text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
mbunge ritta kabati amwangukia rais dkt magufuli juu ya hospitali ya frelimo na magereza kuhamishwa mwamoto aomba lami kutoka ipogolo hadi kilolo ~ mzee wa matukio daima home » » mbunge ritta kabati amwangukia rais dkt magufuli juu ya hospitali ya frelimo na magereza kuhamishwa mwamoto aomba lami kutoka ipogolo hadi kilolo mbunge ritta kabati amwangukia rais dkt magufuli juu ya hospitali ya frelimo na magereza kuhamishwa mwamoto aomba lami kutoka ipogolo hadi kilolo by mzee wa matukiodaima habari bila uoga29418no comments mbunge wa viti maalum mkoa wa iringa ritta kabati (ccm ) amemuomba rais dkt john magufuli kusaidia mashine katika hosptali ya wilaya ya iringa hospitali ya frelimo pamoja na kuomba gereza la iringa kuhamishwa mjini kupisha upanuzi wa hospitali ya rufaa ya mkoa wa iringa mbunge kabati ambae alijitambulisha kwa rais kama mbunge kivuli wa jimbo la iringa mjini baada ya mbunge wa jimbo hilo mchungaji peter msigwa (chadema) kutotokea katika tukio hilo kubwa la ufunguzi wa barabara ya iringa dodoma leo kuwa yeye kwa sasa ni mbunge kivuli wa jimbo la iringa mjini hivyo lazima kuwasemea wananchi wake mheshimiwa rais kama ilivyo baraza la mawaziri wanaoshirikiana nawe kutekeleza ilani ya ccm na kuna baraza la mawaziri kivuli mimi ni mbunge kivuli wa jimbo la iringa mjini hivyo nakuomba sana nilete kwako changamoto za jimbo la iringa mjini mbunge kabati alisema pamoja na jitihada kubwa zinazofanywa na serikali katika kuboresha sekta ya afya na kuleta maendeleo kwa wananchi bado anaomba rais kusaidia hospitali ya frelimo kupata mashine ili kupunguza msongamano wa wagonjwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa iringa pia mbunge huyo aliomba rais kusaidia kuhamisha gereza la iringa na kulipeleka mlowa nje kidogo na mji wa iringa ili eneo hilo ambalo lipo jirani na hospitali ya rufaa ya mkoa wa iringa litumike kupanua hospitali hiyo ambayo kwa sasa ni finyu sana mheshimiwa rais ombi hili nimekuwa nikilitoa mara kwa mara bungeni ila utekelezaji wake umekuwa wa kusua sua namba nikuombe wewe mwenyewe leo uweze kutusaidia ombi letu ili tupate kupanua hospitali zaidi mbunge kabati alisema kuwa kwa upande wa wananchi wa jimbo la iringa mjini wanajivunia utendaji kazi wa rais dkt magufuli na hasa katika utekelezaji wa ilani ya ccm ndio maana kwa sasa jimbo zima la iringa mjini hasa wale ambao walikuwa upinzani wameanza kurejea ccm kwa upande wake mbunge wa jimbo la kilolo venance mwamoto pamoja na kupongeza kazi zinazofanywa na rais dkt magufuli bado aliomba ujenzi wa kiwango cha lami wa barabara ya ipogolo kilolo na pindi itakapokamilika basi jina la barabara hiyo ipewe jina la mtendaji mkuu wa tanroads mfugali
2018-05-27T23:36:18
http://www.matukiodaima.co.tz/2018/04/mbunge-ritta-kabati-amwangukia-rais-dkt.html
montenegro rejareja sale (mwaka) sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi montenegro rejareja sale (mwaka) montenegro matumizi ya rejareja sale (mwaka) 630 810 4306 2155 asilimia [+] matumizi ya matumizi 88319600 90487900 92541500 54433800 eur elfu [+] rejareja sale (mwezi) 630 500 2590 2460 asilimia [+] petroli bei 109 106 186 056 usd / lita [+] matumizi ya mikopo 137030900 136377400 137030900 4880900 eur elfu [+]
2020-05-29T00:37:05
https://sw.tradingeconomics.com/montenegro/retail-sales-yoy
maisha mapenzi urembo 01/01/2011 02/01/2011 wazazi walitukutanisha na kutuweka sawa tukasameheana nikarudi kwake huko chuo kikukuu (dar es salaam) maana mume wangu ni muhusika wa hapo basi tuliporudiana tu nikapata ujauzito ambapo baada ya kujifungua mume wangu akaanza shida tena akanifukuza na kusema hanitaki ila watoto wake atawatunzasasa tangu nitoke kwake alileta matumizi kipindi cha mwanzo tu baadae akaacha nilipomfata na watoto wake (wote wa kiume) akasema eti yeye sio wanae hawajui wote wawili sasa mimi peke yangu kulea waotot wawili siwezi maisha yangu yenyewe ya tabu huyu mwingine anatakiwa kusoma lakini hata pa kupata ada sipaoni
2017-07-26T04:32:18
http://beautytouchdar.blogspot.com/2011/01/
1ch 17 | neno | step | baada ya daudi kukaa kwa utulivu katika jumba lake la kifalme akamwambia nabii nathani hebu tazama mimi ninakaa kwenye nyumba nzuri iliyojengwa kwa mierezi wakati sanduku la agano la bwana liko ndani ya hema 1 baada ya daudi kukaa kwa utulivu katika jumba lake la kifalme akamwambia nabii nathani hebu tazama mimi ninakaa kwenye nyumba nzuri iliyojengwa kwa mierezi wakati sanduku la agano la bwana liko ndani ya hema 2 nathani akamjibu daudi lo lote ulilo nalo moyoni mwako litende kwa sababu mungu yuko pamoja na wewe 3 usiku ule neno la mungu likamjia nathani kusema 4 nenda ukamwambie mtumishi wangu daudi hili ndilo asemalo bwana wewe hutanijengea mimi nyumba ili nikae humo 5 mimi sijakaa ndani ya nyumba tangu siku ile niliyowatoa israeli kutoka misri mpaka leo nimehama kutoka hema moja hadi jingine na kutoka mahali pamoja hadi pengine 6 je po pote nilipokwenda pamoja na waisraeli wote wakati wo wote nilimwambia kiongozi ye yote niliyemwagiza kuwachunga watu wangu kwa nini hujanijengea nyumba ya mierezi 7 sasa basi mwambie mtumishi wangu daudi hili ndilo asemalo bwana mwenye nguvu zote nilikuchukua machungani na kutoka kuandama kondoo ili uwatawale watu wangu israeli 8 nimekuwa pamoja nawe po pote ulipokwenda nami nimewakatilia mbali adui zako wote mbele yako basi nitalifanya jina lako kuwa kama majina ya watu wengine wakuu sana wa dunia 9 nami nitawapatia watu wangu israeli mahali na nitawapa ili wawe na mahali pao wenyewe pa kuishi na wasisumbuliwe tena watu waovu hawatawaonea tena kama walivyofanya hapo mwanzo 10 na ambavyo wamefanya siku zote tangu nilipowachagua viongozi kwa ajili ya watu wangu israeli pia nitawatiisha adui zenu wote pamoja na hayo ninakuambia kwamba bwana atakujengea nyumba 11 wakati wako utakapokuwa umekwisha nawe ukawa umekwenda kukaa na baba zako nitamwinua mzao wako aingie mahali pako kuwa mfalme mmoja wa wana wako mwenyewe nami nitaufanya imara ufalme wake 12 yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili yangu nami nitakifanya imara kiti cha ufalme wake milele 13 mimi nitakuwa baba yake naye atakuwa mwanangu kamwe sitaondoa upendo wangu kwake kama nilivyouondoa kwa yeye aliyekutangulia 14 nitamweka juu ya nyumba yangu na ufalme wangu milele kiti chake cha enzi nitakifanya imara milele 15 nathani akamwarifu daudi maneno yote ya maono haya 16 ndipo mfalme daudi akaingia ndani akaketi mbele za bwana akasema mimi ni nani ee bwana mungu na jamaa yangu ni nini hata unitendee haya yote 17 kama vile haya hayakutosha machoni pako ee mungu umesema pia kuhusu siku zijazo za nyumba ya mtumishi wako umeniangalia kama mtu aliyetukukakuliko watu wote ee bwana mungu 18 daudi aweza kukuambia nini zaidi kuhusu kumheshimu mtumishi wako kwa maana wewe unamjua mtumishi wako 19 ee bwana mungu kwa ajili ya mtumishi wako tena sawasawa na mapenzi yako umefanya jambo hili kubwa sana na kujulisha ahadi hizi zote zilizo kubwa sana 20 hakuna aliye kama wewe ee bwana mungu wala hakuna mungu ila wewe kama vile tulivyosikia kwa masikio yetu wenyewe 21 naye ni nani aliye kama watu wako israeli taifa moja duniani ambalo mungu wake alitoka kwenda kulikomboa kwa ajili yake mwenyewe na kujifanyia jina kwa ajili yake mwenyewe wa kufanya maajabu makubwa ya kutisha kwa kuwafukuza mataifa mbele ya watu wako uliowakomboa kutoka misri 22 uliwafanya watu wako israeli kuwa watu wako wewe mwenyewe milele nawe ee bwana mungu umekuwa mungu wao 23 sasa basi bwana ahadi uliyoweka kuhusu mtumishi wako na nyumba yake na uithibitishe milele fanya kama ulivyoahidi 24 ili ithibitike na jina lako litakuwa kuu milele kisha watu watasema bwana mungu mwenye nguvu zote mungu aliye juu ya israeli ndiye mungu wa israeli nayo nyumba ya mtumishi wako daudi itafanywa imara mbele zako 25 wewe mungu wangu umemfunulia mtumishi wako daudi kwamba utamjengea yeye nyumba hivyo mtumishi wako amekuwa na ujasiri wa kukuomba maombi haya 26 ee bwana wewe ndiwe mungu umemwahidi mtumishi wako mambo haya mazuri 27 basi imekupendeza kuibariki nyumba ya mtumishi wako ili ipate kudumu milele machoni pako kwa ajili yako ee bwana umeibariki nayo itabarikiwa milele
2018-03-22T20:01:42
https://www.stepbible.org/?q=version=Neno%7Creference=1Ch.17
mchezo worldcup maegesho online kucheza kwa huru mchezo worldcup maegesho unachezwa 1067 kucheza mchezo worldcup maegesho online maelezo ya mchezo worldcup maegesho moja ya mambo magumu zaidi ya kuendesha gari ni maegesho sahihi gari lake katika mchezo huu wa kusisimua utakuwa na uwezo wa kufanya mazoezi na kujifunza jinsi ya hifadhi ya gari je una juu ya kadhaa ya ngazi ya kupita jaribu kwa ajali mahali popote ni lazima si kukimbilia sana ili kubaini kasi up good luck kucheza mchezo worldcup maegesho online kiufundi na tabia ya mchezo worldcup maegesho mchezo worldcup maegesho aliongeza 06012015 ukubwa wa mchezo 348 mb mchezo unachezwa 1067 mara mchezo rating 361 nje 5 (18 makadirio) michezo kama mchezo worldcup maegesho bomu squad parking game hii car park download mchezo worldcup maegesho embed mchezo worldcup maegesho katika tovuti yako kuingiza mchezo worldcup maegesho kwenye tovuti yako nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako pia kama wewe kama mchezo worldcup maegesho nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote kushiriki mchezo na dunia pamoja na mchezo worldcup maegesho pia alicheza katika mchezo
2019-01-16T09:19:43
http://sw.itsmygame.org/1000034068/worldcup-parking_online-game.html
msaada wa haraka kwa hii ps3 yangu jamiiforums msaada wa haraka kwa hii ps3 yangu direct ti the point nna ps3 yangu ambayo iko chipped na ilikua na firm vers 455cfw sasa mimi bila kuelewa nkajikuta nimeupdate kwenda 482ofw (offc firm ware) sasa games zangu zooote za kwenye multiman haziwez kurun ukifungua tu multiman inaleta error naomba msaada wa link ya kupata jailbreak kwa maana hapa nshajaribu kama 5 mwisho wa siku ngoma iko zipped na uki unpack inarequire password ja password adi ufanye masurvey yao mwenye working link pls 342 165 60 nenda online waulize wenyew pes watakusaidia 19437 9354 280 huwa hack ya console yoyote ile inaenda na version husika huwezi uka update then ikafanya kazi unless sony wajisahau kufix hilo tundu walilotumia ku hack hapo itabidi u downgrade ila kama una mawasiliano na alie hack hio ps3 yako ni vyema ukashauriane naye kwanza kweli mkuu my last option ni kudowngrade 1238 320 180 ilishanitokea hiyolazima uidowngradethé one and only one fixnitafute nikusaidie 0658327429 1122 572 280 hapa kwanza mkuu haiwezekani kudowngrade ofw481 482 huyo jamaa alifanya ujinga kuupdate from cfw to ofw cha kufanya kwa sasa ni kucheza games kwenye mashine yake kwa kutumia njia zifuatazo kununua cd kununua games fron ps store au kufanya dtu from cfw ps3 au labda asubiri jailbreak ya esc0rtd3w ambayo ni kwa ajili ya latest ofw kama itafanya kazi mwangere kwakua umeichip ni kosa kijinai na ndio maana sony wenyewe wana blog netserver zao kwa kila ps ilikua chiped chakufanya mkuu ww format ps3 upya tafuta multiman ingiza game zako tu coz huwez irudisha kma mwanzo tena shukran mkuu nakuchek mwangere said ila unaweza kui boot ukaweza kuingiza game zako upya kupitia multiman hebu nifafanulie kidogo hapa mkuu sio kazi kubwa kma uko na ps3 yako hapo chakufanya nikuichomeka kwenye umeme kisha unashikilia power button kwa muda kma wa sekunde kumi bila kuachia ukishikilia power itatoka kwenye red button kwenda kwenye green endelea kushikilia usiachie mpka utakapo sikia sound bip utaachia kisha utaona screen yko kwenye tv ikikuambia press ps button kwenye console kisha utaona option nyingi ikiwemo restore mkuu kweli hivyo itafanya kazi multman kwenye official firmware itafanya ondoa waswasi feedback muhimu nikirestore itarudi katika ofw ambayo ilikuja nayothen nitakua na uwezo wa kuingiza cfw nitaweza kuingiza multiman bila kuichip mkuu ndio utaweza ila ps3 iwe ofw455 then uipeleke cfw 481 kisha uweke multman no cfw no multiman fanya dtu tu nina leta mrejesho baada ya kuhangaika sana hatimaye nimefanikiwa kuirekebisha ps yangu napia game kama nba 2k 16 lilikua halichez mwanzon sasa hivi fresh it took hard work kuhangaika mpaka kupata 482cfw kuweka miniserver kwa pc nakuirun flsh hex file na some prayers maana nliogopa sana kuibrick console yangu am back on business likes moyess yeah shukran kubwa kwa escotdew habib pamoja na member wote wa ps3exploit kwa kutuletea kudump nor/nand kwa hizi ps3 zetu ambazo haziko jailbreaked na hii method inafanya kazi kwa ps3 fat na slim tu yani zile za cech 2xxx au chini usijaribu kwenye ps3 super slim cech 4xxx
2019-01-22T20:59:34
https://www.jamiiforums.com/threads/msaada-wa-haraka-kwa-hii-ps3-yangu.1353762/
mahakama yatupa kesi ya kupinga matumizi ya kanuni za maudhui ya mtandao | malunde 1 blog home » habari » mahakama yatupa kesi ya kupinga matumizi ya kanuni za maudhui ya mtandao mahakama yatupa kesi ya kupinga matumizi ya kanuni za maudhui ya mtandao mahakama kuu ya tanzania kanda ya mtwara imetupilia mbali shauri la kupinga matumizi ya kanuni za maudhui ya kimtandao kesi hiyo namba 25 ya mwaka 2018 ilifunguliwa na baraza la babari tanzania (mct) kituo cha sheria na haki za binadamu (lhrc) na muungano wa mtandao wa watetezi wa haki za binadamu wote kwa pamoja wanapinga kanuni za maudhui ya kimtandao akizungumza baada ya maamuzi hayo wakili wa mahakama kuu upande wa wapeleka maombi james marenga amesema wanaheshimu uamuzi wa mahakama kwa niaba ya wateja wake lakini wataangalia nini cha kufanya tutazungumza na wateja wetu tuone ni namna gani nyingine tunaweza kufanya kama tutakata rufaa basi tutakwenda kwenye mahakama ya juu lakini tunaheshimu mahakama kwa sababu ndio taratibu za kisheria amesema marenga
2019-08-19T18:11:32
https://www.malunde.com/2019/01/mtandao.html
daily mitikasi blog bayport yamjaza manoti mwanafunzi wa muce imechapishwa na john hans badi kwa 1058 pm
2017-08-18T23:49:27
http://johnbadi.blogspot.com/2014/12/bayport-yamjaza-manoti-mwanafunzi-wa.html
abanyeshuri bari mu biruhuko bateguriwe amarushanwa abafasha kuvuga neza inyuguti zigize amagambo yicyongereza igihecom abanyeshuri bari mu biruhuko bateguriwe amarushanwa abafasha kuvuga neza inyuguti zigize amagambo yicyongereza umuryango brain teasers rwanda wongeye gutegura amarushanwa ngarukamwaka ya family holiday spelling competition agamije kwimakaza umuco wo kumva gusoma no kwandika ururimi rwicyongereza mu mashuri abanza nayisumbuye ni nyuma yaho u rwanda ruje ku mwanya wa mbere mu marushanwa yo kuvuga neza icyongereza azwi nka intercontinental spelling competition aho abanyeshuri baserukiye u rwanda umwaka ushize bahize abandi bo ku mugabane wa afurika no hanze yaho mu irushanwa ryabereye i dubai kuri ubu abanyeshuri bari mu biruhuko hirya no hino mu gihugu bashyiriweho amarushanwa abahesha itike yo kuzitabira irushanwa mpuzamahanga aya marushanwa abaye ku nshuro ya kane mu rwanda ateganyijwe kuba muri uku kwezi aho azitabirwa nabanyeshuri bo mu mashuri abanza nayisumbuye bafite imyaka iri hagati ya 7 kugeza kuri 15 yamavuko uyitabira ariyandikisha akazahabwa urutonde rwamagambo akimenyereza kuyasoma neza hanyuma ku munsi wirushanwa akazabasha kuyasoma neza hari nitsinda ryakanama nkemurampaka gashinzwe kureba niba yabikoze neza umuyobozi mukuru wa brain teasers rwanda yateguye aya marushanwa richard kaweesi yabwiye igihe ko aya marushanwa aba agamije gufasha abana byumwihariko abari mu biruhuko kugira umuhate wo kwiga no kwitoza gusoma neza indimi zitandukanye yakomeje agira ati uretse kuba dushaka ko nababyeyi bagira uruhare mu gufasha abana bari mu biruhuko ariko binatuma abana bazamura ubushobozi bwo gusoma neza indimi kwigirira icyizere no kumenya gukorera hamwe nabandi no gutekereza mu buryo bwagutse bakiri bato abazatsinda mu marushanwa bazaserukira u rwanda mu marushanwa nkaya ateganyijwe kuba mu ntangiriro za 2019 muri afurika yiburasirazuba amarushanwa nyirizina yo azaba ku wa 14 ukuboza 2018 i saa tatu muri kaminuza ya mount kenya iherereye ku kicukiro kwiyandikisha byaratangiye aho umwana cyangwa umubyeyi we ashobora guhamagara kuri nimero ya telefone igendanwa +250781545678 cyangwa akabandikira kuri email [email protected]
2019-01-20T11:20:50
https://igihe.com/serivisi/kwamamaza/advertorials/article/abanyeshuri-bari-mu-biruhuko-bateguriwe-amarushanwa-abafasha-kuvuga-neza
historia ya kimuziki ya msanii rapper chemical | njibahoodcom alianza muziki akiwa kidato cha pili wakati huo alienda kwa producers wengi sana likini hakutoka kipindi hicho baada ya hapo alitoa ngoma ya struggle ilitoyotayarishwa na duke chini ya m lab aliifanyia video hiyo ngoma hapo kaka yake aliona mdogo wake anakitu na kuanza kumsupport kaka yake aliona chemical ameamua kufanya muziki kazi hivyo akaamua kumsimamia katika muziki wake alitoa ngoma yake iliyomuweka kwenye chati nyingi hapa bongo inayoitwa sielewi iliyofanywa na producer maximizer ndipo jina lake likaanza kukuwa kama rapper wa kike hapa bongo jina lake la chemical alipewa na mesen selekta baada ya kumuona dada huyu ni mkali sana katika kuchana kwa sasa yupo chini ya kazi kwanza entertainment anayomilikiwa na kaka yake anasema kwamba alikuwa chini ya mj records lakini baada ya kumaliza form 4 aliacha kufanya muziki ndipo aiachana na maco chali changamoto alizokutana nazo ni wazazi kukataa afanye muziki pia watu kumdanganya watamsaidia pia malengo yake ni kuipeperusha bendera ya taifa msanii anayemkubali na kumtamanisha yeye aingie katika muziki ni young d hii ni kwasababu alimuona akifanya muziki toka akiwa mdogo na kufanikiwa wasanii anaotamani kufanya nao kazi n fid q young d na roma studio alizofanya nazo kazi mpaka sasa ni defartality mj records nahreel kwa sasa yupo chuo kikuu mlimani mwaka wa kwanza katika ngazi ya diploma ya sanaa na muziki anachokiamini mwanadada huyu ni kwamba muziki utamfanya avae ale na aendeshe maisha yake 3sharessharetweetsubscribe ← previous story mambo matano usiyoyajua kuhusu dogo janja next story → 12 morgan freeman inspirational quotes recommended for you
2017-06-23T19:08:41
http://njibahood.com/historia-ya-kimuziki-ya-msanii-rapper/
naomba kujua wapi nitapata usb cable ya aina hii wapi nitapata hii usb cable msaada kama unafahamu sent using jamii forums mobile app realme x2 pro & oppo reno ace simu zinazoweza kuchajiwa kutoka 0 hadi 100 kwa muda wa dakika 30 tu miaka ya hivi karibuni ilionekana kuna tatizo katika suala la kuchaji simu zetu kwamba inachukua muda mrefu sana kwa simu kuchajiwa hivyo muda mwingi unapotea katika kusubiri simu ijae sijajua ni kampuni gani hasa ndio walikuwa wa kwanza kuja na hiyo idea ya fast charging lakini leo hii ninawezaje kuwasaidia watu bila kuwa maarufu nini maana ya certificate of service kuna mahali fulani nilituma cv yangu kwa ajili ya kuomba kazi sasa leo wakawa wamenipigia simu wakiomba niwatumie baadhi ya documents zangu zingine moja ya document waliyoiomba ni certificate of service nimejaribu kutafuta mtandaoni lakini bado sijapata clear definition kwamba hii ni document huawei kampuni inayokuwa kwa kasi ya ajabu iliwapindua apple na kushika nafasi ya pili kimauzo nyuma ya samsung kwanza naomba tu nikiri the last time nimeangalia data za kampuni ambayo inauza units nyingi kwenye flagship zake duniani ambapo ilikuwa ni mwanzoni mwa mwaka huu mpangilio ulikuwa ni kama ifuatavyo 1 samsung 2 apple 3 huawei pia ukiangalia kwa mwaka jana kwenye market share huawei natafuta mchumba (serious)
2020-02-25T03:52:39
https://www.jamiiforums.com/search/5837347/
kikao cha baraza maalumu la madiwani kupitia na kutoa maoni juu ya hoja za mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali kwa mwaka wa fedha 2015/2016 kimefanyika tarehe 29/06/2017 na kuhudhuriwa na mkuu wa mkoa wa tanga mh martine shegella ambapo katika kikao hicho hoja mbalimbali zilijadiliwa na kutolewa maoni hasa ikiwa ni kuhakikisha hoja hizo zinajibiwa kwa ufasaha na hazijirudii tena katika ukaguzi ujao wa mwaka wa fedha 2016/2017 aidha katika kikao hicho mkuu wa mkoa wa tanga alipata fursa ya kutoa neno na kuitumia nafasi hiyo kuipongeza timu nzima ya wataalamu wa halmashauri ya mji korogwe na ofisi ya mkuu wa wilaya korogwe kwa namna ambavyo wamekuwa wakitekeleza miradi kwa haraka nmo amepongeza uwekezaji mkubwa uliofanyika wa stendi mpya na yakisasa inayoiletea sifa halmashauri na mkoa wa tanga kwa ujumla akizungumza katika kikao hicho katibu tawala mkoa wa tanga bi zena a said alishauri wataalamu kuwa makini katika kutunza kumbukumbu mbalimbali za mahesabu ya halmashauri na kuzingatia uwepo wa viambatanisho vyote muhimu kabla ya kufanya malipo pia alisistiza kutenga pesa kwa ajili ya kutoa mkopo kwa vikundi vya kina mama na vijana na kuwafatilia ili mikopo hiyo iweze kurudi na iwe yenye tija kwa vikundi hivyo na kwa serikali naye mkuu wa wilaya korogwe aliwashukuru timu ya wataalamu wa halmashauri ya mji korogwe wakiwemo watendaji wa kata kwa jinsi wanavyompa ushirikiano katika miradi mbalimbali anayoianzisha kwa njia ya msalagambo na kuwaahidi zawadi nono kwa mtendajia ambaye kata yake itafanya vizuri madiwani wakifatilia kwa makini taarifa ya hoja mkuu wa wilaya korogwe akitoa neno kuitwa kwenye usaili 23/10/2017 halmashauri ya mji korogwe october 18 2017 matokeo ya awamu ya kwanza ya zabuni za utoaji huduma na ukodishaji wa mali za halmashauri kwa mwaka wa fedha 2018/2017 august 23 2017 tangazo la nafasi za kazi ya udereva utendaji mtaa na katibu mahsusi august 16 2017 tangazo la nafasi za kazi ya udadisi na ukusanyaji wa takwimu katika kata za manundu na kwamsisi august 02 2017 mh waziri january makamba azungumza na wananchi wa korogwe nukushi 0272650075 barua pepe info@korogwetcgotz korogwetowncouncil@gmailcom haki miliki©2017 halmashauri ya mji korogwe haki zote zimehifadhiwa
2017-10-24T11:23:57
http://korogwetc.go.tz/new/baraza-maalumu-la-madiwani-la-kupitiakujadili-na-kutoa-maoni-juu-ya-hoja-za-mkaguzi-mkuu-wa-serikali-cag
ni bahati mbaya sana kwamba katika nchi yetu pamekuwapo na juhudi ndogo sana ya kuwashauri watoto kujielewa mapema ili waweze kufanya maamuzi yanayohusisha hulka na vipaji vyao kuliko nguvu kutoka nje ni kwa sababu hii unakuta kwamba kiukweli kule wanakoelekezwa wanafunzi na masomo waliyoyachaguliwa na jamii kunatofautiana sana na jinsi wao walivyo kwa mfano mtu mwongeaji asiweza kufurahi bila kupiga kelele na washika dau mwenye papara asiyeweza kumaliza dakika kumi na tano mahali pamoja mtu wa namna hii anataka kuwa daktari wa binadamu kwa sababu tu alifaulu vizuri baolojia ama mtu mkimya anayeona raha kuwa pekeyake hajisikii ukiwa bila marafiki hapendi mabishano/majadiliano na watu mtu mrahisi kukerwa na watu mwoga wa kusema anachofikiri mtu huyu anataka kufanya kazi zitakazomkutanisha na watu kama vile sheria ualimu na kadhalika hili ni kosa kubwa sana tunalolifanya katika maisha yetu kutaka kusoma vitu visivyoendana na tabia/personalities zetu tunasoma vitu kwa sabbau tu vitatufanya tuwe na heshima kwenye jamii kwa sababu tu tunataka kazi zitakazotulipa kwa haraka kwa kufanya hivyo unakuta tunajidhulumu ridhiko la nafsi zetu ambazo zinatutaka kufanya vitu ambavyo vitakuza vipaji vyetu kwa faida yetu na jamii kwa ujumla elimu na jamii imani na mitazamo makuzi malezi na makuzi ya watoto vipaumbele kissima 27/1/09 822 mchana walimu wa awali wanajukumu zito sana la kugundua na kutafuta uelekeo wa kila mwanafunzi kila mtoto ana kipaji chake ambacho wale wanaomkuza wanatakiwa wakigundue na wamuongoze vyema ili baadae aweze kukitumia kipaji hicho vizuri watoto wanapoingia ktk swala la kusomahuwa wanakutana na changamoto mbalimbali kuna wale ambao kulingana na vipaji vyao wanapenda masomo ya sayansi na wengine ya sanaa changamoto kubwa wanayokumbana nayo ktk kipindi hiki ni kuanza kufundishwa na walimu ambao hawana uwezo wa kukidhi matakwa yao kulingana na vipaji vyao(to cupture the interests of the learners)walimu kushindwa kuwaelekeza wanafunzi vizuri toka awali kunasabisha wanafunzi kuchukia masomo haya na kuyaona ni magumu hata kama kulingana na vipaji vyao walitakiwa kuyamudu masomo hayo kwa hali hii wanafunzi wanaanza kuchukua mikondo ambayo wanaona ina ukinzani mdogoyani upande wa masomo ambayo waalimu wake wanafundisha vizuri na kueleweka hapa sasa yanaibuka makundi mawili watoto ambao watafanikiwa kuwapata waalimu ambao wataweza kutimiza matakwa yao kulingana na vipaji vyao na wale ambao wataangalia wapi kuna unafuu ili kurahisisha swala la kusoma hapa nimegusia tu kwa elimu ya msingikwa namna ambavyo huanza kuvificha vipaji na kupoteza dira ya mtoto kuna mzazi ambaye mtoto wake alikuwa mkorofi sana shulenina mara nyingi alikuwa hafiki shulenibasi siku moja mzazi huyu aliitwa shuleni baada ya ukorofi wa mtoto kukithiri katika majadiliano mkuu wa shule alimwuliza ule mzazinamnukuu hivi wewe mzaziulishawahi kukaa na mtoto wako na kumuuliza kama anapenda kusoma au la ili usipoteze fedha zako kwa mtu ambaye pengine hapendi kusoma mwisho wa kumnukuusasa sijui ilikuwa ni jazba au alikuwa na maana gani hasanamwachia yeyekwani tafsiri yangu yaweza ikawa tofauti sana na alichokuwa anamaanishasasafikiria wewe ndiye mzazina umerushiwa swali hiliungemjibu nini mzee wa changamoto 28/1/09 145 mchana kama ulikuwepo unataka kuwa nani daktari umeshakutana na wangapi sijawahi hata kuongea na mmoja ila napenda nikilazwa nawaona wanakuja na makoti meupe na vidudu vya kuning'iniza shingoni halafu anaamua nani aende nyumbani wanakuwa na akili sana mmhhhhhh hivi ni makosa yetu ama hatujaandaliwa kujua kuna fani ngapi tuwezazo yaani kuambia ukisoma hkl lazima uwe mwandishi ukisoma pgm utakuwa injinia ama nahodha ama rubani hge wewe ni mchumi tuu kwani kosa namba moja ni la nani hasa msomi mfumo ama waliotutangulia na hii itaendelea shabani kaluse 28/1/09 415 mchana kaka naona kamjadala kanaendelea kwa leo sitaweza kuchangia ngoja niwapishe wenye hoja maana nimeishiwa na maneno
2017-08-18T08:41:01
http://bwaya.blogspot.com/2009/01/kosa-nambari-moja.html
mashabiki wa soka wamliza nape mwanahalisi online mbunge wa mtama nape nnauye (kulia) akiwa na waziri wa habari sanaa utamaduni na michezo harrison mwakyembe wakitazama mechi kati ya taifa stars na botswana posted by charles william march 26 2017 0 2015 views upendo ambao mashabiki wa mpira wa miguu waliuonesha jana kwa nape nnauye aliyekuwa waziri wa habari sanaa na michezo ulimliza kiongozi huyo anaandika charles william mashabiki wa soka waliojitokeza uwanja wa taifa kushuhudia mchezo wa kirafiki kati ya timu ya taifa taifa stars dhidi ya botswana walisimama kwa muda na kumshangilia nape nnauye alipoingia uwanjani hapo ikiwa ni ishara ya kumuunga mkono katika ukurasa wake wa instagram leo nape ameweka video inayonesha mashabiki wakimshangilia kama ishara ya kumtia moyo huku akiandika jana mlinitoa machozi nape ambaye pia ni mbunge wa jimbo la mtama mkoani lindi aliondolewa katika nafasi yake alhamis ya wiki hii na rais john magufuli ikiwa ni siku moja tu baada ya kueleza kuchukizwa na kitendo cha uvamizi wa ofisi za kituo cha clouds tv uliongozwa na paul makonda mkuu wa mkoa wa dar es salaam siku hiyohiyo pia nape alikabiliwa na maofisa usalama ili kuzuiwa kuzungumza na wanahabari baada ya kuenguliwa katika wadhifa wake tukio la kumzuia nape liliambatana na mmoja wa maofisa usalama kumnyoshea bastola ili kumshinikiza aingie kwenye gari lake na asizungumze na wanahabari tangu kutokea kwa tukio hilo watu wa kada mbalimbali wakiwemo viongozi wa serikali vyama vya siasa wasanii wananchi na wasomi wamejitokeza na kulaani kitendo alichofanyiwa nape huku wakimtia moyo wamekuwa wakimtaka aendelee kusimamia haki pasipo kuyumba wala kuogopa upendo ambao mashabiki wa mpira wa miguu waliuonesha jana kwa nape nnauye aliyekuwa waziri wa habari sanaa na michezo ulimliza kiongozi huyo anaandika charles william mashabiki wa soka waliojitokeza uwanja wa taifa kushuhudia mchezo wa kirafiki kati ya timu ya taifa taifa stars dhidi ya botswana walisimama kwa muda na kumshangilia nape nnauye alipoingia uwanjani hapo ikiwa ni ishara ya kumuunga mkono katika ukurasa wake wa instagram leo nape ameweka video inayonesha mashabiki wakimshangilia kama ishara ya kumtia moyo huku akiandika jana mlinitoa machozi nape ambaye pia ni mbunge wa jimbo la mtama mkoani lindi aliondolewa katika nafasi yake&hellip previous mbowe kujiuzulu siasa 2020 magufuli akishinda next rais magufuli amtaka ney wa mitego aboreshe wapo mbaroni kwa kumkata mkono albino sababu 40 za kuipinga katiba inayopendekezwa
2018-04-24T02:58:48
http://mwanahalisionline.com/mashabiki-wa-soka-wamliza-nape/
wazee ni hazina hivyo lazima tuwatunze tuwalinde na tuwahudumie ni baraka kubwa sana kupata zawadi hii tunaamini wazee bado wana akili na nguvu za kufanya shughuli za ujasriamali kujiingizia kipato badala ya kutegemea misaada kutoka mashirika mbalimbali kama helage hayo yamesemwa na mhe mkuu wa wilaya ya buhigwe col michael m ngayalina wakati akizindua baraza la wazee leo asubuhi katika ukumbi wa champanda ulioko wilayani hapa wazee tumieni elimu ya ujasriamali mliyopewa na shirika la helpage international kutafuta maeneo ya kilimo ufugaji hata kuunda vikundi vya wazee kumi ili kupata mkopo ni vema maeneo hayo yawe karibu ili iwe rahisi kutembelea kila siku hususani ufugaji wa nyuki kuhakikisha hakuna wadudu wanao haribu asali au kudhibiti uchomaji moto mizinga ya nyuki iwe ya kisasa ili kuepuka uharibu wa mazingira kwa kukata miti ya kuchonga mizinga aidha napenda kuwakumbusha wazee kuwalea vijana wenu katika maadili ya kufanya kazi ili wasiwe tegemezi baadae na kusubiri kurithi mali za wazazi ambazo hawakushiriki kuzitafuta alisema mhe ngayalina mwisho nawashukuru sana shirika la helpage international kwa misaada mnayoendelea kuwapatia wazee wetu wa wilaya ya buhigwe kwa upande wake mwenyekiti wa baraza la wazee mzee wenderin kilenza amesema sisi wazee hatutegemei misaada tu kutoka helpage bali tunajishughulisha na shughuli za uzalishaji mali mfano ufugaji wa nyuki ambao hauhitaji nguvu kubwa sana kilimo cha muhogo maharagwe matunda kama parachichi nanasi kwa ajili ya kuuza matunda na juisi afisa ustawi wa jamii wilaya ya buhigwe ndg petro mbwanji amesema kwa kushirikiana na shirika la helpage intenational tumefanikiwa kutoa vitambulisho vya matibabu bure kwa wazee 1050 kati ya wazee 14993 wa wilaya ya buhigwe ambapo tunaendelea kutoa vitambulisho vingine kwa wazee walio salia na tumeweka mabango yanayosema mpishe mzee atibiwe kwanza katika zahanati na vituo vya afya katika kituo cha afya muyama na janda tumetenga vyumba maalumu kwa ajili ya matibabu ya wazee alisema mbwanji
2019-09-19T21:43:39
http://buhigwedc.go.tz/new/uzinduzi-wa-baraza-la-wazee-buhigwe
mamlaka nchini dubai imekanusha uwepo wa tamasha la r kelly millardayocom mamlaka nchini dubai imekanusha uwepo wa tamasha la r kelly story kubwa ambayo ilichukua headlines siku kadhaa zilizopita ni kuhusu mwimbaji r kelly kuiomba mahakama ya mjini chicago kumpatia ruhusa ya kwenda mjini dubai kwa ajili ya kufanya matamasha yake kadhaa ambayo alidai alikubali kutumbuiza kabla ya kutiwa nguvuni kwa mujibu wa mtandao wa mail online umeripoti kuwa idara ya vyombo vya habari mjini dubai imekanusha kuwa rkelly hana onyesho lolote mjini hapo kupitia maelezo waliyotoa wamesema mamlaka mjini dubai haijapokea ombi lolote la onesho kutoka kwa r kelly na hakuna ukumbi wowote ambao umewekewa oda (booked) na waliongeza kwa kusema kuwa rkelly hajaalikwa na familia yoyote ya kifalme wakili wa mwimbaji wa rkelly ambaye ni steven greenberg amesema kuwa r kelly alisign mkataba kutoka kwa promoter na kila kitu kuhusu safari kilitoka kwenye mkataba hatukusema kuwa alialikwa kukutana na familia ya kifalme mkataba ndio ulisema kuwa akiwa tayari atakutana na familia hiyo ulipitwa na kilichojiri buckets baada ya rc makonda kusema vinywaji viuzwe nusu bei bonyeza play hapa chini kutazama ← previous story mastaa wa bongo walivyotinga uwanja wa taifa wema mobetto billnass nk (picha 12) next story → picha 4 unahitaji milioni 500 ili kumiliki daftari lenye ngoma za lil wayne salim kikeke ay jokate wamfungukia beyonce
2019-07-20T00:57:17
http://millardayo.com/i98syswwb/
unic yataka wahitimu academic international kutojiingiza katika dawa za kulevya dewjiblog kituo cha habari cha umoja wa mataifa (unic) kimewaonya wanafunzi wa academic international primary school waliohitimu darasa la saba kutojiingiza katika dawa za kulevya kwani ni eneo linaloharibu kwa kasi maisha ya vijana wengi kupitia makundi ushauri huo umetolewa jana na ofisa habari wa kituo cha habari cha umoja wa mataifa (unic) stella vuzo akizungumza na vijana hao wahitimu darasa la saba katika shule hiyo ya jijini dar es salaam afisa huyo kutoka unic bi vuzo ambaye pia alikuwa mgeni rasmi katika hafla ya mahafali hayo alisema wamekuwa na program ya kutoa elimu kwa jamii juu ya madhara ya matumizi ya dawa za kulevya wamebaini kuwa vijana wengi wanaotumia dawa za kulevya wamefuata mkumbo toka kwa marafiki zao na kwenye makundi na kupata madhara makubwa ikiwemo kuharibu maisha yao ukweli ni kwamba matumizi ya dawa za kulevya hayajaribiwi ukianza tu matumizi ndio umeingia rasmi maana kiu ya kuendelea itakushinikiza vijana wengi wameharibu mustakabali wa maisha yao kabisa kwa madawa ya kulevya hii tu ni kwa kuwa walikosea katika kufanya maamuzi awali walifanya maamuzi mabaya msikubali kutumika pia katika ubebaji madawa haya nje ya nchi kwa ahadi ya kupewa fedha nyingi au kazi nzuri msikubali kubeba mizigo ya watu hovyo mnaposafiri mnaweza kujikuta mnaingia katika kesi ya kusafirisha madawa haya alisema bi stella vuzo akizungumza na wahitimu na wazazi wao picha ya pamoja kati ya meza kuu na moja ya kikundi cha burudani cha wanafunzi wa shule ya academic international (academic international primary school) kwenye maafali ya wahitimu wa darasa la saba katika shule hiyo ya jijini dar es salaam picha ya pamoja kati ya meza kuu mgeni rasmi na baadhi ya wahitimu wa darasa la saba katika shule ya academic international walioshinda tuzo mbalimbali za masomo aidha aliwaeleza kuwa hatua wanaoingia ni ya kuchagua kuwa na marafiki wazuri ambao watakuwa mwongozo kwao na wasiogope kuzungumza nao juu ya changamoto mbalimbali zitakazo wakabili na kuangalia namna ya kuzitatua aliwahimiza kutambua kuwa kuanzia sasa wanaingia katika hatua ya mabadiliko kimaisha hivyo umakini unahitajika mnaingia kwenye hatua ambayo wewe mwenyewe utaanza kufanya maamuzi juu ya maisha yako si kitu kirahisi kama mnavyodhani umakini nguvu na jitihada binafsi zinaitajika ili kujenga mustakabali wa maisha yenu alisisitiza mgeni huyo rasmi kutoka unic bila shaka walimu hapa shuleni wamefanya kazi yao ipasavyo kwa kuwafundisha na kuwasaidia katika masomo mbalimbali walimu wamewatia moyo na kuwapa motisha ili muweze kufanya vizuri katika mitihani yenu ya mwisho kwa upande wa wazazi wenu wamejitahidi kujitoa tangu mkiwa wadogo hata kuwasaidia kuwapa mazoezi madogo madogo nyumbani hadi leo hii ambapo mnaingia katika hatua nyingine ya maisha ya mwanadamu hata hivyo kadri mnavyo endelea kukua mnatakiwa kuendana na tamaduni zetu za kiafrika kuheshimu wakubwa zenu mnaitaji kuwa karibu na wazazi wenu na kuwasikiliza zaidi kuna mengi ya kujifunza kwao ambayo nyinyi hamna hata hivyo aliwataka kutambua kuwa kila hatua ya maamuzi wanayoifanya leo inaweza kujenga ama kuharibu maisha yao ya kesho hivyo umakini zaidi unaitajika aliwataka wahitimu hao kutumia muda kujisomea vitabu magazeti na machapisho mbalimbali ili kupata habari mbalimbali za ndani na nje ya nchi na hata kujua nini kinaendelea nchini kwao na hata nje ya nchi kuweni sehemu ya kutatua changamoto mbalimbali za ulimwengu muwe wabunifu na hata kuwasaidia wengine katika maisha mazuri msikubali kuingizwa katika tamaduni zisizofaa ama kupitwa na wakati teknolojia ni nzuri lakini msikubali kutekwa nayo hata kuwaingiza katika mambo yenye madhara leo mnamaliza darasa la saba (std 7) ni hatua muhimu ya masomo lakini huwezi kupata kazi kwa kutegemea cheti cha darasa la saba endeleeni kusonga mbele kielemu hakuna haja ya kupoteza muda fanya la wakati wakati unawakati kwani utakuja wakati utahitaji kufanya la wakati na hakutakuwa na wakati wa kufanya ya wakati picha ya pamoja kati ya wahitimu wa darasa la saba na mgeni rasmi pamoja na meza kuu katika hafla ya maafali yao picha ya pamoja kati ya meza kuu mgeni rasmi na baadhi ya wahitimu kumi bora waliofanya vizuri katika masomo yao baadhi ya wahitimu wa darasa la saba katika shule ya academic international wakiwa katika hafla ya maafali yao yaliofanyika shuleni hapo juzi ofisa habari wa kituo cha habari cha umoja wa mataifa (unic) stella vuzo (kulia) na mgeni rasmi katika maafali ya wahitimu wa darasa la saba katika shule ya academic international (academic international primary school) ya jijini dar es salaam akiwasili katika ukumbi wa mahafali hayo kushoto ni mkuu wa shule ya awali na msingi ya academic international bi natasha karamagi akimuongoza mara baada ya kupokea heshima ya vijana wa skauti shuleni hapo baada ya kupokewa mgeni rasmi kwenye mahafali ya wahitimu wa darasa la saba katika shule ya academic international (academic international primary school) na ofisa habari wa unic stella vuzo (katikati) akimkabidhi cheti mmoja wa wanafunzi wahitimu wa darasa la saba kwenye hafla ya maafali hayo kushoto ni makamu mwenyekiti wa kamati ya wazazi wa shule hiyo tom bowyer mgeni rasmi kwenye maafali ya wahitimu wa darasa la saba katika shule ya academic international (academic international primary school) na ofisa habari wa unic stella vuzo (wa pili kulia) akimkabidhi zawadi mmoja wa wanafunzi wahitimu wa darasa la saba aliofanya vizuri katika masomo yake wa kwanza kulia ni makamu mwenyekiti wa kamati ya wazazi wa shule hiyo tom bowyer pamoja na meza kuu wakishuhudia picha ya baadhi ya wahitimu wa darasa la saba katika shule hiyo wakiwa na mgeni rasmi na viongozi wa shule ya academic international (academic international primary school) ya jijini dar es salaam burudani ya ngoma ikitolewa na wanafunzi wa shule ya academic international (academic international primary school) katika hafla ya maafali ya wahitimu wa darasa la saba katika shule hiyo wanafunzi waliohitimu darasa la saba wa academic international primary school wakiwa katika picha ya pamoja baadhi ya wazazi wa wanafunzi wahitimu darasa la saba katika shule ya academic international wakiwa katika hafla ya maafali hayo waziri maghembe azindua mradi wa secad wenye uba group appoints peter mule makau as new md/ceo of united bank for africa tanzania rais magufuli amteua gelasius byakanwa kuwa mkuu wa wilaya ya hai news alert rais magufuli amteua dk asha rose migiro kuwa balozi wa uingereza tra yakusanya bilioni 12 kutoka kwa wakwepa kodi
2017-08-24T04:54:48
http://dewjiblog.co.tz/unic-yataka-wahitimu-academic-international-kutojiingiza-katika-dawa-za-kulevya/
