text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
jk ashiriki mbio za brazuka ataka zifanyike kila mwaka kuokoa watoto wenye matatizo ya moyo mtaa kwa mtaa blog home michezo jk ashiriki mbio za brazuka ataka zifanyike kila mwaka kuokoa watoto wenye matatizo ya moyo othman michuzi september 15 2019 michezo rais mstaafu dkt jakaya kikwete akiwa ameambatana na naibu waziri wa habari sanaa utamaduni na michezo juliana shonza (kulia) pamoja na mkurugenzi wa masawiliano wa benki ya crdb tully ester mwambapa (kushoto) wakati wa matembezi yao kilometa tano (5km) yaliyoambatana na mbio za nyika za brazuka (brazuka marathon 2019) kwa ajili ya kuchangia watoto wanye matatizo ya moyo zilizofanyika septemba 15 2019 katika viwanya vya jk pack jijini dar es salaam mbio hizo zilidhaminiwa na benki ya crdb washiriki wa matembezi ya kilometa tano (5km) yaliyoongozwa na rais mstaafu dkt jakaya kikwete wakiendelea na matembezi ya yao yaliyoambatana na mbio za nyika za brazuka (brazuka marathon 2019) kwa ajili ya kuchangia watoto wanye matatizo ya moyo zilizofanyika septemba 15 2019 katika viwanya vya jk pack jijini dar es salaam mbio hizo zilidhaminiwa na benki ya crdb rais mstaafu wa awamu ya nne dkt jakaya kikwete amesema waandaji wa mbio za nyika za brazuka kwa ajili ya kuchangia watoto wanye matatizo ya moyo wamefanya jambo jema katika kuokoa maisha ya watoto zaidi ya 500 dkt kikwete katika mbio hizo alishiriki kwa kutembea kilomita tano (5km) ikiwa ni kuimarisha afya pamoja na kuunga mkono marathon hizo za kuchangia watoto hao akizungumza baada ya kumalizika mbio hizo dkt kikwete amesema kuwa licha ya kuchangia watoto hao kwa walioshiriki kwa mwitikio mkubwa wameimarisha afya kwa kutoa sumu mwilini amesema kuwa kwa waandaji brazuka waendelee kuandaa marathon hizo kwa kila mwaka kutokana na kuwepo kwa mwitikio wa jamii katika uchangiaji fedha zitakazosaidia watoto wenye matatizo ya moyo na kuokoa maisha yao aidha amesema kuwa benki 18 ikiwamo benki ya crdb zilizoshiriki katika marathon hizo wamejitoa katika kufanikisha marathon hizo kwa wao wenyewe kukimbia dkt jakaya kikwete amewashukuru wadhamini kwa kutoa mchango yao katika kufanikisha mbio hizo za marathon naye mratibu wa marathom hizo za brazuka nasikiwa berya amesema kuwa ni mara ya kwanza kuandaa mbio za nyika hivyo wataboresha changamoto zilizojitokeza katika marathon hizo amesema kuwa mwitikio wa marathon hizo umekuwa mkubwa na kufanya kumtia moyo wa kuendelea kuzifanya ikiwa ni kupokea maagizo ya rais mstaafu dkt jakaya kikwete ya kufanya kila mwaka kwa upande wa mkurugenzi mkuu wa taasisi ya moyo ya jakaya kikwete (jkci) profesa mohamed janabi amesema kuwa marathon kwa ajili ya watoto wenye matatizo ya moyo ni jambo muhimu ili kuweza kuwatibia katika taasisi hiyo posted by othman michuzi at september 15 2019
2019-10-15T00:22:37
https://www.mtaakwamtaa.co.tz/2019/09/jk-ashiriki-mbio-za-brazuka-ataka.html
11 wasimamishwa cuf julius mtatiro ateuliwa kuwa mwenyekiti wa muda lewis mbonde blog 11 wasimamishwa cuf julius mtatiro ateuliwa kuwa mwenyekiti wa muda lewis mbonde monday august 29 2016 0 siasa mwenyekiti wa muda wa chama cha cuf ndg julius mtatiro kwa mujibu wa taarifa ya cuf mbele ya waandishi wa habari viongozi waliosimamishwa uanachama kwa mujibu wa katiba ya chama ibara ya 85 (5)(c) hadi hapo watakapopata fursa ya kujieleza mbele ya baraza kuu ni hawa wafuatao 1 prof lipumba 4 ashura mustapha 5 omar mhina 7 kapasha kapasha 8 maftaha nachuma 9 mohammed habib mnyaa 11 mussa haji foum wakati huo huo mwanasiasa machachari wa cuf ndg julius mtatiro ameteuliwa kuwa mwenyekiti wa muda wa chama kuelekea uchaguzi wa chama posted by lewis mbonde at monday august 29 2016
2017-10-19T16:12:13
http://habarikablog.blogspot.com/2016/08/11-wasimamishwa-cuf-julius-mtatiro.html
innocent nyeriga milioni 20 za biko nitajengea nyumba jiachie innocent nyeriga milioni 20 za biko nitajengea nyumba jiachie home > jamii > innocent nyeriga milioni 20 za biko nitajengea nyumba innocent nyeriga milioni 20 za biko nitajengea nyumba kutokana na changamoto nyingi za ukosefu wa makazi ya kuaminika kwa watu wengi mshindi wa sh milioni 20 innocent nyeriga amesema anatafakari fedha zake alizokabidhiwa jana mjini dodoma aziweke kwenye ujenzi wa nyumba nyeriga mkazi wa dodoma na mshindi wa biko droo ya 29 iliyochezeshwa mwishoni mwa wiki jijini dar es salaam alikabidhiwa fedha zake jana jumatatu katika benki ya nmb mjini dodoma tayari kwa kuanza kuzitumia kwa matumizi yake ya kawaida akizungumza kwa furaha kubwa nyeriga anayejighulisha na kibarua cha kuhudumia mifugo mjini dodoma alisema kwamba lengo lake haswa ni kujenga nyumba nzuri ili familia yake iondokane na changamoto ya ukosefu wa makazi bora nawashukuru biko bahati nasibu iliyokomboa maisha yangu hivyo fedha hizi tangu mwanzo nilizipanga nijengee nyumba saa chache baada ya kupewa taarifa ya ushindi wangu nikiamini haya yote yameletwa na mungu kwa kuwatumia biko alisema nyeriga naye mratibu wa matukio na mawasiliano wa biko hassan melles alisema mchezo wa biko ni mzuri na rahisi kucheza pamoja na kushinda kwake huku akiwataka watanzania kuchangamkia ili waweze kuvuna mamilioni ya zawadi kwa kuanzia zile papo kwa hapo bila kusahau donge nono la jumatano na jumapili la sh milioni 20 kama alizonyakua nyeriga mchezo huu wa biko unachezwa kwa kutumia simu za tigo pesa mpesa na airtel money ambapo wanachotakiwa ni kufanya miamala kuanzia sh 1000 na kuendelea huku namba ya kampuni ikiwa ni 505050 na kumbukumbu ni 2456 mbali na kushinda zawadi kubwa ya sh milioni 20 ambayo ni lazima iende kwa mshindi jumatano na jumapili lakini pia zawadi za papo kwa hapo zinatoka kila dakika ambazo ni zile za sh 5000 10000 20000 50000 100000 500000 na sh milioni moja inayoenda kwa mshindi mara baada ya kupokea ujumbe wa ushindi kwenye simu anayotumia kuchezea biko alisema melles kwa kukabidhiwa fedha zake mshindi wa dodoma mshindi mwingine wa milioni 20 anatarajiwa kujulikana katika droo ya kesho jumatano maarufu kama jumatamu na nyingine itakuwa jumapili huku ikiitwa jumadili na waendeshaji hao wa biko mshindi wa droo ya 29 ya biko innocent nyeriga wa pili kutoka kulia akipokea fedha zake kutoka kwa mratibu wa matukio na mawasiliano wa biko hassan melles wa pili kutoka kushoto mwenye fulana ya biko shughuli ya makabidhiano ya sh milioni 20 kwa mshindi wa dodoma innocent nyeriga ikiendelea katika benki ya nmb jana mjini dodoma mratibu wa matukio na mawasiliano wa biko hassan melles kushoto akimkabidhi mshindi wao wa sh milioni 20 fedha zake jana jumatatu katika benki ya nmb mjini dodoma anayejulikana kwa jina la innocent nyeriga aliyeibuka kidedea kwenye droo ya 29 mshindi wa sh milioni 20 wa mjini dodoma innocent nyeriga akiwa amezilalia fedha zake baada ya kukabidhiwa jana jumatatu katika benki ya nmb mjini dodoma nyeriga aliibuka mshindi wa biko droo ya 29 item reviewed innocent nyeriga milioni 20 za biko nitajengea nyumba rating 5 reviewed by ahmad michuzi
2018-07-16T08:31:53
http://michuzijr.blogspot.com/2017/08/innocent-nyeriga-milioni-20-za-biko.html
mtoto wa kitaa kilimanjaro stars ilivyoipga uganda jana wachezaji wa kilimanjaro stars wakishangilia kutinga fainali baada ya kuwatungua uganda kwa penati 54 katika gemu lililopigwa jioni ya leo pale neshno stadiumukilimanjaro stars itakutana na ivory coast katika fainalo ya mashindano ya tusker challange cup siku ya jumapili pale pale neshnofuraha ya ushindijohn boko wa kilimanjaro stars akiribu kutapa kucheka na nyavu lakini hakufaniliwakwa kweli gemu la leo lilikuwa ni la kuvutia na lenye msisimko mkubwa sanahadi mwisho wa mchezokilimanjaro stars iliibuka kidedea kwa kuinyuka uganda bao 54 na kuwafanya stars kutinga fainali bila longolongomrisho ngassa akifanya vitu vyake mbele ya beki wa ugandawalusimbi godfreyrefarii wa mchezo wa jana davies omweno akipiga stori mbili tatu na makiwa wa kilimanjaro stars juma kaseja pamoja na odongkala robert wakati wa kupigiana petati kwa timu zote mbiliwapiganaji wa bbc walienda laivu bila chenga katika libeneke laokila mtanzania amefurahia usindi wa stars janakitu wavuni huku kipa wa uganda akisindikiza kwa machawazee wa kazi wakiwakilishastars jana ilikuwa na full shangwena rahaaaaa
2017-01-16T17:19:17
http://mtotowakitaa.blogspot.com/2010/12/kilimanjaro-stars-ilivyoipga-uganda.html
anna henga ateuliwa kuwa mjumbe wa bodi ya wakurugenzi ya baraza la asasi za kiraia afrika | malunde 1 blog home » habari » anna henga ateuliwa kuwa mjumbe wa bodi ya wakurugenzi ya baraza la asasi za kiraia afrika nina furaha sana kukukaribisha kuitumikia bodi ya wakurugenzi ya baraza la asasi za kiraia barani afrika katika mkutano wa kamati ya uteuzi ya bodi hii uliofanyika julai 1 2020 wajumbe waliafiki kukuteua kuwa mjumbe mpya ya bodi ya wakurugenzi hivyo kwa barua hii umeteuliwa rasmi kuongoza na kutoa uelekeo wa kimkakati kwa baraza la asasi za kiraia barani afrika (african ngo council) kwa kipinfdi cha miaka miwili ijayo kuanzia julai 2020amesema rebecca katika barua ya uteuzi nimefurahishwa sana kupata wito huu wa kuteuliwa ni heshima kubwa kupata nafasi hii adhimu ya kulitumikia bara la afrika kupitia baraza la asasi za kiraia (african ngo) council) baraza hili ni mwamvuli wa asasi za kiraia kwa baraza la afrika na ninatazamia kutoa mchango wangu katika kufanikisha malengo ya baraza hiliamesema henga
2020-08-12T06:19:06
https://www.malunde.com/2020/07/anna-henga.html
biblepagenet uchaguzi wa mistari kusoma kukiri kushiriki afya uponyaji yeye hakutenda dhambi wala hila haikuonekana kinywani mwake yeye alipotukanwa hakurudisha matukano alipoteswa hakuogofya bali alijikabidhi kwake yeye ahukumuye kwa haki yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi tuwe hai kwa mambo ya haki na kwa kupigwa kwake mliponywa 1 petro 22224 baada ya hayo yesu akamkuta ndani ya hekalu akamwambia angalia umekuwa mzima usitende dhambi tena lisije likakupata jambo lililo baya zaidi na hapa palikuwa na mtu ambaye amekuwa hawezi muda wa miaka thelathini na minane yesu alipomwona huyu amelala naye akijua ya kuwa amekuwa hali hiyo siku nyingi alimwambia wataka kuwa mzima yule mgonjwa akamjibu bwana mimi sina mtu wa kunitia birikani maji yanapotibuliwa ila wakati ninapokuja mimi mtu mwingine hushuka mbele yangu yesu akamwambia simama jitwike godoro lako uende mara yule mtu akawa mzima akajitwika godoro lake akaenda nayo ilikuwa ni sabato siku hiyo yohana 559 haleluya msifuni bwana maana ni vema kumwimbia mungu wetu maana kwapendeza kusifu ni kuzuri bwana ndiye aijengaye yerusalemu huwakusanya waliotawanyika wa israeli huwaponya waliopondeka moyo na kuziganga jeraha zao zaburi 14713 naye yesu alikuwa akizunguka katika miji yote na vijiji akifundisha katika masinagogi yao na kuihubiri habari njema ya ufalme na kuponya magonjwa yote na udhaifu wa kila aina kisha akamwambia yule mtu nyosha mkono wako akaunyosha ukapona ukawa mzima kama wa pili jambo lile ninyi mmelijua lililoenea katika uyahudi wote likianzia galilaya baada ya ubatizo aliouhubiri yohana habari za yesu wa nazareti jinsi mungu alivyomtia mafuta kwa roho mtakatifu na nguvu naye akazunguka huko na huko akitenda kazi njema na kuponya wote walioonewa na ibilisi kwa maana mungu alikuwa pamoja naye matendo ya mitume 103738 tazama yu heri mtu yule mungu amwadhibuye kwa hiyo usidharau kurudiwa na huyo mwenyezi kwani yeye huumiza lakini tena huuguza yeye hutia jeraha na mikono yake huponya yeye atakuokoa na mateso sita naam hata katika saba hapana uovu utakaokugusa ayubu 51719 na makutano kwa nia moja wakasikiliza maneno yale yaliyosemwa na filipo walipoyasikia na kuziona ishara alizokuwa akizifanya kwa maana pepo wachafu wakawatoka wengi waliopagawa nao wakilia kwa sauti kuu na watu wengi waliopooza na viwete wakaponywa matendo ya mitume 867 mwanangu sikiliza maneno yangu tega sikio lako uzisikie kauli zangu zisiondoke machoni pako uzihifadhi ndani ya moyo wako maana ni uhai kwa wale wazipatao na afya ya mwili wao wote linda moyo wako kuliko yote uyalindayo maana ndiko zitokako chemchemi za uzima mithali 42023 mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya yako kama vile roho yako ifanikiwavyo yesu akatoka akaona mkutano mkuu akawahurumia akawaponya wagonjwa wao mathayo 1414 ndipo yesu akajibu akamwambia mama imani yako ni kubwa na iwe kwako kama utakavyo akapona binti yake tangu saa ile mathayo 1528
2020-02-17T03:06:51
http://www.biblepage.net/verses/sw/cat/afya-uponyaji.php?page=2
programu ya afyadata iliyovumbuliwa tz yatoa matumaini katika vita dhidi ya ebola drc | magazeti ya leo| tanzania news |tanzania today tuepuke siasa katika vita dhidi ya ebola habari za kifo cha mwanamke mmoja aliyedaiwa kuwa na dalili za ugonjwa wa ebola ambacho kilitokea wiki iliyopita katika hospitali teule ya wilaya ya sengerema mkoani mwanza kimeacha maswali mengi yanayohoji kama kweli wataalamu wetu wa afya wamepewa nafasi stahiki katika vita dhidi ya ugonjwa wa ebola kenya yasaidia katika vita dhidi ya ebola rais wa kenya uhuru kenyatta ameadhidi kutoa mchango wa dola milioni moja kwa mataifa yanayokabiliwa na janga la ebola jitihada elekezi siri ya ushindi wa vita dhidi ya ugonjwa wa ukimwi katika kipindi cha mlipuko wa ebola tarehe 1 desemba kila mwaka watu wote duniani huazimisha siku ya ukimwi duniani siku ambayo ilianzishwa mnamo mwaka 1987 na ambayo hubeba maudhui mbali mbali ikiwa kwa mwaka huu ikibeba maudhui ya focus partner achieve an aidsfree generation yaani elekeza jiunge na pata kizazi kisicho na ukimwi ujumbe unaokumbusha jamii kuwa ugonjwa wa ukimwi kuwa bado ni tatizo linalohitaji jitihada endelevu na elekezi hata katika wakati wa milipuko ya magonjwa mengine katika jamii siku ambayo vita dhidi ya ebola ni mapambano dhidi ya adui asiyeonekana tangu kuzuka kwa ugonjwa wa ebola nchini guinea mwezi machi mwaka huu watu 2500 wamefariki dunia kutokana na virusi vyake zaidi ya nusu ni raia wa liberia vita dhidi ya magenge drc katika mji mkuu wa jamhuri ya kidemokrasi ya congo kinshasa polisi wamekuwa wakipambana na magenge ya majambazi mitaani vita dhidi ya homa ya ebola viongozi wa afrika wanakutana nchini ghana kujadili mamna ya kukabiliana na ugonjwa huu ambao umezua taharuki afrika magharibi msfvita dhidi ya ebola vinashindikana shirika la msf linasema kuwa vita dhidi ya ugonjwa wa ebola katika kanda ya afrika magharibi vinashindikana jeshi la polisi dsm linawashilikia watuhumiwa 112 katika kipindi cha siku 3 katika vita dhidi ya dawa za kulevya jeshi la polisi kanda maalum dsm linawashilikia watuhumiwa 112 katika kipindi cha siku 3 katika vita dhidi ya dawa za kulevya wakiwemo wasanii maarufu pamoja na kukamata kete 299 za dawa za kulevya na bangi puli 119 baada ya watuhumiwa waliokamatwa awali kushirikiana na jeshi hilo kuonyesha wauzaji wa dawa hizo kamanda wa polisi kanda maalum dsm kamishna simon sirro akizungumza na waandishi wa habari amesema msako huo ambao unaendelea bila kikomo umesaidia kubaini watu kadhaa vinara shirika la afya duniani (who) limesema katika tamko lake ijumaa kuwa limeongeza ilani ya hatari ya ugonjwa wa ebola kwa afya ya umma uliotokea jamhuri ya kidemokrasia ya congo katika kiwango cha juu zaidi katika ngazi ya taifa
2019-04-23T22:27:51
http://www.tanzaniatoday.co.tz/news/programu-ya-afyadata-iliyovumbuliwa-tz-yatoa-matumaini-katika-vita-dhidi-ya-ebola-drc
elektroniki ya marshall inatangaza kamera mpya ya cv380cs compact uhd ya ibc 2018 | habari za nab show | 2020 nab onyesha media partner na mtayarishaji wa nab onyesha live habari za uhandisi wa matangazo nyumbani » habari » marshall electronics inatangaza kamera mpya ya cv380cs compact uhd kwa ibc 2018 marshall electronics inatangaza kamera mpya ya cv380cs compact uhd kwa ibc 2018 torrance ca july 31 2018 marshall electronics inaongeza katika toleo lake ndogo na kamera nyepesi na kamera yake mpya ya ultrahighufafanuzi (uhd) marshall cv380cs ambayo itakuwa ya kwanza kwa ibc 2018 (booth #12d20) cv380cs hutumia sensorer ya 85megapixel 1 / 25inch ili kupata picha za video za kina na matokeo katika 6g / 3g /hdsdi na hdmi 14 kutoa kamera ya gharama nafuu ngumu ya uhd inazidisha ufikiaji wa kamera yetu kwa matangazo zaidi na programu za proav anasema todd musgrave mkurugenzi wa kamera huko marshall na 6gsdi na hdmi matokeo na chaguzi rahisi za lenzi za cs kamera hii mpya hutoa usawa zaidi kwa watumiaji wetu cv380cs imeundwa kwa matumizi yoyote ya kamerapointofview (pov) ambapo kamera ndogo ndogo inaweza kutoshea katika maeneo ya kipekee kwa pembe za kulazimisha maoni na maoni cv380cs ina mlima wa lenzi ya cs / c ya kudumu / iliyowekwa na dc autoiris na inaweza kukubali lensi nyingi zinazobadilika kwa uboreshaji ulioimarishwa cv380cs ni kati ya nyongeza ya kwanza ya kizazi cha hivi karibuni cha marshall cha kamera ngumu na ndogo ndogo kutumia mtindo wa mwili ulioandaliwa upya na sababu ya fomu umakini maalum umetolewa ili kuongeza uimara uwanjani pamoja na nyongeza mpya za mabawa iliyoundwa iliyoundwa kutoa ulinzi mkubwa kwa viungio vya nyuma wakati wa matumizi cv380cs inatoa aina tatu za azimio na mipangilio ya kiwango cha zifuatazo * uhd (3840x2160p) katika 25 2997 na 24 fps * inayoendelea hd (1080p na 720p) katika 50 5994 25 2997 na 24 fps * imeingiliana hd (1080i) katika 50 5994 na 60 fps cv380cs ina mipangilio ya picha za kitaalam ikiwa ni pamoja na mizani nyeupe gamma faida zoom ya miguu na dijiti na inaweza kuendeshwa kwa mbali na kubadilishwa kwa kutumia rs485 (visca) cv380cs inakusudiwa kutumiwa katika matangazo michezo ya moja kwa moja televisheni ya ukweli na programu za pro av pamoja na elimu mawasiliano ya ushirika mawasilisho na zaidi cv380cs itajitokeza kwa ibc 2018 septemba 1418 huko amsterdam booth #12d20 kuhusu marshall kwa zaidi ya miaka 30 marshall amekuwa mtoa huduma anayeaminika wa ubora wa juu na video ya kuaminika sauti na multimedia mifumo ya video ya utangazaji pro a / v pro audio na programu za oem duniani kote marshall ni kujitolea kwa kusambaza soko la pro a / v na kamera za ubunifu za pov na ptz waongozaji wa muundo maonyesho ya mazungumzo na vifaa vya uzalishaji kwa thamani kubwa bila ya kutoa ubora au kuaminika marshall electronics inc inafanya vifaa vya viwanda nchini marekani china japan korea na urusi kwa habari zaidi juu ya marshall electronics tembelea wwwmarshallusacom teknolojia za mteja inatangaza biashara ya kukuzabiashara kwa winga juni 3 2020 erik blu2th griggs anasikia kina cha mchanganyiko wake na mifumo ya krk juni 2 2020 bidhaa ay inageuka crewcom ya teknolojia ya mteja kwa njia mbaya ya matukio maarufu ya moja kwa moja mei 27 2020 mhandisi wa utangazaji utangazaji uhandisi mawasiliano ya dhahabu ibc marshall maneno na mishale teknolojia ya tv mfumo wa hd hd mhandisi wa video 2018 0731 uliopita teknolojia ya insnc katika ibc2018 next cuescript management console ilizindua kwenye ibc 2018
2020-06-04T07:11:52
https://sw.broadcastbeat.com/marshall-umeme-tangazo-mpya-cv380-cs-compact-uhd-kamera-kwa-ibc-2018/
uchambuzi wa sheria | uliza sheria | page 2 category uchambuzi wa sheria uchambuzi wa sheria79 fanya tathmini ya utendaji wa mfanyakazi aliye katika kipindi cha majaribio may 31 2019 posted by ulizasheria in category uchambuzi wa sheria no responses utangulizi ndugu msomaji wa makala za uchambuzi wa sheria ambapo tumekuwa tukiichambua sheria ya kazi katika makala zilizotangulia tumeangalia mambo mbalimbali yanayohusu sheria za kazi na namna zinavyoathiri mahusiano baina ya mfanyakazi na mwajiri tumeanza kujifunza kanuni mbalimbali ambazo mwajiri anapaswa kuzingatia pale anapokusudia kuajiri mfanyakazi makala iliyopita tulijifunza kanuni ya 7 ya kuzingatia pindi [] uchambuzi wa sheria78 ainisha masharti ya majaribio may 30 2019 posted by ulizasheria in category uchambuzi wa sheria no responses utangulizi ndugu msomaji wa makala za uchambuzi wa sheria ambapo tumekuwa tukiichambua sheria ya kazi katika makala zilizotangulia tumeangalia mambo mbalimbali yanayohusu sheria za kazi na namna zinavyoathiri mahusiano baina ya mfanyakazi na mwajiri tumeanza kujifunza kanuni mbalimbali ambazo mwajiri anapaswa kuzingatia pale anapokusudia kuajiri mfanyakazi makala iliyopita tulianza kujifunza ya kanuni ya 6 ya [] uchambuzi wa sheria77 toa mkataba wa maandishi may 29 2019 posted by ulizasheria in category uchambuzi wa sheria no responses utangulizi ndugu msomaji wa makala za uchambuzi wa sheria ambapo tumekuwa tukiichambua sheria ya kazi katika makala zilizotangulia tumeangalia mambo mbalimbali yanayohusu sheria za kazi na namna zinavyoathiri mahusiano baina ya mfanyakazi na mwajiri tumeanza kujifunza kanuni mbalimbali ambazo mwajiri anapaswa kuzingatia pale anapokusudia kuajiri mfanyakazi makala iliyopita tulianza kujifunza kanuni ya 5 juu ya [] uchambuzi wa sheria76 wasiliana na watu muhimu kuhusu mwajiriwa wako may 27 2019 posted by ulizasheria in category uchambuzi wa sheria no responses utangulizi ndugu msomaji wa makala za uchambuzi wa sheria ambapo tumekuwa tukiichambua sheria ya kazi katika makala zilizotangulia tumeangalia mambo mbalimbali yanayohusu sheria za kazi na namna zinavyoathiri mahusiano baina ya mfanyakazi na mwajiri tumeanza kujifunza kanuni mbalimbali ambazo mwajiri anapaswa kuzingatia pale anapokusudia kuajiri mfanyakazi makala iliyopita tulianza kujifunza kanuni ya nne inayomtaka mwajiri [] uchambuzi wa sheria75 mjue vizuri mwajiriwa wako may 25 2019 posted by ulizasheria in category uchambuzi wa sheria no responses utangulizi ndugu msomaji wa makala za uchambuzi wa sheria ambapo tumekuwa tukiichambua sheria ya kazi katika makala zilizotangulia tumeangalia mambo mbalimbali yanayohusu sheria za kazi na namna zinavyoathiri mahusiano baina ya mfanyakazi na mwajiri tumeanza kujifunza kanuni mbalimbali ambazo mwajiri anapaswa kuzingatia pale anapokusudia kuajiri mfanyakazi makala iliyopita tulianza kujifunza kanuni ya tatu juu ya [] uchambuzi wa sheria74 kwa nini vigezo hivi 2 ni muhimu zaidi may 24 2019 posted by ulizasheria in category uchambuzi wa sheria no responses uchambuzi wa sheria73 vigezo vya ziada kwa mwajiriwa bora may 23 2019 posted by ulizasheria in category uchambuzi wa sheria no responses uchambuzi wa sheria72 namna bora ya kupata mwajiriwa mwenye vigezo may 22 2019 posted by ulizasheria in category uchambuzi wa sheria 2 comments utangulizi ndugu msomaji wa makala za uchambuzi wa sheria ambapo tumekuwa tukiichambua sheria ya kazi katika makala zilizotangulia tumeangalia mambo mbalimbali yanayohusu sheria za kazi na namna zinavyoathiri mahusiano baina ya mfanyakazi na mwajiri tumeanza kujifunza kanuni mbalimbali ambazo mwajiri anapaswa kuzingatia pale anapokusudia kuajiri mfanyakazi makala iliyopita tujifunza kanuni ya pili juu ya kufanya [] uchambuzi wa sheria71 athari za kisheria kwa uamuzi wa kuingia mkataba wa kazi maalum may 21 2019 posted by ulizasheria in category uchambuzi wa sheria no responses utangulizi ndugu msomaji wa makala za uchambuzi wa sheria ambapo tumekuwa tukiichambua sheria ya kazi katika makala zilizotangulia tumeangalia mambo mbalimbali yanayohusu sheria za kazi na namna zinavyoathiri mahusiano baina ya mfanyakazi na mwajiri tumeanza kujifunza kanuni ambazo mwajiri anapaswa kuzingatia pale anapokusudia kuajiri mfanyakazi makala iliyopita tumeangalia athari za kisheria endapo mwajiri atafanya uamuzi [] uchambuzi wa sheria70 athari za kisheria kwa uamuzi wa kuingia mkataba wa muda maalum may 20 2019 posted by ulizasheria in category uchambuzi wa sheria no responses
2020-02-25T22:41:15
http://ulizasheria.co.tz/category/uchambuzi-wa-sheria/page/2/
bongo star search yaanzia mwanza 6 bora wanyakuliwa | pro24 bongo star search yaanzia mwanza 6 bora wanyakuliwa kipindi kitakuwa kinaruka kila siku ya jumapili saa tatu kamili kwenye vituo vya televisheni vya clouds tv na star tv na marudio yake kwa clouds tv ni jumanne saa tano kamili asubuhi pamoja na alhamisi saa nane kamili mchana kwa startv ni alhamisi saa tisa na nusu mchana
2017-08-17T15:21:08
http://pro-24.blogspot.com/2015/07/bongo-star-search-yaanzia-mwanza-6-bora.html
robert mugabe ndiye kiongozi mzee zaidi duniani mwanaharakati mzalendo ™ robert mugabe ndiye kiongozi mzee zaidi duniani kwa viongozi wazee zaidi duniani walioko madarakani rais robert gabriel mugabe wa zimbabwe anaongoza orodha hiyo akiwa na umri wa miaka 93 na siku 12 leo akiwa ameingia ikulu ya nchi hiyo akiwa waziri mkuu hadi sasa akiwa rais anaye shika nafasi ya pili ni malkia elizabeth wa pili wa uingereza aliyeshika wadhifa huo tangu mwaka 1952 hadi leo ambapo atafikisha umri wa miaka 91 hapo aprili 21 mwaka huu beji caid essebsi rais wa tunisia tangu mwaka 2014 hadi sasa anashika nafasi ya tatu atakapofikisha miaka 91 ifikapo novemba 29 akifuatiwa na mwenyekiti halmashauri kuu ya bunge la umma la korea ya kaskazini kim yongnam mwenye miaka 90 na siku 25 ilipofika februari 4 mwaka huu kwa viongozi wazee zaidi waliopo madarakani na wale waliostaafu lakini wangali hai mugabe anashika nafasi ya 24 elizabeth (53) essebsi (62) na kim (78) viongozi wazee zaidi waliowahi kushika madaraka lakini wangali hai anayeongoza ni do muoi aliyekuwa waziri mkuu wa vietnam tangu 1988 hadi 1996 akawa pia katibu mkuu wa chama cha kikomunist tangu 1991 hadi 1997 akiwa na miaka 100 na siku 33 leo huyo anafuatiwa na babiker awadall waziri mkuu wa sudan tangu 1969 aliyefikisha miaka 100 alhamisi iliyopita (juzi) ambapo anayeshika nafasi ya tatu ni yasuhiro nakasone aliyekuwa waziri mkuu wa japan mwaka 1982 hadi 1987 atakayefikisha miaka 98 ifikapo mei 27 kwa afrika mzee ali hassan mwinyi aliyekuwa rais wa tanzania tangu 1985 hadi 1995 anashika nafasi ya 42 duniani atakapokuwa na miaka 92 ifikapo mei 8 mwaka huu ambapo aliyekuwa rais wa zambia kenneth kaunda tangu 1964 hadi 1991 anashika nafasi ya 32 duniani ambaye atakuwa na miaka 93 ifikapo aprili 28 mwaka huu rais dawda jawara wa gambia aliyepinduliwa na yahya jammeh anashika nafasi ya 33 duniani jawara alikuwa waziri mkuu wa nchi hiyo mwaka 1962 hadi 1970 na rais tangu 1970 hadi 1994 alipopinduliwa na jammeh jawara atafikisha miaka 93 ifikapo mei 16 akifuatiwa na aliyekuwa rais wa kenya daniel arap moi tangu 1978 hadi 2002 atakayekuwa na miaka 93 ifikapo septemba 2 mwaka huu viongozi wengine wazee afrika waliopo na waliwahi kushika madaraka ni aliyekuwa waziri mkuu wa libya mustafa (195457) ana miaka 96 na siku 34 leo (jumamosi) akishika nafasi ya 16 nafasi ya 17 inashikwa na aliyekuwa mwenyekiti wa baraza la katiba la algeria abdelmalek benhabyles mwaka 1992 akiwa na miaka 96 ifikapo aprili 27 nafasi ya 41 duniani inashikiliwa na aliyekuwa rais wa nigeria (197983) shehu shagari mwenye miaka 92 na siku 7 ilipofika februari 25 mwaka huu akifuatiwa na antoine gizenga aliyekuwa waziri mkuu wa congokinshasa (200608) atakayefikisha miaka 92 ifikapo oktoba 5 mwaka huu
2018-12-16T17:34:51
http://www.mwanaharakatimzalendo.co.tz/2017/03/robert-mugabe-ndiye-kiongozi-mzee-zaidi.html
jeshi la marekani linalenga nguo za plastiki na plastiki habari na habari jeshi la marekani linapenda nguo za plastiki na plastiki konarka technologies (massachusetts) ina saini mkataba na 16 milioni kwa jeshi la marekani kwa ajili ya uzalishaji wa maombi ya kijeshi ya ultra mwanga seli yake ya jua ambayo inaweza kuunganishwa moja kwa moja na vifaa vya plastiki na nguo jeshi ambazo vifaa vyake katika shamba (kutoka kwa gps hadi kwenye masuala ya maono ya usiku) vinategemea nguvu zaidi inachunguza maendeleo ya vifaa mbalimbali (sare hema nk) kulingana na teknolojia hii kuchukua nafasi ya betri za jadi na jenereta nyingine za dizeli sasa zinazotumiwa kwa vifaa vya nguvu au kuzibadilisha hii inaweza kupunguza mzigo uliofanywa na watoto wachanga mkataba huu pia unaonyesha maslahi ya mchakato uliotengenezwa na kampuni ili kuchapisha muundo kwenye vifaa vya photovoltaic bila kubadilisha ufanisi wake njia iliyo katika suala inategemea matumizi ya dyes za kupendeza zinazopendezwa na nanoparticles za dioksidi ya titani usat 05 / 05 / 05 (jeshi kupata sheetingkubadilisha sheeting) ← gifnet taasisi ya kimataifa ya teknolojia mpya za nishati nishati nishati mbadala na propulsion nchini ujerumani →
2018-12-12T21:24:56
https://sw.econologie.com/armee-americaine-interesse-textile-plastique-photovoltaiques/
jamani nyimbo za mchaka mchaka mimi hoooi | jamiiforums | the home of great thinkers jamani nyimbo za mchaka mchaka mimi hoooi discussion in 'jukwaa la elimu (education forum)' started by mmteule may 11 2012 kwa wale wadau wa shule za st kayumba enzi hizo hapa namaanisha watoto wa wakulima ambao wamesoma shule huku wakienda na mabingobingo mbolea na mazagazaga mengine yanayopatikana pande hizo za sitimbi ukifika shule unafagia bonge la uwanja na kiranja anakagua then mstarini parade tayari kwaajili ya mchaka mchaka nyimbo zake sasa ooooh dada mwajuma anainama anainukaanaona hayaaaaa x 2 mchakamchaka mwendo wa lazima idd amini akifa mimi siwezi kulia nitamtupa kager awe chakula cha mamba wadau hapa nimeweka vionjo tu kama unazikumbuka nyingine embu tupia ili watoto wetu nao waambulie angalau kwenye mahindikwenye mahindikwenye mahindi stop eehkwenye mahindi stop eeh jua lile literemke mama aiyaiyaa iyaa iyaa mama mwezi nao uteremke mama nyota nazo ziteremke mama alisema alisema alisema nyerere alisema vijana wangu wote mwalegea sasa tuanze mchakamchaka na nyingine hii hapa banda wa malawi katuvalia ngozi ya simba kututishia watanzania hatujali hatujali oooooooooooo pale tulipolazimishwa kuamka na kilanja wa zamu tulimpa kitu hiki kwenye mchakamchaka jitu zimaa jitu zimaa hovyo eeh halikutaka sisi tupate usinize eeh kombolela titi helena alikombolela wali na maharagehelena helena alikombolela wali na maharage nsumba boyz enzi hizo zaina zaina zainaa mtoto wa nganza zainaa unanichanganya zainaa nipe rahaa zaina*3 mchaka mchaka chinjaali mselem hadija kuna ile ya 'mabata madogo madogo yanaogelea yanaogelea nimecheka hadi machozi mmenikumbusha mbali sana vitu kama hivi ndo vinanifanya nione ugumu wa mapumziko ya jf nyimbo zingine ukizitafakari unakosa jibu hivi jua mwezi na nyota vikiteremka tutapona all in all maisha yalikuwa saaaafi baada ya mchakamchaka unaingia darasani ukirudi nyumbani chakula kipo tayari kinapatikanajesi kazi yangu those good old days shukrani kwa wazazi/walezi wetu aminiiii akija sisi tupo tayariiiii amini akija sisi tupo tayari x 4 akija chini kanyaga kanyaga kanyaga kanyaga x 2 tatizo lilikuwa pale mbapo watu wanakanyaga chini yaani ni vishindo vikubwa vinasikika na vumbi la kufa mtu hii ilikuwa ni wakati wa vita ya kagera kuna msela mmoja yeye alikuwa anakuja shule kwa sababu ya mchakamcha tukimaliza mchakamchaka anasepa jamaa alikuwa amekomaa sana tulikuwa tunamwita mashine ya longi tulikuwa tukiimba nyimbo mbalimbali basi jamaa katikati akawa anachombeza na tangazo la dawa ya wadudu mama mende mama panya mama mende mama panya heheheh swafi mnooo primary haikuwa soo sana sababu tulikuwa tukitokea home lkn secondary bana hasa aboarding ndo ilikuwa soo mkono wa mara sec kilosa hapo kulikuwa na jamaa wanamuita mtaalaam kitabazi yaani yeye alikuwa anauwezo wa kutembea huku kalala jamaa alikuwa akipiga kengele kumi na moja na robo mnaamka mnaenda assembly mnaanza kukimbia mchakamchaka mpaka kumi na mbili kasoro mnarudi tena assembly mnapangiwa sasa kazi za kufanya mpaka kumi na mbili na nusu mnaruhusiwa kwenda kujiandaa kuingia class nyimbo nakumbuka kuna moja inaimbwa dungu aaah aah dungu masai govi dungu aah aaah dungu masai govi kuna nyingine ligomaaa ligomaa ligomaa ae aee aee mwendo wake wa maringo ligoma sura yake ya mrembo ligoma mama hahahah nilikuwa sipendi hicho kikengere yaani kina mlio unakwenda hadi km 2 kibiriti washa washaaaa kiberiti chawaka moto kibiriti washa washaa kibiriti chawaka moto maamuma said ↑ jf siku zote nikiingia baadh ya sehem nalia na mbavu sina nakumbuk walimu walitutuma ndz machungwa hadi nyama robo kilo kila mwanfnz hiyo hee hiyo kanyaga kanyaga twende limbwata limbwata ng'ombe wangu ana mahips ana manyonyo ana mabambataa hiyo hee deadbody jfexpert member likes received 3878 kanyaaaaaga kanyaga kwenye udoooongo japokuwa tumechoka tunausongoooooo aiyaiyaaaaaaaaaa iya usilieeeeeeeeeee bongeeee usilie nyamaza
2018-01-16T10:05:09
https://www.jamiiforums.com/threads/jamani-nyimbo-za-mchaka-mchaka-mimi-hoooi.265663/
man united yaelekea kushinda ligi kuu bbc swahili man united yaelekea kushinda ligi kuu http//bbcswahilicom/swahili/michezo/2013/02/130223_manushtml image caption ryan giggs ligi kuu ya soka nchini england imeendelea leo kwa michezo kadhaa kupigwa kwenye viwanja mbali mbali huko loftous road manchester united imeebuka na ushindi wa mabao mawili kwa bila dhidi ya qpr huku mshambuliaji ryan giggs akifunga bao la pili na kufikisha mabao 999 toka aanze kucheza soka la ushindani na kuifanya timu yake ya manchester united kuongeza tofauti ya point 15 na mabingwa watetezi manchester city united ilipata bao lake la mapema kupitia kwa rafael da silva ambaye alifunga kwa shuti kali dakika ya 23 ya kipindi cha kwanza baada ya mlinda mlango wa qprjulio cesar kuokoa kiki la robin van persie rafael ambaye mdogo wakefabio yupo qpr kwa mkopohii leo alionekana kuwa kwenye kiwango kizuri na kuokoa hatari kadhaa langoni mwa united hasa baada ya kuokoa mpira wa kichwa wa criss samba ambao ulikuwa uingie nyavuni licha ya dan welbeck na wayne rooney kuingia wakitokea benchihii leo hawakuweza kupata bao katika ushindi huo ambao unawabakisha united kileleni mwa msimamo wa ligi kuu soka nchini england matokeo hayayanaendelea kuwabakisha qpr kwenye nafasi ya mwisho ya msimamo wa ligi hiyo yenye upinzani mkubwa duniani
2018-02-19T12:00:08
http://bbcswahili.com/swahili/michezo/2013/02/130223_manu.shtml
mazoezi jamiiforums mazoezi doctors wetu hutwambia tufanye mazoezi ili tuwe na afya njema kwani kufanya mazoezi pia kunapunguza uwezekano wa kupata baadh ya maradhkama kisukari moyo na mengneyo jf doctorskivipi mazoez yanamfanya mtu kuwa na afya njema (what physiological processes occur in the body so as to make it health) 15971 22444 280 mazoezi husaidia kwanza ku burn calories ambazo mrundikano wake mwilini ni hatari iafya lakini pili husaidia katika kutoa sumu mwilini (in form of jasho) ambazo nyingi ni chumvi chemicals na oxidants lakini kizuri zaidi ni kutanua mfumo wa upumuaji kutanua mfumo wa mzunguko wa damu na kujenga misuli mazoezi ni dawa mbadala wa mwili wa binadamu hata wanyama wengine mazoezi ukusaidia kukabiriana na msongo wa mawazo kwenye shida za kibinadamu mazoezi husaidia kutatua baadhi ya shida na kuna utofauti mkubwa wa kutatua shida kati anaefanya mazoezi na asiefanya faida ni nyingi sana anazopata mtu anaefanya mazoezi na hasara ni nyingi za mtu asie fanya mazoezi wacha wengine waje kutupa faida zaidi na mchanganua wao bila kuwasahau wale wazee wa 6 kwa 6 ujuwe umuhimu wa kufanya mazoezi ni kweli kufanya mazoezi kutakufanya ujisikia vizuri na lazima ufanye hivyo kwa faida yako hata hivyo wengi wetu hutumia muda mwingi kufanya kazi ambazo tunakuwa tumekaa tu kwenye kiti kwa muda mrefu bila kuufanyisha kazi mwili na ikifika weekend unashinda unatazama tv full speed bila kujishughulisha na manual work mwanamke ambaye misuli ya kegel imejikaza anakuwa na wakati mzuri linapokuja suala la sex kuliko yule ambaye misuli imelegea na huweza kuwa na misuli iliyokaza kama hufanyi mazoezi unataka kushinda bahati nasibu wakati hukucheza thubutu ili kupata afya njemakuna uwezekano wa kufanya zoezi aina moja tu au ni lazima ufanye zaid ya moja mf kukimbia tu usifanye jengneau kuruka tu usifanye jengne umhimu wa mazoezi kwa afya bora moja ya mahitaji matano (5) mhimu ili kuishi baada ya oksijeni maji chumvi na potasiamu ni mazoezi mazoezi ni mhimu kwa ajili ya afya zaidi ya kuwa na maumbile ya kuvutia (sex body) burudani au kitu kingine chochote watu wengi hufuatilia kuhusu chakula tu hata kama utakula vizuri vipi bila mazoezi mlo haujakamilika kwa hiyo mazoezi ni mhimu kwa yeyote kama ilivyo kwa maji au chakula zifuatazo ni moja ya sababu mhimu za kufanya mazoezi kwa afya bora na maisha marefu bila maumivu 1 mazozi yanasaidia kutanua mifumo ya mishipa ya damu ndani ya tishu za mishipa na hivyo kuzuia shinikizo la juu la damu (hypertension) 2 mazoezi yanatengeneza mishipa mingi hivyo kuzuia mishipa kutumika kama chanzo cha nishati 3 mazoezi yanasisimua kazi za vimeng'enya (enzymes) katika kuchoma mafuta ili kuzarisha nguvu kama mahitaji ya kudumu ya shughuri za mishipa unapofanya mazoezi unabadili chanzo cha nguvu kwa matumizi ya mishipa toka kutumia nguvu itokanayo na sukari na kutumia nguvu inayotokana na mafuta inayojihifadhi yenyewe kwenye mishipa hivyo kuepukana na unene na uzito kupita kiasi 4 mazoezi yanafanya uunguzwaji wa mishipa kama nguvu ya ziada toka kwenye asidi amino ambazo pengine zingefikia usawa wa kuwa sumu asidi amino zinapokuwa zaidi ya usawa wake wa kawaida kama matokeo ya kutofanya mazoezi baadhi ya asidi amino zinaweza sababisha uharibifu mkubwa na kuzimaliza baadhi ya asidi amino mhimu baadhi ya hizi asidi amino mhimu zilizomalizwa zinahitajika daima na ubongo ili kuzarisha transmita nyurolojia zake ndiyo maana mazoezi huongeza akili 5 mishipa bila mazoezi inapotea matokeo yake sehemu ya akiba ya madini ya zinki na vitamini b6 pia inapotea kufikia kiwango fulani cha upotevu huo kutapelekea matatizo ya akili na kuvurugika kwa saikolojia 6 mazoezi yanapunguza damu yenye sukari kwa wenye kisukari na hivyo kupunguza mahitaji yao ya insulini na matumizi ya dawa 7 mazoezi yanalilazimisha ini kuzarisha sukari toka mafuta ambayo linayahifadhi au toka mafuta yaliyomo katika mzunguko wa damu 8 mazoezi yanasababisha urahisi wa kukunjana kwa makutano ya mifupa (joints) 9 mishipa ya miguu inafanya kazi kama moyo wa pili inapokunjana na kulegea wakati tunatembea miguu inahimili nguvu ya mvutano inaisukuma kwenda mfumo wa vena damu iliyokuwa imepelekwa miguuni sababu ya shinikizo lake na mwelekeo mmoja wa plagi damu ya miguuni kwenye vena inasukumwa juu dhidi ya nguvu ya mvutano kutokana na kukunjana kwa mara kwa mara kwa mishipa ya miguu hivi ndivyo mishipa ya miguu ifanyavyo kazi kama moyo wa pili katika mfumo wa vena mwilini hii ndiyo thamani ya mazoezi ambayo watu wengi hawaijui 10 mazoezi yanaimarisha mifupa ya mwili na hivyo kuzuia ugonjwa wa mifupa (osteoporosis) 11 mazoezi yanaongeza uzarishaji wa homoni zote mhimu na hivyo kukuongezea uwezo wa kushiriki tendo la ndoa (positive sex libido) unapotembea kwa miguu bila kusimama mwendo wa lisaa limoja unakuwa umeiamusha kemikali inayounguza mafuta mwilini (lipase) kuchoma mafuta kwa masaa 12 hivyo kama mtu atatembea lisaa limoja asubuhi na lingine jioni atakuwa ameiamusha kemikali hiyo kufanya kazi kwa masaa 24 na kwa faida ya ziada kemikali hiyo huzisafisha pia taka za helemu (cholesterol) kwenye damu hivi ndivyo ilivyo rahisi kupunguza uzito na unene bila nguvu wala gharama yeyote anza leo tembea saa moja kutoka kituo a mpaka kituo b bila kupumzika asubuhi na jioni baada ya wiki mbili pima tena uzito wako kuona namna ulivyofanikiwa kwa muda huo na muda gani uwekeze tena kumaliza tatizo hili linalosumbuwa watu wengi kote duniani mazoezi yafuatayo ni mazuri sababu ya thamani yake ya baadaye na hayasababishi maumivu kwenye maungio nayo ni kutembea kuogelea baiskeli tenisi gofu kukwea kudansi na kadharika
2018-12-11T11:59:15
https://www.jamiiforums.com/threads/mazoezi.359136/
dc ikungi aagiza kila kaya kupanda miti 10 kwa mwaka kamera yangu ' '' var month = [123456789101112] var month2 = [janfebmaraprmayjunjulaugsepoctnovdec] var day = postdatesplit()[2]substring(02) var m = postdatesplit()[1] var y = postdatesplit()[0] for(var u2=0u2 dc ikungi aagiza kila kaya kupanda miti 10 kwa mwaka posted by augusta njoji on 953 am in kitaifa | comments 0 naelekeza kila tarafa kuwa na kitalu cha miche ya miti ili iwe rahisi wananchi kupata miche na kutimiza lengo tulilojiwekeaamesema mtaturu
2018-12-10T18:11:44
http://www.kamerayangu.co.tz/2017/01/dc-ikungi-aagiza-kila-kaya-kupata-miti.html
hili la warioba ni la kweli wana jf simwelewi | jamiiforums | the home of great thinkers hili la warioba ni la kweli wana jf simwelewi discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by kiumbemzito nov 5 2011 naomba comments zenu huo ndio ukweli tatizo lako lipo wapi cha msingi kama wananchi/serikali tuwachukulie hatua watu/viongozi (walioaminiwa na wananchi (trusted) wakaenda kusaini mikataba feki
2017-01-22T08:38:59
https://www.jamiiforums.com/threads/hili-la-warioba-ni-la-kweli-wana-jf-simwelewi.189512/
orodha mpya ya matajiri tanzania kulingana na utajiri waobakhresa ashuka nafasi moja wajua nani kamshusha jamiiforums orodha mpya ya matajiri tanzania kulingana na utajiri waobakhresa ashuka nafasi moja wajua nani kamshusha 866 1427 180 1 dkluis l shika anamiliki majumba 12 mjini rostov rusia ana kiwanda kinaitwa lunceford mjini moscow ambacho kimeajiri watu 6000 anamiliki ndege binafsi 2 na maghali ya kifahali 34 hela iliyo kwenye account ni million 750 za dolla za kimarekani 2 said bakhresa 3 gulam dewji huyu ni baba wa mfanyabiashara maarufu nchini mohamed dewji ‘mo’ jarida la forbes mwaka jana lilimtaja kuwa na utajiri wenye thamani ya dola milioni 560 (karibu shilingi bilioni 900) mafanikio yake kibiashara yalianza mwaka 1970 kiwanda chake cha 21st century textiles kinatajwa kuwa moja ya viwanda vikubwa vya nguo afrika 4 rostam aziz 5 dk reginald mengi 6 ali mufuruki 7 mustafa sabodo 8 abdulaziz abood 9 michael shirima 11 mohammed dewji baba yake anashika nafasi ya pili katika orodha hii dewji au mo kama anavyoitwa na wengi anatajwa kuwa bilionea nambari moja katika orodha ya mabilionea vijana afrika (orodha hiyo tuliitoa wiki iliyopita) ni mmiliki wa makampuni ya mohammed enterprises tanzania limited (metl) ambayo inatengeneza faida ya shilingi bilioni 136 likes mwanaka kiyuga and mtengwa ii 3200 1679 280 na ww je kuwa wa kwanza itapendeza zaidi luis shika kashika namba moj 939 1230 180 ngoja akukute mwenzako bashite na babaake ana utajiri wa dollar billion 20 sawa na zaidi ya tsh trillion 40 za kitanzania dr shika tajiri mtata kama salaah duuh jamaa wewe kimeo shia ithna ashiri ni kampuni pole yako 1377 1193 280 mbona hamjampa like hata moja au hamjaelewa mada 1847 2392 280 mtu anayesema usd million 620 ni karibu tsh trillion moja unampa like ya nini likes kayaman and pohamba mzee wa watu kalala muda huu khoja shia ithnaasheri jamatsi kampunini jumuiya ya kidini ya waislamu wa shia ithnaasherini vizuri kama kitu hukijui ujisumbue kuuliza laa sivyo utaonekana kituko 10881 9180 280 nan amesoma aniadhithie sahivi anaongoza jerry muro nduo pamoja na yale makobasi aliyovaa ile siku ya mnada huu uzi unaznguahuyo shika ndo anakunyw chai kwny vijiwe maza fantaa 18263 29980 280 atakuwa anakimbia kuchangia luku view attachment 632482 matajiri wa kirusi hawajionesh
2018-12-13T10:24:53
https://www.jamiiforums.com/threads/orodha-mpya-ya-matajiri-tanzania-kulingana-na-utajiri-wao-bakhresa-ashuka-nafasi-moja-wajua-nani-kamshusha.1353648/
