text
stringlengths 43
182k
| timestamp
timestamp[s] | url
stringlengths 16
3.37k
|
---|---|---|
mvua yatesa familia 360 morogoro mwanahalisi online
posted by masalu erasto february 1 2016 0 903 views
mvua iliyoambatana na upepo mkali imeezua na kubomoa nyumba na kusabisha hasara kubwa kwa zaidi ya familia 360 katika wilaya mpya ya malinyi mkoani morogoro anaandika christina raphael (endelea)
mvua hiyo ilinyesha jana na kwa mujibu wa said msomoka mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya malinyi athari hizo zimeumiza wakazi wapatao 1600 katika vijiji mbalimbali
baadhi ya wakazi hao wasio na makazi wamepata hifadhi kwenye majengo ya shule na mengine ya umma wengine wanatumia vibanda vyenye hadhi ya chini
mvua hiyo ambayo pia ilikuwa na radi imeangusha miti mikubwa ya asili ambayo imeziba barabara na kufanya wasafiri na watumiaji wa barabara kuu ya lupiromtimbira hadi malinyi kuchangishana ili kupata fedha ya kulipa wenye vifaa maalum vya kukatia miti hiyo
mvua iliyoambatana na upepo mkali imeezua na kubomoa nyumba na kusabisha hasara kubwa kwa zaidi ya familia 360 katika wilaya mpya ya malinyi mkoani morogoro anaandika christina raphael (endelea) mvua hiyo ilinyesha jana na kwa mujibu wa said msomoka mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya malinyi athari hizo zimeumiza wakazi wapatao 1600 katika vijiji mbalimbali baadhi ya wakazi hao wasio na makazi wamepata hifadhi kwenye majengo ya shule na mengine ya umma wengine wanatumia vibanda vyenye hadhi ya chini mvua hiyo ambayo pia ilikuwa na radi imeangusha miti mikubwa ya asili ambayo imeziba barabara na kufanya wasafiri na watumiaji&hellip
previous makunga mwenyekiti mpya tef
next serikali kugawa mbegu kukabili maafa mungere
watu 298 wafariki kwa ajali dodoma | 2018-08-22T05:46:24 | http://mwanahalisionline.com/mvua-yatesa-familia-360-morogoro/ |
klabu mpya ya hassan kessy usipime simba na yanga zinasubiri | shaffihdauda
home vpl klabu mpya ya hassan kessy usipime simba na yanga zinasubiri
hivi karibuni hassan kessy amejiunga na klabu ya nkana fc ya zambia na kukabidhiwa jezi nambari 22
nkana fc ni timu gani
kichapo chao cha mwisho kutoka kwa tunisia kiliwanyima nafasi zambia ya kushirii kombe la dunia mwaka 1990 mwaka huo huo nkana red devils walifika fainali ya klabu bingwa afrika hakika walikuwa na kizazi hatari zaidi
ukipita kule kitwe ukitaja jina kalampa ovyo ovyo unaweza kujikuta sero kalampa lilikuwa jina maarufu sana kwa mashetani hawa wekundu wa zambia ililuwa chini ya mwalimu moses simwala chini ya mafundi wa mzee malitoli ndugu hawa wawili (kenneth na mordon) kule reuben maarufu kama kamanga sakala marehemu mzee kapambwe alijulikana sana kama gentile mulenga pia alikiwepo mheshimiwa golden kazika mtu hatari sana nyakati zake alikuwepo godfrey muselepete gibby mbasela na mtaalam beston chambeshi kikosi hiki kimebeba mataji mengi zaidi katika hitsoria ya zambia (zambian super league) vikombe 11 kutokea miaka 1980/90s
mafanikio yake ilifanya uwanja wa nkana stadium kujulikana huko kwao kama mecca ya soka ilikuwa moja ya vilabu vitanovikubwa sana zaidi katika bara la afrika miaka 1990 licha ya kupoteza ubingwa kwa power rangers 1990 mwaka uliofuata walitwaa ubingwa wa african cupwinners cup tokea miaka ya 1980 palikiwepo na uwezekaji mkubwa sana kwenye soka lao raisi wa zambia wakati ule kenneth kaunda alikuwa anapenda soka kama mourinho anavyopenda kupaki mabasi kaunda ulikuwa humwambii kitu kuhusu soka kaunda aliiongoza zambia kwa miaka 27 miaka ya 1980s mambo yakenda kwao mrama hasa kiuchumi kitendo kilichowafanya wao kujiondoa kwenye kuandaa michuano ya afrika mwaka 1988
nkana fc ni moja ya vilabu vikongwa zaidi katika taifa la zambia iliyoanzishwa mwaka 1935 katika viunga vya kitwe mjini wusakili hapo awali klabu hii ilijulikana kama rhokana united fc kabla ya kubadilishwa na kuitwa nkana red devils mnamo mwaka 1990 klabu hii ilifanya makubwa baada ya kufika fainali ya klabu bingwa barani afrika
klabu hii ya nkana imeshindwa ubingwa wa zambia mara 12 na mara yao ya mwisho ikiwa mwaka 2013
mwezi mei 23 2014 klabu hii ilipigwa na msiba mkubwa baafa ya aliyekuwa mkufunzi wake masautso mwale kufariki kwenye ajali ya barabarani akiwa anaelekea kwenye mchezo wao dhidi ya séwé sport kutoka ivory coast kwemye mchezo wa kundi b la caf confederation cup
moja ya michezo migumu ya zambia ni mchezo wa nkana fc vs power dynamos fc ambapo mchezo huu unajulikana kama dabi ya kopala
mafanaikio
klabu bingwa(african cup of champions clubs)
mshindi wa pili 1 1990
ubingwa wa ligi kuu zambia (zambian premier league) 12
1982 1983 1985 1986 1988 1989 1990 1992 1993 1999 2001 2013zambian cup 61986 1989 1991 1992 1993 2000
kombe la chalenji (zambian challenge cup) 7
1964 1966 (as rhokana united)1992 1993 1998 1999 2000
ubingwa wa mabingwa (zambian champion of champions cup) 2
ngao ya jamii (zambian charity shield) 13
ushiriki wao wa michuano ya caf
klabu bingwa caf champions league 3 walishiriki
2000 mzunguko wa pili
2002 mzunguko wa pili
2014 mzunguko wa pili
hapo awali
african cup of champions clubs 9 walishiriki
1983 nusufainali
1984 robofainali
1986 nusufainali
1987 mzunguko wa pili
1989 nusufainali
1990 fainali
1991 nusufainali
1992 robofainali
1993 robofainali
washindi wa caf (caf cup winners cup) 2
walishiriki
1998 robofainali
2001 mzunguko wa pili
1999 mzunguko wa pili
previous articlemsimu mpya wa premier league na dstv
next articlemodric kusaini mkataba mpya
supa sandei man city ni kibonde anayetaka kufuta uteja wake kwa arsenal | 2018-08-17T07:42:04 | http://shaffihdauda.co.tz/2018/08/10/klabu-mpya-ya-hassan-kessy-usipime-simba-na-yanga-zinasubiri/ |
unafanyaje | jamiiforums | the home of great thinkers
unafanyaje
discussion in 'mahusiano mapenzi urafiki' started by mwanajamiione jan 29 2012
kwanza nilishikwa na hacra juu yake nikajiuliza ana matatizo gani huyu mdada hakika niliamini kuwa either hana akili timamu au ni limbukeni wa mawazo yaani nikawaza miaka mi3 tangu mtengane mwanaume hana contacts kabisa na wewe pamoja na kuwa na mwanaye unayemhudumia kwa kila kitu bado anamfikiria na kumuingiza katika kila shauri la maisha yake hakika sikumwelewa hata kama walioana kisheria wakatendeana vya kutendeana but mume akaenda kivyake na mke na mtoto wakakaa kivyake
lakini baada ya kutulia nikajiuliza
1 unafanyaje iwapo umri unakwenda nawe unatamani kuwa na mtoto hata kama situation yako ni complicated
there goes ma big sisy heshima yako mj1nitarudi baadae ngoja kwanza nilale
unataka mtoto wa nje ya ndo au ndani ya ndoa
swali zuri sana oa
desperate situations needs desperate measures
au labda atafute sperm donorna sijui tz kama huduma hiyo ipo
samahan kidogo mj1
unazungumza apo juu ana matatizo gani huyu mdadaalaf sentenzi za chini zinazofuata zinamzungumzia mkaka
alaf baada ya kusema hayo naomba nilog outnitarudi bidae kaa vip
hahah mpwausitumie katiba kuhukumu kesi hii
mdahalo huu ukitaka kuufaidi usome << backwards<< anzia
unafanyaje iwapo umri unakwenda nawe unatamani kuwa na mtoto
kisha endelea na
miaka mi3 tangu mtengane mwanaume hana contacts kabisa na wewe pamoja na kuwa na mwanaye unayemhudumia kwa kila kitu bado anamfikiria na kumuingiza katika kila shauri la maisha yake
dada ndo uamke sasa maana mie nishaamka
ukaona hapa hapatoshi eh wa nje na ndani ndo wakoje
eh hata wewe lol
hebu ukishalogin tena usome kwa makini utanielewa
mh soulmate naona semantic imechukua asilimia kubwa zaidi ya maudhui ya thread ama kweli
mi kazi yangu ni kugonga 'like' tu kuanzia mwanzo hadi mwisho'like' is my comment
wapi kesto laiti niendelee kugonga like hapa
aksante bigirita
wa nje ni wanje tu na wa ndani ni wandani tu
wa nje unajichagulia mwenyewe umpendaye na wa ndani huna ujanja lazima huyo huyo
umesikia au bado mana wengine mpaa mtumie wireless microphone spekaer ndo wanasikia
oohhh mungu wangu weenini tena soulmate nini tatizo
nahisi sihitajiki kuchangia lolote humu a scoffeebiggie nigongee like moja hapa na mimi aisee
hivi ni lazima kuzaa hata kama huna mwenza
umenikumbusha swali la bikra maria baada ya kutokewa na malaikalitanitokeaje neno hili na mie sina mume
mimi kwishagonga like kule juukakague
samahani nn hata swali halieleweki nisamehe | 2018-01-16T08:21:00 | https://www.jamiiforums.com/threads/unafanyaje.217488/ |
nkurunziza kupokea katiba mpya famara news
nkurunziza kupokea katiba mpya
fabian fanuel 233 am 0 comment siasa
rais wa burundi pierre nkurunziza anatarajiwa kuipokea katiba mpya ambayo taanza kutekelezwa siku ya alhamis ambayo inatajwa kuwa itageuza mambo mengi kwenye taifa hilo lakini pia kutoa fursa kwa rais kuweza kuwania uongozi wa nchi hadi mwaka 2034
taarifa kutoka ikulu ya burundi zimethibitisha kuwa sherehe za utiaji sahihi kwenye katiba mpya na kuitambulisha kwa raia zitafanyika katika mkoa wa kati wa gitega eneo la bugendana ambako huko ndiko kulikozinduliwa rasmi mchakato wa katiba
katiba hiyo inaanza kutekelezwa wakati mazungumzo ya amani yakiwa yamekwama baada ya serikali kukataa kuketi meza moja na wapinzani | 2019-03-25T03:21:08 | http://www.famaranews.com/2018/06/nkurunziza-kupokea-katiba-mpya.html |
askari aliyepandishwa cheo na igp aongoza katika riadha japan millardayocom
askari aliyepandishwa cheo na igp aongoza katika riadha japan
baada ya igp simon sirro kumpandisha cheo askari fabiam nelson kutoka konstebo hadi koplo baaada ya kushinda mita 5000 katika mashindano ya eapcco leo amepokelewa na kamanda wa polisi arusha ramadhan nganzi baada ya kushinda tena kwenye nafasi ya kwanza kwenye half marathon nchini japan nakupewa medali ya dhahabu
← previous story breaking mdogo wa rostam afikishwa mahakamani kwa makosa 75
next story → tra ilivyogawa makontena ya paul makonda (+video) | 2020-02-27T08:50:25 | https://millardayo.com/mh7y66y/ |
matumizi ya kondomu za kike za lady pepeta jicho la uswazi
vitu 6 vitakavyokuonesha kuwa mwenzi wako anachepuka
hizi ndiyo sababu 4 zinazopelekea wanawake warembo kutokuolewa
matumizi ya kondomu za kike za lady pepeta
by mcinka wa lamar on oct 27 2017 0
kondomu za kike ni mipira nyororo kabisa inayovaliwa katika uke wakati wa kufanya mapenzi ili kuzuia mimba na kupunguza uwezekano wa kupata maambukizi ya magongwa ya zinaa huenda kukawa na aina nyingi za kondomu za kike lakini hapa ninaangazia kondomu aina ya lady pepetaambayo ni mashuhuri
wakati wa kufanya mapenzi kwa wapenzi wawili ni jukumu la kila mmoja wenu kujilinda kwanza peke yake bila kujali kuwa swala la kinga ni jukumu la mmoja wenu wanawake kwa kiasi kikubwa wamekuwa hawafanyi maamuzi pekee katika swala la kutumia kinga kwani imezoeleka kuwa wanaume ndio wanaopaswa kuvaa kondomu
itakuwa ni dhana potofu endapo ukimtegemea mwenzio akulinde kwa kuvaa ndomu wakati wote unapaswa kujadiliana na mwenzi wako na kufanya maamuazi sahihi kuwa nani anapaswa kuvaa kinga kwa wakati huo lady pepeta ni kondomu ya kike ambayo ni rahisi kabisa kuvaa na ukafurahia tendo la kufanya mapenzi
maswali na majibu kuhusukondomuya lady pepeta
1 je ninaweza kutumia lady pepeta moja zaidi ya mara moja
hapana isitumike zaidi ya mara moja tumia lady pepeta kwa kila tendo la ngono
2 je kunawakati maalum ambapo sipaswi kutumia lady pepeta
hapana unaweza kutumia lady pepeta wakati wowote hata kama uko kwenye hedhi
3 je nivae lady pepeta muda gani kabla ya kujamiiana
unaweza kuvaa lady pepeta hadi masaa sita kabla ya kujamiiana
4 je ninaweza kutumia lady pepeta na njia nyingine za uzazi wa mpango
ndio unaweza kutumia lady pepeta na njia nyingine za uzazi wa mpango kama vile vidonge kitanzi na njia za asili usitumie kondomu ya kiume unapotumia lady pepeta msuguano wa kondomu mbili unaweza kupasua kondomu kumbuka kondomu ikitumika kila mara kwa usahihi hupunguza hatari ya maambukizi ya magonjwa yasababishwayo na ngono zembe pia hupunguza uwezekano wa kupata mimba zisizotarajiwa
5 mafuta yaliyopakwa kwenye lady pepeta yanasaidia nini
mafuta yaliyopakwa kwenye lady pepeta yanarahisisha uume kuingia na kutoka kirahisi ukeni wakati wa kujamiiana mafuta yaliyopo upande wa nje humsaidia mvaaji wakati wa kuvaa
6 je lady pepeta inachanika wakati wa kujamiiana
hapana lady pepeta si rahisi kuchanika wakati wa kujamiiana
7 je lady pepeta inaweza kuzama na kupotea ndani ya mwili wangu
hapana lady pepeta haiwezi kuzama wala kupotea mwilini mlango wa kizazi ni mdogo sana saa zote huwa umejifunga
8 je nifanye nini iwapo uume umeingia kati ya uke na lady pepeta
endapo uume haupo ndani ya lady pepeta uchomoe hakikisha pete ya nje imekaa kwenye midomo ya uke uelekeze uume ndandi ya lady pepeta
maelekezo ya matumizi ya kondomu za kike za lady pepeta kwa njia ya sauti fuatilia kipindi chetu cha danger zone life kinachowekwa katika mtandao huu na mingineyo kila wiki na ni bure kabisa kudownload na kupata mafundisho kibao ya kijamii funguka okoa jamii
lady pepeta inatengenezwa na the female helth company hapa nchini inasambazwa na tmarc kwa kushirikiana na wizara ya afya na ustawi wa jamii
munalove ajitolea kufa na kupona kwa lulu
vyakula vinavyoondoa maumivu wakati wa hedhi kwa wanawake
kahawa ni tiba ya tezi la kibofu cha mkojo kwa wanaume
madhara ya kuangalia video za ngono na jinsi ya kuacha | 2018-01-24T07:38:08 | http://jicholauswazi.com/matumizi-ya-kondomu-za-kike-za-lady-pepeta/ |
video shangwe za ngorongoro heroes baada ya ubingwa wa cecafa u20 millardayocom
video shangwe za ngorongoro heroes baada ya ubingwa wa cecafa u20
timu ya taifa ya tanzania ya vijana u20 ngorongoro heroes wameibuka mabingwa wa cecafa u20 kwa kuifunga kenya u20 goli 10 baada ya ubingwa huo uwanjani jinja nchini uganda hali ilikuwa hivi kwa wachezaji mashabiki kwa furaha ya ubingwa
← previous story video kelvin john (mbappe) kafunguka alichoambiwa na samatta akiwa ubelgiji
next story → video baada ya ushindi kivutio kikawa chibonge shabiki wa ngorongoro heroes | 2019-10-18T09:35:04 | http://millardayo.com/ggt6u/ |
katibu bunge afunguka zitto kabwe kuanika utajiri wake facebook | mpekuzi
katibu bunge afunguka zitto kabwe kuanika utajiri wake facebook
pia katibu huyo alisema kuwa bado hajauona muswada anaodai zitto kuwa tayari amewasilisha zaidi ya mara moja kutaka kuwapo kwa sheria itakayowalazimisha wabunge na mawaziri kuweka wazi kwa umma taarifa juu ya mali wanazomiliki pamoja na madeni yao na si taarifa hizo kuishia tu kwa kamishna wa maadili | 2018-04-26T17:27:10 | http://www.mpekuzihuru.com/2017/12/katibu-bunge-afunguka-zitto-kabwe.html |
diamond akana kumuandikia wema sepetu wimbo i miss you | habari pevu
nyumbani burudani diamond akana kumuandikia wema sepetu wimbo i miss you
diamond akana kumuandikia wema sepetu wimbo i miss you
diamond platnumz na wema abraham sepetu
msanii wa bongo fleva diamond platnumz amesema si kweli wimbo wake mpya i miss you aliuandika maalumu kwa ajili ya aliyekuwa mpenzi wake wa zamani wema sepetu
akizungumza na kipindi cha the playlist cha times fm diamond ameeleza yeye kuandika nyimbo kutokana na hisia alizonazo kwa wakati huo na huangali soko lipo vipi
hapana sio kweli kwa sababu wema hana mtoto hana familia is just to me unajua mwenyenzi mungu amenibariki sana kuandika nyimbo za feeling unajua tunatafuta market na ili tukue kimuziki ni lazima na muziki mwingine tufanye ili tusidisappoint wa nyumbani ni lazima uwape chao na kule (kimataifa) ufanye amesema diamond kwa mujibu wa bongo5
ameongeza huwezi kuamini ilikuja tu nikiandika nyimbo za mahusiano kama hizi sometime chozi linanitoka nakumbuka mara ya kwanza huu wimbo nimeuandika nipo kwenye ndege sijui nilikuwa naenda wapi nikawa napata feeling nikiandika topic hii itakuwa vizuri na mungu kanijalia naweza kubadilika katika muziki wa tofauti tofauti
iliyotanguliakagame kuongea mubashara na wananchi redioni kuelekea uchaguzi wa urais
inayofuatatisa mbaroni kwa kuvunja nyumba wizi | 2017-11-20T17:19:50 | http://www.habaripevu.com/diamond-akana-kumuandikia-wema-sepetu-wimbo-i-miss-you/ |
kweli jk msanii | jamiiforums | the home of great thinkers
kweli jk msanii
discussion in 'jukwaa la siasa' started by new2jf nov 6 2011
rais kikwete amjulia hali msaanii ''mwenzake'' vengu wa zekomedy
hivi kweli siku zooooote alizokaa ikulu hadi asikie msanii mwenzake anaumwa ndio aende hospitalini kuna wagonjwa wangapi muhimbili mwananyamala etc
new2jf said
view attachment 40645
is this real newsclick to expand
ah jk lol
wewe ndiyo msanii kwani kuna tatizo gani kwenda kujulia hali ya wagonjwa hiyo ndiyo humanity
jamani jk akitembelea wagonjwa anaitwa msanii ametembelea wagonjwa na jana ametoa zawadi ya mbuzi na mchele kwa wagonjwa
jamani jk akitembelea wagonjwa anaitwa msanii ametembelea wagonjwa na jana ametoa zawadi ya mbuzi na mchele kwa wagonjwaclick to expand
the man knows he is center of negative news he is entitled to check the list of patients before he makes his tour of being a samaritan he would have avoided that simple and sure
unataka afanye kipi umpongeze kwani hapaswi kwenda kutembelea wagonjwa
fang ndio maana nimeuliza maana nimeiona iko katika moja ya habari za kazi za rais i meant hakuna kitu cha kutangaza kuhusu kazi zake hasa zenye maslai na taifa zaidi ya hiyo
bijoumbona hiyo humanity iko very biased hadi msanii mwenzake aumwe ndio aende kutembelea wagonjwa (na kwa taarifa yakoalienda kwake tu na siyo kwa wagonjwa wengine) kumbuka mkuu bijougharama alizotumia kuteketeza kwa kwenda kumuona venguhaiingii akilinieti msafara unatoka ikulumagari mengine barabarani yanasimamishwa kisa bosi anapita kwenda kumtembelea vengu
muhimbili kazi zinasimama hadi rais amalize ''ziara'' yake ningejua kuwa ni utu kama angekuwa na hako kautaratibu ka kuwaona wagonjwa kama afanyavyo ile ya kila mwezi kuzungumza na wananchi kupitia vyombo vya habari kweli unadiriki kusema humanity
ungekuepo wakati anaenda hapo hospitalini ungechoka mwenyewe natamani nawe ungekuwa na mgonjwa wako hapo ili uone kituko kilichotokea pole sana mkuu bijou mkuu kimbunga tafakari sana nilichoandika hapa juu then utoe comments zako
na kwako pia dada ff
bijoumbona hiyo humanity iko very biased hadi msanii mwenzake aumwe ndio aende kutembelea wagonjwa (na kwa taarifa yakoalienda kwake tu na siyo kwa wagonjwa wengine) kumbuka mkuu bijougharama alizotumia kuteketeza kwa kwenda kumuona venguhaiingii akilinieti msafara unatoka ikulumagari mengine barabarani yanasimamishwa kisa bosi anapita kwenda kumtembelea vengu muhimbili kazi zinasimama hadi rais amalize ''ziara'' yake ningejua kuwa ni utu kama angekuwa na hako kautaratibu ka kuwaona wagonjwa kama afanyavyo ile ya kila mwezi kuzungumza na wananchi kupitia vyombo vya habari kweli unadiriki kusema humanity ungekuepo wakati anaenda hapo hospitalini ungechoka mwenyewe natamani nawe ungekuwa na mgonjwa wako hapo ili uone kituko kilichotokea pole sana mkuu bijou mkuu kimbunga tafakari sana nilichoandika hapa juu then utoe comments zakoclick to expand
mkuu hebu tuhabarishe hicho kituko kilichotokea jamaa alipoenda kumuona vengu
wakuu dogo anaumwa serious wala hakuna haja ya kumjadili ****** kwa kumtembelea inafaa tujiulize namna atakavyo msaidia ukizingatia walizunguka naye nchi nzima kwenye kampeni zao magamba na wao walichangia 'kumuweka madarakani' they need to reward him for the job they did for the magamba and the best they can do for him is to find the best treatment of his disease the soonest
eid mubarakclick to expand
mbaraka faidina
wakuu dogo anaumwa serious wala hakuna haja ya kumjadili ****** kwa kumtembelea inafaa tujiulize namna atakavyo msaidia ukizingatia walizunguka naye nchi nzima kwenye kampeni zao magamba na wao walichangia 'kumuweka madarakani' they need to reward him for the job they did for the magamba and the best they can do for him is to find the best treatment of his disease the soonestclick to expand
jamani kwani vengu anasumbuliwa na nini
mwendo ni mbuzi na mchelelol
jamani kwani vengu anasumbuliwa na niniclick to expand
kwa mujibu wa wafuatiliaji wa ze comedy wanasema jamaa anasumbuliwa na maleria
siyo msanii ukweli ni kuwa moja ya mambo yaliyomfanya mheshimiwa ashinde kwa kishindo (80) mwaka 1995 ni tabia ya kuwatembelea wagonjwa na kushiriki kwenye misiba ya watu mbalimbali bila kujali vyeo au nafasi zao na kama umemfuatilia amekuwa akitumia hii strength yake vizuri sana kujenga picha kuwa yeye ni mtu wa watu wa kawaida na ninaamini kuwa amefanikiwa sana katika hili
kwani wewe kuwatembelea wagonjwa inasaidia nini wakati hakuna madawa vijijini hio pesa ya diesel kwenye msafara wake magari 30 si ingenunua dawahalafu hii ya kutoa mbuzi kwenye sikuukuu tu kwanini asiwasaidie kuanzisha miradi ya kuwasaidia siku zote watz wengi wanamatatizo ya mitaji kwani ccm wameuza mashirika na viwanda vyetu vyote kwa wahindi
siyo msanii ukweli ni kuwa moja ya mambo yaliyomfanya mheshimiwa ashinde kwa kishindo (80) mwaka 1995 ni tabia ya kuwatembelea wagonjwa na kushiriki kwenye misiba ya watu mbalimbali bila kujali vyeo au nafasi zao na kama umemfuatilia amekuwa akitumia hii strength yake vizuri sana kujenga picha kuwa yeye ni mtu wa watu wa kawaida na ninaamini kuwa amefanikiwa sana katika hiliclick to expand
hiyo 1995 alishinda wapi na nini 80 hebu fafanua | 2016-12-07T20:44:28 | http://www.jamiiforums.com/threads/kweli-jk-msanii.189595/ |
kwa nini kutaniana kidogo ni siri ya kumpata soul mate wako +pamoja na kupata sex bora elizabeth david
kwa nini kutaniana kidogo ni siri ya kumpata soul mate wako +pamoja na kupata sex bora
elizabeth david august 11 2016 0 0 234 views
ndani ya post hii kuna mtu amenionyesha kuwa kuna tahadhari ya haraka ambayo ni tafakari inayokukaribisha kwenye maisha ambayo yatabadilisha njia ya mtu kuwa sahihi na nzuri
utani ulio wa kawaida ni jaribio la wewe kuwa makini na kuwa na ujasiri mara unapoanza kunywa utasahamu malengo yako kabisa inaweza kuwa lengo lilikuwa kupata mpenzi wa maisha yako labda ilikuwa kujenga urafiki wenye msingi mzuri na wenye maana kupata kinywaji kidogo hayo matarajio yako hutokea dirishani
fikiria unaenda interview umelewa ungeweza kuamka asubuhi hio na kwenda kuongelea kuhusu mshahara ili uongezeke badala yake unajikuta unabaki pale pale na ukafikiri ndio mpango kamili kumbe ni ulevi ndio umekufanya uwe pale
ujasiri ni uelewa wa thamani yako mwanzoni kwa sababu inashusha kuaibikainakufanya ujisikie kama mfalme wa milima kwini wa ulimwengu inakusaidia usahau kwamba kila kitu ni kitu hakijawahi kuwa kigumu
kwa maana nyingine inafananisha na kujihukumu kama vile pombe inavyokufanya ujione uko sawa salama unasahau kuwa hauko salama nyele ziko rafu unahitaji kupungua uzito inaharibu mwonekano wako kwa watu wengine kwa hio mtu anapokuchukua wewe kwenda nyumbani kwake unaona ni kawaida kwa sababu ya pombe lakini panapokucha asubuhi unashangaa huamini hayo maamuzi ulifanya wewe au ulilazimishwa na mtu na unaona kabisa kuwa halikuwa wazo zuri kuwa pale ulipo kujuta kwako kunakufanya ujiulize maswali ya kujilaumu zaidi kwa hio unaamua kuwa mbali na watu na kunywa peke yako wakati unaokuja
utani kidogo ni sawa na utambuzi
inaweza kuonyesha kama woga unaweza kuwa unafikiria nitawezaje kwenda kupata vitu vya kuongea vitu vya hatari bila ya kunywa kidogo ni swali kubwa jibu rahisi ni tafakari nilipoanza kutafakari nilianza kuona kidogo kidogo ukwelli wa mimi nilivyokuwa ilikuja kama mianga ya taa na kuniweka katika vitendo lakini kwa muda wa zaidi ukweli mtu kamili alionekana
chombo hiki cha tafakari kimenifungua kwenye kazi ya kujichunguza hio itakuongoza kwenye ujasiri wa kweli
unaweza usielewe hili lakini unapovutiwa unafanya mambo mawili unafanya pendekezo la kitu unachofanya na kesi ya kwa nini unastahili hicho ujasiri ni chombo muhimu kwa kufanya mambo ya mafanikio pombe inakufanya uweze kitu kimoja tu kwa hivyo viwili inakuruhusu kubishana kwa ujasiri kwamba unastahili kitu hicho kukipata hata kama hukustahili
kama watakukubalia wewe ina maana ni kwenda wote nyumbani utani wa kwenye pombe unaweza kuleta matokeo ambayo utapata mtu asie sahihi katika chumba chako njia pekee ya kuepuka haya ni kubadilisha utani wa pombe na kuingiza utani kidogo wa tabia ya kutafakari
kutaniana kidogo itakufanya kupata usahihi wa mtu muhimu ili kupata hitaji lako( whatever those are) na kupima kiasi chao cha maslahi kwa muda ambao utakuwa unawasiliana pamoja
kujiamini kuna thamani haipo kwenye tabia zetu za ujasiri ni sehemu ya kiroho yenye nguvu ya kipekee kama unahitaji maisha yalio zaidi ya hapo ( and sex life) unahitaji kuwa na hivi vitu visivyogusika na njia nzuri ya kupitia hayo ni kwa kutafakari tu na mawasiliano ya kiroho unapowasilisha hivi utakuwa hivyo na kuwa hivyo ina maana kuwa mtu wa kujiamini kwa kuingia upande wa kiroho utasaidia hali ya kutokuwa na usalama na kuwa katika hali ya usalama iliopo ya ushindi
shirikisha marafiki makala hii kisha toa maoni yako
tags furaha ya mapenzi kumpata mtu wa ukweli mapenzi mapenzi ya kweli soul mate
simulia historia yako ponya moyo wako na yaliopita
mambo 7 ya kihisia watu wenye akili hawafanyi | 2018-08-21T11:32:11 | http://lizzdavid.com/kwa-nini-kutaniana-kidogo-ni-siri-ya-kumpata-soul-mate-wako-pamoja-na-kupata-sex-bora/ |
picha ajali ya basi la bright linegari ndogo na pikipiki yaua watu wawili na kujeruhi 20 shinyanga | malunde 1 blog
home » matukio shinyanga » picha ajali ya basi la bright linegari ndogo na pikipiki yaua watu wawili na kujeruhi 20 shinyanga
watu wawili wamefariki dunia na wengine 20 kujeruhiwa baada ya gari lenye namba za usajili t437 dfj yutoung bus kampuni ya bright line iliyokuwa inatokea mwanza kwende dodoma kugongana uso kwa uso na gari lenye namba za usajili t173 anw nissan station wagon wakati mwendesha pikipiki yenye namba mc489 bvr sanlg akikwepa mwendesha baiskeli katika eneo la isela barabara kuu ya shinyanga kuelekea tabora
ajali hiyo imetokea leo jumatatu januari 132020 majira ya saa nne asubuhi wakati basi hilo likitoka mwanza kwenda dodomagari ndogo ikitokea tinde kuelekea shinyanga na mwendesha pikipiki akitokea shinyanga kuelekea tinde
waliopoteza maisha katika ajali hiyo ni mwendesha boda boda aliyejulikana kwa jina moja la saidi na abiria aliyekuwa kwenye basi aliyejulikana kwa jina la pilly abed (12) mwanafunzi wa dodoma
kwa mujibu wa kaimu kamanda wa polisi mkoa wa shinyanga acp joseph paul chanzo cha ajali hiyo ni mwendesha pikipiki kumkwepa mwendesha baiskeli wakati akilipita basi la bright line bila kuchukua tahadhari
amesema majeruhi wanapatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa shinyanga na miili ya marehemu imefadhiwa katika chumba kuhifadhia maiti katika hospitali hiyo
mganga mfawidhi wa hospitali ya rufaa ya mkoa wa shinyangarose malisa amesema wamepokea miili ya marehemu wawili na majeruhi 20 | 2020-05-26T10:52:30 | https://www.malunde.com/2020/01/ajali.html |
alat yaipongeza manispaa ya kinondoni kwa kutekeleza miradi mikubwa kwa kutumia force account yataka halmashauri nyingine ziige | masama blog
home » news and updates » alat yaipongeza manispaa ya kinondoni kwa kutekeleza miradi mikubwa kwa kutumia force account yataka halmashauri nyingine ziige
from michuzi blog https//ifttt/2qr6lcs
thanks for reading alat yaipongeza manispaa ya kinondoni kwa kutekeleza miradi mikubwa kwa kutumia force account yataka halmashauri nyingine ziige | 2020-04-06T09:55:11 | https://www.masamablog.com/2019/11/alat-yaipongeza-manispaa-ya-kinondoni.html |
chadema blog cuf hatujajiengua ukawa
chama cha wananchi (cuf) kimekanusha uvumi kuwa kimejiengua na kukisusia kikao kinachoendelea cha umoja wa katiba ya wananchi (ukawa) kwa kile kinachodaiwa kina uchu wa madaraka
aidha cuf imekanusha uvumi kuwa baadhi ya wananchama na wenyeviti wa cuf kununuliwa na chama cha mapinduzi ( ccm) kwa lengo la kuuvuruga umoja wao na kuisambalatisha ukawa
hayo yamebainishwa leo jijini dar es salaam na naibu katibu mkuu bara magdalena sakaya alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ambamo kimechukua fursa hiyo kuwaonya waandishi kuandika habari za kweli zinazohusu ukawa kuliko kuandika habari zinazoweza kupotosha umma
sakaya ameendelea kusisitiza kuwa cuf haijajiengua na ukawa ambamo amebainisha sababu za kutoshiriki katika kikao cha jana julai 142015 kilichofanyika katika ukumbi wa collesium dar kumetokana na sababu za kikatiba za ndani ya chama ambapo jana walikaa kikao hivyo kupelekea kushindwa kutuma mwakilishi katika kikao hicho
baada ya kikao cha ukawa cha julai 11 mwaka huu cuf tumekuwa na vikao vinavyohusu viongozi wakuu wa chama akiwemo mwenye kiti manaibu katibu wakuu na wakurugenzi na jana ndo tulikuwa na kikao na ndio maana hatukuweza kutoka amesema sakaya
kutohudhura katika kikao cha jana hakuna mahusiano yoyote na uvumi na maneno ya chini chini kwa baadhi ya mitandao ya kijamii yanayopotosha umma
kuhusu uvumi unaodai kuwa ukawa umeshampitisha mgombea kwa kupiga kura na kwamba baadhi ya magazeti kumuandika mgombea amesema halina ukweli taarifa hizo pia zilipelekea baadhi ya wananchama wa cuf kukusanyika makao makuu ya cuf ili kupata ufafanuzi zaidi juu ya uvumi huo
nae mkurugenzi mipango na uchaguzi shaweji mketo amesema kuhusu maneno yanadai kuwa ukawa ni pasua kichwa na kwamba unakaribia kuvunjika hayana ukweli isipokuwa wanafuata katiba ya kila chama ndipo wamtoe mwali atakaye peperusha bendele ya ukawa
amesema niwatoe wasiwasi wananchi na wapenzi wa ukawa muondoe hofu tupo imara na tunatarajia baada ya siku tano kumtangaza mgombea wetu na kikubwa kinachojadiliwa sasa ni ugawaji wa majimbo kutokana na kuongezeka kwa majimbo hivyo ni lazma tuyajadili kwa kina na kujua yupi atachukuwa wapi
kuhusu kikao cha baraza kuu la uongozi wa kitaifa mketo amesema tunatarajia kufanya kikao cha mwisho julai 25 mwaka huu ili kupata baraka ya chombo cha maamuzi kama ambavyo wezetu wa washiriki wa ukawa wamekwisha pitia hatua hizo katika vyama vyao
posted by chadema blogtz at 134 am | 2018-02-18T09:04:23 | http://chademablog.blogspot.com/2015/07/cuf-hatujajiengua-ukawa.html |
mabuku a batumoni ba yehova pa mateba a bantu
tanga mu alur angele damara dingala esan falanse ibanag kabuverdianu kiafrikaans kialameni kialbane kialema kialema kya kunshi kialtai kiamarike kiami kiaymara kiazeri kiazeri (kya sirilike) kibachkir kibasa (kya mu kamelune) kibemba kibengali kibikole kibilgare kibulu kichichewa kichitonga kichitumbuka kichiyao kichol kicitonga (lwa mu zimbabwe) kicitonga(lwa mu malawi) kidangme kidanwa kidigor kidwala kiedo kiefik kieshipanyole kieshitoni kiewe kifidji kifinwa kifon kiga kigarifuna kigbo kiguarani kigujarati kigun kihausa kihebelu kiherero kihiligaynone kihindi kihiri motu kihongrwa kiikrenye kiiloko kiindonezi kiislande kiisoko kiitali kijampani kijeorji kijula kikabye kikachikel kikamba kikannada kikaonde kikatalana kikechua (kya mu ankash) kikechua (kya mu bolivi) kikhosa kikore kikreole kya haiti kikroate kikurde kya kurmanji kikurde kya kurmanji (kya sirilike) kikuyu kikwangali kikwanyama kileton kilituani kiluba kiluganda kilumani kilunda kiluo kilusi kiluvale kimalagashe kimalay kimalayalam kimam kimambwelungu kimarati kimarshale kimasedwane kimaya kimazateke kya mu huautla kimikse kimikstek (kya mu guerrero) kimongole kimore kimotu kimyama kinahuatl (kya bonso) kinahuatl (kya ku kungala kwa puebla) kinahuatl (kya mu guerrero) kinahuatl (kya mu huasteka) kindebele kindebele (kya mu zimbabwe) kindonga kinepali kinerlande kingabere kingidiki kinorveje kinyanja kinyarwanda kinzema kioromo kiosete kipangasina kipapiamento (kya kirasao) kipeleshia kipendjabi kipidjin kya mu kisanga kya salomo kipolone kipolotige kipolotige (kya portigale) kiponape kirgiz kiribati kirundi kisamoa kisango kisebuano kisepedi kisepulana kiserbi kiserbi (kya mu loma) kishinwa kantoné (kipēla) kishinwa kantoné (kya kala) kishinwa mandaren (kipēla) kishinwa mandaren (kya kala) kishona kisidama kisilozi kisinhala kislovake kislovene kisonge kisranantongo kisuedwa kiswahili kiswahili (kya mu rdcongo) kiswati kitagaloge kitajiki kitamule kitaraskane kitatare kitcheke kitchouvashe kitelugu kitetela kithai kitigrinya kitirk kitirkmene kitiv kitlapanek kitojolabala kitok pisine kitonga kitotonake kitsonga kitswana kituvalu kitwi kitzeltale kitzotzile kiurhobo kiuzebek kivenda kivietname kiwaraywaray kiwolaita kiyoruba kizande kizapotek (kya isthme) kizulu kongo kriole kya mu belize kurde kurmanji (lwa mu caucase) kyalabu ludimi lwa tumama lwa mu afrika wa kunshi ludimi lwa tumama lwa mu arjantine ludimi lwa tumama lwa mu brezile ludimi lwa tumama lwa mu eshipanye ludimi lwa tumama lwa mu kolombi ludimi lwa tumama lwa mu koré ludimi lwa tumama lwa mu lusi ludimi lwa tumama lwa mu meksike mbunda mingrelian okpe pidgin (kya mu cameroon) pidgin ya mu nijeria sesotho (ya mu afrika wa kunshi) sesotho (ya mu lesotho) tetun dili tshiluba uzbek (lwa loma)
mwanda waka i bipelejibwe kutūla bintu bilupwilwe na batumoni ba yehova pa diteba dya muntu nansha pa marezo a mīsambo pa entelenete
mwanda kintu kyonso kyotulupula kimanine pa bible tupānangakyo ku bitupu ino bantu bamo balañangamba i bitabijibwe kwikitentula kupwa kwikitūla pa mateba makwabo nansha pa marezo a mīsambo pa entelenete inoko kulonga uno muswelo i kutyumuna bijila bya mwingidijijo * bya mateba etu kadi kino i kilete makambakano makatampe enka mobilombwedilwe patōka mu bino bijila i kutupu muntu nansha upelwe lupusa lwa kutūla kifwatulo mabuku biyukeno minjiki mafoto mavideo nansha bishinte bya pa dino diteba pa entelenete (pa diteba dyodyonso pa diteba dituminwapo myanda pa diteba dituminwapo mavideo nansha pa rezo ya mīsambo pa entelenete) mwanda waka bino bijila bidi na mvubu
i kutupu muntu nansha umo upelwe lupusa lwa kutūla bintu byotulupula pa mateba makwabo a entelenete
