url
stringlengths
14
2.45k
text
stringlengths
2
331k
https://nation.africa/kenya/sports/motorsports
Patel, Khan seek to extend winning streak in Rwanda Kenyan duo have already clinched this season’s ARC title PREMIUM Kirkland reminisces about 'cow dung incident' with Amin Dada Kirkland’s first meeting with Ugandan dictator Idi Amin Dada was not pleasant or stately. PREMIUM Mike Doughty: Jack of all trades, master of the Safari Rally Legendary navigator wanted to race his last rally in 1979, then his winning streak started. Hamilton reveals long battle with depression in interview "I think it was the pressure of the racing and struggling at school. The bullying. I had no one to talk to." Tuk Tuk … Vroom! Mombasa’s motor race like no other Mombasa residents turn up in large numbers to witness first-hand what a Tuk-Tuk race entails. PREMIUM Tinashe Gatimu: Rising star of Kenyan motorsports aims for the skies The Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology mechatronics engineering undergraduate student is looking to write history in Kenyan rallying. Kenya’s Karan wins Africa rally title with two rounds to spare He leads the championship with 105 points. Tensions boil over at Kenya Motor Sports Federation Muturi also said that the directors found a convenient excuse in non payment Njenga: 2025 WRC Safari Rally could be held outside Easter holidays Major concern for Kenyan fans is the quality and numbers of local participants in the WRC Safari Rally. Motorsports needs help Cancellation of most competitions in the KNRC series should be cause for worry. Why local rally championship is painfully grinding to a halt Budgetary constraints, low entries and disagreements over competition rules are to blame. PREMIUM Motor Clinic: Don’t ignore flickering warning lights Flickering warning lights may be caused by a faulty connection, a worn-out coil spring, or a sensor malfunction. PREMIUM Motor Clinic: How well do you know your car? Most motorists seem to think their headlights are okay as long as both bulbs work. Njenga: Dramatic photo finish at Sardinia Rally just what WRC ordered Results confirm how evenly matched the current generation of WRC drivers have become. PREMIUM Adrenaline, thrills as Rhino Charge kicks off in Kajiado Scrutineering is the process of inspecting rally vehicles to ensure that they comply with the rules of the event. PREMIUM Motor Clinic: Teething problems in digital transition Red tape and tech glitches hurt the bid to adopt automation and efficient service delivery. PREMIUM When rumble strips turn into a driver’s nightmare If any vehicle can't cross rumble strips safely and comfortably at ambient speed, either the design is wrong or the car's suspension is defective. PREMIUM Why we can't let go our old cars yet they're costly to maintain For car owners, it is the memories the cars hold that have made it hard to let go of them. PREMIUM Phone aside! Driving demands full attention Driving is a full-time job, especially for the eyes. Njenga: Government must invest in Talanta Rally Academy Last weekend's RX attracted a healthy field of 34 drivers of all ages and experience. PREMIUM Motor Clinic: Is speed the main cause of road accidents? It is assumed that 'excessive' speed is the main culprit, but scientific evidence paints a different picture. Peter Njenga: Time to rethink as Kenya lose seat in powerful WRC Commission It is indeed a tough call for Kenya. PREMIUM Motor Clinic: How vehicles pollute the air The huge volumes of toxic gases produced change the natural balance of air in the atmosphere, causing global warming. Peter Njenga: Neuville chases glory in Croatia as Safari Rally dust settles Neuville has been unlucky in Kenya. Helicopter route opener: Keeping man, animal safe Fans marvelled at the daredevil chopper pilots controlling the nippy aircraft as it seemed to escort the speeding Safari rally cars at this year’s WRC Safari Rally. Cellestine Olilo: Let's not give away our revered Safari Rally to foreigners No Kenyan or African got to within the top 10 positions. PREMIUM Onyango-Obbo: How they ‘stole’ our Safari Rally As a marathon and endurance race, the Safari Rally played to our strengths. Ronny Lusigi: Why WRC Safari Rally should add esports to their portfolio Esports has the potential to showcase Kenya's stunning landscapes to a global audience,
https://nation.africa/kenya/sports/football
Starlets start World Cup debut with defeat to England Kenya's performance featured a tactical shift but ultimately resulted in only five shots on target compared to England's 17. Kenyan lads to know 2025 Afcon U-20 fate in qualifier semis The clash between Kenya and Burundi will kick off at 4pm. Kenya’s Junior Starlets start Fifa U-17 World Cup adventure They face England in a Group 'C' opening fixture in the Dominican Republic. PREMIUM Austin ‘Makamu’ Oduor: Only Gor captain to lift African title He was a member of the famed Origi family that has produced great footballers. Former Harambee Stars captain Oduor's last event He is the father of former Harambee Stars goalkeeper Arnold Origi. CAF launches investigation over cancelled Nigeria-Libya match A disciplinary committee, chaired by Senegal’s Ousmane Kane, has been constituted. Mbappe's representatives say rape probe reports are 'false' and a 'slanderous rumour' He was on a private trip to the Nordic country's capital last week. Debutants Kenya in the mix as U-17 Women's World Cup starts The three-week tournament will feature 16 nations divided into four groups of four teams. Kibet's hat-trick guides Kenya to Afcon U20 qualifiers semis Rising Stars hammered Sudan 4-0 at Azam Sports Complex. PREMIUM Nigeria, Libya embroiled in diplomatic row over botched Afcon qualifier Super Eagles allege mistreatment upon arrival in Libya. FKF polls: Petra, Mwendwa team up for third-term bid In the new plan, Mwendwa will deputise Petra, who is the only female FKF presidential aspirant. PREMIUM Stakeholders warn of legal hurdles ahead of FKF polls The FKF national elections are scheduled for December 7. Cameroon seal 2025 Afcon finals place with Kenya win The win saw the Indomitable Lions complete a double over Engin Firat's charges. Stranded Nigeria boycott Afcon qualifier against Libya Super Eagles were stranded for more than 16 hours at an airport 250 km (155 miles) away from their intended destination. Candidates for FKF presidency to submit nomination papers FKF’s national elections will be conducted on December 7. Stars coach Firat issues rallying call as Cameroon lie in wait The Group ‘J’ match will be played behind closed doors. Sports Registrar accuses FKF officials of lawlessness She expressed disappointment at the insistence of some officials to seek a third term Kenya U-20 lads thrash Djibouti to improve semi-final prospects The result saw Kenya move top of Group A' with seven points. Barry Otieno announces bid for FKF presidency He said his campaign will be anchored on implementing four pillars. No room for slip-ups as Kenya U-20 play Djibouti in Dar Kenya’s chances of qualifying for the 2025 Afcon are in jeopardy as they currently sit third in the group with four points from two matches. PREMIUM Stars loss to Cameroon raises more questions than answers Kenyan coach blames heavy loss on poor officiating as team drops to third place in Group 'J'. Kenya falls to heavy loss against Cameroon in Afcon qualifier Harambee Stars outclassed by the superior Indomitable Lions in a 2025 Afcon qualifying match. Firat well on course to own Kenya’s best run in history Harambee Stars face Cameroon’s Indomitable Lions tonight. Cameroon’s great Eto’o woos fans for match against Kenya He offered 500 entry tickets to students of a secondary school in Yaoundé. U-20 Afcon qualifiers: Kenya, Rwanda share spoils Heroic saves by goalkeeper Habineza Fils deny Kenyans win.
https://nation.africa/kenya/sports/athletics
Agnes Tirop's coach tells court she was in relationship with another man Cheromei said he was informed of the affair by Tirop's Italian manager. PREMIUM Chepng’etich’s world record shows progress made in women’s marathon Slicing a big junk of the previous record is not surprising in this discipline. Athletes to battle for Sh7.4m purse in Machakos events Winners in previous AK cross-country events got Sh5,000. AK slams 'unwarranted' criticism of Chepng’etich’s world record AK lauded Chepng’etich’s meteoric rise in Kenya’s athletics scene. Seasoned runner Chelimo back for second bite of the cherry He has set his sights on recapturing the Standard Chartered Nairobi Marathon title. PREMIUM Chepng’etich: I wanted to attempt the world record from the start She became the first woman to run the marathon in under two hours and 10 minutes in the Chicago Marathon. PREMIUM Eliud Kipchoge: Rising to the challenge of failed Paris Olympics dream For the first time in his glorious marathon career, Eliud Kipchoge appears human. PREMIUM Chepng’etich dedicates world record to Kiptum She became the first woman to run the marathon in under two hours and 10 minutes. Kenya's Ruth Chepngetich smashes women's marathon world record She claimed her third title in Chicago. Simiu plunges into the marathon world in the streets of Chicago The 24-year-old will run his first major marathon event after about four months. Chepng’etich, Kipruto eye Chicago titles Former champions Ruth Chepng’etich and Benson Kipruto lead a strong Kenyan contingent. PREMIUM How simple cup of tea landed Kenyan athlete 3-month ban Coca tea contains the components but Gesabwa says he consumed them unknowingly. Bett burial set as family appeals for his accounts to be unfrozen The 2016 World Under-20 800 metres gold medallist died on Sunday. PREMIUM Why cases of doping by young Kenyan athletes are on the rise Eight Kenyans have been banned over the last one year for doping in their youth years. Stanchart Marathon gets record Sh173m in sponsorship The marathon has registered full entry in the 5km, 10km and 21km races. Five athletes in four weeks: Death of athletes shock athletics fraternity The body of Clement Kemboi, the 2015 African Games 3,000 metres steeplechase champion, was found hanging by a rope tied to a tree. PREMIUM Kipyegon Bett: Former world U-20 800m champ lived troubled life Although an autopsy has not been done on his body, relatives believe excessive drinking affected him adversely, leading to his death. World U20 top guns that rose fast and faded in a flash Stars whose good shows at the youth level crash-landed at the senior stage. Former African Games champion Clement Kemboi dies in Iten Police moved the body to Iten County Referral morgue awaiting postmortem. Former U-20 800m champion Kipyegon Bett dies in Bomet hospital He was said to have been vomiting blood for some time due to damage to the liver. PREMIUM Ex-marathoner Kandie's final hours after Eldoret attack Retired marathoner Samson Kandie was found bleeding and unresponsive at his compound in Elgon View Estate. Commonwealth Games boss on charm offensive as ‘Club Games’ lose their shine Commonwealth Games president arrives in Kenya with a message of new dawn for the multi-sport event. Rising Kenyan star Emmaculate Anyango flagged for doping The Athletics Integrity Unit (AIU) AIU said Anyango has the opportunity to file defence. PREMIUM Pep talk that catapulted Tegla Loroupe to world record She had handed in a last-minute request to race organisers to allow her to compete in the race. Omanyala: I've picked lessons that will make me better He said failure at the Olympic Games and last year’s World Athletics Championships humbled him. PREMIUM Kotut: Ill-timed kick cost me victory in Berlin He finished second behind race winner Milkesa Mengesha from Ethiopia Kandie leads Kenyan charge in 50th edition of Berlin Marathon Tecla Lorupe was the first Kenyan to break a world record in Berlin during her historic win in 1999 in a time of 2:20:43. Berlin Marathon honours Kenyan marathoners at race turns 50 Great Kenyan marathoners of the present and past immortalised in Berlin Marathon museum.
https://nation.africa/kenya/sports/rugby
Friday urges Shujaa to improve ahead of World Series return Friday said he resigned as Kenya Sevens head coach owing to a divided KRU board that wanted to use him as a pawn in their battles. England’s 2003 World Cup hero Dallaglio tours Kenya He will be the guest speaker at the Rugby Patrons Society’s annual dinner at Muthaiga Country Club on Friday. Wambua: Safari Sevens final match exposed our frailties Kenya Shujaa retained the Safari Sevens title. New format Safari Sevens kicks off in Machakos This is the first time the premier international sevens tournament is being held outside Nairobi. Come for Safari Sevens at Machakos, Governor Ndeti urges fans The tournament will run from October 11 to 13 at the Kenyatta Stadium. Victorious Kenya Legends shift focus to Dubai Sevens Kenya Legends secured a 26-15 win in the first leg in Kampala. Why Safari Sevens has been taken to Machakos This will be the first time in history that the tournament will be held outside Nairobi. PREMIUM Coach Paul ‘Pau’ Murunga: Acing it at Quins He also won the national sevens title 2002 and 2003 as a player with defunct Ulinzi. PREMIUM Revealed: Oilers’ Denis Abukuse most lethal player in sevens circuit Kenya Harlequin were crowned the 2024 SportPesa National Sevens Circuit champions. Quins in pole position to clinch second national sevens title The Paul 'Pau' Murunga-coached sit pretty on the table with 97 points. Quins secure Driftwood Sevens to close in on circuit Coach Paul Murunga’s charges are now on 97 points. South Africa inflict more pain on New Zealand with 18-12 win South Africa record fourth win in a row against New Zealand for the first time in 75 years. PREMIUM Joe Ngigi: Man behind famous Mean Machine RFC anthem He was born on February 3, 1962 and played rugby at Mangu, Kangaru High Schools. Safari 7s up next for Shujaa after Paris Olympics flop What next for Shujaa who qualified for the Paris Olympic Games after winning a record sixth Africa Men’s Sevens title last year? Kabras RFC focus on National Sevens Circuit after Dala 7s success The sugar millers claimed the 2024 Christie Sevens title by defeating Kenya Harlequin 17-12. KCB beef up squad ahead of Dala Sevens Kenya Sevens stars Samuel Asati and Festus Shiasi to add to KCB’s firepower. Red-hot Kabras Sugar claim Christie Sevens They tamed hosts Kenya Harlequin 17-12 in the high-octane final. Sir Richard Evans: A selfless champion of rugby He started playing rugby in his native England before relocating to Africa, first in Uganda then settling in Kenya. Kenya Sevens beat Samoa to finish 9th at Paris Olympics Kenya’s John Okoth scored the two unconverted tries that separated winners Shujaa from losers Samoa. End of the road for Shujaa at Paris Olympics It was their third loss in the group after previous defeats to Argentina and Australia on Wednesday. Battling Shujaa lose to Australia in Paris Olympics It was their second loss after going down 31-12 to Series champions Argentina. Kenya Sevens fall to Argentina in Paris Olympics opener Shujaa will next face another heavyweight Australia at 8pm. Shujaa gets the action rolling for Team Kenya in Paris Kenya wrap up their pool outing against Samoa on Thursday from 3pm. Quins ready to launch 7s Circuit challenge at Christies Quins lifted the Christies last in 2015 after thrashing KCB 19-0 in the final. Just what makes this Kenya Sevens team tick? Kenya Sevens team seeking to reach knockout phase at the Olympics in Paris. Shujaa off to Paris with a promise to Kenyans Kenya Sevens coach Kelvin Wambua assures Kenyans that his team will perform well at the Olympics. Humble Humwa all set for second Olympic appearance The 29-year-old forward returns to match fitness after battling persistent 'runner's knee'. PREMIUM The spectacular fall of rugby giant Mean Machine How did the once mighty and all-conquering Mean Machine sink to such low depths?
https://nation.africa/kenya/sports/talkup
Korir: Why stakeholders stand to benefit from 2024/25 athletics calendar All aboard on the bus as we embark on a journey to the top of the medal table at Tokyo 2025. Mutuku: Best time to start 2028 Olympic preparations was 10 years ago We have a very busy international schedule in the next four years. Olilo: FKF electoral board must deliver credible polls The electoral board must acknowledge the public mood towards politics and government. Korir: Why goal setting is important for every athlete An athlete without a set of goals is also prone to indiscipline insofar as their training and competition is concerned. Nyende: New Uefa Champions League format would make so much sense in Africa The two Kenyan clubs in this season’s African club competitions ended their runs. Mutuku: Teaching Olympic values in school a wonderful concept These traditional values are seen as outdated compared to the Western ideals of individualism and material success. Time ripe for an African to be president of World Athletics From where I sit, none other fits Coe’s shoes than our very own, Lt. Gen. (Rtd) Jack Tuwei. Njenga: Remembering McRae ‘McCrash, the fearless ace Subaru driver He died on September 15, 2007 in a helicopter accident. Mutuku: Academic training is vital for sports coaches looking to shine bright Coaches with strong academic background may be better equipped to help their athletes succeed. Olilo: The mysterious case of Engin Firat's contract and unpaid salary By the way, how was Firat’s appointment as head coach arrived at in the first place?
https://nation.africa/kenya/sports/other-sports
PREMIUM At 90, oldest man to have climbed Mt Kenya is not about to stop Naigzy celebrated his 90th birthday on top of the sixth highest peak in Africa on August 12. Historic Kapkatet Stadium wall collapses in heavy rain Construction work at the stadium has remained incomplete for more than 17 years. Eritrea top medals table as home riders falter in African Cycling event The Horn of Africa nation amassed a total of 16 medals. PREMIUM At 90, oldest man to have climbed Mt Kenya is not about to stop Naigzy celebrated his 90th birthday on top of the sixth highest peak in Africa on August 12. Veteran Kinjah calls for more support as home riders fade The home riders were Joseph Kamau, Kinjah, Ephantus Warutere, Nancy Akinyi, Monica Kiplagat and Kendra Tabu. Teen sensation Chepkemboi battles Africa’s best at home With determination and a passion for cycling, she is poised to take her career to new heights and continue to inspire future generations. PREMIUM Explainer: Everything you need to know about the Africa Road Cycling Championships The first championships were actually held in 2001 in South Africa. Commonwealth Games boss calls for more gov't involvement in sports He also reiterated that it is his ‘burning passion’ to ensure Africa hosts the Games. Tum: Africa Cycling Championships will inspire Kenyans to excel in sport The men’s road race will cover 175km and the women’s race 104km. PREMIUM Africa capable of hosting Commonwealth Games, says association head Glasgow will host the 2026 edition. PREMIUM Paralympic hero Ojuka: My mother is waiting for my law degree The KU student wants to chase a double, combining long jump and sprint events -- 100m and 200m.
https://nation.africa/kenya/life-and-style/mynetwork
David Wonder talks about life after the limelight In 2022, David’s journey took an unexpected turn when he fell seriously ill. This forced him to step away from the limelight and reevaluate his life goals.
https://nation.africa/kenya/life-and-style/culture
The making of a TikTok sensation: Maureen Kibui's rise as Mama Morin How did a university student's imitation of her mother become a cultural phenomenon? The making of a TikTok sensation: Maureen Kibui's rise as Mama Morin How did a university student's imitation of her mother become a cultural phenomenon? Why ‘Unbwogable’ duo turned down Sh10 m to endorse KANU Just days before the 2002 general election, Gidi Gidi and Maji Maji turned down Sh10m to endorse Uhuru Kenyatta. Kenyan artistes eye this year’s Grammy Awards With a diverse range of genres, these musicians aim to bring global attention to Kenya’s vibrant cultural scene. Sultana actress Winnie Ndubi Bwire succumbs to cancer Bwire also expressed her frustration with the high cost of healthcare and how difficult it is to make progress. Ruto's campaign anthem singer dies Marco fell ill a week before a scheduled performance in Kisumu, which led to emergency heart surgery. Why musicians die in poverty - study What we found confirms what has been understood anecdotally for a long time. Vivian: I got trolled for taking a selfie with Steve Harvey Kenyans can be bullies but I am no longer affected by trolls. Kuche Kuche Cashless to host Congo Night The event will be the culmination of the Congolese Independence Day celebrations that began last Sunday. When African music lovers overrun a Portuguese town Writer John Muchiri attended the Afro Nation Festival in Portimao and brings you his experience. The art of tribute concerts The country recently lost a bass guitarist, a reggae MC and a rock music fan and three concerts were held to remember them. New evidence emerges in Alec Baldwin's shooting case Baldwin faces 18 months in prison if found guilty. PREMIUM What it's like to celebrate your birthday once every four years There is something special about the way people born on February 29 age. Ruai Gardens to host Kenya Cane pack launch show Alex Katombi has lined up some of his popular Kamba Benga songs like Kisinga, Tusimu and Sherehe. Fiolina is serving me love with a big spoon Just seeing the effort I made to get her something for Valentine's Day greatly impressed Fiolina. All set for Lokassa ya Mbongo’s first death anniversary Fans are expected to celebrate his music online. Njunge: This weather demands that we embrace our natural looks, by force This is the time to give make-up a wide berth because this heat will surely melt it away. Johnny Junior lines up rhumba shows in Nairobi The King Lion Sounds reggae group will on Saturday and every Saturday host “Mature Reggae” shows at the Blue Hut Hotel on Park Road Zari Hassan: I’ve been in too many relationships to advise anyone about love I would be lying to say I do. Meet the medical student who has found fame as rhumba singer Serah Nyaboke is studying medicine but she sending waves on Tiktok as a Rhumba songbird. How Fiolina and I celebrated Valentine’s Fiolina would have wished that we celebrate it at Golf Hotel Kakamega, but she knows we can't afford it.
https://nation.africa/kenya/life-and-style/family
PREMIUM Parenting with breast cancer: How we coped For many mothers, breast cancer is not just a medical diagnosis but also a seismic shift in their roles as caregivers and providers. PREMIUM Differentiate disagreement from dysfunction Dysfunction kills you. “If things are done or words are said, which cause you to have suicidal thoughts, then you're in a dysfunctional relationship,” Bro Msoh said. I got it. When religion affects intimacy Differing values on sex between married people can damage a relationship and even cause divorce. PREMIUM Intimacy tips for newlyweds The important thing is the preparation needed for the first-time experience. PREMIUM Men, this is how to seduce your wife The peak of intimacy is in the behaviour exhibited in the bedroom. Where divorcees meet without being judged A group of coaches hold a 13-week divorcee care programme that helps divorcees deal with financial, emotional and legal challenges. Who said cleaning and cooking is only the woman’s role? The roles of husband and wife should be complementary. Thinking of visiting someone? Think twice If you’re not especially close to the one you plan to ‘surprise’ this Sunday after church, think twice. PREMIUM Why families are choosing dayburgs over live-in nannies Reasons range from the desire for more flexible childcare solutions to concerns about privacy and the importance of socialisation for children. Njunge: Are you visiting your mother or your father? I know people who only call their mothers, never their fathers, because they have nothing to talk about. What to do when a parent is on their deathbed I’ve been there, y’all. Got the eternally tear-stained t-shirt. If you were to grade your marriage, what would you score? Spare your union by putting in equal effort to remain above average. PREMIUM ‘Grieving for my husband while raising children was most painful juggling act’ widow says How Mary Muthiani helped her children grieve their murdered father. Do you see the best in others? Sometimes hustling does not mean being the best, but finding the best in others. PREMIUM An open letter to my former single self Married women pen heartfelt dispatches to their earlier unattached selves. Here are their lessons. A time to give our fathers tough love ...not because we’re disrespecting them, but because we’re protecting them from snares and snakes. Do cats experience separation anxiety? An anxious cat may also show signs of hyper-attachment where they seek constant contact with their human when together. Here’s how you are fuelling anxiety in your children When your children spend time just hanging out with one another, they learn essential life skills Rashid Abdalla: My wife is my most critical advisor Rashid is a TV news anchor and film producer. Together with his wife, Lulu, Rashid runs a production house which has produced telenovelas such as Maria, Zora and Aziza. Wanjira's journey to 100 marathons To many a woman, the thought of competing in a marathon during the second pregnancy trimester is laughable. Mr Survivor: Attempt to review family spending sparks Queen’s maandamano Njuguna Ndung'u did some tax acrobatics, increasing the cost of living and forcing me to take radical measures...not to Queen's liking!
https://nation.africa/kenya/life-and-style/relationships
When breastfeeding affects a couple’s sex life Sex is not only healthy for the couple but also benefits and promotes good growth of the baby. PREMIUM This is why men marry: To become more What one prescribes for a certain situation would be fatal in another. Hizi vitu hazina formula. Kitoto: My husband does not support me, what am I still doing here? The lack of support from your husband could be due to his upbringing or lack of a clear path towards resolving issues. Mantalk: Dear men, whoever said you have a right over a woman’s body, lied These are the consequences of a virtue-signalling society that celebrates and rewards victimhood. Here's what you need to know before you steal a married person Rose pulled her husband, Tom, out of another marriage where he had been for seven years and with three children. Mantalk: Men, quit complaining, it’s time to take personal responsibility This advice is tax exempt and works whether you work at Sabina J or State House, whether you are a resident or a president. Austrian teacher sacked over 'Orgasm-pope' love coach side gig On TikTok and Facebook, the teacher advertises her love coach services aimed at achieving an "explosive sex life with multiple orgasms" Dear Pastor Kitoto: I’m dating a married man. Should I bear him a child? He made me terminate a pregnancy in the past. Spare your partner the silent treatment this festive season This is the only form of intimate partner violence in which the offender also suffers. Why are men loyal to their barbers...but easily cheat on their partners? They provide a form of intimacy that is lasting but non-invasive with unrivalled chit-chat. PREMIUM Gentlemen: When your woman goes silent, be very very afraid You are better off when she still screams at you. Dilemma: A VIP’s wife asked me to be her co-wife? Should I smell a rat? She says I should ensure her husband marries me. Mantalk: Why men should learn to enjoy solitude Loneliness is there to make us think, to question our opinions. PREMIUM We took sex off the table until we got married Would you wait if your love interest told you to keep off any kind of sexual intimacy in the relationship until after marriage? Am I a fool for sticking with my cheating wife? Taking time to discover the real need driving her behaviour is a great place to start. Mantalk: Sometimes men just want to feel like they matter in the world Male sadness is everyone thinking you have the world at your feet, when it’s actually on your shoulders Pastor Kitoto: Why aren’t single men interested in having a relationship with me? Only married men want to have a relationship with me. I’ve tried unsuccessfully to win over girls...could I be having a problem? I have been trying to win over five girls
https://nation.africa/kenya/life-and-style/art-books
PREMIUM East meets West: Misha, the man from St Petersburg, returns to Nairobi East meets West: International literary seminars fostering a new era in creative expression. KICD monetises national drama and Kenya Music Festival performances This is meant to generate income for participants, teachers and content creators whose productions are to be showcased at the festivals. Biographies released in 2023 reveal the rarely seen side of VIPs New biographies and autobiographies of 2023 offer rich insights into the workings of prominent figures. Peter Nduati named winner of the 2023 Book Prize His book, Gooka from the Village to the City, is a memoir that captures the author's daily experiences intertwined with the past. Mochama: A chat with Man of Letters Wole Soyinka Writer Tony Mochama caught up with Nobel Prize for Literature laureate Prof Wole Soyinka for an exclusive conversation in China. ‘The Long Way Home’ exhibition a must-see We were surprised by the scale of Chelenge’s work: the number and variety of her sculptures, woodcuts and paintings. Calligraphy king in Nakuru still going strong 37 years later Mike Obong’o Okal, 62, has been a calligrapher in the streets of Nakuru city for over three decades. Behold the reverend, Njuri Ncheke elder and strict colonial chief! M’Inoti, in about 40 years, served as an evangelist and an ordained minister. PREMIUM Self-publishing. Who is really making the money? Are young authors making money from going solo or simply ticking a box? Imperial nostalgia as King Charles III visits The King made a four-day official visit to Kenya this week. My ‘Grandma’ wins Venice Civil Poetry Festival crown We should also consider the significance of international recognition for our creativity, especially in the face of local neglect. PREMIUM Childhood trauma that inspired me to write a book Muthoni suffered anxiety and low self-esteem, and a toxic romantic relationship made things worse. Bukenya: Kisumu to become the centre and heart of Africa, for a week October 18 will, thus, be the kick-off date for Kisumu City’s preparations to host next year’s Festival of African Arts and Culture. More on offer at Nairobi International Book Fair As more Kenyans opt for self-publishing, industry should exploit the new shift. Tete-a-tete with self-taught film producer Robin Odongo's latest and most popular film, Bangarang, is based on real life events. It recreates the brutal murder of baby Samantha Pendo and other victims of police brutality during the... I’m a Chinese language teacher, here are the opportunities Beth Waweru is a Mandarin teacher at Kitengela International Schools in Athi River, who discovered her passion for teaching later on in life Books fire the imagination of bibliophiles at Nairobi fair Organised by the Kenya Publishers Association, Nairobi International Book Fair is the second largest book fair in Africa Connecting Africa’s histories and future through literature Now in its third year, the Macondo Literary Festivalhad a stunning lineup of invited guest writers. Bukenya: Mwalimu’s grading wish list as examination fever sets in When our children do well in the exams, the parents and candidates are quick to boast, as we celebrate, that we are “really smart”, and “it all runs in the genes”. Bilenge Musica to perform in Machakos tonight Bilenge Musica Du Congo performs every Friday at Kifaru Place on Mombasa Road Kitale Film Week opens portal for submissions Festival director Peter Pages Bwire is optimistic that more films will be registered for the event. Royal literature and Kenyans’ fascination with Kenyattas Beth Mugo has done well to document the grand but mostly unchronicled story of Kenyatta family.
https://nation.africa/kenya/life-and-style/travel
Telling the story of the African baobab It has been a great pleasure reading Rupert Watson’s second edition of his ‘The African Baobab’. Enjoying Vietnamese cuisine and farmers market in Karen It’s the biggest, most varied and vibrant weekly market of its kind that we have been to around Nairobi. Pole-Walking in the Ngong Road Forest Sanctuary It’s the very best of the forest walks we have tried over the last few years. PREMIUM From Nairobi to Cape Town by road: Here is what you must know By flying, Matara would have spent Sh110,900 on a 5 hours 45 minutes fight to Cape Town on a round trip if he booked an economy class on Kenya Airways. Adventure for all the senses at Izzi restaurant Izzi has taken the art of dining to a whole new level, from innovative plating techniques to meticulously executed interior décor. Why Nakuru should be on your travel bucket list for 2024 With its numerous lakes, rich scenery, and diverse attractions, it is a destination that entices travelers looking for an authentic Kenyan experience. PREMIUM Nairobi through the eyes of first-time visitors The Lonely Planet, recently ranked it top in the list of the best cities, beating the romantic and timeless Paris and the vibrant Montreal. Visit Uhuru Park if you haven’t done so yet Once through the imposing gates, the paved walkways will lead you past fountains and sculptured animals. A magical weekend escape to Narumoru The small town has become a popular tourist destination for those seeking adventure. Stop unnecessary harassment at Lake Magadi checkpoint I was surprised to read in Trip Adviser several reports from tourists that they have been badly hassled at the checkpoint. Kenya-Japan ties: A walk down memory lane In 1963, Kenya and Japan established diplomatic relations shortly after Kenya declared her independence. Up for some Coffee Heist? Here, freshly brewed coffee blends with the fun of watching the waiters dressed as "Money Heist" actors. Africa through the eyes of a cyclist Florence Ryan has found landscapes in the Sahara amazing, and camping under the stars a dream. Sushi lovers take YouTube lessons on chopstick use Eating the Japanese dish is a challenge for first-timers seeking training on internet. Backpackers’ hostels: Where low-budget travellers meet For those who want to keep the costs low as they travel, hostels with shared amenities are a great option. A treat for the palate at a horse themed restaurant I followed the “stables” sign, only to discover a restaurant, complete with immaculate white-clad wait staff. 5th Avenue Café, village market: A hideout perfect for a low-key third date The menu has a nice selection and variety. The place to see all endangered species By the time we reach the lodge, we’ve seen four of the Big Five and plenty of plains game. I run marathons across countries; here are my lessons about weight and diets I got into marathons after I became a mother because I had put on a lot of baby weight What are those lumpy under bonnet carpets for? The insulating qualities of the mats are positive; you would almost certainly notice the difference if they were not there. Exploring Victoria Falls' majesty in Zambia Zambia will amaze you at every turn, from the roaring Victoria Falls to the untamed wildness of national parks.
https://nation.africa/kenya/life-and-style/wellness
PREMIUM Explainer: How many eggs does a woman need to conceive? Ovarian reserve is the number and quality of a woman's eggs, which plays an important role in female fertility. I earn Sh98,000 and spend Sh93,000; how do I save for a plot? Consider all your sources of income, which include your net salary and the income from your side hustle. To fix sex problems, both parties must be involved Premature ejaculation is fairly common and causes a lot of distress, but things are made worse if your partner is unsupportive. PREMIUM My life without a breast The loss of one or both breasts can significantly affect a woman's quality of life. Expert advice on early diagnosis and treatment of breast cancer Do not wait until you feel a lump before getting screened, as mammograms can detect lumps before you feel them. Know your breasts: Here is how to self-examine yourself Breast cancer is among the top female cancers in Kenya. I've been jobless for 12 years, now I have a Sh15m windfall Please advise me on how to invest this money so that I can remain financially stable for life. I’m 25, Why am I still broke even committing to pay tithe? I recently believed that I wasn’t doing well financially because I don’t pay tithe and started paying but I am still not improving The money mistakes I have learned from as a finance manager I have two channels where I save money; In a bank account that pays a rate of return for the balance held and in a money market fund How do I invest my Sh3 million pension to avoid going broke? I am afraid of misusing my lump sum pension. Challenges to expect as a new entrepreneur, and what to do The thought of breaking even in the first year and going on vacation may be tempting, but it doesn’t always happen that quickly. How education saved me after I quit athletics After quitting athletics due to injury, Winnie Atieno returned to her other passion – writing Ask HR: Is it ethical to tell someone that they’ve been earmarked for a new role? A more balanced approach is to communicate succession plans discreetly within the management team, while also providing development opportunities for potential leaders. I earn Sh55,000 net; how do I repay a bank loan and save Sh3 million? Fund the land purchase through investing and take a loan to finance building the house to accomplish both goals in the shortest time. PREMIUM Health matters: Inside the mind of a sex addict The mind of a sex addict is preoccupied with sexual thoughts to the extent that it interferes with their daily work and relationships. Why society is the biggest impediment to healthy living "In my culture, you are expected to look fat, overweight or outrightly obese. A protruding belly is a must," Boniface Osano. Here’s what you can do to survive these tough times How about adjusting accordingly by changing your living standards? Think of moving from that leafy address to a less costly one, and transferring the children from private to public schools. Table tennis ace aims at Olympics glory With admirable determination and inspiring passion for the sport, this youngster seems firmly on his way to the zenith of the game. Already, he boasts of the number one seed in tennis in the region. My struggle with skin breakouts inspired my skincare business Kabura Cecilia is the team leader and founder at Vitapharm Cosmetics and Vitapharm Aesthetics, a skin care solutions and skin care consultations business located in Nairobi Should I invest in bonds or long-haul truck transportation business? It’s important to consider your risk profile and the timeframe of your investment. I’m single with 45K salary. I took a loan to build a family home, now I’m stuck in debt Before you focus on investments or additional savings, it’s crucial to build an emergency fund.
https://nation.africa/kenya/health/healthy-nation
More women being sexually abused by their partners New survey reveals that about 4,000 women in Bungoma, Kakamega, West Pokot and Kiambu counties reported a form of violence from their partners Everything you need to know about your gut A new craze is cropping up online about the gut’s health and lately, content creators on TikTok and YouTube are amassing a huge following by sharing insights about what Enders classified as the... President Ruto, along with four other Kenyans, shine in the Global Climate 100 List The inaugural list celebrates people and companies dedicated to finding positive climate solution Climate Finance: Why Africa must demand climate reparations at COP29 Africa stands at a crossroads in the fight for climate justice. As COP29 nears, African leaders must challenge the flawed climate finance systems that offer false solutions and deepen dependency. Explainer: Bonn vs COP: What you need to know The SB60 talks in Bonn are a series of preparatory meetings. Keeping obesity at bay It is advisable to adopt a health plan that allows for gradual weight loss of about 0.5 to 1kg per week and that is sustainable over the long haul Two new suspected cases of Mpox reported in Mombasa, Kilifi The Kilifi case was traced through contacts of the index patient. Understanding low blood pressure If there is reduced blood supply to the brain and other organs, then symptoms such as dizziness, fainting attacks, feeling tired, headache, neck pain, confusion, blurred vision and abnormal heart... Help! My wife blames me for her recurrent UTIs In most cases, the bacteria that cause UTIs are the ones that live in the intestines, and they can travel from the anus to the urethral opening Doc, do muscle cramps signal a more serious problem? Dehydration and caffeine intake can also cause involuntary muscle spasms The gradual loss of vision As the nerve fibres are destroyed, blind spots develop and the entire nerve is damaged, and then there is complete blindness in that eye Bleeding after childbirth: What’s normal and what’s not The bleeding may be due to post-partum hemorrhage, which is abnormal or heavy bleeding within 24 hours to 12 weeks after giving birth When a person’s blood is ‘excess’ and requires to be extracted There is a rare condition called polycythemia or erythrocytosis, where there is a high concentration of red blood cells in the blood
https://nation.africa/kenya/health/talking-point
### How to assist someone living with Alzheimer's: Karimi Njagi's story (Podcast, Part 1) Having a loved one live with Alzheimer's disease, a type of dementia, can take an emotional and financial toll on the family. Find out how to cope if you are caring for someone living with...
https://nation.africa/kenya/health/emergency-contacts
List of emergency contacts for police stations across Kenya Police Control Room: 020 2724154 or 0721 23399 Police Headquarters: 020 240000 or 0721 228989 C.I.D. Headquarters: 020 272309 Stations and Contacts Alphabetically Adungosi Police Station...
https://www.mwananchi.co.tz/mw
TAARIFA KWA UMMA Tunasikitika kuwaarifu wasomaji wetu wapendwa kuwa tunalazimika kusitisha uchapishaji wa maudhui mtandaoni kuanzia sasa kufuatia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kusitisha leseni zetu za... Mfanyabiashara wa madini auawa mlima wa maombi, wauaji watuma meseji… Mwili wa mfanyabiashara wa madini ya ujenzi, David Mollel mkazi wa Kata ya Moivaro, umekutwa ukining’inia kwenye mti juu ya Mlima Oldonyowas, jirani na eneo linalotumika kwa maombi. Diwani CCM mbaroni, Bashe acharuka Masasi Fedha hizo ni malipo yaliyopaswa kufanywa kwa wakulima wa korosho wanachama wa Chama cha Msingi cha Ushirika cha Nanyindwa Amcos katika msimu wa 2016/17. Wananchi kushirikishwa mchakato wa kumng’oa Gachagua Spika wa Bunge la Kitaifa la Kenya, Moses Wetang’ula ametangaza ushiriki wa umma katika hoja ya kumng’oa madarakani Naibu Rais, Rigathi Gachagua Ijumaa, Oktoba 4, 2024. Sababu ongezeko wagonjwa wa vifua, mafua Wizara ya Afya imesema kuna ongezeko la virusi wanaosababisha homa kali ya mafua inayoambukiza maarufu influenza, waliyotaja kusababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa. Sita washikiliwa Polisi madai ya mauaji mkaguzi wa ndani Korogwe Mkaguzi wa Ndani wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Jonais Shao, mwanawe na mtumishi wa kazi za ndani waliuawa kwa kuchomwa moto. Benki ya CRDB yasaini mkataba wa Dola 320 milioni na DFC, Citi kusaidia wajasiriamali Tanzania na Burundi Strategis insurance yaungana na Vitality Health International kuhamasisha mtindo bora wa maisha kiafya TAARIFA KWA UMMA Tunasikitika kuwaarifu wasomaji wetu wapendwa kuwa tunalazimika kusitisha uchapishaji wa maudhui mtandaoni kuanzia sasa kufuatia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kusitisha leseni zetu za... Ajali yaua wawili Pemba Kaimu kamanda wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba, Mussa Mwakasula amethibitisha kutokea ajali hiyo ya gari ya kampuni ya ujenzi wa barabara IRIS baada ya kuacha njia na kuwafuata watu waliokuwa... Fahamu vyama vilivyotoa marais Marekani nje ya Republican, Democrats Marekani inatarajia kufanya uchaguzi mkuu Novemba 5, mwaka huu huku kampeni za uchaguzi zikitawaliwa na vyama viwili vya Republican na Democrats, ambavyo ndivyo vimetoa marais wengi nchini humo... Sekta binafsi, wachumi waeleza ulipo mkwamo ongezeko vituo vya gesi asilia Mkurugenzi wa Mkondo wa Chini wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Emanuel Gilbert wapo mbioni kumaliza kero ya madereva kutumia muda mwingi kusubiri huduma ya gesi. Yanga Princess yaivua Simba ubingwa Ngao ya Jamii, ikitinga fainali Yanga Princess imetinga hatua ya fainali ya Ngao ya Jamii ya Ligi ya Wanawake baada ya kuifunga Simba Queens kwa mikwaju ya penalti 4-3 kwenye nusu fainali ya pili ya mashindano hayo iliyochezwa... Mambo matatu kwa Mondi akiwa na miaka 35 Ikiwa leo Oktoba 2, mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Naseeb Abdul 'Diamond' anasheherekea siku yake ya kuzaliwa akitimiza miaka 35, ndani ya miaka hiyo msanii huyo tayari amefanya makubwa katika... Ruto anavyomchinja Gachagua kwa kisu alichokificha kwenye tabasamu Wakanda ni dola ya kufikirika Afrika Mashariki, ndani ya mfululizo wa vitabu vya Fantastic Four. Shujaa Black Panther ambaye jina lake halisi ni T'Challa, anafanya kila kitu kuhakikisha anailinda... Pre-Form One na msimu wa shule binafsi ‘kupiga fedha’ Baada ya kumalizika kwa mitihani ya kuhitimu darasa la saba, wazazi kote nchini Tanzania wanapata furaha isiyo kifani kuona watoto wao wamevuka hatua hiyo muhimu katika safari ya elimu.
https://epaper.nation.africa/ug
Log In Your paper, anywhere, any time
https://epaper.nation.africa/tz
Log In Your paper, anywhere, any time
https://play.google.com/store/apps/developer?id=Nation+Media+Group&hl=en&gl=US
Games Apps Movies & TV Books Kids google_logo Play Games Apps Movies & TV Books Kids none search help_outline Sign in with Google play_apps Library & devices payment Payments & subscriptions reviews My Play activity redeem Offers Play Pass Personalization in Play settings Settings Privacy Policy • Terms of Service Games Apps Movies & TV Books Kids Nation Media Group Nation ePaper Nation Media Group
https://apps.apple.com/us/developer/nation-media-group-ltd/id771736086
Apple Store Mac iPad iPhone Watch Vision AirPods TV & Home Entertainment Accessories Support 0 + App Store Preview Nation Media Group Ltd iPad & iPhone Nation ePaper Magazines & Newspapers
https://nation.africa/kenya/subscribe
### Packages Packages # Packages - ## Editions - ## ePaper Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Hello Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. ## Nation.Africa For corporate packages please contact us directly. Call +254(0)20-328-8033 # Forgot your password? Please fill in your email address. ### You can also pay using **Lipa na MPESA** by using the following instructions: 1. Go to the M-PESA menu 2. Select Lipa na M-PESA 3. Select the **Paybill** option 4. Enter business number: 5. Enter your account number: 6. Enter the amount: 7. Enter PIN and press OK to send 8. You will receive a confirmation SMS with your payment ## What your subscription means to us Our mission is to empower every single person through our informed, unbiased and comprehensive journalism. Your trust and support helps us accomplish the mission to Empower Africa. We are because you are! For customer care support, please contact our support teams at [email protected] or call us on +254 790 111 111 ## That's it. You are all set! Thank you for becoming part of our journey. You will be redirected back to the article in ** seconds ** ### We have noticed that the amount you paid is less than the expected total amount. Your payment has been received, but there is an outstanding balance. Please follow the following instructions to clear the balance. 1. Go to the M-PESA menu 2. Select Lipa na M-PESA 3. Select the **Paybill** option 4. Enter business number: 5. Enter your account number: 6. Enter the amount: 7. Enter PIN and press OK to send 8. You will receive a confirmation SMS with your payment
https://nation.africa/kenya/4083854-4083854?utm_source=direct&utm_medium=hot-topics
PREMIUM Making of an epic court battle as Gachagua fights for his job Gachagua argues his removal was compounded by political betrayal, deceit, vendetta and malice of President Ruto, aided and abetted by Parliament.
https://nation.africa/kenya/4001002-4001002?utm_source=direct&utm_medium=hot-topics
Gachagua out, Kindiki in National Assembly Speaker Wetangula receives the nomination of Professor Kithure Kindiki to fill the vacancy of deputy president.
