text
stringlengths 3
16.2k
|
---|
Previous article |
Samidoh ang’aa Murang’a akitishia kuzima nyota ya... |
Next article |
UDAKU: Jua Cali adai Tanzania haina pesa mastaa wakifurika... |
T L |
Tags |
You can share this post! |
Previous article |
Samidoh ang’aa Murang’a akitishia kuzima nyota ya... |
Next article |
UDAKU: Jua Cali adai Tanzania haina pesa mastaa wakifurika... |
T L |
You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA RICHARD MUNGUTI NAIROBI, KENYA RAIA wa Rwanda Desire Muhinyuza atasherehekea Mwaka Mpya 2024 akiwa na amani na utulivu moyoni, baada ya Serikali ya Kenya kuamuru arudishiwe Dola 2.6 milioni (sawa na Sh400 milioni) zilizokuwa zimetwaliwa na Polisi kufuatia mzozo wa umiliki wa kampuni ya biashara ya kimtandao kati yake na mfanyabiashara wa humu nchini Bw Kirimi Koome. Hatua hii ya serikali ni muhimu katika kuimarisha imani ya wawekezaji wanaotoroka nchini mara baada ya kulaghaiwa na baadhi ya Wakenya. Akiamuru Bw Muhinyuza akabidhiwe kitita hicho, hakimu mwandamizi katika mahakama ya Milimani, Nairobi Bi Dolphina Alego alisema Mahakama Kuu mnamo Desemba 27, 2023, ilimtambua mwekezaji huyo kuwa ndiye mwenye kampuni ya Stay Online Limited (SOL) aliyokuwa amenyang’anywa na Bw Koome kwa njia ya ujanja na ufisadi. Bi Alego alisema Jaji Alfred Mabeya, ambaye ni mkuu wa kitengo cha biashara katika Mahakama Kuu, alimtambua Bw Muhinyuza kuwa ndiye mmiliki wa SOL, aliyokuwa amelaghaiwa na Bw Koome mnamo Aprili 14, 2023. Jaji Mabeya alisema katika uamuzi huo wa kihistoria kwamba Bw Koome alitumia ukora na ulaghai kujisingizia na kujitambua kuwa mmiliki wa SOL ilhali alikuwa ameteuliwa na Bw Muhinyuza aiandikishe kwa niaba yake. “Bw Koome aliteuliwa na Bw Muhinyuza aandikishe SOL, Kenya kwa niaba yake, lakini akajisingizia kuwa yake na kupotosha idara ya usajili wa kampuni katika afisi ya Mwanasheria Mkuu,” Bi Alego alisema. Punde tu baada ya kuandikisha SOL, Kenya wafanyabiashara kutoka Canada, Estonia, Zambia, Tanzania, Uganda, na Kenya waliwekeza zaidi ya Dola 2.6 milioni (Sh400 milioni) katika biashara hiyo ya jukwa la mtandaoni. Kuona kwamba amepokonywa kampuni ya SOL, Bw Muhinyuza alilalamika kwa polisi kwamba ametapeliwa kampuni na pesa na Bw Koome ndipo, idara ya uchunguzi wa jinai (DCI) ikafika kortini na kupata agizo la kutwaa pesa hizo sizipotee. Na wakati huo huo Bw Muhinyuza akalalamikia idara ya usajili wa kampuni katika afisi ya mwanasheria mkuu kwamba Bw Koome alificha ukweli kuhusu umiliki wa SOL. Pia Bw Muhinyuza kupitia mawakili Danstan Omari, Shadrack Wambui, Sophie Nekesa, Ronald Momanyi na Aranga Omaiyo alimshtaki Bw Koome katika mahakama kuu akiomba ashurutishwe arudishe kampuni na pesa za wateja walioekeza katika SOL, Kenya. Baada ya kutathmini ushahidi uliowasilishwa na Bw Omari, Jaji Mabeya alifikia uamuzi kwamba SOL ni yake Bw Muhinyuza. Alisema mwekezaji huyo aliekeza USD ($)129,000 katika SOL na Bw Koome “hakutoa hata senti moja kufanikisha biashara na usajili wake.” Jaji huyo alimwagiza Bw Koome anayeshtakiwa mbele hakimu mkazi Bw Ben Mark Ekhubi kwa kula njama za kumlaghai Bw Muhinyuza kiasi cha Dola 2.6 milioni na wizi wa Dola 100,000 arudishe pesa hizo. Ijumaa ,viongozi wa mashtaka Bi Dorcus Rugut na James Gachoka walisema ijapokuwa Bw Koome anadai pesa hizo ni zake “hana mamlaka yoyote juu ya pesa hizo.” Bi Rugut alisema Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) Renson Igonga ameamuru polisi wamrudishie Bw Muhinyuza kiasi hicho Dola 2.6 milioni. Bi Alego alisema serikali imeagiza pesa hizo zirudishwe kwa mwekezaji huyo aendelee na biashara na kubuni ajira kwa wakenya. Kabla ya polisi kuagizwa kurudisha pesa hizo Bw Koome alipinga ombi hilo akisema “apewe muda wa wiki mbili atafute wakili awasilishe ombi la kuzuia kutwaliwa kwa pesa hizo na Muhinyuza.” Bw Koome alisema : “nimewatimua kazini mawakili Cliff Ombeta, Jackson Omwanza na hivyo nahitaji muda wa kumtafuta wakili mwingine kwa vile sielewi ombi hili la DPP na madhara yake katika kesi hii inayonikabili.” Mahakama iliombwa na wakili Danstan Omari isitilie maanani ombi la Bw Koome kwa vile “pesa anazodai sio zake.” Bi Rugut alisema DPP hapingi pesa hizo zilizokuwa zimezuiliwa kama ushahidi katika kesi inayomkabili Bw Koome. Bi Rugut alisema Desemba 27, 2023, Bw Koome hajakata rufaa kupinga uamuzi wa kumng’oa katika kampuni ya SOL na agizo la kulipa fidia na kurudishia Muhinyuza Dola 100,000 alizomdanganya zilikuwa za kulipia kodi biashara ya SOL lakini “akazitia kibindoni.” Bi Alego alielezwa kesi inayomkabili Bw Koome ni kwamba alikula njama za kumlaghai Bw Muhinyuza kiasi Dola 2.6 milioni na wizi wa Dola 100,000. Mahakama ilikubalia ombi la DPP na kuagiza pesa hizo arudishiwe Muhinyuza. Sasa Bw Koome atapambana na hali yake na kesi ya ufisadi inayomkabili. Kesi inayomkabili Bw Koome itaanza kusikilizwa Februari 9, 2023. Alikana mashtaka manne ya ufisadi na wizi na yuko nje kwa dhamana ya pesa taslimu Sh500,000 You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA RICHARD MUNGUTI MASKWOTA wapatao 10,000 wamewasilisha upya kesi katika Mahakama ya Upeo wakiomba ibatilishe uamuzi kwamba wafukuzwe kutoka kwa shamba la ukubwa wa ekari 25,000 wanalong’ang’ania umiliki wake na familia ya mwanasiasa marehemu Mark Too. Maskwota hao wanaodai mababu zao ndio waliotimuliwa kutoka kwa shamba hilo enzi za ukoloni, wanasema walipewa shamba hilo rasmi na aliyekuwa Rais hayati Daniel arap Moi, kisha Kamishna wa Ardhi M Okundu akaratibisha uamuzi huo mwaka 2007. Katika ombi lililowasilishwa na wakili William Arusei chini ya sheria za dharura, kikundi cha maskwota hao–Sirikiwa Squatters Group–kimeomba mahakama ibatilishe uamuzi huo kwa vile ilitegemea ushahidi ambao haukuwa umewasilishwa katika kesi waliyoshtaki katika Mahakama ya kuamua kesi za mashamba (ELC), Eldoret, Kaunti ya Uasin Gishu. Pia wameeleza bayana Jaji Mkuu Martha Koome, Naibu Jaji Mkuu Philomena Mwilu, majaji Mohammed Ibrahim, Smokin Wanjala, Njoki Ndung’u, Isaack Lenaola, na William Ouko walitegemea ushahidi wa Afisa wa Ugavi wa Mashamba R J Simiyu kutoa uamuzi wang’atuke shambani. Maskwota hao wamesema ushahidi wa Bw Simiyu uliowasilishwa mbele majaji hao saba kwa njia ya afidaviti ni mpya na kamwe “haukuwasilishwa mbele ya Jaji Antony Ombwayo aliposikiliza na kuamua kesi hiyo 2017.” Pia wanasema ushahidi huo haukuwasilishwa Mahakama ya Rufaa iliyosikiliza rufaa iliyowasilishwa na kampuni ya Fanikiwa, familia ya marehemu Mark Too, kampuni ya Lonrho Agribusiness (EA) Ltd, na Bw David K Korir. Hivyo basi, maskwota hao wanaeleza mahakama hii ya upeo kwamba ni kinyume cha sheria kutegemea ushahidi mpya kutoa uamuzi wa kesi hii iliyo na umuhimu mkubwa kwa