bintu byonso bidi pa mateba etu kebikengidijibwapo mu muswelo mubi batupondo ne balwana netu bakwabo batompanga kwingidija pa mateba abo myanda yotulupula mwanda wa kongola batumoni ba yehova ne bantu bakwabo kitungo kya mateba abo i kya kulengeja batangi bekale na kutatana (ñimbo ya mitōto 264 nkindi 225) kadi bakwabo baingidije myanda idi mu mabuku etu nansha kiyukeno kyetu kya jworg mu bintu byobasumbija mu bintu bya kupoteja byobalupula ne mu mampangiko a mu telefone nansha mu tabulete pa kulama lupusa ne kiyukeno kyetu twi bapebwe lupusa na leta lwa kukankaja uno mwingidijijo mubi (nkindi 2712) ino shi tutale bantu kilomonyeka enka ne banabetu batūla myanda yotulupula pa mateba makwabo nansha kwingidija kiyukeno kyetu kya jworg mu bya busunga nabya leta kaketukwatakanyapo pa bukomo botulonga bwa kujikakanya balwana netu ne matyapu a bya busunga
kutentula myanda yotulupwile pa mateba angi pa kyaba kya pa jworg i kyaka kikatampe yehova i mupe enka umpika mukōkele ne mudyumuke kete lupusa lwa kulupula bya kudya bya ku mushipiditu (mateo 2445) uno umpika wingidijanga enka ano mateba andi ayukene kete pa kwabanya bya kudya bya ku mushipidituwwwjworg televijo ya jworg ne kibīko pa jworg kadi tudi enka na mampangiko asatu kete ayukene a mu telefone nansha mu tabuletejw language® jw library® ne jw library sign language® tufwaninwe kukinga bino bintu ku bansunga nansha ku konwa na lupusa lwa ino ntanda ya satana shi bya kudya bya ku mushipiditu bitambulwa kupityila ku mateba makwabo nabya bikonwa ne kushintwa musapuñimbo ya mitōto 1826 198
kadi kutūla myanda yotulupula pa mateba abwanya muntu kubwejamo myanda mikwabo i kupa batupondo ne bantu bakwabo betufutulula mukenga wa kulengeja bantu baleke kukulupila bulongolodi bwa yehova banabetu bamo bekujije mu mīsambo ya lupata ya pa entelenete ne kino i kifutulwije bininge dijina dya yehova mīsambo ya kwipatanya pa entelenete ke muswelopo muyampe wa kufundija boba ba lupata na kutalala (2 temote 22325 1 temote 635) kadi twayukile amba kudi myanda ya bubela yatūdilwe pa marezo a mīsambo pa entelenete ne kubundwa kwa mateba mu dijina dya bulongolodi dya kitango kyendeji ne mu majina a boba babundile kitango kyendeji inoko i kutupu wa mu kitango kyendeji nansha umo udi na diteba dyandi nansha umwekanga pa marezo a mīsambo pa entelenete
kutuma bantu pa jworg kukwashanga pa kuzambalaja myanda miyampe (mateo 2414) bingidilwa bya kwingidija mu mwingilo wetu wa busapudi bitupa bulongolodi bilumbululwanga kitatyi ne kitatyi kadi tusakanga muntu ense amwene mu bino bingidilwa nanshi monka mwikilombwela bijila bya mwingidijijo ubwanya kutumina muntu bintu byotulupula kupityila ku bingidilwa bya nshinga nansha kumutumina kashinda kakamutwala pa myanda idi pa jworg shi tulombola mateba etu ayukene ku bantu basangela musapu nabya twibaluñanga na nsulo ya binebine ya bidibwa bya ku mushipiditu ko kunenamba umpika mukōkele ne mudyumuke
^ mus 1 kashinda katwala ku bijila bya mwingidijijo katanwa kunshi kwa paje wa ñanjilo pa jworg ne bijila bitala kintu kyokyonso kidi pa mateba etu | 2019-05-19T20:48:55 | https://www.jw.org/lu/bilupwilwe/mapepala/kiteba-kya-mulami-kya-kwifunda-kweji-4-2018/mabuku-pa-mateba-bantu/ |
posted on august 31st 2019 <strong>kiongozi mbio za mwenge awaasa akinamama kujifungulia vitua vya afya</strong></p> <p><strong>na andrew chimesela ulanga morogoro</strong></p> <p>katika kukabiliana na tatizo la vifo
posted on august 4th 2019 na andrew chimesela morogoro</p> <p> <br> </p> <p>jamii imetakiwa kuunga mkono jitihada zinazotolewa na vituo vya kulelea watoto wenye mahitaji maalum ili kuboresha hali zao za kimaisha n
posted on august 3rd 2019 <br> </p> <p><em>na andrew chimesela morogoro</em></p> <p>kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa mwaka huu ndugu mzee mkongea ali amemuagiza mkuu wa wilaya ya morogoro bi regina chonjo kusima | 2020-01-23T12:38:22 | http://www.morogoro.go.tz/news/28 |
contacts udzungwa national park katavi national park ruaha national park the park is rich of plants and animals such as greater kudu (tragelaphus strepsiceros) which can not be found in any other national park manyara national park rubondo national park beautiful and attracting beaches such as fly catcher mchangani and michicoco mkomazi national park mikumi national park gombe national park chimps come to feed by the lakeshore in the dry season mahale national park saadani national park kilimanjaro national park the roof of africa kitulo national park the garden of god (bustani ya mungu) saanane national park the aquatic part of the park inhabits a variety of fisheries life mainly tilapia and nile perch tarangire national park serengeti national park the great migration arusha national park tourism activities in the parks
precision air kuanza kutua serengeti ndege aina ya atr namba 5hpwe mali ya shirika la ndege la precision air ikitua kwa mara ya kwanza katika uwanja wa ndege uliopo ndani ya hifadhi ya taifa ya serengeti ikiwa na wageni 45 kutoka nchini afrika kusini waliofika nchini kwa ajili ya shughul za utalii | 2017-05-30T05:35:04 | http://tanzaniaparks.go.tz/index.php?option=com_content&view=article&id=112:precision-air-kuanza-kutua-serengeti&catid=9&Itemid=197 |
balozi seif alaani kitendo cha kinyama kilichofanywa na vijana kumkata kwa mapanga utingo wa daladala zanzinews home
makamu wa pili wa rais wa zanzibar balozi seif ali iddi akimfariji kijana khamis mgaya juma aliyelazwa hospitali kuu ya mnazi mmmoja baada ya kushambuliwa na vijana mtoni kidatu jumanne ya tarehe 11 julai 2017wa kwanza kutoka kulia anayemsaidia mgonjwa khamis ni baba mzazi mzee mgaya juma na kulia ya balozi seif ni muuguzi wa zamu ya wagonjwa wa wodi ya mifupa biubwa hassan juma
majeruhi khamis mgaya juma aliyelala kitandani akimuelezea balozi seif mkasa uliomkubwa wakati aliposhambuliwa kwa mapanga na vijana wasiopungua saba eneo la mtoni kidatu na kumjeruhi sehemu za kichwa mikono na miguu
balozi seif akiwaagiza wauguzi kuzingatia maadili yao ili kupunguza malalamiko yanayotolewa na wagonjwa wakati akimfariji kijana khamis mgaya aliyejruhiwa kwa mapanga jumanne iliyopita(picha na ompr
na othman khamis ompr makamu wa pili wa rais wa zanzibar balozi seif ali iddi ameliagiza jeshi la polisi nchini kuwasaka na kuwatia mikononi mara moja vijana waliohusika na kitendo cha kinyama cha kumshambulia kwa mapanga utingo wa dala dala ya bara bara ya mtoni kidatu darajani kijana khamis mgaya juma mnamo tarehe 11 julai 2017
alisema kitendo hicho ambacho hakikubaliki kibinaadamu hata kisheria kinastahiki kulaaniwa na jamii nzima na serikali kuu kupitia vyombo vya ulinzi haitakubali kuona tabia kama hiyo inaendelea kushuhudiwa mitaani
balozi seif ali iddi alitoa agizo hilo wakati alipofika hospitali kuu ya mnazi mmoja kumkagua na kumfariji kijana khamis mgaya juma mwenye umri wa miaka 24 aliyepata mtihani huo akiwa kazini mwake hapo mtoni kidatu wilaya ya magharibi a
khamis mgaya licha ya kupata majeraha makubwa sehemu za kichwa miguu pamoja na mikono yote miwili baada ya kushambuliwa kwa silaha za jadi za mapanga na vijana zaidi ya saba hivi sasa anaendelea kupata nafuu licha ya kubakiwa na maumivu katika mwili wake
balozi seif alisema polisi licha ya doria wanazoendelea kuzifanya sehemu mbali mbali nchini lakini bado kuna haja ya kuafuatilia nyendo za watu wanaoripotiwa kwao kuhusika na vitendo viovu ikiwemo ujambazi
alisema hatua hiyo kwa kiasi kikubwa inaweza ikatoa fursa kwa wananchi kuwa na amani pamoja na utulivu wa kuendelea na harakati zao za kimaisha bila ya wasi wasi wote
makamu wa pili wa rais wa zanzibar alimtakia matibabu mema kijana khamis mgaya juma na kumuomba aendelee kuwa na subira wakati huu wa maumivu wakati serikali kupitia vyombo vya ulinzi vitahakikisha wale wote waliohusika na tatizo lililomkubwa wanaonja mkono wa sheria
balozi seif halkadhalika waliwakumbusha madaktari na wauguzi kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia maadili bila ya kujali wanao muhudumikia ana wadhifa au cheo gani
alisema baadhi ya madaktari hasa wauguzi wamekuwa wakiripotiwa kuhusika na vitendo vya kunyanyasa wagonjwa mambo ambayo yako nje ya maadili yao ya kazi
balozi seif alisema serikali imetoa msukumo wa kuwapatia wananchi matibabu bure lakini bado wapo baadhi ya watu dhana hiyo wamekuwa wakiiwekea vikwazo visivyo na msingi kwa kuwasumbuwa wananchi hao
mapema majeruhi khamis mgaya juma alimueleza makamu wa pili wa rais wa zanzibar kwamba alipatwa na kasa huo jumanne ya tarehe 11 julai baada ya mmoja wa abiria aliowachukuwa kwenye gari yake kukataa kulipa nauli
kijana khamis alisema licha ya kumsamehe kijana huyo baada ya kubishana muda wote wa safari lakini abiria huyo aliamua kutafuta vijana wenzake na kupanga njama ya kutaka kumfanyia hujuma wakati akiendelea na harakati zake za kazi
alisema vijana hao walilazimika kukodi gari kumfuatilia utingo huyo na hatimae kufanikiwa kumavia wakati wakishusha abiria katika maeneo ya mtoni kidatu wakitokea mjini darajani
khamis alielezea masikitiko yake pale alipoomba msaada kwa wasamaria waliopo katika na eneo hilo la tukio wakati akiendelea kushambuliwa kwa mapanga lakini wazee waliokuwa karibu ya tukio hilo walihamasisha vijana hao kuendelea kumpiga
kijana khamis mgaya juma alimshukuru msaramia mmoja aliyekuwa akipita eneo hilo alipofanya juhudi za kutafuta gari na kumpelekea hospitali kuu ya mnazi mmoja bila ya msaada wowote wa watu waliokuwa karibu na eneo hilo | 2017-07-27T02:34:00 | http://www.zanzinews.com/2017/07/balozi-seif-alaani-kiytendo-cha-kinyama.html |
bishop dr gertrude rwakatare akusihi kuomba kila wakati rumafrica for all nations
» bishop dr gertrude rwakatare akusihi kuomba kila wakati
bishop dr gertrude rwakatare akusihi kuomba kila wakati
sikiliza & download gospel music audio rogate kalengo feat evalyne denisombi langu
the post sikiliza & download gospel music audio rogate kalengo feat evalyne denisombi langu appeared first on gospomedia
sikiliza/download wimbo wake lydia elikana | nitendee
*kamanda wa kikosi cha usalama barabarani mohamed mpinga akipokea vifaa vya kuzuia vumbi kwa askari wa usalama barabarani kutoka kwa msamaria mwema ta
* kamanda wa kikosi cha usalama barabarani mohamed mpinga akipokea vifaa vya kuzuia vumbi kwa askari wa usalama barabarani kutoka kwa msamaria mwema t
kocha msaidizi ataja kilichoianusha yanga
mara baada ya yanga kuchezea kipigo cha mabao 2 kutoka kwa mahasimu wao simb kocha msaidizi wa yanga juma mwambusi amefunguka sababu za timu yake kupote
miaka 10 ya ali nabwa ndoto zake zingali hai
miaka 10 iliyopita fani ya uwandishi wa habari zanzibar na tanzania kwa jumla ilipata msiba wa kuondokewa na mwandishi habari mahiri na jabari ali mohamme
*rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimuapisha thobias andengenye kuwa kamishna jenerali wa jeshi la zimamoto na uokoaji t
*rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli akimuapisha thobias andengenye kuwa kamishna jenerali wa jeshi la zimamoto na uokoaji
rais dkt magufuli amteua omary nundu kuwa boss ttcl
waziri nape afungua michuano ya stand chartered
*mtumishi wa hospitali ya wilaya ya magu mkoani mwanza moses mjuni amefariki dunia baada ya kugongwa na gari la mbunge wa tarime mjini (chadema) esther
spika mstaafu kificho aongoza mahafali ya nne ya chuo kikuu cha bagamoyo
spika mstaafu wa baraza la wawakilishi zanzibar mheshimiwa pandu ameir kificho akimtunuku mtihimu wa kwanza wa falsafa ya udaktari (phd) fadhil innocen
picture speak raila kalonzo and musalia political chemistry is real nasa magic moment in eldoret
the post picture speak raila kalonzo and musalia political chemistry is real nasa magic moment in eldoret appeared first on kenya today
jubilee party dream was untimely uhuru and ruto allies now admit
jubilee party dream was untimely uhuru and ruto allies now admit mwakilishi sun 02/26/2017 0244 | 2017-02-26T12:18:51 | http://rumaafrica.blogspot.com/2016/08/bishop-dr-gertrude-rwakatare-akusihi.html |
kuelekea uchaguzi mkuu wa 2020 upinzani umefanya kitu gani
6966 2000
kwa sababu mna tawala sawa ila katiba haisemi hivyohalafu wewe unakaa sinza ipi nikutafute mkuu
39153 2000
nshakuona we kichwani hauko sawa
usitufanye sisi mazuzu
kipenga cha kampeni kuanza kikipulizwa ndio mtajua wamefanya nini kwa sasa endeleeni kujitekenya na kucheka wenyewe
masuala ya leli ambayo imepelekea deni la taifa kufikia tirion 61 somethinging ctaki kuongelea hzo ndege bila shaka mwenzangu unazifurahia atakuwa ana panda baba ako na mama ako ila kwa upande wangu hazina manufaa kuna upuuzi mnaita elimu bure huku kwetu shule za kata wanaokaa day mchango wa chakula n lak 2 na 50 na wanaokaa bwen n laki 4 na 50 michango hiyo n ya lazimaa hapo nmetoa mchango maji umeme afya mlinzi jembe ndoo mifagio reki kwanja track suti na uchafu mwngne naona uvivu kuandika hapo bado ww hujamuaandaa mwanafunzi wako hyo elimi bure ni ipi
jiulize yafuatayo
(i) wajibu wa vyama vya siasa ni upi
(ii) wajibu wa mwanasiasa ni upi
(iii) mazingira ya kufanyia siasa yanapaswa kuwa yapi
ukiongozwa na itikadi wakati wa kuamulia jambo huwezi kuwa hakimu mwema
kwa maana hiyo hakuna haja ya kuwa na mbunge wala diwani je ahadi alizotuahidi alitudanganya je kama alijua awezi kututumikia kwanini asijiuzulu kama dhima ya uwajibikaji
inatafuta huruma ya mabeberu ulaya na amerika
mkuu mimi nina ushahidi wa jimbo langu nalotoka la ubunge hasa katika kata yangu ya sinza
katafute wajinga wenzio mkajadili nnaona unanimalizia tu mb
3615 2000
tumepata huruma ya dunia
maendeleo hayana chama
mbunge na diwani wako ndio wanakusanya kodi maendeleo waulize wanaokusanya kodi we vipi
reactions bak and mrangi
kaswepepe
umekurupuka wao wameweka mkataba na diwani na wabunge wao ambo ndyo wawakilishi wao
92431 2000
kapumbavu sana haka mkuu
threads 1304806
posts 31527779 | 2019-06-19T16:20:06 | https://www.jamiiforums.com/threads/kuelekea-uchaguzi-mkuu-wa-2020-upinzani-umefanya-kitu-gani.1544366/page-2 |
13 aug 2013 ni kumbukumbu ya miaka 10 ya kifo cha mwanamuziki justin kalikawe kilichotokea 13aug 2003 | bukoba wadau
13 aug 2013 ni kumbukumbu ya miaka 10 ya kifo cha mwanamuziki justin kalikawe kilichotokea 13aug 2003
kutoka maktaba ya bukobawadau blog hivi ndivyo mazishi ya marehemu justine kalika yalivyokua kijijini kwake kitendaguro kibeta ndani ya manispaa ya mji wa bukoba
creditmzee wa changamoto via bukobawadau blog kwa maneno hayo kuhusu justin kalikawe na wimbo wa kitendawili
nilikuja kutafuta ugenini nikazoea pakawa ni nyumbani sasa ninaelekea uzeeni nibaki huku au nirudi nyumbani nilioa nikazaa na watoto na nilipotoka kwao ni kama ndoto lakini najiuliza siku nikirudi kwetu niende nao au wabaki huku
hayo ni maneno anayoanza nayo mwanamuziki aliyepata kufanya vema saana katika miondoko ya reggae nchini tanzania marehemu justine kalikawe katika wimbo wake kitendawili kama ilivyo kwa nyimbo nyingi ambazo zinakuwa na ujumbe halisi wa maisha kwa hadhira wimbo huu bado unaendelea kuwa na maana na mguso uleule kwa wale walio mbali na nyumbani na hasa wale walioanzisha familia ambapo ikifika suala la maisha baada ya kustaafu unarejea kujiuliza kama alivyojiuliza kalikawe
haijalishi alitunga wimbo huu akiwa wapi ama akijifikiria kama aliye wapi lakini kwa kuwa alifanya kile afanyacho vema zaidi kwa kutunga nyimbo zenye uhalisia kwa jamii bado sasa hivi ndugu wengi tulio mbali na nyuni tukiusikiliza wimbo huu tunapata hisia halisi ya alichoeleza justine na kuweza kujiuliza maswali ambayo naye aliuliza kwenye utunzi wake huu bado ujumbe wake unawagusa wengi ambao kwa bahati mbaya kutokana na mfumo wa maisha ya sasa wameelekea popote duniani kwa namna yoyote kusaka chochote ili kuweza kurejesha uwekezaji nyumbani na kama ilivyo kwa binadamu yoyote unapofika mahali ndio unmbaapoanzisha urafiki na udugu na uliokutana nao na wakati muafaka ukifika unaanzisha familia na kwa majaaliwa ya mungu unapopata watoto inakuwa baraka lakini baadae waweza kujiuliza kama aliyojiuliza kalikawe kuwa
nilikotoka niliishi na wazazi babu na bibi mjomba na shangazi lakini huku mimi na familia ndugu wengine ni eneo la kazi eeeee katikati kuna bahari tena ni mbali elfu kumi maili nikisafiri nafika alfajiri tena ni mbali natumia utajiri eee
sijui la kusema lakini namkumbuka justine kama moja ya nguzo za muziki wa reggae mkoani kagera na tanzania kwa ujumla alitumia lugha zake za kihaya na kiswahili kufikisha ujumbe aliokusudia kwa jamii husika na mara zote alielimisha akiburudisha na ama kuifunza jamii kujikomboa kutoka katika utumwa wa kiakili
justine alifariki ghafla mwezi wa nane mwaka 2003 katika hospitali kuu ya mkoa wa kagera mjini bukoba miezi michache baada ya kurejea kutoka ziara ya kimuziki nchini denmark aliacha mjane georgia na watoto wawili abayo na niwe na mpaka mauti yanamkuta alikuwa ndiye msanii mwenye albamu nyingi zaidi za reggae nchini tanzania (8 za audio na 3 za video katika miaka 16 aliyodumu katika muziki wa reggae) katika kumuenzi wasanii nyota wa reggae nchini walitunga wimbo wa hakuna na kuandaa tamasha maalum la kuenzi kazi na maisha ya justine lililofanyika don bosco tulishapata kujadili fikra pevu / maono ya justine kalikawe katika wimbo wa hakuna kwa kuhusisha na uchaguzi ujao
marehemu justine kalikawe alipotwaa tuzo ya msanii bora wa reggae
mdau msomajinaweza kudownload na kusikiliza hapo chini 'bagaya batungile'
rip justine kalikawe
posted by bukobawadau at 1125 am
devotha j r said
kibirafilms said
rip brother kalikawe you are still with us forever
check out more memories here
http//wwwyoutubecom/watchv=fzvobqaubvc
http//wwwkibirafilmscom/trailer_audiohtml
rip mzee wa ndija ndigaluka owaitu kandisindula ekikonya kye ngemu nkongela ekindi
rip baba mdogo tulikupenda lakini mungu alikupenda zaidi
rip baba mdogo sisi tulikupenda lakini mungu alikupenda zaidi
dah hii dunia nkyakuijuka kaziro kalikawe
rip bro still these songs touch me maishaamankitendawilimv bukobaraggar reggae u r the one make me like reggae | 2019-05-20T10:43:11 | http://www.bukoba-wadau.com/2013/08/13-aug-2013-ni-kumbukumbu-ya-miaka-10.html |
geita kijana wa miaka 20 ahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kumbaka binamu yake | jamiiforums
geita kijana wa miaka 20 ahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kumbaka binamu yake
mkazi wa kijiji cha katoro mkoani geita jackob thomas (20) amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kumbaka mtoto wa miaka (8) ambaye ni binamu yake
hukumu hiyo ilisomwa na hakimu mkazi wa mahakama ya wilaya ya chato erick kagimbo baada ya kusikiliza maelezo ya pande zote mbili
akisoma hukumu hiyo hakimu kagimbo amesema kuwa kutokana na ushahidi uliotolewa na upande wa jamhuri pamoja na maelezo ya kukiri kosa la mshtakiwa mahakama hiyo imelazimika kutoa adhabu ya kifungo cha maisha jela ili iwe fundisho kwa wengine wenye nia ya kutenda ukatili huo
awali muendesha mashtaka wa serikali anosisye erasto akishirikiana na mwendesha mashtaka wa polisi semeni nzigo waliiambia mahakama kuwa mshtakiwa alitenda kosa hilo baada ya kumtembelea mjomba wake katika kijiji cha nyarutu wilayani chato
baada ya kufikishwa kituo cha polisi mshtakiwa alihojiwa na kukiri kutenda kosa hilo ambapo alidai kwamba mtoto huyo ni mtu wa sita katika idadi ya wanawake aliowahi kuwabaka kwa nyakati tofauti amesema erasto
hatahivyo hukumu ya kifungo cha maisha ni ya tatu tangu kutolewa na mahakama hiyo katika kipindi cha miezi minne tangu kuanza kwa shughuli za mahakama mwaka 2020
reactions nakwede mapito mwanza extrovert and 5 others
ugumu jau
siungi mkono hoja kwani anaweza kufungwa miaka kadhaa akatoka na akawa amejifunza kwani umri wake bado sana
reactions mgonga like machmadem mapito mwanza and 7 others
kwa mtoto wa miaka 8 sasa anaskia raha gan tamaa zingine sio kabisa
reactions mgonga like chaliifrancisco ven1965 and 4 others
angembaka wa umri gani mkuu
reactions yn faizhad and ambiele kiviele
kwanini ubake
reactions ven1965 mnazareth and dingimtoto
kama kweli alitenda kosa amepata haki yake
huyo kijana kashakua sugu kwenye kubaka kwanini alegezewe hukumu
pumbavu sana hilo likijana
reactions nakwede and extrovert
yaani alishabaka tena sita kwa nyakati tofauti smh
siku ikitokea amefanyiwa mtoto wako aina hii ya ukatili nina uhakika utabadili tu huu msimamo wako
reactions farolito the humble dreamer savimbi jr and 1 other person
miaka 20 michache angepigwa 30 kama sheria inavyosema ameshindwa kwenda mtaani kukamata swala wa buku 2 au 3
kabisa angefanyiwa mwanae asingetoa hiyo kauli
reactions the humble dreamer and tate mkuu
kahukumiwa kifungo cha maisha
reactions mgonga like saguda47 extrovert and 5 others
usiwe kilaza kiasi hicho miaka 20 ni umri wa aliyefanya tukioadhabu aliyopewa ni kifungo cha maisha
reactions mgonga like saguda47 extrovert and 4 others
ohooo kumbe 20 ndio miaka yake safi sana liwe funzo kwa wapuuzi wengine kuharibu watoto wadogo wakati warembo wapo kibao mtaani
reactions extrovert the humble dreamer and lenie
heko na pongezi kwa hakimu mkazi eric kabingo
reactions extrovert and the humble dreamer
theres three types of niggas in life
and niggas that dont even know what the
**** is going on
meek mill dope dealer
reactions endesha capital g saguda47 and 4 others
polisi wilayani geita watuhumiwa kuhusika na mauaji ya kijana aliyekuwa mlizi wa kampuni ya jerusalemu security ltd habari na hoja mchanganyiko 7 nov 12 2018
m maonyesho ya madini geita kijana anaechengua dhahabu kwa madiaba awa kivutio habari na hoja mchanganyiko 12 sep 30 2018
geita na kijana alienyeshewa mvuaakimsubiri mkuu wa mkoa habari na hoja mchanganyiko 13 dec 3 2017
kijana anayedaiwa kuuawa mgodini azikwa na serikali geita habari na hoja mchanganyiko 2 aug 31 2017
ushirombo geita kijana ampiga mateke baba yake mzazi habari na hoja mchanganyiko 67 may 8 2017
polisi wilayani geita watuhumiwa kuhusika na mauaji ya kijana aliyekuwa mlizi wa kampuni ya jerusalemu security ltd
maonyesho ya madini geita kijana anaechengua dhahabu kwa madiaba awa kivutio
geita na kijana alienyeshewa mvuaakimsubiri mkuu wa mkoa
ushirombo geita kijana ampiga mateke baba yake mzazi | 2020-08-03T23:57:55 | https://www.jamiiforums.com/threads/geita-kijana-wa-miaka-20-ahukumiwa-kwenda-jela-maisha-baada-ya-kumbaka-binamu-yake.1719169/ |
mikutano mwandamizi wa mkutano kwa ajili ya quadras
mikutano mwandamizi wa mkutano kwa ajili ya quadras
wewe ni mama au baba ni moja ya mkutano rencontresmwandamizireunion hii ni tovuti ya mkutano wa quadras rencontresmwandamizireunion unaweka katika ovyo yako yote teknolojia yake ya kukutana na maelfu ya watu tayari kusajiliwa katika kisiwa cha mkutano matangazo yetu na chat chat video matangazo na picha profile desturi itasaidia kukutana na ubora kati ya mwandamizi wewe tu haja clicks chache kuwasiliana na kukutana na single kutoka reunion na mauritius online
← upload download au kubadilisha video youtube dailymotion
jinsia jinsi ya kuzungumza kuhusu suala hilo katika maeneo ya dating → | 2018-12-14T23:43:02 | https://sw.videochat.cafe/mikutano-mwandamizi-wa-mkutano-kwa-ajili-ya-quadras/ |
king chavala(mc) the stand up comedian hatimaye papaa athibitisha na kuanika aliyemwangusha
hatimaye papaa athibitisha na kuanika aliyemwangusha
habari zenu basi
baada ya sarakasi na misereleko ya muda mrefu ya kijana fulani mtanashati mrefu sana hususani ukimlinganisha na yeye mwenyewemshereheshajimtangazaji na mtu wa mambo mengi mjinijumapili hii amethibitisha na kuweka wazi binti aliyebahatika kumwangusha kwa pigo moja tummmh huyu hapa ni milembe madaha
fuatana nami katika picha uone siku hiyo ilikuwaje
kubebwa kulianzia ndani kisha akatolewa nje juu
hatimaye ndani watu walimbeba kama nini
vaa pete hii kama ishara na alama ya uchumba wetu
hata kama angekuwa nani lazima angecheka tu
na milembe nae akatoa nadhiri
mchungaji dk huruma nkone akiwaombea
hatimaye mchungaji akawatangaza kama wachumba rasmi sasa
papaa akiongea kabla hajatoa shukrani ya pekee
hawa ni wana familia ya sasali waliokuwepo pamoja na mzee sasali
chakula maalum cha mchanakawe beach
meza ya marafiki wakila pamoja
samuel akimtambulisha mchumba wake nyumbani
wachumba wakipiga stori mbili tatu wakati wa chakula
basi shughuli hiyo ilikuwa bomba sana maana marafiki wengi walijitokeza kumuunga mkonopichani unawaona naftalipapaasilas mbisejimmy temumathew na wengineo ambao hapa pichani hawajatokea
hongera sana papaa the blogger kwa hatua hii
0713 883 797
posted by king chavala mc at 546 am | 2017-10-23T15:09:08 | http://kingchavala.blogspot.com/2013/06/hatimaye-papaa-athibitisha-na-kuanika.html |
chadema zitto tundu lissu jifunzeni kwa jeremy cobyn jamiiforums
chadema zitto tundu lissu jifunzeni kwa jeremy cobyn
ruaharuaha
nimekuwa nikifuatilia mjadala wa brexit katika bunge la makabwela (house of commons) la uknilichogumdua kambi ya upinzani chini ya jeremy cobyn wanajenga uhalali wa hoja zao huku wakitaka kuungwa mkono na waingereza na si mataifa ya nje
leo tumeshuhudia maspika wa mabunge yote lile la mabwanyenye (house of lords) na makabwela (house of commons) walitangaza kuahirisha mijadala kwa wiki tano hadi tarehe 14 october2019kufuatia amri iliyosainiwa na malkia wa uingereza ambayo haiwezi kupingwa kortini kwani wabungemawaziri na waziri mkuu uk huapa kutii maagizo ya mfalme au malkia
ninayasema haya kwa sababu najua jeremy cobyn ni bosi wa zitto kabwena vile vile chadema na tundu lissu wamekukuwa wakiishitaki tanzania kwa waingereza ili washinikize wananchi kupitia serikali kurejea utumwa wa fikramara kadhaa zittotundu na chadema wameandika barua kwenye ofisi za balozi na bunge la uk ili watanzania washindwe na kurudi kwenye utumwa bila mafanikio
jeremy cobynhajawahi kutaka msaada wa nchi za nje ili kumpa shinikizo borris au malkia bali anashawishi wananchi na wabungehili ni fundishokama wanasiasa wa upinzani wataendelea kukumbatia utumwa na fikra za kushikiwa akili hakika wananchi tutawapuuza
nbkatika andiko hilichadema inamaanisha mbowe na wafuasi wa chadema tundu lissu ni tundu lissu na zitto kabwe ni zitto kabwe
tujadili kwa mantiki
wenzetu maslahi ya taifa i kwanza
12790 2000
umechemka hakuna kusichopingwa kortin
kwa taarifa tu leo mahakama imeamua kulifunga bunge ni batili na kinyume cha sheria
sijui aliyekuambis maamuzi ya malkia hayapingwi ni nani
sasa hao walishitaki nchi za njesubiri rufaa ya korti kuu ya uk
serikali yetu inawaogopa wafadhili kuliko wananchijapo uwaita mabeberu wakiwakumbusha wajibu wa kutenda haki ila wakipewa hela aachi kupokea na kuwaita wafadhilisema wazungu wameumbwa na mioyo tofauti
utetezi dhaifu
sera zao watauzia wapi kama uwanja si huru | 2019-09-23T00:58:53 | https://www.jamiiforums.com/threads/chadema-zitto-tundu-lissu-jifunzeni-kwa-jeremy-cobyn.1627423/page-3 |
naibu katibu mkuu wa wizara ya fedha na mipango mary magangaamewataka wanafunzi wa vyuo nchini kuwa wazalendo na wasikubali kutumika na watu wanaotaka kuvuruga amani ya nchi
maganga amesema hayo leo wakati wa mahafali ya 21 ya chuo cha uhasibu arusha (iaa)na kuwatunuku vyeti wahitimu 1323
amesema wapo watu wasioitakia mema nchi ya tanzania pia wamekuwa wakiwatumia wanafunzi wa vyuo kama sehemu ya kufanikisha malengo yao
wiki ijayao tunasherekea miaka 58 ya uhuru na miaka 57 ya jamuhuri ya muungano wa tanzania na kauli mbiu ni uzalendouwajibikaji na ubunifu ni msingi wa ujenzi wa uchumi wa taifaamesema maganga
maganga ametoa rai kwa wanafunzi wa vyuo waliohitimu mafunzo na wale waliobakia vyuoni kuzingatia kauli mbiu hiyo ili kulinda amani na mshikamano wa nchi
licha ya kuzungumza hayoamewataka wahitimu hao kutumia elimu waliyoipata vyuoni kuleta matokeo chanya ya kiuchumi katika jamii kwa maslai ya taifa
pia amewataka wanafunzi wa vyuo nchinikuwa na upendohekimabusara na waadilifu kwa watu waliowazunguka ili kuendelea kujenga misingi bora ya utamaduni wa kiafrika
mkuu wa chuo hicho profeliamani sedoyeka amesema chuo hichokinatarajia kuanzisha kozi saba mpya ya shahada ya uzamili na shahada ya uzamivu ikiwa ni mojawapo ya mikakati ya kukidhi matakwa ya watanzania
hata hivyo amesema katika kuunga mkono jitihada za serikali kwa kutekeleza ilani ya chama tawala chuo hicho kimejipanga kutoa elimu bora kwa kuweka mazingira rafiki ya wanafunzi kusomea
sedoyeka amesema wamefanikiwa kujenga zahanati ya chuo bwalo la chakula jengo kwa ajili ya idara ya uzamili litakalojumuisha madarasa na kumbi za mikutano na ujenzi wa mabweni
aidha amesema kwa kipindi cha mwaka 2019 chuo hicho kinaongezeko la wanafunzi 5485 kutoka 3600
sisi wahadhiri na walezi tunatarajia mtatumia maarifaujuzi na elimu mliyoipata hapa chuoni kuwatumikia watanzania wote kwa kuzingatia maelekezo ya rais john magufuliamesema sedoyeka | 2020-07-10T22:39:37 | https://www.ippmedia.com/sw/habari/wanafunzi-vyuoni-watakiwa-kuwa-wazalendo |
ndoa za mitara zitasaidia idadi ya wapwani kuongezeka taifa leo
wanawake katika kanda ya pwani wamehimizwa kukubali uke wenza ili kuwezesha kuongezeka kwa idadi ya watu eneo hilo
baraza la maimamu na wahubiri nchini (cipk) limeeleza kuwa ni kupitia kuongezeka kwa ndoa ndiko kutawezesha kuongezeka kwa kizazi kitakachoongeza idadi ya wakazi wa pwani
cipk imetoa pendekezo hilo kwa wanawake baada ya matokeo ya sensa kama yalivyotolewa jumatatu kuonyesha kuwa kaunti tatu za pwani zipo miongoni mwa zile ambazo zina idadi ndogo zaidi ya watu
kulingana na takwimu za matokeo hayo kaunti ya lamu ndiyo iliyoongoza kutroka nyuma kwa kuwa na idadi ya watu wachache zaidi humu nchini kwa kuwa na watu 143920 ikifuatwa na ile ya isiolo ambayo ina watu 268002 katika idadi yake
kaunti ya samburu ikatajwa kuwa na watu 310327 huku ya taita taveta ikiwa na watu 340671 na ile ya tana river ikiwa na watu 315943
jumanne katibu mtendaji wa cipk sheikh mohamed khalifa amesema kuwa kuna haja ya kuhimizwa kuongezwa kwa wakazi wa pwani kuoana
tukizidisha ndoa ndipo tutapata watoto na kufanya idadi yetu iongezeke hata zaidi tumekuwa tukiacha mafunzo ya dini na tamaduni zetu na kufuata mienendo ya wazungu kwa kuzaa watoto wachache amesema sheikh khalifa
amesema kuwa wanawake wakitoa vizuizi kwa waume zao kuoa mke zaidi ya mmoja na vijana nao watie juhudi za kuoa na kupata watoto basi idadi ya wakazi wa pwani itaongezeka pakubwa
sheikh khalifa alizungumza baada ya taifa leo kutoa kichwa cha habari katika gazeti lake la jumatatu lililoeleza kuwa eneo la pwani huenda likawa limelegea chumbani
kichwa hicho cha habari kilizua hisia tofauti nchini hasa kanda ya pwani huku wakazi wa eneo hilo wakishinikiza wanaume kuacha utumizi wa dawa za kulevya ambazo yumkini zinalemaza katika uzazi
utumizi wa miraa na mugoka umekuwa juu jambo ambalo huenda pengine limechangia wapwani kupata watoto wachache na ndio maana idadi yetu ipo chini akasema bw khamis omar mkazi wa mombasa
ndoa wake wengi
sheria ndoa bila tendo la ndoa huzua doa
wanderi utamaduni wa mwafrika tiba ya matatizo ya ndoa
mke amshtaki mume kwa ulaghai wa penzi | 2020-01-27T03:31:05 | https://taifaleo.nation.co.ke/?p=40109 |
simu mpya ya infinix yenye kioo kikubwa na uwezo mkubwa
aprili 29 2020 156 um 1 votes
kampuni pendwa ya simu tanzania infinix mobility iko mbioni kuleta simu yenye hadhi ya juu infinix note 7 na kupewa jina la bigi makini kutokana na kioo chake kuwa na size kubwa 695 inch na uwezo mkubwa wa camera 48mp na processor ya g70 kutoka mediatek
processor yenye speed ya g70 inauwezo mkubwa wenye kuwezesha matumizi mbali mbali kwa wakati mmoja bila kuchoka note 7 inatumia os mpya kutoka google android 10 simu hii haitazinduliwa rasmi kama utaratibu wao ulivyozoeleka lakini kupitia mitandao yao ya kijamii @infinixmobiletz wameeleza sifa na umaradufu wa simu hii yawezekana kuwa ndiyo simu bora zaidi ya infinix kutoka mwaka huu
vile vile tunawashukuru wa tanzania kuipokea vyema infinix note 7 lite iliyoingia sokoni katika ya mwezi huu wa april infinix note 7 ni simu inayoweza kumsaidia mfanyakazi katika shughuli zake za kila siku kwani inaweza kutunza kumbukumbu kupitia 64gb na ram ya 4gb pia kuna sifa nyingine kama document scanning ambazo huitaji kupakua app ya ziada tumeunganisha teknolojia ya kisasa zaidi ili kuwanufaisha wateja wetu pamoja na sifa zote za simu hii tumeweka bei ya kawaida kwa mtanzania mwenye kipato cha kati aisha karupa afisa mahusiano
tunawakaribisha wateja wetu kununua infinix note 7 lite sasa zipo madukani na kwa kila mteja atakayenunua atapata zawadi mbali mbali kutoka infinix ikiwemo magic cup notebooks speaker vile vile unaweza kujishindia simu nyingine ila hii itakuwa kwa wateja wa note 7 pindi itakapoingia sokoni mwezi ujao
makala iliyopita facebook yaja na sehemu ya kufuatilia covid19 tanzania
makala inayofuata hizi hapa simu zote mpya zilizotoka mwezi aprili (2020) | 2020-08-13T14:59:45 | https://tanzaniatech.one/2020/04/simu-mpya-ya-infinix-note-7/ |
hatua ya 30 hivi ni vitu vya msingi kama unataka kudumu kwenye mafanikio | jacob mushi
published in january 13 2017
hatua ya 30 hivi ni vitu vya msingi kama unataka kudumu kwenye mafanikio
kama kuna sehemu utakosea ni kusahau kujali vitu vya muhimu sana kwenye maisha yako wakati unatafuta mafanikio na mali za ulimwengu huu
mahusiano
wakati unatafuta pesa usijisahau ukaacha kutengeneza mahusiano mazuri na familia au wale unaowapenda
unaweza kutafuta pesa nyingi sana kwenye dunia hii kisha unashindwa kuja kuzifurahia kwasababu wale unaowapenda na waliokupenda uliwasahau hivyo ukawapoteza
unaweza kutafuta mafanikio ukasahau watoto mke rafiki na wengineo hii ni hatari sana hakikisha familia yako inafurahia uwepo wako bila familia sisi sio kitu bila familia hakuna muunganiko wowote ambao ungetokea jali sana familia yako ndugu zako marafiki na wote uwapendao
