kurudi nyumbani nahreel amejiunga na vijana wengine watatu kuunda kundi liitwalo pahone | 2019-09-21T07:37:00 | http://bongo5.com/nahreel-aanzisha-darasa-la-utengezaji-wa-beat-10-2012/ |
daley tashawna
crump tashawna
armstrong tashawna
alexander tashawna
williams tashawn
richardson tashawn
phillips tashawn
owens tashawn
normand tashawn
moore tashawn
johnson tashawn
bolden tashawna
holland tashawn
hill tashawn
gonzalez tashawn
garrett tashawn
edwards tashawn
leslie tashawn
cook tashawn
govan tashawn govan
carter tashawn
king tashawn
calhoun tashawn
boston tashawn
brown tashawna
becfod tashawn
nickens tashauna
smith tashawana
mcguire tashauna
mastthews tashauna
krouse tashauna
dupree tashauna
ikard tashauna
davis tashawn
lando tashauna
tyus tashawn
nobles tashauna
howard tashauna
mckoy tashauna
gregory tashauna
presley tashawn
butler tashawa
baker tashawn
certion tashauna
hooten tashauna
anderson tashaunda
jackson tashawn
spears tashauna
wheeler tashawn
santiago tashawn
moore tashauna
laidler tashawn
harris tashauna
grant tashauna
henry tashauna
jackson tashauna
graham tashauna
irons tashaun
richardson tashauna
powell tashaunne
champion tashawna
sewell tashauna
young tashauna
armstrong tashawn
kelly tashawn
baskerville tashaunda
bell tashawna
jones tashaunda
tyler tashaunna
jenkins tashaunta
bertram tashauna
williams tashava
arnold tashawn
blake tashaunya
rogers tashaurie
banta tashawn
reid tashauna
ward tashawandia | 2019-06-17T22:39:28 | https://www.verifythem.com/sitemap/t/257201-257400 |
wanawake walia kubaguliwa katika nafasi za uongozi hapa nchini | jamiiforums | the home of great thinkers
wanawake walia kubaguliwa katika nafasi za uongozi hapa nchini
masoud masasidodoma yetu blog
wanawake wamesema dhana ya usawa wa kijinsia hapa nchini hasa katika nafasi za uongozi kwenye vyama vya siasa na serikali bado umekuwa ukimbagua mwanamke katika kuumpa fursa ya kuongoza nafasi hizo lichaya wao kuwa wengi katika idadi ya watu hapa nchini
hayo yalibainishwa na katibu wa shirika lisilo la kiserikali linaloshughulikia haki za wanawake la wowap fortunata makafu wakati
alipokuwa akiwasilisha mada katika mdahalo wa dhana ya usawa wa jinsia kwa maendeleo ya jimbo la dodoma mjini lilolofanyika mjini hapa
makafu alisema kwenye vyama vya siasa hapa nchini nafasi zote za juu za uongozi zimeshikiliwa na wanaume ambapo amesema hakuna hata chama kimoja ambacho nafasi hizo zimeshikwa na mwanamke alisema kwa upande wa serikali nafasi za mawazirimakatibu wakuu na wakurugenzi asilimia kubwa zimeshikwa na wanaume ambapo wanawake ni wachache huku akisema idadi ya wanawake waliosoma ni kubwa lakini wamekuwa wakibaguliwa katika kupata fursa hizo
ukiangalia nafasi zote za juu katika uongozi wa vyama vya siasa hapa nchini zimeshikwa na wanaume pekee kwa upande wa serikali baraza la mawaziri wanawake wachache lakini wanawake ni wengi katika idadi ya watu tanzania lakini hawapatiwi fursa ya kutosha katika nafasi za uongozialisema makafu
alisema hatua hiyo inatokana na jamii kumwangalia mwanamke katika jicho la kumuhukumu kuwa hawezi kuongoza hata kama ana uwezo mkubwa kuliko mwanaume
wakati mwingine jamii inakuwa inamukumu mwanamke kuwa hawezi kuongoza hata kama ana uwezo mkubwa kuliko mwanaume lakini tumekuwa tuna uwezo mkubwa katika nafasi chache tulizopewa na kuonyesha uchapa kazialisema
alisema pia kwa upande wa ajira kazi na madaraka makubwa yenye mishahara mikubwa hushikwa na wanaume huku wanawake wakiwa chache sana waliopatiwa fursa hiyo hapa nchini
issue ni kubwa haswa income inequality na salaries kuwapendekeza wanaume kupata mishahara mikubwa zaidi ya wanawake | 2016-12-03T17:54:56 | http://www.jamiiforums.com/threads/wanawake-walia-kubaguliwa-katika-nafasi-za-uongozi-hapa-nchini.324598/ |
ststephens anglican cathedral 2012
mkuu wa mkoa wa tabora bi fatma
mwasa katika sherehe za uzinduzi wa tabasamu
charles massine | 2017-12-18T10:48:17 | http://taboraanglican.blogspot.com/2012/ |
kuona miti kwenye ndoto ina maana gani | strictly gospel
kuona miti kwenye ndoto ina maana gani
shaloom wapendwa
naitwa fina naombeni ufafanuzi juu ya ndoto hii
kwanza kabisa na mapito makubwa sana siku moja nikiwa ofisini nikiwa namuuliza mungu ni kwanini yote hayo ghafla nilipata kausingizi kazito kama dakika 2 hivi nikaota napita msituni miti imekatwa na inaendelea kukatwa ghafla mti mkubwa ukawa unaniangukia lakini cha kushangaza ule mti niliuona umeshaanguka mimi nimepita salama lakini baada ya kuvuka pale nikashangaa wakati naendelea kutembea kamti kengine kadogo kakaanguka mbele yangu kakaniblock
naombeni msaada watumishi wa mungu
← tusiache kuwaombea watumishi wa mungu
kukosa maono ni sababu ya kushindwa kwako i →
27 thoughts on kuona miti kwenye ndoto ina maana gani
sungura says 30/01/2015 at 1215 am
mrs christina
kuna mbegu gani ambayo roho mtakatifu ameipanda kuhusu utofauti wa maono na ndoto unayosema kuwa hakuna mtu atakaeiharibu
please hebu jaribu kuongea mambo kwa usiriaz zaidi ya hapo ndugu mrs anapaswa kuonesha weledi na umakini wenye hekima kuliko unavyojaribu kujipresent
kwanza unaongea kinafiki ukijaribu kuwa neutral lakini ndani ya mistari unayoandika vimelea vya huo unafiki vinaonekana
huwi wazi sana unaandika kitu fulani ukiitikia mchango wa nani bali unaandika kama vile hakuna mtu fulani unarespond kwenye comment yake
ongeza uungwana tafadhali
mrs christina k says 29/01/2015 at 1154 pm
mtumishi fina
asante sana kwa mada uliotuwekea mezani
katika hili utafiti wa shetani na wa yesu umeenda vizuri
mrs christina k says 29/01/2015 at 1249 pm
tabasamu la yesu linaendelea kuchanua zaidi(wafilipi 11518)
tunajifunza mengi hapa na kwa wale wanaojitambua kiroho
wanaendelea kuuona utupu wa wapotoshajimtumishi
pandaeli wakati fulani alieleza habari ya watu kujionyesha
rangi zaokwa muongozo wa roho mtakatifu unaweza
kuona namna ambavyo watu katika mada hii inayohusu
ulimwengu wa roho tulivyo onyesha rangi zetu
kila mmoja ameshabarikiwa na mungu wake
wale wanaotembea na roho ya hekima na mafunuo
wameshaelewa kile ambacho kinamfanya yesu atabasamu
hapahakuna atakayeweza kuiharibu mbegu ambayo roho
mtakatifu ameipanda kuhusu uhusiano ulipo kati ya maono
ndoto na kazi za mbwamwitu
watumishi sungurapandaeli servantmillinga na wengine wote
ushiriki wenu ni muhimu sanatuendelee kuzianika siri za
pendael simon says 27/01/2015 at 249 am
majibu yako yamenishangaza kwelimbona husomi hata kile unachoandikiwa vizuri
hebu ona ulichoandika tunafahamu tofauti
ya maono na ndoto na hakuna aliyesema dada fina aliota ndoto