uteuzi wa mawaziri umesheheni matundu mwanahalisi online rais john magufuli akiendesha kikao cha baraza la mawaziri muda mcheche baada ya kufanya mabadiliko posted by mwandishi maalum 13 days ago 0 1970 views rais john pombe magufuli ametangaza mabadiliko katika baraza lake la mawaziri kwa kuondoa baadhi wengine kuwahamisha na wapya kuingizwa miongoni mwa waliondolewa ni prof jumanne maghembe aliyekuwa waziri wa maliasili na utalii gerson lwenge aliyekuwa naibu waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo annastazia wambura na naibu waziri wa maliasili na utalii ramo makani alisema amefanya mabadiliko hayo kutokana na kuwepo na nafasi za wazi ambazo zinahitajika kujazwa ni kufuatia kujiuzulu kwa prof sospiter muhongo aliyekuwa waziri wa nishani na madini na george simbachawene aliyekuwa tamisemi mawaziri wapya ni hamis kigwangwala issack kamwele luhaga joelson mpina medard kalemani na george mkuchika baraza la mawaziri lililotangazwa na rais magufuli jumamosi iliyopita lina mawaziri 21 na naibu mawaziri 20 haya ni mabadiliko ya kwanza makubwa kufanywa na rais magufuli tangu aingie madarakani novemba 2015 wapo wanaosema huu ni mtego wa kwanza kanasa kutokana na kauli yake kuwa nitateua baraza dogo la mawaziri lenye watu wasafi na wachapa kazi swali ambalo wananchi wanajiuliza ni hili mabadiliko haya yamezingatia hicho alichokisema mabadiliko yamezingatia uwapo wa muungano wa tanganyika na zanzibar mabadiliko yamepunguza gharama za uendeshaji wa serikali tujadili kwanza mabadiliko katika baraza la mawaziri limefanya idadi ya mawaziri kuongezeka kutoka watu 32 waliokuwapo katika baraza lililopita hadi kufikia 41 waliotangazwa na kuapishwa jumatatu wiki hii hili ni ongezeko la watu tisa takribani asimilia 28 ya mawaziri waliokuwapo ni kinyume na ahadi yake kwa wananchi aliyoitoa wakati wa kampeni na alipotangaza baraza lake la kwanza la mawaziri tarehe 10 desemba mwaka 2015 akihutubia taifa kutokea ikulu jijini dar es salaam siku hiyo rais magufuli alisema aliyekuwa mtangulizi wake jakaya mrisho kikwete aliunda baraza lililobeba mawaziri na naibu mawaziri zaidi ya 59 lakini yeye ameamua kuunda baraza dogo lenye wizara 18 na mawaziri 19 ili kupunguza gharama za uendeshaji wa serikali alidai kuwa baadhi ya wizara ameziunganisha nyingine amezipa mawaziri lakini hakuteuwa naibu mawaziri lakini sasa miaka miwili baada ya kukaaa ikulu rais magufuli hakuishia kupanua baraza la mawaziri kwa kuongeza manaibu mawaziri ameimega wizara ya nishati na madini na kuifanya wizara mbili magufuli ama kwa bahati mbaya au kwa makusudi uteuzi wake umeibua hisia kali za ukanda na ukabila ameruhusu baadhi ya wapinzani wake wa kisiasa kumtuhumu upendeleo na kudai kuwa anaangalia kanda fulani na kupuuza kanda nyingine kwa mfano wanataja kanda ya ziwa victoria kuwa imeoa idadi kubwa ya mawaziri na naibu mawaziri ukilinganisha na kanda nyingine huko ndiko walikoibuliwa dk medard kalemani luhaga joelson mpina stanslaus haroon nyongo angelina sylivester mabula charles john tizeba kangi alphaxard lugola george joseph kakunda elias john kwandikwa hamisi andrea kigwangalla na charles paul mwijage kanda nyingine iliobahatika kutoa idadi kubwa ya mawaziri na naibu mawaziri ni mbeya huko ndiko wameibuliwa dk harisson mwakyembe juliana shonza merry mwanjelwa na josephat ngailonga hasunga mkoa wa kilimanjaro haukupata bahati ya kutoa waziri na hata naibu waziri hii ni mara ya kwanza katika hostoria ya taifa hili anayetajwa na baadhi ya watetezi wa rais kuwa ni kutoka kaskazini angellah kairuki ni mbunge wa viti maalum jijini dar es salaam na anahudumu kama diwani katika halmashauri ya manispaa ya kinondoni hata usawa kwenye mgawanyo wa muungano wa tanganyika na zanzibar haukuzingatiwa katika mabadiliko haya kati ya mawaziri na naibu mawaziri 21 zanzibar ina mawaziri wawili prof makame mbalawa na hussen mwinyi na naibu mmoja yusuf masauni katika wizara sita zinazojihusisha moja kwa moja na masuala ya muungano mawasilino na uchukuzi mambo ya nje fedha na mipango muungano mambo ya ndani na ulinzi zenye mawaziri sita na manaibu mawaziri saba zanzibar imeambulia mawaziri wawili na naibu waziri mmoja hata ofisi inayoshughulikia muungano wenyewe inaongozwa na watu kutoka bara ni january makamba na lugola haya yaliyotendwa na magufuli ni kinyume na dhamira ya uanzishwa wa muungano na makubaliano ya kuundwa kwa muungano wenyewe kulikofanywa na waasisi wa taifa hili julius kambarage nyerere na abeid amani karume kama rais haundi baraza lake kwa masuala mazito kama muungano na ukanda anawezaje kuangalia jinsia za watu anawezaje kuunda wizara ya walemavu wazee na watoto na wasanii huku siyo kujenga matabaka ni kweli kuwa siyo lazima kila mkoa utoe waziri au naibu waziri wala siyo lazima kila dini na kila kabila litoa waziri au naibu mawaziri lakini kama katika maeneo hayo wapo watu wenye sifa ni vema uteuzi ukazingatia uwiano wa ukanda ukabila na udini hii ni kwa sababu mawaziri wanaweza kupendelea wanakotoka jambo ambalo litaingiza nchi katika mgogoro wa kisiasa na kiuchumi hili limeshawahi kufanyika katika tawala zilizopita pili kwa jinsi mabadiliko yalivyofanyika na aina ya watu waliongizwa serikalini inathibitisha kuwa rais magufuli hakujiandaa kuwa rais siyo kwamba alikuwa hautaki la hasha hakuamini kama njia aliyoitumia kuwa rais inakubalika alama ya haraka kwenye serikali ya rais magufuli ni kukataa kukosolewa wakati kukosolewa ni kuambiwa ukweli mwingine tofauti na ule ulioshikilia ni kama alivyokuwa kikwete aliutaka sana urais alijiandaa kwa muda mrefu lakini hakwenda zaidi ya kuwa rais baada ya kuupata hakujua aufanyie nini ndoto yake ilikuwa imetimia na alibaki hivyo kwa miaka yake 10 ndivyo itakavyokuwa kwa magufuli kila uchao maguguli anaibua mjadala mpya safari hii ameibua mjadala wa upendeleo mathalani rais magufuli amepuuza madai kuwa kalemani ni mmoja wa watuhumiwa wakuu katika kuingiza nchi hii kwenye mikataba ya kinyonyaji wakati akiwa mwanasheria wa wizara ya nishati na madini mikataba mibovu katika wizara ya nishati na madini ndio sababisho kuu lililotajwa la kujiuzulu kwa aliyekuwa bosi wa kalemani prof sospeter muhongo aidha rais magufuli anaonekana kufanya kazi kwa orodha ya mahitaji siyo kwa kutumia vipaumbele ndiyo maana kila kukicha ni kukimbizana na utendaji na mahitaji ya dar es salaam kana kwamba jiji hilo ndiyo tanzania pamoja na kutokamilika kwa uwanja wa ndege mwanza na kuwapo msongamano mkubwa wa magari kuna ujenzi wa uwanja mpya wa ndege wa chato eneo hili lina viwanja vidogo geita biharamulo na kahama kama ni suala la usafiri wa rais kwenda nyumbani vingetumika hivyo rais magufuli anapaswa kufahamu kuwa yuko kwenye nchi yenye upungufu wa karibu kila kitu isipokuwa umaskini anapaswa kufahamu kama ni harusi basi sasa amemaliza fungati na amerudi nyumbani kuanza maisha mapya hakuna tena michango wala vigelegele na mwandishi maalum rais john pombe magufuli ametangaza mabadiliko katika baraza lake la mawaziri kwa kuondoa baadhi wengine kuwahamisha na wapya kuingizwa miongoni mwa waliondolewa ni prof jumanne maghembe aliyekuwa waziri wa maliasili na utalii gerson lwenge aliyekuwa naibu waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo annastazia wambura na naibu waziri wa maliasili na utalii ramo makani alisema amefanya mabadiliko hayo kutokana na kuwepo na nafasi za wazi ambazo zinahitajika kujazwa ni kufuatia kujiuzulu kwa prof sospiter muhongo aliyekuwa waziri wa nishani na madini na george simbachawene aliyekuwa tamisemi mawaziri wapya ni hamis kigwangwala issack kamwele luhaga joelson mpina medard&hellip previous ni lini afrika itaonja siasa safi next spika ndugai amedanganya
2017-10-24T05:38:18
http://mwanahalisionline.com/uteuzi-wa-mawaziri-umesheheni-matundu/
messi aonesha maajabu apiga hat trick na kuipeleka argentina kombe la dunia nchini urusi 2018 | lemutuz home sports messi aonesha maajabu apiga hat trick na kuipeleka argentina kombe la dunia wakicheza kwa nidhamu ya hali ya juu huku wakiwa na wasiwasi wa kukosa kombe la dunia 2018 nchini urusitimu ya argentina imefanya maajabu katika uwanja wa estadio olimpico atahualpa mjini quito nchini ecuador baada ya kutoka nyuma ya kufungwa goli na wenyeji na kusawazishi na kushinda jumla ya magoli 31 mshambuliaji hatari duniani kwa sasa katika ligi tano bora dunianilionel messi kwa miguu yake mwenyewe usiku wa leo atakumbukwa na wananchi wa taifa la argentina baada ya kuipeleka nchi hiyo kombe la dunia litakalofanyika urusi 2018 kwa kufunga magoli matatu yaani hat trick akiendelea kuonesha maajabu na kudhihirisha kuwa yeye ni bora kwa sasa na duniani kote nyota huyu wa timu ya barcelona akiwa ameshafunga magoli 11 msimu huu katika la liga kwa mechi saba alizocheza na barcelona wakiwa na alama 21 ecuador walikuwa wa kwanza kupata goli la mapema lililofungwa na romario ibarra dakika ya kwanza goli hilo lilianza kuwaweka katika wakati mgumu na wengine wakiamini kuwa argentina hawatafuzu kombe la dunia na dakika ya 12 di maria alikimbia na mpira na kupiga pasi ya maana kwa lionel messi aliyeweza kufunga na kuisawazishia timu yake na dakika ya 20 lionel messi alifanya maajabu baada ya kuwachambua wachezaji wa eduador na kufunga goli la pili hadi mapumziko wageni walikuwa mbele matokeo mengine kama ifuatavyo brazil 30 chile paraguay 01 venezuela peru 11 colombia uruguay 42 bolivia match details and qualification tables ecuador (4141) banguera velasco aimar alvarez arboleda ramirez orejuela ibarra intriago (uchuari 77) cevallos (valencia 41) ibrarra mina ordonez ayovi (estrada martinez 64) subs not used arreaga garces johnson mina lopez murillo ortiz piedra plata goals ibarra mina 1 yellow cards cevallos 14 argentina (343) romero mercado mascherano otamendi salvio perez biglia acuna messi benedetto (icardi 77) di maria (paredes 84) subs not used banega dybala fazio gomez guzman mammana marchesin perez pezzella rigoni goals messi 12 20 62 yellow cards acuna 51 biglia 61 mascherano 86 referee anderson daronco (brazil) lionel messi netted an incredible hattrick to help argentina come from behind in ecuador and qualify for the 2018 world cup the barcelona forward netted twice in eight firsthalf minutes as jorge sampaolis side turned the game on its head in quito romario ibarra put ecuador in front after only 38 seconds in quito after argentina failed to deal with a simple long ball the home side celebrate their opening goal in front of the argentina bench their lead was shortlived in a dramatic firsthalf messi levelled the scores after 12 minutes following a neatone two with former manchester united star angel di maria on 20 minutes messi had turned the game on its head firing home from the edge of the box to put argentina 21 up di maria and marco acuna celebrate with the forward after he put them back on track to qualify for the 2018 world cup messi picked up his 44th career hattrick with a sublime chip from the edge of the penalty area just after the hour mark the barcelona forward points to the sky after scoring the goal that secured his sides qualification for next years world cup ecuadors goalscorer ibarra tries to hold off the attention of argentina defender gabriel mercado during the first half in quito ecuador left back cristian ramirez leaps over the challenge of former west ham and liverpool star javier mascherano eduardo salvio battles for possession with ibarra as the home side looked to end the visitors hopes of world cup qualification the barcelona forward and argentina skipper salutes the travelling support following the 31 victory over ecuador previous articlethe magazeti ya leo jumatano/wednesday 11102017 next articlebrazil waitandika chile na kuzima ndoto za kuelekea kombe la dunia urusi mwaka 2018 mkazi wa moshi kutimiza ndoto zake baada ya kushinda bajaji kikosi cha taifa stars dhidi ya algeria leo hii hiki hapa santi cazorla anusurika kuoza mguu kauli ya mwanjali baada ya kutemwa simba
2018-03-23T06:43:54
https://lemutuz.com/2017/10/11/messi-aonesha-maajabu-apiga-hat-trick-na-kuipeleka-argentina-kombe-la-dunia-nchini-urusi-2018/
naibu waziri wa kilimo innocent bashungwa ameziagiza taasisi za utafiti wa kilimo nchini kuandika matokeo yao ya utafiti kwa lugha ya kiswahili ili kuwezesha wakulima wengi wa vijijini kuzielewa na kuzifanyia kazi naibu waziri wa kilimo innocent bashungwa picha mtandao akitoa agizo hilo jijini arusha jana wakati akizindua teknolojia ya kilimo hifadhi (casi) iliyofadhiliwa na serikali ya australia kupitia kituo cha utafiti selian kilichoibua teknolojia hiyo bashungwa alisema kilimo hicho kina tija na kinatunza mazingira alisema changamoto kubwa iliyopo nchini ni tabia ya watafiti wengi kupitia taasisi zao kuandika tafiti zao kwenye vitabu kwa lugha ya kiingereza ambayo wakulima wengi hawaelewi lugha hiyo hasa wa vijijini sasa naagiza taasisi hizi za utafiti wa kilimo zibadilike anzeni kuweka mikakati ya kubadilisha vitabu vyenu vya tafiti na kuweka katika lugha ya kiswahili ili wakulima wengi wa vijijini waelewe na kuzifanyia kazi alisema alisema tafiti nyingi nzuri kama hiyo ya teknolojia mpya ya kilimo hifadhi (casi) lakini imeandikwa kwa kiingereza hivyo ueneaji wake kwa wakulima ni wa polepole aliagiza watafiti hao kuhakikisha wanaeneza teknolojia hiyo kwa njia ya midahalo ya kiswahili na vyombo vya habari kwa kuwapatia elimu waandishi ili nao watumie kalamu zao kueneza kwa wakulima wengi zaidi ya sasa alisema serikali inapongeza kituo cha utafiti selian na serikali ya australia iliyofanikisha kupatikana casi kwa sababu inamwezesha mkulima kutumia eneo dogo kuzalisha mahindi na mazao jamii ya kundekunde pamoja na kupata kipato kizuri chenye tija kwake na kuongeza pato la taifa ambalo kwa sasa kilimo huchangia asilimia 291 pia aliagiza taasisi ya kilimo nchini na taasisi ya uzalishaji mbegu kukaa pamoja na wadau wa viwanda kama sido ili watoe dhana za kusaidia wakulima kupalilia na kuvuna japo teknolojia hiyo inapunguza upaliliaji na uandaaji mashamba kwa muundo wake wa kuacha masalia shambani ambayo hutoa mbolea baada ya kuoza na kuzuia uotaji magugu mwenyekiti wa kamati ya bunge ya kilimo mifugo na maji mohmoud mgimwa alisema teknolojia hiyo nzuri licha ya kuongeza uzalishaji na kupambana na mabadiliko ya tabia ta nchi pia inapunguza uharibifu wa mazingira tunachoomba itangazwe zaidi kwenye vyombo vya habari na serikali iongeze bajeti za watafiti ili wafanye kazi vizuri na kuharakisha kupeleka bungeni rasimu ya maadiliko ya sheria ili tutengeneze sheria yenye tija kwa kulinda wakulima alisema kwa upande wake mkurugenzi wa kituo cha utafiti wa kilimo selian dk joseph ndunguru endapo teknolojia hiyo itaenea kwa wakulima wengi zaidi itawezesha upatikanaji wa malighafi za viwandani na mazao mengi zaidi ya sasa
2019-03-23T09:48:05
https://www.ippmedia.com/sw/biashara/naibu-waziri-aagiza-matokeo-ya-utafiti-yaandikwe-kiswahili
waislamu na waislamu wa misri ya kale dini & kiroho waungu na waislamu miungu ya misri ya kale miungu na wa kike wa misri ya kale walikuwa kundi kubwa la viumbe na mawazo kama utamaduni ulibadilika vivyo hivyo wengi wa miungu na kile walichowakilisha hapa ni baadhi ya miungu inayojulikana zaidi na wa kike wa misri ya kale anubis mungu wa mazishi na kumaliza anubis aliongozwa roho za wafu kupitia ulimwengu picha na de agostini / w buss / picha za getty anubis alikuwa mungu wa kifo cha misri mwenye kichwa na kumkamata na alisema kuwa ni mwana wa osiris na nepthys ingawa katika hadithi fulani baba yake ni set ni kazi ya anubis kupima mioyo ya wafu na kuamua kama wao walikuwa anastahili kukubalika kwa wazimu kama sehemu ya majukumu yake yeye ndiye mlinzi wa roho zilizopotea na yatima jua kwa nini anubis ilikuwa muhimu kwa waisraeli wa zamani zaidi » bast cat cat goddess picha za shaba za bastet wa kiungu kama paka au mwanamke mwenye kichwa picha na maktaba ya picha ya de agostini / getty images katika misri ya kale paka mara nyingi zinabuduwa kama miungu bast ilikuwa mojawapo ya miungu ya feline iliyoheshimiwa sana pia aitwaye bastet alikuwa mungu wa ngono na uzazi mwanzoni alionyeshwa kama simba lakini wakati mwingine alionyeshwa na kittens kando yake kama ibada kwa jukumu lake kama mungu wa uzazi geb mungu wa dunia picha za de agostini / c sappa / getty katika dini ya zamani ya misri geb inajulikana kama mungu wa dunia na ndiye mfalme wa kwanza wa misri mara nyingi huonyeshwa uongo chini ya mungu wa miungu nut katika nafasi yake kama mungu wa dunia yeye ni mungu wa uzazi mimea hukua ndani ya mwili wake wafu wamefungiwa ndani yake na tetemeko la ardhi ni kicheko chake yeye ni zaidi ya mungu wa uso wa dunia kwa kweli yeye ni mungu wa kila kitu kilicho ndani ya dunia hathor mchungaji wa wanawake wamisri waliheshimu hathor mke wa ra wolfgang kaehler / umri fotostock / picha za getty katika dini ya misri hathor alikuwa mungu wa zamani ambaye alikuwa mwanamke upendo na furaha ya mama mbali na kuwa ishara ya uzazi alikuwa anajulikana kama mungu wa wazimu kwa kuwa yeye kukaribisha wapya waliondoka kwenda magharibi isis mama wa mungu isis mara nyingi huonyeshwa na mabawa yake yameenea nje mikopo ya picha a dagli orti / de agostini picha library / getty images mwanzoni mungu wa mazishi isis alikuwa mpenzi wa osiris baada ya kifo chake alitumia uchawi wake kumfufua isis anaheshimiwa kwa jukumu lake kama mama wa horus moja ya miungu yenye nguvu zaidi ya misri yeye pia alikuwa mama wa mungu wa kila kipindi cha misri na hatimaye ya misri yenyewe ma'at mungu wa kike na kweli sandro vannini / picha za getty maat ni mungu wa misri wa ukweli na haki ameoa na thoth na ni binti wa ra mungu wa jua mbali na ukweli yeye hujumuisha uwiano usawa na utaratibu wa mungu katika hadithi za misri ni maat ambaye huingia baada ya ulimwengu kuundwa na huleta umoja kati ya machafuko na shida osiris mfalme wa miungu ya misri osiris juu ya kiti chake cha enzi kama inavyoonekana katika kitabu cha wafu papyrus ya funerary picha na w buss / de agostini picture library / getty picha osiris alikuwa mwana wa dunia na anga na wapendwa wa isis anajulikana kama mungu aliyefundisha wanadamu siri za ustaarabu leo yeye anaheshimiwa na wapagani wengine kama mungu wa chini na ya mavuno ra sun mungu ra alicheza jukumu muhimu katika hadithi za misri picha kutoka kwa hifadhi ya hifadhi / hulton archive / getty images ra alikuwa mtawala wa mbinguni alikuwa mungu wa jua mletaji wa mwanga na mfuasi kwa fharao kulingana na hadithi jua linasafiri mbinguni kama ra anaendesha gari lake kupitia mbinguni ingawa mwanzoni alikuwa akihusishwa tu na jua la mchana kama wakati ulivyopita ra aliunganishwa na kuwepo kwa jua siku nzima tamaa mlezi wa uzazi dea / g dagli orti / picha za getty taweret alikuwa mungu wa misri wa kuzaa na uzazi lakini kwa muda alikuwa anaonekana kuwa pepo wanaohusishwa na hippopotomu taweret ni mungu wa kike ambaye huangalia zaidi na kulinda wanawake katika kazi na watoto wao wapya thoth mungu wa uchawi na hekima thoth mwandishi huhusishwa na siri za mwezi picha na cheryl forbes / lonely planet / getty picha thoth alikuwa mungu wa misri ambaye alizungumza kama ulimi wa ra jua ni nini kinachojulikana kuhusu uungu huu wa kichwa cha misri na jinsi anavyohusika katika hadithi ya isis na osiris kuadhimisha masculine mtakatifu majina yote ya ganesha ni nini bwana rama avatar bora kuber bwana wa mali cerridwen mwekaji wa cauldron ninajuaje kama uungu unaniita hadithi mbili za genesha mungu wa hindu wa bahati nzuri gaia ufanisi wa dunia artemis goddess kigiriki wa kuwinda wazazi wa kale wa upendo na uzazi freyja mungu wa uzinzi uzazi na vita 11 miungu ya uumbaji wa beltane magari ya juu 10 kwa wanaume nyimbo za muda mrefu zaidi za nascar mzunguko wa repeal wa ireland wasifu wa frank lloyd wright historia ya nyimbo za american folk majina maarufu zaidi ya kijapani ya watoto wa 2014 jinsi ya kupiga trailer nyuma ya pickup au gari kuongeza msisitizo kwa kiingereza fomu maalum compact mayflower ya 1620 jinsi ya kutumia jamais kwa kifaransa maombi ya malaika kuomba kwa malaika mkuu michael 5 swing muhimu hundi wakati unahitaji kurekebisha kipande chako cha golf majaribio ya iceberg ya kibinafsi panda na kukuza ginkgo vita vya alexander mkuu vita vya chaeronea jojo starbuck champion ya taifa ya uwanja wa kitaifa wa wakati wa marekani panda ndani admissions academy marine academy chuo kikuu cha furman gpa sat na act kuandika kadi za mwaka mpya wa kijapani ambapo nambari za usajili zimewekwa kwenye mashua yote kuhusu hekalu la kihindu jinsi ya kujihusisha jumuisha (kujumuisha) kwa kifaransa utangulizi kwa neno la kifaransa mairie orodha ya operesheni na giuseppe verdi anwani ya kuanzisha ya john f kennedy angalia movies zisizopakuliwa mtandaoni
2020-08-11T04:31:10
https://sw.eferrit.com/miungu-ya-misri-ya-kale/
ukweli kuhusu mpaka wa tanzania na malawi page 10 7th august 2012 1201 re news from malawi hii tayari imeishafika hapa 7th august 2012 1206 7th august 2012 1209 hata mimi naona kama kuna kampango ka kumuonea dada joyce 7th august 2012 1214 kama apendi sketi ndo atuonyeshe ala nampenda sana joyce banda mwanamama shupavu sana acheni malawi wachukue ziwa lao jamani mbona mnakuwa watu wa dhuruma nyie mnalo victoria tanganyika na mengineyo mbona hamridhiki so far maziwa yote mliyonayo yamewasaidieje kiuchumi 7th august 2012 1222 the question here is about military capability and not the size of country or population or a gender of a president tatizo hata tukipewa maziwa yote africa kwa tanzania ya uongozi dhaifu huuhayatakuwa na faida yoyote kwa watanzaniahizo raslimali tulizo nazo kama madini yanatusaidia nini watanzania mwacheni mdada wa watu anayejua umuhimu wa rasilimali 7th august 2012 1225 yani nina hasira sana juu ya hili nchi yenyewe ndogo hata mkoa wa taboramkubwa yan hawa ni kuwapiga tu washike adabu 7th august 2012 1228 kwanza hilo jeshi la malawi kunauwezekano mkubwa kuwa limejaa ******* na wasagaji so tunaenda kuwapiga na kuwavua chupi 7th august 2012 1232 mafunzo ya jkt yaanze haraka sana uwanja huo wa meadani 7th august 2012 1234 never repeat never understimate your enemy otherwise the david and goliath stories would be in vain we mtoto rudi kwenye thread zako za kusoma soma noval kule jukwaa la elimu huku waachie ma intellegencia na watu wa siasa ambao ni ma great thinker mana naona unaongea uchafu tu ohoo ohooo ooooo tuta aibika vibaya jeshii letu lina uzoefu wa kufyeka nyasi na si 'kuzichapa' kuwa tayari kujifunza wewe duniani hakuna mipaka kama malawi wanavyotakawanyasa zaidi ya 600 maisha yao yanategemea maji kama malawi wanadaai maji ni yao wanyasa wataishije 7th august 2012 1235 hao malawi jeshi lao linaudhoefu wa nini kuapisha mashoga 7th august 2012 1237 our own president wants to make the most of this saga just to portray a false 'strong' gov amid claims of 'weak' gov 7th august 2012 1238 our own president wants to make the most of this saga just to portray a false 'strong' gov image amid claims of 'weak' gov nyinyi mnaongea tu ungekuwa mnyasa ama mzaliwa wa pwani ya hilo ziwa ungjea lina umuhimu gani kwa wazawa wenzako hanna uzalendo tunataka mmabadiliko yatakuja vp bila a kuwa na moyo wa upendo wa nchi yetu embu tujitafakari kwanza 7th august 2012 1239 phd wewe ni mtanzania kweli nina wasiwasi na wewe kama siyo mkenya sijui 7th august 2012 1243 nami nauliza swali alilouliza huyu mwandishi wa malawi kwa nini tudai wakati huu na sio huko nyuma katika kipindi chote cha huko nyuma shughuli zote za malawi zilikuwa zikiendelea kwenye maeneo hayo yanayogombaniwa sasa tanzania ndoimelea na kukuza huu mgogoro nasasa tz inatakiwa ipambane kulikomboa hilo eneo tz ipate funzo siku nyingine ikitokea nchi inaingilia mipaka yetu ni vizuri kuwaeleza/kuwaondoa mapema kabla hawajaizoea spika anatumia kanuni gani kuongoza bunge chadema ihamasisshe wanachama na watz kutembea na vifaa vya kuchukua pictureni zaidi ya silaha
2013-05-21T14:37:48
http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/300613-ukweli-kuhusu-mpaka-wa-tanzania-na-malawi-10.html
exhibition stand design company dubai archives exhibition stand design & contractor in uae(dubai)iran(tehran) saudi arabiaqatar(doha) iraqkuwaitoman germany tag archives exhibition stand design company dubai
2019-02-23T21:39:39
https://www.beautisky.com/tag/exhibition-stand-design-company-dubai/
wwwbukobasportscom manchester united yaanza kutema cheche yamsaini beki eric bailly manchester united yaanza kutema cheche yamsaini beki eric bailly manchester united wametangaza rasmi kumsaini eric bertrand bailly ambae ameshakamilisha uhamisho wake kutoka villarreal cf na kinachosubiriwa ni kupata kibali cha kufanya kazi huko uingereza bailly amesaini mkataba wa miaka minne ambao una kipengele cha kuongeza miaka miwili baada ya hapo bailly mwenye miaka 22 aliichezea villareal mechi 47 tangu ajiunge nao januari 29 2015 na pia kuichezea nchi yake mara 15 akiwa sehemu ya timu iliyotwaa ubingwa wa africa afcon 2015 akicheza mechi zao zote za fainali na kufunga moja ya mikwaju ya penati tano tano zilizoibwaga ghana akiongea baada ya kusaini mkataba bailly alisema ni ndoto iliyotimia kujiunga na manchester united kucheza soka la kiwango cha juu ndicho ninachotaka natka niendelee na naamini kufanya kazi na jose mourinho kutanisaidia kuendelea kwa njia sahii na klabu sahihi nae mourinho alizungumza eric ni beki wa kati mwenye umri mdogo na mwenye kipaji asilia ameendelea vizuri hadi leo na ana uwezo kupanda zaidi posted by faustine ruta at 52700 pm
2017-11-17T19:15:02
http://www.bukobasports.com/2016/06/manchester-united-yaanza-kutema-cheche.html
valve ya globe china manufacturers & suppliers & factory valve ya globe mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china (jumla ya 24 bidhaa kwa valve ya globe) valve ya globe valve ya globe valve za angle globe valve ya gesi valves rahisi za globe valve ya angle valve za globe kwa maji valve ya sluice
2020-04-09T02:46:54
https://www.kingsirvalve.com/sw/dp-valve-ya-globe.html
mheshimiwa na baiskeli ya kike | jamiiforums | the home of great thinkers mheshimiwa na baiskeli ya kike discussion in 'jamii photos' started by babu m may 9 2011 jamaa hazijui unajua yy ameshazoea phonix za kpnd kileeeeendo aksema ajaribu hizi mpya jamaa hazijui unajua yy ameshazoea phonix za kpnd kileeeeendo aksema ajaribu hizi mpyaclick to expand hana watoto wakumwambia baba hiyo mwachie mamainaoneka kama ndio alikuwa anajifunza kuride hapowenzake wame relax magufuli kama kachorewa mstari chini yaani baiskeli kuwa na kikapu pale mbele ndio inakua ya kike kwani hiyo basikeli imevaa sidiria mpaka iwe ya kike yaani baiskeli kuwa na kikapu pale mbele ndio inakua ya kikeclick to expand mawazo mgando yanawasumbua mkuusijui hata wanatumia vigezo gani eti ya kike mi nadhani ni ulimbukeni tu hiyo baisikeli ya kuendea dukani ukinunua vitu unaweka kwenye kikapu ndiyo matumizi yake wabongo walibambika jina ya kike kwavile walikuwa wanawaona wazungu wanawake mitaa kazaa wakiendea kununua vitu na kueka kwenye kikapu basi jina likabambikwa wengine bila hata kufikiria wanazania ni ya kike tuu&#8230 wapi hii zinduzi ilifanywa na mh dr jp naona furaha tele kwani hiyo basikeli imevaa sidiria mpaka iwe ya kikeclick to expand ha ha ha aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ewoooooooooooooooooooooooomi umenichekesha sana hakuna baiskeli ya kike hapo taabu yetu wabongo baiskeli tumekuwa tukiona phoenix na raleighna ziote zilikuwa baiskeli za kazi sasa hii kuwa na kikapu cha kubebea mzigo mbele jamaa wameeshaamua kuiita ya kike ingekuwa haina ile frame ya kati (toka kwenye kiti kwenda kwenye usukani) ndiyo walau ingeitwa ya kike kwa kuwa kwa uzoefu wangu hizo ndiyo kawaida hutumiwa zaidi na akina dada kigezo cha kikapu hakitoshi kuiita baiskeli ya mh kuwa ya kike hakuna mahala ilipoandikwa kwamba ni ya kikemtu yoyote anaweza kuendeshakikapu kazi yake kubeba mzigo ulionao baiskeli za kike zikoje mleta mada kwa nini umesema baiskeli ya kike je inaweza kupata mimba je waheshimiwa wanaptumia vx badala ya vitaraau rav4 sababu vitara nazo wenye mawazo finyu wanazizita kitchen party utawashangaa so sometime kumbe tunawarushia mawe wanasiasa ila hata sisi tukipata nafasi mambo ni yale yale kwa kuandika neno baiskeli ya ike i can see utakapokuwa kwenye postion ya kuamua kununua vx au vitara kwa mfanyakazi wa umma anayeishi masaki kama ni mwanaume vx kama ni mwanamke kweli kazi tunayo kama mawazo yenyewe ni haya hapo jamaa wanawfundisha wanasiasa kuwa kuendesha baiksekeli maybe hata pikipiki sio kundoa status ya cheo kwanza ni kujeng afya pili ni uonyesha unajali mazigira its only wanasasia wakifrika baiskeli /pikipiki ni msamiati hivi ni vitu vidogo lakini vikifanywa na wasiasa japo mara moja kwa wiki vinaweza kuleta change hata kupunguza kero ya foleni ukiangalia hiyo handlebar niya step through bike ambazo ni baiskeli za kike isipokuwa mixte hapo jamaa wanawfundisha wanasiasa kuwa kuendesha baiksekeli maybe hata pikipiki sio kundoa status ya cheo kwanza ni kujeng afya pili ni uonyesha unajali mazigira its only wanasasia wakifrika baiskeli /pikipiki ni msamiati hivi ni vitu vidogo lakini vikifanywa na wasiasa japo mara moja kwa wiki vinaweza kuleta change hata kupunguza kero ya foleniclick to expand < /subtitle >< jumpto >jump to navigation search < /jumpto >< bodytext >this article is about a type of bicycle frame for stepthrough motorcycles see underbone a stepthrough frame (aka lowstep frame) is a type of bicycle frame often used for utility bicycles with a low or absent top tube or crossbar<sup id=cite_ref0 class=reference>[1]</sup><sup id=cite_ref1 class=reference>[2]</sup> traditionally bicycles with a stepthrough frame were known as ladies' women's or girls' mainly for their advantage to riders wearing skirts or dresses bicycles with a high top tube (crossbar) known as a diamond frame were known as men's gents' or boys' however since the late 20th century clothing has become less stereotyped and genderbased descriptions are now often seen as assumptive genderneutral descriptions which describe the frame style rather than the presumed gender of the rider are increasingly common this change acknowledges the fact that restrictions upon an individual's mobility may be due to a physical impairment as well as clothing worn by both men and women (long overcoats rain garments) mheshimiwa hakujiandaa viatu anavyotumia siiiivyo baiskeli za kike zikojeclick to expand kama ni ya kike ina maana ukipewa bure utakataa
2017-07-28T05:10:40
https://www.jamiiforums.com/threads/mheshimiwa-na-baiskeli-ya-kike.133239/
sheria yakub blog ni muhimu sana mfanyabiashara/mjasiariamali/mnunuzi wa bidhaa kuyajua haya home » » ni muhimu sana mfanyabiashara/mjasiariamali/mnunuzi wa bidhaa kuyajua haya ni muhimu sana mfanyabiashara/mjasiariamali/mnunuzi wa bidhaa kuyajua haya posted by bashir yakub at tuesday july 21 2015 ipo sheria moja iitwayo sheria ya uuzaji wa bidhaa sura ya 354 ni sheria ambayo hutoa majibu ya miamala ya kibiashara hasa kwa namna ya kimikataba ni muhimu sana kwa wajasiriamali kujua mambo yaliyo kwenye sheria hii ili kuepuka migongano na migogoro ya kibiasharasheria hii hueleza jambo fulani likitokea hivi kati ya muuzaji na mnunuzi nani ana haki na mengine mengi kama nitakavyoonesha hapaili ujumbe kufika vyema nitaeleza kwa mtindo wa masomo 1somo la kwanza umefanya mkataba na mtu wa kukuuzia magunia 20 ya karanga na mmesaini mkataba tayari bila kujua kumbe wakati mnasaini mkataba magunia matano yameibiwa kule mlikoyaacha stoo baada ya kuyakagua wakati mkitokea kusaini mkataba ili ukachukue mzigo wako mnakuta gunia tano kati ya ishirini zimeibiwakwakuwa mlishakagua hapo mwanzoni na ukaridhika na kwakuwa tayari mkataba umesainiwa muuzaji anasema hawezi kurudisha hela na hawajibiki na lolote kwakuwa mkataba umekamilika na wewe ulishakagua na kuridhika nani ana haki gani na sheria inasemaje kifungu cha 18 cha sheria ya mauzo ya bidhaa kinasema kuwa mkataba wa namna hiyo hata kama umekamilika unageuka na kuwa haramu(void) hii ina maana kuwa ikiwa mnunuzi alikuwa hajamlipa muuzaji basi hawezi kulazimishwa kulipa isipokuwa akitaka mwenyewe kwa hiari yake lakini pia kama tayari amelipa hela basi muuzaji analazimika kumrudishia hela yake mnunuzi hawezi kulazimishwa kuchukua mali iliyo chini ya idadi kwa kisingizio cha mkataba kukamilika kuibiwa hakumhusu mnunuzi katika mazingira hayo kwakuwa yeye alisaini idadi kadhaa na anatakiwa kupata idadi hiyo 2 somo la pili umeagiza gari au kifaa chochote kutoka nje ya nchi kupitia mtandao kutokana na maelezo yaliyo katika mtandao gari hilo limetembea kilomita 2000 na halijafanyiwa marekebisho yoyote kwenye injini kutokana na maelezo hayo unakubali kutuma hela na gari linatumwa ambapo baada ya kulipokea unagundua kuwa limetembea kilomita 9000 na tayari limefanyiwa marekebisho kwenye injini sheria inasemaje kuhusu hali hiyo kifungu cha 15 cha sheria ya mauzo ya bidhaa kinasema kuwa mnunuzi anayo haki ya kuamua kukaa na gari hilo au kulikataa na kuomba kurudishiwa pesa ni kweli mkataba unakuwa umekamilika kwakuwa tayari umelipa hela na wao wamekutumia mali lakini kifungu hicho kinasema kwasababu bidhaa imeshindwa kufanana na maelezo (description) yaliyotolewa basi mnunuzi anayo haki ya kujitoa katika mkataba huo na kurudishiwa hela yake na hii si kwa kuagiza gari nje ya nchi tu bali hata hapa nchini ukinunua bidhaa ambayo ina maelekezo kuwa ina hiki ina hiki na kile halafu baada ya kununua unagundua kuwa muuzaji alivyosema au ilivyoandikwa haiko hivyo basi sheria inakuruhusu kurudisha bidhaa hiyo na kupewa hela yako au bidhaa nyingine ikiwa utataka hivyo 3 somo la tatu umenunua gari kwa mtu na baada ya kununua unaamua kulifanyia marekebisho makubwa kwa kutumia kiasi kingine kikubwa cha fedha baadae inakuja kugundulika kuwa gari hilo lilikuwa limeibiwa na wenye nalo wanamtaka mnunuzi kuwarudishia gari lao haraka na anawarudishia swali hapa ni mnunuzi ana haki gani kwa aliyemuuzia kuhusu gari lenyewe na ana haki gani kuhusu gharama za matengenezo alizokuwa ametumia kifungu cha 14(a) cha sheria ya mauzo ya bidhaa kinasema kuwa muuzaji alikiuka masharti ya umiliki kutokana na hilo kwanza anatakiwa kumrudishia mnunuzi hela yake ya ununuzi wa gari na pili anatakiwa kumrudishia gharanma zote za matengenezo alizotumia kurekebisha gari hilo kwa leo masomo matatu yanatosha nimetolea mifano ya magari na magunia ya karanga lakini ifahamike kuwa maelezo haya yanatumika katika bidhaa yoyote ile na zaidi ifahamike kuwa ikiwa anayetakiwa kurudisha haki ameshindwa kufanya hivyo basi sheria itamlazimisha kufanya hivyo kwa kutumia vyombo vyake itaendelea tena
2017-10-23T06:20:51
http://sheriayakub.blogspot.com/2015/07/ni-muhimu-sana-mfanyabiasharamjasiariam.html
waziri mkuu majaliwa akutana na viongozi wa wilaya za mkuranga na temeke zanzinews home habari waziri mkuu majaliwa akutana na viongozi wa wilaya za mkuranga na temeke waziri mkuu majaliwa akutana na viongozi wa wilaya za mkuranga na temeke waziri mkuu kassim majaliwa akizungumza na viongozi wa wilaya za mkuranga na temeke ofisini kwake jijini dar es salaam februari 7 2017 (picha na ofisi ya waziri mkuu)
2018-01-22T14:12:18
http://www.zanzinews.com/2017/02/waziri-mkuu-majaliwa-akutana-na.html
moldova uagizaji sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi moldova uagizaji <iframe src='https//tradingeconomicscom/embed/s=moldovaimpmports&v=202005151027v20191105&lang=all&h=300&w=600&ref=/moldova/imports' height='300' width='600' frameborder='0' scrolling='no'></iframe><br />source <a href='https//tradingeconomicscom/moldova/imports'>tradingeconomicscom</a> urari wa biashara ya 29070 23950 4040 35020 usd milioni [+] uagizaji 50100 48490 55490 11110 usd milioni [+] mauzo ya nje 21030 24540 27210 6190 usd milioni [+] utalii waliofika 1847500 4372600 5135500 1122600 [+]
2020-06-05T23:49:32
https://sw.tradingeconomics.com/moldova/imports
vijana washauriwa kuacha kuwategemea wanasiasa radio kaya kiongozi wa vijana katika eneo bunge la mvita mohammed hussein amesema licha ya idadi kubwa ya vijana kuwa na uwezo wa kubadili maisha yao katika maswala ya elimu na uongozi wamesalia nyuma wakisubiri msaada hasa utoka kwa viongozi wa kisiasa hussein amesema ni sharti vijana wabadili taaswira yao maishani na wajitahidi katika nyanja mbalimbali zikiwemo za uongozi biashara elimu na siasa badala ya kusalia wakilalamikia kubaguliwa hussein amewataka vijana kushiriki makongamano mbalimbali yanayoandaliwa kwa ajili yao ili kujipatia habari na muongozo muhimu wa kuafikia ndoto zao maishani badala ya kupuuza vikao hivyo
2020-02-24T14:31:58
https://radiokaya.co.ke/vijana-washauriwa-kuacha-kuwategemea-wanasiasa/
habari na matukio vijana mkoani dodoma wanufaika na mradi wa airtel fursa vijana mkoani dodoma wanufaika na mradi wa airtel fursa meneja mauzo airtel mkoa wa dodoma hendrick bruno (kushoto) akiongea na fikiri chinji (kulia) anayejishughulisha na ufundi seremala juu ya maendeleo na changamoto za biashara baada ya kuwezeshwa na airtel kupitia mpango wake wa airtel fursa tunakuwezesha wakati airtel ilipotembelea kwenye karakana yake katika mtaa wa ngongona manispaa ya dodoma ili kujionea maendeleo yake pamoja kupanga jinsi ya kuboresha zaidi biashara yake meneja mauzo airtel mkoa wa dodoma hendrick bruno (kulia) akishuhudia matumizi ya moja ya vifaa alivyowezeshwa kijana fikiri chinji anayejishughulisha na ufundi seremala kwa kupitia mpango wa airtel fursa tunakuwezesha miezi tisa iliyopita wakati airtel ilipotembelea kwenye karakana yake katika mtaa wa ngongona manispaa ya dodoma ili kujionea maendeleo yake pamoja kupanga jinsi ya kuboresha zaidi biashara yake kampuni na taasisi mbalimbali hapa nchini zimeaswa kuiga mfano wa kampuni ya simu za mkononi ya airtel tanzania kwa kuwawezesha vijana mbalimbali kujiajiri wenyewe kupitia mradi wa airtel fursaili kupunguza tatizo la ajira hapa nchini hayo yamebainishwa na mmoja kati ya waliofaidika na mradi wa airtel fursa kijana mjasiriamali anayejihusisha na fani ya ufundi seremala fikiri chinji aishie katika kijiji cha ngongona manispaa ya dodoma wakati alipotembelewa na airtel ili kutadhimini maendeleo yake fikiri alisema wapo vijana wengi ambao wapo mtaani wakitafuta ajira na wengine wakikumbwa na changamoto za mitaji ili kuendesha biashara zao program kama hii ya airtel fursa ni vyema ikafanywa na makampuni mengi ili kuinua uchumi wa vijana jamii nan chi kwa ujumla mpaka sasa nawashukuru sana airtel kwa kuniwezesha mtaji ambao umeweza kuinua biashara yangu kupitia program hii nimeweza kutanua biashara yangu ya ufundi selemala na kuanzisha biashara ya welding sambamba na kutanua biashara pia nimeweza kuajiri vijana saba na kuongeza vifaa vingine zaidi nawashukuru airtel kwa kunishika mkono akizungumza katika eneo hilo afisa airtel kanda ya kati hendrick werner amesema kijana fikiri chinji ameweza kupiga hatua kwa kuongeza vifaa vingine toka alipowezeshwa na airtel fursa kukuza biashara pamoja na kutengeneza ajira kwa vijana wengine na kuwataka vijana wengine kuiga mfano wa fikiri kwa kuanzisha vikundi mbalimbali na kuwatafuta wadau watakao wawezesha kupita program mbalimbali ikiwemo hii ya airtel fursa airtel fursa ni mradi wa kijamii wenye dhumuni la kuhamasisha vijana kuwapa nafasi ya kujiendeleza kibiashara na ujuzi utakoawawezesha kuimarisha biashara zao pambana group ni kikundi kingine kilichonufaika na mradi wa airtel fursa dodoma ambacho kina vijana zaidi ya 15
2017-04-28T06:19:58
http://www.kajunason.com/2017/01/vijana-mkoani-dodoma-wanufaika-na-mradi.html
kashililah afafanua sintofahamu uteuzi wa katibu mpya bunge tanzania habari/news | hivisasa blog home › habari/news › kashililah afafanua sintofahamu uteuzi wa katibu mpya bunge kashililah afafanua sintofahamu uteuzi wa katibu mpya bunge tarehe october 8 2017 dkt thomas kashililah katibu wa bunge wa zamani dkt thomas kashililah amesema rais dkt john pombe magufuli hakufanya kosa katika uteuzi wa katibu wa bunge na kwamba hakuna shria yoyote iliyovunjwa dkt kashililah amenukuliwa akisema kuwa kwa mujibu wa ibara ya 87(1) ya katiba ya jamhuri ya muungano mamlaka ya uteuzi haikufanya kosa licha ya sheria ya bunge kuelekeza utaratibu mamlaka ya uteuzi iko sahihi unajua sheria haiko juu ya katiba na katiba iko juu ya sheria hivyo rais akiamua anaweza kufanya hilo sheria haiwezi kumzuia amesema dkt kashililah akisisitiza ibara ya 87 iko wazi ambayo inasema kutakuwa na katibu wa bunge ambaye atateuliwa na rais kutoka miongoni mwa watu wenye madaraka ya juu katika utumishi wa serikali ya jamhuri ya muungano ameongeza kuwa kama aliyeteuliwa asingekuwa katika madaraka ya juu hapo kungekuwa na tatizo lakini mteule ni mtu senior kabisa serikalini na hivyo ana vigezo vyote na kuwataka watu kuacha kupotosha ukweli rais magufuli jana jumamosi alimteua steven kagaigai kuwa katibu wa bunge huku dkt kashililah akidaiwa kuwa atapangiwa kazi nyingine mara tu baada ya uteuzi huo mijadala ilianza katika mitandao ya kijamii kuhusiana na uhalali wa rais kufanya uteuzi huo ambapo mbunge wa kigoma mjini na kiongozi wa actwazalendo zitto kabwe akienda mbali zaidi na kudai kuwa rais amevunja sheria kwa kufanya hivyo na tayari chama chake kimetishia kwenda mahakamani kupinga uteuzi huo kama rais hatoutengua watoto wanusurika kifo wawili wakijeruhiwa baada ya gari kugonga treni act watishia kutinga mahakamani kupinga uteuzi wa jpm
2017-10-22T05:12:08
http://hivisasa.co.tz/habari/kashililah-afafanua-sintofahamu-uteuzi-wa-mrithi-wake
dsm city press club yah mwandishi shabani matutu kupigwa risasi bahari ya maarifa home » »unlabelled » dsm city press club yah mwandishi shabani matutu kupigwa risasi dsm city press club yah mwandishi shabani matutu kupigwa risasi tanzania daima na sayari shaaban matutu akionyesha jeraha lililotokana na kupigwa risasi na polisi katika tukio lililotokea usiku wa kuamkia jumanne baada ya polisi kuvamia nyumbani kwake tegeta jijini dar es salaam kwa madai ya kumtafuta mtuhumiwa waliyekuwa wakimsaka matutu kwa sasa amelazwa hospitali ya muhimbili katika kitengo cha mifupa (moi) kwa ajili ya matibabu zaidi(picha hakingowi blog) dsm city press club imepata taarifa za kushtusha kufuatia ya kupigwa risasi na kujeruhiwa begani kwa mwandishi wa tanzania daima bwana shabani matutu (30) ambaye pia ni mwanachama wa dar city press club (dcpc) sambamba na taarifa hizo imeelezwa kuwa mwandishi huyo amelazwa katika taasisi ya mifupa katika hospitali ya taifa ya muhimbili (moi) chanzo hasa cha kupigwa risasi kwa mwandishi huyo bado hakijaeleweka kwa dcpc uongozi wa dcpc unafuatilia tutakapojiridhisha na taarifa zilizotolewa pamoja na zile tutakazozipata tutawataarifu rasmi kwa sababu hizo tunaomba waandishi wote ndugu jamaa marafiki wapenda haki na amani wanaharakati washirika na wadau wote wa vyombo vya habari kuwa watulivu tukimjulia hali kwa misaada ya hali na mali mwandishi mwenzetu shabani matutu ili apone majeraha soma zaidi taarifa za tukio hili kwenye gazeti la mtanzania polisi wampiga risasi mwandishi wa habari tanzaniadaima jeshi la polisi lajeruhi mwandishi kwa risasi na habarileo polisi wampiga risasi mwandishi wa tanzania daima posted by bahari ya maarifa at 83900 am
2018-07-22T08:22:46
http://mangiayoub.blogspot.com/2012/12/dsm-city-press-club-yah-mwandishi.html
soma zaidi » mwanzo matangazomadini tanzania inaelekea kuwa miongoni mwa nchi kubwa zenye madini barani afrika kutokana na rasilimali za madini iliyojaaliwa nazo marekebisho ya uchumi yaliyofanyika katika nusu ya kwanza ya mwaka 1990 hasa kwa upande wa biashara na uwekezeji yameiwezesha sekta kuonyesha viwango vya juu vya ukuaji na kuifanya tanzania kuwa miongoni mwa wachimba madini wakubwa barani afrika maendeleo haya yanaweza kuelezwa hasa kutokana na uchimbaji mkubwa wa dhahabu kuanzia chini ya tani moja mwaka 1998 hadi kiasi cha tani 40 mwaka 2010 na kuifanya tanzania kuwa nchi ya tatu kwa uchimbaji mkubwa wa dhahabu afrika kwa taarifa zaidi tembelea tovuti ya wizara ya nishati na madini
2017-06-23T03:34:11
https://tanzania.go.tz/home/pages/131