umma. “Uamuzi huu wa Mahakama ya Juu wa Desemba 15, 2023, hauna mashiko kisheria na kamwe hauna nguvu kisheria kuwatimua maskwota hawa kutoka kwa shamba lao,” asema Bw Arusei. Pia maskwota hawa wanadai kwamba badala ya Mahakama ya Juu kujadili masuala ya kikatiba jinsi ilivyo jukumu lake, majaji hao walianza kufafanua na kutafsiri ushahidi wa watu binafsi na kuelezea maana ya ‘skwota’. Mahakama hii imeombwa ikague upya uamuzi iliyotoa kwa vile ilidanganywa na walalamishi na pia kutendewa ujanja. Akinukuu maamuzi ya majaji wastahiki kama vile Lord Dening, Bw Arusei amesema, mahakama ikigundua ilipotoshwa au kudanganywa na upande mmoja, iko na mamlaka na uwezo wa kufutilia mbali uamuzi iliyotoa na kuandika mwingine. Maskwota hao wanaomba Mahakama ya Juu iwarudishe shambani kama ilivyokuwa imeamuliwa na Jaji Ombwayo na Mahakama ya Rufaa. Vile vile mahakama hiyo imekosolewa kwa kumshambulia hayati Moi katika uamuzi huo pasi kutoa agizo wasimamizi wa mali yake wafike mbele yao kutoa mwanga kuhusu suala la umiliki wa shamba hili lililorudishwa kwa serikali na kampuni iliyokuwa inakuza miti inayotumika katika viwanda vya ngozi. Naibu msajili wa Mahakama ya Juu Nelly Kariuki aliwaamuru maskwota hao wawakabidhi nakala za kesi hii yao mpya wahusika wote kabla ya Januari 31, 2024, kesi itakapotajwa tena kwa maagizo zaidi. Jaji aliyesikiliza kesi hii mpya hakuiratibisha kuwa ya dharura ila aliamuru pande zote ziwasilishe ushahidi katika muda wa siku 14 kuanzia Desemba 21, 2023. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA RICHARD MAOSI WAMILIKI wa nyumba za wapangaji mtaani Kayole wameamua kulala mchana na kukaa macho usiku ili kupambana na wahalifu ambao wametawala ploti zao. Aidha wapangaji wanapoendelea kufurahia sikukuu wakiwa mashambani, wezi kwa upande mwingine wanavunja nyumba na kuiba bidhaa kutoka ploti moja hadi nyingine. Mbali na Kayole, maeneo mengine ambapo wizi umeripotiwa ni Kangemi, Korogocho, Githurai, Umoja, Kariobangi, Starehe, Syokimau, na Buruburu. Wanavunja nyumba na kuiba vyombo, fanicha, mitungi ya gesi ya kupikia, televisheni, na redio, huku hatimaye bidhaa hizo zikiuzwa kwa bei ya kutupa mtaani. Bw Gilbert Ambani ambaye ni mlinzi katika mojawapo ya ploti eneo la Syokimau, anasema wezi wengi huko katika msimu huu wa shamrashamra wanalenga vyuma chakavu kwa sababu huwapatia hela za haraka. “Baadhi ya wezi wanabomoa lango kuu na kuchukua vyuma huku wengine wakivunja mifereji,” Bw Ambani akaambia Taifa Leo. Naye Amon Andika ambaye ni landilodi mtaani Kayole, alisema kwamba imemlazimu kufanya kazi ya ziada ya kulinda nyumba za wapangaji wake ambao wengi walienda mashambani almaarufu ‘ushago’. Anasema mwaka 2023 ameamua kufanya kazi ya usoja kama wengi wanavyoiita, baada ya kubaini kuwa baadhi walinzi wake wa awali walikuwa wakishirikiana na wezi kutekeleza wizi. Bw Andika ameingia gharama ya kuwekeza upya kwenye mradi wa maji baada ya wezi kuvunja mfereji wake usiku wa Desemba 24, 2023, na kutoweka na paipu ya thamani ya Sh70,000. Anasema kwa sababu ya hali ngumu ya kiuchumi, hana uwezo wa kuajiri soja wa usiku. Ndiposa imemlazimu kuhatarisha maisha yake kwa kulinda mali mpaka ifikapo Mwaka Mpya 2024. Anasema ni desturi yake kila mwaka wapangaji wanapokuwa wameelekea ‘ushago’ kufurahia sikukuu, yeye anadumisha usalama. Mnamo Desemba 27, 2023, washukiwa 34 wa wizi walikamatwa katika eneobunge la Starehe katika operesheni iliyoongozwa na chifu na maafisa wa polisi. Hali ni kinyume na baina ya mwaka wa 2020 na 2021 ambapo wakazi wengi wa jiji waliamua kutosafiri kwa sababu ya mlipuko wa janga la Covid-19. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Narc-Kenya Martha Karua amesema kuwa muungano wa Azimio La Umoja-One Kenya ulitoka mikono mitupu katika mazungumzo kati yake na mrengo wa Kenya Kwanza (KKA). Kwenye mahojiano na runinga ya Citizen mnamo Alhamisi usiku, Bi Karua alidai wanachama wa Azimio katika Kamati ya Kitaifa ya Mazungumzo (Nadco) walisaidia KKA kuendeleza ajenda zao. “Kwa mtazamo wangu, mazungumzo hayo hayakuzaa matunda yoyote kwa sababu hakuna muafaka uliofikiwa kuhusu ajenda zetu tatu kuu ambazo ni gharama ya maisha, haki katika uchaguzi, na heshima kwa demokrasia ya vyama vingi,” akasema Bi Karua. Akaongeza: “Muafaka ulipatikana kuhusu ajenda za Kenya Kwanza kama vile kuundwa kwa afisi ya kiongozi rasmi wa upinzani, na kuhalalishwa kwa afisi ya Mkuu wa Mawaziri, ambazo tayari Ruto alikwisha kuwasilisha bungeni.” Kiongozi huyo wa Narc Kenya alieleza kuwa vikao vya kamati ya Nadco vilivyodumu kwa miezi minane vilikuwa ni vya kuwapotezea Wakenya hela na muda kwa sababu serikali haikuongozwa na nia njema iliposhiriki mazungumzo na upinzani. “Mazungumzo hayo yalilenga kutuchezea shere na kutuliza maandamano. Matokeo ya mazungumzo yetu na utawala wa KKA hayakuzaa matunda yoyote kwa sababu Wakenya bado wanaumizwa na kupanda kwa gharama ya maisha. Kwa mtazamo wangu, ripoti ya Nadco haina maana yoyote kwa Wakenya kwa sababu haishughulikii madhila yao,” Bi Karua, ambaye alikuwa ni mgombea mwenza wa Raila Odinga katika uchaguzi wa urais wa Agosti 9, 2022, akaongeza. Alielekeza lawama kwa utawala wa Kenya Kwanza kwa kile alichodai ni kufeli kufikiwa kwa malengo ya mazungumzo yake na upinzani. “Licha ya sisi kama upinzani na wananchi kuendelea kuushinikiza utawala huu upunguze gharama ya maisha, walipuuza na badala yake kuendelea kuongeza bei ya bidhaa za kimsingi na kuanzisha aina nyingine za ushuru,” akasema. Ili mazungumzo yoyote yafaulu, kulingana na Bi Karua, chama au mrengo ulioko mamlakani ni sharti kuonyesha nia njema kwa sababu wao ndio wanasukumwa kutimiza matakwa ya wananchi. Kiongozi huyo wa Narc-Kenya aliutaja utawala wa sasa kama ambao hauheshimu sheria na maamuzi ya mahakama. “Utawala huu unaendesha majukumu ya serikali kwa namna ambayo haijeshimu sheria na kudharau maoni ya wananchi ulivyofanya wakati wa ukusanyaji maoni ya umma kuhusu Sheria ya Fedha,” akasema. “Unapodharua Katiba na watu ambao walikupa mamlaka na matakwa ya wengi, unageuka serikali mbaya,” akaeleza alipoulizwa sababu yake ya kuirejelea serikali hivyo. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA FARHIYA HUSSEIN MWAKA 2023, unyama uliokuwa ukifanywa ndani ya wa Shakahola katika Kaunti ya Kilifi, ulifichuliwa ambapo zaidi ya watu 400 walipoteza maisha yao kwa itikadi kali za kidini. Mhubiri Paul Mackenzie ambaye alitajwa kuwa kiongozi wa wafuasi wake, anachunguzwa kwa madai ya kuwapotosha katika mafundisho ya kidini ambapo waumini walichanganyikiwa, wakiwemo watoto, wakaanza kufunga au kususia chakula hadi wakaanza kudhoofika na hatimaye kuanza kuaga dunia mmoja baada ya mwingine. Habari hizo zilipofahamika, idadi hii ya watu waliopoteza maisha ilikuwa nyingi sana, jambo liloshangazaa ulimwengu mzima. Walionusurika waliozungumza na Taifa Leo alisema waliokufa waliambiwa wafunge hadi kufa ili wakutane na ‘Yesu’. Miezi tisa baadaye, miili zaidi ya 400 inaendelea kuhifadhiwa katika chumba cha kuhifadhi maiti cha muda katika Kaunti ya Kilifi, ukumbusho wa kusikitisha kuashiria msimamo wao mkali wa kidini waliofuatilia. Watu hawa, ambao walitajwa na jamaa zao kuwa watu wachangamfu na maisha hapo awali walionekana kuishi maisha ya kudhoofisha na ya hali ya kusikitisha, maisha yao yalikatishwa na imani zile walizofuatilia kwa kina. Msitu huo ambao hapo awali ulikuwa sehemu nzuri ya mandhari ya kiasili, sasa umekuwa shahidi kwa ukatili uliofanywa huko ndani. Shakahola, kijiji katika Kaunti ya Kilifi, kilikuwa kimegubikwa na ukimya wa kutisha kwa miezi kadhaa. Makazi hayo ambayo wanakijiji walitaja zamani yalikuwa ya uchangamfu na yenye shughuli nyingi, sasa yalionekana yametawaliwa na ukimya mkuu. Katika msitu huo wa Shakahola, nyumba zilikuwa za udongo huku zikiezekwa kwa mapaa ya makuti. Njia zilizokuwa na watu wengi sasa zilikuwa kimya kwa kutisha, kana kwamba wanakijiji walikuwa wametoweka wakiacha nyuma vitu vya kibinafsi kama vile Biblia, ushahidi kuwa waliondoka ghafla. Sahani zilizotelekezwa zilizofunikwa ziliashiria ‘mlo wa mwisho’ wa wafuasi wa Kanisa la Good News International la Mchungaji Paul Mackenzie, ambalo inadaiwa lilichochea wao kuchukua mkondo hatari wa kufunga hadi kufa. Katika mazingira haya ya kutatanisha, ambapo ibada inayodhaniwa ilikuwa imezama katika unabii wa apocalyptic, cha kusikitisha ni kwamba baadhi yao hawakunusurika katika safari ya kuenda katika Hospitali Kuu ya Malindi. Wahanga walizikwa bila mpangilio makaburi yao yakiashiria kuzikwa kwao kwa haraka. Miezi kadhaa baadaye, miili yao ilifukuliwa. Watu hawa walionekana kutengwa na kusukumwa kwenye ukingo wa jamii, sauti zao zikiwa zimenyamazishwa na nguvu za itikadi kali. Maisha yao yalipochukuliwa kwa uchungu, heshima waliyostahili katika umauti wa iliondolewa pia. Ni wale tu walioaga dunia wangejua ikiwa kweli walikutana na Mungu wao. Miili yao ilizikwa kwa haraka msituni Shakahola, jambo lililodhihirishwa na jinsi makaburi hayo yalivyofukuliwa ambapo kwa kila mojawapo, miili zaidi ya mmoja ilipatikana ndani. Waumini hao hawakuzikwa na sanduku kama ilivyo kwa Wakristo bali walifunikwa na blanketi na nguzo nyinginezo. Miezi tisa baadaye, chumba cha kuhifadhia maiti cha muda bado kimesalia katika hopsitali ya Malindi, ukumbusho wa mkasa uliotokea mwaka 2023. Waathiriwa wamesalia katika hali ya kutatanisha, utambulisho wao bado haujathibitishwa, hadithi zao kubaini kiini cha kilichotokea ndani ya msitu wa Shakahola bado haijabainika. Hata katika kifo, ibada iliwanyima utambulisho wao, na kuacha miili hiyo ‘haijulikani’ kutokana na ukosefu wa nyaraka zozote. Ukweli uligundulika ni kwamba baadhi ya wanachama hao walitoka kaunti za mbali katika mikoa mingine nchini, jambo la kutatanisha katika kutambua na kudai miili hiyo. Mwezi Mei, serikali ilianzisha mpango wa DNA kulenga familia zinazoshuku kuwa jamaa zao waliopotea au walioaga wanaweza kuhusishwa na msitu wa Kilifi’ Shakahola. Takriban miezi saba imepita tangu kuzinduliwa kwake, lakini familia zinalalmikia kungoja matokeo ya DNA kwa hamu. Miongoni mwa walioathiriwa ni Bw Rodgers Mwibo, ambaye anatafuta mama yake, dada yake, na mpwa wake amabye alisema ni wafuasi waaminifu wa mhubiri Paul Mackenzie kutoka Kanisa la Good News International, waliohamia kwenye msitu huo mwaka mmoja uliopita. Akielezea masikitiko yake, Bw Mwibo alieleza kuwa kufuatia tangazo la serikali, alitoa sampuli zake za DNA kaunti za Nairobi na Malindi. “Badala ya kupata faraja, huku kusubiri kwa muda mrefu kunazidisha kiwewe changu. Kila nikiona picha ya mama yangu, natamani sana uwepo wake, hata kama ni kumuaga tu,” alilalamika Bw Mwibo huku akihoji ufanisi wa taratibu za DNA za serikali. Kulingana na Bw Mwibo, uhakikisho ulitolewa kwamba matokeo yatatolewa mara moja baada ya ukusanyaji wa DNA. Hata hivyo, kile kilichoahidiwa kuwa kipindi kifupi kimeongezeka hadi mwaka mmoja, na kumuacha yeye na wengine katika hali ya huzuni ya kihisia moyo. “Ni katika nchi gani miili hubaki kuhifadhiwa kwenye friji huku familia zikistahimili uchungu huu?” aliuliza Bw Mwibo. Jamaa mwingine, Bi Mary Mwikali anabainisha kuwa hatajua iwapo dadake na mpwa wake ni miongoni mwa waliofukuliwa kutoka msitu wa Shakahola au la. Kusubiri kwa hamu kunaendelea, na kuwaacha wakihangaika na sintofahamu ikiwa wapendwa wao bado wako hai au ni miongoni mwa watu 400 na zaidi wakiwa katika chumba cha maiti cha Hospitali ya Malindi. Afisa wa Masuala ya Dharura katika Shirika la Haki Africa, Bw Mathias Shipeta, alisema wasiwasi wake ni kwamba serikali imechukua muda mrefu unaohitajika ili kulinganisha na kulinganua DNA. “Inachukua muda gani hadi ulinganishaji wa DNA ukamilike? Familia zinamaliza mwaka bila kujua jamaa zao waliko. Haijafahamika wazi kama wameaga dunia au wapo hai. Ili kulifunga suala hili, ulinganishaji wa DNA lazima ukamilike na kukamilika kwa wakati kabla ya mwisho wa mwaka,” Bw Shipeta alisisitiza. Mwezi Julai, sampuli 266 zilikusanywa kwa madhumuni ya utambulisho wa vinasaba DNA. Uchunguzi wa DNA ni ulinganifu wa kisayansi wa maelezo ya kinasaba ya watu wasiojulikana au waliokufa na yale ya watu waliotambuliwa (waliokufa au walio hai). Mchakato huo ni muhimu kwa sababu za kisheria na za kibinadamu. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA MWANGI MUIRURI MASHABIKI wa klabu ya Arsenal mjini Murang’a sasa wameonywa na wenzao wa Manchester United na Chelsea wajiandae kumpokea ndovu wao akianguka pasipo hiari kutoka juu ya mti kumaanisha kushuka katika jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL). “Huku kulimwa ambako mmeanza kulimwa ni mwanzo tu wa namna ambavyo mambo yatakuwa magumu kwenu katika mzunguko wa pili,” akafoka Bw David Njuguna ambaye ni mshirikishi wa the Red Devils mjini humo. Cheo chake hakitambuliki rasmi na klabu ya Manchester United. Bw Njuguna alisema kwamba Arsenal kuwa juu ya jedwali hata kwa mwanya wa pointi 10 sio tishio kwa kuwa katika mkondo wa lala salama, wao huwa butu, wasio na maono na mwelekeo na lazima wajihujumu wao wenyewe kama ilivyokuwa msimu jana. Katika mechi ya usiku wa kuamkia Desemba 29, 2023, Arsenal walirambishwa magoli 2-0 na West Ham. “Hata hamna heshima na wawekezajj na mnatuchomea beti. Kwa kuwa sikuamini kabisa mngeshinda hicho kipute, nilikuwa nimebashiri timu zote mbili angalau zingejipa goli. Sasa ona hamkufunga hata la kukataliwa,” akafoka Stacy Keach, mfuasi wa Chelsea. Janga hilo kwa