tazama jinsi ulivyokwenda kinyume na nilichoandika hivyo hicho kilichompata dada fina kulingana na maelezo yake ni ndoto wala si maono
mrs christina k mara nyingi unajibu vitu ambavyo hujaulizwa na kuacha vile ulivyoulizwa mara nyingi hutulia kwenye mada na unajikuta upo op
pia ujue kuwa mwenye roho mtakatifu hajitangazi kama unavyofanya wewe hata wale mitume wa yesu hawakujitangaza au kujinadi bali watu wenyewe walikiri kuwa wapo pamoja na yesu yaani roho mtakatifu yupo ndani yaopia watu ndio waliowaita wakristo baada ya kuwaona wanamfanania kristo( matendo 1126 na wanafunzi waliitwa wakristo kwanza hapo antiokia)
vile vile watu waliwajua kuwa waliopindua ulimwengu
hata petro alipokuwa akimkana yesu walimjua kuwa ni mwanafunzi wake kwa jinsi alivyokuwa
kwa hiyo huyu roho uliye naye wa matangazo nina mashaka nayeungekuwa na roho mtakatifu usingejitetea kwa jambo ulilolifanya la kumkosoa na kumuita majina mabaya mr milinga wakati alipoandika kitu sahihi
kumbuka vitisho vyako unavyotumia havisaidii bali ni mazingira tu uliyojiwekea ya kujilinda au kujihami( diffensive mechanism)
pia nashawishika kusema vitu vingi alivyoandika umetumia akili nyingi na wala usimsingizie roho mtakatifu
pia mteule huwezi kumjua kwa akili zako
****epuka kujihesabia haki bure****
servant says 26/01/2015 at 541 pm
siku moja nikiwa ofisini nikiwa namuuliza mungu ni kwanini yote hayo ghafla nilipata kausingizi kazito kama dakika 2 hivi nikaota napita msituni miti imekatwa na inaendelea kukatwapigania imanitazama ni namna gani basi maombi yako ulivyokuwa unayawasilisha hapo ofisinimuda mwingine tunajisahau namna tunavyoongea na mungu inaweza badala ya kuomba (1)tunatamka maneno magumu (2)tumenungunikawakati wa mapito makubwa kama unavyosema ndio wakati wa kuishindania imani sifu shukuru mungumisamiati ya kwanini mara nyingi sana haipeleki destiny nzuriyuda 1
matiko amos says 26/01/2015 at 357 pm
wapendwa mbarikiwe sana kwa sababu nimejifunza mengi
mrs christina k says 26/01/2015 at 230 pm
asante kwa mawasiliano katika ulimwengu wa roho
sungura says 26/01/2015 at 1214 am
mrs christina ( japo sina hakika kama kweli wewe ni mrs)
sikuwa na mpango wa kuchangia hii mada lakini kwa sababu mbili tatu hivi inabidi nachangie kidogo hasa kuhusu uandikaji wako
kwanza unafanya mada nyepesi iwe tata for no reason kwa sababu huna tabia ya kutulia sawia kwenye mada husika
hebu fikiria hapa mada ni ndg fina kutaka tafsiri ya hiyo miti aliyoota lakini wewe umejaza mjadala na mambo ya mbwamwitu wana wa shetani manabii wa uongoaghalabu kuliko ulisema tafsiri ya alichkiota fina
pili unajaribu kutuonesha kuwa kila kitu ambacho wewe unaandika hapa kimetoka kwa roho mtakatifu kitu ambacho si kweli ni kujaribu tu kutisha wale walio na mawazo tofauti na ya kwako
tatu unapenda sana kumwita mbwamwitu au mjumbe wa shetani kila yule ambaye yuko na wazo tofauti na wewe mimi hili naliona kama ni uchanga ktk ujuzi wa kweli ya kristo na kiuandishi
na bila shaka hicho ndo kimemfanya hata pendael akuambie hicho alichokwambia hapo juu
kiukweli milinga alipojaribu kuja na mawazo tofauti kidogo na ya kwako ulimjibu na kumwita hayo majina kiujanja tu wa kifasihi
labda nikunukuu ili kuthibitisha hilo
wajumbe wa shetani (mbwamwitu) mara nyingi wakiona umekaribia
kupata ufahamu wa jambo fulani kuhusu maisha yako utawasikia
wakisema hiyo ni ndoto ya shetani au ni kwa sababu ya
uchovu na shughuli nyingi kwahiyo usiwe na wasi wasi
haya maneno kimsingi ulikuwa unamwambia milinga indirectly
na hii tabia inakufanya uandike makala ndeeefu lakini pia zisizokaa sawawa kwenye mada husika
inachosha kusoma na pia inasababisha mtu mwingine aione michango yako kama si ya mtu aliyejifunza
manabii wa uongo wapo tu tangu kale na kale na hawatalifanya chochote kanisa la kristo
( si ajabu nami nikaitwa mjumbe wa shetani kwa kusema hayo hahahaaaaa)
mrs christina k says 25/01/2015 at 511 pm
mtumishi pandaeli
mambo ambayo roho mtakatifu ananiongoza kuandika hayapingani
na hoja ya mtu yeyote yanajitosheleza yenyewetunafahamu tofauti
ya maono na ndoto na hakuna aliyesema dada fina aliota ndoto
mimi siandiki kwa sababu ya maoni ya wanadamu naandika kile
ambacho mungu ananiongoza kuandikanafichua pale ninapoongoza kufanya hivyowale walio rohoni wanaelewa
kile ambacho roho anaongea nao
hakuna anayeweza kumkosoa roho mtakatifukatika mjadala
huu wapo watu ambao wana karama ya kutafsiri ndoto na maonona
hii ni mada nyeti sana katika siku hizi za mwisho lazima wateule waijue
kwelikama wewe ni mteule tena mnyenyekevu fuatilia mafundisho
ya roho mtakatifu
kila mmoja asimame katika nafasi yake na aseme kile
ambacho mungu wake anamuongoza maana si wote
wanaoongozwa na roho mtakatifuhata mimi nikiandika kitu
kwa mapenzi yangu mwenyewe aliye na roho wa kristo atajua
na atatumia hekima kunisahihishanawajua watu ambao
wanaongozwa na roho ya shetani na uwepo wao unawapa
wateule wanaojitambua zaidi ya ushindi
pendael simon says 24/01/2015 at 1016 am
mrs christina k ni vizuri kwa neema ya mungu kutafakari kwa kina kuhusu michango inayotolewa na wachangiaji wa madakwa mfano mrmilinga amechangia jambo ambalo limebeba ukwelisisi ni binadamu na wala si malaika na wala tusijiweke kundi la malaikatukiwa tunaongozwa na roho mtakatifu tunaitwa wana wa mungu (warumi 814)hivyo kwa kuwa sisi si malaika kuna wakati tunaota ndoto zinazotokana na shughuli nzito au jambo tuliloliwazia sanandio maana kila ndoto au maono yoyote hupimwa kwa neno la mungukutafsiri ndoto au maono ni kazi ya mungundio maana si kila mtu anaweza kutafsiri ndoto au maono
pendael simon says 24/01/2015 at 946 am
wapendwa shalom kuna tofauti kati ya ndoto na maonondoto hutokea unapokuwa umelala na maono hutokea ukiwa machohivyo hicho kilichompata dada fina kulingana na maelezo yake ni ndoto wala si maonotuepuke kuchanganya ndoto na maono
mrs christina k says 23/01/2015 at 446 pm
mtu yeyote anayeongozwa na roho mtakatifu hupewa ufahamu
ndani ya moyo wake kuhusu ndoto au maono anayoonyeshwa
elimu kuhusu ndoto na maono(ulimwengu wa roho) ni pana mno
na inahitaji umakini wa roho mtakatifuhakuna mtu yeyote duniani
anayeweza kufundisha mambo ya ndoto na maono kwa usahihi
mpaka roho mtakatifu ampe muongozo
ulimwengu wa roho umejaa lugha za mafumbo ambayo hakuna
mtu anayeweza kuyafumbua bila muongozo wa roho mtakatifu
hebu jaribu kupiga picha ya maono ambayo mtume petro alionyeshwa
kuhusu kutowabagua watu wa mataifawakati ule kina petro
yaani wayahudi walikuwa wanajihesabia haki kwamba wao pekee
ndiyo wanaostahili wokovu na watu wa mataifa mengine kama
