text
stringlengths 43
182k
| timestamp
timestamp[s] | url
stringlengths 16
3.37k
|
---|---|---|
breaking news naibu waziri tamisemi anusurika kifo ajalini | emmanuel shilatu breaking news blog
home » unlabelled » breaking news naibu waziri tamisemi anusurika kifo ajalini
breaking news naibu waziri tamisemi anusurika kifo ajalini
*naibu waziri wa tamisemi suleiman jafo amepata ajali eneo la katela kata ya kiwira wilaya ya rungwe mbeya*
ajali hiyo imehusisha gari dogo aina ta corola iliyokuwa ikotokea mbeya kwenda rungwe na naibu waziri jafo alikuwa akitokea tukuyu kikazi
katibu tawala mkoa wa mbeya mariam mtunguja amesema katika gari waziri walikuwa watatu waziri jafo mwenyewe katibu wake na dereva na wote walitoka salama katila ajali hiyo
alisema baada ya kupata ajali hiyo walipelekwa hospitali ya mkoa wa mbeya ambapo walifanya uchunguzi kama wameumia kwa ndan au laa lakin bahat nzuri daktari aliyewafanyia uchunguz alisema hakuumia popote ni wazima
alisema baada ya hapo waziri na watu waliendelea na safari yao kuelekea mjini dodoma kwa ajili ya kuwahi vikao vya bunge
*picha na mbeya yetu*
paul mitanda
biashara kampuni ya aggrey & clifford yang'ara kimataifa
john focus na bi bernadetha munishi wameremetaaa
vurugu cuf zawaibua wabunge ukawa | 2017-04-24T09:14:09 | http://ndgshilatu.blogspot.com/2016/09/breaking-news-naibu-waziri-tamisemi.html |
ujumbe wa kiongozi muadhamu kwa mahujaji 1433 hijria
jumamosi 27 oktoba 2012 0510
hamdu zote ni za allah mola mlezi wa viumbe pia na rehema za allah na salamu zake zimfikie mtume mtukufu mwaminifu na aali zake watoharifu wateule na masahaba wake wema
msimu wa hija uliojaa rehema na baraka umewadia na kwa mara nyingine na watu waliofanikiwa kwenda katika miadi hii iliyojaa nuru wamo katika kumiminiwa baraka za mwenyezi mungu hapa ninatoa mwito kwenu nyote mahujaji kutumia fursa ya kuwepo mahala hapa na kuwemo katika wakati huu kujiimarisha kimaanawi na kimaada hapa waislamu wanaume kwa wanawake wanaitikia labeka mlingano wa mola wao mkubwa wa kujipamba kwa sifa na matendo mema kwa nyoyo na midomo yao hapa watu wote wanapata fursa ya kufanya mazoezi ya kudumisha udugu mshikamano na kujiepusha na maasi hii ni kambi ya malezi na mafunzo ni maonyesho ya umoja adhama na jinsi umma wa uislamu ulivyokusanya pamoja sura za watu tofauti ni kambi ya kupambana na shetani na mataghuti hapa mwenyezi mungu mwingi wa hekima na muweza amepafanya kuwa ni mahala ambapo waumini waweze kuona manufaa yao ndani yake tutakapofungua macho yetu ya busara na ibra basi ahadi ya mbinguni itaweza kuenea katika maisha yetu yote ya kila mmoja wetu na ya jamii nzima sifa za kipekee za amali za hija ni kule kuchanganya kwake dunia na akhera na kuchanganya kwake masuala ya watu binafsi na ya kijamii al kaaba isiyo na doa na iliyotukuka kutufu miili na nyoyo za watu katika mhimili mmoja madhubuti na wa milele amali ya sai (baina ya safa na marwa) na kufanya jitihada za mfululizo na za mpangilio mmoja kutoka nukta ya kuanzia hadi nukta ya kuishia kugura mahujaji wote kuelekea kwenye nyuga za ufufuo za arafa na mash'ar na shauku na uhudhurishaji wa moyo katika mash'ar na maqam hayo adhimu huleta unyofu na hali mpya mapambano ya pamoja ya watu wote ya kukabiliana na vielelezo vya shetani na hatimaye kwa pamoja na kutoka kila mahala na kila rangi na kila namna wote wanashiriki kwa pamoja katika amali hizo tukufu zilizojaa neema na utukufu na zilizojaa maana na ishara za uongofu sifa za kipekee za faradhi hii zimejaa maana na madhumuni
ni amali kama hii ndiyo ambayo inauunganisha moyo na kumkumbuka mwenyezi mungu na kuujaza nuru na kuunawirisha upweke wa moyo wa mwanadamu kwa imani na taqwa na wakati huo huo kumvua mwanadamu kutokana na mzingiro wa ubinafsi na kumsahilishia mambo katika jamii iliyopambika kwa sura za kila namna ya umma wa kiislamu na kumvisha nguo ya kujiepusha na madhambi ambayo huilinda roho yake kutokana na mashambulizi yaliyojaa sumu ya mashambulizi na vile vile humuongezea nguvu na moyo wa kupambana na mashetani na mataghuti ni mahala hapo ndipo ambapo hujaji anapoweza kuonana na waislamu wenzake wengi wanaunda umma mkubwa wa kiislamu na kuona kwa karibu nguvu na uwezo wa umma huo na hivyo kupata matumaini kuhusu mustakbali mwema na vile vile kupata hisia za wajibu wa kutoa mchango wake wa kuimarisha umma huo na pia kama atapata taufiki na msaada wa mwenyezi mungu aweze kutoa bay'a na kutangaza utiifu wake kwa mtume (muhammad) mtukufu wa daraja na kufunga mithaki na ahadi imara kwa uislamu azizi na kutia nia ya kweli ya kuijenga kiimani nafsi yake kuleta marekebisho katika umma na kutia nguvu neno la uislamu
mambo yote haya mawili yaani kuijenga nafsi na kuujenga umma (wa kiislamu) ni faradhi zisizoishiwa na wakati na wala zisizofungwa njia za kuweza kufanikisha faradhi hizo mbili si nzito kwa watu wenye mazingatio na wanaoangalia mambo kwa kina katika utekelezaji wa majukumu ya kidini na kutumia vizuri akili tabasuri na wenye mtazamo wa mbali
kujenga nafsi huanzia kwenye kupambana na hisia za kishetani na kufanya juhudi za kujiepusha na madhambi na kujenga umma huingia sura kwa kumjua adui na njama zake kufanya jitihada za kupelekea mashambulizi hadaa na uadui wa maadui usiwe na athari zozote na hadi kufikia kwenye kuziunganisha nyoyo na mikono pamoja na lugha za matabaka yote ya waislamu na mataifa yote ya kiislamu
katika wakati huu tulio nao hivi sasa moja ya masuala muhimu zaidi ya umma wa kiislamu ambalo lina mfungamano (wa moja kwa moja) na mustakbali wa umma wa kiislamu ni matukio ya mapinduzi katika nchi za kaskazini mwa afrika na katika eneo la mashariki ya kati ambayo hadi sasa yameshapelekea kuanguka tawala kadhaa fasidi na vibaraka wa marekani na waitifaki za uzayuni na kuzitikisa tawala nyingine kama hizo kama waislamu watapoteza fursa hii adhimu na iwapo watashindwa kutumia fursa hii katika kuujenga vizuri na kuleta marekebisho kwenye umma wa kiislamu basi watakuwa wamepata hasara kubwa hivi sasa mabeberu wavamizi na waingiliaji wa masuala ya ndani ya mataifa mengine wanafanya juhudi zao zote kujaribu kupotosha harakati hizo adhimu za kiislamu
katika harakati hizo kubwa waislamu wake kwa waume wamesimama kupambana na ukandamizaji wa watawala (wao madhalimu) na kupambana na udhibiti wa marekani ambao umepelekea kudhalilishwa na kudunishwa mataifa ya waislamu na kusababisha kushuhudiwa ushirikiano baina ya tawala za nchi hizo na utawala mtenda jinai wa kizayuni waislamu wamegundua kuwa kitu kinachoweza kuwaokoa katika mapambano haya ya kufa na kupona ni uislamu mafundisho ya dini hiyo tukufu na nara na kaulimbiu zake zenye uwokovu na hilo wamelitangaza wazi wazi ajenda yao kuu wameifanya kuwa ni kulitetea taifa madhulumu la palestina na kupambana na utawala ghasibu (wa kizayuni) wamenyoosha mkono wa urafiki kwa mataifa yote ya waislamu na wanataka kuona umma wa kiislamu unashikamana na kuwa kitu kimoja
hii ndiyo misingi mikuu ya harakati za wananchi kwenye nchi ambazo katika kipindi cha miaka miwili iliyopita wananchi wake wamenyanyua bendera ya uhuru na mabadiliko na kujitokeza kwa viwiliwili na roho zao kwenye medani za mapinduzi na ni mambo kama haya ndiyo yanayoweza kuwa misingi mikuu ya kuleta marekebisho katika umma mkubwa wa kiislamu kusimama imara na kushikamana vilivyo na misingi mikuu ni sharti la lazima la kuweza kupata ushindi wa mwisho wa harakati za wananchi kwenye nchi hizo
lengo la adui ni kutaka kuhakikisha anateteresha misingi hii mikuu mikono fasidi ya marekani na nato na uzayuni inatumia baadhi ya mighafala na mitazamo finyu kujaribu kupotosha wimbi la harakati ya vijana waislamu na wanatumia jina la uislamu kuwagombanisha waislamu na wanaiita jihadi ya kupambana na ukoloni na uzayuni kuwa ni ugaidi usio na macho katika ulimwengu wa kiislamu ili waislamu wauane wao kwa wao na hivyo maadui hao wa uislamu waweze kuokoka na uislamu na wanajihadi wake watazamwe kwa sura mbaya na chafu
baada ya maadui kukata tamaa kwa kuona kuwa hawawezi kuushinda uislamu wala kuzima nara na kaulimbiu zake hivi sasa wameamua kuzusha fitna kati ya makundi tofauti ya waislamu na wanafanya njama za kueneza chuki dhidi ya ushia na chuki dhidi ya usuni ili kuzuia kupatikana mshikamano na umoja katika umma wa kiislamu
maadui wanawatumia vibaraka wao katika eneo (la mashariki ya kati) kuzusha mgogoro nchini syria ili kuzishughulisha akili za mataifa ya dunia na kuzifanya zisahau masuala muhimu ya nchi zao na zisahau pia hatari zinazowakabili maadui hao wanajaribu kuwashughulisha (waislamu) na masuala ya umwagaji wa damu ambayo maadui wameyazusha wao wenyewe vita vya ndani nchini syria na kuuliwa vijana wa kiislamu kwa mikono ya waislamu wenzao ni jinai ambazo zilianzishwa na marekani na uzayuni na tawala tiifu kwa maadui ambazo wanazidi kuchochea moto huo nani anaweza kuamini kuwa tawala ambazo zilikuwa waungaji mkono wa madikteta waovu wa misri na tunisia na libya hivi sasa wamekuwa waungaji mkono wa kutaka demokrasia taifa la syria kadhia ya syria ni suala la kulipiza kisasi dhidi ya utawala wa nchi hiyo ambao katika kipindi cha miongo mitatu ulikuwa umesimama peke yake kupambana na wazayuni maghasibu na kuyaunga mkono makundi ya wanamuqawama wa palestina na lebanon
sisi tunaliunga mkono taifa la syria na tunapinga uchochezi na uingiliaji wa aina yoyote ile wa kigeni nchini humo marekebisho ya aina yoyote ile nchini humo inabidi yafanywe na wananchi wenyewe na kwa kutumia njia zinazokubaliwa kikamilifu na wananchi wa taifa hilo hatua ya mabeberu wa kimataifa ambao kwa msaada wa tawala za vibaraka wao katika eneo hili wanatumia kisingizio cha kuenea mgogoro na wakati huo huo kutumia kisingizio cha kuweko mgogoro kuhalalisha kufanya kila aina ya jinai nchini humo ni hatari kubwa ambayo kama tawala za eneo hili hazitajiepusha nayo basi inabidi zisubiri zamu yao ifike ya kukumbwa na hadaa hizo za kibeberu
makaka na madada msimu wa hija ni fursa ya kutaamali na kuyaangalia kwa kina masuala muhimu ya ulimwengu wa kiislamu hatima ya mapinduzi ya eneo hili na juhudi za madola makubwa yaliyojeruhiwa kutokana na mapinduzi (ya wananchi wa eneo hili) za kutaka kuyapotosha mapinduzi hayo ni miongoni mwa masuala hayo (muhimu ya ulimwengu wa kiislamu ambayo inabidi kuyaangalia kwa kina) njama za wasaliti za kutaka kuzusha hitilafu kati ya waislamu na kuleta ugomvi na suutafahumu kati ya nchi ambazo zimeamua kushirikiana na jamhuri ya kiislamu kadhia ya palestina na juhudi za kuifanya itengwe na kuizima jihadi ya wapalestina propaganda za kueneza chuki dhidi ya uislamu zinazofanywa na tawala za magharibi na uungaji mkono wa tawala hizo kwa watu wanaomvunjia heshima mtume muhammad saw kuandaa mazingira ya kuzuka vita vya ndani na kugawanywa vipande vipande baadhi ya nchi za waislamu kuzitisha tawala na wananchi wa nchi za kiislamu zilizofanya mapinduzi kuhusiana na hatari za kupinga siasa za kibeberu za magharibi na kueneza dhana potofu kuwa mustakbali wao unategemea kujisalimisha kwao mbele na madola ya kibeberu na masuala mengine muhimu sana kama hayo ni miongoni mwa kadhia muhimu ambazo inabidi ziangaliwe kwa taamuli na kwa mazingatio makubwa katika fursa inayopatikana kwenye hija na chini ya kivuli ya kupendana na kuwa na fikra moja nyinyi mahujaji
ni jambo lisilo na shaka kwamba uongofu na msaada wa mwenyezi mungu utawaangazia njia za salama na amani waumini wenye kufanya jitihada katika mambo yao والذين جاهدوا فينا لنهدينهم سبلنا na wanaofanya juhudi kwa ajili yetu sisi tutawaongoa kwenye njia zetu (al ankabut 2969)
sayyid ali khamenei
30/mehr/1391 (hijria shamsia) inayosadifiana na tarehe tano dhulhijjah 1433 hijria
'saudia ikabidhi usimamizi wa hija kwa waislamu'
idadi ya mahujaji wa misri waliokufa mina yaongezeka
maafa ya mina na usimamiaji mbaya ya saudia
'iran haitoruhusu kukaguliwa kambi zake za kijeshi'
kiongozi muadhamu iran haitaki polisi ya kihollywood
zaidi katika kategoria hii « idul haji na hija kuu ujumbe wa kiongozi muadhamu kwa mahujaji 1434 + sauti »
alkhamisi 21 septemba 2017 | 2017-09-21T06:55:00 | http://kiswahili.irib.ir/uislamu/hija/item/27365-ujumbe-wa-kiongozi-muadhamu-kwa-mahujaji-1433-hijria |
leadlearnersorg | tigpmasi na biolojia ya chembe hai programu (mcb)
leadlearnersorg™ thanks to all our 1068706 visitors today sunday 15/sep/2019
wanafunzi dunia nzima taiwan masi na biolojia ya chembe hai phd tigp mcb academia sinica machi 2016
kuhusu tigpmasi na biolojia ya chembe hai programu (mcb)
uchaguzi wa mpango kuhitimu ni moja ya maamuzi muhimu wewe kufanya katika maisha yako kisha kwa nini wewe kuchagua masi na kiini biolojia program kwa sababu ni uchaguzi smart
[s] upport kwamba amekizunguka mahitaji yote ya kitaaluma na hai
1 kitivo mkono inajitahidi mshauri wanasayansi vijana na kutoa misingi kazi nguvu
2 kuboresha wafanyakazi kazi ili kuwezesha mwingiliano mwanafunzi na kuwafanya kujisikia nyumbani katika taasisi na katika taipei hatimaye mpango mcb tigp hutoa ushindani msaada wa kifedha ikiwa ni pamoja na ada ya masomo ya chini na upatikanaji wa huduma za afya ikiwa ni pamoja na misaada ya kusaidia wanafunzi utafiti hai na kusafiri mkutano gharama
[m] olecular biolojia mafunzo kuwa ni wa kina na mshikamano
wanafunzi katika tigp mcb mpango kupokea msingi imara katika kila nyanja ya biolojia masi na wanapewa fursa ya kutumia maarifa yao kwa safu mbalimbali ya mashamba utafiti
[a] ccessible kitivo ambao kujitahidi kutoa mafunzo kwa kizazi kijacho cha wanasayansi
iwe katika maabara au darasani tigpmcb mpango huwapa wanafunzi upatikanaji wa maprofesa kitaifa na kimataifa kutambuliwa katika academia sinica na ulinzi wa taifa medical center
[r] esources inrymmer kila kitu kutoka msaada wa kiufundi katika avancerad teknolojia na vifaa kwa msaada na kuandika kisayansi na mawasiliano kuhakikisha kwamba wanafunzi kupata msaada wa kina katika kufikia utafiti wao na malengo ya kitaaluma
[t] aipei inatoa matumizi yote ya kimataifa cosmopolitan mji wakati iliyobaki kupatikana kirafiki na moja ya miji salama zaidi duniani
mafunzo smart zinazotolewa katika mpango mcb ambayo ni kufadhiliwa na taasisi ya masi ya biolojia (imb) academia sinica kwa kushirikiana na taasisi ya sayansi ya maisha (ils) ya taifa ya ulinzi medical center kukusaidia kujenga kazi yako ya kikazi
wanafunzi na asili katika biokemi biolojia biolojia masi genetics anatomy kemia fizikia na mashamba kuhusiana ni kuwakaribisha kwa kuomba
waombaji kufanya ms (au sawa *) waombaji shahada na taiwan ameshika bs shahada kutoka taasisi vibali au ni nani atakuwa kupata shahada ndani ya muhula mmoja unaweza kuomba kwa ajili ya uandikishaji
* international waombaji kufanya bs shahada wanapaswa kuwa na miaka 5 uzoefu wa kufanya kazi
kwa habari zaidi kuhusu molecular na biolojia ya chembe hai programu (mcb) tafadhali tembelea tovuti mcb katika http//wwwimbsinicaedutw/mcb/ | 2019-09-15T13:57:16 | http://leadlearners.org/sw/270 |
naitamani sana on ma wedding tuimbiane celine dioni'm your angel jamiiforums
naitamani sana on ma wedding tuimbiane celine dioni'm your angel
natumaini hii nyimbo nitaiperform live na ma wife(expected) siku ya wedding yetu kwani ni nyimbo ambayo inaweza kuwa ni memorable katika familia yetu na katika maisha yetu najua tukiimba hii nyimbo kuna watu watafurahi mpaka majonzi yatawatoka lakini pia tutakuwa tumeuthibitishia umma kuwa tunapendana zaidi na mungu awe upande wetu
zaidi niwatakie usomaji mwema wa hii nyimbo ila kumbuka hakuna malaika duniani tusameheane na tutakiane kila la heri katika msimu huu wa sikukuu tuombe msamaha kwa wazazi wetu kama tumekoseana nao ili tupate baraka zaidi
i'm your angelceline dion
reactions kaunga and imaney
kila la her frend bt uukalili vizuri
thanks you a lot evelyne salt
thanks suprise i do hope penye nia pana njia
sweet dream my friendkuna wakati unafika unasahau kwamba uliimba i'm your angelunamuona shetani then mnasawazishamnaanza tenalakini ni mambo mazuri
kila la kheri katika kufurahia maisha yakofurahi mapema ili ukifika wakati wa huzuni unalipia furaha yako ilenicenice
mungu ni mwema siku zote ni mwema
natumaini ndoto yako itatimia
bwana harusi utaweza kujichetua mbele ya wakwe na umati wa watu
usimtishe mwenzio bwanavon can i be your angelmwaaahmwaaah
don't sing with your heart fellow women should be this much excited but not men marriage is more than wedding feast
reactions von mo
unafikiri na mwanaume naye anatakiwa awaze ayawazayo mwanamke
ahaa harusi ni ya kwangu bana so usijali time will tell
nafikiri itakuwa ni harusi ya pekee na suprise ya pekee sana tena mnaperform live bila chenga hahahah naomba sana usininyime kadi ya harusi nitachanga nakuhudhuruia kama ni dsm lakini ila uperform live sawa sitanii
maisha ya ndoa yana changamoto nyingi sana kikubwa ni upendouaminifu na uvumilivu na uelewe kuwa hakuna ndoa isiyo na ugomvi hivyo ujifunze kusamehe all the best braza
ipo lini hiyo
nivea
siku zote unatakiwa ubuni vitu vipya mtu wangu
only love can heal every wound | 2019-04-19T14:20:25 | https://www.jamiiforums.com/threads/naitamani-sana-on-ma-wedding-tuimbiane-celine-dion-im-your-angel.364777/ |
makala hamisa mobetto anavyoingiza mamilioni ya fedha kwa mwezi | lilommy
makala hamisa mobetto anavyoingiza mamilioni ya fedha kwa mwezi
0 0 saturday 6 april 2019
mungu akiamua kukupa atakupa tu baada ya kudharauliwa mno mitandaoni hatimaye staa grade one ambaye pia ni mwanamitindo na msanii wa
mungu akiamua kukupa atakupa tu baada ya kudharauliwa mno mitandaoni hatimaye staa grade one ambaye pia ni mwanamitindo na msanii wa bongo fleva hamisa mobeto maisha yameanza kumnyookea gazeti la ijumaa limedokezwa
habari ya uhakika ni kwamba mobeto kwa sasa anapiga zaidi ya shilingi milioni 50 kwa mwezi mobeto kwa muda mrefu amekuwa akibezwa mitandaoni kama ni mtu wa kudanga mobeto amekuwa akionekana anategemea pesa za matunzo ya watoto kutoka kwa wanaume hao ili kutanua mjini
tujiunge na meneja
akizungumza na gazeti la ijumaa meneja wa mobeto maximilian rioba ambaye amekuwa naye kwa muda wa mwezi sasa anasema kuwa kwa sasa msanii huyo amekuwa akilamba madili mengi ndani ya muda mfupi max anasema hadi sasa mobeto ameshalamba madili ya zaidi ya shilingi milioni 50 kwa mwezi mmoja tu
mimi na yeye tuna makubaliano kwamba anataka kuona anakuwa zaidi ndiyo maana mnaona siku za hivi karibuni tumefanya vitu vinayoonekana kuna matokeo mazuri hadi sasa ndani ya mwezi tu mobeto ameshafanya madili matatu makubwa yenye makadirio ya zaidi ya shilingi milioni 50 na hiyo ni kwa mwezi tu tangu niwe naye anasema rioba ambaye pia ni mwanamuziki mkali wa rnb bongo
anaingizaje pesa
tumetengeneza usawa wa gharama kutokana na kazi anayotaka mteja unataka akutangazie kwenye mitandao yake ya kijamii awe balozi wako aje kwenye shoo yako kama sehemu ya kuonekana (appearance) au kupafomu hapo tunaangalia gharama tunaingia makubaliano na hii nikwambie kwa uwazi tangu nimekuwa naye hajawahi kupata pesa hizi kwa kipindi kifupi hapo nyuma mobeto sasa ni brand (bidhaa) kubwa mno
madili mengine yaja
meneja maxi anasema kwamba kuna uwezekano mkubwa wa kufanya madili mengi na watu wasione kwamba mobeto atakuwa kwenye muziki tu bali atapata mengi kupitia vitu vyake vingine zaidi ya kumi
hamisa (mobeto) anaweza kufanya vitu vingi vikubwa si muziki tu sawa muziki anapenda tu lakini madili yake yapo kwenye vitu zaidi ya kumi kama vile filamu mitindo na shoo za tv kwa hiyo mimi kazi yangu ni kuangalia jinsi ya kumtengeneza zaidi na kuingiza kipato huwezi kuamini lakini silali nafikiria kumtengeneza hamisa (mobeto) ili siku akifikia malengo kila mmoja ashangae
kutikisa afrika
mbali na kupata madili hayo mobeto amepata dili la kufanya muziki na staa mkubwa kutoka afrika (jina linahifadhiwa) na kinachosubiriwa ni kutikisa nchi mobeto ndiye aliyeanza kuwasiliana na staa huyo namba moja kwa afrika ambaye alishangaa kumsikia kwa kuwa anaona kazi zake anazozifanya hivyo akaniunganisha naye nikafanya mawasiliano tumefikia vizuri na muda wowote tunatikisa nchi anasema maxi ambaye pia ni prodyuza mkali
amsifia mobeto
maxi anasema kuwa kabla hajakutana na mobeto kuna mtu alimwambia akiweza kufanya kazi naye atafika mbali sana akamfuata na kumwambia afanye naye biashara kama anaweza mobeto hachelewi kwenye makubaliano hata siku moja hawezi kuacha kupokea simu yako na hata nikimwambia tunaenda kwenye madili yeye atakuwa wa kwanza kufika hamisa (mobeto) havuti sigara wala hanywi pombe tofauti na mastaa wengine ambao lazima utasumbuana nao kuanzia kwenye ulevi hadi kwenda kwenye madili
nimekaa naye kwa mwezi tu nimemuona ni wa tofauti na mastaa wengi hata pale tunapokubaliana dili na kampuni yupo tayari kuridhika na kusema tuchukue tu kifupi tunavyofanya kazi ni tofauti inafikia wakati wa kuchukua pesa anakwambia chukua zaidi huyo ndiye hamisa (mobeto
kuhusu kuchangishiwa pesa
meneja huyo alisema kwa sasa hamuoni mobeto akienda tena kuomba pesa japokuwa suala lake na wazazi wenzake hayo ni mambo yao binafsi kutokana na walivyokubaliana naangalia maisha ya kumtengeneza hamisa (mobeto) simuoni kabisa akiishiwa kutokana na madili anayoendelea kuyapata
kinachowaangusha mastaa wengine
maxi aliiambia gazeti la ijumaa kuwa tangu ametangaza kuwa meneja wa mobeto simu zimekuwa nyingi kutoka kwa mastaa wakubwa japokuwa ni ngumu kufanya kazi nao kuna mastaa wana mashabiki zaidi ya milioni tatu mitandaoni lakini nidhamu hawana siwezi kuwa nao kwa sababu ninachofanya ni muongozo tu tabia ni yako ni wachache sana nchini wenye hicho kitu na ndiyo kinachowafelisha mastaa wengi bongo
madili ya mobeto
mobeto hadi sasa ameshalamba madili mengi yakiwemo ya nywele (prima) kampuni ya vifaa vya jikoni na bafuni ya dar ceramica kampuni ya gsm inayodili na kuuza nguo multichoice tanzania na nyinginezo ikiwemo kampuni moja ya wachina
chanzo gazeti la ijumaa
burudani hamisa mobetto makala
2 chainz362 pac120171221 savage2024hrs112chainz122pac19444 show154hunnid750 cent3550cent17a boogie15a boogie wit da hoodie1a boy fromtandale59a good night in the43a good night in the ghetto58abbah1abby dad40abdukiba50aboy fromtandale31abukiba50abydad1ac milan26adam mchomvu1adele9adidas1ae13afande sele73africa16aika6aika nahreal69ajali13aka8akon5albam65album42albums47ali kiba17alikiba92allow26allykiba28ama5amber lulu79amber rose3amine19amnie6andrea pirlo38angelina jolie1annabelle1anold parmer20apple7apple music4aretha franklin2ariana grande31arsenal13asahd khalid3asap ferg7asapy rocky6aslay14audio36august alsina3award7awardburudani14awards19awge4awilo longomba1ay7babu seya3babu tale3babutale1bad boy2bado kidogo3baggio4bahati1bahato3ballack4balotel3banky w7baraka da prince8barakah the prince9barbara palvin tyga6barcelona fc3barnaba8bartier cardi4basata2basketball4batman7bbc1xtra2beach house7beauty2beef4before i wake up3beka flaour2beka flavour5belaire2bella1belle 93belle91ben pol14ben poul1bet1bet hip hop award2bet soul train2beyonce15bi kidude1bia1big jahman3big sean5big shaq1biggie1bill nass16billboard7billnass1birdman3birthday2blac chyna4black bo2black panther2blaq smith2bob junior3bob marley1bobby shmurda1bobi wine1bodack yellow1bollywood1bombardier2bongo flava14bongo flava top 101bongo flavour91bongo fleva98bongo movie20bongo music25bongofleva31bongomovie4bongomusic16bongomuvie6book1boomplay1bow wow1boy1brad pitt1break the internet3breakfast club1breaking3breaking news9brian simba2bright2brooklyn1bruno mars6bss3buggat raww2buku kuwa mia3bum bum tam tam remix3burna boy3burnaboy1burudani1825burudani dayna nyange1buruidani19burundani1bushoke1calisah2calvin harris1cambiasso6cameroon1camila cabello8camon x3camon x pro1campell4card b3cardi b29carnage4cars1case3casey veggies2cassper nyovest9casto dickson2ccm2celebrity2celine dion1celtic1chameleone1chance the rapper3charles schulz1chart17charts10chege5chelsea fc5chemical4childlish gambino2chin bees3chris brown24christian bella5christian ronaldo1christiano ronaldo1christina aguirela2christmas1ciara5cjamoker2coachella1coca cola2coconut1coke2coke studio africa15combs2comfidence2common1congo1cosmetics1country2country boy11cover2coyo2cristiano ronaldo2croatia1custody1cv1cyborg3daddy yankee2dalila1damian soul2damn1dance1darassa8dating2davido17dawasco1dayna nyange6dead2death4december 151dedication 62def jam1deluxe edition2demi lovato1despacito3diamond22diamond platinumz84diamond platnumz110diamondplatnumz11diddy5dimond platnumz1disstrack1diva the bawse2dj2dj bucks2dj d ommy2dj khaled2dj khaleed5dj khalid2dj maphorisa2dj smallz1dmx1dogo jana3dogo janja18dogojanja2dollar2donald trump4double or nothing4dow1dr dre2dr shika2drake28dream1dremo1dstv2dudu baya2dully sykes14earning3ebitoke5ect2ed sheeran6el gato the human glacier4ella mai1elvis presley2emily isabella north2eminem9emtee1energy1engagement1enky7enocbella2entertainment72eric omondi3esma plantnumz3esther1ezzy skillz1fabolous1facebook1faiza ally3fall thru1fally ipupa1fashion15fat joe2faymah1ferooz1feza kessy1fia1fid q7fidq1fifa2fifth harmony1filamu1fly later1fnb1foby1football2forbes6france1french montana5future12g eazy6g nako7goat tape1gabo zigamba1gaddafi1gadgets1game1genece brinkley1gerezani1get out2ghetto1giggy money11gigy money12gnako1godzilla3golden shoes1goodluck gozbert3gosby2gospel1gossip5grammy2gucci mane4habari40halelluyah1hamisa7hamisa mobeto15hamisa mobetto26hanscana1harmonise5harmonize57harmorapa8havanna4hawa1heart break on a full moon6hemed1hemedy phd1heri muziki2hip hop9hollywood1hot 1001huddah4humble1hungary1ibrahmovic3ice boy1ice cube1idris sultan14iggy azalea1ikulu1indonesia1injuries1instagram10interview20intrenational2iphone4iphone x1irene paul1irene uwoya9irenen uwoya12italia1itunes2ivan1ivory coast2izzo b3izzo bizness8j cole2j lo1jcole2ja rule2jackline wolper13jammie foxx2janjaro1january makamba2jason derulo6jay moe1jay z14jb1jcb2jeans1jebby1jeff kwatinetz1jela2jennifer lopez3jeremiah1jimmy kimmel1joh makini10john cena1john legend1jokate20jordan2joslin1joti1jowzey1jpm1jua cali1juicy j1juma nature1jurassic world1justin bieber8justin timberlake2juventus1jux19ko1kababaye1kabaka1kairo forbes1kajala2kala jeremiah1kalapina4kamaiyah1kane1kanye west24kardashians3karol g1karrueche tran1kassim mganga2katty perry3kehlani1kendrick lamar14kenya10kevin carter2khadija kopa1khadija ziota1khalid1khalighraph2khaligraph jones3khaligraphy jones1khloe2khloe kardashian1kiba music1kiba1001kibonde3kifo2kifungo cha maisha2kikwete3kim kardashian12king1king cairo1king combos3king los2kings music1kitabu1kivuruge2kizz daniel1klopp1knee1koffi olomide2koffie olomide1kokoro1kombe la dunia 20182konki1kris jenner1kujifungua1kulture1kumbukumbu1kwesta1kylie jenner7lady jay dee4lady jaydee8laiizer2lamar odom1laugh now1laugh now fly later1lava lava11le bron james2legendary3lemonade1lewandowsk1libya2like dat1lil john1lil kim2lil ommy4lil peep2lil pump3lil uzi vert6lil wayne12lil yatch2liljon1lilommy3lilommy tv4lilommycom125lilommyapp7lilommytv92linah2linnah2live2liverpool1lizer2love1luis fonsi2lulu9lulu diva11lupe fiasco1lupita1lupita nyong'o1luxury1lyric1lyrics video4lyyn1mabeste2mac miller1madam rita1madee7madice1magari1magufuli5mahakama1majani1majid1major lazer3makala3makamua1makonda3makulusa1malaika1maleek berry1mally mally1maluma1mama kanumba1man utd6manchester united1mansuli1manzese music5marekani4mari1marioo3marshmello1masanja1mase1masogange1maua sama16maumivu per day1mawenge1mazishi1mbappe2mbosso17mc pilipili1mcmanaman3mdee music2me eazi1meek mill9meseni selekta2metro boomin3mew music1mfalme1michael jackson7michezo44michezo17migos19miguel2millen magase1mim mars1mimi mars17mipaka2misri1miss tanzania1miss world1mixtape4mixx1mkali wenu1mkasi1mkemia mkuu3mkubwa fela4mkubwa fella3mmg1mo music1model4monalisa3money2money monday2money mondays4money mondys2moni2moni centrozone4morgan heritage3moro town2moses mabhida3motorsport4move to la2movie5movies11mr blue6mr eazi2mr flavour2mr keshoojackline wolper1mr nice1mr p2mr t touch1mr nice1mrisho mpoto3mrkesho1msami1mtoto1mtv vma1mugabe1muna love1muna luve1murda beatz1music98music label2music video40muziki4mwakyembe1mwana1mwana fa8mwanza1mzee majuto6nahrel2naiboi1nandy34napolean1naration1nas2nasty c2navy kenzo10navykenzo1nay wa mitego3nba1nchama the best1ndege1ndoa1nedy music9nedymusic1need for speed1nelly1new audio13new movie2new music132new song5new vide09new video418new york city1new york magazine1newborn2news21ney wa mitego1nfl1nguza viking1niache1nick jonas2nick minaj4nicki minaj8nickiminaj8nigerinigeria music2nigeria8nigeria music2niki wa pili1nikki mbishi5nikki wa pili9nimeshalewa1nini1nisher1niwe dawa1no limit1nuh mziwanda5nyandu tozi2nyashinshki2nyashinski1obrigado1offset19okocha1omarion3omg4ommy dimpoz15ona1online2oprah winfrey1orbit1otile brown2otuck1p diddy5p didy4p funk1p square5p the mc2pnk2pancho latino2paparazi1paper magazine2papi kocha1papii kocha3patoranking5peter okoye1petitman wakuache1pharrell williams2philadelphia1photograph2picha14pirlo1pkp2playboi carti4podcasts1pogba1polisi1pop1post malome2post malone1pregnant1premiere league1pressure1pretty kind1prezzo3prince amigo1prince dullysykes1prince royce1prison1priyanka chopra1professor jay2professorjay1psg2pusha t3q boy3q boy msafi4q chief8q jay1qj1quavo15queen1quickrocka1quickrocker1quincy jones1r j1r kelly2radio1rais1rammy galis1rap2rape1ray c2rayvanny41rc makonda1real madrid4record label1reebok1relationship1remmy ma2reverbnation1revival3ricardo momo1rich mavoko48rick ross11rihanna12robert allen1roberto1rockstar40002rollind papers 22rolling stone magazine1roma12romelu lukaku1rommy jones2romy jons2ronaldo1ronny j1rosa ree14rostam11royalty1ruby8rudeboy1runtown3russia1ryan1s2kizzy10s2kizzy khaligraph jones2saa1safaree1sahar tabar1saida karoli2saidi1salama jabir4sales2sallam4sallam sk2salmini swaggz1salome1sam smith1samir1samuel eto'o1sarah1sarkodie1sauti sol5saved1scorpion3scott disick1scotty disick1sealand1sean paul1selena gomez6sema1shazam1sheila eileen dwight1shetta6shiggy1shiikane1shilole14shot1show2show za wasanii2shulala1sia1siasa1sikomi2single1sir elton john2siri1sister fey1sister p2skales1sky1skysports1skytanzania2smartphone1sniff tv1social media1society1soggy doggy1song2south africa1spice girl1spirit1sports18sportupdate2spotify4spotify music1stamina6starboy2steve nyere4steve nyerere6steven kanumba1stranger things1stream2stripper1sugu1sultanbyforemen1super slimey1surgery2suv1swae lee4sweden1switch music group1sza1ti3taarabu2tafiti1tahiya2taifa1takeoff11tammy1tanga1tanzania5tanzania top 101tanzia1taylor swift4tbt1technology9tecno1tekashi3tekno7tell me what u want1temeke1temperature1tff1the1the beatiful and damned3the chainsmokers1the flash1the game1the industry1the life1the notorious big1the plan1the playlist66the rock1the weekend1theplaylist45theplaylist lilommytv1theweekend5this is america1this is nigeria1thriller1tid2tid mnyama7timbeland1timbulo9times fm1timesfm1tiptop1tiptop connection2tiwa savage4tm881tmz3tommy flavour2toni kroos1top 51toto1tour4travis scott7trend1trending2trey songz1tribute1tuddy thomas1tulia ackson1tunda3tundaman2tupac2tusiwatese1tuzo9twenty percent1twitter1ty dolla $ign1ty dolla sign2tyga14tyrse1ubelgiji1uchebe4udaku73uefa2ufaransa1uganda1umg1unity1universal music group1urussi2usher2vanessa1vanessa mdee52variety2vera sidika7vetolous1vibaya1victor cruz1victoria kimani3video163video queen1video quen1video vixen1viking1vin diesel1vumba1waka1wakali kwanza1wakazi5wake up2wale3walk on water1wanene1warner bross record1warriors1wasafi16watumwa2waziri1wcb49we are theworld2we ball3wema2wema sepetu42wema wesepetu3wemasepetu8wet2weusi10whatsapp2whitney houston5whozu3wildad5will smith1willy paul1without warning6wiz khalifa11wizkid21wizkiddrake6world cup4world cup final highlights1wowowo1wycleaf jean5wyse3x1x ambassador5xxxtectantion7xxxtentacion6yamoto band6yanje1yeah part 22yeezy sounds5yemi alade4yg1young d4young dee6young jeezy7young killer2young killer msodoki4young lunya3young ma5young money1young thug15young thung1youtube15yung l1z anto1zaiid3zari21zari the bosslady44zaytoven2zuzu1
lilommy makala hamisa mobetto anavyoingiza mamilioni ya fedha kwa mwezi
https//4bpblogspotcom/fvloiplrx1a/xkhloybtt3i/aaaaaaaack4/ctav8wb6llyfdkabg8x5oxk1leju6itjaclcbgas/s640/misaz4768x576jpg
https//4bpblogspotcom/fvloiplrx1a/xkhloybtt3i/aaaaaaaack4/ctav8wb6llyfdkabg8x5oxk1leju6itjaclcbgas/s72c/misaz4768x576jpg
http//wwwlilommycom/2019/04/makalahamisamobettoanavyoingizahtml | 2019-04-21T16:34:44 | http://www.lilommy.com/2019/04/makala-hamisa-mobetto-anavyoingiza.html |
tadb yangarisha kongamano la biashara na uwekezaji guanzhou china | lemutuz
home news tadb yangarisha kongamano la biashara na uwekezaji guanzhou china
tadb yangarisha kongamano la biashara na uwekezaji guanzhou china
pichani ni kaimu mkurugenzi mtendaji wa tadb bwana francis assenga akiwa kwenye kongamano la biashara viwanda na uwekezaji kati ya tanzania na china lililofanyika katoka hoteli ya shangrila jijini guanzhou china mwishoni mwa wiki ambapo pamoja na mambo mengine tadb iliweza kutangaza huduma zake na jinsi fursa mbali mbali za kuvutia wawekezaji toka china na ubia kwenye miradi mbali mbali ya kilimo nchini tanzania ikiwemo miundo mbinu ya umwagiliaji maghala ya kisasa na masoko
ujumbe wa tanzania wakiwa kwenye picha ya pamoja na makamu rais wa mfuko wa maendeleo ya africa wa china cadfund kutoka kushoto ni kaimu mkurugenzi wa benki ya maendeleo ya kilimo tanzania (tadb) bw francis assenga katibu mkuu wa viwanda biashara na uwekezaji bw adolf nkenda makamu rais na naibu mtendaji mkuu wa cadfund bw wang yong na balozi wa tanzania nchini china mhe mbelwa kairuki mara baada ya kumalizika kwa kikao cha pamoja
kaimu mkurugenzi mtendaji wa tadb bw francis assenga kushoto akimkabidhi zawadi ya benki mkurugenzi mkuu wa mfuko wa maendeleo ua afrika wa china (cadfund) anayeshughulikia viwanda kilimo afya na uwekezaji bwana lei ma katikati ni katibu mkuu wa viwanda biashara na uwekezaji prof adolf mkenda na kulia ni makamu rais na naibu mtendaji mkuu wa cadfund bwana wang yong mara baada ya kumalizika kwa kikao baina yao mjini guangzhou juzi
benki ya maendeleo ya kilimo tanzania (tadb) imengarisha kongamano la biashara viwanda na uwekezaji lililofanyika jijini guangzhou nchini china mwishoni mwa wiki ambapo viongozi wa serikali sekta binafsi na wafanyabiashara zaidi ya 80 toka tanzania walihudhuria na kupata fursa ya kukutana na kufanya mazungumzo ya uwekezaji na biashara na wenzao wa china
aidha benki ya kilimo tanzania iliweza kujadiliana na wadau mbali mbali wa kilimo kwenye mnyororo mzima wa thamani wa mazao ya kilimo ambapo wengi walionesha nia ya kuja kuwekeza tanzania
katika kongamano hilo kaimu mkurugenzi mtendaji wa benki ya maendeleo ya killimo tanzania bw francis assenga aliweza kuwa na mazungumzo ya kina na mkurugenzi wa shirika la serikali ya china la sinolight holdings corporation linalojishughulisha na uagizaji wa mihogo toka nchi mbali mbali duniani bwana du chuan ambako pamoja na masuala ya uwekezaji kwenye zao la mihogo nchini walijadiliana pia fursa zilizopo china kwa watanzania kwenye kilimo cha mihogo hususan kwenye kuongeza thamani ya zao hilo
previous articlewatakaotoa ama kupatiwa stika za magari kimagumashi kukiona rpc shanna
next articlewanakilosa waonywa kwa shughuli za kibinadamu zinazobomoa tuta la mto mkondoa lilojengwa kuzuia maafa ya mafuriko
serikali yakanusha tuhuma za ubaguzi mikopo vyuoni
chuo cha usimamizi wa wanyamaporimweka kuanza kutoa mafunzo maalum kwa watoa
sportpesa wamkabidhi bajaji yake magita mbwega wa kahama shinyanga | 2019-02-22T01:12:12 | https://lemutuz.com/2017/10/23/tadb-yangarisha-kongamano-la-biashara-na-uwekezaji-guanzhou-china/ |
kotazakupangisha nyumba za ghorofani za kupanga dar es salaam | zoomtanzania
kotazakupangisha nyumba za ghorofani za kupanga dar es salaam
matokeo 642 yamepatikana
2 3 and 4 bedrooms modern and luxury furnished apartments in oysterbay
vyumba 3 mabafu 4 kinondoni oysterbay dar es salaam
2 3 & 4 bedrooms full furnished apartments for rent in masaki peninsular dar es salaam tanzania apartments are nice luxury and in a good condition the building is located in a prime area masaki near beach restaurants shopping malls schools and more they have two three and four bedrooms full furnished with modern and nice furniture the living room is spacious with sitting dinning and kitchen areas the compound is well secured enough parking spaces are available elevator swimm
4 bedrooms ocean front villa house in masaki peninsular
luxury new and modern beach font villa house for rent in masaki peninsular dar es salaam tanzania the houses are executive luxury and modern with a clear and great ocean view they have four en suite standard bedrooms full equipped with modern and latest furniture the living room is spacious with a big kitchen the villas has garden swimming pool gym the compound is fenced and security is 24/7 the villa houses are located in a serene area near restaurants hotels schools shopping
2 & 3 bedrooms beach front apartments in masaki peninsula
vyumba 3 mabafu 4 kinondoni masaki dar es salaam
jana 2229
2 & 3 bedrooms full furnished luxury beach front apartments for rent in masaki dar es salaam tanzania the apartments are new luxury modern located next to the ocean the rooms are spacious and nice with sitting area open kitchen and dining space the furniture type are nice new and luxury the apartments have washing area elevator top swimming pool gym game room and bbq rent is affordable and negotiable payment is from six months in advance agent fee and service charge apply
2 bdrm apartment at sea view masaki
leo 0028
comes unfurnished @ 1000800$ depends on payment terms 2bedroom with pool gym ocean view
tsh 2088000
2 & 4 bedrooms luxury full furnished apartments at masaki
2 & 4 bedrooms luxury and modern full furnished apartments for rent in masaki dar es salaam tanzania new modern luxury apartments have four bedrooms fully furnished with modern and classic furniture are available for rent they have spacious living room open kitchen dining and balcony the master bedroom is spacious and modern the compound is full fenced with good security parking space swimming pool and gym are available the apartments are located near hotels beaches nightspot
tsh 6840000
newly 2/3bdrms apartments city central town
jumanne 2006
stand alone three bedrooms house for rent at mbezi kimara dsm
vyumba 3 mabafu 2 kinondoni kimara dar es salaam
jumatatu 1646
three bedrooms house sitting room kitchen fenced new house
jumatatu 0854
from one mil tsh or 700000 to 500000tsh per month depending on location likes closed to american embassy behind bestbite makumbusho vicoria kinondoni masasni mikocheni and regent closed to shopper plazzer
19 ilala gerezani
39 ilala kariakoo
10 ilala kisutu
41 ilala upanga magharibi
40 ilala upanga mashariki
7 kinondoni goba
17 kinondoni kimara
37 kinondoni kinondoni
9 kinondoni kunduchi
3 kinondoni makumbusho
126 kinondoni masaki
71 kinondoni mbezi
10 kinondoni mbezi juu
46 kinondoni msasani
52 kinondoni oysterbay
9 kinondoni sinza
12 kinondoni ubungo
128 bwawa la kuogelea
189 huduma nyingine
251 ina samani zote
58 ina chumba cha kuhifadhia chakula cha baridi
30 ina nyumba ndogo pembeni
75 ina parking yenye kivuli
235 ina walinzi
231 kuna jenereta
307 kuna kiyoyozi
89 kuna huduma ya vifaa vya kufua nguo
138 kuna sehemu ya kufanya mazoezi (gym)
142 kwenye lami
166 maji yanalipiwa kwenye kodi
119 samani za jikoni zipo
23 umeme unalipiwa kwenye kodi | 2019-10-23T21:48:25 | https://www.zoomtanzania.com/sw/apartments-zinazopangishwa/kota-za-kupangisha/dar-es-salaam |
marsh archives tanzania sports
24th january 2019 last update at 812 am
marsh kuagwa leo muhimbili 27 waitwa stars kuwavaa malawi shirikisho la mpira wa miguu nchini (tff) jana limefanya mkutano mkuu wa mwaka katika ukumbi wa morogoro hoteli ya mjini morogoro ambapo mgeni r | 2019-01-24T00:29:19 | https://www.tanzaniasports.com/tag/marsh/ |
ewura imeridhia ombi la tanesco la kupandishwa kwa bei ya umeme | mutalemwa blog
home » habari kitaifa » ewura imeridhia ombi la tanesco la kupandishwa kwa bei ya umeme
ewura imeridhia ombi la tanesco la kupandishwa kwa bei ya umeme
mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji ewura imeridhia maombi ya shirika la umeme nchini tanesco la kupandishwa kwa bei ya umeme ambapo bei hiyo imeongezeka kwa wastani wa asilimia 85 tofauti na pendekezo la mwanzo la 1819 huku watumiaji wa nishati hiyo ambao hawatumii zaidi ya unit 75 kwa mwezi wakiwa hawaguswi na ongezeko hilo
kwaiyo basi watumiaji wa umeme wa kawaida manyumbani watalazimika kununua unit moja kwa tsh 312 wakati kabla ya ongezeko ili unit moja ilikuwa ikinunuliwa kwa tsh 292 bei izi zitaanza kutumika rasmi tarehe 01/01/2017 ikiwa ni ongezeko la tsh 20 kwa kila unit moja
filed under habari kitaifa on saturday december 31 2016 | 2018-07-23T07:47:27 | http://mutalemwa-masgider.blogspot.com/2016/12/ewura-imeridhia-ombi-la-tanesco-la.html |
mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda atinga rasmi ofisini azungumza na wakuu wa idara na vitengo na kutoa maagizo mazito ~ ccm blog thumbnails===nvarscontrolnav&&0===nvarsthumbcaptions){var c=sattr(datathumbcaption)==c&&void 0==c&&(a+=''+c+)}ncontrolnavscaffoldappend(
home » » mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda atinga rasmi ofisini azungumza na wakuu wa idara na vitengo na kutoa maagizo mazito
mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda atinga rasmi ofisini azungumza na wakuu wa idara na vitengo na kutoa maagizo mazito
bashir nkoromomarch 16 2016
mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda akiwasili kwa mara ya kwanza ofisini kwake dar es salaam leo mchana
mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda ameanza kazi rasmi leo kwa kuzungumza na wakuu wa idara na vitengo na kutoa maagizo mazito kwa kuwapa viongozi hao saa 24 wawe wamempa taarifa zilizopo katika maeneo yao husika zenye kuelezea changamoto ili zipatiwe ufumbuzi
mbali na wakuu hao wa idara na vitengo mazungumzo hayo yaliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa dar es salaam pia walihudhuria wakuu wa wilaya za mkoa huo wakurugenzi na makatibu tawala wa wilaya zote za mkoa wa dar es salaam | 2018-03-17T22:21:07 | http://ccmchama.blogspot.com/2016/03/mkuu-wa-mkoa-wa-dar-es-salaam-paul.html |
2019 #nabshow bidhaa ya spotlight hyperdeck extreme extreme 8k hdr na blackmagic design nab kuonyesha habari na broadcast beat broadcaster rasmi ya nab show nab onyesha live
nyumbani » matukio ya » 2019 #nabshow bidhaa ya spotlight hyperdeck extreme extreme 8k hdr na blackmagic design
2019 #nabshow bidhaa ya spotlight hyperdeck extreme extreme 8k hdr na blackmagic design
hyperdeck mpya ya 8k hdr iliyopatikana kutoka design blackmagic imewekwa kuwa suluhisho kamili kamili kwa ajili ya matangazo ya kizazi kijacho uzalishaji wa moja kwa moja na programu za kuashiria za digital iliyoundwa kwa ajili ya mchanganyiko hyperdeck extreme 8k hdr inaweza kutumika kama mchezaji wa video rekodi ya iso cam na / au rekodi kuu pia pembejeo za analog zitaruhusu kanda za video za zamani zitaingizwa kwa matumizi katika uhariri au huduma ya kusambaza iliyoundwa na 10g ethernet hyperdeck uliokithiri 8k hdr huongeza kasi ya kupakia vyombo vya habari haraka ikiwa hutumika kama rekodi ya shamba kitengo kinajumuisha hdmi sdi na pembejeo za analog na vipengee vya kujengwa na xutuma za 3d
kudhibiti uliokithiri wa hyperdeck huleta watumiaji wa jadi udhibiti wa upepo na kofia kubwa ya kuhamisha ikiwa ikihusisha vyombo vya habari mbili quad 12gsdi ya 8k uhusiano wa analog kwa kuhifadhi kurekodi nje ya disk usbc msemaji wa mbele ya jopo na uingizaji wa kipaza sauti hutoa watumiaji na udhibiti zaidi wa jadi pia iliyoundwa kwa ajili ya studio au mahali kitengo kina uhusiano wa ac na dc kipengele cha kudhibiti rs422 unaweza kudhibiti aina nyingi za vitalu ikiwa ni pamoja na digital betacam muundo wa x inch c inch na betacam sp ambayo ni kamili kwa ajili ya kuhifadhi kazi na kubadilisha kati ya muundo
kitengo pia kina kadi mbili za msaada wa vyombo vya habari vya cfast kwa ajili ya kurekodi yasiyo ya kuacha faili ya h265 ni ndogo hivyo kurekodi kwa masaa kwenye kadi ya kawaida ya cfast inawezekana sana na h265 unaweza kurekodi dakika ya 498 kwenye 8kp60 kwenye kadi ya tb ya 1 dakika 1059 katika 2160p60 ultra hd na dakika 2354 katika 1080p5994 kwenye kadi ya tb ya 1 hiyo ni zaidi ya saa 8 katika 8k na zaidi ya masaa 39 hd ili kuondoa muafaka imeshuka hyperdeck extreme extreme 8k ina pcie disk flash kutumiwa kama cache rekodi cache itakuwa moja kwa moja kuchukua na kurekodi maudhui yoyote vyombo vya habari hawakuweza kukamata ilijengwa kwenye vipande hata kubadilisha kwenye vipindi vya hdr wakati unafanya kazi katika muundo wa hdr faili ni tagged na habari sahihi hdr basi sdi na hdmi pembejeo pia itatambua viwango vya video vya hdr moja kwa moja metadata za kimara za pq na hlg zinashughulikiwa kulingana na kiwango cha st2084 lcd mkali ina gamut ya rangi pana ili kuweza kushughulikia rec 2020 na rec sehemu za rangi za 709 ilijengwa katika gamati ya hyperdeck extreme 8k hdr lcd rangi inaweza hata kushughulikia 100 ya muundo dcip3
kutembelea design blackmagic katika 2019 #nabshow kibanda #sl216 kwa maandamano na matumizi
nab onyesha uliofanyika mwezi aprili 6th11th 2019 huko las vegas ni ukubwa wa ulimwengu wa vyombo vya habari vya elektroniki vya kuunda viumbe usimamizi na utoaji wa maudhui kwenye majukwaa yote kwa washiriki wa 103000 kutoka nchi za 166 na washauri wa 1700 nab onyesha ni soko la mwisho la vyombo vya habari vya digital na burudani kutoka uumbaji hadi matumizi katika majukwaa mengi na taifa nyingi #nabshow 2019 ni nyumbani kwa ufumbuzi unaopitisha utangazaji wa jadi na kukubaliana utoaji wa maudhui kwa skrini mpya kwa njia mpya
broadcast beat ni mtangazaji rasmi wa 2019 nab onyesha las vegas na mzalishaji wa nab onyesha live
mathayo amefanya kazi katika sekta binafsi na katika elimu ya juu kwa zaidi ya miaka ishirini yeye mtaalamu katika maeneo ya usimamizi wa mradi wa vyombo vya habari vya digital uenezaji wa uhandisi na uzalishaji wa vyombo vya habari mathayo ina ujuzi mwingi katika uzalishaji wa post digital usimamizi wa mali digital uzalishaji digital sinema na kusambaza kituo ushirikiano mheshimiwa harchick uchunguzi kikamilifu hali ya utangazaji wa sanaa kukata makali ya sinema ya digital na teknolojia za teknolojia za sauti za kusikiliza kwa utekelezaji wa mteja na inapatikana kwa mahitaji yako ya ushauri
2019 #nabshow bidhaa ya spotlight hyperdeck uliokithiri 8k hdr na design blackmagic aprili 8 2019
2019 #nabshow milioni ya $ 1 na kuhesabu sprockit inatangaza mwisho wa mwisho wa startups aprili 3 2019
2019 #nabshow adobe anatangaza uwezeshaji wa wingu wa uumbaji mkubwa aprili 3 2019
2016 nab onyesha 2016 nab onyesha kazi ya kazi 2016 nab onyesha habari matangazo ya beat beat magazeti ya beat beat mhandisi wa utangazaji utangazaji uhandisi mkataba wa watangazaji mkataba wa matangazo isovideo viarte hdr kupunguza kelele hdr / wcg hevc / avc hevc jctvc 2015 kupunguza kasi ya bitrate immersive uhd / 4k / hd h264 / h265 warsaw nab 2015 nab 2016 nab onyesha nab onyesha 2016 kazi ya kuonyesha ya nab nab onyesha las vegas nab onyesha usajili nab16 nabshow chama cha taifa cha watangazaji wa wasambazaji 2019 0408
uliopita epic michezo 'unreal engine hufanikiwa emmy ya kiufundi na inaonekana kwa zaidi ya uwasilishaji wa partner wa 50 kwenye nab 2019
next kuanzisha jukwaa la msanii wa frameio na zapier integration | 2019-08-18T13:53:31 | https://sw.broadcastbeat.com/2019-nabshow-bidhaa-uangalifu-hyperdeck-uliokithiri-8k-hdr-na-kubuni-nyeusi/ |
balozi mero ashiriki mkutano mkuu wa unido unaofanyika vienna austria | h@ki ngowi
balozi mero ashiriki mkutano mkuu wa unido unaofanyika vienna austria
balozi modest jonathan mero mwakilishi wa kudumu wa tanzania katika umoja wa mataiafa na mashirika mengine ya kimataifa geneva na vie
h@ki ngowi balozi mero ashiriki mkutano mkuu wa unido unaofanyika vienna austria
http//1bpblogspotcom/lhpquhyispu/vma8sig_igi/aaaaaaadbzs/k9etqaoksyq/s640/20151203_105716jpg
http//1bpblogspotcom/lhpquhyispu/vma8sig_igi/aaaaaaadbzs/k9etqaoksyq/s72c/20151203_105716jpg
http//wwwhakingowicom/2015/12/balozimeroashirikimkutanomkuuwahtml | 2018-03-22T13:43:17 | http://www.hakingowi.com/2015/12/balozi-mero-ashiriki-mkutano-mkuu-wa.html |
kiwango cha umri wa kuishi chaongezeka nchini italia | tovuti ya kiswahili ya ukweli wa afrika
home ulaya kiwango cha umri wa kuishi chaongezeka nchini italia
kiwango cha umri wa kuishi chaongezeka nchini italia
kitengo maalumu chenye kujihusisha na maswala ya tathmini za umri wa kuishi nchini italia kimetangaza kuongezeka kwa umri kutoka miaka 65 mpaka 75
akizungumza na moja ya vitengo vya habari nchini humo daktari bingwa na ambaye pia ni msimamizi wa kitengo cha moyo katika moja ya hospitali amesema kuwa kutokana na tafiti zilizofanyika zimebaini kwamba mwenye umri wa miaka 65 kwa sasa ni sawa kabisa na mwenye miaka 40 55 katika miaka 30 iliyopita
pia ameongezea kwamba mwenye miaka 75 kwa sasa kwa uwezo anaokuwa nao kimwili ni sawa kabisa na ambaye alikuwa na miaka 55 katika miaka ya 80 hivyo kupelekea ongezeko la umri wa kuishi kulinganisha na miaka 20 iliyopita
kwa mujibu wa daktari na mtafiti huyo i kwamba kwa sasa umri wa kuzeeka nchini italia ni miaka 85 kwa mwanamke na miaka 82 83 kwa mwanaume na kwamba mwenye miaka 65 hahesabiki mzee tena
previous articlehatukuhitajia teknolojia ya kisasa kupambana na mashambulizi ya israel syria
next articleateketeza watoto wake watatu kisa ugomvi na mke wake
kisa kuchelewea kwa merkel ujerumani yaazimia kununua ndege mpya kwa ajili yake
rais magufuli pia ashangazwa na taarifa ya wizara ya elimu
pentagoni yatoa orodha ya wadaiwa wake saudi arabia na uae peke
maandamno ya kupinga marufuku ya burqa nchini denmark | 2018-12-17T17:37:05 | https://aftruth.com/swa/ulaya/kiwango-cha-umri-wa-kuishi-chaongezeka-nchini-italia/ |
makonda na mnyeti wasamehewa na bunge baada ya kuomba radhi ~ ccm blog thumbnails===nvarscontrolnav&&0===nvarsthumbcaptions){var c=sattr(datathumbcaption)==c&&void 0==c&&(a+=''+c+)}ncontrolnavscaffoldappend(
home » » makonda na mnyeti wasamehewa na bunge baada ya kuomba radhi
makonda na mnyeti wasamehewa na bunge baada ya kuomba radhi
kamati ya maadili haki na madaraka ya bunge la tanzania leo imewasilisha bungeni taarifa za matukio mbalimbali ambazo imezifanyia kazi ikiwa ni pamoja na kuwaita na kuwahoji wahusika kwa kukiuka kanuni za bunge nje na ndani ya bunge hilo
miongoni mwa taarifa hizo ni pamoja na ile ya kuingilia uhuru wa bunge kosa lililofanywa na mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda na mkuu wa wilaya ya arumeru alexander mnyeti
kwa mujibu wa taarifa kutoka bungeni viongozi hao wote wawili wamesamehewa kutokana na kukiri makosa yao na kuliomba radhi bunge la tanzania
habarizimesema kamati ya haki maadili na madaraka ya bunge imeazimia kuwasamehe makonda na mnyeti kutokana na kukiri na kujutia makosa yao na kuliomba radhi bunge | 2018-02-20T15:41:03 | http://ccmchama.blogspot.com/2017/05/makonda-na-mnyeti-wasamehewa-na-bunge.html |
kitabu rafu na drawer china manufacturers & suppliers & factory
kitabu rafu na drawer mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china
(jumla ya 24 bidhaa kwa kitabu rafu na drawer)
kitabu rafu na drawer kitabu rafu na drawer kuandika jedwali na drawers kitabu rafu nyeupe ash mango kitambaa cha sofa double kiti cha sebule ya leather nuru mpira wa kuni 4 drawer kitambaa cha sofa double seat | 2019-12-06T22:59:23 | https://sw.taihuafurniture.com/dp-kitabu-rafu-na-drawer.html |
zanzibar baada ya pengo kukaa kimya maaskofu waamua kumvaa sheni | jamiiforums | the home of great thinkers
zanzibar baada ya pengo kukaa kimya maaskofu waamua kumvaa sheni
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by zanzibar huru may 30 2012
pengo amekuwa sidelined baada ya kuonekana kuwa bado anasubiri draft ya tamko kutoka kwa bosi wake vatican
sasa maaskofu wengine wameamua kuachana naye na wamedemand kuonana na sheni ili wamsomee riot act
pengo badala ya kuonyesha kuwa yuko tayari kuwa pamoja na wakristo wengine regardless of their sect kaamua kunyamaza kimya na hii kwa kweli inasikitisha sana
ulitaka atoe tamko gani hakuna tamko zuri kama kukaa kimya na kumwachia mungu awafunze adabu mmoja baada ya mwingine nakuhakikishia haponi mtu katika hili
acha uchochezi mleta mada serikali ya ccm ndiyo kulaumiwa maana haya yanafanyika chini ya utawala wake cardinal pengo anahusikaje au mnatafuta pakuanzia vurugu wenye uelewa mpana huwa wanaona mbali siyo we kama we usiyeona mbali kwa sababu unazojua mwenyewe
ishu hapa ni maaskofu kuamua kwenda rogue
kardinal pengo ana akili zake timamu kama ataongozwa na jazba lazima ataharibu mambo kwenye matatizo kama hayo hekima ndio inatangulia mbele hakuna sababu ya kupigizana kelele na wendawazimu maana mwisho wa siku itakuwa ngumu kujua between them nani ndio mwendawazimu after all imani ya mtu iko kwanza ndani ya roho yakekubomoa kanisa au msikiti haina maana kutamfanya mtu asiwe na imani hatubadili imani kwa kupigwa mikwala au kwa mashinikizotunasukumwa na hiari yetu zaidi
wewe ndio mpuuzi kabisa pengo anahusika vipi kwahiyo mmechoma makanisa ili pengo atoe tamko sikujua kama nchi yangu tanganyika imeungana na watu wenye akili za namna hii
kanisa katoliki halikurupuki hata siku moja ndugu inasemekana ni moja ya taasisi zinazoongoza kwa umakini hatuhitaji matamko matupu ndugu
kasome upya ile memorundum of understanding mnayoipigikia kelele kila siku nikukumbushe tu kuwa dhamira ya ile memorundum ni kuwa serikali itafidia mali na miundombinu ya kanisa zitakazo haribiwa na waislam hivyo basi muadhama hana haja ya kutoa tamko zaidi ya kupeleka bill serikalini
mwanzisha huu uzi unaakili za mbayuwayu sana
halafu napata wasiwasi na id yako inaonekana umeianzisha kwa ajiri ya uchochezi tu
nimekuwa nakufuatilia tokea fujo hizi zinaanza wew uko bize sana na uchochezi wa kitoto
ngoja vijana wa kova wawa adabishe kwanza wakishindwa ndio tutaomba tamko la pengo
pengo anaifahamu vizuri serikali kwamba wataitikia tu kisha hakuna kitakachofanyika subiri uone
ushindwe na ulegee kwa jina la kristo
sasa hawa maaskofu wao wanaenda kinyume na pengo au
sasa hawa maaskofu wao wanaenda kinyume na pengo auclick to expand
kwani wewe inakuhusu nini
kwa kuchoma hayo makanisa mmemkaribisha mungu apigane upande wetulengo mkidhani kuwa pengo atachochea zaidi chuki limeshindikana kutimiasasa tulieni tu muendeleze ushetani wa kufanyia vurugu wasio wa imani yenu na hakika km ilivyo usiku na mchana mungu wa kweli anahesabu maovu yenu na yeye aliye hakimu wa haki atatoa hukumu stahili wa waliofanya hayakm unasubiri ya pengo basi endelea kusubiri kwani inaonyesha chuki ndani yakohaziwezi kuzuiwamaaskofu wana uhuru wa kusemea majimbo yao yaliyoathirikaamani ya mungu iwe nawe
nadhani mdau alijoin jf maalumu kwa ajili ya ishu za zanzibar
zanzibar huru kikwete hajasema chochote hadharani lakini waziri wa mambo ya ndani na igp wametoa statement je hapo tuseme rais amekuwa sidelined yote tisa kumi mh abood ndiye amekuwa mstari wa mbele kutoa msimamo (i believe) was suk je hapo rais shein amekuwa sidelined | 2017-07-25T15:16:27 | https://www.jamiiforums.com/threads/zanzibar-baada-ya-pengo-kukaa-kimya-maaskofu-waamua-kumvaa-sheni.270975/ |
tume ya taifa ya uchaguzi yavishukuru vyombo vya habari habari24
home / uncategories / tume ya taifa ya uchaguzi yavishukuru vyombo vya habari
tume ya taifa ya uchaguzi yavishukuru vyombo vya habari
mkuu wa idara ya habari na elimu ya mpiga kura wa tume ya taifa ya uchaguzi (nec) giveness aswile akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari dar es salaam leo kuvishukuru vyombo vya habari kwa kuripoti vizuri katika kipindi chote cha uchaguzi wa rais wabunge na madiwani kulia ni mkurugenzi wa huduma za sheria wa nec emanuel kavishepicha na richard mwaikendakamanda wa matukio blog | 2017-06-24T13:49:25 | http://habari24.blogspot.com/2015/11/tume-ya-taifa-ya-uchaguzi-yavishukuru.html |
tembea tanzania loliondo
hicho kitufe kilipo ndipo lilipo eneo la loliondo ni mbali na mji wa arusha na barabara ya kwenda huko ni mbaya kipindi cha mvua ndio inakuwa haipitiki kabisa lakini waswahili husema penye nia pana njia
mgosi tafuta ireporters watuletee picha za mnato bana
john mwaipopo march 10 2011 at 715 pm
kwa babu mtoa dawa ya magonjwa sugu wapi | 2017-08-19T03:29:58 | http://tembeatz.blogspot.com/2011/03/loliondo.html |
dk mandai vifahamu vyakula ambavyo unaweza kula wakati wa baridi
vifahamu vyakula ambavyo unaweza kula wakati wa baridi
karanga ni miongoni mwa vyakula muhimu katika kipindi cha baridi hii ni kutokana na uwezo wake wa kuongeza joto la mwili pia karanga ni chanzo kizuri cha vitamin e na b3 halii kadhalika karanga husaidia sana kwa afya ya moyo | 2018-07-16T22:03:07 | http://www.dkmandai.com/2015/10/vifahamu-vyakula-ambavyo-unaweza-kula.html |
discussion in 'biashara uchumi na ujasiriamali' started by daniel anderson sep 20 2011
wanajanvi ninamtaji mdogo wa sh 600000 ninaotarajia kuanza nao katika biashara ya mkaa kutoka mbeya kuuleta hapa dar
bei ya kununulia kule ni sh 13000 kwa gunia ambalo huku nitauza kwa sh 30000 @ naomba ushauri wenu njia ipi bora na ya ufanisi zaidi kusafilishia ikizingatia gharama za usafilishaj au mahala pengine ninapoweza kuupata mkaa kwa bei ya chini zaidi
mpaka ufike huku mjini esp dar maliasili sijui washa kukama mara ngapi kuna sehemu singida ndani2 huko yuko ancleangu wanauza 3000/=
vipi usafirishaji nako mpaka hapa dar
ili kusafirisha mkaa kutoka mkoa mmoja kwenda mungine unahitaji usajili wa kutoa mkaa mkoa fulani mf mbeya huu unalipiwa laki mbili na elfu tano na unakoupeleka mf dar inabidi uwe umesajiliwa kama muingiza mkaa huku nako unalipa laki mbili na elfu 5
kila gunia linalipiwa kodi maliasili kiwango kati ya elfu 5 na elfu 6 kwahiyo kila gunia litakucost elf 6 ya maliasili elf 13 ya kununua na gharama ya kukodi fuso kutoka mbeya ambayo ni zaidi ya laki8 kwani kutoka moro ni laki4 na nusu maliasili sio tatizo kabisa kama umelipa kodi zote ipaswavyo na kama utakuwa na store yako ya kuuzia unahitaji leseni ya biashara nk
mkaa unauzwa elf 30 dar sio kwakuwa watumiaji ni wengi na ni bidhaa adimu la hasha bali kwakuwa gharama za uzalishaji na usafiri ni kubwa mno minimum gunia moja linacost kama elf 22 kama kila taratibu ikifatwa ndio maana dar unauzwa elf 30
kuutoa mkaa mbeya ni kuongeza gharama zaidi nenda bagamoyo au morogoro (japo kwa sasa usajili wa maliasili umesitishwa mpaka watakapotangaza) au mikoa mingine ya karibu ambayo inachukua masaa chini ya matatu kufika dar utapata faida nzuri
ahsante mkuu sasa kumbe kiasi nilichotarget chote kinaishia huku hebu nitafute plan b
kama unataka kufanya mkaa unaweza kuuza rejareja au ongeza mtaji ili uweze kuleta mzigo mkubwa kwa maisha ya sasa laki sita ni mtaji ambao una matata kidogo kuleta tija
kachome wewe mwenyewe maeneo ya mvomero bei itashuka
kachome wewe mwenyewe maeneo ya mvomero bei itashukaclick to expand
mkuu vip kuhusu gharama za kibali kama zilivyoelezwa hapo awali nazo zitapungua
halafu mvomero sijawahi fika je miundombinu ya usafirishaji ikoje
kama unataka kufanya mkaa unaweza kuuza rejareja au ongeza mtaji ili uweze kuleta mzigo mkubwa kwa maisha ya sasa laki sita ni mtaji ambao una matata kidogo kuleta tijaclick to expand
nashukuru mkuu ila ukweli ni kuwa changamoto ya kupata zaidi ya hapo ni kubwa sana lakini nashukuru na napokea ushauri na ntaufanyia kazi
maana una mpango wa mkaa tafuta wale wanaoleta kutoka polini nunua kwa jumla then tafuta wafanyabiashara mf mahoteli au migahawa au chips unawapelekea moja kwa moja
nimefika mbeya bei ya gunia moja kutoka chunya ni sh2000 na transport ni 6000 kwa gunia ila vibali ndo changamoto sana
kaka uwe na vibali tu lasivyo forest suvillance unit lzm wakuumize | 2017-04-29T17:47:45 | https://www.jamiiforums.com/threads/hii-imekaaje.174356/ |
blogspot martin vrijland
tuma blogspot
filed katika maelezo ya news by martin vrijland mnamo 21 oktoba 2019 • 10 maoni
inafurahishwa jinsi mashine ya psyop imetumia njia zote zinazowezekana kuweka pamoja sabuni hii nzuri ya familia ya roho ya ruinerwold 'halisi ya bandia ni maandishi mazuri ya filamu ambayo blogi na video zinawekwa pamoja kwa kweli hiyo ni wazo la njama za upendeleo kwa sababu serikali haifanyi jambo kama hilo na john de mol []
ziara ya jumla 14546972 | 2019-12-10T09:38:07 | https://www.martinvrijland.nl/sw/tag/blogspot/ |
tembea tanzania milima na kona za iyovi
milima na kona za iyovi
mdau rajab idd wa wildness safaris ameturushia picha hii sambamba na nyinginezo alizopiga hivi karibuni akiwa safarini kuelekea hifadhi ya taifa ya ruaha mkoani iringa mto unaonekana kushoto bondeni ni mto ruaha mkuu
posted by kk at 1251 pm | 2018-02-26T01:31:01 | http://tembeatz.blogspot.com/2012/05/milima-na-kona-za-iyovi.html |
alvin collections omg wasanii wa filamu sasa waishia kuigiza filam za kwichi kwichi huyu ni mmoja wa msanii mkubwa cheki video hii
omg wasanii wa filamu sasa waishia kuigiza filam za kwichi kwichi huyu ni mmoja wa msanii mkubwa cheki video hii
kwa kweli dunia hii inaelekea mwisho sio bure msanii mkubwa wa africa ambaye ni role model wa watu wengi aaamua naye kuaanza kucheza movie zenye scene za mapenzi yakioneshwa laivu bila chenga hii ni moja ya movie ambayo amecheza na inasubiriwa kwa hamu sana lakini trailer yake ishatoka na mbaya zaidi walikuwa wanafanya mapenzi huku pembeni kuna mtoto amelala kama wewe ni mkubwa unaweza kuitazama hapa
tahadhari isifungue kama huhitaji kuona picha zisizo na maadili
<<bofya hapa kuangalia video hiyo>> | 2017-07-23T12:41:30 | http://alvincollections.blogspot.com/2014/04/omg-wasanii-wa-filamu-sasa-waishia.html |
ni vigumu kuamini zanzibar haina umeme kwa zaidi ya mwezi sasa | jamiiforums | the home of great thinkers
ni vigumu kuamini zanzibar haina umeme kwa zaidi ya mwezi sasa
discussion in 'jukwaa la siasa' started by dark city jan 30 2010
nimekuwa hapa unguja toka alhamisi nimekuta hakuna umeme na katika uliza uliza yangu nimeambiwa kuwa hakuna mategemeo ya kurejesha umeme hadi mwishoni mwa mwezi februari inawezekana serikali inafanya jitihada kutafuta ufumbuzi lakini ni vigumu kuamini kuwa hili tatizo linahitaji miezi zaidi ya 2 kulitatua
mtegemea cha nduguye hufa maskini nguo ya kuazima haisitiri makalio naona ndio maana wamehamua kushughulikia matatizo yao ya nyumbani ili waweze kukabiliana na haya matandiko ya kuazima ivi huko baharini si pia kuna upepo daima nadhani hawahitaji umeme wa mtera halafu wakipata hata hivyo vichupa viwili vya mafuta wanaweza kuondokana na hii kadhia
nawapongeza kwa kuweza kuelewana wao kwa wao kwanza kwani maslahi yao sasa yatakuwa mbele nadhani hata lili swala la kuchaguliwa rais chimwaga litakuwa limefifishwa kwa kiasi kikubwa
nono una maana kuwa suala la umeme kwa wazanzibar siyo top priority kulinganisha na hili fumbo la muafaka/maridhiano
messages 43155
likes received 27132
ngoja mkione cha moto na bado mbona dararushamwanzambeyakilimanjaro hadi vijijini umeme upo kwani kwenye hii miji ndipo umeme unazalishwa tanesco walikuwa wapi kwani wazanzibar wanatumia umeme bure
enyi wazanzibari inabidi mtambue kuwa mbaya wenu ni tanganyika na viongozi wenu mamluki
zanzibar ni nchi
hilo watalitatua wenyewe
ni kweli lakini serikali iko wapi hadi hili tatizo lichuku miezi 2
dar sijasema kuwa sio kipaombele kikubwa nadhani ungetembelea pemba ungefahamu zaidi kwani tangu uhuru pemba mambo yako je more that 40 years mimi naamini wazenj wataweza kutekeleza mengi baada ya kuwa kitu kimoja
walikuwa na bahati mbaya kuwa wamekuwa wakigawanywa sana kabla na baada ya mapinduzi kabla ya mapinduzi wapemba walikuwa karibu sana na serikali ya waarabu na baada ya mapinzui na waunguja wakajiambatanisha na tanganyika ili kujilinda matokeo yake hata rais wa visiwa hivyo ni lazima ateuliwe na [tanganyika] hivyo kwa maoni yangu prioroty za wazenj zilikuwa mara nyingi shaped na bara ni mtizamo wangu tu
topics 1181074
posts 27335537 | 2018-07-21T04:08:01 | https://www.jamiiforums.com/threads/ni-vigumu-kuamini-zanzibar-haina-umeme-kwa-zaidi-ya-mwezi-sasa.51564/ |
burudan mwanzo mwisho ridhiwani kikwete awashukuru wakazi wa chalinze kwa kumchagua kuwa mbunge wao
ridhiwani kikwete awashukuru wakazi wa chalinze kwa kumchagua kuwa mbunge wao
mbunge mteule wa jimbo la chalinze mh ridhiwani kikwete akisalimiana na mjumbe wa kamati kuu ya ccm mh jerry silaa wakati wa mkutano wake wa kuwashukuru wananchi wa chalinze kwa kumchagua kuwa mbunge wao uliofanyika katika uwanja vya miembe saba tume ya taifa ya uchaguzi imemtangaza mhridiwani kikwete kuwa mshindi katika uchaguzi uliofanyika juzi aprili 6
mke wa mbunge mteule wa jimbo la chalinze bi arafa ridhiwani akiwasalimia mamia ya wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kayta ya bwilingu uwanja wa miembe saba chalinze jana
mbunge mteule wa jimbo la chalinze mh ridhiwani akiwashukuru wananchi wa chalinze baada ya kumchagua kuwa mbunge wao katika uchaguzi uliofanyika juzi jimboni humopicha na fullshangweblog | 2017-12-13T16:46:33 | http://burudan.blogspot.com/2014/04/ridhiwani-kikwete-awashukuru-wakazi-wa.html |
mazishi ya mwandishi james mwakisyala leo pugu | jamiiforums | the home of great thinkers
mazishi ya mwandishi james mwakisyala leo pugu
discussion in 'jukwaa la siasa' started by w j malecela jul 21 2012
leo ni siku ya mazishi ya muandishi maarufu wa muda mrefu sana nchini bwana james mwakisyala aliyefariki juzi usiku hospitali ya muhimbili mazishi yanafanyika leo saaa nane mchana nyumbani kwake pugu kajiungeni
binafsi nipo njiani kwenda kuhudhuria mazishi haya na nimesitisha mualiko wa makanisa leo ubungo kuhuduhuria mazishi haya ya mwanahabari niliyekuwa ninamfahamu kwa muda mrefu sana toka nikiwa mdogo wana jf huko pugu na kisarawe karibuni sana tumsindikize mwanamapinduzi mwenzetu
james alikuwa mwanamapinguzi halisi ukitizama maandishi yake utakubaliana na mimi mungu amlaze mahali pema peponi
rip james mwakisyalanashukuru kwa taarifa mkuu
rip jmwakisyala
pole kwa ndugu jamaa na marafiki wa familia ya marehemu james mwakisyala though sijapata kusoma maandiko yake
rip james mwakisyala
alikuwa anafanya kazi chombo gani
r i p jameshao wanamkaribisha william kanisan hawako serious mtu hopeless anayepiga picha ovyo na wadada
rip mwaki
poleni familia ya marehemu rip james
rip james mwaksyala
poleni wafiwamungu amuweke panapostahili
rip ndugu yetu
rip james mwakisyala
daima nitakukumbuka wewe pamoja na bernard bamwine (rip) mlivyonisaidia nilipofukuzwa chuo kikuu mwaka 1992 kupitia mfuko wa emaus ubalozi wa norway wakati huo ulikuwa mwenyekiti na bamwine alikuwa katibu wa amnesty international (tanzania) aidha ulikuwa ukifanya kazi benki kuu ya tanzania ni majonzi mazito mwenyezi mungu awape nguvu na uvumilivufamilia ya james mwakisyala katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa nakiongozi wao tunamwomba mwenyezi mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amina 4 people likes
james mwakisyala ni high profile name kwenye tasnia ya habari sijui ni kwanini msiba wake umekuwa low profile thanks bill for info tupatie na update ya maziko
rip james mwakisyala
r i p jameshao wanamkaribisha william kanisan hawako serious mtu hopeless anayepiga picha ovyo na wadadaclick to expand
mwenyekiti wa ipp alikuaj kwenye mazishi na kusema wazi kwa wananchi kwamba kama sio mimi kuweka hii habari hapa jamiiforums asingejua kwamba rafiki yake mpenzi james amefariki mzee mengi ameahidi familia ya marehemu kumsomeasha mtoto wa mwisho wa marehemu ambaye ndio kwanza amemaliza darasa la saba that was great na i am humbled sana na again mungu amuweke marehemu james mahali pema peponi
ni muhimu sana kutumia vyombo kama hivi kusaidia wananchi badala ya kukalia majungu majungu asubuhi mpaka jioni majungu tu1 ha ha ok people back in town now nipo bills hapa relaxing willie
rip james mwakisyalaclick to expand
pasco nimemuuliza sana mwenyekiti mengi kwamba kwa nini huu msiba umekwua low profile ameniahidi kufuatilia na atanipa majibu na pia mkuu kasesela alikuwepo na yeye ni mimi niliyempigia kumuarifu i am very disappointed cause huyu james amekuwa muandishi wa taifa kwa muda mrefu sana why hakupewa national coverage ni a million question je kuna mahali aliandika something ambacho haikuwafurahisha watu flani au what
asante sana willie kwa kutuwakilisha msibani kwa kaka yetu james
imekuwa bahati mbaya sijaweza kuhudhuria mazishi haya kwa vile niko safari arusha kwa arobaini ya msiba mwingine
james tunatoka kijiji kimoja na ni mtu wa intergrity he said what he meant
tutamkumbuka kwa ukweli na uwazi wake hakumung' unya maneno ili kuwafurahisha wakubwa
kama ilivyo watu wa huko rungwe ukweli ni benchmark
tabia ya ukweli na uwazi ili mletea matatizo alipokuwa muajiriwa wa bot na akatimuliwa na wakubwa waliokuwa wanapindisha mambo
tutakukumbuka james ambaye hakuwa na makuu wa majivuno kwa watu wote wakubwa hata sisi wadogo zake
tabia yake ni nadara kuiona katika waandishi wa kizazi cha leo
rip james mwakisyala
mungu amlaze mahali pema peponi ndugu yetu james mwakisyala
jimmy rip
mwenyenzi mungu nakuomba sana umpokee huyu mtumishi wako uliyemwita kwako kutoka dunia hiiupende kwa wema wako kuzibariki kazi njema ulizomjaalia kuzifanya alipokuwa hai nasi utuwezeshe kuiga mfano wa mema yake na kujitenga na uovu daima | 2017-01-20T06:03:21 | https://www.jamiiforums.com/threads/mazishi-ya-mwandishi-james-mwakisyala-leo-pugu.295606/ |
makala kunywa maji mengi uokoe figo fedha
maboresho miundombinu kuvutia watalii iringa
maboresho ya miundombinu ya hifadhi ya taifa ya ruaha yanayotarajiwa kuanza karibuni kupitia mradi wa kuendeleza utalii ukanda wa kusini (regrow) yatawezesha watalii kufi ka hifadhini kupitia mikoa ya mbeya na dodoma
tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964 hifadhi hiyo kubwa kuliko zote nchini sasa imekuwa ikiingilika kupitia lango pekee lililoko iringa
akizungumza wakati wa uzinduzi wa vifaa kazi vya mradi huo wa regrow uliofanyika katika hifadhi hiyo juzi katibu mkuu wa wizara ya maliasili na utalii profesa adolf mkenda amesema maboresho hayo yatavutia idadi kubwa ya watalii kuitembelea wakiwemo wa ndani
kupitia maboresho hayo katibu mkuu amesema serikali inatarajia yatainua mapato ya hifadhi hiyo hatua itakayoiwezesha ijiendeshe kwa faida na kufikia hatua ya kutoa gawio serikalini
alisema hifadhi inajiendesha kwa kutegemea mapato ya hifadhi za kaskazini kwani haijawa na watalii wa kutosha kuiwezesha kujiendesha
sababu ni changamoto ya miundombinu ambayo ni kikwazo watalii kufika kuitembelea alisema na kutaja baadhi ya hifadhi nyingine nchini zenye changamoto kama hiyo
kupitia regrow profesa mkenda amesema wizara imejipanga kuboresha miundombinu ya hifadhi hiyo sambamba na kuitangaza ili kuhamasisha watalii wengi zaidi kuitembelea
amesema kupitia regrow itajengwa miundombinu itakayowezesha watalii kuingia katika hifadhi kupitia mikoa ya mbeya na dodoma bila kusafiri hadi mkoani iringa
amesema ujenzi wa barabara hizo utaenda na ujenzi wa madaraja katika maeneo mbalimbali ya hifadhi ili kuwawezesha watalii kuingia na kutoka katika hifadhi hiyo kwa urahisi zaidi
pamoja na maboresho hayo profesa mkenda amesema wizara inatafakari kuanzisha utalii wa fukwe kuwapata pia watalii wa aina hiyo ambao hutumia meli kufanya utalii katika fukwe
kamishna mwandamizi wa uhifadhi wa hifadhi za taifa (tanapa ) kanda ya kusini dk christopher timbuka alisema regrow itaboresha mazingira ya ujenzi wa maeneo ya kulaza watalii kuongeza idadi ya vitanda vya kulaza watalii ndani ya hifadhi
aga khan kutumia mil 780/ kuanzisha kitengo
huduma za afya aga khan tanzania na shirika la maendeleo
dakika 44 zilizopita theopista nsanzugwanko
wanafunzi 40 wajazwa mimba bunda
masaa 3 yaliyopita mwandishi wetu bunda
serikali wilayani bunda mkoani mara imeanzisha msako kuwatafuta wanaotuhumiwa kuwapa
tanelec waagizwa kujitangaza eac | 2020-07-02T12:44:10 | https://habarileo.co.tz/habari/2019-12-035de662ead4f60.aspx |
maliasili na utalii blog serikali yatoa ufafanuzi wa kufungia biashara ya usafirishaji wanyamahai nje ya nchi
serikali yatoa ufafanuzi wa kufungia biashara ya usafirishaji wanyamahai nje ya nchi
serikali kupitia wizara ya maliasili na utalii imetoa ufafanuzi wa uamuzi wake wa kuzuia biashara ya usafirishaji wa wanyamahai nje ya nchi kwa kipindi cha miaka mitatu mfululizo na kusema kuwa uamuzi huo ulitolewa kwa lengo la kupanga vizuri biashara hiyo kwa faida ya serikali na wafanyabiashara wenyewe
ufafanuzi huo umetolewa jana na waziri wa wizara hiyo prof jumanne maghembe katika kikao alichokiitisha wizarani hapo na wafanyabiashara wa wanyamahai wa makundi ya wadudu vyura mijusi ndege nyani na tumbili ambao walitaka kupata ufafanuzi wa hatima ya biashara yao kutoka serikalini
katika risala iliyosomwa na kiongozi wa wafanyabiashara hao adam rashid warioba kwa waziri maghembe aliiomba serikali kutoa ufafanuzi wa hatma ya biashara yao iliyofungiwa ambayo imekuwa tegemeo pekee katika kuendesha maisha yao huku wakitaka kujua hatma ya wanyamahai waliohifadhiwa na gharama zao walizolipia serikalini
akitoa ufafanuzi wa uamuzi wa serikali kufungia biashara hiyo kwa wafanyabiashara hao prof maghembe amesema wanyamahai wengi kutoka nchini tanzania wamekuwa wakisafirishwa nje ya nchi bila ya kufuata utaratibu maalum ikiwemo vibali vya kukamata na kuwasafirisha wanyama hao jambo ambalo limekuwa likiikosesha serikali mapato mengi
wapo kati yenu ambao walikuwa wanasafirisha wanyamahai kinyume cha sheria bila vibali vyovyote na wanyama wa tanzania walikuwa wakimatwa kwenye bandari na viwanja vya ndege ambao wanasafirishwa kinyume cha sheria wengi tu na ndio maana serikali ikasema hii biashara tusimamae kwanza tuwekwe utaratibu ambao kila mtu ataufuata na ambao hautaweza kututia aibu huko nje alisema
alisema sababu nyingine iliyopelekea serikali kufunga biashara hiyo kwa muda ni bei ndogo inayouzwa wanyama hao nje ya nchi ambayo haiwanufaishi wafanyabiashara na serikali ukilinganisha na thamani yake kwa kile wanachoenda kufanyiwa alitolea mfano tumbili ambao hufanyiwa utafiti wa madawa mbali mbali na baadae kuuzwa mabilioni ya fedha huku tumbili huyo akiuzwa kwa dola 25 tu
nimefurahi yule bwana aliyesema tumbili mmoja ni dola 25 lakini akasema hao ndio wanafanya medical research (utafiti wa madawa) yote duniani sasa sisi tunapata dola 25 na wenzetu wanafanya research (utafiti) wanatuuzia madawa yote billions of dollars (mabilioni ya dola za kimarekani) tuweke utaratibu na ninyi mtakapokuwa mnafanya hii biashara mpate sio lazima serikali ndio lazma ipate mpate kilicho sawa na thamani ya wanyama mnaowauza alisema prof maghembe
aliwahakikishia wafanyabiashara hao kuwa serikali ya awamu ya tano ni sikivu hivyo kuahidi kushuulikia changamoto walizoziwasilisha hadi kufikia januari 10 mwakani (2017) aliwaeleza kuwa hatma ya wanyamahai ambao wamewahifadhi pamoja gharama za vibali walizowalipia serikalini zitashuulikiwa
ambacho ninaweza kuwaambia hapa leo kwamba tumepata hii taarifa tunayo ile idadi ambayo imepitiwa na wataalamu huko kwenye mazizi tunazo zile permit (vibali) za serikali ambazo mmepewa na leseni vyote vile mlivyonavyo na sisi tunavyo tutavipitia vyooote kabisa alafu tutaona ni namna gani tutawainua kwa kuwafuta jasho alisema
aliongeza kuwa tutaangalia kila mfanyabiashara ameilipa nini serikali kwa wanyama hawa ambao wapo ambao katazo lilipofanywa walikuwa nao kwenye mazizi yao na wanyama hao tunawafanyia tathmini tukishakamilisha tutaamua sasa wanyama hao wanapelekwa wapi na maeneo yenyewe ni machache tu ama kwenye mazoo ili waweze kutunzwa na kuendelezwa kwa vile ni vigumu kuwarudisha tena maporini
na kutokana na vibali na risiti mbalimbali ambazo wameilipa serikali katika kuwapata hao wanyama basi tutaviangalia na kuangalia utaratibu wa kuwarudishia wale wafanyabiashara hela zao
akizungumzia lalamiko la wafanyabiashara hao kuwa wao wamezuiliwa kufanya biashara hiyo huku mfanyabiashara mmoja kutoka nje akiruhusiwa kufanya biashara hiyo kwa tangazo la serikali prof maghembe anasema na hilo tangazo mnalosema lina mtu amebebwa hamna ruhusa ya mtu kubebwa hapa na mtu atayempa huyo mtu kibali mnafahamu kitakachotokea hakuna ruhusu ndivyo serikali ilivyosema
mei 26 mwaka huu akifanya majumuisho ya hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka 2016/17 waziri wa maliasili na utalii prof jumanne maghembe alitangaza kuwa ni marufuku kusafirisha wanyamahai wote nje ya nchi kwa miaka mitatu mfululizo
kuanzia sasa (saa moja na dakika tano usiku) kwa miaka mitatu serikali imepiga marufuku usafirishaji wa wanyamahai wote kwenda nje ya nchi hata chawa wa tanzania hawataruhusiwa kusafirishwa nje na katika kipindi hiki cha miaka mitatu idara ya wanyamapori itafanya kazi ya kuishauri serikali namna gani biashara hiyo itakavyoendeshwa alisema prof maghembe
posted by hamza temba at 503 am | 2018-06-21T23:27:56 | https://wizarayamaliasilinautalii.blogspot.com/2016/12/serikali-yatoa-ufafanuzi-wa-kufungia.html |
kinda aliyeiua yanga sc juzi hakuwa chaguo la makocha azamalipangwa kwa shinikizo la wenye timu bin zubeiry sports online kinda aliyeiua yanga sc juzi hakuwa chaguo la makocha azamalipangwa kwa shinikizo la wenye timu bin zubeiry sports online
mwanzo > untagged kinda aliyeiua yanga sc juzi hakuwa chaguo la makocha azamalipangwa kwa shinikizo la wenye timu
kinda aliyeiua yanga sc juzi hakuwa chaguo la makocha azamalipangwa kwa shinikizo la wenye timu
na mahmoud zubeiry imewekwa septemba 24 2013 saa 148 asubuhi
kinda joseph kimwaga aliyeifungia azam fc bao la ushindi dakika za lala salama katika mechi dhidi ya yanga sc juzi uwanja wa taifa dar es salaam timu hiyo ikishinda 32 hakuwa chaguo la kocha muingereza stewart john hall kucheza mechi hiyo imefahamika
habari kutoka ndani ya azam fc zimesema kwamba mchezaji huyo pamoja na kinda mwenzake farid mussa waliingizwa kwenye programu za mchezo huo kwa shinikizo la wakurugenzi wa timu ambao wanaheshimu uwezo wao
bao la ushindi joseph kimwaga akifumua shuti baada ya kuwaacha mabeki wa yanga kuifungia azam bao la ushindi wa juzi
furaha kimwaga akifurahia baada ya mpira kutinga nyavuni
na katika mchezo wa juzi dhidi ya yanga sc wachezaji wa kudumu wa kikosi cha kwanza cha azam fc kama salum abubakar sure boy na khamis mcha vialli hawakuwepo hata benchi badala yake makinda kimwaga na farid walichukua nafasi
hakuwa chaguo lao makocha wa azam kutoka kushoto stewart hall na wasaidizi wake kali ongala na ibrahim shikanda
mshindi wa mechi kimwaga akipongezwa na wenzake kwa bao zuri la ushindi juzi
david luhende wa yanga sc kulia aliteswa na kijana juzi taifa
hata huyu noma farid mussa alimpita mara kadhaa mbuyu twite na kutia krosi maridadi
item reviewed kinda aliyeiua yanga sc juzi hakuwa chaguo la makocha azamalipangwa kwa shinikizo la wenye timu rating 5 reviewed by mahmoud bin zubeiry | 2020-04-03T21:29:00 | http://www.binzubeiry.co.tz/2013/09/kinda-aliyeiua-yanga-sc-juzi-hakuwa.html |
asas dairies ltd yagawa maziwa kwa wanafunzi mikoa ya mbeya arushairinga na dodoma maadhimisho ya unywaji maziwa duniani kamera yangu ' '' var month = [123456789101112] var month2 = [janfebmaraprmayjunjulaugsepoctnovdec] var day = postdatesplit()[2]substring(02) var m = postdatesplit()[1] var y = postdatesplit()[0] for(var u2=0u2
asas dairies ltd yagawa maziwa kwa wanafunzi mikoa ya mbeya arushairinga na dodoma maadhimisho ya unywaji maziwa duniani
posted by augusta njoji on 345 pm in kitaifa | comments 0
naibu waziri wa kazi ajira na vijana mheshimiwa anthony mavunde akigawa maziwa ya asas kwa wanafunzi waliojitokeza kwenye viwanja vya nyerere square jijini dodoma kwenye kilele cha unywaji wa maziwa duniani ambapo kitaifa imeadhimishwa mkoani arusha
wanafunzi wa shule ya msingi nkuhungu ya jijini dodoma wakigawiwa maziwa kutoka asas dairies ltd
wanafunzi wa shule ya nkuhungu wakifurahia maziwa kutoka asas dairies ltd
naibu waziri wa tamisemi mheshimiwa josphat kandege na mkuu wa mkoa wa arusha mh mrisho gambo wakipokea maziwa kutoka kwa mwakilishi wa asas dairies lipita mtimila kwa ajili ya shule za mkoa wa arusha ambapo asas dairies ltd wametoa maziwa pakiti 15000 kwa wanafunzi wa mkoa huo
naibu waziri wa tamisemi mheshimiwa josphat kandege akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la asas dairies ltd kwenye madhimisho wa wiki ya maziwa kitaifa yaliyofanyika mkoani arusha
mheshimiwa richard kasesela akuu wa wilaya ya iringa na mkurugenzi wa asas dairies ltd ahmed salim asas wakiwa kwenye viwanja vya ngombe mjini iringa kwenye kilele cha madhimisho ya wiki ya maziwa duniani
wanafunzi wa shule ya kihesa ngombe wakifurahia maziwa ya asas dairies ltd wakati mkuu wa wilaya ya iringa bw richard kasesela na mkurugenzi wa asas dairies ltd bw ahmed salim asas walipokuwa wakiwagawia
mheshimiwa kasesela akimpatia maziwa mmoja wa mwanafunzi wa shule ya kihesa ngome mjini iringa
asas dairies ltd imegawa zaidi ya pakiti 400000 kwenye shule mbalimbali za mikoa ya iringa arusha mbeya na dodoma wakati wa maadhimisho ya wiki ya maziwa duniani ambapo kitaifa inafanyika mkoani arusha
asas dairies ltd ilianza kampeni hii tarehe 22 mwezi wa tano na kufikia zaidi ya shule 108 na wanafunzi 67000 hii inatokana na uhamasishaji wa unywaji wa maziwa mashuleni ambao unafanywa na asas dairies ltd kila mwaka
katika kufikia lengo la watanzania kunywa maziwa kwa wingi kampuni ya asas dairies ltd imejikita katika kampeni hiyo ili kuwafanya watoto ambao watakuwa wazazi wa baadaye kutumia maziwa kwa wingi ili kuimarisha afya zao pamoja na vizazi vyao kwa siku za baadaye
mkurugenzi wa kiwanda cha asas dairies ltd bw amded salim asas amesema huu ni mwendelezo wa kampeni hiyo na lengo la kampuni hiyo kwa mwakani ni kuzifikia shule za msingi nchi nzima bw ahmed asas ameishukuru serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na rais dk john pombe magufuli kwa ngazi zote jinsi ambavyo imekuwa ikitoa ushirikiano kwa kwao na kuifanya ndoto ya tanzania ya viwanda kwenda kutimia kwa mafanikio makubwa | 2019-02-22T15:04:29 | http://www.kamerayangu.co.tz/2018/06/asas-dairies-ltd-yagawa-maziwa-kwa.html |
yesu alongyesha pabitale kutshiba dibaka na kulesha kifulo bwa bana bakinga | muwa wa yesu
shapitre 95
alongyesha pabitale kutshiba dibaka na kufula bana
mateo 19115 maako 10116 luka 181517
yesu batusha mweneno a efile mukulu pabitale kutshiba dibaka
kya buntu kya kushala bukupi
lukalo lwa kwikala bu bana bakinga
kukatuka ku ngalileya yesu na balongi baye abasabukile mwela wa yoordano bwa kwenda dya kuushi kwa kibundji kya peree pabadi yesu mu peree musango wa nfudiilo balungwile bafadisee mwiya wefile pabitale kutshiba dibaka (luka 1618) binobino ababushile mwisambo bwa kutompa yesu
moyiise bafundjile shi muntu badi na kya kutshiba dibaka su amona kito kampanda ku lupese lwaye (miiya ikituulwe 241) kubadi mweneno mwilekene bwa kintu kilombene kutshiba dibaka bangi abakumiinanga shi sunga bwa tu myanda tupela muntu e kutshiba dibaka nyi bafadisee nkwipusha yesu shi mukanda wetu wa bishila ngukumiine shi muntu mulombene kubinga mukashi aaye bwa mwanda ooso kampanda sumateo 193
pamutwe pa kwakula mweneno a bantu yesu bebalesheshe mpàngo yefile mukulu ya ku kimbangilo pabitale dibaka bambile shi tanwibabaleshi efile mukulu ku mbangilo beebakitshiine mulume na mukashi bambileshi ngi mwanda kinyi muntu alekye nshaaye na nyinaaye alamate mukashi aaye bubidi bwabo abakitshi nka mbidi imunenka byaabya tabakii babidi anka nyi mbidi imunenka byaabya muntu taabuulanga kyakya kibungibwe kwi efile mukulu (mateo 1946) pabadi efile mukulu mwikashe adame na eeva bu ba mulume na mukashi tabatudile kipindji kampanda kya kukitshiba eyibakishi dyabo nya
bafadisee abadi bashikwe yesu abadi abakula shi byaabya mbwakinyi moyiise badi mufunde bwa kutuusha mukanda wa kwipaa bulunda (mateo 197) yesu bebalungwile shi bwa kupapa kwa mashimba eenu ngi kubakuminyiine moyiiseshi nubingye bakashi beenu anka ku kibangilo tabibadi byaabya nya (mateo 198) kino kibangilo takibadi kya mafuku a moyiise nya kibadi kya ku mbangilo pabadi efile mukulu mutushe mpàngo ya dibaka mu edene
akupu yesu bebalesheeshe bya byabinyibinyi bi na muulo shi neenulungulashi su muntu abinga mukashi aaye kukaasha bwa mwanda wa masandji [mu kii na greke por·neiʹa] su aibakila ungi batambuka masandji (mateo 199) kutambuka kwa masandi nyi nka penda kabingilo kamune kaakule bifundwe bwa shi muntu atshibe dibaka
byabya nyi bibatumine balongi bwa kwakula shi su byaabya ngi bya kwikala mulume na mukashi aaye takwi wibuwa wi mu kwibakila nya (mateo 1910) eyendo bwashi dibaka dikale dibuwa abitungi dikale kwanka bwa looso
pabitale kwikala bukupi yesu badi mupatuuleshi kwi batandjikwe bankunga bangi beyikashe bankunga mwanda wa kukutwa bukome bwa kusangisha mbidi bangi namu mbebakutshishwe kupela kwikala na bukome kwi bantu bangi namu mbeyikashe byabya mwanda wa kwipaana mu myanda ya bufumu yesu badi mulungule abadi abamuteemesha shi mulombeene kupusha apushemateo 1912
binobino bantu ababangile kutwala bana babo kwi yesu balongi ababangile kwibasashila bu abapele shi tabakalakashanga yesu paye kumona byabya bibadi bimukalakashe aye nkwibalungula shi lekaayi bana bafikye kwandji taanwibakandanga mwanda bufumu bwefile mukulu mbwa bee byabadi mbiinyibiinyi neenulungula shyaapokyeela bufumu bwefile mukulu bu mwana mukinga teemutweelemaako 1014 15 luka 1815
dibadi dilongyesha dikata bwa kutwela mu bufumu bwefile mukulu abitungu twikale beyishe na kulongyeshibwa nka bu bana bakinga akupu yesu balesheshe kifulo kyaye kwi bana bakinga pa kwibatwala mu maboko na kwibela myabi akupu mmwikale na kyaya kifulo kii mumune bwa muntu ooso apokyeela bufumu bwefile mukulu bu mwana mukingaluka 1817
bafadisee abatompele yesu pa mwanda wa kutshiba dibaka naminyi
muyile yesu mpàngoyefile mukulu pabitale kutshiba dibaka i naminyi
bwakinyi bangi balongi abasangulaa bwa kushala bukupi
yesu batushishe dilogyesha kinyi muyile bibadi akitshina bana bakinga myanda | 2018-03-19T14:48:07 | https://www.jw.org/sop/mikanda/mikanda/yesu/mudimo-nfudiilo-yesu-kutunduka-yoordano/alongyesha-pabitale-kutshiba-dibaka-kufula-bana/ |
kaburi katikati ya jiji je ni la nani | jamiiforums | the home of great thinkers
kaburi katikati ya jiji je ni la nani
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by kashaija nov 18 2008
kuna bustani moja katikati ya jiji la dar es salaam (katikati ya barabara ya samora india na mosque) maeneo ya clock tower ukifika katika bustani hiyo kitu cha kwanza utakachokiona pale ni kaburi lililojengewa na marumaru nyeupe na ambalo kwa mujibu wa watu waliozoea kukaa pale mara kwa mara ni kwamba kuna mtu maalumu ambaye hulifanyia usafi kila siku kwa kuliosha na kusafisha mazingira yaliyozunguka kaburi hilo (siyo bustani yote) na hulipwa mshahara wake kwa kazi hiyo (sijui hulipwa na nani) vile vile nimesikia kwamba baadhi ya watu huenda kuabudu pale nyakati za usiku
swali je kaburi hili ni la nani ambaye ni muhimu sana kiasi hicho katika historia ya nchi yetu hadi akazikwa katikati ya jiji je kaburi hili likihamishwa pale kama mengine yavyohamishwaga kutakuwa na athari gani
nilidhani mtu wa muhimu sana katika historia ya nchi yetu ni marehemu baba wa taifa mwl nyerere ambaye kama angelizikwa pale au sehemu inayofanana na hiyo ingetoa mwanya hata vizazi vyetu vijavyo kuona na kushuhudia alipolazwa mhasisi wa taifa letu vile vile kwa vitendo vya hawa mafisadi tungeweza kuamua wana jf tukaenda kuwaombea dua baya
its true hilo kaburi lilikuwepo palem not sure if bado lipo cz i am nt in bongona kuna kipindi flani cha nyuma lilianza kubomolewa ikatokea ugomvi mkubwa kweli na mwishowe ndo likaachwa na kuwekewa hizo maru maru
any one with clear maelezo please
any one with clear maelezo pleaseclick to expand
mtaalam hili kaburi bado lipo hata leo asubuhi nilipita hapo nimeliona limeoshwa limetakata kweli si unajua tena marumaru
kwa wanaojua tafadhali tupe habari zaidi ni la mtu gani
angeulizwa mtoto wa mjini dito labda sykes atueleze
nilidhani mtu wa muhimu sana katika historia ya nchi yetu ni marehemu baba wa taifa mwl nyerere ambaye kama angelizikwa pale au sehemu inayofanana na hiyo ingetoa mwanya hata vizazi vyetu vijavyo kuona na kushuhudia alipolazwa mhasisi wa taifa letu vile vile kwa vitendo vya hawa mafisadi tungeweza kuamua wana jf tukaenda kuwaombea dua bayaclick to expand
mkuu utotoni tumecheza sana pale kwenye bustani hadi pale ilipovamiwa na wale watoto watundu kipindi kile walikuwa wanaitwa changudoa na sio kama sasa hivi changudoa ni muuza uchi bustani ilivamiwa na hao watoto kisha wakaja omba omba haswa na familia zao wagogo na sisi tukakosa kabisa sehemu za kuchezea michezo ya kitoto kama bembea kuteleza nk kwa akili yangu sikufahamu kama kuna kitu kama hicho kaburi maana siku si nyingi kuna mtu alikuwa anamuelekeza mtu dukani kwake na huyo mtu akawa hamuelewi akaniuliza kaburi moja ni wapi nami nikaduwaa wakati mimi ni master wa city centre mitaa na vichochoro nilikuja kumuelewa aliposema bustani na pia lipo kaburi pale nikaduwaa na nilipoenda kweli nikalikuta eno hilo kitambo kulikuwa na bembea ya chain kubwa ni madereva taxi wamaduwaa tu
kama ni kaburi la kitambo basi sikulifahamu utotoni na kama lilikuja baadae sikufahamu hii kitu nchokumbuka pale kulikuwa na mitambo maalum ya kilipia parking pembezoni unalipa mwenyewe kwa lisaa ilikuwa ni 1 shillings ukitumbukiza dala chenge inatoka
hilo no kaburi la shekhe mkuu wa msikiti wa kwanza kabisa wa mzizima ambao hapo awali ulikuwa maeneo ya magogoni karibu na ikuluukaja kuhamishiwa maeneo hayo ya clock tower nadhani bado upo had ieoni msikiti wa miaka ya 1800zama za usultani
mkazuzu said
hilo no kaburi la shekhe mkuu wa msikiti wa kwanza kabisa wa mzizima ambao hapo awali ulikuwa maeneo ya magogoni karibu na ikuluukaja kuhamishiwa maeneo hayo ya clock tower nadhani bado upo had ieoni msikiti wa miaka ya 1800zama za usultaniclick to expand
hata pale utumisbi kuna makaburi ya zamani nadhamini ya waarab wa miaka hiyo
keki tamu
weka picha tuone
ccm ikishinda uchaguzi mwaka huu kile kiwanja kitauzwa kwa wawekezaji feki aka mafisadi na hili kaburi litahamishwa mark my words
msikiti wa kwanza kujengwa ulikuwa mahala palipo kanisa la kilutheri sasa hivi hapo luther house
kama ni kaburi la kitambo basi sikulifahamu utotoni na kama lilikuja baadae sikufahamu hii kitu nchokumbuka pale kulikuwa na mitambo maalum ya kilipia parking pembezoni unalipa mwenyewe kwa lisaa ilikuwa ni 1 shillings ukitumbukiza dala chenge inatokaclick to expand
mkuu mlaleo haya maelezo yako ndio yanaweza kutoa mwanga zaidi hii sehemu nafikiri ilikuwa wazi tu lakini wakati wa 'chokochoko' za siasa za udini miaka ya mwanzo mwa tisini ndipo watu (from nowhere) wakaja na kuweka alama za kaburi baada ya wengine kubisha ndipo baadhi (pia from nowhere) wakadai kuwa alizikwa ustaadhi fulani pale hivyo kutokana na mazingira ya wakati huo hoja ikapata nguvu na mpaka wakalijengea na hizo marumaru nyeupe
labda tumuulize mohamed said mtaalamu wa histori tata za aina hii kama kweli anamjua aliyezikwa pale lakini kama naye hajui basi archeologists itabidi waje wafanye kazi yao ili kuweka kumbukumbu sawa
kwani ni nani alizikwa humo
kwani ni nani alizikwa humoclick to expand
mzee kapita | 2016-10-27T14:55:55 | http://www.jamiiforums.com/threads/kaburi-katikati-ya-jiji-je-ni-la-nani.20647/ |
> serikali tutapandisha mishahara hali ikiruhusu msumba news blog
home matukio serikali tutapandisha mishahara hali ikiruhusu
serikali tutapandisha mishahara hali ikiruhusu
waziri wa nchi ofisi ya rais utumishi wa umma na utawala bora george mkuchika amesema kuwa serikali itaweza kuboresha maslahi ya watumishi wa umma nchini kwa kuongeza mishahara kulingana na uwezo wa serikali
waziri mkuchika amesema hayo leo juni 8 2018 bungeni jijini dodoma akielezea ni kwa namna gani serikali inawajali watumishi swali lililoulizwa mbunge wa viti maalumu catherine magige na kuongeza kuwa serikali inafanya jitihada za kuwajali watumishi kwa kuwapa mikopo mafunzo na kudhamini masomo kwa baadhi ya watumishi wanaosoma taaaluma mbalimbali
kujali mtumishi sio lazima fedha hata ukimpeleka kwa mafunzo umemjali mtumishi niseme tu kifupi kwamba tunaendelea kuboresha maslahi ya watumishi wa umma lakini kwa upande wa mishahara tutaipandisha hali ya nchi ikiruhusu amesema mkuchika
waziri huyo ameongeza kuwa serikali haitasubiri sikukuu ya wafanyakazi (mei mosi) ili itangaze kupanda kwa mishahara bali muda wowote amabapo itajiridhisha na hali ya mfuko wa serikali basi itapandisha mishahara | 2019-05-25T17:30:26 | http://www.msumbanews.co.tz/2018/06/serikali-tutapandisha-mishahara-hali.html |
trump / mtazamo maoni / jukwaa lernunet
ya alkanadi 9 novemba 2016
ujumbe 1777
vestitor (wasifu wa mtumiaji) 11 novemba 2016 85203 alasiri
ujumbe 343
тerurĉjo (wasifu wa mtumiaji) 12 novemba 2016 50127 asubuhi
ujumbe 998
fuzzy (wasifu wa mtumiaji) 12 novemba 2016 73937 asubuhi
тerurĉjo (wasifu wa mtumiaji) 12 novemba 2016 92530 asubuhi
тerurĉjo (wasifu wa mtumiaji) 12 novemba 2016 71837 alasiri
vestitor (wasifu wa mtumiaji) 12 novemba 2016 81152 alasiri
vestitor (wasifu wa mtumiaji) 12 novemba 2016 83551 alasiri
kliphph (wasifu wa mtumiaji) 13 novemba 2016 124005 asubuhi
fuzzy (wasifu wa mtumiaji) 13 novemba 2016 73513 asubuhi
joeyjojo (wasifu wa mtumiaji) 13 novemba 2016 92931 alasiri | 2019-11-18T18:56:14 | https://lernu.net/sw/forumo/temo/23090/6 |
topic dk slaa akataa matokeo
4th november 2010 1411
mgombea urais kwa tiketi ya chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) dk willibrod slaa ameitaka tume ya taifa ya uchaguzi (nec) kusitisha mara moja kutangaza matokeo ya urais kwa madai kuwa kuwa kura hizo 'zimechakachuliwa' dk slaa anataka uchaguzi urudiwe na si kurudia kuhesabu kura mwenyekiti wa nec jaji lewis makame amemshangaa dk slaa kwa kuwa hajafanya mawasiliano yoyote na tume hiyo jaji makame amesema kama dk slaa ana uhakika apeleke nyaraka zake ili zilinganishwe na nyaraka zinazotumika kutangaza matokeo akizungumza jana katika mkutano aliouitisha wa waandishi wa habari dar es salaam dk slaa aliitaka nec isitishe kutangaza matokeo ya urais ambayo mgombea wa ccm rais jakaya kikwete amekuwa akiongoza mpaka haki itakapotendeka dk slaa ambaye katika matokeo yaliyokwishatolewa na nec mpaka sasa ameachwa mbali na kikwete alidai katika matangazo ya kura hizo maeneo mengi yanayotangazwa kura zake zimebadilishwa ili kuiwezesha ccm kuibuka na ushindi baada ya kuona hali hii niiombe nec kama tuna utashi mwema na nchi ifute matokeo yote ya urais kwa nchi nzima na kurudia kama ilivyofanya katika jimbo moja kwa kuwa hatuwezi kukubali matokeo ya vyombo vya dola kwa kuwa tulihisi muda mrefu alisema dk slaa ametoa mfano wa jimbo la same mashariki ambako alidai ni kielelezo cha wizi wa kura amedai kuwa katika fomu yenye namba 03182 ccm ilipata kura 92 wakabadilisha na kujipa kura 123 chadema ilipata kura halali 66 zikapunguzwa na kubaki 33 tumetumia njia nyepesi ya sampuli kujua wizi huo maana aina ya pili ya wizi waliotumia ni kubuni kituo hewa kuna kituo hewa na 002586 kituo halali ni namba 002582 kura zinafanana katika fomu halisi hapo ccm walijipa kura 190 na chadema 26 alieleza hata hivyo katika utangazaji wa matokeo ya urais nec haitangazi matokeo ya vituo vya uchaguzi kama mifano ya dk slaa inavyoonesha bali imekuwa ikitangaza matokeo ya jumla ya jimbo dk slaa pia amemtaka mkuu wa usalama wa taifa kujiuzulu mara moja wadhifa huo kwa madai kuwa kwamba ameshindwa kuwajibika ipasavyo na kuonekana kuwa upande wa chama kimoja
4th november 2010 1505
re dk slaa akataa matokeo
4th november 2010 1509
4th november 2010 1515
4th november 2010 1519
mgombea urais kwa tiketi ya chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) dk willibrod slaa ameitaka tume ya taifa ya uchaguzi (nec) kusitisha mara moja kutangaza matokeo ya urais kwa madai kuwa kuwa kura hizo 'zimechakachuliwa' dk slaa anataka uchaguzi urudiwe na si kurudia kuhesabu kura mwenyekiti wa nec jaji lewis makame amemshangaa dk slaa kwa kuwa hajafanya mawasiliano yoyote na tume hiyo jaji makame amesema kama dk slaa ana uhakika apeleke nyaraka zake ili zilinganishwe na nyaraka zinazotumika kutangaza matokeo akizungumza jana katika mkutano aliouitisha wa waandishi wa habari dar es salaam dk slaa aliitaka nec isitishe kutangaza matokeo ya urais ambayo mgombea wa ccm rais jakaya kikwete amekuwa akiongoza mpaka haki itakapotendeka dk slaa ambaye katika matokeo yaliyokwishatolewa na nec mpaka sasa ameachwa mbali na kikwete alidai katika matangazo ya kura hizo maeneo mengi yanayotangazwa kura zake zimebadilishwa ili kuiwezesha ccm kuibuka na ushindi baada ya kuona hali hii niiombe nec kama tuna utashi mwema na nchi ifute matokeo yote ya urais kwa nchi nzima na kurudia kama ilivyofanya katika jimbo moja kwa kuwa hatuwezi kukubali matokeo ya vyombo vya dola kwa kuwa tulihisi muda mrefu alisema dk slaa ametoa mfano wa jimbo la same mashariki ambako alidai ni kielelezo cha wizi wa kura amedai kuwa katika fomu yenye namba 03182 ccm ilipata kura 92 wakabadilisha na kujipa kura 123 chadema ilipata kura halali 66 zikapunguzwa na kubaki 33 tumetumia njia nyepesi ya sampuli kujua wizi huo maana aina ya pili ya wizi waliotumia ni kubuni kituo hewa kuna kituo hewa na 002586 kituo halali ni namba 002582 kura zinafanana katika fomu halisi hapo ccm walijipa kura 190 na chadema 26 alieleza hata hivyo katika utangazaji wa matokeo ya urais nec haitangazi matokeo ya vituo vya uchaguzi kama mifano ya dk slaa inavyoonesha bali imekuwa ikitangaza matokeo ya jumla ya jimbo dk slaa pia amemtaka mkuu wa usalama wa taifa kujiuzulu mara moja wadhifa huo kwa madai kuwa kwamba ameshindwa kuwajibika ipasavyo na kuonekana kuwa upande wa chama kimoja
4th november 2010 1526
4th november 2010 1528
posts 6369 rep power
likes given8486
4th november 2010 1531
4th november 2010 1532
4th november 2010 1542
4th november 2010 1544
4th november 2010 1600
4th november 2010 1603
umasikini utaongezeka kama hatutafuti haki yetu ya kweli
katibu wa chadema akataa matokeo ya jk hadharani
last post 22nd november 2010 1701
by jjeremiah in forum jukwaa la siasa
last post 12th november 2010 1101
by emt in forum tanzania 20102015
last post 3rd november 2010 2125
last post 31st august 2010 0426
last post 15th october 2008 1820 | 2014-03-07T08:08:47 | http://www.jamiiforums.com/tanzania-2010-2015/84760-dk-slaa-akataa-matokeo.html |
tff walipeni makocha madai yao mpaka mshtakiwe fifa jamiiforums
tff walipeni makocha madai yao mpaka mshtakiwe fifa
hakika inashangaza sana kwa tff kupelekwa fifa na aliyekuwa kocha wa taifa stars emmanuel amunike kwa kutokulipwa mishahara yakekwanini tff wakati inavunja mikataba na makocha isiwalipe kabisa madai yao kwani tff haina bajeti ya makocha kocha mtanzania charles boniface mkwassa nae sijui kama kalipwa kwani alikuwa anaidai tfftunaushauri uongozi wa tff iheshimu mikataba ya watendaji waketanzania kushtakiwa fifa na kulitia aibu taifa
reactions subadesubking and rooney
kazi yao kujaza matumbo yao tuu sijui hela hua wanapeleka wapi
soka letu linahitaji watu sahihi watukwamue
hizo hela za kuwatuza wachezaji zinapatikana ila kumlipa kocha hazipo duh kweli siasa ndo inaharibu mpira wetu
unaongelea makocha wa nje wakati marefa wa ligi hawakulipwa toka msimu uliopita hadi leowakidai wanatishiwa
mzaha mzaha hutumbua usaha
amunike asipolipwa tutamshauri akafungue kesi kama yule mkulima wa sauzi
kuna timu mpaka leo hawajalipwa pesa zao pamoja na fedha hizo kutolewa na wadhamini
unataka wakamate ndege
tff aka tifua tifua
uswahili mwingi kwa karia pale karume
karia mpigaji sana tutafukuria makaburi yake na anako pitisha pesa
msomali anajenga kwao mogadishu na katibu wake anajenga kwao burundi
karia na wenzake ni wahujumu hata pesa ya ubingwa wa kombe la azam hawakuwalipa mtibwa | 2019-09-23T20:28:11 | https://www.jamiiforums.com/threads/tff-walipeni-makocha-madai-yao-mpaka-mshtakiwe-fifa.1627998/ |
njoo tusheherekee mei mosi pamoja na skylight band leo ndani ya kiota cha thai village masaki
home » unlabelled » njoo tusheherekee mei mosi pamoja na skylight band leo ndani ya kiota cha thai village masaki
rapa mkongwe kwenye muziki wa live joniko flower(wa kwanza kushoto) akiendelea kutoa burudani ya nguvu
huku msanii mwenzake sony masamba akiendlea kuzirundi ngoma ndani ya kiota cha thai village masaki jijini dar usikose leo kwenye shoo yao maana kuna vitu vingi vipya
msanii wa bendi ya skylight sony masamba(wa kwanza kushoto) akiendelea kutoa burudani huku akisindikizwa na wasanii wenzake ambao ni ashura kitenge(wa kanza kulia)
pamoja na sam mapenzi( katikati)
waimbaji wa bendi ya skylight wakiendelea kutoa burudani ndani ya kiota cha thai village masaki jijini
dar usikose leo njoo na yule umpendae ili ujionee raha ya bendi hii
mambo ya selfie hayakosi ndani ya kiota cha thai village wakati wa beni ya skylight ikiendelea kutoa burudani
ashura kitenge akiimba mbele ya
mashabiki wa skylight band(hawapo pichani) kwenye kiota cha thai village masaki jijini dar huku akisindikizwa na wanamziki wenzake ambao ni sony masamba(wa kwanza kushoto) meneja wa skylight band aneth kushaba ak 47(wa pili kutoka kushoto) pamoja na joniko flower(wa kwanza kutoka kulia)
mashabiki wa skylight band(hawapo pichani) kwenye kiota cha thai village masaki jijini dar huku akisindikizwa na meneja wa skylight band aneth kushaba ak 47(kushoto) pamoja na sam mapenzi(kulia)
mmoja wa mashabiki wa bendi ya skylight akichukua kumbukumbu
20150501t0422000700
artikel terkait njoo tusheherekee mei mosi pamoja na skylight band leo ndani ya kiota cha thai village masaki | 2017-02-21T09:57:34 | http://utamuutamu.blogspot.com/2015/05/njoo-tusheherekee-mei-mosi-pamoja-na.html |
msaada wa please unahitajika | jamiiforums | the home of great thinkers
msaada wa please unahitajika
discussion in 'tech gadgets & science forum' started by papizo dec 19 2009
wadau naombeni msaada wenu zaidinadhani nimejaribu kucheck zaidi lakini nimeshindwa kufumbua problem ya hii laptop yangu ni ninikwanza kabisa nina problem ya internet ya kuaccess websitenatumia internet explorerfirefoxsafari na opera hizi zote ninazo lakini sielewi kwa nini mfano siwezi kufungua mfano hotmailyahoofacebook na baadhi ya website zingine nimejaribu kwa kufungua kutumia hizo browse ambazo nilizozitaja lakini bado inagoma kabisa nikifungua mfano nataka kuweka password na username nikiclick ok inasema kwamba safari/firefox/opera cant connect to the server au kuna mahali nime deny access maana sasa sijui hata nifanyeje
wadau naombeni msaada wenu zaidinadhani nimejaribu kucheck zaidi lakini nimeshindwa kufumbua problem ya hii laptop yangu ni ninikwanza kabisa nina problem ya internet ya kuaccess websitenatumia internet explorerfirefoxsafari na opera hizi zote ninazo lakini sielewi kwa nini mfano siwezi kufungua mfano hotmailyahoofacebook na baadhi ya website zingine nimejaribu kwa kufungua kutumia hizo browse ambazo nilizozitaja lakini bado inagoma kabisa nikifungua mfano nataka kuweka password na username nikiclick ok inasema kwamba safari/firefox/opera cant connect to the server au kuna mahali nime deny access maana sasa sijui hata nifanyejeclick to expand
unatumia internet explorer version ip 567au 8 fuatilia hi settup yake [size=+3]internet explorer setup[/size]
step 1 start by opening internet explorer step 2 click on tools then internet options < top >
step 3 on the general tab ensure that http//wwwcnetworkcom is entered in the address box under the home page section < top > step 4 under the connection tab ensure that cnw appears in the dialup and virtual private network settings make sure cnw is listed as the default connection to set cnw as the default connection click on cnw to highlight it then click on the set default button make sure that always dial my default connection has a radio button selected < top >
step 5 click on the settings button make sure there are no options checked off on this page under dial up settings make sure that the user name box includes inet/ followed by your full cnw email address your password should also be entered it only appears longer than it actually is for security reasons you receive an error message in internet explorer internet explorer cannot display the webpage bonyeza hapa http//supportmicrosoftcom/kb/956196
thanks mkubwa nashukuru kwa msaada wakopia nimejaribu kuidelete hiyo internet explorer 8 ili niiinstall again lakini imegoma kabisa inakaa haitaki kutoka kabisanahisi nimei denied folder sijajua ni wapi maana nikidelete inaniambia kwamba you need permission to delete this forder then destination folder access denied na nikitaka kudelete hiyo internet explorer lazima niende hapa c/program files
sasa hapo naona inabidi nifahamu wapi sijui nitaweza kutatua hii problem
pia nimejaribu kufatilia hizo step ulizonipa zimekataa na nimefatilia na zile zingine za microsoft pia lakini zimekataa pia | 2016-10-27T07:23:26 | http://www.jamiiforums.com/threads/msaada-wa-please-unahitajika.47543/ |
waziri wa utalii na mbunge wa nzega ni wahaini wanataka kuleta machafuko na umwagaji damu | jamiiforums | the home of great thinkers
waziri wa utalii na mbunge wa nzega ni wahaini wanataka kuleta machafuko na umwagaji damu
discussion in 'jukwaa la siasa' started by jokakuu mar 8 2011
waziri maige amekaririwa akitoa matamshi ya vitisho kwamba yuko tayari kwa lolote akitetea wachimbaji wadogo wadogo dhidi ya mwekezaji
mbunge wa nzega mhkigwangalah naye ameandaa maandamano dhidi ya kampuni ya uchimbaji dhahabu iliyoko jimboni kwake
je hawa hawaingii ktk kundi la wahaini wanaotaka kuleta umwagaji damu nchini
sio mhainini mtetezi wa wanyonge
sio mhainini mtetezi wa wanyongeclick to expand
waziri maige amesema kwamba yeye atatetea wachimbaji wa wadogo hataelewa lugha yoyote ile na yuko tayari kwa lolote
sasa wewe hapo huoni kwamba huyo anatoa vitisho kwa serikali kuitishia serikali iliyochaguliwa na wananchi siyo uhaini
mbunge wa nzega mhdrkingwagallah naye ameandaa maandamano kupinga mgodi wa dhahabu ulioko nzega
sote tunaelewa kwamba migodini kuna mali nyingi pia migodi hiyo inalindwa na askari wenye silaha nzito sasa drkingwangallah haoni kwamba huo ni uchochezi je hana huruma na wananchi ambao wanaweza kumwaga damu na kupoteza maisha wakisikiliza uchochezi wake
kwanini wabunge hao wasitafute njia za amani za kushughulikia matatizo hayo kuliko huu uchochezi wa kihaini
hata kule arusha watu walikufa wakitetea haki zaowaache hao viongozi watetee na washirikiane na wanyongehata kama damu itamwagikaujumbe utakuwa umefika na mabadiliko yatafanyika hata kama si ya kuwanufaisha waolakini watoto wao watanufaika na maamuzi magumu ya wazazi waotuache uogatutetee haki zetunjia za amani tanzania zimetumika sanamara ngapi tumekuwa tunasikia kina lissu na wengine wakiongelea sheria mbovu za madini kuna utekelezaji wowote zaidi ya kudanganywa huku madini yakizidi kunufaisha wageni inaruhusiwa kubadilisha approach ya kudai haki kama ile ya mwanzo haikufanya kazi
je hawa hawaingii ktk kundi la wahaini wanaotaka kuleta umwagaji damu nchiniclick to expand
ni watetezi wa wanyonge na wanasimamia people's power na wanachofanya ni kusiamamia kiapo chao kama wabunge
nimevitiwa na misimamo yao inayoonyesha kwamba hata kwenye ccm wapo walio na uwakilishi wa kweli kwa wananchi wao
hii siyo jadi ya ccm kuna kitu hapo
kwa tafsiri za hivi karibuni kutoka ccm wanawezakuitwa wahaini na watu wanaopingana na msimamo wa chama
hao wanajaribu kudesa kwa dr slaa
eti watu wa chama cha zamani eti wao wakiongea lolote eti hiyo eti si lugha ya vitisho
kigwangalah yeye anaogopa kivuli cha hussein bashe anajua kuwa wanaccm wa nzega walimtaka bashe yeye akasaidiwa na familia ya kikwete kupata ubunge hivyo ni kama vile anajaribu kutafuta legitimacy simlaumu sana ndiyo sihasa hiyo
wakifanya ccm ni siasa wakifanya cdm ni uchochezi na uhaini | 2016-10-25T21:01:48 | http://www.jamiiforums.com/threads/waziri-wa-utalii-na-mbunge-wa-nzega-ni-wahaini-wanataka-kuleta-machafuko-na-umwagaji-damu.116197/ |
usajili wa wachezaji wa ligi kuu kufikia tamati agosti 5 | sdm production media
home / uncategories / usajili wa wachezaji wa ligi kuu kufikia tamati agosti 5
usajili wa wachezaji wa ligi kuu kufikia tamati agosti 5
beki wa kimataifa wa uganda aliyewahi kuichezea klabu ya simba joseph owino (katikati) akisaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia klabu hiyo kushoto ni kaimu makamu mwenyekiti wa simba joseph itang'ale 'kinesi' na (kulia) ni mjumbe wa kamati ya utendaji simba said pamba
na boniface wambura dar | 2017-08-22T01:44:10 | http://sdmproductionmedia.blogspot.com/2013/08/usajili-wa-wachezaji-wa-ligi-kuu.html |
wwwbukobasportscom edgar biazo aipeleleka ijuganyondo fc nusu fainalijioni hii kaitaba dhidi ya timu ya buhembe fc kwa bao 10
edgar biazo aipeleleka ijuganyondo fc nusu fainalijioni hii kaitaba dhidi ya timu ya buhembe fc kwa bao 10
edgar biazo akishangilia goli la pekee dakika za lala salama mara baada ya kuitandika bao 10 timu ya buhembe fc leo kwenye uwanja wa kaitaba mjini bukoba kwenye ligi ya kamala cup 2018 mchezo huo ulikuwa ni wa kuhitimisha ungwe ya robo fainali diwani wa kata ya ijuganyondo mh kamala kalumuna akiwapongeza vijana kwa ushindi walioupata
edgar biazo akishangilia goli la pekee dakika za lala salama mara baada ya kuitandika bao 10 timu ya buhembe fc leo kwenye uwanja wa kaitaba mjini bukoba
edgar biazo akipongezwa na mmoja wa kiongozi wa timu hiyo ya ijuganyondo akijulikana kwa jina bube
pongezi za ushindi
baadhi ya wachezaji wa timu ya ijuganyondo fc wakionesha pesa waliyopewa na diwani wao mara baada ya kuibuka na ushindi wa bao 10 dhidi ya timu ya buhembe fc
posted by faustine ruta at 71500 pm | 2018-04-27T08:10:24 | http://www.bukobasports.com/2018/03/edgar-biazo-aipeleleka-ijuganyondo-fc.html |
kingotanzania habari picha na matangazo samahani wadau wa kingotanzania kwa kutokuwa hewani kwa siku mbili
samahani wadau wa kingotanzania kwa kutokuwa hewani kwa siku mbili
kwaya ya calvary wakiwa katika huduma ya kuandaa mkanda wa video (nimebeba jina kubwa) | 2018-03-18T09:39:05 | http://kingotanzania.blogspot.com/2013/06/samahani-wadau-wa-kingotanzania-kwa.html |
mch msigwa apigwa stop kufanya mikutano iringa mwanahalisi online
posted by mwandishi wetu october 9 2018 0 2267 views
jeshi la polisi mkoani iringa limempiga marufuku mbunge wa iringa mjini peter msigwa kufanya mikutano ya hadhara kwa madai ya kutoa lugha za matusi na uchochezi anaripoti mwandishi wetu (endelea)
kwa mujibu wa barua iliyosambaa mitandaoni inayodaiwa kutoka kwa jeshi la polisi wilaya ya iringa na kusainiwa na kamanda wa polisi wilayani humo yohana mjengi inadai kuwa msigwa amekiuka makubaliano ya kibali alichopewa cha kufanya mikutano hiyo
barua hiyo inaeleza kuwa katika barua yake ya maombi msigwa aliomba kufanya mikutano ya hadhara katika kata mbalimbali kwa ajili ya kukutana na wananchi kupokea kero kuhamasisha maendeleo na kupokea maoni kabla kwenda bungeni
lakini barua hiyo inadai kuwa msigwa katika mkutano wake wa hadhara alioufanya kwenye kata ya kihesa alitoa maneno ya kashfa na uchochezi yanayoashiria uvunjifu wa amani kwenye jimbo lake na kwamba kwa mantiki hiyo haruhusiwi kuendelea na mikutano yake hivyo kama akikaidi agizo hilo hatua kali za kisheria zitachukuliwa mara moja dhidi yake
jeshi la polisi mkoani iringa limempiga marufuku mbunge wa iringa mjini peter msigwa kufanya mikutano ya hadhara kwa madai ya kutoa lugha za matusi na uchochezi anaripoti mwandishi wetu (endelea) kwa mujibu wa barua iliyosambaa mitandaoni inayodaiwa kutoka kwa jeshi la polisi wilaya ya iringa na kusainiwa na kamanda wa polisi wilayani humo yohana mjengi inadai kuwa msigwa amekiuka makubaliano ya kibali alichopewa cha kufanya mikutano hiyo barua hiyo inaeleza kuwa katika barua yake ya maombi msigwa aliomba kufanya mikutano ya hadhara katika kata mbalimbali kwa ajili ya kukutana na wananchi kupokea kero kuhamasisha maendeleo na kupokea maoni kabla&hellip
previous lugola achemka jpm atumbua
next ishara ya kidole cha mwisho kumponza mourinho | 2019-04-20T01:00:27 | http://mwanahalisionline.com/mch-msigwa-apigwa-stop-kufanya-mikutano-iringa/ |
ukatili kijinsia wapingwa mwanahalisi online
posted by christina haule may 31 2017 0 489 views
mkurugenzi mtendaji wa kituo cha msaada wa kisheria cha parallegal morogoro frola masoi ameitaka jamii kuzingatia na kuzifuata sheria zilizopo kwenye katiba ya tanzania zinazoitaka kuacha matendo ya ukatili wa kijinsia ili kukomesha vitendo hivyo anaandika christina haule
masoi amesema zipo sheria kwenye katiba ya tanzania zinazosema binadamu wote ni sawa kila mtu ana haki sambamba na matamko na mikataba mbalimbali ikiwemo ya kimataifa ambayo imeridhiwa inayopinga masuala ya ukatili wa kijinsia ukiwemo mkataba wa kimataifa wa cedau hivyo jamii haina budi kuzingatia
licha ya serikali ya tanzania kutokuwa na sheria mahususi ya kupambana na ukatili wa kijinsia kwa ujumla ambayo hadi sasa watetezi wa masuala ya kijinsia wanaendelea kuipigania iwepo lakini zipo sheria hizo zinzopambana na masuala ya makosa ya kujamiiana ambazo pia kisheria zinasimama kutetea masuala ya ukatili wa kijinsia (gbv) kwa ujumla amesema
naye ofisa ufuatiliaji wa kituo hicho augustino ernest amesema mwaka 2016 walipokea kesi 246 kutoka kwa wakazi wa manispaa pekee huku tayari wameshapokea kesi 229 katika kipindi cha kuanzia mwezi januari hadi mei mwaka huu 2017
amesema ongezeko hilo limetokana na wasaidizi wa kisheria kutembea wilaya mbalimbali za mkoa wa morogoro kuhamasisha jamii kupinga ukatili huo ikiwemo wilayani kilosa kwa kutoa elimu na kufanya matukio hayo kuonekana kuongezeka
mkurugenzi mtendaji wa kituo cha msaada wa kisheria cha parallegal morogoro frola masoi ameitaka jamii kuzingatia na kuzifuata sheria zilizopo kwenye katiba ya tanzania zinazoitaka kuacha matendo ya ukatili wa kijinsia ili kukomesha vitendo hivyo anaandika christina haule masoi amesema zipo sheria kwenye katiba ya tanzania zinazosema binadamu wote ni sawa kila mtu ana haki sambamba na matamko na mikataba mbalimbali ikiwemo ya kimataifa ambayo imeridhiwa inayopinga masuala ya ukatili wa kijinsia ukiwemo mkataba wa kimataifa wa cedau hivyo jamii haina budi kuzingatia licha ya serikali ya tanzania kutokuwa na sheria mahususi ya kupambana na ukatili wa kijinsia kwa ujumla&hellip
previous mbowe aelezea ndesambulo alivyofariki
next igp sirro aanza na wauaji wa pwani
nccr wataja mgombea wao urais
utata juu ya tuzo ya ronaldo | 2018-04-21T07:46:11 | http://mwanahalisionline.com/ukatili-kijinsia-wapingwa/ |
mizengo pinda amkaribia nyerere kwa uongozi bora | jamiiforums | the home of great thinkers
mizengo pinda amkaribia nyerere kwa uongozi bora
discussion in 'jukwaa la siasa' started by kanda2 aug 16 2009
waziri mkuu mizengo pinda kuwa mujibuwa utafiti anamkaribia mwalimu nyerere kwa uongozi bora
na leon bahati miaka 10 tangu kifo chakebaba wa taifa mwalimu julius nyerere ameongoza kwa ubora miongoni mwa mawaziri wakuu 10 waliowahi kushika wadhifa huo nchini akifuatiwa kwa karibu na waziri mkuu wa sasa mizengo pinda kwa mujibu wa utafiti uliofanywa miezi mitatu iliyopita na kampuni ya synovate ambayo zamani ilikuwa ikijulikana kama steadman group tanzania pinda ametofautiana kwa pointi moja tu nyuma ya mwalimu nyerere mwalimu nyerere anaongoza kwa asilimia 29 na pinda anamfuatia kwa asilimia 28 na kuwaacha wengine kwa tofauti kubwa akiwamo aliyemtagulia edward lowassa mawaziri wakuu wanaoshika mkia kwa ubora ni john malecele cleopa msuya na joseph warioba ambao kila mmoja amepata asilimia moja hayati edward sokoine ambaye alikufa kwa ajali ya gari mwaka 1984 akiwa ana sifa kemukemu kutokana na kuongoza vita dhidi ya walanguzi na wahujumu uchumi anashika nafasi ya tatu kwa ubora akiwa na asilimia 26 baada ya sokoine ambaye anashika nafasi ya tatu mawaziri wakuu wengine wamepata alama za ubora chini ya asilimia 10
nafasi ya nne inashikiliwa na waziri mkuu mstaafu frederick sumaye kwa asilimia sita wakati edward lowassa ambaye alijiuzulu kutokana na kashfa ya richmond mwaka jana anafungana na mzee rashid kawawa na kushika nafasi ya tano kwa kuwa na asilimia nne nafasi ya tano inashikiliwa na dk salim ahmed salim ambaye pia aliwahi kuwa katibu mkuu wa umoja wa nchi huru za afrika (oau) ambao kwa sasa unajulikana kama umoja wa afrika (au) utafiti huo unamuonyesha pia pinda kama waziri mkuu anayefahamika zaidi kwa watu kuliko wengine katika kundi hilo pinda anafahamika kwa watu kwa asilimia 81 akifuatiwa na lowassa kwa asilimia 73
wanaofuatia pamoja na kiwango cha asilimia cha kufahamika ni sumaye (60) sokoine (45) nyerere (37) kawawa (34) malecela (24) warioba (20) msuya (18) na dk salim (14) meneja msaidizi wa synovate agreey orio aliviambia vyombo vya habari hivi karibuni kuwa kwenye utafiti huo rais jakaya kikwete ana ana nafasi kubwa ya kuchaguliwa tena kwenye nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu ujao 2010 kwa upande wa rais wa zanzibar utafiti huo ulionyesha kuwa katibu mkuu wa chama cha wananchi (cuf) maalim seif sharif hamad anapewa nafasi kubwa ya kushinda
hiyo ni moja kati ya research za uongo na propaganda huo utafiti unaonesha propaganda bado zinatawala tanzania nyerere ni kiongozi bora pinda pia umaskini tuliokuwa nao wtz unataka kuniambia kwamba nyerere alikuwa kiongozi bora huo utafiti ni uongo na propaganda tupu
hivi nyerere alikuwa kiongozi bora sana eehmimi siiti research ya uongo bali ni research ya upumbavu kuwai kuisikia ndo hii
hivi umaskini wa watanzania umesababishwa na nyerere wakati anachukua uongozi hao watz walikuwa na hali gani
shamu na kigogo vichwa vyenu vibovu
huo utafiti unalinganisha waliowahi kuwa mawaziri wakuu nyerere ndio kinara wao hata pinda anapiga mzigo vizuri sijui nyie mnadhani nani alikuwa bora
jamani watanzania wenzangu msidanganyike na utafiti wa steadman wa uongozi bora hizi ni data za kupikwa hii ni njama wataalamu wanaita ajenda seting sasa wananchi wasioelewa watasema kumbe bado hawa watu wanakubalika kwanini tusiwapigie kura kumbe data za kupikwa mimi sibishi kuwa pinda ni mzuri kiuongozi tatizo ni watu anaoongoza nao serikali isiyojali watu jk alivyoingia tulimwamini lakini watu aliowakuta wanamkwamisha na yeye kutoka ni ngumu tutamsaidiaje
hebu angalia anawakumbatia kina hosea mwanyika na katibu mkuu wa nishati na madini wakati akijua walihusika na richmond sasa tutamwamini vipi ukitakata kuokoa mti mzuri shambani usiungue na mota una fyeka nyasi za pembeni kwanza ili moto usifike kwake sasa jk kawakumbatia mafisadi lazima ataungua nao japo tunampenda sana naye anajua hivyo ingekuwa mimi ningemwambia jk fumba macho anzisha chama chako wachukue watu wazuri gombe mwakani nasema hivyo kwasababu wadhamini wa ccm ni kila lowasa naye chenge juzi tumesikia uvccm wamempa ukamanda kuwalea jamani mnangoja nini haya minihayo tu kwa sasa endeleeni kushabikia tafiti za steadman ambazo tunajua zilipikwa
subirini mwakani vumbi itakavyokuwa ni zaidi ya 1995 na zenji ndo hivyo tena kingunge kashamkubali maalim seif kuwa ni mtu mwenye msimamo umewahi kusikia hilo kwa kingunge miaka iliyopita kama hujasoma alama za nyakati soma sasa ccm wenyewe wanalumbana majukwaani vikao vya chama wameona havifai
ndugu zangu huu utafiti unatuonyesha ukilinganisha viongozi wote waliohudumu kwenye nafasi hiyo ya ukiranja (pm) kimsingi nyerere na mtoto wa mkulima wako safi manake wemgine sio walikuwa wanatupeleka chaka
acha kufuru
utafiti huu ni wa kijinga utatuambiaje mtu tunayemuona na kumjua kwa upumbafu wake alafu useme ni bora sijui kuliko nani pumbafu zenu hata hao synovate
mngeniambia kuwa sokoine ndiyo anaongoza kidogo itaniingia akilini lakini pinda mh i doubt
hiyo ni moja kati ya research za uongo na propaganda huo utafiti unaonesha propaganda bado zinatawala tanzania nyerere ni kiongozi bora pinda pia umaskini tuliokuwa nao wtz unataka kuniambia kwamba nyerere alikuwa kiongozi bora huo utafiti ni uongo na propaganda tupuclick to expand
mkuu sidhani kama utafiti ndio tatizo haya ni maoni ya watanzania hivi ndivyo tunavyofikiria
huo utafiti unalinganisha waliowahi kuwa mawaziri wakuu nyerere ndio kinara wao hata pinda anapiga mzigo vizuri sijui nyie mnadhani nani alikuwa boraclick to expand
jamani pinda kafanya lipi la maana hadi sasa kama ni uadilifu basi drsalim asalimkawawa na sokoine ndio waaminifutuliambiwa kuwa sokoine alikufa akiwa na suti pea mbili jee pinda ana suti pia ngapi
drsalim anaweza kufananishwa na pinda pinda huyu kafanya kazi lini hadi apewe alama hizi mkapa kwa term yake ya kwanza alikuwa anaonekana ni muadilifu hadi pale alipofariki mwalimu nyerere ndio akaonesha ngozi yake halisipinda hajakaa hata miaka mitatu tutamtathimini vipi mwanafunzi hupimwa mwanzo wa kozi au mwisho wa kozi
kama pinda ni kiongozi wa mfano ashughulikie maazimio ya bunge juu ya richmond angekuwa sokoine angefanya kazi yake
huu utafiti haujatumia creteria sahii katika kupata maoni ya watu ndo maana matokeo hayana ukweli wowote na uhalisiakwa mfano hapo mwishoni wanapomalizia kwa kuelezea kuhusu mawaziri wakuu maarufukwamba anaongoza pindalowasasumaye
hii inaonyesha kuwa hawakutumia approval rates katika utendaji na ufanisi wa utendaji waziri mkuu mhusika bali kwa kuuliza tu kuwa kati ya hao hapo nani ambaye labda mtu anamfahamukatika hali ya kawaida vijana wengi watanzania na watanzania wengi tu hawafahamu hata kama nyerere alishawahi kuwa waziri mkuuau kama sokoine au dksalim alishawahi kushika wadhifa huukwa hiyo obviously wengi watamfikria pinda au lowasa au sumayena wasimfikrie heta jemadari hayati sokoinepopularity should be judged in terms of job approval ratesand not who comes to your mind first which is what these people have done in their research
if it was based on job approval rates then it's obvious sokoine is the winnerand not sumayepinda or lowasa kama inavyoonyesha huo utafiti
so i agree with majority here that this whole research thing is totally and completely misleading
kweli kabisa kajathesi nakuunga mkono kuwa huwezi fanya utafiti wa viongozi hasa kiti cha waziri mkuu ikiwa hufahamu nyerere alifanya nini akiwa waziri mkuu sokoine alifanya nini positive wakati wake kisha ukapima ufanisi wa watu wote hawa sii tu kutokana na utendaji wao bali pia shurba na mapambano waliyosimamia
jamani pinda kafanya lipi la maana hadi sasa kama ni uadilifu basi drsalim asalimkawawa na sokoine ndio waaminifutuliambiwa kuwa sokoine alikufa akiwa na suti pea mbili jee pinda ana suti pia ngapiclick to expand
hivi hao stedman hawajipendi mpaka wamsifie dr salim
embu fikiria wangesema dr salim ndio bora
kusema dr salim ni bora ni sawasawa na kusema bilali ni maarufu
kama pinda ni kiongozi wa mfano ashughulikie maazimio ya bunge juu ya richmond angekuwa sokoine angefanya kazi yakeclick to expand
kwangu mimi huyu pinda ni zero kabisa tangu siku aliyotamka kwamba mafisadi ni matajiri wakubwa sana nchini mwetu kama wakikamatwa basi nchi itawaka moto huyo si hafai tu kuwa waziri mkuu bali hata mjumbe wa nyumba kumi kumi angalia alivyosimama bungeni kutaka kumtetea fisadi mkapa eti ni kiongozi safi kabisa pamoja na kufanya biashara akiwa ikulu kuhusika kwa karibu kabisa katika ununuzi wa kifisadi wa rada magari na helicopters za jeshi kuiba mgodi wa kiwira na kujiuzia kwa 10 ya thamani ya mgodi huo kuhusika katika kusaini mikataba ya uchimbaji wa madini yetu ambayo haina maslahi yoyote kwa nchi yetu yote hayo pinda aliyafumbia macho na kumuona fisadi mkapa kama mr clean halafu leo tunaambiwa eti utendaji wake unakaribiana na mwalimu 1 people likes
hao synovate waweke hiyo poll yao hapa halafu na sisi tujibu maswali yao na kupiga kura tuone kada ya wasomi inasimamia wapi kuhusu hao viongozi
hao synovate waweke hiyo poll yao hapa halafu na sisi tujibu maswali yao na kupiga kura tuone kada ya wasomi inasimamia wapi kuhusu hao viongoziclick to expand
kwani wewe hufahamu huo utafiti huwa unafanyika vipi wacha ni kueleze watafiti wanakuja na kitu chaohalafu wanasema tutafute watu wa kusupport hicho kitu it is as simple as that sasa wanasema wanatafuta maoni pale lakini wanaouulizwa ni wale wale ambao watakubaliana na wazo la tafiti hiyo kitu kwa kwetu afrika wala isikugutushe ni mchezo wa karagosi usanii tu huo
nyerere hajapatapo kuikandia zenj pinda anaonekana haipendi zenj any way hatuhitaji kupendwa naye pinda si sawa na nyerere abadan asilian
mngeniambia kuwa sokoine ndiyo anaongoza kidogo itaniingia akilini lakini pinda mh i doubtclick to expand
heri wewe umesema ati mtu asiyeheshimu katiba awe bora mwee jina lenyewe tu ati syndicate labda ya majambazi | 2017-01-18T18:32:47 | https://www.jamiiforums.com/threads/mizengo-pinda-amkaribia-nyerere-kwa-uongozi-bora.36381/ |
rais magufuli atoa maagizo haya kwa viongozi hawa nchinionyo kali kwa waalimu pia latolewa
» rais magufuli atoa maagizo haya kwa viongozi hawa nchinionyo kali kwa waalimu pia latolewa
title rais magufuli atoa maagizo haya kwa viongozi hawa nchinionyo kali kwa waalimu pia latolewa
des rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli amewaagiza viongozi wote wa kuanz
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli amewaagiza viongozi wote wa kuanzia ngazi ya mkoa hadi kitongoji hapa nchini kufuatilia matumizi ya fedha zinazotolewa na serikali kwa ajili ya kutoa elimu bila malipo kwa lengo la kudhibiti mianya ya matumizi mabaya ya fedha hizorais magufuli ametoa maagizo hayo leo tarehe 01 agosti 2016 katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa mnadani na kuwajumuisha wananchi wa katoro na buseresere mkoani geitakatika agizo hilo dkt magufuli amewaonya walimu ambao wameanza kufanya udanganyifu kwa kuandikisha idadi kubwa ya wanafunzi kuliko idadi halisi kwa lengo la kupata mgao mkubwa wa fedha za ruzuku na amesema serikali itachukua hatua kali dhidi ya yeyote atakayebainika kufanya hivyo
ninafahamu mgao wa fedha hizo hutolewa kulingana na idadi ya wanafunzi waliopo wapo baadhi ya walimu ambao wameanza kuandika wanafunzi hewa katika shule zao ili kusudi aletewe hela nyingi kuliko idadi ya wanafunzi waliopo wanafunzi kama wapo laki nne yeye anasema shule yangu hii ina wanafunzi laki tano ili kusudi hela zikija za wanafunzi laki tano za wanafunzi laki moja wagawanenapenda nitoe wito kwa walimu tanzania nzima mnatafuta matatizo narudia mnatafuta matatizo msijaribu kula hela ya serikali amesema rais magufulipamoja na agizo hilo rais magufuli pia ametaka viongozi wa ngazi zote katika mikoa kuhakikisha wana takwimu za idadi ya wanafunzi katika shule zote zilizopo katika maeneo yao ili kurahisisha ufuatiliaji wa fedha hizo na amesema kuwa kuanzia sasa ataanza kutembelea shule kwa kushitukiza na kwamba kiongozi atakayeonekana kutojua takwimu itakuwa ni uthibitisho kuwa hatoshi kuendelea na wadhifa alionaona nitoe wito kwa viongozi wa mikoa mkuu wa mkoa wakuu wa wilaya wakurugenzi makatibu tarafa watendaji wa kata wenyeviti wa vijiji kila mmoja awe na idadi ya wanafunzi waliopo katika shule zao hatutaki kuwapunja wanafunzi hela ambayo wanatakiwa kupata lakini pia hatutaki kutoa hela ambayo haitakiwi amesisitiza rais magufulimhe rais magufuli ambaye ametumia mkutano huo kueleza juhudi mbalimbali zilizofanywa na serikali yake ya awamu ya tano kutekeleza ahadi yake ya kujenga tanzania mpya pia amewataka viongozi na watendaji wa serikali kutekeleza wajibu wao kwa kutembelea wananchi wanaowaongoza badala ya kukaa muda mwingi ofisini huku akisisitiza ofisi hizo kuwepo katika maeneo yenye shughuli husikaaidha dkt magufuli amekosoa utaratibu unaotumiwa na halmashauri nyingi za majiji manispaa miji na wilaya kutumia mawakala katika ukusanyaji wa mapato ya halmashauri akisema mawakala hao wamekuwa wakitumia utaratibu huo kukusanya fedha nyingi na kisha kuwasilisha kiasi kidogo katika halmashauri husikahivi kwa nini halmashauri msingekuwa na maafisa wenu wazuri na mkawa na mashine za kielektroni kwa ajili ya kukusanya fedha amehoji dkt magufuli na kuongeza kuwatena mawakala wengine ndio hao hao wamekuwa wakikusanya kodi hata kwa wananchi wanyonge wenye vibiashara vidogo vya kuuza mchicha bila hata kuwaonea hurumarais magufuli ambaye ameongozana na mkewe mama janeth magufuli amemaliza ziara yake ya siku nne katika mikoa ya singida tabora shinyanga na geita na yupo nyumbani kwake chato mkoani geita kwa mapumziko mafupigerson msigwakaimu mkurugenzi wa mawasiliano ikuluchato01 agosti 2016 | 2016-12-04T08:10:48 | http://www.lindiyetu.com/2016/08/rais-magufuli-atoa-maagizo-haya-kwa.html |
1998 sasha stars x2 (starfish) | dj sets & tracklists on mixesdb1998 sasha stars x2 (starfish)from mixesdb(redirected from 1999 sasha stars x2 mix (late 1998 mix))jump to navigation search1998sashastars x2progressive housetracklist incomplete | 2017-07-21T05:35:56 | https://www.mixesdb.com/w/1999_-_Sasha_-_Stars_X2_Mix_(Late_1998_Mix) |
dartalkcom™ | archive | new artists home
category | new artists audio track faidha ft andre k im falling in luv
faidha ft andre k im falling in luv
audio track witney sitaki
witney sitaki
audio track eslyne pride down
eslyne pride down
audio track asia mtoto wa mjini
audio track wababa my wife
wababa my wife
audio track trezoo & abasingle sitaki kwenda keko
trezoo & abasingle sitaki kwenda keko
audio track big makopa ft richard moyo wa furaha (dona)
big makopa ft richard moyo wa furaha (dona)
audio track slaiyank quality brothers
slaiyank the quality brother aunga mkono campaign za kukomesha beto pande za chugatown hii ni ngoma ya tatu anayorelease katika kutambulisha ujio wa album yake ya kilicho bora na single hii kaunda defxtro pande za noizmekahcom track inaitwa quality brothers au kifupi qb
slaiyank quality brothers | 2013-05-19T14:09:00 | http://dartalk.com/category/new-artists/ |
kiswahili chafa | jamiiforums | the home of great thinkers
kiswahili chafa
discussion in 'jukwaa la lugha' started by tabibumtaratibu feb 26 2012
tabibumtaratibu
jaman watumiaji wa kiswahili mmeliona hilingoja niwaoneshe kuna maneno kede wa kede ya kiswahili yamepoteza hadhi yake ya kawaida na kuvikwa hadhi ya matusimfano maneno kamakuliwakupakuliwakupigwakugeuzwakubanduliwa na kadhalikajaman mbona twakitia ukakasi wa maana kiswahili chetutuacheni tabia hii sio nzuri katika kaumu
dah naona ndo kukua kwa lugha kwenyewe
aaa wap wizi mtupuuu
kama serikali yenyewe ilosema iwe lugha ya taifa imeshindwa kukiendeleza unadhani wananchi watakuwa je mfano katiba na sheria zetu zimeandikwa kwa lugha ya kingereza hapo utasema serikali inakithamini mashule mengine hapa tz ukiongea kiswahili ni adhabu kili utapewa pia mashuleni karibia masomo yote yanafundishwa kwa lugha ya kingereza je hapo kweli tunaithamini lugha yetu
kiswahili chafa tanga kunani weyeeelollol waja leo warudi leo
mimi sidhani kama ni tatizo maana hayo maneno hutafasiriwa tofauti tofauti kutokana na mada na mahali husikastill unaweza kutamka kubanduliwa kwa maana yake halisi mahala fulani isiwe shidamkuu usipate shida na maneno ya vijana mitaani
kiswahili chafa tanga kunani weyeeelollol waja leo warudi leoclick to expand
tanga raha weye kiswahil asil yake pwani yakhe
mimi sidhani kama ni tatizo maana hayo maneno hutafasiriwa tofauti tofauti kutokana na mada na mahali husikastill unaweza kutamka kubanduliwa kwa maana yake halisi mahala fulani isiwe shidamkuu usipate shida na maneno ya vijana mitaaniclick to expand
haya bwana yakhe me langu sikio 2 kusikiliza
shajala za mtaani hizo ndo kinaendelea kukua
shajala za mtaani hizo ndo kinaendelea kukuaclick to expand
kinakua kwenda chini labda
tabibumtaratibu said
jaman watumiaji wa kiswahili mmeliona hilingoja niwaoneshe kuna maneno kede wa kede ya kiswahili yamepoteza hadhi yake ya kawaida na kuvikwa hadhi ya matusimfano maneno kamakuliwakupakuliwakupigwakugeuzwakubanduliwa na kadhalikajaman mbona twakitia ukakasi wa maana kiswahili chetutuacheni tabia hii sio nzuri katika kaumuclick to expand
lugha ya kiswahili ni tata
kiswahili lugha ya makabwelatunaipa bendera ya taifa heshima inapopandishwa/kushushwa halafu shuleni utaambiwa kuna 'english speaking policy' ukiongea kiswahili unabebeshwa bango linakokudhalilishatuna nia ya kukiendeleza kiswahilikama hatukiheshimu kiswahili(mf shule nyingi za sek) hakuna umuhimu wa kuiheshimu bendera ya taifatuuze nchi kila m2 apewe chake aangalie atafanya nnkingereza lugha ya sayansi mwasemaje
kama tutatilia mkazo matumizi ya kiswahili fasaha hasa ktk shule na vyuohakutatoke uharibifu wa lugha 'english speaking policy' kwa anayetaka hapo kisw hakitaonekana kama lugha ya makabwelana kitazungumzwa kwa ufasaha | 2016-12-04T16:48:21 | http://www.jamiiforums.com/threads/kiswahili-chafa.227651/ |
08 mgonjwa na mtumzima katika ramadhaan | firqatu nnajia
08 mgonjwa na mtumzima katika ramadhaan
suala la kwanza sababu zinazojuzisha kutofunga ramadhaan
inafaa kutofunga ramadhaan kwa moja ya nyudhuru zifuatazo
1 ugonjwa na utuuzima inafaa kwa mgonjwa ambaye anatarajia kupona kula atapopona basi ni lazima kwake kulipa zile siku alizoacha kufunga amesema (ta´ala)
[kufunga ni] siku za kuhesabika basi atakayekuwa mgonjwa miongoni mwenu au yuko safarini hivyo basi akamilishe idadi katika siku nyinginezo[1]
basi atakayekuwa mgonjwa miongoni mwenu au yuko safarini hivyo basi akamilishe idadi katika siku nyinginezo[2]
maradhi ambayo yanamruhusu kuacha kufunga ni yale maradhi ambayo yanamtia uzito mgonjwa kufunga kwa sababu yake
kuhusiana na maradhi ambayo hayatarajiwi kupona au asiyeweza kufunga ushindwaji wa kuendelea kama mfano wa mtumzima basi inafaa kwake kula na wala si lazima kwake kulipa kitachomlazimu ni yeye kulisha kwa kutoa chakula kumpa maskini kwa kila siku moja iliyompita kwa sababu allaah amefanya kutoa chakula kunalingana na kufunga wakati ambapo mtu alikuwa na chaguo kufanya mawili hayo mwanzoni ambapo kulifaradhishwa funga kwa hiyo ndio kitu cha lazima kinachochukua nafasi yake wakati wa udhuru imaam albukhaariy (rahimahu allaah) amesema
mtumzima asipoweza kufunga anas alitoa kulisha chakula baada ya kuwa mtumzima kwa mwaka mmoja au miaka miwili kwa kila siku moja kumlisha maskini ibn ´abbaas amesema kuhusu baba mtumzima na mwanamke mtumzima wasioweza kufunga wanatakiwa badala yake kumlisha maskini kwa kila siku moja[3]
mtu asiyeweza kufunga kushindwa kusikotarajiwa kuondoka kwa maradhi au utuuzima kwa kila siku moja kumlisha maskini nusu pishi ya ngano tende mchele au mfano wa hivo katika chakula kilichozoeleka katika mji kiwango cha pishi moja ni takriban 225 kg kwa hiyo atalisha kwa kila siku moja takriban 1125 g
haya pamoja na kwamba mgonjwa akifunga funga yake itasihi na kutosheleza
[1] 02184185
[2] 02184
[3] albukhaariy (4505)
mhusika nukhbatin minal´ulamaa´
marejeo fiqhulmuyassar uk 154155
08 mgonjwa na mtumzima katika ramadhaan suala la kwanza sababu zinazojuzisha kutofunga ramadhaan inafaa kutofunga ramadhaan kwa moja ya nyudhuru zifuatazo 1 ugonjwa na utuuzima inafaa kwa mgonjwa ambaye anatarajia kupona kula atapopona basi ni lazima kwake kulipa zile siku alizoacha kufunga amesema (ta´ala) أَيَّامًا مَّعْدُودَاتٍ ۚ فَمَن كَانَ مِنكُم مَّرِيضًا أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ فَعِدَّةٌ مِّنْ أَيَّامٍ أُخَرَ [kufunga ni] siku za kuhesabika basi atakayekuwa mgonjwa miongoni mwenu au yuko safarini hivyo basi akamilishe idadi katika siku nyinginezo[1] فَمَن كَانَ مِنكُم مَّرِيضًا أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ فَعِدَّةٌ مِّنْ أَيَّامٍ أُخَرَ basi atakayekuwa mgonjwa miongoni mwenu au yuko safarini hivyo basi akamilishe idadi katika siku nyinginezo[2] maradhi ambayo yanamruhusu kuacha kufunga ni yale maradhi ambayo yanamtia uzito mgonjwa kufunga kwa sababu yake kuhusiana na maradhi ambayo hayatarajiwi kupona au asiyeweza kufunga ushindwaji wa kuendelea kama mfano wa mtumzima basi inafaa kwake kula na wala si lazima kwake kulipa kitachomlazimu ni yeye kulisha kwa kutoa chakula kumpa maskini kwa kila siku moja iliyompita kwa sababu allaah amefanya kutoa chakula kunalingana na kufunga wakati ambapo mtu alikuwa na chaguo kufanya mawili hayo mwanzoni ambapo kulifaradhishwa funga kwa hiyo ndio kitu cha lazima kinachochukua nafasi yake wakati wa udhuru imaam albukhaariy (rahimahu allaah) amesema mtumzima asipoweza kufunga anas alitoa kulisha chakula baada ya kuwa mtumzima kwa mwaka mmoja au miaka miwili kwa kila siku moja kumlisha maskini ibn ´abbaas amesema kuhusu baba mtumzima na mwanamke mtumzima wasioweza kufunga wanatakiwa badala yake kumlisha maskini kwa kila siku moja[3] mtu asiyeweza kufunga kushindwa kusikotarajiwa kuondoka kwa maradhi au utuuzima kwa kila siku moja kumlisha maskini nusu pishi ya ngano tende mchele au mfano wa hivo katika chakula kilichozoeleka katika mji kiwango cha pishi moja ni takriban 225 kg kwa hiyo atalisha kwa kila siku moja takriban 1125 g haya pamoja na kwamba mgonjwa akifunga funga yake itasihi na kutosheleza [1] 02184185 [2] 02184 [3] albukhaariy (4505) mhusika nukhbatin minal´ulamaa´ mfasiri firqatunnajiacom marejeo fiqhulmuyassar uk 154155 imechapishwa 16/04/2020 http//firqatunnajiacom/08mgonjwanamtumzimakatikaramadhaan/
previous 07 wakati wa kuweka nia katika funga ya lazima
next mwanamke ana vazi maalum katika ihraam
11 mjamzito na mnyonyeshaji katika ramadhaan
10 mwenye hedhi na nifasi katika ramadhaan
09 msafiri katika ramadhaan
2 mlango wa pili
1 suala la kwanza sababu zinazojuzisha kutofunga ramadhaan (4)
2 suala la pili mambo yanayomfunguza mfungaji (7) | 2020-05-28T01:42:58 | http://firqatunnajia.com/08-mgonjwa-na-mtumzima-katika-ramadhaan/ |
mambo 5 yanayoashiria kuwa hutaki mafanikio amka mtanzania
mambo 5 yanayoashiria kuwa hutaki mafanikio
kila mtu huwa ana nia ya kufanikiwa na kufikia maisha bora yenye hadhi ya kuitwa maisha na siyo bora maisha hili ndilo hitaji la msingi ambalo kila binadamu anayetaka mafanikio analo na kutamani kuona mafanikio makubwa yanatokea katika maisha yake wengi wetu huwa tunafanya kila linalowezekana ili kufanikiwa hii yote huwa inaonyesha wengi tunapenda kufanikiwahata wewe unapenda kufanikiwa hata mimi pia napenda kufanikiwa kama ulivyo wewe lakini swali la msingi ni kwamba je ni kweli unayataka mafanikio unayoyatafuta je ni kweli una nia thabiti ya kufikia lengo na mafanikio makubwa unayohitaji
wengi wetu ingawa huwa ni watu wa kujishughulisha na kutafuta mafanikio tunayoyataka lakini wakati mwingine huwa ni watu wa kujidanganya sisi wenyewe bila kujua huwa ni watu wakufikiri tunatafuta mafanikio kumbe kiukweli tunakuwa tupo tayari mbali na mafanikio kuna usemi unaosema vitendo vinaongea zaidi kuliko maneno ndivyo ilivyo hata kwenye maisha yako unaweza ukawa unaona kama unatafuta mafanikio kumbe upo nje na mafanikio unayoyatafuta kutokana na nia uliyonayo kitu gani kitakachoashiria kuwa huna nia thabiti ya mafanikio unayoyataka
haya ndiyo mambo yanayoashiria ya kuwa hutaki mafanikio katika maisha yako
1 kuahirisha mipango
wote wanaopanga mipango na kuiahirisha kwa sababu zisizo za msingi ni dalili tosha kwamba hawana nia thabiti ya kufikia malengo hayo na kufanikiwa kwa jinsi unavyozidi kuairisha mipango yako ndivyo ambavyo unazidi kujichelewesha kufikia kwenye mafanikio hii ni tabia sugu ambayo watu wengi wanayo na mara kwa mara wamekuwa wakijikuta ni watu wa kuairisha mambo tu katika maisha yao na kujikuta kushindwa kufanikisha kitu chochote kama una nia thabiti ya kufanikikiwa basi epuka kuweka mipango kuiahirisha bila sababu za msingi
soma jinsi ya kuondoa tabia ya kuahirisha mambo
2 kutokuwa na bidii
mara nyingi watu wasio na nia thabiti ya kufanikiwa katika shughuli zao mara nyingi huwa hawana bidii katika shughuli zao huwa ni watu wakufanya kazi kwa uvivu kana kwamba hizo kazi si zao wanawafanyia watu wengine bila malipo unatakiwa kujua kuwa ili uweze kufikia viwango vya juu vya mafanikio katika maisha yako unatakiwa kujituma na kufanya kazi kwa bidii zote hili ni jambo ambalo liko wazi kabisa una nia ya kufanikiwa katika mipango yako epuka kuwa mvivu katika kazi zako jitume siku zote bila kuacha
3 kutokuthamini kazi
siku zote watu wasio na nia thabiti ya kufanikiwa hawathamini kazi zaowako tayari kuacha ofisi au kazi na kwenda kufanya mambo mengine yasiyo na tija kwa mfano mtu anaweza kufunga duka na kwenda kuanglia mpira ambao yeyé mwenyewe hanufaiki nao hata kidogo zaidi ya kupoteza muda na pesa mtu mwingine hujikuta yeyé ni wa kuchelewa tu kufika kazini kwake karibu kila siku kwa sababu zisizo za msingi na anapofika kazini pia anakua bado hatulii kuzingatia kazi ile anayoifanya kama unaishi maisha haya na unadai unatafuta mafanikio unajidanganya
4 kukata tamaa mapema
kukata tamaa ni dalili nyingine ya kutokuwa na nia thabiti ya kufanikiwa katika maisha mafanikio hayaji bila kuwepo na juhudi za makusudi na hakuna mafanikio ya kirahisi rahisi tu shetani mwenyewe hakati tamaa anapokuwa anashughulika na wanadamuinakuwaje wewe unakata tamaa kama ndani mwako unajisikia kukata tamaa kutokana na jambo unalolifanya elewa unajiweka katika wakati mgumu wa kuagana na mashindano ya mafanikio tambua kabisa unapokata tamaa hiyo ni ishara ya kuonyesha kuwa hutaki mafanikio tena katika maisha yako
5 kutokutulia katika maisha yako
kuna watu ambao huanzisha mradi na kuacha na kuanzisha mwingine na kuachahawatulii na mradi mmoja kwa muda wa kutosha ili kuona kama watafanikiwa au lahii ni dalili ya kutokuwa na nia thabiti ya mafanikio yakomtu mwenye nia thabiti ya kufanikiwa huanzisha mradi na kujipa muda wa kutosha kushughulikia mradi huobaada ya kuufanyia kazi mradi huu kwa muda mrefu na kujiridhisha kwamba haumpi maslahi ya kutosha huamua kubadili mradikumbuka kuwahatubadili miradi kiholela tutunabadili pale tunapojiridhisha kwamba miradi hailipi kwa wakati huo na eneo husikakweli haina maslahiukitaka kufanikiwa epuka kosa hili
nakutakia kila la kheri katika safari yako ya mafanikio endelea kutembelea mtandao huu wa amka mtanzania na kisima cha maarifa kwa kupata maarifa bora yatakayobadili maisha yako
wajasiriamali wenye mafanikio hufanya mambo haya matano kila siku | 2018-11-21T20:51:57 | https://amkamtanzania.com/2015/01/20/mambo-5-yanayoashiria-kuwa-hutaki-mafanikio/ |
mnyika matatani | emmanuel shilatu breaking news blog
home » unlabelled » mnyika matatani
mnyika matatani
mbunge wa ubungo john mnyika amedaiwa kuwaacha njia panda wadhamini (majina tunayo) ambao walikubali kuidhamini kampuni ya testa ambayo yeye alikuwa mwenyekiti wa bodi ya wadhaminiinadaiwa kwamba mbunge huyo alichukua uamuzi wa kujiondoa kwenye kampuni hiyo baada ya kuona inashindwa kulipa deni la sh milioni 300 ambalo linatokana na riba ya mkopo wa sh milioni 222 ambazo testa ilikopeshwa na benki ya standadr charteredhabari za uhakika ambazo mtanzania limezipata zinaeleza kuwa kwa miaka mitatu sasa wadhamini hao wamekuwa wakihangaika kutafuta njia ya kujinasua kutoka kwenye deni hiloinaelezwa kuwa nyumba za wadhamini hao ambazo ziliwekwa rehani kupata mkopo huo zipo kwenye hatihati ya kupigwa mnada kufidia deni hilokwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kampuni ya testa ilikuwa ikijihusisha na uwakala mkubwa wa masuala ya huduma za fedha kupitia simu za mkononichanzo chetu hicho kilieleza kwamba mnyika ndiye aliyekuwa mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa kampuni hiyo na ambaye aliridhia kukopwa kiasi hicho cha fedha katika benki hiyomnyika alikuwa mwenyekiti wa bodi ya wadhamini alikuwa na hisa nyingi kuliko wenzake ya zaidi ya asilimia 50 na kwa nafasi hiyo ya uenyekiti saini yake ndiyo ilikuwa inatambulika kule benki ili kuchukua mkopo kilieleza chanzo hichokilieleza pamoja na mnyika kudaiwa kujiondoa katika kampuni hiyo siku nyingi hata hivyo hakuwasiliana na wadhamini wake na hata benki hiyo kuwaeleza juu ya uamuzi wake huonyaraka muhimu ambazo mtanzania imeziona zinaonyesha kampuni hiyo ilikubaliwa kukopeshwa fedha hizo baada ya kikao cha bodi januari 25 2012 mnyika akiwa mwenyekitikikao cha bodi ndicho kilichokuwa na uamuzi juu ya shughuli za kampuni ikiwamo masuala ya kukopa januari 25 2012 wajumbe walikaa na kukubaliana kukopa mnyika akiwa mwenyekiti aliidhinisha kwa kutia saini yake mei 11 2012 ndipo kampuni ikakopeshwa kilielezanyaraka nyingine kutoka benki hiyo ambazo mtanzania imeziona zinaonyesha awali kampuni hiyo ilikuwa ikirejesha vizuri deni hilo tangu agosti 31 2012 hadi februari 28 2014nyaraka hizo zinaoneysha kuanzia machi 31 2014 kampuni ilishindwa kurejesha fedha zozote hadi kufikia julai 31 mwaka huu ambao ndiyo ulikuwa mwisho wa kurejesha mkopo huokwa mujibu wa chanzo chetu wadhamini hao walikuwa wakifuatilia maendeleo ya kampuni hiyo kwa mmoja ya wakurugenzi (jina tunalo) na walikuwa wakijibiwa kuwa kampuni inaendelea vizurimiezi sita baada ya kuzungumza na mkurugenzi huyo benki ilituma wawakilishi wake kwa wadhamini na wakakabidhiwa barua ya kuwajulisha kuwa deni halijalipwa na nyumba zao zitapigwa mnada kulifidia kilielezachanzo hicho kilieleza kuwa kutokana na hali hiyo mmoja wa wadhamini hao amekwisha kufanya juhudi za kukutana na viongozi wa ngazi za juu wa chadema chama ambacho anatokea mbunge huyo kutafuta ufumbuzi wa suala hiloalishawahi kumfuata dk willbrod slaa (alipokuwa katibu mkuu wa chadema) freeman mbowe (mwenyekiti) na hivi karibuni ameenda kuomba kuonana na edward lowassa (mjumbe wa kamati kuu) na iwapo hatafanikiwa yeye na mwenzake wamepanga kuchukua hatua nyingine ambazo hawajaziweka wazi alisemamtanzania ilipomtafuta mnyika kwa simu kuzungumzia suala hilo simu yake iliita bila kupokewa na alipotumiwa ujumbe mfupi wa maandishi alijibu baadhi ya maswali kama ifuatavyomtanzania habari mheshimiwa naitwa kuna taarifa kuwa nyumba za wadhamini wako zinapigwa mnada kwa sababu umeshindwa kurejesha mkopo wa zaidi ya sh milioni 200 nini kauli yako juu ya tuhuma hizimnyika hakuna mtu yeyote aliyeweka nyumba kunidhamini waulize wakuambie ukwelimtanzania kuna nyaraka ambazo tunazo moja ikiwamo ya makubaliano ya bodi ya wakurugenzi ambayo wewe ulisaini ukiwa mwenyekiti na ilionyesha wadhamini sita zikiwamo nyumba mbili zilizopo bunju na mmbwenimnyika iliyokopa ni kampuni si mimi na niliondoka kwenye hiyo kampuni tangu mwaka 2013 bila kupokea fedha yoyote binafsi hivyo ni vizuri ukawatafuta wenye hiyo kampuni kuwauliza na waulize pia hao wadhamini walinufaika vipi na hiyo mikopo na nani aliwafuata waweke hati zaomtanzania mheshimiwa wewe ulikuwa nani kwenye hiyo kampuni wajibu wako ulikuwa upi na uliondoka vipi na nani ni wamiliki wa hiyo kampunimnyika hakulijibu swali hili na alipoombwa kupigiwa hakujibu vilevile alipopigiwa simu yake iliita bila kupokelewa hadi gazeti hili linakwenda mtamboni jana usikusource mtanzania
tfda yafafanuzi kuhusu mchele wa plastic unaodaiwa kusambaa tanzania (+video) | 2017-06-23T05:16:18 | http://ndgshilatu.blogspot.com/2016/10/mnyika-matatani.html |
makavulive nyimbo mpya kutoka iringa
nyimbo mpya kutoka iringa
ngoma ya msanii wa bongofleva 'ibrah' anayewakirisha pande za iringa imeingia leo kunako playlist ya makavulive isikilize mdaunyimbo inaitwa 'chocolate' imetengenezwa na producer mkali ambaye pia ni presenter wa redio 'country fm' ya mjini iringa temmy mahondo aka 'temmy g' pichani hapo juu
hii sio ngoma ya kwanza kutengenezwa na producer temmy g mchizi kesha piga mikono kwenye ngoma kibao zikiwemo za wasanii waishio dar km dullayo ommy g na wengine pia nyimbo mpya ya dullayo 'naumia roho' ambayo inafanya vizuri sasa jamaa ndie aliyeanza kuitengeneza ktk studio ya iringa dullayo alipoenda kupigashow miezi michache iliyopita kabla ya kisaka na kgt
isikilize mdau af tuone ipo no 4 kwenye playlist hapo mwanzo kulia
posted by makavulive dar at 2030 | 2018-01-16T07:28:26 | http://makavulive.blogspot.com/2009/09/nyimbo-mpya-kutoka-iringa.html |
personal message to hon jk | jamiiforums | the home of great thinkers
personal message to hon jk
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by msandoalberto feb 11 2011
i trust you are well as i am sure electricity and food shortage arent part of you rather they are part of your humble servants those can never be the problems of the president his ruling elite and the rich its the bitter truth for the poor masses mr president what does that tell you forget about all the other issues just take time to think of these two think not for us but for your own sake
my message is the fear that has ruled us for 50yrs has diminished its not in us anymore darkness will accommodate us and a hungry man is an angry man
mr president you are not tanzania you are a citizen just like us
we feel humiliated we feel ignored we feel used but we also feel stronger in simple terms my message is 'our fear is no more enough enough enough of all this' see it touch it hear it smell it and feel it
have a good day at work at least you have electricity and food
at least you have electricity and food
hizi ni anasa kwa serikali ya jk tena msithubutu kabisa kumsumbua mwenzenu yuko bize na mamabo mengine kama kulipa clap2owans na kuhakikisha ana ua upinzani wote wakishirikiana na makinda
uhh clap2opcorn
ni barua ambayo inapenya hadi kumwoyo
soon wabunge wetu watakuwa wanasaini mikataba ya kukopehswa magari ya kifahari ya mabilioni ya fedha
mkuu haoni haya nadhani tangu aingie madarakani hajawahi kuona gizana kwa yeye hali hiyo inarudi nyuma zaidi maana ni kiongozi toka zama zileee hivyo sidhani kama anajua kwa uhalisia tunachojua
poor tanzaniani dikteta tu atakayeinyorosha hii nchi
them belly full bob marley naupendaga mstari huu ktk huu wimbo bob anaposema a hungry man is an angry man it's all about kleptocarcy a reflection of what happened in tunisia and now egypt who knows maybe tanzania will be next a hungry man is an angry man hungry tanzanians in all ccm's vices are angry tanzanians
fisadi kikwete hasikilizi wanaomshauri atakusikiliza wewe wananchi yuko busy kujiandaa kujilipa kwenye kampuni yake ya dowans na mambo ya ufisadi twitch | 2017-04-30T01:58:48 | https://www.jamiiforums.com/threads/personal-message-to-hon-jk.109823/ |
polisi yaongeza juhudi za kusaka watu 9 waliozama ziwani | habari24
home » habari za kitaifa » polisi yaongeza juhudi za kusaka watu 9 waliozama ziwani
written by vuvuzela on tuesday july 5 2016 | 72100 am
vikosi vya uokoaji kwa kushirikiana na jeshi la polisi mkoani ruvuma vinaendelea na kazi ya kuwasaka abiria tisa kati ya 45 waliozama maji baada ya kutokea kwa ajali ya boti katika ziwa nyasa juzi
habari zaidi kutoka eneo hilo la tukio zilisema kuwa nahodha wa boti hiyo said auyu alitokomea mahali kusikojulikana baada ya kujiokoa katika ajali hiyo
hivi unavyozungumza na mimi rpc (mwombeji) amerudi tena katika eneo la tukio ili kuongeza nguvu ya kuwatafuta abiria tisa waliosalia na baada ya kukamilisha kazi hiyo atakuwa katika nafasi nzuri ya kuwapa taarifa za kina za ajali hiyo alisema mmoja wa wasaidizi wa rpc ambaye hata hivyo hakuwa tayari kutaja jina lake | 2018-06-19T08:54:39 | https://www.habari24.com/2016/07/polisi-yaongeza-juhudi-za-kusaka-watu-9.html |
mwanamke anapokuwa mkatili zaidi ya simba | jamiiforums | the home of great thinkers
mwanamke anapokuwa mkatili zaidi ya simba
discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by eiyer jan 10 2012
taarifa hii niliikuta inaishia lakini nilibahatika kupata kujua kilichotokeaila sikujua eneo unyama huukuna mwanamke amemnyonga mwanae baada ya baba wa mtoto huyo kumkataa huyo mtoto kuwa wakenashindwa kujua huyu mwanamke kama ni mzimapia sijajua kama amekamatwa ama laayani wanawake hawabasi tu
mi naona wote sawa tu kwani vitendo vyao vinafanana
walishwa mijusi utawajua tu twambie habari zenye vyanzo vya habarimi pia naweza tunga yangu ''mwanaume mmoja amemchinja mkewe hadi kufa na kuchukua nyama na kuiponda ponda na kuitupilia juu ya bati na kunguru)wanaume hawa jamani wabayaaa
walishwa mijusi utawajua tu twambie habari zenye vyanzo vya habarimi pia naweza tunga yangu ''mwanaume mmoja amemchinja mkewe hadi kufa na kuchukua nyama na kuiponda ponda na kuitupilia juu ya bati na kunguru)wanaume hawa jamani wabayaaaclick to expand
hahahaaa we ndo kiazi kweli
sio wote wenye roho mbaya kama huyo
hahahaaa we ndo kiazi kweliclick to expand
mweeeh jamani jamani mbona wantusi ati
khaaaaa1
feis ni ww mpnz au
haya namwombea msamaha mtoa mada msamehe bure
punguza hasira mwana kwetu lol
nahis hizo kibodi zimekiona cha moto
mzima lkn
hukumu si kazi zetu
japo hapo mtoto kahukumiwa kwa makosa ya baba
hope sheria itachukua mkondo wake
mtoa mada umekata boll joint
mweeeh jamani jamani mbona wantusi aticlick to expand
mkuki kwa nguruwe kwa binadamu
khaaaaa1feis ni ww mpnz auhaya namwombea msamaha mtoa mada msamehe burepunguza hasira mwana kwetu lolnahis hizo kibodi zimekiona cha motomzima lknclick to expand
mamito ni mm mwayaunajua kuna watu humu ndani wameniboa saananimeamua kuwa kauzu nowdayzsory my love kama nitakukwaza
mkuki kwa nguruwe kwa binadamuclick to expand
kitizzzzz
mtoa mada umekata boll jointclick to expand
sijakuelewa
kitizzzzzclick to expand
lazima hiki kitakua kichina
mamito ni mm mwayaunajua kuna watu humu ndani wameniboa saananimeamua kuwa kauzu nowdayzsory my love kama nitakukwazaclick to expand
wadada walio wengi (siyo wote) wanarush kwenye kufanya maamuzi na hii huwakocost sana baadaye baada ya kugundua kuwa uamuzi wa mwanzo haukuwa sahihi naamini huyo dada kwa sasa anaweza kuwa anajutia maamuzi yake nawashauri wadada kuwa makini na kupima maamuzi wanayotaka kuchukua
tumesikia mambo mengi ikiwemo kuwachoma na pasi watoto wa kambo kuwapiga kuwatesa kuwanyanyasa nk haya si mambo ya kiungwana kabisa
so whatclick to expand
sory sijakuquot ww ama unataka kupovuka
sory sijakuquot ww ama unataka kupovukaclick to expand
nafikiri wewe ndo unapovukaausoma comet yako ya kwanza ujue ulikua unamjibu nanihalafu ujue aliepovuka ni nanitehtehtehteh
nafikiri wewe ndo unapovukaausoma comet yako ya kwanza ujue ulikua unamjibu nanihalafu ujue aliepovuka ni nanitehtehtehtehclick to expand
usipanic utaugua
usipanic utauguaclick to expand
nilishaacha kupanic zamani sana mamausihofu nilishasahau kupanic hapa amani imejaa mpaka inamwagikia | 2017-07-21T09:05:31 | https://www.jamiiforums.com/threads/mwanamke-anapokuwa-mkatili-zaidi-ya-simba.210873/ |
майкл michael jackson picha (31294213) fanpop
this michael jackson picha contains suti biashara biashara suti mitaani mji eneo la tukio mijini mazingira jiji eneo and mijini kuweka there might also be regimentals ski resort ski mapumziko mavazi kamili sare full dress uniform and kamili mavazi sare | 2019-12-09T21:13:55 | http://sw.fanpop.com/clubs/michael-jackson/images/31294213/title |
isco atokea benchi na kuinusuru real madrid kuchapwa bilbao bin zubery | presstz your number 1 source of aggregated online content
isco atokea benchi na kuinusuru real madrid kuchapwa bilbao
isco (kulia) akipongezana na marcelo baada ya kuifungia real madrid bao la kusawazisha dakika ya 63 akimalizia krosi ya gareth bale kufuatia kuingia akitokea benchi dakika ya 61 kuchukua nafasi ya luca modric katika sare ya 11 na wenyeji athletic bilbao waliotangulia kwa bao la muniain dakika ya 32 uwanja wa san mames barria picha zaidi gonga hapa continue reading >
1 simba sc yampeleka kapombe afrika kusini kwa matibabu baada ya kuumia mazoezini akiwa na taifa stars
2 england waichapa croatia 21 na kutinga nusu fainali
3 messi na tamaa ya fisi mla mizoga huku anatamani nyama nono
4 seferovic apiga hat trick uswisi yaichapa 52 ubelgiji
5 mendez afunga bao pekee hispania yaichapa bosniaherzegovina 10 | 2018-11-20T00:33:02 | http://presstz.net/isco-atokea-benchi-na-kuinusuru-real-madrid-kuchapwa-bilbao-41342199 |
mh polepole kuna 100 aweza kamata jiji jamiiforums
tetesi mh polepole kuna 100 aweza kamata jiji
upo uwezekano amiri jeshi mkuu akafanya mabadiliko ktk mkoa fulani mkubwa na ili kufanya maisha yasiwe mabaya kwakusema vijana wameshindwa a genius men polepole aweza chukua mkoa hii yaweza kuwa siri kubwa ila alama zinaonyesha machinjio yamesha andaliwa yanasubiri mambo fulani yapite then kazi imalizike
endelea kujidanganya ili dhamira yako hitimie(kindotondoto)
mkoa maarufu jijini ni mfupa uliowashinda wengi wapo magius waliopitia mji huo hata siku moja huwezi kuchezea roho yako kufanya majaribio lazima steling afe movie iishe
makonda bado halitambui hili
kuna aliyesemaga huyo kondakta ni chakulasijui kuna ukweli
likes super sub steve cheno obuma and 1 other person
genius men polepole mi mgeni hapa
likes levictus
jamaa anamvuto wa kisiasa hanapapara upinzani upo tayari kupiga mzigo nae sasa rais hawezi vumilia taharuki wanazo fanyiwa wana nchi kwa kubeba mtu
likes super sub steve and obuma
mmeanza kugundua kuna mtu anazusha taharuki kila siku matamko utadhani rappa
sijawahi muona wala msikia jamaa akiongea kwa uso wa bashasha siku zote uso mkavu
3122 1853 280
tor za wiki end
naona siku hizi wakuu wa wilaya za dar wanajianzishia nyuzi wenyewe hajahaha kule hapi kaanzisha zake na wewe polepole una zako huku
likes mshikawezi mwizi and mkoroshokigoli
as dar es salaam needs specific strategic leadershipmkoa hautaki papasa papasa /
still hata polepole bado hatafaa
jpjm bado hatabiriki kwa sasa akifanya mabadiliko kama hayo atafanya jiji kuongozwa kwa ustaarabu na hekima zaidi lakini hata asipofanya mabadiliko hayo makonda atawekewa gavana na halmashauri ya jiji
pole pole bado bana jiji la kandaro hili
ishara za nyakati zinaonyesha mzee polepole kupewa jijimakonda out
hitimie ndiyo mdudu gani
funguka tu kuelewa
hivi muanzisha thread unahisi magufuli atafanyia kazi jungu lako dhidi ya rc makonda
mission anayofanya makonda ni maalum kuliweka jiji katika hali ya usmart
jiji kwa miaka mingi limekua la mpangilio wa hovyo omba omba wenye uwezo wa kufanya kazi biashara holela kwenye mabarabara kiasi hata kuleta kero kwa watumiaji wa barabara vibaka mwanzo mwisho
sasa ni muda wa jiji kupangika kistarabu
siasa uchwra na majungu hayana nafasi tena kwa magufuli ni performance tu
pia kumsakama makonda ni kumpandisha rank kwani mkulu yupo ana watch jinsi dose inavyowaingia
unamwonea polepole
yaani unamaanisha rinda limeshafumuliwa sasa haya mapambano anayoendesha ni kuondoa upinzani abaki mwenyewe sokoni au | 2018-12-11T01:29:14 | https://www.jamiiforums.com/threads/mh-polepole-kuna-100-aweza-kamata-jiji.1080681/ |
makala mwigizaji nyota aliyeacha uigizaji baada ya kuolewa na mchungaji gospel kitaa
wednesday 15 may 2013 / published in habari
nchi ya ufilipino imebarikiwa kwakuwa na waigizaji wengi wenye vipaji ambao wametokea kupendwa sana na wananchi wa nchi hiyo pamoja na kwingineko ambako kazi za wasanii wa nchi hiyo zimefika kati ya nchi hizo tanzania ni moja wapo
rica peralejo
leo tunaye mwanadada regina carla (rica) bautista peralejo ambaye kwa hapa nchini na kwingineko anafahamika kwa majina yake ya uigizaji kama nicole fuentebella katika tamthilia ya sa piling mo iliyowahi kuonyeshwa na kituo cha star tv akishirikiana na waigizaji wengine kama adrian tuazon(piolo pascual) jennifer limbaga (judy ann santos) bila kusahau tamthilia ya kay tagal kang hinintay ambako aliigiza kwa jina la helaena argos mtoto wa henri argos na red butterfly tamthilia iliyowahi kuonyeshwa na television ya taifa tbc kipindi hicho ikifahamika kama tvt hizi ni kwa tamthilia zilizowahi kuonyeshwa nchini tanzania lakini ameshiriki katika tamthilia na filamu nyingi
rica akiwa na waigizaji wenzie katika tamthilia ya kaytagal kushoto ni john (yuri) na kulia ni benard (anilov)
mwigizaji huyu ambaye mwezi wa tatu alitimiza miaka 32 tangu kuzaliwa kwake aliolewa na mchungaji joseph joe bonifacio mwaka 2009 na kuamua kuachana na ugizaji ili kujikita katika malezi ya ndoa yake pamoja na kumsaidia kazi mumewe elimu yake ya awali aliipata katika shule ya holy spirit iliyopo quezon city manila nchini ufilipino kama haitoshi mwigizaji huyu au waweza kumuita mama mchungaji alipata shahada yake ya uandishi chuo kikuu cha ateneo de manila ni mmoja kati ya wasanii waliovumbuliwa na kituo cha star records ambacho kiko chini ya kampuni mama inayotengeneza tamthilia na filamu cha abscbn
rica akiwa na mumewe pastor joseph bonifacio
katika maisha yake ya uigzaji kama ilivyo kwa waigizaji wengine katika nchi hiyo hasa wanaoigiza sehemu ya uhusika mkuu kama wapenzi naye alijikuta akianzisha uhusiano wa kimapenzi na mwigizaji mwenzake katika tamthilia ya kay tagal kang hinintay aitwaye bernard palanca au jina la uigizaji katika tamthilia hiyo anilov ambao hata hivyo uhusiano wao haukudumu kutokana na kutoelewana na kijana huyo ambaye aliishia kuwa na uhusiano na msichana mwingine
rica akiwa na piolo katika tamthilia ya sa piling mo
baada ya kutulia sana nyumbani hatimaye sasa rica ameamua kurejea ulingoni toka mwaka 2011 ameonekana katika kazi ndogo ndogo ambapo tarehe 11 mwezi huu ameonekana katika tamthilia isiyoisha ya nchini humo iitwayo maalaala mo kaya (mmk) kwa maana hiyo kuanzia sasa wapenzi wa mama mchungaji wametakiwa kuwa tayari kuanza kumuona mwigizaji huyo katika medani ya ugizaji kama ilivyokuwa zamani
tagged under bernard palanca john lloyd kaytagal kang hinintay red butterfly rica peralejo sa piling mo ufilipino
somo kuilima na kuitunza bustani ya edeni * sehemu ya mwisho *
hoja hali halisi ya mkengeuko wa maadili katika jamii (3) | 2017-11-23T23:51:04 | http://www.gospelkitaa.co.tz/2013/05/15/makala-mwigizaji-nyota-aliyeacha/ |
ustawi wa mifugo mkubwa huwalinda #sheep kutoka wadudu na magonjwa mwandishi wa eu mwandishi wa eu
ustawi wa mifugo mkubwa huwalinda # sheep kutoka kwa wadudu na magonjwa
kondoo ya kondoo ni mchakato wenye ujuzi na muhimu kila mwaka ili kupunguza uwezekano wa magonjwa na maambukizi ya vimelea ambayo yanaweza kusababisha matatizo ya afya na ustawi kwa wanyama
sasa wakulima wa wales wa wales wamejiunga na mashirika mengine ya sekta ya kuzalisha uongozi wa pamoja juu ya ufugaji wa kondoo kuwakumbusha wakulima na makandarasi wa kitaaluma kufanya kazi pamoja ili kuhakikisha kwamba kondoo hufanyiwa ipasavyo wakati wa kusuka
washirika wa kondoo nchini uingereza wanazingatia kanuni zenye ustawi wa kisayansi wenye uhakikishi wa kisayansi na mwongozo huu unasisitiza kujitolea kwa sekta ili kuhakikisha kuwa ufugaji hufanywa kwa viwango vya juu sana alisema afisa wa ustawi wa wanyama wa uvuvi wa wanyama hazel wright
tunakaribisha mbinu ya sekta ya pamoja juu ya suala hili ili kuhakikisha ustawi bora kwa kondoo wakati wa mchakato wa kukata
mwongozo huimarisha mazoezi ya sasa kwa kila hatua kutoka kwa uwasilishaji wa kondoo juu ya shamba kwa njia ya utunzaji wa mifugo na kuhakikisha mchakato wa kuandaa umepanga vizuri umeandaliwa na utulivu
kufunua ni mchakato wenye ujuzi na uhifadhi wa wataalamu wenye ujuzi na wa kitaalamu ni muhimu orodha hii mpya inashughulikia utaratibu mzima na husaidia kupanga na kutekeleza kondoo za kuchunga
jamii frontpage ustawi wa wanyama mazingira eu wales
« brexit wabunge wanapiga kura mpya juu ya mpango wa uondoaji
brexit ujumbe wa watu kwenda ulaya katika bodi ya simu ya kent » | 2019-08-25T18:22:29 | https://sw.eureporter.co/environment/2019/03/29/rigorous-animal-welfare-protects-sheep-from-pests-and-diseases/ |
chid benz 'watanzania wenzangu siko sawa nahitaji msaada wenu' bongoswaggzcom
home / chid benz / udaku / chid benz 'watanzania wenzangu siko sawa nahitaji msaada wenu'
chid benz 'watanzania wenzangu siko sawa nahitaji msaada wenu'
admin 203 pm chid benz udaku
akiongea kwa uchungu kwenye kipindi cha da weekend chat show cha clouds tv jana chidi ambaye mwili wake umepungua kwa kiasi kikubwa amesema bado uwezo kimuziki anao lakini wale aliowaita wadau walioushikilia muziki wamemtupa
amesema wakati wa kilele chake alikuwa akifanya show kila siku katika wiki lakini kwa sasa mambo yamebadilika kabisa matatizo yangu na stress zangu ambazo niko nazo zinanisababishia mwili wangu unapungua kwasababu siko okay siko poa siko sawa yaani alisema
chidi amedai kuwa kuna watu wanaamini kuwa kama akiwa juu wasanii wengi wa hip hop watakuwa na wakati mgumu hawa joh makini sijui nani wanakuwa hawapo sasa hakuna mdau anayeweza kukubali akina joh makini wasikuwepo awepo chidi benz peke yake alisema
katika hatua nyingine chidi alisema pamoja na afya yake kuzorota hivi karibuni alipiga show kwa masaa mawili hadi mama yake akalia mama yangu akaniambia mwanangu unafanya show two hours show kali watu wanapenda unachokifanya lakini sioni mwamko wa watu kutokea kukusaidia kwahiyo tufanye mpango watu wakusaidie' na mimi namuambia nataka watu wanisaidie natamani kusaidiwa natamani kupata mafanikio anayopata diamond alisisitiza
udakuspecial
chid benz 'watanzania wenzangu siko sawa nahitaji msaada wenu' reviewed by admin on 203 pm rating 5 | 2018-09-19T10:59:07 | https://www.bongoswaggz.com/2016/03/chid-benz-watanzania-wenzangu-siko-sawa.html |
daily mitikasi blog mchungaji josephne miller kutoka marekani afurahia kutembelea hifadhi ya taifa serengeti
imechapishwa na john hans badi kwa 1209 pm | 2017-10-20T01:32:14 | http://johnbadi.blogspot.com/2016/12/mchungaji-josephne-miller-kutoka.html |
rais dk magufuli aahirisha maadhimisho ya sherehe za uhuru *aagiza fedha zilizotengwa zitumike kujenga hospitali mkoani dodoma mtinge blog
home / habari / habari ya kijamii / rais dk magufuli aahirisha maadhimisho ya sherehe za uhuru *aagiza fedha zilizotengwa zitumike kujenga hospitali mkoani dodoma
rais dk magufuli aahirisha maadhimisho ya sherehe za uhuru *aagiza fedha zilizotengwa zitumike kujenga hospitali mkoani dodoma
mtinge blog november 20 2018 habari habari ya kijamii
rais dk john pombe magufuli ameahirisha maadhimisho ya siku ya uhuru disemba 9 2018 na fedha zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya kufanikisha sherehe hizo ameelekeza zitumike kujenga hospitali mkoani dodoma ambayo itaitwa uhuru hospitali
kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo novemba 20 2018 na waziri mkuu kassim majaliwa rais dk magufuli ameagiza kiasi cha shilingi milioni 995182 zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya kufanikisha sherehe hizo zitumike kwa ajili ya ujenzi wa hospitali hiyo
waziri mkuu alitoa taarifa hiyo wakati alipokutana na viongozi waandamizi wa mkoa wa lindi pamoja na wilaya zake katika kikao cha maandalizi ya shughuli za kuzima mwenge kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano kwenye ofisi ya mkuu wa mkoa wa lindi
alisrma hospitali hiyo itakayojengwa katika eneo la kati ya barabara ya kwenda hombolo na chamwino kuelekea dar es salaam itakuwa inawahudumia wakazi wa mkoa wa dodoma pamoja na wananchi wengine watakaokuwa mkoani humo
pia majaliwa alisema dk magufuli amewaagiza wakuu wa mikoa na wilaya waandae matukio watakayoyatekeleza katika maeneo yao yatakayoashiria maadhimisho ya siku ya uhuru
wanaweza kutumia siku hiyo kwa kufanya usafi maeneo ya wazi au kwenye hospitali alisema majaliwa
rais dk magufuli aahirisha maadhimisho ya sherehe za uhuru *aagiza fedha zilizotengwa zitumike kujenga hospitali mkoani dodoma reviewed by mtinge blog on november 20 2018 rating 5 | 2018-12-12T09:39:02 | https://www.mtinge.com/2018/11/rais-dk-magufuli-aahirisha-maadhimisho.html |
bongoclan tanzania™ leo katika history tarehe 20 september
home » » unlabelled » leo katika history tarehe 20 september
leo katika history tarehe 20 september
siku kama ya leo miaka 35 iliyopita jeanbedel bokassa dikteta wa jamhuri ya afrika ya kati aling'olewa madarakani katika mapinduzi yaliyotokea nchini humo alizaliwa mwaka 1922 na kusomea nchini ufaransa bokassa alikuwa shabiki mkubwa wa napoleon bonaparte na charles de gaulle viongozi wawili wa zamani wa ufaransa bokassa alichukua madaraka mwaka 1966 baada ya kumpindua binamu yake david dacko wakati huo bokassa akiwa mkuu wa majeshi ya jamhuri ya afrika ya kati jeanbedel bokassa aliiongoza jamhuri ya afrika ya kati kwa utawala wa kiimla kwa kipindi cha miaka 13 huku akiongoza na kusimamia moja kwa moja wizara 14 kati ya wizara zote 16 za nchi hiyo ***
miaka 183 iliyopita katika siku kama ya leo basi la kwanza lililokuwa likitumia nishati ya mvuke liliundwa basi hilo jipya ambalo lilikuwa likitembea kwa kutumia nishati ya mvuke lilikuwa na uwezo wa kubeba abiria 30 huku likienda kwa mwendo mdogo basi hilo liliundwa na raia wa uingereza miaka kadhaa baadaye kulitengenezwa mabasi bora na ya kisasa zaidi yanayotumia nishati ya petrol hii leo mabasi ni miongoni vya vyombo muhimu vya usafiri wa umma ***
katika siku kama ya leo miaka 147 iliyopita hungary iliungana na ardhi ya austria na francois joseph akawa mtawala wa kifalme wa nchi mbili hizo hungary ambayo kwa mara kadhaa katika historia ilivamiwa na kukaliwa kwa mabavu na madola yenye nguvu ya ulaya kama austria na utawala wa othmania hatimaye ilipata uhuru mwaka 1918 mwishoni mwa vita vya kwanza vya dunia ***
na siku kama ya leo miaka 1235 iliyopita kwa mujibu wa kalenda ya hijria imam ridha (as) aliondoka mjini madina na kuanza safari yake ya kuelekea marw kaskazini mashariki mwa iran ya kale imam ridha alifanya safari hiyo kwa lazima na mashinikizo ya maamun khalifa wa saba wa utawala wa bani abbas lengo la maamun kutaka imam ridha apelekwe marw lilikuwa ni kumfanya awe karibu na hivyo kudhibiti nyendo zake japokuwa kidhahiri maamun alimfanya imam kuwa mrithi wa kiti cheo ambacho imam ridha alikikubali kwa kulazimishwa lakini uhakika wa mambo ni kuwa alitaka kuimarisha misingi ya utawala wake imam ridha aliendelea kuutambua utawala wa maamun kwamba si halali na alikuwa akifichua uovu na dhulma za utawala huo hatimaye maamun alishindwa kuvumilia shakhsia ya kielimu na kimaanawi ya imam pamoja na ushawishi wake kwa watu hivyo akaamua kumpa sumu na kumuua shahidi *** | 2018-09-19T21:36:59 | http://www.bongoclantz.com/2014/09/leo-katika-history-tarehe-20-september.html |
with comments off on cristiano ronaldo atwaa tuzo ya ballon dor
slider mshambuliaji wa real madrid cristiano ronaldo amemshinda mpinzani wake lionel messi na kupata tuzo ya mchezaji bora wa dunia ballon dor hii ikiwa ni kwa mara ya nne
with comments off on mpango wa uuzwaji wa ac milan wasogezwa mbele
slider mpango wa uuzwaji wa klabu ya ac milan wasogezawa mbele hadi mwakani mwezi wa tatu klabu hiyo ya nchini italy inayomilikiwa na aliyewahi kuwa waziri mkuu wa nchi
with comments off on martin saanya na samweli mpenzu wapigwa chini
slider waamuzi waliochezesha mchezo namba 49 kati ya yanga na simba martin saanya na samweli mpenzu wametolewa kwenye ratiba ya ligi kuu ya vodacom tanzania bara huku suala lao
with comments off on bashir ni rahisi kufanya kazi na trump
slider kiongozi wa sudan omar el bashir amempongeza rais mteule wa marekani donald trump akisema kuwa itakuwa rahisi kushirikiana naye kulingana na gazeti la emirati al khaljee bw trump
with comments off on polisi yazungumzia askari aliyejiua bahati mbaya
slider kibaha jeshi la polisi mkoani pwani limezungumzia kifo cha askari wake pc armand furaha (33) aliyejipiga risasi kifuani bila kukusudia na kufariki dunia askari huyo alijipiga risasi hiyo
with comments off on trum kutangaza baraza la wamaziri
slider rais mteule wa marekani donald trump anajiandaa kutangaza mawaziri zaidi watakaohudumia utawala wake ripoti zinasema kwamba trump atamteua mshirika wake wa kibiashara wa zamani steven mnuchin kama waziri
with comments off on simba yakataa kukipiga na yanga ligi kuu
slider uongozi wa klabu ya simba umesema kwamba kwa sasa hawatacheza mechi yeyote ile dhidi ya yanga endapo tff itaendelea kupanga waamuzi wa hapa nyumbani mkuu wa mawasiliano wa
with comments off on mchungaji apulizia waumini doom afrika kusini akidai ni tiba
slider mchungani wa afrika kusini ambaye aliwapulizia dawa ya kuua wadudu inayoitwa doom waumini amelaaniwa vikali katika taarifa aliyoituma kwenye ukurasa wa facebook pmchungaji aliyejitangaza kama nabii lethebo rabalago
with comments off on kanye west alazwa hospitali loss angeles
slider mwanamuziki mashuhuri nchini marekani kanye west amelazwa hospitalini mjini los angeles vyombo vya habari nchini marekani vimeripoti msemaji wa polisi ameambia bbc kwamba walipokea simu ya kutokea kwa
with comments off on raia wa nigeria aliyekutwa na bangi kunyongwa singapore
slider singapore imekataa ombi la msamaha kutoka kwa raia mmoja wa nigeria ambaye amepangiwa kunyongwa ijumaa kwa kupatikana na bangi shirika la haki za kibinadamu la amnesty international limesema | 2017-06-23T15:19:28 | http://efm.co.tz/author/salim/page/2/ |
rais dkt magufuli amkaribisha mfalme mohamed vi wa morocco ikulu jijini dar es salaam mikataba 21 ya ushirikiano yasainiwa dar es salaam yetu
home » » rais dkt magufuli amkaribisha mfalme mohamed vi wa morocco ikulu jijini dar es salaam mikataba 21 ya ushirikiano yasainiwa
kawaida rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akiwa na mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi wakilakiwa na wafanyakazi pamoja na wageni mbalimbali katika viwanja vya ikulu jijini dar es salaam mara baada ya kuwasili rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli wakipigiwa ngoma pamoja na mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi mara baada ya kumaliza mazungumzo yao ikulu jijini dar es salaam rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli na mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi pamoja na makamu wa rais mhe samia suluhu hassan na waziri mkuu mhe kassim majaliwa wakiwa katika ukumbi wa mikutano wa ikulu jijini dar es salaam kushuhudia uwekaji saini mikataba ya ushirikiano 21 kati ya nchi hizo mbili rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli na mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi pamoja na makamu wa rais mhe samia suluhu hassan na waziri mkuu mhe kassim majaliwa wakiwa katika ukumbi wa mikutano wa ikulu jijini dar es salaam kushuhudia uwekaji saini mikataba ya ushirikiano 21 kati ya nchi hizo mbili rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli na mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi pamoja na makamu wa rais mhe samia suluhu hassan na waziri mkuu mhe kassim majaliwa wakimsikiliza waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki dkt augustine mahiga wakisoma muhtasari wa shudhuli katika ukumbi wa mikutano wa ikulu jijini dar es salaam kabla ya uwekaji saini mikataba ya ushirikiano 21 kati ya nchi hizo mbili rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli na mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi pamoja na makamu wa rais mhe samia suluhu hassan na waziri mkuu mhe kassim majaliwa wakimsikiliza waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki dkt augustine mahiga wakisoma muhtasari wa shudhuli katika ukumbi wa mikutano wa ikulu jijini dar es salaam kabla ya uwekaji saini mikataba ya ushirikiano 21 kati ya nchi hizo mbili rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli na mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi pamoja na makamu wa rais mhe samia suluhu hassan na waziri mkuu mhe kassim majaliwa wakimsikiliza waziri wa viwanda biashara na uwekezaji mhe charles mwijage katika ukumbi wa mikutano wa ikulu jijini dar es salaam kabla ya uwekaji saini mikataba ya ushirikiano 21 kati ya nchi hizo mbili waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa morocco mhe salahddine mezour akiongea mwenyekiti wa shirikisho la wafanya biashara wa morocco bi miriem bensalahchaqroun akiongea rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli na mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi pamoja na makamu wa rais mhe samia suluhu hassan na waziri mkuu mhe kassim majaliwa wakiwa katika ukumbi wa mikutano wa ikulu jijini dar es salaam kushuhudia uwekaji saini mikataba ya ushirikiano 21 kati ya nchi hizo mbili rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli na mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi pamoja na makamu wa rais mhe samia suluhu hassan na waziri mkuu mhe kassim majaliwa wakiwa katika ukumbi wa mikutano wa ikulu jijini dar es salaam kushuhudia uwekaji saini mikataba ya ushirikiano 21 kati ya nchi hizo mbili waziri wa nishati na madini profesa sospeter muhongo wakibadilishana hati na waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa morocco mhe salahddine mezour baada ya kutiliana saini makubaliano ya jumla katika mashirikiano ya kiuchumi kisayansi kiufundi na kiutamaduni baina ya serikali ya nchi hizo mbili maafisa wahusika wakiweka saini mikataba ya ushirikiano 21 kati ya nchi hizo mbili mkurugenzi na mtendaji mkuu wa air tanzania eng ladislaus matindi akibadilishana hati ya mkataba wa makubaliano na afisa wa shirika la ndege la morocco waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano profesa makame mbarawa wakibadilishana hati na waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa morocco mhe salahddine mezour baada ya kutiliana saini makubaliano ya mashirikiano katika sekta za gesi nishati madini na sayansi ya miamba kaimu mkurugenzi mtendaji wa kampuni hodhi ya rasilimali za reli bw masanja kadogosa akibadilishana hati na mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya usafirishaji ya taifa ya morocco bw mohamed ben ouda baada ya kutiliana saini makubaliano ya mashirikiano kaimu mkurugenzi mtendaji wa shirika la bima la tanzania bw sam kamanga wakiweka saini waziri wa kilimo mifugo na uvuvi mhe charles tizeba na waziri wa kilimo wa morocco mhe aziz akhannouchi wakipeana mikono baada ya kutia saini makubaliano ya ushirikiano katika miradi ya mtangamano wa kuwasaidia wakulima wadogo tanzania mwenyekiti wa shirikisho la wafanya biashara wa morocco bi miriem bensalahchaqroun akibadilishana hati na mkurugenzi mtendaji wa taaisi ya sekta binafsi tanzania bw godfrey simbeye maafisa wakipeana mikono baada ya kusaini hati za makubaliano katibu mkuu wizara ya nishati na madini profesa justin ntalikwa akibadilishana hati za makubaliano na mwenyekiti wa masen bw moustapha bakkoury kaimu mkurugenzi wa shirika la bima la taifa bw sam kamanga akibadilishana hati za makubaliano na mtendaji mkuu wa shirika la bima la morocco bw hicham belmrah mkurugenzi mtendaji wa mamlaka ya maeneo maalumu ya uwekezaji bw joseph leon simbakalia akibadilishana hati za makubaliano na mkrugenzi mkuu wa sntl group ya morocco bw mohamed ben ouda kaimu mkurugenzi mtendaji wa kampuni hodhi ya rasilimali za reli bw masanja kadogosa akibadilishana hati na mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya usafirishaji ya taifa ya morocco bw mohamed ben ouda baada ya kutiliana saini makubaliano ya mashirikiano mkurugenzi mkuu wa kampuni ya superstar forwarders bw seif a seif akibadilishana hati ya mkataba wa mkopo na mkurugenzi wa benki ya afrika (boa) bw amine bourati mkurugenzi wa ccbrt bw telemans erwin akibadilishana hati ya mkataba wa mkopo na mkurugenzi wa benki ya afrika (boa) bw amine bourati naibu mkurugenzi wa hospitali ya ccbrt tanzania bi brenda msangi akipeana mikono mkurugenzi wa benki ya afrika (boa) bw amine bourati mwakilishi mkazi wa benki ya maendeleo ya afrika bi tonia kandiero kibadilishana hati za mkataba wa ubia na mwenyekiti mtemdaji mkuu wa benki ya centrale populaire ya morocco bw mohamed benchaaboun kaimu mkurugenzi wa shirika la bima la taifa bw sam kamanga akibadilishana hati za makubaliano na mtendaji mkuu wa shirika la bima la morocco bw hicham belmrah rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akiongea wakati a dhifa ya kitaifa aliyomwandalia mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi wageni wakifurahia hotuba ya rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli wakati akiongea katika dhifa ya kitaifa aliyomwandalia mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi wageni wakifurahia hotuba ya rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli wakati akiongea katika dhifa ya kitaifa aliyomwandalia mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi wageni wakisikiliza hotuba ya rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli wakati akiongea katika dhifa ya kitaifa aliyomwandalia mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi mkurugenzi mtendaji wa benki ya crdb dkt charles kimei na wageni wengine wakisikiliza hotuba ya rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli wakati akiongea katika dhifa ya kitaifa aliyomwandalia mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi mkuu wa mkoa wa dar es salaam mhe paul makonda akiwa na watangazaji mashuhuri wa clouds 360 baby kabaye na bw samwel sasali ambao pia walihudhuria hafla hiyo ikulu mwenyekiti wa bodi ya utalii(ttb) jaji mstaafu thomas mihayo mkurugenzi wa bodi ya utalii tanzania bi devota mdachi na meneja masoko wa ttb bw geofrey meena na maafisa waandamizi wa bodi hiyo walikuwepo pia mpiga picha wa mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi akifurahia ngoma za utamaduni rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimlaki mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi alipowasili kwa dhifa ya taifa ikulu rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akiwa mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi alipowasili kwa dhifa ya taifa ikulu rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli na mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi na meza kuu wakisimama wakati wa nyimbo za taifa kwenye dhifa ya taifa ikulu rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli na mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi na meza kuu wakisimama wakati wa nyimbo za taifa kwenye dhifa ya taifa ikulu rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli na mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi na meza kuu wakisimama wakati wa nyimbo za taifa kwenye dhifa ya taifa ikulu waziri mkuu mstaafu jaji joseph sinde warioba na wageni wakati wa nyimbo za taifa rais mstaafu alhaj ali hassan mwinyi na wageni rais mstaafu wa zanzibar dkt amani abeid karume na wageni mawaziri na wageni wageni waalikwa wakisimama wakati wa nyimbo za taifa wageni waalikwa wakisimama wakati wa nyimbo za taifa mkuu wa majeshi mstaafu jenerali george waitara na wageni waalikwa wakisimama wakati wa nyimbo za taifa wageni waalikwa wakisimama wakati wa nyimbo za taifa wageni waalikwa wakisimama wakati wa nyimbo za taifa wageni waalikwa wakisimama wakati wa nyimbo za taifa wageni waalikwa wakisimama wakati wa nyimbo za taifa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akiwa meza kuu na mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi wakati wa dhifa ya taifa ikulu rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akiwa meza kuu na mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi wakati wa dhifa ya taifa ikulu rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimtambulisha rais mstaafu alhaj ali hassan mwinyi kwa mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi wakati wa dhifa ya taifa ikulu rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimtambulisha rais mstaafu wa zanzibar dkt amani abeid karume kwa mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi wakati wa dhifa ya taifa ikulu rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimtambulisha viongozi wa dini kwa mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi wakati wa dhifa ya taifa ikulu rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akiwatambulisha mawaziri kwa mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi wakati wa dhifa ya taifa ikulu rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimtambulishawaziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano profesa makame mbarawa kwa mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi wakati wa dhifa ya taifa ikulu rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimtambulisha waziri wa kilimo maliasili mifugo na uvuvi zanzibar mhe hamad rashid mohammed kwa mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi wakati wa dhifa ya taifa ikulu rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akiwa na mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi na viongozi wengine wakiangalia ngoma za utamaduni mara baada ya dhifa ya kitaifa ukumbi wa mikutano wa ikulu jijini dar es salaam rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akiwa na mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi na viongozi wengine wakiangalia ngoma za utamaduni mara baada ya dhifa ya kitaifa ukumbi wa mikutano wa ikulu jijini dar es salaam rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akiwa na mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi na viongozi wengine wakiangalia ngoma za utamaduni mara baada ya dhifa ya kitaifa ukumbi wa mikutano wa ikulu jijini dar es salaam rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akiwa na mgeni wake mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi na viongozi wengine wakiangalia kundi la usambara mountain brass band mara baada ya dhifa ya kitaifa ukumbi wa mikutano wa ikulu jijini dar es salaam rais wa jamhuri ya muungano wa tanania dkt john pombe magufuli akiongea na mtukufu mfalme wa morocco mohamed vi na mkewe mama janeth magufuli kabla ya mgeni kuondoka rais wa jamhuri ya muungano wa tanania dkt john pombe magufuli akiongea na makamu wa rais mhe samia suluhu hassan waziri mkuu mhe kassim majaliwa na mkewe mama janeth magufuli baada ya mgeni kuondoka rais wa jamhuri ya muungano wa tanania dkt john pombe magufuli akiongea na makamu wa rais mhe samia suluhu hassan waziri mkuu mhe kassim majaliwa na mkewe mama janeth magufuli baada ya mgeni kuondoka picha na ikulu | 2017-12-16T01:15:35 | https://daresalaam-yetu.blogspot.com/2016/10/rais-dkt-magufuli-amkaribisha-mfalme.html |
baada ya yanga kutaka kurejea klabuni manji akabiliwa na mkosi mwingine
akabiliwa na matatizo mengine kisheria mahakama kuu
11 june 2018 monday 1036
baada ya wanachama wa klabu ya yanga kugoma kujiuzulu kwa mwenyekiti wa klabu hiyo yusuph manji na baadae kikao kuamua kumfikishia ujumbe kuwa anahitajika aendelee na nafasi yake ya kiongozi huyo amezidi kukabiliwa na matatizo
sasa benki ya nbc limited imeamua kumfikisha mahakamani tajiri huyo pamoja na watu wengine wanne kwa kudaiwa jumla ya shilingi bilioni 26
mlalamikaji amnbaye ni benki ya nbc amepeleka malalamiko yake katika mahakama kuu ya kitengo cha biashara
kwa mujibu wa majarida ya mahakama iliyochapishwa hivi karibuni kupita vyombo vya habari watuhumiwa wanatakiwa wafike mahakamni juni 25 2018 kwa ajili ya kujibu shauri dhidi yao
yusuph manjibenki ya nbcyanga | 2018-10-17T22:53:49 | http://www.azaniapost.com/michezo/baada-ya-yanga-kutaka-kurejea-klabuni-manji-akabiliwa-na-mkosi-mwingine-h18906.html |
zamaradi for sale
kuna mdau kanitumia hii kupitia facebook kwa yeyote anaehitaji awasiliane nae kupitia 0714766077
haya jamani kazi kwenu
niiicenapenda sana vitu vya aina hii ila sijuagi pa kuvipatanaomba kujua bei ya hiyo seti ya pilimi nipo mkoani
tutajie bei hata kama sio fixed angalau inarange kati ya ngapi hadi ngapi
looks nice lakini je ni madhubuti kwa jinsi hiyo material iliyotumika ilivyoachana kati ya tundu na tundu ni matundu makubwa sana nadhani ingesukana kwa karibu zaidi (thick) ingekuwa madhubuti zaidi lakini ni jinsi nionavyo tu
binafsi nimepiga sim haipokelewi for longhebu tupe bei watu tufurahishe roho zetu bwanaramadhani kareem | 2018-01-24T11:40:47 | http://zamaradimketema.blogspot.com/2011/07/for-sale.html |
mkutano wa rais dkshein na uongozi wizara ya ardhinyumbamaji na nishati karafuu24 blog
mkutano wa rais dkshein na uongozi wizara ya ardhinyumbamaji na nishati
karafuu 24 june 26 2018 habari
mkurugenzi mkuu wa zura bwhaji kali hajii akitoa ufafanuzi kuhusu namna uagiziaji wa mafuta yanayofika nchini na hatimae kuuzwa kwa wananchi wakati wa kikao cha uongozi wa wizara ya ardhinyumbamaji na nishati katika utekelezaji wa mpango kazi kwa mwaka 20172018 na mpango kazi kwa mwaka 20192019 katika ukumbi wa ikulu mjini zanzibar[picha na ikulu] 26/06/2018
rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein (kulia) akizungumza na uongozi wa wizara ya ardhinyumbamaji na nishati katika mkutano wa siku moja katika utekelezaji wa mpango kazi kwa mwaka 20172018 na mpango kazi kwa mwaka 20192019 katika ukumbi wa ikulu mjini zanzibar[picha na ikulu] 26/06/2018
wizari wa ardhinyumbamaji na nishati mhe salama aboud talib akisoma muhtasari wa taarifa yake katika mkutano wa siku moja katika utekelezaji wa mpango kazi kwa mwaka 20172018 na mpango kazi kwa mwaka 20192019 katika ukumbi wa ikulu mjini zanzibar (kulia) katibu mkuu wa baraza la mapinduzi pia katibu mkuu kiongozi dktabdulhamid yahya mzee[picha na ikulu] 26/06/2018
mrajis wa ardhi katika wizara ya ardhinyumbamaji na nishati dkabdulnasser hikmany alipokuwa akitoa maelezo yanayohusu masuala ya viwanja vinavyotolewa kwa wananchi katika mkutano wa siku moja katika utekelezaji wa mpango kazi kwa mwaka 20172018 na mpango kazi kwa mwaka 20192019 katika ukumbi wa ikulu mjini zanzibarmwenyekiti wake akiwa rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein (hayupo pichani) [picha na ikulu] 26/06/2018
katibu mtendaji wa kamisheni ya ardhi zanzibar ahmeid rashid akitowa maelezo katika mkutano wa siku moja katika utekelezaji wa mpango kazi kwa mwaka 20172018 na mpango kazi kwa mwaka 20192019 katika ukumbi wa ikulu mjini zanzibarmwenyekiti wake akiwa rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkali mohamed shein (kulia) naibu waziri wa ardhinyumbamaji na nishati mhe juma makungu juma [picha na ikulu] 26/06/2018
mhandisi mji mkongwe ndmussa awesu (kushoto) alipokuwa akitoa maelezo yanayohusu idara yake hasa mradi wa green corridor unaoanzia mkunazini hadi posta kijangwani wakati wa mkutano wa siku moja wa wizara ya ardhinyumbamaji na nishati katika utekelezaji wa mpango kazi kwa mwaka 20172018 na mpango kazi kwa mwaka 20192019 katika ukumbi wa ikulu mjini zanzibar
[picha na ikulu] 26/06/2018
meneja wa shirika la umeme zanzibar ndhassan ali mbarouk alipokuwa akitoa ufafanuzi wa kuhusu masuala ya umeme wakati wa mkutano wa siku moja wa wizara ya ardhinyumbamaji na nishati katika utekelezaji wa mpango kazi kwa mwaka 20172018 na mpango kazi kwa mwaka 20192019 katika ukumbi wa ikulu mjini zanzibar
by karafuu 24 at june 26 2018 | 2018-11-14T16:34:32 | http://www.karafuu24.com/2018/06/mkutano-wa-rais-dkshein-na-uongozi.html |
space x yashindwa jaribio lake la kutua roketi katika meli teknokona teknolojia tanzania
you are athome»teknolojia»space x yashindwa jaribio lake la kutua roketi katika meli
http//m3universitycom/page_id=17 notice trying to get property of nonobject in http//thetwistedcitruscom/wpjson/oembed/10/embedurl=http//thetwistedcitruscom/placestotryforbrunch/ /home/teknoloj/public_html/wpcontent/themes/smartmag/partials/single/featuredphp on line 36
space x yashindwa jaribio lake la kutua roketi katika meli
by nickson on january 20 2016 teknolojia
kampuni ya space x inayowekezwa mabilioni ya dola za kimarekani katika kutengeneza na kutumia teknolojia ya kurudisha roketi salama duniani baada ya kupeleka mizigo nje ya dunia yapata pigo baada ya mpango wao wa kurudisha salama roketi kubwa kushindikana
mwishoni mwaka jana kampuni ya kimarekani ya space x ilifanikiwa kurusha roketi ndogo iliyobeba setelaiti 11 na baada ya kuziweka setelaiti hizo roketi hii ilirudi na kutua kwa kusimama ardhini
biashara ya kupeleka satelaiti angani nje kidogo ya dunia (orbit) ni biashara ya mabilioni ya pesa
baada ya hilo jaribio kufanikiwa space x walitaka kujaribu kutua roketi katika meli lakini jaribio hilo halikufanikiwa baada ya roketi hiyo kuvunjika mguu mmoja wakati ikitua
hapo juu ni video inayoonesha kwa ufupi misheni hiyo ya kuirudisha roketi hiyo ya falcon 9 duniani katika chombo maalumu kinachoelea baharini
space x walipata ushawishi mkubwa baada ya mafanikio ya jaribio lao la kutua roketi hiyo ya falcon 9 nchikavu lililofanyika mwishon mwaka jana hata hivyo safari hii mambo hayakuwa mteremko kwani baada ya roketi hiyo iliyokuwa imebeba satelaiti ya mambo ya hali ya hewa kufanikiwa kuufikisha mzigo wake ilirudi na kufanya jaribio la kutua katika meli iliyokua baharini ilifanikiwa kuanza kutua ila ilivunja mguu mmoja na kuanguka kisha kulipuka
go to link kuna faida gani kurudisha roketi iliyotumika salama
mmiliki wa kampuni hiyo ya space x elon musk anasema kwamba kuweza kurudisha duniani roketi iliyotumika ikiwa salama kutapunguza saana gharama za uendeshaji za kampuni yake na hiii itashusha gharama za kurusha roketi
roketi ya space x ilipokuwa inatua baada ya kupeleka satelaiti angani mguu wake mmoja ulivunjika na hivyo roketi hiyo kuanguka na kulipuka wakati inatua
wataalamu wa mambo wanasema kwamba hii ikifanikiwa itakakuwa ni hatua madhubuti katika lengo la wanadamu kwenda kufanya makazi katika sayari ya mars
mmiliki wa kampuni hiyo ya space x aliposti video ikionesha jinsi roketi hiyo ilivyoshindwa kutua baada ya moja ya miguu yake kushindwa kufunguka ipasavyo na hatimaye kupelekea kuanguka na kulipuka hata hivyo bosi huyo amekuwa na matumaini kwamba walau roketi hiyo ilikaribia kufikia hatua ya mwisho
japokuwa jaribio la kutuoa katika meli limeshindwa lakini waswahili wanasema kuchanika kwa jamvi sio mwisho wa maongezi tunaaamini space x hawajakata tamaa na wataendelea kujaribu tena na tena hadi watakapoweza kurudisha roketi duniani na kutua katika mazingira yeyote yale yaani baharini ama nchikavu
lengo kubwa hapa ni kuweza kutua katika madhingira yeyote na ikiwezekana kuweza kutua katika sayari nyingine pengine miaka ijayo tutaweza kusafiri na kwenda sayari nyingine kama vile tunaenda mwanza na ndege
pingback space x yafanikiwa kutua roketi katika meli #teknolojia teknokona
pingback space x yafanikiwa kutua roketi katika meli tena teknokona | 2018-08-14T06:56:36 | http://teknokona.com/space-x-kampuni-ya-kwanza-kurudisha-roketi-duniani-salama/ |
tanzania na ndoto za olympic 2020 | gazeti la jamhuri
wadau wa mchezo wa soka wameishauri shirikisho la mpira wa miguu tanzania tanzania (tff) juu ya kufanya maboresho yatakayo saidia timu ya taifa kupata nafasi ya kushiriki katika mashindano kadha ya kimataifa ikiwemo olympic inayotarajia kufanyika nchini japan mwaka 2020
hivi karibuni tff imeitangaza timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 23 kilimanjaro worriors kwa ajili ya maandalizi ya awali ya kucheza mechi za kufuzu fainali za mashindano ya olympic zinazotarajiwa kufanyika jiji la tokyo japan 2020
katika mpango huo vijana wa serengeti boys wanatarajiwa kuungana na vijana wa airtel copa cacacala na baadhi ya vijana wa toka ligi ya vijana walio chini ya ummri wa miaka 20
wakizungumza na jamhuri kwa nyakati tofauti wadau wa michezo wamesema kuwa kuwaweka kambini vijana hao pekee hakutoshi bali ipo haja ya kuwa na mipango endelevu katika soka la vijana
mjumbe wa kudumu wa shirikisho la mpira wa miguu afrika (cuf) said el maamry anasema bila kuwa na mipango endelevu tutabaki kuyasikia mashindano hayo kwenye vyombo vya habari
anasema pamoja na tff kujitahidi kuliendeleza soka la vijana lakini bado kuna haja ya wadau wengine kuingilia kati kwa lengo la kusaidiana
tff pekee hawawezi kuliwezesha soka letu kuweza kupata mafanikio tunayoyahitaji ipo haja ya wadau wengine kuingilia kati kwa lengo la kuliokoa jahazi anasema el maamry
anafafanua kuwa nchi ya uganda walifuzu kushiriki katika fainali za kombe la klabu bingwa afrika 2017 baada ya miaka 38 hivyo na sisi tunaweza kushinda na kuongeza kwa kuongeza nguvu kwani hakuna kinachoshindikana endapo kutakuwa na msimamo mmoja
aliyewahi kuwa kocha wa timu ya taifa taifa starz charles mkwasa anasema kuna haja ya kuanza kuwa na mipango ya muda mrefu iwapo nchi inahitaji kupata nafasi ya kushiriki mashindano mbalimbali ya kimataifa ikiwemo olimpiki nchini japan 2020
hatuwezi kupata nafasi ya kwenda japan kama tutakuwa na maandalizi ya zima moto kama ambavyo tumekuwa tukifanya hata katika michezo mingine anasema mkwasa
anasema ni vigumu kuweza kutimiza lengo la kushiriki mashindano ya mwaka 2020 kutokana na muda kuwa mchache
miaka mitatu tu imebaki kufanyika kwa mashindano hayo kwa kuhesabu tunaweza kujifariji kwa muda lakini kiuhalisia muda umekwisha na inatupasa kuwa na maandalizi makali kuanzia sasa anasema
akiongea na jamhuri mkurugenzi wa ufundi wa tff salumu madadi anasema kuwa kushirikiana na uongozi wa kampuni ya simu ya mkononi ya airtel ambao wamekuwa na uhusiano mzuri katika kuhakikisha vijana wengi wenye vipaji wanapata nafasi ya kucheza mpira
ni zaidi ya miaka sita tff kwa kushirikiana na airtel tumejitahidi kuwaandaa vijana ambao wengi wao ndio wapo kwenye timu zetu za taifa anasema madadi
michezo ya olympic ya kale ilifanyika tangu tarehe isiyojulikana lakini kwa uhakika kuanzia mwaka 776kk hadi mwaka 393 katika mtaa wa mahekalu wa olimpia kwenye rasi ya peloponesi nchini ugiriki
michezo ya olympic ya kisasa ya kwanza ilifanyika mwaka 1896 mjini athens ugiriki mwanzilishi alikuwa raia toka nchini ufaransa pierre de coubertin aliyetaka kutumia michezo hiyo kujenga uhusiano mzuri kati ya vijana toka mataifa mbalimbali kwa lengo la vijana kushindana viwanjani badala ya vitani
michezo ya olympic imekuwa ikifanyika kila baada ya miaka minne isipokuwa mwaka 1916 1940 na 1944 kwa sababu ya vita kuu ya kwanza na ya pili ya dunia kwa hiyo ni jukumu letu kama taifa kuunganisha nguvu kuhakikisha timu zetu zinafanya vizuri katika mashindano mbalimbali
previous bilionea amjaribu magufuli
next umuhimu wa misingi mitatu ya udugu | 2019-03-22T10:39:12 | http://www.jamhurimedia.co.tz/tanzania-na-ndoto-za-olympic-2020/ |
makamishina wa tume ya utumishi wa bunge la uganda wakutana na makamishina wa tume ya utumishi wa bunge la tanzania | matukio na vijana
» makamishina wa tume ya utumishi wa bunge la uganda wakutana na makamishina wa tume ya utumishi wa bunge la tanzania
mbunge wa ilala ambaye pia ni kamishina wa tume ya utumishi wa bunge mhe mussa azzan zungu akiongoza kikao baina ya makamishina wa tume ya utumishi wa bunge la uganda na makamishina wa tume ya utumishi wa bunge la tanzania mapema leoofisi ndogo za bunge jijini dar es salaam kikao baina ya makamishina hao ambacho lengo kubwa lilikuwa ni kubadilishana uzoefu wa utedaji kazi kiliongozwa na mhe zungu kwa niaba ya spika wa bunge mhe job ndugai ambaye ndiye mwenyekiti wa tume ya utumishi wa bunge la tanzania makamishina hao wa bunge la uganda wapo nchini kwa ziara ya kibunge ya siku mbili | 2017-07-28T02:49:02 | http://www.matukiotz.co.tz/2017/07/makamishina-wa-tume-ya-utumishi-wa.html |
vamwe ovo ve liyamba va longe nehalo liwa muafrika lokouninginino | oshifo shokukonakonwa
oshungonangelo (oshifo shokukonakonwa) januali 2014
pascal okwa li a halelela onghalamwenyo iwa molwaashi okwa kulila moshitukulwa sha hepa moivory coast molwaashi ka li natango a ninga omudengingonyo a pyokoka okwa li te lipula kutya openi handi dulu okumona omhito yokuninga enyakwa moudano opo ndi ninge oshipuna eshi a li e na omido 20 nasha okwa li a mona kutya okoeuropa a li ta ka mona omhito oyo ashike molwaashi ka li e na omikanda dokuya koeuropa okwa li e na okuya ko shihe li paveta
pascal okwa li a hovela olweendo laye mo 1998 eshi a li e na omido 27 okwa tauluka peengaba ta i moghana ta tavakana ta piti motogo ta tauluka benin nolwanima okwa li a fika modoolopa yabirni nkonni moniger opo nee okwa li e li pokutwikila nolweendo likwao olo la nyika oshiponga filufilu okwa li e na okukwata olefa nokutauluka ombuwa yasahara a finda kolundume shimha a fiki pefuta lopokati okwa li e na okuya nombautu kueuropa osho osha li ashike omhangela ndele opa li oinima ivali oyo ya ningwa moniger ye mu ya moshipala
shotete oimaliwa okwa li ya pwa po oshitivali okwa li a shakeneka noé omukokolindjila oo a li a hovela naye ekonakonombibeli osho a li e lihonga osha li she mu kuma neenghono nosha lundulula etaleko laye li na sha nonghalamwenyo elalakano laye lokulalakanena omaliko ola li la pingenwa po kohokwe yoinima yopamhepo pascal okwa ninginifwa mudesemba 1999 opo a ulike olupandu laye kujehova okwa ninga omukokolindjila moniger mo 2001 moodolopa omo a monena oshili okwa li e uditile ngahelipi oilonga yaye okwa ti ondi na onghalamwenyo iwa paife nohandi i hafele pauyadi
otu udite twa wanenwa filufilu notwa hafa eshi hatu udifa muafrika
ngaashi pascal vahapu ova mona kutya okulalakanena omalalakano opamhepo ohashi va kwafele va kale va wanenwa filufilu vamwe opo va hange omalalakano oo ova fiya po europa nova tembukila kuafrika opo va kwafele koitukulwa oko ku na omhumbwe inene yovaudifi vouhamba eendombwedi 65 di li pokati komido 17 no70 da dja kueuropa oda li da tembukila koilongo yokouninginino waafrika kobenin burkina faso niger natogo * oko ku na omhumbwe inene oshike sha li she di linyengifa opo di ninge elunduluko olo linene nosha li she di endela ngahelipi
annerakel oo a dja kodenmark okwa ti ovadali vange ova li ovatumwa mosenegal luhapu ova li hava popi va tunhukwa kombinga yonghalamwenyo youtumwa oyo naame nda li nda hala omido 15 lwaapo da pita eshi annerakel a li e na omido 20 nasha okwa li a tembukila kutogo oko a li ta kwafele meongalo lelaka lokuudika okutembuka kwaye okwa li kwa twa ngahelipi vamwe omukumo okwa ti lwanima eendenge dange mbali nado oda li da tembukila kutogo
aurele omumwatate a hombola womido 70 a dja kofransa okwa ti omido 5 da pita eshi nda pendjelwa onda li ndi na ehoololo okukala nonghalamwenyo iwa mofransa nokuteelela oparadisa i uye ile ndi tamunune mo oukalele wange aurele okwa li a katuka eenghatu a tamunune mo oukalele waye omido 3 lwaapo da pita okwa li a tembukila kobenin pamwe nomukulukadi waye albertfayette aurele okwa ti okulongela kwetu jehova oku oku li oshinima sha denga mbada osho twa ninga okwa weda ko te limemesha a ti oshidjemo eenhele dimwe domoshitukulwa shetu shokomunghulofuta ohadi djuulukifa nge oparadisa
omido 16 da pita clodomir nomukulukadi waye lysiane ova li va dja kofransa nova tembukila mobenin tete ova li va djuulukwa neenghono ovapambele nookaume kavo kofransa nokwa li ve na oumbada kutya itava ka ikilila onghalo yavo ipe ndele nande ongaho kava li ve na etomheno lokukala va tila ova li va mona ehafo linene clodomir okwa ti moule womido odo 16 otwa li tu na oufembanghenda wokukwafela hanga omunhu umwe omudo keshe a tambule ko oshili
sébastien najohanna ovalihomboli va dja kofransa ova li va tembukila kobenin mo 2010 sébastien okwa ti meongalo omwa li mu na shihapu osho sha pumbwa okulongwa okukwafela oku osha li sha fa ashike hatu pewa meendelelo edeulo lopamhepo ovanhu ova li have linyenge ngahelipi moukalele johanna okwa ti ovanhu ova li va halelela neenghono okulihonga oshili nokuli nofiku inatu ka udifa ova li have tu kangheke mepandavanda tave tu pula omapulo opambibeli noishangomwa yetu okutembuka okwa kuma ngahelipi ohombo yavo sébastien okwa ti okwa pameka ohombo yetu ohashi kala shihafifa okulonga moukalele efiku alishe pamwe nomukulukadi wange
eric nomukulukadi waye katy ova li tava kokola ondjila koitukulwa oyo i na ovanhu vanini kolundume labenin omido omulongo lwaapo da pita omanga ve li mofransa ova li va hovela okulesha oitukulwa i na sha noku ka udifa oko ku na omhumbwe inene nokupopya naavo ve li moilonga yefimbo li yadi osho osha li she ve linyengifa va kale va hala okutembukila koshilongo shimwe naasho osho va li va ninga mo 2005 ova li va mona nghee omuvalu wovaudifi tau hapupala neendelelo eric okwa ti omido 2 da pita ongudu yetu yomodoolopa yatanguiéta oyo kwa li i na ovaudifi 9 paife oi na ovaudifi 30 mosoondaxa oupokati wovanhu 50 no80 ohava kala pokwoongala kasha li tuu shitunhula okumona ekulo la tya ngaho
okudidilika mo nokufinda omashongo
vamwe ovo va tembukila oko ku na omhumbwe inene ova li va shakeneka omashongo elipi mo 2000 omumwaina waannerakel womido 33 wedina benjamin okwa li a shakeneka omutumwa umwe modenmark oo ha udifile motogo benjamin okwa ti eshi nda lombwela omutumwa kutya onda hala okukokola ondjila okwa ti oto dulu oku ka kokola ondjila motogo benjamin okwa li a diladila kombinga yasho okwa ti pefimbo opo kanda li nokuli ndi na omido 20 ashike ovamwamemekadona 2 ova li nale tava udifile motogo osho sha li she shi ninga shipu kwaame okutembukila ko onghee hano okwa li a tembuka ashike opa li natango pe na eshongo benjamin okwa ti kanda li ndi shii nande oshitya shimwe shoshifransa eemwedi dopehovelo 6 oda li didjuu molwaashi kanda li handi popi lela novanhu ashike mokweendela ko kwefimbo okwa li a ninga exumokomesho paife benjamin oha longo kobetel yabenin ha twala omitwalo doifo nokukwafela koshikondo sheekombiyuta
eric nakaty ovo va tumbulwa metetekelo okwa li hava udifile moshitukulwa omo hamu popiwa elaka loshinailongo mofransa manga inava tembukila kobenin onghalo muafrika lokouninginino oya li ya tya ngahelipi katy okwa ti kasha li shipu okumona onhele yokukala tai wapalele oule weemwedi otwa li tu li meumbo muhe na olusheno nomeva eric okwa weda ko a ti ovashiinda shetu ova li hava shiki eemusika di li pombada unene fiyo omokati koufiku ou na okulididimikila oinima ya tya ngaho nokutambula ko onghalo aveshe ova li va dimina kutya ehafo lokulonga koitukulwa oyo inai udifilwa nale itali dulu okuyelekwa nomaupyakadi oo twa shakeneka
michel namarieagnès ovalihomboli va dja kofransa vomido 50 nasha ova li va tembukila kobenin omido 5 lwaapo da pita ashike pehovelo kasha li shipu kuvo michel okwa ti kutya ovanhu vamwe ova li tava ti kutya etembu lavo ola nyika oshiponga okwa weda ko a ti otashi dulu okukala shitilifa ngeenge ku shii kutya jehova ote tu kwafele onghee hano otwa li twa tembukila ko omolwajehova nokekwafo laye
ovo ve na owino wokuudifila koitukulwa oko ku na omhumbwe inene ova divilika nghee sha fimana okulilongekida mokukatuka eenghatu edi lilongekida komesho yefimbo lihonga okutambula ko onghalo ino longifa oimaliwa ya pitilila pomuvalu oo wa tokola okulongifa lineekela mujehova luk 142830
sébastien oo a popiwa metetekelo okwa ti fimbo inatu tembuka ame najohanna otwa li twa ongela oshimaliwa sheedula mbali mokuninipika oimaliwa oyo hatu longifa momalihafifo nokuhenuka okulanda oinima oyo inatu pumbwa opo va twikile okuudifila kondje yoshilongo ova li ve na okulonga eemwedi dinini moeuropa odula keshe osho sha li tashi ke va kwafela va dule okukokola ondjila mobenin oshixupe shodula aishe
mariethérèse oumwe womovamwameme 20 lwaapo inava hombolwa ovo va li va tembukila koitukulwa yokoafrika lokouninginino oko ku na omhumbwe inene okwa li omushingi wobesa mofransa ndele mo 2006 okwa li a kufa efudo omudo aushe opo a ka kokole ondjila moniger moule ashike wefimbo lixupi okwa li a mona kutya ei oyo naanaa onghalamwenyo oyo a li a hala okulalakanena mariethérèse okwa ti lwanima eshi nda alukila kofransa onda li nda popya nomuyandji wange woilonga kutya onda hala okuninga po elunduluko melandulafano lange loilonga nokwa li e shi dimina paife okudja mumei fiyo auguste ohandi shingi obesa mofransa nomuseptemba fiyo aprili ohandi kokola ondjila muniger
ovo tava kongo tete ouhamba otava dulu okukala nelineekelo kutya jehova ote ke va pa oinima aishe oyo va pumbwa (mat 633) pashihopaenenwa tala osho sha li sha ningilwa saphira omumwameme ina hombolwa oo a dja kofransa wepupi lomido 20 nasha nota kokola ondjila mobenin mo 2011 okwa li a alukila kofransa opo a mone oimaliwa ya wana omudo mukwao (omudo waye omuti6) opo a dule okuliyambidida eshi ta longo muafrika saphira okwa ti efiku lange laxuuninwa moilonga ola li etitano ashike onda li nda hala okuweda ko vali omafiku 10 opo ndi mone oimaliwa ya wana omudo tau uya onda li ndi na ko ashike oivike 2 opo ndi dje mo mofransa onda li nda ilikana kujehova nde mu lombwela onghalo yange konima yefimbo lixupi onda li nda yakula ongodi ya endelela ya dja komuyandji woilonga umwe nokwa pula nge ngeenge ohandi dulu okupingena po umwe oule woivike ivali omaandaxa saphira okwa li a ya konhele yoilonga opo a ka deulwe komunailonga oo a li ta ka pingena po saphira okwa ti kasha li tuu shikumwifa eshi nda li nda mona kutya mboli omunailonga oo omumwameme oo a li a hala efudo lomafiku 10 opo a dule oku ka kala pofikola yokudeula ovakokolindjila omuyandji woilonga waye ka li a hala e mu pe efudo okuninga shapo pe na oo a li te mu pingene po okwa li a ilikana kujehova e mu kwafele ngaashi ame
odjo yewaneno lashili
ovamwatate novamwameme vamwe ovo va longela muafrika lokouninginino oule womido dihapu ova tokola ashike omo va kale vamwe ohava dulu okukala ko oule womido donhumba opo nee tava shuna koilongo yavo nokuli nokunena ovo va ka longele oko ku na omhumbwe inene ohava mono ouwa omolwomido odo va longa kondje yoilongo ova mona kutya okuwanenwa kwashili monghalamwenyo ohaku di mokulongela jehova
^ okat 6 oshitaimbelewa shabenin ohashi pashukile oilonga moilongo aishe oyo ine omo hamu popiwa oshifransa
nghee u na okuyandja edeulo
pascal omukokolindjila noku li omukulunhuongalo a dja kofransa okwa udifila kobenin oule womido di dule 12 okwa ti okumona ovamwatate novamwameme tava ningi exumokomesho lopamhepo oshi li enangeko noupuna ongahelipi a kwafela vamwe va ninge exumokomesho
okwa ti onda li handi lundulula edeulo lange she likolelela komunhu pauhandimwe moukalele onde lihonga kovamwatate vomoshitukulwa nghee handi dulu okupopya nokupopifa ovanhu oshike osho vamwe ve lihonga kwaame okuninga omadidilikoshango omapandavanda mahapu kae na omadina nomaumbo kae na eenomola ovaudifi vamwe ihava ningi omadidilikoshango nomolwaasho ova li hava dopa okuninga omalishuneko avo aeshe onda li handi va ulikile nghee nokuli nomadimbulukifo anafangwa hae tu dimbulukifa omunhu oo a ulika ohokwe naapo ha kala nohae tu tu yo omukumo opo tu ninge omalishuneko
oku ovanhu ohave lihongo unene okupitila mokupwilikina ohava dulu okulihonga omalaka mahapu nopehe na okutala momambo ashike okulesha ihaku kala kupu kuvo ohandi deula ovamwatate vahapu ovanyasha moku va leshifa mokule apa ngoo pe fike okuninga kwavo exumokomesho opo ngoo pe fike okuhafela kwavo okulesha ohandi va ulikile yo nghee ve na okuninga omapekapeko ova ninga exumokomesho meendelelo nokonima yefimbo lixupi ova ka nangekwa po ve li ovayakuliongalo
https//wwwjworg/finderdocid=2014042&wtlocale=ky&srcid=share
mailtobody=vamwe ovo ve liyamba va longe nehalo liwa muafrika lokouninginino0a0ahttps3a2f2fwwwjworg2ffinder3fdocid3d201404226wtlocale3dky26srcid=share⊂ject=vamwe ovo ve liyamba va longe nehalo liwa muafrika lokouninginino
januali 2014 oshungonangelo (oshifo shokukonakonwa)
https//wwwjworg/finderpub=w14&issue=20140115&wtlocale=ky&srcid=share
mailtobody=januali 2014 oshungonangelo (oshifo shokukonakonwa)0a0ahttps3a2f2fwwwjworg2ffinder3fpub3dw1426issue3d2014011526wtlocale3dky26srcid=share⊂ject=januali 2014 oshungonangelo (oshifo shokukonakonwa)
https//assetsnffrgfaakamaihdnet/assets/a/w/ky/20140115/wpub/w_ky_20140115_mdjpg | 2017-03-28T04:02:22 | https://www.jw.org/kj/oishangomwa/oifo/w20140115/ovo-ve-liyamba-va-longe-nehalo-liwa-muafrika-lokouninginino/ |
saida karoli aibukia sauti za busara mwananchi
thu jan 11 150506 eat 2018
saida karoli kuwasha moto sauti za busara
burudani hiyo yenye hadhi ya kimataifa hufanyika katika eneo la ngome kongwe na bustani ya forodhani ikiwa na maonyesho 46 kutoka kwa wanamuziki 400
mwanamuzi wa nyimbo za asili saida karoli atakuwa miongoni mwa wanamuziki zaidi ya 400 watakaotumbuiza kwenye tamasha la muziki la afrika mashariki sauti za busara katika maadhimisho yake ya miaka 15 katika mji wa stone town zanzibar kuanzia februari 8 hadi 11 2018
tamasha hilo litashuhudia kuzaliwa upya kwa mwanamuziki saida karoli kwenda katika ngazi ya kimataifa saida amerejea katika nafasi yake kwa kishindo kikuu katika mwaka 2017 baada ya kukaa nje ya muziki kwa muda
katika tamasha hilo litashudia wigo mpana wa wasanii na vikundi mbalimbali vya muziki vinavyotambulisha tamaduni tofauti tofauti za kiafrika tamasha hili aghalabu limejipambanua kuwa miongoni mwa jukwaa ambalo nyota wa afrika wanaonyesha nguvu ya ubunifu wao katika mandhari ya kipekee iliyowahi kutumika tangu karne zilizopita
burudani hiyo yenye hadhi ya kimataifa hufanyika katika eneo la ngome kongwe na bustani ya forodhani ikiwa na maonyesho 46 ya kusisimua ikiwakusanya kwa pamoja wasanii zaidi ya 400 katika majukwaa matatu tofauti ndani ya siku nne katika mwezi wa februari
watanzania na wageni wa mataifa mbalimbali kutoka katika kila kona ya dunia husubiria kwa hamu tamasha hili lenye kusisimua na linalotoa fursa ya kuona vipaji vya aina mbalimbali vya wanamuziki ambao ni gumzo afrika na nje ya afrika
kama ambavyo wengi wameshaelezea kuhusiana na tamasha hili tamasha la mwaka huu ni la kipekee kwa kuweza kukusanya orodha ya wasanii bora kuwahi kutokea likichanganya vipaji vinavyochipukia pamoja na wale wakongwe kutoka katika nchi za jirani na zile za mbali wakidumu katika lengo moja la kuunganishwa na muziki
tamasha hili linawakilisha utamaduni tofauti tofauti wa kiafrika kutoka katika vikundi mbalimbali vya nchi kama vile algeria burundi jamhuri ya kidemokrasia ya kongo misri kenya malawi morocco rwanda senegal afrika kusini uganda na zimbabwe
tamasha limepiga hatua mbele kutoka pale ambapo lilikomea katika maadhimisho ya awamu ya 14 kwani orodha hiyo pia inajumuisha sauti za kipekee za wanamuziki kutoka zanzibar na tanzania bara ambapo vikundi 15 vipo tayari kwa ajili ya kuionyesha dunia utajiri wa muziki wa nyumbani
makundi mengine ni pamoja na kasai allstars (jamhuri ya kidemokrasia ya kongo) zakes bantwini (afrika kusini) somi (uganda / usa) msafiri zawose (tanzania) ribab fusion (morocco) kidum & the boda boda band (burundi / kenya) mlimani park orchestra (tanzania)
pia katika orodha hiyo wapo wanamuziki kama vile grace matata (tanzania) mohamed ilyas & nyota zameremeta (zanzibar) makadem (kenya) diana samkange mangwenya (zimbabwe) fatma zidan (misri / denmark) inganzo ngari (rwanda)
wengine ni segere original (tanzania) simangavole (reunion) maia & the big sky (kenya) kiltir (reunion) el dey (algeria) simbin project (senegal / uswisi) cac fusion (tanzania) mbanaye (malawi) ernest ikwanga (malawi) na isack abeneko (tanzania)
ili kudumu katika utamaduni wa kweli za tamasha la sauti za busara vikundi vyote vitafanya maonyesho yao mubashara kwa kushuhudia onyesho la kwanza likifanyika katika viwanja vya kisonge kabla ya gwaride la carnival halijafanyika kuashiria kuanza kwa onyesho lenye hadhi ya kidunia linalochukua siku nne katika majukwaa matatu
mkurugenzi wa tamasha hili yusuf mahmoud alivyoeleza hivi karibuni kuwa muziki ni lugha ya ulimwengu mzima ambapo kupitia huo (muziki) dunia inaitazama afrika katika mtazamo chanya afrika ni mahiri afrika ni tajiri katika tamaduni zake nyingi na maelezo yake tunahitaji kujenga daraja la amani na umoja kwa dunia nzima ni njia ipi bora ya kujenga daraja hili zaidi ya kupitia lugha yetu moja ya ulimwengu ambayo ni muziki
tamasha la sauti za busara linatoa ofa ya kulipia nusu gharama za tiketi kwa wageni wote kutoka mataifa ya afrika mapunguzo zaidi yanapatikana kwa wakazi wa ukanda wa afrika mashariki au raia wa tanzania
video gabo zigamba afikisha tuzo nane za filamu | 2018-07-21T07:38:25 | http://mobile.mwananchi.co.tz/burudani/Saida-Karoli-kuwasha-moto-Sauti-za-Busara/1597660-4260078-format-xhtml-1hto37/index.html |
hivi ndivyo tukio la kushambuliwa tundu lissu lilivyoharibu heshima ya tanzania jamiiforums
hivi ndivyo tukio la kushambuliwa tundu lissu lilivyoharibu heshima ya tanzania
thread starter mpekenyeke
mpekenyeke
likes bak mwambadog ambiele kiviele and 3 others
2609 4160 280
wenyewe hawaoni shida kwani kwa tukio hilo sizonje anatambulika dunia nzima kwamba ni full bright dictator
likes janken jr blasted masawe pascal mayalla and 3 others
tatizo mnapenda sana kuwaamin wazunguhata akikwambia sasa hivi usiku na ni mchana wa jua kali utaaminiwazungu wametushikia akili sana wanatuburuza pembe kumbe hakuna majinga km hayami nimeishi nayo sana nayajua
likes thetallest
54145 44621 280
damu ya lissu iliyopotea haitaenda bure wasiojulikana na waliowatuma watambue hili
mungu siyo fala
likes douglas sallu bijou copenhagen dn and 8 others
mkuu unajua unachoongea au unaleta utoto hapa jukwaani hao wazungu ni wajinga kisha wana maendeleo makubwa hivyo
likes copenhagen dn charity24 jodata and 7 others
kelele za chura
si kila mzungu anaakili wengine ni bourges kama huyu
ama kweli zama zinabadilika
yan zama hizi upinzani umekuwa uadui jamani
likes kwembe87 mwambadog polmo and 1 other person
1441 1129 280
hakuna unayeweza kumfundisha kuishi na wazungu kama ulienda ulaya kubeba mizigo utaishia kubeba mizigo na usitarajie kubebwa na taasisi au serikali
kama ulienda ulaya kuwa changudoa utaishia kuwa changudoa na hakuna atakayekubeba
wazungu na mimi nimeishi nao huku ulaya na hakuna watu wazuri kama hawa hawana unafiki kama huko kwetu
kama umeshindwa huku ulaya rudi huko home
likes copenhagen dn nguzomia jodata and 5 others
mpekenyeke said
hahahah mungu sio fala
likes polmo and erythrocyte
mungu atahukumu tuhasa huyu mbwa roho mbaya
476 470 80
mh isee
una umri gani
1477 1434 280
kweli mkuuumeishi na wazungu wa kolomije
5038 5916 280
inawezekana huna uwezo wa kujua uwezo wao umaskini wa akili hudhihirika katika uwezo wa kuyafikia maendeleo leo hii unapanda ndege zao unatumia simu zao unatumia dawa zao unasafiria magari yao unatumia computer zao unaishi kwa kutegemea misaada yao halafu wakuzidi ujinga wewe lazima ni mjinga shujaa
likes online pastor punky copenhagen dn and 8 others
244 181 60
we sio mzima upimwe mkojo
kama ni majinga na bado yanakukopesha na kukupa mikopo nani mjinga kati yako na wao
punguwani wewe
likes mimi mkali usatrumpjr and odhiambo cairo
hatuzungumzii mzungu mmoja mmoja bali tunazungumzia wazungu kama jamii na pia uwatazame waafrika kama jamii
kama akili yako ipo vizuri kabisa jiulize ni nini ambacho kimegunduliwa na jamii ya waafrika ambacho dunia inafaidi ukilinganisha na yale yaliyogundulika na hao wazungu ambao umewaita hawana akili ambavyo sote tunanufaika mojawapo ni huu uwezo kuwasiliana
likes jodata usatrumpjr and odhiambo cairo
270 190 60
hapo kwenye red unamaanisha nini mkuu
wao waliwahi kupata mwanga hivyo hata sisi tutafika | 2018-12-13T06:06:19 | https://www.jamiiforums.com/threads/hivi-ndivyo-tukio-la-kushambuliwa-tundu-lissu-lilivyoharibu-heshima-ya-tanzania.1350056/ |
dk shein aipongeza taifa stars kwa kupata ushindi mnono zanzibar24
dk shein aipongeza taifa stars kwa kupata ushindi mnono
march 25 2019 march 25 2019 rukiya abdullah
rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dk ali mohamed shein ameipongeza timu ya taifa ya tanzania (taifa stars) kwa ushindi mnono ulioipata dhidi ya timu ya taifa ya uganda
dk shein alitatoa pongezi hizo baada ya timu ya taifa ya tanzania kushinda mabao matatu kwa bila dhindi ya timu ya taifa ya uganda mechi iliyochezwa katika uwanja wa taifa jijini daressalaam hapo jana
rais dk shein aliipongeza timu ya taifa ya tanzania (taifa stars) kwa kuweza kufuzu katika fainali za kombe la mataifa ya afrika (afcon) kwa mara ya pili baada ya kusubiri kwa miaka 39
katika salamu zake hizo za pongezi rais dk shein aliipongeza timu hiyo ya tanzania kwa ushindi wake huo na kueleza kuwa wananchi wa zanzibar na tanzania nzima wamefarajika na ushindi huo ambao utaendelea kuipa hadhi kubwa tanzania kitaifa na kimataifa katika anga za michezo
alieleza kuwa wananchi wa zanzibar na tanzania nzima wataendelea kuiunga mkono timu yao hiyo kutokana na jitihada kubwa inazozichukua katika kuhakikisha inailetea ushindi tanzania
dk shein alitumia fursa hiyo kuwapongeza wananchi wote kwa kuishangiria timu yao hiyo katika mechi yake hiyo iliyocheza hapo jana sambamba na kuiunga mkono katika kuhakikisha inapata ushindi mnono
aidha dk shein amekipongeza chama cha mpira wa miguu tanzania (tff) kocha wake mkuu mnigeria emmanuael amunike pamoja na watendaji na viongozi wote waliofanikisha ushindi huo kwa kuonesha kiwango cha hali ya juu na hatiame kupata ushindi huo mnono uliwapa raha watanzania wote
mara ya mwisho timu hiyo maarufu kama (taifa stars) kufika katika fainali za mataifa ya afrika (afcon) ilikuwa 1980 ambapo timu hiyo imefuzu katika siku ya mwisho kabisa ya mchuano wa makundi hapo jana jumaapili baada ya kuifunga uganda 30
ushindi huo uliwafanya star kufikisha alama 8 na kujikatia tiketi ya kwenda misri baadae mwaka huu
katika mchezo mwengine wa kundi l la (taifa stars) cape verde walitoka sare tasa na lesotho hivyo timu hizo kufikisha alama 5 na 6 mtawalia ambapo kwa matokeo hayo star imejiunga na vinara wa kundi hilo uganda ambao walifuzu awali baada ya kufikisha alama 13
star walianza mchezo huo kwa kasi huku wakipata hamasa kutoka kwa mashabiki zaidi ya 60000 walioujaza uwanja wa taifa jijini dar es salaam pamoja na mashabiki walioko nje ya uwanja kutoka tanzania bara na zanzibar
← wabunge na wawakilishi jishusheni katika majimbo yenu
waziri ateketeza tani 8 za nyama → | 2019-04-25T14:06:16 | http://zanzibar24.co.tz/dk-shein-aipongeza-taifa-stars-kwa-kupata-ushindi-mnono/ |
dtb yazindua tawi la 26 barabara ya mwai kibaki mbezi chini jijini dar sufianimafoto
home biashara dtb yazindua tawi la 26 barabara ya mwai kibaki mbezi chini jijini dar
dtb yazindua tawi la 26 barabara ya mwai kibaki mbezi chini jijini dar
mstahiki meya wa manispaa ya kinondoni mh benjamin sitta akikata utepe katika uzinduzi wa tawi jipya la benki ya diamond trust lililopo barabara ya mwai kibaki mbezi chini jijini dar es salaam kushoto ni mkurugenzi mtendaji wa benki hiyo viju cherian na kushoto ni mkuu wa kitengo cha fedha joseph mabusi na meneja wa tawi hilo msingo kimune wakishuhudia tawi hilo ni tawi la 12 jijini dar es salaam na ni tawi la 26 nchini tanzania
mstahiki meya wa manispaa ya kinondoni mh benjamin sitta akiongea na wageni waalikwa kwenye uzinduzi wa tawi jipya la benki ya diamond trust lililopo barabara ya mwai kibaki mbezi chini jijini dar es salaam tawi hilo ni tawi la 12 jijini dar es salaam na ni tawi la 26 nchini tanzania | 2017-10-23T09:45:27 | http://www.sufianimafoto.com/2016/10/dtb-yazindua-tawi-la-26-barabara-ya.html |
giroud payet waibeba ufaransa mechi ya kwanza euro ikiitwanga romania 21 | bongohuru '1=bindexof(imgyoutubecom)&&(a=' ')d=a+''+p+''+titlex+
home » michezo » giroud payet waibeba ufaransa mechi ya kwanza euro ikiitwanga romania 21
giroud payet waibeba ufaransa mechi ya kwanza euro ikiitwanga romania 21
85000 am unknown 0 michezo
ufaransa imefanikiwa kuanza vizuri michuano ya euro 2016 ikiwa mwenyeji baada ya kuifunga timu ngumu ya romania kwa mabao 21
huo ndiyo ulikuwa mchezo wa kwanza au wa ufunguzi wa michuano hiyo itakayochezwa nchini ufaransa
ufaransa ilianza kupata bao kupitia mshambuliaji olvier giroud wa arsenal ambaye aliunganisha krosi nzuri ya dimitr payet mwanzoni mwa kipindi cha pili
romania walipata penati kutokana na patrice evra kumuangusha stancu na wakasawazisha lakini payet anayekipiga west ham akaachia bunduki katika dakika ya 88 iliyozaa bao la pili na la ushindi
ufaransa imefanikiwa kuanza vizuri huku payet na paul pogba wakingara hata hivbyo haikuwa mechi rahisi kwao | 2019-04-22T16:10:45 | http://bongohuru.blogspot.com/2016/06/giroud-payet-waibeba-ufaransa-mechi-ya.html |
askofu mokiwa afuta kesi | zotekali blog
askofu mokiwa afuta kesi
mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini dar es salaam imefuta kesi ya madai iliyofunguliwa na aliyekuwa askofu mkuu wa kanisa la anglikana
mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini dar es salaam imefuta kesi ya madai iliyofunguliwa na aliyekuwa askofu mkuu wa kanisa la anglikana dayosisi ya dar es salaam dk valentino mokiwa dhidi ya askofu mkuu wa kanisa hilo nchini dk jacob chimeledya na bodi ya wadhamini wa kanisa hilo akiomba mahakama imtangaze kuwa askofu halali
hatua hiyo imechukuliwa baada ya wakili wa mdai mathew kabunga kudai kuwa yeye na mteja wake wamejadiliana na kwamba dk mokiwa ameomba kesi hiyo ifutwe
wakili wa wadaiwa emmanuel nkoma alidai hawana pingamizi na hoja zilizotolewa na upande wa mdai kuhusu kufutwa kwa kesi hiyo kwa sababu yeye ndiye aliyefungua shauri hilo
pia alidai mdaiwa wa kwanza na wa pili wameingia gharama za kuweka mawakili katika kesi hiyo kwa ajili ya kujibu madai yao hivyo mahakama itoe oda ya gharama zilizotumika na usumbufu uliojitokeza kwa wadaiwa hao
hakimu simba alisema shauri hilo linaondolewa mahakamani kama ilivyoombwa na kwamba suala la gharama watajadiliana ni kiasi gani kimetumika ili walipe
hata hivyo hakimu simba alitaka kujua kuhusu maombi mengine namba 35 yaliyofunguliwa na dk mokiwa ambapo wakili kabunga alieleza kuwa maombi hayo hayajapelekwa kwa wadaiwa hivyo yamepitwa na wakati
februari 22 mwaka huu mawakili wa wadaiwa gabriel masingwa na nkoma walifika mahakamani hapo na kuieleza mahakama kuwa wakili kabunga amewapatia barua ya kuomba kufutwa kesi hiyo
kwa mujibu wa barua hiyo kutoka kwa wakili wa dk mokiwa iliyowasilishwa tarehe hiyo ilieleza kuwa wanaomba tarehe ya kutajwa kwa shauri hilo (februari 28) irudishwe nyuma kwa kuwa kuna juhudi za kutatua mgogoro katika nyumba ya maaskofu barua hiyo ilieleza kuwa mteja wake ana nia ya kuondoa shauri hilo mahakamani kwa kuwa utaratibu wa kumaliza mgogoro huo hauwezi kufanyika iwapo kesi inaendelea mahakamani
dk mokiwa alifungua kesi hiyo namba 20/2017 kupitia kampuni ya uwakili ya m b kabunga and co advocates alipinga kuvuliwa uaskofu wake
baada ya kufungua kesi hiyo mawakili wa kanisa hilo waliamua kuwasilisha mahakamani hapo majibu yao wakiiomba kuitupilia mbali kesi hiyo kwa kuwa mahakama haina mamlaka ya kuisikiliza
aidha wanadai kitendo cha dk mokiwa kufungua kesi hiyo mahakamani ni kwenda kinyume na katiba ya kanisa la anglikana ya mwaka 1970 ambayo ilifanyiwa marekebisho oktoba 2014
hata hivyo dk mokiwa katika hati yake ya madai anadai kwamba waumini takribani 28 wa kanisa hilo waliandika barua ikiwa na mashitaka 10 dhidi yake lakini barua hiyo haikuwasilishwa kwake na kwake ilionesha kuna nakala
anadai kwamba desemba 20 mwaka jana mlalamikiwa wa kwanza (dk chimeledya) alimuandikia barua kumtaka kustaafu mwenyewe katika nafasi yake bila ya kueleza sababu na kumpa nafasi ya kuweza kujibu tuhuma
kwa kupitia hati yake ya madai dk mokiwa anadai kwamba tuhuma hizo hazina vielelezo vyovyote vya kuthibitisha tuhuma hizo bali ni mambo ya kupika kumharibia askofu huyo
kutokana na hayo anaiomba mahakama kuamuru dk mokiwa ni askofu halali kumlipa gharama za kesi na kutoa amri nyingine inazoona zinafaa
aidha januari 7 mwaka huu askofu mkuu wa kanisa la anglikana tanzania dk chimeledya alimvua uaskofu mkuu dk mokiwa kutokana na mashitaka 10 aliyofunguliwa na walei 32 wa kanisa la anglikana dayosisi ya dar es salaam yakiwemo ya ufisadi wa mali za kanisa
uamuzi wa kumvua uaskofu ulichukuliwa baada ya dk mokiwa kugoma kujiuzulu kama ilivyoshauriwa na nyumba ya maaskofu ambayo ilimkuta na hatia ya kufuja mali za kanisa hilo na kukiuka maadili ya kichungaji ambayo yalibainishwa kwenye ripoti ya uchunguzi iliyoundwa na kiongozi mkuu wa kanisa hilo nchini licha ya uamuzi wa kumvua uaskofu dk chimeledya pia aliagiza waraka unaoagiza askofu huyo kuondolewa madarakani usambazwe kwenye makanisa yote yaliyoko chini ya dayosisi ya dar es salaam na usomwe jana kwenye ibada mbele ya waumini
hata hivyo dk mokiwa aliugomea uamuzi huo kwa maelezo kuwa mwajiri wake ni sinodi ya dar es saalam ambayo ndiyo yenye uamuzi wa kumfuta kazi na sio askofu mkuu au askofu mwingine yeyote wa kanisa la anglikana tanzania
dk mokiwa alikuwa akituhumiwa kwa mashitaka 10 ikiwemo kuzuia dayosisi ya dar es salaam kupeleka michango pasipo maelekezo ya sinodi ya dayosisi ya dar es salaam kuhamasisha dayosisi kujitoa katika udhamini wa kanisa anglikana tanzania (kat) kwa lengo la kuifarakanisha dayosisi na jimbo kinyume cha katiba ya dayosisi
chanzohabarileo 01/03/2017
zotekali blog askofu mokiwa afuta kesi
https//1bpblogspotcom/bnwuzunudia/wlbx6zei7i/aaaaaaaaxfg/uslg3q2eeayfqpcwszxlhsg5zgbkxgalwclcb/s1600/1488368931mokiwajpg
https//1bpblogspotcom/bnwuzunudia/wlbx6zei7i/aaaaaaaaxfg/uslg3q2eeayfqpcwszxlhsg5zgbkxgalwclcb/s72c/1488368931mokiwajpg
http//wwwzotekalicom/2017/03/askofumokiwaafutakesihtml | 2017-11-18T06:37:37 | http://www.zotekali.com/2017/03/askofu-mokiwa-afuta-kesi.html |
corona tanzania kuingia hatua ngumu mwanahalisi online
posted by mwandishi wetu april 9 2020 0 5452 views
watanzania wametakiwa kuongeza umakini katika kujilinda na virusi vya corona (covid19) kwa kuwa siku chache zijazo nchi itaingia katika hatua ya kuambukizana wenyewe kwa wenyewe anaripoti mwandishi wetu dar es salaam (endelea)
na kwamba katika hatua hiyo mtua anaweza kupata maambukizi na asijue amepata kutoka wapi
ummy mwalimu waziri wa afya akifungua mkutano wa viongozi wa madhehebu ya dini kitaifa leo tarehe 9 aprili 2020 amesema maambukizi kutoka nje (imported transmition) yamedhibitiwa
tumetoka kwenye maambukizi yanayoletwa kutoka nje ya nchi (imported transmission) tuko kwenye local transmission (maambukizi ya ndani) hivi sasa takwimu za kesi za jana na juzi zinaonesha tumeanza kuambukizana wenyewe kwa wenyewe hili lazima tuweke wazi hakuna maambukizi ya nje amesema waziri ummy na kuongeza
tumeanza kwenye local transmission na siku chache tutaingia kwenye community transmission maana yake tutapata mgonjwa hatutajua ameupata wapi huo ugonjwa ndio maana tunafanya ufuatiliaji
na ndani ya siku chache tutaingia katika hatua hiyo lazima niwaambie ukweli viongozi wa dini nisiwafiche kwamba soon tutaingia kwenye community transmission
hata hivyo waziri ummy amesema tanzania imevuka kihunzi cha shirika la afya la kimataifa (who) cha kuwa na wagonjwa 1000 wa covid19 ifikapo katikati ya mwezi aprili mwaka huu
tunamshukuru mungu hadi sasa anatutendea maajabu tumevuka kihunzi who walisema mwezi aprili tutapata wagonjwa 1000 na kati kati ya mwezi mei tutapata wagonjwa 10000 lakini kila mtu akichukua nafasi yake tunaweza kuvuka hicho walichotutabiria amesema waziri ummy
watanzania wametakiwa kuongeza umakini katika kujilinda na virusi vya corona (covid19) kwa kuwa siku chache zijazo nchi itaingia katika hatua ya kuambukizana wenyewe kwa wenyewe anaripoti mwandishi wetu dar es salaam (endelea) na kwamba katika hatua hiyo mtua anaweza kupata maambukizi na asijue amepata kutoka wapi ummy mwalimu waziri wa afya akifungua mkutano wa viongozi wa madhehebu ya dini kitaifa leo tarehe 9 aprili 2020 amesema maambukizi kutoka nje (imported transmition) yamedhibitiwa tumetoka kwenye maambukizi yanayoletwa kutoka nje ya nchi (imported transmission) tuko kwenye local transmission (maambukizi ya ndani) hivi sasa takwimu za kesi za jana na juzi zinaonesha&hellip
previous nccr mageuzi yakana madai ya shangazi
next pasaka ni kukaa ndani | 2020-05-30T09:33:40 | http://mwanahalisionline.com/corona-tanzania-kuingia-hatua-ngumu/ |
mu rwanda hatanzwe ibitambo byinka 1500 nihene 700 mu kwizihiza eid aladha (amafoto) igihecom
mu rwanda hatanzwe ibitambo byinka 1500 nihene 700 mu kwizihiza eid aladha (amafoto)
kuya 1 kanama 2020 saa 0944
ku wa gatanu tariki ya 31 kanama 2020 ni bwo abayisilamu bo mu rwanda ndetse nabandi bo ku isi bizihije umunsi mukuru wigitambo wa eid al adha
mufti wu rwanda salim hitimana yabwiye igihe ko icyo gikorwa cyifitemo isomo ryo kwigisha abantu kwigomwa niryuko umwana mwiza wigishijwe akarerwa numubyeyi mwiza yiyubakamo indangagaciro yo kumva no kumwumvira
yagize ati ibitambo byashoboye kuboneka ni inka zigera mu 1500 ihene zirenga 700 nandi [arimo intama] abayisilamu bamaze kubyumva ko nabo bafite ubushobozi bwo kujya muri ibi bikorwa byigandukiramana hari ababisabye ko bakwifatanya nabandi ariko nimiryango ikorera mu gihugu nindi mpuzamahanga ikomoka muri turikiya yabigizemo uruhare
byageze nko kuri 80 ugereranyije nibyo twabonaga mu bihe byashize kuko icyorezo cya coronavirus no mu madini cyarahageze ku buryo abafatanyabikorwa bacu batashoboye kuza uyu mwaka ariko nabaje bari bikwije kandi natwe
yakomeje ati umunsi wagenze neza nubwo abayisilamu benshi bakoreye amasengesho mu rugo ilayidi imara iminsi itatu ari nayo mpamvu abayisilamu basabwa gusabana mu ngo zabo mu kwirinda icyorezo cya coronavirus
mu bitambo byatanzwe harimo ihene zirenga 700 ndetse n'intama
mu kwizihiza eid aladha hatangwa ibitambo by'amatungo ahabwa abakene mu rwego rwo kwifatanya nabo
umujyanama wa mufti w'u rwanda sheikh mbarushimana suleiman | 2020-08-06T09:18:15 | https://mail.igihe.com/amakuru/u-rwanda/article/mu-rwanda-hatanzwe-ibitambo-by-inka-1500-n-ihene-700-mu-kwizihiza-eid-al-adha |
rais dkt magufuli aongoza sherehe za kilele cha mbio za mwenge wa uhuru wiki ya vijana na kumbukizi ya miaka 20 ya kifo cha baba wa taifa mwalimu julius nyerere mkoani lindi habari na matukio
home habari habari na matukio habari za kijamii magufuli rais dkt magufuli aongoza sherehe za kilele cha mbio za mwenge wa uhuru wiki ya vijana na kumbukizi ya miaka 20 ya kifo cha baba wa taifa mwalimu julius nyerere mkoani lindi
kajunason at october 14 2019 habari habari na matukio habari za kijamii magufuli
m16 rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akipokea mwenge wa uhuru kutoka kwa kiongozi wa mbio za mwenge mwaka huu ndugu mzee mkongea ally kwenye sherehe za kilele za mbio za mwenge wiki ya vijana na kumbukizi ya miaka 20 ya kifo cha baba wa taifa mwalimu nyerere katika uwanja wa michezo wa ilulu mjini lindi leo jumatatu oktoba 14 2019
vijana wa halaiki wakijenga maumbo mbalimbali
wakati wa sherehe za kilele za mbio za mwenge wiki ya vijana na kumbukizi ya miaka 20 ya kifo cha baba wa taifa mwalimu nyerere zilizoongozwa na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli katika uwanja wa michezo wa ilulu mjini lindi leo umatatu oktoba 14 2019
makamu wa rais mhe samia suluhu hassan na viongozi wengine wakiserebuka na msanii rajabu abdul kahali maarufu kama harmonize ama konde boy kwenye sherehe za kilele za mbio za mwenge wiki ya vijana na kumbukizi ya miaka 20 ya kifo cha baba wa taifa mwalimu nyerere zilizoongozwa na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli katika uwanja wa michezo wa ilulu mjini lindi leo jumatatu oktoba 14 2019
msanii wa kizazi kipya kala jeremiah akitumbuiza kwenye sherehe za kilele za mbio za mwenge wiki ya vijana na kumbukizi ya miaka 20 ya kifo cha baba wa taifa mwalimu nyerere zilizoongozwa na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli katika uwanja wa michezo wa ilulu mjini lindi leo jumatatu oktoba 14 2019
vijana wa halaiki katika sherehe za kilele za mbio za mwenge wiki ya vijana na kumbukizi ya miaka 20 ya kifo cha baba wa taifa mwalimu nyerere zilizoongozwa na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli katika uwanja wa michezo wa ilulu mjini lindi leo jumatatu oktoba 14 2019 | 2019-11-12T02:19:23 | https://www.kajunason.com/2019/10/rais-dkt-magufuli-aongoza-sherehe-za.html |
gospel news from all over the word masanja mkandamizaji mwimbaji wa nyimbo za injili ambaye dvd zake zinauzika kwa wingi
ijumaa 16 novemba 2012
masanja mkandamizaji ndiyo jina linalojulikana na wengi lakini jina lake ni emanuel mgaya ambaye anajulikana sana katika tasnia ya uchekeshaji hapa inchini lakini hivi karibuni ameibukia katika uimbaji wa nyimbo za injili baada ya kuokoka
dvd hiyo inayobewa na wimbo unaoitwa hakuna jipya chini ya jua una nyimbo 8 ambazo zote ni kali kutokana na utunzi na uimbaji uliotumika kwanza ina ujumbe ambao kila ambaye hajaokoka hawezi sema kuwa hajaelewa kwanini masanja kaokoka imekaa kiinjilisti kabisa pili kuna maneno ya comedi ndani yake ambayo yanasababisa kurudia kusikia na kufurahisha na kukuacha ukiwa na furaha tatu kuna mionekano mingi ya uchekeshaji ambayo inafurahisha na mwisho uchechaji ambao umepambwa na stage show wa flora mbasha unafanya dvd hii kuwa ya tofauti kuna watu wengi ambao wameshiriki kwenye dvd hii tofauti na tunavyo ona dvd nyingine mwanzo mwisho muhusika ni yule yule baadhi ya walionekana ni shwahiba yake silas mbise frola mbasha mc regan sarah mvungi na wengine wengi kutoka kanisa la mito ya baraka
ujio wa albamu yake ya gospel umewafanya watu wengi hasa asiyookoka kuwa na maswali juu yake naye kwenye nyimbo zake hakuucha kutoa majibu ya maswali yao katika nyimbo zake kama chapa mwendo nimemchagua na maisha yangu ni majibu tosha ya maswali ya watu wote labda swali ambalo halikujibiwa kwenye dvd yake ni kuwa kaachana na kundi la ze comedy yeye mwenyewe anajibu kuwa bado ataendelea kuchekesha mpaka hapo atakapo ambiwa na mungu achane na kazi hiyo kwani hiyo ni kazi kama kazi zingine inamwingizia kipato we unacheka yeye siku inaingia
masanja ambaye sasa yuko busy katika shamba la bwana kuliko hata huko the comedy ameeleza kuwa hawa wana komedi wenzake siku hizi hawashangai maana amekuwa na ratiba nyingi kiasi kwana akimaliza kuigiza ni mbiyo kwenda kutumika na hata simu yake imekuwa busy kupokea mialiko mbalimbali kwenda uimba kwenye matamasha na hata kwenye mikutano ya injili
masanja aliendelea kusema pamoja na kuwa na ze comedy lakini ana mpango wa kuanzisha christian comedy ili na watu wa upande wa pili wapate uhodo kwa kukitumia kipaji chake na kazi hiyo imeshaanza kwa kushirikiana emanuel mbasha mume wa frola mbasha na muda si mrefu watu wataana kuona
yeye peke yake ndiye aliyeokoka katika kundi zima la ze comedy anaendelea kumwomba mungu awafumbue macho nao waone kile ambacho yeye ameshaona na wapendwa tunatakiwa tusaidi kwenye maombi hasa joti anahitaji sana maombi alisema masanja
ujio wa muimbaji huyu kwenye gospel unaufanya muziki wa gospel kuzidi kupaa juu na kuizidi miziki mingine yote ya kidunia na hii inatokana na kazi kubwa inayofanywa na waimbaji wa nyimbo za injili ambao kwa kutumia vipaji walivyopewa na mungu kwa sasa hata wasio wakristo wananunua na kusikiliza nyimbo za injili na shuguli nyingi siku za leo hata kama hakuna wakrito zinapigwa sana na ndo maana siku za leo siyo ajabu kuona nyimbo zinapigwa bar hiyo inaonyesha kuwa kila mtu anapenda kusikiliza nyimbo za injili
wimbo wa chapa mwendo ambao masanja ameshirikiana na flora
zaburi ya
uje uje emanuel
masanja katika wimbo wa niko busy
tangu nimeokoka mimimwenzako mambo yangu yamekuwa super siku hizi si pandi basi na kwea lipipa tu ni baadhi ya maneno yaliyoko kwenye wimbo wake wenye mahadhi ya bongo fleva
imechapishwa na martin malecela kwa 154300
jua history ya mwimbaji maarufu wa gospel ron kenoly
dr ron kenoly god is the same yesterday today and forever but we're not we change with time those are the words of
kwa wale wa bongo usikose hii | 2018-09-19T06:11:19 | http://martmalecela.blogspot.com/2012/11/masanja-mkandamizaji-mwimbaji-wa-nyimbo.html |
mama janeth magufuli aahidi kuendelea kusaidia kambi za wazee na watu wenye ulemavu nchini lindi yetu
home » » mama janeth magufuli aahidi kuendelea kusaidia kambi za wazee na watu wenye ulemavu nchini
mama janeth magufuli aahidi kuendelea kusaidia kambi za wazee na watu wenye ulemavu nchini
wananchi wa kijiji cha nandanga wilayani ruangwa mkoani lindi wakimlaki mke wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama janeth magufuli aliwapowasili eneo hilo kwa ajili ya kutoa msaada wa vyakula mafuta pamoja na dawa kwa ajili ya kambi ya wazee ya iliyopo katika kijiji hicho
mratibu wa kambi ya kulea wazee na watu wenye ulemavu ya nandanga bw agnerus chiamba akimpa maelezo mke wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama janeth magufuli kuhusu nyumba za malazi katika kambi hiyo aliwapowasili eneo hilo kwa ajili ya kutoa msaada wa vyakula mafuta pamoja na dawa
mkuu wa mkoa wa lindi mh godfrey zambi akimuonesha mke wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama janeth magufuli nyumba za malazi katika kambi ya wazee na watu wenye ulemavu ya nandanga iliyopo katika kijiji hicho aliwapowasili eneo hilo kwa ajili ya kutoa msaada wa vyakula mafuta pamoja na dawa
mke wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama janeth magufuli akifungua kitambaa kuashiria kuwekwa jiwe la msingi la zahanati ya kijiji cha nandanga itakayorahisisha upatikanaji wa huduma ya afya kwa wakazi wa eneo hilo waliokuwa wakisafiri umbali mrefu kufuata huduma hiyo
baadhi ya vitu vilivyotolewa kwa ajili msaada katika kambi ya kulea wazee na watu wenye ulemavu ya nandanga
jengo la zahanati ya nandanga lililozinduliwa na mke wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama janeth magufuli
mratibu wa kambi ya kulea wazee na watu wenye ulemavu ya nandangwa bw agnerus chiamba akimkabidhi mke wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama janeth magufuli taarifa ya kambi ya kulea wazee ya nandanga
mkuu wa mkoa wa lindi mh godfrey zambi akitoa taarifa ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo kwa mke wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama janeth magufuli wakati wa hafla ya utoaji misaada katika kambi ya kulea wazee ya nandanga iliyopo wilaya ya ruangwa mkoani lindi
mkuu wa mkoa wa lindi mh godfrey zambi akimkabidhi mke wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama janeth magufuli taarifa ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo
mkuu wa mkoa wa lindi mh godfrey zambi akiwaeleza jambo mke wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama janeth magufuli (katikati) na mke wa waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama mary majaliwa
mke wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama janeth magufuli na mke wa waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama mary majaliwa wakicheza ngoma na kikundi cha vijana wakati wa hafla ya utoaji misaada katika kambi ya kulea wazee ya nandanga iliyopo wilaya ya ruangwa mkoani lindi
mke wa waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama mary majaliwa akiongea na wananchi wa kijiji cha nandanga na kumshukuru mke wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama janeth magufuli kwa kutoa msaada katika kambi ya wazee na watu wenye ulemavu iliyopo katika kijiji hicho
mke wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama janeth magufuli(kushoto) akikabidhi misaada kwa wawakilishi wa kambi ya kulea wazee ya nandanga iliyopo wilaya ya ruangwa mkoani lindi katikati ni mke wa waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama mary majaliwa
mke wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama janeth magufuli akiongea na wananchi wa kijiji cha nandanga kilichopo wilaya ya ruangwa mkoani lindi na kuahidi kuendelea kusaidia kambi za wazee na watu wenye ulemavu wa ukoma ambapo mpaka sasa meshatoa msaada katika kambi 4 katika mikoa ya dar es salaam mwanza lindi na mtwara yenye thamani ya takribani shilingi 250
mke wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama janeth magufuli akipokea zawadi kutoka wawakilishi wa wananchi na wazee wa kijiji cha nandanga kilichopo wilayani ruangwa mkoani lindi
mke wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama janeth magufuli akisalimiana na baadhi ya watoto waliofika katika hafla ya utoaji misaada katika kambi ya kulea wazee ya nandanga iliyopo wilaya ya ruangwa mkoani lindi
mke wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mama janeth magufuli akiagana na wananchi wa kijiji cha nandanga kilichopo wilaya ya ruangwa mkoani lindi baada ya kutoa msaada katika kambi ya kulea wazee ya nandanga iliyopo eneo hilo | 2017-09-25T09:41:08 | https://lindi-yetu.blogspot.com/2016/06/mama-janeth-magufuli-aahidi-kuendelea.html |
gor mahia waipa kichapo simba scsafari ya liverpool basi tena | magazeti ya leo| tanzania news |tanzania today
game ya fainali ilichezwa katika uwanja wa afraha nakuru nchini kenya lakini kikubwa ukiachilia mbali zawadi ya kombe na pesa zawadi ya bingwa kwenda katika jiji la liverpool england katika uwanja wa goodson park iliongeza hamasa na mvuto wa game
simba gor mahia dimbani leo
simba inashuka uwanjani leo kuikabili gor mahia ya kenya katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaochezwa kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam huku ikiwakosa wachezaji wake sita walio katika vikosi vya timu za taifa
simba sc goalkeeping coach idd salim is thrilled with the msimbazi reds performance in the just concluded vodacom premier league season
simba yarudi dar kuikabili gor mahia
timu ya simba inarudi jijini dar es salaam kesho kwa ajili ya mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya gor mahia ya kenya utakaochezwa kwenye uwanja wa taifa huku kocha patrick phiri akitarajia kuwatumia washambuliaji wake wapya wa kigeni mkenya raphael kiongera na mganda emanuel okwi
simba ni balaa yailaza bao tatu gor mahia
kikosi cha simba fc kilichoanza mechi ya leo dhidi ya gor mahia katika mchezo wa kirafiki leo uwanja wa taifa dar es salaam kikosi cha timu ya gor mahia mabingwa wa kenya
simba yaitungua gor mahia bao 30 uwanja wa taifa jijini dar leo
wachezaji wa simba wakishangilia ushindi wa timu yao baada ya kuifunga gor mahia ya kenya 30 katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika leo kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam mshambuliaji wa simba emmanuel okwi akitafuta mbinu za kumtoka beki wa gor mahia ya kenya kennedy opiyo katika chezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika leo kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam simba ilishinda 30
golikipa | 2019-04-22T16:29:02 | http://www.tanzaniatoday.co.tz/news/gor-mahia-waipa-kichapo-simba-scsafari-ya-liverpool-basi-tena |
kwenye kurasa za metabywikicom kuna majadiliano mfululizo hizi makala za kimsingi ni zipi tokeo la majadiliano ni orodha ya kiingereza ya makala ya msingi kutoka metawikipedia inayoendelea kuhaririwa
biological classification sw uainishaji wa kisayansi
citrus ×limon sw limau
dialectic sw upembuzi
headache sw maumivu ya kichwa
heart attack sw shtuko la moyo
rudishwa kutoka https//swbywikicom/w/indexphptitle=wikipediamakala_za_msingi_za_kamusi_elezo&oldid=984973
ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 15 novemba 2016 saa 1338 | 2018-07-23T01:35:37 | https://sw.bywiki.com/wiki/Makala_za_msingi_za_kamusi_elezo |
habari na matukio airtel yawawezesha mawakala mkoani arusha kukopa na kuongezaa mitaji yao
airtel yawawezesha mawakala mkoani arusha kukopa na kuongezaa mitaji yao
meneja wa kampuni ya jumo tanzania rweb mutahaba akizungumza na mawakala wa kampuni ya simu za mikononi ya airtel mbinu za kukuza biashara na kuongeza mtaji kupitia huduma ya airtel timiza katika semina iliyofanyika jijini arusha
mmoja wa mawakala wa kampuni ya airtel jijini arusha david lima akiuliza swali wakati wa semina iliyotolewa na kampuni ya airtel kwa kushirikiana na washirika wake jumo kuhusu huduma ya airtel timiza inayowapatia wateja na mawakala nchi nzima mikopo isiyona dhamana kupitia simu zao za mkononi
mmoja wa mawakala wa kampuni ya airtel jijini arusha chihiyo malick akizungumza wakati wa semina iliyotolewa na kampuni ya airtel kwa kushirikiana na washirika wake jumo kuhusu huduma ya airtel timiza inayowapatia wateja na mawakala nchi nzima mikopo isiyona dhamana kupitia simu zao za mkononi | 2018-06-19T10:21:49 | http://www.kajunason.com/2016/08/airtel-yawawezesha-mawakala-mkoani.html |
micharazo mitupu ratiba ya ligi ya mabingwa hii hapa
klabu ya manchester city imepangwa kucheza na barcelona katika hatua ya mtoano ya michuano ya ligi ya mabingwa ulaya katika ratiba iliyopangwa leo jijini nyon ufaransa
timu hizo zilikutana pia katika hatua hiyo msimu uliopita ambapo barcelona waliibuka na ushindi wa jumla ya mabao 41 na kutinga hatua ya robo fainali ya michuano hiyo
timu zingine ambazo zilikutana msimu uliopita katika hatua hiyo ni pamoja na paris saintgermain ambao watakwaana tena na chelsea msimu huu
wengine ni mabingwa watetezi real madrid ambao watakwaana na schalke wakati mshindi wa pili msimu uliopita atletico madrid wao wataivaa bayer leverkusen
mabingwa wa serie a juventus wao watawakaribisha borussia dortmund huku mabingwa wa ujerumani bayern munich wakicheza na shakhtar donetski arsenal wenyewe watacheza na monaco na porto watakwaana na fc basel
timu ambazo zilimaliza katika nafasi ya pili katika hatua ya makundi zitacheza mechi zao za kwanza nyumbani kati ya februari 17/18 na 24/25 huku zile za marudiano zikitarajiwa kuchezwa kati ya machi 10/11 na 17/18 | 2017-10-22T13:56:01 | http://micharazomitupu.blogspot.com/2014/12/ratiba-ya-ligi-ya-mabingwa-hii-hapa.html |
pro kichwani ea review best forex ea ya | expert advisors | fx robots
nyumbanipro scalp eapro kichwani ea tathmini
best forex ea's | mtaalam washauri | fx robots pro scalp ea 0
bei $ 790
mapitio ya pro scalp ea mshauri wa mtaalam wa smart forex kwa scalping
pro scalp ea ni faida sana mtaalam mshauri forex zilizoundwa na wim schrynemakers (ambaye ina maendeleo night mfanyabiashara ea kama vile) na yake wsc trading solutions timu
hii ni smart scalping mfumo ambao kuchunguza entries highuwezekano kwa mkato bei action pro scalp ea inakwenda jozi chini kuenea kama vile eurusd na gbpusd
the forex robot hutumia sl ndogo sana hivyo akaunti inalindwa mara kwa mara kutoka kwa usawa wa usawa na biashara ya chini sana ya hatari faida ya faida kwa biashara ni mipaka kama vile kuacha ufuatiliaji wa ujanja hutumiwa kuruhusu faida zifanye hakuna vigezo vya pembejeo vinavyotumiwa hivyo hakuna uhitaji unaohitajika
pro scalp ea ni maendeleo kutoka kwa wafanyabiashara wa kitaaluma ambao wanataka kukuona ufanikiwe
pro scalp ea sijui na biashara ya forex
tumia matumizi pro scalp ea na kurejea uwekezaji wako katika gold
pro scalp ea je hajasikia habari kuhusu robots za biashara za forex hapo awali
easy fedha bila jitihada yoyote ni nini pro scalp ea ni kuhusu baada ya vigezo mizani na mipaka ya shughuli zako zimetolewa na wewe robot inachukua na kushughulikia shughuli zote kwako hii inakuwezesha kuchukua udhibiti wakati unalenga uwezo wako juu ya mambo mengine muhimu pia
the pro scalp ea anakaa na kufanya kazi 24 / 5 kutafuta fursa za biashara za faida kwa hiyo isipokuwa ukizima huwezi kukosa chaguo moja la biashara ya faida
tofauti na sisi binadamu pro scalp ea ni bila utulivu wa kihisia na itafanya kazi tu katika mazingira ya mahesabu kabisa
pro scalp ea kuhusu trading logic setup na mahitaji mengine ya
pro scalp ea hupata nafasi za kuingia za premium kwa fursa za kuzuka mshauri wa mtaalam anaangalia muda wa 1h kwa high na lows ambayo ina umuhimu zaidi kuliko wengine mara baada ya kugunduliwa ea itahudhuria bei ya kuvunja hapo juu au chini ya hizi highs / lows
the fx robot hutumia sl tight sana na akili ya trailing stop ili kupunguza hatari na kuongeza faida
pro scalp ea ni iliyoundwa kwa ajili ya biashara katika jozi ya chini ya kuenea kama vile eurusd na gbpusd unaweza biashara na kama kidogo kama $ 100 kwa sababu nano au kiwango cha chini ya $ 500 ya micro (asilimia) akaunti
kuna nafasi kiza sana ya kushindwa kwa pro scalp ea waumbaji wa programu hii huhakikisha zaidi ya 80 kiwango cha mafanikio na pia itatoa matokeo waliothibitishwa
pro scalp ea ni instantly inapatikana kwa bei ya ajabu yaani tu $ 790 hivyo si kusubiri kwa kunyakua nakala yako
ziara rasmi pro kichwani ea tovuti
biashara ya wsc | 2020-07-09T02:42:38 | https://www.bestforexeas.com/sw/pro-scalp-ea-review/ |
nasib kabla ya kwenda kuongea na vyombo vya habari jipange kwanza ~ tmark
nasib kabla ya kwenda kuongea na vyombo vya habari jipange kwanza
skendo iliyokuwa ikiendelea mtaani kuhusu msanii diamond na tuhuma za kumrekodi aliyekuwa mpenzi wake wa zamani mwanadada wema sepetu msanii huyo amekir kuwa ni kweli alifanya tuhuma hizo kwaajili ya kulinda penzi lake
hivi karibuni wema amekuwa akinipakazia mbovu kwa mpenzi wangu penny akiwa na lengo la kutaka kuni haribia juu ya mimi na mpenzi wangu nilichukia sana kwahiyo siku alivyoamua kunipigia simu ndipo niliamua kumrekodi ili kumsikilizisha penny ambaye alikuwa haniamoni kabisa alifunguka diamond
sauti hiyo ambayo ilitoka kwa wema sepetu ikiwa inambembeleza diamond waweze kurudiana pamoja kwakuwa bado anampenda diamond amekiri kuirekodi hiyo sauti lakini amekana kuisambaza mitaani na hajui nani kafanya hivyo
lengo langu kubwa ilikuwa ni kurekodi sauti hiyo na kumsikilizisha penny sasa ambaye aliichukua na kuisambaza mitaani sijui ni nani lakini hata mi sikujisikia vizuri nilipoisikia mitaani maana sikupenda hali iwe hivyo lakini ndo sina jinsi aliongeza diamond
baada ya kukiri kujutia diamond aliambiwa aombe msamaha live ili wema asikie ila alikataa na kusema hawezi kumuomba msamaha maana haoni kosa lake | 2017-08-21T21:47:06 | http://tmark-turn.blogspot.com/2013/04/nasib-kabla-ya-kwenda-kuongea-na-vyombo.html |
music wizkid azidi kuonyesha yeye ni namba 1 afrika bongo5com
music wizkid azidi kuonyesha yeye ni namba 1 afrika
by salum kaorata | june 24 2017 759 am
wizkid anazidi kutengeneza ukuta mkubwa ambapo inazidi kuwa ngumu kwa wasanii wengene wa afrika kuweza kuuvuka kiurahisi na kumfikia
baada ya muimbaji huyo wa nigeria kufanya ngoma na mastaa wakubwa duniani kama chris brown ty dolla $ign na drake sasa hivi ameamua kuja na ngoma mpya naughty ride aliyowashirikisha kundi a muziki la major lazer kutoka marekani
msanii huyo baada ya kuachia wimbo huo kupitia mtandao wake wa twitter ameandika just here to spread good vibes positive energy everyday sikiliza wimbo huo hapa chini
← previous story music galatone nawee
next story → new music davido f/ r kelly if (remix)
banky w na adesua etomi wamalizana kiserikali | 2017-11-24T00:10:08 | http://bongo5.com/music-wizkid-azidi-kuonyesha-yeye-ni-namba-1-afrika-06-2017/ |
augustino mruma author at swahiliqa
©2020 kiswahili chetu
hot questions 🔥🔥
mwana diplomasia ni mtu wa aina gani
wanaotengeneza filamu kama avengers na avatar wanatumia software zipi
jee naweza kujuzwa zaidi kuhusu intelijensia
ni nini kinasababisha usingiz
kipi kilianza kati ya yai na kuku
wall of fame ⭐⭐
1 augustino mruma 695
2 peter anthony 554
3 leah philemon 255
4 johnjohn 243
5 justin simba 238
6 newzfid 184
7 jennifer nyoni 116
8 justine 103
9 andrew 87
10 charlesvenny 76
augustino mruma's profile
augustino mruma
md at hkmu
re kwanini sekta ya michezo imedumaa tanzania hususani michezo kama rugby busket volleyball etc
senior asked on november 6 2019 in sports
tatizo ni kipaumbele cha serikali na mashirika ya michezo yasiyo yakiserikali nchini kuwekeza katika michezo hiyo kwani ukiangalia hata mashabiki wa michezo kama hiyo ninwakutafuta kwa tochi maana wengi wao hawajawai hata kuona iyo rugby inavochezwautamaduni pia ni chanzomichezo kama rugby yaani haifaamiki kabisa hivyo kufanya soko lake nchini kuwa duni
re kuna binadamu aliyefika mbinguni
senior asked on september 23 2019 in dini
hivyo mimi kama mimi kwa kadiri ya imani yangu naweza nikasema kuwa ndio kuna watu wameshakwenda mbinguni nao ndio watakatifu waliofanya mema duniani na sasa wapo mbinguni wakionana uso kwa uso na mwenyezi mungu
na yesu alishawahi kusema kuwa shambani kwa baba yangu kuna mazao mengi lakini watenda kazi ni wachache yaani watu niwengi lakini watenda mema ni wachache nao ndio huenda mbinguni
tatizo ni kwamba hakuna mtu aliyekwisha kufa na akarudi tena duniani (kufufuka) isipokua yesu peke yake ambae nae ni mungu na si mtu wa kawaida kwa mujibu wa maandiko matakatifu
haya ni maswala mazima ya kiimani na ni mapokeo kutoka kwa vizazi vilivyotangulia katika dini fulani kwamba kuna maisha baada ya kifo yaani kwenda mbinguni mara baada ya kufajapo hakuna mtu mwenye ushahidi kwa mambo hayo lakini ni imani ambayo watu wanaisadiki mimi mwenyewe ni mmojawapo wawanaosadiki imani hii
lakini pia sio kila mtu anaaminu kuhusu habari za mbingunizipo dini makundi na watu wengine ambao hawaamini kwamba kuna maisha baada ya kufawao huamini kua mtu akifa amekufa
re uchafu unasababishwa na nini
senior asked on september 20 2019 in afya
uchafu unasababishwa na kuweka kitu sehemu isiyo mahali pake
mfano• sahani za chakula zikiwekwa chumbani huo ni uchafu
•kitanda kikiwekwa jikoni ni uchafu tayari
• makopo ya maji yaliyotumika kuwekwa kabatini ni uchafuu
re kiporo ni nini
senior asked on september 19 2019 in elimu
nikijenga nyumba huwa silazi viporo
neno kiporo linamaanisha ninkitu chochote ambacho hakijafikia utimilifu wakeyaani hakijaisha hakijamaliziwakimebaki ni baki la kitu
neno hili pia linawea kumaanisha deni
this answer accepted by augustino mruma on september 19 2019 earned 5 points
re nani huchimba mashimo ya nyoka
senior asked on september 19 2019 in swali la kizushi
mashimo ya nyoka pia huwa katika mashamba ya viazi kwani mara nyingi ni maeneo yenye mchanga sana na ni laini kufukua pindi viazi vinapokomaa na kupasua udongokwaiyo panya wanavyoingia kula viazi huacha mashimo na nyoka baadae kufanya makazi
re inawezekana kuzaliwa na moyo ulioelekea kifua cha kulia
senior asked on september 19 2019 in biology
ndio inawezekana kabisa kuzaliwa mtu na moyo ulioelekea upande wa kulia yaani ncha ya moyo kuwa upande wa kulia (its a congenital anomaly) kitu ambacho si cha kwaida kwani kwa kawaida ncha ya moyo hupointi upande wa kushoto hali hii ambayo mtu huzaliwa nayo kitaalamu huitwa dextrocardiaambayo hata hivyo haiuwi mtu mwenye ugonjwa bali huhatarisha maisha ya mgonjwa kwani husababisha matatizo mengine ya moyo ambayo yanachangiwa na hali hiyo
hali hii pia huweza kujitokeza katika ugonjwa bao hujulikana kwa jina la kitaalam kama situs inversus hali ambayo hufanya ogani za ndani ya mwili nyingi kuwa katika muelekeo wa kinyume na ilivyo kawaida hapo pia tunaweza kupata mtu mwenye moyo ulioelekea kulia(dextrocardia)
re nawezaje kumsaidia mzazi wangu mlevi
senior asked on september 19 2019 in ushauri
vizuri kwakua umetambua kinaga naga ni nini chanzo cha tabia ya baba yako mpya ambayo sasa inakaribia kugharimu maisha yenu pia
ushauri wangu ni kwamba nikiangalia na kutafakari kwa makini historia fupi ulioitoa hapo ni uwazi kabisa kua baba yako anasumbuliwa na magonjwa ya kisaikolojia ambayo yanamtesa na yanampelekea kuangukia katika pombe akiamini ndilo kimbilio lakesasa inabidi mumuwahishe haraka kwa wataalam wa saikolojia au wewe kama wewe uende katika maswala hayo na utoe historia hii hiinaimani wapo watu wanaweza kulitatua hili
re maji ndani ya nazi yanatokea wapi 🤣
senior asked on september 15 2019 in swali la kizushi
maji ndani ya nazi yale ni saspensheni inayojumuisha vimelea ya uzalishaji vya ndani ya nazi (endospem nuclei) na virutubisho (nutrients) ambavyo nazi hutumia kukua na kuishi
hivyo maji haya yanakuwepo tangu kutungwa nazi na baada ya vimelea hivyo kukomaa( mature) hutengeneza seli ambazo hujijenga katika kuta za nazi na ndio watu hutumia kama chakula
hivyo kwa ujumla na weza kuzungumza hivyo
re nini maoni yako juu ya landrover defender mpya je
senior asked on september 13 2019 in magari
gari ni kalilakini kwenye ubora ndo sijui maana ndo kwanza mpya kwahiyo tutapata majibu kwa watakaotumialakini kwa historia ya kampuni ya landrover ili gari lazima ni bora sana tu
username (bila nafasi) email password retype password | 2020-03-28T11:09:58 | https://swahiliqa.com/member/timmy90/?type=answer |
wanawake na kaburi la mapema | jamiiforums | the home of great thinkers
wanawake na kaburi la mapema
discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by mtambuzi dec 23 2011
wakati mwingine mume anaweza kuwa anamwambia mkewe karibu kila siku ‘nitakuacha mimi' au ‘nitakurudisha kwenu ukiniletea ujinga' mke huogopa na huanza kujiona akiwa hana usalama tena kwani akicheza atarudishwa kwao naye anaamini kurudishwa kwao ni jambo baya kuliko yote maishani hebu nikuulize wewe mwanamke hivi ni kitu gani kinachokupa hofu kwamba mumeo atakuacha na kwenda kuchukua mwanamke mwingine lakini hata kama akifanya hivyo hebu niambie ina maana ni kweli unaamini hutaweza kuishi jaribu kufikiri tena upya kwa sababu kama unaamini hivyo unajidanganyakumbuka mwanaume huyo anaweza kufa kama ambavyo wewe unaweza kufa hebu fikiria kwamba mumeo amekufa ina maana nawe utaona kuishi hakuna maana kama ni hivyo unaumwa tena unaumwa sana unaweza kukuta mwanamke ana ajira yake au ni mjasiriamali aliyesimama kimtaji na ni yeye mwenye kuilisha familia lakini anaamini hawezi kuishi bila mumewe huu ndio unaitwa utegemezi wa kihisia sio wa kifedha au kitu kinginewataalamu wanasema kati ya vifo kumi vya wanawake ambavyo vinatokana na maradhi yasababishwayo na mateso ya ndoa vitano vinatoka kwenye utegemezi wa kihisia mwanamke anaumwa analazwa hospitalini hadi anatoka mume hana habari lakini akitoka yeye ndiye mwenye kuhalalisha mumewe kutoenda kumwona wakati alipokuwa anaumwa ‘najua ulikuwa na shughuli nyingi wala usijali mume wangu mradi nimeshapona' atamwambia mumewe kwa unyenyekevuhaya ni maradhi mabaya sana na yanahitaji tiba ya haraka kuliko hata malaria sugu
hebu gongeni hapa chinihttp//wwwtheprismacouk/2011/03/28/loveamatterofchemistry/
kumbe wa kwenye ndoa aaah ngoja nipite
thank god nimezaliwa mwanaume
kumbe wa kwenye ndoa aaah ngoja nipiteclick to expand
nimesema pia walio kwenye uhusianohata wewe umo
thank god nimezaliwa mwanaumeclick to expand
geuza upande wa pili wa shillingi uone kunani kinachotutofautisha na wao ni uwiano tu lakini hata sisi hatujasalimika mkuu
nimesema pia walio kwenye uhusianohata wewe umoclick to expand
uhusiano hapa unanichanganya sasa mi bado kuanzisha uhusiano nafanya hit and run
ukweli 10000000000
duh job true true
uhusiano hapa unanichanganya sasa mi bado kuanzisha uhusiano nafanya hit and runclick to expand
nawe unalo kaburi lako la mapemalol
hongera maana utafiti mwingine wadai watu wa namna hii hutumia saana ndom sijui kweli
mtambuzi hii post yako imejikamilisha mno hata kuongeza kitu inakua ngumu most ya uloeleza nakubaliana nayo kua ni kweli thou as time goes on type ya wanawake wa namna hio inapungua katika jamii mabinti wengie wameanza kutojali saana ndoa zao sad or should i say lucky them kwa kujitambua sasa
pole kwa mafuriko
hivi kwani kuishi kwenye hizo ndoa za mashaka ni lazima kama mapenzi yameisha si basi
kwa nini uishi kwa hofu hata ukiachwa utakua wa kwanza
siku zote mapenzi ni furaha (ingawa misuguano na mitihani ya kiasi ruksa kuwepo) lakini penzi linapoisha hisia zikiondoka nini kinakukataza kutafuta ustaarabu wako wanawake watasingizia watoto
ndo upigwe utishiwe kuachwa wengine waletewe nyumba ndogo kisa
ndoa haya sasa mtambuzi anasema wanajichongea kifo loh
duh hii kweli jamani huu utegemezi wa hisia huu balaa
hii taasisi ya ndoa hii pasua kichwa snmie bado nipo nipo kwanzasitaki stress bora kuwa single maisha yote nikiwa happy
ndoa haya sasa mtambuzi anasema wanajichongea kifo lohclick to expand
ahsante kwa bahati nzuri sikuathirika saana na mafuriko hayo kama ningeathirika kama majirani zangu basi ningekuja hapa kuomba misaada ya nguo na vyakulalol
uliyoyasema yana ukweli kabisa kuna baadhi ya wanawake huziona ndoa zao kama ndio maisha yenyewe kwamba kama zikiwaponyoka basi na wao watakuwa kwishnei nakushukuru kwa kuweka huo mchanganuo
mtambuzi hii post yako imejikamilisha mno hata kuongeza kitu inakua ngumu most ya uloeleza nakubaliana nayo kua ni kweli thou as time goes on type ya wanawake wa namna hio inapungua katika jamii mabinti wengie wameanza kutojali saana ndoa zao sad or should i say lucky them kwa kujitambua sasaclick to expand
hata hivyo si haba umeongeza kitulol nakushukuru kwa mchango wako
mmh kweli yan wanawake weeengi dunian wanasuffer kwa strees n depression had huruma yan
ila mmh title yako kali niliogopa mmh
hii taasisi ya ndoa hii pasua kichwa snmie bado nipo nipo kwanzasitaki stress bora kuwa single maisha yote nikiwa happyclick to expand
unajidanganya mh wakati unawaza hayo ya kutaka kuwa single mie huku nimekutegesha kama mtaji pale atakapojitokeza muwindaji nijitwalie yangu mahari ili nisogeze siku zangu za kuishi hapa duniani aliyekudanganya kwamba una mamlaka na huo mwili wako ni nani nikuzae nikulee nikusomeshe halafu leo ujitie kibri thubutuuuu nitahakikisha hata ndoa ya mkeka nakuchapa nayo ili nichukue changu mapemalol
loh afadhali madhara hayakuwa makubwa
kama ulivyosema ni utegemezi wa hisia ila pia kuna uoga wa kujitegemea baadhi ya wanawake hata wawe na kazi nzuri mishahara mizuri bado wanaogopa kujitegemea anahisi hatoweza kumudu gharama za maisha peke yake hivyo huwakuta wakivumilia matusi kuna wanaume wanabaka hadi ndugu za mke lakini mke hachukui hatua anaogopa mume akimuacha hataweza leo/tunza familia ingawa unaweza kukuta huyo mumewe hachangii hata sukari 0 people likes
ila mmh title yako kali niliogopa mmhclick to expand
ngoja nikupe kisa kimoja
kuna mfalme alihitaji mtabiri wa kumtabiria maisha yake akaletwa mtabiri aliyesifika sana kwa tabiri zake zenye kulenga hasayule mtabiri akamwambia kwa mujibu wa nyota yake inaonekana kuwa watoto wake wote na wake zake watakufa na kumwacha peke yake yule mfalme akataharuki na kuamuru yule mtabiri akatwe kichwa
akaletwa mtabiri wa pili yeye akatabiri kwa kumwambia kwamba kutokana na nyota yake inaonekana atakuwa na umri mrefu kuliko watoto wake na wake zake mfalme akafurahi sana akaagiza yule mtabiri apewe fedha na dhahabu nyingi sana kwa utabiri wake uliotukuka je tofauti ya mtabiri wa kwanza na huyu wa pili iko wapi
ukipata jibu basi utagundua kwamba hata heading yangu haikuwa na kasoro bali tafsiri yako ilikuelekeza vibaya | 2016-12-10T22:36:45 | http://www.jamiiforums.com/threads/wanawake-na-kaburi-la-mapema.205447/ |
mtangazaji wa redio kutoka tanzania amekamatwa na dawa za kulevya kenya page 4
mtangazaji wa redio kutoka tanzania amekamatwa na dawa za kulevya kenya
topic mtangazaji wa redio kutoka tanzania amekamatwa na dawa za kulevya kenya
31st january 2013 1715
habari hii hapa
nairobi jan 31 (xinhua) kenyan authorities have widen investigations into the 544 kg of heroin seized in nairobi last week and expect to make more arrests soon after discovering crucial leads
kenya revenue authority (kra) spokesman kennedy onyonyi also said on thursday that saraphia peter shirima the suspect who was arrested on jan 23 while attempting to traffic drugs through the jomo kenyatta international airport (jkia) is not a student but a radio presenter in tanzania
she has a twoyear swedish resident permit issued on nov 28 2012 with expiry date of nov 28 2014 onyonyi said in a statement issued in nairobi
the 25yearold lady was arrested on jan 23 during the ongoing surveillance and targeting operation aimed at curbing drug trafficking through jkia she was picked from the transit area after the officers went through the passenger manifest for sabena airlines
the drug was concealed in the false top and bottom of a japan express suitcase and was wrapped in black plastic paper to avoid detection at the screening machines onyonyi said
he said the government chemist has confirmed that the seized 5 44 kg of consignment was heroin with a street value of 150000 u s dollars
the kra official said investigators have discovered that the suspect's purported swedish husband an electrical engineer by profession regularly travels to kenya ghana and mauritius adding that there was no mention of tanzania although he is married from there
he said another suspect hollacky zahara adam 28 the lady who had accompanied her from tanzania and handed over the ticket to her while in kenya was arrested in a nairobi hotel on the same night
the suspect led us to the boarding facility after informing us that hollacky was the 'recruiter and the link person' between the drug baron and the couriers onyonyi said
investigations are still ongoing and more suspects linked to this seizure may be arrested he added
the east african nation has been restructuring the anti narcotics police unit which has helped the country improve its capability to arrest drug peddlers using kenya as a transit hub
the authorities claimed to have made major gains since december 2010 following the arrest of several drug traffickers at the jkia and in the indian ocean port city mombasa
he said the suspect had traveled from tanzania using public means and was to fly from kenya to brussels with a final destination of budapest hungary
onyonyi said further investigations to establish the sources and other possible connections are ongoing jointly between kra and security officers including antinarcotics officers
kenya recently signed a bilateral agreement with some western nations that among others allows the countries to cooperate on sharing intelligence on drug tracking crime
the drug use if blamed for affecting the ability of thousands of youth in the coastal town from going to school or performing economically productive roles
kenya searchers for more suspects over seized heroin xinhua | englishnewscn
binti huyu anadaiwa kutoroshwa na watu wasiojulikana na bado anasakwa
invisible rutashubanyuma magu and 2 others like this
1st february 2013 1610
mtake radhiwewe ndo umekosea kaka umeitafsiri methali kama ilivyowahenga walimaanisha kila jambo baya lina mwisho wake au kila mtenda maovu kwa kificho kuna siku ataumbukaumekurupuka bro
wahenga wangekuwa na maana hiyo wangeweka wazi
wahenga si watu wa kufichaficha
1st february 2013 1614
asante mkuu kwa kunisaidia kwa hilo huyo gang chomba kweli ni mbulula halafu nimeamini humu jamvini kuna watu ambao ni uneducated kabisa sasa yeye alitaka niandike nini ningekuwa mod ningeku delete
wewe ushuzi kweli
umekurupuka na kuandika za mwizi 40sasa nakuuliza huyo binti kaiba nini
tuliza kiuno chini utafute msemo unaoendana na uhalisia wa tukio
1st february 2013 1619
inaonekana una mfahamu na mlikuwa wote acha ushamba mkuu halafu nimeona comments zako nyingi lazima wanajamvi wakuponde kwa kuandika utumbo jirekebishe kama huyo bint ni ndugu yako mwambie amekula foma na atajamba povu
funga bakuli lako
huna lolote unalojuwa matokeo yake unaomba huruma kwa watu eti ooh wanajamvi lazima wakuponde kwa kuandika utumbo
nenda facebook ndiko kuna wakurupukaji wenzio
1st february 2013 1625
re mtangazaji wa redio kutoka tanzania amekamatwa na dawa za kulevya kenya
nina kila sababu ya kuamini kuwa huyu gang chomba ni mtu anayehusika sana na hii biashara ya mihadarati kwa jinsi anavyomtetea huyu binti/mwanamke aliyekamatwa na heroin huko nairobi za mwizi arobaini maana yake ni kwamba mwizi kama mbeba madawa ya kulevya wote wanafanya vitendo vibaya kwa jamii hivyo 'za mwizi 40 also applies to these mules
1st february 2013 1639
mwananchi inaeleza kuwa aliwahi kufanya kama mwanafuzi redio clouds katika leo tena
do you want to read comment or open new thread/topic in english only click here pasco
1st february 2013 1653
posts 14031 rep power
likes received11290
likes given49550
ama kweli mtangazaji wa radio anaamua kufanya madudu kama haya
mtangazaji yoyote kwanza ni binadamu ndio kisha ni mtangazaji as binadamu she can do anything a man can do tumeshawasikia mpaka marais wanafanya biashara hii itakuwa mtangazaji
bukoba wadau likes this
1st february 2013 1655
posts 7440 rep power
nope those that gets to the public domain are not dealt that easily labda kuna kashfa zinazogunduliwa na kutatuliwa kichinichini lakini ikishafikia vyombo vya habari sioni rushwa ikiwasaidia
hivi yule mtoto wa kigogo wa bot alokamatwa lindi yupo jela ganimtoto wa liyumba
usicheze na pesa mdau
1st february 2013 1946
futa mipovu hiyo kisha pandisha gagulo hilo
acha kukurupuka kuandika matapishi
mimi sijamtetea huyo binti na sina mpango wa kudeal na unga mie nimemshushua huyo mshambenga mwenzio aliyeandika za mwizi 40
huyo binti sio mwizi
na itabakia kuwa sio mwizi hata mtoke mipovu vipi
anafanya kazi na chombo gani cha habari
alikuwa clouds leo tena kama trainee then akaend mwananc ktk page y michez na burudani kabla hajaamua kuwa mjasiliamali
heee nyie waimba taarabu m'metokea wapi
1st february 2013 2049
by shanature
dina marios upo
1st february 2013 2351
sarah shirima ni tapeli namba mojanilikuwa nawasiliana nae kibiashara enzi hizo nipo usa baada ya kukutana nae jambo chatakaniambia dar laptops na simu blackberry zinatoka sanahiyo ilikuwa mwaka 2006
nikazileta za kutosha tu nikamkabidhi kwa makubalino kuwa nikirudi dar toka mapumzikoni kyela nizikute hela tugawane faidahadi leo sijamuona tena na ndiyo nasoma habari hii hapa
alikuwakanjanja tu wa utangazaji kwa kuuza habari magazetinini binti mrembo wala huwezi amini kama ni tapeliana tamaa sana ya maisha makubwa binti huyu
tz kuliko hata nigeria pesa chafu za madawa ya kulevya human trafficking pembe za ndovu na nyara mbalimbali viungo vya binadamu nk
2nd february 2013 0217
huna lolote unatafuta huruma za wana jf
siku zote ulikuwa wapi kusema
watu kama wewe tuco aliwaita hugo de una grand putta
2nd february 2013 1038
ulitaka nimuambie naniulitaka nianzishe mada hapa kumjadili huyu sisimizi na utapeli wakehabari ya kuibiwa kwangu na dada huyu tapeli anayo aliyekuwa mkurugenzi wa jambo chat ambaye pia ndiye kiongozi hapa jf
huyu dada ni tapeli na ana tamaa sana na itabaki hivyo na yaliyomkuta ni zao la tamaa zake kuacha kufanya kazi halali kujiingiza kwenye kipato cha haraka
lugha hiyo uliyoongea mm naijua vyema na kuwa muungwana tafadhali
2nd february 2013 1044
hadi sasa haujuliani ni redio ipi alikuwa akiitumikia ni kwa nini media za taz hazikuipa kipaumbele hbari hii
2nd february 2013 1211
join date 24th february 2007
mules watake ladhi wanajanvi kuwaita hivyo yaani mama farasi baba punda lol
2nd february 2013 1213
tutake ladhi kutuita mules ndimani
2nd february 2013 1849
by nipe nikupe
una uhakika
3rd february 2013 0110
tupe ushahidi
morogoro paralega
mke wa dr slaa azua timbwili mahakamani | 2014-10-22T03:09:44 | http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/393739-mtangazaji-wa-redio-kutoka-tanzania-amekamatwa-na-dawa-za-kulevya-kenya-4.html |
msaada wa kimaendeleo kwa njia tofauti kabisa | masuala ya jamii | dw | 29102007
mjerumani ambaye ni fundi wa kutengeneza magitaa ya kutumia umeme na aliye maarufu kwa uchezaji wa chombo hicho cha muziki peter coura aligundua uzuri wa mbao za kiafrika na kujiuliza kwa nini nisitengeneze magitaa barani afrika amesema na amefanya peter coura anataengeneza magitaa ya kutumia umeme nchini kenya
magitaa yakiwa katika maonyesho ya muziki mjini frankfurt ujerumani
kwenye bao la kukalia ndani ya karakana moja iliyo kwenye nyumba ya watoto mjini nairobi kenya kuna ubao wa mti wa mbambakofi na kwa kutumia kifaa maalumu bwana lucas barongo anauchonga ubao huo katika muundo unaotakikana matokeo tayari yanaweza kuonekana muundo wa gitaa la kutumia umeme
´katika siku chache zilizopita tumetengeneza magitaa 30 saba ya mbambakofi mawili ya mukangu na moja la mvule´
wakati shingo bweta la sauti na vifaa cha electroniki vitakapowekwa katika gitaa hivi ndivyo ubao wa mbambakofi unavyotoa sauti
kinachoendelea katika eneo hili la madongo poromoka la mjini nairobi kenya ni jambo jipya kabisa duniani gitaa la kwanza la kutumia umeme linalotengenezwa barani afrika mvumbuzi wa wazo hili ni mjerumani peter coura akiwa anafanya kazi kwa bidii na kwa kujitolea mzee huyo mwenye mvi anasema
´hatimaye hadithi kuhusu gitaa ya umeme ni hadithi ambayo bila muziki wa kiafrika haiwezi kufikiriwa muziki wote una vitu vyote vinavyohitajika hapa asilimia 85 hadi 90 ya miti ninayohitaji hukua hapa na hapa kuna utamaduni wa kazi ya mikono´
inaonekana bwana peter coura amekaribishwa mjini nairobi kwa miaka 30 iliyopita amekuwa akitengeneza magitaa mjini frankfurt hapa ujerumani kwa hiyo ni mmoja wa magwiji wa muziki wa miondoko ya ´jazz´ na ´rock´ lakini alipokalia meza iliyotengenezwa kutumia mbao za mvule kutoka nchini kenya bwana coura hakuweza tena kujizuia
peter coura alisafiri kwa ndege hadi mjini nairobi kenya na kuwakusanya maseremala 12 na kubakia katika makazi ya watoto mjini humo serema lucas barongo anakumbuka
´mara ya kwanza nilidhani wanafanya mzaha kwa hiyo sikuwachukulia na uzito wowote lakini tulihitaji kutengeneza sampuli ya gitaa kwa sababu pia ilikuwa kazi ya kufurahisha hili likiwa somo la kwanza la gitaa maishani mwangu nilifurahia sana pamoja na wenzangu kwenye karakarana kutengeneza gitaa la aina hii´
mwanzoni mwa mwaka peter coura alisafiri kuja mjini frankfurt hapa ujerumani kuleta gitaa linaloitwa malindi aina maalumu iliyoundwa na susan weinert mchezaji gitaa la jazz barani ulaya
´muundo wa gitaa la malindi lina hadithi rahisi sana ni la kwanza kutengenezwa muundo wake ni wa susan weinert anapenda sauti kutoka mbao ngumu lakini hapendi magitaa mazito´
perter couch anasema kufikia sasa vifaa vya elektroniki huwekwa hapa nchini ujerumani lakini katika siku za usoni mradi wa unaojulikana kwa jina ´joint venture´ gitaa zima litakuwa likitengenezwa nchini kenya aidha bwana couch anasema lengo kubwa ni kuwawezesha maseremala watatu wanne au watano waweze kujitegemea wenyewe na baada ya kutengeneza magitaa waweze kufanya biashara hii
nyumba ya watoto ya sos ni kama chuo cha kiufundi kinachowafunza vijana kuwa maseremala ili baadaye katika siku za usoni waweze kuanzisha kampuni zao wenyewe ni wazo linaloungwa mkono na bwana lucas barongo
kufikia sasa bwana peter crouch ametengeneza aina tatu za magitaa ya kiafrika malindi masaimara na samburu gitaa aina ya malindi limetengenezwa katika mfano wa magita ya miaka ya 60 | 2017-08-22T17:36:06 | http://www.dw.com/sw/msaada-wa-kimaendeleo-kwa-njia-tofauti-kabisa/a-2890160 |
ruvu shooting yaiangukia simba na kuomba radhi | rundugai blog
home » simba sports club » ruvu shooting yaiangukia simba na kuomba radhi
ruvu shooting yaiangukia simba na kuomba radhi
*yamuomba radhi okwi
uongozi wa klabu ya ruvu shooting inayoshiriki ligi kuu tanzania bara umeomba radhi kufuatia tukio lisilo la kiungwana la mchezaji wake mau bofu kumpiga kiwiko mshambuliaji wa simba emmanuel okwi
bofu alifanya tukio hilo katika dakika ya 43 ya mchezo uliozikutanisha timu hizo jumapili iliyopita katika uwanja wa uhuru na kurushwa mbashara kupitia azam sports 2 na kusababisha okwi asiweze kuendelea na mchezo na yeye kutolewa nje kwa kadi nyekundu ya moja kwa moja
msemaji wa ruvu shooting masau bwire amesema wao kama uongozi pamoja na mchezaji mwenyewe wamekiri kufanya kosa hilo na wanamuomba radhi okwi mwenyewe uongozi wa simba pamoja na wapenda soka wote
kwa mujibu wa msemaji huyo uongozi wa ruvu shooting umefanya jitihada za kutafuta namba ya simu ya okwi ili kuzungumza naye moja kwa moja lakini namba waliyopewa imekuwa haipatikani
bwire amekiri kuwa kitendo kile kiliigharimu timu lakini mchezaji mwenyewe ameomba msamaha na kusema hakudhamiria kufanya kitendo kile bali aliteleza kulingana na mazingira ya mchezo jambo ambalo analijutia na kuahidi kutolifanya tena
filed under simba sports club on tuesday february 6 2018 | 2019-07-22T14:06:56 | https://rundugai.blogspot.com/2018/02/ruvu-shooting-yaiangukia-simba-na.html |
hotuniverse uingerezeza kujitoa katika umoja wa mabara ya ulayakura ziko hivi
uingerezeza kujitoa katika umoja wa mabara ya ulayakura ziko hivi
posted by hotuniverse at 0044 | 2018-06-18T14:52:18 | http://hot-universe.blogspot.com/2016/06/uingerezeza-kujitoa-katika-umoja-wa.html |
udakutz (@udakutz_) | kwa habari za udaku | michezo | kama una habari au unahitaji ushauri tuma dm | ✍️kutazama video cover ya paranawe bonya link hii 👇 search trending image and video from popular instagram user 365timelinecom
| kwa habari za udaku | michezo | kama una habari au unahitaji ushauri tuma dm | ✍️kutazama video cover ya paranawe bonya link hii 👇
https//youtube/baggums6zu
kila kona ni oman beauty cream👌asikwambiye mtu kizuri kinajiuzacream iliyotengenezwa kwa
utalamu wa hali juu❣na inayokupa rangi mmoja mwili mzima❣usipende ngozi yako iwe majaribiyo ya cream❣tumiya oman beauty cream yenye vitamin ya kuilinda ngozi yako isiweze kufubaa na kuungua na jua❣na hata utakapoiacha kuitumiya haina madhara yoyote👌nakazi yake⬇️⬇️
🔷️moshi(kcmc)0763779601
🔷️babati 0784396062
🔷️kariako 0767226683
🔷kariako0762018127
🔷arusha0766100017
🔷tarime0784637347
🔷kariako 0718879116
🔷mafinga 0765285854
21 2 in 10 minutes
stargirl @huddahthebosschick 👌🔥🔥
76 4 in 7 minutes
mapema leo hii msanii wa bongoflava @diamondplatnumz alipokutana na mstaafu raisi jakaya kikwete
112 4 in 5 minutes
basata yawafungia diamond na rayvanny kwa muda usiojulikana
basata yasema wasanii hao wamekiuka marufuku ya kutouimba wimbo wa mwanza uliopigwa marufuku
wasanii hawataruhusiwa kufanya matamasha ndani na nje ya nchi
wakati huo huo kibali cha kufanya tamasha la wasafi festival chasitishwa
je ni haki yao au wameonewa toa maoni yako hapa tafadhali
155 13 in 2 minutes
video @diamondplatnumz na @tanashadonna waendelea kuonesha mahaba yao hadharani tazama hapa kisha drop comment yako
kwa wanaume usiendelee kudharauliwa wala kuwa mnyonge sababu ya kuwa na maumbile madogo ya uume #kibamia pamoja na tatizo la kuwahi kufika kileleniwale walioathirika na punyeto kwa mda mrefu suluhisho la haraka na kwa mda mfupi lipo @ongeza_nguvu_zakiume tena kwa dawa za asili kabisa bila kemikali zozote kwa gharama ndogousiangaike na dawa zenye chemicals zenye kuhatarisha afya yako baadaekwa maelekezo zaidi whatsup 0788068868 kisha tufollow
@ongeza_nguvu_zakiume
diamond platnumz na rayvanny wamefungiwa kufanya onyesho lolote ndani na nje ya tanzania na baraza la sanaa la taifa (basata)
baraza hilo limesema marufuku hiyo ya muda usiojulikana inaanza kutekelezwa leo
wasanii hao wawili walikuwa awali wametakiwa kuuondoa wimbo wao kwa jina 'mwanza' kutoka kwenye mitandao ya kijamii lakini wimbo huo umeendelea kuwepo kwenye youtube
aidha wameendelea kuucheza kwenye matamasha
519 31 15 minutes ago
mwigizaji irene uwoya amesherehekea kumbukumbu yake ya kuzaliwa leo dec 18 kwa kukaa na watoto ikiambatana na kuwasomea dua mastaa walio watangulia mbele za haki akiwemo marehemu mangwea kanumba baba wa taifa sharomilionea na wengine
192 4 18 minutes ago
445 56 21 minutes ago
tunatafuta msanii wa k**e anaechipukia awe na uwezo kuimba wa vocal nzuri na za kuvutia
awe na umri kuanzia miaka 1825 awe mkazi wa dar es salaam awe na uelewa wa kuimba nyimbo za lugha mbalimbali haswa nyimbo za kingereza awe na uwezo wa kukariri wimbo kwa muda mfupi awe available muda wowote atakapo hitajika
kwa mawasiliano +255752486132
whatsapp tu
@microcoverstz
busta rhymes amezimika na muziki wa afrobeat ametekwa na midundo ya ngoma ya davido wa nigeria 'fall' ameimba yote kwenye kipande hiki cha video kwenye instagram akaunti yake
mbali na hiyo ambayo ni remix ft #prayah rapper toka label ya conglomerate ya busta rhymes kuna nyingine inakuja ambapo kupitia kipande cha video busta ameandika kwenye caption na kuacha swali kuwa 'labda tupate na remix ya busta ryhmes'
679 15 1 hour ago | 2018-12-18T15:46:58 | https://365timeline.com/p/udakutz_ |
human rights autism nukuu human rights picha (27339394) fanpop
this human rights picha might contain kisima chemchemi and upinde wa mvua | 2019-05-20T13:27:21 | http://sw.fanpop.com/clubs/human-rights/images/27339394/title/human-rights-autism-quotes-photo |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.