wanabunduki Arsenal limewaacha katika nafasi ya pili kwenye jedwali wakiwa na pointi 40 huku Liverpool ikibakia kidedea kwa pointi 42. Hii ina maana kwamba Man City ambayo iko na pointi 37 kwa sasa lakini ikiwa imecheza mechi 18 Arsenal ikiwa imecheza mara 19 itaifurusha kutoka nafasi hiyo ya pili iwapo itachapa Sheffield United hapo Jumamosi kwa ubora wa magoli. “Kuna uwezekano mkubwa kwamba Arsenal itaingia mwaka Mpya ikiwa nambari tano nyuma ya Liverpool, Man City, Aston Villa na Tottenham na kabla ya tufike mechi ya 27, hata West Ham, Man United… watakuwa mbele ya Arsenal,” akasema Junita Kasyoki ambaye anashabikia Man United. Ni usiku ambao wafuasi wa Arsenal hawakujibu mipigo, waliondoka polepole na kimyakimya kutoka kwa mkahawa wa Green Park ambapo wengi walikuwa wakifuatilia mtanange huo ulioanza saa tano na robo usiku. “Lakini hata hivyo kushindwa kwetu kulisaidia West Ham kuruka Man United katika jedwali. Tungeshinda mchuano huo Man U wangebakia nafasi ya sita lakini kung’atwa kwetu kulisaidia Mashetani Wekundu kuteremka hadi nafasi ya saba,” akajituliza Bw Simon Ngonjo. Kwa sasa, maombi ya Arsenal ni kuzuke mikosi ya kushindwa kwa timu zote zilizo katika kumi bora katika mechi ya 20 lakini wao washinde ndipo warejee juu ya jedwali na presha ya kutwaa ligi ipungue. [email protected] You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA MWANGI MUIRURI MWANAMUME mmoja wa umri wa miaka 33 aliuawa usiku wa kuamkia Desemba 29, 2023, kwa kupigwa na majirani wa wakwe zake baada ya kile kinadaiwa alijaribu kutekeleza mauaji katika boma hilo alimokuwa amelala na bibi yake. David Kimani alikuwa amesafiri kutoka kijiji cha Kiunyu kilichoko eneobunge la Gatanga kwa msingi kwamba alikuwa na nia ya kumuona mkewe waliyetengana, binti yake wa umri wa miaka sita na pia mama mkwe. Mwanamume huyo alikuwa ametengana na Bi Esther Nyawira, 28, kwa kipindi cha mwaka mmoja na nusu na katika shamrashamra za msimu huu wa sherehe, akafika kwa boma la wakwe Desemba 28, 2023, katika kijiji cha Mung’etho kilichoko eneobunge la Maragua, akisema alienda kuwajulia hali. Lakini hata baada ya giza kuingia, hakuonyesha nia ya kuondoka arejee kwao na ndipo akakubaliwa alale kwa nyumba ya mama mkwe akiwa na bibi huyo wake. Mwendo wa saa sita usiku, Kimani anasemwa kwamba aliamka na akatwaa kisu na akaanza kumshambulia bibi yake aliyekuwa amelala huku kwa sauti akiapa kumuua na kisha aue mama mkwe na pia mtoto. Kwa mujibu wa Kaimu Naibu Kamishna wa Murang’a Kusini Bw Joshua Okello, mwanamume huyo baada ya kujaribu mara kadha warejeane na bibi yake pasipo mafanikio, akaamua kufika katika boma hilo akijipamba kama malaika wa mauti. Aliongeza kwamba mshukiwa alimdunga mwanamke huyo visu vitano “mara moja umbavuni upande wa kulia na mara nne kwa mkono wa kulia, majeraha yote yakiwa matano”. Bw Okello aliongeza kwamba sauti za juu za mwanamume huyo zilimwamusha mama mkwe na alipiga nduru ambayo iliwavutia majirani waliofurika katika boma hilo huku mvamizi baada ya kuingiwa na taharuki akitimua mbio hadi nje ya nyumba na akaingia katika kichaka. “Huku mwaathiriwa akikimbizwa hadi hospitali ya Murang’a kutibiwa, majirani nao walizindua msako ulioishia kumnasa Bw Kimani akiwa amejikunyata ndani ya kichaka hicho na wakamuua kwa kumpiga kwa vifaa butu,” akasema Bw Okello. Afisa huyo aliongeza kwamba ndani ya mkoba ambao marehemu alikuwa nao kulikuwa na sumu ya kuua wadudu kwa mimea na pia waraka wa mauti unaoaminika ulikuwa umeandikwa na mwanamume huyo. “Alikuwa amefichua katika waraka huo kwamba alinuia kuua mama mkwe, bibi yake na mtoto wake wa kike aliyekuwa akiishi kwa wakwe hao na kisha yeye mwenyewe ajitoe uhai,” akasema. Mwanamume huyo alikuwa aidha ameteta kwamba mama mkwe ndiye alikuwa kizingiti cha ndoa yake kupata uthabiti na kwa kuwa hakuwa na nia ya kumpenda mwingine, akaafikia uamuzi wa kuwaua watatu hao na kisha naye ajitume kuzimu akome mahangaiko ya mapenzi. Bw Okello alisema kwamba “huu ni mkasa ambao ungeepukika iwapo mwanamume huyo ambaye alikuwa mfanyabiashara Jijini Nairobi angepata ushauri nasaha ili kuwajibika changamoto zake za kimapenzi ndani ya mashauriano”. Alisema kwamba “ndipo ifike kiwango hicho cha kupanga mauaji ni kumaanisha alikuwa akisaka mbinu ya kusuluhisha changamoto hiyo lakini akaamua kufuata ushawishi wa pepo mbaya kujipa afueni”. Huku akiwakemea waliomuua mwanamume huyo na kuahidi uchunguzi wa kunasa washukiwa, Bw Okello alisema “hata jamii inafaa kuwa macho kuwatambua wanaoonekana kusombwa na mawazo na usaidizi wa ushauri usakwe kabla ya vishawishi vya janga kuzuka”. Bw Okello alionya watu wa kijiji hicho cha Mung’etho kwamba “kwa sasa mnaweza kuwa mnasherehekea mkisema eti ni umati wa raia uliotekeleza mauaji hayo lakini wakati kutajitokeza shahidi aseme alikuona wewe ukishiriki mauaji hayo ndipo utajua ni watu binafsi wala si kundi ambalo huvunja sheria”. “Mchango wa raia katika kuimarisha usalama ni kupitia kutupasha habari kuhusu washukiwa na visa na wakimnasa mshukiwa, kazi yao inafaa tu kutuita tumtie mbaroni au wamwasilishe katika kituo cha polisi kilicho karibu,” akasema Bw Okello. Mwili wa marehemu ulipelekwa hadi mochari ya Murang’a. [email protected] You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
Fans Follow Us Subscriber © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
Fans Follow Us Subscriber © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NDUNGU GACHANE na CHARLES WASONGA SAA chache baada ya mbunge wa Kiharu Ndindi Nyoro kukamatwa Jumatatu jioni katika Kanisa la Kianglikana (ACK) la St James Cathedral Kaunti ya Murang’a, maandamano yalizuka mjini Murang’a kupinga kukamatwa kwake. Wakazi walionekana wakichoma magurudumu katikati ya barabara kuonyesha ghadhabu zao na kusimama na mbunge wao aliyekamatwa na maafisa 50 wa GSU kuhusiana na fujo zilizovuruga mkutano wa mchango wa fedha katika Kanisa Katoliki la Gaitu Jumapili. Waandamanaji hao waliwakejeli polisi kwa kile walitaja kama kuteswa na kutishwa kwa mbunge wao ambaye amekuwa akieneza siasa za Tangatanga. “Tutazidi kumuunga mkono mbunge wetu kwa kuwa analengwa na serikali kwa sababu zisizo na mashiko,” wakasema wakazi hao. Afisa wa Upelelezi wa Jinai katika kaunti ya Murang’a Julius Rutere alisema Nyoro atashtakiwa kwa kosa la kuzuia polisi kumkamata, kushambulia polisi na kuvuruga ibada ya kanisa. Mbunge huyo amezuiliwa katika kituo cha polisi cha Murang’a kusubiri kuwasilishwa mahakamani Jumanne. Wakili wake Irungu Kang’ata ndiye mtu wa kipekee ambaye ameruhusiwa kumwona. Katika fujo za Jumapili mbunge huyo na Mbunge Maalum Maina Kamanda walijibizana vikali wakati wa harambee hiyo huku Bw Nyoro akisisitiza ni yeye alipasawa kupewa nafasi ya kuongoza shughuli hiyo “kwa sababu mimi ndiye mbunge aliyechaguliwa hapa Kiharu.” Bw Nyoro ni mwanachama wa kundi la Tangatanga ilhali Bw Kamanda ni mwanachama wa kundi la Kieleweke, makundi hasimu ndani ya chama tawala cha Jubilee ambayo yanatofautiana kuhusu siasa za urithi wa Rais Uhuru Kenyatta. Mapema Jumatatu, jumla ya maafisa 50 wa polisi walipiga kambi katika Kanisa la ACK St James Cathedral ambako Bw Nyoto na wabunge; Peter Kamari (Mathioya) na Muturi Kigano (Kangema) walikuwa wakishiriki katika kipindi kwenye runinga moja inayopeperusha matangazo yake kwa lugha ya Kikuyu. Kufuatia fujo iliyoshuhudiwa katika Kanisa Katoliki la Gaitu Jumapili , Dayosisi ya Murang’a ya Kanisa hilo sasa limepiga marufuku harambee zinazoongozwa na wanasiasa katika makanisa yake. Amri hiyo ilitolewa na Askofu James Maria Wainaina kufuatia ushauri wa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Nchini Kadinali John Njue. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NDUNGU GACHANE na CHARLES WASONGA SAA chache baada ya mbunge wa Kiharu Ndindi Nyoro kukamatwa Jumatatu jioni katika Kanisa la Kianglikana (ACK) la St James Cathedral Kaunti ya Murang’a, maandamano yalizuka mjini Murang’a kupinga kukamatwa kwake. Wakazi walionekana wakichoma magurudumu katikati ya barabara kuonyesha ghadhabu zao na kusimama na mbunge wao aliyekamatwa na maafisa 50 wa GSU kuhusiana na fujo zilizovuruga mkutano wa mchango wa fedha katika Kanisa Katoliki la Gaitu Jumapili. Waandamanaji hao waliwakejeli polisi kwa kile walitaja kama kuteswa na kutishwa kwa mbunge wao ambaye amekuwa akieneza siasa za Tangatanga. “Tutazidi kumuunga mkono mbunge wetu kwa kuwa analengwa na serikali kwa sababu zisizo na mashiko,” wakasema wakazi hao. Afisa wa Upelelezi wa Jinai katika kaunti ya Murang’a Julius Rutere alisema Nyoro atashtakiwa kwa kosa la kuzuia polisi kumkamata, kushambulia polisi na kuvuruga ibada ya kanisa. Mbunge huyo amezuiliwa katika kituo cha polisi cha Murang’a kusubiri kuwasilishwa mahakamani Jumanne. Wakili wake Irungu Kang’ata ndiye mtu wa kipekee ambaye ameruhusiwa kumwona. Katika fujo za Jumapili mbunge huyo na Mbunge Maalum Maina Kamanda walijibizana vikali wakati wa harambee hiyo huku Bw Nyoro akisisitiza ni yeye alipasawa kupewa nafasi ya kuongoza shughuli hiyo “kwa sababu mimi ndiye mbunge aliyechaguliwa hapa Kiharu.” Bw Nyoro ni mwanachama wa kundi la Tangatanga ilhali Bw Kamanda ni mwanachama wa kundi la Kieleweke, makundi hasimu ndani ya chama tawala cha Jubilee ambayo yanatofautiana kuhusu siasa za urithi wa Rais Uhuru Kenyatta. Mapema Jumatatu, jumla ya maafisa 50 wa polisi walipiga kambi katika Kanisa la ACK St James Cathedral ambako Bw Nyoto na wabunge; Peter Kamari (Mathioya) na Muturi Kigano (Kangema) walikuwa wakishiriki katika kipindi kwenye runinga moja inayopeperusha matangazo yake kwa lugha ya Kikuyu. Kufuatia fujo iliyoshuhudiwa katika Kanisa Katoliki la Gaitu Jumapili , Dayosisi ya Murang’a ya Kanisa hilo sasa limepiga marufuku harambee zinazoongozwa na wanasiasa katika makanisa yake. Amri hiyo ilitolewa na Askofu James Maria Wainaina kufuatia ushauri wa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Nchini Kadinali John Njue. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
Na CHARLES WASONGA CHAMA cha ODM Jumamosi usiku kulimtangaza kakake marehemu Ken Okoth, Benard Imran Okoth, kuwa mpeperushaji bendera yake katika uchaguzi mdogo wa Kibra huku kwa nadra chama hicho kikionyesha mfano mzuri kwa kudumisha amani katika shughuli hiyo. Huu ni mwamko mpya katika chama hicho kwani wapinzani wake walitarajia shughuli hiyo kukumbwa na ghasia kama hali ilivyokuwa katika kura za mchujo zenye ushindani mkali kuelekea chaguzi zilizopita. Wakati wa mchujo wa ODM kuteua wagombeaji wake katika uchaguzi mkuu wa 2017, ghasia zilisheheni katika baadhi ya maeneo wakilishi kwenye ngome zake kutokana na madai ya haki na uwazi kutozingatiwa na wagombeaji fulani kupendelewa. Fujo hizo zilishamiri katika ngome za ODM za Nyanza, Nairobi na Pwani, hali iliyopelekea chama hicho kupoteza baadhi ya viti kadha. Vile vile, katika mchujo wa Kibra chama hicho kinachoongozwa na Mjumbe wa Umoja wa Afrika (AU) kuhusu miundo msingi Raila Odinga, kilibuni jopo maalum la kusikiza malalamishi ya wagombeaji wasioridhishwa na matokeo ya uteuzi huo, hatua ambayo ni ya kipekee. “Wagombeaji wenye malalamishi yoyote wanakaribishwa kuyawasilisha kwa wananchama wa jopo hilo katika makao makuu ya chama chetu jumba la Orange siku ya Jumapili (jana). Hata hivyo, tungependa kuwaomba wagombeaji wote kuunga mkono mshindi Bw Imran ili tuweze kuhifadhi kiti hiki cha Kibra,” akasema Katibu Mkuu wa ODM Edwin Sifuna. Hata hivyo, changamoto kadhaa zilikumba shughuli hivyo baada ya baadhi ya wapiga kura kulalamika kuwa majina yao hayakuwa kwenye sajili rasmi ya wapiga kura. Hali hiyo, kulingana na Mwenyekiti wa Bodi ya Kitaifa ya Uchaguzi (NEB) Judy Pareno, ilishuhudiwa katika baadhi ya vituo vya kupigia kura kwa sababu chama kiliamua kwamba ni watu wenye kadi cha uanachama pekee waliruhusiwa kushiriki. “Tulifikia uamuzi huu, pamoja na wagombeaji wote 10, ili kuzuia zoezi hili kuingiliwa na wafuasi wa vyama pinzani kwa manufaa yao,” akasema mwenyekiti huyo ambaye pia ni Seneta Maalum. “Lakini baadaye wanachama wetu halisi walisaidika pale tulipoamua tumia sajili ya IEBC, katika baadhi ya vituo,’ akaeleza Bi Pareno. Kulingana matokeo rasmi yaliyotangazwa na Afisa Msimamizi wa mchujo huo Dkt Julius Oremo, Bw Imran aliwabwaga wenzake tisa kwa kuzoa jumla ya kura 4,382. Alifuatwa kwa umbali na mwalimu mkuu wa shule ya upili ya Dagoreti Peter Orero aliyepata kura 1,218. John Milla alipata 906, mkurugenzi wa masuala ya vijana katika ODM Benson Musungu alipata kura 524, Christon Odhiamo (417), Tony Ogola (381), Stephen Okello (228), Brian Owino (127), Reuben Ojijo (52) na Erick Obayi (45). Bw Imran sasa atapambana na mgombeaji wa Jubilee mwanasoka Mcdonald Mariga, Bw Eliud Owalo wa ANC, Khamisi Bitichi wa Ford Kenya na wagombeaji kadha huru katika uchaguzi huo mdogo utakaofanyika Novemba 7. Hadi tulipokuwa tukienda mitamboni wagombeaji wa ODM walioshindwa katika mchujo huo wa Jumamosi hawakuwa wamewasilisha malalamishi yao kwa jopo hilo la watu watu katika jumba la Orange. Na Bw Musungu alituma taarifa akikubali kushindwa na kuahidi kumuungano mkono Bw Imran wakati wa kampeni. Vile vile, aliipongeza ODM kwa kuendesha mchujo huo katika mazingira ya amani na “kwa njia huru na haki.” You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