kina kornelio hawakustahili kwahiyo mungu akaamua amtume
petro akahuburi habari za wokovu nyumbani kwa kornelio na
alipoona kuwa moyo wa petro utaweka ukuta kuhusu jambo
hilo akaamua kuzungumza nae kwa njia ya maono
mtume petro alikuwa anawaona watu wa mataifa kuwa najisi
yaani kwamba akichangamana nao watamnajisimungu akamvizia
petro mchana wa saa sita wakati ameshikwa na njaa sana akamletea
maono ili kuiponya roho yakemaono aliyoonyeshwa yalihitaji hekima
ya roho mtakatifu na ufahamu wa rohoni ili kujua kile ambacho
mungu alikuwa ana maanishandani ya maono petro alionyeshwa
aina zote za wanyama wenye miguu minne na hao watambaao na ndege wa anganikisha sauti ikamjia ikasema ondoka petro uchinje
ulelakini petro akasema hasha bwana kwa maana sijakula kamwe
kitu kilicho kichafu au najisisauti ikamjia mara pili ikamwambia vilivyo
takaswa na mungu usiviite wewe najisi(matendo 10915)
jambo ambalo tunatakiwa kujifunza hapa ni kwamba ingekuwa
rahisi kwa petro kwa sababu ya njaa kali kuyatafsiri yale maono
kuwa mungu anamuonya kuhusu kutokataa chakula chochote
ambacho angepewa na wenyeji wake pale alipofikia kwa bwana
mmoja aliyekuwa anaitwa simoniingekuwa ni rahisi kwa petro
kudhani kwamba mungu anamwabia ale chochote atakacho
pewa kwa sababu vimeshatakaswapia hapa kulingana na majibu
aliyotoa petro tunagundua kwamba alikuwa na changamoto
ya kuchagua vyakula yaani kuna vyakula ambavyo kwake vilikuwa
ni najisihata hivyo kwenye maono mungu alikuwa haongelei habari
ya vyalula au wanyama kama alivyomuonyesha bali alikuwa anazungumzia watu wa mataifa na kabila mbali mbali kwamba
na wao wanastahili wokovu kwa kuchangamana na wayahudi
katika maisha ya kawaida kama wewe ni mshauri wa kiroho
mtu akikusimulia maono kama haya na akaomba tafsiri ni lazima
uombe hekima na ufahamu wa roho mtakatifu ili uweze kumsaidia
vinginevyo unaweza ukampotezamaandiko yanasema katika
matendo 101723 kwamba baada ya petro kuonyeshwa yale
maono hakuyaelewa na alikuwa na shaka ndani ya nafsi yake
lakini wakati huohuo mungu alikuwa ametuma watu kutoka nyumbani
kwa kornelio ili kutegua kitendawili cha petro na aliposita kufuatana
nao roho mtakatifu akamwambia usisite kwa sababu mimi ndiye
niliye watumawalipomuambia wametumwa na nani na kwa sababu
gani ndipo petro akapata ufahamu juu ya kile alichoonyeshwa
kwenye yale maonondiyo maana walipofika kwa kornelio jambo
lililowashangaza wenyeji ni pale petro alipotamka kwa sauti kuu
na kusema kuwa hakika natambua ya kuwa mungu hana upendeleo bali katika kila taifa mtu amchaye na kutenda haki
hukubaliwa na yeye matendo 1034 ujumbe huu unaonyesha
wazi kwamba hatimaye petro alielewa maana ya yale maono
kwa muongozo wa roho mtakatifuna kuanzia siku hiyo petro
aliacha kuwabagua watu wa mataifa mengine wasio wayahudi kati
ya watu wa mataifa na kabila zote duniani kuna wateule
lakini si watu wote diniani ni uzao wa yesu wengine ni
uzao wa nyoka(mwanzo 315)tusipolijua hili bado hatujawa
huru kweli kweli(soma na utafakari yohana 17617)yesu hakuja
duniani kwa ajili ya uzao wa shetani bali kwa ajili ya wateulekuna watu mpaka mfumo huu wa dunia utakapoisha hawatapata neema
kuhusu ndoto au maono yanayotoka na uchovumawazo
au shughuli tulizofanya mchana kutwa
hizi ni ndoto au maono ambayo mara nyingi huwapata watu
wapumbavu(wasio mjua mungu)hii haina maana kwamba watu
ambao hawajaokoa mungu hasemi nao kwa njia ya ndoto na maono
ukweli ni kwamba huwa anasema nao sana na wakati mwingine
kuliko watu walio ndani ya wokovu
mungu huwafuatilia wateule wake ambao aliwajua hata kabla
hajawaumba(yeremia 145)unaweza ukawa hujaokoka lakini
ni mteule wa mungu na ndiyo maana mungu anasema na wewe
kwa njia ya maono na ndoto ingawa mara nyingi humuelewi na
umekuwa ukipuuzia yale anayokuonyesha au labda umefika
mahali unadhani ni upuuzi tu usio na maana yoyotesikiliza kwa
makini duniani kuna watu wabaya na wazuri(mithali 164 zaburi
583)namaanisha duniani kuna uzao wa mungu na uzao wa shetani
na kila mmoja hupewa ndoto na maono na mungu wakendiyo maana
kwa watu waliookoka huongozwa na roho mtakatifu kupambanua
yale wanayoyaona katika ndoto au maonoyawezekana kabla
ya kuokoka uliwahi kuota ndoto za kipumbavu zile zinazoelezewa katika kitabu cha muhubiri
lakini nataka nikuambie ndani ya wokovu hatuna ndoto
za namna hiyo kila ndoto unayoota iwe ni nzuri au mbaya
imebeba ujumbe au taarifa muhimu kuhusu maisha yako
hekima ya roho mtakatifu itakuwezesha kutambua hila
na mbinu zinazotumiwa na shetani kwenye ndoto na maono
hata ukiletewa sura ya mtu ambaye hausiki na hicho
unachoonyeshwa ila ni kwa hila utajua tu
wajumbe wa shetani (mbwamwitu) mara nyingi wakiona umekaribia
uchovu na shughuli nyingi kwahiyo usiwe na wasi wasi
sikiliza mpendwa haijalishi unaota ndoto au kuona maono
ya namna gani muulize mungu maana yakeni lazima ujue
kwasababu gani au ni jambo gani linaendelea katika
ulimwengu wa roho ambao ni halisi zaidi kuliko huu wa damu
na nyamasiri na taarifa za maisha ya wateule ziko katika
ulimwengu wa roho ambako ndipo vita kati ya uzao wa yesu na uzao wa nyoka inapoanziana hii ndiyo vita kali
kuliko zote chini ya jua(soma na utafakari mwanzo 315)
mteule ni wakati wetu wa kuanza kujitambua kiroho
ndani ya neno la kristo
kwa yeyote anayetaka kuwasiliana na mimi bila ya kujalisha kwamba ni mbwamwitu au mteule wa yesu
tuwasiliane kwenye upendouliohai@gmailcom
mwaka 2015 ni mtamu sana kama tutaishi ndani
ya neno la kristo na kuyatambua mafundisho ya
karibuni ili yesu atupe changamoto halisi
mr milinga says 23/01/2015 at 1215 pm
dada fina
siyo kila ndoto hutoka kwa mungu ndoto nyingi humuijia mtu kwa sababu za uchovu mawazo mengi msongo wa mawazo akili kulemewa ubongo kuchoka
mara nyingi ndoto itokayo kwa mungu humuijia mtu akiwa katika hali ya utulivu na bila msongo wa mawazo ya mapito magumu
kama ulikuwa katika hali ngumu ya kuwaza na kutafakari sana huenda ndoto ikawa ni taswira tu ya mchoko inayotokana na mambo yanayokusonga
ushauri wowote utakaoupata jaribu kuutazama na kuuoanisha na hali halisi kisha mungu akupe faraja
fina says 23/01/2015 at 1147 am
mrs christina please naomba mawasiliano yako kama hutojali nahitaji msaada wa kunasuliwa mahali
christowellu says 22/01/2015 at 745 pm
muda wa hiyo biashara ya mbwa mwitu kuisha bado tena bado sana yeye analiangalia neno lake ili alitimize na kwakuwa analiheshimu neno lake kuliko jina lake basi tutasubiri sana hata yote yatimie
fina christowellumugittu@yahoocom ukihitaji msaada zaidi
mrs christina k says 22/01/2015 at 349 pm
