text
stringlengths
3
16.2k
NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Narc-Kenya Martha Karua amesema kuwa muungano wa Azimio La Umoja-One Kenya ulitoka mikono mitupu katika mazungumzo kati yake na mrengo wa Kenya Kwanza (KKA). Kwenye mahojiano na runinga ya Citizen mnamo Alhamisi usiku, Bi Karua alidai wanachama wa Azimio katika Kamati ya Kitaifa ya Mazungumzo (Nadco) walisaidia KKA kuendeleza ajenda zao. “Kwa mtazamo wangu, mazungumzo hayo hayakuzaa matunda yoyote kwa sababu hakuna muafaka uliofikiwa kuhusu ajenda zetu tatu kuu ambazo ni gharama ya maisha, haki katika uchaguzi, na heshima kwa demokrasia ya vyama vingi,” akasema Bi Karua. Akaongeza: “Muafaka ulipatikana kuhusu ajenda za Kenya Kwanza kama vile kuundwa kwa afisi ya kiongozi rasmi wa upinzani, na kuhalalishwa kwa afisi ya Mkuu wa Mawaziri, ambazo tayari Ruto alikwisha kuwasilisha bungeni.” Kiongozi huyo wa Narc Kenya alieleza kuwa vikao vya kamati ya Nadco vilivyodumu kwa miezi minane vilikuwa ni vya kuwapotezea Wakenya hela na muda kwa sababu serikali haikuongozwa na nia njema iliposhiriki mazungumzo na upinzani. “Mazungumzo hayo yalilenga kutuchezea shere na kutuliza maandamano. Matokeo ya mazungumzo yetu na utawala wa KKA hayakuzaa matunda yoyote kwa sababu Wakenya bado wanaumizwa na kupanda kwa gharama ya maisha. Kwa mtazamo wangu, ripoti ya Nadco haina maana yoyote kwa Wakenya kwa sababu haishughulikii madhila yao,” Bi Karua, ambaye alikuwa ni mgombea mwenza wa Raila Odinga katika uchaguzi wa urais wa Agosti 9, 2022, akaongeza. Alielekeza lawama kwa utawala wa Kenya Kwanza kwa kile alichodai ni kufeli kufikiwa kwa malengo ya mazungumzo yake na upinzani. “Licha ya sisi kama upinzani na wananchi kuendelea kuushinikiza utawala huu upunguze gharama ya maisha, walipuuza na badala yake kuendelea kuongeza bei ya bidhaa za kimsingi na kuanzisha aina nyingine za ushuru,” akasema. Ili mazungumzo yoyote yafaulu, kulingana na Bi Karua, chama au mrengo ulioko mamlakani ni sharti kuonyesha nia njema kwa sababu wao ndio wanasukumwa kutimiza matakwa ya wananchi. Kiongozi huyo wa Narc-Kenya aliutaja utawala wa sasa kama ambao hauheshimu sheria na maamuzi ya mahakama. “Utawala huu unaendesha majukumu ya serikali kwa namna ambayo haijeshimu sheria na kudharau maoni ya wananchi ulivyofanya wakati wa ukusanyaji maoni ya umma kuhusu Sheria ya Fedha,” akasema. “Unapodharua Katiba na watu ambao walikupa mamlaka na matakwa ya wengi, unageuka serikali mbaya,” akaeleza alipoulizwa sababu yake ya kuirejelea serikali hivyo. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
NA FARHIYA HUSSEIN MWAKA 2023, unyama uliokuwa ukifanywa ndani ya wa Shakahola katika Kaunti ya Kilifi, ulifichuliwa ambapo zaidi ya watu 400 walipoteza maisha yao kwa itikadi kali za kidini. Mhubiri Paul Mackenzie ambaye alitajwa kuwa kiongozi wa wafuasi wake, anachunguzwa kwa madai ya kuwapotosha katika mafundisho ya kidini ambapo waumini walichanganyikiwa, wakiwemo watoto, wakaanza kufunga au kususia chakula hadi wakaanza kudhoofika na hatimaye kuanza kuaga dunia mmoja baada ya mwingine. Habari hizo zilipofahamika, idadi hii ya watu waliopoteza maisha ilikuwa nyingi sana, jambo liloshangazaa ulimwengu mzima. Walionusurika waliozungumza na Taifa Leo alisema waliokufa waliambiwa wafunge hadi kufa ili wakutane na ‘Yesu’. Miezi tisa baadaye, miili zaidi ya 400 inaendelea kuhifadhiwa katika chumba cha kuhifadhi maiti cha muda katika Kaunti ya Kilifi, ukumbusho wa kusikitisha kuashiria msimamo wao mkali wa kidini waliofuatilia. Watu hawa, ambao walitajwa na jamaa zao kuwa watu wachangamfu na maisha hapo awali walionekana kuishi maisha ya kudhoofisha na ya hali ya kusikitisha, maisha yao yalikatishwa na imani zile walizofuatilia kwa kina. Msitu huo ambao hapo awali ulikuwa sehemu nzuri ya mandhari ya kiasili, sasa umekuwa shahidi kwa ukatili uliofanywa huko ndani. Shakahola, kijiji katika Kaunti ya Kilifi, kilikuwa kimegubikwa na ukimya wa kutisha kwa miezi kadhaa. Makazi hayo ambayo wanakijiji walitaja zamani yalikuwa ya uchangamfu na yenye shughuli nyingi, sasa yalionekana yametawaliwa na ukimya mkuu. Katika msitu huo wa Shakahola, nyumba zilikuwa za udongo huku zikiezekwa kwa mapaa ya makuti. Njia zilizokuwa na watu wengi sasa zilikuwa kimya kwa kutisha, kana kwamba wanakijiji walikuwa wametoweka wakiacha nyuma vitu vya kibinafsi kama vile Biblia, ushahidi kuwa waliondoka ghafla. Sahani zilizotelekezwa zilizofunikwa ziliashiria ‘mlo wa mwisho’ wa wafuasi wa Kanisa la Good News International la Mchungaji Paul Mackenzie, ambalo inadaiwa lilichochea wao kuchukua mkondo hatari wa kufunga hadi kufa. Katika mazingira haya ya kutatanisha, ambapo ibada inayodhaniwa ilikuwa imezama katika unabii wa apocalyptic, cha kusikitisha ni kwamba baadhi yao hawakunusurika katika safari ya kuenda katika Hospitali Kuu ya Malindi. Wahanga walizikwa bila mpangilio makaburi yao yakiashiria kuzikwa kwao kwa haraka. Miezi kadhaa baadaye, miili yao ilifukuliwa. Watu hawa walionekana kutengwa na kusukumwa kwenye ukingo wa jamii, sauti zao zikiwa zimenyamazishwa na nguvu za itikadi kali. Maisha yao yalipochukuliwa kwa uchungu, heshima waliyostahili katika umauti wa iliondolewa pia. Ni wale tu walioaga dunia wangejua ikiwa kweli walikutana na Mungu wao. Miili yao ilizikwa kwa haraka msituni Shakahola, jambo lililodhihirishwa na jinsi makaburi hayo yalivyofukuliwa ambapo kwa kila mojawapo, miili zaidi ya mmoja ilipatikana ndani. Waumini hao hawakuzikwa na sanduku kama ilivyo kwa Wakristo bali walifunikwa na blanketi na nguzo nyinginezo. Miezi tisa baadaye, chumba cha kuhifadhia maiti cha muda bado kimesalia katika hopsitali ya Malindi, ukumbusho wa mkasa uliotokea mwaka 2023. Waathiriwa wamesalia katika hali ya kutatanisha, utambulisho wao bado haujathibitishwa, hadithi zao kubaini kiini cha kilichotokea ndani ya msitu wa Shakahola bado haijabainika. Hata katika kifo, ibada iliwanyima utambulisho wao, na kuacha miili hiyo ‘haijulikani’ kutokana na ukosefu wa nyaraka zozote. Ukweli