Search is not available for this dataset
text
stringlengths
0
186k
mfumo wa awali wa mapato na matumizi ya serikali katika kipindi cha muda wa kati (2019/20 - 2021/22)
"zijuwe timu 12 zitakazoshiriki ligi no 1 na 16 ligi no 2 zanzibar. - zanzinews
07/30/16--12:56: dc wa ilala sophia mjema aongoza zoezi la usafi manispaa ya ilala leo jijini dar
Idara ya Uratibu na Shughuli za SMZ, Dar es salaam imeondolewa kutoka Ofisi ya Rais Fedha, Uchumi na Mipango ya Maendeleo na kuhamishiwa Ofisi ya Makamu wa pili wa Rais.
"dk shein alisema polisi inatakiwa kuongeza nguvu za uchunguzi ili kukabiliana na matukio ya kikatili ya umwagaji wa tindikali, yanayoshamili visiwani humo hivi sasa."
reactions: syllae and ezz chezz
Akizungumza na Planet Bongo ya East Africa Radio, Dully Sykes amesema anapoamua kufanya ‘collabo’ na wasanii wadogo, hufanya hivyo kwa ajili ya amaisha yake ya kesho kwenye game, ili wakiwa […]
wezi wa sasa si wa kawaida na jina lao limebadilika
mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na saba alikuja mkuu wa wilaya wa wakati huo geoge mkuchuka ambaye kwa sasa ni waziri na kutueleza dhamira ya serikali ya kuchukua eneo hilo huku akisema tutalipwa fuidia baada ya miezi sita leo tumemaliza muongo mmoja tunaanza wa pili hakuna kitu haya ni maonezi tumefanyiwa
ikitokea kwamba barcelona na atletico wote wakashinda mechi zilizobaki – au japo mechi kadhaa zijazo- kikosi cha luis enrique kinaweza kushinda ubingwa wao wa 35 katika dimba la nou camp katika mechi dhidi ya sporting gijon katika mchezo wa 35 wa ligi (april 23/24).
"kwa mara ya kwanza 'mchongo chini ya kizibo' yampata mwana mama mshindi wa tv mwanza, huku washindi wengine wakichomoka na pikipiki. ~ g sengo
bora umemwambia..
Baada ya watuhumiwa hao kusomewa makosa mbalimbali, mwanasheria huyo alisema dhamana ipo wazi na masharti ya dhamana lazima yazingatiwe kwa mujibu wa vifungu vya sheria vya kosa vinavyoeleza.
startimes na tbc zasaini mkataba wa makubaliano (mou) mjini dodoma
mfano mzuri ni mwendakulima, kijiji cha wilayani kahama, mkoa wa shinyanga. wananchi wanalalamika ahadi za wawekezaji wa mgodi wa buzwagi, hazijatimizwa.
06/11/2012 jamii: hapa na pale kusoma zaidi
lizzy...umeongea vyema.
alisema akiwa hapo njiani, alipita mtu mmoja mwenye baiskeli akamchukua na kumpeleka katika kituo kidogo cha polisi cha ilma, ambako jana asubuhi ndugu zake walifika na kumchukua.
"ripoti mpya iliyotolewa leo na umoja wa mataifa kuhusu maendeleo ya binadamu, inaonya kwamba migogoro mingi inazuia hatua za maendeleo ya binadamu, ambazo sasa zinarudi nyuma katika nchi nyingi. haya ni mambo matano ya kuzingatia katika ripoti hiyo. 
Kila mtu anaweza kupata utukufu na fadhila zaMwenyezj Mungu akijitahidi zaidi kutoa huduma njema kwa wanadamu na kwa kutekeleza maamrisho ya Mwenyezi Mungu ambayo ni dhamana ya pekee ya kumtukuza binadamu.
Adrian ni msomi kijana makini. Tayari naona nyota yake imeanza kung'ara katika medani ya uongozi katika jamii. Nina imani atafika mbali katika jamii ya wa-Marekani weusi na Marekani kwa ujumla.
"nishati jadidifu mbadala endelevu wa makaa ya mawe | gazeti la rai
hawafanyi hivo kwa sababu hawana akili kama tulivo bin adam.click to expand.