kuna kanisa ambalo linamtangaza mungu aliye hai lakini
limekalia kiti cha shetanimchungaji anadhani amekalia kiti
cha yesu kumbe ni cha shetanimatokeo yake mchungaji anaruhusu
mafundisho ya mashetani ndani ya kanisa na waumini wanapoyapokea
wanajikuta wanazini na sadaka zinazotolewa na sanamukila kukicha
watu wanaendelea kuongozwa na mafundisho ya baalamu na kwa
sababu hii mungu amekasirika na kuyazuia mafundisho aliyolikusudia
kanisa(mana iliyofichwa)
ndani ya mfumo kama huu ambao shetani ameweka kiti chake
kwenye madhabahu ni vigumu kwa huduma za watu kukua na
kujulikana ndani ya kanisasi tu kwamba kanisa linadumaa kiroho
lakini pia linakufa kabisa kirohomchungaji anapewa muongozo
na kiti cha shetani alichokaliawanamaombi wanapoona mambo
hayaendi wanakazana kuvunja nguvu za giza bila ya kutafuta
maarifa ya jinsi ya kutubuni toba ya kukiri kwamba kuna mlango
ulifunguliwa mpaka shetani akaingia kanisani na kuweka kiti chake
ndani ya kanisa wale wanaosimamia kweli wanategwa na kuuwawa
kwa sababu ya uaminifu waomchungaji anashirikia na mbwamwitu
bila ya kujuamatokeo yake madhabahu imenajisika kwa kutiwa giza
watu wanakazana kufunga na kuomba na kufanya mikesha kila
ijumaa lakini wanaendelea kuteseka kiroho na kimwili
vijana hawaoi wala kuolewa wamekazana na majunguuzushiunafiki
magomviwivumanungunikotamaakiburi na uasheratiwatu wenye fedha na cheo ndiyo wanaopewa upendeleomacho na masikio ya rohoni ya kanisa
yamekufa na wale wanaoona wanamuona shetani aliyejivalisha
vazi la utakatifupia kama kuna ndoa zinafungwa ni batili
yaani si zile za mpango wa mungu
mambo haya yameandikwa wazi kabisa katika ufunuo 21217
na ndiyo mambo ambayo yanaendelea sasa ndani ya makanisa
mengihuu ni wakati ambao shetani analipepeta kanisa kwa
kututenga na imani ya kristokwa staili hii umoja wa kanisa
unaendelea kuvurugwamakanisa hayashirikiani bali yanaumana
na hii ni vita ya wenyewe kwa wenyewemadhabahu nyingi
zimetiwa giza huku watu wakiendelea kuruka na kushangilia
mbwamwitu(waliokwisha kataliwa) wamejipenyeza kwa siri sana
ndani ya makanisa yetu nasi tumewapa nafasi za uongozi
uimbaji na kuhubiri na tumewaamini sana kuliko tunavyomuamini
yesuna wao bila kufanya makosa wamevuruga kabisa karamu
zetu za upendo(soma kwa kutafakari yuda 1341213)
mungu anatutaka tufanye nini
mungu anasema kama tumegundua tuko ndani ya kanisa
kama hili dawa ni tobatunatakiwa kutubu kwa sababu ya
kufungulia mlango ambao umewafanya mbwamwitu waingie
na kutuzidi nguvuunajua mbwamwitu wanaweza wakaingia
ndani ya kanisa lakini mkiwajua na kuwazidi nguvu katika ulimwengu
wa roho wataanza kuondoka mmoja baada ya mwinginetunapoingia
katika maombi ya rehema mungu anarejesha macho na masikio
ya rohoni ya kanisa na roho ya hekima na mafunuo inaanza
kutawalakwahiyo tunapopata huu ufahamu kanisa zima kuanzia
mchungaji tunatakiwa kuvaa magunia na kuomba rehemamungu
anatutaka tutubu na tusipotubu neno lake litafanya vita na sisi
hapa maana yake tunapata kipigo mara mbilitumeshapigwa na shetani alafu na mungu anatushughulikiani zaidi ya matesohapa
watakaopona ni wale tu wenye masiko ya kusikia kile ambacho
roho mtakatifu anatuambiaroho mtakatifu anaeleza haya
katika ufunuo 21617 basi tubu na usipotubunaja kwako upesi
nami nitafanya vita juu yao kwa huo upanga wa kinywa changuyeye
aliye na sikio na alisikie neno hili ambalo roho ayaambia makanisa
mungu anasema atafanya vita na wateule wote wanaojihusisha
na mafundisho ya mashetanikuna watu ambao bado wameshikilia
mafundisho ya baalamu na mafundisho ya wanikolai(soma ufunuo 21415)
kitakachotokea baada ya kukubali kufanya toba
ufunuo 217 unatoa jibu yeye ashindae nitampa baadhi ya ile
mana iliyofichwa nami nitampa jiwe jipya na juu ya jiwe hilo
limeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeye aliyelipokea
maana yake kuna kiwango fulani cha mafundisho(mana) ambayo
yalikuwa yamezuiwa mpaka tutubukwa sababu ya kiti cha shetani
kuna vipawa ndani ya kanisa vimefunikwa na havijulikani
tunapotubu vile vipawa vitafunuliwa nasi tutajulikana kwa majina
mapyakanisa litakua kiroho na kimwiliupendo na mshikamano
utatawala ndani ya kanisa
mtumishi christowellu
roho mtakatifu amejibu maelezo yako ya tarehe 22/01/2015 at 1019 am
mtumishi humphrey gutte onyinge
barikiwa na endelea kutega masikio yako ya rohoniyesu
anataka amalize kabisa hii biashara ya mbwamwitu
fina says 22/01/2015 at 233 pm
asanteni watumishi hakika nimepata kitu kikubwa sana shaloom
christowellu says 22/01/2015 at 1030 am
fina barikiwa na kristo akushindie katika vita yako
humphrey asante kaka
john haule says 22/01/2015 at 1021 am
mrs christina k
namshukuru baba bwana wa mbingu na nchi kwa kukufunulia hayo maana ndivyo ilivyopendeza mbele zake
amen kama ilivyoishia 2014 mwaka 2015 pia mashauri yote ya wasio hakimbwa mwitumungu wa mbingu na nchi anakwenda kuyabadili na kuwa ubatili
mashauri yao yanakwenda kukataliwa nao waenda kujisonga na kufa(2fal 1723)
yeye huyatangua mashauri ya wadanganyifu mikono yao isipate kuyatimiza makusudi yao
yeye huwanasa wenye hekima katika hila yao wenyewe na mashauri ya washupavu yaharibika kwa haraka
wao hupatwa na giza wakati wa mchana hupapasa mchana vilevile kama usiku ayu 51214
christowellu says 22/01/2015 at 1019 am
nampenda sana yesu alikula nao alikunywa nao lakini hiyo haikumbadilisha kutoka kuwa mwana wa mungu na kumfanya msukule anayeonekana au asiyeonekana alibaki kuwa mwana wa mungu milele na atabaki kuwa hivyo milele wana wa israeli kuishi misri miaka 430 hakikuwabadilisha kuwa wamisri walibaki kuwa waisraeli mkenya akiishi tanzania hatogeuka awe mtz atabaki kuwa mkeii mchaga yupo kila kona ya tz lakini sijawahi kusikia amebadilika na kuwa kabila jingine analoishimo
sauli akizidi kulitesa kanisa akamwendea kuhani mkuu ampe barua akawaue zaidi akiwa njiani kwenda kulitekeleza hilo yesu akamjia kwa ukali lakini kwa upendo wenye upole mimi ndimi yesu unayeniudhi wewe lakini simama uingie mjini nawe utaambiwa yakupasayo kutenda sauli hakuwa na tofauti na nabii wa uongo maana hata nabii wa uongo anamuudhi yesu na siku moja isiyo na jina yesu atamzuia atamwambia fulani inatosha usiniudhi tena toa unabii wa kweli naye atamtii maana hakuna anayeagizwa na mfalme moja kwa moja halafu akiuke maagizo yake halafu hata kama amebadilishwa bado wapo ambao hawataamini watamuona mtu yule kuwa bado ni nabii wa uongo kama kwenye matendo 92021 2630
