text
stringlengths 3
16.2k
|
---|
MADAI ya usaliti na mikakati ya Rais William Ruto kusaka umaarufu katika ngome za upinzani vinatishia kumwacha kinara... NA MOSES NYAMORI |
VUTA nikuvute imezuka kati ya Rais William Ruto na kiongozi wa Azimio Raila Odinga kuhusiana na mswada unaopendekeza... NA JAMES MURIMI |
MWANIAJI urais wa chama cha Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga anasisitiza kuwa Wakenya wanapaswa kuchagua kati ya... NA PIUS MAUNDU |
KINARA wa ODM, Raila Odinga amelaani vurugu iliyotokea Kaunti ya Machakos. |
Akizungumza Ijumaa katika hafla ya kampeni,... NA JUMA NAMLOLA |
NAIBU Rais William Ruto ametoa onyo kali kwa mgombeaji urais wa chama cha Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga... NA GEORGE ODIWUOR |
MGOMBEA urais wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya amesihi wakazi katika ngome yake ya Nyanza wajitokeze kwa wingi... NA LEONARD ONYANGO |
UCHAGUZI |
Siku moja baada ya kinara wa Narc-K, Martha Karua kumeza chambo cha mwaniaji urais kwa tikiti ya Azimio... NA BENSON MATHEKA |
KIONGOZI wa chama cha ODM na mgombea urais wa muungano wa Azimio La Umoja Raila Odinga, anazuru Uingereza katika ziara... Na PIUS MAUNDU |
VITA vya ubabe vinavyoendelea kati ya magavana watatu wa eneo la Ukambani kwa upande mmoja na viongozi wa Wiper kwa... Na CHARLES WASONGA |
HISTORIA ya kinyanga’anyiro cha urais nchini inaonyesha ushindi wa Agosti 9 unaweza kwenda upande wowote kati ya... Na WAANDISHI WETU |
NAIBU Rais William Ruto na kiongozi wa ODM Raila Odinga jana walivamia eneo la Mlima Kenya kusaka kura za urais huku... Na LEONARD ONYANGO |
KINARA wa Azimio la Umoja Raila Odinga leo Jumamosi anatarajiwa kutumia mkutano wake uwanjani Ihura, Kaunti ya... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
Na LEONARD ONYANGO |
CHAMA cha Pamoja African Alliance (PAA) chake Gavana wa Kilifi Amason Kingi kiko katika hatari kubwa ya kuzuiliwa... Na WANDERI KAMAU |
JUHUDI za kuliunganisha eneo la Mlima Kenya ielekeapo 2022 zinaonekana kukumbwa na changamoto tele, wadadisi wakisema... Na WANDERI KAMAU |
KUMEIBUKA hofu huenda kutajwa kwa Rais Uhuru Kenyatta kuwa miongoni mwa watu walioficha mabilioni ya fedha ng’ambo... Na BENSON MATHEKA |
MABWANYENYE kutoka Mlima Kenya wanaodadisi wagombeaji urais wanakabiliwa na kibarua kigumu kumuidhinisha atakayeweza... Na WANDERI KAMAU |
HATUA ya kutangazwa kwa kiongozi wa Narck-Kenya, Bi Martha Karua, kama kaimu msemaji wa ukanda wa Mlima Kenya, imeibua... Na CHARLES WASONGA |
MSIMAMO wa Naibu Rais William Ruto kwamba chama cha United Democratic Alliance (UDA) hakitabuni muungano na vyama... Na WANDERI KAMAU |
GAVANA Anne Waiguru wa Kirinyaga yupo kwenye njiapanda kuhusu mwelekeo wa kisiasa atakaofuata, uchaguzi mkuu wa 2022... Na CHARLES WASONGA |
MASWALI mengi yameibuliwa kuhusu sababu ya kushirikishwa kwa Gavana wa Kakamega Wycliffe Oparanya katika mikutano... Na WANDERI KAMAU |
NI kinaya kuwa Bw Mwangi Kiunjuri na Bw Moses Kuria ndio wanaoongoza harakati za kushinikiza muungano wa kisiasa... Na BENSON MATHEKA
MSIMAMO mkali wa baadhi ya vinara wanaosuka muungano wa One Kenya Alliance (OKA) wa kukataa kumuunga kiongozi wa chama... Na BENSON MATHEKA
Vigogo wa kisiasa wanaomezea mate urais wanaendelea kuviziana kila moja akisubiri kuona hatua ambayo mwenzake... Na BENSON MATHEKA
KIONGOZI wa chama cha ODM Raila Odinga ameweka mikakati tosha ya kuyumbisha muungano wa One Kenya Alliance (OKA)... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
Na BRIAN OCHARO
MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji amelaumu mitandao ya mabwenyenye kwa kutatiza kesi zinazowahusu... NA FAUSTINE NGILA
MARAIS kadhaa na wakuu wa serikali duniani wametajwa katika ufichuzi wa hivi majuzi wa upelelezi wa jinsi mali ya... JOSEPH WANGUI na RICHARD MUNGUTI
VITA dhidi ya ufisadi vimeanza kuzaa matunda kwa mara ya kwanza katika historia ya Kenya huku watu... Na IBRAHIM ORUKO
WASHUKIWA wanaokabiliwa na ufisadi huenda siku zijazo wakahepa kufungwa gerezani iwapo watakubali kushirikiana na Afisi... Na CHARLES WASONGA
WANASIASA na maafisa wa serikali ambao wameshtakiwa kwa ufisadi sasa watazuiwa kushiriki katika uchaguzi mkuu ujao,... Na RICHARD MUNGUTI
ALIYEKUWA waziri wa Michezo na Jinsia, Dkt Hassan Wario huenda akasukumwa jela miaka 10 baada ya kupatikana na hatia... Na LEONARD ONYANGO
MARA baada ya kutangaza kushirikiana na kinara wa ODM Raila Odinga mnamo Machi 2018, almaarufu handisheki, Rais Uhuru... Na PETER MBURU
MIRADI inayofadhiliwa na fedha za walipa ushuru ndiyo inayotafunwa zaidi na maafisa fisadi serikalini, ripoti ya Mkaguzi... Na MAUREEN ONGALA
CHAMA cha Walimu wa Sekondari (KUPPET) kimeomba Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) ianzishe uchunguzi... Na LEONARD ONYANGO
KILA mara magavana wanapohutubia Wakenya kuhusiana na hali ya ugonjwa wa corona katika kaunti zao, wanaangua kilio... Na KAMAU MAICHUHIE
MZOZO wa uongozi umechipuka kati ya Gavana wa Kiambu, James Nyoro, na Senata Kimani Wamatangi kuhusu madai ya ufujaji... NA AP
ALIYEKUWA rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, ametakiwa kupendekeza kifungo ambacho angependa kupewa kwa kukwepa vikao vya... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
YALA, Siaya
Na JOHN MUTUKU SAMUEL
KALAMENI eneo hili alibubujikwa na machozi na kujitupa miguuni mwa demu kumuomba asimteme lakini... Na MWANDISHI WETU
Kangemi, Nairobi
Jombi mtaani hapa ambaye ni seremala tajika aliamua kukarabati kitanda cha jirani yake bila... Na Nicholas Cheruiyot
Mwanasiasa limbukeni alivunjika moyo mpango wake wa kumhamisha nduguye kwake ili amuachie boma atumie kujipigia... Na John Mutuku Samuel
Kisa cha kushangaza kilitokea mtaani hapa, baada ya demu aliyezuru wazazi wa mumewe kufumaniwa usiku akirandaranda... Na Mwandishi Wetu
KANGEMI, NAIROBI
JOMBI mmoja mtaani hapa anaendelea kuuguza majeraha kwenye nyeti zake baada ya kushambuliwa na... NA DENNIS SINYO
JOMBI mmoja ambaye alikuwa akiheshimiwa na wenzake alishangaza watu alipomkana mkewe hadharani ili asimkasirishe mpango... Na Mirriam Mutunga
KATHWANA, THARAKA NITHI
MWANADADA mmoja kutoka hapa alidondokwa na machozi mpenzi wake wa awali alipomuoa dada... HURUMA, NAIROBI
Na MWANDISHI WETU
Pasta wa kanisa moja mtaani humu, aliwakasirisha waumini kwa kuwatangazia kuwa atafunga kanisa kwa... Na MASHIRIKA
Frankfurt, Ujerumani
MWANAMKE mmoja katika mji huu alishangaza jamaa na marafiki kwa kusema kuwa heri mumewe angekufa... Na TOBBIE WEKESA
KERICHO
KIPUSA mtaani hapa aliwashangaza wengi alipoamua kuuza suti mpya ya mumewe ili apate fedha za kumwezesha... Na MWANDISHI WETU
VOI MJINI
Jamaa aliyekuwa paparazzi maarufu mjini humu anajuta kuuza simu na kamera yake kwa bei ya kutupa ili... KAPKATET, KERICHO
NA NICHOLAS CHERUIYOT
ILIBIDI polo wa hapa akubali kwa haraka kufanya kazi za jikoni ili kuokoa ndoa yake baada ya... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
Na MASHIRIKA
NEYMAR Jr alipachika wavuni mabao mawili na kusaidia waajiri wake Paris Saint-Germain (PSG) kufungua mwanya wa alama 10... Na MASHIRIKA
KIUNGO Paul Pogba amesema Manchester United wana ulazima wa “kubadilisha mbinu zao za kutandaza soka” iwapo wana ndoto ya... Na JOHN KIMWERE
CHANGAMOTO zimekuwa chungu nzima, lakini hazijazuia wachezaji wa Kiganjo Kings kutia bidii, kwani lengo lao ni kutua... Na GEOFFREY ANENE
KLABU ya Dandora Youth kutoka ligi ya daraja ya tano ya Shirikisho la Soka Kenya (FKF), imejawa motisha ya kutafuta... NA ABDULRAHMAN SHERIFF
WASICHANA wanne, watatu wanafunzi wa shule za upili na mwingine wa shule ya msingi kutoka Kaunti ya Taita... Na MASHIRIKA
TAFSIRI NA: CHRIS ADUNGO
KIUNGO wa Chelsea, Christian Pulisic, alifunga bao katika dakika za mwisho na kusaidia timu... Na GEOFFREY ANENE
TIMU ya Kenya ya raga ya wanaume ya wachezaji 15 kila upande ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 20 maarufu kama... Na GEOFFREY ANENE
MKIMBIAJI mkimbizi Francois Msafiri amepokea mapokezi ya kishujaa mtaani mwake Syokimau baada ya kukamilisha mbio za... Na GEOFFREY ANENE
VISSEL Kobe anayochezea Ayub Masika inakodolea macho kubanduliwa kwenye kipute cha Levain Cup baada ya kupoteza mechi... Na MASHIRIKA
TAFSIRI NA: CHRIS ADUNGO
KIUNGO mvamizi Andre Ayew, 31, ataagana na Swansea City mwishoni mwa Juni 2021 baada ya mkataba... NA RICHARD MAOSI
KIKOSI cha Mogotio United kinajivunia wachezaji mahiri ambao wanasakata soka katika kiwango cha Kaunti ya Baringo... NA ABDULRAHMAN SHERIFF
CONGO Boys FC inaonelea fahari kuu ikiwa timu kubwa mbili za hapa nchini, Gor Mahia na AFC Leopards zitacheza mechi... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
KWAKO shangazi. Nimekuwa na mpenzi kwa miaka mitatu. Wiki mbili zilizopita aliondoka akaniambia anaenda kuwatembelea wazazi wake... Na SHANGAZI
HUJAMBO shangazi? Nina umri wa miaka 28 na nilipata mtoto punde tu baada ya kukamilisha elimu ya shule ya upili. Mwanamume... Na SHANGAZI
VIPI shangazi? Nilioa miaka mitano iliyopita na tuna watoto wawili. Ilifika wakati mama watoto akashindwa kunishibisha na... Na SHANGAZI
VIPI shangazi? Nilimpa mimba mwanamke mpenzi wangu na nikamuoa kwa sababu nampenda kwa dhati. Ingawa nimeajiriwa, mshahara... Na SHANGAZI
KWAKO shangazi. Nilikuwa na mpenzi niliyempenda sana na alikuwa ameahidi kunioa. Hata hivyo, wazazi wake walipinga mpango... Na SHANGAZI
VIPI shangazi? Huu ni mwaka wa pili tangu niolewe na tumejaliwa mtoto mmoja. Ninashuku kuna kitu kinachoendelea kati ya mume... Na SHANGAZI
KWAKO shangazi. Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 36 na nimeolewa. Nina uhusiano wa pembeni na bosi wangu na nimegundua... Na SHANGAZI
KWAKO shangazi. Nina umri wa miaka 39 na huu ni mwaka wa pili nikitafuta mchumba na bado sijapata. Wanawake ni wengi na... Na SHANGAZI
HABARI zako shangazi? Nina umri wa miaka 36 na nina mtoto ingawa sijaolewa. Nimekuwa katika uhusiano wa kimapenzi na... Na SHANGAZI
SHIKAMOO shangazi! Nina jambo ambalo linanitatiza moyoni. Kuna mwanamke fulani ambaye amenasa moyo wangu na ninatamani sana... Na SHANGAZI
HUJAMBO shangazi? Nina mke ambaye tumeishi pamoja kwa mwaka mmoja sasa. Hata hivyo kuna jambo fulani ambalo nimegundua... Na SHANGAZI
KWAKO shangazi. Nimekuwa na mpenzi kwa karibu mwaka mmoja. Amekuwa akiniahidi kuwa atanioa ingawa bado hajanitambulisha kwa... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
VICTOR RABALLA NA KASSIM ADINASI
WAWANIAJI viti katika ngome ya kiongozi wa ODM Raila Odinga ya Luo Nyanza, wameonywa dhidi ya mivutano...