uligundulika ni kwamba baadhi ya wanachama hao walitoka kaunti za mbali katika mikoa mingine nchini, jambo la kutatanisha katika kutambua na kudai miili hiyo. Mwezi Mei, serikali ilianzisha mpango wa DNA kulenga familia zinazoshuku kuwa jamaa zao waliopotea au walioaga wanaweza kuhusishwa na msitu wa Kilifi’ Shakahola. Takriban miezi saba imepita tangu kuzinduliwa kwake, lakini familia zinalalmikia kungoja matokeo ya DNA kwa hamu. Miongoni mwa walioathiriwa ni Bw Rodgers Mwibo, ambaye anatafuta mama yake, dada yake, na mpwa wake amabye alisema ni wafuasi waaminifu wa mhubiri Paul Mackenzie kutoka Kanisa la Good News International, waliohamia kwenye msitu huo mwaka mmoja uliopita. Akielezea masikitiko yake, Bw Mwibo alieleza kuwa kufuatia tangazo la serikali, alitoa sampuli zake za DNA kaunti za Nairobi na Malindi. “Badala ya kupata faraja, huku kusubiri kwa muda mrefu kunazidisha kiwewe changu. Kila nikiona picha ya mama yangu, natamani sana uwepo wake, hata kama ni kumuaga tu,” alilalamika Bw Mwibo huku akihoji ufanisi wa taratibu za DNA za serikali. Kulingana na Bw Mwibo, uhakikisho ulitolewa kwamba matokeo yatatolewa mara moja baada ya ukusanyaji wa DNA. Hata hivyo, kile kilichoahidiwa kuwa kipindi kifupi kimeongezeka hadi mwaka mmoja, na kumuacha yeye na wengine katika hali ya huzuni ya kihisia moyo. “Ni katika nchi gani miili hubaki kuhifadhiwa kwenye friji huku familia zikistahimili uchungu huu?” aliuliza Bw Mwibo. Jamaa mwingine, Bi Mary Mwikali anabainisha kuwa hatajua iwapo dadake na mpwa wake ni miongoni mwa waliofukuliwa kutoka msitu wa Shakahola au la. Kusubiri kwa hamu kunaendelea, na kuwaacha wakihangaika na sintofahamu ikiwa wapendwa wao bado wako hai au ni miongoni mwa watu 400 na zaidi wakiwa katika chumba cha maiti cha Hospitali ya Malindi. Afisa wa Masuala ya Dharura katika Shirika la Haki Africa, Bw Mathias Shipeta, alisema wasiwasi wake ni kwamba serikali imechukua muda mrefu unaohitajika ili kulinganisha na kulinganua DNA. “Inachukua muda gani hadi ulinganishaji wa DNA ukamilike? Familia zinamaliza mwaka bila kujua jamaa zao waliko. Haijafahamika wazi kama wameaga dunia au wapo hai. Ili kulifunga suala hili, ulinganishaji wa DNA lazima ukamilike na kukamilika kwa wakati kabla ya mwisho wa mwaka,” Bw Shipeta alisisitiza. Mwezi Julai, sampuli 266 zilikusanywa kwa madhumuni ya utambulisho wa vinasaba DNA. Uchunguzi wa DNA ni ulinganifu wa kisayansi wa maelezo ya kinasaba ya watu wasiojulikana au waliokufa na yale ya watu waliotambuliwa (waliokufa au walio hai). Mchakato huo ni muhimu kwa sababu za kisheria na za kibinadamu. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
NA MWANGI MUIRURI MASHABIKI wa klabu ya Arsenal mjini Murang’a sasa wameonywa na wenzao wa Manchester United na Chelsea wajiandae kumpokea ndovu wao akianguka pasipo hiari kutoka juu ya mti kumaanisha kushuka katika jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL). “Huku kulimwa ambako mmeanza kulimwa ni mwanzo tu wa namna ambavyo mambo yatakuwa magumu kwenu katika mzunguko wa pili,” akafoka Bw David Njuguna ambaye ni mshirikishi wa the Red Devils mjini humo. Cheo chake hakitambuliki rasmi na klabu ya Manchester United. Bw Njuguna alisema kwamba Arsenal kuwa juu ya jedwali hata kwa mwanya wa pointi 10 sio tishio kwa kuwa katika mkondo wa lala salama, wao huwa butu, wasio na maono na mwelekeo na lazima wajihujumu wao wenyewe kama ilivyokuwa msimu jana. Katika mechi ya usiku wa kuamkia Desemba 29, 2023, Arsenal walirambishwa magoli 2-0 na West Ham. “Hata hamna heshima na wawekezajj na mnatuchomea beti. Kwa kuwa sikuamini kabisa mngeshinda hicho kipute, nilikuwa nimebashiri timu zote mbili angalau zingejipa goli. Sasa ona hamkufunga hata la kukataliwa,” akafoka Stacy Keach, mfuasi wa Chelsea. Janga hilo kwa wanabunduki Arsenal limewaacha katika nafasi ya pili kwenye jedwali wakiwa na pointi 40 huku Liverpool ikibakia kidedea kwa pointi 42. Hii ina maana kwamba Man City ambayo iko na pointi 37 kwa sasa lakini ikiwa imecheza mechi 18 Arsenal ikiwa imecheza mara 19 itaifurusha kutoka nafasi hiyo ya pili iwapo itachapa Sheffield United hapo Jumamosi kwa ubora wa magoli. “Kuna uwezekano mkubwa kwamba Arsenal itaingia mwaka Mpya ikiwa nambari tano nyuma ya Liverpool, Man City, Aston Villa na Tottenham na kabla ya tufike mechi ya 27, hata West Ham, Man United… watakuwa mbele ya Arsenal,” akasema Junita Kasyoki ambaye anashabikia Man United. Ni usiku ambao wafuasi wa Arsenal hawakujibu mipigo, waliondoka polepole na kimyakimya kutoka kwa mkahawa wa Green Park ambapo wengi walikuwa wakifuatilia mtanange huo ulioanza saa tano na robo usiku. “Lakini hata hivyo kushindwa kwetu kulisaidia West Ham kuruka Man United katika jedwali. Tungeshinda mchuano huo Man U wangebakia nafasi ya sita lakini kung’atwa kwetu kulisaidia Mashetani Wekundu kuteremka hadi nafasi ya saba,” akajituliza Bw Simon Ngonjo. Kwa sasa, maombi ya Arsenal ni kuzuke mikosi ya kushindwa kwa timu zote zilizo katika kumi bora katika mechi ya 20 lakini wao washinde ndipo warejee juu ya jedwali na presha ya kutwaa ligi ipungue. [email protected] You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