Na CHARLES WASONGA CHAMA cha ODM Jumamosi usiku kulimtangaza kakake marehemu Ken Okoth, Benard Imran Okoth, kuwa mpeperushaji bendera yake katika uchaguzi mdogo wa Kibra huku kwa nadra chama hicho kikionyesha mfano mzuri kwa kudumisha amani katika shughuli hiyo. Huu ni mwamko mpya katika chama hicho kwani wapinzani wake walitarajia shughuli hiyo kukumbwa na ghasia kama hali ilivyokuwa katika kura za mchujo zenye ushindani mkali kuelekea chaguzi zilizopita. Wakati wa mchujo wa ODM kuteua wagombeaji wake katika uchaguzi mkuu wa 2017, ghasia zilisheheni katika baadhi ya maeneo wakilishi kwenye ngome zake kutokana na madai ya haki na uwazi kutozingatiwa na wagombeaji fulani kupendelewa. Fujo hizo zilishamiri katika ngome za ODM za Nyanza, Nairobi na Pwani, hali iliyopelekea chama hicho kupoteza baadhi ya viti kadha. Vile vile, katika mchujo wa Kibra chama hicho kinachoongozwa na Mjumbe wa Umoja wa Afrika (AU) kuhusu miundo msingi Raila Odinga, kilibuni jopo maalum la kusikiza malalamishi ya wagombeaji wasioridhishwa na matokeo ya uteuzi huo, hatua ambayo ni ya kipekee. “Wagombeaji wenye malalamishi yoyote wanakaribishwa kuyawasilisha kwa wananchama wa jopo hilo katika makao makuu ya chama chetu jumba la Orange siku ya Jumapili (jana). Hata hivyo, tungependa kuwaomba wagombeaji wote kuunga mkono mshindi Bw Imran ili tuweze kuhifadhi kiti hiki cha Kibra,” akasema Katibu Mkuu wa ODM Edwin Sifuna. Hata hivyo, changamoto kadhaa zilikumba shughuli hivyo baada ya baadhi ya wapiga kura kulalamika kuwa majina yao hayakuwa kwenye sajili rasmi ya wapiga kura. Hali hiyo, kulingana na Mwenyekiti wa Bodi ya Kitaifa ya Uchaguzi (NEB) Judy Pareno, ilishuhudiwa katika baadhi ya vituo vya kupigia kura kwa sababu chama kiliamua kwamba ni watu wenye kadi cha uanachama pekee waliruhusiwa kushiriki. “Tulifikia uamuzi huu, pamoja na wagombeaji wote 10, ili kuzuia zoezi hili kuingiliwa na wafuasi wa vyama pinzani kwa manufaa yao,” akasema mwenyekiti huyo ambaye pia ni Seneta Maalum. “Lakini baadaye wanachama wetu halisi walisaidika pale tulipoamua tumia sajili ya IEBC, katika baadhi ya vituo,’ akaeleza Bi Pareno. Kulingana matokeo rasmi yaliyotangazwa na Afisa Msimamizi wa mchujo huo Dkt Julius Oremo, Bw Imran aliwabwaga wenzake tisa kwa kuzoa jumla ya kura 4,382. Alifuatwa kwa umbali na mwalimu mkuu wa shule ya upili ya Dagoreti Peter Orero aliyepata kura 1,218. John Milla alipata 906, mkurugenzi wa masuala ya vijana katika ODM Benson Musungu alipata kura 524, Christon Odhiamo (417), Tony Ogola (381), Stephen Okello (228), Brian Owino (127), Reuben Ojijo (52) na Erick Obayi (45). Bw Imran sasa atapambana na mgombeaji wa Jubilee mwanasoka Mcdonald Mariga, Bw Eliud Owalo wa ANC, Khamisi Bitichi wa Ford Kenya na wagombeaji kadha huru katika uchaguzi huo mdogo utakaofanyika Novemba 7. Hadi tulipokuwa tukienda mitamboni wagombeaji wa ODM walioshindwa katika mchujo huo wa Jumamosi hawakuwa wamewasilisha malalamishi yao kwa jopo hilo la watu watu katika jumba la Orange. Na Bw Musungu alituma taarifa akikubali kushindwa na kuahidi kumuungano mkono Bw Imran wakati wa kampeni. Vile vile, aliipongeza ODM kwa kuendesha mchujo huo katika mazingira ya amani na “kwa njia huru na haki.” You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA AFP MSIMAMIZI wa afisi ya aliyekuwa Rais wa Sudan Omar al-Bashir jana alieleza mahakama kwamba kiongozi huyo ndiye alikuwa na ufunguo wa chumba ambacho kilitumika kuhifadhi mabilioni ya fedha. Akitoa ushahidi kwenye kesi inayomkabili Bashir kuhusu ufisadi na kuhifadhi pesa za wizi zilizokuwa kwenye sarafu za kigeni, msimamizi huyo Yasser Basheer pia alifichua kwamba kiongozi huyo alimpa zaidi ya Sh1.1 bilioni pesa taslimu wakati wa siku za mwisho za utawala wake ili kuwakabidhi watu mbalimbali mashuhuri. Bashir aliondolewa madarakani mwezi Aprili mwaka huu baada ya misururu ya maandamano ya raia waliopinga utawala wake wa kidikteta. Kushtakiwa kwake hata hivyo kumetajwa na wachanganuzi kama kipimo halisi cha namna serikali mpya ya mpito itakavyohakikisha raia waliodhulumiwa wakati wa kipindi cha miaka 30 cha utawala wa Bashir wanapata haki. Yasser ambaye alifanya kazi katika makazi ya Bashir kuanzia Septemba 2018, alifunguka zaidi na kusema kiongozi huyo aliwahi kumpa Sh573 Milioni ili amkabidhi Abdelrahim Hamdan Dagalo ambaye alikuwa Naibu Mkuu wa kikosi hatari cha kitengo cha jeshi(RSF). Msimamizi huyo alisema pesa hizo ziliwasilishwa kwa Abdelrahim mbele ya nduguye Mohamed Hamdan Dagalo ambaye alikuwa mkuu wa RSF na Naibu Mkuu wa Baraza la Mpito la Jeshi(TMC) lililoongoza baada ya Bashir kuondolewa madarakani. Dagalo sasa ni mwanachama wa Baraza tawala linalowajumuisha wanajeshi na raia. Kulingana na Yasser wengine waliopokezwa mabunda ya noti na Bashir ni maafisa wa wizara ya Ulinzi, wakuu wa jeshi na raia, pesa ambazo zilifaa kugharimia matibabu yao. Hata hivyo, alikanusha kwamba alifahamu kulikotoka pesa hizo, akieleza mahakama kwamba alikuwa akifuatwa tu amri ya mkubwa wake. Shahidi mwengine Abdelmoneim Mohamed ambaye ni mhasibu katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Afrika, pia alieleza korti kwamba chuo hicho kilipokea Sh458 milioni kutoka kwa Bashir. Ingawa Bashir ambaye alikuwa korti akiwa amevaa mavazi ya kitamaduni ya rangi nyeupe hakuzungumza, alikanusha mashtaka hayo kortini juma lililopita. Bashir alikiri kwamba alipokea Sh2.5 bilioni kutoka kwa mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman na watu wengine lakini akakanusha kwamba alitumia fedha hizo kujinufaisha. Iwapo atapatikana na hatia kutokana na mashtaka mazito yanayomkabili, Bashir huenda akafungwa kwa muda usiopungua miaka 10 gerezani. Kesi hiyo inatarajiwa kuendelea kusikizwa Septemba 14. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA AFP MSIMAMIZI wa afisi ya aliyekuwa Rais wa Sudan Omar al-Bashir jana alieleza mahakama kwamba kiongozi huyo ndiye alikuwa na ufunguo wa chumba ambacho kilitumika kuhifadhi mabilioni ya fedha. Akitoa ushahidi kwenye kesi inayomkabili Bashir kuhusu ufisadi na kuhifadhi pesa za wizi zilizokuwa kwenye sarafu za kigeni, msimamizi huyo Yasser Basheer pia alifichua kwamba kiongozi huyo alimpa zaidi ya Sh1.1 bilioni pesa taslimu wakati wa siku za mwisho za utawala wake ili kuwakabidhi watu mbalimbali mashuhuri. Bashir aliondolewa madarakani mwezi Aprili mwaka huu baada ya misururu ya maandamano ya raia waliopinga utawala wake wa kidikteta. Kushtakiwa kwake hata hivyo kumetajwa na wachanganuzi kama kipimo halisi cha namna serikali mpya ya mpito itakavyohakikisha raia waliodhulumiwa wakati wa kipindi cha miaka 30 cha utawala wa Bashir wanapata haki. Yasser ambaye alifanya kazi katika makazi ya Bashir kuanzia Septemba 2018, alifunguka zaidi na kusema kiongozi huyo aliwahi kumpa Sh573 Milioni ili amkabidhi Abdelrahim Hamdan Dagalo ambaye alikuwa Naibu