https://nation.africa/kenya/pandemic?utm_source=direct&utm_medium=hot-topics
Rabies, the silent killer, claims 2,000 lives a year in Kenya About 40 percent of those affected are children. Rabies, the silent killer, claims 2,000 lives a year in Kenya About 40 percent of those affected are children. McClelland: Nurses were key in tackling Ebola outbreak Ms McClelland shares on the vulnerability of frontline workers and lessons from attending to Ebola patients. Q&A: What it takes for Africa to produce own vaccines Dr Osewe speaks to Angela Oketch on whether Africa is prepared to manufacture its own vaccines. Invest more in the continent, experts tell African leaders Nation.Africa held a Twitter Spaces forum with several experts to discuss pandemic preparedness.
https://nation.africa/kenya/news/politics/kithure-kindiki-how-pastor-s-son-rose-to-political-royalty--4797474
Prof Abraham Kithure Kindiki is the man of the moment following parliamentary approval of his nomination as Deputy President-elect after President William Ruto picked him on Friday, October 18. The High Court has, however, stopped the process of replacing Mr Rigathi Gachagua as Deputy President until the case is heard on October 24. Mild-mannered but firm, the 52-year-old Interior Cabinet Secretary boasts of a successful career spanning more than 27 years in the private and public service. Born in Irunduni village, Tharaka Nithi County, Prof Kindiki has previously said how he had to overcome challenges in the remote area to make it as an academic and politician. His life and career have from a formative stage been shaped by his parents — Rev (rtd) Daniel Kindiki and Mrs Hannah Kindiki. The father of three is married to Dr Joyce Kindiki. The Kindikis have often been referred to as the family of professors with at least five siblings holding the academic title. His brother, Prof Isaiah Kindiki, who has previously held different political views from his brother, once told the Nation that theirs is a “democratic family”. He also talked of their humble beginnings after their father rose from abject poverty to a respected elder. “My father became a breadwinner at the age of six when my grandfather died. As a teenager, he joined the Methodist missionaries, becoming one of the first African converts in the region. Those days the difference between Church and school was narrow. We didn’t know anything else out of school. Our mother, Hannah, is also very prayerful” In a political landscape where “small” communities are often sidelined in voting bloc arithmetics, Prof Kindiki has now raised the profile of his Tharaka-Nthi County in his quest to be Kenya’s second-in-command as court battles continue. ## Rough patch But it has not always been a smooth ride for the Deputy President-elect. For example, he paid the price for his close association with Dr Ruto, who was then a deputy president at odds with President Uhuru Kenyatta, which saw his senator colleagues pass a vote of no confidence on him as Deputy Speaker in 2020. Despite being a first-time legislator in 2013, he clinched the Majority leader’s seat in the senate and later served as the Deputy Speaker for three years before he was de-whipped in 2020. His chief accuser, then-Majority Whip Irungu Kang’ata, was a former student who sponsored the motion to bundle him out of office for skipping a parliamentary Group (PG) meeting convened by the party leader, Mr Kenyatta, at State House. Kang’ata told the House the action was important to ensure President Uhuru Kenyatta achieves his agenda and vision. Mr Kindiki’s defence was that he had changed phone numbers from one service provider to another and did not receive the invitation message, fell on deaf ears as he was accused of snubbing the president’s meeting at the height of the fallout between Mr Kenyatta and Mr Ruto, in the ‘Handshake’ era that had brought opposition leader Raila Odinga into the fold. Speaker after Speaker hyped praises on the Professor but told him bluntly that he was on the wrong side of history to associate with Dr Ruto. Former Elgeyo Marakwet Senator Kipchumba Murkomen, who had also been purged as Majority leader alongside side former Nakuru Senator Susan Kihika (now Governor), also voiced their concerns about the government side’s action. **Also Read: Kindiki allies: Our problem with Gachagua** But Prof Kindiki, while thanking his colleagues for the time he worked with them, sounded a warning. “Today, I stand here paraded before the whole Nation accused of misdeeds whose particulars have never been brought to my attention until now, despite me consistently asking for them. "There can be only two reasons for this travesty of procedural justice, namely, that these trumped-up charges are woefully baseless and that my case is a fait accompli- I must be removed by all means whatsoever, even by unconstitutional means,” he stated then. He added that “it took darkness for me to see the galaxy of stars strewn all over this nation” that abhors injustice. “This has given me great hope that our nation shall rise again. There is hope for Kenya,” he said. He concluded, “Those who think that I have made a mistake must understand that freedom includes the freedom to make mistakes. Today, Mr speaker, every Senator here present must decide for himself or herself if they will live in fear or live in freedom.” ## Stint at Senate Prof Kindiki spearheaded the legislative agenda of the Majority Party in the Senate navigating critical moments that made the Senate stand out, such as the consideration of the controversial Security (amendments) Law in 2014, the Elections (Amendment) Law and the Public Audit Law. As Deputy Speaker, he delivered grounded rulings that set precedence in the senate and strictly enforcing rules of procedure and parliamentary processes. His tentacles go beyond the legislative agenda, as he is also remembered as the first legislator who was on record, committing to the 20 per cent salary cut in line with then president Kenyatta and DP Ruto’s undertaking to state officers in a bid to manage the ballooning wage Bill, in their first term in office. In an unprecedented move, he wrote to the clerk Jeremiah Nyegenye, committing to the president’s directive. ## 'Unifier' His choice as Deputy President-elect to the second most powerful office is a culmination of the fallout between Dr Ruto and Mr Gachagua. Prof Kindiki is credited with the drafting of the much publicised Kenya Kwanza Alliance coalition agreement bringing together 14 political parties in 2022. He was also instrumental in the negotiations and legal drafting of the coalition between the now defunct National Alliance (TNA) of Kenyatta and the defunct United Republican Party (URP) of Ruto in 2012, resulting in the Jubilee coalition government. For over 24 years, he has accomplished a standing in the legal field, representing clients in the national and international courts and tribunals, notably, the legal counsel of President Ruto at the International Criminal Court (ICC) at The Hague, where he was facing crimes against humanity charges. His naming as the man to replace Mr Gachagua comes not as a surprise, but as a result of his loyalty and closeness to President Ruto, which has finally paid off after he was edged out at the last minute by Mr Gachagua as the running mate ahead of the 2022 presidential polls. Despite a lengthy selection process that favoured Prof Kindiki, Mr Gachagua ultimately emerged as Ruto’s choice and now coring the error. This saw Prof Kindiki publicly state that he would take a break from elective politics, but he made an immediate about-turn. He took up the task as the United Democratic Alliance (UDA) chief agent and would later land the powerful Interior ministry docket. His tenure has been marked by success and controversy with highlights including the fight against bandits in northwestern Kenya and police handling of Gen Z protests. Prof Kindiki attended Irunduni Primary School and then Lenana School before graduating with a law degree from the University of Nairobi. ## Academic history His life journey begins at Irunduni Primary school between 1980 and 1987 and later joined Lenana school, thereafter proceeding to graduate with a Bachelor of Law at Moi University. He pursued his Masters in the same field from the University of Pretoria, South Africa and earned his Phd in international law from the same university. He was a lecturer of law at Moi University between 2002 and 2003 and later at the University of Nairobi (UoN) from 20023 to 2011. At UoN, he also served as the Head of the Department of Public Law and Associate dean of the School of Law between 2007 and 2010. During his academic career, he was on various occasions a visiting lecturer at the University of Budapest, Hungary, the University of Sao Paulo in Brazil and his former university in South Africa. Prof Kindiki has published over 30 books and academic articles in peer-reviewed journals. Prof Kindiki’s contribution to the general philosophy of international law has been significant. As a PhD Student at the University of Pretoria, Prof Kindiki had argued for reforms at the UN Security Council as well as a change in the way humanitarian interventions were to be done to warzones. He wrote his thesis at a time the Organisation of African Unity (OAU) was transitioning to the African Union. It was titled: *Humanitarian Intervention in Africa: The Role of Intergovernmental Organisations*. The OAU was a Pan-African bloc that strictly campaigned for independence and unity of African states but never attempted to intervene in situations where state authorities themselves were massacring their people as had been witnessed in several countries during its time. In 2008 after the disputed presidential polls pitting President Mwai Kibaki and Opposition leader Raila Odinga, the National and Reconciliation Dialogue team, saw him appointed as the secretary for National cohesion, but he resigned to resume his first love: his teaching career. Prof Kindiki has been serving in the Interior docket for two years and was reappointed this year after the Cabinet was dissolved following the youth protests. At the start of Mr Gachagua’s impeachment, there was talk of Prof Kindiki being the next in line to replace him. Prof Kindiki had earlier received endorsement from at least a majority of elected leaders from the larger Mt Kenya region. *Additional reporting by Aggrey Mutambo*
https://nation.africa/kenya/news/politics/-gachagua-moves-to-court-to-overturn-impeachment--4797206
# High Court issues order stopping replacement of Rigathi Gachagua as DP The High Court has issued temporary orders stopping the replacement of Rigathi Gachagua as Deputy President until October 24, when the matter will be mentioned before a bench to be appointed by Chief Justice Martha Koome. The order was issued Friday by Justice Chacha Mwita, just moments after all 236 MPs in Parliament voted 'Yes' for DP nominee Prof Kindiki Kithure to replace Rigathi Gachagua. Justice Mwita further certified the petition by Mr Gachagua as raising substantial questions of law and public interest. He directed that the file be placed before CJ Koome for appointment of a bench, who will give further directions on the hearing of the case. “In the meantime, due to the issues raised in the petition and application, and the urgency demonstrated, a conservatory order is hereby issued staying implementation of the resolution by the Senate upholding the impeachment charges against the petitioner, the Deputy President of Kenya, including appointment of his replacement,” Justice Mwita said. Impeached DP Gachagua moved to court challenging the basis on which the Senate endorsed the charges for his removal, arguing that all the allegations were not substantiated or supported by an evidence. Through lawyer Paul Muite, Mr Gachagua further sought court orders to stop President William Ruto from nominating his successor, pending the determination of his case. Mr Gachagua has challenged the entire process that led to his removal arguing that the charges levelled against are baseless and the evidence tabled before Parliament was insufficient. "Unfounded and false allegations have been made against me in the impeachment motion before both houses. It would be in the interest of justice that such false information be corrected in line with the provisions of article 35 of the constitution," he said. “The National Assembly and the Senate conducted themselves in an unconstitutional manner and denied the applicant the right to fair hearing. His rights under Article 50(1) of the constitution were breached.” Mr Gachagua says the Senate was required by law to act as an impartial arbitrator in considering whether the charges before it have been substantiated or not. He maintains that the evidence relied on forming the basis for his impeachment was insufficient. Mr Gachagua had also sought an order blocking the National Assembly from vetting and approving the nomination of the person submitted by the president to fill the vacancy in the office of the Deputy President. "It would be prejudicial to my client to allow the respondents gazette his removal by way of impeachment in a manner that stands contrary to basic constitutional provisions before this petition is heard and determined," said Muite.
https://nation.africa/kenya/news/politics/the-chosen-one-all-236-mps-present-vote-yes-for-kindiki-to-replace-gachagua-as-dp-4797320
# The chosen one: All 236 MPs present vote 'Yes' for Kindiki to replace Gachagua as DP The National Assembly has approved the nomination of Prof Kindiki Kithure as Deputy President after all 236 MPs present voted yes, Speaker Moses Wetang'ula confirmed. There were no abstentions. "The vote is overwhelmingly Yes," Mr Wetang'ula said. Earlier, President William Ruto notified the National Assembly that he has nominated Prof Kindiki as Deputy President to replace Mr Rigathi Gachagua, who was removed from office by impeachment on Thursday, October 17. Prof Kindiki is the only Cabinet Secretary who has maintained the docket he was appointed to since September 2022 even after the Cabinet was dissolved and reconstituted this year. An Infotrak survey released recently on preferred candidates to replace Mr Gachagua had put Prof Kindiki ahead at 20 per cent, with five per cent throwing their weight behind Kirinyaga Governor Anne Waiguru. Prof Kindiki is considered non-antagonistic and having acceptability across the political divide. His long-standing relationship with President Ruto has been an advantage, having been his lawyer while he was facing charges at the International Criminal Court.
https://nation.africa/kenya/sports/judge-orders-release-of-university-don-s-car-in-athlete-agnes-tirop-murder-case-4797444
# Judge orders release of university don's car in athlete Agnes Tirop murder case The High Court in Eldoret has ordered detectives to release a university lecturer's car, which has been detained since last year in the ongoing case of the murder of celebrated international athlete Agnes Tirop. The court on Friday ordered homicide detectives to return the vehicle, linked to the murder of the late Tirop, to Moi University lecturer Miriam Rotich. Miriam’s husband is the elder brother of Ibrahim Rotich who is the main suspect in the athlete’s murder. Justice Robert Wananda told the university don that she was at liberty to take her vehicle, which formed part of the exhibits in the murder case facing her brother-in-law Ibrahim Rotich. "I have issued orders to the homicide detectives to return your vehicle on condition that you will avail it to the court when required to do so in the hearing of the late Agnes Tirop murder case," ordered Justice Ananda. The owner of the vehicle had told the court that the murder suspect had borrowed her car for an errand in Kitale Town, Trans Nzoia County on October 12, 2023. Little did she know that her brother-in-law wanted to use the vehicle to escape after stabbing his wife, the late international athlete at their Iten house on the night of October 13, 2023. The university don said that she was shocked to hear breaking news while watching TV in her house in Kesses area of Uasin Gishu County that Tirop, the 10,000 meters bronze medalist had been found dead in a suspected homicide at their Iten house in Elgeyo Marakwet County, and the athlete’s husband, who was her brother in-law Ibrahim Rotich, was missing. Mr Rotich who is accused of killing his wife, the Kenyan long-distance runner is said to have used the vehicle in his attempt to flee to the neighbouring country to evade justice. He was arrested by police in Mombasa, and detectives confiscated the vehicle after he was linked to the gruesome murder of his estranged wife. In her affidavit filed in court, the university lecturer told the Judge that she was ready and willing to avail her vehicle in court whenever required. “Your Lordship, I have filed an affidavit in the court requesting the release of my vehicle so that I can use it for my work at the university. I am ready and willing to avail it to this court when required,” the lecturer stated. Mr Rotich rammed the vehicle into a ditch, damaging it while trying to evade arrest by a team of police officers who were chasing after him in Mombasa. The officers swiftly moved into action after they were informed by their colleagues from Elgeyo Marakwet County about the suspect’s attempted escape to Tanzania. Already eight witnesses have testified in the murder case, including parents of the deceased, a sister, and a brother. State Counsel David Fedha said the prosecution intends to present 23 witnesses in the subsequent proceedings. The hearing will continue on November 5.
https://nation.africa/kenya/news/former-mps-opore-and-nkatha-dead--4797574
# Former MPs Zebedeo Opore and Beatrice Nkatha dead ## What you need to know: - Former MP for Bonchari Zebedeo Opore died at a hospital in Nairobi on Friday morning. - Beatrice Nkatha, a former Tharaka Nithi Woman Representative, also on Friday died. Two former legislators, Zebedeo Opore and Beatrice Nkatha, are dead. Opore, a former MP for Bonchari, died at a hospital in Nairobi on Friday morning, while Nkatha, a former Tharaka Nithi Woman Representative, also on Friday died. Opore once served as an Assistant Minister for Information and Broadcasting. According to Opore’s family, he had been in and out of hospital in the last one year. “’He died around 5am this morning. He succumbed after a long illness,” his last born son Robin Opore said. The former MP was born in 1947 and was to mark his 78th birthday on January 8 next year. Opore was first elected to represent Bonchari Constituency in the National Assembly in 1997. He later lost the seat to Mr Charles Onyancha. Although he reclaimed the seat in 2013, his stint was short-lived. He lost the seat six months later to his political nemesis, the late John Oroo Oyioka. This was after Oroo successfully filed a petition at the Kisii High Court. Oroo’s stay in Parliament was similarly short-lived with his victory being overturned by the court six months later. In subsequent elections and by-elections, Opore unsuccessfully contested the seat. Nominated Senator Essy Okenyuri eulogised the deceased lawmaker as a leader who championed the interests of the residents of Bonchari. "It is with profound sadness that I have learnt of the passing on of former Bonchari Constituency Member of Parliament, Zebedeo John Opore,” Ms Okenyuri said. The Senator said throughout his illustrious political career, Opore demonstrated unshakeable commitment to his constituents by championing their interests in and out of Parliament. "He held the deepest respect for both young and old. The people of Bonchari have lost a true champion while Kenya has lost a voice of reason. May he rest in peace,” she said. The deceased lawmaker was a holder of a Bachelors degree in Economics from the University of Nairobi and a Masters degree in Economics from the University of Bradford in the United Kingdom which he attained in 1982. Meanwhile, the late Nkatha, who served for two terms between 2013 and 2022, is reported to have passed while receiving treatment at Kiirua Mission Hospital in Meru. Nkatha's death was announced on Friday by the Kenya Women Parliamentary Association (Kewopa), which eulogised her as a visionary leader and a dedicated servant of the people. “Nkatha’s unwavering commitment to championing women’s rights, empowering communities, and promoting gender equality leaves behind a lasting legacy that will inspire generations to come. Her leadership and compassion will be deeply missed,” Kewopa said in statement.
https://nation.africa/kenya/counties/kericho/man-sentenced-to-probation-for-killing-wife-in-domestic-dispute-4797542
# Man sentenced to probation for killing wife in domestic dispute ## What you need to know: - The altercation between Mr Cheruiyot and his deceased wife arose over the alleged misappropriation of family finances. - During the dispute, Mr Cheruiyot struck the deceased, Jennifer Chelangat on the head with a cooking stick. The High Court in Kericho has set free a man who killed his wife and sentenced him to a three-year probation period after he was found guilty of manslaughter. The man, Joshua Kipkoskei Cheruiyot, was found guilty of unlawfully killing his wife, Jennifer Chelangat, alias Diana Chelangat, during a domestic altercation. In making his decision, Justice Joseph Sergon noted that Mr Cheruiyot was arrested on January 29, 2022, and was unable to meet the bail terms, which resulted in him remaining in remand for two years and seven months. “I have considered the circumstances of the offence, submissions in mitigation and have further considered the contents of the pre-sentence report filed by the county probation officer in respect of the accused person. In my view and the circumstances of this case, I find that a non-custodial sentence is appropriate. "Consequently, I hereby sentence the Accused namely: Joshua Kipkoskei Cheruiyot to serve three (3) Years on Probation under the supervision of the Kericho County Probation Officer,” the court said in its October 17, 2024 decision. The altercation between Mr Cheruiyot and his deceased wife arose over the alleged misappropriation of family finances. During the dispute, Mr Cheruiyot struck the deceased, Jennifer Chelangat on the head with a cooking stick. Later that evening, when they went to bed, Mr Cheruiyot noticed that his wife had become cold and still and it was evident that she had passed away. He promptly reported the incident at the local police station, where he was arrested. Mr Cheruiyot entered into a plea bargain agreement with the prosecution in which he pleaded guilty to the lesser charge of manslaughter and was convicted by the court. During the sentencing hearing, Mr Cheruiyot’s lawyer, Mr Morata, told the court that his client was deeply remorseful and regretted his actions. Mr Morata emphasized that the incident was not premeditated and had been triggered by provocation during the quarrel. He went on to tell the court that Mr Cheruiyot was willing to undergo the traditional cleansing rites to atone for his actions. He sought a non-custodial sentence for him to be able to care for his two children with the deceased and his aged grandmother. In the pre-sentencing report that the court had requested it was noted that the families of Mr Cheruiyot and the deceased had reconciliation talks and the hatred that arose from the killing had subsided. The prosecutor Mr Musyoki, acknowledged that Mr Cheruiyot did not have any previous criminal record and that he was a first-time offender. However, he argued that a custodial sentence would be more appropriate to reflect the severity of the offense, gender-based violence. Justice Sergon sentenced Mr Cheruiyot to probation under the supervision of the Kericho County Probation Officer.
https://nation.africa/kenya/news/keroche-heiress-tecra-muigai-s-death-ruled-murder-4797216
More than four years after the high-profile death of Keroche Breweries heiress Tecra Mungai, an inquest has dismissed her boyfriend Omar Lali's defence as unreliable and accused him of causing her death. Senior Principal Magistrate Zainab Abdul noted that Tecra and Mr Lali were the only ones in the house in Lamu on April 23, 2020, when she allegedly fell and injured herself. However, the magistrate dismissed claims that Tecra fell on the stairs and sustained head injuries that led to her death. Ms Abdul said the post-mortem and medical reports presented to her showed the injuries were inconsistent with a fall as they were severe and damaged her brain. "It is my finding that Omar Lali is criminally responsible for the murder of Tecra. Therefore, this court recommends to the DPP (Renson Ingonga) that a charge be laid under Section 157 of the Constitution," Ms Abdul said. Mr Lali had claimed that Tecra was drunk and fell down the stairs of her flat in Shela, Lamu County. But the court said the reports and testimony of doctors contradicted the claims and showed that the daughter of Nakuru Senator Tabitha Karanja, whose family owns Keroche Breweries, was hit with a blunt object. Testifying at the inquest, chief government pathologist Dr Johansen Oduor said there were skull fractures that were unlikely to have been caused by a single blow and ruled out a fall from the stairs as the cause of the injuries. Mr Lali's brother, Quswai Lali, told how he rushed to the flat and allegedly found her lying on the stairs facing up. Mr Quswai said he found Tecra unconscious and tried unsuccessfully to administer first aid before they rushed her to a nearby dispensary and she was transferred to King Fahad Hospital. The magistrate said that the doctors' reports indicated that Tecra had sustained serious injuries, including a fractured skull, which were not consistent with a fall. Tecra was flown to Nairobi but died on 2 May 2020. The magistrate said there were inconsistencies in Mr Lali's account of what happened on the day in question when compared with the findings of the post-mortem examination and the doctor's reports. Witnesses who testified at the inquest claimed that Lali used charms to lure women. Tecra's elder brother, James Karanja, told the magistrate how he was shocked when he first met Mr Lali in 2019 because their sister was very protective of the man. Mrs Karanja also recounted how her daughter used to send money to Mr Lali, sometimes as much as Sh100,000 in a month. Other witnesses also told of constant fights between Mr Lali and Tecra. Mr Lali was due to be charged with murder in 2020, but DPP Noordin Haji withdrew the charge and called for an inquest to determine the cause of Tecra's death. The court was told that only two people were present at the time of the incident. The court found that the alleged fall could not have caused such severe brain damage as was found in the post-mortem report.
https://nation.africa/kenya/health/more-women-being-sexually-abused-by-their-partners-shows-survey-4797472
# More women being sexually abused by their partners, shows survey ## What you need to know: - The survivors expressed frustration and lack of support when seeking formal services. One in four women surveyed across four counties reported experiencing physical, sexual, or emotional abuse from their partners. The survey, conducted by Performance Monitoring for Action, Agile 2 in collaboration with the Ministry of Health, covered Bungoma, Kakamega, West Pokot and Kiambu counties. It revealed that out of about 4,000 women in four counties - 40 per cent - reported a form of violence from their partners. Most of the women from the 23,588 households were aged 15 to 49 years and married at the time of the survey. In Kakamega, 50 per cent of the 799 women surveyed reported sexual abuse. In Bungoma, 47 per cent of the 820 women reported abuse, while in West Pokot, 43 per cent of the 899 women surveyed experienced abuse. In Kiambu, 25 per cent of the 803 women reported cases of violence. “When he requests for sexual intercourse and you are not in the mood, he insults you and asks: “do you know I paid dowry for you?” So, you are forced to do it unwillingly. If you are hesitant, he can even beat you up,” says a 27-year-old responder from, West Pokot. The report collected between May and July 2024 reported that 47 per cent of the respondents reported sexual harassment, with 34 per cent saying someone made unwanted sexual comments, jokes or gestures toward them. Thirty eight per cent reported that someone stared at them suggestively while 21 per cent said someone touched them in a way that made them feel uncomfortable. Kakamega County led with 54 per cent of women experiencing sexual harassment followed by Kiambu at 47 per cent, Bungoma at 44 per cent and West Pokot at 30 per cent. According to the Kenya Demographic Health Survey, 2022, 34 per cent of women ages 15-49 have experienced physical violence since age 15. The government has committed to ending gender-based violence (GBV) by 2026 as part of its global co-leadership of Generation Equality’s Action Coalition, and Kenya has a robust legal framework surrounding gender-based violence, with myriad laws that, if effectively enforced, could significantly reduce such violence. However, even with glaring numbers, less than one in four survivors sought help from formal services, with West Pokot leading in the number of women seeking help. In the county, only 13 per cent sought help in shelter services, five per cent from police, traditional healers 11 per cent, legal three per cent, medical services 23 per cent and counselling 19 per cent. In Kakamega County, seven per cent sought help in shelter services, two per cent from police, traditional healers two per cent, three per cent sought help legally, medical services 12 per cent and counselling 16 per cent. In Bungoma, three per cent sought help in shelter services, four per cent from police, traditional healers one per cent, legal two per cent, medical services nine per cent and counselling seven per cent. In Kiambu County, three per cent sought help in shelter services, two per cent from police, traditional healers one per cent, none sought legal help, medical services six per cent and counselling four per cent. The survivors expressed frustration and lack of support when seeking formal services, with the majority of the women citing a lack of trust in police and healthcare services for GBV response. Only about a quarter of survivors sought help from a formal service, with medical services, followed by counselling being the most common services sought. Another respondent reported: “I believe that if 72 hours have not elapsed, you can be helped in case you have contracted a disease. But when I reached the hospital, they told me it was a police case and that I must involve them. I was directed to the police station, where the officers told me to go back to the hospital, then later return home. I excepted to be helped further. But imagine you walk around and see this person who sexually abused you walking freely. Nothing has been done to him. This hurts a lot.” “Lack of trust and support in service providers continues to be a barrier for women seeking formal help. Only a quarter of survivors spoke informally with another person about their experience,” said Prof Michele Decker while presenting the study findings. She said the data was important since there was a need to understand issues in order to programme policies that are responsive in the space. Overall, only 21 per cent of respondents had confidence in police services for GBV, with Kakamega and West Pokot recording a tie of 22 per cent and Kiambu and Bugoma counties at 21 per cent. “Some police officers will want to sleep with you so they can help you. If if you refuse, you continue to suffer. You eventually give up seeking justice,” said a 33-year-old participant. Another respondent from Kakamega said: “When doctors ask you what happened, you lie that you hit yourself because if you say that your husband beat you up,, it’s shameful and the doctors might laugh at you.” The survey also indicated that overall, 30 per cent of women experienced technological abuse, with 17 per cent reporting that their partners looked at their phones without their permission, 17 per cent were repeatedly asked where they were or what they were doing through texts, with four per cent forced to reveal their M-Pesa details, password or history on their phones.
https://nation.africa/kenya/counties/nakuru/one-dead-six-luxury-cars-damaged-after-vehicle-haulier-overturns-in-mai-mahiu--4797312
# One dead, six luxury cars damaged after vehicle haulier overturns in Mai Mahiu One person has died and another seriously injured after a vehicle haulier trailer rolled multiple times at the Mai Mahiu escarpment, damaging six luxury vehicles. The damaged vehicles, consisting of four Mercedes Benzes and two Toyota Land Cruisers, were en route to Uganda. The trailer's driver lost control, plunging the vehicle approximately 60 metres down a cliff in an area known as C-corner. The accident caused a traffic snarl-up lasting more than three hours as traffic police worked to tow the vehicles from the scene. Kiambu County Traffic Enforcement Officer Jacob Mutunga confirmed the incident and urged motorists to exercise extra caution when using the Northern Corridor due to its narrowness. Mr Mutunga explained that the haulier, headed toward Mai Mahiu town, lost control while navigating the sharp turn, resulting in the death of a turn boy and damage to the luxury vehicles. Witnesses reported that the driver appeared to struggle with steering before the trailer overturned and rolled down the escarpment. Emergency responders and police officers arrived at the scene shortly after the accident. Local residents are now urging the Kenya National Highways Authority to urgently the expansion of the Kamandura-Mai Mahiu road and restore guardrails, which were previously vandalised.
https://nation.africa/kenya/counties/kilifi/61-year-old-who-lost-six-family-members-in-shakahola-says-mackenzie-has-crippled-him-4797614
# 61-year-old who lost six family members in Shakahola says Mackenzie has ‘crippled’ him ## What you need to know: - Mr Ngala married Emily Wanje in 2017 and had three children, while Ngonyo had a wife he did not introduce to his father. - Unknown to Mr Ngandi, while he focused on farming, his family began joining Mackenzie’s church, which led to significant changes in their lives and beliefs. ‘Paul Mackenzie, you have crippled me and left me with no leg to stand on. My two sons are now dead, lying in the morgue and can no longer support me as they once did,” a witness told the court in the Shakahola murder trial. These were the words of Mr Titus Ngonyo Ngandi, who lost six family members in the Shakahola massacre that claimed over 429 members of the Good News International (GNI) church, associated with Mr Mackenzie. The 61-year-old addressed Mr Mackenzie directly in Mombasa Court while testifying against him and his 95 co-accused, all facing 238 manslaughter charges. “What you did to me, Mackenzie, felt like you shattered all my hands,” he told Chief Magistrate Alex Ithuku. Mr Ngandi lost his wife, Esther Bahati Masha, his sons Isaac Ngala and Harry Ngonyo, daughter-in-law Emily Wanje, and two grandsons in the tragic events. Mr Ngala had served as a General Service Unit (GSU) officer attached to the Anti-Stock Theft Unit since 2011, while Ms Masha was an active hawker at White Elephant Beach. The family attended Calvary Worship Centre Muyeye, where Ngonyo played keyboard and was studying a shipping-related course in Mombasa. **Also Read: Tearful teen tells of forced conversion to Christianity and pain of losing mother to Shakahola cult** All was well in Ngandi’s family until his wife joined the GNI at Furunzi. “She was the first to join the church, she then influenced and recruited Ngala and Ngonyo. This was in the year 2018, and it was the same time that Ngonyo dropped out of college,” he told the court while being led by Assistant Director of Public Prosecutions Jami Yamina. Mr Ngandi's troubles began in 2015 when he bought agricultural land in Kamale and moved there in 2018, leaving his family in Muyeye. “I would visit them briefly and communicate with Ngonyo, who assured me he was doing well in school,” he said. Mr Ngala married Emily Wanje in 2017 and had three children, while Ngonyo had a wife he did not introduce to his father. Unknown to Mr Ngandi, while he focused on farming, his family began joining Mackenzie’s church, which led to significant changes in their lives and beliefs. Upon returning home one day, Mr Ngandi was shocked to find Ms Masha preparing to leave. “I asked where she was going, and she said to church,” he recalled, struggling to hold back tears. “I expected her to welcome me, but she was in a hurry,” he added. His wife’s rush puzzled him, given their church, Calvary, was nearby. When he confronted her, she told him she was going to Malindi GNI and hurriedly served him tea before leaving. “Her behavior changed drastically after joining the church. She prayed almost all the time, even at odd hours,” he said as he was being led by a team of prosecutors comprising Victor Owiti, Betty Rubia and Hillary Isiaho. Mr Ngandi testified that Masha began spreading the belief that children should not receive formal education, which strained their relationship with the neighbours. “I tried to talk to her, but she was adamant, so I returned to Kamale,” he said. It was during this time he learned Ngonyo had dropped out of college and became an active GNI member, even being appointed as a caretaker for one of Mackenzie’s plots. In 2019, Masha visited Kamale and spread Mackenzie’s teachings, urging villagers to keep their children out of school and abandon formal employment and to burn all government-issued documents, including academic certificates and Huduma numbers. “I became concerned and faced issues with the community because of her beliefs. I eventually chased her away after she caused tension among the villagers,” he explained while being cross examined by Mackenzie’s lawyer Lawrence Obonyo. Despite Masha’s apologies, Mr Ngandi found out she had recruited neighbours and relatives into the cult. In a bid to change the situation, he visited his home in Muyeye more frequently, but his efforts were in vain. In December 2020, Masha,54, visited him again at Kamale , but he later discovered that she had brought all his belongings. In early 2021, he received a call from his neighbour, informing him that his home in Muyeye had been deserted. “The house was deserted, and I couldn’t reach my wife or sons by phone. They had all disappeared. All household items, including beddings, farm tools were missing,” he said, recounting the heartache of that moment. His efforts to trace them bore no fruits. In September 2022, Ms Masha called from an unfamiliar number, asking for help contacting Ngonyo, but communication ceased soon after. On March 6, 2023, Ngonyo visited his father to share the news of the arrival of his grandson, who had just been born. “We talked for about 40 minutes. He appeared very weak, contrary to his normal appearance. He explained that he was facing hard economic times, which is why he looked so weak, and then he left,” he said. Just weeks later, on March 18, Mr Ngandi received devastating news from his second son, William Ponda, about their family’s fate in Shakahola. “He told me that all the family members who went missing are at Shakahola and that two of my grandsons have been found dead and buried,” he recounted in court. As bodies were being exhumed and victims rescued from the forest were being brought to the hospital for treatment, he checked and found none of his family members. His DNA samples were then taken. “Both Ngala and Ngonyo died in the forest. I also buried my wife and daughter-in-law this year,” he told the court. In this case, Mackenzie and his 95 co-accused persons are facing charges of manslaughter, accused of killing 238 people in the Shakahola forest.
https://nation.africa/kenya/news/politics/making-of-an-epic-court-battle-as-gachagua-fights-for-his-job--4797500
An epic legal battle is in the offing as Rigathi Gachagua obtained a court order suspending any plans to replace him as the Deputy President. High Court judge Chacha Mwita, sitting in Nairobi, issued temporary orders, stopping the replacement of Rigathi Gachagua as the Deputy President until October 24 when a case he has filed will be mentioned before a bench of judges to be appointed by Chief Justice Martha Koome. In Kirinyaga, Justice Richard Mwongo said certified the case filed by David Munyi and two others as urgent and stopped Prof Kithure Kindiki from assuming office. The judge also directed the matter to be mentioned on October 24. Justice Mwita certified the petition by Mr Gachagua as raising substantial questions of law and public interest and directed the file to be placed before Chief Justice Koome for appointment of a bench, who will give further directions as to the hearing of the case. “The in the meantime, due to the issues raised in the petition and application, and the urgency demonstrated, a conservatory order is hereby issued staying implementation of the resolution by the Senate upholding the impeachment charges against the petitioner, the Deputy President of Kenya, including appointment of his replacement,” Justice Mwita said. The court issued the order even as National Assembly proceeded with the vote to endorse the nomination of Prof Kithure Kindiki as Mr Gachagua’s replacement. Mr Gachagua moved to court challenging the basis on which the Senate endorsed the charges for his removal, arguing that all the allegations were not substantiated or supported by an evidence. He further argued through senior counsel Paul Muite that the Senate failed to conduct public participation, despite a directive by the High Court that the exercise be conducted at the constituency level. “The National Assembly and the Senate conducted themselves in an unconstitutional manner and denied the applicant the right to fair hearing. His rights under Article 50(1) of the constitution were breached,” he submitted. Mr Gachagua wants the court to consider several issues including whether a motion for the removal of the Deputy President through impeachment can validly be prosecuted in the Senate without public participation. ## Extraneous matters He further wants the court to determine whether Parliament should have considered new and ‘extraneous matters’ that were not raised in the special motion tabled before National Assembly. “What is the standard and mode of public participation that ought to be attained to support an impeachment motion against a democratically elected Deputy President, in the face of a motion that relies on fabricated evidence of public participation?” he posed. Mr Gachagua rushed to court arguing that the vacancy in the office of the deputy president may be gazetted and a new DP sworn in, rendering his petition useless. “There has been demonstrated urgency to remove the deputy president from office and install another person, which may be done hurriedly with a view to frustrating the Deputy President, hence the urgency to hear this petition and the application,” Mr Muite said. Five had been filed by Friday afternoon, challenging the removal of Mr Gachagua as the Deputy President. Sheria Mtaani na Shadrack Wambui said in the petition that there were massive violation and mutilation of the Constitution by the Senate proceeded with the trial even after Mr Gachagua was taken ill and asked for the adjournment. The lobby and the lawyer state in their petition that Gachagua was not given an opportunity to defend himself on the 11 charges filed against him by Kibwezi West MP Mwengi Mutuse who introduced the impeachment motion in the National Assembly last week. Mr Mutuse said Mr Gachagua was taken ill and admitted at the Karen Hospital on October 17, 2024 when he was scheduled to defend himself against the allegations of gross misconduct and corruption. In the case filed under a certificate of urgency by lawyer Danstan Omari the petitioners claim the Senate breached the Constitution when it validated the resolution of Parliament to remove Gachagua from office. High Court judge Lawrence Mugambi ruled that the matter raises substantial issues of law necessitating the appointment of an uneven number of judges to hear and determine. “I therefore direct that this file be placed before the Honourable Chief Justice for consideration of empanelment of a bench,” the judge said. Another petition filed by 32 petitioners also sought orders stopping the replacement of Mr Gachagua until the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) is constituted. It is their argument through lawyer Kibe Mungai that the 14-day period within which the President shall nominate the deputy president is to enable the IEBC to confirm whether the nominee qualifies to serve in the position. He further said the 60-day period is also to enable the National Assembly to undertake public participation in the 290 constituencies, before the nominee assumes office. “The petitioners contend that in the absence of a duly constituted electoral body, President William Ruto cannot lawfully appoint a replacement of Rigathi Gachagua as deputy president who is qualified under Articles 99 and 137 of the Constitution,” Mr Mungai said. The petitioners added that the impeachment of Mr Gachagua was undertaken contrary to the Constitution and rules of natural justice, which was compounded by political betrayal, deceit, vendetta and malice of President Ruto and aided and abetted by Parliament. “The removal of the 2nd respondent (Mr Gachagua) from office is an act of political deceit, vendetta and betrayal of the 2nd respondent and the people of Mount Kenya region,” the petitioners said.
https://nation.africa/kenya/counties/tharaka-nithi-/residents-of-irunduni-home-of-prof-kithure-kindiki-celebrate-his-pick-as-dp-4797414
# Residents of Irunduni, home of Prof Kithure Kindiki, celebrate his pick as DP *By David Muchui, George Munene and Stephen Munyiri* Celebration rocked Irunduni village in Tharaka-Nithi County following the nomination and approval of Interior Cabinet Secretary Kithure Kindiki as the Deputy President. Overjoyed neighbours flocked Prof Kindiki's home and broke into song and dance, while thanking president William Ruto for his choice. Mukothima MCA Nyaga Marengo said the nomination of CS Kindiki was historic for the community. "We thank the president for fulfilling his promise to work closely with Prof Kindiki. The nomination to the position of deputy president is a sign of his confidence in his performance. It is unfortunate that Rigathi Gachagua failed to work well with the president," Mr Marengo said. North Imenti MP Rahim Dawood praised Prof Kindiki as a hard-working and dedicated leader. "This appointment is a reflection of unwavering dedication, exemplary leadership, and trust that the nation has placed in your abilities," Mr Dawood said. ## Mixed reception Meanwhile, the impeachment of Rigathi Gachagua and his replacement with Prof Kindiki was received with mixed reactions in the Mt Kenya region. Despite the impeachment of the DP, there was unusual calm in Mr Gachagua's home area of Mathira where he has a huge following, having been MP from 2017 to 2022 before rising to become second in command. In Nyeri, The New Democrats (TND) party leader Thuo Mathenge asked the president not to isolate the Gikuyu community in his economic plans now that Mr Gachagua is out, adding that he had no issue with the president’s new appointee. “We, however, cry for our brother Rigathi Gachagua. We condole with his family for his illness as we ask the president to provide enough security for him because we don’t want anything bad to happen to him,” he said. But David Nderitu, a resident of Nyeri Town, told *Nation.Africa* that he was dissatisfied with the impeachment process because it appeared to be a planned plot. Wahome Marangi, a businessman in Nanyuki, reckons the nomination of Prof Kindiki will disturb the unity of the mountain. “We love Prof Kindiki as our son who is not tainted by corruption. If he would allow me to advise him, I would tell him to decline taking up the Deputy President position and stick to his ministerial docket to avoid soiling his clean name,” said Mr Marangi.
http://www.mwananchi.co.tz/mw?utm_source=menu&utm_medium=drop_down
### Uraia pacha unavyowakwamisha Watanzania kuwekeza nyumbani Leo naendelea na somo la katiba kwa dhima ya mtunga katiba. Japo Katiba ya Tanzania imetoa haki mbalimbali, haki kuu kuliko haki zote, ni haki ya uraia, hii haki ya uraia, ni haki ya msingi...
https://mwanaclick.com
You need to enable JavaScript to run this app.
http://www.mwananchi.co.tz/mw
### Uraia pacha unavyowakwamisha Watanzania kuwekeza nyumbani Leo naendelea na somo la katiba kwa dhima ya mtunga katiba. Japo Katiba ya Tanzania imetoa haki mbalimbali, haki kuu kuliko haki zote, ni haki ya uraia, hii haki ya uraia, ni haki ya msingi...
http://www.mwananchi.co.tz/mw/search
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Subscribe for a month to get full access
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account
Dhibiti akaunti yako Maelezo ya kibinafsi Badilisha neno la siri Uliyonunua Imesasishwa kwa mafanikio. Name Jina linahitajika Surname Email address Barua pepe inahitajika Tafadhali tumia barua pepe halali Phone Number Tafadhali tumia namba sahihi ya simu I would like NMG to notify me about news, events and promotion Sasisha Current Password NenoLasiri linahitajika Neno Nenosiri lazima liwe na angalau herufi 6 New Password Nenolasiri linahitajika Nenosiri lazima liwe na angalau herufi 6 Confirm Password Maneno ya siri hayalingani Badilisha neno la siri Hakuna ununuzi Tafadhali Ingia
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account#maelezo-ya-kibinafsi
Dhibiti akaunti yako Maelezo ya kibinafsi Badilisha neno la siri Uliyonunua Imesasishwa kwa mafanikio. Name Jina linahitajika Surname Email address Barua pepe inahitajika Tafadhali tumia barua pepe halali Phone Number Tafadhali tumia namba sahihi ya simu I would like NMG to notify me about news, events and promotion Sasisha Current Password NenoLasiri linahitajika Neno Nenosiri lazima liwe na angalau herufi 6 New Password Nenolasiri linahitajika Nenosiri lazima liwe na angalau herufi 6 Confirm Password Maneno ya siri hayalingani Badilisha neno la siri Hakuna ununuzi Tafadhali Ingia
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account#badilisha-neno-la-siri
Dhibiti akaunti yako Maelezo ya kibinafsi Badilisha neno la siri Uliyonunua Imesasishwa kwa mafanikio. Name Jina linahitajika Surname Email address Barua pepe inahitajika Tafadhali tumia barua pepe halali Phone Number Tafadhali tumia namba sahihi ya simu I would like NMG to notify me about news, events and promotion Sasisha Current Password NenoLasiri linahitajika Neno Nenosiri lazima liwe na angalau herufi 6 New Password Nenolasiri linahitajika Nenosiri lazima liwe na angalau herufi 6 Confirm Password Maneno ya siri hayalingani Badilisha neno la siri Hakuna ununuzi Tafadhali Ingia
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account#uliyonunua
Dhibiti akaunti yako Maelezo ya kibinafsi Badilisha neno la siri Uliyonunua Imesasishwa kwa mafanikio. Name Jina linahitajika Surname Email address Barua pepe inahitajika Tafadhali tumia barua pepe halali Phone Number Tafadhali tumia namba sahihi ya simu I would like NMG to notify me about news, events and promotion Sasisha Current Password NenoLasiri linahitajika Neno Nenosiri lazima liwe na angalau herufi 6 New Password Nenolasiri linahitajika Nenosiri lazima liwe na angalau herufi 6 Confirm Password Maneno ya siri hayalingani Badilisha neno la siri Hakuna ununuzi Tafadhali Ingia
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari
PRIME Undani miongo saba ya mishemishe Soko la Feri Inaelezwa kuwa umri wa soko maarufu la samaki jijini Dar es Salaam (Feri) ni miaka 74 na kilichobadilika ni wingi wa watu, majengo mapya na jina tu, lakini mishemishe za wavuvi na wengine... Wapemba waliobadili majina wahangaika kupata uraia wa Kenya Uamuzi huo uliifanya jamii ya Wapemba kuwa moja ya makabila yanayotambuliwa rasmi na kuwaletea fursa ya kupata vibali muhimu kama vitambulisho vya kitaifa na vyeti vya kuzaliwa kwa ajili ya... Trump kutimua wahamiaji Wakenya 30,000 Marekani? Mpango huu pia unahusisha kutumia vikosi vya kijeshi kusaidia utekelezaji wa sera za uhamiaji, jambo ambalo limeibua mjadala mkali nchini Marekani.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/michezo
Man United yatua kwa nyota wa Sporting Baada ya kumnasa kocha Ruben Amorim, Manchester United ipo kwenye mazungumzo na Straika wa Sweden, Viktor Gyokers anayekipiga Sporting CP ya Ureno.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/kolamu
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Subscribe for a month to get full access
http://www.mwananchi.co.tz/mw/picha
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Subscribe for a month to get full access
http://www.mwananchi.co.tz/mw/video
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Subscribe for a month to get full access
http://www.mwananchi.co.tz/mw/toleo-maalum
### Mikakati ya GBT katika mapambano dhidi ya mashine haramu za sloti ‘Dubwi’ Michezo ya kubahatisha inajumuisha michezo ya aina mbalimbali ikiwemo Bahati Nasibu ya Taifa, kasino, michezo ya kubashiri matokeo (sports betting), michezo inayotumia jumbe fupi (SMS Lottery) na...