NA MWANGI MUIRURI MWANAMUME mmoja wa umri wa miaka 33 aliuawa usiku wa kuamkia Desemba 29, 2023, kwa kupigwa na majirani wa wakwe zake baada ya kile kinadaiwa alijaribu kutekeleza mauaji katika boma hilo alimokuwa amelala na bibi yake. David Kimani alikuwa amesafiri kutoka kijiji cha Kiunyu kilichoko eneobunge la Gatanga kwa msingi kwamba alikuwa na nia ya kumuona mkewe waliyetengana, binti yake wa umri wa miaka sita na pia mama mkwe. Mwanamume huyo alikuwa ametengana na Bi Esther Nyawira, 28, kwa kipindi cha mwaka mmoja na nusu na katika shamrashamra za msimu huu wa sherehe, akafika kwa boma la wakwe Desemba 28, 2023, katika kijiji cha Mung’etho kilichoko eneobunge la Maragua, akisema alienda kuwajulia hali. Lakini hata baada ya giza kuingia, hakuonyesha nia ya kuondoka arejee kwao na ndipo akakubaliwa alale kwa nyumba ya mama mkwe akiwa na bibi huyo wake. Mwendo wa saa sita usiku, Kimani anasemwa kwamba aliamka na akatwaa kisu na akaanza kumshambulia bibi yake aliyekuwa amelala huku kwa sauti akiapa kumuua na kisha aue mama mkwe na pia mtoto. Kwa mujibu wa Kaimu Naibu Kamishna wa Murang’a Kusini Bw Joshua Okello, mwanamume huyo baada ya kujaribu mara kadha warejeane na bibi yake pasipo mafanikio, akaamua kufika katika boma hilo akijipamba kama malaika wa mauti. Aliongeza kwamba mshukiwa alimdunga mwanamke huyo visu vitano “mara moja umbavuni upande wa kulia na mara nne kwa mkono wa kulia, majeraha yote yakiwa matano”. Bw Okello aliongeza kwamba sauti za juu za mwanamume huyo zilimwamusha mama mkwe na alipiga nduru ambayo iliwavutia majirani waliofurika katika boma hilo huku mvamizi baada ya kuingiwa na taharuki akitimua mbio hadi nje ya nyumba na akaingia katika kichaka. “Huku mwaathiriwa akikimbizwa hadi hospitali ya Murang’a kutibiwa, majirani nao walizindua msako ulioishia kumnasa Bw Kimani akiwa amejikunyata ndani ya kichaka hicho na wakamuua kwa kumpiga kwa vifaa butu,” akasema Bw Okello. Afisa huyo aliongeza kwamba ndani ya mkoba ambao marehemu alikuwa nao kulikuwa na sumu ya kuua wadudu kwa mimea na pia waraka wa mauti unaoaminika ulikuwa umeandikwa na mwanamume huyo. “Alikuwa amefichua katika waraka huo kwamba alinuia kuua mama mkwe, bibi yake na mtoto wake wa kike aliyekuwa akiishi kwa wakwe hao na kisha yeye mwenyewe ajitoe uhai,” akasema. Mwanamume huyo alikuwa aidha ameteta kwamba mama mkwe ndiye alikuwa kizingiti cha ndoa yake kupata uthabiti na kwa kuwa hakuwa na nia ya kumpenda mwingine, akaafikia uamuzi wa kuwaua watatu hao na kisha naye ajitume kuzimu akome mahangaiko ya mapenzi. Bw Okello alisema kwamba “huu ni mkasa ambao ungeepukika iwapo mwanamume huyo ambaye alikuwa mfanyabiashara Jijini Nairobi angepata ushauri nasaha ili kuwajibika changamoto zake za kimapenzi ndani ya mashauriano”. Alisema kwamba “ndipo ifike kiwango hicho cha kupanga mauaji ni kumaanisha alikuwa akisaka mbinu ya kusuluhisha changamoto hiyo lakini akaamua kufuata ushawishi wa pepo mbaya kujipa afueni”. Huku akiwakemea waliomuua mwanamume huyo na kuahidi uchunguzi wa kunasa washukiwa, Bw Okello alisema “hata jamii inafaa kuwa macho kuwatambua wanaoonekana kusombwa na mawazo na usaidizi wa ushauri usakwe kabla ya vishawishi vya janga kuzuka”. Bw Okello alionya watu wa kijiji hicho cha Mung’etho kwamba “kwa sasa mnaweza kuwa mnasherehekea mkisema eti ni umati wa raia uliotekeleza mauaji hayo lakini wakati kutajitokeza shahidi aseme alikuona wewe ukishiriki mauaji hayo ndipo utajua ni watu binafsi wala si kundi ambalo huvunja sheria”. “Mchango wa raia katika kuimarisha usalama ni kupitia kutupasha habari kuhusu washukiwa na visa na wakimnasa mshukiwa, kazi yao inafaa tu kutuita tumtie mbaroni au wamwasilishe katika kituo cha polisi kilicho karibu,” akasema Bw Okello. Mwili wa marehemu ulipelekwa hadi mochari ya Murang’a. [email protected] You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
Fans Follow Us Subscriber © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
Fans Follow Us Subscriber © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta amejitokeza kuwa kiongozi mjanja wa siasa sawa na alivyokuwa mlezi wake wa kisiasa, Rais mstaafu Daniel Moi hasa katika kumaliza nguvu taasisi kuu za kuendeleza demokrasia. Ingawa anatawala katika mazingira tofauti na Mzee Moi aliyehudumu chini ya katiba iliyompa nguvu na mamlaka makuu, Rais Kenyatta amekuwa akitumia mbinu zinazofanana na alizotumia rais huyo wa pili wa Kenya kuzima upinzani na wanaokosoa serikali yake. Wadadisi wanasema kwa sababu ya mipaka aliyowekewa na katiba ya sasa, Rais Kenyatta anatumia ujanja wa kisiasa kusukuma ajenda za serikali hata kama zinapingwa na Wakenya wengi, hatua ambayo imezorotesha demokrasia. VYAMA VYA UPINZANI NA BUNGE Hatua ya kwanza ya Rais Kenyatta katika kipindi chake cha pili cha utawala ilikuwa ni kumaliza upinzani dhidi ya serikali yake, sawa na alivyofanya Mzee Moi mnamo 1982 alipobadilisha katiba na kuweka kifungu cha 2A kufanya Kenya nchi ya chama kimoja. Kutokana na vikwazo vya kikatiba, Rais Kenyatta alitumia mbinu iliyojaa ujanja. Kwanza aliunganisha vyama vya kisiasa kabla ya uchaguzi mkuu wa 2017 ili kuunda chama cha Jubilee Party. Hatua hii ilikuwa sawa na ile Mzee Moi aliyotumia 1997 wakati alipomrai Raila Odinga kuunganisha chama chake cha National Development Party (NDP) na Kanu ili kubuni New Kanu. Msumari wa mwisho uliolemaza upinzani ulikuwa ni handisheki na Bw Odinga, jambo ambalo lilizima sauti za wakosoaji ndani na nje ya bunge. Hatua hii imempa Rais Kenyatta uhuru wa kupitisha kila anachotaka bungeni bila pingamizi zozote kwani waliokuwa wapinzani hasa katika ODM sasa wanacheza ngoma ya Jubilee. VYOMBO VYA HABARI Chini ya utawala wake, Mzee Moi hakuruhusu uhuru wa habari kunawiri inavyohitajika katika demokrasia. Alihakikisha Wakenya walitegemea shirika la KBC pekee kupata habari, kuwanyima leseni watangazaji huru, kupiga marufuku majarida yaliyokosoa utawala wake pamoja na wanahabari kutishwa, kukamatwa na kutupwa kizuizini kwa madai ya uhaini. Rais Kenyatta kwa upande wake amekuwa akilaumu vyombo vya habari kila vinapofichua kashfa ama kukosoa serikali yake, pamoja na kudhalilisha magazeti machoni pa umma hasa anaposema ni “ya kufunga nyama”. Wanablogu wa serikali nao wamekuwa wakiwashambulia baadhi ya wanahabari ama mashirika ya habari yanayojaribu kukosoa utawala wa Jubilee. Serikali pia imelemaza vyombo vya habari kifedha kwa kupunguza matangazo. MASHIRIKA YA KIJAMII Serikali imekuwa ikizima mashirika ya kijamii kupitia vitisho na kuyawekea vikwazo vya kisheria. Baadhi ya wanaharakati wamekuwa wakikamatwa wakijaribu kuandamana kulalamikia au kupinga sera na maamuzi ya serikali licha ya kuwa maandamano ni haki ya kikatiba. Vikwazo vya kisheria navyo vimehakikisha mashirika hayo hayawezi kupata misaada ya kifedha kutoka nje ya nchi ili yasiwe na nguvu za kukosoa serikali na bodi ya