kama wako mbali na wewe tenga muda mfupi ambao unaweza kuwakumbuka kwa ujumbe mzuri au hata kuwapigia simu tambua kwamba kuna siku watakuwa hawapo tena duniani vyote uvitafutavyo haivitakuwa na maana sana kama wale unaowapenda hawapo
afya
wakati unatafuta mafanikio kwa nguvu zote usijisahau ukashindwa kuijali afya yako afya ndio inakupa uwezo wa wewe kufanya yote hayo unayotaka ukisahau afya huwezi kuishi kwa furaha wala kufurahia unachokitafuta
siku zote kama una bidi katika kutafuta ongeza bidi katika kujali afya yako fanya mazoezi kula vyakula bora na hakikisha unaishi kama unavyoweza kuishi sasa
soma sio kila vita upigane wewe
kumbuka hakikisha unafanya yote kwa pamoja kama unatafuta pesa tafuta kwa bidi sana lakini jail afya jail wale uwapendao kama unatafuta mafanikio tafauta kwa bidi zote lakini usisahau afya yako usisahau watu wa muhimu kwenye maisha yako jiulize hivi kwa mfano ukapatwa na janga la kupoteza kila kitu ulichonacho ni wapi utaanza kukimbilia huyo alikuja kichwani kwako wa kwanza hakikisha unamjali na kumuonyesha uwepo wako
zawadi ya kwanza mwaka 2017 kitabu siri za kuwa hai leo
hatua ya 31 ishi sasa | 2020-04-05T19:03:16 | https://www.jacobmushi.com/hatua-ya-30-hivi-ni-vitu-vya-msingi-kama-unataka-kudumu-kwenye-mafanikio/ |
superd boxing coach mpambano wa masumbwi kupigwa april 7 jumapili mwananyamala ccm
mpambano wa masumbwi kupigwa april 7 jumapili mwananyamala ccm
mabondia issa omar na shaban madilu ambao wanacheza pambano lao la raundi kumi ubingwa wa ubo international wakisindikizwa na wakongwe wa masumbwi nchini joseph marwa atakaezipiga na amour mzungu katika pambano la kisasi baada ya mzungu kupigwa na marwa miaka saba iliyopita jumapili hii ndani ya ccm mwinjuma anataka ajiulize ilikuwaje na amepata uzoefu wa kutosha wa kulipa kisasi
mabondia wote hao pamoja na uzito wa juu ramadhan kido na musa mbabe wamekupima afya zao na uzito siku ya jumamosi saa 4
hapohapo ukumbini ccm mwinjuma mwananyamala zoezi zima la upimaji liliongozwa na dr donard madono akisaidiwa na emanuel mlundwa
mpambano huo ulioandaliwa na bigright promotion na kusimamiwa na pst kama mwakilishi wa ubo nchini unategemea kuwakutanisha mabondia mbalimbali wenye uwezo mzuri na kuwavutia washabiki wa mchezo huo kwa kushuhudia mapambano zaidi ya tisa kwa wakati mmoja na mabondia wanaotegemea kupigana siku hiyo ni ide mnali toka mtwara atakaezipiga na zumba kukwe wa dare s salaam husein mbonde atazipiga na mwaite jumamartin richard atapigana na faraji sayuni salum chandonga atazipiga na amour mzungu mohamed mzungu herman richard na kade hamis kani west na nasor hatibujames edmond na julias anastaz pia kutakuwa na maonesho ya ngumi za watoto wenye vipaji
mpaka leo hii haijaripotiwa kama kuna tatizo lolote na mabondia karibu wote wapo katika hali nzuri na wapo tayari kwa mpambano
mbali na kuwepo mapambano ya ngumi kutakuwa na uuzwaji wa dvd za mafunzo ya mchezo
fransic miyeyusho said mundi na king class mawe nyingine zitakuwa
posted by superd boxing coach at 1237 pm | 2018-05-26T11:36:47 | http://superdboxingcoach.blogspot.com/2013/04/mpambano-wa-masumbwi-kupigwa-april-7.html |
download nyimbo
wanafunzi shule ya little treasures wawatembelea wazeealbino na wagonjwa
wanafunzi wa shule ya msingi little treasures iliyopo katika eneo la bugayambele kata ya kizumbi katika manispaa ya shinyanga wametembelea kituo cha walemavu wa ngozi (albino) cha buhangija katika manispaa ya shinyanga na kuwapatia zawadi mbalimbali ikiwemo mchelepipibiskutisukarichumvinguomafuta ya kujipaka
posted by stella homolwa at 453 am no comments
watu zaidi ya 30 wapoteza maisha katika ajali mbaya baada ya basi la abiria kuangukiwa na kontena huko iringa
tunafuatilia kwa karibu taarifa ya ajali mbaya sana ambayo imetokea eneo la changalawe mafinga mkoani iringa basi la majinja toka likitokea mbeya kwenda dar es salaam limeangukiwa na kontena na taarifa zisizo rasmi zinasema abiria wengi wamepoteza maisha yao
profesa tibaijuka asema kamwe hawezi kujiuzuru wadhifa wake
siku moja baada ya kujiuzuru kwa mwanasheria mkuu jaji fredrick werema waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi profesa anna tibaijuka kwa mara nyingine amejitokeza hadharani na kutoa msimamo wake kwamba hana sababu ya kujiuzuru kwenye nafasi yake kwa kuwa hakuhusika kwa namna yeyote kwenye sakata la uchotwaji wa mabilioni kwenye akaunti ya escrow
profesa tibaijuka amekwenda mbali zaidi na kusema kuwa uvumi unaoendelea kusambazwa mitaani ni ishara mbaya kwani unawaaminisha wananchi kuwa amehusika katika sakata hilo wakati yeye hajahusika na jambo lolote
via mwananchi
posted by stella homolwa at 506 am no comments
alala barabarani kuchangisha fedha kumsaidia mwanaume asiyekuwa na makao
mwanafunzi anayesoma katika chuo kikuu cha lancashire nchini uingereza amekuwa akilala katika barabara za mji wa preston ili kuchangisha fedha za kumsaidia mwanamume
posted by stella homolwa at 443 am no comments
haya ndiyo yaliyojiri shinyanga mkutano wa mwigulu ni baada ya kuapisha makamanda
baadhi ya makamanda wa vijana wa ccm mkoa wa shinyanga wakila kiapo baada ya kusimikwa rasmi kushika wadhifa huokutoka kulia ni kamanda wa vijana mkoa ahmed salum ambaye pia ni mbunge wa jimbo la solwa akifuatiwa na naibu
posted by stella homolwa at 256 am no comments
mtoto wa shule ya awali afariki dunia baada ya kutumbukia kwenye kisima cha maji chenye futi 50
kisima chenye urefu wa futi 50 ambapo mtoto mack johnson amefariki dunia baada ya kutumbukia mtoto huyo mwenye umri wa miaka (5)alikuwa anasoma darasa la awali katika shule ya sheer bliss mtaa wa majengo mapya manispaa ya shinyanga ambapo ngazi mbili za jeshi la zimamoto pamoja na kuungwa lakini hazikuweza kufikia kina cha kisima hicho na badala yake ikatumika kamba ndefu na mmoja wa wananchi kujitoa mhanga kutumbukia nayo kisimani kuutoa mwili wa mtoto huyo
mashuhuda wamesema tukio hilo limetokea leo saa tatu asubuhi ambapo mtoto huyo alitumbukia kwenye kisima hicho wakati akicheza na wenzake karibu na kisima hicho kilichopo eneo la shule ambacho kimefunikwa na makaravati yaliyoonekana kuchakaa
mwili wa mtoto mack johnson ukitolewa kwenye kisima cha maji na wananchi waliofika eneo la tukio wakishirikiana na jeshi la wananchi na jeshi la zimamoto na uokoaji
katibu tawala wa mkoa wa shinyanga aliyekuwa eneo la tukio dkt anselm tarimo amesema wamebaini kuwa mazingira ya shule hiyo siyo rafiki shimo lilikuwa halijafunikwa hivyo kuwaomba wataalam mbalimbali wawe wanapita katika maeneo wanakosomea watoto ili kujua mazingira ya watoto kuepusha majanga yanayoepukika
posted by stella homolwa at 748 am no comments
baridi yagandisha breki za ndege abiria walazimika kushuka na kuisukuma
posted by stella homolwa at 254 am no comments
stella homolwa
askofu wa kanisa la eagt aburuzwa mahakamani na waumini wake
waumini wa kanisa la eagt majengo mjini shinyanga wakiwa katika mahakama ya wilaya ya shinyanga wakiwa wameshikilia mabango
kampuni ya barrick yawakivutio siku ya mazingira duniani shinyanga mamia ya wananchi wafurika kujionea bidhaa mbalimbali kwenye banda lao
katibu tawala wa mkoa wa shinyanga anselm tarimo akizungumza na wananchi wa kijiji cha shilabela wilaya ya shinyanga mara baada ya kuk
fahamu madhara ya kutumia sukari nyingiwatalaamu wa afya watahadharisha
kiwango kikubwa cha sukari kinagharimu sekta ya afya na kuwaathiri zaidi watoto
habari zilizopita august (1) march (1) december (3) november (25) october (23) september (44) august (102) july (38) june (15) may (19) april (6) february (2)
sikiliza/ pakua nyimbo
ungana nasi kwa email
diamond aonesha jeuriaimba wimbo wa nyegezi uliokatazwabasata kukomaa nae baraza la sanaa la taifa (basata) limesema kitendo cha mwanamuziki diamond platnumz kuimba wimbo wa mwanza uliofungiwa na baraza hilo ni dharau na kubainis
wanajeshi walioandamana kwenda ofisi ya waziri mkuu ethiopia wahukumiwa vifungo jela waziri mkuu abiy ahmed alisema wanajeshi walioandamana kwenda ofisi yake walikuwa na mpango wa kumuua | 2018-12-17T04:42:45 | http://stellahomolwa.blogspot.com/ |
matondo swali neno kitimoto linatokana na nini
swali neno kitimoto linatokana na nini
mwanafunzi wangu mmarekani alikuwa dar es salaam mbeya na bukoba na leo kaniuliza kama ninafahamu neno kitimoto linatokana na nini kusema kweli sifahamu na sikutoa jibu la maana
kuna anayejua neno hili lilianzaje kuna uhusiano gani kati ya kiti na moto na nyama ya nguruwe natanguliza shukrani zangu
posted by masangu matondo nzuzullima (mmn) at thursday october 14 2010
subi october 14 2010 at 953 am
tafsiri niliyonayo mimi ni kuwa nchini tanzania kilikuwepo kipindi kinarushwa kwenye kituo kimoja cha runinga kilichopewa jina la kiti moto ambapo watu maarufu na hasa wenye nyadhifa za uongozi nchini tanzania walikuwa wakialikwa kisha wananchi waalioweza kufika studioni wakapewa fursa ya kumwuliza maswali mheshimiwa huyo bila ya yeye kufahamu swali atakaloulizwa kisha alipaswa alitolee majibu au ufafanuzi kilikuwa kikiendeshwa na mtangazaji adam lusekelo au julius nyaisangah nk
baada ya historia hiyo ndefukidogo sasa niweke connection yake na nyama ya nguruwe
kutokana na jina la kiti moto kuwa maarufu basi jina hilo likahamia mitaani katika migahawa viosk kuwa kwa wale ambao kula nyama ya nguruwe ni haram (waislam wasabato nk) basi yeyote ambaye alizidiwa na tamaa na kujikuta akiila kwa siri na kwa kujificha ficha alikuwa akifanya hivyo kama vile ameketi kwenye kiti moto kwani anaweza kuonwa na yeyote anayemfahamu kisha akapigwa maswali ya chap chap (kama ya kiti moto) kuelezea sababu hasa ya kufanya kufuru na kula nyama hiyo
hivi ndivyo nijuavyo mimi asili ya neno kiti moto na uhusiano wake na nyama ya nguruwe wengine wataelezea wanavyofahamu wao
simon kitururu october 14 2010 at 1252 pm
nami nilivyosikia ni kama da subi alivyoelezea
na kwenye kiti moto kwa kawaida kunakuwa na majadiliano motomoto lakini)
duh nimeimisi hii kitu na nyama choma(
john mwaipopo october 14 2010 at 325 pm
haswaa subi ndivyo hivyo nadhani pia na paschal mayala alikiendesha
masangu matondo nzuzullima (mmn) october 15 2010 at 640 am
da subi jibu mwafaka kabisa yaani sikuwa hata na fununu asante sana
mtakatifu huko uswidi hakuna kiti moto au tatizo ni kukosekana kwa majadiliano motomoto
mwaipopo kipindi hiki naona mimi kilinipita kabisa nyote asanteni
hata mimi nilikuwa sijui asanteni blogu kweli ni shule me love yo blog a lot keep up da gud job
kwa kuongezea ni kwamba hii nyama ni tamu sana kuliko nyama zotekwahiyo iliitwa kiti moto kwakulinganishwa na kile kipindi cha kiti moto maana watu wengi walikuwa wakivutwa sana na kusisimka mara tu kipindi kile kilipoanza na pia waliamua kutumia jina hilo ili kuficha makali unapolitamka kwa wale wasiotumia
masangu matondo nzuzullima (mmn) january 8 2011 at 640 pm
asanteni wadau maanony kwa nyongeza zenu msichoke kutoa michango yenu | 2017-08-22T20:38:07 | http://matondo.blogspot.com/2010/10/swali-neno-kitimoto-linatokana-na-nini.html |
mwili wa mwanamume waopolewa watambuliwa kuwa wa john mutinda taifa leo
mohamed ahmed na wachira mwangi
mwili wa mwanamume umeopolewa na mpigambizi wa jeshi la wanamaji kenya navy katika kivuko cha likoni ambapo gari limedondoka kwenye feri jumamosi saa kumi na dakika ishirini (420am) na kutumbukia katika bahari hindi
mwanamume huyo ametambulika kama john mutinda aliyekuwa na umri wa miaka 46 nambari ya usajili ya gari lake ni kbx 475b na lilikuwa aina ya toyota allion na lenye rangi nyekundu
feri tano ambazo zimekuwa zikitoa huduma za usafiri zipo majini lakini shughuli zao zimesitishwa zingatio likiwekwa katika uokozi na uopoaji
wasafiri wasubiri shughuli ya uokoaji na uopoaji ikamilike kabla kuruhusiwa kutumia feri katika kivuko cha likoni desemba 7 2019 picha/ mohamed ahmed
gari dogo aina ya saloon limetumbukia baharini likiwa na idadi ya watu ambayo haijabainika wazi kulingana na shirika la huduma za feri nchini (kfs)
tayari gavana wa kaunti ya mombasa hassan joho ametuma salamu za pole mara baada ya kutokea mkasa huo wa likoni
bw joho amesema jumamosi kwamba ametuma wapigambizi kutoka kwa ofisi yake kusaidia katika uokozi
nawataka watumiaji wa feri wawe makini kuepukana na maafa ambayo yanaanza kuwa mazoea amesema gavana joho kwenye taarifa
hii si mara ya kwanza mkasa kama huu kutokea katika kivuko cha likoni
wapigambizi wa jeshi la majini baada ya kuupata mwili wa john mutinda desemba 7 2019 picha/ mohamed ahmed
mwanamke na mwanawe walizama katika kivuko hicho septemba 29 2019
maiti za marehemu mariam kighenda aliyekuwa na umri wa miaka 35 na mwanawe amanda mutheu ziliopolewa baada ya miili yao kukaa ndani ya bahari kwa muda wa siku 13
kivuko likoni | 2020-01-27T04:18:38 | https://taifaleo.nation.co.ke/?p=42625 |
shaykh 'abdul 'aziyz bin 'abdillaah bin baaz (12 dhul hijjah 1330 h 27 muharram 1420 h) | alhidaayacom
ukurasa wa kwanza /shaykh 'abdul 'aziyz bin 'abdillaah bin baaz (12 dhul hijjah 1330 h 27 muharram 1420 h)
mfasiri abdullah said baghoza
(1420 h 1999 m)
moja kati ya pigo kubwa sana linalowafika waja wa allaah (subhaanahu wa taalaa) ni kufiliwa na mwanachuoni wao (aalim) ummah wa kiislamu umempoteza mwanachuoni maarufu sana shaykh abdulaziyz ibn baaz mola (subhaanahu wa taalaa) amrehemu na amlaze mahala pema aamiyn
(shaykh muhammad assubaylimaammsikiti mkuu makkah)
shaykh ibn baaz alizaliwa katika mji wa riyadh tarehe 12dhulhijjah1330 h katika nchi ya saudi arabia
shaykh ibn baaz alizaliwa akiwa na macho yake mazuri na aliwahi kusoma elimu yake ya mwanzo akiwa hana matatizo yoyote katika mwaka wa 1346 h akiwa na umri wa miaka kumi na sita alipatwa na maradhi ambayo yalikuwa ndiyo sababu ya kukosa kuona kwake kufikia mwaka wa 1350 h akiwa na umri wa miaka ishirini tu alipatwa na upofu na akawa haoni kabisa
katika kutafuta elimu
shaykh ibn baaz alianza kutafuta elimu ilhali yungali ni mdogo sana kabla ya kubaleghe kwake alikuwa tayari ni mwenye kuihifadhi quraan yote alizidi kuzama katika elimu ya shariah na lugha na vile vile alivihifadhi kwa moyo vitabu vingi vya hadiyth
shaykh ibn baaz aliwahi kusomeshwa na maulamaa mashuhuri sana kati ya hao wakiwa ni
· shaykh muhammad ibn abdillatwiyf ibn abdirrahmaan ibn hasan ibn ashshaykh muhammad ibn abdilwahhaab (rahimahu allaah)
· shaykh saad ibn hammaad ibn ariyq (qaadhi mkuu wa riyadh)
· shaykh swaalih ibn abdulaziyz ibn abdirrahmaan ibn hassan ibn muhammad ibn abdul wahhab (qaadhi mkuu wa riyadh)
· shaykh hammaad ibn faaris (naibu mkuu wa nyumba ya hazina riyadh)
· shaykh saad ibn waqqaas albukhaariy
· shaykh muhammad ibn ibraahiym ibn abdillatwiyf aaluush shaykh (aliyekuwa mufti wa saudi arabia) shaykh ibn baaz alisoma kutoka kwake matawi yote yaliyohusiana na shariah ya kiislamu kwa kipindi cha miaka kumi
kazi alizozifanya na nyadhifa alizozishikilia
· qaadhi wa wilaya ya alkharaj kwa miaka 14
· alisomesha katika almahad alilmiy (riyadh kwa mwaka mmoja)
· amesomesha fiqh uswuul alfiqh na tawhiyd katika chuo cha shariah kwa miaka saba
· alipewa cheo cha unaibu mkuu wa chuo kikuu cha kiislamu huko madiynah katika mwaka wa 1381 h mpaka kufikia mwaka wa 1390 h
· alishikilia wadhifa wa mkuu wa chuo kikuu cha madiynah kutoka 1390 ah mpaka 1395 h
· katika mwaka wa 1414 h alichaguliwa kama mufti mkuu wa saudi arabia alikuwa ni rais wa kamati ya maulamaa wakubwa pamoja na kuwa rais wa utendaji wa masalah ya utafiti wa kisayansi na hukmu za kishariah
· alikuwa ni rais wa baraza kuu la misikitiduniani
· mpaka kufa kwake shaykh ibn baaz alishikilia nyadhifa nyingi zaidi zilizohusiana na shariah katika serikali ya saudi arabia
katika kujishughulisha kwake shaykh ametumia muda mrefu sana katika kuandika vitabu vya dini vilivyogusia mada mbali mbali vitabu ambavyo vitatumika kwa manufaa ya ummah wa kiislamu kwa jumla
shaykh ibn baaz alishinda tunzo kubwa la mchango wa wanachuoni wa kiislamu duniani nayo ni tunzo ya malik fayswal ambayo aliipata katika mwaka wa 1402 h kwa kazi zake nzuri kwa ajili ya ummah wa kiislamu
shaykh amewahi vile vile kujenga vituo vya kiislamu pamoja na misikiti na vituo vya elimu katika sehemu mbali mbali kutokana na kazi zake
shaykh amepata wafuasi wengi na ametoa wanachuoni wazuri kutoka sehemu nyingi za dunia ambao kwa hakika wamefaidika kutokana na elimu na busara zake
kwa kweli shaykh alikuwa ni mcha mungu aliyejitolea kwa ajili ya allaah (subhaanahu wa taalaa) mwanachuoni mzuri wa kiislamu na hapana shaka yoyote kifo chake ni hasara kubwa kwa ummah wa kiislamu tunamuomba mola (subhaanahu wa taalaa) amrehemu imam huyu mkuu wa nyakati hizi zetu za leo (amiyn)
maisha yake ya kila siku
shaykh ibn baaz alikuwa akianza siku yake kwa kuswali tahajjud nyumbani kwake pamoja na ahli yake baada ya kuisikia adhaan ya alfajiri alikuwa anakwenda kwenye ukumbi wake wa mikutano na kuswali sunnah ya qabliyah ya swalaatulfajr kisha akilalia ubavu wake wa kulia na kuanza kuzisoma duaa masnuun (duaa zilizothibiti kutoka kwa mtume) kisha huelekea msikitini kwa swalah ya alfajr na anapomaliza huendelea na duaa zake na kumdhukuru allaah (subhaanahu wa taalaa) kabla ya kuanza kuwasomesha wanafunzi wake kisha hula chakula cha asubuhi pamoja na marafiki zake wanafunzi na wageni wake huko nyumbani kwake halafu huelekea katika maktaba yake ambako wasaidizi wake pamoja na makatibu huwa wanamsubiri kwa maagizo yake juu ya masalah mbali mbali
shaykh alikuwa mara nyingi akiiswali swalah ya adhuhuri katika msikiti wa riyadh au mara nyengine katika maktaba yake ambayo alishajengewa msikiti wa jamiah hapo hapo akishamaliza swalah ya adhuhuri alikuwa anarudi katika maktaba yake na kufanya kazi mbali mbali alikuwa na tabia ya kuondoka mwisho kabisa baada ya wafanyakazi wote kuelekea majumbani kwao
ilikuwa ni tabia yake kuwaalika marafiki zake na watu kwa jumla kwa chakula cha mchana huko nyumbani kwake baada ya kuswali swalah ya alasiri shaykh alikuwa ana tabia ya kujipumzisha kidogo alikuwa akiswali swalah ya maghrib msikitini na halafu mamia ya watu humsubiri katika ukumbi ambako alikuwa akitoa mihadhara pamoja na kuyajibu masuala mbali mbali halafu baina ya adhaana na iqaamah ya swalah ya ishaa alikuwa akitoa khutbah fupi
katika kujihimiza sana na sunnah za mtume (swalla allaahu alayhi wa sallam) shaykh alikuwa akifunga katika siku za jumatatu na alkhamiys na akipendelea kusafiri katika siku hizi na vile vile katika siku ya jumamosi akipendelea sana kusikiliza radio na akisomewa magezeti ya kila siku ili apate kujua yale yanayoendelea ulimwenguni katika tatizo lolote alikuwa akitafuta ufumbuzi kutokana na quraan na sunnah na alikuwa hajinasibishi na dhehebu lolote lile
katika siku kumi za mwisho za mwezi wa ramadhaan shaykh alikuwa akikaa makkah na katika siku za hajj alipendelea kuwa karibu na watu kwa kuwafunza kuwapa mawaidha na kuwaongoza katika njia ya hakki baada ya hajj alikuwa anakwenda twaaif kwa mapumziko ya siku kidogo popote alipokuwepo kazi yake ya daawah iliendelea kama kawaida
hakika shaykh ibn baaz pamoja na kukosa kuona (upofu) lakini hakunyimwa elimu alikuwa mwanachuoni aalim aliyejaa bahari ya elimu faqiyh qaadhi mufti mcha mungu kipenzi mkarimu ametuachia hazina kubwa ya elimu isiyo mithali
shaykh ibn baaz alifariki mwaka mmoja na mwanachuoni mkubwa wa ummah huu shaykh alalbaaniy kisha baada ya chini ya miaka miwili akafuatiwa na kifo cha mwanachuoni mwengine mkubwa kabisa shaykh ibn uthaymiyn ilikuwa pigo kubwa kwa ummah wa kiislamu kupoteza wanachuoni watatu wakubwa kwa wakati wa karibu karibu allaah insha allaah ampe yeye na wanachuoni wenzake jannat alfirdaws aamiyn | 2019-11-20T06:10:01 | http://www.alhidaaya.com/sw/node/123 |
profesa j yamemkuta virusi vimevamia website yake salma msangisalma msangi
profesa j yamemkuta virusi vimevamia website yake
11 april 2013 by salma msangi+ in entertainment bongoflava entertainment no comments
watu wanaosadikika kuwa ni wahuni wa kitechnolojia wameonekana kutenda mambo yao katika official website ya daddy wa muziki wa rap tanzania proffesa jay http//wwwprofessorjaytzcom/ ambayo kwa mujibu wake mwenyewe site hii ilikuwa bado ipo katika matengenezo na kuna mtu maalum ambaye alikuwa amemuasign kazi ya kuitengeneza
hivi ndivyo site ya msanii huyu inavyoonekana kwa sasajay mwenyewealikuwa hafahamu kuhusiana na kutokea kwa issue hii amewaahidi mashabiki wake kulifuatilia swala hili na kuhakikisha anaweka kila kitu katika mstari
rapa huyu mchana wa leo akikua akitoa burudani pande za chuo kikuu cha dar es salaam katika kongamano maarufu la kigoda cha mwalimu nyerere kwa mwaka huu kongamano ambalo limeanza jana na linatarajiwa kuisha siku ya kesho likiwa na kauli mbiu maendeleo ni mapambano ya ukombozi
hizi ndio sababu za wanawake kuvaa nguo fupi
pamoja na usajili wa line za sim lakini haya bado hujitokeza
pspf yadhamini siku ya msanii
eminem afunguka kuhus tour ya the monster aliyokuwa na rihanna
baada ya ommy dimpoz kumdhihaki (tusi) marehemu ngewa tid aibuka na kusema atamdunda | 2019-02-21T02:14:46 | http://salmamsangi.com/profeaa-j-yamemkuta-virusi-vimevamia-website-yake/ |
robin van persie atua manchester united tanzania sports
14th december 2018 last update at 119 pm
robin van persie atua manchester united
*fungate la miaka nane la rvp na arsenal laisha
hatimaye sakata la robin van persie limehitimishwa kwa arsenal kukubali kumuuza kwa manchester united
licha ya kuichezea arsenal dhidi ya cologne nchini ujerumani mwishoni mwa wiki iliyopita mholanzi huyo alisimamia uamuzi wa kutoongeza mkataba
rvp alikuwa anawaniwa pia na manchester city na juventus ya italia lakini baadaye klabu mbili hizo zilionekana kujingatua pembeni na kuwaachia nafasi man u
makubaliano yaliyofikiwa ni kwa nahodha huyo wa msimu uliopita kuuzwa kwa kitita cha pauni milioni 24 dau ambalo awali man u waliliona kubwa
tabasamu sasa ni kubwa kwa mashetani wekundu hao na wanaweza kumwanzisha rvp kwenye mechi yao ya kwanza ya ligi jumamosi hii dhidi ya everton itakayokuwa ugenini
makubaliano hayo yanamaliza mvutano wa muda mrefu kati ya klabu mbalimbali kocha arsene wenger akimshawishi mchezaji huyo bora wa mwaka abaki huku tetesi zikiwa nyingi na tofauti
imeelezwa kwamba sasa kilichobaki ni kwa rvp mwenyewe kukubaliana na maslahi aliyopangiwa kukamilisha vipimo vya afya lakini ilivyo ni kwamba kikwazo kikubwa kimeshavukwa
rvp alikuwa amebakisha mwaka mmoja tu katika mkataba wake na washika bunduki hao wa london na iwapo hangeuzwa angehama bure mwishoni mwa msimu
van persie anatarajiwa ataingia mkataba wa miaka minne na klabu hiyo inayonolewa na sir alex ferguson ataunganisha nguvu na wayne rooney kwenye mashambulizi
wawili hao watakuwa tishio kwa wapinzani wa united uwanjani kwani walishika nafasi ya kwanza na ya pili kwa ufungaji bora wakiwa na mabao 57 jumla rvp alikuwa na mabao 30 katika ligi
pengine hilo ndilo jambo lililokuwa likiwasukuma arsenal wamnganganie lakini ndiyo hivyo fungate la rvp na arsenal limefikia tamati baada ya miaka minane
arsenal walifanya kila lililo ndani ya uwezo wao kumshawishi aendelee kubaki lakini amefuata nyayo za wenzake akina cesc fabregas samir nasri emmanuel adebayor patrick viera na wengine
hata hivyo van persie anaondoka mashabiki wengi wakiwa wamechoshwa au kukinaishwa naye kutokana na jinsi alivyoandika kwenye tovuti yake akibeza mipango ya baadaye ya klabu akidai ndio msingi wa kutopenda kuongeza mkataba emirates
anaondoka wakati pengo lake linaonekana lilishazibwa wapo wachezaji wapya aina ya olivier giroud lukas podolski na santi cazorla
pamekuwa na tetesi pia kwamba rvp anakimbia ushindani kwa wachezaji wapya wanaoingia arsenal na kwamba si kweli alikuwa anahofu hakuna mipango thabiti ya kukisuka kikosi na kutafuta mataji kama alivyodai
kunyakuliwa kwa rvp na united kunawaacha majirani zao city katika ukiwa kwa sababu ni majuzi tu kocha wao roberto mancini alieleza kusikitishwa kwake na jinsi usajili usivyoshika kasi etihad
uhamisho huu ndio dau kubwa zaidi united walilotoa baada ya lile la dimitar bebatov mwaka 2008 kutoka tottenham ambapo iliwatoka pauni milioni 3075
makubaliano hayo pia yamefikiwa wakati pakiwa na maswali mengi kuhusu kitita alichotengewa ferguson kwa ajili ya usajili msimu huu
licha ya rooney ferguson anajivunia nyota danny welbeck na javier hernandez huku pakiwa na tetesi kwamba berbatov ataondoka old trafford
madau ya awali ya manchester united na juventus yalikataliwa na arsenal kwa maelezo kwamba yalikuwa madogo juventus walionekana kuwa na ari zaidi lakini baadaye wakasita huku man u nao wakikaa kimya wengi wakadhani hawatakubali kuongeza dau
wakati mpango huo ukielekea kufa kifo cha kawaida kwa arsenal kumlinda mtu wao inadaiwa ferguson alikutana na wenger na kuzungumza naye moja kwa moja kabla ya safari ya timu nchini afrika kusini kujiandaa na msimu mpya
wenger hakutaka kumuuuza nyota wake kwa klabu hasimu kama man u lakini hatajilaumu kwa vile mashabiki hawamtaki rvp tena na hata nchini ujerumani alizomewa
rvp alizaliwa jijini rotterdam agosti 6 1983 na alianza kuichezea klabu ya feyenoord ya uholanzi mwaka 2002 wenger alimtwaa kwa ajili ya arsenal kumnyakua 2004 na kumkuza hadi alipofika
tags arsenal man city robin rvp | 2018-12-14T05:30:45 | https://www.tanzaniasports.com/2012/08/16/robin-van-persie-atua-manchester-united/ |
je jumuiya ya afrika mashariki itadumu | jamiiforums | the home of great thinkers
je jumuiya ya afrika mashariki itadumu
discussion in 'international forum' started by sinafungu may 27 2010
mwenyekiti wa jumuiya ya mashariki rais kikwete amewataka viongozi wa jumuiya hiyo kuepukana na maneno ya yenye kuzua chuki kwa mataifa mengine ili kuulinda umoja huo hili ni neno jema sana lakini sisis sote tunafahamuana vizuri mno hasa tukikumbuka mwaka 1977 je hili litawezekana
tunawaza jumuiya wati muungano wetu una tutoa jasho bado hakijaeleweka
bado safari ni ndefu ila tungefika ingekuwa vizuri
bongoflava hyo usnge mtupu
itadumu tu tena itadumu sana wanaopinga wana mawazo finyu au ndo wanaleta za dini zao kuogopa watamezwa na dini fulani mawazo ya kizamani kabisa hayokwanini hakuna hata mwislam mmoja anayesapoti hii kitu tufichue tu wajameni kwamba waislam kama wanavyohubiri kwenye radio zao wanaogopa ati watamezwa na wakristo kama itafikia siku moja ikawa federation just because kenya asilimia 90 ni wakristo na uganda asilimia 80rwanda na burundi ndo kabisaaa hata idi al fitri wameanza kuadhimisha muda si mrefu hawakuwa nayo kama taifa
itadumu tu tena itadumu sana wanaopinga wana mawazo finyu au ndo wanaleta za dini zao kuogopa watamezwa na dini fulani mawazo ya kizamani kabisa hayokwanini hakuna hata mwislam mmoja anayesapoti hii kitu tufichue tu wajameni kwamba waislam kama wanavyohubiri kwenye radio zao wanaogopa ati watamezwa na wakristo kama itafikia siku moja ikawa federation just because kenya asilimia 90 ni wakristo na uganda asilimia 80rwanda na burundi ndo kabisaaa hata idi al fitri wameanza kuadhimisha muda si mrefu hawakuwa nayo kama taifaclick to expand
usikurupuke bila facts maneno ya hearsay tuwache vijiweni hapa unadeal na great thinkers si watoto wa chekechea unaowaletea cooked statistics nani ka kwambia waisilamu hawataki hii federation nani kakwambia kwamba 90 of kenyans are christians punguza udini maybe you'll see things clearer
usikurupuke bila facts maneno ya hearsay tuwache vijiweni hapa unadeal na great thinkers si watoto wa chekechea unaowaletea cooked statistics nani ka kwambia waisilamu hawataki hii federation nani kakwambia kwamba 90 of kenyans are christians punguza udini maybe you'll see things clearerclick to expand
smatta thank you once again kwa majibu yako kwa mwana wa mungu nadhani ifike mahali tuwe tunafikiri beyond nose distance na tusiwe tunakurupuka na kujibu thread kwa kuwa tu tuko connected na internet na we have ability to respond hoja ya waislam kukataa jumuiya ya africa mashariki imetoka wapi kama nakumbuka vizuri daniel yona aliwahi kufanya mahojiano na tbc1 na alikuwa akipinga waziwazi hii jumuiya sasa dy ni muislam katibu mkuu wa jumuiya ya am mwapachu ni muislam hii hoja ya waislam kupinga jumuiya imetoka wapi please let us be what people think and believe we are ie great thinkers
jumuiya itadumu kwa yale ambayo tumekubaliana na kuyatenda kama tulivyokubaliananon comformities zikiwa nyingi ni vigumu jumuia kudumulabda wanachama wakorofi wanaweza kusimamishwa uanachama mpaka watakapojirekebisha makosa yao
jumuiya ni muhimu kwa watu wa afrika masharikilakini inataka viongonzi makini wanaoamini kufanikisha jumuiya kwa maslai ya wanajumuiya wote
msingi au muhimili wa jumuiya ni tanzaniasababu nyingi za msingi ukubwa wakeinapakana na nchi zoteidadi ya watu wake ni kubwaina mali asili nyingi kuliko washirka wenginemaelewano ya jamii ya kitanzania ni nzuri kuliko wanajumuia wenginekiswahili kama lugha ya mawasiliano kwa watanzania ina ushawishi mkubwa kwa kujieleza na tukaeleweka
jumuiya bila tanzania sio jumuiya
mkuu wewe unayefikiri sana ndo ungetoa data hapo yeye katoa zake anazozifahamu hivyo na wewe toa zako unazozifahamu ziweke hapo nilivyokuwa najua mimi christians in kenya ni asilimia 78 christians catholics ni 45 na protestants ni 33 10 nonbelievers na 2 etcnenda cia fact book hapo utaona hivyohivyo wewe ni mkenya unang'aka nini tz inakuhusu nini hata ukamrukia jama ivyo deal na wakenya wenzio huko ni ukweli kila mtu anajua waislam wa tz hawataki muungano kwasababu wanaogopa watamezwa kwanini tufiche hili pia wamelisema wazi tu kwetu sisi watz tunajua wewe huko kenya mtajua wapinajua wewe ni mwislam wa kikenya sawa lakini ukweli baba ndo huo wenzio hapa tz wanaogopa kumezwa ati wao watakosa sauti mahubiri haya mimi nimeyasikia kwa masikio yangu toka radio kheri na kwenye mihadhara yaotembelea temeke mbagala manzese uone kinachoongelewa kwenye mihadhara hii
ukitaka kuamini hili asilimia 80 ya wapinzani wa federation ni waislamwanaogopa rais atakua anatoka wa upande mmoja hapa tz penyewe shule hawaendi na wanataka tuwe tunaenda pasu kwa pasubila kuangalia vigezo vya kimaendeleo na elimuhapohapo wanataka kumeguka zanzibar ambako wanaongeza asilimia kubwa sana ya idadi ya waislam tz hivyo zanzibar ikimeguka toka kwenye muungano asilimia ya waislam wanaohesabika tz itapungua mnothat is the truth udini bora mtu anayeongea ukweli wa dini akakubali kuwa mdini kuliko waislam wanaoenda chini kwa chini mkija kustuka nchi imekuwa ya kiislam na majambia wameshika mkononi | 2017-07-23T19:00:17 | https://www.jamiiforums.com/threads/je-jumuiya-ya-afrika-mashariki-itadumu.62685/ |
»total 21570451 sekretarieti ya ajira yatoa elimu ya masuala ya ajira kwa wanafunzi wa vyuo zanzibar
imetolewa na kitengo cha mawasiliano serikalini sekretarieti ya ajira katika utumishi wa umma public service recruitment secretariat ©2016 tel +255(22) 2153517 | fax +255(22) 2153518 | 2017-06-25T05:20:58 | http://216.198.219.54/index.php/news/view/23 |
ajax v man united ni fainali ya vijana wa soka la burudani dhidi ya wapambanaji gazeti la dimba
home michezo kimataifa ajax v man united ni fainali ya vijana wa soka la burudani
ajax v man united ni fainali ya vijana wa soka la burudani dhidi ya wapambanaji
ni fainali ya ligi ya europa msimu huu baina ya ajax amsterdam na manchester united
fainali ni neno jepesi hii ni zaidi ya fainali ni dhambi kwa mdau wa soka kuikosa fainali hiyo itakayochezwa usiku wa leo nchini sweden
ugumu wa pambano la leo unachagizwa kwa kiasi kikubwa na lengo la man united la kufuzu ligi ya mabingwa ulaya msimu ujao sambamba na kuongeza taji jingine kabatini msimu huu lakini cha kuzingatiwa ni kwamba ajax ina kikosi cha vijana wadogo wanaojiamini na kusakata soka la kiwango cha hali ya juu kutokana na falsafa ya total football iliyoanzia nchini uholanzi
aidha si rahisi kwa kocha wa united jose mourinho kukubali kichapo leo kutokana na hatari ya kukosa mkataba mpya na ongezeko la mshahara iwapo atashindwa kuipa timu taji la europa
hii fainali ina maana kubwa kwa united kuliko inavyofikiriwa masuala ya mkataba wa jezi na kampuni ya adidas mapato ya msimu ujao na mishahara kwa wachezaji wao kila kitu kitaathiriwa na kama watafanikiwa kubeba kombe la europa au la
wastani wa kiasi watakachovuna man united kwenye fainali hii ni pauni milioni 70 zaidi ya pauni milioni 20 kutoka adidas na 50 kwa kucheza ligi ya mabingwa ulaya lakini suala la fedha huenda lisiwe na maana kubwa kwa united zaidi ya kushiriki ligi ya mabingwa
ajax nao hawatakuwa na la kujitetea iwapo wataharibu leo licha ya kwamba wameshajikatia tiketi yao ya kucheza ligi ya mabingwa ulaya msimu ujao wakishinda leo watafuzu moja kwa moja hatua ya makundi
vijana hao wameonesha uwezo mkubwa msimu huu wataalamu wa soka wakisema ni wazi sasa ajax imerudi kwenye falsafa zenyewe za mkongwe wa zamani wa ajax na barcelona johan cruyff
kwanini wanasema hivyo ni baada ya kutinga fainali ya kombe la pili kwa ukubwa linalosimamiwa na shirikisho la soka barani ulaya kazi nzuri ya kocha peter bosz
kikwazo kikubwa kwao leo ni uwepo wa mourinho pale united mmoja wa makocha bora duniani wataweza kuhimili presha tujongee kibanda umiza tukashuhudie burudani ya soka la ulaya
nondo muhimu
ajax na manchester united zimekutana mara nne kwenye michuano ya ulaya zote zikishinda mechi mbili (mechi mbili katika raundi ya kwanza ya kombe la uefa 1976/77 na mechi mbili za nyumbani na ugenini kwenye raundi ya 32 katika michuano ya europa msimu wa 2011/12)
ajax imetwaa mataji sita katika fainali nane za mwisho za michuano ya ulaya ambazo waliwahi kucheza huku red devils wakifanya hivyo mara nne katika fainali sita