"yeye ni mvumilivu na mwenye huruma kwa viumbe walio na upole, na wenye wema;"
"mwisho, tunamgeukia mungu na baba yetu na kumwomba atupatie hizo neema. sala inayofaa kuhitimisha mazungumzo yetu na baba yaweza kuwa sala ya bwana (sala ya 'baba yetu.')."
Matukio : Wizara ya Mambo ya nje Yashiriki Maadhimisho ya Miaka 45 ya Taifa la Oman
Viongozi hao wataamua iwapo wataipa Ugiriki pesa nyingine za matumizi ambazo zimecheleweshwa kutokana na sintofahamu kati ya taifa hilo na mataifa na mashirika yanayoidai Ugiriki.(BBC)
ukubwa wa mchezo: 7.64 mb
afisa wa umoja wa mataifa anayehusika na masuala ya kibinadamu amesema kuwa chanzo cha kuwepo kwa ukosefu wa mara kwa mara wa chakula katika eneo la sahel kinastahili kushughulikiwa. (sauti ya george njogopa)
aidha balozi parham alisema hawategemei kwamba tanzania inaweza kufanya maajabu katika maendeleo kwa sababu bajeti ya serikali ya tanzania ni ndogo mno ukilinganisha na majukumu iliyonayo
hili ndilo kabila ambalo mwanamke hupendwa kwa kuc...
katika hatua nyingine, kibusi aliwataka wachimbaji na wafanyabiashara wa madini kuacha utoroshaji wa madini na kuanza kutumia masoko ya madini yaliyoanzishwa.
"dk. kigwangalla ampongeza mbunge wa kibaha mjini, ."
"baada ya wiki ya mechi mbili za el clasico na moja ya ligi ya mabingwa ulaya, ndoto zao zilifutika, huwezi kuficha kitu. je, zidane atakuwa shujaa wa real madrid kwa mara nyingine bila ronaldo?"
Basi katika kufikiria wenzetu, tugawe nyama hiyo tunayochinja kama inavyoelezwa na kuwafikiria zaidi masikini.
katika hisa: 3486 pcs
waislam wahimizwa kujiunga na benki zisizotoza riba
"syria, kwa uhakika, inajihami na maangamizi yanayoendeshwa na israel na serikali yake kibaraka ya marekani. kuangushwa kwa syria hakujaenda vizuri, kwa sababu warusi na wachina hawakuridhia, kama walivyofanya kipumbavu libya."
Gurumo hafichi kitu juu ya ujana wake kwa kueleza mbali na 'ubitozi' aliokuwa nao, pia alikuwa 'gangwe' enzi zake na pia aligeuzwa mtumwa wa pombe kutokana na kuwa mlevi aliyepitiliza.
Wana jf naomba ushauri wenu | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Programu Ya Jiandalie Ajira Yazinduliwa Rasmi | LIWALE BLOG GuidePedia
Unaweza kupata maelezo ya ziada katika http://ARCAMEDA.COM na bonyeza juu ya Usimamizi wa Uzito.
mambo ya kufanya. kuliko kutafuta sifa, onyesha kiasi. biblia inasema: “kwa maana yeyote akifikiri kuwa yeye ni kitu wakati yeye si kitu, anaidanganya akili yake mwenyewe.” kufikiri hivyo hakuonyeshe kama mutu amefanikiwa.— wagalatia 6:3.
wakati kugusa moja ya alama kwenye ramani, habari mazungumzo itaonekana. hii dialog habari na wajumbe wa jina, picha, mitaani, na habari kuhusu eneo.
we encourage all localization teams of various languages to also view our work and give comments.
china style ya kijani kusubiri umma saluni kiti mo ...
Hata hivyo, habari nyingine zinasema iwapo kuna mpango huo, Mwigulu anaweza kuondolewa kutokana na utaratibu wa chama hicho kuwaondoa kwenye sekretarieti wajumbe wake wanaoteuliwa kushika nyadhifa serikalini.