katika safari zake mtume paulo alienda asia akakaa huko miaka 7 unadhani alikua akifanya nini huko alikua akizichunguza roho za kule ni yeye pekee aliyezunguka sehemu nyingi akihubiri lakini pia alikua akijifunza mila na tamaduni zao ili aweze kuzifananisha au kuzitofautisha na mungu wake yeye ndipo akafikia kutuambia tuzichunguze kila roho mrs christina utamtambuaje mtu kama hujamsikiliza au kuangalia matendo yake yesu alimtambuaje petro kwamba atamkana ni dhahiri ni kutokana na tabia yake alimjuaje yuda kwamba atamsaliti ni tabia yake mrs christina hakuna aliyekamilika soma danieli 2 na ufunuo 2 na 3 na usipoelewa tafuta kitabu changu kinaitwa udhaifu wako ndiyo adui yako mbaya zaidi usipokipata bado ninazo kopi utapata kitu
wakati yesu anakamatwa petro akamkata mtu sikio na yesu akamwambia rudisha upanga wako alani mwake maana hamjui ni roho ya namna gani mliyonayo petro hakujua kwamba ndani yake kulikua na roho ya msamaha usiposamehe hausamehewi na mungu wa mbinguni na roho ya upendo waombeeni wanaowaudhi adui zenu petro alihukumu lakini alisahau kwamba muda mchache unaofata nayeye atakua kama wale atamkana yesu siku moja katika kugoogle nikakuta mtu ametoa sala ya kuwaombea wachawi nilipoisoma sikumuelewa hata kidogo eti akavunja nguvu za giza ukiwemo uchawi halafu akaanza kuwaombea wachawi rehema ilinipa shida sana maana mentality yangu ilikua si walipenda wenyewe kumtumikia shetani sasa nawaombea nini wakati huo nami nilikua kwenye vita kubwa na wachawi wa mtaani kwetu kwahiyo ilikua inaniwia vigumu sana kuelewa lengo la mtoa sala maana nikiangalia mashambulizi waliokuwa wananitupia napambana nao live katika roho wala sijalala kwakweli sikuelewa somo siku moja roho mtakatifu akaniuliza christowellu kwanini wewe ni mtanzania na sio muhindi nikamjibu ni kwa sababu nimezaliwa tanzania akaniuliza tena kwanini umeokoka nikasita kujibu nikitafakari swali lile kisha nikamjibu sababu umeniokoa akaniuliza tena kwanini unanitumikia nikamwambia coz umeniita nikutumikie akaniambia mimi ndiye nilipenda uwe hivyo si wewe ni kwa neema tu angeruhusu niwe muislamu ningekua labda ningezaliwa ndani ya familia ya mzee juma au al farooq angependa niwe mzungu mwarabu mchina hakuna ambaye angezuia bali ilimpendeza nizaliwe tanzania tena niwe mnyiramba maana hata angependa niwe mndengereko au mkurya ningekuwa kama ilivyo upande wa nuruni watumishi huitwa na gizani pia huitwa vivyo hivyo na hawana ubishi maana shetani anao ushawishi mkubwa na wanapoingia huko hata wakitaka kutoka hushindwa maana wametegwa kwa maneno ya midomo yao mikataba waliyoingia ndiyo sababu unapaswa uwaombee ili wapewe rehema
simoni akamwalika yesu aje ale kwake alipokuja mwanamke kahaba simon akasema moyoni mwake kama yesu angekuwa nabii angemtambua huyu kahaba yaani simoni alitaka yesu asogeze miguu pembeni asiguswe na kahaba how foolish was he
siku moja nikamwambia mungu kamwe sitakaa nikuelewe ingawa nakujua maana nikimfikiria yuda alibatizwa ubatizo wa maji mengi alitumika kwa ajili ya ufalme wa mbinguni alitoa mapepo aliombea wagonjwa wakapona lakini anaisubiri jehanamu musa ilifikia mahali mungu alimsifia mbele ya wengine kwamba ni rafiki yake na ataongea nae wazi wazi lakini cha kushangaza hata yeye aliyetegemewa kuingia kaanani hakuingia lol huruma na aibu iliyoje kisa nini alipiga mwamba utoe maji eliya pamoja na kujitamba kote mbele ya mabaali na kumnadi mungu wake mbele ya miungu yao bado alifika sehemu akampunguza nguvu uwezo na mamlaka mungu wake kwa utisho mdogo tu wa yezebeli akamweka mungu pembeni akamkimbia mwanamke ndipo sa yesu anatuambia ajidhaniaye amesimama aangalie asianguke hakuna kanisa lisilo na mapungufu liwe la baba paroko na mama maria liwe la kunena kwa lugha liwe la kizazi cha kwanza au channe liwe la sadaka ya bahashani au sirini liwe la nabii wa kweli au wa uongo la mchungaji wa mshahara au mchungaji wa wito kikubwa ni mungu anataka kila mmoja aangalie mapungufu yake kisha atengeneze na mungu kwanini anataka hivyo kwakuwa ipo saa baba anatusubiri tumuabudu katika roho na kweli tu sio samaria rc lutheran anglikana wala sio yerusalemupentekoste kati ya farisayo na mtoza ushuru unadhani farisayo tungemwitaje kwasasa kama sio mbea mbali ya kutuonyesha unyenyekevu wa kila mmoja anapoenda kwa mungu na mtazamo wa kila mmoja yesu alitaka pia kutufundisha tuangalie yanayotuhusu zaidi na si kufuatilia ya wengine ooh fulani kafanya hivi au vile kwani mungu hawaoni mwenyewe anasema wameumbwa wabaya kwa siku ya ubaya acha mungu mwenyewe awahukumu you know what at last its between me or you and god not between us and god mimi nimechagua kuabudu katika roho na kweli tu ili anilishe mwenyewe kama alivyoahidi kwenye ezekieli 341416wakati huo huo nikiogopa kunyooshea wengine kidole maana kwanza naweza kuhukumu mtu fulani mwizi kumbe ngozi aliyokamatwa nayo kaiokota na vidole vinavyobaki vinarudi kwangu acha nikazane kuondoa boriti langu mie shalom
humphrey gutte onyinge says 21/01/2015 at 1010 pm
mungu awabariki kwa mafundisho
mrs christina k says 21/01/2015 at 352 pm
wakati wengine wanafurahishwa na uwepo wa manabii
wa uongo wengine wanahuzunikawanalia na kuomboleza
yesu alishajua kuwa manabii wa uongo watakuwepo na watawapotosha yamkini hata wateule lakini hakuacha kutuonya
kwamba tuwatambue na kuwaupuka manabii wa uongokatika mathayo 242425 yesu anatoa onyo kali na kujiondoa kwenye
lawama kwa kusema tazama nimekwisha waonya mbeleyesu
anasema kwa kuwa nimeshawaambia kuwa manabii wa uongo
watakuja msije mkanilaumu na katika mathayo 715 yesu anaweka
msisitiza kwamba jiatharini na manabii wa uongo(mbwamwitu)
mtume paulo baadae anaeleza kwa undani kwa nini tunapaswa
kujiepusha na manabii wa uongo
mtume paulo alipojulishwa kwamba baada ya kuondoka kwake
duniani manabii wa uongo(mbwamwitu) wataanzisha mafundisho
ya uongo ili wawateke na kuwatenga wateule na imani ya yesu
paulo alishindwa kujizuia na ikabidi alie na kuomboleza kwa miaka 3
usiku na mchana( soma na utafakari matendo 202831)katika
maandiko haya paulo anatuambia kwamba kazi ya mbwamwitu
ni kupotosha neno la mungu ili kuziteka nafsi za wateuleunaweza
usiwe ndani ya huduma ya nabii wa uongo lakini nafsi yako
ikawa imetekwa na mafundisho yake ambayo unayafuatilia bila kujua
katika isaya 421822 roho mtakatifu anaeleza kwa undani namna
ambavyo manabii wa uongo wameteka nafsi macho na masikio
ya rohoni ya wateule na kuwafanya kuwa misukule inayoonekana
na isiyoonekanakazi nyingine ya manabii wa uongo ni kuzuia zaka
na sadaka zote ambazo wateule walitakiwa kumtolea yesuni zaidi ya
hasara kuwa ndani ya wokovu na huku unaujenga ufalme wa ibilisi
christowellu asante sana kwa mchango wako