iii ajax imepoteza fainali mbili za ligi ya europa kati ya tatu walizocheza hivi karibuni wakiruhusu mabao saba kwenye mechi hizo
man united romero valencia darmian blind jones fellaini herrera pogba lingard mkhitaryan rashford
ajax onana veltman sanchez de light sinkgraven klaasen schone ziyech younes dolberg traore
previous articleya simba na mo yahamia arsenal
next articlegriezmann naondoka atletico | 2019-05-22T05:13:47 | http://www.dimba.co.tz/ajax-v-man-united-ni-fainali-ya-vijana-wa-soka-la-burudani-dhidi-ya-wapambanaji/ |
vijana wametakiwa kujiunga kwenye vikundi vya ujasiliamali nakuacha kutumia muda wao kucheza bao | tanuru la fikra blognews
home uncategories vijana wametakiwa kujiunga kwenye vikundi vya ujasiliamali nakuacha kutumia muda wao kucheza bao
tanuru la fikra 23500 am add comment edit | 2017-12-16T20:44:40 | http://www.tanurulafikra24.com/2016/07/vijana-wametakiwa-kujiunga-kwenye.html |
nsdap wikipedia kamusi elezo huru
nembo la nsdap kwneye bendera rasmi ya dola la ujerumani (1933/1934 1945)
nsdap ni kifupi cha nationalsozialistische deutsche arbeiterpartei (chama cha kizalendo kisoshialisti cha wafanyakazi wajerumani) iliyotawala ujerumani kuanzia 30 januari 1933 hadi 8 mei 1945 chini ya kiongozi wake adolf hitler
chama hiki kinachojulikana pia kama chama cha nazi (tamka natsi) kilianzishwa mjini münchen (munich) 1919 kwa jina la deutsche arbeiterpartei (chama cha wafanyakazi wajerumani) (dap) jina likabadilishwa 1920 kuwa nsdap sababu za kuanzishwa kwa chama zilikuwa mipango ya matajiri wenye mwelekeo wa kizalendo waliotaka kujenga harakati dhidi ya vyama vya kijamaa vyenye wafuasi wengi kati ya wafanyakazi walitegemea ya kwamba chama kinachoitwa cha wafanyakazi na cha kizalendo kitapunguza athira ya wajamaa na wakomunisti kati ya wafanyakazi
hadi 1923 chama kilikua katika jimbo la bavaria lakini hakikuwa na athira kubwa nje ha hapa
1 hitler kama kiongozi wa nsdap
2 shabaha na itikadi
21 itikati ya ubaguzi wa kimbari
3 kuanza upya 1925
4 vikundi vya chama
5 kufanyikiwa tangu 1930
6 kuingia serikalini 1933
7 sheria ya kuipa serikali madaraka ya bunge
8 chama cha pekee
81 uanachama
9 mwisho
hitler kama kiongozi wa nsdap
adolf hitler alijiunga na dap mwaka 1919 kwa amri ya wakubwa wake jeshini wakati ule hitler alikuwa bado mwanajeshi na wakubwa wake walitafuta habari juu ya vyama vingi vipya vilivyoundwa munich baada ya mwisho wa vita kuu ya kwanza ya dunia alionekana mara moja kama msemaji bora mwenye uwezo wa kuwahotubia wasikilizaji wake hotuba zake ziliwavuta watu wengi na chama kikamtegemea 1921 hitler alikuwa mwenyekiti wa chama
tangazo la hitlerjugend (vijana kwa hitler) lamwonyesha kijana katika sare na hitler nyuma yake
maneno yasema vijana wamhudumia kiongozi wote kuanzia umri wa miaka kumi wajiunge katika hitlerjugend
1923 nsdap ilishiriki katika jaribio la mapinduzi ya münchen lililoshindikana chama kikapigwa marufuku na mwenyekiti hitler akafungwa jela
shabaha na itikadi
itikadi ya nsdap ilikuwa mchanganyiko wa shabaha mbalimbali kwa jumla zilikusanywa chini ya kichwa cha uzalendo hii ililenga dhidi ya maadui watatu
mkataba wa versailles ulioweka masharti makali dhidi ya ujerumani baada ya vita kuu ya kwanza ya dunia nsdap pamoja na vikundi vingine vya kizalendo ilipinga masharti haya pamoja na malipo ya fidia kwa gharama za vita kundolewa kwa koloni za ujerumani kubanwa kwa jeshi kutozidi askari 100000 na kutengwa kwa maeneo yaliyowahi kuwa sehemu ya nchi hadi 1919
harakati ya kisohalisti au kijamaa ya kimataifa iliyotazamiwa kama tishio kwa taifa na utamaduni wa ujerumani
ubebari wa kimataifa iliyotazamiwa ilitaka kukandamiza taifa la ujerumani
itikati ya ubaguzi wa kimbari
haya yote yaliunganishwa na itikadi ya kimbari iliyofundisha kuwa watu hutofautiana kutokana na damu na kila mbari au rangi ya watu ina uwezo na thamani tofauti katika itikadi hii watu weupe wenye damu safi ya kigermanik walikuwa juu kabisa kama watu wa skandninavia wajerumani na sehemu ya waingereza lakini waslavoni wa ulaya ya mashariki walitazamiwa kuwa wa ngazi ya chini warusi waliitwa untermensch (mwanadamu duni) watu wenye rangi kama waafrika mara nyingi walitazamiwa kuwa duni zaidi
lakini wabaya kabisa machoni pa itikadi hii walikuwa wayahudi waliotazamiwa kama mbari au rangi ya pekee walitazamiwa kuwa walilenga kutawala dunia kwa mikono yao mawili ya ukomunisti wa kimataifa na ubebari wa kimataifa katika itikadi hii yote miwili ilitawaliwa na wayahudi
kwa njia ya itikadi hii nsdap ilifaulu kutunza uhusiano na mabepari wajerumani wazalendo waliotoa misaada mingi kwa chama ikidai ya kwamba maovu ya ubepari yalitokana na wayahudi tu kwa upande mwingine walivuta wafanyakazi waliozoea mapingamizi dhidi ya ubepari kutoka vyama vya kijamaa na wakomunisti
kuanza upya 1925
baada ya kutoka gerezani hitler aliunda nsdap upya 1925 akidharau demokrasia alianzisha muundo wa kijeshi ambako yeye mwenyewe kama kiongozi mkuu wa chama aliteua viongozi wa kimkoa wenye madaraka ya kuteua viongozi wengine wa ngazi za chini
hitler akisalimu maandamano ya chama mbele ya gari lake wanamigambo ya sa nyuma yake wa ss
vikundi vya chama
kando la chama vikundi vya pekee viliundwa kama vile
vikosi vya ulinzi vya sturmabteilung (sa) na schutzstaffel (ss)
vikundi vya vijana kama hitlerjugend (wavulana kwa hitler) bdm (wasichana) umoja wa wanawake wa kizalendokisoshalisti maungano wa wanafunzi katika nsdap shirika la madereva wa nsdap na vingi vingine kwa karibu kila kikundi katika jamii baada ya mwaka 1933 wajerumani wengi walipaswa kujiunga na vikundi hivi vya walimu wakulima madaktari wanasheria wenye mwelekeo wa kijamiikisoshalisti
kufanyikiwa tangu 1930
hadi 1930 chama kilikuwa kikapanua katika maeneo mbalimbali ya ujerumani lakini hakikufaulu kisiasa kikapata kura chache tu katika chaguzi zote uchaguzi wa kitaifa 1928 iliona asilimia 26 kwa nsdap pekee
matatizo ya kiuchumi ya kimataifa ya 1929 yalisababisha wafanyakazi wengi kupoteza kazi wakikatika tamaa juu ya siasa ya demokrasia serikali ya kidemokrasia ya ujerumani ilishindwa kuzuia matatizo haya na vyama vya bunge vilifarakana vikasababisha kuvunjwa kwa bunga mara kadhaa
katika chaguzi hizi nsdap ilianza kusogea mbele kwa sababu watu wasio na tumaini ya serikali tena waliipigia kura idadi ya wanachama ilikua haraka ikafikia 850000 kabla ya kushika serikali
katika uchaguzi wa 31 juli 1932 nsdap ilipata asilimia 373 za kura ikawa chama kikubwa bungeni lakini haikuingizwa katika serikali rais paul von hindenburg alimdharau hitler akakataa kumpa madaraka uchaguzi wa pili wa 1932 katika novemba ukaleta kupunguiwa kwa chama kilichoshika 331 pekee
kuingia serikalini 1933
lakini serikali mpya ilivunjika tena mwezi wa januari 1933 na chansella von papen alipaswa kutafuta washiriki wapya hapa alimwomba rais akubali kuingiza nsdap serikalini kwa imani ya kwamba wanasiasa wa chama chake watafaulu kumsimamia hitler na wafuasi wake hii ilikuwa kosa kwa sababu hitler alikuwa tayari kushika madaraka yote na nafasi zote za serikali kwa lengo la kutoziacha tena
tarehe 30 januari 1933 hitler aliapishwa na rais kuwa chansella mpya katika serikali ya ushirikiano
muundo wa nsdap mnamo 1938
uchaguzi wa mwisho katika ujerumani hadi 1946 ulifanyiwa tar 5 machi 1933 hitler alitumia nafasi ya moto kwenye bunge kupitisha sheria za dharura kwa usalama wa taifa kwa msaada wa sheria hii alipiga marufuku chama cha kikomunisti na kuanzisha mateso dhidi ya chama kikubwa cha kijamaa spd uchaguzi ulifanyika kwa hofu upande wa wapinzaniwa hitler wengi walikamatwa tayari nsdap ilipata 44 za kura ikapaswa kuingia katika serikali ya ushirikiano tena
sheria ya kuipa serikali madaraka ya bunge
kwa tishio mbalimbali hitler alipata kibali cha vyama vya katikati kwa sheria ya kuipa serikali madaraka ya kibunge kwa muda sasa aliweza kutangaza sheria bila bunge kwa kibali cha rais tu alihitaji theluthi mbili za kura za bunge kwa sheria hii alizipata kwa sababu wabunge wakomunisti walikataliwa kuhudhhuria na sehemu ya wabunge wa spd walikamatwa tayari
chama cha pekee
sheria hii ya kumpa madaraka ilikuwa msingi wa kugeuza ujerumani kuwa udikteta katika muda wa miezi michache rais von hindenburg alikuwa mzee asiyeelewa tena mabadiliko yaliyotokea hitler aliendelea kutangaza sheria za kupiga marufuku vyama vya upinzani vyama vingine vilijiondoa wenyewe sheria ya desemba 1933 ilitangaza nsdap kuwa chama cha kisiasa cha pekee katika ujerumani
uchaguzi wa novemba 1933 ilifanyiwa na wagombea wa nsdap pekee baada ya kifo cha rais hindenburg hitler alichgauliwa na bunge kuwa rais na kiongozi wa taifa
sasa chama kilikuwa muhimu sana watu wengi walipaswa kuwa wanachama wakitafuta ajira au nafasi mpya za kazi viongozi wa chama kwenye ngazi za mikoa wilaya miji na vijiji walikuwa na athira kubwa katika maazimio yote ya serikali
idadi ya wanachama wa nsdap iliendelea hivyo
2493890
2793890
4985400
5339567
15 mei 1945
nsdap ilipigwa marufuku na mataifa washindi tar 10 mei 1945 baada ya mwisho wa vita kuu ya pili ya dunia nembo la chama ni marufuku katika ujerumani hadi leo
nationalsozialistische deutsche arbeiterpartei (nsdap) 19201933 at lebendiges museum online in german
nationalsozialistische deutsche arbeiterpartei (nsdap) 19331945 at lebendiges museum online in german
organisationsbuch nsdap an encyclopedic reference guide to the nazi party organizations uniforms flags etc published by the party itself
rudishwa kutoka http//swwikipediaorg/w/indexphptitle=nsdap&oldid=881883 jamii featured articlesmakala nzurihistoria ya ujerumanikifupi urambazaji
ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 9 machi 2013 saa 1233 | 2013-05-21T12:39:01 | http://sw.wikipedia.org/wiki/NSDAP |
michezo ya makundi yakamilika bbc swahili
michezo ya makundi yakamilika
http//wwwbbccom/swahili/michezo/2013/01/130129_kundi_d
image caption wachezaji wa ivory coastyahya toure na drogba
michuano ya fainali za kombe la mataifa ya afrika zinazoendelea nchini afrika kusini inakamilika hatua ya makundi
kesho(leo) timu za ivory coast togo tunisia na algeria zinakamilisha mzunguko huo katika kundi d
ivory coast ndiyo inayoongoza kundi hili kwa kuwa na pointi 6 ambapo tayari wamefuzu kucheza hatua ya robo fainali huku algeria isiyopata pointi yoyote ikiwa imeondolewa katika mashindano hayo kwa hiyo ni timu za togo na tunisia zenye pointi tatu kila moja ndiyo zinapigana kuungana na ivory coast kucheza hatua ya robo fainali
katika mpambano wa kundi hili la d ivory coast na algeria zinakamilisha ratiba kutoka na matokeo yao mpaka sasa huku togo inayokabiliana na tunisia ndizo zenye kibarua kigumu huku kila timu ikitakiwa kushinda mechi hiyo
ivory coast inajivunia nyota wake kama didier drogba yahya toure gervinho salomon kalou emmanuel eboue na wengineo wengi wanaosakata kabumbu la kulipwa nje na wale wa ndani
image caption kocha wa tunisia sami trabelsi
kocha sami trabelsi wa tunisia ambaye aliingia kwa kishindo mwaka 2011 kwa kutwaa ubingwa wa mataifa ya afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za nyumbani katika mashindano yaliyofanyika nchini sudan amepanga malengo ya kufika robo fainali katika michuano hiyo
hili halina ubishi kuwa tuko katika kundi gumu kuliko yote manne ya kwanza lakini hatulalamiki kujikuta katika kundi hili amesema kocha trabelsi
wachezaji wangu kwa kweli wanajibidiisha na ninaamini tutafika mbali huenda hatua ya mwisho ya kuamua nani bingwa amesema akirejelea fainali za mwaka 1996 wakati tunisia ilipofungwa na afrika kusini katika fainali mjini johannesburg
image caption emmanuel adebayor mchezaji wa togo
kwa upande wa togo itakuwa ikiwategemea nyota wake kadhaa akiwemo emmanuel adebayor
kwa hiyo ni mpambano mkali ambao utahusisha juhudi za wachezaji na makocha wa timu zote mbili
mpaka sasa kundi a zimefuzu timu za afrika kusini na cape verde kundi b ni ghana na mali c ni timu za nigeria na burkina faso | 2018-03-17T17:40:13 | http://www.bbc.com/swahili/michezo/2013/01/130129_kundi_d |
misiri yihoye igitero cakozwe ku bakristu
igitero ku bakristu b'aba copte muri misiri
igihugu ca misiri cakoze ibitero vyindege muri libiya kuruyu wa gatanu ivyo bitero vyabereye ahari ibirindiro vyabagwanyi ba kisilamu aho muri libiya bihitana abatari bake nibitero vyabaye mu ntumbero yo kwihora ubwicanyi bwakozwe ku bakristu baba copte kuruyu wa gatanu
prezida abdelfattah elsissi yatangarije kuri televiziyo ico gikorwa co kwihora inyuma yaho abagabo baje bitwikiriye mu maso bagatera imodoka yo mu bwoko bwa bisi abategetsi ba misiri bamenyesha ko abantu bashika kuri mirongo ibiri n'umunani baguye murico gitero prezida elsissi yatangaje ko misiri itazohengeshanya gutera ibirindiro vyabiyahuzi aho biri hose
abategetsi mu mihingo itandukanye bateye ivyatsi ico gitero cabereye mu misiri kuruyu wa gatanu prezida donald trump wa reta zunze ubumwe za amerika yatangaje ko ubwicanyi bwakorewe abakristu bo muri misiri bubabaje cane
inama yumutekano ya onu nayo nyene yateye ivyatsi ico gitero mukuvuga ko arakabi kabishe kandi ko arubukozibwikibi | 2017-11-18T15:47:35 | https://www.radiyoyacuvoa.com/a/3873529.html |
beijing seoul na tokyo kuendeleza mazungumzo kati ya marekani na korea kaskazini
imechapishwa 24/12/2019 0753 imehaririwa 24/12/2019 0807
rais wa marekani donald trump na kiongozi wa korea kaskazini kim jongun wakisaini hati ya pamoja katika hoteli ya capella kwenye kisiwa cha sentosa singapore juni 12 2018 reuters / jonathan ernst
china korea kusini na japan zimekubali kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuendeleza mazungumzo kati ya washington na pyongyang rais wa korea kusini moon jaein amesema jumanne wiki hii baada ya mkutano wa kilele wa nchi hizo tatu huko chengdu kusini magharibi mwa china
rais donald trump na kiongozi wa korea kaskazini kim jongun wamekutana mara tatu tangu juni 2018 lakini hatua kidogo imepigwa katika mazungumzo kuhusu kuvunjwa kwa mpango wa nyuklia wa korea kaskazini
'korea kusini china na japan zimekubaliana kuendelea na mawasiliano ya karibu na ushirikiano kutoka pande zote tatu kwa lengo la kurejesha usalama na kuleta amani ya kudumu kwenye rasi ya korea amesema moon jaein wakati wa mkutano na waandishi wa habari akiwa pamoja na mawaziri wakuu wa china na japan li keqiang na shinzo abe
'tunakubaliana kuhusu hoja ya kwamba amani katika rasi ya korea ni kwa faida ya nchi hizi tatu na tumeamua kufanya kazi kwa pamoja ili kuhakikisha kuwa usalama na amani vinaendelea kupitia mazungumzo ya haraka kati ya korea kaskazini na marekani 'ameongeza
kwa upande wake waziri mkuu wa china li keqiang amesema viongozi hao watatu wamethibitisha tena haja ya kupata suluhisho kwa suala la korea kaskazini kupitia mazungumzo
china ni msaidizi mkuu wa korea kaskazini kwenye ngazi ya kimataifa
mjumbe maalum wa marekani nchini korea kaskazini stephen biegun alikutana kwa mazungumzo na wanadiplomasia wawili wa china wakati wa ziara yake ya siku mbili huko beijing wiki iliyopita baada ya mfululizo wa mikutano kama hiyo nchini korea kusini na japan siku chache zilizopita
wiki iliyopita china na urusi ziliwasilisha azimio la rasimu kwa baraza la usalama la umoja wa mataifa ambayo inapendekeza kuondoa vikwazo kadhaa vilivyowekwa dhidi ya korea kaskazini 'kwa lengo la kuboresha hali ya maisha ya raia '
washington yajaribu kufufua mazungumzo na pyongyang
korea kaskazinimarekani japanushirikiano
korea kaskazini yafanya jaribio la kombora lake
korea kaskazini jaribio la kurusha makombora ni onyo kwa washington na seoul
baraza la congress la marekani latoa wito wa vikwazo dhidi ya maafisa waandamizi wa china
china bunge lapitisha mpango wa sheria mpya ya usalama hong kong
mvutano kati ya polisi na waandamanaji waongezeka hong kong
suadi arabiacoronaafya
coronavirus marufuku ya kutotembea kufutwa juni 21 saudi arabia
chinamarekaniushirikiano
china yatishia kulipiza kisasi marekani kuhusu hong kong
chinacoronaafya
virusi china yatangaza ushindi dhidi ya corona brazil yaathirika zaidi
india_bangladeshmajanga ya asili
kimbunga amphan chaua watu 84 nchini india na bangladesh
coronavirus urusi yakaribia kufikisha idadi ya maambukizi 300000
coronavirusi visa vipya vya maambukizi vyaendelea kupungua nchini urusi
wagonjwa wa corona wapindukia 272043 nchini urusi
coronavirus visa vipya zaidi ya 10500 vya maambukizi vyatangazwa urusi
japanicoronaafya
coronavirus tokyo yaondoa hali ya dharura katika sehemu kubwa ya japani | 2020-05-31T21:22:21 | http://www.rfi.fr/sw/asia/20191224-beijing-seoul-na-tokyo-kuendeleza-mazungumzo-ya-kati-marekani-na-korea-kaskazini |
prof mussa assad ana siku chache tangu aanze maisha ya ustaafu akitoka kwenye wadhifu wa mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (cag) kabla ya hapo alishika chaki kwa wanaosaka digirii mbalimbali za taaluma ya uhasibu au zenye somo hilo alitafiti na kutoa ushauri wa kitaalamu
aliyekuwa kamishna mkuu wa mamlaka ya mapato tanzania (tra) charles kichere (kulia) alipozungumza na walipa kodi katika banda la tra katika maonyesho ya 42 biashara kimataifa maarufu sabasaba jijini dar es salaam kwa sasa kichere ni mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (cag) akichukua nafasi ya mussa asaad picha mtandao
na niko kasera
hili la mwisho alilostaafu nalo lilikuwa na unyeti wa kipekee kitaifa kwani ni jukumu lenye dhamana ya kukagua na kusimamia rasilimali za kitaifa
alipokuwa amebakiza miezi mitatu ofisini mnamo agosti 11 kwenye semina jijini dodoma profesa assad alipata fursa ya kutoa neno ndani ya mkusanyiko huo wa kitaaluma
hapo alitoa darasa kwa kutumia mfano uliowagusa wengi miongoni mwa waliohudhuria hasa pale aliposema kwamba pamoja na kodi kuwa wajibu ni muhimu kwa serikali yeyote kuwaonyesha walipa kodi kwamba kodi zao zinatumika kuboresha hali yao ya maisha
alieleza chukua mfano wa eneo la makazi la sinza dar es salaam ikiwa wakazi wa sinza wataona wazi kwamba mitaa ya mle mle yanajengewa lami na huduma za upatikanaji maji inaboreshwa itakuwa rahisi kupata walipa kodi wengi zaidi kujitokeza
tafsiri aliyoiotoa profesa assad inaangukia katika kilekile ambacho rais dk john magufuli ameisisitiza mara nyingi akihimza ulipaji kodi hata akatoa darasa kwa wanunuzi kwa kuwasisitiza kudai risiti lengo kubwa ni kuhitimishiwa malipo ya kodi
anasema kutokana na malipo ya kodi yakiwa vizuri inaisaidia serikali kuwa na uwezo kuhitimisha majukumu yake na hasa ya kimaendeleo ikitumia fedha zake za ndani
hapo anainisha miradi ujenzi wa reli ya kisasa ununuzi wa ndege mpya zaidi ya 10 kwa ajili ya shirika la ndege tanzania (atcl) kwa kutumia fedha za ndani ikimaanisha makusanyo ya kodi na vyanzo mbalimbali
ni dhahiri ulipaji kodi wa hiari ni msingi muhimu kwenye dhana ya uwajibikaji wa mwananachi kila mmoja kwa nafasi yake kadri tunapoendelea kupanua wigo wa idadi ya walipa kodi ndivyo kiasi kinachokusanywa kitaongezeka hivyo kuiwezesha serikali kutimiza ndoto yake ya maendeleo kwa jamii
prof assad katika kauli yake amehimiza dhana hiyo kwamba ili jamii kuhoji matumizi ya serikali kuu na serikali za mtaa ni vyema sote tuwe walipaji kodi wa hiari na sio kwa shuruti au kuwajibishwa
uwajibikaji ni msumeno wa haki unaojikita pande zote ni wajibu watanzania wakalipa kodi na hilo wala halina ubishi miaka 50 ijayo vizazi vinavyozaliwa leo vikiwa watu wazima watakuwa na cha kuhadithia namna babu zao walivyothubutu wakajenga reli za kisasa
wakati huohuo miradi ya serikali kuu na serikali za mitaa sharti zionyeshe kwamba sio tu fedha zimetumika bali zimetumika kukidhi viwango vya ubora na kuridhisha
mifano ni mingi ambayo kwa kazi za ofisi ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa serikali kwa vipindi tofauti namna anavyoibua kwa miaka nenda rudi kuhusiana na baadhi ya miradi kutotendewa haki mathalan ujenzi usokidhidhi viwango kutokamilika kwa wakati au upotevu wa fedha za miradi
huku tukiadhimisha miaka minne ya rais dk magufuli kuwa madarakani daima tusiwe mbali na hotuba zake zenye maelekezo pia kukemea mabaya mbalimbali kwa taifa hapo tukigusa rushwa ubadhirifu wa mali za umma na watendaji na watanzania kwa ujumla
iwapo tuna nia ya dhati kuandamanana kufikia dira ya taifa kuisaka uchumi wa kati hatuna budi kuhakikisha tunawatumia vyema wataalamu wabobezi tulionao ambao nao ni muhimu wakawa waumini wa kulitakia mema taifa naamini sote tutafika
•kwamaoni na ushauri wasiliana kupitia [email protected]
sababu meno watoto kutoboka kuoza | 2020-07-11T05:49:43 | https://www.ippmedia.com/sw/makala/tujifunze-darasa-la-haki-kodi-kutoka-kwa-wanaoisimamia |
kamishna jenerali wa magereza aasa jamii kuacha kutenda uhalifu ili kupunguza msongamano magerezani michuzi blog
home unlabelled kamishna jenerali wa magereza aasa jamii kuacha kutenda uhalifu ili kupunguza msongamano magerezani
michuzi blog at friday november 09 2018 | 2019-01-20T05:05:48 | https://issamichuzi.blogspot.com/2018/11/kamishna-jenerali-wa-magereza-aasa.html |
wizara ya afya who waendesha semina kuhusu ugonjwa wa kipindupindu hoteli ya new afrika jijini dar es salaam | h@ki ngowi
mratibu wa magonjwa ya mlipuko mkoa wa dar es salaam vicktoria bulla (kulia) akizungumza na waandishi wa habari na wadau wa afya wa
h@ki ngowi wizara ya afya who waendesha semina kuhusu ugonjwa wa kipindupindu hoteli ya new afrika jijini dar es salaam
http//3bpblogspotcom/bryekztgag/vj8cslu_azi/aaaaaaaaufy/ualfdwgqcc/s640/1jpg
http//3bpblogspotcom/bryekztgag/vj8cslu_azi/aaaaaaaaufy/ualfdwgqcc/s72c/1jpg
http//wwwhakingowicom/2015/11/wizarayaafyawhowaendeshaseminahtml | 2017-09-20T04:00:36 | http://www.hakingowi.com/2015/11/wizara-ya-afya-who-waendesha-semina.html |
wakristo fungeni na kusali katika roho na kweli radio vatican
tafakari \ makala
wakristo fungeni na kusali katika roho na kweli
kwaresima iwe ni fursa ya kutafakari mateso kifo na ufufuko ili kuonesha toba na wongofu wa ndani tayari kusimama kidete kulinda kutetea na kudumisha haki amani na maridhiano kati ya watu ap
24/02/2018 0925
kanisa ni fumbo la mwili wa kristo kila mwamini ni kiungo cha mwili huu mmoja ambapo kristo yesu ndiye kichwa (rej lumen gentium 7) hivyo kila furaha ya mmoja ni furaha ya mwili mzima na kila mateso na dhuluma kwa mmoja ni mateso na dhuluma kwa wote na kiungo kimoja kikiumia viungo vyote huumia nacho na kiungo kimoja kikitukuzwa viungo vyote hufurahi pamoja nacho (iwakorintho 1226) ndio sababu sauli alipowatesa wakristo kabla ya wongofu wake anapokutana na kristo njiani kuelekea damasko anamuuliza kristo kuwa ni nani naye anamjibu mimi ndimi yesu unayemtesa (matendo 95) jibu la kristo ni uthibitisho ya kuwa mateso ya waamini yanamuumiza sababu ni viungo vya mwili wake kanisa limeunganishwa katika umoja madhubuti wa utatu mtakatifu (rej lumen gentium 4)
wapo wakristo wengi wanaoteseka na kudhulumiwa sehemu mbali mbali duniani wapo wanaoteswa wazi wazi kwa sababu ya imani yao kwa kristo mfano wakristo wa maeneo ya mashariki ya kati china nigeria na kadhalika wapo pia waamini wanaoteseka sio sababu ya imani yao moja kwa moja bali wakiwa sehemu ya wanyonge wengi kwa sababu za kinzani za kisiasa kiuchumi na kijamii mfano wa mateso na dhuluma hizo ni pamoja na sehemu za somalia ambapo wengi wanafariki kwa njaa sudani ya kusini kwa ghasia za ukabila drc kwa vurugu za uchu wa mali na madaraka
aidha kuna uvunjwaji mkubwa wa haki za binadamu leo hii biashara haramu ya binadamu na utumwa mamboleo mambo yanayopelekea mabinti wadogo na wanawake kwa ujumla kutumiwa kama vyombo vya kukidhi tamaa za ngono vijana kuchukuliwa baadhi ya viungo vyao na vinafanyiwa biashara kufanyishwa kazi kwa ujira mdogo na kadhalika haya yote ni mateso na dhuluma ambavyo vinaendelea kuutesa mwili wa kristo
kipindi cha kwaresima ni kipindi cha kuadhimisha fumbo la wokovu wa mwanadamu kwa njia ya mateso kifo na ufufuko wa kristo fumbo la pasaka ni fumbo linalomkomboa mwanadamu kutoka katika utumwa wa shetani utumwa wa dhambi na mauti kabla ya wokovu huu mwanadamu alikuwa anaburuzwa na kugaragazwa vibaya na ibilisi katika udanganyifu na hivyo kujikuta akitenda dhambi nyingi kwa kuhadaika yeyote anayeendekeza dhambi anabaki kuwa mtumwa wa shetani ninyi ni wa baba yenu ibilisi na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo wala hakusimama katika kweli kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake asemapo uongo husema yaliyo yake mwenyewe kwa sababu yeye ni mwongo na baba wa uongo (yohane 844)
yohane mbatizaji hali akimuandalia bwana njia ahubiri akisema kweli mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba bali yeye ajaye nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi wala sistahili hata kuvilegeza viatu vyake yeye atawabatiza kwa roho mtakatifu na kwa moto (mathayo 311) kwa ubatizo wa roho mtakatifu kristo anamwongoza mwanadamu kuufahamu ukweli ili asihadaike kwa kutenda yaliyo hila za shetani bwana asema ninyi mkikaa katika neno langu mmekuwa wanafunzi wangu kweli kweli tena mtaifahamu kweli nayo hiyo kweli itawaweka huru (yohane 83132) ukweli huu ndio unaomweka mwanadamu huru ukweli unaomwezesha mwanadamu kufanya maamuzi kwa kutambua uchaguzi anaoufanya kwa sababu hiyo mwanadamu anapoichagua dhambi anakuwa ameamua kuwa mtumwa wa shetani kwa kuwa amin amin nawaambia kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi (yohane 8 34)
fumbo hili la pasaka limemfinyanga mwanadamu kuwa kiumbe kipya (gaudium et spes 22) na kupitia kanisa kristo anamshirikisha mwanadamu neema na kweli (lumen gentium 8) kipindi hichi cha mfungo na sala ni mwaliko kwa waamini kujitathimini iwapo wameupokea wokovu huo ambao mwenyezi mungu aliupania kwa ajili ya binadamu baada ya mateso kifo na ufufuko wa kristo mungu kautenga muda ili habari njema ya wokovu huu iwafikie wanadamu wote katika kweli muda huu ambao mwenyezi mungu kautenga kabla kristo hajarudi kutoa hukumu ya mwisho ni muda na nafasi kwa binadamu kufanya uchaguzi sahihi uchaguzi wenye ufahamu kwani mungu mwokozi wetu anapendelea zaidi watu wote waokolewe na kupata kujua yaliyo kweli (itimotheo 24 rejea pia lumen gentium 16)
dhamiri na uhuru ambao mwanadamu kapewa na mwenyezi mungu una thamani kubwa machono pa mungu naye humuheshimu mwanadamu katika uchaguzi wake huku akimwangazia na kumsubiri kwa hamu aifuate njia iliyo sahihi (rej gaudium et spes 14) lakini kila uchaguzi una matokeo yake ambayo mwanadamu atapaswa kuwa tayari kukabiliana nayo hapa duniani na katika hukumu ya mwisho (rej gaudium et spes 4) hivi ndivyo ilivyompendeza mwenyezi mungu katika hekima yake kuu kuacha wema na uovu kuwapo kwa pamoja ili mwanadamu afanye uchaguzi kwa uhuru akasema la msije mkakusanya magugu na kuzingoa ngano pamoja nayo viacheni vyote vikue pamoja hadi wakati wa mavuno nitawaambia wavunao yakusanyeni kwanza magugu myafunge matita matita mkayachome bali ngano ikusanyeni mkaiweke ghalani mwangu (mathayo 13 2930)
kila dhambi ina matokeo yake ambayo yanamwandama mwenye kuitenda tangu angali hapa duniani mtume paulo anapofundisha kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti (warumi 623) haishii kwenye kifo cha roho kutengana na mwili bali ni fundisho kwamba dhambi inamtenga mwanadamu na neema zitokazo kwa mungu ndio sababu mtume paulo huyo huyo anasema wote wametenda dhambi na kupungukiwa utukufu wa mungu (warumi 323) mwanadamu anapoukosa utukufu na neema ya mungu anapungukiwa nguvu thabiti ya kiimani kukabiliana na changamoto hivyo anakuwa hatarini zaidi kuyumbishwa na lolote uhakika na usalama wa maisha yetu umo ndani ya mwenyezi mungu kwa maana ndani yake yeye tunaishi tunakwenda na kuwa na uzima wetu (matendo 1728)
mbali ya matokeo ya dhambi ya muda hapa duniani kuna matokeo yale ya milele kwani bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko na sauti ya malaika mkuu na parapanda ya mungu nao waliokufa katika kristo watafufuliwa kwanza kisha sisi tulio hai tuliosalia tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu ili kumlaki bwana hewani na hivyo tutakuwa pamoja na bwana milele (iwathesalonike 4 1617) mtume paulo anawapa tumaini waamini juu ya ufufuo wa wafu na jinsi tendo hilo litafanyika kwa namna iliyojaa utukufu na ukuu wa mungu kristo mwenyewe alilihakikisha hilo juu ya hukumu wa mwisho msistaajabu maneno hayo kwa maana saa inakuja ambayo watu wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake (mwana) nao watatoka wale waliofanya mema kwa ufufuo wa uzima na wale waliotenda mabaya kwa ufufuo wa hukumu (yohane 52829) kumbe hapa ndipo itakuwapo hukumu ya mwisho ya hakimu mwenye haki mbali ya matokeo ya kila dhambi tunazotenda wanadamu iwapo hatutaongoka hukumu hiyo ya mwisho itatupeleka katika moto wa milele hapo sasa hakutakuwapo tena uovu maumivu njaa wala chuki bali tutaishi kwa furaha na amani hata milele
leo hii mwenyezi mungu anapenda haki itendeke na mwanadamu aishi kwa amani lakini anapenda mwanadamu mwenyewe ashiriki katika mpango huo wa mungu wa kuijenga jumuiya ya wanadamu yenye upendo hawa washiriki wa kuijenga jumuiya ya binadamu namna hiyo ndio watakaopokea thawabu hiyo ya kuurithi ufalme wa milele ufalme wa kweli na uzima ufalme wa utakatifu na wa neema ufalme wa haki mapendo na amani (rej utangulizi wa sikukuu ya kristo mfalme) ufalme huu umekwishakusimikwa ndani ya nyoyo za watu kwa walio tayari na ndio sababu vigezo vya kushiriki katika ukamilifu wake vinaendana na namna tulivyo tayari kuushiriki ufalme huo hata sasa njooni mliobarikiwa na baba yangu urithini ufalme mliowekewa tayari tangu kuumbwa ulimwengu kwa maana nalikuwa na njaa mkanipa chakula nilikuwa na kiu mkaninywesha nilikuwa mgeni mkanikaribisha nilikuwa uchi mkanivika nilikuwa mgonjwa mkaja kunitazama nilikuwa kifungoni mkanijia (mathayo 25 34 36) kila tunapotenda jema au baya kwa mmoja wapo wa wanyonge tunakuwa tumelitenda kwa kristo mwenyewe kwani wanyonge hao ni viungo vya mwili mmoja wa kristo (rej mathayo 254045 iwakorintho 121231)
na padre celestine nyanda
vatican news
fumbo la pasaka
utumwa mamboleo
fumbo la msalaba
biashara ya binadamu
madhulumu ya wakristo
madhulumu ya kidini
fumbo la kanisa
fumbo la mateso na mahangaiko ya binadamu
jumuiya ya papa yohane xxiii inaadhimisha jubilei ya miaka 50
sakramenti ya kipaimara inawawezesha waamini kuwa mashuhuda wa kristo
siku kuu ya bikira maria mama wa kanisa
papa francisko kuongoza ibada ya misa takatifu sherehe ya pentekoste
balozi possi watanzania dumisheni amani umoja ukweli na uadilifu
dr abdallah saleh possi awasilisha hati za utambulisho mjini vatican
sherehe ya pentekoste utatu mtakatifu unafunuliwa kikamilifu
wanawake nchini drc wanajifunga kibwebwe kupambana na hali yao
papa francisko ubatizo ni kuzamishwa katika fumbo la pasaka
papa francisko tushikamane kupambana na utumwa mamboleo duniani
askofu kassala familia ni chemchemi ya malezi na majiundo ya kiutu
utenzi wa shukrani kwa jubilei ya miaka 50 ya njia ya ukatekumeni mpya
utandawazi wa mshikamano katika maisha na utume wa kanisa
yaliyojiri askofu mkuu isaac amani massawe aliposimikwa arusha
askofu mkuu mstaafu lebulu dhana ya sinodi & familia ya mungu
ijumaa kuu mashitaka ya yuda iskarioti petro na hukumu ya yesu
dumisheni neema ya kipindi cha kwaresima ili kukuza utakatifu
papa francisko uharibifu wa mazingira ni alama ya kupoa kwa upendo
changamoto ya maisha ya kitawa katika kuutafuta uso wa mungu
askofu kardijn ni mwanzilishi wa chama cha vijana wafanyakazi katoliki | 2018-05-25T14:34:22 | http://sw.radiovaticana.va/news/2018/02/24/wakristo_fungeni_na_kusali_katika_roho_na_kweli!/1364443 |
msingi wa wiani wa carpet na jinsi ya kuhesabu
uzito wa carpet ni moja ya mambo mengi ambayo huamua ubora wa carpet na utendaji wa jumla licha ya mwelekeo usio sawa wiani wa carpet na uzito wa uso wa carpet sio masharti ya kuingiliana ambayo yanamaanisha kitu kimoja ingawa uso wa uzito ni sababu moja ya kutumiwa kuhesabu wiani upeo wa uso na wiani ni vipengele viwili tofauti kabisa linapokuja suala la ubora wa carpet
ufikiaji wa uso wa kitambaa unamaanisha uzito wa fiber hutafuta yadi ya mraba moja ya carpet kiwango ni kipimo katika ounces
uwiano wa kabati unamaanisha jinsi nyuzi za karibu zinavyoshirikiwa kwenye usaidizi wa kamba
uzito wa makabati huhesabiwa kwa kutumia fomu ifuatayo
uzito wa uso wa kitambaa huongezeka kwa 36
imegawanyika na urefu wa rundo la mawe
sawa na wiani kupimwa kwa ounces kila yadi yadi
urefu wa rundo ni urefu wa nyuzi za kabati kutoka kwa vidokezo vya mwisho mpaka ambapo wanafikia usaidizi wa kamba katika fomu hapo juu urefu wa rundo unapaswa kuwakilishwa kama sehemu ya inchi inavyoonekana katika muundo wa decimal kwa mfano ukubwa wa rundo la nusu ya inchi utawakilishwa kama 05 wakati ukubwa wa rundo wa robo moja ya inchi itakuwa 025 na kadhalika
nambari inayotokana na hesabu ya juu ya wiani itakuwa nambari nne ya tarakimu kwa mfano carpet yenye uzito wa uso wa ounce 50 na urefu wa rundo la nusu ya inchi ingekuwa na wiani wa ounces 3600 kwa kiladi yadi (50 x 36 / 05 = 3600)
kuangalia ubora wa usafi
usitumie jambo moja peke yake kama kiashiria cha ubora wa jumla wa carpet sababu zote (wiani uso wa uzito kupotosha aina ya fiber nk) wote hufanya kazi pamoja katika kiti ili kuamua jinsi gari itaangalia na kufanya jumla kila moja ya mambo haya lazima yote yatazingatiwa wakati wa kufanya uamuzi juu ya carpet sahihi kwa nyumba yako
hata hivyo vitu vingine vyote vilikuwa sawa juu ya wiani wa kabati carpet hudumu zaidi na kupendeza zaidi itakuwa chini kama vile mchanga wa majani ya kitunguu unavyostaajabisha kama nyasi ni nyasi za chini kitambaa kikubwa cha wiani kinajisikia zaidi na kitasimama chupi bora zaidi
viwango vya chini vya wiani
kwa utendaji bora katika hali ya kawaida ya kaya thamani ya wiani ya 3000 au ya juu ni bora kwa mujibu wa taasisi ya usafi na rug hali mbaya zaidi ya trafiki (kama vile inapatikana katika matumizi makubwa ya kibiashara ) yanahitaji wiani wa chini wa 5000