lukuvi aruhusu malori kubeba wanafunzi | jamiiforums | the home of great thinkers lukuvi aruhusu malori kubeba wanafunzi mkuu wa mkoa wa dar es salaam william lukuvi ametoa ruksa kwa malori kenta magari ya wazi kuwasafirisha wanafunzi wanaosoma nje ya jiji alitoa agizo hilo jana akiwa katika ziara ya kukagua shule za sekondari wilayani ilala lukuvi alisema vitatolewa vibali kwa magari yatakayoomba kutoa huduma hiyo kupitia kwa mkuu wa wilaya ili polisi wa usalama barabarani wasiyakamate aidha alitoa wito kwa watu binafsi mashirika yasiyo ya kiserikali kujenga mabweni kwa wanafunzi wanaoishi mbali na shule zao lukuvi alitembelea shule ya msongola kivule abuu jumaa vingunguti pamoja na gerezani ambapo wanafunzi walimueleza kuwa wanakabiliwa na matatizo ya usafiri uhaba wa walimu na ukosefu wa mabweni akiwa katika shule ya sekondari abuu jumaa lukuvi aliwakuta baadhi ya wanafunzi wamekaa chini na sekondari ya kivule wakiwa wamekaa kiti kimoja wanafunzi wawili lakini kila mmoja na dawati lake alimuagiza afisa elimu mkoa wa dar es salaam bernard mkali kuorodhesha majina ya wanafunzi wote waliofaulu na kuchaguliwa shule za mbali kuwapa uhamisho kuanzia leo ili waepukane na adha hiyo hivi sisi ni watu wa aina gani kama daladala ambalo limeundwa kwa ajili ya kubeba watu matumizi ya mafuta ni kidogo yanakataa kubeba wanafunzi leo hii unaruhusu malori ambayo hayana hata safety measure yoyote kubeba abiria yanatumia mafuta mengi zaidi eti wabebe wanafunzi swalihaya malori yatabeba wanafunzi bure au kwa gharama kwanini kusiwe na mpango madhubuti wa kusajili magari (daladala) ambazo kazi yake ni kubeba wanafunzi @ a given time range with incentive kutoka serikalini kusuluhisha hii ishu ukiangalia kwa wenzetu ni rahisi kucontrol internal affairs kwa sababu watu wao wanatambulika sisi karibu tunatimiza miaka 50 ya uhuru lakini hatujui hata nani ni raia na nani ni mgeni budget zetu si halisi yaani tunakurupuka tu na mambo aaagh bongo inanikera sana aaagh bongo inanikera sanaclick to expand hii habari imenitia kichefuchefu kabisa kuna mahala fulani humu jf nimesoma kwamba lukuvi aliishia darasa la saba nikaona watu sasa wanaongeza chumvi ila sasa nimeamini hatimaye nimeanza kupata mwanga wa tatizo letu watanzania kutokuwa na maendeleo ni nini tatizo ni kuwa na viongozi vilaza pole ndugu yangu usikereke si unajua tena kila kitu hapa kwetu solution ni zimamoto kesho atakuja mwingine atasema basi wenye punda wanaweza kutumia kubebea watoto wao kenda shule mradi ametamka na amesikika hii habari imenitia kichefuchefu kabisa kuna mahala fulani humu jf nimesoma kwamba lukuvi aliishia darasa la saba nikaona watu sasa wanaongeza chumvi ila sasa nimeamini hatimaye nimeanza kupata mwanga wa tatizo letu watanzania kutokuwa na maendeleo ni nini tatizo ni kuwa na viongozi vilazaclick to expand na hakuendelea kwa sababu ya kupanda malori kule kwao isimani we still have many miles ahead of ushivi haya maneno/solution kurupushi wanatoa wapikweli ukiwa mkimya unahesabiwa hekima mnaochonga bila kukutana na hali halisi hii ni salamu yenu hebu pata wasaa wa kutembelea hizo shuleangalia mazingira kuanzia asubuhi mpaka jioni halafu njoo hapa jf huku vidole vyako vikiwa na hamu ya kubofya na ukichukua nafasi ya mtoa maamuzi uone ni usafiri gani utaruhusu kwa vijana wale hali ya usafiri kuelekea njia ile ni ngumu mno hayo malori yanayozungumziwa ni kwa sababu yanaenda shamba ama kufata mchanga na wakato yanaenda yanaenda tupuni vigumu kuwapita wanafunzi huku nawe unaelekea huko huko au wapinga mada mpo alaska nini kwa swala la malori kubeba wanafunzi hapa swala la usalama wa wanafunzi ndio tatizokwanini serikali isitoe mabasi yao kufanya uduma hio kwa wanafunzi lukuvi amefikiria mbali lukuvi amefikiria mbaliclick to expand hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa masa hii ni tooo much jamaniwewe lol tukiona inafaa tuiruhusu sio mbaya mbona wengi wetu huwa tunatumia usafiri wa malori tukiwa vijijini sioni kama kuna ubaya au wapinga mada mpo alaska niniclick to expand mkuu mahesabu naona wewe ni mwenzangu na mimi wa ''maneromango'' watu wanazungumza tuuuuuu hawajui hata what is going on here kuna maeneo mengi sana ya pembezoni mwa jiji la dar huko hata dala dala moja haliendi ni malori ya mchanga macanter ya mihogo basihuko zimejengwa shule za katana mpk sasa (b4 hilo tamko la lukuvi) tayari wanafunzi usafiri wao mkuu ni hayo malorikilichotokea hao wenye malori wamelalamika kwa rc kwamba wanakamatwa na traffic kwa kupakia wanafunzi tena bureeeeeso rc anakuja na temporaly vibali ili hawa wenye malori wasikamatwe wakati wanatoa msaada huosasa mnataka hao watoto waende vipi shule for now kama serikali imeshindwa kupeleka huko walimu vitabu maadara madawati etc do you expect inaweza nunua mabasi ya kupeleka huko wanafunzi mnaona mtokeo ya fiv 65000 ni zeros can't you figure out what is happening huko kny hayo mashule mazee basi kama vp ile project ya mabsai yaendayo kasi sana wanayoihubiriga hawa watukufu waiahirishe watoe tu mabasi yaendayo slow kama uda vile yakafanye hizo kazi za kubeba wanafunzi mbona uda zilivyokuwepo zilikuwa zinasaidia sana wanafunzi mi naona tuachane na mabasi yaendayo kasi kwani ni jambo la kufikirika hilo tu deal tu na mabasi slow yawasaidie wanafunzi kama serikali imeshindwa kupeleka huko walimu vitabu maadara madawati etc do you expect inaweza nunua mabasi ya kupeleka huko wanafunzi mnaona mtokeo ya fiv 65000 ni zeros can't you figure out what is happening huko kny hayo mashule mazee[/quo nakubaliana na wewe hapo kwenye boldmazingira yanachangianakumbuka zamani tulikuwa tunatumia toyota hilux pick up kwenda shulekanisani shamba etc but nchi nyingine pick up hairuhusiwi kubeba abiria kule nyumakwahio tuangalie mazingira yenyewe kabla ya kulaumusehemu nyingine usafiri ni tractor tu je utapiga marufuku then watu watembee kwa miguuclick to expand he must be joking hii nchi mbona ina mazingaombwe kupita mazingaombwe yenyewe kwa kweli hii ni kali ya mwaka 2010 kuwapakiza watoto kwenye malori wakati wao wanaendesha magari ya kifahari kwa nini waziuze hayo magari yao wananunue usafiri kwa shule hizo period kuna waziri yeyote au mkuu wa mkoa yeyote wa tz atakubali mtoto wake apandishwe kwenye lorry lukuvi waonee imani na huruma watoto hawa sema jingine kwa hili umechemsha kidogo ndugu mheshimiwa he must be joking hii nchi mbona ina mazingaombwe kupita mazingaombwe yenyewe kwa kweli hii ni kali ya mwaka 2010 kuwapakiza watoto kwenye malori wakati wao wanaendesha magari ya kifahari kwa nini waziuze hayo magari yao wananunue usafiri kwa shule hizo period kuna waziri yeyote au mkuu wa mkoa yeyote wa tz atakubali mtoto wake apandishwe kwenye lorry lukuvi waonee imani na huruma watoto hawa sema jingine kwa hili umechemsha kidogo ndugu mheshimiwaclick to expand umeyaona matokeo ya fiv ya mwaka huu mjomba kwa watu wa pugu kibiti minaki mringa nk hili si jipya lakini tunaomba iwe short term solution mimi nilifaidi pia zile basi za wanafunzi kuna haja ya kuandaa mkakati (hata ikibidi kwa pesa ya rada) wakuu wa dr kuandaa mkakati wa mwanafunzi salama ambao utaaddress mahitaji ya wanafunzi wa dar kuanzia chakula elimu ulinzi hadi mahitaji mengine sina hesabu zozote lakini siamini kama utakua pesa nyingi kama zile zinazoibiwa kila siku tayari wanafunzi usafiri wao mkuu ni hayo malorikilichotokea hao wenye malori wamelalamika kwa rc kwamba wanakamatwa na traffic kwa kupakia wanafunzi tena bureeeeeso rc anakuja na temporaly vibali ili hawa wenye malori wasikamatwe wakati wanatoa msaada huosasa mnataka hao watoto waende vipi shule for nowclick to expand bado haijaniingia akilini yani mwenye gari aende kuomba kibali cha kupakia waafunzi bureau lakini tanzania hii watu hawataki kufikiri kabisa na pia hawataki maoni ya wengine eti kwa kuwa wao ni viongozi hili ni tatizo kuu linalotumaliza pia unafiki unafiki na unafiki nilipopata bahati ya kujifunza maswala ya usafirishaji niliona kweli huku kwetu tunakwenda kinyume inabidi unapofikiri kuanzisha makazi upange na usafiri sasa huku kwetu sijui hata hizi shule zinaanzishwa mahali fulani kwa kuzingatia kitu gani mfano kuna shule kama feza mikocheni almuntazir nursery upanga upanga nursery azikiwe/bi titi east african international school na nyingine nyingi wamekubali zianzishwe bila kuangalia au kuzingatia town plan kwa kusema eti malori yabebe watu(wanafunzi) ni kinyume na sheria za usalama wa usafirishaji ina maana katika kipindi hiki tunachotaka kupunguza idadi ya vifo vinavyotokana na ajali za barabarani yeye muhishimiwa anataka tuongezehata kama tuna matatizo jibu sio kuongeza matattizo dawa ni kutatua hilo tatizo kuna haja ya kuangalia distribution ya shule in relation to residence watoe study watu tuingie front tuwape solutions
2016-12-08T16:21:17
http://www.jamiiforums.com/threads/lukuvi-aruhusu-malori-kubeba-wanafunzi.52546/
matatizo na huduma ya afya matatizo mengi ya afya husababishwa na umasikini kwa upande wa malaria (angalia centers for disease control and prevention cdc/ihrdc mpango wa malaria nchini tanzania http//wwwcdcgov/malaria/cdcactivities/tanzaniahtm ) malaria inaweza kuzuiwa kwa kutumia vyandarua vyenye dawa lakini si wakazi wote wa mafia wanavyo ugonjwa wa maambukizo ya matumbo hii inatokana zaidi na matumizi ya maji machafu wakazi wengi wa kisiwa cha mafia hutegemea maji ya visima kwa matumizi yao ya nyumbani maambukizo ya minyoo watu huwa rahisi kupata minyoo inayosababisa upungufu wa damu kutokana na kutokuvaa viatu wakazi wengi wa mafia haswa akinamama na watoto kisiwani hapo hutembea bila viatu ugonjwa wa matende unaosababishwa na minyoo aina ya filariasis wanaoshambulia mishipa ya miguuni na kusababisha matende angalia article hiyo m albonico et al 2002 'soiltransmitted nematode infections and bedendazole treatment in mafia island schoolchildren' katika annals of tropical medicine and parasitology libraryfilariasisnet/mediapdf/journals/atmp/202/atmp_2002_96717pdf ukimwi ukuaji wa maambukizi ya ukimwi ni asilimia 6 tu kwa kisiwa cha mafia lakini hii ni idadi ndogo ukilinganisha na sehemu nyingine nchini hata hivyo idadi inaongezeka lakini takwimu zilizopo ni zile za wanaojitolea damu na akimama wanaozalia hospitalini hospitali za wilaya zinatoa huduma za upimaji wa ukimwi hali kadhalika zile za vijijini na akina mama wajawazito wanaogundulika na virusi vya ukimwi hupewa dawa za kuzuia maambukizo ya virusi hivyo kwa mtoto kwa kupewa dawa ya niverapine mbali na kampeni za kuzuia maambukizo kwa njia ya radio mashule na hospitali za umma na kliniki (angalia chini) kuna idadi ya vyama hiari vinavyoendesha kampeni dhidi ya maambukizo hayo saiti ya internet kuhusu ukimwi wwwtanzaniagotz/hiv_aidshtml wwwtanzaniagotz/government/tacaidshtm wwwworldbankorg/afr/aids wwwdedtanzaniade/hivaids/page5html wwwunaidsorg/en/geographical+area/by+country/united+republic+of+tanzaniaasp wwwcdcgov/nchstp/od/gap/countries/tanzaniahtm wwwoxfamorg/eng/programs_deve_cen_ea_africa_tanz_aidshtm medical facilities on mafia kila kijiji kina zahanati na wahudumu kama vile madaktari wakunga na manesi dawa zinagawanywa kila mwezi na gharama zake huchangiwa na serikali na wafadhili (mf unicef) matibabu na madawa ni bure na watoto wote hupewa chanjo ya polio surua kifua kikuu na chanjo ya dpt kuna kliniki ya watoto wadogo inayoangalia uzito na ukuaji wa watoto kuna hospitali ya umma mjini kilindoni ambayo imekarabatiwa hivi karibuni kutokana na ufadhili wa nje wagonjwa wanalazimika kulipia gharama za madawa na matibabu yaliyo gharama kubwa kwa walio wengi (tazama picha za hospitali http//wwwremotemedicineorg/plkilindonihtm
2017-09-22T15:10:44
http://mafia-island-tanzania.gold.ac.uk/health/index_swahili.php
dk shein afungua semina ya viongozi wa smz zanzibar zanzinews home habari matukio dk shein afungua semina ya viongozi wa smz zanzibar dk shein afungua semina ya viongozi wa smz zanzibar othman maulid 505 pm zanzibar 122017 rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dk ali mohamed shein amesema kuwa zanzibar imeweza kupata mafanikio makubwa ya maendeleo lakini yamekuwa yakivizwa kutokana na kutokuwepo kwa takwimu sahihi na zinazokwenda na wakati dk shein aliyasema hayo leo huko katika ukumbi wa baraza la wawakilishi la zamani mnazimmoja mjini zanzibar wakati akifungua semina ya siku moja kwa viongozi na watendaji wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar kuhusu umuhimu wa takwimu na matumizi yake katika maelezo yake dk shein alisema kuwa hakuna sababu ya kuyabeza maendeleo makubwa yaliopatikana hapa nchini lakini kuna kila sababu ya kutatua changamoto ya kutokuwepo kwa takwimu sahihi katika taasisi za serikali ya mapinduzi ya zanzibar dk shein ambaye pia alikuwa mwenyekitiwa semina hiyo alisema kuwa kutokana na hali hiyo ndio maana akaona haja ya kuandaliwa mafunzo hayo ambayo yatasaidia kwa kiasi kikubwa kufikia malengo yaliokusudiwa ambapo mwishoni yatakuja na maazimio ambayo hatimae yatafanyiwa kazi aidha dk shein alisema kuwa hakuna jambo lolote la maendeleo linaloweza kufanyika na kufanikiwa bila ya kuwepo kwa takwimu sahihi na ufanyaji tafiti huku akisisitiza kuwa upatikanaji wa takwimu sahihi na kwa wakati ni msingi muhimu katika kupanga na kutekeleza mipango yote ya maendeleo kwa maelezo ya dk shein alieleza kuwa juhudi mbali mbali zimechukuliwa na serikali ya mapinduzi ya zanzibar katika kutatua changamoto hiyo ikiwa ni pamoja na kuunda idara ya sera na utafiti sheria ya takwimu lakini bado changamoto hizo zimekuwepo hivyo aliwataka washiriki wa semina hiyo kufuatilia kwa makini mafunzo hayo na hatimae kufanyiwa kazi ipasavyo sambamba na hayo dk shein alisema kuwa kwa upande wa takwimu zanzibar imekuwa ikifanya vizuri na kutumia fursa hiyo kutoa pongezi kwa ofisi ya mtakwimu mkuu wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar pia dk shein alitumia fursa hiyo kutoa pongezi kwa katibu mkuu kiongozi na katibu wa baraza la mapinduzi dk abdulhamid yahya mzeewizara ya fedha na mipango pamoja na ofisi ya mtakwimu mkuu wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar kwa kushirikiana pamoja katika kuandaa semina hiyo dk shein pia alivutia na juhudi za makusudi zilizochukuliwa na uongozi huo kwa kuanza kutekeleza vizuri maagizo yake tisa aliyoyatoa siku ya tarehe 6 januari mwaka huu wakati alipoweka jiwe la msingi kwenye jengo jipya la ofisi ya mtakwimu mkuu wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar huko mazizini mjini zanzibar na kusisitiza kuwa hiyo ndio kasi anayoitaka nae waziri wa fedha na mipango dk khalid salum mohammed alisema kuwa semina hiyo yametokana na agizo lake alilolitoa siku hiyo katika ufunguzi wa jengo jipya la ofisi ya mtakwimu mkuu wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar aidha dk khalid alisema kuwa mbali ya agizo hilo pia tayari wameshaanza kuyafanyia kazi maagizo mengine kati ya maagizo tisa aliyoyatoa rais likiwemo ujenzi wa ofisi ya mtakwimu mkuu wa serikali huko pemba ambapo tayari mchakato wake unaendelea na jengo hilo linatarajiwa kujengwa huko gombani katika jengo jipya la ghorofa la wizara ya fedha na mipango pia dk khalid aliongezea kuwa katika agizo la mafunzo kwa wafanyakazi wa ofisi hiyo ya mtakwimu mkuu tayari zoezi hilo linaendelea na wafanyakazi wawili wamepatiwa nafasi za masomo maalum juu ya kada hiyo ya takwimu na kwa kila mwaka kwa miaka mitatu ijayo mpango huo utaendelezwa katika mafunzo hayo mada mbali mbali ziliwasilishwa zikiwemo muhtasari wa majukumu ya ofisi ya mtakwimu mkuu wa serikali katika upatikanaji wa takwimu na utekelezaji wake umuhimu wa takwimu hatua za uzalishaji na matumizi yake takwimu za sekta ya kilimo takwimu za sekta ya viwanda na takwimu za sekta za huduma akitoa mada juu ya muhtasari wa majukumu ya ofisi ya mtakwimu mkuu wa serikali katika upatikanaji wa takwimu na utekelezaji wake bi mayasa mahfoudh mwinyi alisema kuwa ofisi hiyo ina jukumu kubwa la kusimamia kikamilifu upatikanaji wa takwimu bora nchini kwa maana kwamba takwimu zinazotolewa zinatakiwa zikidhi vigezo vilivyowekwa vikiwemo usahihi kukidhi vigezo katika ngazi husika ziwe zinalingana na zinatolewa kwa wakati ili kukidhi haja ya watumiaji wa takwimu hizo yakiwemo maitaji ya taifa sambamba na hayo bi mayasa alisema kuwa ofisi hiyo imeweza kuwajengea uwezo kitaalamu wafanyakazi wake ili waweze kutekeleza majuku yao kwa ufanisi zaidi ambapo jumla ya wafanyakazi 30 wamepatiwa mafunzo katika ngazi ya shahada na shahada ya uzamili ndani ya kipindi cha miaka 10 na wafanyakazi 150 wa ofisi hiyo ambao wamepata mafunzo mafupi mafupi viongozi mbali mbali walihudhuria katika semina hiyo akiwemo makamo wa pili wa rais wa zanzibar balozi seifali idd pamoja na viongozi wengine na watendaji wa serikali
2017-09-21T10:39:14
http://www.zanzinews.com/2017/02/dk-shein-afungua-semina-ya-viongozi-wa.html
diamond atajwa kuwania tuzo 4 za choamva | larrybway91 diamond atajwa kuwania tuzo 4 za choamva larrybway91 / september 5 2014 nyota wa muziki wa bongo fleva diamond platnumz ameendelea kupasua anga kimataifa zaidi baada ya kutajwa kuwania tuzo za channel o africa music video awards 2014(choamva) katika vipengele vinne ambavyo ni most gifted video of the year most gifted newcomer most gifted afri pop na most gifted east tuzo hizo zitatolewa usiku wa jumamosi november 29 mwaka huu kwenye ukumbi wa nasrec expo mjini soweto nchini afrika kusini kwanza kabisa nitangulize shukran zangu nyingi kwa media zote nje na ndani ya nchi wadau na bila haswa kuwasahau nyinyi mashabiki zangu pendwa naamini nguvu na support zenu za kizalendo mnazozidi kunipa ndio zimepelekea kijana wenu leo kufikia hapa niwashkuru pia @channeloafrica kwa fursa hii africa ni muda wa kupiga kura sasa] #choamva2014 aliandika diamond kwenye ukurasa wake wa instagram unaweza ukatazama chati kamili na wasanii anaowania nao hapo chini hakuna kinachoshindikana chini ya jua mpigie kura kwa wingi diamond ili aweze kurudi na tuzo hizo nyumbani share thisclick to share on twitter (opens in new window)share on facebook (opens in new window)moreclick to share on google+ (opens in new window) september 5 2014 in entertainment tags ''channel o africa music video awards'' ''diamond atajwa kuwania tuzo 4 za choamva'' ''diamond kuwania tuzo za choamva'' choamva diamond platnumz ← mchekeshaji joan rivers afariki dunia akiwa na miaka 81 picha ajali ya mabasi yachinja watu 39 na kujeruhi 79 mkoani mara → 2 thoughts on diamond atajwa kuwania tuzo 4 za choamva anonymous says december 2 2014 at 218 pm raivu zake anonymous says january 5 2015 at 927 am udaku
2017-02-23T09:22:46
https://larrybway91.wordpress.com/2014/09/05/diamond-atajwa-kuwania-tuzo-4-za-choamva/
best app kufuatilia mume wangu exactspybest app kufuatilia mume wangu ni kweli bahati yako nzuri kuwa wako hawakupata mpenzi wako kwa ajili ya shughuli yoyote cheating kufanyika na wewe cheating imekuwa mwenendo siku hizi kwa ajili ya vijana kupata indulged katika mahusiano ya nyingi na kama mpenzi wako pia walifanya hivyo basi jambo bora ni kuondoka naye ningependa bado kama kuuliza kama alichagua kulipwa au freeware kwa upelelezi juu yake kama ni kesi ya bure programu kutumika basi unapaswa kupata taarifa kamili kuhusu shughuli zake na mdhamini kama takrima ili kuwapa taarifa sahihi au pungufu hata hivyo kama una waliochaguliwa programu kulipwa kama exactspybest app kufuatilia mume wangu kisha unapaswa mara moja basi bf wako kuhusu hilo na kuendelea na hatua yako ya mwisho exactspybest app kufuatilia mume wangu ni kamwe makosa na kupeleleza juu ya uhusiano wowote ambayo ina hisia yoyote dilemmatic kama mtu wanaweza kufanya makosa mara moja anaweza pengine kufanya nje kosa sawa tena trust ni sehemu muhimu ya uhusiano wowote na kama una waliopotea haiwezekani kufanya uhusiano huo tena ni disheartening kama una hawakupata mpenzi wako na umekuwa wakweli kwa ajili yake chochote kinachotokea ni kwa ajili ya bora na kama unadhani juu ya ukweli huu kisha kupata off uhusiano na kufikiri kivitendo kuhusu madhara juu ya distrusted uhusiano kupata mbali na kusonga mbele kwa maisha mapya programu kufuatilia mume wangu bila yeye kujua pamoja na exactspybest app kufuatilia mume wangu utakuwa na uwezo wa unaweza kushusha what is best app to track my husband on smartphones app kufuatilia mume wangu programu kufuatilia mume wangu bila yeye kujua app kufuatilia waume yangu ya simu best app kufuatilia mume wangu best gps tracker programu kwa mke cheating programu ya bure kwa kufuatilia mume wangu simu
2018-04-25T10:50:54
http://exactspy.com/sw/what-is-best-app-to-track-my-husband-on-smartphones/
maisha na mafanikio zilipendwanyumbani ruhuwiko ilikuwa 2009 ruhuwiko tulifikiwa na wageni ambao ni watata viziwi toka shule ya watoto viziwi ruhuwiko na siku hii kulikuwa na mvua kubwa sana na wote tukawa ndani bahati nzuri baraza ilikuwa kubwa sana ni viziwi lakini tulipata maswali mengi sana toka kwaojumamosi njema kwa wote
2017-01-16T17:15:40
http://ruhuwiko.blogspot.com/2014/09/zilipendwanyumbani-ruhuwiko.html
usalama blog zoezi la uhakiki wakimbizi kambi ya nyarugusu lafikia ukingoni zoezi la uhakiki wakimbizi kambi ya nyarugusu lafikia ukingoni posted by wizara ya mambo ya ndani ya nchi at 146 pm
2018-10-18T12:32:26
http://usalamawetu.blogspot.com/2014/08/zoezi-la-uhakiki-wakimbizi-kambi-ya.html
mabingwa wafichua kemikali hatari raia mwema mabingwa wafichua kemikali hatari feb 23 2012 by raia mwema in habari wakati bado kukiwa na hali ya kutothibitishwa kitabibu naibu waziri wa ujenzi dk harrison mwakyembe ameathirika kiafya kwa kupewa sumu au la taarifa za awali zinabainisha kuwapo kwa kitu kwenye ute ute (bone marrow) ndani ya mifupa yake chenye uwezo wa kuzalisha kemikali zinazoshambulia chembe hai za ngozi raia mwema limeelezwa 20 thoughts on mabingwa wafichua kemikali hatari jackson ringo says feb 23 2012 tatizo la nchi yetu kuwapa nafasi viongozi ambao hawana historia nzuri ya utendaji pia huenda tatizo hili linasababishwa na katiba ya nchi yetu ambayo inatoa madaraka ya mtu mmoja kumteuwa kiongozi kushika nyazifa kubwa kitaifa bila kuwepo jopo la kuchunguza uwezo na dhamira ya kweli ya utendaji wa mhusika kwa mwenendo takriban miaka mitano au kumi ya utendaji nashauri kuwepo na jopo la kuwahoji na kuwatathimi viongozi wanaochaguliwa na mamlaka ya juu ili kuondoa undugu kulipana fadhila au kuendeleza rushwa kwa anaye chagua au kuchaguliwa reply robert ndilla says feb 23 2012 reply malika says feb 23 2012 nimelia sana kwa hii habari masikini waziri mwakiembe hizi ni habari tukizisikia na kuziona kwenye michezo ya james bond 007 matumizi ya sumu kwa kijasusi kuuwa na njia ziko nyingi za kufikisha sumu inapotakiwa kuondosha mpinzani pole sana nimesikia kuna kundi la mafia wa kigeni ambao kwa bei poa wanaweza kuingiza sumu yoyote kwa mwenye kuihitaji inatisha na kusit\iktisha mungu atakusaidia kutambua tatizo ni mwanzo wa ushindipole sana tutazidi kukuombea uzima na afya njema reply mina says feb 24 2012 hii ni hatari kwa nchi yetu pole sana dr mwakyembe reply mwasakafyuka says feb 24 2012 walochomfanyia mwakyembe ni kitu kibaya sana hasa kwa wanadamu wa leo walioelimikawaliostaarabika na waliopevuka kiakililakini wajue nguvu ya mungu ni kubwa kuliko nguvu zotena wajue mwakyembe atatangulia lakini vita yake aliyoianzisha haitokwisha kamweyaani ndio kwanza mapambano yanaendeleaaluta continua reply joesoef p says feb 24 2012 pole sana mheshimiwa mwakyembe tunamwomba mwenyezi mungu azidi kukuimarisha na wale wote wanaokutibu waweze kupata ufumbuzi wa kuzuia virutubisho vya sumu kwenye ute ute mwilini mwako wapo wanadamu wanaofanya kazi kama kikundi au genge lakini wakumbuke kuwa mwisho wa maisha yao hapa duniani hawatakusanyika kama kikundi au genge ili kuwajibika kwa matendo yao reply raymond shoo shinyanga says feb 25 2012 pole baba pole sana mzee wetu tunajua haya yote ni kuwa unatupigania watanzania na tanzania kwa ujumla usife moyo na wala usikate tamaa watanzania wote tuko pamoja nawe bega kwa bega kuukataa ufisadi unyonyaji uonevuugandamizwaji ubepari na umaskini unaondelea hapa tanzania kwa sasa tunakuombea mwenyenzi mungu akupe nguvu na ukapate kupona mapema amen reply kanakanfumu says feb 25 2012 kimsingi hii ya polisi ni hujuma dhidi ya wapinga ufisadi reply malenga says feb 25 2012 mwakyembe kimsingi anavuna alichopanda maana kama siyo yeye na jopo lake waliochunguza richmond kuficha ukweli juu ya nani walikuwa nyuma ya richmond haya yasingempata kwanza tungekuwa na serikali safi saa nyingine ikiongozwa na rais safi badala ya huyu mzururaji na kibaka wa kawaida hivyo basi mwakyembe ajutie uroho wake wa kupewa cheo alicho nacho ambacho kimetumika kummaliza nadhani hili ni somo tosha kwa wengine wanaotumia nafasi zao kwa ajili mambo binafsi reply ralph says feb 25 2012 baada ya kufichua sakata la richmond na kuonyesha udhaifu wa serikali alikosea sana kukubali uwaziri wa serikali dhaifu ile ile pole sana mwakyembe historia ndio imejiandika hivyo reply makongorosi says feb 26 2012 hali hii inatia uchunngu na kusikitisha sana maana tulizoea kuona wenye fedha wakitumia z fedha zao kuangamiza masikini sasa ninajiuliza kama wameweza kumdhulu kigogo je sisi kina kajamba nani itakuwaje reply waltera samuel mairo says feb 26 2012 mwakyembe hatokufa bali ataishi sawa na neno la mungu linasema wenye hil naye ndio watakaotangulia hasa wale wahujumu uchumi wa nchi hii wanafikiri kwamba mungu hawaoni wanalofanya they will pay it kwa machozi no matter what and when god bless africa bless tanzania mungu mponye mtumishi wako mwakyembe naye ataponyeka muokoe naye ataokoka maana wewe ndiwe sifa zake in jesus name jeremia 1714 reply mussa omary ngogo says feb 27 2012 pole mh inaniuma sana kama nchi imefika wakati watu wakweli hawatakiwi si nchi tena reply makotso salia says feb 27 2012 hizo ni taarifa za kiinteligensia maskini polisi wanafanya kazi kama ya mpiga ramli iko wapi intelligentia hapo hivi intelligentia nini je watumishi hawa ni intelligence kweli au natafakari nashindwa kupata majibu reply emmanuel sipiteck olenjoro says feb 27 2012 pole sana muheshimiwadrmwakyembe kwa maradhi mabaya yanayo kuundamana mungu akuponyeila shida yangu inakuja kwakokwamba watu wanatoa information bila kuchunguza utafiti wakiscienceje wewe unaposema vyombo vya habari vinatumwa au kushinikizwa na mafisidihuo ni ushahidi wakiscience pia au ni tuhuma zakisiasa au nizile fitina zawanasiasa uchwara mimi sioni mantiki ya mtu anayeshindwa kuelekea kwenye utatuzi wa tatizo lakenabadala yake anaelezea mambo yasio na msingimaana hatuitaji mlolongo wamatatizotunaitaji kinachokusibu reply mutalemwa> says feb 29 2012 hivi kweli tanzania tunahitaji kuuwa wasomi wetu eti kwasababu wamesema ukweli kwanini tufanye hivyo jamani i envision tanzania full of zombies and illiterates who cannot critique question or ask anything that is not going well hatukupaswa kumpa sumu dk mwakyembe that is the brain of tanzania kikwete ingilia kati bunge lako litaishia kujazwa na watu wenye diplomas in cookery among others na hawajui kinachoendelea kazi yao ni kutafuta sumu na kuuwa wasomi ambao wangesaidia tanzania japo kupunguza umaskini kwa kuwafichua mafisadi mimi nilikuwa police watu niliojiunga nao karibu nusu hawakuwa na certificates za kwaruhusu wajiunge na jeshi hilo where is the integrity of such an important pillar of the state jeshi la police raia watauawa wataisha watoa sumu watawageukia nanyi mtauwawa tu sumu haichagui mzee mwema pole sana my brother mwakyembe kama mission aliyokupa muumba wako ya kuiokoa tanzania toka mikonono mwa mafisadi hujaikamilisha hakuna atakaye kuua watakutesa tu ila utaishi utimize kazi iliyo kuleta duniani reply buhembo says feb 29 2012 hii ni hatari lakini mungu ni mkubwa na katika kuonyesha utakatifu wake kwa waja wake haya yote yatakuja julikana kma mchezo wa kuigizapole mr mwakyembe mungu yungali nawe na hakika kwa dhamra yako utaja shinda majkaribu haya reply mwita says feb 29 2012 kama mwlimu mwakyembe kafanyiwa hivi na jeshi la polisi je hawa jamaa wakistaafu wataishi wapi pale watakapokuwa hawana mamlaka katika jeshi hili wanalolingia tunasubiriana ngamani kama wao sasa hivi wako mwambani hakika hatutasahau utesaji huu tukipata nafasi tutafanya yale yaliyofanywa kwa nicolai sheusesco wa romania reply seif athmani says jun 08 2012 kweli sisi wanainchi tunasikitishwa sana kwa afya ya mtetezi wetu dr mwakyembemimi nilidhani kwa maelezo haya raisi angechukua hatua ya kuwafukuza wote waliotajwa kuhusika au kutomtendea haki drmwakyembe akianzia na igp saidi mwema na dci reply james says jan 31 2013 inashangaza sana taifa letu limegeuka kuwa kitu cha ajabu what are we killing each other for injustice or justice kizazi hiki kinachochipuka leo kina namna moja tu ya kukiangamiza si kwa vita ya mwilini bali rohoni jambo la kwanza la msingi ni kuhakikisha tunawang'oa viongozi feki wa dini (imposters) kabla hatujachukua hatua nyingine maana kama serikali yetu tunapoipa taarifa za uhalifu wakati wao ndio waharifu inabakia sehemu moja tu salama ya kuwashitaki ni kwa yule anaewapa uhai yaani mungu hii inaweza kuonekana ni upuuzi kabisa lakini vita inayopiganwa bila kushika mtutu na vita kali ambayo hakuna wa kuiamua isipokuwa walioianzisha nilisikia juzi tu kiongozi mkubwa wa nchi anatamba bila aibu maana hatutakiwi kujivunia upuuzi bali mema anatamba eti ccm hakuna wa kuing'oa kweli unaamini hilo muamal gaddaf na utajili wote aliokua nao na ukuu wa ngome yake nani aliamini atakua kaburini leo labda kama raia mwema niseme hivi tuna wimbi la wachungaji na mapadre na maaskofu ambao pia ni mawakala wa serikali pia lipo wimbi la mashehe ambao kiukweli si mashehe bali vibaraka wa mafisadi serikalini wapo katikati yetu kutuchimba mawazo yetu na kuifanya shughuli nzima ya haki kuwa ndoto hawa tunahitaji wote kuwatoa sadaka kwa shetani kwa unafiki wao pili tunahitaji wapambanaji waaminifu watakao simama kidete kuhakikisha viongozi wote tulio wachagua kwa mapenzi yetu juu yao na wakatupa ahadi moto moto ikiwa hawazitimizi kama kufa na wafe wote tena hili tulifanye kwa machozi na kilio kwa kumaanisha hali ilipokuwa mbaya katika nchi ya misri wakati wana wa israel wakiwa utumwa hakukuwa na msaada kwao zaidi ya mungu watanzania tunaonekana wote mataahira wa akili mkianza jambo wanapitisha makombora mitaani ili kuwatisha muogope vita hatuna haja kujifunza kutumia mtutu tunaweza kuwagombanisha na alie waumba na kuwapa uhai huyo anajua vema namna ya kuwanyamazisha gafla wakiwa vitandani mwao kama wanavyofanya wao kwa kila mtetezi wa haki kama dr mwakyembe nimalizie kwa kusema harrison mwakyembe alitaka kushonwa tu mdomo lakini mungu amempa nafasi amalizie alipoishia na atafanikiwa hakika maana tutakubeba mabegani mwetu kwa maombi
2017-04-29T07:34:18
http://www.raiamwema.co.tz/mabingwa-wafichua-kemikali-hatari/
mazingatio juu ya uandishi wa cv | jamiiforums | the home of great thinkers mazingatio juu ya uandishi wa cv discussion in 'nafasi za kazi na tenda' started by kilongwe oct 5 2010 kilongwe jfexpert member mazingatiojuuyauandishiwacv moja ya kati ya vitu vigumu pindi uandikapo cv ama resume ni jinsi ya kuchunga idadi ya kurasanakumbuka nilipoandaa cv yangu ya kwanza ilikuwa na kurasa kama nnenikampelekea mmoja wa watu wangu wa karibu kuichambua na kutolea maoniakanirudishia ikiwa na kurasa moja na nusubinafsi kipindi kile moyoni sikuridhika kwa sana ila kwakuwa mtu aliyenirekebishia ni mtaalamu kwenye masuala hayo hivyo sikuwa na budi kukubaliana na marekebisho kwa moyo upande niliwahi kufanya mahojianao na baadhi ya waajiri ambao wanatoka nchi mbalimbali tena nyanja mbalimbaliwengi wao walisema ni nadra sana kwake kuangalia kurasa zaidi ya pili ya cvwaajiri hupendela na kutamani cv fupinajua kuna baadhi yetu wanaweza kuwa na mtazamo tofauti juu ya hilihivyo leo nitatoa muono wangu halafu mlango umefunguliwa kwa wenye maoni wachangie je unaijua cv kiufupi ni kuwa cv haitakiwi iwe na kurasa nyingihii ni kwa sababu hii ni cv na sio utambulisho binafsi (autobiography)wengi wamesahau kuwa hautapata kazi kupitia cv yako bali utapata nasafi ya kufanyiwa usaili(interview) kutegemeana na cv yako matokeo yake ni kupata ajira kulingana na nini ulichokifafanua kwenye usailikumbuka kwenye usaili ndio uwanja wako wa kujidai ambapo utwaweza kufafanua kwa mapana na marefu huku ukijidai kwenye fani yako uzoefu wa kazi kuna wengi wanaamini kuwa jinsi anavyoorodhesha uzoefu wake ndivyo anavyowavutia waajirihili halina ukweli isipokuwa kama huo uzoefu wako una uhusiano na kazi iliyopo mkononindio maana watu husema andika cv inayoendana na kazi husikamaharage yanaweza kuwa ni mboga kwa mtanzania ila sio kwa mchinahapa nina maana uzoefu wako kama daktari hauna msaada kwenye kazi ya kunyanyua mizigo bandariniwengi wetu tumekuwa tukichanganya juu ya nini ni muhimu kwako na nini ni muhimu kwa waajiri na ni jinsi gani utaunganisha mawazo uako na ya muajiri cha msingi kukumbuka pindi uandikapo cv yako ni kuweka bayana nini umefanya(accomplishments) na sio kazi zako(duties)vilevile weka akilini kuwa lazima uhakikishe unazifikisha kwa undani wakekwani waajiri hupenda sana kuuliza nini utafanya na sio nini umesoma au unacho kwenye cvkwa mfano labda wewe ni mtoa msaada(tech supporter) wa kampuni aunatakiwa kufafanua pindi ulipokuwa kampuni a uliweza vipi kupunguza mlundikano wa matatizouliweza vipi kuongeza ubora wa huduma kwa watejaje wateja walinufaika vipi na nini maoni yao siku ya mwisho mambo kama haya na mengine mengi yanaweza kuwa na msaada mkubwa kwako pindi uandikapo cv yako labda nikupe ujanja ambao unaweza kuwa na msaada kwakobaada ya kumaliza kuandika cv yako na kuelezea nini ulifanya kwemnye kampouni fulanijiulize mwenyewesasa hii itakusaidia kujiweka kwenye nafasi ya muajiri na kufikiria kama muajiri ingawa ni ngumu kupata mchanganuo wote ila utaweza kupata picha ya mchezo kamili kitu cha msingi ambacho leo nimegawana nanyi wana afroit ni kuwajaribu kufupisha cv yakoandika cv inayojiuza na kujiongozausiwachoshe waajiri na kufanya waanze kukuchukia au kukushusha kiwangobaada ya kuandika cv yakojaribu kuomba ushauri toka kwa watu mbalimbali walio kwenye hiyo idara je nini maoni yako ni kitu gani cha kuzingatia kwenye cv nenda hapa asante mkuu kwa maelezo mazuri yanafanana kabisa na mafunzo ya uandishi wa cv nlofundishwa na mwalimu wangu nlipokuwa nasoma gonga hapa kupata mifano ya cv kutoka microsoft aboutcom http//officemicrosoftcom/enus/templates/ct101043371033aspx ahsante mkuu kwa msaada zaidi ag6851 member miongoni mwa mambo yanayotukosesha ajira baadhi yetu ni kushindwa kuandika cv sasa basi hebu mwenye uwezo huo wa kuiandika ikiwa na vitu vyote muhimu aweke humu tufaidike sote itakuwa faraja sana kama utatoa msaada wako ili kuwakwamua walioshindwa au kuwaongezea ujuzi wengine aidha kama unayo unaweza pia kunitumia kwa whatsapp namba 0763769886 ahsante sana nakupenda sana mama yangu silasc jfexpert member google mkuu eng nyahucho jfexpert member uki google makosa ni yale yale bora hata ungetoa sample hapa ili kuonesha mtiririko sahihi uniquelady jfexpert member gipama jfexpert member ag6851 said ↑ mkuu ukiipata nami nitumie kwa whatsapp namba 0757062351 wisdom empire jfexpert member ivi katika ajira portal kuna sehemu ya kuattach cv wisdom empire said ↑ ukifungua profile kuna sehemu ya kujaza hizo information
2018-01-21T17:02:49
https://www.jamiiforums.com/threads/mazingatio-juu-ya-uandishi-wa-cv.76999/
wasichana wa miaka 14 wapatao 14840 mkoani iringa kupatiwa chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi ~ mzee wa matukio daima home » » wasichana wa miaka 14 wapatao 14840 mkoani iringa kupatiwa chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi wasichana wa miaka 14 wapatao 14840 mkoani iringa kupatiwa chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi mkuu wa mkoa wa iringa akifungua warsha ya mafunzo kwa wadau wa afya juu ya kuanza kwa chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi kwa wasichana wa miaka 14 mkoani iringa wadau wa afya wakiwa katika warsha ya mafunzo ya saratani ya mlango wa kizazi kaimu mkurugenzi wa manispaa ya iringa kulia akiwa na wadau wa afya baadhi ya washiriki wa warsha ya saratani ya mlango wa kizazi wakiwa katika mafunzo viongozi mbali mbali wa mkoa wa iringa wakiwa katika picha ya pamoja wasichana wenye miaka 14 wasiopungua 14840 mkoani iringa kufikiwa na huduma ya chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi akifungua warsha ya mafunzo ya siku moja kwa wanahabari na wadau wa afya mkoani iringa katika ukumbi wa chuo kikuu hurua tanzania mjini iringa mkuu wa mkoa wa iringa amina masenza alisema kuwa chanjo hiyo itaanza kutolewa bure katika vituo na maeneo yote ambayo yatabainishwa kwa ajili ya huduma hiyo wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia na watoto kwa kushirikiana na wadau wa chanjo tumeambiwa itaazisha chanjo mpya ya kuwakinga na ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi kwa wasichana wenye umri wa miaka 14 kuanzia april 2018 nchi nzima na serikali imeamua kuanza kutoa chanjo hii kwa sababu saratani ya mlango wa kizazi ndiyo inayoongoza kwa kuua wanawake wengi ukilinganisha na saratani nyingine hapa nchini alisema kuwa saratani ya mlango wa kizazi inachangiwa na vitu vingi ikiwemo kuanza kujamiana katika umri mdogo kuwa na wapenzi wengi kuwa na ndoa za mitala kuzaa watoto wengi na uvutaji wa sigara hivyo alitaka wanahabari mkoani iringa na wadau wa chanjo hiyo kufanya kazi ya kuhamasisha jamii ili kujitokeza kwa wingi kushiriki chanjo hiyo ambayo imewalenga wasichana wa miaka 14 kwa mwaka huu 2018 mkuu huyo wa mkoa alizitaja dalili za saratani ya mlango wa kizazi mara nyingi hujitokeza ikiwa imesambaa mwilini kuwa ni pamoja na kutokwa damu ya hedhi bila mpangilio kutokwa na damu baada ya kujamiana maumivu ya mgongo miguu ama kiuno kupungukiwa au kukosa hamu ya kula kutokwa na uchafu wenye rangi ya kahawia au wenye damu kwenye uke na maumivu ya miguu au kuvimba masenza alisema kuwa dalili mbaya zaidi zinazoweza kujitokeza ni pamoja na kuishiwa damu figo kushindwa kufanya kazi kupatwa na fistula na uvimbe wa tezi hivyo aliwataka walengwa wa chanjo hiyo kujitokeza kupata chanjo na kuepuka upotoshaji unaoweza kujitokeza kwani lengo la serikali ni kupunguza vifo vya akina mama vinavyotokana na saratani ya mlango wa kizazi hivyo kuanza kutoa chanjo hiyo lengo hasa ya kuanzisha chanjo hii ni kukinga mabinti wetu kutokana na madhara makubwa yanayoweza kuwapata ambayo husababisha vifo vingi kwa wanawake na hivyo kuboresha afya za jamii ya wanawake watanzania kwa ujumla alisema kutokana na uzoefu uliopatikana wakati wa majaribio utoaji wa chanjo hii mkoani kilimanjaro chanjo hiyo itatolewa katika utaratibu wa kawaida kwenye vituo vya kutolea huduma za chanjobaadhi ya shule zitakazochaguliwa baadhi ya maeneo katika jamii ambapo zitatolewa kwa njia ya mkoba japo asiwepo mtu atakayetoza gharama katika chanjo hiyo mkuu huyo wa mkoa alisema kuwa kwa tanzania saratani ya mlango wa kizazi ni ya kwanza kwa vifo ikifuatiwa na saratani ya matiti na kuwa saratani hizi mbili kwa pamoja husababisha zaidi ya asilimia 50 ya vifo vyote vya akina mama vitokanavyo na saratani kuwa idadi hii ni kubwa sana hivyo juhudi na ushirikiano zaidi vinahitajika katika kupunguza vifo hivi pia aisema takwimu zinaonyesha ni asilimia 5 tu ya fedha za saratani duniani zinatolewa katika nchi za kusini mwa jangwa la sahara hivyo hakuna budi kutumia vyanzo vyetu vya ndani pamoja na kushirikiana na wadau mbali mbali katika kutoa huduma za chanjo napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wadau wetu wa huduma za chanjo likiwemo shirika la gavi pamoja na serikali yetu chini ya rais dkt john magufuli kwa kuwa mstari wa mbele kufadhili huduma za chanjo ikiwemo ya kuzuia dondakookifaduro homa ya utiwa mgongo homa ya ini pepopunda nomonia kuzuia kuhara surua na rubella na sasa chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi aidha mkuu huyo wa mkoa aliwapongeza wadau mbali mbali katika kufanikisha utoaji bora wa huduma za chanjo nchini likiwemo shirika la gavi shirika la afya ulimwenguni (who)shirika la kuhudumia watoto (unicef) chai jsi path amref jhpiego pamoja na wadau wengine wote
2018-05-25T07:18:10
http://www.matukiodaima.co.tz/2018/04/wasichana-wa-miaka-14-wapatao-14840.html
meya jacob kathibitisha ule mtaa bado wa victor wanyama kisheria millardayocom meya jacob kathibitisha ule mtaa bado wa victor wanyama kisheria baada ya kamati ya kata ya ubungo ikiongozwa na meya wa ubungo boniface jacob june 24 2017 kuamua kumpa zawadi ya heshima mchezaji wa tottenham hotspurs na nahodha wa timu ya taifa ya kenya victor wanyama jina lake litumike katika mtaa wakati wa game za sports extra ndondo cup 2017 siku moja baadae kibao kile kiliondolewa kwa madai kuwa meya hakufuata utaratibu baadae meya jacob alipohojiwa alieleza kuwa kibao kimefuata utaratibu na watakirejesha tena leo ikiwa ni miaka miwili imepita ayotv imeongea nae tena kama kuna mabadiliko mapya meya jacob kataja sababu ya kukataa kujengewa ofisi za walimu na rc makonda ← previous story tff imewaondoa waamuzi waliochezesha game ya kmc vs simba april 25 2019 next story → baba mzazi wa emiliano sala amefariki miezi mitatu baada ya kifo cha sala
2020-02-23T09:15:15
https://millardayo.com/hy678-4/
ali kiba aelezea alichochukizwa na diamond | bongoclan tanzania™ 'if(tindexof(imgyoutubecom)=1){d=''}l=jreplace(/<(*)>/g)replace(/[\n\r]+/g )cinnerhtml=d+''+g+''+p++lsubstring(0ysummarylength)++g} » ali kiba aelezea alichochukizwa na diamond mwanamuziki wa bongo flava ali kiba amefunguka kuhusu mambo yaliyomkwaza kutoka kwa diamond miaka michache iliyopita baada ya mkali huyo kutoka na wimbo wa kamwambie uliogeuka kuwa wimbo wa taifa wa bongo flava kwa muda akiongea na kipindi cha mkasi ali kiba ameeleza kuwa yeye ndiye mtu aliyepitisha ombi la diamond kurekodi katika studio za sharobaro kwa kuwa wakati huo alikuwa mdau mkubwa katika uongozi wa studio hizo lakini matokeo yake yalimgeukia hadi kuamua kujitoa katika team hiyo ameeleza kuwa mara baada ya diamond kutoka na kamwambie aliona gazeti moja lililokuwa lililomkariri akisema kuwa yeye ndiye fimbo ya alikiba na amekuja kumfunika hata hivyo maneno yaliyowekwa kaitika gazeti hilo yalianza kuaminika kwa ali kiba baada ya kukutana nae mara kadhaa kwenye shows lakini nilishawahi kukaa na diamond katika mikutano ya shows ambazo tunaitwa pamoja wasanii na nini na nini mimi napendaga kuongea nae kama mdogo wangu kwa sababu the way nilivyokuwa nikimtreat ni kama wadogo zangu wengine akina bob junior akina nani nilimsikia akiongea sana kwamba nimekufunika kwenye show fulani nimekufunika kwenye show fulani kwa kweli the way nilivyokuwa nikimtreat kama mdogo wangu kwa hiyo yeye alikuwa ameconcentrate sana katika kunifunika alieleza ali kiba mimi sio mtu wa kumind sawa kwa hiyo alivyokuwa anaongea anajifurahisha hata kama amenifunika mimi nilikuwa naweza kumpigia makofi vilevile si nataka afanikiwe kwanza nafurahi napenda sana challenge inakufanya unaaamke aliongeza kujirudia kwa neno kufunika kila walipokuwa akikaa na diamond kuligeuka kuwa kero kwa ali kiba huku mengine yakipenya kutoka kwa watu wake wa karibu kwa hiyo kitu ambacho kilikuwa kinahappen tukiwa karibu hivi ni hivyo vitu ambavyo akizungumziwa nimekufunikaanimekufunika nikawa nikitoa video nasikia maneno kwamba ali amesikia maneno nimetoa hii na yeye ametoa hii mi sijawahi kumsikia mwenyewe akisema ila watu wake wa karibu wa karibu wanakuja wanasema unaweza kumjua mtu tabia yake kwa kumuangalia kwa kuishi nae ali ameeleza kuwa hata baada ya kuamua kukaa kimya amlee mwanae wa kiume alisikia tena maneno kutoka kwa mwimbaji kwa diamond kuwa amemkimbia hata hivyo hii ilikuwa story ya zamani ambayo wengi wanaweza kuwa nayo lakini ikamhusu mtu ambaye kwa sasa amekuwa rafiki wa kudumu hivi karibuni ali kiba alisema kuwa hana tatizo lolote na diamond na kuwataka watu wasimgombanishe na msanii huyo ni muda wa biashara yaliyopita si ndwele (maradhi) tugange yajayo kwa maendeleo ya bongo flava kilichobaki ni ushindani wa kibiashara kama alivyosema babu tale
2017-06-28T00:11:40
http://www.bongoclantz.com/2014/08/ali-kiba-aelezea-alichochukizwa-na.html
imewekwa tar january 16th 2019 katika hali ya kuupendezesha mji wa sumbawanga mkuu wa mkoa wa rukwa mh joachim wangabo ameishauri wizara ya kilimo nchini kuona namna ya kuhamisha mradi wa ujenzi wa vihenge kutoka katikati ya mji wa sumbawanga na kuhamishia katika eneo maalum lililotengwa na halmashauri ya manispaa ya sumbawanga kwaajili ya ujenzi wa maghala na viwanda ili kuutanua mji na kujenga vihenge hivyo kwa nafasi amesema kuwa wakala wa taifa wa hifadhi ya chakula (nfra)tayari wamekwishanunua eneo la ekari 246 lenye thamani ya shilingi 298938000 lililopo katika eneo maalum lililotengwa kwaajili ya viwanda vidogo maghala na hotel lililopo kijiji cha kanondo kata ya ntendo manispaa ya sumbawanga ambapo mpaka sasa viwanja vilivyouzwa katika eneo hilo ni asilimia 35 sisi tungependa kama mkoa wa rukwa eneo hili liwekezwe kwasababu tuna uchumi wa kati wa viwanda lakini sasa naona bado tunapenda maeneo yet utu sasa huku nani atakuja aendeleze kwakweli huu mradi uje kujengwa huku ntashauriana na wizara ya kilimomh wazirituone namna ya kuleta huku kwasababu hapo mnapotaka kujenga ni eneo dogo alisema ameyasema hayo alipotembelea eneo hilo maaluma la uwekezaji wa maghala lililililonunuliwa na nfra miaka miwili iliyopita huku likiwa limeachwa wazi bila ya matumizi yoyote kwa upande wake kaimu meneja wa nfra mkoa wa rukwa james marwa alisema kuwa mradi wa vihenge ulianza kabla ya kununuliwa kwa eneo hilo hivyo ili kuhamisha mradi huo lazima eneo hilo jipya lipimwe upya nae afisa mipango miji wa manispaa ya sumbawanga thadeo maganga amesema kuwa hatachoka kuendelea kuwahamasisha wadau mbalimbali kufika katika eneo hilo ili kuona umuhimu wake na kuweza kuwekeza kwa maslahi ya manispaa mkoa nan chi kwa ujumla ujenzi huo wa maghala na vihenge vya kisasa (silos) utajengwa katika maeneo nane ya kanda saba za wakala ambapo ujenzi huo utaongeza uwezo wa kuhifadhi mahindi kutoka tani 251000 za sasa hadi tani 700000 ifikapo mwaka 2025
2019-07-22T05:41:10
http://rukwa.go.tz/new/rc-wangabo-aishauri-wizara-ya-kilimo-kujenga-vihenge-eneo-la-viwanda-la-kanondo