tls wanasheria hatuogopi mabadiliko | gazeti la jamhuri napenda nianze hotuba yangu kwa kuishukuru mahakama kwa kuweka misingi ya kudumu katika kuadhimisha wiki ya sheria kila mwaka kwa kufanya ufunguzi rasmi wa shughuli za mahakama sisi mawakili na wanasheria ni wadau muhimu katika mchakato wa utoaji wa haki tunaiona wiki hii kuwa ni fursa muhimu ya kuwafahamisha wananchi juu ya misingi ya utoaji haki kupitia teknolijia ya habari na mawasiliano (tehama) tehama inaharakisha mchakato wa kutoa haki bila kuathiri maadili ya taaluma na haki yenyewe chama cha wanasheria wa tanganyika (tls) kinapaza sauti katika misingi ya kaulimbiu ya mwaka huu matumizi ya tehama katika utoaji wa haki kwa wakati na kwa kuzingatioa maadili kaulimbiu hiyo ni kichocheo muhimu na bora katika mchakato wa utoaji haki kwa ubora na wakati stahiki hivyo matumizi bora ya tehama ni kichocheo kinachoharakisha maendeleo kwa sababu kinawawezesha wananchi kufanya mawasiliano makubaliano kutekeleza sheria kutatua migogoro kwa haraka na kuwapa fursa ya kuendelea na shughuli za maendeleo bila kupoteza muda ni dhahiri kwamba maendeleo yoyote yanakuja na hitaji la kutumia dhana na miundombinu ili kuendana na kasi yake kwa hali hiyo mamlaka za utoaji haki zinasukumwa na maendeleo ya tehama iliyopo katika msukumo wa maendeleo ufahamu wa kompyuta kama chombo na vyombo vingine vinavyoweza kupitisha matumizi ya tehama lazima viwezeshwe au kulishwa mifumo ya kimuundo na kisheria ili kupitisha na kutumia tehama kuharakisha utoaji haki uamuzi na hatua hii ni mojawapo ya mafanikio ya rai yetu ya kipindi kirefu kwenye vyombo vya utoaji haki tehama imetuwezesha kutuweka pamoja kwa muda mfupi sana mchakato wa kupashana habari na kufahamishana nini kimetokea kimemtokea nini mmoja wetu na nini tunaelekezwa kufanya pale wito au agizo linapotolewa na chombo chochote kinachotusimamia kinachotuongoza kinachoshiriki kutunga sheria au kinachotoa haki kwa kipindi kirefu sasa jumuiya yetu imeweka mifumo ya tehama kama ifuatavyo mfumo wa regesta ya taarifa za mawakili ambazo mtu yeyote anaweza kuingia katika tovuti kumthibitisha wakili na yuko katika mfumo sahihi mfumo huo pia umetuwezesha kutoa vitambulisho au taarifa kadhaa kwenye vyombo vya dola kwa muda mfupi mfumo mmoja wa mawasiliano na upashanaji habari mfumo wa pamoja wa taarifa za maendeleo ya elimu ya sheria unaotoa alama pindi tunapohudhuria mafunzo kwa mujibu wa sheria na kanuni tuliojiwekea ili tuweze kupata leseni ya uwakili kwa mwaka unaofuata mifumo ya kukusanya mapato inayopatikana kupitia njia mbalimbali ambayo huwawezesha wanachama wetu pamoja na wadau kulipia ada za uanachama mafunzo michango na misaada kutoka kwa wadau kutunza kumbukumbu za matumizi ili kutoa taarifa sahihi katika dhana ya uwajibikaji mfumo wa kupokea maoni na maswali kutoka kwa wanachama ikiwa ni pamoja na wadau wetu waliounganishwa kwenye mfumo kwa kushirikiana na lexis nexis publisherstumeweza kuweka mfumo wa orodha ya uamuzi elekezi unaoweka orodha ya mashauri elekezi (high court and court of appeal judgement landmark cases) mfumo huu pamoja na kuwezesha kuona mashauri ya tanzania kupitia taarifa ya uamuzi wa tanganyika law society (tls tr) inatuwezesha kuona uamuzi wa mahakama nyingi za jumuiya ya madola duniani kwa hivi sasa tuko katika mchakato wa kuingiza katika tehama mambo yafuatayo jinsi ya kutoa elimu ya kisheria majibu ya papo kwa papo na ushauri wa kisheria kwa wananchi ambao kwa namna yoyote hawawezi kupata fursa ya kupata elimu ya sheria mfumo utakaowawezesha wanachama wetu kupokea taarifa za shughuli mikutano na mafunzo kupitia simu zao za kiganjani mfumo utakaowawezesha wanachama wetu kushiriki moja kwa moja kwenye mikutano na mafunzo yetu hata pale wanapokuwa nje ya ukumbi popote pale nchini mfumo unganishi wa wadau wetu wa taasisi za fedha kama vile benki na mitandao ya simu utakaowawezesha wanachama wadau na wabia wetu katika maendeleo ya taasisi kulipia ada na michango yao bila kulazimika kutembea kwenda kwenye ofisi za mawakili zilizopo kwenye kanda zetu kuweka mifumo mingine wezeshi ili kuharakisha huduma kwa wanachama serikali bunge na wananchi kwa ujumla najua changamoto zilizopo katika tehama lakini ninaamini kwamba wakati umefika mahakama maofisa wa mahakama na wadau wake waanze kutumia tehama labda nitumie wasaa huu kutaja mambo kadhaa tunayoweza kuanza nayo kulipa na kufaili mashauri na mawasiliano mengine mahakamani kwa njia ya mtandao kuchukua na kutoa taarifa za kumbukumbu ya shauri kwa wakati wa usikilizwaji wa shauri hii huondoa udanganyifu upotoshaji upindishaji haki hofu kwa wananchi kuhusu uamuzi ulazima wa kupinda mgongo kwa waheshimiwa kuchukua kumbukumbu tunasema hiki kinawezekana kwa sababu vyombo kama bunge kwa muda mrefu sasa hutoa kumbukumbu zao kwa muda mfupi kutoa taarifa za mashauri kama vile kuhudhuria na kuahirisha kwa wadaiwa na wadau wa kuweka katika kumbukumbu ya pamoja na wazi taarifa ya mahakama sheria na kanuni mbalimbali ili kuwawezesha majaji mahakimu na maofisa wa mahakama kutumia uamuzi (judgement) sheria na kanuni ambazo zinatumika kwa wakati huo hapa na duniani kote ili kuhakikisha uwepo wa maadili na uelewa sawa katika upatikanaji wa haki na utekelezaji wa wajibu kwa wananchi kwa wakati ninaliomba bunge serikali na vyombo vyake kuangalia tena kwa makini sheria zinazosimamia tehama ili zisitafsiriwe au kutumiwa vibaya na hivyo kudhoofisha matumizi ya tehama katika utoaji haki kwa wakati kupitia upashanaji habari na ukusanyaji wa ushahidi kazi hii inaweza kufanywa kwa makini kuangalia sheria za tehama na sheria ya makosa ya mtandaoni sisi mawakili na jumuiya ya mawakili kwa ujumla tukiwa wadau na kiungo muhimu kulingana na malengo ya taaluma yetu kwa mujibu wa majukumu yetu tumekuwa chombo muhimu cha mabadiliko sisi mawakili pamoja na jumuiya yetu hatuogopi mabadiliko na tuko tayari kwa mabadiliko hatuogopi kusema madhaifu yetu na tuko tayari kukosolewa ili kufungua mlango wa mabadiliko ukiangalia kwa makini majukumu yetu yaliyopo kwenye sheria yetu utaona wito wetu kila kukicha ni kuomba mabadiliko naomba nifanye marejeo kidogo kwenye kifungu cha 4 cha sheria ya the tanganyika law society act cap 307 ili kukamilisha hoja yangu kuhusu azma yetu kwa pamoja kuhusu mabadiliko ya kimfumo kisheria na kiutendaji makala hii ni sehemu ya risala iliyohaririwa ya makamu mwenyekiti wa chama cha wanasheria wa tanganyika godwin ngwilimi katika maadhimisho ya siku ya sheria nchini tls 20180206 previous msimamo wa ag mpya kuhusu makinikia next bundi wa mgogoro wa ardhi atua arusha
2019-09-21T09:09:22
http://www.jamhurimedia.co.tz/tls-wanasheria-hatuogopi-mabadiliko/
stella kilambo namtafuta antonia qunibert tulisoma wore mbagala mission secobdary mimi ni stella kilambo namtafuta antonia qunibert jina stella kilambo 0754 755468 mbeya mwakibete sebastian na merresiana sospita kalilwa💨 cecilia mbilinyi💨 jeremia mchiwa📝
2018-06-22T17:03:21
http://www.ackyshine.com/kutafutana:1462
kifo cha ghaddafi chamgusa pinda | jamiiforums | the home of great thinkers kifo cha ghaddafi chamgusa pinda discussion in 'jukwaa la siasa' started by power g oct 31 2011 asema anaamini kuuawa kwake si sahihi ahofia yanayotokea libya kuingia nchini ​waziri mkuu mizengo pinda amesema yeye ni miongoni mwa watu wanaoamini kuwa kifo cha kiongozi wa libya muammar gaddafi hakikuwa sahihi akizungumka katika misa ya mavuno ya parokia ya mtakatifu petro oysterbay jana ambako pia aliendesha harambee na kufanikiwa kupata sh milioni 11165 zikiwa ni fedha taslimu na ahadi pinda awataka watanzania kuenzi amani iliyopo nchini kwani yanayoendelea katika nchi za jirani yanatisha na si ya kuomba yatokee kwa watanzania tuangalie yanayotokea libya si mambo mazuri hata kidogo mimi ni miongoni mwa watu wanaoamini kuwa kifo cha gaddafi si sahihi hata kidogo ni bora angekamatwa akashtakiwa kuliko watu kujiamulia kutoa roho ya mtu mwingine hivi hivi watanzania tuombeane tusifike huko alisisitiza my take iwapo ccm wataendeleza jadi yao ya kubaka demokrasia na kuchakachua katiba ili watawale daima wajue wazi kwamba ya libya yatawakuta tu watakaotufikisha huko ni viongozi wetu na ccm ambao hawakubali kushindwa na wanaamini nchi hii ni ya kwao peke yao pia ni hii ardhi inayogawiwa kama njugu inaweza kutufikisha huko kuombeana pekee hakutoshi kifo cha kujitakia ameaambiwa mapema jiweke pembeninenda uhamishoni bana akadhania utani vipi hajamwaga chozi kifo cha gadafi ni sahihi hiyo ndiyo dawa ya viongozi wasiotaka kushindwa je pinda anajua kaburi liko wapi hata yale ya nyamongo hayakuwa mazuri wale ni binaadamu kama gadafi tuache unafiki juzi igunga kuna kijana amekufa kame gadafi vipi mzee pinda acha kuuma na kupuliza chama chako ndiyo chanzo cha kuelekea huko leo unasemea kanisani acheni kubaka demokrasia nchi itakuwa salama ghadafi alianza kwa kuua waandamanaji kama mlivyo fanya arusha na bado hamjajifunza siyo vizuri kujadili vibanzi vya wenzetu hu sisi tuna boliti machoni na siku kikiwaka hapa aliyofanyiwa gadafi mbona cha mtoto tutawafanyia kweli hasa nyie na familia zenu za kifisadi saa yaja na haiko mbali sisi tunaangalia kuwa roho ya ghadaffi ilitolewa kwa kupigwa risasi je na hao wote waliokufa katika hizo harakati za kuhakikisha ghadafi roho yake inatolewa ni panya ijulikane roho ya binadamu ina thamani sawa kwa mungu hivyo si vyema kumjali ghadafi kama ghadafi ni bora kujali roho za wote waliotutoka katika harakati hizo nadhani ni more than 200000 peoples kama gadaffi angekubali mapema roho kibao zingepona shame on gadafi bora angekufa mapema zaidi mzee pinda acha kuuma na kupuliza chama chako ndiyo chanzo cha kuelekea huko leo unasemea kanisani acheni kubaka demokrasia nchi itakuwa salama ghadafi alianza kwa kuua waandamanaji kama mlivyo fanya arusha na bado hamjajifunza siyo vizuri kujadili vibanzi vya wenzetu hu sisi tuna boliti machoniclick to expand mimi nadhani kama angekuwa si mnafiki kama walivyo viongozi wote wa ccm angewaeleza wananchi yale ambayo ccm imejifunza kutokana na matukio ya libya siyo kuwaambia watu waombe mungu anadhani libya misri nk walikuwa hawaombi mungu i wish kifo kama icho kingewakuta baadhi ya viongozi wetu wa sasa ili waijue nguvu ya umma pls dont quote me wrong nimesema nguvu ya umma na si ya nato akizungumka katika misa ya mavuno ya parokia ya mtakatifu petro oysterbay jana ambako pia aliendesha harambee na kufanikiwa kupata sh milioni 11165 zikiwa ni fedha taslimu na ahadipinda awataka watanzania kuenzi amani iliyopo nchini kwani yanayoendelea katika nchi za jirani yanatisha na si ya kuomba yatokee kwa watanzania ​ tuangalie yanayotokea libya si mambo mazuri hata kidogo mimi ni miongoni mwa watu wanaoamini kuwa kifo cha gaddafi si sahihi hata kidogo ni bora angekamatwa akashtakiwa kuliko watu kujiamulia kutoa roho ya mtu mwingine hivi hivi watanzania tuombeane tusifike huko alisisitiza kwamba ya libya yatawakuta tuclick to expand ikifikia hatua watu wanaanza kuingiza kichwani na hatimaye kuruhusu wazo la uasi 'dhidi ya amani' litawale na mwisho maungo yao yafanikishe uasi huo hapo elewa fika wamegundua kuwa kile kinachoitwa amani ni mrija utumikao kuwanyonya na pia nyundo itumikayo katika kuwagonga na kuwakandamiza hakuna tena sababu ya kuienzi nyenzo ya aina hiyo kwenye lime color hakuna aombaye yatokee yatokeayo kwa wenzetu ila kwa style ya uongozi na tabia za watawala jamii inaona kuwa hilo ndiyo jambo pekee na muafika tunalihitaji kulitumia ili kufikia zile angalau/nafuu za kimaisha kwenye red waziri mkuu anatakiwa kuelewa kuwa yaliyotokea libya ni machafuko ambayo chanzo chake ni madaraka (ung'ang'anizi ukombozi kiu ya madaraka) hivyo nashangaa kuona waziri mkuu akisikitishwa na kilichompata gaddaf waliopoteza maisha ni wengi katika mapambano nchini libya ila kwa namna alivyosikitishwa na kifo cha gaddaf ni kama vile gaddaf ndiye mtu pekee aliyeuawa katika mapambano yale je amechagua kumlilia gaddaf kwa kuwa ni mtawala mwenzao na kuacha wafu waliliane wao kwa wao na kuzikana pindanaomba nikutaarifu kuwa siamini kuwa sentensi yako imefika mwisho naamini unakohoa au unafuta machozi (kama kawaida yako)ili uendelee na speech yako na mimi naahidi kuendelea kukusubiri uimalizie sentensi yako sitaki kuku quote vibaya membe yeye najua ameshamaliza na kilichofanya aumizwe tunakijua what a pinhead foreign minister alishatumwa kutoa diplomatic stance ya tanzania waziri mkuu huwezi kuibukia kwenye makanisani kutoa opinion zako huruhusiwi kuwa na opinion in public any publicly stated opinion ya waziri mkuu ni foreign policy ya nchi huwezi ku supplant statement za bernard membe ambazo zimepata approbation ya ikulu waziri mkuu huwezi kuibukia kwenye makanisani kutoa opinion zako huruhusiwi kuwa na opinion in public any publicly stated opinion ya waziri mkuu ni foreign policy ya nchi huwezi ku supplant statement za bernard membe ambazo zimepata approbation ya ikuluclick to expand imeandikwa wapi kuwa ukiwa waziri mkuu huwezi kuibuka kwenye makanisani na kutoa opinion zako halafu kwenye makanisani ndiyo nini imeandikwa wapi kuwa ukiwa waziri mkuu basi huruhusiwi kuwa na opinion in public na imeandikwa wapi kuwa any publicly stated opinion ya waziri mkuu ni foreign policy ya nchi imeandikwa kwenye katiba ya nchi pinda amekosea kwenye conclusion yake unapowaambia wananchi tuombe mungu tusifike huko na wakati hamuwasikilizibasi ni kama mnawatisha na kuwaingizia hofu kama mlivyofanya kipindi kile cha vita ya rwanda kifupi ni wengi ambao hatukufurahishwa na alichofanyiwa gaddafihowever nilishasema kuwa la kujifunza kutoka libya ni kuwasikiliza wananchi wao kama viongozi wanatakiwa kuwasikiliza wananchi hata kama wanadhani maslahi yao ya uongozi yamo hatarinini bora ku work things out kuliko ku ignore ama kuwanyamazisha wananchi kwa kutumia dola waziri mkuu mizengo pinda amesema yeye ni miongoni mwa watu wanaoamini kuwa kifo cha kiongozi wa libya muammar gaddafi hakiku sahihi ​ akizungumka katika misa ya mavuno ya parokia ya mtakatifu petro oysterbay jana ambako pia aliendesha harambee na kufanikiwa kupata sh milioni 11165 zikiwa ni fedha taslimu na ahadi pinda awataka watanzania kuenzi amani iliyopo nchini kwani yanayoendelea katika nchi za jirani yanatisha na si ya kuomba yatokee kwa watanzania my take iwapo ccm wataendeleza jadi yao ya kubaka demokrasia na kuchakachua katiba ili watawale daima wajue wazi kwamba ya libya yatawakuta tuclick to expand sasa huu nao si utu hata kidogo mhe inaonekana roho ya tamaa ya madaraka haijamwachia bado si ndio huyu mzee aliyemwambia mkewe aanze kumkampenia chinichini akazimishwa na kk si uungwana hata kidogo kama kiongoza wa jamii angepaswa kusikitika kwa vifo vya raia wengi wasio na hatia yoyote kule libya kumlenga na kumtetea kiongozi mkuu ni ubinafsi na inaonyesha picha ya wazi kwamba mzee huyu hayuko kwa maslahi ya wananchi bali viongozi embu ona mfano mdogo tu wa jumatatu ya sept12 ambapo muamar gadaffi aliamuru wafuasi wake kufanya shambulizi la hujuma na kushambulia kisima kikubwa cha mafuta huko benghazi na kujeruhi mamia ya watu vibaya huku ikiokotwa miili 15 ya watu waliokufa vibaya waliobahatika kuonekana na wengine kumezwa kabisa kwa moto sasa wale wahandisi wahudumu mafundi na wengine wafanyakazi wa mgodi huo wa mafuta wana kosa gani hawako upande wowote wao wanazalisha tu mafuta unapowaua bila huruma maskini hao wengine hata hawajui mtutu wa bunduki ukoje una maana gani leo basi tusikie viongozi wa nchi wakilaani mauaji kama hayo badala yake wanamlilia gadaffi wanawake na watoto wasio na kosa wameuawa leo hii mtu anamlilia gadaffi jinga jingassss hii ndio tafsiri ya uroho wa maaraka uliopindukia angalau angewaasa viongozi wa dini kuliombea taifa ili maafa kama ya juzi ya kuzama kwa mv islanders yasitoke nchini na kuangamiza mamia ya watanzania yeye anawazia tu gadafffi gadafiii watanzania wenzake wamezama na kufia chini ya bahari 300m jamaa hilo halijamgusa kabisa analia gadafiii gadafiiii shit magamba huwa hayafahamu kama wananchi pia ni binaadamu na wana haki ya kuishi wanawasikitikia madikteta wenzao tu ana bahati yeye kimemgusa wapo kilio watoa machozi maana wamekosa mfadhili wa kampeni zao akizungumka katika misa ya mavuno ya parokia ya mtaka hofu yao ni juu ya maovu na manyanyaso wanayowafanyia watz so wanaogopa kibao kisiwagekieclick to expand waziri mkuu mizengo pinda amesema yeye ni miongoni mwa watu wanaoamini kuwa kifo cha kiongozi wa libya muammar gaddafi hakikuwa sahihi na mauaji ya watu wa benghazi ni sahihi au la haki ni kwa watu wote na sio watu fulani
2016-10-28T06:44:15
http://www.jamiiforums.com/threads/kifo-cha-ghaddafi-chamgusa-pinda.187604/
kikwete alivyoguswa na walioacha shule ruvuma kuna jambo limenivutia wakati wa ziara ya rais kikwete ruvuma anajivunia kuwa na mke mwalimu yule pale mke wangu yule ni mwalimu anasema anapozungumza na wananchi katika kijiji cha lumecha wakati akiwa njiani kwenda mjini namtumbo si hivyo tu rais kikwete anawathamini walimu katika maeneo mbalimbali baada ya kuzungumza na wananchi aliwaita wapige picha asanteni nyie watu wazuri kwaherini na watoto someni anawaaga wananchi wa lumecha rais anakumbuka agizo kuhusu ujenzi wa maabara katika kila shule ya sekondari na amedhamiria kulitekeleza hili la maabara lipo clear (wazi) novemba lazima wamalize anayeshindwa ninaye anasema ameagiza viongozi wote wakiwemo wa halmashauri na madiwani wahakikishe agizo lake linatekelezwa yeye atapeleka vifaa novemba mwaka huu kila shule ya kata iwe na maabara ya physics (fizikia) chemistry (kemia) na biology (biolojia) ameagiza rais kikwete wakati anazungumza na viongozi wa mkoa wa ruvuma mjini tunduru rais kikwete anasema hili sisemi sana tutaulizana novemba kasi kubwa ya wanafunzi mkoani humo kuacha shule imemkera rais kikwete anataka majibu ya uhakika sababu za kuwepo tatizo hilo na ameagiza limalizwe haraka elimu ninyi mkoa huu mna mtihani mkubwasafari yenu ni ndefu kweli anasema mbunge wa namtumbo vita kawawa anafahamu changamoto kubwa ya elimu mkoani ruvuma na anatambua pia umuhimu wa elimu kwa watoto nchi hii inaendeshwa kwa mpito leo tupo sisi kesho vijana wetu watakuja kutuongoza anasema kawawa nasisitiza ndugu zangu wana ruvuma chonde chonde tusimamie watoto wetu waende shule anasema rais kikwete anataka majibu kuhusu wanafunzi wanaonza shule za msingi na sekondari lakini hawamalizi kwamba ni kwa nini hawamalizi wapo wapi wanafanya nini na kwa nini wapo huko kwa mujibu wa kikwete jambo la mtoto kutomaliza shule ni baya ameagiza wanafunzi wanaoacha shule watafutwe mapema waendelee kusoma kwa mujibu wa kiongozi huyo mkuu wa nchi kiwango cha wanafunzi wasiomaliza shule hakikubaliki tatizo hilo lazima limalizwe haraka rais kikwete amewaagiza viongozi mkoani ruvuma wajiulize watafanya nini ili watoto walioacha shule warudi shuleni kuendelea na masomo rais anasema kuna tatizo kubwa la mimba kwa wanafunzi mkoani ruvuma na kama shule hazitakuwa na hosteli jambo hilo baya litaendelea hili na hosteli mlifikirie sana na hili la school feeding (chakula kwa wanafunzi shuleni)school feeding program ni muhimu usiwe uji tu waongeze lishe anasema anasema kama kasi ya sasa ya wanafunzi kuacha shule itaachwa iendelee baadaye kutakuwa na tatizo kubwa la kuwa na mpango wa elimu kwa waliokosa kwa nini huyu alipata fursa ya kusoma akaacha shule halafu sasa mnaanza kuhangaika na mpango wa elimu kwa aliyekosa anasema rais kikwete mjini tunduru alipozungumza na viongozi wa mkoa wa ruvuma kabla ya kumaliza ziara ya siku saba rais kikwete amewaagiza viongozi wa mkoa huo ifikapo agosti nane mwaka huu wawe wamewasilisha kwake mpango wa kukabiliana na tatizo la watoto kutomaliza shule kwa nyakati tofauti rais kikwete anasema wanafunzi wengi hawamalizi shule kwa sababu viongozi si makini na kwamba serikali haiwezi kuacha hali hiyo iendelee hivyo ni lazima tatizo hilo lipatiwe ufumbuzi haraka amewaeleza mamia ya wananchi wa namtumbo kuwa anafahamu kwamba baadhi ya wanafunzi hawamalizi shule kwa sababu ya kupata mimba hivyo amewauliza wanaume ni uhodari gani kumpa ujauzito mwanafunzi amewataka wanaume wawaache wanafunzi wa kike wasome wawafuate wakubwa wenzao kwa kuwa kuna wanawake wengi wanaotafuta wanaume kwa mujibu wa rais kufanya ngono na mtoto wa kike ni tabia mbaya na si uhodari uhodari wa kuhonga pipi tafuta wazee mzee mwenzako mzungumze ili mpishane manenokuna wanaume wa hovyo tu anasema wanawake wapo wengi wanaotafuta wanaume lakini unataka wanafunzi tuuhodari huu uhodari wa kuhonga pipi mtoto wa shule aachwe asome ndiyo maana mke wangu ana msemo hapa mtoto wa mwenzio ni mwanao anasema na kubainisha kuwa mimba kwa wanafunzi zimekithiri mikoa ya kusini na pwani mke wa rais kikwete mama salma kikwete anasema watoto wa kike wanastahili kupata fursa ya kupata elimu badala ya kuozeshwa wakiwa wadogo na amependekeza wanaooa wanafunzi wafungwe jelakumpa mume darasa la tano si wakati wake kumpa mume kabla ya matokeo si wakati wake wafungwe hawa akifungwa mmoja hawatarudia wengine huku mimba ni nyingi ni nyingi kupita kiasi anasema ninyi wazee msiwape hawa watoto mimba mtoto wa mwenzio ni mwanao kama uliyemzaa ninyi vijana msiwape watoto mimba kwani dada yako anaweza kuwa mpenzi wako mwiko haiwezekani hata kidogo alisema mama salma rais kikwete ameamuru wanaume waliooa wanafunzi wasakwe washitakiwe mahakamani wajibu mashitaka ya ubakaji na pia ameagiza wasichana wanaopaswa kuwepo shuleni lakini hawapo huko watafutwe warudi kuendelea na masomo mtoto wa shule hatakiwi kuwa mama wa nyumbani mtoto wa shule anatakiwa awepo shuleni anasema rais lazima nipate majibu wapo wapi kwa nini lazima mchukue hatua hao wengine wapo wapi anauliza rais kikwete kwenye mkutano wa hadhara mjini namtumbo wakati akiendelea na ziara mkoani ruvuma iliyoanza julai 17 mwaka huu rais anaagiza maofisa elimu shule za msingi na sekondari watoe taarifa kwenye baraza la madiwani kuhusu mahudhurio ya wanafunzi na pia walimu watoe ripoti kama hiyo kuhusu wanafunzi waliopo na wasiokuwepo ili hatua zichukuliwe haraka anatoa mfano kuwa wanafunzi 4509 tu walihitimu darasa la saba wilayani namtumbo mwaka jana kati ya 7520 waliokuwa wameanza darasa la kwanza amesema mwaka 2010 wanafunzi 18892 walianza masomo ya sekondari mkoani ruvuma lakini 9968 tu ndiyo waliohitimu hivyo kumaanisha kuwa watoto 8924 hawakumaliza ambao ni sawa na asilimia 48 this is bad (jambo hili ni baya) asilimia moja mbili tatu ni kawaida lakini asilimia 48 haikubaliki anasema viongozi wa mkoa mkae mlizungumze mkae mlizungumze mkitoka hapa it is a serious matter very serious anasema rais kikwete anatoa mfano kuwa mwaka 2007 watoto 9900 waliandikishwa kuanza darasa la kwanza wilayani humo lakini 6482 tu walifanya mtihani wa darasa la saba mwaka 2013 hivyo kumaanisha kuwa 3418 hawakumaliza shule anasema pia kuwa kati ya wanafunzi 3100 walianza kidato cha kwanza katika wilaya hiyo 1251 tu walifanya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2010 na akauliza wanafunzi 1849 wamekwenda wapi wamekwenda wapi inaonekana hili jambo hili halina jawabujambo hili hatuwezi kuliacha liendelee na linaendelea kwa sababu viongozi sio makinini hodari wa kupeleka wanafunzi darasani lakini si kuhakikisha wanakuwa darasani anasema rais ameagiza kuwa kila baada ya miezi mitatu walimu watoe taarifa ya mahudhurio ya wanafunzi na amewataka viongozi watimize wajibu wao katika jambo hilo mkiwatafuta mapema watoto hawa watarudi mmeshindwa kutimiza ipasavyo wajibu wenu wa uongozi anasema rais kikwete kwa mujibu wa rais kikwete malengo ya matokeo makubwa sasa (brn) ni kufikia kiwango cha ufaulu cha asilimia 80 lakini ruvuma wapo kwenye asilimia 38 hivyo ametaka wajitahidi wafike angalau asilimia 60 rais anasema inasikitisha kuona kuwa mikoa iliyo nyuma kimaendeleo ndiyo isiyotilia mkazo suala la elimu na kwamba kwenye jambo hilo hataki ile dhana ya aliyenacho ataongezewa rais umenena mwenye masikio na asikie
2020-08-11T16:10:16
https://habarileo.co.tz/habari/kikwete-alivyoguswa-na-walioacha-shule-ruvuma.aspx
indwi ya 5 yo mu mwaka ku wa mbere (années impaires) « imana ni nziza accueil » ijambo ry'imana (la parole de dieu) » indwi ya 5 yo mu mwaka ku wa mbere (années impaires) indwi ya 5 yo mu mwaka ku wa mbere (années impaires) ivyo dusoma mu gitabu camamuko (1119) mu ntango imana yaremye ijuru nisi na yo isi yari ikidengeri atakiriho umwijima wari upfutse inyenga umutima wimana na wo wareremba ku mazi imana iraheza ivuga iti «umuco nubeho» umuco uca urahaba imana ibona ko umuco wari mwiza itandukanya umuco numwijima nya muco imana iwita umutaga umwijima na wo ijoro haba umugoroba hongera haba nigitondo uba umusi wa mbere imana ivuga iti «nihabe ikirere hagati yamazi gitandukanye amazi nayandi» bica biba uko imana irema ijuru ritandukanya amazi ari munsi yijuru namazi ari hejuru yijuru imana iraheza yīta ikirêré ijuru haba umugoroba haba nigitondo uba umusi wa kabiri imana irongera ivuga iti «amazi yose ari munsi yijuru nakoranire mu kiyaga kimwe haheze haboneke isi yumutse» bica biba gutyo nyene ahumutse imana ihīta isi aho amazi akoraniye na ho ihīta ibiyaga imana ibona ko ari vyiza imana ivuga iti «isi niyuzureko ibimera ivyatsi bifise imbuto nibiti vyama na vyo vyame kwisi ivyamwa birimwo imbuto» bica biba gutyo isi iraheza iramera ivyatsi vyifitiye imbuto zubwoko bwavyo nibiti vyama vyubwoko bwavyo birimwo nimbuto zavyo imana na yo ibona ko ari vyiza haba umugoroba haba nigitondo uba umusi wa gatatu imana ivuga iti «nihabe ibimuri hejuru kwijuru bitandukanya umutaga nijoro bibe ibimenyetso vyimisi mikuru ivyimibarwa nivyimyaka nibibe ibimuri hejuru biboneshereze isi» bica biba uko imana irema ibimuri bibiri bikurubikuru ikimuri kininiya cukwihariza umutaga nikimuri co kwihariza ijoro be ninyenyeri imana iraheza ibishira hejuru kwijuru ngo bimurikire isi bitegeke umutaga nijoro bitandukanye umuco numwijima imana ibona ko ari vyiza haca umugoroba haca nigitondo uba umusi ugira kane izaburi 103 (104) 12a 56 1012 2435c icit imana nihimbarwe nivyiza yagize mukama mana yanje uri mukuru cane ubukuru nubwiza bibarizwa iwawe isi warayitsindagiye urayigumya nta kizoyinyiganza mu myaka yose wari wayōrōsheje inyenga yamazi ayikikiza hose ku mitumba niho amazi avyagira imyonga uyikura mu bucokwe ishororonga hagati y imisozi inyoni zijuru zibera hafi yayo mu mashami yibiti ni ho ziryogorera ninahaza umukama se mushaha wanje ivyo dusoma mu nkuru nziza ya yezu kristu nkuko yashikirijwe na mariko (6 5356) bamaze kujabuka yezu nabigishwa biwe bururukira i genezareti barazirika ubwato igihe basohotse bava mu bwato abantu baramumenya bakwiragira ningoga na ningoga igihugu cose baja mu vyo kuzana abarwaye ku nderuzo hose aho bumva ari aho yaja hose ari mu bigwati ari mu mihana baza barashira abarwaye ahabona bakamutakambira ngo abareke bapfume bakora ku buyonga bwumutamana wiwe na bo abaramuka bamukozeko bose barakira ← idominika ya 5 yo mu mwaka a indwi ya 5 yo mu mwaka ku wa kabiri (années impaires) →
2020-05-26T08:44:56
https://ryotwubaka.com/2017/01/30/indwi-ya-5-yo-mu-mwaka-ku-wa-mbere-annees-impaires/
waziri wa elimu azungumza na walimu wakuu wa skuli za serikali na binafsi kisiwani pemba zanzinews home habari matukio waziri wa elimu azungumza na walimu wakuu wa skuli za serikali na binafsi kisiwani pemba waziri wa elimu azungumza na walimu wakuu wa skuli za serikali na binafsi kisiwani pemba waziri wa elimu na mafunzo ya amali zanzibar riziki pembe juma akizungumza na walimu wakuu wa skuli za serikali na binafsi kisiwani pembakatika ukumbi wa skuli ya sekondari ya fidelkastro (picha na habiba zarali) walimu wakuu wa skuli za serikali na za binafsi kisiwani pemba wakiwa katika mkutano na waziri wa elimu na mafunzo ya amali zanzibar riziki pembe juma uliofanyika katika skuli ya sekondari ya fidelkastro (picha na habiba zarali) naibu waziri stella ikupa afungua mkutano mkuu wa tano wa thtu mkoani kilimanjaro *naibu waziri ofisi ya waziri mkuu serabungekazi vijanaajira na wenyeulemavustella ikupa akiwasili katika ukumbi wa jk nyerere uliopo chuo kikuu cha
2018-08-16T07:45:34
http://www.zanzinews.com/2018/07/waziri-wa-elimu-azungumza-na-walimu.html
kumbe dunia inajua viongozi wetu hodari kwa maneno | jamiiforums | the home of great thinkers kumbe dunia inajua viongozi wetu hodari kwa maneno discussion in 'jukwaa la siasa' started by mzizimkavu apr 1 2012 katika kile kinachoonekana kama jibu la kwa nini tanzania ni nchi maskini licha ya rasilimali nyingi ilizonazo tena miaka 50 baada ya uhuru wataalamu wa masuala ya uchumi kutoka china na vietnam wamesema umaskini unaoikabili nchi yetu unatokana pamoja na mambo mengine viongozi kuwa na maneno mengi kuliko vitendo wakichangia mada mbele ya rais jakaya kikwete ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mkutano wa 17 wa mwaka wa taasisi ya utafiti wa kuondoa umaskini tanzania (repoa) jijini dar es salaam juzi wachumi hao ambao walikuwa wamealikwa kueleza uzoefu wao katika masuala ya kuondoa umaskini walisema tanzania haikupaswa kuwa nchi inayotegemea misaada kutoka kwa wahisani bali ilipaswa kuwa inajitegemea akitoa uzoefu wake profesa do ducdinh wa taasisi ya kimataifa ya uchumi ya vietnam mbali na kukosoa mchakato mzima wa ubinafsishaji uliofanywa na serikali ya awamu ya tatu ambao ulibinafsisha na kuua viwanda vingi vya msingi alisema inasikitisha kuona tanzania ina kila rasilimali lakini ni maskini wa kutupwa akizungumza huku rais kikwete akimsikiliza kwa umakini mkubwa mtaalamu huyo alisema tanzania imebinafsisha viwanda kiholela na matokeo yake viwanda vingi vimekufa na kuongeza kuwa nchini vietnam suala la ubinafsishaji lilifanywa kwa umakini na serikali sasa inamiliki viwanda vingi ambavyo vinatoa ajira alitoa mfano kwa kusema kuwa pamoja na kwamba vietnam ni nchi ambayo haina kilimo cha korosho inavyo viwanda vingi vinavyobangua korosho vikiwa vinapata malighafi kutoka nchi mbalimbali duniani ikiwamo tanzania huku akiishangaa tanzania ambayo inalima korosho lakini imebinafsisha viwanda vya kubangua zao hilo ambavyo vingi vimekufa huku akihoji inakuwaje nchi inabinafsisha viwanda vinavyoongeza thamani ya mazao ya kilimo ambacho kinategemewa na asilimia 80 ya wananchi mtaalamu huyo alionya kuwa iwapo tanzania inayo nia ya dhati ya kupunguza umaskini wa wananchi wake basi haina budi kujipanga na kuikuza sekta ya kilimo kwa vitendo kwa upande wake profesa li xiaoyung wa kituo cha kimataifa cha kuondoa umaskini cha beijing alisema maisha magumu yanayolalamikiwa na wananchi yanatokana na mfumuko wa bei hasa wa vyakula na kutoa mfano wa ugali ambao ni chakula kikuu lakini bei ya unga ni kubwa kiasi cha wananchi wengine kushindwa kuimudu alisema alipokuja tanzania mwaka jana alikuta kilo moja ya mchele ikiuzwa sh1200 lakini ameshangaa kukuta kilo moja ya bidhaa hiyo ikiuzwa sh2500 hivi sasa na kusema huo ni mfumuko wa ajabu mtaalamu huyo alisema mfumuko huo kwenye bidhaa za chakula ndiyo unaowasababishia wananchi umaskini kwa sababu ni bidhaa wanazozihitaji kwa matumizi ya kila siku huku akisema sekta za mawasiliano na madini ambazo serikali inatilia mkazo haziwezi kuwaondolea watanzania umaskini kama kilimo hakitapewa kipaumbele kauli za wataalamu hao ni nzito na ndiyo maana tumelazimika kuzitilia msisitizo kwa kuzirudia kinagaubaga katika safu hii tunasema hivyo kwa sababu dhana na nadharia za maendeleo na za kufuta umaskini ambazo viongozi wetu walizirudufya kutoka katika sera za benki ya dunia na shirika la fedha duniani (imf) hazikutukwamua katika umaskini kwa kuwa hazikufaa kutumika katika mazingira tuliyomo bahati mbaya viongozi wetu walikosa ujasiri wa kuzikataa kwa hofu ya kunyimwa misaada ambayo hakika imetushika mateka kwa miaka 50 sasa tangu tupate uhuru sisi tunadhani wataalamu hawa wa uchumi wanastahili pongezi za dhati kwa kutufumbua macho na kutoa majibu kuhusu kwa nini nchi yetu bado ni maskini wa kutupwa licha ya utajiri mkubwa ilionao ni kweli viongozi wetu ni hodari zaidi kwa porojo kuliko vitendo na changamoto inayotukabili sasa kama taifa ni kuhakikisha tunapata viongozi wenye dhamira na uwezo wa kutukwamua katika umaskini na kutufikisha tunakotaka kwenda maji yakimwagika yanaweza kuzoleka kile kinachoonekana kama jibu la kwa nini tanzania ni nchi maskini licha ya rasilimali nyingi ilizonazo tena miaka 50 baada ya uhuru wataalamu wa masuala ya uchumi kutoka china na vietnam wamesema umaskini unaoikabili nchi yetu unatokana pamoja na mambo mengine viongozi kuwa na maneno mengi kuliko vitendo wakichangia mada mbele ya rais jakaya kikwete ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mkutano wa 17 wa mwaka wa taasisi ya utafiti wa kuondoa umaskini tanzania (repoa) jijini dar es salaam juzi wachumi hao ambao walikuwa wamealikwa kueleza uzoefu wao katika masuala ya kuondoa umaskini walisema tanzania haikupaswa kuwa nchi inayotegemea misaada kutoka kwa wahisani bali ilipaswa kuwa inajitegemea akitoa uzoefu wake profesa do ducdinh wa taasisi ya kimataifa ya uchumi ya vietnam mbali na kukosoa mchakato mzima wa ubinafsishaji uliofanywa na serikali ya awamu ya tatu ambao ulibinafsisha na kuua viwanda vingi vya msingi alisema inasikitisha kuona tanzania ina kila rasilimali lakini ni maskini wa kutupwa akizungumza huku rais kikwete akimsikiliza kwa umakini mkubwa mtaalamu huyo alisema tanzania imebinafsisha viwanda kiholela na matokeo yake viwanda vingi vimekufa na kuongeza kuwa nchini vietnam suala la ubinafsishaji lilifanywa kwa umakini na serikali sasa inamiliki viwanda vingi ambavyo vinatoa ajira alitoa mfano kwa kusema kuwa pamoja na kwamba vietnam ni nchi ambayo haina kilimo cha korosho inavyo viwanda vingi vinavyobangua korosho vikiwa vinapata malighafi kutoka nchi mbalimbali duniani ikiwamo tanzania huku akiishangaa tanzania ambayo inalima korosho lakini imebinafsisha viwanda vya kubangua zao hilo ambavyo vingi vimekufa huku akihoji inakuwaje nchi inabinafsisha viwanda vinavyoongeza thamani ya mazao ya kilimo ambacho kinategemewa na asilimia 80 ya wananchi mtaalamu huyo alionya kuwa iwapo tanzania inayo nia ya dhati ya kupunguza umaskini wa wananchi wake basi haina budi kujipanga na kuikuza sekta ya kilimo kwa vitendo kwa upande wake profesa li xiaoyung wa kituo cha kimataifa cha kuondoa umaskini cha beijing alisema maisha magumu yanayolalamikiwa na wananchi yanatokana na mfumuko wa bei hasa wa vyakula na kutoa mfano wa ugali ambao ni chakula kikuu lakini bei ya unga ni kubwa kiasi cha wananchi wengine kushindwa kuimudu alisema alipokuja tanzania mwaka jana alikuta kilo moja ya mchele ikiuzwa sh1200 lakini ameshangaa kukuta kilo moja ya bidhaa hiyo ikiuzwa sh2500 hivi sasa na kusema huo ni mfumuko wa ajabu mtaalamu huyo alisema mfumuko huo kwenye bidhaa za chakula ndiyo unaowasababishia wananchi umaskini kwa sababu ni bidhaa wanazozihitaji kwa matumizi ya kila siku huku akisema sekta za mawasiliano na madini ambazo serikali inatilia mkazo haziwezi kuwaondolea watanzania umaskini kama kilimo hakitapewa kipaumbele kauli za wataalamu hao ni nzito na ndiyo maana tumelazimika kuzitilia msisitizo kwa kuzirudia kinagaubaga katika safu hii tunasema hivyo kwa sababu dhana na nadharia za maendeleo na za kufuta umaskini ambazo viongozi wetu walizirudufya kutoka katika sera za benki ya dunia na shirika la fedha duniani (imf) hazikutukwamua katika umaskini kwa kuwa hazikufaa kutumika katika mazingira tuliyomo bahati mbaya viongozi wetu walikosa ujasiri wa kuzikataa kwa hofu ya kunyimwa misaada ambayo hakika imetushika mateka kwa miaka 50 sasa tangu tupate uhuru sisi tunadhani wataalamu hawa wa uchumi wanastahili pongezi za dhati kwa kutufumbua macho na kutoa majibu kuhusu kwa nini nchi yetu bado ni maskini wa kutupwa licha ya utajiri mkubwa ilionao ni kweli viongozi wetu ni hodari zaidi kwa porojo kuliko vitendo na changamoto inayotukabili sasa kama taifa ni kuhakikisha tunapata viongozi wenye dhamira na uwezo wa kutukwamua katika umaskini na kutufikisha tunakotaka kwenda dunia inajua viongozi wetu hodari kwa manenoclick to expand watu tumesema san juu ya haya mambo lakini viongozi wetu hawaelewi somo nana sasa kiwanda cha urafiki nacho ndio nimekufa hivyo kiukweli huwezi kubinafsisha viwanda ambavyo ndivyo vinavyo ongeza dhamani ya mazaounauzaje viwanda ambao vimekuwa vikisaidia kuprocess raw materials na kupata goods na mwisho wa siku kuuza nje na kupata fedha za kigenihaingii akilini kabisayaani mwl nyerere wakati ana anzisha viwanda hivi tumemwona ni mjinga kabisatusingelalama juu ya ajira ya vijana kama kweli viwanda vyetu vingekuwa vinafanya kazi sielewi ni kwanini lakini hii nchi tajiri inahitaji kiongozi atakae jitolea kwa moyo kwa manufaa ya umma na kuweka mbari matakwa ya watu wa ulaya umasikini wetu ni wa kujitakia na umeletwa na viongozi walio uza viwanda vyetu 10 zinatuangamiza na kukosa ubunifu wa jinsi ya kuendeleza viwanda hivi maji yakimwagika yanaweza kuzolekaclick to expand sikubaliani nawe kabisa ktk hilihapa maji yanazoleka kwani viwanda vipo tunaviona ila wahusika wamebadirisha matumizikwa hiyo tunamwitaji kiongozi atakae rudisha viwanda hivyo mikononi mwa serikali pasi kumwangalia mtu usoni rafiki yangu ukitaka kujua kuwa inawezekana hebu tumwazime nchi hii rais wa china na aiongoze kwa sheria za chinakila kitu kitakuwa sawatatizo la viongozi wetu wameweka mbere urafikijamaa na undugu na hii inawia ngumu kusimamia malengo ya serikali 10 zinatuangamiza na kukosa ubunifu wa jinsi ya kuendeleza viwanda hiviclick to expand ubunifu tunao tatizo ni uzarendo haupo na kama uzarendo haupo lazima utakimbilia 10 nenda pale morogoro kiwanda cha tumbaku kimeuzwa kwa bei ya chee sana tena sanwameuza mpaka nyumba za wafanyakazi bei chee kabisa na kiwanda kinaingiza pesa ya kufa mtuwahusika pale mshahara unaanzia mil 12 kwa mabosi na kuwa bana walalahoi pesa mingi inaenda usa pale tumbaku kuna eng fungo ni mbunifu wa hali ya juuamekibadirisha kiwanda kwa kuweka design za ajabu pale uzarendo hakunaviongozi wanafanya mambo kama nchi si yao tanzania kuna kiongozi mmoja tu ambaye si vuvuzela huyu anaweza kuwa tabibu mzuri wa gonjwa hili linaloikabili nchi hii kwani ni mtu wa vitendo zaidi kuliko maneno amebobea ktk fani husika hivyo anakidhi vigezo vya kuikwamua nchi kutoka ktk janga hili la kujitakia hivyo ni wakati wa watanzania kumpatia mgonjwa wao (tz) daktari stahili kwa ugonjwa unaomsumbua vinginevyo hatutafanikiwa kamwe kwani wengine wote ni mavuvuzela hasa wa chama kile na kileee kumbe dunia inajua viongozi wetu hodari kwa manenoclick to expand na wao wlikuwa wanapoteza muda wao kumweleza kikwete uwezo wa jk kutekeleza mambo ya kimaendeleo ni mdogo kama sio hamna kabisa
2017-07-27T15:04:09
https://www.jamiiforums.com/threads/kumbe-dunia-inajua-viongozi-wetu-hodari-kwa-maneno.242597/
this day magazine mh catherine magige azindua rasmi duka la zurii house of beauty ' '' var month = [123456789101112] var month2 = [janfebmaraprmayjunjulaugsepoctnovdec] var day = postdatesplit()[2]substring(02) var m = postdatesplit()[1] var y = postdatesplit()[0] for(var u2=0u2 mh catherine magige azindua rasmi duka la zurii house of beauty mbunge wa viti maalum wa chama cha mapinduzi (ccm) vijana mkoa wa arusha catherine magige leo amezindua rasmi duka jipya la vipodozi na vitu mbalimbali linalofahamika kwa jina la zurii lililopo katika jengo la dar free market lililopo katika barabara ya alli hassan mwinyi jijini dar es salaam wasiliana nao kwa kuwafollow kupitia acc yao personal ya mgeni rasmi mbunge wa viti maalum (ccm) mkoa wa arusha mh catherine magige akikata utepe katika ufunguzi wa zurii house of beauty duka jipya na la kisasa la vipodozi lililofunguliwa rasmi leo jumatatu 12 jan 2015 kushoto ni ni mkurugenzi wa zurii fashion & beauty boutique jestina george posted by editor on 1947 filed under eastafricannews fashion you can follow any responses to this entry through the rss 20 0 comments for mh catherine magige azindua rasmi duka la zurii house of beauty
2017-10-22T20:45:32
http://thisdaymag.blogspot.no/2015/01/mbunge-wa-viti-maalum-wa-ccm-mkoa-wa.html