biashara na kipawa cha zawadi ya kipawa
je ni rangi ipi ya dari nzuri zaidi
kukutana na dhahabu
jinsi ya kuosha uniforms jeshi kupambana
sakafu za juu ambazo haziko katika mabwawa ya chini
vidokezo vya kawaida vya feng shui
jinsi ya kuvunja zege kwa mkono
inamaanisha nini kuwa mannerly
vinca ndogo mzabibu | 2020-07-10T23:06:30 | https://sw.insterne.com/jinsi-ya-kuhesabu-wiani-wa-carpet/ |
huku kujiua kwingine huku ni balaa ackyshine | best👍of😂2018💯
ackyshine videos📹
video 👉 huku kujiua kwingine huku ni balaa
ackyshine sio mmiliki wa video hii ya huku kujiua kwingine huku ni balaa video hii imewekwa kwa nia ya kuburudisha au kuelimisha tuu kwa maelezo zaidi wasiliana na mimi hapa>>
marafiki zako wa zamani utawakuta hapa sasa bado wanakupenda sana na wanakungoja kwa hamu kubwa👍
👉soma zaidi
🎬 hizi makeup jamani zitaua watu✅
🎬 ona haya mazingaumbwe hapa ni noma ni kiboko✅
🎬 mbuzi mwenye miguu miwili tuu kama binadamu na anaweza kutembea✅
🎬 angalia hawa nguruwe wanavyochinjwa kama vile wanasulubishwa✅
🎬 angalia huyu jamaa alivyo mtaalamu wa haka kamchezo✅
🎬 angalia anachofanya huyu wewe unaweza✅
🎬 angalia hawa watu wanavyofanya michezo kwenye mazingira ya hatari ukikosea ndio imekula kwako✅
🎬 wanyama wenye akili ya kufundishwa✅
• huyu jamaa anataka kufa thubutu 08 feb 2017 1327 (videos vichekesho video) huyu jamaa anataka kufa thubutu
• cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu panya kama wewe ni muoga usiangalie 23 jan 2017 0118 (videos maajabu vichekesho wanyama video) cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu panya kama wewe ni muoga usiangalie
• kwa uchoyo huu huyu msichana kazidi sasa 28 jan 2017 0709 (videos vichekesho video) kwa uchoyo huu huyu msichana kazidi sasa
• angalia ujinga wanaofanya hawa 15 jan 2017 1737 (videos vichekesho video) angalia ujinga wanaofanya hawa
• mazoea mabaya eti mcheki huyu 08 feb 2017 1200 (videos vichekesho video) mazoea mabaya eti mcheki huyu
• kilichowasibu polisi wa zima moto wakati wapo kazini wakizima moto kazi nyingine ni ngumu 24 jan 2017 0104 (videos ajali video) kilichowasibu polisi wa zima moto wakati wapo kazini wakizima moto kazi nyingine ni ngumu
• huyu ana sura mbaya cheki anavyokula sasa 21 jan 2017 1258 (videos mbwa vichekesho video) huyu ana sura mbaya cheki anavyokula sasa
• wanyama wenye akili ya kufundishwa 07 jan 2017 1828 (videos maajabu wanyama video) wanyama wenye akili ya kufundishwa
• hawa ndio watoto wa digitali sasa 05 feb 2017 1312 (videos maajabu vichekesho video) hawa ndio watoto wa digitali sasa
• angalia hawa swala walichofanyiwa na mamba 05 jan 2017 0108 (videos mamba swala wanyama video) angalia hawa swala walichofanyiwa na mamba
• cheki chui wakipiga wao kwa wao kinachotokea 15 jan 2017 1456 (videos chui wanyama video) cheki chui wakipiga wao kwa wao kinachotokea
• zoezi kali la kijeshi cheki hapa uone 22 jan 2017 0842 (videos michezo video) zoezi kali la kijeshi cheki hapa uone
• hawa wameangukaje vizuri 12 feb 2017 1727 (videos vichekesho video) hawa wameangukaje vizuri
• funny teacher from uganda 03 dec 2016 1845 (videos english funny teacher uganda video) funny teacher from uganda
• cheki huyu jamaa alivyoumbuka sasa 02 dec 2016 1155 (videos kiingereza kimya kiswahili silent vichekesho video) cheki huyu jamaa alivyoumbuka sasa
• huyu dogo ni kiboko cheki alichokifanya 02 dec 2016 1154 (videos kimya kiswahili silent vichekesho video) huyu dogo ni kiboko cheki alichokifanya
• angalia huyu kilichompata baada ya baiskeli yake kukatika breki 02 jan 2017 1518 (videos vichekesho video) angalia huyu kilichompata baada ya baiskeli yake kukatika breki
• huku ndio kutiana presha cheki huyu mzee wa watu anavyostuka 08 feb 2017 0800 (videos vichekesho video) huku ndio kutiana presha cheki huyu mzee wa watu anavyostuka
• angalia haya matukio yalivyofwatana 12 jan 2017 1421 (videos ajali video) angalia haya matukio yalivyofwatana
• huyu bibi anakumbukia ujana cheki anachofanya sasa 27 jan 2017 0903 (videos vichekesho video) huyu bibi anakumbukia ujana cheki anachofanya sasa
• angalia hawa watoto wanacheza na bunduki hatari kweli kweli 23 jan 2017 0056 (videos vichekesho video) angalia hawa watoto wanacheza na bunduki hatari kweli kweli
• mapishi ya nyama ya chap chap 07 feb 2017 0053 (videos maajabu mapishi video) mapishi ya nyama ya chap chap
• hawa watu wanafuga simba kama kuku 07 jan 2017 2302 (videos maajabu simba wanyama video) hawa watu wanafuga simba kama kuku
• polisi wakionyeshana ubabe 02 feb 2017 0511 (videos vichekesho video) polisi wakionyeshana ubabe
• hawa wataalamu wa kucheza mziki wa dansi 08 feb 2017 0815 (videos michezo vichekesho video) hawa wataalamu wa kucheza mziki wa dansi
• angalia huyu jamaa alivyo mtaalamu wa vita japokuwa kalewa chakari kumbe pombe saa nyingine nzuri 24 jan 2017 0050 (videos vichekesho video) angalia huyu jamaa alivyo mtaalamu wa vita japokuwa kalewa chakari kumbe pombe saa nyingine nzuri
• hizi bahati mbaya nyingine jamani 07 jan 2017 2305 (videos vichekesho video) hizi bahati mbaya nyingine jamani
• ajali za bahati mbaya ambazo zimewahi kutokea 05 feb 2017 1322 (videos ajali vichekesho video) ajali za bahati mbaya ambazo zimewahi kutokea
• swala ni noma kumbe na yeye anajua kupiga cheki anavyomfanyia huyu mtu 07 jan 2017 2247 (videos swala wanyama video) swala ni noma kumbe na yeye anajua kupiga cheki anavyomfanyia huyu mtu
• huyu jogoo ni noma mwangalie anavyovuta gari la kukokota 05 feb 2017 0449 (videos maajabu vichekesho video) huyu jogoo ni noma mwangalie anavyovuta gari la kukokota
• mtu anacheza na dubu kama anacheza na rafiki ake 07 feb 2017 0036 (videos maajabu wanyama video) mtu anacheza na dubu kama anacheza na rafiki ake
• huyu mwenye gari atawaepukaje hawa wanyama 13 jan 2017 0745 (videos wanyama video) huyu mwenye gari atawaepukaje hawa wanyama
• simba wanavyowinda na kukamata wanyama 24 jan 2017 0941 (videos wanyama video) simba wanavyowinda na kukamata wanyama
• huyu dada hapa kazidi sasa cheki anachomfanyia huyu jamaa 28 jan 2017 0205 (videos vichekesho video) huyu dada hapa kazidi sasa cheki anachomfanyia huyu jamaa
• mtaalamu wa kufanya mazoezi 15 jan 2017 1428 (videos mazoezi michezo video) mtaalamu wa kufanya mazoezi
• angalia huyu jamaa anajitestia bastola yake kama inafanya kazi 31 jan 2017 0725 (videos maajabu vichekesho video) angalia huyu jamaa anajitestia bastola yake kama inafanya kazi
• cheki huyu jamaa kawa kama katuni 23 jan 2017 0114 (videos vichekesho video) cheki huyu jamaa kawa kama katuni
• tizama baisikeli moja ilivyosababisha ajali ya magari zaidi ya 10 01 mar 2017 0637 (videos ajali baisikeli gari maajabu vichekesho video) tizama baisikeli moja ilivyosababisha ajali ya magari zaidi ya 10
• hizi mila nyingine ni balaa cheki hawa watoto wanachofanyiwa 18 feb 2017 0808 (videos maajabu video) hizi mila nyingine ni balaa cheki hawa watoto wanachofanyiwa
• angalia huyu nyani anachomfanyia huyu nyoka 24 feb 2017 0059 (videos vichekesho video) angalia huyu nyani anachomfanyia huyu nyoka
• cheki dereva wa hili gari anachokifanya 07 jan 2017 2325 (videos gari maajabu michezo video) cheki dereva wa hili gari anachokifanya
• cheki kilichompata huyu jamaa aliyekuwa kapanda bajaji 12 jan 2017 1443 (videos ajali bajaji vichekesho video) cheki kilichompata huyu jamaa aliyekuwa kapanda bajaji | 2018-06-18T02:16:10 | http://www.ackyshine.com/videos:huku-kujiua-kwingine-huku-ni-balaa |
jeshi la polisi mkoani mbeya kuendelea kufanya uchunguzi wa mgogoro ~ chimbuko letu
jeshi la polisi mkoani mbeya kuendelea kufanya uchunguzi wa mgogoro
kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa mbeya advocate nyombi amesema jeshi lake linaendea na uchunguzi ili kubaini ukweli wa mgogoro kati ya wananchi wa kijiji cha kapunga wilayani mbarali mkoani mbeya dhidi ya mwekezaji wa kampuni rice project
kuhusu vitendo vya uharibifu wa mali za wananchi kamanda nyombi amesema hana taarifa nazo na kwamba na kuwataka wananchi hao kuwa watulivu wakati uchunguzi ukiendelea
hata hivyo habari tulizozipata zinadai kuwa mwekezaji huyo alivunja matofali kumi na mbili elfu ambayo yalifyatuliwa kwa ajili ya ujenzi wa shule ya msingi mbarali na kumjeruhi mwanakijiji kwa kumgonga na gari | 2017-10-21T15:49:38 | http://chimbukoletu.blogspot.com/2011/07/jeshi-la-polisi-mkoani-mbeya-kuendelea.html |
tarehe ya kuanza april 2nd 2019
hayo yamesemwa na mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya mbarali ndg kivuma msangi alipofanya ziara akiwa na timu ya wataalamu ya halmashauri (cmt) kwa ajili ya kukagua ujenzi wa hospitali mpya ya wilaya siku ya tarehe 02/04/2019 katika kata ya lugelele kitongoji cha mpunga mmoja sehemu inapojengwa hospitali hiyo
msangi alisema kwamba hospitali mpya ya wilaya inatarajiwa kukamilika ifikapo mwezi wa tisa mwaka huu 2019 na kukamilika kwa hospitali hii kutaongeza upatikanaji wa huduma za afya za kisasa na katika mazingira bora sambamba na hayo pia itakuza uchumi wa mwananchi mmoja mmoja kwani kutapanua fursa nyingi za ajira biashara wakiwemo mama lishe bodaboda bajaji nyumba za kulala wageni nyumba za kupangingisha na nyinginezo nyingi
akisoma taarifa ya ujenzi wa hospitali hiyo mkuu wa idara ya ujenzi wa halmashauri ya wilaya ya mbarali eng abbas kitalima alisema kuwa katika awamu hii ya kwanza wamepokea jumla ya shilingi bilion moja na milioni mia tano (1500000000/=) ambayo itakamilisha ujenzi wa majengo saba mapya sambamba na umaliziwaji wa jengo la ghorofa moja ambalo litatumika kwa shughuli za utawala pamoja na kutoa huduma kwa wagonjwa wa nje (opd) hivyo kufanya jumla ya majengo tisa
eng kitalima aliongeza kuwa kwa sasa ujenzi wa majengo hayo yote yapo katika hatua mbalimbali za ujenzi na yanatarajiwa kukamilika ifikapo septemba 2019
timu ya wataalamu iliweza kutembelea na kukagua ujenzi wa majengo yote yanayoendelea kujengwa na imeridhishwa na hatua iliyofikia hadi sasa wamemtaka mkuu wa idara ya ujenzi pamoja na kamati mbalimbali zilizoundwa kwa ajili ya usimamizi kuongeza kasi ya usimamizi ili wananchi waanze kupata huduma na kuhakikisha ubora wa majengo unazingatiwa
majengo mapya yanayojengwa mpaka sasa ni pamoja na wodi wazazi (maternity word) jengo la maabara jengo la mashine za mionzi (xray) jengo la dawa za chanjo jengo la kufulia nguo jengo la ghala la madawa jengo la mifumo ya umeme (power house) pamoja na ukarabati wa jengo la ghorofa moja ambalo litatumika kwa ajili ya wagonjwa wa nje pamoja na shughuli za utawala | 2019-04-26T05:42:06 | http://mbaralidc.go.tz/new/hospitali-mpya-ya-wilaya-kukamilika-ifikapo-septemba-2019-msangi |
un yawapiga msasa wanafunzi wa chuo cha tumaini makumira juu ya sdgs dewjiblog
audio majibu ya jpm kwa wanahabari kuhusu
yemi alade aeleza jinsi alivyoweza kuimba nyimbo
samia aagiza vyombo vya dola kukamata viongozi wanaojihusisha na uvuvi haramu | 2018-02-20T09:41:04 | http://dewjiblog.co.tz/un-yawapiga-msasa-wanafunzi-wa-chuo-cha-tumaini-makumira-juu-ya-sdgs/ |
tüdemsaştan yeni dönemde yeni nesil yük vagonları rayhaber | raillynews
nyumbanirailwaymagari ya mizigo mpya ya mizigo katika zama mpya kutoka tüdemsaş
27 / 07 / 2017 railway general taasisi tüdemsaş turkey wagons
tüdemsaş kubwa mizigo gari mtengenezaji nchini uturuki mbali na 1939 21 miaka elfu ya shidara i bakımon uzalishaji wa magari ya mizigo na magari ya mizigo karibu 343 elfu na akafanya marekebisho yake meneja mkuu na mwenyekiti wa bodi yıldıray koçarslan alisema tumekwisha tumekamilisha mafunzo ya ufundi na kiufundi ya wafanyakazi wetu wakati wa upya miundombinu yetu ya kiufundi na uwekezaji tumefanya katika miaka ya hivi karibuni katika kulehemu robot wetu kiwanda bogie robotic ulipuaji kupanda dyeing mimea na idadi kubwa ya magari katika gear ya kisasa behewa sekta yetu ina mashine cnc sisi ni kampuni ya vifaa bora katika uturuki alisema
kocarslan 20152019 kati ya miaka ya kubuni iliyopangwa na zinazozalishwa kwa kila namna itakuwa ya ndani na ya kitaifa kulingana na mahitaji ya sekta hiyo magari ya reli kwa mujibu wa masharti ya kiufundi ya uendeshaji (tsi) 12 aina tofauti za magari na aina tofauti za 3 za bogie hupanga kupanga uzalishaji wa wingi
inaonyesha moja ya magari yenye nguvu sana na yenye madhumuni mengi huko ulaya ambayo ina cheti cha tsi ya kampuni hiyo na sgns gari lenye nyembamba zaidi la usafiri wa ulaya ambalo lina muundo wa kitaifa gari la tani la usafirishaji wa taka na zacens aina ya gari ya moto ni magari yenye nguvu zaidi katika darasa lake inasimama nje
mchakato wa vyeti kwa magari ya mizigo mpya ya kizazi clos wagon ore (talns) na gari la magari ya zimbi (zacens) itaanzishwa hivi karibuni imekamilika mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa tüdemsaş alitoa maelezo yafuatayo şirket kampuni yetu ni meneja wa mradi wa mradi wa taifa mpya wa wagon ambayo ni moja ya nguzo tatu za mradi wa taifa wa mafunzo kama matokeo ya masomo yaliyofanyika kwa zaidi ya mwaka 2 imeamua kujenga aina ya sggmrs aina ya h ya tatu bogie jumuishi (compact) mfumo wa kusafisha chombo cha kusafirisha chombo h aina ya bogie ilitolewa na vipimo vyote vya bogie vilikamilishwa utaratibu wa uzalishaji na vyeti kazi ya mwili wa gari unafanyika na vitengo vya 2017 vitazalishwa kutoka gari hili hadi tcdd katika 150
chanzo i wwwostimgazetesico
reli za azerbaijan inachunguza bidhaa mpya za uzazi zinazozalishwa na tüdemsaş
suluhisho jipya kwa breki za moja kwa moja kwa magari ya mizigo kutoka kwa shirika la shirikisho la mogul
magari mpya ya uzazi kutoka tüdemsaş
korea ya kaskazini ina mpango wa kuhamia teknolojia ya treni ya juu katika zama mpya
meya karaosmanoğlu usafiri utakuwa uzito katika era mpya
magari ya chakula hupotea katika kipindi kipya
kipaumbele cha rais türel katika new term metro
gari la magurudumu la magurudumu
imefungwa wagon ya cevher
mradi wa usafirishaji wa taifa wa usafirishaji
mwili wa wagoni
mradi mpya wa usafirishaji wa taifa wa mizigo
tülomsaş hufanya miradi ya maono ya kitaifa
izmir metro ilihudhuria mtoto maalum | 2020-01-18T17:49:53 | https://sw.rayhaber.com/2017/07/magari-ya-kizazi-mpya-ya-yuk/ |
mkulima aliyefungua kesi kupinga ukomo wa urais aitwa mahakamani
mkulima aliyefungua kesi kupinga ukomo wa urais aitwa mahakamani
02 october 2019 wednesday 1425
mahakama kuu ya tanzania imemtaka dezydelius patrick mgoya mkulima aliyefungua kesi ya kikatiba kuhusu ukomo wa urais kufika mahakamani oktoba 10 2019 kufuatia maombi ya chama cha act wazalendo kujiunga na kesi hiyo
kesi hiyo (misc civil cause no 19 of 2019) ipo chini ya jaji dk benhaj masoud
maombi ya act wazalendo (misc civil application no 39 of 2019) kujiunga na kesi hiyo yameshindwa kusikilizwa leo kutokana na dezydelius kutokuwepo mahakamani
mahakama imeitaka act wazalendo kutangaza wito wa kumuita mahakamani kwenye magazeti mawili yanayosomwa na wengi
akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuahirishwa kwa kesi hiyo kiongozi wa act wazalendo zitto kabwe amesema chama kimeomba kujiunga na kesi hiyo ili kuilinda na kuitetea katiba
zitto amesema licha ya katiba ya sasa kuwa na mapungufu yake inapaswa kuheshimiwa ikiwemo uwepo wa ukomo wa urais
katika hatua nyingine zitto amesema act wazalendo imesikitishwa na uteuzi wa dk wilson mahera kuwa mkurugenzi wa tume ya taifa ya uchaguzi(nec) huku ikifahamika wazi kuwa ni kada wa chama cha mapinduzi(ccm)
tumeshangazwa sana na hatua ya rais magufuli kuteua mkurugenzi mpya wa tume ya taifa ya uchaguzi ambaye rekodi zinaonesha amewahi kugombea ujumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya ccm jambo hilo la wasimamizi wa uchaguzi ambao wana vyama vya siasa lipo mahakamani kwenye kesi ya mwanaharakati bob chacha wangwe mahakama kuu ilisema wasimamizi wa uchaguzi hawapaswi kuwa wanachama makada au mashabiki wa chama cha siasa tumesikitishwa na hatua ya rais magufuli kumteua mtu ambaye amekatazwa kuwa msimamizi wa jimbo moja na kumteua kuwa msimamizi wa nchi nzima amesema zitto
amesema kufuatia hali hiyo act wazalendo inashauriana na vyama vingine vya upinzani kuhusu hatua za kisheria za kuchukua na tayari kimemuagiza wakili jebra kambole atazame misingi ya kisheria ili kuzuia uteuzi huo wa mkurugenzi mpya wa nec | 2019-10-21T07:43:18 | http://www.azaniapost.com/habari-maalum/mkulima-aliyefungua-kesi-kupinga-ukomo-wa-urais-aitwa-mahakamani-h24532.html |
lipumba nchemba na nape wafunga kampeni za udiwani kijukuu cha bibi k | habarimatukio na burudani tanzania
home / unlabelled / lipumba nchemba na nape wafunga kampeni za udiwani | 2020-06-03T15:29:36 | https://www.kijukuu.co.tz/2018/01/lipumba-nchemba-na-nape-wafunga-kampeni.html |
chan 2018 uko vyifashe imbere yinkino zanyuma mu matsinda
vyanditswe itariki 21012018
kuruyu wimana 21 nzero niho haza gutangura inkino zanyuma mu matsinda ane yigikombe ca africa kiriko kirahuriza muri maroc imigwi nserukibihugu igizwe nabakinyi bakinira mu mahiganwa yibihugu vyabo (joueurs locaux) inyuma yinkino zibiri mu matsinda a na b ibintu vyaramaze kudadanuka kuko imigwi izobandanya niyizoca itaha yamaze kumenyekana mu matinda c na d nayo ibintu bizoza kudadanuka mu nkino za gatatu tukaba tugomba turabire hamwe uko vyifashe ku migwi 16 iri mwihiganwa
igihugu kibanyi c'urwanda kirafise amahirwe yo gukina igice ca kane gishira icanyuma ariko kikazotegerezwa kuvyifatamwo neza mu rukino rugihuza na libya (isanamu y'utukino nigeria 00 rwanda photo dr)
mu matsinda a na b imigwi izobandanya niyizotaha yose yaramaze kumenyekana
itsinda a rigizwe na maroc soudan guinée na mauritanie
igihugu ca maroc cakiriye ihiganwa ryatswe kenya ku ngingo ya caf kiriko kivyifatamwo neza kuko catsinze inkino 2 zambere co kimwe nigihugu ca soudan caronse itike kibanje gukuramwo uburundi (00 10) ibihugu vya mauritanie na guinée conakry vyatsinze inkino zibiri zose bizoca bitaha inyuma yurukino ruzobihuza maroc na soudan navyo bihiganire ikibanza cambere citsinda
uko inkino zagenze
maroc 40 mauritanie
uko imigwi isumbana
1 maroc ufise amanota 6 ibitsindo +6
2 soudan 6 +2
3 guinée 0 3
4 mauritanie 0 5
inkino zanyuma muriri tsinda zitegekanijwe kuruyu wimana 21 nzero igihe cisaha zitatu zijoro (2100) mu masaha yi burundi mauritanie utana mu mitwe na guinée maroc nawo unyinyurane na soudan mu kurondera ikibanza cambere
itsinda b rigizwe na namibie zambie ouganda côte divoire
muriri tsinda umugwi wa côte divoire uri mu yikomeye ku mugabane wa africa iyo urimwo abakinyi bawo bakinira mu mahanga ntiwakije muriri higanwa kuko wamaze kuronka itike ryo gusubira abidjan inyuma yinkino zibiri gusa umugwi wa ouganda nawo umugwi wambere mu karere ka africa yubuseruko dufatiye ku rutonde rwa fifa watsinzwe inkino zawo zibiri nimigwi yo mu karere ka africa yubumanuko ukaba uzofata inzira yo gutaha inyuma yinkino zamatsinda
côte divoire 01 namibie
zambie 31 ouganda
côte divoire 02 zambie
1 zambie ufise amanota 6 ibitsindo +4
2 namibie 6 +2
3 ouganda 0 3
4 côte divoire 0 3
nko mwitsinda a inkino zanyuma zizohuza abatsinzwe nabatsinze zitegekanijwe kuruyu wambere 22 nzero isaha zitatu zijoro ouganda côte divoire na namibie zambie
mu matsinda c na d hamaze kumenyekana umugwi umwe ubandanya numwe utaha
itsinda c rigizwe na nigeria rwanda libye na guinée equatoriale
igihugu kibanyi curwanda cari cakiriye ihiganwa riheruka mu 2016 kiracafise amahirwe yo kubandanya muri « ¼ finale » kuko kinganya na nigeria wambere mwitsinda amanota 4 mu nkino 2 ariko kikazotegerezwa kuvyifatamwo neza mu rukino rwanyuma rukomeye ruzogihuza na libye umugwi ufise amanota 3 umugwi wa guinée equatoriale waramaze gusezera inyuma yo gutsindwa inkino zibiri
libye 3 0 guinée eq
rwanda 10 guinée eq
1 nigeria ufise amanota 4 ibitsindo +1
2 rwanda 4 +1
3 libye 3 +2
4 guinée eq 0 4
mu nkino zanyuma ziri tsinda zitegekanijwe kuwa kabiri 23 nzero (2100) urwanda ruzokina na libye urukino rukomeye cane rwo kurondera itike rya ¼ finale nigeria nawo utane mu mitwe na guinée equatoriale
itsinda d rigizwe na congo (brazza) angola burkina faso na cameroun
mwitsinda d umugwi wa cameroun waramaze gusezererwa inyuma yo gutsinda inkino zawo zibiri zose congo nawo waramaze kuronka itike ryo kubandanya hakaba hasigaye kudadanura uwuzobanya nuwuzotaha hagati ya angola na burkina faso
cameroun 01 congo
congo 20 burkina faso
1 congo ufise amanota 6 ibitsindo +3
2 angola 4 +1
3 burkina faso 1 2
4 cameroun 0 2
mu nkino zanyuma ziri tsinda zitegekanijwe kuwa gatatu 24 nzero (2100) angola uzotana mu mitwe na congo burkina faso nawo utane mu mitwe na cameroun kugira burkina faso uronke itike utegerezwa gutsinda cameroun uwurusha nimiburiburi ibitsindo 3 ugaca wizera ko congo utsinda angola nimiburibiri uwurusha igitsindo kimwe umugwi wa angola unganije na congo uzoba uronse itike ryo kuwuherekeza mu gice gikurikira mu gihe angola wiotsinda congo naho uzoca uwuherekeza ufise nikibanza cambere citsinda | 2019-01-17T19:42:42 | http://burundisport.com/international-chan-2018-uko-vyifashe-imbere-y-inkino-zanyuma-mu-matsinda-210 |
mikataba ya biashara archives eu reporter eu reporter
uingereza haitatii sheria za eu kushinda #freetrade msaada wa pm
uingereza haitatishiwa kufuata sheria za eu katika siku zijazo kwa kuongea juu ya hatari za kiuchumi na iko tayari kufanya biashara na kambi hiyo kwa masharti ya msingi ya kimataifa ikiwa inahitajika mshauri wa waziri mkuu boris johnson wa ulaya alisema jumatatu (17 februari) andika gabriela baczynska na john chalmers uingereza iliondoka eu mwezi uliopita []
tume inakaribisha idhini ya bunge la ulaya la eu na #vietnam biashara na mikataba ya uwekezaji
tume ya ulaya inakaribisha uamuzi wa tarehe 12 februari na bunge la ulaya la kupitisha makubaliano ya biashara na uwekezaji ya euvietnam makubaliano ya biashara ya euvietnam sasa yameanza kutumika mnamo 2020 baada ya kumalizika kwa utaratibu wa kuridhia na vietnam mkataba wa biashara utaondoa karibu ushuru wote kwa bidhaa iliyouzwa kati ya []
#tradepreitions zinaongeza usafirishaji wa nchi zinazoendelea kwenda umoja wa ulaya
mauzo ya nje kwa jumuiya ya ulaya kutoka nchi zinazoendelea kutumia upendeleo maalum wa ushuru chini ya mpangilio mkuu wa upendeleo wa eu (gsp) ilifikia kiwango kipya cha € bilioni 69 mnamo 2018 kulingana na ripoti ya tume ya ulaya iliyochapishwa kila baada ya miaka mbili kwenye gsp iliyotolewa mnamo 10 februari usafirishaji kwenda eu kutoka kwa mnufaika wa gsp 71 []
#taratibu za msaada huongeza mauzo ya nchi zinazoendelea kwenda kwa jumuiya ya ulaya
mauzo ya nje kwa jumuiya ya ulaya kutoka nchi zinazoendelea kutumia upendeleo maalum wa ushuru chini ya mpango mkuu wa upendeleo wa eu (gsp) ilifikia kiwango kipya cha € bilioni 69 mnamo 2018 kulingana na ripoti ya tume ya ulaya iliyochapishwa kila baada ya miaka mbili kwenye gsp iliyotolewa leo usafirishaji kwenda kwa eu kutoka nchi za wanufaika wa gsp 71 ziliongezeka []
eu #vietnam biashara ya biashara je ni faida gani
mpango wa biashara wa euvietnam umewekwa ili kuondoa karibu ushuru wote kwa kipindi cha muongo mep geert bourgeois anaelezea faida katika mahojiano haya alfajiri mpya ya biashara ya euvietnam © mongkol chuewong / adobe hapo mapema ya bunge hupiga kura juu ya biashara ya bure na mikataba ya uwekezaji kati ya eu na vietnam mnamo 12 februari 2020 belgian []
biashara mwaka wa kwanza wa mkataba wa ushirikiano wa uchumi na #japan unaonyesha ukuaji katika usafirishaji wa eu
eu reporter mwandishi | februari 3 2020
1 februari 2020 iliashiria kumbukumbu ya kwanza ya kuanza kutumika kwa mkataba wa ushirikiano wa uchumi wa eujapan (epa) katika miezi kumi ya kwanza kufuatia utekelezaji wa makubaliano usafirishaji wa eu kwenda japan ulipanda kwa 66 ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka uliopita hii inazidisha ukuaji katika miaka mitatu iliyopita ambayo []
#matangazomatokeo yataunda ajira na kulinda haki za binadamu katika #vietnam
kundi la epp linataka kutumia mikataba ya biashara na uwekezaji kati ya vietnam na eu kama kufungua mlango kupata masoko mengine ya asia wakati huo huo makubaliano hayo yatainua viwango vya mazingira kazi na haki za binadamu huko vietnam makubaliano ya biashara na uwekezaji na vietnam yanaweza kukuza biashara yetu na kwa hivyo kukuza ukuaji [] | 2020-02-29T03:53:51 | https://sw.eureporter.co/economy/trade-agreements/ |
nec tutafuata uamuzi wa mahakama uchaguzi mkuu mwananchi
nec tutafuata uamuzi wa mahakama uchaguzi mkuu
mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi (nec) jaji semistocles kaijage akizungumza wakati wa mkutano na wahariri uliofanyika jijini dar es salam leo kulia ni mkurugenzi wa tume hiyo athuman kihamia picha na anthony siame
dar es salaam tume ya taifa ya uchaguzi (nec) imeweka wazi kuwa vifungu vya sheria ya uchaguzi vilivyolalamikiwa na kutenguliwa na mahakama havitatumika kwenye utekelezaji wa majukumu ya tume hiyo
vifungu hivyo ni kifungu cha 7(1) na 7(3) vinavyowapa mamlaka wakurugenzi wa halmashauri kama wasimamizi wa uchaguzi vifungu hivyo vinawataja wakurugenzi wa jiji wakurugenzi wa manispaa wakurugenzi wa miji na wakurugenzi wa wilaya (ded) kwamba wanaweza kuteuliwa na tume kuwa wasimamizi wa uchaguzi
akizungumza wakati wa mkutano na wahariri wa vyombo vya habari mwenyekiti wa nec jaji semistocles kaijage alisema wanazingatia maelekezo ya mahakama hivyo nec haitotumia vifungu hivyo vilivyolalamikiwa
jaji kaijage aliyasema hayo wakati akijibu swali la mhariri wa gazeti la the citizen damas kanyabwoya aliyetaka kufahamu kama nec itaendelea kuwatumia wakurugenzi baada ya uamuzi wa mahakama
mahaka ilitimiza wajibu wake ikavitengua baadhi ya vifungu vya sheria vilivyolalamikiwa niwahakikishie kuwa vile vifungu vilivyolalamikiwa hatutavitumia katika utekelezaji wa majukumu yetu kifungu cha 7 (1) na 7(3) cha sheria ya taifa ya uchaguzi ndivyo vilivyotenguliwa vingine havijalalamikiwa | 2019-10-17T13:51:58 | https://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/NEC-yasema-haitatumia-Ma-DED-kusimamia-uchaguzi-Tanzania/1597296-5163586-qhy97h/index.html |
yaliojili bunge leo mjini dodoma novemba 3 2016 ~ blogu ya wananchi
baadhi ya wabunge na mawaziri wakiwasili katika viwanja vya bunge kuhudhulia kikao cha tatu cha mkutano wa tano wa bunge la 11 mjini dodoma novemba 32016
naibu spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania mhe dkt tulia ackson akiongoza kikao cha tatu cha mkutano wa tano wa bunge la 11 mjini dodoma novemba 32016
waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo mhe nape moses nnauye (kulia) pamoja na waziri wa nchi ofisi ya rais utumishi na utawala bora mhe angela kairuki wakifuatilia kipindi cha maswali kwa waziri mkuu katika kikao cha tatu cha mkutano wa tano wa bunge la 11 mjini dodoma novemba 3 2016
waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano mhe prof makame mbarawa (kushoto) pamoja na waziri wa maji na umwagiliaji mhe mhandisi gerson lwenge wakifuatilia kipindi cha maswali kwa waziri mkuu katika kikao cha tatu cha mkutano wa tano wa bunge la 11 mjini dodoma novemba 32016
waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe kassim majaliwa akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kipindi cha maswali ya moja kwa moja kwake wakati wa kikao cha tatu cha mkutano wa tano wa bunge la 11 mjini dodoma novemba 3 2016 | 2017-03-25T15:44:25 | http://www.williammalecela.com/2016/11/yaliojili-bunge-leo-mjini-dodoma.html |
jalada kesi ya maimu wenzake kurudishwa kwa dpp
magufuli auita mradi wa nssf ni bomu atoa maagizo
spika wa bunge la tanzania job ndugai amesema kiongozi mmoja wa serikali aliyezungumza maneno yasiyofaa kuhusu bunge
33 minutes ago ndugai atoa agizo kwa waziri mkuu kuhusu watanzania kupewa saa 24 kuondoka kenya
2 hours ago ndugai ataka taifa stars kutengewa fedha wabunge wahoji mawaziri kutokwenda misri | 2019-06-25T17:33:24 | https://mobile.mwananchi.co.tz/Q-Chillah-afahamu-malalamiko-hayamtatulii-matatizo-yake/1597608-5150278-format-xhtml-fih74y/index.html |
mahakamani | jamiiforums
hatuwezi kulipa mil 500 hili jipu limekomaa mfukuzeni tukutane mahakamani rais dkt john magufuli leo februari 11 amezindua wilaya mpya kigamboni jengo la utawala na hospitali ya wilaya jijini dar mh rais ahoji kwanini mtu aingie mkataba wa ujenzi allipwe tsh 500 million ili
nabii mwamposa akifikishwa mahakamani atakuwa shahidi wa saba na sio mshitakiwa
baada ya kutokea vifo zaidi ya watu 15 katika mkanyagano wakati waamini wanaohisiwa ni wa dini ya kikristo wakigombea kwenda kukanyaga mafuta ya upako huko moshi mkoani kilimanyaro kutokana na mashinikizo mbalimbali kutoka kwa wakristo wasiokuwa na imani kwa maji ya upako na mafuta ya upako
mtoto kuwashitaki mahakamani wazazi wake kwa kumzaa bila ridhaa yake
kijana mmoja uingereza anakusudia kuwashitaki wazazi wake hoja yake ya msingi ni kwanini walimleta kwenye hii dunia yenye shida na mateso kwa starehe zao wao kwa starehe zao za mapenzi kwanini wamlete duniani nadhani wazazi wana kesi ya kujibu
election 2020 kwanamna uchaguzi wa serikali za mitaa ulivyoendeshwa je ni halali kuendelea na katiba inayozuia matokeo ya urais kupingwa mahakamani
kwakweli sielewi hiki kipengele kinachozuia matokeo ya urais kupingwa mahakamani kina nia njema ipi yani katika mazingira ya tanzania ya sasa yenye uvunjifu wa sheria zote pamoja na haki za binadamu bado kipengele kama hiki tukione kina nia njema kweli nitakuwa was mwisho kuamini vyama vya
tito magoti na theodory giyan wafikishwa mahakamani leo kesi yao yaahirishwa kutokana na upelelezi kutokamilika
afisa wa lhrc tito magoti pamoja na mwenzake wamefikishwa mahakama ya hakimu mkazi kisutu leo januari 7 2020 wakikabiliwa na mashitaka matatu likiwemo la utakatishaji fedha aidha awali tito magoti na mwenzake walisomewa mashitaka matatu likiwemo la utakatishaji fedha kiasi cha shilingi
chadema kuipinga sheria ya utakatishaji fedha mahakamani
wakuu natanguliza salamu za mwaka mpya baada ya salamu hizi najikita moja kwa moja kwenye hoja chama cha demokrasia na maendeleo kanda ya pwani kimeandaa mawakili wawili watakaofungua kesi mahakamani ili kupinga sheria ya kishenzi ya utakatishaji fedha hayo yamesemwa na makamu
mgombea binafsi namibia awasilisha kesi mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi
aliyekuwa mgombea binafsi wa urais wa namibia panduleni itula amewasilisha pingamizi la kisheria ya kupinga kushindwa kwake katika uchaguzi uliomalizika mwezi uliopita itula ameitaka mahakama ya juu ya namibia kuagiza kurejewa uchaguzi haraka iwezekenavyo kwa madai kwamba haukuwa huru
hatma ya erick kabendera bado ipo kwa dpp kesi yaahirishwa hadi januari 2 2020
upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mwandishi wa habari nchini tanzania erick kabendera bado haujakamilika kabendera anakabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kutakatisha sh173milioni katika mahakama ya hakimu ya hakimu mkazi kisutu hayo yameelezwa leo jumatano desemba 18
kupanga ni kuchagua na mara zote umakini unahitajika sana chadema inakwenda kwenye uchaguzi mkuu utakaompata mwenyekiti na makamu wake pamoja na kamati nzima ya utendaji miongoni mwa wagombea wa nafasi hizo ni mh mbowe na wakili msomi tundu lisu bila kumsahau mh mwambe angalizo muhimu
matiko akiri kumiliki silaha
matiko akiri kumiliki silaha najiuliza swali fikirishi kwamba ni nini cha ajabu huyu mtu kumiliki silaha kwa hadhi yake kama mbunge ===== matiko akiri kumiliki silaha alidai mahakamani wakati akitoa ushahidi wake mbele ya hakimu mkazi mkuu thomas simba baada ya kuhojiwa na jamhuri dhidi ya
ocd wilaya ya busega amekula rushwa na kukataa kupeleka kesi ya mwanafunzi wa kidato cha pili mkula sekondari mahakamani mheshimiwa sirro muwajibishe
ocd wa wilaya ya busega kwa muda sasa ameikalia kesi ya ubakaji ya mwanafunzi wa mkula sekondari iliyoko busega mkoani simiyu inadaiwa kwamba mwanafunzi huyo ameachishwa shule mpaka ss lakini cha kushangaza kesi ya mwanafunzi haijafika mahakamani kwa ajili ya kusikilizwa hii inatokana na kwamba
mahakama yaamuru lissu afike mahakamani desemba 19
mh hakimu anasema hataki siasa hatutaki mambo ya siasa hapa namtaka lissu aje hapa mahakamani kesi yake iendelee ndugai sijui lissu alipo namvua ubunge rais ametelekeza jimbo hakimu sitaki siasa aje kesi iendelee ==== mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini dar es salaam imemwagiza
rukwa hakimu aviburuza mahakamani vyombo vya mahakama vilivyomfuta kazi
aliyekuwa hakimu mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya kalambo mkoani rukwa jonathan ernest mgongoro ameziburuza mahakamani tume ya utumishi wa mahakama (jsc) na kamati ya maadili ya maafisa wa mahakama (joec) kwa kumfuta kazi mgongoro alifutwa kazi na tume ya utumishi wa mahakama julai 17
mahakama ya hakimu mkazi kisutu imewaonya wabunge wanne wa chadema waliokiuka masharti ya dhamana kwa kutofika mahakamani bila taarifa yoyote onyo hilo limetolewa leo jumatano novemba 20 2019 na hakimu mkazi mkuu wa mahakama hiyo thomas simba baada ya kusikiliza utetezi wao kubainisha kuwa
taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (takukuru) kwa kushirikiana na jeshi la polisi leo jumatano novemba 20 imewakamata na kuwafikisha mahakamani wafanyabiashara sita wakiwamo raia wa kigeni kutoka nchini china kujibu mashtaka ya rushwa na uhujumu uchumi kaimu mkurugenzi wa uchunguzi)
nimeota serikali imemfikisha idris sultan mahakamani na kumsomea mashitaka
nimeota kuwa upande wa serikali umefanikiwa kumfikisha idris sultan mahakamani na kumsomea mashitaka matatu 1 kukalia kiti cha rais 2 kumvalisha rais nguo za kibitozi au kichekibob 3 kumkata kichwa rais mashtaka yaliposomwa hakimu alitaka kuchanganyikiwa akapekuapekua nyaraka huku