smz dk shein atahudhuria bunge leo | zanzibar yetu smz dk shein atahudhuria bunge leo waziri wa nchi ofisi ya makamo wa pili wa rais wa zanzibar mohammed aboud mohammed serikali ya mapinduzi ya zanzibar (smz) imesema rais dk ali mohammed shein ni rais halali wa zanzibar na atahudhuria ufunguzi wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania mjini dodoma leo hayo yalisemwa na waziri wa nchi ofisi ya makamu wa pili wa rais mohamed aboud mjini hapa jana alitoa kauli hiyo kufuatia msimamo wa umoja wa katiba ya wananchi (ukawa) kuhoji uhalali wa dk shein kuingia bungeni wakati uchaguzi wa zanzibar haujakamilika na kupatikana rais wake waziri aboud alisema uchaguzi wa zanzibar umefutwa na kwa mujibu wa katiba ya zanzibar kifungu cha 28(1) dk shein anaendelea kuwa rais mpaka hapo rais anayefuata atakapokula kiapo dk shein bado rais halali wa zanzibar kwa mujibu wa katiba na atahudhuria uzinduzi wa bunge kwa sababu serikali ya zanzibar ipo na inaendelea na shughuli zake alisisitiza waziri aboud ambaye pia ni msemaji mkuu wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar alisema uchaguzi mkuu wa zanzibar wa oktoba 25 mwaka huu matokeo yote yamefutwa na tume ya uchaguzi ya zanzibar (zec) na kutangazwa katika gazeti la serikali la novemba 6 mwaka huu waziri aboud alisema taarifa zilizotolewa na ukawa zimejaa upotoshaji hasa kwa kuzingatia hakuna uchaguzi uliyofanyika zanzibar na kutangazwa mshindi na zec alisema smz imesikitishwa na kitendo cha wabunge wa chama cha wananchi (cuf) kumpinga rais wa zanzibar wakati wao ni sehemu ya serikali ya pamoja kwa mujibu wa katiba ya zanzibar kitendo walichofanya kinaweza kurudisha matatizo ya nyuma ya kisiasa ya zanzibar kinyume na malengo ya kuundwa kwa serikali ya umoja wa kitaifa alisema waziri aboud alisema katika kipindi cha miaka mitano zanzibar imepiga hatua kubwa ya maendeleo baada ya kuwapo hali ya amani na utulivu mkubwa wa kisiasa kufuatia kuundwa kwa serikali ya umoja wa kitaifa waziri aboud alisema hakuna rais mteule zanzibar baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu kufutwa na zec na kitendo cha ukawa kumhusisha maalim seif na urais ni uvunjaji wa sheria za nchi katika hatua nyingine chama cha mapinduzi zanzibar (ccm) kimesema kitendo cha cuf kupinga rais wa zanzibar kuingia katika uzinduzi wa bunge hakileti mwelekeo mzuri katika mazungumzo ya kusaka muafaka wa ufumbuzi wa mgogoro wa uchaguzi zanzibar naibu katibu mkuu wa ccm zanzibar vuai ali vuai alisema wabunge wa cuf wameshindwa kuheshimu na kuenzi malengo ya kuundwa kwa serikali ya pamoja kutokana na kitendo hicho alisema marekebisho ya 10 ya katiba ya zanzibar yalifanyika ili kumaliza siasa za chuki na uhasama na kufanikiwa kurudisha amani na umoja wa kitaifa hata hivyo alisema kitendo kilichofanywa dhidi ya rais dk shein na viongozi wa ukawa hakina manufaa kwa wananchi wa zanzibar wakati huu zanzibar ikiwa katika kutafuta muafaka wa uchaguzi aidha alisema rais wa zanzibar ni rais halali kwa mujibu wa katiba hadi rais mpya atakapochaguliwa na wananchi na kuapishwa kwa mujibu wa kifungu cha 28(1) cha katiba ya zanzibar alisema hakuna mwananchi wa zanzibar asiyefahamu kama uchaguzi unarudiwa baada ya zec kufuta matokeo ya uchaguzi mkuu ← lipumba amtahadharisha rais magufuli tamko la wanaharakati tanzania →
2017-01-24T05:03:57
https://zanzibariyetu.wordpress.com/2015/11/20/smz-dk-shein-atahudhuria-bunge-leo/
you are athome»habari360»ujenzi wa bwawa la mbangala watakiwa kukamilika wafugaji kunufaika by bigie on may 18 2019 habari360 previous articlejob opportunity at catholic relief coordinator next article wadau waombwa kujitokeza kusaidia maandalizi ya mashindano ya soka kwa wenye ulemavu afrika mashariki
2019-06-24T08:46:33
https://habarimpya.com/featured-2/bigie/ujenzi-wa-bwawa-la-mbangala-watakiwa-kukamilika-wafugaji-kunufaika
kutafisha ongezeko la kasi la carbon dioxide katika anga habari na habari kutafisha ongezeko la kasi la dioksidi kaboni katika anga kuongezeka mbele ya hewa mkaa katika anga ina kasi hivyo wasiwasi sana na kati ya 2001 2003 kwa mujibu wa takwimu za wazi jumatatu na vyombo vya habari uingereza katika usiku wa mkutano wa mwaka wa greenpeace london kulingana na takwimu zilizochapishwa na guardian na the independent hii ni mara ya kwanza kwamba kiwango cha kaboni dioksidi gesi kubwa ya chafu katika anga imeongezeka kwa zaidi ya chembe 2 kwa chembe milioni (ppm ) kwa mwaka kwa miaka miwili mfululizo kati ya 2001 na 2002 idadi ya chembe kaboni dioksidi kwa chembe milioni imeongezeka kutoka 37102 hadi 37310 (ongezeko la 208 ppm zaidi ya mwaka) kisha iliendelea zaidi hadi 37564 katika 2003 ongezeko la kila mwaka la 254 ppm takwimu hizi zimeandikwa kwenye mkutano wa mlima mauna loa huko hawaii kutoka 1958 na huduma za charles keeling mtafiti wa marekani kwa mujibu wa mtafiti hii miaka minne tu hapo awali (1973 1988 1994 1998 na) alikuwa na ongezeko uzoefu katika mkusanyiko wa carbon dioxide juu 2 ppm na kila mara ni miaka alama na uzushi el nino kushangaa zaidi kwa mtafiti wa marekani miaka 74 iliyopita ni kwamba hakuna kati ya miaka miwili hii ilikuwa miaka ya el nino na hakuna data inayoweza kuelezea kuongezeka kwa hii kwa mujibu wa guardian takwimu hizi zitajadiliwa jumanne wakati wa greenpeace congress ya kila mwaka mbele ya mshauri wa kisayansi kwa waziri mkuu wa uingereza tony blair david king chanzo afp 11102004 ← polyfuel membrane mpya kwa seli za mafuta nafuu mizizi ya dizeli ya mvuke ya dizeli ya kitson bado →
2018-11-17T22:17:06
https://sw.econologie.com/rechauffement-augmentation-acceleree-dioxyde-carbone-atmosphere/
raia kukataa kukamatwa taratibu zikikiukwa | gazeti la jamhuri siku zote wananchi wamekuwa wakililalamikia jeshi la polisi kwa namna linavyoendesha shughuli zake hasa wakati wa ukamataji (arresting) matumizi ya nguvu ubabe na kutofuata sheria na utaratibu maalum vimekuwa ndiyo tatizo kubwa kwa wananchi dhidi ya askari siyo siri askari wamekuwa wakitumia nguvu na ubabe mno katika kukamata raia hata pale pasipo na haja yoyote ya kutumia nguvu bado wao wamekuwa wakilazimisha nguvu nyingi hali ambayo husababisha vurugu kuumizana na hata mauaji mara nyingi unapochunguza matukio mbalimbali ya vurugu ambayo huwahusisha raia na polisi utagundua kwa haraka kuwa ubabe wa askari ndiyo uliosababisha vurugu leo nitaeleza nini ufanye askari anapokiuka taratibu hasa wakati wa kukamata/kuweka chini ya ulinzi maana ya kukamata (arrest) sura ya 20 sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002 ndiyo sheria inayotoa mwongozo wa namna na jinsi ya kumkamata mtu pamoja na hayo sheria hii haikueleza moja kwa moja nini maana ya kukamata hata hivyo kutokana na miongozo mbalimbali ya kimahakama ambayo hutumika kutafsiri sheria hii tunaweza kupata tafsiri ya neno kukamatwa kwa kusema kuwa ni tendo la kumzuia kwa muda raia ambaye anatuhumiwa kwa kosa fulani ambalo hufanywa na mamlaka husika kwa tafsiri hiyo tendo la kuzuia lazima liwe la muda raia anayekamatwa lazima awe ametuhumiwa na pia ukamataji lazima ufanywe na mamlaka huo ndiyo utakuwa ukamataji (arrest) anayeruhusiwa kukamata kwanza kifungu cha 14 cha sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai kinampa mamlaka askari polisi kumkamata au kumweka chini ya ulinzi raia mtuhumiwa hii ni kusema kuwa mamlaka ya kukamata aliyonayo askari yeyote ameyapata kutoka kifungu hiki pili kifungu cha 18 cha sheria hiyohiyo kinampa hakimu yeyote mamlaka ya kumkamata raia mtuhumiwa mahakimu wamegawanyika wapo mahakimu mahakama za mwanzo mahakimu mahakama za wilaya na mahakimu mahakama za hakimu mkazi hawa wote ni mahakimu na wanayo mamlaka ya kumkamata mtuhumiwa kwa mujibu wa kifungu hiki tatu kifungu cha 16 cha sheria hiyohiyo kinatoa mamlaka kwa raia yeyote kumkamata mtu anayetenda kosa hapa tofauti ni kuwa mamlaka ya raia kumkamata raia mwenzake ni madogo na huwezekana pale tu ambako mtuhumiwa ametenda kosa kubwa na pengine kuna wasiwasi kuwa anaweza kutoroka asipozuiliwa haraka na kwa muda huo lakini kama mazingira si haya basi raia anatakiwa kutoa taarifa polisi ili wao wenyewe ndiyo wafanye kazi hiyo matumizi ya nguvu hayaruhusiwi kifungu cha 21 cha sheria hiyohiyo kinakataza kabisa matumizi ya nguvu wakati wa kumkamata raia matumizi ya nguvu ni pamoja na kumpiga raia kumfunga pingu kumshika suruali kwa kumninginiza kumtukana au matumizi yoyote ya lugha chafu na kila kitu kinachofanana na hayo sheria inaruhusu raia kukataa askari anapokiuka taratibu katika kesi ya nzige juma vs r (1964) ea 107 uk 147 mahakama ilisema kuwa kama mtu atakamatwa bila kufuata utaratibu basi mtu huyo anaruhusiwa kugomea ukamataji huo huu ndiyo uamuzi wa mahakama na kwa mujibu wa sheria uamuzi wa mahakama ni sheria na hivyo uamuzi huo ni sheria kwa sheria hii nitoe wito kwa raia kutowaonea aibu askari polisi wanaokiuka taratibu ikiwa ni pamoja na matumizi ya nguvu katika ukamataji kwa kuwagomea ieleweke kuwa kugoma katika hili si kuvunja sheria bali ni kutekeleza sheria ni haki yako kama zilivyo haki zako nyingine na kugoma katika hili hakuwezi kukuletea shida yoyote na hivyo huna haja ya kuwa mwoga kumbuka kama wewe mwenyewe hutaweza kulinda haki zako hakuna atakayelinda haki hizo kwa niaba yako wewe ndiyo unayetakiwa kuwa wa kwanza kulinda na kusimamia haki zako kwa msimamo usioyumba na bila woga huku ukiamini kuwa uko salama mbele ya sheria chukua hatua sasa kwa kukataa na kugomea ukamataji uliokiuka taratibu kuhusu sheria za ardhi mirathi ndoa kampuni nk tembelea sheriayakubblogspotcom previous dhana ya demokrasia yetu inakumbana na changamoto next msumbiji tanzania tuenzi undugu wetu ndugu rais tafuteni kwanza ufalme wa mbingu
2019-02-17T03:59:46
http://www.jamhurimedia.co.tz/raia-kukataa-kukamatwa-taratibu-zikikiukwa/
hadithi wakili wa moyo sehemu 25 2jiachie official site hadithi wakili wa moyo sehemu 25 moyoni mwake alikuwa tayari kumsubiri hans hata miaka kumi ili waoane lakini kifungo cha maisha kilimvunja nguvu na kuamini mtu sahihi kwake alikuwa colin aliapa kumpigania colin kwa nguvu zote kumrudisha mikononi mwake hata kwa kutoa uhai wa mtu alipofika nyumbani kwao alimweleza mama yake kilichotokea na kumshtua sana mmh yamekuwa hayo unafikiri utafanyaje naona kila kitu kimevurugika lakini mama colin kasema kesho niende nikampeleke colin hospitali utampeleka vipi ikiwa hataki hata kukuona mama yake kasema yeye anajua kila kitu kinachotakiwa kufanyika na ameniahidi lazima nitaolewa na mwanaye mmh sawa kwa vile kasema mama yake lakini maneno ya colin yamenitisha kusema eti yupo tayari kufunga ndoa na maiti ya cecy kuliko kuoa mwanamke mwingine mama au akili ya colin imepata tatizo baada ya kujigonga kwenye ajali inawezekana maana ajali haikuwa ya kawaida mmh inawezekana maana alivyonigeuka si kawaida yake mama naamini colin ananipenda au yule mtoto alimwendea colin kwa karumanzila inawezekana kabisa si bure ana urembo gani wa kumfanya colin atake kufunga ndoa na maiti yake hata mimi naona lazima nasi tuhangaike ili kuhakikisha nafasi hiyo unaipata wewe yaani huwezi kuamini sara zangu zote namuomba ziraili amtokee cecy na kummaliza kabisa tufikirie mambo mengine duh kweli wewe kiboko wenzio dua zao wanaomba amani wewe shari siku zote adui yako muombee matatizo katika hospitali ya apolo katika mji wa mumbay nchini india madaktari waliendelea kuumiza kichwa kutokana na ugonjwa wa cecy ambao uliwachanganya akili baada ya kuweza kufumbua macho lakini mwili bado haukuwa na mawasiliano kwa asilimia zote waliufanyia vipimo vyote na kukaa jopo la madaktari mabingwa kuchunguza cecy ana tatizo gani lililopelekea kuwa katika hali ile hali iliyojitokeza ilikuwa tofauti na maelezo ya ajali yake walijikuta wakifikia uamuzi wa kumrudisha tanzania kwani waliamini hakutaka na mabadiliko yoyote kwa muda mfupi matumaini ya kupata nafuu yalikuwa asilimia ndogo sana kuliko kupoteza maisha uhai wake waliamini hautachukua muda mrefu kwa vile mawasiliano hayakuwepo zaidi ya mapigo ya moyo yalienda kawaida pia hata mapafu yalifanya kazi vizuri kilichowashangaza kuweza kupita kwa chakula laini na kufanyiwa kazi na kutoka kinyesi chepesi ambacho alisaidia bila habari mama yake alikuwa na kazi ya kumgeuza na kumsafisha anapojisaidia pia kumbadili ubavu ili kutoweka vidonda kwa kulalia upande mmoja kwa muda mrefu mama cecy naye alikata tamaa ya mwanaye kupona kutokana na kutotokea mabadiliko yoyote makubwa zaidi ya kuweza kutazama na kula kitu kilichokuwa kikitia matumaini kidogo baada ya jopo la madaktari kukubaliana kumrudisha tanzania kwa kuamini kwa kuwa tanzania ataweza kupata vitu viwili moja kulikava taratibu akiwa nyumbani hivyo kupunguza gharama pili hata akifa wasipate gharama za kuusafirisha mwili wa marehemu walimwita mama cecy kumpa taarifa zile walizokubaliana kuhusu mwanaye kurudishwa tanzania baada ya kuingia kwenye ofisi ya madaktari bingwa alikaa kitini huku akiwa na mkalimani daktari aliyeongozana naye mama cecy tumekuita hapa ili kukujulisha hatua tuliyofikia inaonesha ugonjwa wa mwanao utachukua muda mrefu kupona hivyo tumeamua kumrudisha tanzania ili uweze kumhudumia nyumbani pia kupata msaada wa matibabu ya kusaidia kuusisimua mwili mmh sasa itakuwaje ikiwa hospitali inayotegemewa mmeshindwa mwanangu si ndiyo anakwenda kufa hapana si kufa bali huduma za muhimu tumejitahidi kadri ya uwezo wetu hatuwezi kuendelea kumweka hospitali na kuongeza gharama wakati huduma zingine anaweza kuzipata akiwa hukohuko tanzania sisi kazi yetu kubwa tumemaliza kilichobakia na kazi ya mungu mama cecy alikubali kwa sauti ya kukata tamaa kwani siku zote watu waliokwenda india hurudi wamepona na ikishindikana basi mtu huyo huwa wa kumzika aliamini ile ilikuwa kauli ya kumpa moyo lakini siku za kuishi mwanaye zilikuwa zinahesabika iliandaliwa mipango yote ikiwa pamoja na tiketi ya kurudi tanzania na kupangiwa siku ya kurudi habari zile zilikuwa pigo mujarabu moyoni kwa mama cecy mwanaye mmoja kama mboni ya jicho lake alimuona akitoweka katika sura ya dunia lakini yote alimuachi mungu kwa vile muweza wa kila kitu taarifa za kurudishwa tanzania cecy baada ya ugonjwa wake kuonekana utachukua muda mrefu kupata nafuu zilimfikia mama colin na kuamini ile ndiyo nafasi ya pekee kwa mage kuichukua nafasi ile baada ya kupata uhakika hali ile inaweza kuchukua muda mrefu kupata nafuu au maisha yake yote yawe ya kitandani alijua ilikuwa kuwapa moyo lakini cecy alikuwa maiti mtalajiwa kwa taarifa ile aliamini mwanaye pamoja na msimamo lazima atabadilika na kukubali kumuoa mage huku akijitolea kumsaidia cecy kwa kumwekea mtu wa kumhudumia na kumlipa kwa maisha yake yote ili tu kumfurahisha mwanaye alitamani siku moja aitwe bibi na hakuwa na mtoto mwingine zaidi ya colin ambaye ndiye aliyemtegemea kumleta mjukuu ugonjwa wa cecy ulionesha hakukuwa na dalili zozote kuweza kubeba ujauzito na yeye kupata mjukuu moyoni alijikuta akipata mawazo mabaya ya kumuua cecy kama mwanaye atasimamia msimamo wake wa kutotaka kuoa mwanamke mwingine lakini kuna kitu kilimtisha baada ya kukumbuka kauli ya mwanaye kufunga ndoa hata na maiti ya cecy hiyo ilimpa wakati mgumu lakini alipanga kumtumia mage kuyabadili mawazo yake na kukubali kumuoa siku ya pili mage alifika kama alivyoelekezwa na mama colin lakini hakutakiwa kuonana na colin mpaka mpango wake autekeleze baada ya mage kufika alifikia chumba cha msichana wa kazi na mama colin alikwenda chumbani kwa colin kumwamsha ili ajiandae kwenda hospitali jiandae basi ukafanye mazoezi colin aliingia bafuni kuoga baada ya kuoga alibadili nguo na kutoka chumbani kwake na kwenda kukaa sebuleni kumsubiri mama yake ili waende kwenye mazoezi ya viungo (physiotherapy) mama colin alitoka chumbani kwake akiwa tayari kwa safari begi lake begani colin alipomuona mama yake alinyanyuka ili waondoke lakini ghafla alishtuka kumwona mama yake akiweka mkono kichwani katika paji la uso huku amekunja uso nini mama colin alishtuka kichwa mama alisema kwa sauti ya kujilazimisha mungu wangu kimefanya nini tena mama yangu colin alishtuka na kujitahidi kumfuata mama yake ili amshike hapana baba niache nitakaa mwenyewe mama colin alisema huku akisogea kwenye kochi na kukaa nipe maji alisema akiwa ameinama mkono kichwani colin alipotaka kwenda kumchukulia maji alimkataza na kutaka amwambie msichana wa kazi baada ya kuitwa alileta maji kwenye glasi na kumpa mama colin aliyeyanywa yote na kupumua pumzi nyingi kisha alisema duh afadhali kidogo sasa itakuwaje maana kwa hali hiyo huwezi kuendesha gari na kweli siwezi kuendesha gari nimekumbuka mage alisema atakuja kukuona asubuhi mage gani si aliyekuwa mchumba wako mama niseme mara ngapi kuwa sitaki kumuona yule shetani wa kike colin alisema kwa hasira kidogo mwanangu wewe ndiye uliyekuwa ukinieleza siku zote nisikae na jambo baya moyoni muda mrefu naweza kupata matatizo kwa nini unamchukia hivyo mage hata kama alifanya kosa lililosababisha ajali bado alitakiwa kusamehewa humtaki kuwa mpenzi wako lakini bado ni mwanadamu anayetakiwa kusamehewa na kumwona rafiki hujui adui wa leo ni rafiki wa kesho ni kweli mama najitahidi kumsamehe lakini moyo wangu umekuwa mzito huyo ni pepo mchafu tunatakiwa kumkemea sawa mama nitajitahidi kwa vile siwezi kuendesha gari leo basi naomba mage atatupeleka hospitali sawa mama colin hakutaka kukataa kwani angemuudhi mama yake ngoja nimpigie simu mama colin alijifanya kipiga simu na kujizungumzisha peke yake eeh umekaribia tena umefanya vizuri wahi basi utupeleke hospitalihaya tunakusubiri umekaribia sawa hakuna tatizo tupo tayari mama colin alijifanya kukata simu kwani kafika wapi colin aliuliza yupo nje ya geti mama colin alijifanya kuelekea upande wa vyumbani na kwenda chumba cha msichana wa kazi na kwenda kuzungumza mage mambo yamekwenda vizuri japokuwa imenibidi nilazimishe kwa cheo cha umama sasa pitia mlango wa nyuma kisha ingilia mlango wa mbele kujifanya ndiyo unaingia mage alitokea mlango wa nyuma na kwenda kulichua gari alilokuwa amelipaki nje na kuingia nalo aliteremka kwenye gari na kuingia ndani karibu mama asante za hapa nzuri mage alisogea kwa colin na kumsalimia namshukuru mungu nina imani hali yako itatengemaa muda si mrefu ili urudi katika majukumu yako sara zangu zote hukutanguliza mbele nina imani mungu ataipokea mage tunaweza kwenda mage alimshika mkono colin na kunyanyua alitoka naye hadi nje na kuingia kwenye gari la mage ambalo aliomba walitumie kwa siku ile colin muda wote alikuwa kimya hakutaka kutia neno kwa kuhofia kumuudhi mama yake ambaye muda huo aliamini kabisa hali yake siyo nzuri hakutaka kuharibu kote kwani bado hali ya mpenzi wake cecy ilibakia kitandawili walikwenda mpaka kwenye kitengo cha mazoezi ya viungo (physiotherapy) walipofika mama colin alikaa pembeni na mage alimsaidia colin kufanya mazoezi kwa kumshikilia sehemu zingine ambazo alihitaji msaada kila dakika mage alikuwa akitokwa na machozi kitu kilichomshtua colin mage unalia nini sijui moyoni mwako una hasira kiasi gani juu yangu sina hasira yoyote hapana colin una kitu kizito juu yangu kutokana na yaliyotokea ile ni mipango ya mungu tu naomba colin unisamehe najutia kilichotokea ni mapenzi ndiyo yaliyonisukuma kufanya vile hata kama hutaki kuwa na mimi naomba unione rafiki na si adui mage ningekuwa sijakusamehe tusingekuwa karibu hivi na kuweza kukusikiliza nashukuru colin kwa kunisamehe naamini wewe ni mume mwema hakika cecy kapata lulu kwenye chaza nashukuru vipi hali ya cecy kwa kweli mpaka sasa sijajua mama amekuwa akinificha japo walinieleza inaendelea vizuri mungu atamsaidi siku moja atasimama na kufanikisha mlichokipanga mage alimpa moyo kinafiki baada ya cecy moyoni mwako yupo nani bado sijamuona labda mwenetu atakaye zaliwa basi naomba baada ya mwenenu nafasi inayofuata nipe mimi naomba usiniweke mbali na mawazo yako naomba niwasiliane na wewe wakati cecy yupo mbali mage suala la mawasiliano naomba tuliweke pembeni kwanza kwa nini colin kukujulia hali tu ukitaka kuwasiliana na mimi tumia simu ya mama lakini kwa sasa sitatumia simu kwa vile ndiyo iliyoleta yote haya colin basi hujanisamehe kukusamehe si kunilazimisha kufanya vitu nisivyo vitaka nimekueleza sitaki kutumia simu unanilazimisha kwa kisingizio cha kutokusame kumbuka ubishi huo ndiyo uliosababisha yote haya nimekuelewa colin nisamehe sana nitajitahidi kukuelewa ili tusije kosana tena itakuwa vizuri colin nashukuru kunisamehe moyo wangu sasa mwepesi nilikuwa kama nimebeba mawe kawaida katika maisha kuna kukosana na kupatana nashukuru sana mama colin aliyekuwa mbali kidogo mazungumzo yale yalimtia moyo na kuamini mpango wake umeweza kufanikiwa kwa kuamini mage ndiye chaguo lake la awali kabla cecy kuingilia penzi lile taarifa ya kurudishwa cecy kutoka india hakutaka kumweleza haraka mwanaye mpaka akapotua nchini kwani kwa taarifa siku inayofuata ndiyo aliyokuwa akiwasilia nchini itaendelea 736 am item reviewed hadithi wakili wa moyo sehemu 25
2017-01-20T13:57:38
http://www.2jiachie.com/2016/05/hadithi-wakili-wa-moyo-sehemu-25_26.html
muziki wa daudi wa kukumbusha 38 ee yehova usinikaripie katika hasira yako+wala usinirekebishe katika ghadhabu yako+ 2 kwa maana mishale yako imepenya sana ndani yangu+nao mkono wako umeshuka juu yangu+ 3 hakuna mahali popote pazima katika mwili wangu kwa sababu ya shutuma yako+hakuna amani katika mifupa yangu kwa sababu ya dhambi yangu+ 4 kwa maana makosa yangu yamepita juu ya kichwa changu+kama mzigo mzito ni mazito sana kwangu+ 5 vidonda vyangu vinanuka vina usahakwa sababu ya upumbavu wangu+ 6 nimeingiwa na wasiwasi nimeinama kupita kiasi+nimetembea huku na huku kwa huzuni mchana kutwa+ 7 kwa maana viuno vyangu vimejaa motowala hakuna mahali popote pazima katika mwili wangu+ 8 nimekufa ganzi na kupondwa kupita kiasinimenguruma kwa sababu ya kuugua kwa moyo wangu+ 9 ee yehova tamaa yangu yote iko mbele zakowala kuugua kwangu hakujafichwa mbele zako+ 10 moyo wangu mwenyewe umepigapiga kwa nguvu nguvu zangu zimeniachana nuru ya macho yangu mwenyewe haiko pamoja nami+ 11 nao wenye kunipenda na wenzangu wanaendelea kusimama mbali na pigo langu+na rafiki zangu wamesimama mbali+ 12 lakini wale wanaoitafuta nafsi yangu wanatega mitego+na wale wanaotaka kuniletea msiba wamesema mabaya+nao kwa sauti ya chini wanaendelea kusema udanganyifu mchana kutwa+ 13 lakini mimi kama kiziwi nikawa siwasikilizi+na kama mtu asiyeweza kusema nikawa sifungui kinywa changu+ 14 nami nikawa kama mtu ambaye hasikiina kinywani mwangu hamkuwa na hoja zozote za kupinga 15 kwa maana nilikungojea wewe ee yehova+wewe mwenyewe ukanijibu ee yehova mungu wangu+ 16 kwa maana nilisema kama sivyo watashangilia kwa sababu yangu+mguu wangu uliposonga kwa kuyumbayumba+ hakika walijivuna sana dhidi yangu+ 17 kwa maana nilikuwa tayari kuchechemea+na maumivu yangu yalikuwa mbele yangu daima+ 18 kwa maana nilisema juu ya kosa langu mwenyewe+nikaanza kuhangaikia dhambi yangu+ 19 na adui zangu walio hai wakawa wenye nguvu+na wale wenye kunichukia bila sababu wakawa wengi+ 20 nao walikuwa wakinilipa mema yangu kwa mabaya+wakaendelea kushindana nami kwa sababu ya kufuatilia kwangu mambo yaliyo mema+ 21 usiniache ee yehovaee mungu wangu usikae mbali nami+ 22 ufanye haraka unisaidie+ee yehova wokovu wangu+
2017-12-14T03:06:08
https://www.jw.org/sw/machapisho/biblia/bi12/vitabu/zaburi/38/
hadithi za mapokeo ya wairaqw pdf by author 0 last download was at 20160128 015858 this book is good alternative for hadithi za kutisha nilizo simuliwa na baba yangu (paperback) download now for free or you can read online hadithi za mapokeo ya wairaqw book hadithi za mapokeo ya wairaqw = iraqw folktales in tanzania / zimekusanywa na kuandikwa na shohei wada shirikiana na izudori owamara na daniel amsi tsila (a new unread copy) pdf by author wada shohei last download was at 20160513 320921 this book is good alternative for hadithi za kutisha nilizo simuliwa na baba yangu (paperback) download now for free or you can read online hadithi za mapokeo ya wairaqw = iraqw folktales in tanzania / zimekusanywa na kuandikwa na shohei wada shirikiana na izudori owamara na daniel amsi tsila (a new unread copy) book hadithi za mwitu motoo aliyelelewa na mbwa mwitu (maugli stories) (mowgli stories of a child raised by wolves) pdf by author mtoto aliyelelewa na (rudyard kipling) last download was at 20170301 020352 this book is good alternative for hadithi za kutisha nilizo simuliwa na baba yangu (paperback) download now for free or you can read online hadithi za mwitu motoo aliyelelewa na mbwa mwitu (maugli stories) (mowgli stories of a child raised by wolves) book hadithi za mzee kobe pdf by author 0 last download was at 20170501 470751 this book is good alternative for hadithi za kutisha nilizo simuliwa na baba yangu (paperback) download now for free or you can read online hadithi za mzee kobe book hadithi za ndege pdf by author 0 last download was at 20170508 344440 this book is good alternative for hadithi za kutisha nilizo simuliwa na baba yangu (paperback) download now for free or you can read online hadithi za ndege book hadithi za wairaqw wa tanzania pdf by author w d kamera last download was at 20160122 170340 this book is good alternative for hadithi za kutisha nilizo simuliwa na baba yangu (paperback) download now for free or you can read online hadithi za wairaqw wa tanzania book hadithi za wasukuma pdf by author s felician shija last download was at 20160102 393713 this book is good alternative for hadithi za kutisha nilizo simuliwa na baba yangu (paperback) download now for free or you can read online hadithi za wasukuma book hadithi za wayao pdf by author rashidi alli akwilombe last download was at 20170320 002642 this book is good alternative for hadithi za kutisha nilizo simuliwa na baba yangu (paperback) download now for free or you can read online hadithi za wayao book hadithi zenye mafunzo pdf by author ali jemaadar amir last download was at 20170216 545838 this book is good alternative for hadithi za kutisha nilizo simuliwa na baba yangu (paperback) download now for free or you can read online hadithi zenye mafunzo book hadithi zetu pdf by author bernadetta kitambi last download was at 20170612 602405 this book is good alternative for hadithi za kutisha nilizo simuliwa na baba yangu (paperback) download now for free or you can read online hadithi zetu book copyright © 2017 by transferableus | skunx24580015
2018-06-19T20:06:23
http://1wb.transferable.us/emu27/
wizara ya elimu yahimizwa kujumuisha elimu ya ngono kwenye mtaala wizara ya elimu imehimizwa kujumuisha elimu kuhusu maswala ya ngono na ushauri shuleni ili kuwawezesha wanafunzi kupewa mwelekeo unaostahili katika umri mdogo mkurugenzi wa shirika la vijana la stretchers youth organization dickson okongo amesema kwamba kinyume na siku za hapo awali ambapo watoto walikuwa na ufahamu mchache mno kuhusu mambo ya ngono na maswala mengine ya kimaisha kwa sasa watoto wana ufahamu wa kina kuhusiana na maswala hayo akizungumza huko changamwe kaunti ya mombasa okongo amesema kwamba kupitia kwa maswala ya utandawazi na watoto kuwa na ufahamu zaidi kuhusiana na mambo ya teknolojia sasa watoto hao wanashiriki ngono bila ya kujali maambukizi ya maradhi au uja uzito okongo ameitaka wizara ya elimu kuwaruhusu washauri wa vijana kuzuru shuleni angalau mara moja kwa juma ili kukaa na wanafunzi na kujadili kuhusu maswala ya ngono na pia kuwaelekeza vyema maishani ili wasipotoke kimaadili au kukatiza ndoto zao maishani
2018-10-20T20:21:35
http://radiokaya.co.ke/wizara-ya-elimu-yahimizwa-kujumuisha-elimu-ya-ngono-kwenye-mtaala/
chuo kikuu huria cha tanzania (out) | jamiiforums | the home of great thinkers chuo kikuu huria cha tanzania (out) discussion in 'jukwaa la elimu (education forum)' started by magobe t nov 1 2009 ndugu wadau nimesoma kwenye magazeti kuwa kuna mchezo mchafu unaendelea chuo kikuu huria cha tanzania (out) wanafunzi wanabadilirishiwa matokeo yao nimeshangaa sana hali kama hii inaondoa imani na baadaye hakuna atakayekuwa na imani na matokeo ya wanafunzi kwa vile itakuwa vigumu sana kujua kama ni ya kweli au yamebadilishwa itaweza kusababisha wanachuo wanaohitimu out wakitaka kujiunga na vyuo vingine itabidi wafanye mitihani tena ili kubaini kama wana sifa zinazostahili au la hii siyo hatari uwezekano huo upo niliwahi kusikia kuna mtu mmoja pale utawala kitivo cha sheria alikuwa anapokea hongo na anambadilishia mtoa hongo matokeo yule jamaa nasikia alikuja kuondolewa pale utawala kitivo cha sheria inawezekana na vitivo vingine mchezo huo umekuwepo vile vile hii elimu ya tz imeoza kila mahali kuanzia shule za msingi hadi vyuo kwa wizi wa mitihani ufundishaji mbovu kufoji vyeti nk sasa sijui matengenezo yaanzie wapi ndugu yangu hapafai pesa ina determined kufaulu kwako kuna jamaa zangu wanasoma pale assigment sijui nini wanamshkisha tu mwl kiasi cha mboga mambo yanakuwa yamekwisha quality ya elimu yao kwa ujumla is questionable frankly speaking elimu ya juu hapa nchini imejaa ubabaishajirushwa na fitina tumewahi sikia maneno kama viledigrii yako ipo mikononi mwangudigrii za chupina mengineyo mengi yote haya yamegubika elimu ya juu ikafikia wakati memba mmoja humu ndani akatoa uchambuzi wa jinsi vyuo vilivyowaliosoma katika vyuo hivyo walimshutumu vikali lakini ndo hali halisi iliyomo vyuoni mfanochuo cha mwalimu nyerere lekchara anatoa asaiment anaenda maktaba anaficha vitabu vyotena mwisho wa kukusanya ni kesho jumatatu unatarajia nini(iiyearpolitics) mtu aliyepata digrii kwa rushwa akiingia kwenye utumishi wa umma (labda kwa rushwa pia) ni mtu hatari sana 22107512
2017-07-21T04:29:43
https://www.jamiiforums.com/threads/chuo-kikuu-huria-cha-tanzania-out.42559/
moyo wenye ganzi | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by eiyer jun 12 2012 tatizo lako mdogo wangu ni uvivu ulikuta ganzi ukatumia miaka 2 kumuweka sawa haya sema ulitumia miaka mingapi kumfurahia kabla hujamrudishia ganzi yake na kusepaclick to expand ukila kona ndo unauua kabisaclick to expand sio kuurudhisha kwenye ganzi tena bali aliufisha kabisaclick to expand ukikutana na mtu wa dizain hii bora ule kona tuclick to expand eiyer yaani ulivyomuacha ndio aliumia zaidi nahisi waliofuata baada yako walikiona cha moto nahisi pia hukumpenda kivile ungekuwa umempenda kiukweli usingekubali akuponyoke ungejaribu kila njia kumfanya arudishe tena imani yake na kuamini kupendwa kupoclick to expand usiombe ukakutana na mtu wa aina hii utayachukia mapenzi nakumbuka ilikua mwaka 1999 nilipokutana na bimti wa aina hiiilinichukua miaka miwili kumuweka sawa yaani kila unachofanya kwake ni kibaya anaona wewe ni walewalemoyo wake ulishakufa ganzi zamanihahisi wala hataki kupenda tenaukikutana na mtu wa dizain hii bora ule kona tuclick to expand huwa sina utani kwenye mahusianoyeye ndo alikula konana bahati nzuri sijawahi kuachaclick to expand labda unafanya vitu ambavyo vinamkumbushia pastlife yakehivyo lazima akuone wewe ni walewale tuclick to expand hivi kweli mtu mwenye ganzi ikatokea akampata mtu wa kumtoa hiyo ganziatamuacha huyo mtu kweli we eiyer acha kutudanganya bwanaclick to expand mkuu wewe ni mkubwa hivyoo siamini yan 1999 ahahahaaaa mimi kweli kichanga duuu heshima kwako mkuu eiyer vip unaendeleaje na homa
2017-04-26T00:54:04
https://www.jamiiforums.com/threads/moyo-wenye-ganzi.277638/
serikali imesema inapambana kwa nguvu zote na vitendo vya mapenzi ya jinsi moja na kwamba mwanamume atakayethibitika kufanya vitendo vya kike ataadhibiwa kisheria naibu waziri wa afya maendeleo jamii jinsia wazee na watoto dk hamisi kigwangalla alisema hayo jana ijumaa alipojibu swali la mbunge wa viti maalumu (chadema) susan lyimo mbunge huyo alisema kumekuwa na biashara kati ya wanaume na wanawake lakini pia ipo ya watu wa jinsi moja nataka kufahamu hao wanachukuliwa hatua gani alihoji lyimo naibu waziri alisema sheria inakataza watu wa jinsi moja kufanya mapenzi kinyume cha maumbile na pia inakataza wanaume kufanya vitendo vya jinsi ya kike alisema kuna adhabu kali hutolewa na sheria hiyo kwa mtu anayebainika kufanya vitendo hivyo na kwamba adhabu yake ni kifungo cha hadi zaidi ya miaka 30 jela tumekuwa tukipambana kwa nguvu zetu zote na makundi haya ambayo yamekuwa yakishiriki katika vitendo vya mapenzi ya jinsi moja kuyahamasisha ama kuyahalalisha au kuyafanya kuonekana kama ni vitu vya kawaida katika nchi yetu alisema dk kigwangalla alisema wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa kufanya operesheni nchi nzima amesema taasisi mbalimbali ambazo zilikuwa na mwelekeo wa kutekeleza afua za kinga katika sekta ya afya wamezifuta na kuzibadilisha katika swali la msingi mbunge wa geita mjini (ccm) costantine kanyasu alihoji kazi ya kuwakamata wanawake wanaojiuza imefanikiwa kwa kiasi gani nchini dk kigwangalla alisema tatizo hilo ni kubwa katika mikoa ya dar es salaam mwanza arusha mbeya na dodoma kitendo cha mwanamke kuishi akitegemea kipato chake au sehemu ya kipato chake kutokana na ukahaba ni kosa la kisheria alisema naibu waziri alisema katika kutekeleza sheria ipasavyo viongozi katika mikoa ukiwemo mkoa wa dar es salaam wamekuwa wakikamatwa na kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria ya wanawake wanaojiuza alisema wizara ya afya kwa kushirikiana na ofisi ya rais tamisemi na wizara ya mambo ya ndani ya nchi wataendelea kuhakikisha wanawake wanaojihusisha na biashara hiyo wanaendelea kukamatwa ili kulinda heshima utu na hadhi ya wanawake wa tanzania mapenzi ya jinsia moja
2017-11-20T23:07:26
https://dondosha.blog/2017/09/16/serikali-yaapa-kupambana-na-wanaojihusisha-na-mapenzi-ya-jinsi-moja/
this thread is killing me | jamiiforums | the home of great thinkers discussion in 'jf chitchat' started by mphamvu apr 30 2012 wakuu niliwaahidi bonge moja la thread na pasi na maneno nimelileta kwenu https//wwwjamiiforumscom/jfdoctor/259357letstalkaboutkinyesi2html#post3815694 sasa tatizo ni kuwa mods wameihamishia jf doctor wakati mim nimeiweka chitchat kwa ajili yenu the problem ni kuwa inanilazimu kila anayeuliza swali katika huu uzi ajibiwe kitaalamu and meen i ain't no doctor mi ni mtaalamu wa kiswahili bwana hata uzi wenyewe nimeandika kutokana na uzoefu wangu katika mambo ya haja kubwa shime wanajamvi naomba tushinikize moderator waurudishe uzi wetu duuuh duuuhclick to expand nini tena mrembo anything mphamvu wanna know mphamvu notwithstanding it is your thread and handwork the thread in question is in the appropriate forum of jf doctor it will not be brought back to chit chat for it is not a chit chatting matter jf express regret for any inconvenience incurred on the matter huko kuandikiana kizungu ndo kuchimbana mkwara sasa siingii hilo dema why shouldn't it be a social matter rather than consideringi it a heath matter kuishia kusema kuwa inafaa kule bila ufafanuzi ni kutonitendea haki hata hivyo wale raia wanaouliza maswali yanayohitaji majibu ya kitaalam mtawajibu nyie fang usinichoshe nisikuchoshe i want my thread back mmmmh big up kaka mkubwa ebohii thread ipeleke kwenye mambo ya kikubwa kabisa mphamvuclick to expand bishanga
2017-01-19T13:08:28
https://www.jamiiforums.com/threads/this-thread-is-killing-me.259789/
mkutano kati ya au na uulisbon | habari za ulimwengu | dw | 09122007 mkutano kati ya au na uulisbon katika mkutano wa kilele wa siku 2 kati ya umoja wa ulaya na afrila mjini lisbonurenokanzela angela merkelwa ujerumani amesema kwamba rais robert mugabe wa zimbabwe anaichafua heba ya bara la afrikaakaongeza kusema kwamba zimbabwe inamtia wasi wasi kila mmoja barani ulaya na afrikaakawataka viongozi wa afrika kupigania demokrasia isonge mbele nchini zimbabwe waziri mkuu wa uingereza gordon brown anaususia mkutano wa lisbon kutokana na kuhudhuria kwa rais mugabe viongozi wengine wa ulaya hawakujiunga na uingereza kususia mkutano wakidai kwamba mazungumzo nae ndie njia bora kabisa ya kukabiliana na matatizo ya zimbabwe kama vile rekodi ya rais mugabe ya kukanyaga haki za binadamu viongozi wa ulaya na afrika kutoka jumla ya nchi 67 wanafanya mkutano wao wa kwanza wa kilele tangu kupita miaka 7lengo lake ni kuunda mkakati mpya wa ushirikiano baina ya mabara haya 2mkutano unatazamiwa kumalizika leo kwa tangazo la pamoja juu ya mkakati huokuhusu ushirikiano huu rais wa ghana john koufour alisema kiungo http//pdwcom/p/czlp
2017-12-16T17:10:45
http://www.dw.com/sw/mkutano-kati-ya-au-na-uu-lisbon/a-2995829
eritrea pato la taifa mwaka kiwango cha ukuaji sasa maadili data ya kihistoria utabiri takwimu chati na kalenda ya kiuchumi eritrea pato la taifa mwaka kiwango cha ukuaji <iframe src='https//tradingeconomicscom/embed/s=eritreagdpate&v=202004191435v20191105&lang=all&h=300&w=600&ref=/eritrea/gdpgrowthannual' height='300' width='600' frameborder='0' scrolling='no'></iframe><br />source <a href='https//tradingeconomicscom/eritrea/gdpgrowthannual'>tradingeconomicscom</a> pato la taifa mwaka kiwango cha ukuaji 310 420 2125 1312 asilimia [+] pato la taifa 650 672 672 034 usd bilioni [+]
2020-06-01T20:13:05
https://sw.tradingeconomics.com/eritrea/gdp-growth-annual
rapper amuua mkewe na kujiua mkewe alimsaliti na trey songz tubonge tz rapper amuua mkewe na kujiua mkewe alimsaliti na trey songz rapper wa marekani earl hayes amemuua mke wake stephanie moseley aliyekuwa staa kwenye kipindi cha hit the floor cha vh1 kwa risasi na yeye kujiua kutokana na wivu wa mapenzi hayes alikuwa ameumizwa na uhusiano wa kimapenzi aliokuwa nao mke wake na trey songz stephanie moseley aliuawa nyumbani kwao na mume wake huyo huko los angeles vyanzo vilivyo karibu hayes vimeuambia mtandao wa tmz kuwa hayes alitengana na mke wake miaka miwili iliyopita baada ya kugundua alimsaliti na songz walirudiana lakini hayes hakuwa amepona kidonda cha kusalitiwa na kwenye mazungumzo yao mara nyingi alikuwa akikumbushia suala la songz trey ametweet rip babygirl once an angel on earth now watching over us from heaven youll b missed but never forgotten love trey songz (@treysongz) december 9 2014 //platformtwittercom/widgetsjs rip babygirl once an angel on earth now watching over us from heaven youll b missed but never forgotten love hayes alimshutumu mke wake kwa kuwa pia na uhusiano na mastaa wengine stephanie alikuwa dancer wa waimbaji maarufu wakiwemo chris brown na usher japo hakuwataja kama chanzo cha mgogoro wao hayes na moseley walifunga ndoa mwaka 2008 na marafiki zao wanasema alikuwa akimpenda mno mke wake chanzo kingine kimeuambia mtandao wa hollywoodlifecom kuwa hayes alikuwa anaendelea kumhisi mke wake anamsaliti kabla ya kumuua kimesema stephanie alikuwa anataka kumuacha mumewe kutokana na tabia yake ya kumchunga muda wote kimeongeza kuwa rapper huyo aliwahi kutishia kujiua kama mke wake angemuacha na kweli stephanie alikuwa amuache miezi miwili iliyopita katika hatua nyingine mtandao wa tmz umedai kuwa bondia floyd mayweather alikuwa akiwasiliana na hayes aliyekuwa rafiki yake kupitia mtandao wa video wa facetime na alishuhudia yote yaliyotokea rapper huyo alimpigia floyd kutumia facetime jumatatu asubuhi akiwa amekasirika kutokana na madai kuwa mke wake si mwaminifu kwa mujibu wa vyanzo earl alisema angemuua mke wake bondia huyo alijitahidi kumuomba asichukue uamuzi huo lakini alishindwa floyd hajasema alichoona lakini amekubali kuwa alikuwa shuhuda na alisikia kila kitu floyd yupo kwenye wakati mgumu kutokana na tukio hilo posted on december 10 2014may 12 2016 by mtakigambaposted in entertainment love zone news post navigation previous previous post video j cole apparentlynext next post haya hapa matokeo ya uefa champions league
2017-07-21T00:42:17
https://mtakiblog.wordpress.com/2014/12/10/rapper-amuua-mkewe-na-kujiua-mkewe-alimsaliti-na-trey-songz/
straika serikali yawasimamisha kazi maafisa waandamizi wa jeshi la polisi serikali yawasimamisha kazi maafisa waandamizi wa jeshi la polisi waziri wa mambo ya ndani ya nchi dkt emmanuel nchimbi amewataja waliosimamishwa kazi kuwa ni elias mwita aliyekuwa mkuu wa upelelezi mkoa wa mbeya jacob kiango aliyekuwa msaidizi wa mkuu wa upelelezi mkoa wa mbeya na charles kinyongo aliyekuwa mkuu wa kikosi cha kutuliza ghasia mkoa wa mbeya akizungumza na waandishi wa habari leo jijini dar es salaam dkt nchimbi alisema viongozi hao wamesimamishwa kazi tangu jana kutokana na kukiuka maadili ya jeshi la polisi nchini ambapo wanatuhumiwa kwa madai kuwa walipeleka chumvi na sukari kwenye ofisi ya mkemia mkuu badala ya kilo 19 ya madawa ya kulevya aina ya cocaine yaliyokamatwa na askari mkoani mbeya mwezi machi mwaka jana
2017-10-17T04:03:38
http://straikamkali.blogspot.com/2013/03/serikali-yawasimamisha-kazi-maafisa.html
sasha nitaendelea kupiga picha za utupu | mpekuzi sasha nitaendelea kupiga picha za utupu video vixen alijizolea umaarufu kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuanika picha za utupu siku za nyuma sasha kassim ameibuka tena na kukiri kuwa ataendelea kuweka picha zake za utupu mitandaoni mwezi uliopita naibu waziri wa habari sanaa utamaduni na michezo juliana shonza alitangaza vita na wasichana wote ambao wanaanika picha zao za utupu mitandaoni na kuahidi kuwafungia kazi zao za sanaa endapo wataanika picha hizo baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu hatimaye sasha kassim amefunguka kuwa ataendelea kupiga picha za nusu uchi kwenye mahojiano na gazeti la amani sasha alisema kuwa anajiandaa kupiga picha nyingine ambazo kama ni nguo za ndani zitaonekana nadhifu na zenye kuvutia na pia zitapungua ukali nilipotea kwa sababu niliibiwa akaunti yangu ya instagram si unajua ilikuwa na picha nyingi sana ila sasa hivi najiandaa kupiga picha nyingine mpya zitakuwa zikinionyesha sehemu zangu za mwili lakini zitakuwa zenye kujistiri kidogo
2018-06-21T00:32:39
http://www.mpekuzihuru.com/2018/06/sasha-nitaendelea-kupiga-picha-za-utupu.html
picha 7 za bus la yanga lililopata ajali asubuhi ya leo march 16 millardayocom picha 7 za bus la yanga lililopata ajali asubuhi ya leo march 16 taarifa ambazo zimethibitishwa na tovuti ya yanga kuhusu kunusurika ajali bus walilokuwa wakisafiria kutoka morogoro kurudi dar baada ya kumalizika kwa mchezo kati yao na mtibwa sugar ya manungu morogoro mechi ambayo ilimalizika kwa suluhu ya 00 wakati wanarudi asubuhi ya leo bus la timu yao ambayo lilikuwa limebeba wachezaji pamoja na viongozi wa benchi la ufundi limepata ajali eneo na mikese mizani baada ya mabus yaliyokua yakitanua kuelekea mikoa ya bara kuziba njia na kusababisha kutumbukia kwenye mtaro katika ajali hiyo iliyotokea majira ya saa tatu na nusu asubuhi hakuna mtu yeyote aliyejeruhiwa na kwa sasa timu inaondoka na usafiri wa bus jingine kuelekea jijini dar es salaam ← previous story matokeo ya ligi kuu ya uingereza man city swansea southmpton newcastle next story → taarifa kuhusu kufukuzwa kwa nicolas anelka west brom
2019-10-17T15:11:53
http://millardayo.com/yangaajali/
mitsubishi pajero 2016 for sale in 107000 sar | abi sayara mitsubishi pajero 38l gls h/l created 01092015 | last updated 01092015 print save car drive type ad id 81066
2017-03-30T16:49:52
http://www.abisayara.com/en/sale/mitsubishi/pajero/2016/alriyadh/81066
dogo janja alikuja kunieleza usipo ongea utakufa millardayocom dogo janja alikuja kunieleza usipo ongea utakufa baada ya kusambaa picha inayomuonesha dogo janja akiwa ameenda kumtembelea mtaalamu wa saikolojia dokta chris mauki kitu kilichoibua maneno ya kwamba dogo janja anamsongo wa mawazo uliodaiwa kusababishwa na kugombana na mke wake irene uwoya kisha kutengana baada ya kupata tetesi hizo ayo tv na millardayocom ikabidi iwatafute wote wawili ambao wanadaiwa kuwa kwa sasa hawaishi pamoja hali iliyofanya wawili hao kuto patakina ndipo alipopatikana dkt mauki ambaye ameeleza kuhusu dogo janja kwenda kumtembelea ofisini kwake je ni kweli anamsongo wa mawazo unaosababishwa na ugonvi kati yake na mkewe irene uwoya bonyeza play kusikia alichojibu chris mauki mimi ni boss lady sijamuiga zari jina wema hajajiita tz sweetheart husna maulid sehemu ya pili kwanini scott hakutaka kula bata na gari alilopewa na baba yake ← previous story mkataa kwao mtumwa miss tanzania arudi kwao bila gari aliyoshinda next story → alikiba sitoagi ngoma siku ya jumanne
2019-02-23T10:32:24
http://millardayo.com/dkt-ja2r03/
bbc swahili habari wachimba migodi 30 wapigwa risasi imebadilishwa 17 agosti 2012 saa 1200 gmt polisi walikuwa wamepelekwa kwenda kuwatawanya wachimba migodi wapatao 3000 ambao walikuwa wamekusanyika eneo la mlima mkabala na mgodi wa marikana ambao uko kilomita 100 kaskazini mangharibi mwa johannesburg
2017-12-11T14:40:00
http://www.bbc.com/swahili/habari/2012/08/120817_mgodi_johannesburg_mauaji