kuthibiti mashirika hayo imekuwa ikifunga yanayokosoa serikali ikidai yamekiuka sheria. Hatua hizi ni sawa na mbinu za serikali ya Mzee Moi ambaye alitumia kila njia kuyanyamazisha. Katika miaka 24 ya utawala wake, mashirika yasiyo ya serikali hasa yaliyohudumu maeneo ya upinzani yalikuwa yakifungwa, wanaharakati kukamatwa na kutishwa hadharani. KUZIMA VYAMA VYA WAFANYAKAZI Moi hakutaka vyama vya wafanyakazi vilivyokuwa na nguvu au vilivyoweza kusababisha uasi dhidi ya serikali yake. Alipiga marufuku chama cha kutetea maslahi ya watumishi wa umma, muungano wa wenye matatu na kile cha wahadhiri wa vyuo vikuu na kuwakamata baadhi ya viongozi wake wakiwemo aliyekuwa Jaji Mkuu Willy Mutunga na Katama Mkangi. Rais Kenyatta kwa upande wake anaonekana kutumia mbinu sawa na za mlezi wake kisiasa katika masaibu yanayoandama chama cha Knut, ambacho kimekuwa mwiba kwa serikali yako kinapotetea walimu. Jubilee imetumia ujanja kuvuruga uongozi wa chama hicho. Baada ya kushindwa kuondoa Katibu Mkuu William Sossion kwa kupinga sera za elimu za serikali hasa mtaala mpya, Tume ya Uajiri wa Walimu (TSC) imemwondoa kwenye orodha ya walimu na sasa inataka kukivunjilia mbali Knut. MAHAKAMA Sio siri kwamba Rais Uhuru Kenyatta hafurahishwi na utendakazi wa mahakama ambayo chini ya katiba ya sasa imehakikishiwa uhuru wake. Amefanya juhudi za wazi kupunguza uhuru huo kwa kukataa maazimio ya Tume ya Huduma ya Mahakama (JSC), kuinyima pesa, kutisha hadharani na kulaumu majaji kwa madai ya kutotekeleza majukumu yao. Rais Kenyatta anajaribu kuiga Mzee Moi ambaye alitawala chini ya katiba iliyompa mamlaka ya kuteua majaji ambao angeweza kushawishi. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta amejitokeza kuwa kiongozi mjanja wa siasa sawa na alivyokuwa mlezi wake wa kisiasa, Rais mstaafu Daniel Moi hasa katika kumaliza nguvu taasisi kuu za kuendeleza demokrasia. Ingawa anatawala katika mazingira tofauti na Mzee Moi aliyehudumu chini ya katiba iliyompa nguvu na mamlaka makuu, Rais Kenyatta amekuwa akitumia mbinu zinazofanana na alizotumia rais huyo wa pili wa Kenya kuzima upinzani na wanaokosoa serikali yake. Wadadisi wanasema kwa sababu ya mipaka aliyowekewa na katiba ya sasa, Rais Kenyatta anatumia ujanja wa kisiasa kusukuma ajenda za serikali hata kama zinapingwa na Wakenya wengi, hatua ambayo imezorotesha demokrasia. VYAMA VYA UPINZANI NA BUNGE Hatua ya kwanza ya Rais Kenyatta katika kipindi chake cha pili cha utawala ilikuwa ni kumaliza upinzani dhidi ya serikali yake, sawa na alivyofanya Mzee Moi mnamo 1982 alipobadilisha katiba na kuweka kifungu cha 2A kufanya Kenya nchi ya chama kimoja. Kutokana na vikwazo vya kikatiba, Rais Kenyatta alitumia mbinu iliyojaa ujanja. Kwanza aliunganisha vyama vya kisiasa kabla ya uchaguzi mkuu wa 2017 ili kuunda chama cha Jubilee Party. Hatua hii ilikuwa sawa na ile Mzee Moi aliyotumia 1997 wakati alipomrai Raila Odinga kuunganisha chama chake cha National Development Party (NDP) na Kanu ili kubuni New Kanu. Msumari wa mwisho uliolemaza upinzani ulikuwa ni handisheki na Bw Odinga, jambo ambalo lilizima sauti za wakosoaji ndani na nje ya bunge. Hatua hii imempa Rais Kenyatta uhuru wa kupitisha kila anachotaka bungeni bila pingamizi zozote kwani waliokuwa wapinzani hasa katika ODM sasa wanacheza ngoma ya Jubilee. VYOMBO VYA HABARI Chini ya utawala wake, Mzee Moi hakuruhusu uhuru wa habari kunawiri inavyohitajika katika demokrasia. Alihakikisha Wakenya walitegemea shirika la KBC pekee kupata habari, kuwanyima leseni watangazaji huru, kupiga marufuku majarida yaliyokosoa utawala wake pamoja na wanahabari kutishwa, kukamatwa na kutupwa kizuizini kwa madai ya uhaini. Rais Kenyatta kwa upande wake amekuwa akilaumu vyombo vya habari kila vinapofichua kashfa ama kukosoa serikali yake, pamoja na kudhalilisha magazeti machoni pa umma hasa anaposema ni “ya kufunga nyama”. Wanablogu wa serikali nao wamekuwa wakiwashambulia baadhi ya wanahabari ama mashirika ya habari yanayojaribu kukosoa utawala wa Jubilee. Serikali pia imelemaza vyombo vya habari kifedha kwa kupunguza matangazo. MASHIRIKA YA KIJAMII Serikali imekuwa ikizima mashirika ya kijamii kupitia vitisho na kuyawekea vikwazo vya kisheria. Baadhi ya wanaharakati wamekuwa wakikamatwa wakijaribu kuandamana kulalamikia au kupinga sera na maamuzi ya serikali licha ya kuwa maandamano ni haki ya kikatiba. Vikwazo vya kisheria navyo vimehakikisha mashirika hayo hayawezi kupata misaada ya kifedha kutoka nje ya nchi ili yasiwe na nguvu za kukosoa serikali na bodi ya kuthibiti mashirika hayo imekuwa ikifunga yanayokosoa serikali ikidai yamekiuka sheria. Hatua hizi ni sawa na mbinu za serikali ya Mzee Moi ambaye alitumia kila njia kuyanyamazisha. Katika miaka 24 ya utawala wake, mashirika yasiyo ya serikali hasa yaliyohudumu maeneo ya upinzani yalikuwa yakifungwa, wanaharakati kukamatwa na kutishwa hadharani. KUZIMA VYAMA VYA WAFANYAKAZI Moi hakutaka vyama vya wafanyakazi vilivyokuwa na nguvu au vilivyoweza kusababisha uasi dhidi ya serikali yake. Alipiga marufuku chama cha kutetea maslahi ya watumishi wa umma, muungano wa wenye matatu na kile cha wahadhiri wa vyuo vikuu na kuwakamata baadhi ya viongozi wake wakiwemo aliyekuwa Jaji Mkuu Willy Mutunga na Katama Mkangi. Rais Kenyatta kwa upande wake anaonekana kutumia mbinu sawa na za mlezi wake kisiasa katika masaibu yanayoandama chama cha Knut, ambacho kimekuwa mwiba kwa serikali yako kinapotetea walimu. Jubilee imetumia ujanja kuvuruga uongozi wa chama hicho. Baada ya kushindwa kuondoa Katibu Mkuu William Sossion kwa kupinga sera za elimu za serikali hasa mtaala mpya, Tume ya Uajiri wa Walimu (TSC) imemwondoa kwenye orodha ya walimu na sasa inataka kukivunjilia mbali Knut. MAHAKAMA Sio siri kwamba Rais Uhuru Kenyatta hafurahishwi na utendakazi wa mahakama ambayo chini ya katiba ya sasa imehakikishiwa uhuru wake. Amefanya juhudi za wazi kupunguza uhuru huo kwa kukataa maazimio ya Tume ya Huduma ya Mahakama (JSC), kuinyima pesa, kutisha hadharani na kulaumu majaji kwa madai ya kutotekeleza majukumu yao. Rais Kenyatta anajaribu kuiga Mzee Moi ambaye alitawala chini ya katiba iliyompa mamlaka ya kuteua majaji ambao angeweza kushawishi. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