Mkuu wa kikosi hatari cha kitengo cha jeshi(RSF). Msimamizi huyo alisema pesa hizo ziliwasilishwa kwa Abdelrahim mbele ya nduguye Mohamed Hamdan Dagalo ambaye alikuwa mkuu wa RSF na Naibu Mkuu wa Baraza la Mpito la Jeshi(TMC) lililoongoza baada ya Bashir kuondolewa madarakani. Dagalo sasa ni mwanachama wa Baraza tawala linalowajumuisha wanajeshi na raia. Kulingana na Yasser wengine waliopokezwa mabunda ya noti na Bashir ni maafisa wa wizara ya Ulinzi, wakuu wa jeshi na raia, pesa ambazo zilifaa kugharimia matibabu yao. Hata hivyo, alikanusha kwamba alifahamu kulikotoka pesa hizo, akieleza mahakama kwamba alikuwa akifuatwa tu amri ya mkubwa wake. Shahidi mwengine Abdelmoneim Mohamed ambaye ni mhasibu katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Afrika, pia alieleza korti kwamba chuo hicho kilipokea Sh458 milioni kutoka kwa Bashir. Ingawa Bashir ambaye alikuwa korti akiwa amevaa mavazi ya kitamaduni ya rangi nyeupe hakuzungumza, alikanusha mashtaka hayo kortini juma lililopita. Bashir alikiri kwamba alipokea Sh2.5 bilioni kutoka kwa mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman na watu wengine lakini akakanusha kwamba alitumia fedha hizo kujinufaisha. Iwapo atapatikana na hatia kutokana na mashtaka mazito yanayomkabili, Bashir huenda akafungwa kwa muda usiopungua miaka 10 gerezani. Kesi hiyo inatarajiwa kuendelea kusikizwa Septemba 14. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
GERALD BWISA na DENNIS LUBANGA NAIBU wa Rais William Ruto ameanza harakati za kutaka kumng’oa kitini mbunge wa Cherang’any, Joshua Kutuny, 2022. Bw Kutuny, kwa upande mwingine, ameapa kumpa kipigo cha kisiasa Naibu wa Rais Dkt Ruto ambaye ametangaza azma yake ya kuwania urais 2022. Bw Kutuny amemshutumu Naibu wa Rais kwa kushindwa kushughulikia masilahi ya jamii ya Wakalenjin licha ya kushikilia wadhifa wa juu serikalini. “Wakulima wa mahindi wanahangaika na kulazimishwa kukuza mazao mbadala kujikimu kimaisha. Hii ni ishara kwamba Naibu wa Rais ametelekeza jamii ya Wakalenjin,” akasema Bw Kutuny katika mahojiano na Taifa Leo, Jumamosi. “Hivi majuzi (Dkt Ruto) alikuwa katika eneobunge langu na anafaa kujua kwamba nitafunza somo la kisiasa ambalo hawatasahau maishani mwake. Wakati wa wanasiasa kutumia uongo kuwadanganya Wakenya umeisha,” akasema Bw Kutuny. Kulingana na Bw Kutuny, kuna wanasiasa wengi humu nchini wanaoweza kumbwaga dkt ruto katika uchaguzi mkuu wa 2022. “Amekuwa (Ruto) akizunguka katika eneobunge langu akisema kuwa atahakikisha kuwa ninafeli 2022. Anadhani kwamba hakuna viongozi wengine humu nchini wanaoweza kumbwaga,” akasema Bw Kutuny ambaye ni mshauri wa zamani wa masuala ya kisiasa wa Rais Uhuru Kenyatta. Bw Kutuny alijutia kwa nini alimpigia kampeni Naibu wa Rais Dkt Ruto katika chaguzi zilizopita. “Ninajutia kushirikiana na Dkt Ruto katika chaguzi zilizopita. Ajiandae kwani kuporomoka kwake kisiasa kunakaribia. Hivi karibuni atakuja kuniomba masamaha,” akasema mbunge huyo anayechukuliwa kuwa mwasi. Dkt Ruto amekuwa akishutumu Bw Kutuny kwa ‘kutumiwa’ na watu kutoa nje kutatiza azma yake ya kutaka kuingia ikulu 2022. “Ikiwa anadhani (Ruto) ataniangusha kisiasa basi nitamwaibisha kisiasa. Ninamfahamu vyema na hivi punde nitamwonyesha kivumbi,” akasema mbunge huyo wa Jubilee. Ijumaa wakati wa mazishi ya aliyekuwa mkurugenzi wa kampuni ya maziwa ya KCC Kibiwot Koros kijijini Birbiriet, eneobunge la Cherangany, Ijumaa iliyopita, Naibu wa Rais alisema Bw Kutuny ametelekeza majukumu yake na sasa anahudumiwa watu fulani jijini Nairobi. Dkt Ruto alisema kwamba atahakikisha kuwa anawahudumia wakazi wa Cherangany baada ya kutelekezwa na mbunge wao (Bw Kutuny). “Inasikitisha kwamba mtu ambaye alichaguliwa na wapigakura awatumikie, ameenda Nairobi kunywa na kula na watu ambao hawana haja na maendeleo ya eneo hili. “ Sasa amepewa mkuki wa kuwarushia watu wake. Kwa sababu mlinichagua pamoja na Rais Kenyatta sitawasahau, nitawatumikia,” akasema Dkt ruto. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
GERALD BWISA na DENNIS LUBANGA NAIBU wa Rais William Ruto ameanza harakati za kutaka kumng’oa kitini mbunge wa Cherang’any, Joshua Kutuny, 2022. Bw Kutuny, kwa upande mwingine, ameapa kumpa kipigo cha kisiasa Naibu wa Rais Dkt Ruto ambaye ametangaza azma yake ya kuwania urais 2022. Bw Kutuny amemshutumu Naibu wa Rais kwa kushindwa kushughulikia masilahi ya jamii ya Wakalenjin licha ya kushikilia wadhifa wa juu serikalini. “Wakulima wa mahindi wanahangaika na kulazimishwa kukuza mazao mbadala kujikimu kimaisha. Hii ni ishara kwamba Naibu wa Rais ametelekeza jamii ya Wakalenjin,” akasema Bw Kutuny katika mahojiano na Taifa Leo, Jumamosi. “Hivi majuzi (Dkt Ruto) alikuwa katika eneobunge langu na anafaa kujua kwamba nitafunza somo la kisiasa ambalo hawatasahau maishani mwake. Wakati wa wanasiasa kutumia uongo kuwadanganya Wakenya umeisha,” akasema Bw Kutuny. Kulingana na Bw Kutuny, kuna wanasiasa wengi humu nchini wanaoweza kumbwaga dkt ruto katika uchaguzi mkuu wa 2022. “Amekuwa (Ruto) akizunguka katika eneobunge langu akisema kuwa atahakikisha kuwa ninafeli 2022. Anadhani kwamba hakuna viongozi wengine humu nchini wanaoweza kumbwaga,” akasema Bw Kutuny ambaye ni mshauri wa zamani wa masuala ya kisiasa wa Rais Uhuru Kenyatta. Bw Kutuny alijutia kwa nini alimpigia kampeni Naibu wa Rais Dkt Ruto katika chaguzi zilizopita. “Ninajutia kushirikiana na Dkt Ruto katika chaguzi zilizopita. Ajiandae kwani kuporomoka kwake kisiasa kunakaribia. Hivi karibuni atakuja kuniomba masamaha,” akasema mbunge huyo anayechukuliwa kuwa mwasi. Dkt Ruto amekuwa akishutumu Bw Kutuny kwa ‘kutumiwa’ na watu kutoa nje kutatiza azma yake ya kutaka kuingia ikulu 2022. “Ikiwa anadhani (Ruto) ataniangusha kisiasa basi nitamwaibisha kisiasa. Ninamfahamu vyema na hivi punde nitamwonyesha kivumbi,” akasema mbunge huyo wa Jubilee. Ijumaa wakati wa mazishi ya aliyekuwa mkurugenzi wa kampuni ya maziwa ya KCC Kibiwot Koros kijijini Birbiriet, eneobunge la Cherangany, Ijumaa iliyopita, Naibu wa Rais alisema Bw Kutuny ametelekeza majukumu yake na sasa anahudumiwa watu fulani jijini Nairobi. Dkt Ruto alisema kwamba atahakikisha kuwa anawahudumia wakazi wa Cherangany baada ya kutelekezwa na mbunge wao (Bw Kutuny). “Inasikitisha kwamba mtu ambaye alichaguliwa na wapigakura awatumikie, ameenda Nairobi kunywa na kula na watu ambao hawana haja na maendeleo ya eneo hili. “ Sasa amepewa mkuki wa kuwarushia watu wake. Kwa sababu mlinichagua pamoja na Rais Kenyatta sitawasahau, nitawatumikia,” akasema Dkt ruto. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
NA MHARIRI |
BAADHI ya shule nchini zimejitokeza na kupinga matokeo ya Mtihani ya Darasa la Nane (KCPE) yaliyotangazwa Jumatano na Waziri... NA MHARIRI |