wana bantu ngoma wanakula miziki wanamuziki tanzania home / unlabelled / wana bantu ngoma wanakula miziki by jfk on february 26 2010 bantu group chini ya komandoo hamza kalala imekwisha toa wakali wengi katika anga la muziki hapa tanzania komandoo mwenyewe ana historia ndefu ikiwemo ya kuwa moja wa waanzilishi wa bendi ya vijana chini ya mkongwe john ondolo chacha amekwishapitia bendi kama matimila na kushiriki vibao vikali kama alimasi amepitia uda na ikawa katika anga za juu kimuziki tanzania wakati wake komandoo hatasahauliwa na vibao alivyopiga vijana kama mary maria mpini wake wakati wa pambamoto awamu ya pili haujarudiwa tena kibao chake nimekusamehe lakini sitakusahau cha washirika stars ni picha tosha ya kazi za hamza pichani ni juni 1 mwaka 1996 kwenye onyesho kubwa la siku ya mazingira ambalo ndilo lilikuwa onyesho la kwanza la muziki 'live' kuonyeshwa na itv na lilirushwa kwa muda wa masaa kama 6 wananchi wakipiga simu lilendelee hewani wasanii kama mr2 walipata umaarufu mkubwa baada ya tamasha hili pale mnazi mmoja tamasha liliendeshwa na chamudata chini ya mwenyekiti john kitime picha ya chini tunamwona watatu toka kushoto eddy sheggy na mwishoni ni rogart hegga ambaye kwa sasa yuko twanga pepeta by jfk february 26 2010 bwana kitime umesikia kama mzee mwenzio hamisi kitambi amefariki hiyo habari ndiyo unanitaarifu kama ni kweli ni masikitiko makubwa kwangu naomba mungu amlaze pema peponi umesikia kwamba mdau mkubwa wa blog hii mheshimiwa patrick tsere ameteuliwa kuwa balozi wetu nchini malawi kwa kweli nichukue nafasi hii kumpa hongera mheshimiwa kwa hilo wanamuziki wa tanzania wanapendwa sana malawi miaka michache iliyopita nilihudhuria miss malawi na wimbo wa mr nice wa kuku kapanda baiskeli ndio ulikuwa ukipigwa wakati mabinti wakipita mbele yetu ilikuwa eh eh duuu haya tutamwomba balozi wetu atutangaze vizuri isiwe kama ubalozi wetu marikani ambapo kwenye website ya serikali wameandika kuwa zouk na ndombolo ni muziki wa kiasili wa tanzania wakati mwingine kunakuwa na mambo ya ajabu sana mchana wa leo nilikuwa namsikiliza mwanamuziki wa malawi mzee wydham chechamba katika album yake ya chechamba's piano & guitar sounds halafu jioni nikapata habari za uteuzi wa muheshimiwa patrick tsere kuwa balozi wetu nchini malawi nami hali kadhalika naomba kupitia bloguni kwako nimpe muheshimiwa pongezi za dhati kwa uteuzi huu nilipata kusoma presentation ya wakili mmoja wa tanzania aliyekuja ughaibuni kuzungumzia mambo ya hati miliki nilitamani kulia ninayo kopi ya hiyo presentation lakini sijui iko wapi sasa siyo ajabu hata kidogo tovuti ya ubalozi wetu kuandika zouk ni muziki wa kitanzania ukitaka ujue kama ndombolo ni muziki wa asili wa kitanzania na spargheti ni chakula cha asili cha watanzania nenda tovuti ya ubalozi wetu usa http//wwwtanzaniaembassyusorg/tzepeohtmlnimewaandikia wakajibu watanijibu mpaka leo jiii tunasikitika kifo cha mzee wetu hamis kitambi hii habari ya website ya ubalozi wetu marekani inanitia kichefuchefu hata kabla sijaiona naishia hapo rich mloka
2017-09-22T20:41:57
http://mwakitime.blogspot.com/2010/02/wana-bantu-ngoma-wanakula-miziki.html
double m plus kutumbuiza bonanza la harbours club kurasini | saluti5 home » muziki » double m plus kutumbuiza bonanza la harbours club kurasini double m plus kutumbuiza bonanza la harbours club kurasini kocha wa dunia mwinjuma muumin jumapili hii ataliongoza kundi lake la double m plus katika bonanza maalum litakalofanyika kurasini muumin ameiambia saluti5 kuwa bonanza hilo litafanyika haurbours club kuanzia saa 9 alasiri bonanza hilo litashirikisha michezo mbali mbali ikiwemo soka na kuvuta kamba lakini mwisho wa siku watu wote watatulizwa na burudani kutoka kwa double m plus
2017-10-20T16:03:19
http://www.saluti5.com/2017/10/double-m-plus-kutumbuiza-bonanza-la.html
freshgagsforyou ackyshine | best👍of😂2018💯 👉😁 freshgagsforyou😂👇✔ mostamazingshortposts follow 12 may 2018 1608 (featuredjokes) mostamazingshortposts top funny pictures for your classmates follow 17 apr 2018 1553 (funnypictures) top funny pictures for your classmates mesejitamunzurizamahaba follow 16 feb 2018 1246 (featuredsms) mesejitamunzurizamahaba top hilarious pictures for your husband follow 18 apr 2018 0408 (funnypictures) top hilarious pictures for your husband funnyfridaygags open 11 may 2018 1119 (featuredjokes) funnyfridaygags really funny pictures for today open 17 apr 2018 1119 (funnypictures) really funny pictures for today mostpopularnewtales open 12 may 2018 1547 (featuredjokes) mostpopularnewtales mesejitamusanazamahaba open 16 feb 2018 1250 (featuredsms) mesejitamusanazamahaba nukuu za msingi za dini katoliki open 25 sep 2017 2334 (featuredkatoliki) nukuu za msingi za dini katoliki kitukowahenga open 13 aug 2017 2245 (vichekeshonapicha) kitukowahenga 🌟 makala muhimu za katoliki
2018-05-22T00:29:30
http://www.ackyshine.com/featured-jokes:fresh-gags-for-you
dovutwa angolewa updp mwanahalisi online fahmi dovutwa aliyekuwa mwenyekiti wa updp dovutwa angolewa updp posted by mwandishi wetu december 2 2019 0 1320 views fahmi dovutwa aliyekuwa mwenyekiti wa chama cha updp ameondolewa kwenye nafasi hiyo anaripoti mwandishi wetu (endelea) imeelezwa dovutwa amengolewa kwenye nafasi hiyo kwa madai alikitoa chama hicho katika kushiriki wa uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika tarehe 24 novemba 2019 kwa mujibu wa abdalla mohammed khamis kaimu mwenyekiti wa updp dovutwa amevuliwa uenyekiti na halmashauri kuu ya taifa ya chama hicho khamis amesema dovutwa amepewa adhabu hiyo kufuatia hatua yake ya kutangaza updp hakitashiriki uchaguzi huo pasina kupewa ridhaa na uongozi wa chama hicho ameeleza kuwa kitendo hicho ni kinyume na katiba ya updp pia kimesababisha chama hicho kukosa wenyeviti wa serikali za mitaa uchaguzi wa serikali za mitaa ulifanyika pasina ushiriki wa vyama vya upinzani nane ikiwemo chama cha updp vyama hivyo vilisusa kushiriki uchaguzi huo kwa madai kuwa mchakato wake ulikiuka kanuni za uchaguzi huo fahmi dovutwa aliyekuwa mwenyekiti wa chama cha updp ameondolewa kwenye nafasi hiyo anaripoti mwandishi wetu (endelea) imeelezwa dovutwa amengolewa kwenye nafasi hiyo kwa madai alikitoa chama hicho katika kushiriki wa uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika tarehe 24 novemba 2019 kwa mujibu wa abdalla mohammed khamis kaimu mwenyekiti wa updp dovutwa amevuliwa uenyekiti na halmashauri kuu ya taifa ya chama hicho khamis amesema dovutwa amepewa adhabu hiyo kufuatia hatua yake ya kutangaza updp hakitashiriki uchaguzi huo pasina kupewa ridhaa na uongozi wa chama hicho ameeleza kuwa kitendo hicho ni kinyume na katiba ya updp pia kimesababisha chama hicho kukosa wenyeviti&hellip previous lukuvi amtumbua mkuu idara ya ardhi next msigwa amtumia yesu kujitetea kortini
2020-05-26T08:47:22
http://mwanahalisionline.com/dovutwa-angolewa-updp/
tamaa ya fedha itakavyomtokea puani mayweather adam mkwepu na mitandao bondia wa uzito wa kati floyd mayweather ni bondia ambae hakawii kubadili uamuzi wake linapokuja suala la dau la fedha nyingi kwani yupo tayari kupigana bila kuangalia anapigana nani ilmradi fedha inaingia ni muda mrefu tangu mayweather aseme anaachana na ndondi lakini hivi karibuni amekubali kurudi ulingoni kuzichapa na conor mcgregor litakuwa pambano kati ya bondia bora na bondia mwenye jina kubwa katika mchezo wa ngumi mchanganyiko pambano kati ya mayweather na conor mcgregor limekuwa likizungumziwa sana japo kuna wakati ilionekana kama halitatokea lakini hatimaye muafaka umepatikana na sasa watapanda ulingoni agost 26 mwaka huu mjini las gas marekani pambano hilo litachezwa chini ya sheria za mchezo wa boxer japokuwa mcgregor hajawahi pigana mchezo huo popote pale lakini yeye ni mchezaji wa ngumi mchanganyiko tu hivyo itamalazima kuzingatia sheria za mchezo huo kwa kigezo hicho cha sheria kitakuwa kikimpa faida zaidi mayweather ambaye una uzoefu wa muda mrefu wa kutumia sheria hizo kuliko mpinzania wake hata hivyo pambano hilo la uzani wa middleweight litakuwa lenye thamani kubwa duniani katika historia ya masumbwi mayweather ambaye ni bingwa wa zamani katika mizani mitano tofauti na ambaye anajulikana kuwa bondia bora wa kizazi chake alistaafu mwaka 2015 baada ya mapigano 49 bila kushindwa mmarekani huyo aliwahi kutetea taji lake la wbc na wba mafanikio ambayo yalimwezesha kuifikia rekodi iliowekwa na rocky marciano ya mapigano 49 mayweather alistaafu kwa mara ya kwanza 2008 baada ya mapigano 39 kabla ya kurejea tena ulingoni mcgregor ambaye hajawahi kupigana ndondi za kulipwa alifanikiwa kuwa bingwa wa ufc novemba mwaka 2016 amekuwa akiomba kupigana na mayweather chini ya sheria za pigano linaloshirikisha ngumi mchanganyiko mayweather ataweka mfukoni kiasi kikubwa cha fedha ambacho tayari wachambuzi wa masuala ya masumbwi wameshaanza kuingiwa na wasiwasi kuhusu muda aliokaa nje anaweza kupigwa bondia huyo tangu septemba mwaka 2015 hakuwahi kupata pambano baada ya kudundana na bondia andre berto wapo wanaojiuliza kwanini pambano hilo limetokea sasa jibu ni kwamba kila bondia ameahidiwa kupata kiasi cha dola milioni 100 ambayo sawa na pauni milioni 78 ni fedha nyingi na huenda likavunja recodi nyingi za mapambano yaliyopita kwa kuwa pambano lenye thamani kubwa zaidi kutokea duniani baada ya mayweather kushinda kwa pointi dhidi ya andre berto septemba mwaka 2015 bondia huyo alisema kazi yangu imekwisha rasmi kuanzia sasa unatakiwa kutambua muda mzuri wa kucheza ulingoni hakuna nilichobakisha kuthibitisha katika ndondi nahitaji kutumia muda na familia yangu hata hivyo baada ya kutupiana maneno ya kejeli kwa muda mrefu mcgregor akidai naweza kumfanya mayweather kuwa taahila ndani ya ulingo mkurugenzi mtendaji wa matangazo ya maywether leonard ellerbe alisema hakuna sehemu ambayo tulikwenda na mayweather mashabiki wasiulize kuhusu pambano lake na mcgregor kwa sasa mayweather anafikiri kuhusu kushinda pambano hilo rais wa mchezo wa ngumi za mchanganyika dana white anaamini aina ya upigaji wa mcgregor unaweza kumpa wakati mgumu mayweather mayweather ana umri wa miaka 40 na akiwa ulingoni ana tatizo la kushindwa kuwamudu mabondia wanaotumia mkono wa kushoto mcgregor ana miaka 28 na anatumia zaidi mkono wa kushoto kurusha konde lake na likikupata lazima udondoke chini anasema white ulingo wa tmobile arena unachukua watu 20000 hivyo pambano hilo litafanyika robo ya mashabiki 90000 ambao walifurika kumshuhudia bingwa wa uzito wa juu duniani anthony joshua alipopigana na wladimir klitschko katika ulingo wa wembley april mwaka huu fedha katika pambano hilo hazitapatika katika mageti tu bali zipo njia nyingi baadhi ni haki za matangazo za televisheni za kimataifa na wadhamini makamu rais wa kituo cha televisheni cha showtime sports stephen espinoza anasema mashabiki watalipa kutazama pambano hilo kwasababu ya umaarufu wa wahusika hakuna cha kufananisha hakuna bondia aliyepigana aina hii ya pambano hatuwafuati mashabiki wa dondi na ngumi za mchanganyiko bali tunawataka mashabiki ambao hawafuatilii mchezo wa ngumianasema
2018-03-20T23:24:11
http://mtanzania.co.tz/tamaa-ya-fedha-itakavyomtokea-puani-mayweather/
orte skandinavien magische landschaften 9783665731441 kununua kitabu home > utafutaji > 9783665731441 vitabu vyote kwa 9783665731441 linganisha kila kutoa 9783665731441 () au 3665731445 isbn (kuweka mbadala) 3665731445 9783665731441 kupata vitabu vyote inapatikana kwa namba yako isbn 9783665731441 linganisha bei haraka na kwa urahisi na kuagiza mara moja inapatikana nadra vitabu vitabu kutumika na mkono wa pili vitabu vya kichwa orte skandinavien magische landschaften (tischkalender 2018 din a5 hoch) skandinavien zauber des nordens (monatskalender 14 seiten ) kutoka ka calvendo zimeorodheshwa kabisa
2017-09-21T06:49:40
https://tz-sw.diebuchsuche.com/vitabu-isbn-9783665731441.html
marekani yaleta walimu 51 wa masomo ya sayansi na hesabu nchini | ishi kistaa home news marekani yaleta walimu 51 wa masomo ya sayansi na hesabu nchini marekani yaleta walimu 51 wa masomo ya sayansi na hesabu nchini ubalozi wa marekeni nchini umeleta walimu 51 watakaofundisha masomo ya sayansi hesabu na mazingira kwa kipindi cha miaka miwili katika hafla ya kuwaapisha walimu hao jijini dar es salaam kaimu balozi wa marekani virginia blesa amesema walimu hao watakaofanya kazi katika mikoa 22 watasaidia kupunguza tatizo la walimu wa masomo ya sayansi nchini bleisa amesema kuwa wapo walimu wengi wanatamani kufundisha kwa kujitlea nchini katika nyanja mbalimbali kupitia mpango wa kusaidia elimu ulioandaliwa na marekani kwa nchi masikini duniani kwa upande wao walimu hao wamesema kuwa wanategemea wanafunzi watanufaika na elimu watakayowapa na kuomba ushirikiano kwa walimu watakaowakuta katika shule walizopangiwa previous articleorodha kamili ya wasanii watakaowania tuzo za mtv mama next articlengassa ajiunga na klabu ya fanja ya oman ewura yapandisha bei ya umeme kwa asilimia 85 makamu wa rais rushwa ni miongoni mwa vitu vinavyoharibu maendeleo
2019-05-21T03:24:12
http://www.ishikistaa.com/marekani-yaleta-walimu-51-wa-masomo-ya-sayansi-na-hesabu-nchini/
na ila ya on instagram bakemag marsipan wisin en vivo notadeamor honda wing jdm acura عبيد قحطان قطر الدعاء اللهم وآل محمد radyo muzik hijo un padres عندما في من big ripbig biggie mateusz polishgirl strelau asian nightclub party nightlife pirulin y nutella brownie handeerçel handeercel tolgasaritas patrik vyskocil mu salam muslim surga babysitter baby boy sweet casiowatch watches casiowatches babyg 포시즌 포시즌호텔 호텔 일상 happyday style mood instamood bumil cantik na ila ya dar es salaam tanzania maishahalisi samora avenue moja ya changamoto kubwa ambayo mtu anaweza kuwa nayo anapopitia wakati wa matatizo ni ile tunaitwa denial syndrome hii ni ile tabia ya kutokubaliana na uhalisia kwamba mtu yuko katika tatizo na anataka kuishi kama vile lile tatizo halipokwa ufupi ni kwamba analifumbia macho na bado moja ya changamoto kubwa ambayo mtu anaweza kuwa nayo anapopitia wakati wa matatizo ni ile tunaitwa denial syndrome hii ni ile tabia ya kutokubaliana na uhalisia kwamba mtu yuko katika tatizo na anataka kuishi kama vile lile tatizo halipokwa ufupi ni kwamba analifumbia macho na bado hajataka kukubali kwamba ameshaingia kwenye tatizo kuna mambo kadhaa unatakiwa kuyafahamu ili kila unapopata tatizo lililokufikisha katika hali hii ili uweze kushinda na kutoka salama 1)kulikataa tatizo ni kutengeneza tatizo lingine kubwa zaidikadiri unavyokubali kuwa na tatizo fulani ndivyo utakavyopata jibu mapemahakuna haja ya kuishi maisha ya kuigiza kuwa kila kitu kiko sawa wakati unajua kabisa kuwa mambo yako hayako sawa kubali kwamba hauna furaha moyonikibali kwamba unakabiliwa na hali ya kukata tamaakibali kwamba una tatizo kubwa is kifedha nk 2)unapogundua uko kwenye tatizo na umeshalikubali basi hakikisha kuwa unachukua hatua ya haraka ya kutafuta suluhishousione aibu kutafuta jawabu la shida inayokukabilichukua hatua leousingoje kesho kwani hali inaweza kuwa mbaya zaidi 3)hata siku moja akili yako isikufikishe mahali ukaamini kwamba hakuna njia ya wewe kuvuka kwa ushindihata kama suluhisho unalolitafuta litachelewaila ukweli ni kuwa kuna majibu mahalikama jana hukupata majibu basi leo yatakujayasipokuja leo basi keshokama kesho yakichelewa basi kesho kutwaila kumbuka kila tatizo huwa lina suluhisho kama hautakata tamaa leo nakuombea upate suluhisho la tatizo linalokukabilikesho yako inang'aa #magufuliukerewe waziri wa maji na umwagiliaji prof makame mbarawa amesema kuwa mradi wa maji wa nansio uliozinduliwa leo na rais magufuli utazalisha zaidi ya lita milioni 86 ambazo zitatosha kuwahudumia wananchi wa wilayani ukerewe aidha waziri mabrawa ameongeza kuwa atahakikisha #magufuliukerewe waziri wa maji na umwagiliaji prof makame mbarawa amesema kuwa mradi wa maji wa nansio uliozinduliwa leo na rais magufuli utazalisha zaidi ya lita milioni 86 ambazo zitatosha kuwahudumia wananchi wa wilayani ukerewe aidha waziri mabrawa ameongeza kuwa atahakikisha mradi huo unalindwa ila uweze kuwahudumia wananchi wote shuhudia ziara hiyo live kupitia #azamtwo @ufmradiotz #azamtvapp na ( facebook ya azam tv) nilishasema marufuku kuupasuwa moyo kwa vitu vya kipumbavusiyo kila mahusiano yakivunjika mnalialia tu au kukimbilia kwa waganga ili myarudishenyie mwogopeni mungu hakuna mbingu ya wazinzi walevi wala wasengenyaji wote ni kwenye ziwa la motosiwezi sema nimsafi ata nilishasema marufuku kuupasuwa moyo kwa vitu vya kipumbavusiyo kila mahusiano yakivunjika mnalialia tu au kukimbilia kwa waganga ili myarudishenyie mwogopeni mungu hakuna mbingu ya wazinzi walevi wala wasengenyaji wote ni kwenye ziwa la motosiwezi sema nimsafi ata mimi nimeyapitia hayo maisha kwasababu nilikuwa sijitambui mimi ninani naniko duniani kwa kusudi ganiila mpaka mungu aliponikumbuka nakurudisha fahamu siitamani dunia na vyote vilivyomonautafuta ufalme wa mungu nifike mbinguni nikapumzikemwili ni hekalu takatifu la mungu najuwa hakuna maisha magumu kama kuishi bila mwenzi kila mtu anatamani kupata furahatusichoke kumuomba mungu atatupa kwa wakati tena wenye mapenzi mema na sisimungu atukumbuke kwa pamoja ili tuepukane na dhambi ya kuzini ili tusije kosa fika mbinguni🙏🙏🙏 #sisemikitu haufiki msiba wowote ila kwa idhini ya mwenyezi mungu na mwenye anayemwamini allah swt huuongoza moyo wake na mwenyezi mungu ni mjuzi wa kila kitu ulikuwa faraja na tiba ya wengi maishani alhaji amri athuman @kingmajuto inshallah ukakabidhiwe kitabu chako kwa mkono #sisemikitu haufiki msiba wowote ila kwa idhini ya mwenyezi mungu na mwenye anayemwamini allah swt huuongoza moyo wake na mwenyezi mungu ni mjuzi wa kila kitu ulikuwa faraja na tiba ya wengi maishani alhaji amri athuman @kingmajuto inshallah ukakabidhiwe kitabu chako kwa mkono wa kulia #tutaonanabaadae #kipenzichawatu rashidyabdalla ilikua ni mara yangu ya kwanza kushika camera na kumpiga picha mtu maarufu na ambae anatizamwa sana i was worried sikua hata nataka kukutumia but u looked at them nakusema ziko very natural nimezipenda and that statement strengthened me mpka leo nikishika camera ni best shots tuu😀😀 ilikua ni mara yangu ya kwanza kushika camera na kumpiga picha mtu maarufu na ambae anatizamwa sana i was worried sikua hata nataka kukutumia😂😂 but u looked at them nakusema ziko very natural nimezipenda and that statement strengthened me mpka leo nikishika camera ni best shots tuu😀😀 u have always been an inspiration to me nakua n nguvu na sababu ya kufanya mambo mengi sio sababu nina uwezo au akili sana ila kwasababu kuna mtu kama wew anaeniamini happy birthday jojo mwezi huu na ujao hadi ijumaa km leowanasaikolojia wasipo ingia kati kuwa saidia wasanii tutakuwa na misiba ya kisanii tanzania 🇹🇿saikolojia plztunaomba muwafuate wakina madamu wapone haraka #wemasepetu #amberruttymsichelewe mimi sio nabii ila #petermsechu watumie mwezi huu na ujao hadi ijumaa km leowanasaikolojia wasipo ingia kati kuwa saidia wasanii tutakuwa na misiba ya kisanii tanzania 🇹🇿saikolojia plz🙏tunaomba muwafuate wakina madamu wapone haraka #wemasepetu #amberruttymsichelewe mimi sio nabii ila #petermsechu watumie wanasaikolojia haraka mungu atakulipa yeyetenda wema sepa zako wapumbavu hurizisha nafsi zao kwa kujikomoa😝😝😝😳😳😳😳🏃🏃🏃🏃 mhebhoamos kocha wa timu ya taifa ya iran carlos queiroz ameuponda mfumo wa var kutumika kwenye fainali ya kombe la dunia amedai mfumo huo haupo sawa upo tu kwa faida ya baadhi ya nchi na watu queiroz alishangazwa na maamuzi ya kutopewa kadi nyekundu kwa mshambuliaji wa ureno cristiano ronaldo baada kocha wa timu ya taifa ya iran carlos queiroz ameuponda mfumo wa var kutumika kwenye fainali ya kombe la dunia amedai mfumo huo haupo sawa upo tu kwa faida ya baadhi ya nchi na watu queiroz alishangazwa na maamuzi ya kutopewa kadi nyekundu kwa mshambuliaji wa ureno cristiano ronaldo baada ya kumpiga kiwiko beki wa iran morteze pouraliganji refa anasimamisha mchezo kwa sababu ya kwenda kuangalia var wakati anajua sheria za mpira kumpiga mtu kiwiko ni kadi nyekundu haijalishi ni messi au ronaldo maamuzi lazima yawe ya haki kwa kila mmoja kila mtu sasa anamini maamuzi ya var hayaendi sawa kila mtu analalamika kuna nchi na watu zinapendelewa na var tuliwauliza fifa watupe maelezo ila walitupuuza tulitaka kujua refa wa mchezo ni nani refa wa katikati au var nani anatoa maamuzi ya mwisho kwa mchezo refa au var ila baada ya mchezo wa jana nimejua nani mwamuzi wa mwisho wa mchezo brian alikuwa makini akisikiliza macho yake mekundu yalikuwa tenge na kwa muda mfupi usingizi ulimtoweka kichwani japo kichwa chake bado kilimgonga kwa mbali swali lake la kwanza kuniuliza ni wapi alipo mtoto wako nikamwambia sifahamu ametoka muda mrefu akaniambia ulipo brian alikuwa makini akisikiliza macho yake mekundu yalikuwa tenge na kwa muda mfupi usingizi ulimtoweka kichwani japo kichwa chake bado kilimgonga kwa mbali swali lake la kwanza kuniuliza ni wapi alipo mtoto wako nikamwambia sifahamu ametoka muda mrefu akaniambia ulipo na mwishowe akanipa onyo pasipo kunielezea mambo mengi kama nataka uwe hai basi nikusihi uache mambo unayoyafanya na uishi maisha yako kwanini alisema hivyo brian akauliza sijui mama akajibu hakunieleza mambo mambo mengi zaidi ya hayo na hakukaa muda mrefu akaenda zake sikufahamu alijuaje ulipo na sijui ana nini kichwani kuhusu wewe alikueleza nitakuwa naota na kuona mambo ya ajabu alichoniambia ni kwamba endapo usipofuata anachokisema basi maisha yako yatakuwa ya taabu sana utaishi kwa masumbuko hofu na woga brian sijui kama anachokisema ni kweli au lah ila nahisi kuna kitu hakipo sawa naomba uachane na mambo ya kecie sawa brian akatazama chini hakujibu ikabidi mama yake arudie kuuliza sawa brian sawa mama nitafanya hivyo nenda kapumzike sasa najua usiku haukulala brian akanyanyuka na kwenda zake chumbani kulikuwa na mambo kadhaa yanampitia kichwani ila alipojitupia kitandani hakupata wasaa wa kuyafikiria usingizi ulimnyaka na kumpoteza saa kumi jioni oliviiia sauti ya mrs garett ilitikisa nyumba alikuwa amekunja sura ametoka chumbani anaelekea sebuleni akiwa ameweka mkono wake kiunoni akaendelea kuita na kuita hakusikia wala kuona kitu alikasirika sana akaketi kitini akiwaza olivia atakuwa wapi alimkataza asiende kucheza pasipo kumwomba ruhusa alimkataza kwenda popote pale ina maana amekaidi agizo lake *السَّلامُ عَلَيْكُم ورَحْمَةُ اللهِ وَبَرَكاتُهُ* ───≪✿❒❒✿≫─── *☆kalima ya leo☆* ``` mara kadhaa huwa hatujui thamani ya vitu vizuri katika maisha yetu ila baada ya kuvikosa hatujui umuhimu na thamani ya afya ila wakati wa maradhi wala thamani ya familia ila wakati wa upweke *السَّلامُ عَلَيْكُم ورَحْمَةُ اللهِ وَبَرَكاتُهُ* ───≪✿❒❒✿≫─── *💧☆kalima ya leo☆💧* ✨✨✨✨✨✨ ```🌀 mara kadhaa huwa hatujui thamani ya vitu vizuri katika maisha yetu ila baada ya kuvikosa hatujui umuhimu na thamani ya afya ila wakati wa maradhi wala thamani ya familia ila wakati wa upweke jitahidi kustarehe kwa kila kizuri katika maisha yako pia (kithamini kila kilicho chema katika maosha yako)``` *💞 huwezi jua thamani ya mume/mke mwema ila baada ya kumkosa katika maisha yako* nimeanza ku rap toka navaa miwani ila siku hizi sihitaji kuona kila kitu kipo kichwani this rap shit murder it nipeleke mahakamani sihitaji gari kujua nimeshika usukani nyumba ya vigae niko moto bati nikiyumba usishangae kichwani nina castle lite bado shuka hisabati staki nimeanza ku rap toka navaa miwani ila siku hizi sihitaji kuona kila kitu kipo kichwani this rap shit murder it nipeleke mahakamani sihitaji gari kujua nimeshika usukani nyumba ya vigae niko moto bati nikiyumba usishangae kichwani nina castle lite bado shuka hisabati staki mbaki empty infact mi mwalimu yaani bila kushika chaki an animal simba au nyati niite geronimo pratt wa rap kiharakati christophe mtikila sera zangu hawazitaki continuously ntaendelea kuwapa itifaki uuh nikija kufa ndio watu watasanuka kushtuka kukuta nimewaaachia hazina ya nyimbo kama tupac true dat all eyes on me na ila by then nitakuwa sioni laying in the box dead nuff said see i came from a box and now right in a box is where i lay if i may expose these culture vultures fakin the funk hit em with these lyrical sculptures muthafaka #nabebwanabeat #workethic tusikilizane wanazengwe mwili wa mtoto wetu paty bado aujafika ila unaingia leo saa 11 jioni hi maana mmeshaanza kuongea vibaya kuhusu muna kutokuja na mwili wa mtoto yote kuepusha zengwe na virugu za wananchi mwili aupo airport ila unaingia leo jioni tusikilizane wanazengwe 👉 mwili wa mtoto wetu paty bado aujafika ila unaingia leo saa 11 jioni hi maana mmeshaanza kuongea vibaya kuhusu muna kutokuja na mwili wa mtoto yote kuepusha zengwe na virugu za wananchi mwili aupo airport ila unaingia leo jioni utaratibu upo vile vile kama alivyotangaza kaka yetu @stevenyerere2 apo awali baada ya mwili kufika utaelekea nyumbani kwa baba yake m/nyamala pale na baada ya apo utapelekwa moja kwa moja katika hospital ya agakhan wakati tukisubili kesho panapo majaaliwa tukamuage pale katika viwanja vya leaders club na kwenda kumpumzisha mtoto wetu pale kinondoni makaburini tuchukue nafaa hii kumpongeza bwana @stevenyerere2 (koffianan) kwa jambo zito alilo fanya kama mwanaume simuda wa kupewa lawama nani kakosea na nani kapatia tusubili tumzike salama paty wetu ila kama mimi ningekuwa yule kaka muombaji kwaya ningemshauli mwenzangu ampe tu peter na kuzika salama yote yasingetokea na watu kumsema vibaya muna rip (paty) 😭😭 na hongera sana kaka @stevenyerere2 ratiba ipo pale pale wakazi nabebwa na beat (lyrics) chorus sifanyi muziki wa kiki nafanya muziki wa snare na kick haters hawaambiliki eti bado wanadai kuwa nabebwa na beat what nabebwa na beat what eti nabebwa na beat cheki mdundo navyoumiliki ila bado tu wanadai kuwa nabebwa na beat verse wakazi nabebwa na beat (lyrics) sifanyi muziki wa kiki nafanya muziki wa snare na kick haters hawaambiliki eti bado wanadai kuwa nabebwa na beat what nabebwa na beat what eti nabebwa na beat cheki mdundo navyoumiliki ila bado tu wanadai kuwa nabebwa na beat verse one maybe niimbe accapella tena freestyle za kisela ila sito make hela and i wanna rich just like d rockefeller skilled like jay z rocafella but see how quick they'll to call me a sell out rappin on this bounce beat yaani ka sitaki murder the track quick i'm hella of a guy wala sishangai the reaction when the beat drop mungu ndo kanipa kipaji so yeye ndo anapata bichwa sio wakazi hata ukinipa sifa these bars zinawalewesha kama liquor cheki natapika nawalisha ugali wa vina so marufuku vunja miiko i'm hip hop so popote ilipo na mi nipo verse two nimeanza ku rap toka navaa miwani kukuta nimewaachia hazina ya nyimbo kama tupac muthafaka #workethic #kisimaniseason beat by @iamqthedon photo courtesy of @mattymachilu of @qube_elite ziko wapi sasa wisconsin akadadisi zilipeperushwa na upepo wa ajabu tukiwa safarini kuja kule kwako brian akaeleza kidogo wisconsin akatulia akavuta tena kiko chake akiwaza alafu akamtazama brian na kumwambia pengine ungesoma na kuzimaliza nyaraka hizo ungekuwa ziko wapi sasa wisconsin akadadisi zilipeperushwa na upepo wa ajabu tukiwa safarini kuja kule kwako brian akaeleza kidogo wisconsin akatulia akavuta tena kiko chake akiwaza alafu akamtazama brian na kumwambia pengine ungesoma na kuzimaliza nyaraka hizo ungekuwa umebadilisha mawazo juu ya dkt hamill kauli hiyo ikamtia brian hamasa ya kutaka kujua zaidi kwanini unasema hivyo akauliza wisconsin akakuna kidevu chake na kusema dkt hamill aliua familia yake kwa mkono wake alimmaliza mkewe na watoto akitumia kisu kirefu chenye ncha kali kwanini afanye hivyo brian akastaajabu labda kabla hatujajua kwanini alifanya hivyo inabidi kwanza ujue kuwa dkt hamill alikuwa na familia ya watoto watatu wawili walikuwa wa kiume na mmoja akiwa wa kike alifanikiwa kuwapata watoto hao akiwa kwenye enzi za ujana wake pengine aliwapenda sana mimi na wewe hatufahamu maana hatukuwapo ila tulilo na uhakika nalo ni kuwa alikuja kuwaua pamoja pia na mkewe nililikuta hilo kwenye diary yake wisconsin akazamisha mkono ndani ya koti lake na kutoa kijitabu kidogo chenye jalada gumu jeusi akampatia brian brian akakikagua na huku wisconsin akiendelea kunena sijajua kwanini aliua familia yake kutakuwa na sababu kubwa nadhani lakini kwenye karatasi ambayo alikuwa ameeleza ya kuwa amehusika na kuua familia yake alikuwa ameweka hapo mkufu wenye kidani cha kito cha kijani kito cha duara wisconsin akazamisha tena mkono wake ndani ya koti lake na kutoa mkufu huo akautazama kwa muda kidogo alafu akamkabidhi brian shida si kwamba amewaua familia yake tunaweza tukapuuzia juu ya hilo ila tatizo ni kwamba makaburi ya wanawe sikuyaona isipokuwa lile la mkewe tu ukifungua kwenye diary yake utaona ameelekeza juu ya wapi alipomzika mkewe lakini kuwahusu watoto wake hamna anayejua hajaeleza wapi walipo kauli hizo zikanifanya nihofie kidogo lakini kujazwa na hamu juu ya nini kimemtokea oliva lakini kwasababu za kutoskizana vema ndani ya basi tukaona ni vema tuendeleze hiyo soga yetu tukifika nyumbani tulipofika na kupumzika kidogo yule jamaa yangu akaendeleza kwa kuniambia kauli hizo zikanifanya nihofie kidogo lakini kujazwa na hamu juu ya nini kimemtokea oliva lakini kwasababu za kutoskizana vema ndani ya basi tukaona ni vema tuendeleze hiyo soga yetu tukifika nyumbani tulipofika na kupumzika kidogo yule jamaa yangu akaendeleza kwa kuniambia kwamba oliva hakuweza kufanya mitihani yake ya kidato cha nne na hivyo basi anatazamia kurudia tena mwaka huu ila ni miaka mingi imepita kwanini hakurudia miaka yote hiyo aje kurudia mwaka huu niliuliza basi hapa ndipo akanieleza kuwa oliva wakati anakaribia kufanya mitihani yake ya kidato cha nne aliamua kuhama nyumbani kwao na kwenda kukaa hosteli ili apate muda zaidi wa kujisomea na wenzake huko alikuwa anakaa ma wasichana wengine wawili na wakawa wanasoma kila siku usiku na hata mchana lakini ikiwa ni wiki moja tu tangu oliva ahamie hapo hosteli akaanza kupatwa na mambo ya ajabu hakuwa anaweza kuamka usiku tena kila alipoamshwa kichwa kilikuwa kizito sana hata kuuma na endapo akijilazimisha asome tu damu huvuja puani na kuumwa na kichwa pasi na mfano hivyo basi akawa anatumia muda wa mchana kusoma japo ulikuwa finyu kutokana na ratiba zingine alijaribu kwenda hospitali kutazama tatizo akapewa dawa lukuki lakini wapi hazikumsaidia hata kidogo mwishowe akaamua kurudi tu nyumbani kwani maisha ya hosteli yamemshinda lakini kabla hajaondoka rafiki yake aitwaye pili akamkabidhi mdoli kama zawadi utakuwa unanikumbuka ukiuona mdoli huu na kwasababu oliva na pili walikuwa ni marafiki sana basi hakuwa na hiyana kwenda nao akauweka kitandani na maisha yakaendelea ila wiki ya pili oliva akarudiwa na hali yake ya kuumwa kichwa aliumwa sana mpaka sasa akawa hawezi kwenda shule tena damu zilikuwa zikimchuruza puani na kuhisi maumivu makali mno hakuweza kufanya mtihani na ikawa hivyohivyo mpaka pale alipokuja kugundua shida ni nini shida ulikuwa mdoli aliompa pili rafiki yake lakini mpaka kufikia huko alikuwa tayari ameshapitia mengi sana ameshajibamiza na kujiumiza ameshakorofishana na karibia kila mtu ameshajichakaza uso na kuwa mtu asiyeeleweka maneno yake ya mwisho kwa jamaa yangu yalikuwa haya midoli ina roho tony kuna mtu yuko karibu na wewe tena sanaa yaani yuko karibu na wewe mpaka mnalala mitanda kimoja ni bed mate wako ila sasa mafanikio yako yanamkera kupita maelezo kama ingekuwa uwezo wake ange hakikisha haufanikiwi hata siku moja cha kushangaza vile anatamani ufeli lakini bado anataka kuna mtu yuko karibu na wewe tena sanaa yaani yuko karibu na wewe mpaka mnalala mitanda kimoja ni bed mate wako ila sasa mafanikio yako yanamkera kupita maelezo kama ingekuwa uwezo wake ange hakikisha haufanikiwi hata siku moja cha kushangaza vile anatamani ufeli lakini bado anataka umpe support yeye katika mambo yake na mapito yake yote 🤔😥😎jamani dunia ina mambo hii khaah ajisemee ndugu yangu fulani dunia simama nishukee 😂🤣😅 la kwake ni la kwakola kwako ni la kwako halimuhusu ukipata shida anapotezea kama hakujui vile ukipata baraka anapotezea kama haoni vile ukiumwa wewe hajigusi akiumwa yeye utafukuzwa kazi kwa kuomba ruhusa za kuuguza alisema mzee yusuph huwezi kuziba jua kwa kutumia ungo🤣😂😅 utahangaika sana jana wanawake walijaa ilalasingle mothers mbona kuna single mothers kibao ndani ya ndoa 🤔😉🤗 ukimuona unahisi anahudumiwa weeee kumbe kuta za nyumba zaficha mengi wanawake kibao wanahudumia familia wenyewee wanashindwa kutoka kwenye ndoa kwa kuogopa maneno na macho ya watu ila ingetangazwa wababa walazimishwe kutoa huduma mbona asilimia 80 ya wanawake wangeandamana tanzania nzimahakika dunia simama nishuke😄😁 cha muhimu ni kutokukata tamaa maana punde unakata tamaa ndio mwisho wako umefika haya niwatakie siku njema yenye mwanga mbele #maznat #badilimtazamo #amkanamaznat #tanzaniaweddings #eastafricaweddings #maznatmoment hey vipenzi mi napenda kujifunza na nyie tushauliane tuwekane sawa na pia tutiane moyokunavingi sifahamu ila naweza vijuwa kupitia nyie na kunavingi pia hamvifahamu ila mnaweza vijuwa pitia mimisisi ni ndugu ni marafiki ndo maana tuko pamoja ndio maana ya mitandao tusiitumie hey vipenzi mi napenda kujifunza na nyie tushauliane tuwekane sawa na pia tutiane moyokunavingi sifahamu ila naweza vijuwa kupitia nyie na kunavingi pia hamvifahamu ila mnaweza vijuwa pitia mimisisi ni ndugu ni marafiki ndo maana tuko pamoja ndio maana ya mitandao tusiitumie kutukana watu au kuwakwaza wenginenataka kuongea na nyie kaka zangu dada zangu wadogo zangu piakwenye maisha jifunze hivi mungu anakupa unachostaili siyo unachotakabac maana hiyo usiumizwe na maamuzi ya mtu awe mpz ndugu rafiki mungu anakusudi kubwa nawewe ndo maana anapotaka kukubariki lazima akutenganishe nawatu ambao siyo sahihi kwakotumekuwa watu wakulaumu kulia wakati mwingine kuona dunia ni chungu pindi tunapoachana na tuwapendao au kusalitiwa na watu tunaowaaminiiko hivi mungu anatuwazia mema utake usitake yaloandikwa kuhusu wewe ni lazima yatimiena wakati ukifika kila gumu litabaki kuwa histoliausiogope wala kutishwa nawatu wanaokuzarau sasa wakati wako unakuja na kila alotamka maneno mabaya kuhusu wewe siku inakuja watayakana maneno yaomungu si mwanadamu adanganye akisema ndiyo hakuna wa kumpingasubiri wakati wa mungu wasamehe na kuwaombea adui zako waishi miaka mingi ili utapofanikiwa wajionee kwa machoepuka kulipa kisasi hiyo itakufanya uchelewe kuzipokea baraka zakomungu ni wetu sote inshallah mungu akukumbuke naakufute machozi ktk magumu mnayopitianawapenda🙏❤❤❤❤❤❤😍 majibu ya daktari yalitoka na kusema kuwa betty aliuawa kwa kunyongwa mpaka kifo majibu hayo yakapelekea polisi na wapelelezi kuingia kazini kumtafuta muuaji huyo eneo la tukio likachunguzwa na hata majirani wakaulizwa hakukuwa na majibu ya kueleweka hakukuwa na alama yoyote majibu ya daktari yalitoka na kusema kuwa betty aliuawa kwa kunyongwa mpaka kifo majibu hayo yakapelekea polisi na wapelelezi kuingia kazini kumtafuta muuaji huyo eneo la tukio likachunguzwa na hata majirani wakaulizwa hakukuwa na majibu ya kueleweka hakukuwa na alama yoyote ya muuaji wala ishara ya kuwasaidia kumpata aliyetenda tukio hilo kwa mujibu wa upelelezi mlengwa alifungua mlango mwenyewe na kutoka kuelekea nje kila kitu kilikuwa ni ajabu ajabu zaidi ni kwamba vipimo vya vinasaba vilipokuja kufanyika kubaini nani ambaye atakuwa amehusika na mauaji hayo kwa kutumia mwili mfu wa betty haswa kwenye mikwaruzo mwilini mwake wataalamu wakabaini ni vinasaba vya mtu wa kale mtu ambaye aliwahi kufa miaka mingi tu iliyopita sasa imewezekanaje kwa marehemu kuja kuua basi betty akazikwa na mdoli ule akaja kuuchukua joyce lakini mama ruth akiwa hataki tena kitu kama kile kitokee akamwonya mama yake joyce kumhusu mdoli ule na hata akauchukua tena na kwenda kuurudisha kulekule walipoutoa baharini lakini bado haikusaidia mdoli ule ukawa unarudi na kurudi siku moja ikiwa ni usiku wa manane mama ruth alisikia sauti ya mlango ukifunguliwa alikurupuka akaangaza kama ni mlango wake ila akaona sio upesi akakurupuka na kufungua mlango wake kisha akarusha macho yake kutazama ni mlango gani hamaki akauona ni wa chumba cha mwanaye mlango ulikuwa wazi na haoni mtu akakimbia upesi kwenda nje akafungua mlango haraka na alipotazama akamwona mwanaume mpana aliyevalia nguo nyeusi akiwa amemshikilia mkono mwanaye wakielekea asipopajua ilipoishia picha hizo kwa kutumia utaalamu wa kiteknolojia zikaundwa kwa namna tofauti ili kuendana na bwana huyo endapo kama amejifanyia mabadiliko yoyote kama vile ndevu ama kujivesha kofia hivyo kulikuwa na picha akiwa na ndevu akiwa hana akiwa na nywele ndefu na pia akiwa ilipoishia picha hizo kwa kutumia utaalamu wa kiteknolojia zikaundwa kwa namna tofauti ili kuendana na bwana huyo endapo kama amejifanyia mabadiliko yoyote kama vile ndevu ama kujivesha kofia hivyo kulikuwa na picha akiwa na ndevu akiwa hana akiwa na nywele ndefu na pia akiwa na nywele fupi sasa wakiwa wanangojea majibu toka kwa watu ajabu siku ya pili tu tangu matangazo yabandikwe mpelelezi bwana curtis akakutwa amekufa kibarazani mwa nyumba yake polisi wakafanya upelelezi na kubaini kuwa bwana huyo yaani curtis alivamiwa na mtu asiyejulikana na kuadhibiwa kwa ncha za shoka kwenye eneo la tukio ilipatikana alama za viatu vikubwa na damu tu kwa majuma mawili polisi wakafanya upelelezi wao kila mahali na kila wawezavyo lakini hawakuambulia kitu kwa mujibu wa maelezo ya watu wachache bwana curtis alionekana kurejea kazini kwake katika majira yaliyozoeleka lakini pia nyatakati za usiku wa manane bwana laudit ambaye ni jirani wa bwana curtis anasema alisikia kishindo kikubwa ukutani mwake hakujua ni cha nini ila akiwa na uhakika kimetokea kwenye nyumba anayopakana nayo ukuta ambayo ndiyo ya bwana curtis sasa lakini baada ya hapo hakusikia tena kingine bali ukimya mkavu lakini pia kwa mujibu wa bwana mwingine mlevi aitwaye reddington yeye alisema nyakati za usiku alimwona mwanaume fulani kwenye kona ya pili tokea eneo la tukio bwana huyo alikuwa mrefu mwenye jaketi kubwa na kofia ya soksi kichwani hakumjali sana bwana huyo japo alikuwa anatembea kwa kasi kubwa anaandika jerry muro *haijawai kutokea tanzania* leo jumatatu *(23/07/2018)* rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania *mhe dkt john pombe magufuli* amekabidhiwa hundi za fedha zenye thamani ya zaidi ya shilingi *bilioni 700* kama gawio la serikali kutoka katika taasisi na anaandika jerry muro *haijawai kutokea tanzania* leo jumatatu *(23/07/2018)* rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania *mhe dkt john pombe magufuli* amekabidhiwa hundi za fedha zenye thamani ya zaidi ya shilingi *bilioni 700* kama gawio la serikali kutoka katika taasisi na mashirika ya umma na kampuni zilizobinafsishwa huu ni ushindi wa *kihistoria* katika nyanja ya *usimamizi* *ufuatiliaji* wa *mashirika* ya umma taasisi na kampuni zilizobinafsishwa mana hizi ni mali za watanzania serikali imefanikiwa kupata *bilioni 700* kutoka katika baadhi ya *mashirika* kampuni na taasisi chache tu ambazo ziko nyingi ambazo zinapaswa kutoa *gawio* kwa serikali kama mwana hisa kwanza napongeza juhudi na hatua zinazofanywa na serikali ya awamu ya tano chini ya mhe rais magufuli hii imeonyesha *uwezo* *maarifa* na *uweledi* wa hali ya juu katika kufufua vyanzo vipya vya mapato ambavyo vilisahaulika au kupuuzwa kwa maslahi ya wachache ni dhahiri kabisa yako kampuni taasisi na *mashirika* yaliyokuwa yanatoa gawio kwa serikali ila yalikuwa yanatoa gawio *kiduchuu* kama sehemu ya kutimiza wajibu na yako mengine hayakuwa kutoa kabisa ikiwemo *tazama* lakini leo tunashuhidia wameamua kunyoosha mikono juu na kuleta gawio hongera sana rais wangu *magufuli* *bilioni 723 zitafanya nini* #zitasaidia kuongeza wingi wa utoaji wa *huduma* mfano ujenzi wa *vituo vya afya* katika maeneo mbalimbali vijijini zitasaidia kuongeza wing wa upatikanji wa *madawa na vifaa tiba* katika maeneo mengi nchini #zitasaidia *kugharamia* ujenzi wa miradi mikubwa ya *maendeleo* mfano barabara za vijijini na mijini kugharamia miradi mikubwa ya maji katika maeneo yenye *changamoto* ya upatikanji wa maji itasaidia miradi ya ujenzi wa *madaraja* makubwa na madogo vijijini na mijini #itasaidia ulipaji wa *mishahara* kwa watumishi wa umma wakiwemo walimu wa shule za kata ulipaji wa madaktari na wauguzi na watumishi katika *sekta ya afya* ulipaji wa askari wetu na ununuzi wa vifaa vya ulinzi kwa taifa #itasaidia kuongeza uwezo wa taifa katika kusimamia na kulinda tunu za taifa na *rasilimali* za taifa *mwisho* fedha hizi zaidi ya *bilioni 700* nimesoma mabandiko kadhaa kuhusu kauli ya bavicha na baadhi ya wakosoaji wa mitandaoni kuhusu ukomo wa mwenyekiti wa chadema taifa __ katika mabandiko hayo kumejaa upotoshwaji mkubwa sambamba na lugha za kejeri hadi kufikia hatua ya kuitana vibaraka wa ccm __ kwa upande wangu sijapinga nimesoma mabandiko kadhaa kuhusu kauli ya bavicha na baadhi ya wakosoaji wa mitandaoni kuhusu ukomo wa mwenyekiti wa chadema taifa katika mabandiko hayo kumejaa upotoshwaji mkubwa sambamba na lugha za kejeri hadi kufikia hatua ya kuitana vibaraka wa ccm kwa upande wangu sijapinga uwepo wa hon mbowe wala sihitahi kujua wala kupinga ukomo wake wa uenyekiti kwa maana yupo pale kikatiba ila kwa uelewa wangu finyu nilitaka kufahamu je nisawa kwa chama cha kidemokrasia kutokua na ukomo wa kugombea nafasi ya uenyekiti __ kuna baadhi ya mabandiko yamefafanua kuhusu njama za kutaka kukiua chama na kueleza kiundani kabisa kua hawana uhakina na mrithi wa nafasi ya uenyekiti kwani nirahisi kurubuniwa nahiyo ni moja ya sababu ya kuwa na hon mbowe sawa sipingi hilo kwani nikawaida katika siasa wapinzani kutafuta weakness na kushambulia lakini kwa mtazamo wangu hii ni kauli dhaifu sana kutolewa tena na kiongozi ina maana kwa muda wa zaidi ya miaka 1520 bado hakuna mtu ambae anaweza akarithi/mwenye sifa yakua mwenyekiti ni hatari sana kwa mtu mmoja kua nanguvu kubwa ndani ya taasisi/chama nitoe mfano kidogo tu leo tumeshuhudia kuyumba kwa club ya mpira wa miguu yanga wameyumba sana kiuchumi na hata kisaikolojia hii nikutokana na nguvu ya mtu moja mwenyekiti alikua kila kitu ndani ya yanga kuyumba kwake kumesababisha kuyumba ka taasisi wakati cdm ikijiaanda kuja kuchukua dola hapo mbeleni basi pia ijiandae na ijenge demokrasia ya kweli kuwepo na ukomo wa kugombea nafasi ya uenyekiti ni muhimu kuongeza kizazi cha kina mnyika mdee zzk heche na wengine jengeni vijana wanao weza kuchambua hoja kwa hoja sio vioja na siasa za mizuka kama asemavyo sugu nimalize kwa kusema 'nihatari sana sana kwa kiongozi mmoja kuwa na nguvu kubwa sana ndani ya chama kushinda nguvu ya chama chenyewe' ___ 'nihatari sana sana kwa mtu moja ndani ya chama kuwa na wafuasi wengi ndani ya chama kushinda wafuasi wa cha chenyewe' ___ 'nihatari sana sana kwa chama cha kidemokrasia kutokua na ya kweli demokrasia ndani ya chama' na dawa ya mpuuzi niblock tuhakuna watu wenye shobo duniani kama watzkila mtu na maisha yake nainsta yake tusipangiane vya kupost kinyume naapo niblock tunasafisha wapumbavu wote naitaji kubaki nawatu ninaowafurahia nawanaonifurahia piasasa nyie mnakoment kwenye na dawa ya mpuuzi niblock tuhakuna watu wenye shobo duniani kama watzkila mtu na maisha yake nainsta yake tusipangiane vya kupost kinyume naapo niblock tunasafisha wapumbavu wote naitaji kubaki nawatu ninaowafurahia nawanaonifurahia piasasa nyie mnakoment kwenye picha ya agness sijui nyoko nyoko sitakiagness hayuko nasisi kimwili tu ila kiroho yuko nasisi kwaiyo msinipangie nitampost mpaka siku naondoka namm dunianinampenda nasitoacha kumpenda nakumuombea kwa hiyo heshimuni maamzi yamtuhuwa siji kwenu kukoment ujinga namm kwangu siitaji ujinga tumeelewana👊👊👊👊👊👊👊👊🔫 maranyingi kumuwish huyu dada hua napata taabu sana najikuta kama nahubiri simalizi kuandika ila tumetoka mbali sana na nusu ya kurasa za kitabu chake cha maisha huenda vingi sana nimehusika katika kufundishana maisha sana sana kazi jinsinya kuwachagua rafiki na jinsi ya kuangalia maranyingi kumuwish huyu dada hua napata taabu sana najikuta kama nahubiri simalizi kuandika😁 ila tumetoka mbali sana na nusu ya kurasa za kitabu chake cha maisha huenda vingi sana nimehusika katika kufundishana maisha sana sana kazi jinsinya kuwachagua rafiki na jinsi ya kuangalia njia sahihi ya kwenda katika barabaranya mafanikio naamini sasa umefaulu mdogo wangu baada ya kupitia mitihani mingi alhamdulillaa umekua sasa na mi sina budi ila ni kukutakia maisha mema ya mafanikio katika kila hesabu ya hatua zako za kupambana happy birthday @favellritto ni muda mwafaka kwa vyombo vya habari hususan vipindi ambavyo vinawalenga vijana kuanzisha mjadala kuhusu afya ya akili / mental health japo vipindi hivi vinawapa airtime artists wa hapa nyumbani na nje ya mipaka ya tz ambao wengi wao wanaimba kuhusu kutumia drugs waendesha vipindi ni muda mwafaka kwa vyombo vya habari hususan vipindi ambavyo vinawalenga vijana kuanzisha mjadala kuhusu afya ya akili / mental health japo vipindi hivi vinawapa airtime artists wa hapa nyumbani na nje ya mipaka ya tz ambao wengi wao wanaimba kuhusu kutumia drugs waendesha vipindi hawatoi the full picture kwamba baadhi ya hawa wasanii wanasumbuliwa na magonjwa ya afya ya akili tumepoteza wasanii wengi wa nje na ndani ya tz to drug overdose kutokana na wao kijaribu kuzizima sauti au kelele/ mitazamo au hisia asi zilizopo vichwani mwao kutokana na athari za magonjwa ya afya ya akili tuna ndugu zetu ambao are mentally unhealthy ila hawajui waanzie wapihawajui sehemu za kwenda ili kupata suluhisho la tatizo lao the time is now rip to #macmiller a true hip hop artist and happy soul who is said has lost his fight against the clutches of substances abuse shania twain alikaa miaka mitano bila kufanya muziki hii ni baada ya kuugua ugonjwa wa koo unaoitwa