Na WAANDISHI WETU KIONGOZI wa ODM Raila Odinga amejipata pabaya kutokana na kauli aliyotoa majuzi kuwahusu wanawake wa jamii ya Wakamba. Bw Odinga alitoa kauli hiyo wakati wa mkutano wa kumpigia debe mwaniaji wa ODM katika uchaguzi mdogo wa ubunge wa Kibra, Imran Okoth mwishoni mwa wiki. “Unajua Wakamba ni waaminifu, hasa akina mama. Wakisema wanakupatia, wanakupatia,” akasema Bw Odinga. Kauli hiyo imewakera wengi hasa viongozi wa wanawake na kisiasa wa jamii hiyo. Aliyekuwa mwaniaji wa ugavana katika Kaunti ya Machakos, Bi Wavinya Ndeti na Seneta wa Kitui, Bw Enoch Wambua walimshambulia Bw Odinga kutokana na walichokitaja kuwa kutoa matamshi ya kudunisha Wakamba. “Baba (Odinga), nimeshangazwa na kauli yako. Wakamba ni waaminifu lakini hatutaki kudunishwa. Tulikuunga mkono kwa miaka 10 na jamii yetu inahitaji kuheshimiwa,” akasema Bi Ndeti. Seneta Wambua naye alimtaka Bw Odinga kuwaomba msamaha wanawake wa jamii hiyo inayothibiti kaunti za Machakos, Makueni na Kitui. “Ninamheshimu Raila, lakini matamshi yake hayakufaa. Kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka ameunga mkono Bw Odinga kwa miaka mingi lakini sasa inasikitisha kwamba sasa anadunisha jamii ya Wakamba,” akasema Bw Wambua. “Tuko tayari kufanya muungano na watu wengine ambao wanatuheshimu. Hatuwezi kutusiwa tukiwa tumenyamaza,” akasema Seneta huyo. Bw Wambua aliwataka wakazi wa eneobunge la Kibra wamfundishe Bw Odinga adabu kwa kukataa kumpigia kura mwaniaji wa ODM katika uchaguzi wa kesho. Katika majengo ya Bunge, wabunge kutoka eneo la Ukambani walimtaka Bw Odinga aombe msamaha kwa jamii yao kwa ujumla. Wakiongozwa na mwenyekiti wa wa Muungano wa Wabunge wa Ukambani Bw Makali Mulu, viongozi hao walisema ikiwa Bw Odinga hataomba msamaha basi jamii hiyo itakatiza kabisa uhusiano wowote naye kuelekea uchaguzi mkuu wa 2022. “Maneno ambayo Raila alitumia kurejelea watu wa jamii yetu ni kielelezo cha matusi mabaya zaidi. Kwa hivyo, tunamtaka afafanue ikiwa aliyoyatoa yalikuwa mzaha au aombe msamaha kwetu sote kama jamii. Tunaongea hapa kwa niaba ya watu wetu kule mashinani ambao wamekerwa zaidi na matamshi yake,” akasema Bw Mulu. Naye Bw Wambua akauliza: “Mbona Raila anawatusi Wakamba wakati ambapo alikuwa akiwaomba wale wanaoishi Kibra wampigie kura mgombeaji wa ODM? Itakuwa vipi watu ambao anawaona kama duni wasaidie chama chake kushinda katika uchaguzi huo mdogo?” Viongozi hao waliwataja magavana watatu kutoka Ukambani: Alfred Mutua (Machakos), Charity Ngilu (Kitui) na Profesa Kivutha Kibwana (Makueni), ambao waliandamana na Bw Odinga kumpigia debe mgombeaji wa ODM kama ‘wasaliti’ na kwamba hawakuwakilisha jamii hiyo. “Watatu hao hawakuwa wanazungumza kwa niaba ya Wakamba. Hawa na wasaliti ambao walikuwa wakiongea kwa niaba yao binafsi,” akasema Bw Mulu. Wabunge wengine walioandamana nao ni Jessica Mbalu (Kibwezi Mashariki), Paul Nzengu (Mwingi Kasakazini), Gideon Mulyungi (Mwingi ya Kati) na Nimrod Mbai (Kitui Mashariki). Wakati huo huo, Kiongozi wa chama cha Amani National Congress (ANC), Musalia Mudavadi ametisha kumchukulia hatua za kisheria Bw Odinga na maafisa wa chama hicho kwa kumhusisha na kashfa ya Goldenberg. Akijibu matamshi ya Katibu Mkuu wa ODM, Edwin Sifuna kwamba alisababishia nchi hasara kupitia kashfa hiyo, Bw Mudavadi alisema viongozi wa ODM wanajua aliondolewa lawama kupitia tume kadhaa za uchunguzi. Ripoti za ANITA CHEPKOECH, BENSON MATHEKA na CHARLES WASONGA You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
Na WAANDISHI WETU KIONGOZI wa ODM Raila Odinga amejipata pabaya kutokana na kauli aliyotoa majuzi kuwahusu wanawake wa jamii ya Wakamba. Bw Odinga alitoa kauli hiyo wakati wa mkutano wa kumpigia debe mwaniaji wa ODM katika uchaguzi mdogo wa ubunge wa Kibra, Imran Okoth mwishoni mwa wiki. “Unajua Wakamba ni waaminifu, hasa akina mama. Wakisema wanakupatia, wanakupatia,” akasema Bw Odinga. Kauli hiyo imewakera wengi hasa viongozi wa wanawake na kisiasa wa jamii hiyo. Aliyekuwa mwaniaji wa ugavana katika Kaunti ya Machakos, Bi Wavinya Ndeti na Seneta wa Kitui, Bw Enoch Wambua walimshambulia Bw Odinga kutokana na walichokitaja kuwa kutoa matamshi ya kudunisha Wakamba. “Baba (Odinga), nimeshangazwa na kauli yako. Wakamba ni waaminifu lakini hatutaki kudunishwa. Tulikuunga mkono kwa miaka 10 na jamii yetu inahitaji kuheshimiwa,” akasema Bi Ndeti. Seneta Wambua naye alimtaka Bw Odinga kuwaomba msamaha wanawake wa jamii hiyo inayothibiti kaunti za Machakos, Makueni na Kitui. “Ninamheshimu Raila, lakini matamshi yake hayakufaa. Kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka ameunga mkono Bw Odinga kwa miaka mingi lakini sasa inasikitisha kwamba sasa anadunisha jamii ya Wakamba,” akasema Bw Wambua. “Tuko tayari kufanya muungano na watu wengine ambao wanatuheshimu. Hatuwezi kutusiwa tukiwa tumenyamaza,” akasema Seneta huyo. Bw Wambua aliwataka wakazi wa eneobunge la Kibra wamfundishe Bw Odinga adabu kwa kukataa kumpigia kura mwaniaji wa ODM katika uchaguzi wa kesho. Katika majengo ya Bunge, wabunge kutoka eneo la Ukambani walimtaka Bw Odinga aombe msamaha kwa jamii yao kwa ujumla. Wakiongozwa na mwenyekiti wa wa Muungano wa Wabunge wa Ukambani Bw Makali Mulu, viongozi hao walisema ikiwa Bw Odinga hataomba msamaha basi jamii hiyo itakatiza kabisa uhusiano wowote naye kuelekea uchaguzi mkuu wa 2022. “Maneno ambayo Raila alitumia kurejelea watu wa jamii yetu ni kielelezo cha matusi mabaya zaidi. Kwa hivyo, tunamtaka afafanue ikiwa aliyoyatoa yalikuwa mzaha au aombe msamaha kwetu sote kama jamii. Tunaongea hapa kwa niaba ya watu wetu kule mashinani ambao wamekerwa zaidi na matamshi yake,” akasema Bw Mulu. Naye Bw Wambua akauliza: “Mbona Raila anawatusi Wakamba wakati ambapo alikuwa akiwaomba wale wanaoishi Kibra wampigie kura mgombeaji wa ODM? Itakuwa vipi watu