Search is not available for this dataset
text
stringlengths 0
186k
|
---|
"""hilo ndilo tunalolizungumza hapa.""" |
kenya kwanza ilipeleka wanajeshi nchini somalia mwezi oktoba mwaka 2011 katika kile kilichojulikana kama oparesheni linda nchi, kabla ya kujiunga na kikosi cha muungano wa afrika kinachoungwa mkono na umoja wa mataifa nchini somalia mwaka uliofuatia.al-shabab waua wapenzi wawili wa jinsia moja""tulisikia sauti za ndege zikishambulia sehemu ya badhade, lakini hatujui hasara iliyotokana na shambulio hilo. sijui ni kitu gani wanajeshi wa kenya wanatuhumu kuona katika eneo hilo na hali hawakutujulisha chochote kuhusiana na mashambulizi hayo."" alisema mkuu wa wilaya ya badhade farah heibe.""igekuwa bora kama wangefahamisha jeshi la somalia na wakuu wa utawala kuhusu shambulio hilo. siyo jambo la busara kushambulia maeneo yetu bila ya kuwasiliana nasi, kama nchi huru."" mshirikishe mwenzako unavyoweza kumshirikisha mwenzako" |
Ofisi mpya: Mauricio Pochettino ndiye kocha mpya wa Tottenham Hotspur baada ya kusaini Mkataba wa miaka mitano |
"tags vilema. category katekisimu,: vilema, uchafu ni nini?, soma jibu" |
"wakati simba ilifuzu 16 bora, wapinzani wao yanga watakuwa na kibarua cha kusaka tiketi hiyo watakapoikabili tanzania prisons uwanja wa taifa, dar es salaam." |
cut |
"mwanzilishi wetu, jerry low, aliingia chini na akafanya utafiti mkubwa wa kampuni za hosting tofauti za 28 na msaada wao wa kuzungumza kwa mazungumzo." |
"aliyemteka ulimboka huyu hapa (107,265)" |
“kisayansi wanasema ukizamisha miti chini inaoza kwa muda mrefu kwa hiyo inachukua oksijeni nyingi kwa hiyo inaathiri viumbe wengine kama samaki hawawezi kuwepo, kutokana na hilo wakaamua tukate miti, wataalamu waliangalia kila kitu kama kuna eneo lina wanyama wanaangalia watachukuliwa kwa namna gani wahifadhiwe pengine,” alisema dk. abbas. |
Kwa maana haiwezkani wanaccm wote mioyo yao haini hata chembe za uzalendo kidogo wa kuona jinsi Katiba hii mbovu inatufilisi: kifikra, kifisadi, kitaifa n.k. |
kwa sasa ukifika chongolea utajionea wakazi wake wakiwa katika harakati mbalimbali za kujiingizia kipato wengine wakiboresha makazi yao huku wageni nao wakiingia katika eneo hilo kutazama fursa zilizopo. |
soma shairi lifuatalo ukizingatia maana yake. |
dawa ya madawa ya kulevya |
ffu ughaibuni wafanya kweli liga summer festival 2. |
'umejuaje hilo ?' akauliza docta mwenzake. |
makala kuu: mapambo ya vito |
MAKONDA AJIBU MASHAMBULIZI,MA DC HATARINI KUTUMBULIWA, NCCR MAGEUZI YAPUMULIA MASHINE, CCM WAIBUKA KIDEDEA KIGAMBONI. |
Nilifurahi kuona hair cutting Salon za chini ya mwembe. Vijana mnaona? msisingizie mgao wa umeme kazi mtindo mmoja hata kama hakuna umeme. Angalia jamaa anazo mpaka uniform zake na wateja wake! |
"1) na siku ile ni ya ajabu, kwa kuwa nyota zitaanguka chini. mtakimbilia milima nayo pia itawakimbia. i-ii i-ii mioyo mioyo yenu itaungua sana. ndipo ndipo mtalia sana sana e mtalia na miili yenu wa kuwaokoa hayupo." |
"wa habari leo jijini dar es salaam, kuhusu zoezi la utambuzi na usajili wa" |
"lililo muhimu kwetu wanakijiji wenzako ni mchango wako kifikra, ambao naamini ni muhimu zaidi kuliko lugha unayoitumia. |
Nawatakieni neema na amani kutoka kwake yeye aliyeko, aliyekuwako na anayekuja; na kutoka kwa roho saba walio mbele ya kiti chake cha enzi, na kutoka kwa Yesu Kristo, shahidi mwaminifu, wa kwanza kufufuliwa kutoka kwa wafu, na ambaye ni mtawala wa wafalme wa dunia. |