Na WINNIE ONYANDO
KINARA wa ODM Raila Odinga na Naibu Rais William Ruto kufikia sasa wako bega kwa bega kwenye kinyang’anyiro... Na LEONARD ONYANGO
KINARA wa ODM, Raila Odinga amewatema baadhi ya washauri wake alioshirikiana nao kwa karibu kwenye uchaguzi mkuu wa... BRIAN OCHARO na VALENTINE OBARA
UBABE wa kisiasa kati ya Kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga, na Naibu Rais William Ruto katika Kaunti ya... Na CHARLES WASONGA
HATUA ya Naibu Rais William Ruto na kiongozi wa ODM Raila Odinga kushikilia kuwa wawaniaji wanaounga azma zao za... Na WANDERI KAMAU
KIONGOZI wa chama cha ODM, Bw Raila Odinga, jana alianza rasmi safari yake ya kuelekea Ikulu 2022, huku akipata... Na ANTHONY KITIMO
GAVANA wa Mombasa, Bw Hassan Joho, amehudhuria mkutano wa dharura na Kiongozi wa chama cha ODM, Bw Raila Odinga, kabla... Na KENNEDY KIMANTHI
MABWANYENYE wa eneo la Mlima Kenya leo wanatarajiwa kumwidhinisha rasmi kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga, kama... Na CHARLES WASONGA
NAIBU Rais William Ruto na kiongozi wa ODM Raila Odinga wanaonekana kuendeleza mbinu za kampeni za kulambana visigino... Na LEONARD ONYANGO
MATAMSHI ya zamani ya Rais Uhuru Kenyatta ya kumdhalilisha Kiongozi wa ODM Raila Odinga yamegeuka kuwa kizingiti... Na SAMMY WAWERU
KIONGOZI wa ODM, Raila Odinga Jumamosi anaendeleza kampeni zake kutafuta uungwaji mkono eneo la Mlima Kenya kumrithi... MAUREEN ONGALA na ALEX KALAMA
GAVANA wa Kaunti ya Kilifi, Bw Amason Kingi, anakabiliwa na kibarua kigumu cha kuamua mwelekeo ambao chama... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
NA WALLAH BIN WALLAH
KUFIKIRI ni kazi. Ubongo wako hauwezi kukupa majibu sahihi ya maswali unayoulizwa bila ya ubongo kufanya kazi ya... NA ENOCK NYARIKI
MOJA kati ya maneno mawili yatumiwayo na watu kurejelea chakula ni mlo. Kuna jingine ambalo aghalabu hukosewa katika... Na CHRIS ADUNGO
CHAMA cha Kiswahili katika Shule ya Msingi ya Stelurm Elite, Nairobi kimewawezesha wanafunzi kupiga hatua na kutia fora... Nitaanza makala haya kwa kuuliza swali lifuatalo: Je, mtu huwa na uhakika wa jambo au hakika ya jambo? Vipo baadhi ya vielezi ambavyo... Na CHRIS ADUNGO
CHAMA cha Kiswahili katika Shule ya Upili ya St Louis Butula Boys, Kaunti ya Busia (CHAKIBU), kiliasisiwa kwa nia ya... Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI ya habari ya Nation Media Group imeimarisha juhudi zake za kukuza matumizi ya Kiswahili kwa kutenga siku moja... Na MARY WANGARI
WAKENYA Jumatatu wameungana na jamii ya kimataifa kumboleza kifo cha Mama Sara Obama kwa kutuma risala zao za... Na MARY WANGARI
Lugha huundwa kwa sauti ambazo huunganishwa ili kuunda neno au sehemu ya neno, kisha maneno huungana kuunda miundo... NA MARY WANGARI
DHANA ya mawasiliano ni mchakato wa kuwasilisha taarifa kwa njia ya ubadilishanaji wa hisia, mawazo, matarajio,... Na CHRIS ADUNGO
USIOGOPE kukosea. Kupotea njia ndiko kujua njia. Jaribu tu. Ipo siku ambapo mghafala utaisha. Zidi kumulika uendako kwa... MTIHANI huzua changamoto kwa yeyote anayepania kuufanya. Nakisia ni kwa sababu ya ushindani unaohusishwa nao, hasa nchini mwetu. Aghalabu... Na ENOCK NYARIKI
KWA mara ya kwanza kabisa, mitihani ya Kidato cha Nne na Darasa la Nane ambayo hufanywa katika mwezi wa Kumi na Kumi na... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
Na MARY WANGARI
WINGU la majonzi liligubika Kenya wikendi wakati nyota mchanga wa Olimpiki, Agnes Tirop, alipopumzishwa nyumbani kwao... Na MARY WAMBUI
SERIKALI ya Uingereza imeshinikizwa kufanya uchunguzi wa ndani na kumshtaki mwanajeshi wake, anayetuhumiwa kumuua... Na BRIAN OJAMAA
MWILI wa Masten Wanjala, mwanamume aliyekamatwa kwa mauaji ya watoto, bado uko katika mochari ya Hospitali ya Rufaa ya... WYCLIFFE NYABERI na CHARLES WASONGA
WANAUME wanne wanaoshukiwa kuwateketeza wanawake wakongwe kwa tuhuma za uchawi eneo la Marani,... Na Hilary Kimuyu
POLISI katika mji wa Uhispania wa Seville wanamzuilia mwanamke Mkenya anayedaiwa kuuma na kula vidole viwili vya... Na GEORGE MUNENE
Mtu mmoja ameuawa kwa risasi huku taharuki ikizidi kutanda mjini Kianjokoma, Kaunti ya Embu kufuatia mauaji ya vijana... Na GEORGE MUNENE
Mama mmoja jana alisimulia mahakamani jinsi alivyopata chooni mifupa ya mwanawe na mjukuu wake ambao walikuwa... Na AFP
PORT-AU-PRINCE, Haiti
WATU wasiojulikana Jumatano waliingia katika makazi ya Rais Jovenel Moise wa Haiti na kumpiga risasi,... Na JOHN NJOROGE
UTATA unaendelea kuzingira kifo cha mfanyabiashara na mkurugenzi wa kampuni moja ya maua, Justus Metho Muinde katika... STANLEY NGOTHO NA SIMON CIURI
MIILI ya watatu kati ya wanaume wanne waliotoweka mjini Kitengela, Kaunti ya Kajiado mnamo Aprili 19,... SIMON CIURI na MERCY MWENDE
MWANAFUNZI wa chuo kikuu, Lawrence Warunge, aliyehusishwa na mauaji ya familia yake ya watu wanne na mjakazi... NA MASHIRIKA
MAANDAMANO makubwa jana yalizuka viungani mwa jiji la Mineapolis, Amerika baada ya polisi kumpiga risasi raia mweusi karibu... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
NA CHARLES WASONGA
SERIKALI iliyopita ya Jubilee imelaumiwa kwa kutumia jumla ya Sh55 bilioni, bila idhini ya Bunge, kwa miezi mwili na... NA BENSON MATHEKA
HUKU serikali ya Jubilee ikikaribia kuondoka mamlakani baada ya uchaguzi mkuu wa Agosti 9, viongozi wake wameonyesha... NA ONYANGO K’ONYANGO
CHAMA cha Jubilee sasa kimeanza mchakato wa kushawishi wandani wa Rais Uhuru Kenyatta waliokuwa wameunda vyama... NA MWANGI MURURI
RAIS Uhuru Kenyatta ameripotiwa kukasirishwa na washauri wake kuhusu ripoti zao za hali ya kisiasa katika eneo la Mlima... NA MWANGI MUIRURI
WANDANI wa Rais Uhuru Kenyatta wamelaumiwa kwa kuchangia kudidimia kwa umaarufu na ushawishi wake katika eneo la Mlima... Na PSCU
RAIS Uhuru Kenyatta amekariri kujitolea kwa serikali katika kuboresha maslahi ya walemavu, akisema watasaidiwa kushiriki... Na WANDERI KAMAU
RAIS Uhuru Kenyatta kwa mara nyingine alionyesha dalili za kuunga mkono azimio la kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga,... Na CHARLES WASONGA
RAIS Uhuru Kenyatta Jumanne alitoa kumbukumbu ya nyakati ambapo alihudumu bungeni kama Mbunge Maalum, Kiongozi wa... Na SAMMY WAWERU
RAIS Uhuru Kenyatta anahutubia taifa leo Jumanne alasiri katika kikao cha pamoja cha bunge, wengi wakisubiri kusikia... Na CHARLES WASONGA
RAIS Uhuru Kenyatta leo Jumanne anatarajiwa kuangazia mikakati ya serikali ya kukabiliana na changamoto zinazolikumba... Na CHARLES WASONGA
RAIS Uhuru Kenyatta atatoa hotuba kuhusu Hali ya Taifa katika kikao maalum cha Bunge la Kitaifa na Seneti mnamo... Na BENSON MATHEKA
SERIKALI imeonywa kuwa mazoea ya maafisa wake, akiwemo Rais Uhuru Kenyatta ya kukaidi maagizo ya mahakama na utawala... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
Na MACHARIA MWANGI
WAZIRI wa Leba Simon Chelugui ameziomba kampuni mbalimbali zihakikishe kuwa haziwafuti wafanyakazi wao hata... Na WANGU KANURI
TEKNOLOJIA imeiboresha sekta ya upishi haswa kwa wale ambao waliendeleza huduma zao mtandaoni licha ya janga la... Na WANGU KANURI
WAKENYA wanaoishi na ulemavu pamoja na wale wakongwe sasa wataweza kupokea huduma wanazotaka kidijitali za mawasiliano... Na FAUSTINE NGILA
LABDA hujasikia hili lakini linakuathiri moja kwa moja kwa kuwa wewe ni mteja wa M-Pesa. Majuzi rafiki yangu alimfaa... Na STEPHEN ODUOR
VIJANA katika Kaunti ya Tana River, wametaka mafunzo ya kisasa yatolewe katika taasisi na vyuo vya kiufundi ili... NA FAUSTINE NGILA
MAGARI mengi yanayomilikiwa humu nchini na duniani kote yanatumia dizeli au petroli, mafuta ambayo yanachafua... Na FAUSTINE NGILA
SUALA muhimu lililojitokeza katika ziara ya Rais Uhuru Kenyatta nchini Uingereza wiki iliyopita, lilikuwa azma ya... Na FAUSTINE NGILA
NI miaka mitatu sasa tangu Ripoti ya Blockcheni na Akili Bandia (AI) iwasilishwe kwa serikali kwa ajili ya utekelezaji... Na Ruth Mbula
SPIKA wa Bunge la Kitaifa, Bw Justin Muturi, amewarai wadau wa afya kuharakisha utekelezaji wa taratibu za kutumia... [caption id=attachment_77341" align="alignnone" width="843"] Wataalamu wakagua uvunaji wa bitcoin katika kituo cha Bitfarms eneo la Saint... Na FAUSTINE NGILA |
Inashangaza kuwa licha ya Kenya kupiga hatua kubwa katika maendeleo ya kiteknolojia, karatasi bado zinatumika katika... Na MASHIRIKA |
Kutokana na ongezeko la matumizi ya simu tamba na za kisasa pamoja na kuimarishwa kwa mitandao, imekuwa rahisi kwa idadi... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
Na RICHARD MUNGUTI |
ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi Mike Sonko Mbuvi Ijumaa alizimwa na mahakama kupeperusha katika mitandao ya kijamii video... Na RICHARD MUNGUTI |
KUNDI jipya la mawakili sita waliokuwa wanamwakilisha aliyekuwa gavana wa Nairobi Bw Mike Sonko Jumanne walijiondoa... Na RICHARD MUNGUTI |
RIPOTI ya daktari wa tiba za akili imesema Alhamisi kuwa aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Sonko anaugua maradhi ya... Na RICHARD MUNGUTI |
MAHAKAMA ilielezwa jana kuwa aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Sonko angali amelazwa katika Nairobi Hospital... Na RICHARD MUNGUTI |
UFICHUZI wa aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Sonko kwamba mtu aliingia kwenye seli anamozuiliwa katika kituo cha... Na BENSON MATHEKA |
Aliyekuwa Gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko anajuta kwa vitendo alivyofanya akiwa mamlakani; akiepuka kuadhibiwa kwa... Na RICHARD MUNGUTI |
KAMA kuna wakati wenye changamoto tele kwa aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Sonko ni sasa. |
Maji yalizidi unga hata... Na RICHARD MUNGUTI |
MASAIBU ya aliyekuwa gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko, yaliongezeka Jumatano ilipofichuka kuwa serikali inapanga... Na RICHARD MUNGUTI |
ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi, Mike Sonko aliangua kilio kortini Jumatano wakati wa kusikizwa kwa kesi ya ufisadi wa... Na CHARLES WASONGA |
WANASIASA na watu ambao majina yao yatawekwa katika orodha ya aibu ya Tume ya Uwiano na Utangamano ya Kitaifa (NCIC)... BENSON MATHEKA na SIMON CIURI |
Masaibu ya aliyekuwa Gavana wa Nairobi, Mike Sonko yaliendelea kuongezeka jana alipozuiliwa rumande baada... Na RICHARD MUNGUTI |
MASAIBU ya aliyekuwa Gavana wa Nairobi Mike Sonko Mbuvi Gidion Kioko yameongezeka baada ya kusukumwa ndani hadi... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA SAMMY WAWERU MSANII tajika wa nyimbo Mugithi, Samuel Muchoki maarufu kama Samidoh huenda ametengana na mpenzi wake mwanasiasa Karen Nyamu. Hii ni kutokana na video iliyochipuka ambayo anaskika akisema “nilikuwa kwenye ndoa ya mitara, sasa niko singo”. Samidoh amekuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na Seneta Maalum Karen Nyamu, na wamejaaliwa kupata watoto wawili. Msanii huyo wa nyimbo za Agikuyu, alifichua kuachana na Karen kupitia video ya mbashara ya Tiktok (live) ambapo alikuwa akijibu maswali ya mashabiki wake. Wakati wa mafichuzi hayo, alionekana kuwa kwenye eneo la burudani alikoandamana na msichana ambaye hakuweka wazi endapo ndiye mchumba wake mpya. “Ati hongera kwa kuwa na mpenzi mpya…” Samidoh akasoma mojawapo ya jumbe zilizotumwa na mashabiki wake. Alijibu, “Si wewe pekee ulishushwa madaraka kutoka kiwango cha hadhi hadi dereva wangu…Nilikuwa kwenye ndoa ya mitara ila sasa niko singo”. Mfuasi huyo aliendelea kumdadisi, akitaka kujua iwapo Samidoh anafahamu kuhusu ukurasa wa kimitandao unaohusishwa na mchumba wake – Karen Nyamu Fun Page. Kwa ucheshi, mwimbaji huyo wa kibao tajika cha Kairetu Gakwa (Binti yangu) na Ndiri Mutwe Mwega (Sina kichwa kizuri) alisema kwa sasa anajishughulisha na biashara. “Kwa sasa, ninajishughulisha na masuala biashara. Ikiwa si mradi au biashara, ishi na mama yako,” alielezea. Shabiki wake alimkejeli akitaka kujua aliko nina yake, isijulikane ikiwa alimaanisha mama yake mzazi au mpenzi wake. “Ameoleka na kwa sasa anafurahia fungate (honeymoon),” Samidoh alidokeza. Kidosho aliyeandamana naye alitambua shabiki huyo kama Shabaan, akisema kwamba yeye ni mchochezi. “Wee acha hiyo, unajua Shabaan wewe ni mchochezi sana… (Yuko hapa (akimaanisha Karen Nyamu),” mwanadada huyo alisema. Naye Samidoh aliendelea, “Tunataka Karen, naona hivo ndivo mchango safuni unasema…Naona, lakini sasa yuko online kweli?” Kipusa aliyeandamana naye, alijibu, “Yuko online, mjaribu”. Aidha, shabiki wa Samidoh alitaka Karen Nyamu ajumuishwe kwenye mazungumzo hayo ya mbashara Tiktok. Kilichoshangaza zaidi na kuashiria utengano wa Samidoh na Karen, ni kudai kwamba alimbloki mtandaoni na angeweza kushiriki endapo atamuondoa alikomuweka. “Yuko kwenye orodha ya kublokiwa, sasa hiyo ndio shida. Labda nisitishe mazungumzo haya ya moja kwa moja ili nimuondoa aweze kujumuika nasi,” Samidoh alifafanua. Mahusiano kati ya Samidoh na Karen, ndiyo yalichangia kuachana na mkewe, Edday Nderitu ambaye alihamia Amerika Mei 2023. Edday alikuwa ameonya msanii huyo mapema 2023, akisisitiza kwamba hakuwa tayari kuwa kwenye ndoa ya mitara. Samidoh na Edday wana watoto watatu pamoja. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA SAMMY WAWERU MSANII tajika wa nyimbo Mugithi, Samuel Muchoki maarufu kama Samidoh huenda ametengana na mpenzi wake mwanasiasa Karen Nyamu. Hii ni kutokana na video iliyochipuka ambayo anaskika akisema “nilikuwa kwenye ndoa ya mitara, sasa niko singo”. Samidoh amekuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na Seneta Maalum Karen Nyamu, na wamejaaliwa kupata watoto wawili. Msanii huyo wa nyimbo za Agikuyu, alifichua kuachana na Karen kupitia video ya mbashara ya Tiktok (live) ambapo alikuwa akijibu maswali ya mashabiki wake. Wakati wa mafichuzi hayo, alionekana kuwa kwenye eneo la burudani alikoandamana na msichana ambaye hakuweka wazi endapo ndiye mchumba wake mpya. “Ati hongera kwa kuwa na mpenzi mpya…” Samidoh akasoma mojawapo ya jumbe zilizotumwa na mashabiki wake. Alijibu, “Si wewe pekee ulishushwa madaraka kutoka kiwango cha hadhi hadi dereva wangu…Nilikuwa kwenye ndoa ya mitara ila sasa niko singo”. Mfuasi huyo aliendelea kumdadisi, akitaka kujua iwapo Samidoh anafahamu kuhusu ukurasa wa kimitandao unaohusishwa na mchumba wake – Karen Nyamu Fun Page. Kwa ucheshi, mwimbaji huyo wa kibao tajika cha Kairetu Gakwa (Binti yangu) na Ndiri Mutwe Mwega (Sina kichwa kizuri) alisema kwa sasa anajishughulisha na biashara. “Kwa sasa, ninajishughulisha na masuala biashara. Ikiwa si mradi au biashara, ishi na mama yako,” alielezea. Shabiki wake alimkejeli akitaka kujua aliko nina yake, isijulikane ikiwa alimaanisha mama yake mzazi au mpenzi wake. “Ameoleka na kwa sasa anafurahia fungate (honeymoon),” Samidoh alidokeza. Kidosho aliyeandamana naye alitambua shabiki huyo kama Shabaan, akisema kwamba yeye ni mchochezi. “Wee acha hiyo, unajua Shabaan wewe ni mchochezi sana… (Yuko hapa (akimaanisha Karen Nyamu),” mwanadada huyo alisema. Naye Samidoh aliendelea, “Tunataka Karen, naona hivo ndivo mchango safuni unasema…Naona, lakini sasa yuko online kweli?” Kipusa aliyeandamana naye, alijibu, “Yuko online, mjaribu”. Aidha, shabiki wa Samidoh alitaka Karen Nyamu ajumuishwe kwenye mazungumzo hayo ya mbashara Tiktok. Kilichoshangaza zaidi na kuashiria utengano wa Samidoh na Karen, ni kudai kwamba alimbloki mtandaoni na angeweza kushiriki endapo atamuondoa alikomuweka. “Yuko kwenye orodha ya kublokiwa, sasa hiyo ndio shida. Labda nisitishe mazungumzo haya ya moja kwa moja ili nimuondoa aweze kujumuika nasi,” Samidoh alifafanua. Mahusiano kati ya Samidoh na Karen, ndiyo yalichangia kuachana na mkewe, Edday Nderitu ambaye alihamia Amerika Mei 2023. Edday alikuwa ameonya msanii huyo mapema 2023, akisisitiza kwamba hakuwa tayari kuwa kwenye ndoa ya mitara. Samidoh na Edday wana watoto watatu pamoja. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA RICHARD MAOSI WAKAZI wa mtaa wa Mazembe viungani mwa mji wa Nakuru wamekiri kuhangaishwa na wezi ambao huwaibia na kuwasindikiza hadi nyumbani. Huwawekea ulinzi huo makusudi ili kuhakikisha kwamba wateja wao wanafika nyumbani salama salimini. Kwa kawaida, wahuni wamebuni mbinu mpya ya kutembea na mbwa wakubwa nyakati za usiku, ili kujiwekea ulinzi wa kibinafsi. Owen Shibala mwendeshaji bodaboda kati ya Nakuru mjini na Mazembe, anasema hajui walikotoa ujasiri walio nao kushika doria usiku utadhani ni polisi. Mazembe ni mojawapo ya mitaa ambayo hushuhudia visa vya kihalifu na utumiaji wa mihadarati mara kwa mara. “Ukikutana nao usiku ni lazima usalimishe kila kitu lau sivyo utaona cha mtema kuni. Watakucharaza viboko na kuiba kila kitu cha nguvu,”akasema. Hata hivyo, wanapoiba hujitwika jukuma la kuwasindikiza wakazi, wasije wakakutana na vibaka wengine barabarani. Aidha, wanalia sare za polisi jambo linalowafanya baadhi ya raia kuamini huenda wanashirikiana na maafisa wa polisi. Baadhi yao wanajifanya ni maafisa wa polisi ambao huwa wameshika doria, wakilenga kuhangaisha wapita njia wanaotoka kazini usiku. Agnes Wahome mfanyibiashara mtaani Rhonda anasema huwa wamejihami kwa visu, rungu na wako tayari kupigana. Kulingana na Bi Wahome, hii ni hali ya kawaida siku hizi katika mitaa ya Manyani, Bondeni na Freearea ambapo vijana wengi wamejiingiza kwenye uhalifu. Bi Wahome anasema wahalifu wengi wanajulikana, kwani ni vijana wadogo kutoka mitaa jirani ya Flamingo na Lakeview. Mkazi huyo angependa polisi kushika doria katika maeneo husika ili kuzuia kuzuka kwa magenge hatari yanayohangaisha wenyeji. Hili linajiri siku chache baada ya Taifa Leo Dijitali kufichua visa vya wizi ambapo baadhi ya wezi kutoka kwenye mtaa wa Gioto, Nakuru wamekuwa wakipika chakula katika kila nyumba wanamoingia kuiba. Mtaa wa Bondeni, Kaunti ya Nakuru ambapo wezi huwaibia wakazi na kuwasindikiza mpaka nyumbani. PICHA|RICHARD MAOSI |
Tags |
You can share this post! |
Previous article |
Samidoh ang’aa Murang’a akitishia kuzima nyota ya... |
Next article |
UDAKU: Jua Cali adai Tanzania haina pesa mastaa wakifurika... |
T L |
Tags |
You can share this post! |
Previous article |
Samidoh ang’aa Murang’a akitishia kuzima nyota ya... |
Next article |
UDAKU: Jua Cali adai Tanzania haina pesa mastaa wakifurika... |
T L |
You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA RICHARD MAOSI WAKAZI wa mtaa wa Mazembe viungani mwa mji wa Nakuru wamekiri kuhangaishwa na wezi ambao huwaibia na kuwasindikiza hadi nyumbani. Huwawekea ulinzi huo makusudi ili kuhakikisha kwamba wateja wao wanafika nyumbani salama salimini. Kwa kawaida, wahuni wamebuni mbinu mpya ya kutembea na mbwa wakubwa nyakati za usiku, ili kujiwekea ulinzi wa kibinafsi. Owen Shibala mwendeshaji bodaboda kati ya Nakuru mjini na Mazembe, anasema hajui walikotoa ujasiri walio nao kushika doria usiku utadhani ni polisi. Mazembe ni mojawapo ya mitaa ambayo hushuhudia visa vya kihalifu na utumiaji wa mihadarati mara kwa mara. “Ukikutana nao usiku ni lazima usalimishe kila kitu lau sivyo utaona cha mtema kuni. Watakucharaza viboko na kuiba kila kitu cha nguvu,”akasema. Hata hivyo, wanapoiba hujitwika jukuma la kuwasindikiza wakazi, wasije wakakutana na vibaka wengine barabarani. Aidha, wanalia sare za polisi jambo linalowafanya baadhi ya raia kuamini huenda wanashirikiana na maafisa wa polisi. Baadhi yao wanajifanya ni maafisa wa polisi ambao huwa wameshika doria, wakilenga kuhangaisha wapita njia wanaotoka kazini usiku. Agnes Wahome mfanyibiashara mtaani Rhonda anasema huwa wamejihami kwa visu, rungu na wako tayari kupigana. Kulingana na Bi Wahome, hii ni hali ya kawaida siku hizi katika mitaa ya Manyani, Bondeni na Freearea ambapo vijana wengi wamejiingiza kwenye uhalifu. Bi Wahome anasema wahalifu wengi wanajulikana, kwani ni vijana wadogo kutoka mitaa jirani ya Flamingo na Lakeview. Mkazi huyo angependa polisi kushika doria katika maeneo husika ili kuzuia kuzuka kwa magenge hatari yanayohangaisha wenyeji. Hili linajiri siku chache baada ya Taifa Leo Dijitali kufichua visa vya wizi ambapo baadhi ya wezi kutoka kwenye mtaa wa Gioto, Nakuru wamekuwa wakipika chakula katika kila nyumba wanamoingia kuiba. Mtaa wa Bondeni, Kaunti ya Nakuru ambapo wezi huwaibia wakazi na kuwasindikiza mpaka nyumbani. PICHA|RICHARD MAOSI |
Tags |
You can share this post! |
Previous article |
Samidoh ang’aa Murang’a akitishia kuzima nyota ya... |
Next article |
UDAKU: Jua Cali adai Tanzania haina pesa mastaa wakifurika... |
T L |
Tags |
You can share this post! |
Previous article |
Samidoh ang’aa Murang’a akitishia kuzima nyota ya... |
Next article |
UDAKU: Jua Cali adai Tanzania haina pesa mastaa wakifurika... |
T L |
You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA RICHARD MUNGUTI MASKWOTA wapatao 10,000 wamewasilisha upya kesi katika Mahakama ya Upeo wakiomba ibatilishe uamuzi kwamba wafukuzwe kutoka kwa shamba la ukubwa wa ekari 25,000 wanalong’ang’ania umiliki wake na familia ya mwanasiasa marehemu Mark Too. Maskwota hao wanaodai mababu zao ndio waliotimuliwa kutoka kwa shamba hilo enzi za ukoloni, wanasema walipewa shamba hilo rasmi na aliyekuwa Rais hayati Daniel arap Moi, kisha Kamishna wa Ardhi M Okundu akaratibisha uamuzi huo mwaka 2007. Katika ombi lililowasilishwa na wakili William Arusei chini ya sheria za dharura, kikundi cha maskwota hao–Sirikiwa Squatters Group–kimeomba mahakama ibatilishe uamuzi huo kwa vile ilitegemea ushahidi ambao haukuwa umewasilishwa katika kesi waliyoshtaki katika Mahakama ya kuamua kesi za mashamba (ELC), Eldoret, Kaunti ya Uasin Gishu. Pia wameeleza bayana Jaji Mkuu Martha Koome, Naibu Jaji Mkuu Philomena Mwilu, majaji Mohammed Ibrahim, Smokin Wanjala, Njoki Ndung’u, Isaack Lenaola, na William Ouko walitegemea ushahidi wa Afisa wa Ugavi wa Mashamba R J Simiyu kutoa uamuzi wang’atuke shambani. Maskwota hao wamesema ushahidi wa Bw Simiyu uliowasilishwa mbele majaji hao saba kwa njia ya afidaviti ni mpya na kamwe “haukuwasilishwa mbele ya Jaji Antony Ombwayo aliposikiliza na kuamua kesi hiyo 2017.” Pia wanasema ushahidi huo haukuwasilishwa Mahakama ya Rufaa iliyosikiliza rufaa iliyowasilishwa na kampuni ya Fanikiwa, familia ya marehemu Mark Too, kampuni ya Lonrho Agribusiness (EA) Ltd, na Bw David K Korir. Hivyo basi, maskwota hao wanaeleza mahakama hii ya upeo kwamba ni kinyume cha sheria kutegemea ushahidi mpya kutoa uamuzi wa kesi hii iliyo na umuhimu mkubwa kwa umma. “Uamuzi huu wa Mahakama ya Juu wa Desemba 15, 2023, hauna mashiko kisheria na kamwe hauna nguvu kisheria kuwatimua maskwota hawa kutoka kwa shamba lao,” asema Bw Arusei. Pia maskwota hawa wanadai kwamba badala ya Mahakama ya Juu kujadili masuala ya kikatiba jinsi ilivyo jukumu lake, majaji hao walianza kufafanua na kutafsiri ushahidi wa watu binafsi na kuelezea maana ya ‘skwota’. Mahakama hii imeombwa ikague upya uamuzi iliyotoa kwa vile ilidanganywa na walalamishi na pia kutendewa ujanja. Akinukuu maamuzi ya majaji wastahiki kama vile Lord Dening, Bw Arusei amesema, mahakama ikigundua ilipotoshwa au kudanganywa na upande mmoja, iko na mamlaka na uwezo wa kufutilia mbali uamuzi iliyotoa na kuandika mwingine. Maskwota hao wanaomba Mahakama ya Juu iwarudishe shambani kama ilivyokuwa imeamuliwa na Jaji Ombwayo na Mahakama ya Rufaa. Vile vile mahakama hiyo imekosolewa kwa kumshambulia hayati Moi katika uamuzi huo pasi kutoa agizo wasimamizi wa mali yake wafike mbele yao kutoa mwanga kuhusu suala la umiliki wa shamba hili lililorudishwa kwa serikali na kampuni iliyokuwa inakuza miti inayotumika katika viwanda vya ngozi. Naibu msajili wa Mahakama ya Juu Nelly Kariuki aliwaamuru maskwota hao wawakabidhi nakala za kesi hii yao mpya wahusika wote kabla ya Januari 31, 2024, kesi itakapotajwa tena kwa maagizo zaidi. Jaji aliyesikiliza kesi hii mpya hakuiratibisha kuwa ya dharura ila aliamuru pande zote ziwasilishe ushahidi katika muda wa siku 14 kuanzia Desemba 21, 2023. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA RICHARD MAOSI WAMILIKI wa nyumba za wapangaji mtaani Kayole wameamua kulala mchana na kukaa macho usiku ili kupambana na wahalifu ambao wametawala ploti zao. Aidha wapangaji wanapoendelea kufurahia sikukuu wakiwa mashambani, wezi kwa upande mwingine wanavunja nyumba na kuiba bidhaa kutoka ploti moja hadi nyingine. Mbali na Kayole, maeneo mengine ambapo wizi umeripotiwa ni Kangemi, Korogocho, Githurai, Umoja, Kariobangi, Starehe, Syokimau, na Buruburu. Wanavunja nyumba na kuiba vyombo, fanicha, mitungi ya gesi ya kupikia, televisheni, na redio, huku hatimaye bidhaa hizo zikiuzwa kwa bei ya kutupa mtaani. Bw Gilbert Ambani ambaye ni mlinzi katika mojawapo ya ploti eneo la Syokimau, anasema wezi wengi huko katika msimu huu wa shamrashamra wanalenga vyuma chakavu kwa sababu huwapatia hela za haraka. “Baadhi ya wezi wanabomoa lango kuu na kuchukua vyuma huku wengine wakivunja mifereji,” Bw Ambani akaambia Taifa Leo. Naye Amon Andika ambaye ni landilodi mtaani Kayole, alisema kwamba imemlazimu kufanya kazi ya ziada ya kulinda nyumba za wapangaji wake ambao wengi walienda mashambani almaarufu ‘ushago’. Anasema mwaka 2023 ameamua kufanya kazi ya usoja kama wengi wanavyoiita, baada ya kubaini kuwa baadhi walinzi wake wa awali walikuwa wakishirikiana na wezi kutekeleza wizi. Bw Andika ameingia gharama ya kuwekeza upya kwenye mradi wa maji baada ya wezi kuvunja mfereji wake usiku wa Desemba 24, 2023, na kutoweka na paipu ya thamani ya Sh70,000. Anasema kwa sababu ya hali ngumu ya kiuchumi, hana uwezo wa kuajiri soja wa usiku. Ndiposa imemlazimu kuhatarisha maisha yake kwa kulinda mali mpaka ifikapo Mwaka Mpya 2024. Anasema ni desturi yake kila mwaka wapangaji wanapokuwa wameelekea ‘ushago’ kufurahia sikukuu, yeye anadumisha usalama. Mnamo Desemba 27, 2023, washukiwa 34 wa wizi walikamatwa katika eneobunge la Starehe katika operesheni iliyoongozwa na chifu na maafisa wa polisi. Hali ni kinyume na baina ya mwaka wa 2020 na 2021 ambapo wakazi wengi wa jiji waliamua kutosafiri kwa sababu ya mlipuko wa janga la Covid-19. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Narc-Kenya Martha Karua amesema kuwa muungano wa Azimio La Umoja-One Kenya ulitoka mikono mitupu katika mazungumzo kati yake na mrengo wa Kenya Kwanza (KKA). Kwenye mahojiano na runinga ya Citizen mnamo Alhamisi usiku, Bi Karua alidai wanachama wa Azimio katika Kamati ya Kitaifa ya Mazungumzo (Nadco) walisaidia KKA kuendeleza ajenda zao. “Kwa mtazamo wangu, mazungumzo hayo hayakuzaa matunda yoyote kwa sababu hakuna muafaka uliofikiwa kuhusu ajenda zetu tatu kuu ambazo ni gharama ya maisha, haki katika uchaguzi, na heshima kwa demokrasia ya vyama vingi,” akasema Bi Karua. Akaongeza: “Muafaka ulipatikana kuhusu ajenda za Kenya Kwanza kama vile kuundwa kwa afisi ya kiongozi rasmi wa upinzani, na kuhalalishwa kwa afisi ya Mkuu wa Mawaziri, ambazo tayari Ruto alikwisha kuwasilisha bungeni.” Kiongozi huyo wa Narc Kenya alieleza kuwa vikao vya kamati ya Nadco vilivyodumu kwa miezi minane vilikuwa ni vya kuwapotezea Wakenya hela na muda kwa sababu serikali haikuongozwa na nia njema iliposhiriki mazungumzo na upinzani. “Mazungumzo hayo yalilenga kutuchezea shere na kutuliza maandamano. Matokeo ya mazungumzo yetu na utawala wa KKA hayakuzaa matunda yoyote kwa sababu Wakenya bado wanaumizwa na kupanda kwa gharama ya maisha. Kwa mtazamo wangu, ripoti ya Nadco haina maana yoyote kwa Wakenya kwa sababu haishughulikii madhila yao,” Bi Karua, ambaye alikuwa ni mgombea mwenza wa Raila Odinga katika uchaguzi wa urais wa Agosti 9, 2022, akaongeza. Alielekeza lawama kwa utawala wa Kenya Kwanza kwa kile alichodai ni kufeli kufikiwa kwa malengo ya mazungumzo yake na upinzani. “Licha ya sisi kama upinzani na wananchi kuendelea kuushinikiza utawala huu upunguze gharama ya maisha, walipuuza na badala yake kuendelea kuongeza bei ya bidhaa za kimsingi na kuanzisha aina nyingine za ushuru,” akasema. Ili mazungumzo yoyote yafaulu, kulingana na Bi Karua, chama au mrengo ulioko mamlakani ni sharti kuonyesha nia njema kwa sababu wao ndio wanasukumwa kutimiza matakwa ya wananchi. Kiongozi huyo wa Narc-Kenya aliutaja utawala wa sasa kama ambao hauheshimu sheria na maamuzi ya mahakama. “Utawala huu unaendesha majukumu ya serikali kwa namna ambayo haijeshimu sheria na kudharau maoni ya wananchi ulivyofanya wakati wa ukusanyaji maoni ya umma kuhusu Sheria ya Fedha,” akasema. “Unapodharua Katiba na watu ambao walikupa mamlaka na matakwa ya wengi, unageuka serikali mbaya,” akaeleza alipoulizwa sababu yake ya kuirejelea serikali hivyo. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA FARHIYA HUSSEIN MWAKA 2023, unyama uliokuwa ukifanywa ndani ya wa Shakahola katika Kaunti ya Kilifi, ulifichuliwa ambapo zaidi ya watu 400 walipoteza maisha yao kwa itikadi kali za kidini. Mhubiri Paul Mackenzie ambaye alitajwa kuwa kiongozi wa wafuasi wake, anachunguzwa kwa madai ya kuwapotosha katika mafundisho ya kidini ambapo waumini walichanganyikiwa, wakiwemo watoto, wakaanza kufunga au kususia chakula hadi wakaanza kudhoofika na hatimaye kuanza kuaga dunia mmoja baada ya mwingine. Habari hizo zilipofahamika, idadi hii ya watu waliopoteza maisha ilikuwa nyingi sana, jambo liloshangazaa ulimwengu mzima. Walionusurika waliozungumza na Taifa Leo alisema waliokufa waliambiwa wafunge hadi kufa ili wakutane na ‘Yesu’. Miezi tisa baadaye, miili zaidi ya 400 inaendelea kuhifadhiwa katika chumba cha kuhifadhi maiti cha muda katika Kaunti ya Kilifi, ukumbusho wa kusikitisha kuashiria msimamo wao mkali wa kidini waliofuatilia. Watu hawa, ambao walitajwa na jamaa zao kuwa watu wachangamfu na maisha hapo awali walionekana kuishi maisha ya kudhoofisha na ya hali ya kusikitisha, maisha yao yalikatishwa na imani zile walizofuatilia kwa kina. Msitu huo ambao hapo awali ulikuwa sehemu nzuri ya mandhari ya kiasili, sasa umekuwa shahidi kwa ukatili uliofanywa huko ndani. Shakahola, kijiji katika Kaunti ya Kilifi, kilikuwa kimegubikwa na ukimya wa kutisha kwa miezi kadhaa. Makazi hayo ambayo wanakijiji walitaja zamani yalikuwa ya uchangamfu na yenye shughuli nyingi, sasa yalionekana yametawaliwa na ukimya mkuu. Katika msitu huo wa Shakahola, nyumba zilikuwa za udongo huku zikiezekwa kwa mapaa ya makuti. Njia zilizokuwa na watu wengi sasa zilikuwa kimya kwa kutisha, kana kwamba wanakijiji walikuwa wametoweka wakiacha nyuma vitu vya kibinafsi kama vile Biblia, ushahidi kuwa waliondoka ghafla. Sahani zilizotelekezwa zilizofunikwa ziliashiria ‘mlo wa mwisho’ wa wafuasi wa Kanisa la Good News International la Mchungaji Paul Mackenzie, ambalo inadaiwa lilichochea wao kuchukua mkondo hatari wa kufunga hadi kufa. Katika mazingira haya ya kutatanisha, ambapo ibada inayodhaniwa ilikuwa imezama katika unabii wa apocalyptic, cha kusikitisha ni kwamba baadhi yao hawakunusurika katika safari ya kuenda katika Hospitali Kuu ya Malindi. Wahanga walizikwa bila mpangilio makaburi yao yakiashiria kuzikwa kwao kwa haraka. Miezi kadhaa baadaye, miili yao ilifukuliwa. Watu hawa walionekana kutengwa na kusukumwa kwenye ukingo wa jamii, sauti zao zikiwa zimenyamazishwa na nguvu za itikadi kali. Maisha yao yalipochukuliwa kwa uchungu, heshima waliyostahili katika umauti wa iliondolewa pia. Ni wale tu walioaga dunia wangejua ikiwa kweli walikutana na Mungu wao. Miili yao ilizikwa kwa haraka msituni Shakahola, jambo lililodhihirishwa na jinsi makaburi hayo yalivyofukuliwa ambapo kwa kila mojawapo, miili zaidi ya mmoja ilipatikana ndani. Waumini hao hawakuzikwa na sanduku kama ilivyo kwa Wakristo bali walifunikwa na blanketi na nguzo nyinginezo. Miezi tisa baadaye, chumba cha kuhifadhia maiti cha muda bado kimesalia katika hopsitali ya Malindi, ukumbusho wa mkasa uliotokea mwaka 2023. Waathiriwa wamesalia katika hali ya kutatanisha, utambulisho wao bado haujathibitishwa, hadithi zao kubaini kiini cha kilichotokea ndani ya msitu wa Shakahola bado haijabainika. Hata katika kifo, ibada iliwanyima utambulisho wao, na kuacha miili hiyo ‘haijulikani’ kutokana na ukosefu wa nyaraka zozote. Ukweli uligundulika ni kwamba baadhi ya wanachama hao walitoka kaunti za mbali katika mikoa mingine nchini, jambo la kutatanisha katika kutambua na kudai miili hiyo. Mwezi Mei, serikali ilianzisha mpango wa DNA kulenga familia zinazoshuku kuwa jamaa zao waliopotea au walioaga wanaweza kuhusishwa na msitu wa Kilifi’ Shakahola. Takriban miezi saba imepita tangu kuzinduliwa kwake, lakini familia zinalalmikia kungoja matokeo ya DNA kwa hamu. Miongoni mwa walioathiriwa ni Bw Rodgers Mwibo, ambaye anatafuta mama yake, dada yake, na mpwa wake amabye alisema ni wafuasi waaminifu wa mhubiri Paul Mackenzie kutoka Kanisa la Good News International, waliohamia kwenye msitu huo mwaka mmoja uliopita. Akielezea masikitiko yake, Bw Mwibo alieleza kuwa kufuatia tangazo la serikali, alitoa sampuli zake za DNA kaunti za Nairobi na Malindi. “Badala ya kupata faraja, huku kusubiri kwa muda mrefu kunazidisha kiwewe changu. Kila nikiona picha ya mama yangu, natamani sana uwepo wake, hata kama ni kumuaga tu,” alilalamika Bw Mwibo huku akihoji ufanisi wa taratibu za DNA za serikali. Kulingana na Bw Mwibo, uhakikisho ulitolewa kwamba matokeo yatatolewa mara moja baada ya ukusanyaji wa DNA. Hata hivyo, kile kilichoahidiwa kuwa kipindi kifupi kimeongezeka hadi mwaka mmoja, na kumuacha yeye na wengine katika hali ya huzuni ya kihisia moyo. “Ni katika nchi gani miili hubaki kuhifadhiwa kwenye friji huku familia zikistahimili uchungu huu?” aliuliza Bw Mwibo. Jamaa mwingine, Bi Mary Mwikali anabainisha kuwa hatajua iwapo dadake na mpwa wake ni miongoni mwa waliofukuliwa kutoka msitu wa Shakahola au la. Kusubiri kwa hamu kunaendelea, na kuwaacha wakihangaika na sintofahamu ikiwa wapendwa wao bado wako hai au ni miongoni mwa watu 400 na zaidi wakiwa katika chumba cha maiti cha Hospitali ya Malindi. Afisa wa Masuala ya Dharura katika Shirika la Haki Africa, Bw Mathias Shipeta, alisema wasiwasi wake ni kwamba serikali imechukua muda mrefu unaohitajika ili kulinganisha na kulinganua DNA. “Inachukua muda gani hadi ulinganishaji wa DNA ukamilike? Familia zinamaliza mwaka bila kujua jamaa zao waliko. Haijafahamika wazi kama wameaga dunia au wapo hai. Ili kulifunga suala hili, ulinganishaji wa DNA lazima ukamilike na kukamilika kwa wakati kabla ya mwisho wa mwaka,” Bw Shipeta alisisitiza. Mwezi Julai, sampuli 266 zilikusanywa kwa madhumuni ya utambulisho wa vinasaba DNA. Uchunguzi wa DNA ni ulinganifu wa kisayansi wa maelezo ya kinasaba ya watu wasiojulikana au waliokufa na yale ya watu waliotambuliwa (waliokufa au walio hai). Mchakato huo ni muhimu kwa sababu za kisheria na za kibinadamu. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA MWANGI MUIRURI MASHABIKI wa klabu ya Arsenal mjini Murang’a sasa wameonywa na wenzao wa Manchester United na Chelsea wajiandae kumpokea ndovu wao akianguka pasipo hiari kutoka juu ya mti kumaanisha kushuka katika jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL). “Huku kulimwa ambako mmeanza kulimwa ni mwanzo tu wa namna ambavyo mambo yatakuwa magumu kwenu katika mzunguko wa pili,” akafoka Bw David Njuguna ambaye ni mshirikishi wa the Red Devils mjini humo. Cheo chake hakitambuliki rasmi na klabu ya Manchester United. Bw Njuguna alisema kwamba Arsenal kuwa juu ya jedwali hata kwa mwanya wa pointi 10 sio tishio kwa kuwa katika mkondo wa lala salama, wao huwa butu, wasio na maono na mwelekeo na lazima wajihujumu wao wenyewe kama ilivyokuwa msimu jana. Katika mechi ya usiku wa kuamkia Desemba 29, 2023, Arsenal walirambishwa magoli 2-0 na West Ham. “Hata hamna heshima na wawekezajj na mnatuchomea beti. Kwa kuwa sikuamini kabisa mngeshinda hicho kipute, nilikuwa nimebashiri timu zote mbili angalau zingejipa goli. Sasa ona hamkufunga hata la kukataliwa,” akafoka Stacy Keach, mfuasi wa Chelsea. Janga hilo kwa wanabunduki Arsenal limewaacha katika nafasi ya pili kwenye jedwali wakiwa na pointi 40 huku Liverpool ikibakia kidedea kwa pointi 42. Hii ina maana kwamba Man City ambayo iko na pointi 37 kwa sasa lakini ikiwa imecheza mechi 18 Arsenal ikiwa imecheza mara 19 itaifurusha kutoka nafasi hiyo ya pili iwapo itachapa Sheffield United hapo Jumamosi kwa ubora wa magoli. “Kuna uwezekano mkubwa kwamba Arsenal itaingia mwaka Mpya ikiwa nambari tano nyuma ya Liverpool, Man City, Aston Villa na Tottenham na kabla ya tufike mechi ya 27, hata West Ham, Man United… watakuwa mbele ya Arsenal,” akasema Junita Kasyoki ambaye anashabikia Man United. Ni usiku ambao wafuasi wa Arsenal hawakujibu mipigo, waliondoka polepole na kimyakimya kutoka kwa mkahawa wa Green Park ambapo wengi walikuwa wakifuatilia mtanange huo ulioanza saa tano na robo usiku. “Lakini hata hivyo kushindwa kwetu kulisaidia West Ham kuruka Man United katika jedwali. Tungeshinda mchuano huo Man U wangebakia nafasi ya sita lakini kung’atwa kwetu kulisaidia Mashetani Wekundu kuteremka hadi nafasi ya saba,” akajituliza Bw Simon Ngonjo. Kwa sasa, maombi ya Arsenal ni kuzuke mikosi ya kushindwa kwa timu zote zilizo katika kumi bora katika mechi ya 20 lakini wao washinde ndipo warejee juu ya jedwali na presha ya kutwaa ligi ipungue. [email protected] You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA MWANGI MUIRURI MWANAMUME mmoja wa umri wa miaka 33 aliuawa usiku wa kuamkia Desemba 29, 2023, kwa kupigwa na majirani wa wakwe zake baada ya kile kinadaiwa alijaribu kutekeleza mauaji katika boma hilo alimokuwa amelala na bibi yake. David Kimani alikuwa amesafiri kutoka kijiji cha Kiunyu kilichoko eneobunge la Gatanga kwa msingi kwamba alikuwa na nia ya kumuona mkewe waliyetengana, binti yake wa umri wa miaka sita na pia mama mkwe. Mwanamume huyo alikuwa ametengana na Bi Esther Nyawira, 28, kwa kipindi cha mwaka mmoja na nusu na katika shamrashamra za msimu huu wa sherehe, akafika kwa boma la wakwe Desemba 28, 2023, katika kijiji cha Mung’etho kilichoko eneobunge la Maragua, akisema alienda kuwajulia hali. Lakini hata baada ya giza kuingia, hakuonyesha nia ya kuondoka arejee kwao na ndipo akakubaliwa alale kwa nyumba ya mama mkwe akiwa na bibi huyo wake. Mwendo wa saa sita usiku, Kimani anasemwa kwamba aliamka na akatwaa kisu na akaanza kumshambulia bibi yake aliyekuwa amelala huku kwa sauti akiapa kumuua na kisha aue mama mkwe na pia mtoto. Kwa mujibu wa Kaimu Naibu Kamishna wa Murang’a Kusini Bw Joshua Okello, mwanamume huyo baada ya kujaribu mara kadha warejeane na bibi yake pasipo mafanikio, akaamua kufika katika boma hilo akijipamba kama malaika wa mauti. Aliongeza kwamba mshukiwa alimdunga mwanamke huyo visu vitano “mara moja umbavuni upande wa kulia na mara nne kwa mkono wa kulia, majeraha yote yakiwa matano”. Bw Okello aliongeza kwamba sauti za juu za mwanamume huyo zilimwamusha mama mkwe na alipiga nduru ambayo iliwavutia majirani waliofurika katika boma hilo huku mvamizi baada ya kuingiwa na taharuki akitimua mbio hadi nje ya nyumba na akaingia katika kichaka. “Huku mwaathiriwa akikimbizwa hadi hospitali ya Murang’a kutibiwa, majirani nao walizindua msako ulioishia kumnasa Bw Kimani akiwa amejikunyata ndani ya kichaka hicho na wakamuua kwa kumpiga kwa vifaa butu,” akasema Bw Okello. Afisa huyo aliongeza kwamba ndani ya mkoba ambao marehemu alikuwa nao kulikuwa na sumu ya kuua wadudu kwa mimea na pia waraka wa mauti unaoaminika ulikuwa umeandikwa na mwanamume huyo. “Alikuwa amefichua katika waraka huo kwamba alinuia kuua mama mkwe, bibi yake na mtoto wake wa kike aliyekuwa akiishi kwa wakwe hao na kisha yeye mwenyewe ajitoe uhai,” akasema. Mwanamume huyo alikuwa aidha ameteta kwamba mama mkwe ndiye alikuwa kizingiti cha ndoa yake kupata uthabiti na kwa kuwa hakuwa na nia ya kumpenda mwingine, akaafikia uamuzi wa kuwaua watatu hao na kisha naye ajitume kuzimu akome mahangaiko ya mapenzi. Bw Okello alisema kwamba “huu ni mkasa ambao ungeepukika iwapo mwanamume huyo ambaye alikuwa mfanyabiashara Jijini Nairobi angepata ushauri nasaha ili kuwajibika changamoto zake za kimapenzi ndani ya mashauriano”. Alisema kwamba “ndipo ifike kiwango hicho cha kupanga mauaji ni kumaanisha alikuwa akisaka mbinu ya kusuluhisha changamoto hiyo lakini akaamua kufuata ushawishi wa pepo mbaya kujipa afueni”. Huku akiwakemea waliomuua mwanamume huyo na kuahidi uchunguzi wa kunasa washukiwa, Bw Okello alisema “hata jamii inafaa kuwa macho kuwatambua wanaoonekana kusombwa na mawazo na usaidizi wa ushauri usakwe kabla ya vishawishi vya janga kuzuka”. Bw Okello alionya watu wa kijiji hicho cha Mung’etho kwamba “kwa sasa mnaweza kuwa mnasherehekea mkisema eti ni umati wa raia uliotekeleza mauaji hayo lakini wakati kutajitokeza shahidi aseme alikuona wewe ukishiriki mauaji hayo ndipo utajua ni watu binafsi wala si kundi ambalo huvunja sheria”. “Mchango wa raia katika kuimarisha usalama ni kupitia kutupasha habari kuhusu washukiwa na visa na wakimnasa mshukiwa, kazi yao inafaa tu kutuita tumtie mbaroni au wamwasilishe katika kituo cha polisi kilicho karibu,” akasema Bw Okello. Mwili wa marehemu ulipelekwa hadi mochari ya Murang’a. [email protected] You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA WANDERI KAMAU MUSTAKABALI wa Kanisa Katoliki uko kwenye njia panda barani Afrika, kufuatia agizo la Papa Francis kwa mapadre katika kanisa hilo kubariki wapenzi wa jinsia moja. Ingawa lengo kuu la agizo hilo linaonekana kama njia ya kuwavutia washiriki zaidi na kutowabagua watu hao, wachambuzi na wasomi wa masuala ya dini wanasema huenda agizo hilo lilitolewa bila Papa kupewa ushauri wa kina na uongozi wa kanisa hilo. Kanisa Katoliki lina mamilioni ya washiriki hapa Kenya na barani Afrika kwa jumla. Kulingana na takwimu kutoka kwa serikali, kanisa hilo ndilo linaloongoza kwa kuwa na washiriki wengi nchini, huku likifuatwa na makanisa ya Kiprotestanti. Tangu Papa Francis alipotoa agizo hilo, viongozi tofauti wa kanisa wameeleza na kutoa hisia tofauti, baadhi wakijitokeza wazi kulipinga. Baadhi ya viongozi wakuu ambao wamejitokeza kulipinga ni kiongozi wa kanisa hilo nchini, Askofu Philip Anyolo, ambaye pia ndiye Askofu Mkuu katika Dayosisi ya Nairobi. Kulingana na askofu huyo, agizo hilo linakinzana vikali na tamaduni za Kiafrika, hivyo hawataliruhusu. “Kiafrika, ndoa za jinsia moja hazikubaliki hata kidogo. Ndoa hizo pia zinaenda kinyume na mafunzo ya Biblia,” akasema Askofu Anyolo. Maaskofu wengine ambao wamejitokeza wazi kupinga agizo hilo ni Cornelius Odiwa wa Homa Bay na mwenzake wa dayosisi ya Eldoret, Askofu Dominic Kimengich. Askofu Odiwa alisema watafuata msimamo wa Askofu Anyolo, kwani ndiye kiongozi wa kanisa hilo nchini. Pia, alisema ndoa hizo hazikubaliki kabisa Kiafrika. Kando na viongozi wa Kanisa Katoliki, watu kutoka dini nyingine pia wameunga mkono pingamizi hizo. Baadhi yao ni Bw Samuel Kamitha, ambaye ni mwanahistoria na msomi wa masuala ya dini. Bw Kamitha pia ni mmoja wa waandalizi wakuu wa maombi maalum ambayo hufanyika Desemba 27 kila mwaka karibu na Mlima Kenya. Mnamo Jumatano, wakati wa maombi hayo, Bw Kamitha alisema hawatakubali hata kidogo tamaduni za kigeni kutumika kuharibu desturi asilia za Kiafrika. “Tunasimama kidete kupinga uhalalishaji wa ndoa za jinsia moja nchini. Hilo ni jambo linalokinzana kabisa na tamaduni zetu,” akasema. Maombi hayo yalihudhuriwa na Wakristo, Waislamu, watu wanaofuata dini za kitamaduni kati ya madhehebu mengine. Kutokana na hisia hizo, wasomi wa masuala ya dini wanasema kuwa mwelekeo huo mpya unafaa kuufungua macho uongozi wa Kanisa Katoliki kuhusu mustakabali wake barani Afrika. “Kikawaida, maagizo yote kutoka Vatican (makao makuu ya Kanisa Katoliki) huwa hayapingwi hata kidogo. Ni vigumu kusikia usemi au agizo la Papa likikosolewa au kupingwa. Hata hivyo, viongozi kadhaa wanapojitokeza wazi kupinga agizo lake, basi hiyo ni ishara wazi kuwa kuna tatizo kubwa ambalo lazima litatuliwe,” asema Dkt Rita Khamisi, ambaye ni msomi wa historia ya dini. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
Fans Follow Us Subscriber © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
Fans Follow Us Subscriber © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA DANIEL OGETTA SERIKALI inatarajia kukusanya Sh4.2 bilioni kila siku kuanzia mwaka ujao, 2023, kufuatia kuanzishwa kwa huduma za serikali kwenye mfumo wa kielektroniki. Hii itawezesha serikali kukusanya Sh1.4 trilioni ifikapo Desemba 2024. Katika taarifa iliyothibitishwa na Taifa Leo Dijitali, katika kipindi hicho, huduma za uraia mtandaoni zimeongezeka kutoka huduma 397 hadi 13,645, huku watumiaji waliosajiliwa kufikia 12,083,914. Mwaka jana, 2023, mapato ya serikali kupitia mtandao huo ilikusanya Sh60 milioni kila siku. Katibu Mkuu wa Huduma za Uhamiaji na Raia, Julius Bitok alisema mapato hayo yamekua, sasa serikali ikikusanya Sh350 milioni kila siku. Balozi Bitok alisema serikali inatarajia kukusanya mapato ya Sh1 bilioni kila siku mwishoni mwa Desemba 2023. Kulingana na Katibu wa Baraza la Mawaziri Mercy Wanjau, ambaye pia ni mwenyekiti wa mfumo wa kielektroniki, wizara nyingi, idara na mashirika alisema agizo la rais liliweza kufuatwa. Vile vile, ameziomba idara zote za serikali kufanya kazi kwa karibu na usimamizi wa kielektroniki ili kuhakikisha kwamba inafuata maagizo kikamilifu. “Kuhakikisha utiifu wa maagizo unasalia kuwa ajenda ya kudumu katika mikutano yote muhimu inayofanyika ndani ya jalada lako. Hili litakuwa na manufaa kuhakikisha maendeleo na uwajibikaji kufikia makataa,” alisema Bi Wanjau. Kwenye waraka wa Desemba 1 kwa makatibu wote wa Baraza la Mawaziri, Bi Wanjau alisema sharti maagizo hayo yafuatwe kikamilifu. Sherehe za mwaka 2022, Siku ya Jamhuri, Rais Ruto aliagiza huduma 5,000 ziwekwe kwenye tovuti hiyo katika kipindi cha miezi sita (ifikapo Juni 30, 2023). Kiongozi wa nchi aliagiza kufungwa kwa mifumo ya malipo ambayo haijateuliwa na kuhamishwa kwa nambari ya malipo ya 222222 iliyotangazwa kwenye gazeti la serikali. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA DANIEL OGETTA SERIKALI inatarajia kukusanya Sh4.2 bilioni kila siku kuanzia mwaka ujao, 2023, kufuatia kuanzishwa kwa huduma za serikali kwenye mfumo wa kielektroniki. Hii itawezesha serikali kukusanya Sh1.4 trilioni ifikapo Desemba 2024. Katika taarifa iliyothibitishwa na Taifa Leo Dijitali, katika kipindi hicho, huduma za uraia mtandaoni zimeongezeka kutoka huduma 397 hadi 13,645, huku watumiaji waliosajiliwa kufikia 12,083,914. Mwaka jana, 2023, mapato ya serikali kupitia mtandao huo ilikusanya Sh60 milioni kila siku. Katibu Mkuu wa Huduma za Uhamiaji na Raia, Julius Bitok alisema mapato hayo yamekua, sasa serikali ikikusanya Sh350 milioni kila siku. Balozi Bitok alisema serikali inatarajia kukusanya mapato ya Sh1 bilioni kila siku mwishoni mwa Desemba 2023. Kulingana na Katibu wa Baraza la Mawaziri Mercy Wanjau, ambaye pia ni mwenyekiti wa mfumo wa kielektroniki, wizara nyingi, idara na mashirika alisema agizo la rais liliweza kufuatwa. Vile vile, ameziomba idara zote za serikali kufanya kazi kwa karibu na usimamizi wa kielektroniki ili kuhakikisha kwamba inafuata maagizo kikamilifu. “Kuhakikisha utiifu wa maagizo unasalia kuwa ajenda ya kudumu katika mikutano yote muhimu inayofanyika ndani ya jalada lako. Hili litakuwa na manufaa kuhakikisha maendeleo na uwajibikaji kufikia makataa,” alisema Bi Wanjau. Kwenye waraka wa Desemba 1 kwa makatibu wote wa Baraza la Mawaziri, Bi Wanjau alisema sharti maagizo hayo yafuatwe kikamilifu. Sherehe za mwaka 2022, Siku ya Jamhuri, Rais Ruto aliagiza huduma 5,000 ziwekwe kwenye tovuti hiyo katika kipindi cha miezi sita (ifikapo Juni 30, 2023). Kiongozi wa nchi aliagiza kufungwa kwa mifumo ya malipo ambayo haijateuliwa na kuhamishwa kwa nambari ya malipo ya 222222 iliyotangazwa kwenye gazeti la serikali. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA KALUME KAZUNGU MTI wa mbuyu hutambulika sana kwa sifa zake, hasa ukubwa wa mti huo na pia uwezo wake wa kuishi karne na karne. Watafiti wanasema mbuyu unaweza kuishi kwa zaidi ya miaka 1,500. Kukaa kwake mahali pia ni ishara tosha ya maisha kwa binadamu na wanyama. Mbali na mti huo kuwa muhimu kwa mazingira yetu, ukubwa na kuishi kwake siku nyingi ni hali na vitu ambavyo vimechangia waja kuwa na fikra na dhana nyingi kuhusu, ikiwemo ile ya ushirikina. Katika kijiji cha Midodoni eneobunge la Magarini katika Kaunti ya Kilifi ambapo mibuyu hupatikana kwa wingi, baadhi ya wazee waliohojiwa walisema si jambo geni kusikia waja wakilalamikia vituko vinavyoonekana mibuyuni, hasa nyakati za usiku. Bw James Mwavula Mkoba, anasema tangu enzi za udogo wake amekuwa akisikia na mara nyingine hata kushuhudia viumbe wa ajabuajabu wakitoka ghafla mbuyuni wakati watu wanapotembea kwenye njia na vichochoro usiku, hasa maeneo ambapo mibuyu imesheheni. “Twashukuru Mola kutujalia kuwa na mibuyu mingi eneo la kwetu. Twaichukulia Hali hii kuwa ni baraka kwetu. Si maeneo yote ya Kenya na ulimwengu utapata mibuyu mingi kama ilivyo hapa Midodoni. Cha kushangaza ni kwamba baadhi ya washirikina wamekuwa wakiitumia hii mibuyu visivyo. Utasikia eneo hili kuna mbuyu wa wachawi, mashetani, mapepo au mizimu. Waweza pitia mahali ukasikia sauti za ajabuajabu usiku. Mara nyingine hata unapata kondoo au ng’ombe akichomoka mbuyuni huku akiwaka moto. Hapo tayari utajua kwamba mbuyu huo ni wa mapepo au mizimu,” akasema Bw Mwavula. Hata hivyo anasema ni kupitia watu kuzidisha imani kwa Mungu ambapo vituko hivyo vya mibuyu vimepungua eneo lao miaka ya hivi punde. Bw Mwavula anasema kumekuwa na visa ambapo viongozi wa dini wamelazimika kukongamana na kuandaa maombi kwenye baadhi ya mibuyu kijijini Midodoni ili kutokomeza mapepo au mashetani kutoka kwenye miti hiyo. “Miaka ya hivi punde tumejionea waja wakiifurahia mibuyu. Wengine hata hujenga nyumba zao chini ya mibuyu kwani matatizo yaliyokuwepo zamani ya mashetani au wachawi kuandama mibuyu yamefifia Na hata kutokomea kabisa. Watu wasiiogope mibuyu. Inatusaidia kuleta mvua Na kupamba madhari yetu si haba,” akasema Bw Mwavula. Bw Samson Mwangi, mkazi wa Ndeu-Sabasaba, wadi ya Hindi, kaunti ya Lamu anakiri kuwepo kwa vituko mibuyuni, akitaja kuwa watu walioamini ushirikina kama vile uchawi na majini mara nyingi hutumia sana mibuyu kuzika au kuficha mazingaombwe yao. Maeneo ya Ndeu na Sabasaba pia yamebahatika kuwa na mibuyu japo si mingi ikilinganishwa na Midodoni. Bw Mwangi aidha anashikilia kuwa mbuyu hauna tatizo lolote ila mwenye tatizo hilo ni binadamu. “Watu ndio wanaifanya hii mibuyu kuonekana kuwa miti ya kutisha. Sawasawa na unaposikia kuna paka jini Pwani,pia utapata mbuyu wa majini au mapepo. Hapa kiumbe kama paka hakina tatizo ila mtu ndiye hutumia kiumbe huyo vibaya, hivyo kumpaka tope au kisirani. Vivyo hivyo mbuyu hauna tatizo ila mja ndiye anayeutumia vibaya,hivyo kuupaka doa jeusi,” akasema Bw Mwangi. Ikumbukwe kuwa tangu jadi mbuyu umehusishwa na stori nyingi sana za kufikirika. Kuna baadhi ya watu huamini kwamba kuna shughuli za kishirikina huendelea ndani ya mibuyu au labda ni sehemu wa washirikina kupumzika. Utasikia hadithi za kutisha za zamani kwamba kwamba kuna mbuyu uliwahi kuwataka kimapenzi mabinti wa kijiji kiasi cha kwamba kila muda mabinti hao wakipita karibu, mbuyu huo ulidondosha matunda na kupuliza upepo mzuri na kuwapa kivuli lakini jitihada za mbuyu kuwavutia mabinti hao zikagonga mwamba. Licha ya mbuyu kuonyesha upendo wote huo, mabinti hao walijiingiza kwenye mahusiano na wanaume wa kijiji na siku moja mabinti hao waliaga majumbani kwao kwenda kutembea na hawakurudi tena, ikisadikika mbuyu huo uliwafungia ndani ya shina lake milele kama kisasi. Ni kupitia hadithi kama hizi ambapo pia zimechangia baadhi ya watu kuuogola mbuyu na hata kuepuka kabisa kuufikia punde wanapouona. Pia ipo imani kwamba wanawake wanaoishi kwenye maeneo yenye mibuyu wana uwezo mkubwa wa kupata ujauzito kuliko wale wanaoishi maeneo yasiyo na mibuyu. Pia ni tamaduni mpaka leo kwamba eneo lenye mti mkubwa kama mbuyu basi panafaa kuwa sehemu ya jamii au kijiji kukutana na kufanya mikutano ya hadhara. Licha ya kuwepo kwa dhana na itikadi hizo, mbuyu bado utasalia kuwa mti wenye manufaa tele kwa waja. Kwa mfano, tunda la mbuyu, lina rangi ang’avu ya mahameli ama ‘velvet’ na lina mbegu nyeusi ambazo zimezungukwa na unga mweupe ambao hutumika kutengeneza kinywaji safi kabisa cha ubuyu. Unga huo pia unasaidia kuboresha afya ya ngozi, moyo na kusaidia kupungua kwa uzito mwilini. Tunda la mbuyu pia lina virutubisho vingi kama madini ya chuma, kalshiamu na potashiamu ambavyo vina kiwango mara mbili zaidi ya vile vya kwenye mchicha. Baadhi ya ripoti zinasema ule unga wa tunda la mbuyu una vitamini C mara 10 zaidi ya chungwa. Aidha pia, mbegu za tunda la mbuyu ndiyo hutumika kutengeneza kiburudhisho cha kumung’unya kiitwacho ubuyu. Isitoshe, majani ya mbuyu yamekuwa yakitumika kama mboga na baadhi ya jamii za barani Afrika. Ni kutokana na hali hiyo ambapo mwaka huu wakazi na wanaharakati wa mazingira eneo la Pwani,hasa Kilifi,wamepinga kabisa pendekezo la mojawapo ya mashirika ya kimataifa ambalo lilitaka kununua mibuyu, kuikata na kuisafirisha ng’ambo kwa matumizi mbadala wakichacha kuwa maamuzi hayo hayafai kwani yataathiri mazingira. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA KALUME KAZUNGU MTI wa mbuyu hutambulika sana kwa sifa zake, hasa ukubwa wa mti huo na pia uwezo wake wa kuishi karne na karne. Watafiti wanasema mbuyu unaweza kuishi kwa zaidi ya miaka 1,500. Kukaa kwake mahali pia ni ishara tosha ya maisha kwa binadamu na wanyama. Mbali na mti huo kuwa muhimu kwa mazingira yetu, ukubwa na kuishi kwake siku nyingi ni hali na vitu ambavyo vimechangia waja kuwa na fikra na dhana nyingi kuhusu, ikiwemo ile ya ushirikina. Katika kijiji cha Midodoni eneobunge la Magarini katika Kaunti ya Kilifi ambapo mibuyu hupatikana kwa wingi, baadhi ya wazee waliohojiwa walisema si jambo geni kusikia waja wakilalamikia vituko vinavyoonekana mibuyuni, hasa nyakati za usiku. Bw James Mwavula Mkoba, anasema tangu enzi za udogo wake amekuwa akisikia na mara nyingine hata kushuhudia viumbe wa ajabuajabu wakitoka ghafla mbuyuni wakati watu wanapotembea kwenye njia na vichochoro usiku, hasa maeneo ambapo mibuyu imesheheni. “Twashukuru Mola kutujalia kuwa na mibuyu mingi eneo la kwetu. Twaichukulia Hali hii kuwa ni baraka kwetu. Si maeneo yote ya Kenya na ulimwengu utapata mibuyu mingi kama ilivyo hapa Midodoni. Cha kushangaza ni kwamba baadhi ya washirikina wamekuwa wakiitumia hii mibuyu visivyo. Utasikia eneo hili kuna mbuyu wa wachawi, mashetani, mapepo au mizimu. Waweza pitia mahali ukasikia sauti za ajabuajabu usiku. Mara nyingine hata unapata kondoo au ng’ombe akichomoka mbuyuni huku akiwaka moto. Hapo tayari utajua kwamba mbuyu huo ni wa mapepo au mizimu,” akasema Bw Mwavula. Hata hivyo anasema ni kupitia watu kuzidisha imani kwa Mungu ambapo vituko hivyo vya mibuyu vimepungua eneo lao miaka ya hivi punde. Bw Mwavula anasema kumekuwa na visa ambapo viongozi wa dini wamelazimika kukongamana na kuandaa maombi kwenye baadhi ya mibuyu kijijini Midodoni ili kutokomeza mapepo au mashetani kutoka kwenye miti hiyo. “Miaka ya hivi punde tumejionea waja wakiifurahia mibuyu. Wengine hata hujenga nyumba zao chini ya mibuyu kwani matatizo yaliyokuwepo zamani ya mashetani au wachawi kuandama mibuyu yamefifia Na hata kutokomea kabisa. Watu wasiiogope mibuyu. Inatusaidia kuleta mvua Na kupamba madhari yetu si haba,” akasema Bw Mwavula. Bw Samson Mwangi, mkazi wa Ndeu-Sabasaba, wadi ya Hindi, kaunti ya Lamu anakiri kuwepo kwa vituko mibuyuni, akitaja kuwa watu walioamini ushirikina kama vile uchawi na majini mara nyingi hutumia sana mibuyu kuzika au kuficha mazingaombwe yao. Maeneo ya Ndeu na Sabasaba pia yamebahatika kuwa na mibuyu japo si mingi ikilinganishwa na Midodoni. Bw Mwangi aidha anashikilia kuwa mbuyu hauna tatizo lolote ila mwenye tatizo hilo ni binadamu. “Watu ndio wanaifanya hii mibuyu kuonekana kuwa miti ya kutisha. Sawasawa na unaposikia kuna paka jini Pwani,pia utapata mbuyu wa majini au mapepo. Hapa kiumbe kama paka hakina tatizo ila mtu ndiye hutumia kiumbe huyo vibaya, hivyo kumpaka tope au kisirani. Vivyo hivyo mbuyu hauna tatizo ila mja ndiye anayeutumia vibaya,hivyo kuupaka doa jeusi,” akasema Bw Mwangi. Ikumbukwe kuwa tangu jadi mbuyu umehusishwa na stori nyingi sana za kufikirika. Kuna baadhi ya watu huamini kwamba kuna shughuli za kishirikina huendelea ndani ya mibuyu au labda ni sehemu wa washirikina kupumzika. Utasikia hadithi za kutisha za zamani kwamba kwamba kuna mbuyu uliwahi kuwataka kimapenzi mabinti wa kijiji kiasi cha kwamba kila muda mabinti hao wakipita karibu, mbuyu huo ulidondosha matunda na kupuliza upepo mzuri na kuwapa kivuli lakini jitihada za mbuyu kuwavutia mabinti hao zikagonga mwamba. Licha ya mbuyu kuonyesha upendo wote huo, mabinti hao walijiingiza kwenye mahusiano na wanaume wa kijiji na siku moja mabinti hao waliaga majumbani kwao kwenda kutembea na hawakurudi tena, ikisadikika mbuyu huo uliwafungia ndani ya shina lake milele kama kisasi. Ni kupitia hadithi kama hizi ambapo pia zimechangia baadhi ya watu kuuogola mbuyu na hata kuepuka kabisa kuufikia punde wanapouona. Pia ipo imani kwamba wanawake wanaoishi kwenye maeneo yenye mibuyu wana uwezo mkubwa wa kupata ujauzito kuliko wale wanaoishi maeneo yasiyo na mibuyu. Pia ni tamaduni mpaka leo kwamba eneo lenye mti mkubwa kama mbuyu basi panafaa kuwa sehemu ya jamii au kijiji kukutana na kufanya mikutano ya hadhara. Licha ya kuwepo kwa dhana na itikadi hizo, mbuyu bado utasalia kuwa mti wenye manufaa tele kwa waja. Kwa mfano, tunda la mbuyu, lina rangi ang’avu ya mahameli ama ‘velvet’ na lina mbegu nyeusi ambazo zimezungukwa na unga mweupe ambao hutumika kutengeneza kinywaji safi kabisa cha ubuyu. Unga huo pia unasaidia kuboresha afya ya ngozi, moyo na kusaidia kupungua kwa uzito mwilini. Tunda la mbuyu pia lina virutubisho vingi kama madini ya chuma, kalshiamu na potashiamu ambavyo vina kiwango mara mbili zaidi ya vile vya kwenye mchicha. Baadhi ya ripoti zinasema ule unga wa tunda la mbuyu una vitamini C mara 10 zaidi ya chungwa. Aidha pia, mbegu za tunda la mbuyu ndiyo hutumika kutengeneza kiburudhisho cha kumung’unya kiitwacho ubuyu. Isitoshe, majani ya mbuyu yamekuwa yakitumika kama mboga na baadhi ya jamii za barani Afrika. Ni kutokana na hali hiyo ambapo mwaka huu wakazi na wanaharakati wa mazingira eneo la Pwani,hasa Kilifi,wamepinga kabisa pendekezo la mojawapo ya mashirika ya kimataifa ambalo lilitaka kununua mibuyu, kuikata na kuisafirisha ng’ambo kwa matumizi mbadala wakichacha kuwa maamuzi hayo hayafai kwani yataathiri mazingira. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA CHARLES WASONGA MISAKO dhidi ya watu wanaokiuka sheria ya Udhibiti wa Matumizi ya Pombe (ADCA) ya 2010 sasa itaendeshwa na maafisa spesheli wenye kibali maalum. Hii ni baada ya Waziri wa Usalama wa Ndani, Kithure Kindiki kutoa nguvu ya kisheria kwa Mamlaka ya Kitaifa ya Kupambana na Matumizi ya Pombe na Mihadarati (NACADA) kutekeleza sheria hiyo kwa kuhalalisha majukumu ya maafisa hao kupitia tangazo kwenye gazeti rasmi la serikali. Katika tangazo hilo kwenye toleo la Ijumaa, Desemba 1, 2023 la gazeti hilo, Prof Kindiki ameorodhesha majina ya maafisa hao watakaoendesha operesheni dhidi ya wavunjaji sheria ya pombe kote nchini. Kwa misingi hiyo, na kulingana na sehemu ya 51 ya sheria hiyo ya ADCA, maafisa wa NACADA wenye kibali maalum, wakati wowote, wanaweza kuingia mahala popote, watakapoamini kuwa mtu au watu wanavunja sehemu fulani za sheria hiyo. Lakini sharti wapate kibali kutoka kwa mwenye nyumba au mahala pa biashara au waranti iliyotolewa na hakimu au Jaji wa Mahakama Kuu, kabla ya kuendesha ukaguzi. Aidha, sheria inafafanua kuwa, saa za utekelezaji wa msako huo itakuwa kuanzia saa kumi na mbili asubuhi hadi saa kumi na mbili jioni katika, siku yoyote ya wiki. Maafisa wa NACADA watakaotekeleza msako huo hawataruhusiwa kutumia nguvu isipokuwa ikiwa wameandamana na afisa wa polisi. Awali, maafisa wa mamlaka hiyo walikuwa wakitegemea polisi kuisaidia katika utekelezaji wa sheria zake. Afisa Mkuu Mtendaji wa NACADA Anthony Omerikwa amepongeza hatua hiyo ya Waziri Kindiki akisema inatoa nafasi kwa asasi hiyo kutekeleza majukumu yake kwa misingi ya sheria. Aliongeza kuwa hatua hiyo imejiri wakati mwafaka, msimu wa sherehe unapokaribia na ambapo visa vingi vya ukiukaji wa sheria za kudhibiti pombe hushuhudiwa. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA CHARLES WASONGA MISAKO dhidi ya watu wanaokiuka sheria ya Udhibiti wa Matumizi ya Pombe (ADCA) ya 2010 sasa itaendeshwa na maafisa spesheli wenye kibali maalum. Hii ni baada ya Waziri wa Usalama wa Ndani, Kithure Kindiki kutoa nguvu ya kisheria kwa Mamlaka ya Kitaifa ya Kupambana na Matumizi ya Pombe na Mihadarati (NACADA) kutekeleza sheria hiyo kwa kuhalalisha majukumu ya maafisa hao kupitia tangazo kwenye gazeti rasmi la serikali. Katika tangazo hilo kwenye toleo la Ijumaa, Desemba 1, 2023 la gazeti hilo, Prof Kindiki ameorodhesha majina ya maafisa hao watakaoendesha operesheni dhidi ya wavunjaji sheria ya pombe kote nchini. Kwa misingi hiyo, na kulingana na sehemu ya 51 ya sheria hiyo ya ADCA, maafisa wa NACADA wenye kibali maalum, wakati wowote, wanaweza kuingia mahala popote, watakapoamini kuwa mtu au watu wanavunja sehemu fulani za sheria hiyo. Lakini sharti wapate kibali kutoka kwa mwenye nyumba au mahala pa biashara au waranti iliyotolewa na hakimu au Jaji wa Mahakama Kuu, kabla ya kuendesha ukaguzi. Aidha, sheria inafafanua kuwa, saa za utekelezaji wa msako huo itakuwa kuanzia saa kumi na mbili asubuhi hadi saa kumi na mbili jioni katika, siku yoyote ya wiki. Maafisa wa NACADA watakaotekeleza msako huo hawataruhusiwa kutumia nguvu isipokuwa ikiwa wameandamana na afisa wa polisi. Awali, maafisa wa mamlaka hiyo walikuwa wakitegemea polisi kuisaidia katika utekelezaji wa sheria zake. Afisa Mkuu Mtendaji wa NACADA Anthony Omerikwa amepongeza hatua hiyo ya Waziri Kindiki akisema inatoa nafasi kwa asasi hiyo kutekeleza majukumu yake kwa misingi ya sheria. Aliongeza kuwa hatua hiyo imejiri wakati mwafaka, msimu wa sherehe unapokaribia na ambapo visa vingi vya ukiukaji wa sheria za kudhibiti pombe hushuhudiwa. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA JACOB WALTER RAIS William Ruto amebainisha mipango ya serikali kupitisha sheria bungeni itakayothibiti soko la hewa ukaa (Carbon credit) nchini Kenya na kukabilian na visa vya ulaghai katika biashara hiyo ambayo imeanza kunoga kote ulimwenguni. Akiongea na Taifa Jumapili katika konagamano la Umoja wa Mataifa la mabadiliko ya tabianchi almaarufu COP28 nchini Dubai, Rais Ruto ameeleza kuwa tayari mipango kabambe iko njiani kuwasilisha hoja bungeni itakayopasishwa na kuwa sheria ya kudhibiti biashara hiyo ya hewa ukaa. “Nina uhakika kuwa nchi ya Kenya inaongoza mataifa mengine barani Afrika katika kubuni sheria ambazo zitakuwa kuwa nguzo za kuthibiti soko la hewa ukaa,” amekariri Rais Ruto. Serikali iko kwenye mkondo wa mwisho mwisho katika utungaji wa mswada huo utakowasilishwa bungeni katika siku karibu zijazo akiongeza kuwa tayari alitia sahihi baadhi ya mabadiliko ya vipengee vya sheria zinazoambatana na biashara hiyo. Aidha maswala tata ya kuthibiti bei ya bidhaa hiyo katika masoko kote nchini yameibuka huku Rais Ruto akiyakinisha kuwa Kenya inaunga mkono mpango wa Benki ya Dunia kuthibiti soko la hewa ukaa kote ulimwenguni ili kuhakikisha usawa,haki na uwazi katika biashara hiyo ya mamilioni ya pesa. Bw Ruto amesistiza haja ya taifa la Kenya kupanua vyanzo vingine vya mapato has katika biashara zinazoamabatana na makabiliano dhidi ya hewa ukaa. Hata hivyo akasema kuwa sharti ziwepo sera, sheria na vigezo thabiti zitakazotawala soko hilo nchini Kenya. Alifafanua kuwa ipo haja kuu ya sheria katika soko la hewa ukaa ili kuhakikisha kuwa bei, soko nzima na maadili katika soko hilo zimekitwa kwenye msingi thabiti. Hata hvyo kuhusu madai kuwa kuna baadhi ya misitu kama Mau kuuziwa wawekezaji wa hewa ukaa,Rais Ruto amekanusha kuwa hakuna hata inchi moja ua kipande cha msitu zimeuziwa wawekezaji nchini Kenya. Ikumbukwe kuwa Machi 2023, Kenya iligonga vichwa vya habari kuhusiana na kubatilishwa kwa vyeti vya shirika kubwa nchini katika biashara hiyo ya hewa ukaa na kampuni moja ya Marekani ya kuwekeza katika biashara hiyo, kufuatia madai kuwa hawakuzingatia sheria ya kudhibiti ugavi wa mapato ya faida kutokana na biashara hiyo kwa jamii wenyeji wa ardhi. Aidha amepongeza hatua ambazo zimepigwa na majadiliano yanayoendelea katika kongamano la COP28 huku matumaini ya mataifa maskini katika kukabaliana na mabadiliko ya nchi yakifufuliwa kutokana maagano kadhaa yaliyoidhinishwa na mataifa husika. Hadi sasa maagano ya fidia kwa nchi zilizoathiriwa na mabadiliko ya tabianchi almaarufu ‘Loss and Damage Fund’ imepokelewa kwa shangwe na mataifa maskini huku mataifa tajiri yakitangaza Dola milioni 430 za Marekani za kuelekezwa katika mataifa wahanga. Kongomano la COP28 limetarajiwa kufanya utathmini kuhusu hhatua zilizopigwa na mataifa ulimwengu tangu yalipoidhinishwa kwa Mapatano ya Paris mwaka wa 2015 ya mataifa yote kujitahidi kupunguza hewa chafu ya kaboni hadi nyuzijoto 1.5. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA JACOB WALTER RAIS William Ruto amebainisha mipango ya serikali kupitisha sheria bungeni itakayothibiti soko la hewa ukaa (Carbon credit) nchini Kenya na kukabilian na visa vya ulaghai katika biashara hiyo ambayo imeanza kunoga kote ulimwenguni. Akiongea na Taifa Jumapili katika konagamano la Umoja wa Mataifa la mabadiliko ya tabianchi almaarufu COP28 nchini Dubai, Rais Ruto ameeleza kuwa tayari mipango kabambe iko njiani kuwasilisha hoja bungeni itakayopasishwa na kuwa sheria ya kudhibiti biashara hiyo ya hewa ukaa. “Nina uhakika kuwa nchi ya Kenya inaongoza mataifa mengine barani Afrika katika kubuni sheria ambazo zitakuwa kuwa nguzo za kuthibiti soko la hewa ukaa,” amekariri Rais Ruto. Serikali iko kwenye mkondo wa mwisho mwisho katika utungaji wa mswada huo utakowasilishwa bungeni katika siku karibu zijazo akiongeza kuwa tayari alitia sahihi baadhi ya mabadiliko ya vipengee vya sheria zinazoambatana na biashara hiyo. Aidha maswala tata ya kuthibiti bei ya bidhaa hiyo katika masoko kote nchini yameibuka huku Rais Ruto akiyakinisha kuwa Kenya inaunga mkono mpango wa Benki ya Dunia kuthibiti soko la hewa ukaa kote ulimwenguni ili kuhakikisha usawa,haki na uwazi katika biashara hiyo ya mamilioni ya pesa. Bw Ruto amesistiza haja ya taifa la Kenya kupanua vyanzo vingine vya mapato has katika biashara zinazoamabatana na makabiliano dhidi ya hewa ukaa. Hata hivyo akasema kuwa sharti ziwepo sera, sheria na vigezo thabiti zitakazotawala soko hilo nchini Kenya. Alifafanua kuwa ipo haja kuu ya sheria katika soko la hewa ukaa ili kuhakikisha kuwa bei, soko nzima na maadili katika soko hilo zimekitwa kwenye msingi thabiti. Hata hvyo kuhusu madai kuwa kuna baadhi ya misitu kama Mau kuuziwa wawekezaji wa hewa ukaa,Rais Ruto amekanusha kuwa hakuna hata inchi moja ua kipande cha msitu zimeuziwa wawekezaji nchini Kenya. Ikumbukwe kuwa Machi 2023, Kenya iligonga vichwa vya habari kuhusiana na kubatilishwa kwa vyeti vya shirika kubwa nchini katika biashara hiyo ya hewa ukaa na kampuni moja ya Marekani ya kuwekeza katika biashara hiyo, kufuatia madai kuwa hawakuzingatia sheria ya kudhibiti ugavi wa mapato ya faida kutokana na biashara hiyo kwa jamii wenyeji wa ardhi. Aidha amepongeza hatua ambazo zimepigwa na majadiliano yanayoendelea katika kongamano la COP28 huku matumaini ya mataifa maskini katika kukabaliana na mabadiliko ya nchi yakifufuliwa kutokana maagano kadhaa yaliyoidhinishwa na mataifa husika. Hadi sasa maagano ya fidia kwa nchi zilizoathiriwa na mabadiliko ya tabianchi almaarufu ‘Loss and Damage Fund’ imepokelewa kwa shangwe na mataifa maskini huku mataifa tajiri yakitangaza Dola milioni 430 za Marekani za kuelekezwa katika mataifa wahanga. Kongomano la COP28 limetarajiwa kufanya utathmini kuhusu hhatua zilizopigwa na mataifa ulimwengu tangu yalipoidhinishwa kwa Mapatano ya Paris mwaka wa 2015 ya mataifa yote kujitahidi kupunguza hewa chafu ya kaboni hadi nyuzijoto 1.5. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA CHARLES WASONGA BLOGA anayeegemea upande wa serikali ya Kenya Kwanza Dennis Itumbi amelalamika akisema madai kwamba Rais William Ruto alisafiri na ujumbe wa maafisa 367 kwa Kongamano Kuu la 28 la Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, COP28, si ya kweli. “Rais Ruto anatekeleza mpango wa kubana matumizi ya serikali. Aliletewa listi ya watu 189 wa kuandamana naye kwa Kongamano Kuu la COP28 jijini Dubai. Alisisitiza majina yapunguzwe. Akarudishiwa listi ya 144 ambapo alisisitiza majina zaidi yadondoshwe hadi chini ya watu 60. Hatimaye ni maafisa 51 pekee waliosafiri,” akachapisha Bw Itumbi. Bloga huyo alisema hayo baada ya madai kuibuka kwamba Rais Ruto aliandamana na ujumbe mkubwa wa maafisa wake katika mkutano wa kimataifa, baadhi yao ikiwa hawahusiki moja kwa moja na dhima ya mkutano wenyewe. Madai hayo yaliwakera Wakenya ambao wanafinywa na ugumu wa maisha. Duru zilikuwa zimeambia Taifa Jumapili kwamba Dkt Ruto ambaye aliondoka nchini Alhamisi kuhudhuria Kongamano Kuu la 28 la Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi jijini Dubai, katika Umoja wa Milki ya Kiarabu (UAE), aliandamana na ujumbe wa maafisa 367. Ujumbe ulioko jijini Dubai unajumuisha Mama wa Taifa Rachel Ruto, na watoto wao Stephanie Ruto, Charlene Ruto na June Ruto. Wengine ni mke wa Naibu Rais Rigathi Gachagua, Dorcas Gachagua na mawaziri watano ambao ni Profesa Njuguna Ndungu (Fedha), Rebecca Miano (Biashara), Aisha Jumwa (Jinsia), Davis Chirchir (Kawi), Susan Nakhumicha (Afya), na Soipan Tuya (Mazingira). Maafisa wengine wanaoandamana na Rais Ruto ni pamoja na Katibu wa Wizara Festus Ng’eno (Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi), Mary Muthoni (Afya), Koriri Sang’oei (Masuala ya Kigeni), Salome Wairimu (Idara ya Magereza), na Chris Kiptoo (Fedha). Mwanasheria Mkuu Justin Muturi na Katibu Mkuu wa Muungano wa Wafanyakazi Nchini (COTU) Francis Atwoli pia wako kwenye ujumbe wa wawakilishi wa Kenya katika kongamano hilo kuu la COP28. Jumla ya magavana 17 pia wanahudhuria kongamano hilo la wakiongozwa na mwenyekiti wa baraza lao (CoG) Anne Waiguru (Kirinyaga). Wengine ni Ahmed Abdullahi (Wajir), Andrew Mwadime (Taita Taveta), Benjamin Cheboi (Baringo), Kahiga Mutai (Nyeri), Gladys Wanga (Homa Bay), Susan Kihika (Nakuru), Cicily Mbarire (Embu), Erik Mutai (Kericho), na Gavana wa Garissa. Pia wapo, magavana Wavinya Ndeti (Machakos), Wilber Ottichilo (Vihiga), Paul Otuoma (Busia), Stephen Sang (Nandi), Issa Timamy (Lamu), Patrick Ole Ntutu (Narok) na Gideon Mung’aro. Maseneta wanaoandamana na Rais Ruto Dubai ni Joseph Githuku (Lamu), Wakoli David (Bungoma) na Seneta wa Homa Bay Moses Kajwang’ . Orodha hii ya ujumbe wa Kenya ilitolewa na Afisi ya Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi. Rais Ruto anaandamana na ujumbe mkubwa katika ziara ya ng’ambo mwezi mmoja baada ya yeye kutangaza kuwa serikali itapunguza bajeti ya usafiri kwa kima cha Sh11 bilioni. Akiongea mjini Voi, kaunti ya Taita Taveta mnamo Oktoba 26, 2023, Rais Ruto alisema kuwa serikali yake inalenga kupunguza bajeti ya usafiri katika matawi yake yote matatu kwa kima cha asilimia 50 ili kuelekeza fedha zaidi kwa shughuli zenye manufaa ya moja kwa moja kwa wananchi. “Tumeamua kuwa ziara zitakazofadhiliwa kwa fedha za umma ni zile zinazolenga manufaa ya kifedha, yanavutia wawekezaji na manufaa mengine kwa raia wa Kenya,” Rais Ruto akakariri. Amri ya kiongozi wa taifa ilijiri baada ya malalamishi kuibuliwa kuhusu ziara nyingi ambazo amefanya ng’ambo tangu alipoingia afisini mnamo Septemba 13, 2022. Ziara hii ya Dubai ni ya 41 kwa Rais Ruto kufanya nje ya nchi tangu wakati huo. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA CHARLES WASONGA BLOGA anayeegemea upande wa serikali ya Kenya Kwanza Dennis Itumbi amelalamika akisema madai kwamba Rais William Ruto alisafiri na ujumbe wa maafisa 367 kwa Kongamano Kuu la 28 la Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, COP28, si ya kweli. “Rais Ruto anatekeleza mpango wa kubana matumizi ya serikali. Aliletewa listi ya watu 189 wa kuandamana naye kwa Kongamano Kuu la COP28 jijini Dubai. Alisisitiza majina yapunguzwe. Akarudishiwa listi ya 144 ambapo alisisitiza majina zaidi yadondoshwe hadi chini ya watu 60. Hatimaye ni maafisa 51 pekee waliosafiri,” akachapisha Bw Itumbi. Bloga huyo alisema hayo baada ya madai kuibuka kwamba Rais Ruto aliandamana na ujumbe mkubwa wa maafisa wake katika mkutano wa kimataifa, baadhi yao ikiwa hawahusiki moja kwa moja na dhima ya mkutano wenyewe. Madai hayo yaliwakera Wakenya ambao wanafinywa na ugumu wa maisha. Duru zilikuwa zimeambia Taifa Jumapili kwamba Dkt Ruto ambaye aliondoka nchini Alhamisi kuhudhuria Kongamano Kuu la 28 la Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi jijini Dubai, katika Umoja wa Milki ya Kiarabu (UAE), aliandamana na ujumbe wa maafisa 367. Ujumbe ulioko jijini Dubai unajumuisha Mama wa Taifa Rachel Ruto, na watoto wao Stephanie Ruto, Charlene Ruto na June Ruto. Wengine ni mke wa Naibu Rais Rigathi Gachagua, Dorcas Gachagua na mawaziri watano ambao ni Profesa Njuguna Ndungu (Fedha), Rebecca Miano (Biashara), Aisha Jumwa (Jinsia), Davis Chirchir (Kawi), Susan Nakhumicha (Afya), na Soipan Tuya (Mazingira). Maafisa wengine wanaoandamana na Rais Ruto ni pamoja na Katibu wa Wizara Festus Ng’eno (Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi), Mary Muthoni (Afya), Koriri Sang’oei (Masuala ya Kigeni), Salome Wairimu (Idara ya Magereza), na Chris Kiptoo (Fedha). Mwanasheria Mkuu Justin Muturi na Katibu Mkuu wa Muungano wa Wafanyakazi Nchini (COTU) Francis Atwoli pia wako kwenye ujumbe wa wawakilishi wa Kenya katika kongamano hilo kuu la COP28. Jumla ya magavana 17 pia wanahudhuria kongamano hilo la wakiongozwa na mwenyekiti wa baraza lao (CoG) Anne Waiguru (Kirinyaga). Wengine ni Ahmed Abdullahi (Wajir), Andrew Mwadime (Taita Taveta), Benjamin Cheboi (Baringo), Kahiga Mutai (Nyeri), Gladys Wanga (Homa Bay), Susan Kihika (Nakuru), Cicily Mbarire (Embu), Erik Mutai (Kericho), na Gavana wa Garissa. Pia wapo, magavana Wavinya Ndeti (Machakos), Wilber Ottichilo (Vihiga), Paul Otuoma (Busia), Stephen Sang (Nandi), Issa Timamy (Lamu), Patrick Ole Ntutu (Narok) na Gideon Mung’aro. Maseneta wanaoandamana na Rais Ruto Dubai ni Joseph Githuku (Lamu), Wakoli David (Bungoma) na Seneta wa Homa Bay Moses Kajwang’ . Orodha hii ya ujumbe wa Kenya ilitolewa na Afisi ya Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi. Rais Ruto anaandamana na ujumbe mkubwa katika ziara ya ng’ambo mwezi mmoja baada ya yeye kutangaza kuwa serikali itapunguza bajeti ya usafiri kwa kima cha Sh11 bilioni. Akiongea mjini Voi, kaunti ya Taita Taveta mnamo Oktoba 26, 2023, Rais Ruto alisema kuwa serikali yake inalenga kupunguza bajeti ya usafiri katika matawi yake yote matatu kwa kima cha asilimia 50 ili kuelekeza fedha zaidi kwa shughuli zenye manufaa ya moja kwa moja kwa wananchi. “Tumeamua kuwa ziara zitakazofadhiliwa kwa fedha za umma ni zile zinazolenga manufaa ya kifedha, yanavutia wawekezaji na manufaa mengine kwa raia wa Kenya,” Rais Ruto akakariri. Amri ya kiongozi wa taifa ilijiri baada ya malalamishi kuibuliwa kuhusu ziara nyingi ambazo amefanya ng’ambo tangu alipoingia afisini mnamo Septemba 13, 2022. Ziara hii ya Dubai ni ya 41 kwa Rais Ruto kufanya nje ya nchi tangu wakati huo. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA SAMMY LUTTA WAATHIRIWA wa virusi vya HIV katika Kaunti ya Turkana wamesitisha kutumia Dawa za kupunguza makali ya Ukimwi (ARVs) kutokana na umaskini na njaa, hali ambayo wasimamizi wanasema kuwa pigo kubwa katika mapambano dhidi ya ugonjwa huo. Eric, 50, mwathiriwa wa HIV kutoka kijiji cha California, mjini Lodwar alisema ameishi na virusi hivyo kwa miaka 9 bila ya kupata chakula na kuandamwa na umaskini. Alisema kuwa maskini na kuishi karibu na mji wa Lodwar imekuwa changamoto kupata anayemjulia hali nyumbani kwake na kumpa chakula ikilinganishwa na wale wanoishi vijijini. “Natumia dawa za ARVs bila kula chochote na kunifanya mdhaifu. Siwezi tembea kuombaomba chakula mikahawani na kwa wapita njia,” alisema Bw Eric. Bw Eric alisema anaelewa umuhimu wa dawa hizo kupunguza makali ya virusi, ila kutokuwa na uwezo wa kupata chakula kunaweza sababisha kulegea kupambana na viini hivyo iwapo atakosa au kuchelewa kumeza vidonge vyake. Mwaka 2022, Idara ya Afya ya Kaunti ilikadiria jumla ya watu 19,783 wanaoishi na HIV lakini 10,708 pekee wapo kwenye tiba ya kurefusha maisha (ART). Hata hivyo, Mratibu wa Baraza la Kitaifa la Kudhibiti Magonjwa ya Mlipuko, Joseph Simiyu, alihofia kuwa kutofuata kanuni za matibabu kunaweza kusababisha dawa hizo kukosa nguvu na kushindwa kufikia kiwango cha juu cha ukandamiza virusi. “Washikadau wanaohusika wanapaswa kufanya kazi kwa karibu ili kushughulikia makali ya njaa. Wakati uo huo, wagonjwa binafsi wanapaswa kufikiwa kupitia njia kadhaa kutoka vituo vya afya hadi kijiji ili kujua changamoto za kipekee wanazopitia,” Bw Simiyu alisema. Akizungumza katika bustani la Moi mji wa Lodwar, Kamishna wa Kaunti Jacob Ouma alisema Wizara ya Mambo ya Ndani imejitolea katika vita dhidi ya ugonjwa huo, kwa kuhakikisha vikundi vilivyopangwa vya waathiriwa wa HIV vimeorodheshwa na kusaidiwa katika mpango usambazaji wa chakula cha msaada. “Serikali ya Kaunti, Serikali ya Kitaifa, mashirika ya kidini na washirika wa maendeleo lazima tushirikiane ili kushinda vita dhidi ya HIV. Kupitia njia zilizopo, tunatoa chakula cha msaada kinacholenga wagonjwa masikini wasio na chakula ili waendelee kutumia ARVs bila kukatishwa tamaa,” alisema Bw Ouma. Alitoa wito wa kuwepo na ushirikiano wa kukabiliana na unyanyapaa na ubaguzi dhidi ya watu wanaoishi na Ukimwi. Afisa Mkuu wa Kaunti ya Kinga na Kukuza Afya, Peter Lomorukai aliangazia umuhimu wa kuwashirikisha vijana wa kiume katika tohara ya kimatibabu, hatua inayochangia kupungua kwa maambukizi hayo kwa asilimia 60. Alisema licha ya kupungua, kwa sasa kuna maambukizi mapya ya HIV kutoka 600 2021 hadi 542 mwaka 2022, vijana wa miaka 10-24 na vijana wakichangia kwa asilimia 62. Aliwataka vijana kuchukua hatua za kujikinga ili kupunguza hatari ya kuambukizwa magonjwa ya zinaa kama vile HIV na mimba za mapema. “Wengi wa vijana wetu wameambukizwa na viashirio vya hali ya juu vinavyohusisha mwenendo na utumiaji mdogo wa kondomu. Vijana wa kiume wanapaswa kukumbatia tohara,” alisema Bw Lomorukai. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA SAMMY LUTTA WAATHIRIWA wa virusi vya HIV katika Kaunti ya Turkana wamesitisha kutumia Dawa za kupunguza makali ya Ukimwi (ARVs) kutokana na umaskini na njaa, hali ambayo wasimamizi wanasema kuwa pigo kubwa katika mapambano dhidi ya ugonjwa huo. Eric, 50, mwathiriwa wa HIV kutoka kijiji cha California, mjini Lodwar alisema ameishi na virusi hivyo kwa miaka 9 bila ya kupata chakula na kuandamwa na umaskini. Alisema kuwa maskini na kuishi karibu na mji wa Lodwar imekuwa changamoto kupata anayemjulia hali nyumbani kwake na kumpa chakula ikilinganishwa na wale wanoishi vijijini. “Natumia dawa za ARVs bila kula chochote na kunifanya mdhaifu. Siwezi tembea kuombaomba chakula mikahawani na kwa wapita njia,” alisema Bw Eric. Bw Eric alisema anaelewa umuhimu wa dawa hizo kupunguza makali ya virusi, ila kutokuwa na uwezo wa kupata chakula kunaweza sababisha kulegea kupambana na viini hivyo iwapo atakosa au kuchelewa kumeza vidonge vyake. Mwaka 2022, Idara ya Afya ya Kaunti ilikadiria jumla ya watu 19,783 wanaoishi na HIV lakini 10,708 pekee wapo kwenye tiba ya kurefusha maisha (ART). Hata hivyo, Mratibu wa Baraza la Kitaifa la Kudhibiti Magonjwa ya Mlipuko, Joseph Simiyu, alihofia kuwa kutofuata kanuni za matibabu kunaweza kusababisha dawa hizo kukosa nguvu na kushindwa kufikia kiwango cha juu cha ukandamiza virusi. “Washikadau wanaohusika wanapaswa kufanya kazi kwa karibu ili kushughulikia makali ya njaa. Wakati uo huo, wagonjwa binafsi wanapaswa kufikiwa kupitia njia kadhaa kutoka vituo vya afya hadi kijiji ili kujua changamoto za kipekee wanazopitia,” Bw Simiyu alisema. Akizungumza katika bustani la Moi mji wa Lodwar, Kamishna wa Kaunti Jacob Ouma alisema Wizara ya Mambo ya Ndani imejitolea katika vita dhidi ya ugonjwa huo, kwa kuhakikisha vikundi vilivyopangwa vya waathiriwa wa HIV vimeorodheshwa na kusaidiwa katika mpango usambazaji wa chakula cha msaada. “Serikali ya Kaunti, Serikali ya Kitaifa, mashirika ya kidini na washirika wa maendeleo lazima tushirikiane ili kushinda vita dhidi ya HIV. Kupitia njia zilizopo, tunatoa chakula cha msaada kinacholenga wagonjwa masikini wasio na chakula ili waendelee kutumia ARVs bila kukatishwa tamaa,” alisema Bw Ouma. Alitoa wito wa kuwepo na ushirikiano wa kukabiliana na unyanyapaa na ubaguzi dhidi ya watu wanaoishi na Ukimwi. Afisa Mkuu wa Kaunti ya Kinga na Kukuza Afya, Peter Lomorukai aliangazia umuhimu wa kuwashirikisha vijana wa kiume katika tohara ya kimatibabu, hatua inayochangia kupungua kwa maambukizi hayo kwa asilimia 60. Alisema licha ya kupungua, kwa sasa kuna maambukizi mapya ya HIV kutoka 600 2021 hadi 542 mwaka 2022, vijana wa miaka 10-24 na vijana wakichangia kwa asilimia 62. Aliwataka vijana kuchukua hatua za kujikinga ili kupunguza hatari ya kuambukizwa magonjwa ya zinaa kama vile HIV na mimba za mapema. “Wengi wa vijana wetu wameambukizwa na viashirio vya hali ya juu vinavyohusisha mwenendo na utumiaji mdogo wa kondomu. Vijana wa kiume wanapaswa kukumbatia tohara,” alisema Bw Lomorukai. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA JOHN NJOROGE WATU watano wamefariki kwenye ajali iliyowaacha wengine 10 wakiwa na majeraha baada ya matatu kugonga upande wa nyuma wa lori la trela kwenye barabara ya Molo-Kericho Jumamosi asubuhi katika eneo la Mau Summit. Akithibitisha kisa hicho, Kamanda wa Polisi wa kaunti ndogo ya Kuresoi, Juddah Gathenge alisema wanaume wanne na mtoto walifariki papo wakati wa ajali hiyo iliyotokea saa tisa alfajiri. Miili ya wahanga hao ilipelekwa katika hifadhi ya maiti ya kaunti ndogo ya Molo huku mabaki ya magari yakibururwa na kupelekwa hadi katika kituo cha polisi cha Mau Summit “Magari yote mawili yalikuwa yakielekea Nakuru kutoka Kericho kabla ya matatu kubingiria mara kadhaa baada ya kugonga lori kutoka upande wa nyuma. Hatujabaini mara moja ikiwa matatu hiyo ilikuwa ikienda kwa kasi au kuvuka ajali hiyo ilipotokea lakini tumeanzisha uchunguzi,” akasema Bw Gathenge, akiongeza kuwa waliojeruhiwa walipelekwa katika hospitali zilizoko Molo na Londiani. Mgonjwa aliyekuwa katika hali mbaya zaidi amepelekwa katika hospitali ya Nakuru CGH. Akizungumza na Taifa Leo kwa njia ya simu, mkuu huyo wa polisi alitoa wito kwa madereva kuwa waangalifu zaidi hasa wanapoendesha magari usiku. “Tunawaomba madereva wa magari wawe waangalifu hasa wakati huu tunapokaribia msimu sherehe za Krismasi. Pia hawafai kubeba abiria kupita kiasi, kupita mwendo kasi au kupita mahali ambapo barabara haieleweki,” alisema Bw Gathenge na kuongeza kuwa chanzo kikuu cha ajali barabarani ni madereva kukosa umakinifu. Alisema madereva wa magari hawapaswi kunywa pombe na kuendesha magari ili kuepusha ajali za barabarani. Ajali ya Jumamosi inajiri wiki chache tu baada ya takriban watu 10 kuangamia katika ajali ya barabarani karibu na kituo cha kibiashara cha Sobea katika barabara kuu ya Nakuru-Eldoret. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA JOHN NJOROGE WATU watano wamefariki kwenye ajali iliyowaacha wengine 10 wakiwa na majeraha baada ya matatu kugonga upande wa nyuma wa lori la trela kwenye barabara ya Molo-Kericho Jumamosi asubuhi katika eneo la Mau Summit. Akithibitisha kisa hicho, Kamanda wa Polisi wa kaunti ndogo ya Kuresoi, Juddah Gathenge alisema wanaume wanne na mtoto walifariki papo wakati wa ajali hiyo iliyotokea saa tisa alfajiri. Miili ya wahanga hao ilipelekwa katika hifadhi ya maiti ya kaunti ndogo ya Molo huku mabaki ya magari yakibururwa na kupelekwa hadi katika kituo cha polisi cha Mau Summit “Magari yote mawili yalikuwa yakielekea Nakuru kutoka Kericho kabla ya matatu kubingiria mara kadhaa baada ya kugonga lori kutoka upande wa nyuma. Hatujabaini mara moja ikiwa matatu hiyo ilikuwa ikienda kwa kasi au kuvuka ajali hiyo ilipotokea lakini tumeanzisha uchunguzi,” akasema Bw Gathenge, akiongeza kuwa waliojeruhiwa walipelekwa katika hospitali zilizoko Molo na Londiani. Mgonjwa aliyekuwa katika hali mbaya zaidi amepelekwa katika hospitali ya Nakuru CGH. Akizungumza na Taifa Leo kwa njia ya simu, mkuu huyo wa polisi alitoa wito kwa madereva kuwa waangalifu zaidi hasa wanapoendesha magari usiku. “Tunawaomba madereva wa magari wawe waangalifu hasa wakati huu tunapokaribia msimu sherehe za Krismasi. Pia hawafai kubeba abiria kupita kiasi, kupita mwendo kasi au kupita mahali ambapo barabara haieleweki,” alisema Bw Gathenge na kuongeza kuwa chanzo kikuu cha ajali barabarani ni madereva kukosa umakinifu. Alisema madereva wa magari hawapaswi kunywa pombe na kuendesha magari ili kuepusha ajali za barabarani. Ajali ya Jumamosi inajiri wiki chache tu baada ya takriban watu 10 kuangamia katika ajali ya barabarani karibu na kituo cha kibiashara cha Sobea katika barabara kuu ya Nakuru-Eldoret. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA MHARIRI |
BAADHI ya shule nchini zimejitokeza na kupinga matokeo ya Mtihani ya Darasa la Nane (KCPE) yaliyotangazwa Jumatano na Waziri... NA MHARIRI |
SERIKALI za kaunti zitalazimika kutafuta mbinu za usimamizi wa fedha iwapo magavana wanataka kujitolea kutimiza ahadi zao kwa... NA MHARIRI |
Subsets and Splits
No saved queries yet
Save your SQL queries to embed, download, and access them later. Queries will appear here once saved.