ambao anawaona kama duni wasaidie chama chake kushinda katika uchaguzi huo mdogo?” Viongozi hao waliwataja magavana watatu kutoka Ukambani: Alfred Mutua (Machakos), Charity Ngilu (Kitui) na Profesa Kivutha Kibwana (Makueni), ambao waliandamana na Bw Odinga kumpigia debe mgombeaji wa ODM kama ‘wasaliti’ na kwamba hawakuwakilisha jamii hiyo. “Watatu hao hawakuwa wanazungumza kwa niaba ya Wakamba. Hawa na wasaliti ambao walikuwa wakiongea kwa niaba yao binafsi,” akasema Bw Mulu. Wabunge wengine walioandamana nao ni Jessica Mbalu (Kibwezi Mashariki), Paul Nzengu (Mwingi Kasakazini), Gideon Mulyungi (Mwingi ya Kati) na Nimrod Mbai (Kitui Mashariki). Wakati huo huo, Kiongozi wa chama cha Amani National Congress (ANC), Musalia Mudavadi ametisha kumchukulia hatua za kisheria Bw Odinga na maafisa wa chama hicho kwa kumhusisha na kashfa ya Goldenberg. Akijibu matamshi ya Katibu Mkuu wa ODM, Edwin Sifuna kwamba alisababishia nchi hasara kupitia kashfa hiyo, Bw Mudavadi alisema viongozi wa ODM wanajua aliondolewa lawama kupitia tume kadhaa za uchunguzi. Ripoti za ANITA CHEPKOECH, BENSON MATHEKA na CHARLES WASONGA You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
Na AFP IDADI isiyojulikana ya wafuasi wa upinzani Uganda, akiwemo aliyekuwa mgombea urais Dkt Kizza Besigye, wanazuiliwa na polisi kufuatia ghasia katika jiji kuu la Kampala zilizoshuhudiwa Jumatatu asubuhi. Balaa ilizuka baada ya maafisa wa kulinda usalama kuzuia mkutano uliopangwa wa Forum for Democratic Change (FDC) katika Uwanja wa Mandela mjini Namboole. Maafisa wa polisi na wanajeshi waliojihami vikali walizingira uwanja huo na kuwalazimu wanachama wa FDC waliojawa na hamaki kuandamana kuelekea makao makuu ya chama chao kwenye barabara kuu yenye shughuli nyingi ya Kampala-Jinja. Ili kutawanya umati, polisi walitumia vitoa machozi, risasi za maji na risasi za bunduki na kusababisha vita vya kukimbizana. Dkt Kizza Besigye, aliyekuwa rais wa FDC aliendelea kupungia umati hewani akiwa juu ya gari lake kabla ya polisi kulizuia na baadaye kulivuta katika Kituo cha Polisi cha Naggalama. Hata hivyo, baadhi ya minyororo iliyotumika kuvuta gari la Besigye ilivunjika huku umma ukimshangilia mgombea huyo aliyewania urais mara nne. Kisha polisi walitumia risasi za maji kumlazimisha Besigye kutoka garini mwake na kumweka katika gari la polisi, lililoondoka kwa kasi kuelekea Naggalama. Kutokana na vurugu hizo, mbunge wa Manispaa ya Kira, Ibrahim Ssemujju Nganda, alikamatwa lakini akatoweka. Kupitia taarifa, polisi walisema FDC iliwafahamisha kuhusu mkutano ulionuiwa lakini wakashauriwa kubadilisha eneo, agizo walilopuuza. “FDC ilitufahamisha kuhusu sherehe hiyo iliyopangwa na tukawajibu tukiwashauri wabadilishe eneo la hafla lakini wakatupuuza. Besigye alikaidi maagizo ya polisi na kuegesha gari lake barabarani katikati huku akiwazuia na kuwahangaisha watumiaji wengine wa barabara,” “Gari lilivutwa na kupelekwa katika Kituo cha Polisi cha Naggalama. Kwa sasa hakuna mashtaka aliyoshutumiwa dhidi yake lakini wapelelezi bado wanakusanya ushahidi,”alisema msemaji wa polisi Kampala Metropolitan Bw Patrick Onyango. Huku uchaguzi wa 2021 ukijongea, vyama vya kisiasa vya upinzani na makundi ya wakereketwa vinapambana kuweka mikakati ya kumkabili Museveni. Hata hivyo, polisi kila mara wamevunja mikutano yao wakitaja ukiukaji wa Sheria kuhusu Usimamizi wa Utulivu kwa Umma. Majuzi, Besigye na wafuasi wake kadha walizindua kampeni ya uasi wa umma inayoitwa ‘Tubalemese’, akisema itasaidia upinzani kufanikisha malengo yake. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
Na AFP IDADI isiyojulikana ya wafuasi wa upinzani Uganda, akiwemo aliyekuwa mgombea urais Dkt Kizza Besigye, wanazuiliwa na polisi kufuatia ghasia katika jiji kuu la Kampala zilizoshuhudiwa Jumatatu asubuhi. Balaa ilizuka baada ya maafisa wa kulinda usalama kuzuia mkutano uliopangwa wa Forum for Democratic Change (FDC) katika Uwanja wa Mandela mjini Namboole. Maafisa wa polisi na wanajeshi waliojihami vikali walizingira uwanja huo na kuwalazimu wanachama wa FDC waliojawa na hamaki kuandamana kuelekea makao makuu ya chama chao kwenye barabara kuu yenye shughuli nyingi ya Kampala-Jinja. Ili kutawanya umati, polisi walitumia vitoa machozi, risasi za maji na risasi za bunduki na kusababisha vita vya kukimbizana. Dkt Kizza Besigye, aliyekuwa rais wa FDC aliendelea kupungia umati hewani akiwa juu ya gari lake kabla ya polisi kulizuia na baadaye kulivuta katika Kituo cha Polisi cha Naggalama. Hata hivyo, baadhi ya minyororo iliyotumika kuvuta gari la Besigye ilivunjika huku umma ukimshangilia mgombea huyo aliyewania urais mara nne. Kisha polisi walitumia risasi za maji kumlazimisha Besigye kutoka garini mwake na kumweka katika gari la polisi, lililoondoka kwa kasi kuelekea Naggalama. Kutokana na vurugu hizo, mbunge wa Manispaa ya Kira, Ibrahim Ssemujju Nganda, alikamatwa lakini akatoweka. Kupitia taarifa, polisi walisema FDC iliwafahamisha kuhusu mkutano ulionuiwa lakini wakashauriwa kubadilisha eneo, agizo walilopuuza. “FDC ilitufahamisha kuhusu sherehe hiyo iliyopangwa na tukawajibu tukiwashauri wabadilishe eneo la hafla lakini wakatupuuza. Besigye alikaidi maagizo ya polisi na kuegesha gari lake barabarani katikati huku akiwazuia na kuwahangaisha watumiaji wengine wa barabara,” “Gari lilivutwa na kupelekwa katika Kituo cha Polisi cha Naggalama. Kwa sasa hakuna mashtaka aliyoshutumiwa dhidi yake lakini wapelelezi bado wanakusanya ushahidi,”alisema msemaji wa polisi Kampala Metropolitan Bw Patrick Onyango. Huku uchaguzi wa 2021 ukijongea, vyama vya kisiasa vya upinzani na makundi ya wakereketwa vinapambana kuweka mikakati ya kumkabili Museveni. Hata hivyo, polisi kila mara wamevunja mikutano yao wakitaja ukiukaji wa Sheria kuhusu Usimamizi wa Utulivu kwa Umma. Majuzi, Besigye na wafuasi wake kadha walizindua kampeni ya uasi wa umma inayoitwa ‘Tubalemese’, akisema itasaidia upinzani kufanikisha malengo yake. You can share this post! Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