Hili haliwezi kuwa rushwa, hii ni Wizara ya Sanaa; Wizara ya Burudani. |
5. il76-td machi 23-2005 |
« rekodi mwitikio wa umma kwa kushauriana juu ndege & habitats maelekezo inathibitisha msaada kwa ajili ya jukumu eu katika kulinda asili |
Utandawazi ni koti ambalo wazazi wanatumia kujifunikia baada ya wao kushindwa kuwafundisha, kuwaonya na kuwalea watoto wao katika maadili mema. |
hii inakere sana |
mwa siberia na kuelezewa kuwa na |
mchezo rating: 4.35 nje 5 (441 makadirio) |
"ministry of foreign affairs and east african cooperation: tanzania yashiriki kwa mara ya kwanza katika maonesho ya kimataifa ya bidhaa za kilimo ya paris |
Alisema kuwa ziara yake hiyo nchini Burundi ilikuwa ya kikazi iliyomfanya ashindwe hata kuhudhuria Tamasha la Utamaduni wa Mtanzania lililowasilishwa na Jamii za WanaRukwa na Katavi katika kijiji cha Makumbusho tarehe 15-17/11/2011. |
afya ya lissu imekuwa ikitengamaa kwa kasi siku hadi siku hali inayompa matumaini ya kurejea nchini na kuendelea na shughuli zake kama awali. |
"nimemuona itv dr.bana amekiri pamoja na demokrasia kupanuka,hali ya maendeleo ya nchi inazidi kushuka.hajui ni kwa niniclick to expand." |
hot nuuuz: mtoto aliyefariki miaka miwili iliyopita aonwa na mama yake akiwa hai |
jambo la mwisho nililogusia ni kwamba kiini cha suala la muungano si idadi ya serikali (mbili au tatu) bali ni mgawanyo wa madaraka (distribution of power) kati ya dola la zanzibar na dola la muungano. na katika hili kila muungano duniani ni wa kipekee kutokana na hali halisi yao ya kihistoria na uwiano wa kisiasa. sisi pia tukiwashirikisha wananchi kikamilifu na tukaelewa vizuri matakwa yao tunaweza kubuni muundo wetu wa muungao ambao ni wa kipekee bila kujali idadi ya serikali. |
"dianella, wa (11.95km)" |
"katika hatua nyingine, wananchi wa kijiji hicho wameomba ulinzi uimarishwe ili kuimarisha usalama kwani kumekuwa na wimbi la wizi mdogo mdogo ikiwemo ndizi shambani, kubomoa nyumba na vifaa vya magari." |
"tunaahidi tutaendelea siyo tu kuwa wa kwanza kuwaletea habari lakini pia kusimama pamoja na wale wote wanaodhulumiwa, wanaoonewa na wale ambao kwa namna moja au nyingine wanajikuta wako upande wa dhulma." |
zhongshan wauzaji wa jumla |
"wakati mkutano wa dunia kuhusu jamii-habari ukiendelea hukogeneva, uswisi imebainika kuwa maendeleo ya teknolojia ya habari na mawasiliano, teknohama yamekuwa mkombozi kwa wafanyabiashara wanawake ambapo hivi sasa wanaweza kutumia mawasilianokamaya simu au intaneti kutangaza bidhaa zao kwa gharama nafuu. |
Mahakama moja nchini Uganda imemhukumu aliyekuwa meneja wa timu ya taifa ya kandanda Chris Mubiru, miaka 10 gerezani kuwalipa waathirika fidia ya shilingi milioni 50 kila mmoja kwa makosa ya kufanya ngono na wanaume. |
matukio @ michuzi blog: wizara ya mambo ya nje na ushirikianowa afrika mashariki yawazawadia wafanyakazi wake |
walimu wa sekondari wahamishiwa kufundisha msingi masasi mkoani mtwara |
hawa nao walikuwepo |
meps zinaonyesha dosari kubwa katika katiba mpya ya thai na kampeni ya kura ya maoni - mwandishi wa eu: mwandishi wa eu |
1 Bisika ya nkaka : Mbuta. |
BONDIA IDDI MKWELA AJIANDAA KUMKABILI MANYI ISSA F... |