dysophonia pamoja na ugonjwa alikuwa na depression ya kuachana na mumewe wa muda mrefu baada ya kugundua alikuwa akitembea na rafiki yake shania twain alikuwa amegive up kabisa kufanya shania twain alikaa miaka mitano bila kufanya muziki hii ni baada ya kuugua ugonjwa wa koo unaoitwa dysophonia pamoja na ugonjwa alikuwa na depression ya kuachana na mumewe wa muda mrefu baada ya kugundua alikuwa akitembea na rafiki yake shania twain alikuwa amegive up kabisa kufanya muziki tena kwenye maisha yake rafiki yake wa siku nyingi lionel rich akamtembelea na kumtia moyo sanaaa akamwambia bado anayo nafasi nyingine ya kurudi kufanya muzikiasigive up akampeleka studio wakarecord huu wimbo ambao lionel rich aliuimba mwaka 1981 na diana ross my endless love mwaka 2012 wakautoa ila ukiwa na ladha ya country music ambao ndio style ya muziki wa shania twainhii ilikuwa ni katika kumsaidia rafiki yake arudi kwenye gamearudi kujiamini na kufanya tena mziki mzuri katika marafiki wanaotuzunguka je ni wale wakuhakikisha unanyanyuka pale unapoanguka au wakukushindilia chini zaidi ukafie mbele je una marafiki au wapambesifa za wapambe siwazijuauna marafiki au wachagizajijitathmini kwenye uhondo huu nauomba leo @rdj_mumy part 2 kitu pekee nilichokuwa nafahamu kuhusu big brother ni mwisho mwampamba gaitano abby ila baada ya kurudi tz ndio nikajua kuwa kumbe ni platform kubwa sana ya wasanii wa afrika ku showcase talent zao na inakupa mileage ya maana not in my wildest dreams nilikuwa nawaza kuwa nitaweza part 2 kitu pekee nilichokuwa nafahamu kuhusu big brother ni mwisho mwampamba gaitano abby ila baada ya kurudi tz ndio nikajua kuwa kumbe ni platform kubwa sana ya wasanii wa afrika ku showcase talent zao na inakupa mileage ya maana not in my wildest dreams nilikuwa nawaza kuwa nitaweza chaguliwa kwenda bba kuperform let alone mwaka huo huo wa 2013 ambao ndio kama mwaka wangu rasmi wa kuanza muziki (kibongobongo) kufanikiwa kwenda ilikuwa combination ya kuwa tayari (prepared) bahati (luck) na nafasi yenyewe (opportunity &timing) nilikuwa nina nyimbo tayari ila hazijatoka ila pia nilikuwa na video ya weekend ambayo nilifanya na reezon (ghana) na chibbz (nigeria) na video ulikuwa unachezwa channelo soundcity etc pia ule mwaka waandaaji walikuwa wanatafuta msanii ambae sio mkubwa ila ana potential ya kuwa mkubwa (kumbuka watu nilio perform nao mwaka ule ni victoria kimani cassper nyovest aka seyi shay etc wote ndio big names sasa hivi) alafu nilikuwa nimerudi tz nikaondoka kwenda tena us ila kulikuwa na kitu jokate aliniambia natakiwa kurekodi kwaajili ya channelo so nikakata ticket ya ndege kurudi bongo mapema may 2013 alafu nilijinadi vizuri mtandaoni nilivyoshiriki kwenye show ya lady jaydee ya miaka 13 na pia show ya poetry addiction ya fid q ambazo zote ziliniongezea points for me to be picked bahati nyingine ilikuwa ni kwamba ommy dimpoz alikuwa ana wimbo wa me & you na alikuwa na nafasi ya kuchukuliwa kabla yangu bahati mbaya (kwangu nzuri) ni wimbo wake alimshirikisha vanessa mdee (alikuwa vj wa mtvbase) na ile show ya big brother ya kuleta wasanii ilikuwa inasimamiwa na channel o nilikutana na baadhi ya watu wenye ugonjwa uliokuwa ukifanana na wangu ila mmoja aliniambia kuna ndugu yake alikuwa akiumwa ugonjwa huu na alishafariki dunia katika familia yetu hakuna mwenye kansa ya mitoki ila wengine walikuwa na kansa nyingine na wa nilikutana na baadhi ya watu wenye ugonjwa uliokuwa ukifanana na wangu ila mmoja aliniambia kuna ndugu yake alikuwa akiumwa ugonjwa huu na alishafariki dunia katika familia yetu hakuna mwenye kansa ya mitoki ila wengine walikuwa na kansa nyingine na wa wapenzi wawili wapendanao walioana na kudumu kwenye ndoa kwa takribani miaka kumi pasipo mtoto sasa ilikuwa inaelekea mwaka wao wa kumi na moja nyumba ikiwa tupu wapenzi hao rakim na sara walitumai watapata mtoto kabla ya kuufikia mwaka wao wa kumi na moja lakini mpaka kufikia wapenzi wawili wapendanao walioana na kudumu kwenye ndoa kwa takribani miaka kumi pasipo mtoto sasa ilikuwa inaelekea mwaka wao wa kumi na moja nyumba ikiwa tupu wapenzi hao rakim na sara walitumai watapata mtoto kabla ya kuufikia mwaka wao wa kumi na moja lakini mpaka kufikia wakati huo walikuwa wameshapitia na kukumbwa na shinikizo kubwa kutoka kwa wazazi na marafiki kuwa yawapasa waachane ila kutokana na mapenzi makubwa baina yao bado wakadumu ndani ya mahusiano wakiwa wamejawa na matumaini kwamba siku moja mambo yatakuwa sawa miezi ikapita na siku moja wakati rakim akiwa anarejea tokea kazini akamwona mkewe akiwa anatembea na mwanaume barabarani mwanaume huyo alikuwa ameuweka mkono wake kuzunguka shingo ya sara na walionekana kujawa na furaha haswa kwa juma zima rakim akawa anamwona mwanaume huyo na mkewe maeneo mbalimbali na siku moja akiwa anatoka kazini akamwona mwanaume huyo akimshusha mkewe nyumbani baada ya kumbusu shavuni rakim akakasirika sana na akahuzunika lakini hakusemezana na mkewe zilipopita siku mbili akiwa nyumbani anakunywa maji rakim akapokea simu ya mkewe iliyokuwa inaita alipopokea alikutana na sauti ya kiume iliyosema hellow nitakuja jioni hii nyumbani kwako kukuona kama nilivyokuahidi aliposikia hayo akakata simu akawaza sana na kupandwa na hasira akidhani kuwa ameshampoteza mkewe kwa mwanaume mwingine jagi la kioo alilokuwa amebebelea likamponyoka mkono na kuangukia chini likipasuka vipandevipande mkewe sara akaja akikimbia upo sawa akauliza kwa hasira rakim akamsukuma na mwanamke huyo akaanguka hakunyanyuka wala kusogea kando rakim akatambua kuwa mkewe ameangukia pale alipopasulia jagi vipande vikubwa vya jagi vilikuwa vimemtoboa na kumchana aliponyanyua kichwa chake mkewe mama beatrice alikuwa tayari ameshafika na msichana wa kazi habiba alikuwa amesimama mlangoni mvulana wa kazi naye lupi alikuwa amefika eneo la karibu nini baba mama beatrice alichuchumaa nini kimetokea sijui nimemkuta aliponyanyua kichwa chake mkewe mama beatrice alikuwa tayari ameshafika na msichana wa kazi habiba alikuwa amesimama mlangoni mvulana wa kazi naye lupi alikuwa amefika eneo la karibu nini baba mama beatrice alichuchumaa nini kimetokea sijui nimemkuta mustafa hivi anatoka damu na mapigo yake ya moyo yamesimama tumpeleke hospitali au mpigie dokta wako dada embu niletee simu yangu hapo kwenye kochi dada msichana mchanga mwenye umri kati ya 15 mpaka 18 aliyevalia gauni lake la pink iliyofifia na kiremba kichwani mwembamba mrefu na mwenye uso wa upole alielekea alipotumwa akarejea na simu ya bosi mtemvu akampigia dokta dokta aliwasili ndani ya dakika thelathini aliukagua mwili wa mustafa kwa dakika kadhaa akatikisa kichwa amefariki nini kimemuua mtemvu alidakia dokta akameza kwanza mate sijui bado sijafahamu nahitaji kuufanyia uchunguzi zaidi sawa acha basi nitoe taarifa polisi mtemvu alichukua simu yake akapigia polisi ndani ya muda mchache polisi walifika wakahoji na kufanya msako mwepesi bila ya matunda mwili wa marehemu ulichukuliwa polisi wakaenda na daktari mtemvu pamoja na mkewe walirudi ndani tukio hilo bado likiwa kichwani na midomoni mwao walijilaza kitandani giza la usiku likazidi kudaka umri ila mtemvu hakupata usingizi alikuwa akijigeuza huku na kule kichwani akimrejelea mustafa hivi ni kweli amekufa ama naota ilikuwa ngumu kuamini nani aliyemuua ama kipi kilichomuua hilo ndilo lililomuumiza haswa kichwa na kumkosesha amani kuna muda alihisi kulala ndani ilhali jambo kama hilo limetukia ndani ya uzio wake ni uzembe vipi kama muuaji bado yu ndani anatafuta roho yake aamke akamsake hapana roho ilikataa kwakuwa mkononi alikuwa amelala na bunduki yake ndogo hivyo hakuwa na haja ya kuogopa alijifariji baada ya masaa kadhaa macho yake yaliyokuwa yanapepesa huku na huko yalichoka yalifumba pasipo kupenda alijitahidi kupambana nayo lakini mwishoni alikuwa mshindwa akatwaliwa na usingizi mzito uliokuja kukatishwa kikatili asubuhi na mapema na sauti ya mkewe and the winner is @davidoofficial you are alright mancongrats for the win on such a history night for africa i'm sure it was overwhelming up there but you remembered all the key points • his upcoming album • @iambangalee (d'banj) paving way (condolences to his family for their and the winner is @davidoofficial you are alright mancongrats for the win on such a history night for africa i'm sure it was overwhelming up there but you remembered all the key points • his upcoming album • @iambangalee (d'banj) paving way (condolences to his family for their loss) • thank yous (family fans management) • africa (food place invite them) • asked them to collabo hongera nyingi zimwendee davido kwa ushindi wa best international act kwenye @betawards huko marekani mwaka huu hakukuwa na mtanzania ila pia category ya international iliunganiswa africa na europe so angechukua mwafrika yeyote tungehesabu ushindi ila kikubwa ni kwamba mwaka huu ndio mara ya kwanza tuzo za international kupokelewa on the main stage na niseme ukweli davido hajatuangusha kwenye speech yake ilikuwa fupi and i understand maana sio mchezo (kutembea tu kwenda pale mbele unamuona kila star hatari) lazima utetemeke ila davido alimshukuru d'banj kama msanii aliyeanza kutufungulia milango african artists upande wa marekani (collabo na snoop dogg signed by kanye west) na pia alichukua fursa kutoa salamu za rambirambi kwa familia ya d'banj maana amefiwa na mwanae (rip daniel iii) kisha akashukuru fans familia yake management yake mwisho akawasihi wanyamwezi kuja africa wajionee hali chakula na kufanya collabo na wasanii wetu pia akasema album yake inakuja soon kiukweli i don't see any other artist kufanya a better job of representing zaidi ya alivyofanya obo ila sasa hii iwe changamoto na chachu ya sisi huku kupigania muziki wetu na sisi maybe tuje kushinda na kupata fursa ya kuinadi tanzania kikamilifu i know i'm inspired and i'm going to the studio leo ikiwezekana tuongeze support ya wenyewe kwa wenyewe kama itasaidia tuache umbea na kuongelea yasiyotuhusu tuache uvivu tupige kazi uwe underground uwe legend wote tuna nafasi peace #africapride #historicmoment #betawards #betawards2018 @bet_intl @bet_africa #bestinternationalact ila mambo yakaja kukengeuka punde baada ya jimbo hili kupata kiongozi mpya bwana ralph blacksmith mwanaume huyo aliyekuwa na kariba ya ukali na mpenda mabadiliko ya haraka alitangaza ya kwamba hakuna mambo yoyote ya kiudanganyifu na kiutapeli yatakayofanyika ndani ya jimbo lake ila mambo yakaja kukengeuka punde baada ya jimbo hili kupata kiongozi mpya bwana ralph blacksmith mwanaume huyo aliyekuwa na kariba ya ukali na mpenda mabadiliko ya haraka alitangaza ya kwamba hakuna mambo yoyote ya kiudanganyifu na kiutapeli yatakayofanyika ndani ya jimbo lake hili na swala hilo halikuishia hapo tu bali likawekwa na kuidhinishwa mpaka kwenye mfumo wa sheria jambo si kwamba watu walikuwa wanapenda udanganyifu na kutapeliwa lah ila vipi kuhusu mazingaombwe ya bwana helo wakajiuliza je yale nayo yalikuwa udanganyifu na utapeli kujibiwa hilo katika hali ya kustaajabisha siku moja maafisa wa serikali wakajaa wengi kwenye nyumba ya bwana helo wakaangusha banda lake pasipo huruma na helo akapewa onyo kali kuwa inambidi afanye kazi halali kujiingizia kipato na si utapeli na udanganyifu akasononeka sana haikujalisha aliomba namna gani hakusikika na hakuna mtu aliyemjali lakini kama kuna kitu ambacho watu walikuwa hawakijui helo hakuwa tapeli wala mdanganyifu yote aliyokuwa anayafanya kwenye banda lake hayakuwa udanganyifu hata kidogo bali uchawi familia ya wakina helo ilikuwa ya kichawi kutokea huko amerika ya kusini hakuna aliyekuwa anajua hilo kipindi hicho ulozi ulikuwa umekatazwa kabisa ndani ya jimbo na kwa mtu yeyote aliyekuwa amebainika kujihusisha nao adhabu yake ilikuwa ni kukamatwa na kuchomwa mbele ya kadamnasi ya watu basi kwasababu ya kukatazwa kwa mambo ya mazingaombwe familia ya bwana helo ikafilisika sana wakawa mafukara na kituko ndani ya jij kila walipopita wakanyooshewa kidole wengine wakisanifu na wengine wakihuzunika maisha yalibadilika ghafla kutoka kwenye shujaa mpaka tapeli wa massachusetts kutoka kwenye umaarufu mpaka kujificha kwenye miti na ndani vyumbani dah pole muna tumbo lote linaniuma rip sweet little baby naomba tuendelee kuchanga anahitaji kusafirisha mwili na kufanya mazishi angalau tumpungizie matatizo japo kidogo tafadhali angalia posti iliyopita kuona njia na jinsi ya kutuma mchango wako update dah pole muna tumbo lote linaniuma rip sweet little baby 😭😭😭 naomba tuendelee kuchanga anahitaji kusafirisha mwili na kufanya mazishi angalau tumpungizie matatizo japo kidogo tafadhali angalia posti iliyopita kuona njia na jinsi ya kutuma mchango wako simu imefikia limit ya kupokea kwa hiyo pesa za watu zinarudi muna please jikaze utoe pesa kwenye simu ili watu waweze kukusaidia zaidi au kama unaweza ongeza namba ingine ya simu ila kwa mlioko tanzania tumeni kwenye account ya benki kwa mpesa ili namba ya simu tutumie sisi tulio nje la sivyo walio nje hawana njia ingine ya kumsaidi au kama vipi mimi naona wa nje tutumie western union ili kupeuka hii jam ya simu tuma kwa western union au money gram kwenda kwa rose alphonce nungu dar es salaam tanzania ukishatuma please wasiliana na @zamaradimketema kumpa tracking number na maelezo mengine ya kupokea pesa kama jina la mtumaji kiasi na mji na nchi ulioko repost @zamaradimketema with @get_repost tumejitahidi ila mungu ana mitihani yake mikono inatetemeka ila ndio ukweli paty amefariki pumzika kwa amani baba zilipita dakika kadhaa mwanamke huyo akadondosha chozi asioneshe kujali chozi hilo likishuka ghafula akapiga yowe kali na kuwashitua abiria waliosalia chomboni niache alifoka niache si mimi alihangaika huku na huko kama aunguzwaye na moto watu wote garini zilipita dakika kadhaa mwanamke huyo akadondosha chozi asioneshe kujali chozi hilo likishuka ghafula akapiga yowe kali na kuwashitua abiria waliosalia chomboni niache alifoka niache si mimi alihangaika huku na huko kama aunguzwaye na moto watu wote garini wakamtizama ana nini huyu hakukoma aliendelea kujirusharurusha huku na huko akijibamiza mpaka pale alipovunja kioo na kujijeruhi vibaya damu zilimchuruza kichwani kama maji wanaume wawili garini walijitolea kumtuliza lakini hawakufanikiwa walizidiwa nguvu wakarushwa mbali mhanga akaendelea kujiadhibu kwa kujibamiza damu zikimmwagika mdomowe bado ukilalama sio yeye na anakufa isichukue muda mrefu mwanamke yule akalala chini na kutulia tuli abiria walimsogelea wakamtazama amekufa damu bado ziliendelea kuchuruza kichwani kwake na kutapakaa garini dereva alitikisa kichwa chake akatoa mlio wa kuita paka mkosi gani huu alilaumu huyu mwanamke kapatwa na nini aliuliza kana kwamba kuna ajuaye kwa undani kilichojiri swali hilo likazua mzozo kila mtu akajaribu kueleza anavyofahamu yeye wengine wakasema ana mapepo wengine wakahukumu alikuwa na msongo wa mawazo kwa hoja kwamba tangu apande gari alionekana ana mawazo mengi ila kwa muda huo kondakta alikuwa kimya akiutathmini mwili wa mwanamke huyo na baada ya sekunde chache alikumbuka jambo huyu mdada alipandia gari maeneno ya mbuyuni nakumbuka wakati anasimamisha gari alikuwa anakimbia akitazama nyuma sijui kuna mtu alikuwa anamkimbiza sifahamu na katika watu wako wasemao tumemuamini mwenyezi mungu na siku ya mwisho wala wao si wenye kuamini wanatafuta kumdanganya mwenyezi mungu na wale walio waamini lakini hawadanganyi ila nafsi zao nao hawatambui moyoni mwao mna maradhi na mwenyezi mungu am na katika watu wako wasemao tumemuamini mwenyezi mungu na siku ya mwisho wala wao si wenye kuamini wanatafuta kumdanganya mwenyezi mungu na wale walio waamini lakini hawadanganyi ila nafsi zao nao hawatambui moyoni mwao mna maradhi na mwenyezi mungu am ila wakati sanjal akiwa anakufa kwa kutotambua akiwa katika harakati za kujiokoa na dhama ya kifo cha kikatili alichokuwa anakumbana nacho akajikuta akitamka maneno ambayo aliyawahi kuyasikia kwa baba yake basi pasipo kutarajia nafsi yake ikajitoa katika mwili wake na kuzama ila wakati sanjal akiwa anakufa kwa kutotambua akiwa katika harakati za kujiokoa na dhama ya kifo cha kikatili alichokuwa anakumbana nacho akajikuta akitamka maneno ambayo aliyawahi kuyasikia kwa baba yake basi pasipo kutarajia nafsi yake ikajitoa katika mwili wake na kuzama ndani ya mdoli tangu hapo sanjal akawa humo ndani ya mdoli ila bado akiwa amebeba laana ya mungu wao laana ovu ilikuwa inasemakana kuwa mdoli huyo hutii pale anapoitwa jina la mtoto huyo hufanya alichoagizwa kwa malipo ya damu hiyo ni kwa wale waliokuwa wanasema habari hizo na kuzitambua lakini kwanini mdoli huyo alikuwapo baharini tena akiwa amefumbwa macho turudi kwa wakina ruth wakati usiku ulipofika kileleni ruth aliamka baada ya kubanwa na haja ndogo akiwa hatambuo hili wala lile akaenda maliwatoni kutimiza haja yake lakini aliporejea hakumkuta yule mdoli wake pale kitandani akafikicha macho yake na kuangaza kila kona nani alimchukua mdoli wake akiwa amenuna na amekunja uso akatazama chini ya kitanda na kitini hakumwona akatahamaki huenda mama yake amemchukua mdoli wake akawaza basi pasi na kungoja akatoka na kwenda chumbani kwa mama yake alipofika akamwamsha na kumdai mdoli wake ruth una matatizo gani mama akamuuliza akiwasha taa namwomba mdoli wangu ruth akasema akiwa amenuna haswa mikono yake ameigandisha kiunoni mdoli wako mama akatahamaki kwani haukwenda kulala naye nilienda naye ila nimemka simwoni ruth akasema kwa kiburi basi mama yake akaongozana naye mpaka chumbani kwake kutazama ajabu wakamkuta mdoli kitandani ile ni nini mimi sikumwona ruth akasema akipandisha mabega yake juu kisha akatabasamu usije kunisumbua tena na mdoli wako sawa mama akafunga mlango na kujiondokea alipofika chumbani akajitupa kitandani na kujiveka shuka apate kulala naomba niwe kati ya wale wa kwanza kukusapoti ili ukija kuanza kuchukua matuzo usitusahau maskini wenzio mwanzo sio mwepesi ila kama msimamizi wa mpesa vodacom naweza sema yajayo yanafurahisha nitashangaa kuona watu wanakukejeli kwenye hii hatua yako katika upiganaji sijui wanataka naomba niwe kati ya wale wa kwanza kukusapoti ili ukija kuanza kuchukua matuzo usitusahau maskini wenzio mwanzo sio mwepesi ila kama msimamizi wa mpesa vodacom naweza sema yajayo yanafurahisha nitashangaa kuona watu wanakukejeli kwenye hii hatua yako katika upiganaji sijui wanataka ukatembee barabarani unauza nanilii sasa 😒 katika hatua za mafanikio jua sana kuchuja maneno kama kweli umedhamiria kufanya mziki basi kazaaa na unatoboa tu kwani hao wengine ni kina nani labda wengine tulianza hatukubaliki hata tutoe msaada wanguo zetu tutembee watupu ila unakaza tu na baada ya mda unaanza okota fan mmoja mmoja wawili mwishowe una mamilioni #refusetostop 📷 @benardatilio mezoterapi nedir mezoterapi derinin orta tabakasına ilaç enjekte edilerek uygulanan bir ameliyatsız cilt gençleştirme tedavisidir özel mezoterapi iğneleri ile yapılan bu uygulama cildi yenilemek kırışıklık ve cilt sarkmalarına çözüm getirmek için tercih edilen doğal mezoterapi nedir ciltteki elastikiyet kaybı ve sarkmaların tedavisi cildin yaşlı bir görüntü almasını yavaşlatılması yüzdeki yorgun ifadeyi giderilmesi sigara kullanan hastalarda oluşan cilt hasarlarının azaltılması güneşten zarar görmüş ciltleri düzeltilmesi diğer leke tedavileri ile birlikte uygulanarak lekelerin hafifletilmesi mezoterapinin yüz bölgesinde kullanılma nedenlerinin başında gelir neslinin_guzelliksirlari 3hii imetoka mwaka huu mwezi march 2018 amecheza taraj p henson ni movie nzuri ila sijapenda ilivyoisha acrimony melinda (taraj) ni mke ambae anamapenzi ya hali ya juu kwa mumewe wa toka ujanani amejitoa sana kwa mumewe hata kutengwa na dada zake wenye midomo hao mhhh melinda alikutana 3hii imetoka mwaka huu mwezi march 2018 amecheza taraj p henson ni movie nzuri ila sijapenda ilivyoisha melinda (taraj) ni mke ambae anamapenzi ya hali ya juu kwa mumewe wa toka ujanani amejitoa sana kwa mumewe hata kutengwa na dada zake wenye midomo hao mhhh melinda alikutana na mumewe robert ambae ni engenier wakiwa college robert ni engenier wale wenye ndoto za kubuni mambo makubwatoka akiwa kijana aliamini katika ndoto yake hakuwa tayari kuajiriwa kabisaa hivyo kujikuta anapambana kuhakikisha anachokibuni (battery technology)kinakuwa kweli ujanani yes alishamcheat mkewe lakini miaka yote pamoja na mkewe kufanya kazi kusuport familia hakuwahi kumcheat mkewealimpenda kuliko kitu chochote kutokana na melinda kufanya mengi kwa mumewe na haoni faida akaanza kumchoka na kupunguza mapenzibado maneno mengi ya dada zake hii story ni ndefu naifupisha ila melinda alikuja muacha mumewe kwa drama sanaa na dada zake wakiwa wapambe kisa ilionekana anamcheat na haikuwa kweli mazingira yalionyesha hivyo ila kwa sababu alishamchoka mumewe hakuwa tayari kumsikiliza robert baada ya miaka mingi ubunifu wake ukachukuliwa kwa deal ya pesa nyingi na alomsaidia ni mchepuko wake wa ujanani baada ya kusign deal na kupewa pesa nyingi akaenda kwa mkewe ambae wametalikiana melinda melinda akaenda kumsikiliza kwa ujeuri sana akihisi jamaa amekuja kuomba warudiane jamaa alikuja kumshukuru kwa kumvumilia miaka yote ya umaskini akampa mauana cheque ya pesa kumlipa zoote alizowahi kutumia juu yake hadi nyumba yao aliyoachiwa urithi melinda na mama yake ambayo iliwahi kuuzwa sababu ya mkopo bank akainunua upya na kumrejeshea hapa ndio naweza kusema movie inaanza melinda(taraj) baada ya kuona mumewe wa zamani aliyekuwa na ndoto nyingialiyewahi kumuahidi paradise akitajirika amekuwa tajiri na anaishi ndoto zake akataka kujirudisha akakuta jamaa anadate mwanamke mwingine wivuhasiramajutokutokukubalikichaaa kikapandandio maana nasema sijapenda ilivyoisha kaitafute kama hujaiona nautafakari sana ukuu wa mungu na mipango yake #nimetokambali #veta moshi wakati huo nasomea ufundi nilikuwa natamani sana kufanya kazi kwenye ndege hasa maswala ya kiufundi na ndio maana nilisoma instrument mechanics na kuibuka na grade 1 ya ufundi dooh ila ni fani ambayo ndio ilikuwa nautafakari sana ukuu wa mungu na mipango yake #nimetokambali #veta moshi wakati huo nasomea ufundi nilikuwa natamani sana kufanya kazi kwenye ndege hasa maswala ya kiufundi na ndio maana nilisoma instrument mechanics na kuibuka na grade 1 ya ufundi dooh ila ni fani ambayo ndio ilikuwa kiunganishi kwangu na kuwa mtangazaji nilikuwa na kipaji na walimu wangu walikiona na marafiki zangu pia walijua kuwa i can be presenter nilikuwa nawasomea magazeti nawasimulia hadithi na walinisifu kwa sauti nzuri na uhodari wa usomaji ila niliweka kipaji hicho kama plan b kwenye maisha yangu (hakikisha una plan b katika kila ufanyalo ) nakumbuka ilifika wakati wa field nilikosa field ya kwenye ndege nafasi ambayo niliipenda sana nikaenda kuifanyia sunflag arusha kiwandani ila bado nafsi haikuridhika nikamaliza awamu ya kwanza ya field awamu ya pili nikasema no kama nimekosa kwenye ndege nakumbuka ilikuwa pale uwanja mdogo wa ndege soweto moshi nafasi zilikuwa chache sana hivyo ikanilazimu niende radio sauti ya injili na kufanya field kama fundi mitambo kwasababu fani yangu ilijumuisha mambo mengi kama umeme upepoufundi wa instuments ndogondogo huko sasa ndio nilipotokea na kuwa mimi ambae leo unanijua walau kwa uchache sanahapo nikafikia ndoto yangu ya pili kwasababu plan a haiku work out so nikaibuka na plan b nikawa mtangazaji na fundi mitambo lakini pia sasa ni proffesional journalist sikutaka kubweteka nikajiendeleza kielemu mpaka hapa na bado najiendeleza kwa juhudi zangu binafsi na suport ya mama yangu coz baba alishafariki na kwa kwa suport ya ofisi kampuni ninayofanya kazi clouds media #hapa nataka nikuambie jambo usikate tamaa hakikisha plan a yako ikiharibika au ishindwa kufanya kazi itumie plan b yako vizuri na utafanikiwa #nimetoka mbali na bado sijafika kama ni safari ndio kwanza inapamba moto napambana na mbali nitafika #sikubwebwanilijituma sisi sio kundi (ssk) ssk ni kundi jipya la hip hop linaloundwa na wakazi zaiid p the mc na cjamoker (producer) muunganiko wa emcees hawa wenye ladha tofauti nao umeweza kuzaa kitu tofauti ambacho hakijazoeleka kutoka kwao wakiwa wanafanya kazi as solo artists wakizoeleka kama punchline sisi sio kundi (ssk) ssk ni kundi jipya la hip hop linaloundwa na wakazi zaiid p the mc na cjamoker (producer) muunganiko wa emcees hawa wenye ladha tofauti nao umeweza kuzaa kitu tofauti ambacho hakijazoeleka kutoka kwao wakiwa wanafanya kazi as solo artists kundi lilizaliwa wakati wa utayarishaji wa wimbo wa cjamoker ambao marapper wote hawa walishiriki wimbo rasmi wa utambulisho wa kundi unaitwa habari ya leo na tayari ssk wapo kwenye hatua za mwisho za uandaaji wa album yao itakayoitwa sisi sio kundi mabibi na mabwana nawaletea kwenu ssk @ssk_tanzania @chimbo_inc #workethic #bigmoyo @instincts_records #chamalavita #ssk #sisisiokundi ( photo courtesy of @meckykaloka ) lets not promote violence hatutamchinja mtu tusitoe sababu ya polisi kuja kivita na hata hakuna sababu ya kuwatishia polisi kuwa mtauwa familia zao polisi wangekuwa nj watu wakutishika wasingepamba na majambazi kwa kurushiana risasi kitu cha kufanya nikutafuta njia za kuwagusa lets not promote violence hatutamchinja mtu tusitoe sababu ya polisi kuja kivita na hata hakuna sababu ya kuwatishia polisi kuwa mtauwa familia zao polisi wangekuwa nj watu wakutishika wasingepamba na majambazi kwa kurushiana risasi kitu cha kufanya nikutafuta njia za kuwagusa kiubinadamu haimaanishi kuwa mkipigwa na polisi msimame kama maboya no ni lazima mjitetea lakini sio mtangaze vita na polisi naomba nirudie tena maandamano ya amani huwa yanafanikiwa zaidi kuwaondoa marais kuliko maandamano ya machafuko tukiandamana kurekodi video sijui tunachinja mbuzi na picha ya magufuli pembeni tunaanza kulitia wasiwasi jeshi kuwa tunataka kuleta machafuko na sio kudai haki zetu kisheria na kama inavyoruhusiwa kikatabu wananchi mkiandamana kwa na silaha na kuwa chanzo cha machafuko hapo hapo jeshi litakuwa upande wa magufuli na watatudhibiti ila sisi tukiandamana kwa amani bila silaha zozote na polisi wakatushambulia kuna chance kubwa mno jeshi likaingilia kutunusuru naomba mniamini napowaambia fanyeni maandamano ya amani na mtashinda na mhutu atasepa mkifanya maandamano ya violence mtadhibitiwa siku ya pili tu na mtakosa sapoti ya dunia nzima yani kila mtu atamsapoti magufuli kwa kuwadhibiti lakini mkiandamana kwa amani bila silaha zozote magufuli akimvunja hata mtu mmoja mguuu dunia nzima itakuwa upande wenu na magufuli atajikuta peke yake yani dunia nzima italalamika kwa niaba yenu itakuwa katumia nguvu kwa wananchi ambao hawakuwa na silaha kama jinsi alivyolaumiwa juu ya kifo cha akwilina kuna mtu mlimuona kawalaumu kina mbowe kwa kuandamana si ni sababu waliandamana kwa amani na hawakuwa na silaha tafadhalitarehe 26 tutoke majimbani na vitabu vya dini mkononi msibebe hata viwembe dunia ione hamkwenda vitani mlienda kudai haki zenu tu kama machafuko ataleta magufuli na polisi wake sio nyinyi
2020-02-17T04:46:40
https://mulpix.com/instagram/na_ila_ya.html
20091115 ~ g sengo machimbo madogo mapya ya almasi nyamongolo wilayani misungwi mwanza friday november 20 2009 chunguza mjomba utabaini 1 comment hapa ndo kwaaanza ngoma imeanza shimo jipya kusaka madini aliyepembeni ni mmiliki wa shimo akisimamia shughuli kama ni suala la afya hiki ni moja ya vyoo katika kujisitiri wana migodisti kwa wapenda chabooz ukiwa juu ya vilima vya malundo ya udongo aliyeko ndani wamchora fresh utaipenda kazi inaendelea business inafanyika hili ni moja kati ya eneo la bonde lenye mashimo manne wamiliki tofauti na hawaingiliani eneo hubaki na mashimo makubwa sambamba na vilima vya udongo na hii ni kutokana na utaratibu mbovu wa wachimbaji kwani mara wamalizapo shughuli za usakaji madini ya almasi mashimo huyaacha bila kuyafukia tena wengine wakishatusua yaani wanapotea kabisa nalo eneo hili lilikuwa tambarare tena makazi ya watu uskose shea hii shamrashamra zimeonekana na kwawalio mbali zimesikika kilichobaki ni kuwa mashuhuda stage kalisound kaliwasanii wakubwa wakali toka nchini na wageni wakali kutambulishwa busta rymes in da house wouh siwezi subiri one love ni jumamosi hii 21nov2009 dar es salaam kidole kinaelekeza of coz kinamaanisha one ni moja kati ya matukio ya kihistoria fiesta one love 2009 msanii maarufu toka kanda ya ziwa jitah man ambaye alipata ajali mbaya ya pikipiki yake kugongana na daladala na hata mashuhuda wa ajali hiyo kuvumisha taarifa kwamba aliaga dunia kumbe sivyo alitambulishwa rasmi kuwa yu hai ktk fiesta one love mwanza kila mmoja alikuwa na hamu kumwona kwani kipindi uvumi ukiendelea hakukuwa na chombo chochote cha habari kilicho thubutu kumwonyesha uonekano wake zaidi ya vingine kukazia kuwa aliaga dunia kila mmoja aliyekuwa pale macho yake yalielekea ktk stage pindi adam mchomvu mmoja wa ma mcz wa siku hiyo alipomualika ktk stage alipandishwa na ngosha the don na simanzi zaidi ilikuwa ni neno lililotoka kinywani mwake picha zinazofuata ni kipindi yu hospitali ya rufaa ya bugando akipata tiba ilikuwa sooo ngoja tathmini mara baada ya show ya fiesta dar mengine yepi ya kihistoria2009 mazoezi ilikuwa ni moja ya sehemu ya kuimarisha tiba aliyokuwa akiipata kiufupi jitah man hakuwa mvivu ktk kuketi kwa nguvu zake kuupa mwili na viungo vyake zoezi kwa karibu zaidi kaka ilinichakaza lakini poa tuu jitah man aka zagamba alipokuwa kitandani akipokea tiba ndani ya hospitali ya rufaa bugando jijini mwanza ingawa kimwonekano alikikuwa hoi lakini hakusita kuonesha poz za ungangari mwanaume ni mwanaume tu
2019-10-16T09:09:28
https://gsengo.blogspot.com/2009_11_15_archive.html
maskanibongosoka speshoza dunianiulayala ligaligi za ulayaza penati boksimengineyoenglandna mpya zakeripoti spesho epl leo 3 arsenal kuishusa city nafasi ya 3 created tuesday 03 january 2017 0845 print email epl ligi kuu england 2245 bournemouth v arsenal 2300 crystal palace v swansea city 2300 stoke city v watford +++++++++++++++++++++++++++++ arsenal leo wa[po ugenini huko fitness first stadium kuivaa bournemouth katika mechi ya epl ligi kuu england ambayo ushindi kwao utawaweka nafasi ya 3 mechi nyingine 2 hii leo ni huko selhurst park kati ya crystal palace na swansea city na huko britannia stadium ni stoke city v watford arsenal sasa wapo nafasi ya 4 wakiwa na pointi 40 kwa mechi 19 na juu yao wapo man city wenye pointi 42 kwa mechi 20 huku namba 2 ni liverpool wenye 44 kwa mechi 20 na vinara ni chelsea wenye pointi 49 kwa mechi 19 kwenye mechi ya bournemouth v arsenal msimu uliopita arsenal waliibuka kidedea kwa bao 20 wachezaji wataaokosekana bournemouth majeruhi pugh l cook arsenal ozil mgonjwa majeruhi akpom debuchy gibbs mertesacker walcott welbeck cazorla vikosi vinatarajiwa kuwa bournemouth boruc francis cook ake daniels arter surman stanislas king fraser afobe akiba watatokana na allsop federici jordan hyndman gradel grabban mings mousset m wilson gosling b smith a smith fraser c wilson ibe arsenal cech bellerin gabriel koscielny monreal coquellin xhaka oxladechamberrlain sanchez iwobi giroud akiba watatokana na ospina martínez mustafi jenkinson gabriel holding ramsey reineadélaïde sanogo özil 1630 everton v manchester city 1900 manchester united v liverpool epl leo arsenal au spurs kumshusa city nafasi ya 3 created sunday 01 january 2017 0801 print email epl ligi kuu england 1630 watford v tottenham hotspur 1900 arsenal v crystal palace +++++++++++++++++++++++++++++ leo zipo mechi mbili za epl ligi kuu england za kufungua mwaka mpya 2017 na timu za arsenal na tottenham zina nafasi murua ya kutwaa nafasi ya 3 kwenye ligi hiyo baada ya jana kufungwa 10 na liverpool manchester city wameshika nafasi ya 3 wakiwa pointi 4 nyuma ya timu ya pili liverpool na pointi 10 nyuma ya vinara chelsea city pia wapo pointi 2 mbele ya timu ya 4 arsenal na pointi 3 mbele ya timu ya 5 spurs ikiwa leo arsenal wataifunga crystal palace kwenye mechi yao itakayochezwa emitrates jijini london basi arsenal watashika nafasi ya 3 lakini arsenal akiteleza na spurs kushinda ugenini na watford basi spurs wataifikia city kwa pointi na kuishusha kwa ubora wa magoli na wao kukamata nafasi ya 3 endapo zote arsenal na spurs zitashinda basi arsenal watakuwa wa 3 na spurs wa 4 huku city akiporomoka hadi nafasi ya 5 epl itaendelea tena kesho jumatatu kwa mechi 6 2300 tottenham hotspur v chelsea epl hull city everton wafunga mwaka kwa droo created saturday 31 december 2016 0837 print email everton walisawazisha dakika ya 84 kwa bao la ross barkley na kupata sare ya 22 walipocheza na hull city huko kingston communications stadium kwenye mechi pekee jana usiku ya epl ligi kuu england 2300 tottenham hotspur v chelsea dirisha la uhamisho januari nani kwenda wapi mastaa wanaotajwa kuhama created thursday 29 december 2016 0842 print email mashabiki wa soka wanakodolea macho habari za wachezaji wakubwa kuhama klabu na kwenda kwingine mara tu dirisha la uhamisho likifunguliwa hapo januari mosi dirisha hilo litafungwa januari 31 tayari uvumi umeshazagaa kila sehemu na baadhi yake upo ukweli lakini kama ilivyo kawaida nyingi hazina hata chembe ya ukweli hata kidogo hivi sasa baadhi ya majina yanayohusishwa na uhamisho wa januari ni yafuatayo morgan schneiderlin kiungo miaka 27 man united hana namba kikosi cha jose mourinho anahusishwa na everton wba ada pauni milioni 24 virgil van dijk sentahafu 25 southampton ni beki mrefu anaecheza vizuri na kuwindwa na klabu nyingi anahusishwa na chelsea man united man city ada pauni milioni 35 mamadou sakho sentahafu 26 liverpool hajacheza hata mechi 1 msimu huu anawindwa na psg lille wba ada pauni milioni 125 ross barkley kiungo 23 everton hana namba ya kudumu kwa kukosa fomu nzuri msimu huu anahusishwa na tottenham ada pauni milioni 35 dimitri payet kiungo 29 west ham ni nyota anaetaka klabu kubwa ili atwae mataji anahusishwa na arsenal man united memphis depay winga 22 man united hana namba chini ya jose mourinho anahusishwa na everton lazio sevilla ada pauni milioni 13 asmir begovic kipa 29 chelsea msimu huu amecheza mechi za efl cup tu anahusishwa na stoke west ham ada mkopo jordan rhodes straika 26 middlesbrough hajangara tangu atinge boro anahusishwa na aston villa sheffield wednesday ada pauni milioni 9 moussa dembele kiungo mshambuliaji 20 celtic alifunga bao lake la 18 msimu huu hivi juzi anahusishwa na liverpool man city ada pauni milioni 20 ademola lookman winga 19 charlton ni tineja anaesifika sana ambae msimu huu amefunga bao 6 anahusishwa na everton ada pauni milioni 11 yacine brahimi kiungo 26 porto staa wa algeria aliekosa namba msimu huu anahusishwa na everton arsenal man united ada pauni milioni 30 marco verratti kiungo 24 psg wakala wake amedai hawezi kuganda timu isiyoshinda mataji anahusishwa na chelsea ada pauni milioni 40 james rodriguez kiungo 25 real madrid hana namba huko real anahusishwa na psg inter milan chelsea created tuesday 27 december 2016 2244 print email swansea city imemfukuza bob bradley baada ya siku 85 kama meneja wao wa klabu hiyo ya epl ligi kuu england jumatatu boksing dei desemba 26 swansea ilitwangwa 41 na west ham kwenye mechi ya epl na kuachwa wakiwa pointi 4 tu juu ya zile timu 3 za mkiani ambazo mwishoni mwa msimu huporomoka daraja kipigo hicho pia kilikuwa cha 7 kwa swansea katika mechi 11 ambazo bradley raia wa marekani wa kwanza kuongoza epl kuchukuwa wadhifa oktoba 3 toka meneja mwingine alietimuliwa francesco guidolin huko nyuma bradley aliwahi kuwa meneja wa usa egypt klabu ya stabaek ya norway na le havre ya france kabla kuja kumrithi francesco guidolin alieteuliwa mwezi januari swansea imethibiti kutimuliwa kwa bradley na kutangaza kuwa makocha wasaidizi alan curtis na paul williams watashika wadhifa kuanzia mechi yao ya jumamosi desemba 31 na bournemouth 2300 tottenham hotspur v chelsea supa wakala jorge mendes kutua manchester leo kupiga dili la £38m la difenda emirates fa cup droo ya raundi ya 3 yafanywa mabingwa man united kuivaa reading ya jaap stam emirates fa cup droo ya raundi ya 3 leo mabingwa man united na vigogo wengine chunguni ligi kuu england sanchez 3 arsenal 5 west ham 1 jose mourinho hii timu ni ya kipekee tite brazil inakaribia kuwa tayari kwa russia 2018
2017-02-22T10:39:49
http://sokaintanzania.com/mengineyo?start=20
global voices in swahili » myanmar hatimaye suu kyi amekuwa huru · global voices in swahili » print tafsiri imetumwa 20 novemba 2010 937 gmt 1 · imeandikwa na tan imetafsiriwa na j nambiza tungaraza mada za habari asia mashariki myanmar (burma) siasa uandishi wa habari za kiraia amekuwa kifungoni kwa miaka 15 katika miaka 21 iliyopita lakini hivi sasa hatimaye yuko huru [1] kiongozi wa upinzani na alama ya wapenda demokrasia nchini burma aung san suu kyi aliachiwa huru [2] kutoka kizuizini mchana siku ya jumamosi na serikali inayoungwa mkono na jeshi la myanmar baada ya kuendeshwa kwa uchaguzi [3] wa taifa ambao ulitawaliwa na wagombea wanaoungwa mkono na serikali tovuti ya the democratic voice of burma iliweza kufuatilia na kurekodi [4] dakika chache za kwanza za kuachiwa kwake video hii inawaonyesha mashabiki wa suu kyi waliokuwa wakipunga mikono mbele ya nyumba yake iliyoko kando ya ziwa aung san suu kyi aachiwa [5] kutoka dvbtv english [6] kupitia vimeo [7] habari zilisambaa alhamisi iliyopita kwamba suu kyi angeachiwa mwishoni mwa juma mnamo tarehe ambayo kifungo chake cha nyumbani kingeisha ilitaarifiwa kwamba alikuwa ametia saini makaratasi [8] ya kuachiwa mnamo majira ya saa 6 mchana siku hiyo hata wanachama wa chama cha national league for democracy ambacho ni chama cha suu kyi walianza kusafisha [9] ofisi za makao makuu ya kamati kuu huku wakiwa na matarajio ya kuachiwa kwa suu kyi siku ya ijumaa kulikuwa na umati wa watu 500 au zaidi waliokusanyika [10] mbele ya ofisi za nld mjini yangon wote wakiwa wanasubiri kuachiwa kwa suu kyi bango lililokuwa mbele ya makao makuu hayo lilisomeka leo ni siku ya kuachiwa kwake [11] mategemo ya uhuru wa suu kyi yalitiliwa mashaka baada ya mahakama ya juu nchini burma kukataa rufaa yake ya mwisho [12] dhidi ya kifungo cha nyumbani ijumaa na kuwafanya watu wawe na wasiwasi kuwa angeachiwa au la wakati huo huo inasemekana kuwa viza ya kim aris mwanawe aung san suu kyi iliidhinishwa [13] ili aweze kuzuru myanmar dunia ilifurahi wakati suu kyi ambaye ni mshindi wa tuzo ya nobeli alipoachiwa huru kutoka kifungo cha nyumbani watumiaji wa twita walitumia alama ya #aungsansuukyi [15] wakati walipojiunga na mazungumzo ya ulimwengu mzima [16] uliokuwa ukisherehekea uhuru wa suu kyi url to article https//swglobalvoicesorg/2010/11/myanmarhatimayesuukyiamekuwahuru/ [1] hatimaye yuko huru http//wwwirrawaddyorg/highlightphpart_id=20068 [2] aliachiwa huru http//wwwirrawaddyorg/articlephpart_id=20069 [3] uchaguzi https//globalvoicesonlineorg/2010/11/09/myanmarelectionjuntabackedpartywinsviolenceerupts/ [4] kufuatilia na kurekodi http//wwwdvbno/news/firstfootageemergesofsuukyi/12844 [5] aung san suu kyi aachiwa http//vimeocom/16792012 [8] alikuwa ametia saini makaratasi http//wwwirrawaddyorg/articlephpart_id=20054 [9] kusafisha http//wwwirrawaddyorg/articlephpart_id=20047 [10] 500 au zaidi waliokusanyika http//wwwirrawaddyorg/articlephpart_id=20053 [11] leo ni siku ya kuachiwa kwake http//wwwmizzimacom/gallery/photonews/4520photonewsnovember2010html [12] kukataa rufaa yake ya mwisho http//wwwmizzimacom/news/insideburma/4568topcourtrejectssuukyiappealagainstdetentionhtml [13] iliidhinishwa http//wwwirrawaddyblogcom/2010/11/blogpost_9413html [16] mazungumzo ya ulimwengu mzima http//trendsmapcom/topic/23aungsansuukyi
2020-08-07T10:37:03
https://sw.globalvoices.org/2010/11/myanmar-hatimaye-suu-kyi-amekuwa-huru/print/
marehemu samwel sitta apumzishwa kwenye nyumba yake ya milele | mtaa kwa mtaa blog marehemu samwel sitta apumzishwa kwenye nyumba yake ya milele waziri mkuu kassim majaliwa akisalimiana na mkuu wa mkoa wa tabora aggrey mwanri baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa tabora akieleke urambo khudhuria mazishi ya spika mstaafu samuel sitta novemba 12 2016 waziri mkuu kassim majaliwa akisalimaina na viongozi wa serikali wa mkoa wa tabora viongozi wa vyama vya siasa na dini baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa tabora akiwa njiani kwenda urambo kwenye mazishi ya spika mstaafu samuel sitta waziri mkuu kassim majaliwa akisalimiana na askofu josephat gwajima wa kanisa la ufufuo na uzima baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa tabora wote walikuwa wakienda urambo kushiriki mazishi ya spika mstaafu samuel sitta mke wa waziri mkuu mary majaliwa akitia saini kitabu cha maombolezo bada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu spika mstaafu samuel sitta urambo mkoani tabora ambako alishiriki mazishi waziri mkuu kassim majaliwa akimfariji mjane wa marehemu spika mstaafu samuel sitta baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu urambo tabora kwa mazishi mke wa waziri mkuu mama mary majaliwa akisalimiana na baadhi ya wanafamilia na ndugu wa marehemu spika mstaafu samuel sitta bada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu urambo mkoani tabora kwa mazishi mke wa waziri mkuu mama mary majaliwa akisalimiana na baadhi ya wanafamilia na ndugu wa marehemu spika mstaafu samuel sitta bada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu urambo mkoani tabora kwa mazishi waziri mkuu kassim majaliwa akisalimiana na mbunge wa zamani wa busega na waziri wa mifugo na uvuvi dkt titus kamani ambaye sasa ni mwenyekiti wa ccm wa mkoa wa simiyu katika mazishi ya spika mstaafu samuel sitta yaliyofanyika urambo tabora novemba 12 2016 kulia kwake ni spika wa bunge job ndugai na kushoto kwake ni mkuu wa mkoa wa tabora aggrey mwanri waziri mkuu kassim majaliwa akisalimiana na mwenyekiti wa chama cha wananchi (cuf) profesa ibrahim lipumba katika mazishi ya spika mstafu marehemu samuel sitta urambo mkoani tabora maaskofu na wachungaji wakiuombea mwili wa spika mstaafu marehemu samuel sitta kabla ya mazishi yaliyofanyia urambo tabora waziri mkuu kassim majaliwa na mkewe mary wakitoa heshima za mwisho kwa spika mstaafu marehemu samuel sitta kabla ya mazishi yake yaliyofanyika urambo mkoani tabora bibi kagoli fundikira ambaye ni mama mzazi wa spika mstafu marehemu samuel sitta akiongozwa na mgalula fundikira kwenda kwenye kaburi la mwanae katika mazishi yaliyofanyika urambo mjane wa marehemu spika mstaafu margareth sitta mama mzazi wa marehemu na watoto wa marehemu wakigusa jeneza na kushuhudia wakati mwili wa marehemu samuel sitta ulipoteremshwa kaburini katika mazishi yaliyofanyika urambo tabora mjane wa marehemu spika mstaafu margareth sitta mama mzazi wa marehemu na watoto wa marehemu wakigusa jeneza na kushuhudia wakati mwili wa marehemu samuel sitta ulipokuwa ukiteremshwa kaburini katika mazishi yaliyofanyika urambo tabora mjane wa marehemu spika mstaafu margareth sitta mama mzazi wa marehemu na watoto wa marehemu wakigusa jeneza na kushuhudia wakati mwili wa marehemu samuel sitta ulipoteremshwa kaburini bibi kagoli fundikira ambaye ni mama mzazi wa marehemu spika mstaafu samuel sitta akitupa udongo kwenye kaburi la mwanane katika mazishi yaliyofanyika urambo tabora mama margareth sitta ambaye ni mjane wa marehemu spika mstaafu samuel sitta akitupa udongo kwenye kaburi la mumewe katika kazishi yaliyofanyika urambo waziri mkuu kassim majaliwa na mkewe mama mary majaliwa wakitupa udongo kwenye kaburi la spika mstaafu marehemu samuel sitta katika mazishi yaliyofanyika urambo viongozi wa vyama vya siasa na serikali pamoja na wanafamilia wakiweka udongo kwenye kaburi la spika mstaafu marehemu samuel sitta katika mazishi yaliyofanyika urambo maaskofu walioshiriki katika ibada ya mazishi ya spika mstaafu marehemu samuel sitta wakiweka shada la maua kwenye kaburi katika mazishi yaliyofanyika urambo mama margareth sitta ambaye ni mjane wa spika mstafu marehemu samuel sitta akiweka shada la maua kwenye kaburi la mumewe katika mazishi yaliyofanyika urambo waziri mkuu kassim majaliwa na mkewe mary wakiweka shada la maua kwenye kaburi la spika mstaafu marehemu samuel sitta spika wa bunge job ndugai akiweka shada la maua kwenye kaburi la spika mstaafu marehemu samuel sitta waziri mkuu kassim majaliwa akiagana na familia ya spika mstaafu marehemu samuel sitta baada ya mazishi waziri mkuu kassim majaliwa akisalimiana na maaskofu walioshiriki katika ibada ya mazishi ya spika mstaafu samuel sitta waziri mkuu kassim majaliwa akisalimiana na maaskofu walioshiriki katika ibada ya mazishi ya spika mstaafu samuel sitta picha zote na ofisi ya waziri mkuu spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania mhe job y ndugai akimpa pole mama wa aliyekuwa spika wa bunge la tisa marehemu samuel sitta hajjat zuwena fundikira spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania mhe job y ndugai akimfariji mjane wa aliyekuwa spika wa bunge la tisa marehemu samuel sitta mama magreth sitta wakati wa mazishi wa spika huyo mstaafu spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania mhe job y ndugai akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa spika wa bunge la tisa marehemu samuel sitta wakati wa mazishi wa spika huyo mstaafu naibu spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania mhe dkt tulia ackson akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa spika wa bunge la tisa marehemu samuel sitta wakati wa mazishi wa spika huyo mstaafu anayefuatia ni mkuu wa kambi ya upinzani bungeni na mwenyekiti wa chadema mhe freeman mbowe spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania mhe job y ndugai akitoa salama za rambirambi wakati wa mazishi wa aliyekuwa spika wa bunge la tisa marehemu samuel sitta spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania mhe job ndugai akiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa spika wa bunge la tisa marehemu samuel sitta naibu spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania dkt tulia ackson akiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa spika wa bunge la tisa marehemu samuel sitta