http://www.mwananchi.co.tz/mw/zanzibar
### Othman: Serikali ina wajibu kueleza ukweli vifo vyenye utata Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud amezifariji familia zilizopoteza vijana wao katika vifo vyenye utata, huku akizitaka kuwa na subra kwani serikali inao wajibu kutafuta ukweli...
http://www.mwananchi.co.tz/mw/ajira
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Subscribe for a month to get full access
http://www.mwananchi.co.tz/mw/notisi
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Subscribe for a month to get full access
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa
PRIME Undani miongo saba ya mishemishe Soko la Feri Inaelezwa kuwa umri wa soko maarufu la samaki jijini Dar es Salaam (Feri) ni miaka 74 na kilichobadilika ni wingi wa watu, majengo mapya na jina tu, lakini mishemishe za wavuvi na wengine... Wapemba waliobadili majina wahangaika kupata uraia wa Kenya Uamuzi huo uliifanya jamii ya Wapemba kuwa moja ya makabila yanayotambuliwa rasmi na kuwaletea fursa ya kupata vibali muhimu kama vitambulisho vya kitaifa na vyeti vya kuzaliwa kwa ajili ya... Trump kutimua wahamiaji Wakenya 30,000 Marekani? Mpango huu pia unahusisha kutumia vikosi vya kijeshi kusaidia utekelezaji wa sera za uhamiaji, jambo ambalo limeibua mjadala mkali nchini Marekani.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kimataifa
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Subscribe for a month to get full access
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/biashara
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Subscribe for a month to get full access
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/makala
Sababu za ufaulu kuimarika Zanzibar Kwa mujibu wa Waziri Lela, jumla ya madarasa 2,738 yamejengwa na shule za ghorofa 35 kwa kipindi cha miaka minne huku madarasa mengine mapya 2,037 ikiwemo shule 26 za ghorofa na shule za kawaida... Washauri mfumo wa elimu unaohimili majanga Afrika Profesa Mkenda anaeleza kuwa Tanzania tayari imeanzisha mtalaa mpya unaolenga kuwapatia wanafunzi ujuzi wa vitendo, hasa kupitia mafunzo ya ufundi, ili kuendana na mahitaji ya soko la ajira. PRIME 161,020 wakacha mtihani kidato cha nne Hii ni changamoto inayoonekana wazi, hasa kwa vijana walio na umri wa kwenda shule ambao badala ya kuwa darasani wanajishughulisha na kilimo, ufugaji, au biashara ndogo kama kuendesha bodaboda. PRIME Bima ya Sh130 milioni ilivyotumika kuokoa maisha ya watoto njiti Wazazi wengi nchini Tanzania, wanaotumia mamilioni ya fedha kuokoa uhai wa watoto waliozaliwa kabla ya wakati PRIME Tafakari haya unapotafuta msaidizi wa kulea wanao Kwa jumla, msichana wa kazi ndiye mtu anayetumia muda mwingi kukaa na mtoto kuliko mtu mwingine yeyote kwenye familia. PRIME Hizi hapa tabia zitakazokuwezesha kuwa na furaha maishani Wapo ambao mtazamo wao ni kwamba ili uwe na furaha lazima uhakikishe una pesa nyingi. Watu wa namna hii mali na ukwasi ndio chanzo kikuu cha furaha PRIME ‘Nizalie nitakuoa’ neno lililozima ndoto za wengi Upofu huu umeathiri mabinti wengi mijini na vijijini, wakubwa kwa wadogo, huku kauli ‘nizalie nitakuoa’ ikizima ndoto zao. PRIME Hekaya za Mlevi: Sasa imbeni “miskanka mishisha”... Waswahili waliposema “Pombe siyo maji” hawakukosea hata kidogo. Ilitokea siku moja tukitayarisha mazishi ya rafiki yetu aliyetutoka siku moja kabla. PRIME Mambo matano yanayoharibu ubongo wa mtoto Afya bora kwa mtoto inachangiwa na mambo mengi, ikiwamo chakula bora, usafi wa mwili na mazingira anayoishi. Vyote hivyo ni msingi mzuri wa hatua ya makuzi ya mtoto. Namna ya kumsaidia kijana balehe kushinda hisia Kipindi cha mpito cha ukuaji kutoka utoto kuelekea utu uzima, hutafsiriwa kama rika balehe. Huu ni muda ambao mhusika siyo mtoto wala mtu mzima kibiolojia, wala hajakomaa kihisia. Athari za kisukari kisichodhibitiwa Ugonjwa kisukari unaweza kuwa chanzo cha magonjwa mengine endapo mgonjwa hatofuata maelekezo anayopewa na wataalamu wa afya. Sh34 bilioni kuboresha huduma ya afya Serikali ya Uingereza ni mmoja wa washirika wa maendeleo wanaochangia Mfuko wa Kusaidia Sekta ya Afya kwa mujibu wa makubaliano ya awali kati ya Tanzania Nchi 16 zakutana Tanzania kujadili ubora wa elimu Imeelezwa kuwa, miaka ya karibuni kumekuwa na mabadiliko yanayojitokeza katika mifumo ya elimu yakisababishwa na majanga hivyo ni muhimu kwa nchi kuwa na hatua za tahadhari Sababu Serikali kuifumua sera ya sayansi, teknolojia Wizara wa Elimu, Sayansi na Teknolojia imeanza mchakato wa kufanyia maboresho ya Sera ya Sayansi na Teknolojia, ambapo wadau wenye maoni wametakiwa kuyawasilisha kwa ajili ya uchambuzi. PRIME Yafahamu masaibu wanayopitia walimu shule binafsi Unatambua kuwa walimu shule binafsi wanafanya kazi katika mazingira magumu ikiwamo kukosa kinga na usalama wa ajira zao? Mfahamu binadamu wa kwanza kubuni emoji Matumizi ya emoji katika mawasiliano yamekua yakifanyika kila kukicha. Utumiaji wa emoji hizo kawaida ni njia ya kuwasilisha hisia katika mawasiliano. Jiulize tangu siku ianze umetumia emoji mara... PRIME ONGEA NA ANTI BETTY: Mke wangu ananidai mimba mpaka nakosa amani Anti habari, pole na majukumu. Mke wangu nimemuoa huu mwaka wa saba, kwa bahati mbaya hatujabahatika kupata mtoto, mwenzangu ana mtoto aliyezaa kabla ya uhusiano wetu. Changamoto ndiyo imeanzia... PRIME Simulizi ya Kanali Kipingu alivyomuoa mtoto wa ‘mwenye nyumba’ Wakati huo hakuwa na nyumba wala gari, alikwenda kama alivyo na kueleza hisia zake kwa binti wa mwenye nyumba na kumuomba akubali kumuoa. Kuficha ‘makucha’ kwenye uchumba kunavyotesa ndoa nyingi Juma Manyama alianza kusali kwenye moja ya makanisa kwa lengo la kuonekana kwa Happiness naye ni mcha Mungu, ili iwe rahisi kwake kuanzisha uhusiano naye. Hekaya za Mlevi: Kicheko kikizidi hugeuka kilio Kuna kijana mwenzetu alipata shida sana wakati ule tukiwa shuleni. Yeye hakuwahi kukasirika wala kugombana na mtu, bali alitumia muda mrefu kusikiliza stori na kucheka hata kama stori hizo...
http://www.mwananchi.co.tz/mw/notisi/zabuni
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Subscribe for a month to get full access
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account/subscribe
### Account Subscribe # Subscribe Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Hello Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. ## Nation.Africa For corporate packages please contact us directly. Call +254(0)20-328-8033 # Forgot your password? Please fill in your email address. ### You can also pay using **Lipa na MPESA** by using the following instructions: 1. Go to the M-PESA menu 2. Select Lipa na M-PESA 3. Select the **Paybill** option 4. Enter business number: 5. Enter your account number: 6. Enter the amount: 7. Enter PIN and press OK to send 8. You will receive a confirmation SMS with your payment ## Kwa nini ujisajili? Asante kwa kujiunga nasi! Dhamira yetu Mwananchi ni kukuwezesha msomaji wetu kupitia uandishi huru wa kina unaoakisi dunia yako. Unapoendelea kutuamini, unatuwezesha kutekeleza dhima yetu ya Kuwezesha Taifa. Tupo kwa ajili yako! Kwa taarifa ama msaada zaidi, wasiliana nasi kupitia [email protected] ama +255 754 780 647. ## That's it. You are all set! Thank you for becoming part of our journey. You will be redirected back to the article in ** seconds ** ### We have noticed that the amount you paid is less than the expected total amount. Your payment has been received, but there is an outstanding balance. Please follow the following instructions to clear the balance. 1. Go to the M-PESA menu 2. Select Lipa na M-PESA 3. Select the **Paybill** option 4. Enter business number: 5. Enter your account number: 6. Enter the amount: 7. Enter PIN and press OK to send 8. You will receive a confirmation SMS with your payment
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/rais-samia-hatutasita-kubomoa-kariakoo-yote-4830532
# Rais Samia: Hatutasita kubomoa Kariakoo yote ## Muktasari: **Rais Samia ametaka wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo walioko mbali na jengo lililoporomoka kuendelea na shughuli zao, huku wale wa jirani wakitakiwa kusubiri.** **Dar es Salaam.** Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali haitasita kubomoa majengo yote ya Kariakoo iwapo tume iliyoundwa kuchunguza usalama wake, itashauri ifanyike hivyo. Sambamba na hilo, mkuu huyo wa nchi amewasihi watendaji wa Serikali kuwajibika kwa nafasi zao, hasa katika mchakato wa utoaji vibali vya ujenzi akitaka visimamiwe. Rais Samia ameyasema hayo siku nne tangu lilipotokea tukio la kuporomoka kwa jengo la ghorofa nne Kariakoo jijini Dar es Salaam na kusababisha vifo 20 hadi leo saa 3 asubuhi. Tukio hilo, lililotokea wakati mkuu huyo wa nchi akiwa njiani kwenda Rio De Janeiro nchini Brazil alikoalikwa kuhudhuria mkutano wa G20, uliofanyika kati ya Novemba 18 na 19, 2024 limesababisha majeruhi zaidi ya 80. Hata hivyo, tayari Rais Samia alishamtaka Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuongoza uchunguzi wa majengo yote ya Kariakoo na mengine yote kujua usalama wake sokoni hapo. Mbali na tume, pia aliagiza mmiliki wa jengo lililoporomoka ahojiwe na kuongeza siku za uokozi kutoka saa 72 hadi 96. Rais Samia ameyasema hayo Kariakoo jijini Dar es Salaam leo Jumatano, Novemba 20, 2024 alipotembelea eneo la tukio, saa chache baada ya kuwasili nchini akitokea Brazil. Baada ya kutoka Kariakoo alikwenda Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI) kuwajulia hali na kuwapa pole majeruhi. Rais aliagiza iundwe tume kuchunguza majengo yote ambapo tayari Majaliwa ameunda ikiwa na wajumbe 19, akibainisha kuwa matokeo yatakayopatikana yatawekwa wazi kwa wananchi. Pamoja na kuwekwa wazi, ameeleza iwapo tume hiyo itashauri majengo yote sokoni hapo yavunjwe, hatasita kufanya hivyo. “Sasa tume imeona nini, imesema nini, imetushauri nini, kama tume itatushauri tuendelee kubomoa majengo yasiyokuwa na sifa hatutasika kufanya hivyo. Kwa hiyo hatua zote ambazo tume itatushauri hatutasika kufanya hivyo,” amesema. Rais Samia amesema anatambua uwepo wa ripoti za tume mbalimbali ikiwemo ya mwaka 2013, akisema uchunguzi unaofanywa utazingatia pia mapendekezo ya tume hiyo. Tume ya mwaka 2013, iliundwa Machi 29, mwaka huo baada ya jengo la ghorofa 16 katika makutano ya barabara za Zanaki na Indira Ghandi kuanguka na kupoteza uhai wa watu 36. Hatua hiyo ilisababisha kampuni ya Design Plus Architects (DPA) kupewa zabuni ya kukagua majengo Manispaa ya Ilala kujua usalama wake na Novemba 5, 2013, ilitoa ripoti yake. Katika ripoti hiyo, DPA iliweka wazi kuwa, kati ya maghorofa 90 yaliyokaguliwa, 67 yalijengwa kinyume cha sheria. Kampuni hiyo ilisema baadhi ya majengo hayo yanaweza kuporomoka kutokana na ujenzi wake kuwa chini ya kiwango. Aidha, kufuatia jengo hilo kuporomoka, aliyewahi kuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na mkurugenzi wa Shirika la Makazi la Umoja wa Mataifa (UN-Habitat), Profesa Anna Tibaijuka, kupitia mtandao wa kijamii wa X alindika: Kwa sheria za mipango miji ilitakiwa viwanja vinne vya ‘high density’ viunganishwe mbele na nyuma kipatikane kiwanja kimoja kikubwa cha kujenga ghorofa imara yenye ‘basement’ kubwa kupaki magari. Ghorofa inayofunguka kwenye mtaa wa mbele na nyuma awali katika awamu ya tatu ushauri huo wa wataalamu wa mipango miji ulishapuuzwa na viongozi kwa presha ya wawekezaji, kwa hiyo maghorofa Kariakoo na kwingineko yanajengwa kiholela kwenye viwanja visivyokidhi vigezo. Pamoja na madhaifu ya usimamizi wa ujenzi kiuhandisi ni vigumu majengo kuwa imara bila kuwa na eneo la kutosha kujenga kitako yaani ‘base foundation’ stahiki. Naendelea kuhimiza kurekebisha kosa hilo. Sasa tunavuna hasara kubwa ya upotevu wa mali, maisha na fursa za ajira na aibu ya kushindwa kusimamia viwango vya ujenzi miaka 63 baada ya uhuru. Naendelea kushauri viwango vya ‘vertical development’ vizingatiwe kuanzia sasa. Tujisahihishe. Kwa mtazamo mwingine wa kitaalamu, msingi wa ghorofa unapaswa kujengwa kuhimili uzito wa jengo na vitakavyofanyika ndani yake, ikifanyika kinyume chake lazima litaanguka. Inaelezwa baadhi ya maghorofa yamejengwa kwa matumizi ya hoteli na makazi, lakini yamebadilishwa matumizi na kuhifadhi mizigo, jambo linaloweza kusababisha kuporomoka. Mhandisi wa Ujenzi, Joseph Rwihura akizungumza na Mwananchi hivi karibuni baada ya jengo hilo kuporomoka amesema ukiukwaji wa viwango vya msingi wa ghorofa inaweza kuwa sababu ya kuporomoka. Amesema ujenzi wa ghorofa huanza na msingi unaojengwa kwa uimara kwa kuzingatia idadi ya ghorofa zitakazobebwa na jengo husika. “Kama jengo litakuwa na ghorofa mbili, basi msingi utajengwa kwa uimara utakaomudu kubeba ghorofa mbili. Kwa bahati mbaya majengo mengi Kariakoo, misingi yake imejengwa kubeba kiwango fulani cha ghorofa, lakini mahitaji yanasababisha watu wanaongeza ghorofa juu ya jengo,” amesema. Kubadilishwa matumizi ya jengo ni sababu nyingine akieleza kwa uhalisia wa Kariakoo, majengo mengi yalijengwa kuwa makazi ya watu na hoteli, lakini yanatumika kuhifadhi mizigo zikiwemo mashine na mitambo. “Jengo lililojengwa kwa matumizi ya makazi, halipaswi kutumiwa kuhifadhi mtambo au mizigo. Ukifanya hivyo linazidiwa uwezo na utafika wakati litaanguka,” amesema. **Asisitiza uwajibikaji** Katika hotuba yake hiyo kwa wafanyabiashara wa Kariakoo, Rais Samia amewataka watendaji wa Serikali kuhakikisha wanatimiza wajibu wao hasa wale wanaohusika na utoaji wa vibali vya ujenzi. Amesema ukiangalia kwa macho, tukio hilo linaashiria kuwepo kwa upungufu wa utendaji na uwajibikaji kwa baadhi ya watendaji. “Bila shaka jengo hilo lilipata vibali kutoka halmashauri na serikalini kwa ujumla, lakini vibali ni jambo moja, usimamizi ni jambo jingine. Jengo lile halikutizamwa ubora wake wakati wa ujenzi. Niwaombe watu wote tunaohusika tuseme kwa pamoja matukio ya aina hii yasijirudie,” amesema. Hata hivyo, ameeleza kwa kuangalia inaonekana jengo halikuwa limesimamiwa vema na kwamba hilo limewapa funzo la kuangalia majengo yote ya Kariakoo,” kwamba Serikali sasa tuingie Kariakoo na kuangalia majengo.” Ameeleza kufurahishwa na hatua ya kutekelezwa kwa maelekezo yake ya kuundwa kwa tume ya watu 20, aliosema wanasubiri maelekezo waanze kazi. Baada ya hatua za uokoaji kukamilika, Rais Samia amesema eneo hilo litafungwa kuiruhusu usafi ufanywe na miili itakayopatikana istiriwe. Kwa sababu hiyo, amesema wafanyabiashara wa maeneo ya jirani watalazimika kufunga biashara zao, huku waliopo mbali na hatari hiyo akitaka waendelee na shughuli zao. Wakati wa usafi katika jengo hilo, amesema bidhaa na mali zote zilizopo ndani zitapelekwa ghalani kuhifadhiwa na baadaye wamiliki wataitwa kuzitambua na kukabidhiwa. Ameeleza kufurahishwa na hatua ya vikosi vya ulinzi na usalama na wananchi walivyoshirikiana kuokoa waathirika. “Kazi tuliyoifanya kama Watanzania ni kubwa iliyofanywa kwa ushirikiano ili kuwanusuru wenzetu,” amesema.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/waathirika-jengo-kariakoo-kupoteza-mamilioni-ya-fidia-4830450
Prime # Waathirika jengo Kariakoo kupoteza mamilioni ya fidia **Dar es Salaam. **Waathirika na ndugu wa walioathiriwa na kuporomoka jengo la ghorofa nne Kariakoo wangelipwa mamilioni ya fidia iwapo Sheria ya Bima, Sura ya 394, ingetekelezwa kikamilifu, wachambuzi wanasema. Serikali ilibadilisha Sheria ya Bima, Sura ya 394, kupitia Sheria ya Fedha ya mwaka 2022, ili kupanua bima ya lazima kujumuisha masoko ya umma, majengo ya kibiashara, bidhaa zinazoagizwa kutoka nje na meli. Hata hivyo, tangu wakati huo, sheria hiyo haijatekelezwa kutokana na ukosefu wa kanuni za kuisimamia. Jumamosi, Novemba 16, 2024 jengo la ghorofa nne liliporomoka eneo la biashara la Kariakoo na hadi leo Jumatano, Novemba 20, 2024 saa 3 asubuhi watu 20 walikuwa wamefariki dunia, huku wengine 88 wakiokolewa. Ofisa Mwandamizi wa Sheria wa Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (Tira), Jamali Mwasha, ameliambia gazeti dada la The Citizen leo Novemba 20, kuwa sheria hiyo bado haijaanza kutumika kwa sababu inahitaji waziri kuandaa kanuni zinazoelezea mali zinazopaswa kuwekewa bima na aina za bima zinazohusika. Amesema rasimu ya kanuni ipo tayari, na juhudi zinaendelea kupanua wigo wa maoni ya umma ili kuzilinganisha na mbinu bora na kuhakikisha zinakidhi mahitaji ya watu. “Kampeni za uhamasishaji zimefanyika kupitia vyama na taasisi, na sasa tunakamilisha maoni ya mwisho, ambayo yanalenga zaidi sekta binafsi,” amesema. Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano katika Wizara ya Fedha, Ben Mwaipaja amesema angezungumzia suala hilo kwa kushauriana na idara husika ili kubaini hatua iliyofikiwa. Mtaalamu wa bima na aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Bima (Ati), Khamis Suleiman amesema hakuna fidia ya bima itakayotolewa kwa sababu sheria haijaanza kutekelezwa licha ya kufanyiwa mapitio mwaka 2022. Amedai ucheleweshaji uko kwa Serikali, kwani Tira imeshashughulikia suala hilo. Kinachohitajika sasa ni mfumo wa kutekeleza kanuni hizo, lakini bado haujatolewa. “Kama hili halitafanyika, majanga yataendelea kutokea, na watu watateseka bila bima,” amesema. Mkurugenzi wa Mahusiano ya Kimataifa, Utafiti na Ushauri wa Chuo cha Afrika cha Bima na Ulinzi wa Jamii (ACISP), Dk Anselm Anselm amesema ingawa kuandaa sheria kunaweza kuchukua muda, maandalizi ya kanuni yanapaswa kukamilika ndani ya mwaka mmoja. Dk Anselm amesema tathmini ilionyesha utekelezaji wa sheria hiyo unaweza kuwa na athari kubwa kwenye sekta ya bima. Kwa mfano, ada za bima kwenye majengo peke yake zinaweza kufikia Sh500 bilioni, sawa na asilimia 30 ya ada zote za bima. Kuongeza uelewa kutajenga imani na kuhamasisha watu kuchukua bima katika maeneo mengine. “Tatizo letu ni kwamba tunachukua hatua haraka tu majanga yanapotokea. Sheria hii iliundwa baada ya matukio kama moto wa masoko, lakini tumesahau mpaka janga lingine linapotokea. Serikali inapaswa kukamilisha mchakato, kuandaa kanuni na kuanza utekelezaji,” amesema. **Kilio cha wafanyabiashara** Katika hatua nyingine, wafanyabiashara wenye maduka na vyumba vya kuhifadhi mizigo katika jengo hilo wameeleza wanangoja tamko la Serikali kuhusu hatima ya bidhaa zao zilizo kwenye kifusi. Leo Novemba 20, baadhi ya wafanyabiashara wamekusanyika jirani na eneo la tukio baada ya kupokea taarifa kwamba Rais Samia Suluhu Hassan angefika kuzungumza nao. “Mimi na wenzangu tumekuwa hapa tangu siku ya tukio na hatujarudi nyumbani. Tumeambiwa tumsubiri Rais, kwani yeye ndiye atakayeamua hatua za kuchukuliwa kuhusu jengo hili na bidhaa zetu,” amesema John Mafuru, mmoja wa wafanyabiashara walioathirika. Amesema wapo pia wafanyabiashara ambao hawakuwa na maduka katika jengo hilo, bali walihifadhi mizigo hapo. “Ni muhimu na wao kuwepo ili kujua nini kitafanyika,” anasema. Hata hivyo, Rais Samia alipofika eneo hilo kuzungumza na kujione hali halisi amesema vitu vilivyokuwa kwenye jengo hilo vitakusanywa, kisha utaratibu utaandaliwa ili kila muhusika apatiwe.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/vifo-ajali-ya-ghorofa-kariakoo-vyafika-20-4830224
# Vifo ajali ya ghorofa Kariakoo vyafika 20 **Dar es Salaam.** Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema hadi leo saa 3 asubuhi idadi ya waliofariki dunia kutokana na jengo la ghorofa kuporomoka Kariakoo jijini Dar es Salaam imefikia 20. Rais Samia amesema hayo leo Jumatano Novemba 20, 2024 alipofika Kariakoo kujionea kinachoendelea, akitokea ziarani nchini Brazil. Aidha, Rais Samia ameruhusu wafanyabiashara waliopo mbali na lilipoporomoka jengo la gorofa kuendelea na biashara zao huku walio karibu akiwataka kukaa mbali kwanza kwa muda. Ameongeza kuwa kuendelea kushikamana kipindi hiki kama Watanzania kwasababu janga lilitokea sio la wanafamilia waliopata tu majanga bali ni la nchi kwa ujumla. Vilevile Rais amewashukuru wananchi wote kwa mchango wao katika uokozi na msaada walioutoa Kariakoo. *Endelea kufuatilia Mwananchi.*
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/biashara/undani-miongo-saba-ya-mishemishe-soko-la-feri-4830814
Prime # Undani miongo saba ya mishemishe Soko la Feri Inaelezwa kuwa umri wa soko maarufu la samaki jijini Dar es Salaam (Feri) ni miaka 74 na kilichobadilika ni wingi wa watu, majengo mapya na jina tu, lakini mishemishe za wavuvi na wengine wanaonufaika na uvuvi ndo zinazidi kutaradadi. Nyakati za asubuhi ukipata gari la umma linaoelekea Kivukoni (lilipo soko la Feri) wakati mwingine utakutana na watu, hususan wanawake wenye ndoo tu na jioni ukipanda gari kutokea uelekeo huo unakutana na zile ndoo na vikapu vikiwa na samaki au dagaa, wakati mwingine na chachandu pembeni. Meneja wa Soko hilo la Kimataifa la Samaki, Abdallah Mfinanga akielezea historia ya soko hilo, anasema lipo tangu mwaka 1950. “Soko lilianzishwa mwaka 1950, wakati huo likiitwa Banda Beach, soko hili lipo hata kabla ya kupata uhuru, lilikuwa ni sehemu ya meli kutia nanga na maisha mengine kuendelea. Watu wa Pwani walikuwa wakivua samaki na kuchuuza hapa hapa, na mazao mengine ya baharini.” Anasema baadaye biashara ilikuwa zaidi eneo la bahari na samaki wanaovuliwa walikuwa wakipelekwa Miti Mirefu (Mbele ya Kilimanjaro Hotel). Anasema baada ya watu kuongezeka, miaka ya 1980 lilijengwa soko dogo lililopo zone namba 8 A na baada ya mtoto wa mfalme wa Japan kutembelea soko hilo aliishawishi nchi yake kusaidia ujenzi wa soko jipya la samaki Feri kuanzia mwaka 1999 na likakamilika mwaka 2002. “Hili soko lina ukubwa wa mita za mraba 14,776 na lina uwezo wa kubebe watu 1,200 na sasa tuna wafanyabiashara 3,500, baada ya kuzinduliwa lilibadilishwa jina kutoka Banda Beach likapewa jina la Soko la Samaki la Kimataifa la Feri, jina ambalo linaendelea mpaka leo.” Mbali na kubeba historia ndefu ya shughuli za uvuvi hapa nchini, soko hilo ni eneo muhimu kiuchumi. Mwaka 2021 Wizara ya Mifugo na Uvuvi ilitoa takwimu kuwa soko hilo lenye watumiaji zaidi ya 10,000 kwa siku linatoa ajira rasmi zipatazo 117 na ajira zisizo rasmi takribani 2,780, huku likichangia mapato ya Serikali kwa Sh135 milioni hadi Sh150 milioni. Soko la Kimataifa la Samaki Feri ni kivutio kikubwa cha watalii wa chakula, watu kutoka mataifa mbalimbali hutembelea soko hilo kuonja samaki wa aina tofauti na katika mtandao wa Tripadvasor eneo hilo limepewa nyote nne na watu waliolitembelea. Feri, linalopatikana katika Wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam ni moja ya maeneo maarufu yanayoleta pamoja wachuuzi, wavuvi na wanunuzi kutoka pembe zote za mji. Soko hili limekuwa chanzo cha riziki kwa wengi, si tu kwa wauzaji wa samaki, bali pia kwa wafanyabiashara wa bidhaa nyingine zinazotegemea bidhaa za baharini. Kila siku, kabla ya alfajiri, wavuvi hukusanyika na samaki wao waliowavua usiku kucha. Wanunuzi, wakiwemo wauzaji wa rejareja, wafanyabiashara wa jumla, na wamiliki wa migahawa, hufika sokoni hapo. Mbali na samaki wa aina mbalimbali kama Jodari, vibua, changu na kolekole, pia kuna viumbe wengine wa baharini kama kamba, kaa, pweza na chaza wanaopatikana kwa urahisi katika soko hili. **Ukifika tu unajua uko ufukweni** Mara tu unapoingia, utakaribishwa na harufu kali ya samaki na maji ya chumvi. Wafanyabiashara wanajituma, huku wakishindana kwa sauti kuvutia wateja wanaopita. "Mama samaki! Karibu mpwa! Huku ndiko kwa bei poa!" ni maneno yanayokaribisha wageni na wakazi wanaokuja kununua au kuuza bidhaa mbalimbali. Katika soko hili, biashara ya samaki inatawala, huku wauzaji wakiwa wamesimama pembeni ya meza zao ambazo wamepanga samaki aina mbalimbali kutoka bahari ya Hindi. Kama mgeni, unaweza kutambua haraka kuwa soko la Feri si mahali pa kawaida. Wauzaji, wakiwa na mikono yenye matone ya maji ya chumvi, wananyanyua na kushusha samaki kwa ustadi mkubwa. Mifuko mikubwa ya barafu imewekwa pembeni kwa ajili ya kuhifadhi samaki katika hali bora, huku wateja wakiwa na uhuru wa kuchagua samaki wanaowataka kutegemea uwezo wao kifedha. Paa kubwa limefunika sehemu ya soko hili, kuzuia jua kali la Dar es Salaam, huku hewa nzito itokanayo na harufu ya bahari, samaki na wingi wa watu ikikumbusha kwamba hapa ni kituo kikubwa cha biashara. **Mgeni atarajie nini?** Kwa mgeni anayefika katika soko la Feri kwa mara ya kwanza, hii ni safari ya kipekee kwanza, atakutana na mandhari tofauti na yenye msisimko, huku harufu ya bahari na sauti za wafanyabiashara zikimkaribisha kwa uzito. Ingawa hali ya hewa ya ndani ya soko inaweza kuwa nzito kidogo kutokana na mazingira ya biashara ya samaki, wageni wanaelezwa kuwa uzoefu huo unawafundisha mengi kuhusu namna ya kuendesha biashara kwenye soko kubwa kama hili. Mara nyingi, wageni hujifunza mengi kutoka kwa wafanyabiashara wa soko hili kutokana na tabasamu lao na ustadi wa kuwashawishi wateja. **Pilikapilika** Mishemishe za soko la Feri zinaanza saa 11 alfajiri, kabla ya jua kuonekana, muda huo wafanyabiashara wanakuwa katika soko hilo kwa nje wakisubiri saa 12:00 asubuhi soko lifunguliwe na wao kuingia. Kutembea ndani ya soko hili ni sawa na kuingia katika ulimwengu mpya wa harakati za kibiashara. Kila kona ina ladha yake, kila eneo lina sauti tofauti na kila mmoja ana hadithi ya kipekee kuhusu jinsi anavyopambana na changamoto za biashara na ugumu wa maisha. Miongoni mwa sauti hizo ni za madalali wauza dagaa, wauza barafu, wafanya mnada, wavuvi, wasafisha samaki, wauza maboksi, wabeba mizigo na wapakiaji wa samaki. Wavuvi hawa huleta samaki wao alfajiri na wengine jioni kwa kutegemeana na chombo kiliondoka saa ngapi, kwa kuwa kuna wanaoondoka jioni na kurudi alfajiri na wengine wanaondoka asubuhi na kurudi saa 9 au 10 jioni. Hivyo wavuvi hao wanapofika sokoni asubuhi, hutangaza bidhaa zao kwa mbwembwe, huku kukisikika kelele zitokanazo na watu wengi kupayuka. “Umeshinda kwenye maji usiku kucha unarudi nyumbani … haya chukua mzigo huo upeleke kwa mama Habiba upokelewe na watoto wako baba katoka kazini,” ni kauli za wavuvi, huku vicheko na utani vikiendelea katika eneo la bahari na kuonekana ni jambo la kawaida. Mvuvi Ali Ame (32) anasema, "Bahari ipo sawa na lazima tushike kazi kwa ujasiri. Samaki tunaoleta hapa ni wa uhakika. Kazi yetu ni kukuletea samaki kutoka baharini," Anasema wao jukumu lao ni kushusha samaki na kiongozi wao ndiye anayepanga bei ambao wanapelekwa kwenye mnada au kwa wauzaji wa rejareja, kwa hiyo sio jukumu lao kusimamia na kujua gharama iliyouzwa kwa sababu pesa inayopatikana ipo kwenye mgawanyo wa makundi mengi. “Pesa inayopatikana inagawanywa kwa watu wengi, sisi tuliokuwa kwenye chombo, tajiri mwenye chombo, ushuru wa Serikali na wauzaji wenyewe, kwa hiyo siku kukiwa na uhaba wa dagaa na samaki ndipo tunapopata pesa nzuri, mgawo unaweza kuwa hadi Sh 20,000 hiyo siku,” anasema Ame. **Minada inavyofanyika** Wafanya mnada ni kundi maalumu la wachuuzi ambalo hupiga mnada samaki wa ukubwa na aina mbalimbali na wateja ndiyo wenye jukumu la kuongeza bei. "Hawa hapa samaki, 10, 11, 12, 13 (hizo ni pesa kuanzia Sh 10,000 na kuendelea) haya mara ya kwanza 13 mara ya pili, mara ya tatu,” anasema Ramadhani, ambaye amekuwa akifanya kazi ya mnada kwa zaidi ya miaka mitano. Wateja wanafurika karibu naye wakijaribu kushindana katika mnada. "Tunawafanyia mnada ili kila mmoja aweze kuchagua kadiri ya uwezo wake," anaeleza. Mnada unapamba moto, huku wateja wakihimizana kupandisha bei na Ramadhan anaonekana mwenye furaha na haraka za kumaliza ili aweke samaki wengine. Katika soko hilo sehemu ya mnada wa dagaa wamejaa wanawake wengi kuliko wanaume na kwenye mnada wa ngisi na pweza wanaume ni wengi, huku wanawake wakiwa wa kuhesabu ama mmoja au wawili. “Wanasema biashara hii ni ya kiume ndiyo maana unaona tumejaa wanaume wengi na hata ukipita kwenye biashara huku mitaani unakuta wanaume wanauza pweza, sina hakika kama kuna wanawake,” anasema Zakaria Rajabu, aliyekutwa kwenye mnada wa pweza. **Usafishaji** Katika soko hili, pia kuna wafanyakazi maalumu wa kusafisha samaki, hivyo ukinunua samaki wako ukipenda unasafishiwa hapo hapo. “Tunakata na kusafisha kwa haraka sana. Hauhitaji kusubiri, dakika mbili tu samaki wako wameshasafishwa,” anasema Hussein Mkude, maarufu kama Mjomba. Mkude anasema kazi hiyo inahitaji kuwa na vifaa sahihi na kufahamu mbinu za kusafisha na kukata kwa ufanisi ili kuvutia wateja wengi na uharaka, maana wateja hawana muda wa kupoteza. Anasema usafishaji wa samaki wanaanzia Sh1,000 na inategemea na wingi wa samaki na aina pia, kwani wapo ambao wanakuwa na magamba mengi na magumu na wapo ambao usafishaji wake ni rahisi. Kwa upande wa wafanya usafi ni kila baada ya muda wanamwaga maji na kuzoa kile kilichotupwa chini ili kuhakikisha kuwa soko hilo muda wote linakuwa safi. “Tunafanya usafi kwa sababu ni ajira yetu hii na sichagui, naweza kufanya usafi hapa nikaenda na kusafisha bajaji zilizoleta samaki pia au gari wananipa Sh1,000, kwa hiyo uhakika wa maisha upo,” anasema Ezekiel. **Biashara zaidi** Mbali na samaki wanaovuliwa na wavuvi wa eneo hilo, soko la Feri pia ni kituo cha mauzo ya samaki wanaotoka maeneo mengine, samaki hao huletwa kwa magari, pikipiki na bajaji. Samaki hao huuzwa katika kanda namba nne A, hapo unakutana na majokofu mengi na nyuma yake kuna wafanyabiashara wanaouza samaki kwa kilo, huku wakiwa wamewekwa juu ya meza. “Si samaki wote wanavuliwa siku husika, wengine wanakuwa wamelala kutokana na muda walioletwa maana wapo wanaokuja jioni ambapo tunasema ‘Maji ya jioni’ na wakati huo hakuna wateja, pia hapa tunahifadhi samaki wanaoletwa kutoka mikoani na nje ya nchi,” anasema mmoja wa wauza samaki. Aidha, ukiachilia mbali ununuzi wa samaki kwa bei ya jumla, pia katika soko hilo kuna wachuuzi wa rejareja. Vilevile, katika soko hilo pia ipo mitumbwi inayosafirisha abiria kutoka na kwenda Kigamboni wanaita usafiri wa haraka, nao wanasikika wakihamasisha abiria. "Safari hii hapa Kigamboni, dakika chache hadi upande wa pili!" wanaita kwa sauti kubwa huku wakihamasisha abiria kuingia kwenye boti. Usafiri wa Feri kuelekea Kigamboni ni sehemu muhimu ya biashara na maisha ya wakazi wengi wa Dar es Salaam, na mzunguko huu wa usafiri umeongeza uhai sokoni kwa wageni wanaotembelea. **Eneo la wavuvi kupumzika** Kanda namba nne B hutumiwa na wavuvi kupumzika na kufanyia marekebisho vyombo vyao, kurekebisha vifaa vinavyotumika kuvulia samaki. Akizungumza na Mwananchi, Katibu wa Soko la Feri, Nassoro Mbaga anasema eneo hilo linatumika kwa ajili ya wavuvi, kwani hata kiongozi wao ni mvuvi, licha ya uwepo wa mama na baba lishe pia. “Kutokana na ufinyu wa maeneo, wafanyabiashara ya chakula waliwekwa katika makundi matatu ambapo waligawanywa katika kanda ya nne, saba na nane na hapa wanakutana na wavuvi,” anasema Mbaga. Vilevile anasema kumekuwa na changamoto ya baadhi ya watu kufanya udalali ambapo wanaharibu sifa ya soko kwa kuwakamata wateja na kuwazuia kuingia sehemu maalumu zilizowekwa kwa ajili ya manunuzi ya samaki. “Madalali wana tabia ya kuwakamata wateja getini kwa wale wageni na kuwaambia samaki wa eneo fulani ni wabovu, hivyo ampeleke moja kwa moja kwa wavuvi, kumbe si kweli, wanazunguka na kuwachukulia wale waliosema wabovu,” anasema. Anasema wapo madalali ambao wanaibia wateja wakati wa mnada, wanakusanya pesa na kisha kutoweka nazo, kwa kuwa hawajasajiliwa ni ngumu kutatua jambo hilo. Kutokana na changamoto hiyo anasema wameshaandaa muongozo kwa ajili ya kutambua wafanyakazi wa soko hilo ambapo baadhi ya vikundi kama cha Bagamoyo wameshaweka sare za watu wao. **Dawa za kulevya na vileo sokoni** Katika eneo la fukwe wanapoweka vyombo vyao vya kuvulia samaki, baadhi ya wavuvi vijana hujipumzisha kwa muda, huku wakivuta sigara na vingine vinavyofanana na tumbaku kwa kudai kuwa wanatafuta stimu ya kufanya kazi na kupata usingizi. “Baharini kuna mambo mengi, bila kutumia hivi vitu unaweza usilale na kuingia woga wa kufanya kazi, natumia hiki kitu ili nione kitu cha kawaida nitakachokutana nacho kwenye bahari na muda huu kinanipa mzuka wa kulala,” anasema kijana Mudi (siyo jina lake halisi). Kutokana na matumizi hayo, alipozungumza na Mwananchi, Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo alisema wameanza kutoa elimu kwa watu wote wanaohusika katika fukwe za bahari, wakiwepo wavuvi, wafanyabiashara na mabeach boy. “Kwa sasa tumeanza kutoa elimu ikihusisha watu wote wanaojishughulisha kwenye bahari kwa kushirikiana na wenzetu wa jeshi la Marine ili kuwaeleza kile tulichokusudia kuhusu matumizi na biashara ya madawa ya kulevya,” alisema Lyimo.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/rais-samia-awatembelea-majeruhi-ghorofa-la-kariakoo-ampa-matumaini-mwanafunzi-aliyenasa-saa-24-4830566