It looks like nothing was found at this location. Maybe try one of the links below or a search? Try looking in the monthly archives. 🙂 © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
NA MHARIRI
BAADHI ya shule nchini zimejitokeza na kupinga matokeo ya Mtihani ya Darasa la Nane (KCPE) yaliyotangazwa Jumatano na Waziri... NA MHARIRI
SERIKALI za kaunti zitalazimika kutafuta mbinu za usimamizi wa fedha iwapo magavana wanataka kujitolea kutimiza ahadi zao kwa... NA MHARIRI
KILA Juni 14, ulimwengu huadhimisha Siku ya watu kuchangia damu duniani. Mwaka huu, kaulimbiu ilikuwa “Utoaji damu ni suala... NA MHARIRI
UCHAGUZI mkuu wa Agosti 9 ulikuwa wa kipekee kwa jinsi ulivyokuwa na ushindani mkali kuliko mwingineo wowote ambao umewahi... NA MHARIRI
MNAMO Ijumaa Rais William Ruto alipozuru eneo la Magharibi mwa Kenya, alisisitiza ahadi yake ya kuhakikisha kuwa viwanda vya... NA MHARIRI
TANGAZO la Benki Kuu ya Kenya (CBK) kwamba wateja wataanza kutozwa ada ya kutoa pesa kutoka kwa benki hadi simu zao linajiri... NA MHARIRI
RIPOTI ya Mkaguzi wa Hesabu za Serikali inayoonyesha kuwa mabunge ya kaunti yanapitisha bajeti kiholela bila kuhusisha... NA MHARIRI
MKOPO wa Hustler Fund ulioanza kutolewa kwa wananchi wenye uwezo mdogo kimapato mnamo Jumatano huenda usiwafaidi raia jinsi... NA MHARIRI
UZINDUZI wa Hazina ya Hustler jana Jumatano sasa unawapa matumaini mamia ya mama mboga, wanabodaboda na wafanyibiashara ndogo... NA MHARIRI
HATUA ya serikali kuondoa marufuku dhidi ya mahindi ya GMO imezua mjadala mkali nchini.
Suala la GMO limetekwa nyara na... NA MHARIRI
KWA wiki chache sasa, kumekuwa na wasiwasi katika baadhi ya sehemu za nchi kuhusu homa ambayo inaonekana kuenea kwa... NA MHARIRI
RIPOTI kwamba wabunge, kupitia Tume ya Huduma ya Bunge (PSC), wanataka kushinikiza Tume ya Mishahara na Marupurupu (SRC)... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
Na BENSON MATHEKA
NAIBU wa Rais William Ruto atatumia muungano ‘ulioundwa’ mwaka 2021 na kiongozi wa Amani National Congress (ANC)... Na WANDERI KAMAU
Naibu Rais William Ruto na waandani wake wameapa kufanya kila wawezalo kulemaza juhudi za Kiongozi wa ODM, Raila Odinga... Na CHARLES WASONGA
WABUNGE wandani wa Naibu Rais William Ruto jana walifaulu kuzuia kupitishwa kwa Mswada tata wa marekebisho ya Sheria... BRIAN OCHARO na VALENTINE OBARA
UBABE wa kisiasa kati ya Kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga, na Naibu Rais William Ruto katika Kaunti ya... Na CHARLES WASONGA
HATUA ya Naibu Rais William Ruto na kiongozi wa ODM Raila Odinga kushikilia kuwa wawaniaji wanaounga azma zao za... Na WANDERI KAMAU
SUALA lililozua gumzo wiki hii ni majibizano yaliyozuka kati ya mrengo wa Naibu Rais William Ruto na mwanasiasa Maina... Na JUSTUS WANGA
GAVANA wa Meru Kiraitu Murungi amekiri kwamba umaarufu wa Naibu Rais William Ruto umekita mizizi zaidi katika eneo la... Na CECIL ODONGO
INASIKITISHA kuwa Naibu Rais Dkt William Ruto na Seneta wa Baringo Gideon Moi sasa wanalitumia suala la msitu wa Mau kwa... Na WYCLIFFE NYABERI
NAIBU Rais Dkt William Ruto amemshambulia Rais Uhuru Kenyatta huku akisema ataondoka mamlakani bila kulipa deni la... Na CHARLES WASONGA
NAIBU Rais William Ruto na kiongozi wa ODM Raila Odinga wanaonekana kuendeleza mbinu za kampeni za kulambana visigino... Na IAN BYRON
HATUA ya Gavana Okoth Obado kujihusisha na siasa za chama cha United Democratic Alliance (UDA) cha Naibu Rais, Dkt William... BENSON MATHEKA NA CHARLES WASONGA
?WASHIRIKA wa Naibu Rais William Ruto wamegeuka kupe kwa ‘ kufyoza mamilioni ya fedha anazoyapa... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
Na MASHIRIKA
LONDON, Uingereza
WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson, jana alitangaza masharti makali kudhibiti maambukizi ya... Na ELIZABETH MERAB
WANASAYANSI wanachunguza kuhusu mchipuko wa virusi vipya vya corona aina ya Delta, katika nchi za Amerika, Uingereza,... Na MAUREEN ONGALA
MASAIBU ambayo wagonjwa wa Covid-19 hupitia katika kaunti za Pwani, yameanikwa wazi baada ya kifo cha afisa mkuu wa... SIAGO CECE na ANTHONY KITIMO
UFISADI miongoni mwa baadhi ya maafisa wa serikali katika mpaka wa Kenya na Tanzania, umezidi kuwaweka... Na WAANDISHI WETU
WINGU la maangamizi limetanda kote nchini huku aina mpya ya corona maarufu kama 'Delta' ikiua watu kwa... Na WINNIE ONYANDO
HUENDA visa vya wasafiri kulazimishwa kupima upya corona mpakani mwa Kenya na Tanzania vikakoma baada ya serikali hizo... NA WANGU KANURI
AGIZO la serikali la kudhibiti mkurupuko wa ugonjwa wa corona mwaka jana limewashurutisha Wakenya wengi kufanyia kazi... Na Titus Ominde
VIONGOZI wa kidini Kaskazini mwa Rift Valley (North Rift) wameshutumu wanasiasa kwa kupepeta usambazaji wa virusi vya... Na WANTO WARUI
Huku wanafunzi wa kidato cha kwanza wakiripoti katika shule zao mpya za sekondari hii leo, kuna uwezekano wa maambukizi... Na CHARLES WASONGA
NAKUBALIANA na kauli ya maafisa wa afya katika kaunti ya Nairobi kwamba wanasiasa ndio wanachochea ongezeko la visa... Na SAMMY WAWERU
DICKSON Muceri amekuwa mkazi wa Nairobi kwa muda wa miaka kadhaa ila sasa kitovu hicho cha jiji kuu la nchi hakikaliki... Na MARY WANGARI
WANASAYANSI wamethibitisha kuwa kuchelewesha upokeaji dozi ya pili ya chanjo ya Covid-19 kwa kiasi cha miezi 10 baada ya... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
Na KINYUA BIN KINGORI
WAKATI huu viongozi wa kisiasa wameanza mapema kampeni zao kwa kuzuru maeneo mbalimbali nchini, ili kushawishi... Na WANDERI KAMAU
KULINGANA na Ripoti ya Jaji Mstaafu Akilano Akiwumi (1997) kuhusu chimbuko la ghasia za kikabila nchini, wanasiasa ndio... Na WANTO WARUI
KWA mara nyingine tena tuzo inayoenziwa sana kote ulimwenguni imerudi katika eneo letu la Afrika Mashariki mara hii... Na DOUGLAS MUTUA
MWAFRIKA akiwajibishwa na Mzungu hupiga kamsa na kudai anaonewa, ati msingi wa maonevu ni ubaguzi wa rangi... Na WANDERI KAMAU
MOJA ya changamoto kuu zinazokikumba kizazi cha sasa nchini ni ukosefu wa ufahamu wa lugha zao asili.