2016-12-08T03:59:05
http://othmanmichuzi.blogspot.com/2016/11/marehemu-samwel-sitta-apumzishwa-kwenye.html
tanzania yapata mkopo wenye masharti nafuu wa zaidi ya shilingi bilioni 300 kutoka benki ya maendeleo ya afrika (afdb) na serikali ya korea bongo universetz # uchumi
2017-05-25T05:04:32
http://theuniversetz.blogspot.com/2016/10/tanzania-yapata-mkopo-wenye-masharti.html
iki gitabo tugituye umunyakuri mu bo mu rugo rwintumwa imamu jaafari saadiqi uwonkejwe ibere ryubutumwa uwarezwe na imamu wabayisilamu nicyitegererezo cyabo imamu ali tugituye imamu abu abdillah jaafar bin muhammad saadiq isoko yamategeko ya qurani na suna umutware wacu imuhe imana amahoro nimigisha yewe imamu jafari saadiqi ngutuye izi nyandiko zabonetse bitewe no kwiyuha ibyuya [] aya mabaruwa akusanyije muri iki gitabo ntiyanditswe none nta nubwo kuyandika ari igitekerezo cyavutse vuba mu byukuri ni amabaruwa yanditswe mu gihe kingana na kimwe cya kane cyikinyejana ubu akaba aribwo ashyizwe ahagaragara nkigitabo uretse ko ibibazo binyuranye byenze kuba imbogamizi bigera aho ibyari byagambiriwe mu kwandika aya mabaruwa byenda guhagarara ariko dukora iyo bwabaga [] ibisingizo byiza nibyimana amahoro nimigisha bisakare ku ntumwa yayo nabo murugo rwayo bejejweho ibyaha nabazagira ikitegererezo kuzageza mu bihe byimperuka iki gitabo usoma ni igisobanuro cyigitabo cyitwa khututul arida cyaditswe mu rurimi rwicyarabu na muhibudin alkhatibu vuba aha icyo gitabo cyahinduwe mu kinyarwanda gikuwe mu gitabo cyahinduwe mu giswayire numuryango witwa amur wo mu rwanda [] iyi duwa izwi ku izina ryiduwa ya kumayili yigishijwe na amirul muminina ali (as) ayigisha umusangirangendo numunyeshuri we kumayili mwene ziyad alnakhaiy (ra) imamu ali (as) yahaye kumayili inshingano yo kwigisha abayoboke be iyi duwa guhera ubwo iyi duwa imenyekana ku izina ry iduwa ya kumayili iyi niduwa izwi cyane mu bayisilamu banashyiraho gahunda yo []
2019-05-25T15:40:24
http://www.islamic-sources.com/otherlang/category/ikinyarwanda/?postType=book
hollande mapambano dhidi ya waasi wa mali yafaulu | matukio ya afrika | dw | 29012013 hollande mapambano dhidi ya waasi wa mali yafaulu rais wa ufaransa francois hollande amesema vikosi vya nchi yake na vya afrika vinafaulu katika vita dhidi ya waasi wa kiislamu nchini mali ingawa sasa anataka wanajeshi wa afrika ndio wachukuwe jukumu la mbele zaidi frankreich militärische unterstützung von regierungstruppen in mali akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari mjini paris hapo jana hollande amesisitiza kuwa ni jukumu la wanajeshi wa afrika kuikamilisha kazi ya kuikomboa kikamilifu mali kutoka mikononi mwa waasi eneo la mali kaskazini bado linadhibitiwa na magaidi kwa hiyo ni wajibu wa waafrika kuisaidia mali kuimarisha tena usalama na uhuru wa mipaka yake alisema holande kiongozi huyo aliyasema hayo wakati vikosi vya mali vikisaidiwa na vya ufaransa vilipoudhibiti mji wa kale wa timbuktu wanajeshi hao sasa wanapania kuukomboa mji wa kidal karibu na mpaka na algeria ngome ya kundi la wanamgambo wa kiislamu la ansar dine hollande ameeleza wazi kuwa kuudhibiti tena mji huo hakutakuwa na maana operesheni ya ufaransa katika koloni lake hilo la zamani itakuwa imefikia tamati ndege zisizo rubani karibu na mali ndege zisizoendeshwa na rubani jeshi la marekani linapanga kujenga kambi ya ndege zisizoendeshwa na rubani kaskazini magharibi mwa afrika karibu na mali afisa wa marekani ameliambia shirika la habari la afp kwamba lengo la kambi hiyo ni kuimarisha kazi ya kuyafuatilia makundi yenye mafungamano na mtandao wa kigaidi wa al qaeda katika eneo hilo na makundi mengine ya wanamgambo wa kiislamu afisa huyo ambaye hakutaka jina lake litajwe amesema kambi ya ndege hizo huenda ikajengwa nchini niger kwenye mpaka wa mashariki wa mali ambako wanajeshi wa ufaransa wanafanya harakati dhidi ya kitengo cha alqaida katika eneo la maghreb (aqim) kambi hiyo itarahisisha ukusanyaji wa taarifa za kijasusi kutumia ndege zisizo na rubani kuhusu mienendo ya makundi hayo kitisho cha mashambulizi ya kigaidi ujerumani wakati huo huo vyombo vya usalama vya ujerumani vimeonya juu ya kuongezeka kitisho cha kufanyika mashambulizi ya kigaidi hofu hiyo inatokana na hatua ya serikali ya ujerumani kupitia jeshi lake bundeswehr kupeleka ndege za kusafirisha bidhaa na wanajeshi kusaidia mapambano dhidi ya waasi wa mali gazeti la ujerumani bild limeripoti kuwa hatua hiyo huenda ikachochea watu binafsi au makundi madogo kufanya mashambulizi ndani au nje ya ujerumani mali yapewa mkopo mmoja wa wanajeshi wa ufaransa nchini mali ambako operesheni yao inatajwa kufanikiwa kuwashinda wanamgambo wa kiislamu kwa upande mwingine shirika la fedha la kimataifa (imf) limeidhinisha mkopo wa thamani ya dola milioni 184 kwa ajili ya mali bodi ya shirika hilo iliridhia mkopo huo hapo jana huku nchi hiyo ikijaribu kuondokana na athari zilizosababishwa na upinzani wa wanamgambo wa kiislamu shirika la imf lilisitisha mkopo wa dola milioni 463 ulioidhinishwa mwaka 2011 kwa ajili ya mali kufuatia mapinduzi ya kijeshi zaidi ya miezi tisa iliyopita mkopo huo ulinuiwa kutolewa kwa awamu hadi kufikia mwaka 2014 wafadhili wa kimataifa wanakutana leo nchini ethiopia kuchanga fedha kukidhamini kikosi maalumu cha afrika kwa ajili ya mali kitakachochukua nafasi ya wanajeshi wa ufaransa mara tu miji mikubwa itakapodhibitiwa umoja wa ulaya umeahidi euro milioni 50 kwa kikosi hicho lakini sio kwa kununulia silaha maneno muhimu mali hollande timbuktu kidal marekani ujerumani bild kiungo https//pdwcom/p/17tiz lawama za trump dhidi ya merkel zakosolewa 17012017 kansela angela merkel amejibu lawama za rais mteule wa marekani donald trump dhidi ya siasa yake ya kiliberali kuelekea wakimbizi na tuhuma zake dhidi ya jumuiya ya kujihami ya nato anayosema imepitwa na wakati
2018-11-21T01:03:20
https://www.dw.com/sw/hollande-mapambano-dhidi-ya-waasi-wa-mali-yafaulu/a-16557285
messi atua russia akiidharau england mwanaspoti messi atua russia akiidharau england messi ambaye hajawahi kutwaa taji hilo la kombe la dunia licha ya kutwaa mataji mbalimbali duniani amezitaja timu sita ambazo zinaweza kuchukua taji hilo lakini akawaweka kando waingereza ambao wanasaka taji lao la kwanza la michuano hiyo tangu mwaka 1966 lionel messi ameongea kitu ambacho waingereza hawatapenda kukisikia keshokutwa alhamisi kombe la dunia litaanza pale russia lakini waingereza wakitafakari kauli ya messi kuelekea katika michuano hiyo itawatumbukia nyongo kuna timu kadhaa ambazo zitakwenda katika fainali hizi zikiwa zinajiamini zinacheza vizuri na zina wachezaji mmoja mmoja ambao ni wazuri timu hizo ni kama brazil ujerumani hispania ufaransa na ubelgiji ingawa ubelgiji haitajwi sana alisema messi argentina ina wachezaji wazuri na uzoefu wa fainali zilizopita za kombe la dunia itasaidia itakuwa michuano ambayo timu zinalingana nguvu alisema messi bila ya kuitaja england ambayo mara zote imekuwa ikijipa matumaini makubwa kabla ya kuanza kwa michuano hiyo hii inaweza kuwa michuano ya mwisho kwa messi baada ya kushindwa kulitwaa taji hilo mara nne (2006 2010 2014) huku pia akishindwa kulitwaa taji la marekani ya kusini ambalo amefika fainali tatu tofauti argentina ambayo imetwaa taji la kombe la dunia mara mbili (1978 na 1986) imekuwa na kiu kubwa ya mafanikio kutokana na vipaji lukuki katika nchi hiyo lakini mambo yamekuwa tofauti taji lake la mwisho kuchukua ilikuwa mwaka 1993 wakati ilipochukua copa america kimtazamo argentina imepawa kundi jepesi baada ya kuhangaika kufuzu katika michuano yenyewe imepangwa na iceland nigeria na croatia na inatazamiwa kuibuka viongozi wa kundi hilo mshindi wa kundi hilo d anatazamiwa kucheza na mshindi wa pili wa kundi c ambalo lina nchi za ufaransa australia peru na denmark kocha wa manchester united jose mourinho ambaye atakuwa mchambuzi huko russia anaamini argentina ina nafasi ya kucheza na australia aliyoitabiria kushika nafasi ya pili katika kundi c messi ambaye anatazamiwa kutimiza umri wa miaka 31 wakati fainali hizo zikiendelea russia amedokeza anaweza asistaafu baada ya kumalizika kwa michuano hiyo baada ya kuulizwa atachukua uamuzi gani kama argentina ikichukua michuano hiyo nimetwaa mataji mengi na klabu na mara nyingi mwaka unaofuata bado ninakuwa na kiu ile ile ya mafanikio mara zote wazo langu linakuwa kushinda tena kwa kombe la dunia itakuwa hivyo hivyo sitabadilika alisema messi argentina inatazamiwa kucheza mechi yake ya kwanza ya kombe la dunia dhidi ya iceland jumamosi kabla ya kucheza mechi yake ya pili dhidi ya croatia alhamisi ya juni 21 na kisha kumalizia mechi ya makundi kwa kucheza na wababe wa afrika nigeria juni 26 katika fainali za kombe la dunia zilizopita argentina ilifika fainali lakini ikajikuta ikichapwa bao 10 na ujerumani katika pambano lililochezwa uwanja mkubwa wa brazil maracana bao pekee la ujerumani katika fainali hizo lilifungwa na kiungo mario gotze ambaye hata hivyo mwaka huu ameachwa nje ya kikosi hicho mara zote mafanikio ya messi katika kiasi cha kuitwa mchezaji bora wa muda wote duniani yamekuwa yakikwama kutokana na kushindwa kutwaa kombe la dunia ambalo wakali wa zamani wanaolinganishwa naye kama pele na diego maradona wamekuwa wakiheshimika zaidi kwa kulitwaa taji hilo katika nyakati tofauti
2018-06-24T10:57:41
http://www.mwanaspoti.co.tz/spotimajuu/Messi-atua-Russia-akiidharau-England/1799706-4608292-jv6knc/index.html
mgombea gani yuko tayari kufanya hivi jumapili | jamiiforums | the home of great thinkers mgombea gani yuko tayari kufanya hivi jumapili discussion in 'uchaguzi tanzania' started by kaa la moto oct 29 2010 maana viongozi wetu wengi tulio nao leo tanzania wanapenda sana kujifanya miungu watu nani mwadhani atakuwa wa kwanza kujishusha kiasi hiki subiri mje muwaone mtaelewa nini nasema hii imekaa vizuri dr slaa anaweza dr slaa anawezaclick to expand ni kweli dr slaa anaweza maana iko obvious lakini vipi kikwete anaweza kusimama kwenye msitari namna hii hivi lazima patazungukwa na walinzi utadhani aliingizwa madarakani kwa nguvu 0 people likes ni kweli dr slaa anaweza maana iko obvious lakini vipi kikwete anaweza kusimama kwenye msitari namna hii hivi lazima patazungukwa na walinzi utadhani aliingizwa madarakani kwa nguvu click to expand ya kwa sababu anajua matendo yake ni maovu kipita kiasi we unadhani mfano wa familia ya nguza viking wanamtazama vizuri mwl nyerere ni mtu wa viwango vya juu sana lakini nina wasiwasi hiyo mijamaa iliyo nyuma na mbele yake ni mijitu ya uwt inazuga watu enzi hizo watu waliokuwa na uwezo wa kupigakaunda suti walikuwa wachache sana tazama kwa makini utagundua mwl alikuwa mjanja sana mwl nyerere ni mtu wa viwango vya juu sana lakini nina wasiwasi hiyo mijamaa iliyo nyuma na mbele yake ni mijitu ya uwt inazuga watu enzi hizo watu waliokuwa na uwezo wa kupigakaunda suti walikuwa wachache sana tazama kwa makini utagundua mwl alikuwa mjanja sanaclick to expand kwenye gazeti la kila wiki la kulikoni leo dr slaa anaonekana kuvaa viatu vya bei ya tsh elf 10 ikizidi sana elf 12 100 true mkuu anaglia hata mikono yao ilivyokaa
2017-01-17T22:01:11
https://www.jamiiforums.com/threads/mgombea-gani-yuko-tayari-kufanya-hivi-jumapili.81594/
bosi ashitakiwa kwa kujamba ofisini | mpekuzi bosi ashitakiwa kwa kujamba ofisini bwana hingst mwenye miaka 56 amedai kuwa mashuzi hayo yamemsababishia msongo mkubwa'alikuwa akijamba na kwenda zake' amekata rufaa dhidi ya uamuzi huo na jumatatu march 25 alisikilizwa na mahakama ya rufaa hingst amesema kesi yake ya kwanza haikuamuliwa kwa usawa kudai jaji alimbagua mahakama ya rufaa itatoa hukumu yake ijumaa machi 29
2019-04-25T20:36:47
http://www.mpekuzihuru.com/2019/03/bosi-ashitakiwa-kwa-kujamba-ofisini.html
dk mpango aapa kupiga mnada makontena ya makondaasema hajali vitisho wala laana | malunde 1 blog home » habari » dk mpango aapa kupiga mnada makontena ya makondaasema hajali vitisho wala laana dk mpango aapa kupiga mnada makontena ya makondaasema hajali vitisho wala laana waziri wa fedha na mipango mhe dkt philip mpango ameagiza makontena 20 ya samani yaliyoingizwa nchini na mkuu wa mkoa wa dar es salaam bw paul makonda yapigwe mnada ikiwa ni sehemu ya kusimamia sheria na kanuni za kodi zilizopo nchini mh mpango ametoa maelekezo hayo leo alasiri kwa mamlaka ya mapato tanzania tra alipofanya ziara ya kushtukiza na kukagua makontena hayo katika bandari kavu ya dar es salaam (dicd) akiwa kwenye ibada jana huko wilayani ngara mkoani kagera mh paul makonda alitoa onyo kwa mtu atakayenunua makontena hayo yenye samani za ndani kama vile meza viti na mbao za kufundishia atapata laana lakini waziri amesema hatojali vitisho hivyo tangazo la tra lililochapishwa kwenye gazeti la serikali la daily news mei 12 liliwataka wamiliki wa mali zilizokaa bandarini kwa zaidi ya siku 90 kujitokeza kuzilipia pia liliwataka wamiliki kuitoa mizigo hiyo ndani ya siku 30 kuanzia siku ilipotangazwa tangazo tangazo hilo lililotolewa na kaimu kamishna wa forodha na ushuru wa tra ben asubisye lilikuwa na orodha ya makontena zaidi ya 800 huku jina la paul makonda lilijitokeza mara 20 akiwa mpokeaji wa makontena 20 yaliyopo katika bandari kavu ya dicd
2019-07-24T04:22:24
https://www.malunde.com/2018/08/makontena.html
salewacalzado mujercasual barcelona salewacalzado mujercasual en línea salewacalzado mujercasual baratos salewa original casual azul calzado mujersalewa outlet bergheimmás barato salewa original casual marrón calzado mujersalewa outlet bergheimorgulloso salewa ramble goretex casual beige calzado mujermochilas salewa pure 30 salewa ramble goretex casual marrón calzado mujersalewa hiking bootsprecios
2018-04-26T21:00:15
http://www.babystrollerdeals.com/casual-c-5_421_425.html
michuzi blog mkuu wa mkoa wa mwanza akabidhi vyakula kwa niaba ya rais magufuli kwenye kituo cha wazee bukumbi kwa ajili ya idd el hajj ' if(imglength>=1) { imgtag = ' saturday september 10 2016 ~ copyright michuzi blog habari jamii ~ mtumie rafiki yako maoni 0 kumbu kumbu january 2018 (465) december 2017 (916) november 2017 (1051) october 2017 (1083) september 2017 (946) august 2017 (1122) july 2017 (1200) june 2017 (1137) may 2017 (1127) april 2017 (878) march 2017 (1100) february 2017 (1044) january 2017 (1135) december 2016 (1183) november 2016 (1214) october 2016 (1284) september 2016 (1096) august 2016 (1183) july 2016 (1162) june 2016 (1277) may 2016 (1183) april 2016 (1153) march 2016 (1164) february 2016 (1009) january 2016 (1026) december 2015 (1031) november 2015 (853) october 2015 (892) september 2015 (1021) august 2015 (974) july 2015 (1002) june 2015 (1095) may 2015 (951) april 2015 (848) march 2015 (936) february 2015 (810) january 2015 (759) december 2014 (954) november 2014 (777) october 2014 (995) september 2014 (918) august 2014 (917) july 2014 (1123) june 2014 (989) may 2014 (1039) april 2014 (915) march 2014 (987) february 2014 (1077) january 2014 (815) december 2013 (926) november 2013 (979) october 2013 (960) september 2013 (938) august 2013 (893) july 2013 (810) june 2013 (899) may 2013 (1043) april 2013 (795) march 2013 (846) february 2013 (741) january 2013 (659) december 2012 (801) november 2012 (738) october 2012 (688) september 2012 (704) august 2012 (821) july 2012 (918) june 2012 (893) may 2012 (841) april 2012 (653) march 2012 (737) february 2012 (603) january 2012 (567) december 2011 (649) november 2011 (721) october 2011 (866) september 2011 (941) august 2011 (889) july 2011 (797) june 2011 (763) may 2011 (734) april 2011 (500) march 2011 (593) february 2011 (480) january 2011 (508) december 2010 (525) november 2010 (546) october 2010 (368) september 2010 (461) august 2010 (457) july 2010 (507) june 2010 (526) may 2010 (563) april 2010 (568) march 2010 (619) february 2010 (517) january 2010 (446) december 2009 (516) november 2009 (421) october 2009 (377) september 2009 (382) august 2009 (405) july 2009 (420) june 2009 (371) may 2009 (352) april 2009 (424) march 2009 (373) february 2009 (347) january 2009 (371) december 2008 (356) november 2008 (366) october 2008 (367) september 2008 (429) august 2008 (300) july 2008 (379) june 2008 (359) may 2008 (264) april 2008 (356) march 2008 (304) february 2008 (384) january 2008 (303) december 2007 (335) november 2007 (426) october 2007 (410) september 2007 (395) august 2007 (271) july 2007 (281) june 2007 (335) may 2007 (321) april 2007 (325) march 2007 (306) february 2007 (360) january 2007 (262) december 2006 (266) november 2006 (169) october 2006 (209) september 2006 (157) august 2006 (207) july 2006 (112) june 2006 (122) may 2006 (197) april 2006 (207) march 2006 (90) february 2006 (86) january 2006 (101) december 2005 (51) november 2005 (13) october 2005 (14) september 2005 (13)
2018-01-16T15:42:00
https://issamichuzi.blogspot.com/2016/09/mkuu-wa-mkoa-wa-mwanza-akabidhi-vyakula.html
picha inauma wanahitaji msaada page 2 17th september 2010 1523 inaniuma na inasikitisha sanaona wanampokea kama mfalme tuache kuandika humu ndani twendeni huko vijijini tukawaeleze ukweli halisi watanzania wenzetumuda wa mabadiliko umewadia 17th september 2010 1532 konyagi sio yebo yebo 17th september 2010 1538 pombe bwana 17th september 2010 1636 karibu kwanza mgeni naona umejiunga juzi jana tatizo lako huelewi maana ya hizo picha watanzania vijijini wanateseka sana na bila madadiliko ya kweli maisha yao yatakuwa hivyo milele 17th september 2010 1641 mkuu taratibu isije tokea siku hasira ikakushika ukaipiga jiwe kabisa tv yako na kujipa hasara wakati akiendelea kufisadi na marafiki zake 17th september 2010 1644 kasi zaidi ari zaidi na nguvu zaidi kuwatia umaskini watanzania si wao wanakubali bwana eebooo 17th september 2010 1703 na huyu 17th september 2010 1741 mh huyo mmoja aliepakizwa kwenye wheelbarrow nna mashaka sio mgonjwanimeona ameshika chupa ya konyagi au ndio kuna dawa ya kalumanzila kwa ajili ya huduma ya kwanza 18th september 2010 0002 tatizo la chadema ukabila siwaamini watu wa huko maeneo ya arusha moshi manyara chadema is just a company labda tu hope for ccj lastly soma uokoe jamii yako 18th september 2010 0030 ccm oyeee kweli inauma kwa mfano unapoona us$ 15000 (waliyojigawia kutoka kwenye kodi yetu au kuchangiwa na waliowasamehe kodi) wanatumia kumkodishia ndege yule kimbelembele kwa saa 5 tu 18th september 2010 0044 posts 7176 rep power likes given6769 du i am speechless inasikitisha sana 18th september 2010 0058 18th september 2010 0122 posts 20634 rep power wabongo hatunazo jamaniaaaaaaaaaaaaagh 18th september 2010 0339 huyo alikumbwa na masaibu hayo wakati mabomu yalipolipuka mbagala 18th september 2010 0341 by mamanalia ccj is no more why not join chadema mama 18th september 2010 0900 katika wote hawa ni hovyo kabisa lakini naiona bendera ya chadema kwa uwazi kabisa 18th september 2010 0924 maendeleo hayawezi kuletwa na mtu mmoja awaye yeyote hawezi kuleta maendeleo akiwa yeye mwenyewe pekeyake maendeleo ni kitendo cha jamii kubadiri hali ya maisha kutoka iliyopo sasa na kwenda iliyo bora zaidi hivyo ni kazi ya jamii kukubari na kufanya juhudi za makusudi kujiletea maendeleo (julius k nyerere) 18th september 2010 0936 tafadhali usiwafananishe chadema na ccm hawafanani kwa namna yoyote ile sidhani kama chadema inaweza kutoa ahadi ya kipumbavu kama hiyo ya kuleta landcruser mkonge please usiniharibie siku yangu 18th september 2010 0941 kama chadema ni chama cha ukabila basi na huko mwanza kagera na mara wasingepewa ushikiano mkubwa kama ilivyotokea huko iringa na mbeya wanamsubiri kwa hamu slaa na wenzake achilia mbali lindi mtwara mbeya na ruvuma kigoma ndio itakuwa kasheshe bado wasema chadema ni chama cha kikabila umetumwa ps hizo propaganda za ukabila zimeanzishwa ili kuwatengua wananchi wasishikamane tanzania hatuna hulka ya ukabila au umesahau tuliyofundishwa na baba wa taifa labda kenya bado wanao ukabila lakini si hapa kwetu hoja mfu hii you can do better than that 18th september 2010 1419 join date 3rd july 2010 by mawani ni kweli usemvyolazima kura zilindwe vinginevyo sijui
2013-05-19T15:04:05
http://www.jamiiforums.com/jamii-photos/74065-picha-inauma-wanahitaji-msaada-2.html
mwandishi wa gazeti la habarileo fortonatha ringo kutoka mkoa wa manyara aliyefariki dunia juzi kuagwa leo kanisa la kkkt usharika wa ubongo jijini dar es salaam na kesho kuletwa kilimanjaro harakati za mtanzania home » »unlabelled » mwandishi wa gazeti la habarileo fortonatha ringo kutoka mkoa wa manyara aliyefariki dunia juzi kuagwa leo kanisa la kkkt usharika wa ubongo jijini dar es salaam na kesho kuletwa kilimanjaro mwandishi wa gazeti la habarileo fortonatha ringo kutoka mkoa wa manyara aliyefariki dunia juzi kuagwa leo kanisa la kkkt usharika wa ubongo jijini dar es salaam na kesho kuletwa kilimanjaro fortunatha ringo mwandishi wa kujitegemea aliyekuwa akiandikia gazeti la habarileo kutokea manyara fortunatha ringo ambaye alifariki dunia juzi anatarajiwa kuagwa leo katika kanisa la kiinjili la kilutheri tanzania usharika wa ubungo kibangu kanisa hilo lipo mbele ya stendi ya daladala ya makoka mbele kidogo ya kituo cha riverside kwa mujibu wa ndugu wa karibu shughuli ya kumuaga mwandishi huyo inatarajiwa kuanza saa sita na baada ya ibada mwili utasafirishwa kwa maziko kilimanjaro maziko hayo yanatarajiwa kufanyika jumatatu habari kutoka kwenye familia yake zinasema kwamba mwandishi huyo ambaye alizaliwa dar es salaam septemba 25 1980 alifariki akisubiri tiketi ya kwenda india kwa matibabu dada wa mwandishi huyo aliyejitambulisha kwa jina la glad alisema kwamba ndugu yake alikuwa na matatizo ambayo kitaalamu yanaitwa sle na alikuwa anakwenda india kwa matibabu inaaminika matatizo hayo yalitokana na athari za dawa ya malaria aliyoitumia ambayo ilikuwa na salpha mwaka 2011 alisema alishatibiwa muhimbili na alipangiwa matibabu zaidi nchini india posted by bertha mollel at 127 am
2018-05-22T19:29:24
http://berthamollel.blogspot.com/2014/01/mwandishi-wa-gazeti-la-habarileo.html
soko la china fursa iliyo wazi kwa watanzania tunayoichezea china radio international soko la china fursa iliyo wazi kwa watanzania tunayoichezea (gmt+0800) 20161115 100540 mwezi julai mwaka jana serikali ya tanzania ilituma ujumbe mkubwa wa kiutendaji hapa beijing china uliokusanya watu kutoka wizara idara makampuni jumuiya na taasisi mbalimbali za tanzania ukiwa na lengo la kutafuta fursa za biashara kwa ajili ya tanzania na watanzania kwenye mkutano huo wa mawaziri wa baraza la ushirikiano kati ya china na afrika (focac) lengo kubwa lilikuwa viongozi wa kisiasa kuangalia maendeleo ya ushirikiano kati ya china na afrika na viongozi wengine watendaji walikuwa wakiangalia ni vipi wataweza kupata fursa zenyewe na kuzitumia kwenye mkutano huo kuna mambo mawili makubwa niliyoyaona moja la kufurahisha na lingine la kusikitisha nilifurahi sana kwa kuwa toka nianze kufuatilia ushiriki wa tanzania kwenye mikutano ya kimataifa huu ndio ushiriki nilioushuhudia kwa macho yangu ukiwa ni ushiriki wa maana wajumbe waliokuja walionekana wazi kuja wakiwa na malengo halisi na kupigania kufikia malengo hayo nakumbuka jinsi katibu mkuu wa wizara ya mambo ya nje bw john haule alivyokuwa akiratibu wajumbe ili kuendana na malengo waliyojia nakumbuka maofisa vijana kutoka wizara ya mambo ya nje wakiongozwa na bw kairuki na hata maofisa wa ubalozi walivyokuwa wakifanya kazi kubwa kuusaidia ujumbe wa tanzania nikiwa mtanzania niliona fahari kubwa kuona maofisa wa ubalozi wafanyabiashara wakulima wanasiasa wanafanya kazi kwa pamoja kwa lengo moja lakini jambo moja kubwa lililonisikitisha ni kwamba kuna baadhi ya mambo ambayo ni ya muhimu sana lakini wajumbe wengi walikuwa hawayajui jambo hilo ni kuwa watendaji kutoka kwenye maeneo ya uzalishaji wa mazao walikuwa hawajui kama mazao yao yanahitajika kwenye soko la china na yanaweza kuingia kwenye soko la china bila kutozwa ushuru kuna orodha kubwa ya bidhaa kutoka tanzania zinazoweza kuingia kwenye soko la china bila kutozwa ushuru lakini habari hizo zinawafikisha jumuiya za wakulima na wafanyabiashara pamoja na hilo inasikitisha kwa kuwa kila kukicha kuna kilio cha wakulima wa tanzania kuhusu masoko ya mazao yao nakumbuka niliongea na profesa haji semboja aliyeiwakilisha bodi ya korosho alinieleza kwa masikitiko jinsi mkulima wa korosho wa tanzania anavyoibiwa na wafanyabiashara wanaonunua korosho moja kwa moja kutoka kwa wachuuzi kwa bei ya chini sana wakati wangeweza kuuza korosho hiyo kwa bei nzuri sana kwa wanunuzi wa china sababu kubwa kwanza ni kuwa hakuna mipango na nguvu ya pamoja ya kutumia soko la china soko la china ni kama kinywa kikubwa kinachohitaji chakula kingi ambacho wakulima wadogo wadogo wakiwa mmoja mmoja hawawezi kukidhi mahitaji yake bila kuwa na uzalishaji wa maana kwa maana ya kiasi na ubora bado tutaendelea kuliangalia soko la china bila kunufaika nalo vya kutosha ili kutumia soko la china kunahitajika kuwe na uzalishaji mkubwa na wa muda mrefu na si ule wa kulima leo kuuza kesho na kufurahia mapato kidogo na kuacha uzalishaji na kusahau soko wachina huwa hawafanyi biashara kwa mtindo huu wanapenda mshirika wa biashara mwenye uwezo wa kutoa bidhaa nyingi na kwa muda mrefu na kibaya zaidi ni kuwa kuna baadhi ya wafanyabiashara ambao wameona udhaifu huu na kuamua kununua bidhaa kwa wakulima wadogo wadogo na kuweka hali fulani kama ya kuhodhi soko na kumpunja mchuzi mwishoni mwa mwezi agosti china ilitoa waraka kuhusu ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara kati ya china na afrika ukiendelea maendeleo changamoto na mustakbali wa uhusiano wa uchumi na kibiashara kati ya china na afrika waraka huo umezungumzia mambo mengi ikiwa ni pamoja na ongezeko la kasi la biashara kati ya china na afrika ongezeko la uwekezaji wa china barani afrika na maeneo uwekezaji huo unakoelezwa na hata changamoto zilizopo kwenye ushirikiano huo kwa watu tunaofuatilia mambo yanayohusu uhusiano kati ya china na afrika na china na tanzania waraka huu si jambo jipya sana kwa sababu yaliyomo ni yale ambayo tayari yamekuwa yakifanyika na yanaendelea kufanyika isipokuwa waraka huu ni majumuisho na maelezo ya mambo yaliyofanyika tangu china itoe msukumo mpya kwenye uhusiano kati yake na nchi za afrika hasa tangu baraza la ushirikiano kati ya china na afrika (focac) lilipoanzishwa mwaka 2000 lakini vilevile waraka huu unaonesha ni jinsi china ilivyojipanga vizuri katika kuendesha uhusiano na ushirikiano kati yake na nchi za afrika pamoja na kuwa lengo la uwekezaji na biashara ni kupata faida kwenye waraka huo pia tunaweza kuona kuwa china haina nia ya kujinufaisha tu bali pia ina udhati wa kuzisaidia nchi za afrika kama zikijipanga vizuri na kama zikiwa na nia ya dhati ya kutaka kujiendeleza aya tano za waraka huo (kuhimiza maendeleo endelevu ya biashara kuboresha uwekezaji na ushirikiano kwenye mambo ya fedha kuhimiza ushirikiano kwenye shughuli za kilimo na usalama wa chakula kuunga mkono ujenzi wa miundo mbinu kuboresha maisha wa watu na kuwajengea uwezo wa kujiendeleza pamoja na kuhimiza ushirikiano kati ya nchi mbalimbali za afrika) zote zinaonesha udhati wa china katika kushirikiana na watu wa afrika katika kuleta maendeleo lakini tukijiangalia sisi wenyewe waafrika au tukijiangalia sisi watanzania tunaweza kuona kuwa bado kuna kitu kinapungua kwenye ushirikiano wetu wa kibiashara na marafiki zetu ni kama tunakosa udhati kwenye kufanya biashara hata pale tunapopewa fursa ya soko kubwa kama la china kwa mashariki nafuu tunashindwa kuwatangazia wakulima wetu kuwa sasa tunatakiwa kujipanga tulime kwa wingi mteja yuko tayari china inajua kuwa sehemu kubwa ya watu wa nchi nyingi za afrika kama ilivyokuwa china katika miaka michache iliyopita ni wakulima kama nguvu kazi nyingi ya watu katika nchi iko kwenye kilimo basi kuwa makini na kilimo na wakulima kuna matokeo mazuri kwa watu hao na nchi kwa ujumla ni kutokana na kuelewa ukweli huo na ni kutokana na uzoefu wake ndio maana china ikaona kuwa pamoja na kuendelea kuwapatia misaada mingine ni vizuri kuwasaidia marafiki kwa kuwawezesha katika maeneo mbalimbali na hata kuwapatia soko la bidhaa na mazao yao lakini kwa sisi watanzania tukijaribu kujiangalia kwa undani tunaweza kuona baadhi ya mambo tunayofanya katika ushirikiano kati yetu na china yanatakiwa kuboreshwa kwa mfano unapozungumzia kuhusu kutumia fursa ya soko la china kwa bidhaa za kilimo tunazozalisha tanzania utaona kuwa kuna kitu fulani kama kutupiana mpira maofisa wa serikali wanasema jukumu la serikali ni kuweka mazingira kwa ajili ya wakulima na wafanyabiashara kuchangamkia fursa hizo serikali haiwezi kujiingiza huko ukiwauliza wakulima na wazalishaji wenyewe wanasema wanahitaji msaada ili waweze kunufaika na soko hilo kwani wao kama wao bila mkono wa serikali ni vigumu sana kunufaika na soko la china ukichambua wanachoongea maofisa wa serikali utaona ni sawa na kile tunachokisikia wanachoongea wanasiasa wa marekani au nadharia za uchumi za uchumi za mwanafalsafa adam smith kuwa serikali hazipaswi kujiingiza kwenye mambo ya uzalishaji na biashara kwa kuwa haya ni majukumu ya watu si majukumu wa serikali lakini tunatakiwa kukumbuka kuwa marekani na tanzania zina mazingira tofauti sana wamarekani wana uwezo mkubwa wa kufanya shughuli za uzalishaji na kwenda kuziuza katika masoko ya sehemu mbalimbali duniani tena wao hawapendi serikali iwaingilie isipokuwa wanataka serikali ifanye kazi ya kuweka mazingira ya kuwawezesha kufanya shughuli zao lakini tanzania si marekani tukiangalia ukweli wa mambo kuhusu uwezo wa wakulima wetu na wafanyabiashara kufanya biashara ya kimataifa ni mdogo sana hauwafikii hata ule wa baadhi ya majirani zetu bila msaada madhubuti wa serikali hawawezi kwenda popote baadhi hata wanashindwa kufanya biashara ndani ya tanzania mfano mmoja nilioushuhudia kwenye maonesho ya biashara hapa china ni kuwa kuna mnunuzi mmoja alipenda sanaa za kazi za mikono na alisema zinafaa sana kwa biashara zake lakini alipopewa oda ya makontena kumi kwa mwaka alisema anaweza kujitahidi kutoa robo kontena kwa mwaka huyu ni mfanyabiashara aliyekuja china kutangaza bidhaa zake kwa juhudi zake binafsi kama angewezeshwa huenda watanzania wengi zaidi wangenufaika na fursa yake tukiangalia china inavyojipanga katika kushirikiana na nchi za afrika na hata tanzania unaona kabisa kuwa serikali ya china haijiweki pembeni kuwasaidia wafanyabiashara wanaotaka kuwekeza na kufanya biashara afrika kwa mfano kuna mfuko wa maendeleo kati ya china na afrika cad fund mfuko huu unalenga kuwasaidia wafanyabiashara wa china wanaotaka kuwekeza kwenye miradi ya maendeleo katika nchi za afrika hasa miradi inayozinufaisha pande zote mbili mfuko huu unataja wazi ni maeneo gani ambayo yanapewa kipaumbele na hata namna ya kuwasaidia wachina wanaotaka kufanya biashara katika nchi za afrika lakini tukiangalia upande wetu wa tanzania ni vigumu kuona mpango uliowazi wa kutumia na kunufaika na soko la china serikali bado haina mfuko wowote unaofanana na cad fund japo kusaidia wafanyabiashara wa tanzania kuuza bidhaa zao china au hata utaratibu unaotaja ni bidhaa gani ambazo inaweza kutoa msukumo na kuhimiza uzalishaji wake kuwahamasisha na kuwasaidia watu kuzalisha bidhaa hizo ili tutumie soko la china serikali inaweka mkazo kwenye sera za jumla (macro policies) lakini kuwa na sera peke yake bila hatua za kuisukuma sera hiyo hatuwezi kuwa na matokeo yoyote ya maana wakulima na wafanyabiashara hawafahamishwi wazi kuhusu fursa zilizopo na wachache wanaofahamu hawasaidiwi kunufaika na fursa hizo matokeo yake ni kuwa fursa ipo tunaiongelea tu bila kuitumia kama serikali yetu ingekuwa na sera ya wazi inayosema tutauza kahawa korosho au tumbaku kwa wingi basi ni bora ingewahimiza wakulima wa mazao hayo kuwapa msaada wa fedha kiufundi na kiutalaamu na kusimamia kwa nguvu uzalishaji mkubwa wa mazao hayo na kwenda kutumia soko la china ni vigumu sana kwa mzalishaji mmoja mmoja peke yake bila kupata msaada madhubuti kutoka kwa serikali kuweza kutumia fursa hiyo vinginevyo tutaendelea kuongea na kufurahia kuhusu kuwepo kwa fursa hiyo bila kunufaika nayo hata kidogo kwa mujibu wa makubaliano yaliyofikiwa kwenye baraza la ushirikiano kati ya china na afrika kuna orodha ya zaidi ya bidhaa 4700 kutoka kwa nchi za afrika zenye uhusiano wa kibalozi na china zinazoweza kuingia kwenye soko la china bila ushuru idadi hii ya bidhaa si ndogo na huenda unahusu mazao yote tunayozalisha katika eneo lote la tanzania kama watanzania (serikali wakulima na wafanyabiashara) tukijipanga na kutumia vizuri fursa hii kuna uwezekano mkubwa sana wa kupiga hatua katika kuwaendeleza wakulima na wafanyabiashara lakini kama mtu mmoja mmoja akiachwa atumie fursa hii mchakato mgumu na mrefu unaweza kufanya tushindwe kunufaika nayo kilichopo kwa sasa ni kuwa kwenye upande wa siasa uhusiano ni mzuri sana urafiki kati ya china na tanzania upo kwenye kiwango cha juu sana wenzetu wachina wamejipanga vizuri na kunufaika na ushirikiano huo kama watanzania tutaendelea kuona fahari ya urafiki tu bila kutumia fursa ya urafiki mzuri iwe fursa ya biashara basi tutakuwa tunachezea fursa iliyopo
2020-06-04T09:28:47
http://swahili.cri.cn/181/2016/11/15/1s158793.htm
makamba aeleza dosari alizozibaini nemc | zotekali blog makamba aeleza dosari alizozibaini nemc waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais januari makamba wiki iliyopita waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais januari makamba ali waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais januari makamba wiki iliyopita waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais januari makamba alivunja baraza la taifa la hifadhi na usimamizi wa mazingira (nemc) lakini baadaye uamuzi wake huo ulitenguliwa na mamlaka za juu je kwa nini aliamua kuchukua hatua ya kulivunja baraza hilo fuatilia hapa swali nini umuhimu wa baraza la taifa la hifadhi na usimamizi wa mazingira jibu kama mnavyofahamu baraza la taifa la hifadhi na usimamizi wa mazingira (nemc) ni muhimu sana katika kuhakikisha ustawi wa mazingira na mustakabali wa maendeleo endelevu ya nchi yetu tunapoelekea kuwa nchi ya uchumi wa viwanda usimamizi wa mazingira lazima uwe imara na urahisishe na kuharakisha utekelezaji wa ujenzi wa viwanda miradi mbalimbali na uwekezaji katika sekta zote ili kwenda kwa kasi na weledi unaotakiwa swali utendaji wa nemc unalalamikiwa na kuna tuhuma za rushwa malalamiko hayo yamehusu nini hasa jibu utendaji wa nemc ni kweli umekuwa unalalamikiwa na umekuwa ukilegalega sana na umekuwa hauridhishi siku za hivi karibuni pamekuwepo na malalamiko mengi kutoka kwa wawekezaji wa ndani na nje na wananchi wengi pia malalamiko hasa yamehusu mambo yafuatayo ucheleweshaji na urasimu usiokuwa wa lazima katika mchakato wa tathmini ya athari kwa mazingira (eia) tuhuma za rushwa katika mchakato wa ukaguzi na tathmini ya athari kwa mazingira mazingira ya rushwa katika kutengeneza vyeti ambavyo havijafuata mchakato stahiki kutokuwa na lugha nzuri kwa wateja na kuwatisha ili watoe chochote kutumia makampuni binafsi ya watumishi wa nemc kufanya kazi za ukaguzi/ uhakiki wa ndani ya nemc kwa kisingizio cha kutokuwa na watumishi wa kutosha kuwaelekeza wawekezaji kwa makampuni ya kufanya tathmini ya athari kwa mazingira (eia) ambayo yanamilikiwa au yenye ubia na watumishi wa nemc hivyo bila kujali mgongano wa kimasilahi mambo ambavyo hayaruhusiwi kwenye utumishi wa umma kuwarundikia maandiko ya miradi ya tathmini ya athari kwa mazingira (eia) watumishi wachache wakati wengine hawana kazi ili waelekeze miradi hii katika makampuni ambayo baadaye huwapatia malipo yasiyo halali baadhi ya wenye makampuni ambako miradi hii hupelekwa ni watumishi wa nemc ambao wameacha au wameachishwa kazi swali kama hali ni hiyo wizara imefanya nini kurekebisha jibu kwa kipindi kirefu tumejitahidi kurekebisha hali hii na kumejitokeza nafuu lakini bado hali haijafikia pale nilipotarajia swali unadhani hali hiyo imesababishwa na nini jibu nimefuatilia kwa karibu na kugundua kuwa matatizo mengi haya na mengine ya msingi yanasababishwa hasa na usimamizi usio imara wa bodi na pia watendaji wakuu wa nemc swali unasema nini kuhusu uwekezaji wa viwanda tunaambiwa kuna urasimu mkubwa wa kuanzishwa viwanda nchini jibu kufuatia maamuzi ya bunge na maelekezo ya mheshimiwa rais kuhusu kuharakisha na kurahisisha mchakato wa tathmini ya athari kwa mazingira (eia) tunatangaza hatua zifuatazo miradi yote inayohusu ujenzi wa viwanda baada ya mwekezaji kuwasilisha taarifa hitaji la ujenzi wa kiwanda kwa nemc ruhusa ya ujenzi wa kiwanda itatolewa ndani ya siku tatu za siku za kazi wakati mchakato wa eia unaendelea bila kuzuia wala kuchelewesha ujenzi wa kiwanda iwapo kutajitokeza changamoto zitarekebishwa wakati wa mradi unaendelea na iwe ni sehemu ya environmental management plan emp kutakuwa na dawati maalum la miradi ya viwanda pale nemc na ofisi ya makamu wa rais ili kushughulikia kwa haraka maswali ya masuala yote yanayohusu ujenzi wa viwanda swali nani atagharamia tahmini ya kimkakati za mazingira kama kuna mtu anataka kujenga viwanda jibu maeneo yote yanayopangwa kujengwa viwanda baada ya kujulikana ofisi ya makamu wa rais kwa kushirikiana na mamlaka nyingine zitagharamia tathmini ya kimkakati ya mazingira (tamk) strategic environmental assessment (sea) suala hili litaondoa haja ya kila kiwanda kufanya eia kamili viwanda vidogo vitakavyojengwa katika maeneo hayo maalum havitahitaji cheti cha eia labda kwa sababu maalum ambazo zitatolewa na nemc na waziri lazima aridhie kwanza kwa msingi huo tunasisitiza wizara husika zitenge maeneo ya ujenzi wa viwanda ili sisi tuyafanyie tathmini ya mazingira ya pamoja kwa eneo lote miradi yote midogo na ya kati inayohusiana na viwanda vya kilimo na mifugo na uvuvi (small and medium scale agro processing industries) katika maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya kilimo yatasamehewa gharama za kufanyiwa tamk taarifa za miradi hii zitatolewa kwa afisa mazingira wa eneo husika ili kuhakikisha wawekezaji wanasaidiwa kuzingatia kanuni bora za mazingira wakati wa utekelezaji wa miradi hii kama kuna haja ya baadhi ya miradi kufanyiwa tathmini wakati wa utekelezaji fedha za kazi hiyo zitatolewa na serikali kama sehemu ya oc swali ni miradi ipi itakuwa inapelekwa nemc kuombewa cheti jibu kuanzia sasa miradi itakayopelekwa nemc kuombewa cheti cha eia ni ile ambayo tayari imefanyiwa kazi na washauri elekezi (consultants) hapatakuwepo na haja ya kusajili mradi nemc kwanza nemc itaweka maafisa katika kituo cha uwekezaji tanzania (tic) na maeneo mengine muhimu ili kuhakikisha suala la kuwa na cheti cha mazingira linakuwa sehemu ya hatua za awali pale ambapo mwekezaji au mwenye mradi anapoanza kuomba vibali vingine aidha utaratibu huu utatangazwa katika magazeti yote muhimu na vyombo vingine vya habari mwandishi asante sana kwa ushirikiano wako makala elvan stambuli na sifael paul | uwazi | global publishers zotekali blog makamba aeleza dosari alizozibaini nemc https//2bpblogspotcom/qyhmapkeck/wxbo4gilp0i/aaaaaaaac_o/4a96oimzjfqrcprhkzzcgahfq99bxrfwwclcbgas/s1600/img_0193jpg https//2bpblogspotcom/qyhmapkeck/wxbo4gilp0i/aaaaaaaac_o/4a96oimzjfqrcprhkzzcgahfq99bxrfwwclcbgas/s72c/img_0193jpg http//wwwzotekalicom/2017/07/makambaaelezadosarializozibaininemchtml
2018-02-21T17:12:09
http://www.zotekali.com/2017/07/makamba-aeleza-dosari-alizozibaini-nemc.html
wadau waombwa kujitokeza kusaidia maandalizi ya mashindano ya soka kwa wenye ulemavu afrika mashariki | jamhuri ya muungano wa tanzania ← serikali kupitia upya mashamba yaliyofutwa na rais magufuli kilosa wananchi uyui waipongeza serikali ya awamu ya tano →
2019-07-23T18:07:21
http://blog.maelezo.go.tz/wadau-waombwa-kujitokeza-kusaidia-maandalizi-ya-mashindano-ya-soka-kwa-wenye-ulemavu-afrika-mashariki/
china benki kuu mkuu anasema kuboresha fedha kwa makampuni madogo | dll suite home › google news › china benki kuu mkuu anasema kuboresha fedha kwa makampuni madogo china benki kuu mkuu anasema kuboresha fedha kwa makampuni madogo thabiti ya kukuza kiwango cha riba mageuzi pia kuboresha uwezo wa makampuni ya biashara ndogo ndogo kupata mtaji aliandika benki kuu ingekuwa pia kukuza maendeleo ya makampuni madogo ya kifedha na uwezo wa kutoa zaidi mahiri msaada kwa makampuni madogo na kuhimiza usawa binafsi na makampuni ya mji mkuu wa mradi wa kusaidia katika maendeleo ya biashara ndogo ndogo zhou ya maoni kufuata mfululizo hatua ya kusaidia biashara hasa ndogo ya makampuni ambayo kuajiri mamia ya mamilioni wiki hii peke yake serikali imekuwa scrapped kodi ya ongezeko la thamani kwa ajili ya biashara ndogo ndogo kuchukuliwa hatua za kupunguza ukiritimba kwa waagizaji na wauzaji kilichorahisishwa sheria kwa ajili ya makampuni ya sekta ya huduma wanaohitaji fedha za kigeni na alisema kwamba makampuni madogo ungeweza kutoa dhamana zaidi ya kusaidia yao kuongeza fedha alibainisha ngumu na imara ndani na kimataifa hali ya uchumi na zaidi ya kushuka shinikizo juu ya uchumi wa china katika hali kama hiyo msaada wa fedha kwa ajili ya biashara ndogo ndogo na ingesaidia kudumisha imara ya maendeleo ya kiuchumi kukuza uchumi kurekebisha miundo na kuongeza nguvu ya ndani ya maendeleo ya kiuchumi china ya viongozi ni kazi ya kurejea uchumi katika moja ikiongozwa na matumizi ya ndani na mahitaji kutoka kwa kuzingatia viwanda na mauzo ya nje lakini kazi imekuwa ngumu kama ukuaji kupungua na viongozi wamekuwa katika maumivu ya kuonyesha wao kusaidia uchumi ikiwa inahitajika zhou alisisitiza haja ya benki ya kufanya mikopo inapatikana kwa makampuni madogo na kwa ajili ya ubunifu zaidi katika bidhaa na huduma za kifedha kwa kuzingatia tofauti ya mahitaji ya biashara ndogo ndogo kama vile ujenzi wa mfumo sanifu mikopo kwa ajili ya makampuni hayo china ya benki kuu itaendelea kufanya kazi busara sera ya fedha ya kuboresha mazingira ya kifedha kwa makampuni madogo wakuu wake aliandika katika makala juu ya ijumaa karibuni katika mfululizo wa hotuba ya kuunga mkono rasmi kama uchumi kupungua wadogo na makampuni ya biashara ndogo ndogo ni nguvu muhimu kwa maendeleo ya kiuchumi na kijamii benki ya watu wa china zhou xiaochuan gavana aliandika katika makala iliyochapishwa katika tovuti ya gazeti la daily watu rasmi tags china benki kuu mkuu anasema kuboresha fedha kwa makampuni madogo ← china banco central chefe diz para melhorar o financiamento para as pequenas empresas ธนาคารกลางจีนกล่าวว่าหัวหน้าในการปรับปรุงการจัดหาเงินทุนสำหรับ บริษัท ขนาดเล็ก →
2018-09-20T18:16:10
http://dll-repair.com/china-benki-kuu-mkuu-anasema-kuboresha-fedha-kwa-makampuni-madogo/
mambo ya msingi unapotongoza mwanamke katika kikundi nesi mapenzi home / jinsi ya / mapenzi / wanaume / mambo ya msingi unapotongoza mwanamke katika kikundi mambo ya msingi unapotongoza mwanamke katika kikundi kitu cha kwanza ambacho unapaswa kujua ni kuwa kutongoza si matumizi ya mistari na miondoko ya mwili pekee bali pia ni subira kutongoza mwanamke kutachukua muda mwingi kutoka kwako hivyo unahitajika kuwa na imani kwa mfano kabla ya kuchukua hatua ya kuapproach mwanamke lazima upime manufaa na hasara ambazo zitakuja iwapo utaamua kutangamana na mwanamke ambae unakusudia kuwa naye #1 kumsifia kama umetoka out hadi kwa klabu na marafiki zako halafu ukamwona mwanamke unayemtamani akiwa katika kikundi muapproach na umuagizie kinywaji na uwe mkweli na mhakika wakati unapomsifia kuhusu umbo lake na nguo alizovalia weka katika akili yako kuwa mwanamke anapenda kusifiwa kwa nguo alizovaa hairstyle yake macho yake ucheshi wake na pia marashi aliyoyapaka pia hakikisha kuwa unaspend muda mwingi zaidi hata kama klabu inaenda kufungwa kama umeongea na mwanamke huyu usiku huo hakikisha kuwa unamwambia kuwa umependezwa na kuspend muda na yeye #2 jiamini #3 kujieleza wakati utakapokuwa umeuchukua muda wako kuongea na mwanamke na kumuonyesha kuwa uko interested na yeye jaribu kutafuta ishara ambazo zinaonyesha kuwa pia yeye amevutiwa ama anahisi kama vile unahisi wewe ishara hizi utaziangalia kupitia miondoko ya mwili wake je anapinda mwili wake upande wako je kifua chake amekienua ili uone ukubwa wa matiti yake je anacheka mizaha yako hata kama haichekeshi kama umeona kuwa amevutiwa na wewe kupitia ishara hizi basi rudi nyuma na umngojee yeye aanze kuchukua hatua hii ni njia hakika ya kumfanya amaintain interest na wewe mambo ya msingi unapotongoza mwanamke katika kikundi reviewed by admin on 623 pm rating 5 anonymous august 16 2017 at 247 pm blogosphere simple but very accfurate information thanks for sharing this one a muxt read post