# Rais Samia awatembelea majeruhi ghorofa la Kariakoo, ampa matumaini mwanafunzi aliyenasa saa 24 ## Muktasari: **Ni wale walioangukiwa na jengo la ghorofa nne, Kariakoo jijini Dar es Salaam akiwamo mwanafunzi wa kidato cha nne ambaye ameelezwa na Rais Samia Suluhu Hassan watafanyia kazi ombi lake ili aweze kufanya mtihani uliobaki wa kidato cha nne.** **Dar es Salaam.** Mtapona kwa uwezo wa Mungu. Ndilo neno lililotawala kinywani mwa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan alipowatembelea na kuwajulia hali majeruhi wa ajali ya jengo la ghorofa nne lililoporomoka Kariakoo. Jengo hilo, liliporomoka Jumamosi, Novemba 16, 2024 na mpaka sasa limesababisha vifo vya watu 20 na majeruhi zaidi ya 86, uharibifu wa mali za mamilioni ya fedha. Siku jengo hilo linaporomoka, Rais Samia alikuwa njiani kwenda Brazil kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa nchi wanachama wa kundi la G20 na akiwa huko alikuwa amatoa maagizo kwa watendaji akiwemo Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuhusu uokoaji. Leo Jumatano, Novemba 20, 2024, Rais Samia amewasili nchini na kwenda Kariakoo kujionea hali ilivyokuwa na kuzangumza na wafanyabiashara na wananchi. Baada ya hapo, mkuu huyo alienda Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) kuwajulia hali majeruhi waliolazwa hapo. Akiwa hospitalini hapo, Rais Samia amepita katika wodi za wanawake na wanaume na kumjulia hali mgonjwa mmoja baada ya mwingine akiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa MOI, Dk Lemery Mchome. Karibu kila majeruhi aliyemtembelea Rais Samia alikuwa akimuuliza maendeleo yake ya afya yake, alichokuwa anafanya Kariakoo na kumfariji kuwa Mungu atamsaidia atapona. Alipofika kwenye kitanda cha Clement Jackson ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha nne shule ya sekondari Charambe, alimuuliza alikuwa anafanya nini Kariakoo, ndipo alipohoji majibu kuwa anafanya biashara. “Unafanyaje biashara mwanangu na wewe ni mwanafunzi,” amehoji Rais Samia. Akijibu swali hilo, Jackson amesema, “nilienda kumsaidia kaka yangu kuuza kwenye duka lake, huwa nafanya hivyo mwishoni mwa juma ndipo janga hili likanikuta.” Baada ya maelezo hayo, Rais Samia akaonyeshwa kuridhishwa na majibu hayo na kumuahidi kushughulikia suala lake la mtihani mmoja ulioasalia, ambao angepaswa kuufanya kesho Alhamisi Novemba 21, 2024. “Utapona tu, utarudi shule, wizara itakuangalia, kama kurudia mitihani au nini tutaongea na wizara kwa sasa mshukuru Mungu na usali sana,” amesema Rais Samia. Mapema leo Jumatano, Mwananchi ilizungumza na Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), Dk Said Mohamed ambaye alieleza taratibu zitafuatwa kuhakikisha mwanafunzi huyo hapotezi haki yake. “Baraza lina taratibu zake litaandaa taarifa zake na kuchukua hatua stahiki kuhakikisha hatapoteza haki ya kufanya mtihani wake wa mwisho,” amesema Dk Mohamed. Mitihani ya kidato cha nne, ilianza Novemba 11 na itamazika Novemba 29, 2024. Mtihani ambao Jacksona amesalia kuufanya ambao angepaswa kufanya kesho Alhamisi ni wa Biolojia kwa vitendo. Mwananchi lilimtafuta Dk Mohamed baada ya Novemba 19, 2024 wakati akisimulia tukio lilivyokuwa, mwanafunzi huyo pamoja na mambo mengine, aliomba kusaidiwa ili kumwezesha kufanya mtihani huo wa Baiolojia.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/bodaboda-bajaji-wanavyopiga-hela-kwa-kutumwa-kondomu-4829924
# Bodaboda, bajaji wanavyopiga hela kwa kutumwa kondomu ## Muktasari: **Madereva bodaboda na bajaji nchini wameitumia kama fursa ya kujipatia kipato changamoto ya aibu kwa watumiaji wa kondomu.** **Dodoma**. Aibu kwa watumiaji wa kondomu imewalazimu kuwalipa madereva wa bodaboda na bajaji kwenda kuwanunulia kinga hiyo dhidi ya magonjwa ya ngono na homa ya ini. Hayo yamebainishwa leo Novemba 19, 2024 katika mkutano wa mwaka wa wadau wa programu jumuishi ya kondomu, uliokuwa ukijadili vikwazo vya matumizi ya kinga hiyo kwa vijana. Akizungumza suala hilo, Ezra Dyanko dereva wa bodaboda mkoani Dodoma, amesema watu wengi wanaogopa kwenda kuchukua kondomu, hivyo wanawatuma wao kuwachukulia. “Kama nauli ya kwenda kuzifuata yuko radhi kukuongeza Sh1, 000 au Sh2, 000 kwa ajili ya kwenda kuchukua kondomu, anakwambia ‘bwana mimi naogopa kwenda kuchukua kule zinakopatikana au kuuzwa’. “Kwa mfano, kuna mtu alinikuta Amani (hospitali) akaniambia ‘nitakupa hata buku mbili (Sh2, 000), wewe nenda kanichukulie, mimi nikienda wataniona wale akinamama’,” ameeleza kijana huyo. Amesema wamekuwa wakitumwa na wanawake wanaofanya biashara za ngono kwenda kuwanunulia kwa kuwa wateja wao wanahofia kwenda kuchukua bidhaa hiyo katika maduka hadharani. Amesema utamaduni wa kwenda kuwanunulia kondomu watu umeanza muda mrefu na kuwa hata yeye alikuwa anakwenda kuuza kondomu katika maeneo ya Chako ni Chako kwa wanawake wanaojiuza nyakati za usiku. “Mwaka juzi muda wa saa 7 usiku nilikuwa nakwenda kuwauzia Chako ni Chako ambapo walikuwa wanatoa hadi Sh1, 500 kwa kila kondomu. Kwa sababu zinakuwa zimewaishia na maduka mengi ukifika muda huo yanakuwa yamefungwa,” amesema. Amesema dhana iliyopo mtaani hivi sasa ya kuogopa kwenda kuchukua au kununua kondomu, itamalizwa na elimu sahihi juu ya kondomu. Ofisa Mradi wa Afya Yangu, Steve Mayendeka amesema kumekuwa na mtazamo hasi kuhusu matumizi ya kondomu ikiwa ni pamoja anayezichukua kuonekana anafanya sana ngono. **Kondomu ya kiume yakubalika zadi** Wakati huohuo, Mayendeka amesema kondomu ya kiume imeonekana kukubalika zaidi miongoni mwa jamii kuliko ya kike kutokana na kuwa na watumiaji wengi. “Wanaofanya biashara ya ngono, wengi wanagombania kondomu za kiume kwa kuwa ni rahisi kumshawishi mwanaume kuzitumia, kama hataki anaachana nazo. Tutaona kuna changamoto nyingine ya sisi wanaume kuongeza dau katika suala la kutumika kondomu,” amesema. Amesema kuna maeneo mengine upatikanaji wa kondomu unakuwa ni mgumu akitolea mfano Mkoa wa Singida kwenye maeneo ya uvuvi ambapo akina dada wametengeneza vibanda kwa ajili ya biashara ya ngono. Mayendeka amesema kutokana na uhaba wa kondomu za bure, inawalazimu kwenda kuzinunua kwa watu wanaozichukua kutoka maeneo mbalimbali, boksi moja wakilinunua kati ya Sh7,500 hadi Sh10,000. Amesema kuna matumizi yasiyo sahihi kwa wanaume ikiwemo matumizi ya vitu mbadala wa kondomu katika kuzuia maambukizi ya Ukimwi na dhana kuwa usipopata michubuko huwezi kupata maambukizi. Awali akifungua mkutano huo, Kaimu Meneja wa Mpango Mpya wa Kudhibiti Ukimwi, Magonjwa ya Ngono na Homa ya Inn (NASHCoP), Dk Zeye Masunga amesema kuwa Wizara ya Afya imeagiza kondomu milioni 171 katika kipindi cha kati ya Januari 2023 hadi Oktoba 2024. Amesema gharama za uagizaji wa kondomu hizo ni Sh14 bilioni. Amesema makasha 58,000 ya kondomu yamesambazwa katika maeneo mbalimbali huku Dar es Salaam ikiwa na mashine tembezi kwa ajili ya huduma hiyo. **Ukosefu wa elimu** Oktoba 24, mwaka jana Gazeti la Mwananchi liliripoti kuhusu uhaba wa elimu ya afya ya uzazi, unaotajwa kuchangia matumizi hafifu ya kondomu. “Miaka ya 2000 mwanzoni kulikuwa na filamu zilizoonyeshwa vijijini kuhamasisha matumizi ya kondomu, kwenye redio na televisheni pia kulikuwa na matangazo mbalimbali ambayo sasa hayapo,” alisema Amina Ally (52), mkazi wa jijini Dodoma. Martha Salehe, mwelimishaji rika katika Wilaya ya Ushetu amesema wamekuwa wakiwawaelimisha vijana na hutumia muda wa ziada kufuata kondomu hospitalini na kuwagawia wahitaji bure. Kwa upande wake, mwelimishaji rika kwa vijana, Godlove Isdory alisema baadhi ya vijana hawatumii kinga na wanapopata magonjwa ya zinaa huishia kwenda kujitibu kwa kununua dawa famasi. Alishauri vijana wapewe elimu sahihi kuhusu matumizi ya kondomu na kwamba, hilo lisionekane kuwa jambo lililopitwa na wakati. Mhudumu wa famasi katika stendi kuu ya mabasi jijini Mbeya, Atuganile Ambrose amesema wateja wa kondomu sikui hizi wamepungua. Alisema awali aliuza pakiti kubwa nne kwa wiki, lakini miaka ya 2019 hadi 2023 anaishia kuuza pakiti moja kwa mwezi mzima. “Hapa tuna za wanawake pia, lakini zinazouzika zaidi ni za wanaume. Hatuwezi kufanya ulinganifu lakini wateja si wengi kama vile tunavyotarajia,” alisema Emmanuel Shayo, mhudumu wa famasi iliyopo katikati ya jiji la Dodoma.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/ugumba-ulivyomsukuma-kujaribu-kuiba-mtoto-4830142
Prime # Ugumba ulivyomsukuma kujaribu kuiba mtoto ## Muktasari: **Mganga wa kienyeji alimtaka ale chakula chooni, akiaminishwa angeweza kuzaa** **Dar es Salaam.** Saa 11.00 alfajiri alikuwa amejiandaa kikamilifu kutimiza nia yake mbaya ya kuiba mtoto hospitalini jambo analojutia na kuwaonya wanawake kuwa na subira maishani. Lengo lake kubwa alitaka kuwa mama kwa gharama yoyote baada ya miaka mingi ya vipigo katika ndoa zake mbili zilizovunjika. Katika moja ya matukio ya vipigo, alikaa chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU) kwa siku mbili. Hivi ndivyo Mwenyekiti wa Chama cha Wagumba Tanzania, Shamila Makwenjula, anavyoanza kusimulia hali yake ya kutokuwa na uwezo wa kupata watoto ilivyoathiri maisha yake na kusababisha afikie uamuzi mbaya, lakini baadaye aliamua kuanzisha chama cha kuhamasisha jamii kuhusu suala hilo na kupinga unyanyapaa unaohusiana nalo. Mwaka 2018, daktari alimwambia rasmi kuwa asingeweza kupata watoto kutokana na ugumba, ambayo ni hali ya mwanamume au mwanamke kutokuwa na uwezo wa kuzaa licha ya kufikia umri wa kuweza kufanya hivyo. “Niliathirika kisaikolojia. Licha ya kupigwa sana na mume wangu, bado nilitaka kupata mtoto na heshima kutoka kwa jamii ambayo sikuwa nayo kwa miaka mingi. Nilihama kutoka Malinyi, Morogoro kwenda Dar es Salaam kwa ajili ya matibabu zaidi, hapo ndipo nilipomdanganya mume wangu kuwa nilikuwa mjamzito,” anasema. Alijifanya kuwa na ndugu mgonjwa, akilini mwake alipanga kuiba mtoto yeyote asiyeangaliwa vizuri wodini. Hata hivyo, hakufanikisha hilo, mwishowe akakata tamaa. Hali hiyo ilimfanya amuulize muuguzi jinsi ya kupata mtoto, akaishia kutukanwa na muuguzi huyo. “Niliondoka wodini nikiwa nimekata tamaa. Mungu ashukuriwe, nilipofika nje ya lango la hospitali niliona mwanamke aliyekuwa amebeba mtoto mdogo akiwa pekee, huku amebeba mizigo. Nilijitolea kumsaidia kubeba mtoto huku nikimuuliza kwa nini yuko peke yake. Alijibu ndugu zake hawakufika na alikuwa amesharuhusiwa kurudi nyumbani. Anasema alimsaidia mwanamke huyo kurudi nyumbani kwa mpango wa kuiba mtoto. Walipokuwa wakielekea kwenye basi, mwanamke huyo aliitwa na daktari kuchukua dawa alizosahau kwa ajili ya mtoto wake, hivyo Shamila akabaki na mtoto. “Huo ndiyo ulikuwa muda wangu. Nilitembea hatua mbili nikiwa na mtoto, lakini nikasita na kuanza kulia, nikifikiria nini kingetokea kwa mtoto mgonjwa ambaye hata dawa zake sikuwa nazo. Nilianza kulia kwa sauti kubwa, huku nikitetemeka. Wakati watu walikuwa wanashangaa, mama huyo alitokea na kuninyang’anya mtoto wake,” anasema. Mama huyo alishangaa ni kwa nini nilikuwa nalia huku nikiwa nimemshika mwanaye. Alifoka kisha akamchukua na mwanaye, ambaye awali alinieleza kuwa alikuwa mgonjwa tangu alipozaliwa. Niliondoka pale na kurudi nyumbani bila mtoto, huku nikiwa nimechanganyikiwa. Anaeleza alipitia changamoto za afya ya akili na bado anakabiliana nazo, lakini amekuwa akihudhuria kliniki kwa muda mrefu sasa. Anaeleza imekuwa ni utaratibu wake kwa sababu watu wenye tatizo la ugumba wanahitaji matibabu hayo katika maisha yao. “Tunakumbana na unyanyapaa katika jamii kiasi kwamba hata hatuaminiki kuwa viongozi wazuri katika jamii, hatupewi nafasi ya kutoa maoni kwenye mikutano ya kifamilia, na wengi wanadhani hatupaswi kufanya kazi kwa bidii au kumiliki mali kwa sababu hatuna watoto,” anasema. Katika juhudi za kutafuta mtoto, Shamila anasema aliamua kutumia waganga wa kienyeji waliompa mitishamba mingi, na baadhi ilimdhuru kiafya kwani aliiingiza ukeni. Hali haikuishia hapo, anasema aliwahi kuambiwa na mganga mmoja ale chakula chooni na kutupa sehemu ndogo ya chakula ndani ya choo kama ishara ya kutupa tatizo lake la ugumba. Mbali ya hilo, alitakiwa kunywa dawa za kienyeji zilizochemshwa kwenye msiba wakati mwili wa marehemu ukitolewa nyumbani, akiaminishwa mwili huo ungeondoka na tatizo lake la ugumba. Katika mwaka wa 10 ndani ya ndoa yake ya pili, mume wake alipata mtoto na mwanamke mwingine. Hilo kwake lilikuwa adhabu, akieleza mwanamke huyo alipata upendeleo akiruhusiwa kutumia chochote ndani ya nyumba yao licha ya kuishi eneo tofauti. Ilikuwaje akaishia ICU? Anaeleza tukio lililompeleka huko ni la mwanamke huyo kumtuma mtu kuchukua baiskeli nyumbani kwa ajili ya kwenda kufuata maji ya kufua nguo za mtoto. “Kwa kuwa mimi na mume wangu tulikuwa na baiskeli, nilikataa baiskeli yangu isitumiwe na mwanamke huyo kwa sababu nilikuwa nakwenda nayo sokoni. Mume wangu alinikasirikia, akisema mimi ni mchoyo na sijali kuhusu mtoto. Alianza kunipiga, nilipozinduka nilijikuta ICU na niliambiwa nilikuwa pale kwa siku mbili,” anaeleza. Anasema baada ya kugundua hataweza kupata watoto, aliamua kuanzisha Chama cha Watu wenye Ugumba Tanzania (CCWT) mwaka 2015. Chama hicho anasema kilisajiliwa mwaka 2022, baada ya kuwa kimeanza kama kikundi cha wanawake 15 kikiitwa Wangalela kwa lugha ya Kipogoro, ikimaanisha watu wasio na watoto. “Kujua kuwa hutawahi kuwa na watoto milele ni jambo la kuumiza sana na halisahauliki. Mioyo yetu daima haijatulia. Jamii inapaswa kuacha kutuita majina mabaya. Kutokuwa na watoto peke yake ni zaidi ya maumivu ya kutosha,” anasema. Anasema chama hicho hivi sasa kina wanachama 437 nchi nzima, ambao wanapigania haki zao wakipinga kunyanyaswa na kunyimwa haki zao kutoka kwa wenzi wao kwa sababu tu hawana watoto. Ameomba msaada kutoka kwa watu mbalimbali kusaidia gharama za matibabu na kuelimisha jamii kuwa ugumba ni ugonjwa unaowakumba wanaume na wanawake, huku wanaume wengi hawajitokezi kwa sababu ya kuogopa unyanyapaa.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/wapemba-waliobadili-majina-wahangaika-kupata-uraia-wa-kenya-4830596
# Wapemba waliobadili majina wahangaika kupata uraia wa Kenya ## Muktasari: **Kenya mwaka 2023 iliwapa uraia watu 7,000 wenye asili ya Pemba, lakini changamoto za usajili bado zimeendelea kujitokeza. Serikali na UNHCR zinashirikiana kuhakikisha wanapata huduma sawa na raia wengine.** **Mombasa.** Baadhi ya watu wenye asili ya Pemba, Zanzibar wameeleza changamoto wanazokutana nazo katika mchakato wa kujisajili kuwa raia wa Kenya, licha ya hatua ya Rais William Ruto kuwapa uraia mwaka 2023. Rais Ruto alitoa uraia kwa watu takribani 7,000 wa jamii hiyo waliokuwa wakiishi Kenya kwa zaidi ya miaka 100 bila utambulisho rasmi. Uamuzi huo uliifanya jamii ya Wapemba kuwa moja ya makabila yanayotambuliwa rasmi na kuwaletea fursa ya kupata vibali muhimu kama vitambulisho vya kitaifa na vyeti vya kuzaliwa kwa ajili ya huduma za kijamii. Hata hivyo, mchakato wa kurejea majina yao halisi umekuwa mgumu, hasa kwa wale waliobadilisha majina yao zamani ili kuepuka changamoto za kisheria. Dida Hamadi Makame, mmoja wa wanajamii hiyo, amelieleza gazeti la Taifa leo la kenya, kuwa hawezi kurudi kwenye jina lake la asili baada ya kulibadilisha awe Dida Hamisi Idi mwaka 1986. Naye Abdul Mohamed Mbarari, ambaye pia anatoka katika jamii hiyo, alisema kuna baadhi yao walipewa vitambulisho mwaka uliopita katika hafla iliyoongozwa na Rais Ruto mjini Kilifi, lakini hawawezi kuvitumia. Naibu Katibu wa Wapemba nchini Kenya, Omar Kombo, amethibitisha akisema ingawa Serikali imeonyesha nia ya kutatua tatizo la uraia kwa jamii hiyo, kuna baadhi yao bado hawatambuliwi kuwa Wakenya. “Jamii ya Wapemba itaendelea kukosa uraia ikiwa baadhi yetu bado hawatambuliwi,” alisema. Ijumaa iliyopita, katika hafla ya kuadhimisha mwaka mmoja tangu Wapemba wapewe uraia Kenya, Mbunge wa Kilifi Kaskazini, Owen Baya alisema masaibu hayo yanasikitisha. Aliiomba Serikali itume maofisa husika kuweka kambi katika maeneo ya Pwani ambako Wapemba hupatikana, ili kutatua hali hiyo. “Tunataka suala hili litatuliwe mwaka huu ili ifikapo 2025, kusiwe na Mpemba yeyote ambaye atanyimwa huduma katika benki na pia waweze kujisajili kwa bima ya kijamii ya afya (SHIF),” alisema. Katibu wa Uhamiaji na Huduma za Raia Julius Bitok, alitoa hakikisho kwamba Serikali imejitolea kuhakikisha Wapemba wanapokea huduma zote nchini, sawa na raia wengine wa Kenya. Umoja wa Mataifa unakadiria kuna Wapemba karibu 7,000 nchini Kenya huku Serikali ikisema kuna zaidi ya Wapemba 6,000 walishasajiliwa kuwa Wakenya rasmi. **UN yapogenza** Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi (UNHCR) liliipongeza Serikali ya Kenya kwa kutoa uraia kwa jamii wa watu wa Pemba ikiwa ni hatua madhubuti ya dhamira ya nchi ya kusaidia kuondoa tatizo la baadhi ya watu kukosa utaifa. Rais Ruto alitoa vitambulisho vya utaifa, vyeti vya kuzaliwa na pasi za kusafiria kwa wanajamii wa Pemba ambao wamekuwa wakiishi nchini humo kwa miongo kadhaa wakiwa wametokea eneo la Pemba, Zanzibar nchini Tanzania. Tukio hilo lilihitimisha mchakato wa uandikishaji wa wanajamii wote 7,000 wa Pemba na sasa watakuwa na fursa ya kupata huduma zote za kijamii ikiwemo elimu, afya, ulinzi wa kijamii, huduma za kifedha na ajira rasmi. Kamishna Mkuu wa UNHCR Filippo Grandi alisema, “ninapongeza uongozi wa Serikali ya Kenya katika kushughulikia changamoto nyingi zinazowakabili watu waliohamishwa na kuchukua hatua muhimu za kutokomeza ukosefu wa utaifa katika nchi hii.” Desemba 2022, Rais Ruto alitangaza kwamba Serikali yake itaanza kuwatambua rasmi Wapemba kama raia wa Kenya. Uamuzi huu wa hivi karibuni ni maendeleo yanayokaribishwa na kupongezwa na Umoja wa Mataifa katika kujitolea kwa Serikali ya Kenya kutimiza ahadi zake katika sehemu ya ngazi ya juu ya kutokuwa na utaifa Oktoba 2019, ikijumuisha kujiunga na mikataba miwili ya Umoja wa Mataifa ya kutokuwa na utaifa.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/utetezi-anayedaiwa-kumteketeza-mke-kwa-magunia-mawili-ya-mkaa-waibua-mapya-4830356
Prime # Utetezi anayedaiwa kumteketeza mke kwa magunia mawili ya mkaa waibua mapya ## Muktasari: **Mshtakiwa anadaiwa kumuua mkewe na kuuteketeza mwili wake kwa moto, amekana akidai mifupa aliyoichoma aliyowaonyesha polisi ilisalia kwenye kaburi la mtu mwingine lililohamishwa katika shamba alilonunua.** **Dar es Salaam. **Mshtakiwa Hamis Luwongo, anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya mkewe na kuuteketeza mwili wake kwa magunia mawili ya mkaa, amekana mashtaka akidai mwenza wake alitoroka na mpaka sasa hakuna uthibitisho wa kifo chake. Ameiomba Mahakama imwachie huru aendelee kumtafuta. Ameibua utata wa mifupa aliyowaonyesha wapelelezi kwamba ni masalia ya mwili wa mkewe aliouchoma moto, akidai aliwadanganya kwa kuwa ilikuwa ya mtu mwingine na mingine ya mzoga. Luwongo ambaye pia anaitwa Meshack, ameeleza hayo Novemba 19, 2024 alipotoa utetezi Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam, baada ya Jamhuri kufunga ushahidi na Mahakama kutamka ana kesi ya kujibu. Katika kesi ya jinai namba 44/2023, mshtakiwa mkazi wa Gezaulole wilayani Kigamboni, Dar es Salaam anadaiwa kumuua mkewe, Naomi Marijani, kinyume cha kifungu cha 196 na 197 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, kama ilivyorejewa mwaka 2019. Anadaiwa kumuua Mei 15, 2019 nyumbani kwao kisha akauchoma moto mwili wake ndani ya banda la kuku, majivu na masalia ya mwili akayazika shambani kwake Mkuranga na kupanda mgomba juu yake. Kesi hiyo inasikikizwa na Jaji Hamidu Mwanga. Upande wa mashtaka ulifunga ushahidi baada ya kuwaita mashahidi 14 na kuwasilisha vielelezo kadhaa, yakiwamo maelezo ya onyo na ya ungamo ya mshtakiwa, akidaiwa alikiri kutenda kosa hilo. Mashahidi hao wakiwamo maofisa wa polisi na wapelelezi, viongozi wa serikali ya mtaa na wananchi wa kawaida, pamoja na mambo mengine walidai mshtakiwa baada ya kukiri aliwaongoza na kuwaonyesha mahali alikomuua mkewe chumbani, bandani alikouchoma mwili na shambani alikozika majivu na masalia. Katika maeneo hayo, wapelelezi walichukua vielelezo na sampuli yakiwamo matone ya damu, mavazi ya marehemu, chanuo, mswaki, nyembe na mashine za kunyolea, majivu na udongo uliokuwa na mafuta yaliyodhaniwa ya mwili wa binadamu, mifupa na meno. Vielelezo na sampuli hizo ikiwemo mpanguso wa mate (katika kuta za mashavu kinywani) ya mshtakiwa Luwongo na mtoto vilipelekwa kwa Mkemia Mkuu kwa ajili ya uchunguzi wa mpangilio na uhusiano wa vinasaba. Matokeo ya uchunguzi yalionyesha kulikuwa na matone ya damu ya mtu wa jinsia ya kike na nyingine ya mtu wa jinsia ya kiume, lakini vingine havikuweza kutoa matokeo ya uhusiano. Luwongo, akiongozwa na wakili wake, Hilda Mushi kutoa utetezi alikiri kuwaeleza polisi kuwa amemuua mkewe na kuwaongoza maeno ya matukio, chumbani kwa mkewe alikodai amemuua, bandani alikoeleza alichoma mwili wa marehemu. Pia alikiri aliwapeleka shambani kwake katika Kijiji cha Marogoro, wilayani Mkuranga mkoani Pwani alikowaonyesha sehemu alikozika majivu na masalia ya mwili wa marehemu, ambapo askari walichimba na kupata baadhi ya mifupa hiyo. Katika utetezi huo amedai hajamuua mkewe anayempenda sana, bali anashangazwa na kitendo cha upande wa mashtaka kumtaja mara kwa mara mahakamani kuwa marehemu na yeye kushtakiwa kwa kumuua, wakati hakuna uthibitisho wa kifo chake. Anadai mkewe alitoweka baada ya ugomvi wa kimapenzi uliosababisha amkamate na kumvuta sehemu za siri mpaka akapoteza fahamu na aliporejewa na fahamu hakumkuta mkewe. Mshtakiwa amedai maelezo aliyowapa polisi hayakuwa ya kweli, bali ni stori aliyoitengeneza kujiepusha na mateso ya kipigo kutoka kwa polisi katika Kituo cha Polisi Chang’ombe na Kituo Kikuu cha Polisi, wakimtaka akawaonyeshe maiti ya mkewe. Mshtakiwa amedai masalia ya mifupa aliyowaonyesha polisi shambani kwake si ya mkewe, bali ya mzoga alioukuta wakati akisafisa shamba lake na mingine ilisalia kwenye kaburi lililohamishwa kwenye shamba lake lingine, huko Mwongozo Kigamboni. Luwongo alidai mifupa iliyofukuliwa na mafundi waliochimba udongo kutengeneza msingi wa nyumba aliyokuwa akijenga, aliichukua na kwenda nayo shambani akaiweka pamoja na ile ya mzoga akaichoma pamoja na takataka nyingine. Anadai ndiyo maana hata uchunguzi wa kisayansi uliofanywa na mkemia, matokeo yake hayakutoa uthibisho kuwa ni ya mkewe Naomi. **Atawala utetezi** Tofauti na washtakiwa wengine ambao huongozwa na mawakili kwa maswali moja baada ya jingine, yeye alitawala eneo hilo kwa kutoa maelezo muda mrefu, huku wakili akimuuliza maswali ya mwongozo mara moja moja. Kabla ya kujitetea, Luwongo alitoa kiapo ambacho kiliifanya Mahakama iingilie kati. Luwongo baada ya kupanda kizimba cha shahidi na kujitambulisha jina na dini yake kuwa Mkristo, alikabidhiwa na karani wa Mahakama Biblia akainyanyua juu kwa mkono wa kulia na kuanza kuapa: "Mimi Hamis Said Luwongo, mume halali wa Naomi Orest Marijani, ni... Kiapo hicho kilimfanya Jaji Mwanga aingilie kati, akamwelekeza karani amuongoze. "Aah! hapana, karani muongoze," alisema Jaji Mwanga kisha karani akamuongoza kuapa. Kwa kawaida shahidi huapa kwa kutamka: "Mimi (anataja jina lake kamili), ninaapa kwamba ushahidi nitakaoutoa mbele ya Mahakama hii ni wa kweli, kweli mtupu, Ee, Mungu nisaidie." **Maelezo ya utetezi** Katika utetezi wake, mshtakiwa huyo ameeleza ni mfanyabiashara mkazi wa Kigamboni Gezaulole. Naomi Orest Marijani ni mke wake halali wa ndoa waliyoifunga katika Kanisa la TAG Upanga. Amesema katika ndoa yao walipata watoto lakini aliye hai ni mmoja, Gracious Hamisi Luwongo. Ameeleza kuwa ndoa yao ilikuwa na ugomvi uliosababisha waishi maisha ya ajabu kila mmoja kwa namna alivyotaka, wakiwa wametengana vyumba, yeye akilala cha juu ghorofani na mkewe chumba kikuu (master bedroom) kilicho chini. Alieleza kila mmoja alitoka hata kulala nje, akidai hakumfuatilia mkewe akilala nje lakini yeye akifanya hivyo mkewe alikuwa akifanya vurumai. Amedai viongozi wa familia zote mbili walikuwa wanajua namna wanavyoishi. Siku ya tukio, Mei 15, 2019 asubuhi anadai mkewe alitoweka, ndoa yao ikavunjika na kusabisha mtoto wao Gracious kuishi bila kumuona mama yake. Anadai siku hiyo hakuwa amelala nyumbani bali kwa mwanamke mwingine na aliporejea alipita chumbani kwa mkewe akamkuta anamuandaa mtoto kwenda shule naye akapanda juu chumbani kwake. Aliposhuka anadai mkewe alianza vurumai akimtaka arudi kwa wanawake wake, huku akiwa na hasira. Anadai alimkamata ili kumtuliza lakini mkewe alimkamata na kumvuta sehemu za siri, akaona giza na hakujua kilichoendelea. Alipokaa sawa anadai hakumuona mkewe na mpaka jioni hakurudi. Kesho yake Mei 16 hakurudi, hivyo aliwasiliana na viongozi wa familia wa pande zote mbili kujua kama atakuwa yuko huko, lakini kote walisema hawajamuona. Anadai alikwenda kutoa taarifa kituo kidogo cha polisi baadaye mkuu wa kituo alimweleza aende kituo kikuu cha Kigamboni ambako alikwenda akatoa taarifa. Juni 11, 2019 wakiendelea kumtafuta mkewe na askari wa Kigamboni, anadai akiwa njiani kuelekea kwa kiongozi wa familia, mtoto wa dada yake alimpigia simu kuwa nyumbani kulikuwa na askari na ndugu wa mkewe. Anadai alipompigia tena simu hakuongea, hivyo alimpigia simu mpelelezi akihoji ametoka kwake lakini ametumaje askari, lakini alijibiwa kuwa hajawatuma. Anadai alienda kituoni akamwomba mpelelezi waende pamoja nyumbani kwake, hivyo walienda akiwa na askari wanne. Anadai nyumbani aliwakuta wakwe zake na askari ambao hakuwafahamu (kutoka Temeke). Anaeleza askari wa Kigamboni waliwauliza vipi mbona wamewavamia eneo lao bila taarifa, maana askari akitoa sehemu moja kwenda nyingine lazima utaratibu unatakiwa ufuatwe. Anadai swali halikujibiwa bali waliitana wakazungumza pembeni wakaelewana, hivyo askari wa Kigamboni walimtuliza asiwe na wasiwasi aache wafanye uchunguzi. Anadai askari hao asiowafahamu walimtaka awaonyeshe maiti ya mkewe na kwamba, ujumbe wa simu alikuwa amejitumia mwenyewe. (Ujumbe huo ulitumwa kutoka namba ya Naomi kwenda kwenye simu ya mshtakiwa akimuaga anaondoka kwenda nje ya nchi na kwamba, Luwongo abaki na umalaya wake) Anadai aliwaeleza askari hao kuwa amefungua taarifa Kituo cha Polisi Kigamboni na uchunguzi unaendelea, kwa hiyo habari wanazomwambia hazielewi. Anadai askari walianza kufukuafukua kutafuta maiti ya mkewe, wakaita na watu wengine, hivyo walimtia hasara. Mshtakiwa alidai alichukuliwa akapelekwa Kituo cha Polisi Chang'ombe ambako aliteswa na askari wakiongozwa na Inspekta Katabazi na askari wengine wakimtaka awaonyeshe iliko maiti ya mkewe. Julai 15, 2019 anadai alipelekwa Kituo Kikuu cha Polisi mbele ya Mkuu wa Upelelezi wa Kanda (ZCO) Camillius Wambura wakati huo (sasa ni Mkuu wa Jeshi la Polisi -IGP) ambako aliwakuta maofisa wengi wakubwa wa polisi. Anadai Wambura alimuuliza ilipo maiti ya mkewe na kwamba sms amejitumia kulidanganya Jeshi la Polisi. Anadai alielezwa na Wambura kuwa wao kama Jeshi la Polisi watamwelekeza mahali maiti ya mkewe iliko. "Mheshimiwa sijui nirudie tena," shahidi huyo alimuuliza Jaji Mwanga kuhusu kile alichoelezwa na ZCO, kisha aliendelea na ushahidi. Amedai alivuliwa nguo zote akabaki uchi, akafungwa kamba, akaning'inizwa kwenye mabomba kichwa chini miguu juu na mwingine akawa anampiga kwenye unyayo. Baada ya mateso kuzidi anadai aliomba wamuache apumzike atawaambia ukweli. Hivyo walimwachia wakampeleka mahabusu. "Niliwaza hawa watu wanataka maiti na nitawaonyesha maiti gani ili niepukane na mateso haya. Niliwaza usiku ule kuwa niwapeleke sehemu yoyote yenye makaburi," alidai na kueleza ana shamba Kijiji cha Marogoro, wilayani Mkuranga ambalo alilinunua kwa ajili ya kuanzisha kilimo cha kisiasa. Anadai kuna sehemu alimpa kijana kazi ya kufyeka kwani alitaka kujenga nyumba ya wafanyakazi na aliyefyeka akachimba mashimo matano kwa ajili ya kupanda migomba ya kisasa na shimo kwa ajili ya choo. Anadai majani ambayo yalifyekwa siku walipokwenda kuyazoa wakakuta mifupa ya mzoga wa mnyama aliyekuwa amekufa. Ameeleza kuna shamba lingine alilonunua Mwongozo, Kigamboni kulikuwa na kaburi lakini wakakubaliana na wenye eneo hilo wakalihamisha na yeye akaanza ujenzi ili ahamie na familia yake. Vijana waliokuwa wanachimba udongo kwa ajili ya msingi, wakaanza kutoa mifupa, ambayo walihamisha lile kaburi hawakutekeleza kazi yao vizuri na kwamba hiyo mifupa itakuwa ni ya yule marehemu waliyemhamisha. Anadai siku hiyo alikuwa na safari ya kwenda Marogoro hivyo aliichukua mifupa hiyo akaipeleka huko akairundika kwenye rundo la uchafu, akawaambia vijana wachome moto. Alieleza kwa kuwa majivu ni mbolea akayachukua akapandia migomba. Hivyo kutokana na mateso aliyopata ndipo akaona awapeleke katika mabaki ya mifupa aliyoikuta shambani na aliyoitoa kwenye kiwanja, Mwongozo na kutunga uwongo kuhusu maiti ya mkewe na kuwaongoza polisi nyumbani na maeneo mengine. Amesisitiza maelezo aliyotoa si ya kweli, bali alitaka tu ajiokoe na mateso na kwamba, tangu mwanzo aliwaeleza mawakili wake wayapinge yasipokewe mahakamani kama kielelezo cha upande wa mashtaka. "Hawa mawakili wao wanataka tu nihukumiwe kunyongwa. Lakini Mheshimiwa mfano leo mimi nihukumiwe kunyongwa halafu baadaye mke wangu anatokea sijui upande wa Jamhuri watakuwaje," alisema. "Lakini hayo yote ni stori ya kutunga na ni feki kabisa. Kila siku unawasikia hapa upande wa mashtaka kuwa marehemu Naomi, ukiwauliza wana uthibitisho gani kuwa Naomi alifariki hawana. Kwa hiyo Mheshimiwa upande wa mashtaka umeshindwa kutekeleza majukumu yao," alidai. Luwongo alidai anashangaa hata upande wa mkewe wanaaminishwa bila uthibitisho, maana hata udongo uliotolewa mahakamani (kielelezo kinachodaiwa kilikuwa na mchanganyiko wa mafuta ya binadamu) hauna chochote. "Mheshimiwa kwa ukweli kabisa haya hayahusiani na mke wangu. Mkemia ripoti yake yote hakuna mahali ambako amesema hivyo," alidai. “Suala la msingi hapa ni je yale masalia waliyoyatoa kule shambani ni ya Naomi yameoana na mke wangu Naomi?" amehoji. Kuhusu matone ya damu ambayo wapelelezi walichukua chumbani kwa marehemu na kwenye banda la kuku, alidai si ya kweli. "Hivi Mheshimiwa, kweli mimi nifanye tukio hilo halafu zile damu niziache tu? Wanasema kuna damu nyingine walizikuta kwenye chaga, mheshimiwa hakuna damu mahali popote," alidai. Alidai walichokuwa wanafanya polisi walikuwa wanabahatisha tu kuwa hiyo ni damu, maana miezi miwili huwezi kukuta damu. Kuhusu ripoti ya Mkemia ya uchunguzi wa sampuli iliyodaiwa kuwa ni matone ya damu yaliyochukuliwa eneo la tukio ni ya jinsi ya kike, alidai alikuwa yake na kawaida ya kuwa na wanawake wengine. Alidai mwanamke (kati ya hao aliokuwa akiwapeleka kwake) anaweza kuingia kwenye hedhi, hali ambayo si ajabu na kwamba wanawake wengine ni wazembe anaweza kutoa uchafu ule akautupa pale. Alidai hata mkewe alikuwa akiingia kwenye hedhi, hivyo damu kuwemo ndani ya chumba cha mume na mke ni jambo la kawaida. "Ndiyo maana nasema hawa uchunguzi wao ulikuwa mbovu sana. Wala hakuna uthibitisho kuwa mke wangu amefariki lakini wanataka tu ninyongwe. "Mheshimiwa Jaji kulingana na hay,a naomba Mahakama yako iniachie huru niendelee kumtafuta mke wangu na upande wa mashtaka unapaswa kutekeleza wajibu wao waendelee kumtafuta mke wangu mahali aliko au wanimbie mwenyewe mahali aliko." Keshi hiyo imeahirishwa hadi Jumatatu Novemba 25, 2024 siku ambayo daktari aliyemchunguza afya ya akili atahojiwa na upande wa mashtaka.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/siasa/ahadi-majigambo-vyatawala-siku-ya-kwanza-ya-kampeni-wengine-kesho-4830664
# Ahadi, majigambo vyatawala siku ya kwanza ya kampeni, wengine kesho **Dar/Mikoani. **Ikiwa ni siku ya kwanza za kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa jana, baadhi ya vyama vya siasa vimezindua kampeni zao, huku vyama vingine vikipanga kuanza leo kuelekea siku ya uchaguzi huo, Novemba 27, mwaka huu. Katika uchaguzi huo utakaohusisha nafasi za wenyeviti na wajumbe wa mitaa, vijiji na vitongoji kote nchini, wagombea kupitia vyama vyao wanakwenda kuzungumza na wananchi wakinadi sera na vipaumbele vyao. Wakati viongozi wakuu na wajumbe wa halmashauri kuu ya CCM wakitawanyika katika mikoa mbalimbali nchini, viongozi wa vyama vya upinzani nao wametawanyika katika maeneo tofauti kusaka kura, ili wapate ushindi kwenye uchaguzi huo. Katika kusaka kura hizo, baadhi vinatumia staili tofauti, ikiwemo kuwatumia viongozi wa maeneo husika kuwanadi na kuwaomba kura wagombea wao, wakati wengine wakiwatumia viongozi wao waandamizi. Viongozi wa vyama hivyo walitoa ujumbe kwa wananchi wakiwataka kuchagua wagombea wao ili watatue changamoto zinazowakabili kwenye maeneo yao, huku wengine wakijivunia kazi walizozifanya miaka mitano iliyopita. **ACT na ahadi kwa wananchi** Kiongozi wa ACT Wazalendo, Dorothy Semu alizindua kampeni za chama chake mkoani Pwani huku akiwataka wananchi wa mkoa huo kukiunga mkono chama hicho katika uchaguzi huo, akisema ndicho chama chenye majibu ya changamoto zinazowakabili. Semu ameeleza hayo wakati akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika Kijiji cha Kazole, kilichopo Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani ikiwa ni sehemu ya uzinduzi wa kampeni za chama hicho. “ACT Wazalendo tuna viongozi bora na thabiti, wanaopinga rushwa na kuheshimu utawala wa sheria kwa kushirikisha wananchi katika mipango ya maendeleo, ikiwemo kila fedha inayoletwa, inatumika katika mipango husika. “Tutahakikisha viongozi wetu wanasimamia matumizi bora ya ardhi, kwa sababu Pwani ina changamoto kubwa ya migogoro ya ardhi, tutakwenda kulitimiza hili, sambamba na kusimamia ahadi yetu ya kwamba kiongozi wa ACT anayejihusisha na rushwa tutamuondoa,” amesema. Mbali na hilo, Semu amewasihi wananchi wa Pwani kutumia haki yao ya msingi kuchagua viongozi bora watakaowaletea maendeleo katika kipindi cha miaka mitano ijayo, huku akiwataka kutowachagua viongozi wasiotekeleza majukumu yao. Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria, Ezekiah Wenje amesema licha ya idadi kubwa (bila kutaja idadi) ya wagombea wa chama hicho kuenguliwa, Chadema itahakikisha waliopitishwa wanashinda. “Leo (jana) tumefungua kampeni kila mahali katika kanda yetu, mimi nimefanya mikutano katika kata nane za Jiji la Mwanza, tutaendelea kuwanadi wagombea wetu kila mahali hadi nyumba kwa nyumba,” amesema Wenje. Kuhusiana na maeneo ambayo hakuna wagombea wa Chadema, Wenje amesema wagombea wa chama hicho watahamasisha wagombea wa vyama vingine kupiga kura ya hapana kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi huo. Katibu Mkuu wa Chadema, Kanda ya Magharibi, Meshack Micus amesema chama chake kimezindua kampeni kwenye wilaya tatu ambazo ni Urambo, Igunga pamoja na Sikonge, huku wilaya nyingine wakitarajia kufanya uzinduzi baada ya Novemba 20, 2024. Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Mkoa wa Mwanza, Ramadhani Amrani amewataka wananchi kuchagua viongozi wanaowataka, hasa wa chama hicho kwa kuwa wana siasa za kistaarabu. **CCM yatamba mikoani** Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi alizindua kampeni za chama hicho mkoani Mwanza, ambapo aliwapiga kijembe wapinzani, akisema japo walikuwa wanawabembeleza wanachama wao kugombea, wameishia kupata wagombea 20,000 katika vitongoji zaidi ya 60,000 na wagombea 5,000 katika vijiji zaidi ya 12,000. “Nitumie nafasi hii kuwataka wagombea wetu walioteuliwa kuilinda na kuienzi heshima kubwa ambayo CCM inapewa na Watanzania. Tunaamini kuwa mtachaguliwa lakini tunawasihi mkajiepushe na dhuluma, rushwa, mkatumie nguvu zenu kuwatumikia Watanzania ili kuongeza imani yao kwa uongozi wenu,” amesema. Akizindua kampeni za CCM mkoani Mbeya, Naibu Katibu Mkuu chama hicho (Bara), John Mongella amesema hawafurahishwi na migogoro inayoendelea kwa vyama vya upinzani (Chadema) ambayo imewafanya wamshindwa kuweka wagombea baadhi ya maeneo. “Wakati tunawaombea wawe imara, lazima maendeleo yaendelee, tuwachague wagombea wa CCM, wale wengine bado hawajakomaa na mtoto akimaliza shule huwezi kumpa mke lazima ujiridhishe amekomaa,” alisema Mongella. Huko Dar es Salaam, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla amezindua kampeni hizo kimkoa huku akitaja sababu tatu za kwa nini Watanzania wanapaswa kuwachagua wagombea wa chama hicho. Sababu hizo ni pamoja na kwamba CCM ndiyo inayotekeleza ilani ya uchaguzi 2020/25, mafanikio ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ambayo ni matokeo ya wa ushirikiano na viongozi wa Serikali za mitaa, vijiji, vitongoji, madiwani na wabunge. Sababu nyingine alisema ni tamko kuhusu uchaguzi huo na mambo ya kuzingatia pamoja na chama hicho kuwa na dhamana na wajibu wa kuwatumikia Watanzania. “Licha ya changamoto ndogondogo zilizopo, lakini mafanikio yapo, hakuna miradi iliyotekelezwa ya ujenzi wa madarasa, pasipo ushirikiano wa serikali za mitaa. “Kama tulifanikiwa kufanya kazi na watu hawa (viongozi wanaomaliza muda wao) basi CCM imewaletea tena watu sahihi, tunaomba muamini wabunge na madiwani watafanya nao kazi vizuri,” amesema Makalla. Huko Katavi, Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Dk Mohamed Said Dimwa amewaomba wananchi kuweka mbele maslahi ya maendeleo yao kwa kuwachagua wagombea wote wa CCM katika uchaguzi ujao. “Wito wangu kwenu wananchi wote katika kata zote 58 zilizopo katika mkoa huu, jitokezeni Novemba 27, 2024 mkawapigie kura nyingi wagombea wote wa CCM ili wakatekeleze mahitaji yenu kwa vitendo,” amesema Dimwa. **Wengine kuzindua kesho** Katibu Mkuu wa DP, Abdul Mluya amesema chama hicho, kitazindua kampeni zake kitaifa leo mkoani Kigoma ambako wana msingi mzuri wa wagombea wao. “Nitazindua mwenyewe kampeni hizi, nitakwenda pia Tabora, Kahama na Mara, katika uchaguzi wa mwaka 2014, tulifanikiwa kupata viti vya vitongoji na vijiji mkoani Kigoma, sasa tunataka tukavitetee,” amesema Mluya. Kwa mujibu wa Mluya, maofisa wengine waandamizi wa DP, wakiwemo wakurugenzi, wajumbe wa halmashauri kuu ya chama hicho, wamegawanywa katika maeneo ya kimkakati ambayo DP imesimamisha wagombea. Kwa upande wao, Chama cha Sauti ya Umma (Sau) kinatarajia kuzindua kampeni zake za uchaguzi wa Serikali za mitaa kesho Novemba 21, 2024 katika Wilaya ya Muheza mkoani Tanga. Katibu Mkuu wa chama hicho, Majaliwa Kyara amesema wameweka wagombea 307 watakaogombea uenyekiti wa serikali za mitaa nchi nzima ambapo wanatarajia kuzindua kampeni hizo mkoani Tanga. “Watakapozindua kampeni hizo ni viongozi wa kitaifa wakiongozwa na Mwenyekiti wa Sau na tukishazindua tutajigawa, wengine wataenda Kilimanjaro, Arusha, Manyara Dodoma, Mwanza, Mara huku wengine wakienda Pwani, Dar es Salaam na Morogoro,” amesema Kyara. Wilaya za kichama zapewa jukumu Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano kwa Umma wa Chama cha Wananchi (CUF), Mohamed Ngulangwa amesema utaratibu wa chama hicho, kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa zinasimamiwa na viongozi wao wilaya. “Tunatumia viongozi wetu wa wilaya na kata, tofauti na kampeni za uchaguzi mkuu ambazo kuna maofisa kutoka makao makuu ya chama wanakwenda kuwanadi wagombea,” amesema Ngulangwa. Mwenyekiti wa Ada Tadea, Juma Ali Khatib ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini, amesema kampeni za mchakato huo, zinasimamiwa na viongozi wa ngazi husika zikiwemo wilaya na mikoa, kulingana na uwezo wao. “Hatuwezi kushinda wenzetu, hatuna rasilimali za kutosha kupeleka viongozi wakuu kila mahali, ingawa mimi kesho (Alhamisi) nitakwenda Kilombero (Morogoro), wakati katibu mkuu wangu akienda Maswa na Simiyu,” amesema Khatib.