Ingawa lugha... Na KINYUA BIN KINGORI
JUHUDI za kuhakikisha taifa limefanikiwa kupiga vita ufisadi lazima ziendeshwe kuambatana na Katiba, bila njama... Na WANDERI KAMAU
UFICHUZI wa sakata ambapo watu maarufu duniani wamekuwa wakificha mabilioni ya fedha katika akaunti za siri ng’ambo... Na FAUSTINE NGILA
NINA imani kuwa iwapo kufikia sasa hujawahi kuelewa teknolojia ya blokcheni, leo utaelewa kwa kuwa jana uliathirika... Na CHARLES WASONGA
NI jambo la kusikitisha kuwa ni wakati kama huu ambapo uchaguzi mkuu unakaribia ndipo wanasiasa wametambua umuhimu wa... Na MARY WANGARI
IDADI ya watu wanaoandaa hafla za uchangishaji pesa za kugharamia matibabu imeongezeka pakubwa katika siku za hivi... Na CECIL ODONGO
CHAMA cha Kanu bado kina safari ndefu kurejelea umaarufu wake wa enzi za utawala wa chama kimoja na miaka ya 90 hata... Na CHARLES WASONGA
UTEUZI wa waliokuwa maafisa wanne wa ngazi za juu katika Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kushikilia nyadhifa... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
Naomi Wamboi, 21, ndiye anatupambia yeye ni mwanamitindo aliyewahi kushinda tuzo za Miss Nakuru. Akipata muda anapenda kusafiri na... Winnie Miriam Nechesa 21, ni mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu Cha Maasai Mara kaunti ya Narok.Anapenda kuchora, na kujumuika na... Lilian Njeri mwenye umri wa miaka 21 ndiye anatupambia jarida letu leo.Yeye ni mwanamitindo na mkaazi wa Narok.Uraibu wake ni kusafiri na... Mary Njeri mwenye umri wa miaka 21 ni mkaazi wa mtaa wa Langalanga kaunti ya Nakuru.Yeye ni mwanafasheni wa mapambo na vipodozi.Uraibu wake... Marylene Watiri mwenye umri wa miaka 22 ni mtaalam wa Beauty Therapy jijini Nairobi, aidha yeye ni mwanamitindo na mlimbwende.Uraibu wake... Zaweria Njoki mwenye umri wa miaka 21 ni Video Vixen kutoka kaunti ya Nakuru.Uraibu wake ni kuandika makala ya kitaaluma na kujumuika na...
Malkia wetu leo ni  Babra Ingasiani mwenye umri wa miaka 21, yeye ni mzaliwa wa kaunti ya Kakamega.Uraibu wake ni kusakata densi ya... Pauline Kimani mwenye umri wa miaka 23 ndiye anatupambia jarida letu leo.Yeye ni mkaazi wa eneo la Lanet na mfanyikazi mjini Nakuru.Uraibu...
Sayfer Godez ni mkaazi wa Nakuru .Anapenda kushiriki kwenye majukwaa ya mapambo na urembo.Uraibu wake ni kusafiri na kujumuika na... Sylvia Wangeci 23 ni mzaliwa wa Molo, na mwanafunzi katika Chuo Kikuu Cha MKU tawi la Nakuru.Uraibu wake ni kusafiri na... Mical Abulatsia Imbukwa, 28, ni mwanahabari katika shirika moja jijini Nairobi. Uraibu wake ni kutazama filamu za Afro sinema na kujumuika... Faith Karungari mwenye umri wa miaka 22 ni mwanafasheni na mwanamitindo maarufu kutoka Nakuru.Uraibu wake ni kuogelea na kusikiliza muziki... Be our fan Follow us Join us Subscribe our newsletter to stay updated © Copryright 2023 Taifa Leo. All Rights Reserved
Na RICHARD MUNGUTI
MAHAKAMA ya Juu jana ilianza kusikiza rufaa ya mpango wa kubadilisha katiba (BBI) huku Mwanasheria Mkuu Bw Paul... Na BENSON MATHEKA
RAIS Uhuru Kenyatta jana Jumapili alisema kuwa ndoto yake ya kubadilisha katiba ya Kenya iliyopitishwa 2010 kupitia... Na CHARLES WASONGA
KWA mara nyingine Rais Uhuru Kenyatta amesisitiza kuwa mageuzi ya katiba yaliyopendekezwa katika Mswada wa Mpango wa... Na JOSEPH WANGUI
Mwanasheria Mkuu, Paul Kihara Kariuki hatimaye amewasilisha rasmi rufaa katika Mahakama ya Juu kupinga uamuzi wa... Na Gitonga Marete
KIONGOZI wa chama cha Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi amesisitiza kuwa Bunge linapaswa kurejelea Mpango... Na Leonard Onyango
NAIBU wa Rais William Ruto amewataka wabunge kujadili masuala nyeti yanayoathiri Wakenya badala ya kujaribu kufufua... Na CHARLES WASONGA
JUHUDI za wabunge wanaoegemea mrengo wa Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga kutumia bunge kupitisha... Na WALTER MENYA
JUHUDI za kuokoa mchakato wa marekebisho ya katiba kupitia mpango wa maridhiano (BBI) zimefikishwa rasmi katika Mahakama... Na FRANCIS MUREITHI
KUSAMBARATIKA kwa Mpango wa Kubadilisha Katiba (BBI) kumefifisha pakubwa ushawishi wa kisiasa wa mwenyekiti wa Kanu,... Na WANDERI KAMAU
KUHARAMISHWA kwa Mpango wa Kubadilisha Katiba (BBI) na Mahakama ya Rufaa kunatarajiwa kutoa mwelekeo mpya kwa siasa za... Na WANDERI KAMAU
NAIBU Rais William Ruto jana alimtaka Rais Uhuru Kenyatta kurejelea miradi ya maendeleo iliyoanzishwa na Jubilee, baada... Na Cecil Odongo