Akapanda haraka pamoja na watoto wake watatu mpaka sehemu ya juu ya nyumba ili atokee kupitia mlango huo, akaukuta umefungwa vile vile. Akajaribu kila njia bila mafanikio, akarudia rudia mpaka akachoka. Moshi nao ukapaa na kuenea nyumba nzima, wakawa wanahema kwa taabu. |
Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhaj Mussa Salum akionyesha jezi namba 9 atakayoitumia katika mchezo huo. |
China ipo katika mkakati wa ujenzi wa jengo refu kuliko yote duniani litakaloitwa ''Phoenix tower''. |
Usiku wa Wasafi haukwenda kama ulivyokua umepangwa baada ya kutokea fujo kubwa. |
UWIANO WA HINDUS KATIKA SHELISHELI Jinsi kubwa ni uwiano wa Hindus katika Shelisheli? |
Haitakiwa kurudia namba, kwa kuijumlisha mara mbili au kujumlisha namba pungufu ya namba tano zinazotakiwa. kwa mfano: 13+17+15+5 unapata 50. |
ond classifier |
Ndereti ya uigananu wa atumia na athuri utongoria-ini kunyita thing’a |
idd el fitri itajiri punde tu walakin tusifanye kujizuia kwa kufunga ili tuisubiri idd ijiri tu |
Klopp alitwaa tuzo ya Kocha Bora wa mwaka wa Ujerumani mwaka 2011 na 2012 kabla ya kuondoka nchini humo na kutimkia England mwaka 2015. |
Takribani watu 50 wanusurika kifo baada ya basi la Kampuni ya Saratoga kupoteza mwelekeo na kutumbukia katika mto Malagarasi Mkoani Kigoma. |
"na nini kikwazo kwa wengine ambao hamjahamia mpaka sasa? |
"iliyochapishwa na dubai city company at huenda 18, 2019" |
"benki ya kilimo yamuaga dr. tonia kandiero thursday, 29 december 2016 written by mjengwa blog" |
Fatuma Boute aliweza kutoa taarifa fupi ya mradi huo ambao umegharimu kiasi cha sh.zaidi billion 128 |
nimevutiwa na unajimu tangu umri wa 12, nimekuwa nikisoma bidii ya maisha yangu yote, maeneo yenye upendeleo ni upendeleo, usomaji wa chati za kawaida, upitishaji kwa asili, tafsiri ya chati ya mchanganyiko, unajimu wa horina kwa maswali yanayohusiana na upendo. ninapenda pia kuingiza usomaji wa tarot ili kuchukua nguvu ya sasa ya hali. pia napeana ushauri mzuri katika maswala ya moyo unajumuisha mbinu za kawaida katika utaftaji, chati za mtunzi / chati zilizoandaliwa za composite. sio mimi tu ninaweza kutabiri nguvu za sayari zinazotokea katika maisha ya mtu pia ninaweza kutoa ushauri na mapendekezo kutoka kwa mtazamo wa kichawi. ninapenda kusaidia watu, na kuwapa ufahamu juu ya shida zao za kibinafsi, sio hapa kuwachana / kunyonya wateja mbali na kuchukua pesa zao zikiwaacha wanahangaika katika machafuko yale yale waliyokuwa nao kabla ya kuwasiliana nami iam hapa kuwaongoza wateja na kuwapatia ushauri bora kutumia maarifa yangu ya upendo na huruma na wateja juu ya shida za maisha na shida. najua ninayo mengi ya kutoa kwa jamii ya oranum kwani napenda kusaidia katika ujinga na ni raha kupeana mwongozo kwa watu kwa kutumia njia ambazo mimi hutamani kutumia." |
moja kwa moja nikajua wananisema mimi kotokana na jinsi nilivyo na ndavu nyingi ambazo zimenifanya kuonekana na sura ya kutisha.nikabaki nikiwa nimewatazama kwa jicho la hasira mpaka wakajistukia.nikaona nikiendelea kusimama katika bomba watanikera zaidi na nilicho kifanya ni kuyamimina maji yaliyopo kwenye kindoo nilicho kikuta na kuyaweka kwenye ndoo yangu na kabla sijaondoka mama mmoja akasimama na kunifwata kwa haraka huku akubwatuka |
reactions: arien, nuhu39 and vamosdm05 |
mechi moja hadi tano kila siku |