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/toleo-maalum/vyoo-bora-maji-safi-na-usafi-wa-mazingira-ni-msingi-wa-ustawi-wa-afya-ya-jamii-4828808
# Vyoo bora, maji safi na usafi wa mazingira ni msingi wa ustawi wa afya ya jamii Upatikanaji wa vyoo bora na maji safi na salama kunatajwa kama moja ya huduma bora ambazo binadamu anazihitaji katika mazingira yake ili kuweza kujikinga na magonjwa mbalimbali ya kuambukiza. Hii ni kutokana kwamba huduma hizo zina mchango mkubwa katika kujenga uchumi imara kwani kuzikosa katika maeneo ya kazi, taasisi za elimu, majumbani kuna madhara makubwa katika kupunguza uzalishaji. Kutokana na jambo hilo, Novemba 19 kila mwaka ni Siku ya Choo Duniani ambapo dunia hukumbushwa kuwa choo na huduma za maji safi ambazo hazipewi umuhimu zinaweza kuchangia ukuaji wa uchumi. Hii ni siku rasmi ya Umoja wa Mataifa ambayo inaadhimishwa ili kuhamasisha hatua za kukabiliana na tatizo la usafi wa mazingira duniani. Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa watu bilioni 3.5 ulimwenguni bado wanaishi bila vyoo safi na salama ikijumuisha na watu milioni 419 wanajisaidia haja kubwa maporini au sehemu nyingine tofauti na chooni. Nchini Tanzania kulingana na Utafiti wa Demografia na Afya pamoja na Utafiti wa Viashiria vya Malaria (TDHS-MIS) wa mwaka 2022, asilimia 18.1 ya kaya zina miundombinu duni ya usafi wa mazingira, huku asilimia 9.7 ya watu wakijihusisha na kujisaidia sehemu za wazi. Hali hii ina maana kwamba wanajisaidia katika maeneo ambayo hayana vyoo kabisa, kama vichakani, mashambani, au maeneo mengine yasiyo rasmi. Ukosefu huu wa huduma bora za usafi una athari kubwa kwa afya ya jamii, ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa magonjwa yanayohusiana na maji na usafi kama vile kuhara, minyoo, na magonjwa ya ngozi. Kwa Tanzania siku hii huadhimishwa na Serikali na wadau mbalimbali kwa kutoa elimu kupitia njia mbalimbali kama vile vyombo vya habari, makongamano na mitandao ya kijamii kuelezea umuhimu wa huduma hizo kwa jamii. Wadau mbalimbali ikiwemo Shirika la WaterAid wamekuwa wakishirikiana na Serikali kuhakikisha upatikanaji wa vyoo bora pamoja na huduma za maji safi za salama kwa jamii. Moja ya malengo makuu ya WaterAid ni kuhakikisha jamii zinapata huduma endelevu za vyoo bora, usafi wa mazingira na binafsi kupitia utoaji elimu na kusisitiza mwenendo wa tabia za usafi pamoja na maji safi kwa ajili ya matumizi ya kila siku kama vile kunawa mikono kwa wahuduma wa afya kila mara baada ya kutuo huduma kwa wagonjwa kama kina mama wakati wa kujifungua, wanafunzi mashuleni katika kupata maji ya kunywa salama na kunawa lakini pia kwenye jamii kupika na kunywa. Aidha, WaterAid inawekeza katika ujenzi wa vyoo bora kwa kufahamu kwamba upatikanaji wa vyoo bora ni sehemu muhimu ya afya na ustawi wa jamii yenye kuleta amani na maendeleo kutokana na kuepeuka magonjwa yanayozuiwa. Haya yanajidhihirisha kupitia mradi wa “kubadili tabia siha shuleni na katika vituo vya kutolea huduma za afya’ ambao unatekelezwa na shirika hilo katika wilaya za Kisarawe mkoani Pwani na Hanang mkoani Manyara. Mradi huo ambao unahusisha ujenzi na ukarabati wa vyoo mashuleni pamoja na kwenye vituo vya kutolea huduma za afya, ujenzi wa miundombinu ya kuvunia maji ya mvua pamoja na mifumo ya maji ya kunywa na kunawa mikono umesaidia kwa kiasi kikubwa kubadili tabia za wanajamii wa maeneo hayo. Katika Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani mradi mwingine kama huo umeleta mapinduzi makubwa katika kubadili tabia za wananchi huku ukipunguza changamoto za magonjwa kama kipindupindu, kuhara yanayotokana na ukosefu wa vyoo bora na maji safi na salama. Ofisa Afya wa Wilaya ya Kisarawe ambaye pia ni mratibu wa mradi wilayani humo, Kalist Bushui anasema mradi huo unahusisha mbinu za kubadili tabia za wanajamii pamoja na ujenzi na ukarabati wa vyoo mashuleni na vituo vya kutolea huduma za afya. “Katika Wilaya ya Kisarawe mradi huu unatekelezwa katika shule za msingi 30 pamoja na vituo 15 vya kutolea huduma za afya zikiwemo hospitali na zahanati,” anasema Bushui. Anasema kwa upande wa shule mradi umefanikiwa kujenga na kukarabati vyoo na kuvifanya kuwa bora na vya kisasa, ujenzi wa miundombinu ya kuvunia maji ya mvua, ununuzi wa matenki ya kuhifadhia maji, mifumo ya maji safi kwa ajili ya kunywa na kunawa mikono, kutoa vifaa vya kufanyia usafi, sabuni za kunawia mikono, vifaa vya kuchomea taka, ujenzi wa vyumba maalumu kwa ajili ya wanafunzi wa kike kujistiri wakati wa hedhi pamoja na kuanzisha klabu za afya mashuleni. Anasema katika vituo vya kutolea huduma za afya mradi umefanikiwa kujenga na kukarabati vyoo, ujenzi wa miundombinu ya kuvunia maji ya mvua, ununuzi wa matenki ya kuhifadhia maji, mifumo ya maji safi kwa ajili ya kunywa na kunawa mikono, kutoa vifaa vya kufanyia usafi, sabuni za kunawia mikono na vifaa vya kuchomea taka. Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kazimzumbwi iliyopo Kata ya Kazimzumbwi wilayani Kisarawe, Christian Sinkonde anasema mradi huo umesaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza changamoto ya magonjwa, utoro kwa wanafunzi pamoja na kuongeza kiwango cha ufaulu shuleni hapo. “Kabla ya mradi huu hali ya usafi hususani vyoo hapa shule ilikuwa mbaya lakini baada ya kuletewa mradi huu mambo yamebadilika hivi sasa tuna vyoo bora, tuna maji ya kutosha na mifumo ya kisasa ya kunawia mikono na miundombinu inayowawezesha wanafunzi wa kike kuweza kujistiri wanapokuwa katika kipindi cha hedhi ikiwemo chumba maalumu, taulo za kike na maji safi na sabuni,” anasema Sinkonde. Anasema mambo yaliyofanywa na mradi huo yamesaidia kupunguza magonjwa na kuwafanya wanafunzi kuhudhuiria masomo yao vizuri jambo ambalo limeongeza ufaulu na kuifanya shule hiyo kuongoza katika kata hiyo na kuwa shule bora ya 20 kiwilaya. Ofisa Afya Wilaya ya Hanang, Reuben Mangare anasema mradi huo umekuja katika muda muafaka ambapo wilaya hiyo inatoka katika changamoto kubwa ya janga la mafuriko ya matope lililotokea mwaka jana. “Mradi huu umetusaidia kuboresha mazingira na miundombinu ya vyoo na maji katika zahanati mbili za Laganga na Bashang kwa kujenga na vyoo kwa ajili ya wagonjwa na wafanyakazi, kuweka matanki ya maji, kichomea taka shimo maalumu la kuwekea ‘kondo la nyuma’ baada ya mama mjamzito kujifungua ukarabati wa chumba cha kujifungulia kina mama na shimo la kuweka majivu baada ya taka kuchomwa,” anasema Mangare. Anasema kabla ya ujio wa mradi huo zahanati hizo zilikuwa na changamoto kubwa ya maji safi, wagonjwa na wafanyakazi walikuwa wanatumia choo kimoja, hakukuwa na miundombinu ya kuhifadhia taka jambo ambalo lilikuwa linahatarisha afya za wagonjwa, ndugu na wafanyakazi. Ukarabati wa chumba cha kujifungulia kina mama Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya Bashang iliyopo Kata ya Wareta wilayani Hanang, Jabai Qamara anasema wanashukuru sana kwa ujio wa mradi huo kwani umewasaidia kwa kiasi kikubwa katika zahanati hiyo. “Mradi huu umetusaidia kutujengea vyoo bora ambavyo vinahusisha vyoo vya watu wenye mahitaji maalumu (walemavu), kutuwekea mitambo ya kutibu maji na sasa tunapata maji safi ya kunywa, mifumo ya kuvunia maji ya mvua, tanki la lita 60,000 pamoja na muiundombinu ya maji ya kunawia mikono na sabuni,” anasema Qamara. Katika Siku hii ya Choo Duniani 2024, kuna haja Serikali na wafadhili kuweka kipaumbele katika uwekezaji katika miundombinu endelevu ya maji safi, vyoo bora na usafi binafsi (WASH), hasa katika jamii ambazo hazijafikiwa na miundombinu hiuo, ili kuhakikisha kuwa huduma za usafi wa mazingira na maji zinakuwa endelevu, zinalindwa na zinapatikana kwa wote. Upatikanaji wa usafi, usafi wa mazingira salama ni haki ya msingi ambayo lazima ihakikishwe ili kuboresha afya ya jamii, kukuza utu na kuendeleza usawa wa kijinsia kwa wote.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/toleo-maalum/totalenergies-kukidhi-kiu-ya-watanzania-katika-matumizi-ya-nishati-safi-ya-kupikia-4813934
# TotalEnergies kukidhi kiu ya Watanzania katika matumizi ya nishati safi ya kupikia **Dar es Salaam.** Wakati dunia ikipata msu¬kumo mkubwa wa kuhamia katika matumizi ya nishati safi, kampuni ya TotalEnergies ilishachanga karata zake vyema. Ikiwa na uelewa na uongozi wa soko, uzoefu na bidhaa bora za nishati, kampuni hiyo ilishatambua mahitaji yanayoongezeka ya kila siku ya nishati safi ikiwamo zile za kupikia. Akifanya mazungumzo na gazeti hili, Mku¬rugenzi wa Sheria na Uhusiano wa TotalEn¬ergies Marketing Tanzania Limited Getrude Mpangile amesema mwaka 2021 wakati wanabadilisha jina kutoka ‘Total’ na kuwa ‘TotalEnergies’ hatua hiyo ililenga kubadili mtazamo wao kutoka kwenye biashara ya nishati ya mafuta pekee na kwenda katika nishati safi na salama. "Mwaka 2021, wakati bodi inaazimia na kupitisha uamuzi wa kubadili jina kutoka Total kwenda TotalEnergies haikuwa tu kwa sababu ya jina bali kubadili mtazamo wetu kwenda kwenye nishati safi na salama," amesema Getrude. Katika kutekeleza ajenda hiyo kwa vitendo, amedokeza kuwa kampuni hiyo imezindua mitungi ya gesi ya kupikia ya TotalEnergies Gas ili kuwawezesha Watanzania kutumia nishati safi za kupikia zenye faida lukuki ikilinganishwa na nishati za jadi. "Pengine mtauliza kwanini tumezindua sasa na si wakati mwingine wowote, jibu ni kuendana na kasi ya mahitaji ya nishati safi duniani. Lakini pili, wakati tunajiandaa na mkakati wetu wa kampuni wa mabadiliko kwenda kwenye nishati safi tumekuta Serikali nayo inazindua Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia, hivyo imekuwa kama bahati kwetu." Akizungumzia ubora na utofauti wa mitun¬gi hiyo, Getrude amesema wameleta bidhaa hiyo sokoni kuwapatia Watanzania uzoefu mpya kupitia mitungi hiyo iliyobuniwa kisasa kwa rangi zenye mvuto, ujazo unaostahili, usalama na gharama nafuu. "Hata ukiangalia muonekano wake ni wa kuvutia na wa kipekee, lakini kwa juu ya eneo la kufungulia limezingatia usalama wa mtumiaji. Mitungi hii kama kampuni tunapambana ifikie mikoa yote licha kwa sasa imeshafikia mikoa ya Dar es Salaam na Pwani huku gharama yake ikiwa ni ile anayoweza kumudu kila Mtanzania." Getrude amesema kampuni hiyo imejid¬hatiti kuwekeza takribani Sh16 bilioni (Dola za Marekani milioni 7) kwa mwaka katika nishati safi ya kupikia, kiasi ambacho kitatu¬mika katika utafiti, utoaji elimu, na kuweka miundombinu ya usambazaji wa nishati safi ya kupikia. Kupitia mpango huo wa uwekezaji, ame¬sema wanaamini Watanzania wengi zaidi watahamasika kutumia nishati safi ya kupikia katika biashara zao na kuachana na nishati zisizo safi zenye athari nyingi kwa ustawi wao. "Nishati safi zina faida nyingi. Zinatunza mazingira, zina ufanisi mkubwa na kuokoa muda, yaani muda ambao ungetumika na kwenda kukata kuni badala yake utatumika kufanya shughuli nyingine za uzalishaji mali." Amebainisha kuwa pia nishati hizo zina faida za kiafya ambapo kundi kubwa la akina mama watajikinga dhidi ya mata¬tizo ya mfumo wa upumuaji, kifua na macho yasababishwayo na hewa ukaa wanayoivuta wakati wa mapishi. Alipoulizwa kuhusu changamoto zinazo¬chelewesha ajenda ya nishati safi za kupikia nchini kufikia matarajio yake, amesema bado idadi ya Watanzania wanaoutumia nishati zisizo safi ni wengi licha ya jitihada zinazofanywa lakini anaamini mabadiliko yanawezekana na muda si mrefu tutafikia malengo yaliyowekwa. **Wito** Getrude amewaomba Watanzania kuacha¬na na matumizi ya nishati zisizo safi kwani hivi sasa bidhaa za gesi safi za kupikia zimesambaa nchini kote. Pia, amewahimiza kutumia gesi ya kupikia ya TotalEnergies ambayo ina faida lukuki ikiwamo usalama, ufanisi na unafuu. "Kwa sasa mitungi ya gesi inapatikana katika vituo vya TotalEnergies na mawakala walioidhinishwa Dar Es Salaam na Pwani lakini lengo ni kusambaza nchi nzima lakini tunahitaji mtandao wa mawakala wakubwa kufanikisha hili na hapa nitoe rai kwa wafan¬yabiashara kuchangamkia fursa hii ya kusam¬baza mitungi hii kwa wateja wa mikoani." Amesema pamoja na mambo mengine mawakala watakaokuwa tayari kufanya biashara nao watafaidika kwa kupatiwa elimu ya uendeshaji biashara kwa weledi. Akihitimisha mazungumzo hayo, ame¬waomba pia wamiliki wa vyombo ya moto kufika katika vituo vya mafuta vya TotalEn¬ergies ambavyo ni jumuishi na vinawezesha wateja kupata huduma mseto wawapo vitu¬oni hapo ikiwamo huduma za matengenezo, ubadilishaji oili, uoshaji chombo na huduma za miamala ya fedha migahawa,ma kupata mahitaji ya nyumbani kwenye maduka ya Bonjour.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/toleo-maalum/benki-ya-crdb-yasaini-mkataba-wa-dola-320-milioni-na-dfc-citi-kusaidia-wajasiriamali-tanzania-na-burundi-4781930
# Benki ya CRDB yasaini mkataba wa Dola 320 milioni na DFC, Citi kusaidia wajasiriamali Tanzania na Burundi Benki ya CRDB imengia makubaliano ya mkopo wenye thamani ya Dola za Marekani Milioni 320 na Shirika la Fedha la Kimataifa la Marekani (DFC) na Citibank ili kuimarisha uwezo wake wa kutoa mikopo kwa ajili ya biashara ndogo, hususan zile zinazomilikiwa na kuongozwa na wanawake na vijana. Utiaji saini wa makubaliano hayo ulifanyika kwenye Makao Makuu ya Citibank yaliyopo jijini New York, kando ya Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa, na kuhudhuriwa na Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa, Waziri wa Uwekezaji na Mipango, Profesa Kitila Mkumbo, na ujumbe wa viongozi waandamizi kutoka Tanzania. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela, alisema katika hafla hiyo, "*Mkopo huu wa Dola za Marekani milioni 320 utaongeza upatikanaji wa fedha kwa ajili ya ufadhili wa biashara ndogo na za kati zinaozoongozwa na wanawake na vijana nchini Tanzania na Burundi, na kuwawezesha wajasiriamali kuwa wabunifu na hatimaye kuchochea ukuaji endelevu. * *Tuna imani kwamba fedha hizi hazitachochea tu uwezeshaji wa wajasiriamali nchini lakini pia kukuza usawa wa kijinsia, zikiwapa wajasiriamali wanawake msaada wanaouhitaji ili kustawi na kuchangia katika maendeleo ya kiuchumi*.” Mbali na hayo, fedha kutoka DFC na Citibank zitaimarisha juhudi za Benki ya CRDB za kuchechemua ukuaji wa uchumi jumuishi katika ukanda wa Afrika Mashariki, ikiwa ni sehemu ya mpango mkakati wake wa miaka mitano unaolenga kusaidia kundi la wajasiriamali. Nsekela alibainisha kuwa, pamoja na na kuwa na bidhaa za kifedha bunifu, benki hiyo kupitia taasisi yake tanzu ya CRDB Bank Foundation, imeweka msisitizo mkubwa katika kuwajengea uwezo wajasiriamali vijana na wanawake kupitia mafunzo ya elimu ya fedha na ujasiriamali. "*Ushirikiano huu na DFC na Citibank utachochea zaidi juhudi hizi*," Nsekela aliongeza. Mradi huo utasaidia zaidi ya biashara ndogo 4,500 nchini, zikitajwa kuwa miongoni mwa masoko yenye nguvu barani Afrika. Dola za Marekani Milioni 60 zitasaidia biashara ndogo za Kitanzania zinazomilikiwa au kuoongozwa na wanawake ambazo zimekidhi masharti ya Mpango wa DFC wa 2X wa uwezeshaji wanawake, zitakazosaidia kutatua changamoto mbalimbali za kiuchumi ambazo wanawake wanakabiliana nazo duniani kote. Inaelezwa pia kiasi cha Dola za Marekani Milioni 25 zitaenda kusaidia biashara ndogo ndogo nchini Burundi. Nsekela alitoa shukurani kwa wadau wote waliohusika, akipongeza kazi kubwa ililofanywa na Serikali za Tanzania na Burundi katika kuweka mazingira wezeshi kwa ushirikiano huo. "*Sera na mifumo wezeshi iliyowekwa na Serikali zetu imekuwa muhimu katika kuvutia uwekezaji wa kimataifa, ambao ni muhimu katika kuendeleza ajenda yetu ya maendeleo*," Nsekela alibainisha. Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa DFC, Nisha Biswal alisisitiza dhamira ya dhati ya shirika hilo, akisema, "*DFC imejidhatiti kukuza uchumi wa Tanzania, kwa kuzingatia uwekezaji ambao unaleta athari chanya kwa jamii. Mkopo huu utasaidia maelfu ya wafanyabiashara wadogo ambao ni mhimili wa maendeleo ya kiuchumi*." Mkopo huo unaakisi dhamira ya DFC ya kupanua uhusiano wake nchini ili kuimarisha ushirikiano wake uliopo na kutafuta fursa mpya za ushirikiano, kuendeleza usalama wa kiuchumi katika ukanda wa Afrika Mashariki na kote barani Afrika. Mkopo huu ni matunda ya kazi kubwa iliyowahi kufanyika hapo awali kati ya DFC, Benki ya CRDB pamoja na USAID/Tanzania kusaidia wafanyabiashara wadogo wa Kitanzania, ikijumuisha dhamana ya Dola za Marekani milioni 20 kusaidia utoaji mikopo kwa wafanyabiashara wadogo kwa lengo la kutoa huduma za elimu na kuzifikia sekta zisizo rasmi huku Dola za Marekani milioni 4 zikijikita kuongeza upatikanaji wa fedha kwa wanawake na vijana wanaokopa katika sekta ya afya. Afrika ndiyo eneo la kipaumbele la uwekezaji wa DFC duniani kote. Kwa sasa shirika hilo lina zaidi ya Dola za Marekani bilioni 11 zilizoenda katika miradi ya uwezeshaji fedha kwa wajasiriamali barani Afrika, uwiano mkubwa zaidi wa fedha za uwekezaji duniani. Kwa upande wake, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Citi Tanzania na Mkuu wa Huduma za Benki, Geofrey Mchangila alisema kuwa: *"Kama Citi, tunaendelea kupambana kutekeleza ajenda yetu ya uwezeshaji fedha kwa makundi mbalimbali ya kijamii kupitia ushirikiano wenye ubunifu kama huu*. Lengo letu ni kusaidia kujenga thamani halisi ya kiuchumi nchini Tanzania kusaidia malengo ya ujumuishi wa kifedha kupitia uwezeshaji wa wafanyabiashara wadogo kwa kukata kiu ya huduma za kifedha ambayo ilikuwa haijapatiwa ufumbuzi. Makubaliano haya ni sehemu ya ahadi yetu ya uchangiaji Dola za Marekani trilioni 1 kwenye miradi endelevu ya kifedha ifikapo 2030, inayolenga kuongeza upatikanaji wa ajira, fedha, miundombinu ya msingi na huduma kwa jamii zenye kipato cha chini katika masoko yanayokua kwa kasi. Kwa kutambua kuwa kesho iliyobora inategemea uwezeshaji wa wanawake na vijana, Benki ya CRDB imekuwa mstari wa mbele katika uwezeshaji kundi hili nchini Tanzania, ikitengeneza fursa zinazochochea ukuaji wa uchumi wa nchi. Kama taasisi ya fedha inayoongoza nchini, imekuwa nguzo muhimu katika kuzishika mkono Biashara Ndogo Ndogo na za Kati, hususan zinazomilikiwa na wanawake na vijana, kuwezesha kustawi na kuwa vichocheo muhimu vya uimarishaji wa uchumi wa Tanzania. Ikiwa na kampuni zake tanzu nchini Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Benki hiyo pia inawaweka wafanyabiashara wadogo wadogo, wadogo na wa kati wa Kitanzania kutumia fursa mpya za kikanda kupitia Eneo Huru la Biashara barani Afrika (AfCFTA). Kwa kuunganisha biashara za Kitanzania na soko la zaidi ya wateja bilioni 1.3 barani Afrika, Benki ya CRDB inafungua fursa kubwa za kiuchumi kwa wajasiriamali wa Tanzania, ili watimize ndoto zao za kutambulika kama wafanyabiashara wakubwa barani Afrika. Katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, Benki ya CRDB imetoa zaidi ya Sh 4 trilioni kuwawezesha wafanyabiashara wadogo wadogo, wadogo na wa kati katika sekta mbalimbali, huku kipaumbele kikienda kwenye biashara zinazomilikiwa na wanawake kupitia huduma yake ya CRDB Malkia. Hatua hii sio tu imeongeza upatikanaji wa mitaji kwa wajasiriamali wanawake lakini pia imewawezesha kukuza biashara zao na kuchangia katika maendeleo ya uchumi wa Tanzania.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/toleo-maalum/ggml-yatoa-sh200-milioni-kudhamini-maonyesho-ya-saba-ya-teknolojia-ya-madini-mkoani-geita-4781440
# GGML yatoa Sh200 milioni kudhamini Maonyesho ya Saba ya Teknolojia ya Madini mkoani Geita Geita Gold Mining Limited (GGML), kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti, imeendelea kuonyesha dhamira yake ya kuleta maendeleo ya kiuchumi na kijamii nchini Tanzania kwa mara nyingine tena, kwa kudhamini Maonyesho ya Saba ya Teknolojia ya Madini Geita kwa kutoa mchango wa Sh 200 milioni. Maonyesho haya yanatarajiwa kufanyika kuanzia Oktoba 2 hadi 13, 2024, na yatatoa fursa kwa GGML kuonyesha uvumbuzi wake wa kiteknolojia, uzingatiaji wa maudhui ya ndani, na uwekezaji wake wa kijamii kupitia miradi mbalimbali ya Uwajibikaji kwa Jamii wa Kampuni (CSR). Aidha, maonyesho haya yatafunguliwa rasmi Oktoba 5, 2024 na Dk Doto Mashaka Biteko (Mb), Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, ambaye ameonyesha uongozi imara katika sekta ya madini nchini. Hafla ya kufunga maonyesho hayo itafanyika Oktoba 13, 2024, ambapo Dk Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi. Maonyesho haya ya kila mwaka yanayoandaliwa kwa ushirikiano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE), yanatazamiwa kuwa jukwaa muhimu la kibiashara linalokutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya madini na sekta nyingine zinazohusiana. Washiriki wa maonyesho haya wanapata fursa ya kujadili changamoto, uvumbuzi, na fursa za kiuchumi zinazojitokeza, huku pia wakishuhudia jinsi kampuni kama GGML inavyochangia maendeleo endelevu ya Taifa kupitia teknolojia na uwekezaji wa ndani. Gilbert Mworia, Meneja Mwandamizi wa Uendelevu wa GGML, alisema, "*GGML imekuwa mdau muhimu katika maonyesho haya ya Teknolojia ya Madini kwa miaka saba mfululizo, na tuna furaha kubwa kushiriki tena mwaka huu. * *Mchango wetu kwenye maonyesho haya sio tu msaada wa kifedha, bali pia tunalenga kuimarisha mahusiano yetu na wadau wakuu kama vile Serikali za mitaa, wachimbaji wadogo, na biashara za ndani. Tunaamini kuwa teknolojia bora na ushirikiano wa kweli vinaweza kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya madini*." Kupitia mpango wake wa urudishaji kwa jamii, GGML inatekeleza miradi mbalimbali inayoimarisha jamii za Geita na maeneo jirani. Mradi wa ujenzi wa viwanja vya Maonyesho ya EPZA huko Geita ni mojawapo ya miradi mikubwa iliyofadhiliwa na GGML ambao unalenga kubuni miundombinu inayochochea ukuaji wa kiuchumi katika sekta mbalimbali. Maeneo hayo yatatumika kwa shughuli za kibiashara na teknolojia kwa miaka mingi ijayo, huku yakifungua milango kwa wawekezaji na wabunifu wapya. Kwa mujibu wa dira yake ya muda mrefu, GGML inaunga mkono kikamilifu jitihada za Serikali ya Tanzania za kukuza uchumi wa madini. Hii ni sambamba na lengo la Serikali la kuhakikisha sekta ya madini inachangia angalau asilimia 10 ya Pato la Taifa ifikapo mwaka 2025. Ushiriki wa GGML katika maonesho haya ni ishara ya wazi ya azma yake ya kusaidia kufanikisha lengo hili kwa kutumia teknolojia za kisasa na kutoa fursa za ajira na mafunzo kwa Watanzania. Tangu kuanzishwa kwake mwaka 2000, GGML imeendelea kuwa mshirika muhimu katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi ya jamii inayozunguka mgodi wa Geita. Kupitia miradi mbalimbali ya CSR, GGML imewekeza katika sekta za afya, elimu, miundombinu, na ujasiriamali, huku ikilenga kuboresha maisha ya Watanzania na kuleta mabadiliko endelevu. Hii inaonyesha kuwa kampuni hiyo inabaki kuwa kielelezo bora cha uwajibikaji wa kampuni na mshirika wa kweli wa maendeleo kwa Tanzania.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/toleo-maalum/sababu-10-1xbet-kuwa-chaguo-bora-kwa-watanzania-4780758
# Sababu 10 1xBet kuwa chaguo bora kwa Watanzania **Dar es Salaam.** Michezo ya Kubashiri nchini Tanzania inazidi kuwa maarufu, na ni muhimu kwa wachezaji kuchagua mtandao unaotoa masharti bora zaidi. 1xBet ni kampuni maarufu ya kimataifa ya Michezo ya Kubashiri inayozingatia usawa wa wateja na inafanya kila juhudi kutoa mchezo kwa masharti bora zaidi. sababu 10 zinazofanya 1xBet kuwa chaguo bora kwa maelfu ya Watanzania. **1. Kampuni ya kimataifa inayoendana na mahitaji ya watanzania** 1xBet ni kampuni ya kimataifa inayotoa huduma duniani kote, ikiwemo Tanzania. Kampuni hii in website inayopatikana kwa lugha zote mbili Kiswahili na Kiingereza, hivyo kufanya kuwa rahisi kwa watumiaji wetu. inatumia shilingi ya Kitanzania kuweza kubashiri, hivyo hutahitaji kubadilisha fedha na kupoteza kwenye kiwango cha ubadilishaji. Ukiwa na 1xBet, huna haja ya kuwa na wasiwasi — hakuna matata! **2. Bonasi ya amana ya kwanza hadi shilingi 600,000** Mchezaji mpya wa 1xBet hapati tu mtandao wenye urahisi bali pia ofa za faida. Bonasi ya amana ya kwanza ni 200% na inaweza kufikia shilingi 500,000, na kwa kutumia “promo code”, kiasi hiki kinaweza kuongezeka hadi Zaidi ya shilingi 600,000 Kwa mteja, hii ni fursa nzuri ya kupata faida ya ziada na kuongeza mtaji wa kuanzia. **3. Usajili wa haraka na rahisi kwa dakika chache** 1xBet inatoa njia kadhaa za usajili, kwa kubofya mara moja, kwa nambari ya simu, kupitia barua pepe, au mitandao ya kijamii. Unaweza pia kujisajili kwa kutumia VPN au moja kwa moja kwenye App. Haijalishi chaguo lako, mchakato huu utachukua dakika chache tu, jambo ambalo ni muhimu hasa kwa wale wanaotaka kuanza kubashiri haraka iwezekanavyo. **4. Aina mbalimbali za michezo ya kubashiri na michezo ya mtandaoni** Wachezaji kutoka Tanzania wanaweza kutabiri michezo maarufu, ikiwemo mpira wa miguu, mpira wa kikapu, au tenisi ya meza, na kufurahia michezo ya gemu kwenye sehemu ya 1xGames. Zaidi ya hayo, 1xBet inatoa nafasi za kubashiri kwenye michezo ya kielektroniki, burudani za kipindi, utabiri wa hali ya hewa, na mengine mengi. **5. Viwango vya juu vya kubashiri vinakupa nafasi ya kushinda kiasi kikubwa zaidi** 1xBet inatoa viwango bora vya kubashiri kwenye matukio makubwa ya michezo. kabla ya mechi na live. Hii inatoa fursa kubwa kwa wale wanaoamini katika bahati yao na wako tayari kuijaribu. **6. Njia za kuaminika za kuweka na kutoa fedha** Kwa Watanzania, kuweka fedha kwenye akaunti na kutoa ushindi lazima iwe njia ya kuaminika na ya haraka. 1xBet inatoa njia rahisi za kuweka amana kwa kutumia mifumo ya malipo ya hapa nchini. Wachezaji pia wanaweza kubashiri kwa kutumia shilingi ya Kitanzania, jambo linalorahisisha na kuharakisha miamala ya kifedha. Huna haja ya kuwa na wasiwasi— 1xBet itakufanyia kila kitu. **7. Fursa mbalimbali na promosheni za ndani** 1xBet haitoi tu matukio mengi ya michezo bali pia hushikilia promosheni maalum. Miongoni mwa promosheni maarufu ni “No Risk Bet” ambapo watumiaji wanaweza kupata faida kwenye mechi kubwa za mpira wa miguu kwa kutoa utabiri sahihi wa matokeo. Machaguo mengine ni promosheni za kawaida kama “Hyper Bonus” hadi 250%, “Goaless Football” n.k. Unaweza kupata orodha kamili kwenye sehemu ya “Promo”. **8. App ya simu ya mkononi yenye urahisi** Watanzania wanathamini urahisi wa kubashiri wakati wowote. Programu ya 1xBet ya simu haihitaji kumbukumbu kubwa, hivyo inawawezesha wachezaji kutoa utabiri, kuweka na kutoa fedha kwa haraka. Programu ya iOS ni rahisi kupatikana kwenye App Store, wakati programu ya Android inaweza kupakuliwa kutoka kwenye tovuti rasmi ya kampuni ya kubashiri. **9. Matangazo ya mechi moja kwa moja na uchambuzi** 1xBet inakupa sio tu nafasi ya kuweka bashiri bali pia kuangalia mechi moja kwa moja kwenye tovuti au programu. Matangazo ya moja kwa moja yanakuruhusu kufuatilia matukio kwa muda halisi (Live) bila kukosa nyakati muhimu. Kampuni ya kubashiri pia inatoa ufikiaji wa data za uchambuzi, jambo linalowasaidia wateja wake kufanya maamuzi bora zaidi ya kubashiri. Hii inatoa thamani ya ziada kwa wale ambao hawataki tu kujaribu bahati bali pia kuboresha ujuzi wao wa uchambuzi wa michezo. **10. Ubora wa 1xBet unathibitishwa na tuzo za kimataifa** 1xBet ni Kampuni ya kimataifa inayounga mkono vilabu na ligi maarufu duniani. Kampuni ya kubashiri ni mshirika rasmi wa FC Barcelona, Paris Saint-Germain, LOSC Lille, Serie A, na Shirikisho la Soka la Afrika (CAF). Mtazamo wa kampuni hii kwenye soko la Afrika umethibitishwa na hadhi ya kifahari ya “Best Sportsbook Operator in Africa” iliyotolewa katika Tuzo za SiGMA Africa 2024. 1xBet siyo tu kubashiri, bali pia ni fursa nyingi za kufurahia na kupata faida. Jaribu mwenyewe na uone kwamba kucheza na 1xBet ni kufurahisha, rahisi, na kunalipa.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/ahukumiwa-kifungo-cha-maisha-jela-kwa-kumbaka-mtoto-wa-miaka-minane-4830582
# Ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumbaka mtoto wa miaka minane ## Muktasari: **Samwel ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Shirima wilayani Kwimba Mkoa wa Mwanza amekutwa na kosa la kumbaka mtoto wa miaka minane** **Mwanza. **Mahakama ya Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza, imemhukumu Samwel Anthony (34) kifungo cha maisha jela baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumbaka mtoto wa miaka minane. Anthony ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Shirima wilayani Kwimba mkoani humo, ametenda kosa hilo Agosti 16, 2024. Hukumu ya Anthony imetolewa baada ya Mahakama kuwasikiliza mashahidi watano wa Jamhuri, akiwamo mwathiriwa wa ukatili huo (jina linahifadhiwa) na kujiridhisha kwamba alitenda kosa hilo. Wakati wa kumsomea maelezo ya awali katika shauri hilo la jinai namba 24025/2024, Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Juma Kiparo aliieleza Mahakama kuwa mwathiriwa alitendewa kitendo hicho na Anthony alipokuwa akitoka dukani kununua mahitaji aliyoagizwa na mama yake. “Mwathiriwa alitendewa kitendo hicho wakati ameagizwa na mama yake dukani na wakati anarudi ndipo Samwel alimvuta nyuma ya nyumba yake kisha kumfanyia ukatili huo,” amesema Kiparo. Kwa mujibu wa Kiparo, mshtakiwa alitenda kosa hilo kinyume na kifungu cha 130 (1)(2)(e) na 131 (3) cha Kanuni ya Adhabu sura ya 16, Marejeo ya mwaka 2022. Baada ya kusomewa maelezo ya awali, mshtakiwa alikiri kutenda kosa hilo na kuiomba Mahakama kumpunguzia adhabu kwa kile alichodai anasumbuliwa na tatizo la mapafu na anategemewa na watoto watano akiwamo mmoja mwenye ulemavu wa viungo. “Mheshimiwa naomba kupunguziwa adhabu kwa sababu mimi ni mgonjwa wa mapafu, pia nina watoto watano mmoja mlemavu, wote wananitegemea, nina mdogo wangu ambaye ninamlea ni mgonjwa…mke wangu nitamuachia mzigo mkubwa kuilea hiyo familia,” amesema Anthony. Hakimu Mkuu wa Mahakama hiyo, Dastan Ndeko ametoa hukumu ya kifungo cha maisha jela kwa Anthony, leo Jumatano Novemba 20. “Mshtakiwa (Anthony) Mahakama hii imekutia hatiani kwa kosa la kumbaka mtoto mdogo wa miaka minane kinyume cha sheria. Hivyo, inakuhukumu kutumikia kifungo cha maisha jela,” amesema Hakimu Ndeko. Baada ya kuhukumiwa kifungo hicho, Anthony amechukuliwa na maofisa wa Jeshi la polisi kupelekwa gerezani kwa ajili ya kuanza kutumikia kifungo chake.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/wawili-kizimbani-wakidaiwa-kukwepa-kodi-ya-tra-4830612
# Wawili kizimbani wakidaiwa kukwepa kodi ya TRA ## Muktasari: **Wanakabiliwa na makosa tisa, yakiwamo ya kughushi nyaraka za kiwanja, kukwepa kodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kutakatisha Sh54 milioni** **Dar es Salaam**. Wakazi wawili jijini hapa wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakishtakiwa kwa makosa tisa yakiwamo ya kughushi nyaraka za kiwanja, kukwepa kodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kutakatisha Sh54 milioni. Washtakiwa hao ni Mohamed Awadhi (49) na Kassim Simba (56) wanaodaiwa kukwepa kodi ya TRA kwa kulipa Sh54 milioni baada ya kudanganya kiwanja kilichopo Kariakoo wamenunua kwa Sh190 milioni badala ya thamani halisi ya Sh900 milioni. Awadhi mkazi wa Upanga na Simba, anayeishi Kipunguni B, wamefikishwa mahakamani leo Novemba 20, 2024 wanakokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Beda Nyaki. Mashtaka yanayowakabili, matatu ni ya kughushi nyaraka, kuwasilisha nyaraka za uongo, kukwepa kodi na kutakatisha fedha. Wakili wa Serikali, Tumaini Mafuru amedai washtakiwa walitenda makosa hayo katika tarehe tofauti kati ya Machi 30 hadi Julai 30, 2014 ndani ya Mkoa wa Dar es Salaam. Upande wa mashtaka pia unawakilishwa na Wakili Aaron Titus. Mafuru amedai washtakiwa wanakabiliwa na mashtaka matatu ya kugushi, wakidaiwa kughushi nyaraka mbalimbali ikiwamo fomu ya ardhi namba 35 inayohusu kiwanja namba 9 kitalu namba 14. Inadaiwa washtakiwa waligushi nyaraka hiyo wakionesha Mohamed Awadhi, amenunua kiwanja hicho kwa Sh190 milioni kutoka kwa wanafamilia wanne Kasim Yusuph, Ramadhani Yusuph, Fatuma Yusuph na Mwanahamisi Yusuph wakati wakijua si kweli. Kwa tarehe hizo, wanadaiwa walighushi mkataba wa manunuzi wa Machi 20, 2014 wakionyesha Mohamed Awadhi amenunua kiwanja hicho, wakati si kweli. Washtakiwa pia wanadaiwa kughushi ripoti ya tathmini ya ardhi wakijaribu kuonyesha tathmini iliandaliwa na Mamlaka ya Ardhi kupitia mtathmini daraja la tatu, Pili Ngobeka wakionyesha kuwa kiwanja hicho kina thamani ya Sh190 milioni. Mafuru amedai Mei 14, 2014, katika Ofisi ya Usajili wa Hati iliyopo Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam waliwasilisha nyaraka za kughushi ambazo ni ripoti ya Tathmini ya Ardhi na fomu ya ardhi, huku mkataba wa mauziano wa kughushi wakiuwasilisha TRA. Inadaiwa kati ya Machi 20 na Julai 30, 2014, katika ofisi za TRA, washtakiwa kwa nia ovu, katika mchakato wa kufanya uhamisho wa umiliki wa kiwanja hicho kilichopo Kariakoo waliipatia TRA hasara ya Sh54.8 milioni. Inadaiwa kwa kitendo hicho, mshtakiwa Awadhi alikwepa kodi binafsi ya Sh54.8 milioni kwa kulipa kiasi kidogo cha kodi baada ya kudanganya kiwanja alinunua Sh190 milioni badala ya thamani halisi ya Sh900 milioni. Katika shtaka la kutakatisha fedha, Mafuru anadai kati ya Machi 20 na Julai 30, 2014, katika ofisi za TRA na maeneo mengine, washtakiwa walijihusisha na muamala wa Sh54.8 milioni huku wakijua fedha hizo ni mazalia ya kosa tangulizi la ukwepaji kodi. Washtakiwa hawakutakiwa kujibu chochote kutokana na Mahakama hiyo kutokuwa na uwezo wa kisheria wa kusikiliza kesi hiyo. Upande wa mashtaka umedai upelelezi wa shauri hilo umekamilika, hivyo umeomba tarehe nyingine kwa ajili ya kutajwa na kuwasilisha kibali kutoka kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kuruhusu Mahakama hiyo kusikiliza shauri hilo. Hakimu Nyaki alikubali ombi la upande wa mashtaka na kuahirisha kesi hiyo hadi Desemba 3, 2024. Washtakiwa wamerudishwa mahabusu kutokana na shtaka la kutakatishaji fedha kutokuwa na dhamana.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kimataifa/trump-kutimua-wahamiaji-wakenya-30-000-marekani--4830574
# Trump kutimua wahamiaji Wakenya 30,000 Marekani? **Washingto**n. Zaidi ya Wakenya 30,000 wanaoishi nchini Marekani bila vibali halali wanakabiliwa na hatari ya kufukuzwa, kutokana na mipango ya utawala wa Rais mteule Donald Trump kuimarisha usalama wa mipaka na kuchukua hatua kali dhidi ya wahamiaji haramu. Kwa mujibu wa taarifa za kituo cha televisheni cha NDTV cha India, Trump amedhamiria kutangaza hali ya dharura ya kitaifa kuhusu usalama wa mipaka, hatua inayolenga kuziba mianya inayoruhusu wahamiaji kuingia na kuishi nchini humo kinyume cha sheria. Mpango huu pia unahusisha kutumia vikosi vya kijeshi kusaidia utekelezaji wa sera za uhamiaji, jambo ambalo limeibua mjadala mkali nchini Marekani. Kutekeleza mpango huo, Trump ameanza kuteua viongozi wenye misimamo mikali kuhusu uhamiaji kushika nafasi muhimu katika Serikali yake, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuhakikisha ahadi zake za kampeni kuhusu uhamiaji zinatimizwa. Hatua hizi zimezua hofu miongoni mwa wahamiaji kutoka mataifa mbalimbali, wakiwemo Wakenya wanaoishi Marekani bila vibali halali. Trump, ambaye ni miongoni mwa viongozi wanaotumia sana mitandao ya kijamii, Novemba 18, alichapisha tena ujumbe kupitia ukurasa wa X (zamani wa Twitter) wa mshirika wake, Tom Fitton ambaye ni mkuu wa shirika la uangalizi wa masuala ya kisheria. Fitton alidai utawala mpya umejipanga kutumia jeshi kutekeleza operesheni hiyo, hasa kwa wahamiaji haramu kutoka Afrika waliovuka mipaka kinyume cha sheria. Kwa mujibu wa takwimu za Ofisi ya Sensa ya Marekani ya mwaka 2020, kuna jumla ya wahamiaji haramu milioni 11 nchini Marekani, wakiwemo Wakenya 30,000. Idadi hiyo inatarajiwa kuwa kubwa zaidi mwaka 2024. Marekani inahifadhi idadi kubwa ya wahamiaji wa Kenya (157,000), ikifuatiwa na Uingereza (139,000), na Kenya inashika nafasi ya tano kati ya nchi za Kiafrika zenye wahamiaji wengi Marekani, huku nchi ya Nigeria ikishika nafasi ya kwanza. Hatua ya Trump imeongeza hofu ya kufukuzwa kwa Wakenya hao, wengi wao wakiwa wameishi Marekani kwa miaka mingi na kujenga maisha yenye heshima. Mbali na hilo, tishio lingine linalozua wasiwasi ni mabadiliko yanayoweza kuathiri mpango wa Mafunzo ya Hiari kwa Vitendo (OPT). Programu hii huwapa wanafunzi wa kimataifa fursa ya kupata uzoefu wa kazi katika taaluma zao kwa hadi miaka mitatu baada ya kuhitimu. Wakati wa muhula wake wa kwanza baada ya uchaguzi wa 2016, Trump alifikiria kuweka vikwazo kwenye OPT, hasa kwa wanafunzi wa fani za sayansi, teknolojia, uhandisi na hisabati (STEM). Hatua kama hiyo sasa inatishia mustakabali wa wanafunzi wa Kenya wanaotegemea mpango huo. Ili kufanikisha azma yake ya kupunguza uhamiaji haramu, Trump amewateua maofisa wenye msimamo mkali kushika nyadhifa muhimu, akiwemo Gavana wa Dakota Kusini, Kristi Noem, ambaye anasubiri kuthibitishwa na Seneti kuwa Waziri wa Usalama wa Ndani. Kwa sasa, wahamiaji wa Kiafrika, wakiwemo Wakenya, wanasubiri kwa tahadhari kuona namna sera kali za uhamiaji za Trump zitakavyotekelezwa. Tishio hili linaweka hatma ya maelfu ya Wakenya kwenye hali ya wasiwasi mkubwa.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/kombo-wa-chadema-aliyepotea-akashtakiwa-aachiwa-kwa-faini-ya-sh85-000-4830352
Prime # Kombo wa Chadema aliyepotea akashtakiwa, aachiwa kwa faini ya Sh85,000 ## Muktasari: **Kombo alikuwa anakabiliwa na mashtaka matatu chini ya Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta** **Dar es Salaam.** Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Tanga, Kombo Mbwana aliyekuwa mahabusu kwa zaidi ya miezi minne baada ya Mahakama ya Wilaya ya Tanga kumnyima dhamana, amerejea uraiani kwa kulipa faini ya Sh85,000. Kombo ambaye ni Ofisa Habari wa Chadema Mkoa wa Tanga alikuwa anakabiliwa na kesi ya jinai, katika Mahakama ya Wilaya ya Tanga. Katika kesi hiyo ya jinai namba 19759 ya mwaka 2024, Kombo alikuwa anakabiliwa na mashtaka matatu chini ya Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta. Katika shtaka la kwanza alikuwa anadaiwa kushindwa kutoa taarifa za kutosha za akaunti ya kadi yake ya simu, kinyume na kifungu cha 126 cha Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta. Anadaiwa Julai 9, 2024 katika Mtaa wa Hassan Ngwilizi mkoani Tanga, alikutwa akimiliki laini (kadi ya simu) ya Tigo yenye namba (ICCID) 8925502042093621824, iliyosajiliwa kwa jina la Shukru Kahawa na kushindwa kutoa maelezo ya kutosha kuhusu umiliki wa laini hiyo. Pia, alikuwa anadaiwa kushindwa kusajili laini ya simu ambayo awali ilikuwa inamilikiwa na mtu mwingine, na kushindwa kuripoti kuhusu mabadiliko ya laini ya simu. Ingawa mashtaka yake yanadhaminika, Mahakama ya Wilaya Septemba 5 mwaka huu ilifunga dhamana yake, uamuzi uliotolewa na Hakimu Mfawidhi Moses Maroa. Hakimu Maroa alitoa uamuzi huo baada ya kukubaliana na maombi ya Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai mkoa (RCO) wa Tanga, Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP) Manyama Wambura. Wambura aliwasilisha kiapo mahakamani hapo Julai 30, 2024 cha kuzuia dhamana yake, akieleza kuwa bado upelelezi unaendelea na kuna washtakiwa wengine hawajakamatwa, hivyo anaweza kukwamisha upelelezi huo. Kombo kupitia mawakili wake Michael Lugina, Rachel Sadick na Deogratius Mahinyila alikata rufaa Mahakama Kuu kupinga uamuzi huo wa Mahakama ya Wilaya kufunga dhamana yake. Hata hivyo, mmoja wa mawakili wake, Rachael Sadick amelieleza Mwananchi kuwa Novemba 11, 2024, tarehe ambayo rufaa hiyo ilitajwa mbele ya Jaji Messe Chaba, Kombo aliomba kuiondoa mahakamani na Mahakama hiyo ikaiondoa. Wakili Sadick amesema kesi yake ya msingi imetajwa leo Jumatano Novemba 20, 2024, lakini upande wa mashtaka umemfutia mashtaka mengine na kubakiwa na shtaka moja la kutumia kadi ya simu ambayo haijasajiliwa. Hivyo Wakili Sadick amesema leo ametiwa hatiani kwa kosa hilo na kuhukumiwa kulipa faini ya Sh85,000 au kutumikia kifungo cha miezi mitatu jela. "Lakini amefanikiwa kulipa hiyo faini na kuachiliwa huru," amesema Wakili Sadick na kuongeza kuwa, kulikuwa na mazingira yaliyosababisha hayo yote ambayo amesema atayaelezea baadaye akishatulia. Kabla ya kufunguliwa kesi hiyo, Kombo alitoweka tangu Juni 15, 2024, baada ya kuchukuliwa na watu wasiojulikana nyumbani kwake Kijiji cha Kwamsala, wilayani Handeni, mkoani Tanga na kupelekwa mahali ambako hata ndugu zake hawakupafahamu. Julai 14, 2024, siku 29 baadaye Jeshi la Polisi kupitia Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Zakaria Bernard lilitangaza kuwa linamshikilia kwa tuhuma hizo, kisha Julai 16, 2024 akapandiahwa kizimbani.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/jinsia-na-afya
