text
stringlengths
3
16.2k
Tags
You can share this post!
Previous article
Mawaidha ya Kiislamu: Tuthibitishe tunamhusudu Mungu...
Next article
Mhubiri Paul Mackenzie sasa asukumwa jela mwaka mzima
T L
You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
DOMINIC OMONDI NA BENSON MATHEKA Huenda kampeni ya kupanda miti ya serikali ya Kenya ni sehemu ya biashara ya Saudi Arabia kupiga vita kuondolewa kwa kawi ya mafuta inayochafua mazingira na kuchangia pakubwa mabadiliko ya tabia nchi. Hii ni kwa sababu Kenya ni mojawapo ya nchi za Afrika zilizochaguliwa na Serikali ya Saudi Arabia katika mpango wa taifa hilo lenye utajiri mkubwa wa mafuta kuzima mpango wa kuondoa matumizi ya kawi ya mafuta. Saudi Arabia inamwaga mabilioni ya pesa kufadhili mipango mikubwa ya kuondoa kaboni katika bara zima. Biashara ya kuondoa kaboni imenoga sana, huku nchi zinazochafua hewa kwa wingi zikilipa nchi za Afrika mabilioni ya pesa kupanda miti na kuanzisha mipango ya kuondoa gesi hiyo hatari. Serikali ya Kenya ina mpango wa kupanda miti 15 bilioni katika kipindi cha miaka kumi. Uchunguzi wa siri wa wanahabari kutoka Kituo cha Kuripoti Hali ya Hewa (CCR) ulifichua kuwa, Kenya ni miongoni mwa nchi 19 barani Afrika ambazo Saudi Arabia ilitambua kwa Mpango wake wa Kudumisha Mafuta (OSP). OSP, uchunguzi umebaini, ni njama ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa ambayo lengo lake halisi ni kufanya Afrika na Asia kuendelea kutumia mafuta ya Saudia. Kupitia OSP, Saudia, nchi iliyo na mabilioni ya pesa, inapanga kusaidia kujenga viwanja vya ndege, barabara na bandari ambapo ndege, magari na meli za nchi zitaendeshwa na mafuta ya nchi hiyo. Uchunguzi umebaini kuwa, serikali ya Saudia iko kwenye mazungumzo na kampuni ya kutengeneza magari ambayo haijatajwa inayotarajiwa kutengeneza magari ya bei nafuu lakini yanayotumia mafuta mengi ambayo yatatumwa katika nchi zilizochaguliwa. Ni mpango sawa na kuteka serikali unaopendelewa na China ambao umeiwezesha kuchimba mafuta muhimu na madini kutoka Afrika na Asia ili kuimarisha viwanda vyake. Kenya, ambayo hivi karibuni imekuwa na uhusiano mzuri na Saudi Arabia huku Rais William Ruto akiitembelea mara tatu tangu aingie madarakani mwaka jana, imetambuliwa na OSP kuwa moja ya nchi zenye uwezo wa kutengeneza gesi kutoka kwa petroli (LPG) na miradi ya kawi ya jua, kulingana na wasilisho lililotolewa kwa African Refiners & Distributors Association, shirika la wanachama pekee, huko Cape town, Afrika Kusini, na mkuu wa OSP Mohammad Al Tayar. Saudi Arabia ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa mafuta ghafi kwa wingi ulimwenguni baada ya Amerika, huku taifa hilo la Mashariki ya Kati likiuza zaidi ya nusu ya mafuta yake nje ya nchi. Ingawa Kenya si miongoni mwa nchi za Afrika ambako utekelezaji wa miradi ya OSP imeanza, imekuwa na uhusiano mwema na Saudi Arabia. Mapema mwaka jana, Kenya ilipokea Sh2.14 bilioni kutoka kwa kampuni 16 za Saudia, ikiwa ni pamoja na Saudi Aramco, kampuni kubwa ya mafuta na umeme duniani. Biashara ya kaboni huruhusu kampuni kutoa kiasi mahususi cha kaboni au gesi nyingine hatari—ikiwa ni sawa na tani moja ya uzalishaji. Gesi hii huondolewa kupitia miradi kama vile upanzi wa miti au kutumia mafuta safi ya kupikia. Nchi zinazotoa kaboni kwa wingi hulipa kampuni, nchi na mashirika kupanda miti ili kusafisha kaboni. Mnamo Novemba 13, Serikali ya Kenya ilitangaza siku ya kitaifa ya upanzi wa miti iliyoongozwa na Rais William Ruto. Wanasayansi wanakubali kwamba, shughuli za binadamu kama vile usafiri zimechangia pakubwa ongezeko la joto duniani. Magari mengi, ndege, treni, meli zinazosafirisha watu na bidhaa zinatumia nishati ya mafuta, ikiwa ni pamoja na dizeli na petroli, ambayo inapochomwa hutoa gesi chafu kama vile kaboni na methane. Kuongezeka kwa hali ya joto kumesababisha mabadiliko ya hali ya hewa ambayo yamejitokeza kupitia majanga ya asili kama ukame wa muda mrefu na mafuriko. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
DOMINIC OMONDI NA BENSON MATHEKA Huenda kampeni ya kupanda miti ya serikali ya Kenya ni sehemu ya biashara ya Saudi Arabia kupiga vita kuondolewa kwa kawi ya mafuta inayochafua mazingira na kuchangia pakubwa mabadiliko ya tabia nchi. Hii ni kwa sababu Kenya ni mojawapo ya nchi za Afrika zilizochaguliwa na Serikali ya Saudi Arabia katika mpango wa taifa hilo lenye utajiri mkubwa wa mafuta kuzima mpango wa kuondoa matumizi ya kawi ya mafuta. Saudi Arabia inamwaga mabilioni ya pesa kufadhili mipango mikubwa ya kuondoa kaboni katika bara zima. Biashara ya kuondoa kaboni imenoga sana, huku nchi zinazochafua hewa kwa wingi zikilipa nchi za Afrika mabilioni ya pesa kupanda miti na kuanzisha mipango ya kuondoa gesi hiyo hatari. Serikali ya Kenya ina mpango wa kupanda miti 15 bilioni katika kipindi cha miaka kumi. Uchunguzi wa siri wa wanahabari kutoka Kituo cha Kuripoti Hali ya Hewa (CCR) ulifichua kuwa, Kenya ni miongoni mwa nchi 19 barani Afrika ambazo Saudi Arabia ilitambua kwa Mpango wake wa Kudumisha Mafuta (OSP). OSP, uchunguzi umebaini, ni njama ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa ambayo lengo lake halisi ni kufanya Afrika na Asia kuendelea kutumia mafuta ya Saudia. Kupitia OSP, Saudia, nchi iliyo na mabilioni ya pesa, inapanga kusaidia kujenga viwanja vya ndege, barabara na bandari ambapo ndege, magari na meli za nchi zitaendeshwa na mafuta ya nchi hiyo. Uchunguzi umebaini kuwa, serikali ya Saudia iko kwenye mazungumzo na kampuni ya kutengeneza magari ambayo haijatajwa inayotarajiwa kutengeneza magari ya bei nafuu lakini yanayotumia mafuta mengi ambayo yatatumwa katika nchi zilizochaguliwa. Ni mpango sawa na kuteka serikali unaopendelewa na China ambao umeiwezesha kuchimba mafuta muhimu na madini kutoka Afrika na Asia ili kuimarisha viwanda vyake. Kenya, ambayo hivi karibuni imekuwa na uhusiano mzuri na Saudi Arabia huku Rais William Ruto akiitembelea mara tatu tangu aingie madarakani mwaka jana, imetambuliwa na OSP kuwa moja ya nchi zenye uwezo wa kutengeneza gesi kutoka kwa petroli (LPG) na miradi ya kawi ya jua, kulingana na wasilisho lililotolewa kwa African Refiners & Distributors Association, shirika la wanachama pekee, huko Cape town, Afrika Kusini, na mkuu wa OSP Mohammad Al Tayar. Saudi Arabia ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa mafuta ghafi kwa wingi ulimwenguni baada ya Amerika, huku taifa hilo la Mashariki ya Kati likiuza zaidi ya nusu ya mafuta yake nje ya nchi. Ingawa Kenya si miongoni mwa nchi za Afrika ambako utekelezaji wa miradi ya OSP imeanza, imekuwa na uhusiano mwema na Saudi Arabia. Mapema mwaka jana, Kenya ilipokea Sh2.14 bilioni kutoka kwa kampuni 16 za Saudia, ikiwa ni pamoja na Saudi Aramco, kampuni kubwa ya mafuta na umeme duniani. Biashara ya kaboni huruhusu kampuni kutoa kiasi mahususi cha kaboni au gesi nyingine hatari—ikiwa ni sawa na tani moja ya uzalishaji. Gesi hii huondolewa kupitia miradi kama vile upanzi wa miti au kutumia mafuta safi ya kupikia. Nchi zinazotoa kaboni kwa wingi hulipa kampuni, nchi na mashirika kupanda miti ili kusafisha kaboni. Mnamo Novemba 13, Serikali ya Kenya ilitangaza siku ya kitaifa ya upanzi wa miti iliyoongozwa na Rais William Ruto. Wanasayansi wanakubali kwamba, shughuli za binadamu kama vile usafiri zimechangia pakubwa ongezeko la joto duniani. Magari mengi, ndege, treni, meli zinazosafirisha watu na bidhaa zinatumia nishati ya mafuta, ikiwa ni pamoja na dizeli na petroli, ambayo inapochomwa hutoa gesi chafu kama vile kaboni na methane. Kuongezeka kwa hali ya joto kumesababisha mabadiliko ya hali ya hewa ambayo yamejitokeza kupitia majanga ya asili kama ukame wa muda mrefu na mafuriko. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
NA MARY WANGARI RAIS William Ruto ni moja kati ya viongozi 100 wa dunia ambao wamekusanyika katika Milki ya Kiarabu (UAE) jijini Dubai kuhudhuria Kongamano Kuu la Kimataifa kuhusu Mazingira, UNFCCC COP28. Kiongozi wa taifa ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Viongozi wa Afrika kuhusu Mabadiliko ya Hali ya Anga (CAHOSCC) alisafiri Alhamisi Novemba 30, 2023 kuelekea Dubai kwa mujibu wa Msemaji wa Ikulu, Hussein Mohamed. Kando na kusoma hotuba kwa niaba ya Bara la Afrika, Rais Ruto anatazamiwa kuangazia masuala nyeti yanayodhamiriwa kupigia debe ajenda ya Kenya na Afrika kuhusu hali ya anga. Aidha, Dkt Ruto anatazamiwa kupigia debe Maazimio ya Nairobi yaliyoafikiwa na viongozi wa Afrika katika Kongamano la kwanza kabisa kuwahi kufanyika Afrika kuhusu Mabadiliko ya Hali ya Anga, lililoandaliwa jijini Nairobi mnamo Septemba mwaka huu. Kuambatana na maazimio hayo, Rais ataongoza hafla tatu kuu katika Kongamano hilo ikiwemo uzinduzi wa mradi wenye thamani ya Sh687.2 bilioni kuhusu Mpango wa Uwekezaji katika Kawi Salama Afrika (AGII) ukiongozwa na UAE. AGII ni ushirikiano baina ya uongozi wa COP28, serikali ya Kenya na mataifa mengine Barani Afrika kwa lengo la kuharakisha mabadiliko muhimu kupitia uwekezaji katika miradi inayohusu kawi salama. Mpango huo unanuiwa kusaidia nchi za Afrika kuanzisha viwanda vinavyotumia kawi salama hatua itakayochochea biashara, kuunda ajira na ukuaji kiuchumi. “Lengo kuu ni kuharakisha ukuaji wa viwanda na biashara zinazohusu uzalishaji wa kawi salama Afrika, kuendeleza mikakati ya kustahimili na kuzuia mabadiliko ya hali ya anga ikiwemo kuwezesha uundaji wa ajira na ukuaji kiuchumi barani,” ilisema taarifa kutoka Ikulu iliyofikia Taifa Leo. Tangu alipotawazwa kama Rais mwaka jana mnamo Septemba, Dkt Ruto amekuwa akisisitiza haja ya kuwepo mikakati madhubuti ya kupambana na janga la mabadiliko ya hali ya anga duniani. Alijitwalia umaarufu kwa hotuba ya kutajika aliyotoa katika Kongamano la COP27 lililoandaliwa Misri mnamo Novemba mwaka jana, ambapo aligeuza mtazamo wa nchi za Afrika kuhusu hali ya anga kuwa nafasi za uwekezaji badala wahasiriwa. Kenya na Bara la Afrika kwa jumla zinasheheni utajiri wa raslimali asilia, chemichemi za kawi salama ambazo bado hazijaanza kutumia na idadi inayozidi kukua ya wafanyakazi, sifa zinazowezesha ustawishaji wa maendeleo na kutoa mchango muhimu kwa juhudi za kuhifadhi mazingira kimataifa. Rais Ruto anakusudia kugeuza Kenya na afrika kuwa vituo vikuu vya kufanikisha ajenda ya kupunguza viwango vya hewa sumu angani kote duniani kupitia uzalishaji wa kawi salama. Katika juhudi za kufanikisha haya, Dkt Ruto amekuwa akipigia debe mageuzi thabiti kwenye mifumo ya fedha huku akisisitiza haja ya kuoanisha taasisi za fedha kimataifa kama vile Benki ya Dunia na Hazina ya Fedha Kimataifa (IMF) na malengo ya Afrika kuhusu maendeleo na hali ya anga. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
NA MARY WANGARI RAIS William Ruto ni moja kati ya viongozi 100 wa dunia ambao wamekusanyika katika Milki ya Kiarabu (UAE) jijini Dubai kuhudhuria Kongamano Kuu la Kimataifa kuhusu Mazingira, UNFCCC COP28. Kiongozi wa taifa ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Viongozi wa Afrika kuhusu Mabadiliko ya Hali ya Anga (CAHOSCC) alisafiri Alhamisi Novemba 30, 2023 kuelekea Dubai kwa mujibu wa Msemaji wa Ikulu, Hussein Mohamed. Kando na kusoma hotuba kwa niaba ya Bara la Afrika, Rais Ruto anatazamiwa kuangazia masuala nyeti yanayodhamiriwa kupigia debe ajenda ya Kenya na Afrika kuhusu hali ya anga. Aidha, Dkt Ruto anatazamiwa kupigia debe Maazimio ya Nairobi yaliyoafikiwa na viongozi wa Afrika katika Kongamano la kwanza kabisa kuwahi kufanyika Afrika kuhusu Mabadiliko ya Hali ya Anga, lililoandaliwa jijini Nairobi mnamo Septemba mwaka huu. Kuambatana na maazimio hayo, Rais ataongoza hafla tatu kuu katika Kongamano hilo ikiwemo uzinduzi wa mradi wenye thamani ya Sh687.2 bilioni kuhusu Mpango wa Uwekezaji katika Kawi Salama Afrika (AGII) ukiongozwa na UAE. AGII ni ushirikiano baina ya uongozi wa COP28, serikali ya Kenya na mataifa mengine Barani Afrika kwa lengo la kuharakisha mabadiliko muhimu kupitia uwekezaji katika miradi inayohusu kawi salama. Mpango huo unanuiwa kusaidia nchi za Afrika kuanzisha viwanda vinavyotumia kawi salama hatua itakayochochea biashara, kuunda ajira na ukuaji kiuchumi. “Lengo kuu ni kuharakisha ukuaji wa viwanda na biashara zinazohusu uzalishaji wa kawi salama Afrika, kuendeleza mikakati ya kustahimili na kuzuia mabadiliko ya hali ya anga ikiwemo kuwezesha uundaji wa ajira na ukuaji kiuchumi barani,” ilisema taarifa kutoka Ikulu iliyofikia Taifa Leo. Tangu alipotawazwa kama Rais mwaka jana mnamo Septemba, Dkt Ruto amekuwa akisisitiza haja ya kuwepo mikakati madhubuti ya kupambana na janga la mabadiliko ya hali ya anga duniani. Alijitwalia umaarufu kwa hotuba ya kutajika aliyotoa katika Kongamano la COP27 lililoandaliwa Misri mnamo Novemba mwaka jana, ambapo aligeuza mtazamo wa nchi za Afrika kuhusu hali ya anga kuwa nafasi za uwekezaji badala wahasiriwa. Kenya na Bara la Afrika kwa jumla zinasheheni utajiri wa raslimali asilia, chemichemi za kawi salama ambazo bado hazijaanza kutumia na idadi inayozidi kukua ya wafanyakazi, sifa zinazowezesha ustawishaji wa maendeleo na kutoa mchango muhimu kwa juhudi za kuhifadhi mazingira kimataifa. Rais Ruto anakusudia kugeuza Kenya na afrika kuwa vituo vikuu vya kufanikisha ajenda ya kupunguza viwango vya hewa sumu angani kote duniani kupitia uzalishaji wa kawi salama. Katika juhudi za kufanikisha haya, Dkt Ruto amekuwa akipigia debe mageuzi thabiti kwenye mifumo ya fedha huku akisisitiza haja ya kuoanisha taasisi za fedha kimataifa kama vile Benki ya Dunia na Hazina ya Fedha Kimataifa (IMF) na malengo ya Afrika kuhusu maendeleo na hali ya anga. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