02/26/16--08:11: _tanzania women of a.
wakazi wa miji ya tarime mjini sirari na nyamongo wakiwemo wafanyabiashara wa maduka wamezilalamikia mamlaka mbalimbali za serikali kwa kushindwa kuwadhibiti wauzaji holela wa mafuta ya petroli na dizeli wanaofanya biashara hiyo katika maeneo yasiyo rasmi
Tunataka kuufanya mji wa Dodoma kuwa wa kisasa ili uendane na hadhi ya kuwa Makao Makuu ya Chama na Serikali.
Ndoa batili ni ile ambayo imefungwa ikiwa na vizuizi au vikwazo vinavyoleta kasoro kubwa na kuifanya isiwe halali.
[6.26] nao huwazuia watu, na wao wenyewe wanajitenganayo. nao hawaangamizi ila nafsi zao tu, wala waohawatambui.
dah. dah yaani unafanya unafanya manunuzi ya bidhaa kwa bei mara 10 zaidi ya thamani yake sokoni ambayo haipungui 5m ndiyo unaingia.kisha utafute watu wengine 2 wafanye manunuzi ya 10m ndiyo upewe laki 4. yaani chini ya 3% ya biashara uliyofanikisha
"wakati mwingine na wewe unakuja na idea leo tufanye hivi, siyo unakaa tu unataka kila kitu ufanyiwe hata wanawake tunapenda wanaume wabunifu."
akizungumzia kuhusu la baraza la wahitimu alisema lilianzishwa kwa mujibu wa sheria ya chuo na lipo chini yake na lengo kubwa ni kupata na kutunza orodha ya wahitimu pamoja na anuani zao, kuandaa mikutano na makongamano yenye mada zinazohusu maendeleo ya chuo pamoja na serikali na jamii kwa ujumla na kutafuta vyanzo vya mapato ya kusaidia maendeleo ya chuo.
Ni mwanamke maarufu zaidi duniani, huenda akawa anajulikana kumzidi hata rais wa Marekani.
"hakika tangu kuanzishwa kwa shirika la nurul-kafeel hadi leo limekua makini sana na hufanya uchunguzi wa kina katika bidhaa zake zote kabla ya kuziingiza katika soko la iraq, huangalia waranti wa kiwanda na mwisho wa matumizi, na bidhaa zetu zitokazo nje ya nchi hufanyiwa vipimo vyote katika maeneo ya mipakani, tuna vielelezo vya kila kitu kwa mujibu wa kanuni za afya, wala hua hatupokea bidhaa yeyote ambayo haijatimiza masharti, kuna bidhaa ambazo hazikutimiza masharti shirika lilizikataa kabla ya kuziingiza hapa nchini kwa ajili ya kulinda afya za wananchi."
↑ fujikawa, jenn (february 9, 2018). the architectural inspirations behind wakanda in marvel studios' 'black panther'. marvel.com. jalada kutoka ya awali juu ya february 13, 2018. iliwekwa mnamo february 13, 2018.
kikundi cha ngoma maarufu kwa jina la kihoda kutoka kijiji cha kihungu kata ya kihungu wilayani mbinga kikitumbuiza kufurahia kuletewa huduma ya mawasiliano ambayo ilikuwa ni kitendawili kwao kwa kuwa awali iliwalazimu kupanda juu ya miti au milima kutafuta mawasiliano, lakini kwa sasa suluhisho limepatikana kupitia mtandao wa kimataifa wa ttcl.
AVL Uturuki, kwa upande mmoja kutoka duniani kote kwa zaidi ya 30 iko AVL kutoa teknolojia ya mara kwa mara na kituo cha uhandisi katika Austria alama tofauti ya kuwa moja ya vituo kubwa ya vituo mbili; Kwa upande mwingine, AVL inaendelea kutoa ujuzi wake wa kimataifa na utaalamu wa huduma ya sekta ya kitaifa na sekta binafsi. AVL Uturuki kwa mantiki hii, aliamua kuongeza kazi ya kubuni asili, mifumo na mitambo ya umeme nchini Uturuki, baada ya muda mfupi sana wa ufunguzi wa kwanza R & D kituo cha alitumia pili yake R & D kituo cha mwezi Juni 2016. Katika 1000 mxnumx'lik eneo hilo, imara na uwekezaji wa $ milioni 2 pili R & D kituo cha itakuwa ya kwanza katika uwanja magari Sultanbeyli Kartal Uturuki na timu ya wahandisi 2 watu ni maandalizi kwa kufanya mradi. AVL Uturuki, Huduma leo uhandisi katika Uturuki, mifumo ya kupima na uhandisi za programu kutoa mchanganyiko huleta tofauti katika sekta kama ufumbuzi mpenzi tu.