2020-01-26T09:17:07
https://www.nesimapenzi.com/2016/03/mambo-ya-msingi-unapotongoza-mwanamke.html?showComment=1502884025167
matunzio ya blanketi mwandishi wa eu mwandishi wa eu tag blanketi waathirika wa tetemeko la ardhi katika kisiwa cha indonesia cha #lombok wanapokea msaada wa eu tume ya ulaya iko karibu kwa njia ya mfumo wa ulinzi wa vyama vya umoja wa mataifa matokeo ya tetemeko la ardhi kali ambalo lilipiga kisiwa cha indonesian cha lombok mwishoni mwa julai na agosti mapema kwamba walihamia maelfu ya watu mpangilio wa haraka wa mfumo wa mapangilio wa satellite wa copernicus umeanzishwa ili kusaidia mamlaka ya ulinzi wa kiraia wa indonesian na [] roc misaada timu na msamaha wa vifaa kufika katika nepal timu tatu msaada wa dharura kutoka roc kufikiwa nepal juu ya 28 29aprili mara moja uzinduzi misaada tetemeko tathmini na misaada shughuli roc mwakilishi wa india tien chungkwang ambaye ni kuratibu juhudi taiwan unafuu katika kathmandu akajadiliana na 15 wanachama wa timu kutoka buddhist compassion relief tzu chi foundation ikiwa ni pamoja na madaktari wanne ambao walifika aprili 28 na [] mgogoro wa iraq umoja wa ulaya kibinadamu majibu mgogoro wa kibinadamu katika iraq imekuwa kuzorota kwa kasi mgogoro unaoendelea imekuwa kutawanya wakazi nchini kote na kuwaweka katika wanaohitaji msaada tume ya ulaya ni kukabiliana na zana zake zote za misaada ya kibinadamu na kuratibu na nchi wanachama kupitia tume ya ulaya dharula uratibu centre (ercc) hata hivyo mgogoro unazidi [] misaada ya kibinadamu fika iraq kupitia eu civilskyddsmekanism mfumo wa ulinzi wa vyama vya umoja wa mataifa unasaidia misaada ya kibinadamu ya ulaya kuwasili nchini iraq kama ushirikiano wa kimataifa msaada wa misaada na kamishna wa mgogoro wa majibu kristalina georgieva iko katika nchi kushughulikia hali mbaya ya kibinadamu nchi tatu wanachama tayari hutoa msaada kupitia mfumo wa ulinzi wa kitaifa wa eu kufuatia ombi la mamlaka ya iraq kwa [] huku kukiwa na mgogoro kuendelea katika jamhuri ya afrika ya kati umoja wa ulaya ni tena kusafirisha haraka zinahitajika misaada ya kibinadamu katika nchi leo ndege kuwapeleka tani 80 wa vifaa vya misaada kutoka nairobi kenya katika jamhuri ya afrika ya kati mji mkuu bangui ikiwa ni pamoja na makazi ya dharura blanketi na vitu vya msingi kaya kama vile vyombo sabuni na jikoni []
2019-11-13T12:56:45
https://sw.eureporter.co/tag/blankets/
udomsa wajibu wa muislam wajibu wa muislam kabla ya kujuwa wajibu wetu hatuna budi kujitambua sisi wenyewe kwanza hivyo ni lazima kujiuliza masuala matatu ya msingi yafuatayo 1 kwanza sisi nani na tumeletwa na nani 2 pili tumeletwa hapa duniani kwa ajili ipi 3 tatu nini khatima ya maisha yetu ya duniani jawabu ya suala la kwanza tunalipata katika quran(954) bila ya shaka tumemuumba mwanaadamu kwa umbo lilo bora zaidi kumbe sisi ni wanaadamu tumeumbwa kwa umbile lililo bora zaidi na ubora wa umbile hilo unatokana na akilifikra na mawazo tuliyopewa katika kuamuwa maamuzi yetu hivyo mwanaadamu akitumia akili yake vizuri huongoka na akawa bora kuliko kiumbe chochote ulimwenguni na kinyume cha hivyo hupotoka na akawa chini ya walio chini kama aya inavyo tufahamisha (955) halafu tukamrudisha chini kuliko walio chini vilevile ayya ya 30 ya surrat baqarah inatufahamisha wakumbushe watu khabari hii wakati mola wako alivyowambia malaika mimi ninaleta viumbe wengine kukaa katika ardhi(nao ndio wanaadamu) wakasema malaika utaweka watakaofanya uharibifu humo na kumwaga damu hali sisi tunakutukuza kwa sifa zako na utakatifu wako akasema (m/mungu) hakika mimi nayajua msiyo yajua ayya hii inatufahamisha kuwa mwanadamu hakuzuka tuu kwa bahati mbaya isipokuwa ameletwa na mmungu bwana wa viumbe vyote jee m/mungu ametuleta duniani bila ya malengo yoyote jawabu ya suala la pili quran (5156) sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu katika ayya hii m/mungu ametuwekea wazi lengo hasa la kuwepo kwetu duniani jawabu ya suala la tatu katika suala la khatima ya maisha yetu ya ulimwenguni ni kwamba waislamu tunaamini tutakufa tutafufuliwa tutakusanywa na tutahesabiwa (tutahukumiwa)(4526) kwa yale tuloyatenda ulimwenguni kwa hakika maisha ya duniani ni mafupi na yakupita na maisha ya kweli yako huko akhera quran (871617) lakini nyinyi mnayapenda maisha ya dunia hali yakuwa (maisha ) ya akhera ni bora na yenye kudumu siku ya malipo watu watagawika sehemu mbili quran (793741) ama yule aloasi na akapenda zaidi maisha ya dunia basi kwa hakika jahannamu ndiyo itakayokuwa makazi yake na ama yule aliyeogopa kusimamishwa mbele ya mola wake akaikataza nafsi yake na matamanio( maovu )basi pepo ndiyo itakayokuwa makazi yake nasifa za watu wa peponi tunazipata katika sura ya (561537) watakaa juu ya viti vya faharii kuelekeana kuzungumza na watakunywa vinywaji vya kila namna hawataumwa na vichwa wala kutokwa na akili watakula matunanda wayapendayo na nyama za ndege kama watakavyo tamani watapata w/ke wazuri wenye macho mazuri na makubwa mithili ya lulu humo hawatasikia maneno ya upuuzi na ya dhambi isipokuwa maneno ya salama na amani watakuwa katika vivuli vya mikunazi isiyo na miba na migomba iliyopangiliwa pamoja na maji yanayominika na wake watukufu (waliokuwa nao duniani)wataumbwa kwa umbo bora zaidna m/mungu anamalizia kwa kusema tutawafanya vijana kama kwamba ndio kwanza wanaolewa watapendana na waume zao waliohirimu moja ama watu wa motoni sifa zao(adhabu) zimetajwa katika sura mbali mbali kama vile sura ya 566988 nk kwa ufupi hali itakuwa mbaya sana maana ni adhabu juu ya adhabu m/mungu ataamrisha mtupeni motoni katika mnyororo wenye dhira sabinichakula ni maji ya usaha na miba watakuwa katika upepo wa maji ya chemkayo na kivuli cha moshi mweusi sana si chakuleta baridio wala starehe na kinywaji cha humo nimaji ya chemkayo naturudi katika maada yetu ambayo tuihusisha moja kwa moja na jawabu ya suala la pili (5156) siku waumba majini na watu ila wapate kuniabudu huu ni wajibu wa waislamu lakini kabla kuangalia suala zima lakuabudu ni lazima tujuwe maana ya dini dini ni mfumo wowote wa maisha anaofuata mwanaadamu katika kuendesha maisha yake ya kibinafsi na jamii kwa ujumla katika nyanja zote za maisha sasa sisi waislam ambao tumeamuwa kufuata mfumo wa kiislamu ambao ndiyo mfumo wa haki bila ya shaka dini (ya haki ) mbele ya m/ungu ni uislam( 319 ) hatuna budi kuufuata mfumo huo kikamilifu enyi mlioamini ingieni katika hukumu za uislam zote wala msifuate nyayo za shetani kwa hakika yeye kwenu ni adui dhahirii (2208) suala linajitokeza vipi tutaweza kumuabudu allah (sw)na kuuingia uislam wote jawabu elimu ndio zana pekee aliyotunukiwa mwanaadamu ili aitumie katika kutekeleza wajibu wakenaye mtume(saw) wahyi na amri ya kwanza aliyopewa na mola wake ni kusoma kwa ajili ya allah (sw) qurani (9615) ni wazi kuwa muislam mwenye tabia ya kujielimisha katika mambo muhimu ya maisha kwa lengo la kupata ufanisi katika kumuabudu allah(sw) atatofautiana sana kiutendaji na kiuchaji na yule ambae hana sifa ya kujielimisha kama tunavyojifunza katika qurani(399) je wanaweza kuwa sawa wale wanaojua na wale wasiojuwa wanaotanabahi ni wale wenye akili tu vilevile (5811) allah atawainua daraja wale walioamini miongoni mwenu na walio pewa elimu watapewa watapata daraja zaidi pia kwahakika wanaomuogopa allah miongoni mwa waja wake ni wale wataalamu (waliosoma) aya zilizopo hapo juu zinatuekea wazi dhana nzima ya kuabudu itafanikiwa ikiwa waislam tutajifunza na kuifanyia kazi elimu tuliyonayo ukizingatia maneno ya mtume (saw) kutafuta elimu ni faradhi kwa kila muislamu mwanamumenamwanamke kwani madhara gani yatajitokeza endapo waislamu hawatakuwa na utamaduni wa kujisomea madhara makubwa yatajitokeza katika jamii kama tunavyoona katika jamii yetu ya kizanzibar na kiislam kwa jumla 1 waislamu kutoufanyia kazi uislam wao (hawaujui) 2 waislamu wengi wanabaki kuwa waislam majina tuu 3 waislamu wanaona tabu (wanaona haya) kujitambulisha kuwa wao waislamu 4 waislamu kufuata mila zisizokuwa za kiislam 5 kuutupa (kuugawa) uislam na siasa (amakueweka tofauti na siasa) 6 uislam unashindwa kuwa juu ya dini zote kama kama allah(sw)alivyoahidi kutokana na matatizo tuliyokwisha ya orodhesha hapo juu ni dhahiri kuwa lengo la kuabudu halitofanikiwa na hapo waislamu wanabaki na dhana ya kuwa uislamu (au ibada)ni nguzo tano shahada swalaazakahfunga na hijjahili ni wazo potofu mana haiwezekani m/mungu kutuwambia kuwa lengo la kuumbwa kwetu ni kumuabudu katika maisha yetu yote alafu ibada yenyewe iwe 1 swala tano (5) za faradhii ambazo tunatumia saa moja kuzisali katika masaa 24 2 zakah ambayo hutolewa na mtu mwenye uwezo katika kiwango na muda maalum 3 funga ambayo tunafunga mwezi mmoja(1) katika miezi kumi na mbili (12) 4 hijja ambayo hutekelezwa na mtu mwenye uwezo mwaka mara moja ukweli utabaki palepale kuwa nguzo tano za uislamu ni msingi wa ibada hivyo mafunzo yanayopatikana humo kupitia msingi huo ndio hasa yatakayokamilisha ujenzi wa nyumba ya uislam swala humkataza mtu maovu na machafu yote hivyo waumini hatuna budi kuachana na maovu na machafu yote zakah humtakasa mja kutokana na mali yake nafsi yake na jamii kwa ujumla fungafunga humfanya muumini kuwa mcha mungu hijja inatufunza umoja na usawaa pamoja na utii kwa allah (sw) kubwa zaid ni dhana nzima ya kukumbushana mema na kukatazana mabaya funzo hili tunalipata katika uwanja wa arafa maafa makubwa yameikuta jamii ya waislam wa kizanzibari ambapo hata tunashindwa hata kujielewa kuwa ni waumini au siwaumini wa dini ya kiislamu mafundisho mila na desturi za kitwaghuti tumezikumbatia na uislam tumeupiga teke tumesahau wajibu wetu na sasa tunakufuru shime waislamu turudi kwa mola wetu tufuate quran na sunna za mtume wetu (saw)tuanzishe mashule ya kiislamu yatakayofuata utamaduni wa kiislamu kwa ajili yakutowa mafunzo kiislamu ndugu zangu waislamu waislamu kutafuta elimu ndiyo roho ya uislamukukumbushana mema na kukatazana mabaya ndiyo chakula cha n yoyo za waislamu kufuata mafundisho ya mtume (saw) ndio mafanikio ya waislamu kumtumikia kumnyenyekea na kumuabudu m/mungu ndio wajibu wa waislamu quran (10323) hakika binaadamu yuko katika hasara isipokuwa wale walioamini na wakafanya vitendo vizuri wakausiana (kufuata)haki na wakausiana (kushikamana) na subira (kustahamiliana) yarabii tujalie na sisi katika walioamini na wenye mafanikio katika hukumu yako ndugu yenu suleiman abdallah katika njia ya kuamshana posted by udomsa at 2239
2017-09-23T00:00:11
http://udomsa.blogspot.com/2010/09/wajibu-wa-muislam.html
tetesi za soka ulaya alhamisi 12072018 yaya toure kuhamia west ham cristiano ronaldo na yerry mina bbc news swahili https//wwwbbccom/swahili/michezo44803756
2019-12-09T21:21:50
https://www.bbc.com/swahili/michezo-44803756
amerika yafashe abanyanijeriya bibishaga ikoranabuhanga hashize imyaka abakora ubujura bushukana bakomoka muri nijeriya nibindi bihugu bibye abacuruzi bo muri amerika nabantu ku giti cyabo amadolari yabanyamerika abarirwa muri za milliyoni babinyujije kuri konte zabanyanijeriya babiri batuye muri los angeles muri iki gihe ubujura bukoreshejwe ikoranabuhanga bukomeje kwiyongera velentine iro na chukwudi christogunus igbokwe abaturage ba nijeriya bari bazwi cyane ku mazina atandukanye yamahimbano nka iro enterprises na chris kudon ikirego cyashyizwe ahagaragara nurukiko rwa leta yamerika gikubiyemo ibyaha 252 bashinjwa kivuga ko hagati ya 2014 na 2018 iro na igbokwe bafatanije nabandi batekamutwe hirya no hino ku isi bagera kuri 80 bakoze ubujura butandukanye mu bihugu bigera ku 10 bashobora kwiba agera kuri million $6 naho agera kuri million $40 bakaba bayakozagaho imitwe yintoki abakoraga ubu bujura bahigaga abantu ku giti cyabo nibigo bito byubucuruzi bakoreshaga uburyo bwo gutega imitego kuri email zabantu bise business email compromise cyangwa kubikira itumanaho rikoreshejwe ikoranabuhanga ku bayobozi bibigo bise ceo fraud muri ubu buryo binjiraga rwihishwa muri email zikigo bakigira abayobozi bacyo bagatangira kwandika za email mu mazina ya ba nyiriikigo basaba ko hoherezwa amafaranga runaka ibiro bishinzwe iperereza muri leta zunze ubumwe zamerika (fbi) biravuga ko ubujura bukoreshejwe ikoranabuhanga bukomeje kugenda bwiyongera icyegeranyo cya fbi yasohoye mu kwezi kwa kane kivuga ko ubujura bwo kuri internet bwateje igihombo kigera kuri miriyari $27 mu mwaka wa 2018 kivuye kuri miliyari $14 mu mwaka wa 2017 aba banyanijeriya bibye abantu ku giti cyabo nibigo bigera kuri 16 hirya no hino ku isi ikirego cyatanzwe mu rukiko kivuga ko iro na igbokwe ari bo bari ku ruhembe rwubu bujura bakomoka mu mugi wa owerri muri nijeriya abandi bose babaganaga aruko babarangiwe nabo basanzwe bakorana bagahuza umugambi muri iki gikorwa batwaraga hagati ya 20 50 yamafaranga yibwe kuri buri soko ryubujura bahawe iki kirego kivuga ko iro na igbokwe bohereje million $5 muri nijeriya kuri konte zabo izabo bafatanije ubujura nizabo mu miryango yabo mu mwaka wa 2017 ibimenyetso byafashwe na fbi byerekana ko abo bagabo bakoreshaga umutungo basahuye kubaka amagorofa manini muri nijeriya
2019-09-17T21:37:32
https://www.radiyoyacuvoa.com/a/amerika-yafashe-abanyanijeriya-bibishaga-ikiranabuhanga-/5055529.html
breaking ndege yaanguka juu ya ghorofa | malunde 1 blog home » matukio » breaking ndege yaanguka juu ya ghorofa breaking ndege yaanguka juu ya ghorofa mabaki ya ndege hiyo juu ya paa la ghorofa rubani mmoja amefariki dunia baada ya kutua ghafla helikopta juu ya jumba refu la ghorofa mjini manhattan helikopta hiyo ililipuka na kusika moto ilipogonga kituo cha axa equitable center na hakuna majeruhi yaliyoripotiwa rubani ametambuliwa kama tim mccormack na uchunguzi unaendelea kubaini chanzo cha ajali hiyo walioshuhudia ajali hiyuo wanasema jumba hilo lilitetemeka ndege hiyo ilipoanguka hali ambayo iliwakumbusha mashambulio ya kigaidi ya septemba mwaka 2001 maafisa hata hivyo wamefutilia hofu kuwa huenda ajali hiyo ni imetokana na tukio la kigaidi ajali hiyo ilitokea vipi ajali hiyo ilitokea nyakati za mchana wakati wa mchana katika barabara ya 787 kaskazini mwa ukumbi wa times square ndege hiyo ya injini mbili chapa agusta a109e iliyokuwa na rubani pekee yake ilikuwa safarini kutoka manhattan kuelekea uwanja wa ndege wa linden mjini new jersey lakini dakika 11 baada ya kuanza safari ilianguka juu ya jumba la ghorofa 54 katika kile kinaelezewa kuwa kutua kwa dharura meya wa jiji la new york city bill de blasio amesema helikopta hiyo imeharibiwa kabisa kutokana na jinsi ilivyogonga chini kwa nguvu maafisa wa kitaifa wa usalama wa angani wanachunguza kwanini helikopta hiyo ambayo ilikuwa katika safari ya hali ya juu iliamua kusafiri wakati wa hali mba ya hewa bw de blasio amesema hajali hiyo haikuwa hali ya kawaida na kuongeza kuwa helikopta hiyo ilihitaji kibali maalum kutoka uwanja wa laguardia mjini new york city mamlaka ya usimamizi wa angani zinasema kuwa walekezi wao walihindwa kudhibiti ndege hiyo jengo hilo liko nusu maili kutoka jumba la trump tower na usafiri wa anga katika maeneo hayo umedhibitiwa kwasababu jengo hilo linamilikiwa na donald trump ambeye sasa ni rais wa marekani watu wanasemaje gavana wa jimbo la new york andrew cuomoamesema ikiwa wewe ni mkazi wa new york bila shaka uliathiriwa na shambulio la kigaidi la septemba 9/11 ajali hii imetukumbusha shambulio hilo kwa hivyo niliposikia helikopta imegonga jengo mawazo yangu yalielekezwa kwa mawazo ya kila makazi wa new york'' rais trump amesema ajali hiyo ni mkasa mkubwa na ni tukio la ''kusikitisha nicolas estevez mmoja wa watu walioshuhudia ajali hiyo aliliambia shirika la habari la reuters kuwa nilisikia mlipuko na mosho mkubwa ukifuka hali iliyomkumbush shambulio la semptemba 2011 (9/11) kipande cha chuma cha ukibwa wa (30cm) kilianguka barazani mita chache kutoka hapa alisema michaela dudley wa hoboken new jersey ambaye anafanya kazi katika jengo hilo anasema alihisi kama ni matetemeko madogo ya ardhi mabaki ya ndege hiyo juu ya jumba la ghorofa nilianza kusikia milio ya magari ya zima moto na hapo nikajua kitu kibaya kimetokeaalisema wakili huyo wa miaka 30 kulikua na tangazo la kutuagiza tutoke ndani ya jengo hilo na bila kupoteza wakati nilifungasha virago vyangu nikachukua simu na kutoka eneo la ngazi lilikua limejaa watu waliokua waking'ang'ana kutoka tulikua na wasiwasi kwasababu hatukua na ufahamu ni nini kimetokea na watu walikuwa wamejawa na hofu rubabui alikua nani tim mccormack alitajwa kuwa mtu mwenye ujuzi mkubwa na rubani mkongwa ambaye pia alikuwa afisa wazima moto wa kujitolea shirika la habari la abc lilitangaza taarifa iliyokua imetolewa na familia ya mccormack iliyosema familia yetu leo imempoteza mtu wa maana sana leo ndugu yetu amefariki dunia akifanya kazi aliyoipenda na kutekeleza kwa uadilifu mkubwa ilisema kuwa alitua ghafla juu ya baa la ghorofa ili asisababishe maafa ya watu wengine bali yake mwenyewe ndugu yangu alikuwa shujaa baadhi ya vyombo vuya habari vya marekani pia vimeripoti kuwa bw mccormack aliwahi kutua helikopta salama baada ya ndege kukwama ndani ya injini mwaka 2014
2019-06-18T15:34:49
https://www.malunde.com/2019/06/ajali-ndege.html
kesha la asubuhi hata watoto wanaweza kushuhudia imani yao alphaigogocom kesha la asubuhi hata watoto wanaweza kushuhudia imani yao *kesha la asubuhi* _hata watoto wanaweza kushuhudia *imani* yao_ 📓 *lakini wakuu wa makuhani na waandishi walipoyaona maajabu aliyoyafanya na watoto waliopaza sauti zao hekaluni wakisema hosana mwana wa daudi walikasirika wakamwambia wasikia hawa wasemavyo yesu akawaambia naam hamkupata kusoma kwa vinywa vya watoto wachanga na wanyonyao umekamilisha sifa (mathayo 2115 16)* ✍🏽bendera ya neno la kweli inaweza kuinuliwa na wanaume na wanawake wanyenyekevu na vijana na hata watoto wanaweza kuwa baraka kwa wengine kwa kudhihirisha kile ambacho kweli hiyo imewafanyia ✍🏽 mungu atawatumia mawakala dhaifu zaidi ikiwa wamejisalimisha kikamilifu kwake anaweza kutenda kazi kupitia wao ili kuzifikia roho ambazo mchungaji asingeweza kuzifikia kuna njia kuu na vichochoro vinavyopaswa kuchunguzwa mkiwa na biblia yenu mkononi mwenu moyo wenu ukichangamka na kungaa kwa upendo wa mungu mnaweza kuondoka kwenda kuwaambia wengine uzoefu wenu ✍🏽 mnaweza kuwajulisha kweli ambayo imeugusa moyo wenu mkiomba kwa imani kwamba afanye jitihada zenu ziwe na mafanikio katika wokovu wao wasilisha nuru nanyi mtapata nuru zaidi ili kuwasilisha kwa namna hiyo mnaweza kuwa watendakazi pamoja na mungu ✍🏽mungu anatamani kwamba watoto wake watumie juhudi zao zote kwamba katika kutenda kazi ili kuwabariki wengine waweze kuimarika katika nguvu ya yesu mnaweza msiwe na elimu mnaweza msifikiriwe kuwa na uwezo wa kumfanyia mungu kazi kubwa lakini yapo mambo mnayoweza kufanya mnaweza kuifanya nuru yenu iwaangazie wengine 🙇🏽‍♂```kila mmoja anaweza kupata ufahamu wa neno la kweli na kuwa na mvuto mwema hivyo nendeni mkafanye kazi ndugu na dada zangu jipatieni uzoefu kwa kufanya kazi kwa ajili ya wengine 🙇🏽‍♂mnaweza kufanya makosa lakini hili haliwezi kuzidi kile ambacho wale wenye maarifa zaidi na wale walioko katika nyadhaifa za mamlaka wamefanya tena na tena hamtapata mafanikio wakati wote lakini hamwezi kamwe kujua matokeo ya juhudi duni isiyotafuta manufaa binafsi ili kuwasaidia wale waliomo gizani 🙇🏽‍♂kupitia utendaji wa roho mtakatifu mnaweza kuongoa roho kutoka gizani kuja kwenye kweli na kwa kufanya hivyo roho zenu wenyewe zitajawa upendo wa mungu``` previous posthappy birthday mrs mapigano peternext postwanaopenda kushangaa ndio wajanja
2019-02-16T23:37:57
http://www.alphaigogo.com/kesha-la-asubuhi-hata-watoto-wanaweza-kushuhudia-imani-yao/
yoyo intermittent na endurance upimaji professional soka coaching jamii aerobic fitness sayansi yoyo mtihani mfululizo kutathmini uwezo wa mtu binafsi kwa kurudia kufanya vipindi juu ya muda wa muda mrefu katika vipindi zoezi yanayohusiana michezo uvumilivu toleo la mtihani huu ni iliyoundwa na mtihani mtihani kutathmini wachezaji aerobic uvumilivu fitness kuna 2 aina kiwango cha juu cha mtihani yoyo yoyo intermittent mtihani yoyo uvumilivu mtihani (pamoja na 510 sec ahueni mapumziko kati ya bout) kuna pia ni ngazi mbili za mtihani (level 1 & 2) kwa kila aina kila baada ya mbalimbali kuanzia kasi na nyongeza kulinganisha ya alama kwa proceedures juu ya kupima siyo rahisi kutokana na aina mbalimbali ya tofauti katika format ya kupima hata hivyo chini ni baadhi ya mifano unaweza kutumia • katika utafiti ya kihispania wachezaji 1314 umri wa miaka matokeo ya mtihani yoyo umetofautiana kutoka 131 kwa fullbacks katikati ya 1446 kwa midfielders pana (tathmini ya masuala anthropometric na kisaikolojia ya miaka 1314 wachezaji kihispania zamani na juan bautista castilla arroyo) • kiume juu ya daraja wachezaji wa soka kucheza mechi katika ngazi ya juu ya kimataifa na juu ya utendaji ngazi ya juu ya yoyo ir1 mtihani (2420 m) kuliko wasomi (2190 m) na wachezaji ndogo ya wasomi (2030 m) kama vile mafunzo ya soka ya wachezaji wastani (1810 m) (rudishwa kutoka soccerfitnesscom julai 07) • utafiti wa denmark ligi kuu ya soka ya wachezaji kike kupatikana walikuwa yoyo vipindi uvumilivu ngazi 2 (yoyo ie2) utendaji wa 1213 m + / 90 m (n = 23) (kutoka krustrup p zebis m jensen jm na mohr m gameikiwa ruwaza uchovu katika wasomi kike soka j nguvu cond res 24 (2) 437441 201) • soka legend kristine lilly mbio 49 shuttles kwa yyirt (10 pili vipindi ahueni) katika septemba 2010 katika umri wa miaka 39 kuweka rekodi kwa marekani wanawake timu ya taifa yoyo intermittent uchunguzi mtihani huu ilianzishwa na denmark soka physiologist jens bangsbo kimsingi mara kwa mara 40m (2x20m) anaendesha kwa kupona kipindi katikakati ya yoyo intermittent uchunguzi ni sawa na inajulikana beep mtihani hata hivyo katika vipimo vipindi washiriki na muda kazi mapumziko (5 10 na sekunde kwa uvumilivu vipindi na vipindi ahueni mtihani kwa mtiririko huo) kuna matoleo mawili ya kila yoyo vipindi mtihani ngazi 1 (kwa kompyuta) na ngazi 2 (juu ya wachezaji) chini ni downloads na toleo la nike ya mtihani huu uvumilivu version (ya intermittent mtihani) mark nje mistari tatu tofauti (kwa kutumia mbegu / bendera) kwa mujibu wa mchoro hapo juu mita 20 25 na mita ahueni kitanzi somo kuanza juu ya au nyuma ya mstari wa katikati na huanza mbio 20 m wakati kufundishwa na cd audio somo hili anarudi na anarudi kianzio wakati ilionyesha kwa beep kumbukumbu kuna ahueni kazi kufuatia kila kuhamisha (nje na nyuma) kipindi cha sekunde 5 unafanyika kama wachezaji anatembea / jogs karibu na mwisho koni nyuma kuanzia nafasi (mstari katikati) kama mchezaji atashindwa kufanya hivyo nyuma ya mstari wa kuanza katika muda zilizotengwa yaliyowekwa na cd mchezaji redio inapokea ujumbe wa onyo mchezaji atashindwa mtihani kama hawawezi kufanya ishara baadae (beep) alama ni kumbukumbu na ni umbali jumla ya ardhi kufunikwa wakati wa mtihani kabla ya kushindwa toleo hili ni pamoja na mita 5 kuokoa kutembea / jog kitanzi yoyo uvumilivu mtihani mtihani huu ilikuwa pia zilizotengenezwa na denmark soka physiologist jens bangsbo tena kuna matoleo mawili ngazi 1 2 & (kompyuta na ngazi ya juu) mtihani ngazi moja kimsingi ni mtihani sawa na inajulikana 'beep mtihani' kufuatia maelekezo kutoka dc redio wachezaji kukimbia na kurudi kati ya mistari mbili (unahitajika kwa mbegu) akijaribu kukimbia umbali kabla ya ishara (beep) kutoka cd nyongeza kasi baada ya kipindi wachezaji kupokea onyo kama hawana kukamilisha bout katika muda kupewa mtihani ngazi 2 kuanza saa juu mbio kasi na ina nyongeza mbalimbali katika kasi alama mwanamichezo ni umbali jumla kufunikwa kabla hawakuweza kuweka juu na kurekodi yoyo vipindi mtihani kawaida huchukua kati ya 6 20dakika kwa kiwango 1 2 na kati ya10 dakika kwa kiwango 2 fitness mafunzo katika football mbinu za kisayansi na jens bangsbo mchapishaji agosti krogh institute chuo kikuu cha copenhagen (desemba 1994) krustrup p mohr m nybo l jensen jm nielsen jj bangsbo j (2006) mtihani yoyo ir2 majibu ya kisaikolojia kuegemea na maombi ya wasomi wa soka dawa na sayansi katika sports & zoezi septemba 38 (9)
2019-11-17T07:55:09
https://sw.professionalsoccercoaching.com/aerobic-fitness-science/yo-yo-intermittent-and-endurance-testing
13 mfano wa nane kuonyesha jinsi raafidhwah wanavodai kuwa maswahabah wamepotosha quraan | firqatu nnajia 13 mfano wa nane kuonyesha jinsi raafidhwah wanavodai kuwa maswahabah wamepotosha quraan alkulayniy amesema abu ´aliy alash´ariy amepokea kutoka kwa muhammad bin ´abdiljabbaar kutoka kwa swafwaan kutoka kwa ishaaq bin ´ammaar kutoka kwa abu baaswiyr kutoka kwa abu ja´faar ambaye amesema quraan imeteremshwa ikiwa robo nne (1/4) moja ni kuhusu sisi nyingine kuhusu maadui zetu nyingine ni kuhusu watu waliotangulia na mifano na nyingine kuhusu mambo ya faradhi na hukumu[1] iko wapi sehemu ya tawhiyd iliyojengwa katika ulinganizi wa mitume wote qiyaamah na malipo viko wapi kiko wapi hiki na kile isitoshe ni vipi tutaoanisha baina ya mapokezi haya yenye kugongana mapokezi ya ´aliy (radhiya allahu ´anhu) yanasema kuwa quraan imeteremshwa ikiwa theluthi moja inahusu sisi na nyingine maadui zetu na kadhalika mapokezi ya ja´faar yanasema kuwa quraan imeteremshwa ikiwa robo nne moja inahusu sisi na nyingine inahusu maadui zetu na kadhalika ukweli wa mambo ni kwamba allaah hakuteremsha si robo nne wala robo sita kuhusu watu wa familia ya mtume (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) na maadui zake kutokana na matusi na takfiyr makusudio ya robo nne zilizozushwa zinazohusiana na maadui wa familia ya mtume (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) ni maswahabah na sio washirikina mayahudi manaswara wala waabudu moto waislamu hawawezi kupata neno hata moja linaloashiria kuwa maswahabah wanawachukia watu wa familia ya mtume (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) na kuwapora haki zao kitu wanachoweza kupata tu ndani ya quraan ni jinsi wanavosifiwa na kutapwa kwa hali ya juu swali langu kwa hawa waongo ni kwa nini hamtaji tawhiyd na maadui wa familia ya mtume (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) kutoka katika washirikina mayahudi manaswara na waabudu makaburi ni kwa sababu nyinyi ni maadui wa tawhiyd na watu wake na washirika wa washirikina mayahudi na wengine ni vipi mnaweza kuwakemea washirikina wakati nyinyi ni washirikina wakubwa zaidi yao na ni vipi mnaweza mkawakemea juu ya kumsemea allaah uongo na kupotosha dini yake na ujumbe wake wakati hawako hata karibu na yote hayo mliyoyataja [1] alkaafiy (02/628) marejeo alintiswaar li kitaabil´aziyz aljabbaar uk 4142 13 mfano wa nane kuonyesha jinsi raafidhwah wanavodai kuwa maswahabah wamepotosha quraan alkulayniy amesema abu ´aliy alash´ariy amepokea kutoka kwa muhammad bin ´abdiljabbaar kutoka kwa swafwaan kutoka kwa ishaaq bin ´ammaar kutoka kwa abu baaswiyr kutoka kwa abu ja´faar ambaye amesema quraan imeteremshwa ikiwa robo nne (1/4) moja ni kuhusu sisi nyingine kuhusu maadui zetu nyingine ni kuhusu watu waliotangulia na mifano na nyingine kuhusu mambo ya faradhi na hukumu[1] iko wapi sehemu ya tawhiyd iliyojengwa katika ulinganizi wa mitume wote qiyaamah na malipo viko wapi kiko wapi hiki na kile isitoshe ni vipi tutaoanisha baina ya mapokezi haya yenye kugongana mapokezi ya ´aliy (radhiya allahu ´anhu) yanasema kuwa quraan imeteremshwa ikiwa theluthi moja inahusu sisi na nyingine maadui zetu na kadhalika mapokezi ya ja´faar yanasema kuwa quraan imeteremshwa ikiwa robo nne moja inahusu sisi na nyingine inahusu maadui zetu na kadhalika ukweli wa mambo ni kwamba allaah hakuteremsha si robo nne wala robo sita kuhusu watu wa familia ya mtume (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) na maadui zake kutokana na matusi na takfiyr makusudio ya robo nne zilizozushwa zinazohusiana na maadui wa familia ya mtume (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) ni maswahabah na sio washirikina mayahudi manaswara wala waabudu moto waislamu hawawezi kupata neno hata moja linaloashiria kuwa maswahabah wanawachukia watu wa familia ya mtume (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) na kuwapora haki zao kitu wanachoweza kupata tu ndani ya quraan ni jinsi wanavosifiwa na kutapwa kwa hali ya juu swali langu kwa hawa waongo ni kwa nini hamtaji tawhiyd na maadui wa familia ya mtume (swalla allaahu ´alayhi wa sallam) kutoka katika washirikina mayahudi manaswara na waabudu makaburi ni kwa sababu nyinyi ni maadui wa tawhiyd na watu wake na washirika wa washirikina mayahudi na wengine ni vipi mnaweza kuwakemea washirikina wakati nyinyi ni washirikina wakubwa zaidi yao na ni vipi mnaweza mkawakemea juu ya kumsemea allaah uongo na kupotosha dini yake na ujumbe wake wakati hawako hata karibu na yote hayo mliyoyataja [1] alkaafiy (02/628) mhusika ´allaamah rabiy´ bin haadiy almadkhaliy mfasiri firqatunnajiacom marejeo alintiswaar li kitaabil´aziyz aljabbaar uk 4142 imechapishwa 19/03/2017 http//firqatunnajiacom/13mfanowananekuonyeshajinsiraafidhwahwanavodaikuwamaswahabahwamepotoshaquraan/ previous 12 mfano wa saba kuonyesha jinsi raafidhwah wanavodai kuwa maswahabah wamepotosha quraan next 14 mfano wa tisa kuonyesha jinsi raafidhwah wanavodai kuwa maswahabah wamepotosha quraan
2019-01-18T09:19:16
http://firqatunnajia.com/13-mfano-wa-nane-kuonyesha-jinsi-raafidhwah-wanavodai-kuwa-maswahabah-wamepotosha-qur-aan/
vijimambo nmb yakabidhi jengo la kupumzikia wagonjwa jkci mkurugenzi mtendaji wa benki ya nmb bi ineke bussemaker (kulia) akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) kabla ya kuzinduwa jengo maalumu la kupumzikia wagonjwa wa nje na wasaidizi wao wanaokwenda kupata huduma katika taasisi ya moyo ya jakaya kikwete (jkci) iliyopo katika hospitali ya taifa muhimbili (mnh) jijini dar es salaam kushoto ni mkurugenzi mkuu wa jkci prof mohamed janabi akifuatilia mazungumzo hayo meneja wa benki ya nmb kanda ya dar es salaam na pwani vick bishubo (kulia) akizungumza kabla ya uzinduzi wa jengo maalumu la kupumzikia wagonjwa wa nje na wasaidizi wao wanaokwenda kupata huduma katika taasisi ya moyo ya jakaya kikwete (jkci) mkurugenzi mkuu wa jkci prof mohamed janabi (wa kwanza kulia) mkurugenzi mtendaji wa benki ya nmb bi ineke bussemaker (wa pili kulia) pamoja na meneja wa benki ya nmb kanda ya dar es salaam na pwani vick bishubo (wa kwanza kushoto) wakielekea katika eneo la uzinduzi wa jengo maalumu la kupumzikia wagonjwa jkci benki ya nmb jana ilikabidhi jengo maalumu la kupumzikia wagonjwa wa nje na wasaidizi wao wanaowaleta wagonjwa kupata huduma katika taasisi ya moyo ya jakaya kikwete (jkci) ililopo katika hospitali ya taifa muhimbili (mnh) jijini dar es salaam akikabidhi jengo hilo lenye uwezo wa kuhifadhi watu 100 kwa pamoja wakiwa wamekaa kusubiri huduma mkurugenzi mtendaji wa nmb bi ineke bussemaker alisema ujenzi wa jengo hilo ni sehemu ya huduma za kijamii zinazoilenga sekta ya afya ambapo benki hiyo imeweka utaratibu wa kusaidia alisema kukamilika kwa jengo hilo la kupumzikia kutasaidia wagonjwa wa nje na ndugu zao ambao hufika kupata huduma jkci kupumzika sehemu tulivu na salama huku wakisubiri kuhudumiwa na madaktari wa kituo hicho bila kero alisema msaada huo nmb inaamini imeutoa kwa wateja wao pia ambao nao hufika na kupata huduma katika hospitali hiyo mkurugenzi huyo alieleza kuwa kukamilika kwa jengo hilo la kusubiria pia itatoa fursa kwa madaktari kuwahudumia wagonjwa wao kwa ufasaha zaidi mkurugenzi mtendaji wa benki ya nmb bi ineke bussemaker (kulia) akizungumza na wanahabari kabla ya kuzinduwa jengo maalumu la kupumzikia wagonjwa wa nje na wasaidizi wao wanaokwenda kupata huduma katika taasisi ya moyo ya jakaya kikwete (jkci) iliyopo katika hospitali ya taifa muhimbili (mnh) jijini dar es salaam aidha bi bussemaker aliongeza kuwa benki ya nmb kwa mwaka 2017 imepanga kutumia zaidi ya shilingi bilioni moja kusaidia huduma za kijamii hususani katika sekta ya afya elimu pamoja na kusaidia majanga mengine yanayoikumba jamii kwa mwaka 2016 benki hiyo ilitumia takribani milioni 260 nchi nzima kusaidia vifaa mbalimbali vya hospitalini huku jumla ya hospitali 33 zikinufaika kwa msaada huo kwa upande wake mkurugenzi mkuu wa taasisi ya moyo ya jakaya kikwete (jkci) prof mohamed janabi aliishukuru benki ya nmb kwa msaada huo na kudai hii sio mara ya kwanza kwa benki hiyo kuisaidia jkci katika shughuli zake alimpongeza msaada huo ni mkubwa kwao na unajenga mazingira mazuri ya huduma kwa wateja wao hivyo kuishukuru sana nmb pamoja na uongozi na wafanyakazi wake
2017-10-24T05:45:13
http://lukemusicfactory.blogspot.com/2017/04/nmb-yakabidhi-jengo-la-kupumzikia.html
uchaguzi klabu ya yanga upo kama serikali ilivyoelejkeza baraza la michezo la taifa uchaguzi klabu ya yanga upo kama serikali ilivyoelejkeza 31/05/2016 02/06/2016 najaha bakari 0 comment serikali imesema uchaguzi wa klabu ya yanga utafanyika kama ilivyoelekeza hayo yameelezwa leo na mtendaji mkuu wa baraza la michezo la taifa (bmt) mohamed kiganja alipofanya kikao na waandishi wa habari ofisini kwake jijini dar es salaam kiganja ameeleza kuwa wanaongeza muda wa kuchukua na kurudisha fomu za uchaguzi kwa siku tano hivyo wagombea waendelee kuchukua hadi kufikia jumapili tarehe 5 juni mwaka huu uchukuaji wa fomu ulishaanza na mwisho ilikuwa leo lakini wapo watu na wengine wamo ndani ya tff na wengine nje ambao wanafanya michakato ya kukwamisha kufanyika kwa uchaguzi huo alisema kiganja na kuongeza kuwa serikali haina nia mbaya na klabu hiyo bali kuona vilabu vyama na mashirikisho ya michezo wanaheshimu sheria kanuni na katiba zilizopo hayo yanayofanyika kuelekea uchaguzi siyo utashi wa mtu bali kutekeleza katiba ya yanga hivyo vikao mbalimbali vinavyafanyika vya wanachama au wadau vilenge kufanikisha uchaguzi badala ya kuvuruga zoezi hilo alisema kiganja alieleza kuwa hawazitambui kadi mpya za uanachama za klabu hiyo bali wanazitambua kadi za zamani ambazo ndizo zitakazotumika katika uchaguzi huo tafsiri ya kadi ni mali ya klabu lakini unapokuwa na kadi ya benki maana yake ni mali ya benki hiyo na sijui kama mwenyekiti wa klabu atakuwa na mamlaka nayo alieleza kiganja mwanachama yoyote akalipie kadi yake ya zamani mwaka mmoja aingie kwenye uchaguzi alisema hivyo sidhani kama ni halali kadi za benki kutumika katika uchaguzi kwa sababu hazina saini ya mwenyekiti wa klabu wala ya kiongozi yoyote tofauti na kadi za zamani ambazo zina saini za viongozi ← serikali yaifungia pst miaka mitatu mashindano ya riadha taifa kufanyika june 11 → http//nationalsportscouncilgotz/blog/2016/05/31/uchaguziklabuyayangaupokamaserikaliilivyoelejkeza/>
2018-06-22T22:21:20
http://nationalsportscouncil.go.tz/blog/2016/05/31/uchaguzi-klabu-ya-yanga-upo-kama-serikali-ilivyoelejkeza/
umoja wa ulaya na wimbi la wakimbizi kutoka afrika | masuala ya jamii | dw | 13062007 umoja wa ulaya na wimbi la wakimbizi kutoka afrika maombi ya malta ya kugawana mzigo wa wakimbizi yamepingwa lakini mipango mengine inadurusiwa umoja wa ulaya unajibu tatizo la wimbi jipya la wakimbizi katika eneo la bahari ya mediterenia kwa kutoa fedha zaidi na kuzidisha doriamaombi ya malta ya kugawana ipasavyo miongoni mwa mataifa 27 ya umoja wa ulayawahamiaji wa kiafrika waliookolewa bahariniyamepingwa na mawaziri wa mambo ya ndani walipokutana jana mjini luxembourgwaziri wa mambo ya ndani wa serikali kuu ya ujerumani wolfgang schäuble amesema wazi kabisa jambo hilo haliwezekani kabisa kwa sasasiku za mbele ufumbuzi wa haki unaweza kupatikanawakati huo huo bwana schäuble akashadidia mshikamano wa nchi yake kwa umoja wa ulayamalta haitaachwa mkonoamesema aibu kwa umoja wa ulaya matamshi hayo yalitolewa mwishoni mwa mwezi uliopita na kamishna wa umoja wa ulaya franco frattinipale mashua zilizosheheni wakimbizi wa kiafrika zilipokwama katika wavu wa samaki kwa muda wa siku tatukwasababu libya na malta zilishindwa kufikia makubaliano ya kuwaokoa wakimbizi haoilikua meli ya kitaliana iliyokuja kuwaokoa hatimae wakimbizi hao kwamba kiongozi wa libya muammar gaddafi hafanyi kitu si jambo la kustaajabishalakini kwamba maltamwanachama wa umoja wa ulaya inafumba machohapo hakuna jengine la kusema isipokua aibu na ni aibu kweli kweli tena kwa umoja wa ulaya ni sawa pale kisiwa hicho kidogo cha bahari ya kati kinapohoji kwamba hakina tena uwezo wa kuwapokea wahamiaji zaidi malta imeshauri pia wakimbizi hao walioingia kwa mashua watawanywe katika nchi nyengine za umoja wa ulayamadai hayo yanaingia akilini lakini katika suala hilo mshikamo miongoni mwa nchi wanachama wa umoja wa mataifa ni kitu adimu hapo kila mmoja hakawii kukumbushatokea hapo nchi yake inazongwa na wakimbizi wa kutoka ulaya ya masharikikama vile ambavyo ujerumani daima imekua ikisema misaada ya fedha kutoka makasha ya umoja wa ulaya itatolewa bila ya shidaikiwa wataepukana na shinikizo la kuwapokea wakimbizi waliokata tama kutoka afrikawanaosaka kazi na rizikina dhahiri ni kwamba nchi za umoja wa ulaya haziwezi kuwapokea mamilioni ya waafrika wenye njaa kwasababu wazungu wenyewe wamezongwa na juhudi za kuileta pamoja jamii yaona dhahiri pia ni kwamba hawawezi kuwaacha wakimbizi hao wazame katika bahari ya meditereniakambi za mapokezi nchini italy au kusini mwa hispaniakugawana sawa wakimbizi au hatua yoyote ile nyengine ni bora kuliko hali namna ilivyo hivi sasa kutokana na shinikizo la halmashauri kuu ya umoja wa ulayakunaandaliwa mpango ambapo nchi za umoja wa ulaya zitajikuta zikiacha mwanya kidogo katika mlango wa ngome yao siku za mbele itaruhusiwa kuwaajiri mashambani au katika shughuli za ujenzi wafanyakazi wa muda kutoka afrikamakubaliano yatabidi yafikiwe pamoja na nchi wafanyakazi hao wanakotokea kwanamna ambayo viza zao zikimalizika wataruhusiwa kurejea nyumbaninchi gani ya ulaya itajifungamanisha na mpango huo na waafrika wangapi watapata fursa ya kufanya kazi hizohakuna bado ajuae pengine ni watu mia kadhaa tuuna japo kama huo si ufumbuzimradi ni ishara ya matumaini kiungo https//pdwcom/p/chka
2018-09-19T18:54:53
https://www.dw.com/sw/umoja-wa-ulaya-na-wimbi-la-wakimbizi-kutoka-afrika/a-2928172
lipumba na mbatia wahutubia wana ccm kigoma | jamiiforums | the home of great thinkers lipumba na mbatia wahutubia wana ccm kigoma discussion in 'jukwaa la siasa' started by muhosni mar 14 2011 umati wao ulijaa watu waliovalia kijani na njano wamewaasa wanachama hao kuepuka vyama vinavyochochea vurugu source itv taarifa wote ni ccm tu wala hakuna tofauti kule kwa zitto wala wasipoteze muda ama kweli chadema ndio chama pekee cha upinzani chenye nguvu kwa sasa ukiangalia watu waliohudhuria mkutano huo ni wachache ukilinganisha ya cdm kule kanda ya ziwa ama kweli cdm wanakubalika licha ya shutma zinaenezwa na ccm na washirika wake cha ajabu tbc wameripoti mkutano huo lkn hawakuripoti hata ck moja mikutano ya cdm kanda ya ziwa ama kweli hii ni tbccm cdm songa mbele hata mie nimewaona kupitia itvlakini hawana mashiko yoyotewalikuwa wanawahubiria watoto tu hata mie nimewaona kupitia itvlakini hawana mashiko yoyotewalikuwa wanawahubiria watoto tuclick to expand mie nilibahatika kuhudhuriawatu walikuwepo wengi tu ila sio ka nyomi la cdm usiseme waliohudhuria walikuwa watoto mwana shika adabu yako picha tafadahili lipumba naye alilkuwepo na alihutubia pia ama kweli chadema ndio chama pekee cha upinzani chenye nguvu kwa sasa ukiangalia watu waliohudhuria mkutano huo ni wachache ukilinganisha ya cdm kule kanda ya ziwa ama kweli cdm wanakubalika licha ya shutma zinaenezwa na ccm na washirika wake cha ajabu tbc wameripoti mkutano huo lkn hawakuripoti hata ck moja mikutano ya cdm kanda ya ziwa ama kweli hii ni tbccm cdm songa mbeleclick to expand tbc kutotoa habari za cdm na kuonyesha mikutano ya vyama vingine ndivyo wanavyofanya watu wapate hamu ya kuhudhuria mikutano ya cdm unafiki umewajaa tamaa ya kupata mafanikio bila ya kuwekeza kwa wananchi ni donda ndugu kwa vyama dada na shangazi kwa ccm lipumba na mbatia tayari ni mufilisi wa kisiasa ambao wameamua kujitambulisha kuwa ni watoto wa ccmsi warudi ccm nguvu ya umma itawazoa kama ile tsunami ya japan kujikomba kwa ccm ni kukosa dira ya kisiasahapa si suala la kuwa na kutegemea nguvu za wingi wa kura bungeni ili kuidhibiti cdm bali awareness ya umma iliyo nyuma ya cdm it is too late for ccm hata wakijaribu kupiga propaganda (uwongo) kujaribu kugeuza watz mawazo kwamba agenda ya cdm ni kuleta vurugu bali kwa sisi tunaoumizwa na serikali ya kifisadi ya ccm haina budi kuondolewa na nguvu za umma mbatia alikuwa anaongea kwa konfidensi kama makamba vile ni vyema tukajaribu kutafuta na kuujua ukweli cuf na nccr ni wazi wanasubiria serikali ya umoja wa kitaifa ni imani yao kwamba serikali ya umoja wa kitaifa ni jambo la lazima na ni suala la muda wao hawaamini kwamba inawezekana ccm kuondoka madarakani ila ni rahisi kuungana nao nasikitika sana inatia huzuni kwamba hawa ndio watu ambao watanzania wanatakiwa kuwategemea na kuwaona ni wakombozi mungu ibariki tanzania mungu ibariki chadema tbc walionesha mkutano wa cdm wa mwanza cuf na nccr hawana impact yoyote kwa chadema mpango maalum huo wakaanza na tido maana yaonekana alikuwa anatoa fursa angalau na kwa cdm hawa ni watu wawili waliokosa mwelekeo na walioamua kupoteza muda katika kuwagawa watanzania kwa siasa zao za maji taka huu nao ni uhuni wangefanya mambo mengine ya msingi na siyo kuwayumbisha watanzania they lack legacy at all cheap politics are results of cheap politicians ukiwaangalia wenyeviti wa hivi vyama ni njaa tupu ndio zinazowasumbua tuwaombee raia wa tz wapate uwezo zaidi wa kuchambua pumba na kichele mbatia na lipumba wanajiaibisha kukubali kula pesa za ccm ili kupiga kampeni dhidi ya chademasijui ni njaa au wivu kwa nini unasema kwamba cuf na nccr ni ''wazi wanasubiria serikali ya umoja wa kitaifa'' well in any case serikali ya ''umoja wa kitaifa'' kwa nchi zetu za africa imeprove failure kiukweli ni kwamba kiongozi/chama kilichoshindwa au kinachoelekea kushindwa kimekuwa kikivihadaa vyama pinzani ili waungane na kuunda serikali ila kimsingi lengo lao ni kuendelea kubaki madarakani na baada ya kushika dola life goes on as usual mifano ipo hai zimbabwe (mvutano wa mugabe na tsvangirai) kenya (vurugu kati ya odinga na kibaki) na najua hata zanzibar seif shariff yupo yupo tu na hana say pale yangu macho nili mshauri sana matatiro cuf hakumfai aondoke kabla wananchi hawaja mkatia tamaa hasikii mtatiro chakula ipo cdm huko uliko njaa itakuua mwachie lipumba kibalaka wa zench aendelee na hilo boya ambalo nusu limesha zama majini nimemsikia prof lipumba akihutubia kigoma anasema serikali ya kitaifa zanzibar iheshimiwe na imeleta amani na manufaa kwa wazanzibari james mbatia akasupport na kusema hayo hayo kimsingi wanasema inawezekana kufanya kazi na ccm na itakuwa kwa manufaa ya wananchi wanataka kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuleta maendeleo wao ccm sio wabaya wana mapungufu tu ya kibinadamu hivyo kwa kuunganisha nguvu wanaamini maendeleo yatapatikana hiyo ndio sababu nalazimika kujiuliza hawa ni kwamba wanasubiri kuundiwa serikali ya umoja wa kitaifa lengo ikiwa na wao wawe watawala
2017-04-23T22:16:09
https://www.jamiiforums.com/threads/lipumba-na-mbatia-wahutubia-wana-ccm-kigoma.117842/
buriani bi rahma | zanzibar ni njema atakaye na aje buriani bi rahma rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dk ali mohamed sheinakitia udongo katika kaburi la marehemu rahma mshangamaaliyekuwa katibu mkuu wa wizara ya ustawi wa jamiimaendeleo ya vijana wanawake na watotoaliyezikwa leo katika makaburi ya mwanakwerekwe mjini unguja rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mhe dk ali mohamed shein leo ameungana na viongozi mbali mbali pamoja na wafiwa na wananchi katika mazishi ya katibu mkuu wizara ya ustawi wa jamii na maendeleo ya vijana wanawake na watoto marehemu bi rahma mohammed mshangama katika mazishi hayo pia makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe mohammed kharib bilal alihudhuria pamoja na viongozi wengine wa serikali vyama vya siasa dini na wananchi mbali mbali mapema mara baada ya salat jumaa maiti ya maremu bi rahma mshangama ilisaliwa katika msikiti wa ijumaa mwembeshauri mjini unguja na baada ya hapo ilienda kuzikwa katika makaburi ya mwanakwereke nje kidogo ya mji wa zanzibar bi rahma mshangama alifariki jana katika hospitali ya mnazimmoja mjini zanzibar marehehemu bi ramha alizaliwa tarehe 21 aprili 1961 kikwajuni mjini zanzibar na kupata elimu yake ya msingi mwaka 1969 mpaka 1978 katika skuli ya msingi na sekondari ya kidutani na lumumba zanzibar mnamo mwaka 1979 mpaka 1981 alipata elimu ya juu katika chuo cha lumumba ambapo katika mwaka huo wa 1981 aliajiriwa katika wizara ya kilimo na maendeleo ya mifugo mwaka 1985 mpaka 1987 alipata elimu ya chuo kikuu cha kilimo cha sokoine mkoani morogoro ambapo mwaka 1991 alihudhuria mafunzo ya utafiti wa masuala ya elimu na ufugaji katika chuo cha mifugo afrika nchini ethiopia mwaka 19891990 alihudhuria mafunzo ya (msc) uzalishaji wa wanyama katika chuo cha reding university nchini uingereza na mwaka 1991 alihudhuria mafunzo ya ukuzaji kilimo pamoja na mafunzo ya maendeleo ya wanawake katika kilimo nchini uingereza na mwaka 1996 alihudhuria mafunzo ya ubinafsishaji nchini ireland katika uhai wake marehemu bi rahma mshangama aliwahi kuwa mjumbe wa bodi ya shirika la posta kuanzia mwaka 1996 na pia alikuwa mjumbe wa bodi ya uzalishaji wa wanyama nchini tanzania kuanzia mwaka 1989 mpaka alipofariki kwa upande wa nafasi alizowahi kushika marehemu bi rahma mshangama aliwahi kuwa mkuu wa idara ya mifugo katika kitengo cha mifugo mnamo mwaka 19871989 mwaka 1991 hadi 1992 alikuwa mkuu wa kitengo cha kamisheni ya mashamba ya serikali katika wizara ya kilimo na mifugo mwaka 1992 hadi mwaka 1995 alikwua msaididi wa meneja wa mradi wa mpango wa chakula wa umoja wa mataifa hapa zanzibar na mwaka 1995 hadi mwaka 2000 alikuwa katibu mkuu wizara ya wanawake na watoto na mwaka 2000 hadi 2008 alikuwa katibu mkuu wizara ya kilimo maliasili na ushirika na mwaka 2008 hadi 2010 alikuwa katibu mkuu wizara ya kazi maendeleo ya vijana wanawake na watoto hadi anafariki bi rahma mshangama alikuwa katibu mkuu wizara ya ustawi wa jamii na maendeleo ya vijana wanawake na watoto bi rahma mshangama ameacha mume na mama mzazi mapema katika hotuba ya sala ya ijumaa akieleza sifa za marehemu bi rahma mshangama sheikh fadhil soraga alisema kuwa bi ramha mshangama atakumbukwa daima kutokana na alikuwa mchapa kazi hodari na aliishi na jamii kwa wema mkubwa na kumuombea kwa mwenyezi mungu amuweke mahala pema peponi amin ← bi rahma hatunae tena kalamu ya jabir → one response to buriani bi rahma zanzibarnewrevolution2011 april 22 2011 at 915 am reply → s/a natowa pole zangu kwa jamaa na marafiki wa bi rahma ila pia nataka kuwakubusha kuwa leo ni bi rahma kesho ni mimi au wewe je mumeona hiyo nyumba tutakayo ishii miaka isiyojulikana mpaka siku ya kiyama ifiki wakati wa kuhukumiwa na m/mungu je viongozi muliyobakiya hai na majumba mnayojijengeya na magari mazuri mazuri munayojinunuliya nyinyi na familiya zenu je mutakwenda nayo huko mbele ya hakikama laaaaa basi haina haja ya kujirundikiya mali na majumba na mashamba maana huwende navyo kaburini utaviwacha hapa hapa duniani nyinyi kama viongozi mapesaya na mashamba muliyojerundikiya wapeni wanchi waliyo masikini ambao ndio wanaokuchaguweni hawana hata vitanda hawana hata bofulo na kunywa na chai hawana hata maji ya kuoga na nyinyi munajuwa yote hayo ila hamusemi mumo tu kujirundikiya mamali na mashamba na majumba mazuri ila sote mwisho wetu ni kama marehemu bi rahma tafakarini kabla hamujafa maswahaba walimuliza mtume muhammed saw nani ataingia peponi mapema akasema masikini na nani atachelewa kuingia peponi akasema tajiri je habu jiulize kweli unataka uchelewe kuingia katika pepo ya allah ikiwa tumejaliwa kuingia maana kuna mambo kibao mbali na hayo ya kujirundikiya mamali ambayo tumefanya kenyuma na allah alivyosematafakari kabla ya athari m/mungu amlaze pema peponi bi rahma
2017-03-23T16:11:47
https://zanzibarkwetu.wordpress.com/2011/04/15/buriani-bi-rahma/
kiduchu blog huu ni ufyetele (udaku) tu jamani huu ni ufyetele (udaku) tu jamani mwimbaji mariah carey na mumewe nick cannon wanatarajia kupata watoto mapacha ni baada ya tetesi kuenea kuwa mwanadafada huyo ni mjamzito alipokuwa akitoka katika clinic huko los angeles mei 10 mwaka huu ripoti hiyo imekuja baada ya mariah carey kushindwa kucheza filamu ya tyler perry hata kuwabidi wawakilishi wake kusema kuwa suala la afya ndilo limekuwa likimpa tabu mwimbaji huyo lakini sasa habari ndio hivyo tena zimeenea kuwa nyota huyo anayetambulika kwa kazi za hero anatarajia kuwa na furaha mara mbili kwani yeye na mumewe nick cannon wanahitaji kuwa na familia kubwa kwa hiyo kupata watoto wawili kwa mpigo mwimbaji huyo alioana na cannon miaka miwili iliyopita na mwaka jana familia hiyo ilikwenda kwa mbunifu kenneth bordewick kuwasaidia kujifunza malezi huko los angeles imewekwa na agness anderson muda 727 am
2017-08-21T08:20:51
http://kiduchu.blogspot.com/2010/06/huu-ni-ufyetele-udaku-tu-jamani.html
riwaya fupi zilizokuwa zinatoka katika gazeti la heko nikafumbua macho ili nimtazame vizuri ndio kwanza nikagunduaa kuwa nilikuwa kitandani peke yangu nikiwa nimekumbatia mto ambao ulilowa kwa machozi nilikuwa nikiota ndoto za alinacha hali ya huzuni ilijirudia tena baada ya kugundua kuwa ilikuwa ndoto tu nilijiuliza mimi kitoli ni nini nilishamaliza na kufuta muda sasa vipi ndugu zangu kumepoa heeee kwa kipindi hiki cha hili gonjwa linalotunyima uhuru basi hakuna namna inabidi tufanye simulizi fupifupi zailizokuwa zinafanywa kwenye gazeti la heko nitacopy na kupaste ili tufurahi wote lakini kwa wale wanaopenda kununua vitabu vya marehemu mtobwa bado majukumu ya mwanamke kwenye ndoa ni yapi wewe ni ali kiba mkuu anyway nafikiri ni kuwa msaidizi kwanza sababu unaweza ingia kwenye ndoa msikae sana mume akaumwa yupo kitandani au mkapata shida ya kupata mtoto na mambo mengi ya duniani lakini usaidizi wa mwanamke kwa mumewe ukasimama kwa kila mahala kuuguza kushauri kusaidia kama unampenda mtu kwa dhati usisite kumwambia mapema life is too short mkuu mi nimekuzimikia wewe aiseee sent using jamii forums mobile app nauza maziwa fresh habari za asubuhi wana jf nauza maziwa fresh lita 5 shilingi 10000 ikiwa zaidi ya lita 10 tunaweza kupunguza bei maziwa ni mazuri hatuchanganyi maji hata kidogo na ng'ombe wanatibiwa na kulishwa vizuri kwa wakazi wa bunju maana nami nipo bunju a hivyo nakuletea hadi mlangoni kwako kwa ujio wa kitabu cha mhariri msalabani cha ben mtobwa 20 off mkuu sent using jamii forums mobile app ni kweli iliwahi kutoka tumecopy na kupaste kutoa toleo hili jipya lakini tumeongeza historia yake na maisha yake binafsi katika sehemu ya pili sent using jamii forums mobile app kwanza tupeane pole na hili janga lililovamia dunia yetu lakini hatuna budi kupambana nalo litoweke hapa duniani kwa kufuata yale ambayo wataalamu wametuambia mbali na hapo ninapenda kuwatangazia vitabu vya nguli marehemu ben mtobwa sasa kitabu cha mhariri msalabani kinapatikana kwa bei ya nahitaji vifaranga vya bata nipo dar es salaam nimepata kwa huyohuyo ambaye umenipa mawasilano yake ahsante ndugu nimempata mtu mwenye vifaranga shukrani habari zenu kwa yeyote anayeuza vifaranga vya bata aina tofauti tofauti pamoja na kuku tafadhali tuwasiliane pia naomba muuzaji ambaye hana limit na idadi niitakayo kwa maana sihitaji wengi nipo dar es salaam sent using jamii forums mobile app jinsi mikao ya mtu inavyosaidia kujua tabia yake nafikiri hao kundi b ni watu wanaojiamini na wenye confidence za kutosha sent using jamii forums mobile app i am dilemma in this issue i need your advice we jamaa unaongeza tu ugumu wa maisha corona na hii lugha rafiki yangu unazidi kusambaza ugonjwa kwa njia ya mtandao sent using jamii forums mobile app phone4sale simu inauzwa imeshawahi kukutokea hii kutoka kwa mwanaume mwenye mahusiano na exgirl wako unaonekana umefurahi sana baada ya kuambiwa au kusikia hayo toka kwa ex lover wako mpaka umelazimika kutuambia kabisa sent using jamii forums mobile app huo ni mkono wangu wa kulia ule wa kwanza ni wa kushoto mkuu [emoji2957] sent using jamii forums mobile app muuzaji utamuweza bei yake maana humu mnalia sana njaa [emoji28][emoji28][emoji28] sent using jamii forums mobile app nyingine hiyo hapo nimewamis wateja nimerudi tena sent using jamii forums mobile app jamani simu imeuzwa tayari lakini wateja mlivo wengi nafikiria kuuza hata hii ninayotumia [emoji28][emoji28][emoji28] sent using jamii forums mobile app
2020-06-02T08:15:17
https://www.jamiiforums.com/search/6924680/
#palestine eu inarudi msaada kwa mamlaka ya palestina na wakimbizi wa palestina na mfuko wa kwanza wa msaada wa 2016 mwandishi wa eu mwandishi wa eu leo 1 machi tume ya ulaya imeidhinisha mfuko wa usaidizi wa milioni milioni ya misaada ya kusaidia milioni ya mamlaka ya palestina na wakimbizi wa wapalestina ni sehemu ya kwanza ya mfuko wa msaada wa mwaka wa 2525 wa eu kwa ajili ya palestina [1] mwakilishi / makamu wa rais federica mogherini alisema umoja wa ulaya imebadilisha ahadi yake thabiti ya wapalestina kupitia mfuko huu eu inasaidia maisha ya kila siku ya wapalestina katika nyanja za elimu na afya kulinda familia maskini na pia kuwapa wakimbizi wa palestina pamoja na upatikanaji wa huduma muhimu hizi ni hatua yanayoonekana juu ya ardhi ambayo inaweza kuboresha maisha ya wananchi wa palestina lakini hatua hizi hazitoshi taasisi palestina lazima kuendelea kukua na nguvu kuwa zaidi ya uwazi kuwajibika zaidi na zaidi ya kidemokrasia faida na umoja taasisi kwa kuzingatia kuheshimu utawala wa sheria na haki za binadamu ni muhimu katika mtazamo wa uanzishwaji wa huru na huru palestina state kwa sababu kile tunataka kufikia ni uanzishwaji wa huru na huru palestina upande jimbo kuishi kwa upande kwa amani na usalama pamoja na serikali ya israeli na majirani wengine kamishna wa ulaya grannskapspolitik na utvidgning mazungumzo johannes hahn alisema eu bado imara katika ahadi yake ya wapalestina na kikamilifu inasaidia ufumbuzi mbili hali misaada yetu kwa kuhakikisha utendaji kazi wa mamlaka ya palestina na kuunga mkono makundi ya wanyonge wa palestina ikiwa ni pamoja na wakimbizi wa palestina ni mfano halisi wa ahadi hii napenda pia kuwashukuru wote nchi wanachama wa eu kwa msaada wao waliendelea wa mipango eu kwa mkoa huu wenye matatizo ambayo imeonekana kuwa na ufanisi ndani ya mfuko wa leo 1705 € milioni itakuwa kuelekezwa moja kwa moja na mamlaka ya palestina kupitia pegase utaratibu (mécanisme palestinoeuropéen de gestion de l'aide kijamii na économique) kupitia fedha hizo eu utasaidia mamlaka ya palestina katika kutoa huduma za afya na elimu kulinda familia maskini na kutoa msaada wa kifedha kwa hospitali katika yerusalemu ya mashariki iliyobaki 82 milioni € itakuwa mchango wa bajeti mpango wa umoja wa mataifa relief na kazi wakala katika mashariki ya karibu (unrwa) ambayo inatoa huduma muhimu kwa ajili ya wakimbizi wa kipalestina katika kanda msaada huu unalenga katika sadaka kuboreshwa kwa upatikanaji wa huduma muhimu za umma na kuongezeka kwa fursa za maisha kwa wakimbizi wanaoishi katika mazingira magumu palestina mfuko wa pili wa hatua katika neema ya wapalestina yatatangazwa baadaye mwaka huu pegase (mécanisme palestinoeuropéen de gestion de l'aide kijamii na économique) ni utaratibu ambapo eu husaidia mamlaka ya palestina kujenga taasisi ya baadaye huru taifa la palestina kupitia malipo ya pensheni na mishahara ya watumishi wa umma ' ni kuhakikisha kwamba huduma muhimu za umma kuendelea uendeshaji pegase pia hutoa posho ya kijamii kwa kaya palestina wanaoishi katika umaskini uliokithiri na mchango wa kulipa bili mamlaka ya palestina kutokana na hospitali yerusalemu ya mashariki unrwa (umoja wa mataifa relief na kazi shirika la wakimbizi wa kipalestina katika mashariki ya karibu) hutoa huduma muhimu kwa ajili ya wakimbizi wa palestina west bank gaza jordan syria na lebanon eu ni kubwa ya kimataifa ya wahisani wa misaada ya kimataifa kwa wakimbizi wa palestina kati ya 2007 2014 na eu imechangia zaidi ya 1 € bilioni kwa unrwa ikiwa ni pamoja 809 € milioni kwa bajeti programme aidha eu ina ukarimu imechangia unrwa rufaa ya kibinadamu dharura na miradi katika kukabiliana na migogoro mbalimbali na mahitaji maalum katika kanda nchi wanachama wa eu kutoa msaada wa ziada muhimu kwa wakala ushirikiano kati ya eu na unrwa imeruhusu mamilioni ya wakimbizi wa kipalestina kuwa elimu bora kuishi maisha ya afya upatikanaji fursa za ajira na kuboresha hali ya maisha yao hivyo kuchangia katika maendeleo ya mkoa mzima tume ya ulaya http//eceuropaeu/enlargement/neighbourhood/countries/palestine/index_enhtm ujumbe wa eu http//wwweeaseuropaeu/delegations/westbank/index_enhtm [1] wajibu huu halitafafanuliwa kama utambuzi wa jimbo la palestina na ni bila ya kuathiri nafasi ya mtu binafsi ya nchi wanachama juu ya suala hili tags misaada mfuko tume ya eu umoja wa ulaya featured federica mogherini fullpicha gaza israel johannes hahn palestina mamlaka ya palestina wakimbizi wa kipalestina pegase wakimbizi msaada mfuko unrwa benki ya magharibi jamii frontpage ukristo eu tume ya ulaya ukanda wa gaza uislamu israel judaism lebanon mamlaka ya palestina (pa) wakimbizi dini benki ya magharibi dunia « #cars psa peugeot citroën na ngos kuchapisha matokeo ya ulimwengu halisi mtihani wa kwanza mafuta ya uchumi #caremissions kathleen van brempt kwa kamati kiti emis »
2019-12-11T11:51:22
https://sw.eureporter.co/world/2016/03/01/palestine-eu-renews-support-to-palestinian-authority-and-palestinian-refugees-with-first-2016-assistance-package/
uhuru asukumwa kuzima kampeni za mapema taifa leo rais uhuru kenyatta jumapili aliendelea kushinikizwa achukue hatua thabiti dhidi ya viongozi wanaoendeleza kampeni za mapema za uchaguzi wa urais unaotarajiwa kufanyika 2022 katibu mkuu wa muungano wa vyama vya wafanyakazi nchini (cotu) bw francis atwoli alionya kwamba kampeni hizo ambazo zinahusu sana kumpigia debe naibu rais william ruto zinaweza kutatiza amani nchini alimtaka rais kenyatta aingilie kati kama angependa serikali yake ifanikiwe kutimiza ahadi alizotoa kwa wakenya rais hafai kuogopa chochote kutoka kwa naibu rais na wandani wake kwani anaungwa mkono na kiongozi wa odm bw raila odinga akasema bw atwoli wito sawa na huo ulitolewa na viongozi wa kike chini ya vuguvugu la embrace women building bridges kenya ambalo limekuwa likizuru sehemu mbalimbali za nchi kuhubiri amani kwa kuunga mkono handsheki ya rais kenyatta na bw odinga jana kikundi hicho kilikuwa katika kaunti ya baringo wakazi wa baringo wanahitaji maendeleo wala sio siasa kwa sasa sharti tumheshimu rais na tumpe nafasi afanye kazi tuachane na siasa akasema mbunge mwakilishi wa wanawake wa kaunti ya wajir bi fatuma gedi huku hayo yakijiri vuguvugu lingine lilizinduliwa katika kaunti ya nyeri kumpigia debe dkt ruto viongozi wa vuguvugu hilo linalotambulika kama friend of william ruto walisema watakuwa wakizuru maeneo ya mashinani na vituo vya redio vya lugha za kiasili ili kuhakikisha naibu rais anajiongezea ufuasi mlima kenya ripoti ya victor raballa peter mburu na joseph wangui
2020-04-04T19:44:43
https://taifaleo.nation.co.ke/?p=26227
waziri mkuu kassim majaliwa atembelea mradi wa ujenzi wa machinjio ya kisasavingunguti jijini dar es salaam michuzi blog home habari waziri mkuu kassim majaliwa atembelea mradi wa ujenzi wa machinjio ya kisasavingunguti jijini dar es salaam waziri mkuu kassim majaliwa atembelea mradi wa ujenzi wa machinjio ya kisasavingunguti jijini dar es salaam michuzi blog at tuesday december 03 2019 habari waziri mkuu kassim majaliwa akisalimiana na mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda wakati akiwasili kwenye mradi wa ujenzi wa machinjio ya kisasa vingunguti jijini dar es salaam desemba 3 2019 (picha na ofisi ya waziri mkuu) waziri mkuu kassim majaliwa akifafanuliwa jambo na mshauri wa mradi wa ujenzi wa machinjio ya kisasa vingunguti henry mwoleka wakati alipokagua mradi huo desemba 3 2019 jijini dar es salaam waziri mkuu kassim majaliwa akikagua mradi wa ujenzi wa machinjio ya kisasa yaliyopo vingunguti jijini dar es salaam desemba 3 2019 waziri mkuu kassim majaliwa akifafanuliwa mkandarasi wa mradi wa ujenzi wa machinjio ya kisasa vingunguti mhandisi elisante ulomi wakati alipokagua mradi huo desemba 3 2019 jijini dar es salaam waziri mkuu kassim majaliwa akikagua machinjio ya zamani yaliyopo vingunguti baada ya kutembelea mradi wa ujenzi wa machinjio ya kisasa jijini dar es salaam desemba 3 2019 waziri mkuu kassim majaliwa akizungumza na afisa mfawidhi wa machinjio vingunguti jihadhari mgeni wakati alipokagua machinjio hayo desemba 3 2019 jijini dar es salaam waziri mkuu kassim majaliwa akioneshwa jambo na afisa mfawidhi wa machinjio vingunguti jihadhari mgeni wakati alipokagua machinjio hayo desemba 3 2019 jijini dar es salaam waziri mkuu kassim majaliwa akizungumza na wananchi baada ya kukagua machinjio ya zamani yaliyopo vingunguti jijini dar es salaam baada ya kutembelea mradi wa ujenzi wa machinjio ya kisasa vingunguti desemba 3 2019 (picha na ofisi ya waziri mkuu) kumbukumbu december 2019 (422) november 2019 (1062) october 2019 (1147) september 2019 (1004) august 2019 (1013) july 2019 (1238) june 2019 (1159) may 2019 (1058) april 2019 (876) march 2019 (1176) february 2019 (1002) january 2019 (1072) december 2018 (948) november 2018 (1111) october 2018 (1148) september 2018 (946) august 2018 (993) july 2018 (1050) june 2018 (982) may 2018 (926) april 2018 (848) march 2018 (955) february 2018 (970) january 2018 (1003) december 2017 (916) november 2017 (1051) october 2017 (1083) september 2017 (946) august 2017 (1122) july 2017 (1200) june 2017 (1137) may 2017 (1127) april 2017 (878) march 2017 (1100) february 2017 (1044) january 2017 (1135) december 2016 (1183) november 2016 (1214) october 2016 (1284) september 2016 (1096) august 2016 (1183) july 2016 (1162) june 2016 (1277) may 2016 (1183) april 2016 (1153) march 2016 (1164) february 2016 (1009) january 2016 (1026) december 2015 (1031) november 2015 (853) october 2015 (892) september 2015 (1021) august 2015 (974) july 2015 (1002) june 2015 (1095) may 2015 (951) april 2015 (848) march 2015 (936) february 2015 (810) january 2015 (759) december 2014 (954) november 2014 (777) october 2014 (995) september 2014 (918) august 2014 (917) july 2014 (1123) june 2014 (989) may 2014 (1039) april 2014 (915) march 2014 (987) february 2014 (1077) january 2014 (815) december 2013 (926) november 2013 (979) october 2013 (960) september 2013 (938) august 2013 (893) july 2013 (810) june 2013 (899) may 2013 (1043) april 2013 (795) march 2013 (846) february 2013 (741) january 2013 (659) december 2012 (801) november 2012 (738) october 2012 (688) september 2012 (704) august 2012 (821) july 2012 (918) june 2012 (893) may 2012 (841) april 2012 (653) march 2012 (737) february 2012 (603) january 2012 (567) december 2011 (649) november 2011 (721) october 2011 (864) september 2011 (941) august 2011 (889) july 2011 (797) june 2011 (762) may 2011 (734) april 2011 (500) march 2011 (593) february 2011 (480) january 2011 (508) december 2010 (524) november 2010 (546) october 2010 (368) september 2010 (461) august 2010 (457) july 2010 (507) june 2010 (526) may 2010 (563) april 2010 (568) march 2010 (619) february 2010 (517) january 2010 (446) december 2009 (516) november 2009 (421) october 2009 (377) september 2009 (382) august 2009 (405) july 2009 (420) june 2009 (371) may 2009 (352) april 2009 (424) march 2009 (373) february 2009 (347) january 2009 (371) december 2008 (356) november 2008 (366) october 2008 (367) september 2008 (429) august 2008 (300) july 2008 (379) june 2008 (359) may 2008 (264) april 2008 (356) march 2008 (304) february 2008 (384) january 2008 (303) december 2007 (335) november 2007 (426) october 2007 (410) september 2007 (395) august 2007 (271) july 2007 (281) june 2007 (335) may 2007 (321) april 2007 (325) march 2007 (306) february 2007 (360) january 2007 (262) december 2006 (266) november 2006 (169) october 2006 (209) september 2006 (157) august 2006 (207) july 2006 (112) june 2006 (122) may 2006 (197) april 2006 (207) march 2006 (90) february 2006 (86) january 2006 (101) december 2005 (51) november 2005 (13) october 2005 (14) september 2005 (13)
2019-12-12T13:55:09
https://issamichuzi.blogspot.com/2019/12/waziri-mkuu-kassim-majaliwa-atembelea.html
mbowe atoboa siri page 4 mbowe atoboa siri registered members 130429 current users online 19482 topic mbowe atoboa siri patoxic 2nd april 2012 2106 join date 28th november 2011 katika mkutano wa leo mbowe ametoboa siri ya mafanikio ya chadema kuwa ni umoja walionao katika uongozi wao huku wabunge wao wakiwa tayari kutumika katika ujenzi wa chama hicho amewaomba wameru wasishangae kumuona nasari akiwa lindi au mtwara katika shughuli za ujenzi wa taifa kwani mbunge wa chadema ni mbunge wa taifa hayo aliyasema kukiwa na mvua kubwa iliyoendelea katika mkutano wa shukrani kwa wameru kukichagua chadema katika viwanja vya leganga usa leo jioni bobby michese kada and 11 others like this 3rd april 2012 1110 re mbowe atoboa siri nikiangalia na kufikiri status ya mbowe kifedha na kiuchumina jinsi anavyo jinyenyekezanamtamani kwelikweli msipozimia moyomungu mwenyezi atawalipa 3rd april 2012 1134 vipi zitto 3rd april 2012 1136 nassari aongoze makamanda kwenda kubomoa mtera na same mashariki 3rd april 2012 1148 uwezo wake nassari ni mdogo sijui kama ataweza kutekeleza ahadi wabunge wengi wa cdm wameshindwa kazi angalia mfano majimbo ya kawe na ubungo uozo mtupu hakuna maji foleni za magari nk angalau zk amefanya kazi ya kuonekana pamoja mbowewewe mbele cc nyuma yakomagamba lazima yavuke 3rd april 2012 1156 ushindi wa chadema arumeru mashariki na viti vya udiwani imetuma ujumbe mzito kwa ccm na serikali yake kwamba nguvu ya uma ukiamua mafisadi hawana ujanja kwani tuliskia vitisho vya mawaziri wanaolipwa kwa kodi zetu wakiwatisha wana arumeru masantula2012 3rd april 2012 1220 hadi kielewekeeeeeeeeeeeee operation sangara itaanza lini kamandaaaa singida manyara kigoma mara na moshi kwenye element zozote za uongozi wa ccm ziondolewe by 2015 peeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeopl e's inawezekana bila shaka makamandaaaaaaaaaaaaaaa in god we trust 3rd april 2012 1255 posts 3715 rep power by patoxic kilichowaangusha ccm kwa upande mwingine ni chuki na makundi yanayosigana ndani ya chama hicho hivyo kukosa umoja sera na itikadi tumesitushwa sana na sera ya matusi dhidi mtanzania mwingine wa chama tofauti badala ya kunadi sera kumwendeleza mwananchi tusijeshangaa kuwa matusi haya yasipokemewa yatageuka kuwa ngumi hatimaye mishale na risasi kutokana na viongozi wengine waliopo ndani ya ccm kudekezwa na chochote na wafanya biashara leo kuna viongozi wa chama hicho bila posho ya nguvu hawaendi popote na hivyo basi kugeuka kuoka chama cha mapinduzi kuwa chama cha maslahi namhurumia mwenyekiti mwenye dhamana ya chama na kazi ya kugeuza muelekeo wa muanguko uliopo sasa 3rd april 2012 1342 chadema vijijini inakubalika ila nyie vilaza ccm ndo mnapotosha umma kijijini ndo kuna watu maji safi na salama hawayajui barabara ni mbovu kupita maelezo zahanati hazina wauguzi na madawa shule hazina walimu mazao wanayozalisha hayana soko la uhakika pembejeo mafisadi walishaweka mikono yao bei juu hujapata kuona wanakijiji ndugu zao ndo sisi tuishio mijini tunaopenda cdm na tunawasiliana nao tunaongea nao kila siku tunakula nao pia itikadi zao tunazifahamu ila uchakachuaji wa ccm na tume ya uchaguzi kwa kuongeza vituo hewa na masanduku ya kura zinazopigwa nje ya tarehe ya uchaguzi ndo janga la demokracia nchini wana jf naomba kuwasilisha mzeewamabwe 3rd april 2012 1347 nguvu ya umma kiboko sasa tunaelekea segerea magamba wajiandae 3rd april 2012 1352 big up cdm chademason 3rd april 2012 1356 people's power forever 3rd april 2012 1400 posts 4978 rep power wapi rejao mambo35 3rd april 2012 1406 mbowe ameonyesha maana halisi ya kuwa mwenyekiti wa chamasiyo kukaa tu ofisini halafu utegemee mafanikiolazima kushiriki michakato yotebig up my brother germstone jnr 3rd april 2012 1502 by charityboy nimeupenda muono wakocdm hawabahatishideep inside u kwow the truth zk amepata ushirikiano na malezi ya chama kufika hapohiyo divide and rule yenu iache huko greencdm watapanda pamoja na kuvuna pamoja dewiny 3rd april 2012 1640 big up mwenyekiti tupo pamoja naamini tutafika tu mungu yupo nasi peeeeepooooossss 3rd april 2012 1705 posts 22153 rep power likes received8081 likes given26557 siri ya ushindi chadema yatajwa nassari aanza kuchimba visima mbowe ashukuru wanaarumeru shamrashamra za ushindi zatawala mbunge mteule wa jimbo la arumeru mashariki (chadema) joshua nassari (kulia) akiwa na mbunge wa jimbo la arusha mjini godbles lema (kulia) wakiongoza wafuasi wa chama hicho baada ya nassari kutanganzwa mshindi wa uchaguzi mdogo wa jimbo hilo jana wasomii kadhaa wametaja sababu zilizofanya chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kushinda uchaguzi mdogo wa ubunge katika jimbo la arumeru mashariki lililokuwa likishikiliwa na chama cha mapinduzi (ccm) kuwa ni pamoja na wananchi kutoona ccm ikijivua gamba kwa vitendo wa kwanza kutaja sababu hizo ni mkuu wa idara ya sayansi ya siasa na utawala ya chuo kikuu cha dar es salaam (udsm) dk benson bana alipozungumza na nipashe jana dk bana ambaye pia ni mhadhiri mwandamizi wa udsm alisema moja ya sababu zilizoiponza ccm kufikia kunyanganywa na chadema jimbo ililokuwa ikilishikilia ni kutotekeleza kwa vitendo dhana ya kujivua gamba iliyoinadi kwa wananchi sasa wananchi si wajinga hawaoni gamba limetoka alisema dk bana alisema sababu nyingine inatokana na ccm kukaa madarakani muda mrefu jambo ambalo alisema halikubaliani kabisa na hulka ya binadamu hasa vijana ambao siku zote hupenda mabadiliko na vijana si kwamba wako mijini tu wako hadi vijijini pia wanafuatilia mambo wanasoma magazeti wanasikiliza redio alisema dk bana alitaja sababu nyingine kuwa ni mikakati mizuri ya ushindani wa kisiasa iliyonayo chadema ikiwamo kujitambulisha katika makundi maalum katika jamii tofauti na ccm ambayo alisema imebaki na fikra mgando ya kutegemea wakulima na wafanyakazi alisema pia chadema imefanikiwa kuwa na mikakati mizuri ya kuendesha kampeni za kisiasa ikiwa ni pamoja na matumizi ya helikopta ambayo imekiwezesha kuwafikia wananchi kirahisi vijijini sababu nyingine alisema ni chadema kujikita zaidi katika kunadi sera zinazoeleweka kwa wananchi alisema chadema imekuwa na mwenendo huo tangu katika kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 ambao uliipa mafanikio makubwa katika medani za kisiasa nchini dk lwaitama sioi hakuwa mgombea mbadala naye mhadhiri mwandamizi wa udsm dk azaveli lwaitama alisema ccm ilikosea kumteua sioi sumari kuwa mgombea wake wa ubunge jimboni humo dk lwaitama alisema uteuzi huo haukuungwa mkono na wananchi kwani walidhani kwamba lengo la ccm lilikuwa ni kutaka kuendeleza siasa za kifamilia alisema pia vyombo vya juu vya maamuzi vya ccm havikuangalia wananchi kuwa wanamuona sioi kama ni gamba kutokana na kuwa sehemu ya watu wanaotajwa kuwa ni magamba ndani ya ccm dk lwaitama alisema sababu nyingine ni timu ya watu waliopelekwa na ccm arumeru kumnadi sioi kama vile livingstone lusinde stephen wasira na mwigulu nchemba kwamba hawakuwa makini katika uendeshaji wao wa kampeni hali iliyofanya ccm ionekane kuwa ni chama cha wahuni alisema pia baadhi ya maneno yaliyotamkwa na rais mstaafu benjamin mkapa juu ya mtoto wa ndugu wa mwalimu julius nyerere vincent nyerere hayakuifurahisha familia yake (mwalimu nyerere) kwa kuwa yalitaka kuigawa molloimet ni siasa za ghiliba mbunge wa zamani wa monduli (ccm) luteni leipilal ole molloimet alisema ushindi wa chadema ni matokeo ya siasa za ghilba na uongo zinazoendeshwa na watawala akizungumza kwa njia ya simu kutoka kijijini kwake isinyameremeta wilayani longido jana ole molloimet alisema wananchi wamechoshwa na siasa hizo zinazoenezwa na ccm na serikali yake hivyo kuona haja ya kuwa na mbadala wa viongozi ole molloimet aliyewahi pia kuwa mkuu wa wilaya akihudumu katika wilaya saba tofauti alisema kampeni zilizofanywa na ccm hazikugusa matakwa ya wapigakura alisema walioshiriki kuzifanikisha kampeni hizo akiwemo mkapa walishindwa kuzungumza ukweli unaohusu maisha ya wananchi wa jimbo hilo badala yake wakajikita kwenye kauli na ahadi za uongo mkapa alienda arumeru mashariki bila kujua kwamba ccm wanampoteza kwa maana matatizo yaliyopo kule yalikuwepo tangu yeye (mkapa) akiwa madarakani na hakuyatatua kwa miaka 10 ya utawala wake alisema kauli za wabunge wa ccm mbunge wa mwibara (ccm) alphaxard ligora alisema kwa hakika ccm tumepigwa lakini ni sehemu ya kujiandaa na kujiimarisha zaidi mbunge wa lulindi (ccm) jerome bwanausi alisema ushindi wa chadema dhidi ya ccm ni ishara ya kushamiri demokrasia na uhuru wa kufanya uamuzi kwa wananchi nassari atangazwa mshindi mgombea wa chadema joshua nassari alitangazwa mshindi wa ubunge jimbo la arumeru mashariki baada ya kupata kura 32972 kati ya kura 60699 zilizopigwa msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo trasias kagenzi alitangaza matokeo rasmi ya uchaguzi huo kuanzia saa 1214 juzi asubuhi mshindani wake wa karibu sioi sumari kupitia ccm alipata kura 26752 wakati mazengo adam wa afp alipata kura 139 mohamed a mohamed wa dp (77) hamis juma kiemi wa nra (35) kirita moyo wa sau (22) abraham chipaka wa tlp (18) na charles msuya wa updp (18) kagenzi alisema idadi ya kura halali zilikuwa 60038 wakati 661 ziliharibika watu 127 455 walijiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura mbwembwe zilianza kuanzia usiku wa kuamkia jana baada ya maelfu ya wakazi wa maeneo hayo na kutoka maeneo jirani ya arusha mjini na mkoani kilimanjaro kuanza kuonekana kwa wingi kuanzia saa 1200 baada ya kuanza kupata matokeo ya awali ambayo yalionyesha kuwa kwenye vituo vingi mgombea wao alikuwa akiongoza katika ukumbi wa mamlaka ya mji mdogo wa usa river ambako ndio majumuisho ya kura yalikuwa yakifanyika viongozi na wapambe wa ccm hawakuonekana isipokuwa mawakala wao badala yake eneo hilo lilikuwa na wapenzi wengi na viongozi wa ngazi mbalimbali wa chadema akiwemo mwenyekiti wa taifa freeman mbowe na wabunge majira ya saa 600 usiku sumari aliingia katika viwanja vya ofisi hizo ambavyo vilikuwa vimejaa askari wengi kutoka kikosi cha kutuliza ghasia (ffu) baada ya kuingia kwenye ukumbi ghafla salamu ya peoples ilipigwa na kuitikiwa na wanachama wao kwa sauti kubwa ya power sauti nyingine ilisikika kutoka kwa mbunge wa arusha mjini godbless lema akisema na kuitikiwa wao wana fedha sisi tuna mungu sumari ambaye alionekana kutokuwa na furaha hakuweza kukaa ndani ya ukumbi huo kwa muda mrefu na alitoka nje mara kadhaa kabla ya kutoka kabisa majira ya saa 1000 na hakurudi tena hapo msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo kagenzi baada ya kumtangaza nassari kuwa mshindi alimkabidhi hati maalum ya utambulisho kuwa ndiye mbunge katika hati hiyo sumari au wakala wake yeyote hakusaini wagombea wengine wa vyama vya nra tlp na updp nao pia hawakusaini hati hiyo akizungumza baada ya kukabidhiwa hati hiyo nassari alisema tulianza na mungu na tumemaliza na mungusio tu kwa kura peke yake bali tutafanya hivyo hata kwa masuala ya maendeleo pia alimshukuru mungu kwa kumwezesha kuwa na maono ya kuwa mbunge na akakishukuru chama chake kwa kumpa idhini ya kuwa mgombea wa kiti hicho na akawashukuru pia wapigakura kwa kumchagua aliwashukuru pia polisi kwa kufanya kazi kubwa ya kusimamia ulinzi wakati wote wa kampeni za uchaguzi na hata wakati wa upigaji kura hata hivyo alimwomba kamanda wa polisi wa wilaya ya arumeru kuwaachia huru wapenzi wa chama hicho waliokamatwa usiku wa kuamkia jana kwa madai ya kufanya fujo na mikusanyiko alisema angependa kusherehekea ushindi wake akiwa pamoja na waliokamatwa na kuwekwa rumande aliahidi kuwa vipaumbele atakavyozingatia katika kipindi chake ni kutafuta ufumbuzi wa ardhi maji elimu na kuanzisha mfuko wa maendeleo wa vijana na wajane aidha alisema leo ataanza kazi rasmi kwa kuchimba visima viwili vya maji katika kata ya mororoni aliwahamasisha wafuasi hao kujitokeza kwa wingi kwenda kufanya kazi hiyo ambapo alisema tayari amekwishapata fedha kwa ajili hiyo kutoka kwa mbunge wa moshi vijijini philemon ndesamburo (chadema) baada ya kumaliza kuzungumza wafuasi hao walianza kuimba nyimbo nyingi za tambo dhidi ya mafisadi huku wakisema mwisho wa ccm umefika baadhi walikuwa wakisikika kwamba wamepunguza idadi ya mafisadi na wasingependa kuona wanaoshika nafasi za uongozi kuwa ni watu wa aina moja tu kulikuwa na idadi kubwa ya magari pikipiki na watu waliokuwa wakitembea kwa miguu kutoka kwenye viwanja vya ofisi hizo hadi ofisi za chadema zilizopo umbali wa karibu kilomita tano hivi wengi wao wakionekana kuwa ni vijana waliokuwa waakiimba kucheza na kushangilia ushindi wao huku wakisema wanataka kumfanyia sherehe kubwa ya kumpongeza ushindi wa nassari umepokewa vema na wakazi wengi wa jiji la arusha huku baadhi yao wakisema wamefanikiwa kuwa na ukanda wa majimbo ya chadema kuanzia karatu arusha mjini arumeru mashariki hai moshi na rombo ccm yakubali kushindwa yaipongeza chadema chama cha mapinduzi (ccm) kimekubali matokeo ya uchaguzi huo na kumpongeza nassari kwa ushindi pia kimewapongeza wananchi wa jimbo hilo kwa kumchagua nassari na kuwatakia kila la heri na kimemtaka mbunge huyo pamoja chama chake kutimiza ahadi walizozitoa kwa wananchi akizungumza na waandishi wa habari jana jijini dar es salaam katibu wa itikadi na uenezi nape nnauye alisema kuwa ccm kinakubali matokeo hayo na kuwa kinaamini matokeo hayo ni sauti ya wanaarumeru na ni uungwana kukubali matakwa ya wananchi tunaipongeza chadema na wana arumeru na sasa ccm inajipanga upya na kuangalia wapi tulipoteleza ili 2015 tulikomboe jimbo letu hivyo tuache maneno na mijadala tukawatumikie wananchi sisi ambao ndiyo wapinzani wao tunasema kuwa tumekubali na yamekwisha alisema aidha nape alisema kuna maoni ya watu wengi hasa kwenye mitandao ya kijamii ambayo ccm imeyapokea na itayafanyia kazi akizungumzia matukio mbalimbali yaliyotokea katika mchakato wa uchaguzi huo ambapo wabunge wawili wa chadema walijeruhiwa kwa mapanga huko mwanza na vurugu zilizotokea mkoani mbeya nape alisema ccm kinayalaani na kimesikitishwa na matukio yote hayo ya uvunjifu wa amani na kinawapa pole wote walioathirika kwa namna moja au nyingine kuna wenzetu wametokea na kutuhusisha na matokeo yale kwa kudai kuwa yalifanywa na vijana wa ccm siyo sawa hivyo tuiachie dola ifanye kazi yake ccm haina mpango wa kufanya mambo kama hayo alisema wengi waogopa kupiga kura idadi kubwa ya wanananchi wameshindwa kupiga kura kutokana na kuogopa wingi wa polisi waliokuwa wanazunguka katika jimbo la arumeru mashariki pamoja na wananchi wengi kutojua haki zao kauli hiyo ilitolewa na mwangalizi wa uchaguzi martina kabisana wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya nassari kutangazwa mshindi alisema idadi kubwa ya wananchi walishindwa kujitokeza kupiga kura kutokana na kuwaogopa askari ambao walikuwa wengi wakizunguka katika maeneo mbalimbali unajua sio watu wote wapo sawa watu wengine wameshindwa kuja kupiga kura mara baada ya kuona askari wengi wakiwa wanazunguka huku wakiwa na mabomu na silaha hivyo waliingia woga na ndio maana wakashidwa kuja kupiga kura alisema kabisana alibainisha kuwa woga huo unasababishwa na kutokuwa na elimu ya kutosha ya kupiga kura na elimu ya uraia pia alibainisha kuwa kuna watu wengi pia ambao walipoteza shahada zao za kupigia kura na hiyo ndiyo sababu kubwa iliyofanya waliopiga kura kuwa wachache kuliko wale ambao wamejiandikisha alibainisha kuwa zoezi lilikwenda vizuri ila alitoa wito kwa tume ya taifa ya uhaguzi (nec) kujitaidi kuelimisha wananchi kuhusiana na haki yao ya kupiga kura na kuwahamasisha kutunza shahada zao za kupigia kura shamrashamra arumeru mji wa usa river jana ulitawaliwa na shamra shamra za kila aina umati mkubwa ulijitokeza kumlaki nassari huku mvua kubwa iliyonyesha ikishindwa kuzima sherehe hizo aidha helkopta ya mbunge wa moshi mjini ndesamburo ikionyesha mbwembwe katika eneo la viwanja vya shule ya msingi leganga usa river wakati ilipomleta mbunge huyo wakati burudani za kila aina zikiendelea mbunge wa mbeya mjini joseph mbilinyi alito burudani ya kuwaburudisha wakazi wa jimbo hilo ikiwa moja ya kusherehekea ushindi akizungumza jana katika mkutano huo mbunge wa musoma mjini ambaye alikuwa meneja kampeni vincent nyerere alisema kuwa licha ya kupata ushindi amesikitishwa na kujeruhiwa kwa wafuasi wa chama hicho alisema kuwa pamoja na hila za ccm za kuwateka wafuasi wao na kuwajeruhi hazikufanikiwa baada ya kuibuka kidedea kwa kupata ushindi mnono nyerere aliahidi kutoondoka katika jimbo hilo mpaka kesi ya mbunge wa arusha mjini godbless lema itakapotolewa hukumu aprili 5 mwaka huu kwa upande wake lema aliomba wakazi wa jimbo hilo kutoa ushirikiano kwa mbunge wao ili waweze kuleta mabadiliko ya kweli alisema amefurahishwa kupata mbunge wa chama chake ambaye anaamini atampa nguvu katika kufanya kazi za kuendeleza taifa alisema kwa ushindi waliopata umetuma salamu kwa mbunge wa monduli (ccm) edward lowasa ambaye alikuja jimboni humo kumnadi mkwe wake sioi lema alisema sio salamu kwa lowasa bali hata kwa mbunge wa simanjiro christopher ole sendeka ambaye alimshangaa kwa kusimama bungeni kumrushia makombora lowasa lakini baada ya hapo aliambatana naye kumnadi mkwe wake sioi mbunge wa mjini moshi phillimon ndesamburo alisema kuwa atatoa ushirikiano kwa kumsaidia nassari kujenga visima alivyoahidi katika kata mbalimbali katibu mkuu dk wilbroad slaa alisema kada mashuhuri wa ccm na mfadhili wa chadema ambaye ni mfanyabishara mustafa sabodo amempongeza nassari kwa ushindi huo na ameahidi kumsaidia uchimbaji wa visima vinne alivyoahidi katika kata za jimbo hilo dk slaa alichukua nafasi ya pekee kumkabidhi kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni freeman mbowe kumlea nassari bungeni na kumtaka ampe ushirikiano wote ili aweze kutimiza ahadi zake za arumeru mashariki huyu mtoto mdogo anahitaji maziwa na mumpe ushirikiano wote mkishirikiana na mkurugenzi wa wabunge wa chama chetu john mrema sababu mtoto anahitaji maziwa ili kukua alisema dk slaa alisema ushindi wa chadema katika jimbo hilo na katika kata tatu ni hukumu dhidi ya uwongo na ufisadi na utawala mbovu mwenyekiti mbowe alisema uchaguzi huo wameweza kushindana na fedha chafu nguvu za dola na nguvu za wachawi ila kwa sababu ya kauli na nguvu ya mungu wameibuka na ushindi alisema kuwa wamempokea nassari kwa mikono miwili na wiki ijayo watakwenda naye bungeni kuapa na kuanza kazi mara moja lakini nachukua nafasi hii kumkabidhi mheshimiwa lema joshua aje naye bungeni ili sisi tukaandae mapokezi ya kila aina kwa mbunge huyu na wapenzi wa chama watakaomsindikiza alisema mbowe alisema kuwa ushindi wa nassari unahitaji kumpa ushirikiano mkubwa kwa kumwombea ili aweze kuleta ushindi ambao utaingiza wabunge wengine watakaoleta harakati bungeni aidha alitumia muda huo kuwashukuru watanzania waliochagua madiwani katika kata tatu nchini ambapo alisema katika maeneo yote waliyoshinda mabomu yamepigwa na watu wameumizwa na kuibuka washindi hizi ni salamu kwa jeshi la polisi na napeleka salamu kwa igp mwema kwamba wafahamu hao wanaowapiga mabomu leo kesho watakauwa viongozi wao hivyo natoa wito tusigombane leo kwa sababu ya vyama vya siasa tunapaswa kuweka tofauti zetu pembeni alisema aidha alimuasa nassari kutenda haki kwa wakazi wa jimbo lake bila kubagua wafuasi wa chama chochote na kuwaasa wabunge wengine na viongozi kuacha kubweteka kwa kujipongeza bali wanapaswa kuanza kazi ya kutafakari kazi ya uandikaji katiba mpya kwa ajili ya ukombozi wa taifa baada ya bunge hili tunaenda kuanza kampeni katika mikoa yote ili kuwaeleza wananchi dhamira yetu lakini tunataka kudhihirisha utawala wa mungu katika nchi hii katika uandikaji wa katiba mpya pia tunataka kuamsha mwamko wa utawala ambao leo umejisahau alisema pia alipongeza kata ya mbuguni maji ya chai poli kingori lakini kata za usa river idadi ya wapiga kura ilikuwa chache hali iliyoonyesha wengi waliuza shahada zao naomba hili lisijirudie tena tusiuze shahada zetu na kubaki kuwa washangiliaji tu haitasaidi kitu pasipo piga kura alisema kwa upande wa vijana aliwataka wawe na uvumilivu wa kutunza shahada zao hivyo aliwataka kuwa makini mwakani 2013 kwa kujiandikisha katika daftari la wapiga kura nawaomba mwakani mjitokeze kwa wingi mjitokeze kujiandikisha katika daftari hili ili kuleta mabadiliko katika taifa letu na muhimu sana kwa hili kwani njia pekee ni kujiandikisha kwa wingi kuleta mabadiliko kwa taifa letu 2015 alisema mbowe mbowe aliwapongeza wafuasi zaidi ya 200 wa chama hicho waliotoka katika mikoa mbalimbali nje ya arumeru kwa ajili ya kuhakikisha ushindi unapatikana kwa kuishi katika vijiji kwenye kata mbalimbali za jimbo hilo nassari alisema mwaka 2010 alipoamua kugombea ubunge akiwa kijana mdogo alikwenda kwa godbless lema kuomba ushauri wa kugombea nafasi hiyo alisema lema alimshauri akapambane katika chama na akipitishwa kura za maoni amfuate atampatia sh milioni kumi na alipomfuata baada ya kupitishwa lema alichukua karatasi alimwandikia tumaini jipe moyo na utashinda akampa akamwambia hiyo ndiyo milioni kumi alisema kuwa baada ya kutangazwa kuwa mbunge alishangilia kwa dakika 15 na baada ya hapo alikosa raha na kuanza kuwaza jinsi ya kuyatatua matatizo ya arumeru hasa kwa wamama wanaonyanyasika vijana na wazee hivyo aliomba ushirikiano ili aweze kutatua changamoto zilizopo naomba mnitie moyo na kuna kata nimeshinda na kuna kata nimeshindwa lakini kwa kuonyesha upendo nitaanza na kata walizonipa kura chache lakini nashukuru sana leo mmetuma salama kuwa hata mtoto wa maskini anaweza kuwa kiongozi alisema imeandikwa na john ngunge salome kitomari restuta james cynthia mwilolezi na woinde shizza arumeru samson fridolin muhibu said na mashaka mgeta dar 3rd april 2012 1816 wazo mbadala kwani vijijini ndiko wanakojivunia kura na kulaghai wapiga kura mikakati ya kipande hiyo muhimu tayari kwa 2015 hakuna kulalaa umoja ni nguvu kiongozi huongoza mbowe kaonyesha aluta contnueeeee mg width=16 height=16 style=displaynone id=progress_3619602 src=template/jamiv1/default/misc/progressgif alt= /> 3rd april 2012 1821 posts 237 rep power by germstone jnr mbunge pekee hawezi kuleta mabadiliko mbunge hana fedha za kumwezesha kutatua kero za wananchi zinazohitaji fedha mbunge huwakilisha mahitaji ya wananchi serikalini wakati wa bajeti na kupitia hoja binafsi na maswali kwa serikali wananchi wakitaka mbunge aweze kutatua kero zao kwa urahisi wamchague yeye na madiwani wa kutosha kuongoza halmashauri ya wilaya manispaa au jiji zk amefanikiwa kwa sababu alikuwa na madiwani wengi kutoka cdm wananchi tusikosee tena mwaka 2014(uchaguzi wa serikali za mitaa) na mwaka 2015 uchaguzi mkuu tuchague madiwani wengi wa cdm iliwamsaidie mbunge kutoka cdm tutakayemchagua mungu ibariki tanzania 3rd april 2012 1823 umoja ni nguvu machalii jiandiksheni kwenye daftari la kupiga kura msipuuze biashara ya kununua shahada arumeru pole mwigulu nchemba
2013-05-21T07:13:54
http://www.jamiiforums.com/chaguzi-ndogo/244042-mbowe-atoboa-siri-4.html
rais magufuli akutana na balozi wa china ikulu jijini dar es salaam dewjiblog rais magufuli akutana na balozi wa china ikulu jijini dar es salaam china imekubali kushirikiana na tanzania katika utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa reli ya kati yenye urefu wa kilometa 2561 kwa kiwango cha kisasa yaani standard gauge ambao zabuni za ujenzi zinatarajiwa kutangazwa hivi karibuni tuna imani kuwa mradi huu utasaidia kuleta mapinduzi makubwa ya uchumi katika nchi yetu na katika nchi nyingine za afrika mashariki na kati zikiwemo burundi rwanda na jamhuri ya kidemokrasia ya kongo ndio maana hatutaki kupoteza muda kwa mazungumzo marefu tunataka kazi ianze na watu waanze kunufaika amesisitiza rais magufuli kama ambavyo prof mbarawa amefanya mazungumzo na serikali ya china taasisi za fedha za china na makampuni naahidi kuwa tutaanza kazi kama ambavyo taratibu na viwango vya ujenzi vimewekwa tutafanya kazi kwa kujali muda ubora na gharama nafuu amesema balozi lu mradi mzima wa ujenzi wa reli ya kati unatarajiwa kugharimu dola za kimarekani bilioni 68 na umepangwa kutekelezwa kwa awamu ambapo awamu ya kwanza itahusisha ujenzi wa kilometa 1216 za kutoka dar es salaam tabora isaka mwanza na itajengwa kwa ushirikiano wa tanzania na china balozi wa china hapa nchini dkt lu youqing akimkabidhi rais dkt john pombe magufuli ujumbe wa barua ya kumpongeza kwa kuchaguliwa kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania â kutoka kwa rais wa china xi jinping ikulu jijini dar es salaam kongamano kubwa la kibiashara kufanyika kigali msimamo wa serikali kuhusu ongezo la kodi ya vat 18 serikali kutumia bilioni 3 kufanya ukarabati wa magereza nchini
2018-04-19T10:12:21
http://dewjiblog.co.tz/rais-magufuli-akutana-na-balozi-wa-china-ikulu-jijini-dar-es-salaam/