shabani hamisi mume wa zamaradi mketema aliyemtishia mwenzake kwa bastola afikishwa mahakamani
shabani hamisi ambaye ni mume wa mtangazaji na mmiliki wa zamarad tv zamaradi mketema amefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi kinondoni akikabiliwa na mashtaka ya kumtishia venance john kwa bastola ===== aliyemtishia mwenzake na bastola aachiwa jumatatu 4th nov 2019 na mwandishi
uchaguzi 2019 mgombea wa chadema keko mwanga a kufikishwa mahakamani mchana huu kwa kukataa unyonge na kupigania haki yake
atafikishwa mahakamani baada ya kuhakikisha mtendaji wa kata ya keko anatenda kama sheria za uchaguzi zinavyotaka kwa kumpatia mgombea halali fomu zake hii ilitokea baada ya mtendaji huyo kuchelewa kujificha hadi kukutwa ofisini na mgombea wa chadema ambapo akataka kukataa kumhudumia mgombea
wakuu wa vituo vya polisi waitwa mahakamani kueleza sababu za kukaa na mshtakiwa mahabusu kwa siku 14
dar es salaam mahakama ya hakimu mkazi kisutu imewataka wakuu wa kituo cha polisi kijitonyama na oysterbay kufika mahakamani hapo leo ijumaa oktoba 25 2019 kueleza sababu za kukaa na mtuhumiwa kwa siku 14 badala ya kumpeleka gereza la segerea mtuhumiwa huyo elizabeth balali alifikishwa
mswada sababu 50 za kuunga mkono dhidi ya sababu 15 za kuupinga mswada wa sheria ya vyama vya siasa tanzania wa oktoba 2018
a sababu 50 za kuunga mkono 1 ofisi ya msajili wa vyama vya siasa itakuwa na jukumu la kusajili vyama vya siasa 2 kutoa elimu ya uraia ni jukumu la pili la ofisi ya msajili wa vyama vya siasa 3 ofisi ya msajili kuwa ndiye msimamizi wa mienendo ya vyama vya siasa vyote nchini tanzania | 2020-02-28T13:34:25 | https://www.jamiiforums.com/tags/mahakamani/ |
courier ya uzazi ivfbabble
ivfbabblenet novemba 20 2017
uzazi courier
mwezi wa uhamasishaji saratani ya matiti hufanyika ulimwenguni kote mnamo oktoba kusaidia kuongeza ufahamu kwa ugunduzi wa mapema msaada wakati wa matibabu pamoja na utunzaji wa hali ya juu wa ugonjwa huu wa embryolab inasaidia sana | 2020-07-10T17:22:47 | https://sw.ivfbabble.com/fertility-courier |
yanayowakuta watoto burkina faso
1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 2013 2012 2011 2010 2009 pekua tovuti yanayowakuta watoto burkina fasoratifa baranyikwa wiki hii juni 12 dunia iliadhimisha siku ya kimataifa ya kupambana na ajira dhidi ya watoto ambapo shirika la kazi duniani (ilo) limetoa takwimu zinazoonesha kuwa watoto milioni 215 wanafanyishwa kazi nusu yao katika mazingira hatari
watoto hawa hufanyishwa kazi katika majumba ya watu machimbo ya dhahabu wanatupa taka ama wanasuka mazulia katika viwanda hawawezi kuandika hata jina lao ama kusoma kitabu kucheza kwao ni jambo ambalo hawalijui
zenabou ilboudou ni dada mkubwa sio katika hali halisi hapana dada huyu mwenye umri wa miaka 20 anafanya kazi katika wakfu wa terre des hommes kama dada mkuu kwa wasichana ambao wamekuwa wakifanyishwa kazi kama wafanyakazi wa ndani
amekuwa dada mkuu kwa sababu anafahamu tatizo hili kwa kuwa yeye binafsi kwa muda wa miaka saba aliwahi kufanya kazi kama mfanyakazi wa nyumbani katika mji mkuu wa burkina faso ouagadougou wakati akianza kazi hiyo alikuwa na umri wa miaka tisa
asubuhi 11 anakuamsha mama mwenye nyumba ili uanze kazi za ndani na ananipa pesa kwa ajili ya kununulia vyakula vya nyumbani baada ya hapo hupika na wakati baba mwenye nyumba hatapendelea mchuzi uliotengeneza unaingia katika matatizo
iwapo hutapigwa utagombezwa na kutukanwa mchana kupata chakula ni taabu sehemu yako ya kulala mara nyingi ni jikoni ama sakafuni anasema
burkina faso pamoja na nchi nyingine za afrika kuna maelfu kadhaa ya wafanyakazi wa nyumbani ambao wamefikwa na madhila yaliyomfika zenabou ilboudou
wengi wao wako katika umri kati ya miaka 9 na 14 wakati walipoanza kutafuta kazi wengi wao wanakimbia kutoka katika familia zao kwa sababu wazazi wao hawana fedha ama wameuzwa
masharti ya kazi kwa kiasi kikubwa ni kinyume na ubinadamu watoto wanatumiwa kama watumwa hupigwa hufanyiwa mambo mabaya ama kudhalilishwa kingono
halima fogo hivi sasa ana umri wa miaka 21 kwa muda wa miaka sita alikuwa akifanya kazi kama mfanyakazi wa nyumbani na amekuwa akidhalilishwa kingono mara kwa mara na waajiri wake wanaume
wakati baba mwenye nyumba akitoka kazini na kurudi nyumbani kwa kuwa mke wake hayuko nyumbani anaanza hunipa vishawishi na kusema iwapo nitalala nae mwishoni mwa mwezi ataniongezea mshahara anasema halima
ni vishawishi ambavyo ni kinyume na ubinadamu ni ahadi za uwongo zaidi ya hayo sehemu kubwa ya watoto wanaofanyishwa kazi kiasi ya theluthi moja hata hivyo hupata sehemu ndogo ya mshahara wao ama hawapati kabisa
burkina faso wasichana wengi wanafanya kazi katika kile kinachoitwa sekta isiyo rasmi katika sekta hii hakuna mkataba ama mafao ya kijamii
wakati huo huo serikali ya burkina faso inatambua matatizo haya na inajaribu kubadilisha mwelekeo huo kwa kushirikiana na mashirika kadhaa ya kijamii nchini humo na hata pia mashirika ya kimataifa kama terre des hommes ama shirika la umoja wa mataifa ya kuwahudumia watoto (unicef)
herman zoungrana meneja mradi wa terre des hommes nchini burkina faso anaelezea kile shirika hilo inachokifanya
kwa hivi sasa tuna mpango unaowahusu wasichana 700 ambao wameweza kwenda shule katika vijiji wanakotoka pamoja na mradi wa mafunzo ya kazi unaowahusu karibu wasichana wengine 100 na wengine zaidi ya 100 wanasoma katika shule ya sekondari katika mji wa tougan kaskazini magharibi ya burkina faso anasema zoungrana
shirika la kazi la kimataifa nchini burkina faso linasema hata hivyo kwa bahati mbaya hili ni tone tu linalodondoka katika jiwe lenye joto zaidi ya watoto 500000 wanafanyishwa kazi na hii si tu katika majumba ya watu binafsi karibu nusu wanafanya kazi katika takribani machimbo 600 ya dhahabu nchini humo
mikono midogo ya vijana hawa hutumika kuvunja vunja mawe ili kuweza kupata dhahabu miili midogo ya vijana hawa hutumika kupenya katika mashimo madogo ya machimbo ya dhahabu
mapafu yao huvuta hewa chafu ya kemikali zenye sumu za sianidi ama kemikali za asidi salfuriki hawana muda wa kupumzika wanafanya kazi mpaka usiku wa manane malipo kwa watoto hawa ni ya shida hupewa chakula tu
shule nyingi katika eneo lenye machimbo ya dhahabu zina wanafunzi wachache watoto wameamua kuwa hawana muda wa kwenda shule
unicef imefanikiwa kuwapeleka watoto 7000 shuleni na hii ni hali ya kutia moyo
na mafanikio haya si rahisi kila mara kwa sababu kazi katika machimbo ya dhahabu inawavutia watoto wengi licha ya ugumu wake
wanafikiria kufanya kazi ya kuvunja mawe na kupata dhahabu kidogo ili kupambana na umasikini unaowakabili juu | 2013-05-21T08:51:45 | http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=37060 |
maafisa walevi waliokuwa wakisumbua watu wachapwa kufungwa kamba na kukabidhiwa polisi wenzao ▷ kenya news kenyan digest
maafisa walevi waliokuwa wakisumbua watu wachapwa kufungwa kamba na kukabidhiwa polisi wenzao ▷ kenya news
not a great weekend says hamilton after triple austria penalty july 5 2020
ramos penalty again proves the difference as real win in bilbao the standard sports july 5 2020
ps hinga launches affordable samara estate in migaa july 5 2020
wawili hao walikuwa wakiwahangaisha raia na walikuwa walevi
umma iliwakamata na kuwafunga kwa kamba kabla ya kuwakabidhi wenzao
walikunywa pombe ya mnazi katika kijiji cha mararani kinachotambulika kwa biashara ya vileo vya kienyeji
polisi waliwatawanya wakazi waliokuwa wakiwapiga polisi hao na kuwakamata watu 10
maafisa wa polisi kisiwani lamu wamelilazimika kutumia nguvu kuufukuza umati uliokuwa ukiwatandika wenzao wawili waliokamatwa wakiwa walevi
habari nyingine mwigizaji kate actress awafichulia mashabiki wake jinsia ya mtoto anayetarajia
yadaiwa maafisa hao walikuwa wamekunywa pombe ya mnazi katika kijiji cha mararani kinachotambulika kwa biashara ya vileo vya kienyeji picha nation
wawili hao walikuwa wakiwahangaisha raia na baada ya umma kuwakamata waliwafunga kwa kamba kabla ya kuwakabidhi wenzao
yadaiwa maafisa hao walikuwa wamekunywa pombe ya mnazi katika kijiji cha mararani kinachotambulika kwa biashara ya vileo vya kienyeji
kwa mujibu wa ripoti ya taifa leo jumanne disemba 3 wawili hao walikuwa wanapepesuka kwa ulevi na walikuwa wamevalia kiraia kisha walianza kuhangaisha wakazi kwa kuwalazimisha kujitambulisha kwa kuonyesha vitambulisho vyao vya kitaifa
habari nyingine kcse walimu wagoma kwa muda kusahihisha mtihani kulalamikia utenda kazi duni
kiongozi wa nyumba kumi kijijini humo william diwa alisema polisi waliobeba silaha waliwasili na kuanza kuwapiga wanakijiji kabla ya kuwakamata zaidi ya 10 picha undp kenya
tukocoke imengamu kuwa waliokaidi amri ya maafisa hao walitandikwa jambo lililowakasirisha wakazi ambao baadaye walikusanyika na kuwaandalia njama maafisa hao waliwapiga bila huruma na baadaye waliwafunga kamba mikononi na kuwaitia polisi wenzao kuwachukua
kiongozi wa nyumba kumi kijijini humo william diwa alisema kundi la polisi waliobeba bunduki na marungu liliwasili na kuanza kuwapiga wanakijiji kabla ya kuwakamata zaidi ya 10 na kuwapeleka kituo cha polisi cha kisiwani lamu
habari nyingine bintiye marehemu njenga karume kuzikwa katika ardhi takatifu israel
waliokamatwa wakati wa tukio hilo walipelekwa katika kituo cha polisi cha lamu picha nation
kamishna wa kaunti ya lamu irungu macharia alithibitisha tukio hilo na akasema tayari uchunguzi umeanzishwa
mmoja wa polisi anadai kuibiwa ksh 7000 wakati wa tukio hilo ilhali kijana mmoja pia amedai kupokonywa simu yake ya mkononi na maafisa hao wote wamekamatwa na kufikishwa kituoni kuandikisha taarifa huku uchunguzi ukiendelea macharia alisema
je unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe tafadhali wasiliana nasi kupitia [email protected] au whatsaapp 0732482690
kenya roads board ceo in court over air pollution charges
ramos penalty again proves the difference as real win in bilbao the standard sports
argentina to renew offer to creditors extends negotiation president [article] | 2020-07-05T19:59:04 | https://kenyandigest.com/maafisa-walevi-waliokuwa-wakisumbua-watu-wachapwa-kufungwa-kamba-na-kukabidhiwa-polisi-wenzao-%E2%96%B7-kenya-news/ |
naibu balozi wa israel nchini mhe michael baror atembelea taasisi ya moyo jakaya kikwete(jkci) dar es salaam yetu
» naibu balozi wa israel nchini mhe michael baror atembelea taasisi ya moyo jakaya kikwete(jkci) naibu balozi wa israel nchini mhe michael baror atembelea taasisi ya moyo jakaya kikwete(jkci) ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia barua pepe yetu blogzamikoa@livecom au whatsapp namba +255765056399 mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya moyo jakaya kikwete (jkci) prof mohamed janabi akimsikiliza naibu balozi wa israel nchini mwenye makazi yake jijini nairobi nchini kenya mhe michael baror alipotembelea taasisi hiyo jana kwaajili ya kuona huduma mbalimbali za matibabu ya moyo wanazozitoa mhe naibu balozi baror aliahidi nchi yake kuendelea kushirikiana na taasisi hiyo ili watanzania waendelee kupata huduma bora za matibabu ya moyo mwanzoni mwa mwezi ujao jumla ya watoto tisa wanatarajia kwenda nchini israel kwaajili ya matibabu ya moyo | 2017-05-24T00:33:21 | https://daresalaam-yetu.blogspot.com/2017/02/naibu-balozi-wa-israel-nchini-mhe.html |
ubushabitsi page 6
home » about ubushabitsi » page 6
rwf295000
frigo nziza igurishwa kuri 295000rwf
iyi ni frigo nziza yakoreshwa muri alimentation iragurishwa kuri 295000rwf contacts +250783515900(whatsapp) +250728703370 +250733515900 niemile@kigalilifecorw
akameza nintebe 2 bigurishwa kuri 50000rwf
furniture ubushabitsi april 7 2017
akameza ni kamwe nintebe 2 contacts +250783515900(whatsapp) +250728703370 +250733515900 niemile@kigalilifecorw
toyota landcruiser for sale at 4000000rwf
price4000000 rwf make toyota transmissionmanuel doors3 year1995 insurance ok controlok contacts +250783515900(whatsapp) +250728703370 +250733515900 niemile@kigalilifecorw
frigo nziza igurishwa kuri 100000rwf
furniture ubushabitsi april 6 2017
frigo nziza igurishwa kuri 100000rwf niba ukyineye contacts +250783515900(whatsapp) +250728703370 +250733515900 niemile@kigalilifecorw
flat screen samsung for sale at 230000rwf
furniture ubushabitsi april 5 2017
iyi flat screen ni samsang imaze amezi 3 ikoreshwa iragurishwa kuri 230000rwf
242 total views 11 today
trucks ubushabitsi march 29 2017
matela flix ifite size 180m iragurishwa 100000rwf
furniture ubushabitsi march 28 2017
iyi matela ni flix from size ni 180m iragurishwa iracyari nshyashya yaraguzwe yanga gukwira muri chamber iragurishwa 100k negociable
ibitanda 2 bigurishwa kimwe kuri 160000rwf naho ikindi kuri 150000rwf
hari kandi ibibitanda bya libuyu size ni 160m na 140m biragurishwa 160m ni 160k naho 140m ni 150k byose ni negociable contacts +250783515900(whatsapp) +250728703370
scorpio mahindra jeep2011 ishaka 85million ifite 7 seater rac controle na assurance
trucks ubushabitsi march 24 2017
daihatsu igurishwa kuri 9500000rwf
daihatsu long sache mazout manuel year 1998 price 95 millions frws
van for sale at 19000000rwf
price19000000 rwf make ford transmissionmanuel plate racv doors4 year2012 insurance ok controlok contacts +250783515900(whatsapp) +250728703370 +250733515900 niemile@kigalilifecorw
housesapartment for sale ubushabitsi march 21 2017
inzu igurishwa 50000000 rwf hafi ya regina pacis i remera
housesapartment for sale ubushabitsi march 20 2017
iyi nzu iherereye remera bibare oposite na regina pacis churc iyi nzu yubatse mu matafari ahiye iyo nzu ifite ibyumba3 (3bedroom)ubwogero 2 (2bathroom) icyuma kinini []
rwf9900000
toyota hilux pick up for sale at 9900000rwf
trucks ubushabitsi december 20 2016
price9500000 rwf transmissionmanuel plate racl year2002 insurance ok controlok contacts +250783515900(whatsapp) +250728703370 +250733515900 niemile@kigalilifecorw | 2017-08-17T19:25:35 | http://kigalilife.co.rw/author/ubushabitsi/page/6/ |
\ mtambue allah kwa majina yake na sifa zake \ kuishi pamoja na allah na majina yake na sifa zake \ allah mwenye kupokea toba
allah mwenye kupokea toba
hakika allah ni mwenye kupokea toba {hakika mwenyezi mungu ndiye mwenye kupokea toba na mwenye kurehemu} (attawba 118)
mwenye kupokea toba aliye amrisha toba kwa waja wake kwake ni neema na ukarimu wake bali aliwaahidi mengi zaidi ya hayo nao ni kuyafanya mabaya kuwa mema
mwenye kupokea toba ambaye anawathibitisha waja wake katika toba nakuwasaidia katika maamrisho
mwenye kupokea tobaambaye bado anakubali toba ya wenye kutubia na anasamehe madhambi ya wenye kukosea kila mwenye kutubia kwa allah toba ya kweli allah anakubali toba yake yeye ni mwenye kupokea toba kwa wenye kutubia mwanzo kwa kuwafikia kufanya toba na kuwakubalia naye ni mwenye kupokea toba baada ya kutubia kwao kwa kuwasamehe madhambi yao
mwenye kupokea toba ambaye anawafiki waja wake kufanya toba na anawahimiza katika hilo na anawafanya kumpenda kwa kupitia hilo
mwenye kupokea toba ambayo anaikubali kutoka kwa waja wake na anawathibitisha kwa hayo na ananyanyua daraja na anawafutia madhambiallah aliyetukuka na utukufu wake
hakika allah ni mwenye kupokea toba | 2018-08-21T16:02:34 | http://sw.with-allah.com/Kuishi-pamoja-na-Allah-na-majina-yake-na-sifa-zake/Allah-Mwenye-kupokea-toba-.aspx |
mwinyi aeleza utalii unavyopaisha uchumi zbar | mtanzania
home biashara na uchumi mwinyi aeleza utalii unavyopaisha uchumi zbar
mwinyi aeleza utalii unavyopaisha uchumi zbar
mwandishi wetu pemba
rais mstaafu ali hassan mwinyi amesema kuwa sekta ya utalii ni muhimu kwa uchumi wa zanzibar kwani inachangia asilimia 27 ya pato la taifa hivyo juhudi za makusudi zinahitajika kuhakikisha utalii unakua na kuimarika
alisema kuwa ni vyema kutumia fursa zilizopo kuutangaza na kuimarisha utalii zanzibar sambamba na kupewa kipaumbele ili kukuza uchumi wa nchi na kuwanufaisha wazanzibar wote
mwinyi alisema hayo mwishoni mwa wiki kisiwani pemba alipokuwa akifunga tamasha la utalii
alisema kuwa asilimia 80 ya fedha zinatokana na fedha za kigeni za utalii
sehemu 27 ya maisha yetu hapa zanzibar zinatokana na harakati za kiutalii hivyo tujue kuwa utalii ni jambo kubwa ni vyema kujua kuwa kila mmoja unamsaidia kwa nafasi yake alisema
rais mstaafu alisema idadi ya wageni wanaoingia zanzibar inaongezeka kila mwaka ingawa kisiwani pemba idadi bado ni ndogo
alisema kuwa idadi ya watalii walioingia kisiwani pemba mwaka 2014 ni 26465 ambapo mwaka jana waliingia watalii 29403 hivyo juhudi zinahitajika zaidi kuongeza idadi ya watalii kisiwani humo
kumbe kisiwa hiki kina mambo mengi ya kiutalii ambayo hapo awali tulikuwa hatuyajui tuyatangaze maeneo yetu ya kiutalii ili wageni waingie kwa wingi alisema
aidha aliwataka vijana kufanya mazoezi ili kuijenga miili yao sambamba na kufaidika na zawadi zinazotolewa wakati zinapotokea shughuli kama hizo
kwa upande wake waziri wa habari utalii na mambo ya kale mahmoud thabit kombo alieleza kuwa mafanikio yanayopatikana katika sekta ya utalii yanatokana na serikali kuimarisha vianzio mbalimbali vya utalii
sera ya utalii kwa wote imewanufaisha wananchi wote kwani wanafanya biashara huuza bidhaa zao kwenye sehemu za kiutalii wavuvi wafugaji na wakulima nao hufaidika alisema
mkurugenzi wa kamisheni ya utalii zanzibar abdalla mohamed juma alisema lengo la kufanyika tamasha hilo ni kuifungua zanzibar kiutalii hasa kisiwa cha pemba ambacho bado kipo nyuma kiutalii
kwa upande wao washiriki wa mbio za nyika waliiomba kamisheni ya utalii kuimarisha zaidi maeneo wanayotakiwa kukimbia ili kuepusha matatizo yanayoweza kuepukika
previous articlehasunga wataka vijana kugeukia sekta ya kilimo
next articlewakulima wa ndizi waiangukia wizara ya kilimo | 2020-05-27T06:15:22 | http://mtanzania.co.tz/mwinyi-aeleza-utalii-unavyopaisha-uchumi-zbar/ |
amerika yakashifu ukatili waliotendewa wanafunzi makerere taifa leo
amerika yakashifu ukatili waliotendewa wanafunzi makerere
ubalozi wa amerika nchini uganda umekashifu vikali ukatili waliotendewa wanafunzi wa chuo kikuu cha makerere na maafisa wa polisi wakati wa mgomo alhamisi iliyopita huku ukiitaka serikali kuingila kati
ubalozi wa amerika nchini uganda umetatizwa mno na dhuluma katika chuo kikuu cha makerere kuhusiana na maandamano yanayoendelea dhidi ya nyongeza za karo zilizopendekezwa video za maafisa wa usalama wakiwashambulia wanafunzi ambao hawakuwa wamejihami katika ukumbi wa mikutano pamoja na mashambulizi dhidi ya wanahabari waliokuwa wakifuatilia maandamano hayo hasa ni ya kutatiza mno ilisema taarifa ya amerika
ikaongeza hatua hii kali ya huduma ya ulinzi haifai na ni ukiukaji dhahiri wa haki za kukusanyika kuzungumza na kujieleza zinazohakikishwa na katiba ya uganda tunahimiza serikali ya uganda kuwaruhusu raia wake wote kufurahia haki zao kwa njia ya amani bila hofu
msemaji wa polisi fred enanga alitetea matumizi ya nguvu ya kikosi hicho cha pamoja cha maafisa wa usalama katika kusaka ukumbi wa mikutano wa wanafunzi
pindi kamanda wa polisi anapotoa amri wakati wa ghasia akiamrisha mwache kuzua fujo mnapaswa kutii alisema bw enanga akisema kuwa kinachotendeka baadaye hata kama kinahusu kifo afisa wa polisi hawezi kulaumiwahata hivyo sheria ya polisi inaruhusu tu matumizi ya nguvu ambayo yanaambatana na pingamizi
bw enanga alisema walipokea habari za kijasusi kuhusu kuwepo kwa kikosi cha tatu kilichohusika na ghasia hizo
alisema idadi kubwa ya wanafunzi walikuwa wametoa hela zilizotumwa na mtu ambaye hakumtaja na kwamba walizichukua kutoka kwa ajenti mmoja wa kituo cha kutuma hela kupitia rununu chuoni humo
alisema kundi hilo limekuwa likiwachochea wanafunzi kutoka vyuo vikuu vinginevyo kama vile kyambogo na shule ya biashara ya chuo kikuu cha makerere nakawa kujiunga na maandamano hayo
chama cha forum for democratic change (fdc) kimelaani kuhusika kwa jeshi katika mgomo wa wanafunzi na kuitaka serikali kuwaondoa wanajeshi mara moja
ibrahim ssemujju nganda msemaji wa chama hicho jana alieleza vyombo vya habari katika makao makuu ya fdc najjanankumbi kuwa hatua ya kuvunja vyumba vya wanachuo ilikuwa ugaidi mbaya zaidi na udhalilishaji ambao kiongozi yeyote anaweza kutendea watu wake
mku makerere waingia katika ushirikiano kielimu | 2019-11-20T10:06:43 | https://taifaleo.nation.co.ke/?p=39668 |
dar es salaam jiji ghali kuishi bbc news swahili
dar es salaam jiji ghali kuishi
https//wwwbbccom/swahili/habari/2015/01/150106_utafiti_numbeo
image caption wakazi wa dar es salaam hutumia gharama kubwa kufanya manunuzi
wakazi wa jiji la dar es salaam hutumia gharama kubwa zaidi kulipia mahitaji yao ya muhimu kuliko wenzao wengine wa afrika mashariki jijini nairobi na kampalautafiti uliofanywa na shirika linalotathimini gharama za maishanumbeo umeeleza
utafiti huu ulifanywa ukihusisha miji mikubwa 22 ukiangalia uwezo wa kununua bidhaabiashara za migahawani hali kadhalika utafiti huu ulijikita kwenye gharama za juu na urahisi wa maisha ya mijini
kwa mujibu wa ripoti ya numbeo takwimu za gharama za watumiaji kwa wakazi wa dar es salaam kwenye bidhaa na huduma mbalimbali ni asilimia 6283 ambayo imezidi kampala na nairobi zenye asilimia 5434
kwa sasa kenya ni nchi inayoongoza kwa kuwa na uchumi mkubwa afrika mashariki na iko nafasi ya sita barani afrika hata hivyo kwa mujibu wa matazamio ya benki ya standard charterd tanzania inaelekea kuipiku kenya na kuwa nchi yenye uchumi mkubwa ifikapo mwaka 2030 iwapo pato la taifa halitabadilika | 2018-06-22T00:40:09 | https://www.bbc.com/swahili/habari/2015/01/150106_utafiti_numbeo |
nec matokeo kura za urais kubandikwa vituoni mzalendonet
nec matokeo kura za urais kubandikwa vituoni
by jackline masinde na julius mathias mwananchi
tume ya taifa ya uchaguzi (nec) imesema kuanzia sasa itaanza kubandika matokeo ya kura za urais kwenye vituo vya kupigia kura katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu ili kuongeza uwazi na kupunguza malalamiko ya wizi wa kura
mpango huo umeelezwa na mwenyekiti wa nec jaji mstaafu damian lubuva alipozungumza na viongozi wa dini mjini dar es salaam ambao walimueleza hoja hiyo kuwa moja ya vigezo vitakavyokamilisha mchakato huo kwa amani na utulivu na kuwaridhisha wagombea na wafuasi wa vyama
alisema licha ya kubandikwa vituoni utangazaji wa matokeo utafanyika kama kawaida katika kila ngazi udiwani kwenye kata ubunge wilayani na urais tume makao makuu
jaji lubuva aliwahi kulieleza gazeti hili siku za nyuma kuwa hakuna haja ya kuwa na shaka wala kuandaa vijana wa kulinda vituohakutakuwa na nafasi hiyo kwa sababu kura zote zitahesabiwa na kubandikwa vituoni
kila mtu atajua diwani gani kapata kura ngapi na mbunge na hata rais aliyemchagua itakuwa tofauti na zamani ambapo zilikuwa zinasafirishwa na kuhesabiwa wilayani ambako watu wengine walidhani yanabadilishwa alisema
kampeni za kashfa
aidha viongozi wa dini wamewataka wagombea wafuasi na wanaowanadi kuacha lugha za matusi vitisho kejeli na kukashifiana ili kuepuka kuchochea fujo na uvunjifu wa amani badala yake wajikite katika kunadi sera za vyama vyao
tamko la viongozi hao lililotolewa juzi baada ya mkutano wa viongozi hao uliofanyika dar es salaam na kuweka mikakati ya muda mrefu ya amani kwa kuishirikisha tume ya taifa ya uchaguzi (nec) taasisi ya kudhibiti kupambana na rushwa (takukuru) ofisi ya msajili wa vyama vya siasa na jeshi la polisi
sisi viongozi wa dini tumejiwekea makubaliano katika kuhakikisha uchaguzi unakuwa wa amani na hatutatumia nyumba za ibada kuwa sehemu ya majukwaa ya wanasiasa ilisomeka sehemu ya tamko hilo lenye kurasa tatu
katika tamko hilo viongozi hao wamewataka wagombea kutotumia nyumba za ibada kuonyesha ushabiki kwa chama cha siasa au mgombea yeyote katika kipindi cha uchaguzi mkuu na kuishauri nec kutopanga upigaji kura siku za ibada
ushauri huo umetolewa siku mbili baada ya mgombea urais wa tlp mackmillan lyimo kushauri uchaguzi huo ufanyike jumatatu oktoba 26 badala ya oktoba 25 ili kutoa uhuru kwa baadhi ya watu kuabudu
akizungumzia suala hilo mwenyekiti wa nec jaji mstaafu damian lubuva aliyeshiriki mazungumzo hayo alisema tume imeridhia kubadili siku hiyo katika siku za usoni lakini mwaka huu ilishindikana kutokana na taratibu nyingine kukamilika
huko mbele ya safari uchaguzi hautafanyika ijumaa jumamosi wala jumapili tumezungumza na kukubaliana hilo na maaskofu na tutalizingatia
aliongeza awamu hii ilishindikana kwa sababu zanzibar walikuwa wameshatangaza tarehe ya uchaguzi maandalizi yalikuwa yamekamilika alisema jaji lubuva
viongozi hao wa dini pia waliitaka nec kuweka utaratibu maalumu wa kuwaruhusu wanafunzi wa vyuo vikuu pamoja na watu wote watakaojiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi ujao jambo ambalo tume hiyo ilishasema kila aliyejiandikisha atapiga kura
huu ni mwaka dume
ccm wamedandia sera ya mafuta mseif
uamsho wamebaki na mungu tu
kisonge waanza kushosheana vidole | 2019-01-18T18:51:31 | https://www.mzalendo.net/habari/nec-matokeo-kura-za-urais-kubandikwa-vituoni.html |
nzega yamchefua makamba atoa maagizo makali dar24
9 months ago comments off on nzega yamchefua makamba atoa maagizo makali
waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais muungano na mazingira january makamba amewataka wakazi wa wilaya ya nzega kuwa wakali kwa rasilimali zao na kuhakikisha mazingira kwa ujumla wake yanatunzwa kwa sheria kali zaidi
ameyasema hayo mara baada ya kufanya ziara na kupokea taarifa kutoka kwa mkuu wa wilaya hiyo godfrey ngukuwa kuhusu uharibifu wa mazingira
aidha makamba ameagiza kufanyika kwa operesheni kali na kuwachukulia hatua wale wote wanaojihusisha na uharibifu huo
ndugu zangu sina budi kuwakumbusha kuwa siku hizi kuna wakimbizi wa mazingira watu wanaharibu mazingira katika maeneo yao na kuhamia maeneo mengine jitihada za maendeleo zote hazitakuwa na maana kama hatutatunza mazingira amesema makamba
hata hivyo makamba amewaeleza wakazi wa vijiji vya ngukumo na mwambaha kuwa na uhifadhi wenye tija ni ule ambao wananchi wako tayari kushiriki kwa nguvu zote katika kuunga mkono shughuli za maendeleo
video ccm yapasuka makada watishia kususia kampeni za mwita waitara julius kalanga mbowe sumaye kutikisa leo ukonga
habari 10 mins ago comments off on video wewe masele mimi siwezi kukupa vx wala usalama wa taifa wa kukulinda spika ndugai | 2019-05-24T05:52:02 | http://dar24.com/nzega-yamchefua-makamba-atoa-maagizo-makali/ |
yakuza 2 ( )
yakuza 2 ( )
yakuza 2 (pc )
2
whupped
2
jin kazama
r2 r3 l2 x
battle mode r1 r1 x r2
( )
1 kazuma
2 x 1
3
dojima
1
2
3
4
5
6 dodge
7
8
9
10 smash
11 x
12
13 combo r2
14
2
3
4
5 satenbori
7
8 usher
9
10 satenbori
11 kurakawa
12 vip
14 vip
15 vip 5
16
17 vip
18
19 kumohoro
20
21
* 's
1
2
3
4 # 5
5
6
7
8
9 /
10
11
12
13
14
15 's
16
17
18
19
20
21
22
23
24
kings
1
2 aoi night life
4 aoyami
5 aoi
6
7 aoi
8
9 tamiyo
10
11 (shotenfuko)
12 bishamon dasher
13
14 ramen
15
16 aoi
17 kanamatsu
18
19 aoi
20
21
22
23 shokufucho
24
25 5
26
27 jongka sega
28
29 kitty kat
30 win kitty kat
32 whup
33
34
35 yakiko
36 jongka
37 reach
38
39
40
41
42 300000
43
44
45 stoji
46 reach
47
48 whup
49 aoi
1
2
3
4
5 1
6 nakamichi
7
9
10
11
12
13
14
15
16 blk
17
18
19 hitman
20 whup
21 kamurocho
22
23
24 ()
25
26
27
28 majima
29
30 / unequip
31
32
33
34
35
36
37 majima
38 r2
39
40 (hq)
1
3 tamiyo
4
5
6
7
8
9
10 16 whup
11
12
13
14
15
16 whup
17
19
20
21 x quicktime
22
23
24 ( )
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
*
1
2 taihei bl
3 doc
4
5
6 bantam
7 bantam
9
10
11
12
13
14
15
16 quicktime
17
18 bantam
19
20 bantam
21
22
23 whup
24
25
26
27
1
2
3
4 taihei
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18 hp
19 hp
20 hp
21
22 hp
23
24 hp
25
26
27
28
29
30
31
33 2f
34 3f
35
36
37
38
39
40 3f
41
42 4f
43 go
44
45
46
47
48
49
50 knifer
51
52
53
1 kashigawa
2 kashigawa
3
4
5
6
7
8 go
9
10 go
11
12
13 sengokou
14
15
16 majime
17 16 1 ( ) majime
18
19
20
21
22
23 nishiki
24
25
26
27
28
29
30
31 hp
32
33
34 hp
35
36 ( )
37
38 swing
39
40 hp
41 quick time
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
*
1
2
3
4
6
7 aftewards
8 shellac
9 1500 xp
10
11
12 shikifuku
13
14
15 shellac
16
17
18 shellac
20
21
22
23 stoji
24
25 stoji kitigawa
26
27
28
30 kazahori's
32 shofukochu
33
34
35 satoshi
36 kazahori
37
1
2
3 shinseicho
6
7
8
9
10
11
12 tsutenkatu
13
14
15 1000
16 arigato
18
19 arigato
20 tsutenkatu
21
22 100
23 laguna
24
25 laguna
26
27 503
28 yotteya bear goruman
29 ryumi
30 tsutenkatu
31
32
33 jingweon
34 knifers
35
36
2
3 aoi
4 aoi
6 sengoku
7
8
9
10 yokobori
11 yokobori
12
13
14
15
16
17 sotenburi
18
19
20
21 sengokou shinseicho
22
23
24 30000 500
25 shinseicho
26
27
28
29
30 tsutenkatu
31
32
34
35
36
37
38 ninjas
39
40
41
42
43
44
45
46
47 ninjas
48
49
51 sengokou
52 sicks
53
54 swing
55
56 r2
57
58
59
up
3 aoi
4
5 sega kanamatsu
6 y76
7 sega
8 kanamatsu
9
10 1500
11 aoi
12
13
14 talent agency mercedes benz
15
16 ( )
17
19 stoji
20
21 aoi
22
23
24
25
26
27
28
29
30
32
33 jingweon
34
35 jingweon
36 substituion
37
38 kurahashi
39
40
go
3 shikifuko
4 kanamatsu
5
7
8
9
10 bukuto 80
11
12 bukuto
13 2000
14 lotus
15
16 50000
17
18
19 prankster
20
21 1989 ( )
22 1000
23
24 shichifuku
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
36
37
38
39
40
41
42
43 go
44
45 bantam
46 go
47 bantam go
48 go
49 go
50 stardust
51
52 go
53
54
bondage
4
5
6
7
8
9
10
11
12
14 3000
15
16
17
18 30000
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29 41000
30
31
32
33 13
34
36
* sotenburi 5 ( )
* sotenburi tatsui ( )
2
3
4
5
6
7 kamurocho
8 jingweon
9 1
10 knifer
11
12
13 kamurocho
14 jingweon
15
16
17
18
19
20
21 tauriner + +
22
24
25
26
27
28
29 r2
30
31 quick time event
32
33
* ( )
2 combo
3
4
5 quick time event
6
7
8 quick time
9 x
10
11
12 quick time
13
14
15 roll
16 yakuza 2 (pc ) | 2016-10-23T20:19:44 | http://www.visionary.ru/page_106.html |
habari na matukio dc asia abdalah aanza kazi kilolo kwa kupima ukimwi
dc asia abdalah aanza kazi kilolo kwa kupima ukimwi
mganga wa kituo cha afya kilolo ephlon msuva akimpima hiv mkuu wa wilaya ya kilolo mkoani iringa bi asia abdalaha ambaye alitembelea kituo hicho kuhamasisha zoezi la upimaji vvu na kuona huduma zinazotolewa kituoni hapo mkuu wa wilaya ya kilolo bi asia abdalah katikati akiwa na watendaji wa kituo cha afya kilolo kushoto ni mganga mkuu wa kituo hicho dr seleman hassan na kulia ni ephlon msuva
na matukiodaimablog mkuu mpya wa wilaya ya kilolo mkoani iringa bi asia abdalah ameanza kazi ya kumwakilisha rais dr john magufuli kwa kupima virusi vya ukimwi kama njia ya kuhamasisha wananchi wa wilaya ya kilolo kupima afya zao
akizungumza baada ya kupima na kutembelea kukagua huduma zinazotolewa kituo cha afya cha kilolo leo asubuhi mkuu huyo wa wilaya alisema kuwa ni siku yake ya pili ya kuanza kazi ndani ya wilaya hiyo ya kilolo ila mbali ya siku ya kwanza kufuatilia utekelezaji wa agizo la rais dr magufuli la madawati siku yake ya pili ameamua kutembelea kituo cha afya kuona huduma zinazotolewa pia kupima hiv kama njia ya kuhamasisha jamii
mkuu huyo alisema kuwa mkoa wa iringa kwa takwimu zilizopo unaonyesha kuwa ni miongoni mwa mikoa ambayo ipo juu katika maambukizi ya virusi vya ukimwi na wilaya yake ya kilolo ni miongoni mwa wilaya zenye maambukizi ya vvu hivyo pamoja na kutembelea na kupata maelezo ya mikakati ya wilaya katika kupambana na maambukizi mapya ya vvu amelazimika kupima vvu kama sehemu ya kuhamasisha jamii ya kilolo na pia kuonyesha mfano kwa jamii
nawaomba wananchi wa kilolo kujenga utamaduni wa kujua afya zao kwa kupima vvu pamoja na magonjwa mengine ambukizi ili kuwa na wananchi wenye afya bora
alisema kuwa serikali imeweka utaratibu mzuri wa kuwapatia dawa wale wote watakaobainika kuwa na maambukizi ya vvu na kuwa lengo ni kuona hakuna mtanzania ambaye anapoteza maisha kwa kukosa dawa hizo za kupunguza makali ya virusi vya ukimwi
aidha aliwataka wauguzi na madaktari katika wilaya hiyo kuendelea kufanya uhamasishaji na elimu kwa jamii ili wazidi kujitokeza kuchunguza afya zao
pia alisema amefurahishwa na mkakati wa wilaya ya kilolo wa kujenga hospitali yake ya wilaya katika makao makuu ya wilaya hiyo na kuwa tayari wilaya imetenga ardhi kwa ajili ya ujenzi huo
alisema suala la kusogeza huduma za afya karibu na wananchi ni moja kati ya sera chama cha mapinduzi (ccm) na kwa upande wake atahakikisha ujenzi huo unakamilika kwa upande wake mganga wa kituo hicho cha afya kilolo dr seleman hassan alisema wilaya hiyo imekuwa na mikakati mbali mbali ya kupambana na maambukizi ya vvu na kuwa wakati wa mbio za mwenge wilayani hapo jumla ya watu 200 walijitokeza kupima vvu na kati yao watu 19 waligundulika kuwa na maambukizi ya vvu na tayari wameingizwa katika huduma ya kupewa dawa za arvs posted by | 2017-01-19T04:30:00 | http://www.kajunason.com/2016/07/dc-asia-abdalah-aanza-kazi-kilolo-kwa.html |
mpenzi wako anakuomba sana fedha global publishers
mpenzi wako anakuomba sana fedha
hii inakuhusu ipo dhana iliyojengeka kwenye vichwa vya watu wengi wanaume kwa wanawake kwamba unapokuwa na mpenzi ambaye mara kwa mara anakuomba fedha tambua kwamba hana mapenzi na wewe ila yupo kimaslahi zaidiutawasikia wanaume wakielezana kwamba siku hizi unaweza kuanzisha uhusiano na mwanamke unayempenda lakini baada ya muda mfupi sana ataanza kukuomba fedha ataibuka na matatizo chungu nzima ambayo yote yanahitaji fedha kwa lengo la kukupiga mizinga
wanachokiamini wengi ni kwamba mwanamke wa aina hii hafai kabisa na unatakiwa kumuepuka mapema kwa wanawake ambao nao kidogo wanajiweza kiuchumi nao wamekuwa wakiamini kwamba mwanaume anayependa kukuombaomba fedha hana mapenzi ya dhati na wewe na kinachomfanya awe karibu na wewe si mapenzi bali ni kwa sababu anaangalia maslahi yake