"polisi wa korea kusini waliahidi kufanya uchunguzi wa nchi nzima ili kujua mtandao wa hawa wakala wa ndoa, ili kujua ndoa zilizosajiliwa na zisizosajiliwa.
Mtume akasema juu ya mtu ambaye alikuwa kuibiwa joho na kuwaambia ambapo ilikuwa.
semina (gdss) ya wiki hii
"aidha dkt. kazungu, amekitaka chuo hicho kujikita katika ubunifu kwa kubuni program mbalimbali za kitaaluma zitakazowavutia wanafunzi, jambo litakaosababisha ongezeko la wanafunzi na kuimarika kwa kipato cha chuo, hivyo kupunguza utegemezi kwa bajeti kuu ya serikali."
Madrid ipo alama sita juu ya timu zilizo kwenye mstari wa kushuka daraja na alama saba nyuma ya vinara Fc Barcelona.
"nchi ziloungana hutengeneza katiba; mambo ya mkataba yanahusu mahusiano ya raia katika nchi, na mara nyingi tunasikia kesi mahakamani za raia kushtakiwa kwa kuvunja mkataba. huwezi kujenga taifa la kisasa liloungana kwa kutegemea mkataba ambao upande mmoja unaweza kutoa notice ya miezi mitatu, au muda muafaka kutoka kwenye huo mkataba. tahadharini, chonde chonde ujiti na macho. lakini yote haya, hupewa nguvu na watu ambao kwa kujua au kutambuwa, hufanya kusudi kutoa ushauri wa kikatiba ambao utapendelea upande mmoja, hasa katika ushirika wa kuongoza nchi."
kadhalika sauko alisema kwamba imefikia wakati sasa tff ikasimama katikati kuhusu suala la kiungo athumani idd aliyesaini yanga kutoka simba
Kwa upande wake Katibu wa Baraza la Wafugaji Ngorongoro James Moringe alisema, pamoja na NCAA na Baraza hilo kutenga fedha za ununuzi wa mahindi bado kunahitajika msaada zaidi kutoka serikalini.
""ninaamini kwa kuwa simba wako nyumbani, na wameshajifunza na makosa yaliyopita, watapata matokeo lakini kinachotakiwa ni simba kufunga bao la mapema ambalo kwanza litawapa hamasa simba pamoja na mashabiki wake kuwa na nguvu ya kushangilia lakini pia litawachanganya as vita."""
norway na zanzibar
mchezo rating: 3.93 nje 5 (43 makadirio)
"anataaamba! ndivyo unavyoweza kusema baada ya mama wa staa wa bongo fleva, nasibu abdul 'diamond platnumz', sanura kassim 'mama d' kuonekana akijiachia kwa nyodo asilimia mia na mumewe, maisara shamte 'anko'. tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia jumatano wiki hii katika viwanja vya samaki- samaki ndani ya mlimani city jijini dar ambapo kulikuwa na uzinduzi wa albam ya changes ya dj wa diamond, romy jones."
mbogo alidai kuwa januari ishirini na tatu mwaka huu saa saba thebathini usiku katika barabara ya kinondoni mwinjuma watuhumiwa hao wakijua kuwa ni kinyume cha sheria bila halali na kwa kukusudia walimuua fundikira na upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika
hema la mkutano katika mchoro wa karne ya 19.
"afisa uanachama mfuko wa taifa wa bima ya afya mkoani tanga(nhif),sophia akizungumza katika uzinduzi huo kulia ni meneja wa mfuko wa taifa wa bima ya afya mkoani tanga,ally mwakababu"
amesema chanjo zinasaidia kuokoa maisha ya wanadamu na kuwataka wazazi waitumie wiki hii kuwapeleka watoto wao ambao hawajapata chanjo na wale waliokuwa hawajamaliza ili kukamilisha chanjo hiyo.