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Subscribe for a month to get full access
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/video-alfajiri-ya-simanzi-iliyomsababishia-upofu--4822024
# VIDEO: Alfajiri ya simanzi iliyomsababishia upofu ## Muktasari: **Serikali yajipanga kumsaidia mkazi wa Kijiji cha Kundikiri wilayani Kahama kuwezesha jicho moja kuona, familia yaomba msaada kwa Watanzania.** **Dar es Salaam**. Alfajiri ya Agosti 13, 2024 haiwezi kufutika kichwani mwa Esther Makaranga (25) kutokana na tukio lililobadili maisha yake. Esther, mama wa watoto wawili siku hiyo ilikuwa mwisho wa kuona kutokana na kudai kutobolewa macho na mtu anayemtaja kuwa ni mume wake. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Janeth Magomi anakiri kufahamu tukio hilo na anaeleza mtuhumiwa ni Paulo Shija (37), ambaye ni mume wa mama huyo na sasa kesi inashughukiliwa na mahakama. Katika mahojiano maalumu na Mwananchi kijijini kwao Kundikiri, Esther anaeleza mwaka 2021 alikwenda Shinyanga mjini kujitafutia maisha akitokea Kijiji cha Kundikiri wilayani Kahama alikokuwa akiishi na wanawe na mama yake. Akiwa mtoto wa tatu kati ya watoto saba kwenye familia yao, Esther anasema aliishia darasa la tatu akajikita kwenye kilimo ili kusaidiana na ndugu zake kuendesha familia na kumhudumia mama yao aliyeanza kuugua muda mfupi baada ya baba yao kufariki dunia. Kutokana na ugumu wa maisha kijijini, alikwenda Kahama mjini alikofanya kazi za ndani kabla ya dada yake anayeishi Shinyanga kumtafutia kazi kwenye mashine. Kutokana na kazi hiyo, alipanga chumba chake na kuanzisha biashara ndogondogo ya kuuza nyanya. “Baadaye nikaona niache kazi ili nipate muda mwingi wa kufanya biashara, nikawa nachukua bidhaa sokoni nakuja kuuza nje ya nyumba nilipokuwa naishi,” anaeleza. Akiwa katika biashara ndipo alipokutana na Shija aliyekuwa mlinzi kwenye nyumba ya kulala wageni, wakaanzisha uhusiano uliowaingiza kwenye ndoa Septemba 16, 2023. Hata hivyo, baada ya kufunga ndoa anaeleza mambo yalibadilika kutokana na ugomvi, hivyo alirejea kwao kijijini alikoendelea na kilimo. Anadai alipofikwa na kadhia hiyo alikuwa Shinyanga kufuata vitu vyake baada ya ndoa yao kuvunjika. Akizungumza na Mwananchi Mwenyekiti wa Mtaa wa Banduka, Pius Shilinde anaeleza siku ya tukio alifuatwa na wananchi waliomweleza kuhusu uwepo wa mwanamke aliyejeruhiwa. “Nilifika eneo la tukio sikuweza kumtambua huyo mwanamke, uso wake ulikuwa umevimba hivyo haikuwa rahisi kwangu kumtambua kama ni mkazi wa mtaa wangu au la, nilichofanya nikawasiliana na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Shinyanga akawatuma askari wakaja. “Wakati tukiendelea kusubiri askari wafike yule msichana akajieleza kwamba ana dada yake hapa, bahati nzuri akatokea mtu anayemfahamu huyo dada yake ila hakuwa anaishi mtaani kwangu alikuwa mtaa wa jirani tukamuagiza akamfuate na hilo likafanyika akaja eneo la tukio,” anasema. Lucia Makaranga, dada wa Esther anasema alipata taarifa za kuwepo mtu aliyeshambuliwa anayejitambulisha kuwa ndugu yake lakini hakukubaliana nazo kwa sababu hakuwa akifahamu kama mdogo wake aliingia Shinyanga bila kumtaarifu. “Nilichokuwa nafahamu Esther yupo nyumbani kijijini, sikuwa na taarifa za ujio wake mjini hivyo nilipoambiwa kuna ndugu yangu ameshambuliwa nilikataa, aliyenifuata akanisihi niende eneo la tukio. Hata hivyo sikumtambua alikuwa ameharibika hadi aliponiita kwa jina. “Nilishtuka, tukampeleka hospitali, haikuwa rahisi kwa sababu hatukuwa na fedha watu wa ustawi wa jamii walitusaidia katika hatua za awali lakini baadaye wakatuacha kwenye Hospitali ya Kolandoto ambako ilionekana kuna wataalamu wa macho wangeweza kumsaidia,” anasema. Anasema baada ya uchunguzi ikabainika macho ya Esther yameharibika anahitaji kufanyiwa upasuaji ambao gharama yake ni Sh460,000. Walizungumza na uongozi wa hospitali upasuaji ukafanyika ingawa hawakuwa na fedha. “Baada ya kufanyiwa upasuaji ikaonekana jicho moja limeharibika kabisa hawezi kuona ila lingine linaweza kutibiwa. “Daktari aliyekuwa akimhudumia akasema matibabu hayo yanaweza kufanyika KCMC na nilipofuatilia kujua inaweza kugharimu kiasi gani nikabaini si chini ya milioni moja, kwa kuwa sikuwa na uwezo huo tukaishia hapo nikiendelea kumuangalia mdogo wangu akipitia maumivu makali,” amasema. **Hali ya macho ikoje** Mganga Mkuu wa Hospitali ya Kolandoto, Joseph Sahani anasema baada ya kumpokea Esther alifanyiwa vipimo walibaini macho yake yametobolewa na kitu chenye ncha kali na jicho la kushoto lilikuwa limeharibika kabisa hivyo wakalazimika kulitoa. Anasema unafuu ulionekana kwenye jicho la kulia, wataalamu walifikiri angepata matibabu ya kina zaidi huenda lingeweza kupona na kuona. “Nafikiri hadi sasa hajaenda kwa sababu ya changamoto za kiuchumi ila ukweli ni kwamba kadiri anavyokaa muda mrefu bila kupata matibabu muhimu ikiwemo kuiondoa damu hiyo, uwezekano wa kulitibu unazidi kupungua. “Kwa tatizo alilonalo ikizidi mwezi mmoja baada ya jicho kupata jereha, ufanisi wa matibabu unazidi kupungua hivyo tunamshauri aende akapate matibabu,” anasema. Dk Sahani anawaomba watu watakaoguswa wamsaidie Esther ili akapatiwe matibabu. **Magumu anayopitia** Esther anaeleza hali aliyonayo inamuongezea umasikini kwenye familia kwa kuwa yeye ndiye alikuwa akitegemewa na watoto wake wawili na mama yake mzazi. Anasema kupitia kilimo na biashara ndogondogo alimudu kupunguza makali ya maisha na alihakikisha watoto wake wanaenda shule lakini sasa haoni hilo likiendelea katika hali yake ya ulemavu wa macho. “Kuna wakati namuuliza Mungu kwa nini nilizinduka siku ile ya tukio, labda angeniacha nipite kuliko hiki ninachopitia. Nimezoea kuishi nikiwa na macho yangu mawili nahangaika huku na kule kuhakikisha familia yangu inaenda lakini sasa nimekuwa mzigo, kutokana na hali yangu ya upofu siwezi kufanya chochote. “Watoto waliokuwa wananitegemea sijui hatima ya maisha yao, mzazi mwenzangu alinitelekeza tangu wakiwa wadogo nimekuwa nikihangaika nao mwenyewe, nilikuwa najishughulisha na vibiashara vidogovidogo na kilimo naweza kuwahudumia lakini sasa siwezi tena,” anasema. Pia, hawezi kufanya kwa ufanisi shughuli zinazohusu mahitaji yake ya kimwili na huenda suala hilo likamuathiri kisaikolojia. Lucia anaeleza mdogo wake kwa sasa hawezi kukaa mwenyewe, hivyo inamlazimu hata yeye kuacha shughuli zake za utafutaji ili kumuangalia wakati wote. “Angalau amejifunza njia, chooni anaweza kwenda lakini ni lazima umpelekee maji na wakati mwingine anahitaji msaada. Hali yake ndiyo hivyo kama unavyomuona kila kitu ni lazima umsogezee hivyo hakuna namna unaweza kumuacha peke yake. “Ukiondoa usaidizi wa aina hiyo amekuwa na woga uliopitiliza, akikaa peke yake anakuwa na wasiwasi anaogopa hata akisikia hodi hivyo ni lazima muda wote niwe naye. Anapitia hali ngumu, niwaombe Watanzania waguswe na hali yake wamsaidie apate matibabu ya jicho moja ambalo tumeambiwa angalau linaweza kuona,” anasema. **Kauli ya mkuu wa wilaya** Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Julius Mtatiro anasema Serikali ilichukua hatua kuhakikisha anapata matibabu katika Hospitali ya Kolandoto na baada ya hapo mpango ulikuwa apewe rufaa kwenda Bugando lakini madaktari wakashauri vingine. “Baada ya madaktari kufanya uchambuzi wa kina ikaonekana hospitali ambayo inaweza kufanya matibabu na kumrejeshea uoni wake angalau kwa jicho moja ni KCMC, kwa hiyo upande wa Serikali tulikubaliana kwamba mwezi huu wa Novemba tuanze kukamilisha utaratibu wa vibali vya msamaha ili aweze kusafiri kwenda kupata matibabu. “Ufuatiliaji wa awali pale KCMC umeonyesha matibabu ambayo yatawezesha kurejesha hilo jicho moja yanagharimu zaidi ya Sh12 milioni, tunafahamu kwa hali yake hawezi ndiyo maana Serikali tumelichukua na kuanza taratibu za matibabu ya msamaha ili kuzibeba gharama zote hizi,” anasema. Mtatiro anatoa wito kwa wakazi wa Shinyanga kutoa taarifa mapema zinapotokea dalili au viashiria vya ukatili dhidi ya wanawake na watoto na siyo kusubiri hadi ukatili huo ufanyike. “Kwa uzoefu wa matukio haya huwa yana viashiria, hayaibuki ghafla na kutendeka. Wanaofanya matukio ya aina hii ni watu tunaoishi nao, niwaombe wananchi wanapoona dalili za matukio ya aina hii watoe taarifa kwa mamlaka husika. **Imeandaliwa kwa kushirikiana na Bill and Melinda Gates Foundation**
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mjasiriamali-alivyogeukia-biashara-ya-mkaa-mbadala-4819468
# Mjasiriamali alivyogeukia biashara ya mkaa mbadala **Kigoma. "**Nilikuwa nimebeba mkaa kwenye gari yangu kwa ajili ya matumizi ya nyumbani, kisha nikasimamishwa na watu wa Maliasili wakiwa wanataka kuona kibali cha mkaa huo," anasimulia Godlove Kamuntu, mkazi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji. "Kwa bahati mbaya sikuwa na kibali, ndipo waliponiambia kuwa Serikali imepiga marufuku ukataji miti kwa ajili ya kuzalisha mkaa. Wakaninyang’anya. Tangu siku ile wakawa wamenipa somo kubwa sana." Mjasiriamali huyo mwenye kiwanda kidogo cha kuzalisha mkaa mbadala, vumbi la maranda ya mbao na mabaki ya nyasi kavu, vinavyotumika kama malighafi ya kutengeneza mkaa huo. “Nilibuni mashine ya kutengeneza mkaa huo kwanza kabla ya kuwaza kubuni mkaa wenyewe utakuaje na nilifanikiwa kuanza kutengeneza mtambo wa kutengeneza mkaa wa tani moja kwa siku, hadi sasa nimefikia kutengeneza zaidi ya tani saba kwa siku,”alisema Kamuntu ambaye pia ni mmiliki wa Kampuni ya Byoma Engineering inayotengeneza mitambo mbalimbali, iliyopo Masanga, Manispaa ya Kigoma Ujiji. Alisema alifikiria kitu gani kinaweza kutengeneza mkaa mbadala na aligundua chenga za mkaa zingekuwa suluhu. Suala la malighafi hiyo kuwa ngumu, anasema kulimfanya ahamie kwenye maranda ya mbao, nyasi pamoja na pumba za mpunga. Kamuntu alisema kuzalisha mkaa huo kunapitia hatua mbalimbali ndani ya siku saba mpaka kukamilika kwake. “Baada ya kubuni mkaa wetu tulifanya majaribio kwenye majiko ya mkaa wa kawaida mkaa ulifanya vizuri lakini tulivyobuni majiko yetu mkaa huo ulifanya vizuri zaidi ya mkaa wa miti,”alisema Kamuntu. **Umuhimu wa mkaa mbadala** Akizungumzia makaa huo, alisema unaweza kuwaka kwa saa tano hadi sita bila kuongeza na hivyo kuwezesha kulipa kwa muda mrefu. Kilo moja ya mkaa huo inauzwa Sh400 na inaweza kupika kutwa nzima na aina tofauti hadi tatu za chakula kama maharagwe bila kuongeza mkaa kwa familia ya watu wachache (chini wa watano) ikilinganishwa na fungu la mkaa wa kawaida wa Sh1,000 ambao hauwezi kufanya hivyo. "Kama nilivyokuwa mimi bado uelewa ni mdogo sana baina ya watu, hivyo tunaendelea kuhamasishana juu ya madhara ya ukataji miti kwa ajili ya nishati ya kupikia ili kupunguza athari katika mazingira,”alisema Kamuntu. Alisema sababu kubwa ya watu kutotumia nishati mbadala ni urahisi wa upatikanaji wa nishati hiyo. "Mkoa bado una maeneo makubwa ya misitu na miti ya kutosha hivyo watu wengi wana uwezo kuifikia misitu hiyo na kupata kuni na mkaa,” alisema Kamuntu. Alisema ili elimu hiyo ifike mbali zaidi, wanahitaji vijana wengi wa kuwafundisha kazi hiyo ili nao waende wakatoe ujuzi huo kwa wengine na hatimaye kila mmoja atumie mkaa mbadala kulinda mazingira. Kamuntu alisema anakaribisha wadau mbalimbali ili waunganishe nguvu katika kuhakikisha elimu na mkaa huo mbadala unawafikia watu wengi zaidi ndani na nje ya Mkoa wa Kigoma, kwa kuwa malengo yake ni kujitangaza kimataifa na bidhaa yake kufika mbali zaidi. **Watumiaji wa mkaa ** Mkazi wa Kata ya Mwanga, Manispaa ya Kigoma Ujiji, Success Halisi alisema ameanza kutumia mkaa huo miezi sita sasa na ameona kuna utofauti na wa miti kwa gharama na kiafya. “Mkaa wa miti nilikuwa nikinunua wa buku (Sh1,000) nikitenga maharagwe siwezi kuivisha, ilikuwa inanilazimu ninunue mkaa wa Sh2,000 kuivisha na kupika wali lakini mkaa huu mbadala naweza kununua kilo moja kwa Sh400 na nikafanya yote hayo na kubaki,hivyo umetupungungia gharama za maisha,”alisema Halisi. Neema Lameck, mkazi wa Masanga Manispaa ya Kigoma Ujiji, alisema ni miezi miwili sasa tangu aanze kutumia mkaa mbadala na umemrahisishia kuokoa muda. “Hausumbui kuwasha na ukiwaka unawaka kama gesi, hivyo napika haraka zaidi hata kama nitachelewa kurudi nyumbani kutoka kwenye shughuli zangu,”alisema Neema. Alisema, awali alikuwa akinunua mkaa gunia kwa Sh30,000 hadi 40,000 na alikuwa anatumia kwa miezi miwili, lakini tangu aanze kutumia mkaa mbadala ananunua mkaa wa Sh7,000 na anakaa nao zaidi ya wiki moja. Neema aliwashauri kina mama wapende kujaribu vitu na wasikariri kuwa mkaa ni mmoja tu, kwa kuwa, mkaa mbadala nao unafanya kazi zaidi ya wa kawaida na unatunza mazingira hasa ukitumia na jiko lake . **Serikali yataja changamoto, mikakati** Kaimu Ofisa Misitu na Mazingira Mkoa wa Kigoma, George Gwalema alisema mkakati ni kutoa elimu kwa jamii kuanzia ngazi za juu hadi chini ili kuhakikisha wanaona umuhimu wa kutumia nishati mbadala. Gwalema alisema Serikali imefanya jitihada mbalimbali katika kuhakikisha matumizi ya nishati mbadala ikiwamo mkaa huku shule 17 zikiwezeshwa kutumia majiko ya mkaa mbadala kupitia Mradi wa Pamoja wa Kigoma (KJP). “Pia, tumewajengea uwezo maofisa zaidi ya 28 wa halmashauri, taasisi mbalimbali 15 zilizopo na vikundi 52 vya wafanyabiashara wadogo kwenye eneo la mkaa mbadala,” alisema Gwalema. Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye anakiri kuwepo kwa uharibifu wa mazingira kwa kukata miti kwa ajili ya mbao, kuni na mkaa. Andengenye alisema kwa sasa kuna ubunifu wa mkaa mbadala uliokuja kutatua changamoto za kiuchumi pamoja na kiafya kwa kuwa hakuna madhara kwa mtumiaji kutokana na kutokuwa na moshi, hivyo kila mtu aweze kuona umuhimu wa kutumia mkaa huo. “Mkaa wa miti umetuumiza kwa muda mrefu kiuchumi kwani gharama zake ziko juu ukilinganisha na huu unaotengenezwa hapa ambao hautumii miti, mkaa wa miti umeumiza pia mazingira pamoja na watumiaji ambao wengi ni kina mama na kuhatarisha afya zao,”alisema Andengenye alipotembelea Kiwanda cha Kamuntu. Alisema Serikali inaangalia namna ya kushirikiana na wabunifu kupitia taasisi zake kwa kuwa kila taasisi yenye watu zaidi ya 100 inatakiwa iachane na kuni na mkaa. **Wakala wa Huduma za Misitu** Mhifadhi Mwandamizi wa Misitu wilaya ya Kigoma kutoka Wakala wa Huduma za MisituTanzania (TFS), Asheri Petro alisema miti inakatwa sana kwa sababu ya kupanua mashamba na mkaa. Petro alisema uzalishaji wa mkaa wa kukata miti ni gharama ukilinganisha na mkaa mbadala kwa kuwa, mzalishaji anatakiwa kulipia Sh250 kwa Serikali, kulipa ushuru wa asilimia tano kwa halmashauri husika, gharama nyingine za uzalishaji na gharama za usafirishaji. “Mkaa wa miti una gharama kidogo katika uzalishaji ukilinganisha na huu mkaa mbadala hauna gharama kwa sababu vitu vya kutengenezea mkaa huo vinapatikana kwenye mazingira yetu ya kila siku hivyo kufanya kuwa rahisi kutengeneza,”alisema Petro. *Habari hii imedhaminiwa na Bill & Melinda Gates Foundation* *Kama una maoni kuhusu habari hii, tuandikie ujumbe kupitia WhatsApp: 0765864917*
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/ubunifu-nishati-mbadala-suluhu-utunzaji-mazingira-4819456
# Ubunifu nishati mbadala suluhu utunzaji mazingira **Tabora.** Katika jitihada za kupunguza utegemezi wa kuni na mkaa kama chanzo kikuu cha nishati ya kupikia nchini, wabunifu mbalimbali wamekuwa wakibuni mbinu mbadala zinazosaidia kupunguza utegemezi huo. Leonald Kushoka, mbunifu kutoka mkoani Tabora, ambaye ni Mkurugenzi wa Kuja na Kushoka Manufacture, amejikita katika utengenezaji wa majiko banifu na mashine za kutengeneza mkaa mbadala na kuchakata mazao. Katika mahojiano na Mwananchi, Kushoka anasema alianza kuunda bunifu hizi za nishati mbadala mwaka 2018. “Nilianza kutengeneza mashine za kuchakata mazao mwaka 2008, lakini mabadiliko ya tabianchi na uharibifu wa misitu uliosababishwa na ukataji miti ovyo, vilinisukuma kubuni mashine za kutengeneza mkaa mbadala mwaka 2018,” alieleza Kushoka. **Utengenezaji wa mashine** Kushoka amejikita katika kutengeneza mashine za nishati safi, ikiwemo majiko banifu, mashine za kuchakata mkaa mbadala na mkaa mbadala wenyewe, ambayo inachangia kupunguza matumizi ya nishati za asili kama kuni na mkaa wa kawaida. Kuhusu teknolojia anayotumia, alisisitiza kuwa anazingatia ubora akiwa na lengo la kusambaza mashine hizo kwa taasisi na watu binafsi wanaoweza kuanzisha na kufanya uzalishaji mkubwa wa mkaa mbadala, jambo litakaloisaidia jamii kuacha kukata miti kwa ajili ya kuni na mkaa. Akifafanua zaidi kuhusu mkaa mbadala, alisema “malighafi za kutengeneza mkaa mbadala hazihitaji ukataji wa miti, kwani kwa kiasi kikubwa ni mabaki ya mimea, pumba, maranda, mpunga, maganda ya karanga na mabaki yote ya mimea kwa ujumla wake.” Akizungumzia ufanisi wa mkaa na majiko, alisema hayatoi moshi na moto wake ni mkali kuliko wa mkaa au kuni. Mwaka 2018, Kampuni ya Kuja na Kushoka, inayomilikiwa na Kushoka iliibuka mshindi wa kwanza kitaifa kwenye mashindano ya ubunifu wa mkaa mbadala yaliyoratibiwa na Wizara ya Muungano na Mazingira. **Ubunifu na fursa za kiuchumi ** Kushoka alieleza kuwa utengenezaji wa mashine za nishati safi umeleta faida kubwa kwake na kwa jamii. “Nimepata tenda ya kufunga mashine za nishati safi kwa zaidi ya shule 100 kote nchini, pamoja na wateja wa rejareja. Hii imeongeza kipato kwa kampuni yangu.” “Kinachonipa moyo zaidi ni kuona Serikali inatambua kazi yetu na inatupa ushirikiano,” aliongeza Kushoka, ambaye pia alikuwa mshindi wa tatu kitaifa kwenye mashindano ya ubunifu ya kitaifa yaliyofanyika mwaka 2022. Alisema malighafi anazotengenezea mashine hizo hupatikana kwa urahisi. “Malighafi muhimu kama mota na injini za dizeli zinapatikana kwa urahisi madukani, jambo linalonisaidia kutengeneza mashine nyingi bila changamoto,” alisema. Kutokana na tofauti za aina za wateja na idadi ya watumiaji wa mashine hizo, Kushoka anazitengeneza kulingana na uhitaji na uwezo wa wateja. “Tuna mashine zinazoweza kutengeneza kilo 30 za mkaa mbadala kwa siku, za kilo 100 kwa saa, na hata za kilo 300 kwa saa. Mbali na mkaa mbadala, tumeanzisha pia uzalishaji wa mashine za kutengeneza kuni mbadala. Gharama zinatofautiana kulingana na aina ya mashine anayotaka mteja,” alifafanua. Alisema, “soko kubwa ni watu binafsi wanaonunua mashine tunawaelekeza namna ya kuzitumia na kuzalisha nishati wao wenyewe,” alisema. **Changamoto na mapendekezo** Pamoja na mafanikio hayo, Kushoka alitaja changamoto zinazohitaji kushughulikiwa, ikiwemo ukubwa wa kodi za malighafi na bidhaa anazotengeneza. **Fursa za ajira** “Hadi sasa nimeajiri vijana 13, wanne wakiwa Dar es Salaam wanaouza mashine na nishati ya mkaa mbadala, na tisa wapo hapa (Tabora),” alisema. Alifafanua kuwa ubunifu wa nishati safi siyo umeme na gesi pekee, bali pia mkaa na kuni mbadala. “Tukitumia nishati hizi kwa pamoja, tutashinda vita dhidi ya uharibifu wa mazingira. Watu wengi wataacha kukata kuni na kuchoma mkaa,” alisema. **Serikali yatoa neno, mzongozo** Mkurugenzi Mkuu Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (Tirdo), Profesa Mkumbukwa Mtambo alisema changamoto wanayopata watengenezaji wa mkaa mbadala ni ukosefu wa malighafi pamoja na bidhaa wanazotengeneza kukosa ubora. Kuhusu ubora wa mkaa unaotengenezwa, alisema kwa mikoa 12 nchini wamebaini sampuli 43 zilizochunguzwa asilimia 52 hazina ubora unaohitajika. “Watengenezaji wengi wa mkaa mbadala bado wanatumia mkaa kutengeneza bidhaa hiyo, kwa hiyo tulichofanya ni kutoa mafunzo namna ya kutengeneza mkaa mbadala kupitia baadhi ya malighafi kama vifuu vya nazi, taka na pumba za mpunga,” alisema. Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa masuala ya Kiuchumi na Umaskini (Repoa), Dk Donald Mmari ambaye ni mshirika wa Tirdo katika utekelezaji wa mradi wa kuwajengea uwezo wajasiriamali wanaojihusisha na kutengeneza mkaa mbadala, alisema uharibifu wa mazingira unachochewa na matumizi ya nishati. “Pamoja na kwamba tunafanya tafiti kwenye masuala ya kisera za kiuchumi na kijamii, moja ya mambo tuliyobaini ni uharibifu wa mazingira kunakohusiana na shughuli za binadamu, ikiwemo matumizi ya nishati inayotokana na kuni. “Mwaka 2015 upotevu wa misitu ulikuwa hekta 300,072 baada ya miaka saba (2022) upotevu wa miti ukaongezeka kufikia hekta 469,420, ikiwa ni ongezeko la asilimia 26,” alisema. Dk Mmari alisema ukataji huo mkubwa wa miti unakwenda kuongeza ukame na majanga, akisisitiza biashara ya mkaa ni kubwa lakini hakuna halmashauri inayodhibiti uzalishaji wake. Kuhusu mikoa yenye watengenezaji wengi na watumiaji wa mkaa mbadala, Mkuu wa Kitengo cha Mazingira Tirdo, Kunda Sikazwe alisema Mkoa wa Dar es Salaam unaongoza kuwa na idadi kubwa ya watu wanaotumia na kutengeneza nishati hiyo. *Habari hii imedhaminiwa na Bill & Melinda Gates Foundation* *Kama una maoni kuhusu habari hii, tuandikie ujumbe kupitia WhatsApp: 0765864917.*
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/majiko-banifu-yalivyopunguza-matumizi-ya-mkaa-kondoa-4816898
# Majiko banifu yalivyopunguza matumizi ya mkaa Kondoa **Dodoma.** “Kwenye biashara yangu debe moja la mkaa naweza kutumia siku tatu nikitumia majiko haya lakini yake ya zamani (majiko ya bati, chuma) nilikuwa natumia debe kwa siku moja tu,” anasema Dosa Manaa mamalishe wa Kijiji cha Kolo wilayani Kondoa mkoani Dodoma. Dosa anasema ameamua kuacha kutumia majiko ya bati na kuamia majiko ya banifu yanayotengenezwa kwa udongo. “Yale mengine (ya bati) yanatumia mkaa mwingi sana kwa sababu yakishawaka yamewaka lakini haya ukishaweka mkaa baadaye unaweza kuweka pembeni na kisha kuendelea kupika bila mkaa kwa sababu lina udongo,” anasema. Anatoa mfano anapopika wali, akibandika jikoni na kuchemka tu, anatoa moto wote na wali unaiva kabla ya kupoa kwa jiko. Huku akionyesha majiko yake makubwa matatu yaliyotengenezwa kwa udongo, anasema ubunifu huo umemsaidia kupunguza matumizi ya mkaa aliyokuwa yakitumia Sh2, 000 kwa siku hadi Sh700 anayotumia sasa. Dosa hakupata majiko haya mbali, yanapatikana huko huko kwenye kijiji chao cha Kolo na kwa wabunifu wa Asili Group. Mwenyekiti wa Asili Group, Hawa Chora anasema kikundi hicho kilichoanzishwa mwaka 2012 na kukisajili mwaka 2019 kikiwa na wanachama sita. “Tulilenga katika kuwasaidia wanawake kupata majiko ambayo yatapunguza matumizi ya mkaa na kupunguza gharama za nishati hiyo na ukataji wa miti,” anasema. Anasema alipopata wazo la kuanzisha kikundi alikwenda kwa Aisha Bwitu (Katibu wa Kikundi) na kumshauri kuhusu kuanzisha kikundi kwa kuwa Serikali husaidia watu kupitia vikundi vya uzalishaji mali. Anasema baada ya ushawishi huo waliongezeka wanawake na mwanamume mmoja hadi kufikia 19. “Tulianza na mradi wa uoteshaji wa miche lakini baadaye tuliona tuongeze ubunifu na kuja na wazo la majiko haya yatakayopunguza matumizi ya mkaa,” anasema. Anasema walianza kwenda kuchukua udongo wa mfinyanzi katika kijiji jirani cha Mnenia kwa ajili ya kuanza kutengeneza majiko hayo banifu na mwanamume alikuwa akiwasaidia katika kuchimba udongo huo kisha kuleta kwenye eneo hilo kwa kutumia punda. Hawa anasema bei ya majiko inaanzia Sh2,000 hadi Sh5, 000 000 na kwa mwezi mmoja wanatengeneza wastani wa majiko 20 kulingana na mahitaji ya soko. **Majiko yanavyotengenezwa** Mwanakikundi Jaha Imeda anasema wakishaleta udongo husaga kwa kutumia jiwe kisha kuloweka kwenye maji. Anasema baada ya kukoroga na kulainika vizuri huuchukua mkononi na kuunda jiko banifu na kisha kulitoboa katikati ili liweze kupitisha hewa. “Tunayaweka kwanza ili yakauke kabla ya kuyachoma moto ili kuyaweka uimara. Bado tunatumia moto wa kuni kwa ajili ya kuyachoma. Na yakiwa tayari yanabadilika rangi,” anasema. Anasema kwa siku wanaweza kutengeneza majiko hata 20 kama wakiianza kazi hiyo asubuhi, lakini utengezaji hutegemea zaidi uhitaji. **Changamoto za kikundi** Mjumbe wa Asili Group, Salama Sachu anasema licha ya mafanikio ya kujenga ofisi yao, wanakabiliwa na changamoto ya usafiri wa kuchukua udongo umbali wa kilomita nane, wakitumia punda. Pia, wanakosa vifaa vya kisasa kutengeneza majiko, hivyo hutumia mikono, jambo linalochelewesha uzalishaji na kupunguza ufanisi. “Tunaiomba Serikali itusaidie vifaa ambavyo vitatusaidia kutengeneza majiko haya ili tuweze kutengeneza mengi zaidi kwa muda mchache,” anasema Salama. **Ufanisi wa majiko ** Aisha Bwitu anasema lengo la ubunifu huo ni kuhakikisha jamii inatumia majiko banifu yanayopunguza gharama za maisha na athari kwa mazingira. "Majiko hayo yanatumia mkaa mdogo, hivyo kusaidia kuokoa pesa na kupunguza uharibifu wa mazingira kwa kutokata miti. Ubunifu huu unasaidia pia kuokoa muda wa kupika,"anasema Aisha. Kuhusu uimara wa majiko, mamalishe Dosa Manaa anasema inategemea matunzo yake, lakini kwa yeye pamoja na hekaheka za biashara yanatumia angalau miaka mitatu. Dosa anawashauri watu kutumia majiko hayo kwa kuwa yatawasaidia katika kupunguza gharama za ununuzi wa mkaa huku wakitunza mazingira. Mmoja wa mafundi wa majiko banifu katika kikundi kingine cha Tumaini kilichopo Kondoa Mjini, Shabani Mazige anasema jiko banifu linatofauti kubwa na yale majiko ya mabati na vyuma. “Majiko banifu yanachukua asilimia 50 tu ya mkaa unaotumika kwenye majiko yanayotengenezwa na mabati na vyuma na ni kwa sababu ya udongo unaoweka katika majiko banifu unasaidia kuhifadhi moto,” anasema Mazige. Anasema bei kubwa ya majiko hayo ambayo yanauzwa kati ya Sh7, 000 na Sh20, 000 inatokana na mlolongo wa utengenezaji wake ambao ni mrefu ukilinganisha na yale ya bati na vyuma. Hata hivyo, majiko hayo banifu yanayotengenezwa na kikundi hicho chenye watu wanne ni tofauti na yale ya Asili Group kwa kuwa huongezwa bati kwa kuzungushiwa juu ya udongo. “Majiko bunifu yana bei kubwa lakini hiyo ni kutokana na utengenezaji wake una mlolongo mkubwa kwa kuwa inatakiwa kuchukua udongo kabla ya kuufinyanga na kisha kuuchoma katika tanuru tofauti na majiko ya bati ambayo kazi yake huishia katika bati,” anasema. Anasema kwa wastani wanatengeneza majiko 50 kwa mwezi ambayo hayakidhi mahitaji ya soko ambalo linahitaji majiko hayo mengi wasiyoweza kuyatengeneza. Anasema soko la majiko yao liko jijini Dar es Salaam, Dodoma na nchi jirani ya Kenya na wapo wafanyabiashara wanaoyanunua kwa ajili ya kuyasafirisha. “Lengo ni kukuza matumizi ya majiko banifu na kuongeza uzalishaji ili kupunguza matumizi ya misitu. Angalau kila kona ya nchi kuwe na wazalishaji wa majiko haya,” anasema. Anawashauri Watanzania kuendelea kutumia majiko hayo ili kuepusha matumizi makubwa ya miti katika kutengeneza mkaa. **Kauli ya Serikali** Akizungumza na Mwananchi kuhusu teknolojia za nishati, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule anasema Serikali itaendelea kuweka vivutio kwa wazalishaji na wasambazaji wa teknolojia za nishati safi na salama ya kupikia ili kupunguza utegemezi wa mkaa na kuni, hasa maeneo ya vijijini. “Mpango huu unalenga kupunguza athari za mazingira na afya, huku Serikali ikiongeza wigo wa upatikanaji wa majiko hayo kwa gharama nafuu,”anasema Rosemary. Mkurugenzi wa Wakala wa Nishati Vijijini (Rea) Advera Mwijage anasema majiko hayo yanapunguza gharama kwa watumiaji na kusaidia kuhifadhi mazingira kwa kupunguza ukataji wa miti ovyo. *Habari hii imedhaminiwa na Bill & Melinda Gates Foundation* *Kama una maoni kuhusu habari hii, tuandikie ujumbe kupitia WhatsApp: 0765864917.*
http://www.mwananchi.co.tz/mw/zanzibar/wanawake-zanzibar-wapambana-kuimarisha-kilimo-mseto-kuinua-vipato-vyao-4830110