kama kuna mtu anaweza kumfuta yesu machozi basi
na afanye hivyoni rahisi sana kujicheka kuliko kuwacheka
christowellu says 20/01/2015 at 1104 pm
shalom teh teh dada christina huwa unanifurahisha sana juu ya manabii wa uongo lol nabaki nacheka sana huwezi kufafanua kitu bila kuwachomeka kama ndipo ulipoitiwa hapo mwili wako na ukawe dhabihu njema katika kukomboa roho za wateule wanaodanganywa lakini pia ukumbuke kwamba ni lazima wawepo watu kama hao ili neno litimie kama lilivyo tabiriwa na tena usiache kuwaombea yesu alituagiza tuwaombee wanaotuudhi yamkini kwa maombi yako ukaokoa roho ya angalau mmoja wao na kumpatanisha na mungu kumbuka heri wapatanishi
mrs christina k says 20/01/2015 at 404 pm
ubarikiwe sana mtumishi christowellu
umeongozwa kutoa somo na ushauri ambao utatusaidia sana
hasa katika nyakati hizi ambazo elimu kuhusu ndoto na maono(ulimwengu wa roho) imepotoshwa na wengi wanaangamizwa
kwa kukosa hekima na maarifa ya roho mtakatifu kuhusu yale
wanayoonyeshwa na kuyasikia kwenye ulimwengu wa rohoni neema
iliyoje kukutana na ushauri na mafundisho ya roho mtakatifu
manabii wa uongo ambao wengine sasa wanajiita wachungaji na mitume
ili kuficha uhalisia wao wamekazana kufundisha mafundisho
na kutoa ushauri ulio kufa kuhusu ndoto na maonohata hivyo
pamoja na kuwapotosha waumini wao vitabu wanavyoandika
kuhusu maono na ndoto vinawafichua wao wenyewe na kazi
zaoisaya 421820 inaeleza changamoto kubwa tuliyonayo wateule
katika kuelewa kile tunacho kiona na kukisikia kwenye ulimwengu wa roho
kila mtu aliyezaliwa mara ya pili ana haki ya kutembea na roho
ya unabii ambayo ni roho mtakatifu(ufunuo 1910)hii ndiyo
roho ambayo hututafsiria ndoto na maono ya aina zotekuna watu
ambao sasa hivi wamejiweka kwenye nafasi ya roho mtakatifu
ya kuwatafsiria watu ndoto na maono na hii ni zaidi ya hatarikazi
kubwa ya manabii wa uongo ni kupotosha na kuzambaza elimu
ya uongo kuhusu ndoto na maonotunatakiwa kueleza habari
zetu za ndoto kwa kadiri tunavyoongozwa na roho mtakatifu
na ni hatari sana kuwaeleza watu mambo ambayo hatujaru
husiwa kuyasemakuna siri nyingi ambazo mungu hutuonyesha kwenye ulimwengu wa roho na ni lazima
tuombe hekima ya roho mtakatifu ili tusiwafaidishe watesi na kumkasirisha munguna wakati mwingine mungu anaweza akatoa
kibali uweke wazi kile ulichoonyeshwa ili waliokusudiwa wapone
mteule fulani ambaye alikuwa akiabudu katika huduma fulani
ya nabii wa uongo jijini daressalaam aliwahi kuota ndoto(siyo maono)
kwamba mmoja wa wasaidizi wa huyo nabii anakata miti alafu yeye
akawa anasikitika kwanini huyu mtumishi anafanya hivyo na katika ndoto alitamani sana kama angeweza kumzuia asiendelee kukata hiyo
miti lakini alishindwa akabaki anamuangalia tubaada ya kutoka kwenye
ndoto alimuomba mungu amfichulie sawa na yeremia 333 na luka 122
hii ndoto ilimnyima amani huyu ndugu lakini hakuelewa nini hasa
maana yakeakaota ndoto nyingine kwamba anapigana na nabii wa
hiyo huduma na kufanikiwa kumpiga na kumshinda na baadae akaota
tena yule nabii anamshambulia kwa kumrushia nyoka napo pia akamshindaakamuota tena msaidizi wa huyu nabii anamzuia asipande
ngazi zilizokuwa zinaelekea juu kwenye mafanikio fulanimwisho wa
siku ikabidi huyu mteule akae chini na kutafakari kwa kina
tena kwa kujumlisha na kutoa ili apate maana halisi ya
yote aliyoonyeshwakabla ya kuwashirikisha watu wengine
ilibidi kwanza amshirikishe roho mtakatifu na hekima ya yesu ikaanza
kumpa jibu moja badala ya jingine
kwahiyo kumbe ndoto moja inaweza ikatafsiriwa na ndoto nyingine
lakini pia si lazima upewe maana ya ndoto yako kwa haraka inategemea mungu amekusudia nini ingawa ishara huwa zinaonekana
mapema na kuja kuthibitishwa baadaewakati roho mtakatifu anaanza
operation ya kumtafsiria kile alichoonyeshwa huyu ndugu alianza
kujiuliza kwanini alikosa amani kumuona yule mtumishi anakata miti na kwanini alitamani sana kumzuiaakapata jibu kwamba kile kitendo cha kukata miti kilikuwa siyo kizuri na hakina
wema ndani yakeroho mtakatifu akamuambia kwamba ana kitu ndani
yake ambacho kinapingana na hiyo huduma na mungu anamuonyesha
maangamizi yanayoendelea ndani ya hiyo hudumahii ilikuwa ni baada
ya yeye kusoma kitabu fulani ambacho kilikuwa kinaeleza kwamba
miti tafsiri yake ni watu na hivyo yule msaidizi wa nabii alikuwa
anaangamiza watu ndani ya ile huduma na yeye akapewa kibali
cha kutamani kwenda kinyume na hayo maangamizi
roho mtakatifu akaendelea kumuambia kuwa wenye huduma
wamemkasirikia kwa sababu anatoa siri zao kwa kuwatafsiria
watu ndoto na maono wanayoonyeshwa na ndiyo maana sasa
anaonyeshwa wazi wazi jinsi nabii na msaidizi wake wanavyo
mshambulia katika ulimwengu wa rohona ni kweli kwamba
huyu mteule alikuwa anaongozwa mara nyingi kuwaeleza watu
tafsiri ya ndoto na maono wanayoonyeshwa na akakumbuka kuna
mtu aliwahi kumweleza kuwa tangu amefika katika hiyo huduma
aliota kwamba yeye na wenzake wameingia kambi ya maadui
kimakosa na hao maadui wanabunduki na mbwa wakali sanahata hivyo alipomueleza akuelewa kwa haraka mpaka alipokuja
kuota kuhusu yule msaidizi wa nabii anavyokata miti
fina ameonyeshwa inakatwa na mwingine unadondoka na kumzuiamaana ya miti ni ile ile lakini kwa yule mtumishi wa kwanza
ili maanisha wateule walikuwa wanaangamizwa ndani ya ile
huduma ya nabii wa uongo na huku kwa fina watesi wake
wanaangamizwa ingawa vita si nyepesimaono ya fina
yanafafanuliwa kwa undani zaidi na ezekieli 26
mwaka 2015 roho mtakatifu anakwenda kufundisha kwa
undani sana elimu kuhusu ndoto na maono ili kuweka
wazi upotoshaji wa manabii wa uongo na kuzikomboa
nafsi za wateule zinazoangamizwa katika hili eneowateule
wengi wanakwenda kurudishiwa macho na masikio yao
ya rohoni kama mungu alivyokuwa amekusudia katika
yoeli 22832
huu ni mwaka mtamu sana kwa wale waliodhamiria
kujitambua kirohokizuizi cha mpenyo katika maisha
ya wokovu ni dhambi na mara nyingi tumejikuta tunajihesabia haki katika mambo mengi sanamungu
aturehemu ili akapokee sadaka zetu za maombi
na sadaka nyingine ikiwemo zaka(soma zaburi 511619)
fina says 20/01/2015 at 817 am
asante mtumishi wa mungu mungu akuongeze zaidi na zaidi
christowellu says 20/01/2015 at 719 am
hiyo miti inayokatwa maana yake katika hali ya kawaida miti ikikatwa moja kwa moja inasababisha njia kutokea na mtu kuona mbele kwa urahisi ulimuuliza mungu kwanini yote haya yanakupata amekupa jibu nalo ni sababu ya watu waliokuzunguka kila upande hawakupi nafasi ya kupumua lakini pamoja na kusongwa huko kunakokatisha tamaa lakini lione tumaini alilokuonyesha kazi kubwa imeshafanyika maadui wengi wameshasambaratishwa sasa adui zako wako wawili wa kwanza ni huo mti mkubwa unaotaka kukuangukia ukumalize kabisa tafuta unamuwakilisha nani na wa pili mti mdogo uliokuzuia usipite nao ni adui mwingine sasa huyu anayezuia njia unafanyaje kwanza lazima uelewe kwamba katika hali ya kawaida umekuta kigogo kidogo ni dhahiri ungekiruka na kuendelea na safari ndio nikakuambia hapo juu kwamba ni kitu unachokiona ni kidogo sana huoni madhara yake kwa urahisi kazana kuomba dada maana njia mbele i wazi yesu alisema namna hii haitoki ila kwa kuomba na mahali pengine tukashauriwa na paulo tusichoke kumuomba mungu
christowellu says 19/01/2015 at 1101 pm
shalom dada fina kwanza kabisa nikuulize swali baada ya kuonyeshwa hayo maono ( si ndoto) ulirudi kumuuliza roho mtakatifu maana yake maana mwanzo kabisa ulimuuliza swali wakati anakupa jibu ulimuuliza anamaanisha nini pili nikupe ushauri ni vizuri kabla hujamuuliza mwingine awaye yeyote uwe unamswalika kwanza roho mtakatifu kwanini nasema hivi kwa sababu kama unataka kujua vya rohoni na umjue sana mungu unapaswa utafute mwenyewe usipende mteremko wa kutafuniwa kila siku hautaweza kukua hata kidogo pili wakati mwingine mtu anaweza kukupa tafsiri sawa na alivyoelewa yeye au kutokana na experience yake juu ya kile umemuuliza labda yeye alipewa tafsiri nyingine tofauti kutokana na hali aliyokuwa nayo au lilivyokuwa kusudio la mungu kwake na kumbe roho mtakatifu kwako anamaana nyingine tofauti mfano imezoeleka mbuzi ni roho za mizimu lakini mbuzi huyo huyo anaweza akawa anakuwakilisha wewe sasa wewe kwa haraka unaweza ukaona amefungwa kamba ukaanza kushangilia kumbe mbuzi huyo anakuwakilisha wewe ulimwengu wa giza (wachawi waganga na watumishi wengine wa shetani) wamekufunga miguu sasa niambie hapo hautaomba maombi ya kinyume kweli maana ulipaswa uvunje matokeo yake umeshukuru mungu alimwambia ezekieli asimame kwa miguu yake ili aseme nae ezekiel 21 tatu ni haki yako akupe akili katika mambo yote kama alivyo ahidi katika 2 timotheo 27 amesema katika mambo yote sio darasani tu sasa nije kwenye tafsiri kawaida msitu ni kuwa katika confusion inayochangiwa na vitu vingi tofauti tofauti mti humuwakilisha mkuu hasa katika ulimwengu wa giza yaani mkuu wa anga ambalo wewe uko unakaa maana wakuu wa anga hutofautiana kati ya anga na anga miti huwakilisha watu wasio wema kwako wanaokutakia mabaya miti uliyoiona imekatwa ni maadui waliowekwa pembeni ili upite inaweza kuwa ulifanya maombi ya vita sana au wapo waliosimama kukuombea na maombi yanaendelea na maadui wanazidi kusambaratishwa hako kamti kadogo kalikoanguka mbele yako kakakublock muulize roho mtakatifu ni nani yupo mtu amekua kikwazo cha wewe kuvuka nawewe huoni kwamba yeye ni tatizo kwako labda ana kuinfluence tabia zinazomzuia mungu asijibu haja ya moyo wako huo mti mkubwa uliouona mwanzo umekatwa halafu ghafla ukaona unakuja kukuangukia yaweza kuwa kuna hali ulidhani umeishinda au kuna jaribu ulidhani umelivuka kumbe bado hujavuka natumai kristo atazidi kukufundisha na kukuongoza katika njia unayopaswa kuiendea zaburi 328 barikiwa | 2017-09-19T20:51:14 | https://strictlygospel.wordpress.com/2015/01/19/kuona-miti-kwenye-ndoto-ina-maana-gani/ |
hatimaye malori ya jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania (jwtz) yameanza rasmi safari ya kuelekea mikoa ya kusini na pwani katika kutekeleza agizo la rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania na amiri jeshi mkuu dkt john joseph pombe magufuli la kusomba korosho na kuzipeleka katika maghala yaliyoteuliwa na serikali
akizungumza na madereva kaimu mkurugenzi wa habari na uhusiano meja gaudence ilonda amesema jwtz linaendelea na operesheni hiyo ambayo haitakuwa na athari yoyote kwa wananchi ambao wapo maeneo hayo kwa kuwa hii si operesheni ya kijeshi bali tunaenda kusaidia wananchi
aidha magari mengine yanaendelea kuondoka ili kutekeleza operesheni hiyo kwa weledi mkubwa na kwa muda muafaka ambapo zaidi ya magari 70 yanategemewa kufika mikoa ya kusini na pwani kwa ajili ya kusomba korosho kama ilivyoagizwa na mkuu wa majeshi ya ulinzi tanzania jenerali venance mabeyo
akiongea kwa niaba ya mkuu wa majeshi mkuu wa tawi la uhandisi na ugavi brigedia jenerali paul simuli amesema kuwa magari yapo ya kutosha ili kuhakikisha jukumu hilo linafanikiwa pamoja na hayo amewaasa madereva kufanyakazi kwa weledi kwa kuzingatia sheria taratibu na kanuni ili kuhakikisha operesheni inakamilika kwa wakati | 2019-03-20T11:33:11 | http://tpdf.mil.tz/news/jwtz-laanza-rasmi-kutekeleza-agizo-la-amiri-jeshi-mkuu |
tanzanian community in romeitaly( comunita' tanzaniana a roma) tangazo muhimu mkutano wa jumuiya ya watanzania rome
tangazo muhimu mkutano wa jumuiya ya watanzania rome
uongozi wa jumuiya ya watanzania rome unayofuraha kuwafahamisha wanajumuiya wake wote kuwa siku ya jumamos tarehe 26 june 2010 kutakuwa na mkutano wa jumuiya ya watanzania rome mkutano huu utakuwa na lengo la kujadili maswala mbalimbali yanayohusu jumuiya na kuwakaribisha wanajumuiya wapya muda na mahali uongozi utawajulisha siku za hivi karibuni uongozi unawaomba mjipange vizuri ili siku ya mkutano wote muweze kuwepo hii yote ni kwaajiri ya kuimarisha jumuiya yetu kwa wale wote ambao hamjajiandikisha mnakumbushwa kuwa jumuiya haibagui mtu yoyote kwa namna yeyote ile kwa hiyo wote mnakaribishwa kuchukua fomu za kujiandikisha of course hii yote ni baada ya kusoma na kuielewa katiba kwa maelezo zaidi mnaombwa muwasiliane na mwenyekiti wa jumuiya mh leonce uwandameno au katibu wa jumuiya ndg andrew chole mhella kwa email hii watanzaniarome@yahooit au kwa namba hii ya simu 3479094800 asanteni
posted by andrew chole mhella at 104900 pm | 2017-08-24T06:54:39 | http://watanzania-roma.blogspot.com/2010/05/mkutano-wa-jumuiya-ya-watanzania-rome.html |
imewekwa july 6th 2020
ileje yaendelea na zoezi la uhakiki wa uhuishaji taarifa za wanakaya ambao ni wanufaika wa mfuko wa maendeleo ya jamii tasaf huku wawezeshaji wakitakiwa kufanya kazi kwa weredi
zoezi hilo la siku tatu lilianza hapo jumatatu linatarajiwa kukamilika hapo jumatano linatarajiwa kuvifikia vijiji 50 katika wilaya ya ileje linahusu uhakiki wa kundi hilo kwa njia ya kielekroniki (yaani mfumo) likiwa limetanguliwa na mafunzo ya siku mbili kwa wataalam wa halmashauri kutoka
akizungumza hapo awali wakati wa kufugua mafunzo mkuu wa wilaya ndugu joseph mkude alisema kuwa uhakiki huo hauna budi kuleta takwimu sahihi zitakazoepusha wanufaika hewa kama ilivyokuwa imetokea pale awali
naye mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya ileje ndghaji mnasi alisema kuwa watalaam watakaokwamisha zoezi hawatavumiliwa na hatua za kiutumishi zitachukuliwa dhidi zao
kwa siku ya kwanza vijiji vya tarafa ya bulambya ndivyo viliweza kuhakikiwa huku siku ya pili ikihusisha vijiji vingi vya bundali
mfuko wa maendeleo ya jamii tasaf unatekeleza mpango kunusuru kaya maskini kwa lengo la kuwezesha kaya maskini kuongeza kipatofursa na uwezo wa kugharimia mahitaji muhimu ukiwa unatekelezwa katika mitaa na vijiji vyote vya tanzania bara na shehia zote za unguja na pemba kwa zanzibar | 2020-08-11T06:29:06 | http://ilejedc.go.tz/new/zoezi-la-uhakikina-uhuishaji-taarifa-za-wanakaya-ileje-waendelea |
thousands rally for islamic jihad | jamiiforums | the home of great thinkers
thousands rally for islamic jihad
discussion in 'international forum' started by maxshimba nov 3 2009
article's topics islamic jihad gaza strip palestinians hamas tens of thousands of islamic jihad loyalists held a rally in gaza on friday to commemorate the group's slain founder holding plastic models of rockets and wearing masks and mock suicide bomber's vests the members chanted death to israel and muhammad's army will be back to wipe off the hebrew state an islamic jihad leader nafez azzam called on the crowd friday to reject negotiations with israel and support violent resistance the group was founded in 1979 by fathi shikaki as an offshoot of the egyptian muslim brotherhood shikaki was gunned down in malta in october 1995 by a man on a motorcycle in an attack widely attributed to israel islamic jihad a terrorist organization smaller than hamas has carried out dozens of suicide bombings and other attacks against israeli civilians
fight fight with israel is the only solution for palestinestalks will never give their own righthuwezi kuongea na mjinga kwa miaka 50 huku anaenedelea kuikalia kwa mabovu ardhi yako halalinafikri it is high time palestines kushika bunduki na kuanza kupigana wote
fight fight with israel is the only solution for palestinestalks will never give their own righthuwezi kuongea na mjinga kwa miaka 50 huku anaenedelea kuikalia kwa mabovu ardhi yako halalinafikri it is high time palestines kushika bunduki na kuanza kupigana woteclick to expand
hapa mjinga ni nani aliyekaliwa au kalia kwa hiyo miaka 50
hapa mjinga ni nani aliyekaliwa au kalia kwa hiyo miaka 50click to expand
unajisifia kuwa muuaji na mnyang'anyi wa mali za watuna kuua watoto na raia wasio na hatiaunajisifia hilo na unaiita akilikweli kuwa programmed ni mbaya sana endelea kukaririshiwa lol
mjinga ni yule aliye kaliwa kama zuzu kwa miaka 50
mjinga ni yule aliye kaliwa kama zuzu kwa miaka 50click to expand
kipofu anamuonyesha njia kipofu mwenzake kazi kwelikwelilol
kipofu anamuonyesha njia kipofu mwenzake kazi kwelikwelilolclick to expand
hivi wewe kwani ni hamasi mbona kila jambo la waarabu linakuumiza kichwa
hivi wewe kwani ni hamasi mbona kila jambo la waarabu linakuumiza kichwaclick to expand
nikuulize hivi wewe lord resistance army (lra) mbona huchoki kusifia wauaji na wanyang'anyi
wishful thinking tumaini
angekua mjinga asingeweza kukalia ardhi yake kwa miaka 50 they are just taking what is rightful theirs i do not know why people can not learn from history if these guys had ordinary brains they would have realized they can not win this issue by force they should sign peace treaty with israel and leave peaceful just like their neighbors egyptians and jordanians but as long as they have decided bury their heads and brains in the desert sand let them try
angekua mjinga asingeweza kukalia ardhi yake kwa miaka 50 they are just taking what is rightful theirs i do not know why people can not learn from history if these guys had ordinary brains they would have realized they can not win this issue by force they should sign peace treaty with israel and leave peaceful just like their neighbors egyptians and jordanians but as long as they have decided bury their heads and brains in the desert sand let them tryclick to expand
nakuombea maisha marefuisrael a nation created in 1948 by force and killings of innocent people (indegenous)lol israel wamebakiza few years to surrenderwatakuwa wanapigwa kila konawameshayapata haya madhila mara nyingi sana katika historiana historia itajirudina hii ni kwasababu ya dhambi ya mikono yao (dhuluma haijawahi kushinda haki) itakuwa ajabu kweli kweli kutokea nayo ni muhalilets wait and see | 2017-01-22T02:22:02 | https://www.jamiiforums.com/threads/thousands-rally-for-islamic-jihad.42764/ |
september 3 2019 | gazeti la jamhuri
jamhuri september 3 2019 cwt inavyopigwa20190903t083206+0000 gazeti letu
maji yanazidi kuchemka ndani ya chama cha walimu tanzania (cwt) huku mkataba wa kinyonyaji wa mshauri wa mradi wa ujenzi na madeni kwenye mfuko wa jamii wa pspf yakiwa ni miongoni mwa mambo yanayoendelea kwenye chama hicho jamhuri limebaini cwt
jamhuri september 3 2019 tumeuza kila tulichonacho hatuwezi kutoka muhimbili20190903t083032+0000 nyundo ya wiki
mkazi wa wilaya ya songea vijijini mkoani ruvuma sijawa jafar mwenye umri wa miaka 35 ameiomba serikali na wadau mbalimbali kujitokeza kumsaidia kulipia gharama za matibabu ya mumewe katika hospitali ya taifa ya muhimbili zinazofikia sh milioni baada ya
serikali yazinduka matrekta mabovu
jamhuri september 3 2019 serikali yazinduka matrekta mabovu20190903t082907+0000 habari za kitaifa
na deodatus balile baada ya gazeti la jamhuri kuchapisha habari za ubovu wa matrekta ya ursus yanayouzwa kwa wakulima nchini kutoka poland bunge limeibana serikali ambayo nayo imezinduka na kuchukua hatua jamhuri linathibitisha kampuni ya ursus s a iliingia mkataba
trafiki dar wanatosha
jamhuri september 3 2019 trafiki dar wanatosha20190903t082641+0000 habari za kitaifa
wakati inspekta jenerali wa polisi (igp) simon sirro akifikiri kuongeza idadi ya askari wa usalama barabarani mamlaka ndani ya kanda maalumu ya dar es salaam inao askari hao wa kutosha akizungumza na gazeti la jamhuri mrakibu msaidizi wa polisi (asp)
trawu wafukuzana dar
jamhuri september 3 2019 trawu wafukuzana dar20190903t082615+0000 habari za kitaifa
wanachama wa matawi matano wa chama cha wafanyakazi wa reli tanzania (trawu) wamekutana jijini dar es salaam na kuunga mkono uamuzi wa kamati maalumu ya dharura wa kuwasimamisha kazi viongozi wa kitaifa wa chama hicho hatua hii imetokana na mgogoro | 2020-01-29T15:25:01 | http://www.jamhurimedia.co.tz/2019/09/03/ |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.