url
stringlengths 14
2.45k
| text
stringlengths 2
331k
|
---|---|
https://www.baseattackforce.com/?r=tabbafwwa&clickid=GiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCD6oF4ozIar5rGe6qHqATDmpUE&utm_source=taboola-nationmediagroup-dailynation&utm_medium=tabbafwwa&utm_term=If+you+have+a+mouse%2C+this+game+will+keep+you+awake+all+night+long.&tblci=GiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCD6oF4ozIar5rGe6qHqATDmpUE#tblciGiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCD6oF4ozIar5rGe6qHqATDmpUE | ENGLISH
DEUTSCH
FRANÇAIS
ESPAÑOL
Javascript needed
No Download: Play Now
Choose your Player Name
I agree to the
Terms
and
Privacy Policy
.
:
▽
Base Attack Force is a real time strategy game, that you can play directly in your browser.
BAF
|
DITOGAMES
|
Privacy
|
SUPPORT
|
Imprint
|
Navy Quest Game
|
Terms
|
HELP PAGES
LOGIN |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/elias-msuya-2872238 | Hello
Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa
Ready to continue your informative journey with us?
Hello
Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.
Reclaim your full access. Click below to renew.
# Elias Msuya
Elias Msuya is a senior journalist working with Mwananchi Communications Ltd since 2008, specialized in Political and Investigative news reporting and analysis.
He has also worked with Thomson Reuters Foundation in Illicit Finance Trainings and reporting in Kampala Uganda and Switzerland in 2014, he has also attended the Rural Transformation through Financial Inclusion training at the International Fund for Agriculture (IFAD) headquarters in Rome Italy in 2017.
Elias Msuya holds a BA in Political Science and Public Administration from the Open University of Tanzania (OUT) and also hold a Basic Certificate in Journalism.
Wrote articles
Elias Msuya is a senior journalist working with Mwananchi Communications Ltd since 2008, specialized in Political and Investigative news reporting and analysis.
He has also worked with Thomson Reuters Foundation in Illicit Finance Trainings and reporting in Kampala Uganda and Switzerland in 2014, he has also attended the Rural Transformation through Financial Inclusion training at the International Fund for Agriculture (IFAD) headquarters in Rome Italy in 2017.
Elias Msuya holds a BA in Political Science and Public Administration from the Open University of Tanzania (OUT) and also hold a Basic Certificate in Journalism.
Latest articles written by **Elias Msuya**: |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/kabudi-awafunda-mawakili-wa-serikali-4848570 | # Kabudi awafunda mawakili wa Serikali
## Muktasari:
**Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Paramagamba Kabudi ameeleza changamoto tano walizoziona kwenye upande sheria nchini kwa kipindi cha miaka saba alichokuwa kwenye timu maalumu ya majadiliano ya Rais.**
**Dodoma**. Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Paramagamba Kabudi ameeleza changamoto tano walizoziona kwa upande wa sheria kwa kipindi cha miaka saba akiwa kwenye timu maalumu ya majadiliano ya Rais kwenye upande wa sheria na uandikaji wa mikataba ya kimataifa.
Profesa Kabudi ameeleza hayo leo Ijumaa, Desemba 6, 2024 wakati akifungua kikao kazi cha Wanasheria wa Serikali kikao kilichoandaliwa na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali jijini Dodoma.
Profesa Kabudi amesema yapo mambo mengi ambayo waliyabaini wakati wanafanya kazi kwenye timu hiyo likiwemo la baadhi ya watendaji wa taasisi za Serikali kutokuwa na uelewa wa namna ya utekelezaji wa baadhi ya masharti yaliyomo katika hati za makubaliano yaliyofikiwa baina ya Serikali na wawekezaji kwa hivyo yalikuwa yanawatia hofu wawekezaji.
Amesema hiyo inatokea kwa sababu watendaji hao hawaelewi na wanapozungumza na wawekezaji badala ya kuwafafanulia waelewe, wajue sheria wao wanawaongezea hofu.
“Kumbe lilikuwa ni jambo la kufafanua, jambo la kueleza jambo la kuweka sawa, matokeo yake sasa tumeruhusu tafsiri nyingi za sheria zisizokuwa sahihi kuzagaa,” amesema Profesa Kabudi.
Amewataka wanasheria hao kama kuna jambo ambalo hawalielewi au kulifahamu vizuri hakuna sababu ya kuonyesha wanajua na badala yake wanatakiwa kwenda kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupata ufafanuzi.
Kukabiliana na hilo, ameweka msisitizo kwa wanasheria hao kutotoa majibu ya haraka kama hawaelewi jambo badala yake wanatakiwa waombe wapewe muda wa kwenda kushauriana na wenzake na mwisho kabisa warudi kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali
“Sasa tumekuwa na tafsiri nyingi zisizokuwa sahihi za sheria zetu na tumejenga taswira ya kwamba sheria zetu zina upungufu mwingi ambao haupo, kwa sababu huo unaoonekana ni upungufu, ni upungufu wa sisi kuelewa lakini kutokukubali kwamba hatuelewi na kutokuelewa kwetu,” amesema Profesa Kabudi.
Amesema jambo jingine alilolibaini kwa kipindi hicho ni uchache wa wataalamu mahiri wa majadiliano na waliobobea katika maeneo mbalimbali.
Amesema hiyo inatokana na wanasheria wengi wamefundishwa kuwa kazi yao ni kushtaki na kusimamia kesi, lakini wanapotakiwa kwenye meza ya majadiliano wanapwaya kwa sababu hawana weledi kwenye upande huo wa majadiliano.
Pamoja na hayo Profesa Kabudi amesema kuna pengo kwenye kubaini ujanja, mbinu na hila za ukwepaji kodi, uhamishaji wa faida kwa kutumia mitandao ya makampuni yaliyoundwa katika maeneo, ambayo ni mahususi kwa ukwepaji wa kodi na uhamishaji wa faida.
Jambo jingine ni uvamizi wa maeneo ya leseni au maeneo ya ardhi na kuingia makubaliano na mwekezaji kwa lengo la kulipwa faida kwa mtindo wa tegesha kwa sababu baadhi ya mashauri mengi wanayoyapata hivi sasa yanayohusu ardhi ni watu wanajua eneo fulani yatapita maenedeleo fulani wanawahi halafu wanategesha.
Jambo jingine walilolibaini ni makampuni kusisitiza kuendelea kutumia mahakama za nje kwa masuala ya usuluhishi wa migogoro na sisi kutokuwapa maelezo ya mashauri ambayo yapo na yametatuliwa ndani ya nchi na bado wawekezaji wakashinda.
“Tulikuwa na shauri la barabara ya kutoka Dar es Salaam kwenda Bagamoyo ambapo usuluhishi ulifanyika Tanzania na Mahakama Kuu ya Tanzania ilikubali ile tuzo sasa tukiwaeleza aina hiyo ya maeneo ambayo wamefanya mashauri yao hapa wakashinda na Serikali ikalipa fidia, kama ilivyo utaratibu tutajenga imani ya kuendelea kuimarisha mtindo wetu,” amesema Profesa Kabudi.
“Mengine tuliyoyaona ni kwamba yapo matatizo ndani ya watendaji wa Serikali ambao wanadhani mwanasheria anahitajika tu panapokuwepo mgogoro wa kisheria kwa hiyo wakati wa maandalizi ya majadiliano mwanasheria hatafutwi. Wakati wa majadiliano mwanasheria hatafutwi au hata akishirikishwa anashirikishwa juu juu, lakini inapotokea mgogoro sasa mwanasheria anaitwa afanye miujiza na asipofanya miujiza yeye ndiye aliharibu na yeye ndiye analaumiwa na kubeba mzigo.
Amesema moja ya njia za kuepuka migogoro ni Serikali kuwa makini kutekeleza makubaliano ya kimkataba baina ya Serikali na serikali za nchi nyingine au Serikali na kampuni za kimataifa hususani masharti ambayo yakivunjwa au kutozingatiwa ipo athari za kushtakiwa katika mahakama ya kimataifa ya usuluhishi.
Mikataba hiyo ni pamoja na mikataba ya kimataifa ambayo mataifa ya kigeni yameingia na Serikali kwa lengo la kulinda mali na kuhifadhi maslahi ya wananchi wa mataifa yao.
“Wawekezaji hawaji hapa kama wahisani lakini pia nchi zetu hazipo hapa kuendelea kudhulumiwa, kwa hiyo ni lazima tuje na hilo kuhakikisha kuwa kila upande unanufaika,” amesema Profesa Kabudi.
Amesema taasisi za Serikali zinapaswa kutambua kwamba makubaliano yoyote baina ya Serikali na nchi nyingine na wawekezaji ni makubaliano ambayo yanaifunga nchi na Serikali yake kisheria na kwamba kila chombo au taasisi kwa kadri ya kuhusika kwake katika utekelezaji inapaswa kuzingatia makubaliano hayo.
Amesema kwa sasa wametoa angalizo kwamba umuhimu mkubwa uwekwe kwenye majadiliano kwa sababu kazi isipofanyika vizuri kwenye majadiliano watapata mikataba na makubaliano yanayowafunga kisheria ambayo hawataweza kukwepa
“Kwa hiyo umakini mkubwa uwe kwenye majadiliano kwa sababu tukiharibu kwenye majadiliano gharama yake tutailipa mbele ya safari.
“Ndiyo maana bado tutafikisha suala hilo la kuwa na chombo maalumu cha kusimamia mikataba ili mapema kabisa kubaini maeneo ya migogoro na kutafuta njia ya kuyamaliza mapema bila kulazimika kwenda mahakamani,”
Amesema kwa sasa dira na malengo la mijadala iwe ni kupata njia mbadala ya fidia kama vile kutoa njia nyingine badala ya wakati wote kwenda katika majadiliano hayo. Pia watumie njia za kidiplomasia za kutatua baadhi ya hii migogoro.
Amewataka wanasheria hao wa Serikali kutambua kuwa wanaitumikia Serikali na wananchi wake na Serikali ni moja tu hivyo hawana budi kushirikiana kwenye majukumu yao.
Mbali na hilo amewataka wanasheria hao kuheshimu maamuzi yanayotolewa na mahakama ili kujenga imani kwa wananchi badala ya kutotekeleza uamuzi unaotolewa na mahakama na kama kuna kutokuridhika na uamuazi huo wafuate taratibu za rufaa.
Kwa upande wake Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema katika kikao hicho wataangalia ni namna gani wataweza kufanya majadiliano, uandishi na usimamizi wa mikataba hasa ile ya kimataifa.
“Changamoto siwezi kusema ni kubwa kiasi hicho la msingi ni namna gani mnakumbushana jinsi ya kufanya usimamizi na majadiliano na namna ya kuandika mikataba hiyo hasa ile ya kimataifa ili kupunguza changamoto zote ambazo zinaweza kujitokeza, na siyo kwenye eneo hilo tu bali na maeneo mengine ambayo yanaweza kujitokeza kwenye eneo la sheria,” amesema Johari.
Amesema kwa sasa wanawekeza nguvu zaidi kwa wanasheria wa halmashauri kwa kuwa wao ndiyo wako karibu zaidi na wananchi.
Amesema kikao hicho kitawawezesha kuzungumza masuala mbalimbali yanayowahusu kwenye sekta ya sheria hasa ushirikiano baina yao.
Naye Wakili Mkuu wa Serikali, Dk Ally Possi amesema ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali inatoa mchango mkubwa kwa wananchi kuhusu masuala mbalimbali ya kisheria ambapo kwa sasa wanasimamia masuala yote ya mashauri ambayo Serikali imeshtaki au imeshtakiwa. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/profesa-kabudi-ataka-elimu-ya-biblia-shuleni-4833862 | # Profesa Kabudi ataka elimu ya Biblia shuleni
## Muktasari:
**Amesema kuanzishwa kwa masomo hayo kuende sambamba na kutenga fedha kwa ajili ya uchapaji na ugawaji wa Biblia bure.**
**Mbeya**. Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabuni amewataka viongozi wa dini ya Kikristo nchini, kuungana na kuanzisha programu maalumu ya mitaalaa ya elimu ya mafundisho ya Biblia kuanzia elimu ya awali, msingi na sekondari kwa lengo la kulinda maadili kwa vijana.
Amesema kuanzishwa kwa masomo hayo kuende sambamba na kutenga fedha kwa ajili ya uchapaji na ugawaji wa Biblia bure, zenye mtaalaa mmoja wa kufundisha baina ya dhehebu moja na jingine na kutoa ajira kwa walimu wa dini nchini.
Profesa Kabudi ametoa wito huo leo Jumamosi, Novemba 23, 2024 alipokuwa mgeni rasmi wakati wa ibada ya kumweka wakfu Askofu mteule wa Kanisa Baptisi Kanda ya Kusini Magharibi, Mchungaji Sylvester Mbwaga.
“Nasema hivyo kwa sababu dunia imebadilika kutokana na kukua kwa teknolojia za utandawazi, hali inayosababisha watu kufika mbali kwa kuamini Mungu hayupo jambo ambalo sio sahihi,” amesema.
Profesa Kabudi amesema lengo la kusisitiza uanzishwaji wa mitalaa ya elimu ya Biblia shuleni ni kuokoa vijana kuporomoka kimaadili na kuingia kwenye upepo mbaya.
“Suala hilo halina mjadala wala kuhitaji ufadhili, nendeni muweke mikakati ya uanzishwaji wa mitalaa sambamba na elimu ya masuala ya familia na ndoa,” amesema.
Wakati huohuo, amemtaka Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Beno Malisa kushirikiana na uongozi wa kanisa hilo kuanza mchakato wa kukipandisha hadhi Kituo cha Afya Uhai Baptisti kuwa hospitali ili kuboresha huduma kufuatia ombi lililotolewa kwake.
“Uhai Baptist ni zao la Hospitali ya Rufaa Kitengo cha Wazazi Meta kabla haijawa chini ya Serikali, tunatambua mchango wenu ombi lenu la kupandishwa hadhi, nimetoa maelekezo kwa ngazi ya mkoa,” amesema.
Profesa Kabudi amewataka viongozi wa dini kuombea uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024 na kuhamasisha waumini kupiga kura kuchagua viongozi watakaokuwa chachu ya kuleta maendeleo.
Kwa upande wake, Askofu Mkuu wa Kanisa hilo, Anord Manase amewataka viongozi wa vyama vya siasa kuacha kuvutana, bali watambue uongozi ni kipawa kutoka kwa Mungu.
“Uongozi wowote ni kipawa ambacho Mwenyezi Mungu kamwandalia mwanadamu, sio vita wala kuingiza tamaa katika uongozi,” amesema.
Naye Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Beno Malisa amewataka viongozi wa dini kuendeleza amani katika Mkoa wa Mbeya, pia, amewataka waumini kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa ili kupata viongozi wawatakao kwa maslai ya Watanzania.
“Hamasisheni waumini kushiriki chaguzi zilizo mbele yetu pamoja na kuwa waumini wazuri wa kujenga imani ya kujikita katika shughuli za kiuchumi ili kujikwamua kiuchumi,” amesema.
Muumini wa kanisa hilo, Chuma Amos amesema watashiriki kikamilifu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account/signup?redirect_to=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/kabudi-nitafanyia-kazi-sera-ya-umiliki-vyombo-vya-habari-4862026 | ### Account Register
# Register
# Welcome!
You are already signed in.
Tafadhali angalia ujumbe umetumwa ili kupata kiungo cha kuthibitisha akaunti yako. Kumbuka kuangalia ujumbe zilizofichwa kwenye baruapepe zako —
You are already signed in.
Tafadhali angalia ujumbe umetumwa ili kupata kiungo cha kuthibitisha akaunti yako. Kumbuka kuangalia ujumbe zilizofichwa kwenye baruapepe zako — |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account/signin?redirect_to=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/kabudi-nitafanyia-kazi-sera-ya-umiliki-vyombo-vya-habari-4862026 | ### Account Sign in
# Sign in
# Welcome!
You are already signed in.
Tafadhali angalia ujumbe umetumwa ili kupata kiungo cha kuthibitisha akaunti yako. Kumbuka kuangalia ujumbe zilizofichwa kwenye baruapepe zako —
Je, huna akaunti?
Sajili
You are already signed in.
Tafadhali angalia ujumbe umetumwa ili kupata kiungo cha kuthibitisha akaunti yako. Kumbuka kuangalia ujumbe zilizofichwa kwenye baruapepe zako — |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account/subscribe?redirect_to=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/kabudi-nitafanyia-kazi-sera-ya-umiliki-vyombo-vya-habari-4862026 | ### Account Subscribe
# Subscribe
Hello
Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa
Ready to continue your informative journey with us?
Hello
Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.
Reclaim your full access. Click below to renew.
## Nation.Africa
For corporate packages please contact us directly. Call +254(0)20-328-8033
# Forgot your password? Please fill in your email address.
### You can also pay using **Lipa na MPESA** by using the following instructions:
1. Go to the M-PESA menu
2. Select Lipa na M-PESA
3. Select the **Paybill** option
4. Enter business number:
5. Enter your account number:
6. Enter the amount:
7. Enter PIN and press OK to send
8. You will receive a confirmation SMS with your payment
## Kwa nini ujisajili?
Asante kwa kujiunga nasi! Dhamira yetu Mwananchi ni kukuwezesha msomaji wetu kupitia uandishi huru wa kina unaoakisi dunia yako. Unapoendelea kutuamini, unatuwezesha kutekeleza dhima yetu ya Kuwezesha Taifa. Tupo kwa ajili yako! Kwa taarifa ama msaada zaidi, wasiliana nasi kupitia [email protected] ama +255 754 780 647.
## That's it. You are all set!
Thank you for becoming part of our journey. You will be redirected back to the article in ** seconds
**
### We have noticed that the amount you paid is less than the expected total amount. Your payment has been received, but there is an outstanding balance. Please follow the following instructions to clear the balance.
1. Go to the M-PESA menu
2. Select Lipa na M-PESA
3. Select the **Paybill** option
4. Enter business number:
5. Enter your account number:
6. Enter the amount:
7. Enter PIN and press OK to send
8. You will receive a confirmation SMS with your payment |
https://www.facebook.com/sharer/sharer.php?u=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/kabudi-nitafanyia-kazi-sera-ya-umiliki-vyombo-vya-habari-4862026 | Facebook
Barua pepe au simu
Nenosiri
Umesahau akaunti?
Jisajili
Notice
You must log in to continue.
Ingia kwenye Facebook
Ingia
Umesahau akaunti?
Fungua Akaunti Mpya
Kiswahili
English (US)
हिन्दी
ગુજરાતી
العربية
Deutsch
Italiano
Français (France)
Português (Brasil)
Español
中文(简体)
Jisajili
Ingia
Messenger
Facebook Lite
Video
Maeneo
Michezo
Marketplace
Meta Pay
Duka la Meta
Meta Quest
Ray-Ban Meta
AI ya Meta
Instagram
Threads
Uchangishaji
Huduma
Kituo cha Taarifa za Kupiga Kura
Kanuni ya Faragha
Kituo cha Faragha
Vikundi
Kuhusu
Unda Tangazo
Unda Ukurasa
Wasanidi programu
Ajira
Vidakuzi
Chaguo za Matangazo
Masharti
Msaada
Kupakia Waasiliani na Wasio Watuaji
Mipangilio
Kumbukumbu ya shughuli
Meta © 2024 |
https://wa.me/?text=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/kabudi-nitafanyia-kazi-sera-ya-umiliki-vyombo-vya-habari-4862026 | ## Send the following on WhatsApp
Continue to Chathttps://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/kabudi-nitafanyia-kazi-sera-ya-umiliki-vyombo-vya-habari-4862026
https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/kabudi-nitafanyia-kazi-sera-ya-umiliki-vyombo-vya-habari-4862026 |
https://www.grammarly.com/a?utm_source=taboola&utm_campaign=10075983&utm_medium=cpc&utm_content=nationmediagroup-dailynation&utm_placement=Desktop&tblci=GiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCD67j4o2qLx766F-5t2MOalQQ#tblciGiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCD67j4o2qLx766F-5t2MOalQQ | # You can win at work.
Take our word for it.
Work with an AI writing partner that helps you find the words you need—to write that tricky email, to get your point across, to keep your work moving.
The user composes a project proposal using Grammarly, User can use Grammarly to make text more persuasive,user can use writing suggestions to add a deadline to a Slack message being sent
Trusted by 50,000 organizations and 40 million people
## Better writing,
better results
Be perfectly professional, clear, and convincing in a few clicks, not a few hours.
## The right text
for the context
Get personalized suggestions based on what you’re writing and who will read it.
## Works where
you work
Grammarly works across all the apps and sites you use. No copying, no pasting, no context switching.
## Never go out of style
Grammarly understands both your personal style and your brand style guide to help you find your voice.
## This is responsible AI
Don’t compromise on security. We never sell your data, provide it for advertising purposes, or allow third parties to use it to train their models.
Learn More
Learn More
For Enterprise
## What’s the ROI on Better Writing?
17x. Organizations that deploy Grammarly save an average of $5,000 per employee per year.
Data stays private, productivity rises, inbox numbers drop, and teams can focus on
what they should do, not on how they should say it.
### 20 days
saved annually per user
Mihai Fonoage
VP of Engineering
Learn More
### 50%
fewer writing and editing hours
Jenna Kozel-King
VP of Corporate Marketing
Learn More
### $210K
saved in the first nine months
Lauren Reed
Content Strategist
Learn More
### 3x
faster editing process
Tonya Fowler
Global Research VP & Practice Leader
Learn More
### 66%
improvement of writing quality
Debbie Cotton
Sr. Manager, Culture and Communications
Learn More
### 92%
style-guide feature adoption
Janine Anderson
Managing Editor
Learn More
### 4.9/5
customer satisfaction rating
Jimmy Snyder
Associate Director of Platform Support
Learn More
## Great writing gets work done
Work smarter with the AI writing leader for more than a decade. |
https://panzer.quest/?r=tabpq1wwc&clickid=GiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCD7oF4oqKm_quuM84wMMOalQQ&utm_source=taboola-nationmediagroup-dailynation&utm_medium=tabpq1wwc&utm_term=You+will+never+turn+off+your+computer+again%2C+if+you+own+a+mouse.&tblci=GiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCD7oF4oqKm_quuM84wMMOalQQ#tblciGiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCD7oF4oqKm_quuM84wMMOalQQ | ENGLISH
DEUTSCH
FRANÇAIS
ESPAÑOL
Javascript needed
No Download: Play Now
Choose your Player Name
I agree to the
Terms
and
Privacy Policy
.
:
▽
Panzer Quest is a real time strategy game, that you can play directly in your browser.
PQ1
|
DITOGAMES
|
Privacy
|
SUPPORT
|
Imprint
|
Navy Quest Game
|
Terms
|
HELP PAGES
LOGIN |
https://techtome.net/article/the-rise-of-unsold-camper-vans-trends-and-solutions?utm_term=unsold%20camper%20vans,camper%20vans%20for%20sale%20near%20me,used%20camper%20vans%20for%20sale%20near%20me,rv%20vans%20for%20sale%20near%20me,travel%20vans%20for%20sale%20near%20me,class%20b%20camper%20vans%20for%20sale%20near%20me,converted%20van%20for%20sale%20near%20me,used%20motorhomes%20near%20me%20for%20sale,volkswagen%20camper%20van%20for%20sale%20near%20me,new%20campervans%20for%20sale%20near%20me&utm_content=unsold%20camper%20vans&camp_id=373740&fbclid=%7Bfbclid%7D&utm_source=taboola&utm_medium=referral&tblci=GiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCDN1mko-4GKho3qhYsjMOalQQ#tblciGiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCDN1mko-4GKho3qhYsjMOalQQ | # The Rise of Unsold Camper Vans: Trends and Solutions
The concept of camper vans has gained immense popularity in recent years, with more and more individuals opting for the freedom and flexibility they offer for travel. However, alongside this rise in demand, there has also been a noticeable increase in the number of unsold camper vans. In this article, we will delve into the trends surrounding this issue and explore potential solutions to address it.
**The Rise of Unsold Camper Vans: Trends and Solutions**
The trend of unsold camper vans can be attributed to various factors, one of which is the oversaturation of the market. As more manufacturers and individuals enter the industry, there is a surplus of options available to consumers, leading to increased competition. Additionally, economic fluctuations and shifting consumer preferences can also impact the demand for camper vans, resulting in excess inventory for sellers.
One solution to combat the issue of unsold camper vans is to focus on customization and personalization. Offering unique features and tailored options can attract buyers who are looking for a one-of-a-kind experience. By providing customizable solutions, manufacturers and sellers can differentiate themselves in a crowded market and cater to specific consumer needs and preferences.
Another trend in the camper van industry that could contribute to the rise of unsold units is the emphasis on high-tech amenities. While modern features such as smart systems and advanced technology can be appealing to some buyers, they can also drive up the price of the vehicles, making them less accessible to a wider audience. As a solution, manufacturers could consider offering more budget-friendly options with essential features to expand their customer base.
Furthermore, the impact of the global pandemic on travel trends has also played a role in the increase of unsold camper vans. With restrictions on international travel and concerns about public health and safety, the demand for recreational vehicles may have experienced a temporary decline. To address this, sellers can focus on promoting domestic travel and staycations to encourage consumers to explore local destinations in their camper vans.
In conclusion, the rise of unsold camper vans presents challenges and opportunities for manufacturers and sellers in the industry. By understanding the trends influencing this issue and implementing innovative solutions, such as customization, affordable options, and local travel promotions, businesses can adapt to the changing market dynamics and attract buyers looking for their next adventure on the road. |
https://www.baseattackforce.com/?r=tabbafwwa&clickid=GiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCD6oF4oncu30-rz-fJNMOalQQ&utm_source=taboola-nationmediagroup-dailynation&utm_medium=tabbafwwa&utm_term=If+you+have+a+mouse%2C+this+game+will+keep+you+awake+all+night+long.&tblci=GiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCD6oF4oncu30-rz-fJNMOalQQ#tblciGiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCD6oF4oncu30-rz-fJNMOalQQ | ENGLISH
DEUTSCH
FRANÇAIS
ESPAÑOL
Javascript needed
No Download: Play Now
Choose your Player Name
I agree to the
Terms
and
Privacy Policy
.
:
▽
Base Attack Force is a real time strategy game, that you can play directly in your browser.
BAF
|
DITOGAMES
|
Privacy
|
SUPPORT
|
Imprint
|
Navy Quest Game
|
Terms
|
HELP PAGES
LOGIN |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account/signup?redirect_to=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mbowe-alivyotoka-kuwahutubia-wafuasi-wake-nyumbani-4861974 | ### Account Register
# Register
# Welcome!
You are already signed in.
Tafadhali angalia ujumbe umetumwa ili kupata kiungo cha kuthibitisha akaunti yako. Kumbuka kuangalia ujumbe zilizofichwa kwenye baruapepe zako —
You are already signed in.
Tafadhali angalia ujumbe umetumwa ili kupata kiungo cha kuthibitisha akaunti yako. Kumbuka kuangalia ujumbe zilizofichwa kwenye baruapepe zako — |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account/signin?redirect_to=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mbowe-alivyotoka-kuwahutubia-wafuasi-wake-nyumbani-4861974 | ### Account Sign in
# Sign in
# Welcome!
You are already signed in.
Tafadhali angalia ujumbe umetumwa ili kupata kiungo cha kuthibitisha akaunti yako. Kumbuka kuangalia ujumbe zilizofichwa kwenye baruapepe zako —
Je, huna akaunti?
Sajili
You are already signed in.
Tafadhali angalia ujumbe umetumwa ili kupata kiungo cha kuthibitisha akaunti yako. Kumbuka kuangalia ujumbe zilizofichwa kwenye baruapepe zako — |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account/subscribe?redirect_to=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mbowe-alivyotoka-kuwahutubia-wafuasi-wake-nyumbani-4861974 | ### Account Subscribe
# Subscribe
Hello
Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa
Ready to continue your informative journey with us?
Hello
Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.
Reclaim your full access. Click below to renew.
## Nation.Africa
For corporate packages please contact us directly. Call +254(0)20-328-8033
# Forgot your password? Please fill in your email address.
### You can also pay using **Lipa na MPESA** by using the following instructions:
1. Go to the M-PESA menu
2. Select Lipa na M-PESA
3. Select the **Paybill** option
4. Enter business number:
5. Enter your account number:
6. Enter the amount:
7. Enter PIN and press OK to send
8. You will receive a confirmation SMS with your payment
## Kwa nini ujisajili?
Asante kwa kujiunga nasi! Dhamira yetu Mwananchi ni kukuwezesha msomaji wetu kupitia uandishi huru wa kina unaoakisi dunia yako. Unapoendelea kutuamini, unatuwezesha kutekeleza dhima yetu ya Kuwezesha Taifa. Tupo kwa ajili yako! Kwa taarifa ama msaada zaidi, wasiliana nasi kupitia [email protected] ama +255 754 780 647.
## That's it. You are all set!
Thank you for becoming part of our journey. You will be redirected back to the article in ** seconds
**
### We have noticed that the amount you paid is less than the expected total amount. Your payment has been received, but there is an outstanding balance. Please follow the following instructions to clear the balance.
1. Go to the M-PESA menu
2. Select Lipa na M-PESA
3. Select the **Paybill** option
4. Enter business number:
5. Enter your account number:
6. Enter the amount:
7. Enter PIN and press OK to send
8. You will receive a confirmation SMS with your payment |
https://www.facebook.com/sharer/sharer.php?u=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mbowe-alivyotoka-kuwahutubia-wafuasi-wake-nyumbani-4861974 | Facebook
Barua pepe au simu
Nenosiri
Umesahau akaunti?
Jisajili
Notice
You must log in to continue.
Ingia kwenye Facebook
Ingia
Umesahau akaunti?
Fungua Akaunti Mpya
Kiswahili
English (US)
हिन्दी
ગુજરાતી
العربية
Deutsch
Italiano
Français (France)
Português (Brasil)
Español
中文(简体)
Jisajili
Ingia
Messenger
Facebook Lite
Video
Maeneo
Michezo
Marketplace
Meta Pay
Duka la Meta
Meta Quest
Ray-Ban Meta
AI ya Meta
Instagram
Threads
Uchangishaji
Huduma
Kituo cha Taarifa za Kupiga Kura
Kanuni ya Faragha
Kituo cha Faragha
Vikundi
Kuhusu
Unda Tangazo
Unda Ukurasa
Wasanidi programu
Ajira
Vidakuzi
Chaguo za Matangazo
Masharti
Msaada
Kupakia Waasiliani na Wasio Watuaji
Mipangilio
Kumbukumbu ya shughuli
Meta © 2024 |
https://wa.me/?text=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mbowe-alivyotoka-kuwahutubia-wafuasi-wake-nyumbani-4861974 | ## Send the following on WhatsApp
Continue to Chathttps://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mbowe-alivyotoka-kuwahutubia-wafuasi-wake-nyumbani-4861974
https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mbowe-alivyotoka-kuwahutubia-wafuasi-wake-nyumbani-4861974 |
https://www.grammarly.com/a?utm_source=taboola&utm_campaign=10075983&utm_medium=cpc&utm_content=nationmediagroup-dailynation&utm_placement=Desktop&tblci=GiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCD67j4o6uDQnYzO4ufQATDmpUE#tblciGiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCD67j4o6uDQnYzO4ufQATDmpUE | # You can win at work.
Take our word for it.
Work with an AI writing partner that helps you find the words you need—to write that tricky email, to get your point across, to keep your work moving.
The user composes a project proposal using Grammarly, User can use Grammarly to make text more persuasive,user can use writing suggestions to add a deadline to a Slack message being sent
Trusted by 50,000 organizations and 40 million people
## Better writing,
better results
Be perfectly professional, clear, and convincing in a few clicks, not a few hours.
## The right text
for the context
Get personalized suggestions based on what you’re writing and who will read it.
## Works where
you work
Grammarly works across all the apps and sites you use. No copying, no pasting, no context switching.
## Never go out of style
Grammarly understands both your personal style and your brand style guide to help you find your voice.
## This is responsible AI
Don’t compromise on security. We never sell your data, provide it for advertising purposes, or allow third parties to use it to train their models.
Learn More
Learn More
For Enterprise
## What’s the ROI on Better Writing?
17x. Organizations that deploy Grammarly save an average of $5,000 per employee per year.
Data stays private, productivity rises, inbox numbers drop, and teams can focus on
what they should do, not on how they should say it.
### 20 days
saved annually per user
Mihai Fonoage
VP of Engineering
Learn More
### 50%
fewer writing and editing hours
Jenna Kozel-King
VP of Corporate Marketing
Learn More
### $210K
saved in the first nine months
Lauren Reed
Content Strategist
Learn More
### 3x
faster editing process
Tonya Fowler
Global Research VP & Practice Leader
Learn More
### 66%
improvement of writing quality
Debbie Cotton
Sr. Manager, Culture and Communications
Learn More
### 92%
style-guide feature adoption
Janine Anderson
Managing Editor
Learn More
### 4.9/5
customer satisfaction rating
Jimmy Snyder
Associate Director of Platform Support
Learn More
## Great writing gets work done
Work smarter with the AI writing leader for more than a decade. |
https://panzer.quest/?r=tabpq1wwc&clickid=GiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCD7oF4ol6fBhMLmiovrATDmpUE&utm_source=taboola-nationmediagroup-dailynation&utm_medium=tabpq1wwc&utm_term=You+will+never+turn+off+your+computer+again%2C+if+you+own+a+mouse.&tblci=GiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCD7oF4ol6fBhMLmiovrATDmpUE#tblciGiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCD7oF4ol6fBhMLmiovrATDmpUE | ENGLISH
DEUTSCH
FRANÇAIS
ESPAÑOL
Javascript needed
No Download: Play Now
Choose your Player Name
I agree to the
Terms
and
Privacy Policy
.
:
▽
Panzer Quest is a real time strategy game, that you can play directly in your browser.
PQ1
|
DITOGAMES
|
Privacy
|
SUPPORT
|
Imprint
|
Navy Quest Game
|
Terms
|
HELP PAGES
LOGIN |
https://techtome.net/article/the-rise-of-unsold-camper-vans-trends-and-solutions?utm_term=unsold%20camper%20vans,camper%20vans%20for%20sale%20near%20me,used%20camper%20vans%20for%20sale%20near%20me,rv%20vans%20for%20sale%20near%20me,travel%20vans%20for%20sale%20near%20me,class%20b%20camper%20vans%20for%20sale%20near%20me,converted%20van%20for%20sale%20near%20me,used%20motorhomes%20near%20me%20for%20sale,volkswagen%20camper%20van%20for%20sale%20near%20me,new%20campervans%20for%20sale%20near%20me&utm_content=unsold%20camper%20vans&camp_id=373740&fbclid=%7Bfbclid%7D&utm_source=taboola&utm_medium=referral&tblci=GiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCDN1mkox96ppMyhgOVeMOalQQ#tblciGiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCDN1mkox96ppMyhgOVeMOalQQ | # The Rise of Unsold Camper Vans: Trends and Solutions
The concept of camper vans has gained immense popularity in recent years, with more and more individuals opting for the freedom and flexibility they offer for travel. However, alongside this rise in demand, there has also been a noticeable increase in the number of unsold camper vans. In this article, we will delve into the trends surrounding this issue and explore potential solutions to address it.
**The Rise of Unsold Camper Vans: Trends and Solutions**
The trend of unsold camper vans can be attributed to various factors, one of which is the oversaturation of the market. As more manufacturers and individuals enter the industry, there is a surplus of options available to consumers, leading to increased competition. Additionally, economic fluctuations and shifting consumer preferences can also impact the demand for camper vans, resulting in excess inventory for sellers.
One solution to combat the issue of unsold camper vans is to focus on customization and personalization. Offering unique features and tailored options can attract buyers who are looking for a one-of-a-kind experience. By providing customizable solutions, manufacturers and sellers can differentiate themselves in a crowded market and cater to specific consumer needs and preferences.
Another trend in the camper van industry that could contribute to the rise of unsold units is the emphasis on high-tech amenities. While modern features such as smart systems and advanced technology can be appealing to some buyers, they can also drive up the price of the vehicles, making them less accessible to a wider audience. As a solution, manufacturers could consider offering more budget-friendly options with essential features to expand their customer base.
Furthermore, the impact of the global pandemic on travel trends has also played a role in the increase of unsold camper vans. With restrictions on international travel and concerns about public health and safety, the demand for recreational vehicles may have experienced a temporary decline. To address this, sellers can focus on promoting domestic travel and staycations to encourage consumers to explore local destinations in their camper vans.
In conclusion, the rise of unsold camper vans presents challenges and opportunities for manufacturers and sellers in the industry. By understanding the trends influencing this issue and implementing innovative solutions, such as customization, affordable options, and local travel promotions, businesses can adapt to the changing market dynamics and attract buyers looking for their next adventure on the road. |
https://techtome.net/article/exploring-the-appeal-of-unsold-container-homes-in-todays-real-estate-market?utm_term=prefabricated%20containers,prefab%20shipping%20container,cheap%20shipping%20container%20homes,affordable%20shipping%20container%20homes,shipping%20container%20house%20cheap,prefab%20storage%20container%20homes,prefab%20cargo%20container%20homes,prefabricated%20storage%20container%20homes&utm_content=prefabricated%20container%20homes&camp_id=373753&fbclid=%7Bfbclid%7D&utm_source=taboola&utm_medium=referral&tblci=GiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCDO1mkojOSr6e6Tq7lzMOalQQ#tblciGiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCDO1mkojOSr6e6Tq7lzMOalQQ | # Exploring the Appeal of Unsold Container Homes in Today's Real Estate Market
In recent years, an intriguing trend has emerged in the real estate market - the appeal of unsold container homes. Let's delve into the reasons behind the growing popularity of container homes.
**Container Homes: An Affordable Alternative**
Container homes offer a cost-effective alternative to traditional housing. One of the primary reasons for their appeal is the affordability factor. Purchasing and converting a shipping container into a livable space is often more budget-friendly than buying a conventional house. This financial advantage has made container homes an attractive option for first-time homebuyers and those looking to downsize without breaking the bank.
**Sustainability and Environmental Benefits**
Another factor driving the appeal of unsold container homes is their sustainability and environmental benefits. Recycling shipping containers into homes helps reduce waste and promotes eco-friendly living. By repurposing these steel containers, homeowners can contribute to a more sustainable future while enjoying a unique and modern living space. The eco-conscious consumer is increasingly drawn to container homes as a way to minimize their environmental footprint and live a greener lifestyle.
**Creative Design Possibilities**
Container homes offer endless design possibilities, allowing homeowners to unleash their creativity and create a one-of-a-kind living space. From sleek and modern interiors to industrial-chic designs, the flexibility of container homes appeals to those seeking a unique and personalized home. With the ability to stack and combine containers in various configurations, homeowners can design a home that suits their style and needs, making each container home a truly bespoke dwelling.
**Flexibility and Mobility**
One of the advantages of container homes is their flexibility and mobility. These modular structures can be easily transported and relocated, offering homeowners the freedom to move their home to a new location if desired. This flexibility appeals to those who value the ability to change scenery or relocate without the constraints of a traditional fixed foundation home. Container homes are particularly popular among digital nomads, remote workers, and individuals seeking a portable living solution.
**Novelty and Trendiness**
The novelty and trendiness of container homes have also contributed to their appeal in today's real estate market. These unique dwellings stand out in a sea of traditional houses, attracting attention from homebuyers looking for something different and unconventional. The growing popularity of container homes in design magazines, social media platforms, and television shows has further fueled the interest in this emerging trend. For those seeking a statement-making home that breaks the mold, container homes offer a fresh and contemporary alternative.
In conclusion, the appeal of unsold container homes in today's real estate market can be attributed to their affordability, sustainability, design flexibility, mobility, and trendiness. As the demand for innovative housing solutions continues to rise, container homes have carved out a niche for themselves as a viable and attractive option for homebuyers seeking a unique living experience. Whether you're drawn to their eco-friendly nature, creative design possibilities, or cost-effective benefits, container homes offer a compelling choice in the ever-evolving landscape of real estate options. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kimataifa/sute-kamwelwe-4088588 | Hello
Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa
Ready to continue your informative journey with us?
Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.
Reclaim your full access. Click below to renew.
Subscribe for a month to get full access
Wrote articles
Latest articles written by Sute Kamwelwe: |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/tma-yatoa-tahadhari-ya-kimbunga-chido-4855860 | # TMA yatoa tahadhari ya kimbunga Chido
## Muktasari:
**Kimbunga Chido kinatarajiwa kuelekea maeneo ya kaskazini mwa Msumbiji katika kipindi cha siku nne zijazo (Desemba 13 hadi 16, 2024).**
**Dar es Salaam**. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya uwepo wa kimbunga Chido katika Bahari ya Hindi kaskazini mwa Kisiwa cha Madagascar.
Taarifa ya TMA ya leo Desemba 12, 2024 iliyopo kwenye tovuti yake imesema mifumo ya hali ya hewa inaonyesha kimbunga hicho kinatarajiwa kuelekea maeneo ya kaskazini mwa Msumbiji katika kipindi cha siku nne zijazo (Desemba 13 hadi 16, 2024).
TMA imesema kwa sasa kimbunga hicho hakiashirii uwezekano wa kusababisha athari za moja kwa moja Tanzania.
Hata hivyo, TMA imesema kutokana na ukaribu wa maeneo ambayo kimbunga Chido kinatarajiwa kupita (kaskazini mwa Msumbiji) na maeneo ya kusini mwa Tanzania, upo uwezekano mdogo wa matukio ya vipindi vifupi vya mvua kubwa itakayoambatana na upepo mkali na mawimbi makubwa ya bahari kwa maeneo ya Mtwara na maeneo jirani hususan kati ya Desemba 14 na 16.
“Watumiaji wa bahari na wananchi kwa ujumla wanashauriwa kuendelea kufuatilia na kuzingatia taarifa za utabiri kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania pamoja na kupata ushauri na miongozo ya wataalamu wa kisekta,” imeshauri TMA.
Imesema inaendelea kufuatilia mwenendo wa kimbunga hicho na athari zake kwa mifumo ya hali ya hewa nchini na itaendelea kutoa taarifa kila inapobidi.
Wakati huohuo, utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku wa leo Desemba 12 uliotolewa na TMA unaeleza mikoa ya Kigoma, Tabora, Katavi, Kagera, Geita, Mwanza, Mara, Shinyanga na Simiyu itakuwa na hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
Kwa upande wa Visiwa vya Unguja na Pemba, mikoa ya Singida, Dodoma, Dar es Salaam na Tanga, kaskazini mwa Mkoa wa Morogoro; mikoa ya Manyara, Arusha, Kilimanjaro, Pwani (ikijumuisha Visiwa vya Mafia), Rukwa, Iringa, Njombe, Mbeya na Songwe itakuwa na hali ya mawingu kiasi, mvua katika maeneo machache na vipindi vya jua.
Kwa upande wa kusini mwa Mkoa wa Morogoro, mikoa ya Ruvuma, Lindi na Mtwara itakuwa na hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
Kuhusu upepo wa pwani, TMA imesema unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya kilomita 20 kwa saa kwa pwani yote. Kutoka kaskazini mashariki kwa pwani ya kaskazini na kutoka kaskazini kwa pwani ya lusini.
TMA imesema hali ya bahari inatarajiwa kuwa na mawimbi madogo.
“Matarajio kwa siku ya Jumamosi Desemba 14, mabadiliko kidogo,” imesema TMA katika taarifa. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account/signup?redirect_to=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/hekaheka-kimbunga-chido-kikiacha-balaa-mayotte-msumbiji--4861958 | ### Account Register
# Register
# Welcome!
You are already signed in.
Tafadhali angalia ujumbe umetumwa ili kupata kiungo cha kuthibitisha akaunti yako. Kumbuka kuangalia ujumbe zilizofichwa kwenye baruapepe zako —
You are already signed in.
Tafadhali angalia ujumbe umetumwa ili kupata kiungo cha kuthibitisha akaunti yako. Kumbuka kuangalia ujumbe zilizofichwa kwenye baruapepe zako — |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account/signin?redirect_to=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/hekaheka-kimbunga-chido-kikiacha-balaa-mayotte-msumbiji--4861958 | ### Account Sign in
# Sign in
# Welcome!
You are already signed in.
Tafadhali angalia ujumbe umetumwa ili kupata kiungo cha kuthibitisha akaunti yako. Kumbuka kuangalia ujumbe zilizofichwa kwenye baruapepe zako —
Je, huna akaunti?
Sajili
You are already signed in.
Tafadhali angalia ujumbe umetumwa ili kupata kiungo cha kuthibitisha akaunti yako. Kumbuka kuangalia ujumbe zilizofichwa kwenye baruapepe zako — |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account/subscribe?redirect_to=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/hekaheka-kimbunga-chido-kikiacha-balaa-mayotte-msumbiji--4861958 | ### Account Subscribe
# Subscribe
Hello
Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa
Ready to continue your informative journey with us?
Hello
Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.
Reclaim your full access. Click below to renew.
## Nation.Africa
For corporate packages please contact us directly. Call +254(0)20-328-8033
# Forgot your password? Please fill in your email address.
### You can also pay using **Lipa na MPESA** by using the following instructions:
1. Go to the M-PESA menu
2. Select Lipa na M-PESA
3. Select the **Paybill** option
4. Enter business number:
5. Enter your account number:
6. Enter the amount:
7. Enter PIN and press OK to send
8. You will receive a confirmation SMS with your payment
## Kwa nini ujisajili?
Asante kwa kujiunga nasi! Dhamira yetu Mwananchi ni kukuwezesha msomaji wetu kupitia uandishi huru wa kina unaoakisi dunia yako. Unapoendelea kutuamini, unatuwezesha kutekeleza dhima yetu ya Kuwezesha Taifa. Tupo kwa ajili yako! Kwa taarifa ama msaada zaidi, wasiliana nasi kupitia [email protected] ama +255 754 780 647.
## That's it. You are all set!
Thank you for becoming part of our journey. You will be redirected back to the article in ** seconds
**
### We have noticed that the amount you paid is less than the expected total amount. Your payment has been received, but there is an outstanding balance. Please follow the following instructions to clear the balance.
1. Go to the M-PESA menu
2. Select Lipa na M-PESA
3. Select the **Paybill** option
4. Enter business number:
5. Enter your account number:
6. Enter the amount:
7. Enter PIN and press OK to send
8. You will receive a confirmation SMS with your payment |
https://www.facebook.com/sharer/sharer.php?u=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/hekaheka-kimbunga-chido-kikiacha-balaa-mayotte-msumbiji--4861958 | Facebook
Barua pepe au simu
Nenosiri
Umesahau akaunti?
Jisajili
Notice
You must log in to continue.
Ingia kwenye Facebook
Ingia
Umesahau akaunti?
Fungua Akaunti Mpya
Kiswahili
English (US)
हिन्दी
ગુજરાતી
العربية
Deutsch
Italiano
Français (France)
Português (Brasil)
Español
中文(简体)
Jisajili
Ingia
Messenger
Facebook Lite
Video
Maeneo
Michezo
Marketplace
Meta Pay
Duka la Meta
Meta Quest
Ray-Ban Meta
AI ya Meta
Instagram
Threads
Uchangishaji
Huduma
Kituo cha Taarifa za Kupiga Kura
Kanuni ya Faragha
Kituo cha Faragha
Vikundi
Kuhusu
Unda Tangazo
Unda Ukurasa
Wasanidi programu
Ajira
Vidakuzi
Chaguo za Matangazo
Masharti
Msaada
Kupakia Waasiliani na Wasio Watuaji
Mipangilio
Kumbukumbu ya shughuli
Meta © 2024 |
https://wa.me/?text=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/hekaheka-kimbunga-chido-kikiacha-balaa-mayotte-msumbiji--4861958 | ## Send the following on WhatsApp
Continue to Chathttps://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/hekaheka-kimbunga-chido-kikiacha-balaa-mayotte-msumbiji--4861958
https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/hekaheka-kimbunga-chido-kikiacha-balaa-mayotte-msumbiji--4861958 |
https://www.grammarly.com/a?utm_source=taboola&utm_campaign=10075983&utm_medium=cpc&utm_content=nationmediagroup-dailynation&utm_placement=Desktop&tblci=GiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCD67j4opvjL26qZ74LzATDmpUE#tblciGiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCD67j4opvjL26qZ74LzATDmpUE | # You can win at work.
Take our word for it.
Work with an AI writing partner that helps you find the words you need—to write that tricky email, to get your point across, to keep your work moving.
The user composes a project proposal using Grammarly, User can use Grammarly to make text more persuasive,user can use writing suggestions to add a deadline to a Slack message being sent
Trusted by 50,000 organizations and 40 million people
## Better writing,
better results
Be perfectly professional, clear, and convincing in a few clicks, not a few hours.
## The right text
for the context
Get personalized suggestions based on what you’re writing and who will read it.
## Works where
you work
Grammarly works across all the apps and sites you use. No copying, no pasting, no context switching.
## Never go out of style
Grammarly understands both your personal style and your brand style guide to help you find your voice.
## This is responsible AI
Don’t compromise on security. We never sell your data, provide it for advertising purposes, or allow third parties to use it to train their models.
Learn More
Learn More
For Enterprise
## What’s the ROI on Better Writing?
17x. Organizations that deploy Grammarly save an average of $5,000 per employee per year.
Data stays private, productivity rises, inbox numbers drop, and teams can focus on
what they should do, not on how they should say it.
### 20 days
saved annually per user
Mihai Fonoage
VP of Engineering
Learn More
### 50%
fewer writing and editing hours
Jenna Kozel-King
VP of Corporate Marketing
Learn More
### $210K
saved in the first nine months
Lauren Reed
Content Strategist
Learn More
### 3x
faster editing process
Tonya Fowler
Global Research VP & Practice Leader
Learn More
### 66%
improvement of writing quality
Debbie Cotton
Sr. Manager, Culture and Communications
Learn More
### 92%
style-guide feature adoption
Janine Anderson
Managing Editor
Learn More
### 4.9/5
customer satisfaction rating
Jimmy Snyder
Associate Director of Platform Support
Learn More
## Great writing gets work done
Work smarter with the AI writing leader for more than a decade. |
https://panzer.quest/?r=tabpq1wwc&clickid=GiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCD7oF4ooaKdw87g3JEwMOalQQ&utm_source=taboola-nationmediagroup-dailynation&utm_medium=tabpq1wwc&utm_term=You+will+never+turn+off+your+computer+again%2C+if+you+own+a+mouse.&tblci=GiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCD7oF4ooaKdw87g3JEwMOalQQ#tblciGiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCD7oF4ooaKdw87g3JEwMOalQQ | ENGLISH
DEUTSCH
FRANÇAIS
ESPAÑOL
Javascript needed
No Download: Play Now
Choose your Player Name
I agree to the
Terms
and
Privacy Policy
.
:
▽
Panzer Quest is a real time strategy game, that you can play directly in your browser.
PQ1
|
DITOGAMES
|
Privacy
|
SUPPORT
|
Imprint
|
Navy Quest Game
|
Terms
|
HELP PAGES
LOGIN |
https://techtome.net/article/the-rise-of-unsold-camper-vans-trends-and-solutions?utm_term=unsold%20camper%20vans,camper%20vans%20for%20sale%20near%20me,used%20camper%20vans%20for%20sale%20near%20me,rv%20vans%20for%20sale%20near%20me,travel%20vans%20for%20sale%20near%20me,class%20b%20camper%20vans%20for%20sale%20near%20me,converted%20van%20for%20sale%20near%20me,used%20motorhomes%20near%20me%20for%20sale,volkswagen%20camper%20van%20for%20sale%20near%20me,new%20campervans%20for%20sale%20near%20me&utm_content=unsold%20camper%20vans&camp_id=373740&fbclid=%7Bfbclid%7D&utm_source=taboola&utm_medium=referral&tblci=GiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCDN1mkotP2q_6qw-flhMOalQQ#tblciGiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCDN1mkotP2q_6qw-flhMOalQQ | # The Rise of Unsold Camper Vans: Trends and Solutions
The concept of camper vans has gained immense popularity in recent years, with more and more individuals opting for the freedom and flexibility they offer for travel. However, alongside this rise in demand, there has also been a noticeable increase in the number of unsold camper vans. In this article, we will delve into the trends surrounding this issue and explore potential solutions to address it.
**The Rise of Unsold Camper Vans: Trends and Solutions**
The trend of unsold camper vans can be attributed to various factors, one of which is the oversaturation of the market. As more manufacturers and individuals enter the industry, there is a surplus of options available to consumers, leading to increased competition. Additionally, economic fluctuations and shifting consumer preferences can also impact the demand for camper vans, resulting in excess inventory for sellers.
One solution to combat the issue of unsold camper vans is to focus on customization and personalization. Offering unique features and tailored options can attract buyers who are looking for a one-of-a-kind experience. By providing customizable solutions, manufacturers and sellers can differentiate themselves in a crowded market and cater to specific consumer needs and preferences.
Another trend in the camper van industry that could contribute to the rise of unsold units is the emphasis on high-tech amenities. While modern features such as smart systems and advanced technology can be appealing to some buyers, they can also drive up the price of the vehicles, making them less accessible to a wider audience. As a solution, manufacturers could consider offering more budget-friendly options with essential features to expand their customer base.
Furthermore, the impact of the global pandemic on travel trends has also played a role in the increase of unsold camper vans. With restrictions on international travel and concerns about public health and safety, the demand for recreational vehicles may have experienced a temporary decline. To address this, sellers can focus on promoting domestic travel and staycations to encourage consumers to explore local destinations in their camper vans.
In conclusion, the rise of unsold camper vans presents challenges and opportunities for manufacturers and sellers in the industry. By understanding the trends influencing this issue and implementing innovative solutions, such as customization, affordable options, and local travel promotions, businesses can adapt to the changing market dynamics and attract buyers looking for their next adventure on the road. |
https://techtome.net/article/exploring-the-appeal-of-unsold-container-homes-in-todays-real-estate-market?utm_term=prefabricated%20containers,prefab%20shipping%20container,cheap%20shipping%20container%20homes,affordable%20shipping%20container%20homes,shipping%20container%20house%20cheap,prefab%20storage%20container%20homes,prefab%20cargo%20container%20homes,prefabricated%20storage%20container%20homes&utm_content=prefabricated%20container%20homes&camp_id=373753&fbclid=%7Bfbclid%7D&utm_source=taboola&utm_medium=referral&tblci=GiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCDO1mkomaL9l5SlxphkMOalQQ#tblciGiDPgf3Nt_j8X2ueCPiAyLaRXd8CaZLq6O5_0KEppVJXdCDO1mkomaL9l5SlxphkMOalQQ | # Exploring the Appeal of Unsold Container Homes in Today's Real Estate Market
In recent years, an intriguing trend has emerged in the real estate market - the appeal of unsold container homes. Let's delve into the reasons behind the growing popularity of container homes.
**Container Homes: An Affordable Alternative**
Container homes offer a cost-effective alternative to traditional housing. One of the primary reasons for their appeal is the affordability factor. Purchasing and converting a shipping container into a livable space is often more budget-friendly than buying a conventional house. This financial advantage has made container homes an attractive option for first-time homebuyers and those looking to downsize without breaking the bank.
**Sustainability and Environmental Benefits**
Another factor driving the appeal of unsold container homes is their sustainability and environmental benefits. Recycling shipping containers into homes helps reduce waste and promotes eco-friendly living. By repurposing these steel containers, homeowners can contribute to a more sustainable future while enjoying a unique and modern living space. The eco-conscious consumer is increasingly drawn to container homes as a way to minimize their environmental footprint and live a greener lifestyle.
**Creative Design Possibilities**
Container homes offer endless design possibilities, allowing homeowners to unleash their creativity and create a one-of-a-kind living space. From sleek and modern interiors to industrial-chic designs, the flexibility of container homes appeals to those seeking a unique and personalized home. With the ability to stack and combine containers in various configurations, homeowners can design a home that suits their style and needs, making each container home a truly bespoke dwelling.
**Flexibility and Mobility**
One of the advantages of container homes is their flexibility and mobility. These modular structures can be easily transported and relocated, offering homeowners the freedom to move their home to a new location if desired. This flexibility appeals to those who value the ability to change scenery or relocate without the constraints of a traditional fixed foundation home. Container homes are particularly popular among digital nomads, remote workers, and individuals seeking a portable living solution.
**Novelty and Trendiness**
The novelty and trendiness of container homes have also contributed to their appeal in today's real estate market. These unique dwellings stand out in a sea of traditional houses, attracting attention from homebuyers looking for something different and unconventional. The growing popularity of container homes in design magazines, social media platforms, and television shows has further fueled the interest in this emerging trend. For those seeking a statement-making home that breaks the mold, container homes offer a fresh and contemporary alternative.
In conclusion, the appeal of unsold container homes in today's real estate market can be attributed to their affordability, sustainability, design flexibility, mobility, and trendiness. As the demand for innovative housing solutions continues to rise, container homes have carved out a niche for themselves as a viable and attractive option for homebuyers seeking a unique living experience. Whether you're drawn to their eco-friendly nature, creative design possibilities, or cost-effective benefits, container homes offer a compelling choice in the ever-evolving landscape of real estate options. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/profesa-lipumba-achaguliwa-tena-mwenyekiti-cuf-aweka-historia-4862748 | # Profesa Lipumba achaguliwa tena mwenyekiti CUF, aweka historia
## Muktasari:
**Profesa Ibrahim Lipumba ametangazwa mshindi wa uenyekiti wa CUF Taifa, akiwashinda makada saba aliochuana nao kwenye nafasi hiyo.**
**Dar es Salaam**. Matumaini na imani ya wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF), yamebaki vile vile kama ilivyokuwa miaka 25 iliyopita, baada ya kumchagua tena Profesa Ibrahim Lipumba kuwa mwenyekiti wao taifa.
Profesa Lipumba anaukwaa wadhifa huo, baada ya kupata kura 216 katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho, akiwashinda wenzake saba waliokuwa wakichuana katika nafasi hiyo.
Hii inampa nafasi mwanasiasa huyo aliyebobea katika masuala ya uchumi ya kukiongoza chama hicho kwa miaka mitano ijayo na hivyo kuweka historia ya kuwa Mwenyekiti wa chama cha siasa kwa miaka 30 nchini.
Katika uchaguzi huo, uliofanyika jana Jumatano, Desemba 18, 2024, Profesa Lipumba ameshinda kwa kura 216 kati ya kura 592 halali zilizopigwa.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa kamati ya Uchaguzi wa chama hicho, Mashaka Ngole, anayemfuatia Profesa Lipumba ni Hamad Masoud aliyepata kura 181.
Aliyekuwa Makamu mwenyekiti wa CUF bara, Maftah Nachuma ndiye aliyefuatia akipata kura 102, huku Wilfred Rwakatare akipata 78.
Kisha alifuata Juma Nkumbi aliyepata kura sita, Athumani Kanali kura tano, Chifu Yema na Nkunyuntila Chiwale wakiambulia kura mbili kila mmoja.
Kwa upande wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti Bara, Othman Dunga ameibuka mshindi akipata kura 182 kati ya 533 halali zilizopigwa.
Dunga alifuatiwa na Miraji Mtibwiliko aliyepata kura 159, Magdalena Sakaya kura 140, Juma Nkumbi 34, Mohamed Ngulangwa 29 huku Komein Rwihura akipata kura 18.
Jumla ya kura 542 zilipigwa katika uchaguzi huo, huku 533 zikiwa halali na tisa ziliharibika.
Ngole ametangaza pia matokeo ya uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti Zanzibar uliokuwa na wagombea watano.
Katika nafasi hiyo, Mbarouk Seif Salim aliyepata kura 159 ndiye aliyeibuka mshindi, huku Husna Mohamed Abdallah akifuatia kwa kupata kura 150.
Aliyefuata ni Haroub Mohamed Shamis aliyepata kura 117, kisha Ali Rashid Ali kura 74 na Mohamed Habibu Mnyaa akipata kura 56.
Katika uchaguzi huo, kura saba ziliharibika kati ya 563 zilizopigwa.
Baada ya matokeo hayo, Ngole amesema uchaguzi wa ngazi ya wajumbe wa Baraza la Uongozi utafanyika leo asubuhi. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mbowe-ajibu-mapigo-kutangaza-hatima-yake-chadema-jumamosi-4862518 | # Mbowe ajibu mapigo, kutangaza hatima yake Chadema Jumamosi
## Muktasari:
**Mbowe ambaye ameshakiongoza chama hicho kwa miaka 20 tangu 2004, anakabiliwa na shinikizo la kutogombea, tayari makamu mwenyekiti wa chama hicho (Bara), Tundu Lissu ameshachukua na kurejesha fomu ya kuwania nafasi ya uenyekiti wa chama hicho.**
**Dar es Salaam**. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amevunja ukimya kuhusu kuendelea kugombea uenyekiti kwa mara nyingine akisema haitaji kuingia kwenye vita ya kukipasua chama hicho.
Mbowe ametoa kauli hiyo leo Jumatano, Desemba 18, 2024 alipozungumza na viongozi na wanachama wa Chadema waliofika nyumbani kwake Mtaa wa Mwanamboka, Mikocheni Dar es Salaam, kumwomba agombee uenyekiti.
“Sihitaji kwenda kwenye vita itakayopasua chama, nitaangalia mwenendo wa kampeni nikiona chama changu kinakwenda kuzamishwa, kamanda naingia mzigoni,” amesema.
Mbowe ambaye ameshakiongoza chama hicho kwa miaka 20 tangu 2004, anakabiliwa na shinikizo la kutogombea, wakati mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu ameshachukua na kurejesha fomu ya kuwania nafasi ya uenyekiti.
Miongoni mwa kauli alizotoa Lissu Desemba 12, 2024 wakati akitangaza nia ya kugombea uenyekiti wa chama hicho ni pamoja na ukomo wa madaraka kwa viongozi wote wa chama hicho, mfumo wa fedha na mfumo wa uchaguzi.
Mbali na hayo, kwa nyakati tofauti Lissu amenukuliwa akidai kuwepo kwa fedha za rushwa katika uchaguzi wa chama hicho, huku akidai kutaja majina ya baadhi ya makada waliozipokea katika kikao cha kamati kuu.
**Kutoa msimamo baada ya saa 48**
Akizungumza mbele ya makada waliofika nyumbani kwake, Mbowe amewaomba wampe saa 48 za kutafakari ombi lao la kumtaka kuwania tena nafasi hiyo.
“Nimesikia ombi lenu, nawaomba mnipe saa 48 za kutafakari, kisha nitazungumza na wahariri wa vyombo vya habari Jumamosi (Desemba 21, 2024) hapa hapa nyumbani kutoa msimamo wangu,” amesema.
**Apangua hoja**
Akionekana kujibu hoja zilizoibuka katika mnyukano wa uchaguzi, Mbowe bila kutaja jina la mtu ameeleza kutoridhishwa na msigano wa makundi na kauli za viongozi wa chama hicho, huku akisisitiza kuwa mambo yanayotekelezwa na chama ni uamuzi wa vikao.
“Ni matumaini yangu kwamba kama kuna kiongozi wa chama mpaka leo haamini tunachokifanya kina ukweli, pengine yuko katika nyumba ambayo sio sahihi,” amesema.
Amesisitiza kuwa chama hicho kinaongozwa na vikao na sio matamko ya mwenyekiti.
“Mimi ni kiongozi wa chama ndio, lakini maamuzi ya chama tunayafanya pamoja kwenye vikao. Kwa hiyo anapotoka kiongozi miongoni mwetu ambaye ni mjumbe wa kamati kuu kwa miaka 20, ambaye kwa vyovyote anawajibika kwa kila uamuzi uliotoka kwenye chama kuulinda na kuutetea, ndio demokrasia.
“Akitoka akasema tofauti tunaweza kumhoji mwenzetu, ina maana miaka yote hiyo hatukuwa pamoja?” amehoji.
Huku akisisitiza umoja na kukilinda chama hico, Mbowe amesema kumekuwa na mnyukano miongoni mwa wagombea katika nafasi mbalimbali na kuwataka kusameheana.
“Mnapokwenda kupambana na kutafuta nafasi mbalimbali huhitaji kutumia uongo kujenga hoja zako, tumia akili na ukweli kujaribu kujenga hoja itakayokupandisha. Huwezi kuikanyaga na kuitoboa taasisi hii ambayo unataka kuiongoza kesho. Unaiongozaje taasisi uliyoitoboa?” amehoji.
Akionekana kujibu hoja ya mfumo wa fedha, Mbowe amesema kwa historia yake na mambo aliyoyafanya kwenye chama hicho hahitaji kujinadi, huku akisema kila mwanachama na viongozi wanafanya kazi kwa kujitolea.
“Chama hiki hakijajengwa na Serikali, hakijajengwa na wizi wa mashirika ya umma, chama hiki kimejengwa na kipato cha Mtanzania mmoja mmoja, wote mmejinyima viongozi. Lakini mimi nimepewa sifa kwamba peke yangu naleta mzigo?...Kama unaona tupimane kwa mizigo tupimane,” amesema.
Mbowe akionyesha kusaka suluhu kwa mvutano uliopo katika uchaguzi huo, ametumia mfano wa Biblia uliotumiwa na Mfalme Suleiman aliyeamua kesi ya wanawake wawili waliokuwa wakigombea mtoto kwa kuamuru mtoto huyo akatwe katikati, lakini baadaye mama mwenye mtoto alipinga akiomba mtoto huyo alelewe na hasimu wake.
Amewataka wanachama wanaunga mkono kila upande kutokanyaga wenzao na kutangaza msamaha.
Katika hilo, Mbowe amesema hatawania nafasi ya uenyekiti kwenye mvutano utakaotishia kukipasua chama hicho. “Nitaingia kwenye vita itakayokijenga chama chetu.”
Akionekana kujibu hoja ya ukomo wa madaraka, Mbowe amesema amekuwa akipata maoni kutoka kwa familia yake inayomtaka aachane na uongozi wa chama hicho, lakini wakati huohuo, amekuwa akipata maoni ya familia ya Chadema.
“Hakuna kipindi familia yangu imenikalia mguu pande kama kipindi hiki, wananiambia ‘baba inatosha, toka achana na siasa rudi nyumbani uendelee na maisha mengine.
“Sasa familia yangu nayo ina nguvu katika maisha yangu, lakini vilevile na familia ya Chadema nayo ina nguvu,” amesema.
**Wenyeviti wa mikoa waapa kumlazimisha**
Awali, akizungumza katika kusanyiko hilo, Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Iringa, William Mungai aliyewawakilisha wenyeviti wa mikoa 24, ametaja hoja tano za kwa nini wanataka Mbowe aendelea kuongoza chama hicho kwa miaka mitano ijayo.
Hoja hizo ni pamoja na ubunifu, kuijenga Chadema, mfano bora, mshikivu na mshirikishaji, wakisema wanamuhitaji Mbowe kwa sababu ni jenerali anayekuwa mstari wa mbele kuongoza mapambano.
Amesema kutokana na hoja hizo, wameamua kumuunga mkono, wakisema bado ana nguvu, hivyo watamchukulia fomu ya kugombea nafasi hiyo.
"Tumeamua tuje kukutia moyo na kukupongeza, bado una nguvu na kufanya mikutano, sasa tutakuwa vichaa kama tutakuacha.Tunataka uendelee kuwa mwenyekiti kwa sababu tuna hoja utake, usitake tunakwenda kukuchukulia fomu," amesisitiza Mungai.
**Hali ilivyokuwa nyumbani kwa Mbowe**
Tangu leo asubuhi wanachama na wapenzi wa Chadema wakiwa na magari, pikipiki na wengine waliofika kwa miguu nyumbani kwa Mbowe, Mtaa wa Mwanamboka au nyumbani kwa Mbowe, Mikocheni.
Hata hivyo, mambo yalikwenda kinyume baada ya tukio hilo kusogezwa mbele hadi mchana kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo kuwasubiri viongozi na makada wengine waliokuwa wakitoka maeneo mbalimbali.
Licha ya mvua kubwa kunyesha makada na viongozi Chadema, wakiwemo wa wilaya waliendelea kumiminika na wengine hawakujali kuloana, badala yake walisikika wakisema, “tumekuja kumsikiliza 'mwamba atoe kauli.”
Ilipofika saa saba mchana umati wa wanachama uliongezeka, hatua iliyowalazimu wengine kubaki nje ya nyumba ya Mbowe ambapo waliwekewa turubali maaalumu na viti kwa ajili ya kumsubiri Mbowe.
Kama hiyo haitoshi, zilifungwa runinga tatu katika turubali hilo kwa ajili ya kuwawezesha wanachama kufuatilia tukio hilo moja kwa moja wakiwa wameketi nje ya nyumba hiyo.
Mwananchi ilishuhudia zaidi magari matano ya Toyota Coaster yaliyokuwa yamebeba viongozi na makada wa Chadema waliowasindikiza wenyeviti wa mikoa 23 waliokwenda kwa Mbowe kumshawishi agombee.
Miongoni mwa wenyeti wanaomuunga mkono Mbowe wanatoka mikoa ya Shinyanga, mikoa ya kichama ya (Temeke, Kinondoni), Arusha, Simiyu, Dodoma, Morogoro, Tanga, Manyara, Kilimanjaro, Pemba, Mwanza na Kagera.
**Walichokisema wenyeviti**
Baada ya Mbowe kuzungumza, Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Shinyanga, Emmanuel Ntobi amesema, "tumefurahi na kufarijika majibu ya kwamba atatoa uamuzi wa ombi ndani saa 48. Tunavyoona kwa umma na wapigakura tuliowawakilisha inaonyesha mwenyekiti atakubaliana ombi letu."
Mathayo Torongey, Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani amesema, "Tumekuja kusindikiza viongozi wetu wa mkoa wana jambo lao hapa. Ujumbe ulioletwa kwako mwenyekiti wanaomba usiukatae utawaumiza watu wengi waliofika leo."
Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) Kanda ya Pwani, Rose Moshi, amesema, "sisi wanawake tunaungana nanyi kumsihi Mbowe akubalia kuchukua fomu ya kuwania uenyekiti.Tuna sababu ya kumuomba moja, ni mtu imara, amepitia nyakati ngumu lakini hakuwahi kuyumba."
"Katika miaka 20 Chadema imekuwa na mafanikio makubwa, tuna kila sababu kukuomba uendelee sisi tutakuchangia Sh1.5 milioni ili uchukue fomu," amesema Moshi.
Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Kinondoni, Henry Kileo amesema baadhi amesema wanaunga kila hatua iliyofanywa na wenyeviti wenzao kuhusu kumshawishi Mbowe kuwania uenyekiti.
"Lazima misheni ikamilike, lazima mwamba amalizie kuiondoa CCM madarakani hilo anaweza," amesema Kileo. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mwili-wa-tendwa-waagwa-kikwete-aeleza-alivyopigiwa-simu-4863146 | # Mwili wa Tendwa waagwa, Kikwete aeleza alivyopigiwa simu
## Muktasari:
**Kikwete amesema alijipanga kwenda kumuona baada ya John Tendwa kumtaja mara kwa mara, alifanya naye kazi kwa miaka minane.**
**Dar es Salaam**. Mwili wa John Tendwa aliyewahi kuwa Msajili wa Vyama vya Siasa nchini umeagwa leo, huku waombolezaji akiwamo Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakieleza namna alivyoanzisha uhakiki wa vyama vya siasa.
Wameeleza uhakiki huo ulipoanzishwa baadhi ya vyama havikuukubali lakini leo ndiyo uhai wa vyama vyote.
Tendwa ambaye mwili wake utazikwa kesho Desemba 20, 2024 alifariki dunia Desemba 17 akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).
Kabla ya waombolezaji kuaga mwili wa Tendwa, kulifanyika ibada iliyoongozwa na Padri Patrick Msimba wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam.
Viongozi wengine waliokuwepo kwenye viwanja vya Karimjee kulikofanyika shughuli ya kuaga mwili ni Rais mstaafu, Jakaya Kikwete, Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Ummy Nderianaga, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila na Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi.
Majaliwa aliyemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika shughuli hiyo amesema msingi alioujenga Tendwa kwenye vyama vya siasa ndiyo unaendelezwa hadi sasa.
Majaliwa amesema Rais Samia ameshindwa kuungana na waombolezaji kutokana na kuwa na wageni kutoka nje ya nchi.
"Tuna jukumu la kuenzi mazuri aliyoyafanya katika utumishi wake, alijenga demokrasia kwenye vyama vya siasa wakati wa utendaji wake,"amesema Majaliwa.
Kwa upande wake Kikwete, amesema alipochaguliwa kuwa Rais mwishoni mwa mwaka 2005 alimkuta Tendwa akiwa msajili na alifanya naye kazi kwa miaka minane hadi alipostaafu.
"Alikuwa mkweli, hata chama chetu (CCM) pamoja na ukubwa, Tendwa alikuwa akiona mambo hayapo sawa ananiambia Rais nakwenda kuwaambia ukweli.
"Vivyo hivyo hata kwa wapinzani, alikuwa akiwambia ukweli, ndiyo sababu alipokwenda CUF (kuhakiki) walimfungia lakini yeye aliweka mkazo lazima uhakiki ufanyike," amesema Kikwete.
Amesema katika miaka minane aliyofanya kazi na Tendwa aliwasaidia kujenga demokrasia.
"Alipougua, mwanawe alinipigia simu akasema baba anaumwa na kwa nyakati mbalimbali amekuwa anakutaja, hivyo tumeona tukupe taarifa.
"Nikauliza hali yake ikoje? akasema ni ngumu yupo ICU, sikuwa nchini niliporejea Jumamosi nilipanga kwenda kumuona lakini nikapata taarifa amefariki," amesema Kikwete na kutoa pole kwa familia ya Tendwa.
Akitoa salamu za familia, Mchungaji David Tendwa amemshukuru Rais Samia, Waziri Mkuu na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa kwa kuwa nao bega kwa bega kipindi cha kuuguza hadi mauti ya mpendwa wao.
Tendwa ambaye ameacha mjane na watoto wanane alihudumu kwenye nafasi ya msajili wa vyama vya siasa kwa miaka 12 mfululizo akichukua mikoba ya hayati George Liundi.
Alianza kutumikia nafasi hiyo Mei 2001 hadi Agosti 2013 na kukabidhi kijiti kwa Jaji Francis Mutungi anayehudumu hadi sasa.
Hadi alipofariki dunia Tendwa alikuwa mshauri wa sekretarieti ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) katika masuala ya siasa na uchaguzi, pia alikuwa mwanachama wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS).
Amewahi kuwa mwalimu Daraja A, pia Wakili wa Serikali Mkuu katika Wizara ya Sheria na Katiba, naibu mwenyekiti katika Mahakama ya kazi na mkurugenzi wa utafiti na mafunzo wa wizara hiyo.
Aliacha ofisi na vyama 23
Akizungumza namna Tendwa alivyomuachia ofisi ya msajili mwaka 2013, Jaji Mutungi amesema aliiacha ofisi ya msajili ikiwa na vyama 23 vya siasa.
"Hivi sasa vipo vyama 19, vingine tumeving'oa kwa sababu havikidhi," amesema.
Jaji Mutungi amesema Tendwa ndiye alimpokea ofisini na kuwa mwalimu na mshauri wake katika kazi anayoifanya sasa.
"Alikuwa kiongozi mwenye maono aliyehakikisha misingi ya vyama vingi inajengwa kwa demokrasia na uwazi.
"Katika kipindi chake, ndipo zoezi la uhakiki lilianza, CUF pamoja na kwamba walimfungia kwenye chumba wakilikataa zoezi hilo, lakini sasa ndiyo linaangalia uhai wa vyama," amesema Jaji Mutungi.
Hayati Tendwa katika mahojiano aliwahi kueleza moja ya matukio aliyoyakumbuka ni kufungiwa ndani ya ofisi za CUF Zanzibar.
Alisimulia mwaka 2001, alifungiwa ndani ya ofisi hizo huku milango na madirisha yakiwa yamefungwa, isipokuwa sehemu ndogo tu ya madirisha ya juu. Wafuasi wa CUF walimtuhumu kuwa yeye ni mtu wa CCM.
“Wakanifungia ndani, wakaniambia nisiseme chochote. Kwa zaidi ya saa mbili na nusu walizungumza wao, sikutakiwa kujibu chochote. Baada ya kumaliza, walinipa nafasi ya kuzungumza na nikatumia saa moja na nusu kueleza msimamo wangu. Tukio hilo lilinijengea heshima kwa CUF na walitambua kuwa mimi si mtu wa CCM kama walivyokuwa wanadhani,” alieleza Tendwa katika mahojiano hayo.
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Dorothy Semu amesema Tendwa akiwa msajili alisimamia demokrasia ndani na nje ya vyama vya siasa.
"Ili kumuenzi tunawajibu wa kuendelea kuvisimamia na kuvikuza vyama vyetu katika demokrasia," amesema.
John Cheyo, Mwenyekiti wa UDP amesema katika miaka 30 aliyokaa kwenye siasa, Tendwa ana maua yake kwa chama hicho.
"Aliwahi kumuondoa kijana mmoja mvamizi kwenye chama chetu," amesema Cheyo.
Juma Ally Khatibu, Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa amesema wanamkumbuka Tendwa na namna alivyopunguza migogoro hasa ule uliowahi kutokea kati ya CCM na CUF akimtaja kujenga mshikamano katika nyakati ambazo taifa lilihitaji busara. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mila-feki-za-wahenga-zilivyojenga-jamii-kulinda-maadili-4862084 | # Mila feki za wahenga zilivyojenga jamii, kulinda maadili
## Muktasari:
**Hivi umeshawahi kusikia makatazo kama vile kutokata kucha usiku, watoto kukatazwa kula aina fulani ya vyakula, kutosimama mlangoni wakati wa mchana?**
Wazee wa zamani walijaaliwa hekima za hali ya juu, licha ya kwamba maagizo yao ya kimila hivi leo yanaonekana kukosa nafasi kwa jamii.
Zamani jamii mbalimbali ziliishi kwenye mafundisho na makatazo mbalimbali yaliyolenga kujenga umoja wa jamii, kulinda maadili, kutunza usafi na kulinda mazingira. Hii ni mifano tu ya maeneo mengi ya ujenzi wa jamii ambapo wazee walifikia hatua ya kutunga mila za uongo ili kufanikisha dhamira yao.
Hivi umeshawahi kusikia makatazo kama vile kutokata kucha usiku, watoto kukatazwa kula aina fulani ya vyakula, kutosimama mlangoni wakati wa mchana?
Hii ni mifano ya makatazo au mila nyingi za zamani ambazo zilitumiwa na wazee kwa sababu fulanifulani, hata kama hazikuwa na mantiki yoyote ndani yake zaidi ya kuwa ni sehemu ya vitisho dhidi ya tabia zisizokubalika.
Makala haya kwa kurejea baadhi ya makabila ya kanda ya ziwa, inaangazia baadhi ya mila hizo na namna zilivyotumika kujenga jamii.
Titi la mama kukatika
Miongoni mwa miiko waliyofundishwa watoto ni pamoja na kutojisaidia haja kubwa pembeni mwa njia na kuchunguliana wakati wa kujisaidia, wakiaminishwa kwamba anayekaidi katazo hilo basi ziwa au titi la mama yake litakatika na yeye mwenyewe kuandamwa na moshi awapo jikoni au eneo la kuota moto nyakati za usiku.
“Tulivyokuwa wadogo tulionywa hatari ya kuchunguliana wakati wa kujisaidia tukiaminishwa kwamba yeyote anayemchungulia mwenzake akijisaidia ziwa la mama yake litakatika. Tulizingatia sana maonyo hayo ili maziwa ya mama zetu yasikatike," anasema John Okech, mkazi wa Jiji la Mwanza anayetoka jamii ya Waluo, moja ya jamii inayopatikana Mkoa wa Mara.
Akifafanua, Okech anasema; "Tulipokuwa wakubwa, tuligundua yale madai ya maziwa ya mama kukatika yalilenga kuhakikisha watoto hawajisaidii haja kubwa pembeni mwa njia siyo tu kulinda afya, bali pia usafi wa mazingira na kuwaepusha wapita njia na kero ya kukanyaga au kuona kinyesi cha binadamu,"
**Binti aliyeolewa kutorejea kwao**
Sarah Opiyo anasema jamii ya Waluo walikataza binti aliyeolewa na watoto wake kutorejea nyumbani kwao alikozaliwa nyakati za kilimo, palizi na mavuno kwa madai kuwa wanaweza kutumika kwa ajili matambiko ya kimila ya kilimo, palizi au mavuno.
Lakini haikuwa kweli, lengo lilikuwa kuhakikisha binti aliyeolewa pamoja na watoto wake wanakaa nyumbani kwao (kwa mumewe) nyakati za kilimo, palizi na mavuno ili washiriki kazi hizo muhimu za uzalishaji kuwezesha familia kuwa na uhakika wa chakula.
**Binti kukosa mchumba**
“Zamani sisi kukiwa na harusi mtoto ukaondoka nyumbani kwenda kukesha ilikuwa ni marufuku…kwanza kabla haujaenda unakuwa unajua kabisa ni mwiko, kwa binti wa kike tuliaminisha kukosa wachumba lakini kwa wanaume waliaminishwa kupata mikosi,
“Lakini ikitokea umeenda licha ya makatazo hayo ukirudi ni kipigo sana..Na walikuwa wanazuia ili mtoto asiharibike maana yake usiku kule atakutana na mambo mengi hususani mtoto wa kike wanaweza kumbaka au wanaweza kumuingiza kwenye makundi mabaya,”anasema Zainabu Swed (66), mkazi wa Kaliua mkoani Tabora.
Anasema kitisho cha wasichana kukosa wachumba kilitumika hata kuwakataza kurudi nyumbani usiku, hawakutakiwa kurudi nyumbani baada ya jua kuzama hata kama walienda kutembelea ndugu na taarifa za kwenda huko baba na mama zao wanazijua.
Anasema katazo hilo siyo tu ziliwajengea maadili ya kuacha kutembea hadi usiku lakini pia ziliwafanya kuwa salama dhidi ya madhila yanayoweza kutokea njiani usiku ikiwemo kukabwa, kuliwa na wanyama wakali au kuumwa na wadudu na wakati mwingine hata kubakwa.
**Watoto kutokula viazi viazi vikubwa**
Kulwa Samsoni, mkazi wa Mabuki wilayani Misungwi anasema wakati anakua kulikuwa na mwiko wa watoto kutotakiwa kula kiazi (kiazi kitamu) kikubwa kwa madai ya kuwa akifanya hivyo wakati wa kutembea ataangukia kwenye uzio wa nyumba ya mtu (kipindi hicho nyumba zilikuwa na uzio wa za miti, maua au minyaa).
Anasema baadaye alivyokua mkubwa, alibaini kuwa siyo kweli bali alikuwa anafundishwa maadili ya kula kulingana na uwezo wa tumbo lake lakini bila kuchagua kwenye sahani.
“Nani aliyetaka kuanguka? hakuna hata mmoja hivyo tulikuwa tunakula viazi vidogo hadi tunashiba, hakuna mtu aliyekuwa anawahi kiazi kikubwa kama ikitokea kwenye sahani kipo basi tunamuachia mkubwa,”anasimulia.
Anasema ili wazee wathibitishe mtoto wao ana maadili mgeni akija anaambiwa akale naye, pale atakula kistaarabu hakuna kuongea wala kula haraka haraka kana kwamba anashindana.
“Lakini watoto wa siku hizi ikitengwa sahani mara aongee mara awahi nyama aseme hii yangu yaani hakuna kabisa maadili ya kula. Sisi zamani mtoto, kijana au binti alikuwa hawezi kunawa mikono muda wa kula au baada ya kula kabla wakubwa wake hawajanawa maana tuliaminishwa ni dhambi…hivyo tulisubiri wakubwa wanawe ndio na sisi tunawe. Lakini niambie wewe hali sasa ikoje? anaeleza.
**Wanawake kutokula mayai, nyama**
Miongoni mwa miiko au mila iliyotajwa kuwa ya kibaguzi, potofu na iliyonyima haki wanawake ni ile ya wajawazito kuzuiliwa kula vyakula vyenye protini nyingi yakiwemo mayai na hata kunywa maziwa wakiaminishwa sio salama kwa mtoto na huenda mtoto akazaliwa akiwa hana nywele kichwani.
Hata hivyo, Michael Masanja anasema mila hiyo ilikuwa sahihi kwa wakati huo kwakuwa iliwekwa kuepusha uwezekano wa mjamzito kupata shida wakati wa kujifungua kutokana na mtoto kuwa mkubwa na hakukuwa na huduma bora za afya na upasuaji kama ilivyo leo hii.
“Hata kliniki za hospitalini wanazohudhuria wajawazito hawakuwa nazo.. lakini waliwekaa miiko ambayo mama mjamzito alitakiwa asiifanye kwa usalama wake. Mfano mjamzito alikatazwa kukunja miguu akiaminishwa wakati wa kujifungua ukifika mtoto atatoka akiwa amekunja miguu au kushika tama, lakini haikuwa kweli, lengo lao lilikuwa wasiwabane watoto tumboni maana ukikunja miguu unabana tumbo,”anasema |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/michezo/polisi-yamtaka-morrison-afike-kituoni-mbweni-4863176 | # Polisi yamtaka Morrison afike kituoni Mbweni
## Muktasari:
**Juzi Morrison raia wa Ghana, alisambaza taarifa katika mitandao ya kijamii akikituhumu kituo cha Polisi Mbweni kuwa polisi wake wanachukua rushwa na wanafanya kazi kwa maslahi yao binafsi.**
Jeshi la Polisi limetoa ufafanuzi baada ya aliyekuwa mshambuliaji wa zamani wa Yanga na Simba, Bernard Morrison, kulituhumu jeshi hilo kituo cha Mbweni kuwa linachukua rushwa, likimtaka staa huyo kufikia kituo hapo.
Juzi Morrison raia wa Ghana, alisambaza taarifa katika mitandao ya kijamii akikituhumu kituo cha Polisi Mbweni kuwa polisi wake wanachukua rushwa na wanafanya kazi kwa maslahi yao binafsi.
"Kuna watu wanafanya kazi kwenye kituo cha Mbweni hawasaidii watu wenye shida na wana maslahi yao binafsi, wanajichukulia sheria mkononi na kufanya wanavyotaka, ikiwa mimi ninayejua vizuri ninaweza kutapeliwa na kutoheshimiwa unafikiri wananchi wa kawaida wanaweza kufanyaje," ilisema taarifa ya Morrison.
Hata hivyo, Jeshi la Polisi kupitia taarifa iliyotolewa leo kupitia na Msemaji wake David Misime imesema kuwa Morrison anatakiwa kusema ukweli.
"Taarifa hiyo inasema kuwa, Bernard Morrison, Machi, 2024 alifungua kesi ya Wizi wa Kuaminiwa katika Kituo cha Polisi Mbweni, akiwa Ghana alimtumia Abdul Rakeeb Mgaya kiasi cha shilingi milioni moja na laki tano (1,500,000) ili amkabidhi mdogo wake aliyemtaja kwa jina la Boat anayeishi hapa nchini akitafuta timu itakayomsajili lakini hakufanya hivyo.
"Baada ya malalamiko hayo, aliyetuhumiwa alitafutwa na alipohojiwa alieleza ni kweli kuwa alitumiwa hizo fedha ili zisaidie kwenye gharama za kumsajili huyo mdogo wake lakini ilishindikana kwasababu hakuwa na kiwango cha kusajiliwa na timu aliyokuwa anahitaji," iliendelea kusema taarifa hiyo.
"Hata hivyo, alimtaka Bernard Morrison ampe muda atamrejeshea fedha zake. Pia alielezwa kulingana na ushahidi hakuna kesi ya jinai. Hivyo walielewana na kwa vile wote ni raia wa Ghana walikubaliana kulipana.
"Taarifa hiyo iliendelea kusema kuwa, Juni 3,2024 iliripotiwa kesi ya kuharibu mali ambapo Morrison akiwa na mdogo wake na mtu mwingine walifika katika nyumba anayoishi Abdul Rakeeb na kuvunja geti kisha kuchukuwa kwa nguvu gari aina ya IST namba T239 DFM.
"Jeshi hilo liliendelea kumtafuta Morrison bila mafanikio lakini Abdul Rakeeb alifanikiwa kuliona gari hilo likiwa limeegeshwa sehemu na kulichukua na kulipeleka Kituo cha Polisi Mbweni.
"Hivyo Morrison anachotakiwa kufanya ni kuacha kujificha, kusema ukweli na kufika kituo cha Polisi kuonana na uongozi ili sheria ichukue mkondo wake," ilimalizia taarifa hiyo.
Nyota huyo wa zamani wa Yanga na Simba aliwahi kucheza soka la kulipwa pia Afrika Kusini, DR Congo kwa muda mrefu alikuwa nchini baada ya kuondoka FAR Rabat Morocco iliyokuwa ikinolewa na kocha Nasreddine Nabi kabla ya kuumia na kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu na kuja kujiuguzia hapa Tanzania. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/ulega-ataka-kasi-ya-kijeshi-ujenzi-miradi-ya-dharura-ya-barabara-4862924 | # Ulega ataka kasi ya kijeshi ujenzi miradi ya dharura ya barabara
## Muktasari:
**Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameagiza Tanroads kufanya kazi usiku na mchana kushughulikia miradi ya dharura na kuboresha miundombinu ili kupunguza usumbufu na kuchochea uchumi.**
**Dar es Salaam**. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameagiza Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha miradi ya dharura inayotekelezwa.
Ulega ametoa maagizo hayo kwenye mkutano uliohusisha menejimenti na mameneja wa Tanroads wa mikoa yote nchini, uliofanyika mjini Dodoma Desemba 18, 2024.
Amesema miradi ya dharura inapaswa kushughulikiwa kidharura.
"Fanyeni kazi kwa kasi usiku na mchana hususani kwenye miradi ya dharura ili kuwawezesha Watanzania kuondokana na adha ya miundombinu iliyoharibiwa,” amesema.
Ulega amesema Tanroads wanatakiwa kwenda kwa kasi inayofanana na viwango vya kasi vinavyoonekana wakati Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linapopewa majukumu ya utekelezaji na Serikali.
Amesema kuna mvua zinakuja zinazoweza kusababisha maeneo yaliyoharibika kuharibika zaidi.
Ulega amesema barabara zilizoharibika kutokana na mvua za masika na za El-Nino zimesababisha usumbufu na kusimamisha shughuli za uchumi, hivyo ni muhimu zikashughulikiwa kwa haraka.
Mkutano huo ni wa kwanza kati ya viongozi wa Tanroads na Ulega tangu alipoteuliwa kushika wadhifa huo na Rais Samia Suluhu Hassan.
Ulega aliyekuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi kabla ya uteuzi wa Rais wa Desemba 8, 2024 amewapongeza wafanyakazi wa Tanroads kwa kufanya kazi kwa bidii na weledi.
Amesema katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa Rais Samia, Tanroads imekamilisha ujenzi wa barabara zenye urefu wa zaidi ya kilomita 1,198 kwa kiwango cha lami.
Amewataka mameneja kufanya kazi kwa kujiamini na weledi ili kuleta tija na ufanisi katika sekta ya ujenzi nchini, pia kuondoa kero ya miundombinu mibovu kwa wananchi, hivyo kuchochea ukuaji wa uchumi.
Ulega ametoa rai kwa mameneja wa mikoa kuhakikisha maeneo yote yenye msongamamo wa magari, hususan kwenye majiji na manispaa yanafanyiwa usanifu yakinifu kwa ufasaha kulingana na mahitaji ya sasa na miaka mingi ijayo.
Ameagiza kuratibiwa vizuri ili kupunguza msongamano na kuwawezesha wananchi kufanya kazi kwa wakati.
Hata hivyo, amewahakikishia mameneja kuwa Serikali itaendelea kuzipatia ufumbuzi changamoto za wakandarasi ili wafanye kazi zao kwa kasi kuendana na malengo ya Serikali.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Aisha Amour amesema Tanroads itaendelea kuhakikisha barabara kuu za mikoa na madaraja yanajengwa ili kupitika wakati wote wa mwaka.
Amewataka mameneja wa Tanroads kuboresha usimamizi wa miradi, kulinda hifadhi za barabara na kupendezesha miji kwa taa za barabarani na utunzaji wa mazingira pembezoni mwa barabara. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/trc-yaongeza-treni-ya-abiria-kilimanjaro-arusha--4862842 | # TRC yaongeza treni ya abiria Kilimanjaro, Arusha
## Muktasari:
**Kufuatia wingi wa abiria wanaokwenda mikoa ya Kaskazini, hususan mikoa ya Kilimanjaro na Arusha msimu huu wa sikukuu za mwisho wa mwaka, Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeongeza safari moja ya treni ya abiria kuelekea mikoa hiyo.**
**Moshi**. Kufuatia wingi wa abiria wanaokwenda mikoa ya Kaskazini hususan Mikoa ya Kilimanjaro na Arusha msimu huu wa sikukuu za mwisho wa mwaka, Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeongeza safari moja ya treni ya abiria kuelekea mikoa hiyo.
Treni hiyo itaanza safari zake kutoka Mkoa wa Dar es salaam kwenda Kilimanjaro Jumamosi Desemba 21, mwaka huu.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Mkuu wa kitengo cha uhusiano wa shirika hilo, Fredy Mwanjala treni hiyo itaondoka Jijini Dar es salaam Desemba 21 saa 8:30 mchana kuelekea Kilimanjaro na Arusha na itaondoka Arusha Desemba 22 saa 8:30 mchana kuelekea Kilimanjaro na Dar es salaam.
"Shirika la reli Tanzania (TRC) lina utaarifu umma kuwa kutokana na ongezeko la abiria wanaohitaji kusafiri na treni kuelekea Kilimanjaro na Arusha, shirika limeongeza treni moja ya abiria kuelekea mikoa hiyo Jumamosi Desemba 21," imeeleza taarifa hiyo. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mwili-wa-ulomi-wafikishwa-kanisani-kwa-ajili-ya-kuagwa-4863164 | # Mwili wa Ulomi wafikishwa kanisani kwa ajili ya kuagwa
## Muktasari:
**Wanachuo Turdaco waeleza alivyokuwa mkarimu, na ndoto ya kuwa mwanasheria.**
**Dar es Salaam**. Mwili wa aliyekuwa mfanyabiashara Daisle Ulomi, aliyefariki dunia kwa ajali umefikishwa katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Madale Betheli kwa ibada ya kuagwa.
Kwa mujibu wa Jeshi la Polisi, Ulomi aliyekuwa anafanya biashara ya fedha kupitia mitandao ya simu alipata ajali Desemba 11, 2024 saa 7:55 mchana eneo la Gereji. Mwili wake ulitambuliwa na familia Desemba 16, 2024 katika mochwari ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala, siku tano tangu alipotoweka.
Awali, familia ilitoa taarifa polisi kuhusu kutoweka kwa Ulomi akitoka ofisini kwake Sinza Kijiweni, Dar es Salaam.
Desemba 17, 2024 Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro alisema Ulomi aliyekuwa kwenye usafiri wa pikipiki aina ya Boxer, aligonga lori la mizigo kwa nyuma katika Barabara ya Mandela.
Mwili wa Ulomi umefikishwa kanisani saa 7:46 mchana ukitokea nyumbani kwake Mikocheni, Mtaa wa Manyara.
Baada ya kuhitimishwa ibada iliyohudhuriwa na familia, ndugu, jamaa na marafiki wakiwa wamevaa fulana yeusi zenye maandishi yanayosomeka: “Kila unachofanya na kifanyike kwa upendo (Lets all that you do be done in love)”
Mwili wa Ulomi utasafirishwa kwenda mkoani Kilimanjaro kwa maziko.
Miongoni mwa waombolezaji ni wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Tumaini (Turdaco) ambako Ulomi alikuwa akisoma fani ya sheria akiwa mwaka wa tatu.
Mwanachuo, Rahim Kalyango amesema alikuwa mtu aliyependa kujifunza na mwenye msaada, kwenye matatizo ya misiba alikuwa akitoa hadi gari kwa ajili ya usafiri.
"Chanzo cha kuwa maarufu chuoni wakati anakuja kuanza alikuwa anamiliki gari aina ya Coaster, ikitokea msiba kwa mwanafunzi alikuwa akilitoa. Hakuwa mbinafsi, alikuwa anapenda elimu ya sheria na ndoto yake siku moja awe mwanasheria," amesema.
Kalyango amesema mara ya mwisho walikuwa naye Desemba 8, kwa ajili ya maandalizi ya mitihani na hata kwenye vipindi vya kawaida alikuwa anapenda kuchangia kwa kuwa alikuwa anakaa mbele.
"Tunachokikumbuka kwake ni ujasiri wa kumfikia mwalimu yeyote na kumweleza jambo analohitaji kujifunza, pia alikuwa mtu wa kusaidia, wakati mwingine alikuwa anatoa fedha kwa ajili ya ada," amesema.
Amesema alikuwa msiri kiasi kwamba hakuwahi kuwaambia kuwa anajishughulisha na biashara za fedha kupitia mitandao ya simu. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mahakama-yazuia-mashahidi-kutajwa-kesi-ya-mauaji-ya-polisi-4863102 | # Mahakama yazuia mashahidi kutajwa kesi ya mauaji ya polisi
## Muktasari:
**Usikilizaji wa shauri hilo linalohusishwa na masuala ya ugaidi utafanyika faragha, lengo ni kuwalinda mashahidi na watoa taarifa.**
**Dar es Salaam**. Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imetoa amri ya kutotajwa majina ya mashahidi wala maelezo yao yanayoweza kuwatambulisha katika kesi ya mauaji ya askari polisi wawili.
Askari polisi E.177 Koplo Michael na D.2865 Sajini Francis waliuawa kwa kupigwa risasi Aprili 2015 na kuporwa silaha katika tukio lililotokea Mkoa wa Kipolisi Temeke, Dar es Salaam linalohusishwa na matendo ya kigaidi.
Kutokana na sababu za kiusalama, Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) aliwasilisha ombi la kusikilizwa upande mmoja akiiomba Mahakama itoe amri kuzuia kutaja utambulisho wa mashahidi na mahali walipo.
Maombi hayo namba 26910 dhidi ya Hassan Kube (mshitakiwa wa kwanza) na Mohamed Hassan (mshitakiwa wa pili) yalisikilizwa Desemba 13, 2024 na Jaji Mfawidhi Awamu Mbagwa.
DPP aliomba Mahakama itoe zuio hilo wakati kesi ya mauaji namba 2 ya mwaka 2023 itakopopangwa kwa ajili ya usikilizwaji wa awali katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Pia, aliomba kutowekwa wazi maelezo na nyaraka zinazoweza kuwatambulisha mashahidi wakati wa usikilizwaji wa awali na usikilizwaji kamili wa kesi hiyo ya jinai.
Katika ombi la tatu na la nne, DPP aliiomba Mahakama itoe amri ya kusikilizwa faragha mwenendo wa kesi hiyo na kutoa amri inayotoa ulinzi na ustawi kwa mashahidi wote wa kesi hiyo ili kutoa hakikisho la usalama wao.
Ombi hilo liliambatanishwa viapo viwili vya wakili mwandamizi wa Serikali kutoka Ofisi ya Taifa ya Mashitaka (NPS), Neema Moshi na kiapo cha Mkuu wa Upelelezi Temeke, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Jumanne Amas.
**Hoja za kuzuia uwazi**
Katika hoja za DPP za maandishi zilizowasilishwa na Wakili wa Serikali, Monica Ndakidemi alieleza wajibu maombi wanakabiliwa na mashitaka ya mauaji ya polisi hao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Wakili Ndakidemi alidai uchunguzi wa polisi unaonyesha wajibu maombi walikuwa katika genge la uhalifu lenye lengo mahususi la kuvuruga na kuharibu mifumo ya kisiasa, Katiba, uchumi na kuanzisha dola la Kiislamu.
Katika kutekeleza malengo yao, alidai walivamia vituo mbalimbali vya polisi kwa lengo la kupora silaha na baadaye kuzitumia katika kufanikisha malengo hayo na wanazichukulia harakati hizo kama ugaidi.
“Makosa hayo ni makubwa kwa uasili wake na yana madhara makubwa kwa jamii,” alidai wakili Ndakidemi.
Wakili huyo alidai wajibu maombi na washirika wao ambao hawajakamatwa, wanawatisha watu waliopangwa kuwa mashahidi.
**Uamuzi wa Jaji**
Katika uamuzi alioutoa Desemba 18, 2024 Jaji Mbagwa alisema kupitia hati za viapo zilizowasilishwa, inaonyesha wajibu maombi kwa kushirikiana na washirika wao wanahangaika kupata utambulisho wa mashahidi wa kesi hiyo.
Jaji Mbagwa amesema lengo ni kuwazuia mashahidi kutoa ushahidi, hivyo ni jukumu la Mahakama kupima kama ombi la DPP lina mashiko au la.
“Ni jambo la wazi kuwa mashahidi wanachukuliwa kama watu muhimu kupata ukweli ili kutenda haki, ili kulinda mashahidi kuna jitihada mbalimbali za kimataifa na kitaifa zinazofanyika kuweka mifumo ya usalama wao,” amesema Jaji Mbagwa.
Jaji alirejea njia mbalimbali za kimataifa lakini kwa nchini, amesema zipo sheria zinazolinda mashahidi na watoa taarifa kupitia sheria ya kuwalinda mashahidi na Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai (CPA).
Amesema ipo sheria ya kuwalinda watoa taarifa inayojulikana Whistleblower and Witness protection Regulation na tangazo la Serikali (GN) 59 ya 2023 na zote zinatoa fursa ya kuzuia kutaja mashahidi na kesi kusikilizwa faragha.
Jaji amesema ni wazi kutoa majina ya mashahidi na maudhui ya ushahidi wao ni moja ya kanuni ya usikilizwaji wa haki, lakini pia upo umuhimu kuhakikisha mashahidi na familia zao wanalindwa ili kuwashawishi kutoa ushahidi.
Ni kutokana na ukweli huo, ametoa amri ya kutotolewa utambulisho na mahali walipo mashahidi wakati wa hatua ya usikilizwaji wa awali na pia kuwekwa wazi kwa maelezo na nyaraka zitakazowatambulisha mashahidi.
Pia, usikilizwaji utafanyika faragha hivyo umma pamoja na wanahabari hawataruhusiwa. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/makala/johari/mstaafu-anapofarijika-pale-jamii-inapoonyesha-kumjali-4862992 | # Mstaafu anapofarijika pale jamii inapoonyesha kumjali
Wakati mstaafu akijiandaa na kujipa moyo akisubiri nyongeza ya shilingi elfu hamsini aliyoongezwa kwenye pensheni yake ya ‘Laki si pesa’ baada ya miaka 20 na anayotegemea iingie mfukoni mwake mwishoni mwa ‘Njaanuari’, anafarijika kuona angalau jamii yake inamuunga mkono kwenye malalamiko yake kuhusu taabu zinazomkabili. Maoni hayo ya wananchi anayasoma kwenye mitandao ya kijamii lakini hasa kwenye hii kona yetu ya kila Ijumaa ya wastaafu.
Jamii haijasema sana kuhusu nyongeza ya shilingi elfu hamsini kwenye ‘Laki si pesa’ yake ya miaka 20, labda kwa kuona mradi hatimaye amepata nyongeza basi aishukuru tu Siri-kali. Mstaafu anaishukuru Siri-kali kwa elfu hamsini hii. Huwezi kuiokota mahali. Mstaafu mwenyewe anaisaka kwa miaka 20 na hajaiokota mahali. Ikumbukwe tu kwamba ni Siri-kali hiihii iliyomfanya mstaafu huyu wa kima cha chini akae miaka 20 bila nyongeza ya pensheni.
Haya, mstaafu wetu anaishukuru Siri-kali na kibubu chake kwa nyongeza hiyo, ingawa hajajua sawasawa ni nani amemuongeza elfu hamsini yake. Hafahamu sawa-sawa ni nani kati ya Siri-kali na kibubu chake ndiyo imeamua kwamba nyongeza hiyo iingie mifukoni mwa wastaafu mwisho wa ‘Njaanuari’ na siyo hii Desemba ili apate nafasi ya kujipongeza na wanawe na wajukuu zake. Atalifanyia kazi.
Ndiyo, mstaafu wetu anashukuru kwa nyongeza hiyo pamoja na kwamba bado iko kwenye makaratasi. Anajiuliza mno kama kulikuwa na umuhimu gani wa kuitangaza nyongeza katikati ya Novemba lakini mpaka mwezi mmoja na nusu baadaye, mwishoni mwa Njaanuari ndiyo iwe mifukoni mwa wastaafu, hawahawa walioisubiri kwa miaka 20 ndiyo ipatikane, japo si kwa namna walivyotegemea.
Wastaafu wenyewe wa kima cha chini waliolianzisha Taifa hili na kulijenga kwa damu na jasho lao wamebaki wangapi, jamani? Hivi hesabu ya kuwaongeza elfu hamsini kwenye pensheni yao ni kubwa sana kiasi cha kuchukua miezi miwili na nusu, Novemba katikati hadi mwisho wa ‘Njaanuari’? Mngekuwa mnawaongeza shilingi laki mbili unusu ili pensheni iwe shilingi laki tatu unusu si nyongeza ingetoka miezi sita baadaye?
Mstaafu wetu kama walivyo wastaafu wengi wenzake wa kima cha chini, haijui Masters wala PhD ni vitu gani kwenye mahesabu, lakini anajua kuwa utashi wake tu ndiyo ungemuwezesha kufanya wastaafu waliopewa nyongeza ya pensheni katikati ya Novemba waipate mwezi huohuo mwishoni, hata umeme ukifanya vitu vyake vya kukata umeme kwenye kompyuta na kuchelewesha mambo, basi angalau wapate nyongeza yao mwezi mmoja baadaye, siyo miezi miwili na nusu baadaye.
Hawa ni wastaafu wa kima cha chini ambao wameishaisubiri nyongeza ya pensheni yao kwa miaka 20, mnawasubirisha miezi miwili na nusu tena ya nini ili kuipata? Ni dharura, si mngeitangaza mkiwa tayari? Hivi hesabu ya elfu hamsini jumlisha shilingi laki moja kwa wastaafu waliopo wasiozidi laki tano ni kubwa na ngumu kiasi hicho cha kuhitaji miezi miwili na nusu kuikamilisha?
Mstaafu haoni aibu kukiri kwamba nyongeza ya pensheni ya kialfu hamsini ingemsaidia sana mwezi huu, kuliko waheshimiwa wasivyojua. Miaka miwili nyuma aliendekeza shida zake na kuziweka kwenye mfuko wa rambo zionekane na kila mtu, ikiwemo hii benki ya dotcom ambayo ilichangamkia kumpa mkopo ambao riba yake inamfanya apate shilingi elfu arobaini na sita tu kwa mwezi badala ya ‘Laki si pesa’ yake.
Mstaafu wetu anajua kuwa waheshimiwa wangechangamka wangeweza kufanya aipate nyongeza ya pensheni mwezi uleule wa Novemba ilipotangazwa, kama ingechelewa basi angeipata Desemba ikamwezesha kupokea tena ‘Laki si pesa’ yake, japo kwa maumivu ya riba ya mkopo! Mara moja-moja wahusika mlioshiba wakumbukeni wastaafu wa kima cha chini wenye njaa kama huyu mstaafu wetu. Angalau ajidai kwa mwaka mmoja uliobaki ili mkopo na riba yake vichape lapa.
Ndiyo maana mstaafu wetu huwa anafarijika anaposoma kuhusu wanachoandika wanajamii kuhusu taabu zao. Yote yanaonyesha jamii kuguswa na yanayompata mstaafu na kutaka juhudi ifanyike kwa wahusika kumsaidia mstaafu wa kima cha chini wa taifa. Ni mengi kutoka kwa wengi. Kuna wanaotaka wastaafu kurudishiwa matibabu ya bure ili wayamudu maradhi yao ya kiutu uzima.
Wako pia wanaotaka wastaafu ambao wana utaalamu wa kazi zao na nguvu, japo kasi imepungua kidogo kwa utu uzima wao, wapewe ajira hata kwa mkataba ili ujuzi wao uweze kulisaidia Taifa wakishirikiana na vijana.
Wapo wanaopendekeza wastaafu kupewa kazi za kitaifa kama za kuandikisha na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwakani ambao wanaweza kufanya kazi njema na walimu wakabaki shule kufundisha wanafunzi.
Mstaafu anafarijika mno kwa mawazo ya wanajamii wengi ambao wanaonyesha kuguswa na hali duni ya mstaafu wa kima cha chini wa Taifa hili. Anawashukuru sana wanajamii. Awakumbushe tu kuwa, sauti ya wengi ni sauti ya Mungu na Mungu ni mwema, atawasikia tu. Muwe na Krisimasi njema. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/marekani-yaongeza-msaada-kupambana-na-kipindupindu-tanzania-4862854 | # Marekani yaongeza msaada kupambana na kipindupindu Tanzania
## Muktasari:
**Marekani imetoa msaada wa ziada wa Sh1.18 bilioni (sawa na Dola 500,000) kwa mikoa ya Mwanza na Simiyu kusaidia mapambano dhidi ya kipindupindu.**
**Dar es Salaam**. Kutokana na kuongezeka idadi ya wagonjwa wa kipindupindu katika mikoa ya Mwanza na Simiyu, Marekani imetoa msaada wa ziada wa Sh1.18 bilioni (sawa na Dola 500,000) kwa mikoa hiyo.
Taarifa iliyotolewa leo Desemba 19, 2024 kwa vyombo vya habari na Ubalozi wa Marekani Tanzania imeeleza, mpango huo ni mwendelezo wa msaada wa afya wa Serikali ya Marekani kwa jamii zilizoathirika na milipuko ya kipindupindu nchini Tanzania.
Kupitia mradi wa majisafi wa Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (Usaid), Marekani imetoa Sh591 milioni (Dola 250,000) kwa kila mkoa (Simiyu na Mwanza) na kutuma timu za kiufundi za maji, usafi wa mazingira na usafi wa mikono kusaidia ofisi za afya za mikoa husika.
Imeelezwa timu hizo kwa kushirikiana na wadau wazawa zinatoa vidonge vya kutakasa maji, kusafisha vyanzo vya maji na kuendesha programu za uhamasishaji wa jamii ili kuzuia kuenea kwa kipindupindu.
“Hatua yetu ya haraka inaonyesha dhamira yetu ya kuokoa maisha na kupunguza kuenea kwa kipindupindu Tanzania,” amesema Kaimu Balozi Andrew Lentz katika taarifa hiyo.
“Marekani itaendelea kuwa mshirika wa karibu katika kuimarisha mifumo ya afya ya Tanzania, ikiwa ni pamoja na kukuza upatikanaji wa majisafi na usafi wa mazingira, mambo muhimu katika kupambana na ugonjwa huu unaoweza kuzuilika,” amesema.
Mapema mwaka huu, Marekani ilitoa Sh473 milioni (Dola 200,000) kwa ufadhili wa dharura kusaidia juhudi za kuzuia na kukabiliana na kipindupindu kutokana na milipuko iliyoathiri mikoa 18 ya Tanzania.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, tangu Septemba, 2023 wagonjwa wa kipindupindu wameongezeka Tanzania ambapo zaidi ya 2,200 wameripotiwa kuugua huku, vifo vikitajwa kuwa zaidi ya 40.
Serikali ya Marekani, kupitia Usaid na Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Marekani (CDC), imeendelea kushirikiana kwa karibu na viongozi wa jamii za Tanzania kuongeza upatikanaji wa majisafi, kuwafundisha wafanyakazi wa afya ya jamii na wakazi kuhusu njia bora za kuzuia na kusaidia harakati za haraka za timu za kukabiliana na mlipuko.
Taarifa imesema CDC inatoa vidonge vya kutakasa maji kwa watu walio na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), na kuongoza juhudi za kudhibiti katika vituo vinavyofadhiliwa na Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa Kukabiliana na Ukimwi (Pepfar).
Msaada huo wa ziada unaelezwa utaimarisha uratibu, kuchochea rasilimali na kuwezesha jamii zilizoathirika zaidi Simiyu na Mwanza kuzuia kuenea kwa kipindupindu na kuokoa maisha.
Msaada huo wa dharura wa Sh118.19 bilioni (Dola 50 milioni) ni sehemu ya ahadi ya Marekani ya kubadilisha miundombinu ya maji, usafi wa mazingira na usafi wa mikono nchini Tanzania. Hadi sasa, zaidi ya Watanzania 2000,000 wamepata majisafi na huduma bora za usafi wa mazingira.
“Marekani inaendelea kuunga mkono juhudi za kupanua upatikanaji wa majisafi na mifumo bora ya majitaka kama msingi wa maisha yenye afya na ustawi kwa Watanzania wote,” imeeleza taarifa hiyo. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/hofu-yatanda-wagonjwa-wa-kipindupindu-wakifikia-46-mbeya-chanzo-chatajwa-4862958 | # Hofu yatanda wagonjwa wa kipindupindu wakifikia 46 Mbeya, chanzo chatajwa
## Muktasari:
**Wagonjwa wa kipindupindu jijini Mbeya wamefikia 46, huku ukosefu wa huduma ya maji ukitajwa kuwa sababu ambapo wananchi wameomba Serikali kuingilia kati ili kutoathiri shughuli za uzalishaji kiuchumi.**
**Mbeya**. Ugonjwa wa kipindupindu umeendelea kusambaa jijini Mbeya baada ya idadi ya wagonjwa kufikia 46, huku uhaba wa huduma ya maji ukitajwa kuwa sababu na kuleta hofu kwa wananchi wakiomba serikali kuingilia kati.
Desemba 11 idadi ya wagonjwa walikuwa 22 ambao walibainika katika kata nane, ambapo kwa sasa zimeongezeka kufikia 18 kati ya 32 za jiji hilo.
Akizungumza na Mwananchi Digital leo Desemba 19, Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya, Dk Yesaya Mwasubila amethibitisha idadi hiyo kuongezeka akieleza kuwa tatizo kubwa ni uhaba wa maji.
Amesema pamoja na juhudi zinazoendelea kufanywa na kamati ya Afya ya Jiji kwa ukaribu na Mkuu wa Wilaya hiyo, Beno Malisa, lakini wamezidiwa kutokana na ukosefu wa maji.
"Watu hawana maji, muda mwingine yanatoka kwa mgawo inasababisha wengi wao kutumia maji ya visima ambavyo havina ubora madhara yake ni hayo," alidokeza.
"Ongezeko hili linatishia sana na kuleta hofu, lazima tushirikiane na wadau na tumekuwa nao watu wa Bonde na Mamlaka ya Maji Mbeya kuona huduma inapatikanaje," amesema Dk Mwasubila.
Ameeleza kuwa kamati ya afya inatarajia kuketi kufanya tathmini ikiwamo kuendelea kutoa elimu kwa wananchi namna ya kuchukua tahadhari na kukagua visima na kuchukua hatua.
Amesema pamoja na mvua zinazoendelea kunyesha jijini humo, kutokana na mifereji ilivyo inasababisha maji kutuama katika maeneo tofauti ikiwamo kwenye visima ambavyo vimechimbwa kienyeji.
"Kata za Ilemi, Isanga na Iganzo visima ni vingi na havina ubora, mvua ikinyesha watu wanajaza kwenye visima anatumia kwa shughuli zake za nyumbani," amesema Dk huyo na kuongeza.
"Nimeongea na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira wanasema maji hayatoshi kwa hiyo tatizo kuisha itakuwa changamoto," amesema.
Baadhi ya wananchi jijini hapa, wamesema licha ya operesheni iliyofanyika chini ya Mganga Mkuu, matokeo yake hayawezi kuleta tija iwapo miundombinu ni mibovu.
Sakina Bahebe ambaye ni mchuuzi wa mbogamboga na matunda, amesema ugonjwa huo unasambaa kutokana na ukosefu wa maji na barabara za pembezoni kutokuwa safi.
"Tulishasema kuwepo na maji ya uhakika, wataalamu wametutembelea na kutueleza tuchukue hatua, lakini itakuwa ngumu kwa hali hii," amesema Sakina.
Naye Bernard Mwampamba amesema Serikali iingilie kati kabla ya ugonjwa huo haujasimamisha shughuli za uchumi.
"Wizara ya Afya na Mamlaka ya Maji zichukue hatua haraka, wasiiachie halmashauri pekee kwa kuwa awali tulisikia watu 17, baadaye 22 leo idadi imepanda hadi 46, tunahofia kufunga shughuli," amesema Mwampamba. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/ni-muda-wa-kupanga-kuanza-safari-ya-2025-4862762 | # Ni muda wa kupanga, kuanza safari ya 2025
Wakati mwaka mpya unapokaribia, wananchi wanapaswa kufikiria mbinu za kuboresha hali zao ya kiuchumi, huku wakijifunza kutokana changamoto za mwaka uliopita.
Kupitia bajeti nzuri, kuwekeza, kupunguza madeni na kupata elimu ya kifedha, kila mmoja anaweza kuanza mwaka mpya kwa mafanikio makubwa.
Kwa mujibu wa wataalamu, Desemba ni kipindi cha sherehe na furaha, lakini pia ni wakati wa kujiandaa kwa mwaka mpya kwa umakini.
Familia na watu binafsi wanapaswa kuchukua tahadhari za kifedha, kuhakikisha wanakidhi mahitaji yao ya msingi na kupanga vizuri malengo yao ya mwaka mpya.
Wakati mwaka 2025 ukisubiriwa kwa hamu, ni wazi kwamba mipango thabiti ya kiuchumi itakuwa msingi wa mafanikio, hivyo Desemba ni zaidi ya sherehe, ni muda wa kutafakari, kujifunza, na kupanga maisha ya baadaye.
Kwa upande wa wafanyabiashara ni kipindi cha mavuno, lakini kwa watumiaji, ni wakati wa matumizi makubwa ambayo yanaweza kuathiri mipango ya kifedha ya Januari.
Biashara nyingi huongezeka bei za bidhaa kutokana na mahitaji makubwa, vyakula, nguo na vifaa vya mapambo na shule huonekana kupanda bei zaidi, hali hii huwafanya wengi kutumia zaidi ya wanavyopanga.
Wakati wananchi wakijiandaa kwa mwaka 2025, kuna umuhimu wa kuangalia jinsi ya kuimarisha uchumi wa familia na taifa kwa jumla. Wataalamu wanashauri kuweka malengo yanayotekelezeka na kuhakikisha rasilimali zinatumika kwa ufanisi.
**Maandalizi ya mwaka 2025**
Wachumi wanasisitiza kupanga bajeti kwa uangalifu na kuwekeza katika miradi midogo midogo yenye uwezo wa kuzalisha kipato kwa muda mrefu ili kuimarisha hali ya kifedha, hasa katika kipindi cha mpito kati ya mwaka mmoja na mwingine.
Mtaalamu wa masuala ya uchumi, Jane Prosper anasema jamii zinapaswa kufikiria njia za kuendeleza mitaji yao badala ya kutumia fedha nyingi kwenye sherehe za Desemba.
“Huu ni wakati wa kuwekeza kwenye maarifa ya ujasiriamali na teknolojia. Biashara ndogo zinazotumia mtandao, kama vile uuzaji wa bidhaa za asili, zinaweza kuongeza kipato kwa gharama nafuu,” anasema.
Anasema kwa wale wenye vikundi ni kipindi muhimu cha kujitathimini nini cha kufanya kuelekea mwaka 2025, ambapo watu wanafikiria Januari ni mwezi wa mateso kwa sababu ya kutumia pesa nyingi kwa mwezi mmoja.
“Badala ya kutumia fedha nyingi kwa sherehe, unaweza kuwekeza katika biashara ndogo ambayo itakusaidia Januari na miezi mingine ya mwaka.”
Kwa mujibu wa wachumi, uamuzi wa kuwekeza sehemu ya mapato kwenye miradi yenye tija ni muhimu katika kujenga maisha bora, hasa wakati wa changamoto za kiuchumi zinazoendelea kuathiri kaya nyingi.
“Uwekezaji mdogo unachangia siyo tu katika kupunguza utegemezi wa ajira za kawaida, bali pia huimarisha usalama wa kifedha wa familia kwa miaka mingi ijayo,” walihitimisha.
**Kujifunza kutoka mwaka uliopita**
Jane anashauri watu kutafakari jinsi walivyotumia kipato chao mwaka 2024 na kubaini maeneo ya kuboresha.
“Wengi wanaweza wakawa walitumia pesa zao kwenye matumizi yasiyo ya lazima, hivyo ni wakati sasa wa kuweka vipaumbele. Muhimu kuangalia makosa ya kifedha yaliyofanywa mwaka uliopita na kuhakikisha hayarudiwi,” anasema.
Anasema familia nyingi zinatumia fedha kiholela bila kujua zinapotea wapi, anza mwaka kwa kupanga bajeti kulingana na kipato chako halisi na kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kama sherehe za gharama kubwa au ununuzi wa vitu visivyo na umuhimu.
Katika hilo, ameweka mkazo wa kutazamwa kwa maeneo yaliyoshindikana mwaka 2024 kupangwa na kuboresha mwaka ujao, hii inahusisha kufuatilia matumizi na kuacha tabia za kifedha zisizo na tija.
**Uwekezaji na akiba**
Mchumi mwingine, Lucas Mvungi anasema kwamba mwaka mpya ni fursa ya kuanza tabia za kifedha bora, kama kuwekeza kwenye miradi midogo au kuweka akiba.
“Watu wanatakiwa kuwekeza katika maeneo ambayo yana uhakika wa faida, kama ufugaji wa kuku, kilimo cha mbogamboga, au hata biashara ya mtandaoni. Ukishindwa kuwekeza, hakikisha una akiba ya dharura inayoweza kukufikisha miezi sita,” anasema Mvungi.
Anasema watu wanapaswa kuzingatia uwekaji kuliko ukopaji, hususani mikopo umiza na yenye riba kubwa. “Usikubali madeni yakutawale, ikiwa unalazimika kukopa, hakikisha lengo ni kukuza mtaji,” anasema.
Hata hivyo, Mvungi anasema kwa wale wenye vikundi vya kuweka pesa na kukopeshana kuna haja ya kupata elimu ya kifedha tena ili kujua kuwa malengo yao waliyokusudia kama wameyafikia na kama la walikosea wapi.
“Serikali na taasisi binafsi zinapaswa kutoa mafunzo ya kifedha kwa wananchi. Hii itawasaidia kuelewa umuhimu wa kuweka akiba, uwekezaji na matumizi mazuri ya fedha,” anasema.
**Kupunguza madeni**
Wakizungumza na Mwananchi, baadhi ya wananchi wameonyesha wasiwasi kuhusu madeni yanayowakabili kwa mwaka wa 2024 ambapo wanajikuta wanageuza nayo mwaka unaofuata.
Moses Simon, mfanyabiashara wa Kariakoo, anasema: “Mwaka huu umekuwa mgumu kwangu kwa sababu ya riba kubwa za mikopo. Lengo langu mwaka mpya ni kulipa madeni haraka na kuepuka kuchukua mikopo isiyo ya lazima.”
Hali hii inaungwa mkono na mkazi wa Tandika, Amina Kassim, ambaye anasema amejifunza umuhimu wa kuweka akiba baada ya kuishi kwa mkopo, mwaka huu ulimfanya kukosa amani.
“Mwaka huu mpya, nitalenga kuweka angalau asilimia 10 ya kipato changu kwenye akiba, nilikuwa nakonda kwa sababu ya madeni, kila siku kipato ninachokipata nilikuwa narejesha marejesho tu,” anasema Amina.
**Fursa za mwaka mpya**
Kwa mujibu wa Hassan Said, mchambuzi wa masoko, mwaka mpya huleta fursa nyingi za kiuchumi ambazo watu wanapaswa kuzitumia.
“Uwekezaji katika sekta kama teknolojia, kilimo na usafirishaji una nafasi kubwa ya kuleta faida. Hata hivyo, wananchi wanapaswa kufanya utafiti kabla ya kuwekeza,” anasema.
Anasema kwa upande mwingine, baadhi ya wananchi wanaamini kwamba kujiingiza kwenye biashara ndogondogo ni njia rahisi ya kuanza safari ya kiuchumi.
“Unaweza kuwakuta wakijadili kuhusu kuanza biashara mwakani, lakini hajafanyia utafiti, hivyo anajikuta kwenye majuto ya kupoteza pesa zake kwa sababu alimuona mwenzie anafanya au alimshauri.” |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/zanzibar/dk-mwinyi-ukaguzi-udhibiti-mali-za-umma-umekuza-uchumi-zanzibar-4862526 | # Dk Mwinyi: Ukaguzi, udhibiti mali za umma umekuza uchumi Zanzibar
**Unguja.** Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema ukaguzi na udhibiti wa rasimali za umma umechangia ukuaji wa uchumi kufikia wastani wa asilimia 7.4 mwaka 2023 ikilinganishwa na asilimia 1.3 ya mwaka 2020.
Dk Mwinyi ameeleza hayo leo Jumatano Desemba 18, 2024 katika kilele cha maadhimisho ya Wiki ya Ukaguzi katika ukumbi wa Polisi Ziwani Zanzibar.
Amesema mafanikio ya kazi za ukaguzi wa rasilimali za umma, zimewezesha pia kuchochea kuimarika kwa utoaji wa huduma za kijamii ikiwemo elimu, afya, maji safi na salama, nishati ya umeme na huduma nyinginezo.
"Kazi za ukaguzi wa rasilimali fedha na rasilimali nyiginezo zimepelekea kuimarika kwa utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa miundombinu ya barabara, bandari, viwanja vya ndege, viwanja vya michezo, masoko na mengineyo," amesema Dk Mwinyi.
Kiongozi huyo, amesema mafanikio hayo yamechangiwa na udhibiti na ukaguzi bora wa rasilimali za umma, ambapo Serikali hupokea na kuzifanyia kazi hoja, ushauri na mapendekezo yanayotolewa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kupitia ripoti zake za kila mwaka.
“Kutokana na mafanikio haya, napenda kuchukua fursa hii kupongeza jitihada zinazochukuliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali katika kuimarisha utawala bora nchini wenye kuzingatia uwajibikaji, uwazi na nidhamu katika matumizi ya rasilimali za umma,” alisema.
Amebainisha kuwa jitihada za taasisi hiyo zina mchango mkubwa katika kusukuma mbele fursa za maendeleo.
Dk Mwinyi amesema suala la kuimarisha utawala bora ni jambo la msingi katika kuleta maendeleo ya nchi, hivyo lazima kila mmoja kuongeza juhudi, uzalendo na uadilifu katika kuitumikia nchi.
Hata hivyo, amesema Serikali itaendelea na juhudi zake za kuijengea mazingira mazuri ofisi hiyo ili iweze kutekeleza kazi zake kwa mujibu wa sheria, kanuni, na taratibu zilizopo kitaifa na kimataifa na kwenda sambamba na mabadiliko ya mara kwa mara ya ukaguzi duniani.
Sambamba na hayo amesema wajibu wa kuimarisha utawala bora katika matumizi ya rasilimali za umma si wa Serikali na ofisi ya CAG pekee bali ni la watu wote likijumuisha jumuiya za kimataifa, asasi za kiraia, sekta binafsi, viongozi wa dini, vyombo vya habari na wananchi kwa ujumla.
Kwa mujibu wa Dk Mwinyi, Serikali pamoja na makundi hayo yote kwa umoja wao yana mchango mkubwa katika kuhakikisha kunakuwa na uwajibikaji, uwazi na nidhamu katika matumizi ya rasilimali za umma nchini.
Rais Mwinyi alipongeza ushirikiano uliopo baina ya ofisi ya CAG na Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ya Tanzania katika kufanikisha kazi za ukaguzi wa hesabu za Serikali nchini kwani ushirikiano ni ishara ya kuendelea kuimarisha Muungano wa nchi.
Awali, akimkaribisha Rais Mwinyi Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora, Haroun Ali Suleiman amesema ofisi hiyo ina mabadiliko makubwa yanayotokana na kusimamiwa vizuri na bodi ya ushauri.
Amewasisitiza wale waliopatiwa majukumu basi kuyasimamia vizuri ili lengo la kuwepo kwa ofisi hiyo liweze kufikiwa.
Naye Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Zanzibar Dk Othman Abbas Ali amesema utaratibu wa kusomwa kwa taarifa ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali hadharani na kujadiliwa kwa kina na uwazi katika Baraza la Wawakilishi kumeleta mafanikio makubwa yenye kujenga uelewa kwa wananchi juu ya matumizi ya fedha za umma.
Akiyataja mafanikio yaliyopatikana kutokana na ushauri unaofanyiwa kazi na serikali unaotokana na ripoti za CAG kuhusu uanzishwaji wa mifumo ya kifedha serikalini limeleta tija kwa kuokoa fedha za Serikali kwa wastani wa asilimia 90.
Amebainisha kuwa kutekeleza miradi ya maendeleo kwa uwazi kwa wastani wa asilimia 96.8, kuongezeka kwa uelewa wa usimamizi wa fedha za umma kwa wastani wa asilimia 98 na matumizi ya mifumo kwenye shughuli za Serikali yameongezeka kutoka asilimia 48 hadi kufikia wastani wa asilimia 97.4
Amesema maadhimisho ya siku ya ukaguzi ni fursa kwa taasisi za umma kuwatumia wataalamu wao kubadilishana uzoefu na kujifunza mbinu za kukabiliana na vitendo vya rushwa, uhujumu uchumi na kuongeza uwazi na uwajibikaji. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/siasa/kona-ya-fyatu-mfyatuzi-nahamia-ughaibuni-tozo-tatizo-4862224 | # KONA YA FYATU MFYATUZI: Nahamia ughaibuni tozo tatizo
Nawaza na kuwazua, kujikomboa kinjuluku na kiuchumi kutokana na kuzidi uchumia tumbo. Juzi, kaja mwenye ubavu wa mbwa akidai amepandisha kodi kwa vile maisha yamepanda. Hivyo, naye anatupandishia kodi badala ya kuwapandia na kuwapandishia wanaopandisha maisha.
Nilipandwa na hasira nikatamani nimtoe roho ili asinitoze tozo. Nimegundua. Kuna mafyatu wengi kama mimi wanaoihitaji ukombozi.
Hivyo, nakuja na mbinu ya kujikomboa na kuondokana na kadhia hii iliyogeuka donda ndugu kama siyo donda rafiki.
Kwanza, nashauri tuhamie ughaibuni kwa sababu ya kodi na tozo zimezidi kiasi cha kufanya nitamani ningezaliwa wakati wa mkoloni.
Leo nitafyatukia tozo zilizotamalaki zikitufanya tuwe makapuku nao wawe wakwasi hadi wanafuga chawa, funza, kunguni na viroboto.
Zifuatazo ni tozo kwa mafyatu hasa wale wanaoliwa na wawalao. Kwanza, ni tozo ya mbavu za dogi kwa wasio na mbavu zao za mbwa au kodi ya njengo kwa wenye mbavu zao za mbwa.
Hapa sijagusa tozo ya kiwanja hata kama siyo chako ilimradi unaonekana juu ya kiwanja hicho kisicho chako bali cha mwenyewe.
Hakuna anayeishi bila kununua kitu hata kama vingi ni kanyabwoya na visivyokidhi viwango kutokana na kuwa na wanene wasiokidhi viwango pia.
Hapa kuna tozo au kodi ya mauzo tena bila kuuza. Hii haikuepushi tozo ya manunuzi. Kutokana na kutengeneza mazingira rafiki ya kifo ili mafyatu wafyatuke haraka, siku hizi, lazima mafyatu wawe na bima.
Hivyo, lazima utozwe tozo ya bima ya afya isiyo afya bali upigaji mtupu tena mchafu uliokosa ubunifu. Afya gani unalipia kumuona daktari anayekupa kikaratasi ukanunue dawa dukani mwake?
Kama haitoshi, kuna tozo la mwenge usiotumikia majumbani kwetu ukiachia kuneemesha chata twawala tu. Bado tozo za wanene kwenda kutanua na wapendwa wao ughaibuni kwa raha zao.
Ongeza tozo ya oksijeni japo ni chafu tokana na wingi wa ngwarangwara mbali na ya kaburi kama utafyatuka au kufyatukiwa na jamaa au ndugu maana jeneza halinunuliwi bila kodi na tuzo nyingine.
Ipo pia tozo ya kanywaji kwa wapataji kama mie mbali na ile ya lichigala kubwa.
Kuna tozo fichi ya muuza baa anayenifichia siri zangu ili bi mkubwa asinyake mambo yangu ya kando japo anao wengi anaowatoza tozo ili ajiishie siyo kuishi.
Nikitoka baa, ipo tozo ya barabara japo mbanano na mashimo hasa kwetu wenye vikwata moto viitwavyo magari. Ongeza tozo ya kuegesha, stickers za nenda kwa usalama usio salama, na trafiki.
Pia, ongeza tozo ya kucheka japo ni huzuni mtupu. Kwenye kifo, ongeza kodi ya kulia japo maisha ni vilio. Pia, ipo kodi ya kununa japo kwangu ni ibada.
Kodi ya kushua hata kama sishibi hata kufanya hivyo. Usisahau tozo ya choo cha kulipia japo si huduma, bali hujuma ukiachia mbali harufu mbaya, mainzi, na uchafu.
Tozo zinaendelea. Ipo ya kadi ya chama cha mafyatu hata kama hakina faida wala maana kwangu. Ongeza tozo ya bi mkubwa hata kama ana nongwa nirudipo kayani ukiachia mbali kufyatukafyatuka bure tokana na matatizo yaliyotengenezwa na ngurumbili wenye roho mbaya.
Kuna tozo ya kitegemezi skulini na michango lukuki, japo elimu yenyewe ni makaratasi bila ajira, ukiachia mbali michango lukuki ya kipigaji.
Kisivyo na akili eti kilitaka nikipeleke English Medium au Intaneshno sijui iweje? Kwani madingi wangu walinipeleka huko?
Kabla sijatulia, kuna tozo ya wachunaji au ya dini aka sadaka au zaka nk. japo wanaoipokea hawatoi wala kueleza inavyotumika ila kuukata tukigeuzwa maskini wa kutengezwa na ujinga wetu na utapeli wa kimfumo.
Hapa sijaongelea tozo ya ndata anaponikamata baada ya, ama kuupiga, kupiga ndumu, au kuonekana nimelewa wakati wa kazi, wakati wao hawafanyi kazi zaidi ya kuzurura kusaka njuluku za kijinai.
Tozo zinaendelea. Ipo ya usalama wa kaya hata kama si salama bila kusahau ya amani hata kama kaya ni vurugu.
Japo sina kipato, bado nalipa kodi ya mapato ili wanene wapate japo siku zote nakosa na kupatwa. Japo sijaendelea, nalipa kodi ya maendeleo japo kuna maanguko na kutokuendelea. Pia, kuna tozo ya kuua mbu na chawa japo wanafugwa na kunenepeshwa. Ipo tozo ya maji japo bomba siku zote kavu. Ongeza ya umeme japo ni migawo mitupu. Ongeza tozo ya kitambulisho japo sitambuliki.
Ongeza tozo ya kodi ya tozo japo sina tuzo. Nikitua uswekeni, ipo tozo ya kijiji, kata, tarafa, wilaya, nkoa, kaya na mazagazaga na makandokando mengine lukuki.
Bado nalipa tozo ya rununu na runinga japo napigwa kwa vibando na vifurushi.
Ongeza tozo ya kuzikana, vikoba, mikopo kausha damu, tozo ya babu na bibi kijijini.
Kila nikiwaza ni tozo hadi napendekeza kaya yetu iitwe kodiland kama siyo tozoland ili tuache kutozana tozo usiku hadi tunatoana roho! Kweli, wamejua kututenda. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/biashara/kwa-nini-kituo-cha-biashara-ubungo-ni-muhimu-afrika-mashariki-na-kati-4862770 | Prime
# Kwa nini kituo cha biashara Ubungo ni muhimu Afrika Mashariki na Kati
**Dar es Salaam**. Wakati uwekezaji wa nchi ya China kwa Tanzania ukiongoza nchini, Kituo cha Biashara na Usafirishaji cha Ubungo (EACLC) kimetajwa kuwa kiungo cha uwekezaji huo na ukuzaji biashara kwa Afrika Mashariki.
Mwananchi limefanya mahojiano maalumu na meneja wa kituo hicho, Cathy Wang, hivi karibuni, ambapo amezungumzia mambo mbalimbali, ikiwemo matarajio yao baada ya kituo hicho kuanza kazi mapema mwaka 2025 na kitakavyokuwa lango kuu la bidhaa zinazotoka China.
Ifuatayo ni sehemu ya mahojiano hayo kati ya Wang na mwandishi wa Mwananchi, Elias Msuya, yaliyofanyika Ubungo, Dar es Salaam:
Swali: Kituo hiki kina umuhimu gani ikiwa tayari kuna masoko mengine yanayoagiza bidhaa kutoka China?
Jibu: Kituo hiki kitakuwa lango kuu la bidhaa kutoka China kuingia nchini na kusafirisha bidhaa kwa nchi nyingine za Afrika Mashariki. Wafanyabiashara hawatalazimika kuagiza bidhaa nje ya nchi na kusubiri miezi mitatu minne, badala yake watachukua hapa Tanzania.
Swali: Tangu mradi huu umeanza kujengwa, mmechangia vipi uchumi na mtachangiaje kitakapokamilika?
Jibu: Huu mradi una manufaa mengi kwa uchumi wa Tanzania, zikiwamo ajira zitakazozalishwa. Mpaka sasa ambapo mradi bado haujakamilika, kuna ajira za watu 5,000 zimezalishwa na tutakapoanza mradi, angalau ajira 15,000 zitazalishwa na ajira zisizo rasmi zitakuwa 50,000.Naamini mradi huu utakapofunguliwa utakuza biashara na uchumi kwa Tanzania na kwa nchi zinazozunguka.
Pia mradi utawezesha kukua kwa biashara ya mtandaoni na itakapoanza itazalisha ajira nyingi, hasa kwa vijana. Kwa hiyo mradi utakuza biashara, ikiwemo kuongeza uingizaji wa bidhaa na uuzaji wa bidhaa nje ya nchi.
Hebu fikiria miaka ijayo, nchi za Afrika Mashariki hazitalazimika kwenda China kufungasha mizigo, watakuja hapa Dar es Salaam kama wanavyokwenda kuchukua huko, hicho ndicho tunachokusudia.
Kwa hiyo wafanyabiashara wa ndani waje hapa kuchukua bidhaa na tutawaunganisha na wazalishaji wa bidhaa.
Swali: Kumekuwa na hofu ya baadhi ya wafanyabiashara wa eneo la Kariakoo, kwamba mradi huu utazorotesha biashara zao. Unasemaje?
Jibu: Sidhani kwamba mradi huu utazorotesha biashara katika eneo la Kariakoo, kwa sababu Kariakoo ni kubwa sana na ni eneo lililoanzishwa tangu miaka ya 1940, hivyo watu hawataacha kwenda.
Halafu kama tunataka nchi iendelee, hatuwezi kulazimisha kila mtu aende Kariakoo na ujifungie hapo tukisema tusipanue biashara kama tulivyojenga hapa Ubungo.
Swali: Hofu hiyo pia inaelezwa kuwepo kwenye bei zenu zitakazovutia wateja na pengine wakaacha kwenda kwenye masoko mengine yenye bei kubwa. Hilo nalo unalizungumziaje?
Jibu: Kuhusu bei, watakaokuwa wakipanga bei ni wafanyabiashara watakaokuwa wanafanya biashara kwenye kituo hiki.
Sisi tunatengeneza jukwaa kwa Watanzania kufanya biashara na ndiyo maana kuna baadhi ya wafanyabiashara waliokwisha pangisha maduka hapa tumewapeleka China kwenda kujifunza biashara na kuwaunganisha na wazalishaji wa bidhaa mbalimbali.
Hivyo sisi hatushindani na wafanyabishara wa ndani, isipokuwa tunawatengenezea jukwaa kwa ajili ya kurahisisha na kukuza biashara zao.
Swali: Ukiwa mmoja wa wawekezaji kutoka nchini China, unadhani kwa nini Wachina wengi wanakimbilia kuwekeza Afrika, hasa Tanzania?
Jibu: Kinachotuvutia sisi kuja Tanzania ni amani na utulivu wa kisiasa, hivyo wawekezaji wengi wanakuja kwa kuwa wameridhishwa na mazingira ya uwekezaji.
Mimi ni mtu ninayeweza kutoa ushuhuda wa mazingira mazuri ya biashara nchini Tanzania kwa sababu nimekuwepo zaidi ya miaka 10 sasa. Nimeona wakati wa Rais Jakaya Kikwete, nimeona wakati wa Rais John Magufuli na hata sasa.
Mazingira ya kisiasa yako tulivu, mamlaka za kodi na Serikali wako tayari kuzungumza na wawekezaji wakati wote, kwa hiyo kama una jambo hatujaelewana, wako tayari kutusikiliza.
Kumekuwa na makundi ya wawekezaji kutoka nchini China yanayokuja hapa na tunawaeleza fursa za uwekezaji nchini Tanzania na kwa nchi nyingine za Afrika Mashariki na hata kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika (Sadc), kwa hiyo kuna fursa kote huko.
Tumekuwa tukipokea makundi ya wawekezaji wakija Tanzania na wanafurahia mazingira ya biashara wakilinganisha na nchi nyingine.
Kuna nchi nyingine hazina mazingira mazuri, hazina sera nzuri za uwekezaji, hakuna usalama na wakati mwingine mfumo wa fedha hauridhishi.
Swali: Mna mpango wa kufungua vituo vingine zaidi ya hapa Ubungo?
Jibu: Ndiyo, tunaweza kuwa na vituo. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/michezo/vinicius-jr-ajifariji-na-tuzo-ya-fifa-4862846 | # Vinicius JR ajifariji na tuzo ya Fifa
## Muktasari:
**Idadi ya pointi 48 ambazo alipigiwa, zilitosha kumfanya Vinicius JR apate tuzo hiyo na kuwaacha kwenye mataa nyota wawili alioingia nao katika kinyang'anyiro cha mwisho, Rodri aliyepata pointi 43 na Bellingham ambaye alikusanya pointi 37.**
**Doha, Qatar. **Mshambuliaji wa Real Madrid na Brazil, Vinicius JR amefichua kuwa amepitia katika nyakati ngumu hadi kufikia hatua ya kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa dunia 2024 ya shirikisho la mpira wa miguu duniani (Fifa) juzi Jumanne.
Akizungumza mara baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa tuzo hiyo ambayo awamu iliyopita ilichukuliwa na Lionel Messi, Vinicius alisema kuwa ushindi wake una maana kubwa kwake na wote ambao wanamtazama kama kioo.
"Sijui hata nianzie wapi. Imeanzia mbali sana na ilionekana kama haiwezekani mimi kufika hapa. Nilikuwa mtoto mdogo ambaye alicheza mpira wa miguu akiwa hajavaa viatu katika mitaa ya Sao Goncalo iliyo na umasikini na uvunjaji wa sheria. Kuwepo hapa kuna maana kubwa sana kwangu.
"Ninafanya hili kwa ajili ya watoto wengi ambao wanaamini kwamba kila kitu hakiwezekani na wanahisi hawawezi kufika hapa," alisema Vinicius JR.
Idadi ya pointi 48 ambazo alipigiwa, zilitosha kumfanya Vinicius JR apate tuzo hiyo na kuwaacha kwenye mataa nyota wawili alioingia nao katika kinyang'anyiro cha mwisho, Rodri aliyepata pointi 43 na Bellingham ambaye alikusanya pointi 37.
Pointi hizo zilitokana na kura zilizopigwa na manahodha wa timu za taifa na wadau tofauti wa mpira wa miguu duniani.
Ushindi wa Vinicius JR ni kama umemfuta machozi nyota huyo baada ya kukosa tuzo maarufu ya Ballon d'Or ambayo Rodri aliibuka mshindi.
Katika hafla ya utoaji wa tuzo hizo iliyofanyika Doha, Qatar, kiungo wa timu ya wanawake ya Barcelona, Aitana Bonmati aliibuka mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa kike wa Fifa 2024.
Carlo Ancelotti aliibuka mshindi wa tuzo ya kocha bora wa kiume na kocha bora wa kike alikuwa ni Emma Hayes na kipa wa Aston Villa, Emiliano Martinez aliibuka mshindi wa tuzo ya kipa bora, ikiwa ni mara ya pili kwake kufanya hivyo.
Alyssa Naeher alitangazwa mshindi wa tuzo ya kipa bora wa kike, Alejandro Garnacho alishinda tuzo ya goli bora la mwaka upande wa soka la wanaume huku katika soka la wanawake, mshindi wa tuzo ya goli bora la mwaka akiwa ni nyota wa Brazil, Marta.
Tuzo nyingine ilikuwa ni ya uungwana ambayo mshindi wake alikuwa ni Thiago Maia anayechezea Internaciol ya Brazil. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/michezo/vigogo-wanaisubiri-spurs-au-united-nusu-fainali-4862960 | # Vigogo wanaisubiri Spurs au United nusu fainali
## Muktasari:
**Leo usiku Manchester United itakuwa ugenini ikivaana na Totteham kutafuta timu ya nne itakayokwenda hatua ya nusu fainali.**
**London, England. **Mshambuliaji wa Arsenal Gabriel Jesus, jana alifanya mambo makubwa baada ya kufunga mabao matatu, 'hat trick' na kuipeleka timu yake hatua ya nusu fainali ya Kombe la Carabao, huku Liverpool nayo ikiibuka na ushindi.
Arsenal ilipata ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo uliokuwa mgumu na wa kuvutia kwa pande zote mbili.
Jesus ambaye alikuwa hajafunga bao lolote kwenye Uwanja wa Emirates kwa mwaka 2024, alifunga hat trick yake kipindi cha pili cha mchezo huo, akianza kwa kusawazisha bao la mapema lililofungwa na Jean Phillipe Mateta katika dakika ya nne ya mchezo.
Staa huyo raia wa Brazil alifunga bao lake la kwanza katika dakika ya 54 kafunga la pili dakika ya 73 huku akikamilisha hat trick yake dakika ya 81 ya mchezo huo.
Hata hivyo, Palace waliipa Arsenal wakati mgumu baada ya kufunga bao la pili katika dakika ya 85 kupitia kwa Eddie Nketiah na kuifanya mechi hiyo kuwa ngumu dakika tano za mwisho.
Liverpool nayo ilifanikiwa kwenda hatua ya nusu fainali baada ya kuichapa Southampton mabao 2-1.
Liverpool ndiyo ilikuwa ya kwanza kujipatia bao kupitia kwa Darwin Nunez dakika ya 24, huku Harvey Eliott akiweka la pili dakika ya 31 ya mchezo huo, kabla wenyeji hawajarudisha bao moja katika dakika ya 59 kupitia kwa Cameron Archer kwenye mchezo ambao Liverpool waliumiliki kwa asilimia kubwa.
Timu nyingine ya tatu iliyofanikiwa kufuzu hatua ya nusu fainali ni Newcastle ambao waliichapa Brentford mabao 3-1, Sandro Tonali alifunga mabao mawili katika dakika ya tisa na 45, huku Fabian Schar akifunga la tatu dakika ya 69 ya mchezo huo.
Bretford ambayo ilionyesha kiwango cha chini kwenye mechi hii ilifunga bao la kufutia machozi dakika ya tisini ya mchezo likiwekwa kimiani na Yoane Wissa.
Leo usiku Manchester United itakuwa ugenini ikivaana na Totteham kutafuta timu ya nne itakayokwenda hatua ya nusu fainali. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/michezo/ancelotti-aweka-rekodi-madrid-ikitwaa-taji-4863050 | # Ancelotti aweka rekodi Madrid ikitwaa taji
## Muktasari:
**Baada ya ushindi huo Carlo Ancelotti, amekuwa kocha mwenye mataji mengi zaidi katika historia ya Real Madrid akifikisha makombe 15, akiivunja rekodi ya Miguel Muñoz aliyekuwa na mataji 14.**
**Madrid, Hispania.** Kocha wa Real Madrid Carlos Ancelotti ameiongoza timu hiyo kubeba Ubingwa wa FIFA Intercontinental, mashindano ambayo yanahusisha klabu ambazo zimefanya vizuri kwenye mabara yote sita ambapo ilishuhudiwa Madrid ikibeba taji hilo baada ya kuifunga Klabu ya Pachuca mabao 3-0 kwenye Uwanja wa lusail huko Qatar.
Baada ya ushindi huo Carlo Ancelotti, amekuwa kocha mwenye mataji mengi zaidi katika historia ya Real Madrid akifikisha makombe 15, akiivunja rekodi ya Miguel Muñoz aliyekuwa na mataji 14.
Mataji ya Ancelotti ni La Liga mara mbili (2022, 2024), Copa del Rey mara mbili (2014, 2023), Spanish Super Cup mara mbili (2022, 2024) UEFA Champions League mara tatu (2014, 2022, 2024).
Mengine ni UEFA Super Cup mara tatu (2014, 2022, 2024) Klabu Bingwa Dunia mara mbili (2014, 2022) na FIFA Intercontinental Cup mwaka 2024.
Hili ni taji la pili msimu huu wa 2024-2025, baada ya kutwaa UEFA Super Cup mwezi Agosti dhidi ya Atalanta.
Real Madrid inatarajiwa kucheza Supercopa de España Januari, huku wakiwa na nafasi nzuri ya kutetea mataji yao kama La Liga, UEFA Champions League na Copa del Rey.
Mabao ya Madrid yalifungwa na Kylian Mbappé dakika ya 37 baada ya kupokea pasi nzuri kutoka kwa Vinícius Júnior huku bao la pili likifungwa na Rodrygo dakika ya 53 akipewa pasi na Mbappé, wakati bao la tatu lilifungwa na Vinícius dakika ya 84 kwa mkwaju wa penalti baada ya Lucas Vazquez kuchezewa vibaya ndani ya eneo la hatari.
Kylian Mbappé ameweka rekodi ya kufunga mabao mawili kwenye mechi mbili za fainali akiwa na Madrid, ambapo alifanya hivyo Agosti 14, 2024 kwenye fainali ya UEFA Super Cup dhidi ya Atalanta.
Bao alilofunga dakika ya 37 linakuwa la nne kwa Mbappe kufunga kwenye Uwanja wa Lusail baada ya kufanya hivyo kwenye mchezo wa Kombe la Dunia alipofunga mabao matatu dhidi ya Argentina, Desemba 18, 2022.
Madrid imerejea Hispania leo asubuhi, ikijiandaa na mchezo wa ligi kuu dhidi ya Sevilla utakaopigwa Desemba 22, 2024 kwenye Uwanja wa Santiago Bernabeu ambapo inashika nafasi ya tatu ikiwa na pointi 37 nyuma ya Barcelona ambayo inaongoza ligi ikiwa na pointi 38. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/michezo/yanga-mashujaa-pointi-tatu-ngumu-4862882 | # Yanga, Mashujaa pointi tatu ngumu
## Muktasari:
**Huo ni mchezo wa 12 kwa Yanga katika ligi hiyo msimu huu ambapo inapambana kutetea taji lake kwani hivi sasa inashika nafasi ya nne kwenye msimamo ikiwa na pointi 27.**
**Dar es Salaam. **Hakuna timu inayoweza kuvuna pointi tatu kirahisi wakati Yanga itakapoikaribisha Mashujaa FC leo katika Uwanja wa KMC Complex, Mwenge kuanzia saa 10:00 jion
Timu zote mbili zimeonyesha kuwa na safu za ulinzi ambazo hazifungiki kirahisi jambo ambalo linalazimisha kila upande kuhakikisha unakuwa na mipango mizuri ya kushambulia ili iweze kupata pointi tatu leo.
Yanga katika mechi 11 ilizocheza imeruhusu nyavu zake kutikiswa mara nne huku Mashujaa katika mechi 14 ikifungwa mabao nane ikiwa na wastani wa kufungwa bao 0.6 kwa mechi.
Huo ni mchezo wa 12 kwa Yanga katika ligi hiyo msimu huu ambapo inapambana kutetea taji lake kwani hivi sasa inashika nafasi ya nne kwenye msimamo ikiwa na pointi 27.
Mashujaa iliyopo nafasi ya saba kwenye msimamo ikiwa na pointi 19, mchezo wa leo inahitaji kushinda ili kuweka hesabu sawa za mzunguko wa kwanza kwani ndiyo wa mwisho kwao kabla ya kuingia mzunguko wa pili ambao nao utakuwa na mechi 15.
Yanga na Mashujaa huu utakuwa ni mchezo wa tatu katika ligi kukutana huku mechi mbili za msimu uliopita Yanga ikishinda zote.
Mbali na rekodi hiyo nzuri kwa Yanga, lakini timu hiyo haikupata ushindi mechi mbili kati ya tano za mwisho katika ligi ikifungwa 3-1 dhidi ya Tabora United na 1-0 dhidi ya Azam, huku ikizifunga Namungo 2-0, Singida Black Stars (1-0) na Coastal Union (1-0).
Kwa upande wa Mashujaa, ni timu ambayo haijapata ushindi katika mechi tatu mfululizo za mwisho ikiambulia sare zote huku mbili kati ya hizo ikishindwa kufunga bao lolote.
Uwepo wa David Ulomi na Ismail Mgunda, kunaifanya Mashujaa kuwa si timu ya kuibeza katika kucheka na nyavu kwani nyota hao ndiyo wanawabeba zaidi, hadi sasa kila mmoja amefunga mabao mawili huku Mgunda akiwa pia na pasi tatu za mwisho ikimfanya ahusike kwenye mabao manne peke yake.
Yanga iliyotoka kucheza mechi mbili za Ligi ya Mabingwa Afrika, inarejea kwenye ligi ikiwa bila ya huduma za wachezaji wake kadhaa ambao ni majeruhi akiwemo Djigui Diarra, Clatous Chama, Maxi Nzengeli na Kennedy Musonda.
Kukosekana kwa wachezaji hao ambao wamekuwa muhimu zaidi kikosi cha kwanza, kutaifanya Yanga kuwa na mabadiliko makubwa na kutoa fursa kwa wengine kuchukua nafasi zao.
Hata hivyo, Kocha wa kikosi hicho, Sead Ramovic amesema atawatumia nyota waliopo tayari kwa ajili ya kufanya vizuri.
Kocha Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic, amesema: "Tumeshamaliza mechi tatu za Ligi ya Mabingwa na sasa akili yetu inaelekea kwenye Ligi Kuu. Tunataka kupambana kuhakikisha tunatetea ubingwa wetu, nimezungumza na wachezaji umuhimu wa pointi tatu za mchezo wa kesho (leo) na wako tayari kwa hilo."
Mohamed Abdallah 'Bares' ambaye ni Kocha wa Mashujaa, alisema, "Tuna wachezaji kama wawili majeruhi lakini wanaendelea vizuri, waliopo wapo tayari kwa mchezo huu na tumeshawapa majukumu ya kufanya katika mchezo wa kesho (leo) kilichobaki ni kwao kwenda kutekeleza tulichowafundisha." |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/michezo/ateba-amsaka-rupia-akiizamisha-kengold-4862868 | # Ateba amsaka Rupia akiizamisha Kengold
## Muktasari:
**Ateba aliifungia Simba bao la kuongoza katika dakika ya 35 lililotokana na mkwaju wa penalti iliyotolewa baada ya Awesu Awesu kufanyiwa faulo ndani ya eneo la hatari na mmoja wa walinzi wa Kengold.**
**Dar es Salaam.** Mshambuliaji wa Simba, Lionel Ateba amebakisha mabao mawili tu kumfukia kinara wa ufungaji kwenye Ligi Kuu ya NBC, Elvis Rupia baada ya jana kuiongoza timu yake kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kengold, katika Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam.
Mshambuliaji huyo raia wa Cameroon, aliibuka shujaa wa Simba baada ya kuifungia mabao yote mawili yaliyoiwezesha kuvuna pointi tatu muhimu katika mechi hiyo na kuisogeza hadi nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi ikifikisha pointi 31 lakini kwa Ateba binafsi yamemfanya abakize mabao mawili kumfikia Rupia anayeongoza chati ya kufumania nyavu akiwa na mabao saba.
Ateba aliifungia Simba bao la kuongoza katika dakika ya 35 lililotokana na mkwaju wa penalti iliyotolewa baada ya Awesu Awesu kufanyiwa faulo ndani ya eneo la hatari na mmoja wa walinzi wa Kengold.
Awesu alipokea pasi kutoka kwa Kelvin Kijiri akiwa ndani ya eneo la hatari la Kengold na Ateba hakufanya ajizi kufunga penalti hiyo.
Dakika 10 baadaye, Ateba aliihakikishia Simba bao la pili baada ya kuunganisha kwa kichwa mpira wa kona uliochongwa na Valentine Nouma.
Baada ya kuingia kwa mabao hayo, Kengold ilionekana kuongeza nidhamu na juhudi zaidi katika kujilinda kwa kujaza idadi kubwa ya wachezaji mbele ya lango lake jambo lililoinyima Simba kuongeza idadi ya mabao hadi filimbo ya mwisho ya mchezo ilipopulizwa ingawa timu hiyo ya Mbeya ilishambulia mara kadhaa lango la Simba lakini haikuambulia angalau bao la kufutia machozi.
Nyota wa Kengold aliyeibeba vilivyo safu ya ulinzi ya timu hiyo na kuiwezesha isikutane na kipigo kizito kutoka kwa Simba jana ni kipa Castor Mhagama ambaye aliokoa hatari nyingi zilizoelekezwa langoni mwake na wachezaji wa Simba.
Katika mchezo huo, Simba katika kipindi cha pili iliwatoa Mzamiru Yassin, Fabrice Ngoma, Ladack Chasambi, Kelvin Kijili na Awesu Awesu ambao nafasi zao zilichukuliwa na Mohammed Hussein, Charles Ahoua, Yusuph Kagoma, Joshua Mutale na Augustine Okejepha.
Kichapo cha jana kimeifanya Kengold ibakie na pointi zake sita ilizokusanya katika mechi 15 na inaendelea kushika mkia katika msimamo wa Ligi Kuu. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/michezo/kisa-mpanzu-simba-wakuna-vichwa-4862802 | Prime
# Kisa Mpanzu... Simba wakuna vichwa
## Muktasari:
**Simba ilimsajili Mpanzu tangu Septemba mwaka huu muda mchache baada ya dirisha kubwa la usajili kufungwa Agosti 31 na ilinezwa angeanza kutumika mara dirisha dogo lililofunguliwa tangu Jumapili, lakini inaelezwa ishu ya jina gani likatwe ili kumpisha Mkongoman huyo ndiyo inayowapasua vichwa mabosi.**
Jana Ellie Mpanzu hakuanza na wala hakuwa katika benchi la kikosi cha Simba kilichovaana na Ken Gold wakati wa pambano la Ligi Kuu Bara, tofauti na majigambo ya mabosi wa Msimbazi mwamba huyo angeanza kuonekana mara baada ya dirisha dogo la usajili litakapofunguliwa, huku ikielezwa kilichomzuia.
Simba ilimsajili Mpanzu tangu Septemba mwaka huu muda mchache baada ya dirisha kubwa la usajili kufungwa Agosti 31 na ilielezwa angeanza kutumika mara dirisha dogo liliponguliwa tangu Jumapili, lakini inaelezwa ishu ya jina gani likatwe ili kumpisha Mkongoman huyo ndiyo inayowapasua vichwa mabosi.
Awali ilielezwa kipa Ayoub Lakred angeonyeshwa mlango wa kutokea ili kulipisha jina la Mpanzu na taarifa zingine zikisema huenda akawa ni Joshua Mutale ambaye amekuwa akisumbuliwa na majeraha ya mara kwa mara, lakini mambo yamekuwa tofauti baada ya kuelezwa kumetokea mgawanyiko kwa mabosi wa klabu hiyo.
“Ishu kubwa kwa sasa ni juu ya nani atemwe ili kumpisha Mpanzu, kwani tayari Simba ilikuwa na majina 12 kama kanuni inavyoelekeza na wachezaji wengine wana mikataba ambayo kuivunja ni mtihani na gharama kubwa, ila kila kitu kinaenda kuwekwa sawa na jamaa ataanza kucheza,” kilisema chanzo kutoka ndani ya Simba, huku ikielezwa hadi jana mabosi walikuwa wakikuna vichwa kufanya maamuzi ili Mpanzu aliamshe.
Nyota huyo wa zamani wa AS Vita, alichelewa kutua Msimbazi baada ya kutokea kwa dili la kwenda kutesti zali KRC Genk ya Ubelgiji, ambayo hata hivyo mambo yalikwama na kurudi DR Congo kabla ya kuamua kuja nchini kusaini mkataba na Simba iliyomtambulisha Oktoba mwaka huu.
Hata hivyo, juzi Ofisa Habari wa Simba, Ahmed Ally akihojiwa na mtandao wa klabu hiyo alisema mchakato ulikuwa unaendelea na kuhusu nani atakayempisha, umma utafahamishwa kwani viongozi wa klabu walikuwa akipambana na kuwataka Wanasimba kuwa na subira.
“Hadi kesho (jana) tutakuwa na majibu mazuri juu ya mchakato wa usajili wa Mpanzu. Juu ya nani atakayeachwa pia itafahamika na wapenzi na mashabiki wawe na subira kwani mchakato unaendelea vizuri ili kukamilisha usajili wa mchezaji huyo,” alinukuliwa Ahmed, hata hivyo katika kikosi kilichocheza jana hata benchi hakuwepo kuonyesha mambo yalikuwa hayajakaa sawa. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/michezo/morocco-awapa-mchongo-mpya-bacca-job-4862798 | Prime
# Morocco awapa mchongo mpya Bacca, Job
## Muktasari:
**Kocha mmoja aliyeweka rekodi hivi karibuni, amevunja mkimya na kuwapa mchongo wa maana kwa mustakabali wa soka na maisha yao kwa ujumla.**
Ukuta wa Yanga kwa sasa kuna mabeki wawili wa kati wa maana Ibrahim Abdullah ‘Bacca’ na nahodha msaidizi, Dickson Job ambao wanaibeba timu hiyo katika michuano ya ndani na ile ya kimataifa, lakini kocha mmoja aliyeweka rekodi hivi karibuni, amevunja ukimya na kuwapa mchongo wa maana kwa mustakabali wa soka na maisha yao kwa ujumla.
Aliyeyasema hayo ni Kocha, Hemed Suleiman ‘Morocco’ anayewafundisha wachezaji hao ndani ya Taifa Stars, akisema mabeki hao wawili ni wakati muafaka sasa kuanza kufikiria kucheza soka la ushindani zaidi nje ya Tanzania.
Kocha huyo mzawa, amewambiya wachezaji hao wanaokipiga pia timu ya taifa, kupambana ili nao wakacheze soka la kulipwa kabla umri haujawatupa mkono.
Morocco aliyeweka rekodi ya kuiongoza Stars kufuzu fainali za Mataifa Afrika 2025 akiwa kocha mzawa, alisema mabeki hao wawili wameshafanya kila kitu kwenye soka la ndani na kwa viwango vyao sasa ni wakati muafaka kwenda kuendeleza makali waliyonayo nje ya nchi kwa kucheza soka la kulipwa huko.
Nyota huyo wa zamani wa kimataifa wa Zanzibar aliyewahi kutamba na Coastal Union, alisema endapo wataendelea kubaki zaidi nchini nafasi hiyo itaondoka kwa kuwa umri utakwenda lakini pia kama viwango vyao vitapungua itakuwa ngumu kupata nafasi hiyo.
“Unamuona Bacca na Job wale wote wanatakiwa kwenda kucheza soka la ushindani zaidi nje ya nchi na wanatakiwa kuweka mkazo sasa kwenda huko badala ya kuendelea kubaki hapa nchini,” alisema Morocco na kuongeza; “Kwa sasa wameshafanya makubwa hapa nchini, wana uzoefu wa kutosha, kama watafanya hivyo sasa itaisaidia hata timu ya taifa kuongeza watu bora zaidi.”
Kauli hiyo ya Morocco inaungana na kocha wa zamani wa Yanga, Mbelgiji Torm Saintfiet ambaye wakati anaifundisha Gambia aliwahi kumuona Bacca katika fainali za Mataifa zilizofanyika Ivory Coast akisema beki huyo ana sifa nyingi za kucheza Ulaya.
Mbali na mabeki hao wawili, Morocco pia amemtaja kiungo Feisal Salum ‘Fei Toto’ akisema naye anatakiwa kuanza hesabu za kuondoka nchini kwenda kuendeleza kiwango chake.
“Yupo pia Feisal, ukiangalia kuanzia alipokuwa Yanga na hata sasa Azam amekuwa na muendelezo mkubwa kwanini asiende nje kwasasa hii itamfanya akawe bora zaidi lakini angalia pia umri wake huu ndio wakati mzuri kwake kufanya maamuzi haya makubwa,” alisema Morocco. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/michezo/simba-yaendeleza-ubabe-ligi-kuu-4862612 | # Simba yaendeleza ubabe Ligi kuu
Simba imeendelea kufanya vizuri baada ya kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Ken Gold kwenye uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam.
Mabao ya Simba yamefungwa na Leonel Ateba ambaye amefunga mawili dakika ya 34 akifunga kwa mkwaju wa penati baada ya Awesu Awesu kuchezewa vibaya ndani ya eneo la hatari.
Zilipita dakika 10 Leonel Ateba akafunga bao lingine kwa mpira wa kichwa ambao ulimpita golikipa wa Ken Gold, Castor Muhagama na kuingia wavuni, Simba ikiandika bao la pili na kuondoka ikiwa inaongoza kipindi cha kwanza.
Kipindi cha pili kilianza Simba ikifanya mabadiliko kadhaa ambapo alitoka kiungo, Fabrice Ngoma akimpisha Augustine Okejepha, Mzamiru Yasin alimpisha Yusuph Kagoma, Joshua Mutale akiingia kuchukua nafasi ya Awesu Awesu huku Kelvin Kijili akimpisha Mohamed Hussein.
Leonel Ateba anafikisha mabao matano ndani ya Simba sawa na Jean Ahouwa ambao wapo nyuma kwa mabao mawili dhidi ya Elvis Rupia anayeongoza akiwa na mabao saba kwenye Ligi kuu.
Baada ya ushindi dhidi ya Ken Gold, Simba inasogea mpaka nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi kuu ikiwa na pointi 31 nyuma ya vinara Azam FC ambayo inaongoza Ligi ikiwa na pointi 33 wakati Ken Gold inabaki nafasi ya 16 ikibuluza mkia ikiwa na pointi sita.
Mchezo unaofuata Simba itakuwa ugenini kwenye uwanja wa Kaitaba dhidi ya Kagera Sugar Desemba 21, 2024 wakati Ken Gold itacheza kwenye uwanja wa CCM Liti dhidi ya Singida Black Stars Desemba 24, 2024. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/burudani/kesi-ya-jay-z-yachukua-sura-mpya-atachomoka--4862106 | # Kesi ya Jay Z yachukua sura mpya, atachomoka?
## Muktasari:
**Alex wakati akizungumza na wanahabari katika Ofisi ya Roc Nation mjini New York amedai mashtaka hayo hayana ukweli na anatarajia kesi hiyo itakufa kifo cha kawaida**
**Marekani**. Wakili wa Jay-Z, Alex Spiro ametoa taarifa yake ya kwanza hadharani kuhusiana na tuhuma za ubakaji zinazomkabili mteja wake akisema anatarajia kesi hiyo kufutwa.
Alex wakati akizungumza na wanahabari katika Ofisi ya Roc Nation mjini New York amedai mashtaka hayo hayana ukweli na anatarajia kesi hiyo itakufa kifo cha kawaida.
Kauli hiyo ya wakili imekuja siku chache tangu mlalamikaji aitwaye Jane Doe afanye mahojiano na NBC News na kutoa maelezo ambayo hayaendani na matukio ya Tuzo za MTV huku maeneo ambayo alidai alipelekwa kufanyiwa kitendo hicho nayo yakiwa hayaendani na muda aliotaja.
"Madai ya mwanamke huyo ameyatoa yanatofautiana kwenye eneo. Kesi hiyo inasema shambulio hilo lilitokea katika nyumba kubwa nyeupe iliyopo karibu na barabara ya umbo la U lakini picha zinaonyesha Jay-Z na Combs wapo katika club ya usiku ambapo baada ya onyesho la tuzo za MTV.
"Sio tu kwamba hadithi hii ni ya uongo na kwamba sio kweli, ninahakika ni ya uongo ambao upo wazi," alisema wakili wa Jay Z
Pia wakili huyo amezungumzia uhusiano wa Jay-Z na Diddy akisema wawili hao walikuwa na uhusiano wa kikazi tu, huku akitaka mteja wake awekwe mbali na vita vya kisheria vya Diddy.
"Mr Carter hana uhusiano wowote na kesi ya Diddy, walifahamiana kikazi kwa miaka kadhaa hakuna uhusiano wa karibu kati yao, hajui lolote kuhusu mashtaka au tuhuma dhidi yake hana uhusiano wowote na kesi hiyo na hakuna la kusema zaidi," amesema Spiro.
Hata hivyo kwa upande wa wakili Tony Buzbee anayesimamia kesi ya mwanamke anayemtuhumu Jay Z amenukuliwa akisema. “Mahakama zipo ili kutatua mizozo ya kweli, mteja wetu anabakia kushikilia madai yake.”
Kesi hiyo ambayo hapo awali iliwasilishwa Oktoba,2024 maeneo ya Kusini mwa New York huku wakimtaja Diddy kama mshtakiwa wa kwanza, iliwasilishwa tena Jumapili ya Desemba 8, 2024 huku Jay Z akitajwa kuwa ni mtuhumiwa namba mbili.
Utakumbuka mlalamikaji alidai kufanyiwa vitendo hivyo vya ukatili akiwa na umri wa miaka 13. Tukio lililotokea Septemba 2000 baada ya sherehe za ugawaji wa Tuzo za Video MTV. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/kolamu/wananchi-tujihadhari-na-kipindupindu-kinaua-4862768 | # Wananchi tujihadhari na kipindupindu, kinaua
Desemba 10, 2024, baadhi ya vyombo vya habari nchini viliripoti hofu ya kuibuka ugonjwa wa kipindupindu mikoa ya Mbeya na Dodoma na mamlaka zikiwataka wananchi kuchukua tahadhari kwa kufuata kanuni za usafi wa mazingira na chakula.
Wataalamu wa afya wanaeleza chanzo cha ugonjwa wa kipindupindu ni uchafu wa mazingira na kusababisha bakteria wanaojulikana kitaalamu kama (vibriocholerae) kuwa na uwezekano wa asilimia 20 hadi 70 kusababisha kifo endapo itakosekana huduma inayostahili, hasa kwa walioathirika zaidi.
Uchafu wa vyanzo vya maji, utupaji ovyo wa taka, pia kujisaidia ovyo na miundombinu duni ya maji safi na maji taka yanatajwa kuchangia magonjwa ya milipuko, ikiwemo wa kuhara na kipindupindu.
Mara ya mwisho kuripotiwa kwa ugonjwa wa kipindupindu kwa mujibu wa vyanzo vya habari ilikuwa wilayani Chato, Mkoa wa Geita ambako watu wanane walidaiwa kubainika na ugonjwa huo, mmoja kati yao kutajwa kufariki na Serikali ilichukua hatua za haraka kuweka kambi maalumu ya wagonjwa.
Taarifa ya Shirika la Afya Duniani (WHO) Machi 2024, imesema idadi ya wagonjwa wa kipindupindu imeongezeka kwa miaka ya hivi karibuni na kuua watu 5,900 na kuripotiwa wagonjwa 825,000 kwa nchi 30 na kuuweka ugonjwa huo daraja la tatu hatari.
Idadi hiyo ya vifo na wagonjwa kwa nchi 30 na Tanzania ikiwemo, jamii itambue kuwa ugonjwa huo ni hatari na kuacha kupuuza maelekezo ya mara kwa mara ya wataalamu wa afya juu ya kudumisha usafi wa mazingira na chakula.
Taarifa ya kuibuka kwa hofu ya kipindupindu iwazindue maofisa afya kote nchini kutoa elimu kwa jamii na watoa huduma ya chakula, mama na baba lishe kudumisha usafi maeneo yao na vyombo vyao pamoja na kunawa mikono kabla ya kuandaa chakula.
Kuwepo hofu ya ugonjwa huo wa kipindupindu kwa mikoa hiyo, kila mmoja kutakiwa kuchukua tahadhari binafsi hasa kipindi hiki cha msimu wa matunda kwa baadhi ya maeneo kuacha kula kabla ya kuosha na kunawa mikono kwa maelezo kwamba wadudu hupendelea sehemu iliyoiva au kuoza.
Zipo taarifa zilizoeleza Jiji la Mbeya kusajili watu wenye maambukizi ya ugonjwa huo na kutengewa eneo maalumu, hivyo ni vyema hatua za tahadhari zichukuliwe ili kuzuia kusambaa maeneo mengine.
Kipindi hiki cha mvua kwa baadhi ya maeneo, wakurugenzi wa halmashauri za majiji na miji watoe mwongozo kwa maofisa afya kata na wilaya wawe wasimamizi wakuu wa usafi mazingira kwa kushirikiana na viongozi wa Serikali za mitaa.
Wataalamu wa afya wanautaja ugonjwa wa kipindupindi ambao ni wa kuambukiza, chanzo chake ni mazingira machafu, hivyo kwa ushirikiano huo uwasukume kuhakikisha kipindi hiki cha mvua kwa baadhi ya maeneo, masoko yanakuwa katika hali ya usafi muda wote na taka katika madampo kusombwa kila siku.
Septemba 10, 2024, Wilaya ya Kilindi mkoani Tanga iliripotiwa mtu mmoja kufariki na wengine 16 kulazwa hospitali baada ya kile kilichoelezwa kuwa ni maambukizi ya ugonjwa wa kipindupindu.
Serikali wilayani humo iliweza kuudhibiti na kuutokomeza ugonjwa huo, lakini jamii inatakiwa kutobweteka kwa kuamini umetokomea na badala yake idumishe kanuni za afya na usafi wa mazingira kuwa ndio utamaduni na uwepo mkazo wa matumizi bora ya choo kwa wote mjini na vijijini.
Ugonjwa wa kipindupindu unatajwa kuwa hatari, unaoweza kusababisha kifo, ndiyo maana Shirika la Afya Duniani (WHO) likauweka kuwa wa daraja la tatu, hivyo ni vyema jamii kujengewa uelewa wa kutambua dalili zake na hatua za kuchukua ili kutopata madhara.
Licha ya kuwa hadi sasa hakuna taarifa ya vifo kwa ugonjwa huo, lakini ziwepo hatua za kuielimisha jamii kujua ugonjwa upo, unaweza kuzuka muda wowote ikiwa tu mazingira yatakuwa katika hali hatarishi.
Kama nilivyosema kipindi hiki cha mvua kwa baadhi ya maeneo ni vyema Serikali kupitia mamlaka za halmashauri za miji na majiji kutoa elimu kupitia matangazo (mobile cinema) ili kila mmoja ajue madhara ya ugonjwa huo na dalili zake pamoja na jinsi ya kujikinga.
Kwa mkakati huo wa WHO, dhamira hiyo inaweza kufikiwa endapo tu viongozi wa mataifa husika watakuwa na sauti moja ya kuona ni janga kwa kuchukua hatua zaidi, ikiwemo elimu kwa jamii.**0655 902929** |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/kolamu/umuhimu-wa-akiba-januari-4862764 | # Umuhimu wa akiba Januari
Kila ifikapo kipindi cha mwanzo wa mwaka ni wakati ambao watu wengi wanapitia changamoto ya kifedha na wengine kujikuta katika hali ngumu kimaisha kutokana na kuongezeka mahitaji ya kifedha, malipo na malimbikizo ya madeni.
Kwa wafanyakazi walioajiriwa ambao kwa kawaida wana uhakika wa kulipwa mishahara, wanatumia njia mbadala ya kukopa kwa wengine ili kuweza kumudu mahitaji mbalimbali, ikiwemo ya familia, kwa wengine wenye biashara na kazi binafsi wanalazimika kutafuta namna nyingine ya kuwavusha mwezi Januari.
Mambo makubwa mawili tunaweza kusema yanaweza kuwa sababu ya hali hiyo inayojirudia kila mwaka ifikapo mwezi Januari, kwanza, msimu wa mwisho wa mwaka ambao unaambatana na sikukuu na mapumziko, watu wengi wanaongeza matumizi kwa ajili ya kugharimia mambo kama gharama za nauli, usafiri, sherehe mbalimbali, na mengine.
La pili ambalo ndilo kubwa zaidi, mwanzo wa mwaka ni mwezi wa kulipia mahitaji mengi ambayo yanakutana kwa pamoja, kwa mfano kodi ya nyumba, duka, ada za shule kwa watoto, nguo na vifaa kwa ajili ya mwaka mpya wa masomo na mengine vyote vinalipiwa Januari.
Tukilinganisha mahitaji hayo ya kifedha na viwango vya kipato cha watu mengi ndio changamoto inapoanzia, mzigo unakuwa mkubwa, hali ngumu, na mwezi wa kwanza ndio unapobatizwa kuitwa “Njaanuary”.
Mbinu kubwa inayoweza kutusaidia kuondokana na changamoto ya kifedha mwanzo wa mwaka ni kuanzisha mazoea ya kujiwekea akiba kwa kutunza kiasi fulani cha pesa kutoka katika kipato chako katika kipindi cha mwaka mzima.
Mwezi Januari inapofika kiasi ulichokusanya kitasaidia kupunguza makali yanayotokana na stahiki za malipo. Ili kuepuka kukaa na akiba mkononi kwa kuhofia kuitumia, unaweza kutunza pesa hiyo katika akaunti maalumu ya benki (fixed deposit).
Yapo mambo kadhaa muhimu ya kufanya ili kuweza kuweka akiba, mosi, kuweka malengo binafsi yenye uhalisia kulingana na kipato chako mwanzoni kabisa mwaka unapoanza, kujiwekea malengo ni kama programu inayoweza kumsaidia mtu kujua mambo gani anataka kufanikisha kwa mwaka huo ambayo yatahitaji fedha, na itachochea nidhamu ya matumizi ya fedha kuepuka matumizi kwenye vitu visivyo kwenye mpango wake.
Jambo la pili ili mtu kuweka akiba inabidi kujiwekea bajeti na rikodi za matumizi, bajeti itasaidia kujua kiasi gani cha fedha kitaenda katika matumizi ya kawaida, kutimiza malengo uliyojipangia, na kiasi gani utaweka akiba. Ni dhahiri kwamba hali ngumu kifedha tunapitia Januari, lakini ni ukweli kuwa wengine wamepoteza pesa nyingi katikati ya mwaka kwa kukosa mpangilio mzuri wa kibajeti.
Vilevile, inabidi kuepuka kulimbikiza madeni, mfano kulipia ada, kodi mapema kabla ya kusubiri mwanzo wa mwaka inaweza kupunguza mzigo wa malipo ukilinganisha na kipindi ambacho madeni hayo yote yanakutana kwa wakati mmoja, zipo taasisi mbalimbali na wamiliki wanapokea malipo kabla ya wakati (prepayments).
Pamoja na yote, nidhamu binafsi inahitajika zaidi ili kutimiza hayo, kwa kiasi kikubwa suala la usimamizi wa fedha linahitaji utayari wa mtu mwenyewe na nidhamu ya hali ya juu kujisimamia, bila la hivyo, hayo yote tuliyoyataja unaweza kuwa nayo lakini yasifae chochote kama utakosa nidhamu ya kujisimamia na kutekeleza.
Nafahamu Watanzania wengi shughuli zao za kiuchumi zinawapa kipato cha kujikimu tu, siyo vya kuweka akiba, lakini kwa namna yoyote, mtu anahitaji kuwa na akiba ya kifedha itakayoweza kumsaidia kutatua changamoto kwa kiasi au kwa jumla inapotokea kuliko kuacha kabisa, bila hivyo, kundi kubwa la watu linaweza kujikuta katika changamoto hiyo inayojirudia kila mwaka. |
https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/minister-ulega-directs-tanroads-to-work-round-the-clock-on-urgent-projects-4863108 | # Minister Ulega directs Tanroads to work round the clock on urgent projects
## What you need to know:
**The minister gave the directive in Dodoma during a meeting with Tanroads' management and regional managers from across the country.**
**Dar es Salaam.** Works minister Abdallah Ulega has directed the Tanzania National Roads Agency (Tanroads) to work day and night to complete emergency projects under its responsibility.
The minister gave the directive in Dodoma during a meeting with Tanroads' management and regional managers from across the country.
He told them that emergency projects should be treated as urgent matters.
"Work quickly, day and night, especially on emergency projects, to enable Tanzanians to overcome the challenges caused by damaged infrastructure," said Mr Ulega.
He directed the managers to increase their speed like the Tanzania People's Defence Force (TPDF) when tasked with government duties, saying upcoming rains could worsen areas that are already damaged.
Mr Ulega noted that roads damaged by the long rains combined with those of El Niño have caused disruptions and halted economic activities, making it crucial to address them urgently.
The Dodoma meeting was Ulega's first with Tanroads leaders since being appointed to head the docket during the recent mini-cabinet reshuffle made by President Samia Suluhu Hassan.
During the meeting, the new minister took the opportunity to commend the Tanroads staff for their hard work and professionalism.
He highlighted that during the three years of President Hassan’s Sixth Phase Government, more than 1,198 kilometres of roads had been constructed at the tarmac level.
The minister, who also serves as the Member of Parliament for Mkuranga, urged the managers to do their work with confidence and professionalism in order to enhance efficiency and success in the country's construction sector, address the issue of poor infrastructure for citizens, and drive economic growth.
Further, Mr Ulega urged the Tanroads regional managers to ensure all areas with heavy traffic, particularly in cities and municipalities, are well planned according to current needs and for many years to come. This will help reduce congestion and enable citizens to carry out their tasks on time.
The minister assured the managers that the Sixth Phase Government under President Hassan, will continue addressing the challenges facing contractors to ensure they work efficiently and in line with the government's goals.
For her part, the Ministry of Works Permanent Secretary, Ambassador Aisha Amour, stated that Tanroads would continue to ensure main roads, regional roads, and bridges were constructed and become passable throughout the year.
Ms Amour urged Tanroads managers to improve project supervision, protect road reserves, and beautify cities with street lighting and environmental conservation along roadsides. |
https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/mchengerwa-downplays-makonda-s-mud-protest-remarks-on-accountability-4863098 | # Mchengerwa downplays Makonda's mud protest remarks on accountability
## What you need to know:
**What began as an unusual form of protest quickly escalated into a national debate after Arusha Regional Commissioner (RC) Paul Makonda publicly commended the residents’ actions.**
**Dar es Salaam.** In a bizarre protest that seemed almost theatrical, residents of Muriet Ward in Arusha expressed their frustrations with local leaders by dragging them through mud.
Their target: Ward Councilor Francis Mbise and Muriet Street Chairperson Dominic Kivuyo, whom they blamed for failing to address the area's worsening road dilapidation.
The protest was sparked by weeks of heavy rain that had turned the roads into impassable swamps.
What began as an unusual form of protest quickly escalated into a national debate after Arusha Regional Commissioner (RC) Paul Makonda publicly commended the residents’ actions.
Speaking at a national procurement forum in Arusha on the same day, Makonda endorsed the mud protest and even suggested other citizens adopt similar methods.
“If your leaders fail you, don’t just sit there. Boo them. Drag them through the mud if you have to. Let them feel your pain,” said Mr Makonda who was speaking before Deputy Prime Minister and Minister of Energy Doto Biteko.
Mr Makonda’s remarks, though delivered with humor, ignited controversy as he also made a provocative suggestion, “If there’s uncollected garbage in your area, take it to your leaders’ homes. Let them live with it.”
While some applauded the RC for resonating with the frustrations of citizens, others, including government officials, expressed dismay.
The following day, on December 18, 2024, the Minister of State in the President’s Office-Regional Administration and Local Government (PO-RALG), Mr Mohammed Mchengerwa, shared the government’s position on the matter.
“Let me be clear, what happened in Arusha does not reflect the government’s stance. It is not part of Tanzanian culture,” said Mr Mchengerwa during the launch of ICT equipment for secondary schools in Dar es Salaam.
The minister condemned both the mud-dragging protest and the RC’s encouragement remarks.
“Citizens should never take the law into their own hands. I urge all leaders, from district commissioners to local government officers, to address citizens’ grievances and ensure such incidents do not recur,” emphasized the minister.
Mr Mchengerwa also directed the Tanzania Rural and Urban Roads Agency (Tarura) to collaborate with local authorities to resolve minor issues before they escalate into public outcries.
The incident underscores the deep frustrations among Muriet Ward residents, who have struggled with impassable roads exacerbated by torrential rains.
Despite their complaints, the lack of timely action led to the mud protest.
While Makonda’s comments seemed to strike a chord with those frustrated by unresponsive leadership, political analysts, like Ms Amina Mushi, warned that such rhetoric could promote chaos rather than encourage constructive change.
“The protest might have been a desperate call for attention, but promoting disorder as a solution is dangerous,” said Ms Mushi.
The situation raises significant questions about accountability in local governance: Why did it take such an extreme protest to highlight the issue? Why weren’t preventive measures taken earlier?
As Mchengerwa attempted to restore order, he reminded leaders of their duty to the public, “We are here to solve problems, not create them.”
For Muriet Ward’s residents, the mud protest may have been the only language their leaders understood. |
https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/lipumba-re-elected-as-cuf-chairperson-marking-25-years-of-leadership-4862990 | # Lipumba re-elected as CUF Chairperson marking 25 years of leadership
## What you need to know:
**In the elections held on Wednesday, December 18, 2024, Prof Lipumba secured 216 votes out of 592 valid ballots**
**Dar es Salaam.** CUF members have re-elected Prof Ibrahim Lipumba as their national chairperson, extending his leadership for another five years.
This marks his 30th year at the helm of the party.
In the elections held on Wednesday, December 18, 2024, Prof Lipumba secured 216 votes out of 592 valid ballots, defeating seven other candidates.
His closest competitor, Mr Hamad Masoud, garnered 181 votes. Other candidates and their respective votes in brackets are: Maftah Nachuma (102); Wilfred Rwakatare (78); Juma Nkumb
(6); Athumani Kanali (5); Chifu Yema (2); and Nkunyuntila Chiwale (2).
Mr Othman Dunga was picked as the party’s vice chairperson for the mainland after collecting 182 votes out of 533 cast ballots.
Other contestants and their respective votes in brackets are: Miraji Mtibwiliko (159); Magdalena Sakaya (140); Juma Nkumbi (34); Mohamed Ngulangwa (29); and Komein Rwihura (18).
Mr Mbarouk Seif Salim emerged victorious as the party’s vice chairperson for Tanzania Zanzibar after collecting 159 votes, defeating Ms Husna Mohamed Abdallah, who garnered 150 votes.
Other candidates and their respective votes in brackets are: Haroub Mohamed Shamis (117); Ali Rashid Ali (74); and Mohamed Habibu Mnyaa (56).
The CUF Electoral Committee Chairperson, Mr Mashaka Ngole, said members of the Leadership Council would be elected on Thursday, December 19, 2024. |
https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/chadema-leader-mbowe-asks-for-more-time-to-decide-on-re-election-bid-4862394 | # Chadema leader, Mbowe, asks for more time to decide on re-election bid
## What you need to know:
**Senior members of the main opposition party are gearing up to elect their national leaders, including the chairman and vice chairpersons for both Mainland Tanzania and Zanzibar.**
**Dar es Salaam.** Chadema Chairman Freeman Mbowe has requested 48 reflection hours to decide whether he will stand for reelection in the upcoming intra-party elections.
Senior members of the main opposition party are gearing up to elect their national leaders, including the chairman and vice chairpersons for both Mainland Tanzania and Zanzibar.
Mbowe’s request follows a meeting of regional chairpersons held at his Mikocheni residence in Dar es Salaam on December 18.
During the gathering, the regional leaders made a compelling appeal for Mbowe to continue leading the party, urging him to pursue another term.
The regional leaders lauded Mr Mbowe's visionary leadership, expressing profound admiration for his pivotal role in Chadema’s growth and development.
They described him as the driving force behind the party's innovation and success, emphasising his relentless efforts to strengthen Chadema from the grassroots level.
His ability to inspire both party members and the broader Tanzanian public was also highlighted as a testament to his impactful leadership.
The Iringa Region Chairman, Mr William Mungai, who spoke on behalf of other regional leaders, said Mr Mbowe’s leadership has been pivotal in transforming Chadema into a formidable political force in the country.
“You have been an exceptional leader, Freeman. Your political acumen draws people to you, and you have made immense personal sacrifices for this cause,” remarked Mr Mungai.
“Your dedication, even at the risk of your safety, is something we all recognize. You’ve invested both time and resources into building Chadema, and those who think they can match your efforts need to wait for another decade,” he insisted.
Mr Mungai also praised Mr Mbowe’s inclusive leadership style, noting that under his guidance, Chadema has welcomed individuals from various political backgrounds.
Some of these individuals, like Tundu Lissu and Zitto Kabwe, have gone on to become prominent political figures.
In his response, Mr Mbowe emphasised that his decision would be driven by the best interests of the party, reiterating that he was not willing to engage in any internal conflicts that could harm Chadema but would enter a battle that would help strengthen it.
He also expressed his concern over the conduct of some of the senior cadres who engage in destructive rhetoric as they seek leadership positions.
He promised to monitor the situation and act accordingly in the days leading up to his final decision.
“I have heard your request, and I ask you to give me 48 hours to reflect before addressing the media on Saturday, December 21, 2024,” Mr Mbowe told regional leaders.
“My promise is that I will enter a battle that will build our party. From now until Saturday, I will closely monitor how things are going. If I see signs of a negative future for the party, I, the commandant, will step in,” he insisted.
He clarified that he was not yet involved in any organised efforts to secure his nomination for another term.
However, he acknowledged the overwhelming support from party members, who have urged him to continue.
He reflected on his struggles and the pressure from his family to step away from politics, noting that despite these challenges, he remained committed to the party's vision.
Despite the uncertainty surrounding his decision, the regional leaders were unwavering in their support for Mbowe.
They assured him that their commitment to his leadership remained strong, and they were determined to ensure his reelection.
Mr Mungai said that Mr Mbowe’s innovative contributions to the party—such as the Sangara and G5 operations—have set Chadema apart from other political groups in Tanzania.
“We need someone who leads from the front. When the party faces challenges, Mr Mbowe is always ready to step up and lead the charge,” Mr Mungai said.
“We stand with you, Freeman. Don’t be discouraged by external criticisms. We are committed to ensuring you remain at the helm,” emphasised Mr Mungai.
The party’s vice chairman (Mainland), Tundu Lissu, has already announced his intention to contest the party's top leadership position.
On December 12, Mr Lissu officially declared his candidacy, and on December 17, he collected the nomination form that he returned yesterday.
In a televised interview, Mr Lissu stated that his decision was entirely in line with party constitution and should be viewed as a normal democratic process.
“There is no personal animosity between Mbowe and me. We may differ on some issues, but we both remain united under Chadema’s banner,” Mr Lissu said, emphasising that his candidacy was not a challenge to Mbowe’s leadership but a necessary step in the democratic processes of the party. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/sababu-lwakatare-kutojitoa-kinyang-anyiro-uenyekiti-cuf-4863214 | # Sababu Lwakatare kutojitoa kinyang’anyiro uenyekiti CUF
## Muktasari:
**Katika uchaguzi ambao matokeo yalitangazwa usiku wa kuamkia leo Desemba 19, 2024, Profesa Ibrahim Lipumba amepata kura 216 kati ya kura 592 halali zilizopigwa, huku Wilfred Lwakatare akipata 78.**
**Dar es Salaam**. “Endapo nikikuta jina la Profesa Ibrahim Lipumba katika karatasi za wagombea uenyekiti najitoa.” Hii ilikuwa kauli ya aliyekuwa mgombea uenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Wilfred Lwakatare.
Licha ya kutoa kauli hiyo mara mbili kwa nyakati tofauti alipozungumza na Mwananchi, Lwakatare ameshindwa kuisimamia baada ya jana Jumatano, Desemba 18, 2024 kushiriki uchaguzi kuwania uenyekiti akichuana na Profesa Lipumba.
Mara ya kwanza Lwakatare alisema: “Nikikuta kuna fomu ya Profesa (Lipumba), mimi ya kwangu naiondoa… kwa sababu namheshimu sana na ameshanitamkia mara tatu kwamba hagombei, sasa tutakwendaje namna hiyo kwa kuviziana.”
Hata hivyo, Lwakatare ambaye ni mbunge wa zamani wa Bukoba Mjini ameliambia Mwananchi leo Alhamisi, Desemba 19, 2024 kuwa aliamua kutojitoa katika kinyanga’nyiro hicho baada ya wajumbe wanaomuunga mkono kumshawishi.
Katika uchaguzi ambao matokeo yalitangazwa usiku wa kuamkia leo, Lwakatare alishindwa kufua dafu mbele ya Profesa Lipumba aliyepata kura 216 kati ya kura 592 halali zilizopigwa. Lwakatare alipata kura 78.
**Ilivyokuwa ukumbini**
Akisimulia namna ilivyokuwa ukumbini, Lwakatare amesema kuanzia mwanzo hadi mwisho wa mchakato alikuwa na kamati yake maalumu iliyokuwa ikimpa ushauri na kabla na baada ya kufika eneo la tukio walijadiliana kuhusu Profesa Lipumba na msimamo wake wa kutogombea.
“Tulijiuliza huyu jamaa (Profesa Lipumba), msimamo wake ni kutogombea, lakini mbona anakwepa kuzungumza na vyombo vya habari? Nikawaambia kuwa huyu jamaa nikiona jina lake sitaendelea na mchakato, nitajitoa,” Amesema na kuongeza:
“Jana kuna wajumbe kama 50 hivi walinisihi sana nisijitoe, nikawaambia nikikuta jina la Profesa sitagombea nitajitoa mbele ya mkutano mkuu. Tumefika ukumbini tukamuona Profesa ambaye katika hotuba yake ya ufunguzi akawaeleza wajumbe kutokana na presha ya watu… naachia demokrasia ifanye kazi yake na watu wafanye uamuzi wanavyoona,” amesema.
Kwa mujibu wa Lwakatare, kutokana na uzoefu wake katika siasa, alishaelewa maelezo ya Profesa Lipumba kwamba alikuwa akiigiza mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu, ikamlazimu kuwaita watu wake kujadiliana kwa mara nyingine.
“Nikawaambia mnaona hiyo ngoma, nikawaeleza kuwa huu ni mchezo ambao Profesa Lipumba ameucheza, lakini kuna mzee mmoja mwenye busara akaniambia kwa hatua tuliyofikia ukijitoa wale wajumbe wanaokuunga mkono wanaweza wakachukua hatua ya kukudhuru ni bora kuendelea.
“Akanishauri kuendelea na mchakato na nizungumze masuala yanayonihusu, kisha kunyamaza kimya. Kweli nilifanya hivyo, mwanzo mwisho, nikatoka nje. Tukiwa nje nikawaambia watu hii ngoma Profesa anashinda kwa sababu mimi ni mbobezi kwenye siasa na Lipumba anajua alichokifanya,” amesema.
Lwakatare aliyewahi kuwa mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa Chadema, amasema endepo angejitoa katika mchakato huo, wajumbe wangemwambia l kwamba walitaka kumpigia kura kwa wingi, lakini amejitoa.
Makamu mwenyekiti wa zamani wa CUF na mtalaamu wa masuala ya sheria, Profesa Abdallah Saffari amesema kabla ya mchakato alimweleza Lwakatare asigombee kwa sababu hawezi kushinda.
“Lwakatare ni rafiki yangu, nilimwambia achana na hii kitu, hautapata chochote hakunisikiliza, sasa amejitafutia kifo chake mwenyewe,” amesema alipozungumza na Mwananchi. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/juma-issihaka-3775936 | Juma Issihaka is an experienced journalist, who started the career in 2018 in various media and now works at Mwananchi Communicatinons Ltd with Mwananchi & The Citizen Newspapers.
Throughout his profession life, he has been recognised by the Media Council of Tanzania (MCT) as an Excellent Journalist in Investigative Reporting 2022, Excellent Journalist in Good Governance and Accountability Reporting 2022 and the Open Category winner 2022.
He is based in Politics reporting, Environment (Climate Change) and Gender. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account/signup?redirect_to=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/profesa-lipumba-achaguliwa-tena-mwenyekiti-cuf-aweka-historia-4862748 | ### Account Register
# Register
# Welcome!
You are already signed in.
Tafadhali angalia ujumbe umetumwa ili kupata kiungo cha kuthibitisha akaunti yako. Kumbuka kuangalia ujumbe zilizofichwa kwenye baruapepe zako —
You are already signed in.
Tafadhali angalia ujumbe umetumwa ili kupata kiungo cha kuthibitisha akaunti yako. Kumbuka kuangalia ujumbe zilizofichwa kwenye baruapepe zako — |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account/signin?redirect_to=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/profesa-lipumba-achaguliwa-tena-mwenyekiti-cuf-aweka-historia-4862748 | ### Account Sign in
# Sign in
# Welcome!
You are already signed in.
Tafadhali angalia ujumbe umetumwa ili kupata kiungo cha kuthibitisha akaunti yako. Kumbuka kuangalia ujumbe zilizofichwa kwenye baruapepe zako —
Je, huna akaunti?
Sajili
You are already signed in.
Tafadhali angalia ujumbe umetumwa ili kupata kiungo cha kuthibitisha akaunti yako. Kumbuka kuangalia ujumbe zilizofichwa kwenye baruapepe zako — |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account/subscribe?redirect_to=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/profesa-lipumba-achaguliwa-tena-mwenyekiti-cuf-aweka-historia-4862748 | ### Account Subscribe
# Subscribe
Hello
Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa
Ready to continue your informative journey with us?
Hello
Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.
Reclaim your full access. Click below to renew.
## Nation.Africa
For corporate packages please contact us directly. Call +254(0)20-328-8033
# Forgot your password? Please fill in your email address.
### You can also pay using **Lipa na MPESA** by using the following instructions:
1. Go to the M-PESA menu
2. Select Lipa na M-PESA
3. Select the **Paybill** option
4. Enter business number:
5. Enter your account number:
6. Enter the amount:
7. Enter PIN and press OK to send
8. You will receive a confirmation SMS with your payment
## Kwa nini ujisajili?
Asante kwa kujiunga nasi! Dhamira yetu Mwananchi ni kukuwezesha msomaji wetu kupitia uandishi huru wa kina unaoakisi dunia yako. Unapoendelea kutuamini, unatuwezesha kutekeleza dhima yetu ya Kuwezesha Taifa. Tupo kwa ajili yako! Kwa taarifa ama msaada zaidi, wasiliana nasi kupitia [email protected] ama +255 754 780 647.
## That's it. You are all set!
Thank you for becoming part of our journey. You will be redirected back to the article in ** seconds
**
### We have noticed that the amount you paid is less than the expected total amount. Your payment has been received, but there is an outstanding balance. Please follow the following instructions to clear the balance.
1. Go to the M-PESA menu
2. Select Lipa na M-PESA
3. Select the **Paybill** option
4. Enter business number:
5. Enter your account number:
6. Enter the amount:
7. Enter PIN and press OK to send
8. You will receive a confirmation SMS with your payment |
https://www.facebook.com/sharer/sharer.php?u=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/profesa-lipumba-achaguliwa-tena-mwenyekiti-cuf-aweka-historia-4862748 | Facebook
Barua pepe au simu
Nenosiri
Umesahau akaunti?
Jisajili
Notice
You must log in to continue.
Ingia kwenye Facebook
Ingia
Umesahau akaunti?
Fungua Akaunti Mpya
Kiswahili
English (US)
हिन्दी
ગુજરાતી
العربية
Deutsch
Italiano
Français (France)
Português (Brasil)
Español
中文(简体)
Jisajili
Ingia
Messenger
Facebook Lite
Video
Maeneo
Michezo
Marketplace
Meta Pay
Duka la Meta
Meta Quest
Ray-Ban Meta
AI ya Meta
Instagram
Threads
Uchangishaji
Huduma
Kituo cha Taarifa za Kupiga Kura
Kanuni ya Faragha
Kituo cha Faragha
Vikundi
Kuhusu
Unda Tangazo
Unda Ukurasa
Wasanidi programu
Ajira
Vidakuzi
Chaguo za Matangazo
Masharti
Msaada
Kupakia Waasiliani na Wasio Watuaji
Mipangilio
Kumbukumbu ya shughuli
Meta © 2024 |
https://wa.me/?text=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/profesa-lipumba-achaguliwa-tena-mwenyekiti-cuf-aweka-historia-4862748 | ## Send the following on WhatsApp
Continue to Chathttps://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/profesa-lipumba-achaguliwa-tena-mwenyekiti-cuf-aweka-historia-4862748
https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/profesa-lipumba-achaguliwa-tena-mwenyekiti-cuf-aweka-historia-4862748 |
https://www.baseattackforce.com/?r=tabbafwwa&clickid=GiBEgKTxcWLHIHOcwJOS5a8ud28al2UcVwScDZVOqVvgpyD6oF4o873OnerCq6WNATDmpUE&utm_source=taboola-nationmediagroup-dailynation&utm_medium=tabbafwwa&utm_term=If+you+have+a+mouse%2C+this+game+will+keep+you+awake+all+night+long.&tblci=GiBEgKTxcWLHIHOcwJOS5a8ud28al2UcVwScDZVOqVvgpyD6oF4o873OnerCq6WNATDmpUE#tblciGiBEgKTxcWLHIHOcwJOS5a8ud28al2UcVwScDZVOqVvgpyD6oF4o873OnerCq6WNATDmpUE | ENGLISH
DEUTSCH
FRANÇAIS
ESPAÑOL
Javascript needed
No Download: Play Now
Choose your Player Name
I agree to the
Terms
and
Privacy Policy
.
:
▽
Base Attack Force is a real time strategy game, that you can play directly in your browser.
BAF
|
DITOGAMES
|
Privacy
|
SUPPORT
|
Imprint
|
Navy Quest Game
|
Terms
|
HELP PAGES
LOGIN |
https://www.combatsiege.com/?r=tabcs1wwh&clickid=GiBEgKTxcWLHIHOcwJOS5a8ud28al2UcVwScDZVOqVvgpyD8gFsond3chszDt5CbATDmpUE&utm_source=taboola-nationmediagroup-dailynation&utm_medium=tabcs1wwh+%28hier%29&utm_term=If+you+have+a+mouse%2C+play+this+game+for+1+minute+and+see+why+everyone+is+addicted.&tblci=GiBEgKTxcWLHIHOcwJOS5a8ud28al2UcVwScDZVOqVvgpyD8gFsond3chszDt5CbATDmpUE#tblciGiBEgKTxcWLHIHOcwJOS5a8ud28al2UcVwScDZVOqVvgpyD8gFsond3chszDt5CbATDmpUE | ENGLISH
DEUTSCH
FRANÇAIS
ESPAÑOL
Javascript needed
No Download: Play Now
Choose your Player Name
I agree to the
Terms
and
Privacy Policy
.
:
▽
Combat Siege is a real time strategy game, that you can play directly in your browser.
CS1
|
DITOGAMES
|
Privacy
|
SUPPORT
|
Imprint
|
Navy Quest Game
|
Terms
|
HELP PAGES
LOGIN |
https://techtome.net/article/exploring-the-appeal-of-unsold-container-homes-in-todays-real-estate-market?utm_term=prefabricated%20containers,prefab%20shipping%20container,cheap%20shipping%20container%20homes,affordable%20shipping%20container%20homes,shipping%20container%20house%20cheap,prefab%20storage%20container%20homes,prefab%20cargo%20container%20homes,prefabricated%20storage%20container%20homes&utm_content=prefabricated%20container%20homes&camp_id=372824&fbclid=%7Bfbclid%7D&utm_source=taboola&utm_medium=referral&tblci=GiBEgKTxcWLHIHOcwJOS5a8ud28al2UcVwScDZVOqVvgpyDO1mkot6-b87HNvtWpATDmpUE#tblciGiBEgKTxcWLHIHOcwJOS5a8ud28al2UcVwScDZVOqVvgpyDO1mkot6-b87HNvtWpATDmpUE | # Exploring the Appeal of Unsold Container Homes in Today's Real Estate Market
In recent years, an intriguing trend has emerged in the real estate market - the appeal of unsold container homes. Let's delve into the reasons behind the growing popularity of container homes.
**Container Homes: An Affordable Alternative**
Container homes offer a cost-effective alternative to traditional housing. One of the primary reasons for their appeal is the affordability factor. Purchasing and converting a shipping container into a livable space is often more budget-friendly than buying a conventional house. This financial advantage has made container homes an attractive option for first-time homebuyers and those looking to downsize without breaking the bank.
**Sustainability and Environmental Benefits**
Another factor driving the appeal of unsold container homes is their sustainability and environmental benefits. Recycling shipping containers into homes helps reduce waste and promotes eco-friendly living. By repurposing these steel containers, homeowners can contribute to a more sustainable future while enjoying a unique and modern living space. The eco-conscious consumer is increasingly drawn to container homes as a way to minimize their environmental footprint and live a greener lifestyle.
**Creative Design Possibilities**
Container homes offer endless design possibilities, allowing homeowners to unleash their creativity and create a one-of-a-kind living space. From sleek and modern interiors to industrial-chic designs, the flexibility of container homes appeals to those seeking a unique and personalized home. With the ability to stack and combine containers in various configurations, homeowners can design a home that suits their style and needs, making each container home a truly bespoke dwelling.
**Flexibility and Mobility**
One of the advantages of container homes is their flexibility and mobility. These modular structures can be easily transported and relocated, offering homeowners the freedom to move their home to a new location if desired. This flexibility appeals to those who value the ability to change scenery or relocate without the constraints of a traditional fixed foundation home. Container homes are particularly popular among digital nomads, remote workers, and individuals seeking a portable living solution.
**Novelty and Trendiness**
The novelty and trendiness of container homes have also contributed to their appeal in today's real estate market. These unique dwellings stand out in a sea of traditional houses, attracting attention from homebuyers looking for something different and unconventional. The growing popularity of container homes in design magazines, social media platforms, and television shows has further fueled the interest in this emerging trend. For those seeking a statement-making home that breaks the mold, container homes offer a fresh and contemporary alternative.
In conclusion, the appeal of unsold container homes in today's real estate market can be attributed to their affordability, sustainability, design flexibility, mobility, and trendiness. As the demand for innovative housing solutions continues to rise, container homes have carved out a niche for themselves as a viable and attractive option for homebuyers seeking a unique living experience. Whether you're drawn to their eco-friendly nature, creative design possibilities, or cost-effective benefits, container homes offer a compelling choice in the ever-evolving landscape of real estate options. |
https://techtome.net/article/the-rise-of-unsold-camper-vans-trends-and-solutions?utm_term=unsold%20camper%20vans,camper%20vans%20for%20sale%20near%20me,used%20camper%20vans%20for%20sale%20near%20me,rv%20vans%20for%20sale%20near%20me,travel%20vans%20for%20sale%20near%20me,class%20b%20camper%20vans%20for%20sale%20near%20me,converted%20van%20for%20sale%20near%20me,used%20motorhomes%20near%20me%20for%20sale,volkswagen%20camper%20van%20for%20sale%20near%20me,new%20campervans%20for%20sale%20near%20me&utm_content=unsold%20camper%20vans&camp_id=373614&click_id=GiBEgKTxcWLHIHOcwJOS5a8ud28al2UcVwScDZVOqVvgpyDN1mkou9iu0I3E9YPEATDmpUE&placement=1069798&utm_source=taboola&utm_medium=referral&tblci=GiBEgKTxcWLHIHOcwJOS5a8ud28al2UcVwScDZVOqVvgpyDN1mkou9iu0I3E9YPEATDmpUE#tblciGiBEgKTxcWLHIHOcwJOS5a8ud28al2UcVwScDZVOqVvgpyDN1mkou9iu0I3E9YPEATDmpUE | # The Rise of Unsold Camper Vans: Trends and Solutions
The concept of camper vans has gained immense popularity in recent years, with more and more individuals opting for the freedom and flexibility they offer for travel. However, alongside this rise in demand, there has also been a noticeable increase in the number of unsold camper vans. In this article, we will delve into the trends surrounding this issue and explore potential solutions to address it.
**The Rise of Unsold Camper Vans: Trends and Solutions**
The trend of unsold camper vans can be attributed to various factors, one of which is the oversaturation of the market. As more manufacturers and individuals enter the industry, there is a surplus of options available to consumers, leading to increased competition. Additionally, economic fluctuations and shifting consumer preferences can also impact the demand for camper vans, resulting in excess inventory for sellers.
One solution to combat the issue of unsold camper vans is to focus on customization and personalization. Offering unique features and tailored options can attract buyers who are looking for a one-of-a-kind experience. By providing customizable solutions, manufacturers and sellers can differentiate themselves in a crowded market and cater to specific consumer needs and preferences.
Another trend in the camper van industry that could contribute to the rise of unsold units is the emphasis on high-tech amenities. While modern features such as smart systems and advanced technology can be appealing to some buyers, they can also drive up the price of the vehicles, making them less accessible to a wider audience. As a solution, manufacturers could consider offering more budget-friendly options with essential features to expand their customer base.
Furthermore, the impact of the global pandemic on travel trends has also played a role in the increase of unsold camper vans. With restrictions on international travel and concerns about public health and safety, the demand for recreational vehicles may have experienced a temporary decline. To address this, sellers can focus on promoting domestic travel and staycations to encourage consumers to explore local destinations in their camper vans.
In conclusion, the rise of unsold camper vans presents challenges and opportunities for manufacturers and sellers in the industry. By understanding the trends influencing this issue and implementing innovative solutions, such as customization, affordable options, and local travel promotions, businesses can adapt to the changing market dynamics and attract buyers looking for their next adventure on the road. |
https://techtome.net/article/exploring-the-appeal-of-unsold-container-homes-in-todays-real-estate-market?utm_term=prefabricated%20containers,prefab%20shipping%20container,cheap%20shipping%20container%20homes,affordable%20shipping%20container%20homes,shipping%20container%20house%20cheap,prefab%20storage%20container%20homes,prefab%20cargo%20container%20homes,prefabricated%20storage%20container%20homes&utm_content=prefabricated%20container%20homes&camp_id=372824&fbclid=%7Bfbclid%7D&utm_source=taboola&utm_medium=referral&tblci=GiBEgKTxcWLHIHOcwJOS5a8ud28al2UcVwScDZVOqVvgpyDO1mkozM6D7Zq3hNBLMOalQQ#tblciGiBEgKTxcWLHIHOcwJOS5a8ud28al2UcVwScDZVOqVvgpyDO1mkozM6D7Zq3hNBLMOalQQ | # Exploring the Appeal of Unsold Container Homes in Today's Real Estate Market
In recent years, an intriguing trend has emerged in the real estate market - the appeal of unsold container homes. Let's delve into the reasons behind the growing popularity of container homes.
**Container Homes: An Affordable Alternative**
Container homes offer a cost-effective alternative to traditional housing. One of the primary reasons for their appeal is the affordability factor. Purchasing and converting a shipping container into a livable space is often more budget-friendly than buying a conventional house. This financial advantage has made container homes an attractive option for first-time homebuyers and those looking to downsize without breaking the bank.
**Sustainability and Environmental Benefits**
Another factor driving the appeal of unsold container homes is their sustainability and environmental benefits. Recycling shipping containers into homes helps reduce waste and promotes eco-friendly living. By repurposing these steel containers, homeowners can contribute to a more sustainable future while enjoying a unique and modern living space. The eco-conscious consumer is increasingly drawn to container homes as a way to minimize their environmental footprint and live a greener lifestyle.
**Creative Design Possibilities**
Container homes offer endless design possibilities, allowing homeowners to unleash their creativity and create a one-of-a-kind living space. From sleek and modern interiors to industrial-chic designs, the flexibility of container homes appeals to those seeking a unique and personalized home. With the ability to stack and combine containers in various configurations, homeowners can design a home that suits their style and needs, making each container home a truly bespoke dwelling.
**Flexibility and Mobility**
One of the advantages of container homes is their flexibility and mobility. These modular structures can be easily transported and relocated, offering homeowners the freedom to move their home to a new location if desired. This flexibility appeals to those who value the ability to change scenery or relocate without the constraints of a traditional fixed foundation home. Container homes are particularly popular among digital nomads, remote workers, and individuals seeking a portable living solution.
**Novelty and Trendiness**
The novelty and trendiness of container homes have also contributed to their appeal in today's real estate market. These unique dwellings stand out in a sea of traditional houses, attracting attention from homebuyers looking for something different and unconventional. The growing popularity of container homes in design magazines, social media platforms, and television shows has further fueled the interest in this emerging trend. For those seeking a statement-making home that breaks the mold, container homes offer a fresh and contemporary alternative.
In conclusion, the appeal of unsold container homes in today's real estate market can be attributed to their affordability, sustainability, design flexibility, mobility, and trendiness. As the demand for innovative housing solutions continues to rise, container homes have carved out a niche for themselves as a viable and attractive option for homebuyers seeking a unique living experience. Whether you're drawn to their eco-friendly nature, creative design possibilities, or cost-effective benefits, container homes offer a compelling choice in the ever-evolving landscape of real estate options. |
https://techtome.net/article/the-rise-of-unsold-camper-vans-trends-and-solutions?utm_term=unsold%20camper%20vans,camper%20vans%20for%20sale%20near%20me,used%20camper%20vans%20for%20sale%20near%20me,rv%20vans%20for%20sale%20near%20me,travel%20vans%20for%20sale%20near%20me,class%20b%20camper%20vans%20for%20sale%20near%20me,converted%20van%20for%20sale%20near%20me,used%20motorhomes%20near%20me%20for%20sale,volkswagen%20camper%20van%20for%20sale%20near%20me,new%20campervans%20for%20sale%20near%20me&utm_content=unsold%20camper%20vans&camp_id=373614&click_id=GiBEgKTxcWLHIHOcwJOS5a8ud28al2UcVwScDZVOqVvgpyDN1mkowtGJz4Lp89M7MOalQQ&placement=1069798&utm_source=taboola&utm_medium=referral&tblci=GiBEgKTxcWLHIHOcwJOS5a8ud28al2UcVwScDZVOqVvgpyDN1mkowtGJz4Lp89M7MOalQQ#tblciGiBEgKTxcWLHIHOcwJOS5a8ud28al2UcVwScDZVOqVvgpyDN1mkowtGJz4Lp89M7MOalQQ | # The Rise of Unsold Camper Vans: Trends and Solutions
The concept of camper vans has gained immense popularity in recent years, with more and more individuals opting for the freedom and flexibility they offer for travel. However, alongside this rise in demand, there has also been a noticeable increase in the number of unsold camper vans. In this article, we will delve into the trends surrounding this issue and explore potential solutions to address it.
**The Rise of Unsold Camper Vans: Trends and Solutions**
The trend of unsold camper vans can be attributed to various factors, one of which is the oversaturation of the market. As more manufacturers and individuals enter the industry, there is a surplus of options available to consumers, leading to increased competition. Additionally, economic fluctuations and shifting consumer preferences can also impact the demand for camper vans, resulting in excess inventory for sellers.
One solution to combat the issue of unsold camper vans is to focus on customization and personalization. Offering unique features and tailored options can attract buyers who are looking for a one-of-a-kind experience. By providing customizable solutions, manufacturers and sellers can differentiate themselves in a crowded market and cater to specific consumer needs and preferences.
Another trend in the camper van industry that could contribute to the rise of unsold units is the emphasis on high-tech amenities. While modern features such as smart systems and advanced technology can be appealing to some buyers, they can also drive up the price of the vehicles, making them less accessible to a wider audience. As a solution, manufacturers could consider offering more budget-friendly options with essential features to expand their customer base.
Furthermore, the impact of the global pandemic on travel trends has also played a role in the increase of unsold camper vans. With restrictions on international travel and concerns about public health and safety, the demand for recreational vehicles may have experienced a temporary decline. To address this, sellers can focus on promoting domestic travel and staycations to encourage consumers to explore local destinations in their camper vans.
In conclusion, the rise of unsold camper vans presents challenges and opportunities for manufacturers and sellers in the industry. By understanding the trends influencing this issue and implementing innovative solutions, such as customization, affordable options, and local travel promotions, businesses can adapt to the changing market dynamics and attract buyers looking for their next adventure on the road. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/bakari-kiango-2861736 | Hello
Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa
Ready to continue your informative journey with us?
Hello
Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.
Reclaim your full access. Click below to renew.
Bakari Kiango ni Mwandishi wa wa gazeti la Mwananchi. Ana elimu ya Diploma ya Uandishi wa Habari kutoka Chuo cha Time of Journalism (LTD), Dar es Salaam.
Amebobea katika habari za Siasa na Biashara.
Latest articles written by **Bakari Kiango**: |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account/signup?redirect_to=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mbowe-ajibu-mapigo-kutangaza-hatima-yake-chadema-jumamosi-4862518 | ### Account Register
# Register
# Welcome!
You are already signed in.
Tafadhali angalia ujumbe umetumwa ili kupata kiungo cha kuthibitisha akaunti yako. Kumbuka kuangalia ujumbe zilizofichwa kwenye baruapepe zako —
You are already signed in.
Tafadhali angalia ujumbe umetumwa ili kupata kiungo cha kuthibitisha akaunti yako. Kumbuka kuangalia ujumbe zilizofichwa kwenye baruapepe zako — |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account/signin?redirect_to=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mbowe-ajibu-mapigo-kutangaza-hatima-yake-chadema-jumamosi-4862518 | ### Account Sign in
# Sign in
# Welcome!
You are already signed in.
Tafadhali angalia ujumbe umetumwa ili kupata kiungo cha kuthibitisha akaunti yako. Kumbuka kuangalia ujumbe zilizofichwa kwenye baruapepe zako —
Je, huna akaunti?
Sajili
You are already signed in.
Tafadhali angalia ujumbe umetumwa ili kupata kiungo cha kuthibitisha akaunti yako. Kumbuka kuangalia ujumbe zilizofichwa kwenye baruapepe zako — |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account/subscribe?redirect_to=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mbowe-ajibu-mapigo-kutangaza-hatima-yake-chadema-jumamosi-4862518 | ### Account Subscribe
# Subscribe
Hello
Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa
Ready to continue your informative journey with us?
Hello
Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.
Reclaim your full access. Click below to renew.
## Nation.Africa
For corporate packages please contact us directly. Call +254(0)20-328-8033
# Forgot your password? Please fill in your email address.
### You can also pay using **Lipa na MPESA** by using the following instructions:
1. Go to the M-PESA menu
2. Select Lipa na M-PESA
3. Select the **Paybill** option
4. Enter business number:
5. Enter your account number:
6. Enter the amount:
7. Enter PIN and press OK to send
8. You will receive a confirmation SMS with your payment
## Kwa nini ujisajili?
Asante kwa kujiunga nasi! Dhamira yetu Mwananchi ni kukuwezesha msomaji wetu kupitia uandishi huru wa kina unaoakisi dunia yako. Unapoendelea kutuamini, unatuwezesha kutekeleza dhima yetu ya Kuwezesha Taifa. Tupo kwa ajili yako! Kwa taarifa ama msaada zaidi, wasiliana nasi kupitia [email protected] ama +255 754 780 647.
## That's it. You are all set!
Thank you for becoming part of our journey. You will be redirected back to the article in ** seconds
**
### We have noticed that the amount you paid is less than the expected total amount. Your payment has been received, but there is an outstanding balance. Please follow the following instructions to clear the balance.
1. Go to the M-PESA menu
2. Select Lipa na M-PESA
3. Select the **Paybill** option
4. Enter business number:
5. Enter your account number:
6. Enter the amount:
7. Enter PIN and press OK to send
8. You will receive a confirmation SMS with your payment |
https://www.facebook.com/sharer/sharer.php?u=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mbowe-ajibu-mapigo-kutangaza-hatima-yake-chadema-jumamosi-4862518 | Facebook
Barua pepe au simu
Nenosiri
Umesahau akaunti?
Jisajili
Notice
You must log in to continue.
Ingia kwenye Facebook
Ingia
Umesahau akaunti?
Fungua Akaunti Mpya
Kiswahili
English (US)
हिन्दी
ગુજરાતી
العربية
Deutsch
Italiano
Français (France)
Português (Brasil)
Español
中文(简体)
Jisajili
Ingia
Messenger
Facebook Lite
Video
Maeneo
Michezo
Marketplace
Meta Pay
Duka la Meta
Meta Quest
Ray-Ban Meta
AI ya Meta
Instagram
Threads
Uchangishaji
Huduma
Kituo cha Taarifa za Kupiga Kura
Kanuni ya Faragha
Kituo cha Faragha
Vikundi
Kuhusu
Unda Tangazo
Unda Ukurasa
Wasanidi programu
Ajira
Vidakuzi
Chaguo za Matangazo
Masharti
Msaada
Kupakia Waasiliani na Wasio Watuaji
Mipangilio
Kumbukumbu ya shughuli
Meta © 2024 |
https://wa.me/?text=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mbowe-ajibu-mapigo-kutangaza-hatima-yake-chadema-jumamosi-4862518 | ## Send the following on WhatsApp
Continue to Chathttps://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mbowe-ajibu-mapigo-kutangaza-hatima-yake-chadema-jumamosi-4862518
https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mbowe-ajibu-mapigo-kutangaza-hatima-yake-chadema-jumamosi-4862518 |
https://www.baseattackforce.com/?r=tabbafwwa&clickid=GiBEgKTxcWLHIHOcwJOS5a8ud28al2UcVwScDZVOqVvgpyD6oF4o-ICG682hqJebATDmpUE&utm_source=taboola-nationmediagroup-dailynation&utm_medium=tabbafwwa&utm_term=If+you+have+a+mouse%2C+this+game+will+keep+you+awake+all+night+long.&tblci=GiBEgKTxcWLHIHOcwJOS5a8ud28al2UcVwScDZVOqVvgpyD6oF4o-ICG682hqJebATDmpUE#tblciGiBEgKTxcWLHIHOcwJOS5a8ud28al2UcVwScDZVOqVvgpyD6oF4o-ICG682hqJebATDmpUE | ENGLISH
DEUTSCH
FRANÇAIS
ESPAÑOL
Javascript needed
No Download: Play Now
Choose your Player Name
I agree to the
Terms
and
Privacy Policy
.
:
▽
Base Attack Force is a real time strategy game, that you can play directly in your browser.
BAF
|
DITOGAMES
|
Privacy
|
SUPPORT
|
Imprint
|
Navy Quest Game
|
Terms
|
HELP PAGES
LOGIN |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/makala/afya/sababu-mgonjwa-kuwekewa-betri-ya-moyo-na-asiyopaswa-kuyafanya-4863996 | Prime
# Sababu mgonjwa kuwekewa betri ya moyo na asiyopaswa kuyafanya
Watanzania takriban 25 wanapandikizwa betri ya moyo kila mwezi, sawa na takriban watu 300 kwa mwaka. Hili ni ongezeko kutoka watu 150 waliopandikizwa betri hiyo mwaka 2015/16.
Kwa upande mwingine, takriban watu 400 hadi 500 hufika kliniki ya wagonjwa wa nje (OPD) katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kila siku.
Kitaalamu, betri ya moyo (Pacemaker) ni kifaa maalumu kinachosaidia kurekebisha mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida.
Kifaa hiki hufanya kazi kama jenereta, kikirejesha mfumo wa umeme wa moyo ili kuhakikisha unafanya kazi kwa mpangilio sahihi.
Kwa mujibu wa takwimu zilizochapishwa katika tovuti mbalimbali za kiafya, ikiwamo ya American Heart Association, kuna watu zaidi ya milioni tatu wanaishi na betri hizo duniani, huku betri 600,000 zikipandikizwa kila mwaka.
Katika mahojiano maalumu na Mwananchi, Daktari Bingwa bobezi wa magonjwa na mishipa ya moyo JKCI, Dk Khuzeima Khanbhai anasema kinachofanya mtu awekewe betri ya moyo ni pale mapigo yanapokuwa chini na hayako kwenye mwelekeo unaohitajika.
“Kwa kawaida mapigo ya moyo ya mwanadamu yanapaswa kuwa kati ya 60 na 100, ikitokea yapo chini na pia hayapo kwenye mwelekeo unaohitajika, basi mtu anawekewa kifaa hicho ili kunyanyua mapigo,” anasema Dk Khanbhai.
Akifafanua kitaalamu, anasema kwenye moyo kuna jenereta tatu ambazo zina kazi ya kufanya mapigo ya moyo yaende sambamba, kuanzia kwenye jenereta ya juu ambayo ndiyo ya kwanza kwenda kupeleka umeme.
Anasema ufanyaji kazi wa jenereta hizo ndipo moyo unapumua. Changamoto inayoweza kutokea kwenye mfumo wa umeme wa moyo, kinachotokea jenereta ya juu au katikati ikipata ugonjwa husababisha mapigo ya moyo yapungue.
Ikitokea changamoto kwenye mfumo wa umeme wa moyo ndipo mgonjwa anawekewa betri inayorejesha mapigo kuwa sawa. Anasema kwa namna ilivyosetiwa, betri inapandisha hadi mapigo kufikia 60.
“Betri ya moyo ni kama jenereta ya nyumbani ya kuzalisha umeme ambapo umeme ukiwa hakuna inafanya kazi, umeme ukirudi basi inazimwa.”
Dk Khanbhai anasema kuna sababu za nje ya mfumo wa moyo zinazosababisha moyo uende taratibu, ikiwemo mgonjwa wa goita, mishipa ya moyo kupata ugonjwa, wanawekewa betri za muda kwa ajili ya kuzibua mapigo.
Anasema mtu anayewekewa betri ni yule ambaye mapigo yake ya moyo yapo chini na hayapo katika mpangilio unaotakiwa.
“Lakini si wote ambao mapigo yao ya moyo yapo chini wanahitaji pacemaker, kuna watu ambao mapigo yao yapo chini, mfano wachezaji wana hali hiyo kuwa na 45 hadi 50, wakimbiaji wa muda mrefu ni kawaida kwa kuwa moyo umeshazoea mazoezi,” anasema Dk Khanbhai na kuongeza:
“Tunaongelea mwelekeo wa mfumo wa umeme kutoka chemba moja kwenda ya pili kupoteza mwelekeo au mwelekeo upo lakini mapigo yako chini,” anafafanua.
**Sababu za mapigo kuwa chini**
Dk Khanbhai anasema kijana akipata ugonjwa unaoweza kusababisha uvimbe katikati ya moyo au moyo kuvimba, shinikizo la damu kwa wazee, mtoto kuzaliwa na changamoto, basi inaweza kusababisha mapigo ya moyo kwenda chini.
Anasema watu waliohatarini kupata shida inayosababisha kuwekewa pacemaker ni wagonjwa wenye umri kwanzia miaka 60 ambapo asilimia tano wanaweza kupata shida hiyo na wenye magonjwa yasiyoambukiza
Wagonjwa wengi ni wenye umri kuanzia miaka 60 na kuendelea, lakini kwa wengine waliochini ya umri huo pengine waliwahi kupata ugonjwa wa moyo wakiwa na umri mdogo.
Dk Khanbhai anasema dalili za mtu mwenye shida inayotaka kuwekewa betri ni kizunguzungu kwa sababu hewa ya oksijeni hupungua kutoka kwenye moyo, kudondoka, kuchoka na pumzi kubana.
Aidha, akitaja hatari ya mapigo ya moyo kuwa chini, anasema ni kufeli kwa moyo, pumzi kubana, kifua kuuma, kizunguzungu na mwili kuwa dhaifu.
Hata hivyo, anasema maisha ya mtu anayewekewa betri hayabadiliki, bali hataruhusiwa kupita maeneo yenye sumaku ambayo inaingilia programu ya betri hiyo.
“Wenye betri huwa tunawapa kadi maalumu ya kupita kwenye maeneo yenye sumaku, kama viwanja vya ndege atakayokuwa anatembea nayo kama utambulisho,” anasema.
Anasema betri hiyo huwekwa mwilini kupitia upasuaji mdogo bila ya dawa za usingizi. Inaweza kuwekwa mkononi kwenye misuli iliyokaribu na eneo la titi. Ambapo moja kwa moja nyaya zake zinaenda kwenye chemba za moyo kwaajili ya ufanyaji kazi.
Anasema mgonjwa akiwekewa betri kisha mapigo ya moyo yakarudi, basi betri hiyo itasimama kufanya kazi na hukaa nayo mwilini kwa muda wa miaka tisa hadi 10.
Hata hivyo, anasema takwimu hizo za wagonjwa zinakuja baada ya uelewa wa watu juu ya magonjwa ya moyo kuongezeka.
“Kuhusu mwitikio wa watu juu ya magonjwa ya moyo, kwa sasa tunawapata wagonjwa wengi kutoka mikoa mbalimbali wanaokuja JKCI, nafikiri kutokana na kufahamika tofauti na zamani. Matibabu ya betri ya moyo yanawezekana kwa gharama nafuu,” anaeleza Dk Khanbhai. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mtazamo-tofauti-ushindi-wa-profesa-lipumba-cuf-4863766 | Prime
# Mtazamo tofauti ushindi wa Profesa Lipumba CUF
## Muktasari:
**Wanazuoni na wadau wa siasa waeleza ushindi huo unamaanisha nini na watoa ushauri kuhusu mwelekeo wa CUF.**
**Dar es Salaam**. Ingawa ushindi wa Profesa Ibrahim Lipumba katika nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Taifa ni furaha kwake na baadhi ya makada, wanazuoni wanauona kama ni kaburi la chama hicho.
Wasiwasi wa wanazuoni hao kuhusu kupotea zaidi kwa chama hicho kilichowahi kuwa kikuu cha upinzani Tanzania, unatokana na wanachoeleza kuwa hakutakuwa na kipya chini ya uongozi wake.
Profesa Lipumba ameongoza CUF kwa miaka 25 na baada ya ushindi katika uchaguzi wa Desemba 18, 2024, ataongoza chama hicho kwa miaka 30.
Katika uchaguzi huo, mwanasiasa huyo mkongwe aliyebobea katika uchumi, alipata kura 216 akiwashinda wenzake saba. Mgombea mmoja alijitoa.
Profesa Lipumba alifuatiwa na aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Hamad Masoud aliyepata kura 181, huku Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CUF (Bara), Maftah Nachuma akifuatia kwa kura 102.
Mbunge wa zamani wa Bukoba Mjini, Wilfred Lwakatare alipata kura 78, Juma Nkumbi kura sita, Athumani Kanali kura tano, Chifu Lutayosa Yemba na Nkunyuntila Chiwale walipata kura mbili kila mmoja.
Katika uchaguzi wa nafasi hiyo, zilipigwa kura 592 halali. Mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi, Mashaka Ngole alimtangaza Profesa Lipumba kuwa mshindi.
Wakati matokeo yanatangazwa, Profesa Lipumba hakuwepo ukumbini na hata alipotafutwa azungumzie mipango yake katika awamu hii ya uongozi, simu yake haikupokewa.
**Ushindi una tafsiri tofauti**
Profesa Ambrose Kessy, mwanazuoni wa sayansi ya siasa amesema ushindi wa Profesa Lipumba ni tukio lenye tafsiri nyingi, si tu kwa CUF kama chama, bali pia kwa mustakabali wa siasa za vyama vingi nchini.
Kwanza, amesema inafaa kutathmini hali ya CUF katika miaka ya hivi karibuni. CUF, ambacho kilikuwa mojawapo ya vyama vya upinzani vilivyojijengea nafasi kubwa hasa katika siasa za Zanzibar, kimepoteza mvuto mkubwa tangu migogoro ya ndani ilipoibuka.
Kwa ushindi huu wa Profesa Lipumba, CUF inaendelea kuwa chama kinachoongozwa na sura ileile kwa zaidi ya miongo miwili.
“Hili linaibua maswali kadhaa ya msingi kuhusu uwezo wa chama kuleta fikra mpya au kuimarisha mvuto wake kisiasa. Katika muktadha huu, CUF ya sasa inaweza kutazamwa kama chama ambacho bado kinaendelea kupambana na athari za mpasuko wa ndani.
“Hili linawanyima nafasi ya kushindana kikamilifu na vyama vingine vya upinzani kama ACT-Wazalendo na Chadema ambavyo vinaonekana kuimarika zaidi,” amesema.
Amesema kwa ushindi huo, Profesa Lipumba anakabiliwa na changamoto kubwa za kujaribu kufufua chama ambacho kwa mtazamo wa wengi, kimepoteza mwelekeo wake wa awali.
Hata hivyo, amesema ushindi huo unatoa ishara kwamba bado kuna wafuasi ndani ya chama wanaomwamini.
“Hili linaweza kumaanisha kuwa anayo nafasi ya kujenga upya chama, lakini ni lazima achukue hatua za kimkakati, ikiwa ni pamoja na kuondokana na siasa za migawanyiko, kuvutia kizazi kipya cha wanachama na kutafuta ushirikiano wa kimkakati na vyama vingine vya upinzani.
“Bila mabadiliko haya, CUF inaweza kuendelea kuwa chama cha mkoa au kushindwa kushindana kwenye ulingo wa siasa za kitaifa,” amesema.
Ushindi wa Profesa Lipumba kwa mtazamo wa Dk Avith Mushi, mchambuzi wa masuala ya siasa kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), ni dalili ya kukosekana mbinu ya kutengeneza mrithi wa nafasi hiyo ndani ya CUF.
Amesema muda mrefu alioongoza mwanasiasa huyo haukumtosha kufanya mageuzi yoyote ndani ya chama hicho, hivyo hana kipya atakachofanya.
Dk Avith amesema haioni CUF katika mwelekeo chanya baada ya ushindi wa Profesa Lipumba, badala yake itaendelea kupoteza mwelekeo.
“Nafikiri hata hii hatua ya kuwa na kiongozi yuleyule ambaye kwa muda mrefu ameshindwa kufanya lolote la tofauti, basi kuna udhaifu ndani ya chama," amesema.
Amefafanua udhaifu huo ni kushindwa kutengeneza viongozi watakaomrithi Profesa Lipumba, ambaye kwa mtazamo wake sasa alitakiwa abaki kuwa mshauri.
Hoja hiyo inashabihiana na iliyotolewa na mwanazuoni mwingine aliyewahi kuwa kiongozi wa juu ndani ya chama hicho, Profesa Abdallah Safari aliyesema haoni dalili ya mabadiliko kwa uongozi wa Profesa Lipumba.
“Ni kama wanaendeleza usultani, kama tunawapiga vita CCM wamekaa muda mrefu madarakani, sasa tuna uhalali wa uongozi kutobadilika? Tunaonekana wachekashaji, CUF imeshakufa," amesema.
Kwa hatua iliyofikiwa sasa, Profesa Safari amesema hata ule mtindo wa zamani wa wafuasi wa chama hicho kupanda malori kumfuata Profesa Lipumba haupo tena akidai amepoteza mvuto.
"Kuna kipindi malori aina ya Fuso 70 yalikwenda Tanga uwanja wa Tangamano kumfuata Lipumba, sasa hivi haipo. Nasema hivi, CUF chini ya uongozi wa Lipumba haiwezi kufikia hatua ile tena, haiwezi…” amesema.
Kwa upande wake Ramadhani Manyeko, mchambuzi mwingine wa masuala ya siasa, amesema haoni CUF ikifanya vizuri chini ya uongozi huu kwa miaka mitano ijayo, hasa katika uchaguzi wa mwaka 2025.
“Naiona CUF itakayozidi kudumaa, maana hata washindani wake walikuwa watu wake wa karibu, ndiyo maana kwa muda mrefu nimekuwa nashauri hivi vyama kuweka ukomo wa uongozi. ACT-Wazalendo wameweka ukomo wa vipindi viwili," amesema.
Amesisitiza ukomo wa uongozi katika vyama ni muhimu, akidai hakuna jipya chini ya Profesa Lipumba, licha ya ukweli kwamba amefanya mengi enzi hizo.
"Sioni kipya chini ya Profesa (Lipumba) sikatai amefanya kazi yake enzi akiwa na Maalim Seif Sharif Hamad (marehemu), lakini kwa sasa sioni jipya hata viongozi wa chini wa CUF hawaonyeshi kumuunga mkono, kwa sababu wakati wake umeshapita,” amedai.
**Malalamiko ya uchaguzi**
Mmoja wa wagombea waliochuana na Profesa Lipumba katika uchaguzi huo, Nachuma amesema kulikuwa na kasoro kadhaa, hasa karatasi za kupigia kura zilizotumika akidai zilikuwa tofauti na walizokubaliana kwenye vikao vya chama.
“Nilikuwa makamu mwenyekiti, nilishiriki vikao vyote vya kuelekea uchaguzi huu, kuna mambo tulipitisha lakini yamekuwa tofauti. Tulikubaliana karatasi za kura ziwe rangi nne, lakini cha ajabu zimeletwa zingine ambazo hatukukubaliana, ambazo ukijaza peni inatokea upande wa pili," amesema.
Amesema alipohoji kuhusu hilo, alijibiwa zilibadilishwa pasipo maelezo ya kina ya sababu ya mabadiliko hayo.
Hata hivyo, ameonyesha nia ya kukata rufaa akisema ataiwasilisha kwa mamlaka husika ili haki itendeke.
Ilivyokuwa
Ingawa nafasi yake ilikuwa na wagombea tisa, Profesa Lipumba alipoinuka kujinadi mbele ya wajumbe, sehemu kubwa ya wafuasi wa chama hicho waliinuka kwenda kumsikiliza.
Hilo halikushuhudiwa kwa wagombea wengine, waliishia kusikilizwa na wajumbe halli wa mkutano mkuu pekee.
Usiku mzito, nyuso zenye chovu na macho legevu yaliyolemewa na usingizi, uzilibadilika ghafla lilipotajwa jina la Profesa Lipumba kuwa mshindi wa nafasi hiyo.
Sehemu kubwa ya wajumbe walisimama kushangilia, huku wachache wakionyesha kutokuwa na furaha.
**Nafasi ya makamu mwenyekiti**
Kwa upande wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti -Bara, Othman Dunga aliibuka mshindi akipata kura 182 kati ya 533 zilizopigwa.
Dunga alifuatiwa na Miraji Mtibwiliko aliyepata kura 159, Magdalena Sakaya (140), Juma Nkumbi (34), Mohamed Ngulangwa (29) na Komein Rwihura (18).
Jumla ya kura 542 zilipigwa katika uchaguzi huo, huku 533 zikiwa halali na tisa ziliharibika.
Ngole alitangaza pia matokeo ya uchaguzi wa makamu mwenyekiti- Zanzibar uliokuwa na wagombea watano.
Katika nafasi hiyo, Mbarouk Seif Salim aliyepata kura 159 ndiye aliyeibuka mshindi, huku Husna Mohamed Abdallah akifuatia kwa kura 150.
Haroub Mohamed Shamis alipata kura 117, Ali Rashid Ali (74) na Mohamed Habibu Mnyaa (56). Katika uchaguzi huo, kura saba ziliharibika kati ya 563 zilizopigwa. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/hivi-ndivyo-makamba-alivyomng-oa-matonya-dar-4863876 | # Hivi ndivyo Makamba alivyomng’oa Matonya Dar
## Muktasari:
**David Paulo maarufu Makamba, alikuwa ombaomba maarufu sana katika Jiji la Dar es Salaam.**
**Tanga**. Unamkumbuka yule rais wa ombaomba aliyeshindikana kuondoka Dar es Salaam, hata pale mamlakla zilipomtaka kufanya hivyo?
David Paulo au maarufu kwa jina la Matonya amefariki lakini moyoni hakuwahi kumsahau aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Yusuph Makamba.
Kwa hakika kama ni mchezo, basi kwa wanaokumbuka ulikuwa wa kuvutia sana kuutazama au kusikiliza. Miamba hii ilisigana hasa na kutunishiana misuli.
Hatahivyo, sikio huwa halizidi kichwa. Mamlaka ni mamlaka. Hatimaye Matonya aliyejiita mtoto wa mjini aliyekuja Dar es Salaam kabla hata ya Uhuru, alisalimu amri.
Akakimbilia mkoani Morogoro alipoendeleza shughuli yake ya kuombaomba. Hata hivyo, unajia ni kwa vipi Matonya aling’oka jijini Dar es Salaam mahala alikopazoea kwa miaka mingi? Fuatana na Mzee Makamba.
**Mwisho wa enzi kwa Matonya Dar**
Mwananchi limezungumza na Mzee Makamba anayesimulia namna alivyoweza kumuondoa Matonya, licha ya mara kadhaa hatua za kufanya hivyo kufeli.
Anasema aliamua kumfanya rafiki na hata kumwekea fedha katika kopo lake alilokuwa akitumia kuweka fedha anazopewa na wasamaria wema.
‘’Siku moja kwa siri nikaenda alipokuwa analala, nikadondosha sarafu kwenye kopo lake. Zilipolia, akaamka. Hapo nikajitambulisha aliyesimama hapa ni Makamba, Mkuu wa Mkoa, nakutaka uondoke, mkoa huu sio eneo la ombaomba,’’ anasimuliza Mzee Makamba.
Kesho yake, Mzee Makamba alituma timu ya watu kwenda kumhoji Mzee Matonya na ombaomba wengine ili kujua wanatoka kijiji gani na mkoa gani? Mzee Matonya alifichua kuwa alitokaea kijiji kimoja kilichokuwa mkoani Dodoma.
Baadaye anasema aliwasafirisha Mzee Matonya pamoja na ombaomba wengine kwa mabasi zaidi ya 30 kwa ajili ya kuwapeleka mikoa mbalimbali ya Tanzania walipokuwa wakitokea.
Makamba anasema licha ya Matonya kukubali kuondoka Dar es Salaam na kuelekea Dodoma, alilalamika kuwa aliondolewa kinyume cha mapenzi yake, huku akisema anamchukia Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam.
Akimnukuu Matonya, Makamba anasema: ‘’Mimi sijataka kuondoka, Mimi nampenda Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mashishanga (Steven) na naipenda CCM.’’
Licha ya Makamba kufanikiwa kumuondoa Matonya na kumpeleka Dodoma, nguli huyo wa kuomba baada ya mfupi alirudi, lakini safari sio Jiji la Makamba tena bali mkoani Morogoro kwa Mashishanga aliyekuwa anampenda.
Makamba anasema harakati za kusafisha jiji hazikuwa kwa Matonya na ombaomba wengine, bali hata kwa wanawake wanaojiuza.
‘’ Tuliwapeleka polisi na kuwahoji. Nilijitahidi sana kuhakikisha kwamba Dar es Salaam inakuwa ni jiji la maendeleo na siyo la ombaomba wala changudoa,’’ anasema Mzee Makamba. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/serikali-kuwapima-afya-ya-akili-waajiriwa-wapya-4863482 | # Serikali kuwapima afya ya akili waajiriwa wapya
## Muktasari:
**Ofisi ya Rais Sektarieti ya Ajira katika utumishi wa umma kuwapima afya ya akili waajiriwa wapya, huku Naibu Waziri katika Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu akipokea malalamiko 30 yanayomhusu kiongozi anayelalamikiwa na wadada kuomba rushwa ya ngono.**
**Dodoma**. Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma itafanya upekuzi wa afya ya akili (psychonomic test) kwa waajiriwa wapya, lengo likiwa ni kuhakikisha wanaoingia katika ajira mpya wanakuwa na utimamu wa akili.
Mbali na hilo, Serikali imekemea utovu wa nidhamu, vitendo vya rushwa, vitisho na ubabe kwa waajiri na watumishi wa umma.
Akifunga kikao kazi cha wakuu wa idara za raslimaliwatu na utawala leo Desemba 19, 2024, Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu amesema mwajiriwa mpya anaweza kuwa amekidhi vigezo vya kitaaluma na kielimu lakini kisaikolojia anakuwa na shida.
Amesema hilo linaweka umuhimu wa kuangalia afya ya akili kwa watumishi wapya wanaoajiriwa.
“Sekretarieti ya ajira wamekuja na utaratibu wa kuwafanyia upekuzi waajiriwa wapya wa ‘psychonomic test’ ili kujua mtu tunayempeleka huko kama kuna shida fulani, tufanyie marekebisho ili akiingia aweze kutusaidia kazi vizuri,”amesema. Ametoa mfano wa kijana mmoja ambaye ni mwajiriwa wa halmashauri ana miaka minne kazini, lakini hataki kupangiwa kazi yeyote bali muda wote ni kuwatisha waajiri na kuwa bosi wake wanayefanya naye kazi wanavutana mashati na wanakesi hadi polisi.
“Yaani ajira mpya halafu mbabe nikawaambia mnawezaje kuishi? Tumewapa mamlaka hamtaki kutumia nikasema sasa nitawasaidia namna ya kufanya kazi kwenye utumishi wa umma,” amesema.
Sangu amesema vijana wanaoingia kwenye utumishi wa umma wanadhani wanaenda kufanya utovu wa nidhamu na kujiingiza kwenye mikopo ambayo inachangia washindwe kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi.
Amesema vitendo hivyo vinawafanya kukosa utulivu wa kufanya kazi na kuwa lazima wawape elimu ya fedha kwa sababu wanaweza kuingia kazini na wakadhani wanafanya kazi bure kumbe mshahara wao wameutumia vibaya kwenye mikopo huko ya kausha damu.
Aidha, Sangu amewaagiza maofisa utumishi kuwaangalia vijana ili kuwaepusha kuingia katika katika vitendo vinavyokiuka maadili.
“Kuna vijana wanaingia kwenye taasisi nyeti zinazohusika na maduhuli ya Serikali, anapokewa anaambiwa umefika hapa mwaka mmoja usipojenga utakuwa wa ajabu, kumbe anamkaribisha kuwa huku uliko kuna kula rushwa kweli, kumbe anakutana na mikono mibaya,” amesema.
Pia, amewataka maofisa utumishi hao wakafanye mipango kwenye bajeti zao kwa kuhakikisha wanatenga fedha za uhamisho.
Ametoa mfano katika halmashauri moja (bila kuitaja) yupo mtumishi anadai zaidi ya miaka 10 na deni lake ni zaidi ya Sh60 milioni na kisingizio kinachofanyika kuwa utumishi ndio wanachelewesha jambo ambalo si kweli.
Amewataka maofisa utumishi hao kuongeza umakini kwenye suala la uhamisho ambapo sasa kumeshamiri vitendo vya kugushi barua.
Katika hatua nyingine, Sangu amekemea tabia ya maofisa utumishi kuwafukuza kazi watumishi kwa kuwaonea na kuwa mwaka huu wa fedha mashauri zaidi ya 300 yamerudishwa yakaanze upya na yanaisababishia Serikali hasara.
Kuhusu rushwa ya ngono katika utumishi wa umma, Sangu amesema wapo waajiri wanachukua rushwa ndio watoe huduma kwa watumishi.
Bila kuitaja, amesema ipo halmashauri amepokea karatasi za madada zaidi ya 30 wanamtuhumu mtu mmoja kwa rushwa ya ngono na tayari ameagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) ifanye uchunguzi.
Awali, Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo, Juma Mkomi amesema miezi minne iliyopita kuna mtumishi aliandika barua ofisini kwao akimtuhumu bosi wake kwa sababu ya uhamisho.
Amesema mtumishi huyo hakuwa amefukuzwa kazi, hajapoteza cheo na hajafanyiwa lolote baya, jambo ambalo linawafanya kujiuliza mtumishi huyo kama akili yake ipo timamu.
“Analiyoyafanya huku nyuma hayakubainika wakati anaajiriwa? Tumesisitiza na lazima mtumishi yeyote anayeajiriwa lazima vipimo vifanyike,” amesema. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/sababu-ya-idadi-kubwa-ya-wanafunzi-na-suluhisho-3-4863978 | # Sababu ya idadi kubwa ya wanafunzi na suluhisho-3
**Dar es Salaam**. Utoaji elimu bila malipo inatajwa kuwa moja ya sababu ya kuwapo ongezeko kubwa la wanafunzi linaloshuhudiwa kila mwaka katika shule mbalimbali nchini.
Wilaya ya Temeke ni miongoni mwa zile zilizoathiriwa na hali hiyo na kufanya baadhi ya shule kuwa na wanafunzi wengi kuliko uwezo wake.
Mbali na elimu bila malipo, pia ukuaji wa miji na kuzaliana ni sababu nyingine zinazotajwa kuchangia kuwapo kwa ongezeko la wanafunzi.
Akizungumza na Mwananchi, mtafiti wa uchumi, Muhanyi Nkoronko anasema sera ya elimu bila malipo imefanya wanafunzi kuongezeka, hali iliyofanya madarasa kuwa machache na walimu kutotosheleza.
“Kukiwa na mrundikano kuna athari katika ufundishaji na ujifunzaji, mwalimu hawezi kumfikia mwanafunzi mmoja mmoja, wanafunzi watakaofikiwa ni wale walio mbele au wanaoonyesha maendeleo fulani,” anasema Muhanyi.
Anasema hali hiyo inafanya ujifunzaji kuwa hafifu na wanafunzi wanashindwa kupata maarifa inavyotakiwa. Pia mzigo kwa mwalimu katika kuandaa masomo anayoweza kuwafundisha wanafunzi inakuwa ngumu na anashindwa kufanya tathmini kujua kama wanafunzi wake wanaelewa.
Hiyo inatokana na kushindwa kusahihisha kwa wakati au kushindwa kutoa mazoezi ya upimaji yanayoendana na kile anachofundisha.
“Hali hii inamfanya kutoa mazoezi rahisi katika kusahihisha kama ni kuchagua basi, hii haimpimi vyema wanafunzi na kama mwalimu anashindwa kuwapa huduma stahiki,” anasema Nkoronko.
Anasema athari yake ni kuwa wanafunzi wanamaliza bila kuwa na maarifa wanayoweza kutumia katika maisha ya kila siku au maarifa yatakayowawezesha kufaulu kuendelea katika hatua inayofuata.
Mbali na elimu bila malipo, kuzaliana ni miongoni mwa mmbo yanayoipa tabu wilaya hiyo na limewahi kuzungumzwa hadi bungeni jijini Dodoma.
Mei 5, 2021, Mbunge wa Temeke (CCM), Dorothy Kilave aliihoji Serikali ina mpango gani wa kujenga shule katika jimbo la Temeke kwa sababu wana watoto wengi wa darasa la kwanza, akidai wanatokana na wananchi wa eneo hilo kuzaliana sana.
Katika ukuaji wa miji, Mkuu wa Wilaya wa Temeke, Sixtus Mapunda anasema maisha ya Kinondoni na Ilala ni magumu, jambo linalofanya watu kukimbilia wilayani kwake kutafuta urahisi wa maisha, jambo linalofanya eneo hilo kuendelea kuelemewa na idadi ya watu.
Pia kuimarika kwa miundombinu na uwepo wa magari yanayokwenda sehemu zote, yameweka urahisi kwa watu kusafiri kutoka upande mmoja kwenda mwingine, jambo linalowafanya kuona urahisi wa kukaa sehemu hiyo. Wilaya hiyo kuwa karibu na mikoa ya kusini pia ni sababu nyingine ya shule zake kuelemewa na wanafunzi, kwani wageni wengi kutoka mikoa hiyo wengi ndiyo mwisho wao wa safari.
Kuhusu kuzaliana nayo aliitaja, huku akitolea mfano wa watoto wanaopewa vyeti vya kuzaliwa.
Kwa mujibu wa maelezo yake, kati ya Agosti hadi Oktoba mwaka huu, wastani wa vyeti 2,000 hadi 2,500 vilitolewa, huku akiweka bayana hiyo ni ishara ya kuwa wanaozaliwa ni zaidi ya hao.
“Unaweza kusema wanaozaliwa ni zaidi ya 5,000, kwani hawa tunaowasajili ni wale wanaojua umuhimu wa vyeti vya kuzaliwa. Sasa unaweza kuona ongezeko hili, ardhi iliyopo iko vilevile, ila watu wanaongezeka,” anasema.
Hali hiyo imefanya shule kuelemewa na idadi ya wanafunzi, huku akitolea mfano wa Shule ya Msingi Chamazi, ambayo baadhi ya wanafunzi wanalazimika kukaa nje.
Hiyo imeathiri hata idadi ya wanafunzi kwa darasa, kwa kile anachokisema mkuu wa wilaya, kwani hata makadirio ya wanafunzi wanaojiunga kidato cha kwanza yanayofanywa ili kuandaa miundombinu yamekuwa tofauti na hali halisi.
“Mfano, mwaka jana tulifanya makadirio watakaojiunga kidato cha kwanza watakuwa kati ya 13,000 hadi 15,000 lakini waliojiunga walikuwa 26,000, unaweza kuona ni asilimia ngapi ya tuliokuwa tumetarajia, wanaingia wengi kuliko waliotoka kwa sababu ya elimu bila malipo,” anasema Mapunda.
Maneno yake hayatofautiani na Ofisa Mipango wa wilaya ya Temeke, Shafi Kipande anayesema ukuaji wa miji ni moja ya changamoto inayofanya baadhi ya shule kuonekana kuelemewa na wanafunzi.
Akitolea mfano Mbagala, anasema eneo hilo ni miongoni mwa sehemu zinazojengwa na watu kuhamia sana na katika baadhi ya maeneo bado miundombinu ya shule haijajengwa, hivyo kufanya watu wote kutegemea zile zilizopo.
“Watoto nao wanazaliwa wengi, jambo linalofanya miji kukua, pia hakuna maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya ujenzi wa shule, jambo ambalo linahitaji fedha za fidia kila unapohitaji kujenga shule,” anasema Kipande.
Suala lingine ni kutokuwapo kwa uwiano kati ya wanafunzi wanaomaliza shule na wanaoanza, jambo linalofanya miundombinu kuelemewa, huku akitolea mfano wa wanafunzi 700 kumaliza na kusajiliwa 1,000.
“Kitu kingine ni watu kufuata shule baada ya kusikia inafanya vizuri, kwa hiyo anakuwa tayari kumtoa mtoto wake mbali ili asome shule hiyo,” anasema.
**Namna ya kushughulika nalo**
Mrundikano wa wanafunzi kwa darasa katika baadhi ya shule nchini ni jambo linalopaswa kusimamiwa kwa ukaribu na Serikali, ikiwemo wathibiti ubora.
Katika kushughulika na hilo, mdau wa elimu, Muhanyi Nkoronko anasema ni vema Serikali iongeze kiwango cha fedha kinachotengwa kwa ajili ya kuhudumia utoaji wa elimu msingi. “Fedha hizi zitasaidia kuajiri walimu wengi na kujenga miundombinu ya madarasa, kama tutaongeza uwekezaji vitu kama hivi hatuwezi kuvisikia,” anasema Nkoronko.
Anasema katika ujenzi wa madarasa zipo namna mbili ambapo ya kwanza ni halmashauri husika kutenga fedha kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya shule, ikiwemo madarasa, huku namna nyingine ikiwa ni kuwashirikisha wazazi wachangie fedha kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu.
Mmoja wa walimu wakuu wa shule ambazo Mwananchi ilifanyia uchunguzi aliitaka Serikali kuangalia namna inavyoweza kufanya ujenzi wa shule nyingine mpya, ili kupunguza idadi ya wanafunzi waliopo katika shule yake kwa kile alichokisema shule yake inaweza kuzaa nyingine mbili.
“Idadi niliyonayo naweza kutoa shule nyingine mbili zilizojaa wanafunzi, watoto wakiwa wengi hivi hata wengine wanaweza kuacha shule usijue,” anasema mwalimu huyo.
Anachokisema mwalimu huyo kiliwahi kufanywa kwa miaka tofauti ambapo shule mpya, ikiwemo ya Mbande Kisewe ilizaliwa kutoka shule ya msingi Mbande.
Katika kuendelea kushughulika na suala hilo, Kipande aliliambia Mwananchi kuwa wapo katika hatua za kufanya ujenzi wa shule nyingine mbili mpya ambazo zitasaidia kupunguza msongamano wa wanafunzi.
Shule hizo zilizopewa majina ya Moringe na Dovya, kila moja itakuwa na madarasa saba ya msingi, mawili ya awali, matundu 10 ya vyoo, majengo ya utawala na sehemu za kuchomea taka.
“Shule hizi kila moja itagharimu Sh309.9 milioni, zitatumia ‘force account’ katika ujenzi wake na matarajio yetu ni Januari mwakani zianze ujenzi,” anasema.
Hata hivyo, bado haijajulikana shule hizo zitajengwa katika maeneo gani, kutokana na Serikali kukosa maeneo yaliyoainishwa kwa ajili ya huduma za kijamii, hivyo kila jambo linapotaka kufanyika fidia inahitajika kulipwa kwa wananchi watakaopisha mradi huo. Anasema wingi huo wa wanafunzi umeifanya Temeke sasa kuangalia namna ya kurekebisha madarasa yaliyopo na kuongeza mengine kwenda juu, huku akiweka bayana kuwa ili kumaliza tatizo hilo mpango wa muda mrefu unahitajika, kwa sababu mara zote idadi ya wanafunzi wanaojiunga masomo hawatabiriki ikilinganishwa wanaomaliza shule.
*Kama una maoni kuhusu habari hii, tuandikie ujumbe kupitia WhatsApp: 0765864917.* |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/makala/afya/pep-kingatiba-dhidi-ya-vvu-iko-hivi-4863982 | Prime
# PEP kingatiba dhidi ya VVU iko hivi
Kitabibu PEP ni kifupisho cha Post Proplaxis Exposure, ni mwongozo wa matibabu kwa kutumia dawa za kufubaza makali ya virusi, ARVs kama kingatiba dhidi ya virusi vinavyosababisha Ukimwi.
Zinatumika mara baada ya kuingia katika hatari kubwa ya maambukizi ya VVU. Neno "prophylaxis" kitabibu linamaanisha kuzuia kuenea kwa maambukizi au ugonjwa kwa kutumia dawa kama kingatiba.
Inapotumika kwa usahihi huweza kuzuia kwa zaidi ya asilimia 80% endapo itatumika ndani ya saa 72, yaani siku 3 baada ya uwezekano wa kuambukizwa VVU.
Kawaida muongozo wa PEP uliorithiwa kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) huwa na dawa aina 2-3, zikiwa ni muunganiko wa kidonge kimoja ambazo hutumika mara 1 kwa siku kwa muda wa siku 28.
Kidonge kimoja huwa na dawa za ARVs, ikiwamo Tenofovir Disoproxil/Emtricitabine ambayo pia inajulikana kama Truvada na tembe mbili za Raltegravir.
PEP inaweza kutumiwa kwa watu wazima, vijana na watoto wenye tishio la kuambukizwa VVU wakati walipojamiiana, waliobakwa au wamenyanyaswa kingono na watumiaji wa madawa ya kulevya waliojidunga kwa kushirikiana sindano.
Vilevile wahudumu wa afya waliojijeruhi kazini wakati wa kuhudumia wagonjwa.
Ukiacha PEP, ipo PrEP ambacho ni kifupisho cha Pre Proplaxis Exposure. Hii yenyewe inalenga kuzuia VVU kabla ya kukaribia maambukizi.
Mfano wahudumu wa sehemu za burudani na wanaofanya biashara ya ngono. Makundi haya yako katika hatari kubwa ya kuambukizwa VVU, hunywa PREP kila siku au sindano kila baada ya miezi miwili.
Tukirudi kwa kingatiba PEP, inapaswa kutumika katika hali za dharura tu, haishauriwi kutumiwa mara kwa mara. Hii ni kwa sababu dawa hizo zina madhara machache kwa baadhi ya watumiaji, ingawa yanaweza kutibiwa na siyo hatari kwa maisha.
Toa taarifa mapema kwa mtoa huduma za afya kama una madhara yoyote yanayokusumbua au ambayo hayataisha.
Madhara hayo ni pamoja na kichefuchefu, mshtuko wa tumbo, uchovu na maumivu ya kichwa. Dalili hizi mara nyingi huisha baada ya wiki ya kwanza ya kutumia PEP.
Ili kuzuia hali ya kichefuchefu, chukua PEP pamoja na vitafunio au tumia kabla ya kulala ili kuipoteza hali hiyo. Unaweza pia kujaribu pipi zenye ladha za matunda.
Kwa kuwa faida ya kuitumia PEP kama kingatiba huwa ni kubwa zaidi kuliko madhara machache ya kuitumia, ndiyo maana inatumika kama dharura.
PEP haikukusudiwa kuchukua nafasi ya matumizi ya mara kwa mara ya njia nyingine za kuzuia VVU, ikiwamo matumizi sahihi ya kondomu wakati wa kujamiiana au kingatiba kabla ya kukaribia maambukizi, yaani PrEP.
Kwa mhudumu wa afya ambaye ana uwezekano wa kuambukizwa VVU, anapaswa kutafuta matibabu mara moja PEP kwa kuzingatia muongozo wa nchi husika.
Ufanisi wa PEP unategemea na mhusika kuweza kushikamana na mwongozo wa dozi ya PEP aliyoandikiwa na daktari, ikiwamo kumeza kidonge hicho kwa muda wa siku 28 kama ilivyoelekezwa.
Huhitaji PEP kama unatumia kondomu kwa ufanisi au unatumia PrEP au ikiwa mwenza wake yuko katika dawa za ARVs na ana kiwango kisichoonekana cha VVU.
Wakati wa kutumia PEP, ni muhimu kuendelea kutumia njia nyingine za kuzuia VVU, ikiwamo kutojamiiana na ukishindwa tumia kondomu. Tutumia sindano mpya tu wakati wa kujidunga dawa.
Iwapo utaingia katika hatari kubwa ya kuweza kupata VVU hivi karibuni, toa taarifa haraka kabla ya saa 72 kupita. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/askari-waliouawa-kwa-risasi-wakimkamata-mtuhumiwa-waagwa-4863690 | # Askari waliouawa kwa risasi wakimkamata mtuhumiwa waagwa
## Muktasari:
**Jeshi la Polisi lasema halitakata tamaa, jamii yaaswa kushirikiana nalo kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu.**
**Mpwapwa**. Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, Dk Sophia Kizigo ameongoza waombolezaji kuuaga miili ya maaskari polisi wawili waliouawa kwa kupigwa risasi na mtuhumiwa wa unyang’anyi wa kutumia silaha, wakiwa kwenye operesheni ya kumkamata.
Akitoa salamu kwa waombolezaji leo Desemba 19, 2024, Dk Kizigo amelaani tukio hilo akisema jamii inapaswa kulikemea kwa nguvu zote ili kuondoa matukio ya aina hiyo.
Amewataka wananchi kushirikiana na Jeshi la Polisi kufichua wahalifu waliopo katika maeneo yao.
"Tukio kama hili si la kuvumilia. Lazima tushirikiane kuhakikisha wahalifu hawapati nafasi katika jamii yetu," amesema.
Kamishna wa Utawala na Rasilimaliwatu wa Jeshi la Polisi, Tatu Jumbe aliyemwakilisha Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillus Wambura amelaani mauaji ya askari hao, akisisitiza umuhimu wa jamii kufichua wahalifu katika mitaa yao.
Amewataka askari kuendelea kuchukua tahadhari wanapokuwa kazini, hasa katika mazingira hatarishi.
"Nawasisitiza askari wetu kuendelea kuwa waangalifu na kutumia weledi wenu kila mnapokuwa kazini. IGP, Camillus Wambura amenituma niwaambie msikate tamaa na endeleeni kutimiza wajibu wenu kwa haki," amesema.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Kamishna Msaidizi Mwandamizi, George Katabazi amesema tukio hilo ingawa ni la kusikitisha, halitawavunja moyo katika jitihada za kupambana na uhalifu.
Baadhi ya wananchi wa Mpwapwa, akiwemo Mwenyekiti wa Mtaa wa Igovu, Elieza Mwaluko wameeleza kushtushwa na tukio hilo, wakisisitiza umuhimu wa kufuata sheria na kushirikiana na vyombo vya dola kudumisha amani.
**Tukio la mauaji**
Koplo Jairo Kalanda na Konstebo Alfred John waliuawa katika mapambano ya risasi Desemba 18, walipokwenda kumkamata mtuhumiwa Atanasio Malenda (30), nyumbani kwake katika Kijiji cha Msagali, wilayani Mpwapwa.
Kamanda Katabazi alisema jana Desemba 18 kuwa tukio hilo lilitokea saa saba usiku.
Alisema alikuwa akituhumiwa kwa unyang’anyi wa kutumia silaha na kumjeruhi Yohana Lameck, kisha kumpora Sh2 milioni.
Katika majibizano ya risasi, alisema mtuhumiwa alipata majeraha na baadaye alifariki dunia alipokuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa.
Alisema askari mwingine, Koplo Msuka na raia mmoja, Masima Nyau walijeruhiwa katika tukio hilo na wanaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa.
Kamanda Katabazi alisema polisi walipata taarifa za kuwepo kwa mtuhumiwa nyumbani kwake na walifika kijijini hapo wakiongozana na uongozi wa kijiji.
Hata hivyo, mtuhumiwa alitoka ndani na kuanza kuwashambulia na katika majibizano ya risasi askari hao waliuawa. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/marehemu-ulomi-alikuwa-koplo-wa-polisi-4863776 | # Marehemu Ulomi alikuwa koplo wa Polisi
**Dar es Salaam**. Kamishna msaidizi wa Jeshi la Polisi Makao Makuu Dodoma, Elisante Ulomi amesema mdogo wake, Daisle Simon Ulomi aliyefariki dunia kwa ajali ya pikipiki jijini hapa, alikuwa mtumishi wa Jeshi la Polisi kabla ya kuacha kazi hiyo mapema mwaka huu.
Kwa mujibu wa Jeshi la Polisi, Ulomi aliyekuwa anafanya biashara ya fedha ya mitandao ya simu alipata ajali Desemba 11, 2024 majira ya 7:55 mchana maeneo ya Gereji External na kabla ya familia yake kuja kuutambua mwili wake Desemba 16, 2024 katika mochwari ya Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala.
Akizungumza leo Desemba 19 katika ibada ya kuaga mwili huo Kanisa la KKKT, Usharika wa Madale Betheli Dar es Salaam, Kamishna Ulomi amesema kifo chake kimekuwa cha ghafla amefariki akiwa na miaka 43.
"Alikuwa mtumishi wa Jeshi la Polisi kuanzia Mwaka 2006 hadi mapema mwaka huu akiwa na cheo cha Koplo.
“Kifo chake kimetuumiza kwani bado kama familia tulikuwa tunamuhitaji, mke wake alikuwa anamuhitaji na watoto wake walikuwa wanamuhutaji zaidi," amesema.
Amesema baada ya kuacha kazi alikuwa anaendelea na majukumu mengine ikiwemo shughuli za kibiashara.
"Kifo chake ni pigo kwetu, lakini kwa kuwa ni mapenzi ya mwenyezi Mungu tuache tutaonana baadaye Mbinguni," amesema. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/makala/afya/jinsi-familia-zinavyoweza-kushiriki-kudhibiti-kisukari-4863990 | # Jinsi familia zinavyoweza kushiriki kudhibiti kisukari
Watu wa karibu kama familia, wazazi, watoto, mke na mume na ndugu wa karibu wana jukumu kubwa la kusaidia na kumtunza mgonjwa wa kisukari ili kuhakikisha kwamba anapata huduma bora.
Kisukari ni ugonjwa unaoweza kubadilisha kabisa mfumo wa maisha wa mgonjwa, na mara nyingi, athari za ugonjwa huu haziishii kwa mgonjwa pekee, bali pia zinahusisha familia nzima. Familia inaweza kugundua kuwa kuishi na mtu mwenye kisukari kunahitaji mabadiliko makubwa katika utunzaji wa chakula, ratiba ya maisha, na hata mazoezi.
Katika familia nyingi, jukumu la kuhakikisha kwamba mgonjwa anapata huduma bora linaangukia kwa wanafamilia wote, na hii inaweza kuwa changamoto kubwa, hasa kwa familia zinazokutana na vikwazo vya kiuchumi na kijamii.
Kwa wazazi, kuwa na mtoto mwenye kisukari wanahitaji kumfundisha mtoto wako jinsi ya kudhibiti viwango vya sukari, kutoa msaada wa kisaikolojia, na kuhakikisha kwamba mtoto anapata huduma za matibabu zinazohitajika.
Hali hii inahitaji uelewa mkubwa na kujitolea, kwani kutokuzingatia matibabu au lishe bora kunaweza kusababisha matatizo makubwa ya kiafya kwa mtoto.
Wazee wenye kisukari wanahitaji msaada mkubwa kutoka kwa familia zao. Wazee wanapokuwa na kisukari, wanahitaji uangalizi wa karibu katika kuhakikisha wanachukua dawa zao ipasavyo, wanadhibiti chakula, na wanafanya mazoezi. Familia inakuwa nguzo muhimu katika kuhakikisha kwamba wazee hawa wanapata matibabu ya mara kwa mara na kwamba wanashiriki kikamilifu katika kudhibiti ugonjwa wao.
Kama ilivyo kwa magonjwa mengine sugu, kisukari kinaathiri siyo tu afya ya mgonjwa, bali pia hali ya kifamilia na kijamii. Familia nyingi zinazokutana na changamoto ya kisukari hujikuta katika hali ngumu ya kifedha kwa sababu ya gharama za matibabu, dawa na vifaa vya kupimia viwango cha sukari.
Aidha, familia inakutana na changamoto ya kujua jinsi ya kutoa msaada wa kisaikolojia kwa mgonjwa, hasa wakati ambapo mgonjwa anakuwa na shida za kihisia kama vile unyogovu, msongo wa mawazo, na hisia za kukata tamaa. Wazazi na watoto wanaweza kujikuta katika mzozo wa kimtindo wa maisha kutokana na mabadiliko yanayotokana na ugonjwa huu. Wazazi wanaweza kugundua kuwa ni vigumu kuwashirikisha watoto katika shughuli za kijamii au za kawaida za familia kwa sababu ya changamoto zinazotokana na kisukari.
Ili kuhakikisha mgonjwa anapata huduma bora, familia zinahitaji kushirikiana kwa karibu katika kudhibiti ugonjwa huu. Elimu, msaada wa kisaikolojia, lishe bora, na mazoezi ni muhimu katika kusaidia mgonjwa wa kisukari kuishi maisha bora. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/makala/afya/ni-mwaka-wa-matibabu-ya-kibingwa-na-mbinu-mpya-4863986 | # Ni mwaka wa matibabu ya kibingwa na mbinu mpya
**Dar es Salaam.** Utoaji wa huduma za matibabu ya kibingwa umeendelea kuimarika nchini na mwaka 2024 Tanzania imeshuhudia ongezeko la mbinu mpya za matibabu, zilizoenda sambamba na ukuaji wa teknolojia ya matibabu duniani.
Huduma hizo bobezi zilizoanzishwa mwaka huu nchini ni upandikizaji wa mimba kwa njia ya In Vitro Fertilization (IVF) katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).
Matibabu hayo yalianzishwa kutokana na changamoto ya uzazi kuzidi kuongezeka siku hadi siku, ambapo tafiti mbalimbali duniani zinaonesha wanaume wanachangia kwa zaidi ya asilimia 35 na kina mama zaidi ya asilimia 65.
Katika kuonyesha ukubwa wa tatizo, Agosti 2024 aliyekuwa Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu alitoa ripoti ya utoaji wa huduma za kibingwa kwenye hospitali 184 ngazi ya halmashauri, iliyofanyika Mei hadi Julai 2024.
Kupitia ripoti hiyo, jumla ya wagonjwa 70,000 waliopimwa afya, 18,044 walionwa na madaktari bingwa wa magonjwa ya wanawake na uzazi, ambako matatizo ya ugumba yaliongoza.
Anasema wagonjwa 3,810, sawa na asilimia 21 walikutwa na changamoto ya ugumba na kujifungua ni wagonjwa 2,529, sawa na asilimia 14 na tatizo la kutokwa na damu nyingi ukeni isivyo kawaida ni wagonjwa 2,108, sawa na asilimia 12.
Mbali na hayo, pia matibabu ya wagonjwa wenye maumivu makali ya viungo na sehemu mbalimbali za mwili kwa njia ya kisasa ya tiba radiolojia.
Aina hiyo ya matibabu ni taaluma ambayo daktari bingwa mbobezi hutumia teknolojia ya picha za uchunguzi za (Angio-Suite, CT, Xray, Ultrasound) kumuongoza kufanya uchunguzi au tiba kupitia matundu madogo.
Kwa upande wa Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI), nayo ilianzisha upasuaji kwa wagonjwa wenye kiharusi na magonjwa mengine ya mishipa ya damu ndani ya ubongo bila kufungua fuvu kupitia mtambo wa kisasa wa Angio suite.
Aina nyingine ya huduma iliyoanzishwa MOI ni upasuaji wa mishipa ya mgongo kwa njia ya matundu (Neuro spine endoscopic surgery).
Kwa upande wa matibabu ya moyo, kwa mara ya kwanza upasuaji wa kurekebisha valvu za moyo kwa watu wazima ulifanyika kwa mgonjwa ambaye valvu yake ya moyo ya upande wa kushoto ilikuwa ikivujisha damu.
Upasuaji huo ulifanywa na madaktari bingwa wa upasuajia wa moyo na mishipa ya damu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na mwenzao kutoka Serikali ya Watu wa China.
Upasuaji wa kurekebisha valvu za moyo mara nyingi umekuwa ukifanyika kwa watoto na si kwa watu wazima, kwani matibabu hayo yanahitaji utaalamu wa hali ya juu.Wataalamu wanasema mafanikio huongezeka pale daktari husika anapokuwa amefanya idadi kubwa ya upasuaji huo.
**Ununuzi wa vifaatiba**
Kwa mujibu wa takwimu kutoka Wizara ya Afya za Januari hadi Juni, Serikali imeendelea kuimarisha upatikanaji wa vifaa tiba na uchunguzi wa magonjwa ili kutoa tiba stahiki kulingana na ugonjwa.
Hadi kukifikia Juni, 2024 Wizara hiyo imenunua na kusambaza vifaa vya uchunguzi vilivyowanufaisha wagonjwa 531,861 kuanzia Januari hadi Juni mwaka huu.
Mwaka 2022 kulikuwa na mashine za MRI 6 na kufikia 2024 mashine hizo zilifikia 13, mashine ya CT SCAN mwaka 2022 zilikuwa 22 na kufikia 2024 zilifikia 45.
Pia mashine ya digitali ya X ray kwa mwaka huo zilikuwa 296 na mwaka 2024 ziliongezeka hadi 469, ultrasound kutoka 192 mwaka 2022 hadi 677 kwa 2024.
**Wanachoshauri wadau**
Ili huduma hizo ziendelee kutolewa nchini, Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), Dk Mugisha Nkoronko anasema ni muhimu kuendelea kuboresha teknolojia za matibabu nchini na kurahisisha upatikanaji wa huduma hizo.
“Huduma za kibingwa ni gharama na hazipo kwenye bima, Serikali na mashirika ya bima yaone namna ya kuongeza huduma hizi kwa wachangiaji na wanufaika wa huduma za bima,” alisema.
Naye mtaalamu wa afya ya jamii, Dk Ally Mzige anasema ili huduma yoyote iwe endelevu, Wizara ya Afya ni vema ikatamka kuwa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) pekee haitamudu kukidhi mahitaji ya Bima ya Afya kwa Wote.
“Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) uko wapi katika huduma za afya? NSSF ilikuwepo kabla ya NHIF, mwaka 2014 ilikuwa na miaka 50,” anasema.
Pia Dk Mzige anashauri pamoja na maboresho ya huduma za afya nchini, ni muhimu kujikinga na maradhi kwa kuepuka tabia hatarishi zinazoelezwa na wataalamu wa afya.
“Elimu ya afya inapaswa kutolewa mashuleni, pia tuna idadi kubwa sana ya binti wanaoshika mimba na kurudi shuleni, huenda tukawa namba moja au mbili hapa Afrika, tujitathmini,” anasema.
Naye mtaalamu wa uchumi, Oscar Mkude anasema ili kupunguza utegemezi wa matibabu ya nje ya nchi, ni lazima kujenga uwezo wa kutibu ndani ya nchi katika hospitali za ndani kwa magonjwa ambayo uwezo wa kuyatibu bado ni mdogo.
“Kwa mfano magonjwa ya saratani na kisukari, uwezo wetu wa kutibu ni mdogo ukilinganisha na maeneo mengine, hasa nchi za Ulaya, Afrika kaskazini na mashariki ya kati, hili ni eneo la kujenga uwezo, kwani ripoti kadhaa zinaashiria kuwa tutakuwa na wagonjwa wengi wa saratani na magonjwa mengineyo yasiyo ya kuambukiza,” anasema
Mkude anashauri jitihada zielekezwe pia kwenye kuzuia magonjwa na kubadili mfumo wa maisha, hasa uzito uliokithiri.
**Sekta binafsi wapaza sauti**
Akizungumzia uboreshaji wa huduma za afya nchini, Mkurugenzi Mkuu wa Chama cha Wamiliki wa Hospitali Binafsi Tanzania, Dk Samwel Ogilo anasema idadi kubwa ya wadhibiti kwenye sekta ya afya inarudisha nyuma utoaji wa huduma za afya.
“Tuna Tume ya Nguvu za Atomiki (TAEC) ambayo ipo chini ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inaingia kudhibiti sekta ya afya, vifaa vya matibabu vinatozwa kodi, pia tuna Baraza la Taifa la Uhifadhi wa Mazingira (NEMC) wanatutoza kodi, mambo haya yanakwamisha ufanisi wa sekta binafsi kwenye afya,” anasema.
Mbali na hayo, Dk Ogilo ametaja Wakala wa Afya na Usalama Mahala pa kazi (OSHA) nao wanahusika kuwatoza kodi ya mafunzo ya usalama kazini, akipendekeza mzigo wa tozo uliopo sekta ya afya uondolewe.
“Kwa mwaka 2025 napendekeza kuondolewa mambo haya, kazi ya Serikali ni kukusanya fedha na kutoa huduma kwa wananchi kwenye elimu na afya na maeneo mengine, sisi tunafanya kazi hiyo, kodi zikiondolewa kwenye sekta ya afya kwetu itakuwa nafuu,” anasema.
Pia kwa mwaka 2025 anapendekeza Serikali ianze kutoa mikopo nafuu ya afya kwa sekta binafsi ili kuendelea kuboresha huduma za kibingwa nchini.
Fikiria umeketi katika ofisi ya daktari, unakabiliwa na uamuzi mgumu kuhusu afya yako. Daktari anaelezea chaguo la matibabu, lakini unakabiliwa na maneno yasiyo ya kawaida na taratibu ngumu.
Unatarajiwa kufanya chaguo ambalo linaweza kuathiri maisha yako, lakini huhisi kutokuwa na uhakika, labda hata kulemewa. Hapa ndipo dhana ya kibali cha ufahamu inapoingia, si tu kama hitaji la kisheria, lakini kama mchakato muhimu kuhakikisha wagonjwa wanaelewa chaguo zao na kufanya maamuzi ambayo ni yao wenyewe.
Idhini ya ufahamu ni daraja kati ya utaalamu wa matibabu na uhuru wa mgonjwa.
Inahusisha mawasiliano ya wazi na ya uwazi ambapo madaktari hufafanua utambuzi, chaguzi za matibabu, faida zinazowezekana, hatari na njia mbadala zinazowezekana.
Muhimu zaidi, wagonjwa lazima waelewe habari hii na wapewe makubaliano yao kwa hiari. Kwa msingi wake, ridhaa iliyoarifiwa inahusu kuheshimu haki ya mtu kudhibiti kile kinachotokea kwa mwili wake.
Katika enzi ambayo teknolojia ya matibabu na matibabu yanazidi kuwa magumu, kuhakikisha wagonjwa wanaelewa matokeo ya maamuzi yao haijawahi kuwa muhimu zaidi. Ni tofauti kati ya mgonjwa kuhisi kuwezeshwa au kuhisi kama mshiriki asiye na shughuli katika utunzaji wao wenyewe.
Kisheria, ridhaa iliyoarifiwa hulinda wagonjwa dhidi ya kufanyiwa taratibu ambazo hawajakubali, na inawakinga watoa huduma za afya dhidi ya shutuma za utovu wa nidhamu. Kipimo cha maadili kinaenda zaidi. Inahusu uaminifu na uaminifu.
Uhusiano wa daktari na mgonjwa unaojengwa juu ya mawasiliano ya wazi hutukuza uaminifu ambao husababisha matokeo bora ya afya.
Wagonjwa wanaoelewa mipango yao ya matibabu wana uwezekano mkubwa wa kufuata na kujisikia kuridhika na utunzaji wao.
Walakini, kupata kibali cha habari cha kweli siyo rahisi kila wakati. Vizuizi vya lugha, tofauti za kitamaduni, na viwango tofauti vya ujuzi wa kiafya vinaweza kutatiza mchakato. Fikiria mgonjwa mzee ambaye hajawahi kutumia kompyuta akiombwa kutia sahihi fomu ya kidijitali bila maelezo kamili.
Au mtu asiyezungumza Kiingereza anayetegemea mwanafamilia kutafsiri maelezo nyeti ya matibabu. Katika hali hizi, idhini ya ufahamu huwa kipimo cha uwezo wa mfumo wa huduma ya afya kubadilika na kuwahudumia wagonjwa wake kikweli.
Hali za dharura huongeza safu nyingine ya utata. Wakati ni muhimu, na mgonjwa hana fahamu au hawezi kufanya maamuzi, kipaumbele huhamia kuokoa maisha. Hata hivyo, jitihada za kuwajulisha wanafamilia au wawakilishi wa kisheria haraka iwezekanavyo bado ni muhimu.
Telemedicine, ambayo sasa ni sehemu muhimu ya huduma ya afya ya kisasa, pia imebadilisha mazingira. Mashauriano ya kweli yanamaanisha kuwa madaktari na wagonjwa wanaweza kuwa umbali wa maili, lakini hitaji la maelezo ya wazi na ya kina bado halijabadilika.
Fomu za kidijitali na majadiliano ya mtandaoni lazima yafikie viwango sawa vya uwazi na uelewaji kama mazungumzo ya ana kwa ana.
Moyo wa ridhaa ya ufahamu upo katika ubinadamu wake. Inakubali kwamba ingawa madaktari wanaweza kuwa wataalamu wa dawa, wagonjwa ndio wataalamu katika maisha yao wenyewe.
Utambuzi wa saratani, upasuaji hatari, au hata kubadili dawa rahisi—kila uamuzi hubeba matokeo ya kibinafsi ambayo mgonjwa pekee ndiye anayeweza kuelewa kikamili. Kwa kuhakikisha wanayo habari wanayohitaji, hatuzingatii haki zao tu; tunaheshimu utu wao.
Mwishowe, kibali cha habari ni zaidi ya hatua ya kiutaratibu; ni kujitolea kwa ushirikiano katika huduma za afya.
Inahusu kuwawezesha watu binafsi kufanya maamuzi si kwa woga au kuchanganyikiwa, bali kwa uwazi na kujiamini. Katika Bima ya Afya ya Jubilee, tunaamini kwamba idhini ya ufahamu sio tu utaratibu, bali pia msingi wa uwezeshaji wa wagonjwa.
Dhamira yetu ni kusaidia watu binafsi katika kufanya maamuzi ya huduma za afya ambayo yanapatana na mahitaji na maadili yao, kuhakikisha kuwa wanahisi kuarifiwa na huru katika uchaguzi wao. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/toleo-maalum/mabilioni-samia-infrastructure-bond-kuchochea-maendeleo-ya-barabara-nchini-4864008 | # Mabilioni ‘Samia Infrastructure Bond’ kuchochea maendeleo ya barabara nchini
Hatua ya Benki ya CRDB kuzindua Hatifungani ya ‘Samia Infrastructure Bond’ inatarajiwa kuongeza kasi ya mwenendo wa utekelezaji wa miradi ya miundombinu ya barabara nchini kote.
Hatifungani hii inayolenga kukusanya Sh 150 bilioni za kusaidia ukarabati na ujenzi wa barabara za mijini na vijijini zinazosimamiwa na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (Tarura) chini ya Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), ni ya kwanza kutolewa nchini ikiwa ni mahsusi kwa ajili ya miradi ya miundombinu.
Mpango huu unakusudia kuziba pengo la upatikanaji wa fedha kwa ajili ya malipo ya makandarasi wanaojenga barabara hivyo kuharakisha maendeleo ya miundombinu hiyo muhimu kwa usafiri wa abiria na usafirishaji wa huduma na bidhaa.
Makamu wa Rais, Mheshimiwa Dk Phillip Mpango, akimwakilisha Rais Dk Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wengine waandamizi wa Serikali, amezindua ununuzi wa hatifungani hiyo akifungua njia kwa Watanzania wengine nao kunufaika na fursa muhimu ya kuwekeza kwenye hatifungani hii kwa malengo mawili ikiwamo kunufaika na riba ya asilimia 12 kwa mwaka pamoja na kuwa sehemu ya wazawa wanaoshiriki kujenga miundombinu ya Taifa lao.
“Mimi nanunua hatifungani ya Sh 100 milioni na Mheshimiwa Rais naye amesema ananunua hatifungani ya Sh 200 milioni. Nawasihi Watanzania wenye akiba ya kuanzia shilingi 500,000 kuwekeza katika hatifungani hii,” alisema Mheshimiwa Dk Mpango kwenye uzinduzi huo ulioshuhudia hatifungani ya Sh 37 bilioni ikiuzwa ukumbini.
Fedha zitakazopatikana kutokana na mauzo ya hatifungani hii iliyoidhinishwa na Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) zitahakikisha upatikanaji wa malipo ya makandarasi kwa wakati hivyo kuharakisha kukamilika kwake kama ilivyopangwa.
Wakandarasi kulipwa kwa wakati Ili kuharakisha maendeleo ya Taifa, Serikali imekuwa ikitekeleza miradi ya ujenzi na ukarabati wa barabara katika maeneo tofauti nchini.
Miradi hii hutekelezwa kwa kutegemea bajeti ya Serikali au mchango wa wahisani wa maendeleo. Pale bajeti ya Serikali inapotumika, mara kadhaa kumejitokeza kuchelewa kwa malipo ya mandarasi suala linalolazimu mradi kutokamilika kwa wakati.
Licha ya kuchelewa kukamilika hali inayochelewesha manufaa ya mradi husika kwa wananchi, hali hiyo huacha athari kwa wakandarasi wanaotekeleza miradi ya aina hiyo kiasi cha baadhi kulazimika kukopa fedha kutoka kwenye taasisi za fedha na wakishindwa kurejesha kwa wakati kujikuta wakipoteza nyumba au mali nyingine za thamani walizoweka dhamana.
Kwa kuzitambua changamoto hizo zinazowagusa wadau tofauti kwenye ujenzi wa barabara nchini hasa upatikanaji wa fedha kwa wakati, Benki ya CRDB imekuja na suluhisho la kudumu la kuitambulisha Samia Infrastructure Bond inayolenga kukusanya zaidi ya Sh 150 bilioni zitakazotumika kuwakopesha wakandarasi wa barabara ili kukamilisha kazi zao kwa muda uliopangwa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela anasema kiasi chote cha fedha kinachotarajiwa kukusanywa kitapelekwa kwa makandarasi ili kuhakikisha ujenzi na ukarabati wa barabara unaendelea bila vikwazo vya kifedha.
“Hatifungani hii itahakikisha wakandarasi wanapata fedha wanazohitaji kwa wakati unaotakiwa hivyo kuondoa ucheleweshaji wa miradi na kuhakikisha inakamilika kwa wakati,” anasema Nsekela.
Vilevile, mkurugenzi huyo anasema Samia Infrastructure Bond ni hatua muhimu ya kuimarisha sera ya Ubia wa Sekta ya Umma na Binafsi (PPP) nchini. Katika mnyororo wake, anasema mradi hubuniwa na Serikali kisha zabuni kutangazwa kwa sekta binafsi ili kuutekeleza na sasa fedha zitapatikana kutoka sekta binafsi ili kuwalipa watekelezaji huku serikali ikibaki kuwa msimamizi wa mwendelezaji wa miradi hiyo.
“Hatifungani hii inadhihirisha jinsi Serikali na sekta binafsi zinavyoweza kushirikiana kutatua changamoto zilizopo tukianza na hii ya miundombinu. Kwa kuunganisha nguvu za taasisi kama Benki ya CRDB na malengo ya maendeleo ya Serikali, ushirikiano huu utaongeza ufanisi katika utekelezaji wa miradi ya muhimu,” anasema Nsekela.
Fursa ya uwekezaji Uwekezaji kwenye bidhaa za fedha zinazopatikana katika Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE) ni kati ya fursa ambazo wananchi wengi wanahamasishwa kuzichangamkia kwani ni kati ya maeneo yanayotoa kipato cha uhakika wakati mhusika akiendelea na shughuli zake.
Kinachosisitizwa ni kuhakikisha unawekeza kiasi unachoona kitakupa faida uitakayo. Benki ya CRDB ni kati ya taasisi za fedha zilizoorodheshwa sokoni humo na kutoa nafasi kwa maelfu ya Watanzania kumiliki hisa zake tangu mwaka 2009 ambako mpaka hivi leo ni kati ya kampuni ambazo hisa zake zinafanya vizuri.
Licha ya fursa hiyo ya kuwapa Watanzania nafasi ya kumiliki hisa zake, Benki ya CRDB pia inaingiza bidhaa nyingine sokoni hapo ili kuwapa wawekezaji fursa ya kutanua vyanzo vya mapato ikiwamo hatifungani hii ya Samia Infrastructure Bond ambayo kwa mtaji wa walau shilingi 500,000 tu mtu au taasisi anaweza kujiunga kwenye safari hii ya kuijenga Tanzania inayopitika mahali kote, mwaka mzima.
Hatifungani hii itahakikisha makandarasi wanapata fedha za kuwawezesha kukamilisha miradi wanayoitekeleza kwa wakati kwa manufaa ya Watanzania wote jambo ambalo Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Hamad Chande alisema litawawezesha kujikita katika kutengeneza miundombinu bora.
“Samia Infrastructure Bond itawasaidia wakandarasi kuzishinda changamoto wanazokabiliana nazo ikiwamo upungufu wa fedha na kuhakikisha ujenzi wa barabara unakamilika kwa wakati,” anasema Mheshimiwa Chande.
Kuwapo kwa fedha za ujenzi na ukarabati wa barabara hasa katika maeneo ya vijijini ambako miundombinu mingi ni mibovu hali inayokwamisha usafirishaji wa huduma na bidhaa pamoja na usafiri wa abiria, kutaimarisha na kuboresha huduma za usafiri, kukuza biashara, na kuongeza shughuli za uchumi.
Kuwapo kwa fedha hizi pia kutaziwezesha halmashauri kupanga kujenga barabara imara za lami badala ya kiwango cha changarawe.
Hatifungani ya Samia Infrastructure Bond ni suluhisho la muda mrefu la changamoto ya upatikanaji wa fedha za kufadhili maendeleo ya miundombinu ya barabara nchini.
Mpango huu ni sehemu ya juhudi endelevu za kufadhili miradi ya maendeleo ikiwamo miundombinu muhimu katika sekta tofauti hivyo kuipa Serikali muda wa kutosha kukusanya mapato yanayohitajika kwa ajili ya utekelezaji wa miradi iliyoidhinishwa.
Ujenzi wa barabara kwa kiwango cha changarawe kwa mfano, ambako mara nyingi hufanywa kutokana na ufinyu wa bajeti, kunaipa Serikali gharama kubwa za matengenezo kutokana na kuharibika mara kwa mara pindi mvua zinaponyesha huku uharibifu uliotokea ukikwamisha shughuli za wananchi.
Lakini, hatifungani hii ya Samia Infrastructure Bond itatoa fedha zitakazowezesha ujenzi wa barabara bora zinazodumu kwa muda mrefu na zinazopitika muda wote hata masika za mvua nyingi. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/wataalamu-dawa-za-usingizi-ganzi-kuanza-kusajiliwa-4863594 | # Wataalamu dawa za usingizi, ganzi kuanza kusajiliwa
## Muktasari:
**Kwa mara ya kwanza wataalamu 15 wa fani ya dawa za usingizi na ganzi wanajumuishwa kwenye mtihani wa kupata leseni utakaohusisha watahiniwa 5,147 wa taaluma ya uuguzi kwa ngazi mbalimbali.**
**Kibaha.** Baraza la Uuguzi na Ukunga nchini limeanzisha utaratibu wa kusajili wataalamu wa dawa za usingizi na ganzi, lengo likiwa kuwafahamu na kuwawezesha kutoa huduma bora kwa jamii.
Kabla ya mchakato huo, wataalamu hao walikuwa wanatoa huduma bila kusajiliwa.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Desemba 19, 2024 Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga nchini, Agnes Mtawa, amesema hatua hiyo inatokana na wataalamu hao kwa miaka mingi wamekuwa wakitoa huduma pasipo kusajiliwa.
"Kwa muda mrefu dawa za usingizi walikuwa wanatoa madaktari, kuanzia sasa kutakuwa na wataalamu maalumu waliosomea taaluma hiyo vyuoni na kufanya mtihani ili kupata leseni," amesema.
Amesema kwa mara ya kwanza wataalamu hao wanatarajiwa kujumuishwa kwenye mtihani wa leseni kwa wauguzi 5,147 utakaofanyika kesho Desemba 20, 2024.
Mtihani huo utafanyika mikoa mbalimbali nchini ukilenga kutathmini ufanisi na weledi wa wauguzi na wataalamu wa dawa za usingizi.
"Baada ya kumaliza masomo, wauguzi wanapaswa kufanya mtihani wa kupata leseni ili waweze kutoa huduma, hivyo ndivyo itakavyokuwa kwa wataalamu wa dawa za usingizi pia," amesema.
Utaratubu wa kusajili wataalamu wa dawa za usingizi na ganzi ni hatua muhimu katika kuhakikisha usalama na ufanisi wa huduma za afya nchini.
Baraza linatarajia utekelezaji wa utaratibu huu utaleta mabadiliko chanya kwa mfumo wa afya, huku jamii ikifaidi na huduma bora.
Mkurugenzi wa Mafunzo na Maendeleo ya Taaluma ya Uuguzi nchini, Happy Masenga amesema baraza halitavumilia udanganyifu katika mtihani.
"Tunawatahadharisha watahiniwa wote kuwa makini. Ikibainika udanganyifu, hatua kali zitachukuliwa ikiwa ni pamoja na kumfuta mtahiniwa," amesema.
Baadhi ya wananchi wametaka baraza lisiishie tu na usajili na mitihani, bali lihakikishe linasimamia utendaji wa wauguzi kazini ili kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa jamii.
Joseph Kaduma, mkazi wa Kibaha mkoani Pwani amesema katika baadhi ya hospitali za umma kuna wauguzi wamesikika wakitoa kauli zinazokatisha tamaa kwa wagonjwa jambo linalopaswa kutatuliwa ili kuboresha huduma za afya. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/majaliwa-kuzindua-tuzo-ya-kwanza-ya-uhifadhi-na-utalii-4863674 | # Majaliwa kuzindua tuzo ya kwanza ya uhifadhi na utalii
## Muktasari:
**Tuzo hizi zinatarajiwa kuleta hamasa kwa wadau wa sekta ya utalii katika kuongeza juhudi ili kufanikisha malengo ya Serikali na kukuza taswira ya Tanzania kimataifa.**
**Arusha**. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kesho Ijumaa anatarajiwa kuzindua tuzo ya kwanza ya uhifadhi na utalii nchini.
Imeelezwa kuwa tukio hilo linalenga kutambua mchango wa watu na taasisi binafsi zilizoleta mafanikio katika sekta hiyo muhimu nchini.
Uzinduzi wa tuzo hizo za kimataifa utakaofanyika kesho Ijumaa Desemba 20, 2024 jijini Arusha, umeandaliwa na Wizara ya Maliasili na Utalii.
Kwa mwaka huu, jumla ya tuzo 11 za awali zitatolewa kama ishara ya kuanzisha utaratibu wa kuadhimisha hafla hiyo kila mwaka.
Miongoni mwa watakaotunukiwa tuzo ni Rais Samia Suluhu Hassan, atakayepokea Tuzo ya Uongozi wa Heshima kwa maono yake katika mafanikio ya sekta ya utalii, hasa kupitia filamu ya *The Royal Tour* na Kampeni ya *Amazing Tanzania*.
Wanajiolojia maarufu, Dk Louis Leakey na Mary Leakey, pia watatambuliwa kwa ugunduzi wa kihistoria wa fuvu la mtu wa kale na nyayo za Laetoli katika Bonde la Ngorongoro, ugunduzi ambao umeiweka Tanzania kwenye ramani ya dunia.
Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Arusha leo Alhamisi Desemba 19, 2024, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk Hassan Abbasi, amesema tukio hilo litahudhuriwa na viongozi mbalimbali wa ndani na nje ya nchi.
“Siku hii itakuwa ya kipekee kutambua watu na taasisi ambazo zimechangia kwa kiasi kikubwa mafanikio ya sekta ya utalii na uhifadhi,” amesema Dk Abbas.
Kwa mujibu wa Dk Abbas, sekta ya utalii imepiga hatua kubwa kwa kuingiza zaidi ya Dola 3.534 bilioni hadi Julai 2024, na idadi ya watalii kufikia milioni mbili.
“Tanzania inalenga kufikia watalii milioni tano na mapato ya Dola 6 bilioni ifikapo 2025,” amesema Dk Abbas.
Mwenyekiti wa Chama cha Mawakala wa Utalii Tanzania (Tato), Wilbard Chambulo akizungumzia tuzo hizo, amepongeza hatua hiyo ya Serikali na kusisitiza umuhimu wa kuboresha miundombinu ya barabara na mageti ndani ya hifadhi ili kuimarisha huduma kwa watalii.
Tuzo hizi zinatarajiwa kuleta hamasa mpya kwa wadau wa sekta ya utalii kuongeza juhudi katika kufanikisha malengo ya Serikali na kukuza taswira ya Tanzania kimataifa. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/rais-samia-kushiriki-maadhimisho-chama-cha-majaji-wanawake-4863672 | # Rais Samia kushiriki maadhimisho Chama cha Majaji Wanawake
## Muktasari:
**Majaji kujadili ongezeko kesi za ubakaji na ulawiti, washtakiwa kushindwa kukidhi masharti ya dhamana.**
**Dar es Salaam**. Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuongoza maadhimisho ya miaka 25 ya Chama cha Majaji Wanawake Tanzania (TAWJA).
Maadhimisho hayo yatafanyika kwa siku tano kuanzia Januari 19 hadi 23, 2025 jijini Arusha.
Mwenyekiti wa TAWJA, Jaji wa Mahakama ya Rufani, Barke Sehel amesema wamemuomba Rais kuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho hayo.
Amesema siku hiyo masuala mbalimbali yatajadiliwa, yakiwamo ya haki na usawa wa kijinsia.
Jaji Sehel amezungumzia kesi za ubakaji na ulawiti, akisema kwa miaka ya hivi karibuni zimeongezeka.
"Kwenye maadhimisho haya tutaeleza changamoto mbalimbali, ikiwamo hii ya ongezeko la kesi za ubakaji na ulawiti na nini kifanyike," amesema.
"Miaka ya nyuma kesi za namna hii zilisikika kwenye baadhi ya mikoa, lakini miaka ya karibu mikoa yote ina matukio haya tena kwa kiwango cha juu," amesema.
Ameeleza: "TAWJA tunafanya jitihada kuhakikisha changamoto hizi zinatatuliwa katika nyanja mbalimbali ikiwamo kutoa elimu kwenye masuala ya usawa wa kijinsia."
Akizungumzia miaka 25 ya chama hicho, Jaji mstaafu wa Mahakama Kuu ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya maadhimisho hayo taifa, Sophia Wambura amesema katika kipindi hicho TAWJA imefanikiwa kukuza hali ya usawa kwenye ngazi ya utendaji wa Mahakama.
"Vilevile tumehamasisha usawa kwenye jamii katika kuijengea uwezo kutambua haki zao katika mirathi, talaka, haki za usawa na masuala mengine ya kijamii," amesema.
Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha na mwenyekiti wa kamati mwenyeji ya maandalizi ya maadhimisho hayo, Aisha Bade amesema bado kuna changamoto katika dhamana.
Amesema pamoja na kwamba dhamana zinakua wazi lakini wahusika wanashidwa kutimiza masharti kwa kukosa baadhi ya mahitaji kama vile mdhamini na vitambulisho, jambo ambalo katika maadhimisho hayo pia watatoa elimu.
Maadhimisho hayo yatashirikisha wadau wengine ikiwamo majaji na mahakimu wanawake kutoka Tanzania Bara na Zanzibar.
Pia watakuwapo washirika wa kimataifa kama UN Woman, Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (Unicef). |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mfumo-wa-kielektroniki-wa-bot-kupunguza-wateja-kuonewa-4863472 | # Mfumo wa kielektroniki wa BoT kupunguza wateja kuonewa
## Muktasari:
**Ni mfumo utakaowalinda walaji kwani kuna mambo mengi ambayo walaji wanaonewa na watoa huduma ila mfumo wa kielektroniki utasaidia kupunguza vitendo hivyo.**
**Arusha**. Mfumo maalumu wa kielektroniki mahususi kwa ajili ya kushughulikia changamoto na malalamiko ya wateja kwa taasisi za fedha, unatajwa kulinda wateja na kupunguza malalamiko hasa ya watoa mikopo wasiozingatia kanuni na taratibu.
Aidha mfumo huo unatajwa kusaidia watoa huduma za kifedha kutoa huduma bora kwa kuzingatia kanuni na taratibu zilizowekwa.
Kauli hiyo imetolewa leo Alhamisi Desemba 19, 2024 na mtoa huduma za kifedha kutoka taasisi ya Manemane Micro Credit (Moshi), Anselimu Peter, kwenye semina kwa watoa huduma za kifedha iliyofanyika Benki Kuu ya Tanzania (BoT),tawi la Arusha.
Amesema mfumo huo utasaidia kulinda walaji ambaye anahudumiwa na watoa huduma kwani kumekuwa na malalamiko mengi huku mlaji akionewa.
"Mfumo huu ni mzuri kwa kuwalinda walaji kwani kuna mambo mengi huenda mlaji anaonewa na watoa huduma hasa katika ukopeshaji hivyo kupitia mfumo huu mlaji ana uwezo wa kuwasilisha changamoto zake BoT na zikatatuliwa kwa wakati," amesema.
"Sisi watoa huduma ndogo za fedha utatusaidia pia kwani tutaweza kupokea malalamiko kwa mteja na kuyashughulikia kwa wakati.Watoa huduma wasio la leseni wataogopa kutoa huduma bila kuwa na leseni kwani wataogopa kulalamikiwa na wateja kupitia mfumo," ameongeza.
Meneja wa Idara ya Uchumi kutoka BOT tawi la Arusha, Aristedes Mrema amesema mfumo huo ambao umeshafanyiwa majaribio utaanza kutumika Januari, 2025.
Amesema moja ya majukimu ya BOT ni kuwalinda watumiaji wa huduma za kifedha pamoja na majukumu mengine ni kuimarisha huduma jumuishi, usimamizi wa fedha na kuwa mfumo huo umelenga kuhakikisha uaminifu katika sekta ya fedha kupitia mwongozo madhubuti wa kushughulikia malalamiko, mwenendo wa soko na kuongeza uelewa kwa watumiaji.
"Kwa kutumia teknolojia,benki imetengeneza mfumo huo wa utatuzi wa malalamiko ha wateja wa huduma za kifedha ili kuboresha mchakato wa kushughulikia malalamiko kwa njia bora ya haki na inayoweza kufikiwa kirahisi," amesema.
Mrema amesema malalamiko mengi yamekuwa zaidi kuhusu masuala ya mikopo hasa wakopaji wanapotaka kujua madeni yao, wanacheleweshewa hawatumiwi kwa wakati na fedha za wateja kuchukuliwa fedha kwenye akaunti zao.
Naye Imelda Mathew kutoka taasisi ya CAS Microfinance Ltd ya Monduli, amesema mfumo huo utasaidia malalamiko kutatuliwa kwa wakati huku akitaja changamoto kubwa wanayokutana nayo ni pamoja na baadhi ya wateja kuwa na uelewa mdogo.
"Mfumo utasaidia kupunguza gharama kwani watu walikuwa wakitumia gharama kufuatilia malalamiko yao. Changamoto ni pamoja na uelewa wa mteja mfano anapewa mkopo ila wakati wa marejesho anaanza kusumbua.
"Wakati huo unapoanza kufuata utaratibu uliopo kwenye fomu ambapo yeye mwenyewe aliisoma labda kwa haraka hakuelewa kwa sababu ya kiu ya fedha aliyokuwa nayo, ukirudi kwenye mkataba anaona kama hujamtendea haki," amesema. |
http://www.mwananchi.co.tz/mw/michezo/ndugu-aliyepanga-njama-za-kumteka-pogba-jela-miaka-mitatu-4863714 | # Ndugu aliyepanga njama za kumteka Pogba jela miaka mitatu
**Paris, Ufaransa.** Kaka yake Paul Pogba anayejulikana kwa jina la Mathias Pogba, amehukumiwa kwenda jela kwa miaka mitatu baada ya kukutwa na hatia ya kutaka kumteka na kumlaghai kiungo huyo wa zamani wa Manchester United.
Mathias Pogba pamoja na watu wengine watano walifikishwa mahakamani mwaka 2022, wakishitakiwa kwa njama za ulaghai na uhalifu ambao walikuwa wakimfanyia Pogba.
Taarifa zinasema kuwa watuhumiwa hao walimdai Pogba dola 14.3 milioni wakimtishia kuwa watafichua baadhi ya siri zake pia wakimtishia mara kwa mara, kundi hilo linatuhumiwa kwa kufanya vurugu, utekaji nyara, na kumfunga Pogba ili kuwezesha ulaghai huo na wakati wa uchunguzi, Pogba alikiri kulipa dola 70,000 kwa kundi hilo akiwemo kaka yake.
Kesi hiyo ilijulikana hadharani mwezi Agosti 2022, baada ya Mathias kuposti video kwenye mitandao ya kijamii, akidai kuwa angefichua taarifa za kushtua kuhusu kaka yake Paul.
"Kutokana na hayo, njia pekee ya kujinusuru ambayo mimi [Mathias] ninayo ni kufichua uongo wake [Paul] na udanganyifu wake.
“Ndiyo maana nilithibitisha uchawi wake kwa sababu cha muhimu hapa si kwamba uniamini au usiniamini, ni kwamba ina nia mbaya kwa sababu uchawi huu unategemea kufanya mambo mabaya kwa matambiko na anamfanyia pia mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Ufaransa, Kylian Mbappe," alisema Mathias akizungumza na Get French Football News.
Mathias alikamatwa muda mfupi baadaye na kufunguliwa kesi kwenye Mahakama ya Paris ambayo hukumu iliyotoka leo imempeleka gerezani kwa miaka mitatu, lakini wakili wake ameshasema kuwa watakata rufaa kuhusu hukumu hiyo kwa kuwa anaamini mteja wake hana hatia.
Kwa mujibu wa Pogba, kaka yake alitumia mbinu nyingi kuhakikisha kuwa anawapa fedha kiasi chochote walichokuwa wanataka. |