siku chache zilizopita nilipokea ujumbe kutoka kwa moja kati ya wasomaji wangu wa siku nyingi huyu dada aliniambia yeye anaishughulisha na biashara lakini tatizo kubwa ambalo amekuwa akikumbana nalo kila anapoanzisha uhusiano wanaume anaokuwa nao wanakuwa wanamuomba sana fedha mpaka inafika mahali anaamua kuachana nao wiki chache zilizopita pia nilipigiwa simu na msomaji mwingine ambaye aliniambia kwamba kuna mwanamke anampenda sana lakini tatizo lake anamuomba sana fedha yaani haziwezi kupita siku mbili tatu bila kuja na shida ambayo inahitaji fedha
jambo ambalo unatakiwa kulielewa ni kwamba mapenzi ni kusaidiana unapompenda mtu fulani bila kujali kama wewe ni mwanaume au mwanamke ule moyo wa upendo unakufanya utamani kumuona akiwa na furaha wakati mwingine hata kama hujaombwa ukimuona mtu unayempenda anahitaji kitu fulani ule upendo utakusukuma kumtimizia kwa moyo mweupe kabisa ndiyo kwa sababu unataka afurahi kwa mwanaume unapokuwa kwenye uhusiano na mwanamke tayari linakuwa ni jukumu lako kumtimizia mahitaji yake mbalimbali
ni makosa kwa mwanaume kulalamika kwamba eti mpenzi wake anakuomba sana fedha kwa hiyo ulitaka akiwa na shida aende kudanga mitaani au akamuombe nani kama siyo wewe kama unao uwezo wa kumsaidia msaidie tena bila kuhesabu wala kunungunika
lakini pia kama wewe mwanamke ndiye mwenye uwezo kuliko mwenzako bado hakuna tatizo lolote kwa wewe kumsaidia kwa sababu leo wewe unaweza kuwa nazo lakini hujui miezi michache baadaye hali yako itakuwaje yawezekana yuleyule uliyekuwa unamuona kama ni mzigo kwako ndiyo akaja kukusaidia
penzi la kweli halina masharti wala halihesabu gharama ukiamua kumpenda kwa dhati muoneshe kwa hali na mali kwamba unampenda isiwe i love you zinaishia mdomoni tu lakini unapotakiwa kumgharamia unaanza kukunja sura mapenzi hayapo hivyo
lakini pia kwa wewe unayependwa isiwe kwa sababu unajua kwamba mtu fulani anakupenda basi ndiyo iwe sababu ya kuwa kila dakika unampiga mizinga tu mfanye ajisikie amani kukusaidia kwa kadiri ya uwezo wake lakini isiwe kama unamlipisha kwa sababu anakupenda kwa leo ni hayo tu tukutane tena wiki ijayo | 2019-08-25T20:02:36 | https://globalpublishers.co.tz/mpenzi-wako-anakuomba-sana-fedha/ |
katika maadhimisho ya mwaka wa watawa rehema kamili kutolewa kwa waamini
20141202 074543
katika maadhimisho ya mwaka wa watawa duniani unaowachangamotisha watawa wa mashirika ya kitawa na kazi za kitume kuyapyaisha tena maisha na utume wao ndani ya kanisa kwa kuendelea kuwa waaminifu kwa karama za waanzilishi wa mashirika yao pamoja na kutoa fursa kwa familia yote ya mungu kuweza kufurahia maadhimisho haya katika imani matumaini na mapendo huku wakiungana na kanisa zima baba mtakatifu francisko ametoa zawadi ya rehema kamili kwa waamini wote watakaotimiza masharti yaliyowekwa
ili kupata rehema kamili mwamini atapaswa kupokea sakramenti ya upatanisho ekaristi takatifu na kusali kwa ajili ya nia za baba mtakatifu zawadi hii inatolewa kwa waamini wote watakaotekeleza masharti haya tangu jumapili ya kwanza ya kipindi cha majilio hadi tarehe 2 februari 2016 kanisa litakapokuwa linafunga rasmi mwaka wa watawa duniani
rehema kamili itatolewa pia kwa waamini watakaosali kwa ajili ya kuombea roho za waamini marehemu kila wakati watakapokuwa wanashiriki katika matukio mbali mbali ya kimataifa yatakayofanyika mjini roma kama sehemu ya maadhimisho ya mwaka wa watawa duniani kwa kusali sala ya baba yetu kukiri kanuni ya imani pamoja na kusali sala zilizokubaliwa na kanisa kwa bikira maria
rehema kamili pia itatolewa kwa wale wote watakaotembelea kwenye makanisa mahalia nyumba za kitawa au madhabahu maalum yaliyotengwa wakati wa maadhimisho ya mwaka wa watawa duniani na kusali sala ya kanisa hadharani au ibada nyingine na kuhitimisha kwa kusali sala ya baba yetu kukiri kanuni ya imani na kumwomba bikira maria
rehema kamili itatolewa pia kwa watawa ambao kutokana na ugonjwa au sababu mbali mbali watashindwa kuhudhuria katika maeneo yaliyotengwa kwa kujitenga na dhambi na kunuia kutekeleza mapema iwezekanvyo masharti yaliyotajwa kwa kufanya hija ya kiroho huku wakitolea mateso na mahangaiko yao kwa mwenyezi mungu mwingi wa huruma na mapendo kwa njia ya bikira maria na kusali kama inavyotakiwa
huu ni mwaliko kwa mapadre kuhakikisha kwamba wanatoa nafasi kwa waamini wanaokimbilia huruma ya mungu kwa njia ya sakramenti ya upatanisho maadhimisho ya fumbo la ekaristi takatifu pamoja na mpako mtakatifu kwa ajili ya wagonjwa waamini wataweza kupata rehema kamili wakati wote wa maadhimisho ya mwaka wa watawa duniani | 2019-08-22T08:53:14 | http://www.archivioradiovaticana.va/storico/2014/12/02/katika_maadhimisho_ya_mwaka_wa_watawa,_rehema_kamili_kutolewa_kwa/kws-838950 |
handeni kwetu picha mbalimbali za sherehe za wasanii wakimuaga rais kikwete
picha mbalimbali za sherehe za wasanii wakimuaga rais kikwete
jk akipongezwa na mwana fa kwa hotuba tamu
jk akijumuika na wasanii kucheza muziki
mwandishi kambi mbwana saa 642 pm | 2017-08-19T01:39:42 | http://handenikwetu.blogspot.com/2015/08/picha-mbalimbali-za-sherehe-za-wasanii_48.html |
somewhere blog msanii hemed 'phd' suleiman amfungukia martin kadinda kuhsu maisha yake ya mapenzi na utumiaji condom
msanii hemed 'phd' suleiman amfungukia martin kadinda kuhsu maisha yake ya mapenzi na utumiaji condom
hemed ndani ya single button by martin kadinda
fashion designer & blogger martin kadinda alitaka kujua ni vijana wangapi watuamiji wazuri wa condoms hasa kwa vijana maarufu mtu wake wa kwanza aliyekutana nae na kumuuliza juu ya suala hilo alikuwa msanii hemed suleiman almaarufu kama 'phd' na alipomuuliza swali hilo akamjibu
we jamaa maswali gani hayo bana mimi kondomu za nini muda wote mimi nakwenda dry anakaongezea kuwa alikuwa katika mahusiano na msichana mmoja ambaye hajataka kumtaja na anasema kwa sasa wameachana imepita miezi 3 anasema aliwa kupima nae virusi vya ukimwi na walipojikuta wako safi wakaamua kujilipua kavu kavu
martin umewahi kuwa katika mahusiano na wasichana wakitanzania maarufu
hemed marti martin unauliza kengele kanisani unadhani kwanini naitwa hemed phd nina taaluma ya kucheza na mioyo ya mabinti hawa wakibongo ila tatizo hawanivutii huwa napita tu kwakuwa nina hamu na wakati huo au ninakuwa sipo katika mahusiano na mtu yoyote
martin duuh kwa hiyo ushampitia nani hii na nanihiiii | 2018-02-21T15:19:27 | http://allswaggazz.blogspot.com/2012/07/msanii-hemed-phd-suleiman-amfungukia_31.html |
concerts dizzimonline
dizzimonline news concerts
idris sultan aitamani nafasi ya maisha ya jela ya papii kocha
muigizaji mchekeshaji na mtangazaji wa redio na tv kutoka tanzania idris sultan amerusha karata yake ya bahati ili apewa nafasi ya kucheza nafasi ya maisha ya jela ya mwimbaji wa muziki wa dansi johnson nguza 'papii kocha' kupitia ukurasa wake wa read more »
willy paul atoa sababu za kumtumia lynn wa kwetu kwenye video yake mpya
staa wa muziki kutoka nchini kenya wilson abubakar radido willy paul ameachia kazi yake mpya chini ya lebo yake ya saldido records iliyotayarishwa na prodyuza teddy b na ametoa sababu za kwanini amemtumia mrembo na video vixen lynn kutoka read more »
davido aendeleza kasi yake mtandaoni kwa kazi yake mpya
staa wa muziki kutoka nchini nigeria david adedeji adeleke 'davido' ameanza vyema ukurasa wa kuachia ngoma kwa kasi ya utazamwaji wa video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la 'flora my flawa' iliyoongozwa na director 'clarence peters' hatua hii read more »
bahati aisikia sauti na mtoto wake wa kwanza kwa mara ya kwanza
msanii wa muziki wa injili kutoka nchini kenya kevin kioko bahati leo amempokea na kumkaribisha mtoto wake wa kwanza wa kike kutoka kwa mpenzi wake diana murua aliyejifungua asubuhi ya leo katika hospitali ya karen iliyoko jijini nairobi nchini read more »
saida karoli na hanson baliruno waachia kolabo zao kwa kupokezana
mkongwe wa muziki wa asili na tamaduni ya kabila la magharibi mwa tanzania saida karoli ameachia wimbo mpya akiwa ameshirikiana na mwimbaji wa kiume wa nyimbo za aina yake anayefanya vizuri kutoka nchini uganda hanson baliruno na ipo nyingine read more »
jokate mwegelo aonesha shahuku ya kuingia kwenye mapenzi
muigizaji mwimbaji mtangazaji na mjasiriamali kutoka tanzania jokate mwegelo ameonesha shahuku yake ya kuyaishi maisha ya ndoa katika ishara ya moja vitu anavyo vitamani kutimiza kwa mwaka wa huu wa 2018 kwa maneno yenye utayari wa kuishi katika maisha ya read more »
alikiba afungua mwaka na cinderella baada ya kusindikizwa na ommy dimpoz
staa alikiba nchini rwanda katika tamasha la east africa party la tarehe 1 mwezi januari mwaka huu lililofanyika viwanja vya amahoro vilivyoko mjini kigali aliuchagua wimbo wa cinderella uliobeba jina la album yake ya mwaka 2007 kusafisha jukwaa katika kuufungua mwanzo read more »
jason derulo athibitisha kolabo ya rayvanny kwenye remix ya tip toe ft french montana
staa wa muziki wa bongo fleva raymond shaban mwakyusa 'rayvanny' ameyajwa rasmi kuwa katika kolabo ya ngoma staa kutoka marekani jason derulo baada picha iliowakilisha uwepo wa waili hao kikazi studio kupitia uwanja wa maoni kwenye post ya instagram ya rayvanny read more »
wiziri ya habari utamaduni sanaa na michezo mhe dkt harrison mwakyembe amemkingia kifua msanii wa sanaa ya maigizo kutoka tanzania amir athuman aka king majuto/mzee majuto dhidi ya kampuni inayomzungusha juu malipo yake ka kazi za sanaa zenye thamani ya milioni read more »
full dozi concert kuwasha moto viwanja vya dar live septemba 9
katika kuhakikisha wapenda burudani ya muziki wanapata burudani ya wasanii wanaowapenda kupitia muziki wao tarehe 9 ya mwezi sepetemba jiji zima litahamia viwanja vya dar live mbagala kushuhudia tamasha la full dozi concert tamasha hilo lililopewa nguvu ya kutosha na read more »
humble yamvimbisha kendrick lamar usiku wa mtv video music awards 2017
rapa na staa wa ngoma ya humble kendrick lamar amejitanua kifua mara sita kwenye usiku wa tuzo za 'mtv video music awards' 2017 kwa kuibuka na tuzo sita kupitia video ya wimbo wake wa humble ngoma inayopatikana kwenye album read more »
joh makini aeleza kwanini ni muhimu msanii kubadilika katika nyimbo
joh makini amesema ili msanii aweze kudumu ni muhimu awe na uwezo wa kubadilika katika kila nyimbo rapper mpole kutoka arusha amesema hicho ndicho amekuwa akijitahidi kufanya siku zote mimi naamini msanii anaweza kubadilika vyovyote vile anavyotaka yeye ilimradi tu read more » | 2018-08-16T16:13:11 | http://dizzimonline.com/category/concerts/ |
semalt 6 mbinu za seo za mitaa kwa biashara ndogo
ni kwa mmiliki wa biashara ndogo kuruhusu google kujua mahali ambapo biashara inakaa na inatoa nini inafanana na kusaidia kampuni kuonekana kwenye kurasa za utafutaji za kurasa na kuongeza kuonekana kwa watazamaji husika katika eneo hilo inajulikana kama optimization ya seo ya ndani na inaweza kuwa mada kabisa ya kuchanganyikiwa hasa na kuanzishwa kwa algorithm ya pigeon na google inafanya urahisi kuelewa mambo ya cheo ambayo itasaidia huduma za ndani za seo
ivan konovalov mtaalam kutoka semalt anafafanua kile ambacho kinapaswa kuhusisha katika malengo yao ya seo
1 unda kurasa za maeneo ya mitaa
inahakikisha kwamba mmiliki ana ukurasa wa biashara wa ndani kwa injini tatu za juu za utafutaji kwa jumla kuna orodha tatu na dashibodi kwa jumla ya kusimamia wote anahitaji kufanya ni kujaza habari zote kuhusu biashara na hiyo itakuwa yote kwa akaunti
2 kuboresha na kuweka ukurasa sahihi
ufafanuzi ni pamoja na kupakia picha za ubora kutaja saa za kazi na orodha ya huduma zote zilizopo kundi kwa upande mwingine ni kusaidia injini za utafutaji kuelewa kile biashara inafanya wanapaswa kutoa makundi 25 ili kukupa uwezo wa kuweka biashara yako kwa yeyote kati yao mitambo ya utafutaji haifai kuonyeshea biashara bila categorization au categorize vibaya
3 ufafanuzi wa biashara bora
daima kuhakikisha kuwa maelezo ya kampuni ya nap (jina anwani simu) ni thabiti katika orodha zote kwenye injini za utafutaji kuna nafasi kubwa ya kwamba biashara tayari imeorodheshwa mahali fulani na mtu mwingine yote anahitaji kufanya ni kudai orodha hiyo ili kuepuka migogoro kudai citation inahitaji mmiliki kufanya utafiti fulani kama kuna biashara nyingine na jina sawa na eneo endelea kuthibitisha umiliki kwa njia yoyote iwezekanavyo tumia rasilimali kama vile yext au localize au google mapmaker ili kuharakisha mchakato
4 mapitio ya mtandaoni
google pia inaonekana kwenye mapitio ya mtandaoni kwa cheo cha tovuti hata hivyo ni wateja tu wanaopata kuangalia tovuti kwenye ukurasa wa matokeo ya utafutaji ambao hufanya ukaguzi ukaguzi huamua ikiwa wageni wanataka kubonyeza kiungo au la mtu anaweza kuongeza kifungo cha mapitio ya post kwenye tovuti ili iwe rahisi kwa wageni kuwasababisha kuondoka mapitio baada ya kununua
5 picha za ubora
watu wanapotafuta kitu chochote wanapenda kuona picha zake mitaa ya google+ inaruhusu mtumiaji kupakia hadi picha kumi kuwa na picha nyingi zilizopakiwa kwenye akaunti ni ufunguo wa kuvutia wateja wengi hakikisha kuchukua picha halisi ya jengo ndani na nje ili kuongeza picha tembelea orodha ya ndani iliyoundwa na upate kiungo kinachosema kuongeza picha
6 kuongeza website
sehemu ya utafutaji wa ndani ni tovuti na nini watu wanasema kuhusu hilo tovuti hiyo inapaswa kuwa na maelezo ya mawasiliano ikiwezekana nambari ya simu faida iliyoongeza ni kuingiza maneno ya ndani popote iwezekanavyo na kisha kujenga juu yao kwa kuunda maudhui husika kwa watazamaji wa lengo uhusiano unaofanywa na watazamaji wa ndani huamua kama watafanya ziara za kurudi | 2018-02-22T21:00:19 | http://learninnkeeping.com/semalt-6-mbinu-za-seo-za-mitaa-kwa-biashara-ndogo |
balozi dk pindi chana na mwenyekiti wa bodi ya lapf watembelea banda la lapf habari za jamii
home / unlabelled / balozi dk pindi chana na mwenyekiti wa bodi ya lapf watembelea banda la lapf
balozi dk pindi chana na mwenyekiti wa bodi ya lapf watembelea banda la lapf
dotto mwaibale 935 pm
balozi wa tanzania nchini kenya dr pindi chana akipokea zawadi kutoka kwa mtumishi wa lapf simboninsia ndosi alipotembelea banda la lapf katika maonyesho ya biashara ya sabasaba barabara ya kilwa jijini dar es salaam kulia anayeshuhudia tukio hilo ni meneja masoko na mawasiliano wa mfuko wa pensheni wa serikali za mitaa lapf bw james mlowe
balozi wa tanzania nchini kenya dr pindi chana akisalimiana na meneja masoko na mawasiliano wa mfuko wa pensheni wa serikali za mitaa lapf bw james mlowe alipotembelea banda la lapf katika maonyesho ya biashara ya sabasaba barabara ya kilwa jijini dar es salaam
balozi wa tanzania nchini kenya dr pindi chana akisaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea banda la lapf katika maonyesho ya biashara ya sabasaba barabara ya kilwa jijini dar es salaam kulia ni meneja masoko na mawasiliano wa mfuko wa pensheni wa serikali za mitaa lapf bw james mlowe
mwenyekiti wa bodi ya wadhamini ya lapf prof faustine bee akipiga picha ya pamoja na wafanyakazi wa mfuko huo wakati alipotembelea banda la mfuko wa pensheni wa lapf katika viwanja vya sabasaba
mwenyekiti wa bodi ya wadhamini ya lapf prof faustine bee akikikaribishwa na meneja masoko na mawasiliano wa mfuko wa pensheni wa serikali za mitaa lapf bw james mlowe wakati alipotembelea banda la mfuko wa pensheni wa lapf katika viwanja vya sabasaba kushoto ni rehema mkamba afisa mwandamizi wa mawasiliano lapf
mwenyekiti wa bodi ya wadhamini ya lapf prof faustine bee akizungumza na meneja masoko na mawasiliano wa mfuko wa pensheni wa serikali za mitaa lapf bw james mlowe wakati alipotembelea bandahilo
mtumishi wa lapf philbert francis akimkabidhi zawadi mmoja wa wanachama wa lapf alietembelea banda hilo | 2018-01-21T06:17:32 | http://www.habarizajamii.com/2017/07/balozi-dk-pindi-chana-na-mwenyekiti-wa.html |
taifa stars waliwatoroka polisi abidjan kimya kimya | jamiiforums | the home of great thinkers
taifa stars waliwatoroka polisi abidjan kimya kimya
discussion in 'sports' started by bak feb 27 2009
date2/26/2009 taifa stars waliwatoroka polisi abidjan kimya kimya na saleh ally abidjan mwananchi
uamuzi wa kikosi cha taifa stars kuamua kutokula chakula kwenye hoteli ya golf ya mjini hapa ili kukwepa hujuma kulizua tafrani kubwa baada ya askari polisi aliyepewa dhamana ya kuwalinda kutaka kuwalazimisha kupanda kwenye basi kwa nguvu
stars juzi iliibuka na ushindi wake wa kwanza wa mashindano ya chan kwa kuwachapa wenyeji ivory coast kwa bao 10 lililofungwa na mrisho ngassa kwa kichwa cha kuchupa
kamati maalum iliyo jijini hapa ilichukua uamuzi wa kuhakikisha stars hawali chakula cha hotelini hapo na maandalizi yakafanyika kwenda kula mafichoni ili kuepuka hujuma hasa suala la kuwekewa 'vitu' mbalimbali kwenye chakula
lakini ilibidi ifanyike kazi ya ziada kuwatoroka walinzi ambao wamekuwa wakitembea na timu hiyo tangu imewasili jijini hapa wakiwamo askari polisi wawili wa usalama barabarani wenye mbwembwe za kila namna
wachezaji stars walitoroka kimya kimya kutoka hoteli ya golf ndani ya taxi sita kwenda kula huko walikopangiwa baada ya hapo walinzi hao walianza kuwasaka kila kona ya jiji na mwisho walifanikiwa kuwapata pale walipokuwa kitu ambacho kilimshangaza kila mmoja
'kila mtu alishangaa jamaa wamepajua vipi tulibaki tumepigwa na butwaa na mara moja wakaanza kutulazimisha kupanda kwenye gari lile basi tunalotumia lakini viongozi pamoja na (crescentius ) magori na teddy mapunda wakazuia hatukupanda
'walitaka kuanza kutumia nguvu na sisi tukagoma ikawa mshike mshike lakini mwisho jamaa wakakubali kufuatana na sisi tukaingia kwenye zile taxi na kuanza kurudi hotelini huku wakitusindikiza kwa ving'ora na basi likiwa tupu' anaeleza mmoja wa wachezaji wa stars
lakini hali ya kuwalazimisha wachezaji kupanda kwenye basi hilo tayari ilionyesha kulikuwa na walakini na askari mmoja aliiambia mwananchi kwamba ule ni utaratibu ingawa mmoja alikiri kwamba ilikuwa ni amri kutoka ngazi za juu zinazoshughulikia masuala ya usalama katika michuano ya chan ambao walitaka kuona lazima wachezaji wa stars wapande basi hilo
kumekuwa na hujuma katika mechi nyingi hasa katika nchi za afrika kitu ambacho kimeifanya stars kuongeza umakini hasa inapokua mbali na nyumbani
hali hiyo pia ilijitokeza wakati wa mechi yake ya mwisho kufuzu katika michuano ya chan dhidi ya sudan mjini kharthoum ambako wenyeji walilala kwa mabao 21
imeelezwa kumekua na tabia ya kupulizia dawa kwenye vyumba au kwenye chakula na wachezaji baada ya muda mfupi wanachoka hivyo kuwafanya washindwe kucheza kwenye viwango vyao ingawa caf imeshindwa kuthibitisha hilo hadharani lakini imekua hali inayojitokeza mara kwa mara
imeelezwa kumekua na tabia ya kupulizia dawa kwenye vyumba au kwenye chakula na wachezaji baada ya muda mfupi wanachoka hivyo kuwafanya washindwe kucheza kwenye viwango vyao ingawa caf imeshindwa kuthibitisha hilo hadharani lakini imekua hali inayojitokeza mara kwa maraclick to expand
ingawa caf imeshindwa kuthibitisha hilo hadharani lakini imekua hali inayojitokeza mara kwa mara sasa mbona ulitaka uthibitisho wa caf kama unajua hilo tatizo lipo mara kwa mara hali hiyo pia ilijitokeza dhidi ya sudan mjini kharthoum nini kilitokea kharthoum hebu taja kimoja kamati maalum iliyo jijini hapa ilichukua uamuzi wa kuhakikisha stars hawali kamati maalum ya nani caf umishumta au kamati maalum ya bunge la jamhuri
kumekuwa na hujuma katika mechi nyinginchi za afrika taja timu moja iliyojumiwa ilihujumiwa vipi ilibidi ifanyike kazi ya ziada kuwatoroka walinzi ungewauliza caf halafu ukaripoti ni utaratibu gani huo unaosema wageni hawatakiwi kukanyaga nje ya hoteli kwenda wanapotaka kula mpaka watoroke
eti mwandishi anaenda kuuliza wahusika kama tatizo lipo hapati uthibitisho anaamua kutangaza tatizo lipo
hizi ndio mbinu za medani nawatakia kila la heri katika kutupatia ushindi sijui mechi ijayo wale jamaa wa senegal wanaoonesha tvyao online watatufanyia tena kama siku ya tz na ivory coast manake walionesha tu kpindi cha kwanza
king zenji
udakuclick to expand
mzee inaonesha umekua mkali sana kwa huyu reporterlakini kama wewe ni mpenzi wa soka la kiafrikambona hizi ni habari za kweli tu ingawa facts zake ni vigumu sana kuzianika
skillsforever
ndio twajua wanawewkewa dawa wanachoka haraka sanana kuishiwa nguvu kabisamaji na chakula ndio vibaya zaidi ya vyumba kubadilishia nguo
mimi hapa ndio huwa nawakubali watu kama akina mhe magori
huwezi kupelekwa pelekwa tu na wenyeji wakati huo huo unatakiwa kucheza nao game jioni
nimekipenda kitendo hiki 100
big up to braza magori na jopo lake
fitna ya mpira ipo sana afrika na hasa afrika magharibi hongereni sana kwa kuwa makini na fitna hizo nakutakieni kila la kheri na mafanikio tujitahidi kombe lije tz
nahene
hongera kwa meza ya ufundi kung'amua mbinu hizo mapema enzi za mwalimu wangeliondoka na mwanamalundi/shekhe yahaya
endeleeni kususia misosi yao ili mrudi na ushindi kwani watu wa magharibi ni hatari sana kwa mazingaobwe
timu za kiafrika visingizio viiingi
amwanga
mechi ya kesho ni saa ngapi wadau
mkuu amwamba ratiba ni hiyo chini utaona na muda nikiipaste haikai vizuri lakini utaipata hapa fixtures chan 22/0208/03/09 african nations championship 2009 caf
no match gp date time venue 16h00 1 cote divoire v zambia a 220209 abidjan
19h00 2 senegal v tanzania a 220209 abidjan 15h00 3 ghana v zimbabwe b 230209 bouake 18h00 4 rd congo v libya b 230209 bouake 16h00 5 zambia v senegal a 250209 abidjan 19h00 6 tanzania v cote divoire a 250209 abidjan 15h00 7 zimbabwe v rd congo b 260209 bouake 18h00 8 libya v ghana b 260209 bouake 16h00 9 cote divoire v senegal a 280209 abidjan 16h00 10 zambia v tanzania a 280209 bouake 16h00 11 ghana v rd congo b 010309 bouake 16h00 12 zimbabwe v libya b 010309 abidjan semifinals/½ finale
13 1st b v 2nd a 040309 15h00 bouake
14 1st a v 2nd b 040309 19h00 abidjan 3rd place match/match de classement
15 loserperdant 13 v loserperdant 14 070309 16h00 abidjan final match/match final
16 win/vainq13 v win/vainq 14 080309 16h00 abidjan
ahsante kwa ratiba
vijana tupeni raha watanzania watanzania sote tuko nyuma yenu
mungu ibariki taifa stars mungu ibariki tanzania
kweli nakumbuka tulienda kule shinyanga kwenye mashindano ya shule za sekondari basi unajua mchana watu wakishakula wanalala basi walitumwagia upupu si kawaida ndani ya vyumba ilibidi tushindwe maana ni kujikuna tu hakuna kutliza mpira
20554762 | 2017-04-23T17:49:12 | https://www.jamiiforums.com/threads/taifa-stars-waliwatoroka-polisi-abidjan-kimya-kimya.24950/ |
rc hapi apiga marufuku vifungashio vya mifuko ya plastiki visivyo na tbs issa michuzi | presstz your number 1 source of aggregated online content
rc hapi apiga marufuku vifungashio vya mifuko ya plastiki visivyo na tbs
mkuu wa wilaya ya mufindi jamahuri wiliam ( kulia) akimkabidhi jana mkuu wa mkoa wa iringa alli hapi mifuko kilo 344 ya plastiki ambayo imesalimishwa na wafanyabiashara wa mufindi kwa ajili ya kuteketezwa mwenye sare za kijani ni mwenyekiti wa ccm wilaya ya mufindi daud yassin (picha na francis godwin) mkuu wa mkoa wa iringa alli hapi akiwahutubia wananchi wa wilaya ya mufindi katika viwanja vya mashujaa jana wakati wa kilele cha siku ya mazingira duniani maadhimisho yaliyofanyika kimkoa katika mji wa mafinga wilaya ya mufindi mkuu wa mkoa wa iringa alli hapi akionyesha jana wakati wa maadhimisho ya siku ya mazingira duniani mjini mafinga aina nyingine ya mifuko ya plastiki ambayo inatumiwa na wafanyabiashara ndogo ndogo mkoani iringa kuwa vifungashio badala ya rambo mifuko ambayo pia ameipiga marufuku kuendelea kutumika (picha na francis godwin)
wafanyabiashara mbali mbali wilayani mufindi mkoani iringa wamesalimisha jumla ya kilo 344 za mifuko ya continue reading > | 2019-07-22T06:22:01 | http://presstz.net/rc-hapi-apiga-marufuku-vifungashio-vya-mifuko-ya-plastiki-visivyo-na-tbs-51131969 |
(i) maneno juu ya kumwamini mungu | kanisa la mwenyezi mungu
10 kwa ufupi kuishika njia ya petro katika imani ya mtu kunamaanisha kuitembea njia ya kufuatilia ukweli ambayo pia ni njia ya kupata kujijua na kubadilisha tabia yako kwa kweli ni kwa kuitembea tu njia ya petro ndio mtu atakuwa kwenye njia ya kukamilishwa na mungu mtu lazima aelewe hasa jinsi ya kuitembea njia ya petro na vilevile jinsi ya kuiweka katika vitendo kwanza mtu lazima aweke kando madhumuni yake mwenyewe shughuli zisizofaa na hata familia na vitu vyote vya mwili wake lazima ajitolee kwa moyo wote yaani mtu ajitolee kabisa kwa neno la mungu azingatie kula na kunywa maneno ya mungu amakinikie kutafuta ukweli na utafutaji wa nia za mungu katika maneno yake na ajaribu kufahamu mapenzi ya mungu katika kila kitu hii ndiyo mbinu ya msingi na muhimu zaidi ya utendaji hili ndilo alilofanya petro baada ya kumwona bwana yesu na ni kwa kutenda kwa njia hii tu ndio mtu anaweza kupata matokeo bora zaidi kujitolea kwa moyo wote kwa maneno ya mungu hasa kunahusisha kutafuta ukweli kutafuta nia za mungu ndani ya maneno yake kuzingatia kuyaelewa mapenzi ya mungu na kuelewa na kupata ukweli zaidi kutoka kwa maneno ya mungu wakati wa kusoma maneno yake petro hakuwa anazingatia kuelewa mafundisho ya dini sembuse kulenga kupata maarifa ya teolojia badala yake alimakinikia kuelewa ukweli na kufahamu mapenzi ya mungu na vilevile kutimiza ufahamu wa tabia yake na uzuri wake petro pia alijaribu kuelewa hali potovu mbalimbali za mwanadamu kutoka kwa maneno ya mungu asili potovu ya mwanadamu na dosari za kweli za mwanadamu hivyo kufikia hali zote za matakwa ya mungu kwa mwanadamu ili kumridhisha yeye petro alikuwa na utendaji mwingi sahihi ambao ulifuata maneno ya mungu hili linalingana zaidi na mapenzi ya mungu na ilikuwa njia bora ambayo mtu angeshirikiana anapopitia kazi ya mungu wakati ambapo alipitia mamia ya majaribio kutoka kwa mungu petro alijichunguza kabisa dhidi ya kila neno la hukumu ya mungu kwa mwanadamu kila neno la ufunuo wa mungu kwa mwanadamu na kila neno la madai yake kwa mwanadamu na akajitahidi kuelewa maana ya maneno hayo alijaribu kwa bidii kutafakari na kukariri kila neno ambalo bwana yesu alimwambia na alitimiza matokeo mazuri sana kupitia namna hii ya utendaji aliweza kutimiza kujifahamu kutoka kwa maneno ya mungu na hakuja tu kuelewa hali potovu mbalimbali za mwanadamu lakini pia alikuja kuelewa kiini asili na dosari mbalimbali za mwanadamu hii ndiyo maana ya kujifahamu kwa kweli kutoka kwa maneno ya mungu petro hakutimiza tu kujifahamu kwa kweli lakini kutokana na mambo yaliyoonyeshwa katika maneno ya mungutabia ya mungu yenye haki kile anacho na alicho mapenzi ya mungu kwa kazi yake mahitaji yake kwa wanadamukutoka kwa maneno haya alikuja kumjua mungu kabisa alikuja kujua tabia ya mungu na asili yake alikuja kujua na kuelewa kile mungu anacho na alicho na vilevile uzuri wa mungu na mahitaji ya mungu kwa mwanadamu hata ingawa mungu hakuzungumza sana wakati huo kama anavyofanya leo matokeo katika hali hizi yalitimizwa ndani ya petro hili lilikuwa jambo adimu na la thamani petro alipitia mamia ya majaribio lakini hakuteseka bure hakuja kujielewa tu kutokana na maneno na kazi ya mungu lakini pia alikuja kumjua mungu aidha katika matamshi ya mungu alizingatia hasa matakwa ya mungu kwa wanadamu ndani ya maneno yake bila kujali ni katika hali gani mwanadamu anapaswa kumridhisha mungu ili kukubaliana na mapenzi ya mungu petro aliweza kufanya juhudi kubwa katika vipengele hivi na kupata uwazi kamili hili lilikuwa la manufaa kubwa sana kwa kuingia kwake mwenyewe haijalishi kile ambacho mungu alizungumzia maadamu maneno hayo yangeweza kuwa maisha yake petro aliweza kuyaweka ndani ya moyo wake kuyatafakari na kuyathamini mara kwa mara baada ya kuyasikia maneno ya bwana yesu aliweza kuathiriwa nayo ambalo linaonyesha kuwa alikuwa akizingatia hasa maneno ya mungu na alitimiza matokeo mwishowe kwa kweli yaani aliweza kuyatia maneno ya mungu katika vitendo kwa uhuru kutenda kwa usahihi ukweli na kukubaliana na mapenzi ya mungu kutenda kikamilifu kwa mujibu wa nia ya mungu na kuacha maoni na mawazo yake mwenyewe kwa njia hii petro aliingia katika ukweli wa maneno ya mungu | 2019-11-20T05:01:30 | https://sw.godfootsteps.org/belief-in-God.html |
mfululizo wa miripuko ya mabomu waitikisa nigeria | matukio ya kisiasa | dw | 25122011
mfululizo wa miripuko ya mabomu waitikisa nigeria
miripuko ya mabomu imeendelea mfululizo katika maeneo kadhaa nchini nigeria wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya krismasi ambapo hadi sasa yameshasababisha vifo vya watu 28 na wengine kadhaa kuachwa majeruhi
mripuko katka mji wa kaduna
mripuko wa kwanza ulitokea asubuhi ya leo katika kanisa la mtakatifu theresa kwenye mtaa wa madalla mjini abuja wakati waumini wakishiriki sala ya krismasi miripuko mingine imetokea mchana katika miji jos damaturu na gadaka
msemaji wa kundi lenye msimamo mkali wa kidini boko haram ameliambia shirika la habari la afp kwa njia ya simu kwamba kundi lake linahusika na mashambulizi hayo
tunachukuwa dhamana ya kuhusika na mashambulizi yote katika siku za hivi karibuni ikiwemo miripuko ya leo ya mabomu katika kanisa mjini madalla tutaendelea na mashambulizi kama hayo upande wa kaskazini katika siku chache zijazo amesema msemaji huyo abul qaqa
makao makuu ya kanisa katoliki vatican yamelaani mshambulizi hayo katika sikukuu ya krismasi ambapo baba mtakatifu wa 16 ameyaelezea kama matunda ya ukatili na chuki zisizo na maana
mashambulizi katika mji wa maiduguri
msemaji wa baba mtakatifu federico lombardi amesema kwamba mauaji hayo yaliyofanyika kwenye nchi ya afrika magharibi ni ishara za ukatili na chuki ambazo haziheshimu maisha ya binaadamu
tupo pamoja na mateso yanayolipata kanisa katoliki la nigeria na watu wote wa taifa hilo ambalo linapitia kipindi kichungu cha vurugu za kigaidi katika siku hii ambayo ilitakiwa iwe ya furaha na amani tunatarajia kuwa mashambulizi haya hayatodhoofisha nia ya kuishi pamoja na majadiliano amesema lombardi
vikosi vya usalama vinaripotiwa kuyafunga maeneo yalikotokea mashambulizi huku wafanyakazi wa uokozi wakifanya jitihada ya kuondoa maiti na kuwaokoa majeruhi
katika mripuko wa kwanza kwenye kanisa la mtakatifu theresa kwenye kitongoji cha madalla miili kadhaa ilitolewa kwenye kifusi ikiwa imekatikakatika vibaya jambo lililofanya kazi ya kuzitambua maiti kuwa ngumu
shahidi mmoja ndubuisi chukuemeka ameliambia shirika la habari la ujerumani (dpa) kuwa dada yake ni miongoni mwa waliouawa
tulipokuwa tunatoka kanisani nilisahau kadi ya krisimasi niliyokuwa nimepewa nikarudi kwenda kuichukua muda mchache baadaye nikasikia mripuko na lilikuwa ni hilo bomu nikaonma moshi na watu wanapiga kelele na kukimbia nikaziona nguo za dada yangu zimechanikachanika amesema chukuemeka kwa majonzi
shahidi mwengine micheal ogar amesema kuwa mripuko ulitokea baada ya gari kuegesshwa karibu na kanisa hilo gari na nyumba kadhaa karibu na kanisa hilo pia zimeharibiwa na mripuko huo
msemaji wa shirika la huduma za dharura la nigeria yushau shuaib amesema kwamba idadi ya waliokufa na majeruhi huenda ikaongezeka shuaib ameomba wananchi wachangie damu kuokoa maisha ya majeruhi wanaopelekwa katika hospitali mbalimbali za mjini abuja ingawa amelalamikia upungufu mkubwa wa gari za kubebea wagonjwa na vifaa vya matibabu
kabla ya mashambulizi haya mtaa wa madalla haukuwa kamwe ukifikiriwa kuwa ungelishambuliwa sasa waumini wanaripotiwa kuyakimbia makanisa mengine mjini abuja wakihofia usalama wao
miripuko ya leo imetokea huku kukiwa na taarifa kwamba mapambano baina ya jeshi la nigeria na kundi la boko haram yamesababisha vifo vya watu karibu 100 katika miji ya damaturu na maiduguri kaskakazini mwa nigeria idadi kubwa ya waliouawa ni wanachama wa boko haram wanaopigania kuudwa kwa taifa linalofuata shariah
kundi hilo linalaumiwa kwa kuendesha kampeni ya mauaji na mashambulizi ya mabomu yakiwemo yale yaliouwa watu 65 katika mji wa damaturu hapo novemba na yale yaliyofanyika mwezi agosti katika mji mkuu abuja moja likiwa kwenye ofisi za umoja wa mataifa watu 26 waliuawa baada ya mshambuliaji wa kujitoa mhanga kujiripua ndani ya gari
mwandishi mohammed khelef/afp/pda/reuters
mhariri abdou mtullya
tarehe 25122011
maneno muhimu nigeria
kiungo http//pdwcom/p/13z7s
nigeria kundi la niger delta kushambulia sekta ya mafuta 17012018
kundi hilo limesema mashambulizi hayo yatakuwa ni mabaya zaidi kuwahi kutokea
unicef watoto walishambuliwa mno 2017 28122017
shirika la umoja wa mataifa linaloshughulikia watoto unicef limesema mwaka 2017 ulikuwa miongoni mwa mibaya zaidi kwa watoto wanaoishi katika maeneo ya vita na mizozo duniani | 2018-01-22T06:50:33 | http://www.dw.com/sw/mfululizo-wa-miripuko-ya-mabomu-waitikisa-nigeria/a-15626322 |
straika epiq bongo star search yapata wakali arusha
epiq bongo star search yapata wakali arusha
jaji mkuu madame ritha (aliyesimama) 'akipasua' kichwa pamoja na majaji wenzake master jay (kushoto) na salama j (kulia) katika kuamua washindi wa shindano la kusaka vipaji vya kuimba la epiq bongo star search mjini arusha
majaji wa shindano la kusaka vipaji vya kuimba la epiq bongo star search master jay (kushoto) jaji mkuu ritha paulsen (katikati) na salama jabir (kulia) wakifuatilia kwa makini vijana wakifanya vitu vyao mjini arusha
vijana wakipanga foleni kusubiri kuingia kuonyesha maujuzi yao mbele majaji wakati wa shindano la epqiq bss arusha
mh mbona kila mtu mshindi majaji wakijiuliza wakati wa shindano la epiq bss arusha
pazia la mchujo wa kusaka vipaji vya wawakilishi wa mkoa wa arusha katika fainali za ebss 2012 lilifungwa rasmi jana katika ukumbi wa triple a