# Wanawake Zanzibar wapambana kuimarisha kilimo mseto kuinua vipato vyao ## Muktasari: **Licha ya changamoto, wanawake Zanzibar wameanza kushiriki kilimo mseto kinachosaidia kujikimu, kutunza mazingira na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, wakihitaji msaada zaidi kwa mafanikio.** **Unguja.** Licha ya sekta ya kilimo kuwa tegemeo kwa uchumi wa Zanzibar na maisha ya wananchi, ushiriki wa wanawake bado ni mdogo kutokana na changamoto za kijamii, upatikanaji wa ardhi na rasilimali fedha. Hata hivyo, wanawake wameanza kujikita katika kilimo mseto, mbinu endelevu inayosaidia kuongeza kipato, kulinda mazingira, na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Sekta ya kilimo inatajwa kuajiri takribani asilimia 35 ya wananchi wa Zanzibar, huku zaidi ya asilimia 70 ya wananchi wakitegemea sekta hiyo kujikimu kimaisha. Sekta hiyo inayojumuisha mazao, mifugo na maliasili za misitu ni tegemeo kwa uchumi wa Zanzibar na inachangia moja kwa moja kwa wananchi kujikimu kimaisha, kwa mujibu wa Wizara ya Kilimo, umwagiliaji, Maliasili na Mifugo. Pamoja na hali hiyo, wanawake wako nyuma kutokana na mitazamo ya jamii na kukosa ardhi, ingawa, kwa sasa baadhi yao wameanza kupata mwamko na kujikita katika kilimo mseto kinachotumia eneo dogo la ardhi, kutunza mazingira na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Kilimo mseto huchanganya mazao na miti katika eneo moja ili kuleta faida za kijamii, kiuchumi na kimazingira. Aina hii ya kilimo inatoa majawabu ya moja kwa moja ya tatizo la upungufu wa ardhi na nishati ya kupikia. Kilimo hiki husaidia pia upatikanaji wa chakula, kufyonza hewa ukaa, kuboresha mzunguko wa virutubisho na kuhifadhi unyevu kwenye udongo, kupunguza kasi ya upepo na kuongeza kipato kwa mkulima kutokana na mazao ya kilimo na misitu endapo atafuga nyuki katika eneo husika. Mtaalamu wa kilimo, Hussein Ali Ame anasema kilimo hicho hupunguza gharama ya uwekezaji, ni matumizi bora ya ardhi na kuongeza lishe kwenye familia. Wakizungumza na Mwananchi kwa nyakati tofauti baadhi ya wanawake wakulima katika Shehia za Uzi na Ng'ambwa, Mkoa wa Kusini Unguja, wanaeleza fursa na changamoto zinazowakabili. Aisha Abdalla Ahmed, mkulima katika shehia ya Uzi anasema wamehamasika kujikita katika kilimo mseto ambacho kina manufaa makubwa kwa chakula na kiuchumi, kikilinda ardhi na kutunza mazingira. “Tuna matumaini makubwa ya kupata mavuno tofauti na ilivyokuwa kipindi cha nyuma,” anasema. Amina Rashid, mkulima katika Shehia ya Ng’ambwa anasema wazee wao walikuwa wakilima lakini wao hawakujishughulisha na kilimo. Anasema walishindwa kulima kwa sababu ya kukosa ardhi na mitazamo ya jamii kwamba mwanamke anastahili kufanya kazi za nyumbani na si shughuli au kazi zenye mrengo wa biashara. “Elimu naona imeanza kuingia, kwa sasa tumepata mwamko. Tunalima kilimo mseto chenye mazao mengi ya biashara na chakula kwa wakati mmoja, kwa hiyo inasaidia ukikosa hiki utapata kile,” anasema. Kwa upande wake Najjat Msimu Hassan anasema licha ya jitihada zinazofanyika, hawawezi kufikia malengo pasipo kushikwa mkono na wanaume. Pia anasema wanakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa mbegu, huku zingine zikiharibika kama vile miparachichi kutokana na mazingira na ardhi ya eneo hilo. Mtoro Simai Vuai, mkulima katika Shehia ya Ng’ambwa anasema kilimo kinawasaidia kuondokana na utegemezi kwa wanaume. Anasema mafunzo yamewawezesha kulima kwa tija. “Katika kilimo hiki tunachanganya, kuna kilimo cha muda mrefu na muda mfupi, humo tunapata chakula, tunaweza kupata fedha za matibabu na kujiinua kiuchumi,” anasema. Mtoro anasema changamoto kubwa ni uhaba wa maji, akisema kunahitajika visima kwa ajili ya umwagiliaji. “Kama tukipata visima bila shaka tutazidi kuneemeka, maana changamoto kubwa ni maji yaliyopo mbali,” anasema. Baadhi ya wanaume waliozungumza na Mwananchi akiwemo Malik Mbaraka Makame, mkazi wa Shehia ya Ng’ambwa, wamesema kuna mwamko kwa wanawake kushiriki shughuli za kilimo. “Juhudi za wanawake tunaziona lakini wanatakiwa kushirikiana na wanaume maana wakiachwa peke yao inawezekana wakafika sehemu wakakwama kwa sababu mahitaji ni makubwa na kuna baadhi ya kazi ni ngumu,” anasema. Hata Ahmed Ali Mussa ana mtazamo kama wa Makame kuwa wanaume wanapaswa kuwasaidia wanawake wanapokwenda shambani, ingawa wakati mwingine wanabanwa na majukumu mengine ya kutafuta riziki. Sheikha wa Shehia ya Uzi, Othman Mwinyi Haji anasema kuna changamoto ya maji ya chumvi kutoka baharini kuingia kwenye mazao kutokana na mikoko kukatwa. Anasema kipindi cha nyuma maji yalikuwa yakipanda angalau mara moja kwa mwaka lakini kwa sasa yanaingia kila siku kutokana na uharibifu wa mazingira. Anasema wananchi katika shehia hiyo, hususani wanawake wamepata mwamko na kujikita katika kilimo mchanganyiko. “Zamani ulikuwa ukilima kwenye mwitu unakuta mbolea yenyewe na mihogo ilikuwa mizuri, lakini ukirejea mara ya pili nguvu zinapungua kwa hiyo kwa sasa kutumia mbolea ni muhimu,” anasema. Amesema Serikali haijapeleka miundombinu yaumwagiliaji lakini wao hutumia visima vilivyochimbwa na wananchi, baadhi vikiwa na maji yenye chumvi. Ofisa wa teknolojia ya uzalishaji katika mradi wa Zanzibar Women Leadership in Adaptation (ZanzAdapt), Shaaban Peter amesema kupitia mradi huo wanalenga kuwafikia wakulima 4,000 kati yao asilimia 80 ni wanawake. Mradi huo unatakelezwa kwa ushirikiano kati ya Shirika la Kimataifa la Misitu (CFI), Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (Tamwa –Zanzibar), na Jumuiya ya Misitu Pemba (CFP) kupitia ufadhili wa Global Affairs, Canada. “Tunalenga wanawake kwa sababu wengi ndio waathirika wa mabadiliko ya tabianchi, wakitambua namna ya kukabiliana nayo na wakiwa na vipato vyao, itawasaidia kukuza uchumi na kuhifadhi mazingira,” anasema. Anasema katika kilimo ni lazima wapate miche bora na huwafundisha wakulima mbinu bora za kuzingatia mabadiliko ya hali ya hewa, kuhifadhi udongo na kuhifadhi unyevunyevu. Shaaban anasema wametoa miche ya migomba, nanasi, ndimu na parachichi kwa zaidi ya wakulima 300. Mipango ya wizara Katika Bajeti ya Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo ya mwaka 2024/25 licha ya kutaja jitihada mbalimbali za kuinua kilimo kisiwani humo, jitihada kubwa zimejikita katika umwagiliaji katika uzalishaji mpunga. Bajeti hiyo inalenga kufikia hekta 1,928 za umwagiliaji tofauti na miundombinu ya zamani. Waziri mwenye dhamana, Shamata Khamis Shaame alisema lengo kuu la wizara ni kuhamasisha wakulima kuongeza uzalishaji kwa kutumia mbinu bora na teknolojia za kisasa, upatikanaji wa masoko na hatimaye kukuza pato la Taifa sambamba na uhifadhi wa maliasili. Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Khamis Ali Juma amesema upo mpango mkakati unaojumuisha kilimo kwa ujumla Zanzibar ambao wanaamini kukamilika kwake kutaleta tija katika kilimo kwa ujumla.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/zanzibar/mtandao-wanaouza-unga-zenji-ufumuliwe-4829710
# Mtandao wanaouza ‘unga’ Zenji ufumuliwe Hatimaye watu wa Zanzibar wameona dalili za Serikali kupania kupambana na matumizi ya dawa za kulevya kwa kuwabana wanaofanya biashara hiyo ambayo inakisiwa kuathiri miili na akili za watu wapatao 10,000 Visiwani hapa. Wengi wa waathirika ni wa umri wa kati ya miaka 13 na 35 na wamo wanawake na wazee. Kwa sasa zipo nyumba zipatazo 10 za kuwarekebisha walioathirika na dawa za kulevya (nyumba maalumu za waathirika). Hatua iliyoifurahisha jamii ni ile iliyotangazwa wiki iliyopita na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (ZDCA) ya kutaifisha mali zenye thamani ya Sh976 milioni za watu wanaosemekana ni washiriki wakubwa wa biashara hii haramu. Mali hizi ni pamoja na shamba la bangi lililolimwa Paje, Kusini Unguja na raia wa Ujerumani aliyekuja nchini kama mwekezaji, Andreas Wolfgang Fretz. Kwa ujumla, mali zake zilizotaifishwa zina thamani ya Sh519 milioni. Miongoni mwa wananchi waliotaifishiwa mali zao ni Mohamed Abdulla Juma, mwanasheria aliyewahi kuwa ofisa mwandamizi katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ). Kwa mujibu wa Kamishna Mkuu wa ZDCA, Kanali Burhani Zubeir Nassor, huyu mwanasheria alivunja sheria kwa kufanya utakatishaji wa fedha za watuhumiwa wawili waliosemekana kufanya biashara ya dawa za kulevya, Saleh Khamis Baslem na mkewe, Gawar Bachi Kakir Bahi. Kwa mujibu wa maelezo ya Kanali Zubeir, huyu mwanasheria aliingiza nchini simu za satelite zilizotumika kuwasiliana na manahodha wa meli kutoka Afghanistan walioingiza dawa za kulevya nchini. Pamoja na kuipa heko ZDCA kwa kusimamia sheria ya Zanzibar ya kudhibiti dawa za kulevya ambayo inaweka katika adhabu, kutaifisha mali za wanaofanya biashara hii haramu, yapo mambo ambayo yanahitaji kupekuliwa kama ilivyofanyika kwa kuwabana hao watuhumiwa. Kwanza ni kujiuliza huyu mwekezaji amekuwa na hilo shamba la bangi kwa muda gani na nani walionunua hiyo bangi kutoka kwake. Je, huyu aliyejidai kuja kuwekeza Zanzibar ili kuchangia maendeleo na badala yake kuchangia kuharibu maisha ya watu, ni mwekezaji pekee anayefanya vitendo vya uhalifu vya aina hii au wapo wengine kama yeye? Kijiji cha Paje na maeneo ya karibu, kina ofisi ya mwakilishi wa serikali ajulikanaye kama sheha, ambaye pia ana wasaidizi, zaidi ya askari 200 wa Jeshi la Polisi na vikosi vingine vya ulinzi. Wote hawa wamekuwa wapi hata huyu mwekezaji akawa na shamba bila kujulikana? Vilevile, tumeelezwa kupatikana simu za satelaiti zinazotumika kuwasiliana na meli katika bahari kuu zinazoleta dawa za kulevya. Je, hawapo watu wengine wanaomiliki simu hizi na je, hakuna njia ya kugundua kwa urahisi wanaomiliki simu za aina hii nchini? Jambo la muhimu zaidi kwa sasa ni kufanya juhudi za kuufumua mtandao mzima wa hawa majahili wanaofanya biashara hii haramu na kuwachukulia hatua kali za kisheria kama zilizochukuliwa kwa huyu Mjerumani na hao wengine. Lakini mbali ya mali zao kutaifishwa, pia waonje joto la jiwe kwa kufanya kazi ngumu na kwa muda mrefu gerezani kwa vile wanaojihusisha na hii biashara ya dawa za kulevya hawatofautiani na wauaji. Hawa ni watu walioharibu maisha ya vijana wengi na kuzivuruga familia zao na jamii kwa jumla, mbali ya kuvipa visiwa vya Unguja na Pemba sura mbaya ya kuwa kituo maarufu cha uingizaji wa dawa za kulevya katika ukanda wa Afrika Mashariki. Vilevile, Serikali ifanye uchunguzi wa kina kujua kazi wanazofanya hawa wawekezaji, hasa kwenye baadhi ya hoteli za kitalii ambazo mwenendo wake umekuwa unatiliwa mashaka na baadhi ya watu. Jingine muhimu ni kuhakikisha masheha ambao ni tochi ya serikali katika mitaa na vijiji wanakuwa macho kugundua mapema watu ambao nyendo zao zina mashaka na sio kujikita tu kwa masuala ya kisiasa na kuandika barua za watu wanaoomba leseni za biashara, kushajilisha mapokezi ya mbio za mwenge. Heko ZDCEA kwa kazi nzuri, lakini inahitaji kuungwa mkono na kila mwananchi ili mapambano dhidi ya biashara na matumizi ya dawa za kulevya nchini yafanikiwe na kulinusuru taifa kuwa na kundi kubwa la watu wasiojijua wala kujitambua wanaokuwa mzigo usiobebeka kwa familia zao, majirani na taifa.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/zanzibar/rais-mwinyi-apangua-wakuu-wa-mikoa-wilaya-4829308
# Rais Mwinyi apangua wakuu wa mikoa, wilaya ## Muktasari: **Katika taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari leo na Katibu Mkuu Kiongozi, Zena Said, wateule wote wataapishwa Jumamosi Novemba 23, 2024.** **Unguja**. Rais wa Zanzibar Dk Hussein Mwinyi amefanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa na wilaya. Katika taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari leo Jumanne Novemba 19, 2024 na kusainiwa na Katibu Mkuu Kiongozi, Zena Said, Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja, Rashid Hadid Rashid amehamishiwa Mkoa wa Kusini Pemba na aliyekuwa mkuu wa mkoa huo, Mattar Zahor Masoud amehamishiwa Mkoa wa Kaskazini Unguja. Hamid Seif Said amehamishiwa Wilaya ya Mjini Unguja kutoka Wilaya ya Kaskazini B. Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Mjini, Rashid Simai Msaraka amehamishiwa Wilaya ya Kaskazini A Unguja. Pia, Sadifa Juma Khamis amehamishiwa Wilaya ya Magharib A akitoka Wilaya ya Kati na Othman Maulid akihamishiwa Wilaya ya Kusini Unguja akitoka Wilaya ya Kaskazini A. Cassian Gallos Nyimbo amehamishiwa Wilaya ya Kati Unguja akitoka Wilaya ya Kusini Unguja huku Khatib Juma Mjaja akihamishiwa Wilaya ya Micheweni Pemba akitoka Wilaya ya Mkoani Pemba. Mwingine Abdalla Rashid Ali amehamishiwa Wilaya ya Wete Pemba akitoka Wilaya ya Chakechake Pemba huku Hamad Omar Bakari amehamishiwa Wilaya ya Mkoani Pemba akitoka Wilaya ya Wete Pemba. Mgeni Khatib Hassan ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Chakechake Pemba akitoka Wilaya ya Micheweni Pemba na Juma Sururu Juma ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini B.Unguja kabla ya uteuzi huo alikuwa ofisa mwandamizi katika ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora. Taarifa hiyo imemtaja Hawah Ibrahim kuwa Naibu Katibu Mkuu (Mawasiliano na Uchukuzi) katika Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, kabla ya uteuzi huo alikuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Udhibiti wa Mifumo ya utoaji wa leseni za biashara, Zanzibar. Wateule wote wataapishwa Jumamosi Novemba 23, 2024 saa 4:00 asubuhi Ikulu, Zanzibar.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/zanzibar/ccm-wataka-utaratibu-msimamo-wa-act-kupiga-kura-siku-moja-zanzibar-4827948
# CCM wataka utaratibu msimamo wa ACT kupiga kura siku moja, Zanzibar ## Muktasari: **Mara kadhaa uchaguzi siku ya kwanza hutumiwa na watumishi wa umma, wenye kazi maalumu vikiwemo vyombo vya ulinzi na usalama, maofisa wa tume wenyewe na watu wengine, siku ya pili wakipiga kura wananchi wote.** **Unguja**. Wakati Chama cha ACT Wazalendo kikiendelea na msimamo wake kupinga uchaguzi mkuu kufanyika siku mbili visiwani Zanzibar, Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesema ni vyema chama hicho kikafuata taratibu kwani kura hiyo ipo kwa mujibu wa sheria. Mara kadhaa viongozi wa ACT Wazalendo wakiongozwa na Mwenyekiti wao Taifa, Othman Masoud wamekuwa wakisema katika uchaguzi ujao hawatakubali na hawapo tayari kuona uchaguzi Zanzibar ukifanyika kwa siku mbili. Hivi karibuni katika mikutano ya hadhara ya chama hicho, Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, alisema hawapo tayari kuingia kwenye uchaguzi huo hata kwa nusu siku. Kwa kawaida Zanzibar, hufanya uchaguzi wa mapema ambapo siku ya kwanza wanaopiga kura ni wenye kazi maalumu vikiwemo vyombo vya ulinzi na usalama, maofisa wa tume wenyewe na watu wengine, siku ya pili wakipiga kura wananchi wote. “Kama watu wanajiamini wanatakiwa wazingatie katiba waingie uwanjani masanduku ya kura ndiyo yaamue mwenye nguvu,” alisema Othman Akizungumza na waandishi wa habari Makao makuu ya CCM Zanzibar leo Novemba 18, 2024, Katibu wa Kamati Maalumu, Idara ya Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Zanzibar, Khamis Mbeto amesema wanashangazwa na kauli zinazotolewa na chama hicho kwani uchaguzi wa siku mbili upo kwa mujibu sheria. Sheria namba nne ya uchaguzi ya mwaka 2018 ibara ya 82 ndiyo inayozungumzia kuhusu kura ya mapema kisiwani humo. Katika sheria hiyohiyo ibara ya 15 inazungumzia utaratibu wa uandikishaji na jinsi ambavyo kila chama kinatakiwa kuweka mawakala wake, huku ibara ya 75 ikieleza mchakato mzima wa upigaji kura utakavyokuwa. “Kama wanaona hawapo tayari ni vyema kufuata utaratibu kupeleka muswada katika Baraza la Wawakilishi ili sheria hiyo ifanyiwe marekebisho, lakini sio kwa kauli a kuonesha kutishia amani, amesema Mbeto Wakati Mbeto akisema hivyo, Othman amesema wameshaomba kuondolewa utaratibu huo mara kadhaa lakini Serikali haijajibu. Katibu huyo amesema hakuna mtu yeyote mwenye uamuzi tofauti na baraza la wawakilishi, “hata Rais hawezi kubadilisha hilo hata CCM haina mamlaka hayo isipokuwa Barazani. kitu cha kisheria kinaondolewa kisheria sio matakwa na maneno ya utashi,” amesema Kwa mujibu wa Mbeto, utaratibu wa kupiga kura kwa siku mbili uliwekwa kutokana na sheria kutaka kila mtu apige kura eneo alipojiandikisha. “Kwa hiyo wapo maofisa wa Tume ya Uchaguzi ambao husimamia uchaguzi nao wana haki ya kupiga kura, hivyo wanatumia siku hiyo kupiga kura kabla ya kwenda kusimamia mchakato huo maeneo mengine,” amesema. Mbeto amesema msimamo wa chama ni kwamba iwapo sheria ikibadilishwa na kuondoa kura ya mapema hakina shaka chenyewe kipo tayari, lakini hakipo tayari kuvunja katiba na sheria za nchi kwa ajili ya matakwa ya watu wachache. Amesema utaratibu wa kupiga kura ya mapema haupo Zanzibar pekee bali kuna nchi nyingine hufanya hivyo zikiwamo Marekani, Nezaland, Afrika Kusini na Hispania. Mbeto amesema chama hicho hakitakuwa tayari kuona kuna viashiria vya kutaka watu kuvuja damu, kwani hivyo ni viashiria vya kuhamasisha wananchi kuingia kwenye matatizo. Katika ushauri wake kwa chama hicho Mbeto amesema, “lazima tujue hivi vyama ni vya kupita lakini Zanzibar itaendelea kuwepo hivyo kila mmoja ailinde kwa wivu mkubwa. Kuhusu kauli ya ACT kuwa CCM inaogopa kuingia kwenye uchaguzi, Mbeto amesema chama hicho hivi sasa kinajiamini kuliko wakati wote kwa sababu Dk Mwinyi amefanya mambo makubwa kwa wananchi. “Kutokana na utendaji wa Dk Mwinyi, ndio maana umewashtua na wameanza kutafuta visingizio, lakini kwa jinsi maendeleo yaliyofanywa tunaamini Dk Mwinyi atashinda kwa asilimia sio chini ya 85, kwanza anauzika na amefanya vitu vinaonekana wananchi wanachotaka ni maendeleo.”
http://www.mwananchi.co.tz/mw/zanzibar/walalama-bonde-la-kilimo-kugeuzwa-machimbo-ya-mchanga-4826508
# Walalama bonde la kilimo kugeuzwa machimbo ya mchanga ## Muktasari: **Maeneo yote yanayochimbwa mchanga lazima yapewe kibali na Serikali** **Unguja.** Wakazi wa Bonde la Donge Jangwani, Mkoa wa Kaskazini Unguja, wamelalamika kupokonywa mashamba yao waliokuwa wakiyatumia kwa kilimo badala yake yanachimbwa mchanga. Kwa nyakati tofauti wamesema wanaishi maisha magumu kutokana na kukosa maeneo ya kuendeleza shughuli zao za uzalishaji mali. Hata hivyo, wakati wakieleza athari wanazopata kwa kukosa eneo la kulima baada ya maeneo yao kuchimbwa, Serikali imedai hakuna mkulima hata mmoja aliyeathirika. Wakizungumza na Mwananchi katika eneo hilo jana Jumamosi Novemba 16, 2024 baadhi ya wakulima waliothiriwa na uchimbaji wa mchanga katika maeneo yao, wamedai wamechukuliwa ardhi yao na walikuwa wakiitumia tangu Mapinduzi matukufu ya Zanzibar mwaka 1964. Yussuf Omar Juma amesema kwasasa maeneo yao wamepewa watu wengine na kuanzisha shughuli za uchimbaji mchanga wao wakibaki wasijue cha kufanya. Amesema mashamba hayo ndio tegemezi kwao kwa kuwa wanafanya shughuli za kilimo kujikimu na maisha yao lakini kwa sasa mashamba hayo yamechimbwa mchanga na hayafai tena kwa kilimo. "Serikali inatuhimiza wananchi kuilinda ardhi kwa lengo la kudumisha mazingira, kubaki salama ila kwa bahati mbaya sana kipindi hiki mtu anayekata mti amekuwa bora kuliko anayeilinda ardhi, hivyo kilio chetu bado tunakirudisha kwa Serikali ichukue hatua kuhusu wanaofanya hivi,” amesema Juma. Amesema wakulima wanaotumia bonde hilo hawana ajira kwa sasa na mashamba hayo ndio kitega uchumi chao, ndio maana wanaiomba Serikali kuwasaidia. Mkulima mwingine, Mzee Yussuf amesema kawaida ya wananchi wa kijiji wakishaambiwa kuwa jambo linafanywa na Serikali wanakosa nguvu ya kufuatilia. "Wananchi wa vijijini wakishaambiwa jambo limetendwa na Serikali hawana uhuru wa kufuatilia, kilichobaki ni kushukuru Mungu na kukaa kimya ilihali wanaumia," amesema Juma. Amesema Serikali ilitoa agizo kwa watu wanaomiliki mashamba na yanahitaji kuchimbwa mchanga waende kujaza mkataba, asilimia 70 itakwenda kwa Serikali na asilimia 30 itabaki kwa mmiliki. Katika utaratibu uliowekwa na Serikali, mwananchi anayetaka kununua mchanga anaomba serikalini kupitia mfumo maalumu na tani moja inalipiwa Sh10,000. Juma amesema kauli hiyo ndio inayotumiwa na watu wachache kujinufaisha wao bila kuzingatia utaratibu na kumuumiza mkulima mwenye eneo lake. Solo Shija Luhende, amesema shamba lake ni miongoni mwa yaliothiriwa kwa kuchimbwa mchanga likiwa na viazi. Pia, amesema hajui wakati wa mavuno watapitisha wapi mazao hayo kuyatoa shambani na kuyapeleka barabara kuu kwa kuwa hakuna gari inayoweza kufika shambani. "Wakati wa mavuno tutalazimika kubeba mabegani kutoa mazao shambani na kupeleka juu ili kuchukuliwa na gari kupeleka barabara kuu," amesema Luhende. Amesema, awali walikuwa wanalipia Sh5,000 kutoa mazao yao shambani hadi kufikishiwa barabarani ila kwa sasa hivi ni ngumu kwani njia waliyokuwa wanaitumia imechimbwa mchanga. Mwingine, Yussuf Kassim Iddi amesema eneo hilo limeharibiwa bila ya utaratibu maalumu, kwa mujibu wa sheria maeneo yanayotumika kwa kilimo hayaruhusiwi kuchimbwa mchanga. Iddi amesema shamba hilo lilikuwa linalimwa mpunga, matikiti, mahindi, viazi na matango kwa ajili ya biashara kwa kuwa hiyo ndio ajira yao. Mkulima huyo amesema shamba hilo limechimbwa mchanga bila ya kushirikishwa wananchi wanaolima eneo hilo. "Hili shamba hatuwezi kusema kuwa linachimbwa na Serikali kwa sababu hawakuja kutuweka kikao tukazungumza na tukakubaliana, ndio maana tunaiomba Serikali imchukulie hatua huyo aliyefanya hivyo," amesema Iddi. Sambamba na hilo alitoa rai kwa wahusika wanaotoa vibali vya kuchimba mchanga kufanya tathimini ili kuona maeneo yanayopaswa kuchimbwa mchanga bila kuathiri kilimo na makazi ya watu. "Wanaochimba mchanga hawazingatii mazingira na wanachimba kiholela bila kuwa na utaratibu maalumu, hivyo wafanye tathimini kwani wanaoathirika ni wakulima," amesema Iddi. Sheha wa Donge Mbiji, Zahor Abdalla Mzee amekiri kuwepo kwa malalamiko hayo ya wakulima katika eneo hilo na tayari jambo hilo limeshafikishwa serikalini kwa hatua zaidi. Takribani miezi minne tangu mashamba hayo yaanze kuchimbwa mchanga maeneo hayo bila ya utaratibu maalumu, imesababisha kukosa ajira na wengine kukata tamaa na maisha. Mwananchi lilipomtafuta mtu anayedaiwa kuendesha shamba hilo katika shughuli za uchimbaji, Othman Ame amesema eneo hilo linachimbwa mchanga na Serikali na sio yeye kwa kuwa, hakuna raia yeyote anayechimbisha shimo la mchanga isipokuwa ni Serikali yenyewe. Amesema, Serikali ndio inaruhusu eneo kuchimbwa mchanga baada ya kamati kujiridhisha. "Hakuna sehemu nayoweza kuchimba shimo la mchanga kama Serikali haijui, hivyo shimo linafunguliwa (linachimbwa) baada ya Serikali kujiridhisha, inatangaza katika vyomba vya habari eneo lililoruhusiwa kuchimbwa mchanga," alisema. Hivyo, amelekeza iwapo kuna hoja yoyote inayohusiana na uchimbaji wa mchanga katika shimo hilo iulizwe Serikali ndio yenye majibu sahihi. Amesema, “eneo linalotaka kuchimbwa mchanga kabla ya kuchimba ni lazima uiandikie barua wizara husika kwa lengo la kuja kuangalia eneo lililoombewa liko sahihi au halipo sahihi.” Ame amesema baada wizara kujiridhisha wanaandikiana mkataba maalumu, inatokea sintofahamu mhusika mkuu ni Serikali. Hata hivyo, amesema tayari Serikali imeshafika kuanzia mkuu wa wilaya hadi wizara husika ili kumaliza jambo hilo na tayari imeshaagiza lifungwe. Hata hivyo, licha ya shimo hilo kudaiwa kufungwa kwa wiki sasa mwandishi wa habari hii ameshuhudia uchimbaji mchanga wa eneo hilo bado ukiendelea. "Hao ni wakulima wanasema tu hayo maneno ila hilo shamba limeshauzwa na mmiliki na siwezi kuongelea hilo nendeni wizarani mkachukue taarifa zote, mimi sina taarifa zaidi," amesema mwekezaji huyo. Mkuu wa Wilaya Kaskazini B Unguja, Hamid Seif Said ambaye ametajwa na wananchi hao kufika katika eneo hilo na kuahidi kughulikiaa tatizo hilo, amesema kwa sasa yupo likizo na kama kuna kitu chochote kinachohusu wilaya hiyo atafutwe mkuu wa Wilaya Kaskazini A Unguja anayekaimu nafasi yake. Hata hivyo, alipotafutwa Kaimu mkuu wa wilaya hiyo, Othman Ali Maulid amesema hawezi kutoa majibu kwa sasa kwa kuwa hajafika katika eneo na kushuhudia. "Unajua mimi ni DC wa Kaskazini A, nimekaimu maana mwenyewe yupo likizo na sijaanza rasmi, hivyo subiria niende site (eneo husika) nitakutafuta kutoa ufafanuzi," amesema Ame. Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Zanzibar, Shaame Khamis Shamata alipoulizwa na Mwananchi kuhusu sakata hilo, amesema hana taarifa nalo ila dhamana hiyo ipo kwa wizara nyingine. Hata hivyo, ameahidi watalifuatilia katika ngazi husika na kuangaliwa ikiwa kuna taratibu zimekiukwa na kuhakikisha haki za wananchi zinapatikana. Mwananchi ilimtafuta Waziri wa Maji Nishati na Madini, Shaibu Hassan Kaduara amesema wachimbaji walitaka kuingia katika eneo la kilimo lakini hawakuwahi kuingia na uchimbaji mchanga umesitishwa. "Tumeshachukua hatua ya kusitisha uchimbaji mchanga, wachimbaji waliingia kidogo ila wananchi walivyosema bado wanaendelea kulima tumesitisha," amesema Kaduara. Wakati wananchi wakisema wameathiriwa, Waziri anadai hakuna mwananchi yeyote aliyeathirika katika eneo hilo na maeneo yote yanayochimbwa mchanga ni tambarare sio milima.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mtoto-anusurika-kifo-akidaiwa-kunyweshwa-sumu-4828188
# Mtoto anusurika kifo akidaiwa kunyweshwa sumu ## Muktasari: **Mtoto huyo mkazi wa Mtaa wa Kwangwa A, katika Manispaa ya Musoma mkoani Mara anadaiwa kufanyiwa kitendo hicho Novemba 13, 2024 jioni akiwa nyumbani anapoishi na bibi yake.** **Musoma.** Mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka mitano amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mara, akidaiwa kunyweshwa sumu ya kukuzia nyanya na jirani yao huku chanzo cha tukio hilo kikiwa bado hakijulikani. Mtoto huyo aliyefahamika kwa jina la Daniel Edward mkazi wa Mtaa wa Kwangwa A, katika Manispaa ya Musoma, anadaiwa kufanyiwa kitendo hicho Novemba 13, 2024 jioni akiwa nyumbani anakoishi na bibi yake. Akizungumza na Mwananchi hospitalini hapo leo Jumatatu Novemba 18, 2024, mama wa mtoto huyo, Maryciana Patrice amesema alimkuta mwanaye amelala chini pembezoni mwa nyumba yao, akiwa anatapika matapishi meupe yenye harufu kali. "Mimi huwa siishi hapa, ila mwanangu anakaa hapa na bibi yake, siku ya tukio nikitokea senta nilimkuta mwanangu akiwa amelala pembeni ya nyumba huku akitapika matapishi yaliyokuwa yanatoa harufu kali.” Amesema alimbeba na kumuingiza ndani huku akiwa hajui chanzo na aliendelea kutapika usiku kucha hadi akaishiwa nguvu na kupoteza fahamu. "Muda wote alikuwa analia tumbo linamuuma alfajiri tukampeleka hospitali ambapo aliwekwa kwenye chumba cha uangalizi maalumu hadi mchana alipozinduka,” amesimulia mama huyo. Amesema baada ya kuzinduka akiwa bado hana nguvu, walimuuliza alikula nini jana yake, ndipo alipowaeleza kuwa alikunywa maziwa yaliyokuwa kwenye kopo aliyopewa na bibi huyo (huku akimtaja jina) ambaye ni jirani yao. Mtoto huyo amedai kuwa bibi huyo alimwambia ayanywe kisha aingie ndani akalale. Bibi wa mtoto huyo, Siwema Malima ambaye ndiye anayeishi naye, amedai kuwa hana ugomvi na jirani yake huyo ingawa hawana uhusiano mzuri kwa muda mrefu sasa. "Huyo bibi alikataa tusiwe tunamuomba kitu chochote, ikabidi na mimi nimzuie mjukuu wangu asiwe anakwenda nyumbani kwake kucheza na wajukuu zake ingawa sisi ni majirani, yeye ndiye aliamua tusiwe na huo ujirani," amedai Malima. Bibi huyo amesema ameanza kuhofia usalama wa mjukuu wake huyo hasa ikizingatiwa kuwa nyumbani kwake wanaishi watatu tu yeye na mjukuu wake na mtoto wake wa mwisho anayesoma darasa la tano, huku mama wa mtoto huyo akiishi kijijini na mume wake. Amesema wakati akiendelea kumuuguza mjukuu wake hospitalini pia amelazimika kuhamishia familia yake kwa ndugu. Hata hivyo, amesema tayari walishatoa taarifa Polisi katika Kituo cha Musoma na mtuhumiwa alikamatwa, lakini kwa sasa yuko nje kwa dhamana. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Nernard Sindano amesema hana taarifa za tukio hilo huku akiahidi kufuatilia ili kujua undani wake. Daktari wa wodi ya watoto hospitalini hapo, Majaliwa Ayubu amesema hali ya mtoto huyo hivi sasa inaendelea vizuri tofauti na walivyompokea. "Alikaa kitengo cha dharura kwa zaidi ya saa 10 kabla ya kuhamishiwa wodini, hali yake ilikuwa mbaya sana, kwanza alikuwa amepoteza fahamu na alikuwa dhaifu sana na hata fahamu ilipomrudia alikuwa anapumua kwa taabu huku akitokwa machozi bila kulia.” “Pia alikuwa anatapika mara kwa mara matapishi yenye harufu kali," amesema daktari huyo. Mwananchi lilimtafuta pia mtuhumiwa wa tukio hilo aliyejitambulisha kwa jina moja la Nyamakunja ambaye amekiri kukamatwa na Polisi akihusishwa na tukio hilo, ingawa amekanusha tuhuma hizo. Pia amedai kutokumfahamu mtoto huyo kwa maelezo kuwa sio kweli kuwa mtoto huyo anaishi na bibi yake jirani na yeye. Lakini baada ya muda mfupi, bibi huyo alisema anamfahamu mtoto kuwa anaishi eneo la kijijini na mama yake mzazi na Jumapili, mama wa mtoto akiwa ameambatana na mtoto huyo, walienda kumuomba ampatie dawa ya kienyeji akieleza kuwa mtoto wake anaumwa degedege, ombi ambalo bibi huyo alilikataa. "Nilimuuliza unaniomba dawa kwani mama yako yuko wapi, akasema ameenda kumtafutia dawa nyingine, baada ya kumkatalia akaniomba maembe nikamwambia achume na baadaye wakaondoka na mtoto wake,” amesimulia na kuongeza; “Siku ya tukio ambayo wanasema nilimpa sumu huyo mtoto, mimi sikushinda hapa nyumbani, sasa huyo mtoto mimi nilimnywesha hiyo sumu saa ngapi, nani aliniona? alete na ushahidi," amesema bibi huyo.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mwendokasi-chanzo-ajali-iliyoua-kujeruhi-10-geita-4826872
# Mwendokasi chanzo ajali iliyoua, kujeruhi 10 Geita ## Muktasari: **Mwendo kasi na dereva wa gari binafsi aina ya Kluger kutozingatia sheria za usalama barabarani imetajwa kuwa chanzo cha ajali iliyotokea katika eneo la Mpomvu Kata ya Mtakuja mjini Geita, na kusababisha kifo cha mtu mmoja na majeruhi 10** **Geita. **Mwendokasi na dereva wa gari binafsi aina ya Kluger kutozingatia sheria za usalama barabarani imetajwa kuwa chanzo cha ajali iliyotokea eneo la Mpomvu Kata ya Mtakuja mjini Geita, na kusababisha kifo cha mtu mmoja na majeruhi 10. Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Geita imeeleza ajali hiyo iliyotokea jana Jumamosi, Novemba 17, 2024 ilisababishwa na dereva wa gari dogo iliyokuwa ikitokea Katoro kwenda Geita kuendesha kwa mwendo kasi na kugongana uso kwa uso na gari ya abiria aina ya Tata iliyokuwa ikitokea Geita kuelekea Katoro. Shuhuda wa ajali hiyo, Jacob Paul amesema dereva wa gari dogo alikuwa kwenye mwendokasi na alipofika eneo hilo, gari lilimshinda na kuhama barabara na kwenda kugongana uso kwa uso na basi hilo la abiria. “Tulipokuwa tunawatoa mmoja alifia eneo la ajali wengine walioumia sana ni wale waliokuwa kwenye Kluger, tuliwasaidia japo miguu ilikuwa imevunjika na eneo la tumbo dereva alikuwa ameumia sana ndio askari wakaja wakawachukua na kuwapeleka hospitali,” amesema. Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Geita, Brian Kimario amesema walipokea majeruhi wawili waliohamishwa kutoka Hospitali ya Mji Geita ambao walikuwa kwenye hali mbaya kutokana na majeraha waliyoyapata. “Tulipokea majeruhi wawili ambao ni Dismas Mlashani aliyekua amevunjika miguu na kuvujia damu kwenye tumbo na Shija Ihano ambaye naye alikua amevunjika miguu, tuliwafanyia huduma usiku ule ule na kwa sasa wanaendelea vizuri mmoja bado yupo ICU,“ amesema Dk Kimario. Mmoja wa majeruhi, Shija Ihano ambaye ni mfanyabiashara wa madini ya dhahabu akizungumza akiwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa amesema alitokea kwenye mgodi wa Biharamulo kwenye shughuli zao za uchimbaji. “Tulipofika Katoro tulitulia tukala na kuanza tena safari, alikua anaendesha mwenzangu nikapata usingizi nikajilaza nimekuja kushituka watu wananisaidia miguu yote imevunjika ndio madaktari wakaja kutuchukua,” amesema. Amesema walikuwa wakielekea Msalala wilayani Nyang’hwale kwa shughuli zao za madini na kwenye gari alikuwa na zaidi ya Sh8.3 milioni pamoja na kiasi cha madini ya dhahabu waliyokuwa wametoka nayo kwenye mgodi wa Biharamulo na hafahamu zilipo ikiwamo simu zake tatu.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mmoja-afariki-10-wajeruhiwa-ajali-ya-magari-kugongana-geita-4826500
# Mmoja afariki, 10 wajeruhiwa ajali ya magari kugongana Geita ## Muktasari: **Majeruhi wanaendelea kupatiwa matibabu hospitalini baada ya ajali hiyo kutokea usiku wa jana Jumamosi.** Geita. Mtu mmoja ambae jina lake halijafahamika amepoteza maisha na wengine 10 kujeruhiwa katika ajali ya iliyohusisha gari dogo na basi la abiria. Ajali hiyo imetokea saa 3 usiku wa kuamkia leo, Novemba 17, 2024 katika eneo la Mpovu Barabara kuu ya Geita-Kagera ikihusisha gari dogo aina ya Kluger na basi dogo la abiria aina ya Tata. Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mji wa Geita, Thomas Mafuru akizungumza na Mwananchi leo Jumapili amesema wamepokea majeruhi 10 na mwili mmoja wa jinsia ya kiume. Amesema majeruhi wawili wamehamishiwa Hospitali ya Mkoa wa Geita kutokana na hali zao kuwa mbaya, wakijeruhiwa zaidi maeneo ya miguu na tumbo. Mrakibu Msaidizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokozi, Edwad Lukuba amesema ajali hiyo ilihusisha gari dogo aina ya Kluger likiendeshwa na mfanyabiashara wa madini ya dhahabu pamoja na gari la abiria likitokea Geita kwenda Katoro kugongana uso kwa uso. **Endelea kufuatilia Mwananchi kwa habari zaidi...**
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/wachungaji-wahubiri-wapimwe-afya-ya-akili-kabla-ya-kutoa-neno-4823802
# Wachungaji, wahubiri wapimwe afya ya akili kabla ya kutoa neno ## Muktasari: **Ushauri huo ni kufuatia ongezeko la makanisa nchini ambayo wachungaji na wahubiri wake wanadaiwa kuwapotosha waumini wao kwa kutumia maandiko ya Biblia na kuwaaminisha vitu kama maji, udongo na mafuta kuwapa utajiri na kuwaponya.** **Mwanza**. Baadhi ya wasomi wa Biblia na viongozi wa dini wameshauri kitengenezwe chombo kitakachofuatilia mienendo ya wahubiri na wachungaji pamoja na kuwapima afya ya akili kabla ya kuruhusiwa kuhubiri. Ushauri huo ni kufuatia ongezeko la makanisa nchini ambayo wachungaji na wahubiri wake wanadaiwa kuwapotosha waumini wao kwa kutumia maandiko ya Biblia na kuwaaminisha vitu kama maji, udongo na mafuta kuwapa utajiri na kuwaponya. Ushauri huo umetolewa leo Alhamisi Novemba 14, 2024 kwenye kongamano la kiukemene kujadili imani moja na mafundisho sahihi kwa ustawi wa binadamu lililoandaliwa na Chuo cha Biblia cha Kilutheri Nyakato kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (Saut) vyote vya mkoani Mwanza. Akitoa mada kwenye kongamano hilo, Mkuu wa Idara ya Falsafa na Maadili chuo cha Saut Mwanza, Padri Innocent Sanga amesema Biblia haina tena utamu wa kuhubiri na hata umisionari umepoteza ladha kwa sababu umeingiliwa na wanyang’anyi wanaotumia vifungu vyake kutapeli waumini wao. “Tutengeneze chombo…Tunapaswa kuwapima wachungaji vichwa vyao, afya ya akili, kuna wengine ni wagonjwa, wanadanganya watu kumbe hapa kichwani pameshaharibika…miaka na miaka pameshaharibika. “Watu wanajaa kanisani, kumbe yeye ni mgonjwa. Je, tunajaribu kupima wachungaji vichwa vyao? Ushauri nasaha lazima tuuweke karibu na makanisa yetu ili mapadri, wachungaji tuweze kupimwa vichwa vyetu…Unapoenda kuhubiri lazima upimwe kichwa kwamba una akili sawasawa,” amesema Dk Sanga. Amesema Biblia sasa imekuwa sio chombo cha kuwapeleka watu mbinguni badala yake imekuwa chombo cha kuchumia matumbo ya watu ambao wakikosa ajira wanajifunza Biblia kidogo, wanafungua kanisa, wanafanya biashara na kupata utajiri akisema taasisi za kikanisa zimevamiwa. “Dini imekuwa sasa tunachumia matumbo yetu na si kuokoa roho za watu…hiyo ni fedha ya aibu kutumia Biblia kupata fedha halafu tunalaani mafisadi serikalini, ni hatari kabisa kuwa fisadi kwa kutumia maandiko matakatifu, Biblia imekuwa inatakatifuza fedha chafu,” ameeleza. Amesema mambo yanayosababisha wahubiri wanapotosha watu ni elimu na kushindwa kutafsiri maana halisi ya maandiko huku akitumia mfano wa Mathayo sura ya saba, aya ya saba mpaka nane unaosema “Ombeni nanyi mtapewa, tafuteni mtapata, bisheni hodi mtafunguliwa…” kutumiwa na baadhi ya wachungaji kuwalaghai waumini. “Nimeona mchungaji mmoja kutokana na elimu ya Biblia, anawafundisha watu kugonga milango ya watu kila siku, anasema ukigonga mara tano hautokosa (wanachotaka kupata) sasa hizi ndio tafsiri za Biblia? Ni elimu wanakosa, ni hatari kabisa,” amesema. Amesema maaskofu wa madhebu yote wakiungana na kuanzisha chombo na kupata baraka ya Serikali kwa kuwa ina meno na nguvu ya kubana makanisa yanayotoa mafundisho potofu. “Sasa hivi kumekuwa na utitiri wa madhehebu, imekuwa ni fujo, ghasia siyo tu kwa makanisa makubwa, madogo, imekuwa pia ghasia kwa Serikali. Serikali imejikuta imechukua kazi nyingine ya kutatua migogoro inayojaa kwenye vikanisa vidogo vidogo na pia raia wa Tanzania wanadhurumiwa, wanaibiwa na kudanganywa na hata wengine kufia imani kwa kudanganywa, wengine wanakuwa masikini kabisa wa kutupwa, na hata wengine wananyimwa haki ya elimu kwa sababu wachungaji wamesema elimu haina maana kwa kwenda mbinguni,” ameongeza Padri huyo. Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Magharibi Bukoba, Dk Abednego Keshomshara amewataka waumini wajihadhari na manabii wa uongo kwa kuwa mahubiri yao yamewafanya watu waamini imani ambayo inawakataza kufanya kazi wakitegemea miujiza. “Maandiko yanasema asiyefanya kazi na asile...wengine wanafanya upotoshaji wa kulazimisha waumini watoe fedha,” amesema. Makamu Mkuu wa Chuo cha Saut Mwanza, Profesa Costa Mahalu amesema mafundisho ya kiimani ni nguzo muhimu ya kumfundisha mwanadamu kuhusu maisha ya kiroho, kijamii, kiuchumi na kimaadili akiongeza kuwa kupitia idara ya falsafa na maadili chuoni hapo wanatoa elimu ya kupambana na mafundisho hayo. “Tumejidhatiti kutoa elimu ya fikra tunduizi kama nyenzo ya kupambana na mafundisho machafu, tunafahamu fikra tunduizi si tu ni njia ya kufundisha wanazuoni na wana taaluma bali pia ni njia ya kukuza muelekeo wa kiroho na kijamii unaozingatia ukweli unaojengeka katika mafundisho sahihi,” amesema Profesa Mahalu. Mwanafunzi wa thiolojia katika Chuo cha Biblia Nyakato, Venitha Silveri akiishauri serikali kuweka sheria dhidi ya watu wanaoibuka na madhehebu yao kutapeli pamoja na kushirikiana na maaskofu kufuatilia wachungaji na wahubiri walipotoka na kama wana vigezo vya kuhubiri ili kudhibiti wimbi la wachungaji wapotoshaji.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/siasa
### Ahadi, majigambo vyatawala siku ya kwanza ya kampeni, wengine kesho Katika kusaka kura hizo, baadhi vinatumia staili tofauti, ikiwemo kuwatumia viongozi wa maeneo husika kuwanadi na kuwaomba kura wagombea wao, wakati wengine wakiwatumia viongozi wao waandamizi.