Na RICHARD MUNGUTI HATIMAYE mfuasi sugu wa kinara wa Azimio Raila Odinga, Nuru Maloba Okanga amefichua alikuwa amepata alama 320 katika mtihani wa Darasa la Nane. Bw Okanga mwenye umri wa miaka 32, alifichulia wakili Emmanuel Kibeti katika Mahakama ya Milimani aliposhtakiwa kwa kumdhalilisha Rais William Ruto siku 10 zilizopita. Bw Okanga ambaye ameoa na amejaaliwa watoto watatu amekuwa akikwepa kusema alama alizopata katika mtihani wa kitaifa wa Darasa la Nane (KCPE) ambao matokeo yake yalitangazwa Novemba 23, 2023 na Waziri wa Elimu Ezekiel Machogu. Akijibu maswali ya hakimu mkuu mahakama ya Milimani Bw Lucas Onyina, Bw Okanga alifichua alifanya mtihani wa KCPE katika Shule ya Msingi ya Mumias Muslim iliyoko Kaunti ya Kakamega. “Ulisoma katika shule gani?” hakimu alimuuliza mshtakiwa. “Mumias Muslim Primary School,” Bw Okanga alijibu. “Umeteuliwa kujiunga na shule ipi ya Sekondari,” Bw Onyina alimhoji zaidi. “Bado sijapokea barua ya mwaliko kujiunga na Kidato cha Kwanza. Uteuzi haujafanywa,” Bw Okanga alijibu. Baada ya kujibu maswali hayo ya hakimu mshtakiwa aliyekuwa ametiwa pingu mkono mmoja aliondoka kizimbani na kujiunga na mahabusu wengine. Wakili wake Bw Emmanuel Kibeti alimsongelea kizimbani na kumuuliza “ulizoa alama gapi katika mtihani wa KCPE?” “Nilipata alama 320,” Bw Okanga alimweleza Bw Kibet. Mwanafunzi huyo aliyehitimu 2023 alikabiliwa na shtaka la kumdhalilisha Rais Ruto. Bw Okanga alishtakiwa kwa kumtusi Rais Ruto maneno ambayo hatuwezi chapisha kwa sababu ya sheria za kudhibiti uanahabari. Bw Okanga alishtakiwa kumkejeli Rais Ruto kupitia mtandao wake wa YouTube unaojulikana kwa jina Riba News @ribanews. Habari hizo zenye matusi hayo zilikuwa chini ya kichwa “Nuru Okanga On Fire.” Shtaka lilisema Bw Okanga alinakili matusi hayo kwenye video iliyosambazwa katika mitandao ya kijamii. Bw Okanga amedaiwa matamshi yake katika video hiyo ni ya uwongo na hayana msingi na kwamba alilenga kuudhi afisa wa serikali na kuvuruga amani. Bw Kibet aliomba mshtakiwa aachiliwe kwa dhamana akisema “ni mkazi wa Riverside Nairobi na hawezi kutoroka.” “Naomba hii mahakama imwachilie mshtakiwa kwa dhamana. Alimaliza Darasa la Nane mwaka huu na anasubiri kujiunga na Kidato cha Kwanza. Hawezi kutoroka,” Bw Kibet alimweleza hakimu. Akitoa uamuzi Bw Onyina alimwamuru mshtakiwa alipe dhamana ya Sh10,000 pesa tasilimu. Alitenga kesi hiyo itajwe tena Desemba 13, 2023 itengewe siku ya kusikizwa. Pia mahakama iliamuru apewe nakala za mashahidi aandae tetezi zake. Mshtakiwa alitiwa nguvuni Novemba 29, 2023 na kuzuiliwa katika kituo cha Polisi cha Capitol Hill usiku kucha. Alikifikishwa kortini Novemba 30, 2023. Baadhi ya mashahidi walioorodheshwa ni pamoja na maafisa watatu wa polisi Konstebo Morgan Wekesa, Inspekta Mkuu John Kahonge na Inspekta Mkuu Nickson Kinyua. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
Na RICHARD MUNGUTI HATIMAYE mfuasi sugu wa kinara wa Azimio Raila Odinga, Nuru Maloba Okanga amefichua alikuwa amepata alama 320 katika mtihani wa Darasa la Nane. Bw Okanga mwenye umri wa miaka 32, alifichulia wakili Emmanuel Kibeti katika Mahakama ya Milimani aliposhtakiwa kwa kumdhalilisha Rais William Ruto siku 10 zilizopita. Bw Okanga ambaye ameoa na amejaaliwa watoto watatu amekuwa akikwepa kusema alama alizopata katika mtihani wa kitaifa wa Darasa la Nane (KCPE) ambao matokeo yake yalitangazwa Novemba 23, 2023 na Waziri wa Elimu Ezekiel Machogu. Akijibu maswali ya hakimu mkuu mahakama ya Milimani Bw Lucas Onyina, Bw Okanga alifichua alifanya mtihani wa KCPE katika Shule ya Msingi ya Mumias Muslim iliyoko Kaunti ya Kakamega. “Ulisoma katika shule gani?” hakimu alimuuliza mshtakiwa. “Mumias Muslim Primary School,” Bw Okanga alijibu. “Umeteuliwa kujiunga na shule ipi ya Sekondari,” Bw Onyina alimhoji zaidi. “Bado sijapokea barua ya mwaliko kujiunga na Kidato cha Kwanza. Uteuzi haujafanywa,” Bw Okanga alijibu. Baada ya kujibu maswali hayo ya hakimu mshtakiwa aliyekuwa ametiwa pingu mkono mmoja aliondoka kizimbani na kujiunga na mahabusu wengine. Wakili wake Bw Emmanuel Kibeti alimsongelea kizimbani na kumuuliza “ulizoa alama gapi katika mtihani wa KCPE?” “Nilipata alama 320,” Bw Okanga alimweleza Bw Kibet. Mwanafunzi huyo aliyehitimu 2023 alikabiliwa na shtaka la kumdhalilisha Rais Ruto. Bw Okanga alishtakiwa kwa kumtusi Rais Ruto maneno ambayo hatuwezi chapisha kwa sababu ya sheria za kudhibiti uanahabari. Bw Okanga alishtakiwa kumkejeli Rais Ruto kupitia mtandao wake wa YouTube unaojulikana kwa jina Riba News @ribanews. Habari hizo zenye matusi hayo zilikuwa chini ya kichwa “Nuru Okanga On Fire.” Shtaka lilisema Bw Okanga alinakili matusi hayo kwenye video iliyosambazwa katika mitandao ya kijamii. Bw Okanga amedaiwa matamshi yake katika video hiyo ni ya uwongo na hayana msingi na kwamba alilenga kuudhi afisa wa serikali na kuvuruga amani. Bw Kibet aliomba mshtakiwa aachiliwe kwa dhamana akisema “ni mkazi wa Riverside Nairobi na hawezi kutoroka.” “Naomba hii mahakama imwachilie mshtakiwa kwa dhamana. Alimaliza Darasa la Nane mwaka huu na anasubiri kujiunga na Kidato cha Kwanza. Hawezi kutoroka,” Bw Kibet alimweleza hakimu. Akitoa uamuzi Bw Onyina alimwamuru mshtakiwa alipe dhamana ya Sh10,000 pesa tasilimu. Alitenga kesi hiyo itajwe tena Desemba 13, 2023 itengewe siku ya kusikizwa. Pia mahakama iliamuru apewe nakala za mashahidi aandae tetezi zake. Mshtakiwa alitiwa nguvuni Novemba 29, 2023 na kuzuiliwa katika kituo cha Polisi cha Capitol Hill usiku kucha. Alikifikishwa kortini Novemba 30, 2023. Baadhi ya mashahidi walioorodheshwa ni pamoja na maafisa watatu wa polisi Konstebo Morgan Wekesa, Inspekta Mkuu John Kahonge na Inspekta Mkuu Nickson Kinyua. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
KAMPALA, Uganda NA DAILY MONITOR MWANAMKE mwenye umri wa miaka 70 ameshangaza wengi baada ya kujifungua pacha na kukaidi sayansi kwamba ni vigumu kwa mwanamke mwenye umri huo kuzaa. Bi Safiina Namukwaya, mkazi wa Wilaya ya Masaka, Novemba 29, 2023 alijifungua mtoto wa kiume na wa kike wakiwa na uzito wa kilo 1.7 kila mmoja. Alijifungua katika Kituo cha Kimataifa cha Uzazi cha Hospitali ya Wanawake ya Kampala ambako alikuwa amelazwa kwa siku tano kwa ajili ya maandalizi ya kujifungua katika chumba cha faragha. “Kuna wakati niliugua sana kwa sababu ya ujauzito, nilitumia karibu pesa zangu zote. Nilitafuta huduma katika hospitali ya Kyabakuza na baadaye nikampigia simu Dkt Sali. Aliniambia nisafiri hadi Kampala lakini nikamwambia sina pesa hata kidogo na akanipangia jinsi ya kusafiri kwenda hospitali,” alisimulia. Mumewe amemtelekeza. “Wanaume hawapendi kuambiwa kuwa umebeba zaidi ya mtoto mmoja. Tangu nilipolazwa hapa, mume wangu hajawahi kuja kunijulia hali. Dkt Sali amegharamia kila kitu kana kwamba yeye ndiye baba wa watoto,” alisema. Bi Namukwaya alisema aliamua kupata mimba baada ya kutukanwa kwa kukosa mtoto. “Niliwalea watoto wa watu wengine na ningewaona wakikua na kuniacha peke yangu. Nilijiuliza ni nani angenitunza nitakapozeeka. Wakati mmoja, mvulana mdogo sana alipata kutoelewana na kunidhihaki, akisema nililaaniwa na mama yangu nifariki bila kujaliwa kuzaa mtoto,” aliongeza. Mume wa kwanza wa Bi Namukwaya alifariki mwaka wa 1992. Wakati wa ndoa, alikuwa na mimba iliyoharibika. Miaka minne baada ya kufiwa na mumewe, aliingia kwenye uhusiano mwingine lakini bado hakuweza kuzaa watoto. Alipoulizwa kuhusu utayarifu wake wa kuwatunza watoto hao, alisema: “Kwa kweli sijui, Mungu ndiye anayejua. Unaona, unaweza kupata mtoto mmoja na ukajihisi kulemewa lakini hapa niko na pacha wakati niko dhaifu, wakati ninashindwa kwenda kwenye shamba langu kulima chakula cha kuuza, sijui!…. wanasema kila mtoto huja na baraka zake.” Bi Namukwaya ana mtoto mwingine mmoja, msichana, ambaye alizaliwa 2020. Baada ya takriban dakika 40 akihojiwa na mwanahabari wetu, wauguzi walikuja kumchukua kujifungua. Bi Namukwaya alitembea kwa ulegevu huku muuguzi akiendelea kuuliza jinsi alivyohisi. Akimhudumia, Dkt Sali alisema umri ni idadi tu mbele ya teknolojia ya kisasa. “Yeye sio wa kwanza. Tumefikisha zaidi ya wagonjwa 60 katika kipindi cha miaka 15 ambao wana umri wa zaidi ya miaka 50. Safiina alikuja hapa miaka mitatu iliyopita akiwa na umri wa miaka 67 na akaniambia amekuwa kwenye ndoa kwa miaka 40 na alikuwa akitaka mtoto. Nilimwangalia na kisha kumwambia, una umri mdogo kuliko Sarah wa Biblia (aliyezaa akiwa na miaka 90). Yawezekana,” akasema. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
KAMPALA, Uganda NA DAILY MONITOR MWANAMKE mwenye umri wa miaka 70 ameshangaza wengi baada ya kujifungua pacha na kukaidi sayansi kwamba ni vigumu kwa mwanamke mwenye umri huo kuzaa. Bi Safiina Namukwaya, mkazi wa Wilaya ya Masaka, Novemba 29, 2023 alijifungua mtoto wa kiume na wa kike wakiwa na uzito wa kilo 1.7 kila mmoja. Alijifungua katika Kituo cha Kimataifa cha Uzazi cha Hospitali ya Wanawake ya Kampala ambako alikuwa amelazwa kwa siku tano kwa ajili ya maandalizi ya kujifungua katika chumba cha faragha. “Kuna wakati niliugua sana kwa sababu ya ujauzito, nilitumia karibu pesa zangu zote. Nilitafuta huduma katika hospitali ya Kyabakuza na baadaye nikampigia simu Dkt Sali. Aliniambia nisafiri hadi Kampala lakini nikamwambia sina pesa hata kidogo na akanipangia jinsi ya kusafiri kwenda hospitali,” alisimulia. Mumewe amemtelekeza. “Wanaume hawapendi kuambiwa kuwa umebeba zaidi ya mtoto mmoja. Tangu nilipolazwa hapa, mume wangu hajawahi kuja kunijulia hali. Dkt Sali amegharamia kila kitu kana kwamba yeye ndiye baba wa watoto,” alisema. Bi Namukwaya alisema aliamua kupata mimba baada ya kutukanwa kwa kukosa mtoto. “Niliwalea watoto wa watu wengine na ningewaona wakikua na kuniacha peke yangu. Nilijiuliza ni nani angenitunza nitakapozeeka. Wakati mmoja, mvulana mdogo sana alipata kutoelewana na kunidhihaki, akisema nililaaniwa na mama yangu nifariki bila kujaliwa kuzaa mtoto,” aliongeza. Mume wa kwanza wa Bi Namukwaya alifariki mwaka wa 1992. Wakati wa ndoa, alikuwa na mimba iliyoharibika. Miaka minne baada ya kufiwa na mumewe, aliingia kwenye uhusiano mwingine lakini bado hakuweza kuzaa watoto. Alipoulizwa kuhusu utayarifu wake wa kuwatunza watoto hao, alisema: “Kwa kweli sijui, Mungu ndiye anayejua. Unaona, unaweza kupata mtoto mmoja na ukajihisi kulemewa lakini hapa niko na pacha wakati niko dhaifu, wakati ninashindwa kwenda kwenye shamba langu kulima chakula cha kuuza, sijui!…. wanasema kila mtoto huja na baraka zake.” Bi Namukwaya ana mtoto mwingine mmoja, msichana, ambaye alizaliwa 2020. Baada ya takriban dakika 40 akihojiwa na mwanahabari wetu, wauguzi walikuja kumchukua kujifungua. Bi Namukwaya alitembea kwa ulegevu huku muuguzi akiendelea kuuliza jinsi alivyohisi. Akimhudumia, Dkt Sali alisema umri ni idadi tu mbele ya teknolojia ya kisasa. “Yeye sio wa kwanza. Tumefikisha zaidi ya wagonjwa 60 katika kipindi cha miaka 15 ambao wana umri wa zaidi ya miaka 50. Safiina alikuja hapa miaka mitatu iliyopita akiwa na umri wa miaka 67 na akaniambia amekuwa kwenye ndoa kwa miaka 40 na alikuwa akitaka mtoto. Nilimwangalia na kisha kumwambia, una umri mdogo kuliko Sarah wa Biblia (aliyezaa akiwa na miaka 90). Yawezekana,” akasema. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
NA JOSEPH NDUNDA KORTI imetoa kibali cha kumshika mwanamke anayedaiwa kuibia mpenzi wake bahili dola 5,000 kwa kukosa kumlipa licha ya kushiriki naye mapenzi miezi mitatu iliyopita. Waranti ya kukamatwa kwa Stella Mwikali ilitolewa na Hakimu Mkuu, Erick Mutunga wa Mahakama ya Makadara, baada ya msichana huyo kukosa kufika mahakamani kujibu mashtaka ya wizi. Mwikali anakabiliwa na kesi ya wizi kinyume na kifungu cha 268 (2) cha kanuni ya adhabu ambapo anadaiwa kumuibia MD Labu Kazi, mgeni ambaye amekuwa akishiriki naye kimapenzi baada ya kuwasili nchini. Anashtakiwa pamoja na rafiki yake Kalekye Mumo na wanaume wawili ambao inadaiwa waliwasaidia kubadilisha Dola kuwa shilingi. Wengine wawili ni Charles Wambua na Moses Kilonzi. Bi Mumo anashtakiwa kwa kushughulikia mali iliyoibwa baada ya kudaiwa kupatikana na koti la Kazi katika nyumba yake eneo la Pipeline Estate, Embakasi, Nairobi. Inadaiwa alipatikana na koti hilo nyumbani kwake wakati alipokamatwa Novemba 27, 2023. Walishtakiwa kwa kuiba pesa hizo mnamo Novemba 10, 2023 na wote walikana. Mwikali alikuwa ameachiliwa kwa dhamana ya pesa taslimu na bondi hiyo ikafutiliwa mbali baada ya kukosa kufika mahakamani kujibu mashtaka. Anashtakiwa kwa kuiba pesa hizo za mwanamume wa miaka 35, Kazi, raia wa Bangladesh ambaye amekuwa akiishi naye katika ghorofa moja huko Ngara, Nairobi. Wawili hao walikutana Septemba 2023 kwenye hoteli na kuanza kuishi pamoja. Hata hivyo, inadaiwa Mwikali aliwaambia polisi kuwa Kazi hakumlipa chochote na aliendelea kuahidi kumlipa kabla hajaondoka kurejea nchini kwao. Mlalamishi alikuwa amepokea pesa hizo kutoka kwa rafiki yake anayeishi katika nchi nyingine. Alibadilisha baadhi ya pesa hizo kuwa Shilingi za Kenya na zilizosalia kuwa Dola (5, 000) mnamo Novemba 9, 2023 na kuweka pesa hizo kwenye sanduku lake katika nyumba aliyokuwa akiishi Mwikali. Siku iliyofuata, msichana huyo alitoweka na hizo pesa zote. Mwikali alidaiwa kuchukua begi hilo hadi nyumbani kwa Bi Mumo mara tu baada ya kuliiba na walikata begi hilo na kupata Dola hizo. Walichukua baadhi ya Dola na kutafuta msaada kutoka kwa jirani ambaye aliwaelekeza kwa wanaume wawili ambao wangewasaidia kuzibadilishana kuwa Shilingi. Waliwapa Dola 2,600 na wakapewa Sh160, 000 pekee.   You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
NA JOSEPH NDUNDA KORTI imetoa kibali cha kumshika mwanamke anayedaiwa kuibia mpenzi wake bahili dola 5,000 kwa kukosa kumlipa licha ya kushiriki naye mapenzi miezi mitatu iliyopita. Waranti ya kukamatwa kwa Stella Mwikali ilitolewa na Hakimu Mkuu, Erick Mutunga wa Mahakama ya Makadara, baada ya msichana huyo kukosa kufika mahakamani kujibu mashtaka ya wizi. Mwikali anakabiliwa na kesi ya wizi kinyume na kifungu cha 268 (2) cha kanuni ya adhabu ambapo anadaiwa kumuibia MD Labu Kazi, mgeni ambaye amekuwa akishiriki naye kimapenzi baada ya kuwasili nchini. Anashtakiwa pamoja na rafiki yake Kalekye Mumo na wanaume wawili ambao inadaiwa waliwasaidia kubadilisha Dola kuwa shilingi. Wengine wawili ni Charles Wambua na Moses Kilonzi. Bi Mumo anashtakiwa kwa kushughulikia mali iliyoibwa baada ya kudaiwa kupatikana na koti la Kazi katika nyumba yake eneo la Pipeline Estate, Embakasi, Nairobi. Inadaiwa alipatikana na koti hilo nyumbani kwake wakati alipokamatwa Novemba 27, 2023. Walishtakiwa kwa kuiba pesa hizo mnamo Novemba 10, 2023 na wote walikana. Mwikali alikuwa ameachiliwa kwa dhamana ya pesa taslimu na bondi hiyo ikafutiliwa mbali baada ya kukosa kufika mahakamani kujibu mashtaka. Anashtakiwa kwa kuiba pesa hizo za mwanamume wa miaka 35, Kazi, raia wa Bangladesh ambaye amekuwa akiishi naye katika ghorofa moja huko Ngara, Nairobi. Wawili hao walikutana Septemba 2023 kwenye hoteli na kuanza kuishi pamoja. Hata hivyo, inadaiwa Mwikali aliwaambia polisi kuwa Kazi hakumlipa chochote na aliendelea kuahidi kumlipa kabla hajaondoka kurejea nchini kwao. Mlalamishi alikuwa amepokea pesa hizo kutoka kwa rafiki yake anayeishi katika nchi nyingine. Alibadilisha baadhi ya pesa hizo kuwa Shilingi za Kenya na zilizosalia kuwa Dola (5, 000) mnamo Novemba 9, 2023 na kuweka pesa hizo kwenye sanduku lake katika nyumba aliyokuwa akiishi Mwikali. Siku iliyofuata, msichana huyo alitoweka na hizo pesa zote. Mwikali alidaiwa kuchukua begi hilo hadi nyumbani kwa Bi Mumo mara tu baada ya kuliiba na walikata begi hilo na kupata Dola hizo. Walichukua baadhi ya Dola na kutafuta msaada kutoka kwa jirani ambaye aliwaelekeza kwa wanaume wawili ambao wangewasaidia kuzibadilishana kuwa Shilingi. Waliwapa Dola 2,600 na wakapewa Sh160, 000 pekee.   You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
CAROLINE WAFULA na WINNIE ONYANDO TUME ya Kupambana na Ufisadi (EACC) sasa inasema kuwa Kaunti ya Uasin Gishu imegeuka kuwa kitovu cha unyakuzi wa mashamba ya umma. Kulingana na EACC, wanyakuzi hao sasa ‘wamevamia’ kaunti hiyo kutokana na uchumi wake ambao unanawiri. Haya yanajiri wakati ambapo Eldoret inasubiri kutajwa kuwa jiji. Msukumo wa kuutaka mji alikozaliwa Rais William Ruto utajwe jiji ulishika kasi mara baada ya kuapishwa kwa rais huyo na mchakato huo unaendelea vyema. Hii ilifuatia idhini ya Seneti mnamo Septemba, 2023. Kulingana na Gavana Jonathan Chelilim Bii, Gavana wa pili wa Uasin Gishu tangu ujio wa ugatuzi, tatizo la unyakuzi wa ardhi katika kaunti hiyo ni tata. Hivyo aliitaka tume hiyo kuingilia kati suala hilo. Hapo awali, gavana wa Uasin Gishu alikashifu kiwango ambacho mashirika ya umma huko Eldoret yalivyovamiwa na wanyakuzi, na kupendekeza uchunguzi wa haraka ufanywe. Kando na hayo alitaka mali zote za umma ndani ya mji huo kusajiliwa ili kuziokoa dhidi ya wanyakuzi. Gavana huyo alidokeza kuwa kitengo kilichogatuliwa kina hatari ya kupoteza ardhi ya shirika yenye thamani ya mabilioni ya pesa kwa wanyakuzi. Maeneo ya Racecourse, Langas, Kapseret, na mengine karibu na mji wa Eldoret ndiyo yameathiriwa zaidi. Kulingana na gavana huyo, baadhi ya maeneo yaliyonyakuliwa na huku hospitali ya kaunti, kituo cha zimamoto, na sehemu ya afisi za kaunti. Kulingana na gavana huyo, baadhi ya wanyakuzi hao wana hati ambazo hazipo kwenye ofisi ya Msajili wa Ardhi. Ni kwa msingi huo ambapo Gavana wa Uasin Gishu Jumanne alialika tume ya kukabiliana na ufisadi kuingilia kati suala hilo na kuchunguza kile alichotaja kuwa unyakuzi mkubwa wa ardhi katika eneo la Rift Valley. “Tafadhali tembelea kaunti yangu ambako tuna tatizo la kihistoria la unyakuzi wa ardhi. Suala hilo ni tata sana. Hata ofisi yangu imechukuliwa,” alisema gavana huyo siku ya Jumanne, kwenye mkutano na EACC. “Wanyakuzi wa ardhi wanachukua fursa ya kushindwa kwa serikali ya zamani kufanya uchunguzi na kuweka kusajili mali ya umma,” gavana huyo alisema siku za nyuma, akiapa kutwaa tena huduma zote za umma na ardhi ambayo kwa sasa iko mikononi mwa makampuni. Alizungumza huku mwenzake wa Kisumu, Gavana Anyang’ Nyongó akibainisha kuwa tatizo la unyakuzi wa ardhi nchini Kenya ni kubwa. Kwa upande wake, Gavana Nyong’o alitoa mfano wa kisa cha Kisumu ambapo ardhi iliyokusudiwa kuwa ya mji huo kwa ajili ya ujenzi wa viwanda ilinyakuliwa. Naye Bw Charles Rasugu, Meneja wa EACC eneo la Rift Valley alisema tatizo la kunyakua ardhi ya umma katika kaunti ya Uasin Gishu ni kubwa, akibainisha kuwa ni miongoni mwa maeneo yenye uwezekano mkubwa wa ukuaji wa uchumi, hivyo kuvutia wanyakuzi. Kufikia sasa, kulingana na Meneja wa Kanda wa EACC, tume hiyo imeweza kutwaa ardhi ya thamani ya Sh27 bilioni na kukomesha upotevu wa rasilimali za umma za thamani ya Sh300 bilioni kupitia ufisadi. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
CAROLINE WAFULA na WINNIE ONYANDO TUME ya Kupambana na Ufisadi (EACC) sasa inasema kuwa Kaunti ya Uasin Gishu imegeuka kuwa kitovu cha unyakuzi wa mashamba ya umma. Kulingana na EACC, wanyakuzi hao sasa ‘wamevamia’ kaunti hiyo kutokana na uchumi wake ambao unanawiri. Haya yanajiri wakati ambapo Eldoret inasubiri kutajwa kuwa jiji. Msukumo wa kuutaka mji alikozaliwa Rais William Ruto utajwe jiji ulishika kasi mara baada ya kuapishwa kwa rais huyo na mchakato huo unaendelea vyema. Hii ilifuatia idhini ya Seneti mnamo Septemba, 2023. Kulingana na Gavana Jonathan Chelilim Bii, Gavana wa pili wa Uasin Gishu tangu ujio wa ugatuzi, tatizo la unyakuzi wa ardhi katika kaunti hiyo ni tata. Hivyo aliitaka tume hiyo kuingilia kati suala hilo. Hapo awali, gavana wa Uasin Gishu alikashifu kiwango ambacho mashirika ya umma huko Eldoret yalivyovamiwa na wanyakuzi, na kupendekeza uchunguzi wa haraka ufanywe. Kando na hayo alitaka mali zote za umma ndani ya mji huo kusajiliwa ili kuziokoa dhidi ya wanyakuzi. Gavana huyo alidokeza kuwa kitengo kilichogatuliwa kina hatari ya kupoteza ardhi ya shirika yenye thamani ya mabilioni ya pesa kwa wanyakuzi. Maeneo ya Racecourse, Langas, Kapseret, na mengine karibu na mji wa Eldoret ndiyo yameathiriwa zaidi. Kulingana na gavana huyo, baadhi ya maeneo yaliyonyakuliwa na huku hospitali ya kaunti, kituo cha zimamoto, na sehemu ya afisi za kaunti. Kulingana na gavana huyo, baadhi ya wanyakuzi hao wana hati ambazo hazipo kwenye ofisi ya Msajili wa Ardhi. Ni kwa msingi huo ambapo Gavana wa Uasin Gishu Jumanne alialika tume ya kukabiliana na ufisadi kuingilia kati suala hilo na kuchunguza kile alichotaja kuwa unyakuzi mkubwa wa ardhi katika eneo la Rift Valley. “Tafadhali tembelea kaunti yangu ambako tuna tatizo la kihistoria la unyakuzi wa ardhi. Suala hilo ni tata sana. Hata ofisi yangu imechukuliwa,” alisema gavana huyo siku ya Jumanne, kwenye mkutano na EACC. “Wanyakuzi wa ardhi wanachukua fursa ya kushindwa kwa serikali ya zamani kufanya uchunguzi na kuweka kusajili mali ya umma,” gavana huyo alisema siku za nyuma, akiapa kutwaa tena huduma zote za umma na ardhi ambayo kwa sasa iko mikononi mwa makampuni. Alizungumza huku mwenzake wa Kisumu, Gavana Anyang’ Nyongó akibainisha kuwa tatizo la unyakuzi wa ardhi nchini Kenya ni kubwa. Kwa upande wake, Gavana Nyong’o alitoa mfano wa kisa cha Kisumu ambapo ardhi iliyokusudiwa kuwa ya mji huo kwa ajili ya ujenzi wa viwanda ilinyakuliwa. Naye Bw Charles Rasugu, Meneja wa EACC eneo la Rift Valley alisema tatizo la kunyakua ardhi ya umma katika kaunti ya Uasin Gishu ni kubwa, akibainisha kuwa ni miongoni mwa maeneo yenye uwezekano mkubwa wa ukuaji wa uchumi, hivyo kuvutia wanyakuzi. Kufikia sasa, kulingana na Meneja wa Kanda wa EACC, tume hiyo imeweza kutwaa ardhi ya thamani ya Sh27 bilioni na kukomesha upotevu wa rasilimali za umma za thamani ya Sh300 bilioni kupitia ufisadi. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
NA PATRICK ALUSHULA SERIKALI imepania kuanzisha mfumo mpya wa afya utakaokuwa ukifadhiliwa na walipaushuru kwa kuwatoza asilimia 2.75 ya mapato yao kila mwezi, licha ya Mahakama Kuu kusimamisha mpango huo. Mnamo Jumatatu, Mahakama Kuu ilisitisha hatua ya serikali kutekeleza sheria tatu mpya ikiwemo Sheria inayohusu Bima ya Afya ya Jamii 2023 hadi Februari inapotazamiwa kutoa mwelekeo zaidi. Hata hivyo, serikali jana ilikaidi korti na kuchapisha miswada mitatu ya kutekeleza sheria hiyo huku ikipatia wananchi hadi Disemba 12 kutoa maoni yao kuhusu mpango huo. Mswada wa Sheria zinazohusu Bima ya Afya ya Jamii (Jumla) 2023, endapo utaidhinishwa, utawezesha utekelezaji wa Sheria kuhusu Bima ya Afya ya Jamii 2023 iliyochapishwa wiki iliyopita kwa lengo la kuvunjilia mbali Bima ya Afya Nchini (NHIF) iliyodumu kwa miaka 57. Hatua hii itashurutisha familia kulipa asilimia 2.75 ya mapato yao kila mwezi, kiwango cha chini zaidi kikiwa Sh300, kufadhili huduma ya afya, mpango utakaowezesha waliofuzu kujisajili na kuchangia hazina hiyo kuwa ni wao pekee watakaofurahia huduma za umma baada ya kuthibitisha malipo yao. Mahakama Kuu imesema kipengele hicho katika Sheria hiyo kina ubaguzi lakini mswada uliochapishwa jana hata umefafanua huduma zitakazonyimwa raia watakaokosa kuzingatia sheria hiyo. Rais William Ruto wiki iliyopita alimwagiza Waziri Susan Nakhumicha kuharakisha mchakato wa majadiliano na kuruhusu ada hizo kuanza kukatwa ifikapo Januari. Jaji Mwita alitoa amri ya kusitisha utekelezaji wa Sheria kuhusu Bima ya Afya ya Jamii, Sheria kuhusu Huduma ya Afya ya Msingi na Sheria kuhusu Huduma ya Afya Kidijitali. “Kwa sasa, agizo limetolewa kuwasimamisha washtakiwa, maajenti wao na au yeyote anayefuata maagizo yao dhidi ya kutekeleza na au kuendesha Sheria kuhusu Bima ya Afya ya Jamii 2023, Sheria ya Afya ya Msingi na Sheria ya Afya Kidijitali 2023 hadi (Februari 7),” alisema Jaji. Ada hizo zitapunguza zaidi mapato ya wafanyakazi Wakenya ambao mishahara yao ya kila mwezi imevamiwa na ushuru wa makazi na ada zilizoongezwa za Hazina ya Malipo ya Uzeeni (NSSF), huku wakiandamwa na mikopo ya kibinafsi katika mazingira ya viwango vya riba vinavyozidi kupanda. Haya yanajiri wakati huu ambapo waajiriwa wanakondolea macho mwaka wa nne mfululizo wa kupunguziwa mshahara kutokana na mfumko wa bei huku waking’ang’ana na kuongezeka kwa bidhaa za kimsingi kama vile sukari, mkate ikiwemo nyongeza ya karo ya shule, bajeti ya usafiri na chakula kwa wanafunzi. Kupitia ushuru, NSSF, ada ya nyumba na mpango mpya wa afya, serikali itanyofoa karibu Sh10,264 au asilimia 20.5 kwa wanaopata mshahara wa Sh50,000 kutoka kiwango cha sasa cha Sh8,460. Wanaolipwa Sh100,000 watakatwa Sh27,389 au asilimia 27.4. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
NA PATRICK ALUSHULA SERIKALI imepania kuanzisha mfumo mpya wa afya utakaokuwa ukifadhiliwa na walipaushuru kwa kuwatoza asilimia 2.75 ya mapato yao kila mwezi, licha ya Mahakama Kuu kusimamisha mpango huo. Mnamo Jumatatu, Mahakama Kuu ilisitisha hatua ya serikali kutekeleza sheria tatu mpya ikiwemo Sheria inayohusu Bima ya Afya ya Jamii 2023 hadi Februari inapotazamiwa kutoa mwelekeo zaidi. Hata hivyo, serikali jana ilikaidi korti na kuchapisha miswada mitatu ya kutekeleza sheria hiyo huku ikipatia wananchi hadi Disemba 12 kutoa maoni yao kuhusu mpango huo. Mswada wa Sheria zinazohusu Bima ya Afya ya Jamii (Jumla) 2023, endapo utaidhinishwa, utawezesha utekelezaji wa Sheria kuhusu Bima ya Afya ya Jamii 2023 iliyochapishwa wiki iliyopita kwa lengo la kuvunjilia mbali Bima ya Afya Nchini (NHIF) iliyodumu kwa miaka 57. Hatua hii itashurutisha familia kulipa asilimia 2.75 ya mapato yao kila mwezi, kiwango cha chini zaidi kikiwa Sh300, kufadhili huduma ya afya, mpango utakaowezesha waliofuzu kujisajili na kuchangia hazina hiyo kuwa ni wao pekee watakaofurahia huduma za umma baada ya kuthibitisha malipo yao. Mahakama Kuu imesema kipengele hicho katika Sheria hiyo kina ubaguzi lakini mswada uliochapishwa jana hata umefafanua huduma zitakazonyimwa raia watakaokosa kuzingatia sheria hiyo. Rais William Ruto wiki iliyopita alimwagiza Waziri Susan Nakhumicha kuharakisha mchakato wa majadiliano na kuruhusu ada hizo kuanza kukatwa ifikapo Januari. Jaji Mwita alitoa amri ya kusitisha utekelezaji wa Sheria kuhusu Bima ya Afya ya Jamii, Sheria kuhusu Huduma ya Afya ya Msingi na Sheria kuhusu Huduma ya Afya Kidijitali. “Kwa sasa, agizo limetolewa kuwasimamisha washtakiwa, maajenti wao na au yeyote anayefuata maagizo yao dhidi ya kutekeleza na au kuendesha Sheria kuhusu Bima ya Afya ya Jamii 2023, Sheria ya Afya ya Msingi na Sheria ya Afya Kidijitali 2023 hadi (Februari 7),” alisema Jaji. Ada hizo zitapunguza zaidi mapato ya wafanyakazi Wakenya ambao mishahara yao ya kila mwezi imevamiwa na ushuru wa makazi na ada zilizoongezwa za Hazina ya Malipo ya Uzeeni (NSSF), huku wakiandamwa na mikopo ya kibinafsi katika mazingira ya viwango vya riba vinavyozidi kupanda. Haya yanajiri wakati huu ambapo waajiriwa wanakondolea macho mwaka wa nne mfululizo wa kupunguziwa mshahara kutokana na mfumko wa bei huku waking’ang’ana na kuongezeka kwa bidhaa za kimsingi kama vile sukari, mkate ikiwemo nyongeza ya karo ya shule, bajeti ya usafiri na chakula kwa wanafunzi. Kupitia ushuru, NSSF, ada ya nyumba na mpango mpya wa afya, serikali itanyofoa karibu Sh10,264 au asilimia 20.5 kwa wanaopata mshahara wa Sh50,000 kutoka kiwango cha sasa cha Sh8,460. Wanaolipwa Sh100,000 watakatwa Sh27,389 au asilimia 27.4. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
NA MHARIRI
BAADHI ya shule nchini zimejitokeza na kupinga matokeo ya Mtihani ya Darasa la Nane (KCPE) yaliyotangazwa Jumatano na Waziri... NA MHARIRI
SERIKALI za kaunti zitalazimika kutafuta mbinu za usimamizi wa fedha iwapo magavana wanataka kujitolea kutimiza ahadi zao kwa... NA MHARIRI
KILA Juni 14, ulimwengu huadhimisha Siku ya watu kuchangia damu duniani. Mwaka huu, kaulimbiu ilikuwa “Utoaji damu ni suala... NA MHARIRI
UCHAGUZI mkuu wa Agosti 9 ulikuwa wa kipekee kwa jinsi ulivyokuwa na ushindani mkali kuliko mwingineo wowote ambao umewahi... NA MHARIRI
MNAMO Ijumaa Rais William Ruto alipozuru eneo la Magharibi mwa Kenya, alisisitiza ahadi yake ya kuhakikisha kuwa viwanda vya... NA MHARIRI
TANGAZO la Benki Kuu ya Kenya (CBK) kwamba wateja wataanza kutozwa ada ya kutoa pesa kutoka kwa benki hadi simu zao linajiri... NA MHARIRI
RIPOTI ya Mkaguzi wa Hesabu za Serikali inayoonyesha kuwa mabunge ya kaunti yanapitisha bajeti kiholela bila kuhusisha... NA MHARIRI
MKOPO wa Hustler Fund ulioanza kutolewa kwa wananchi wenye uwezo mdogo kimapato mnamo Jumatano huenda usiwafaidi raia jinsi... NA MHARIRI
UZINDUZI wa Hazina ya Hustler jana Jumatano sasa unawapa matumaini mamia ya mama mboga, wanabodaboda na wafanyibiashara ndogo... NA MHARIRI
HATUA ya serikali kuondoa marufuku dhidi ya mahindi ya GMO imezua mjadala mkali nchini.
Suala la GMO limetekwa nyara na... NA MHARIRI
KWA wiki chache sasa, kumekuwa na wasiwasi katika baadhi ya sehemu za nchi kuhusu homa ambayo inaonekana kuenea kwa... NA MHARIRI
RIPOTI kwamba wabunge, kupitia Tume ya Huduma ya Bunge (PSC), wanataka kushinikiza Tume ya Mishahara na Marupurupu (SRC)... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
Na BENSON MATHEKA
NAIBU wa Rais William Ruto atatumia muungano ‘ulioundwa’ mwaka 2021 na kiongozi wa Amani National Congress (ANC)... Na WANDERI KAMAU
Naibu Rais William Ruto na waandani wake wameapa kufanya kila wawezalo kulemaza juhudi za Kiongozi wa ODM, Raila Odinga... Na CHARLES WASONGA
WABUNGE wandani wa Naibu Rais William Ruto jana walifaulu kuzuia kupitishwa kwa Mswada tata wa marekebisho ya Sheria... BRIAN OCHARO na VALENTINE OBARA
UBABE wa kisiasa kati ya Kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga, na Naibu Rais William Ruto katika Kaunti ya... Na CHARLES WASONGA
HATUA ya Naibu Rais William Ruto na kiongozi wa ODM Raila Odinga kushikilia kuwa wawaniaji wanaounga azma zao za... Na WANDERI KAMAU
SUALA lililozua gumzo wiki hii ni majibizano yaliyozuka kati ya mrengo wa Naibu Rais William Ruto na mwanasiasa Maina... Na JUSTUS WANGA
GAVANA wa Meru Kiraitu Murungi amekiri kwamba umaarufu wa Naibu Rais William Ruto umekita mizizi zaidi katika eneo la... Na CECIL ODONGO
INASIKITISHA kuwa Naibu Rais Dkt William Ruto na Seneta wa Baringo Gideon Moi sasa wanalitumia suala la msitu wa Mau kwa... Na WYCLIFFE NYABERI
NAIBU Rais Dkt William Ruto amemshambulia Rais Uhuru Kenyatta huku akisema ataondoka mamlakani bila kulipa deni la... Na CHARLES WASONGA
NAIBU Rais William Ruto na kiongozi wa ODM Raila Odinga wanaonekana kuendeleza mbinu za kampeni za kulambana visigino... Na IAN BYRON
HATUA ya Gavana Okoth Obado kujihusisha na siasa za chama cha United Democratic Alliance (UDA) cha Naibu Rais, Dkt William... BENSON MATHEKA NA CHARLES WASONGA
?WASHIRIKA wa Naibu Rais William Ruto wamegeuka kupe kwa ‘ kufyoza mamilioni ya fedha anazoyapa... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
Na MASHIRIKA
LONDON, Uingereza
WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson, jana alitangaza masharti makali kudhibiti maambukizi ya... Na ELIZABETH MERAB
WANASAYANSI wanachunguza kuhusu mchipuko wa virusi vipya vya corona aina ya Delta, katika nchi za Amerika, Uingereza,... Na MAUREEN ONGALA
MASAIBU ambayo wagonjwa wa Covid-19 hupitia katika kaunti za Pwani, yameanikwa wazi baada ya kifo cha afisa mkuu wa... SIAGO CECE na ANTHONY KITIMO
UFISADI miongoni mwa baadhi ya maafisa wa serikali katika mpaka wa Kenya na Tanzania, umezidi kuwaweka... Na WAANDISHI WETU
WINGU la maangamizi limetanda kote nchini huku aina mpya ya corona maarufu kama 'Delta' ikiua watu kwa... Na WINNIE ONYANDO
HUENDA visa vya wasafiri kulazimishwa kupima upya corona mpakani mwa Kenya na Tanzania vikakoma baada ya serikali hizo... NA WANGU KANURI
AGIZO la serikali la kudhibiti mkurupuko wa ugonjwa wa corona mwaka jana limewashurutisha Wakenya wengi kufanyia kazi... Na Titus Ominde
VIONGOZI wa kidini Kaskazini mwa Rift Valley (North Rift) wameshutumu wanasiasa kwa kupepeta usambazaji wa virusi vya... Na WANTO WARUI
Huku wanafunzi wa kidato cha kwanza wakiripoti katika shule zao mpya za sekondari hii leo, kuna uwezekano wa maambukizi... Na CHARLES WASONGA
NAKUBALIANA na kauli ya maafisa wa afya katika kaunti ya Nairobi kwamba wanasiasa ndio wanachochea ongezeko la visa... Na SAMMY WAWERU
DICKSON Muceri amekuwa mkazi wa Nairobi kwa muda wa miaka kadhaa ila sasa kitovu hicho cha jiji kuu la nchi hakikaliki... Na MARY WANGARI
WANASAYANSI wamethibitisha kuwa kuchelewesha upokeaji dozi ya pili ya chanjo ya Covid-19 kwa kiasi cha miezi 10 baada ya... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
Na KINYUA BIN KINGORI
WAKATI huu viongozi wa kisiasa wameanza mapema kampeni zao kwa kuzuru maeneo mbalimbali nchini, ili kushawishi... Na WANDERI KAMAU
KULINGANA na Ripoti ya Jaji Mstaafu Akilano Akiwumi (1997) kuhusu chimbuko la ghasia za kikabila nchini, wanasiasa ndio... Na WANTO WARUI
KWA mara nyingine tena tuzo inayoenziwa sana kote ulimwenguni imerudi katika eneo letu la Afrika Mashariki mara hii... Na DOUGLAS MUTUA
MWAFRIKA akiwajibishwa na Mzungu hupiga kamsa na kudai anaonewa, ati msingi wa maonevu ni ubaguzi wa rangi... Na WANDERI KAMAU
MOJA ya changamoto kuu zinazokikumba kizazi cha sasa nchini ni ukosefu wa ufahamu wa lugha zao asili.
Ingawa lugha... Na KINYUA BIN KINGORI
JUHUDI za kuhakikisha taifa limefanikiwa kupiga vita ufisadi lazima ziendeshwe kuambatana na Katiba, bila njama... Na WANDERI KAMAU
UFICHUZI wa sakata ambapo watu maarufu duniani wamekuwa wakificha mabilioni ya fedha katika akaunti za siri ng’ambo... Na FAUSTINE NGILA
NINA imani kuwa iwapo kufikia sasa hujawahi kuelewa teknolojia ya blokcheni, leo utaelewa kwa kuwa jana uliathirika... Na CHARLES WASONGA
NI jambo la kusikitisha kuwa ni wakati kama huu ambapo uchaguzi mkuu unakaribia ndipo wanasiasa wametambua umuhimu wa... Na MARY WANGARI
IDADI ya watu wanaoandaa hafla za uchangishaji pesa za kugharamia matibabu imeongezeka pakubwa katika siku za hivi... Na CECIL ODONGO
CHAMA cha Kanu bado kina safari ndefu kurejelea umaarufu wake wa enzi za utawala wa chama kimoja na miaka ya 90 hata... Na CHARLES WASONGA
UTEUZI wa waliokuwa maafisa wanne wa ngazi za juu katika Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kushikilia nyadhifa... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
Naomi Wamboi, 21, ndiye anatupambia yeye ni mwanamitindo aliyewahi kushinda tuzo za Miss Nakuru. Akipata muda anapenda kusafiri na... Winnie Miriam Nechesa 21, ni mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu Cha Maasai Mara kaunti ya Narok.Anapenda kuchora, na kujumuika na... Lilian Njeri mwenye umri wa miaka 21 ndiye anatupambia jarida letu leo.Yeye ni mwanamitindo na mkaazi wa Narok.Uraibu wake ni kusafiri na... Mary Njeri mwenye umri wa miaka 21 ni mkaazi wa mtaa wa Langalanga kaunti ya Nakuru.Yeye ni mwanafasheni wa mapambo na vipodozi.Uraibu wake... Marylene Watiri mwenye umri wa miaka 22 ni mtaalam wa Beauty Therapy jijini Nairobi, aidha yeye ni mwanamitindo na mlimbwende.Uraibu wake... Zaweria Njoki mwenye umri wa miaka 21 ni Video Vixen kutoka kaunti ya Nakuru.Uraibu wake ni kuandika makala ya kitaaluma na kujumuika na...
Malkia wetu leo ni  Babra Ingasiani mwenye umri wa miaka 21, yeye ni mzaliwa wa kaunti ya Kakamega.Uraibu wake ni kusakata densi ya... Pauline Kimani mwenye umri wa miaka 23 ndiye anatupambia jarida letu leo.Yeye ni mkaazi wa eneo la Lanet na mfanyikazi mjini Nakuru.Uraibu...
Sayfer Godez ni mkaazi wa Nakuru .Anapenda kushiriki kwenye majukwaa ya mapambo na urembo.Uraibu wake ni kusafiri na kujumuika na... Sylvia Wangeci 23 ni mzaliwa wa Molo, na mwanafunzi katika Chuo Kikuu Cha MKU tawi la Nakuru.Uraibu wake ni kusafiri na... Mical Abulatsia Imbukwa, 28, ni mwanahabari katika shirika moja jijini Nairobi. Uraibu wake ni kutazama filamu za Afro sinema na kujumuika... Faith Karungari mwenye umri wa miaka 22 ni mwanafasheni na mwanamitindo maarufu kutoka Nakuru.Uraibu wake ni kuogelea na kusikiliza muziki... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
Na RICHARD MUNGUTI
MAHAKAMA ya Juu jana ilianza kusikiza rufaa ya mpango wa kubadilisha katiba (BBI) huku Mwanasheria Mkuu Bw Paul... Na BENSON MATHEKA
RAIS Uhuru Kenyatta jana Jumapili alisema kuwa ndoto yake ya kubadilisha katiba ya Kenya iliyopitishwa 2010 kupitia... Na CHARLES WASONGA
KWA mara nyingine Rais Uhuru Kenyatta amesisitiza kuwa mageuzi ya katiba yaliyopendekezwa katika Mswada wa Mpango wa... Na JOSEPH WANGUI
Mwanasheria Mkuu, Paul Kihara Kariuki hatimaye amewasilisha rasmi rufaa katika Mahakama ya Juu kupinga uamuzi wa... Na Gitonga Marete
KIONGOZI wa chama cha Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi amesisitiza kuwa Bunge linapaswa kurejelea Mpango... Na Leonard Onyango
NAIBU wa Rais William Ruto amewataka wabunge kujadili masuala nyeti yanayoathiri Wakenya badala ya kujaribu kufufua... Na CHARLES WASONGA
JUHUDI za wabunge wanaoegemea mrengo wa Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga kutumia bunge kupitisha... Na WALTER MENYA
JUHUDI za kuokoa mchakato wa marekebisho ya katiba kupitia mpango wa maridhiano (BBI) zimefikishwa rasmi katika Mahakama... Na FRANCIS MUREITHI
KUSAMBARATIKA kwa Mpango wa Kubadilisha Katiba (BBI) kumefifisha pakubwa ushawishi wa kisiasa wa mwenyekiti wa Kanu,... Na WANDERI KAMAU
KUHARAMISHWA kwa Mpango wa Kubadilisha Katiba (BBI) na Mahakama ya Rufaa kunatarajiwa kutoa mwelekeo mpya kwa siasa za... Na WANDERI KAMAU
NAIBU Rais William Ruto jana alimtaka Rais Uhuru Kenyatta kurejelea miradi ya maendeleo iliyoanzishwa na Jubilee, baada... Na Cecil Odongo
BAADA ya Mahakama ya Rufaa kukubaliana na uamuzi wa mahakama kuu wa kuzima mswada wa Mpango wa Maridhiano (BBI) Ijumaa,... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
NA MAUREEN ONGALA
SERIKALI ya kaunti ya Kilifi imeonya wamiliki wa maeneo ya burudani wanaocheza muziki kwa sauti ya juu bila kuwa na... NA PETER MBURU
WAKENYA wanazidi kulishwa ahadi butu na wagombeaji wakuu wa urais, hasa Raila Odinga na William Ruto kuhusu jinsi maisha... Na LEONARD ONYANGO
HOFU ya kuangushwa kwenye mchujo na wawaniaji chipukizi imesukuma baadhi ya wanasiasa kung’ang’ania wakuu wa... Na BENSON MATHEKA
Maisha ya kisiasa ya kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga yamebadilika pakubwa uchaguzi mkuu wa mwaka ujao... Na SAMMY WAWERU
NI rasmi sasa kiongozi wa ODM, Raila Odinga atakuwa debeni kugombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao,... NA JUMA NAMLOLA
WIKI hii hapa katika meza ya habari ya Taifa Leo tuliangazia mambo ambayo wanasiasa wote waliojitokeza kutamani uraia... NA WANDERI KAMAU