siku mbili za usindani mkali ulioleta pamoja zaidi ya vijana 800 kugombea nafasi ya kuwakilisha arusha zilikuwa ngumu kwa majaji kuamua washindi
mbali na vijana wengi wa arusha kupenda zaidi kuimba nyimbo za hip hop huku mkoa huu ukisifika zaidi kuwatoa wasanii wengi wa muziki huo katika shindano hilo ilikuwa ni tofauti kwa kuwa wasanii wengi waliamua kuimba
jaji mkuu wa ebss 2012 ritha paulsen alikiri kuwa katika mikoa ya lindi dodoma na kisiwa cha zanzibar ambapo walienda kusaka vipaji kwa arusha hali imekuwa nzuri zaidi
najua kila mkoa ambao tulienda tuliona upekee wake na kila mkoa ulikuwa na ladha yake kwa arusha tumekuta kuwa kuna hata walio na umri wa chini ya miaka 17 wamekuja wengi na wamefanya vema alisema ritha
aliongeza kuwa kadri miaka inavyozidi kwenda mbele ndivyo shindano hilo linavyozidi kupanda chati hasa kwa hamasa inayozidi kujionyesha kati ya vijana
mbali na kuwachagua wale ambao wanakuwa wana vipaji lakini pia kuna wakati huwa tunatoa elimu au ushauri wa bure kwa washiriki hawa kuna wengine wanaonekana kuwa wanaweza kuigiza na pia kufanya sanaa nyingine hivyo tunawashauri nini cha kufanya aliongeza madam ritha
akizungumzia shindano hilo mkurugenzi wa masoko wa zantel deepak gupta anasema amefurahishwa na vijana wengi waliojitokeza na anafurahi zantel kuwa sehemu ya kuwasaidia vijana hao kufikia ndoto zao
vijana waliojitokeza wanaonyesha kuwa wanahitaji msaada na ndio maana mwaka huu tumeanzisha kampeni kwenye mitandao ya kijamii ili kuwatengenezea fursa vijana hao hata wasipochaguliwa alisema gupta | 2018-07-16T02:37:27 | http://straikamkali.blogspot.com/2012/07/epiq-bongo-star-search-yapata-wakali.html |
mfuko wa wafanya kazi 1 nollywood tanzania swahili movies 2018 /free 2018 swahili | watsupafrica africa's latest news & entertainment platform
uchambuzi ronaldo aimaliza morocco/ spain na ureno ngoma nzito
aslay ametuonesha mpenzi wake mpya leo
exclusive aika kaeleza upekee wa style yake ya nywele na sababu kuiweka
serikali ituambie bei ya kuanzisha kiwanda cha taulo za kike (pads)
moshi ulgsp kwa mipango hii moshi tutaisahahu
kipunje moja pt 2 nollywood tanzania swahili movies 2018 /free 2018 swahili
mkubwa fella ampa mbinu za kutwaa taji la kombe la dunia kocha wa brazil tite
kizito amkemea waiguru kutisha wabunge wanaomhusisha na nys
mbunge bwege aja na kituko kingine bungeni adai ataandamana
mwijaku kafunguka dogo janja ni mdogo hana sauti kwa uwoya ana ndoa ya pili
uchambuzi ronaldo aimaliza morocco/ spain na ureno
exclusive aika kaeleza upekee wa style yake
serikali ituambie bei ya kuanzisha kiwanda cha
kipunje moja pt 2 nollywood tanzania
mkubwa fella ampa mbinu za kutwaa taji
kizito amkemea waiguru kutisha wabunge wanaomhusisha na
mbunge bwege aja na kituko kingine bungeni
lema kawafungukia wanaosema kafulia na gari yake
mwijaku kafunguka dogo janja ni mdogo hana
breaking waziri lukuvi atengua uteuzi wa mkurugenzi
sugu mimi siyo diamond wala roma basata
alichokisema kubenea kuhusu darts wanaobeza ni wendawazimu
mfuko wa wafanya kazi 1 nollywood tanzania swahili movies 2018 /free 2018 swahili
kipunje moja pt 1 nollywood tanzania swahili movies 2018 /free 2018 swahili
mugotanya 2 nollywood tanzania swahili movies 2018 /free 2018 swahili
mugotanya 1 nollywood tanzania swahili movies 2018 /free 2018 swahili
temo ya duu part 2 nollywood tanzania swahili movies 2018 /free 2018 swahili
mfuko wa wafanya kazi 2 nollywood tanzania swahili movies 2018 /free 2018 swahili
samatta baada ya ushindi wa 42 vs teamkiba
#southafrica phakamile numsa googl/tneumz
#southafrica da david maynier on gigaba budget speech googl/eddnve
#southafrica south africas best teachers honoured googl/qhtyjg
#southafrica ifp supports the president googl/pt966f
#southafrica matthews phosa wanted to have the pec results nullified googl/kz18bc | 2018-06-21T02:59:15 | http://tanzania.watsupafrica.com/news/mfuko-wa-wafanya-kazi-1-nollywood-tanzania-swahili-movies-2018-free-2018-swahili/ |
mwaipaja blog mambo ya nathansakata la dowans na tanesco
0 comments imetumwa na amani mwaipaja friday march 8 2013 at 3/08/2013 042500 pm | 2017-10-16T22:06:04 | http://amani-mwaipaja.blogspot.com/2013/03/mambo-ya-nathan-sakata-la-dowans-na.html |
shambulio dhidi ya wahamiaji libya unsc yashindwa kuafikiana afrika rfi
libya unsc
shambulio dhidi ya wahamiaji libya unsc yashindwa kuafikiana
na rfi imechapishwa 04072019 imehaririwa 04072019 saa 0840
baraza la usalama la umoja wa mataifa katika mkutano maalum septemba 26 2018 new york reuters/eduardo munoz
baraza la usalama la umoja wa mataifa limeshindwa kutoa tamko kuhusu shambulizi la anga lililotekelezwa na wapiganaji wa marshal khalifa haftar ambapo wahamiaji haramu zaidi ya 40 wameuawa katika shambulio la anga dhidi ya kambi yao katika moja ya vitongoji vya mji wa tripoli
watu 70 wamejeruhiwa katika shambulio hilo
haya yanajiri wakati mkuu wa kamati ya baraza la seneti la marekani ametoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu silaha za nchi hiyo zilizotumiwa na jeshi la jenerali muasi wa libya khalifa haftar
jumanne wiki hii umoja wa mataifa ulisema kuwa mashambulizi ya jumatatu nchini libya ambayo yamewaua takribani watu 40 katika mji wa tripoli yanaweza kuchukuliwa kuwa uhalifu wa kivita
kwenye taarifa yake mjumbe maalum wa umoja wa mataifa nchini libya ghassan salame amesema ni dhahiri kuwa mashambulizi hayo yanaweza kuwa uhalifu wa kivita kwa sababu yaliuwa kwa ghafla watu ambao hawakuwa na hatia na ambao hali yao mbaya ndiyo iliwalazimu kuwa katika kituo hicho cha wakimbizi
naye mwenyekiti wa tume ya umoja wa afrika moussa faki mahamat ametaka uchunguzi huru ufanyike na hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya waliohusika na uhalifu huo wa kusikitisha | 2019-10-23T02:46:29 | http://sw.rfi.fr/afrika/20190704-shambulio-dhidi-ya-wahamiaji-libya-unsc-yashindwa-kuafikiana |
sera ya usafirishaji lfotpp
tumeweka vipaumbele vingi juu ya kuhakikisha kuwa vitu vinapatikana kwa wateja wetu haraka iwezekanavyo utapokea amri yako katika siku za biashara za 535 tangu tarehe ambayo imewekwa
(kulingana na wapi unapoishi wakati unavyoweza kuchukua kwa bidhaa yako ya kubadilishana ili kufikia wewe inaweza kutofautiana)
barua pepe ya uthibitisho itatumwa kwako mara moja utaratibu umeidhinishwa na kuthibitishwa tunaanza kuandaa amri yako mara baada ya kuthibitishwa kwa aina hii ya wakati inafanya kuwa vigumu kwetu kubadilisha au kufuta amri yako hata hivyo tutafanya kazi nzuri ili kuunga mkono ombi lako
inayotayarishwa
kwa kawaida huchukua siku za biashara za 12 kwa ajili yetu kutatua utaratibu wako tafadhali kumbuka kuwa hii haijumuishi sikukuu na mwishoni mwa wiki
uhamishaji huchukua siku za biashara za 535 kufikia tafadhali rejea meza hapa chini kwa nyakati mbalimbali za meli kwenda kwa nchi za kimataifa
ingia kwenye akaunti yako na uhakikishe kupokea kukusanya malipo ya uhakika wa ziada | 2020-03-28T23:02:44 | https://sw.lfotpp.com/kurasa/sera-ya-meli |
serikali yasitisha sheria ya vipimo | mtanzania
home bungeni serikali yasitisha sheria ya vipimo
serikali yasitisha sheria ya vipimo
serikali imesitisha kwa muda matumizi ya sheria ya vipimo inayotaka kutumia vifungashio katika usafirishaji wa viazi mviringo kutoka maeneo ya uzalishaji kwenda sokoni
akisoma hotuba ya bajeti wa wizara viwanda na biashara bungeni leo mei 14 waziri mwenye dhamana joseph kakunda amesema sheria ilikuwa ikiwataka wazalishaji kutumia vifungashio maalum ambavyo kwa bahati mbaya upatikanaji wake una matatizo
previous articlesahel trading co waagizaji maarufu wauzaji mizani afrika mashariki
next articlewatumishi wa umma marufuku kudai nyongeza ya mshahara | 2019-05-19T12:28:45 | http://mtanzania.co.tz/serikali-yasitisha-sheria-ya-vipimo/ |
lady jd atoa wosia ruge mtahaba na joseph kusaga wasihudhurie msiba wake
posted by jfk on may 01 2013
katika hali ambayo haijawahi kutokea katika tasnia ya muziki kwa kumbukumbu zangu za miaka zaidi ya 30 ambayo nimekuwa mwanamuziki mwanamuziki ladyjd ametoa matamko mazito sana katika blog yake pamoja na mengine mengi ametamka maneno ambayo huchukuliwa kwa uzito sana katika jamii ya kiafrika nanukuu ila naomba nitamke hivi siku nikifa clouds fm isipige nyimbo zangu wala isiongelee lolote kuhusiana na kifo changu
enyi mtakaokuwa hai baada yangu haya ndiyo yote aliyoandika
zaburi project fame said
dada jide huo ndio usanii kwa kuwa mungu ndiye ngao kwa wamkimbiliao na watenda haki basi itabakia hivyo na kila mtu na riziki yake nimeshuhudia skylight band wanalazimisha ijulikane lakini wapi kabla ya kuanza kusema nilivyoona waimbaji wako jonico na mwinyi wamehamia sky nikajua tu kuna mkono wa mtu acha waendelee na roho zao mbaya na daima zitaendelea kuwa mbaya kwani biblia inasema na mwenye uchafu na aendelee kuwa mchafu na jk nyerere alisemamtu akianza kula nyama ya mtu kamwe hataacha
salim seif said
kaza hapohapo wakongwe twasema kua uyaone wape methali hii mungu hakupi nguvu na mbio utaua wenzio
muhozi bunura said
pole sana mdogo wangu kwa hayo unayopitia mungu wetu ni mwema atakupigania utashinda soma kutoka 1414
mh pole sana dada inaonekana hawa jamaa wanajisahau sanalakini kama unavyoani iko siko utafanikiwa zaidi yao riziki ya mtu haizuiriwi inacheleweshwa tu
lawrence ambrose said
pole sana dada jay_d na usiwaze wala usiwasikilize hao maana mtu akitenda lililo baya wewe tenda lililo zuri mfano kama ulivyoamua kusema ukweli hiyo safi sana hatima yake aibu na watajidharau songa mbele mdada
nakukubali kamandawatashindana lakini hawata shindaroho zao nyeusi hata shetani anawaogopa
tutatekeleza wosia wako
hawa clouds na jopo lote hilo la akina kusagaruge nkwamezidi sana ku dominate ktk tasnia hii ya sanaahii inawapa vichwa kunyanyasa wasanii kwa kadri wawezavyomambo haya yamekuwa yakisemwa lakini naona wizara husika hajayatilia maananinakumbuka hata mrtwo aliwahi kuwapa ukweli wao lakini hakuweza kuungwa mkono na watumimi naamini ayasemayo jide hawa watu(clouds)wamezidi sana kuwa na tamaa na pia kivihujumu vukundi vingi vya sanaanaamini hata kuzorota kwa muziki wa dansi tanzania hii redio ya clouds imechangia kiasi kikubwacha msingi hapa ni kuiomba wizara husika km utamaduni na pia wizara ya habari kuweza kuwaonya majitu haya yaliyojaa tamaa na roho mbayamwisho wao utafika tuhakluna lisilo na mwishomwanamuziki mkongwe ugaibuni | 2018-03-22T03:46:11 | http://musicintanzania.blogspot.com/2013/05/lady-jd-atoa-wosia-ruge-mtahaba-na.html |
mazishi ya mrakibu wa polisi captkidai senzala aliyefariki katika ajali ya hekopta dar es salaam | bukobawadau skip to main |
maafisa wa polisi wakiwa wamebeba sanduku lililohifadhi mwili wa marehemu capt kidai senzala kalise aliyefariki novemba 29 mwaka huu katika ajali ya helkopta iliyotokea kipunguni bmoshi bar dar es salaam wakielekea katika makaburi ya familia huko gonja maore wilaya ya same mkoa wa kilimanjaro desemba 1 2014
marehemu kidai alikuwa mrakibu wa polisi na alizikwa kwa heshima zote za kipolisi ikiwa ni kupigiwa mizinga na saluti mbalimbali za kipolisi kabla na baada ya maziko yake helkopta aina ya robertson r44 iliyo tolewa msaada
kutoka kwa taasisi ya howard g
foundation inayomilikiwa na mfanyabiashara mashuhuri nchini marekani bw
buffet ililetwa nchini kwa lengo la kukabiliana na vitendo vya ujangili na kupokelewa nchini na waziri wa maliasili na utalii june 14
2014 jijini dar es salaam na kuikabidhi kwa mamlaka ya hifadhi za taifa tanzania (tanapa) ilipata ajali majira ya saa nne asubuhi baada ya
kupata hitlafu katika injili yake na kupoteza maisha ya mrakibu wa polisi capt kidai senzala kaluse mkaguzi wa polisi capt simba musa
simba konstebo wa polisi josso selestine na capt joseph khalfan wa malisasili aliyezikwa arushasource father kidevu blog
maofisa wa polisi wakijiandaa kulibeba jeneza la marehemu capt kidai
wanafamilia wakiwa katika gari lililobeba mwili wa mpendwa wao capt kidai senzala
maofisa wa polisi wakiwa wamebeba sanduku la mrakibu wa polisicapt kidai
heshima za kihjeshi zikitolewa kabla ya jeneza kushushwa kaburini na kupigiwa mizinga
heshima zikiendelea
ndugu wa marehemu akiwepo mkewe mama yake mzazi marehemu dada zake na ndugu wengine wakitafakari kazi ya mungu baada ya kufanyika kwa mazishi ya capt kidai senzala posted by | 2017-07-20T18:32:02 | http://www.bukobawadaumedia.com/2014/12/mazishi-ya-mrakibu-wa-polisi-captkidai.html |
mihanga ya muhammad kwa ajili ya uislamu | usahihi wa historia ya uislamu na waislamu | books on islam and muslims | alislamorg
belief & creed education & society history & politics laws & worship quran & hadith spirituality & philosophy mihanga ya muhammad kwa ajili ya uislamu
malengo makubwa ili yafatimie yanahitaji mihanga na kufanikiwa katika kupata hali halisi kutokana nayo kunakuja kwa gharama kubwa lengo kubwa zaidi gharama kubwa zaidi atakayolipia mtu kulifanikisha mapambano ya mwanadamu kujikomboa kutoka kwenye minyororo ya utumwa na udhalimu yana umri wa maelfu ya miaka na yamechukua maisha ya watu yasiyo idadi mapambano yanaendelea leo hii kama yalivyokuwa huko nyuma na hadith yake haina mwisho kwa sababu mapambano yenyewe hayana mwisho
matatu kati ya matukio muhimu katika mapambano ya mwanadamu kwa ajili ya uhuru ni yale mapinduzi ya kifaransa ya mwaka 1789 mapinduzi ya kirussi ya mwaka 1917 na mapinduzi ya kichina ya mwaka 1949 haya pia ni matatu kati matukio ya maana sana katika historia ya ulimwengu mikondo ya damu iliibuka kufuatia mapinduzi haya na yalivyokuwa yakipungua yaliibeba ile mifumo na mifano ya kizamani ya ukandamizaji na unyonyaji pamoja nayo mapinduzi haya yalianzisha nguvu mpya ambazo hadi leo hii zinaisukasuka dunia yote yalikuwa ndio gharama mwanadamu alikuwa ailipe kununua uhuru wake wa kisiasa na kiuchumi
(mapinduzi ya kirusi na dola ya sovieti yalianguka katika hayo baada ya miaka 73 mnamo mwaka 1990 yalithibitika kutowezekana)
karne nyingi baadaye yaani katika karne ya saba mapinduzi mengine yalibadili mwelekeo wa historia yalikuwa ni moja ya mapinduzi makubwa ya nyakati zote lakini jambo la kipekee kuhusu mapinduzi haya ni kwamba yalikuwa ya amani hayakutengeneza mikondo yoyote ya damu na kwa kweli yanapaswa kuitwa mapinduzi yasiyo na umwagaji damu yalikuwa ni ujumbe wa amani amani ilikuwa ndio beji yake na amani au uislamu lilikuwa ndio jina lake
ingawa uislamu ulitetea amani katika ulimwengu haukuwa umewezekana bila ya mapambano ulikuwa kwa kweli umefungwa kwa miaka 23 katika mapambano ya kumwaga damu kwa ajili ya uhai wake na kama vile tu mavuguvugu makubwa juu ya ukombozi ulihitaji vilevile mihanga ni ajabu kwamba muhammad mjumbe wa allah swt na mtume wa uislamu hakuwaiga viongozi wengine ambao wanawasukuma wafuasi wao kwenye milipuko ya vita kwa jina la muhanga kwa ajili ya mfano bora yeye mwenyewe alikuwa ndiye mtu wa kwanza kutoa makafara kwa ajili ya uislamu
ufafanuzi wa webster wa muhanga ni kupata hasara kwa ajili ya kuweka mfano bora mtu kutoa mali yake anayoithamini sana kwa ajili ya mfano mwema kunafanya kafara
wengi wa manabii na mitume waliishi maisha ya muhanga ibrahim alimtoa mwanawe ismail kama kafara na yahya (yohana) alijitolea maisha yake mwenyewe kama kafara ismail angeweza kuuawa lakini akabadilishwa wakati ule ule na mwana kondoo yahya hata hivyo yeye aliuawa na kichwa chake kikabidhiwa kwa mwanamke fasiki kutuliza kiburi chake yeye ni mmojawapo wa wahanga (shahiid) wakubwa wa nyakati zote
hii ni miwili kati ya mifano mingi ya kafara ambayo ilihitaji ujasiri mkubwa na imani kubwa lakini yote kwa mtazamo wa ubora na ukubwa ile mihanga muhammad aliyotoa kwa ajili ya uislamu inabakia kutolinganishika katika historia
tofauti lazima ionyeshwe hapa kati ya makafara ya mali na makafara ya uhai muhammad (saww) alifanya yote alitoa muhanga hali njema zake binafsi zote na mali zote alizokuwa akimiliki kwa ajili ya uislamu hili bila shaka kila mtu analijua ambacho labda hakijulikani sana ni ule ukweli kwamba baadhi ya jamaa zake wa karibu na wapenzi wake walikuwa wameuawa katika ketetea uislamu ndugu zake muhammad waliofanya maisha yao dhabihu kwa ajili ya uislamu ni kama wafuatao
1 alharith ibn abi hala mwana wa kulelewa na mpwawe khadija aliuawa huko makka2 ubaidullah ibn alharith ibn abdulmuttalib binamu yake aliuawa katika vita vya badr3 hamza ibn abdulmuttalib ami yake aliuawa katika vita vya uhud4 masab ibn umayr ami yake aliuawa katika vita vya uhud5 abdallah ibn jahash binamu yake aliuawa huko uhud6 zayd ibn haritha mwana wa kulea na rafiki yeye aliuawa katika vita vya muutah7 jaafar tayyar ibn abi talib binamu yake yeye aliuawa katika vita vya muutah8 ayman ibn ubayd kaka wa kunyonya huyu aliuawa katika vita vya hunayn
hii ni orodha ya baadhi ya majina yanayotambulika sana katika uislamu wote na inajumuisha ami zake wawili binamu watatu watoto wa kutwaliwa wawili na kaka wa kunyonya mmoja wa muhammad (saww) ilikuwa ni kwa kupitia mihanga hii ambapo aliufanya uislamu kutodhurika na kutoharibika
muhammad (saww) kamwe hakufanya jaribio la kutaka kuwalinda wale aliwapenda yeye mwenyewe walikuwa kwa kweli ni wale wapenzi wake ambao ndio walikuwa wa mbele kabisa katika kukabiliana na changamoto ya adui hakuna aliyekuwa akimpenda kuliko ali na bado nafasi ya hatari kubwa zaidi katika kila makabiliano na wapagani ndani ya makka au madina ilikuwa siku zote imewekewa yeye
makafara makubwa kabisa kwa ajili ya uislamu yote yalitolewa na muhammad na ali kwa upande mwingine abu bakr na umar hawakufanya makafara yoyote kwa jinsi makafara kwa ajili ya uislamu yanavyohusika wao hawana chochote cha kuonyesha wakati wowote ilipotokea changamoto kutoka kwa wapagani kama ilivyokuja wakati wa vita vya badr uhud na khandaq wao (abu bakr na umar) hawakuipokea na hakuna mtu wa familia zao aliyeuawa katika utetezi wa uislamu katika wakati wowote ule ndugu pekee ambaye umar alimpoteza kamwe kwenye mapambano ya uislamu na upa gani alikuwa ni mjomba wake abu jahl ambaye aliuawa katika vita vya badr
taji la shahada ndio heshima kubwa na sifa kubwa ambayo uislamu unaweza kuitoa juu ya muislamu katika dunia hii wapendwa wa muhammad na ali walipata shahada nane katika uhai wa muhammad (saww) na walitakiwa kupata nyingine nyingi zaidi baada ya kifo chake allah swt awarehemu wote hao | 2017-04-27T21:18:26 | https://www.al-islam.org/node/25094 |
mgombea ubunge chadema jimbo la kinondoni arudisha fomu | magazeti ya leo| tanzania news |tanzania today
qs muhonda arudisha fomu ya kuomba kugombea ubunge jimbo la kinondoni
qs amesema kuwa ameamua kuchukua fomu na kugombea nafasi hiyo ili kuleta maendeleo ya jimbo hilo na pia anauwezo na ufanisi mkubwa wa kuleta maendeleo katika jimbo hilo la kinondoni lakini pia una ushawishi mkubwa kwa vijana ambao ni taifa la leo kuwafanya kuwa nguvu kazi ya taifa hususan vijana wengi wa kinondoni ambao hawana ajira
updates mgombea ubunge wa chadema katika jimbo la shinyanga mjini inasemekana ametekwa na kunyanganywa fomu ya ubunge
kwa taarifa za mwanzo zunasena kuwa mgombea ubunge jimbo la shinyanga mjini na m/kiti bavicha taifa ndugu patrobas katambi inasemekana ametekwa muda mfupi uliopita na watu wasiojulikana na kunyang'anywa fomu zake za ubunge
chanzo chetu kilijaribu kuzungumza na mwenezi wa jimbo hilo ili kuthibitisha tukio hilo lakini pia simu ya mgombea ilikuwa haipatikani
chanzo chetu kimeongea na mbunge rachel mashishanga sasa hivi na kuthibitisha tukio hilo
endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi
chanzo
muslim arudisha fomu ya ubunge makungu ajiunga na chadema
mwanachama wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) muslim hassanali akirudisha fomu kwa mratibu wa kanda ya pwani casimir juma mabina za kuomba kuteuliwa kuwa mgombea ubunge kwa tiketi ya chadema katika uchaguzi mkuu ujao kulia ni mjumbe wa kamati kuu chadema mabere marando (picha na francis dande) mjumbe wa kamati kuu ya chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) mabere marando (kushoto) akimkabidhi kadi ya chama hicho aliyekuwa mwenyekiti wa ccm tawi la kigamboni wilaya ya
salumu mwalim aliporudisha fomu ya kugombea ubunge jimbo la kinondoni
mgombea ubunge kwa tiketi ya ccm jimbo la dimani achukua fomu
mgombea ubunge wa jimbo la dimani kupitia tiketi ya ccm mh juma ali juma amechukua fomu ya kugombea nafasi hiyo katika jimbo hilo katika ofisi za muda za tume ya (nec) ziliopo skuli ya sekondari ya kiembe samaki zanzibar
mh juma ali juma amechukua fomu hiyo kufuatia kuchaguliwa na chama kugombania nafasi ya ubunge katika jimbo la dimani mnamo tarehe 16 disemba mwaka huu
mh juma atagombea nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu anaotarajiwa kufanywa january 22 2017 ili kuziba nafasi iliyo
mgombea ubunge wa jimbo la kusini mashariki khalifa kondo mponda achukua fomu
engineer hamis ahmad ndwata akimlipia khalifa kondo shs 100000 ya ada ya fomu kwa wagombea ubunge katibu wa ccm wilaya ya morogoro vijijini muheshimiwa shahibu mtawa akihesabu hela za fomu ya mgombea khalifa kondo mgombea ubunge wa jimbo la kusini mashariki bwana khalifa kondo akikabidhiwa fomu na katibu wa wilaya ya morogoro vijijini muheshimiwa shaibu ally mtawa
steven nyerere achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la kinondoni na kurudisha leo
katibu wa chama cha mapinduzi (ccm) wilaya ya kinondoni athumani sheshe akimkabidhi fomu ya kugombea ubunge jimbo la kinondoni muigizaji steven mengere (kulia) katika ofisi za chama hizo eneo la mkwajuni jijini dar es salaam jana kulia ni mke wa mgombea dk sarah makene picha na elisa shunda muigizaji steven mengere akionyesha fomu ya kugombea ubunge jimbo la kinondoni kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) baada ya kukabidhiwa na katibu wa chama cha mapinduzi (ccm) wilaya ya
mgombea ubunge jimbo la bagamoyo achukua fomu wengi wampongeza wadau saidia tutani
mgombea ubunge jimbo la bagamoyo kupitia chama cha mapinduzi (ccm) mathew juma salum yungwe akionesha fomu ya kugombea nafasi hiyo baada ya kukabidhiwa na katibu wa ccm wilaya ya bagamoyo kombo kamote wilayani humo leo mchana katibu msaidizi wa chama cha mapinduzi (ccm) wilaya ya bagamoyo salum mtelela (kulia) akimkabidhi stakabadhi ya malipo ya kuchukua fomu mgombea huyo katibu wa ccm wilaya ya bagamoyo kombo kamote (kushoto) akimkabidhi fomu ya kugombea ubunge jimbo la
idd azan na jumaa mhina 'pijei' wachukua fomu kuwania ubunge jimbo la kinondoni na kawe
kada wa chama cha mapinduzi mwenyekiti wa kamati ya mahusiano ya jamii uvccm dar es salaam na kamanda mstaafu wa wa uvccm wilaya ya kinondoni na wakili wa mahakama kuu jumaa mhina 'pijei' akikabidhiwa fomu ya kuomba kuwania ubunge jimbo la kawejana jijini dar es salaam kupitia | 2019-02-16T01:52:03 | http://www.tanzaniatoday.co.tz/news/mgombea-ubunge-chadema-jimbo-la-kinondoni-arudisha-fomu |
mafuta ya arghani islamic calendar
mafuta ya arghani
category mapambo
producer morocco show products
price 300 us $
mafuta ya arghani ya ngozibaada ya kuoga na kukausha maji chovya mafuta kiganjani halafu sugua usoni kwa njia ya duara na pia paka eneo lolote jengine lenye ugonjwa wa ngozihutumika kwa watu wa jinsia zoteni mafuta halisi ya mmea kwa asilimia 100 na bila chembe chembe za ziada za kemikalini mmea kutoka milima ya atlas kaskazini magharibi ya afrikahayana madhara yoyote kwa mtumiajimafuta haya hutibu kwa ufanisi sehemu za ngozi zilizojifichaili kupata matokeo bora daima weka mbali na muangaza wa jua la moja kwa moja
mafuta ya kula ya arghani mafuta ya mti huu ni mazuri sana kwa ajili ya kulahutumika kula kwa kuchovya na mikate au kunyunyiza kwenye baadhi ya vyakula wakati wa kulahuongeza nguvu mwilini na hulainisha njia yote ya mapitio ya chakula mpaka mwisho wake
sabuni ya arghanivile vile ipo sabuni yake ambayo hutumika kuogea kwa mwenye matatizo na uyabisi wa ngozioga kwa maji ya vugu vugu na sugua kwa sabuni sehemu zenye athari na wacha povu kwa muda halafu suuza
maghreb fashion 1
suruali za kuvalia kanzu | 2018-03-17T22:12:29 | http://www.islamictides.com/sokoni/mapambo/item/142-arghani-oil |
nyalandu sasa aitesa chadema | gazeti la rai
home habari kuu nyalandu sasa aitesa chadema
nyalandu sasa aitesa chadema
maombi ya aliyekuwa mbunge wa singida kaskazini lazaro nyalandu ya kuomba wanachama wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) yanatajwa kukitesa chama hicho ingawa tayari baadhi ya viongozi wamesharidhia kumpokea rai linaripoti
nyalandu amechukua uamuzi wa kujivua uanachama wa chama cha mapinduzi (ccm) sanjari na nyadhifa zake zote ikiwa ni pamoja na ubunge mapema wiki hii
alisema amechukua uamuzi huo kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wa kisiasa wa chama hicho
duru za habari kutoka ndani ya chadema zinabainisha kuwa uamuzi wa nyalandu wa kutaka kuhamia chadema unabeba sura mbili moja ikiwa ni kukiimarisha chama hicho na au kukidhoofisha zaidi chama hicho
hoja ya kukiimarisha chama hicho inaeleza kuwa nyalandu si mwanasiasa wa kubeza kutokana na mizizi aliyonayo mkoani singida hasa hasa jimboni kwake singida kaskazini
wanaobeba hoja hiyo wanakwenda mbali zaidi kwa kudai kuwa nyalandu mbali ya kuwa na nguvu za kisiasa singida lakini pia anaonekana kuwa na ushawishi mkubwa kwa matajiri mbalimbali wa ulaya na marekani hali inayoweza kuimarisha mfuko wa chama
aidha utaratibu wake wa kusaidia watu mbalimbali hasa kwenye huduma za afya nayo inaonekana kama mtaji kwa hoja kuwa upo uwezekano ujio wake ndani ya chadema unaweza kubeba idadi kubwa ya watu wa kada mbalimbali
ukiachana na hoja hizo lakini pia wanaamini endapo ataingia chadema na kutaka kuwania ubunge wa jimbo lake aliloliacha ni wazi mwanasiasa huyo atashinda hali itakayosaidia kulihamishia jimbo hilo kwa upinzani
kitendo cha nyalandu kuwa karibu na mbunge wa singida mashariki tundu lissu tangu apigwe risasi septemba 7 mwaka huu nacho kinachukuliwa kama mtaji wa kisiasa kwa mwanasiasa huyo ambaye kabla ya kuhama ccm alikuwa akitazamwa kama mbunge pekee wa chama hicho tawala asiyeangalia itikadi za vyama
hatua ya nyalandu kumtembelea lissu hospitali alikolazwa kiliibua mjadala mzito uliosababisha kuwapo kwa madai kuwa ameonywa na chama chake cha zamani hata hivyo yeye mwenyewe alikanusha madai hayo
wakati hoja ya kukiimarisha chama ikipambwa na sababu hizo wale wanaoamini ujio wake unaweza kukidhoofisha chama hicho wamebeba sababu kadhaa kubwa ikiwa ni uwezekano wa kuja na watu wake hatua inayoweza kukigawa chama hicho hasa kwa kuzingatia historia ya mwaka 2015
mwaka 2015 waziri mkuu wa zamani edward lowassa alijiunga na chadema akitokea ccm na kukabidhiwa dhamana ya kuwania urais
uamuzi huo ulitazamwa vibaya na baadhi ya makada akiwemo aliyekuwa katibu mkuu wa chadema dk willbroad slaa ambaye baadae aliamua kujiondoa kundini
habari za ndani zinabainisha kuwa hatua hiyo hadi sasa bado inakitesa chama kwani wapo baadhi ya makada wanaojiita wazawa hawakubaliani na baadhi ya maamuzi hasa yale yanayoonekana kubeba sura ya kuwapa nafasi makada waliohamia kwenye chama hicho mwaka 2015
kwa kufuata historia hiyo wapo baadhi ya makada wanaoamini kuwa upo uwezekano wa nyalandu kupata upendeleo maalum katika baadhi ya mambo na kuwaacha baadhi ya makada wa muda mrefu wa chama hicho
baadhi ya nafasi zinazotazamwa kuelekezwa kwa nyalandu moja kwa moja ni kuwania ubunge wa jimbo aliloliachia mwenyewe au kuja kupewa au kuwania nafasi kubwa zaidi ndani ya chama siku zijazo
tayari baadhi ya makada ndani na nje ya ccm wanaamini kuwa huenda nyalandu ameamua kutimkia chadema ili kwenda kufanikisha nia ya kuwania urais baada ya kukosa nafasi hiyo ndani ya ccm kwenye uchaguzi mkuu uliopita
kabla ya kujiondoa ccm nyalandu alipata kuliambia rai kuwa kwa sasa jukumu lililombele yake ni kuwahudumia wapiga kura wake na si urais
kusema ukweli sasa nina kazi ya ubunge ambayo wana singida kaskazini wamenipa na hata sasa ninapozungumza na wewe nipo jimboni kwangu natekeleza majukumu ya kuhakikisha miradi ya singida inatekelezwa kwa usimamizi wa hali ya juu kwa faida ya wanasingida na watanzania wote kwa ujumla
hata hivyo hisia hizo zinatajwa kuwa ni mateso na mzigo mzito kwa baadhi ya makada ndani ya chama na kwamba suala la nyalandu lisipoangaliwa kwa umakini linaweza kukigawa chama hicho ingawa idadi kubwa ya makada wa chadema hasa wale wasioamini katika kupewa nafasi wamefurahishwa na uamuzi wake wa kujiondoa ccm
mkurugenzi wa itifaki mawasiliano uenezi na mambo ya nje wa chadema john mrema aliliambia rai juzi kwa njia ya simu kuwa kamwe ujio wa nyalandu hauwezi kukitesa chama hicho kwa sababu tayari viongozi wanakutana ili kuangalia namna sahihi ya kumpokea mwanasiasa huyo
alisema wanajua nguvu ya nyalandu kisiasa na kwamba si mwanasiasa mdogo na tayari wameshamkaribisha lakini bado hawajampokea kwa sababu mapokezi yake yanahitaji kuandaliwa kikamilifu
tunajua uzuri na ubaya wa kupokea wanasiasa wakubwa tahadhari zote hizo zinachukuliwa lakini kamwe hatuwezi kuacha kumpokea nyalandu ni mwanasiasa mkubwa na ametupa heshima kubwa hivyo viongozi wa juu wanahitaji kukaa ili kuangalia ni namna gani bora tutampokeaalisema
kuhusu mahali patakapotumika kumpokea nyalandu mrema alisema bado hawajaamua kama watampokea jijini arusha au jijini dar es salaam na ndio maana viongozi wameiona haja ya kukutana ili kujadiliana namna ya kumpokea
alipoulizwa nafasi atakayoandaliwa nyalandu ndani ya chama na kama ataachiwa kuwania ubunge wa jimbo la singida kaskazini
mrema alisema chama chao kina taratibu zake uongozi utakaa na kujadili juu ya suala hilo na kama atakuwa na nia ya kutaka kuwania ubunge ndani ya jimbo hilo anaweza kupewa nafasi hiyo
hili la kuwania ubunge ndani ya jimbo aliloliachia litaamuliwa na viongozi na kama yeye mwenyewe ataonesha nia hiyo basi akipitishwa ni wazi atawania tualisema
duru za habari zimeliambia rai kuwa upo uwezekano mkubwa wa nyalandu kupokelea jijini arusha kwenye uzinduzi wa kampeni za udiwani
previous articlediane rwigara mwanamke nguli anayepambana na siasa za kagame
next articlemagufuli afanya makubwa mwanza | 2020-01-27T13:51:03 | http://www.rai.co.tz/nyalandu-sasa-aitesa-chadema/ |
kamishna mpya wa kazi na kibarua kizito kusafisha vibali hewa wizarani | mtanzania
home kitaifa kamishna mpya wa kazi na kibarua kizito kusafisha vibali hewa wizarani
kamishna mpya wa kazi na kibarua kizito kusafisha vibali hewa wizarani
rais dk john magufuli amemtaka kamishna mpya wa kazi kanali francis mbindi kushughulikia changamoto lukuki zinazoikabili wizara ya kazi ikiwamo utolewaji wa vibali hewa
previous articlesimba ina hatari
next articlemagufuli ampa kibarua kizito kichere ofisi ya cag siyo clean kaisafishe | 2019-12-14T05:35:42 | http://mtanzania.co.tz/kamishna-mpya-wa-kazi-na-kibarua-kizito-kusafisha-vibali-hewa-wizarani/ |
rais gauck hatagombea awamu ya pili | matukio ya kisiasa | dw | 04062016
rais gauck hatagombea awamu ya pili
gauck mwenye umri wa miaka 76 anatarajiwa kutoa maelezo juu ya uamuzi wake wa kutowania muhula wa pili kama mkuu wa dola katika mkutano na kansela wa ujerumani angela merkel siku ya jumatatu gazeti hilo liliripoti
gauck anatarajiwa kutoa tangazo rasmi kwa umma siku ya jumanne mjini berlin muhula wa gauck unakamilika machi 2017 msemaji wa rais huyo amekataa kutoa kauli kuhusu suala hilo rais gauck aliidhinishwa kuwa rais machi 2012 kuchukua nafasi iliyoachwa na christian wulff ambaye baada ya miezi 20 tu alilazimika kujiuzulu kutokana na kashfa iliyohusisha mkopo wa nyumba
mwaka 2010 gauck alishindwa na rais wa zamani wulff wakati alipokuwa mgombea wa muungano wa vyama vya kijani na social democratic spd mwaka 2012 kansela merkel na muungano wa vyama ndugu vya christian democratic union cdu na christian social union csu ulimuunga mkono gauck baada ya mabishano kadhaa
angela merkelkushoto jochim gauck na sigmar gabriel
mwezi uliopita viongozi wa vyama vinavyounda serikali viliahidi kuunga mkono muhula wa pili wa rais gauck gazeti la frankfurter rundschau liliripoti kwamba chama cha christian democratic union cdu cha kansela merkel pamoja na mshirika wake serikalini chama cha social democratic spd vilihofia athari za gauck kukataa kugombea awamu ya pili
kwa mujibu wa ripoti hiyo uamuzi huo ungekwamisha kampeni zao za uchaguzi wa shirikisho mwaka 2017 iwapo vyama havitoweza kukubaliana kuhusu mgombea mmoja baraza maalumu linalomchagua rais litakutana februari 12 mwaka ujao 2017
wajerumani wataka gauck aendelee
matokeo ya kura ya maoni ya hivi karibuni yanaonyesha asilimia 70 ya wajerumani wangependelea gauck aendelee kuwa rais kiongozi huyo kwa muda mrefu alikuwa ameliacha wazi suala la ikiwa atagombea awamu ya pili ama la wakati alipofanya ziara nchini china mwezi machi mwaka huu rais gauck alisema ni hisia nzuri kwamba watu wengi wangependelea kuendelea kufanya kazi yao kwa weledi lakini katika hilo mtu anatakiwa kujifikiria hali yake ya mwili na uwezo wake kisaikolojia alisema
rais wa ujerumani ni mkuu wa dola na kwa kiwango kikubwa hushikilia wadhifa wa heshima kuiwakilisha nchi katika masuala ya sheria za kimataifa na mikutano rasmi rais hachaguliwi moja kwa moja na umma bali huchaguliwa na kamati maalumu inayowajumuisha wabunge wa bunge la ujerumani bundestag na idadi sawa na hiyo ya wajumbe kutoka kwa mabunge ya mikoa
rais wa ujerumani huwa na muhula wa miaka mitano na anaweza kuchaguliwa tena mara moja tu raia yeyote wa ujerumani mwenye umri wa zaidi ya miaka 40 anaweza kugombea urais
mwandishijosephat charo/rtre/afpd
mhaririyusra buwayhid
mada zinazohusiana angela merkel bonn uchaguzi ujerumani 2017
maneno muhimu joachim gauck angela merkel germany president bild
kiungo https//pdwcom/p/1j0nm | 2019-09-18T13:51:38 | https://www.dw.com/sw/rais-gauck-hatagombea-awamu-ya-pili/a-19306016 |
Subsets and Splits