ngazi kuu au jamii ya mizizi shuhuda jamii hispania katika kibanda changu cha sauti ni mahali ambapo ninafanya uchawi ninafanya video nawafanya wale wa moja kwa moja best baiskeli eco300 uzalishaji audiovisuella eco200 mazeka eco200 mwanamuziki fundivisa propellers ofisi fundivisa propellers maalum sanduku la muziki wamaziki ara malikian dv416 shule ya muziki alex na isabel dv623 cabin na urefu chini baterista eco100 mwanamuziki eco100 rap kama maisha eco550 musical mtunzi eco100 mazeka dv364 muziki valencia chuo kikuu cha ufundi communication area dv375 uzalishaji studio dv1092 mazoezi chumba antonio alfonso hernandez muigizaji msemaji na dubbing dv cabin imekuwa uwekezaji mzuri sana kwa ajili ya kurekodi matumizi ya vipaji sauti makala ekujifunza video ushirika matangazo matangazo nk pia kutumia kwa mwalimu na sauti dubbing alfonso antonio hernández ni mwandishi wa habari kwa zaidi ya miaka 15 ya uzoefu katika vyombo vya habari hasa redio na matangazo ni mtangazaji mtangazaji na uzalishaji wa redio televisheni na ukumbi wa michezo yeye amefanya kazi kwa bidhaa kama vile castrol publipunto brand localia carrefour orange dgt movistar pc city nk yeye pia ni profesa na mpenzi wa wawili dubbing sauti ambapo yeye hufundisha madarasa desturi amp56 mwanamuziki dv333 mwanamuziki dv416 mwanamuziki eco100 sauti ya juu sauti area eco200 jifunzeni eco250 mazeka links integrated mafunzo ya ufundi kituo cha umma eco400 mafundisho eco550 muziki eco850 film nne na vifaa vya amp36 gitaa dv83 saksafoni eco200 uzalishaji muziki lychees (mechanics mbuzi) amp56 muimbaji & mwimbaji dv421 eco200 uzalishaji audiovisuella dv375 mazeka eco100 spika yesu alonso eco300 mazeka eco400 mazeka chuo kikuu cha autonomous madrid eco250 mafundisho dv375 elimu ya muziki ngoma eco100 muimbaji mahali popote ninayoishi cabin yangu inasafiri na mimi inapendeza na huduma ya baada ya mauzo ya wafanyakazi wa demvox na ushauri wao na mkusanyiko wa cabin katika eneo jipya eco550 uzalishaji audiovisuella eco100 uzalishaji muziki eco300 piano mchezaji eco250 saksafoni eco200 uzalishaji dv935 piano mchezaji eco100 saksafoni eco400 rehearsal kimuziki castelany ya ujerumani dv models shule ya muziki eco100 services vifaa vya eco300 rehearsal kimuziki boomerang tx mitindo ya dv104 muziki dv520 mwanamuziki dv208 hiphop uzalishaji chuo kikuu cha murcia dv208 5 vipande chuo kikuu cha murcia shule ya saikolojia models dv burudani matumizi palma de mallorca hispania eco200 sonora uzalishaji madrid hispania baada ya miaka wakfu kwa ulimwengu wa sautijuu dubbing na postproduction redio tunaanza safari mpya na uzalishaji sauti yetu flycase media kwa kufanya hivyo sisi zimefungwa mpya studio ya kurekodi na kuwa na soundproof kibanda demvox eco200 kwa wetu rekodi sauti mafanikio eco100 locution gijon hispania ana viñuela singer mtaalamu mtangazaji mimi ana viñuela msemaji wa kitaalamu na muimbaji nimekuwa alitumia miaka kazi kama freelancer kwa sauti yangu na daima alikuwa ulemavu wa ubora wa sauti (reverbs kelele za nje (mitaani au majirani) ambaye sneak katika kipaza sauti nk) tangu kutumia cabin kwa locutions yangu demvox eco100 mimi kupata ajira zaidi ya kikazi ubora inayotolewa kitu cha wivu studio yoyote ya kikazi kwa kweli ni studio ya kitaalamu wateja wangu ni kuridhika zaidi na zimeongezeka kwa kiasi kikubwa idadi ya bidhaa wanaowaamini katika kazi yangu mimi kumbukumbu kwa matangazo katika televisheni ya taifa na atresmedia mimi kumbukumbu voiceovers kwa bidhaa kama vile bmw mkuu electrics au utawala wa serikali ya hispania ikiwa ni pamoja na makampuni ya kigeni kutafuta sauti kwa apps simu zao vituo vya simu au kozi e kujifunza mbali na hilo mimi mwenyewe ni nani kuanzisha kibanda na mimi kusema kwamba kwa msaada kidogo ni rahisi sana na ya haraka ya kujenga mahali popote katika nyumba yako au ofisi mimi dhahiri kupendekeza cabin demvox eco100 kwa mtu yeyote ambaye ni kufikiri kuhusu sadaka zaidi ubora katika rekodi yako eco200 kesi na music uzalishaji vitoria uhispania mike baldwin mwanamuziki mimi ni mchakato mhandisi kwa taaluma na baada ya muda wa mapumziko pia mwanafunzi wa jazz saxophonist marehemu maua mimi pia kucheza funk na mwamba siku kazi yangu na majukumu ya familia kwa ujumla zaidi kwa vitendo njia ya 22 00hs juu kabla ya ufungaji wa cabin yangu eco200 niliwahi kuwa kucheza katika kiasi cha chini sana katika chumbani karakana hayo ili kuamka familia yangu na si fujo majirani si njia sahihi sana ya kucheza mimi kuchukuliwa wazalishaji wote (pia kubuni na kujenga gari mwenyewe lakini sikuwa na mwezi kamili ya jumapili kufanya hivyo) na hatimaye alichagua demvox na ubora bei na utoaji mfupi kuwa na kibanda soundproof ni ajabu siwezi kucheza kwa kiasi kamili usiku na si bother mtu yeyote zaidi ya mimi mwenyewe siwezi kuendeleza mazoezi tone yangu na na kipolishi ngumu wakijua kwamba hakuna mtu anayeweza kusikia mimi na hivyo kuepuka tathmini wasiwasi dv520 music uzalishaji barcelona uhispania marc trueba music uzalishaji shukrani kwa cabin mimi rekodi bendi katika karakana ya nyumba vilivyooanishwa bila kuvuruga majirani mimi grabo mwamba bendi punkmwamba na high sauti shinikizo na hakuna tatizo nina gari katika karakana na udhibiti juu ya ghorofa ya tatu ambayo inaruhusu mimi kufurahia kubwa nyumbani studio dv500 elektroniki muziki uzalishaji madrid uhispania nick kufyeka deejay & mtayarishaji mimi deejay na uzalishaji wa umeme muziki tangu 1996 na kutumia teksi wote wawili wa chomo kurekodi sauti na vyombo nifanye nini vikao mtiririko wa kutoka ndani na nini zaidi nifanye nini bila shaka ni kuzalisha floor kuwekeza nusu ya 3 kila siku jioni mwishoni mwa wiki na masaa tena hivi sasa nina miradi kadhaa ya kuzalisha muziki elektroniki ambayo natumaini kumaliza hivi karibuni nina furaha kwa demvox cabin tangu mimi kazi kwa hayo ina kabisa iliyopita njia ya kufanya kazi katika nini mimi kama mimi kufikiria ni moja ya njia bora ya kazi katika kitaalamu kabisa katika njia yangu mwenyewe nyumbani mimi alichukua kuhusu 17 miaka kufanya kazi na muziki elektroniki nyumbani na mara zote alikuwa na matatizo na vibrations nami pia nafanya kazi na masafa ya chini sana (40 hzs) katika mwisho ni nini madhara matatizo haya ni kwamba kikomo sana wakati wa kufanya kazi na mikondo hii na huna kazi nyumbani si kwa fujo majirani tangu nina cabin mimi si alikuwa na tatizo moja na kwa kweli kukaa utulivu mimi aliuliza jirani yangu jirani na si habari kitu kabisa faida nyingine kwamba mimi kuchukua ni kwamba kwa si kuingia kelele za nje ndani ya cabin makini span ni kubwa sana kupata matokeo bora zaidi katika kazi web nick kufyeka eco100 kesi na music uzalishaji vitoria uhispania ugunduzi halisi kwa ajili yangu demvox vibanda soundproof siwezi kuwa furaha na hayo power mazoezi kurekodi na kuweka kilio kupima kwa hiari na bila mtu yeyote kufikiri kuwa kuna nutter katika nyumba karibu ni furaha wao ni helluva uvumbuzi kwa mwanamuziki yeyote ambaye anataka mwamba wakati wowote na curran vizuri katika kupunguza nyumbani dv562 dv1871 elimu uzalishaji na kupima ansoain uhispania musiktem shule ya muziki wa kisasa kila darasa ni kibanda soundproof kubuni demvox kufanywa na tayari hasa kwa utendaji na kurekodi eco400 eco850 elimu uzalishaji na kupima castellón uhispania mondo ritmic escola mtaalamu muziki vibanda demvox kutoa tiba yake wote wawili acoustic kama kutengwa yao faraja na utulivu ndani nje perfect kwa ajili ya mazoezi na salama wakati si kuzalisha kelele kero kwa majirani bora kwa shughuli zetu (masomo ya mtu binafsi kikundi na kuhusu mafundisho line) shukrani kwa daniel dario julian na timu zote demvox kwa msaada na ushauri wao ametupa mondo ritmic shule ni sasa yesu gallardo mkurugenzi wa mondo ritmic dv568 mazoezi na muziki uzalishaji xevi matamala mtaalamu mwanamuziki nilikuwa napenda kununuliwa mapema cabin hii nadhani ni moja ya uwekezaji bora alifanya kama mwanamuziki mimi nina drummer na kutoka miaka 15 mimi nina kulipa ndani mimi kuishi katika barcelona na kodi ya majengo ni kubwa sana hivyo ni muhimu kushiriki majengo pamoja na yote hii ina maana aidha wao ni mara nyingi nje au katika vitongoji mbali kutoka katikati ambayo inahitaji kuchukua metro na kupoteza muda na fedha juu ya kusafiri sasa mimi kuwa imewekwa juu ya sakafu ambapo mimi kuishi na ni cabin kubwa mimi kuchukua muda zaidi na mimi sina tatizo na majirani mimi daima kucheza kwa nyakati nzuri lakini siwezi hata kucheza wakati wa usiku na brushes na hakuna milele alilalamika mimi matumizi yake ya kujifunza kufanya mazoezi na jazz trios na baadhi pop zaidi (gitaa bass na ngoma au gitaa keyboard na ngoma) na kufanya baadhi ya rekodi kama acoustics ni nzuri sana xevi matamala diploma katika kufundisha music elimu na l'uab haki ya juu jazz na kisasa muziki katika betri maalum l'esmuc na kwa sasa ni kutafuta mama wa musicology muziki elimu na ufafanuzi wa mapema music katika l ' uab kama performer yeye ina walishiriki katika miradi mbalimbali ya jazz na mwamba maonyesho katika tamasha de jazz de barcelona ​​girona figueres vic na granollers katika popkomm katika berlin i sxsw austin (texas) katika auditorium ya barcelona kursaal ya manresa vic l'antàrtida katika razzmatazz juu ya hatua kuu ya mercat de música viva de vic katika kambi l'jove senglar rock katika jazz mpango katika l'tv3 alisoma nk yeye kuhaririwa 10 rekodi saba tatu binafsi iliyotolewa rekodi i pia amechapisha disc kuandamana wahariri kuchapisha cantata hadithi format enamorat nen ya lluna ambapo linajumuisha muziki wote kituo cha kucheza kwa maria mira eco100 baada ya uzalishaji wa moonlight cinema postproduction kwa ajili ya sinema matangazo na video za muziki dv234 kesi na uzalishaji muziki katika zalacain eco1100 eco300 eco300 kumbi katika zalacain nafasi kwa ajili ya matukio ya kijamii na dining faini mifano ya mwezi wa vibanda imewekwa katika demvox katika zalacain (madrid) ili kufidia matukio ya kijamii na maonyesho ya biashara kitaifa na kimataifa katika zalacain ni nafasi ya kuvutia ambayo ina zalacain katika shamba moja ya maeneo ya kipekee ya madrid na ni kuchukuliwa moja ya bora ya kuandaa biashara yoyote sherehe mtaalamu au binafsi uzoefu mkubwa wa usimamizi wa timu na carmelo pérez na eduardo de la calle kufikia uratibu kamili wa nyanja zote kwa ajili ya mafanikio ya kila tukio katika zalacain iliyoandaliwa tangu miaka 10 ni ukweli katika zalacain ni moja ya maeneo zaidi ya kipekee katika madrid na vifaa vya kisasa kuzungukwa na sanaa ya kisasa na kikamilifu ambacho kinaweza kutumiwa na mahitaji ya kila mteja ambapo kila aina ya matukio na matukio ya kijamii kwa ajili ya kubwa makampuni ya biashara haiba wafanyabiashara wanasiasa na watu mashuhuri ni uliofanyika hispania miongoni mwa wengine ambapo kikamilifu unachanganya vyakula bora na huduma bora web katika zalacain gabriel aprili dv562eco110 music kurekodi gabriel abril uzalishaji mwanamuziki cabins demvox wamekuwa ufumbuzi wa kuwa na studio nyumbani si hivyo tu kwa sababu ya sauti ambayo yanaweza yanayotokana na kurekodi kwa nje lakini pia kwa kelele za nje ambayo inaweza kutupwa kwa urahisi kwa micros kama insulation si nzuri kwa hali kwamba siwezi kuwa furaha na vibanda mimi nina kutumia wawili kwa sasa eco110 moja kwa ajili ya kurekodi sauti acoustic guitars na percussion na dv562 kwa chumba kudhibiti katika mwisho mlango ni kioo kutoa ni zaidi kwa kiasi kikubwa basi walipo kutumia masaa mengi katika studio kuchanganya ni faida moja zaidi kama inaruhusu mwanga wa kawaida bila ya kupoteza soundproofing kuwasiliana madirisha juu ya wote cabin wakati huo urefu na grommet mfumo wa vipaza sauti waliwekwa swali jingine ni kama sauti katika chumba kudhibiti itakuwa sahihi wakati wa kuchanganya kwa hali kwamba matokeo ni ajabu kila kitu ndani ni lined na sauti absorbing vifaa na ni mwaminifu kwa kile hutoka nje ya tapping kutoka nje na kwa kiasi haki ya juu tu msinung'unike mbali ambayo inaweza kuwa ndani ya jirani yoyote ni kusikia kurekodi vifaa ni vyema juu ya racks mbili ya 16 vitengo na kuifanya rahisi kwa usafiri vifaa vyote haraka kwangu mimi nimepata maeneo mbalimbali ya utafiti huo ambayo ilikuwa majengo ya mwingine kuwa na uwezo wa kuzunguka kwa urahisi na reassembled bila ya kupoteza sauti ambayo umefanya tayari kutumika baada ya saa za kazi kama sisi kuongeza upatikanaji wa mafundi demvox ili kuwezesha mkutano na disassembly ya vibanda uamuzi imekuwa na mafanikio gabriel abril ni mwanamuziki na uzalishaji yeye alicheza katika makundi kama mapumziko ya mwisho sin remedio au kugeuza yeye imeonyesha tatu solo albamu spell ya tabia (nena records / emi 2001) dakika tano kabla ya mwisho wa ulimwengu (tremolo recordings 2006) na simba katika karakana (tremolo recordings 2008 ) kama mwanamuziki huyo imeonyesha nyimbo kwa ajili ya matangazo na kushiriki katika hoteli cochambre bendi ziara ambayo kumbukumbu dvd hotel tamu hoteli msingi wa kazi ya joaquin sabina ni ametunga ajabu kushuka man na ambayo inafanya ziara hiyo kelele pia ushirikiano zinazozalishwa albamu ya kwanza fireman montag yeye imeonyesha kuwa magitaa na mandolins katika albamu wakati shetani kuimba (emi 2011) ramoncín pia vitendo kama muziki mwandishi wa habari katika gazeti hii ni mwamba na ameandika kitabu zenye albamu ya kuishi milele kumbukumbu katika hispania tangu 1964 mpaka sasa iliyochapishwa na milenia web gabriel aprili dv1404 sekta foundry model dv kutumika kama ofisi machining kupanda fundivisa katika mji wa villagarcía de arousa eco110 kurekodi na editing audiobooks eco110 baada ya uzalishaji creative studio eco110 cabin studio ubunifu customfx kubuni uzalishaji compositing editing sauti kubuni maalum dv130 magari dv comanai cabin imewekwa kwa ajili ya mchakato automatiska mkutano kwa kutumia mfumo wa uzalishaji wenye ujuzi kwa lengo la sekta ya magari studio ya tritoni dv333 music kurekodi na uzalishaji dv702 kesi na music uzalishaji dv333 kesi na music uzalishaji miguel a benito ngoma na percussion mimi ni radhi sana na teksi mimi kuwa imewekwa kwenye ghorofa ya tatu ya jengo katikati ya madrid karibu atocha na mimi si alikuwa na matatizo yoyote ya kelele na majirani nimekuwa hata alifanya baadhi ya majaribio na wanamuziki zaidi katika nyumba na wote kitu chochote sawa hakuna mtu akaniambia mimi aliuliza mlango yangu ijayo jirani na aliniambia kabisa kusikia chochote wao kuweka maalum chini ya ardhi na tacos nzuri na hakuna majirani juu na mimi si alikuwa malalamiko yoyote nimekuwa imewekwa katika chumba kidogo na nzuri mimi kufunga mlango wa chumba na vyumba nyingine si kusikia naweza kivitendo kufanya kazi na utafiti kimya kimya bila kuvuruga mtu yeyote noises nje hakuja kwa kweli kama si kusikia kugonga kwenye mlango au intercom lol na kubuni baadhi au mfumo pete mwanga kwa sababu mimi kupata katika tank insulation wangu na mimi si kusikia chochote mimi matumizi yake hasa kujifunza kujiandaa répertoire mimi ni mwanamuziki wa kitaalamu na kazi vizuri katika hali tofauti mimi kusafiri sana na ambayo nina hivyo nyumbani ni kamili ya kupata muda zaidi kwa sababu kila wiki nina ratiba au nyingine bure katika madrid unaweza kupoteza muda mwingi katika mbuga hiyo mazoezi kama una kundi fasta kama mimi unaweza kuwa ghali kabisa ambayo kwa ajili yangu ni uwekezaji bora mimi pia kutumia kama maabara kwa ajili ya kupima mawazo au seti tofauti ya sauti mimi tumefanya baadhi ya vipimo na mimi mpango wa kufanya hivyo mbele kubwa kwa kupima na bendi kubwa pia kutumika kufundisha nyumbani na mimi nina mawazo kuhusu kufanya madarasa online mapema mno ukweli ni kwamba kama mimi nina nyumbani alitumia karibu wote siku ndani yake na mimi matumizi yake stereo nzuri wasifu miguel a benito asili ya burgos huanza 14 miaka kucheza classical percussion na drumming 17 huanza kitaaluma katika makundi mbalimbali ya mwamba blues orchestra nk katika miaka 17 katika burgos miaka 21 kuweka katika madrid ambapo yeye sasa anakaa jazz matokeo elimu ya juu katika conservatoire ya amsterdam (uholanzi) na mwaka utendaji mafunzo udhamini kutoka berklee college of music huko boston yeye amejifunza faragha na drummer dan weiss martin andersen arturo garcia carlos carli peter erskine nk na pia meza hindu na nanta kumar katika madrid yeye walishiriki katika miradi mbalimbali ya aina zote za muziki kutoka alipozuru na hadithi chicago blues eddie c campbell maonyesho katika michezo nyimbo na kampuni cresanaa alikuwa rafiki wa wanamuziki wengi jazz kuonyesha abdu salim dan rochlis carlos barreto vocalesse tony heymer federico lechner concha buika ximo tebar ester andujar kirumi filiu israel sandoval tono miguel borja barrueta manuel machado jerry gonzalez antonio serrano ariel bringuez yaniv nactchum cesar latorre doug murro bobby martinez paul martin horacio icasto miguel blanco doug munro josé manuel illera andre matos miguel fernandez demian cabaud leo genovese chema sainz daniel yakaré martin leiton walter beltrami victor correa andy chango juan galiardo guianni gagliardi david gonzalez natalia calderón nicole henrry peter weaver yelsy heredia pepe rivero toni mora albert vila vistel brothers yul ballesteros na nk pia kushiriki katika miradi kadhaa ya muziki asili na gitaa marcos collado argentina gitaa hernan hock basque bassist nyengine garcia ambaye alikuwa hivi karibuni kumbukumbu kwa errabal na swing kundi na blues cats walivuka toni mora trio nk dv216 shule ya saikolojia luis j fuentes profesa wa saikolojia katika chuo kikuu cha murcia utafiti katika uwanja wa saikolojia ya majaribio ni muhimu kuwa na soundproof nafasi ya kutosha kwa ajili ya washiriki katika majaribio anaweza kufanya kazi ya majaribio bila bughudha vipengele ambavyo vinaweza kuathiri matokeo sharti hili inaweza kupatikana kwa dhamana ya kutosha cabins yametungwa katika photos kwanza mshiriki inaingia cabin na majaribio inatoa maelekezo sahihi kisha mlango wa cabin soundproofing kuzalisha ni imefungwa kwa njia hii mshiriki anaweza kufanya kazi ya majaribio ambayo yanahitaji majibu upande wa kulia kwenye keyboard ya kompyuta matusi au kwa njia ya kujengwa katika majibu kipaza sauti ufanisi na bila ya ovyo matokeo mara moja kuchambuliwa inaweza kuwa aliwasiliana na jamii ya kisayansi katika mfumo kuwasilisha katika mikutano ya kisayansi au kupitia makala kuchapishwa katika majarida ya kisayansi web chuo kikuu cha murcia eco300 kesi na music uzalishaji wa xabier olkotz (txaflis) mtaalamu mwanamuziki mpya teksi eco ni uwekezaji bora nimepata alifanya katika maisha yangu napenda kufanya mazoezi na betri au na chombo chochote percussion bila mapungufu mimi kuwekwa katika mitaa kituo cha ununuzi iko kwenye ghorofa ya pili ni kuzungukwa maduka mengine na sijapata malalamiko yoyote mimi aliongeza hatua ili kuepuka kelele athari kwa sababu mimi na kuhifadhi nguo tu chini na matokeo yake ni kamilifu soundproofing ni kamilifu na acoustics ya mambo ya ndani inaruhusu mimi rekodi kwa kubuni bora kutoa masomo yangu ngoma binafsi limekuwa mchezaji muhimu napenda pia kusema kwamba timu demvox amenipa mpango mkubwa na mimi na kuthibitika kuwa mtaalamu kama taji ya pine asante kwa kila kitu dani na dario xabier olkotz ni mwaka shahada yake ya mwisho kitaaluma katika percussion ambayo imekuwa tuzo wakati wa 2011 2012 na kozi na bilaketa udhamini kugeuka mwaka huu nitafanya mitihani mlango wa shahada ya kwanza jazz ngoma katika tofauti conservatories kwa sasa anacheza katika orchestra edelweiss na txaranga malatxo pia imekuwa ni sehemu ya maarufu txaranga bila kuchoka pia anafundisha katika shule mbalimbali za muziki ikiwa ni pamoja na kiwango cha mtu binafsi video bila kuchoka txaranga video kuanzishwa kwa jazz conservatory pablo sarasate mtaalamu picha http//javierzubiriblogspotcomes raquel rodriguez zenit audiovisuella uzalishaji multimedia sl sisi zinahitajika ili kuanza nafasi ndogo soundproofed kufanya maneno ya mara kwa mara lakini si ya kutosha kuwa lined na acoustic nafasi povu hivyo tuliamua kuongeza demvox cabin ili kupunguza kelele karibu nasi baada ya kufunga ni katika nafasi ndogo sana tunaweza locuto vizuri hata kwa noises mwenyewe ya ofisi multimedia zenit ni timu ya wataalamu katika uwanja wa mawasiliano kubuni audiovisuella na multimedia uzalishaji na maendeleo ya maombi ambao utaalamu ni kama miradi ya mawasiliano kutoka kwa karatasi na ipad kutoka screen muziki sisi kubadili mawazo yako katika miradi ya mawasiliano mafunzo au kujitangaza javier ramallo mfereji extremadura tv / mitindo cabins hizi wamethibitisha us ufumbuzi wa kufaa sana kutokana na ufungaji haraka na rahisi ukubwa wa kutosha na uwezo wa kutosha kwa ajili sahihi acoustic kurekodi voiceovers zote za bidhaa zetu cabins ziko katika katikati kwa maandishi taarifa katika tovuti kimkakati kwa ajili ya matumizi yote waandishi na wahariri ambao wanahitaji hiyo utumiaji wa wastani ni maneno 700 kwa mwezi wao ni vifaa na teknolojia zinazohitajika kwa wao kutumika kwa kujitegemea na wahariri kutumia touch screen kuendelea na kurekodi kwa urahisi na vivyo hivyo inaweza kutumika kwa rekodi kusaidiwa tangu wote wana mixer kusikia ili kuwawezesha mawasiliano na mtangazaji kutoka sehemu mbalimbali za miundombinu kutoka kudhibiti sauti ya vyumba mbalimbali ednl na baada ya pro redio zote kumbukumbu katika cabin undergoes mchakato wa binafsi leveling msingi sauti (ebu r128) mfereji extremadura ni kikanda channel tv jamii ya extremadura ni televisheni vijana tangu ina miaka 7 tu makao makuu iko katika merida ambapo pamoja na mambo mengine mipango habari zote zinasimamiwa eco110 audiovisuella uzalishaji daniel prados audiovisuella uzalishaji dg audiovisuella productions mfano eco110 tunatumia kwa ajili ya kurekodi sauti kwenye nyimbo vyombo akustisk magitaa ya umeme na dub video pamoja na matokeo mzuri kwa sababu tunaweza kurekodi sauti vyombo mkali sana na kidogo background kelele na inaweza kutumika bila kuvuruga amplification majirani pia kwa sababu tuko katika block ya kujaa bila kupokea malalamiko yoyote roho yetu ni kutoa uzalishaji vizuri sana kufanyika kwa wale wote ambao hawana uwezo wa kupata ndani ya chombo kikubwa kurekodi kitaalamu studio ya kurekodi albamu kubwa alifanya video ya muziki tv kibiashara au dubbing ya filamu ya gharama kubwa za kiuchumi miongoni mwa chaguzi nyingine kama videotape mbalimbali format matamasha maonyesho ya maonyesho na hatimaye chochote kutoka kwetu na uwezo wa kuona dg produccions audiovisuals ni nchi ya ndogo ya audio / video ziko katika manresa barcelona eco495 audiovisuella uzalishaji asier gonzalez muziki wa muziki na mhandisi wa sauti muziki wa bikain tulitaka kibanda soundproof kwamba hakuwa na kuhitaji kazi au nanga ardhi au kuta na kuchagua demvox vibanda maalum iliyoundwa kwa ajili ya kurekodi sauti matumizi kuu sisi kutoa kwa cabin ni matangazo kwa ajili ya kurekodi sauti tiba na matunzo demvox timu ina walionekana kipekee bikain music mtaalamu katika redio kampuni baada ya uzalishaji kwa ajili ya bidhaa audiovisuella dubbing locutions uzalishaji muziki maudhui editing na mastering katika stereo na surround ikiwa ni pamoja na kujenga madhara chumba (foley) dv333 audiovisuella uzalishaji cabin demvox kuitumia kwa ajili ya kurekodi vyombo akustisk na sauti ya shaka sisi got insulation bora na bora sana wa hali ya bassmusic ni utafiti kujitoa kimsingi kutunga muziki kwa ajili ya matangazo filamu na televisheni sisi pia kufanya sauti kwa ajili ya matangazo na muziki editing kwa ajili ya televisheni amp36 uzalishaji muziki juan guevara mtaalamu mwanamuziki demvox amp mfano imeruhusu mimi kazi nyumbani kwa mbali bila kuvuruga majirani na kupata matokeo awesomethat rahisi ya kukusanyika / disassemble matumizi yake katika baadhi ya matamasha na symphony orchestra na hakuna mtu alilalamika ya kiasi gitaa ni wazi matumizi ya sikio lakini mimi naweza kupata utendaji zaidi kwa amplifier watu wa demvox aliwahi mahitaji yangu tangu mwanzo mfano wangu amp ni zaidi kompakt na mimi kununua hiyo kwa nia ya kuweka tu msemaji juu ya chuo na wanapata amplifier / s bila ya kuwa na kufungua na kufunga wakati mimi alitaka fiddling amp juan guevara (bogotacolombia) gitaa na uzalishaji amefanya kazi kama kikao gitaa kwa ajili ya wasanii na makundi kama vile sergio dalma luis fonsi raphael juanes paulina rubio david bisbal merche broken toys ibrahimu mateo gemma sanz brito disney camp rock kama mtayarishaji muziki katika miezi ya karibuni imeonyesha kuwa na zinazozalishwa albamu ya luis ramiro chloe ele eme live amefanya kazi na vikundi na wasanii kama vile luis ramiro kriketi lorca sergio rivero galadriel boudet nestor feijoo caramés lucia julio iglesias jose tu kumaliza ziara kina (matamasha 110 15 nchi) mara tatu disc akishirikiana raphael mimi kubeba katika moyo wangu ambayo mimi alikuwa na nafasi ya kucheza katika maeneo kama hayo emblematic ikiwa ni pamoja na madison square garden mjini new york moscow kremlin ukumbi wa michezo au ukumbi wa mji taifa méxicoen miezi ijayo itakuwa rekodi dvd kuishi katika teatro de la zarzuela katika madrid kuwasilisha albamu mpya ya raphael ambayo itakuwa kuanza ziara ambayo itadumu hadi katikati ya 2013 eco110 music uzalishaji wa alvaro del pozo mtaalamu mwanamuziki presidio ni ya awali kikosi cha valladolid nilipokuwa katika madrid walionekana ghali na badala mazoezi pamoja kisha ufanisi zaidi kwa wote mbadala lilikuwa ni mtihani kila mtu kipaji tofauti na kwa pamoja mara kwa mara kwa ajili ya mazoezi na sisi kubwa mimi nilikuwa chaguzi mbili kuimba mpaka polisi kuingiliwa mimi au kuweka kwangu katika chumbani ufumbuzi ilikuwa rahisi mimi kufanya rekodi kitaalamu kwa miradi mingine bila mke wangu kuchukua yangu nyumbani alvaro del pozo lukio ni ulianza mwaka stone age society kufanya stoner mwamba katika lugha ya kiingereza matoleo ya kyuss ombaomba kiroho usinishike na nyimbo wenyewe baadaye presidio kuangalia kwa muimbaji mpya haraka kuja katika uzalishaji ipso facto na maisha mapya alitoa nod baada ya kusikiliza demo na stone age society mara moja katika kuwasiliana na bendi yesu aliingia maisha mapya studio ya kurekodi albamu ya pili presidio umri wa watumwa na baadaye yeye walishiriki katika mfululizo wa matamasha ya kuwasilisha leon valladolid madrid disk miongoni mwa miji mingine ya kihispania hivi sasa yeye unachanganya matamasha na kuundwa kwa albamu yao ijayo ambayo inaonekana mengi zaidi ya kikatili na kuingilia kwa nguvu amp56 uzalishaji muziki eduardo escobar mtaalamu mwanamuziki cabin demvox ni suluhisho kamili kwa ajili ya kupata bora sauti kutoka amp yako bila ya kuwa na kazi kwamba kama ni home studio ya kweli mimi basi ndani cabin screen yangu george 2x12 na micros wote unataka (nguvu condenser ribbon) na kupata hiyo sauti kurekodi studio yoyote ya kikazi eduardo escobar kuanza kucheza gitaa katika miaka 12 yeye amekuwa na mafunzo yake kutoka kwa walimu kama vile jose de castro jopi richie garcia javier sanchez na sacri delfino yeye amepokea madarasa ya bwana kliniki semina mafunzo na combos nyingine na wanamuziki na wasanii kama jopi francisco simon scott henderson steve morse carl verheyen nathan mashariki ludovico bagnone diego garcia nk uzoefu wake ualimu ni wa kina kuwa profesa wa taasisi mbalimbali za jamii ya madrid eduardo amefanya kazi na idadi ya bendi na wasanii kama vile infusion katikasidekati hatua orchestra blue alchemy orchestra orchestra bailem levisstraus wanaochukua fito y tu folsom prison yeye walishiriki kama gitaa kuishi kwa ajili ya watu kama soni mbali despistaos mchawi wa oz teksi hasara ya jumla maria bestar mama edurne hivi sasa yeye ni kazi ya albamu yake ya kwanza muhimu wakati akifundisha katika shule ritmo y compas george endorser tube amps athari carl martin george l's nyaya cables ushahidi vya gb pedaltrain na pickups dv144 muziki francisco fuentes mwanamuziki amateur mara ya kwanza mimi kuanza mimi kucheza saksafoni kama misaada tangu kwenda kwa wakati mgumu binafsi mimi bado kukumbuka siku majirani zangu katika barabara waligonga mlango kuuliza mimi na kikomo masaa yangu ya masaa utafiti 3 siku wakati kwa wakati ule kugusa ilikuwa kama dawa alihitaji mimi alianza kujisikia aibu kucheza bila kuondoa expressiveness ambayo inahitaji kama chombo na mdogo katika muda na kwa undani tamaa mimi kuonja homemade na wataalamu wa kila aina bila matokeo ya taka ama kwa sababu hawakuwa na ufanisi ama kwa sababu walikuwa sana vibaya kutumia mpaka kutafuta biashara mimi aligundua ubora soundproofing cabins demvox mutes uwekezaji thamani yake kwa sababu kutoka niweze risasi mimi masaa wafu kucheza katika mapenzi ama kusoma kucheza au kurekodi masomo kama muziki studio ni kushiriki francisco fuentes imekuwa kucheza saksafoni miaka 3 alianza kucheza clarinet lakini baadaye switched kwa saksafoni na baadaye kwanza juu mujibu amp56 music uzalishaji wa juan carlos cardenas mtaalamu mwanamuziki mimi kutumia sanduku demvox amp56 vikao kurekodi gitaa na hata kufanya mazoezi ya kupata sauti bora ya amplifiers yangu ufuatiliaji kusikiliza kupitia wachunguzi na / au headphones mimi matumizi yake katika uzalishaji yangu katika studio yangu inafaa katika wawili 1x12 screen kama moja ya 2x12 au 2x10 kuna nafasi ya miking na vipaza sauti mbili kikamilifu kutokana na uingizaji hewa mfumo wake wa kimya hakuna tatizo kutumia valve combo kwa demvox nina uwezo wa kurekodi magitaa katika ngazi ya kitaalamu na kupata zaidi nje ya amps wangu tangu unaweza kuweka mengi ya kiasi kufinya vizuri valves katika hatua nguvu ya kupata hiyo ubora wa sauti katika bakuli kurekodi studio bila kuvuruga majirani wako nina furaha sana na hali hii kwa sababu wakati kikundi au msanii anataka gitaa vikao kurekodi kwa demo yao au albamu anaweza kufanya hivyo bila ya haja ya kwenda studio kurekodi kupata shots juu mbinguni mtaalamu ubora juan carlos cardenas ni gitaa na uzoefu mkubwa wa kitaalamu ina zaidi ya miaka 10 kurekodi na kucheza kuishi na wasanii mbalimbali ikiwa ni pamoja na madarasa kutoa ya gitaa ya umeme na acoustic na maelewano ya kisasa kwa sasa ni gitaa magnetic na rasmi endorser ya george tube amps rocknriff umeme solutions pedaltrain na george l's cables juan diego martin mkurugenzi mkuu fonetic moja ya huduma ya sisi kutoa kwa soko ni kubuni na utekelezaji wa automatiska huduma za simu kwa wateja kuruhusu akiba muhimu katika huduma ya asili majukumu ya ongezeko la thamani kufanya kazi hii sisi zinahitajika mazingira na tabia akustisk na soundproof ubora na baada ya kutumia nafasi kujengwa kwa kazi bila ya kupata matokeo ya taka kutokana na hoja aliamua kupata demvox cabin ambayo hukutana mahitaji yetu na chini ya mageuzi ya jadi bei sisi kutumia kibanda kila siku kurekodi maneno kwa wateja wetu kufikia matokeo mazuri sana telefonica iberdrola vodafone endesa sanitas mapfre adeslas hotline nk fonetic mtaalamu katika kusaidia makampuni na taasisi bora know na kuelewa wateja wa kampuni yao wito wao ni decode tabia ya wateja kupima athari zake kwa biashara na kupendekeza jinsi ya kuendelea wao kukusanya kuchambua na kuboresha mwingiliano kati ya makampuni na wateja wao mwingiliano kuchukua nafasi katika njia tofauti baadhi kupitia wasiliana center (hasa katika wito lakini pia epepe kuzungumza nk) na nyingine inazidi kupitia mtandao na mitandao ya kijamii kutathmini madhara katika biashara na kutoa mapendekezo kuwa na uzoefu mkubwa katika michakato muhimu ya biashara (mauzo uaminifu na retention anadai usimamizi nk) katika sekta kama vile benki bima mawasiliano na mamlaka ya udhibiti wao ni viongozi katika soko la kihispania na pia waliopo katika amerika ya kusini kupitia kampuni tanzu wake wa kimataifa javier arpa mtaalamu mwanamuziki nina furaha sana na matokeo ambayo inatoa amp56 ni suluhisho kamili siwezi kufanya rekodi kitaaluma katika nyumba yangu bila kuvuruga majirani zangu kutumia combos bomba (30w 60w 100w) kiasi wanahitaji mojawapo ya utendaji kana kwamba katika utafiti chumba na sauti ni kamilifu matokeo yake ni kweli kuvutia javier arpa alisoma gitaa na amani na walimu javier sanchez jose de castro (jopi) na israeli sandoval kama mwanamuziki kuishi yeye amefanya kazi na wasanii kama chenoa melendi soni mbali lydia (presets) alejandra botto odin coyote dax injili kiwanda ricardo igea kwa kushirikiana na antonio vega dylan ferro (tikiti dizeli teksi) manuel uhispania (la guardia) na nk katika utafiti ina kumbukumbu kwa sergio dalma idol maneno ya lorca soul club eri nacho felix rua matangazo mbalimbali headers a3 tv uzalishaji na mpangaji wa karibuni studio soni mbali pamoja na uzoefu wa miaka 10 kama kutoa binafsi ritmo madarasa y compas klab3 yeye kwa sasa anafanya kazi katika mradi wake ala na drummer jose carriazo na bassist daniel moreno wakati yeye unachanganya kwa kazi yake kwa wasanii profesa tofauti web javier arpa youtube channel roberto square muigizaji msemaji na dubbing mimi kutumia cabin yangu demvox kwa kila kitu kuhusiana na sauti matangazo locution makala dubbing nk eco110 ukamilike sana kumbuka kwamba kuna uhandisi kuvutia kazi kwa ajili ya msimu na portable cabin wake dirisha hutoa faraja na mwanga kazi kwa kawaida nafasi ya kurekodi katika masomo ni maeneo madogo na giza sautiproofing ni mafanikio ya kufanya kazi kitaaluma hii mtindo teksi ni kamili kwa ajili wasemaji kwa ajili mwelekeo wake wa ndani roberto cuadrado inachukua zaidi 10 miaka maonyesho hispania dubbing locutions na wedges yeye ni rais wa rcaudioloc sl huonyesha ubora taaluma na agility katika kazi ya dubbing na voiceovers ikiwa ni pamoja na bei nzuri ya soko na huduma roberto square dubbing hispania wataalamu imeongezeka mara mbili makala muhimu kama siku za mwisho wa maisha ya michael jackson nne mlolongo twin towers ya la2 machi 11 ya telemadrid na isitoshe makala ya televisheni vile national geographic discovery channel travel channel historia channel marta manzano meneja tesseo media dv yetu cabin hukutana na mahitaji ya matendo yetu ya mawasiliano ya visual kazi yake kuu ni locuto katika videopato videomawasiliano video na virusi ripoti audiovisuella vitu habari nk mara kwa mara tulikuwa cabin na inatoa nafasi kamili ya kutoa huduma bora tesseo ni sumu na timu ya wataalamu na uzoefu wa zaidi ya miaka kumi na tano katika ulimwengu wa televisheni na mawasiliano ya muundo na mawasiliano unaojumuisha mambo mbalimbali mandhari tesseo mtaalamu katika audiovisuella mawasiliano ya wakala pekee ni inatoa wateja wake mbalimbali ya huduma kwa kusudi mbili kuwafanya kuonekana zaidi na kukabiliana na mahitaji yao kwa sababu kuwa waumini kuonekana eco233 mazoezi na uzalishaji wa musical ariel bringuez mtaalamu mwanamuziki cabin hii ni meli yangu nafasi ambapo mimi hawezi kufanya kazi mawazo yangu na kuhimiza ubunifu ni inakupa uhuru wa kueleza mwenyewe na kujifunza sababu za kisaikolojia tena ni muhimu kwa kucheza bila hofu ya kuvuruga majirani ndani nina kompyuta na wasemaji na piano kwamba inaruhusu mimi multitask sakafu kucheza na kusoma vyombo mbalimbali tenor na soprano saksafoni na filimbi clarinet na piano hivi sasa mimi nina kutumia eco233 cabin kwa ajili ya kuchanganya na mastering albamu yangu ya mwisho iitwayo 'uzoefu' ariel bringuez sasa wanaoishi katika madrid ni saxophonist mtunzi na mpangaji katika 2004 2005 na mshindi wa tuzo ya kwanza ya kimataifa ya ushindani jojazz katika jamii ya utendaji na utungaji mtiririko huo katika 2007 kumbukumbu albamu yake ya kwanza roots katika rangi ambayo hits maduka chini ya studio colibri yeye alishirikiana juu ya albamu kama jumla ya kutokwa orlando valle maraca mkuu rumba orlando valle maraca hisia yangu sita sense treni ya muda mfupi alejandro sanz trapiche alejandro vargas a journal telmary revoluxion x alfonso mtunzi wa soundtrack kwa ajili ya filamu habana blues miongoni mwa wengine na mimi alicheza na wanamuziki kama vile tata guines changuito quintanta andy narell tu red x alfonso awali interactive kirumi filiú roberto occhipinti hilario duran chucho valdes miongoni mwa wengine wengi sasa katika mchakato wa kurekodi albamu yake ijayo uzoefu mónica gonzález feijoo mkurugenzi wa nursing tv kujenga maudhui yetu audiovisuella sisi kutumia teksi demvox eco110 tunafanya voiceovers na habari na mipango hapo awali sisi kazi katika chumba ambapo hali ilikuwa si mojawapo kwa ajili ya kurekodi ubora cabin inatupa matokeo safi na safi kwa kutumia kipaza sauti directional hakuna kelele suala la kubana na bwana kutoa akustisk ni nzuri uuguzi tv ni matangazo kupitia mtandao ili kufikia manesi wote watazamaji na kuvutia maudhui na falsafa ya ukali wingi na utofauti tv kutenga kuzuia kubwa uuguzi yaliyomo yake kueneza ushauri mapendekezo na huduma za afya kwa wananchi wakiongozwa na wauguzi dv520 kesi na music uzalishaji wa diego hernando mtaalamu mwanamuziki asante kwa cabin yangu demvox naweza kujifunza kila siku na kutoa masomo ngoma katika nyumba yangu mwenyewe mimi kawaida kuanza kucheza katika 9 10 na niko na kama marehemu kama mimi kawaida kukaa ni mpaka 23hs katika nyumba yangu nina majirani hapo juu na kwa pande na kamwe kupokea malalamiko ya kelele mitindo ya muziki kuwa mimi mazoezi ni jazz r & b na hiphop cabin hii ni ufumbuzi mkubwa wa tatizo tuna drummers daima unaweza wanategemea kuwa ndani na hii unahusu kuwa na kulipa ada ya kila mwezi na kuwa na kwenda na kurudi wakati huo kila wakati una gig sasa wakati mimi kucheza na jinsi nataka diego hernando zimekuwa na greats kama norman hogue cheryl walters antonio ximénez ruben andreu santi canada marta sanchez francisco lopez 'foulbrood hector oliveira tono miguel marcos collado yull ballesteros nyengine garcia roberto pacheco thomas merlo nacho perez pablo gutierrez kiingereza pianist david frankel au waimbaji angela cervantes cecilia krull na yoio cuesta imekuwa ni sehemu ya miradi mbalimbali jazz na kwamba ana kazi katika mzunguko jazz cajastur iiº msafara wa jazz katika chuo kikuu cha burgos (ubujazz) tamasha de jazz de san sebastián (jazz festival) shirika la kimataifa jazz festival bueno ( asturias) xvii madrid jazz festival jazz festival xiv toledo leo kutoa madarasa peke kama mtu binafsi baada ya kuwa profesa wa ngoma na kuweka ya kisasa katika rhythm & compass shule katika kipindi cha miaka 2009 2011 rosa quintana tv presenter mimi kununuliwa cabin eco 110 mwaka mmoja uliopita sehemu ya kazi yangu ni locuto video matangazo ya redio matangazo ya televisheni makala na mafunzo online katika eco 110 mimi naweza kufunga vifaa vyote nahitaji na matokeo yake ni nzuri sana hakuna kelele au kuingiliwa mimi kupendekeza hivyo rosa quintana ni katika 13 tv presenter picha truvia na securitas direct sauti ya matangazo kutoka el corte ingles mtangazaji katika cope pia anafundisha kupoteza hofu ya kuongea mbele ya umma na kusaidia wajasiriamali kuanzisha duka dv500 kesi na music uzalishaji wa iker uriarte betagarri mwanamuziki na wengine cabin dv500 ni ndoto kwamba kila drummer anataka kutimiza ndani yake mimi kucheza ngoma na piano na hata leo sijapata malalamiko yoyote kutoka kwa majirani ground kutafuta mazoezi kwa nyakati nafuu ninaishi kwenye ghorofa ya pili na kwa hatua za ziada kwamba dario ruben na dani hawajapata malalamiko yoyote kutoka kwa jirani yoyote curran iker uriarte ni msomi katika jazz ngoma katika musikene sasa ina na betagarri deuh'nih doh na antton aranburu na anafundisha katika music shule na ordizia legazpi pamoja na ngazi ya mtu binafsi eco110 kesi na music uzalishaji wa omar acosta flutist na mtunzi mimi ni furaha na eco110 cabin ni hakika kununua bora nimepata alifanya katika muda mrefu ni chombo muhimu kwa ajili mwanamuziki yoyote hasa katika zama hizi za nyumba ndogo ni mengi zaidi ya vitendo na salama soundproof chumba nina kabisa hakuna matatizo na majirani siwezi kuandika na kusoma kwa kujiamini katika karibu yoyote wakati mimi nadhani ajabu ambako amekwenda piper mimi matumizi yake ya kujifunza na rekodi miradi binafsi miradi kwa ajili ya wasanii wengine redio televisheni na kujaribu aina tofauti za filimbi nk na mimi kawaida kuitumia kwa masaa mawili kwa siku na watu wengi hivi sasa yeye ni kufanya kazi katika ballet taifa ya hispania na amekuwa kongwe muhimu ya simon bolivar symphony orchestra (1981 1988) na venezuela symphony orchestra (1991 1996) alibainisha kwa versatility wake omar badala ya kuendeleza kazi yake solo na répertoire classical imeibuka kama mmoja wa mashujaa muhimu zaidi ya biashara mpya venezuela muziki maarufukielimu flamenco pia imekuwa mazoea pied makampuni ballet na vyumba vya muhimu zaidi katika hispania katika 2012 lawama ballet taifa ya hispania chini ya uongozi wa antonio najarro ni pia dabbling katika muziki tofauti ikiwa ni pamoja na muziki wa kisasa jazz kirumi india afrika katika jukumu lake kama mtunzi miongoni mwa kazi zake ni concerto kwa ajili ya flamenco cajon na orchestra (kwanza katika dunia) iliyotolewa na simon bolivar symphony orchestra venezuela ngoma kwa ajili ya filimbi na kamba orchestra (kurushwa na symphony orchestra venezuela) suite flamenca kwa ajili ya filimbi na masharti kurushwa kwenye ii mkataba flutists uhispania na orchestra cordes del mon barcelona pia katika 2012 mipango yake symphonic ya kazi ya rafael riqueni suite sevilla kama uliofanywa na ballet taifa ya hispania ni huru kwa maslahi yake katika kupanua répertoire flautístico ina muziki yameandikwa kwa ajili ya filimbi ya solo na kwa formations mbalimbali yeye pia ameandika muziki maarufu muziki chumba kwa symphony orchestra ngoma sinema nk na imekuwa kazi na kumbukumbu na kuongoza soloists ensembles na orchestra katika kumbi na sherehe duniani kote filimbi kadhaa ya kazi zake kama solo ndege ni pamoja na katika mkusanyiko wa kawaida wa wapiga filimbi hasa katika amerika ya kusini imekuwa tuzo kwa ajili ya matumbawe 2008 amadeus utungaji uliofanyika katika caceres uhispania omar ina na filimbi guo na msanii wa kimataifa guo zaidi hati wasanii na vikundi ambavyo alitenda simon bolivar symphony orchestra venezuela symphony orchestra orchestra symphony ya maracaibo venezuela taifa philharmonic orchestra symphony ya zulia salvador symphony orchestra orchestra symphony ya merida taifa philharmonic orchestra ya venezuela caracas manispaa symphony orchestra ulaya symphony orchestra peke yake na pamoja na makundi hayo amesafiri dunia na amekuwa na nafasi ya kuongozana wasanii kubwa ya kimataifa kama vile claudio arrau yoyo ma jean pierre rampal montserrat caballé na placido domingo miongoni mwa wengine ngoma na flamenco ballet taifa ya hispania hispania new ballet shauku safi (christopher reyes na joaquin cortes hispania flamenco ngoma cosas del flamenco (christopher reyes) (kama flute na mkurugenzi musical) concha jareño antonio najarro merche esmeralda antonio marquez siudy garrido los vivancos brothers curro de jerez antonio hidalgo miguel canas yesu pimentel carmen la talegona maria carrasco lola greco jose porcel talegón cordoba inmaculada ortega eliezer hila maria juncal tito losada yoko komatzubara miongoni mwa wengine yeye alifanya rekodi nyingi kama mgeni na 5 solo cd wao ni nini wao ni (omar acosta trio) venezolada (omar acosta ensemble) maasi (muziki kwa ajili ya filimbi na piano na venezuela wasomi watunzi) sola (muziki wenyewe kwa filimbi) kati ya wawili walimwengu (omar acosta na terraensamble) soundscape venezuela (ensemble tierra de gracia)
2019-09-16T04:04:35
https://sw.demvox.com/testimonios-y-fotos/testimonios/16-espana
john mnyika risala ya wananchi wa goba kwa mbunge posted by john mnyika at 852 am good job endelea kuwa karibu na wananchi eng joseph mwaikambo said kazi mzuri sana mbunge jana ilifanyanyika watu wengine walipenda jinsi ulivyoendesha kikao ingawa kuna baadhi ya vitu hatukupata muda wa kuviongelea 1 tulikuwa tunaomba kamati pia ya maji iwawasusishe wasomi ili tuweze kupata fikra za wasomi ili tuweze kwenda mbele 2 pump inayosukuma maji tangi bovu iko moja tu na ilitolewa na jica na kama ikifika leo wananchi wagoba watapata tabu kamati inayoundwa iangalie uwezekano wa kununua pump mpya 3 maji yanatolewa kwa siku mbili lakini ni muda mfupi sana tunaomba hizo siku mbili ziwe kwa masaa 24 au yote 48 kwahizo siku mbili 4 goba hamna viwanja vya michezo tulikuwa tunaomba kiwanja cha shule ya sekondari kichongwe ili wananchi wapate sehemu ya kichezea na maeneo mangine yaongezwe kwa ajiri ya michezo 5 kuliwa kuwa na kombe la diwani cup lakini kutoka na diwani wetu kuto kutujali halipo tena tulikuwa tunaomba tuanzishe mnyika cup ili tuweze kuwashirikisha vijana katika michezo sdiwani tunaomba uanzishe myika cup mheshiwa mbunge tumependa kazi ya jana endeleza msimamo vijana tunaomba mnyika cup kama bwana hapo juu alivyo changia kaka big upwafundishe wazee wanaojiita wakongwe bungeni nini maana ya uwakilishiwhat ua doing ni uwakilishi sio ubosi kama hawa wazee wanavyotufanya huko mikoani
2018-03-17T16:13:31
http://mnyika.blogspot.com/2011/02/risala-ya-wananchi-wa-goba-kwa-mbunge.html