"ajira za watu wenye uwezo mkubwa zimezingatia kuajiri wanasheria wenye weledi wa hali ya juu. linaonyesha jinsi mueller alivyochukua hatua makini katika uchunguzi huu, baada ya kukabidhiwa shughuli hii mei 17, siku nane baada ya rais trump kumfukuza kazi mkurugenzi wa fbi james comey." |
Ni wale wanaotoka katika mikoa ya Iringa, Njombe na Mbeya inayoongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya wanafunzi yatima |
Mshindi mara mbili wa tuzo la mchezaji bora Afrika, Nwankwo Kanu ni mmoja wachezaji bora zaidi kutoka Afrika kuwai kufanya kazi chini wa Arsene Wenger huko Arsenal. |
"hapa tulipofika katika maendeleo ya kijamii na ya kisiasa tuna haja ya kuyachunguza upya mahitajio ya ulinzi ya zanzibar. |
tanzania nchi yetu kwa wanaoijua vyema, we are damn poor! nenda vijijini ujionee. tatizo watu mnafikiri dar inaishia shoppers plaza na sleepway! ohh..yes my president said kwamba watanzania wa kanda ya kaskazini hatuli mapanki! baada ya kuadress tatizo! |
"hilo ni jema, ila suala jingine ambalo ingefaa waziri lugola na makanda wa mikoa wakiwamo wa usalama barabarani walione ni malalamiko ya kuwatoza watu faini kinyume cha sheria kisa wameshindwa kuonyesha leseni mara moja kwa polisi anapowataka kufanya hivyo." |
"ikiwa na uchawi umo ndani, kwa kweli ni shida." |
i an: kiwanda cha wanawake wa bwana wa bwana |
Mwanasheria Mkuu wa zamani katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Othman Masoud Othman amesema kuwa chama cha Mapinduzi kimeshuka kiushindani Visiwani humu na kueleza kuwa hakina tena uwezo kuzuia mabadiliko. |
ukweli ni kwamba kama una experience pe wakati unafanya mapenzi kawaida unakuwa umejawa na mawazo kwamba unaweza kumaliza mapema na matokeo yake huwezi kufurahia sex na huwezi ku-relax, pia mke wako anaweza kuwa haridhiki na matokeo yake atakuwa anakwambia kichwa kinauma kila siku ukitaka kuwa mwili mmoja hahaha! |
Mwenyekiti wa Good News for All Ministtry (Great Vition 2000), Askofu Dk.Charles Gadi anatarajiwa kuongoza mkutano mkubwa wa kuliombea Taifa utakaofanyika kuanzia Julai 19 katika viwanja vya Biafra jijini Dar es Salaam ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ametajwa kuwa mgeni rasmi wa mkutano huo. |
hauwezi kubadilisha mtu kama wewe mwenyewe haujabadilika, kama mzazi ni mvaaji vibaya ni vyema akabadilika kwa kuwa yeye ni muonyesha njia kwa kuvaa vibaya uonyesha njia ni kwa namna gani watoto wake wanapaswa kuvaa. si mavazi tu bali katika maeneo mengi sana ya maisha mzazi ana nafasi kubwa ya kumsaidia au kumharibu mtoto kwa matendo yake, kwa mfano vipindi vya redio, au television uviangaliavyo kama muonyesha njia ndivyo unaweza mjenga au mharibu mtoto wako. |
I upendo pink flowers. ilitumwa zaidi ya mwaka mmoja uliopita |
Bao la tatu la Zlatan Ibrahimovic akipiga hat trick ya 17. |
friday at 11:19 pm #6 |
"forex biashara chati dola ya marekani kwa swiss franc kuishi, 07 desemba 2019" |
"kutoka kwenye cpanel yako chagua ""meneja wa picha""" |
weka oda utumiwe mzigo, malipo kwa tigopesa au airtel money |
uelewa ili wapate kujiunga. |
lakini haikuwa hivyo. yanga waliondolewa katika michuano kwa jumla ya magoli 3-2 mwezi april. wakaangukia katika confederation cup na niliamini kwamba mabingwa hao mara nyingi zaidi wa bara (26) walikuwa na kila sababu ya kuwaondoa waangola, timu ya esperanca na kufuzu katika hatua ya makundi kwa mara ya kwanza katika michuano hiyo. |