SERIKALI za kaunti zitalazimika kutafuta mbinu za usimamizi wa fedha iwapo magavana wanataka kujitolea kutimiza ahadi zao kwa... NA MHARIRI |
KILA Juni 14, ulimwengu huadhimisha Siku ya watu kuchangia damu duniani. Mwaka huu, kaulimbiu ilikuwa “Utoaji damu ni suala... NA MHARIRI |
UCHAGUZI mkuu wa Agosti 9 ulikuwa wa kipekee kwa jinsi ulivyokuwa na ushindani mkali kuliko mwingineo wowote ambao umewahi... NA MHARIRI |
MNAMO Ijumaa Rais William Ruto alipozuru eneo la Magharibi mwa Kenya, alisisitiza ahadi yake ya kuhakikisha kuwa viwanda vya... NA MHARIRI |
TANGAZO la Benki Kuu ya Kenya (CBK) kwamba wateja wataanza kutozwa ada ya kutoa pesa kutoka kwa benki hadi simu zao linajiri... NA MHARIRI |
RIPOTI ya Mkaguzi wa Hesabu za Serikali inayoonyesha kuwa mabunge ya kaunti yanapitisha bajeti kiholela bila kuhusisha... NA MHARIRI |
MKOPO wa Hustler Fund ulioanza kutolewa kwa wananchi wenye uwezo mdogo kimapato mnamo Jumatano huenda usiwafaidi raia jinsi... NA MHARIRI |
UZINDUZI wa Hazina ya Hustler jana Jumatano sasa unawapa matumaini mamia ya mama mboga, wanabodaboda na wafanyibiashara ndogo... NA MHARIRI |
HATUA ya serikali kuondoa marufuku dhidi ya mahindi ya GMO imezua mjadala mkali nchini. |
Suala la GMO limetekwa nyara na... NA MHARIRI |
KWA wiki chache sasa, kumekuwa na wasiwasi katika baadhi ya sehemu za nchi kuhusu homa ambayo inaonekana kuenea kwa... NA MHARIRI |
RIPOTI kwamba wabunge, kupitia Tume ya Huduma ya Bunge (PSC), wanataka kushinikiza Tume ya Mishahara na Marupurupu (SRC)... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
Na BENSON MATHEKA |
NAIBU wa Rais William Ruto atatumia muungano ‘ulioundwa’ mwaka 2021 na kiongozi wa Amani National Congress (ANC)... Na WANDERI KAMAU |
Naibu Rais William Ruto na waandani wake wameapa kufanya kila wawezalo kulemaza juhudi za Kiongozi wa ODM, Raila Odinga... Na CHARLES WASONGA |
WABUNGE wandani wa Naibu Rais William Ruto jana walifaulu kuzuia kupitishwa kwa Mswada tata wa marekebisho ya Sheria... BRIAN OCHARO na VALENTINE OBARA |
UBABE wa kisiasa kati ya Kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga, na Naibu Rais William Ruto katika Kaunti ya... Na CHARLES WASONGA |
HATUA ya Naibu Rais William Ruto na kiongozi wa ODM Raila Odinga kushikilia kuwa wawaniaji wanaounga azma zao za... Na WANDERI KAMAU |
SUALA lililozua gumzo wiki hii ni majibizano yaliyozuka kati ya mrengo wa Naibu Rais William Ruto na mwanasiasa Maina... Na JUSTUS WANGA |
GAVANA wa Meru Kiraitu Murungi amekiri kwamba umaarufu wa Naibu Rais William Ruto umekita mizizi zaidi katika eneo la... Na CECIL ODONGO |
INASIKITISHA kuwa Naibu Rais Dkt William Ruto na Seneta wa Baringo Gideon Moi sasa wanalitumia suala la msitu wa Mau kwa... Na WYCLIFFE NYABERI |
NAIBU Rais Dkt William Ruto amemshambulia Rais Uhuru Kenyatta huku akisema ataondoka mamlakani bila kulipa deni la... Na CHARLES WASONGA |
NAIBU Rais William Ruto na kiongozi wa ODM Raila Odinga wanaonekana kuendeleza mbinu za kampeni za kulambana visigino... Na IAN BYRON |
HATUA ya Gavana Okoth Obado kujihusisha na siasa za chama cha United Democratic Alliance (UDA) cha Naibu Rais, Dkt William... BENSON MATHEKA NA CHARLES WASONGA |
?WASHIRIKA wa Naibu Rais William Ruto wamegeuka kupe kwa ‘ kufyoza mamilioni ya fedha anazoyapa... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
Na MASHIRIKA |
LONDON, Uingereza |
WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson, jana alitangaza masharti makali kudhibiti maambukizi ya... Na ELIZABETH MERAB |
WANASAYANSI wanachunguza kuhusu mchipuko wa virusi vipya vya corona aina ya Delta, katika nchi za Amerika, Uingereza,... Na MAUREEN ONGALA |
MASAIBU ambayo wagonjwa wa Covid-19 hupitia katika kaunti za Pwani, yameanikwa wazi baada ya kifo cha afisa mkuu wa... SIAGO CECE na ANTHONY KITIMO |
UFISADI miongoni mwa baadhi ya maafisa wa serikali katika mpaka wa Kenya na Tanzania, umezidi kuwaweka... Na WAANDISHI WETU |
WINGU la maangamizi limetanda kote nchini huku aina mpya ya corona maarufu kama 'Delta' ikiua watu kwa... Na WINNIE ONYANDO |
HUENDA visa vya wasafiri kulazimishwa kupima upya corona mpakani mwa Kenya na Tanzania vikakoma baada ya serikali hizo... NA WANGU KANURI |
AGIZO la serikali la kudhibiti mkurupuko wa ugonjwa wa corona mwaka jana limewashurutisha Wakenya wengi kufanyia kazi... Na Titus Ominde |
VIONGOZI wa kidini Kaskazini mwa Rift Valley (North Rift) wameshutumu wanasiasa kwa kupepeta usambazaji wa virusi vya... Na WANTO WARUI |
Huku wanafunzi wa kidato cha kwanza wakiripoti katika shule zao mpya za sekondari hii leo, kuna uwezekano wa maambukizi... Na CHARLES WASONGA |
NAKUBALIANA na kauli ya maafisa wa afya katika kaunti ya Nairobi kwamba wanasiasa ndio wanachochea ongezeko la visa... Na SAMMY WAWERU |
DICKSON Muceri amekuwa mkazi wa Nairobi kwa muda wa miaka kadhaa ila sasa kitovu hicho cha jiji kuu la nchi hakikaliki... Na MARY WANGARI |
WANASAYANSI wamethibitisha kuwa kuchelewesha upokeaji dozi ya pili ya chanjo ya Covid-19 kwa kiasi cha miezi 10 baada ya... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved |
Na KINYUA BIN KINGORI |
WAKATI huu viongozi wa kisiasa wameanza mapema kampeni zao kwa kuzuru maeneo mbalimbali nchini, ili kushawishi... Na WANDERI KAMAU |
KULINGANA na Ripoti ya Jaji Mstaafu Akilano Akiwumi (1997) kuhusu chimbuko la ghasia za kikabila nchini, wanasiasa ndio... Na WANTO WARUI |
KWA mara nyingine tena tuzo inayoenziwa sana kote ulimwenguni imerudi katika eneo letu la Afrika Mashariki mara hii... Na DOUGLAS MUTUA |
MWAFRIKA akiwajibishwa na Mzungu hupiga kamsa na kudai anaonewa, ati msingi wa maonevu ni ubaguzi wa rangi... Na WANDERI KAMAU |
MOJA ya changamoto kuu zinazokikumba kizazi cha sasa nchini ni ukosefu wa ufahamu wa lugha zao asili. |
Ingawa lugha... Na KINYUA BIN KINGORI |
JUHUDI za kuhakikisha taifa limefanikiwa kupiga vita ufisadi lazima ziendeshwe kuambatana na Katiba, bila njama... Na WANDERI KAMAU |
UFICHUZI wa sakata ambapo watu maarufu duniani wamekuwa wakificha mabilioni ya fedha katika akaunti za siri ng’ambo... Na FAUSTINE NGILA |
NINA imani kuwa iwapo kufikia sasa hujawahi kuelewa teknolojia ya blokcheni, leo utaelewa kwa kuwa jana uliathirika... Na CHARLES WASONGA |
NI jambo la kusikitisha kuwa ni wakati kama huu ambapo uchaguzi mkuu unakaribia ndipo wanasiasa wametambua umuhimu wa... Na MARY WANGARI |
IDADI ya watu wanaoandaa hafla za uchangishaji pesa za kugharamia matibabu imeongezeka pakubwa katika siku za hivi... Na CECIL ODONGO |
CHAMA cha Kanu bado kina safari ndefu kurejelea umaarufu wake wa enzi za utawala wa chama kimoja na miaka ya 90 hata... Na CHARLES WASONGA |
Subsets and Splits