Aidha ameongeza kuwa waongoza watalii wamekuwa wakitoa huduma bora, usalama wa wageni wenyewe hivyo kuwa sehemu ya watumishi wa hifadhi ya mlima Kilimanjaro.
Katika kufikia uamuzi wa nchi zipi zialikwe kwenye mikutano ya G-8 ni lazima nchi hizo pamoja na viongozi wake wawe na viwango na sifa zinazokubalika duniani.
kuzingatia kwamba taifa limekumbwa na mikasa mimgi na mikubwa iliyogusa hata
uvumilivu, uamuzi na imani kubwa katika ujumbe ni nini inachukua kuifanya ulimwengu kuwa mahali bora zaidi. bravo mheshimiwa santosh otswal!
CalcProfi: Online calculator / Mtambo wa kubadilisha, kiwango cha calculator / Czech kronor Kwa Cambodia riel Kiwango cha ubadilishaji
"- pia, anayataka mataifa hayo kuzungumza baada ya mwenyekiti wa iebc kukiri kuwa tume hiyo haina uwezo wa kuandaa uchaguzi huru na wa haki kwa sasa"
wakati huo, maelekezo yote kuhusiana na utoaji mkataba kwa richmond yalikuwa yakifanyika chini ya lowassa, kwa mujibu wa waziri wa nishati wakati huo, dk. ibrahim msabaha.
Kati ya Morgan Freeman, Denzel Washington na Samuel Jackson nani mkali?
discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by olaigwanani lang, oct 19, 2012.
Liewig afichua Behind the scene ushindi wa Stand United dhidi ya Yanga | ShaffihDauda
• rosari ya bikira maria mama wa msaada wa daima. 08 jun 2015 12:52, (sala). rosari ya bikira maria mama wa msaada wa daima
unaionaje hii? tuesday, 16 october 2007
lori la mafuta laanguka na kuua dereva kagera.waliochota mafuta wakamatwa
"naye kuhani atainyunyiza damu yake juu ya madhabahu ya bwana, mlangoni pa hema ya kukutania, na kuyateketeza mafuta yake, yawe harufu njema mbele za bwana.
trevor ombija gives his fans sneak peek of his house while anchoring news from home
"hata hivyo, walikubaliwa kuingiza ndani basi lao walilokodi na wachezaji waliingia haraka bila kufuata ukaguzi wa idara ya uhamiaji."
huyo kwenye mabano ndio supervisor http://www2.warwick.ac.uk/fac/soc/wie/research-new/leadership/phdstudentsclick to expand...
"kama ilivyoelezwa tayari, berries ya aina hii ni kubwa sana. urefu wa berry moja unaweza kutofautiana kutoka sentimita 2.1 hadi 2.9, wakati urefu wake unatoka kati ya 1.8 hadi 2.3 sentimita. wakati huo huo, kondoo moja ya ""zabibu"" ya zabibu ni kuhusu gramu 7-9. kwa kuonekana, pia hutofautiana katika sura ya mviringo au mviringo-mviringo."
"""nina imani kabisa kuwa nitashinda,"" bersani amesema katika moja kati ya mahojiano yake kabla ya jumamosi, ambapo wagombea hawaruhusiwi kufanya kampeni."
"mafunzo haya yamejumuisha utengenezaji wa batiki, vikoi, utengenezaji wa mafuta, sabuni na usindikaji wa vyakula na matunda."
mmoja wa wawakilishi hao kutoka jimbo moja la mkoa wa kusini pemba na ambaye ana nyumba yake katika wilaya ya magharibi b unguja ameiambia mzalendo.net kuwa mwishoni mwa wiki iliyopita, watu wenye gari nyeupe toyota hilux walikwenda kwenye mtaa wake na kuulizia nyumba anayoishi yeye.
"loggerenberg van, b.; cucchiaro, s. (1982). ""productivity measurement and the bottom line"". national productivity review 1 (1): 87-99. doi:10.1002/npr.4040010111"
na mwandishi wa kugandia(embedded journalist)
ukifuatilia unaona kuwa dhamira ilikuwa njema kabisa, maana wale wavuvi walikuwa wanavua tanzania sehemu ya maji ya kina kirefu. mambo yalipokwenda kwenye sheria, hali ikawa mbaya kwa nchi.