perezida magufuli yategetse ko amashuri yose asubukura amasomo igihecom perezida magufuli yategetse ko amashuri yose asubukura amasomo kuya 16 kamena 2020 saa 0231 perezida wa tanzania john pombe magufuli kuri uyu wa mbere yategetse ko amashuri yose afungurwa kuwa 29 kamena 2020 amashuri muri tanzania yafunzwe muri werurwe kubera icyorezo cya coronavirus magufuli yatangaje kongera gufungura amashuri ubwo yagezaga ijambo ku nteko ishinga amategeko i dodoma avuga ko nta mpamvu yo gukomeza gufunga amashuri kuko icyorezo cya coronavirus mu gihugu cyagabanyutse cyane kuwa 1 kamena 2020 nibwo amashuri makuru na za kaminuza ndetse nabanyeshuri bo mu mwaka wa gatandatu wamashuri abanza basubukuye amasomo perezida magufuli ariko yasabye abaturage gukomeza kwimakaza isuku no gukurikiza ingamba zo kwirinda zashyizweho na minisiteri yubuzima nyuma yiminsi tanzania idatangaza amakuru ajyanye nuko icyorezo cya covid19 gihagaze muri iki gihugu ubu yatangaje ko umubare wabakirwaye ari 66 ariko ntiyagira icyo ivuga ku mubare wabamaze kwandura bose burundi umunsi wa mbere wo gusuzuma coronavirus muri rusange wabonetseho abarwayi 28 08/07/20 0857 kenya ibigo byamashuri byasabwe gusubiza ababyeyi amafaranga bari barishyuye 08/07/20 0656 perezida emmerson mnangagwa yirukanye minisitiri wubuzima ukekwaho ruswa 08/07/20 1213 eac yamaganye ibyatangajwe ko u burundi na sudan yepfo bigiye kwirukanwa mu muryango 08/07/20 0905 impuguke zagaragaje ko amatora ashobora kuzasiga ahabi ubukungu bwa uganda 07/07/20 0336
2020-07-13T07:42:59
https://igihe.com/amakuru/muri-afurika/article/perezida-magufuli-yategetse-ko-amashuri-yose-asubukura-amasomo
serikali yatoa matokeo ya uchunguzi malalamiko ya waislamu katika mitihani | jamiiforums | the home of great thinkers serikali yatoa matokeo ya uchunguzi malalamiko ya waislamu katika mitihani discussion in 'jukwaa la elimu (education forum)' started by mwana mpotevu sep 13 2012 naibu waziri philip mulugo amesema mfumo wa ukokotoaji wa alama za mtihani wa islamic knowledge ndio ulikuwa na makosa sio usahihishaji matokeo ya jumla yaligawanywa kwa tatu badala ya mbili kwani zilifanyika papers mbili sio tatu mkuu wa mfumo wa komputa bw mbowe ameshasimamishwa kazi na kamati imeshauri achukuliwe hatua zaidi za kinidhamu serikali huwa inasahihisha masomo ya dini mbali na vitukohii ni hatari aiseeeeh so kama bwana mbowe kasimamishwa na hatua zaidi kuchukuliwaina maana kilio cha waislam kufelishwa islamic knowledge yana mashiko sasa wale ambao wameathiriwa na hayo makosa fate yao ni nn so kama bwana mbowe kasimamishwa na hatua zaidi kuchukuliwaina maana kilio cha waislam kufelishwa islamic knowledge yana mashiko sasa wale ambao wameathiriwa na hayo makosa fate yao ni nnclick to expand hili tamko lilitoka siku nyingi sana tu si leo na lilitolewa na kawambwa si mulugo tram almasi tamko lenyewe kamili hili hapa na linajibu maswali yako jamhuri ya muungano wa tanzania wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi tamko la serikali kuhusu malalamiko dhidi ya matokeo ya somo la islamic knowledge katika mtihani wa kidato cha sita 2012​
2017-07-21T10:53:43
https://www.jamiiforums.com/threads/serikali-yatoa-matokeo-ya-uchunguzi-malalamiko-ya-waislamu-katika-mitihani.323263/
micharazo mitupu golden bush ilivyopepetana na timu ya wizara ya afya leo sinza golden bush ilivyopepetana na timu ya wizara ya afya leo sinza golden bush veterani 'wazee wa dozi' wakijipanga kabla ya kuanza kwa 'game' jamani mnaonaje hawa jamaa tuwapige nane golden bush veterani timu ya wizara ya afya na ustawi wa jamii wakijifua kabla ya kuanza kwa mchezo tusipopasha vyema hawa jamaa wanaweza kututia aibu afya fc wakipasha mwamuzi othman kazi akitetea na mchezaji wa wizara ya afya waambie wenzenu mjipange hawa jamaa wanapiga nyingi ooh refa kazi akiagana na mchezaji wa afya fc kipa wa golden bush machota akidaka mpiga ulioelekezwa langoni mwake na afya fc hapa kazi tu msitutanie nyie said kokoo akipitwa na mchezaji wa afya fc huku wachezaji wenzake wakitafakari namna ya kuupata mpira wisdom ndhlovu wa golden bush akiuwahi mpira karibu na lango lake chupuchupu golden bush watunguliwe baada ya mpira wa kona kutoka nje said kokoo (26) akitafuta mbinu za kumnyang'anya mpira ally wa timu ya wizara ya afya beki wa pembeni wa golden bush majaliwa akimiliki mpira huku akinyemelewa na mchezaji wa afya fc mimi ndiyo majaliwa mwaigaga bana kama ronaldo vile wazir mahadh (10) akionyesha vitu vyake shomari (9) wa golden bush aliyefunga bao pekee la mchezo baina yao na timu ya wizara ya afya akichuana kuwania mpira sijui nimtoke vipi mchezaji wa afya fc akitafakari mbele ya majaliwa mchezaji wa afya fc ally akitafuta mbinu za kumtoka beki wa golden bush patashikla langoni mwa golden bush kipa machota akionyesha ujuzi wake huku akifuatwa na mchezaji wa afya na majaliwa (17) anayecheza wote timu ya golden bush akiwa tayari kutoa msaada bonge la 'mido' makocha mayay wa golden bush akionyesha 'maujuzi' yake saidi kokoo akimtoka mchezaji wa afya fc peke yetu jamani tutulie mandieta kokoo na ticotico wa golden bush heka heka langoni mwa golden bush tupozeni makoo tukawafanyie wapinzani wachezaji wa golden bush wakiwa mapumziko dah hivi tulikuwa tunacheza na simba yanga au golden bush afya fc wakiwa wamepumzika kocha wa timu ya afya wille (kulia) akiongea na wachezaji wake wakati wa mapumziko jamani mbona mnawachelewesha kocha madaraka suleiman 'mzee wa kiminyio' (kushoto) akiongea na wachezaji wake wa golden bush huku herry morris naye akiwa pembeni ( aliyesimama jezi ya njano) makocha herry morris na madaraka seleman wakitetea na wachezaji wao jamani hili jua la leo kama kiama marefa wa pambano hilo wakitetea wakati wa mapumziko hekaheka langoni mwa timu ya afya fc salum swedi 'kussi' akionyesha makali yake oyaa jikaze mtoto wa kiume kipa wa afya akiwa chini baada ya kuumia huku mwamuzi othman kazi akimjulia hali kazi imeisha othman kazi akitoka uwanjani baada ya kumaliza pambano la golden bush veterani dhidi ya timu ya wizara ya afya ambapo golden walishinda bao 10 posted by badru kimwaga at 307 pm
2018-06-20T11:28:20
http://micharazomitupu.blogspot.com/2014/03/golden-bush-ilivyopepetana-na-timu-ya.html
kiongozi mkuu wa kisheria katika atabatu abbasiyya apokea ujumbe wa muungano wa wanajeshi waliojeruhiwa na awahimiza kuendeleza ujemedari wao kiongozi mkuu wa kisheria katika atabatu abbasiyya tukufu mheshimiwa sayyid ahmadi swafi jioni ya leo (5 jamadaluula 1441h) sawa na (31 januari 2020m) amepokea wajumbe wa muungano wa wanajeshi waliojeruhiwa baada ya kumaliza kwao kumzuru abulfadhil abbasi (as) mheshimiwa amesisitiza kua ataba tukufu ikopamoja nao pia akawahimiza kuandika mambo waliyo fanya wakati wakipigana na magaidi wa daesh kwa lengo la kuyaingiza kwenye kitabu cha fatwa tukufu ya kujilinda kinacho andikwa na atabatu abbasiyya tukufu kama sehemu ya kuenzi ushujaa wa wairaq katika kukomboa ardhi yao kutoka mikononi mwa magaidi wa daesh rais wa muungano wa wanajeshi waliojeruhiwa ustadh mikdad rahim amesema kua leo tumemzuru imamu hussein na ndugu yake abulfadhil abbasi (as) na tumekutana na kiongzi mkuu wa kisheria katika atabatu abbasiyya kwa ajili ya kumuambia baadhi ya matatizo na haki tunazonyimwa kama majeruhi tumempa maelezo kuhusiana na muungano huu na kazi tunazo fanya katika kuhudumia wapiganaji wa hashdi shaábi waliojeruhiwa akaongeza kua muungano huo unawanachama elfu (63) ambao ni askari wa jeshi la serikali na hashdi shaábi kutoka mikoa tofauti ya iraq lengo la muungano huo ni kuwahudumia askari wa iraq waliojeruhiwa sababu za kuanzishwa umoja huu ni kuwasaidia majeruhi wote bila ubaguzi
2020-04-10T19:51:31
https://alkafeel.net/news/index?id=9951&lang=sw
august | 2005 | jukwaa huru la uchambuzi siku ya blogu ulimwenguni shukrani za kipekee kabisa zimwendee mwanablogu kutoka israel anayekwenda kwa jina la nir ofir ambaye kwa hakika wazo la kuwepo kwa siku hii lilianzishwa naye alionyesha kwa kiasi gani kuna baadhi ya watu humu duniani wamejaaliwa vipaji vya kufikiri na kugundua mambo ambayo katika mazingira ya kawaida kabisa hakuna wengine waliokuwa wakiyadhania huyu jamaa katika kuanzisha wazo hilo inasemekana kuwa alikaa na kujaribu kufikiri jinsi ambavyo neno blog linavyoweza kushabihiana na terehe fulani fulani hivi na unajua aliibuka na nini aliibuka na namba hii 31o8 ambayo ilimaanisha tarehe 31 ya mwezo wa nane na baada ya hapo akapendekeza wazo hili kwa wanablogu wengine likakubalika hongera sana ndugu pia napenda kuwapongeza ndugu zangu wengine ndesanjo macha na maitha kwa kujitahidi kwa kadiri ya uwezo wao kusambaza taarifa hizi katika lugha ya kiswahili kwa upekee kabisa nadhani katika siku hii sitokuwa nimefanya jambo la maana sana kama sitowataja baadhi ya wanablog ambao kwa namna moja ama nyingine wamekuwa wakinivutia sana kutokana na kazi zao mbalimbali nikianza na bw reginald simon huyu kwa hakika alisimama mstari wa mbele sana katika kunishawishi kuwa mwanafamilia ya wanablogu na kwa hakika kazi zake zimekuwa pia ni changamoto kubwa sana kwangu katika kuboresha na kuzidi kuelimisha jamii kwa mtizamo nilionao sasa kuna huyu jamaa yangu mwingine ambaye kwakweli ukitizama kazi zake jinsi anavyoziandika mpangilio wa lugha yake na mpangilio wa picha zake kwakweli utatamani kuwa kila siku uwe unaamkia kwenye blogu yake namzungumzia akiey ambaye unaweza kumtembelea na kushuhudia ushuhuda wangu lakini pia yupo jamaa yangu mmoja anayekwenda kwa jina la twaha omar kimsingi huyu sio mzoefu sana katika ulimwengu huu lakini kuna sababu moja kubwa sana ambayo inanifanya nimhusudu na kumkumbuka kila mara nayo ni ile ya kujituma na kujibidisha kwake kutaka kujua mambo mbalimbali ya kimaendeleo ukiambiwa kuwa hajawahi kuijua kompyuta hata siku moja kwa kuingia darasani kwa hakika jamaa huyu anajitahidi na anastahili kupigwa tafu wao yupo bi zainab yusuph binti wa kwanza kabisa wa kitanzania kuwa na blogu yenye kumchambua mwanamke ingawa bado mchango wake haujaweza kuwa wa hali ya juu sana lakini ni wazi kuwa kwa wanaofuatilia mfumuko wa blogu za wasichana mabinti na wanawake wa kitanzania watakubaliana nami kuwa yeye amekuwa sehemu ya kuwashinikiza hao kufikia hapo na kwa kumbukumbu za kipekee ningependa kuiweka katika ubongo wangu blog mpya kabisa ambayo umri wake hadi tunaadhimisha siku hii kwa mara ya kwanza ulikuwa ni wa siku kadhaa hapa naizungumzia blogu ya hili janga la katrina lililomaliza jamaa zetu kadhaa huko ughaibuni ni wazi kabisa kuwa bado tunakabiliwa na changamoto nyingi sana mbele yetu kuhakikisha kuwa jamii inanufaika na juhudu zetu lakini hicho kisiwe kigezo cha kutufanya tukate tamaa kwasababu naambiwa hata rome haikujengwa kwa siku chache achilia mbali siku moja august 31 2005 at 716 pm 1 comment siku ya kublog duniani kuna mambo kadhaa ya muhimu sana ambayo yanajiri katika ulimwengu wa mabloga kwa ujumla ambayo ni vyema kila mmoja akayajua kupitia kwa bw ndesanjo macha nimekutana na taarifa za kuwepo kwa siku ya kublogi duniani au pia waweza kuiita siku ya wanablogi duniani soma zaidi kuhusu siku hiyo kwa kiswahili hapa pia soma juu ya aliyeanzisha wazo hilo hapa ***************** pia kuna taarifa ambayo mtanzania huyo amemaliza kuiandika kuhusu wanablogi mbalimbali nchini na hata walio nje ya nchi (wenye asili ya kitanzania bilashaka) ambayo mnaweza kuisoma kwa kuingia katika blogi ya sauti za dunia (blogi ya global voices) kwa mara nyingine tena bw ethan anazungumzia juu ya wanablogi flani flani hivi na ni vyema mkapata kile anachokisema hapa lakini pia kuna wanablog wapya ambao wamejitambulisha rasmi katika ulimwengu huu yupo huyu mmoja ambaye ameanza kwa ile staili ya wanaccm kuelekea uchaguzi mkuu ujao yaani kasi mpya ari mpya na nguvu mpya hebu msome bw swai hapa kisha umtizame na bw masare hapa na kisha kama ilivyo ada yetu naamini kuwa mtawakaribisha rasmi kuungana nasi august 29 2005 at 839 pm leave a comment kwa kasi hii hongereni wasanii wetu ingawa kwakweli bado kuna matatizo makubwa sana katika kuweka mchakato utakaowawezesha kufaidika na kazi zao lakini kwa ujumla wanajitahidi kwa kiasi cha kutosha kwa ulimwengu wa sasa ambapo bisahara ni ya utandawazi kuwa na webu kwa ajili ya kutangaza shughuli mbalimbali za wasanii wa tanzania ni jambo la muhimu sana na ndio maana napenda kuwapongeza kwa kasi hii kwa wale wasomaji wangu zifuatazo ni baadhi tu ya webu ambazo unaweza kuzipitia na ukakutana na kazi shughuli taarifa na maendeleo ya muziki wa kizazi kipya hapa tanzania au bongo flava kama wanavyouita wenyewe bongoflava (hii ni kama kiongozi maana ina viunganishi mbalimbali pia kwa ajili ya kufahamu mambo zaidi ikiwa ni pamoja na habari picha na kadhalila) kwetu entertainment tanzaniahiphopsummit africanhiphop na kwa taarifa zaidi kuhusu muziki huo unaweza kukongoli hapa hallaaaa wasanii wa bongo flava august 28 2005 at 1108 am leave a comment kikwete hizi si dalili njema kwetu naam hii ndio ari mpya nguvu mpya na kasi mpya haishangazi maana ukweli ni kuwa hatukuwahi kuelezwa kuwa ari hiyo kasi hiyo na nguvu hiyo ni ya uelekeo gani na ndio maana kuna wakati nilihoji hilo ati wakati ccm ikiwa inatamba kila kona kuwa imempata mgombea ambaye ni kiboko na kiziba mdomo cha wapinzani pia imenishangaza sana kusikia kuwa jamaa huyu kipenzi cha watu ameutolea nje mdahalo uliokuwa umeandaliwa na kituo cha televisheni cha channel ten akiwa tayari ameshatuahidi kuwa ataendeleza yale yote mema yaliyoanzishwa na serikali ya awamu ya tatu ambayo kauli mbiu yake ilikuwa uwazi na ukweli hakika jambo la kwanza kabisa ambalo tulilitarajia wengi wetu ni kuona anakuwa wazi zaidi ya aliyemtangulia lakini hali imekuwa kinyume hali hii iwe ni kutokana na shinikizo la chama au kutoka kwake mwenyewe kwakweli haiwezi kupita hivi hivi kwasababu inazusha maswali mengi kichwani mwetu je ni mangapi ambayo mhishimiwa huyu ataamua kuyatolea nje pindi akikanyaga pale kwenye lile jumba jeupe na je hizi ni dalili za nini au kiashiria cha jambo gani kwetu wadanganyika naam mwendo mdundo ari mpya kasi mpya na nguvu mupyaaaaaaaaaaa august 24 2005 at 638 pm 2 comments mbowe mlikuwa wapi wakati huo mwenyekiti wa chama ca demokrasia na maendeleo (chadema) bw freeman mbowe hihi karibuni wakati anakubali uteuzi uliofanywa na chama chake kuwa awe mgombea wa nafasi ya urais kwa tiketi ya chama hicho alitoa risala moja ambayo ilikuwa tamu sana kuisikiliza tamu kwasababu kama kawaida alijitahidi kuonyesha kiasi gani wanasiasa wetu wanaendelea kufanya vyema katika usanii wa kuunda maneno ili kuzidi kuwashika wadanganyika katika risala hiyo kuna sehemu alisema eti tanzania imemwagiwa mafuta ya taa na kwamba anahitajika kichaa mmoja tu ajitokeze ili kuwasha njiti na kisha italipuka (tehe tehe tehe) inashangaza sana hakika kusikia hayo hasa kwa mtu ambaye alinitangulia mimi kwa miaka kibao kuwasili duniani kwasababu ukimuuliza mtu kama huyu kuwa huko awali walikuwa wapi wakati nchi inamwagiwa mafuta ya taa utaanza kusikia longo longo za kumwaga ati nashindwa kuwaelewa hakika hawa jamaa zangu wanasiasa wanaposema kuwa eti hali imekuwa mbaya wakati wengi wao kama sio wote walikuwemo katika mchakato wa kuifanya hali hiyo mbaya wakati huo mimi nadhani bw mbowe alitakiwa kueleza ukweli kuwa wanasiasa wetu kwa ujumla wao walishiriki katika kuimwagia tanzania mafuta hayo ya taa enzi hizo na sasa wanachojitahidi kufanya ni kukausha mafuta hayo japo kazi hiyo inawashinda august 24 2005 at 616 pm leave a comment uigizaji wa wabunge wetu na hatma ya bunge lenyewe nazungumzia bunge letu tukufu la jamhuri ya muungano wa tanzania ambalo kwakweli hivi sasa kuna watu wamekuwa wakijitahidi kwa kadiri wawezavyo kuhakikisha kuwa wanaufuta utukufu wake na badala yake kulifanya sehemu ya kupotezea wakati na hii hapa ni moja ya kazi nyingi sana ambazo ninatarajia kuwa wasomaji wangu watashirikiana nami katika kuibua hoja za msingi kabisa za kurekebisha baadhi ya mambo ambayo ni wazi kabisa yanaenda kombo august 21 2005 at 1058 am 6 comments upele umewapata wenye kujua kukuna kwa haraka haraka wapo wale wenzangu na mimi ambao watakuwa wameshangazwa kama sio kushtushwa na matokeo haya lakini ndio hivyo tena hayawi hayawi hatimaye yamekua inawezekana kuwa yalikuwa maajabu kama yale ya mzee rajabu ya kushangaa kababu akavikwa hijab lakini ukweli utabakia palepale kuwa ndio waliopita na wenye wivu wajinyonge tu ila wenzenu haoooooooooo wanaingia bungeni pale (sijui kwenda kusinzia sawa na wenzao au vipi tuwaachie wenyewe hayo) kwa kutizama sifa zao tu hakika wanastahili hicho walichokifikia nawazungumzia ndugu zangu hawa wawili ambao majuzi wamefanikiwa kuteuliwa kuwa wawakilishi wa vijana katika bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania nawazungumzia amina chifupa mpakanjia na mwenzake (katika uwakilishi) lucy thomas mayenga kwa kweli kama ni kutosha kura zilitosha lakini je ndio upele umempata mwenye kucha kweliau kucha zimempata mwenye upele august 12 2005 at 1247 pm 3 comments older posts create a free website or blog at wordpresscom jukwaa huru la uchambuzi blog at wordpresscom post to
2017-06-26T10:20:04
https://uchambuzi.wordpress.com/2005/08/
chuo cha cbeifm na iaa kufundisha it na computer science ni sawa au ni biashara | jamiiforums | the home of great thinkers chuo cha cbeifm na iaa kufundisha it na computer science ni sawa au ni biashara discussion in 'jukwaa la elimu (education forum)' started by c programming dec 10 2011 chuo cha cbe ni chuo cha biashara ila wanafundisha itchuo cha ifm ni chuo cha usimamizi wa fedha lakini wanafundisha it na computer sciencechuo iaa ni chuo cha uhasibu kinafundisha computer science na it je ni sawa vyuo hivi kufundisha kozi hizi sawa au ni biashara ya kijifedha chuo cha cbe ni chuo cha biashara ila wanafundisha itchuo cha ifm ni chuo cha usimamizi wa fedha lakini wanafundisha it na computer sciencechuo iaa ni chuo cha uhasibu kinafundisha computer science na it je ni sawa vyuo hivi kufundisha kozi hizi sawa au ni biashara ya kijifedhaclick to expand kwn unavyofikiri ww chuoni km udom au mlimani au vyuo ambavyo wewe umemeza kuwa ndivyo pekee kwa itkwn wanafundisha na kina nanina mitumena mizimwina wachawikunasomea wapianganimwezinisayar ya pluto cha msingi ni madarasa na walimu na facilities zngnekwn kama walimundio hao hao wa ud or udomndio wanafundisha vyuo tajwa hpo juu hakuna tatizo wao kufundisha hiyo course ili mradi kusiwe na uchakachuzi walimu wenye sifa curiculum iwe approved/accredited facilities in place both quality and quantity punguza mawazo mgando na jifunze kuandika vizurina hiyo cc++ unajifunza vipi kama unashindwa kutofautisha kati ya cbeit na cbe it focus ni sawa ndio maana wanafundisha course hizo ni sawa kabisatena wako fit kuliko hata wa udsm tatizo nikiangalia jina la chuona mtu ukisoma cbeifm na iaa cheti chako kufanya kazi nchi za zingine wanaweza wakashangaa jina la chuokozi mi naona iko sawa 2 kama walamu wa hizo coz wap vp kuhusu bba kuwepo mistmbeya tena kama iaa wanafacilities za it sijui chuo gani kitakifikia tatizo nikiangalia jina la chuona mtu ukisoma cbeifm na iaa cheti chako kufanya kazi nchi za zingine wanaweza wakashangaa jina la chuokoziclick to expand it = finance tatizo umesoma ili utumie cheti ulichopata badala ya elimu ulopata kama walimu wanao kwa nini wasifundishe hayo ni majina tu ya vyuo yasikupe tabu swala la muhimu ni mazingira ya kutoa hizo kozi
2017-01-16T22:15:13
https://www.jamiiforums.com/threads/chuo-cha-cbe-ifm-na-iaa-kufundisha-it-na-computer-science-ni-sawa-au-ni-biashara.201600/
kongamano la tano la kitaifa la sayansi teknolojia na ubunifu kuanzia tarehe 23 hadi 25 agost 2016 | h@ki ngowi kongamano la tano la kitaifa la sayansi teknolojia na ubunifu kuanzia tarehe 23 hadi 25 agost 2016 tume ya taifa ya sayansi na teknolojia iso 9001 2008 certified ndugu waandishi wa habari tumewaiteni kuwaeleza kuwa tume ya taif ili nchi yetu iwe ya uchumi wa kati katika sekta ya uendelezaji uhawilishaji na ubiasharisha wa teknolojia mambo kadhaa yanatakiwa kufanyika ikiwa ni pamoja na h@ki ngowi kongamano la tano la kitaifa la sayansi teknolojia na ubunifu kuanzia tarehe 23 hadi 25 agost 2016 https//1bpblogspotcom/hvj_fhq_4dk/v7xpuxzwf6i/aaaaaaadjbw/ry3btekofdg3jlniwokgack2fbooawxlwclcb/s1600/downloadpng https//1bpblogspotcom/hvj_fhq_4dk/v7xpuxzwf6i/aaaaaaadjbw/ry3btekofdg3jlniwokgack2fbooawxlwclcb/s72c/downloadpng http//wwwhakingowicom/2016/08/kongamanolatanolakitaifalasayansihtml
2018-04-24T14:35:35
http://www.hakingowi.com/2016/08/kongamano-la-tano-la-kitaifa-la-sayansi.html
hii imekaaje kwenye flat screen tv | jamiiforums | the home of great thinkers hii imekaaje kwenye flat screen tv discussion in 'tech gadgets & science forum' started by mbutaiyo mar 19 2012 &#8203wana jf naomba msaada wa wataalam wa picha na tv kuna kitu kwenye picha kinaitwa aspect ratio hii ni ratio ya urefu na upana wa picha ili picha ionekane katika uhalisia wakekatika tv za kizamani (mitungi) hili linadhihirika na picha iliyorushwa inaonekana katika uhalisia wake lakini katika tv za kisasa (flat screen) picha inaonekana bapa yaani urefu unapungua na upana unazidi hii imenifanya nisinunue flat screen na siku zote natumia mtungi naomba mnijuze kwamba flat screen ndivyo zilivyo au ninaweza kupata iliyo na ratio sahihi naomba mnijuze kwamba flat screen ndivyo zilivyo au ninaweza kupata iliyo na ratio sahihiclick to expand unaweza kuadjust kwny tv yako ikawa size yeyote utakayo depends on your flat screen (if its sony samsung etc) but generally follow adjust your aspect ratio get the best picture from your flatpanel display weekend project cnet reviews pia ni muhimu kufahamu chanzo (source) ya midia unayotaka kutazama mf filamu (naamanisha filamu sio video) nyingi zinakuwa na aspect ratio ya 169 wakati matangazo ya tv hapa kwetu bado yapo katika 43 widescreenorama all about aspect ratiosclick to expand nashukuru mkuu ngoja nitaifanyia kazi ni enjoy mavituz ya kisasa pia ni muhimu kufahamu chanzo (source) ya midia unayotaka kutazama mf filamu (naamanisha filamu sio video) nyingi zinakuwa na aspect ratio ya 169 wakati matangazo ya tv hapa kwetu bado yapo katika 43click to expand ahsante sana kwa hiyo shule ngoja nitayaona sawa utafanya yote lakini ukweli utabaki palepale ubora wa picha ama video ya tube tv uko juu kuzidi lcd tv mi hata niwe na mamilioni siwezi nunua flat tv ie lcd zoezi dogo chukua old sony wega flatron linganisha na hii misony yao mipya utakubaliana na mimi ukizingatia wengi wanatumia av cable kusafirisha picha kutoka vyanzo kama vhs na dvd player ukitumia hdmi cable angalau kidogo ubora unakaribiana ndio lcd zinamanage space lakini very delicate nashauri ni bora ununue king'amuzi uunge tube tv sawa utafanya yote lakini ukweli utabaki palepale ubora wa picha ama video ya tube tv uko juu kuzidi lcd tv mi hata niwe na mamilioni siwezi nunua flat tv ie lcd zoezi dogo chukua old sony wega flatron linganisha na hii misony yao mipya utakubaliana na mimi ukizingatia wengi wanatumia av cable kusafirisha picha kutoka vyanzo kama vhs na dvd player ukitumia hdmi cable angalau kidogo ubora unakaribiana ndio lcd zinamanage space lakini very delicate nashauri ni bora ununue king'amuzi uunge tube tvclick to expand are u blind ushawahi kuangalia bluray movie kwenye lcd tv katika 1080p hd ushawahi kusoma maandishi madogo kwenye tv ya kawaida alongside lcd tv ushawahi kulinganisha picha side by side ya tv hzo mbili uone color reproduction nashukuru mkuu ngoja nitaifanyia kazi ni enjoy mavituz ya kisasaclick to expand kama sikuelewi vilewewe si umesema huna tv ya flat screen (hapo kwenye maandishi ya blue) hayo mavitu ya kisasa utayaangalizia wapi au ni kwenye mtungi
2017-07-26T15:05:38
https://www.jamiiforums.com/threads/hii-imekaaje-kwenye-flat-screen-tv.235431/
senema ya majambazi na polisi dar angalia picha za majambazi wakamatwa na polisi barabara ya mandela baada ya kuiba pesa kituo cha mafuta buguruni malapa posted by ayoub mzee at 9/01/2013 020000 am
2017-12-14T08:24:09
http://ayoubmzee.blogspot.com/2013/09/blog-post.html
eneo la watu matajiri nairobi lageuka chimbuko la 'kipindupindu' kwa mara nyingine ▷ tukocoke eneo la watu matajiri nairobi lageuka chimbuko la 'kipindupindu' kwa mara nyingine maoni 5037 maeneo ya karibu na karen country club ni kitovu cha mkurupuko wa maradhi kwa mara nyingine inashukiwa kwamba ni kisa cha kipindupindu kwa sababu wageni kadha wamezuiliwa huku wengine wakilazwa icu uwanja huo ulikuwa eneo la harusi tena ambapo chakula kilipata virusi hivyo uwanja wa kilabu cha kifahari karen ambao ni eneo la watu mashuhuri nairobi unachunguzwa kwa kuwa chanzo cha ugonjwa wa virusi kwa mara ya pili baada ya miezi micheche tu tangu mei 2017 kulingana na habari zilizoonekana na tukocokewageni walianza kuugua baada ya kuhudhuria harusi katika uwanja huo mnamo jumamosi agosti 26 iliripotiwa kwamba wageni walikula chakula kilichokuwa kimenunuliwa kutoka kwa shirika la upishi habari nyingine picha hizi 7 za maharusi wakipigana busu harusini zitakufanya ulie kwa kicheko habari nyingine mteja wa kike wa safaricom atafuta mpenzi apata jibu la kuvunja moyo akizungumza na standard mnamo jumatano agosti 30 bosi wa afya kaunti ya nairobi bernard muia alisema uchunguzi unaendeshwa lakini utalemazwa maadamu hakukuwa na mabaki ya chakula yaliyosalia ili kufanyiwa uchunguzi walikila chote wapishi walikaidi amri inayopiga marufuku huduma ya chakula kutoka nje iliyolaumiwa kwa kusababisha mkurupuko wa awali wa kipindupindu uliofanya wengi kuugua na wengine kufariki alisema muia wageni kadha waliripotiwa kuzuiliwa bernard muia picha na nation inahofiwa kuwa mkurupuko huo utaenea kwa sababu wageni walisafiri kutoka kote nchini kuhudhuria karamu hiyo kutokana na harusi hii mpya mtu mmoja alifariki huku wengine wakilazwa hospitalini katika vitengo vya wagonjwa mahututi mkurupuko wa kwanza wa kipindupindu vilevile ulichipuka kutoka kwa harusi iliyoandaliwa katika eneo lilo hilo kufuatia mkurupuko huo visa vya kipindupindu pia viliripotiwa katika kenyatta international convention center ambapo wageni waliokuwa wamehudhuria kongamano walikula chakula chenye virusi hivyo mnamo julai 2017 kenyan socialites kenya security orange kenya data bundles kenyan fashion bloggers anita nderu age buzeki net worth lilian muli apata shepu aliyokuwa akitamani majuma kadhaa baada ya kujifungua mwanamuziki maarufu kwa kibao 'chokoza' arudiana na mumewe
2018-09-19T07:56:44
https://kiswahili.tuko.co.ke/250721-eneo-la-watu-matajiri-nairobi-lageuka-chimbuko-la-kipindupindu-kwa-mara-nyin.html
wakati eneo kubadilisha na tofauti time calculator | save a train wakati eneo kubadilisha na tofauti time calculator home > wakati eneo kubadilisha na tofauti time calculator kwanza kabisa tunataka ushauri kuhusu suala la kawaida wakati sisi kuonyesha wakati katika hifadhi yetu a train tiketi tovuti mara ni umeonyesha kama wao ni katika ukanda wa mtaa sisi hata hivyo kuundwa huu majira ya saa kubadilisha na wakati tofauti calculator hivyo kama msafiri treni bado kuona jinsi wakati ni katika umuhimu na nyumbani nchi yako au nchi yoyote unayochagua ukurasa huu ilikuwa imeandikwa kuelimisha kuhusu train usafiri ulifanywa na save a train gharama nafuu train tickets tovuti in the world miji mikubwa na dunia yao live saa wakati eneo la kubadilisha chagua wakati wako sasa zone / city / nchi kwa mujibu wa usafiri au treni yako kusafiri na kisha chagua tarehe yako na wakati katika kuacha chini au kuingia manually katika uwanja tarehe kwa kutumia moja ya aina hizi iso (yyyymwezi) marekani (mm / dd / yyyy) au maandishi yoyote tarehe ya kiingereza na wakati maelezo (kesho 3 pm au 20090423 1630) kwenda mbele na kujaribu yetu ya treni kusafiri tofauti ya muda calculator anza sasa kubadilisha muda • kutoka canada mashariki standard mlima stand za alaska ulaya (western / central) uingereza • london ufaransa • paris ubelgiji • brussels ulaya (south / north / mashariki) uhispania • madrid ureno • lisbon italia • rome • finland helsinki ugiriki • athens uturuki • istanbul urusi • moscow asia na wengine korea seoul • misri • cairo pacific/auckland 20191019 1755 pacific/fiji 20191019 1655 australia/melbourne 20191019 1555 asia/jakarta 20191019 1155 asia/pyongyang 20191019 1325 asia/ho chi minh 20191019 1155 asia/taipei 20191019 1255 asia/colombo 20191019 1025 asia/kuwait 20191019 0755 asia/jerusalem 20191019 0755 indian/maldives 20191019 0955 europe/minsk 20191019 0755 europe/riga 20191019 0755 europe/belgrade 20191019 0655 europe/zagreb 20191019 0655 europe/oslo 20191019 0655 europe/lisbon 20191019 0555 europe/gibraltar 20191019 0655 america/santiago 20191019 0155 america/aruba 20191019 0055 america/panama 20191018 2355 america/lima 20191018 2355 america/phoenix 20191018 2155 america/los angeles 20191018 2155 america/chicago 20191018 2355 atlantic/bermuda 20191019 0155
2019-10-19T04:55:52
https://www.saveatrain.com/blog/timezone/?lang=sw
madam florah amjibu emmanuel mbasha kuhusu kumnyima mtoto | mchambuzi huru madam florah amjibu emmanuel mbasha kuhusu kumnyima mtoto march 12 2018 mapenzi no comments msanii wa nyimbo za injili nchini madam florah ambae hapo awali alikuwa akijulikanakana florah mbasha ameamua kumjibu mzazi mwenzie ambae pia alikuwa mume wake wa ndoa emmnanuel mbasha kuhusu lawama zake alizokuwa amemtupia katika mtandao wa instagram siku ya wanawake duniani kuhusu kumnyima kumuona mtoto madam florah ameieleza global publisher kuwa hawezi kuzungumzia maswala nyeti kama hayo katika mitandao ya kijamii wala katika vyombo vya habari juu ya swala hilo kwa sababu hata kama emmanuel aliruhusiwa kumuona mtoto na mahakama lakini hakuruhusiwa na mahakama hiyo kuandika instagramkwaio hawezi kuyasema hayo huko siwezi kuzungumzia hilo swala katika vyombo vya habari hata siku mojahilo swala ameliongelea instagram na mimi ningelitolea instagram na ukweli hamuujui ila sisi ndio tunaujua ukwelina kama mahakama iliamua hivyo na yeye kaamua kuandika instagram basi sawa acha aandike ila siwezi kuliweka wazi emmanuel mbasha na flora walibahatika kupta mtoto moja kipindi cha ndoa yao lakini walipokuwa wanapeana talaka mahakama iliamuru mtoto akae na mama yake kutokana na umri wa mtoto na baada ya hapo madam florah aliamua kuolewa na mwanaume mwingine hivi siku za karibuni emmanuel alifunguka katika mitandao ya kijamii na kusema kuwa mama wa mtoto huyo amekuwa akikaidi agizo la mahakama la kumruhusu yeye kumuona mtoto na kusema kuwa hana njia nyingine yoyote ya kumtumia ujumbe florah zaidi ya hiyo ya instagram
2018-07-17T19:20:57
http://www.mchambuzi.co.tz/2018/03/madam-florah-amjibu-emmanuel-mbasha.html
waziri chikawe haji wa smz waongoza mkutano wa ushirikiano wa wizara zao jijini dar es salaam leo ~ uvccm blog thumbnails===nvarscontrolnav&&0===nvarsthumbcaptions){var c=sattr(datathumbcaption)==c&&void 0==c&&(a+=''+c+)}ncontrolnavscaffoldappend( home » » waziri chikawe haji wa smz waongoza mkutano wa ushirikiano wa wizara zao jijini dar es salaam leo waziri chikawe haji wa smz waongoza mkutano wa ushirikiano wa wizara zao jijini dar es salaam leo waziri wa mambo ya ndani ya nchi mathias chikawe akimfafanulia jambo waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa na idara maalum za serikali ya mapinduzi ya zanzibar haji omar kheri (kushotomeza kuu) pamoja na maofisa wa watendaji wa wizara hiyo na wizara ya mambo ya ndani ya nchi wakati wa mkutano wa ushirikiano wa wizara hizo uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi jijini dar es salaam leo wapili kulia ni katibu mkuu wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi mbarak abdulwakil na kulia ni mkuu wa jeshi la polisi igp ernest mangu watatu kushoto ni katibu mkuu wa wizara hiyo zanzibar joseph meza mkuu wa jeshi la polisi nchini igp ernest mangu akiwafafanulia jambo waziri wa mambo ya ndani ya nchi mathias chikawe (kuliameza kuu) waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa na idara maalum za serikali ya mapinduzi ya zanzibar haji omar kheri (kushotomeza kuu) pamoja na maofisa wa watendaji wa wizara hizo wakati wa mkutano wa ushirikiano uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi jijini dar es salaam leo waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa na idara maalum za serikali ya mapinduzi ya zanzibar haji omar kheri akimfafanulia jambo waziri mambo ya ndani ya nchi mathias chikawe (kuliameza kuu) pamoja na watendaji wakuu wa wizara hizo mbili wakati wa mkutano wao wa ushirikiano uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi jijini dar es salaam leo waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa na idara maalum za serikali ya mapinduzi ya zanzibar haji omar kheri akimfafanulia jambo waziri mambo ya ndani ya nchi mathias chikawe (kuliameza kuu) pamoja na watendaji wakuu wa wizara hizo mbili wakati wa mkutano wao wa ushirikiano uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi jijini dar es salaam leo picha na felix mwagara wizara ya mambo ya ndani ya nchi
2017-08-20T08:00:26
https://uvccmtz.blogspot.com/2014/12/waziri-chikawe-haji-wa-smz-waongoza.html
mbowe lowassa kuwanadi wagombea wa chadema nchi nzima | page 2 | jamiiforums | the home of great thinkers mbowe lowassa kuwanadi wagombea wa chadema nchi nzima discussion in 'uchaguzi tanzania' started by molemo nov 10 2017 chama cha chadema leo kimetoa ratiba ambayo itatumika katika kampeni za udiwani katika kata 43 kwa kipindi kilichosalia mpaka siku ya uchaguzi ratiba hiyo inaonyesha mwenyekiti wa chadema freeman mbowe ataongoza kampeni hizo akishirikiana na viongozi wengine akiwemo waziri mkuu mstaafu edward lowassa dreka jfexpert member wewe ndo kila anachotaka ufanye unafanya but c mimi hapa and sitakuja kuwa mtumwa wa namna hiyo una impact gan mkuu kwa serikali iliyopo madarakani naamini kwa matumizi yetu ya majina fake hapa jf ni ushahidi tosha kuwa huna uthubutu wa kupinga agizo lolote la serikali hadharani moisemusajiografii jfexpert member chadema wamefuata ushauri wa 'da mange' hivi ni weye uliyetaka kununua nyumba za lugumi horrible messages 13053 likes received 18552 moisemusajiografii said ↑ uwepo wa lowassa 'itapendeza' in dkt luis tone ismail khali member vzr wazungushen mafisad ili wananchi wawaone dreka said ↑ ogopa sana kitu kinachoitwa passive resistancewakati wa ukoloni wakoloni walikuwa wanawachukua watumwa na kuwatumikisha kwenye mashamba yao mfano kulimakupandakupalilia and kuvuna mfano wa mbinu moja ambayo ni passive resistance watumwa walikuwa wanazichemsha mbegu kabda ya kuzipanda and wakoloni hio hawakulijua ila mwisho wa siku ilifahamika tuogopa sana kitu kinachoitwa passive resistanceni hatari sana kuliko active resistance ambayo inaonekana we ndo unaiamini sanahadi hapo nafkiri ushanielewa lakini naomba tuwe realistic hivi tangu viongozi wameanza kujifanyia mambo wanavyotaka chini ya serikali za ccm kuna jambo lipi unadhani ni threat kwa serikali hii ya magufuli ambalo litatokana na passive resistance mimi binafsi ni pro active resistance mkuu mimi najizungumzia mimi kama miminow nipo nafanya passive resistance ambayo ni hatari sanamatokeo yake nafikir yataoneka mbelenitunatumia i'd fake so ni ngumu kujuana huyu ni nani and ana effect gani hapo nimekusoma sasa jumong s jfexpert member messages 2368 kila la kheri ila cdm isisahau kujenga na ofisi ya hadhi ya kitaifa zama zimebadilikawasiwe kama muonekano wa dr louis shika kirikou1 jfexpert member likes received 3338 mzee wa kolomije akiona amezidiwa lazima aagize marufuku mikusanyiko dar es salaam aliyekuwa mbunge wa singida kaskazini lazaro nyalandu kesho ataungana na viongozi wa chadema kwenye kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani utakaofanyika katika kata 43 nchi akizungumza leo novemba 11 kwenye ufunguzi wa kampeni hizo kimara suka jijini dar es salaam mwenyekiti wa chadema freeman mbowe amesema amempokea nyalandu na ataungana naye kwenye mkutano mwingine kama huo utakaofanyika mtwara mjini hapo kesho kila anayeondoka chama tawala anaitwa fisadi potelea mbali wamempokea na wengine wengi watahamia kuleta mabadiliko amesema na kuongeza amefafanua kwamba haungi mkono nchi kuwa na wezi lakini anashauri sheria iachwe iamue haki badala ya kuingiliwa kama inavyofanyika kwa mahakamahuku akidai kwamba watawala wana hofu ndiyo maana hawataki ushauri amesema wataendelea kupigania haki ya kupigania haki ya kufanya mikutano ya kisiasa na ipo siku wataingia mtaani kuidai bila kuogopa vifaru amesema huu siyo wakati wa kuogopa na kukaa kimya ni wakati wa kusimama na kutetea haki ya kufanya siasa kuhusu uchumi kusinyaa amesema ni kweli umesinyaa na inaonekana wazi jinsi maisha yalivyo wananchi wafanyabiashara watawala wote wanalia njaa hakuna mwenye nafuu meya wa manispaa ya ubungo boniface jacob amesema anahitaji kuongeza nguvu ya kuleta maendeleo katika manispaa hiyo hivyo mgombea udiwani kata ya saranga ephram kinyafu anatosha naye mjumbe wa kamati kuu na mwenyekiti wa kanda ya pwani frederick sumaye amehoji kuhusu hali za wananchi kuendelea kuwa mbaya tumeamua na tunamaanisha wakati huu ushindi ni lazima na mtakaotupa ushindi ni nyie wananchi amesema sumaye hapo ndio utaona tofauti ya ccm na chadema mwenyekiti taifa kwenda kwenye kampeni ndogo ya udiwani kupambana na mwenyekiti wa wilaya wa ccm hesbone senior member endeleaaa said ↑ na je huu utofauti wa hawa kutumia polisi dhidi ya wengine ambao hawana hata rungu ni hoja tu messages 49853 likes received 21243 nadhani unajisahaulisha tu kuwa mwenyekiti wako aligeuza shughuli za kijeshi kuwa za kichama kwa kuwapokea madiwani hewa waliowanunua toka cdm kule arusha wakati mwenyekiti wa huku anapambana madiwani wake wachaguliwe mwenyekiti mwingine anapokea madiwani walionunuliwa ushasahau kauli takatifu ya mwenyekiti wako wapi wale watu wako wapumbavu kabisa kajolijo jfexpert member likes received 2369 halafu mkishindwa uchaguzi mseme mmeibiwa kajolijo said ↑ wakiiba wasiseme opyempye nchee senior member mjiandae kumpokea na mh magufuri suma langa senior member cdm hoyeeeeee mbowe kama mbunge ile sheria ya kutofanya shughuli za kisiasa nje ya jimbo lako haimuhusu mkulu mbona anafanya siasa tena home sweet home mara kwa mara topics 1095049 posts 24279045
2017-11-24T14:52:23
https://www.jamiiforums.com/threads/mbowe-lowassa-kuwanadi-wagombea-wa-chadema-nchi-nzima.1350625/page-2
avast 50 v/s avg 90 unachagua nini | jamiiforums | the home of great thinkers avast 50 v/s avg 90 unachagua nini discussion in 'tech gadgets & science forum' started by yona f maro feb 2 2010 avast 50 v/s avg 90 sahau kuhusu autorun ambayo ilikuwa inasumbua watu wengi sana mpaka kufikia hatua ya kuogopa kutumia bidhaa hii ukijumlisha muonekano mpya na wakipekee kabisa hiyo ni avast antivirus 50 ambayo ina toleo la bure unayoweza kudownload kutoka kwenye tovuti yao wwwavastcom pia ina toleo la kununua leseni ambalo pia unaweza kufanya hivyo kwa njia ya mtandao bila tabu nyingine yoyote bila kusahau bidhaa yao nyingine ya usalama wa mtandao internet security kwa haraka avast 50 ni jibu la wale walio nunua avg 90 free edition pro pamoja na internet security na hata wale walionunua bidhaa ya microsoft inayoitwa microsoft security essentials lakini hapa nitaongelea kidogo kuhusu avast 50 kulinganisha na avg 90 kwanza kabisa tovuti ya avast imebadilika vitu vingi sana kwa wale watu waliozoea kutembelea tovuti hii watakuwa wameona tofauti ya kuanzia rangi na mambo mengine mengi mfano kwenye tovuti ya mwanzo ulitakiwa kuangalia sehemu ya updates tu na kwenda moja kwa moja kushusha updates za antivirus yako hii ya sasa hivi ni tofauti inabidi kwenda kwenye linki ya support ndio utaona updates unazoweza kudownload ukifika hapo unapata nafasi 2 za kudownload ambapo moja ni kwa ajili ya toleo lililo pita yaani 48 na update nyingine ni ya 50 hii ni tofauti na antivirus nyingi ambapo updates zote huwa kwenye file moja kwahiyo inasaidia sana hata kwa wale ambao hawajui wanatumia matoleo gani ya bidhaa husika hii ipo kwenye avg 90 hata mcafee virus scan unapo weka programu hii kwenye kompyuta yako pia haina njia ndefu na maelezo mengine kama ilivyo avg kwa mfano avg unatakiwa kufunga baadhi ya kazi unazofanya kwa wakati huo au kama umefungua programu yoyote kwenye avast 50 hutakiwi kufanya hivyo unaweza kuendelea na shuguli zako huku ukiendelea kuingiza kwenye komputa husika pindi unapomaliza kuingiza kwenye kompyuta yako basi avast huanza kufanya kazi hapo hapo hii ni toleo la 50 tofauti na matoleo yaliyopita ambapo mtu ulilazimika kurestart computer yako ili iweze kuweka settings zingine kwenye komputa yako kwa ajili ya kufanya kazi na nzuri zaidi ni kwamba ile boot time scan bado iko kwenye toleo hili la avast kompyuta yako ikiwa ina matatizo kwenye saa yake au matatizo yoyote ya muda ujue utapata tatizo na toleo hili la avast hii ni tofauti sana avg ambapo unaweza kuidanganya kwa kutumia tarehe na ukaweka updates za nyuma ikakubali kufanya hivyo ukijaribu kufanya uwongo kwenye avast haitofanyakazi kwa upande wa wepesi na kasi ya kuscan files kwenye kompyuta au vifaa vyake vingine avast imekuwa na kasi zaidi kwa wakati huu naweza kusema kushinda antivirus zingine zote nilizowahi kutumia kwa kipindi cha miaka 4 iliyopita hata hivyo huko tunapoenda kampuni zinazotengeneza bidhaa hizi zinatakiwa kuhakikisha zinakuwa na bidhaa ambazo ni nyepesi katika utendaji wa kazi mbalimbali zinazohusu usalama na ulinzi wa komputa au vifaa vinavyochomekwa kwenye kompyuta hizo kwenye masuala ya licence unapotumia avg 90 pro au is kama ina matatizo kwenye leseni yake yaani bandia basi ina sehemu ya kukuruhusu kurudisha antivirus yako kwenda kwenye toleo la bure ambalo kuna baadhi ya vitu unaweza kuvikosa kwenye toleo hilo kwa avg kupitia tovuti yao inasehemu ya kuweza kurudisha leseni yako kama ulipoteza au komputa yako ilipata tatizo ukapoteza leseni hiyo na mwisho ni kuhusu uwezo wake wa kugundua tabia za baadhi ya programu zako ndani ya kompyuta na kukupa taarifa pale programu hizo zinapofanya kazi kinyume ingawa hii inaweza kutumika na wahalifu kwa siku za mbele na kuweza kuwadanganya watu pamoja na programu yenyewe hayo ndio maelezo mafupi kuhusu avast 90 mengine unaweza kusoma kupitia tovuti yao au kusoma mada mbalimbali zinazohusu bidhaa hii lakini ni nzuri inafaa sana haswa kwa watu wenye kompyuta zilizokuwa na spects ndogo sichagui yoyote i better go to kaspersky shy wewe ni mjanja unataka computer zetu zidedi ili upate tenda hivi hii avast what next after one month ahead si inageuka virus kwani wewe hujui yaani muzungu akupe kitu bureeeeee labda angekuwa mwafrika ana roho ya binadamu je wewe umeshatumia hii zaidi ya mwezi hii bidhaa yako na unasemaga hutaki ma paires sasa wewe unatuletea nini futa hiyo thread yako tafuta ingine mimi nimepata antvirus ingine ipo nimenunua for users 100 nitawatumia watakao wahi watakuwa wamepata baada ya hapo license yako inaisha baada ya mwaka mmoja messages 5308 microsoft security essentials > all that topics 1181366 posts 27347831
2018-07-21T23:10:13
https://www.jamiiforums.com/threads/avast-5-0-v-s-avg-9-0-unachagua-nini.51807/
video msako waendelea kwa muuaji wa pasaka aliyempiga risasi mzee mpita njia na kuweka video ya tukio facebook bongo5com video msako waendelea kwa muuaji wa pasaka aliyempiga risasi mzee mpita njia na kuweka video ya tukio facebook by fredrick bundala | april 18 2017 916 am msako mkali unaendelea kumnasa steve stephens 37 wa cleveland ohia nchini marekani aliyehusika kwenye tukio la mauaji ya mzee wa miaka 74 robert godwin muuaji huyo alidai kufanya kitendo hicho baada ya kukorofishana na mpenzi wake na hasira zake aliamua kuzihamishia kwa mzee mpitanjia huyo huku akirekodi mauaji hayo na kuweka video facebook godwin mfanyakazi wa zamani wa kiwandani na fundi mechanic ana watoto 10 na wajukuu 14 mtoto wa kike tonya godwinbaines ameiambia cnn jumatatu hii kuwa familia imemsamehe muuaji huyo each one of us forgives the killer the murderer we want to wrap our arms around him amesema mwingine robert godwin jr amesema steve i forgive you im not happy [with] what you did but i forgive you watoto wake wamesema baba yao aliwafundisha thamani ya kazi aliwafundisha jinsi ya kumpenda kumpenda na kumuoga mungu na jinsi ya kusamehe meya wa cleveland frank jackson ametangaza zawadi ya $50000 kwa mtu atakayesaidia kupatikana kwa stephens stephens aliweka video kwenye facebook ikionesha akimnyooshea bastola mzee huyo aliyekuwa akikatiza tu barabarani na shughuli zake sekunde chache kabla ya kumpiga risasi stephens alimuuliza mzee huyo aseme jina la mwanamke ambaye ana ukaribu na mtuhumiwa shes the reason why this is about to happen to you alisema stephens baada ya hapo alimpiga risasi mzee huyo aliyepoteza maisha pale pale
2018-05-25T22:32:22
http://bongo5.com/video-msako-waendelea-kwa-muuaji-wa-pasaka-aliyempiga-risasi-mzee-mpita-njia-na-kuweka-video-ya-tukio-facebook-04-2017/
herbicide caribou wigo wa hatua maelekezo kiwango cha matumizi | magazine mkate yellow herbicide caribou wigo wa hatua maelekezo kiwango cha matumizi mlipuko halisi wa mazao ya beet ya sukari ni magugu kama vile kupanda mbegu nguruwe fimbo ya moto ya teofrasta aina mbalimbali za vilima na wengine wanachukua kutoka kwenye udongo mara mbili zaidi ya madini kuliko mboga ya mizizi yenye afya kwa kawaida hii inasababisha mavuno ya chini mojawapo ya njia bora zaidi za kupambana na magugu ya udongo hata kama shamba linajaa kabisa ni caribou herbicide ambayo ina wigo wa hatua nyingi viambatanisho vya kazi fomu ya kutolewa ufungaji faida za herbicide teknolojia ya maombi matumizi ya ufumbuzi kama dutu ya kazi katika maandalizi haya hutumiwa triflusulfuronmethyl maudhui ambayo ni 500 g kwa kila kilo ya dawa dutu hii ni wa darasa la sulfonylureas je unajua sulfate ya shaba inachukuliwa kuwa ni dawa ya kwanza ya hatua ya kuchagua duniani katika karne ya 19 wanasayansi waliona uwezo wa kiwanja hiki kuzuia ukuaji wa magugu ya dicotyledonous herbicide hutolewa kwenye soko katika mfuko wa foil isiyo na hewa yenye vifungo kumi vya gramu 60 za madawa ya kulevyakatika ufungaji huo ikiwa sio ukiukaji wake huhifadhi mali zake kwa miaka mitatu sachets kutoka kwenye mfuko hawana haja ya kufungua wakati wa kutumia madawa ya kulevya wao hupumzika katika maji herbicide yenyewe inapatikana kama poda yenye majivu kwa matibabu ya sukari ya sukari mara nyingi hutumiwa na mchanganyiko wa tank na kuongeza dawa nyingine za dawa kama vile lontrel au dhahabu ya dual wadudu fungicides na mbolea dawa hii ina idadi ya faida zisizokubalika hasa huanza kutenda haraka sana herbicide inajulikana kwa kuchagua high juu ya hatua hasa kwa beets inatumika katika aina mbalimbali za joto matumizi yake inaruhusu kupunguza matumizi ya madawa mengine haiwezi kupunguza mzunguko wa mazao inaweza kutumika vizuri katika hali ya hewa kavu hakuna vikwazo juu ya matumizi karibu na mabwawa je unajua karibu tani milioni 45 za dawa za kuuaa mbalimbali hutumiwa duniani kote dawa hii inakabiliwa na majani ya magugu kwa kiwango kidogo mizizi yao wakati kuifanya huzuia mgawanyiko wa kiini wa mimea ya maguguhivyo kuacha ukuaji wao baada ya saa chache tu katika siku zijazo magugu hupata rangi ya anthocyanini (nyekundu zambarau bluu) kisha chlorosis huzingatiwa ndani yao na matokeo yake hufa mchakato wote huchukua siku 1015 caribou inafaa zaidi katika awamu ya maendeleo ya magugu kwa majani 2 pamoja kwa aina fulani (cod ya alizeti shamba la haradali) kizingiti cha ufanisi mkubwa kinaongezeka kwa awamu ya majani 6 baada ya hayo ufanisi wa madawa ya kulevya hupungua ingawa magugu huacha kuongezeka hawawezi kufa matumizi ya madawa ya kulevya caribou inakuwezesha kudhibiti magugu kama vile mchanga euphorbia nettle chamomile resedu veronica usahausio kuota kwa blackthrow celandine ambrosia inashauriwa kufanya usindikaji mara mbili wa mazao ya beet na dawa caribou kwa joto la hewa kutoka +15 hadi +25 ° с wakati wa matumizi ya kwanza ya madawa ya kulevya beets lazima iwe katika hali ya kuota (kutoka 70 hadi 90 ya miche) au katika awamu ya kufunga ya safu tiba ya pili hufanyika baada ya siku 715 baada ya kwanza ni muhimu ni vigumu kupendekezwa kutumia madawa ya kulevya caribou mpaka kuongezeka kwa beet kuota kuandaa suluhisho la kunyunyizia shamba kulingana na maelekezo ya matumizi kulingana na kiwango cha matumizi katika 30 g ya dawa ya caribou kwa hekta kiasi cha suluhisho ni lita 200 kwa hekta kwanza maji hutiwa ndani ya chombo kisha idadi inayotakiwa ya mifuko ya caribou imeharibiwa ndani yake na mchanganyiko huchochewa hadi dawa hiyo ikamilifu kabisa dawa za aina nyingine huingizwa kwenye tangi (tayari katika fomu ya maji) kisha kuongeza kiasi kinachohitajika cha maji na mwisho ni lazima kuongeza kipengee cha trend90 kilicho na uso juu (kiwango cha juu) kwa kiwango cha 200 ml kwa hekta vitendo hivi vyote vinafanywa na kuchochea mara kwa mara ya suluhisho athari kubwa ya athari za herbicide huzingatiwa ikiwa caribou hutumiwa katika mchanganyiko na madawa mengine ni sambamba na wadudu wengi wa dawa lakini kabla ya kuandaa mchanganyiko huo inashauriwa kushauriana na wataalam ni muhimu usitumie caribou katika mchanganyiko na wadudu wa organophosphate madawa inahusu darasa la tatu la hatari unapotunzaji unapaswa kutumia buti za mpira na kinga majambazi magogu pumzi inashauriwa kufanya usindikaji wa shamba katika hali ya hewa ya utulivu lakini upepo unaruhusiwa kasi ambayo hayazidi 5 m / s hifadhi caribou katika upakiaji wa awali na utimilifu usio sahihi katika chumba ambako ni kuhifadhiwa upatikanaji wa watoto unapaswa kutengwa aidha ni kuhifadhiwa tofauti na mbegu na kulisha kwa ujumla dawa za caribou zinaweza kuelezewa kama njia nzuri za kupambana na magugu ya dicotyledonous yanayotokana na nyuki za sukari inapotumiwa vizuri inakuwezesha kuondoa kabisa aina nyingi za magugu makala ya kukua kwa spirea ivolist thuja magharibi columna maelezo kutua na kutunza kujifunza sababu za ukuaji mbaya wa ficus benjamin kwa nini vitunguu baridi hugeuka njano katika chemchemi na nini cha kufanya matumizi ya asali ya ubakaji faida na madhara maelezo ya jumla na kilimo cha nyanya mbalimbali kifaransa kivsyaki udhibiti bora wa centipede
2019-11-13T06:07:30
https://sw.yellowbreadshorts.com/4367-herbicide-caribou-spectrum-of-action-instruction-consumption-rate.html
mtakatifu simon kitururu mawazoni kufungwa kwa mashindano ya kuchora emanase wa image profession na ip sports club aliyetonesha kidonda simon kitururu muda friday march 23 2012
2018-04-23T05:49:03
http://simon-kitururu.blogspot.com/2012/03/kufungwa-kwa-mashindano-ya-kuchora.html
you are athome»habari360»hii kali alikiba abdul kiba kufunga ndoa siku moja previous articlevideo chege ft saida karoli kaitaba next article mbunge sugumasonga watupwa jela kwa lugha ya fedheha dhidi ya jpm
2019-08-22T12:09:12
https://habarimpya.com/featured-2/admin/hii-kali-alikiba-abdul-kiba-kufunga-ndoa-siku-moja
dawati kwa kila mtoto (a desk for every child) inb pamoja blog home > unlabelled > dawati kwa kila mtoto (a desk for every child) inb dawati kwa kila mtoto (a desk for every child) inb 6/24/2016 112000 am siku ya leo kwa mara nyingine tuko mkoa wa mtwara kukabidhi reading corners ama kona za kusomea katika shule mbili lilungu na nanguruwe jumla ya vitu tulivyokabidhi ni madawati 60 makabati ya vitabu 4 vitabu 181 chati za mfano herufi hisabati pamoja na vifaa vya sanaa kama rangi za kuchorea na kadhalika mchango huu ni sehemu ya mradi wa dawati kwa kila mtoto (a desk for every child) ambao umedhaminiwa na shirika la marekani 'we are the world kids kama sehemu ya mpango wao wa kimataifa kujenga na kuanzisha maktaba na kona za kusomea kwa ajili ya shule za msingi na sekondari katika afrika na mashariki mwa asia' mgeni wa heshima katika sherehe hii ni mh halima dendego mkuu wa mkoa mtwara akiongozana na mhfatuma ally mkuu wa wilaya mtwara sherehe hii ilifanyika katika shule ya msingi lilungu (mikindani) afya (162) ajali (40) biashara (273) burudani (292) dini (61) elimu (97) habari (3459) hadithi (201) magazeti (593) mahakama (125) matukio (2579) michezo (356) siasa (59) simulizi (218) waziri (235)
2018-02-18T20:02:19
http://www.pamoja.co.tz/2016/06/dawati-kwa-kila-mtoto-desk-for-every.html
rouhani apongeza makubaliano ya nyuklia | matukio ya kisiasa | dw | 17012016 waziri wa mambo ya nje wa iran mohammad javad zarif akishangiliwa bungeni kwa kufanikisha makubaliano ya nyuklia wakati ubalozi wa saudi arabia ulipovamiwa tehran kiungo https//pdwcom/p/1hf30
2019-03-21T16:50:29
https://www.dw.com/sw/rouhani-apongeza-makubaliano-ya-nyuklia/a-18985702
huyu madabida ni nani current users online 10172 topic huyu madabida ni nani 20th june 2012 1653 jana mh mmoja mjengoni kwa jina la madabida alikoroma sana hadi zungu akakereka naskia ni mndengereko nduguye nyanchoka ( mama salma) aliongea sana kwa jazba akiunga hoja mia kwa mia na kuwakoromea wote wanao criticize bajeti nilivyomuona anatafuta umaarufu ili mh rais amuone ili ampe uwaziri akipewa uwaziri huyu wizara itaendeshwa kwa jazba na visasi amechukia sana watu ku quote mawazo ya kamati yake pia anadhani watu wanaotumia mtandao ni wajinga wasio na kazi kuna mtu anamjua vizuri cv yake nk 20th june 2012 1705 re huyu madabida ni nani ndio mashangingi wa hapa dar hao matola and labata like this haya ndio mapashukuna yetu hapa dar na huu ndio mtandao wa ukabila na udini ambao upo ccm mkoa wa dar es salaam ila mungu mkubwa mume wake bwana madabida aligombea ubunge kwa tiketi ya ccm kule rufiji au kilwa kama sikosei na akapigwa chini na mgombea wa cuf ukitaka kulijuwa jimbo lake fuatilia majimbo ya cuf 2 huku tanganyika kuna lindi mjini na la pili nimesahau jina lake hapo ndipo alipofia madabida nilifurahi sana huyu jamaa kupigwa chini 20th june 2012 1737 huyu maza si ndio anamiliki kiwanda cha dawa cha arusha tpi 20th june 2012 1745 huyo maza ni mkewe ramadhani madabida ambaye wasifu wake umeelezewa hapo juu na kintinku mr ramadhani mabadiba trustee mr ramadhani madabida studied business policy from the curtin university of technology australia where he attained a masters degree in business administration in 1981 he has as well a graduate diploma in business administration from the same institute having specialized in the management of marketing distribution channels he has a wide administrative and managerial experience having worked in both the public and private sectors for the last twentyeight years he is currently the chief executive officer of tanzania pharmaceutical industries limited which is one of the privatized former public enterprises mr madabida has played a leading role in the privatization of the tanzanian public pharmaceutical manufacturing sector he was the team leader in the preparation and submission of a proposal for management participation in the ownership of tanzania pharmaceutical industries limited conducted a technical and management audit of tanzania pharmaceutical industries limited and conducted a due diligence review of tanzania pharmaceutical manufacturing companies which were listed for privatization whose reports were submitted to tanzania venture capital fund for investment decision between january 1995 and july 1996 he eventually prepared a feasibility study for rehabilitation and financing of capital items for tanzania pharmaceutical industries limited (tpi) the company he now leads and which he has done a great deal to transform under mr madabidas leadership the company has managed to attract investments from both overseas and local investors in the process the company is now implementing in collaboration with action medeor (a german medical aid organization) a euro 5 million project financed by the european union apart from his normal duties mr madabida is the chair of tanzania pharmaceutical manufacturers association he is a member of the governing council of the confederation of tanzania industries and seats on the board of katani ltd one of the largest agroindustrial businesses in the country and chairs the board of directors of tancord (1998) limited in 2003 mr madabida participated in the drafting and writing of a paper which was presented to the institute of medicine committee on the role of pharmaceutical industry and technology and its appropriate regulation in improving antimalarial drugs and producing them inexpensively (using artemisinins as an example) he has also participated and presented papers in seminars and workshops both nationally regionally and internationally source unit trust of tanzania thanks but the mp is mrs zareena madabida what is she 20th june 2012 1749 hao ndo wazuri wadhaifu wanaimarisha upinzani 20th june 2012 1842 kilwa kusini 20th june 2012 1843 ukimfahamu iliiweje nahisi ujumbe wa jana wa mchungaji msigwa ulimlenga mama madabida pia kwasababu msigwa alisema kuna watu wanaleta mambo ya khanga bungeni na ukiangalia utaona kweli zarina madabida alichangia nonsense kwenye bajeti ile jana huyo naye ni mmoja wa mafisadi hapa tanzania kwani kampuni ya madawa napco ilimfia mkononi kukwepa mkono wa sheria akajiingiza kwenye siasa na yeye na mme wake ni maswahiba wa jk (dhaifu) ni yeye na mume wake na walikuwa wanamiliki maduka kadhaa ya dawa hapa dar tumchambue na kumfahamu je ni vibaya kuwafahamu kwa undani watunga sheria wetu au wewe ni gamba lao wewe kweli madabida ni mzabizabina mnjelepina zarizarina malizia mwenyewe nazani unajua wabunge wote wa ccm ni bendera huyo mama ni pharmacistwasomi wa kale wa chuo cha muhimbili na alikua na cheo cha juu sana katika kwenye bodi ya wafamasia tzanamiliki tpi kiwanda cha dawa huyu ni mkewe mjanja mmoja hapo dar anaitwa ramadhani madabida kujuana huko watu watetea kula kwa uwazi 20th june 2012 2340 huyu mama aliwaliza wanawake wa dar es salaamu yeye pamoja na mama rupia na janet kahama walifanya utapeli wa upati wanawake wengi waliachwa na waume zaowengine walikunywa sumu wakafawengine walipata vichaa walikuwa wanaendesha mchezo wa upatu wakijidai wa kusomesha watoto shulewanawake walivyompeleka polisi tibaigana alisema walicheza kamari na kamari hairuhusiwi fedha za kuanzishia kiwanda cha mumewe kilitokana na fedha za dhuluma za wanawake waliocheza mchezo aliouendesha yeye ndio alikuwa injinia wa mchezo na marafiki zake 21st june 2012 0002 sasa anataka uwaziri ili apore vizuri manake kila akichangia hoja kunakuwa na mazingira ya uchu na uroho 21st june 2012 0905 wewe cv yake itakusaidia nini mimi namjua vzr madabida ni ccm mwenzangu na jirani yangu pia acheni mapovu jamani chadema ifm kufanya mdahalo wa fao la kujitoa sisi wote ni watoto wa baba mmoja
2013-05-25T05:04:09
http://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/281125-huyu-madabida-ni-nani.html
mwigulu afungua kikao cha kujadili urejeshaji wa wakimbizi wa burundi walio tayari kurejea nchini kwao | raha za walimwengu home » »unlabelled » mwigulu afungua kikao cha kujadili urejeshaji wa wakimbizi wa burundi walio tayari kurejea nchini kwao
2017-09-24T12:13:42
http://www.rahatupu.us/2017/08/mwigulu-afungua-kikao-cha-kujadili.html
ubunifu wikipedia kamusi elezo huru ubunifu (kutoka kitenzi chenye asili ya kiarabu kubuni pia ugunduzi japo si maneno yanayolingana kabisa katika maana zake[1] ) mara nyingi huchukuliwa kuwa ni matumizi ya njia bora zaidi zinazokidhi kutatua changamoto mpya changamoto ambazo tayari zipo lakini hazijapatiwa ufumbuzi bado au changamoto zilizopo kwenye soko au jamii kwa kipindi husika[2] dhana hii hutimilika pale ambapo bidhaa huduma teknolojia mpangilio wa biashara au njia nyingine yoyote inayoweza kutatua changamoto husika katika jamii ni adimu kuipata katika masoko ya kiuchumi serikali au jamii yenyewe neno ubunifu linaweza kutafsiriwa kuwa ni kitu fulani halisia na chenye mchango wa wazi katika jamii na hivyo ni kitu kipya kinachojitokeza katika soko au jamii kwa hali ya upya[3] ubunifu chanzo chake ni mungu maana ndiye aliyeanzisha vitu vyote kwa kuachilia mawazo ndani ya watu ↑ bhasin kim (20120402) this is the difference between 'invention' and 'innovation' business insider ↑ maryville s (1992) entrepreneurship in the business curriculum journal of education for business vol 68 no 1 pp 2731 ↑ based on frankelius p (2009) questioning two myths in innovation literature journal of high technology management research vol 20 no 1 pp 4051 rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=ubunifu&oldid=1103042 last edited on 5 machi 2020 at 1534
2020-05-27T10:04:00
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Ubunifu
(elekezwa kutoka cameroon) jamhuri ya kongo (kiswahili) (bendera ya kamerun) (nembo ya kamerun) mji mkuu yaounde rais biya eneo km² 475442 idadi ya wakazi 25216267 (2018) wakazi kwa km² 397 uchumi nominal bilioni $38445 uchumi kwa kipimo cha umma $1544 kaulimbiu amani kazi taifa wimbo wa taifa ewe kamerun mwanzo wa mababu wetu mtandao cm kodi ya simu +237 rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=kamerun&oldid=1113758 ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 21 mei 2020 saa 1231
2020-08-09T11:45:01
https://sw.wikipedia.org/wiki/Cameroon
afcon 2017 misri wamsubiri mshindi ghana vs cameroon mdimu's blog home / michezo / afcon 2017 misri wamsubiri mshindi ghana vs cameroon afcon 2017 misri wamsubiri mshindi ghana vs cameroon mabingwa wa kihistoria barani afrika timu ya taifa ya misri wametinga kwenye hatua ya fainali ya michuano ya afcon inayoendelea nchini gabon misri wamefanikiwa kuingia kwenye hatua hiyo baada ya kuiondoa burkina faso kwa mikwaju ya penati nne kwa tatu ambayo ililazimika kupigwa kutokana na wawili hao kwenda sare ya bao moja kwa moja katika dakika 120 katika dakika ya 66 misri walipata bao la kuongoza kupitia kwa mshambuliaji wao anaecheza soka nchini italia kwenye klabu ya as roma mohamed salah lakini dakiika saba baadae aristide bance aliisawazishia burkina faso katika mikwaju ya penati mchezaji mwenye umri mkubwa katika fainali za afrika za mwaka huu mlinda mlango essam el hadary aliibuka shujaa baada ya kupangua mikwaju miwili ya burkina faso na kuiwezesha misri kutinga katika mchezo wa fainali hii ni mara ya nane kwa timu ya taifa ya misri kutinga katika hatua ya fainali ya michuano ya afrika tangu ilipoanzishwa mwaka 1957 timu hiyo imetwaa ubingwa wa afrika mara saba na kumaliza katika nafasi ya pili mara moja
2017-08-24T08:54:02
http://mdimuz.blogspot.com/2017/02/afcon-2017-misri-wamsubiri-mshindi.html
php scripts / miscellaneouscrafted live audio announcer addon kwa worldwidescriptsnetkujiunga na kulisha wetu kukaa hadi tarehempya kufuata yetu kama unataka★★★★sehemu hii inapatikana katika 37 lugha nyinginearabicbengalicatalan/valenciandanishdutchenglishesperantofinnishfrenchgermangreekgujaratihindiindonesianitalianjapanesekannadakoreanmalaynorwegianpersianpolishportugueseromanian/moldavian/moldovanrussiansimplified chinesespanish/castilianswedishtagalogtamilteluguthaitraditional chineseturkishukrainianurduvietnamesekuishi previewviwamboads hii ni mfumo php ambayo inaruhusu u kutangaza redio mafaili (tump3) kwa watumiaji wote wa kufungua tovuti na ni kazi katika realtime kama kwamba kama user ni tayari juu ya ukurasa atakuwa kusikia tangazo bila ya kuwa na upya ukurasa u unaweza pia kuweka tangazo kuchezwa kwa watumiaji ambao itafungua tovuti baadaye bidhaa kuja na jopo admin ambayo utatumia kucheza / kuacha tangazo faili matumizi kufuata mwongozo wa kufunga bidhaa matangazo yako inapaswa kuwa katikamp3 mafaili format kama ni katika muundo nyingine yoyote kutumia tu yoyote inapatikana redio kubadilisha fedha kubadili yao mp3 kupakia wale files kusikiliza kwa mtandao kompyuta yako kufungua jopo admin na kuongeza njia ya kwamba faili redio kama tangazo jipya kutoka sasa matangazo ukurasa u wanaweza kucheza / kuacha hata mmoja kati yao wakati u bonyeza kucheza tangazo sambamba utafanyika kwa mtu yeyote ambaye kwa sasa ni katika tovuti (juu realtime bila ya kuwa na upya ukurasa) kama u kushoto kwamba tangazo kwenye hali ya kucheza na hawakuacha yake basi watumiaji mpya ambao kutembelea tovuti baadaye tutasikia tangazo haraka kama wao kufungua tovuti unaweza kuacha tangazo lolote wakati akiwa alicheza hatua ya ufungaji ni rahisi sana na inakuja na nyaraka za kina ikiwa ni pamoja na kufanya kazi demo maoni na rating itakuwa kweli appreciated na i itakuwa tayari kusaidia kwa matatizo yoyote shukrani downloadvipengele vingine katika jamii hiikila sehemu ya mwandishi huyumaonimara kwa mara kuulizwa maswali na majibumalikuundwa5 septemba 11badiliko la mwishomei 5 14high azimiola sambamba browserskeywordsecommerce ecommerce vitu wote kutangaza tangazo matangazo mtangazaji redio kuishi muziki taarifa kuarifiwa realtime sauti
2016-12-09T19:16:42
https://sw.worldwidescripts.net/live-audio-announcer-39391
wakulima wa kanda ya ziwa kufikiwa kupitia kongane habari za jamii home / habari / wakulima wa kanda ya ziwa kufikiwa kupitia kongane dotto mwaibale 607 am habari
2017-11-17T19:19:26
http://www.habarizajamii.com/2017/11/wakulima-wa-kanda-ya-ziwa-kufikiwa.html
kampuni ya star media tanzania limited yashinda tuzo ya ubora ya wqc | jestina george ooh gigy moneyaweka wazi magumu aliyopitia akiwa mapenzini na mo j mwimbaji na video vixen gigy money amefunguka kuhusiana na aliyekuwa mpenzi wake mtangazaji wa clouds radio mo j na kusema kuwa kip ruge ndiye mkombozi wa bongofleva sifa 5 za tajwa kuthibitisha article kutoka bongo 5 imenivutiasoma nipe maoni yake ruge alianza kujulikana rasmi kwenye tasnia ya burudani baada ya kuanza kuf home / news / kampuni ya star media tanzania limited yashinda tuzo ya ubora ya wqc kampuni ya star media tanzania limited yashinda tuzo ya ubora ya wqc makamu wa rais wa kampuni ya startimes tanzania bi zuhura hanif (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na tuzo ya utoaji huduma bora waliyoipokea nchini ufaransa mwishoni mwa mwezi oktoba kutoka kwa kampuni ya business initiative directions (bid) pamoja naye kulia ni kaimu ofisa mtendaji mkuu wa startimes bw lanfang liao makamu wa rais wa kampuni ya startimes tanzania bi zuhura hanif (kushoto) akisisitiza jambo katika mkutano huo na wanahabari kaimu afisa mtendaji mkuu wa startimes bw lanfang liao akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na tuzo ya utoaji huduma bora waliyoipokea nchini ufaransa mwishoni mwa mwezi oktoba kutoka kwa kampuni ya business initiative directions (bid) kampuni ya business initiative directions (bid) ya nchini ufaransa imeitunuku kampuni ya startimes kutoka nchini tanzania tuzo ya world quality commitment (wqc) kwa utoaji huduma bora kwa wateja wake sherehe za tuzo hizo zilizofanyika kwa mara ya 29 ziliyofanyika jijini paris ambapo makampuni mbalimbali yalishinda yalishiriki akizungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam wakati wa kuonyesha tuzo hiyo kaimu afisa mtendaji mkuu wa startimes tanzania bw lanfang liao amesema kuwa hiyo ni habari njema si tu kwa kampuni bali kwa taifa kwa ujumla kwa utoaji wa huduma bora kwa wateja wake tuzo hii imetolewa jijini paris ufaransa mwishoni mwa mwezi oktoba ambapo kampuni ya business initiative directions (bid) ndio waandaaji wakuu wa tuzo hizi ambazo zimefanyika mara ya 29 kwa mwaka huu alisema bw liao utolewaji wa tuzo huu ulihusisha marais wakurugenzi viongozi wa makampuni na wafanyabiashara kwa ujumla ambao walikuwa wanapendekeza majina ya kampuni inayostahili tuzo hiyo kutoka sehemu mbalimbali duniani katika upigaji huo wa kura ambao hufanyika kwa siri bila ya hata kampuni inayopigiwa kura kujua baada ya upigaji huo wa kura kampuni ya startimes ambayo ndiyo pekee kutoka nchini tanzania kujinyakulia tuzo hiyo ya heshima kwa niaba ya kampuni ya startimes ningependa kuchukua fursa hii kwanza kabisa kuwatangazia wateja wetu na watanzania kwa ujumla kuwa wao ndio sababu kubwa mpaka sisi kutunukiwa tuzo hii pili ningependa watanzania wafahamu kuwa ushindi wa tuzo hii sio wa kampuni pekee bali ni kwa tanzania kwa ujumla kwani startimes ndio kampuni pekee iliyotunukiwa tuzo hii aliendelea bosi huyo hivyo basi ningependa kuwashukuru wateja wetu lakini kikubwa zaidi ni serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania kwa kuendelea kuweka mazingira mazuri kwa kampuni zinazokuja kuwekeza nchini kuwahudumia wananchi wake tunawashukuru wadau kama vile tanzania investment center (tic) tcra na wizara zote bila ya kusahau vyombo vya habari ambavyo tumekuwa navyo bega kwa bega katika shughuli zetu aliongezea ni kutokana na mazingira mazuri ya uwekezaji nchi na wananchi wake wananufaika na kusonga mbele kimaendeleo kwa kuhitimisha ningependa kuchukua fursa hii kuwashukuru tena watanzania kwa kuendelea kutuamini na kutuunga mkono katika shughuli zetu na wakae mkao wa kula kwa kampeni zetu kabambe zinazoendelea kuzinduliwa hivi karibuni alihitimisha heri ya siku ya kuzaliwa hamisa mobetto wema sepetu mahakamani leo
2018-12-13T09:21:37
http://www.jestina-george.com/2015/11/kampuni-ya-star-media-tanzania-limited.html
waziri biteko aiagiza tume ya madini kuziandikia hati ya makosa leseni za madini 18341 | mpekuzi waziri biteko aiagiza tume ya madini kuziandikia hati ya makosa leseni za madini 18341 greyson mwase asteria muhozya na nuru mwasapeta waziri wa madini doto biteko ameiagiza tume ya madini kuziandikia hati za makosa leseni za madini 18 341 zinazodaiwa ili zilipe madeni hayo ndani ya siku 30 na wakishindwa kulipa madeni hayo ndani ya muda huo leseni hizo zifutwe ndani ya siku saba baada ya mwisho wa hati za makosa waziri biteko ametoa agizo hilo jijini dodoma leo tarehe 18 februari 2019 kupitia mkutano wake na waandishi wa habari ambao umewashirikisha katibu mkuu wa wizara ya madini profesa simon msanjila mwenyekiti wa tume ya madini profesa idris kikula kamishna kutoka tume ya madini dkt athanas macheyeki pamoja na watendaji kutoka wizara ya madini na tume ya madini amesema kuwa zoezi husika lifanywe kwa mujibu wa kifungu cha 63 cha sheria ya madini ya mwaka 2010 na marekebisho yake ya mwaka 2017 na kusisitiza lisiangalie nani anamiliki leseni hiyo hata kama ni taasisi ya serikali hata ile leseni ya liganga na mchuchuma ambayo inamilikiwa na shirika la maendeleo la taifa (ndc) na mbia wake najua inadaiwa ada ya dola za marekani zaidi ya 375000 sheria ifuate mkondo wake alisema biteko katika hatua nyingine waziri biteko aliiagiza tume ya madini kufuta leseni zote za utafiti ambazo zipo hai na hazina madeni lakini toka zitolewe imepita miezi mitatu bila kuanza kuandaa na kukusanya vifaa stahiki kwa ajili ya utafiti au imepita zaidi ya miezi zaidi ya sita bila kuanza kufanya utafiti kwani ni kinyume na kifungu cha 36(1) cha sheria ya madini ya mwaka 2010 na marekebisho yake ya mwaka 2017 aidha aliiagiza tume ya madini kuhakikisha kuwa maeneo yote yaliyoainishwa na kutangazwa na serikali kwa ajili ya wachimbaji wadogo yatolewe leseni za uchimbaji mdogo tu kwa mujibu wa kifungu cha 16 cha sheria ya madini ya mwaka 2010 na marekebisho yake ya mwaka 2017 na yasitolewe kwa uchimbaji wa kati wala mkubwa ili kuwaendeleza na kuwaimarisha kiuchumi wachimbaji wadogo alisema kuwa kuna baadhi ya maeneo ambayo yalitengwa kwa ajili ya wachimbaji wadogo likiwemo eneo la melela lilipo mkoni morogoro ambapo yalitolewa leseni bila kufuata taratibu za utoaji leseni katika maeneo hayo kama zilivyoainishwa kwenye kanuni ya 17 (3) ya kanuni za madini 2018 na kumwagiza katibu mkuu wa wizara ya madini profesa simon msanjila kuwasimamisha kazi pamoja na kuwachukulia hatua za kinidhamu watendaji wote waliohusika kwenye utoaji wa leseni hizo pia aliongeza kuwa katika uchenjuaji wa madini kumekuwepo na tabia ya wachimbaji wadogo wa madini kujenga mitambo ya kuchenjua dhahabu bila kufuata taratibu ambapo hadi kufikia februari 2019 mitambo takribani 639 haina leseni hivyo kuisababishia serikali kukosa jumla ya shilingi bilioni 176 zitokanazo na ada ya maombi na ada ya mwaka ya mitambo hiyo aliiagiza tume ya madini kuhakikisha kuwa mitambo yote ya uchenjuaji inapatiwa leseni ndani ya siku 30 na kusisitiza kuwa mitambo ambayo itakuwa haijapata leseni ndani ya muda ulioelekezwa haitaruhusiwa kuendelea kufanya kazi na wahusika wote watachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria aliwataka wenye mitambo husika kufika katika ofisi za mikoa na kuweka mambo sawa na kuongeza kuwa iwapi watakuta vikwazo vyovyote kwenye ofisi za mikoa wawapigie simu kama viongozi na vikwazo vyao kushughulikiwa mara moja aliiagiza tume ya madini kwa kushirikiana na wakuu wa mikoa wote nchini kutenga eneo moja kwa kila mkoa na kusimamia ujenzi wa mitambo ya uchenjuaji madini lengo likiwa ni kuimarisha usimamizi na makusanyo ya mapato katika mitambo hiyo na kusisitiza kuwa zoezi likamilike ndani ya miezi mitatu katika hatua nyingine waziri biteko aliagiza wizara kuwasimamisha kazi watendaji waliohusika katika utoaji wa leseni ndogo za uchimbaji wa madini kwa wageni jambo ambalo ni kinyume na kifungu cha 8(2) cha sheria ya madini ya mwaka 2010 na marekebisho yake ya mwaka 2017 kinachokataza leseni ndogo ya uchimbaji wa madini kutolewa kwa wageni mbali na biteko kuitaka tume ya madini kufuta leseni za uchimbaji mdogo wa madini zilizotolewa kwa wageni aliitaka tume ya madini kutokutoa leseni mpya kwa kampuni au mtu binafsi aliyepewa hati ya makossa na kushindwa kurekebisha marekebisho hayo kwa kuwa ni kinyume na kifungu cha 31(b) cha sheria ya madini ya mwaka 2010 na marekebisho yake ya mwaka 2017 aidha aliwataka wachimbaji wadogo nchini kutafuta njia mbadala ya kuzuia mashimo yao kuanguka kwa kutumia zege na vyuma badala ya kutumia miti lengo likiwa ni kutunza mazingira kwa vizazi vijavyo na kusisitiza kuwa baada ya mwaka mmoja serikali haitaruhusu tena magogo kutumika kwenye mashimo ya uchimbaji wa madini awali akielezea mafanikio ya wizara ya madini biteko alisema kuwa katika bajeti ya mwaka wa fedha wa 2018/2019 wizara pamoja na mambo mengine iliahidi kuendeleza uimarishaji wa uendeshaji wa shughuli za uchimbaji na uendeshaji wa biashara katika sekta ya madini alisema wizara iliratibu mafunzo kwa ajili ya wachimbaji wadogo nchi nzima kwa kipindi cha mwezi januari 2019 ambapo yalifanyika kikanda katika vituo vya singida chunya mpanda handeni buhemba kelwa na bukombe ambapo yalilenga kuwapa wachimbaji wadogo taarifa sahihi za aina na kiasi cha mashapo ya madini yanayopatikana katika maeneo yao na aina ya teknolojia inayoweza kutumika katika uchenjuaji wa madini hayo alitaja mafanikio mengine kuwa ni pamoja na ujenzi wa vituo vya umahiri na vito vya mfano ambapo uligharimu shilingi bilioni 12 na kusisitiza kuwa vituo vinatarajiwa kuzinduliwa mwezi machi 2019 mara baada ya ujenzi wake kukamilika aliongeza kuwa katika kipindi cha mwezi januari 2019 wizara ilifanya uhakiki wa leseni zote za uchimbaji wa madini ambazo zimetolewa na kubaini leseni nyingi hazijafuata matakwa ya kisheria ambayo ni pamoja na kuhodhi au kushindwa kuendeleza maeneo ya utafiti waliyopewa kinyume na kifungu cha 36 (1) cha sheria ya madini ya mwaka 2010 na marekebisho yake ya mwaka 2017 ambapo imepelekea kukosesha wachimbaji wengine haswa wadogo maeneo ya kuchimba na kusababisha malalamiko kwa serikali alitaja matakwa mengine yaliyokiukwa kuwa ni pamoja na kushindwa kulipa malipo stahiki ya serikali ikiwa ni pamoja na ada ya mwaka kinyume na kifungu cha 92 (1) cha sheria ya madini ya mwaka 2010 na marekebisho yake ya mwaka 2017ambapo kama fedha hizi kama zingepatikana zingeisaidia serikali kutoa huduma kwa wananchi ikiwa ni pamoja na afya elimu maji na miundombinu alisema uhakiki wa leseni za madini ulionesha kuwa hadi kufikia februari 2019 jumla ya leseni 18341 kati ya leseni 30973 ambazo zipo hai zinadaiwa jumla ya shilingi bilioni 11667 ambapo leseni kubwa za utafiti zinadaiwa shilingi bilioni 6167 leseni za uchimbaji mkubwa zinadaiwa shilingi bilioni 641 leseni za uchimbaji wa kati zinadaiwa shilingi bilioni 2828 na leseni za uchimbaji mdogo wa madini zinadaiwa shilingi bilioni 1951
2019-03-24T06:40:03
http://www.mpekuzihuru.com/2019/02/waziri-biteko-aiagiza-tume-ya-madini.html
msikilizeni huyu meneja mawasiliano wa sumatra david mzirayis he siriaz | jamiiforums | the home of great thinkers msikilizeni huyu meneja mawasiliano wa sumatra david mzirayis he siriaz discussion in 'jukwaa la siasa' started by mzee wa njaa jul 21 2012 “mv skagit ilikuwa na uwezo wa kubeba abiria 300 pamoja na mizigo tani 26 hivyo kulingana na idadi ya abiria 288 walioondoka katika chombo hicho isingeweza kuleta madhara kama hayo ila tunawasiwasi waliongeza abiria njiani au mawasiliano ya hali ya hewa” kwa mujibu wa meneja mawasiliano david mziray kauli hii inaufanya umma wa watu ambao sasa ni waelewa kwa asilimia kubwa kuamini kuwa baadhi ya taasisi za serikali watendaji wake wanafanyakazi pasipo kujua wanafanya kazi gani haiwezekani leo hii useme kuwa boti ile inawezekana iliongeza abiria njianisasa wapi kuna gati huko baharini na hao abiria wanatokea wapi ilhali safari ya boti kutoka dar es salaam kwenda zanzibar (unguja) hakuna kituo hapo njiani lakini labda sumatra wana gati mpya bagamoyo au mbezi beach huko ila hakika huu ni mtokoto wa mwaka 2012 na ni dharau kwa roho za watu na mali zao kwa mamlaka yenye dhamana ya kusimamiusafiri nchini boti huwa zinaweza kupandisha abiria maeneo ya kunduchi mv skagit ilikuwa na uwezo wa kubeba abiria 300 pamoja na mizigo tani 26 hivyo kulingana na idadi ya abiria 288 walioondoka katika chombo hicho isingeweza kuleta madhara kama hayoclick to expand mbona huwa hawasemi ilikuwa imebeba mizigo tani ngapi masharti ya ununuzi hayakuzingatiwa abiria wasizidi 148 meli isibebe mizigo siyo sahihi hata kidogo eti meli iliruhusiwa kubeba abiria 300 na mizigo tani 26 siyo sahihi hata kidogo eti meli iliruhusiwa kubeba abiria 300 na mizigo tani 26click to expand watawala wetu bado wanafanya kazi kwa mazoea/kizamani sanahawajui kama kuna mjadala unaendelea huko marekani kuhusu hiyo feri iliyopinduka na kuzama mwisho tutaambiwa hata atcl nayo inapakiza abiria njiani the mv skagit was designed to carry a maximum of 230 passengers the passengeronly ferry and a sister the kalama were constructed in 1989 at halter marine in new orleans louisiana the original design of the boats was based on vessels that serviced offshore oil rigs in the gulf of mexico an extra deck of superstructure was added to accommodate additional passengers the boxy design of the cabin decks and the low twin funnels on either side gave the ferries a rather ungainly appearance the skagit went by the official number d949140 call sign waa6309 and had a length of 112 feet beam of 25 feet and a draft of 8 feet the pair were ordered for service on puget sound but were laid up on arrival when there were no funds available to operate them with the loma prieta earthquake in the san francisco bay area the twins were loaned to that city to ferry passengers while the bay bridge was temporarily closed after returning north the 25 knot ferries entered service but met with complaints regarding erosion caused by their large wakes and their propensity to roll in the waves they ultimately met with success when the route was transferred between vashon island and downtown seattle washington state ferries decided to discontinue their passengeronly service after the summer of 2009 with the skagit and kalama being declared surplus in an interesting move the state tried unsuccessfully to sell them on ebay they were finally sold in 2011 and taken to tanzania where they operated for the seagull company between the mainland and zanzibar source mv skagit former us ferry capsizes off tanzanian coast | maritimematters maajabu toka sumatra meli yenye designed maximum capacity ya passenger 230 inatetewa kuwa uwezo wa kubeba abiria 300 pamoja na mizigo tani 26 meli iliyokuwa na ugonjwa wa kuyumba ikipigwa na mawimbi hapa kwetu inaonekana inafaa kweli tanzania kichwa cha mwenda wazimu hii melim ilipelekwa mombasa ambapo kunagereji ya kuzirekebisha na ikaongezewa urefu hivyo ingekua na uwezo wa kuchukua abiria zaidi kuliko ilivyotengenezwa (japokua sii salama) maajabu toka sumatra meli yenye designed maximum capacity ya passenger 230 inatetewa kuwa uwezo wa kubeba abiria 300 pamoja na mizigo tani 26 meli iliyokuwa na ugonjwa wa kuyumba ikipigwa na mawimbi hapa kwetu inaonekana inafaa kweli tanzania kichwa cha mwenda wazimuclick to expand uko sahihi kabisa this can only happen in tanzania utanikumbusha jinsi omari nundu alivyokuwa anashupalia tununue vitu vichakavu including ndege na injini za gari moshi hii tabia ya wafanyakazi wa serikali na wanasiasa kutokufanya biashara vituko ni vingi mno ccm walianza kurushusu mitumba ya nguo soksi na chupi wakaendelea na magari madogo ya watu binafsi wakaendelea hadi wakaruhusu kutumia chai maharage kubeba abiria hadithi inaendelea wakaruhusu hiace kubeba abiria leo hii wameruhusu pikipiki kubeba abiria na kikwete ameamua kuruhusu bajaji ziwe ambulance sitashangaa kesho baiskeli zikaruhusiwa kubeba abiria ili kupunguza foleni dar kama tusipoiondoa ccm madarakani hata kwa kutumia staili ya libya we are to see a lot of funny undertakings by ccm how do you exempt tax over 12 trillion shillings and bow to eu wakupatie euro milioni 136 kwa mbwembe na huku fedha zikielekezwa kwenye mambo ya kipuuzi yasiyo endelevu hawa sumatra sijawahi kusikia au kuona mafanikio yao hawa sumatra sijawahi kusikia au kuona mafanikio yaoclick to expand sasa hivi wamekomaa wanasema hawasajili gari for daladala yenye zaidi ya mwaka 2004 tokea kutengenezwa labda ndo mafanikio hii kali kuwa huenda ilipakia abiria njiani mziray could better zip his xl mouth hii yote ni kwa sababu wanajua watanzania wengi huwa wanashau mapema mambo ya msingi na hata kwenye kuchagua viongozi watanzania hawako serious ndiyo maana jamaa wanachezea tu maisha yetu wanajua hakuna wa kuwahadhibu maana mwenye kura yake (mtanzania) hayuko seriuous sasa kwa nini jamaa asitoe majibu ya kipuuzi ninavyojua meli kabla ya kuondoka lazima ofisa wa sumatra apite sehemu wanazokaa abiria akague kuhakikisha kila abiria amekaa kwenye seat na hakuna abiria aliyezidi na ndipo anaruhusu meli kuondoka lakini hapa hawafanyi hivi sasa ni hatari kupanda ndegebasi na hata meli maana hakuna taasisi zinazotuhakikishia usalama wa hivyo vyombo ni hatari kubwa unapokuwa huna taasisi inayomuhakikishia mwananchi usalama wake anapokuwa anasafiri itafikia watu wataanza kuogopa kusafiri na ndiyo mwanzo wa kuanguka kwa uchumi hii melim ilipelekwa mombasa ambapo kunagereji ya kuzirekebisha na ikaongezewa urefu hivyo ingekua na uwezo wa kuchukua abiria zaidi kuliko ilivyotengenezwa (japokua sii salama)click to expand wewe nawe punda ana uwezo wa kubeba watu wawili huwezi kumfunga kiti nyuma ili abebe zaidi back to the topic usishangae kuwa huyo meneja wa sumatra hawahi hata kuiona bahari ndio maana akasema hivyo njia ya bahari darznz si barabara ya postamwenge punda afe mzigo wa bwana ufike
2017-04-27T05:34:37
https://www.jamiiforums.com/threads/msikilizeni-huyu-meneja-mawasiliano-wa-sumatra-david-mziray-is-he-siriaz.295938/
ccm yatoka kivingine kampeni za udiwani mbagala jamiiforums ccm yatoka kivingine kampeni za udiwani mbagala thread starter mta1 awali ya yote natanguliza mapenzi yangu kwa ccm nimesikitishwa na mwenendo wa kampeni zinazoendelea katika kata ya mianzini mbagala kutakofanyika uchaguzi wa diwani juni 16 2013 jana ilikuwa ni mara ya kwanza kuhudhuria mkutano wa kampeni tangu kipenga kimefunguliwa cha uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata husika mkutano jana juni 9 2013 ulifanyika katika kiwanja cha mbagala zackhem ambako mambo yafuatayo yalijitokeza 1 mwenyekiti wa ccm mkoa wa dsm ndugu madabida alikuwa mgeni rasmi 2 mbunge wa kigamboni dr ndugulile alikuwa mstari wa mbele kuhakikisha kiti cha udiwani kinabaki ccm 3 mbunge wa viti maalum ccm mama zarina madabida alitia timu 4 sehemu kubwa ya maneno ya utangulizi ya mc watoa hotuba kutoa maneno machafu yenye kejeli kwa chadema na cuf 5 watoto chini ya miaka 15 kutumika kutoa burudani wakiwa wamevaa tshirt zenye kutangaza bia ya kilimanjaro dalili zinaonyesha timu ya kampeni ya chama chetu haina jipya hivyo waliamua kutumia muda mwingi kutoa burudani kwa wananchi kupitia bendi ya sikinde jambo lililosikitisha zaidi ni kitendo cha wakereketwa wengi wa ccm kuonekana wakiburudika na bia katika baa za jirani na eneo la mkutano wakiwa na mavazi ya ccmhiyo haikutosha mara baada ya mkutano kwisha zoezi la kunywa bia liliendelea katika baa ya scorpion iliyoko mbiku ikiwa ni hisani ya mgombea wa udiwani kupitia ccm bwana mbwana ccm inajua inachokifanya kuwatumia watoto kwa kampeni wakiwa na sare za tbl ni halali wafuasi wa ccm kuhudhuria mkutanoi wakiwa na sare huku wamelewa chakari wanatoa taswira gani kwa watoto madabida na mkewe kupewa kipaumbele katika kampeni huku wakiwa na tuhuma za kuuza arv feki ni kumjenga ama kumbomoa mgombea mgombea (mbwana) kutoa ofa ya bia kwa wapiga kura ni halali 1907 125 160 kaka ccm ile ya zamani ilishakufa hii ya sasa ni ya majangili wezi na wapiga dili tu hayo unayosema kwao ni madogo sana likes mta1 mkuu jana nilikutana nao hao watoto wamevishwa manguo ya kilimanjaro premium lager hadi sikuamini macho yangu hawajaishia hapo tu kwani tulipita pita mitaa ya kibondemaji na kilungule tukakutana na baadhi ya wananchi wakatuambia ccm imeshaanza kugawa fedha kwa wapiga kura kuanzia buku mbili hadi tano kadri wanavyomthaminisha mtu na hilo wanalifanya zaidi kwa akina mama tulifika mahali tukiongea na wananchi wakawa wanatuomba fedha kwani tayari ccm imeshawapa na hivyo wanataka na sisi tuwape fedha hii ni hali ya hatari sana kwa ustawi wa jamii hata kama tukiwa na taasisi mia mbili za kupambana na rushwa bila kuwadhibiti viongozi wa ccm itakuwa ni kazi bure likes mwita maranya ama kweli hakuna chama cha mafisadi kama ccm 3468 1721 280 nyahende thomas said mbona huwa sina bahati ya kukutana nao nami nichukue sukari ama 5000/= 558 23 35 kula ccm kura kwa chadema fanyeni kama sisi arumeru mashariki tulivyowamaliza ccm na walikuja na fedha zakutosha na tukawamaliza katika sanduku la kura kilimanjaro premium larger ilidhamini kampeni za ccm mbagala mkuu mungi hilo ni swali la msingi sana ambalo tunapaswa kujiuliza mimi nimewashuhudia watoto wadogo wa kadri ya miaka 610 wakiwa wamevishwa tshirts za kilimanjaro premium lager katika mkutano wa ccm watoto hao walikuwa wakitoa burudani katika mkutano huo uliokuwa umedoda sana na wakati huo huo wanaccm pamoja na wananchi wachache waliohudhuria wakijinywea bia za bure walizokuwa wamepewa offer na mgombea wa ccm 1482 1155 280 duh hili nilikutana nalo jana kwenye mkutano wa kampeni kata ya kimandolu arusha wahudhuriaji wengi wakiwa wamevaa tshirt za kilimanjaro nikadhani ni zile promotion za kili nami nikapaki nicheki wanenguaji mh nilikuwa disapointed kweli kukuta ni watoto ili sisim ipate watu kwenye mikutano yake lazima yafuatayo yawepo ama yote au badhi yake 1 vikundi vya burudanikama totdiamondmarlowze comedymsondo etch 2 lazima watu watajichana mapilau na makuku + mabia mengi na mavileo mengine 3 lazima watu wataondoka mkutanoni na buku kadhaa wa kadhaamf buku 50007000 na hata 10000 4tshirtskanga kofiank zitagawiwa kama njugusi unajua kuna watanzania wanavaa ngu moja mwezi mzima sasa wakipata tshirtgaunikanga ya bure awanaona wamefikaaaa 5 ahadi kibao zitatolewaanaweza kuja hata waziri kuthibitisha kuwa ahadi hizo ni za kwelilakini mwisho wa siku hushia hewani 6 matusi kwa wapinzani( mnamkumbuka mzee wa mteralusihinde kama haamjui kutukana shule ipo pale) endeleeni kudanganyana na kuungana mkono kwenye uzushi na ujinga huu wa kutunga mta1 said huu nao ni ugaidiweka picha acha uzushi na uongo uliotukuka weka ushahidi wa picha mchumia tumbo weweccm itawabamiza mbaya kabisa ccm bila rushwa haiendi
2019-03-20T13:03:57
https://www.jamiiforums.com/threads/ccm-yatoka-kivingine-kampeni-za-udiwani-mbagala.465921/
coronavirus ugonjwa wa covid19 waendelea kuwa kitisho duniani imechapishwa 02/03/2020 0743 imehaririwa 02/03/2020 0743 kesi mpya 500 za maambukizi zimeripotiwa nchini italia kati ya februari 29 na machi 1 reuters/yara nardi idadi ya vifo vinavyosababishwa na ugonjwa hatari unaofahamika kama covid19 duniani imezidi watu 3000 baada ya mamlaka nchini china kutangaza jumatatu asubuhi machi 2 vifo vipya vya watu 42 katika jimbo la hubei katikati mwa china ambapo ugonjwa huo ulianzia maafisa wa afya wa china wametangaza leo jumatatu kuwa wamethibitisha kesi mpya 202 za maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa covid19 katika china bara na kutimiza watu 80026 walioambukizwa virusi hivyo tangu ugonjwa huo ulianza mwezi desemba 2019 mlipuko wa ugonjwa huo umesababisha vifo vya watu 2912 nchini china tangu kuzuka kwake kulingana na takwimu za serikali ugonjwa huo hatari unaendelea kusambaa katika bara la ulaya baada ya ireland luxembourg na armenia jamhuri ya czech ilitangaza jana jumapili mtu wa kwanza kupatikana na virusi vya covid19 nchini humo ni mtu watatu ambaye alitembelea kaskazini mwa italia aliyepatikana na virusi hivyo jamhuri ya dominika imekuwa nchi ya nne katikaukanda wa amerika ya kusini kuathiriwa na ugonjwa huo kenyachinaafyacorona coronavirus china southern airlines yatua nairobi raia waingiliwa na wasiwasi
2020-05-29T02:22:51
http://www.rfi.fr/sw/afya-mazingira/20200302-coronavirus-china-yaendelea-kukumbwa-na-ugonjwa-wa-covid-19
plugins / opencartfast checkout opencart module addon kwa worldwidescriptsnetkujiunga na kulisha wetu kukaa hadi tarehempya kufuata yetu kama unatakasehemu hii inapatikana katika 37 lugha nyinginearabicbengalicatalan/valenciandanishdutchenglishesperantofinnishfrenchgermangreekgujaratihindiindonesianitalianjapanesekannadakoreanmalaynorwegianpersianpolishportugueseromanian/moldavian/moldovanrussiansimplified chinesespanish/castilianswedishtagalogtamilteluguthaitraditional chineseturkishukrainianurduvietnamesekuishi previewviwamboads haraka malipo module kusaidia yote moduli meli na moduli ya malipo inasaidia opencart hadi v1551 downloadvipengele vingine katika jamii hiikila sehemu ya mwandishi huyumaonimara kwa mara kuulizwa maswali na majibumalikuundwa11 julai 13badiliko11 julai 13sambamba browsersie8 ie9 ie10 firefox safari opera chromeprogramu versionopencart 15x opencart 155 154 opencart opencart 15high resolutionhapanafiles pamojajs javascript css phpkeywordscheckout opencart haraka checkout
2017-06-27T19:16:55
https://sw.worldwidescripts.net/fast-checkout-opencart-module-44202
rais magufuli azawadiwa kitabu cha mwongozo wa sala na rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) askofu gervas john nyaisonga jiachie home ikulu rais magufuli azawadiwa kitabu cha mwongozo wa sala na rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) askofu gervas john nyaisonga rais magufuli azawadiwa kitabu cha mwongozo wa sala na rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) askofu gervas john nyaisonga ahmad michuzi tuesday august 07 2018 ikulu rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akifanya sala na rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) askofu gervas john nyaisonga makamu wa rais wa baraza lhilo dkt flavian kasalla na katibu mkuu wa tec dkt charles kitima viongozi hao wapya wa kanisa walipomtembelea na kujitambulisha kwake ikulu jijini dar es salaam leo agosti 7 2018 rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akiwa katika mazungumzo na rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) askofu gervas john nyaisonga makamu wa rais wa baraza lhilo dkt flavian kasalla wakiwa na katibu mkuu wa tec dkt charles kitima viongozi hao wapya wa kanisa walipomtembelea na kujitambulisha kwake ikulu jijini dar es salaam leo agosti 7 2018 rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akipeana mikono na rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) askofu gervas john nyaisonga na makamu wa rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) dkt flavian kasalla wakiwa na katibu mkuu wa baraza hilo dkt charles kitima baada ya viongozi hao wapya wa kanisa kumtembelea na kujitambulisha kwake ikulu jijini dar es salaam leo agosti 7 2018 rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akipeana mikono na katibu mkuu wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) dkt charles kitima akiwa na rais wa baraza hilo askofu gervas john nyaisonga na makamu wa rais wa baraza hilo dkt flavian kasalla viongozi hao wapya wa kanisa walipomtembelea na kujitambulisha kwake ikulu jijini dar es salaam leo agosti 7 2018 rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki (tec) huku makamu wa rais wa baraza hilo dkt flavian kasalla wakiwa na katibu mkuu wa baraza hilo dkt charles kitima ambaye anaongea na wanahabari mara baada ya viongozi hao wapya wa kanisa kumtembelea na kujitambulisha kwake ikulu jijini dar es salaam leo agosti 7 2018 kumbukumbu october (308) september (443) august (693) july (524) june (393) may (367) april (425) march (470) february (509) january (572) december (561) november (669) october (594) september (545) august (702) july (677) june (683) may (775) april (585) march (713) february (660) january (749) december (717) november (841) october (1005) september (918) august (949) july (760) june (785) may (695) april (714) march (816) february (760) january (623) december (734) november (528) october (823) september (816) august (639) july (612) june (709) may (482) april (402) march (477) february (430) january (353) december (367) november (332) october (466) september (465) august (428) july (461) june (416) may (376) april (423) march (533) february (425) january (416) december (402) november (378) october (421) september (454) august (433) july (397) june (400) may (421) april (330) march (362) february (386) january (380) december (425) november (407) october (431) september (346) august (392) july (380) june (436) may (439) april (382) march (415) february (387) january (383) december (392) november (381) october (358) september (425) august (397) july (269) june (318) may (293) april (296) march (317) february (246) january (250) december (296) november (303) october (318) september (307) august (303) july (279) june (263) may (286) april (220) march (285) february (200) january (183) december (173) november (201) october (165) september (142) august (172) july (178) june (165) may (167) april (164) march (153) february (129) january (136) december (95) november (82) october (80) september (87) august (98) july (84) june (135) may (196) april (237) march (269) february (289) january (270) december (207) november (192) october (115) august (4) july (11) june (39)
2018-10-16T15:26:18
http://michuzijr.blogspot.com/2018/08/rais-magufuli-azawadiwa-kitabu-cha.html
viongozi wa dini kanda ya ziwa wabebeshwa mzigo utunzaji wa mazingira ziwa victoria | tanuru la fikra blognews home uncategories viongozi wa dini kanda ya ziwa wabebeshwa mzigo utunzaji wa mazingira ziwa victoria tanuru la fikra 11000 pm add comment edit
2018-06-19T04:49:07
http://www.tanurulafikra24.com/2017/06/viongozi-wa-dini-kanda-ya-ziwa.html
utofauti wa series za smartphone za samsung jamiiforums utofauti wa series za smartphone za samsung kwanza wadau naomba mnijuze tofauti ya ya hizi samsung za s series a series pamoja na j series unakuta labda kuna j5 s5 na a5 nini tofauti yao kubwa na kati ya iphone 5 na samsung 5 ipi no bora na inazidi nyingine nawasilisha likes come27 and mc7 ilisolokobwe 1747 362 180 mkuu hayo ni matoleo yao ili kujua ipi bora kuliko ingine unaweza kugoogle au ingia gsmarena kisha tafuta compare hapo waweza kufanya ulinganifu na ukagundua simu ipi ni bora kuliko nyingine likes dem boy come27 and hazole1 samsung s na note series ni high end au flagship samsung a series ni mid range samsung j series ni low/affordable hii ni kwenye maswala ya marketing segmentation s series kwa wenye kipato cha juu a kipato cha kati j kipato cha chini na kwenye s5 vs iphone 5 yote ina depend na wewe but samsung s5 ni latest zaidi ya hiyo iphone better screen but kwa sasa maana iphone 5 ina ios 10 bora kuchukua iphone 5 maana ina better support bado likes rich ze best davibby come27 and 3 others 19289 9060 280 s5 ina marshmallow na itapata nougat likes davibby come27 and kancarl note 4 na s5 2 year software support imeisha nougat itapatikana for s6 s7 na note 5 628 110 60 kuna j5 prime imetoka hivi karibuni sina uhakika kama ni low range kwani specs zake ni nzuri sana bei 590000/= j5 prime si nzuri kwa hio bei unapata j7 prime na change inabaki likes izzyhass zipo leaks nimeziona still inaweza pata na hata isipopata bado 3rd party support zipo hapa nimeshaletewa notification ya cm 141 kwenye s5 official update ya cyanogen ya android 71 highly unlikely but cm 141 nzuri very stable kwa testing yangu ya hizi siku chache but kum expect mtu wa kawaida ku flash custom rom ni kazi nzito na haiwezi kuifikia hata robo official grace ui ya nougat mbona iko karibu sawa na j7 prime tofauti ni ukubwa wa screen battery na ram tu ubaya wake ni nini 958 356 80 nexus 5 je sure kwenye ugumu wa kuinstall lakini ui wakishaiport theme engine ya cm12/13 faster tu watu wataitengenezea themes yake mimi japo nina cm ila natumia themes ya touchwiz mtu wa kawaida akiangalia hata hajui kama natumia custom rom 1 display ya j7 prime ni 1080p wakati ya j5 prime ni 720p 2 cpu ya j7 prime ina core 8 compare na quadcore ya j5 prime plus vitu kama gpu na vikorokoro vyengine vya soc 3 battery ya j7 ni kubwa sana 3300mah vs 2400mah 4 ram 3gb compare na 2gb ya j5 prime mfano chukulia j5 ya 2016 au hata ya 2015 ambayo sasa hivi unaipata around 350000 ina specs almost sawa na hio prime huku battery likiwa kubwa kancarl said hata kwa hio simu official support imeisha 2 years tayari nougat 70 au 711 ni kwa nexus 6 6p na 5x basi utabidi tu kuweka cyanogenmod 141 kama ukitaka latest features bora kuweka rom port za s7 au note 7 kwenye s5 nadhani maana kuna vitu vingi unakosa amabavyo stock android bado haina maana kiukweli nikiwa natumia cm naona kuna vitu vingi sana navi miss yap touchwizz ina feature nyingi ila ninazozihitaji sasa hivi zipo aosp multi windows doze themes nyeusi kwa ajili ya amoled etc napenda hiyo description mimi niiweke hivi s for senior people a for average income people jfor juniors 4292 2925 280 ilisolokobwe said ivi ile wwwbestmobbcom wanadili na simu zinazouzwa apa africa peke yake au mbona zote hizi zipo multi window tokea enzi za note 2 sema sio kila app itakubali but the best zinakubali doze ipo tokea lolipop kwenye kila simu na theme nyeusi pia kwenye theme store zipo nyingi sana as well ukiweka goodlock ui unapata hadi status bar kama ya stock android sema tu ujinga wa touchwiz ni slowness na stutters kila kukicha nimemaanisha vitu nilivyokuwa nikitumia zamani touchwiz now vipo aosp najua vyote vipo touchwiz toka zamani na touchwiz mpya haipo slow jaribu simu za samasung kuanzia 2015 threads 1235916 posts 29240433
2018-12-12T03:23:24
https://www.jamiiforums.com/threads/utofauti-wa-series-za-smartphone-za-samsung.1076817/
uingereza vs hispania ndani ya wembley usipime | shaffihdauda home kimataifa uingereza vs hispania ndani ya wembley usipime uingereza vs hispania ndani ya wembley usipime timu ya taifa ya hispania imesafiri mpaka wembley kukutana na waingereza kwenye mchezo wao wa uefa national league england na hispania hawajawahi kukutana kwenye mchezo wa mashindano tokea mwaka 2001 na katika michezo yote 25 waliokutana wamekutana mara 6 tu kwenye mechi za mashindano kocha mkuu wa england gareth southgate kuelekea mchezo huo amemzungumzia kinda wa watford willy hughes miaka ya hivi karibuni nilimuongelea kijana huyo na kusema ni kijana mwenye uwezo makubwa sana southgate amesema ana matarajio makubwa na kinda huyo 17 april 1995 (23) southgate hajamuita hughes ambaye aliwatandika burnley bao la mbali hivi majuzi southgate amesema kwa sasa anamfuatilia kwa karibu sana kinda huyo pamoja na kinda wengine kama vile chalobah rose barkley na collum england watakosa huduma za jamie vardy na gary cahill ambao wote wamestaafu kucheza soka la kimataifa wachezaji wengine wawili wana majeraha raheem sterling (mgongo) na adam lallana (kiuno) golikipa wa southampton alex mccarthy anatarajia kuanza mchezo wake wa kwanza baada ya kuitwa kwa mara yake ya kwanza matokea mechi za mwisho za england sweden 0 2 england belgium 2 0 england tafsiri ya takwimu england wamecheza michezo 10 mwaka 2018 wameshinda 7 wametoka sare mara 1 na kufungwa mara 3 england wamefunga mabao 14 goals na kufungwa mabao 10 wataanza kibarua chao bila david silva andres iniesta na gerard pique ambao wamestaafu soka la kimataifa hispania sasa itaanza kutegemea huduma za kiungo wa real madrid marco asensio chini ya kocha wao mkuu luis enrique mechi za mwisho wa hispania tafsiri ya takwimu hizo spain wamecheza michezo 8 kwa mwaka 2018 wameshinda 3 maetoka sare 4 na kupoteza mchezo mmoja tu wamefunga mabao 16 na kuruhusu mabao 12 kocha mpya wa hispania enrique amemtema jodi alba kwenye kikosi chake wakati enrique anondoka barcelona 201u alba alisema kuwa anajiona mwenhe furaha zaidi kwenye kikosi cha kocha mpya bwana valverde kuachwa kwa alba kunadhihirsha wazi kuwa ameachwa kwa sababu za ugomvi wao binafsi huu ni mchezo wa kwanza tokea watolewe kwenye michuano ya kombe la dunia chini ya kocha mkuu hiero england vs spain h2h wote wamekutana mara 25 england wameshinda mara 13 na spain kushinda mara 9 na kutoka sare mara 3 michezo yao 5 h2h spain wameshinda 3 england wameshinda mara moja na kitoka sare 1 mara yao ya mwisho kukutana ilikuwa 15112016 na walitoka sare ya 22 kwenye mchezo wa kirafiki 28 feb 2001 england v spain 30 kiraf 17 nov 2004 spain v england 10 kiraf 07 feb 2007 england v spain 01 kiraf 11 feb 2009 spain v england 20 kiraf 12 nov 2011 england v spain 10 kiraf 13 nov 2015 spain v england 20 kiraf 15 nov 2016 england v spain 22 kiraf 08 sep 2018 england v spain uefa vikosi vinavyotarajia kuanza england pickford walker stones maguire trippier henderson shaw alli lingard rashford kane spain de gea carvajal ramos albiol alonso thiago busquets saúl asensio morata isco previous articlemri ni tiba kwa kansa inayoteketeza soka la afrika next articlelive ( text commentary) uganda vs tanzania
2018-09-18T15:19:15
http://shaffihdauda.co.tz/2018/09/08/uingereza-vs-hispania-ndani-ya-wembley-usipime/
2016/aug magari toyota vellfire (vellfire) daaayh30w aina ya injini 2ar2jm2fm ref no147549 magari ya japani kwa bei nafuu | cardealpage saa ngapi nchini japan1936 2016 toyota vellfire (ref 147549) ukurasa wa taarifa ya gari rudi kwenye orodha ya toyota vellfire ref no 147549 hybrid v l edition alloy wheels | fog light | rear spoiler | body kit | leather seat | | front camera | side camera | back camera | flip down monitor | premium sound system | rear entertainment | power back door | engine push start | clearance sonar dual power slide doors twin moonroof leatherseat modelista full aero msimbo wa modeli daaayh30w chesisi ayh300036*** umbali kwa maili 65000km msimbo wa injini 2ar2jm2fm mwaka / mwezi wa lilisajiliwa 2016 / aug mwaka wa mikanda ya usalama 2016 aina ya mafuta mahuluti ukubwa wa injini 2490cc aina ya giaboksi giaboksi otomatiki 2wd/4wd 4wd milango 5 idadi ya viti 7 rangi nyeusi kusafisha hewa otomatiki usukani unaotumia umeme madirisha yanayotumia umeme breki za abs mfuko wa hewa vioo vinavyotumia umeme ufunguo wa kati wa kielektroniki yasiyo na funguo redio ya cd paa linaloweza kufunguka kiti cha ngozi kisanduku cha vifaa ufunguo wa akiba 495 x 188 x 192 1787m³ 11717 unafikiria kununua (unaweka akiba ya us$ 11200) us$45000 us$33800 fob us$ 33800 合計 us$ 33800
2020-04-09T10:36:03
https://origin-cdn-www.cardealpage.com/sw/toyota/vellfire/17147549/
maziwa \n january 29 2016 july 20 2018 augustino chengula 0 comments maziwa na mkulima mbunifu wape ngombe wako lishe kamili yenye nguvu protini na vitamin pamoja na maji ya kutosha kulisha ngombe december 14 2015 april 26 2018 augustino chengula 0 comments banda chakula maziwa ng'ombe na mkulima mbunifu uzalishaji wa maziwa ni biashara nzuri sana na ya kuvutia ambayo huwa na faida nyingi na
2018-10-15T17:16:47
http://ufugaji.co.tz/ufugaji/maziwa/
bbc swahili habari mkuu wa kampuni ya anglo american kujiuzulu mkuu wa kampuni ya anglo american kujiuzulu imebadilishwa 26 oktoba 2012 saa 1038 gmt cynthia carroll anatarajiwa kujiuzulu kama afisaa mkuu mtendaji wa kampuni ya madini ya anglo american baada ya kuhudumu kwa miaka sita mapema mwaka huu wamiliki wa kampuni hiyo walielezea kutofurahishwa na kudorora kwa faida za kampuni na kumtaka mwenyekiti kumwajiri afisaa mkuu mtendaji mpya kampuni hiyo hata hivyo imesema ulikuwa uamuzi wa cythia kuacha kazi huku mwenyekiti sir john parker akimsifu kwa kazi yake lakini kampuni haijatangaza tarehe rasmi ya kuacha kazi kwa cynthia hatua hii itawaacha tu wanawake wawili wakiwa wakuu wa makampuni mawili makubwa nchini uingereza wanawake hao ni pamoja na angela ahrendts katika kampuni ya burberry na alison cooper wa imperial tobacco hisa za kampuni hiyo zilipanda juu kwa asilimia mbili katika soko la hisa la london lakini baadaye thamani ya hisa zake ilishuka kwa miezi minane iliyopita cynthia alisema kuwa ulikuwa uamuzi mgumu kuacha kazi cynthia alikabiliwa na shinikizo kutoka kwa wamiliki wa kampuni hiyo baada ya kampuni yake nchini afrika kusini kukumbwa na migomo katika mgodi wake wa platinum wafanyakazi wakitaka kulipwa mishahara mizuri na kuwepo mazingira bora ya kazi
2017-12-15T19:15:27
http://www.bbc.com/swahili/habari/2012/10/121026_anglo_mkuu_ajiuzulu
majibu ya yusuph manji kwa makonda ~ mzee wa matukio daima home » » majibu ya yusuph manji kwa makonda majibu ya yusuph manji kwa makonda baada ya jina la manji kutajwa katika majini 65 yaliyotangazwa leo na mkuu wa mkoa makonda yusuph manji ameongea na waandishi wa habari na kusema haya manji mimi sitaki kuchanganya vitu viwili kwenye mkutano mmoja keaho au keshokutwa ntafanya mkutano kuanzia pspf coco beach nk leo nakaa kwenye point moja tu ya madawa manji mkuu wa mkoa kuna sehemu nimegongana naye oysterbay na nlienda kuonanana naye kama diwani wa mbagala kuu kumuomba mkuu wa majeshi atakayekuja ahamishe kambi ya jeshi kutoka mbagala na kupelekwa nje ya mji kama diwani siwezi kumuandikia rais
2017-11-25T07:17:06
http://www.matukiodaima.co.tz/2017/02/majibu-ya-yusuph-manji-kwa-makonda_8.html
kifungo cha miaka 30 jela cha mnyemelea r kelly millardayocom video dogo janja kwenye jukwaa la nandy festival sumbawanga ← previous story aika na nahreel mbioni kumleta mtoto wao wa pili next story → ti atoa povu kuhusu tuhuma za kifo cha dada yake (+video)
2019-08-26T04:36:01
http://millardayo.com/i9hbg56r/
unataka kuanzisha soko la mtandaoni basi soma hapa kujua jinsi ya kuanza julai 4 2020 740 mu 1 votes hivi karibuni masoko ya mtandaoni yamekuwa na umuhimu mkubwa sana hasa kipindi hichi ambapo virusi vya corona vimelazimisha watu kukaa nyumbani na kutumia mtandao zaidi kuliona hili hivi leo nimekuletea makala ambayo nitakujulisha njia rahisi za kuweza kuanzisha soko lako la mtandaoni ikiwa pamoja na kumiliki soko hilo kwa asilimia 100 kumbuka njia hizi ni za bure kwa asilimia 100 hivyo huna haja ya kulipia kitu chochote zaidi ya kuchagua njia moja utakayo ipenda na kuinstall mfumo huo kwenye domain na hosting yako mfumo wa xcart ni mfumo wa bure kabisa ambao unaweza kukusaidia kuanzisha soko la mtandaoni kwa haraka mfumo wa unaweza kuinstall kwenye hosting yoyote na unaweza kuuza bidhaa zako mtandaoni mara baada ya kumaliza kuinstall mfumo huu unaweza kuangalia mfumo wa tovuti hii kwa kubofya sehemu hapo chini au bofya download kupakua mfumo huu angalia mfano download mfumo wa xcart prestashop ni mfumo mwingine ambao unaweza kutumia kuanzisha soko lako la mtandaoni kama ilivyo xcart mfumo huu pia ni wabure kwa asilimia 100 na unaweza kupakua mfumo huu na kuinstall na kuanza kutumia kuuza bidhaa kwa haraka uzuri wa mfumo huu unakuja na addod za pesapal ambazo zinaweza kukusaidia kupokea malipo kwa kutumia mobile money (mpesa tigo pesa na mitandao mingine) unaweza kuangalia mfumo wa prestashop hapo chini bagisto ni mfumo mpya na wabure ambao unaweza kukusaidia kuanzisha soko la mtandaoni lenye muonekano bora sana kama unatafuta njia bora na ya kisasa ya kuuza bidhaa zako basi jaribu mfumo huu wa bagisto tatizo la mfumo huu ni ngumu kwa mtu asiye na ujuzi kuinstall mfumo huu unaweza kuangalia mfano wa mfumo huu hapo chini download bagisto woocommerce ni sehemu ya mtandao wa wordpress kupitia mfumo huu unaweza kufanya yote yanayo fanywa na mifumo yote hapo juu unaweza kutengeneza soko la kisasa unaweza kupata njia za kupokea pesa kupitia mitandao ya simu na mambo mengine mengi mbali ya yote mfumo huu unakuruhusu kuweza kuunganisha mfumo huu na programu za android na ios open cart ni mfumo mwingine wa bure ambao ni wa bure kabisa ambao pia unaweza kukusaidia kuanzisha soko la mtandaoni mfumo huu pia inakuja na uwezo bora wa kukusaidia kuanzisha soko la kisasa lenye uwezo bora na muonekano mzuri pia vile vile unaweza kutumia plugins au addon za kuongeza uwezo wa mfumo huo ikiwa pamoja na kuwezesha njia za malipo ya simu kama mpesa na tigo pesa download open cart magento ni mfumo mwigine ambao unaweza sana kukusaidia kuanzisha soko la mtandaoni mfumo huu pia unaweza kuongezewa uwezo kwa kutumia plugin na addon na kufanya mfumo huu kuwa bora sana mfumo huu unatumiwa na kampuni kubwa kama vile cocacola na kampuni nyingine kubwa mfumo huu pia unahitaji kuwa mtaalam kidogo ili kuweza kuendesha na kutumia kikamilifu na hiyo ndio baadhi ya mifumo ambayo inaweza kukusaidia sana kuanzisha soko lako la mtandaoni kama unataka kuanzisha mfumo moja ya mfumo kwenye list hii unaweza kupakua mfumo huo na kuinstall kwenye hosting yako kwa haraka na urahisi kama unahitaji msaada zaidi au kuna mahali popote umekwama unaweza kuwasiliana nasi kupitia sehemu ya maoni hapo chini mpaka siku nyingine endelea kutembelea tanzania tech makala iliyopita kudownload picha na video kutoka mtandao wowote wa kijamii makala inayofuata maana ya dropshipping na maswali muhimu kuhusu biashara hii
2020-08-11T10:44:42
https://tanzaniatech.one/2020/07/tengeneza-soko-la-mtandaoni-bure/
utambue muungano wa amani | uchaguzi mkuu wa kenya 2013 | dw | 04032013 uchaguzi mkuu wa kenya 2013 utambue muungano wa amani muungano wa amani chini ya uongozi wake naibu waziri mkuu musalia mudavadi unatoa ahadi za kuwapatanisha makabila yote nchini kenya endapo utashinda kwenye zoezi la uchaguzi mkuu nchini kenya mgombea musalia mudavadi na mke wake mrengo wa amani unaongozwa na naibu waziri mkuu musalia mudavadi unavishirikisha vyama vya united democratic forum (udf) chama cha kanu kilichong'elewa mamlakani mwongo mmoja uliopita na pia chama cha new ford kenya chake mwanasiasa chipukizi eugene wamalwa aliye waziri wa sheria mrengo wa amani na maridhiano sera za mrengo wa amani zinalenga katika kuleta amani na maridhiano pamoja na kuimarisha hali ya usalama miongoni mwa wakenya kama anavyopambanua bwana mudavadi kinara wa mrengo huo kulingana na manifesto ya mrengo wa amani maswala yanayopewa kipao mbele ni pamoja na uwekezaji katika sekta ya elimu swala la kukidhi mahitaji ya chakula na ujenzi wa miundo mbinu kama msingi wa kutimiza malengo ya ruwaza ya mwaka wa 2030 shabaha ya kutokomeza ufisadi viongozi na wafuasi wa muungano wa amani serikali ya muungano wa amani pia inakusudia kuimarisha mfumo wa ugatuzi kupambana na ufisadi na kutatua tatizo la ugavi wa mashamba bwana mudavadi aliye mwana wa aliyekuwa wakati mmoja mwanasiasa mashuhuri katika utawala wa rais mstaafu daniel arap moi anasema sera zao zipo wazi katika ilani yao ilani yetu haizingatii ahadi za uongo bali inadhamini ujenzi wa taifa ukuzaji wa uchumi na kuinua hali ya maisha ndio tunatoa ahadi lakini lazima tuzingatie matarajio na hali ilivyo alisema mudavadi sifa za mgombea muadavadi viongozi wanaomuunga mkomo bwana mudavadi wamemminia sifa chungu nzima wakisema kwamba yeye anayo tajriba ya kutosha kuliongoza taifa hili bw gideon moi kiongozi wa chama cha kanu ambaye pia ni mwanaye rais mstaafu daniel moi hakusita kutoa sifa zake kwa kinara huyo wa muungano wa amani wakati wengine wanachochea taharuki baina ya makabila musalia mudavadi anahimiza uwiano na uaminifu ambapo ukabila ni faida kwani huchangia kuimarisha utamaduni wetu aidha serikali ya mudavadi inatoa ahadi kuwa itagharamia masomo kwa wanafunzi wa shule za msingi na za upili kadhalika mrengo huo unaahidi kubuni jumla ya nafasi za kazi milioni mbili kila mwaka hasa katika sekta ya biashara ndogo ndogo mwandishi ruben kyama mhariri josephat charo dw inapendekeza waangalizi wa umoja wa ulaya wana matumaini waangalizi wa umoja wa ulaya kwa uchaguzi mkuu wa kenya wamesema wana matumaini ya uchaguzi huo kuwa wa amani ikilinganishwa na ule wa mwaka 2007 ambao ulikumbwa na ghasia na kupelekea watu kadhaa kuuawa (15022013) tarehe 04032013 maneno muhimu amani mudavadi kenya uchaguzi uhuru kiungo http//pdwcom/p/17mkj zimbabwe yajiandaa na uchaguzi wa kwanza bila mugabe 18012018 rais wa zimbabwe emmerson mnangagwa amenukuliwa akisema taifa hilo litafanya uchaguzi katika kipindi cha miezi minne au mitano ijayo huu ndiyo uchaguzi wa kwanza tangu zimbabwe ipate uhuru kufanyika bila robert mugabe kanisa katoliki laitisha maandamano ya amani kongo 31122017 kuna wasi wasi wa kukosekana utulivu katika jamhuri ya kidemokrasia ya kongo inayokabiliwa kwa sasa na mgogoro wa kisiasa kufuatia kanisa katoliki lenye ushawishi mkubwa nchini humo kuitisha maandamano ya amani catalonia yatangaza uhuru uhispania yajiandaa kuichukuwa 27102017 uhispania imekumbwa na matetemeko mawili ya kisiasa kwa wakati mmoja bunge la catalonia limepiga kura kuanzisha mchakato wa uhuru huku serikali kuu ya uhispania ikipata mamlaka ya kulitawala moja kwa moja
2018-01-19T04:26:44
http://www.dw.com/sw/utambue-muungano-wa-amani/a-16632041
wambura aanza mikakati ya maendeleo ya soka la mara shommi b 'if(findexof(imgyoutubecom)=1){w=' '}z=w+''+titlex+' home » »unlabelled » wambura aanza mikakati ya maendeleo ya soka la mara wambura aanza mikakati ya maendeleo ya soka la mara mwenyekiti wa chama cha mpira wa miguu mkoa wa mara (fam)michael richard wambura ameanza mikakati ya kuinua soka la mkoa wa mara siku 2 baada ya kuchaguliwa nafasi hiyo ikiwa ni pamoja na kuanzisha mfuko wa maendeleo ujulikanao kama mara football deveropment fund (mfdf) akizungumza na waandishi wa habari baada ya kufanyika kwa kikao cha cha kwanza cha kamati yautendaji akiwa mwenyekiti wa kikao hichowambura amesema wana mara wawe na mshikamano na kuamini kuwa mabadiliko na maendeleo ya kweli yanakuja ikiwemo kuona ligi kuu msimu ujao tayari mkuu wa mkoa wa maramagesa mulongoamekubali kuwa mlezi wa mfuko huo utakaoanzishwa rasmi siku chache zijazo baada ya kukutana na mwenyekiti huyo ofisini kwake na kuonyesha mwanzo mzuri wa ahadi za wambura
2017-08-17T17:14:34
http://shommibinda.blogspot.com/2016/06/wambura-aanza-mikakati-ya-maendeleo-ya.html
nahreel aanzisha darasa la utengezaji wa beat bongo5com nahreel aanzisha darasa la utengezaji wa beat bongo5 editor october 25 2012 935 am beatmaker mahiri nchini aliyewahi kutengeneza midundo kadhaa ukiwemo stimu zimelipiwa (copy my motion) wa joh makini nahreel ameamua kukitumia kipaji chake na elimu masuala ya production kwa kuanzisha darasa la utengenezaji wa beat amesema darasa hilo litajumuisha mafunzo ya kutengeneza beat kumaster pamoja na kumix akiongea ba bongo5 asubuhi hii producer huyo amesema darasa lake litakuwa kwenye studio ya hometown iliyo nyuma ya ubungo plaza jijini dar es salaam nahreel ameongeza kuwa mpaka sasa ana wanafunzi wanne huku mipango ya kuwa na darasa kubwa ikiwepo lakini baada ya kuona muitikio wa vijana katika kujiunga na darasa lake unaridhisha mafunzo hayo yanagharimu shilingi laki mbili kwa miezi miwili watu wengi wamesikia ladha yangu tayari na wanajua utofauti huo nadhani watu wengi wanaokuja kwangu wataelewa kabisa okay kwa nahreel tunaenda pale tunaenda kufuata muziki fulani tunataka tujue jamaa anawezaje kufanya muziki kama huo kwahiyo ndio hivyo mtu akija akijiunga atapata vitu vipya amesema nahreel akiwa na miaka 14 mwaka 2003 baba yake alimnunulia keyboard aina ya yamaha (350 psr) na kumpa mwalimu ambaye alimfundisha kwa mwaka mmoja ili ajifunze kupiga nyimbo za gospel kutokana familia yao kuwa ya kisabato ambao hupenda kuabudu mwaka 2005 kwa takriban miezi sita alijifunza kutumia software maarufu ya kutengeneza beat fruity loops 3 (fl) na hivyo alichanganya ujuzi wa keyboard na fl kutengeneza beat nyumbani mpaka alipomaliza high school mwaka 2007 alienda kwenye studio ya `kama kawa` iliyokuwa chini ya gsolo ambaye alivutiwa na uwezo wake na kumuomba afanye kazi hapo alifanya kazi kwa miezi minne na ndipo alipolazimika kwenda kusoma nchini india lakini tayari jina lake lilikuwa kubwa nchini kwakuwa alitengeneza hits za wasanii joh makini nakaya kala jeremiah roma llevo izzo b na wengine baada ya kumaliza masomo na kurudi nyumbani nahreel amejiunga na vijana wengine watatu kuunda kundi liitwalo pahone
2019-09-21T07:37:00
http://bongo5.com/nahreel-aanzisha-darasa-la-utengezaji-wa-beat-10-2012/
daley tashawna crump tashawna armstrong tashawna alexander tashawna williams tashawn richardson tashawn phillips tashawn owens tashawn normand tashawn moore tashawn johnson tashawn bolden tashawna holland tashawn hill tashawn gonzalez tashawn garrett tashawn edwards tashawn leslie tashawn cook tashawn govan tashawn govan carter tashawn king tashawn calhoun tashawn boston tashawn brown tashawna becfod tashawn nickens tashauna smith tashawana mcguire tashauna mastthews tashauna krouse tashauna dupree tashauna ikard tashauna davis tashawn lando tashauna tyus tashawn nobles tashauna howard tashauna mckoy tashauna gregory tashauna presley tashawn butler tashawa baker tashawn certion tashauna hooten tashauna anderson tashaunda jackson tashawn spears tashauna wheeler tashawn santiago tashawn moore tashauna laidler tashawn harris tashauna grant tashauna henry tashauna jackson tashauna graham tashauna irons tashaun richardson tashauna powell tashaunne champion tashawna sewell tashauna young tashauna armstrong tashawn kelly tashawn baskerville tashaunda bell tashawna jones tashaunda tyler tashaunna jenkins tashaunta bertram tashauna williams tashava arnold tashawn blake tashaunya rogers tashaurie banta tashawn reid tashauna ward tashawandia
2019-06-17T22:39:28
https://www.verifythem.com/sitemap/t/257201-257400
wanawake walia kubaguliwa katika nafasi za uongozi hapa nchini | jamiiforums | the home of great thinkers wanawake walia kubaguliwa katika nafasi za uongozi hapa nchini masoud masasidodoma yetu blog ​wanawake wamesema dhana ya usawa wa kijinsia hapa nchini hasa katika nafasi za uongozi kwenye vyama vya siasa na serikali bado umekuwa ukimbagua mwanamke katika kuumpa fursa ya kuongoza nafasi hizo lichaya wao kuwa wengi katika idadi ya watu hapa nchini​ hayo yalibainishwa na katibu wa shirika lisilo la kiserikali linaloshughulikia haki za wanawake la wowap fortunata makafu wakati alipokuwa akiwasilisha mada katika mdahalo wa dhana ya usawa wa jinsia kwa maendeleo ya jimbo la dodoma mjini lilolofanyika mjini hapa makafu alisema kwenye vyama vya siasa hapa nchini nafasi zote za juu za uongozi zimeshikiliwa na wanaume ambapo amesema hakuna hata chama kimoja ambacho nafasi hizo zimeshikwa na mwanamke alisema kwa upande wa serikali nafasi za mawazirimakatibu wakuu na wakurugenzi asilimia kubwa zimeshikwa na wanaume ambapo wanawake ni wachache huku akisema idadi ya wanawake waliosoma ni kubwa lakini wamekuwa wakibaguliwa katika kupata fursa hizo ukiangalia nafasi zote za juu katika uongozi wa vyama vya siasa hapa nchini zimeshikwa na wanaume pekee kwa upande wa serikali baraza la mawaziri wanawake wachache lakini wanawake ni wengi katika idadi ya watu tanzania lakini hawapatiwi fursa ya kutosha katika nafasi za uongozialisema makafu alisema hatua hiyo inatokana na jamii kumwangalia mwanamke katika jicho la kumuhukumu kuwa hawezi kuongoza hata kama ana uwezo mkubwa kuliko mwanaume wakati mwingine jamii inakuwa inamukumu mwanamke kuwa hawezi kuongoza hata kama ana uwezo mkubwa kuliko mwanaume lakini tumekuwa tuna uwezo mkubwa katika nafasi chache tulizopewa na kuonyesha uchapa kazialisema alisema pia kwa upande wa ajira kazi na madaraka makubwa yenye mishahara mikubwa hushikwa na wanaume huku wanawake wakiwa chache sana waliopatiwa fursa hiyo hapa nchini​​ issue ni kubwa haswa income inequality na salaries kuwapendekeza wanaume kupata mishahara mikubwa zaidi ya wanawake
2016-12-03T17:54:56
http://www.jamiiforums.com/threads/wanawake-walia-kubaguliwa-katika-nafasi-za-uongozi-hapa-nchini.324598/
ststephens anglican cathedral 2012 mkuu wa mkoa wa tabora bi fatma mwasa katika sherehe za uzinduzi wa tabasamu charles massine
2017-12-18T10:48:17
http://taboraanglican.blogspot.com/2012/
kuona miti kwenye ndoto ina maana gani | strictly gospel kuona miti kwenye ndoto ina maana gani shaloom wapendwa naitwa fina naombeni ufafanuzi juu ya ndoto hii kwanza kabisa na mapito makubwa sana siku moja nikiwa ofisini nikiwa namuuliza mungu ni kwanini yote hayo ghafla nilipata kausingizi kazito kama dakika 2 hivi nikaota napita msituni miti imekatwa na inaendelea kukatwa ghafla mti mkubwa ukawa unaniangukia lakini cha kushangaza ule mti niliuona umeshaanguka mimi nimepita salama lakini baada ya kuvuka pale nikashangaa wakati naendelea kutembea kamti kengine kadogo kakaanguka mbele yangu kakaniblock naombeni msaada watumishi wa mungu ← tusiache kuwaombea watumishi wa mungu kukosa maono ni sababu ya kushindwa kwako i → 27 thoughts on kuona miti kwenye ndoto ina maana gani sungura says 30/01/2015 at 1215 am mrs christina kuna mbegu gani ambayo roho mtakatifu ameipanda kuhusu utofauti wa maono na ndoto unayosema kuwa hakuna mtu atakaeiharibu please hebu jaribu kuongea mambo kwa usiriaz zaidi ya hapo ndugu mrs anapaswa kuonesha weledi na umakini wenye hekima kuliko unavyojaribu kujipresent kwanza unaongea kinafiki ukijaribu kuwa neutral lakini ndani ya mistari unayoandika vimelea vya huo unafiki vinaonekana huwi wazi sana unaandika kitu fulani ukiitikia mchango wa nani bali unaandika kama vile hakuna mtu fulani unarespond kwenye comment yake ongeza uungwana tafadhali mrs christina k says 29/01/2015 at 1154 pm mtumishi fina asante sana kwa mada uliotuwekea mezani katika hili utafiti wa shetani na wa yesu umeenda vizuri mrs christina k says 29/01/2015 at 1249 pm tabasamu la yesu linaendelea kuchanua zaidi(wafilipi 11518) tunajifunza mengi hapa na kwa wale wanaojitambua kiroho wanaendelea kuuona utupu wa wapotoshajimtumishi pandaeli wakati fulani alieleza habari ya watu kujionyesha rangi zaokwa muongozo wa roho mtakatifu unaweza kuona namna ambavyo watu katika mada hii inayohusu ulimwengu wa roho tulivyo onyesha rangi zetu kila mmoja ameshabarikiwa na mungu wake wale wanaotembea na roho ya hekima na mafunuo wameshaelewa kile ambacho kinamfanya yesu atabasamu hapahakuna atakayeweza kuiharibu mbegu ambayo roho mtakatifu ameipanda kuhusu uhusiano ulipo kati ya maono ndoto na kazi za mbwamwitu watumishi sungurapandaeli servantmillinga na wengine wote ushiriki wenu ni muhimu sanatuendelee kuzianika siri za pendael simon says 27/01/2015 at 249 am majibu yako yamenishangaza kwelimbona husomi hata kile unachoandikiwa vizuri hebu ona ulichoandika tunafahamu tofauti ya maono na ndoto na hakuna aliyesema dada fina aliota ndoto tazama jinsi ulivyokwenda kinyume na nilichoandika hivyo hicho kilichompata dada fina kulingana na maelezo yake ni ndoto wala si maono mrs christina k mara nyingi unajibu vitu ambavyo hujaulizwa na kuacha vile ulivyoulizwa mara nyingi hutulia kwenye mada na unajikuta upo op pia ujue kuwa mwenye roho mtakatifu hajitangazi kama unavyofanya wewe hata wale mitume wa yesu hawakujitangaza au kujinadi bali watu wenyewe walikiri kuwa wapo pamoja na yesu yaani roho mtakatifu yupo ndani yaopia watu ndio waliowaita wakristo baada ya kuwaona wanamfanania kristo( matendo 1126 na wanafunzi waliitwa wakristo kwanza hapo antiokia) vile vile watu waliwajua kuwa waliopindua ulimwengu hata petro alipokuwa akimkana yesu walimjua kuwa ni mwanafunzi wake kwa jinsi alivyokuwa kwa hiyo huyu roho uliye naye wa matangazo nina mashaka nayeungekuwa na roho mtakatifu usingejitetea kwa jambo ulilolifanya la kumkosoa na kumuita majina mabaya mr milinga wakati alipoandika kitu sahihi kumbuka vitisho vyako unavyotumia havisaidii bali ni mazingira tu uliyojiwekea ya kujilinda au kujihami( diffensive mechanism) pia nashawishika kusema vitu vingi alivyoandika umetumia akili nyingi na wala usimsingizie roho mtakatifu pia mteule huwezi kumjua kwa akili zako ****epuka kujihesabia haki bure**** servant says 26/01/2015 at 541 pm siku moja nikiwa ofisini nikiwa namuuliza mungu ni kwanini yote hayo ghafla nilipata kausingizi kazito kama dakika 2 hivi nikaota napita msituni miti imekatwa na inaendelea kukatwapigania imanitazama ni namna gani basi maombi yako ulivyokuwa unayawasilisha hapo ofisinimuda mwingine tunajisahau namna tunavyoongea na mungu inaweza badala ya kuomba (1)tunatamka maneno magumu (2)tumenungunikawakati wa mapito makubwa kama unavyosema ndio wakati wa kuishindania imani sifu shukuru mungumisamiati ya kwanini mara nyingi sana haipeleki destiny nzuriyuda 1 matiko amos says 26/01/2015 at 357 pm wapendwa mbarikiwe sana kwa sababu nimejifunza mengi mrs christina k says 26/01/2015 at 230 pm asante kwa mawasiliano katika ulimwengu wa roho sungura says 26/01/2015 at 1214 am mrs christina ( japo sina hakika kama kweli wewe ni mrs) sikuwa na mpango wa kuchangia hii mada lakini kwa sababu mbili tatu hivi inabidi nachangie kidogo hasa kuhusu uandikaji wako kwanza unafanya mada nyepesi iwe tata for no reason kwa sababu huna tabia ya kutulia sawia kwenye mada husika hebu fikiria hapa mada ni ndg fina kutaka tafsiri ya hiyo miti aliyoota lakini wewe umejaza mjadala na mambo ya mbwamwitu wana wa shetani manabii wa uongoaghalabu kuliko ulisema tafsiri ya alichkiota fina pili unajaribu kutuonesha kuwa kila kitu ambacho wewe unaandika hapa kimetoka kwa roho mtakatifu kitu ambacho si kweli ni kujaribu tu kutisha wale walio na mawazo tofauti na ya kwako tatu unapenda sana kumwita mbwamwitu au mjumbe wa shetani kila yule ambaye yuko na wazo tofauti na wewe mimi hili naliona kama ni uchanga ktk ujuzi wa kweli ya kristo na kiuandishi na bila shaka hicho ndo kimemfanya hata pendael akuambie hicho alichokwambia hapo juu kiukweli milinga alipojaribu kuja na mawazo tofauti kidogo na ya kwako ulimjibu na kumwita hayo majina kiujanja tu wa kifasihi labda nikunukuu ili kuthibitisha hilo wajumbe wa shetani (mbwamwitu) mara nyingi wakiona umekaribia kupata ufahamu wa jambo fulani kuhusu maisha yako utawasikia wakisema hiyo ni ndoto ya shetani au ni kwa sababu ya uchovu na shughuli nyingi kwahiyo usiwe na wasi wasi haya maneno kimsingi ulikuwa unamwambia milinga indirectly na hii tabia inakufanya uandike makala ndeeefu lakini pia zisizokaa sawawa kwenye mada husika inachosha kusoma na pia inasababisha mtu mwingine aione michango yako kama si ya mtu aliyejifunza manabii wa uongo wapo tu tangu kale na kale na hawatalifanya chochote kanisa la kristo ( si ajabu nami nikaitwa mjumbe wa shetani kwa kusema hayo hahahaaaaa) mrs christina k says 25/01/2015 at 511 pm mtumishi pandaeli mambo ambayo roho mtakatifu ananiongoza kuandika hayapingani na hoja ya mtu yeyote yanajitosheleza yenyewetunafahamu tofauti ya maono na ndoto na hakuna aliyesema dada fina aliota ndoto mimi siandiki kwa sababu ya maoni ya wanadamu naandika kile ambacho mungu ananiongoza kuandikanafichua pale ninapoongoza kufanya hivyowale walio rohoni wanaelewa kile ambacho roho anaongea nao hakuna anayeweza kumkosoa roho mtakatifukatika mjadala huu wapo watu ambao wana karama ya kutafsiri ndoto na maonona hii ni mada nyeti sana katika siku hizi za mwisho lazima wateule waijue kwelikama wewe ni mteule tena mnyenyekevu fuatilia mafundisho ya roho mtakatifu kila mmoja asimame katika nafasi yake na aseme kile ambacho mungu wake anamuongoza maana si wote wanaoongozwa na roho mtakatifuhata mimi nikiandika kitu kwa mapenzi yangu mwenyewe aliye na roho wa kristo atajua na atatumia hekima kunisahihishanawajua watu ambao wanaongozwa na roho ya shetani na uwepo wao unawapa wateule wanaojitambua zaidi ya ushindi pendael simon says 24/01/2015 at 1016 am mrs christina k ni vizuri kwa neema ya mungu kutafakari kwa kina kuhusu michango inayotolewa na wachangiaji wa madakwa mfano mrmilinga amechangia jambo ambalo limebeba ukwelisisi ni binadamu na wala si malaika na wala tusijiweke kundi la malaikatukiwa tunaongozwa na roho mtakatifu tunaitwa wana wa mungu (warumi 814)hivyo kwa kuwa sisi si malaika kuna wakati tunaota ndoto zinazotokana na shughuli nzito au jambo tuliloliwazia sanandio maana kila ndoto au maono yoyote hupimwa kwa neno la mungukutafsiri ndoto au maono ni kazi ya mungundio maana si kila mtu anaweza kutafsiri ndoto au maono pendael simon says 24/01/2015 at 946 am wapendwa shalom kuna tofauti kati ya ndoto na maonondoto hutokea unapokuwa umelala na maono hutokea ukiwa machohivyo hicho kilichompata dada fina kulingana na maelezo yake ni ndoto wala si maonotuepuke kuchanganya ndoto na maono mrs christina k says 23/01/2015 at 446 pm mtu yeyote anayeongozwa na roho mtakatifu hupewa ufahamu ndani ya moyo wake kuhusu ndoto au maono anayoonyeshwa elimu kuhusu ndoto na maono(ulimwengu wa roho) ni pana mno na inahitaji umakini wa roho mtakatifuhakuna mtu yeyote duniani anayeweza kufundisha mambo ya ndoto na maono kwa usahihi mpaka roho mtakatifu ampe muongozo ulimwengu wa roho umejaa lugha za mafumbo ambayo hakuna mtu anayeweza kuyafumbua bila muongozo wa roho mtakatifu hebu jaribu kupiga picha ya maono ambayo mtume petro alionyeshwa kuhusu kutowabagua watu wa mataifawakati ule kina petro yaani wayahudi walikuwa wanajihesabia haki kwamba wao pekee ndiyo wanaostahili wokovu na watu wa mataifa mengine kama kina kornelio hawakustahili kwahiyo mungu akaamua amtume petro akahuburi habari za wokovu nyumbani kwa kornelio na alipoona kuwa moyo wa petro utaweka ukuta kuhusu jambo hilo akaamua kuzungumza nae kwa njia ya maono mtume petro alikuwa anawaona watu wa mataifa kuwa najisi yaani kwamba akichangamana nao watamnajisimungu akamvizia petro mchana wa saa sita wakati ameshikwa na njaa sana akamletea maono ili kuiponya roho yakemaono aliyoonyeshwa yalihitaji hekima ya roho mtakatifu na ufahamu wa rohoni ili kujua kile ambacho mungu alikuwa ana maanishandani ya maono petro alionyeshwa aina zote za wanyama wenye miguu minne na hao watambaao na ndege wa anganikisha sauti ikamjia ikasema ondoka petro uchinje ulelakini petro akasema hasha bwana kwa maana sijakula kamwe kitu kilicho kichafu au najisisauti ikamjia mara pili ikamwambia vilivyo takaswa na mungu usiviite wewe najisi(matendo 10915) jambo ambalo tunatakiwa kujifunza hapa ni kwamba ingekuwa rahisi kwa petro kwa sababu ya njaa kali kuyatafsiri yale maono kuwa mungu anamuonya kuhusu kutokataa chakula chochote ambacho angepewa na wenyeji wake pale alipofikia kwa bwana mmoja aliyekuwa anaitwa simoniingekuwa ni rahisi kwa petro kudhani kwamba mungu anamwabia ale chochote atakacho pewa kwa sababu vimeshatakaswapia hapa kulingana na majibu aliyotoa petro tunagundua kwamba alikuwa na changamoto ya kuchagua vyakula yaani kuna vyakula ambavyo kwake vilikuwa ni najisihata hivyo kwenye maono mungu alikuwa haongelei habari ya vyalula au wanyama kama alivyomuonyesha bali alikuwa anazungumzia watu wa mataifa na kabila mbali mbali kwamba na wao wanastahili wokovu kwa kuchangamana na wayahudi katika maisha ya kawaida kama wewe ni mshauri wa kiroho mtu akikusimulia maono kama haya na akaomba tafsiri ni lazima uombe hekima na ufahamu wa roho mtakatifu ili uweze kumsaidia vinginevyo unaweza ukampotezamaandiko yanasema katika matendo 101723 kwamba baada ya petro kuonyeshwa yale maono hakuyaelewa na alikuwa na shaka ndani ya nafsi yake lakini wakati huohuo mungu alikuwa ametuma watu kutoka nyumbani kwa kornelio ili kutegua kitendawili cha petro na aliposita kufuatana nao roho mtakatifu akamwambia usisite kwa sababu mimi ndiye niliye watumawalipomuambia wametumwa na nani na kwa sababu gani ndipo petro akapata ufahamu juu ya kile alichoonyeshwa kwenye yale maonondiyo maana walipofika kwa kornelio jambo lililowashangaza wenyeji ni pale petro alipotamka kwa sauti kuu na kusema kuwa hakika natambua ya kuwa mungu hana upendeleo bali katika kila taifa mtu amchaye na kutenda haki hukubaliwa na yeye matendo 1034 ujumbe huu unaonyesha wazi kwamba hatimaye petro alielewa maana ya yale maono kwa muongozo wa roho mtakatifuna kuanzia siku hiyo petro aliacha kuwabagua watu wa mataifa mengine wasio wayahudi kati ya watu wa mataifa na kabila zote duniani kuna wateule lakini si watu wote diniani ni uzao wa yesu wengine ni uzao wa nyoka(mwanzo 315)tusipolijua hili bado hatujawa huru kweli kweli(soma na utafakari yohana 17617)yesu hakuja duniani kwa ajili ya uzao wa shetani bali kwa ajili ya wateulekuna watu mpaka mfumo huu wa dunia utakapoisha hawatapata neema kuhusu ndoto au maono yanayotoka na uchovumawazo au shughuli tulizofanya mchana kutwa hizi ni ndoto au maono ambayo mara nyingi huwapata watu wapumbavu(wasio mjua mungu)hii haina maana kwamba watu ambao hawajaokoa mungu hasemi nao kwa njia ya ndoto na maono ukweli ni kwamba huwa anasema nao sana na wakati mwingine kuliko watu walio ndani ya wokovu mungu huwafuatilia wateule wake ambao aliwajua hata kabla hajawaumba(yeremia 145)unaweza ukawa hujaokoka lakini ni mteule wa mungu na ndiyo maana mungu anasema na wewe kwa njia ya maono na ndoto ingawa mara nyingi humuelewi na umekuwa ukipuuzia yale anayokuonyesha au labda umefika mahali unadhani ni upuuzi tu usio na maana yoyotesikiliza kwa makini duniani kuna watu wabaya na wazuri(mithali 164 zaburi 583)namaanisha duniani kuna uzao wa mungu na uzao wa shetani na kila mmoja hupewa ndoto na maono na mungu wakendiyo maana kwa watu waliookoka huongozwa na roho mtakatifu kupambanua yale wanayoyaona katika ndoto au maonoyawezekana kabla ya kuokoka uliwahi kuota ndoto za kipumbavu zile zinazoelezewa katika kitabu cha muhubiri lakini nataka nikuambie ndani ya wokovu hatuna ndoto za namna hiyo kila ndoto unayoota iwe ni nzuri au mbaya imebeba ujumbe au taarifa muhimu kuhusu maisha yako hekima ya roho mtakatifu itakuwezesha kutambua hila na mbinu zinazotumiwa na shetani kwenye ndoto na maono hata ukiletewa sura ya mtu ambaye hausiki na hicho unachoonyeshwa ila ni kwa hila utajua tu wajumbe wa shetani (mbwamwitu) mara nyingi wakiona umekaribia uchovu na shughuli nyingi kwahiyo usiwe na wasi wasi sikiliza mpendwa haijalishi unaota ndoto au kuona maono ya namna gani muulize mungu maana yakeni lazima ujue kwasababu gani au ni jambo gani linaendelea katika ulimwengu wa roho ambao ni halisi zaidi kuliko huu wa damu na nyamasiri na taarifa za maisha ya wateule ziko katika ulimwengu wa roho ambako ndipo vita kati ya uzao wa yesu na uzao wa nyoka inapoanziana hii ndiyo vita kali kuliko zote chini ya jua(soma na utafakari mwanzo 315) mteule ni wakati wetu wa kuanza kujitambua kiroho ndani ya neno la kristo kwa yeyote anayetaka kuwasiliana na mimi bila ya kujalisha kwamba ni mbwamwitu au mteule wa yesu tuwasiliane kwenye upendouliohai@gmailcom mwaka 2015 ni mtamu sana kama tutaishi ndani ya neno la kristo na kuyatambua mafundisho ya karibuni ili yesu atupe changamoto halisi mr milinga says 23/01/2015 at 1215 pm dada fina siyo kila ndoto hutoka kwa mungu ndoto nyingi humuijia mtu kwa sababu za uchovu mawazo mengi msongo wa mawazo akili kulemewa ubongo kuchoka mara nyingi ndoto itokayo kwa mungu humuijia mtu akiwa katika hali ya utulivu na bila msongo wa mawazo ya mapito magumu kama ulikuwa katika hali ngumu ya kuwaza na kutafakari sana huenda ndoto ikawa ni taswira tu ya mchoko inayotokana na mambo yanayokusonga ushauri wowote utakaoupata jaribu kuutazama na kuuoanisha na hali halisi kisha mungu akupe faraja fina says 23/01/2015 at 1147 am mrs christina please naomba mawasiliano yako kama hutojali nahitaji msaada wa kunasuliwa mahali christowellu says 22/01/2015 at 745 pm muda wa hiyo biashara ya mbwa mwitu kuisha bado tena bado sana yeye analiangalia neno lake ili alitimize na kwakuwa analiheshimu neno lake kuliko jina lake basi tutasubiri sana hata yote yatimie fina christowellumugittu@yahoocom ukihitaji msaada zaidi mrs christina k says 22/01/2015 at 349 pm kuna kanisa ambalo linamtangaza mungu aliye hai lakini limekalia kiti cha shetanimchungaji anadhani amekalia kiti cha yesu kumbe ni cha shetanimatokeo yake mchungaji anaruhusu mafundisho ya mashetani ndani ya kanisa na waumini wanapoyapokea wanajikuta wanazini na sadaka zinazotolewa na sanamukila kukicha watu wanaendelea kuongozwa na mafundisho ya baalamu na kwa sababu hii mungu amekasirika na kuyazuia mafundisho aliyolikusudia kanisa(mana iliyofichwa) ndani ya mfumo kama huu ambao shetani ameweka kiti chake kwenye madhabahu ni vigumu kwa huduma za watu kukua na kujulikana ndani ya kanisasi tu kwamba kanisa linadumaa kiroho lakini pia linakufa kabisa kirohomchungaji anapewa muongozo na kiti cha shetani alichokaliawanamaombi wanapoona mambo hayaendi wanakazana kuvunja nguvu za giza bila ya kutafuta maarifa ya jinsi ya kutubuni toba ya kukiri kwamba kuna mlango ulifunguliwa mpaka shetani akaingia kanisani na kuweka kiti chake ndani ya kanisa wale wanaosimamia kweli wanategwa na kuuwawa kwa sababu ya uaminifu waomchungaji anashirikia na mbwamwitu bila ya kujuamatokeo yake madhabahu imenajisika kwa kutiwa giza watu wanakazana kufunga na kuomba na kufanya mikesha kila ijumaa lakini wanaendelea kuteseka kiroho na kimwili vijana hawaoi wala kuolewa wamekazana na majunguuzushiunafiki magomviwivumanungunikotamaakiburi na uasheratiwatu wenye fedha na cheo ndiyo wanaopewa upendeleomacho na masikio ya rohoni ya kanisa yamekufa na wale wanaoona wanamuona shetani aliyejivalisha vazi la utakatifupia kama kuna ndoa zinafungwa ni batili yaani si zile za mpango wa mungu mambo haya yameandikwa wazi kabisa katika ufunuo 21217 na ndiyo mambo ambayo yanaendelea sasa ndani ya makanisa mengihuu ni wakati ambao shetani analipepeta kanisa kwa kututenga na imani ya kristokwa staili hii umoja wa kanisa unaendelea kuvurugwamakanisa hayashirikiani bali yanaumana na hii ni vita ya wenyewe kwa wenyewemadhabahu nyingi zimetiwa giza huku watu wakiendelea kuruka na kushangilia mbwamwitu(waliokwisha kataliwa) wamejipenyeza kwa siri sana ndani ya makanisa yetu nasi tumewapa nafasi za uongozi uimbaji na kuhubiri na tumewaamini sana kuliko tunavyomuamini yesuna wao bila kufanya makosa wamevuruga kabisa karamu zetu za upendo(soma kwa kutafakari yuda 1341213) mungu anatutaka tufanye nini mungu anasema kama tumegundua tuko ndani ya kanisa kama hili dawa ni tobatunatakiwa kutubu kwa sababu ya kufungulia mlango ambao umewafanya mbwamwitu waingie na kutuzidi nguvuunajua mbwamwitu wanaweza wakaingia ndani ya kanisa lakini mkiwajua na kuwazidi nguvu katika ulimwengu wa roho wataanza kuondoka mmoja baada ya mwinginetunapoingia katika maombi ya rehema mungu anarejesha macho na masikio ya rohoni ya kanisa na roho ya hekima na mafunuo inaanza kutawalakwahiyo tunapopata huu ufahamu kanisa zima kuanzia mchungaji tunatakiwa kuvaa magunia na kuomba rehemamungu anatutaka tutubu na tusipotubu neno lake litafanya vita na sisi hapa maana yake tunapata kipigo mara mbilitumeshapigwa na shetani alafu na mungu anatushughulikiani zaidi ya matesohapa watakaopona ni wale tu wenye masiko ya kusikia kile ambacho roho mtakatifu anatuambiaroho mtakatifu anaeleza haya katika ufunuo 21617 basi tubu na usipotubunaja kwako upesi nami nitafanya vita juu yao kwa huo upanga wa kinywa changuyeye aliye na sikio na alisikie neno hili ambalo roho ayaambia makanisa mungu anasema atafanya vita na wateule wote wanaojihusisha na mafundisho ya mashetanikuna watu ambao bado wameshikilia mafundisho ya baalamu na mafundisho ya wanikolai(soma ufunuo 21415) kitakachotokea baada ya kukubali kufanya toba ufunuo 217 unatoa jibu yeye ashindae nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa nami nitampa jiwe jipya na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeye aliyelipokea maana yake kuna kiwango fulani cha mafundisho(mana) ambayo yalikuwa yamezuiwa mpaka tutubukwa sababu ya kiti cha shetani kuna vipawa ndani ya kanisa vimefunikwa na havijulikani tunapotubu vile vipawa vitafunuliwa nasi tutajulikana kwa majina mapyakanisa litakua kiroho na kimwiliupendo na mshikamano utatawala ndani ya kanisa mtumishi christowellu roho mtakatifu amejibu maelezo yako ya tarehe 22/01/2015 at 1019 am mtumishi humphrey gutte onyinge barikiwa na endelea kutega masikio yako ya rohoniyesu anataka amalize kabisa hii biashara ya mbwamwitu fina says 22/01/2015 at 233 pm asanteni watumishi hakika nimepata kitu kikubwa sana shaloom christowellu says 22/01/2015 at 1030 am fina barikiwa na kristo akushindie katika vita yako humphrey asante kaka john haule says 22/01/2015 at 1021 am mrs christina k namshukuru baba bwana wa mbingu na nchi kwa kukufunulia hayo maana ndivyo ilivyopendeza mbele zake amen kama ilivyoishia 2014 mwaka 2015 pia mashauri yote ya wasio hakimbwa mwitumungu wa mbingu na nchi anakwenda kuyabadili na kuwa ubatili mashauri yao yanakwenda kukataliwa nao waenda kujisonga na kufa(2fal 1723) yeye huyatangua mashauri ya wadanganyifu mikono yao isipate kuyatimiza makusudi yao yeye huwanasa wenye hekima katika hila yao wenyewe na mashauri ya washupavu yaharibika kwa haraka wao hupatwa na giza wakati wa mchana hupapasa mchana vilevile kama usiku ayu 51214 christowellu says 22/01/2015 at 1019 am nampenda sana yesu alikula nao alikunywa nao lakini hiyo haikumbadilisha kutoka kuwa mwana wa mungu na kumfanya msukule anayeonekana au asiyeonekana alibaki kuwa mwana wa mungu milele na atabaki kuwa hivyo milele wana wa israeli kuishi misri miaka 430 hakikuwabadilisha kuwa wamisri walibaki kuwa waisraeli mkenya akiishi tanzania hatogeuka awe mtz atabaki kuwa mkeii mchaga yupo kila kona ya tz lakini sijawahi kusikia amebadilika na kuwa kabila jingine analoishimo sauli akizidi kulitesa kanisa akamwendea kuhani mkuu ampe barua akawaue zaidi akiwa njiani kwenda kulitekeleza hilo yesu akamjia kwa ukali lakini kwa upendo wenye upole mimi ndimi yesu unayeniudhi wewe lakini simama uingie mjini nawe utaambiwa yakupasayo kutenda sauli hakuwa na tofauti na nabii wa uongo maana hata nabii wa uongo anamuudhi yesu na siku moja isiyo na jina yesu atamzuia atamwambia fulani inatosha usiniudhi tena toa unabii wa kweli naye atamtii maana hakuna anayeagizwa na mfalme moja kwa moja halafu akiuke maagizo yake halafu hata kama amebadilishwa bado wapo ambao hawataamini watamuona mtu yule kuwa bado ni nabii wa uongo kama kwenye matendo 92021 2630 katika safari zake mtume paulo alienda asia akakaa huko miaka 7 unadhani alikua akifanya nini huko alikua akizichunguza roho za kule ni yeye pekee aliyezunguka sehemu nyingi akihubiri lakini pia alikua akijifunza mila na tamaduni zao ili aweze kuzifananisha au kuzitofautisha na mungu wake yeye ndipo akafikia kutuambia tuzichunguze kila roho mrs christina utamtambuaje mtu kama hujamsikiliza au kuangalia matendo yake yesu alimtambuaje petro kwamba atamkana ni dhahiri ni kutokana na tabia yake alimjuaje yuda kwamba atamsaliti ni tabia yake mrs christina hakuna aliyekamilika soma danieli 2 na ufunuo 2 na 3 na usipoelewa tafuta kitabu changu kinaitwa udhaifu wako ndiyo adui yako mbaya zaidi usipokipata bado ninazo kopi utapata kitu wakati yesu anakamatwa petro akamkata mtu sikio na yesu akamwambia rudisha upanga wako alani mwake maana hamjui ni roho ya namna gani mliyonayo petro hakujua kwamba ndani yake kulikua na roho ya msamaha usiposamehe hausamehewi na mungu wa mbinguni na roho ya upendo waombeeni wanaowaudhi adui zenu petro alihukumu lakini alisahau kwamba muda mchache unaofata nayeye atakua kama wale atamkana yesu siku moja katika kugoogle nikakuta mtu ametoa sala ya kuwaombea wachawi nilipoisoma sikumuelewa hata kidogo eti akavunja nguvu za giza ukiwemo uchawi halafu akaanza kuwaombea wachawi rehema ilinipa shida sana maana mentality yangu ilikua si walipenda wenyewe kumtumikia shetani sasa nawaombea nini wakati huo nami nilikua kwenye vita kubwa na wachawi wa mtaani kwetu kwahiyo ilikua inaniwia vigumu sana kuelewa lengo la mtoa sala maana nikiangalia mashambulizi waliokuwa wananitupia napambana nao live katika roho wala sijalala kwakweli sikuelewa somo siku moja roho mtakatifu akaniuliza christowellu kwanini wewe ni mtanzania na sio muhindi nikamjibu ni kwa sababu nimezaliwa tanzania akaniuliza tena kwanini umeokoka nikasita kujibu nikitafakari swali lile kisha nikamjibu sababu umeniokoa akaniuliza tena kwanini unanitumikia nikamwambia coz umeniita nikutumikie akaniambia mimi ndiye nilipenda uwe hivyo si wewe ni kwa neema tu angeruhusu niwe muislamu ningekua labda ningezaliwa ndani ya familia ya mzee juma au al farooq angependa niwe mzungu mwarabu mchina hakuna ambaye angezuia bali ilimpendeza nizaliwe tanzania tena niwe mnyiramba maana hata angependa niwe mndengereko au mkurya ningekuwa kama ilivyo upande wa nuruni watumishi huitwa na gizani pia huitwa vivyo hivyo na hawana ubishi maana shetani anao ushawishi mkubwa na wanapoingia huko hata wakitaka kutoka hushindwa maana wametegwa kwa maneno ya midomo yao mikataba waliyoingia ndiyo sababu unapaswa uwaombee ili wapewe rehema simoni akamwalika yesu aje ale kwake alipokuja mwanamke kahaba simon akasema moyoni mwake kama yesu angekuwa nabii angemtambua huyu kahaba yaani simoni alitaka yesu asogeze miguu pembeni asiguswe na kahaba how foolish was he siku moja nikamwambia mungu kamwe sitakaa nikuelewe ingawa nakujua maana nikimfikiria yuda alibatizwa ubatizo wa maji mengi alitumika kwa ajili ya ufalme wa mbinguni alitoa mapepo aliombea wagonjwa wakapona lakini anaisubiri jehanamu musa ilifikia mahali mungu alimsifia mbele ya wengine kwamba ni rafiki yake na ataongea nae wazi wazi lakini cha kushangaza hata yeye aliyetegemewa kuingia kaanani hakuingia lol huruma na aibu iliyoje kisa nini alipiga mwamba utoe maji eliya pamoja na kujitamba kote mbele ya mabaali na kumnadi mungu wake mbele ya miungu yao bado alifika sehemu akampunguza nguvu uwezo na mamlaka mungu wake kwa utisho mdogo tu wa yezebeli akamweka mungu pembeni akamkimbia mwanamke ndipo sa yesu anatuambia ajidhaniaye amesimama aangalie asianguke hakuna kanisa lisilo na mapungufu liwe la baba paroko na mama maria liwe la kunena kwa lugha liwe la kizazi cha kwanza au channe liwe la sadaka ya bahashani au sirini liwe la nabii wa kweli au wa uongo la mchungaji wa mshahara au mchungaji wa wito kikubwa ni mungu anataka kila mmoja aangalie mapungufu yake kisha atengeneze na mungu kwanini anataka hivyo kwakuwa ipo saa baba anatusubiri tumuabudu katika roho na kweli tu sio samaria rc lutheran anglikana wala sio yerusalemupentekoste kati ya farisayo na mtoza ushuru unadhani farisayo tungemwitaje kwasasa kama sio mbea mbali ya kutuonyesha unyenyekevu wa kila mmoja anapoenda kwa mungu na mtazamo wa kila mmoja yesu alitaka pia kutufundisha tuangalie yanayotuhusu zaidi na si kufuatilia ya wengine ooh fulani kafanya hivi au vile kwani mungu hawaoni mwenyewe anasema wameumbwa wabaya kwa siku ya ubaya acha mungu mwenyewe awahukumu you know what at last its between me or you and god not between us and god mimi nimechagua kuabudu katika roho na kweli tu ili anilishe mwenyewe kama alivyoahidi kwenye ezekieli 341416wakati huo huo nikiogopa kunyooshea wengine kidole maana kwanza naweza kuhukumu mtu fulani mwizi kumbe ngozi aliyokamatwa nayo kaiokota na vidole vinavyobaki vinarudi kwangu acha nikazane kuondoa boriti langu mie shalom humphrey gutte onyinge says 21/01/2015 at 1010 pm mungu awabariki kwa mafundisho mrs christina k says 21/01/2015 at 352 pm wakati wengine wanafurahishwa na uwepo wa manabii wa uongo wengine wanahuzunikawanalia na kuomboleza yesu alishajua kuwa manabii wa uongo watakuwepo na watawapotosha yamkini hata wateule lakini hakuacha kutuonya kwamba tuwatambue na kuwaupuka manabii wa uongokatika mathayo 242425 yesu anatoa onyo kali na kujiondoa kwenye lawama kwa kusema tazama nimekwisha waonya mbeleyesu anasema kwa kuwa nimeshawaambia kuwa manabii wa uongo watakuja msije mkanilaumu na katika mathayo 715 yesu anaweka msisitiza kwamba jiatharini na manabii wa uongo(mbwamwitu) mtume paulo baadae anaeleza kwa undani kwa nini tunapaswa kujiepusha na manabii wa uongo mtume paulo alipojulishwa kwamba baada ya kuondoka kwake duniani manabii wa uongo(mbwamwitu) wataanzisha mafundisho ya uongo ili wawateke na kuwatenga wateule na imani ya yesu paulo alishindwa kujizuia na ikabidi alie na kuomboleza kwa miaka 3 usiku na mchana( soma na utafakari matendo 202831)katika maandiko haya paulo anatuambia kwamba kazi ya mbwamwitu ni kupotosha neno la mungu ili kuziteka nafsi za wateuleunaweza usiwe ndani ya huduma ya nabii wa uongo lakini nafsi yako ikawa imetekwa na mafundisho yake ambayo unayafuatilia bila kujua katika isaya 421822 roho mtakatifu anaeleza kwa undani namna ambavyo manabii wa uongo wameteka nafsi macho na masikio ya rohoni ya wateule na kuwafanya kuwa misukule inayoonekana na isiyoonekanakazi nyingine ya manabii wa uongo ni kuzuia zaka na sadaka zote ambazo wateule walitakiwa kumtolea yesuni zaidi ya hasara kuwa ndani ya wokovu na huku unaujenga ufalme wa ibilisi christowellu asante sana kwa mchango wako kama kuna mtu anaweza kumfuta yesu machozi basi na afanye hivyoni rahisi sana kujicheka kuliko kuwacheka christowellu says 20/01/2015 at 1104 pm shalom teh teh dada christina huwa unanifurahisha sana juu ya manabii wa uongo lol nabaki nacheka sana huwezi kufafanua kitu bila kuwachomeka kama ndipo ulipoitiwa hapo mwili wako na ukawe dhabihu njema katika kukomboa roho za wateule wanaodanganywa lakini pia ukumbuke kwamba ni lazima wawepo watu kama hao ili neno litimie kama lilivyo tabiriwa na tena usiache kuwaombea yesu alituagiza tuwaombee wanaotuudhi yamkini kwa maombi yako ukaokoa roho ya angalau mmoja wao na kumpatanisha na mungu kumbuka heri wapatanishi mrs christina k says 20/01/2015 at 404 pm ubarikiwe sana mtumishi christowellu umeongozwa kutoa somo na ushauri ambao utatusaidia sana hasa katika nyakati hizi ambazo elimu kuhusu ndoto na maono(ulimwengu wa roho) imepotoshwa na wengi wanaangamizwa kwa kukosa hekima na maarifa ya roho mtakatifu kuhusu yale wanayoonyeshwa na kuyasikia kwenye ulimwengu wa rohoni neema iliyoje kukutana na ushauri na mafundisho ya roho mtakatifu manabii wa uongo ambao wengine sasa wanajiita wachungaji na mitume ili kuficha uhalisia wao wamekazana kufundisha mafundisho na kutoa ushauri ulio kufa kuhusu ndoto na maonohata hivyo pamoja na kuwapotosha waumini wao vitabu wanavyoandika kuhusu maono na ndoto vinawafichua wao wenyewe na kazi zaoisaya 421820 inaeleza changamoto kubwa tuliyonayo wateule katika kuelewa kile tunacho kiona na kukisikia kwenye ulimwengu wa roho kila mtu aliyezaliwa mara ya pili ana haki ya kutembea na roho ya unabii ambayo ni roho mtakatifu(ufunuo 1910)hii ndiyo roho ambayo hututafsiria ndoto na maono ya aina zotekuna watu ambao sasa hivi wamejiweka kwenye nafasi ya roho mtakatifu ya kuwatafsiria watu ndoto na maono na hii ni zaidi ya hatarikazi kubwa ya manabii wa uongo ni kupotosha na kuzambaza elimu ya uongo kuhusu ndoto na maonotunatakiwa kueleza habari zetu za ndoto kwa kadiri tunavyoongozwa na roho mtakatifu na ni hatari sana kuwaeleza watu mambo ambayo hatujaru husiwa kuyasemakuna siri nyingi ambazo mungu hutuonyesha kwenye ulimwengu wa roho na ni lazima tuombe hekima ya roho mtakatifu ili tusiwafaidishe watesi na kumkasirisha munguna wakati mwingine mungu anaweza akatoa kibali uweke wazi kile ulichoonyeshwa ili waliokusudiwa wapone mteule fulani ambaye alikuwa akiabudu katika huduma fulani ya nabii wa uongo jijini daressalaam aliwahi kuota ndoto(siyo maono) kwamba mmoja wa wasaidizi wa huyo nabii anakata miti alafu yeye akawa anasikitika kwanini huyu mtumishi anafanya hivyo na katika ndoto alitamani sana kama angeweza kumzuia asiendelee kukata hiyo miti lakini alishindwa akabaki anamuangalia tubaada ya kutoka kwenye ndoto alimuomba mungu amfichulie sawa na yeremia 333 na luka 122 hii ndoto ilimnyima amani huyu ndugu lakini hakuelewa nini hasa maana yakeakaota ndoto nyingine kwamba anapigana na nabii wa hiyo huduma na kufanikiwa kumpiga na kumshinda na baadae akaota tena yule nabii anamshambulia kwa kumrushia nyoka napo pia akamshindaakamuota tena msaidizi wa huyu nabii anamzuia asipande ngazi zilizokuwa zinaelekea juu kwenye mafanikio fulanimwisho wa siku ikabidi huyu mteule akae chini na kutafakari kwa kina tena kwa kujumlisha na kutoa ili apate maana halisi ya yote aliyoonyeshwakabla ya kuwashirikisha watu wengine ilibidi kwanza amshirikishe roho mtakatifu na hekima ya yesu ikaanza kumpa jibu moja badala ya jingine kwahiyo kumbe ndoto moja inaweza ikatafsiriwa na ndoto nyingine lakini pia si lazima upewe maana ya ndoto yako kwa haraka inategemea mungu amekusudia nini ingawa ishara huwa zinaonekana mapema na kuja kuthibitishwa baadaewakati roho mtakatifu anaanza operation ya kumtafsiria kile alichoonyeshwa huyu ndugu alianza kujiuliza kwanini alikosa amani kumuona yule mtumishi anakata miti na kwanini alitamani sana kumzuiaakapata jibu kwamba kile kitendo cha kukata miti kilikuwa siyo kizuri na hakina wema ndani yakeroho mtakatifu akamuambia kwamba ana kitu ndani yake ambacho kinapingana na hiyo huduma na mungu anamuonyesha maangamizi yanayoendelea ndani ya hiyo hudumahii ilikuwa ni baada ya yeye kusoma kitabu fulani ambacho kilikuwa kinaeleza kwamba miti tafsiri yake ni watu na hivyo yule msaidizi wa nabii alikuwa anaangamiza watu ndani ya ile huduma na yeye akapewa kibali cha kutamani kwenda kinyume na hayo maangamizi roho mtakatifu akaendelea kumuambia kuwa wenye huduma wamemkasirikia kwa sababu anatoa siri zao kwa kuwatafsiria watu ndoto na maono wanayoonyeshwa na ndiyo maana sasa anaonyeshwa wazi wazi jinsi nabii na msaidizi wake wanavyo mshambulia katika ulimwengu wa rohona ni kweli kwamba huyu mteule alikuwa anaongozwa mara nyingi kuwaeleza watu tafsiri ya ndoto na maono wanayoonyeshwa na akakumbuka kuna mtu aliwahi kumweleza kuwa tangu amefika katika hiyo huduma aliota kwamba yeye na wenzake wameingia kambi ya maadui kimakosa na hao maadui wanabunduki na mbwa wakali sanahata hivyo alipomueleza akuelewa kwa haraka mpaka alipokuja kuota kuhusu yule msaidizi wa nabii anavyokata miti fina ameonyeshwa inakatwa na mwingine unadondoka na kumzuiamaana ya miti ni ile ile lakini kwa yule mtumishi wa kwanza ili maanisha wateule walikuwa wanaangamizwa ndani ya ile huduma ya nabii wa uongo na huku kwa fina watesi wake wanaangamizwa ingawa vita si nyepesimaono ya fina yanafafanuliwa kwa undani zaidi na ezekieli 26 mwaka 2015 roho mtakatifu anakwenda kufundisha kwa undani sana elimu kuhusu ndoto na maono ili kuweka wazi upotoshaji wa manabii wa uongo na kuzikomboa nafsi za wateule zinazoangamizwa katika hili eneowateule wengi wanakwenda kurudishiwa macho na masikio yao ya rohoni kama mungu alivyokuwa amekusudia katika yoeli 22832 huu ni mwaka mtamu sana kwa wale waliodhamiria kujitambua kirohokizuizi cha mpenyo katika maisha ya wokovu ni dhambi na mara nyingi tumejikuta tunajihesabia haki katika mambo mengi sanamungu aturehemu ili akapokee sadaka zetu za maombi na sadaka nyingine ikiwemo zaka(soma zaburi 511619) fina says 20/01/2015 at 817 am asante mtumishi wa mungu mungu akuongeze zaidi na zaidi christowellu says 20/01/2015 at 719 am hiyo miti inayokatwa maana yake katika hali ya kawaida miti ikikatwa moja kwa moja inasababisha njia kutokea na mtu kuona mbele kwa urahisi ulimuuliza mungu kwanini yote haya yanakupata amekupa jibu nalo ni sababu ya watu waliokuzunguka kila upande hawakupi nafasi ya kupumua lakini pamoja na kusongwa huko kunakokatisha tamaa lakini lione tumaini alilokuonyesha kazi kubwa imeshafanyika maadui wengi wameshasambaratishwa sasa adui zako wako wawili wa kwanza ni huo mti mkubwa unaotaka kukuangukia ukumalize kabisa tafuta unamuwakilisha nani na wa pili mti mdogo uliokuzuia usipite nao ni adui mwingine sasa huyu anayezuia njia unafanyaje kwanza lazima uelewe kwamba katika hali ya kawaida umekuta kigogo kidogo ni dhahiri ungekiruka na kuendelea na safari ndio nikakuambia hapo juu kwamba ni kitu unachokiona ni kidogo sana huoni madhara yake kwa urahisi kazana kuomba dada maana njia mbele i wazi yesu alisema namna hii haitoki ila kwa kuomba na mahali pengine tukashauriwa na paulo tusichoke kumuomba mungu christowellu says 19/01/2015 at 1101 pm shalom dada fina kwanza kabisa nikuulize swali baada ya kuonyeshwa hayo maono ( si ndoto) ulirudi kumuuliza roho mtakatifu maana yake maana mwanzo kabisa ulimuuliza swali wakati anakupa jibu ulimuuliza anamaanisha nini pili nikupe ushauri ni vizuri kabla hujamuuliza mwingine awaye yeyote uwe unamswalika kwanza roho mtakatifu kwanini nasema hivi kwa sababu kama unataka kujua vya rohoni na umjue sana mungu unapaswa utafute mwenyewe usipende mteremko wa kutafuniwa kila siku hautaweza kukua hata kidogo pili wakati mwingine mtu anaweza kukupa tafsiri sawa na alivyoelewa yeye au kutokana na experience yake juu ya kile umemuuliza labda yeye alipewa tafsiri nyingine tofauti kutokana na hali aliyokuwa nayo au lilivyokuwa kusudio la mungu kwake na kumbe roho mtakatifu kwako anamaana nyingine tofauti mfano imezoeleka mbuzi ni roho za mizimu lakini mbuzi huyo huyo anaweza akawa anakuwakilisha wewe sasa wewe kwa haraka unaweza ukaona amefungwa kamba ukaanza kushangilia kumbe mbuzi huyo anakuwakilisha wewe ulimwengu wa giza (wachawi waganga na watumishi wengine wa shetani) wamekufunga miguu sasa niambie hapo hautaomba maombi ya kinyume kweli maana ulipaswa uvunje matokeo yake umeshukuru mungu alimwambia ezekieli asimame kwa miguu yake ili aseme nae ezekiel 21 tatu ni haki yako akupe akili katika mambo yote kama alivyo ahidi katika 2 timotheo 27 amesema katika mambo yote sio darasani tu sasa nije kwenye tafsiri kawaida msitu ni kuwa katika confusion inayochangiwa na vitu vingi tofauti tofauti mti humuwakilisha mkuu hasa katika ulimwengu wa giza yaani mkuu wa anga ambalo wewe uko unakaa maana wakuu wa anga hutofautiana kati ya anga na anga miti huwakilisha watu wasio wema kwako wanaokutakia mabaya miti uliyoiona imekatwa ni maadui waliowekwa pembeni ili upite inaweza kuwa ulifanya maombi ya vita sana au wapo waliosimama kukuombea na maombi yanaendelea na maadui wanazidi kusambaratishwa hako kamti kadogo kalikoanguka mbele yako kakakublock muulize roho mtakatifu ni nani yupo mtu amekua kikwazo cha wewe kuvuka nawewe huoni kwamba yeye ni tatizo kwako labda ana kuinfluence tabia zinazomzuia mungu asijibu haja ya moyo wako huo mti mkubwa uliouona mwanzo umekatwa halafu ghafla ukaona unakuja kukuangukia yaweza kuwa kuna hali ulidhani umeishinda au kuna jaribu ulidhani umelivuka kumbe bado hujavuka natumai kristo atazidi kukufundisha na kukuongoza katika njia unayopaswa kuiendea zaburi 328 barikiwa
2017-09-19T20:51:14
https://strictlygospel.wordpress.com/2015/01/19/kuona-miti-kwenye-ndoto-ina-maana-gani/
hatimaye malori ya jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania (jwtz) yameanza rasmi safari ya kuelekea mikoa ya kusini na pwani katika kutekeleza agizo la rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania na amiri jeshi mkuu dkt john joseph pombe magufuli la kusomba korosho na kuzipeleka katika maghala yaliyoteuliwa na serikali akizungumza na madereva kaimu mkurugenzi wa habari na uhusiano meja gaudence ilonda amesema jwtz linaendelea na operesheni hiyo ambayo haitakuwa na athari yoyote kwa wananchi ambao wapo maeneo hayo kwa kuwa hii si operesheni ya kijeshi bali tunaenda kusaidia wananchi aidha magari mengine yanaendelea kuondoka ili kutekeleza operesheni hiyo kwa weledi mkubwa na kwa muda muafaka ambapo zaidi ya magari 70 yanategemewa kufika mikoa ya kusini na pwani kwa ajili ya kusomba korosho kama ilivyoagizwa na mkuu wa majeshi ya ulinzi tanzania jenerali venance mabeyo akiongea kwa niaba ya mkuu wa majeshi mkuu wa tawi la uhandisi na ugavi brigedia jenerali paul simuli amesema kuwa magari yapo ya kutosha ili kuhakikisha jukumu hilo linafanikiwa pamoja na hayo amewaasa madereva kufanyakazi kwa weledi kwa kuzingatia sheria taratibu na kanuni ili kuhakikisha operesheni inakamilika kwa wakati
2019-03-20T11:33:11
http://tpdf.mil.tz/news/jwtz-laanza-rasmi-kutekeleza-agizo-la-amiri-jeshi-mkuu
tanzanian community in romeitaly( comunita' tanzaniana a roma) tangazo muhimu mkutano wa jumuiya ya watanzania rome tangazo muhimu mkutano wa jumuiya ya watanzania rome uongozi wa jumuiya ya watanzania rome unayofuraha kuwafahamisha wanajumuiya wake wote kuwa siku ya jumamos tarehe 26 june 2010 kutakuwa na mkutano wa jumuiya ya watanzania rome mkutano huu utakuwa na lengo la kujadili maswala mbalimbali yanayohusu jumuiya na kuwakaribisha wanajumuiya wapya muda na mahali uongozi utawajulisha siku za hivi karibuni uongozi unawaomba mjipange vizuri ili siku ya mkutano wote muweze kuwepo hii yote ni kwaajiri ya kuimarisha jumuiya yetu kwa wale wote ambao hamjajiandikisha mnakumbushwa kuwa jumuiya haibagui mtu yoyote kwa namna yeyote ile kwa hiyo wote mnakaribishwa kuchukua fomu za kujiandikisha of course hii yote ni baada ya kusoma na kuielewa katiba kwa maelezo zaidi mnaombwa muwasiliane na mwenyekiti wa jumuiya mh leonce uwandameno au katibu wa jumuiya ndg andrew chole mhella kwa email hii watanzaniarome@yahooit au kwa namba hii ya simu 3479094800 asanteni posted by andrew chole mhella at 104900 pm
2017-08-24T06:54:39
http://watanzania-roma.blogspot.com/2010/05/mkutano-wa-jumuiya-ya-watanzania-rome.html
imewekwa july 6th 2020 ileje yaendelea na zoezi la uhakiki wa uhuishaji taarifa za wanakaya ambao ni wanufaika wa mfuko wa maendeleo ya jamii tasaf huku wawezeshaji wakitakiwa kufanya kazi kwa weredi zoezi hilo la siku tatu lilianza hapo jumatatu linatarajiwa kukamilika hapo jumatano linatarajiwa kuvifikia vijiji 50 katika wilaya ya ileje linahusu uhakiki wa kundi hilo kwa njia ya kielekroniki (yaani mfumo) likiwa limetanguliwa na mafunzo ya siku mbili kwa wataalam wa halmashauri kutoka akizungumza hapo awali wakati wa kufugua mafunzo mkuu wa wilaya ndugu joseph mkude alisema kuwa uhakiki huo hauna budi kuleta takwimu sahihi zitakazoepusha wanufaika hewa kama ilivyokuwa imetokea pale awali naye mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya ileje ndghaji mnasi alisema kuwa watalaam watakaokwamisha zoezi hawatavumiliwa na hatua za kiutumishi zitachukuliwa dhidi zao kwa siku ya kwanza vijiji vya tarafa ya bulambya ndivyo viliweza kuhakikiwa huku siku ya pili ikihusisha vijiji vingi vya bundali mfuko wa maendeleo ya jamii tasaf unatekeleza mpango kunusuru kaya maskini kwa lengo la kuwezesha kaya maskini kuongeza kipatofursa na uwezo wa kugharimia mahitaji muhimu ukiwa unatekelezwa katika mitaa na vijiji vyote vya tanzania bara na shehia zote za unguja na pemba kwa zanzibar
2020-08-11T06:29:06
http://ilejedc.go.tz/new/zoezi-la-uhakikina-uhuishaji-taarifa-za-wanakaya-ileje-waendelea
thousands rally for islamic jihad | jamiiforums | the home of great thinkers thousands rally for islamic jihad discussion in 'international forum' started by maxshimba nov 3 2009 article's topics islamic jihad gaza strip palestinians hamas tens of thousands of islamic jihad loyalists held a rally in gaza on friday to commemorate the group's slain founder holding plastic models of rockets and wearing masks and mock suicide bomber's vests the members chanted death to israel and muhammad's army will be back to wipe off the hebrew state an islamic jihad leader nafez azzam called on the crowd friday to reject negotiations with israel and support violent resistance the group was founded in 1979 by fathi shikaki as an offshoot of the egyptian muslim brotherhood shikaki was gunned down in malta in october 1995 by a man on a motorcycle in an attack widely attributed to israel islamic jihad a terrorist organization smaller than hamas has carried out dozens of suicide bombings and other attacks against israeli civilians fight fight with israel is the only solution for palestinestalks will never give their own righthuwezi kuongea na mjinga kwa miaka 50 huku anaenedelea kuikalia kwa mabovu ardhi yako halalinafikri it is high time palestines kushika bunduki na kuanza kupigana wote fight fight with israel is the only solution for palestinestalks will never give their own righthuwezi kuongea na mjinga kwa miaka 50 huku anaenedelea kuikalia kwa mabovu ardhi yako halalinafikri it is high time palestines kushika bunduki na kuanza kupigana woteclick to expand hapa mjinga ni nani aliyekaliwa au kalia kwa hiyo miaka 50 hapa mjinga ni nani aliyekaliwa au kalia kwa hiyo miaka 50click to expand unajisifia kuwa muuaji na mnyang'anyi wa mali za watuna kuua watoto na raia wasio na hatiaunajisifia hilo na unaiita akilikweli kuwa programmed ni mbaya sana endelea kukaririshiwa lol mjinga ni yule aliye kaliwa kama zuzu kwa miaka 50 mjinga ni yule aliye kaliwa kama zuzu kwa miaka 50click to expand kipofu anamuonyesha njia kipofu mwenzake kazi kwelikwelilol kipofu anamuonyesha njia kipofu mwenzake kazi kwelikwelilolclick to expand hivi wewe kwani ni hamasi mbona kila jambo la waarabu linakuumiza kichwa hivi wewe kwani ni hamasi mbona kila jambo la waarabu linakuumiza kichwaclick to expand nikuulize hivi wewe lord resistance army (lra) mbona huchoki kusifia wauaji na wanyang'anyi wishful thinking tumaini angekua mjinga asingeweza kukalia ardhi yake kwa miaka 50 they are just taking what is rightful theirs i do not know why people can not learn from history if these guys had ordinary brains they would have realized they can not win this issue by force they should sign peace treaty with israel and leave peaceful just like their neighbors egyptians and jordanians but as long as they have decided bury their heads and brains in the desert sand let them try angekua mjinga asingeweza kukalia ardhi yake kwa miaka 50 they are just taking what is rightful theirs i do not know why people can not learn from history if these guys had ordinary brains they would have realized they can not win this issue by force they should sign peace treaty with israel and leave peaceful just like their neighbors egyptians and jordanians but as long as they have decided bury their heads and brains in the desert sand let them tryclick to expand nakuombea maisha marefuisrael a nation created in 1948 by force and killings of innocent people (indegenous)lol israel wamebakiza few years to surrenderwatakuwa wanapigwa kila konawameshayapata haya madhila mara nyingi sana katika historiana historia itajirudina hii ni kwasababu ya dhambi ya mikono yao (dhuluma haijawahi kushinda haki) itakuwa ajabu kweli kweli kutokea nayo ni muhalilets wait and see
2017-01-22T02:22:02
https://www.jamiiforums.com/threads/thousands-rally-for-islamic-jihad.42764/
september 3 2019 | gazeti la jamhuri jamhuri september 3 2019 cwt inavyopigwa20190903t083206+0000 gazeti letu maji yanazidi kuchemka ndani ya chama cha walimu tanzania (cwt) huku mkataba wa kinyonyaji wa mshauri wa mradi wa ujenzi na madeni kwenye mfuko wa jamii wa pspf yakiwa ni miongoni mwa mambo yanayoendelea kwenye chama hicho jamhuri limebaini cwt jamhuri september 3 2019 tumeuza kila tulichonacho hatuwezi kutoka muhimbili20190903t083032+0000 nyundo ya wiki mkazi wa wilaya ya songea vijijini mkoani ruvuma sijawa jafar mwenye umri wa miaka 35 ameiomba serikali na wadau mbalimbali kujitokeza kumsaidia kulipia gharama za matibabu ya mumewe katika hospitali ya taifa ya muhimbili zinazofikia sh milioni baada ya serikali yazinduka matrekta mabovu jamhuri september 3 2019 serikali yazinduka matrekta mabovu20190903t082907+0000 habari za kitaifa na deodatus balile baada ya gazeti la jamhuri kuchapisha habari za ubovu wa matrekta ya ursus yanayouzwa kwa wakulima nchini kutoka poland bunge limeibana serikali ambayo nayo imezinduka na kuchukua hatua jamhuri linathibitisha kampuni ya ursus s a iliingia mkataba trafiki dar wanatosha jamhuri september 3 2019 trafiki dar wanatosha20190903t082641+0000 habari za kitaifa wakati inspekta jenerali wa polisi (igp) simon sirro akifikiri kuongeza idadi ya askari wa usalama barabarani mamlaka ndani ya kanda maalumu ya dar es salaam inao askari hao wa kutosha akizungumza na gazeti la jamhuri mrakibu msaidizi wa polisi (asp) trawu wafukuzana dar jamhuri september 3 2019 trawu wafukuzana dar20190903t082615+0000 habari za kitaifa wanachama wa matawi matano wa chama cha wafanyakazi wa reli tanzania (trawu) wamekutana jijini dar es salaam na kuunga mkono uamuzi wa kamati maalumu ya dharura wa kuwasimamisha kazi viongozi wa kitaifa wa chama hicho hatua hii imetokana na mgogoro
2020-01-29T15:25:01
http://www.jamhurimedia.co.tz/2019/09/03/