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/siasa/vyama-vinapoingia-kwenye-kampeni-katikati-ya-malalamiko-4829654
Prime # Vyama vinapoingia kwenye kampeni katikati ya malalamiko Leo, vyama vya siasa nchini vinaanza kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa kwa ajili ya kuuza sera zao kwa wananchi ili kuwashawishi kuwapa ridhaa wagombea wao ili waongoze vijiji, mitaa na vitongoji kwa miaka mitano ijayo. Kampeni hizo zitafanyika kwa siku saba tu na Novemba 27, mwaka huu, ndiyo siku ya uchaguzi huo ambayo wananchi wanatarajiwa kufanya uamuzi kwa kuchagua wagombea kutoka kwenye vyama vyenye sera zinazowavutia. Mwishoni mwa wiki iliyopita wakati akizungumza na wahariri na waandishi wa habari, jijini Dodoma, Waziri, Ofisi ya Rais Tamisemi, Mohamed Mchengerwa alisema nafasi za uenyekiti wa kijiji zinazogombewa ni 12,280 na kwamba, vyama 18 vya siasa vimeweka wagombea 6,060, sawa na asilimia 49.35 ya nafasi hizo. Alisema nafasi za uenyekiti wa mtaa zinazogombewa ni 4,264, huku vyama 18 vya siasa vimeweka wagombea 3,281 sawa na asilimia 76.94 ya nafasi hizo. “Nafasi za uenyekiti wa kitongoji zinazogombewa ni 63,886 vyama 18 vya siasa vimeweka wagombea 21,636 sawa na asilimia 33.87 ya nafasi hizo,” alisema Mchengerwa. Alisema kwa kuzingatia maeneo ya utawala yaliyotangazwa katika gazeti la Serikali Tangazo Namba 796 na 797 yote ya Septemba 6, 2024, vijiji vilivyopo ni 12,333, mitaa 4,269 na vitongoji 64,274. Hata hivyo, kutokana na halmashauri za wilaya za Kaliua, Nsimbo na Tanganyika kuwa na makazi ya wakimbizi ya Ulyankulu, Katumba na Mishamo, na wananchi kuhama kwenye baadhi ya vitongoji kutokana na sababu mbalimbali, maeneo yatakayofanya uchaguzi Novemba 27, 2024 ni vijiji 12,280, mitaa 4,264 na vitongoji 63,886. Kwa mujibu wa Mchengerwa, Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeweka wagombea katika nafasi zote za vijiji, vitongoji na mitaa, huku upinzani ukiweka katika nafasi 30,977, sawa na asilimia 38 ya nafasi zote 80,430 zinazoshindaniwa. “Hii ina maana wagombea wa CCM takribani asilimia 60 watapigiwa kura za Ndiyo au Hapana kwa mujibu wa sheria za uchuguzi huo. “Nimeona ni muhimu kuweka idadi hii wazi ili kuupa umma taarifa ya hali halisi ya uchukuaji wa fomu za kugombea nafasi mbalimbali kwa vyama vyote vya siasa, hata kabla ya malalamiko ya kuenguliwa kinyume cha utaratibu,” alisema Mchengerwa. Kauli hizo za Waziri Mchengerwa zimefuata baada ya kuwepo malalamiko ya wagombea wa vyama vya upinzani kuhusu kuenguliwa kwenye uchaguzi huo na sarakasi nyingi zilizotokea tangu mchakato huo ulipoanza katika hatua ya uandikishaji wapigakura. **ACT yazindua ilani** Chama cha ACT Wazalendo, kwa mara ya kwanza kimekuja na ilani yake ya uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji yenye mambo tisa, yatakayosimamiwa na kutekelezwa na viongozi wao watakaochaguliwa katika uchaguzi utakaofanyika Novemba 27, 2024. Miongoni mwa mambo hayo ni kutoa viongozi waaminifu, jasiri na mahiri, kurejesha nguvu za serikali za mitaa kwa wananchi, kuboresha huduma za jamii kwa wote mijini na vijijini na kuwahudumia wananchi kwa kutoa huduma bora na stahiki, kusikiliza changamoto zao kwa ukaribu. Mengine ni kupambana na ufisadi, kuhudumia watu wote na sio watu wachache na kuhakikisha kila fedha inayokusanywa, inatumika kuondoa umaskini vijijini, kuondoa vitisho, ubabe na uonevu kwa wananchi. Akiizindua ilani hiyo mwishoni mwa wiki, Kiongozi wa Chama, Dorothy Semu aliwataka Watanzania kutumia kura yao kufanya mabadiliko, akisema ahadi ya chama hicho ni kuwajibika, kutoa huduma bora na kujenga mitaa, vijiji na vitongoji vinavyostawi. **Chadema na ilani za halmashauri** Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema anasema hawawezi kuzindua ilani ya kitaifa katika uchaguzi wa serikali za mitaa, isipokuwa kila halmashauri watakuwa wanazindua kutegemeana na mahitaji yao. “Hatutaki kurudia makosa yale yale ya miaka yote, uchaguzi huu ni wa mitaa, vitongoji na vijiji, watu katika maeneo yao wana mahitaji yao, unakuta wengine kujenga vyoo, sasa chama hakiwezi kuja na ilani ya kitaifa,” anasema. Mrema anasema wamejipanga na kila halmashauri itakuja na ilani zao zitakazozinduliwa katika kila kata kwa kuzingatia mahitaji yao. “Tanzania nchi yetu ni kubwa na tuna jamii nyingi ambazo changamoto hazilingani, kuna wanaofuga, wakulima na wengineo, huwezi kuja na ilani moja ya kitaifa, ni makosa,” anasema. Katika hatua nyingine, Mrema alipoulizwa namna gani mchakato uliopita ulivyowaathiri, alidai umewaathiri kwa kiwango kikubwa, huku akieleza ukatili waliofanyiwa viongozi wa chama hicho, akiwemo mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe. **NLD na mahitaji ya wananchi** Akiwa na mtazamo kama huo, Katibu Mkuu wa NLD, Doyo Hassan Doyo anasisitiza kwamba hawawezi kuwafanyia wananchi sanaa za kisiasa ambazo hazina tija. “Hatutaki na hatuwezi kutengeneza ilani ya kitaifa, mahitaji yanatofauatina, mfano Handeni katika eneo la Kabuku, wana shida kubwa ya maji na wananchi wake ni wakulima wa matunda, changamoto hiyo ni tofauti na maeneo mengine,” anasema. Doyo anasema kutengeneza ilani moja “uniform” (inayofanana) ni kutowatendea haki wananchi, huku akieleza mpango wao ni kushughulika na shida za raia zaidi. “Serikali inajinasibu imesambaza umeme vijiji vyote nchini, lakini tumebaini baadhi ya vijiji vimerukwa na wananchi wanalia, kazi yetu ni kuwaeleza uhalisia na kuwaambia wakituchagua tutatatua shida zilizopo,” anasema. Doyo anasema ilani za kitaifa mara nyingi huwa zinaangalia zaidi mambo mapana kama ya kiusalama, uchumi, huduma za kiafya za wananchi na mambo mengine yanayowagusa watu wa maeneo yote. Kuhusu kuathiriwa kwa mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa, Doyo anakanusha, huku akibainisha kwamba maeneo mengi wagombea wao wamepenya na jukumu walilonalo ni kutengeneza mbinu za kuwashawishi wananchi. “Tuliwekewa mapingamizi sehemu chache na figusu tulifanyiwa na wagombea wenzetu kutoka chama tawala, lakini tulikata rufaa na wagombea wamepitishwa, hivyo hatuna wasiwasi muda uje tu,” anasema. **CUF yajifungia kutafakari** Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Magdalena Sakaya anasema mchakato wa kuchukua na kurejesha fomu umewaathiri kwa kiwango kikubwa kiasi cha wanachama wao kukosa nguvu ya kuwaunga mkono. “Tumejifungia tunakusanya takwimu kutoka nchi nzima kisha tutafanya kikao na kutoka na msimamo. Kusema kweli CUF tumechoka, ni kama tulilengwa kwa namna fulani, haiwezekani maeneo ambayo tulitegemea wagombea wetu wote waliokata rufaa hakuna aliyepenya,” anasema. Katika maelezo yake, Sakaya anasema maeneo waliyokuwa wanayategemea ambayo chama hicho kimekuwa kikiungwa mkono, mathalani mikoa ya Kusini, Kondoa na Chemba, wagombea wao wametupwa nje. “Tumefanyiwa unyama, tulitegemea kamati za rufaa zingetenda haki labda kutokana na maagizo ya waziri, lakini matokeo yake wajumbe wa kamati hizo wamewakandamiza zaidi,” anasema Sakaya. Sakaya anasema katika maeneo hayo rufaa nyingi walizowekewa baada ya kufuatilia wamebaini hajulikani aliyewekwa, huku akishuku ni mpango wa chama tawala kuendelea kujitengenezea dira ya kutaka kuwanyima uhuru wa machaguo mengi wananchi. “Kwa kuwa wamefanya ukatili huo, tunakusanya takwimu kama chama, tutatoka hadharani kueleza msimamo wetu wa jumla. Wanachama wetu wako njiapanda hadi sasa,” anasema Anasema wameandaa ilani ya uchaguzi huo ambayo haijazinduliwa, ikiathiriwa na wagombea wao kuondolewa kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi huo. **Maoni ya wachambuzi** Mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Dk Paul Loisulie anasema uchaguzi wa mwaka huu umeshuhudiwa kuwa na hekaheka nyingi kutokana na matukio yaliyojitokeza wakati wa mchakato wake. Anataja matukio hayo kuwa ni pamoja na kukatwa kwa wagombea, suala zima la kukata rufaa, kurudishwa kwa walioenguliwa huku kubwa zaidi akisema suala la Chama cha Mapinduzi (CCM) kusimamisha wagombea maeneo yote nchi nzima huku upinzani ukisimamisha asilimia 38. Akizungumzia ilani iliyotangazwa na chama cha ACT Wazalendo, anasema ni jambo la kupongezwa kwa sababu limekuja katikati ya hekaheka zinazoshuhudiwa. “Suala la ilani unajua vyama vingi huwa vinatoa ile ya miaka mitano, hasa kuelekea katika uchaguzi mkuu, hili walilolifanya ACT Wazalendo ni kama surprise (kushangaza) wanahitaji kupongezwa,” anasema mwanazuoni huyo. Anasema kwa maoni yake, ACT Wazalendo wana mpango wa kutaka wananchi wajue viongozi wao wa serikali za mitaa, vitongoji na vijiji wataenda kufanya nini japokuwa ipo kisheria. “ACT Wazalendo wamekuja na kitu kipya ambacho ni kizuri, kinachoweza kuleta hoja mezani, kwamba wanaochaguliwa kuwa wenyeviti wanakuja kufanya nini,” anasema Dk Loisulie. Kwa upande wake, mchambuzi wa siasa, Lusungu Mubofu anasema mpaka sasa wameona kwa kiasi kikubwa maandalizi ya mikutano kwa ajili ya wagombea kwenye baadhi ya maeneo ni hatua nzuri kwenye demokrasia, lakini hawajaona sana ilani za vyama. “Nadhani ACT Wazalendo wameonyesha mfano kwa kuzindua ilani, maana ndio msingi wa sera. Itapendeza kama huu utakuwa utaratibu kwenye chaguzi zijazo za serikali za mtaa. “Jambo lingine la kuangalia ni kuona namna gani tunaweka mazingira mazuri wakati mwingine kwa vijana wengi kushiriki kupiga kura, kwa kushusha umri wa kupiga kura kutoka 18 kushuka hadi 16 na umri wa kugombea kushuka kutoka 21 hadi 18,” anashauri.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/siasa/mbowe-tutailinda-chadema--4829452
# Mbowe: Tutailinda Chadema ## Muktasari: **Kauli ya Mbowe imekuja kufuatia ukimya wake wa zaidi ya miezi miwili, huku kukiwa na mivutano ya hoja ndani ya chama hicho.** **Dar es Salaam**. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amekiri kuwepo kwa minyukano ndani ya chama hicho, akisema wanaimaliza ndani kwa ndani na watakilinda chama hicho kwa gharama yoyote. Kauli ya Mbowe imekuja kufuatia ukimya wake wa zaidi ya miezi miwili, huku kukiwa na mivutano ya hoja ndani ya chama hicho, ikiwamo kauli ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho-Bara, Tundu Lissu aliyoitia Novemba 12, 2024 mjini Singida, akisema chama hicho kilidanganywa na CCM kwa lugha laini ya maridhiano. Lissu pia katika mkutano wake huo, alisema uchaguzi umevurugwa na umekwisha, hivyo akakitaka chama chake kijipange upya. Mbali na kauli hiyo, Lissu amekuwa akitoa kauli za madai ya kuwepo wa rushwa ndani ya chama hicho, akiwaonya makada kutojihusisha nayo. Hata hivyo, Chadema ilitoa taarifa kwa umma iliyosainiwa na Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje, John Mrema ikikanusha hoja hizo, ikijibu hoja hizo. Mbali na kauli za Lissu, kumekuwa pia na mnyukano wa kauli miongoni mwa viongozi katika chaguzi za ndani zinazoendelea, Novemba 16, 2024 Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema alimtaja Naibu Katibu mkuu wa chama hicho-Bara, Benson Kigaila, akimhusisha na vurugu zilizoibuka katika uchaguzi wa chama hicho Mkoa wa Arusha. **Kauli ya Mbowe** Akizungumza na waandishi wa habari leo Novemba 19, 2024 katika ofisi za makao makuu ya chama hicho Mikocheni Dar es Salaam, Mbowe amesema kauli za makamu wake, Lissu hazionyeshi kuwepo mgogoro kwa sababu ni msimamo wa chama. “Kwamba makamu mwenyekiti wetu alisema uchaguzi umevurugwa, ni kweli. Kwani nani ambaye hajasema hivyo? Kila mwenye akili timamu amesema uchaguzi umevurugwa. “Lakini makamu mwenyekiti hajawahi kusema tujitoe kwenye uchaguzi, kwa sababu anajua tumejadili nini kwenye vikao,” amesema Mbowe. Katika kusisitiza hakuna mgongano wa kauli, Mbowe amesema Lissu atazindua kampeni za uchaguzi wa Serikali za mitaa kesho Jumatano Novemba 20 mkoani Singida kisha atakwenda wilayani Tarime Mkoa wa Mara kuendelea na kampeni. “Suala la kujipanga upya alilosema makamu, ni sahihi. Uchaguzi mmoja unazaa uchaguzi mwingine, mchakato mmoja ukiisha haukati tamaa unajipanga upya, ndiyo inamaanisha hivyo, tatizo liko wapi,” amehoji. Akifafanua zaidi kuhusu mivutano ya hoja ndani ya chama hicho, Mbowe amesema mivutano ndani ya vyama ni jambo la kawaida. “Ukishakuwa na chama kisichokuwa na minyukano, hicho chama ni mfu. Kuna wakati viongozi wetu wanapotea wanakwenda kidogo mbali lakini hiyo ndiyo siasa ilivyo, mkiwa kwenye siasa mnakubaliana asilimia 100 siku zote hiyo safari hamtoboi,” amesema Mbowe. Amesema kuna wakati viongozi wa chama hicho wanateleza katika kauli, “Mbowe anaweza kuteleza kauli, makamu akateleza kauli, katibu mkuu akateleza kauli, lakini eti tuna mnyukano ambao utaua chama hiki…sikiliza niwaambie hiki chama kina miaka 30, kimefika hapa kwa maumivu makubwa yetu wote na sisi wote tumeshaapa tutakilinda hiki chama kwa gharama yoyote ile.” “Kwa hiyo kama kuna mtu anafikiri kuna mgogoro utakaotugawa Chadema hatuko wamoja, watu watanyukana tu. Kuna mambo mengine tunayarekebisha kwenye vikao vyetu. Kwenye mazingira kisiasa watu wanaweza kufika mahali hasira zinapanda, watu wake waemenguliwa mahali anakasirika, mtu ametoa kauli inayomkwaza mwingine, hayo yanatokea,” amesema. Amesema chama hicho kinabeba masilahi ya Watanzania hivyo wao ni wajenzi tu. “Chama siyo cha Mbowe wala sio cha Lissu, wala sio cha (John) Mnyika, hiki chama ni cha Watanzania wengi ambao ni Wanachadema na wengine sio Chadema, ambao wana masilahi na chama hiki kwa sababu chama hiki kina masilahi ya Taifa. Sisi ni wajenzi na walinzi wa chama hiki na tutakilinda kwa wivu mkubwa. Kwa hiyo hatuna ugomvi, hayo ni mambo ya kawaida,” amesema. Akizungumzia uchaguzi wa ndani ya chama hicho uliozua minyukano miongoni mwa makada, Mbowe amesema chama hicho ni kikubwa hivyo kinaweza kupambana na uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi wa ndani. “Tuna uwezo wa kufanya mambo yote kwa pamoja kwa sababu chama kina mifumo mikubwa. Kamati kuu hata isiposema neno, kanda zina,” amesema. Mbowe pia amezungumzia ukimya wake wakati minyukano ikiendelea miongoni mwa makada, akisema minyukano haikemewi hadharani. “Ni mara nyingi kunatokea ukosefu wa nidhamu katika chama chetu, viongozi kushutumiana bila sababu, sasa sio kila wakishutumiana viongozi mwenyekiti unatoka hadharani unakemea, ahaa! “Hatukemei hadharani tunamalizana ndani kwa ndani. Hiki chama ni imara kuliko jana na kitakuwa imara kuliko juzi,” amesema. “Kuna Watanzania kwa mamilioni ndoto zao za ukombozi wa kweli wa Taifa hili ziko Chadema. Chochote kitakacholeta ufa ndani ya Chadema tutaudhibiti mapema, wala hatutaruhusu ufa wowote utokee kwa sababu ile hiki chama ni kikubwa ni chama cha watu, lazima tukilinde kwa gharma yoyote,” amesisitiza.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/siasa/mbowe-kuzima-mnyukano-chadema--4828078
Prime # Mbowe kuzima mnyukano Chadema? ## Muktasari: **Wadau wadai Chadema isipojipanga vizuri, huenda ikaingia kwenye uchaguzi mkuu wa 2025 ikiwa kwenye mpasuko.** **Dar es Salaam**. Mvutano wa baadhi ya viongozi wa Chadema ukiwamo wa uchaguzi wa ndani, wa Serikali za mitaa, madai ya rushwa na kugawana madaraka na Chama cha Mapinduzi (CCM), ni miongoni mwa hoja zinazotarajiwa kuzungumzwa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe. Kesho Jumanne, Novemba 19, 2024, Mbowe atakuwa na mkutano na waandishi wa habari katika ofisi za makao makuu ya chama hicho Mikocheni, jijini Dar es Salaam. Hata hivyo, swali linabaki, Mbowe anakuja na dawa ya minyukano inayoendelea ndani ya chama hicho baada ya kimya cha muda mrefu? Taarifa ya mkutano wa Mbowe iliyotolewa na Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema leo Jumatatu, Novemba 18, 2024, imekuja wakati ambao kiongozi huyo akiwa kwenye kimya cha zaidi ya miezi miwili licha ya mambo hayo kukigubika chama hicho. Hata alipotafutwa mara kadhaa kwa simu na kwa ujumbe kupitia WhatsApp, Mbowe hakupokea wala kujibu ujumbe. Mkutano wa Mbowe unakuja wakati kukiwa na kauli za kushutumiana hadharani miongoni mwa viongozi waandamizi wa chama hicho. Fukuto katika chama hicho linazidi wakati kikiendelea na uchaguzi wa ndani, huku kikikabiliwa na uchaguzi wa Serikali za mitaa ambao wagombea wake wengi wameenguliwa sehemu mbalimbali nchini. Si kuenguliwa tu, chama hicho kimeshindwa kusimamisha wagombea kwenye maeneo yote ya vijiji, vitongoji na mitaa, hata kabla ya kuenguliwa kwa sababu mbalimbali. Katikati ya ukimya huo, wajumbe wenzake wa kamati kuu wamekuwa wakiibua tuhuma nzito dhidi ya chama hicho na kuibua mijadala juu ya mwelekeo wa chama hicho. Mbowe amekuwa kimya huku washindani kwenye siasa wakitumia nafasi hiyo kuwapiga vijembe. Novemba 12, 2024, Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu aliitisha mkutano wa waandishi wa habari mjini Singida na kuwaeleza kutoridhishwa na mwelekeo wa uchaguzi wa Serikali za mitaa, akisema uchaguzi huo umekwisha na kwamba wanapaswa kujipanga upya. Katika mkutano huo, Lissu alidai chama hicho kilidanganywa na CCM kwa lugha laini ya maridhiano. “Tukaingiziwa vijineno vinavyosema hivi, msiwe wakali sana mtapewa Serikali ya nusu mkate,” alisema Lissu. Hata hivyo, Chadema ilitoa taarifa kwa umma iliyosainiwa na Mrema ikikanusha hoja hizo, ikisema chama hicho hakijawahi kukubaliana na CCM kugawana madaraka. Mbali na kauli hiyo, Lissu amekuwa akitoa kauli za madai ya kuwepo wa rushwa ndani ya chama hicho, akiwaonya makada kutojihusisha nayo. Chadema pia inapitia kipindi kigumu cha uchaguzi wa ndani na baadhi ya maeneo zimezuka vurugu. Haya ni baadhi ya mambo ambayo Mbowe yanamsubiri kujua atayazungumziaje. Novemba 16, 2024 Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema alimtaja Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Benson Kigaila, akisema alizembea alipokuwa akisimamia uchaguzi wa chama hicho mkoani Arusha Novemba 14, 2024 na kusababisha vurugu. Lema aliyekuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha, alidai kuwa, alilazimika kumuomba Kigaila ateremke akawazuie waliokuwa wanafanya fujo kwa kuwa mmoja wao ni rafiki yake mkubwa. Lema alidai siku chache zilizopita, mwanachama mmoja akiwa na wenzake walifanya fujo kwenye uchaguzi wa Monduli mpaka uchaguzi ukaahirishwa. “Mnaweza kusema kwa nini haya mambo msiongee kwenye vikao vya ndani, haya yataongelewa kwenye vikao vya ndani na lazima yaongelewe nje kwa sababu yameshaharibu taswira za watu, nimetukanwa na kudhalilishwa sana na haya maneno yako barabarani,” alidai. Mbali na vurugu hizo, imepita miezi sita tangu uchaguzi wa kumpata mwenyekiti wa Mkoa wa Njombe uliowakutanisha Rose Mayemba na Ahadi Tweve ulipovunjika Mei 24, 2024. Uchaguzi huo uliokuwa umerudiwa ulivunjika baada ya baadhi ya wanachama kudai baadhi ya wajumbe kutoka wilayani Makete hawakupaswa kushiriki kwa kuwa hawakuwa wajumbe halali na mpaka sasa uchaguzi huo haujarejewa. Vurugu hizo zinakuja wakati Lissu kwa nyakati tofauti amenukuliwa akisema chama hicho kiliyumba na kuwachanganya wanachama. **Ukimya ulimaanisha nini?** Mhadhiri wa Sayansi ya Siasa wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk Richard Mbunda amesema ukimya huo ulizua sintofahamu katika chama. “Ukimya wa mwenyekiti ni mzito ni sawa na kiza totoro katika kipindi ambacho tulitakiwa kuona muunganiko wa chama, yaani tuone viongozi wote wakiongea kauli moja. “Sasa tunapoona wengine wanaongea tena wanakichimba chama na mwenyekiti yupo kimya, basi tujue kuna fukuto la ndani kwa ndani linalokifanya chama kisisimame kwa umoja,” amesema. Dk Mbunda amesema, “hiyo ni dalili ya mpasuko mkubwa ndani ya chama unaohusu viongozi wakuu wa chama akiwamo mwenyekiti, makamu mwenyekiti na viongozi wengine wa kitaifa.” “Tulikuwa tunategemea kwa mfano wangekuwa wamekaa kikao cha dharura kujadili mambo yote hata yaliyotokea kwenye uchaguzi wa Arusha, lakini hatuoni uelekeo wowote, hivyo hisia tunayoipata ni kwamba kuna mpasuko mkubwa kwenye chama,” amesema. Wakati chama hicho kikiendelea na uchaguzi wa ndani, kumekuwa na hisia kwa baadhi ya viongozi kupanga safu tangu ngazi za chini kuelekea uchaguzi mkuu utakaochagua mwenyekiti wa chama. Dk Mbunda amesema uchaguzi huo pia ni chanzo cha fukuto hilo. “Mambo yote kwa sababu ya huo uchaguzi mkuu watu wanapangana ndani kwa ndani, kuna watu walishasema wanataka kugombea vyeo fulani, ndio maana hayo maneno yote yanatoka,” amesema. Ameonya endapo Chadema isipojipanga vizuri, huenda ikaingia kwenye uchaguzi mkuu wa 2025 ikiwa kwenye mpasuko mkubwa. Akitoa maoni kupitia mtandao wa X (zamani Twitter), mchangiaji anayejulikana kwa jina la Magiri aliandika… “mambo serious kama uchaguzi lazima kauli itoke juu kabisa, kumsusia chama John Mrema inakatisha tamaa wanachama na wapenda mabadiliko. Chadema badilikeni.” Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), Dk Revocatus Kabobe amesema ukimya wa Mbowe wakati huu mgumu umeashiria mambo mawili. “Kwanza, unaonesha hakuna kikao kimekaa kama taasisi kuamua nini kisemwe na nini kisisemwe kwa umma, pili inaonekana kuna mgawanyiko wa viongozi ndani ya chama, yawezekana ukimya wa mwenyekiti yuko chimboni anatafuta suluhisho. “Ila yote kwa yote haya yalotokea yanaashiria chama kushindwa kufanya kazi kama taasisi,” amesema Dk Kabobe. Amesema chama hicho kinaonekana kuweka kando utaasisi na kuanza kufanya kazi kama mtu mmoja mmoja. “Haiwezekani kila mmoja ni msemaji wa chama, kila mmoja anatuhumu mwenzake kila mmoja anatoa kauli ya chama. Kuna mkwamo ndani ya chama wa kutoelewana. “Wakati huu ni wakati wa kufanya kazi kama taasisi hasa wanapoelekea kwenye chaguzi muhimu za Serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwakani,” amesema. Mchambuzi wa masuala ya kijamii, Rosemary Mwakitwange amesema kwa jumla chama hicho kimewaangusha Watanzania katika kupigania masuala muhimu ya nchi hususani mabadiliko ya Katiba. “Tusiangalie tu mwenyekiti, bali nafasi nzima ya upinzani nchini, kwamba umetuangusha,” amesema Mwakitwange. Amesema wakati ambao Katiba ya Jamhuri ya Muungano ikiweka ushiriki wa siasa kupitia vyama vya siasa, hali hiyo imegawanyika fursa watu wasio wanachama au wapenzi wa vyama. “Tulidhani kwamba mwakilishi wetu ni vyama vya siasa na ndivyo vingebeba mahitaji yetu, lakini vimeshindwa kubeba matakwa ya wananchi. “Kwa mfano Chadema, kwa kila jambo linapotokea, wanasema kamati kuu itaamua, hata mambo ya chama chao wenyewe. “Kama kamati kuu ndio suluhisho la kila kitu, ina maana haiwakilishi matakwa ya wanachama ndio maana wanalalamika, lakini pia tunaoa hata baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo wanalalamika, ina maana hata wao hawawakilishwi kwenye mambo yao,” amesema.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/siasa/act-wazalendo-yaja-na-mambo-tisa-ilani-uchaguzi-serikali-za-mitaa-4826880
# ACT- Wazalendo yaja na mambo tisa ilani uchaguzi serikali za mitaa ## Muktasari: **ACT - Wazalendo, yazindua ilani ya uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji iliyosheheni mambo mbalimbali ikiwemo kuboresha huduma za jamii kwa wote mijini na vijijini.** **Dar es Salaam. **Chama cha ACT- Wazalendo, kwa mara ya kwanza kimekuja na ilani yake ya uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji yenye mambo tisa yatakayosimamiwa na kutekelezwa na viongozi wao watakaochaguliwa katika uchaguzi utakaofanyika Jumatano ya Novemba 27, 2024. Miongoni mwa mambo hayo ni kutoa viongozi waaminifu, jasiri na mahiri katika vijiji, mitaa na vitongoji, kurejesha nguvu za serikali za mitaa kwa wananchi, kuboresha huduma za jamii kwa wote mijini na vijijini. Pia kuwahudumia wananchi kwa kutoa huduma bora na stahiki, kusikiliza changamoto zao kwa ukaribu, kupambana na ufisadi, kuhakikisha kila fedha inayokusanywa inatumika kuondoa umaskini vijijini, kuondoa vitisho, ubabe na uonevu kwa wananchi mijini na vijijini. Akiizindua ilani hiyo leo Jumapili Novemba 17, 2024, Kiongozi wa ACT- Wazalendo, Dorothy Semu amewataka Watanzania kutumia kura yao kufanya mabadiliko, akisema ahadi ya chama hicho ni kuwajibika, kutoa huduma bora na kujenga mitaa, vijiji na vitongoji vinavyostawi. Uzinduzi wa ilani hiyo uliofanyika makao makuu ofisi za chama hicho, Magomeni jijini Dar es Salaam na umehudhuriwa na kiongozi wa zamani wa chama hicho, Zitto Kabwe, wadau wa demokrasia, asasi za kiraia pamoja na wagombea wa uenyekiti wa vijiji, mitaa na vitongoji kutoka mikoa mbalimbali nchini. Akichambua maeneo hayo, Semu amesema chama hicho kikishika mitaa, vijiji na vitongoji kitapiga marufuku michango ya mitihani shuleni, masomo ya ziada, ulinzi na badala yake kitasimamia matumizi sahihi ya ruzuku inayotolewa na Serikali kuu. "Tutatenga asilimia mbili ya mapato ya ndani ya halmashauri kwa ajili ya lishe na chakula shuleni ili kukabiliana na changamoto ya udumavu na utoro. Tutajenga shule shikizi kwa maeneo yaliyo mbali na shule ili kuhakikisha kila kijiji kinakuwa na shule iliyo karibu na wananchi," amesema Semu. Amesema wamedhamiria kupambana na rushwa, ufisadi, ubadhirifu wa fedha za umma, sambamba na kuimarisha miundombinu vijijini ili kuamsha uchumi, kuzalisha ajira na kuondoa umasikini. "Ili kuwa na viongozi watakaopambana na rushwa, ubadhirifu na ufisadi tutahakikisha fedha na rasilimali za umma zinatumika kuboresha maisha ya watu wote," amesema Semu. Katika kufanikisha hilo, Semu amesema ACT- Wazalendo, itawafukuza uanachama, kuwachukulia hatua nyingine za kisheria viongozi wa kuchaguliwa watakaojihusisha na vitendo vya rushwa na ubadhilifu. "Itawachukulia hatua za kisheria watumishi wote watakaobainika kujihusisha na vitendo vya rushwa na ubadhirifu. Tutapiga marufuku utaratibu wa wananchi kulipishwa fedha kwa ajili ya fomu, barua ya utambulisho, mihuri katika ofisi za serikali za mitaa na vijiji," amesema Semu. Ameongeza, "tumedhamiria kujenga uwezo wa kujitegemea wa serikali za mitaa, lakini pia kujenga mitaa na vijiji salama kwa watu kufanya biashara zao bila bughudha ya migambo, polisi wala sungusungu. Amesema chama hicho kitasimamia viongozi na watumishi wa Serikali kuzingatia misingi ya haki na uwajibikaji, uaminifu na wenye uwezo wa kusimamia utekelezaji bora wa miradi ya maendeleo na masilahi ya wananchi. "Itarejesha na kuimarisha nguvu na sauti ya umma kwenye mikutano ya mtaa na vijiji na kuhakikisha mikutano inafanyika kwa uwazi na kwa mujibu wa sheria. Itavijengea uwezo vyombo vya uwakilishi wa wananchi, kama baraza la madiwani, baraza la maendeleo ya kata na halmashauri za vijiji," amesema Semu. Naye, Zitto amesema wanaouchukulia uchaguzi wa serikali za mitaa kama chaguzi zingine ukiwamo uchaguzi mkuu unaokuwa na ilani ya miaka mitano, ndio maana wameamua kuja na ilani hiyo kwa mara ya kwanza. "Tunaposema huduma zitatolewa bila malipo kwenye ofisi za serikali za mitaa, vijiji na vitongoji tunamaanisha, tukipata taarifa ya mwenyekiti kijiji au mtaa anayewatoza wananchi fedha kwa huduma ambazo tumesema bure tutamfukuza.” "Tutamfukuza ili akatafute chama cha kugombea ili kudhulumu watu, sijui tumeelewana vizuri, kwa hiyo haya maelekezo yaliyowekwa kwenye ilani yachukuliwe kwa uzito mkubwa na kutumika vizuri kwenye kampeni ili tuongoze kwa tofauti," amesema Zitto. Zitto amefafanua maeneo machache waliopata nafasi ya kusimamisha wagombea yawe mfano wa namna chama hicho, kitakavyoongoza serikali endapo kitashinda katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. "Kama wewe umeshinda kwenye mtaa, jichukulie ndio rais wa ACT ungependa kuongoza vipi nchi, ndio uongoze mtaa kwa namna hiyo," amesema Zitto ambaye ni mbunge wa zamani wa majimbo ya Kigoma Kaskazini na Mjini. Kwa mujibu wa Zitto, ACT- Wazalendo imejiandaa na uchaguzi huo, ndio maana tangu mwaka 2022 viongozi wakuu wamekuwa wakifanya ziara maeneo ya vijiji kwa ajili ya maandalizi ya mchakato huo. "Hatukujiandaa kisiasa bali mawazo ya kwenda kwa wananchi, ndicho tulichokifanya leo kuzindua ilani ya uchaguzi wa serikali za mitaa," amesema Zitto. Baadhi ya wagombea uenyekiti wa serikali mitaa, vijiji na vitongoji waliohudhuria uzinduzi huo, wamefurahishwa namna ilani ilivyogusa mambo ya msingi ikiwemo matatizo ya rushwa, migogoro ya ardhi na huduma za jamii. "Endapo nitaibuka kidedea nitahakikisha wananchi hawatozwi fedha za malipo ya fomu za barua za utambulisho, badala yake watapewa huduma bure," amesema Matrida Francis anayetokea wilayani Kilombero Mkoa wa Morogoro.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/biashara/baada-ya-mabasi-ni-zamu-ya-malori-kuanza-kwa-sgr-ya-mizigo-4827178
Prime # Baada ya mabasi ni zamu ya malori, kuanza kwa SGR ya mizigo ## Muktasari: **Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Malori nchini (TAMSTOA) Chuki Shaban amesema hakuna athari watakayoipata kwa kuanza kazi treni ya mizigo akisema kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake** **Dar es Salaam.** Wachumi, wafanyabiashara na wamiliki wa malori nchini wameeleza mategemeo yao ya kuanza kwa usafirishaji wa mizigo kwa reli ya treni ya kisasa (SGR) mwakani, wakiamini utarahisisha biashara kufanyika haraka na kupunguza gharama za bidhaa. Kwa nyakati tofauti walisema usafiri wa reli ni wa uhakika katika usafirishaji wa mizigo. Faida nyingine ya usafirishaji mizigo kwa njia ya treni ni kuepuka foleni inayochangiwa na malori barabarani, kumuwezesha mkulima kuuza mazao yake katika masoko anayohitaji kwa haraka bila kupitia kwa madalali. Akizungumzia hilo hivi karibuni alipozungumza na Mwananchi, Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara Tanzania (Tanroads), Mohamed Besta amesema ukarabati wa barabara pia ni kazi endelevu. “Matengenezo ya barabara ni endelevu hasa kwa zile zilizojengwa kwa lami iwe inatumika au haitumiki, itazeeka na kuharibika yenyewe kutokana na mabadiliko ya kikemikali,”amesema Besta. Besta amesema huduma ya barabara na reli zinategemeana katika kukuza uchumi na kuongeza kuwa kutokana na ongezeko la mizigo, hawategemei malori kupungua katika matumizi ya barabara. Hata hivyo, uzoefu unaonyesha tofauti katika njia ya Dar es Salaam – Dodoma ambako safari za abiria za SGR zinatolewa, chaguo la wengi sasa ni treni kuliko mabasi. Kwa mujibu wa TRC, treni ya SGR itakuwa na uwezo wa kubeba mpaka tani 10,000 za mzigo kwa mkupuo sawa na uwezo wa malori 500 ya mizigo. Taarifa ya kuanza kazi kwa treni ya mizigo ilitolewa mwishoni mwa juma na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), Augustine Vuma. Akiwa kwenye ziara ya Kamati ya PIC iliyofika Shirika la Reli Tanzania (TRC) kupokea taarifa ya utekelezaji wa mradi wa SGR, Vuma alisema shirika hilo limewaeleza wataanza kusafirisha mizigo kwa njia ya reli kuanzia Januari au Februari. “Maana yake hapa tunategemea mapato yataongezeka zaidi ya mara tatu,”alisema. Kauli hiyo ilifuatiwa na taarifa kwa umma iliyotolewa jana na TRC ikisainiwa na Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano Fredy Mwanjala ikisema, utengenezaji wa mabehewa 264 ya mizigo China umekamilika na yataletwa nchini Desemba 2024. Mabehewa hayo 264 ni sehemu ya mabehewa 1,430 yaliyopaswa kutengenezwa na Kampuni ya CRRC kwa mujibu wa mkataba. “Meli iliyobeba mabehewa hayo imeng'oa nanga nchini China Novemba 12, 2024, katika mzigo huo kuna mabehewa 200 ya kubeba makasha (makontena) na mabehewa 64 ya kubeba mizigo isiyofungwa,”inaeleza taarifa hiyo. **Mategemeo kuanza reli ya mizigo** Kutokana na kauli hiyo, Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Malori nchini (TAMSTOA) Chuki Shaban amesema hakuna athari watakayoipata kwa kuanza kazi treni ya mizigo akisema kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake. Shaban alisema uzuri wa lori linafika kila sehemu, “umuhimu wa malori uko pale pale hata Ulaya bado yapo na yanafanya kazi, tuna wanachama 26,000 nchi nzima na sekta yetu ni kubwa kwa maana hiyo uchumi tunauchangia kwa kiwango kikubwa.” Hofu ya ajira zao kutikishwa na usafirishaji wa mizigo kwa njia ya reli alisema ni jambo lisilowezekana kwa kuwa anayeongoza treni ni mmoja. Amani Munuo, mfanyabiashara jijini Dar es Salaam amesema katika biashara, miundombinu ya usafirishaji ni muhimu. “Usafiri huu unachukua mizigo mingi kwa wakati mmoja na ni nafuu ikilinganishwa na usafiri mwingine kwahiyo kwa mfanyabiashara ni faida kuliwahi soko anapokuwa na bidhaa zake,”amesema. Mchambuzi wa uchumi, Profesa Abel Kinyondo amesema mapato ya shirika lolote la reli kwa asilimia 80 yanatokana na usafirishaji wa mizigo na sio abiria. “Kama TRC itaanza kusafirisha mizigo maana yake tunakwenda vizuri, mizigo itasafirishwa kwa wingi na haraka kwasababu kwa sasa hakuna usafiri unaosafirisha mizigo kwa haraka hapa nchini,”amesema. Amesema kuanza kwa usafiri wa mizigo kwa njia ya reli ni hatua ya kufurahiwa kwa kuwa, masoko makubwa yatafikiwa kwa urahisi. Manufaa anayotaja Profesa Kinyondo yatawagusa moja kwa moja wakulima ambao watakuwa na uwezo wa kusafirisha mizigo yao nje ya shamba lake na kupata bei kubwa katika masoko anayohitaji kwa haraka. “Usafiri huu utawafanya wakulima kuwaepuka madalali kwenye mazao yao, usafiri huu una uwezo wa kumtoa mkulima kwenye umasikini maana unamuwezesha kuuza mazao kwa bei nzuri,”amesema. Faida nyingine ya kuanza kwa usafiri huo, Profesa Kinyondo amesema ni kupunguza msongamano wa foleni barabarani. Kuondolewa kwa foleni barabarani inayosababishwa na malori ya mizigo ndiko Profesa Kinyondo anatafsiri kutasaidia barabara kuwa na umri mrefu na uchumi utaimarika. Hata hivyo, faida nyingine ni usafiri wa abiria kuwa wa haraka kutokana na foleni kupungua ambao ulichangiwa na msongamano wa malori ya mizigo. Kwa wamiliki wa malori, Profesa Kinyondo amesema usafiri wa treni unakwenda kupunguza malori barabarani na ndio mwanya wa magari hayo kuelekea maeneo yasiyo na usafiri. “Katika eneo ambalo kutatokea mabadiliko magari hayo yanaweza yakawa machache au yakahamishiwa upande mwingine, yatakwenda kushindana na hii ni faida kwasababu maeneo mengine usafiri ni shida,”amesema. Mchambuzi mwingine, Dk Yohana Lawi wa Chuo Kikuu Huria Tanzania (OUT) amesema kusafirisha mizigo kwa njia ya reli faida yake ni kubwa ikiwamo kwa haraka na gharama nafuu. “Unakwenda kupunguza gharama za usafirishaji wa bidhaa maana yake mwananchi wa kawaida anakwenda kupata bidhaa kwa gharama nafuu, usafiri pia ni rafiki wa mazingira hivyo hakutakuwa na hewa ya ukaa ambayo inachangia ongezeko la joto duniani,” amesema. Faida nyingine, Dk Lawi amesema barabara zitakuwa salama kutokana na malori mengi kuwa na mchango mkubwa katika uchakavu wa barabara. Kwa upande wa fedha za kigeni, amesema ule uhaba ambao umekuwa ukishuhudiwa hautaathiri eneo la usafirishaji kwa kuwa katika usafirishaji kwa njia ya treni fedha za ndani ndizo zitatumika zaidi. Shabani Ali, mkazi wa Mabibo Dar es Salaam, amesema ujio wa treni utasaidia gharama za maisha kushuka. “Gharama za bidhaa zinakuwa kubwa kutokana na gharama za usafiri kuwa juu, tunapokwenda kutumia treni ya mizigo sio tu usafiri unakuwa rahisi bali gharama za maisha zinapungua na uchumi wa mtu mmoja mmoja unaimarika,” amesema.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/biashara/neec-yawaita-wadau-uwezeshaji-wananchi-kiuchumi-4826182
# NEEC yawaita wadau uwezeshaji wananchi kiuchumi ## Muktasari: **Wadau hao ni pamoja na wakala na taasisi za Serikali, taasisi binafsi chini ya mwamvuli wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TPSF), mikoa, halmashauri, wajasiriamali, taasisi za fedha na wengineo.** **Dar es Salaam**. Wadau takribani 700 wa masuala ya uwezeshaji wananchi kiuchumi wanatarajiwa kukutana jijini Dodoma, kwa siku mbili kufanya tathmini ya utekelezaji wa mikakati ya uwezeshwaji wa wananchi pamoja na changamoto zake. Hayo yamebainishwa leo Novemba 16, 2024 na Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Beng’i Issa katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam. Beng'i amesema wadau hao watakutana kupitia kongamano la nane la uwezeshwaji wananchi kiuchumi linalotarajiwa kufanyika Disemba Desemba 3-4 mwaka huu. Amesema kongamano hilo litahusisha wizara, mashirika, wakala na taasisi za Serikali, taasisi binafsi chini ya mwamvuli wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TPSF), mikoa, halmashauri, wajasiriamali, taasisi za fedha, taasisi za elimu, watafiti, wawekezaji pamoja na wadau wengine wa masuala ya uwezeshaji. Ameeleza kuwa kupitia midahalo mbalimbali itakayofanyika katika kongamano hilo, watajadili namna ambavyo wananchi wanaweza kunufaika na fursa mbalimbali zinazojitokeza kujikwamua kiuchumi. Pia ameeleza kuwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa kongamano hilo linaloongozwa na kauli mbiu isemayo: Uwezeshaji wananchi kiuchumi ni msingi wa maendeleo ya Tanzania “Kongamano litatoa pia fursa ya kutathmini utekelezaji wa sera ya uwezeshaji pamoja na taarifa mbalimbali ya utekelezaji wa mambo yaliyokuwa kwenye kongamano la saba,"amesema. Ameongeza kuwa wakati wa kongamano, tuzo pia zitatolewa kwa wote waliofanya vizuri ikiwemo mkoa uliofanya vizuri, wajasiriamali na taasisi mbalimbali za uwezeshaji, kwani mafanikio mengi yameshapatikana chini ya Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi.